The National Payment Systems Act, 2015
This section gives the Act’s short title and says it starts on a date appointed by the Minister and published in the Government Gazette.
- Jurisdiction
- Tanzania
- Instrument
- Act or statute
- Citation
- The National Payment Systems Act, 2015
- Version
- Undated source snapshot
- Language
- mul
- Official source
- View official record ↗
Statute overview
About this statute
This section gives the Act’s short title and says it starts on a date appointed by the Minister and published in the Government Gazette. This provision says the law applies in Tanzania Mainland and Tanzania Zanzibar. This section defines key terms used in the Act, including bank, Bank of Tanzania, electronic money, electronic payment services, payment system, and related actors. The Bank has powers to license, regulate, supervise, inspect, investigate, coordinate, and operate payment system functions, including real-time settlement and related services. A person may not operate a payment system without a licence issued by the Bank under this Act.
Search within this statute
Search all stored provisions in this version.
Legal text
Provisions of The National Payment Systems Act, 2015
Showing 60 of 60
- 1 Verify source ↗
2. Application
This section gives the Act’s short title and says it starts on a date appointed by the Minister and published in the Government Gazette.
1. Sheria hii itajulikana kama Sheria ya Mifumo ya Malipo ya Taifa ya mwaka 2015 na itaanza kutumika katika tarehe ambayo Waziri ataiteua na kuitangaza kupitia Gazeti la Serikali. 44 45 Na.4 Sheria ya Mifumo ya Malipo ya Taifa 2015 Matumizi - 2 Verify source ↗
Application
This provision says the law applies in Tanzania Mainland and Tanzania Zanzibar.
2. Sheria hii itatumika Tanzania Bara na Tanzania Zanzibar. Tafsiri Sura 342 - 3 Verify source ↗
Interpretations
This section defines key terms used in the Act, including bank, Bank of Tanzania, electronic money, electronic payment services, payment system, and related actors.
3.-Katika Sheria hii, isipokuwa kama itaelezwa vinginevyo- “benki” ina maana kama ilivyo kwenye Sheria ya Benki na Taasisi za Fedha; “Benki” maana yake ni Benki Kuu ya Tanzania; "fedha za kielektroniki" maana yake ni fedha kama ilivyowakilishwa na dai kwa mtoaji wa fedha za kielektroniki, ambayo huifadhiwa kielektroniki katika nyenzo au kifaa, iliyotolewa dhidi ya kupokea fedha taslimu kiasi ambacho si pungufu ya thamani ya fedha taslimu iliyotolewa, iliyokubalika kama njia ya malipo na watu au taasisi tofauti na mtoaji wa fedha za kielektroniki, na inaweza kukombolewa ikawa fedha taslimu; "huduma ya malipo kwa njia ya kielektroniki" maana yake ni huduma ya malipo kwa njia ya kielektroniki inayotolewa na mtoa huduma ya mfumo wa malipo aliyepewa leseni kwa mujibu wa Sheria hii; 45 Na.4 Sheria ya Mifumo ya Malipo ya Taifa 2015 46 "kituo cha kubadilishana nyaraka za madai" maana yake ni mahali fedha au utaratibu maalum ambao zimekubaliana kubadilishana maelekezo ya kufanya malipo au madai mengine ya kifedha baina yao; taasisi za kutumia katika “kubadilisha” maana yake ni kubadilishana nyenzo za malipo zinazohusu kutuma, kufanya ulinganifu, kuthibitisha au kuhamisha fedha kabla ya kufanya malipo, ikiwa ni pamoja na maelekezo ya kufanya malipo halisi na kuweka ukomo wa kufanya malipo; "malipo ya mwisho" maana yake ni utimilifu wa uhaulishaji wa malipo ambao umefikia ukomo na haubadilishwi au hauwekewi masharti; "mfumo muhimu wa malipo" maana yake ni mfumo wa malipo wenye ambao kubwa usipodhibitiwa vya kutosha unaweza kusababisha au kupelekea misukosuko kwa washiriki katika mfumo wa malipo au uchumi kwa ujumla; uchumi katika athari "mfumo wa malipo" maana yake ni mfumo unaojumuisha nyenzo ya malipo, taratibu za kibenki au za kuhaulisha fedha kati ya benki moja na nyingine au baina ya watoa huduma ya mfumo wa malipo ambao unahakikisha mzunguko wa fedha kwa mujibu wa idhini itolewayo chini ya Sheria hii; "mlaji" maana yake ni mtumiaji wa huduma za malipo ya kielektroniki zinazotolewa na mtoa huduma ya mfumo wa malipo; 46 Na.4 Sheria ya Mifumo ya Malipo ya Taifa 2015 47 "mpango wa kufikia uhalisi wa malipo" maana yake ni makubaliano ya kimaandishi ya kubadilisha madai kadhaa kuwa dai moja halisi linalohitajika kulipwa na mtu au watu katika mfumo wa kubadilisha au kuhitimisha malipo; "mshiriki katika mfumo wa malipo" maana yake ni shirika linaloshiriki katika mfumo wa malipo kwa mujibu wa Sheria hii; "mtoa huduma ya mfumo wa malipo" maana yake ni shirika, linalojishughulisha peke yake au kwa kushirikiana na shirika lingine katika na kutoa huduma ya malipo ya kielektroniki iliyoidhinishwa kwa mujibu wa Sheria hii; "mtoaji wa fedha za kielektroniki" maana yake ni mtoa huduma ya mfumo wa malipo aliyepewa leseni ya kutoa fedha za kielektroniki na aliye na majukumu na anayewajibika na fedha hizo za kielektroniki; "nyenzo ya malipo" maana yake ni kifaa kilicho katika mfumo wa kielektroniki au wa kimaandishi inayotumika katika upitishaji au ulipaji wa fedha; "shirika" maana yake ni benki, taasisi ya fedha au shirika lolote la umma au binafsi; "taasisi ya fedha" ina maana kama ilivyo kwenye Sheria ya Benki na Taasisi za Fedha; "taarifa" maana yake ni data, kumbukumbu, marejesho au nyaraka iliyo katika mfumo wowote ama katika maneno, katika maandishi, kisauti, kielektroniki, kisumaku, kiufundi, kumbukumbu za kompyuta au kumbukumbu nyingine iliyo katika hali, kimuonekano, iliyorekodiwa Sura 342 Na.4 Sheria ya Mifumo ya Malipo ya Taifa 2015 48 chombo, kitu au kifaa chochote; 47 "uhaulishaji wa fedha kwa njia ya kielektroniki" maana yake ni uhamishaji wa fedha kwa njia ya temino au kifaa cha kielektroniki kutoka akaunti moja kwenda nyingine; "uhalisi wa malipo" maana yake ni utambuzi wa malipo halisi au utimilifu wa malipo halisi baina ya watu wawili au zaidi katika mfumo wa ubadilishanaji wa malipo au mfumo wa utimilifu wa malipo; "utimilifu" maana yake ni kitendo cha kulipa madai kikamilifu yatokanayo na uhaulishaji wa fedha au dhamana baina ya watu wawili au zaidi; na "wakala wa mtoa huduma ya mfumo wa malipo" maana yake ni mmiliki pekee au shirika ambalo limeingia mkataba wa uwakala na mtoa huduma ya mfumo wa malipo kuuza fedha za kielektroniki na kukomboa fedha taslimu zenye thamani sawa na fedha hizo za kielektroniki. SEHEMU YA PILI MAMLAKA NA MAJUKUMU YA BENKI Mamlaka na majukumu ya Benki
Part
SEHEMU YA PILI
- 4 Verify source ↗
Powers and functions of the Bank
The Bank has powers to license, regulate, supervise, inspect, investigate, coordinate, and operate payment system functions, including real-time settlement and related services.
4.-(1) Bila ya kuathiri masharti ya sheria nyingine yoyote, Benki itatekeleza na inayo mamlaka ya- (a) kutoa leseni ya mfumo wa malipo; (b) kudhibiti, kusimamia, kukaguashughuli za mifumo ya malipo; kuchunguza na (c) kutoa huduma ya utimilifu wa malipo kwa mifumo ya malipo; 48 49 Na.4 Sheria ya Mifumo ya Malipo ya Taifa 2015 (d) kutoa huduma ya utimilifu wa malipo kwa kituo cha kubadilishana nyaraka za madai, na kwa kituo kikuu cha uhifadhi wa dhamana; (e) kumiliki na kuendesha mfumo wa utimilisho wa (f) malipo ufanyikao kwa muda halisi; kuratibu shughuli za mfumo wa malipo kwa kushirikiana na wadau husika; katika uendeshaji wa mfumo unaojumuisha nyenzo za malipo na mfumo wa utimilisho wa malipo baina ya benki na benki; na (h) usimamizi wa mfumo wa malipo kwa mujibu wa (g) kushiriki Sheria hii. (2) Kwa madhumuni ya kifungu hiki, neno “hifadhi kuu ya dhamana mbalimbali” taasisi ya kuhifadhi dhamana, ambayo inawezesha miamala ya dhamana ihifadhiwe kwa mfumo wa kielektroni. linamaanisha chombo au SEHEMU YA TATU MFUMO WA MALIPO Marufuku kuendesha mfumo wa malipo
Part
SEHEMU YA TATU
- 5 Verify source ↗
6. Eligibility for licensing payment system
A person may not operate a payment system without a licence issued by the Bank under this Act.
5. Mtu haruhusiwi kuendesha mfumo wa malipo bila leseni iliyotolewa na Benki kwa mujibu wa Sheria hii. 49 50 Na.4 Sheria ya Mifumo ya Malipo ya Taifa 2015 Stahiki ya leseni ya mfumo wa malipo - 6 Verify source ↗
Eligibility for licensing payment system
A payment system with the listed features may be licensed.
6.-(1) Mfumo wa malipo ambao wenye sifa zifuatazo unaweza kupewa leseni- (a) (b) (c) (d) (e) (f) (g) (h) (i) ubadilishaji wa maelekezo ya malipo baina ya taasisi za fedha ambazo ni washiriki katika mfumo; utimilifu wa majukumu ya malipo yanayotokana na ubadilishaji wa maelekezo ya malipo; uhaulishaji wa fedha kutoka akaunti moja kwenda akaunti nyingine kwa kutumia kifaa chochote cha kielektroniki; uhaulishaji wa fedha za kielektroniki kutoka kwenye kifaa kimoja cha kielektroniki kwenda kwenye kifaa kingine; kutoa huduma za kiteknolojia ili kuwezesha uhamishaji, upelekeaji, ubadilishaji, usimamizi wa data kwa ajili ya, au kwa niaba ya mtoa huduma ya mfumo wa malipo; uwezeshaji wa utendaji kazi wa pamoja wa mifumo ya malipo na huduma baina ya watoa huduma wa mfumo wa malipo na walaji; utoaji wa huduma za malipo ya kielektroniki kwa watu wasio na huduma za kibenki na walio na huduma hafifu za kibenki; kuanzisha kituo cha kubadilishana nyaraka za madai; utoaji wa mtandao wa mawasiliano ya kifedha; au (j) malengo mengine yoyote yatakayoainishwa na Benki. 50 51 Na.4 Sheria ya Mifumo ya Malipo ya Taifa 2015 Maombi ya leseni ya mfumo wa malipo (2) Kwa madhumuni ya kifungu hiki, neno “utendaji kazi wa pamoja” maana yake ni uhaulishaji wa maelekezo za malipo ama fedha bila kizuizi chochote kutoka akaunti ya mtoa huduma wa malipo mmoja ama mtumiaji kwenda kwa mtoa huduma wa malipo mwingine au mtumiaji wa akaunti ya mtoa huduma mwingine. - 7 Verify source ↗
Application for payment system licence
An applicant must apply for a payment system licence using the prescribed form, attach information specified by the Bank, and the Bank may grant, refuse, or set conditions on the licence.
7.-(1) Asasi inayohitaji kuendesha mfumo wa malipo tapaswa kuomba leseni ya kutoa huduma ya mfumo wa malipo kwa kujaza fomu iliyoainishwa kwa madhumuni ya leseni ya mfumo wa leseni.. Maombi yaliyofanywa chini ya kifungu kidogo cha (1), yataambatishwa na taarifa kama zitakavyoainishwa na Benki. (3) Benki itatoa leseni pale ambapo itaridhika kuwa muombaji ametimiza vigezo vya kupata leseni vilivyoainishwa chini ya Sheria hii pamoja na malipo ya tozo ya leseni na kukidhi masharti mengine yatakayoainishwa na Benki. (4) Ndani ya siku thelathini baada ya kupokea maombi ya leseni au pale ambapo taarifa za ziada zimehitajika na kupokelewa, Benki inaweza kukubali au kukataa maombi hayo. (5) Wakati wa kutoa leseni, Benki inaweza kuweka vigezo na masharti kama itakavyoona inafaa. (6) Leseni itadumu kwa kipindi cha miaka mitano isipokuwa kama itasitishwa au kufutwa. (7) Endapo maombi ya leseni yamekataliwa, Benki itatoa sababu za kukataa. (8) Kwa kuzingatia kifungu kidogo cha (7)- (a) muombaji, ambaye maombi yake yamekataliwa, endapo mapungufu yakataliwe yake kuomba maombi tena anaweza yaliyofanya yamerekebishwa; na 51 52 Na.4 Sheria ya Mifumo ya Malipo ya Taifa 2015 (b) Benki inaweza kukubali au kukata maombi mapya. (9) Pale ambapo maombi yamekataliwa na muombaji hajaridhika na uamuzi kwa mujibu wa kifungu hiki anaweza kuomba kwa Gavana wa Benki mapitio ya maombi yake ndani ya siku thelathini baada ya kupokea taarifa ya kukataliwa. Kuomba upya leseni ya mfumo wa malipo - 8 Verify source ↗
Renewal of payment system licence
Lessee may apply to renew the licence within six months before it expires; the Bank may renew it if the new fee is paid and the licensing conditions are met, and may refuse renewal if the applicant failed to comply with the original licence conditions.
8.- Mmiliki aliyepewa leseni chini ya Sehemu hii anaweza, ndani ya miezi sita kabla ya kumalizika muda wa leseni hiyo, kuomba upya leseni kutoka Benki. Baada ya kupokea maombi chini ya kifungu kidogo cha (1), Benki inaweza kutoa upya leseni baada ya- (a) kupokea malipo ya ada ya leseni mpya; na (b) kutimiza vigezo na masharti yanayotumika katika utoaji wa leseni. (3) Benki inaweza kukataa kutoa upya leseni endapo itaridhika kuwa mwombaji alishindwa kutekeleza masharti yaliyomo kwenye leseni ya awali. - 9 Verify source ↗
Suspension of payment system licence
Benki inaweza kusimamisha kwa muda leseni ya mfumo wa malipo ikiwa masharti fulani yatatimia, na inaweza pia kumtaka mwenye leseni aeleze kwa nini leseni isisimamishwe.
9.-(1) Benki inaweza kusimamisha kwa muda leseni endapo- Kusimamishwa kwa leseni ya mfumo wa malipo (a) ameshindwa itajiridhisha kwamba mtoa huduma ya mfumo wa ya malipo miundombinu ya mawasiliano yaliyoainishwa na Benki; imejiridhisha kwamba shughuli za mtoa huduma ya mfumo wa malipo zinaendeshwa kwa namna ambayo inaathiri maslahi ya washiriki na watumiaji wa mifumo ya malipo; au 53 Na.4 Sheria ya Mifumo ya Malipo ya Taifa 2015 kukidhi matakwa (b) 52 (c) mtoa huduma ya mfumo wa malipo amesimamishwa kwa muda kutoa huduma kwa mujibu wa sheria nyingine yoyote. (2) Kwa kuzingatia kifungu kidogo cha (1), Benki inaweza kumtaka mwenye leseni kutoa sababu kwa nini leseni yake isisimamishwe. (3) Pale ambapo mwenye leseni ameshindwa kutoa sababu za kuridhisha, Benki inaweza kusimamisha kwa muda leseni hiyo au kutoa amri nyingine kwa namna itakavyoona inafaa. Ufutaji wa leseni ya mfumo wa malipo - 10 Verify source ↗
Revocation of payment system licence
Benki inaweza kufuta leseni ya mtoaji wa huduma ya mfumo wa malipo ikiwa masharti yaliyotajwa yatatimia.
10.-(1) Benki inaweza kufuta leseni ya mtoaji wa huduma ya mfumo wa malipo endapo- (a) leseni nyingine ya mtoa huduma ya mfumo wa malipo inayohusiana na mifumo ya malipo imefutwa kwa mujibu wa sheria nyingine yoyote; (b) mtoa huduma ya mfumo wa malipo ameomba kwa hiari leseni yake ifutwe; (c) mtaa huduma ya mfumo wa malipo taarifa za kupotosha wakati wa kuomba leseni; (d) ameshindwa kukidhi masharti na vigezo vya leseni; (e) amejihusisha na mienendo isiyo salama au isiyo ridhisha ambayo inaathiri hali yake ya kifedha au ina madhara kwa maslahi ya watoa huduma wa mifumo ya malipo au watumiaji wa huduma hizo; amekataa kuruhusu kukaguliwa au kutoa taarifa zinazohitajika na Benki; (f) 53 54 Na.4 Sheria ya Mifumo ya Malipo ya Taifa 2015 (g) ameacha kufanya biashara ya mifumo ya malipo katika Jamhuri ya Muungano; (h) amefilisika kama Mahakama; au ameshindwa kutimiza matakwa mengine yaliyomo kwenye Sheria hii. ilivyoainishwa na Benki au (i) (2) Kwa kuzingatia kifungu kidogo cha (1), Benki inaweza kumtaka mwenye leseni kutoa sababu kwa nini leseni yake isifutwe. (3) Pale ambapo mwenye leseni ameshindwa kutoa sababu zakuridhisha, Benki inaweza kufuta leseni hiyo au kutoa amri nyingine kwa namna itakavyoona inafaa. Kutoa taarifa ya ufutwaji wa leseni - 11 Verify source ↗
Publication of notice of revocation
If a license is revoked under this section, the Bank must publish a revocation notice within three working days and take other appropriate steps to inform the public.
11. Endapo leseni imefutwa kwa mujibu wa masharti yaliyomo katika Sehemu hii, Benki- (a) (b) ndani ya siku tatu za kazi baada ya tarehe ya kufutwa kwa leseni itatoa tangazo la kufutwa kupitia kwenye magazeti yenye mzunguko mkubwa katika Jamhuri ya Muungano; na itachukua hatua nyingine stahiki kutoa taarifa kwa umma kwa ujumla kuhusu kufutwa kwa leseni hiyo. Mienendo isiyofaa - 12 Verify source ↗
Prohibition of undesired conduct
Payment system service providers and participants must not take actions that may cause systemic effects or affect the payment system’s integrity, efficiency, or security.
12.-(1) Mtoa huduma ya mfumo wa malipo au mshiriki wa mfumo wa malipo haruhusiwi kushiriki katika kitendo chochote ambacho kinaweza- (a) kusababisha athari za kimfumo; au (b) kuathiri uadilifu, ufanisi au usalama wa mfumo wa malipo. (2) Benki itamuelekeza mtoa huduma ya mfumo wa malipo au mshiriki wa mfumo wa malipo ambaye ameshiriki katika 54 Na.4 Sheria ya Mifumo ya Malipo ya Taifa 2015 55 kitendo kilichokatazwa na kifungu kidogo cha (1), kurekebisha hali hiyo kwa namna ambayo Benki itaona inafaa. Kusitishwa uongozi - 13 Verify source ↗
Cessation to hold office
A person removed from payment-system management for bankruptcy, fraud, dishonesty, lack of sound mind, death, or removal by the proper authority is covered by this section; a former manager whose licence was revoked must not join another payment-service management team without Bank approval.
13.-(1) Mtu ambaye yupo katika menejimenti ya mfumo wa malipo, ataondolewa kwenye nafasi hiyo endapo mtu huyo- (a) (b) atakuwa ni mufilisi; hatiani kwa kosa linalohusiana na udanganyifu au kukosa uaminifu; ataondolewa kwenye cheo chake na mamlaka husika; atakosa akili timamu; au amefariki dunia. (c) (d) (e) (2) Mtu aliyekuwa kwenye menejimenti ya mfumo wa malipo ambaye leseni yake ilifutwa, hataruhusiwa kuwa katika menejimenti nyingine ya asasi yenye kutoa huduma ya mfumo wa malipo bila idhini ya Benki. Kosa chini ya Sehemu hii
Part
Sehemu hii
- 14 Verify source ↗
Offence under this Part
A person who breaches any rule in this Part commits an offence and, if convicted, faces a minimum fine or prison term depending on whether the offender is an individual or an institution.
14. Mtu yeyote atakayekiuka masharti yoyote katika Sehemu hii, atakuwa ametenda kosa na akipatikana na hatia na endapo kosa limetendwa na - (a) mtu binafsi, atawajibika kulipa faini isiyopungua shilingi milioni hamsini au kifungo kisichopungua miaka mitano au vyote kwa pamoja; au (b) asasi, itawajibika kulipa faini isiyopungua shilingi milioni mia tano. SEHEMU YA NNE NYENZO ZA MALIPO Marufuku ya kutoa nyenzo za malipo bila idhini - 20 Verify source ↗
Offence under this Part
Breaking any condition under this Part is an offence. A person can be fined at least 50 million shillings or imprisoned for at least five years, or both. An organisation can be fined at least 500 million shillings.
20. Mtu yeyote aliyekiuka masharti yoyote chini ya Sehemu hii, atakuwa ametenda kosa na akipatikana na hatia binafsi na endapo kosa limetendwa na - (a) mtu, atawajibika kulipa faini isiyopungua shilingi milioni hamsini au kifungo kisichopungua miaka mitano au vyote kwa pamoja; au asasi, litawajibika kulipa faini isiyopungua shilingi milioni mia tano. (b) 58 Na.4 Sheria ya Mifumo ya Malipo ya Taifa 2015 59 SEHEMU YA TANO HUNDI ZA KIELEKTRONIKI Uwasilishaji wa hundi Uwasilishaji wa hundi kwa njia ya kielektroniki - 31 Verify source ↗
Offence under this Part
Anyone who breaches a condition under this Part commits an offence and may be fined or jailed if convicted.
31. Mtu yeyote atakayekiuka sharti lolote chini ya Sehemu hii, atakuwa ametenda kosa na akipatikana na hatia na endapo kosa limetendwa na - (a) mtu binafsi, atawajibika kulipa faini isiyopungua shilingi milioni hamsini au kifungo kisichopungua miaka mitano au vyote kwa pamoja; au (b) asasi, itawajibika kulipa faini isiyopungua shilingi milioni mia tano. SEHEMU YA SABA AKAUNTI YA UDHAMINI NA AKAUNTI MAALUM Akaunti ya Udhamini Akaunti Maalum
Part
SEHEMU YA NNE
- 15 Verify source ↗
Prohibition to issue payment instruments without licence or
No one may issue an electronic payment instrument without a licence or authorization from Benki.
15.-(1) Mtu hatatoa nyenzo ya malipo ya kielektroniki bila kuwa na leseni au idhini iliyotolewa na Benki. 56 Na.4 Sheria ya Mifumo ya Malipo ya Taifa 2015 55 (2) Kwa kuzingatia kifungu kidogo cha (1), Benki itatoa leseni kwa muombaji wa kutoa huduma ya mfumo wa malipo ambaye si taasisi ya kifedha na itatoa idhini kwa mwombaji wa kutoa huduma ya mfumo wa malipo ambaye ni taasisi ya kifedha. Sifa stahiki za nyenzo ya malipo - 16 Verify source ↗
Eligibility of payment instrument
The Bank may license or approve an electronic payment instrument if it has one of the listed capabilities or any other capability the Bank specifies.
16. Nyenzo ya kielektroniki ya malipo ambayo ina moja kati ya sifa zifuatazo inaweza kupewa leseni au kuidhinishwa na Benki endapo inaweza- Maombi ya leseni au idhini ya kutoa nyenzo ya malipo (a) (b) (c) (d) kuagiza au kuhaulisha maelekezo ya malipo; kutunza taarifa kwenye kifaa kwa ajili ya kutuma malipo; kutumiwa na kukubalika kwa ajili ya kuhitimisha malipo kwenye kituo cha mauzo, vituo vya wauzaji au kwenye mdahalishi; au kuwa na sifa nyingine zozote kama ambavyo Benki itakavyoainisha. - 17 Verify source ↗
Application for payment instrument licence or approval
A payment system service provider who wants to issue a payment instrument must apply for a licence or approval using the form and information specified by the Bank.
17.-(1) Mtoa huduma ya mfumo wa malipo anayetaka kutoa nyenzo ya malipo anapaswa kuomba leseni au idhini kupitia fomu iliyoainishwa na Benki. (2) Maombi yaliyofanywa chini ya kifungu kidogo cha (1), yataambatishwa na taarifa kama itakavyoainishwa na Benki. (3) Benki itatoa leseni au idhini endapo itaridhika kuwa muombaji ametimiza vigezo vya upatikanaji wa leseni au idhini na amekidhi matakwa mengine yatakayoainishwa na Benki. (4) Ndani ya siku kumi baada ya kupokea maombi au endapo taarifa za ziada zilizohitajika na kupokelewa, Benki inaweza kukubali au kukataa maombi hayo. (5) Endapo maombi yatakataliwa, Benki sababisha sababu za kukataa. 56 Na.4 Sheria ya Mifumo ya Malipo ya Taifa 2015 57 (6) Kwa kuzingatia kifungu kidogo cha (5)- (a) muombaji, ambaye maombi yake yamekataliwa, endapo mapungufu yakataliwe yake kuomba maombi tena anaweza yaliyofanya yamerekebishwa; na (b) Benki inaweza kukubali au kukata maombi mapya. (7) Pale ambapo maombi yamekataliwa na muombaji hajaridhika na uamuzi huo anaweza kuomba Gavana wa Benki kufanya mapitio ya maombi yake ndani ya siku thelathini baada ya kupokea taarifa ya kukataliwa. - 18 Verify source ↗
Suspension of licence or approval
The Bank may suspend a payment instrument licence or approval, may ask the licence holder to explain why it should not be suspended, and may temporarily suspend the licence or issue another order if the explanation is unsatisfactory.
18.-(1) Benki inaweza kusimamisha leseni au idhini ya kutoa nyenzo ya malipo endapo itajiridhisha kwamba - (a) mtoa huduma ya mfumo wa malipo ameshindwa kukidhi matakwa ya kutoa nyenzo ya malipo; nyenzo ya malipo watumiaji wa mifumo ya malipo; au inaathari kwa maslahi ya (b) Kusimamishwa kwa leseni au idhini ya kutoa nyenzo ya malipo (c) mtoa huduma ya mfumo wa malipo alisimamishwa kwa muda kutoa huduma kwa mujibu wa sheria nyingine yoyote. (2) Kwa kuzingatia kifungu kidogo cha (1), Benki inaweza kumtaka mwenye leseni kutoa sababu kwa nini leseni yake isisimamishwe. (3) Pale ambapo mwenye leseni ameshindwa kutoa sababu zakuridhisha, Benki inaweza kusimamisha kwa muda leseni hiyo au kutoa amri nyingine kwa namna itakavyoona inafaa. 58 Na.4 Sheria ya Mifumo ya Malipo ya Taifa 2015 57 Ufutaji wa leseni au idhini ya kutoa nyenzo ya malipo - 19 Verify source ↗
Revocation of licence or approval
Benki inaweza kufuta leseni au idhini ya kutoa nyenzo ya malipo kwa sababu fulani, na inaweza pia kutoa notisi ya siku saba kabla ya kufuta.
19.-(1) Benki inaweza kufuta leseni au idhini ya kutoa nyenzo ya malipo endapo- (a) leseni au idhini nyingine ya mtoa huduma ya mfumo wa malipo inayohusiana na mifumo ya malipo imefutwa kwa mujibu wa sheria nyingine yoyote; (b) mtoa huduma ya mfumo wa malipo ameomba kwa hiari leseni au idhini ya kutoa nyenzo ya malipo yake ifutwe; (c) mtoa huduma ametoa taarifa za uongo au za kupotosha wakati wa kuomba leseni au idhini; au (d) mtoa huduma ameshindwa kukidhi masharti na vigezo vya leseni au idhini. (2) Kwa kuzingatia kifungu kidogo cha (1), Benki inaweza kutoa notisi ya siku saba kumtaka mwenye leseni kutoa sababu kwa nini leseni yake isifutwe. (3) Pale ambapo mwenye leseni ameshindwa kutoa sababu zakuridhisha, Benki inaweza kufuta leseni hiyo au kutoa amri nyingine kwa namna itakavyoona inafaa. Kosa chini ya Sehemu hii
Part
SEHEMU YA TANO
- 21 Verify source ↗
Cheque presentment
Anyone may present a cheque electronically in the payment system.
21. Mtu yeyote anaweza kuwasilisha hundi kwa njia ya kielektroniki katika mfumo wa malipo. - 22 Verify source ↗
Electronic cheque presentment
Banks must determine how cheques are presented electronically, and a bank may present a cheque for payment by sending the cheque’s key information electronically instead of the physical cheque.
22.-(1) Benki itaainisha namna ya kuwasilisha hundi kwa njia ya kielektroniki kupitia kituo cha kubadilishana nyaraka za madai. (2) Kwa kuzingatia kifungu kidogo cha (1), benki inaweza kuwasilisha hundi kwa ajili ya malipo kwenye benki husika, kwa kuwasilisha viashiria muhimu vya hundi husika kwa njia ya kielektroniki badala ya kuwasilisha hundi yenyewe. Kukubalika mahakamani kwa viashiria vya kielektroniki vya hundi - 23 Verify source ↗
Admissibility of electronic image of cheques as evidence
Electronic images of cheques, and certified copies or key electronic details of cheques, are admissible as evidence in court-related proceedings.
23. Katika shauri mahakamani, baraza au shauri lolote lenye asili ya kimahakama, hundi au nakala ya hundi iliyothibitishwa au viashiria muhimu vya hundi vilivyotolewa kielektroniki kuhusiana na shauri lililopo mahakamani, baraza au shauri la kimahakama vitakubalika kama ushahidi. SEHEMU YA SITA FEDHA ZA KIELEKTRONIKI Marufuku kutoa fedha za kielektroniki bila leseni au idhini
Part
SEHEMU YA SITA
- 24 Verify source ↗
Prohibition to issue electronic money without licence or approval
A person may not issue electronic money unless they have a licence or approval from the Bank.
24.-(1) Mtu hataruhusiwa kutoa fedha za kielektroniki bila ya kuwa na leseni au idhini ya utoaji wa fedha za kielektroniki iliyotolewa na Benki. 59 60 Na.4 Sheria ya Mifumo ya Malipo ya Taifa 2015 (2) Kwa kuzingatia kifungu kidogo cha (1), Benki itatoa kwa muombaji wa huduma ya mfumo wa malipo kwa muombaji ambaye- (a) si benki au si taasisi ya kifedha, leseni; na (b) ni benki idhini. Sifa stahiki za kutoa fedha za kielektroniki - 25 Verify source ↗
Electronic money issuer eligibility requirements
Bank must set the qualifying criteria for an electronic money issuer, including the institution’s structure, permitted services, and capital level.
25. Benki itaainisha sifa stahiki kwa mtoaji wa fedha za kielektroniki ambazo zitajumuisha muundo wa asasi, huduma zinazoruhusiwa kutolewa na kiwango cha mtaji. Maombi ya leseni au idhini ya utoaji wa fedha za kielektroniki - 26 Verify source ↗
Application for electronic money issuance licence
A person seeking to issue electronic money must apply for a licence or approval using the form specified by the Bank, and the Bank may approve, reject, set conditions, or require further information.
26.-(1) Mtu za kielektroniki atapaswa kuomba leseni au idhini ya utoaji wa fedha za kielektroniki kupitia fomu itakayoainishwa na Benki. anakusudia kutoa ambaye fedha (2) Maombi yaliyofanywa chini ya kifungu kidogo cha (1) yataambatishwa na taarifa kama itakavyoainishwa na Benki. (3) Benki itatoa leseni au idhini pale ambapo itaridhika kuwa muombaji ametimiza vigezo vya upatikanaji wa leseni au idhini kama vilivyoainishwa chini Sheria hii na kukidhi masharti mengine yatakayoainishwa na Benki. (4) Ndani ya siku thelathini baada ya kupokea maombi ya leseni au idhini au pale ambapo taarifa za ziada zilizohitajika zimepokelewa, Benki inaweza kukubali au kukataa maombi hayo. (5) Benki inaweza, pale ambapo inatoa leseni au idhini, kuweka vigezo na masharti kama itakavyoona inafaa. (6) Leseni au idhini itadumu kwa kipindi cha miaka mitano isipokuwa kama itasimamishwa au kufutwa. (7) Endapo maombi yatakataliwa, Benki itatoa sababu za kuyakataa. 60 Na.4 Sheria ya Mifumo ya Malipo ya Taifa 2015 61 Kuomba upya leseni au idhini ya utoaji wa fedha za kielektroniki (8) Kwa kuzingatia kifungu kidogo cha (7)- (a) muombaji, ambaye maombi yake yamekataliwa anaweza kuomba tena endapo upungufu uliosababisha maombi yake yakataliwe yamerekebishwa. (b) Benki inaweza kukubali au kukata maombi mapya. (9) Pale ambapo maombi yamekataliwa na muombaji hajaridhika na uamuzi huo anaweza kuomba kwa Gavana wa Benki kufanya mapitio ya maombi yake ndani ya siku thelathini baada ya kupokea taarifa ya kukataliwa. - 27 Verify source ↗
Renewal of electronic money issuance licence or approval
The licence or approval holder may apply to renew an electronic money issuance licence up to six months before expiry. The Bank may renew it after receiving the renewal fee and meeting the applicable licensing conditions, and may refuse renewal if the applicant failed to comply with the original licence or approval conditions.
27.- Mmiliki wa leseni au idhini ya utoaji wa fedha za kielektroniki chini ya Sehemu hii anaweza kuomba upya leseni kutoka Benki miezi sita kabla ya kumalizika muda wa leseni au idhini hiyo. Baada ya kupokea maombi chini ya kifungu kidogo cha (1), Benki inaweza kutoa upya leseni au idhini baada ya- kupokea malipo ya ada ya leseni mpya; na (a) (b) kutimiza vigezo na masharti yanayotumika katika utoaji wa leseni. (3) Benki inaweza kukataa kutoa leseni au idhini mpya endapo muombaji ameshindwa kutekeleza masharti yaliyomo kwenye leseni au idhini ya awali. Kusimamisha kwa muda leseni au idhini ya kutoa fedha za kielektroniki - 28 Verify source ↗
Suspension of licence or approval to issue electronic money
Benki inaweza kusimamisha kwa muda leseni au idhini ya kutoa fedha za kielektroniki, na inaweza pia kumtaka mwenye leseni au idhini atoe sababu kabla ya kusimamishwa.
28.-(1) Benki inaweza kusimamisha kwa muda leseni au idhini ya kutoa fedha za kielektroniki endapo- (a) imejiridhisha kwamba shughuli za mtoaji wa fedha za kielektroniki zinaendeshwa kwa namna ambayo inaathiri usalama wa mfumo wa fedha au watumiaji fedha za kielektroniki; au 61 62 Na.4 Sheria ya Mifumo ya Malipo ya Taifa 2015 (b) mtoa huduma ya mfumo wa malipo amesimamishwa kwa muda kutoa huduma kwa mujibu wa sheria nyingine yoyote. (2) Kwa kuzingatia kifungu kidogo cha (1), Benki inaweza kumtaka mwenye leseni au idhini kutoa sababu kwa nini leseni au idhini yake isisimamishwe. (3) Pale ambapo mwenye leseni au idhini ameshindwa kutoa sababu zakuridhisha, Benki inaweza kusimamisha kwa muda leseni au idhini hiyo au kutoa amri nyingine kwa namna itakavyoona inafaa. Kufutwa kwa leseni au idhini ya kutoa fedha za kielektroniki - 29 Verify source ↗
Revocation of electronic money issuance licence or approval
Benki inaweza kufuta leseni au idhini ya mtoaji wa fedha za kielektroniki ikiwa masharti fulani yametokea, na inaweza pia kutoa notisi ya siku 7 kabla ya kufuta.
29.-(1) Benki inaweza kufuta leseni au idhini ya mtoaji wa fedha za kielektroniki endapo kuhusiana na mtoaji wa fedha za kielektroniki- (a) leseni au idhini yake nyingine inayohusiana na mfumo wa malipo imefutwa kwa mujibu wa sheria nyingine yoyote; yeye mwenyewe ameomba kwa hiari leseni au idhini yake ifutwe; ametoa taarifa za uongo au za kupotosha wa kuomba leseni au idhini; ameshindwa kukidhi masharti na vigezo vya leseni au idhini au ameshindwa kukidhi masharti ya maboresho yaliyotakiwa chini ya Sheria hii; amejihusisha na mienendo salama au isiyoridhisha ambayo inaathiri hali yake ya kifedha au ina madhara kwa maslahi ya watoa huduma wa mifumo ya malipo au watumiaji wa huduma hizo; amekataa kuruhusu kukaguliwa au kutoa taarifa zinazohitajika na Benki ama vinginevyo amekiuka masharti ya Sheria hii; isiyo (b) (c) (d) (e) (f) 62 Na.4 Sheria ya Mifumo ya Malipo ya Taifa 2015 63 (g) (h) (i) ameacha kufanya biashara ya mifumo ya malipo katika Jamhuri ya Muungano; amefilisika kama mahakama; au ameshindwa kutimiza matakwa mengine yaliyomo kwenye Sheria hii. ilivyoamuliwa na Benki au (2) Kwa kuzingatia kifungu kidogo cha (1), Benki inaweza kutoa notisi ya siku saba kumtaka mwenye leseni au idhini kutoa sababu kwa nini leseni au idhini yake isifutwe. (3) Pale ambapo mwenye leseni au idhini ameshindwa kutoa sababu zakuridhisha, Benki inaweza kufuta leseni au idhini hiyo au kutoa amri nyingine kwa namna itakavyoona inafaa. Utoaji na mzunguko wa fedha za kielektroniki - 30 Verify source ↗
Electronic money issuance and circulation
Licensed or authorised electronic money issuers must follow conditions on issuance, matching cash backing, reporting user names to the Bank, and complying with Bank-prescribed terms. The Bank also sets agency rules, and agents may be used for cash redemption or purchase under an agency contract.
30.-(1) Mtoaji wa fedha za kielektroniki aliyepewa leseni au idhini ya kutoa fedha za kielektroniki atapaswa kuzingatia yafuatayo- (a) (b) (c) (d) fedha atatoa fedha za kielektroniki baada tu ya fedha taslimu zenye thamani sawa na fedha za kielektroniki kuwekwa katika akaunti ya udhamini au akaunti maalumu kwa mujibu wa Sheria hii; atahakikisha kwamba za kielektroniki zilizotolewa zinalingana na fedha taslimu zilizopo kwenye akaunti ya udhamini au akaunti maalumu kwa mujibu wa Sheria hii; atawasilisha Benki kwa njia ya kielektroniki, majina ya wote walioandikishwa na watumiaji wa fedha za kielektroniki ambao fedha zao zipo kwenye akaunti ya udhamini, katika muda utakaoainishwa; na atatimiza masharti, kama ambavyo Benki itaainisha kwa kanuni. 63 64 Na.4 Sheria ya Mifumo ya Malipo ya Taifa 2015 (2) Kukombolewa kwa fedha taslimu kutoka kwenye fedha za kielektroniki au kununua fedha za kielektroniki kunaweza kufanyika kwa wakala chini ya mkataba wa uwakala baina ya mtoa huduma ya mfumo wa malipo aliye na leseni au idhini ya kutoa fedha za kielektroniki. (3) Benki itaainisha kanuni za uwakala za kusimamia utendaji wa wakala, ambazo zitajumuisha masharti yanayokidhi masharti ya sheria ya kuzuia fedha haramu, mahitaji ya ukwasi namna ya kumtambua aina ya mteja, huduma kwa mteja. Kosa chini ya Sehemu hii
Part
SEHEMU YA SABA
- 32 Verify source ↗
Trust account
A licensed payment system service provider that is not a bank or licensed e-money institution must open and operate a trust account under this Act.
32. Mtoa huduma ya mfumo wa malipo mwenye leseni ambaye si asasi ya kibenki au si asasi taasisi ya kifedha yenye leseni ya kutoa fedha za kielektroniki itapaswa kufungua na kuendesha akaunti ya udhamini kwa mujibu wa Sheria hii. - 33 Verify source ↗
Special bank account
A licensed payment system service provider that is a bank or licensed electronic money issuer must open and operate a special account under this Act.
33. Mtoa huduma ya mfumo wa malipo mwenye leseni ambaye ni benki au asasi ya kibenki yenye leseni ya kutoa fedha za kielektroniki itapaswa kufungua na kuendesha akaunti maalum kwa mujibu wa Sheria hii. 64 Na.4 Sheria ya Mifumo ya Malipo ya Taifa 2015 65 Uendeshaji wa akaunti maalum - 34 Verify source ↗
Trust account management
Mtoa fedha za kielektroniki mwenye leseni lazima aunde chombo cha kisheria cha udhamini na kufuata masharti ya Benki kuhusu akaunti ya udhamini.
34.-(1) Mtoaji wa fedha za kielektroniki mwenye leseni aliyerejewa katika kifungu cha 32 atapaswa kuanzisha asasi nyingine ya kisheria na yenye muundo wa asasi ya udhamini kwa ajili ya kuendesha akaunti ya udhamini, na ambayo muundo wake na uendeshaji wake kiutawala utaidhinishwa na Benki- (2) Asasi yenye mamlaka kisheria iliyoainishwa kwenye kifungu kidogo cha (1)- (a) (b) (c) itawasilisha Benki maombi ya kufungua akaunti ya udhamini kwa kutumia fomu iliyoainishwa kwa ajili ya kuwezesha utoaji wa fedha za kielektroniki katika benki; itaingia mkataba wa akaunti ya udhamini na benki kama itakavyobainishwa katika kanuni; na itafungua akaunti ya udhamini katika benki kwa ajili ya kutunza fedha za wateja walionunua fedha za fedha za kielektroniki kutoka kwa mtoaji wa kielektroniki; (3) Mtoa fedha za kielektroniki na asasi yenye mamlaka ya kisheria iliyorejewa katika kifungu kidogo cha (1)- (a) (b) (c) (d) hazitachanganya au kutumia fedha zilizomo kwenye akaunti ya udhamini na fedha za shughuli nyingine; zitaweka utaratibu wa usalama wa kulinda fedha zilizomo kwenye akaunti ya udhamini dhidi ya madhara yanayoweza kusababisha hasara kwa fedha za wanufaika; zitadhibiti madhara ya kutunza akaunti ya udhamini kwa kufungua akaunti hiyo katika benki mbalimbali kama itakavyoainishwa na Benki; zitahakikisha kwamba riba yoyote inayopatikana kwenye akaunti ya udhamini inamnufaisha moja kwa moja mteja kama itakavyoainishwa na Benki; 65 66 Na.4 Sheria ya Mifumo ya Malipo ya Taifa 2015 (e) (f) (g) (h) za na taarifa kuchapisha zitakagua fedha zinazohusiana na asasi ya udhamini kuhusiana na akaunti ya udhamini; zitahakikisha kwamba maelekezo ya kutoa fedha kwenye akaunti ya udhamini yanazingatiwa; zitahakikisha kwamba wakati wote fedha zilizopo katika akaunti ya udhamini zinalingana na fedha za kielektroniki zilizotolewa; na zitazingatia matakwa mengine yoyote ambayo Benki itaainisha. (4) Mtu yeyote atakayekiuka sharti lolote chini ya kifungu hiki, atakuwa ametenda kosa na akipatikana na hatia na endapo kosa limetendwa na- (a) mtu binafsi, atawajibika kulipa faini isiyopungua shilingi milioni hamsini au kifungo kisichopungua miaka mitano au vyote kwa pamoja; au (b) asasi, itawajibika kulipa faini isiyopungua shilingi milioni mia tano. Usimamizi wa akaunti maalum - 35 Verify source ↗
Special bank account management
A licensed electronic money issuer must notify the Bank about opening a special account, open and maintain that account for customer deposits, keep customer information in it, protect it from harmful effects, and follow any other Bank requirements.
35.-(1) Mtoa fedha za kielektroniki mwenye leseni aliyerejewa katika kifungu cha 33- (a) (b) (c) atawasilisha Benki taarifa ya kufungua akaunti maalum iliyo katika fomu iliyoainishwa ya kufungua akaunti maalum, kwa ajili ya kuwezesha utoaji wa fedha za kielektroniki; atafungua akaunti maalum kwa ajili ya kutunza amana za wateja walionunua fedha za kielektroniki kutoka kwa mtoaji wa fedha za kielektroniki; atahakikisha kwamba akaunti hii ina taarifa za wateja wote wanaopata huduma ya fedha za kielektroniki; 66 Na.4 Sheria ya Mifumo ya Malipo ya Taifa 2015 67 (d) (e) atahakikisha kwamba akaunti maalum inalindwa dhidi ya athari ambayo inaweza kusababisha hasara kwa wanufaika wa fedha; na atatimiza matakwa mengine yatakavyoainishwa na Benki. yoyote kama (2) Mtu yeyote atakayekiuka sharti lolote chini ya kifungu hiki, atakuwa ametenda kosa na akipatikana na hatia na endapo kosa limetendwa na- (a) mtu binafsi, atawajibika kulipa faini isiyopungua shilingi milioni hamsini au kifungo kisichopungua miaka mitano au vyote kwa pamoja; au (b) asasi, itawajibika kulipa faini isiyopungua shilingi milioni mia tano. SEHEMU YA NANE UKOMO WA MALIPO NA MIPANGO YA UHALISI WA MALIPO Uhalali, nguvu ya kisheria na utimilifu wa malipo
Part
SEHEMU YA NANE
- 36 Verify source ↗
Validity and enforceability of finality of payments and settlement
Payment orders and settlements become legally valid and enforceable once confirmed complete in the payment system.
36.-(1) Agizo la kufanya malipo au utimilifu wa uhaulishaji wa malipo katika mfumo wa malipo utakuwa halali na utakuwa na nguvu ya kisheria. (2) Agizo la kufanya malipo au utimilifu wa malipo kwa mujibu wa kifungu kidogo cha (1) utatimilika, hautabatilika na hautafutwa na mtu yeyote kuanzia pale agizo la kufanya malipo au utimilifu wa malipo ulipothibitishwa kuwa timilifu katika mfumo wa malipo. (3) Kwa kuzingatia masharti ya kifungu kidogo cha (2), Benki itaainisha namna ya kushughulikia maagizo ya malipo au utimilifu wa malipo yaliyofanywa kimakosa. (4) Endapo Benki itaona kwamba kuna uwezekano wa kutokea athari ya kimfumo wakati wa kufanya malipo au utimilifu 67 68 Na.4 Sheria ya Mifumo ya Malipo ya Taifa 2015 wa malipo uliorejewa katika kifungu kidogo cha (1), Benki- (a) itazuia ufanyaji au uhamishaji wa maelekezo ya malipo au itatengua malipo au uhaulishaji; (b) itatoa taarifa ya maandishi kwa washiriki wa mfumo wa malipo ikielezea sababu ya kuzuia au kutengua malipo hayo au uhaulishaji wa malipo. (5) Muamala wowote uliofanyika kwa kukiuka masharti ya kifungu hiki utakuwa ni batili. Uhalali na nguvu ya kisheria ya utaratibu wa uhalisi wa malipo - 37 Verify source ↗
Validity and enforceability of netting arrangements
A payment finality arrangement in a payment system is legally valid and enforceable.
37.-(1) Utaratibu wa uhalisi wa malipo katika mfumo wa malipo utakuwa halali na utakuwa na nguvu ya kisheria. (2) Jukumu lolote la utimilifu halisi wa malipo la mtoa huduma au mshiriki katika mfumo wa malipo katika utaratibu wa uhalisi wa malipo ambao haujatimilika utakuwa ni madai yanayoweza kuthibitishwa katika shauri la ufilisi na kulipwa kwa wanufaika. SEHEMU YA TISA KUFUNGA NA KUSIMAMIA UFILISI WA MASHIRIKA YANAYOTUMIA MFUMO WA MALIPO Amri ya kufunga shirika Sura ya 212 Sura ya 342
Part
SEHEMU YA TISA
- 38 Verify source ↗
Winding-up notice
Order to wind up, place under court control, or place under legal administration must be submitted to the Bank as soon as possible, and the liquidator and legal administrator must follow payment-system directions.
38.-(1)Amri ya kufunga shirika, au kuliweka chini ya usimamizi wa mahakama au wa kisheria, kulingana na masharti ya Sheria ya Makampuni au Sheria nyingine yoyote ya ufilisi iliyotolewa kwa mshiriki wa mfumo wa malipo, itawasilishwa Benki mapema iwezekanavyo. (2) Amri inayorejewa katika kifungu kidogo cha (1), haitaathiri utimilifu wowote wa malipo au maagizo ya malipo 68 Na.4 Sheria ya Mifumo ya Malipo ya Taifa 2015 69 katika mfumo wa malipo yaliyofanywa kabla ya kutolewa kwa amri hiyo. Mfilisi na msimamizi wa kisheria kubanwa na maelekezo ya mifumo ya malipo Sura ya 212 Sura ya 342 - 39 Verify source ↗
Liquidator, statutory manager bound by payment systems instruction
If a payment-system member is wound up or placed under court or statutory administration, certain payment obligations still bind the liquidator, court manager, or statutory manager.
39.-(1) Bila kujali jambo lolote lililo kinyume katika Sheria ya Makampuni au sheria nyingine yoyote ya ufilisi, pale ambapo amri imetolewa ya kufunga au kumweka mshiriki wa mfumo wa malipo chini ya usimamizi wa mahakama au wa kisheria, wajibu wowote au utimilifu wa malipo yanayoelekezwa kwa mshiriki wa mfumo wa malipo ambayo- (a) yaliamuliwa kabla ya kutolewa kwa amri; (b) yalitakiwa kutimilika, kuhaulishwa, wakati au baada ya kutoka kwa amri; au (c) yalikuwa yanategemewa kutimilika katika tarehe ilipotolewa amri hiyo, yatambana mfilisi wa mshirika wa mfumo wa malipo, msimamizi wa mahakama au msimamizi wa kisheria. (2) Kifungu kidogo cha (1), kitatumika kwa majukumu yoyote ya malipo au utimilifu wa malipo ambayo- (a) yaliamuliwa kabla ya kutolewa kwa amri hiyo; (b) yalitakiwa kutimilika, kuhaulishwa wakati au baada ya kutolewa kwa amri hiyo; au (c) yalikuwa yanategemewa kwa ajili ya utimilifu katika tarehe ilipotolewa amri hiyo. Kipaumbele cha maelekezo ya malipo wakati wa kufunga kampuni Sura ya 212 - 40 Verify source ↗
Priority of payment instructions in winding-up
Unpaid payment instructions for an insolvent payment system participant must be paid from that participant’s assets and rank ahead of unsecured debts, with a stated exception.
40.-(1) Bila kujali jambo lolote lililo kinyume cha Sheria ya Makampuni au Sheria nyingine yoyote ya ufilisi, pale ambapo- (a) mshiriki wa mfumo wa malipo atakuwa amefilisiwa; na 69 70 Na.4 Sheria ya Mifumo ya Malipo ya Taifa 2015 (b) kuna maelekezo ya kufanya malipo ambayo hayajakamilika yaliyoelekezwa kwa mshiriki wa mfumo wa malipo na yalifanyiwa uhalisi katika mfumo wa malipo kabla ya kutolewa kwa amri ya kufilisi, maelekezo hayo ya malipo ambayo hayajakamilika yatalipwa kutoka kwenye mali za mshiriki huyo wa mfumo wa malipo, na yatapewa kipaumbele cha juu dhidi ya madeni yote yale yasiyo na dhamana kutoka katika mali za mshiriki huyo. (2) Kifungu kidogo cha (1), hakitatafsiriwa kuruhusu maelekezo ya malipo yalipwe kwa kipaumbele cha juu dhidi madeni mengine yoyote dhidi ya mali, pale ambapo maelekezo yalithibitishwa na mshiriki huyo wa mfumo wa malipo au ilikusudiwa kumpa mwenye hati ya malipo maelekezo yenye kipaumbele dhidi ya washirika wengine wa mfumo wa malipo au wadai wengine. SEHEMU YA KUMI DHAMANA NA KUSHINDWA KUFANYA UTIMILIFU WA MALIPO Utaratibu wa dhamana
Part
SEHEMU YA KUMI
- 41 Verify source ↗
Collateral arrangement
Benki lazima iainishe namna ya kuweka mali za kutosha kama dhamana kwa ajili ya majukumu ya malipo ya mshiriki wa mfumo wa malipo. Mshiriki anayeendesha mfumo wa malipo bila dhamana ya kutosha, akipatikana na hatia, analipa faini ya angalau shilingi milioni 500.
41.-(1) Benki itaainisha namna ya kutunza mali za kutosha katika hali ya kifedha kama dhamana kwa ajili ya kudhamini madeni au majukumu ya malipo ya mshiriki wa mfumo wa malipo kwa ajili ya kutimiza wajibu wake wa malipo. (2) Dhamana iliyorejewa katika kifungu kidogo cha (1)- (a) itauzwa ili kutekeleza wajibu wa mshiriki wa mfumo wa malipo kutokana na kushindwa kutimiza wajibu wake wa kuhitimisha malipo; na (b) italindwa dhidi ya ufilisi. 70 Na.4 Sheria ya Mifumo ya Malipo ya Taifa 2015 71 (3) Mshiriki wa mfumo wa malipo ambaye anaendesha mfumo wa malipo bila dhamana ya kutosha, akipatikana na hatia, atawajibika kulipa faini isiyopungua shilingi milioni mia tano. Utaratibu wa kufuata endapo itashindikana kuhitimisha malipo - 42 Verify source ↗
Failure to settle arrangements
A payment system service provider must prepare a written failure-to-complete-payment procedure and submit it in writing to the Bank.
42.-(1) Mtoa huduma wa mfumo wa malipo ataweka utaratibu wa kushindwa kuhitimisha malipo wa kimaandishi utakaoainisha jinsi ambavyo kushindwa kuhitimisha malipo kutadhibitiwa endapo mmoja au baadhi ya washiriki katika mfumo wa malipo atashindwa kuhitimisha malipo. (2) Mtoa huduma ya mfumo wa malipo atawasilisha Benki kimaandishi utaratibu wa kushindwa kuhitimisha malipo uliorejewa katika kifungu kidogo cha (1). Kuwasilisha marejesho Upatikanaji wa taarifa SEHEMU YA KUMI NA MOJA MASHARTI YA JUMLA
Part
SEHEMU YA KUMI NA MOJA
- 43 Verify source ↗
Submission of returns
A payment system service provider must submit returns as specified by the Bank. The Bank may use or disclose information it receives for public use and may fine a person who breaches this section TZS 10 million per day.
43.-(1) Mtoa huduma ya mfumo wa malipo atawasilisha marejesho yanayohusiana na uendeshaji wa mfumo wa malipo au huduma kama itakavyoainishwa na Benki. (2) Benki inaweza kutumia au kutoa taarifa iliyoipokea chini ya kifungu kidogo cha (1) kwa ajili ya matumizi ya umma. (3) Benki inaweza kumtoza mtu atakayekiuka masharti ya kifungu hiki faini ya shilingi milioni kumi kwa kila siku ya ukiukwaji wa sharti hili, na faini hii inaweza kutolewa kutoka kwenye bakaa iliyo Benki au kupitia utaratibu mwingine wa kisheria. - 44 Verify source ↗
Access to information
The bank may access information about any payment system and may require a payment system service provider to submit the information in writing within 14 days of the request.
44.-(1) Benki itakuwa na uwezo wa kupata taarifa inayohusiana na mfumo wowote wa malipo na inaweza kuelekeza taarifa iwasilishwe na mtoa huduma ya mfumo wa malipo kwa maandishi ndani ya siku kumi na nne kuanzia tarehe ya maombi. 71 72 Na.4 Sheria ya Mifumo ya Malipo ya Taifa 2015 Usiri wa taarifa za mtoa huduma ya mfumo wa malipo (2) Benki inaweza kumtoza mtu atakayekiuka masharti ya kifungu hiki faini ya shilingi milioni kumi kwa kila siku ya ukiukwaji wa sharti hili, na faini hii inaweza kutolewa kutoka kwenye bakaa iliyo Benki au kupitia utaratibu mwingine wa kisheria. - 45 Verify source ↗
Confidentiality
Taarifa iliyopatikana chini ya kifungu cha 44 ni siri na kwa kawaida hairuhusiwi kutolewa na maafisa wa Benki, isipokuwa kama sheria inahitaji. Benki pia inaweza kushiriki taarifa kwa wakala mwingine wa usimamizi wa mifumo ya malipo chini ya mkataba wa kubadilishana taarifa, ikiwa taarifa hiyo inahitajika kwa usimamizi au uangalizi na itaendelea kuwa siri.
45.-(1) Taarifa iliyopatikana kwa mujibu wa kifungu cha 44 itakuwa ni siri na haitatolewa na mkurugenzi au afisa yeyote wa Benki isipokuwa kama taarifa hiyo inahitajika kwa mujibu wa sheria. (2) Bila kujali kifungu kidogo cha (1), Benki inaweza kutoa taarifa yoyote kwa wakala mwingine mwenye jukumu la kudhibiti au kusimamia mifumo ya malipo inayotokana na mkataba wa kupeana taarifa, ama ndani ya Jamhuri ya Muungano au nje ya nchi, iwapo taarifa hiyo inahitajika na itatumika kwa ajili ya usimamizi au uangalizi na itaendelea kuwa siri. Utunzaji wa kumbukumbu za mfumo wa malipo - 46 Verify source ↗
Retention of payment system records
A payment system service provider must keep payment transaction records and related information electronically for the period the Bank specifies. Anyone who wants to destroy electronic payment transaction information under the Act must seek the Bank’s approval. Breach can lead to a fine of at least 500 million shillings.
46.-(1) Mtoa huduma ya mfumo wa malipo atatunza kumbukumbu za miamala yote ya malipo kwa njia ya kielektroniki na taarifa alizozipata au alizozitengeneza wakati wa uendeshaji au usimamizi wa mfumo wa malipo kwa kipindi ambacho Benki itaainisha. (2) Utunzaji wa kumbukumbu chini ya kifungu kidogo cha (1), utakuwa kwa njia ya kielektroniki na isiyo ya kielektroniki kulingana au ilivyotengenezwa ili kuzingatia utunzwaji wa taarifa katika uhalisia wake. ilivyopatikana husika taarifa jinsi na (3) Kwa kuzingatia kifungu kidogo cha (1), mtu anayekusudia kuharibu taarifa za miamala ya malipo ya kielektroniki chini ya Sheria hii, ataomba idhini ya kuharibu taarifa hizo kutoka Benki. 72 Na.4 Sheria ya Mifumo ya Malipo ya Taifa 2015 73 Uhifadhi wa taarifa za mteja (4) Mtu atakayekiuka ama kushindwa kutekeleza kifungu hiki, akipatikana na hatia, atawajibika kulipa faini isiyopungua shilingi milioni mia tano. - 47 Verify source ↗
Protection of customer information
Mtoa huduma ya mfumo wa malipo lazima alinde usiri wa taarifa za mshiriki na mteja, na hawezi kutoa taarifa hizo isipokuwa kwa mujibu wa sheria, amri ya mahakama, au ridhaa ya mteja husika.
47.-(1) Bila kuathiri sheria nyingine yoyote, mtoa huduma ya mfumo wa malipo- (a) atalinda usiri wa taarifa za mshiriki na taarifa za mteja wa mfumo wa malipo; na (b) hatatoa taarifa za mshiriki au mteja wa mfumo wa malipo isipokuwa kwa mujibu wa sheria, amri ya mahakama au kwa ridhaa ya mteja husika. Mtu atakayekiuka ama kushindwa kutekeleza kifungu hiki, akipatikana na hatia, atawajibika kulipa faini isiyopungua shilingi milioni mia moja. (2) Muda wa kuingiza fedha kwenye akaunti ya mteja - 48 Verify source ↗
Time to effect transfer of funds to customer’s account
Payment service providers must put customer-related funds into the customer’s account as soon as possible after receiving them; the bank sets a reasonable crediting time based on the payment system type.
48.-(1) Mtoa huduma wa malipo, mara baada ya kupokea malipo kwenye akaunti yake ya uhitimisho wa malipo, yanayomuhusu mteja wake, ataziingiza fedha hizo mapema iwezakanavyo kwenye akaunti ya mteja. (2) Kwa kuzingatia kifungu kidogo cha (1), Benki itaainisha muda muafaka wa kuingiza fedha kwenye akaunti ya mteja kulingana na aina ya mfumo wa malipo. (3) Mtu ambaye amekiuka kifungu hiki, atalipa faini ya kiasi cha asilimia kumi na tano ya fedha alizochelewesha kwa kila siku. Uchunguzi, ukaguzi na usimamizi - 49 Verify source ↗
Investigations, inspections supervision and oversight
The Bank may authorize its officers in writing to investigate, inspect, search, and supervise payment-system-related matters under the Act.
49.-(1) Kwa madhumuni ya kufanya uchunguzi, ukaguzi na usimamizi chini ya Sheria hii, Benki inaweza kuidhinisha maafisa wake kwa maandishi- 73 74 Na.4 Sheria ya Mifumo ya Malipo ya Taifa 2015 (a) (b) kuingia na kupekua eneo la mtu ambaye Benki ina sababu ya kuamini anatoa au anaendesha mfumo wa malipo au anatoa huduma ya kielektroniki kinyume na Sheria hii; kukagua vitabu, kompyuta, seva, akaunti na kumbukumbu au kuchukua kitu chochote muhimu au taarifa itakayosaidia katika kumchunguza mtu huyo na kuchukua nakala au kutoa dondoo zake; na kumsimamia mtoa huduma wa mfumo wa malipo pamoja na athari zinazoambatana na mfumo huo. (2) Katika kumsimamia mtoa huduma wa mfumo wa malipo anayefanya shughuli zake ndani na nje ya Jamhuri ya Muungano, Benki inaweza kuingia makubaliano na taasisi ya usimamizi kwa ajili ya kubadilishana taarifa za usimamizi ndani na nje ya Jamhuri ya Muungano. (c) Kufifilisha makosa - 50 Verify source ↗
Compounding offences
The Bank Governor or an authorised officer may compound an offence by receiving money from a person who has admitted the offence in the required written form.
50.-(1) Gavana wa Benki au afisa mahususi aliyeruhusiwa na Gavana wa Benki kwa kupitia taarifa iliyochapisha ndani ya Gazeti anaweza, kulingana na matakwa ya kifungu hiki, kama emeridhika kwamba mtu ametenda kosa ndani ya Sheria hii, atajumuisha kwakupokea fedha kutoka kwa mtu huyo. (2) Jumla ya fedha itakayolipwa katika kifungu kidogo cha (1)- (a) haitazidi kiwango cha juu cha faini kilichoainishwa chini ya kosa lililotendwa dhidi ya Sheria hii; na (b) itajumuisha gharama za Benki zitokanazo na kukamata, kutunza, kukarabati au kuondoa kitu chochote kilichochukuliwa kutokana na kosa alilotenda pamoja na malipo mengine. (3) Mamlaka yaliotolewa katika Sheria hii yatatumiwa pale ambapo mtu atakubali kwamba ametenda kosa na amekubali Na.4 Sheria ya Mifumo ya Malipo ya Taifa 2015 75 74 kwa maandishi kamaitakavyo ainishwa ndani ya fomu. (4) Gavana wa Benki au afisa atakayetumia mamlaka chini ya kifungu hiki atatoa stakabadhi iliyoainishwa na fomu kwa mtu aliyetoa fedha chini ya kifungu kidogo cha (2). (5) Fedha zozote zilizo pokelewa chini ya kifungu hiki, baada ya kutoa gharama na malipo, zitawekwa katika Mfuko Mkuu wa Hazina. (6) Pale ambapo mashauri yamefunguliwa dhidi ya mtu huyo chini ya Sheria hii, itakakua ni utetezi mzuri iwapo mtu huyo ataonyesha ushahidi kwamba kosa analotuhumiwa limefanyiwa majumuisho chini ya kifungu hiki. (7) Amri ya kujumuisha chini ya kifungu hiki itachukuliwa kuwa ni sawa na amri ya Mahakama Kuu na kwa itatumika kukaza hukumu kupitia taratibu za maana hiyo Mahakama Kuu. Kumlinda mlaji katika mfumo wa malipo - 51 Verify source ↗
Consumer protection in payment system
Banks must set consumer-protection instructions for payment system services. Payment system service providers must give clear, fair, readable terms, complaint and dispute procedures, and full pricing and service information, and they must not issue misleading ads or unauthorized services.
51.-(1) Benki itaainisha maelekezo ya kumlinda mlaji wa huduma ya mfumo wa malipo. (2) Kwa kuzingatia kifungu kidogo cha (1), mtoa huduma ya mfumo wa malipo atatoa- (a) (b) vigezo na masharti yaliyo wazi, ya haki, vinavyosomeka, vipo katika lugha inayoeleweka na kuainisha haki na wajibu wa pande zote; utaratibu wa kusikiliza malalamiko na utatuzi wa migogoro; na taarifa kamili ya mambo muhimu kwa ajili ya matumizi ya huduma za malipo ya kielektroniki, ikiwa ni pamoja na bei ya bidhaa na huduma. (3) Mtoa huduma ya mfumo wa malipo hatapaswa kutoa matangazo ya biashara yenye kupotosha mlaji au huduma ambayo hajaruhusiwa kwa mujibu wa Sheria hii. (c) 75 76 Na.4 Sheria ya Mifumo ya Malipo ya Taifa 2015 Upatikanaji wa huduma ya mfumo wa malipo Makosa ya kimtandao katika mfumo wa malipo Ushirikiano baina ya wasimamizi katika mfumo wa malipo - 52 Verify source ↗
Availability of payment system services
The payment system service provider must keep the service available to the user during the approved time.
52. Mtoa huduma ya mfumo wa malipo atahakikisha kwamba huduma ya mfumo wa malipo anayoitoa inapatikana kwa mtumiaji muda wote ulioidhinishwa. - 53 Verify source ↗
Cyber-crimes in payment systems
This provision makes it an offence to obtain another person's financial data through an electronic or other device by an unlawful method, and it prohibits dealing in hacking-related devices, passwords, access data, or programs used to commit offences.
53.-(1) Mtu ambaye amepata taarifa, kumbukumbu au data za fedha za mtu mwingine, kwa kutumia kifaa cha kielektroniki, kifaa chochote, kwa mpango au mbinu ambayo imewezesha upatikanaji wa taarifa au data kinyume na sheria, ametenda kosa. (2) Mtu yeyoye, kwa makusudi au bila idhini ya kisheria, hatatengeneza, hatauza, hatanunua kwa ajili ya matumizi, hataagiza au hatauza nje ya nchi, hatasambaza au hatajishughulisha na- (a) (b) (c) kifaa kilichotengenezwa au kubadilishwa kwa ajili ya kupata taarifa za kifedha; kupata neno la siri la kompyuta, kiashiria cha siri cha kufungua au data yoyote ambayo itamwezesha mtu kupata taarifa zilizomo katika kompyuta; au kuwa na programu ya kompyuta ili aitumie au itumike na mtu mwingine kwa lengo la kutenda kosa. (3) Mtu ambaye amekiuka ama kushindwa kutekeleza kifungu hiki, ametenda kosa na akitiwa hatiani atawajibika kulipa faini ya kiasi ambacho ni kikubwa kati ya shilingi milioni kumi au mara tatu ya thamani ya mali iliyoibiwa au kifungo cha miaka isiyopungua kumi na tano au vyote kwa pamoja. - 54 Verify source ↗
Cooperation between regulators in payment systems
The Bank must cooperate with other payment-system regulators and government institutions.
54. Benki itashirikiana na wasimamizi wengine wanaohusika na mifumo ya malipo pamoja na taasisi za Serikali katika maeneo ya ufuatiliaji na usimamizi wa mifumo ya malipo na kuongeza ufanisi wa Serikali katika malipo, malipo ya kodi na malipo mengine ya kifedha. 76 Na.4 Sheria ya Mifumo ya Malipo ya Taifa 2015 77 Kinga - 55 Verify source ↗
56. Regulations, directives, and circulars
No lawsuit may be brought against a Bank officer or employee for acts or omissions done in good faith while carrying out duties assigned under the Act.
55. Shtaka au shauri lolote halitafunguliwa dhidi ya afisa au mfanyakazi yeyote wa Benki kuhusiana na kitendo chochote kilichofanyika au kuacha kufanyika, kwa nia njema katika utekelezaji wa majukumu aliyopewa na Sheria hii. Kanuni, maelekezo na miongozo - 56 Verify source ↗
Regulations, directives, and circulars
The Bank Governor may make regulations, conditions, instructions, guidelines, standards, orders, and circulars for implementing the Act.
56.-(1) Gavana wa Benki anaweza kutunga kanuni na masharti na kuzichapisha kwenye Gazeti, ambazo hazikinzani na matakwa ya Sheria hii, kwa ajili ya utekelezaji wa Sheria hii kwa ufanisi. (2) Bila ya kuathiri kifungu kidogo (1), Gavana wa Benki anaweza kutunga Kanuni katika maeneo yafuatayo: (a) masharti ya leseni; (b) kushiriki kwenye mfumo wa malipo; (c) nyenzo za kielektroniki za malipo, kielektroniki, hundi za kilektronki; fedha za (d) wakala wa mtoa huduma ya mfumo wa malipo; (e) ukomo na uhitimisho wa malipo; (f) utaratibu wa dhamana; (g) muda muafaka wa kuingiza fedha kwenye akunti ya mteja; (h) usimamizi wa akaunti ya udhamini; (i) muda wa kutunza kumbukumbu za miamala ya malipo;na (j) matakwa ya ulinzi wa mlaji. (3) Gavana wa Benki, bila ya kuchapisha kwenye Gazeti, anaweza kutoa maagizo, miongozo, viwango, amri na waraka wa kudhibiti mwenendo wa jinsi madhumuni ya Sheria hii yanaweza kutekelezwa. Masharti ya mpito - 57 Verify source ↗
Transitional provision
A person who had written approval from the Bank before the Act started must apply for a licence within six months; continuing certain payment activities after that period is an offence.
57.-(1) Mtu ambaye amepata idhini ya maandishi kutoka Benki kabla ya kuanza kutumika kwa Sheria hii, ndani ya miezi sita tokea tarehe ya kuanza kutumika, atatakiwa kuomba leseni kwa mujibu wa Sheria hii. 77 78 Na.4 Sheria ya Mifumo ya Malipo ya Taifa 2015 (2) Kwa kuzingatia kifungu kidogo cha (1), mtu anayeendelea; (a) kuendesha mfumo wa malipo; (b) kutoa nyenzo ya malipo; (c) kutoa fedha za kielektroniki; au (d) kutoa huduma nyingine yoyote ya mifumo ya malipo, baada ya miezi sita tokea tarehe ya kuanza kutumika kwa Sheria hii, atakuwa ametenda kosa na akipatikana na hatia, atalipa faini isiyopungua shilingi milioni mia moja au kwa kifungo kisichozidi miaka mitano; au vyote kwa pamoja. SEHEMU YA KUMI NA MBILI MAREKEBISHO YATOKANAYO MAREKEBISHO YA SHERIA YA HAWALA ZA FEDHA (SURA YA 215) Tafsiri Sura ya 215 Marekebisho ya kifungu cha 41 Marekebisho ya kifungu cha 52
Part
SEHEMU YA KUMI NA MBILI
- 58 Verify source ↗
Construction
This section must be read together with the Sheria ya Hawala za Fedha, referred to here as the “mother Act.”
58. Sehemu hii itasomwa pamoja na Sheria ya Hawala za Fedha ambayo humu ndani inarejewa kama “Sheria mama”. - 59 Verify source ↗
Amendment of section 41
A cheque may be submitted electronically on the payment system, despite subsection (1).
59. Sheria mama inafanyiwa markebisho kwenye kifungu cha 41 kwa kuongeza kifungu kidogo cha (4) kama ifuatavyo: “(4) Bila kujali kifungu kidogo cha (1), hundi inaweza kuwasilishwa kwa njia ya kielektroniki kwenye mfumo wa malipo.” - 60 Verify source ↗
Amendment of section 52
This section amends section 52 by adding a proviso that the subsection does not apply to electronic submission of a cheque or draft.
60. Sheria mama inafanyiwa marekebisho kwenye kifungu cha 52 kwa kuingiza ufafanuzi ufuatao kwenye kifungu kidogo cha (4): “Isipokuwa kwamba, kifungu kidogo hiki hakitatumika kwenye uwasilisaji wa njia ya kielektroniki wa hundi au hawala katika sheria nyingine yoyote”. Imepitishwa na Bunge tarehe 23 Machi, 2015. THOMAS D. KASHILILAH Katibu wa Bunge 78
Provision text is displayed from LexChat’s stored statute record. Use the official source links to verify amendments, commencement, and current legal force.
Ask AI about this statute
The National Payment Systems Act, 2015
Sign in to ask AI about this statute
Sign in to start authenticated, citation-grounded statute research.
Sign inLexChat organizes source-backed legal information for research. Verify amendments, commencement, and current legal force with the official publisher before relying on it.