The Cybercrimes Act, 2015
This section gives the Act’s short title and says it starts on a date set by the Minister through a notice in the Government Gazette.
AI-assisted research synopsis — verify against the official legal text below.
- Jurisdiction
- Tanzania
- Instrument
- Act or statute
- Citation
- The Cybercrimes Act, 2015
- Version
- Undated source snapshot
- Language
- mul
- Official source
- View official record ↗
Publicly available, excluded from search-engine indexing
This page remains available for direct access and API use, but this release emits
noindex,follow for the following reasons:
- The record does not meet this release's canonical indexing criteria.
(market-indexing-disabled) - The record does not meet this release's canonical indexing criteria.
(emergency-noindex)
Statute overview
About this statute
This section gives the Act’s short title and says it starts on a date set by the Minister through a notice in the Government Gazette. This Act applies in Mainland Tanzania and Zanzibar, except for section 50. A person must not unlawfully and intentionally enter or interfere with a computer system. A person must not intentionally keep using a computer system after the permitted time has ended. This provision prohibits intentional unlawful interception or interference with non-public communications or protected computer systems.
Search within this statute
Search all stored provisions in this version.
Legal text
Provisions of The Cybercrimes Act, 2015
Showing 59 of 59
- 1 Verify source ↗
Short Title and commencement
AI-assisted research summary: This section gives the Act’s short title and says it starts on a date set by the Minister through a notice in the Government Gazette.
1. Sheria hii itaitwa Sheria ya Makosa ya Mtandao ya mwaka 2015, na itaanza kutumika tarehe ambayo Waziri, kwa Tanzago la Serikali katika Gazeti la Serikali. Matumizi - 2 Verify source ↗
Application
AI-assisted research summary: This Act applies in Mainland Tanzania and Zanzibar, except for section 50.
2. Isipokuwa kwa kifungu cha 50, Sheria hii itatumika Tanzania Bara na Tanzania Zanzibar. 41 No.14 Sheria ya Makosa ya Mtandao 2015 Tafsiri - 3 Verify source ↗
Interpretation
3. Katika Sheria hii, isipokuwa kama muktadha utahitaji vinginevyo- “kuingia” kuhusiana na mfumo wa kompyuta, maana yake ni kuingia, kutoa maelekezo, kuwasiliana, kuhifadhi data au kupokea data kutoka katika mfumo wa kompyuta au vinginevyo kutumia nyenzo zozote za mfumo wa kompyuta, mtandao au chombo cha kuhifadhia data; “mtoa njia” maana yake ni mtu anayetoa huduma ya usambazaji wa data za kielekroniki kwa kusambaza taarifa zilizotolewa na, au kwa mtumiaji wa huduma katika mtandao wa mawasiliano au kutoa fursa ya kuingia kwenye mtandao wa kompyuta; “mhifadhi data ” maana yake ni mtu anayetoa huduma ya uhifadhi wa data za kielektroniki kwa njia inayojiendesha yenyewe, kwa kupitia mtu kati au kwa utunzaji wa taarifa wa muda mfupi, kwa madhumuni ya kuwezesha upatikanaji wa taarifa kwa kwa watumiaji wengine wa huduma kiufanisi zaidi, pale watakapoomba; “mtoto” maana yake ni mtu mwenye umri chini ya miaka kumi na nane; “ponografia za watoto” maana yake ni aina ya picha na filamu za ngono zinazoashiria au kumuonesha: (a) mtoto akiwa anashiriki kwa uwazi matendo ya ngono; (b) mtu anayeonekana kama mtoto akiwa anashiriki kwa uwazi matendo ya ngono; au (c) taswira inayoashiria mtoto akiwa anashiriki kwa uwazi matendo ya ngono; Na.14 Sheria ya Makosa ya Mtandao 2015 42 “mfumo wa kompyuta” maana yake ni kifaa au mchanganyiko wa vifaa, ikijumuisha mtandao, vifaa vya kuingizia na vya kutolea na vinavyoweza kutumika pamoja na majalada ya nje yenye programu za kompyuta, maelekezo ya kielektroniki, data za kuingizia na kutolea zinazotunza data za hesabu za miongo zilizo na mantiki, utunzaji wa data za hesabu na udhibiti wa utolewaji wa mawasiliano na majukumu mengine; “data kompyuta” maana yake ni uwasilishaji wa maelezo, dhana, taarifa au maelekezo katika namna inayofaa kuchakata katika mfumo wa kompyuta,ikijumuisha programu inayofaa kuuwezesha mfumo wa kompyuta kutelekeza kazi fulani; “chombo cha utunzaji wa data ” maana yake ni kifaa chochote au kitu ambacho kwayo kompyuta au taarifa inaweza kutunzwa au kutengenezwa ama kwa msaada wa kifaa kingine au kitu au la; “kifaa” inajumuisha: (a) programu ya kompyuta, namba tambuzi au mianzi laini; (b) sehemu ya mfumo wa kompyuta kama vile grafiki kadi, kadi ya kutunza kumbukumbu, chipu au kichakataji; (c) kifaa cha kutunzia kumbukumbu za kompyuta; na (d) kifaa cha kuingizia na kutolea taarifa katika kompyuta na mifumo ya kompyuta; “mawasiliano ya kielektroniki” maana yake ni uhamishaji wowote wa alama, ishara au data kompyuta ya aina yoyote ile iliyotumwa yote au sehemu yake kwa njia elektromagnetiki, picha ya ya waya, kielektroniki, picha ya redio, 43 No.14 Sheria ya Makosa ya Mtandao 2015 mfumo wa optika au katika aina nyingine ya mfumo inayofanana na hiyo; “ kifaa cha TEHAMA katika uchunguzi ” maana yake ni kifaa cha uchunguzi au kifaa kinachojumuisha mianzi laini au mianzi ngumu iliyowekwa kwenye au inayohusiana na mfumo wa kompyuta au sehemu ya mfumo wa kompyuta na inayotumika kutekeleza kazi zinazojumuisha uingiaji kwa siri au ukusanyaji wa taarifa za kiuchunguzi zinazohusiana na matumizi ya kompyuta au mfumo wa kompyuta; “zuia” kuhusiana na mfumo wa kompyuta inajumuisha- (a) kusababisha kuingiliwa kielektromagnetiki kwa mfumo wa kompyuta; (b) kuvuruga mfumo wa kompyuta, kwa namna yoyote ile; au (c) kuingiza, kutuma, kuzorotesha, kufuta, kuvuruga, kubadilisha au kuzuia data kompyuta; “mtunza data” maana yake ni mtu anayetoa huduma ya kusambaza data kwa kutunza taarifa inayotolewa na mtumiaji wa huduma hiyo; “kiunganishi tovuti” maana yake ni alama, neno, kirai, sentensi au taswira iliyo katika tovuti au taarifa inayokuhusiana na chanzo kingine kinachosababisha kuounyesha au kufunguka kwa tovuti nyingine; “haki bunifu’’ maana yake ni haki zinazotokana au zinazohusiana na haki miliki, hati bunifu, alama za biashara na mambo mengine yanayohusiana nayo; “kuingilia” kuhusiana na utendaji kazi wa kompyuta inajumuisha upatikanaji, utazamaji, usikilizaji au kunukuu data kompyuta yoyote ya mawasiliano ya kompyuta au mifumo ya kompyuta kwa njia yoyote ya kielektroniki; Na.14 Sheria ya Makosa ya Mtandao 2015 44 “afisa utekelezaji wa sheria” maana yake ni afisa wa polisi mwenye cheo cha Mkaguzi Msaidizi wa polisi,au cheo cha juu ya hicho au mpelelezi, afisa Usalama wa Taifa mwendesha mashtaka, au afisa muidhiniwa wa mamlaka yenye dhamana na mawasiliano au mtu mwingine yeyote aliyeidhinishwa chini ya sheria yoyote; “Waziri” maana yake ni Waziri mwenye dhamana na masuala ya Habari na Teknolojia ya Habari. “kuchapisha” maana yake ni usambazaji, uwasilishaji, uwekaji wazi, ubadilishanaji,uchapishaji, uonyeshaji, nakili, uuzaji au utoaji kwa ajili ya mauzo, kukodisha au usambazaji wa aina yoyote ile; “mali” maana yake ni mali ya aina yoyote inayotembelea au la, inayogusika au isiyogusika na inajumusha: (a) fedha yoyote inayotumika au isiyotumika katika Jamhuri ya Muungano Tanzania; (b) taarifa, ikijumuisha programu unayotolewa kielektroniki, data au nakala zake, zinazoweza kusomwa na binadamu au kwa kompyuta; au (c) haki yoyote au maslahi kwenye mali; “ubaguzi” maana yake ni taarifa za namna yoyote zinazokuza au kuchochea chuki, ubaguzi au vurugu dhidi ya mtu yeyote au kundi la watu kwa msingi wa tabaka, rangi, asili,utaifa, kabila au dini; “mtoa huduma” maana yeke ni mtu au upande unaowezesha mfumo wa taarifa kupatikana kwa mtu wa tatu. 45 No.14 Sheria ya Makosa ya Mtandao 2015 SEHEMU YA PILI MASHARTI YANAYOHUSIANA NA MAKOSA NA ADHABU Kuingia kinyume cha sheria
Part
SEHEMU YA PILI
- 4 Verify source ↗
Illegal Access
AI-assisted research summary: A person must not unlawfully and intentionally enter or interfere with a computer system.
4.-(1) Mtu hataingia au kusababisha kuingiliwa mfumo wa kompyuta kinyume cha sheria na kwa makusudi. (2) Mtu atakayekiuka kifungu kidogo cha (1) atakuwa ametenda kosa na akitiwa hatiani, atawajibika kulipa faini isiyopungua shilingi milioni tatu au mara tatu ya thamani ya faida iliyopatikana kinyume cha sheria au yoyote iliyokubwa, au kutumikia kifungo kwa kipindi kisichopungua mwaka mmoja au vyote kwa pamoja. - 5 Verify source ↗
Illegal remaining
AI-assisted research summary: A person must not intentionally keep using a computer system after the permitted time has ended.
5.-(1) Mtu hatatumia au kuendelea kutumia mfumo wa kompyuta, kinyume cha sheria na kwa makusudi, baada ya kuisha kwa muda ambao aliruhusiwa kutumia mfumo wa kompyuta. (2) Mtu atakayekiuka kifungu kidogo cha (1) atakuwa ametenda kosa na akitiwa hatiani, atawajibika kulipa faini isiyopungua shilingi milioni moja au mara tatu ya thamani ya faida iliyopatikana kinyume cha sheria au yoyote iliyokubwa, au kutumikia kifungo kwa kipindi kisichopungua miezi sita au vyote. - 6 Verify source ↗
Illegal interception
AI-assisted research summary: This provision prohibits intentional unlawful interception or interference with non-public communications or protected computer systems.
6.-(1) Mtu ambaye, kwa makusudi na kinyume cha sheria- (a) anaingilia kwa kutumia njia ya kiufundi au kwa njia nyingine yoyote: (i) mawasiliano yasiyo ya umma kwenda au kutoka au yaliyo ndani ya mfumo wa kompyuta; Matumizi ya mfumo wa kompyuta kinyume cha sheria Kuingilia mawasiliano kinyume cha sheria Na.14 Sheria ya Makosa ya Mtandao 2015 46 (ii) mawasiliano yasiyo ya umma ya yatokanayo kieletromaniginetiki katika mfumo wa kompyuta usio wa umma; au (iii) mfumo wa kompyuta usio wa umma ambao umeunganishwa na mfumo mwingine wa kompyuta; au (b) anakwepa hatua za udhibiti zilizoelekezwa kwa ajili ya kukinga kuingiliwa kwa maudhui yaliyomo kwenye mawasiliano yasiyo ya umma. (2) Mtu atakayekiuka kifungu kidogo cha (1) atakuwa ametenda kosa na akitiwa hatiani, atawajibika kulipa faini isiyopungua shilingi milioni tano au kutumikia kifungo kwa kipindi kisichopungua mwaka mmoja au vyote kwa pamoja. Kuingilia data kinyume cha sheria sheria- - 7 Verify source ↗
Illegal data interference
AI-assisted research summary: Mtu haruhusiwi kwa makusudi kuharibu, kubadilisha, kufuta, kuzuia, kuingilia, au kushughulikia data kompyuta isiyoidhinishwa; makosa haya yana adhabu za faini na/au kifungo.
7.-(1) Mtu ambaye kwa makusudi na kinyume cha (a) anaharibu au anazorotesha data kompyuta; (b) anafuta data kompyuta; (c) anabadili data kompyuta; (d) anaifanya data kompyuta ipoteze maana, ishindwe kutumika au ikose ufanisi; (e) anazuia au anaingilia matumizi halali ya data kompyuta; (f) anamzuia au anamuingilia mtu mwingine anayetumia data kompyuta kihalali; au (g) anamzuia mtu aliyeidhinishwa kutumia data kompyuta, atakuwa ametenda kosa na akitiwa hatiani, atawajibika kulipa faini isiyopungua shilingi milioni kumi au mara tatu ya thamani ya faida iliyopatikana kinyume na sheria au kutumikia, au yoyote iliyokubwa kifungo kwa kipindi kisichopungua miaka mitatu au vyote kwa pamoja. 47 No.14 Sheria ya Makosa ya Mtandao 2015 (2) Mtu ambaye- (a) anawasilisha, anafichua au anasambaza data kompyuta, programu ya kompyuta, ishara ya kuingilia ambaye anaagiza au hajaidhinishwa; mtu (b) kwa makusudi na kinyume cha sheria anapokea data kompyuta ambayo haijaidhinishwa, ametenda kosa na akitiwa hatiani, atawajibika, kulipa faini isiyopungua shilingi milioni mbili au mara tatu ya thamani ya faida iliyopatikana kinyume cha sheria au yoyote iliyokubwa, kipindi kutumikia kisichopungua mwaka mmoja au vyote kwa pamoja. kifungo kwa au (3) Mtu ambaye kwa makusudi na isivyo halali ataharibu au atabadili data yoyote ya kompyuta, iwapo data hiyo inatakiwa kutunzwa kisheria au ni ushahidi kwenye shauri lolote chini ya Sheria hii kwa- (a) kuharibu au kubadilisha data, programu au aina nyingne yoyote ya taarifa iliyoko ndani au nje ya mfumo wa kompyuta; (b) anawasha, anaingiza au anapakua programu ambayo imetengenezwa kwa lengo la kuharibu, au kubadilisha data, programu au aina nyingine yoyote ya taarifa iliyoko ndani au nje ya mfumo wa kompyuta; au (c) anatengeneza, anabadilisha au anaharibu namba ya siri, namba binafsi ya utambulisho au namna inayotumika kuingika kwenye mfumo wa kompyuta, atakuwa ametenda kosa na akitiwa hatiani, atawajibika kulipa faini isiyopungua shilingi milioni ishirini au mara tatu ya thamani ya faida iliyopatikana kinyume cha sheria, au yoyote iliyokubwa, au Na.14 Sheria ya Makosa ya Mtandao 2015 48 Ujasusi data Sura ya 47 kutumikia kifungo kwa kipindi kisichopungua mwaka mmoja au vyote kwa pamoja. - 8 Verify source ↗
Data espionage
AI-assisted research summary: A person must not interfere with or obtain protected computer data without authorization, and violating this rule is a criminal offence.
8.-(1) Bila kuathiri masharti ya Sheria ya Usalama wa Taifa, mtu hataingilia na kujipatia data kompyuta iliyokingwa dhidi ya uingiaji bila idhini. (2) Mtu atakayekiuka kifungu kidogo cha (1) atakuwa ametenda kosa na akitiwa hatiani, atawajibika kulipa faini isiyopungua shilingi milioni ishirini au mara tatu ya thamani ya faida iliyopatikana kinyume cha sheria au yoyote iliyokubwa, au kutumikia kifungo kwa kipindi kisichopungua miaka mitano au vyote kwa pamoja. Kuingilia mfumo kinyume cha sheria - 9 Verify source ↗
Illegal system interference
AI-assisted research summary: A person must not intentionally and unlawfully obstruct or interfere with the operation or use of a computer system.
9. Mtu ambaye, kwa makusudi na kinyume cha sheria anazuia au anaingilia- (a) utendaji kazi wa mfumo wa kompyuta; (b) matumizi au uendeshaji wa mfumo wa kompyuta, atakuwa ametenda kosa na akitiwa hatiani, atawajibika kulipa faini isiyopungua shilingi milioni mbili au mara tatu ya thamani ya faida iliyopatikana kinyume cha sheria, au yoyote iliyokubwa au kutumikia kifungo kwa kipindi kisichopungua mwaka mmoja au vyote kwa pamoja. Kifaa kisicho halali - 10 Verify source ↗
Illegal device
AI-assisted research summary: A person must not unlawfully possess or engage with devices, computer programs, passwords, access signs, or similar data made for committing an offence or for intruding into a computer system.
10.-(1) Mtu hatajishughulisha na, au kumiliki, kinyume cha sheria- (a) kifaa, ikijumuisha programu ya kompyuta kwa inayotumiwa iliyotengenezwa madhumuni ya kutenda kosa; au (b) namba ya siri ya kompyuta, ishara ya kuingilia au data inayofanana na hiyo ambayo inaweza kutumika na 49 No.14 Sheria ya Makosa ya Mtandao 2015 mtu yoyote kuingilia mfumo wa kompyuta au sehemu yake kwa lengo la kutenda kosa. (2) Mtu atakayekiuka kifungu kidogo cha (1) atakuwa ametenda kosa na akitiwa hatiani, atawajibika, kulipa faini isiyopungua shilingi milioni kumi au mara tatu ya thamani ya faida iliyopatikana kinyume cha sheria, au yoyote iliyokubwa au kutumikia kifungo kwa kipindi kisichopungua miaka mitatu au vyote kwa pamoja. Kughushi kunakohusiana na masuala ya kompyuta Mtu
Part
sehemu yake kwa lengo la kutenda kosa.
- 11 Verify source ↗
Computer related forgery
AI-assisted research summary: A person must not alter, delay, distribute, delete, or input forged computer data for use. A person who violates this commits an offence and may face a fine, imprisonment of at least 7 years, or both.
11.-(1) hatabadilisha, hatachelewesha, hatasambaza au hatafuta data kompyuta iliyoghushiwa kwa lengo la kutaka itumike bila kujali kama taarifa hiyo inasomeka au haisomeki. hataingiza, (2) Mtu atakayekiuka kifungu kidogo cha (1) atakuwa ametenda kosa na akitiwa hatiani, atawajibika, kulipa faini isiyopungua shilingi milioni ishirini au mara tatu ya thamani ya faida iliyopatikana kinyume cha sheria, au yoyote iliyokubwa au kutumikia kifungo kwa kipindi kisichopungua miaka saba au vyote kwa pamoja. Udanganyifu unaohusiana na kompyuta - 12 Verify source ↗
Computer related fraud
AI-assisted research summary: A person must not cause loss to another person's property by altering, deleting, delaying, blocking computer data, or interfering with a computer system through fraud or falsehood to gain an unlawful economic benefit.
12.-(1) Mtu hatasababisha upotevu kwa mali ya mtu mwingine kwa- (a) kuongeza, kubadilisha, kufuta, kuchelewesha kusambaza au kuzuia data kompyuta; au (b) kuingilia utendaji kazi wa mfumo wa kompyuta, kwa udanganyifu au uongo kwa lengo la kujipatia bila haki manufaa ya kiuchumi. Na.14 Sheria ya Makosa ya Mtandao 2015 50 (2) Mtu atakayekiuka kifungu kidogo cha (1) atakuwa ametenda kosa na akitiwa hatiani, atawajibika, kulipa faini isiyopungua shilingi milioni ishirini au mara tatu ya thamani ya faida iliyopatikana kinyume cha sheria, au yoyote iliyokubwa au kutumikia kifungo kwa kipindi kisichopungua miaka saba au vyote kwa pamoja. Ponografia za watoto - 13 Verify source ↗
Child pornography
AI-assisted research summary: A person must not publish, provide, enable, or make accessible child pornography through a computer system.
13.-(1) Mtu yeyote- (a) hatachapisha ponografia za watoto kwa kupitia mfumo wa kompyuta; au au (b) hatatoa hatawezesha au kuonyeshwa kwa ponografia za watoto kwa kupitia mfumo wa kompyuta. upatikanaji (2) Mtu atakayekiuka kifungu kidogo cha (1) atakuwa ametenda kosa na akitiwa hatiani, atawajibika kulipa faini isiyopungua shilingi milioni hamsini au mara tatu ya thamani ya faida iliyopatikana kinyume cha sheria, au yoyote iliyokubwa au kutumikia kifungo kwa kipindi kisichopungua miaka saba au vyote kwa pamoja. (3) Mtu aliyetiwa hatiani kwa kosa chini ya kifungu hiki, pamoja na adhabu nyingine yoyote, anaweza kuamriwa kumlipa fidia mtu ambaye ameathirika na kosa hilo. Ponografia - 14 Verify source ↗
Pornography
AI-assisted research summary: A person must not publish or cause pornography to be published through a computer system.
14.-(1) Mtu hatachapisha au kusababisha kuchapishwa kupitia katika mfumo wa kompyuta- (a) ponografia; au (b) ponografia yoyote iliyo ya kiasherati au chafu. (2) Mtu atakayekiuka kifungu kidogo cha (1) atakuwa ametenda kosa na akitiwa hatiani, atawajibika, iwapo ni uchapishaji kuhusiana na- 51 No.14 Sheria ya Makosa ya Mtandao 2015 (a) ponografia, kulipa faini isiyopungua shilingi ishirini au kutumikia kifungo kwa milioni kipindi kisichopungua miaka saba au vyote kwa pamoja; au (b) ponografia iliyo ya kiasherati au chafu, kulipa faini isiyopungua shilingi milioni thelathini au kutumikia kifungo kwa kipindi kisichopungua miaka kumi au vyote kwa pamoja. Makosa yanayohusiana na utambuzi Kutoa taarifa za uongo - 15 Verify source ↗
Identity related crimes
AI-assisted research summary: A person must not pretend to be someone else using a computer system.
15.-(1) Mtu hatajifanya kuwa mtu mwingine kwa kutumia mfumo wa kompyuta. (2) Mtu atakayekiuka kifungu kidogo cha (1) atakuwa ametenda kosa na akitiwa hatiani, atawajibika kulipa faini isiyopungua shilingi milioni tano au mara tatu ya thamani ya faida iliyopatikana kinyume cha sheria, au yoyote iliyokubwa au kutumikia kifungo kwa kipindi kisichopungua miaka saba au vyote kwa pamoja. - 16 Verify source ↗
Publication of false information
AI-assisted research summary: A person who knowingly publishes false, misleading, inaccurate, defamatory, threatening, insulting, or otherwise deceptive information or data in a computer system commits an offence.
16. Mtu atakayechapisha taarifa au data katika picha, maandishi, alama au katika namna nyingine yoyote katika mfumo wa kompyuta, akijua kwamba taarifa au data ni za uongo, zinapotosha, zisizo sahihi, na kwa la kudhalilisha, kutishia, kutusi au kwa naamna nyingine kudanganya umma au kuchochea utendaji wa kosa, atakuwa ametenda kosa, na akipatikana na hatia atalipa faini isiyopungua shilingi milioni tano au kutumikia kidungo kisichopungua miaka mitatu au vyote kwa pamoja. lengo Ubaguzi - 17 Verify source ↗
Racist and xenophobic material
AI-assisted research summary: Using a computer system, a person must not create, provide, enable access to, broadcast, or distribute racist or xenophobic material.
17.-(1) Mtu, kwa kutumia mfumo wa kompyuta- (a) hatazalisha vitu vya kibaguzi kwa madhumuni ya kuvisambaza; (b) hatatoa au kuwezesha kupatikana vitu vya kibaguzi ; au (c) hatarusha au kusambaza vitu vya kibaguzi. Na.14 Sheria ya Makosa ya Mtandao 2015 52 Matusi ya kibaguzi Mauaji ya kimbari na makosa dhidi ya ubinadamu (2) Mtu atakayekiuka kifungu kidogo cha (1) atakuwa ametenda kosa na akitiwa hatiani, atawajibika kulipa faini isiyopungua kiasi cha shilingi milioni tatu au kutumikia kifungo kwa kipindi kisichopungua mwaka mmoja au vyote kwa pamoja. - 18 Verify source ↗
Racist and xenophobic motivated insult
AI-assisted research summary: A person must not insult or humiliate another person through a computer system because of that person’s caste, race, origin, nationality, ethnicity, or religion.
18.-(1) Mtu hatamtukana au kumfedhehesha mtu mwingine kwa kupitia mfumo wa kompyuta, kutokana na sababu kuwa mtu huyo mwingine ni mmoja kati ya kundi linalotambulika kwa tabaka, rangi, asili, utaifa, kabila au dini fulani. (2) Mtu atakayekiuka kifungu kidogo cha (1) atakuwa ametenda kosa na akitiwa hatiani, atawajibika kulipa faini isiyopungua shilingi milioni tatu au kutumikia kifungo kwa kipindi kisichopungua mwaka mmoja au vyote kwa pamoja. hatachapisha - 19 Verify source ↗
Genocide and crimes against humanity
AI-assisted research summary: A person must not cause unlawful publication of material that incites, denies, minimizes, or justifies acts leading to genocide or crimes against humanity through a computer system.
19.-(1) Mtu kusababisha kuchapishwa kinyume na sheria vitu vinavyochochea, kanusha, punguza au halalisha matendo yanasababisha mauaji ya kimbari na makosa dhidi ya ubinadamu kwa kupitia mfumo wa kompyuta. au (2) Mtu atakayekiuka kifungu kidogo cha (1) atakuwa ametenda kosa na akitiwa hatiani, atawajibika kulipa faini isiyopungua shilingi milioni kumi au kutumikia kifungo kwa kipindi kisichopungua miaka mitatu au vyote kwa pamoja. (3) Kwa madhumuni ya kifungu hiki, tafsiri ya “mauaji ya kimbari” itakuwa na maana kama ilivyo tafsiriwa katika Mkataba wa Kuzuia na Kuadhibu Uhalifu wa Mauaji ya Kimbari wa mwaka 1948. 53 No.14 Sheria ya Makosa ya Mtandao 2015 Ujumbe unaotumwa bila ridhaa - 20 Verify source ↗
Unsolicited messages
AI-assisted research summary: A person acting with intent to commit an offence under the Act must not start distributing unsolicited messages, resend them, or forge an identity message and send it without consent.
20.-(1) Mtu ambaye kwa nia ya kutenda kosa chini ya Sheria hii:- (a) hataanzisha usambazaji wa ujumbe unaotumwa bila ridhaa; (b) hatarusha tena au kusambaza upya ujumbe unaotumwa bila ridhaa; (c) hataghushi ujumbe wa utambulisho na kutuma bila ridhaa. (2) Mtu atakayekiuka kifungu kidogo cha (1) atakuwa ametenda kosa na akitiwa hatiani, atawajibika kulipa faini isiyopungua shilingi milioni tatu au mara tatu ya thamani ya faida iliyopatikana kinyume cha sheria, au yoyote iliyokubwa au kutumikia kifungo kwa kipindi kisichopungua mwaka mmoja au vyote kwa pamoja. (3) Kwa madhumuni ya kifungu hiki, “taarifa zinazotumwa bila ridhaa” maana yake ni taarifa au data za kielektroniki amabazo hazijaombwa na mpokeaji. - 21 Verify source ↗
Disclosure of details of an investigation
AI-assisted research summary: A person must not knowingly and unlawfully disclose confidential information about a criminal investigation.
21.-(1) Mtu kwa makusudi na kunyume na sheria hatatoa, taarifa yoyote inayohusiana na upelelezi wa jinai, inayohitaji usiri. (2) Mtu atakayekiuka kifungu kidogo cha (1) atakuwa ametenda kosa na atawajibika, iwapo atatiwa hatiani, kulipa faini isiyopungua shilingi milioni kumi au kutumikia kifungo kwa kipindi kisichopungua miaka mitatu au vyote kwa pamoja. - 22 Verify source ↗
Obstruction of investigation
AI-assisted research summary: A person who intentionally and unlawfully interferes with computer data to delay an investigation, or intentionally blocks or fails to carry out an order under the law, commits an offence and may be fined or imprisoned.
22. Mtu ambaye kwa makusudi na kinyume cha sheria ataharibu, atafuta, ataondoa, ataficha, atabadilisha au ataifanya data kompyuta kukosa maana, kutofanya kazi au au kutotumika kwa kuchelewesha upelelezi atakuwa la kuharibu ushahidi lengo Ufichuaji wa taarifa za upelelezi Kuzuia upelelezi Na.14 Sheria ya Makosa ya Mtandao 2015 54 ametenda kosa na akitiwa hatiani atawajibika kulipa faini isiyopungua milioni tatu au kutumikia kifungo kwa muda usiopungua mwaka mmoja au vyote kwa pamoja. (2) Mtu ambaye kwa makusudi atazuia utekelezaji au atashindwa kutekeleza amri iliyotolewa na sheria hii, atakuwa ametenda kosa na atawajibika, iwapo atatiwa hatiani, kulipa faini isiyopungua shilingi milioni tatu au kutumikia kifungo kwa kipindi kisichopungua mwaka mmoja au vyote kwa pamoja. Unyanyasaji kwa kupitia mtandao Ukiukaji wa haki bunifu hataanzisha - 23 Verify source ↗
Cyber bullying
AI-assisted research summary: A person must not use a computer system to send electronic communications to someone for coercion, intimidation, harassment, or causing emotional distress.
23.-(1) Mtu kukadimisha mawasiliano yoyote ya kielektroniki kwenda kwa mtu yoyote kwa kutumia mfumo wa kompyuta, kwa lengo la, kulazimisha, kutisha au kunyanyasa au kusababisha maudhi ya hisia. au (2) Mtu atakayekiuka kifungu kidogo cha (1) atakuwa ametenda kosa na atawajibika, iwapo atatiwa hatiani, kulipa faini isiyopungua shilingi milioni tano au kutumikia kifungo kwa kipindi kisichopungua miaka mitatu au vyote kwa pamoja. - 24 Verify source ↗
Violation of intellectual property rights
AI-assisted research summary: A person must not use a computer system to infringe protected intellectual property rights.
24.-(1) Mtu hatatumia mfumo wa kompyuta kwa lengo la kukiuka haki bunifu zinazolindwa na sheria nyingine yoyote. (2) Mtu atakayekiuka kifungu kidogo cha (1) atakuwa ametenda kosa na akitiwa hatiani, atawajibika iwapo ukiukaji - (a) hauhusiani na masuala ya kibiashara, kulipa faini isiyopungua shilingi milioni tano au kutumikia kifungo kwa kipindi kisichopungua miaka mitatu au vyote kwa pamoja; (b) unagusa masuala ya kibiashara, kulipa faini isiyopungua shilingi milioni ishirini au 55 No.14 Sheria ya Makosa ya Mtandao 2015 kutumikia kifungo kwa kipindi kisichopungua miaka mitano au vyote, kwa pamoja, pamoja na kulipa fidia kwa mtu aliyeathirika na kosa husika kiasi ambacho mahakama itaona kinafaa Wakosaji wakuu - 25 Verify source ↗
Principal offenders
AI-assisted research summary: A person who causes, assists, encourages, or pays for an offence is treated as having committed it and can be prosecuted and punished as the principal offender.
25.-(1) Mtu yeyote ambaye- (a) anafanya kitendo au anaacha kufanya kitendo ambacho kiasi kwamba kutokutenda huko kunasababisha kutendeka kwa kosa; (b) anafanya au anaacha kufanya kitendo kwa madhumuni ya kumwezesha au kumsaidia mtu mwingine kutenda kosa; (c) anamsaidia na kumwezesha mtu mwingine kutenda kosa; (d) anamshawishi au kumlipa mtu mwingine kufanya kosa hilo, atachukuliwa kuwa ameshiriki kutenda kosa na atashitakiwa kama mtu aliyetenda kosa. (2) Mtu anayemlipa mtu mwingine kufanya au kutokufanya kitendo kwa kiasi ambapo, iwapo yeye mwenyewe angefanya kitendo hicho au kutokutenda huko, kitendo hicho kingepelekea kosa kufanyika kwa upande wake na atakuwa na hatia kwa kosa la aina hiyo na atawajibika kwa adhabu sawa kana kwamba yeye mwenyewe angefanya kitendo hicho au kutokutenda huko. - 26 Verify source ↗
Attempt
AI-assisted research summary: A person who starts to commit an offence under this Act and shows that intention by an act may be treated as having committed the offence, and conviction can lead to at least a TZS 1,000,000 fine, at least 6 months’ imprisonment, or both.
26.-(1) Endapo mtu anakusudia kutenda kosa anaanza kutekeleza kusudio lake na anadhihirisha kusudio lake kwa kitendo kinachoashiria kosa, isipokuwa hatekelezi kusudio lake kwa kiasi cha kutenda kosa hilo, atachukuliwa kuwa ametenda kosa hilo. (2) Kwa madhumuni ya kifungu hiki haitakuwa muhimu- Jaribio la kufanya uhalifu Na.14 Sheria ya Makosa ya Mtandao 2015 56 (a) isipokuwa kwa kiasi cha adhabu, iwapo- (i) mkosaji anatenda yote ambayo ni muhimu kwa utendaji wa kosa; au (ii) utekelezaji wa kusudio lake kwa ukamilifu unazuiliwa na mazingira ambayo hayaingiliani na kusudio lake; au (iii) anaacha kutekeleza kusudio lake kwa hiari yake mwenyewe; (b) kutokana na sababu za mazingira yasiyojulikana kwa mhalifu, haiwezekani kutenda kosa. (3) Mtu yeyote anayejaribu kutenda kosa chini ya Sheria hii atakua ametenda kosa na akitiwa hatiani atawajibika kulipa faini isiyopungua shilingi milioni moja au kifungo kwa kipindi kisichopungua miezi sita au vyote kwa pamoja. Kula njama ya kutenda kosa - 27 Verify source ↗
Conspiracy to commit offence
AI-assisted research summary: Anyone who conspires with another person to commit an offence under this Act commits an offence and, if convicted, faces a fine of at least shilingi one million, imprisonment of at least one year, or both.
27. Mtu yeyote anayekula njama na mtu mwingine kutenda kosa chini ya Sheria hii, anatenda kosa na iwapo atatiwa hatiani, atawajibika kulipa faini isiyopungua shilingi milioni moja au kutumikia kifungo kwa kipindi kisichopungua mwaka mmoja au vyote kwa pamoja. Ulinzi wa miundombinu muhimu ya TEHAMA - 28 Verify source ↗
Protection of critical information infrastructure
AI-assisted research summary: The Minister may, by order published in the Government Gazette, classify computer systems as critical infrastructure.
28.-(1) Waziri anaweza, kwa amri itakayochapishwa kwenye Gazeti la Serikali kuainisha mifumo ya kompyuta kama miundombinu muhimu. (2) Amri iliyorejewa chini ya kifungu kidogo cha (1) inaweza kuainisha miongozo au taratibu zinazohusu - (a) usajili, ulinzi au utunzaji wa miundombinu muhimu; (b) usimamizi wa jumla wa miundombinu muhimu; (c) kuingia, kuhamisha na kudhibiti data kwenye miundombinu muhimu; (d) uwepo wa audilifu au uhalali wa data au taarifa zilizo katika miundombinu muhimu; 57 No.14 Sheria ya Makosa ya Mtandao 2015 (e) njia zitakazotumika kuhifadhi au kutunza data au taarifa kwenye miundombinu muhimu; (f) mipango ya kudhibiti majanga iwapo kutatokea uharibifu kwenye miundombinu muhimu au sehemu yake; (g) namna na utaratibu wa kuendesha ukaguzi kwenye miundombinu muhimu yoyote; (h) jambo jingine lolote ambalo ni muhimu kwa ulinzi, usimamizi na udhibiti wa data na rasimali nyingine kwenye miundombinu muhimu. (3) Kwa madhumuni ya kifungu hiki, “miundombinu muhimu ya TEHAMA” inajumuisha mali, vifaa, mifumo ya kompyuta au mitandao inayoshikika na isiyoshikika ambayo ina umuhimu kwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kiasi kwamba kutokufanya kazi kwake kuna madhara ya kiusalama, kiuchumi na kijamii. Makosa yanayohusu miundombinu muhimu ya TEHAMA
Part
sehemu yake;
- 29 Verify source ↗
Offences relating to critical information infrastructure
AI-assisted research summary: A person who commits an offence under this Act or another law relating to critical infrastructure commits an offence and, if convicted, is liable to a minimum fine of 100 million shillings, three times the loss caused, a minimum five-year prison term, or both.
29. Endapo mtu anatenda kosa chini ya Sheria hii au sheria nyingine yoyote linalohusiana na miundombinu muhimu, mtu huyo atakuwa ametenda kosa na akitiwa hatiani atawajibika kulipa faini isiyopungua shillingi milioni mia moja au mara tatu ya hasara aliyoisababisha au kifungo kisichopungua miaka mitano au vyote kwa pamoja. SEHEMU YA TATU MAMLAKA YA MAHAKAMA Mamlaka ya mahakama
Part
SEHEMU YA TATU
- 30 Verify source ↗
Jurisdiction
AI-assisted research summary: Mahakama zinaruhusiwa kusikiliza shauri chini ya Sheria hii ikiwa kosa au sehemu ya kosa ilitokea Tanzania au katika meli/ndege iliyosajiliwa Tanzania, au katika mazingira mengine yaliyoorodheshwa katika kifungu.
30.-(1) Mahakama zitakuwa na uwezo wa kusikiliza shauri lolote chini ya Sheria hii pale ambapo kosa au sehemu ya kosa - (a) limetendeka ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania; (b) limetendeka kwenye meli au ndege iliyosajiliwa ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania; Na.14 Sheria ya Makosa ya Mtandao 2015 58 (c) limetendwa na Mtanzania; au (d) limetendwa na Mtanzania anayeishi nje Jamhuri ya Muungano wa kitendo Tanzania, alichokitenda mtu huyo kingekuwa ni kosa chini ya sheria ya nchi hiyo; endapo (e) limetendwa na mtu yeyote, bila kujali utaifa au iwapo kosa ukaazi wake au eneo husika, limefanyika- (i) kwa kutumia mfumo wa kompyuta, kifaa au data zilizoko ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania; au (ii) dhidi ya mfumo wa kompyuta, kifaa au data au mtu aliye ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. (2) Katika kifungu hiki, neno “mahakama” lina maana ya mahakama yenye mamlaka. SEHEMU YA NNE UPEKUZI NA UKAMATAJI Upekuzi na ukamataji
Part
SEHEMU YA NNE
- 31 Verify source ↗
Search and Seizure
AI-assisted research summary: Police officers at the stated rank may issue a search warrant for a computer system, and the warrant can authorize search, seizure, securing data, and limited expansion to another system. After a seizure, the officer must make an inventory and give a copy to the owner or custodian, and the owner or custodian may ask to access or copy information, subject to refusal in listed cases.
31.-(1) Askari polisi mkuu wa kituo au afisa utekelezaji wa sheria mwenye cheo cha askari mkuu wa kituo, baada ya kuridhika kuwa kuna sababu za msingi kushuku au kuamini kuwa mfumo wa kompyuta- (a) unaweza kutumika kuthibitisha kosa; au (b) unachukuliwa na mtu yeyote kutokana na kosa- Inaweza kutoa hati ya upekuzi itakayo muidhinisha afisa utekelezaji wa sheria - (i) kuingia kwenye eneo kwa la kupekua au kukamata kifaa au mfumo wa kompyuta; (ii) kuiwekea kompyuta ulinzi lengo data iliyopatikana; au 59 No.14 Sheria ya Makosa ya Mtandao 2015 (iii) kuongeza wigo wa upekuzi au uwezo wa kuingia kwenye mfumo mwingine iwapo afisa utekelezaji wa sheria anayefanya upekuzi ana sababu za kuaminika kuwa data inatunzwa kwenye mfumo mwingine wa kompyuta au sehemu yake. inayotafutwa, (2) Upekuzi chini ya kifungu hiki utafanyika kwa mujibu wa sheria zinazosimamia masuala ya upekuzi na ukamataji wa mali. (3) Endapo kifaa au mfumo wa kompyuta umeondolewa au hauingiliki kutokana na upekuzi au ukamataji wa mali, afisa utekelezaji wa sheria, wakati wa upekuzi na ukamataji wa mali au mara tu baada ya upekuzi- (a) ataandaa orodha ya vitu vilivyokamatwa au kufanywa visiingilike, muda ambao mali ilikamatwa; (b) atampatia nakala ya mali ya iliyokamatwa mtu anayemiliki au mwangalizi wa mfumo husika wa kompyuta. orodha (4) Mtu anayemiliki au mwangalizi wa mfumo wa kompyuta anaweza kumuomba afisa utekelezaji wa sheria ruhusa ya kuingia au kudurufu taarifa zilizopo kwenye mfumo wa kompyuta baada ya ukamataji wa mali. (5) Bila ya kuathiri masharti ya kifungu kidogo cha (4), afisa utekelezaji wa sheria anaweza kukataa kuruhusu kuingia kwenye mfumo au kudurufu taarifa iwapo ana sababu za msingi za kuamini kuwa kuruhusu kuingia au kudurufu taarifa- (a) itakuwa ni kosa; au (b) kutaathiri- (i) (ii) uchunguzi unaohusiana na upekuzi; upelelezi mwingine unaoendelea; au No.14 Sheria ya Makosa ya Mtandao 2015 60 Utoaji data (iii) shauri lolote lililopo mahakamani au kufunguliwa linaweza ambalo kuhusiana na uchunguzi wowote. (6) Katika kifungu hiki “eneo” inajumuisha ardhi, majengo au chombo cha usafiri baharini au ndege. - 32 Verify source ↗
Disclosure of data
AI-assisted research summary: Police and courts may order a person to disclose data needed for a criminal investigation or court proceedings.
32.-(1) Endapo data inahitajika kuwekwa wazi kwa madhumuni ya uchunguzi wa kijinai au kuendeshwa kwa kesi mahakamani, askari polisi mfawidhi wa kituo au afisa mtekelezaji wa sheria mwenye cheo cha askari mkuu wa kituo anaweza kutoa amri kwa mtu yeyote mwenye data hiyo kumtaka kutoa data hiyo. (2) Amri iliyotolewa chini ya kifungu kidogo cha (1) ambaye atapewa afisa utekelezaji ataiwasilisha kwa mtu huyo mwenye data. sheria (3) Endapo utoaji wa data chini ya kifungu kidogo cha (1) hauwezekani, afisa utekelezaji sheria anaweza kuiomba mahakama kutoa amri inayotamka: (a) mtu yeyote kuwasilisha data iliyoainishwa ambayo mtu huyo anaimiliki au iliyo chini ya uangalizi; au (b) mtoa huduma zake, anayetoa kuwasilisha zinazohusu huduma hiyo zilizo kwenye umiliki au uangalizi wake. huduma Utunzaji data wa dharura (4) Iwapo kitu chochote kinachohusiana na upelelezi kinajumuisha data iliyohifadhiwa kwenye mfumo wa kompyuta au kwenye kifaa, amri itachukuliwa kumtaka mtu huyo kutoa au kuruhusu upatikanaji wa data hiyo katika namna ambayo inasomeka na inayoweza kuondolewa. - 33 Verify source ↗
Expedited preservation
AI-assisted research summary: A police station chief, law enforcement officer, or court may order computer data to be preserved for up to 14 days, and the court may extend the time on application.
33. (1) Endapo askari polisi Mkuu wa kituo au afisa utekelezaji wa sheria anazo sababu za kuamini kuwa data kompyuta ambayo inahitajika kwa madhumuni ya uchunguzi inaweza kupotea au kubadilishwa, anaweza kutoa amri itakayomtaka mtu mwenye uangalizi au umiliki wa kifaa au data kompyuta hiyo kuitunza kwa kipindi kisichozidi siku kumi na nne. 61 No.14 Sheria ya Makosa ya Mtandao 2015 Utoaji na ukusanyaji wa data nyendo (2) Mahakama inaweza, kwa maombi, kuongezea muda amri chini ya kifungu cha 35 kwa muda ambao itaona unafaa. - 34 Verify source ↗
Disclosure and collection of traffic data
AI-assisted research summary: A chief police station officer or equivalent law-enforcement officer may issue a written order when satisfied that computer data is needed for an investigation.
34.-(1) Endapo askari polisi mkuu wa kituo au afisa utekelezaji wa sheria mwenye cheo cha askari mkuu wa kituo anaridhika kuwa data kompyuta inahitajika kwa madhumuni ya uchunguzi, afisa huyo anaweza kutoa amri kimaandishi kwa ajili ya- (a) utoaji au uwekaji kumbukumbu za taarifa za kompyuta zinazohusiana na mawasilano maalum kwa kipindi maalum; au (b) kumruhusu na kumsaidia afisa utekelezaji wa sheria kukusanya aukuwekea kumbukumbu data hizo. (2) Kwa madhumuni ya kifungu hiki “data nyendo” maana yake ni taarifa: (a) inayohusiana na mawasiliano kwa mfumo wa kompyuta; (b) iliyotolewa na mfumo wa kompyuta ambao ni sehemu ya mlolongo wa mawasiliano; na (c) inayoonyesha chanzo cha mawasiliano,njia iliyotumika, muda,ukubwa, uelekeo na aina ya huduma zinazoambatana nazo. Utoaji na ukusanyaji wa maudhui katika data
Part
sehemu ya mlolongo wa mawasiliano; na
- 35 Verify source ↗
Disclosure and collection of content data
AI-assisted research summary: A station chief police officer or equivalent law enforcement officer may order collection or recording of electronic communication data when there are reasonable grounds to suspect it is needed for an investigation.
35. Endapo askari polisi mkuu wa kituo au afisa utekelezaji wa sheria mwenye cheo cha askari mkuu wa kituo ana sababu za msingi za kushuku au kuamini kuwa yaliyomo kwenye mawasiliano ya kielektroniki yanahitajika kwa madhumuni ya uchunguzi, anaweza kutoa amri ya: (a) kukusanya, kurekodi, kuruhusu au kuisaidia mamlaka husika kukusanya au kurekodi taarifa inayohusishwa na zilizomo kwenye data mawasiliano maalum yaliyotolewa kwa njia ya mfumo wa kompyuta; au (b) kukusanya au kurekodi data kwa kompyuta kwa njia ya kiufundi. Na.14 Sheria ya Makosa ya Mtandao 2015 62 Amri ya mahakama Matumizi ya kifaa cha TEHAMA katika uchunguzi - 36 Verify source ↗
Court order
AI-assisted research summary: A law enforcement officer may apply to court for an order to transfer or retain data in the stated situations.
36. Endapo ambapo utoaji data au utunzaji data wa dharura chini ya vifungu vya 31, 32, 33, 34 au 35 kwa kadri itakavyokuwa, hauwezi kufanyika bila kutumia nguvu au kutokana na pingamizi kutoka kwa mtu mwenye kumiliki data au inaweza thamani ya ushahidi katika data kuhifadhiwa kwa amri ya mahakama, afisa utekelezaji wa sheria anaweza kuomba mahakamani amri ya utoaji au utunzaji wa data. - 37 Verify source ↗
Use of forensic tool
AI-assisted research summary: A law enforcement officer may apply to court to use a forensic tool if evidence cannot be collected by the usual procedure; the application must include specific details, and the resulting authorization lasts 14 days unless extended.
37.-(1) Endapo afisa utekelezaji wa sheria anaridhika kuwa ushahidi wa msingi hauwezi kukusanywa kwa kutumia utaratibu ulioainishwa chini ya Sehemu hii, afisa utekelezaji huyo anaweza kuiomba mahakama kutoa amri ya kuidhinisha matumizi ya kifaa cha uchunguzi. (2) Maombi yaliyotolewa chini ya kifungu kidogo cha (1) yatajumuisha- (a) jina na anwani ya mtuhumiwa; (b) maelezo ya mfumo wa kompyuta unaolengwa; na (c) maelezo ya hatua zinazokusudiwa kuchukuliwa, madhumuni, kiasi na muda wa matumizi unaokusudiwa. (3) Afisa utekelezaji wa sheria atahakikisha kuwa mabadiliko yaliyofanywa kwenye mfumo wa kompyuta au data iliyomo kwenye kompyuta ya mtuhumiwa zinajikita kwenye marekebisho yaliyo ya msingi kwa ajili ya uchunguzi yoyote kwamba yanayorudishwabaada ya kukamilika kwa uchunguzi. mabadiliko na (4) Wakati wa uchunguzi, afisa utekelezaji wa sheria ataingiza: (a) mbinu za kiufundi zilizotumika, muda na terehe ya maombi; (b) utambuzi wa mfumo wa kompyuta na maelezo yaliyofanyika wakati wa ya mabadiliko uchunguzi; 63 No.14 Sheria ya Makosa ya Mtandao 2015 uchunguzi; (c) taarifa yoyote iliyopatikana; (5) Taarifa iliyopatikana chini ya kifungu hiki italindwa dhidi ya mabadiliko, kufutwa bila ya idhini na kuingia kwenye mfumo bila idhini. (6) Idhini iliyotolewa chini ya kifungu kidogo cha (1) itakuwa halali kwa kipindi cha siku kumi na nne. (7) Mahakama inaweza, kwa maombi, kuongeza muda uliotolewa chini ya kifungu kidogo cha (6) kwa kipindi kingine cha siku kumi na nne au kwa kipindi kingine kwa kadri itakavyoona inafaa. (8) Iwapo mchakato wa uwekaji wa kifaa unahitaji kutembelea eneo, masharti ya kifungu cha 30 yatatumika. (9) Pamoja na amri iliyotolewa chini ya kifungu kidogo cha inaweza, kwa maombi, kumuamuru mtoa huduma kuwezesha mchakato wa kuweka kifaa cha kipelelezi. (1), mahakama (10) Waziri anaweza, kwa taarifa itakayochapishwa kwenye Gazeti la Serikali, kuainisha makosa ambayo mahakama inaweza kutoa amri ya kutumia kifaa cha TEHAMA katika uchunguzi. Usikilizaji wa maombi - 38 Verify source ↗
Hearing of application
AI-assisted research summary: Applications under this Part must be heard privately and on one side only.
38. Utaratibu wa kusikiliza maombi kwa mujibu wa Sehemu hii utafanywa kwa upande mmoja na kwa siri. SEHEMU YA TANO WAJIBU WA WATOA HUDUMA Wajibu wa ufuatiliaji
Part
SEHEMU YA TANO
- 39 Verify source ↗
No monitoring obligation
AI-assisted research summary: Watoa huduma hawatakiwi kufuatilia data wanayosambaza au kuhifadhi, lakini wakijua kuna taarifa au kitendo cha kihalifu chini ya udhibiti wao, lazima waiondoe, wasitishe huduma husika, na wajulishe mamlaka husika.
39.-(1) Wakati wa kutoa huduma chini ya Sehemu hii, mtoa huduma- (a) hatawajibika kufuatilia data ambayo Na.14 Sheria ya Makosa ya Mtandao 2015 64 mtoa huduma anaisambaza au kuhifadhi; (b) hatafuta maelezo au mazingira yanayoonyesha shughuli zinazofanywa kinyume na sheria. (2) Waziri anaweza kuweka masharti yanayohusu utaratibu wa watoa huduma kwa ajili ya- (a) kutoa taarifa kwa mamlaka husika ya umma kuhusiana na shughuli zilizo kinyume na sheria zilizofanywa au taarifa inayotolewa na watumiaji wa huduma zao; na (b) kuzipatia mamlaka husika, kwa kuomba, taarifa zitakazowezesha kuwatambua watumia huduma. (3) Mtoa huduma hatawajibika kwa uwekaji wazi wa data iliyotolewa kihalali kwa mtu wa tatu baada ya kuthibitisha kwamba: (a) mtu huyo wa tatu alitenda hivyo pasipo mtoa huduma ya mtandao kufahamu; au (b) mtoa huduma alitekeleza wajibu unaostahili na alitumia ujuzi ili kuzuia uwekwaji wazi wa data hizo. (4) Endapo mtoa huduma atakuwa na uelewa juu ya taarifa au kitendo cha kihalifu kwenye mfumo wa kompyuta ambao upo chini ya udhibiti wake, atatakiwa- (a) kuondoa taarifa kwenye mfumo wa kompyuta uliyo chini ya udhibiti wa mtoa huduma; (b) kusimamisha au kusitisha huduma inayohusu taarifa au kitendo hicho; (c) kutaarifu mamlaka husika juu ya kitendo au taarifa hiyo, maelezo husika na utambuzi wa mhusika anayepewa huduma. Mtoa huduma ya kuingia kwenye mfumo - 40 Verify source ↗
Access provider
AI-assisted research summary: An access provider is not responsible for transmitting or running a computer system for a third party if it only enables access and does not start the transmission, choose the recipient, or change the data.
40.-(1) Mtoa huduma ya uwezo wa kuingia kwenye mfumo hatawajibika kwa kurusha au kuendesha mfumo wa kompyuta kwa ajili ya mtu wa tatu katika njia ya mawasiliano yakielektroniki ambayo yeye ni mtoa huduma tu ya kuwezesha kuingia kwenye mfumo wa 65 No.14 Sheria ya Makosa ya Mtandao 2015 kompyuta au kuendesha vifaa kupitia mfumo wa kompyuta ulio chini ya mamlaka yake kwa masharti kwamba mtoa huduma- (a) haanzishi urushaji mawasiliano; (b) hachagui mpokeaji wa mawasiliano; au (c) hachagui au habadilishi data iliyoko kwenye mawasiliano. (2) Mawasiliano na utoaji wa uwezo wa kuingia kwenye mfumo wa kompyuta yaliyotolewa chini ya kifungu kidogo cha (1) utajumuisha, utunzaji wa taarifa iliyosambazwa kuendeleza mawasiliano kwenye mfumo wa kompyuta kwa njia inayojiendesha yenyewe kwa kupitia mtu kati na kwa muda kwa kuzingatia kwamba mawasiliano yanafanyika kwa- kwa madhumuni ya (a) madhumuni ya kuendesha na kusambaza taarifa katika mfumo wa kompyuta; (b) namna ambayo kwa kawaida haiwezi kupatikana isipokuwa tu kwa mpokeaji mlengwa;na (c) muda ambao sio mrefu sana zaidi ya muda unaofaa kuwasilisha ujumbe husika kwa mlengwa. Mtunza Data taarifa - 41 Verify source ↗
Hosting provider
AI-assisted research summary: A hosting provider is exempt from liability for stored content requested by a user, but must immediately remove or suspend access after a lawful order, or immediately notify the relevant authority if it learns the content is unlawful.
41.-(1) Mtunza data hatawajibika na zilizohifadhiwa kwa maombi ya mtumiaji wa huduma hiyo, kwa masharti kwamba- (a) anaondoa au kusitisha mara moja upatikanaji wa taarifa baada ya kupokea amri kutoka taasisi yenye mamlaka au mahakama ya kuondoa taarifa zilizo kinyume cha sheria; au (b) baada ya kufahamu kuwa taarifa iliyohifadhiwa iko kinyume cha sheria ataitaarifu mara moja taasisi husika. (2) Kifungu kidogo cha (1) hakitatumika pale Na.14 Sheria ya Makosa ya Mtandao 2015 66 Mhifadhi data kwa muda mfupi ambapo mpokeaji anafanya hivyo chini ya mamlaka ya mtoa huduma. - 42 Verify source ↗
Caching provider
AI-assisted research summary: A data storage provider is not liable for stored information if it does not alter the information and follows the stated access, standard, and takedown conditions.
42. Mtoa huduma ya kuhifadhi data hatawajibika kwa ajili ya utunzaji wa taarifa ikiwa- (a) habadilishi taarifa; (b) anatekeleza masharti ya utoaji wa uwezo wa kuingia kwenye mfumo; (c) anazingatia kanuni zinazohusu na uboreshaji wa taarifa; (d) haiingiliani na matumizi halali ya teknolojia inayotambulika na wengi na inayotumika sokoni kupata data kwa ajili ya matumizi ya taarifa hiyo; na taarifa (e) anachukua hatua za haraka kuondoa au kusitisha matumizi ya au kufikiwa kwa taarifa ambayo imetunzwa baada ya kupokea taarifa kamili kwamba iliyo kwenye chanzo cha mawasiliano imeondolewa kutoka kwenye mtandao, au ufikiwaji wake umesitishwa au matumizi yake yamesitishwa, au kwamba mahakama au mamlaka husika imeamuru itolewe au isitishwe. Mtoa huduma ya kuunganisha tovuti - 43 Verify source ↗
Hyperlink provider
AI-assisted research summary: A hyperlink provider is not liable for linked information if it removes or stops using the information quickly after an authority orders removal of the link, and if it promptly notifies the authority when it learns the information is unlawful and kept otherwise than by order.
43. Mtoa huduma ya kuunganisha tovuti hatawajibika kwa taarifa aliyounganisha iwapo- (a) haraka iwezekanavyo anaondoa au anasitisha matumizi ya taarifa baada ya kupokea amri kutoka kwa mamlaka husika ya kuondoa kiunganishi hicho; na 67 No.14 Sheria ya Makosa ya Mtandao 2015 (b) baada ya kufahamu kuwa taarifa zilizo kinyume na sheria zilizotunzwa kwa njia nyingine zaidi ya amri haraka iwezekanavyo anaitaarifu mamlaka husika. ya mamlaka umma, ya Mtoa huduma ya utafutaji wa taarifa - 44 Verify source ↗
Search engine provider
AI-assisted research summary: A search information service provider is not liable for search results if it does not initiate communications, choose the recipient, or change the information in the communication.
44.-(1) Mtoa huduma ya utafutaji wa taarifa hatawajibika kwa matokeo ya utafutaji huo, kwa masharti kwamba- (a) haanzishi mawasiliano; (b) hachagui mpokeaji wa mwasiliano; na (c) hachagui au kubadilisha taarifa iliyoko kwenye mawasiliano. (2) Kwa madhumuni ya kifungu hiki, “mtoa huduma ya utafutaji wa taarifa” maana yake ni mtu anayetengeneza au anayeendesha huduma ambayo inatafuta taarifa inayotengeneza kiashiria cha taarifa za mtandao au anawezesha upatikanaji wa vifaa vya kielektroniki kwa ajili ya utafutaji wa taarifa inayotolewa na mtu wa tatu. Notisi ya kuondoa - 45 Verify source ↗
Take-down notification
AI-assisted research summary: A person may send a take-down notice to a service provider about unlawful or Act-violating data, things, or activities.
45.-(1) Mtu anaweza, kupitia notisi ya kuondoa, kumtaarifu mtoa huduma kuhusu- (a) data au taarifa iliyomnyima mpokeaji au mtu wa tatu haki ya huduma; (b) vitu au shughuli yoyote ambayo ni kinyume cha sheria; au (c) suala lolote linalotekelezwa au linalotolewa kinyume cha Sheria hii au sheria nyingine. (2) Kwa madhumuni ya Sehemu hii, notisi ya kuondoa itakuwa katika hali ya kudumu ikitumwa na mlalamikaji kwenda kwa mtoa huduma au wakala wake, na itajumuisha- Na.14 Sheria ya Makosa ya Mtandao 2015 68 (a) majina kamili na anuani; (b) saini ya mlalamikaji; (c) maelezo ya haki inayodaiwa kuvunjwa; (d) maelezo juu ya kitu au shughuli ambayo inadaiwa kuwa chimbuko la kitendo kilicho kinyume na sheria; (e) hatua ya utatuzi inayotakiwa kuchukuliwa na mtoa huduma kuhusiana na lalamiko; (f) maelezo kuwa mlalamikaji anafanya hivyo kwa nia njema; (g) maelezo ya mlalamikaji kuwa, kwa ufahamu wake, taarifa iliyomo taarifa zilizochukuliwa ni sahihi. kwenye (3) Mtu anayewasilisha taarifa kwa mtoa huduma kuhusiana na muamala usio halali, huku akijua kuwa taarifa hiyo ni potofu, atakuwa ametenda kosa na akitiwa hatiani, atatakiwa kulipa faini ya shilingi million tano au kifungo cha mwaka mmoja au vyote kwa pamoja. (4) Mtoa huduma atakayeshindwa kuchukua hatua juu ya notisi ya kuondoa aliyoipokea kwa mujibu wa Sheria hii, atashitakiwa kwa kosa la kuainisha taarifa chini kifungu kidog cha (1). (5) Mtu anayetoa notisi ya kuondoa kwa mtoa huduma, na mtoa huduma akashindwa kufanyia kazi notisi hiyo, mtu huyo anaweza kutoa taarifa kwa mamlaka husika kwa kushindwa kutekeleza notisi na mamlaka husika inaweza kumchukulia hatua mtoa huduma au kumtaka mtoa huduma huyo kuifanyia kazi notisi hiyo au kuchukua hatua yoyote kulishughulikia suala hilo. (6) Mtoa huduma hatawajibika kwa kuondoa taarifa ikiwa ameifanya kwa mujibu wa Sheria hii. Wajibu mwingine kutoadhiriwa na sheria - 46 Verify source ↗
Other obligations not affected
AI-assisted research summary: This section says it does not affect a service provider’s obligations.
46. Sehemu hii haitaathiri wajibu wa mtoa huduma: (a) uliyotolewa kwa makubaliano; (b) ambaye anatenda kwa namna hiyo chini ya leseni 69 No.14 Sheria ya Makosa ya Mtandao 2015 Kinga Utaifishaji mali au mfumo mwingine wa usimamizi uliotajwa chini ya sheria yoyote; (c) uliyotolewa na sheria au amri ya mahakama ili kutoa, kuzuia au kukataza uingiaji kwenye mawasiliano ya kieletroniki au kusitisha au kuzuia kitendo kisicho cha halali. SEHEMU YA SITA MASHARTI YA JUMLA
Part
SEHEMU YA SITA
- 47 Verify source ↗
Immunity
AI-assisted research summary: Law enforcement officers are not personally liable for acts done in carrying out their duties under this Act, and a person is not liable for an act or omission done in good faith and without negligence under this Act.
47.-(1) Bila ya kujali sheria nyingine yoyote kinyume na haya, jambo au kitu chochote kitakachofanywa na afisa utekelezaji wa sheria, katika utekelezaji wa majukumu yake chini ya Sheria hii, hakitasababisha afisa utekelezaji wa sheria kuwajibika binafsi kwa jambo au kitu hicho. (2) Mtu hatawajibika kuhusiana na utekelezaji wa kitendo chochote au kutokutenda, iwapo kitendo hicho au kutokutenda huko kulifanywa kwa nia njema na si kwa uzembe kwa mujibu wa masharti ya Sheria hii. - 48 Verify source ↗
Forfeiture of property
AI-assisted research summary: Mahakama inaweza kuamuru utaifishaji wa mali inayohusiana na kosa na inaweza pia kuamuru mtu aliyetiwa hatiani alipie fidia aliyeathirika.
48.-(1) Pamoja na adhabu iliyotolewa chini ya Sheria hii, mahakama inaweza kutoa amri kwa ajili ya utaifishaji wa- (a) mali yoyote inayoonekana kuwa ni sehemu ya mapato yatokanayo na kosa; na (b) chombo au mali yoyote iliyotumika au inayokusudiwa kutumika kutenda au kufanikisha utendaji wa kosa. (2) Pamoja na amri iliyotolewa chini ya kifungu kidogo cha (1), mahakama inaweza kumuamuru mtu aliyetiwa hatiani kumlipa fidia mtu aliyeathirika na kosa hilo kwa kadri ambavyo mahakama itaona inafaa. Na.14 Sheria ya Makosa ya Mtandao 2015 70 Makosa yanayofanywa na kampuni hodhi - 49 Verify source ↗
Offences by body corporate
AI-assisted research summary: If a company is convicted of an offence under the Act, a director, officer, or person involved in managing the holding company, or a person who knowingly allowed the act, may be treated as having committed the offence.
49. Endapo kampuni inatiwa hatiani kwa kosa chini ya Sheria hii, mtu yeyote ambaye wakati wa utendaji wa kosa- (a) alikuwa ni mkurugenzi, afisa au vinginevyo anahusika na mambo ya utawala wa kampuni hodhi hiyo; (b) huku kosa akiwa anajua, aliruhusu kitendo kilichopelekea kosa hilo atachukuliwa kuwa kama hilo, ametenda itathibitishwa wakati kosa hilo linatendeka, lilitendeka bila idhini yake na alifanya jitihada za kutosha kuzuia kutendeka kwa kosa hilo, atachukuliwa kuwa ametenda kosa hilo na anaweza kushitakiwa na kuadhibiwa ipasavyo. isipokuwa Kufifilisha kosa - 50 Verify source ↗
Compounding of offences
AI-assisted research summary: The Director of Public Prosecutions may compound an offence before court proceedings begin if the accused admits the offence voluntarily, and may order payment up to the fine amount.
50.-(1) Bila ya kuathiri sheria nyingine inayotumika Tanzania Bara, Mkurugenzi wa Mashtaka, anaweza, muda wowote kabla ya mwenendo wa mahakama kuanza na kwa kuzingatia tamko la kukiri kosa kwa hiari la mshitakiwa anaweza kufifilisha kosa na kuamuru mtu huyo alipe kiasi cha pesa atakachokitaja ambacho hakitazidi kiasi cha faini kwa kosa lolote hilo. (2) Amri ya kufifilisha kosa chini ya kifungu kidogo cha (1) itakuwa - (a) ki maandishi, ikiainisha kosa lililotendeka, kiasi cha fedha zitakazolipwa na tarehe ya kufanya malipo ikiambatanisha tamko la kukubali kosa lililorejewa chini ya kifungu kidogo cha (1); (b) ni uamuzi wa mwisho na hautakatiwa rufaa; na (c) na uwezo wa kutekelezwa katika namna sawa na amri ya Mahakama Kuu. 71 No.14 Sheria ya Makosa ya Mtandao 2015 Mamlaka ya kutengeneza kanuni - 51 Verify source ↗
Powers to make regulations
AI-assisted research summary: The Minister may make regulations about matters that must be prescribed by the Act or are needed to implement it.
51. Waziri anaweza kutunga kanuni kuhusiana na jambo lolote ambalo linatakiwa kuainishwa na Sheria hii au ni umuhimu au kwa ajili ya utekelezaji wa masharti ya Sheria hii. SEHEMU YA SABA MAREKEBISHO YATOKANAYO (a) Marekebisho ya Sheria ya Posta na Mwasiliano ya Kielektroniki, ya mwaka 2010 Construction No.3 of 2010
Part
SEHEMU YA SABA
- 52 Verify source ↗
Construction
AI-assisted research summary: This Part is to be read together with the Electronic and Postal Communications Act (the principal Act).
52. This Part shall be read as one with the Electronic and Postal Communications Act, hereinafter referred to as the “principal Act”. Amendment of Section 124 – - 53 Verify source ↗
Amendment of section 124
AI-assisted research summary: This section amends section 124 of the principal Act by replacing the marginal note with “Establishment of the National Computer Emergency Response Team” and deleting sub-section 3.
53. The principal Act is amended in section 124, by (c) deleting the marginal note and substituting for it the following “Establishment of the National Computer Emergency Response Team” (d) deleting sub-section 3. (b) Marekebisho ya Kanuni za Adhabu, Sura ya.16 Construction Cap. 16 - 54 Verify source ↗
Construction
AI-assisted research summary: This section says this Part must be read together with the Penal Code.
54. This Part shall be read as one with the Penal Code, hereinafter referred to as the “principal Act”. Amendment of Section 109 - 55 Verify source ↗
Amendment of section 109
AI-assisted research summary: This provision amends section 109 of the principal Act by renaming it section 109(1) and inserting the word “device” after “document” in that subsection.
55. The principal Act is amended in section 109, by: (c) designating sectin 109 as section 109(1); (d) inserting the word “device” immediately after the word “document” that appears in subsection (1) as renamed. (c) Marekebisho ya Sheria ya Utakatishaji wa Fedha Haramu, Sura ya.423 Construction Cap.423 - 56 Verify source ↗
Construction
AI-assisted research summary: This Part must be read together with the Anti-Money Laundering Act, which is called the principal Act.
56. This Part shall be read as one with the Anti- Money Laundering Act, hereinafter referred to as the principal Act. 72 No.14 Sheria ya Makosa ya Mtandao 2015 Amendment of section 3 - 57 Verify source ↗
Amendment of section 3
AI-assisted research summary: This section amends section 3 of the principal Act by adding a new paragraph (r) to the definition of “predicate offence” and renumbering later paragraphs.
57. The principal Act is amended in section 3, by - (c) inserting a new paragraph (r) immediately after paragraph (q) appearing in the definition of the term “predicate offence” as follows: offences under Cyber Crimes Act, “(r) 2015” and (d) renaming paragraphs (r) to (y) as paragraphs (s) to (z). (d) Marekebisho ya Sheria ya Kurudishwa Watumihiwa, Sura ya.368 Construction Cap.368 - 58 Verify source ↗
Construction
AI-assisted research summary: This section says this Part may be cited as the Extradition Act and must be read together with the principal Act.
58. This Part may be cited as the Extradition Act, and shall be read as one with the Extradition Act, hereinafter referred to as the principal Act. Amendment of the Schedule - 59 Verify source ↗
Amendment of the Schedule
AI-assisted research summary: This section amends the Schedule of the principal Act by adding a new heading for “Cybercrimes Offences under the Cybercrimes Act, 2015.”
59. The principal Act is amended in the Schedule by adding immediately after the heading “slave dealings” the following: “Cybercrimes Offences under the Cybercrimes Act, 2015.” Imepitishwa na Bunge tarehe 1 Aprili, 2015 THOMAS D. KASHILILAH Katibu wa Bunge
Provision text is displayed from LexChat’s stored statute record. Use the official source links to verify amendments, commencement, and current legal force.
Ask AI about this statute
The Cybercrimes Act, 2015
Sign in to ask AI about this statute
Sign in to start authenticated, citation-grounded statute research.
Sign in