SHERIA NDOGO YA ADA NA USHURU YA HALMASHAURI YA WILAYA YA BAGAMOYO YA MWAKA
Sheria ndogo hii inaitwa Sheria Ndogo ya Ada na Ushuru ya Halmashauri ya Wilaya Bagamoyo, na itaanza kutumika baada ya mwaka 2022 na baada ya kutangazwa katika Gazeti la Serikali.
AI-assisted research synopsis — verify against the official legal text below.
- Jurisdiction
- Tanzania
- Instrument
- Regulation
- Citation
- SHERIA NDOGO YA ADA NA USHURU YA HALMASHAURI YA WILAYA YA BAGAMOYO YA MWAKA
- Version
- Undated source snapshot
- Language
- sw
- Official source
- View official record ↗
Statute overview
About this statute
Sheria ndogo hii inaitwa Sheria Ndogo ya Ada na Ushuru ya Halmashauri ya Wilaya Bagamoyo, na itaanza kutumika baada ya mwaka 2022 na baada ya kutangazwa katika Gazeti la Serikali. This section defines key words used in the by-laws, including fee, permit, Council, authorised officer, Director, construction minerals, levy, and agent. Halmashauri itatoza ada na ushuru kwa vibali, leseni, na huduma zilizo kwenye Jedwali la Kwanza; ada na ushuru hulipwa kwa Halmashauri, na ushuru pia unaweza kulipwa kwa wakala wake inapoelekezwa. Anyone liable to pay a fee or tax under this bylaw must pay it at the rates set out in the bylaw. Ushuru unakusanywa kati ya saa 12 asubuhi na saa 12 jioni, isipokuwa kwa kibali maalum cha Mkurugenzi; malipo ya ada na ushuru hufanyika kila siku au kila mwezi kwa makubaliano.
Search within this statute
Search all stored provisions in this version.
Legal text
Provisions of SHERIA NDOGO YA ADA NA USHURU YA HALMASHAURI YA WILAYA YA BAGAMOYO YA MWAKA
Showing 16 of 16
- 1 Verify source ↗
Section 1
AI-assisted research summary: Sheria ndogo hii inaitwa Sheria Ndogo ya Ada na Ushuru ya Halmashauri ya Wilaya Bagamoyo, na itaanza kutumika baada ya mwaka 2022 na baada ya kutangazwa katika Gazeti la Serikali.
1. Jina na Mwanzo wa Kutumika Sheria Ndogo hii itajulikana kama Sheria Ndogo ya Ada na Ushuru ya Halmashauri ya Wilaya bagamoyo itaanza kutumika baada ya ya Mwaka 2022 na kutangazwa kwenye Gazeti la Serikali. Tafsiri - 2 Verify source ↗
Katika
AI-assisted research summary: This section defines key words used in the by-laws, including fee, permit, Council, authorised officer, Director, construction minerals, levy, and agent.
2. Katika Sheria Ndogo itakapoelezwa vinginevyo: hizi, isipokuwa pale “ada” maana yake ni malipo yanayolipwa kwa Halmashauri kwa ajili ya vibali au leseni mbalimbali zitolewazo na Halmashauri; “Afisa Mwidhiniwa” maana yake ni mtumishi wa umma yeyote aliyeteuliwa na Mkurugenzi kusimamia Sheria Ndogo hii; “Halmashauri” maana yake ni Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo; “kibali” maana yake ni idhini au ruhusa ya maandishi inayotolewa na Halmashauri; “madini ya ujenzi” maana yake ni kifusi, udongo, mchanga, tarazo, moramu, mawe, kokoto, mawe, chokaa na madini mengine yanayotumika katika ujenzi; “Mkurugenzi” maana yake ni Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo au afisa yeyote aliyeteuliwa kutekeleza majukumu ya Mkurugenzi; 1 Sheria Ndogo ya Ada Na Ushuru ya Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo Tangazo la Serikali Na. 220 (Linaendelea.) “ushuru” maana yake ni inayotozwa na Halmashauri kwa shughuli au huduma mbalimbali zinazofanywa katika eneo la Halmashauri; “Wakala” maana yake ni kampuni iliyoteuliwa tozo Utozaji wa ada na ushuru - 3 Verify source ↗
Section 3
AI-assisted research summary: Halmashauri itatoza ada na ushuru kwa vibali, leseni, na huduma zilizo kwenye Jedwali la Kwanza; ada na ushuru hulipwa kwa Halmashauri, na ushuru pia unaweza kulipwa kwa wakala wake inapoelekezwa.
3.- kukusanya ushuru kwa niaba ya Halmashauri chini ya Sheria Ndogo hii. (1) Halmashauri itatoza ada na ushuru kwa ajili ya vibali, leseni na huduma mbalimbali zinazotolewa ilivyoainishwa katika na Halmashauri kama Jedwali la Kwanza la Sheria Ndogo hii. (2) Kwa kuzingatia masharti ya kifungu kidogo cha (1), ada zinazotozwa chini ya Sheria Ndogo hii zitalipwa kwa Halmashauri. (3) Kwa kuzingatia masharti ya kifungu kidogo cha (1), ushuru unaotozwa chini ya Sheria Ndogo hii utalipwa kwa Halmashauri au Wakala wa Halmashauri Halmashauri itakavyoelekeza. kadri kwa (4) Malipo ya ada au ushuru yatalipwa kabla au wakati wa kupokea huduma inayotozwa ada au ushuru chini ya Sheria Ndogo hii. Wajibu wa kulipa ada na ushuru
Part
Jedwali la Kwanza la Sheria Ndogo hii.
- 4 Verify source ↗
Mtu yeyote anayestahili kulipa ada au ushuru kwa
AI-assisted research summary: Anyone liable to pay a fee or tax under this bylaw must pay it at the rates set out in the bylaw.
4. Mtu yeyote anayestahili kulipa ada au ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hii atatakiwa kulipa ada au ushuru huo kwa kuzingatia viwango vilivyoainishwa katika Sheria Ndogo hii. - 5 Verify source ↗
Section 5
AI-assisted research summary: Ushuru unakusanywa kati ya saa 12 asubuhi na saa 12 jioni, isipokuwa kwa kibali maalum cha Mkurugenzi; malipo ya ada na ushuru hufanyika kila siku au kila mwezi kwa makubaliano.
5.- Muda wa kukusanya ada na ushuru (1) Muda wa kukusanya ushuru utakuwa ni kuanzia saa kumi na mbili kamili asubuhi hadi saa kumi na mbili kamili jioni. (2) Bila kujali masharti ya kifungu kidogo cha (1), Halmashauri au Wakala, kwa kibali maalum kutoka kwa Mkurugenzi, anaweza kukusanya ushuru baada ya muda uliotajwa hapo juu. 2 Sheria Ndogo ya Ada Na Ushuru ya Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo Tangazo la Serikali Na. 220 (Linaendelea.) (3) Malipo ya ada na ushuru yatafanyika kila siku au kwa mwezi yeyote itakayokubalika kulingana na makubaliano yatakayowekwa kati ya Halmashauri na mlipa ada au ushuru. namna kwa au Usimamizi wa Sheria Ndogo - 6 Verify source ↗
Section 6
AI-assisted research summary: Halmashauri inaweza kufunga biashara isiyo na leseni/kibali, kukamata au kuzuia mali ya mdaiwa wa ushuru, na katika hali fulani kuuza mali iliyokamatwa baada ya amri ya Mahakama. Wakala hawezi kukamata mali bila idhini ya maandishi ya Mkurugenzi.
6.- (4) Malipo ya ushuru yanayotozwa kwa mujibu wa Sheria Ndogo hii yatalipwa kwa Halmashauri au Wakala wake na kutolewa stakabadhi ya kielektroniki ya Halmashauri kama kielelezo cha malipo yaliyofanyika. (1) Halmashauri inaweza kufunga biashara au kusimamisha uendeshaji wa shughuli yoyote ambayo itafanyika bila ya kuwa na leseni au kibali kinachotolewa na Halmashauri. (2) Bila kuathiri masharti ya kifungu kidogo cha (1), Halmashauri au Wakala wake anaweza kukamata na kuzuia mali au bidhaa za mtu yeyote ambaye ameshindwa kulipa ushuru. (3) Endapo mmiliki wa mali au bidhaa iliyokamatwa (2) kwa mujibu wa kifungu kidogo cha atashindwa kulipa ushuru unaodaiwa ndani ya siku saba kwa mali au bidhaa zisizoharibika haraka na ndani ya siku mbili kwa mali au bidhaa zinazoharibika haraka, Halmashauri, baada ya kupata amri ya Mahakama, itakuwa na mamlaka ya fedha au zitakazopatikana zitarejeshwa kwa mmiliki wa mali au bidhaa hizo baada ya kutoa ada au ushuru unaodaiwa, gharama za kuhifadhi mali au bidhaa, gharama za Mahakama na gharama za mnada. kuuza mali bidhaa na (4) Wakala hataruhusiwa kukamata mali au bidhaa bila kupata idhini ya maandishi ya Mkurugenzi. (5) Halmashauri haitawajibika kwa uharibifu wa bidhaa au mali iliyokamatwa chini ya kifungu hiki isipokuwa tu kama uharibifu huo utakuwa umesababishwa na Halmashauri au Wakala. 3 Sheria Ndogo ya Ada Na Ushuru ya Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo Tangazo la Serikali Na. 220 (Linaendelea.) Uteuzi wa Wakala - 7 Verify source ↗
Section 7
AI-assisted research summary: Halmashauri inaweza kuteua kampuni iliyosajiliwa kukusanya ushuru, na wakala aliyechaguliwa lazima akusanye na kupokea ushuru kwa niaba ya Halmashauri katika eneo na viwango vilivyoidhinishwa.
7.- (1) Halmashauri itakuwa na mamlaka ya kuteua kampuni iliyosajiliwa kwa mujibu wa sheria kukusanya ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hii. (2) Wakala aliyeteuliwa kwa mujibu wa kifungu kidogo cha (1) atakuwa na wajibu wa: (a) kukusanya na kupokea ushuru kwa niaba ya Halmashauri katika eneo alilopangiwa na kwa viwango vilivyoidhinishwa katika Sheria Ndogo hii; kielektroniki (b) kukusanya ushuru kwa kutumia mfumo wa kuwasilisha makusanyo yote kwa kuzingatia masharti ya mkataba wa uwakala alioingia na Halmashauri. na - 8 Verify source ↗
Section 8
AI-assisted research summary: Afisa Mwidhiniwa anaweza kuingia katika eneo, jengo au chombo cha usafiri kwa ajili ya kukusanya ushuru, kufanya tathmini, au kushughulikia ada, ushuru, leseni au vibali, lakini kwa kuzingatia masharti ya Sheria Ndogo hii.
8. Mamlaka ya Afisa Mwidhini wa Bila kuathiri masharti yaliyowekwa na Sheria Ndogo hii, Afisa Mwidhiniwa anaweza kuingia katika eneo, jengo au chombo cha usafiri kwa nia ya kukusanya ushuru, kufanya tathmini au kufanya jambo lolote linalohusu ada, ushuru, leseni au kibali kwa mujibu wa Sheria Ndogo hii. Makosa na adhabu - 9 Verify source ↗
Section 9
AI-assisted research summary: Mtu yeyote akishindwa kulipa ushuru, akichochea wengine kukwepa ada au ushuru, akizuia maafisa kutekeleza majukumu yao, au akitoa taarifa za uongo kuhusu huduma au shughuli zinazolipiwa, anatenda kosa.
9.- (1) Mtu yeyote atakuwa ametenda kosa endapo: (c) (a) (b) atashindwa kulipa ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hii; atamshawishi mtu au kundi la watu kukwepa au kukataa kulipa ada au ushuru; atamzuia Mkurugenzi, Afisa Mwidhiniwa au Wakala kutekeleza majukumu yake kwa mujibu wa Sheria Ndogo hii; au atatoa taarifa za uongo kwa Halmashauri au Wakala kuhusu huduma zinazohitaji kibali au leseni ya Halmashauri shughuli zinazohitaji kulipiwa ushuru. (2) Mtu atakayetiwa hatiani kwa kukiuka masharti ya kifungu kidogo cha kwanza atahukumiwa adhabu ya faini isiyopungua shilingi laki mbili (d) 4 Sheria Ndogo ya Ada Na Ushuru ya Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo Tangazo la Serikali Na. 220 (Linaendelea.) na isiyozidi shilingi milioni moja au kifungo kisichopungua miezi kumi na mbili na kisichozidi miezi ishirini na nne. Kufifilisha kosa - 10 Verify source ↗
Section 10
AI-assisted research summary: Mkurugenzi anaweza kufifilisha kosa kwa kumtoza aliyeenda kosa chini ya Sheria Ndogo hizi shilingi 200,000, ikiwa anakiri kwa hiari, anajaza fomu maalum ya Jedwali la Pili, na analipa ada au ushuru unaodaiwa.
10. - Mkurugenzi atakuwa na uwezo wa kufifilisha kosa kwa kumtoza mtu yeyote aliyetenda kosa kwa mujibu wa Sheria Ndogo hizi kiasi cha shilingi laki mbili endapo mkosaji atakiri kosa kwa hiari yake mwenyewe na kuwa tayari kujaza fomu maalum iliyoainishwa katika Jedwali la Pili la Sheria Ndogo hizi na kulipa ada au ushuru anaodaiwa.
Part
Jedwali la Pili la Sheria Ndogo hizi na kulipa ada au
- 11 Verify source ↗
Section 11
AI-assisted research summary: This section repeals the cited Bagamoyo district by-laws and sets a first schedule of charges/taxes for listed goods and services.
11. - Sheria Ndogo hizi zinafuta Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya yaa Bagamoyo, 2012. Kufutwa kwa Tangazo la Serikali na. 403/2012 la Tarehe 28/12/201 2 5 Sheria Ndogo ya Ada Na Ushuru ya Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo Tangazo la Serikali Na. 220 (Linaendelea.) JEDWALI LA KWANZA _______ (Chini ya kifungu cha 3(1)) A.Ushuru mbalimbali Na Aina ya Mazao korosho na mazao ya biashara Nafaka Kiwanago cha ushuru na kipimo/(kwa kilo1) 3% ya bei ya mauzo sokoni kwa kilo 3% ya bei ya mauzo sokon kwa kilo Samaki na mazao ya samaki 5% ya bei ya mauzo sokoni kwa kilo Matunda Dagaa Mazao ya mikunde Unera/mkonge 3% ya bei ya mauzo sokoni 5% ya bei ya mauzo sokoni kwa kilo 3% ya bei ya mauzo sokoni kwa kilo 3% ya bei ya mauzo sokoni kwa kilo Ushuru wa nyumba za kulala wageni 10% ya bei ya chumba kwa siku Ushuru mkaa 1,000 kwa gunia 1 2 3 4 5 6
Part
JEDWALI LA KWANZA
- 10 Verify source ↗
Kuni, kuni, nguzo,gogo,fitomrunda
AI-assisted research summary: The section lists kuni, nguzo, gogo, and fitomrunda at 1,000 per cubic meter.
10. Kuni, kuni, nguzo,gogo,fitomrunda 1,000 kwa mita za ujazo - 11 Verify source ↗
Ushuru wa chumvi
AI-assisted research summary: Kifungu hiki kinaweka ushuru na ada mbalimbali za manispaa/halmashauri, ikiwemo ushuru wa chumvi, ada za machinjio, ukaguzi wa nyama, kushusha mizigo, na vibali vya ujenzi na matukio.
11. Ushuru wa chumvi Tsh. 200 kwa kg 50 B.ushuru wa huduma ya usafi wa Machinjio Na Aina ya mifugo Kiasi cha ushuru 1 2 3 4 Ng’ombe Mbuzi Tsh 3,000/= kwa mfugo Tsh 1,500/= kwa mfugo Kondoa/Punda Tsh 1,500/= kwa mfugo Nguruwe Tsh 2,000/= kwa mfugo C. Ada ya Ukaguzi wa Nyama Na Aina ya mifugo Kiasi cha Ada 1 2 3 Ng’ombe Mbuzi Kondoa Tsh 2,000/= kwa Mfugo Tsh 1,000/= kwa Mfugo Tsh 1,000/= kwa Mfugo 6 Sheria Ndogo ya Ada Na Ushuru ya Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo Tangazo la Serikali Na. 220 (Linaendelea.) 4 Nguruwe Tsh 2,000/= kwa Mfugo D. Ushuru wa Kushusha Mizigo katika Eneo au Soko lolote liliotengwa na Halmashauri Na Aina ya chombo cha usafirishaji Kiasi cha ushuru 1 2 3 4 uzito wa kuanzia tani 1 – 5 uzito wa kuanzia tani 6 – 10 uzito wa kuanzia tani 11 – 20 uzito wa kuanzia tani 20 – 50 Tsh 2,000/= Tsh 5,000/= Tsh 10,000/= Tsh 20,000/= Na. Aina ya kibali Kiwango cha Ada ya Kibali (tshs). E Ada ya Kibali. 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16 17 Ujenzi wa minara ya mawasiliano Tsh.1,000,000/= kwa mnara Ujenzi wa nyumba ya biashara Tsh. 100,000/= kwa nyumba moja Ujenzi wa Nyumba ya makazi na biashara Tshs 50,000/= kwa nyumba moja Ujenzi wa nyumba za makazi Tshs 30,000/= kwa nyumba moja Ujenzi wa Ghala, Karakana, gereji au karakana za Tshs 200,000/= kwa jengo Ujenzi wa kituo cha mafuta Tshs 1,000,000/= kwa kituo ujenzi wa Viwanda vidogo vidogo, mashine za kukoboa au kusaga nafaka (mchele, mahindi) Ujenzi wa Nyumba ya ghorofa moja Tshs 500,000/= kwa jengo Tshs 120,000/= kwa jengo Ujenzi wa Vyuo Binafsi Tshs 1,000,000/= kwa majengo Ujenzi wa Shule Tshs 500,000/= kwa majengo Ujenzi wa uzio wakati wa kujenga jengo Tshs 50,000/= kwa uzio Ujenzi wa Kibanda chochote cha biashara Tshs 10,000/= kwa kibanda Ada ya adhabu kwa mtu aliyejenga bila kibali cha ujenzi Tamasha Asilimia 3% ya gharama za ujenzi kwa hhu hatua ya ujenzi iliyofikiwa 50,000/= kwa siku Michezo Ngoma za utamaduni 20,000/=. kwa siku 20,000/=, kwa siku Maonyesho ( exhibition) [ya ndani ya nchi] 20,000/=, banda kwa siku saba 7 Sheria Ndogo ya Ada Na Ushuru ya Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo Tangazo la Serikali Na. 220 (Linaendelea.) 18 19 Maonyesho ( exhibition) [ya kimataifa] 500,000/=, tukio zima. Maombi ya kibali cha kumiliki chimbo la madini ya ujenzi 1,000,000, kwa mwaka G. Ada ya zabuni Aina ya Zabuni Kiwango cha Ada (Tshs) N a . - 2 Verify source ↗
Section 2
AI-assisted research summary: This section lists fee amounts for different types of tenders and related charges.
2. 3 4 Zabuni ya ujenzi wa majengo, barabara na miundo mbini mingine Zabuni za uwakala mbalimbali Tsh. 100,000/= kwa Zabuni Tsh. 100,000/=, kwa zabuni Zabuni za ugavi wa huduma Tsh 70,000/=, kwa Zabuni Zabuni za ugavi Ndogo Tsh. 20,000/=, Zabuni H. Ada za kukodi mali za Halmashauri Na. Vifaaa Ada - 2 Verify source ↗
Ukumbi wa Mkutano wa Halmashauri
AI-assisted research summary: This section lists fees for using council meeting halls and open areas or roads for promotions and business advertising.
2. Ukumbi wa Mkutano wa Halmashauri: i. Ukumbi mdogo ii. Ukumbi mkubwa 2 Maeneo ya wazi/ barabara kwa ajili ya shughuli za promosheni na matangazo ya biashara Tshs 250,000/=, kwa siku moja Tshs. 500,000/=, kwa siku moja. Tshs 10,000/ kwa siku - 8 Verify source ↗
Section 8
AI-assisted research summary: This section lists local government fees and charges for parking, advertising permits, land services, and boat registration/licensing.
8. Trekta. 50,000 kwa ekari 1 I. Ushuru wa standi na maegesho katika maeneo mengine ya Halmashauri S/NO AINA YA USHURU WA STENDI (KWA USHURU WA GARI TRIPU) MAEGESHO (KWA 1 Mabasi Tsh, 3000/= , kwa tripu 4,000/= kwa siku SIKU) 8 Sheria Ndogo ya Ada Na Ushuru ya Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo Tangazo la Serikali Na. 220 (Linaendelea.) /malori 2 3 4 5 Hiace Tsh, 2,000/= kwa tripu 2,500/= kwa siku Taxi Tsh 1000/= kwa siku 1,000/= kwa siku Bajaji Tsh,1000/= kwa siku 1,000/=, kwa siku Magari ya Tsh. 1000, kwa siku 3000/=, kwa siku watu binafsi J. Ada za vibali vya Mabango/ matangazo ya Biashara S/NO AINA YA TANGAZO USHURU 1 Matangazo yatakayobandikwa kwenye na kuwekwa kando ya barabara kuu na katika ya mji vibao Tsh. 10,000/= kwa mabango yasiyowaka taa kwa 20,000/= mabango yanayowaka taa UKUBWA Kila ft1 ya mraba MUDA Kwa mwaka 2 3 4 5 6 Matangazo ya biashara yanayobandikwa kwenye nyumba ya biashara Tsh. 5,000/= kwa mabango yasiyowaka taa Tsh 10,000/= kwa mabango yanayowaka taa Kila ft. 1ya mraba Kwa mwaka Tsh. 4,000 Kila ft 1 ya mraba Kwa mwaka Tsh 50,000/= Kwa siku moja Kwa siku 50,000 100,000 Biahara za ndani Bishara za nje Kwa siku Kwa siku 100,000 - Kwa siku Matangazo ya biashara yatakayobandikwa kwenye nyumba za makazi Matangazo ya biashara kwa njia ya kipaza sauti wa Utangazaji biashara{ busness promotion and Music band) Ada ya kibali cha kutengeneza picha jongevu na picha za kwenye kawaida ya maeneo 9 Sheria Ndogo ya Ada Na Ushuru ya Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo Tangazo la Serikali Na. 220 (Linaendelea.) kwa Halmashauri makampuni madogo wenye la biashara Matamasha ya mziki na vibali vya sherehe lengo Ada ya usajili wa vikundi vya sanaa na wasanii (25% ya ada ya Basata) kikundi Kibali cha cha sanaa(25% ya ada ya Basata) 7 8 10 K .Ushuru wa madini ya ujenzi za jadi Ngoma 10,000 Muziki wa dansi na bongo fleva 50,000 Rusha Roho Taarab 20,000 21,500 na 10,000 Kwa siku Kwa mwaka Kwa mwaka - - - Na Aina ya chombo cha usafirishaji Kiasi cha ushuru kwa tripu 1 2 3 4 uzito wa kuanzia tani 1 – 5 uzito wa kuanzia tani 6 – 10 uzito wa kuanzia tani 11 – 20 uzito wa kuanzia tani 20 – 50 Tsh 2,000/= Tsh 5,000/= Tsh 20,000/= Tsh 30,000/= L. Kodi ya pango na majengo mengine ya Halmashauri. S/No 1 3 4 Aina ya Jengo Vibanda ndani ya soko Vibanda nje ya soko Vibanda ndani ya stendi Vibanda nje ya stendi Kodi ya Pango Tsh.40, 000/= Tsh.80,000/= Tsh. 100,000/= Tsh.50,000/= Muda Kwa mwezi Kwa mwezi Kwa mwezi Kwa mwezi N. ADA ZA HUDUMA ZA ARDHI Ada ya kuchukua fomu ya kiwanja Upimaji wa shamba Ada ya upimaji (survey) Kurudisha kigingi Kuoneshwa mipaka Kuharibu beacon (faini) Kupitisha michoro ya mipango miji Kamisheni ya mauzo ya ardhi kwa 20,000/= 100,000/= 20,000/= 50,000/= 30,000/= 50,000/= 20,000/= 15% 1 2 3 4 5 6 7 8 10 Kwa fomu Kwa ekari moja Kwa ekari moja Kimoja Kwa kiwanja kimoja Beacon moja Kwa mchoro Kwa bei ya kiwanja Sheria Ndogo ya Ada Na Ushuru ya Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo Tangazo la Serikali Na. 220 (Linaendelea.) 9 miradi ya PPP Kamisheni ya kufanya utafiti wa eneo linalotakiwa kununuliwa au kuuzwa 10% ya bei ya kiwanja O. ADA ZA BOTI /MAJAHAZI NA Urefu wa Boti/Jahazi Maegesho kwa siku 2 Mita 1 hadi mita 11 500 kwa boti au jahazi Ada ya usajiri /leseni 17,000 kwa mwaka 11 Sheria Ndogo ya Ada Na Ushuru ya Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo Tangazo la Serikali Na. 220 (Linaendelea.) JEDWALI LA PILI (Limetungwa chini ya kifungu cha 10) KUFIFILISHA KOSA Mimi………………………………………………..…………………. nakiri KWA HIARI YANGU MWENYEWE mbele ya …………………………ambaye ni Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya ..............................., kwamba mnamo tarehe ………mwezi………. Mwaka………. nilitenda kosa la kukiuka masharti ya kifungu cha………………. cha Sheria Ndogo za (Ada na Ushuru) za Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo. za mwaka 2022. Kwa mamlaka aliyopewa Mkurugenzi wa Halamashauri ya Wilaya ya ..............................., Niko tayari kulipa kiasi cha Ada au Ushuru ninayodaiwa pamoja na faini. NATHIBITISHA KWAMBA MAELEZO HAPO JUU NI KWELI NA NINAYATOA KWA HIARI YANGU KADRI YA UFAHAMU WANGU Leo tarehe………………………………. ya Mwezi…………………. Mwaka………………… Jina…………………………………………Saini……………………………………… Mbele ya: Jina………………………………………...Cheo……………………………………. Saini………………………………………Tarehe…………………………………… 12 Sheria Ndogo ya Ada Na Ushuru ya Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo Tangazo la Serikali Na. 220 (Linaendelea.) Lakiri ya Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo imebandikwa kwenye Sheria Ndogo hizi kufuatia azimio lililopitishwa katika kikao cha Baraza la Madiwani la halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo kilichofanyika tarehe 17/11/2021. SHAURI SELENDA, Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya, Bagamoyo. MOHAMED ABDALLAH USINGA, Mwenyekiti, Halmashauri ya Wilaya, Bagamoyo. L.S NAKUBALI, Dodoma, INNOCENT L. BASHUNGWA (MB.), 1 Machi, 2022 Waziri wa Nchi OR-Tamisemi, 13
Provision text is displayed from LexChat’s stored statute record. Use the official source links to verify amendments, commencement, and current legal force.
Ask AI about this statute
SHERIA NDOGO YA ADA NA USHURU YA HALMASHAURI YA WILAYA YA BAGAMOYO YA MWAKA
Sign in to ask AI about this statute
Sign in to start authenticated, citation-grounded statute research.
Sign in