KANUNI ZA USIMAMIZI WA MAAFA ZA MWAKA 2022
This section is a heading for interpretation and the start of Part II on operations and emergency communications.
AI-assisted research synopsis — verify against the official legal text below.
- Jurisdiction
- Tanzania
- Instrument
- Regulation
- Citation
- KANUNI ZA USIMAMIZI WA MAAFA ZA MWAKA 2022
- Version
- Undated source snapshot
- Language
- sw
- Official source
- View official record ↗
Statute overview
About this statute
This section is a heading for interpretation and the start of Part II on operations and emergency communications. This section is titled “Kituo cha Operesheni na Mawasiliano ya Dharura.” Kifungu hiki kinaweka kichwa cha uanzishwaji wa vituo vya operesheni na mawasiliano ya dharura vya kisekta katika ngazi ya mkoa na wilaya. Section 7 concerns the procedure for exercising the Minister’s power. This section concerns reporting on disaster management.
Search within this statute
Search all stored provisions in this version.
Legal text
Provisions of KANUNI ZA USIMAMIZI WA MAAFA ZA MWAKA 2022
Showing 75 of 75
- 2 Verify source ↗
Tafsiri
AI-assisted research summary: This section is a heading for interpretation and the start of Part II on operations and emergency communications.
2. Tafsiri. SEHEMU YA PILI KITUO CHA OPERESHENI NA MAWASILIANO YA DHARURA
Part
SEHEMU YA PILI
- 3 Verify source ↗
Kituo cha Operesheni na Mawasiliano ya Dharura
AI-assisted research summary: This section is titled “Kituo cha Operesheni na Mawasiliano ya Dharura.”
3. Kituo cha Operesheni na Mawasiliano ya Dharura. - 6 Verify source ↗
Uanzishwaji wa vituo vya operesheni na mawasiliano ya dharura
AI-assisted research summary: Kifungu hiki kinaweka kichwa cha uanzishwaji wa vituo vya operesheni na mawasiliano ya dharura vya kisekta katika ngazi ya mkoa na wilaya.
6. Uanzishwaji wa vituo vya operesheni na mawasiliano ya dharura vya kisekta na ngazi ya mkoa na wilaya. 1 Tangazo la Serikali Na. 658A (Linaendelea.) Kanuni Za Usimamizi Wa Maafa SEHEMU YA TATU USIMAMIZI NA URATIBU WA MAAFA - 3 Verify source ↗
(1) Kituo kilichoanzishwa kwa mujibu wa
AI-assisted research summary: Kituo lazima kiendeshe kazi saa 24 wakati wa dharura na kiwe na vifaa na mifumo ya TEHAMA vinavyohitajika katika kila chumba cha oparesheni.
3.-(1) Kituo kilichoanzishwa kwa mujibu wa kifungu cha 5 cha Sheria, kitafanya kazi masaa ishirini na nne wakati wa dharura na kwa muda wa kawaida wa saa za kazi wa Serikali pasipokuwa na dharura chini ya usimamizi wa Divisheni. (2) Katika kila chumba cha oparesheni cha Kituo, kutakuwa na vifaa na mifumo mbalimbali ya teknolojia ya habari na mawasiliano kwa kadri vitakavyohitajika, na vitajumuisha- (a) ramani ambazo zitawezesha eneo la maafa kuonekana vizuri ikijumuisha topografia au sura ya eneo husika, miundombinu muhimu ikiwemo nishati, mawasiliano, majengo ya umma, makazi, shughuli za kiuchumi ikiwemo kilimo, uvuvi na ufugaji, viwanda na maliasili zilizobainishwa ipasavyo; reli, maji, barabara, (b) taarifa ya mwenendo wa hali mbaya ya hewa, milipuko ya magonjwa kwa binadamu na wanyama, wadudu waharibifu wa mazao na majanga mengine kadri yatakavyojitokeza; (c) ubao unaoonesha takwimu za maafa, orodha ya wadau, vifaa vya utafutaji na uokoaji na vifaa vya misaada ya huduma ya kibinadamu; (d) luninga inayoonyesha picha za satelaiti ya hali ya eneo la maafa; (e) mifumo ya kiteknolojia ya habari ya mawasiliano na ya kijiografia kwa ajili ya ufuatiliaji wa mwenendo wa majanga, uchambuzi wa hali hatarishi na utoaji wa tahadhari ya mapema; na (f) wasifu wa maeneo mbalimbali unaoonesha aina ya majanga yanayoweza kutokea katika maeneo hayo. Kazi za Kituo - 4 Verify source ↗
Kazi za Kituo zitakuwa
AI-assisted research summary: Kituo lazima kitekeleze kazi zake za kupokea, kuchambua na kusambaza taarifa za maafa, kuandaa tahadhari ya mapema, na kuratibu oparesheni za maafa.
4. Kazi za Kituo zitakuwa- (a) kupokea, kuchambua na kusambaza taarifa za 4 Tangazo la Serikali Na. 658A (Linaendelea.) Kanuni Za Usimamizi Wa Maafa maafa ndani na nje ya Nchi na taarifa kutoka katika vituo vya kisekta; (b) kuandaa taarifa za tahadhari ya mapema zinazohusu maafa ya kitaifa; (c) kuratibu na kudhibiti oparesheni za maafa kitaifa; (d) kuandaa itifaki kwa ajili ya usimamizi wa Kituo wakati wa hali ya dharura na hali ya dharura inayotazamiwa; (e) kuratibu na kuanzisha vituo vidogo vya oparesheni kwenye maeneo yaliokumbwa na maafa; (f) kufuatilia mwenendo wa janga na kukadiria eneo litakapotokea pamoja na kiwango cha madhara kwa maisha, miundombinu na mazingira na kushauri ipasavyo; (g) kuandaa mfumo wa jukwaa la teknolojia ya mtandao wa tovuti ya mawasiliano wenye kutumia taarifa za jiografia kwa ajili ya kutoa tahadhari ya mapema kwa wakati na eneo husika; (h) kuratibu na kusambaza taarifa zinazohusu masuala ya maafa; (i) kushirikiana na vituo vya kisekta katika ngazi ya taifa, mikoa na wilaya ili kuhakikisha vinakuwa na mifumo ya kutoa na kupokea taarifa za majanga mbalimbali inayoendana na mahitaji ya Kituo cha Taifa; na (j) kushirikiana na vituo vya kikanda na kimataifa Uamshaji wa Kituo kwa dharura zinazovuka mipaka. - 5 Verify source ↗
(1) Kituo kitafanya kazi kwa kuzingatia taratibu
AI-assisted research summary: Kituo lazima kifanye kazi kwa kufuata taratibu za kuamsha na kuzima ili kiweze kuchukua hatua za haraka wakati wa dharura.
5.-(1) Kituo kitafanya kazi kwa kuzingatia taratibu za kuamsha na kuzima kama inavyohitajika ili kuchukua hatua za haraka wakati wa dharura . (2) Uamshaji wa Kituo kwa sehemu au kamili utazingatia Mpango wa Kujiandaa na Kukabiliana na Dharura kwa kufuata mfumo wa ngazi tatu za uamshaji kituo kama ifuatavyo- (a) endapo tukio la dharura litasimamiwa na ngazi ya mkoa au wilaya, idara moja au zaidi pamoja 5 Tangazo la Serikali Na. 658A (Linaendelea.) Kanuni Za Usimamizi Wa Maafa na taasisi za serikali katika eneo husika, sehemu ya Kituo itaamshwa kufuatilia hali ya tukio; (b) endapo dharura itahitaji nguvu kubwa na rasilimali za ziada kutoka serikali kuu, idara na taasisi mbalimbali, Kituo kitaamshwa sehemu au chote ili kiweze kuratibu hali ya kukabili janga na maafa yaliyotokea; (c) endapo dharura itahitaji uratibu mkubwa na rasilimali nyingi kutoka idara na taasisi za serikali na kuhitaji msaada wa nchi nyingine au mashirika ya kutoa misaada ya kibinadamu ya kimataifa, Kituo chote kitaamshwa ili kiweze kuratibu hatua za kukabiliana na hali. Uanzishwaji wa vituo vya kisekta katika ngazi ya Taifa, na vituo vya mikoa na Wilaya vya majanga mbalimbali. - 6 Verify source ↗
(1) Uanzishwaji wa vituo vya kisekta katika
AI-assisted research summary: Vituo vya kisekta vinapaswa kufanya kazi saa 24 wakati wa dharura, kupokea na kusambaza tahadhari za mapema, kuandaa takwimu za majanga na kuwasilisha taarifa kwa Katibu Mkuu; taasisi zilizoanzisha vituo vya dharura zinapaswa kuomba kuviunganisha na Kituo.
6.-(1) Uanzishwaji wa vituo vya kisekta katika ngazi ya taifa, mkoa na wilaya utafanyika chini ya usimamizi wa ngazi husika kwa kushirikiana na Kituo. (2) Kituo katika ngazi ya mkoa na wilaya kitakachoanzishwa kitahusika na ufuatiliaji wa matukio ya majanga ya aina zote. (3) Vituo vya kisekta vitakavyoanzishwa katika ngazi ya taifa, mkoa na wilaya vitafanya kazi masaa ishirini na nne wakati wa dharura, endapo hakuna dharura muda wa vituo kufanya kazi utakuwa kwa kadri itakavyoamuliwa na sekta husika. (4) Vituo vya kisekta vitakuwa na jukumu la kupokea taarifa za tahadhari za mapema zilizotolewa na Kituo na kusambaza katika ngazi husika kwa wananchi. (5) Vituo vya kisekta vitakuwa na jukumu la kuandaa takwimu za matukio ya majanga, madhara yaliyotokea, shughuli zilizofanyika kukabili maafa pamoja na misaada iliyotolewa kwa waathirika na kuwasilisha taarifa kwa Katibu Mkuu kupitia kamati katika ngazi husika. (6) Bila kuathiri kanuni ndogo ya (1) taasisi, idara au mamlaka iliyoanzisha kituo cha dharura inawajibika kuwasilisha maombi ya kuunganisha kituo hicho na Kituo kwa Katibu Mkuu ikieleza mahali kituo kilipo, jukumu linalotekelezwa na uwezo wa kituo. 6 Tangazo la Serikali Na. 658A (Linaendelea.) Kanuni Za Usimamizi Wa Maafa SEHEMU YA TATU USIMAMIZI NA URATIBU WA MAAFA Utaratibu wa utekelezaji wa mamlaka ya Waziri
Part
SEHEMU YA TATU
- 7 Verify source ↗
Utaratibu wa utekelezaji wa mamlaka ya Waziri
AI-assisted research summary: Section 7 concerns the procedure for exercising the Minister’s power.
7. Utaratibu wa utekelezaji wa mamlaka ya Waziri. - 9 Verify source ↗
Utoaji taarifa za usimamizi wa maafa
AI-assisted research summary: This section concerns reporting on disaster management.
9. Utoaji taarifa za usimamizi wa maafa. - 11 Verify source ↗
Utaratibu wa matumizi ya fedha za Mfuko wa Taifa wa Usimamizi
AI-assisted research summary: This section concerns the procedure for using funds from the National Disaster Management Fund.
11. Utaratibu wa matumizi ya fedha za Mfuko wa Taifa wa Usimamizi wa Maafa. - 14 Verify source ↗
Mpango wa Usimamizi wa Maafa na Mpango wa Mwendelezo wa
AI-assisted research summary: Sehemu hii inaeleza mpango wa usimamizi wa maafa na mpango wa mwendelezo wa huduma wakati wa dharura ya kitaifa.
14. Mpango wa Usimamizi wa Maafa na Mpango wa Mwendelezo wa Huduma wakati wa Dharura ya Kitaifa. - 17 Verify source ↗
Timu ya tathmini ya madhara na mahitaji
AI-assisted research summary: Kifungu hiki kina kichwa cha “Timu ya tathmini ya madhara na mahitaji.”
17. Timu ya tathmini ya madhara na mahitaji. - 19 Verify source ↗
Notisi ya kurudi katika makazi ya awali au kwenda katika eneo
AI-assisted research summary: Sehemu hii inataja notisi ya kurudi katika makazi ya awali au kwenda katika eneo salama.
19. Notisi ya kurudi katika makazi ya awali au kwenda katika eneo salama. - 20 Verify source ↗
Notisi ya kubaki katika sehemu ambapo mtu yupo
AI-assisted research summary: A section titled “Notice of remaining in a place where a person is.”
20. Notisi ya kubaki katika sehemu ambapo mtu yupo. - 21 Verify source ↗
Notisi ya kuendelea na shughuli za kijamii na kiuchumi
AI-assisted research summary: Kifungu hiki kinaonyesha notisi ya kuendelea na shughuli za kijamii na kiuchumi katika Sehemu ya Nne kuhusu utaratibu wa kujitolea katika usimamizi wa maafa.
21. Notisi ya kuendelea na shughuli za kijamii na kiuchumi. SEHEMU YA NNE UTARATIBU WA KUJITOLEA KATIKA USIMAMIZI WA MAAFA - 7 Verify source ↗
(1) Katika kutekeleza mamlaka yake kwa mujibu
AI-assisted research summary: Waziri lazima afuate utaratibu huu wa usimamizi wa maafa, ikiwemo kutoa tangazo kwa umma, kuzuia au kusimamisha uuzaji wa vitu fulani, na kutoa maelekezo kwa taasisi za serikali kuhusu matumizi ya rasilimali.
7.-(1) Katika kutekeleza mamlaka yake kwa mujibu wa kifungu cha 6 cha Sheria, Waziri atazingatia utaratibu ufuatao: (a) kutoa tangazo kwa umma katika namna iliyoainishwa katika Jedwali la Pili la Kanuni hizi- (i) la kuwataka wananchi kuondoka kwenye eneo la maafa au hatarishi au kuwazuia wananchi kuondoka eneo husika ili kuwalinda dhidi ya maafa kupitia Gazeti la Serikali na vyombo vya habari vinavyopatikana katika eneo husika au kupitia njia nyingine zozote zinazofahamika katika eneo husika; (ii) kusimamisha au kuzuia uuzaji wa vileo, vinywaji, silaha, milipuko, au vitu vingine vitaonekana havipaswi kuwa kwenye maeneo ya maafa; ambavyo (b) kabla ya kuamuru matumizi ya rasilimali za idara, taasisi au mamlaka za serikali wakati wa shughuli atazingatia za dharura, Waziri yafuatayo: (i) rasilimali hiyo iwe imeainishwa na Kamati Elekezi ya Kitaifa ya usimamizi wa maafa kuwa itumike. (ii) ataijulisha idara, taasisi au mamlaka husika kuhusu nia ya Serikali kutumia rasilimali husika; (c) endapo rasilimali ya taasisi, idara au mamlaka iliyochukuliwa kwa amri ya Waziri na kutumika wakati wa shughuli za dharura ipo katika hali nzuri, inaweza kurejeshwa kwa idara, taasisi au mamlaka husika mara baada ya shughuli za kukabili maafa kukamilika; (d) maelekezo ya Waziri kwa idara, taasisi au mamlaka kuhusu shughuli za usimamizi wa 7 Tangazo la Serikali Na. 658A (Linaendelea.) Kanuni Za Usimamizi Wa Maafa inayopaswa maafa yatajumuisha kutekelezwa, namna ya kuitekeleza, muda na mahali pa utekelezaji. shughuli nyingine (f) taasisi, au mamlaka (e) endapo maelekezo yaliyotolewa kwa mujibu wa aya (d) ya kanuni hii hayakutekelezwa ndani ya muda uliobainishwa bila sababu za msingi, Wizara itatekeleza kazi hizo au Waziri anaweza kuelekeza kazi hizo zitekelezwe na taasisi, idara kadri au mamlaka itakavyoonekana inafaa; idara iliyotekeleza shughuli kwa maelekezo ya Waziri kwa mujibu wa aya (e), itapaswa kubainisha gharama zilizotumika na kuziwasilisha kwa Waziri; (g) kwa kuzingatia aya (h) ya kanuni hii, mara baada ya Waziri kupokea gharama zilizotumika kutoka kwa idara au mamlaka, ataziwasilisha kwa taasisi, idara au mamlaka ambayo ilipaswa kutekeleza jukumu hilo, na gharama husika zitakuwa ni deni kwa taasisi, idara au mamlaka hiyo. taasisi, Makazi ya waathirika - 8 Verify source ↗
(1) Divisheni itaandaa na kutunza orodha ya
AI-assisted research summary: Divisheni lazima iandae na itunze orodha ya makazi au vituo vinavyoweza kutumika kama makazi baada ya tahadhari kutolewa au janga kutokea.
8.-(1) Divisheni itaandaa na kutunza orodha ya makazi au vituo vinavyoweza kutumika kama makazi baada ya taarifa ya tahadhari kutolewa au baada ya janga kutokea. (2) Orodha ya makazi ya waathirika itajumuisha yafuatayo- (a) aina ya makazi; (b) vifaa na miundombinu katika kila makazi; (c) ubora wa kila makazi yanayopaswa kutumika baada ya taarifa ya tahadhari kutolewa au baada ya janga kutokea; na (d) muda na masharti ya matumizi ya makazi katika mazingira yaliyobainishwa katika aya (c). Utoaji taarifa za usimamizi wa maafa - 9 Verify source ↗
(1) Taarifa za kila robo mwaka za usimamizi wa
AI-assisted research summary: Kamati za usimamizi wa maafa za ngazi mbalimbali lazima zijumuishe taarifa fulani katika ripoti zao za robo mwaka au ripoti nyingine za usimamizi wa maafa.
9.-(1) Taarifa za kila robo mwaka za usimamizi wa maafa au taarifa nyingine za usimamizi wa maafa za kamati za wataalam za mikoa za usimamizi wa maafa, 8 Tangazo la Serikali Na. 658A (Linaendelea.) Kanuni Za Usimamizi Wa Maafa kamati za wataalam za jiji, manispaa, miji na wilaya za usimamizi wa maafa, kamati za kata za usimamizi wa maafa na kamati za vijiji au mitaa za usimamizi wa maafa zitajumuisha yafuatayo- (a) mipango na programu za usimamizi wa maafa zinazotekelezwa; (b) hatua zilizochukuliwa kutekeleza matakwa ya mipango iliyoandaliwa kwa mujibu wa ya (a); na katika (c) oparesheni za dharura na misaada yote iliyoombwa na kutolewa kwa ajili ya utekelezaji wa shughuli za maafa katika eneo husika. Uwasilishaji wa taarifa (2) Taarifa kuhusu oparesheni za dharura itakayoandaliwa kwa kuzingatia kanuni ndogo ya (1) (c) itakuwa kama ilivyoinishwa katika Jedwali la Kwanza la Kanuni hizi. - 10 Verify source ↗
(1) Taarifa zilizoandaliwa kwa mujibu wa
AI-assisted research summary: Reports prepared under regulation 9 must be sent up the disaster-management chain within seven days after the quarter ends.
10.-(1) Taarifa zilizoandaliwa kwa mujibu wa kanuni ya 9 - (a) ikiwa ni taarifa ya kamati za vijiji au mitaa za usimamizi wa maafa, zitawasilishwa kwa kamati za kata za usimamizi wa maafa ndani ya siku saba baada ya robo mwaka kuisha; (b) ikiwa ni taarifa ya kamati za kata za usimamizi wa maafa, zitawasilishwa kwa kamati za wataalam za jiji, manispaa, miji na wilaya za usimamizi wa maafa ndani ya siku saba baada ya robo mwaka kuisha; (c) ikiwa ni taarifa ya kamati za wataalam za jiji, manispaa, miji na wilaya za usimamizi wa maafa, zitawasilishwa kwa kamati za wataalam za mikoa za usimamizi wa maafa ndani ya siku saba baada ya robo mwaka kuisha; (d) ikiwa ni taarifa ya Kamati za Wataalam za Mikoa za Usimamizi wa Maafa, zitawasilishwa kwa Kamati ya Wataalam ya Kitaifa ya Usimamizi wa Maafa ndani ya siku saba tangu robo mwaka kuisha. 9 Tangazo la Serikali Na. 658A (Linaendelea.) Kanuni Za Usimamizi Wa Maafa Utaratibu wa matumizi ya fedha za Mfuko wa Taifa wa Usimamizi wa Maafa - 11 Verify source ↗
(1) Fedha za Mfuko wa Taifa wa Usimamizi
AI-assisted research summary: Disaster management fund money must be used only for disaster management activities, and spending on the listed prevention and preparedness activities must not exceed 25% in the relevant financial year.
11.-(1) Fedha za Mfuko wa Taifa wa Usimamizi wa Maafa ulioanzishwa kwa mujibu wa kifungu cha 34 cha Sheria, zitatumika kwa shughuli za usimamizi wa maafa pekee kwa kuzingatia utaratibu ufuatao- (a) katika kuzuia na kupunguza madhara ya majanga, yafuatayo yatazingatiwa: (i) kutoa elimu kwa umma kuhusu njia za kuzuia na kupunguza madhara; (ii) kuunda na kujenga uwezo kwa timu za dharura za utayari wa kujiandaa na kukabiliana na majanga; (iii) kufanya tathmini ya vihatarishi vya majanga katika jamii; (iv) kuandaa mipango ya dharura ya kuzuia, kupunguza madhara, kujiandaa na kukabili majanga; (v) kuandaa mifumo jumuishi ya kupeana taarifa za tahadhari za mapema; (vi) kuwezesha ujenzi wa miundombinu itakayosaidia kuzuia au kupunguza madhara ya majanga; (vii) kuwezesha upatikanaji wa bidhaa au huduma kuimarisha zitakazosaidia mfumo wa maisha ya jamii ambayo iko katika hatari ya kuathirika na majanga; (viii) shughuli nyingine za usimamizi wa maafa zinazohusiana na kuratibu, kuzuia na kupunguza madhara ya majanga; kujiandaa ajili ya maafa kwa yanayoweza kutokea yafuatayo yatazingatiwa: (i) kujenga uwezo wa vifaa, utaalam na mazoezi kwa kamati za usimamizi wa maafa na timu za kukabiliana na maafa; (ii) kuimarisha mfumo wa mawasiliano na (b) katika utoaji wa tahadhari ya mapema; (iii) kuandaa mipango na miongozo ya kujiandaa na kukabiliana na maafa; (iv) kutoa taarifa ya tahadhari ya mapema; 10 Tangazo la Serikali Na. 658A (Linaendelea.) Kanuni Za Usimamizi Wa Maafa ajili kwa (v) kutoa elimu kwa umma kuhusu njia za ya maafa kujiandaa yanayoweza kutokea; (vi) utafutaji wa rasilimali; na (vii) shughuli nyingine zinazohusiana na uratibu na kujiandaa kwa ajili ya kukabiliana na maafa yanayoweza kutokea. (c) katika kukabaliana na maafa yanapotokea, yafuatayo yatazingatiwa: (i) utoaji wa tahadhari ya mapema; (ii) kufanya tathmini ya haraka ya madhara na mahitaji ya waathirika; (iii) utafutaji na uokoaji na kuhamisha watu; (iv) ugawaji wa misaada ya kibinadamu; (v) ujenzi wa makazi ya muda; (vi) kutoa elimu kwa umma kuhusu njia za kukabiliana na maafa yanayoweza kusababishwa na matokeo yake; na (vii) shughuli nyingine zinazohusiana na uratibu na kukabiliana na maafa pale yanapotokea. (d) katika kurejesha hali baada ya maafa, yafuatayo yatazingatiwa: (i) kufanya tathmini ya mahitaji baada ya maafa; (ii) kujenga upya iliyoharibika sana; miundombinu (iii) kuhuisha kurejesha huduma za ili kuboresha eneo ya maisha ya kiuchumi na kijamii mifumo lililoathirika; (iv) kutoa elimu kwa umma kuhusu njia za kurejesha hali kuwa bora zaidi; na (v) shughuli nyingine zinazohusiana na uratibu na kurejesha hali baada ya maafa kutokea. (2) Matumizi ya fedha za Mfuko wa Taifa wa Usimamizi wa Maafa kwa shughuli zilizobainishwa 11 Tangazo la Serikali Na. 658A (Linaendelea.) Kanuni Za Usimamizi Wa Maafa kwenye kanuni ndogo ya (1) (a) na (b) hayatazidi asilimia ishirini na tano kwa mwaka wa fedha husika. Majukumu ya Serikali za Mitaa - 12 Verify source ↗
Kila Mamlaka ya Serikali za Mitaa itakuwa na
AI-assisted research summary: Kila Mamlaka ya Serikali za Mitaa lazima iandae taarifa kwa umma kuhusu kujikinga na majanga, itenge maeneo ya makazi ya muda wakati wa maafa, na ishughulikie dharura zisizo maafa ya kitaifa.
12. Kila Mamlaka ya Serikali za Mitaa itakuwa na jukumu la- (a) kuandaa programu za taarifa kwa umma kwa lengo la: (i) kuelimisha umma kujilinda dhidi ya majanga; (ii) kuelimisha umma kuhusu hatua za awali za kukabiliana na majanga katika makazi, maeneo ya umma au katika jamii; (iii) kupunguza madhara, kuokoa maisha, kulinda mali na mazingira wakati wa matukio ya maafa; na (iv) kuzuia matukio hatarishi kutofikia hatua ya kuwa maafa; (b) kutenga na kutambua maeneo maalum yatakayotumika kwa ajili ya makazi ya muda wakati wa maafa; na (c) kushughulikia na kuratibu dharura ambazo si maafa ya kitaifa. Majukumu ya taasisi za Serikali - 13 Verify source ↗
Isipokuwa kwa mujibu wa Sheria, kila taasisi
AI-assisted research summary: Kila taasisi ya serikali na ya kisekta inayohusika na usimamizi wa maafa lazima ifanye maandalizi, mafunzo, elimu kwa umma, na hatua za haraka wakati wa maafa.
13. Isipokuwa kwa mujibu wa Sheria, kila taasisi ya serikali na taasisi ya kisekta inayojihusisha na shughuli za usimamizi wa maafa- (a) itachukua juhudi za makusudi na zinazofaa katika kuandaa mpango wa usimamizi wa maafa; (b) itaandaa na kutekeleza programu za mafunzo kwa watumishi wake na mtu mwingine kuhusiana na utoaji wa huduma muhimu na taratibu za kuzingatiwa wakati wa kukabiliana na maafa na kurejesha hali; (c) itatoa elimu kwa umma kuhusu vihatarishi kwa usalama na utayari wa kukabiliana na majanga; (d) wakati wa tukio la maafa: (i) itagawa majukumu ya usimamizi wa maafa kwa wadau mbalimbali na 12 Tangazo la Serikali Na. 658A (Linaendelea.) Kanuni Za Usimamizi Wa Maafa Mpango wa Usimamizi wa Maafa na Mpango wa Mwendelezo wa Huduma wakati wa Dharura ya Kitaifa kuratibu utekelezaji wake; (ii) itachukua hatua za haraka za kukabiliana na maafa na kutoa misaada; (iii) itawezesha upatikanaji na usambazaji wa bidhaa na huduma muhimu; (iv) itahakikisha uwepo wa mawasiliano ya kimkakati; na (v) itafanya jambo lolote linalotakiwa kwa kuzingatia programu za usimamizi wa maafa. - 14 Verify source ↗
(1) Mpango wa Usimamizi wa Maafa na
AI-assisted research summary: Mpango wa Usimamizi wa Maafa na mpango wa mwendelezo wa huduma wakati wa dharura ya kitaifa lazima ujumuishe vipengele vilivyoorodheshwa, na sekta husika lazima zichukue hatua za urejeshaji kwa kutenga bajeti ya mwaka wa fedha unaofuata ikiwa mpango haujakamilisha majukumu ya kukabiliana na dharura.
14.-(1) Mpango wa Usimamizi wa Maafa na Mpango wa Mwendelezo wa Huduma wakati wa Dharura ya Kitaifa uliyoandaliwa kwa mujibu wa kifungu cha 10 (1) (f) cha Sheria utajumuisha yafuatayo- (a) taasisi mbalimbali na majukumu yao; (b) uwezo wa taasisi kukabiliana na dharura; (c) majukumu ya kiuratibu; (d) mpangilio wa kitaasisi; (e) matamko na udhibiti wa matukio ya maafa; (f) taratibu za kiutendaji; (g) taratibu za mawasiliano; (h) taratibu za tahadhari ya mapema; (i) huduma za kibinadamu kwa waathirika; (j) utafutaji wa rasilimali; (k) ufuatiliaji na tathmini; (l) huduma ya afya ya akili na kisaikolojia; (m) majaribio ya utayari wa kukabiliana na matukio ya maafa; (n) tathmini baada ya maafa; (o) uendelezaji wa tafiti, elimu na tathmini za usimamizi wa maafa; (p) ujuzi asilia unaohusu usimamizi wa maafa; na (q) mipango mingine ya kisekta iliyohuishwa kulingana na mahitaji. (2) Pale ambapo Mpango wa Usimamizi wa Maafa wa Mwendelezo wa Huduma wakati wa Dharura hautakamilisha shughuli za kukabiliana na dharura iliyotokea, sekta husika zitawajibika kuzingatia hatua za kurejesha hali kuwa bora zaidi kwa kutenga bajeti katika 13 Tangazo la Serikali Na. 658A (Linaendelea.) Kanuni Za Usimamizi Wa Maafa mwaka wa fedha unaofuata. Ngazi za kushughulikia maafa maafa kama ifuatavyo- - 15 Verify source ↗
(1) Kutakuwa na ngazi tatu za kushughulikia
AI-assisted research summary: Section 15 sets three disaster-handling levels: district, regional, and national, based on how many districts or regions are affected and whether local authorities can handle the disaster without outside help.
15.-(1) Kutakuwa na ngazi tatu za kushughulikia (a) maafa ya ngazi ya wilaya endapo yataathiri wilaya moja pekee na kwamba, halmashauri iliyoathiriwa ina uwezo wa kukabiliana nayo bila kuhitaji msaada kutoka halmashauri nyingine au mamlaka nyingine za Serikali; (b) maafa ya ngazi ya mkoa endapo yataathiri zaidi ya Wilaya moja katika mkoa husika na kwamba, mkoa huo una uwezo wa kukabiliana nayo bila kuhitaji msaada kutoka mkoa mwingine au mamlaka nyingine za Serikali; na (c) maafa ya ngazi ya Taifa endapo yataathiri zaidi ya mkoa mmoja na kwamba, mikoa iliyoathiriwa haina uwezo wa kukabiliana nayo bila msaada kutoka ngazi ya taifa. (2) Bila kuathiri masharti ya kanuni ndogo ya (1), ngazi ya juu inaweza kushughulikia maafa yaliyojitokeza katika ngazi yoyote endapo kutakuwa na sababu mahsusi au kwa kuzingatia chanzo au ukubwa wa madhara yaliyojitokeza ili kukabili au kurejesha hali. Tathmini ya eneo la maafa - 16 Verify source ↗
(1) Endapo kuna tishio au tukio la maafa
AI-assisted research summary: Divisheni lazima itaratibu tathmini, uainishaji wa ngazi ya maafa, na uhifadhi wa kumbukumbu za madhara, na izingatie taarifa na ushiriki wa kamati husika.
16.-(1) Endapo kuna tishio au tukio la maafa Divisheni itaratibu yafuatayo- (a) kufanyika kwa tathmini ili kubaini ukubwa wa maafa; (b) uainishaji wa ngazi ya maafa kama ya kijiji/mtaa, kata,wilaya, mkoa au taifa; na (c) utunzaji wa kumbukumbu za madhara kwenye kanzidata ya matukio ya maafa. (2) Wakati wa kuratibu tathmini ya ukubwa wa maafa, Divisheni itazingatia taarifa, mapendekezo na ushiriki wa kamati za kitaalam za usimamizi wa maafa za mikoa, wilaya, kata, kijiji au mtaa. (3) Endapo maafa ni makubwa au madogo zaidi ya tathmini ya awali, Divisheni inaweza kuainisha upya ngazi ya maafa kama ya kijiji au mtaa, kata, wilaya, mkoa au 14 Tangazo la Serikali Na. 658A (Linaendelea.) Kanuni Za Usimamizi Wa Maafa taifa baada ya kushauriana na kamati za usimamizi wa maafa katika ngazi husika. Timu ya tathmini ya madhara na mahitaji - 17 Verify source ↗
(1) Mara tu baada ya maafa kutokea au
AI-assisted research summary: After a disaster, the Division must coordinate and send an assessment team to the disaster area, and the assessment must follow Division-issued guidance.
17.-(1) Mara tu baada ya maafa kutokea au kufuatia maombi ya Kamati ya Wataalam ya Usimamizi wa Maafa katika ngazi ya mkoa, Divisheni itaratibu na kutuma timu ya tathmini kwenye eneo la maafa kwa lengo la kufanya tathmini ya mahitaji ya haraka na uharibifu. (2) Timu ya tathmini itajumuisha wataalam ambao wataweza kukusanya taarifa muhimu zifuatazo- (a) taarifa za jumla kuhusu eneo la maafa; (b) kiwango na aina ya madhara; (c) mahitaji muhimu ya kimaisha kama vile chakula na lishe, malazi na huduma za afya; (d) mahitaji ya makundi maalum; (e) mahitaji ya maji na usafi wa mazingira; (f) mahitaji ya kielimu; (g) mahitaji ya majengo na miundombinu; (h) taratibu zinazoendelea katika kushughulikia maafa; na (i) taarifa zozote muhimu. (3) Tathmini ya mahitaji ya haraka na uharibifu tathmini itafanyika kwa kuzingatia mwongozo wa ulioandaliwa na Divisheni. Notisi ya kuondoka - 18 Verify source ↗
(1) Endapo itaonekana kuna haja ya wananchi
AI-assisted research summary: The Minister must issue a notice to evacuate people from a disaster area when needed, and everyone must follow it.
18.-(1) Endapo itaonekana kuna haja ya wananchi kuondoshwa kutoka katika eneo la maafa, Waziri atatoa notisi kwa wananchi kuondoka katika eneo hilo na kuelekea katika eneo lililotengwa na kutambuliwa na Serikali kama makazi ya muda wakati wa maafa. (2) Notisi ya kuondoka itakayotolewa kwa mujibu wa kanuni ndogo ya (1) itabainisha aina ya maafa, eneo linalotakiwa wananchi kuondoka na madhara yanayoweza kutokea kwa wananchi kama ilivyobainishwa kwenye Jedwali la Pili la Kanuni hizi. (3) Endapo notisi inatolewa kwa mujibu wa kanuni ndogo ya (1), Katibu Mkuu ataratibu shughuli za uondokaji wa wananchi kwa kushirikiana na Kamati za Usimamizi za Maafa na mamlaka na wadau wengine wanaohusika na dharura na usimamizi wa maafa 15 Tangazo la Serikali Na. 658A (Linaendelea.) Kanuni Za Usimamizi Wa Maafa Notisi ya kurudi katika makazi ya awali au kwenda katika eneo salama Notisi ya kubaki katika sehemu ambapo mtu yupo ikijumuisha Jeshi la Polisi Tanzania na Jeshi la Zimamoto na Uokoaji. (4) Kila mtu atapaswa kuzingatia notisi ya kuondoka iliyotolewa kwa mujibu wa kanuni hii, na endapo hatazingatia notisi hiyo atalazimishwa na mamlaka kuondoka katika eneo la maafa.
Part
SEHEMU YA NNE
- 22 Verify source ↗
Ushiriki wa wanaojitolea katika usimamizi wa maafa
AI-assisted research summary: Sehemu hii inahusu ushiriki wa wanaojitolea katika usimamizi wa maafa.
22. Ushiriki wa wanaojitolea katika usimamizi wa maafa. - 23 Verify source ↗
Majibu ya ombi la kujitolea na ukomo wa kujitolea
AI-assisted research summary: Section 23 concerns responses to a volunteer application and the limit of volunteering.
23. Majibu ya ombi la kujitolea na ukomo wa kujitolea. - 24 Verify source ↗
Kuanzishwa na ushiriki wa klabu katika shughuli za usimamizi wa
AI-assisted research summary: Kifungu hiki kinaelekeza juu ya kuanzishwa na ushiriki wa klabu katika shughuli za usimamizi wa maafa.
24. Kuanzishwa na ushiriki wa klabu katika shughuli za usimamizi wa maafa. SEHEMU YA TANO MASHARTI YA JUMLA - 22 Verify source ↗
(1) Mtu yeyote, taasisi binafsi au shirika lisilo
AI-assisted research summary: Watu, taasisi binafsi, na NGOs wanaweza kujitolea kusaidia usimamizi wa maafa, lakini lazima waombe kwa fomu kabla ya kuanza na wafuate maelekezo ya kamati husika.
22.-(1) Mtu yeyote, taasisi binafsi au shirika lisilo la kiserikali linaweza kujitolea kufanya yafuatayo- (a) kutoa au kusaidia utoaji wa huduma za usimamizi wa maafa katika mkoa, wilaya, kata, kijiji au mtaa; na jukumu linalohusiana na lolote usimamizi wa maafa kama itakavyoelekezwa na kamati za usimamizi wa maafa za ngazi husika. (b) kufanya (2) Mtu yeyote, taasisi binafsi au shirika lisilo la kiserikali linalotaka kujitolea kutekeleza majukumu yaliyobainishwa katika kanuni ndogo ya (1), linawajibika kujaza fomu ya maombi iliyoainshwa katika Jedwali la Tatu la Kanuni hizi na kuiwasilisha kwa Katibu wa Kamati ya Usimamizi wa Maafa iliyopo katika ngazi husika kabla ya kujihusisha na shughuli ya usimamizi wa maafa. (3) Endapo ombi la kujitolea lililowasilishwa kwa mujibu wa kanuni ndogo ya (2) litakubaliwa, mwombaji atapaswa kujaza fomu ya kiapo cha maadili cha kujitolea kwenye shughuli za usimamizi wa maafa kilichopo kwenye Jedwali la Nne la Kanuni hizi. (4) Mtu, taasisi au shirika litakalojitolea, wakati wa matukio ya maafa litapaswa kuwa na vifaa muhimu kwa ajili ya kutekeleza shughuli hizo. 17 Tangazo la Serikali Na. 658A (Linaendelea.) Kanuni Za Usimamizi Wa Maafa (5) Endapo mtu, taasisi au shirika linalojitolea wakati wa matukio ya maafa litakuwa halina vifaa muhimu, na mamlaka kupatiwa zinazohusika ili kutekeleza shughuli hizo, na vifaa hivyo vitaendelea kuwa mali ya mamlaka iliyovitoa. linaweza vifaa (6) Mtu yeyote, taasisi binafsi au shirika lisilo la kiserikali cha maadili kilichobainishwa chini ya kanuni ndogo ya (3) litakuwa limetenda kosa na- litakalo kiuka kiapo (a) iwapo ni mtu ndiye ametenda kosa na akatiwa hatiani, atalipa faini isiyopungua shilingi laki mbili na isiyozidi shilingi laki tano au kifungo kisichopungua mwezi mmoja na kisichozidi miezi mitatu au vyote kwa pamoja. (b) iwapo ni taasisi binafsi au shirika lisilo la kiserikali ndiyo limetenda kosa na kutiwa hatiani, litalipa faini isiyopungua shilingi laki tano au mbili na za kufungiwa usimamizi wa maafa kwa muda usiopungua mwezi mmoja na usiozidi miezi mitatu au vyote kwa pamoja. isiyozidi shilingi na laki shughuli kujihusisha Majibu ya ombi la kujitolea na ukomo wa kujitolea - 23 Verify source ↗
(1) Ombi la kujitolea kwenye shughuli za
AI-assisted research summary: Ombi la kujitolea kwenye usimamizi wa maafa lazima lijibiwe kwa maandishi ndani ya siku saba na Katibu wa Kamati husika; ukikubaliwa, mtu huyo anaendelea kujitolea hadi tukio la kusitisha litokee.
23.-(1) Ombi la kujitolea kwenye shughuli za usimamizi wa maafa lililowasilishwa kwamujibu wa kanuni ya 22(2), litajibiwa kwa maandishi na Katibu wa Kamati ya Usimamizi wa Maafa katika ngazi husika ndani ya siku saba tangu tarehe ya kupokea ombi hilo, ikielezwa au amekataliwa. endapo mwombaji amekubaliwa (2) Endapo mwombaji atakubaliwa kujitolea kwenye shughuli za usimamizi wa maafa, atahudumu katika shughuli hizo hadi pale ambapo- (a) ataacha kujitolea baada ya kutoa notisi ya siku saba kwa Katibu wa Kamati ya Usimamizi wa Maafa katika ngazi husika ikieleza nia yake ya kuacha kujitolea kwenye shughuli za usimamizi wa maafa; (b) atakiuka kiapo cha maadili ya kujitolea kwenye shughuli za usimamizi wa maafa alichokiapa 18 Tangazo la Serikali Na. 658A (Linaendelea.) Kanuni Za Usimamizi Wa Maafa kwa mujibu wa kanuni ya 22(3); (c) atashindwa kutekeleza majukumu yake kwa ufanisi na weledi unaotakiwa; (d) atakaidi au atashindwa kutoa taarifa ya utekelezaji wa majukumu yake kwenye Kamati ya Usimamizi wa Maafa baada ya kuelekezwa kufanya hivyo na kamati husika; (e) atahama kutoka eneo alilokuwa anatekeleza majukumu yake na kuhamia eneo lingine ambako atawajibika kuomba upya kujitolea kwa Kamati ya Usimamizi wa Maafa ya eneo husika; (f) atafariki; au (g) itathibitishwa na daktari kuwa na matatizo ya kiafya yanayozuia kutekeleza majukumu yake. Kuanzishwa na ushiriki wa klabu katika shughuli za usimamizi wa maafa - 24 Verify source ↗
(1) Mtu, kikundi au taasisi yoyote inaweza
AI-assisted research summary: Mtu, kikundi au taasisi yoyote inaweza kuanzisha klabu au kikundi kwa ajili ya elimu na uhamasishaji kuhusu usimamizi wa maafa na kusaidia waathirika wakati wa maafa; klabu au kikundi kilichoanzishwa lazima kijitambulishe na kueleza shughuli zake kwa Kamati ya Usimamizi wa Maafa katika ngazi husika.
24.-(1) Mtu, kikundi au taasisi yoyote inaweza kuanzisha klabu au kikundi kwa lengo la kutoa elimu na kuhamasisha kuhusu usimamizi wa maafa na kujitolea kusaidia waathirika wakati wa maafa. (2) Klabu au kikundi kitakachoanzishwa kwa mujibu wa kanuni ndogo ya (1), kitatakiwa kujitambulisha na kueleza shughuli zake kwenye Kamati ya Usimamizi wa Maafa katika ngazi husika. SEHEMU YA TANO MASHARTI YA JUMLA Utoaji wa taarifa
Part
SEHEMU YA TANO
- 26 Verify source ↗
Masharti kuhusu ukusanyaji wa misaada na michango wakati wa
AI-assisted research summary: This section concerns the conditions for collecting aid and contributions during a disaster.
26. Masharti kuhusu ukusanyaji wa misaada na michango wakati wa maafa. - 27 Verify source ↗
Ghala la kuhifadhia misaada ya kibinadamu
AI-assisted research summary: This section is titled “Ghala la kuhifadhia misaada ya kibinadamu” (warehouse for storing humanitarian aid).
27. Ghala la kuhifadhia misaada ya kibinadamu. - 28 Verify source ↗
Rejesta ya kutoa na kupokea misaada ya kibinadamu
AI-assisted research summary: Section 28 concerns a register for giving and receiving humanitarian aid.
28. Rejesta ya kutoa na kupokea misaada ya kibinadamu. - 30 Verify source ↗
Kufutwa kwa Kanuni za Usimamizi wa Maafa za Mwaka 2017
AI-assisted research summary: Hii sehemu inaonyesha kufutwa kwa Kanuni za Usimamizi wa Maafa za Mwaka 2017.
30. Kufutwa kwa Kanuni za Usimamizi wa Maafa za Mwaka 2017. 2 Tangazo la Serikali Na. 658A (Linaendelea.) Kanuni Za Usimamizi Wa Maafa SHERIA YA USIMAMIZI WA MAAFA, (NA. 6 YA MWAKA 2022) _______ KANUNI ______ (Zimetengenezwa chini ya kifungu cha 40) ______ KANUNI ZA USIMAMIZI WA MAAFA ZA MWAKA 2022 SEHEMU YA KWANZA MASHARTI YA UTANGULIZI Jina. Tafsiri Na. 6 ya mwaka 2022 - 25 Verify source ↗
(1) Kamati za usimamizi wa maafa zitakuwa na
AI-assisted research summary: Disaster management committees may issue disaster-management information in their areas, and anyone who discloses disaster-related information there without the local committee’s consent commits an offence unless the disclosure is made in good faith to warn of a disaster.
25.-(1) Kamati za usimamizi wa maafa zitakuwa na mamlaka ya kutoa taarifa zozote zinazohusiana na usimamizi wa maafa katika maeneo yao kwa kuzingatia Sheria. (2) Mtu yeyote atakayetoa taarifa zinazohusiana na maafa bila ridhaa ya Kamati ya Usimamizi wa Maafa katika eneo husika, atakuwa ametenda kosa, na atawajibika iwapo atatiwa hatiani kulipa faini isiyopungua shilingi laki tano au kifungo mbili na kisichopungua mwezi mmoja na kisichozidi miezi mitatu au vyote kwa pamoja. isiyozidi shilingi laki (3) Bila kujali masharti ya kanuni ndogo ya (1) na (2), taarifa itakayotolewa na mtu yeyote kwa nia njema ya 19 Tangazo la Serikali Na. 658A (Linaendelea.) Kanuni Za Usimamizi Wa Maafa Masharti kuhusu ukusanyaji wa misaada na michango wakati wa maafa kutoa tahadhari ya janga haitasebakika kuwa ni kosa. - 26 Verify source ↗
(1) Mtu yeyote hataruhusiwa kushawishi,
AI-assisted research summary: Haifai mtu yeyote kushawishi au kukusanya michango au misaada wakati wa maafa bila ridhaa ya Kamati ya Usimamizi wa Maafa ya eneo husika.
26.-(1) Mtu yeyote hataruhusiwa kushawishi, kukusanya au kutekeleza shughuli yoyote yenye lengo la kushawishi au kukusanya michango au misaada wakati wa maafa bila ridhaa ya Kamati ya Usimamizi wa Maafa ya eneo husika. (2) Fedha au misaada yoyote iliyokusanywa au kutolewa kwa ajili ya shughuli za maafa, zitawasilishwa kwenye Kamati ya Usimamizi wa Maafa ya eneo husika kwa kuzingatia utaratibu ufuatao- (a) misaada ya vifaa au vyakula itahakikiwa na kuthibitishwa usalama wake na Kamati za maafa kwa kushirikisha mamlaka za usalama na udhibiti ubora katika ngazi husika; (b) misaada yoyote inayohusisha masuala ya afya, ithibitishwe usalama wake na mamlaka za afya katika ngazi husika kabla ya kupokelewa; (c) misaada ya fedha itaingizwa moja kwa moja kwenye akaunti ya Benki ya Mfuko wa Taifa wa Usimamizi wa Maafa kwa kila mchangiaji kuandika neno “maafa” likifuatiwa na jina la Wilaya maafa yalipotokea au aina ya janga; (d) endapo itahitajika, Katibu Mkuu atatoa kibali kwa mkoa na halmashauri husika kutumia akaunti ya matumizi mengineyo na kila mchangiaji atatakiwa kuandika neno “maafa” likifuatiwa na jina la wilaya husika iliyoathirika na janga na michango hiyo itatolewa taarifa kwenye Kamati ya Usimamizi wa Maafa katika ngazi husika na kupata kibali cha matumizi kutoka kwa Katibu Mkuu; na (e) ikiwa ni misaada ya fedha kwa njia ya itapelekwa kwa uhawilishaji, fedha hiyo wananchi kupitia akaunti ya Serikali ya Mfuko wa Taifa wa Usimamizi wa Maafa au akaunti ya matumizi mengineyo kwa mkoa na halmashauri iliyoidhinishwa na Katibu Mkuu kutumika katika ngazi husika. (3) Fedha au misaada iliyokusanywa kwa mujibu 20 Tangazo la Serikali Na. 658A (Linaendelea.) Kanuni Za Usimamizi Wa Maafa wa kanuni ya 25 (2), kwa ajili ya shughuli za usimamizi wa maafa itatumika kwa shughuli iliyokusudiwa na endapo- (a) fedha hizo zitatumika kwa shughuli za maafa na kubaki, zitawekwa kwenye Mfuko wa Taifa wa Usimamizi wa Maafa; iliyokusanywa (b) misaada mingine itatumika na kubaki, itapelekwa kwenye ghala la kuhifadhia misaada ya kibinadamu lililoanzishwa kwa mujibu wa kanuni ya 27 lililopo karibu na eneo la maafa au kama itakavyoelekezwa na Katibu Mkuu. (4) Misaada ya fedha zitakazovuka miaka miwili ya fedha bila kutumika zitahamishiwa kwenye Mfuko wa Taifa wa Usimamizi wa Maafa. (5) Wizara kupitia mwongozo inaweza kuweka utaratibu bora wa makusanyo, malipo ya fedha za misaada ya maafa na matumizi ya vifaa vya misaada ya kibinadamu kwa kadri itakavyoonekana inafaa. - 27 Verify source ↗
(1) Kutakuwa na ghala la kuhifadhia misaada ya
AI-assisted research summary: Wizara lazima ianzishe ghala la kuhifadhia misaada ya kibinadamu katika kila kanda au kadri ya mahitaji, na isimamie ghala hilo kwa kushirikiana na mamlaka ya mkoa husika.
27.-(1) Kutakuwa na ghala la kuhifadhia misaada ya kibinadamu litakaloanzishwa na Wizara katika kila kanda au kwa kadri ya mahitaji. (2) Ghala lililoanzishwa kwa mujibu wa kanuni ndogo ya (1), litasimamiwa na wizara kwa kushirikiana na mamlaka ya mkoa husika. - 28 Verify source ↗
(1) Itaandaliwa rejesta maalum kwa ajili ya kupokea
AI-assisted research summary: Rejesta maalum itawekwa kwa ajili ya kupokea na kutoa misaada ya kibinadamu, na misaada yote itaingizwa humo. Wizara pia inaweza kuweka utaratibu bora wa kupokea misaada ya maafa kupitia mwongozo.
28.-(1) Itaandaliwa rejesta maalum kwa ajili ya kupokea na kutoa misaada ya kibinadamu. (2) Misaada yote ya kibinadamu itakayopokelewa na kutolewa itaingizwa kwenye rejesta maalum ya Kamati ya Usimamizi wa Maafa katika ngazi husika. (3) Wizara kupitia mwongozo inaweza kuweka utaratibu bora wa kupokea misaada ya maafa kila mara kwa kadiri itakavyoonekana inafaa. - 29 Verify source ↗
Mtu yoyote atayekiuka masharti ya Kanuni hizi
AI-assisted research summary: Anyone who breaches these Rules, where no specific penalty is provided, commits an offence and may be fined, imprisoned, or both if convicted.
29. Mtu yoyote atayekiuka masharti ya Kanuni hizi ambapo adhabu mahsusi haijatolewa, atakuwa anatenda kosa, na iwapo atatiwa hatiani, atawajibika kulipa faini isiyopungua shilingi laki mbili na isiyozidi shilingi laki tano au kifungo kisichopungua mwezi mmoja na kisichozidi miezi mitatu au vyote kwa pamoja. Ghala la kuhifadhia misaada ya kibinadamu Rejesta ya kutoa na kupokea misaada ya kibinadamu Makosa na adhabu Kufutwa kwa TS Na. - 30 Verify source ↗
Kanuni za Usimamizi wa Maafa zinafutwa
AI-assisted research summary: This section repeals the Disaster Management Regulations.
30. Kanuni za Usimamizi wa Maafa zinafutwa. 21 Tangazo la Serikali Na. 658A (Linaendelea.) Kanuni Za Usimamizi Wa Maafa 12 la mwaka 2017 _________ JEDWALI LA KWANZA (Limetengenezwa chini ya kanuni ya 9(2)) _________ TAARIFA YA TATHMINI YA MADHARA YA MAAFA NA MAHITAJI
Part
SEHEMU YA KWANZA
- 1 Verify source ↗
Kanuni hizi zitajulikana kama Kanuni za
AI-assisted research summary: This section says these rules are called the Disaster Management Regulations, 2022.
1. Kanuni hizi zitajulikana kama Kanuni za Usimamizi wa Maafa za Mwaka 2022. - 2 Verify source ↗
Katika Kanuni hizi, isipokuwa kama muktadha
AI-assisted research summary: This section defines several terms used in the regulations, unless the context requires a different meaning.
2. Katika Kanuni hizi, isipokuwa kama muktadha utahitaji vinginevyo- “Divisheni” ina maana sawa na maana iliyotolewa kwenye Sheria. “jeshi” maana yake ni Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania, Jeshi la Polisi Tanzania, Jeshi la Uhamiaji, Jeshi la Magereza na Jeshi la Zima Moto na Uokoaji; “Katibu Mkuu” ina maana sawa na maana iliyotolewa kwenye Sheria; “Kituo” maana yake ni sawa kama ilivyotolewa kwenye Sheria; inajumuisha watoto, wajawazito, “makundi maalum” wazee, watu wenye ulemavu, watu wenye utapiamlo, wakimbizi, wahamiaji wa ndani, watu wenye magonjwa ya muda mrefu na upungufu wa kinga; “Sheria” maana yake ni Sheria ya Usimamizi wa Maafa; “usaidizi wa kijeshi kwa mamlaka za kiraia” maana yake ni usaidizi unaotolewa kwa mamlaka za kiraia na Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania katika usimamizi wa maafa; na “Waziri” inamaana sawa na maana iliyotolewa kwenye Sheria. 3 Tangazo la Serikali Na. 658A (Linaendelea.) Kanuni Za Usimamizi Wa Maafa SEHEMU YA PILI KITUO CHA OPARESHENI NA MAWASILIANO YA DHARURA Kituo cha Oparesheni na Mawasiliano ya Dharura
Part
Jedwali la Pili la Kanuni hizi.
- 19 Verify source ↗
(1) Endapo itaonekana inafaa, Waziri atatoa
AI-assisted research summary: Waziri anaweza kutoa notisi ya kuwataka waathirika walioko kwenye makazi ya muda warudi kwenye makazi yao ya awali yaliyo salama au waende eneo salama lililotengwa na Serikali.
19.-(1) Endapo itaonekana inafaa, Waziri atatoa notisi ya kuwataka waathirika walio kwenye makazi ya muda kurudi katika makazi yao ya awali endapo yamethibitishwa kuwa ni salama baada ya maafa kutokea au kwenda eneo salama lililotengwa na Serikali kwa ajili ya makazi ya kudumu. (2) Notisi itakayotolewa kwa mujibu wa kanuni (1) itabainisha eneo linalotakiwa wananchi kurudi kama ilivyobainishwa kwenye Jedwali la Pili la Kanuni hizi. (3) Kila mtu atapaswa kuzingatia notisi iliyotolewa kwa mujibu wa kanuni hii, na endapo hatazingatia notisi hiyo atalazimishwa na mamlaka kurudi katika makazi yake ya awali yaliyothibitishwa kuwa ni salama baada ya maafa kutokea, au kwenda katika eneo salama lililotengwa na Serikali kwama makazi ya kudumu. - 20 Verify source ↗
(1) Endapo itaonekana kuwa kuna haja ya
AI-assisted research summary: Waziri anaweza kutoa notisi ya wananchi kubaki mahali walipo, na kila mtu lazima azingatie notisi hiyo.
20.-(1) Endapo itaonekana kuwa kuna haja ya wananchi kubaki mahali walipo, Waziri atatoa notisi kwa wananchi hao kubaki mahali walipo kama ilivyoainishwa kwenye Jedwali la Pili la Kanuni hizi. (2) Notisi ya wananchi kubaki mahali walipo itakayotolewa kwa mujibu wa kanuni ndogo ya (1) janga na maafa yaliyotokea au itabainisha aina ya yanayoweza kutokea, eneo linalotakiwa wananchi kubaki na madhara yanayoweza kutokea kwa wananchi endapo wataondoka katika eneo hilo. (3) Endapo notisi inatolewa kwa mujibu wa kanuni ndogo ya (1), Katibu Mkuu ataratibu shughuli za wananchi kubaki mahali walipo kwa kushirikiana na kamati za usimamizi za maafa na mamlaka na wadau wengine zinazohusika na dharura na usimamizi wa maafa ikijumuisha Jeshi la Polisi Tanzania na Jeshi la Zimamoto na Uokoaji. 16 Tangazo la Serikali Na. 658A (Linaendelea.) Kanuni Za Usimamizi Wa Maafa (4) Kila mtu atapaswa kuzingatia notisi ya kubaki mahali alipo iliyotolewa kwa mujibu wa kanuni hii, na endapo hatazingatia notisi hiyo atalazimishwa na mamlaka kubaki mahali alipo. Notisi ya kuendelea na shughuli za kijamii na kiuchumi - 21 Verify source ↗
(1) Endapo itaonekana inafaa, Waziri atatoa
AI-assisted research summary: Waziri anaweza kutoa notisi inayomtaka mtu aliyebaki eneo la maafa aendelee na shughuli za kijamii na kiuchumi baada ya hali kuwa salama.
21.-(1) Endapo itaonekana inafaa, Waziri atatoa notisi ya kumtaka mtu yeyote aliyetakiwa kubaki eneo alipo wakati wa maafa kuendelea na shughuli za kijamii na kiuchumi baada ya hali kuwa salama. (2) Notisi itakayotolewa kwa mujibu wa kanuni (1), itakuwa kama iliyoainishwa kwenye Jedwali la Pili la Kanuni hizi. SEHEMU YA NNE UTARATIBU WA KUJITOLEA KATIKA USIMAMIZI WA MAAFA Ushiriki wa wanaojitolea katika usimamizi wa maafa
Part
JEDWALI LA KWANZA
- 2 Verify source ↗
Eneo lililoathirika (kwa ukubwa gani) ikijumuisha majina ya vijiji, kata, wilaya na
AI-assisted research summary: Sehemu hii inahusu eneo lililoathirika na ukubwa wake, ikijumuisha majina ya vijiji, kata, wilaya na mikoa.
2. Eneo lililoathirika (kwa ukubwa gani) ikijumuisha majina ya vijiji, kata, wilaya na mikoa. - 5 Verify source ↗
Section 5
AI-assisted research summary: The provision lists the types of disaster-impact information to be recorded or reported, including deaths, injuries, rescued, missing and displaced persons, affected households, affected shelters, and people who lost shelter.
5. Idadi ya vifo (kwa kuzingatia jinsia, umri katika makundi na watu wenye ulemavu). Idadi ya majeruhi (kwa kuzingatia jinsia, umri katika makundi na watu wenye ulemavu). Idadi ya watu waliookolewa, waliopotea na waliohamishwa. Idadi ya kaya zilizoathirika na idadi ya waathirika (kwa kuzingatia jinsia, umri katika makundi na watu wenye ulemavu). Idadi ya makazi yaliyoathirika (nyumba zilizobomoka kabisa na zilizoathirika kiasi). Idadi ya waliopoteza makazi (kwa kuzingatia jinsia, umri katika makundi na watu wenye ulemavu). - 10 Verify source ↗
Idadi ya watu walioathirika kwa namna nyingine na aina ya madhara (kwa
AI-assisted research summary: This section concerns the number of people affected by other forms of harm, considering sex, age groups, and persons with disabilities.
10. Idadi ya watu walioathirika kwa namna nyingine na aina ya madhara (kwa kuzingatia jinsia, umri katika makundi na watu wenye ulemavu). - 11 Verify source ↗
Idadi ya mifugo waliokufa au walioathirika
AI-assisted research summary: Section heading about the number of livestock that died or were affected.
11. Idadi ya mifugo waliokufa au walioathirika. - 12 Verify source ↗
Uharibifu wa mazao (aina ya mazao na ukubwa wa eneo kwa ekari/hekta)
AI-assisted research summary: Kichwa hiki kinaonyesha kwamba sehemu hii inahusu uharibifu wa mazao, pamoja na aina ya mazao na ukubwa wa eneo kwa ekari au hekta.
12. Uharibifu wa mazao (aina ya mazao na ukubwa wa eneo kwa ekari/hekta). - 13 Verify source ↗
Uharibifu wa miundombinu na kiwango cha uharibifu (barabara, madaraja, reli,
AI-assisted research summary: Aya hii inataja uharibifu wa miundombinu na viwango vya uharibifu, hasara, na gharama za kurejesha hali kwa aina mbalimbali za mali na sekta.
13. Uharibifu wa miundombinu na kiwango cha uharibifu (barabara, madaraja, reli, nishati, mawasiliano, viwanda, usambazaji wa maji, majengo ya serikali, shule, vituo vya afya, kilimo n.k) na kiwango cha hasara na gharama za kurejesha hali. - 14 Verify source ↗
Aina ya misaada inayohitajika kama vile
AI-assisted research summary: This provision lists the kinds of aid that may be needed, including health and psychology services, humanitarian supplies, medicines and equipment, transport, and rehabilitation/rebuilding programmes.
14. Aina ya misaada inayohitajika kama vile: (a) Huduma za afya na saikolojia; (b) Misaada ya kibinadamu kama vile: (i) Mablanketi; (ii) makazi (iii) chakula; (iv) maji; (v) mavazi. (c) dawa na vifaa tiba ikiwemo chanjo, madawa ya kutibu maji, madawa ya binadamu na mifugo (d) vifaa vya huduma kama vile: (i) viti vya wagonjwa, (ii) malori/ mabasi; (iii) ndege; (iv) Boti au mitumbwi. (e) programu za ukarabati na kujenga upya. - 16 Verify source ↗
Vifaa vinavyohitajika kama vile redio, jenereta, visafishaji maji na matanki ya maji
AI-assisted research summary: This section lists required equipment such as radios, generators, water purifiers, and water tanks.
16. Vifaa vinavyohitajika kama vile redio, jenereta, visafishaji maji na matanki ya maji. - 17 Verify source ↗
Fedha zinazohitajika kulipia gharama mbalimbali ikiwemo usafiri wa ndani,
AI-assisted research summary: The provision refers to money needed to cover various costs, including local transport, unloading equipment, and safe storage.
17. Fedha zinazohitajika kulipia gharama mbalimbali ikiwemo usafiri wa ndani, upakuaji wa vifaa na kuhifadhi sehemu salama. - 18 Verify source ↗
Aina na kiasi cha vifaa vinavyoweza kununuliwa ndani ya nchi
AI-assisted research summary: This section is titled “Types and quantity of equipment that can be purchased locally.”
18. Aina na kiasi cha vifaa vinavyoweza kununuliwa ndani ya nchi. - 19 Verify source ↗
Aina na kiasi cha vifaa vya huduma za kibinadamu vinavyohitajika kutoka nje ya
AI-assisted research summary: Inaeleza aina na kiasi cha vifaa vya huduma za kibinadamu vinavyohitajika kuingizwa kutoka nje ya nchi, pamoja na maelekezo ya usafirishaji, nyaraka za kibali cha haraka cha forodha, na vyeti vya afya vinavyohitajika.
19. Aina na kiasi cha vifaa vya huduma za kibinadamu vinavyohitajika kutoka nje ya nchi pamoja na maelekezo ya namna ya usafirishaji kama vile njia inayopaswa 22 Tangazo la Serikali Na. 658A (Linaendelea.) Kanuni Za Usimamizi Wa Maafa kutumika (anga au maji), nyaraka zinazohitajika kwa kibali cha haraka cha forodha na vyeti vya afya vinavyohitajika. - 20 Verify source ↗
Kipindi cha dharura kinachotarajiwa (kwa kawaida isizidi miezi 3)
AI-assisted research summary: Hii inaeleza kipindi cha dharura kinachotarajiwa, ambacho kwa kawaida hakipaswi kuzidi miezi 3.
20. Kipindi cha dharura kinachotarajiwa (kwa kawaida isizidi miezi 3). - 21 Verify source ↗
Hatua zilizochukuliwa na Kamati ya Usimamizi wa Maafa katika ngazi husika
AI-assisted research summary: Kifungu hiki kinaeleza hatua zinazochukuliwa na Kamati ya Usimamizi wa Maafa katika ngazi husika.
21. Hatua zilizochukuliwa na Kamati ya Usimamizi wa Maafa katika ngazi husika. - 22 Verify source ↗
Taasisi, mashirika na wadau wanaotoa huduma za kibinadamu za hiyari
AI-assisted research summary: Section 22: voluntary humanitarian service institutions, organizations, and stakeholders.
22. Taasisi, mashirika na wadau wanaotoa huduma za kibinadamu za hiyari - 23 Verify source ↗
Aina ya mchango uliopokelewa na jina la mchangiaji au mfadhili
AI-assisted research summary: Kifungu kinaonyesha aina ya mchango uliopokelewa na jina la mchangiaji au mfadhili, lakini maandishi yaliyopo yana nafasi tupu tu.
23. Aina ya mchango uliopokelewa na jina la mchangiaji au mfadhili (a) ……………. (b) ……………. (c) ……………... (a) …………. (b) …………. (c) …………. (a) ……………….. (b) ……………….. (c) ……………….. - 24 Verify source ↗
Changamoto au mapungufu yaliyojitokeza wakati wa kukabili maafa
AI-assisted research summary: This section is a heading about challenges or gaps that arose during disaster response.
24. Changamoto au mapungufu yaliyojitokeza wakati wa kukabili maafa. - 26 Verify source ↗
Chanzo cha maelezo ya tukio
AI-assisted research summary: Hii ni seti ya fomu za taarifa za maafa zinazoelekeza watu kuondoka, kubaki mahali walipo, kurudi makwao, au kuendelea na shughuli baada ya eneo kuthibitishwa kuwa salama; pia inaweza kupiga marufuku uuzaji wa vitu fulani.
26. Chanzo cha maelezo ya tukio. ________ JEDWALI LA PILI _________ (Limetengenezwa chini ya kanuni ya 7(1) (a); 18(2); 19(2); 20(1) na 21(2)) SEHEMU A TANGAZO LA KUONDOKA KATIKA ENEO LA MAAFA AU HATARISHI (Limetengenezwa chini ya kanuni ya 7(1) (a) na (ii)) Kutokana na kutokea kwa janga la (taja aina ya janga lililotokea) …………………….. tarehe………………mwezi……………….20…..Saa………katika eneo la………………..(taja eneo husika lililoathiriwa na maafa), na kwa kuzingatia Notisi ya Kuondoka iliyotolewa tarehe…………..mwezi……..20……,watu wote mliopo katika eneo hilo mnatangaziwa kuwa, hadi tarehe……………mwezi…………20…..Saa….alfajiri/asubuhi/mchana/alasiri/jioni/usiku, mnatakiwa kuwa mmeondoka katika eneo hilo na kuelekea eneo lililotengwa kwa ajili ya makazi ya muda liitwalo………………………………………… Endapo mtu yeyote atakiuka tangazo hili, ataondolewa kwa nguvu na mamlaka za serikali ili kunusuru maisha yake na ya wengine. Imetolewa na (Jina la Waziri):………………………………………… Cheo chake:……………………………………………… Sahihi:…………………………. Tarehe:……………………….... 23 Tangazo la Serikali Na. 658A (Linaendelea.) Kanuni Za Usimamizi Wa Maafa SEHEMU B NOTISI YA KUONDOKA KATIKA ENEO LA MAAFA/HATARISHI (Imetengenezwa chini ya kanuni ya 18(1 ) na (2)) Kutokana na kutokea kwa janga la (taja aina ya janga lililotokea) …………………….. tarehe………………mwezi……………….20…..Saa………katika eneo la………………..(taja eneo husika lililoathiriwa na maafa), watu wote waliopo katika eneo hilo mnaelekezwa kuwa, hadi kufikia tarehe………………mwezi…………20…..Saa….alfajiri/asubuhi/mchana/alasiri/jioni/usiku, mnatakiwa kuwa mmeondoka katika eneo hilo na kuelekea eneo lililotengwa kwa ajili ya makazi ya muda liitwalo………………………………………… Endapo mtu yeyote atakiuka tangazo hili, ataondolewa kwa nguvu na mamlaka za serikali ili kunusuru maisha yake na ya wengine. Imetolewa na (Jina la Waziri):………………………………………… Cheo chake:……………………………………………… Sahihi:…………………………. Tarehe:……………………… 24 Tangazo la Serikali Na. 658A (Linaendelea.) Kanuni Za Usimamizi Wa Maafa SEHEMU C NOTISI YA KURUDI KATIKA MAKAZI AU ENEO SALAMA (Imetengenezwa chini ya kanuni ya 19(1) na (2)) Kutokana na kutokea kwa janga la (taja aina ya janga lililotokea) …………………….. tarehe………………mwezi……………….20…..Saa………katika eneo la………………..(taja eneo husika lililoathiriwa na maafa), watu wote waliopo katika eneo la makazi ya muda mnaelekezwa kuwa, hadi kufikia tarehe………………mwezi…………20…..Saa….alfajiri/asubuhi/mchana/alasiri/jioni/usiku, mnatakiwa kuwa mmerudi katika makazi yenu ya awali kwa kuwa yamethibitishwa kuwa ni salama au kuelekea eneo lililotengwa kwa ajili ya makazi ya kudumu lililopo………………………………………… Endapo mtu yeyote atakiuka tangazo hili, ataondolewa kwa nguvu na mamlaka za serikali kurudi katika makazi yake ya awali au kwenda eneo salama lililotengwa na serikali kwa ajili ya makazi ya kudumu. Imetolewa na (Jina la Waziri):………………………………………… Cheo chake:……………………………………………… Sahihi:…………………………. Tarehe:……………………… 25 Tangazo la Serikali Na. 658A (Linaendelea.) Kanuni Za Usimamizi Wa Maafa SEHEMU D TANGAZO LA KUSIMAMISHA AU KUZUIA UUZAJI WA VILEO, VINYWAJI, SILAHA AU VITU VINGINE KATIKA ENEO LA MAAFA AU ENEO HATARISHI (Limetengenezwa chini ya kanuni ya 7(1)(a)(ii)) Kutokana na kutokea kwa janga la (taja aina ya janga lililotokea) …………………….. tarehe………………mwezi……………….20…..Saa………katika eneo la………………..(taja eneo husika lililoathiriwa na maafa), watu wote waliopo katika eneo hilo mnatangaziwa kuwa, ni marufuku kuuza………………………..(taja kitu kinachozuliwa) kuanzia tarehe………………mwezi…………20…..Saa….alfajiri/asubuhi/mchana/alasiri/jioni/usiku, hadi itakavyotangazwa vinginevyo. Endapo mtu yeyote atakiuka tangazo hili, atalazimishwa na mamlaka za serikali kutii marufuku hiyo ili kunusuru maisha yake nay a wengine. Imetolewa na (Jina la Waziri):………………………………………… Cheo chake:……………………………………………… Sahihi:…………………………. Tarehe:……………………… 26 Tangazo la Serikali Na. 658A (Linaendelea.) Kanuni Za Usimamizi Wa Maafa SEHEMU E NOTISI YA KUTOONDOKA AU KUBAKI SEHEMU MTU ALIPO (Imetengenezwa chini ya kanuni ya 20(1) na (2)) Kutokana na kutokea kwa janga la (taja aina ya janga lililotokea) …………………….. tarehe………………mwezi……………….20…..Saa………katika eneo la………………..(taja eneo husika lililoathiriwa au linalotarajiwa kuathiriwa na maafa), mtu yeyote aliyepo katika eneo la……………………………..(taja eneo ambalo mtu hapaswi kuondoka) hauruhusiwi kuondoka katika eneo alipo hadi itakavyoelekezwa vinginevyo. Endapo mtu yeyote atakiuka notisi hii, atalazimishwa na mamlaka za serikali kubaki katika eneo alipo ili kunusuru maisha yake na ya wengine. Imetolewa na (Jina la Waziri):………………………………………… Cheo chake:……………………………………………… Sahihi:…………………………. Tarehe:……………………… 27 Tangazo la Serikali Na. 658A (Linaendelea.) Kanuni Za Usimamizi Wa Maafa SEHEMU F NOTISI YA KUENDELEA NA SHUGHULI ZA KIJAMII NA KIUCHUMI BAADA YA NOTISI YA KUBAKI SEHEMU MTU ALIPO (Imetengenezwa chini ya kanuni ya 21(1) na (2)) Kutokana na kutokea kwa janga la (taja aina ya janga lililotokea au lililotarajiwa kutokea) …………………….. tarehe………………mwezi……………….20…..Saa………katika eneo la………………..(taja eneo husika lililoathiriwa au lililotarajiwa kuathiriwa na maafa), mtu yeyote aliyekuwepo katika eneo la……………………………..(taja eneo ambalo mtu hakupaswa kuondoka) ambaye alitakiwa kubaki eneo alipo wakati wa maafa, anatakiwa kuendelea na shughuli za kijamii na kiuchumi baada ya hali kuwa salama. Imetolewa na (Jina la Waziri):………………………………………… Cheo chake:……………………………………………… Sahihi:…………………………. Tarehe:…………………… 28 Tangazo la Serikali Na. 658A (Linaendelea.) Kanuni Za Usimamizi Wa Maafa JEDWALI LA TATU (Limetengenezwa chini ya kanuni ya 22(2)) FOMU YA MAOMBI YA KUJITOLEA KWENYE SHUGHULI ZA USIMAMIZI WA MAAFA
Part
JEDWALI LA TATU
- 1 Verify source ↗
Mtu
AI-assisted research summary: Hii ni orodha ya taarifa ambazo mwombaji anatakiwa kujaza kuhusu mtu binafsi, mawasiliano, na ajira kwa ajili ya kujitolea katika usimamizi wa maafa.
1. Mtu (a) Jina kamili……………………………………………………. (b) Jinsi………….. (c) Umri…………. (d) Uraia……………….. (e) Namba ya kitambulisho (NIDA, pasi ya kusafiria, leseni ya udereva, kitambulisho cha mpiga kura au utambulisho wowote)……………………………………….. (f) Anuani ya posta……………………………………………………… (g) Namba ya simu……………………………………………………… (h) Jina la mwajiri (kama yupo)………………………………………… (i) Aina ya ajira (kama ipo)…………………………………………….. (j) Aina ya huduma/kazi/utaalam/vifaa/shughuli ambayo mwombaji anatarajiwa kujitolea katika usimamizi wa maafa……………………………………………………………. …………………… Saini ya mwombaji ……………… Tarehe - 2 Verify source ↗
Taasisi binafsi/Shirika lisilo la kiserikali
AI-assisted research summary: Fomu hii inaomba taarifa za taasisi binafsi au shirika lisilo la kiserikali, ikiwemo jina, namba ya usajili, aina ya huduma, na shughuli anayotarajia kujitolea mwombaji katika usimamizi wa maafa.
2. Taasisi binafsi/Shirika lisilo la kiserikali (a) Jina la Taasisi binafsi/Shirika lisilo la kiserikali ………………………………………………………… (b) Namba ya usajili……………………………………… (c) Aina ya huduma zinazotolewa kwa kuzingatia hali ya usajili………………………… (d) Aina ya huduma/kazi/shughuli ambayo mwombaji anatarajiwa kujitolea katika usimamizi wa maafa……………………………………………………………. …………………… Saini ya mwombaji ………………… Cheo ……………… Tarehe - 3 Verify source ↗
Kwa matumizi ya Kamati ya Usimamizi wa Maafa katika ngazi husika
AI-assisted research summary: This section provides a form for the relevant disaster management committee to record receipt and decision details for an application, and includes an ethics oath for an approved volunteer.
3. Kwa matumizi ya Kamati ya Usimamizi wa Maafa katika ngazi husika (a) Tarehe ombi lilipopokelewa………………………………………………. (b) Jina na namba ya simu ya mtu aliyepokea………………………………. (c) Jibu/uamuzi kuhusu ombi lililopokelewa (mwombaji amekubaliwa/amekataliwa) ……………………………….. …………………… Saini ya mtoa uamuzi ………………… Cheo ……………… Tarehe 29 Tangazo la Serikali Na. 658A (Linaendelea.) Kanuni Za Usimamizi Wa Maafa _________ JEDWALI LA NNE _________ (Limetengenezwa chini ya kanuni ya 22(3)) KIAPO CHA MAADILI KATIKA KUJITOLEA KWENYE SHUGHULI ZA USIMAMIZI WA MAAFA Mimi……………………………………………………………..(jina la mwombaji aliyekubaliwa ombi lake), kwa hiyari yangu bila kushurutishwa na mtu yeyote naapa/nathibitisha kwamba niko tayari kujitolea katika shughuli za usimamizi wa maafa katika eneo la……………………….(taja eneo husika) kwa kuzingatia yafuatayo: -
Part
JEDWALI LA NNE
- 1 Verify source ↗
Sera, sheria, kanuni, taratibu na miongozo ya usimamizi wa maafa na sheria nyingine za
AI-assisted research summary: This section lists disaster-management laws, regulations, procedures, and guidelines, together with other laws of the country.
1. Sera, sheria, kanuni, taratibu na miongozo ya usimamizi wa maafa na sheria nyingine za Nchi. - 2 Verify source ↗
Nitatoa huduma za kujitolea kwa weledi bila woga, upendeleo au huba kwa nitakaokuwa
AI-assisted research summary: The speaker says they will provide volunteer services professionally and without fear, bias, or favoritism to the people they serve.
2. Nitatoa huduma za kujitolea kwa weledi bila woga, upendeleo au huba kwa nitakaokuwa nawahudumia. - 3 Verify source ↗
Nitatekeleza majukumu yangu chini ya uangalizi na usimamizi wa Kamati ya Usimamizi
AI-assisted research summary: I must perform my duties under the supervision and management of the Disaster Management Committee in my area.
3. Nitatekeleza majukumu yangu chini ya uangalizi na usimamizi wa Kamati ya Usimamizi wa Maafa iliyopo katika eneo langu. - 4 Verify source ↗
Sitatekeleza majukumu yangu kama wakala wa aina yoyote ile na badala yake
AI-assisted research summary: The speaker says they will not perform duties as an agent and will instead perform duties in a volunteer role that was requested and accepted.
4. Sitatekeleza majukumu yangu kama wakala wa aina yoyote ile na badala yake nitatekeleza majukumu yangu kwa nafasi ya kujitolea kama nilivyoomba na kukubaliwa. - 5 Verify source ↗
Sitatoa taarifa zozote au maoni kupitia vyombo vya habari kuhusu shughuli nitakazokuwa
AI-assisted research summary: The speaker must not give information or comments through the media about the activities they will carry out, unless the local Disaster Management Committee gives permission.
5. Sitatoa taarifa zozote au maoni kupitia vyombo vya habari kuhusu shughuli nitakazokuwa natekeleza isipokuwa kwa idhini ya Kamati ya Usimamizi wa Maafa ya eneo langu. - 6 Verify source ↗
Nitatekeleza majukumu yangu kwa uaminifu bila kumbagua mtu yeyote kwa misingi ya
AI-assisted research summary: The speaker says they will do their duties honestly and not discriminate against anyone.
6. Nitatekeleza majukumu yangu kwa uaminifu bila kumbagua mtu yeyote kwa misingi ya rangi, hali ya mtu, dini, umri, jinsi, historia au asili ya mtu. - 7 Verify source ↗
Na kwamba, kwa kiapo hiki nathibitisha kuwa hakuna udanganyifu, makosa ya kimantiki
AI-assisted research summary: The signer says this affidavit is true and says they will take responsibility if it is later shown they lied or were misled.
7. Na kwamba, kwa kiapo hiki nathibitisha kuwa hakuna udanganyifu, makosa ya kimantiki au ushawishi wowote kwangu na niko tayari kuwajibika mimi mwenyewe endapo itathibitika kuwa nilidanganya au nilishawishiwa vinginevyo kuhusiana na maelezo niliyoyatoa katika kiapo hiki. NA NINATAMKA NA KUAPA/KUKIRI kiapo hiki nikiwa na akili timamu nikiamini kwamba, yote niliyoyaapa/niliyokiri katika kiapo hiki ni kweli, kweli tupu. KIAPO HIKI KIMEAPWA ……….. na ………………………………. ambaye namfahamu mimi mwenyewe /ametambulishwa kwangu na …………………….…………….…………. MUAPAJI ambaye namfahamu mimi mwenyewe leo tarehe ………..mwezi wa……………….20…. ............................. . MBELE YANGU; JINA: …………………………………………….. SAHIHI:………………………… ………………. ANUANI: ………………………………………… WADHIFA: Mwenyekiti wa Kamati ya Usimamizi wa Maafa Dodoma, 21st Novemba, 2022 GEORGE BONIFACE SIMBACHAWENE Waziri wa Nchi Ofisi ya WaziriMkuu- Sera, Bunge na Uratibu 30
Provision text is displayed from LexChat’s stored statute record. Use the official source links to verify amendments, commencement, and current legal force.
Ask AI about this statute
KANUNI ZA USIMAMIZI WA MAAFA ZA MWAKA 2022
Sign in to ask AI about this statute
Sign in to start authenticated, citation-grounded statute research.
Sign in