Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Chunya za Mwaka 2021
This section is titled “Interpretation of terms used” and relates to Part II on council meetings.
AI-assisted research synopsis — verify against the official legal text below.
- Jurisdiction
- Tanzania
- Instrument
- Regulation
- Citation
- Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Chunya za Mwaka 2021
- Version
- Undated source snapshot
- Language
- sw
- Official source
- View official record ↗
Statute overview
About this statute
This section is titled “Interpretation of terms used” and relates to Part II on council meetings. Kichwa hiki kinaonyesha kuwa kifungu kinahusu akidi katika mikutano ya Halmashauri. This section concerns the election of the Chairperson and Vice Chairperson of the Council. Kichwa cha kifungu kuhusu kuruhusu watu na vyombo vya habari kwenye mikutano ya Halmashauri. Section 14 is titled “Kuthibitisha muhtasari” and includes a continuation note.
Search within this statute
Search all stored provisions in this version.
Legal text
Provisions of Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Chunya za Mwaka 2021
Showing 69 of 69
- 2 Verify source ↗
Tafsiri ya misamiati iliyotumika
AI-assisted research summary: This section is titled “Interpretation of terms used” and relates to Part II on council meetings.
2. Tafsiri ya misamiati iliyotumika SEHEMU YA II MIKUTANO YA HALMASHAURI
Part
SEHEMU YA II
- 8 Verify source ↗
Akidi katika mikutano ya Halmashauri
AI-assisted research summary: Kichwa hiki kinaonyesha kuwa kifungu kinahusu akidi katika mikutano ya Halmashauri.
8. Akidi katika mikutano ya Halmashauri. SEHEMU YA III TARATIBU ZA MIKUTANO - 3 Verify source ↗
Section 3
AI-assisted research summary: Halmashauri lazima ikutane mara moja kila baada ya miezi mitatu, na mkutano wa kwanza wa kawaida lazima uitishwe ndani ya siku 30 baada ya matokeo ya uchaguzi kutangazwa.
3. (1) Mikutano ya Kawaida ya Halmashauri itafanyika mara moja kila baada ya miezi mitatu, na itafanyika mahali, tarehe na katika muda kama utakavyokuwa umepangwa katika kalenda ya mikutano ya Halmashauri. Mkutano wa kwanza wa Halmashauri (2) (a) Mkutano wa kwanza wa kawaida wa Halmashauri utafanyika baada ya Tume ya Uchaguzi kutangaza matokeo ya uchaguzi wa Madiwani wa Kata na 7 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Chunya Tangazo la Serikali Na. 288 (Linaendelea.) uteuzi wa Madiwani wa Viti Maalumu na utafanyika mahali, siku na katika muda utakaopangwa na Mkurugenzi, ilimradi Mkurugenzi atapaswa kuitisha Mkutano huo ndani ya siku thelathini (30) kuanzia tarehe ya matokeo ya uchaguzi wa Madiwani wa Kata na Uteuzi wa madiwani Viti Maalum yanapotangazwa na Tume ya Uchaguzi ambapo moja ya ajenda za Mkutano huo kumchagua Mwenyekiti, Makamu Mwenyekiti na Wajumbe wa Kamati za Kudumu za Halmashauri. ni na Mkurugenzi (b) Mkutano wa Kwanza wa Uchaguzi wa Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti utaongozwa na Katibu Tawala wa Wilaya wa Halmashauri atakuwa Katibu. Mara baada ya Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti kupatikana, Mwenyekiti ataongoza zoezi la uundaji wa Kamati, na uchaguzi wa Wenyeviti wa Kamati za kudumu ya maamuzi shughuli (c) Katika Mkutano huo Mkurugenzi wa Halmashauri atawasilisha Taarifa ya ya kumbukumbu utekelezaji za Halmashauri katika kipindi ambacho Baraza la madiwani lilivunjwa. Wajumbe wa Baraza watapokea na kujadili bila kubatilisha maamuzi yaliyokwisha amuliwa. wa zilizofanyika Utaratibu wa uchaguzi (3) Uchaguzi wa Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti utafanyika kwa kupiga kura za siri na upigaji wa kura utafanyikia sehemu ya faragha umbali usiopungua mita tano (5) kutoka kwa Msimamizi wa Uchaguzi na 8 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Chunya Tangazo la Serikali Na. 288 (Linaendelea.) Mkutano Maalum wa Halmashauri - 4 Verify source ↗
Section 4
AI-assisted research summary: Provisional meeting and appeal procedures are set for a council matter, including deadlines for convening meetings, notifying the chairperson, investigating allegations, and appealing a council decision.
4. mpigaji kura atachukua karatasi ya kupiga kura kutoka kwa Msimamizi wa Uchaguzi. (1) Mkutano Maalum wa Halmashauri unaweza kuitishwa na Mwenyekiti ndani ya siku ishirini na moja (21) baada ya kupokea maombi ya maandishi yaliyosainiwa na si pungufu ya theluthi moja ya Wajumbe wote kutaka Mkutano huo ufanyike na maombi hayo yaeleze wazi madhumuni ya kuitishwa kwa Mkutano Maalum huo. (2) (3) (4) Iwapo Mwenyekiti anakataa kuitisha Mkutano Maalum wa Halmashauri baada ya kupokea maombi ya kutakiwa kufanya hivyo,maombi yaliyosainiwa na Wajumbe wa Halmashauri wasiopungua theluthi moja ya Wajumbe wote wakionyesha sababu ya kuitisha Mkutano huo Maalum na kuwasilishwa kwake, au iwapo bila kukataa, Mwenyekiti, ndani ya kipindi cha siku saba ataendelea kutoitisha Mkutano huo Maalum baada ya kupokea ombi la kuitisha Mkutano huo Maalum, basi theluthi saini na mbili ya Wajumbe waliotia kuwasilisha kwa Mkurugenzi wanaweza kuitisha Mkutano huo Maalum mara moja. itahusu Endapo ajenda ya Mkutano huo kumuondoa Mwenyekiti, madarakani Mkutano huo utaitishwa na Mkurugenzi baada ya kupokea maombi yaliyosainiwa na Wajumbe wa Halmashauri wasiopungua theluthi mbili ya Wajumbe wote. Baada ya Mkurugenzi kupata taarifa ya kutaka kufanyika kwa Mkutano wa kujadili ajenda ya Mwenyekiti, madarakani kumuondoa Mkurugenzi atamtaarifu Mwenyekiti tuhuma na sababu za kutaka kuondolewa uenyekiti na kumtaka aandae majibu ya tuhuma ndani ya siku Tano (5) baada ya kupokea tuhuma hizo. 9 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Chunya Tangazo la Serikali Na. 288 (Linaendelea.) (5) Mkurugenzi katika muda wa siku Tatu (3) baada ya kupokea maelezo ya utetezi kutoka kwa Mwenyekiti, atawasilisha kwa Mkuu wa Mkoa tuhuma pamoja na maelezo ya utetezi. (6) Mkuu wa Mkoa katika muda wa siku tano (5) baada ya kupokea taarifa ataunda Timu ya itakuwa na wajumbe Uchunguzi ambayo wasiopungua watatu (3) na wasiozidi watano (5). (7) (8) Timu ya Uchunguzi itatakiwa kukamilisha Uchunguzi katika muda wa siku kumi na nne (14) na kuwasilisha taarifa hiyo kwa Mkuu wa Mkoa. Baada ya Mkuu wa Mkoa kupata taarifa ya Timu ya Uchunguzi atairudisha Taarifa hiyo kwa Mkurugenzi wa Halmashauri ambaye naye katika muda wa siku kumi na Nne (14) ataiwasilisha kwenye Kikao cha Baraza kwa uamuzi wa tuhuma hizo. Kif cha 36(5) Sura 287 (9) Endapo Mwenyekiti hataridhika na uamuzi wa Baraza, atakata rufaa ndani ya siku kumi na nne (14) kuanzia tarehe ya maamuzi kwa uliotumika Waziri kumuondoa madarakani na sio vinginevyo. utaratibu kuhusu Utaratibu wa kuwasilisha rufaa (10) Utaratibu utakaotumika rufaa kuwasilisha iliyowasilishwa na na kushughulikia Mwenyekiti ni ule ulioelezwa kwenye Taratibu za Kumuondoa Madarakani Mwenyekiti wa Halmashauri wa Wilaya. (11) Taarifa ya Mkutano Maalum itatolewa angalau saa ishirini na nne kabla ya Mkutano. (12) Hakuna shughuli nyingine yoyote 10 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Chunya Tangazo la Serikali Na. 288 (Linaendelea.) Mkutano wa Bajeti - 6 Verify source ↗
Section 6
AI-assisted research summary: The council must schedule its meetings in the ways described here, including a budget meeting two months before the financial year ends and a yearly meeting convened by the Director after consulting the Chair.
6. (1) itakayojadiliwa katika Mkutano Maalum wa Halmashauri isipokuwa ile tu iliyoelezwa kwenye taarifa ya kuitishwa kwa Mkutano huo. Kutakuwepo na Mkutano wa Halmashauri wa Bajeti utakaofanyika kwa muda wa siku mbili mfululizo na utafanyika miezi miwili kabla ya mwaka wa fedha kumalizika na utajadili mambo yafuatayo: - (a) Utekelezaji wa Mipango na Bajeti ya mwaka uliopita. (b) Mipango na Bajeti ya mwaka unaofuata. (i) Mkutano wa Mwaka wa Halmashauri na muda tarehe, mahali utafanyika utakaopangwa na Halmashauri katika kalenda ya Mikutano na utaitishwa na Mkurugenzi baada ya kuwasiliana na Mwenyekiti wa Halmashauri. (ii) Mikutano yote ya Baraza itapangwa na Baraza la Madiwani kwa kuzingatia ratiba ya Vikao vya Bunge ili kuwezesha Wabunge kuhudhuria Mikutano ya Baraza la Madiwani. Endapo italazimika kuitishwa kwa Mkutano wa Baraza wakati wa Vikao vya Bunge, au kuwajulisha Mkurugenzi atamjulisha Wabunge husika kuhusu kikao hicho ili wahudhurie. (2) Katika Mkutano wa kawaida wa mwaka, Halmashauri itajadili mambo yafuatayo: - (a) kumchagua Makamu wa Mwenyekiti, (b) kuteua Wajumbe wa Kamati za Kudumu; (c) kujadili taarifa utendaji na uwajibikaji wa Halmashauri kwa mwaka uliopita. ya 11 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Chunya Tangazo la Serikali Na. 288 (Linaendelea.) (d) kupitisha ratiba ya Halmashauri Halmashauri. na vikao Kamati vya za Taarifa za Mkutano - 7 Verify source ↗
Section 7
AI-assisted research summary: Mkurugenzi lazima atoe taarifa ya mkutano kwa maandishi kwa kila mjumbe angalau siku 7 kabla ya mkutano, akitaja mahali, siku, saa na mambo yatakayojadiliwa.
7. (1) Mkurugenzi atatoa taarifa ya Mkutano kwa maandishi kwa kila Mjumbe katika muda usiopungua siku saba akieleza mahali, siku na saa ya Mkutano unaokusudiwa na mambo yatakayojadiliwa katika Mkutano huo. (2) (3) Akidi katika mikutano ya Halmashauri - 8 Verify source ↗
Section 8
AI-assisted research summary: Mikutano ya Halmashauri inahitaji akidi maalum kulingana na aina ya mkutano, na shughuli zisizo kwenye mwaliko hazifanyiki bila idhini iliyotajwa.
8. (1) (2) (3) (4) Taarifa ya Mkutano itaambatana na nyaraka au kumbukumbu muhimu zitakazotumika katika Mkutano huo. Isipokuwa kwa idhini ya Mwenyekiti na au ya idadi ya Wajumbe isiyopungua robo tatu ya Wajumbe waliohudhuria Mkutano, hakuna shughuli katika Mkutano wa Halmashauri mbali na shughuli zilizotajwa katika mwaliko wa Mkutano huo. itakayofanywa yoyote Hakuna Mkutano wa kawaida wa Halmashauri utakaofanyika isipokuwa kama kutakuwepo idadi ya Wajumbe isiyopungua nusu ya Wajumbe wote waliohudhuria na kujiandikisha kwenye daftari la mahudhurio. katika mikutano Maalum ya Akidi Halmashauri itakuwa ni theluthi mbili ya Wajumbe wote wa Halmashauri na itahesabiwa wakati wa ufunguzi wa Mkutano. Akidi katika Mkutano wa kawaida wa mwaka na Mkutano wa kwanza wa Halmashauri itakuwa theluthi mbili ya Wajumbe wote wa Halmashauri. Endapo Wajumbe waliohudhuria Mkutano hawatafikia akidi ya Mkutano, Mwenyekiti atauahirisha Mkutano huo na kuuitisha tena 12 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Chunya Tangazo la Serikali Na. 288 (Linaendelea.) ndani ya siku saba (7) na endapo akidi haitatimia tena, idadi yoyote ya Wajumbe waliohudhuria itatengeneza akidi ya Mkutano na Mkurugenzi atamjulisha Waziri kuwepo kwa hali hiyo. SEHEMU YA III TARATIBU ZA MIKUTANO Mwenyekiti na Makamu wa Mwenyekiti watachaguliwa na Wajumbe, kutokana na Wajumbe wa Halmashauri kwa kura ya siri itakayopigwa na Mjumbe mmoja mmoja kwenye eneo la faragha litakalotengwa umbali usiopungua mita 5 kutoka mahali alipoketi Msimamizi wa Uchaguzi.
Part
SEHEMU YA III
- 9 Verify source ↗
Uchaguzi wa Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti wa
AI-assisted research summary: This section concerns the election of the Chairperson and Vice Chairperson of the Council.
9. Uchaguzi wa Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri - 12 Verify source ↗
Kuruhusu watu na Vyombo vya Habari kwenye Mikutano ya
AI-assisted research summary: Kichwa cha kifungu kuhusu kuruhusu watu na vyombo vya habari kwenye mikutano ya Halmashauri.
12. Kuruhusu watu na Vyombo vya Habari kwenye Mikutano ya Halmashauri - 14 Verify source ↗
Kuthibitisha muhtasari
AI-assisted research summary: Section 14 is titled “Kuthibitisha muhtasari” and includes a continuation note.
14. Kuthibitisha muhtasari 1 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Chunya Tangazo la Serikali Na. 288 (Linaendelea.) - 20 Verify source ↗
Hoja zinazoweza kutolewa bila taarifa
AI-assisted research summary: Section title: items that may be issued without notice.
20. Hoja zinazoweza kutolewa bila taarifa - 26 Verify source ↗
Uhuru wa Kutoa mawazo wakati wa majadiliano
AI-assisted research summary: Section title: freedom to express views during debate.
26. Uhuru wa Kutoa mawazo wakati wa majadiliano - 29 Verify source ↗
Mwaliko kwa wasiokuwa Wajumbe kushiriki na kuzungumza
AI-assisted research summary: The section concerns inviting non-members to attend and speak in council meetings.
29. Mwaliko kwa wasiokuwa Wajumbe kushiriki na kuzungumza kwenye vikao vya Halmashauri - 31 Verify source ↗
Mihtasari kupelekwa kwa Mkuu wa Wilaya na Mkuu wa
AI-assisted research summary: This section concerns sending summaries to the District Commissioner and the Regional Commissioner.
31. Mihtasari kupelekwa kwa Mkuu wa Wilaya na Mkuu wa Mkoa - 35 Verify source ↗
Uhalali wa majadiliano ya Halmashauri
AI-assisted research summary: Section title: legality of Halmashauri deliberations.
35. Uhalali wa majadiliano ya Halmashauri - 36 Verify source ↗
Uwezo wa Halmashauri kujigeuza kuwa Kamati ya
AI-assisted research summary: Section title about the Halmashauri’s ability to turn itself into a full Halmashauri committee.
36. Uwezo wa Halmashauri kujigeuza kuwa Kamati ya Halmashauri nzima - 37 Verify source ↗
Hoja zinazohusu watumishi wa Halmashauri
AI-assisted research summary: Section 37 concerns council employees.
37. Hoja zinazohusu watumishi wa Halmashauri - 39 Verify source ↗
Uahirishaji wa Vikao
AI-assisted research summary: Section heading: Adjournment of Meetings.
39. Uahirishaji wa Vikao SEHEMU YA IV KAMATI - 9 Verify source ↗
Section 9
AI-assisted research summary: The council elects a Chairperson or Vice Chairperson by secret vote, with election based on a majority of votes cast; tied votes trigger a rerun, and a vacancy must be filled within 60 days.
9. (1) Uchaguzi wa Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri (2) Mjumbe kabla ya kwenda sehemu ya faragha kwa ajili ya kupiga Kura, atapatiwa na Msimamizi wa Uchaguzi karatasi ya kupigia Kura kutoka kwenye chombo Maalum kitakachowekwa mbele ya Msimamizi wa Uchaguzi, na atakwenda moja kwa moja kupiga kura yake kwenye sehemu ya faragha. (3) Mtu atatangazwa kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti au Makamu wa Mwenyekiti iwapo atapata zaidi ya nusu ya kura zilizopigwa. (4) jina moja Iwapo wakati wa kumchagua Mwenyekiti au tu Makamu wa Mwenyekiti limependekezwa, Wajumbe watapiga kura za siri za “ndiyo” au “hapana” na endapo kura za “ndiyo” zitazidi asilimia hamsini ya kura zote zilizopigwa basi mgombea atatangazwa kuwa Mwenyekiti au Makamu wa Mwenyekiti. (5) Iwapo kura za “Hapana” zitazidi asilimia hamsini ya kura zote zilizopigwa, jina la 13 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Chunya Tangazo la Serikali Na. 288 (Linaendelea.) (6) (7) mgombea mwingine litapendekezwa kwa njia na utaratibu uliotumika hapo awali. Iwapo kura zitafafana, uchaguzi utarudiwa kwa mara ya pili na endapo hata baada ya kurudia uchaguzi, kura zimefanana, Baraza litaamua kuwa madarakani kwa wagombea hao ambao kura zao zimefanana kugawana muda wa Kama itatokea nafasi wazi ya Mwenyekiti au Makamu wa Mwenyekiti, Halmashauri au Makamu itamchagua Mwenyekiti Mwenyekiti katika muda wa siku zisizozidi sitini tangu nafasi hiyo ilipotokea. Uongozaji wa Mikutano ya Halmashauri - 10 Verify source ↗
Section 10
AI-assisted research summary: This section sets rules for who chairs council meetings, what members must wear, and when members must sign the attendance register before attending.
10. (1) Mkutano wa Halmashauri utaongozwa na: (a) Mwenyekiti; au (b) kama Mwenyekiti hayupo, Makamu wa Mwenyekiti; au na Makamu (c) Kama Mwenyekiti na Makamu wa Mwenyekiti wote hawapo, au kama wa Mwenyekiti Mwenyekiti wote hawawezi kuongoza Mkutano, yeyote atachaguliwa na Wajumbe kutoka Wajumbe mwa miongoni waliohudhuria kwa ajili ya kuongoza Mkutano huo; Mjumbe (d) Wajumbe wawapo ndani ya ukumbi wa mikutano wa Halmashauri watavaa mavazi Maalum yaliyochaguliwa na kushonwa Maalum kwa ajili hiyo; (e) Endapo vazi Maalum lililochaguliwa na Halmashauri ni joho basi litavaliwa juu ya vazi la Mjumbe, na Endapo Halmashauri haina joho basi Mjumbe atavaa vazi la heshima, na mavazi 14 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Chunya Tangazo la Serikali Na. 288 (Linaendelea.) kama jeans, kofia zisizohusiana na dini na sare za Chama cha siasa hazitaruhusiwa kuvaliwa wakati wa Mikutano ya Halmashauri na vikao za vya Kamati Halmashauri; za Kudumu (f) Vazi rasmi ya Taifa la Mwenyekiti na Mkurugenzi na Makamu Mwenyekiti litakuwa lenye kuonyesha rangi za Bendera na mazao yanayolimwa kwa wingi katika eneo la Halmashauri kadri Halmashauri itakavyoona inafaa. Hata hivyo, Kanuni hii haitaathiri majoho ambayo yanatumika kabla ya Kanuni hiii; (g) Endapo katika Mkutano huo, Halmashauri itajigeuza kuwa Kamati, Wajumbe watavua majoho; (h) Endapo Baraza litajigeuza kuwa Kamati taratibu za kuendesha Vikao vya Kamati zitatumika na Kikao hicho kitakuwa cha siri. (2) Madaraka au jukumu lolote la Mwenyekiti kuhusiana na uendeshaji wa mikutano yanaweza kutekelezwa na mtu anayeongoza Mkutano huo. (3) Halmashauri itatenga siku mbili kila wiki kwa ajili ya Mwenyekiti kufika ofisini na kutekeleza majukumu yafuatayo: (a) kusikiliza matatizo ya Wananchi; (b) kupata maelezo toka kwa Mkurugenzi kuhusu uendeshaji wa shughuli za Halmashauri ikiwa ni pamoja na masuala ya manunuzi; (c) kusaini mikataba mbalimbali ya 15 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Chunya Tangazo la Serikali Na. 288 (Linaendelea.) Halmashauri; (d) kushughulikia ambalo Mkurugenzi linahitaji kushughulikiwa au kutekelezwa na Mwenyekiti; jambo ataona (e) Endapo kutatokea shughuli au ugeni unaohitaji uwepo wa Mwenyekiti, Mkurugenzi atamjulisha Mwenyekiti ili ahudhurie. yoyote Kila Mjumbe anayehudhuria Mkutano wa Halmashauri ya au Kamati Halmashauri ambamo yeye ni Mjumbe hatahudhuria Mkutano huo mpaka awe ameweka saini yake kwenye Rejesta ya mahudhurio inayotunzwa na Mkurugenzi kwa ajili hiyo. Kumbukumbu ya Mahudhurio - 11 Verify source ↗
Section 11
AI-assisted research summary: A councillor may not be in council offices or do activities unrelated to the council or government, except for council or committee meeting days or when called to perform government duties.
11. (1) (2) Isipokuwa siku ya kufanyika kwa Mikutano ya Baraza au Kamati ambayo Diwani ni Mjumbe au pale atakapoitwa kutekeleza majukumu ya Serikali, si ruhusa kwa Diwani kuwa katika ofisi za Halmashauri na kufanya shughuli ambazo hazihusiani na Halmashauri au Serikali. Kuruhusu Watu na Vyombo vya Habari Kwenye Mikutano ya Halmashauri - 12 Verify source ↗
Section 12
AI-assisted research summary: Council meetings must be open to the public and the media, and the council must announce the meeting time, date, and place in a visible spot in the council area at least three days before the meeting, or when the meeting is called if shorter notice is given.
12. (1) Mikutano ya Halmashauri itakuwa wazi kwa watu wote pamoja na vyombo vya habari. (2) italiweka Halmashauri itapaswa kuutangazia umma kuhusu muda, wakati na mahali pa Mkutano hilo mahali tangazo na panapoonekana kwa urahisi katika eneo la Halmashauri siku zisizopungua tatu kabla ya Mkutano, na kama Mkutano umeitishwa katika muda mfupi zaidi basi wakati wa kuitisha Mkutano huo. Utaratibu wa Shughuli za Mikutano - 13 Verify source ↗
Section 13
AI-assisted research summary: This section sets the order of business for ordinary Halmashauri meetings and requires the Katibu to record meeting minutes with specified details.
13. (1) Isipokuwa kama Halmashauri, kutokana na sababu za dharura, itaamua kubadili utaratibu 16 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Chunya Tangazo la Serikali Na. 288 (Linaendelea.) wa shughuli za mikutano, utaratibu wa shughuli katika kila Mkutano wa kawaida wa Halmashauri utakuwa kama ifuatavyo: - (a) Mwenyekiti akiongozwa na Katibu ataingia ukumbini baada ya mratibu wa mkutano kutoa ishara Maalum kuashiria Mwenyekiti kuingia ukumbini na Wajumbe watasimama pale na Mwenyekiti atakaporuhusu Wajumbe kukaa; kimya mpaka kukaa (c) (b) Mkutano utaanza kwa wimbo wa Taifa ukifuatiwa na Sala au Dua itakayosomwa na Mwenyekiti; endapo Mwenyekiti au Makamu Mwenyekiti hawatakuwepo, Wajumbe watachagua mjumbe mmoja miongoni mwao wa kuongoza kikao; (e) (d) baada ya Sala au Dua kusomwa Mkurugenzi na Mwenyekiti wa Halmashauri watajibu maswali ya papo kwa papo kutoka kwa Wajumbe wa Baraza la madiwani kwa utaratibu ilivyooneshwa na mpangilio kama kwenye Kanuni hii; kupokea na kujadili taarifa za kwenye Kata kutoka kwa Madiwani wa Kata husika; kujadili jambo lolote linalotakiwa kwa mujibu wa Sheria kushughulikiwa kabla ya shughuli nyingine yoyote; (g) kupokea taarifa yoyote inayopaswa ya kisheria kabla kupokelewa shughuli nyingine yoyote; (f) (h) kusoma au kuthibitisha muhtasari wa Mkutano wa kawaida wa Halmashauri uliopita na mikutano yoyote Maalum ya Halmashauri iliyofanyika baada ya Mkutano huo wa kawaida. Hata hivyo iwapo nakala za mihtasari 17 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Chunya Tangazo la Serikali Na. 288 (Linaendelea.) zimesambazwa kwa kila Mjumbe kabla au wakati wa kupeleka taarifa ya kuhudhuria Mkutano, mihtasari hiyo itachukuliwa kuwa imesomwa; ambayo taarifa yoyote kupokea Mwenyekiti atapenda itolewe kwa Halmashauri; kujibu maswali kufuatana na Kanuni ya 21 ya Kanuni hiii; (i) (j) (k) kumalizia shughuli yoyote iliyobaki (l) katika Mkutano wa kawaida uliopita; kupokea na kujadili taarifa za Kamati kwa za Halmashauri, ambao Wenyeviti wa Kamati watahusika ya Wajumbe kuhusiana na kazi za Kamati husika; kujibu maswali kutoka (m) kupokea na kujadili taarifa kutoka kwa Mkurugenzi wa Halmashauri; (n) kuidhinisha utiaji lakiri katika hati; (o) kujadili hoja binafsi kufuatana na jinsi zilivyopokelewa; na (p) kushughulikia mambo mengine taarifa ya yaliyoonyeshwa katika Mkutano. inaweza, Halmashauri katika Mkutano wowote wa kawaida, kubadili utaratibu wa hoja za mazungumzo ili kutoa kipaumbele kwa shughuli yoyote ambayo kwa maoni ya Mwenyekiti na uharaka wa pekee, lakini mabadiliko hayo hayatabadilisha mpangilio wa shughuli zilizotajwa katika aya (a), (b) na (c) za Kanuni ya 13(1) ya Kanuni hii. Katibu ataandika muhtasari wa mazungumzo ya kikao unaozingatia majina ya Wajumbe waliohudhuria na wasiohudhuria, jina la mtoa hoja, aliyeunga mkono hoja, mabadiliko ya hoja kwa ufupi, ushauri uliotolewa na azimio 18 (2) Kuthibitisha Muhtasari - 14 Verify source ↗
Section 14
AI-assisted research summary: Minutes must be read, confirmed, signed by the chairperson, and kept in a special register; the minutes are open for inspection and copies may be given on request if approved and the fee is paid.
14. (1) Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Chunya Tangazo la Serikali Na. 288 (Linaendelea.) utasomwa, lililofikiwa. Muhtasari kurekebishwa, kuthibitishwa na kusainiwa na Mwenyekiti wa Mkutano na kutunzwa katika rejesta Maalum ya mihtasari. huo (2) Mara baada ya kusoma Muhtasari, au kama itachukuliwa kama umesomwa Mwenyekiti atauliza swali “Je Muhtasari wa Mkutano wa ya Halmashauri wa mwezi…………. Mwaka……..utiwe saini kama kumbukumbu sahihi?” tarehe…………… (3) Hakuna hoja au majadiliano yatakayofanywa kuhusiana na muhtasari isipokuwa kuhusiana na usahihi wa muhtasari, kama hakuna swali lililoulizwa, basi mara baada ya kuthibitishwa Mwenyekiti atatia saini katika muhtasari huo. (4) Muhtasari ambao utakuwa umesainiwa vilivyo na kama hakuna ushahidi wa kuwepo kwa makosa utakuwa kumbukumbu sahihi na Mkutano utahesabika kuwa umeitishwa na kufanyika vilivyo na Wajumbe waliohudhuria watahesabika halali. unaofaa (5) Mihtasari ya Halmashauri itakuwa wazi kwa ukaguzi na Wajumbe na kwa umma kwa utaratibu na wakati utakaokubaliwa na Halmashauri na kwamba mtu yeyote anaweza kupewa sehemu ya muhtasari huo kama akiomba na baada ya itakavyoidhinishwa na kulipa ada kama Halmashauri. kwa Hoja za Mwenyekiti - 15 Verify source ↗
Section 15
AI-assisted research summary: Mwenyekiti anaweza kuwasilisha hoja, lakini hoja zake hazipaswi kuzidi tatu; haki yake ya kuwasilisha hoja katika taratibu za kawaida haiondolewi.
15. zinazowasilishwa Hoja na Mwenyekiti hazitazidi hoja tatu, bila kuathiri haki yake, kama Mjumbe ya kuwasilisha hoja katika taratibu za kawaida. 19 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Chunya Tangazo la Serikali Na. 288 (Linaendelea.) Taratibu za Majadiliano - 16 Verify source ↗
Section 16
AI-assisted research summary: This section sets speaking rules for Halmashauri meetings, including who may speak, for how long, and when the Chairperson controls procedure.
16. (1) Isipokuwa kwa idhini ya Halmashauri mtoa hoja atahutubia Mkutano wa Halmashauri kwa dakika zisizozidi kumi. Wajumbe wengine ikiwa ni pamoja na mtoa hoja watazungumza kwa muda usiozidi dakika tano kila mmoja; (2) Mjumbe anaruhusiwa kuzungumza mara moja isipokuwa hoja ile katika hoja yoyote inayowasilishwa bila mjadala; (3) Mtoa hoja atakuwa na haki ya kuzungumza kwa muda usiozidi dakika tano katika kujibu majadiliano na muda huo utaanza kuhesabika mara atakapoanza kuchangia au kujibu. Mratibu wa vikao atatoa ishara Maalum kumjulisha mtoa hoja kuwa muda wake juu ya hoja hiyo umeisha na mjadala utafungwa. Utaratibu huu wa kuhesabu muda utatumika yeyote atakayepewa muda wa kuchangia hojana mara tu baada ya kujibu, mjadala juu ya hoja utafungwa; kwa Mjumbe pia (4) Mjumbe yeyote aliyekwishachangia kwenye hoja hawezi kutoa au kuunga mkono marekebisho, ila marekebisho yakitolewa na kuungwa Mjumbe mkono, aliyekwishazungumza katika hoja ya awali anaweza hoja iliyorekebishwa kwa muda usiozidi dakika tatu; kuzungumza kwenye (5) (6) Iwapo Wajumbe wawili au zaidi watasimama kuzungumza, Mjumbe wakati mmoja atakayetamkwa ndiye atakayepewa nafasi kwanza. na Mwenyekiti Bila kuathiri masharti ya Kanuni Ndogo ya (5) ya Kanuni hii, Mwenyekiti atahakikisha kuwa, nafasi ya kuchangia inatolewa kwa uwiano 20 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Chunya Tangazo la Serikali Na. 288 (Linaendelea.) unaofaa miongoni mwa aina zote za uwakilishi wa Madiwani walioomba kuchangia hoja hiyo. (7) Mjumbe ataelekeza anapozungumza mazungumzo yake kwa Mwenyekiti tu na atapaswa kusimama; (8) Mjumbe anapozungumza hatakatizwa, isipokuwa kwa suala lakini anaweza kutoa nafasi kwa Mjumbe anayetaka kujieleza; la utaratibu, (9) Mjumbe anaposimama kutoa taarifa kuhusu utaratibu, Mjumbe anayezungumza ataketi na atabaki ameketi hadi hoja ya utaratibu itakapokuwa imeamuliwa na Mwenyekiti, isipokuwa kama anasimama kumweleza Mwenyekiti kuhusu suala la utaratibu; utaratibu katika mikutano (10) Mwenyekiti ndiye pekee mwenye uamuzi kuhusu ya Halmashauri, na anayo madaraka ya kuzuia fujo na kuhakikisha kuwa maamuzi yake katika kusimamia usalama yanatekelezwa mara moja. Wakati wa majadiliano Mwenyekiti Mjumbe anayezungumza au aliyesimama ataketi na hadi hakuna Mjumbe Mwenyekiti ameketi; atakayesimama akisimama, (11) Hakuna Mjumbe atakayebaki amesimama anaelekeza wakati Mjumbe mwingine mazungumzo yake kwa Mwenyekiti. (12) Mkurugenzi wa Halmashauri atajibu swali lolote atakaloulizwa na Mwenyekiti kutokana na shughuli zinazoendelea kwenye Mkutano isipokuwa kama atadai haki ya kukataa kujibu swali kwa msingi ya kwamba jibu linaweza 21 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Chunya Tangazo la Serikali Na. 288 (Linaendelea.) kumweka hatiani au kuvunja uaminifu wake au kama mtetezi mahakamani. linamhusisha yeye wa (13) Hakuna mtu kwa niaba yake mwenyewe, au kwa niaba ya watu wengine walio kwenye ujumbe atakayeruhusiwa watu, kuzungumza katika Mkutano wa Halmashauri isipokuwa kwa idhini ya Halmashauri iliyotolewa kwa njia ya azimio. Idhini ya namna hiyo haitatolewa isipokuwa kama mtu huyo au watu hao wanaotaka kuihutubia wamempatia watakuwa Halmashauri Mkurugenzi au Afisa aliyeruhusiwa naye, taarifa ya muda usiopungua siku tisa kabla ya Mkutano wa Halmashauri ambamo wangetaka idhini, maombi yao yafikiriwe kupewa maombi ya kimaandishi jambo ikieleza linalotarajiwa kujadiliwa, na mpaka taarifa ya kupokelewa kwa maoni hayo itakapokuwa imebandikwa kwenye mbao za matangazo za Halmashauri. (14) Hakuna zaidi ya watu wawili watakaokuwa na haki ya kuhutubia Halmashauri kwa niaba ya uwakilishi; na wala hakuna ujumbe utakaozidi idadi ya watu watano watakaoruhusiwa. (15) Kiwango cha juu cha muda wa kuzungumza na Halmashauri ikiwa na muda wa kusoma risala hakitazidi dakika kumi. Fujo zinazosababishw a na Wajumbe - 17 Verify source ↗
Section 17
AI-assisted research summary: The chair may name a member who disrespects the chair’s authority or blocks council business, and may then suspend the meeting or remove and bar the member from three consecutive meetings.
17. (1) Katika Mkutano wowote wa Halmashauri kama Mjumbe wa Halmashauri ataonyesha kukosa heshima kwa madaraka aliyonayo Mwenyekiti au kudharau Kanuni za Kudumu za Halmashauri kwa kuzuia kwa makusudi shughuli za Halmashauri zisiendelee au vinginevyo, Mwenyekiti ataelekeza Mkutano kwa tukio hilo kwa kumtaja jina mjumbe anayehusika. 22 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Chunya Tangazo la Serikali Na. 288 (Linaendelea.) (2) atatafakari jina mjumbe Endapo baada ya kutajwa ataendelea kudharau madaraka ya Mwenyekiti basi Mwenyekiti ataliomba Baraza kuahirisha za Mkutano kwa muda na shughuli jambo hilo na Mwenyekiti anaweza kuagiza yafuatayo: (a) Mjumbe atolewe nje ya Mkutano kama Mjumbe wa Halmashauri na kumzuia kuhudhuria vikao vitatu mfululizo pamoja na haki zinazohusiana na vikao hivyo; (b) Mjumbe kuzuiliwa kuhudhuria vikao vitatu mfululizo na kupoteza haki zake zinazohusiana na vikao hivyo. (3) Iwapo kutatokea fujo kubwa katika Mkutano wowote wa Halmashauri, Mwenyekiti anaweza kama ataona ni muhimu kufanya hivyo, kuahirisha Mkutano bila majadiliano au swali au kusimamisha Mkutano kwa muda atakao ona unafaa. Fujo zinazosababishw a na Umma - 18 Verify source ↗
Section 18
AI-assisted research summary: Ikiwa mtu wa umma anayehudhuria Mkutano wa Halmashauri anavuruga mkutano, Mwenyekiti lazima amwonye aache; akiendelea, Mwenyekiti lazima aamuru aondolewe kwenye chumba. Ikiwa vurugu zitatokea kwenye sehemu ya umma ya mkutano, Mwenyekiti lazima aamuru watu wote walio eneo hilo waondolewe.
18. (1) (2) Iwapo mtu yeyote kati ya umma unaohudhuria Mkutano wa Halmashauri atavuruga Mkutano wa Halmashauri, Mwenyekiti atamuonya mtu huyo aache kufanya hivyo. Endapo mtu huyo ataendelea kuvuruga Mkutano, Mwenyekiti ataamuru mtu huyo atolewe kwenye chumba cha Mkutano. ya Endapo kutakuwa na vurugu katika sehemu cha Mkutano yoyote umma, Mwenyekiti kinachotumika ataamuru kuondolewa kwa watu wote walio katika eneo hilo. chumba na Hoja na Marekebisho ya Hoja - 19 Verify source ↗
Section 19
AI-assisted research summary: Section 19 sets rules for how motions are submitted, recorded, amended, debated, and decided in the council.
19. (1) isipokuwa hoja Taarifa ya kila hoja, iliyowasilishwa chini ya Kanuni za Kudumu Na. 15, itawasilishwa kwa maandishi yaliyowekwa saini na Diwani au Madiwani kwa na waliotoa itapelekwa taarifa, 23 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Chunya Tangazo la Serikali Na. 288 (Linaendelea.) Mkurugenzi angalau siku nne kabla ya Mkutano wa Halmashauri unaofuata na akishaipokea, Mkurugenzi atagonga tarehe na kuipa namba na kuiingiza kwenye daftari kadri hoja zilivyowasilishwa, na daftari hiyo itakuwa wazi kukaguliwa na Mjumbe yeyote wa Halmashauri. (2) Mkurugenzi ataonyesha katika taarifa ya kila Mkutano wa hoja Halmashauri zilizowasilishwa kadri kwa na isipokuwa kama Diwani zilivyopokelewa aliyetoa hoja hiyo ameeleza kwa maandishi wakati alipoleta hoja hiyo, kwamba anataka kuitoa utakaofanyika baadaye, au baada ya kuwasilisha ameifuta hoja hiyo kwa maandishi. katika Mkutano (3) (4) imeonyeshwa katika Iwapo hoja ambayo taarifa ya Mkutano haiwezi kutolewa na Mjumbe aliyewasilisha taarifa; au na Mjumbe mwingine yeyote kwa niaba yake, basi hoja imeahirishwa kwa hiyo, idhini ya Halmashauri, itachukuliwa kama imeondolewa na haitawasilishwa tena bila ya kutoa taarifa upya. isipokuwa kama Iwapo hoja itahusu jambo linalohusu Kamati au Kamati mbalimbali baada ya kupendekezwa na kuungwa mkono, hoja hiyo itapelekwa bila ambayo majadiliano Halmashauri itaelekeza ili iweze kufikiriwa na kutayarishiwa taarifa. kwenye Kamati (5) Ni lazima kila hoja ihusu jambo ambalo Halmashauri ina uwezo na wajibu nalo, au iwe inahusu Halmashauri ya wilaya husika. (6) Marekebisho ya hoja yaliyopendekezwa na kuungwa mkono yanaweza kuondolewa tu 24 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Chunya Tangazo la Serikali Na. 288 (Linaendelea.) kwa ridhaa ya Wajumbe wa Halmashauri walio wengi waliopo katika Mkutano. (7) Marekebisho ya hoja yanapokuwa yamethibitishwa, hoja ya msingi kama ilivyorekebishwa itatolewa na Mwenyekiti kama ndiyo hoja ya msingi ambayo nayo inaweza kufanyiwa marekebisho. Kama hayakukubaliwa, hoja marekebisho rekebisho lingine linaweza kupendekezwa. ya (8) (9) Kwa idhini ya Mwenyekiti, zaidi ya rekebisho moja linaweza kutolewa kwa wakati mmoja mbele ya Mkutano wa Halmashauri, lakini kila rekebisho la namna hii litatolewa moja baada ya jinsi mapendekezo hayo yalivyotolewa. jingine kufuatana na Rekebisho halitachukuliwa kuwa sahihi kama litakuwa sawa na kuikataa hoja moja kwa moja au kama si rekebisho la hoja ya msingi linalokusudiwa kurekebishwa. (10) Rekebisho ambalo halikutolewa taarifa, halitapendekezwa baada ya mjadala wa hoja inayozungumzwa kuendelea kwa nusu saa, ila kwa mujibu wa sharti hili, taarifa ya idadi yoyote ya marekebisho inaweza kutolewa. (11) Hoja ya kufuta azimio Wajumbe wasiopungua Wajumbe wote. itapitishwa na theluthi mbili ya (12) Hoja ya kuzingatia taarifa ya Kamati au kuidhinisha majadiliano au mapendekezo ya Kamati inaweza kutolewa na Mwenyekiti wa Kamati husika, au na Mjumbe yeyote wa Kamati husika kwa niaba yake. (13) Mjumbe yeyote ambaye hajachangia katika 25 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Chunya Tangazo la Serikali Na. 288 (Linaendelea.) mjadala wa hoja, au hajaitolea marekebisho, anaweza kupendekeza “kwamba Halmashauri iendelee na shughuli inayofuata”. Hoja ya aina hiyo inaweza tu kuzingatiwa baada ya hoja kupendekezwa na kuungwa mkono. Hoja inapotolewa, itaamuliwa bila marekebisho au mjadala, na kama ikikubaliwa, shughuli iliyokatizwa na azimio hilo haitaendelea kujadiliwa katika kikao hicho. Hoja ya kupendekeza shughuli kuendelea inayofuata haitatolewa zaidi ya mara moja katika mjadala wa jambo lolote. na (14) Baada ya mjadala kuhusu hoja kuendelea kwa muda usiopungua nusu saa, Mjumbe ambaye hajachangia katika majadiliano anaweza kuomba idhini ya kutoa hoja “kwamba suala lililo mbele yetu sasa liamuliwe” na kama idhini hiyo itatolewa kwa kukubaliwa na si chini ya Wajumbe watano, hoja “kwamba suala liamuliwe” itawasilishwa mara moja, na kama ikiafikiwa, mtoa hoja ya msingi anaweza kuzungumza kwa dakika zisizozidi tano, na baada ya hapo swali ya Halmashauri yatafanyiwa uamuzi. lililo mbele yetu sasa yaliyo mbele au maswali (15) Hoja “kwamba suala lililo mbele yetu sasa liamuliwe” haitatolewa zaidi ya mara moja katika mjadala unaoendelea kuhusu jambo lolote mpaka hapo mjadala utakapokuwa umeendelea kwa angalau nusu saa tangu kuwekwa mbele ya Mkutano hoja ya aina hiyo ilipopendekezwa awali. Hoja zinazoweza kutolewa bila Taarifa - 20 Verify source ↗
Section 20
AI-assisted research summary: This section allows certain listed motions to be taken without notice.
20. Hoja zifuatazo zinaweza kutolewa bila taarifa. (a) kumchagua Mwenyekiti wa Mkutano ambamo hoja imetolewa; (b) hoja kuhusu usahihi wa muhtasari, 26 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Chunya Tangazo la Serikali Na. 288 (Linaendelea.) kuahirisha Mkutano, kufunga Mkutano, utaratibu wa Mkutano, au suala linalofuata; (c) kuteua Kamati au Wajumbe wa Kamati, au wawakilishi katika taasisi za jambo nje, na lililotaarifiwa katika wito wa Mkutano; unaotokana (d) kukubali taarifa na mapendekezo ya yote au Kamati na na yanayotokana mapendekezo hayo; maazimio taarifa (e) kwamba hoja; idhini itatolewa kuiondoa (f) kusahihisha hoja; (g) kuongeza muda wa hotuba; (h) kuwa, jambo lililotajwa katika taarifa ya kuitisha Mkutano litangulie; (i) kusimamisha Kanuni za Kudumu; (j) kwamba Mjumbe asisikilizwe tena au aondoke katika Mkutano; (k) kumwomba Mjumbe abakie Mkutanoni na (l) kutoa idhini ya Halmashauri pale ambapo idhini inatakiwa kwa mujibu wa Kanuni za Kudumu hizi. Haki ya kujibu - 21 Verify source ↗
Section 21
AI-assisted research summary: Mtoa hoja ana haki ya kujibu maswali wakati wa kufunga mjadala kabla ya kupigiwa kura au kabla ya hoja ya kuahirisha mkutano kutolewa.
21. (1) Mtoa hoja atakuwa na haki ya kujibu maswali wakati wa kufunga mjadala juu ya hoja; kabla ya hoja kupigiwa kura au kabla ya hoja kutolewa “kwamba mkutano uhairishwe. 27 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Chunya Tangazo la Serikali Na. 288 (Linaendelea.) (2) Mjumbe anayetumia haki yake ya kujibu hataanzisha hoja nyingine mpya. (3) Baada ya kutolewa kwa jibu ambalo linahusiana na Kanuni hii, uamuzi utafikiwa bila majadiliano zaidi. Maswali - 22 Verify source ↗
Section 22
AI-assisted research summary: Mjumbe anaweza kumuuliza Mwenyekiti wa Kamati swali lolote kuhusu muhtasari wa Kamati uliowasilishwa mbele ya Halmashauri.
22. (1) Mjumbe anaweza kumuuliza Mwenyekiti wa Kamati swali lolote kuhusu muhtasari wa Kamati uliofikishwa mbele ya Halmashauri. (2) (3) (4) Maswali ya papo kwa papo - 23 Verify source ↗
Section 23
AI-assisted research summary: This section sets rules for council question time, including advance sign-up, a 30-minute session, and limits on follow-up questions.
23. (1) Kila swali majadiliano. litaulizwa na kujibiwa bila Swali au maswali yatajibiwa na Mwenyekiti wa Kamati mara moja, na Mjumbe anayeuliza maswali hayo hatanyimwa haki yake ya kujadili hayo yanarejewa au kutoa hoja ya marekebisho. ambayo maswali hoja Pale ambapo swali la maandishi limeelekezwa kwa Mwenyekiti wa Kamati, na taarifa inayotakiwa imo katika mojawapo ya mihtasari ya Halmashauri, kuonyesha sehemu ya muhtasari ambapo habari hiyo imeonyeshwa, kutachukuliwa ni jibu la kutosha. katika itatenga muda wa dakika Halmashauri thelathini kila Mkutano wa Halmashauri wa kawaida ambapo Mwenyekiti na Mkurugenzi wa Halmashauri atajibu maswali ya papo kwa papo kutoka kwa Wajumbe kabla ya kuanza kwa shughuli ya kawaida za Mkutano wa Halmashauri. (2) Wajumbe kumwuliza ambao watataka Mkurugenzi na Mwenyekiti maswali ya papo kwa papo watatakiwa kujiorodhesha kwanza kwa Mwenyekiti angalau masaa ishirini na nne (24) kabla ya Mkutano wa Halmashauri. (3) Mjumbe yeyote ambaye hatajiorodhesha kwa 28 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Chunya Tangazo la Serikali Na. 288 (Linaendelea.) Mwenyekiti au Mkurugenzi ndani ya masaa ishirini na nne atahesabika kuwa amechelewa, na hataruhusiwa kumuuliza Mkurugenzi au Mwenyekiti swali la papo kwa papo. (4) Kabla ya kuanza kwa kipindi cha maswali ya papo kwa papo Mwenyekiti atataja majina ya Wajumbe waliojiorodhesha kuuliza maswali ya papo kwa papo na idadi ya maswali. (5) Mwenyekiti ataweka utaratibu ambao ataona unafaa na kuridhiwa na Wajumbe wa namna bora ya kuendesha kipindi cha maswali ya papo kwa papo. (6) Mjumbe hataruhusiwa kuuliza zaidi ya swali moja la papo kwa papo. (7) Maeneo ya umuhimu ambayo Wajumbe watatakiwa kuuliza maswali ya papo kwa papo ni:- (a) uendeshaji wa jumla wa Halmashauri; (b) utekelezaji wa miradi ya Maendeleo; (c) mipango ya kimkakati ya kuwaondolea Halmashauri wananchi umaskini; (d) mipango ya baadaye ya maendeleo ya Halmashauri; (e) usimamizi na utekelezaji wa Mipango na Bajeti kwa mwaka husika; (f) utoaji wa huduma za jamii kama vile elimu, afya, maji, 29 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Chunya Tangazo la Serikali Na. 288 (Linaendelea.) barabara na madaraja; (g) hifadhi na utunzaji wa vyanzo vya maji; ya mazingira (h) usalama wa chakula na wa raia na mali zao; (i) Utawala Bora na utatuzi wa kero za wananchi. (8) Baada ya kujibiwa kwa swali, muuliza swali atapewa fursa ya kuuliza swali moja tu la ufafanuzi na maswali yatajibiwa bila mjadala. (9) Mwenyekiti atakuwa na uwezo wa kuruhusu kutojibu au kukataa swali lolote la papo kwa papo ambalo litaonekana linahitaji takwimu au utafiti zaidi au swali ambalo linalenga kumdhalilisha Mwenyekiti au Mjumbe yeyote wa Baraza na uamuzi wake utakuwa wa mwisho. (10) Mara baada ya muda wa nusu saa kumalizika, kipindi cha maswali ya papo kwa papo kitamalizika na kuruhusu shughuli zingine za kikao kuendelea. Taarifa za Kamati
Part
SEHEMU YA IV
- 41 Verify source ↗
Mwenyekiti kuwa Mjumbe wa Kamati zote
AI-assisted research summary: The chairperson must be a member of all committees.
41. Mwenyekiti kuwa Mjumbe wa Kamati zote - 48 Verify source ↗
Mkutano Maalum wa Kamati
AI-assisted research summary: Kichwa cha kifungu ni “Mkutano Maalum wa Kamati.”
48. Mkutano Maalum wa Kamati 2 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Chunya Tangazo la Serikali Na. 288 (Linaendelea.) - 50 Verify source ↗
Mahudhurio katika mikutano ya Kamati
AI-assisted research summary: Section on attendance at Committee meetings.
50. Mahudhurio katika mikutano ya Kamati - 51 Verify source ↗
Mtoa hoja kualikwa kwenye Mkutano wa Kamati
AI-assisted research summary: This section is about inviting the mover of a motion to a committee meeting.
51. Mtoa hoja kualikwa kwenye Mkutano wa Kamati - 52 Verify source ↗
Waalikwa wasiokuwa Wajumbe kuhudhuria na kushiriki
AI-assisted research summary: This section concerns non-member invitees attending and taking part in committee meetings.
52. Waalikwa wasiokuwa Wajumbe kuhudhuria na kushiriki katika mikutano ya Kamati - 53 Verify source ↗
Mahudhurio ya Umma na Vyombo vya Habari kwenye
AI-assisted research summary: Section title about public attendance and media at committee and subcommittee meetings.
53. Mahudhurio ya Umma na Vyombo vya Habari kwenye Mikutano ya Kamati na Kamati Ndogo - 56 Verify source ↗
Kanuni za Kudumu kutumika katika mikutano ya Kamati
AI-assisted research summary: This section concerns the standing orders used in committee meetings.
56. Kanuni za Kudumu kutumika katika mikutano ya Kamati - 57 Verify source ↗
Upigaji kura kwenye mikutano ya Kamati
AI-assisted research summary: Section 57 is titled “Upigaji kura kwenye mikutano ya Kamati” (voting at committee meetings).
57. Upigaji kura kwenye mikutano ya Kamati - 60 Verify source ↗
Kutunza siri za majadiliano ya Kamati na Kamati Ndogo
AI-assisted research summary: This section is about keeping committee and subcommittee discussions confidential.
60. Kutunza siri za majadiliano ya Kamati na Kamati Ndogo - 61 Verify source ↗
Kujiuzulu wadhifa wa Mwenyekiti wa Kamati
AI-assisted research summary: Section 61 concerns resignation from the position of Committee Chairperson.
61. Kujiuzulu wadhifa wa Mwenyekiti wa Kamati - 62 Verify source ↗
Kujiuzulu ujumbe wa Kamati na kujazwa kwa nafasi
AI-assisted research summary: This section is about resignation from a committee and filling an open vacancy.
62. Kujiuzulu ujumbe wa Kamati na kujazwa kwa nafasi iliyoachwa wazi SEHEMU YA V UNUNUZI WA VIFAA, UPATIKANAJI WA HUDUMA NA UJENZI
Part
SEHEMU YA V
- 64 Verify source ↗
Kumbukumbu za majadiliano yanayohusu uagizaji
AI-assisted research summary: This section is titled “Records of discussions concerning imports.”
64. Kumbukumbu za majadiliano yanayohusu uagizaji - 69 Verify source ↗
Diwani au Afisa kutokuwa na maslahi kwenye Mikataba
AI-assisted research summary: This section is about a civil servant or officer not having an interest in contracts.
69. Diwani au Afisa kutokuwa na maslahi kwenye Mikataba SEHEMU YA VI MASUALA MENGINE
Part
SEHEMU YA VI
- 77 Verify source ↗
Diwani kutembelea maeneo, shughuli mbalimbali za ujenzi
AI-assisted research summary: Section 77 concerns a councillor visiting areas and various construction activities.
77. Diwani kutembelea maeneo, shughuli mbalimbali za ujenzi - 78 Verify source ↗
Uhifadhi wa lakiri ya Halmashauri
AI-assisted research summary: Section 78 is titled “Uhifadhi wa lakiri ya Halmashauri” and concerns keeping the council seal.
78. Uhifadhi wa lakiri ya Halmashauri 3 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Chunya Tangazo la Serikali Na. 288 (Linaendelea.) - 81 Verify source ↗
Uteuzi wa Wajumbe kwenye Taasisi za nje
AI-assisted research summary: Section 81 concerns the appointment of members to external institutions.
81. Uteuzi wa Wajumbe kwenye Taasisi za nje - 82 Verify source ↗
Kumwondoa Mwenyekiti madarakani
AI-assisted research summary: Section heading: removing the chairperson from office.
82. Kumwondoa Mwenyekiti madarakani SEHEMU YA VII POSHO KWA WAJUMBE
Part
SEHEMU YA VII
- 84 Verify source ↗
Posho iwapo Mkutano umeahirishwa
AI-assisted research summary: This section concerns an allowance when a meeting has been adjourned.
84. Posho iwapo Mkutano umeahirishwa SEHEMU YA VIII MABADILIKO KWENYE KANUNI ZA KUDUMU
Part
SEHEMU YA VIII
- 85 Verify source ↗
Kusitisha utumiaji wa Kanuni za Kudumu
AI-assisted research summary: Section 85 is titled “Kusitisha utumiaji wa Kanuni za Kudumu” (suspension of the use of permanent regulations).
85. Kusitisha utumiaji wa Kanuni za Kudumu - 86 Verify source ↗
Marekebisho na mabadiliko ya Kanuni za Kudumu
AI-assisted research summary: Section 86 is titled “Amendments and changes to the Standing Rules.”
86. Marekebisho na mabadiliko ya Kanuni za Kudumu - 87 Verify source ↗
Kanuni za Kudumu kutolewa kwa Wajumbe
AI-assisted research summary: Standing orders are to be issued for members.
87. Kanuni za Kudumu kutolewa kwa Wajumbe - 90 Verify source ↗
Dua/sala ya kuiombea Halmashauri
AI-assisted research summary: This section says the council’s standing rules and purpose, and gives definitions for terms used in the rules.
90. Dua/sala ya kuiombea Halmashauri SEHEMU YA 1 MASHARTI YA MWANZO KWA KUWA Kauli-mbiu ya Halmashauri ni kuendesha shughuli kwa namna inayozingatia demokrasia, ufanisi, tija, ushirikishwaji, uwazi na uwajibikaji. NA KWA KUWA jukumu la Halmashauri ni kuimarisha demokrasia katika ngazi zote na kutoa huduma kwa wananchi kwa kuzingatia ufanisi, usawa, haki na kwa namna inayochochea maendeleo ya maeneo yaliyo chini ya mamlaka ya Halmashauri kwa kuwashirikisha wananchi. 4 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Chunya Tangazo la Serikali Na. 288 (Linaendelea.) Jina Tafsiri 1 2 NA KWA KUWA madhumuni ya Kanuni za Kudumu ni kuweka utaratibu wa namna Halmashauri itakavyoendesha mikutano na shughuli zake kwa kuzingatia misingi ya utawala bora. SASA BASI, Kanuni za Kudumu hizi zinaelekeza ifuatavyo: Kanuni hii zitaitwa Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Chunya za Mwaka 2021. Katika Kanuni hii isipokuwa kama itaelezwa vinginevyo: “Afisa wa Serikali za Mitaa” Maana yake ni mtu ambaye ameajiriwa na au ambaye yumo katika utumishi wa Mamlaka ya Serikali za Mitaa na ambaye anashika au anakaimu katika nafasi ya menejimenti; “Diwani” Maana yake ni Mjumbe wa Halmashauri aliyetajwa kwa mujibu wa kifungu 35 cha Sheria ya Serikali za Mitaa (Mamlaka za Wilaya) Sura ya 287; “Fujo” Maana yake ni kitendo chochote kinachoweza kufanywa na Mjumbe au Mshiriki wa Kikao cha Halmashauri au Kamati ya Kudumu ambacho ni kinyume na taratibu za uendeshaji wa vikao, kinachoweza kuvuruga kikao. Mfano kuongea bila ruhusa ya Mwenyekiti, kutoa lugha isiyofaa, kutoa kauli yenye maudhi, kuingia kwenye kikao akiwa amelewa, kuingia na silaha, kutoa lugha ya kashfa, matusi, kejeli au kukaidi amri ya Mwenyekiti, kukaidi kutoka nje anapoamriwa kutoka kutokana na fujo alizosababisha; 5 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Chunya Tangazo la Serikali Na. 288 (Linaendelea.) “Halmashauri” Maana yake ni Halmashauri ya Wilaya ya Chunya; “Kamati” iliyoanzishwa (a) Inapotumika kuhusiana na ina maana ya Halmashauri Kamati au iliyoteuliwa na Halmashauri chini ya Sheria; (b) Inapotumika na Kamati Ndogo maana yake ni Kamati Ndogo hiyo iliyoteuliwa na Kamati; (c) Inapotumika na Kamati nyingine ina maana ya Kamati hiyo. kuhusiana kuhusiana "Kauli zenye kashfa'' maana yake ni maneno yenye lengo la kumdhihaki, kudhalilisha utu wa mtu; “Mamlaka ya Mji Mdogo” Maana yake ni Mamlaka ya Mji Mdogo ulioanzishwa chini ya Kifungu cha 13 cha Sheria; “Mkurugenzi” Maana yake ni Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Chunya pamoja na Afisa yeyote aliyeteuliwa kutekeleza majukumu ya Mkurugenzi; “Mjumbe” Maana yake ni Mjumbe wa Halmashauri kama ilivyoainishwa na kifungu cha 35 cha Sheria; “Mwenyekiti” (a) Kwa madhumuni ya Halmashauri maana yake ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Chunya, na inajumuisha Makamu wakati Mwenyekiti 6 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Chunya Tangazo la Serikali Na. 288 (Linaendelea.) ya anapotekeleza majukumu Mwenyekiti kwa mujibu wa Kanuni hii. (b) Kwa madhumuni ya Kamati, Bodi au Kamati Ndogo maana yake ni Mwenyekiti wa Kamati, Bodi au Kamati Ndogo. (c) Kwa maana ya Bodi ya Zabuni ni Mwenyekiti wa Bodi ya Zabuni (d) Kwa maana ya Kamati ya Ukaguzi ni Mwenyekiti wa Kamati ya Ukaguzi (e) Kwa maana ya Bodi ni Mwenyekiti wa Bodi ya Ajira “Sheria” Maana yake ni Sheria ya Serikali za Mitaa (Mamlaka za Wilaya) Sura ya 287 “Waziri” Maana yake ni Waziri mwenye dhamana ya Serikali za Mitaa. SEHEMU YA II MIKUTANO YA HALMASHAURI Mikutano ya Kawaida ya Halmashauri
Part
sehemu ya
- 24 Verify source ↗
Section 24
AI-assisted research summary: Kamati au kamati ya pamoja iliyo chini ya Kanuni hii lazima itoe taarifa ya mijadala kuhusu utekelezaji wa majukumu yaliyokasimiwa kwa Halmashauri ndani ya mikutano miwili ya kwanza husika.
24. (1) Kila Kamati au Kamati ya pamoja iliyoteuliwa chini ya Kanuni hii itatoa, katika mojawapo ya mikutano miwili ya Halmashauri iliyoteua Kamati, Kamati ya pamoja au Kamati Ndogo, taarifa ya majadiliano yanayohusiana na utekelezaji majukumu iliyokasimiwa, kwa ujulisho wa Halmashauri. (2) Muhtasari wa Kamati unaohitaji idhini ya Halmashauri, na taarifa zozote zinazohusiana na muhtasari huo, na ambazo zinaonekana kwa Kamati kuwa zinastahili, zitapelekwa kwa kila Mjumbe wa Halmashauri angalau 30 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Chunya Tangazo la Serikali Na. 288 (Linaendelea.) siku saba kabla ya Mkutano wa Halmashauri ambamo utafikiriwa. (3) Mwenyekiti wa Kamati, au Mjumbe mwingine wa Kamati kwa niaba yake, wakati wa kupendekeza kuidhinishwa kwa muhtasari wa Kamati, anaweza kusema kuwa hakusudii kuwasilisha kipengele au vipengele fulani vya muhtasari huo kwa lengo la kupata idhini ya Halmashauri. Katika hali hiyo Mjumbe yeyote hataweza au vipengele hivyo na muhtasari utawasilishwa bila vipengele hivyo. Kuondolewa kwa kipengele cha aina hiyo kutatolewa taarifa kwenye Mkutano unaofuata. kukizungumzia kipengele (4) Taarifa za kutoka kwenye Kata - 25 Verify source ↗
Section 25
AI-assisted research summary: Kila Kata lazima iwasilishe taarifa za utekelezaji kwenye mkutano wa Halmashauri, na Mkurugenzi ahakikishe taarifa hizo zinapitiwa na kuwasilishwa kupitia Diwani.
25. (1) (2) (3) Taarifa ya Kamati inapokuwa imepokelewa na itamaanisha Halmashauri hatua zilizochukuliwa husika na zimekubaliwa na mapendekezo yaliyo kwenye taarifa hiyo yatatekelezwa na kwamba Mkurugenzi atakuwa ameelekezwa ipasavyo. Kamati kuwa Kila Kata itatakiwa kuwasilisha taarifa za utekelezaji katika Mkutano wa Halmashauri ulioitishwa chini ya Kanuni ya 3(1) ya Kanuni hii. Taarifa za utekelezaji kutoka katika Kata zitawasilishwa na Diwani wa Kata husika, au kama Diwani hiyo hayupo, itawasilishwa na Diwani wa Viti Maalum anayeishi katika Kata hiyo na kama Diwani hayupo, Mwenyekiti Viti Maalum atamtaarifu mapema Diwani yeyote ili ajiandae kuwasilisha taarifa hiyo. taarifa na Kutakuwa zitakazowasilishwa: - (a) Taarifa ya utekelezaji wa miradi ya taarifa aina tatu za 31 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Chunya Tangazo la Serikali Na. 288 (Linaendelea.) ambayo katika Kata maendeleo itajumuisha ujenzi wa Madarasa, Nyumba za Walimu, Matundu ya Vyoo, Maabara, Viwanja vya Michezo, Vituo vya Afya, Zahanati, Madaraja, Barabara, Mashamba darasa, Ofisi za Vijiji, Kata na Tarafa; Idadi ya watu na vizazi; (b) Taarifa zinazohusu hali ya Kata ambazo zitajumuisha; (i) Maendeleo ya Elimu katika Kata kuhusiana na uandikishaji wa watoto wenye umri wa kwenda shule, ufundishaji, utoro, hali ya mahudhurio, mimba shuleni, ukaguzi na uratibu wa shule; (ii) Hali ya majanga ya kibinadamu kama wa vile mlipuko magonjwa, mafuriko, njaa na hali ya uhalifu na vifo; (iii) Maendeleo ya Kilimo, mifugo na uvuvi itajumuisha ambayo upatikanaji wa wataalamu, zana za kisasa na pembejeo za kilimo, mifugo na uvuvi; (iv) Uimarishaji wa dhana ya uzalendo na utaifa kwa kuhamasisha vijana kuanzisha na kujiunga na vikundi vya Vijana, Wagani kazi na mafunzo ya Jeshi la Mgambo, ulinzi shirikishi na polisi jamii; (c) Taarifa ya utekelezaji wa miradi ya Maendeleo na taarifa ya hali ya Kata sharti ijumuishe pia taarifa za shughuli za kiuchumi, taarifa ya mavuno ya mazao ya chakula na biashara pamoja na taarifa ya utunzaji wa mazingira na vyanzo vya maji. 32 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Chunya Tangazo la Serikali Na. 288 (Linaendelea.) (4) Mkurugenzi wa Halmashauri atahakikisha taarifa kutoka kwenye Kata, zinaandaliwa na kuwasilishwa na Diwani wa Kata hiyo kwenye Baraza la Madiwani ili ipitiwe na kuchambuliwa kwa nia ya kupata hoja zitakazowasilishwa katika vikao vya Kamati husika na kutoa mrejesho. Mafanikio na changamoto (5) Mwasilishaji wa taarifa atatakiwa kuelezea changamoto mafanikio yaliyopatikana, zilizojitokeza na mbinu za kukabiliana nazo. (6) Mbinu za kukabiliana na changamoto sharti ziwekewe malengo na muda Maalum wa kuzitatua. (7) (8) Taarifa za mapokeo ya fedha na matumizi yake zitakazokuwa zimeandaliwa na Afisa Mtendaji wa Kata, zitawasilishwa sanjari na miradi iliyotekelezwa na gharama zake. taarifa kutoka kwenye Kata Baada ya itamaanisha kupokelewa na Halmashauri, zimeidhinishwa na kuwa taarifa mapendekezo taarifa yatatekelezwa na Halmashauri, na Kata kupewa taarifa ya utekelezaji wa majukumu hayo. hizo yaliyomo kwenye Uhuru wa kutoa Mawazo wakati wa Majadiliano - 26 Verify source ↗
Section 26
AI-assisted research summary: Watu wanaweza kutoa mawazo wakati wa majadiliano katika mikutano ya Halmashauri, na uhuru huo hauwezi kuhojiwa nje ya Mkutano wa Halmashauri.
26. Kutakuwepo na uhuru wa kutoa mawazo wakati wa majadiliano katika mikutano ya Halmashauri na uhuru huo hautaweza kuhojiwa katika mahakama yoyote au mahali popote nje ya Mkutano wa Halmashauri. Kauli zenye Kashfa - 27 Verify source ↗
Section 27
AI-assisted research summary: If a member makes a defamatory statement about someone in a meeting, the chair must require a written retraction and apology within seven days; if the member refuses, the chair or presiding person must suspend the member from three consecutive council meetings.
27. (1) kulingana Inapotokea, ya Mwenyekiti au mjumbe yeyote anayeongoza Mkutano, kuwa kauli iliyotolewa na Mjumbe na maoni 33 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Chunya Tangazo la Serikali Na. 288 (Linaendelea.) inakashifu mtu yeyote, Mwenyekiti atamtaka Mjumbe aliyetoa kauli hiyo kufuta kauli yake na kumwomba msamaha mtu aliyekashifiwa kwa maandishi ndani ya muda wa siku saba tangu kauli hiyo ya kashfa ilipotamkwa. (2) kwa maandishi Endapo Mjumbe aliyetoa kauli ya kashfa atakataa kufuta kauli yake na kuomba kama msamaha inavyoelekezwa katika Kanuni Ndogo (1) ya Kanuni hii, Mwenyekiti au mtu anayeongoza Mkutano, atamsimamisha Mjumbe huyo kuhudhuria vikao vitatu mfululizo vya Halmashauri Maamuzi ya Mikutano ya Halmashauri - 28 Verify source ↗
Section 28
AI-assisted research summary: Council matters are decided by a majority of the members present, with a tie broken by the chair or presiding member’s casting vote. Voting is secret for votes on removing the chair from office, or for other matters the council decides. A suspended member loses all rights connected to those meetings for the duration of the suspension.
28. (3) Mjumbe aliyesimamishwa kwa mujibu wa Kanuni Ndogo (2) ya Kanuni hii atapoteza haki zake zote zinazohusiana na vikao hivyo kwa muda wote wa kusimamishwa kwake. (1) Masuala yote yaliyojadiliwa na kupendekezwa katika Mkutano wowote wa Halmashauri yataamuliwa kulingana na wingi wa kura za Wajumbe waliohudhuria Mkutano huo, na ikitokea kura za Wajumbe zikalingana, basi Mwenyekiti au Mjumbe yeyote mwingine anayeongoza Mkutano, atapiga kura ya turufu mbali ya kura ya kawaida. (2) linalopigiwa kura Iwapo suala kutokuwa au na Mwenyekiti madarakani, au lingine kama Halmashauri, kura zitapigwa kwa siri. jambo itakavyoamuliwa linahusu kumwondoa lolote na imani - 29 Verify source ↗
Section 29
AI-assisted research summary: Mwenyekiti anaweza kumwalika mtu yeyote kuhudhuria na kushiriki kwenye mkutano wa Halmashauri, lakini mgeni huyo hapigi kura. Wakuu wa Idara lazima wahudhurie mikutano yote ya Halmashauri lakini hawana haki ya kupiga kura. Mkurugenzi wa Halmashauri lazima apitie na kuchambua mihtasari ya kamati na vijiji na kutoa mrejesho.
29. Mwaliko kwa wasiokuwa Wajumbe kushiriki na kuzungumza kwenye Vikao vya Halmashauri (1) Mwenyekiti, baada ya kushauriana na Wajumbe, anaweza kumwalika mtu yeyote kuhudhuria na kuzungumzia jambo lolote, au kushiriki kwa njia yoyote, katika Mkutano wowote wa Halmashauri lakini mwalikwa 34 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Chunya Tangazo la Serikali Na. 288 (Linaendelea.) huyo hatakuwa na haki ya kupiga kura katika Mkutano huo. (2) Wakuu wa Idara za Halmashauri wanapaswa kuhudhuria mikutano yote ya Halmashauri lakini hawatakuwa na haki ya kupiga kura katika mikutano hiyo. Mkurugenzi wa Halmashauri atahakikisha mihtasari yote ya Kamati za Maendeleo za Kata, Halmashauri za Vijiji na Mikutano Mikuu ya Vijiji inapitiwa na kuchambuliwa kwa nia ya kupata hoja zitakazowasilishwa katika vikao vya Kamati husika na kutoa mrejesho inavyopaswa. Mihtasari ya kata na vijiji - 31 Verify source ↗
Section 31
AI-assisted research summary: Halmashauri lazima iwasilishe mihtasari yake kwa Mkuu wa Wilaya na Mkuu wa Mkoa ndani ya siku 7 baada ya kuthibitishwa; viongozi hao wanaweza kupewa nakala wakiiomba, na hawaruhusiwi kubadilisha au kubatilisha uamuzi wa Halmashauri.
31. Mihtasari ya Halmashauri kupelekwa kwa Mkuu wa Wilaya na Mkuu wa Mkoa (1) Mihtasari ya Halmashauri itatolewa na kupelekwa kwa taarifa, kwa Mkuu wa Wilaya na Mkuu wa Mkoa ambamo Halmashauri imo katika muda wa siku 7 baada ya kuthibitishwa kwa mihtasari hiyo. (2) Mkuu wa Wilaya na Mkuu wa Mkoa wanaweza kupewa, wakiomba, nakala ya mihtasari au sehemu ya mihtasari ya Kamati za Kudumu na Kamati nyingine. (3) Wakuu wa Wilaya na Wakuu wa Mikoa hawatabadilisha au kubatilisha au kuagiza kubadilisha au kubatilisha uamuzi wa Halmashauri. Hoja kuhusu Matumizi - 32 Verify source ↗
Section 32
AI-assisted research summary: The section appears to deal with motions that may increase expenditure or reduce revenue, especially where they are not based on a finance/administration/planning committee recommendation or statement.
32. na ambayo, Hoja yoyote isiyotokana na mapendekezo au taarifa ya Kamati ya Fedha, Utawala na Mipango kama ikikubaliwa,itaongeza matumizi au kupunguza mapato yaliyo chini ya usimamizi wa Kamati yoyote, au itasababisha matumizi ya Kamati ya Kudumu, baada ya kupendekezwa au bila kuungwa itaahirishwa mkono, 35 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Chunya Tangazo la Serikali Na. 288 (Linaendelea.) Kupokelewa kwa taarifa za Kamati - 33 Verify source ↗
Section 33
AI-assisted research summary: Kamati inayohusika inaweza kuzingatia kutoa taarifa kuhusu athari za kifedha za pendekezo, na taarifa hiyo inaweza kujadiliwa na kupigiwa kura kwa vipengele kabla ya kuwasilishwa kwa Mkutano kwa kupokelewa.
33. (1) majadiliano mpaka Mkutano wa kawaida wa Halmashauri unaofuata, na Kamati yoyote inayohusika na hoja hiyo itafikiria iwapo ingependa kutoa taarifa kuhusu athari za kifedha za pendekezo hilo. Taarifa ya Kamati inapowasilishwa kwenye Halmashauri, hoja itakuwa “kwamba taarifa ipokelewe”na baada ya kukubaliwa na Wajumbe taarifa itaanza kujadiliwa kipengele kimoja baada ya kingine. (2) Mapendekezo yoyote yaliyomo katika taarifa hiyo yatapigiwa kura moja baada ya nyingine iwapo Mjumbe yeyote atapenda iwe hivyo. Baada ya hapo taarifa nzima itawasilishwa mbele ya Mkutano kwa kupokelewa ikiwa na au bila marekebisho. Taarifa ya Kamati inapokuwa imepokelewa na kuwa Halmashauri hatua itamaanisha zilizochukuliwa na Kamati iliyowasilisha taarifa hiyo zimeidhinisha na mapendekezo yaliyo kwenye taarifa yatatekelezwa na kwamba Mkurugenzi wa Halmashauri atakuwa ameelekezwa kama inavyotakiwa. Uhalali wa majadiliano kwenye Halmashauri hautaathiriwa na nafasi yoyote wazi ya Mjumbe, dosari zozote zilizo katika uchaguzi au uteuzi wa Wajumbe wa Kamati au zile za maafisa wake. Kuidhinishwa kwa taarifa ya Kamati - 34 Verify source ↗
Section 34
AI-assisted research summary: Kifungu hiki kina kichwa “Uhalali wa majadiliano ya Halmashauri.”
34. Uhalali wa majadiliano ya Halmashauri - 35 Verify source ↗
Section 35
AI-assisted research summary: This provision sets rules for council committees, meetings, delegation, and public participation.
35. 36 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Chunya Tangazo la Serikali Na. 288 (Linaendelea.) 36 Uwezo wa Halmashauri kujigeuza kuwa Kamati ya Halmashauri nzima Halmashauri inaweza kujigeuza kuwa Kamati ya Halmashauri nzima, na mara baada ya kujigeuza, taratibu za kuendesha vikao vya Kamati za Kudumu zitatumika. 37 Hoja zinazohusu watumishi wa Halmashauri Kushiriki kwa Umma 38 jambo litajitokeza lolote katika Kama mkutano wa Halmashauri linalohusu uteuzi, kupandishwa kazi, mishahara au mazingira ya kazi au utendaji kazi kwa jumla wa mtumishi yeyote wa Halmashauri, jambo hilo litajadiliwa katika Kamati ya Halmashauri nzima. kufukuzwa cheo, (1) Mtu yeyote ambaye ni mkazi katika eneo la Halmashauri anaweza kuhudhuria kikao cha Halmashauri kwa nia ya kuwasilisha hoja mbele ya Halmashauri, baada ya kutoa taarifa kwa maandishi na kwa Mkurugenzi, Mkurugenzi akamkubalia kufanya hivyo. (2) Mtu yeyote ambaye ni mkazi katika eneo la Halmashauri anaweza kualikwa kuhudhuria kikao cha Kamati au Kamati Ndogo kabla uamuzi haujafanyika kuhusu masuala ambayo ana maoni mahsusi. Uahirishaji wa mikutano 39 (1) Kwa kuzingatia masharti ya Kanuni Ndogo ya (2) ya Kanuni 17 na Kanuni Ndogo ya 2 ya haitaahirisha Kanuni Mkutano wake hadi dondoo zote za agenda ya Mkutano huo zitakapojadiliwa na kutolewa uamuzi. hii, Halmashauri (2) Pale ambapo katika Mkutano wowote wa Halmashauri akidi haikutimia, Wajumbe waliopo wataahirisha Mkutano na utaratibu wa kuitisha Mkutano mwingine utafanyika 37 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Chunya Tangazo la Serikali Na. 288 (Linaendelea.) Kamati za Kudumu 40 (1) kwa kuzingatia maelekezo ya Kanuni hii. SEHEMU YA IV KAMATI Halmashauri katika Mkutano wake wa mwaka itateua Wajumbe wa Kamati za Kudumu zifuatazo ambazo zitakuwa na idadi ya (ukimwondoa Mwenyekiti wa Wajumbe isipokuwa katika Kamati ya Halmashauri kama na mipango) Fedha, Utawala inavyoonyesha kama au chini itakavyorekebishwa na Halmashauri mara kwa mara. Isipokuwa katika kuteua Wajumbe wa Kamati ya Fedha, Utawala na Mipango Mwenyekiti na Mkurugenzi watazingatia uwiano wa uwakilishi wa vyama vya siasa katika Halmashauri. hapa Kamati (a) Kamati ya Fedha ,Uongozi na Mipango (b)Kamati ya Elimu,Afya na Maji (c) Kamati ya Masuala ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira. (d)Kamati ya Maadili ya Madiwani (e)Kamati Kudhibiti Ukimwi ya Idadi ya Wajumbe 09 12 12 05 05 Akidi 05 06 06 03 03 (2) Kila Mjumbe wa Halmashauri atakuwa Mjumbe wa angalau Kamati moja ya Kudumu. Kamati ya Fedha, Utawala na mipango itakuwa na Wajumbe wafuatao: - (a) Mwenyekiti wa Halmashauri ambaye 38 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Chunya Tangazo la Serikali Na. 288 (Linaendelea.) atakuwa Mwenyekiti. (b) Makamu Mwenyekiti (c) Mbunge au Wabunge wa Majimbo wanaowakilisha Majimbo katika eneo la Halmashauri (d) Wenyeviti wa Kamati za Kudumu za Halmashauri (e) Wajumbe wengine wasiozidi wawili na watakaopendekezwa (2) Mwenyekiti na kupigiwa kura na Baraza la Halmashauri mmoja kati yao awe mwanamke. (3) Wajumbe wa Kamati za Kudumu watashika nyadhifa zao kwa muda wa mwaka mmoja na wataendelea kushika nyadhifa hizo mpaka Mkutano wa mwaka wa Halmashauri unaofuata. Wajumbe Isipokuwa waliochaguliwa kwenye Mkutano wa kwanza baada Uchaguzi Mkuu watashika nyadhifa zao kwa muda uliobaki kumaliza Mwaka wa Fedha ambapo Uchaguzi utafanyika tena. (4) (5) Halmashauri inaweza wakati wowote kuvunja na kuunda upya Kamati ya Kudumu iliyoteuliwa kwa mujibu wa Kanuni hii ya Kudumu, endapo kufanya hivyo kutakuwa ni kwa manufaa ya Halmashauri. Hakuna Halmashauri itakayounda Kamati ya Kudumu mpya zaidi ya Kamati zilizotajwa kwenye Kanuni ya 40(1) hapo juu, isipokuwa idhini ya baada ya kuomba na kupata maandishi kutoka kwa Waziri. (6) Maombi ya Halmashauri ya kuanzisha Kamati mpya ya Kudumu lazima yakidhi na yawe na 39 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Chunya Tangazo la Serikali Na. 288 (Linaendelea.) maelezo yafuatayo; (a) Upekee wa majukumu yanayoombewa kuundwa kwa Kamati ya Kudumu mpya na majukumu hayo yawe hayawezi kutekelezwa na Kamati za Kudumu zilizotajwa zilizopo na kwenye Kanuni ya 40(1) hapo juu; (b) Gharama za uendeshaji wa Kamati hiyo kwa mwaka; (c) Kuundwa kwa Kamati ya Kudumu hiyo mpya ni hitajio la lazima na ni kipaumbele cha Halmashauri na jamii kwa ujumla. (7) Kamati yoyote itakayoundwa na Halmashauri bila itakuwa batili na maamuzi yake yote yatakuwa batili. idhini ya Waziri Mwenyekiti wa Halmashauri atakuwa Mjumbe wa Kamati zote za Kudumu za Halmashauri. Kamati zote za Halmashauri zitawasilisha taarifa zao kwa Halmashauri, na hakuna hatua itakayochukuliwa kutekeleza uamuzi wowote wa Kamati yoyote mpaka hapo taarifa ya Kamati husika itakapokuwa imewasilishwa na kukubaliwa na Halmashauri, isipokuwa pale ambapo hatua ya imekasimiwa kwa Kamati. kuchukua idhini 41 Mwenyekiti wa Halmashauri kuwa Mjumbe wa Kamati zote Uwezo wa Kamati 42 Kamati za Pamoja 43 (1) inaweza kukubaliana na Halmashauri Halmashauri nyingine kuteua Kamati ya pamoja kutokana na Wajumbe wao kwa madhumuni yoyote yale ambayo wana maslahi ya pamoja, na Halmashauri hizo zinaweza kukasimu kwa Kamati hiyo ya pamoja, kutegemea na masharti na mipaka inafaa, zitakazoweka kama watakavyoona ya Halmashauri madaraka kazi au 40 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Chunya Tangazo la Serikali Na. 288 (Linaendelea.) zinazohusiana na madhumuni yaliyozifanya ziunde Kamati hiyo, isipokuwa shughuli zile ambazo Halmashauri haziruhusiwi kukasimu. (2) Muundo na muda wa kazi wa Wajumbe wake na mipaka ya eneo ambamo Kamati hiyo ya pamoja na Halmashauri zinazoiteua itapangwa itafanya kazi, (3) Kamati ya pamoja haitaingia katika gharama zozote zaidi ya zile ambazo zimeidhishwa na mamlaka iliyoteua Kamati hiyo. Kukasimu Madaraka kwenye Kamati 44 (1) Kufuatana na Kanuni Ndogo ya (2) ya Kanuni hii pamoja na masharti mengine ambayo Halmashauri inafaa, Halmashauri inaweza kukasimu kwa Kamati uwezo wa kutekeleza kazi yoyote kwa niaba yake. itaona (2) Halmashauri haitakasimu kwa Kamati yoyote uwezo wa: (a) kutunga Sheria Ndogo; (b) kuweka na kutoza kodi; (c) kuidhinisha makadirio ya mapato na matumizi ya Halmashauri; (d) kutoza ada na ushuru; (e) kuidhinisha mpango na bajeti ya Halmashauri; (f) kuingia mikataba mbalimbali ikiwa ni pamoja na mikataba ya kukopa; (g) kupitisha mpango wa utoaji huduma. (3) Kazi za kila Kamati ya Kudumu ya Halmashauri ni kama zilivyoonyeshwa katika Jedwali la Kwanza la Kanuni za Kudumu hizi. 41 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Chunya Tangazo la Serikali Na. 288 (Linaendelea.) (4) (5) Kamati Ndogo 45 (1) Halmashauri inaweza kusitisha au kurekebisha uamuzi wa kukasimu madaraka yoyote kwa Kamati, lakini usitishaji au urekebishaji huo hautaathiri jambo lolote lililofanywa kutokana na uamuzi wowote uliochukuliwa kihalali na Kamati. Shughuli yoyote iliyotekelezwa na Kamati kutokana na kukasimiwa kwa mujibu wa Kanuni hii itatambuliwa kuwa imefanywa au kutekelezwa na Halmashauri. Kamati yoyote au Kamati ya pamoja inaweza kuteua Kamati Ndogo kutokana na Wajumbe wake kadri itakavyoona inafaa kwa ajili ya kuchunguza na kutoa taarifa kuhusu jambo lolote, lakini Kamati haitakasimu madaraka yake ya kiutendaji kwa Kamati Ndogo yoyote. (2) Idadi ya Wajumbe wa Kamati Ndogo pamoja na muda watakaotumikia vitaamuliwa na Kamati iliyoteua Kamati Ndogo hiyo. (3) Mwenyekiti wa Kamati atakuwa Mjumbe wa Kamati Ndogo yoyote kwa mujibu wa wadhifa wake isipokuwa kama atamfahamisha Mkurugenzi kwa maandishi kuwa hatakuwa Mjumbe wa Kamati hiyo. (4) Kila Kamati Ndogo inaweza kumteua mmoja wa Wajumbe wake kuwa Mwenyekiti wa Kamati Ndogo husika. Vikao vya Kamati 46 (1) Kikao cha kwanza wa Kamati kitaitishwa na Mkurugenzi ndani ya mwezi mmoja baada ya Kamati kuteuliwa na baada ya hapo kulingana na kama mikutano itakavyoidhinishwa na Halmashauri. ratiba ya 42 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Chunya Tangazo la Serikali Na. 288 (Linaendelea.) (2) (3) Mwenyekiti wa Kamati 47 (1) Taarifa ya angalau saa ishirini na nne yenye ajenda za kikao itabidi kutolewa kwa Wajumbe kabla ya kikao cha Kamati. Idadi ya Kamati haitazidi idadi ambayo itawekwa na Waziri kutokana na uwezo aliopewa chini ya kifungu cha 75(3) cha Sheria. Katika kikao chake cha kwanza baada ya Mkutano wa mwaka wa Halmashauri na kabla ya kuendelea na shughuli yoyote nyingine, kila Kamati itamchagua Mwenyekiti wa Kamati kwa mwaka unaohusika. (2) Mwenyekiti wa Kamati, isipokuwa Kamati ya Fedha Utawala na Mipango atachaguliwa kwa kura ya siri ya Wajumbe walio wengi kwa kupiga kura ya siri kwenye eneo la faragha litakalotengwa na Mkurugenzi kwa ajili hiyo. (3) Mwenyekiti wa Halmashauri atakuwa pia Mwenyekiti wa Kamati ya Fedha na Utawala. (4) Kikao Maalum cha Kamati
Part
Jedwali la Kwanza la Kanuni za Kudumu hizi.
- 48 Verify source ↗
Section 48
AI-assisted research summary: The section sets rules for committee meetings, including special meetings, agenda items, attendance, voting, and invitations.
48. (1) Endapo nafasi ya Mwenyekiti wa Kamati itakuwa wazi katika kipindi cha mwaka taarifa kwa husika, Mkurugenzi atatoa Wajumbe wote wa Kamati kuwa katika kikao kijacho cha kawaida cha Kamati husika dondoo ya kumchagua Mwenyekiti wa Kamati kwa kipindi cha mwaka kilichosalia itakuwa ya kwanza katika ajenda. Kikao Maalum cha Kamati kitaitishwa baada ya theluthi mbili ya Wajumbe wa Kamati kuomba kwa maandishi kuwa kikao hicho kifanyike na kueleza sababu. (2) Taarifa ya kikao Maalum cha Kamati 43 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Chunya Tangazo la Serikali Na. 288 (Linaendelea.) itakayofanyika katika itaonyesha shughuli kikao hicho na hakuna jambo jingine lolote litakalojadiliwa katika kikao hicho Mjumbe wa Kamati atakuwa na haki ya hoja zake kuwekwa katika ajenda ya Kamati kama atatoa taarifa ya angalau siku nne (4) kabla ya tarehe ya kikao. (1) Mjumbe wa Kamati ya Kudumu au Kamati Ndogo, ambaye ameshindwa kuhudhuria kikao cha Kamati Ndogo, hataruhusiwa kutuma mtu mwingine kumwakilisha kwenye kikao cha Kamati au Kamati Ndogo. (2) Mjumbe wa Halmashauri hatakuwa na haki ya kuhudhuria kikao chochote cha Kamati au Kamati Ndogo ambamo yeye si Mjumbe, isipokuwa kama Kamati au Kamati Ndogo inayohusika imemwalika kuhudhuria, na hata hivyo hatakuwa na haki ya kupiga kura au kudai posho kwa kuhudhuria kikao hicho cha Kamati au Kamati Ndogo. Mjumbe wa Halmashauri anayewasilisha hoja ambayo imepelekwa kwenye Kamati atapewa taarifa ya kikao cha Kamati ambamo hoja imepagwa kuzungumzwa na kama yake atahudhuria atapewa nafasi ya kuizungumzia. Mwenyekiti wa Kamati, Kamati ya pamoja au Kamati Ndogo baada ya kushauriana na Wajumbe wa Kamati, Kamati ya pamoja na Kamati Ndogo, anaweza kumwalika mtu yeyote kuhudhuria na kuzungumza kwenye kikao kuhusu suala lolote au kushiriki kwa namna yoyote kwenye kikao cha Kamati, lakini mtu huyo atakayealikwa hatakuwa na haki ya kupiga kura kwenye kikao hicho. Majadiliano katika Kamati, Kamati ya pamoja 44 Ajenda za Kamati - 50 Verify source ↗
Section 50
AI-assisted research summary: Waalikwa wasiokuwa wajumbe wanaweza kuhudhuria na kushiriki, lakini mikutano ya Kamati na Kamati Ndogo haifunguki kwa umma na vyombo vya habari isipokuwa Halmashauri ikiruhusu. Ikiwa akidi haijakamilika, Mkurugenzi ataahirisha na kuitisha tena kikao ndani ya siku 7.
50. 51 Mtoa hoja kualikwa kwenye kikao cha Kamati 52 Waalikwa wasiokuwa Wajumbe kuhudhuria na kushiriki katika vikao vya Kamati Mahudhurio ya umma na 53 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Chunya Tangazo la Serikali Na. 288 (Linaendelea.) Vyombo vya Habari kwenye katika vikao vya Kamati na Kamati Ndogo Athari za nafasi wazi kwenye Kamati 54 (1) (2) Akidi kwenye vikao vya Kamati 55 na azimio au Kamati Ndogo hayatakuwa wazi kwa umma na vyombo vya habari, isipokuwa kwa kutokana la Halmashauri linaloruhusu kuwa umma na vyombo vya habari vihudhurie. Kunapotokea nafasi wazi kwenye Kamati, Kamati ya pamoja au Kamati Ndogo, Kamati itaendelea kutekeleza shughuli zake licha ya kuwepo kwa nafasi wazi hiyo au hizo au mpaka nafasi hiyo au hizo zitakapojazwa, kwa njia ya uchaguzi au uteuzi. Mjumbe atakayejaza nafasi hiyo atashika nafasi hiyo kwa kipindi kilichosalia cha Mjumbe ambaye nafasi yake imekuwa wazi. jambo Uhalali wa tendo lolote au maamuzi ya kikao chochote cha Kamati hautaathiriwa kutokana na hitilafu katika uteuzi wa Mjumbe aliyeshika nafasi hiyo au nafasi hiyo kuachwa wazi na Mjumbe, au Wajumbe au Mjumbe au Wajumbe kuamua kutoka kwenye kikao kwa lengo linalotaka la kukwamisha kutolewa maamuzi na Kamati hiyo. Endapo Wajumbe waliohudhuria hawatafikia akidi ya Kikao, Mkurugenzi ataahirisha Kikao hicho na kukiitisha tena ndani ya siku saba (7) na endapo akidi haitatimia tena, idadi yoyote ya Wajumbe waliohudhuria itatengeneza akidi ya Kikao ambapo kikao hicho kitaendelea na itakuwa halali na Mkurugenzi atamjulisha Waziri kuwepo kwa hali hiyo. kikao 56 (1) Kanuni za Kudumu katika vikao vya Kamati Kanuni ya 16 ya Kanuni hii za Kudumu itatumika, baada ya kufanya marekebisho yanayostahili, kwenye vikao vya Kamati za Halmashauri (2) Mjumbe anapozungumza katika kikao cha anaweza ameketi na atakuwa Kamati 45 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Chunya Tangazo la Serikali Na. 288 (Linaendelea.) Upigaji kura kwenye vikao vya Kamati 57 Mihtasari ya Kamati 58 Kufikiriwa Upya Maamuzi 59 60 Kutunza siri za majadiliano ya Kamati na Kamati Ndogo kuzungumza zaidi ya mara moja juu ya jambo linalojadiliwa. Masuala yote yanayoletwa mbele ya Kamati yataamuliwa kwa wingi wa kura za Wajumbe waliohudhuria na kupiga kura kwenye kikao husika. Endapo kunatokea kura mlingano mtu anayeongoza kikao hicho atakuwa na kura ya turufu. (1) Muhtasari wa kila Kamati, Kamati ya pamoja na Kamati Ndogo, utajumuisha majina ya Wajumbe waliohudhuria na wasiohudhuria, na utasainiwa kwenye kikao kinachofuata na mtu na muhtasari uliosainiwa hivyo, kama hakuna ushahidi wa kuwa una makosa, utapokelewa kwa ushahidi bila uthibitisho zaidi. aliyeongoza kikao (2) Hakuna hoja au mjadala utakaoendeshwa kuhusiana na muhtasari wa Kamati isipokuwa kuhusu usahihi wa suala lolote linalohusu usahihi litatolewa kwa hoja. ambapo Pale lililowasilishwa suala limeamuliwa kwa mujibu wa Kanuni ya 55, suala hilo halitaanza kujadiliwa upya katika kikao hicho cha Kamati isipokuwa kama hoja hiyo inaungwa mkono na theluthi mbili ya Wajumbe waliohudhuria na kupiga kura. Mjumbe wa Kamati au Kamati Ndogo hatatoa nje jambo lolote lililoletwa au kuzungumzwa kwenye Kamati au Kamati Ndogo bila ruhusa ya Kamati hiyo, au Kamati Ndogo mpaka hapo Kamati hiyo au Kamati Ndogo hiyo itakapokuwa kwenye Halmashauri au itakapokuwa imekamilisha utekelezaji wa jambo hilo. imetoa taarifa 46 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Chunya Tangazo la Serikali Na. 288 (Linaendelea.) 61 Kujiuzulu wadhifa wa Mwenyekiti wa Kamati Mwenyekiti wa Kamati anaweza kujiuzulu wadhifa wake kwa kutoa taarifa ya maandishi aliyoisaini na kutuma kwa Mkurugenzi. Kujiuzulu ujumbe wa Kamati na kujazwa kwa nafasi iliyowazi 62 (1) Mjumbe yeyote wa Kamati anaweza kujiuzulu wadhifa wake kwa kutoa taarifa ya maandishi aliyoisaini na kuituma kwa Mkurugenzi. (3) Nafasi inayotokana na kujiuzulu kwa Mjumbe itajazwa na Halmashauri katika kikao chake cha kawaida baada ya tarehe ya kujiuzulu kwa Mjumbe. Taratibu za uagizaji Sura ya 290 63 (1) SEHEMU YA V UNUNUZI WA VIFAA, UPATIKANAJI WA HUDUMA NA UJENZI Uagizaji wa mali, huduma na ujenzi katika Halmashauri utazingatia Kanuni za Manunuzi zilizotungwa chini ya kifungu cha 68 cha Sheria za Fedha za Serikali za Mitaa,Sura ya 290 na Sheria ya Manunuzi ya mwaka 2011 pamoja na marekebisho yake ya mwaka 2016. (2) Kutakuwepo na Bodi ya Zabuni ambayo imeanzishwa kwa mujibu wa Kanuni za Bodi ya Zabuni (Uanzishwaji na Mwenendo) za Serikali za Mitaa na ambayo itasimamia shughuli zote za uagizaji katika Halmashauri. (3) Muhtasari wa Bodi ya Zabuni utapaswa kuwasilishwa kwenye kikao kifuatacho cha Halmashauri baada ya muhtasari huo kujadiliwa na kupitishwa kwanza na Kamati ya Fedha na Utawala. Kumbukumbu za 64 Bodi ya zabuni ya Halmashauri itaweka 47 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Chunya Tangazo la Serikali Na. 288 (Linaendelea.) majadiliano yanayohusu uagizaji kumbukumbu ya majadiliano yanayohusu taratibu za ununuzi zikiwa na angalau taarifa zifuatazo: - (a) maelezo mafupi kuhusu vitu, ujenzi au huduma zinazotarajiwa kutolewa na haja iliyosababisha Bodi kuitisha zabuni; (b) majina na anuani ya wazabuni waliowasilisha zabuni, maelezo kuhusu sifa au ukosefu wa sifa za wazabuni waliowasilisha zabuni zao; (c) bei au msingi wa upangaji wa bei na muhtasari wa masharti mengine muhimu ya kila zabuni na ya kila mkataba wa uagizaji wa mali, huduma na ujenzi; (d) muhtasari wa tathmini na mlinganisho wa zabuni pamoja na upendeleo uliokuwepo katika tathmini hiyo; (e) kama zabuni tamko kuhusu uamuzi huo na sababu za uamuzi huo; zilikataliwa, (f) kama utaratibu mwingine wa kupata vitu au huduma mbalimbali ya utaratibu wa zabuni ndio uliotumika, basi tamko kuhusu sababu zilizoifanya Bodi iamue kutumia utaratibu huo mwingine; (g) kama zabuni ilikataliwa kwa kuwa mzabuni alitoa, alikubali kutoa moja kwa moja au kwa njia isiyo ya moja kwa moja, kwa mtumishi wa sasa au wa zamani wa Halmashauri, bakshishi ya aina yoyote, ahadi ya kumwajiri au 48 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Chunya Tangazo la Serikali Na. 288 (Linaendelea.) kitu chochote kinachohusiana na ajira au chenye thamani, kama hamasisho kwa utendaji au uamuzi au utaratibu wa kutumia, tamko kuhusu jambo hilo; (h) katika upataji wa huduma, sababu na hali kuchagua iliyoifanya Bodi utaratibu wa kutumia katika upataji huo wa huduma; imeamua (i) katika upataji wa vitu au huduma ambao Bodi kudhibiti ushiriki kwa misingi ya Taifa, Mkoa au Wilaya, tamko kuhusu sababu na hali iliyofanya Bodi kudhibiti ushiriki huo; (j) katika upataji wa vifaa na huduma kwa kutoa kuwaomba watoaji mapendekezo yao moja kwa moja tamko la sababu na hali iliyofanya Bodi kuamua kutumia utaratibu huo; na (k) muhtasari wa maombi yoyote ya ufafanuzi kuhusu mchujo wa zabuni au nyaraka na majibu zabuni yaliyotolewa pamoja na muhtasari wa marekebisho yoyote yaliyofanywa katika nyaraka hizo. za (2) Sehemu ya kumbukumbu zilizotajwa kwenye Kanuni Ndogo ya (1) (a) na (b) ya Kanuni hii zitatolewa, kama zikiombwa, kwa mtu yeyote baada ya zabuni kutangazwa, kufunguliwa na kukubaliwa, au baada ya kusimamishwa kwa taratibu za uagizaji bila ya kuingia katika mkataba wa uagizaji. (3) Sehemu ya kumbukumbu zilizoelekezwa katika Kanuni Ndogo ya (1) (c) hadi (g) ya 49 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Chunya Tangazo la Serikali Na. 288 (Linaendelea.) Kanuni hii kama itaombwa, itatolewa kwa wazabuni waliowasilisha zabauni baada ya zabuni kukubaliwa au baada ya kusitishwa bila ya kuingia kwenye mkataba wa utoaji wa vitu au huduma (4) Isipokuwa kama itaelekezwa hivyo na mahakama yenye mamlaka na kutegemeana na masharti ya maelekezo hayo, Bodi haitatoa habari: cha Sheria, (a) kama utoaji huo wa habari utakuwa kinyume utazuia utekelezaji wa Sheria; hautakuwa na maslahi kwa umma, utahatarisha maslahi halali ya kibiashara ya wahusika au utazuia ushindani halali; na (b) habari zinazohusu uchambuzi, tathmini na ulinganisho wa zabuni pamoja na bei mbali ya muhtasari ulioelezwa kwenye Kanuni Ndogo ya (1) (e) ya Kanuni hii. (5) Mara baada ya zabuni kujadiliwa na Bodi, Katibu atamjulisha Mzabuni aliyefanikiwa ili makubaliano ya nyaraka za mkataba yaweze kufikiwa. (6) (7) Nakala za muhtasari zitapelekwa kwa siri kwa kila Mjumbe wa Bodi, Mkurugenzi, Mweka Hazina, Mkaguzi wa Ndani na Mkuu wa Idara husika kwa taarifa na kumbukumbu. Kila mzabuni hakufanikiwa za na atajulishwa sababu kutokubaliwa kwa zabuni yake atapaswa kupewa sababu. ambaye akiomba (8) Bodi ya Zabuni kwa kuzingatia masharti ya 50 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Chunya Tangazo la Serikali Na. 288 (Linaendelea.) itaandaa na maamuzi taarifa ya Kanuni za uagizaji zabuni mwenendo zilizoitishwa kwenye Mkutano wa kawaida wa Halmashauri kupitia Kamati ya Kudumu husika. ya kuwasilishwa na Uzuiaji wa Rushwa 65 Katika mkataba wowote wa kimaandishi, yatawekwa maneno ambayo yataonyesha kuwa Halmashauri itakuwa na haki kusitisha mkataba na kumdai Mkandarasi malipo ya fidia kutokana na kusimamishwa kwa mkataba huo endapo Mkandarasi atabainika au ametoa, au kuwa ameahidi kutoa amekubali kutoa kwa mtu yeyote zawadi yoyote au upendeleo wa aina yoyote kama kishawishi au zawadi kwa kufanya au kumpendelea au kutomkubali mtu yeyote kuhusiana na mkataba na Halmashauri au kama vitendo hivyo vitakuwa vimefanywa na mtumishi yeyote aliyeajiriwa naye au kwa niaba yake iwe Mkandarasi anafahamu au hafahamu atakuwa ametenda kosa chini ya Sheria ya Kuzuia na Kudhibiti Rushwa ya mwaka 2007. Usimamizi wa Mikataba 66 (1) Mkurugenzi wa Halmashauri atawajibika katika usimamiaji na ufuatiliaji mzuri wa Mikataba. (2) Mkataba wa upataji vitu hautabadilishwa kwa namna yoyote ile baada ya kutiwa saini na kama pande mabadiliko hayo ni: - zinazohusika isipokuwa (a) kwa faida ya Halmashauri na hayailetei hasara Halmashauri; (b) yamethibitishwa na Bodi ya zabuni ya Halmashauri; na (c) Upande mwingine unaafiki. 51 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Chunya Tangazo la Serikali Na. 288 (Linaendelea.) (3) Malipo ya mwisho hayatafanywa mpaka mkataba mzima utakapokuwa umekamilika kutokana na kuridhika kwa Halmashauri na kulingana vya mkataba vipengele unaohusika. na (4) Malipo ya fedha za salio hayatalipwa mpaka upite muda wa miezi sita na kazi iwe haina kasoro. Uvunjaji wa Mkataba 67 Pale ambapo mkataba uliotiwa lakiri au muhuri na Halmashauri haukufuatwa na mkandarasi au mtoa huduma, ikiwa ni pamoja na ucheleweshaji usiokuwa wa kimsingi, Mkurugenzi mapema iwezekanavyo na Kamati ya Fedha, Uongozi taratibu na Mpango zilizowekwa kwenye mkataba, kuamua hatua muafaka za kuchukua na kumfahamisha Mkandarasi au mtoa huduma juu ya uamuzi. atashauriana kuzingatia kwa Rejesta ya Mikataba 68 (1) Mkurugenzi atatunza maelezo yote ya mikataba kwenye rejesta ya mikataba na atafanya ulinganifu wa malipo halisi na yale yaliyoidhinishwa. (2) Taarifa ya matumizi yote ya ziada lazima ya Zabuni kwenye Bodi yapelekwe yakiambatana na maelezo kutoka kwa Mkurugenzi. 69 (1) Diwani au Afisa kutokuwa na maslahi katika Mikataba Endapo Diwani au Afisa wa Halmashauri ana maslahi ya kifedha ya moja kwa moja au vinginevyo katika mkataba wowote, mkataba unaopendekezwa au jambo lolote, na yupo kwenye Mkutano wa Halmashauri au Kamati au mkataba ambapo mkataba unaopendekezwa au lolote lingine linajadiliwa, atatangaza jambo hilo mara Mkutano utakapokuwa umeanza na hatashiriki huo, jambo 52 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Chunya Tangazo la Serikali Na. 288 (Linaendelea.) (2) (3) (4) (5) wala kuwepo katika majadiliano au kupiga kura kuhusu jambo linalohusu mkataba au mkataba unaopendekezwa au jambo lingine lolote ambalo ana maslahi nalo. Kanuni hii haitatumika kuhusiana na maslahi katika mkataba au suala lingine ambalo Mjumbe au Afisa wa Halmashauri ana maslahi nalo kama mlipa kodi au mkazi katika eneo lililo katika himaya ya Halmashauri Diwani atahesabika kuwa na maslahi ya moja kwa moja katika mkataba au jambo jingine endapo: (a) yeye au mtu aliyemchagua ni Mjumbe wa kampuni au chombo kingine au anayo hati ya hisa katika kampuni ambayo itaingia, au imependekezwa iingie katika mkataba, au anao uhusiano wa kifedha katika jambo linalojadiliwa; au (b) yeye ni mbia au ameajiriwa na mtu ambaye mkataba unafanywa naye, au utakuwa chini yake, au anao uhusiano wa kifedha wa moja kwa moja katika suala linalojadiliwa au kuzungumzwa. Katika Kanuni hii maslahi ya moja kwa moja na yasiyo ya moja kwa moja ya mwanandoa au ndugu wa familia kama inafahamika kwa Mjumbe wa Halmashauri itachukuliwa kuwa ni maslahi ya moja kwa moja au yasiyo ya moja kwa moja. ya jumla itakayotolewa kwa Taarifa Mkurugenzi na Diwani au Afisa wa Halmashauri kuhusiana na yeye, mkewe, mumewe au ndugu yake kwamba ana maslahi ya moja kwa moja au yasiyo ya moja kwa 53 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Chunya Tangazo la Serikali Na. 288 (Linaendelea.) akieleza moja katika mkataba unaokusudiwa au jambo lingine na aina ya maslahi itachukuliwa, isipokuwa pale atakapoondoa taarifa hiyo, kuwa ametoa taarifa ya kutosha ya maslahi yake kuhusiana na suala ambalo limo katika mjadala. (6) Mkurugezi rejista ya ataandika katika kutangaza maslahi taarifa za watu wenye maslahi waliotoa taarifa chini ya Kanuni Ndogo ya (1) na taarifa yoyote iliyomo katika Kanuni Ndogo ya (5) itakuwa wazi kwa ukaguzi wakati wa saa za kazi. (7) Halmashauri inaweza baada ya kupata kibali cha Waziri, kuondoa kizuizi chini ya Kanuni hii kinachoifanya ishindwe wakati wowote kufanya Mkutano pale ambapo idadi ya Wajumbe wenye maslahi ni kubwa mno kiasi cha kukwamisha shughuli za Halmashauri au itakuwa ni kwa maslahi ya wakazi wa Halmashauri kuondoa kikwazo hicho. (8) Katika Kanuni za Kudumu hizi, ndugu wa familia itachukuliwa kuwa ni pamoja na baba, mama, mtoto, kaka, au dada na wanandoa wao. SEHEMU YA VI MASUALA MENGINE Kila Diwani kabla ya kushika wadhifa wake kama Diwani na kabla ya Mkutano wa kwanza wa Halmashauri: - (a) atakula kiapo kama kilivyoonyeshwa kwenye Jedwali la Pili la Kanuni hii za Kudumu na Hakimu Mkazi au Hakimu wa Wilaya; na kitakachosimamiwa 54 Kiapo na kukubali Wadhifa 70 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Chunya Tangazo la Serikali Na. 288 (Linaendelea.) (b) atatoa la tamko kutekeleza kimaandishi kwa Mkurugenzi lililoandikwa jambo akiahidi tamko la maslahi linalohusiana na katika shughuli za kibiashara, mali, na kadhalika na kuzifuata Kanuni za Maadili ya Madiwani. 71 (1) Diwani atakuwa na majukumu yafuatayo: - (a) kuwa karibu na wapiga kura na kupata ushauri wa Wananchi katika mambo yanayotarajiwa kujadiliwa kwenye Halmashauri. (b) kutoa maoni na mapendekezo ya wananchi kwa Halmashauri; (c) kuhudhuria mikutano ya Halmashauri na ya Kamati au Kamati Ndogo ambamo yeye ni Mjumbe; (d) kutenga angalau siku moja kila mwezi kukutana na wananchi katika eneo lake la uchaguzi; (e) kutoa taarifa kwa wapiga kura kuhusu maamuzi ya jumla ya Halmashauri na hatua zilizochukuliwa na Halmashauri kuondoa yaliyowahi matatizo kuelezwa na wakazi wa eneo lake la uchaguzi; (f) kuchangia ujuzi na uzoefu wake katika majadiliano katika mikutano ya Halmashauri na Kamati za Halmashauri; na yanayofanyika (g) kushiriki katika shughuli za pamoja za la la maendeleo katika lake uchaguzi na katika eneo zima Halmashauri. eneo (2) Katika kutekeleza wajibu wake Diwani atazingatia; 55 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Chunya Tangazo la Serikali Na. 288 (Linaendelea.) (a) Maslahi ya Taifa na maslahi ya la katika eneo Wananchi Halmashauri; (b) Katiba, Sheria na Kanuni; (c) Kanuni za Maadili ya Madiwani, Mwongozo juu ya mahusiano ya Madiwani na Watumishi na miiko mingine. Nafasi Wazi 72 (1) Kiti cha Mjumbe wa Halmashauri kitakuwa wazi endapo Mjumbe: (a) (b) (c) (d) (e) (f) (g) (h) (i) na jopo amefariki anakubali ajira kama mtumishi wa Halmashauri; kwa mujibu wa Sheria, yoyote la atakayethibitishwa madakitari wa Serikali kuwa hana akili timamu; yuko chini ya hukumu ya kifo au kifungo kinachozidi miezi sita kilichotolewa kwake na mahakama; kwa mujibu wa Sheria yoyote anatamkwa kuwa anapoteza sifa za kuendelea kuwa Mjumbe; atakoma kuwa mwanachama wa chama cha siasa kilichompendekeza kuwa mgombea wa kiti cha udiwani; anapokuwa amepatikana na kosa kutokana na Kanuni za Maadili ya Madiwani na adhabu ya kosa alilotenda ni pamoja na kumwondoa Mjumbe madarakani; na anapoteza ujumbe kwa mujibu wa Kanuni ya 71 (2) ya Kanuni hii za Kudumu; anahukumiwa kwa kosa la kutotaja 56 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Chunya Tangazo la Serikali Na. 288 (Linaendelea.) (j) (k) (l) (m) maslahi yake; amejiuzulu kutoka kiti chake; Halmashauri imevunjwa na kuathiri mipaka ya majimbo ya uchaguzi; uchaguzi wa Mjumbe umetangazwa kuwa batili; au bila sababu ya kuridhisha au bila idhini au kibali cha maandishi cha Mwenyekiti, Mjumbe anakosa kuhudhuria mikutano mitatu ya ya kawaida Halmashauri au vikao vitatu vya Kamati ambamo yeye ni Mjumbe. inayofuatana (2) Waziri atatangaza kiti kuwa wazi pale atakapojulishwa wa Halmashauri kwa maandishi kwamba kiti kiko wazi kwa kuzingatia masharti ya kifungu cha 42 (1) cha Sheria ya Serikali za Mitaa (Mamlaka za Wilaya) Sura ya 287. na Mwenyekiti Kutokuwepo kwa Wajumbe 73 (1) (2) Taratibu za kutunga Sheria Ndogo 74 (1) kutoa yaweza ya Halmashauri kutokuwepo katika mikutano yake kwa muda usiozidi miezi kumi kwa Mjumbe yeyote anayetaka kwenda nje ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. idhini Pale ambapo Mjumbe kwa sababu yoyote ile amekuwa nje ya nchi kwa muda unaozidi udiwani miezi kumi kiti kitachukuliwa kuwa kipo wazi. chake cha Pale ambapo Halmashauri inakusudia kutunga Sheria Ndogo itatoa tangazo kwa wakazi wa eneo husika kuhusu kusudio hilo katika namna kuwa watakaoathirika Ndogo na inayokusudiwa kutungwa wanafahamu vilivyo itahakikisha ambayo Sheria 57 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Chunya Tangazo la Serikali Na. 288 (Linaendelea.) (2) (3) na kuwaomba wanaopenda kutoa pingamizi lolote au mapendekezo yao kwa maandishi katika muda uliowekwa. Pale ambapo baada ya muda wa taarifa kumalizika hakuna pingamizi au malalamiko yaliyowasilishwa, au hakuna mtu yeyote aliyetoa pingamizi inayokubalika mbele ya Halmashauri, Halmashauri itaendelea kutunga Sheria Ndogo ikizingatia malalamiko na pingamizi zilizotolewa. Sheria Ndogo, zikishatungwa na Halmashauri zitapelekwa kwa Mkuu wa Mkoa ambamo Halmashauri husika imo ili aweze kuzitolea maoni yake na kisha kuziwasilisha kwa Waziri. (4) Waziri anaweza kuidhinisha, kukubali au kukataa kuidhinisha Sheria Ndogo au kutoa au kusimamisha kibali chake kwa kutoa masharti atakayoyaeleza na anaweza baada ya kutoa idhini yake, kupanga tarehe ya kuanza kutumika kwa Sheria Ndogo hizo. athari zenye (5) Waziri anaweza, kabla ya kuidhinisha Sheria Ndogo kwenye maeneo yaliyotengwa au maeneo Maalum au kwa Sheria nyingine yoyote, kushauriana na Waziri anayehusika na Sheria husika au na jambo lililotungiwa Sheria Ndogo kadri itakavyokuwa. (6) Sheria Ndogo na yoyote Halmashauri lazima itangazwe katika Gazeti la Serikali kabla ya kuanza kutumika. iliyotungwa Ukaguzi wa Nyaraka 75 (1) Mjumbe ataweza, kwa madhumuni ya kutekeleza wajibu wake kama Mjumbe, na si vinginevyo, kukagua au kupewa akiomba 58 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Chunya Tangazo la Serikali Na. 288 (Linaendelea.) waraka wowote ambao umejadiliwa na Kamati ya Halmashauri na kama nakala zinapatikana, anaweza kupewa, akiomba nakala kwa madhumuni hayo hayo. (2) Mjumbe hatakagua kwa makusudi au kutaka apewe nakala ya waraka wowote unaohusu jambo ambalo yeye ana maslahi nalo kwa mujibu wa Sheria ya Serikali za Mitaa (Mamlaka za Wilaya), Sura ya 287. Hata hivyo Kanuni hii haitamzuia Mkurugenzi kuzuia kukaguliwa kwa waraka wowote ambao umezuiliwa kutolewa kwa mujibu wa Sheria yoyote au Kanuni zilizotungwa chini ya Sheria hizo. Uanzishaji wa Bodi za Huduma 76 (1) Halmashauri inaweza, kwa mujibu wa kifungu 88 cha Sheria ya Serikali za Mitaa (Mamlaka za Wilaya), Sura ya 287 kwa madhumuni ya kutekeleza kazi zake katika eneo lililo chini ya mamlaka yake, kuunda Bodi za Huduma kwa hati rasmi iliyotangazwa kwenye Gazeti la Serikali, kama itakavyoona inafaa kufanya hivyo. (2) Bodi ya Huduma iliyotajwa katika Kanuni Ndogo ya (1) ya Kanuni hii itawajibika moja kwa moja kwenye Halmashauri kupitia Kamati ya Kudumu husika na itatekeleza kazi zake kama ilivyofafanuliwa katika hati inayoianzisha. 77 Diwani kutembelea maeneo,shughuli mbalimbali za ujenzi n.k za jengo shughuli (1) Mjumbe wa Halmashauri anaweza kutembelea eneo, ujenzi au zinazotekelezwa nje ya Kata yake na au kwa niaba ya Halmashauri na kabla ya kutembelea mradi atutuma taarifa kwa Mkurugenzi akieleza sababu za matembezi yake ili aweze kupangiwa Wataalam wa mradi au shughuli husika kwa ajili kupata maelekezo ya 59 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Chunya Tangazo la Serikali Na. 288 (Linaendelea.) kitaalam. (2) Mjumbe wa Halmashauri anapotembelea ya maendeleo au miradi shughuli au kwa niaba ya inayotekelezwa na Halmashauri hataruhusiwa kutoa maelekezo au maagizo ya kitaalam awapo kwenye eneo la mradi. (3) (4) (5) Baada ya Diwani kutembelea maeneo au majengo kama ilivyoainishwa kwenye Kanuni Ndogo ya (1) ya Kanuni hii anaona kuna umuhimu wa kutoa maoni au mang’amuzi yake juu ya matembezi hayo atafanya hivyo kwa kuwasilisha maoni au mang’amuzi yake kwa Mkurugenzi ambaye atafanyia kazi au kuyapeleka kwa afisa anayesimamia kazi husika kwa utekelezaji. Endapo maoni au mang’amuzi ya Diwani hayawezi kufanyiwa kazi na Mkurugenzi au Afisa mhusika, basi atamshauri Diwani kupeleka maoni na mang’amuzi yake kwa Kamati inayohusika ili yachunguzwe zaidi na kuamuliwa. Kamati za Kudumu za Halmashauri, zinaweza kutembelea mara moja kila robo mwaka miradi ya maendeleo au shughuli yoyote inayotekelezwa na au kwa niaba ya Halmashauri na ambayo inaihusu Kamati husika ili mradi katika kutembelea miradi hiyo Kamati itaongozana na Wataalam wa mradi au shughuli husika ili kupata maelekezo ya kitaalam. (6) Kamati ya Kudumu itatembelea miradi au shughuli za maendeleo kabla ya kikao cha Kamati ambacho kitajadili mradi au shughuli hiyo. 60 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Chunya Tangazo la Serikali Na. 288 (Linaendelea.) Uhifadhi wa lakiri ya Halmashauri 78 Lakiri ya Halmashauri itatunzwa kwa usalama na kufungiwa katika kasiki kwenye Ofisi ya Mkurugenzi mwenyewe. Utiaji muhuri kwenye Nyaraka 79 (1) kwa ubandikaji kukubaliwa yoyote mpaka Lakiri ya Halmashauri haitabandikwa katika hati huo umeidhinishwa na azimio la Halmashauri zabuni, likiidhinisha ununuzi, uuzaji au upangishaji au kuchukua mali yoyote, utoaji wa hati yoyote ya ukopeshaji fedha, uwasilishaji wa madai yoyote, uwekaji wa viwango vya kodi, uingiaji kwenye mkataba, kutunga Sheria Ndogo, au hati yotote iliyo rasmi ambayo kwa mujibu wa Sheria au Kanuni yoyote inahitaji kuwekwa lakiri ya Halmashauri. (2) Lakiri itashuhudiwa au kuthibitishwa na Mwenyekiti au Makamu Mwenyekiti na Mkurugenzi, na hati zilizowekwa lakiri zitasainiwa na Mwenyekiti au Makamu Mwenyekiti, kama hali itakavyokuwa. Uandikishaji wa anuani 80 (1) Itakuwa wajibu wa kila Mjumbe katika kikao cha kwanza cha Halmashauri, baada ya uchaguzi kutoa taarifa ya maandishi kwa Mkurugenzi juu ya anuani yake ya Kudumu ya kupokelea taarifa. Taarifa zilizopelekwa iliyoandikishwa kwa anuani itachukuliwa na sahihi inatosheleza kwa matumizi yote. kutumia ndiyo kama (2) Iwapo Mjumbe atatoa taarifa ya maandishi kwa Mkurugenzi kuwa angependa taarifa ya inatumwa mikutano ya Halmashauri kwake kwa kutumia anuani atakayoitaja kwenye taarifa hiyo ambayo ni tofauti na ile katika Kanuni Ndogo ya (1), taarifa yoyote itakayoachwa au itakayotumwa kwa njia ya iwe 61 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Chunya Tangazo la Serikali Na. 288 (Linaendelea.) posta kwa kutumia anwani hiyo itachukuliwa kuwa inatosha kwa ajili ya kutoa taarifa inayotakiwa kwa mujibu wa Kanuni hii. 81 (1) Uteuzi wa Wajumbe kwenye Taasisi za nje kwanza, Katika Mkutano wake wa Halmashauri itateua wawakilishi wake kwenye Bodi na Taasisi za nje ambazo Halmashauri inastahili kuwakilishwa. (2) Mjumbe au Wajumbe, wanaoiwakilisha Halmashauri kwenye Bodi na Taasisi za nje, watatakiwa kuwasilisha kwa Mkurugenzi taarifa kuhusu shughuli za Bodi au Taasisi zinazogusa sera na maslahi ya Halmashauri na wakazi wake kijumla na Mkurugenzi atachukua hatua zifaazo. Kumwondoa Mwenyekiti madarakani 82 (1) kumwondoa Halmashauri inaweza Mwenyekiti madarakani azimio linaloungwa mkono na theluthi mbili ya Wajumbe kutokana na sababu yoyote kati ya sababu zifuatazo:- (a) kutumia nafasi yake vibaya; kwa (b) kushiriki katika vitendo vya rushwa; (c) kushindwa kutekeleza majukumu yake (d) mwenendo mbaya au ukosefu wa adabu; au (e) Ulemavu wa kimwili au kiakili kwa kumfanya kushindwa kiasi cha kutekeleza majukumu yake kama Mwenyekiti. (2) Hoja au sababu zitakazotolewa lazima iwe imetimiza masharti yafuatayo: (i) iwe na tuhuma mahsusi yenye ushahidi wa kutosha; na 62 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Chunya Tangazo la Serikali Na. 288 (Linaendelea.) (ii) iwe imetolewa maelezo kamili na yenye kueleweka kuhusu tuhuma zinazohusika. (3) Kwa madhumuni ya kumwondoa Mwenyekiti madarakani, kwa sababu zozote zilizotamkwa chini ya Kanuni Ndogo ya (1) ya Kanuni hii, Halmashauri itatumia taratibu zilizotolewa katika Taratibu za Kumwondoa Mwenyekiti zilizotangazwa na Waziri kwenye gazeti la Serikali kwa mujibu wa Sheria. SEHEMU YA VII POSHO KWA WAJUMBE Aina za Posho 83 (1) Wajumbe wa Halmashauri watalipwa posho itakavyopendekezwa na mbalimbali kama Halmashauri na kuidhinishwa na Waziri. (2) Posho zitakazolipwa kwa Wajumbe wa Halmashauri zitakuwa za aina zifuatazo: (a) posho ya usafiri; (b) posho ya kuhudhuria kikao; (c) posho ya madaraka; (d) posho ya kujikimu; (e) posho ya mwezi; na (f) Kiinua mgongo. (3) Endapo Mjumbe wa Halmashauri ataugua au ataumia wakati akifanya kazi aliyotumwa na Halmashauri, gharama za matibabu yake zitalipwa na Halmashauri. Posho endapo Mkutano umehairishwa 84 Endapo Mkutano wa Halmashauri au kikao cha Kamati utaahirishwa kwa sababu ya 63 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Chunya Tangazo la Serikali Na. 288 (Linaendelea.) kukosekana kwa akidi, Mjumbe au Wajumbe waliofika kwa ajili ya kuhudhuria Mkutano huo ulioahirishwa watastahili malipo yaliyotajwa katika Kanuni ya 81(2) (a) na (d) iwapo wamelazimika, bila kukusudia, kulala njiani au kwenye makao makuu ya Halmashauri. Hakuna malipo ya posho ya kuhudhuria kikao yatakayofanywa katika hali ya namna hiyo. SEHEMU YA VIII MABADILIKO KWENYE KANUNI ZA KUDUMU 85 (1) Kusitisha utumiaji wa Kanuni za Kudumu Kanuni yoyote inaweza kusitishwa kwa azimio lililoungwa mkono na theluthi mbili za Wajumbe waliohudhuria Mkutano wa Halmashauri kwa hoja iliyopendekezwa bila taarifa kwa madhumuni ya kuwezesha shughuli ili ishughulikiwe na Halmashauri kama jambo la dharura au lenye manufaa. iliyofafanuliwa yoyote (2) Halmashauri haitasitisha matumizi ya Kanuni yoyote kama kusitisha huko kutasababisha kufanya jambo ambalo limezuiliwa na Sheria au kutofanya jambo linalotakiwa kufanywa chini ya Sheria yoyote. 86 Marekebisho na mabadiliko ya Kanuni za Kudumu Halmashauri inaweza kubadilisha, kuongeza, kurekebisha au kutengua Kanuni hii za Kudumu kwa azimio lililoungwa mkono kwa wingi usiopungua theluthi mbili ya kura na baada ya kupata idhini ya Waziri. 87 Kanuni za Kudumu kutolewa kwa Wajumbe Nakala iliyochapishwa ya Kanuni za Kudumu hizi zitatolewa na Mkurugenzi kwa kila Mjumbe. 64 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Chunya Tangazo la Serikali Na. 288 (Linaendelea.) Kutafsiri Kanuni za Kudumu 88 Uamuzi wa Mwenyekiti kuhusu maana ya matumizi ya Kanuni hii au mwenendo wa Mkutano wa Halmashauri hautapingwa wakati wa Mkutano wowote wa Halmashauri Ziara za Wajumbe 89 SEHEMU YA IX ZIARA ZA WAJUMBE (1) Wajumbe wa Halmashauri wanaweza kwenda ziara mbalimbali za mafunzo ili mradi ziara hizo ziwe zimeainishwa kwenye mpango na bajeti ya Halmashauri. Isipokuwa kwa ziara ambazo gharama zake hazihusiani na bajeti ya Halmashauri Wajumbe watafanya ziara hizo kwa mujibu wa ratiba ya mpango huo. (2) Bila kuathiri masharti ya Kanuni Ndogo ya (1) ya Kanuni hii Halmashauri kabla ya kuruhusu kufanyika kwa ziara itahakikisha kwamba: (a) shughuli ya ziara hiyo inafanana na na shughuli Halmashauri; zinazofanywa (b) ziara hiyo itafanyika baada ya kupata kibali cha Mkuu wa Mkoa; (c) Wajumbe wana kitu cha kwenda wanakokwenda kule kuonyesha kujifunza; (d) ziara zinazofanyika nje ya Mkoa zihusishe wadau mbalimbali wa Halmashauri kutegemeana na ziara husika; (e) ziara iwe na matunda yanayoonekana; (f) Wajumbe walioshiriki kwenye ziara 65 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Chunya Tangazo la Serikali Na. 288 (Linaendelea.) warejeapo wanatakiwa kuandaa na kuwasilisha ripoti ya maandishi kwa Halmashauri kuhusu mambo mapya na ya msingi waliyojifunza na kuweka utaratibu mzuri wa kuyatekeleza kwenye Kata kwenye zao Halmashauri; na (g) ziara zitafanywa kwa kuzingatia kama walengwa itakavyokubalika na Halmashauri. na mahitaji 90 Wimbo au Dua na sala ya kuiombea Halmashauri Kabla ya kuanza kwa Mkutano wa Halmashauri utaimbwa wimbo wa Taifa na kufuatiwa na Dua au Sala ya kuiombea Halmashauri ifuatayo; itendeke. Twakuomba, “Ewe MWENYEZI MUNGU Mtukufu, Muumba wa Mbingu na Dunia umeweka katika Dunia Serikali za Wanadamu ili haki yako uibariki Halmashauri yetu ya Wilaya ya Chunya idumishe uhuru, umoja, haki na amani. Uwajalie viongozi wetu wa Halmashauri hekima, afya njema na maisha marefu ili pamoja na wanaowashauri wadumishe utawala bora. Utuongezee hekima na busara sisi Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Chunya na utupe uwezo wa kujadili kwa dhati, mambo yatakayoletwa mbele yetu leo, ili tufanye maamuzi sahihi yenye manufaa kwa watu wote na ustawi wa Halmashauri yetu. Mungu ibariki Tanzania, AMINA” 66 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Chunya Tangazo la Serikali Na. 288 (Linaendelea.) JEDWALI LA KWANZA (Limetengenezwa Chini ya Kanuni ya 44(3)) HADIDU ZA REJEA ZA KAMATI ZA KUDUMU ZA HALMASHAURI ZA WILAYA Madhumuni ya jumla:
Part
JEDWALI LA KWANZA
- 7 Verify source ↗
Section 7
AI-assisted research summary: Kifungu hiki kinaweka majukumu na madaraka ya kamati mbalimbali za Halmashauri, ikiwemo usimamizi wa mapato, bajeti, fedha, manunuzi, huduma za jamii, afya, elimu, mazingira, na udhibiti wa UKIMWI.
7. Kuishauri Halmashauri kutengeneza malengo yanayozingatia matakwa ya Wilaya na kuchukua hatua ambazo zitaonekana zinafaa ili kufikia malengo yaliyokusudiwa. Kuishauri Halmashauri kufanya maamuzi juu ya sera muhimu. Kuishauri Halmashauri kufanya maamuzi juu ya utoaji wa huduma kulingana na rasilimali walizonazo Kuiwezesha Halmashauri kutengeneza taratibu zitakazoongoza utendaji wa Kamati, Kamati Ndogo, na ule wa watumishi ili watimize wajibu wao. Kufanya mapitio yatakayowezesha Halmashauri kuamua juu ya kuongeza, kupunguza, kubinafsisha au kuwashirikisha wadau katika utoaji wa huduma. Kuhakikisha kuwa miundo na taratibu za utendaji wa Halmashauri tija katika kufikia malengo ya zinazingatia ufanisi, uthabiti na Halmashauri. Kuiwezesha Halmashauri kujenga mahusiano imara kati yake na Serikali kuu, Serikali zingine za Mitaa na Umma kwa ujumla. A. Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango: Majukumu ya jumla: Kamati hii inawashirikisha wenyeviti wa Kamati zote za Kudumu na inatakutana kila mwezi mara moja. Aidha, madaraka ya Kamati hii ni kama ya Kamati zingine za Kudumu na hivyo hairuhusiwi kisheria kufanya kazi/majukumu ya Kamati zingine za Kudumu. Kwa ujumla, majukumu yake ni pamoja na kusimamia na kudhibiti ukusanyaji wa mapato na matumizi ya mali ya Halmashauri kwa kupitia vikao vyake. Majukumu Maalum ya Kamati: (i) kuweka mikakati na kupendekeza uongezaji wa mapato; (ii) kuwasilisha mapendekezo ya Bajeti na mpango wa Maendeleo kwenye Halmashauri ili kuidhinishwa na Halmashauri; (iii) kusimamia utunzaji wa hesabu za fedha ikiwa ni pamoja na uhakiki wa mali za Halmashauri, ukusanyaji wa mapato, kufuta madeni, na kuomba vibali Maalum kwa matumizi yanayohitaji kibali cha Waziri mwenye dhamana ya Serikali za Mitaa; (iv) kufikiria na, pale inapowezekana, kupendekeza kwenye Halmashauri masuala yanayohusu Sheria Ndogo na utendaji katika ngazi za chini za Halmashauri.; 67 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Chunya Tangazo la Serikali Na. 288 (Linaendelea.) (v) kupokea na kuzingatia mapendekezo ya kubadili matumizi ya mafungu ya fedha (re-allocation) yaliyopo katika makisio yaliyoidhinishwa na kuyapeleka kwa Halmashauri; (vii) (vi) kuratibu mapendekezo kutoka kwenye Kamati zingine kuhusu matumizi ya kawaida na miradi na kuyawasilisha kwenye Halmashauri; kufikiria na kupendekeza kwenye Halmashauri mikopo yote ya Halmashauri; kutoa mapendekezo ya vitega uchumi kwa madhumuni ya kuongeza mapato kwa mujibu wa Sheria ya Fedha za Serikali za Mitaa, Sura ya 290. (viii) (ix) kupokea na kujadili taarifa za wakaguzi wa fedha na mali ya Halmashauri na kupendekeza hatua za kuchukuliwa kutokana na maelekezo na maoni ya wakaguzi kwa mujibu wa Sheria za Serikali za Mitaa, Sura ya 290. (x) kusimamia na kudhibiti matumizi ya fedha za Halmashauri, kwa kuzingatia taratibu zilizowekwa na Waziri na taratibu nyingine zitakazowekwa na Halmashauri; (xv) (xii) (xiv) (xvi) (xiii) yote yanayohusu matumizi fedha kabla hayajawasilishwa kwenye (xi) kupitia marekebisho yote yaliyopendekezwa hususan kuhusu taratibu za fedha, ikiwa ni pamoja na mapitio ya mara kwa mara yanayohusu thamani ya fedha ambapo Kanuni mbalimbali za manunuzi ya mali na vifaa hutumika; kufikiria na kupendekeza mabadiliko ya viwango vya kodi, ada na ushuru mbalimbali, vinavyotolewa na Halmashauri; kufikiria mapendekezo ya Bajeti na Mipango ya Maendeleo ya kila Kamati ya Kudumu na kuiwasilisha kwenye Halmashauri ili kupata idhini; kushughulikia tofauti ya mapato na matumizi katika bajeti yote na kupendekeza hatua stahiki ya kuchukua kuondoa mapungufu katika mapato au ziada matumizi; kufikiria mapendekezo makubwa ya Halmashauri ili kupata idhini; kupokea mahesabu ya mwaka ya Halmashauri na kuhakikisha taarifa ya mahesabu ya mwaka inawasilishwa kwa wakati kwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali; kupitia na kuidhinisha mpango wa manunuzi wa Halmashauri kuzingatia mpango wa Bajeti uliopitishwa na Halmashauri; kupitia taarifa ya kila robo mwaka kuhusu Manunuzi iliyowasilishwa na Afisa Masuuli; kusimamia utekelezaji wa mikataba ya Halmashauri kwa kukagua miradi inayotekelezwa na vifaa vilivyopokelewa; kumwelekeza Mkurugenzi kufanya manunuzi au ukaguzi wa huduma au vifaa vilivyonunuliwa ili kupata thamani halisi, itadhihirika kwamba, maelezo yaliyotolewa kuhusu manunuzi ya vifaa au huduma hayaridhishi; kuidhinisha majina ya wajumbe wa Bodi ya zabuni na wa Bodi zingine kwa mujibu wa Sheria husika; kushughulikia itakayokayowasilishwa mapendekezo ya hatua za kuchukua; itafanyika hivyo endapo kwenye Kamati wote kutoa wadaiwa orodha (xviii) (xvii) (xxii) (xix) (xxi) (xx) kwa ya na 68 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Chunya Tangazo la Serikali Na. 288 (Linaendelea.) (xxiii) (xxiv) (xxv) (xxvi) (xxvii) (xxviii) (xxix) (xxx) (xxxi) (xxxii) (xxxiii) (xxxiv) (xxxv) kupendekeza njia na taratibu za kuondosha vifaa chakavu. Uondoshaji wa vifaa unaweza kufanyika kwa njia ya kuuza au kuviharibu; kujadili na kupitia taarifa za fedha za kila mwezi na kila robo mwaka; kupendekeza kwa Halmashauri hatua za kuchukua kuhusu kufuta madeni ya Halmashauri; kushughulikia Sera kuhusu kukopa na uwekezaji, kujadili na kupendekeza mabadiliko ya viwango vya kodi, ada na ushuru mbalimbali vinavyotozwa na Halmashauri, kubuni na kupendekeza mpango wa kuanzisha na kuendeleza uhusiano na Halmashauri nyingine; Kurekebisha na kusimamia makusanyo na matumizi ya mapato ya vijiji na miji midogo kwa mujibu wa Sheria, Sura ya 287. kuteua wakaguzi wa fedha na mali za Serikali za Vijiji kwa mujibu wa Sheria, Sura ya 290. kujadili na kutoa mapendekezo ya hatua za kuchukuliwa kuhusu mambo yote yanayohusu masuala ya ajira na kinidhamu ya wafanyakazi na watumishi; kujadili kutoa mapendekezo yanayohusu nyumba za Halmashauri; kupokea na kutoa uamuzi watumishi wanaokwenda masomoni; kujadili na kupendekeza masuala yote yanayohusu maslahi ya jumla ya watumishi, ikiwa ni pamoja na mikopo, rambirambi na motisha nyumba, usafiri, matibabu, nyinginezo; kupitisha mapendekezo ya kuthibitisha watumishi kazini baada ya kumaliza kipindi cha majaribio kulingana na miundo husika ya utumishi; juu ya mapendekezo ya kuhusu masuala na (xxxvi) kuhakiki ubora wa miradi ya maendeleo (value for money) na shughuli zinazoandaliwa na kamati hii inayotekelezwa na Halmashauri mara moja kila robo mwaka; (xxxvii) kupendekeza Sheria Ndogo zinazohusu Kamati hii. B: Kamati ya Elimu, Afya na Maji: Majukumu ya Jumla Kushughulikia mambo yote yanayohusu afya ya jamii, elimu na huduma za maji usafi na mazingira na maendeleo ya jamii. Kamati hii pia itashughulikia mambo yanayohusiana na jitihada za wananchi vijijini kujiletea maendeleo yao kwa kutumia mbinu mbalimbali ikiwa ni pamoja na kushauri, kushawishi, kuzindua, kuelimisha na kushirikisha wananchi hao hasa katika kutayarisha, kutekeleza, kusimamia na kutathmini mipango yao ya maendeleo. Majukumu Maalum ya Kamati: (i) kuandaa mipango madhubuti ya maendeleo ya upanuzi na ujenzi wa hospitali, vituo vya afya na zahanati; 69 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Chunya Tangazo la Serikali Na. 288 (Linaendelea.) (ii) (iii) kuandaa mipago ya maendeleo ya upanuzi na ujenzi wa shule za awali na msingi na elimu ya watu wazima kwa mujibu wa Sheria ya Elimu ya 1978 kama ilivyorekebishwa mwaka 1995. kubuni na kupendekeza njia bora za kuzuia na kudhibiti magonjwa ya mlipuko. (iv) kupendekeza mipango ya ujenzi au upanuzi wa vituo,viwanja, majengo na mazingira ya burudani, starehe, mapumziko na michezo (v) kuamua juu ya mambo yanayohusu uhifadhi wa mambo ya kale na mandhari mbalimbali zenye sura nzuri. (vi) kuandaa na kuratibu njia bora juu ya uhifadhi wa nyaraka muhimu kwa ajili ya kumbukumbu hizo zitahifadhiwa kwa mujibu wa Sheria ya Serikali za Mitaa Sura ya 287. (vii) kupendekeza njia bora juu ya uhifadhi wa sanaa mbalimbali za ufundi na za maonyesho kwa mujibu wa Sheria ya Serikali za Mitaa Sura ya 287, (viii) kupendekeza matumizi mazuri ya lugha ya taifa. (ix) kupendekeza namna ya malezi ya vijana ili waweze kuwa wazalishaji katika Taifa. (x) kusimamia uanzishaji wa uendelezaji wa vikundi vya jamii na vya hiari vya wananchi katika Halmashauri kwa mujibu wa sera wa maendelo ya jamii. (xi) kusimamia na kuhakiki maeneo ya misitu, mapori, na mbuga zilizotengwa kama hifadhi ya mamlaka ya Serikali za Mitaa. (xii) Uhakiki shughuli na miradi ya maendeleo inayohusu Kamati hii mara moja kila robo mwaka. (xiii) kupendekeza Sheria Ndogo zinazohusu Kamati hii. C: Kamati ya Kudumu ya Kudhibiti Ukimwi Majukumu ya Kamati: (a) (b) (c) (d) (e) (f) kushirikisha wadau tofauti katika maeneo husika ili kuongeza uchangiaji wa mawazo na/au nyenzo, usimamizi, uratibu na utekelezaji wa kazi za Tume ya kudhibiti UKIMWI; kusimamia uundaji wa Kamati zote za kudhibiti UKIMWI; kupendekeza na kuchambua hali ya UKIMWI/Mipango na utekelezaji wake na kufikisha katika ngazi husika kwa hatua zaidi; kutathmini hali ya UKIMWI katika eneo lake kuhusu; (i) (ii) (iii) (iv) Serikali haitatoa fedha kwa Halmashauri isiyokuwa na mipango madhubuti ya kudhibiti UKIMWI. kupendekeza Sheria Ndogo za Kamati hii. idadi ya waathirika: wagonjwa, yatima, wajane, kasi ya maambukizo mazingira Maalum yanayochangia maambukizo; uelewa wa wananchi juu ya janga hili. D: Kamati ya Masuala ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira: 70 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Chunya Tangazo la Serikali Na. 288 (Linaendelea.) Majukumu ya jumla Kamati hii itashughulikia masuala ya uzalishaji mali ikiwemo kilimo, mifugo, viwanda, madini, Biashara n.k. Aidha itashughulikia pia miundombinu na suala zima la mendeleo ya Ardhi na hifadhi ya mazingira. Majukumu Maalum ya Kamati; (i) kupendekeza kwa Halmashauri mipango ya kupanua biashara na (ii) (iii) (iv) (v) (vi) (vii) (viii) (ix) jinsi ya kukusanya mapato yatokanayo na upanuzi huo. kupendekeza mipango ya matumizi ya ardhi katika eneo la Halmashauri kuandaa mipango madhubuti ya maendeleo ya upanuzi wa kilimo katika Halmashauri kusimamia na kuhakiki miradi ya ujenzi wa masoko, minada, majosho na vituo vya mifugo. kushughulikia uanzishaji na uendelezaji wa vyama vya ushirika kwa mujibu wa Sheria ya Vyama vya Ushirika, kupendekeza na kufanya tathmini ya uendelezaji wa mabonde, mito na mabwawa. kubuni na kupendekeza namna ya kidhibiti moto kubuni na kupendekeza mikakati ya utumiaji wa nishati mbadala, kuzuia ukataji miti hovyo, na kuhimiza upandaji miti kwa wingi. kuhakikisha kwamba ukaguzi wa majengo unafanyika mara kwa mara. (x) kupendekeza mipango madhubuti ya ujenzi wa barabara vijijini na (xi) (xii) wilayani kwa ujumla. Kupendekeza Sheria Ndogo zinazohusu Kamati hii. Kuhakiki shughuli na miradi inayoangukia Kamati hii mara moja kila robo mwaka. E. Kamati ya Maadili Majukumu ya Kamati: (kifungu cha 31(1) cha Kanuni za Serikali za Mitaa (Mamlaka za Wilaya) (Maadili ya Madiwani) za Mwaka 2000. (i) kutoa ushauri kwa Halmashauri kuhusu utekelezaji wa Kanuni hii. (ii) Kufanya uchunguzi wa madai ya uvunjaji wa Kanuni za Maadili ya Madiwani na kuwasilisha mapendekezo kwa Halmashauri kwa hatua zinazostahili. (iii) Kutoa ushauri na maoni kwa Halmashauri na kwa diwani mmoja mmoja kuhusu masuala yanayohusu mwenendo wa kimaadili. 71 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Chunya Tangazo la Serikali Na. 288 (Linaendelea.) FAHARASA – HALMASHAURI YA WILAYA Kanuni Na. Kifungu cha Sheria A Ajenda za Kamati Akidi katika mikutano ya Halmashauri Akidi kwenye mikutano ya Kamati Athari za nafasi wazi kwenye Kamati B C D Diwani au Afisa kutokuwa na maslahi katika mikataba Diwani kutembelea maeneo, shughuli mbalimbali za ujenzi. Dua ya kuiombea Halmashauri E. F Fujo zinazosababishwa na umma Fujo zinazosababishwa na Wajumbe 49 8 55 54 69 77 90 Sura ya 287 kif.64 Sura ya 287 kif.84(2) na (3) Sura ya 287 kif.84(1);84(3) Sura ya 287 kif.71 18 17 Kanuni Na. Kifungu cha Sheria G H Haki ya kujibu Hoja kuhusu matumizi Hoja na marekebisho ya hoja Hoja za Mwenyekiti zinazohusu Hoja Halmashauri Hoja zinazoweza kutolewa bila taarifa watumishi wa 21 32 19 15 37 20 I J K Kamati Ndogo Kamati za Kudumu Kamati za pamoja Kanuni za Kudumu kutumika katika mikutano ya Kamati Kanuni Wajumbe za Kudumu kutolewa kwa 45 40 43 56 87 72 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Chunya Tangazo la Serikali Na. 288 (Linaendelea.) Kauli zenye kashfa Kiapo na kukubali wadhifa Kuidhinishwa kwa Taarifa ya Kamati Kufikiriwa upya maamuzi Kufutwa kwa Kanuni zilizopo Kujiuzulu ujumbe wa Kamati na kujazwa kwa nafasi iliyoachwa wazi. Kujiuzulu wadhifa wa Mwenyekiti wa Kamati Kukasimu madaraka kwenye Kamati Kumbukumbu ya mahudhurio. Kumwondoa Mwenyekiti madarakani Kupokelewa kwa taarifa za Kamati Kuruhusu watu na vyombo vya Habari kwenye mikutano ya Halmashauri 27 70 34 59 91 62 61 44 11 82 33 12 Sura ya 287 kif.79 Sura ya 287 kif.36(5); GN 263/95 Sura ya 287 kif.67(1) za Kushiriki kwa Umma Kusitisha utumiaji wa Kanuni Kudumu. Kutafsiri Kanuni za Kudumu Kuthibitisha muhtasari Kutokuwepo kwa Wajumbe Kutunza siri za Majadiliano ya Kamati na Kamati Ndogo. L kwenye mikutano M Maamuzi ya mikutano ya Halmashauri Mahudhurio katika mikutano ya Kamati Mahudhurio ya Umma na vyombo vya habari ya Kamati/Kamati Ndogo Majukumu ya Diwani Marekebisho na mabadiliko ya Kanuni za Kudumu Maswali Maswali ya papo kwa papo Mihtasari ya za Kata na vijiji. Mihtasari ya Halmashauri kupelekwa kwa Mkuu wa Wilaya na Mkuu wa Mkoa. Kanuni Na. 38 Kifungu cha Sheria Sura ya 287 kif.114(1)(b) Sura ya 287 kif.41(2)na (3) Sura ya 287 kif.86 na 67(2) Sura ya 287 kif.66 Sura ya 287 vif.86; 67 (2) Sura ya 287 kif. 70(1) 85 88 14 73 60 28 50 53 71 86 22 23 30 73 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Chunya Tangazo la Serikali Na. 288 (Linaendelea.) Muhtasari wa Kamati Mikutano ya kawaida ya Halmashauri Mikutano ya Kamati Mtoa hoja kualikwa kwenye Mkutano wa Kamati. Mkutano wa Bajeti Mkutano wa Mwaka Mkutano Maalum wa Halmashauri Mkutano Maalum wa Kamati Mwaliko wa wasiokuwa Wajumbe Mwenyekiti kuwa Mjumbe wa Kamati zote N Nafasi wazi P Aina za Posho Posho iwapo Mkutano umeahirishwa Q R Rejesta ya mikataba S T Taarifa za Kamati Taarifa kutoka kwenye kata Taarifa za mikutano Tafsiri Taratibu za kutunga Sheria Ndogo Taratibu za Majadiliano Taratibu za Uagizaji U Uahirishaji wa vikao Uandikishaji wa Anwani Uanzishaji wa Bodi za Huduma Uchaguzi wa Mwenyekiti na Makamu wa Mwenyekiti wa Halmashauri Uhalali wa majadiliano ya Halmashauri Uhifadhi wa lakiri ya Halmashauri 31 58 3 46 51 5 6 4 48 29 41 72 83 84 68 24 25 7 2 74 16 63 39 80 76 9 35 74 Taz.pia Sura ya 290 kif.47 Sura ya 287 kif.83(2) Sura ya 287 kif.63(1) Sura ya 287 kif.63(3) Sura ya 287 kif.74(1) Sura ya 287 kif.42(1) (a) 172 (1);41 (4);Tangazo la Serikali Na.139/82 aya ya 23 na40 na Sheria Na.4/79 kif.40(1)(b);40 (1) (b) na SheriaNa 4/79kif.40(i) (b) Na.4/79 (i); Sheria kif.40;tangazo la Serikali Na. 280/2000 kif.35;41(3)41(3) na kif.71(8). na Sura ya 287 kif.85 Sura ya 287 kif.155 Na.21/2004 Sura ya 290 kif.68 Sura ya 287 kif.88 Sura ya 287 kif.36(2) Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Chunya Tangazo la Serikali Na. 288 (Linaendelea.) Sura ya 287 kif.72 Sura ya 287 kif.65 Uhuru wa kutoa mawazo wakati wa majadiliano Ukaguzi wa nyaraka Uongozi wa mikutano ya Halmashauri Upigaji kura kwenye mikutano ya Kamati Usimamiaji wa mikataba Utaratibu wa shughuli za mikutano Uteuzi wa Wajumbe kwenye Taasisi za nje Utiaji mhuri kwenye Nyaraka Uvunjaji wa mkataba Uwezo wa Halmashauri kujigeuza kuwa Kamati ya Halmashauri nzima. Uwezo wa Kamati Uzuiaji wa Rushwa 78 26 75 10 57 66 13 81 79 67 36 V W Waalikwa Wajumbe wasiokuwa kuhudhuria na kushiriki katika mikutano ya Kamati. X Y Z Ziara za Wajumbe 42 65 Kanuni Na. Kifungu cha Sheria 52 Sura ya 287 kif.75(4) 89 75 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Chunya Tangazo la Serikali Na. 288 (Linaendelea.) JEDWALI LA PILI (Limetengenezwa chini ya Kanuni ya 70(a)) JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA KIAPO CHA DIWANI Mimi ……………………………… ninaapa/ninatamka kwa dhati kwamba nitaitumikia Halmashauri ya…………………. kwa wadhifa wangu wa Udiwani na kwamba nitahifadhi, nitalinda na kutetea, Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Sheria za Tanzania, Maadili ya Madiwani na Kanuni za Kudumu za Halmashauri kama zilivyowekwa kwa mujibu wa Sheria na kwamba nitaitumikia Halmashauri ya ………………………………………… kwa uaminifu kwa uwezo na moyo wangu wote. (Ewe Mwenyezi Mungu nisaidie) Kiapo/Tamko hili limetolewa hapa:……………………………………… Na…………………………………………………………………………….. Leo tarehe…………………… Mwezi wa…………………..mwaka 200………. Mbele ya:……………………………………….. Jina:……………………………………………… Cheo:……………………………………………. Saini:…………………………………………… Anuani…………………………………………. HAKIMU/KAMISHINA WA VIAPO MHURI 76 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Chunya Tangazo la Serikali Na. 288 (Linaendelea.) JEDWALI LA TATU (Limetengenezwa Chini ya Kanuni 70 (b)) JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA TAMKO LA VIONGOZI WA UMMA KUHUSU RASILIMALI NA MADENI (Kwa mujibu wa kifungu cha 9 na cha 11 cha Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma) Mimi…………………………………………………… Anuani:……………………baada ya kuchaguliwa/kuteuliwa na kuapishwa katika wadhifa wa…….……...tarehe……………………….mwaka 200….Ninatamka rasmi na kwa moyo mnyofu kwamba hadi sasa nina rasilimali na madeni yafuatayo:- (1) Fedha taslimu, Amana katika benki au taasisi ya fedha; (taja namba ya akaunti, benki au taasisi ya fedha na kiasi). ………………………………………………………………………………………………………… …………………………………………………………………………………… 2) Hawala za Hazina (Treasury Bills) na dhamana nyingine Maalum:- ………………………………………………………………………………………………………… …………………………………………………………………… 3) Faida ya akiba, mafungu ya mgawanyo wa faida zinazotokana na hisa n.k. ………………………………………………………………………………………………………… ………………………………………………………………… 4) Nyumba au majengo ya kupangisha, (taja mahali yalipo na ukubwa au eneo:) ………………………………………………………………………………………………………… ………………………………………………………………… * Rasilimali zinazotakiwa ni pamoja na zifuatazo, ambazo ni zako binafsi, za mume/mke au watoto wadogo wasiooa au kuolewa wa kiongozi wa umma. (a) fedha taslimu na amana katika benki au taasisi nyingine ya fedha. (b) hawala za Hazina Treasury Bills) na nyinginezo za dhamana Maalum zinazotolewa au kudhaminiwa na Serikali au vyombo vya Serikali. (c) faida itokanayo na fedha iliyowekwa akiba benki, chama cha Ujenzi au taasisi nyingine ya fedha. (d) mgao wa fedha kutokana na fungu la rasilimali ya kampuni (stocks) au hisa za kiongozi wa umma katika kampuni au shirika lolote. (e) maslahi katika chombo cha biashara kisichokuwa na mkataba na Serikali, na kisichokuwa na au kisichotawala amana zinazouzwa bayana na vyombo vya umma. (f) mashamba ya kibiashara. (g) mali halisi zisizohamishika ambazo si rasilimali zisizotakiwa kutajwa; na 77 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Chunya Tangazo la Serikali Na. 288 (Linaendelea.) (h) rasilimali zinazoleta faida, ambazo si rasilimali zisizotakiwa kutajwa na ambazo zinamilikiwa kwa mbali. shughuli nyingine za kibiashara au (5) Mashamba ya kibiashara, mifugo, madini n.k. ………………………………………………………………………………………………………… ………………………………………………………………………………………………………… ………………………………………………… (6) Magari na aina nyingine za usafiri wa kibiashara; ………………………………………………………………………………………………………… ………………………………………………………………………………………………………… ………………………………………………… (7) Mashine za kusaga nafaka, viwanda na mitambo:……………………………………………………………………………………………… ………………………………………………………………………………………………………… ………………………………………………… au maslahi (8) Rasilimali kutaja:………………………………………………………………………………………………… ………………………………………………………………………………………………………… ………………………………………………… (9)Madeni:…………………………………………………………………………………………… ………………………………………………………………………………………………………… ………………………………………………… Tamko hili linatolewa na kusainiwa mbele yangu …………………………………………………………. na (mtoa tamko) ……………………………………… ninayemfahamu binafsi, au aliyetambulishwa kwangu na …………………………………………………………………… kiongozi wa nyinginezo anapenda ambayo umma ambaye ninamfahamu leo tarehe …………………………….. Mwezi wa ………………………………………………………. saini……………………………………………………………... Wadhifa:…………………………………………………….. Anuani:………………………………………………………... …………………………………………………………………. (Tamko hili lazima litolewe mbele ya Kamishna wa Viapo) Mtoa tamko KWA: KAMISHINA WA MAADILI, SEKRETARIETI YA MAADILI, S.L.P 13341, DAR ES SALAAM. 78 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Chunya Tangazo la Serikali Na. 288 (Linaendelea.) Nembo ya Halmashauri ya Wilaya ya Chunya imebandikwa kwenye Sheria ndogo hizi kufuatia azimio lililopitishwa kwenye mkutano wa Halmashauri uliofanyika mnamo tarehe 30/6/2020:- SOPHIA JUMA KUMBULI, Mkurugenzi, Halmashauri ya Wilaya, Chunya MHE. BOSCO SAID MWANGINDE, Mwenyekiti Halmashauri ya Wilaya, Chunya L.S NAKUBALI, Dodoma, SELEMANI SAID JAFO (MB.), 22 Februari, 2021 Waziri wa Nchi -OR- Tamisemi 79 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Chunya Tangazo la Serikali Na. 288 (Linaendelea.) Nembo ya Halmashauri ya Wilaya ya Chunya imebandikwa kwenye Sheria ndogo hizi kufuatia azimio lililopitishwa kwenye mkutano wa Halmashauri uliofanyika mnamo tarehe 30/6/2020:- SOPHIA JUMA KUMBULI, Mkurugenzi, Halmashauri ya Wilaya, Chunya MHE. BOSCO SAID MWANGINDE, Mwenyekiti Halmashauri ya Wilaya, Chunya L.S NAKUBALI, Dodoma, SELEMANI SAID JAFO (MB.), 22 Februari, 2021 Waziri wa Nchi -OR- Tamisemi 80
Provision text is displayed from LexChat’s stored statute record. Use the official source links to verify amendments, commencement, and current legal force.
Ask AI about this statute
Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Chunya za Mwaka 2021
Sign in to ask AI about this statute
Sign in to start authenticated, citation-grounded statute research.
Sign in