KANUNI ZA KUDUMU ZA HALMASHAURI YA WILAYA YA MONDULI
This section is titled “Tafsiri” and appears under Part II on council meetings.
AI-assisted research synopsis — verify against the official legal text below.
- Jurisdiction
- Tanzania
- Instrument
- Regulation
- Citation
- KANUNI ZA KUDUMU ZA HALMASHAURI YA WILAYA YA MONDULI
- Version
- Undated source snapshot
- Language
- sw
- Official source
- View official record ↗
Statute overview
About this statute
This section is titled “Tafsiri” and appears under Part II on council meetings. This section is titled “Akidi katika mikutano ya Halmashauri” and appears in Part III on meeting procedures. This section concerns the election of the Chairperson and Vice Chairperson of the Council. People and the media are allowed at Halmashauri meetings. Section 16 is titled “Taratibu za majadiliano” (discussion procedures).
Search within this statute
Search all stored provisions in this version.
Legal text
Provisions of KANUNI ZA KUDUMU ZA HALMASHAURI YA WILAYA YA MONDULI
Showing 127 of 127
- 2 Verify source ↗
Tafsiri
AI-assisted research summary: This section is titled “Tafsiri” and appears under Part II on council meetings.
2. Tafsiri. SEHEMU YA II MIKUTANO YA HALMASHAURI
Part
SEHEMU YA II
- 8 Verify source ↗
Akidi katika mikutano ya Halmashauri
AI-assisted research summary: This section is titled “Akidi katika mikutano ya Halmashauri” and appears in Part III on meeting procedures.
8. Akidi katika mikutano ya Halmashauri. SEHEMU YA III TARATIBU ZA MIKUTANO
Part
SEHEMU YA III
- 9 Verify source ↗
Uchaguzi wa Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri
AI-assisted research summary: This section concerns the election of the Chairperson and Vice Chairperson of the Council.
9. Uchaguzi wa Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri. - 12 Verify source ↗
Kuruhusu watu na vyombo vya habari kwenye mikutano ya
AI-assisted research summary: People and the media are allowed at Halmashauri meetings.
12. Kuruhusu watu na vyombo vya habari kwenye mikutano ya Halmashauri. - 16 Verify source ↗
Taratibu za majadiliano
AI-assisted research summary: Section 16 is titled “Taratibu za majadiliano” (discussion procedures).
16. Taratibu za majadiliano. 1 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Monduli Tangazo La Serikali Na. 396 (Linaendelea) - 20 Verify source ↗
Hoja zinazoweza kutolewa bila taarifa
AI-assisted research summary: Kichwa hiki kinaonyesha mada ya hoja zinazoweza kutolewa bila taarifa.
20. Hoja zinazoweza kutolewa bila taarifa. - 26 Verify source ↗
Uhuru wa kutoa mawazo wakati wa majadiliano
AI-assisted research summary: The provision states freedom to express ideas during discussions.
26. Uhuru wa kutoa mawazo wakati wa majadiliano. - 29 Verify source ↗
Mwaliko kwa wasiokuwa wajumbe kushiriki na kuzungumza
AI-assisted research summary: Kifungu hiki kinaeleza mwaliko wa wasiokuwa wajumbe kushiriki na kuzungumza kwenye vikao vya Halmashauri.
29. Mwaliko kwa wasiokuwa wajumbe kushiriki na kuzungumza kwenye vikao vya Halmashauri. - 31 Verify source ↗
Muhtasari kupelekwa kwa Mkuu wa Wilaya na Mkuu wa
AI-assisted research summary: Kifungu hiki kinaeleza kuhusu kupelekwa kwa muhtasari kwa Mkuu wa Wilaya na Mkuu wa Mkoa.
31. Muhtasari kupelekwa kwa Mkuu wa Wilaya na Mkuu wa Mkoa. - 35 Verify source ↗
Uhalali wa majadiliano ya Halmashauri
AI-assisted research summary: Section heading on the legality of council deliberations.
35. Uhalali wa majadiliano ya Halmashauri. - 36 Verify source ↗
Uwezo wa Halmashauri kujigeuza kuwa kamati ya
AI-assisted research summary: This section is titled about the council’s power to turn itself into the full council committee.
36. Uwezo wa Halmashauri kujigeuza kuwa kamati ya Halmashauri nzima. - 37 Verify source ↗
Hoja zinazohusu watumishi wa Halmashauri
AI-assisted research summary: This section is about municipal employees.
37. Hoja zinazohusu watumishi wa Halmashauri. - 39 Verify source ↗
Uahirishaji wa vikao
AI-assisted research summary: This section is titled “Adjournment of meetings.”
39. Uahirishaji wa vikao. SEHEMU YA IV KAMATI
Part
SEHEMU YA IV
- 41 Verify source ↗
Mwenyekiti kuwa mjumbe wa kamati zote
AI-assisted research summary: The chairperson must be a member of all committees.
41. Mwenyekiti kuwa mjumbe wa kamati zote. - 50 Verify source ↗
Mahudhurio katika mikutano ya kamati
AI-assisted research summary: Section 50 concerns attendance at committee meetings.
50. Mahudhurio katika mikutano ya kamati. - 51 Verify source ↗
Mtoa hoja kualikwa kwenye mkutano wa kamati
AI-assisted research summary: Mtoa hoja anahusiana na kualikwa kwenye mkutano wa kamati.
51. Mtoa hoja kualikwa kwenye mkutano wa kamati. - 52 Verify source ↗
Waalikwa wasiokuwa wajumbe kuhudhuria na kushiriki
AI-assisted research summary: Waalikwa wasio wajumbe wanaweza kuhudhuria na kushiriki katika mikutano ya kamati.
52. Waalikwa wasiokuwa wajumbe kuhudhuria na kushiriki katika mikutano ya kamati. - 53 Verify source ↗
Mahudhurio ya umma na vyombo vya habari kwenye
AI-assisted research summary: This section concerns public attendance and media at committee and subcommittee meetings.
53. Mahudhurio ya umma na vyombo vya habari kwenye 2 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Monduli Tangazo La Serikali Na. 396 (Linaendelea) mikutano ya kamati na kamati ndogo. - 54 Verify source ↗
Athari za nafasi wazi kwenye kamati
AI-assisted research summary: Section 54 is titled “Athari za nafasi wazi kwenye kamati.”
54. Athari za nafasi wazi kwenye kamati. - 56 Verify source ↗
Kanuni za Kudumu kutumika katika mikutano ya kamati
AI-assisted research summary: This section says standing rules apply to committee meetings.
56. Kanuni za Kudumu kutumika katika mikutano ya kamati. - 57 Verify source ↗
Upigaji kura kwenye mikutano ya kamati
AI-assisted research summary: Sehemu hii inahusu upigaji kura kwenye mikutano ya kamati.
57. Upigaji kura kwenye mikutano ya kamati. - 60 Verify source ↗
Kutunza siri za majadiliano ya kamati na kamati ndogo
AI-assisted research summary: This section concerns keeping committee and subcommittee deliberations confidential.
60. Kutunza siri za majadiliano ya kamati na kamati ndogo. - 61 Verify source ↗
Kujiuzulu wadhifa wa mwenyekiti wa kamati
AI-assisted research summary: Sehemu hii inahusu kujiuzulu kwa wadhifa wa mwenyekiti wa kamati.
61. Kujiuzulu wadhifa wa mwenyekiti wa kamati. - 62 Verify source ↗
Kujiuzulu ujumbe wa kamati na kujazwa kwa nafasi
AI-assisted research summary: This section heading concerns resignation from a committee and filling a vacant position.
62. Kujiuzulu ujumbe wa kamati na kujazwa kwa nafasi iliyoachwa wazi. SEHEMU YA V UNUNUZI WA VIFAA, UPATIKANAJI WA HUDUMA NA UJENZI
Part
SEHEMU YA V
- 64 Verify source ↗
Kumbukumbu za majadiliano yanayohusu uagizaji
AI-assisted research summary: This section is titled as records of discussions relating to imports.
64. Kumbukumbu za majadiliano yanayohusu uagizaji. - 69 Verify source ↗
Diwani au Afisa kutokuwa na maslahi kwenye mikataba
AI-assisted research summary: This section concerns a civil servant or officer and interests in contracts.
69. Diwani au Afisa kutokuwa na maslahi kwenye mikataba. SEHEMU YA VI MASUALA MENGINE
Part
SEHEMU YA VI
- 77 Verify source ↗
Diwani kutembelea maeneo, shughuli mbalimbali za ujenzi
AI-assisted research summary: Section 77 refers to a councillor visiting areas and various construction activities.
77. Diwani kutembelea maeneo, shughuli mbalimbali za ujenzi. - 81 Verify source ↗
Uteuzi wa Wajumbe kwenye Taasisi za nje
AI-assisted research summary: Kichwa cha sehemu hii kinahusu uteuzi wa wajumbe kwenye taasisi za nje.
81. Uteuzi wa Wajumbe kwenye Taasisi za nje. - 82 Verify source ↗
Kumwondoa Mwenyekiti madarakani
AI-assisted research summary: Section title about removing the chairperson from office and the part on allowances for members.
82. Kumwondoa Mwenyekiti madarakani. SEHEMU YA VII POSHO KWA WAJUMBE
Part
SEHEMU YA VII
- 84 Verify source ↗
Posho iwapo mkutano umeahirishwa
AI-assisted research summary: This section concerns allowance (posho) when a meeting is postponed.
84. Posho iwapo mkutano umeahirishwa. 3 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Monduli Tangazo La Serikali Na. 396 (Linaendelea) SEHEMU YA VIII MABADILIKO KWENYE KANUNI ZA KUDUMU
Part
SEHEMU YA VIII
- 85 Verify source ↗
Kusitisha utumiaji wa Kanuni za Kudumu
AI-assisted research summary: Section 85 is titled “Kusitisha utumiaji wa Kanuni za Kudumu.”
85. Kusitisha utumiaji wa Kanuni za Kudumu. - 86 Verify source ↗
Marekebisho na mabadiliko ya Kanuni za Kudumu
AI-assisted research summary: Sehemu hii inahusu marekebisho na mabadiliko ya Kanuni za Kudumu.
86. Marekebisho na mabadiliko ya Kanuni za Kudumu. - 87 Verify source ↗
Kanuni za Kudumu kutolewa kwa wajumbe
AI-assisted research summary: Standing orders are to be issued to members.
87. Kanuni za Kudumu kutolewa kwa wajumbe. - 90 Verify source ↗
Wimbo, dua au sala ya kuiombea Halmashauri
AI-assisted research summary: Sehemu hii inaweka kauli-mbiu, jukumu na madhumuni ya Halmashauri, ikisisitiza utawala bora, demokrasia, na utoaji wa huduma kwa wananchi.
90. Wimbo, dua au sala ya kuiombea Halmashauri. SEHEMU YA KWANZA MASHARTI YA MWANZO. KWA KUWA Kauli-mbiu ya Halmashauri ni kuwa na Halmashauri yenye jamii iliyoelimika yenye uchumi imara, Afya bora inayojitosheleleza kwa chakula na inayoshiriki kikamilifu katika shughuli za maendeleo kwa msingi ya utawala bora. NA KWA KUWA jukumu la Halmashauri ni kuimarisha demokrasia katika ngazi zote na kutoa huduma kwa wananchi kwa kuzingatia ufanisi, usawa, haki na kwa namna inayochochea maendeleo ya maeneo yaliyo chini ya mamlaka ya Halmashauri kwa kuwashirikisha wananchi. NA KWA KUWA madhumuni ya Kanuni za Kudumu ni kuweka utaratibu wa namna Halmashauri itakavyoendesha mikutano na shughuli zake kwa kuzingatia misingi ya utawala bora. SASA BASI, Kanuni za Kudumu hizi zinaelekeza ifuatavyo: Jina
Part
SEHEMU YA KWANZA
- 1 Verify source ↗
Kanuni hizi zitaitwa Kanuni za Kudumu za
AI-assisted research summary: Kanuni hizi zinaitwa Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Monduli za Mwaka 2020.
1. Kanuni hizi zitaitwa Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Monduli za Mwaka 2020. 4 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Monduli Tangazo La Serikali Na. 396 (Linaendelea) Tafsiri Sura ya 287 Sura ya 287 - 2 Verify source ↗
Katika Kanuni hizi, isipokuwa kama itaelezwa
AI-assisted research summary: This section defines key terms used in the regulations, unless the context requires a different meaning.
2. Katika Kanuni hizi, isipokuwa kama itaelezwa vinginevyo:- “Afisa wa Serikali za Mitaa” maana yake ni mtu ambaye ameajiriwa au ambaye yumo katika utumishi wa Mamlaka ya Serikali za Mitaa na ambaye anashika au anakaimu katika nafasi ya menejimenti; “Diwani” maana yake ni mjumbe wa Halmashauri aliyetajwa kwa mujibu wa kifungu cha 35 cha Sheria ya Serikali za Mitaa (Mamlaka za Wilaya); “fujo” maana yake ni kitendo chochote kinachoweza kufanywa na mjumbe au mshiriki wa kikao cha Halmashauri au Kamati ya Kudumu ambacho ni kinyume na taratibu za uendeshaji wa vikao, kinachoweza kuvuruga kikao, kwa mfano kuongea bila ruhusa ya Mwenyekiti, kutoa lugha isiyofaa, kutoa kauli yenye maudhi, kuingia kwenye kikao ukiwa umelewa, kuingia na silaha, kutoa lugha ya kashfa, matusi, kejeli au kukaidi amri ya Mwenyekiti, kukaidi kutoka nje anapoamriwa kutoka kutokana na fujo alizosababisha; “Halmashauri” maana yake ni Halmashauri ya Wilaya ya Monduli; “Kamati” (a) (b) (c) inapotumika kuhusiana na Halmashauri ina maana ya Kamati iliyoanzishwa au iliyoteuliwa na Halmashauri chini ya Sheria; inapotumika kuhusiana na Kamati Ndogo maana yake ni Kamati Ndogo hiyo iliyoteuliwa na Kamati; na inapotumika kuhusiana na Kamati nyingine ina maana ya Kamati hiyo. "kauli zenye kashfa'' maana yake ni maneno yenye lengo la kumdhihaki na kumdhalilisha mtu utu wake; “Mamlaka ya Mji Mdogo” maana yake ni Mamlaka ya Mji Mdogo ulioanzishwa chini ya Kifungu cha 13 cha Sheria; “Mkurugenzi” maana yake ni Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli pamoja na Afisa yeyote aliyeteuliwa kutekeleza majukumu ya Mkurugenzi; “mjumbe” maana yake ni mjumbe wa Halmashauri kama ilivyoainishwa katika kifungu cha 35 cha Sheria; “Mwenyekiti” 5 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Monduli Tangazo La Serikali Na. 396 (Linaendelea) (a) kwa madhumuni ya Halmashauri maana yake ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli, na inajumuisha wakati anapotekeleza majukumu ya Mwenyekiti kwa mujibu wa Kanuni hizi. Mwenyekiti Makamu Mikutano ya kawaida ya Halmashauri Mkutano wa kwanza wa Halmashauri (b) kwa madhumuni ya Kamati, Bodi au Kamati Ndogo maana yake ni Mwenyekiti wa Kamati, Bodi au Kamati Ndogo. (c) kwa maana ya Bodi ya Zabuni ni Mwenyekiti wa Bodi ya Zabuni “Sheria” Maana yake ni Sheria ya Serikali za Mitaa(Mamlaka za Wilaya) “Waziri” maana yake ni Waziri mwenye dhamana ya Serikali za Mitaa. SEHEMU YA PILI MIKUTANO YA HALMASHAURI
Part
SEHEMU YA PILI
- 3 Verify source ↗
(1)Mikutano ya kawaida ya Halmashauri itafanyika
AI-assisted research summary: The council must meet at least once every three months, and the first regular meeting must be called within 30 days after election results are announced.
3.-(1)Mikutano ya kawaida ya Halmashauri itafanyika mara moja kila baada ya miezi mitatu, na itafanyika mahali, tarehe na katika muda kama utakavyokuwa umepangwa katika kalenda ya mikutano ya Halmashauri. (2) Mkutano wa kwanza wa kawaida wa Halmashauri utafanyika baada ya Tume ya Uchaguzi kutangaza matokeo ya uchaguzi wa Madiwani wa Kata na uteuzi wa Madiwani wa Viti Maalumu na utafanyika mahali, siku na katika muda utakaopangwa na Mkurugenzi, ilimradi Mkurugenzi atapaswa kuitisha mkutano huo ndani ya siku thelathini (30) kuanzia tarehe ya matokeo ya uchaguzi wa Madiwani wa Kata na uteuzi wa madiwani Viti Maalum yanapotangazwa na Tume ya Uchaguzi ambapo moja ya ajenda za mkutano huo ni kumchagua Mwenyekiti, Makamu Mwenyekiti na Wajumbe wa Kamati za Kudumu za Halmashauri. (3) Mkutano wa Kwanza wa Uchaguzi wa Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti utaongozwa na Katibu Tawala wa Wilaya na Mkurugenzi wa Halmashauri atakuwa Katibu. Mara baada ya Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti kupatikana, Mwenyekiti ataongoza zoezi la uundaji wa Kamati, na uchaguzi wa wenyeviti wa Kamati za kudumu. (4) Katika Mkutano huo Mkurugenzi wa Halmashauri atawasilisha taarifa ya kumbukumbu ya maamuzi ya utekelezaji 6 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Monduli Tangazo La Serikali Na. 396 (Linaendelea) Mkutano Maalum wa Halmashauri wa shughuli za Halmashauri zilizofanyika katika kipindi ambacho Baraza la Madiwani lilivunjwa. Wajumbe wa Baraza watapokea na kujadili bila kubatilisha maamuzi yaliyokwisha amuliwa. (5) Uchaguzi wa Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti utafanyika kwa kupiga kura za siri na upigaji wa kura utafanyikia sehemu ya faragha umbali usiopungua mita tano (5) kutoka kwa msimamizi wa uchaguzi na mpigaji kura atachukua karatasi ya kupiga kura kutoka kwa msimamizi wa uchaguzi. - 4 Verify source ↗
(1)Mkutano Maalum wa Halmashauri unaweza
AI-assisted research summary: This provision sets out how a special council meeting is called, including notice, appeal, and procedures for removing the chairperson.
4.-(1)Mkutano Maalum wa Halmashauri unaweza kuitishwa na Mwenyekiti ndani ya siku ishirini na moja (21) baada ya kupokea maombi ya maandishi yaliyosainiwa na sio chini ya theluthi moja ya wajumbe wote kutaka mkutano huo ufanyike na maombi hayo yaeleze wazi madhumuni ya kuitishwa kwa mkutano huo. (2) Iwapo Mwenyekiti anakataa kuitisha Mkutano Maalum wa Halmashauri baada ya kupokea maombi ya kutakiwa kufanya hivyo,maombi yaliyosainiwa na wajumbe wa Halmashauri wasiopungua theluthi moja ya wajumbe wote wakionyesha sababu ya kuitisha mkutano huo maalum na kuwasilishwa kwake, au iwapo bila kukataa, Mwenyekiti, ndani ya kipindi cha siku saba ataendelea kutoitisha mkutano huo Maalum baada ya kupokea ombi la kuitisha mkutano huo maalum, basi theluthi mbili ya wajumbe waliotia saini na kuwasilisha kwa Mkurugenzi wanaweza kuitisha Mkutano huo Maalum mara moja. (3) Endapo ajenda ya mkutano huo itahusu kumuondoa madarakani Mwenyekiti, mkutano huo utaitishwa na Mkurugenzi baada ya kupokea maombi yaliyosainiwa na wajumbe wa Halmashauri wasiopungua theluthi mbili ya wajumbe wote. (4) Baada ya Mkurugenzi kupata taarifa ya kutaka kufanyika kwa mkutano wa kujadili ajenda ya kumuondoa madarakani Mwenyekiti, Mkurugenzi atamtaarifu Mwenyekiti tuhuma na sababu za kutaka kuondolewa uenyekiti na kumtaka aandae majibu ya tuhuma ndani ya siku tano (5) baada ya kupokea tuhuma hizo. (5) Mkurugenzi katika muda wa siku tatu (3) baada ya kupokea maelezo ya utetezi kutoka kwa Mwenyekiti, atawasilisha kwa Mkuu wa Mkoa tuhuma pamoja na maelezo ya utetezi. (6) Mkuu wa Mkoa katika muda wa siku tano (5) baada ya kupokea taarifa ataunda timu ya uchunguzi ambayo itakuwa 7 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Monduli Tangazo La Serikali Na. 396 (Linaendelea) na wajumbe wasiopungua watatu (3) na wasiozidi watano (5). (7) Timu ya uchunguzi itatakiwa kukamilisha uchunguzi katika muda wa siku kumi na nne (14) na kuwasilisha taarifa hiyo kwa Mkuu wa Mkoa. (8) Baada ya Mkuu wa Mkoa kupata taarifa ya timu ya uchunguzi atairudisha taarifa hiyo kwa Mkurugenzi wa Halmashauri ambaye naye katika muda wa siku kumi na Nne (14) ataiwasilisha kwenye kikao cha Baraza kwa uamuzi wa tuhuma hizo. Utaratibu wa kuwasilisha rufaa Mkutano wa bajeti Mkutano wa Mwaka (9) Endapo Mwenyekiti hataridhika na uamuzi wa Baraza, atakata rufaa ndani ya siku kumi na nne (14) kuanzia tarehe ya maamuzi kwa Waziri kuhusu utaratibu uliotumika kumuondoa madarakani na sio vinginevyo. utakaotumika na kushughulikia rufaa iliyowasilishwa na Mwenyekiti ni ule ulioelezwa kwenye taratibu za kumuondoa madarakani Mwenyekiti wa Halmashauri wa Wilaya. (10) Utaratibu kuwasilisha (11) Taarifa ya Mkutano Maalum itatolewa angalau saa ishirini na nne (24) kabla ya Mkutano. (12) Hakuna shughuli nyingine yoyote itakayojadiliwa katika Mkutano Maalum wa Halmashauri isipokuwa ile tu iliyoelezwa kwenye taarifa ya kuitishwa kwa mkutano huo. - 5 Verify source ↗
Kutakuwepo na mkutano wa Halmashauri wa bajeti
AI-assisted research summary: Kuna mkutano wa Halmashauri wa bajeti wa siku mbili, unaofanyika miezi miwili kabla ya mwaka wa fedha kuisha.
5. Kutakuwepo na mkutano wa Halmashauri wa bajeti mfululizo na utakaofanyika kwa muda wa siku mbili utafanyika miezi miwili kabla ya mwaka wa fedha kumalizika na utajadili mambo yafuatayo:- (a) utekelezaji wa mipango na bajeti ya mwaka uliopita; na (b) mipango na bajeti ya mwaka unaofuata. - 6 Verify source ↗
(1)Mkutano wa mwaka wa Halmashauri utafanyika
AI-assisted research summary: The annual council meeting must be scheduled and convened by the Director after consulting the Council Chairperson, and council meetings must be planned with Parliament’s sitting schedule in mind.
6.-(1)Mkutano wa mwaka wa Halmashauri utafanyika tarehe, mahali na muda utakaopangwa na Halmashauri katika kalenda ya Mikutano na utaitishwa na mkurugenzi baada ya kuwasiliana na Mwenyekiti wa Halmashauri. (2) Mikutano yote ya Baraza itapangwa na Baraza la Madiwani kwa kuzingatia ratiba ya Vikao vya Bunge ili kuwezesha Wabunge kuhudhuria mikutano ya Baraza la Madiwani. (3) Endapo italazimika kuitishwa kwa Mkutano wa Baraza wakati wa Vikao vya Bunge, Mkurugenzi atamjulisha au kuwajulisha Wabunge husika kuhusu kikao hicho ili wahudhurie. 8 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Monduli Tangazo La Serikali Na. 396 (Linaendelea) (4) Katika mkutano wa kawaida wa mwaka, Halmashauri itajadili mambo yafuatayo:- (a) kumchagua Makamu wa Mwenyekiti; (b) kuteua wajumbe wa Kamati za Kudumu; (c) kujadili taarifa ya utendaji na uwajibikaji wa Halmashauri kwa mwaka uliopita; na (d) kupitisha ratiba ya vikao vya Halmashauri na Kamati za Halmashauri. Taarifa za Mkutano - 7 Verify source ↗
(1) Mkurugenzi atatoa taarifa ya mkutano kwa
AI-assisted research summary: Mkurugenzi must give each member written meeting notice at least seven days in advance, stating the place, date, time, and matters to be discussed; the notice should include relevant documents, and urgent cases may allow shorter notice.
7.-(1) Mkurugenzi atatoa taarifa ya mkutano kwa maandishi kwa kila mjumbe katika muda usiopungua siku saba akieleza mahali, siku na saa ya mkutano unaokusudiwa na mambo yatakayojadiliwa katika Mkutano huo. jambo litatokea (2) Endapo linalohitaji kutolewa maamuzi na ambalo linaweza kufanya Mkurugenzi kushindwa kutoa taarifa ya mkutano kwa mjumbe katika muda usiopungua siku saba, Mkurugenzi anaweza kutoa taarifa ya mkutano katika siku zinazopungua siku saba. Akidi katika mikutano ya Halmashauri (2) Taarifa ya mkutano itaambatana na nyaraka au kumbukumbu muhimu zitakazotumika katika Mkutano huo. (3) Isipokuwa kwa idhini ya Mwenyekiti na au ya idadi ya wajumbe isiyopungua robo tatu ya wajumbe waliohudhuria mkutano, hakuna shughuli yoyote itakayofanywa katika Mkutano wa Halmashauri mbali na shughuli zilizotajwa katika mwaliko wa Mkutano huo. - 8 Verify source ↗
(1) Mkutano wa kawaida wa Halmashauri
AI-assisted research summary: Mikutano ya kawaida ya Halmashauri haiwezi kufanyika bila akidi, na ukikosekana mwenyekiti huahirisha na kuitisha tena ndani ya siku 7.
8.(1) Mkutano wa kawaida wa Halmashauri hautafanyika isipokuwa kama idadi ya wajumbe isiyopungua nusu ya Wajumbe wote waliohudhuria na kujiandikisha kwenye daftari la mahudhurio, watakuwepo. (2) Akidi katika mikutano Maalum ya Halmashauri itakuwa ni theluthi mbili ya wajumbe wote wa Halmashauri na itahesabiwa wakati wa ufunguzi wa mkutano. (3) Akidi katika mkutano wa kawaida wa mwaka na mkutano wa kwanza wa Halmashauri itakuwa theluthi mbili ya wajumbe wote wa Halmashauri. (4) Endapo wajumbe waliohudhuria mkutano hawatafikia akidi ya mkutano, Mwenyekiti atauahirisha mkutano huo na kuuitisha tena ndani ya siku saba (7), na endapo akidi haitatimia tena, idadi yoyote ya wajumbe waliohudhuria itatengeneza akidi ya mkutano na Mkurugenzi atamjulisha Waziri kuwepo kwa hali hiyo. SEHEMU YA TATU 9 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Monduli Tangazo La Serikali Na. 396 (Linaendelea) Uchaguzi wa Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri TARATIBU ZA MIKUTANO
Part
SEHEMU YA TATU
- 9 Verify source ↗
(1) Mwenyekiti na Makamu wa Mwenyekiti
AI-assisted research summary: Wajumbe huchagua Mwenyekiti na Makamu wa Mwenyekiti kwa kura ya siri, na nafasi iliyo wazi lazima ijazwe ndani ya siku 60.
9.-(1) Mwenyekiti na Makamu wa Mwenyekiti watachaguliwa na wajumbe, kutokana na wajumbe wa Halmashauri kupiga kura ya siri na Mjumbe mmoja mmoja kwenye eneo la faragha litakalotengwa umbali usiopungua mita 5 kutoka mahali alipoketi msimamizi wa uchaguzi. (2) Mjumbe kabla ya kwenda sehemu ya faragha kwa ajili ya kupiga kura, atapatiwa na msimamizi wa uchaguzi karatasi ya kupigia kura kutoka kwenye chombo maalum kitakachowekwa mbele ya msimamizi wa uchaguzi, na atakwenda moja kwa moja kupiga kura yake kwenye sehemu ya faragha. (3) Mtu atatangazwa kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti au Makamu wa Mwenyekiti iwapo atapata zaidi ya nusu ya kura zilizopigwa. (4) Iwapo wakati wa kumchagua Mwenyekiti au limependekezwa, Makamu wa Mwenyekiti jina moja wajumbe watapiga kura za siri za “ndiyo” au “hapana” na endapo kura za “ndiyo” zitazidi asilimia hamsini ya kura zote zilizopigwa basi mgombea atatangazwa kuwa Mwenyekiti au Makamu wa Mwenyekiti. tu (5) Iwapo kura za “Hapana” zitazidi asilimia hamsini la mgombea mwingine ya kura zote zilizopigwa, litapendekezwa kwa njia na utaratibu uliotumika hapo awali. jina Uongozaji wa mikutano ya Halmashauri (6) Iwapo kura zitafafana, uchaguzi utarudiwa kwa mara ya pili na endapo hata baada ya kurudia uchaguzi, kura zimefanana, Baraza litaamua kugawana muda wa kuwa madarakani kwa wagombea hao ambao kura zao zimefanana. (7) Kama itatokea nafasi wazi ya Mwenyekiti au Makamu wa Mwenyekiti, Halmashauri itamchagua Mwenyekiti au Makamu Mwenyekiti katika muda wa siku zisizozidi sitini tangu nafasi hiyo ilipotokea. - 10 Verify source ↗
(1) Mkutano wa Halmashauri utaongozwa na
AI-assisted research summary: The council meeting is chaired by the Chairman, or the Vice Chairman if the Chairman is absent; if both are absent or unable to preside, an attending member is chosen to lead.
10.(1) Mkutano wa Halmashauri utaongozwa na: (a) Mwenyekiti; au (b) kama Mwenyekiti Mwenyekiti; au hayupo, Makamu wa (c) kama Mwenyekiti na Makamu wa Mwenyekiti wote hawapo, au kama Mwenyekiti na Makamu wa Mwenyekiti wote hawawezi kuongoza Mkutano, Mjumbe yeyote atachaguliwa na Wajumbe kutoka miongoni mwa Wajumbe waliohudhuria kwa ajili ya kuongoza Mkutano huo; 10 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Monduli Tangazo La Serikali Na. 396 (Linaendelea) vazi maalum (d) wajumbe wawapo ndani ya ukumbi wa mikutano wa Halmashauri watavaa mavazi maalum yaliyochaguliwa na kushonwa maalum kwa ajili hiyo; (e) endapo na Halmashauri ni joho basi litavaliwa juu ya vazi la Mjumbe, na endapo Halmashauri haina joho basi mjumbe atavaa vazi la heshima, na mavazi kama jeans, kofia zisizohusiana na dini na sare za chama cha siasa hazitaruhusiwa kuvaliwa wakati wa mikutano ya Halmashauri na vikao vya Kamati za Kudumu za Halmashauri; lililochaguliwa (f) vazi rasmi la Mwenyekiti na Mkurugenzi na Makamu Mwenyekiti litakuwa lenye kuonyesha rangi za Bendera ya Taifa na mazao yanayolimwa kwa wingi katika eneo la Halmashauri kadri Halmashauri inafaa, hata hivyo, Kanuni hii haitaathiri majoho ambayo yanatumika kabla ya Kanuni hizi; itakavyoona (g) endapo katika mkutano huo, Halmashauri itajigeuza kuwa Kamati, Wajumbe watavua majoho; na (h) endapo Baraza litajigeuza kuwa Kamati taratibu za kuendesha vikao vya Kamati zitatumika na kikao hicho kitakuwa cha siri. (2) Madaraka au la Mwenyekiti kuhusiana na uendeshaji wa mikutano yanaweza kutekelezwa na mtu anayeongoza mkutano huo. jukumu lolote (3) Halmashauri itatenga siku mbili kila wiki kwa ajili ya Mwenyekiti kufika ofisini na kutekeleza majukumu yafuatayo: (a) kusikiliza matatizo ya wananchi; (b) kupata maelezo toka kwa Mkurugenzi kuhusu uendeshaji wa shughuli za Halmashauri ikiwa ni pamoja na masuala ya manunuzi; (c) kusaini mikataba mbalimbali ya Halmashauri; (d) kushughulikia jambo ambalo Mkurugenzi ataona linahitaji kushughulikiwa au kutekelezwa na Mwenyekiti; na (e) endapo kutatokea shughuli au ugeni unaohitaji uwepo wa Mwenyekiti, Mwenyekiti atamjulisha Mkurugenzi ili ahudhurie. Kumbukumbu ya mahudhurio - 11 Verify source ↗
(1) Kila mjumbe anayehudhuria mkutano wa
AI-assisted research summary: Mjumbe lazima asaini rejesta ya mahudhurio kabla ya kuhudhuria mkutano; Diwani kwa kawaida haruhusiwi kuwa katika ofisi za Halmashauri na kufanya shughuli zisizohusiana, isipokuwa kwenye siku za mikutano husika au akitakiwa kutekeleza majukumu ya Serikali.
11.-(1) Kila mjumbe anayehudhuria mkutano wa 11 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Monduli Tangazo La Serikali Na. 396 (Linaendelea) Halmashauri au Kamati yoyote ya Halmashauri ambapo yeye ni mjumbe hatahudhuria mkutano huo mpaka awe ameweka saini yake kwenye inayotunzwa na Mkurugenzi kwa ajili hiyo. rejesta ya mahudhurio (2) Isipokuwa siku ya kufanyika kwa mikutano ya Baraza au Kamati ambayo Diwani ni mjumbe au pale atakapoitwa kutekeleza majukumu ya Serikali, si ruhusa kwa Diwani kuwa katika ofisi za Halmashauri na kufanya shughuli ambazo hazihusiani na Halmashauri au Serikali. - 12 Verify source ↗
(1)Mikutano ya Halmashauri itakuwa wazi kwa
AI-assisted research summary: Council meetings must be open to everyone and the council must publicly announce the meeting time and place at least three days in advance, or at the time of notice if the meeting is called on short notice.
12.-(1)Mikutano ya Halmashauri itakuwa wazi kwa watu wote pamoja na vyombo vya habari. (2) Halmashauri itapaswa kutangazia umma kuhusu muda, wakati na mahali Mkutano utafanyika na italiweka tangazo hilo mahali panapoonekana kwa urahisi katika eneo la Halmashauri siku zisizopungua tatu kabla ya mkutano, na kama mkutano umeitishwa katika muda mfupi zaidi basi wakati wa kuitisha mkutano huo. Kuruhusu watu na vyombo vya habari kwenye mikutano ya halmashauri Utaratibu wa shughuli za Mikutano - 13 Verify source ↗
(1) Pale ambapo Halmashauri, kutokana na sababu
AI-assisted research summary: This section sets the order for ordinary council meetings when an emergency changes the usual procedure.
13.-(1) Pale ambapo Halmashauri, kutokana na sababu za dharura, itaamua kubadili utaratibu wa shughuli za mikutano, utaratibu wa shughuli katika kila ,mkutano wa kawaida wa Halmashauri utakuwa kama ifuatavyo:- (a) Mwenyekiti akiongozwa na Katibu ataingia ukumbini baada ya mratibu wa mkutano kutoa ishara maalum kuashiria Mwenyekiti kuingia ukumbini na Wajumbe watasimama na kukaa kimya mpaka pale Mwenyekiti atakaporuhusu wajumbe kukaa; (b) Mkutano utaanza kwa wimbo wa Taifa ukifuatiwa na Sala au Dua itakayosomwa na Mwenyekiti; (c) endapo Mwenyekiti au Makamu Mwenyekiti hawatakuwepo, wajumbe watachagua mjumbe mmoja miongoni mwao wa kuongoza kikao; (d) baada ya Sala au Dua kusomwa Mkurugenzi na Mwenyekiti wa Halmashauri watajibu maswali ya papo kwa papo kutoka kwa wajumbe wa Baraza la madiwani kwa utaratibu na mpangilio kama ilivyooneshwa kwenye Kanuni hizi; (e) kupokea na kujadili taarifa za kwenye Kata kutoka kwa Madiwani wa Kata husika; (f) kujadili jambo lolote linalotakiwa kwa mujibu wa 12 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Monduli Tangazo La Serikali Na. 396 (Linaendelea) sheria kushughulikiwa kabla ya shughuli nyingine yoyote; (g) kupokea inayopaswa kupokelewa taarifa yoyote kisheria kabla ya shughuli nyingine yoyote; (h) kusoma au kuthibitisha muhtasari wa mkutano wa kawaida wa Halmashauri uliopita na mikutano yoyote maalum ya Halmashauri iliyofanyika baada ya mkutano huo wa kawaida, Hata hivyo iwapo nakala za mihtasari zimesambazwa kwa kila mjumbe kabla au wakati wa kupeleka taarifa ya kuhudhuria mkutano, muhtasari huo utachukuliwa kuwa imesomwa; (i) kupokea taarifa yoyote ambayo Mwenyekiti atapenda itolewe kwa Halmashauri; (j) kujibu maswali kufuatana na Kanuni ya 21 ya Kanuni hizi; (k) kumalizia shughuli yoyote iliyobaki katika mkutano wa kawaida uliopita; (l) kupokea na kujadili taarifa za Kamati za Halmashauri, kutoka kwa Wenyeviti wa Kamati ambao watahusika kujibu maswali ya wajumbe kuhusiana na kazi za Kamati husika; (m) kupokea na kujadili taarifa kutoka kwa Mkurugenzi wa Halmashauri; (n) kuidhinisha utiaji lakiri katika hati; (o) kujadili hoja binafsi kufuatana na jinsi Kuthibitisha muhtasari zilivyopokelewa; na (p) kushughulikia mambo mengine yaliyoonyeshwa katika taarifa ya mkutano. (2) Halmashauri inaweza, katika Mkutano wowote wa kawaida, kubadili utaratibu wa hoja za mazungumzo ili kutoa kipaumbele kwa shughuli yoyote ambayo kwa maoni ya Mwenyekiti na uharaka wa pekee, lakini mabadiliko hayo hayatabadilisha mpangilio wa shughuli zilizotajwa katika aya (a), (b) na (c) za Kanuni ya 13(1) ya Kanuni hii. - 14 Verify source ↗
(1) Katibu ataandika muhtasari wa mazungumzo ya
AI-assisted research summary: Katibu lazima aandike na kutunza muhtasari wa kikao, na Mwenyekiti aushughulikie kwa kuuliza kuhusu usahihi na kuusaini katika hali fulani.
14.-(1) Katibu ataandika muhtasari wa mazungumzo ya kikao unaozingatia majina ya wajumbe waliohudhuria na wasiohudhuria, jina la mtoa hoja, aliyeunga mkono hoja, mabadiliko ya hoja kwa ufupi, ushauri uliotolewa na azimio lililofikiwa, muhtasari kurekebishwa, kuthibitishwa na kusainiwa na Mwenyekiti wa Mkutano na kutunzwa katika rejesta maalum ya muhtasari. utasomwa, huo (2) Mara baada ya kusoma Muhtasari, au kama 13 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Monduli Tangazo La Serikali Na. 396 (Linaendelea) itachukuliwa kama umesomwa Mwenyekiti atauliza swali “Je Muhtasari wa Mkutano wa Halmashauri wa tarehe…………… ya mwezi…………. Mwaka……..utiwe kama kumbukumbu sahihi?” saini (3) Hakuna hoja au majadiliano yatakayofanywa kuhusiana na muhtasari isipokuwa kuhusiana na usahihi wa muhtasari, kama hakuna swali lililoulizwa, basi mara baada ya kuthibitishwa Mwenyekiti atatia saini katika muhtasari huo. (4) Muhtasari ambao utakuwa umesainiwa vilivyo na kama hakuna ushahidi wa kuwepo kwa makosa utakuwa kumbukumbu sahihi na mkutano utahesabika kuwa umeitishwa na kufanyika vilivyo na wajumbe waliohudhuria watahesabika kuwa halali. (5) Muhtasari wa Halmashauri utakuwa wazi kwa ukaguzi wa wajumbe na kwa umma kwa wakati unaofaa na kwa utaratibu utakaokubaliwa na Halmashauri, na kwamba mtu yeyote anaweza kupewa sehemu ya muhtasari huo kama akiomba na baada ya kulipa ada kama itakavyoidhinishwa na Halmashauri. - 15 Verify source ↗
Hoja zinazowasilishwa na Mwenyekiti hazitazidi
AI-assisted research summary: Mwenyekiti anaweza kuwasilisha hoja, lakini hoja zake zisizidi tatu; haki yake ya kuwasilisha hoja kama mjumbe katika taratibu za kawaida haiondolewi.
15. Hoja zinazowasilishwa na Mwenyekiti hazitazidi hoja tatu, bila kuathiri haki yake, kama mjumbe ya kuwasilisha hoja katika taratibu za kawaida. - 16 Verify source ↗
(1) Isipokuwa kwa idhini ya Halmashauri mtoa hoja
AI-assisted research summary: This section sets speaking rules for Council meetings, including time limits, who may speak, and the Chair’s control of order.
16.-(1) Isipokuwa kwa idhini ya Halmashauri mtoa hoja atahutubia mkutano wa Halmashauri kwa dakika zisizozidi kumi, wajumbe wengine ikiwa ni pamoja na mtoa hoja watazungumza kwa muda usiozidi dakika tano kila mmoja. (2) Mjumbe anaruhusiwa kuzungumza mara moja katika hoja yoyote ile isipokuwa hoja inayowasilishwa bila mjadala. (3) Mtoa hoja atakuwa na haki ya kuzungumza kwa muda usiozidi dakika tano katika kujibu majadiliano na muda huo utaanza kuhesabika mara atakapoanza kuchangia au kujibu. Mratibu wa vikao atatoa ishara maalum kumjulisha mtoa hoja kuwa muda wake umeisha na mjadala juu ya hoja hiyo utafungwa, Utaratibu huu wa kuhesabu muda utatumika pia kwa mjumbe yeyote atakayepewa muda wa kuchangia hoja na mara tu baada ya kujibu, mjadala juu ya hoja utafungwa. Hoja za Mwenyekiti Taratibu za Majadiliano (4) Mjumbe yeyote ambaye amechangia kwenye hoja hawezi kutoa au kuunga mkono marekebisho, ila marekebisho yakitolewa na kuungwa mkono, mjumbe aliyechangia katika hoja hoja iliyorekebishwa kwa muda usiozidi dakika tatu. kuzungumza kwenye anaweza awali ya 14 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Monduli Tangazo La Serikali Na. 396 (Linaendelea) (5) Iwapo Wajumbe wawili au zaidi watasimama wakati mmoja kuzungumza, mjumbe atakayetamkwa na Mwenyekiti ndiye atakayepewa nafasi kwanza. (6) Bila kuathiri masharti ya kanuni ndogo ya (5) ya Kanuni hizi, Mwenyekiti atahakikisha kuwa, nafasi ya kuchangia inatolewa kwa uwiano unaofaa miongoni mwa aina zote za uwakilishi wa Madiwani walioomba kuchangia hoja hiyo. (7) Mjumbe anapozungumza ataelekeza mazungumzo yake kwa Mwenyekiti tu na atapaswa kusimama. (8) Mjumbe anapozungumza hatakatizwa, isipokuwa kwa suala la utaratibu, lakini anaweza kutoa nafasi kwa mjumbe anayetaka kujieleza. (9) Mjumbe anaposimama kutoa taarifa kuhusu utaratibu, Mjumbe anayezungumza ataketi na atabaki ameketi imeamuliwa na hadi hoja ya utaratibu Mwenyekiti, kumweleza Mwenyekiti kuhusu suala la utaratibu. itakapokuwa anasimama isipokuwa kama (10) Mwenyekiti pekee ndiye mwenye uamuzi kuhusu utaratibu katika mikutano ya Halmashauri, na anayo madaraka ya kuzuia fujo na kuhakikisha kuwa maamuzi yake katika kusimamia usalama yanatekelezwa mara moja. Wakati wa majadiliano Mwenyekiti akisimama, mjumbe anayezungumza au aliyesimama ataketi na hakuna Mjumbe atakayesimama hadi Mwenyekiti aketi. (11) Hakuna mjumbe atakayebaki amesimama wakati mjumbe mwingine anaelekeza mazungumzo yake kwa Mwenyekiti. na Mwenyekiti (12) Mkurugenzi wa Halmashauri atajibu swali lolote atakaloulizwa shughuli zinazoendelea kwenye mkutano isipokuwa kama atadai haki ya kukataa kujibu swali kwa msingi ya kwamba jibu linaweza kumweka hatiani au kuvunja uaminifu wake au linamhusisha yeye kama mtetezi mahakamani. kutokana na (13) Hakuna mtu kwa niaba yake mwenyewe, au kwa niaba ya watu wengine walio kwenye ujumbe wa watu, atakayeruhusiwa kuzungumza katika Mkutano wa Halmashauri isipokuwa kwa idhini ya Halmashauri iliyotolewa kwa njia ya azimio, idhini ya namna hiyo haitatolewa isipokuwa kama mtu huyo au watu hao wanaotaka kuihutubia Halmashauri watakuwa wamempatia Mkurugenzi au Afisa aliyeruhusiwa naye, taarifa ya muda usiopungua siku tisa kabla ya Mkutano wa Halmashauri ambamo wangetaka maombi yao yafikiriwe jambo kupewa idhini, maombi ya kimaandishi ikieleza 15 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Monduli Tangazo La Serikali Na. 396 (Linaendelea) linalotarajiwa kujadiliwa, na mpaka taarifa ya kupokelewa kwa maoni hayo itakapokuwa imebandikwa kwenye mbao za matangazo za Halmashauri. (14) Hakuna zaidi ya watu wawili watakaokuwa na haki ya kuhutubia Halmashauri kwa niaba ya uwakilishi; na wala hakuna ujumbe utakaozidi idadi ya watu watano watakaoruhusiwa. (15) Kiwango cha juu cha muda wa kuzungumza na Halmashauri ikiwa na muda wa kusoma risala hakitazidi dakika kumi. - 17 Verify source ↗
(1) Katika Mkutano wowote wa Halmashauri kama
AI-assisted research summary: The chairperson must name a member who shows disrespect or obstructs council business, may ask the council to suspend the meeting, and may order removal or temporary suspension of a disruptive member.
17.-(1) Katika Mkutano wowote wa Halmashauri kama mjumbe wa Halmashauri ataonyesha kukosa heshima kwa madaraka aliyonayo Mwenyekiti au kudharau Kanuni za Kudumu za Halmashauri kwa kuzuia kwa makusudi shughuli za Halmashauri zisiendelee au vinginevyo, Mwenyekiti ataelekeza mkutano kwa tukio hilo kwa kumtaja jina mjumbe anayehusika (2) Endapo baada ya kutajwa jina mjumbe ataendelea kudharau madaraka ya Mwenyekiti basi Mwenyekiti ataliomba Baraza kuahirisha shughuli za mkutano kwa muda na Mwenyekiti atatafakari jambo hilo na anaweza kuagiza yafuatayo: (a) mjumbe atolewe nje ya mkutano kama mjumbe wa Halmashauri na kumzuia kuhudhuria vikao vitatu mfululizo pamoja na haki zinazohusina na vikao hivyo; na (b) mjumbe kuzuiliwa kuhudhuria vikao vitatu mfululizo na kupoteza haki zake zinazohusiana na vikao hivyo. (3) wapo kutatokea fujo kubwa katika Mkutano wowote wa Halmashauri, Mwenyekiti anaweza kama ataona ni muhimu kufanya hivyo, kuahirisha Mkutano bila majadiliano au swali au kusimamisha mkutano kwa muda atakaoona unafaa. - 18 Verify source ↗
(1)Iwapo mtu yeyote kati ya umma unaohudhuria
AI-assisted research summary: If a member of the public disrupts a Council meeting, the Chairperson must warn them to stop and may order them removed if the disruption continues. If there is disorder in any public part of the meeting room, the Chairperson must order everyone in that area removed.
18.-(1)Iwapo mtu yeyote kati ya umma unaohudhuria mkutano wa Halmashauri atavuruga mkutano wa Halmashauri, Mwenyekiti atamuonya mtu huyo aache kufanya hivyo. endapo mtu huyo ataendelea kuvuruga mkutano, Mwenyekiti ataamuru mtu huyo atolewe kwenye chumba cha Mkutano. (2) Endapo kutakuwa na vurugu katika sehemu yoyote ya chumba cha Mkutano kinachotumika na umma, Mwenyekiti ataamuru kuondolewa kwa watu wote walio katika eneo hilo. Fujo zinazosababishw a na Wajumbe Fujo zinazosababishw a na umma Hoja na - 19 Verify source ↗
(1)Taarifa
AI-assisted research summary: Hoja za mkutano lazima ziwasilishwe kwa maandishi yaliyosainiwa na kutumwa kwa Mkurugenzi angalau siku nne kabla ya mkutano ujao, na Mkurugenzi aziweke katika daftari na aziweke wazi kwa ukaguzi.
19.(1)Taarifa kila hoja, isipokuwa hoja ya 16 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Monduli Tangazo La Serikali Na. 396 (Linaendelea) Marekebisho ya hoja iliyowasilishwa chini ya Kanuni za Kudumu Na. 15, itawasilishwa kwa maandishi yaliyowekwa saini na Diwani au Madiwani waliotoa taarifa, na itapelekwa kwa Mkurugenzi angalau siku nne kabla ya Mkutano wa Halmashauri unaofuata na akishaipokea, Mkurugenzi atagonga tarehe na kuipa namba na kuiingiza kwenye daftari kadri hoja zilivyowasilishwa, na daftari hiyo itakuwa wazi kukaguliwa na mjumbe yeyote wa Halmashauri. (2) Mkurugenzi ataonyesha katika taarifa ya kila mkutano wa Halmashauri hoja zilizowasilishwa na kwa kadri zilivyopokelewa isipokuwa kama Diwani aliyetoa hoja hiyo ameeleza kwa maandishi wakati alipoleta hoja hiyo, kwamba anataka kuitoa katika Mkutano utakaofanyika baadaye, au baada ya kuwasilisha ameifuta hoja hiyo kwa maandishi. (3) Iwapo hoja ambayo imeonyeshwa katika taarifa ya Mkutano haiwezi kutolewa na mjumbe aliyewasilisha taarifa au na mjumbe mwingine yeyote kwa niaba yake, basi hoja hiyo, isipokuwa kama imeahirishwa kwa idhini ya Halmashauri, itachukuliwa kama imeondolewa na haitawasilishwa tena bila ya kutoa taarifa upya. (4) Iwapo hoja itahusu jambo linalohusu Kamati au Kamati mbalimbali baada ya kupendekezwa na kuungwa mkono, hoja hiyo itapelekwa bila majadiliano kwenye Kamati ambayo Halmashauri iweze kufikiriwa na kutayarishiwa taarifa. itaelekeza ili (5) Ni jambo ambalo Halmashauri ina uwezo na wajibu nalo, au iwe inahusu Halmashauri ya wilaya husika. lazima kila hoja ihusu (6) Marekebisho ya hoja yaliyopendekezwa na kuungwa mkono yanaweza kuondolewa tu kwa ridhaa ya wajumbe wa Halmashauri walio wengi waliopo katika mkutano. (7) Marekebisho ya hoja yanapokuwa yamethibitishwa, hoja ya msingi kama ilivyorekebishwa itatolewa na Mwenyekiti kama ndiyo hoja ya msingi ambayo nayo inaweza kufanyiwa marekebisho, kama marekebisho ya hoja hayakukubaliwa, rekebisho lingine linaweza kupendekezwa. (8) Kwa idhini ya Mwenyekiti, zaidi ya rekebisho moja linaweza kutolewa kwa wakati mmoja mbele ya mkutano wa Halmashauri, lakini kila rekebisho la namna hii litatolewa moja baada ya jingine kufuatana na jinsi mapendekezo hayo yalivyotolewa. (9) Rekebisho halitachukuliwa kuwa sahihi kama litakuwa sawa na kuikataa hoja moja kwa moja au kama si 17 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Monduli Tangazo La Serikali Na. 396 (Linaendelea) rekebisho la hoja ya msingi linalokusudiwa kurekebishwa. (10) Rekebisho taarifa, halitapendekezwa baada ya mjadala wa hoja inayozungumzwa kuendelea kwa nusu saa, ila kwa mujibu wa sharti hili, taarifa ya idadi yoyote ya marekebisho inaweza kutolewa. halikutolewa ambalo (11) Hoja ya kufuta azimio itapitishwa na wajumbe wasiopungua theluthi mbili ya wajumbe wote. (12) Hoja ya kuzingatia taarifa ya Kamati au kuidhinisha majadiliano au mapendekezo ya Kamati inaweza kutolewa na Mwenyekiti wa Kamati husika, au na Mjumbe yeyote wa Kamati husika kwa niaba yake. (13) Mjumbe yeyote ambaye hajachangia katika mjadala wa hoja, au hajaitolea marekebisho, anaweza kupendekeza “kwamba Halmashauri iendelee na shughuli inayofuata", hoja ya aina hiyo inaweza tu kuzingatiwa baada ya hoja kupendekezwa na kuungwa mkono, hoja inapotolewa, itaamuliwa bila marekebisho au mjadala, na kama ikikubaliwa, shughuli iliyokatizwa na azimio hilo haitaendelea kujadiliwa katika kikao hicho. Hoja ya kupendekeza kuendelea na shughuli inayofuata haitatolewa zaidi ya mara moja katika mjadala wa jambo lolote. (14) Baada ya mjadala kuhusu hoja kuendelea kwa muda usiopungua nusu saa, mjumbe ambaye hajachangia katika majadiliano anaweza kuomba idhini ya kutoa hoja “kwamba suala lililo mbele yetu sasa liamuliwe” na kama idhini hiyo itatolewa kwa kukubaliwa na si chini ya wajumbe watano, hoja “kwamba suala lililo mbele yetu sasa liamuliwe” itawasilishwa mara moja, na kama ikiafikiwa, mtoa hoja ya msingi anaweza kuzungumza kwa dakika zisizozidi tano, na baada ya hapo swali au maswali yaliyo mbele ya Halmashauri yatafanyiwa uamuzi. (15) Hoja “kwamba suala lililo mbele yetu sasa liamuliwe” haitatolewa zaidi ya mara moja katika mjadala lolote mpaka hapo mjadala unaoendelea kuhusu jambo utakapokuwa umeendelea kwa angalau nusu saa tangu kuwekwa mbele ya Mkutano hoja ya aina hiyo ilipopendekezwa awali. Hoja zinazoweza kutolewa bila Taarifa - 20 Verify source ↗
Hoja zifuatazo zinaweza kutolewa bila taarifa
AI-assisted research summary: Some listed motions may be moved without notice.
20. Hoja zifuatazo zinaweza kutolewa bila taarifa- (a) kumchagua Mwenyekiti wa Mkutano ambamo hoja imetolewa; (b) hoja kuhusu usahihi wa muhtasari, kufunga 18 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Monduli Tangazo La Serikali Na. 396 (Linaendelea) mkutano, kuahirisha mkutano, utaratibu wa mkutano, au suala linalofuata; (c) kuteua Kamati au Wajumbe wa Kamati, au wawakilishi katika taasisi za nje, unaotokana na jambo lililotaarifiwa katika wito wa mkutano; (d) kukubali taarifa na mapendekezo ya Kamati na taarifa au maazimio yote yanayotokana na mapendekezo hayo; (e) kwamba idhini itatolewa kuiondoa hoja; (f) kusahihisha hoja; (g) kuongeza muda wa hotuba; (h) kuwa, jambo lililotajwa katika taarifa ya kuitisha mkutano litangulie; (i) kusimamisha Kanuni za Kudumu; (j) kwamba mjumbe asisikilizwe tena au aondoke katika mkutano; (k) kumwomba Mjumbe abakie katika mkutano; na (l) kutoa idhini ya Halmashauri pale ambapo idhini inatakiwa kwa mujibu wa Kanuni za Kudumu hizi. Haki ya kujibu - 21 Verify source ↗
(1) Mtoa hoja atakuwa na haki ya kujibu maswali
AI-assisted research summary: Mtoa hoja ana haki ya kujibu maswali wakati wa kufunga mjadala, kabla ya kura au kabla ya hoja ya kuahirisha mkutano.
21.-(1) Mtoa hoja atakuwa na haki ya kujibu maswali wakati wa kufunga mjadala juu ya hoja; kabla ya hoja kupigiwa kura au kabla ya hoja kutolewa “kwamba mkutano uhairishwe. (2) Mjumbe anayetumia haki yake ya kujibu hataanzisha hoja nyingine mpya. Maswali (3) Baada ya kutolewa kwa jibu ambalo linahusiana na Kanuni hizi, uamuzi utafikiwa bila majadiliano zaidi. - 22 Verify source ↗
(1) Mjumbe anaweza kumuuliza Mwenyekiti wa
AI-assisted research summary: A member may ask the committee chair any question about the committee summary presented to the council.
22.-(1) Mjumbe anaweza kumuuliza Mwenyekiti wa Kamati swali lolote kuhusu muhtasari wa Kamati uliofikishwa mbele ya Halmashauri. (2) Kila swali litaulizwa na kujibiwa bila majadiliano (3)Swali au maswali yatajibiwa na Mwenyekiti wa Kamati mara moja, na mjumbe anayeuliza maswali hayo hatanyimwa haki yake ya kujadili hoja ambayo maswali hayo yanarejewa au kutoa hoja ya marekebisho. (4) Pale ambapo swali la maandishi limeelekezwa kwa Mwenyekiti wa Kamati, na taarifa inayotakiwa imo katika mojawapo ya muhtasari wa Halmashauri, kuonyesha sehemu ya muhtasari ambapo habari hiyo imeonyeshwa, kutachukuliwa ni jibu la kutosha. Maswali ya papo kwa papo - 23 Verify source ↗
(1) Halmashauri itatenga muda wa dakika thelathini
AI-assisted research summary: Halmashauri lazima itenge dakika 30 katika kila mkutano wa kawaida kwa maswali ya papo kwa papo, na wajumbe lazima wajisajili angalau saa 24 kabla ya mkutano.
23.-(1) Halmashauri itatenga muda wa dakika thelathini 19 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Monduli Tangazo La Serikali Na. 396 (Linaendelea) katika kila mkutano wa Halmashauri wa kawaida ambapo Mwenyekiti na Mkurugenzi wa Halmashauri atajibu maswali ya papo kwa papo kutoka kwa Wajumbe kabla ya kuanza kwa shughuli ya kawaida za mkutano wa Halmashauri. (2) Wajumbe ambao watataka kumwuliza Mkurugenzi na Mwenyekiti maswali ya papo kwa papo watatakiwa kujiorodhesha kwanza kwa Mwenyekiti angalau masaa ishirini na nne (24) kabla ya Mkutano wa Halmashauri. (3) Mjumbe yeyote ambaye hatajiorodhesha kwa Mwenyekiti au Mkurugenzi ndani ya masaa ishirini na nne atahesabika kuwa amechelewa, na hataruhusiwa kumuuliza Mkurugenzi au Mwenyekiti swali la papo kwa papo. (4) Kabla ya kuanza kwa kipindi cha maswali ya papo atataja majina ya wajumbe kwa papo Mwenyekiti waliojiorodhesha kuuliza maswali ya papo kwa papo na idadi ya maswali. (5) Mwenyekiti ataweka utaratibu ambao ataona unafaa na kuridhiwa na wajumbe wa namna bora ya kuendesha kipindi cha maswali ya papo kwa papo. (6) Mjumbe hataruhusiwa kuuliza zaidi ya swali moja la papo kwa papo. (7) Maeneo ya umuhimu ambayo wajumbe watatakiwa kuuliza maswali ya papo kwa papo ni:- (a) uendeshaji wa jumla wa Halmashauri; (b) utekelezaji wa miradi ya Maendeleo; (c) mipango kimkakati ya ya Halmashauri kuwaondolea wananchi umaskini; (d) mipango ya Halmashauri; baadaye ya maendeleo ya (e) usimamizi na utekelezaji wa mipango na bajeti kwa mwaka husika; (f) utoaji wa huduma za jamii kama vile elimu, afya, maji, barabara na madaraja; (g) hifadhi ya mazingira na utunzaji wa vyanzo vya maji; (h) usalama wa chakula na wa raia na mali zao; na (i) utawala Bora na utatuzi wa kero za wananchi. (8) Baada ya kujibiwa kwa swali, muuliza swali atapewa fursa ya kuuliza swali moja tu la ufafanuzi na maswali yatajibiwa bila mjadala. (9) Mwenyekiti atakuwa na uwezo wa kuruhusu kutojibu au kukataa swali lolote la papo kwa papo ambalo litaonekana linahitaji takwimu au utafiti zaidi au swali ambalo linalenga kumdhalilisha Mwenyekiti au mjumbe yeyote wa 20 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Monduli Tangazo La Serikali Na. 396 (Linaendelea) Taarifa za Kamati Baraza na uamuzi wake utakuwa wa mwisho. (10) Mara baada ya muda wa nusu saa kumalizika, kipindi cha maswali ya papo kwa papo kitamalizika na kuruhusu shughuli zingine za kikao kuendelea. - 24 Verify source ↗
(1) Kila Kamati au Kamati ya pamoja iliyoteuliwa
AI-assisted research summary: Kamati au Kamati ya pamoja lazima iwasilishe taarifa ya majadiliano kwa Halmashauri katika mojawapo ya mikutano miwili yake, na muhtasari unaohitaji idhini lazima utumwe kwa kila Mjumbe angalau siku saba kabla ya mkutano wa kuuzingatia.
24.-(1) Kila Kamati au Kamati ya pamoja iliyoteuliwa chini ya Kanuni hizi itatoa, katika mojawapo ya mikutano miwili ya Halmashauri iliyoteua Kamati, Kamati ya pamoja au Kamati Ndogo, taarifa ya majadiliano yanayohusiana na iliyokasimiwa, kwa ujulisho wa utekelezaji majukumu Halmashauri. (2) Muhtasari wa Kamati unaohitaji idhini ya Halmashauri, na taarifa zozote zinazohusiana na muhtasari huo, na ambazo zinaonekana kwa Kamati kuwa zinastahili, zitapelekwa kwa kila Mjumbe wa Halmashauri angalau siku saba kabla ya mkutano wa Halmashauri ambamo utafikiriwa. (3) Mwenyekiti wa Kamati, au mjumbe mwingine wa Kamati kwa niaba yake, wakati wa kupendekeza kuidhinishwa kwa muhtasari wa Kamati, anaweza kusema kuwa hakusudii kuwasilisha kipengele au vipengele fulani vya muhtasari huo kwa lengo la kupata idhini ya Halmashauri, katika hali hiyo mjumbe yeyote hataweza kukizungumzia kipengele au vipengele hivyo na muhtasari utawasilishwa bila vipengele hivyo. Kuondolewa kwa kipengele cha aina hiyo kutatolewa taarifa kwenye mkutano unaofuata. (4) Taarifa ya Kamati inapokuwa imepokelewa na Halmashauri itamaanisha kuwa hatua zilizochukuliwa na Kamati husika zimekubaliwa na mapendekezo yaliyo kwenye taarifa hiyo yatatekelezwa na kwamba Mkurugenzi atakuwa ameelekezwa ipasavyo. Taarifa za kutoka kwenye Kata - 25 Verify source ↗
(1) Kila Kata itatakiwa kuwasilisha taarifa za
AI-assisted research summary: Kila Kata lazima iwasilishe taarifa za utekelezaji kwenye mkutano wa Halmashauri; taarifa hizo huwasilishwa na Diwani wa Kata, au mbadala wake ikiwa hayupo.
25.-(1) Kila Kata itatakiwa kuwasilisha taarifa za utekelezaji katika mkutano wa Halmashauri ulioitishwa chini ya Kanuni ya 3(1) ya Kanuni hizi. (2)Taarifa za utekelezaji kutoka katika Kata zitawasilishwa na Diwani wa Kata husika, au kama Diwani hayupo, taarifa hiyo itawasilishwa na Diwani wa Viti Maalum anayeishi katika Kata hiyo na kama Diwani viti maalum hayupo, Mwenyekiti atamtaarifu mapema Diwani yeyote ili ajiandae kuwasilisha taarifa hiyo. (3) Kutakuwa taarifa aina tatu na za zitakazowasilishwa- (a) taarifa ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo katika Kata ambayo itajumuisha ujenzi wa madarasa, 21 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Monduli Tangazo La Serikali Na. 396 (Linaendelea) (b) zinazohusu hali ya Kata nyumba za walimu, matundu ya vyoo, maabara, viwanja vya michezo, vituo vya afya, zahanati, madaraja, barabara, mashamba darasa, ofisi za vijiji, kata na tarafa; idadi ya watu na vizazi; taarifa zitajumuisha; na (i) maendeleo ya elimu katika Kata kuhusiana na uandikishaji wa watoto wenye umri wa kwenda shule, ufundishaji, utoro, hali ya mahudhurio, mimba shuleni, ukaguzi na uratibu wa shule; ambazo (ii) hali ya majanga ya kibinadamu kama vile mlipuko wa magonjwa, mafuriko, njaa na hali ya uhalifu na vifo; (iii) maendeleo ya kilimo, mifugo na uvuvi ambayo upatikanaji wa wataalamu, zana za kisasa na pembejeo za kilimo, mifugo na uvuvi; na itajumuisha (iv) uimarishaji wa dhana ya uzalendo na utaifa kwa kuhamasisha vijana kuanzisha na kujiunga na vikundi vya vijana, wagani kazi na mafunzo ya jeshi la mgambo, ulinzi shirikishi na polisi jamii; (c) taarifa ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo na taarifa ya hali ya Kata sharti ijumuishe pia taarifa za shughuli za kiuchumi, taarifa ya mavuno ya mazao ya chakula na biashara pamoja na taarifa ya utunzaji wa mazingira na vyanzo vya maji. (4) Mkurugenzi wa Halmashauri atahakikisha taarifa kutoka kwenye Kata, zinaandaliwa na kuwasilishwa na Diwani wa Kata hiyo kwenye Baraza la Madiwani ili ipitiwe na kuchambuliwa kwa nia ya kupata hoja zitakazowasilishwa katika vikao vya Kamati husika na kutoa mrejesho. (5) Mwasilishaji wa taarifa atatakiwa kuelezea mafanikio yaliyopatikana, changamoto zilizojitokeza na mbinu za kukabiliana nazo. (6) Mbinu za kukabiliana na changamoto sharti ziwekewe malengo na muda Maalum wa kuzitatua. (7) Taarifa za mapokeo ya fedha na matumizi yake zitakazokuwa zimeandaliwa na Afisa Mtendaji wa Kata, zitawasilishwa sanjari na miradi iliyotekelezwa na gharama zake. (8) Baada ya taarifa kutoka kwenye Kata kupokelewa na Halmashauri, itamaanisha kuwa taarifa hizo zimeidhinishwa 22 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Monduli Tangazo La Serikali Na. 396 (Linaendelea) na mapendekezo yaliyomo kwenye taarifa yatatekelezwa na Halmashauri, na Kata kupewa taarifa ya utekelezaji wa majukumu hayo. Uhuru wa kutoa mawazo wakati wa majadiliano - 26 Verify source ↗
Kutakuwepo na uhuru wa kutoa mawazo wakati wa
AI-assisted research summary: Watu wana uhuru wa kutoa mawazo wakati wa majadiliano katika mikutano ya Halmashauri, na uhuru huo hauwezi kuhojiwa nje ya mkutano huo katika mahakama au mahali popote.
26. Kutakuwepo na uhuru wa kutoa mawazo wakati wa majadiliano katika mikutano ya Halmashauri na uhuru huo hautaweza kuhojiwa katika mahakama yoyote au mahali popote nje ya mkutano wa halmashauri. Kauli zenye kashfa Maamuzi ya mikutano ya Halmashauri - 27 Verify source ↗
(1) Inapotokea, kulingana na maoni ya Mwenyekiti
AI-assisted research summary: If a member makes a defamatory statement in a meeting, the chair can require the member to withdraw it and apologize in writing within 7 days.
27.-(1) Inapotokea, kulingana na maoni ya Mwenyekiti au mjumbe yeyote anayeongoza mkutano, kuwa kauli iliyotolewa na mjumbe inalenga kumkashfu mtu yeyote, Mwenyekiti atamtaka mjumbe aliyetoa kauli hiyo kufuta kauli yake na kumwomba msamaha mtu aliyekashifiwa kwa maandishi ndani ya muda wa siku saba tangu kauli hiyo ya kashfa ilipotamkwa. (2) Endapo mjumbe aliyetoa kauli ya kashfa atakataa kufuta kauli yake na kuomba msamaha kwa maandishi kama inavyoelekezwa katika kanuni ndogo ya (1) ya Kanuni hizi, Mwenyekiti au mtu anayeongoza mkutano, atamsimamisha mjumbe huyo kuhudhuria vikao vitatu mfululizo vya Halmashauri. (3) Mjumbe aliyesimamishwa kwa mujibu wa Kanuni Ndogo (2) ya Kanuni hii atapoteza haki zake zote zinazohusiana na vikao hivyo kwa muda wote wa kusimamishwa kwake. - 28 Verify source ↗
(1) Masuala yote yaliyojadiliwa na kupendekezwa
AI-assisted research summary: Masuala ya Halmashauri huamuliwa kwa kura nyingi za wajumbe waliohudhuria; kura zikifanana, mwenyekiti au anayeongoza mkutano hupiga kura ya turufu.
28.-(1) Masuala yote yaliyojadiliwa na kupendekezwa katika mkutano wowote wa Halmashauri yataamuliwa kulingana na wingi wa kura za wajumbe waliohudhuria mkutano huo, na ikitokea kura za wajumbe zikalingana, basi Mwenyekiti au mjumbe yeyote mwingine anayeongoza mkutano, atapiga kura ya turufu mbali ya kura ya kawaida. (2) Iwapo suala linalopigiwa kura linahusu kutokuwa na imani au kumwondoa Mwenyekiti madarakani, au jambo lolote lingine kama itakavyoamuliwa na Halmashauri, kura zitapigwa kwa siri. Mwaliko kwa wasiokuwa wajumbe kushiriki na kuzungumza kwenye vikao vya Halmashauri - 29 Verify source ↗
(1)Mwenyekiti, baada ya kushauriana na wajumbe,
AI-assisted research summary: The Chairman may invite any person to attend, speak, or participate in a Halmashauri meeting after consulting members. Invited persons, and heads of departments, may attend but do not have voting rights.
29.(1)Mwenyekiti, baada ya kushauriana na wajumbe, anaweza kumwalika mtu yeyote kuhudhuria na kuzungumzia jambo lolote, au kushiriki kwa njia yoyote, katika mkutano wowote wa Halmashauri lakini mwalikwa huyo hatakuwa na haki ya 23 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Monduli Tangazo La Serikali Na. 396 (Linaendelea) kupiga kura katika Mkutano huo. (2) Wakuu wa Idara za Halmashauri wanapaswa kuhudhuria mikutano yote ya Halmashauri lakini hawatakuwa na haki ya kupiga kura katika mikutano hiyo. Muhtasari ya kata na vijiji - 30 Verify source ↗
Mkurugenzi wa Halmashauri
AI-assisted research summary: The council director must review and analyze all summaries from ward, village council, and village general meetings, and provide feedback as appropriate.
30. Mkurugenzi wa Halmashauri atahakikisha muhtasari yote ya Kamati za Maendeleo za Kata, Halmashauri za Vijiji na Mikutano Mikuu ya Vijiji inapitiwa na kuchambuliwa kwa nia ya kupata hoja zitakazowasilishwa katika vikao vya Kamati husika na kutoa mrejesho inavyopaswa. Muhtasari ya Halmashauri kupelekwa kwa Mkuu wa Wilaya na Mkuu wa Mkoa - 31 Verify source ↗
(1) Muhtasari ya Halmashauri
AI-assisted research summary: Halmashauri must provide its summary to the District Commissioner and Regional Commissioner within 7 days after it is confirmed. The District and Regional Commissioners may request copies of the summary or parts of it, and they must not change or cancel the Council’s decision.
31.-(1) Muhtasari ya Halmashauri itatolewa na kupelekwa kwa taarifa, kwa Mkuu wa Wilaya na Mkuu wa Mkoa ambapo Halmashauri ipo katika muda wa siku 7 baada ya kuthibitishwa kwa muhtasari hiyo. (2) Mkuu wa Wilaya na Mkuu wa Mkoa wanaweza kupewa, wakiomba, nakala ya muhtasari au sehemu ya muhtasari ya Kamati za Kudumu na Kamati nyingine. Hoja kuhusu matumizi Kupokelewa kwa taarifa za Kamati (3) Wakuu wa Wilaya na Wakuu wa Mikoa hawatabadilisha au kubatilisha au kuagiza kubadilisha au kubatilisha uamuzi wa Halmashauri. - 32 Verify source ↗
Hoja yoyote isiyotokana na mapendekezo au taarifa
AI-assisted research summary: Hoja zisizotokana na Kamati ya Fedha, Utawala na Mipango na zinazoweza kuongeza matumizi au kupunguza mapato huahirishwa bila mjadala hadi mkutano wa kawaida unaofuata.
32. Hoja yoyote isiyotokana na mapendekezo au taarifa ya Kamati ya Fedha, Utawala na Mipango na ambayo, kama ikikubaliwa,itaongeza matumizi au kupunguza mapato yaliyo chini ya usimamizi wa Kamati yoyote, au itasababisha matumizi ya Kamati ya Kudumu, baada ya kupendekezwa au kuungwa mkono, itaahirishwa bila majadiliano mpaka mkutano wa kawaida wa Halmashauri unaofuata, na Kamati yoyote inayohusika na hoja hiyo itafikiria iwapo ingependa kutoa taarifa kuhusu athari za kifedha za pendekezo hilo. - 33 Verify source ↗
(1)Taarifa ya Kamati
AI-assisted research summary: Taarifa ya Kamati inapowasilishwa kwa Halmashauri, inapaswa kupokelewa kwanza, kisha kujadiliwa kipengele kwa kipengele; mapendekezo ndani yake yanaweza kupigiwa kura moja baada ya nyingine ikiwa mjumbe ataomba hivyo.
33.(1)Taarifa ya Kamati inapowasilishwa kwenye Halmashauri, hoja itakuwa “kwamba taarifa ipokelewe”na baada ya kukubaliwa na wajumbe taarifa itaanza kujadiliwa kipengele kimoja baada ya kingine. (2) Mapendekezo yoyote yaliyomo katika taarifa hiyo yatapigiwa kura moja baada ya nyingine iwapo mjumbe yeyote atapenda iwe hivyo, baada ya hapo taarifa nzima itawasilishwa mbele ya Mkutano kwa kupokelewa ikiwa na au bila marekebisho. 24 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Monduli Tangazo La Serikali Na. 396 (Linaendelea) Kuidhinishwa kwa taarifa ya Kamati Uhalali wa majadiliano ya Halmashauri Uwezo wa Halmashauri kujigeuza kuwa Kamati ya Halmashauri nzima Hoja zinazohusu watumishi wa Halmashauri Kushiriki kwa Umma Uahirishaji wa mikutano - 34 Verify source ↗
Taarifa ya Kamati inapokuwa imepokelewa na
AI-assisted research summary: Kabla taarifa ya Kamati inapopokelewa, maandalizi na mapendekezo yaliyomo humo yanaelekezwa kutekelezwa, na Mkurugenzi wa Halmashauri huhesabiwa kuwa amepewa maelekezo yanayohitajika.
34. Taarifa ya Kamati inapokuwa imepokelewa na itamaanisha kuwa hatua zilizochukuliwa na Halmashauri Kamati na hiyo mapendekezo yaliyo kwenye taarifa yatatekelezwa na kwamba Mkurugenzi wa Halmashauri atakuwa ameelekezwa kama inavyotakiwa. zimeidhinisha iliyowasilisha taarifa - 35 Verify source ↗
Uhalali wa majadiliano kwenye Halmashauri
AI-assisted research summary: Council deliberations are not affected by any vacancy or defects in the election or appointment of committee members or its officers.
35. Uhalali wa majadiliano kwenye Halmashauri hautaathiriwa na nafasi yoyote wazi ya mjumbe, dosari zozote zilizo katika uchaguzi au uteuzi wa wajumbe wa Kamati au zile za maafisa wake. - 36 Verify source ↗
Halmashauri inaweza kujigeuza kuwa Kamati ya
AI-assisted research summary: Halmashauri inaweza kujigeuza kuwa Kamati ya Halmashauri nzima; baada ya kufanya hivyo, taratibu za vikao vya Kamati za Kudumu zitatumika.
36. Halmashauri inaweza kujigeuza kuwa Kamati ya Halmashauri nzima, na mara baada ya kujigeuza, taratibu za kuendesha vikao vya Kamati za Kudumu zitatumika. - 37 Verify source ↗
Kama litajitokeza jambo lolote katika mkutano wa
AI-assisted research summary: Issues in a council meeting about appointments, promotion, dismissal, pay, working conditions, or an employee’s overall work performance must be discussed by the full council committee.
37. Kama litajitokeza jambo lolote katika mkutano wa Halmashauri linalohusu uteuzi, kupandishwa cheo, kufukuzwa kazi, mishahara au mazingira ya kazi au utendaji kazi kwa jumla wa mtumishi yeyote wa Halmashauri, jambo hilo litajadiliwa katika Kamati ya Halmashauri nzima. - 38 Verify source ↗
(1) Mtu yeyote ambaye ni mkazi katika eneo la
AI-assisted research summary: Residents in the council area may attend a council meeting to present a motion if they give written notice to the Director and the Director agrees. They may also be invited to attend a committee or subcommittee meeting before a decision is made on matters they have specific views on.
38.-(1) Mtu yeyote ambaye ni mkazi katika eneo la Halmashauri anaweza kuhudhuria kikao cha Halmashauri kwa nia ya kuwasilisha hoja mbele ya Halmashauri, baada ya kutoa taarifa kwa maandishi kwa Mkurugenzi, na Mkurugenzi akamkubalia kufanya hivyo. (2). Mtu yeyote ambaye ni mkazi katika eneo la Halmashauri anaweza kualikwa kuhudhuria kikao cha Kamati au Kamati Ndogo kabla uamuzi haujafanyika kuhusu masuala ambayo ana maoni mahsusi. - 39 Verify source ↗
(1)Kwa kuzingatia masharti ya kanuni ndogo ya (2)
AI-assisted research summary: The Council must not adjourn a meeting until all agenda items have been discussed and decided, subject to the referenced conditions. If quorum is not met, the members present must adjourn the meeting and the next meeting must be called according to these Regulations.
39. (1)Kwa kuzingatia masharti ya kanuni ndogo ya (2) ya Kanuni ya 17 na Kanuni Ndogo ya 2 ya Kanuni hii, Halmashauri haitaahirisha mkutano wake hadi dondoo zote za agenda ya mkutano huo zitakapojadiliwa na kutolewa uamuzi. (2). Pale ambapo katika mkutano wowote wa Halmashauri akidi haikutimia, wajumbe waliopo wataahirisha Mkutano na utaratibu wa kuitisha mkutano mwingine utafanyika kwa kuzingatia maelekezo ya Kanuni hizi. 25 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Monduli Tangazo La Serikali Na. 396 (Linaendelea) SEHEMU YA NNE KAMATI Kamati za kudumu
Part
SEHEMU YA NNE
- 40 Verify source ↗
(1) Halmashauri katika mkutano wake wa mwaka
AI-assisted research summary: The council must appoint the listed standing committees at its annual meeting, and it may not create any new standing committee without the Minister’s written approval.
40.-(1) Halmashauri katika mkutano wake wa mwaka itateua wajumbe wa Kamati za Kudumu zifuatazo ambazo zitakuwa na idadi ya Wajumbe (ukimwondoa Mwenyekiti wa Halmashauri isipokuwa katika Kamati ya Fedha, Utawala na Mipango) kama inavyoonyesha hapa chini au kama itakavyorekebishwa na Halmashauri mara kwa mara.Isipokuwa katika kuteua Wajumbe wa Kamati ya Fedha, Utawala na Mipango Mwenyekiti na Mkurugenzi watazingatia uwiano wa uwakilishi wa vyama vya siasa katika Halmashauri. Kamati (a) Kamati ya Fedha ,Uongozi na Mipango (b)Kamati ya Elimu,Afya na Maji (c) Kamati ya Masuala ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira. (d)Kamati ya Maadili ya Madiwani (e)Kamati ya Kudhibiti Ukimwi Idadi ya Wajumbe 7 9 9 5 9 (2) Kila mjumbe wa Halmashauri atakuwa mjumbe wa angalau Kamati moja ya Kudumu, Kamati ya Fedha, Utawala na mipango itakuwa na Wajumbe wafuatao:- (a) Mwenyekiti wa Halmashauri ambaye atakuwa Mwenyekiti; (b) Makamu Mwenyekiti; (c) Mbunge au Wabunge wa Majimbo wanaowakilisha Majimbo katika eneo la Halmashauri; (d) Wenyeviti wa Kamati za Kudumu za Halmashauri; na wengine wasiozidi (e) Wajumbe wawili(2) watakaopendekezwa na Mwenyekiti na kupigiwa kura na Baraza la Halmashauri mmoja kati yao awe mwanamke. (3) Halmashauri yenye Madiwani wasiozidi ishirini(20), idadi ya wajumbe wa Kamati ya Fedha itakuwa kama ilivyoonyeshwa kwenye kanuni ya 40(2) (4) Bila kuathiri masharti ya kanuni ndogo ya (2) ya kanuni hii, Halmashauri yenye idadi ya Madiwani wanaozidi 26 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Monduli Tangazo La Serikali Na. 396 (Linaendelea) ishirini (20) na wasiozidi thelathini na tano (35) Wajumbe wa Kamati ya Fedha watakuwa kama ilivyoonyeshwa kwenye Kanuni ya40(2) pamoja na wajumbe wengine wawili (2) watakaotokana na orodha itakayopendekezwa na Mwenyekiti na kupigiwa kura na Baraza la Halmashauri mmoja kati yao awe mwanamke. (5) Bila kuathiri masharti ya Kanuni Ndogo ya (2),(3) na (4) ya Kanuni hii, Halmashauri yenye idadi ya Madiwani wanaozidi thelathini na tano(35) Wajumbe wa Kamati ya Fedha watakuwa kama ilivyoonyeshwa kwenye Kanuni ya 40(2) pamoja na wajumbe wengine wanne(4) watakaotokana na orodha itakayopendekezwa na Mwenyekiti na kupigiwa kura na Baraza la Halmashauri wawili kati yao wawe wanawake. (6) Wajumbe wa Kamati za Kudumu watashika nyadhifa zao kwa muda wa mwaka mmoja na wataendelea kushika nyadhifa hizo mpaka mkutano wa mwaka wa Halmashauri unaofuata, isipokuwa Wajumbe waliochaguliwa kwenye Mkutano wa kwanza baada uchaguzi mkuu watashika nyadhifa zao kwa muda uliobaki kumaliza mwaka wa fedha ambapo uchaguzi utafanyika tena. (7) Halmashauri inaweza wakati wowote kuvunja na kuunda upya Kamati ya Kudumu iliyoteuliwa kwa mujibu wa kanuni hii, endapo kufanya hivyo kutakuwa ni kwa manufaa ya Halmashauri. (8) Hakuna Halmashauri itakayounda Kamati ya Kudumu mpya zaidi ya Kamati zilizotajwa kwenye kanuni ya 40(1) hapo juu, isipokuwa baada ya kuomba na kupata idhini ya maandishi kutoka kwa Waziri. (9) Maombi ya Halmashauri ya kuanzisha kamati mpya ya kudumu lazima yakidhi na yawe na maelezo yafuatayo; (a) upekee wa majukumu yanayoombewa kuundwa kwa kamati ya kudumu mpya na majukumu hayo yawe hayawezi kutekelezwa na Kamati za Kudumu zilizopo na zilizotajwa kwenye kanuni ya 40(1) hapo juu; (b) gharama za uendeshaji wa Kamati hiyo kwa mwaka; na (c) kuundwa kwa Kamati ya Kudumu hiyo mpya ni hitajio la lazima na ni kipaumbele cha Halmashauri na jamii kwa ujumla. (10) Kamati yoyote itakayoundwa na Halmashauri bila idhini ya Waziri itakuwa batili na maamuzi yake yote yatakuwa batili. 27 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Monduli Tangazo La Serikali Na. 396 (Linaendelea) Mwenyekiti wa Halmashauri kuwa mjumbe wa kamati zote Uwezo wa Kamati Kamati za pamoja - 41 Verify source ↗
Mwenyekiti wa Halmashauri atakuwa Mjumbe wa
AI-assisted research summary: Mwenyekiti wa Halmashauri ni lazima awe mjumbe wa kamati zote za kudumu za Halmashauri.
41. Mwenyekiti wa Halmashauri atakuwa Mjumbe wa Kamati zote za Kudumu za Halmashauri. - 42 Verify source ↗
Kamati zote za Halmashauri zitawasilisha taarifa
AI-assisted research summary: Kamati zote za Halmashauri lazima ziwasilishe taarifa zao kwa Halmashauri.
42. Kamati zote za Halmashauri zitawasilisha taarifa zao kwa Halmashauri, na hakuna hatua itakayochukuliwa kutekeleza uamuzi wowote wa kamati yoyote mpaka hapo taarifa ya kamati husika imewasilishwa na kukubaliwa na Halmashauri, isipokuwa pale ambapo idhini ya kuchukua hatua imekasimiwa kwa kamati. itakapokuwa inaweza kukubaliana - 43 Verify source ↗
(1) Halmashauri
AI-assisted research summary: Halmashauri zinaweza kuunda Kamati ya pamoja na kuikabidhi madaraka au kazi fulani ndani ya mipaka watakayoweka, lakini Kamati hiyo haiwezi kutumia gharama zisizoidhinishwa.
43.-(1) Halmashauri na Halmashauri nyingine kuteua Kamati ya pamoja kutokana na wajumbe wao kwa madhumuni yoyote yale ambayo wana maslahi ya pamoja, na Halmashauri hizo zinaweza kukasimu kwa Kamati hiyo ya pamoja, kutegemea na masharti na mipaka zitakazoweka kama watakavyoona inafaa, madaraka au kazi ya Halmashauri zinazohusiana na madhumuni yaliyozifanya ziunde Kamati hiyo, isipokuwa shughuli zile ambazo Halmashauri haziruhusiwi kukasimu. (2) Muundo na muda wa kazi wa wajumbe wake na mipaka ya eneo ambapo Kamati hiyo ya pamoja itafanya kazi, itapangwa na Halmashauri zinazoiteua. (3) Kamati ya pamoja haitaingia katika gharama zozote zaidi ya zile ambazo zimeidhinishwa na mamlaka iliyoteua Kamati hiyo. Kukasimu Madaraka kwenye Kamati - 44 Verify source ↗
(1) Kulingana na kanuni ndogo ya (2) ya kanuni hii
AI-assisted research summary: Halmashauri inaweza kukasimu Kamati uwezo wa kutekeleza kazi, lakini haiwezi kukasimu baadhi ya mamlaka maalum yaliyoorodheshwa.
44.(1) Kulingana na kanuni ndogo ya (2) ya kanuni hii pamoja na masharti mengine ambayo Halmashauri itaona inafaa, Halmashauri inaweza kukasimu kwa Kamati uwezo wa kutekeleza kazi yoyote kwa niaba yake. (2) Halmashauri haitakasimu kwa Kamati yoyote mamlaka ya: (a) kutunga Sheria Ndogo; (b) kuweka na kutoza kodi; (c) kuidhinisha makadirio ya mapato na matumizi ya Halmashauri; (d) kutoza ada na ushuru; (e) kuidhinisha mpango na bajeti ya Halmashauri; (f) kuingia mikataba mbalimbali ikiwa ni pamoja na mikataba ya kukopa; na (g) kupitisha mpango wa utoaji huduma. (3) Kazi za kila Kamati ya Kudumu ya Halmashauri ni kama zilivyoonyeshwa katika Jedwali la Kwanza la Kanuni za 28 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Monduli Tangazo La Serikali Na. 396 (Linaendelea) Kudumu hizi. (4) Halmashauri inaweza kusitisha au kurekebisha uamuzi wa kukasimu madaraka yoyote kwa Kamati, lakini usitishaji au urekebishaji huo hautaathiri lolote lililofanywa kutokana na uamuzi wowote uliochukuliwa kihalali na Kamati. jambo (5) Shughuli yoyote iliyotekelezwa na Kamati kutokana na kukasimiwa kwa mujibu wa kanuni hii itatambuliwa kuwa imefanywa au kutekelezwa na Halmashauri. - 45 Verify source ↗
(1)Kamati yoyote au Kamati ya pamoja inaweza
AI-assisted research summary: A committee or joint committee may appoint a subcommittee, but it must not delegate its executive powers to one.
45.-(1)Kamati yoyote au Kamati ya pamoja inaweza kuteua kamati ndogo kutokana na wajumbe wake kadri itakavyoona inafaa kwa ajili ya kuchunguza na kutoa taarifa kuhusu jambo lolote, lakini Kamati haitakasimu madaraka yake ya kiutendaji kwa kamati ndogo yoyote. (2) Idadi ya wajumbe wa kamati ndogo pamoja na muda watakaotumikia vitaamuliwa na kamati iliyoteua kamati ndogo hiyo. (3) Mwenyekiti wa kamati atakuwa mjumbe wa kamati ndogo yoyote kwa mujibu wa wadhifa wake isipokuwa kama atamfahamisha Mkurugenzi kwa maandishi kuwa hatakuwa mjumbe wa kamati hiyo. (4) Kila kamati ndogo inaweza kumteua mmoja wa wajumbe wake kuwa Mwenyekiti wa kamati ndogo husika. - 46 Verify source ↗
(1) Kikao cha kwanza wa kamati kitaitishwa na
AI-assisted research summary: Mkurugenzi must convene the committee’s first meeting within one month of appointment, and members must get at least 24 hours’ notice with the agenda before committee meetings.
46.-(1) Kikao cha kwanza wa kamati kitaitishwa na Mkurugenzi ndani ya mwezi mmoja baada ya kamati kuteuliwa na baada ya hapo kulingana na ratiba ya mikutano kama itakavyoidhinishwa na Halmashauri. (2) Taarifa ya angalau saa ishirini na nne yenye ajenda za kikao itabidi kutolewa kwa Wajumbe kabla ya kikao cha Kamati. (3) Idadi ya Kamati haitazidi idadi ambayo itawekwa na Waziri kutokana na uwezo aliopewa chini ya kifungu cha 75(3) cha Sheria. - 47 Verify source ↗
(1)Katika kikao chake cha kwanza baada ya
AI-assisted research summary: Kila kamati lazima ichague mwenyekiti wake kwenye kikao cha kwanza baada ya mkutano wa mwaka wa Halmashauri, kabla ya shughuli nyingine kuendelea.
47.-(1)Katika kikao chake cha kwanza baada ya mkutano wa mwaka wa Halmashauri na kabla ya kuendelea na shughuli yoyote nyingine, kila kamati itamchagua Mwenyekiti wa kamati kwa mwaka unaohusika. (2) Mwenyekiti wa Kamati, isipokuwa Kamati ya Fedha Utawala na Mipango atachaguliwa kwa kura ya siri ya wajumbe walio wengi kwa kupiga kura ya siri kwenye eneo la 29 Kamati Ndogo Vikao vya Kamati Mwenyekiti wa Kamati Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Monduli Tangazo La Serikali Na. 396 (Linaendelea) faragha litakalotengwa na Mkurugenzi kwa ajili hiyo. (3) Mwenyekiti wa Halmashauri atakuwa pia Mwenyekiti wa Kamati ya Fedha, Utawala na Mipango. (4) Endapo nafasi ya Mwenyekiti wa Kamati itakuwa wazi katika kipindi cha mwaka husika, Mkurugenzi atatoa taarifa kwa wajumbe wote wa kamati kuwa katika kikao kijacho cha kawaida cha kamati husika dondoo ya kumchagua Mwenyekiti wa Kamati kwa kipindi cha mwaka kilichosalia itakuwa ya kwanza katika ajenda. - 48 Verify source ↗
(1) Kikao maalum cha kamati kitaitishwa baada ya
AI-assisted research summary: A special committee meeting must be called if two-thirds of committee members request it in writing and give reasons.
48.-(1) Kikao maalum cha kamati kitaitishwa baada ya theluthi mbili ya wajumbe wa kamati kuomba kwa maandishi kuwa kikao hicho kifanyike na kueleza sababu. (2) Taarifa ya kikao maalum cha kamati itaonyesha shughuli itakayofanyika katika kikao hicho na hakuna jambo jingine lolote litakalojadiliwa katika kikao hicho Kikao maalum cha kamati Ajenda za kamati - 49 Verify source ↗
Mjumbe wa kamati atakuwa na haki ya hoja zake
AI-assisted research summary: A committee member may have their matters added to the committee agenda if they give notice at least 4 days before the meeting.
49. Mjumbe wa kamati atakuwa na haki ya hoja zake kuwekwa katika ajenda ya kamati kama atatoa taarifa ya angalau siku nne(4) kabla ya tarehe ya kikao. Mahudhurio katika vikao vya kamati Mtoa hoja kualikwa kwenye kikao cha kamati Waalikwa wasiokuwa Wajumbe kuhudhuria na kushiriki katika vikao vya Kamati - 50 Verify source ↗
(1)Mjumbe wa kamati ya kudumu au kamati ndogo,
AI-assisted research summary: Mjumbe wa kamati ya kudumu au kamati ndogo haruhusiwi kumtuma mtu mwingine kumwakilisha kwenye kikao, na mjumbe wa Halmashauri aliyealikwa kuhudhuria kikao cha kamati ambamo si mjumbe hana haki ya kupiga kura au kudai posho.
50.-(1)Mjumbe wa kamati ya kudumu au kamati ndogo, ambaye ameshindwa kuhudhuria kikao cha kamati ndogo, hataruhusiwa kutuma mtu mwingine kumwakilisha kwenye kikao cha kamati au kamati ndogo. (2) Mjumbe wa Halmashauri hatakuwa na haki ya kuhudhuria kikao chochote cha kamati au kamati ndogo ambamo yeye si mjumbe, isipokuwa kama kamati au kamati ndogo inayohusika imemwalika kuhudhuria, na hata hivyo hatakuwa na haki ya kupiga kura au kudai posho kwa kuhudhuria kikao hicho cha kamati au kamati ndogo. - 51 Verify source ↗
Mjumbe wa Halmashauri anayewasilisha hoja
AI-assisted research summary: Mjumbe wa Halmashauri anayewasilisha hoja iliyowekwa kwenye kamati anapaswa kupewa taarifa ya kikao cha kamati, na akihudhuria apewe nafasi ya kuzungumzia hoja yake.
51. Mjumbe wa Halmashauri anayewasilisha hoja ambayo imepelekwa kwenye kamati atapewa taarifa ya kikao cha kamati ambapo hoja yake imepagwa kuzungumzwa na kama atahudhuria atapewa nafasi ya kuizungumzia. - 52 Verify source ↗
Mwenyekiti wa kamati, kamati ya pamoja au
AI-assisted research summary: Mwenyekiti wa kamati, kamati ya pamoja au kamati ndogo anaweza, baada ya kushauriana na wajumbe, kumwalika mtu yeyote kuhudhuria, kuzungumza, au kushiriki kwenye kikao; mualikwa hawezi kupiga kura.
52. Mwenyekiti wa kamati, kamati ya pamoja au kamati ndogo baada ya kushauriana na wajumbe wa kamati, kamati ya pamoja na kamati ndogo, anaweza kumwalika mtu yeyote kuhudhuria na kuzungumza kwenye kikao kuhusu suala lolote au kushiriki kwa namna yoyote kwenye kikao cha kamati, lakini mtu huyo atakayealikwa hatakuwa na haki ya kupiga kura kwenye kikao hicho. 30 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Monduli Tangazo La Serikali Na. 396 (Linaendelea) Mahudhurio ya umma na vyombo vya habari kwenye katika vikao vya kamati na kamati ndogo Athari za nafasi wazi kwenye kamati - 53 Verify source ↗
Majadiliano katika kamati, kamati ya pamoja au
AI-assisted research summary: Committee, joint committee, and subcommittee proceedings are not open to the public or the media unless the House resolves to allow them to attend.
53. Majadiliano katika kamati, kamati ya pamoja au kamati ndogo hayatakuwa wazi kwa umma na vyombo vya habari, isipokuwa kwa kutokana na azimio la Halmashauri linaloruhusu kuwa umma na vyombo vya habari vihudhurie. - 54 Verify source ↗
(1) Kunapotokea nafasi wazi kwenye kamati,
AI-assisted research summary: When a committee seat becomes vacant, the committee keeps working. The replacement member serves the remaining term of the vacant seat.
54.-(1) Kunapotokea nafasi wazi kwenye kamati, kamati ya pamoja au kamati ndogo, kamati itaendelea kutekeleza shughuli zake licha ya kuwepo kwa nafasi wazi hiyo au hizo au mpaka nafasi hiyo au hizo zitakapojazwa, kwa njia ya uchaguzi au uteuzi, mjumbe atakayejaza nafasi hiyo atashika nafasi hiyo kwa kipindi kilichosalia cha mjumbe ambaye nafasi yake imekuwa wazi. (2) Uhalali wa tendo lolote au maamuzi ya kikao chochote cha kamati hautaathiriwa kutokana na hitilafu katika uteuzi wa mjumbe aliyeshika nafasi hiyo au nafasi hiyo kuachwa wazi na mjumbe, au wajumbe au mjumbe au wajumbe kuamua kutoka kwenye kikao kwa lengo la kukwamisha jambo linalotaka kutolewa maamuzi na kamati hiyo. Akidi kwenye vikao vya Kamati Kanuni za kudumu katika vikao vya kamati - 55 Verify source ↗
Endapo Wajumbe waliohudhuria kikao hawatafikia
AI-assisted research summary: Kama wajumbe waliohudhuria hawatatosha kupata akidi, Mkurugenzi lazima aahirishe kikao na akikiite tena ndani ya siku 7; akidi ikishindikana tena, idadi yoyote ya waliopo itatosha, kikao kitaendelea kuwa halali, na Mkurugenzi atamjulisha Waziri.
55. Endapo Wajumbe waliohudhuria kikao hawatafikia akidi ya kikao, Mkurugenzi ataahirisha kikao hicho na kukiitisha tena ndani ya siku saba (7) na endapo akidi haitatimia tena, idadi yoyote ya wajumbe waliohudhuria itatengeneza akidi ya kikao ambapo kikao hicho kitaendelea na itakuwa halali na Mkurugenzi atamjulisha Waziri kuwepo kwa hali hiyo. - 56 Verify source ↗
(1)Kanuni ya 16 ya Kanuni hizi itatumika, baada ya
AI-assisted research summary: A committee member must sit when speaking in a committee meeting and may speak more than once on the matter under discussion.
56.-(1)Kanuni ya 16 ya Kanuni hizi itatumika, baada ya kufanya marekebisho yanayostahili, kwenye vikao vya kamati za Halmashauri (2) Mjumbe anapozungumza katika kikao cha kamati atakuwa ameketi na anaweza kuzungumza zaidi ya mara moja juu ya jambo linalojadiliwa. Upigaji kura kwenye vikao vya kamati - 57 Verify source ↗
Masuala yote yanayoletwa mbele ya kamati
AI-assisted research summary: Mambo yanayoletwa mbele ya kamati huamuliwa kwa kura nyingi za wajumbe waliopo na waliopiga kura; ikiwa kura zitalingana, mwenyekiti wa kikao ana kura ya turufu.
57. Masuala yote yanayoletwa mbele ya kamati yataamuliwa kwa wingi wa kura za wajumbe waliohudhuria na kupiga kura kwenye kikao husika, endapo kunatokea kura mlingano mtu anayeongoza kikao hicho atakuwa na kura ya turufu. Muhtasari ya Kamati - 58 Verify source ↗
(1) Muhtasari wa kila kamati, kamati ya pamoja na
AI-assisted research summary: Muhtasari wa kamati lazima uorodheshe wajumbe waliokuwepo na wasiohudhuria, usainiwe kwenye kikao kinachofuata, na hoja au mjadala kuhusu muhtasari usifanywe isipokuwa kuhusu usahihi.
58.-(1) Muhtasari wa kila kamati, kamati ya pamoja na kamati ndogo, utajumuisha majina ya wajumbe waliohudhuria na wasiohudhuria, na utasainiwa kwenye kikao kinachofuata 31 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Monduli Tangazo La Serikali Na. 396 (Linaendelea) na mtu aliyeongoza kikao na muhtasari uliosainiwa hivyo, kama hakuna ushahidi wa kuwa una makosa, utapokelewa kwa ushahidi bila uthibitisho zaidi. (2) Hakuna hoja au mjadala utakaoendeshwa kuhusiana na muhtasari wa kamati isipokuwa kuhusu usahihi wa suala lolote linalohusu usahihi litatolewa kwa hoja. - 59 Verify source ↗
Pale ambapo suala lililowasilishwa limeamuliwa
AI-assisted research summary: A committee matter decided under rule 55 must not be reopened in the same committee meeting unless two-thirds of the members present and voting support the motion.
59. Pale ambapo suala lililowasilishwa limeamuliwa kwa mujibu wa kanuni ya 55, suala hilo halitaanza kujadiliwa upya katika kikao hicho cha kamati isipokuwa kama hoja hiyo inaungwa mkono na theluthi mbili ya wajumbe waliohudhuria na kupiga kura. - 60 Verify source ↗
Mjumbe wa kamati au kamati ndogo hatatoa nje
AI-assisted research summary: A committee or subcommittee member must not disclose matters raised or discussed in the committee without permission, at least until the committee/subcommittee has completed handling the matter.
60. Mjumbe wa kamati au kamati ndogo hatatoa nje jambo lolote lililoletwa au kuzungumzwa kwenye kamati au kamati ndogo bila ruhusa ya kamati hiyo, au kamati ndogo mpaka hapo kamati hiyo au kamati ndogo hiyo itakapokuwa imetoa itakapokuwa imekamilisha utekelezaji wa jambo hilo. taarifa kwenye Halmashauri au Kufikiriwa upya maamuzi Kutunza siri za majadiliano ya kamati na kamati ndogo Kujiuzulu wadhifa wa Mwenyekiti wa Kamati - 61 Verify source ↗
Mwenyekiti wa kamati anaweza kujiuzulu wadhifa
AI-assisted research summary: Mwenyekiti wa kamati anaweza kujiuzulu wadhifa wake kwa kutoa taarifa ya maandishi iliyosainiwa na kuituma kwa Mkurugenzi.
61. Mwenyekiti wa kamati anaweza kujiuzulu wadhifa wake kwa kutoa taarifa ya maandishi aliyoisaini na kutuma kwa Mkurugenzi. Kujiuzulu ujumbe wa Kamati na kujazwa kwa nafasi iliyowazi - 62 Verify source ↗
(1) Mjumbe yeyote wa kamati anaweza kujiuzulu
AI-assisted research summary: A committee member may resign by sending a signed written notice to the Director, and the Council must fill the resulting vacancy at its next ordinary meeting after the resignation date.
62.-(1) Mjumbe yeyote wa kamati anaweza kujiuzulu wadhifa wake kwa kutoa taarifa ya maandishi aliyoisaini na kuituma kwa Mkurugenzi. (2) Nafasi inayotokana na kujiuzulu kwa mjumbe itajazwa na Halmashauri katika kikao chake cha kawaida baada ya tarehe ya kujiuzulu kwa mjumbe. Taratibu za uagizaji Sura ya 290 SEHEMU YA TANO UNUNUZI WA VIFAA, UPATIKANAJI WA HUDUMA NA UJENZI
Part
SEHEMU YA TANO
- 63 Verify source ↗
(1) Uagizaji wa mali, huduma na ujenzi katika
AI-assisted research summary: Manunuzi ya mali, huduma na ujenzi katika Halmashauri lazima yafuate kanuni husika, yawe chini ya usimamizi wa Bodi ya Zabuni, na muhtasari wa bodi hiyo uwasilishwe kwenye kikao kifuatacho cha Halmashauri baada ya kupitishwa na Kamati ya Fedha na Utawala.
63.-(1) Uagizaji wa mali, huduma na ujenzi katika Halmashauri utazingatia Kanuni za Manunuzi zilizotungwa chini ya kifungu cha 68 cha Sheria za Fedha za Serikali za Mitaa, na Sheria ya Manunuzi ya mwaka 2011 pamoja na marekebisho yake ya mwaka 2016. (2) Kutakuwepo na Bodi ya Zabuni ambayo imeanzishwa kwa mujibu wa Kanuni za Bodi ya Zabuni (Uanzishwaji na Mwenendo) za Serikali za Mitaa na ambayo itasimamia shughuli zote za uagizaji katika Halmashauri. 32 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Monduli Tangazo La Serikali Na. 396 (Linaendelea) (3) Muhtasari wa Bodi ya Zabuni utapaswa kuwasilishwa kwenye kikao kifuatacho cha Halmashauri baada ya muhtasari huo kujadiliwa na kupitishwa kwanza na Kamati ya Fedha na Utawala. Kumbukumbu za majadiliano yanayohusu uagizaji - 64 Verify source ↗
Bodi ya Zabuni ya Halmashauri
AI-assisted research summary: Bodi ya Zabuni ya Halmashauri lazima irekodi maelezo ya mchakato wa zabuni na, kwa masharti fulani, itoe taarifa hizo; pia haipaswi kutoa baadhi ya habari zilizoainishwa isipokuwa mahakama itaelekeza vingine.
64. Bodi ya Zabuni ya Halmashauri itaweka kumbukumbu ya majadiliano yanayohusu taratibu za ununuzi zikiwa na angalau taarifa zifuatazo: (a) maelezo mafupi kuhusu vitu, ujenzi au huduma zinazotarajiwa kutolewa na haja iliyosababisha Bodi kuitisha zabuni; (b) majina na anuani ya wazabuni waliowasilisha zabuni, maelezo kuhusu sifa au ukosefu wa sifa za wazabuni waliowasilisha zabuni zao; (c) bei au msingi wa upangaji wa bei na muhtasari wa masharti mengine muhimu ya kila zabuni na ya kila mkataba wa uagizaji wa mali, huduma na ujenzi; (d) muhtasari wa tathmini na mlinganisho wa zabuni pamoja na upendeleo uliokuwepo katika tathmini hiyo; (e) kama zabuni zilikataliwa, tamko kuhusu uamuzi huo na sababu za uamuzi huo; (f) kama utaratibu mwingine wa kupata vitu au huduma mbalimbali ya utaratibu wa zabuni ndio sababu tamko uliotumika, zilizoifanya Bodi iamue kutumia utaratibu huo mwingine; kuhusu basi (g) kama zabuni ilikataliwa kwa kuwa mzabuni alitoa, alikubali kutoa moja kwa moja au kwa njia isiyo ya moja kwa moja, kwa mtumishi wa sasa au wa zamani wa Halmashauri, bakshishi ya aina yoyote, ahadi chochote kinachohusiana na ajira au chenye thamani, kama hamasisho kwa utendaji au uamuzi au utaratibu wa kutumia, tamko kuhusu jambo hilo; kumwajiri kitu au ya (h) katika upataji wa huduma, sababu na hali iliyoifanya Bodi kuchagua utaratibu wa kutumia katika upataji huo wa huduma. (i) katika upataji wa vitu au huduma ambao Bodi imeamua kudhibiti ushiriki kwa misingi ya Taifa, Mkoa au Wilaya, tamko kuhusu sababu na hali iliyofanya Bodi kudhibiti ushiriki huo. (j) katika upataji wa vifaa na huduma kwa kuwaomba 33 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Monduli Tangazo La Serikali Na. 396 (Linaendelea) watoaji kutoa mapendekezo yao moja kwa moja tamko la sababu na hali iliyofanya Bodi kuamua kutumia utaratibu huo; na (k) muhtasari wa maombi yoyote ya ufafanuzi kuhusu mchujo wa zabuni au nyaraka za zabuni na majibu yaliyotolewa na muhtasari wa marekebisho yoyote yaliyofanywa katika nyaraka hizo. pamoja (2) Sehemu ya kumbukumbu zilizotajwa kwenye kanuni ndogo ya (1) (a) na (b) ya kanuni hii zitatolewa, kama zikiombwa, kwa mtu yeyote baada ya zabuni kutangazwa, kufunguliwa na kukubaliwa, au baada ya kusimamishwa kwa taratibu za uagizaji bila ya kuingia katika mkataba wa uagizaji. (3) Sehemu ya kumbukumbu zilizoelekezwa katika kanuni ndogo ya (1) (c) hadi (g) ya kanuni hii kama itaombwa, itatolewa kwa wazabuni waliowasilisha zabuni baada ya zabuni kukubaliwa au baada ya kusitishwa bila ya kuingia kwenye mkataba wa utoaji wa vitu au huduma. (4) Isipokuwa kama itaelekezwa hivyo na mahakama yenye mamlaka na kutegemeana na masharti ya maelekezo hayo, Bodi haitatoa habari: (a) kama utoaji huo wa habari utakuwa kinyume cha sheria, utazuia utekelezaji wa sheria; hautakuwa na maslahi kwa umma, utahatarisha maslahi halali ya kibiashara ya wahusika au utazuia ushindani halali; na (b) habari zinazohusu uchambuzi, tathmini na ulinganisho wa zabuni pamoja na bei mbali ya muhtasari ulioelezwa kwenye kanuni ndogo ya (1) (e) ya Kanuni hizi. (5) Mara baada ya zabuni kujadiliwa na Bodi, Katibu atamjulisha mzabuni aliyefanikiwa ili makubaliano ya nyaraka za mkataba yaweze kufikiwa. (6) Nakala za muhtasari zitapelekwa kwa siri kwa kila mjumbe wa bodi, Mkurugenzi, mweka hazina, mkaguzi wa ndani na mkuu wa idara husika kwa taarifa na kumbukumbu. (7) Kila mzabuni ambaye hakufanikiwa atajulishwa na akiomba sababu za kutokubaliwa kwa zabuni yake atapaswa kupewa sababu. (8) Bodi ya Zabuni kwa kuzingatia masharti ya kanuni za uagizaji itaandaa taarifa ya mwenendo na maamuzi ya zabuni zilizoitishwa na kuwasilishwa kwenye mkutano wa 34 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Monduli Tangazo La Serikali Na. 396 (Linaendelea) Uzuiaji wa Rushwa Sura ya 329 Usimamizi wa mikataba Uvunjaji wa mkataba kawaida wa Halmashauri kupitia kamati ya kudumu husika. - 65 Verify source ↗
Katika mkataba wowote wa kimaandishi,
AI-assisted research summary: In a written contract, the council must be given a term allowing it to end the contract and claim compensation if the contractor offers or accepts gifts or favors as inducements linked to the contract.
65. Katika mkataba wowote wa kimaandishi, yatawekwa maneno ambayo yataonyesha kuwa Halmashauri itakuwa na haki kusitisha mkataba na kumdai mkandarasi malipo ya fidia kutokana na kusimamishwa kwa mkataba huo endapo mkandarasi atabainika kuwa ameahidi kutoa au ametoa, au amekubali kutoa kwa mtu yeyote zawadi yoyote au upendeleo wa aina yoyote kama kishawishi au zawadi kwa kufanya au kumpendelea au kutomkubali mtu yeyote kuhusiana na mkataba na Halmashauri au kama vitendo hivyo vitakuwa vimefanywa na mtumishi yeyote aliyeajiriwa naye au kwa niaba yake iwe mkandarasi anafahamu au hafahamu atakuwa ametenda kosa chini ya Sheria ya Kuzuia na kupambana na Rushwa. - 66 Verify source ↗
(1) Mkurugenzi wa Halmashauri atawajibika katika
AI-assisted research summary: Mkurugenzi wa Halmashauri lazima asimamie na afuatilie mikataba vizuri. Mkataba wa upataji vitu hauwezi kubadilishwa baada ya kusainiwa isipokuwa kwa masharti maalum. Malipo ya mwisho na fedha za salio yanacheleweshwa hadi masharti ya kukamilika, kuridhika kwa Halmashauri, kupita miezi sita, na kutokuwepo kasoro yatimizwe.
66.-(1) Mkurugenzi wa Halmashauri atawajibika katika usimamiaji na ufuatiliaji mzuri wa mikataba. (2) Mkataba wa upataji vitu hautabadilishwa kwa namna yoyote ile baada ya kutiwa saini na pande zinazohusika isipokuwa kama mabadiliko hayo ni:- (a) kwa faida ya Halmashauri na hayailetei hasara Halmashauri; (b) yamethibitishwa na Bodi ya Zabuni ya Halmashauri; na (c) upande mwingine umeafiki. (3) Malipo ya mwisho hayatafanywa mpaka mkataba mzima utakapokuwa umekamilika kutokana na kuridhika kwa Halmashauri na kulingana na vipengele vya mkataba unaohusika. (4) Malipo ya fedha za salio hayatalipwa mpaka upite muda wa miezi sita na kazi iwe haina kasoro. - 67 Verify source ↗
Pale ambapo mkataba uliotiwa lakiri au muhuri na
AI-assisted research summary: If a sealed contract with the Council is not followed by the contractor or service provider, including undue delay, the Director must consult the finance, administration and planning committee as soon as possible and inform the contractor or service provider of the decision.
67. Pale ambapo mkataba uliotiwa lakiri au muhuri na Halmashauri haukufuatwa na mkandarasi au mtoa huduma, ikiwa ni pamoja na ucheleweshaji usiokuwa wa kimsingi, Mkurugenzi atashauriana mapema iwezekanavyo na kamati ya fedha, uongozi na mpango kwa kuzingatia taratibu zilizowekwa kwenye mkataba, kuamua hatua muafaka za kuchukua na kumfahamisha mkandarasi au mtoa huduma juu ya uamuzi. Rejesta ya mikataba - 68 Verify source ↗
(1) Mkurugenzi atatunza maelezo yote ya mikataba
AI-assisted research summary: Mkurugenzi must keep all contract details in the contract register and reconcile actual payments with approved payments.
68.-(1) Mkurugenzi atatunza maelezo yote ya mikataba kwenye rejesta ya mikataba na atafanya ulinganifu wa malipo halisi na yale yaliyoidhinishwa. 35 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Monduli Tangazo La Serikali Na. 396 (Linaendelea) Diwani au afisa kutokuwa na maslahi katika mikataba lazima (2) Taarifa ya matumizi yote ya ziada yapelekwe kwenye Bodi ya Zabuni yakiambatana na maelezo kutoka kwa Mkurugenzi. - 69 Verify source ↗
(1) Endapo Diwani au Afisa wa Halmashauri ana
AI-assisted research summary: Diwani au afisa wa halmashauri mwenye maslahi ya kifedha katika suala linalojadiliwa lazima atangaze maslahi hayo mapema na asishiriki majadiliano wala kupiga kura.
69.-(1) Endapo Diwani au Afisa wa Halmashauri ana maslahi ya kifedha ya moja kwa moja au vinginevyo katika mkataba wowote, mkataba unaopendekezwa au jambo lolote, na yupo kwenye mkutano wa Halmashauri au kamati ambapo mkataba huo, au mkataba unaopendekezwa au jambo lingine lolote linajadiliwa, atatangaza jambo hilo mara mkutano utakapokuwa umeanza na hatashiriki wala kuwepo katika majadiliano au kupiga kura kuhusu jambo linalohusu mkataba au mkataba unaopendekezwa au jambo lingine lolote ambalo ana maslahi nalo. (2) Kanuni hii haitatumika kuhusiana na maslahi katika mkataba au suala lingine ambalo mjumbe au afisa wa Halmashauri ana maslahi nalo kama mlipa kodi au mkazi katika eneo lililo katika himaya ya Halmashauri (3) Diwani atahesabika kuwa na maslahi ya moja kwa moja katika mkataba au jambo jingine endapo: (a) yeye au mtu aliyemchagua ni mjumbe wa kampuni au chombo kingine au anayo hati ya hisa katika kampuni ambayo itaingia, au imependekezwa iingie katika mkataba, au anao uhusiano wa kifedha katika jambo linalojadiliwa; au (b) yeye ni mbia au ameajiriwa na mtu ambaye mkataba unafanywa naye, au utakuwa chini yake, au anao uhusiano wa kifedha wa moja kwa moja katika suala linalojadiliwa au kuzungumzwa. (4) Katika Kanuni hii maslahi ya moja kwa moja na yasiyo ya moja kwa moja ya mwanandoa au ndugu wa familia kama inafahamika kwa mjumbe wa Halmashauri itachukuliwa kuwa ni maslahi ya moja kwa moja au yasiyo ya moja kwa moja. (5) Taarifa ya jumla itakayotolewa kwa Mkurugenzi na Diwani au Afisa wa Halmashauri kuhusiana na yeye, mkewe, mumewe au ndugu yake kwamba ana maslahi ya moja kwa moja au yasiyo ya moja kwa moja katika mkataba unaokusudiwa au jambo lingine na akieleza aina ya maslahi itachukuliwa, isipokuwa pale atakapoondoa taarifa hiyo, kuwa ametoa taarifa ya kutosha ya maslahi yake kuhusiana na suala 36 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Monduli Tangazo La Serikali Na. 396 (Linaendelea) ambalo limo katika mjadala. (6) Mkurugezi ataandika katika rejista ya kutangaza maslahi taarifa za watu wenye maslahi waliotoa taarifa chini ya Kanuni Ndogo ya (1) na taarifa yoyote iliyomo katika Kanuni Ndogo ya (5) itakuwa wazi kwa ukaguzi wakati wa saa za kazi. (7) Halmashauri inaweza baada ya kupata kibali cha Waziri, kuondoa kizuizi chini ya kanuni hii kinachoifanya ishindwe wakati wowote kufanya mkutano pale ambapo idadi ya wajumbe wenye maslahi ni kubwa mno kiasi cha kukwamisha shughuli za Halmashauri au itakuwa ni kwa maslahi ya wakazi wa Halmashauri kuondoa kikwazo hicho. (8) Katika Kanuni hizi, ndugu wa familia itachukuliwa kuwa ni pamoja na baba, mama, mtoto, kaka, au dada na wanandoa wao. (9) Diwani au mtu yeyote atakayekiuka vipengele vya Kanuni hizi atakuwa ametenda kosa chini ya kifungu cha 120(4) cha Sheria za Serikali za Mitaa (Mamlaka za Wilaya) na atachukuliwa hatua kwa mujibu wa kifungu cha 96 cha Sheria ya Kanuni za adhabu. Sura ya 287 Sura ya 16 SEHEMU YA SITA MASUALA MENGINE Kiapo na kukubali wadhifa
Part
SEHEMU YA SITA
- 70 Verify source ↗
Kila Diwani kabla ya kushika wadhifa wake kama
AI-assisted research summary: Kila Diwani lazima aape kiapo na atoe tamko la maandishi kwa Mkurugenzi kabla ya kushika wadhifa na kabla ya mkutano wa kwanza wa Halmashauri.
70. Kila Diwani kabla ya kushika wadhifa wake kama Diwani na kabla ya mkutano wa kwanza wa Halmashauri- (a) atakula kiapo kama kilivyooneshwa kwenye Jedwali la Kanuni hizi za Kudumu kitakachosimamiwa na Hakimu Mkazi au Hakimu wa Wilaya; na la Pili akiahidi kutekeleza (b) atatoa tamko la kimaandishi lililoandikwa kwa Mkurugenzi jambo linalohusiana na tamko la maslahi katika shughuli za kibiashara, mali, na kadhalika na kuzifuata Kanuni kama ilivyoelekezwa kwenye Jedwali la Tatu la Kanuni hizi. ya Madiwani, za Maadili
Part
Jedwali
- 71 Verify source ↗
(1) Diwani atakuwa na majukumu yafuatayo
AI-assisted research summary: Diwani must carry out the listed duties, including staying close to voters, attending council and committee meetings, meeting residents at least one day each month, reporting council decisions, contributing expertise, and taking part in local development activities.
71.-(1) Diwani atakuwa na majukumu yafuatayo: (a) kuwa karibu na wapiga kura na kupata ushauri wa yanayotarajiwa katika mambo wananchi kujadiliwa kwenye Halmashauri. (b) kutoa maoni na mapendekezo ya wananchi kwa 37 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Monduli Tangazo La Serikali Na. 396 (Linaendelea) Halmashauri; (c) kuhudhuria mikutano ya Halmashauri na ya kamati au kamati Ndogo ambamo yeye ni mjumbe; (d) kutenga angalau siku moja kila mwezi kukutana na wananchi katika eneo lake la uchaguzi; (e) kutoa taarifa kwa wapiga kura kuhusu maamuzi ya jumla ya Halmashauri na hatua zilizochukuliwa na Halmashauri kuondoa matatizo yaliyowahi kuelezwa na wakazi wa eneo lake la uchaguzi; (f) kuchangia ujuzi na uzoefu wake katika majadiliano yanayofanyika katika mikutano ya Halmashauri na Kamati za Halmashauri; na (g) kushiriki katika shughuli za pamoja za maendeleo katika eneo lake la uchaguzi na katika eneo zima la Halmashauri (2) Bila kuathiri masharti ya kanuni ya 71(1) (a), (b) na (c) Diwani viti maalumu atakuwa mjumbe wa Kamati ya Maendeleo ya Kata na kuhudhuria vikao vyote vya kisheria vitakavyofanyika kwenye kata anakoishi. (3) katika kutekeleza wajibu wake Diwani atazingatia; (a) maslahi ya Taifa na maslahi ya Wananchi katika eneo la Halmashauri; (b) katiba, Sheria na Kanuni; (c) kanuni za Maadili ya Madiwani, mwongozo juu ya mahusiano ya madiwani na watumishi na miiko mingine. - 72 Verify source ↗
(1) Kiti cha Mjumbe wa Halmashauri kitakuwa
AI-assisted research summary: A councillor’s seat becomes vacant if any of the listed events happens, and the Minister must declare the seat vacant once formally notified in writing by the council chairperson.
72.-(1) Kiti cha Mjumbe wa Halmashauri kitakuwa wazi endapo Mjumbe: (a) amefariki (b) anakubali ajira kama mtumishi wa Halmashauri; (c) kwa mujibu wa sheria yoyote atakayethibitishwa na jopo la madaktari wa Serikali kuwa hana akili timamu (d) yuko chini ya hukumu ya kifo au kifungo kinachozidi miezi sita kilichotolewa kwake na mahakama; (e) kwa mujibu wa sheria yoyote anatamkwa kuwa anapoteza sifa za kuendelea kuwa mjumbe; (f) atakoma kuwa mwanachama wa chama cha siasa kilichompendekeza kuwa mgombea wa kiti cha udiwani; (g) anapokuwa amepatikana na kosa kutokana na 38 Nafasi wazi Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Monduli Tangazo La Serikali Na. 396 (Linaendelea) Kanuni za Maadili ya Madiwani na adhabu ya kosa alilotenda ni pamoja na kumwondoa mjumbe madarakani; (h) anapoteza ujumbe kwa mujibu wa kanuni ya 71 (2) ya Kanuni hizi za Kudumu; (i) anahukumiwa kwa kosa la kutotaja maslahi yake. (j) amejiuzulu kutoka kiti chake; (k) Halmashauri imevunjwa na kuathiri mipaka ya majimbo ya uchaguzi. Sura ya 287 Kutokuwepo kwa wajumbe Taratibu za kutunga sheria ndogo (l) uchaguzi wa mjumbe umetangazwa kuwa batili;au (m) bila sababu ya kuridhisha au bila idhini au kibali cha maandishi cha Mwenyekiti, mjumbe anakosa kuhudhuria mikutano mitatu kawaida inayofuatana ya Halmashauri au vikao vitatu vya kamati ambapo yeye ni mjumbe isipokuwa kamati ya fedha,utawala na Mipango inayokutana kila mwezi,asipohudhuria vikao vyote vya robo mwaka tatu. (2) Waziri ya atatangaza kiti kuwa wazi pale atakapojulishwa na Mwenyekiti wa Halmashauri kwa maandishi kwamba kiti kiko wazi kwa kuzingatia masharti ya kifungu cha 42 (1) cha Sheria ya Serikali za Mitaa (Mamlaka za Wilaya). - 73 Verify source ↗
(1) Halmashauri yaweza kutoa
AI-assisted research summary: The council may allow a member to miss its meetings for up to 10 months if the member wants to travel outside Tanzania.
73.-(1) Halmashauri yaweza kutoa idhini ya kutokuwepo katika mikutano yake kwa muda usiozidi miezi kumi kwa mjumbe yeyote anayetaka kwenda nje ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. (2) Pale ambapo mjumbe kwa sababu yoyote ile amekuwa nje ya nchi kwa muda unaozidi miezi kumi kiti chake cha udiwani kitachukuliwa kuwa kipo wazi. - 74 Verify source ↗
(1) Pale ambapo Halmashauri inakusudia kutunga
AI-assisted research summary: Halmashauri lazima itoe tangazo kwa wakazi kabla ya kutunga sheria ndogo, izingatie pingamizi zilizotolewa, itume sheria ndogo kwa Mkuu wa Mkoa na kwa Waziri, na sheria ndogo lazima itangazwe kwenye Gazeti la Serikali kabla ya kuanza kutumika.
74.-(1) Pale ambapo Halmashauri inakusudia kutunga sheria ndogo itatoa tangazo kwa wakazi wa eneo husika kuhusu itahakikisha kuwa kusudio hilo katika namna ambayo watakaoathirika na sheria ndogo inayokusudiwa kutungwa wanafahamu vilivyo na kuwaomba wanaopenda kutoa pingamizi lolote au mapendekezo yao kwa maandishi katika muda uliowekwa. (2) Pale ambapo baada ya muda wa taarifa kumalizika hakuna pingamizi au malalamiko yaliyowasilishwa, au hakuna mtu yeyote aliyetoa pingamizi linalokubalika mbele ya Halmashauri, Halmashauri itaendelea kutunga sheria ndogo ikizingatia malalamiko na pingamizi zilizotolewa. 39 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Monduli Tangazo La Serikali Na. 396 (Linaendelea) (3) Sheria Ndogo, zikishatungwa na Halmashauri zitapelekwa kwa Mkuu wa Mkoa ambapo Halmashauri husika ipo ili aweze kuzitolea maoni yake na kisha kuziwasilisha kwa Waziri. (4) Waziri anaweza kuidhinisha, kukubali au kukataa kuidhinisha sheria ndogo au kutoa au kusimamisha kibali chake kwa kutoa masharti atakayoyaeleza na anaweza baada ya kutoa idhini yake, kupanga tarehe ya kuanza kutumika kwa sheria ndogo hizo. (5) Waziri anaweza, kabla ya kuidhinisha sheria ndogo zenye athari kwenye maeneo yaliyotengwa au maeneo Maalum au kwa sheria nyingine yoyote, kushauriana na Waziri anayehusika na Sheria husika au na jambo lililotungiwa sheria ndogo kadri itakavyokuwa. (6) Sheria Ndogo yoyote iliyotungwa na Halmashauri lazima itangazwe katika Gazeti la Serikali kabla ya kuanza kutumika. - 75 Verify source ↗
(1) Mjumbe ataweza, kwa madhumuni ya
AI-assisted research summary: Mjumbe anaweza kukagua au kuomba nakala ya baadhi ya nyaraka za Kamati ya Halmashauri kwa ajili ya kutekeleza wajibu wake pekee, lakini hawezi kufanya hivyo kwa nyaraka anazohusiana nazo binafsi; Mkurugenzi pia anaweza kuzuia kukaguliwa kwa nyaraka ambazo sheria au kanuni zinasema zisitolewe.
75.-(1) Mjumbe ataweza, kwa madhumuni ya kutekeleza wajibu wake kama mjumbe, na si vinginevyo, kukagua au kupewa akiomba waraka wowote ambao umejadiliwa na Kamati ya Halmashauri na kama nakala zinapatikana, akiomba nakala kwa madhumuni hayo hayo. anaweza kupewa, (2) Mjumbe hatakagua kwa makusudi au kutaka apewe nakala ya waraka wowote unaohusu jambo ambalo yeye ana maslahi nalo kwa mujibu wa Sheria ya Serikali za Mitaa (Mamlaka za Wilaya), Hata hivyo Kanuni hii haitamzuia Mkurugenzi kuzuia kukaguliwa kwa waraka wowote ambao umezuiliwa kutolewa kwa mujibu wa Sheria yoyote au Kanuni zilizotungwa chini ya Sheria hizo. - 76 Verify source ↗
(1) Halmashauri inaweza, kwa mujibu wa kifungu
AI-assisted research summary: Halmashauri inaweza kuunda Bodi za Huduma kwa Hati Rasmi iliyotangazwa kwenye Gazeti la Serikali.
76.-(1) Halmashauri inaweza, kwa mujibu wa kifungu 88 cha Sheria ya Serikali za Mitaa (Mamlaka za Wilaya), Sura ya 287 kwa madhumuni ya kutekeleza kazi zake katika eneo lililo chini ya mamlaka yake, kuunda Bodi za Huduma kwa Hati Rasmi iliyotangazwa kwenye Gazeti la Serikali, kama itakavyoona inafaa kufanya hivyo. (2) Bodi ya Huduma iliyotajwa katika kanuni ndogo ya (1) ya Kanuni hizi itawajibika moja kwa moja kwenye Halmashauri kupitia kamati ya kudumu husika na itatekeleza kazi zake kama ilivyofafanuliwa katika hati inayoianzisha. Ukaguzi wa Nyaraka Sura ya 287 Uanzishaji wa bodi za huduma Diwani kutembelea - 77 Verify source ↗
(1) Mjumbe wa Halmashauri anaweza kutembelea
AI-assisted research summary: Mjumbe wa Halmashauri anaweza kutembelea maeneo au miradi fulani, lakini lazima amjulishe Mkurugenzi kabla ya kwenda na hawezi kutoa maelekezo ya kitaalam akiwa eneo la mradi.
77.-(1) Mjumbe wa Halmashauri anaweza kutembelea 40 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Monduli Tangazo La Serikali Na. 396 (Linaendelea) maeneo,shughuli mbalimbali za ujenzi eneo, jengo au shughuli za ujenzi zinazotekelezwa nje ya Kata yake na au kwa niaba ya Halmashauri na kabla ya kutembelea mradi atutuma taarifa kwa Mkurugenzi akieleza sababu za matembezi yake ili aweze kupangiwa wataalam wa mradi au shughuli husika kwa ajili ya kupata maelekezo ya kitaalam. (2) Mjumbe wa Halmashauri anapotembelea shughuli au miradi ya maendeleo inayotekelezwa na au kwa niaba ya Halmashauri hataruhusiwa kutoa maelekezo au maagizo ya kitaalam awapo kwenye eneo la mradi. (3) Baada ya Diwani kutembelea maeneo au majengo kama ilivyoainishwa kwenye kanuni ndogo ya (1) ya kanuni hii anaona kuna umuhimu wa kutoa maoni au mang’amuzi yake juu ya matembezi hayo atafanya hivyo kwa kuwasilisha maoni au mang’amuzi yake kwa Mkurugenzi ambaye atafanyia kazi au kuyapeleka kwa afisa anayesimamia kazi husika kwa utekelezaji. (4) Endapo maoni au mang’amuzi ya Diwani hayawezi kufanyiwa kazi na Mkurugenzi au afisa mhusika, basi atamshauri Diwani kupeleka maoni na mang’amuzi yake kwa kamati inayohusika ili yachunguzwe zaidi na kuamuliwa. (5) Kamati za Kudumu za Halmashauri, zinaweza kutembelea mara moja kila robo mwaka miradi ya maendeleo au shughuli yoyote inayotekelezwa na au kwa niaba ya Halmashauri na ambayo inaihusu kamati husika ili mradi katika kutembelea miradi hiyo kamati itaongozana na wataalam wa mradi au shughuli husika ili kupata maelekezo ya kitaalam. (6) Kamati ya Kudumu itatembelea miradi au shughuli za maendeleo kabla ya kikao cha kamati ambacho kitajadili mradi au shughuli hiyo. Uhifadhi wa lakiri ya Halmashauri - 78 Verify source ↗
Lakiri ya Halmashauri itatunzwa kwa usalama na
AI-assisted research summary: The council seal must be kept safely in a locked safe at the Director’s office.
78. Lakiri ya Halmashauri itatunzwa kwa usalama na kufungiwa katika kasiki kwenye Ofisi ya Mkurugenzi mwenyewe. Utiaji muhuri kwenye nyaraka - 79 Verify source ↗
(1) Lakiri ya Halmashauri haitabandikwa katika
AI-assisted research summary: The Council seal must not be affixed to a document unless the Council has approved that sealing by resolution.
79.-(1) Lakiri ya Halmashauri haitabandikwa katika hati yoyote mpaka ubandikaji huo umeidhinishwa na azimio la Halmashauri likiidhinisha kukubaliwa kwa zabuni, ununuzi, uuzaji au upangishaji au kuchukua mali yoyote, utoaji wa hati yoyote ya ukopeshaji fedha, uwasilishaji wa madai yoyote, uwekaji wa viwango vya kodi, uingiaji kwenye mkataba, kutunga sheria ndogo, au hati yotote iliyo rasmi ambayo kwa mujibu wa sheria au kanuni yoyote inahitaji kuwekwa lakiri ya Halmashauri. (2) Lakiri itashuhudiwa au kuthibitishwa na 41 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Monduli Tangazo La Serikali Na. 396 (Linaendelea) Mwenyekiti au Makamu Mwenyekiti na Mkurugenzi, na hati zilizowekwa lakiri zitasainiwa na Mwenyekiti au Makamu Mwenyekiti, kama hali itakavyokuwa. Uandikishaji wa anuani - 80 Verify source ↗
(1) Itakuwa wajibu wa kila mjumbe katika kikao
AI-assisted research summary: Each member must give the Director a written notice of their permanent address for receiving notices at the first meeting after election.
80.-(1) Itakuwa wajibu wa kila mjumbe katika kikao cha kwanza cha Halmashauri, baada ya uchaguzi kutoa taarifa ya maandishi kwa Mkurugenzi juu ya anuani yake ya kudumu ya kupokelea taarifa, taarifa zilizopelekwa kwa kutumia anuani iliyoandikishwa na itachukuliwa inatosheleza kwa matumizi yote. sahihi ndiyo kama (2) Iwapo Mjumbe atatoa taarifa ya maandishi kwa taarifa ya mikutano ya Mkurugenzi kuwa angependa Halmashauri inatumwa kwake kwa kutumia anuani iwe atakayoitaja kwenye taarifa hiyo ambayo ni tofauti na ile katika kanuni ndogo ya (1), itakayoachwa au itakayotumwa kwa njia ya posta kwa kutumia anwani hiyo itachukuliwa kuwa taarifa inayotakiwa kwa mujibu wa Kanuni za Kudumu hizi. inatosha kwa ajili ya kutoa taarifa yoyote Uteuzi wa wajumbe kwenye taasisi za nje - 81 Verify source ↗
(1) Katika mkutano wake wa kwanza, Halmashauri
AI-assisted research summary: Halmashauri must appoint representatives at its first meeting, and those representatives must report relevant Board or external-institution activities to the Director, who must take appropriate action.
81.-(1) Katika mkutano wake wa kwanza, Halmashauri itateua wawakilishi wake kwenye Bodi na Taasisi za nje ambazo Halmashauri inastahili kuwakilishwa. (2) Mjumbe au wajumbe, wanaoiwakilisha Halmashauri kwenye Bodi na Taasisi za nje, watatakiwa kuwasilisha kwa Mkurugenzi taarifa kuhusu shughuli za Bodi au Taasisi zinazogusa sera na maslahi ya Halmashauri na wakazi wake kijumla na Mkurugenzi atachukua hatua zinazofaa. Kumwondoa Mwenyekiti madarakani - 82 Verify source ↗
(1) Halmashauri inaweza kumwondoa Mwenyekiti
AI-assisted research summary: The council may remove the Chairperson from office by a two-thirds supported resolution, if the stated grounds and supporting details are met.
82.-(1) Halmashauri inaweza kumwondoa Mwenyekiti madarakani kwa azimio linaloungwa mkono na theluthi mbili ya wajumbe kutokana na sababu yoyote kati ya sababu zifuatazo: (a) kutumia nafasi yake vibaya; (b) kushiriki katika vitendo vya rushwa; (c) kushindwa kutekeleza majukumu yake (d) mwenendo mbaya au ukosefu wa adabu; au (e) ulemavu wa kimwili au kiakili kwa kiasi cha kumfanya kushindwa kutekeleza majukumu yake kama Mwenyekiti. (2) Hoja au sababu zitakazotolewa lazima ziwe zimetimiza masharti yafuatayo: (i) ziwe na tuhuma mahsusi yenye ushahidi wa kutosha; na 42 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Monduli Tangazo La Serikali Na. 396 (Linaendelea) (ii) ziwe zimetolewa maelezo kamili na yenye kueleweka kuhusu tuhuma zinazohusika. (3) Kwa madhumuni ya kumwondoa Mwenyekiti madarakani, kwa sababu zozote zilizotamkwa chini ya kanuni ndogo ya (1) ya kanuni hii, Halmashauri itatumia taratibu zilizotolewa katika taratibu za kumwondoa Mwenyekiti zilizotangazwa na Waziri kwenye Gazeti la Serikali kwa mujibu wa Sheria. SEHEMU YA SABA POSHO KWA WAJUMBE
Part
SEHEMU YA SABA
- 83 Verify source ↗
(1)Wajumbe wa Halmashauri watalipwa posho
AI-assisted research summary: Council members are paid allowances, and those allowances need council recommendation and ministerial approval.
83.-(1)Wajumbe wa Halmashauri watalipwa posho mbalimbali kama itakavyopendekezwa na Halmashauri na kuidhinishwa na Waziri. (2) Posho zitakazolipwa kwa wajumbe wa Halmashauri zitakuwa kama zifuatazo: (a) posho ya usafiri; (b) posho ya kuhudhuria kikao; (c) posho ya madaraka; (d) posho ya kujikimu; (e) posho ya mwezi; na (f) kiinua mgongo. (3) Endapo Mjumbe wa Halmashauri ataugua au ataumia wakati akifanya kazi aliyotumwa na Halmashauri, gharama za matibabu yake zitalipwa na Halmashauri. - 84 Verify source ↗
Endapo mkutano wa Halmashauri au kikao cha
AI-assisted research summary: If a council or committee meeting is adjourned for lack of quorum, members who attended the adjourned meeting may be entitled to the payments listed in regulation 81(2)(a) and (d) if they had to sleep en route or at the council headquarters without intending to.
84. Endapo mkutano wa Halmashauri au kikao cha kamati utaahirishwa kwa sababu ya kukosekana kwa akidi, mjumbe au wajumbe waliofika kwa ajili ya kuhudhuria mkutano huo ulioahirishwa watastahili malipo yaliyotajwa katika kanuni ya 81(2) (a) na (d) iwapo wamelazimika, bila kukusudia, kulala njiani au kwenye makao makuu ya Halmashauri, hakuna malipo ya posho ya kuhudhuria kikao yatakayofanywa katika hali ya namna hiyo. SEHEMU YA NANE MABADILIKO KWENYE KANUNI ZA KUDUMU
Part
SEHEMU YA NANE
- 85 Verify source ↗
(1) Kanuni yoyote inaweza kusitishwa kwa azimio
AI-assisted research summary: The council may suspend a standing order by a two-thirds resolution of members present, if the motion is made without notice and the suspension is for urgent or beneficial business. It must not do so if that would cause an act forbidden by law or a failure to do something required by law.
85.-(1) Kanuni yoyote inaweza kusitishwa kwa azimio theluthi mbili za Wajumbe hoja lililoungwa mkono na waliohudhuria Mkutano wa Halmashauri kwa 43 Aina za posho Posho endapo mkutano umehairishwa Kusitisha utumiaji wa Kanuni za Kudumu Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Monduli Tangazo La Serikali Na. 396 (Linaendelea) iliyopendekezwa bila taarifa kwa madhumuni ya kuwezesha shughuli yoyote ishughulikiwe na Halmashauri kama jambo la dharura au lenye manufaa. iliyofafanuliwa ili (2) Halmashauri haitasitisha matumizi ya Kanuni yoyote kama kusitisha huko kutasababisha kufanya jambo ambalo limezuiliwa na Sheria au kutofanya jambo linalotakiwa kufanywa chini ya Sheria yoyote. Marekebisho na mabadiliko ya Kanuni za Kudumu - 86 Verify source ↗
Halmashauri
AI-assisted research summary: Halmashauri inaweza kubadilisha, kuongeza, kurekebisha au kutengua Kanuni hizi za Kudumu ikiwa azimio linaungwa mkono na angalau theluthi mbili ya kura na baada ya kupata idhini ya Waziri.
86. Halmashauri inaweza kubadilisha, kuongeza, kurekebisha au kutengua Kanuni hizi za Kudumu kwa azimio lililoungwa mkono kwa wingi usiopungua theluthi mbili ya kura na baada ya kupata idhini ya Waziri. Kanuni za Kudumu kutolewa kwa Wajumbe Kutafsiri Kanuni za Kudumu Ziara za wajumbe - 87 Verify source ↗
Nakala iliyochapishwa ya Kanuni za Kudumu hizi
AI-assisted research summary: The Director must issue a printed copy of these Standing Orders to each Member.
87. Nakala iliyochapishwa ya Kanuni za Kudumu hizi zitatolewa na Mkurugenzi kwa kila Mjumbe. - 88 Verify source ↗
Uamuzi wa Mwenyekiti kuhusu maana ya matumizi
AI-assisted research summary: The Chairman’s decision on the meaning of these Regulations or the conduct of the Council meeting cannot be challenged during any Council meeting.
88. Uamuzi wa Mwenyekiti kuhusu maana ya matumizi ya Kanuni hizi au mwenendo wa Mkutano wa Halmashauri hautapingwa wakati wa Mkutano wowote wa Halmashauri. SEHEMU YA TISA ZIARA ZA WAJUMBE
Part
SEHEMU YA TISA
- 89 Verify source ↗
(1) Wajumbe wa Halmashauri wanaweza kwenda
AI-assisted research summary: Council members may go on training trips only when the trips are included in the council plan and budget, with a different schedule rule for trips not tied to the budget.
89.-(1) Wajumbe wa Halmashauri wanaweza kwenda ziara mbalimbali za mafunzo ili mradi ziara hizo ziwe zimeainishwa kwenye mpango na bajeti ya Halmashauri, isipokuwa kwa ziara ambazo gharama zake hazihusiani na bajeti ya Halmashauri wajumbe watafanya ziara hizo kwa mujibu wa ratiba ya mpango huo. (2) Bila kuathiri masharti ya kanuni ndogo ya (1) ya Kanuni hizi Halmashauri kabla ya kuruhusu kufanyika kwa ziara itahakikisha kwamba- (a) shughuli ya ziara hiyo inafanana na shughuli zinazofanywa na Halmashauri; (b) ziara hiyo itafanyika baada ya kupata kibali cha Mkuu wa Mkoa; (c) wajumbe wana kitu cha kwenda kuonyesha kule wanakokwenda kujifunza; (d) ziara zinazofanyika nje ya Mkoa zihusishe wadau mbalimbali wa Halmashauri kutegemeana na ziara husika; (e) ziara iwe na matunda yanayoonekana; (f) wajumbe walioshiriki kwenye ziara warejeapo 44 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Monduli Tangazo La Serikali Na. 396 (Linaendelea) Wimbo, dua au sala ya kuiombea Halmashauri wanatakiwa kuandaa na kuwasilisha ripoti ya maandishi kwa Halmashauri kuhusu mambo mapya na ya msingi waliyojifunza na kuweka utaratibu mzuri wa kuyatekeleza kwenye Kata zao na kwenye Halmashauri; na (g) ziara zitafanywa kwa kuzingatia walengwa na mahitaji kama itakavyokubalika na Halmashauri. - 90 Verify source ↗
Kabla ya kuanza kwa mkutano wa Halmashauri
AI-assisted research summary: Kabla ya mkutano wa Halmashauri kuanza, wimbo wa Taifa utaimbwa na kisha dua au sala itafuatia.
90. Kabla ya kuanza kwa mkutano wa Halmashauri utaimbwa wimbo wa Taifa na kufuatiwa na dua au sala ya kuiombea Halmashauri ifuatayo; “Ewe MWENYEZI MUNGU Mtukufu, Muumba wa Mbingu na Dunia umeweka katika Dunia Serikali za Wanadamu ili haki yako itendeke. Twakuomba, uibariki Halmashauri yetu ya Wilaya ya Monduli idumishe uhuru, umoja, haki na amani. Uwajalie viongozi wetu wa Halmashauri hekima, afya njema na maisha marefu ili pamoja na wanaowashauri wadumishe utawala bora. Utuongezee hekima na busara sisi Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli na utupe uwezo wa kujadili kwa dhati, mambo yatakayoletwa mbele yetu leo, ili tufanye maamuzi sahihi yenye manufaa kwa watu wote na ustawi wa Halmashauri yetu. Mungu ibariki Tanzania, AMINA” Tangazo la Serikali Namba 152 - 91 Verify source ↗
Kanuni za kudumu hizi zinafuta kanuni za kudumu
AI-assisted research summary: Hii inafuta kanuni za kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Monduli za mwaka 2009.
91. Kanuni za kudumu hizi zinafuta kanuni za kudumu za Halmashauri ya wilaya ya Monduli za mwaka, 2009 tangazo la Serikali nambari 152 la tarehe 05, Mwezi 06 mwaka 2009. ________________ JEDWALI LA KWANZA __________________ (Limetengenezwa chini ya kanuni ya 44(3)) HADIDU ZA REJEA ZA KAMATI ZA KUDUMU ZA HALMASHAURI ZA WILAYA.
Part
JEDWALI LA KWANZA
- 2 Verify source ↗
Section 2
AI-assisted research summary: Sehemu hii inaeleza madhumuni ya jumla ya chombo hiki: kushauri malengo yanayozingatia matakwa ya Wilaya na kusaidia maamuzi kuhusu sera muhimu.
2. kutengeneza Halmashauri Madhumuni ya jumla: Kuishauri malengo yanayozingatia matakwa ya Wilaya na kuchukua hatua ambazo ili kufikia malengo zinafaa yaliyokusudiwa. Kuishauri Halmashauri kufanya maamuzi juu ya sera muhimu. zitaonekana 45 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Monduli Tangazo La Serikali Na. 396 (Linaendelea) - 7 Verify source ↗
Section 7
AI-assisted research summary: Kifungu hiki kinaeleza majukumu na mipaka ya kamati mbalimbali za Halmashauri, ikiwemo kusimamia mapato na mali, kupanga bajeti na mipango, kushughulikia elimu, afya, maji, mazingira, UKIMWI, uchumi na maadili.
7. ya kutengeneza Kuishauri Halmashauri kufanya maamuzi juu ya utoaji wa huduma kulingana na rasilimali walizo nazo. Kuiwezesha taratibu Halmashauri zitakazoongoza utendaji wa kamati, kamati ndogo, na ule wa watumishi ili watimize wajibu wao. Kufanya mapitio yatakayowezesha Halmashauri kuamua juu au kuwashirikisha wadau katika utoaji wa huduma. Kuhakikisha kuwa miundo na taratibu za utendaji wa Halmashauri zinazingatia ufanisi, uthabiti na tija katika kufikia malengo ya Halmashauri. Kuiwezesha Halmashauri kujenga mahusiano imara kati yake na Serikali kuu, Serikali zingine za Mitaa na Umma kwa ujumla. kubinafsisha kupunguza, kuongeza, A. Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango: Majukumu ya jumla: Kamati hii inawashirikisha wenyeviti wa kamati zote za kudumu na inatakutana kila mwezi mara moja. Aidha, madaraka ya Kamati hii ni kama ya Kamati zingine za Kudumu na hivyo hairuhusiwi kisheria kufanya kazi au majukumu ya Kamati zingine za Kudumu. Kwa ujumla, majukumu yake ni pamoja na kusimamia na kudhibiti ukusanyaji wa mapato na matumizi ya mali ya Halmashauri kwa kupitia vikao vyake. Majukumu Maalum ya Kamati: (i) kuweka mikakati na kupendekeza uongezaji wa mapato (ii) kuwasilisha mapendekezo ya Bajeti na mpango ili (iii) (iv) wa Maendeleo kwenye Halmashauri kuidhinishwa na Halmashauri. kusimamia utunzaji wa hesabu za fedha ikiwa ni pamoja na uhakiki wa mali za Halmashauri, ukusanyaji wa mapato, kufuta madeni, na kuomba vibali Maalum kwa matumizi yanayohitaji kibali cha Waziri mwenye dhamana ya Serikali za Mitaa. kufikiria na, pale inapowezekana, kupendekeza kwenye Halmashauri masuala yanayohusu Sheria Ndogo na utendaji katika ngazi za chini za Halmashauri. (v) Kupokea na kuzingatia mapendekezo ya kubadili matumizi ya mafungu ya fedha (re- 46 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Monduli Tangazo La Serikali Na. 396 (Linaendelea) (vi) (vii) (viii) (ix) makisio kwa yaliyopo na katika kuyapeleka allocation) yaliyoidhinishwa Halmashauri. kuratibu mapendekezo kutoka kwenye Kamati zingine kuhusu matumizi ya kawaida na miradi na kuyawasilisha kwenye Halmashauri. kufikiria na kupendekeza kwenye Halmashauri mikopo yote ya Halmashauri. kutoa mapendekezo ya vitega uchumi kwa madhumuni ya kuongeza mapato kwa mujibu wa Sheria ya Fedha za Serikali za Mitaa, Sura ya 290. kupokea na kujadili taarifa za wakaguzi wa fedha na mali ya Halmashauri na kupendekeza hatua za kuchukuliwa kutokana na maelekezo na maoni ya wakaguzi kwa mujibu wa Sheria za Serikali za Mitaa, Sura ya 290. (xi) kwa (xii) (xiii) kuzingatia (x) kusimamia na kudhibiti matumizi ya fedha za Halmashauri, taratibu zilizowekwa na Waziri na taratibu nyingine zitakazowekwa na Halmashauri; kupitia marekebisho yote yaliyopendekezwa hususan kuhusu taratibu za fedha, ikiwa ni pamoja na mapitio ya mara kwa mara yanayohusu thamani ya fedha ambapo Kanuni mbalimbali za manunuzi ya mali na vifaa hutumika; kufikiria na kupendekeza mabadiliko ya viwango vya kodi, ada na ushuru mbalimbali, vinavyotolewa na Halmashauri; kufikiria mapendekezo ya Bajeti na Mipango ya Maendeleo ya kila Kamati ya Kudumu na kuiwasilisha kwenye Halmashauri ili kupata idhini; kushughulikia tofauti ya mapato na matumizi katika bajeti yote na kupendekeza hatua stahiki ya kuchukua kuondoa mapungufu katika mapato au ziada matumizi; kufikiria mapendekezo yote yanayohusu kabla matumizi makubwa hayajawasilishwa kwenye Halmashauri ili kupata idhini; kupokea mahesabu ya mwaka ya Halmashauri na kuhakikisha taarifa ya mahesabu ya mwaka fedha (xiv) (xvi) (xv) ya 47 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Monduli Tangazo La Serikali Na. 396 (Linaendelea) (xvii) (xviii) (xix) (xx) (xxi) (xxii) (xxiii) (xxiv) (xxv) (xxvi) (xxvii) (xxviii) (xxix) (xxx) au huduma kukagua ukaguzi wa inawasilishwa kwa wakati kwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali; kupitia na kuidhinisha mpango wa manunuzi wa Halmashauri kwa kuzingatia mpango wa Bajeti uliopitishwa na Halmashauri; kupitia taarifa ya kila robo mwaka kuhusu Manunuzi iliyowasilishwa na Afisa Masuuli; kusimamia utekelezaji wa mikataba ya Halmashauri miradi kwa inayotekelezwa na vifaa vilivyopokelewa; kumwelekeza Mkurugenzi kufanya manunuzi au vifaa vilivyonunuliwa thamani halisi, ili kupata itafanyika hivyo endapo itadhihirika kwamba, maelezo yaliyotolewa kuhusu manunuzi ya vifaa au huduma hayaridhishi; kuidhinisha majina ya wajumbe wa Bodi ya zabuni na wa Bodi zingine kwa mujibu wa Sheria husika; kushughulikia orodha ya wadaiwa wote itakayokayowasilishwa kwenye Kamati na kutoa mapendekezo ya hatua za kuchukua; kupendekeza njia na taratibu za kuondosha vifaa chakavu. Uondoshaji wa vifaa unaweza kufanyika kwa njia ya kuuza au kuviharibu; kujadili na kupitia taarifa za fedha za kila mwezi na kila robo mwaka; kupendekeza kwa Halmashauri hatua za kuchukua ya Halmashauri; kushughulikia Sera kuhusu kukopa na uwekezaji, kujadili na kupendekeza mabadiliko ya viwango vya kodi, ada na ushuru mbalimbali vinavyotozwa na Halmashauri; kubuni na kupendekeza mpango wa kuanzisha na kuendeleza uhusiano na Halmashauri nyingine; kurekebisha na kusimamia makusanyo na matumizi ya mapato ya vijiji na miji midogo kwa mujibu wa Sheria, Sura ya 287; kuteua wakaguzi wa fedha/mali za Serikali za Vijiji kwa mujibu wa Sheria, Sura ya 290; kufuta madeni kuhusu 48 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Monduli Tangazo La Serikali Na. 396 (Linaendelea) (xxxi) (xxxii) (xxxiii) kujadili na kutoa mapendekezo ya hatua za kuchukuliwa kuhusu mambo yote yanayohusu masuala ya ajira na kinidhamu ya wafanyakazi na watumishi; kujadili na kutoa mapendekezo kuhusu masuala yanayohusu nyumba za Halmashauri; kupokea na kutoa uamuzi juu ya mapendekezo ya watumishi wanaokwenda masomoni; (xxxiv) (xxxv) (xxxvi) kujadili na kupendekeza masuala yote yanayohusu maslahi ya jumla ya watumishi, ikiwa ni pamoja na mikopo, nyumba, usafiri, matibabu, rambirambi na motisha nyinginezo; kuthibitisha kupitisha mapendekezo watumishi kazini baada ya kumaliza kipindi cha majaribio kulingana na miundo husika ya utumishi; kuhakiki ubora wa miradi ya maendeleo (value for money) na shughuli zinazoandaliwa na kamati hii inayotekelezwa na Halmashauri mara moja kila robo mwaka; na ya (xxxvii) kupendekeza Sheria Ndogo zinazohusu Kamati hii. B: Kamati ya Elimu, Afya na Maji: Majukumu ya Jumla Kushughulikia mambo yote yanayohusu afya ya jamii, elimu na huduma za maji usafi na mazingira na maendeleo ya jamii. Kamati hii pia itashughulikia mambo yanayohusiana na jitihada za wananchi vijijini kujiletea maendeleo yao kwa kutumia mbinu mbalimbali ikiwa ni pamoja na kushauri, kushawishi, kuzindua, kuelimisha na kushirikisha wananchi hao hasa katika kutayarisha, kutekeleza, kusimamia na kutathmini mipango yao ya maendeleo. Majukumu Maalum ya Kamati: (i) kuandaa mipango madhubuti ya maendeleo ya upanuzi na ujenzi wa hospitali, vituo vya afya na zahanati; (ii) kuandaa mipago ya maendeleo ya upanuzi na ujenzi wa shule za awali na msingi na elimu ya watu wazima kwa 49 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Monduli Tangazo La Serikali Na. 396 (Linaendelea) mujibu wa Sheria ya Elimu ya 1978 kama ilivyorekebishwa mwaka 1995; kubuni na kupendekeza njia bora za kuzuia na kudhibiti magonjwa ya milipuko; (iii) (iv) kupendekeza mipango ya ujenzi au upanuzi wa vituo,viwanja, majengo na mazingira ya burudani, starehe, mapumziko na michezo; (v) kuamua juu ya mambo yanayohusu uhifadhi wa mambo ya kale na mandhari mbalimbali zenye sura nzuri; (vi) kuandaa na kuratibu njia bora juu ya uhifadhi wa nyaraka muhimu kwa ajili ya kumbukumbu hizo zitahifadhiwa kwa mujibu wa Sheria ya Serikali za Mitaa Sura ya 287; (vii) kupendekeza njia bora juu ya uhifadhi wa sanaa mbalimbali za ufundi na za maonyesho kwa mujibu wa Sheria ya Serikali za Mitaa Sura ya 287, kupendekeza matumizi mazuri ya lugha ya taifa; (viii) (ix) kupendekeza namna ya malezi ya vijana ili waweze kuwa wazalishaji katika Taifa; (x) kusimamia uanzishaji wa uendelezaji wa vikundi vya jamii na vya hiari vya wananchi katika Halmashauri kwa mujibu wa sera wa maendelo ya jamii; (xi) kusimamia na kuhakiki maeneo ya misitu, mapori, na mbuga zilizotengwa kama hifadhi ya mamlaka ya Serikali za Mitaa; (xii) Uhakiki shughuli na miradi ya maendeleo inayohusu kamati hii mara moja kila robo mwaka; na (xiii) kupendekeza Sheria Ndogo zinazohusu Kamati hizi. C: Kamati ya Kudumu ya Kudhibiti Ukimwi Majukumu ya Kamati: (a) (b) (c) (d) kushirikisha wadau tofauti katika maeneo husika ili kuongeza uchangiaji wa mawazo na/au nyenzo, usimamizi, uratibu na utekelezaji wa kazi za Tume ya kudhibiti UKIMWI; kusimamia uundaji wa Kamati zote za kudhibiti UKIMWI; kupendekeza na kuchambua hali ya UKIMWI/Mipango na utekelezaji wake na kufikisha katika ngazi husika kwa hatua zaidi; kutathmini hali ya UKIMWI katika eneo lake kuhusu; 50 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Monduli Tangazo La Serikali Na. 396 (Linaendelea) (i) idadi ya waathirika: wagonjwa, yatima, wajane, kasi ya maambukizo (ii) (iii) mazingira maalum yanayochangia maambukizo; na (iv) uelewa wa wananchi juu ya janga hili. Serikali haitatoa fedha kwa Halmashauri isiyokuwa na mipango madhubuti ya kudhibiti UKIMWI; na kupendekeza Sheria Ndogo za Kamati hii. (e) (f) D: Kamati ya Masuala ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira: Majukumu ya jumla Kamati hii itashughulikia masuala ya uzalishaji mali ikiwemo kilimo, mifugo, viwanda, madini, Biashara n.k. Aidha itashughulikia pia miundombinu na suala zima la mendeleo ya Ardhi na hifadhi ya mazingira. Majukumu Maalum ya Kamati; (i) kupendekeza kwa Halmashauri mipango ya kupanua biashara na jinsi ya kukusanya mapato yatokanayo na upanuzi huo; (ii) (iii) (iv) (v) (vi) kupendekeza mipango ya matumizi ya ardhi katika eneo la Halmashauri kusimamia matumizi ya Sheria ya nguvu kazi; kuandaa mipango madhubuti ya maendeleo ya upanuzi wa kilimo katika Halmashauri; kusimamia na kuhakiki miradi ya ujenzi wa masoko, minada,majosho na vituo vya mifugo; kushughulikia uanzishaji na uendelezaji wa vyama vya ushirika kwa mujibu wa Sheria ya Vyama vya Ushirika; (vii) kupendekeza na kufanya tathmini ya uendelezaji wa mabonde, mito na mabwawa; (viii) kubuni na kupendekeza namna ya kidhibiti moto; (ix) kubuni na kupendekeza mikakati ya utumiaji wa nishati mbadala, kuzuia ukataji miti ovyo, na kuhimiza upandaji miti kwa wingi; kuhakikisha unafanyika mara kwa mara; ukaguzi wa majengo kwamba (x) 51 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Monduli Tangazo La Serikali Na. 396 (Linaendelea) (xi) kupendekeza mipango madhubuti ya ujenzi wa barabara vijijini na wilayani kwa ujumla; (xii) Kupendekeza sheria ndogo zinazohusu kamati hii; na (xiii) Kuhakiki shughuli na miradi inayoangukia kamati hii mara moja kila robo mwaka. E. Kamati ya Maadili Majukumu ya Kamati: (Kifungu cha 31(1) cha Kanuni za Serikali za Mitaa (Mamlaka za Wilaya) (Maadili ya Madiwani) za Mwaka 2000. (i) kutoa ushauri kwa Halmashauri kuhusu utekelezaji wa kanuni hizi; (ii) kufanya uchunguzi wa madai ya uvunjaji wa kanuni za maadili ya madiwani na kuwasilisha mapendekezo kwa Halmashauri kwa hatua zinazostahili; na (iii) Kutoa ushauri na maoni kwa Halmashauri na kwa diwani mmoja mmoja kuhusu masuala yanayohusu mwenendo wa kimaadili. FAHARASA – HALMASHAURI YA WILAYA Kanuni Na. Kifungu cha Sheria A Ajenda za Kamati Akidi katika mikutano ya Halmashauri Akidi kwenye mikutano ya Kamati Athari za nafasi wazi kwenye Kamati B C D Diwani au Afisa kutokuwa na maslahi katika mikataba Diwani kutembelea maeneo, shughuli mbalimbali za ujenzi. Dua ya kuiombea Halmashauri E. F Fujo zinazosababishwa na umma Fujo zinazosababishwa na Wajumbe Sura ya 287 kif.64 Sura ya 287 kif.84(2) na (3) Sura ya 287 kif.84(1);84(3) Sura ya 287 kif.71 Kifungu cha Sheria 49 8 55 54 69 77 90 18 17 Kanuni Na. 52 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Monduli Tangazo La Serikali Na. 396 (Linaendelea) G H Haki ya kujibu Hoja kuhusu matumizi Hoja na marekebisho ya hoja Hoja za Mwenyekiti Hoja zinazohusu Halmashauri Hoja zinazoweza kutolewa bila taarifa watumishi wa I J K Kamati Ndogo Kamati za Kudumu Kamati za pamoja Kanuni za Kudumu kutumika katika mikutano ya Kamati Kanuni za Kudumu kutolewa kwa Wajumbe Kauli zenye kashfa Kiapo na kukubali wadhifa Kuidhinishwa kwa Taarifa ya Kamati Kufikiriwa upya maamuzi Kufutwa kwa Kanuni zilizopo Kujiuzulu ujumbe wa Kamati na kujazwa kwa nafasi iliyoachwa wazi. Kujiuzulu wadhifa wa Mwenyekiti wa Kamati Kukasimu madaraka kwenye Kamati Kumbukumbu ya mahudhurio. Kumwondoa Mwenyekiti madarakani Kupokelewa kwa taarifa za Kamati Kuruhusu watu na vyombo vya Habari kwenye mikutano ya Halmashauri za Kushiriki kwa Umma Kusitisha utumiaji wa Kanuni Kudumu. Kutafsiri Kanuni za Kudumu Kuthibitisha muhtasari Kutokuwepo kwa Wajumbe Kutunza siri za Majadiliano ya Kamati na Kamati Ndogo. 21 32 19 15 37 20 45 40 43 56 87 27 70 34 59 91 62 61 44 11 82 33 12 Sura ya 287 kif.79 Sura ya 287 kif.36(5); GN 263/95 Sura ya 287 kif.67(1) Kanuni Na. 38 Kifungu cha Sheria Sura ya 287 kif.114(1)(b) 85 88 14 73 60 53 Sura ya 287 kif.41(2)na (3) Sura ya 287 kif.86 na 67(2) Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Monduli Tangazo La Serikali Na. 396 (Linaendelea) L kwenye mikutano M Maamuzi ya mikutano ya Halmashauri Mahudhurio katika mikutano ya Kamati Mahudhurio ya Umma na vyombo vya ya habari Kamati/Kamati Ndogo Majukumu ya Diwani Marekebisho na mabadiliko ya Kanuni za Kudumu Maswali Maswali ya papo kwa papo Mihtasari ya za Kata na vijiji. Mihtasari ya Halmashauri kupelekwa kwa Mkuu wa Wilaya na Mkuu wa Mkoa. Muhtasari wa Kamati Mikutano ya kawaida ya Halmashauri Mikutano ya Kamati Mtoa hoja kualikwa kwenye Mkutano wa Kamati. Mkutano wa Bajeti Mkutano wa Mwaka Mkutano Maalum wa Halmashauri Mkutano Maalum wa Kamati Mwaliko wa wasiokuwa Wajumbe Mwenyekiti kuwa Mjumbe wa Kamati zote N Nafasi wazi P Aina za Posho Posho iwapo Mkutano umeahirishwa Q Sura ya 287 kif.66 Sura ya 287 vif.86; 67 (2) Sura ya 287 kif. 70(1) Taz.pia Sura ya 290 kif.47 Sura ya 287 kif.83(2) Sura ya 287 kif.63(1) Sura ya 287 kif.63(3) Sura ya 287 kif.74(1) Sura ya 287 kif.42(1) (a) 172 (1);41 (4);Tangazo la Serikali Na.139/82 aya ya 23 na40 na Sheria Na.4/79 kif.40(1)(b);40 (1) (b) na SheriaNa 4/79kif.40(i) (b) Na.4/79 (i); Sheria kif.40;tangazo la Serikali Na. 280/2000 kif.35;41(3)41(3) na kif.71(8). na 28 50 53 71 86 22 23 30 31 58 3 46 51 5 6 4 48 29 41 72 83 84 54 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Monduli Tangazo La Serikali Na. 396 (Linaendelea) R Rejesta ya mikataba S T Taarifa za Kamati Taarifa kutoka kwenye kata Taarifa za mikutano Tafsiri Taratibu za kutunga Sheria Ndogo Taratibu za Majadiliano Taratibu za Uagizaji U Uahirishaji wa vikao Uandikishaji wa Anwani Uanzishaji wa Bodi za Huduma Uchaguzi wa Mwenyekiti na Makamu wa Mwenyekiti wa Halmashauri Uhalali wa majadiliano ya Halmashauri Uhifadhi wa lakiri ya Halmashauri Uhuru wa kutoa mawazo wakati wa majadiliano Ukaguzi wa nyaraka Uongozi wa mikutano ya Halmashauri Upigaji kura kwenye mikutano ya Kamati Usimamiaji wa mikataba Utaratibu wa shughuli za mikutano Uteuzi wa Wajumbe kwenye Taasisi za nje Utiaji mhuri kwenye Nyaraka Uvunjaji wa mkataba Uwezo wa Halmashauri kujigeuza kuwa Kamati ya Halmashauri nzima. Uwezo wa Kamati Uzuiaji wa Rushwa 68 24 25 7 2 74 16 63 39 80 76 9 35 78 26 75 10 57 66 13 81 79 67 36 42 65 Sura ya 287 kif.85 Sura ya 287 kif.155 Na.21/2004 Sura ya 290 kif.68 Sura ya 287 kif.88 Sura ya 287 kif.36(2) Sura ya 287 kif.72 Sura ya 287 kif.65 V W Waalikwa Wajumbe wasiokuwa kuhudhuria na kushiriki katika mikutano ya Kamati. X Y Z Ziara za Wajumbe Kanuni Na. Kifungu cha Sheria 52 Sura ya 287 kif.75(4) 89 55 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Monduli Tangazo La Serikali Na. 396 (Linaendelea) ______ JEDWALI LA PILI ___________ (Limetengenezwa chini ya Kanuni ya 70(a)) JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA KIAPO CHA DIWANI Mimi ……………………………… ninaapa/ninatamka kwa dhati kwamba nitaitumikia Halmashauri ya………………….. kwa wadhifa wangu wa Udiwani na kwamba nitahifadhi, nitalinda na kutetea, Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Sheria za Tanzania, Maadili ya Madiwani na Kanuni za Kudumu za Halmashauri kama zilivyowekwa kwa mujibu wa Sheria na kwamba nitaitumikia Halmashauri ya ………………………………………… kwa uaminifu kwa uwezo na moyo wangu wote. (Ewe Mwenyezi Mungu nisaidie) Kiapo/Tamko hili limetolewa hapa:……………………………………… Na…………………………………………………………………………….. Leo tarehe…………………… Mwezi wa…………………..mwaka 200………. Mbele ya:……………………………………….. Jina:……………………………………………… Cheo:……………………………………………. Saini:…………………………………………… Anuani…………………………………………. HAKIMU/KAMISHINA WA VIAPO MHURI 56 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Monduli Tangazo La Serikali Na. 396 (Linaendelea) __________ JEDWALI LA TATU __________ (Limetengenezwa Chini ya Kanuni 70 (b)) JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA TAMKO LA VIONGOZI WA UMMA KUHUSU RASILIMALI NA MADENI (Kwa mujibu wa kifungu cha 9 na cha 11 cha Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma) Mimi…………………………………………………… Anuani:……………………baada ya kuchaguliwa/kuteuliwa na kuapishwa wa…….……...tarehe……………………….mwaka katika 200….Ninatamka rasmi na kwa moyo mnyofu kwamba hadi sasa nina rasilimali na madeni yafuatayo:- wadhifa (1) Fedha taslimu, Amana katika benki au taasisi ya fedha; (taja namba ya akaunti, benki au taasisi ya fedha na kiasi). …………………………………………………………………………………… …………………………………………………………………………………… …………………… 2) Hawala za Hazina (Treasury Bills) na dhamana nyingine Maalum:- …………………………………………………………………………………… …………………………………………………………………………………… …… 3) Faida ya akiba, mafungu ya mgawanyo wa faida zinazotokana na hisa n.k. …………………………………………………………………………………… …………………………………………………………………………………… … 4) Nyumba au majengo ya kupangisha, (taja mahali yalipo na ukubwa au eneo:) …………………………………………………………………………………… …………………………………………………………………………………… … * Rasilimali zinazotakiwa ni pamoja na zifuatazo, ambazo ni zako binafsi, za mume/mke au watoto wadogo wasiooa au kuolewa wa kiongozi wa umma. 57 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Monduli Tangazo La Serikali Na. 396 (Linaendelea) (a) fedha taslimu na amana katika benki au taasisi nyingine ya fedha. (b) hawala za Hazina Treasury Bills) na nyinginezo za dhamana Maalum zinazotolewa au kudhaminiwa na Serikali au vyombo vya Serikali. (c) faida itokanayo na fedha iliyowekwa akiba benki, chama cha Ujenzi au taasisi nyingine ya fedha. (d) mgao wa fedha kutokana na fungu la rasilimali ya kampuni (stocks) au hisa za kiongozi wa umma katika kampuni au shirika lolote. (e) maslahi katika chombo cha biashara kisichokuwa na mkataba na Serikali, na kisichokuwa na au kisichotawala amana zinazouzwa bayana na vyombo vya umma. (f) mashamba ya kibiashara. (g) mali halisi zisizohamishika ambazo si rasilimali zisizotakiwa kutajwa; na (h) rasilimali zinazoleta faida, ambazo si rasilimali zisizotakiwa kutajwa na ambazo zinamilikiwa kwa mbali. (5) Mashamba ya kibiashara, mifugo, madini n.k. …………………………………………………………………………………… …………………………………………………………………………………… …………………………………………………………………………………… ……… (6) Magari na aina nyingine za usafiri wa kibiashara; …………………………………………………………………………………… …………………………………………………………………………………… …………………………………………………………………………………… ……… (7) Mashine za kusaga nafaka, viwanda na shughuli nyingine za kibiashara au mitambo:………………………………………………………………………… …………………………………………………………………………………… …………………………………………………………………………………… ……… (8) Rasilimali nyinginezo au maslahi ambayo kiongozi wa umma anapenda kutaja:…………………………………………………………………………… …………………………………………………………………………………… …………………………………………………………………………………… ……… (9)Madeni:……………………………………………………………………… …………………………………………………………………………………… 58 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Monduli Tangazo La Serikali Na. 396 (Linaendelea) …………………………………………………………………………………… ……… Tamko hili linatolewa na kusainiwa mbele yangu …………………………………………………………. na (mtoa tamko)……………………………………… ninayemfahamu binafsi, au aliyetambulishwa kwangu na …………………………………………………………………… ambaye ninamfahamu leo tarehe …………………………….. tamko Mwezi wa ………………………………………………………. saini……………………………………………………………... Wadhifa:……………………………………………………….. Anuani:………………………………………………………... …………………………………………………………………. (Tamko hili lazima litolewe mbele ya Kamishna wa Viapo) Mtoa KWA: KAMISHINA WA MAADILI, SEKRETARIETI YA MAADILI, S.L.P 13341, DAR ES SALAAM. 59 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Monduli Tangazo La Serikali Na. 396 (Linaendelea) Nembo ya Halmashauri ya Wilaya ya Njombe imebandikwa kwenye Sheria Ndogo hizi kufuatia azimio lililotolewa katika kikao cha Baraza la Madiwani cha tarehe 31/7/2019 na kushuhudiwa na: L.S ……………………………………… ALLY J. ALLY Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Njombe ……………………………………… VALENTINO A. HONGOLI Mwenyekiti wa Halmashauri Halmashauri ya Wilaya ya Njombe NAKUBALI Dodoma Selemani S. Jafo (Mb) 16 Aprili, 2020 Waziri wa Nchi-OR-TAMISEMI ……………………………………. 60
Provision text is displayed from LexChat’s stored statute record. Use the official source links to verify amendments, commencement, and current legal force.
Ask AI about this statute
KANUNI ZA KUDUMU ZA HALMASHAURI YA WILAYA YA MONDULI
Sign in to ask AI about this statute
Sign in to start authenticated, citation-grounded statute research.
Sign in