KANUNI ZA KUDUMU ZA HALMASHAURI YA WILAYA YA MPIMBWE ZA MWAKA 2019
This section is a heading for the interpretation of terms used in Part II on council meetings.
AI-assisted research synopsis — verify against the official legal text below.
- Jurisdiction
- Tanzania
- Instrument
- Regulation
- Citation
- KANUNI ZA KUDUMU ZA HALMASHAURI YA WILAYA YA MPIMBWE ZA MWAKA 2019
- Version
- Undated source snapshot
- Language
- sw
- Official source
- View official record ↗
Statute overview
About this statute
This section is a heading for the interpretation of terms used in Part II on council meetings. Kifungu hiki kinaonyesha mada ya akidi katika mikutano ya Halmashauri chini ya taratibu za mikutano. This section concerns the election of the chairperson and vice chairperson of the council. Section 12 concerns allowing people and the media to attend council meetings. Hiki ni kichwa cha kifungu kinachohusu kuthibitisha muhtasari.
Search within this statute
Search all stored provisions in this version.
Legal text
Provisions of KANUNI ZA KUDUMU ZA HALMASHAURI YA WILAYA YA MPIMBWE ZA MWAKA 2019
Showing 67 of 67
- 2 Verify source ↗
Tafsiri ya misamiati iliyotumika
AI-assisted research summary: This section is a heading for the interpretation of terms used in Part II on council meetings.
2. Tafsiri ya misamiati iliyotumika. SEHEMU YA II MIKUTANO YA HALMASHAURI
Part
SEHEMU YA II
- 8 Verify source ↗
Akidi katika mikutano ya Halmashauri
AI-assisted research summary: Kifungu hiki kinaonyesha mada ya akidi katika mikutano ya Halmashauri chini ya taratibu za mikutano.
8. Akidi katika mikutano ya Halmashauri. SEHEMU YA III TARATIBU ZA MIKUTANO - 5 Verify source ↗
Section 5
AI-assisted research summary: Halmashauri must hold a two-day budget meeting two months before the financial year ends.
5. Kutakuwepo na Mkutano wa Halmashauri wa Bajeti utakaofanyika kwa muda wa siku mbili mfululizo na utafanyika miezi miwili kabla ya mwaka wa fedha kumalizika na utajadili mambo yafuatayo- (a) utekelezaji wa mipango na bajeti ya mwaka uliopita. (b) mipango na bajeti ya mwaka unaofuata. (i) Mkutano wa mwaka wa Halmashauri utafanyika na muda tarehe, mahali utakaopangwa na Halmashauri katika kalenda ya mikutano na utaitishwa na Mkurugenzi baada ya kuwasiliana na Mwenyekiti wa Halmashauri. (ii) Mikutano yote ya Baraza itapangwa na Baraza la Madiwani kwa kuzingatia ratiba ya vikao vya Bunge ili kuwezesha wabunge kuhudhuria mikutano ya Baraza la Madiwani. 10 Mkutano wa Mwaka - 6 Verify source ↗
Section 6
AI-assisted research summary: Mkurugenzi lazima ajulishe wabunge husika kuhusu mkutano wa Baraza ikiwa utaitishwa wakati wa vikao vya Bunge, na Halmashauri lazima ijadili mambo fulani katika mkutano wake wa kawaida wa mwaka.
6. (1) Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe Endapo italazimika kuitishwa kwa mkutano wa Baraza wakati wa vikao vya Bunge, Mkurugenzi atamjulisha au kuwajulisha wabunge husika kuhusu kikao hicho ili wahudhurie. (2) Mkutano wa kwanza wa uchaguzi wa Mwenyekiti, Makamu Mwenyekiti na wajumbe wa Kamati utaongozwa na Katibu Tawala wa Wilaya na Mkurugenzi wa Halmashauri atakuwa Katibu. (3) Katika mkutano wa kawaida wa mwaka, Halmashauri itajadili mambo yafuatayo- (a) kumchagua makamu wa mwenyekiti; (b) kuteua wajumbe wa Kamati za Kudumu; (c) kujadili taarifa uwajibikaji wa mwaka uliopita; na ya na utendaji Halmashauri kwa (d) kupitisha vya Halmashauri na Kamati za Halmashauri. ratiba vikao ya Taarifa Mkutano za - 7 Verify source ↗
Section 7
AI-assisted research summary: Mkurugenzi lazima atoe notisi ya maandishi kwa kila mjumbe angalau siku 7 kabla ya mkutano, ikieleza mahali, siku, saa na mambo ya kujadiliwa; pia lazima iambatanishwe na nyaraka au kumbukumbu muhimu.
7. (1) Mkurugenzi atatoa taarifa ya mkutano kwa maandishi kwa kila mjumbe katika muda usiopungua siku saba akieleza mahali, siku na saa ya mkutano unaokusudiwa na mambo yatakayojadiliwa katika mkutano huo. (2) (3) Taarifa ya mkutano itaambatana na nyaraka au kumbukumbu muhimu zitakazotumika katika mkutano huo. Isipokuwa kwa idhini ya mwenyekiti na au ya idadi ya wajumbe isiyopungua robo tatu ya wajumbe waliohudhuria mkutano, hakuna shughuli yoyote itakayofanywa katika mkutano 11 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe wa Halmashauri mbali na shughuli zilizotajwa katika mwaliko wa mkutano huo. Akidi katika mikutano ya Halmashauri - 8 Verify source ↗
Section 8
AI-assisted research summary: Mikutano ya Halmashauri inahitaji akidi maalum; bila akidi, Mkurugenzi lazima aiahirishe na kuitisha tena ndani ya siku 7, na akidi ikikosa tena wajumbe wowote waliohudhuria watatosha.
8. (1) Hakuna mkutano wa kawaida wa Halmashauri utakaofanyika isipokuwa kama kutakuwepo idadi ya wajumbe isiyopungua nusu ya wajumbe wote waliohudhuria na kujiandikisha kwenye daftari la mahudhurio. (2) Akidi katika mikutano maalum ya Halmashauri itakuwa ni theluthi mbili ya wajumbe wote wa Halmashauri na itahesabiwa wakati wa ufunguzi wa mkutano. (3) Akidi katika mkutano wa kawaida wa mwaka na mkutano wa kwanza wa Halmashauri itakuwa theluthi mbili ya wajumbe wote wa Halmashauri. (4) Endapo wajumbe waliohudhuria mkutano hawatafikia akidi ya mkutano, Mkurugenzi ataahirisha mkutano huo na kuuitisha tena ndani ya siku saba (7) na endapo akidi haitatimia tena, idadi yoyote ya wajumbe waliohudhuria itatengeneza akidi ya mkutano na Mkurugenzi atamjulisha Waziri kuwepo kwa hali hiyo. SEHEMU YA III TARATIBU ZA MIKUTANO
Part
SEHEMU YA III
- 9 Verify source ↗
Uchaguzi wa Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri
AI-assisted research summary: This section concerns the election of the chairperson and vice chairperson of the council.
9. Uchaguzi wa Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri. - 12 Verify source ↗
Kuruhusu watu na Vyombo vya Habari kwenye Mikutano ya
AI-assisted research summary: Section 12 concerns allowing people and the media to attend council meetings.
12. Kuruhusu watu na Vyombo vya Habari kwenye Mikutano ya Halmashauri.. - 14 Verify source ↗
Kuthibitisha muhtasari
AI-assisted research summary: Hiki ni kichwa cha kifungu kinachohusu kuthibitisha muhtasari.
14. Kuthibitisha muhtasari. 1 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe - 20 Verify source ↗
Hoja zinazoweza kutolewa bila taarifa
AI-assisted research summary: Kichwa cha kifungu: “Hoja zinazoweza kutolewa bila taarifa.”
20. Hoja zinazoweza kutolewa bila taarifa. - 26 Verify source ↗
Uhuru wa Kutoa mawazo wakati wa majadiliano
AI-assisted research summary: Uhuru wa kutoa mawazo wakati wa majadiliano.
26. Uhuru wa Kutoa mawazo wakati wa majadiliano. - 29 Verify source ↗
Mwaliko kwa wasiokuwa Wajumbe kushiriki na kuzungumza
AI-assisted research summary: This section concerns inviting non-members to attend and speak at council meetings.
29. Mwaliko kwa wasiokuwa Wajumbe kushiriki na kuzungumza kwenye vikao vya Halmashauri. - 31 Verify source ↗
Mihtasari kupelekwa kwa Mkuu wa Wilaya na Mkuu wa
AI-assisted research summary: Summaries are to be sent to the District Commissioner and the Regional Commissioner.
31. Mihtasari kupelekwa kwa Mkuu wa Wilaya na Mkuu wa Mkoa. - 35 Verify source ↗
Uhalali wa majadiliano ya Halmashauri
AI-assisted research summary: Kifungu hiki kina kichwa kuhusu uhalali wa majadiliano ya Halmashauri.
35. Uhalali wa majadiliano ya Halmashauri. - 36 Verify source ↗
Uwezo wa Halmashauri kujigeuza kuwa Kamati ya
AI-assisted research summary: This section concerns the council’s ability to turn itself into a full council committee.
36. Uwezo wa Halmashauri kujigeuza kuwa Kamati ya Halmashauri nzima. - 37 Verify source ↗
Hoja zinazohusu watumishi wa Halmashauri
AI-assisted research summary: This section is about matters concerning council employees.
37. Hoja zinazohusu watumishi wa Halmashauri. - 39 Verify source ↗
Uahirishaji wa Vikao
AI-assisted research summary: Section 39 is titled “Adjournment of Meetings.”
39. Uahirishaji wa Vikao. SEHEMU YA IV KAMATI - 9 Verify source ↗
Section 9
AI-assisted research summary: This section sets the procedure for electing the Council Chairperson and Vice Chairperson by secret ballot, with majority rules, tie-handling, and a 60-day deadline for filling vacancies.
9. (1) Uchaguzi wa Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri Mwenyekiti na makamu wa mwenyekiti watachaguliwa na wajumbe, kutokana na wajumbe wa Halmashauri kwa kura ya siri itakayopigwa na mjumbe mmoja mmoja kwenye eneo umbali usiopungua mita 5 kutoka mahali alipoketi msimamizi wa uchaguzi. litakalotengwa faragha la 12 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe (2) Mjumbe kabla ya kwenda sehemu ya faragha kwa ajili ya kupiga kura, atapatiwa na msimamizi wa uchaguzi karatasi ya kupigia kura kutoka maalum kitakachowekwa mbele ya msimamizi wa uchaguzi, na atakwenda moja kwa moja kupiga kura yake kwenye sehemu ya faragha. chombo kwenye (3) Mtu atatangazwa kuwa Mwenyekiti au Makamu wa Mwenyekiti iwapo atapata zaidi ya nusu ya kura zilizopigwa. kuchaguliwa (4) (5) (6) jina moja Iwapo wakati wa kumchagua mwenyekiti au tu makamu wa Mwenyekiti limependekezwa, Wajumbe watapiga kura za siri za “ndiyo” au “hapana” na endapo kura za “ndiyo” zitazidi asilimia hamsini ya kura zote zilizopigwa basi mgombea atatangazwa kuwa Mwenyekiti au Makamu wa Mwenyekiti. Iwapo kura za “Hapana” zitazidi asilimia hamsini ya kura zote zilizopigwa, la mgombea mwingine litapendekezwa kwa njia na utaratibu uliotumika hapo awali. jina Iwapo kura zitafafana, uchaguzi utarudiwa kwa mara ya pili na endapo hata baada ya kurudia uchaguzi, kura zimefanana, Baraza litaamua kugawana muda wa kuwa madarakani kwa wagombea hao ambao kura zao zimefanana. (7) Kama itatokea nafasi ya Mwenyekiti au kuwa wazi, Makamu wa Mwenyekiti Halmashauri au Makamu Mwenyekiti katika muda wa siku zisizozidi sitini tangu nafasi hiyo ilipotokea. itamchagua Mwenyekiti Uongozaji wa Mikutano ya Halmashauri - 10 Verify source ↗
Section 10
AI-assisted research summary: Section 10 sets meeting leadership, dress, attendance, and chairperson office-time rules for the council.
10. (1) Mkutano wa Halmashauri utaongozwa na- (a) Mwenyekiti; 13 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe (b) kama Mwenyekiti hayupo, Makamu wa Mwenyekiti; au (c) kama Mwenyekiti na Makamu wa Mwenyekiti wote hawapo, au kama Mwenyekiti na Makamu wa mwenyekiti wote hawawezi kuongoza mkutano, yeyote mjumbe na wajumbe kutoka miongoni mwa wajumbe waliohudhuria kwa ajili ya kuongoza mkutano huo; atachaguliwa (d) wajumbe wawapo ndani ya ukumbi wa mikutano wa Halmashauri watavaa mavazi maalum yaliyochaguliwa na kushonwa maalum kwa ajili hiyo; (e) endapo vazi maalum lililochaguliwa na Halmashauri ni joho basi litavaliwa juu ya vazi la mjumbe, na endapo Halmashauri haina joho basi mjumbe atavaa vazi la heshima, na mavazi kama jeans, kofia zisizohusiana na dini na sare za chama hazitaruhusiwa kuvaliwa wakati wa mikutano ya Halmashauri na vikao vya Kamati za Kudumu za Halmashauri; (f) vazi ya rasmi la Mwenyekiti na Mkurugenzi na Makamu Mwenyekiti lenye kuonyesha rangi za litakuwa Bendera na mazao Taifa yanayolimwa kwa wingi katika eneo la Halmashauri, Halmashauri kadri itakavyoona inafaa. Hata hivyo, Kanuni ambayo hii yanatumika kabla ya Kanuni hii, haitaathiri majoho (g) endapo huo Halmashauri itajigeuza kuwa kamati, mkutano katika 14 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe wajumbe watavua majoho. (h) Endapo Baraza litajigeuza kuwa Kamati taratibu za kuendesha Vikao vya Kamati zitatumika na Kikao hicho kitakuwa cha siri (2) Madaraka au jukumu lolote la Mwenyekiti kuhusiana na uendeshaji wa mikutano yanaweza kutekelezwa na mtu anayeongoza Mkutano huo. (3) Halmashauri itatenga siku mbili kila wiki kwa ajili ya Mwenyekiti kufika ofisini na kutekeleza majukumu yafuatayo: (a) kusikiliza matatizo ya Wananchi; (b) kupata maelezo toka kwa Mkurugenzi kuhusu uendeshaji wa shughuli za ikiwa ni pamoja na Halmashauri masuala ya manunuzi; (c) kusaini mikataba mbalimbali ya Halmashauri; na (d) kushughulikia ambalo Mkurugenzi linahitaji kushughulikiwa au kutekelezwa na Mwenyekiti. jambo ataona (1) Kila mjumbe anayehudhuria mkutano wa Halmashauri au Kamati yoyote ya Halmashauri ambamo yeye ni mjumbe hatahudhuria mkutano huo mpaka awe ameweka saini yake kwenye rejesta na ya mahudhurio Mkurugenzi kwa ajili hiyo. inayotunzwa (2) Isipokuwa siku ya kufanyika kwa mikutano ya Baraza au Kamati ambayo diwani ni mjumbe au pale atakapoitwa kutekeleza majukumu ya Serikali, si ruhusa kwa diwani kuwa katika ofisi 15 Kumbukumbu ya Mahudhurio - 11 Verify source ↗
Section 11
AI-assisted research summary: Hii sehemu inaeleza kanuni za kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe na inataja shughuli zisizohusiana na Halmashauri au Serikali.
11. Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe za Halmashauri na kufanya shughuli ambazo hazihusiani na Halmashauri au Serikali. - 12 Verify source ↗
Section 12
AI-assisted research summary: Halmashauri meetings are open to the public and the media, and the council must announce the meeting time, date, and place in advance.
12. (1) Mikutano ya Halmashauri itakuwa wazi kwa watu wote pamoja na vyombo vya habari. Kuruhusu Watu na Vyombo vya Habari Kwenye Mikutano ya Halmashauri (2) Halmashauri itapaswa kuutangazia umma kuhusu muda, wakati na mahali pa Mkutano na italiweka tangazo hilo mahali panapoonekana kwa urahisi katika eneo la Halmashauri siku zisizopungua tatu kabla ya Mkutano, na kama Mkutano umeitishwa katika muda mfupi zaidi basi wakati wa kuitisha Mkutano huo. Utaratibu wa Shughuli za Mikutano - 13 Verify source ↗
Section 13
AI-assisted research summary: Kila mkutano wa Halmashauri unapaswa kufuata utaratibu wa kawaida uliotajwa, isipokuwa Halmashauri ikiamua kubadili utaratibu kwa sababu za dharura.
13. (1) Isipokuwa kama Halmashauri, kutokana na sababu za dharura, itaamua kubadili utaratibu wa shughuli za mikutano, utaratibu wa shughuli katika kawaida wa kila Mkutano wa Halmashauri utakuwa kama ifuatavyo- (a) Mwenyekiti akiongozwa na Katibu ataingia ukumbini baada ya mratibu wa vikao kutoa ishara maalum kuashiria na Mwenyekiti wajumbe watasimama na kukaa kimya mpaka pale Mwenyekiti atakaporuhusu wajumbe kukaa; ukumbini kuingia (b) mkutano utaanza kwa sala au dua itakayosomwa na Mwenyekiti; (c) endapo Mwenyekiti au Makamu Mwenyekiti hawatakuwepo, wajumbe watachagua mtu wa kuongoza kikao; (d) baada ya sala/dua kusomwa Mkurugenzi na Mwenyekiti wa Halmashauri watajibu maswali ya papo kwa papo kutoka kwa wajumbe wa Baraza la madiwani kwa utaratibu na mpangilio kama ilivyooneshwa kwenye Kanuni 16 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe hizi; (f) jambo (e) kupokea na kujadili taarifa za kwenye Kata kutoka kwa Madiwani wa Kata husika; kujadili linalotakiwa kushughulikiwa kwa mujibu wa Sheria kabla ya shughuli nyingine yoyote; kupokea inayopaswa kupokelewa kisheria kabla ya shughuli nyingine yoyote; taarifa yoyote lolote (g) nakala (h) kusoma au kuthibitisha muhtasari wa mkutano wa kawaida wa Halmashauri uliopita na mikutano yoyote Maalum ya Halmashauri iliyofanyika baada ya mkutano huo wa kawaida. Hata hivyo, iwapo zimesambazwa kwa kila mjumbe kabla au wakati wa kupeleka taarifa ya kuhudhuria mkutano, mihtasari hiyo itachukuliwa kuwa imesomwa; taarifa ambayo Mwenyekiti atapenda itolewe kwa Halmashauri; (i) kupokea yoyote za mihtasari (j) kujibu maswali kufuatana na Kanuni ya 21 ya Kanuni hizi; (k) kumalizia shughuli yoyote iliyobaki katika mkutano wa kawaida uliopita; (l) kupokea na kufikiria taarifa za Kamati za Halmashauri, kutoka kwa wenyeviti wa Kamati ambao watahusika kujibu maswali ya wajumbe kuhusiana na kazi za Kamati husika; (m) kupokea na kujadili taarifa kutoka kwa Mkurugenzi wa Halmashauri; (n) kuidhinisha utiaji lakiri katika hati; (o) kufikiria hoja binafsi kufuatana na jinsi (p) zilivyopokelewa; na kushughulikia yaliyoonyeshwa mkutano. mambo katika mengine ya taarifa 17 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe Kuthibitisha Muhtasari - 14 Verify source ↗
Section 14
AI-assisted research summary: The secretary must prepare and keep the meeting minutes, and the chairperson must read, confirm, and sign them. Discussion on the minutes is limited to whether they are accurate. The council may change the order of business at an ordinary meeting for special urgency, but not the order set out in Rule 13(1)(a)-(c).
14. (2) Halmashauri inaweza, katika mkutano wowote wa kawaida, kubadili utaratibu wa hoja za mazungumzo ili kutoa kipaumbele kwa shughuli yoyote ambayo kwa maoni ya Mwenyekiti na uharaka wa pekee, lakini mabadiliko hayo hayatabadilisha mpangilio wa shughuli zilizotajwa katika aya (a), (b) na (c) za Kanuni ya 13(1) ya Kanuni hii. (1) Katibu ataandika muhtasari wa mazungumzo ya kikao unaozingatia majina ya wajumbe waliohudhuria na wasiohudhuria, jina la mtoa hoja, aliyeunga mkono hoja, mabadiliko ya hoja kwa ufupi, ushauri uliotolewa na azimio lililofikiwa. Muhtasari utasomwa, kurekebishwa, kuthibitishwa na kusainiwa na Mwenyekiti wa Mkutano na kutunzwa katika rejesta maalum ya mihtasari. huo (2) Mara baada ya kusoma muhtasari, au kama itachukuliwa kama umesomwa Mwenyekiti atauliza swali “Je Muhtasari wa Mkutano wa Halmashauri wa ya mwezi…………. Mwaka……..utiwe saini kama kumbukumbu sahihi?” tarehe…………… (3) Hakuna hoja au majadiliano yatakayofanywa kuhusiana na muhtasari isipokuwa kuhusiana na usahihi wa muhtasari, kama hakuna swali lililoulizwa, basi mara baada ya kuthibitishwa Mwenyekiti atatia saini katika muhtasari huo. (4) Muhtasari ambao utakuwa umesainiwa vilivyo na kama hakuna ushahidi wa kuwepo kwa sahihi na makosa utakuwa kumbukumbu mkutano utahesabika kuwa umeitishwa na kufanyika vilivyo na Wajumbe waliohudhuria watahesabika halali. 18 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe (5) Mihtasari ya Halmashauri itakuwa wazi kwa ukaguzi na Wajumbe na kwa umma kwa wakati unaofaa na kwa utaratibu utakaokubaliwa na Halmashauri na kwamba mtu yeyote anaweza kupewa sehemu ya muhtasari huo kama akiomba na baada ya kulipa ada kama itakavyoidhinishwa na Halmashauri. Hoja Mwenyekiti za - 16 Verify source ↗
Section 16
AI-assisted research summary: This section sets speaking rules for council meetings, including who may speak, for how long, and when the Chair can control or stop debate.
16. (1) zinazowasilishwa Hoja na Mwenyekiti hazitazidi hoja tatu, bila kuathiri haki yake, kama Mjumbe ya kuwasilisha hoja katika taratibu za kawaida. Isipokuwa kwa idhini ya Halmashauri mtoa hoja atahutubia mkutano wa Halmashauri kwa dakika zisizozidi kumi. wajumbe wengine ikiwa ni pamoja na mtoa hoja watazungumza kwa muda usiozidi dakika tano kila mmoja. (2) Mjumbe anaruhusiwa kuzungumza mara moja isipokuwa hoja ile katika hoja yoyote inayowasilishwa bila mjadala. (3) Mtoa hoja atakuwa na haki ya kuzungumza kwa muda usiozidi dakika tano katika kujibu majadiliano na muda huo utaanza kuhesabika mara atakapoanza kuchangia au kujibu. Mratibu wa vikao atatoa ishara maalum kumjulisha mtoa hoja kuwa muda wake umeisha na mjadala juu ya hoja hiyo utafungwa. Utaratibu huu wa kuhesabu muda utatumika pia kwa Mjumbe yeyote atakayepewa muda wa kuchangia hoja na mara tu baada ya kujibu, mjadala juu ya hoja utafungwa. (4) Mjumbe yeyote aliyekwishachangia kwenye hoja hawezi kutoa au kuunga mkono marekebisho, ila marekebisho yakitolewa na kuungwa mkono, mjumbe aliyekwishazungumza katika hoja ya awali anaweza kuzungumza 19 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe kwenye hoja iliyorekebishwa kwa muda usiozidi dakika tatu. (5) Iwapo wajumbe wawili au zaidi watasimama mjumbe wakati ndiye atakayetamkwa atakayepewa nafasi kwanza. kuzungumza, na Mwenyekiti mmoja (6) Bila kuathiri masharti ya Kanuni Ndogo ya (5) ya Kanuni hii, Mwenyekiti atahakikisha kuwa, nafasi ya kuchangia inatolewa kwa uwiano unaofaa miongoni mwa aina zote za uwakilishi wa Madiwani walioomba kuchangia hoja hiyo. (7) Mjumbe anapozungumza mazungumzo yake kwa Mwenyekiti atapaswa kusimama. ataelekeza tu na (8) Mjumbe anapozungumza hatakatizwa, isipokuwa kwa suala la utaratibu, lakini anaweza kutoa nafasi kwa Mjumbe anayetaka kujieleza. (9) Mjumbe anaposimama kutoa taarifa kuhusu utaratibu, mjumbe anayezungumza ataketi na ameketi hadi hoja ya utaratibu atabaki imeamuliwa na Mwenyekiti, itakapokuwa isipokuwa kumweleza Mwenyekiti kuhusu suala la utaratibu. anasimama kama utaratibu katika mikutano (10) Mwenyekiti ndiye pekee mwenye uamuzi kuhusu ya Halmashauri, na anayo madaraka ya kuzuia fujo na kuhakikisha kuwa maamuzi yake katika kusimamia usalama yanatekelezwa mara moja. Wakati wa majadiliano Mwenyekiti akisimama, mjumbe anayezungumza au aliyesimama ataketi atakayesimama hadi na hakuna mjumbe Mwenyekiti ameketi. (11) Hakuna Mjumbe atakayebaki wakati Mjumbe mwingine amesimama anaelekeza 20 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe mazungumzo yake kwa Mwenyekiti. (12) Mkurugenzi wa Halmashauri atajibu swali lolote atakaloulizwa na Mwenyekiti kutokana na shughuli kwenye mkutano isipokuwa kama atadai haki ya kukataa kujibu swali kwa msingi ya kwamba jibu linaweza kumweka hatiani au kuvunja uaminifu wake au linamhusisha yeye kama mtetezi mahakamani. zinazoendelea (13) Hakuna mtu kwa niaba yake mwenyewe, au kwa niaba ya watu wengine walio kwenye ujumbe wa watu, atakayeruhusiwa kuzungumza katika mkutano wa Halmashauri isipokuwa kwa idhini ya Halmashauri iliyotolewa kwa njia ya azimio. Idhini ya namna hiyo haitatolewa isipokuwa kama mtu huyo au watu hao wanaotaka kuihutubia Halmashauri watakuwa wamempatia Mkurugenzi au Afisa aliyeruhusiwa naye, taarifa ya muda usiopungua siku tisa kabla ya mkutano wa Halmashauri ambamo wangetaka maombi yao yafikiriwe kupewa idhini, maombi ya linalotarajiwa kimaandishi kujadiliwa, na mpaka taarifa ya kupokelewa kwa maomi hayo itakapokuwa imebandikwa kwenye mbao za matangazo za Halmashauri. ikieleza jambo (14) Hakuna zaidi ya watu wawili watakaokuwa na haki ya kuhutubia Halmashauri kwa niaba ya uwakilishi; na wala hakuna ujumbe utakaozidi idadi ya watu watano watakaoruhusiwa. (15) Kiwango cha juu cha muda wa kuzungumza na Halmashauri ikiwa ni pomaja na muda wa kusoma risala hakitazidi dakika kumi. 21 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe - 17 Verify source ↗
Section 17
AI-assisted research summary: Section 17 refers to fujo (disturbances) caused by members and by the public.
17. (1) Fujo zinazosababis hwa Wajumbe na (2) (3) Fujo zinazosababis hwa na Umma - 18 Verify source ↗
Section 18
AI-assisted research summary: Mwenyekiti wa Halmashauri anaweza kutoa onyo, kuondoa mtu au mjumbe, na kuahirisha au kusimamisha mkutano ikiwa kuna dharau, uvurugu, au fujo.
18. (1) (2) zisiendelee Katika mkutano wowote wa Halmashauri kama mjumbe wa Halmashauri ataonyesha kukosa heshima kwa madaraka aliyonayo Mwenyekiti au kudharau Kanuni za Kudumu za Halmashauri shughuli za kwa kuzuia kwa makusudi vinginevyo, au Halmashauri Mwenyekiti ataelekeza Mkutano kwa tukio hilo kwa kumtaja jina mtu anayehusika. Endapo baada ya kutajwa jina mjumbe ataendelea kudharau madaraka ya Mwenyekiti basi Mwenyekiti ataliomba baraza kuahirisha shughuli za mkutano na Mwenyekiti atatafakari jambo hilo na anaweza kuagiza yafuatayo; (a) mjumbe atolewe nje ya Mkutano kama Mjumbe wa Halmashauri na kumzuia kuhudhuria vikao vitatu mfululizo pamoja na haki zake zitokazazo na vikao hivyo; na (b) mjumbe kuzuiliwa kuhudhuria vikao vitatu zake na mfululizo zinazohusiana na vikao hivyo. kupoteza haki Iwapo kutatokea fujo kubwa katika mkutano wowote wa Halmashauri, Mwenyekiti anaweza kama ataona ni muhimu kufanya hivyo, kuahirisha mkutano bila majadiliano au swali au kusimamisha mkutano kwa muda atakaoona unafaa. Iwapo mtu yeyote kati ya umma unaohudhuria mkutano wa Halmashauri atavuruga mkutano wa Halmashauri, Mwenyekiti atamuonya mtu huyo aache kufanya hivyo. Endapo mtu huyo ataendelea kuvuruga mkutano, Mwenyekiti ataamuru mtu huyo atolewe kwenye chumba cha mkutano. Endapo kutakuwa na vurugu katika sehemu yoyote ya chumba cha Mkutano kinachotumika na umma, Mwenyekiti ataaamuru kuondolewa kwa watu wote walio katika eneo hilo. Hoja Marekebisho na - 19 Verify source ↗
Section 19
AI-assisted research summary: Motions must be submitted in writing and signed, sent to the Director at least four days before the next Council meeting, and the Director must register and report them. Some motions and amendments are restricted by notice, timing, and voting rules.
19. (1) Taarifa ya kila hoja, isipokuwa hoja 22 ya Hoja Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe iliyowasilishwa chini ya Kanuni za Kudumu Na. 15, itawasilishwa kwa maandishi yaliyowekwa saini na Diwani au Madiwani waliotoa taarifa, na itapelekwa kwa Mkurugenzi angalau siku nne kabla ya Mkutano wa Halmashauri unaofuata na akishaipokea, Mkurugenzi atagonga tarehe na kuipa namba na kuiingiza kwenye daftari kadri hoja zilivyowasilishwa, na daftari hiyo itakuwa wazi kukaguliwa na Mjumbe yeyote wa Halmashauri (2) Mkurugenzi ataonyesha katika taarifa ya kila Mkutano wa Halmashauri hoja zilizowasilishwa na kwa kadri zilivyopokelewa isipokuwa kama Diwani aliyetoa hoja hiyo ameeleza kwa maandishi wakati alipoleta hoja hiyo, kwamba anataka kuitoa katika Mkutano utakaofanyika baadaye, au baada ya kuwasilisha ameifuta hoja hiyo kwa maandishi. (3) (4) Iwapo hoja ambayo imeonyeshwa katika taarifa ya Mkutano haiwezi kutolewa na Mjumbe aliyewasilisha taarifa; au na Mjumbe mwingine yeyote kwa niaba yake, basi hoja hiyo, isipokuwa kama imeahirishwa kwa idhini ya Halmashauri, itachukuliwa kama imeondolewa na haitawasilishwa tena bila ya kutoa taarifa upya. Iwapo hoja itahusu jambo linalohusu Kamati au Kamati mbalimbali baada ya kupendekezwa na kuungwa mkono, hoja hiyo itapelekwa bila ambayo majadiliano Halmashauri itaelekeza ili iweze kufikiriwa na kutayarishiwa taarifa. kwenye Kamati (5) Ni lazima kila hoja jambo ambalo Halmashauri ina uwezo na wajibu nalo, au iwe inahusu Halmashauri ya wilaya husika. ihusu (6) Marekebisho ya hoja yaliyopendekezwa na kuungwa mkono yanaweza kuondolewa tu kwa 23 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe ridhaa ya Wajumbe wa Halmashauri walio wengi waliopo katika Mkutano. (7) Marekebisho ya hoja hoja ya msingi yanapokuwa yamethibitishwa, kama ilivyorekebishwa itatolewa na Mwenyekiti kama ndiyo hoja ya msingi ambayo nayo inaweza kufanyiwa marekebisho. Kama marekebisho ya hoja lingine hayakukubaliwa, linaweza kupendekezwa. rekebisho (8) Kwa idhini ya Mwenyekiti, zaidi ya rekebisho moja linaweza kutolewa kwa wakati mmoja mbele ya Mkutano wa Halmashauri, lakini kila rekebisho la namna hii litatolewa moja baada ya jingine kufuatana na jinsi mapendekezo hayo yalivyotolewa. (9) Rekebisho halitachukuliwa kuwa sahihi kama litakuwa sawa na kuikataa hoja moja kwa moja au kama si rekebisho la hoja ya msingi linalokusudiwa kurekebisha. (10) Rekebisho ambalo halikutolewa taarifa, halitapendekezwa baada ya mjadala wa hoja inayozungumzwa kuendelea kwa nusu saa, ila kwa mujibu wa sharti hili, taarifa ya idadi yoyote ya marekebisho inaweza kutolewa. (11) Hoja ya kufuta azimio itapitishwa na Wajumbe wasiopungua theluthi mbili ya Wajumbe wote. (12) Hoja ya kuzingatia taarifa ya Kamati au kuidhinisha majadiliano au mapendekezo ya Kamati inaweza kutolewa na Mwenyekiti wa Kamati husika, au na Mjumbe yeyote wa Kamati husika kwa niaba yake. (13) Mjumbe yeyote ambaye hajachangia katika mjadala wa hoja, au hajaitolea marekebisho, 24 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe anaweza kupendekeza “kwamba Halmashauri iendelee na shughuli inayofuata”. Hoja ya aina hiyo inaweza tu kuzingatiwa baada ya hoja kupendekezwa na kuungwa mkono. Hoja inapotolewa, itaamuliwa bila marekebisho au shughuli mjadala, na kama iliyokatizwa na azimio hilo haitaendelea kujadiliwa katika kikao hicho. Hoja ya kupendekeza kuendelea na shughuli inayofuata haitatolewa zaidi ya mara moja katika mjadala wa jambo lolote. ikikubaliwa, (14) Baada ya mjadala kuhusu hoja kuendelea kwa muda usiopungua nusu saa, Mjumbe ambaye hajachangia katika majadiliano anaweza kuomba idhini ya kutoa hoja “kwamba suala lililo mbele yetu sasa liamuliwe” na kama idhini hiyo itatolewa kwa kukubaliwa na si chini ya Wajumbe watano, hoja “kwamba suala lililo mbele yetu sasa liamuliwe” itawasilishwa mara moja, na kama ikiafikiwa, mtoa hoja ya msingi anaweza kuzungumza kwa dakika zisizozidi tano, na baada ya hapo swali au maswali yaliyo mbele ya Halmashauri yatafanyiwa uamuzi. (15) Hoja “kwamba suala lililo mbele yetu sasa liamuliwe” haitatolewa zaidi ya mara moja katika mjadala unaoendelea kuhusu jambo lolote mpaka hapo mjadala utakapokuwa umeendelea kwa angalau nusu saa tangu kuwekwa mbele ya Mkutano hoja ya aina hiyo ilipopendekezwa awali. Hoja zinazoweza kutolewa bila Taarifa - 20 Verify source ↗
Section 20
AI-assisted research summary: Motions listed in this section may be brought without notice.
20. Hoja zifuatazo zinaweza kutolewa bila taarifa. (a) Kumchagua Mwenyekiti wa Mkutano ambamo hoja imetolewa. (b) Hoja kuhusu usahihi wa muhtasari, kufunga Mkutano, kuahiirsha Mkutano, utaratibu wa Mkutano, suala linalofuata. au 25 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe (c) Kuteua Kamati au Wajumbe wa Kamati, au wawakilishi katika taasisi za nje, unaotokana na lililotaarifiwa jambo katika wito wa Mkutano; (d) Kukubali taarifa na mapendekezo ya Kamati na maazimio yote yanayotokana na taarifa au mapendekezo hayo; (e) Kwamba idhini itatolewa kuiondoa hoja; (f) Kusahihisha hoja; (g) Kuongeza muda wa hotuba; (h) Kuwa, jambo lililotajwa katika taarifa ya kuitisha Mkutano litangulie; (i) Kusimamisha Kanuni za Kudumu; (j) Kwamba Mjumbe asisikilizwe tena au aondoke katika Mkutano; (k) Kumwomba Mjumbe abakie Mkutanoni na (l) Kutoa idhini ya Halmashauri pale ambapo idhini inatakiwa kwa mujibu wa Kanuni za Kudumu hizi. Haki ya kujibu 21. Maswali - 22 Verify source ↗
Section 22
AI-assisted research summary: The motion mover may answer questions when debate is closing, and committee questions must be answered promptly.
22. (1) Mtoa hoja atakuwa na haki ya kujibu maswali wakati wa kufunga mjadala juu ya hoja; kabla ya hoja kupigiwa kura au kabla ya hoja kutolewa “kwamba kikao kiahirishwe, (2) Mjumbe anayetumia haki yake ya kujibu hataanzisha hoja nyingine mpya, (3) Baada ya kutolewa kwa jibu ambalo linahusiana na Kanuni hizi, uamuzi utafikiwa bila majadiliano zaidi. (1) Mjumbe anaweza kumuuliza Mwenyekiti wa lolote kuhusu muhtasari wa Kamati swali Kamati uliofikishwa mbele ya Halmashauri. (2) Kila swali majadiliano litaulizwa na kujibiwa bila 26 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe (3) (4) Swali au maswali yatajibiwa na Mwenyekiti wa Kamati mara moja, na Mjumbe anayeuliza maswali hayo hatanyimwa haki yake ya kujadili hoja ambayo maswali hayo yanarejewa au kutoa hoja ya marekebisho Pale ambapo swali la maandishi limeelekezwa kwa Mwenyekiti wa Kamati, na taarifa inayotakiwa imo katika mojawapo ya mihtasari ya Halmashauri, ya muhtasari ambapo habari hiyo imeonyeshwa, kutachukuliwa ni jibu la kutosha. kuonyesha sehemu Maswali ya papo kwa papo - 23 Verify source ↗
Section 23
AI-assisted research summary: The Council must set aside at least 30 minutes in each ordinary meeting for instant questions, with members registering at least 24 hours in advance.
23. (1) Halmashauri itatenga muda wa angalau dakika thelathini katika kila Mkutano wa Halmashauri wa kawaida ambapo Mwenyekiti na Mkurugenzi wa Halmashauri atajibu maswali ya papo kwa papo kutoka kwa Wajumbe kabla ya kuanza kwa za Mkutano wa shughuli Halmashauri ya kawaida (2) Wajumbe kumwuliza ambao watataka Mkurugenzi na Mwenyekiti maswali ya papo kwa papo watatakiwa kujiorodhesha kwanza kwa Mwenyekiti angalau masaa ishirini na nne (24) kabla ya Mkutano wa Halmashauri, (3) Mjumbe yeyote ambaye hatajiorodhesha kwa Mwenyekiti ndani ya masaa ishirini na nne atahesabika kuwa amechelewa, na hataruhusiwa kumuuliza Mkurugenzi au Mwenyekiti swali la papo kwa papo (4) Kabla ya kuanza kwa kipindi cha maswali ya papo kwa papo Mwenyekiti atataja majina ya Wajumbe waliojiorodhesha kuuliza maswali ya papo kwa papo na idadi ya maswali, (5) Mwenyekiti ataweka utaratibu ambao ataona unafaa na kuridhiwa na Wajumbe wa namna bora ya kuendesha kipindi cha maswali ya papo 27 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe kwa papo. (6) Mjumbe hataruhusiwa kuuliza zaidi ya swali moja la papo kwa papo (7) Maeneo ya umuhimu ambayo Wajumbe watatakiwa kuuliza maswali ya papo kwa papo ni: - (a) Uendeshaji wa jumla wa Halmashauri; (b) Utekelezaji wa miradi ya Maendeleo; (c) Mipango ya kimkakati ya kuwaondolea Halmashauri wananchi umaskini; (d) Mipango ya baadaye ya maendeleo ya Halmashauri; (e) Usimamizi na utekelezaji wa Mipango na Bajeti kwa mwaka husika; (f) Utoaji wa huduma za jamii kama vile elimu, afya, maji, barabara na madaraja; (g) Hifadhi ya mazingira na utunzaji wa vyanzo vya maji; (h) Usalama wa chakula na wa raia na mali zao; (i) Utawala Bora na utatuzi wa kero za wananchi. (8) Baada ya kujibiwa kwa swali, muuliza swali atapewa fursa ya kuuliza swali moja tu la ufafanuzi na maswali yatajibiwa bila mjadala. (9) Mwenyekiti atakuwa na uwezo wa kuruhusu au kukataa swali lolote la papo kwa papo ambalo litaonekana linahitaji takwimu au utafiti zaidi au swali kumdhalilisha Mwenyekiti au Mjumbe yeyote wa Baraza na uamuzi wake utakuwa wa mwisho. Mwenyekiti linalenga ambalo 28 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe Taarifa za Kamati - 24 Verify source ↗
Section 24
AI-assisted research summary: Kamati iliyo chini ya Kanuni hizi lazima itoe taarifa kwa Halmashauri na kusambaza muhtasari wa kuidhinishwa kwa wajumbe angalau siku 7 kabla ya mkutano; pia, baadhi ya vipengele vinaweza kuondolewa na visizungumzwe.
24. atakuwa na uwezo wa kutojibu swali la papo kwa papo iwapo swali hilo litaonekana linahitaji takwimu au tafiti zaidi au litaonekana ni swali la kumdhalilisha Mwenyekiti au Mjumbe wa Baraza. (10) Mara baada ya muda wa nusu saa kumalizika, kipindi cha maswali ya papo kwa papo kitamalizika na kuruhusu shughuli zingine za kikao kuendelea (1) Kila Kamati au Kamati ya pamoja iliyoteuliwa chini ya Kanuni hizi itatoa, katika mojawapo ya vikao viwili vya Halmashauri iliyoteua Kamati, Kamati ya pamoja au Kamati Ndogo, taarifa ya majadiliano yanayohusiana na utekelezaji majukumu iliyokasimiwa, kwa ujulisho wa Halmashauri. (2) Muhtasari wa Kamati unaohitaji idhini ya Halmashauri, na taarifa zozote zinazohusiana na muhtasari huo, na ambazo zinaonekana kwa Kamati kuwa zinastahili, zitapelekwa kwa kila Mjumbe wa Halmashauri angalau siku saba kabla ya Mkutano wa Halmashauri ambamo utafikiriwa. (3) Mwenyekiti wa Kamati, au Mjumbe mwingine wa Kamati kwa niaba yake, wakati wa kupendekeza kuidhinishwa kwa muhtasari wa Kamati, anaweza kusema kuwa hakusudii kuwasilisha kipengele au vipengele fulani vya muhtasari huo kwa lengo la kupata idhini ya Halmashauri. Katika hali hiyo Mjumbe yeyote hataweza kukizungumzia kipengele au vipengele hivyo na muhtasari utawasilishwa bila vipengele hivyo. Kuondolewa kwa kipengele cha aina hiyo kutatolewa taarifa kwenye Mkutano unaofuata. (4) Taarifa ya Kamati inapokuwa imepokelewa na 29 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe kuwa itamaanisha Halmashauri hatua zilizochukuliwa na Kamati husika zimekubaliwa na mapendekezo yaliyo kwenye taarifa hiyo yatatekelezwa na kwamba Mkurugenzi atakuwa ameelekezwa ipasavyo. Taarifa za kutoka kwenye Kata - 25 Verify source ↗
Section 25
AI-assisted research summary: Kata lazima zitoe taarifa za utekelezaji kwenye mkutano wa Halmashauri, na taarifa hizo ziwasilishwe na Diwani wa Kata au mbadala wake.
25. (1) Kila Kata taarifa za itatakiwa kuwasilisha utekelezaji katika Mkutano wa Halmashauri ulioitishwa chini ya Kanuni ya 3(1) ya Kanuni hizi: (2) Taarifa za utekelezaji kutoka katika Kata zitawasilishwa na Diwani wa Kata husika, au kama Diwani hayupo, taarifa hiyo itawasilishwa na Diwani wa Viti Maalum anayeishi katika Kata hiyo na kama Diwani Viti Maalum hayupo, Mwenyekiti atamtaarifu mapema Diwani yeyote ili ajiandae kuwasilisha taarifa hiyo; (3) Kutakuwa na aina tatu za taarifa zitakazowasilishwa: - Kata (a) Taarifa ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo ambayo fkatika itajumuisha ujenzi wa Madarasa, Nyumba za Walimu, Matundu ya Vyoo, Maabara, Viwanja vya Michezo, Vituo vya Afya, Zahanati, Madaraja, Barabara, Mashamba darasa, Ofisi za Vijiji, Mitaa, Kata na Tarafa; Idadi ya watu na vizazi. (b) Taarifa zinazohusu hali ya Kata ambazo zitajumuisha; (i) Maendeleo ya Elimu katika Kata kuhusiana na uandikishaji wa watoto wenye umri wa kwenda shule, ufundishaji, utoro, hali ya mahudhurio, mimba mashuleni, ukaguzi na uratibu wa shule. 30 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe (ii) Hali ya majanga ya kibinadamu kama vile mlipuko wa magonjwa, mafuriko, njaa na hali ya uhalifu na vifo (iii) Maendeleo ya Kilimo, mifugo na itajumuisha ambayo uvuvi upatikanaji wa wataalmu, zana za kisasa na pembejeo za kilimo, mifugo na uvuvi (iv) Uimarishaji wa dhana ya uzalendo na utaifa kwa kuhamasisha vijana kuanzisha na kujiunga na vikundi vya Vijana Wagani kazi na mafunzo ya Jeshi la Mgambo, ulinzi shirikishi na polisi jamii; (c) Taarifa ya utekelezaji wa miradi ya Maendeleo na taarifa ya hali ya Kata sharti ijumuishe pia taarifa za shughuli za kiuchumi, taarifa ya mavuno ya mazao ya chakiula na biashara pamoja na taarifa ya utunzaji wa mazingira na vyanzo vya maji. (4) Mkurugenzi wa Halmashauri atahakikisha taarifa kutoka kwenye Kata, zinaandaliwa na kuwasilishwa na Diwani wa Kata hiyo kwenye Baraza la Madiwani ili ipitiwe na kuchambuliwa kwa nia ya kupata hoja zitakazowasilishwa katika vikao vya Kamati husika na kutoa mrejesho. Mafanikio na changamoto (5) Mwasilishaji wa taarifa atatakiwa kuelezea mafanikio yaliyopatikana, changamoto zilizo jitokeza na mbinu za kukabiliana nazo; (6) Mbinu za kukabiliana na changamoto sharti ziwekewe malengo na muda Maalum wa kuzitatua; Taarifa za mapokeo ya fedha na matumizi yake zitakazokuwa zimeandaliwa na Afisa Mtendaji (7) 31 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe wa Kata, zitawasilishwa sanjari na miradi iliyotekelezwa na gharama zake. (8) Baada ya taarifa kutoka kwenye Kata kupokelewa na Halmashauri, itamaanisha kuwa taarifa hizo zimeidhinishwa na mapendekezo taarifa yatatekelezwa na yaliyomo kwenye Halmashauri, na Kata kupewa taarifa ya utekelezaji wa majukumu hayo. - 26 Verify source ↗
Section 26
AI-assisted research summary: Section title about freedom to speak during discussions and defamatory statements.
26. Uhuru wa kutoa Mawazo wakati wa Majadiliano Kauli zenye Kashfa - 27 Verify source ↗
Section 27
AI-assisted research summary: Wajumbe wana uhuru wa kutoa mawazo katika majadiliano ya mikutano ya Halmashauri, lakini kauli ya kashfa inaweza kusababisha kuombwa kufuta kauli na kuomba msamaha kwa maandishi ndani ya siku saba, na baadaye kusimamishwa mikutano mitatu ikiwa atakataa.
27. (1) Kutakuwepo na uhuru wa kutoa mawazo wakati wa majadiliano katika mikutano ya Halmashauri na uhuru huo hautaweza kuhojiwa katika mahakama yoyote au mahali popote nje ya Mkutano wa Halmashauri. Inapotokea, kulingana na maoni ya Mwenyekiti au mtu yeyote anayeongoza Mkutano, kuwa kauli iliyotolewa na Mjumbe inakashifu mtu yeyote, Mwenyekiti atamtaka Mjumbe aliyetoa kauli hiyo kufuta kauli yake na kumwomba msamaha mtu aliyekashifiwa kwa maandishi ndani ya muda wa siku saba tangu kauli hiyo ya kashfa ilipotamkwa. (2) Endapo Mjumbe aliyetoa kauli za kashfa atakataa kufuta kauli yake na kuomba msamaha kwa maandishi kama inavyoelekezwa katika Kanuni Ndogo (1) ya Kanuni hii, Mwenyekiti au mtu anayeongoza Mkutano, atamsimamisha Mjumbe huyo kuhudhuria vikao vitatu mfululizo vya Halmashauri (3) Mjumbe aliyesimamishwa kwa mujibu wa Kanuni Ndogo (2) ya Kanuni hii atapoteza haki zake zote ikiwa ni pamoja na posho, nauli na upendeleo na kinga kwa muda wote wa kusimamishwa kwake; 32 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe Maamuzi ya Mikutano ya Halmashauri - 28 Verify source ↗
Section 28
AI-assisted research summary: Council meeting matters are decided by majority vote; if there is a tie, the chair or presiding member gets a casting vote, and some votes must be secret.
28. (1) Masuala yote yaliyojadiliwa na kupendekeza katika Mkutano wowote wa Halmashauri yataamuliwa kulingana na wingi wa kura za Wajumbe waliohudhuria Mkutano huo, na ikitokea kura za Wajumbe zikalingana, basi Mwenyekiti au Mjumbe yeyote mwingine anayeongoza Mkutano, atapiga kura ya turufu mbali ya kura ya kawaida. (2) suala linalopigiwa kura linahusu Iwapo kutokuwa na imani au kumwondoa Mwenyekiti lolote lingine kama madarakani, au itakavyoamuliwa kura zitapigwa kwa siri. na Halmashauri, jambo - 29 Verify source ↗
Section 29
AI-assisted research summary: The Chairperson may invite any person to attend, speak, or participate in a council meeting after consulting members, but the invitee cannot vote. Department heads must attend all council meetings but cannot vote. The Director must ensure certain committee and village/ward summaries are reviewed and analyzed, with feedback given as appropriate.
29. Mwaliko kwa wasiokuwa Wajumbe kushiriki na kuzungumza kwenye Vikao vya Halmashauri (1) Mwenyekiti, baada ya kushauriana na Wajumbe, anaweza kumwalika mtu yeyote kuhudhuria na kuzungumzia jambo lolote, au kushiriki kwa njia yoyote, katika Mkutano wowote wa Halmashauri lakini mwalikwa huyo hatakuwa na haki ya kupiga kura katika Mkutano huo. (2) Wakuu wa Idara za Halmashauri wanapaswa kuhudhuria mikutano yote ya Halmashauri lakini hawatakuwa na haki ya kupiga kura katika mikutano hiyo. Mkurugenzi wa Halmashauri atahakikisha mihtasari yote ya Kamati za Maendeleo za Kata, Halmashauri za Vijiji na Mikutano Mikuu ya Vijiji inapitiwa na kuchambuliwa kwa nia ya kupata hoja zitakazowasilishwa katika vikao vya Kamati husika na kutoa mrejesho inavyopaswa. (1) Mihtasari ya Halmashauri na kupelekwa kwa taarifa, kwa Mkuu wa Wilaya na Mkuu wa Mkoa ambamo Halmashauri imo katika muda wa siku 7 baada ya kuthibitishwa itatolewa 33 Mihtasari ya kata na vijiji - 31 Verify source ↗
Section 31
AI-assisted research summary: Mkuu wa Wilaya na Mkuu wa Mkoa wanaweza kupewa nakala ya mihtasari wakiiomba, na hawaruhusiwi kubatilisha au kuagiza kubadilishwa kwa uamuzi wa Halmashauri.
31. Mihtasari ya Halmashauri kupelekwa kwa Mkuu wa Wilaya na Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe Mkuu wa Mkoa kwa mihutasari hiyo. (2) Mkuu wa Wilaya na Mkuu wa Mkoa wanaweza kupewa, wakiomba, nakala ya mihtasari au sehemu ya mihtasari ya Kamati za Kudumu na Kamati nyingine. (3) Wakuu wa Wilaya na Wakuu wa Mikoa hawatabadilisha au kubatilisha au kuagiza uamuzi wa kubadilisha Halmashauri. kubatilisha au Hoja kuhusu Matumizi
Part
SEHEMU YA IV
- 41 Verify source ↗
Mwenyekiti kuwa Mjumbe wa Kamati zote
AI-assisted research summary: The chairperson is to be a member of all committees.
41. Mwenyekiti kuwa Mjumbe wa Kamati zote. - 48 Verify source ↗
Mkutano Maalum wa Kamati
AI-assisted research summary: 48. Mkutano Maalum wa Kamati. 2 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe
48. Mkutano Maalum wa Kamati. 2 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe - 50 Verify source ↗
Mahudhurio katika mikutano ya Kamati
AI-assisted research summary: Section title about attendance in committee meetings.
50. Mahudhurio katika mikutano ya Kamati. - 51 Verify source ↗
Mtoa hoja kualikwa kwenye Mkutano wa Kamati
AI-assisted research summary: The mover of the motion is invited to the committee meeting.
51. Mtoa hoja kualikwa kwenye Mkutano wa Kamati. - 52 Verify source ↗
Waalikwa wasiokuwa Wajumbe kuhudhuria na kushiriki
AI-assisted research summary: Invited non-members may attend and participate in committee meetings.
52. Waalikwa wasiokuwa Wajumbe kuhudhuria na kushiriki katika mikutano ya Kamati. - 53 Verify source ↗
Mahudhurio ya Umma na Vyombo vya Habari kwenye
AI-assisted research summary: This section concerns public and media attendance at committee and subcommittee meetings.
53. Mahudhurio ya Umma na Vyombo vya Habari kwenye Mikutano ya Kamati na Kamati Ndogo. - 54 Verify source ↗
Athari za nafasi wazi kwenye Kamati
AI-assisted research summary: Section title about the effects of a vacant seat on a committee.
54. Athari za nafasi wazi kwenye Kamati. - 56 Verify source ↗
Kanuni za Kudumu kutumika katika mikutano ya Kamati
AI-assisted research summary: Standing orders apply to committee meetings.
56. Kanuni za Kudumu kutumika katika mikutano ya Kamati. - 57 Verify source ↗
Upigaji kura kwenye mikutano ya Kamati
AI-assisted research summary: This section is about voting at committee meetings.
57. Upigaji kura kwenye mikutano ya Kamati. - 60 Verify source ↗
Kutunza siri za majadiliano ya Kamati na Kamati Ndogo
AI-assisted research summary: This section concerns keeping the discussions of the Committee and Subcommittee confidential.
60. Kutunza siri za majadiliano ya Kamati na Kamati Ndogo. - 61 Verify source ↗
Kujiuzulu wadhifa wa Mwenyekiti wa Kamati
AI-assisted research summary: This section concerns resignation from the office of Chairperson of the Committee.
61. Kujiuzulu wadhifa wa Mwenyekiti wa Kamati. - 62 Verify source ↗
Kujiuzulu ujumbe wa Kamati na kujazwa kwa nafasi
AI-assisted research summary: Section 62 concerns resignation of a committee member and filling the vacant position.
62. Kujiuzulu ujumbe wa Kamati na kujazwa kwa nafasi iliyoachwa wazi. SEHEMU YA V UNUNUZI WA VIFAA, UPATIKANAJI WA HUDUMU NA UJENZI - 48 Verify source ↗
Section 48
AI-assisted research summary: A committee special meeting must be convened if two thirds of committee members request it in writing with reasons; a member may have matters placed on the agenda with at least four days' notice; and members may not send someone else to represent them at the meeting.
48. (1) Mkutano Maalum wa Kamati utaitishwa baada ya theluthi mbili ya Wajumbe wa Kamati kuomba kwa maandishi kuwa Mkutano huo ufanyike na kueleza sababu. (2) Taarifa ya Mkutano Maalum wa Kamati itaonyesha itakayofanyika katika Mkutano Maalum huo na hakuna jambo jingine lolote litakalojadiliwa katika Mkutano huo. shughuli Mjumbe wa Kamati atakuwa na haki ya hoja zake kuwekwa katika ajenda ya Kamati kama atatoa taarifa ya angalau siku nne(4) kabla ya tarehe ya kikao. (1) Mjumbe wa Kamati ya Kudumu au Kamati kuhudhuria Ndogo, Mkutano wa Kamati Ndogo, hataruhusiwa kutuma mtu mwingine kumwakilisha kwenye Mkutano wa Kamati au Kamati Ndogo. ameshindwa ambaye Ajenda Kamati za - 50 Verify source ↗
Section 50
AI-assisted research summary: Wajumbe wa kamati wanaweza kuhudhuria tu kamati wanachomo; walioalikwa hawawezi kupiga kura. Mjumbe wa Kamati hana budi kutofichua yanayojadiliwa bila ruhusa, na Mkurugenzi lazima aahirishe na kuitisha tena kikao ndani ya siku 7 kama hakuna akidi.
50. Mahudhurio katika mikutano ya Kamati 42 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe (2) Mjumbe wa Halmashauri hatakuwa na haki ya kuhudhuria kikao chochote cha Kamati au Kamati Ndogo ambamo yeye si Mjumbe, isipokuwa kama Kamati au Kamati Ndogo inayohusika imemwalika kuhudhuria, na hata hivyo hatakuwa na haki ya kupiga kura au kudai posho kwa kuhudhuria Mkutano huo wa Kamati au Kamati Ndogo. 51 52 Mtoa hoja kualikwa kwenye Mkutano wa Kamati Waalikwa wasiokuwa Wajumbe kuhudhuria na kushiriki katika Mikutano ya Kamati 53 54 Mahudhurio ya umma na Vyombo vya Habari kwenye Mikutano ya Kamati na Kamati Ndogo Athari za nafasi wazi kwenye Kamati Mjumbe wa Halmashauri anayewasilisha hoja ambayo imepelekwa kwenye Kamati atapewa taarifa ya Mkutano wa Kamati ambamo hoja yake imepagwa kuzungumzwa na kama atahudhuria atapewa nafasi ya kuizungumzia. Mwenyekiti wa Kamati, Kamati ya pamoja au Kamati Ndogo baada ya kushauriana na Wajumbe wa Kamati, Kamati ya pamoja na Kamati Ndogo, anaweza kumwalika mtu yeyote kuhudhuria na kuzungumza kwenye Mkutano kuhusu suala lolote au kushiriki kwa namna yoyote kwenye kikao cha Kamati, lakini mtu huyo atakayealikwa hatakuwa na haki ya kupiga kura kwenye Mkutano huo. Majadiliano katika Kamati, Kamati ya pamoja au Kamati Ndogo hayatakuwa wazi kwa umma na vyombo vya habari, isipokuwa kwa kutokana na azimio la Halmashauri linaloruhusu kuwa umma na vyombo vya habari vihudhurie. (1) Kunapotokea nafasi wazi kwenye Kamati, Kamati ya pamoja au Kamati Ndogo, Kamati itaendelea kutekeleza shughuli zake licha ya kuwepo kwa nafasi wazi hiyo au hizo au mpaka nafasi hiyo au hizo zitakapojazwa, kwa njia ya uchaguzi au uteuzi. Mjumbe atakayejaza nafasi atashika nafasi hiyo kwa kipindi hiyo kilichosalia cha Mjumbe ambaye nafasi yake 43 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe imekuwa wazi. Akidi kwenye Mikutano ya Kamati 55 jambo linalotaka (2) Uhalali wa tendo lolote au maamuzi ya Mkutano wowote wa Kamati hautaathiriwa kutokana na hitilafu katika uteuzi wa Mjumbe aliyeshika nafasi hiyo au nafasi hiyo kuachwa wazi na Mjumbe, au Wajumbe au Mjumbe au Wajumbe kuamua kutoka kwenye kikao kwa lengo la kukwamisha kutolewa maamuzi na Kamati hiyo. Endapo Wajumbe waliohudhuria Mkutano hawatafikia akidi ya Mkutano, Mkurugenzi atauahirisha Mkutano huo na kuuitisha tena ndani ya siku saba (7) na endapo akidi haitatimia tena, idadi yoyote ya Wajumbe waliohudhuria itatengeneza akidi ya Mkutano ambapo Mkutano huo na Mkurugenzi atamjulisha Waziri kuwepo kwa hali hiyo. utaendelea utakuwa halali na Kanuni za Kudumu katika Mikutano ya Kamati 56 (1) Kanuni ya 16 ya Kanuni hizi za Kudumu itatumika, baada ya kufanya marekebisho yanayostahili, kwenye mikutano ya Kamati za Halmashauri (2) Mjumbe anapozungumza katika Mkutano wa anaweza Kamati kuzungumza zaidi ya mara mbili juu ya jambo linalojadiliwa. atakuwa ameketi na 57 Upigaji kura kwenye Mikutano ya Kamati Masuala yote yanayoletwa mbele ya Kamati yataamuliwa kwa wingi wa kura za Wajumbe waliohudhuria na kupiga kura kwenye Mkutano husika. Endapo kunatokea kura mlingano mtu anayeongoza kikao hicho atakuwa na kura ya turufu. Mihtasari ya Kamati 58 (1) Muhtasari wa kila Kamati, Kamati ya pamoja na Kamati Ndogo, utajumuisha majina ya Wajumbe waliohudhuria na wasiohudhuria, na utasainiwa 44 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe kwenye Mkutano unaofuata na mtu aliyeongoza Mkutano na muhtasari uliosainiwa hivyo, kama hakuna ushahidi wa kuwa una makosa, utapokelewa kwa ushahidi bila uthibitisho zaidi. (2) Hakuna hoja au mjadala utakaoendeshwa kuhusiana na muhtasari wa Kamati isipokuwa kuhusu usahihi wa suala linalohusu usahihi litatolewa kwa hoja. lolote Pale ambapo suala lililowasilishwa limeamuliwa kwa mujibu wa Kanuni ya 55, suala hilo halitaanza kujadiliwa upya katika Mkutano huo wa Kamati isipokuwa kama hoja hiyo inaungwa mkono na theluthi mbili ya Wajumbe waliohudhuria na kupiga kura. Mjumbe wa Kamati au Kamati Ndogo hatatoa nje jambo lolote lililoletwa au kuzungumzwa kwenye Kamati au Kamati Ndogo bila ruhusa ya Kamati hiyo, au kuzungumza kwenye Kamati Ndogo mpaka hapo Kamati hiyo au Kamati Ndogo hiyo itakapokuwa imetoa taarifa kwenye Halmashauri au imekamilisha utekelezaji wa jambo hilo. itakapokuwa Kufikiriwa Upya Maamuzi 59 60 Kutunza siri za majadiliano ya Kamati na Kamati Ndogo 61 Kujiuzulu wadhifa wa Mwenyekiti wa Kamati Mwenyekiti wa Kamati anaweza kujiuzulu wadhifa wake kwa kutoa taarifa ya maandishi aliyoisaini na kutuma kwa Mkurugenzi. 62 (1) Mjumbe yeyote wa Kamati anaweza kujiuzulu wadhifa wake kwa kutoa taarifa ya maandishi aliyoisaini na kuituma kwa Mkurugenzi. Kujiuzulu ujumbe wa Kamati na kujazwa kwa nafasi iliyowazi (2) Nafasi inayotokana na kujiuzulu kwa Mjumbe itajazwa na Halmashauri katika kikao chake cha kawaida baada ya tarehe ya kujiuzulu kwa Mjumbe. 45 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe Taratibu za uagizaji Sura ya 290 63 SEHEMU YA V UNUNUZI WA VIFAA, UPATIKANAJI WA HUDUMA NA UJENZI (1) Uagizaji wa mali, huduma na ujenzi katika Halmashauri utazingatia Kanuni za Manunuzi zilizotungwa chini ya kifungu cha 68 cha Sheria za Fedha za Serikali za Mitaa,Sura ya 290 na Sheria ya Manunuzi ya mwaka 2011. (2) Kutakuwepo na Bodi ya Zabuni ambayo imeanzishwa kwa mujibu wa Kanuni za Bodi ya Zabuni (Uanzishwaji na Mwenendo) za Serikali za Mitaa na ambayo itasimamia shughuli zote za uagizaji katika Halmashauri (3) Muhtasari wa Bodi ya Zabuni utapaswa kuwasilishwa kwenye kikao kifuatacho cha Halmashauri baada ya muhtasari huo kujadiliwa na kupitishwa kwanza na Kamati ya Fedha na Utawala 64 Kumbukumbu za majadiliano yanayohusu uagizaji Bodi ya zabuni ya Halmashauri itaweka kumbukumbu ya majadiliano yanayohusu taratibu za ununuzi zikiwa na angalau taarifa zifuatazo:- (a) Maelezo mafupi kuhusu vitu, ujenzi au huduma zinazotarajiwa kutolewa na haja iliyosababisha Bodi kuitisha zabuni. anuani ya wazabuni waliowasilisha zabuni, maelezo kuhusu sifa au ukosefu wa sifa za wazabuni waliowasilisha zabuhi zao. (b) Majina na (c) Bei au msingi wa upangaji wa bei na muhtasari wa masharti mengine muhimu ya kila zabuni na ya kila mkataba wa uagizaji wa mali, huduma na ujenzi; (d) Muhtasari wa tathmini na mlinganisho 46 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe zabuni pamoja na upendeleo wa uliokuwepo katika tathmini hiyo; (e) Kama zabuni zilikataliwa tamko kuhusu uamuzi huo na sababu za uamuzi huo; (f) Kama utaratibu mwingine wa kupata vitu au huduma mbalimbali ya utaratibu wa zabuni ndio uliotumika, basi tamko kuhusu sababu zilizoifanya Bodi iamue kutumia utaratibu huo mwingine. (g) Kama zabuni ilikataliwa kwa kuwa mzabuni alitoa, alikubali kutoa moja kwa moja au kwa njia isiyo ya moja kwa moja, kwa mtumishi wa sasa au wa zamani wa Halmashauri, bakshishi ya aina yoyote, ahadi ya kumwajiri au kitu chochote kinachohusiana na ajira au chenye thamani, kama hamasisho kwa utendaji au uamuzi au utaratibu wa kutumia, tamko kuhusu jambo hilo. (h) Katika upataji wa huduma, sababu na hali iliyoifanya Bodi kuchagua utaratibu wa kutumia katika upataji huo wa huduma. (i) Katika upataji wa vitu au huduma ambao Bodi imeamua kudhibiti ushiriki kwa misingi ya Taifa, Mkoa au Wilaya, tamko kuhusu sababu na hali iliyofanya Bodi kudhibiti ushiriki huo. Katika upataji wa vifaa na huduma kwa kuwaomba watoaji kutoa mapendekezo yao moja kwa moja tamko la sababu na hali iliyofanya Bodi kuamua kutumia utaratibu huo; na; (j) (k) Muhtasari wa maombi yoyote ya ufafanuzi kuhusu mchujo wa zabuni au nyaraka na majibu zabuni yaliyotolewa pamoja na muhtasari wa marekebisho yaliyofanywa yoyote katika nyaraka hizo. za 47 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe (2) (3) (4) Sehemu ya kumbukumbu zilizotajwa kwenye Kanuni Ndogo ya (1) (a) na (b) ya Kanuni hii zitatolewa, kama zikiombwa, kwa mtu yeyote baada ya zabuni kutangazwa, kufunguliwa na kukubaliwa, au baada ya kusimamishwa kwa taratibu za uagizaji bila ya kuingia katika mkataba wa uagizaji. itaombwa, Sehemu ya kumbukumbu zilizoelekezwa katika Kanuni Ndogo ya (1) (c) hadi (g) ya Kanuni hii itatolewa kwa wazabuni kama waliowasilisha zabuni kukubaliwa au baada ya kusitishwa bila ya kuingia kwenye mkataba wa utoaji wa vitu au huduma zabauni baada ya kama itaelekezwa Isipokuwa na mahakama yenye mamlaka na kutegemeana na masharti ya maelekezo hayo, Bodi haitatoa habari: hivyo (a) kama utoaji huo wa habari utakuwa kinyume cha Sheria; utazuia utekelezaji wa Sheria; hautakuwa na maslahi kwa umma; utahatarisha maslahi halali ya kibiashara ya wahusika au utazuia ushindani halali; na; (b) habari zinazohusu uchambuzi, tathmini na ulinganisho wa zabuni pamoja na bei mbali ya muhtasari ulioelezwa kwenye Kanuni Ndogo ya (1) (e) ya Kanuni hizi. (5) Mara baada ya zabuni kujadiliwa na Bodi, Katibu atamjulisha Mzabuni aliyefanikiwa ili makubaliano ya nyaraka za mkataba yaweze kufikiwa. (6) Nakala za muhtasari zitapelekwa kwa siri kwa 48 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe kila Mjumbe wa Bodi, Mkurugenzi, Mweka Hazina, Mkaguzi wa Ndani na Mkuu wa Idara husika kwa taarifa na kumbukumbu. (7) Kila mzabuni ambaye hakufanikiwa atajulishwa na akiomba sababu za kutokubaliwa kwa zabuni yake atapaswa kupewa sababu. za uagizaji (8) Bodi ya Zabuni kwa kuzingatia masharti ya taarifa ya Kanuni mwenendo na maamuzi ya zabuni zilizoitishwa na kuwasilishwa kwenye Mkutano wa kawaida wa Halmashauri kupitia Kamati ya Kudumu husika. itaandaa Uzuiaji wa Rushwa 65 Katika mkataba wowote wa kimaandishi, yatawekwa maneno ambayo yataonyesha kuwa Halmashauri itakuwa na haki kusitisha mkataba na kumdai Mkandarasi malipo ya fidia kutokana na kusimamishwa kwa mkataba huo endapo Mkandarasi atabainika kuwa ameahidi kutoa au ametoa, au amekubali kutoa kwa mtu yeyote zawadi yoyote au upendeleo wa aina yoyote kama kishawishi au zawadi kwa kufanya au kumpendelea au kutomkubali mtu yeyote kuhusiana na mkataba na Halmashauri au kama vitendo hivyo vitakuwa vimefanywa na mtumishi yeyote aliyeajiriwa naye au kwa niaba yake iwe Mkandarasi anafahamu au hafahamu atakuwa ametenda kosa chini ya Sheria ya Kuzuia na Kudhibiti Rushwa ya mwaka 2007. Usimamizi wa Mikataba 66 (1) Mkurugenzi wa Halmashauri atawajibika katika usimamiaji na ufuatiliaji mzuri wa Mikataba. (2) Mkataba wa upataji vitu hautabadilishwa kwa namna yoyote ile baada ya kutiwa saini na pande zinazohusika isipokuwa kama mabadiliko hayo ni:- (a) kwa faida ya Halmashauri na hayailetei 49 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe hasara Halmashauri; (b) yamethibitishwa na Bodi ya zabuni ya Halmashauri; na (c) Upande mwingine unaafiki. (3) Malipo ya mwisho hayatafanywa mpaka mkataba mzima utakapokuwa umekamilika kutokana na kuridhika kwa Halmashauri na kulingana vya mkataba vipengele unaohusika. na (4) Malipo ya fedha za salio hayatalipwa mpaka upite muda wa miezi sita na kazi iwe haina kasoro. Pale ambapo mkataba uliotiwa lakiri/muhuri na Halmashauri haukufuatwa na mkandarasi, ikiwa ni pamoja na ucheleweshaji usiokuwa wa kimsingi, Mkurugenzi atashauriana mapema iwezekanavyo na Kamati ya Fedha ,Uongozi na Mpango kwa kuzingatia taratibu zilizowekwa kwenye mkataba, itaamua hatua muafaka za kuchukua na kumfahamisha Mkandarasi juu ya uamuzi (1) Mkurugenzi atatunza maelezo yote ya mikataba rejesta ya mikataba na atafanya yale kwenye ulinganifu wa malipo yaliyoidhinishwa. halisi na Uvunjaji wa Mkataba 67 Rejesta ya Mikataba 68 (2) Taarifa ya matumizi yote ya ziada lazima Zabuni yapelekwe yakiambatana kwa Mkurugenzi. Bodi na maelezo ya kutoka kwenye Diwani/au Afisa kutokuwa na maslahi katika 69 (1) Endapo Diwani au Afisa wa Halmashauri ana maslahi ya kifedha ya moja kwa moja au vinginevyo katika mkataba wowote, mkataba 50 Mikataba Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe huo, jambo unaopendekezwa au jambo lolote, na yupo kwenye Mkutano wa Halmashauri au Kamati au mkataba ambapo mkataba unaopendekezwa au lolote lingine linajadiliwa, atatangaza jambo hilo mara Mkutano utakapokuwa umeanza na hatashiriki wala kuwepo katika majadiliano au kupiga kura kuhusu jambo linalohusu mkataba au mkataba unaopendekezwa au jambo lingine lolote ambalo ana maslahi nalo. (2) Kanuni hii haitatumika kuhusiana na maslahi katika mkataba au suala lingine ambalo Mjumbe au Afisa wa Halmashauri ana maslahi nalo kama mlipa kodi au mkazi katika eneo lililo katika himaya ya Halmashauri (3) Diwani atahesabika kuwa na maslahi ya moja kwa moja katika mkataba au jambo jingine endapo: (a) (b) yeye au mtu aliyemchagua ni Mjumbe wa kampuni au chombo kingine au anayo hati ya hisa katika kampuni ambayo imependekezwa iingie katika mkataba, au anao uhusiano wa kifedha katika jambo linalojadiliwa; au itaingia, au yeye ni mbia au ameajiriwa na mtu ambaye mkataba unafanywa naye, au utakuwa chini yake, au anao uhusiano wa kifedha wa moja kwa moja katika suala linalojadiliwa au kuzungumzwa. (4) Katika Kanuni hii maslahi ya moja kwa moja na yasiyo ya moja kwa moja ya mwanandoa au ndugu wa familia kama inafahamika kwa Mjumbe wa Halmashauri itachukuliwa kuwa ni maslahi ya moja kwa moja au yasiyo ya moja 51 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe kwa moja. (5) Taarifa ya jumla itakayotolewa kwa Mkurugenzi na Diwani au Afisa wa Halmashauri kuhusiana na yeye, mkewe, mumewe au ndugu yake kwamba ana maslahi ya moja kwa moja au yasiyo ya moja kwa moja katika mkataba unaokusudiwa au jambo lingine na akieleza aina ya maslahi isipokuwa pale atakapoondoa taarifa hiyo, kuwa ametoa taarifa ya kutosha ya maslahi yake kuhusiana na suala ambalo limo katika mjadala. itachukuliwa, (6) Mkurugezi ataandika taarifa za watu wenye maslahi waliotoa taarifa chini ya Kanuni Ndogo ya (1) na taarifa yoyote iliyomo katika Kanuni Ndogo ya (5) itakuwa wazi kwa ukaguzi wakati wa saa za kazi. (7) Halmashauri inaweza baada ya kupata kibali cha Waziri, kuondoa kizuizi chini ya Kanuni hii kinachoifanya ishindwe wakati wowote kufanya Mkutano pale ambapo idadi ya Wajumbe wenye maslahi ni kubwa mno kiasi cha kukwamisha shughuli za Halmashauri au itakuwa ni kwa maslahi ya wakazi wa Halmashauri kuondoa kikwazo hicho. (8) Katika Kanuni za Kudumu hizi, ndugu wa familia itachukuliwa kuwa ni pamoja na baba, mama, mtoto, kaka, au dada na wanandoa wao. SEHEMU YA VI MASUALA MENGINE Kiapo na kukubali Wadhifa 70 Kila Diwani kabla ya kushika wadhifa wake kama Diwani na kabla ya Mkutano wa kwanza wa Halmashauri:- 52 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe (a) atakula kiapo kama kilivyoonyeshwa kwenye jedwali la pili la Kanuni hizi za Kudumu kitakachosimamiwa na Hakimu Mkazi au Hakimu wa Wilaya; na (b) atatoa la tamko jambo kimaandishi lililoandikwa kwa Mkurugenzi akiahidi kutekeleza linalohusiana na tamko la maslahi katika shughuli za kibiashara, mali, na kadhalika na kuzifuata Kanuni za Maadili ya Madiwani, kama ilivyooneshwa kwenye jedwali la tatu la Kanuni hizi. Majukumu ya Diwani 71 (1) Diwani atakuwa na majukumu yafuatayo:- (a) kuwa karibu na wapiga kura na kupata ushauri wa Wananchi katika mambo kwenye yanayotarajiwa Halmashauri. kujadiliwa (b) kutoa maoni na mapendekezo ya wananchi kwa Halmashauri; (c) (d) (e) kuhudhuria mikutano ya Halmashauri na ya Kamati au Kamati Ndogo ambamo yeye ni Mjumbe; kutenga angalau siku moja kila mwezi kukutana na wananchi katika eneo lake la uchaguzi; kutoa taarifa kwa wapiga kura kuhusu maamuzi ya jumla ya Halmashauri na hatua zilizochukuliwa na Halmashauri kuondoa matatizo yaliyowahi kuelezwa na wakazi wa eneo lake la uchaguzi; (f) kuchangia ujuzi na uzoefu wake katika katika yanayofanyika majadiliano 53 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe mikutano ya Halmashauri na Kamati za Halmashauri; na (g) kushiriki katika shughuli za pamoja za maendeleo katika eneo lake la uchaguzi na katika eneo zima la Halmashauri (2) Katika kutekeleza wajibu wake Diwani atazingatia; (a) Maslahi ya Taifa na maslahi ya Wananchi katika eneo la Halmashauri; (b) Katiba, Sheria na Kanuni; (c) Kanuni za Maadili ya Madiwani, Mwongozo juu ya mahusiano ya Madiwani na Watumishi na miiko mingine. Nafasi Wazi 72 (1) Kiti cha Mjumbe wa Halmashauri kitakuwa wazi endapo Mjumbe: (a) (b) (c) (d) (e) (f) (g) kinachozidi miezi amefariki anakubali ajira kama mtumishi wa Halmashauri; kwa mujibu wa Sheria yoyote anatangazwa kuwa hana akili timamu; yuko chini ya hukumu ya kifo au sita kifungo kilichotolewa kwake na mahakama; kwa mujibu wa Sheria yoyote anatamkwa kuwa anapoteza sifa za kuendelea kuwa Mjumbe; atakoma kuwa mwanachama wa chama cha siasa kilichompendekeza kuwa mgombea wa kiti cha udiwani; anapokuwa amepatikana na kosa 54 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe (h) (i) (j) (k) (l) (m) na kutokana na Kanuni za Maadili ya adhabu ya kosa Madiwani alilotenda ni pamoja na kumwondoa Mjumbe madarakani; na anapoteza ujumbe kwa mujibu wa Kanuni ya 71 (2) ya Kanuni hizi za Kudumu; anahukumiwa kwa kosa la kutotaja maslahi yake. amejiuzulu kutoka kiti chake; Halmashauri imevunjwa na kuathiri mipaka ya majimbo ya uchaguzi. uchaguzi wa Mjumbe umetangazwa kuwa batili;au bila sababu ya kuridhisha au bila idhini au kibali cha maandishi cha anakosa Mwenyekiti, Mjumbe kuhudhuria mikutano mitatu ya kawaida inayofuatana ya Halmashauri au Kamati ambamo yeye ni Mjumbe; (2) Waziri atatangaza kiti kuwa wazi pale atakapojulishwa na Mwenyekiti wa Halmashauri kwa maandishi kwamba kiti kiko wazi kwa kuzingatia masharti ya kifungu cha 42 (1) cha Sheria ya Serikali za Mitaa (Mamlaka za Wilaya) Sura ya 287. Kutokuwepo kwa Wajumbe 73 (1) Halmashauri kutoa yaweza ya kutokuwepo katika mikutano yake kwa muda usiozidi miezi kumi kwa Mjumbe yeyote anayetaka kwenda nje ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. idhini (2) Pale ambapo Mjumbe kwa sababu yoyote ile amekuwa nje ya nchi kwa muda unaozidi miezi 55 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe Taratibu za kutunga Sheria Ndogo 74 (1) (2) kumi kiti chake cha udiwani kitachukuliwa kuwa kipo wazi. inayokusudiwa Pale ambapo Halmashauri inakusudia kutunga Sheria Ndogo itatoa tangazo kwa wakazi wa eneo husika kuhusu kusudio hilo katika namna ambayo itahakikisha kuwa watakaoathirika na Sheria Ndogo kutungwa wanafahamu vilivyo na kuwaomba wanaopenda kutoa pingamizi lolote au mapendekezo yao kwa maandishi katika muda uliowekwa. Pale ambapo baada ya muda wa taarifa kumalizika hakuna pingamizi au malalamiko yaliyowasilishwa, au hakuna mtu yeyote aliyetoa kipingamizi kinachokubalika mbele ya Halmashauri, Halmashauri itaendelea kutunga Sheria Ndogo ikizingatia malalamiko na pingamizi zilizotolewa (3) Sheria Ndogo, zikishatungwa na Halmashauri zitapelekwa kwa Mkuu wa Mkoa ambamo Halmashauri husika imo ili aweze kuzitolea maoni yake na kisha kuziwasilisha kwa Waziri. (4) Waziri anaweza kuidhinisha, kukubali au kukataa kuidhinisha Sheria Ndogo au kutoa au kusimamisha kibali chake kwa kutoa masharti atakayoyaeleza na anaweza baada ya kutoa idhini yake, kupanga tarehe ya kuanza kutumika kwa Sheria Ndogo hizo. zenye (5) Waziri anaweza, kabla ya kuidhinisha Sheria Ndogo kwenye maeneo yaliyotengwa au maeneo Maalum au kwa Sheria nyingine yoyote, kushauriana na Waziri anayehusika na Sheria husika au na jambo lililotungiwa Sheria Ndogo kadri itakavyokuwa. athari (6) Sheria Ndogo yoyote iliyotungwa na 56 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe Halmashauri lazima itangazwe katika Gazeti la Serikali kabla ya kuanza kutumika. Ukaguzi wa Nyaraka 75 Uanzishaji wa Bodi za Huduma 76 77 Diwani kutembelea maeneo,shugh uli mbalimbali za ujenzi n.k (1) Mjumbe ataweza, kwa madhumuni ya kutekeleza wajibu wake kama Mjumbe, na si vinginevyo, kukagua waraka wowote ambao umejadiliwa na Kamati ya Halmashauri na kama nakala zinapatikana, anaweza kupewa, akiomba, nakala kwa madhumuni hayo hayo. (2) Mjumbe hatakagua kwa makusudi au kutaka apewe nakala ya waraka wowote unaohusu jambo ambalo yeye ana maslahi nalo kwa mujibu wa Sheria ya Serikali za Mitaa (Mamlaka za Wilaya), Sura ya 287. Hata hivyo Kanuni hii haitamzuia Mkurugenzi kuzuia kukaguliwa kwa waraka wowote ambao umezuiliwa kutolewa kwa mujibu wa Sheria yoyote au Kanuni zilizotungwa chini ya Sheria hizo. (1) Halmashauri inaweza, kwa mujibu wa kifungu 88 cha Sheria ya Serikali za Mitaa (Mamlaka za Wilaya), Sura ya 287 kwa madhumuni ya kutekeleza kazi zake katika eneo lililo chini ya mamlaka yake, kuunda Bodi za Huduma kwa hati rasmi iliyotangazwa kwenye Gazeti la inafaa kufanya itakavyoona Serikali, kama hivyo. (2) Bodi ya Huduma iliyotajwa katika Kanuni Ndogo ya (1) ya Kanuni hizi itawajibika moja kwa moja kwenye Halmashauri kupitia Kamati ya Kudumu husika na itatekeleza kazi zake kama ilivyofafanuliwa katika hati inayoianzisha jengo (1) Mjumbe wa Halmashauri anaweza kutembelea ujenzi eneo, zinazotekelezwa ya Halmashauri na anaweza kutuma taarifa kwa Mkurugenzi akieleza sababu za matembezi yake shughuli au za niaba au na kwa 57 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe ili aweze kupangiwa Wataalam wa mradi au shughuli husika kwa ajili kupata maelekezo ya kitaalam. (2) Mjumbe wa Halmashauri ya au anapotembelea maendeleo miradi shughuli inayotekelezwa na au kwa niaba ya Halmashauri hataruhusiwa kutoa maelekezo au maagizo ya kitaalam awapo kwenye eneo la mradi. Baada ya Diwani kutembelea maeneo au majengo kama ilivyoainishwa kwenye Kanuni Ndogo ya (1) ya Kanuni hii anaona kuna umuhimu wa kutoa maoni au mang’amuzi yake juu ya matembezi hayo atafanya hivyo kwa kuwasilisha maoni au mang’amuzi yake kwa Mkurugenzi au kuyapeleka kwa afisa anayesimamia kazi husika kwa utekelezaji; atafanyia ambaye kazi (3) (4) Endapo maoni au mang’amuzi ya Diwani hayawezi kufanyiwa kazi na Mkurugenzi au Afisa mhusika, basi atamshauri Diwani kupeleka maoni na mang’amuzi yake kwa Kamati inayohusika na kuamuliwa yachunguzwe zaidi ili (4) Kamati za Kudumu za Halmashauri, zinaweza kutembelea miradi ya maendeleo au shughuli yoyote inayotekelezwa na au kwa niaba ya Halmashauri na ambayo inaihusu Kamati husika ili mradi katika kutembelea miradi hiyo Kamati itaongozana na Wataalam wa mradi au shughuli husika ili kupata maelekezo ya kitaalam. (5) Kamati ya Kudumu itatembelea miradi au shughuli za maendeleo kabla ya kikao cha Kamati ambacho kitajadili Mradi au shughuli hiyo. Uhifadhi wa lakiri ya 78 Lakiri ya Halmashauri itatunzwa kwa usalama 58 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe Halmashauri na kufungiwa katika kasiki kwenye Ofisi ya Mkurugenzi mwenyewe, Utiaji muhuri kwenye Nyaraka 79 (1) (2) Uandikishaji wa anuani 80 (1) (2) Lakiri ya Halmashauri haitabandikwa katika hati yoyote mpaka ubandikaji huo umeidhinishwa na azimio la Halmashauri likiidhinisha kukubaliwa kwa zabuni, ununuzi, uuzaji au upangishaji au kuchukua mali yoyote, utoaji wa hati yoyote ya ukopeshaji fedha, uwasilishaji wa madai yoyote, uwekaji wa viwango vya kodi, uingiaji kwenye mkataba, kutunga Sheria Ndogo, au hati yotote iliyo rasmi ambayo kwa mujibu wa Sheria au Kanuni yoyote inahitaji kuwekwa lakiri ya Halmashauri. Lakiri itashuhudiwa au kuthibitishwa na Mwenyekiti au Makamu Mwenyekiti na lakiri Mkurugenzi, na hati zitasainiwa na Mwenyekiti au Makamu Mwenyekiti, kama hali itakavyokuwa. zilizowekwa Itakuwa wajibu wa kila Mjumbe katika kikao cha kwanza cha Halmashauri, baada ya uchaguzi kutoa taarifa ya maandishi kwa Mkurugenzi juu ya anuani yake ya Kudumu ya kupokelea taarifa. Taarifa zilizopelekwa kwa kutumia anuani iliyoandikishwa itachukuliwa kama ndiyo sahihi na inatosheleza kwa matumizi yote. angependa Iwapo Mjumbe atatoa taarifa ya maandishi kwa Mkurugenzi kuwa taarifa ya mikutano ya Halmashauri iwe inatumwa kwake kwa kutumia anuani atakayoitaja kwenye taarifa hiyo ambayo ni tofauti na ile katika Kanuni Ndogo ya (1), taarifa yoyote itakayoachwa au itakayotumwa kwa njia ya posta kwa kutumia anwani hiyo itachukuliwa kuwa inatosha kwa ajili ya kutoa taarifa inayotakiwa kwa mujibu wa Kanuni za Kudumu hizi. Uteuzi wa Wajumbe 81 (1) Katika Mkutano wake wa kwanza, Halmashauri 59 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe kwenye Taasisi za nje itateua wawakilishi wake kwenye Bodi na Taasisi za nje ambazo Halmashauri inastahili kuwakilishwa. (2) Mjumbe au Wajumbe, wanaoiwakilisha Halmashauri kwenye Bodi na Taasisi za nje, watatakiwa kuwasilisha kwa Mkurugenzi taarifa kuhusu shughuli za Bodi au Taasisi zinazogusa sera na maslahi ya Halmashauri na wakazi wake kijumla na Mkurugenzi atachukua hatua zifaazo. Kumwondoa Mwenyekiti madarakani 82 (1) Halmashauri inaweza kumwondoa Mwenyekiti madarakani kwa azimio linaloungwa mkono na theluthi mbili ya Wajumbe kutokana na sababu yoyote kati ya sababu zifuatazo:- (a) kutumia nafasi yake vibaya; (b) (c) (d) (e) kushiriki katika vitendo vya rushwa; kushindwa kutekeleza majukumu yake mwenendo mbaya au ukosefu wa adabu; au Ulemavu wa kimwili au kiakili kwa kumfanya kushindwa kiasi cha kama kutekeleza majukumu Mwenyekiti. yake (2) Hoja au sababu zitakazotolewa lazima iwe imetimiza masharti yafuatayo: (i) Iwe na tuhuma mahsusi yenye ushahidi wa kutosha (ii) Iwe imetolewa maelezo kamili na kuhusu kueleweka yenye tuhuma zinazohusika. (3) Kwa madhumuni ya kumwondoa Mwenyekiti madarakani, kwa sababu zozote zilizotamkwa 60 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe itatumia chini ya Kanuni Ndogo ya (1) ya Kanuni hii, taratibu zilizotolewa Halmashauri katika Taratibu za Kumwondoa Mwenyekiti zilizotangazwa na Waziri kwenye gazeti la Serikali kwa mujibu wa Sheria. SEHEMU YA VII POSHO KWA WAJUMBE Aina za Posho 83 (1) Wajumbe wa Halmashauri watalipwa posho itakavyopendekezwa na mbalimbali kama Halmashauri na kuidhinishwa na Waziri. (2) zitakazolipwa kwa Wajumbe wa Posho Halmashauri zitakuwa za aina zifuatazo: (a) posho ya usafiri; (b) posho ya kuhudhuria kikao; (c) posho ya madaraka; (d) posho ya kujikimu; (e) posho ya mwezi na, (f) Kiinua mgongo (3) Endapo Mjumbe wa Halmashauri ataugua au ataumia wakati akifanya kazi aliyotumwa na Halmashauri, gharama za matibabu yake zitalipwa na Halmashauri. Endapo Mkutano wa Halmashauri au Kamati utaahirishwa kwa sababu ya kukosekana kwa akidi, Mjumbe au Wajumbe waliofika kwa ajili ya kuhudhuria Mkutano huo ulioahirishwa watastahili malipo yaliyotajwa katika Kanuni ya 81(2) (a) na (d) iwapo wamelazimika, bila kukusudia, kulala njiani au kwenye makao makuu ya Halmashauri. Hakuna malipo ya posho ya kuhudhuria kikao yatakayofanywa 61 Posho endapo Mkutano umehairishwa 84 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe katika hali ya namna hiyo. SEHEMU YA VIII MABADILIKO KWENYE KANUNI ZA KUDUMU 85 Kusitisha utumiaji wa Kanuni za Kudumu 86 Marekebisho na mabadiliko ya Kanuni za Kudumu Kanuni za Kudumu kutolewa kwa Wajumbe Kutafsiri Kanuni za Kudumu 87 88 waliohudhuria Mkutano (1) Kanuni yoyote inaweza kusitishwa kwa azimio theluthi mbili za lililoungwa mkono na wa Wajumbe Halmashauri kwa hoja iliyopendekezwa bila taarifa kwa madhumuni ya kuwezesha shughuli yoyote ishughulikiwe na Halmashauri kama jambo la dharura au lenye manufaa iliyofafanuliwa ili (2) Halmashauri haitasitisha matumizi ya Kanuni yoyote kama kusitisha huko kutasababisha kufanya jambo ambalo limezuiliwa na Sheria au kutofanya jambo linalotakiwa kufanywa chini ya Sheria yoyote. Halmashauri inaweza kubadilisha, kuongeza, kurekebisha au kutengua Kanuni hizi za Kudumu kwa azimio lililoungwa mkono kwa wingi usiopungua theluthi mbili ya kura na baada ya kupata idhini ya Waziri. Nakala iliyochapishwa ya Kanuni za Kudumu hizi zitatolewa na Mkurugenzi kwa kila Mjumbe. Uamuzi wa Mwenyekiti kuhusu maana ya matumizi ya Kanuni hizi au mwenendo wa Mkutano wa Halmashauri hautapingwa wakati wa Mkutano wowote wa Halmashauri SEHEMU YA IX ZIARA ZA WAJUMBE 62 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe Ziara za Wajumbe 89 (1) Wajumbe wa Halmashauri wanaweza kwenda ziara mbalimbali za mafunzo ili mradi ziara hizo ziwe zimeainishwa kwenye mpango na bajeti ya Halmashauri. Isipokuwa kwa ziara ambazo gharama zake hazihusiani na bajeti ya Halmashauri Wajumbe watafanya ziara hizo kwa mujibu wa ratiba ya mpango huo. (2) Bila kuathiri masharti ya Kanuni Ndogo ya (1) ya Kanuni hizi Halmashauri kabla ya kuruhusu kufanyika kwa ziara itahaikikisha kwamba; (a) (b) shughuli ya ziara hiyo inafanana na shughuli zinazofanywa na Halmashauri; ziara hiyo itafanyika baada ya kupata kibali cha Mkuu wa Mkoa; (c) Wajumbe wanakitu cha kwenda wanakokwenda (d) kule kuonyesha kujifunza ziara zinazofanyika nje ya Mkoa zihusishe wadau mbalimbali wa Halmashauri kutegemeana na ziara husika. ziara iwe na matunda yanayoonekana; (e) (f) Wajumbe walioshiriki kwenye ziara warejeapo wanatakiwa kuandaa na kuwasilisha ripoti ya maadishi kwa Halmashauri kuhusu mambo mapya na ya msingi waliyojifunza na kuweka kuyatekeleza utaratibu mzuri wa kwenye Kata kwenye na zao Halmashauri; ziara walengwa na itakavyokubalika na Halmashauri kuzingatia kama kwa mahitaji zitafanywa (g) 90 Wimbo/ Dua na sala ya kuiombea Halmashauri Kabla ya kuanza kwa Mkutano wa Halmashauri utaimbwa wimbo wa Taifa na kufuatiwa na Dua au Sala ya kuiombea Halmashauri ifuatayo; “Ewe MWENYEZI MUNGU Mtukufu, 63 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe Muumba wa Mbingu na Dunia umeweka katika Dunia Serikali za Wanadamu ili haki yako itendeke. Twakuomba, uibariki Halmashauri yetu ya Wilaya ya Mpindwe idumishe uhuru, umoja, haki na amani. Uwajalie viongozi wetu wa Halmashauri hekima, afya njema na maisha marefu ili pamoja na wanaowashauri wadumishe utawala bora. Utuongezee hekima na busara sisi Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Mpindwe na utupe uwezo wa kujadili kwa dhati, mambo yatakayoletwa mbele yetu ili tufanye maamuzi sahihi yenye manufaa kwa watu wote na ustawi wa Halmashauri yetu. Mungu Ibariki Tanzania AMINA” leo, Tangazo la Serikali Namba .................. 91 Kanuni hizi zinafuta Kanuni za kudumu za Halmashauri ya MPIMBWE za mwaka 2018 64 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe JEDWALI LA KWANZA Chini ya Kanuni ya 44(3) HADIDU ZA REJEA ZA KAMATI ZA KUDUMU ZA HALMASHAURI ZA WILAYA. Madhumuni ya jumla:
Part
SEHEMU YA V
- 64 Verify source ↗
Kumbukumbu za majadiliano yanayohusu uagizaji
AI-assisted research summary: This section is titled “Records of discussions concerning importation.”
64. Kumbukumbu za majadiliano yanayohusu uagizaji. - 69 Verify source ↗
Diwani au Afisa kutokuwa na maslahi kwenye Mikataba
AI-assisted research summary: This section is titled as addressing whether a clerk or officer may have an interest in contracts.
69. Diwani au Afisa kutokuwa na maslahi kwenye Mikataba. SEHEMU YA VI MASUALA MENGINE
Part
SEHEMU YA VI
- 77 Verify source ↗
Diwani kutembelea maeneo, shughuli mbalimbali za ujenzi
AI-assisted research summary: Section title about a councillor visiting areas and various construction activities.
77. Diwani kutembelea maeneo, shughuli mbalimbali za ujenzi. - 79 Verify source ↗
Utiaji muhuri kwenye nyaraka
AI-assisted research summary: Section title about sealing documents.
79. Utiaji muhuri kwenye nyaraka. 3 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe - 81 Verify source ↗
Uteuzi wa Wajumbe kwenye Taasisi za nje
AI-assisted research summary: Sehemu hii ina kichwa kuhusu uteuzi wa wajumbe kwenye taasisi za nje.
81. Uteuzi wa Wajumbe kwenye Taasisi za nje. - 82 Verify source ↗
Kumwondoa Mwenyekiti madarakani
AI-assisted research summary: This text is only a section heading about removing the chairperson from office and the broader section on allowances for members.
82. Kumwondoa Mwenyekiti madarakani. SEHEMU YA VII POSHO KWA WAJUMBE
Part
SEHEMU YA VII
- 84 Verify source ↗
Posho iwapo Mkutano umeahirishwa
AI-assisted research summary: Section heading about allowance for a meeting that has been adjourned.
84. Posho iwapo Mkutano umeahirishwa. SEHEMU YA VIII MABADILIKO KWENYE KANUNI ZA KUDUMU
Part
SEHEMU YA VIII
- 85 Verify source ↗
Kusitisha utumiaji wa Kanuni za Kudumu
AI-assisted research summary: This section is titled “Suspension of application of standing rules.”
85. Kusitisha utumiaji wa Kanuni za Kudumu. - 86 Verify source ↗
Marekebisho na mabadiliko ya Kanuni za Kudumu
AI-assisted research summary: Section 86 is titled “Marekebisho na mabadiliko ya Kanuni za Kudumu” (amendments and changes to the Standing Rules).
86. Marekebisho na mabadiliko ya Kanuni za Kudumu. - 87 Verify source ↗
Kanuni za Kudumu kutolewa kwa Wajumbe
AI-assisted research summary: Kanuni za Kudumu zinatolewa kwa Wajumbe.
87. Kanuni za Kudumu kutolewa kwa Wajumbe. - 90 Verify source ↗
Dua/sala ya kuiombea Halmashauri
AI-assisted research summary: This section sets rules for council meetings, special meetings, notices, and the process for removing the Chairperson.
90. Dua/sala ya kuiombea Halmashauri. SEHEMU YA 1 MASHARTI YA MWANZO. KWA KUWA Kauli-mbiu ya Halmashauri ni kuendesha shughuli kwa namna inayozingatia demokrasia, ufanisi, tija, ushirikishwaji, uwazi na uwajibikaji. NA KWA KUWA jukumu la Halmashauri ni kuimarisha demokrasia katika ngazi zote na kutoa huduma kwa wananchi kwa kuzingatia ufanisi, namna haki inayochochea maendeleo ya maeneo yaliyo chini ya mamlaka ya Halmashauri kwa kuwashirikisha wananchi: usawa, kwa na NA KWA KUWA madhumuni ya Kanuni za Kudumu ni kuweka utaratibu wa namna Halmashauri itakavyoendesha mikutano na shughuli zake kwa kuzingatia misingi ya 4 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe Jina Tafsiri 1 2 utawala bora: SASA BASI, Kanuni zinaelekeza ifuatavyo: za Kudumu hizi Kanuni hizi zitaitwa Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe za mwaka 2020. Katika Kanuni hizi isipokuwa kama itaelezwa vinginevyo: “Afisa wa Serikali za Mitaa” maana yake ni mtu ambaye ameajiriwa na au ambaye yumo katika utumishi wa Mamlaka ya Serikali za Mitaa na ambaye anashika au anakaimu katika nafasi ya menejimenti “Diwani” maana yake ni Mjumbe wa Halmashauri aliyetajwa kwa mujibu wa kifungu 35 cha Sheria ya Serikali za Mitaa (Mamlaka za Wilaya) Sura ya 287; “Fujo” maana yake ni kitendo chochote kinachoweza kufanywa na Mjumbe au Mshiriki wa Kikao cha Halmashauri au Kamati ya Kudumu ambacho ni kinyume na taratibu za uendeshaji wa vikao, kinachoweza kuvuruga kikao. Mfano kuongea bila ruhusa ya Mwenyekiti, kutoa lugha isiyofaa, kutoa kauli yenye maudhi, kuingia kwenye kikao akiwa umelewa, kuingia na silaha, kutoa lugha ya kashfa, matusi, kejeli au kukaidi amri ya pale Mwenyekiti, fujo anapoamriwa alizosababisha. kukaidi nje kutoka kutokana na kutoka “Halmashauri” maana yake ni Halmashauri ya Wilaya ya MPIMBWE; 5 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe “Kamati” (a) (b) (c) (d) kuhusiana kuhusiana Inapotumika na Halmashauri/Mamlaka ya Mji Mdogo ina maana ya Kamati iliyoanzishwa au iliyoteuliwa na Halmashauri/Mamlaka ya Mji Mdogo chini ya Sheria; Inapotumika na Kamati ya Maendeleo ya Kata ina maana ya Kamati hiyo; Inapotumika na kuhusiana Kamati Ndogo maana yake ni Kamati Ndogo hiyo iliyoteuliwa na Kamati; Inapotumika na Kamati nyingine ina maana ya Kamati hiyo; kuhusiana “Mamlaka ya Mji mdogo” maana yake ni Mamlaka ya Mji Mdogo ulioanzishwa chini ya kifungu 13 cha Sheria. “Mkurugenzi” maana yake ni Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya yeyote MPIMBWE ya aliyeteuliwa Mkurugenzi; pamoja kutekeleza majukumu na Afisa “Mjumbe” maana yake ni Mjumbe wa Halmashauri kama ilivyoainishwa na kifungu cha 35 cha Sheria; “Mwenyekiti” (a) Kwa madhumuni ya Halmashauri maana yake ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya MPIMBWE, na inajumuisha wakati Makamu Mwenyekiti ya anapotekeleza majukumu 6 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe Mwenyekiti kwa mujibu wa Kanuni hizi. (b) Kwa madhumuni ya Kamati, Bodi au Kamati Ndogo maana ni Mwenyekiti wa Kamati, Bodi au Kamati Ndogo. yake (c) Kwa maana ya Bodi ya Zabuni ni Mwenyekiti wa Bodi ya Zabuni “Sheria” maana yake ni Sheria ya Serikali za Mitaa (Mamlaka za Wilaya), Sura ya 287 “Waziri” maana yake ni Waziri mwenye dhamana ya Serikali za Mitaa. SEHEMU YA II MIKUTANO YA HALMASHAURI Mikutano ya Kawaida ya Halmashauri 3 (1) Mikutano ya Kawaida ya Halmashauri itafanyika mara moja kila baada ya miezi mitatu, na itafanyika mahali, tarehe na katika muda kama utakavyokuwa umepangwa katika kalenda ya mikutano ya Halmashauri. Mkutano wa kwanza wa Halmashauri (2) (3) Mkutano wa kwanza wa kawaida wa Halmashauri utafanyika baada ya Tume ya Uchaguzi kutangaza matokeo ya uchaguzi wa Madiwani wa Kata na uteuzi wa Madiwani wa Viti Maalumu na utafanyika mahali, siku na katika muda utakaopangwa na Mkurugenzi, ilimradi Mkurugenzi atapaswa kuitisha Mkutano huo ndani ya siku thelathini kuanzia tarehe ya matokeo ya uchaguzi wa Madiwani wa Kata na Uteuzi wa madiwani Viti Maalum wa yanapotangazwa na Tume ya Uchaguzi ambapo moja ya ajenda za Mkutano huo ni Makamu kumchagua Mwenyekiti, 7 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe Mwenyekiti na Wajumbe wa Kamati za Kudumu za Halmashauri. atawasilisha Taarifa Katika Mkutano huo Mkurugenzi wa Halmashauri ya kumbukumbu ya maamuzi ya utekelezaji wa shughuli za Halmashauri zilizofanyika katika kipindi ambacho Baraza la madiwani lilivunjwa. Wajumbe wa Baraza watapokea na kujadili bila kubatilisha maamuzi yaliyokwisha kuamuliwa. Uchaguzi wa Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti utafanyika kwa kupiga kura za siri na upigaji wa kura utafanyikia sehemu ya faragha umbali usiopungua mita (5) kutoka kwa msimamizi wa uchaguzi na mpigaji kura atachukua karatasi ya kupiga kura kutoka kwa msimamizi wa uchaguzi. Utaratibu wa uchaguzi (4) Mkutano Maalum wa Halmashauri 4 (1) Mkutano Maalum wa Halmashauri unaweza kuitishwa na Mwenyekiti ndani ya siku ishirini na moja baada ya kupokea maombi ya wajumbe maandishi wasiopungua theluthi moja ya Wajumbe wote kutaka Mkutano huo ufanyike na maombi hayo yaeleze wazi madhumuni ya kuitishwa kwa mkutano maalum huo. yaliyosainiwa na (2) Iwapo Mwenyekiti amekataa kuitisha mkutano maalum wa Halmashauri baada ya kupokea maombi ya kutakiwa kufanya hivyo,maombi yaliyosainiwa na wajumbe wa Halmashauri wasiopungua theluthi moja ya wajumbe wote wakionyesha sababu ya kuitisha mkutano huo maalum na kuwasilishwa kwake, au iwapo bila kukataa, Mwenyekiti, ndani ya kipindi cha siku saba ataendelea kutoitisha mkutano huo maalum baada ya kupokea ombi la kuitisha Mkutano huo Maalum, basi theluthi mbili ya wajumbe waliotia saini na kuwasilisha kwa Mkurugenzi 8 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe (3) (4) wanaweza kuitisha mkutano huo maalum mara moja. Endapo ajenda ya mkutano huo itahusu kumuondoa madarakani Mwenyekiti, Mkutano huo utaitishwa na Mkurugenzi baada ya kupokea maombi na wajumbe wa Halmashauri wasiopungua theluthi mbili ya wajumbe wote. yaliyosainiwa Baada ya Mkurugenzi kupata taarifa ya kutaka kufanyika kwa mkutano wa kujadili ajenda ya kumuondoa Mwenyekiti, madarakani Mkurugenzi atamtaarifu Mwenyekiti tuhuma na sababu za kutaka kuondolewa uenyekiti na kumtaka aandae majibu ya tuhuma hizo ndani ya siku tano (5) baada ya kupokea tuhuma hizo. (5) Mkurugenzi katika muda wa siku tatu (3) baada ya kupokea maelezo ya utetezi kutoka kwa Mwenyekiti, atawasilisha kwa Mkuu wa mkoa tuhuma pamoja na maelezo ya utetezi. (6) Mkuu wa mkoa katika muda wa siku tano (5) baada ya kupokea taarifa ataunda timu ya uchunguzi na wajumbe wasiopungua watatu (3) na wasiozidi watano (5). ambayo itakua (7) Timu ya uchunguzi itatakiwa kukamilisha uchunguzi katika muda wa siku kumi na nne (14) na kuwasilisha taarifa hiyo kwa Mkuu wa mkoa. (8) Baada ya Mkuu wa mkoa kupata taarifa ya timu ya uchunguzi atairudisha taarifa hiyo kwa Mkurugenzi wa Halmashauri ambaye naye katika muda wa siku kumi na nne (14) ataiwasilisha kwenye kikao cha Baraza kwa uamuzi wa tuhuma hizo. 9 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe Kif.cha 36(5) Sura 287 (9) Endapo Mwenyekiti hataridhika na uamuzi wa Baraza, atakata rufaa kwa waziri kuhusu utaratibu uliotumika kumuondoa madarakani na sio vinginevyo. (10) Utaratibu utakaotumika rufaa na kushughulikia na Mwenyekiti ni ule ulioelezwa kwenye taratibu za kumuondoa madarakani Mwenyekiti wa Halmashauri wa Wilaya. kuwasilisha iliyowasilishwa (11) Taarifa ya mkutano maalum itatolewa angalau saa ishirini na nne kabla ya mkutano. (12) Hakuna shughuli yoyote itakayojadiliwa katika mkutano maalum wa Halmashauri iliyoelezwa kwenye taarifa ya kuitishwa kwa mkutano huo. isipokuwa nyingine ile tu Utaratibu wa kuwasilisha rufaa Mkutano wa Bajeti
Part
sehemu ya mihtasari ya Kamati za Kudumu na
- 32 Verify source ↗
Section 32
AI-assisted research summary: Motions that would increase spending or reduce revenue, or cause standing committee spending, are to be adjourned without debate until the next ordinary Council meeting; the responsible committee should consider issuing a statement on the financial implications.
32. na ambayo, Hoja yoyote isiyotokana na mapendekezo au taarifa ya Kamati ya Fedha, Utawala na Mipango kama ikikubaliwa,itaongeza matumizi au kupunguza mapato yaliyo chini ya usimamizi wa Kamati yoyote, au itasababisha matumizi ya Kamati ya Kudumu, baada ya kupendekezwa au kuungwa mkono, itaahirishwa bila majadiliano mpaka Mkutano wa kawaida wa Halmashauri unaofuata, na Kamati yoyote inayohusika na hoja hiyo itafikiria iwapo ingependa kutoa taarifa kuhusu athari za kifedha za pendekezo hilo. Kupokelewa kwa taarifa za Kamati - 33 Verify source ↗
Section 33
AI-assisted research summary: If a member wants it, proposals in the report must be voted on one by one.
33. (1) Taarifa ya Kamati inapowasilishwa kwenye Halmashauri, hoja itakuwa “kwamba taarifa ipokelewe”na baada ya kukubaliwa na Wajumbe taarifa itaanza kujadiliwa kipengele kimoja baada ya kingine (2) Mapendekezo yoyote yaliyomo katika taarifa hiyo yatapigiwa kura baada ya nyingine iwapo Mjumbe yeyote atapenda iwe hivyo. Baada ya hapo taarifa nzima itawasilishwa mbele ya Mkutano kwa kupokelewa ikiwa na au bila marekebisho. Kuidhinishwa kwa taarifa ya - 34 Verify source ↗
Section 34
AI-assisted research summary: The text refers to receipt of a committee report in the standing orders of Mpimbwe District Council.
34. Taarifa ya Kamati inapokuwa imepokelewa na 34 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe Kamati Uhalali wa majadiliano ya Halmashauri - 35 Verify source ↗
Section 35
AI-assisted research summary: The Council may turn itself into the whole Council committee, must not adjourn until all agenda items are decided, and residents may attend certain meetings only with written notice and the Director’s approval.
35. 36 Uwezo wa Halmashauri kujigeuza kuwa Kamati ya Halmashauri nzima 37 Hoja zinazohusu watumishi wa Halmashauri Kushiriki kwa Umma 38 kuwa itamaanisha Halmashauri hatua zilizochukuliwa na Kamati iliyowasilisha taarifa hiyo zimeidhinisha na mapendekezo yaliyo taarifa yatatekelezwa na kwamba kwenye Mkurugenzi atakuwa Halmashauri wa ameelekezwa kama inavyotakiwa. Uhalali wa majadiliano kwenye Halmashauri hautaathiriwa na nafasi yoyote wazi ya Mjumbe, dosari zozote zilizo katika uchaguzi au uteuzi wa Wajumbe wa Kamati au zile za maafisa wake. Halmashauri inaweza kujigeuza kuwa Kamati ya Halmashauri, na mara baada ya kujigeuza, taratibu za kuendesha vikao vya Kamati za Kudumu zitatumika. Kama litajitokeza jambo lolote katika kikao cha Halmashauri linalohusu uteuzi, kupandishwa cheo, kufukuzwa kazi, mishahara au mazingira ya kazi au utendaji kazi kwa jumla wa mtumishi yeyote wa Halmashauri, jambo hilo litajadiliwa katika Kamati ya Halmashauri nzima. (1) Mtu yeyote ambaye ni mkazi katika eneo la Halmashauri anaweza kuhudhuria kikao cha Halmashauri kwa nia ya kuwasilisha hoja mbele ya Halmashauri, baada ya kutoa taarifa kwa maandishi kwa Mkurugenzi, na Mkurugenzi akamkubali kufanya hivyo (2) Mtu yeyote ambaye ni mkazi katika eneo la Halmashauri anaweza kualikwa kuhudhuria kikao cha Kamati au Kamati Ndogo kabla uamuzi haujafanyika kuhusu masuala ambayo ana maoni mahsusi. 35 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe Uahirishaji wa Vikao 39 Kamati za Kudumu 40 (1) Kwa kuzingatia masharti ya Kanuni Ndogo ya (2) ya Kanuni 17 na Kanuni Ndogo ya 2 ya Kanuni hii, Halmashauri haitaahirisha Mkutano wake hadi dondoo zote za agenda ya Mkutano huo zitakapojadiliwa na kutolewa uamuzi. (2) akidi Pale ambapo katika Mkutano wowote wa Halmashauri haikutimia, Wajumbe waliopo wataahirisha Mkutano na utaratibu wa kuitisha Mkutano mwingine utafanyika kwa kuzingatia maelekezo ya Kanuni hizi. SEHEMU YA IV KAMATI (1) Halmashauri katika Mkutano wake wa mwaka itateua Wajumbe wa Kamati za Kudumu zifuatazo ambazo zitakuwa na idadi ya (ukimwondoa Mwenyekiti wa Wajumbe Halmashauri isipokuwa katika Kamati ya Fedha na Utawala) kama inavyoonyesha hapa chini au kama itakavyorekebishwa na Halmashauri mara kwa mara. Isipokuwa katika kuteua Wajumbe wa Kamati ya Fedha, Utawala na Mipango Mwenyekiti na Mkurugenzi watazingatia uwiano wa uwakilishi wa vyama katika Halmashauri. Kamati (a) Kamati ya Fedha na Mipango Idadi ya Wajumbe 7 (b)Kamati ya Elimu,Afya na Maji (c) Kamati ya Masuala ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira. (d)Kamati ya Maadili Madiwani ya (e)Kamati ya Kudhibiti Ukimwi 9 9 5 9 Akidi 4 5 5 3 3 (2) Kila Mjumbe wa Halmashauri atakuwa Mjumbe 36 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe wa angalau Kamati moja ya Kudumu. Kamati ya itakuwa na Wajumbe Fedha na Utawala wafuatao- (a) Mwenyekiti wa Halmashauri ambaye atakuwa Mwenyekiti. (b) Makamu Mwenyekiti (c) Mbunge au Wabunge wa Majimbo wanaowakilisha Majimbo katika eneo la Halmashauri (d) Wenyeviti wa Kamati za Kudumu za Halmashauri (e) Wajumbe wengine wasiozidi wawili(2) watakaopendekezwa na Mwenyekiti na kupigiwa kura na Baraza la Halmashauri mmoja kati yao awe Mwanaume. (3) Halmashauri yenye Madiwani wasiozidi ishirini(20), Idadi ya wajumbe wa Kamati wa Fedha itakuwa kama ilivyoonyeshwa kwenye Kanuni ya 40(2) (4) Bila kuathiri masharti ya Kanuni Ndogo ya (2) ya Kanuni hii, Halmashauri yenye idadi ya Madiwani wanaozidi ishirini (20) na wasiozidi thelathini na tano (35) Wajumbe wa Kamati ya Fedha watakuwa kama ilivyoonyeshwa kwenye Kanuni ya 41(2) pamoja na wajumbe wengine orodha wawili itakayopendekezwa na Mwenyekiti na kupigiwa kura na Baraza la Halmashauri mmoja kati yao awe wanawake. (2) watakaotokana na (5) Bila kuathiri masharti ya Kanuni Ndogo ya (2)(3) na (4) ya Kanuni hii, Halmashauri yenye idadi ya Madiwani wanaozidi thelathini na tano(35) na zaidi Wajumbe wa Kamati ya Fedha watakuwa kama ilivyoonyeshwa kwenye Kanuni 37 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe ya 41(2) pamoja na wajumbe wengine wanne(4) watakaotokana na orodha itakayopendekezwa na Mwenyekiti na kupigiwa kura na Baraza la Halmashauri wawili kati yao wawe wanawake. (6) Wajumbe wa Kamati za Kudumu watashika nyadhifa zao kwa muda wa mwaka mmoja na wataendelea kushika nyadhifa hizo mpaka Mkutano wa mwaka wa Halmashauri unaofuata. Isipokuwa Wajumbe waliochaguliwa kwenye Mkutano wa kwanza baada Uchaguzi Mkuu watashika nyadhifa zao kwa muda uliobaki kumaliza Mwaka wa Fedha ambapo Uchaguzi utafanyika tena. (7) Halmashauri inaweza wakati wowote kuvunja na kuunda upya Kamati ya Kudumu iliyoteuliwa kwa mujibu wa Kanuni hii ya Kudumu, endapo kufanya hivyo kutakuwa ni kwa manufaa ya Halmashauri. (8) Hakuna Halmashauri itakayounda Kamati ya Kudumu mpya zaidi ya Kamati zilizotajwa kwenye Kanuni ya 40(1) hapo juu, isipokuwa baada ya kuomba na kupata idhini ya maandishi kutoka kwa Waziri. (9) Maombi ya Halmashauri ya kuanzisha Kamati mpya ya Kudumu lazima yakidhi na yawe na maelezo yafuatayo; majukumu wa (a)Upekee yanayoombewa kuundwa kwa Kamati ya Kudumu mpya na majukumu hayo yawe hayawezi kutekelezwa na Kamati za Kudumu zilizopo na zilizotajwa kwenye Kanuni ya 40(1) hapo juu. (b)Gharama za uendeshaji wa Kamati hiyo kwa mwaka. (c)Kuundwa kwa Kamati ya Kudumu hiyo mpya ni hitajio la lazima na ni 38 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe Mwenyekiti wa Halmashauri kuwa Mjumbe wa Kamati zote Uwezo wa Kamati 41 42 Kamati za Pamoja 43 kipaumbele cha Halmashauri na jamii kwa ujumla. (10) Kamati yoyote itakayoundwa na Halmashauri bila idhini ya Waziri itakuwa batili na maamuzi yake yote yatakuwa batili. Mwenyekiti wa Halmashauri atakuwa Mjumbe wa Kamati zote za Kudumu za Halmashauri. Kamati zote za Halmashauri zitawasilisha taarifa zao kwa Halmahauri, na hakuna hatua itakayochukuliwa kutekeleza uamuzi wowote wa Kamati yoyote mpaka hapo taarifa ya Kamati husika itakapokuwa imewasilishwa na kukubaliwa na Halmashauri, isipokuwa pale ambapo idhini ya kuchukua hatua imekasimiwa kwa Kamati. (1) Halmashauri inaweza kukubaliana na Halmashauri nyingine kuteua Kamati ya pamoja kutokana na Wajumbe wao kwa madhumuni yoyote yale ambayo wana maslahi ya pamoja, na Halmashauri hizo zinaweza kukasimu kwa Kamati hiyo ya pamoja, kutegemea na masharti na mipaka zitakazoweka kama watakavyoona inafaa, madaraka au kazi ya Halmashauri zinazohusiana na madhumuni yaliyozifanya ziunde Kamati hiyo, isipokuwa shughuli zile ambazo Halmashauri haziruhusiwi kukasimu. (2) Muundo na muda wa kazi wa Wajumbe wake na mipaka ya eneo ambamo Kamati hiyo ya pamoja itafanya kazi, itapangwa na Halmashauri zinazoiteua (3) Kamati ya pamoja haitaingia katika gharama 39 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe zozote zaidi ya zile ambazo zimeidhishwa na mamlaka iliyoteua Kamati hiyo. 44 Kukasimu Madaraka kwenye Kamati (1) Kufuatana na Kanuni Ndogo ya (2) ya Kanuni hii pamoja na masharti mengine ambayo inafaa, Halmashauri Halmashauri inaweza kukasimu kwa Kamati uwezo wa kutekeleza kazi yoyote kwa niaba yake. itaona (2) Halmashauri haitakasimu kwa Kamati yoyote uwezo wa: (a) (b) (c) kuidhinisha makadirio ya mapato na kutunga Sheria Ndogo; kuweka na kutoza kodi; (d) (e) (f) matumizi ya Halmashauri, kutoza ada na ushuru, kuidhinisha mpango na bajeti ya Halmashauri, kuingia mikataba mbalimbali ikiwa ni pamoja na mikataba ya kukopa, kupitisha mpango wa utoaji huduma, (g) (h) masuala yote yanayohusu ajira na nidhamu ya watumishi. (3) Kazi za kila Kamati ya Kudumu ya Halmashauri ni kama zilivyoonyeshwa katika jedwali la kwanza la Kanuni za Kudumu hizi. (4) Halmashauri inaweza kusitisha au kurekebisha uamuzi wa kukasimu madaraka yoyote kwa Kamati, lakini usitishaji au urekebishaji huo hautaathiri jambo lolote lililofanywa kutokana na uamuzi wowote uliochukuliwa kihalali na Kamati. (5) iliyotekelezwa na Kamati Shughuli yoyote kutokana na kukasimiwa kwa mujibu wa Kanuni hii au kuwa kutekelezwa na Halmashauri itatambuliwa imefanywa 40 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe Kamati Ndogo 45 (1) Kamati yoyote au Kamati ya pamoja inaweza kuteua Kamati Ndogo kutokana na Wajumbe wake kadri itakavyoona inafaa kwa ajili ya kuchunguza na kutoa taarifa kuhusu jambo lolote, lakini Kamati haitakasimu madaraka yake ya kiutendaji kwa Kamati Ndogo yoyote. (2) Idadi ya Wajumbe wa Kamati Ndogo pamoja na muda watakaotumikia vitaamuliwa na Kamati iliyoteua Kamati Ndogo hiyo. (3) Mwenyekiti wa Kamati atakuwa Mjumbe wa Kamati Ndogo yoyote kwa mujibu wa wadhifa wake atamfahamisha Mkurugenzi kwa maandishi kuwa hatakuwa Mjumbe wa Kamati hiyo. isipokuwa kama Mikutano ya Kamati 46 (4) Kila Kamati Ndogo inaweza kumteua mmoja wa Wajumbe wake kuwa Mwenyekiti wa Kamati Ndogo husika. (1) Mkutano wa kwanza wa Kamati utaitishwa na Mkurugenzi ndani ya mwezi mmoja baada ya Kamati kuteuliwa na baada ya hapo kulingana na ratiba ya mikutano kama itakavyoidhinishwa na Halmashauri (2) (3) Taarifa ya angalau saa ishirini na nne yenye ajenda za kikao itabidi kutolewa kwa Wajumbe kabla ya Mkutano wa Kamati. Idadi ya Kamati haitazidi idadi ambayo itawekwa na Waziri kutokana na uwezo aliopewa chini ya kifungu cha 75(3) cha Sheria. Mwenyekiti wa Kamati 47 (1) Katika kikao chake cha kwanza baada ya Mkutano wa mwaka wa Halmashauri na kabla ya kuendelea na shughuli yoyote nyingine, kila Kamati itamchagua Mwenyekiti wa Kamati kwa 41 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe (2) mwaka unaohusika Mwenyekiti wa Kamati, isipokuwa Kamati ya Fedha na Utawala, atachaguliwa kwa kura ya siri ya Wajumbe walio wengi kwa kupiga kura ya siri kwenye eneo la faragha litakalotengwa na Mkurugenzi kwa ajili hiyo. (3) Mwenyekiti wa Halmashauri atakuwa pia Mwenyekiti wa Kamati ya Fedha na Utawala. (4) Endapo nafasi ya Mwenyekiti wa Kamati itakuwa wazi katika kipindi cha mwaka husika, Mkurugenzi atatoa taarifa kwa Wajumbe wote wa Kamati kuwa katika kikao kijacho cha kawaida cha Kamati husika dondoo ya kumchagua Mwenyekiti wa Kamati kwa kipindi cha mwaka kilichosalia itakuwa ya kwanza katika agenda. Mkutano Maalum wa Kamati
Part
JEDWALI LA KWANZA
- 7 Verify source ↗
Section 7
AI-assisted research summary: Section 7 lists the duties of several council committees, including monthly meetings, oversight of council finances and assets, and work on education, health, water, HIV/AIDS, the economy, construction, and the environment.
7. zitaonekana kutengeneza Halmashauri malengo Kuishauri yanayozingatia matakwa ya Wilaya na kuchukua hatua ambazo ili kufikia malengo zinafaa yaliyokusudiwa. Kuishauri Halmashauri kufanya maamuzi juu ya sera muhimu. Kuishauri Halmashauri kufanya maamuzi juu ya utoaji wa huduma kulingana na rasilimali walizo nazo Kuiwezesha taratibu Halmashauri zitakazoongoza utendaji wa Kamati, Kamati Ndogo, na ule wa watumishi ili watimize wajibu wao. Kufanya mapitio yatakayowezesha Halmashauri kuamua juu au kuwashirikisha wadau katika utoaji wa huduma. Kuhakikisha kuwa miundo na taratibu za utendaji wa Halmashauri zinazingatia ufanisi, uthabiti na tija katika kufikia malengo ya Halmashauri. Kuiwezesha Halmashauri kujenga mahusiano imara kati yake na Serikali kuu, Serikali zingine za Mitaa na Umma kwa ujumla. kubinafsisha kutengeneza kupunguza, kuongeza, ya A. Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango: Majukumu ya jumla: Kamati hii inawashirikisha wenyeviti wa Kamati zote za Kudumu na inapaswa kukutana kila mwezi mara moja. Aidha, madaraka ya Kamati hii ni kama ya Kamati zingine za Kudumu na hivyo hairuhusiwi kisheria kufanya kazi/majukumu ya Kamati zingine za Kudumu. Kwa ujumla, majukumu yake ni pamoja na kusimamia na 65 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe kudhibiti ukusanyaji wa mapato na matumizi ya mali ya Halmashauri kwa kupitia vikao vyake. Majukumu Maalum ya Kamati: (i) Kuweka mikakati na kupendekeza uongezaji wa mapato (ii) kuwasilisha mapendekezo ya Bajeti na mpango wa ili Halmashauri kwenye (iii) (iv) Maendeleo kuidhinishwa na Halmashauri. kusimamia utunzaji wa hesabu za fedha ikiwa ni pamoja na uhakiki wa mali za Halmashauri, ukusanyaji wa mapato, kufuta madeni, na kuomba vibali Maalum kwa matumizi yanayohitaji kibali cha Waziri mwenye dhamana ya Serikali za Mitaa. kufikiria na, pale inapowezekana, kupendekeza kwenye Halmashauri masuala yanayohusu Sheria Ndogo na utendaji katika ngazi za chini za Halmashauri. (vi) (vii) (v) kupokea na kuzingatia mapendekezo ya kubadili matumizi ya mafungu ya fedha (re-allocation) yaliyopo katika makisio yaliyoidhinishwa na kuyapeleka kwa Halmashauri. kuratibu mapendekezo kutoka kwenye Kamati zingine kuhusu matumizi ya kawaida na miradi na kuyawasilisha kwenye Halmashauri. kufikiria na kupendekeza kwenye Halmashauri mikopo yote ya Halmashauri. kutoa mapendekezo ya vitega uchumi kwa madhumuni ya kuongeza mapato kwa mujibu wa Sheria ya Fedha za Serikali za Mitaa, Sura ya 290. kupokea na kujadili taarifa za wakaguzi wa fedha na mali ya Halmashauri na kupendekeza hatua za kuchukuliwa kutokana na maelekezo na maoni ya wakaguzi kwa mujibu wa Sheria za Serikali za Mitaa, Sura ya 290. (viii) (ix) (x) Kusimamia na kudhibiti matumizi ya fedha za taratibu Halmashauri, kuzingatia kwa 66 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe (xi) (xii) (xiii) (xiv) (xv) (xvi) (xvii) (xviii) (xix) (xx) zilizowekwa na Waziri na taratibu nyingine zitakazowekwa na Halmashauri; Kupitia marekebisho yote yaliyopendekezwa hususan kuhusu taratibu za fedha, ikiwa ni pamoja na mapitio ya mara kwa mara yanayohusu thamani ya fedha ambapo Kanuni mbalimbali za manunuzi ya mali na vifaa hutumika; Kufikiria na kupendekeza mabadiliko ya viwango vya kodi, ada na ushuru mbalimbali, vinavyotolewa na Halmashauri; Kufikiria mapendekezo ya Bajeti na Mipango ya Maendeleo ya kila Kamati ya Kudumu na kuiwasilisha kwenye Halmashauri ili kupata idhini; Kushughulikia tofauti ya mapato na matumizi katika bajeti yote na kupendekeza hatua stahiki ya kuchukua kuondoa mapungufu katika mapato au ziada matumizi; Kufikiria mapendekezo yote yanayohusu kabla matumizi makubwa hayajawasilishwa kwenye Halmashauri ili kupata idhini; Kupokea mahesabu ya mwaka ya Halmashauri na kuhakikisha taarifa ya mahesabu ya mwaka inawasilishwa kwa wakati kwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali; Kupitia na kuidhinisha mpango wa manunuzi wa Halmashauri kwa kuzingatia mpango wa Bajeti uliopitishwa na Halmashauri; Kupitia taarifa ya kila robo mwaka kuhusu Manunuzi iliyowasilishwa na Afisa Masuuli; Kusimamia utekelezaji wa mikataba ya Halmashauri miradi kwa inayotekelezwa na vifaa vilivyopokelewa; Kumwelekeza Mkurugenzi kufanya manunuzi au vifaa vilivyonunuliwa thamani halisi, ili kupata itafanyika hivyo endapo itadhihirika kwamba, ukaguzi wa kukagua huduma fedha ya au 67 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe (xxi) (xxii) (xxiii) (xxiv) (xxv) (xxvi) (xxvii) maelezo yaliyotolewa kuhusu manunuzi ya vifaa au huduma hayaridhishi; Kuidhinisha majina ya wajumbe wa Bodi ya zabuni na wa Bodi zingine kwa mujibu wa Sheria husika; Kushughulikia orodha ya wadaiwa wote itakayokayowasilishwa kwenye Kamati na kutoa mapendekezo ya hatua za kuchukua; Kupendekeza njia na taratibu za kuondosha vifaa chakavu. Uondoshaji wa vifaa unaweza kufanyika kwa njia ya kuuza au kuviharibu; Kujadili na kupitia taarifa za fedha za kila mwezi na kila robo mwaka; Kupendekeza kwa Halmashauri hatua za kuchukua ya Halmashauri; Kushughulikia Sera kuhusu kukopa na uwekezaji, Kujadili na kupendekeza mabadiliko ya viwango vya kodi, ada na ushuru mbalimbali vinavyotozwa na Halmashauri, kufuta madeni kuhusu (xxx) (xxix) (xxviii) Kubuni na kupendekeza mpango wa kuanzisha na kuendeleza uhusiano na Halmashauri nyingine. Kurekebisha na kusimamia makusanyo na matumizi ya mapato ya vijiji na miji midogo kwa mujibu wa Sheria, Sura ya 287. kuteua wakaguzi wa fedha/mali za Serikali za Vijiji kwa mujibu wa Sheria, Sura ya 290. Kujadili na kutoa mapendekezo ya hatua za ya kuchukuliwa yanayohusu masuala ya ajira na kinidhamu ya wafanyakazi na watumishi. Kujadili na kutoa mapendekezo kuhusu masuala yanayohusu nyumba za Halmashauri. kuhusu mambo (xxxii) (xxxi) yote (xxxiii) Kupokea na kutoa uamuzi juu ya mapendekezo ya watumishi wanaokwenda masomoni. (xxxiv) Kujadili na kupendekeza masuala yote yanayohusu maslahi ya jumla ya watumishi, 68 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe (xxxv) (xxxvi) ikiwa ni pamoja na mikopo, nyumba, usafiri, matibabu, rambirambi na motisha nyinginezo. Kupitisha mapendekezo kuthibitisha watumishi kazini baada ya kumaliza kipindi cha majaribio kulingana na miundo husika ya utumishi. kupendekeza Sheria Ndogo zinazohusu Kamati hii ya B: Kamati ya Elimu, Afya na Maji: Majukumu ya Jumla. Kushughulikia mambo yote yanayohusu afya ya jamii, elimu na itashughulikia mambo huduma za maji. Kamati hii pia yanayohusiana na jitihada za wanannchi vijijini kujiletea maendeleo yao kwa kutumia mbinu mbalimbali ikiwa ni pamoja na kushauri, kushawishi, kuzindua, kuelimisha na kushirikisha wananchi hao hasa katika kutayarisha, kutekeleza, kusimamia na kutathmini mipango yao ya maendeleo. Majukumu Maalum ya Kamati: (i) kuandaa mipango madhubuti ya maendeleo ya upanuzi na ujenzi wa hospitali, vituo vya afya na zahanati (ii) kuandaa mipago ya maendeleo ya upanuzi na ujenzi wa shule za awali na msingi na elimu ya watu wazima kwa mujibu wa Sheria ya Elimu ya 1978 kama ilivyorekebishwa mwaka 1995. (iii) kupendekeza mipango ya ujenzi au upanuzi wa vituo,viwanja, majengo na mazingira ya burudani, starehe, mapumziko na michezo (iv) kuamua juu ya mambo yanayohusu uhifadhi wa mambo ya kale na mandhari mbalimbali zenye sura nzuri. (v) kuandaa na kuratibu njia bora juu ya uhifadhi wa nyaraka muhimu kwa ajili ya kumbukumbu hizo zitahifadhiwa kwa mujibu wa Sheria ya Serikali za Mitaa Sura ya 287. (vi) kupendekeza njia bora juu ya uhifadhi wa sanaa mbalimbali za ufundi na za maonyesho kwa mujibu wa Sheria ya Serikali za Mitaa Sura ya 287, 69 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe (vii) kupendekeza matumizi mazuri ya lugha ya taifa. (viii) kupendekeza namna ya malezi ya vijana ili waweze kuwa wazalishaji katika Taifa. (ix) kupendekeza namna ya malezi ya vijana ili waweze kuwa wazalishaji katika Taifa. (x) kusimamia uanzishaji wa uendelezaji wa vikundi vya jamii na vya hiari vya wananchi katika Halmashauri kwa mujibu wa sera wa maendelo ya jamii. (xi) kusimamia na kuhakiki maeneo ya misitu, mapori, na mbuga zilizotengwa kama hifadhi ya mamlaka ya Serikali za Mitaa. (xii) kupendekeza na kufanya tathmini ya uendelezaji wa mabonde, mito na mabwawa. (xiii) kubuni na kupendekeza namna ya kidhibiti moto (xiv) kubuni na kupendekeza mikakati ya utumiaji wa nishati mbadala, kuzuia ukataji miti ovyo, na kuhimiza upandaji miti kwa wingi. (xv) kuhakikisha kwamba ukaguzi wa majengo unafanyika mara kwa mara. (xvi) kupendekeza mipango madhubuti ya ujenzi wa barabara vijijini na wilayani kwa ujumla. (xvii) kupendekeza Sheria Ndogo zinazohusu Kamati hizi. C: Kamati ya Kudumu ya Kudhibiti Ukimwi Majukumu ya Kamati: (a) (b) (c) (d) kushirikisha wadau tofauti katika maeneo husika ili kuongeza uchangiaji wa mawazo na/au nyenzo, usimamizi, uratibu na utekelezaji wa kazi za Tume za kudhibiti UKIMWI; kusimamia uundaji wa Kamati zote za kudhibiti UKIMWI; kupendekeza na kuchambua hali ya UKIMWI/Mipango na utekelezaji wake na kufikisha katika ngazi husuka kwa hatua zaidi; kutathmini hali ya UKIMWI katika eneo lake kuhusu; (i) (ii) (iii) mazingira idadi ya waathirika: wagonjwa, yatima, wajane, kasi ya maambukizo yanayochangia Maalum maambukizo; uelewa wa wananchi juu ya janga hili. (iv) 70 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe (e) (f) (g) (h) (i) Serikali haitatoa fedha kwa Halmashauri isiyokuwa na mipango madhubuti ya kudhibiti UKIMWI. kuweka mikakati madhubuti ya kuhakikisha kila mtoto aliyefikia umri wa kwenda shule anafanya hivyo, kuweka mikakati ya makusudi juu ya njia bora za kuchangia baadhi ya huduma za Elimu na Afya. kubuni na kupendekeza njia bora za kuzuia na kudhibiti magonjwa ya milipuko. kupendekeza Sheria Ndogo za Kamati hii. C: Kamati ya Masuala ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira: Majukumu ya jumla Kamati hii itashughulikia masuala ya uzalishaji mali ikiwemo kilimo, mifugo, viwanda, madini, Biashara n.k. Aidha itashughulikia pia miundombinu na suala zima la mendeleo ya Ardhi na hifadhi ya mazingira. Majukumu Maalum ya Kamati; (i) kupendekeza kwa Halmashauri mipango ya kupanua biashara na jinsi ya kukusanya mapato yatokanayo na upanuzi huo. kupendekeza mipango ya matumizi ya ardhi katika eneo la Halmashauri kusimamia matumizi ya Sheria ya nguvu kazi. kuandaa mipango madhubuti ya maendeleo ya upanuzi wa kilimo katika Halmashauri kusimamia na kuhakiki miradi ya ujenzi wa masoko, minada,majosho na vituo vya mifugo. kushughulikia uanzishaji na uendelezaji wa vyama vya ushirika kwa mujibu wa Sheria ya Vyama vya Ushirika, (ii) (iii) (iv) (v) (vi) FAHARASA – HALMASHAURI YA WILAYA Kanuni Na. Kifungu cha Sheria A Ajenda za Kamati Akidi Halmashauri Akidi kwenye mikutano ya Kamati mikutano katika ya 49 8 55 71 Sura ya 287 kif.64 Sura ya 287 kif.84(2) na (3) Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe Athari za nafasi wazi kwenye Kamati 54 Sura ya 287 kif.84(1);84(3) B C D Diwani au Afisa kutokuwa na maslahi katika mikataba Diwani kutembelea maeneo, shughuli mbalimbali za ujenzi. Dua ya kuiombea Halmashauri E. F Fujo zinazosababishwa na umma Fujo zinazosababishwa na Wajumbe 69 77 90 Sura ya 287 kif.71 G 18 17 Kanuni Na. Kifungu cha Sheria H Haki ya kujibu Hoja kuhusu matumizi Hoja na marekebisho ya hoja Hoja za Mwenyekiti Hoja Halmashauri Hoja taarifa zinazohusu watumishi wa zinazoweza kutolewa bila I J K Kamati Ndogo Kamati za Kudumu Kamati za pamoja Kanuni za Kudumu kutumika katika mikutano ya Kamati Kanuni za Kudumu kutolewa kwa 21 32 19 15 37 20 45 40 43 56 87 72 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe Wajumbe Kauli zenye kashfa Kiapo na kukubali wadhifa Kuidhinishwa kwa Taarifa ya Kamati Kufikiriwa upya maamuzi Kufutwa kwa Kanuni zilizopo Kujiuzulu ujumbe wa Kamati na kujazwa kwa nafasi iliyoachwa wazi. Kujiuzulu wadhifa wa Mwenyekiti wa Kamati Kukasimu madaraka kwenye Kamati Kumbukumbu ya mahudhurio. Mwenyekiti Kumwondoa madarakani Kupokelewa kwa taarifa za Kamati Kuruhusu watu na vyombo vya Habari ya Halmashauri kwenye mikutano Kushiriki kwa Umma Kusitisha utumiaji wa Kanuni za Kudumu. Kutafsiri Kanuni za Kudumu Kuthibitisha muhtasari Kutokuwepo kwa Wajumbe Kutunza siri za Majadiliano ya Kamati na Kamati Ndogo. L ya mikutano M Maamuzi Halmashauri Mahudhurio katika mikutano ya Kamati Mahudhurio ya Umma na vyombo ya 27 70 34 59 91 62 61 44 11 82 33 12 Sura ya 287 kif.79 Sura ya 287 kif.36(5); GN 263/95 Sura ya 287 kif.67(1) Kanuni Na. Kifungu cha Sheria 38 Sura ya 287 kif.114(1)(b) Sura ya 287 kif.41(2)na (3) Sura ya 287 kif.86 na 67(2) Sura ya 287 kif.66 85 88 14 73 60 28 50 73 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe vya habari kwenye mikutano ya Kamati/Kamati Ndogo Majukumu ya Diwani Marekebisho na mabadiliko ya Kanuni za Kudumu Maswali Maswali ya papo kwa papo Mihtasari ya za Kata na vijiji. Mihtasari ya Halmashauri kupelekwa kwa Mkuu wa Wilaya na Mkuu wa Mkoa. Muhtasari wa Kamati Mikutano Halmashauri Mikutano ya Kamati hoja Mtoa Mkutano wa Kamati. Mkutano wa Bajeti Mkutano wa Mwaka Mkutano Maalum wa Halmashauri Mkutano Maalum wa Kamati Mwaliko wa wasiokuwa Wajumbe Mwenyekiti kuwa Mjumbe wa Kamati zote kualikwa kawaida kwenye ya ya N Nafasi wazi P Aina za Posho Posho iwapo Mkutano umeahirishwa Q R Rejesta ya mikataba S Sura ya 287 vif.86; 67 (2) Sura ya 287 kif. 70(1) Taz.pia Sura ya 290 kif.47 Sura ya 287 kif.83(2) Sura ya 287 kif.63(1) Sura ya 287 kif.63(3) Sura ya 287 kif.74(1) (b) Sura ya 287 kif.42(1) (a) 172 (1);41 (4);Tangazo la Serikali Na.139/82 aya ya 23 na40 na Sheria Na.4/79 kif.40(1)(b);40 (1) SheriaNa na 4/79kif.40(i) (b) (i); na Sheria Na.4/79 la 280/2000 Na. Serikali kif.35;41(3)41(3) na kif.71(8). kif.40;tangazo 53 71 86 22 23 30 31 58 3 46 51 5 6 4 48 29 41 72 83 84 68 74 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe T Taarifa za Kamati Taarifa kutoka kwenye kata Taarifa za mikutano Tafsiri Taratibu za kutunga Sheria Ndogo Taratibu za Majadiliano Taratibu za Uagizaji ya wa majadiliano U Uahirishaji wa vikao Uandikishaji wa Anwani Uanzishaji wa Bodi za Huduma Uchaguzi wa Mwenyekiti na Makamu wa Mwenyekiti wa Halmashauri Uhalali Halmashauri Uhifadhi wa lakiri ya Halmashauri Uhuru wa kutoa mawazo wakati wa majadiliano Ukaguzi wa nyaraka Uongozi Halmashauri Upigaji kura kwenye mikutano ya Kamati Usimamiaji wa mikataba Utaratibu wa shughuli za mikutano Uteuzi wa Wajumbe kwenye Taasisi za nje Utiaji mhuri kwenye Nyaraka Uvunjaji wa mkataba Uwezo wa Halmashauri kujigeuza kuwa Kamati ya Halmashauri nzima. Uwezo wa Kamati Uzuiaji wa Rushwa mikutano wa ya Sura ya 287 kif.85 Sura ya 287 kif.155 Na.21/2004 Sura ya 290 kif.68 Sura ya 287 kif.88 Sura ya 287 kif.36(2) Sura ya 287 kif.72 Sura ya 287 kif.65 24 25 7 2 74 16 63 39 80 76 9 35 78 26 75 10 57 66 13 81 79 67 36 V W Waalikwa wasiokuwa Wajumbe kuhudhuria na kushiriki katika 42 65 Kanuni Na. Kifungu cha Sheria 52 Sura ya 287 kif.75(4) 75 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe mikutano ya Kamati. X Y Z Ziara za Wajumbe 89 76 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA JEDWALI LA PILI Chini ya Kanuni ya 70 (a) KIAPO CHA DIWANI Mimi ……………………………… naapa/natamka kwa dhati kwamba nitaitumikia Halmashauri ya………………….. kwa wadhifa wangu wa Udiwani na kwamba nitahifadhi, nitalinda na kutetea, Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Sheria za Tanzania, Maadili ya Madiwani na Kanuni za Kudumu za Halmashauri kama zilivyowekwa kwa mujibu wa Sheria na kwamba nitaitumikia Halmashauri ya ………………………………………… kwa uaminifu kwa uwezo na moyo wangu wote. (Ewe Mwenyezi Mungu nisaidie) Kiapo/Tamko hili limetolewa hapa:……………………………………… Na…………………………………………………………………………….. Leo tarehe…………………… Mwezi wa…………………..200………. Mbele ya:……………………………………….. Jina:……………………………………………… Cheo:……………………………………………. Saini:…………………………………………… Anuani…………………………………………. ……………………………………….. HAKIMU 77 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA JEDWALI LA TATU Limetungwa chini ya Kanuni ya 70(b) TAMKO LA VIONGOZI WA UMMA KUHUSU RASILIMALI NA MADENI (Kwa mujibu wa kifungu cha 9 na cha 11 cha Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma) Mimi…………………………………………………… Anuani:……………………baada ya kuchaguliwa/kuteuliwa na kuapishwa katika wa…….……...tarehe……………………….mwaka 200….Ninatamka rasmi na kwa moyo mnyofu kwamba hadi sasa nina rasilimali na madeni yafuatayo:- wadhifa (1) Fedha taslimu, Amana katika benki au taasisi ya fedha; taja namba ya akaunti, benki au taasisi ya fedha na kiasi: …………………………………………………………………………………… …………………………………………………………………………………… …………………… 2) Hawala za Hazina (Treasury Bills) na dhamana nyingine Maalum:- …………………………………………………………………………………… ………………… 3) Faida ya akiba, mafungu ya mgawanyo wa faida zinazotokana na hisa n.k. …………………………………………………………………………………… ………………… 4) Nyumba au majengo ya kupangisha, taja mahali yalipo na ukubwa au eneo: …………………………………………………………………………………… ………………… * Rasilimali zinazotakiwa ni pamoja na zifuatazo, ambazo ni zako binafsi, za mume/mke au watoto wadogo wasiooa au kuolewa wa kiongozi wa umma. (a) fedha taslimu na amana katika benki au taasisi nyingine ya fedha. 78 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe (b) hawala za Hazina Treasury Bills) na nyinginezo za dhamana Maalum zinazotolewa au kudhaminiwa na Serikali au vyombo vya Serikali. (c) faida itolanayo na fedha iliyowekwa akiba benki, chana cha Ujenzi au taasisi nyingine ya fedha. (d) mgao wa fedha kutokana na fungu la rasilimali ya kampuni (stocks) au hisa za kiongozi wa umma katika kampuni au shirika lolote. (e) maslahi katika chombo cha biashara kisichokuwa na mkataba na Serikali, na kisichokuwa na au kisichotawala amana zinazouzwa bayana na vyombo vya umma. (f) mashamba ya kibiashara. (g) mali halisi zisizohamishika ambazo si rasilimali zisizotakiwa kutajwa; na (h) rasilimali zinazoleta faida, ambazo si rasilimali zisizotakiwa kutajwa na ambazo zinamilikiwa kwa mbali. (5) Mashamba ya kibiashara, mifugo, madini n.k. …………………………………………………………………………………… …………………………………………………………………………………… …………………………………………………………………………………… ……………………………… (6) Magari na aina nyingine za usafiri wa kibiashara; …………………………………………………………………………………… …………………………………………………………………………………… …………………………………… (7) Mashine za kusaga nafaka, viwanda na shughuli nyingine za kibiashara au mitambo:………………………………………………………………………… …………………………………………………………………………………… …………………………………………………………………………………… ……… (8) Rasilimali nyinginezo au maslahi ambayo kiongozi wa umma anapenda kutaja:…………………………………………………………………………… …………………………………………………………………………………… …………………………………… (9)Madeni:……………………………………………………………………… …………………………………………………………………………………… 79 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe …………………………………………………………………………………… ………………… Tamko hili linatolewa na kusainiwa mbele yangu …………………………………………………………. na (mtoa tamko)……………………………………… ninayemfahamu binafsi, au aliyetambulishwa kwangu na …………………………………………………………………… ….………….. ambaye ninamfahamu leo tarehe …………………………….. tamko Mwezi wa ………………………………………………………. saini……………………………………………………………... Wadhifa:……………………………………………………….. Anuani:………………………………………………………... …………………………………………………………………. (Tamko hili lazima litolewe mbele ya Kamishna wa Viapo) Mtoa KWA: KAMISHINA WA MAADILI, SEKRETARIETI YA MAADILI, S.L.P 13341, DAR ES SALAAM. 80 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe Nembo ya Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe imebandikwa kwenye Sheria Ndogo hizi kufuatia azimio lililopitishwa kwenye Mkutano wa Halmashauri uliofanyika mnamo tarehe 26/1/2018 mbele ya:- ERASTO N. KIWALE, Mwenyekiti, Halmashauri ya Wilaya, Mpimbwe NYANSONGO M. SERENGETI, Mwenyekiti Halmashauri ya Wilaya Mpimbwe NAKUBALI, L.S Dodoma, MHE. SELEMANI S JAFO (MB.), 8 Februari, 2019 Waziri-OR-Tamisemi 81
Provision text is displayed from LexChat’s stored statute record. Use the official source links to verify amendments, commencement, and current legal force.
Ask AI about this statute
KANUNI ZA KUDUMU ZA HALMASHAURI YA WILAYA YA MPIMBWE ZA MWAKA 2019
Sign in to ask AI about this statute
Sign in to start authenticated, citation-grounded statute research.
Sign in