KANUNI ZA KUDUMU ZA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA ZA MWAKA 2020
Section heading for interpretation of terms used in Part II on council meetings.
AI-assisted research synopsis — verify against the official legal text below.
- Jurisdiction
- Tanzania
- Instrument
- Regulation
- Citation
- KANUNI ZA KUDUMU ZA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA ZA MWAKA 2020
- Version
- Undated source snapshot
- Language
- sw
- Official source
- View official record ↗
Statute overview
About this statute
Section heading for interpretation of terms used in Part II on council meetings. This provision is titled “Akidi katika mikutano ya Halmashauri” and appears in Part III on meeting procedures. Sehemu hii ina kichwa kuhusu uchaguzi wa Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri. Kifungu hiki kinahusu kuruhusu watu na vyombo vya habari kwenye mikutano ya Halmashauri. This section is about discussion procedures.
Search within this statute
Search all stored provisions in this version.
Legal text
Provisions of KANUNI ZA KUDUMU ZA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA ZA MWAKA 2020
Showing 35 of 35
- 2 Verify source ↗
Tafsiri ya misamiati iliyotumika
AI-assisted research summary: Section heading for interpretation of terms used in Part II on council meetings.
2. Tafsiri ya misamiati iliyotumika SEHEMU YA II MIKUTANO YA HALMASHAURI
Part
SEHEMU YA II
- 8 Verify source ↗
Akidi katika mikutano ya Halmashauri
AI-assisted research summary: This provision is titled “Akidi katika mikutano ya Halmashauri” and appears in Part III on meeting procedures.
8. Akidi katika mikutano ya Halmashauri. SEHEMU YA III TARATIBU ZA MIKUTANO
Part
SEHEMU YA III
- 9 Verify source ↗
Uchaguzi wa Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri
AI-assisted research summary: Sehemu hii ina kichwa kuhusu uchaguzi wa Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri.
9. Uchaguzi wa Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri - 12 Verify source ↗
Kuruhusu watu na Vyombo vya Habari kwenye Mikutano ya
AI-assisted research summary: Kifungu hiki kinahusu kuruhusu watu na vyombo vya habari kwenye mikutano ya Halmashauri.
12. Kuruhusu watu na Vyombo vya Habari kwenye Mikutano ya Halmashauri - 16 Verify source ↗
Taratibu za majadiliano
AI-assisted research summary: This section is about discussion procedures.
16. Taratibu za majadiliano 1 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Bunda Tangazo la Serikali Na.916 (Linaendelea.) - 20 Verify source ↗
Hoja zinazoweza kutolewa bila taarifa
AI-assisted research summary: Section 20 is titled “Leaves that may be granted without notice.”
20. Hoja zinazoweza kutolewa bila taarifa - 26 Verify source ↗
Uhuru wa Kutoa mawazo wakati wa majadiliano
AI-assisted research summary: Freedom to give opinions during discussion.
26. Uhuru wa Kutoa mawazo wakati wa majadiliano - 29 Verify source ↗
Mwaliko kwa wasiokuwa Wajumbe kushiriki na kuzungumza
AI-assisted research summary: Kifungu hiki kinaonyesha mwaliko kwa wasiokuwa Wajumbe kushiriki na kuzungumza kwenye vikao vya Halmashauri.
29. Mwaliko kwa wasiokuwa Wajumbe kushiriki na kuzungumza kwenye vikao vya Halmashauri - 31 Verify source ↗
Mihtasari kupelekwa kwa Mkuu wa Wilaya na Mkuu wa
AI-assisted research summary: Mihtasari inatakiwa kupelekwa kwa Mkuu wa Wilaya na Mkuu wa Mkoa.
31. Mihtasari kupelekwa kwa Mkuu wa Wilaya na Mkuu wa Mkoa - 35 Verify source ↗
Uhalali wa majadiliano ya Halmashauri
AI-assisted research summary: Section 35 is titled “Uhalali wa majadiliano ya Halmashauri.”
35. Uhalali wa majadiliano ya Halmashauri - 36 Verify source ↗
Uwezo wa Halmashauri kujigeuza kuwa Kamati ya
AI-assisted research summary: Kichwa kinaonyesha mada ya uwezo wa Halmashauri kujigeuza kuwa Kamati ya Halmashauri nzima.
36. Uwezo wa Halmashauri kujigeuza kuwa Kamati ya Halmashauri nzima - 37 Verify source ↗
Hoja zinazohusu watumishi wa Halmashauri
AI-assisted research summary: Kichwa cha sehemu hii kinahusu hoja zinazohusu watumishi wa Halmashauri.
37. Hoja zinazohusu watumishi wa Halmashauri - 39 Verify source ↗
Uahirishaji wa vikao
AI-assisted research summary: Section heading on postponement of meetings in Part IV (Committee).
39. Uahirishaji wa vikao SEHEMU YA IV KAMATI
Part
SEHEMU YA IV
- 41 Verify source ↗
Mwenyekiti kuwa Mjumbe wa Kamati zote
AI-assisted research summary: This provision is titled “Chairperson to be a Member of all Committees.”
41. Mwenyekiti kuwa Mjumbe wa Kamati zote - 50 Verify source ↗
Mahudhurio katika mikutano ya Kamati
AI-assisted research summary: Kifungu hiki kinahusu mahudhurio katika mikutano ya Kamati.
50. Mahudhurio katika mikutano ya Kamati - 51 Verify source ↗
Mtoa hoja kualikwa kwenye Mkutano wa Kamati
AI-assisted research summary: The section concerns inviting the mover of a motion to a committee meeting.
51. Mtoa hoja kualikwa kwenye Mkutano wa Kamati - 52 Verify source ↗
Waalikwa wasiokuwa Wajumbe kuhudhuria na kushiriki
AI-assisted research summary: Invited non-members may attend and take part in committee meetings.
52. Waalikwa wasiokuwa Wajumbe kuhudhuria na kushiriki katika mikutano ya Kamati 2 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Bunda Tangazo la Serikali Na.916 (Linaendelea.) - 53 Verify source ↗
Mahudhurio ya Umma na vyombo vya Habari kwenye
AI-assisted research summary: This section concerns public attendance and media access at committee and subcommittee meetings.
53. Mahudhurio ya Umma na vyombo vya Habari kwenye Mikutano ya Kamati na Kamati Ndogo - 56 Verify source ↗
Kanuni za Kudumu kutumika katika mikutano ya Kamati
AI-assisted research summary: Standing orders apply in committee meetings.
56. Kanuni za Kudumu kutumika katika mikutano ya Kamati - 57 Verify source ↗
Upigaji kura kwenye mikutano ya Kamati
AI-assisted research summary: Sehemu hii inahusu upigaji kura kwenye mikutano ya Kamati.
57. Upigaji kura kwenye mikutano ya Kamati - 60 Verify source ↗
Kutunza siri za majadiliano ya Kamati na Kamati Ndogo
AI-assisted research summary: This section is about keeping committee and subcommittee discussions confidential.
60. Kutunza siri za majadiliano ya Kamati na Kamati Ndogo - 61 Verify source ↗
Kujiuzulu wadhifa wa Mwenyekiti wa Kamati
AI-assisted research summary: Kifungu hiki kinahusu kujiuzulu wadhifa wa Mwenyekiti wa Kamati.
61. Kujiuzulu wadhifa wa Mwenyekiti wa Kamati - 62 Verify source ↗
Kujiuzulu ujumbe wa Kamati na kujazwa kwa nafasi
AI-assisted research summary: This section is titled as covering resignation of a committee member and filling the vacant position.
62. Kujiuzulu ujumbe wa Kamati na kujazwa kwa nafasi iliyoachwa wazi SEHEMU YA V UNUNUZI WA VIFAA, UPATIKANAJI WA HUDUMA NA UJENZI
Part
SEHEMU YA V
- 64 Verify source ↗
Kumbukumbu za majadiliano yanayohusu uagizaji
AI-assisted research summary: This section is titled “Records of discussions concerning imports.”
64. Kumbukumbu za majadiliano yanayohusu uagizaji - 69 Verify source ↗
Diwani au Afisa kutokuwa na maslahi kwenye Mikataba
AI-assisted research summary: Diwani au Afisa must not have an interest in contracts.
69. Diwani au Afisa kutokuwa na maslahi kwenye Mikataba SEHEMU YA VI MASUALA MENGINE
Part
SEHEMU YA VI
- 77 Verify source ↗
Diwani kutembelea maeneo, shughuli mbalimbali za ujenzi
AI-assisted research summary: Kifungu hiki kina kichwa kinachohusu diwani kutembelea maeneo na shughuli mbalimbali za ujenzi.
77. Diwani kutembelea maeneo, shughuli mbalimbali za ujenzi - 81 Verify source ↗
Uteuzi wa Wajumbe kwenye taasisi za nje
AI-assisted research summary: This section is about appointing members to external institutions.
81. Uteuzi wa Wajumbe kwenye taasisi za nje - 82 Verify source ↗
Kumwondoa Mwenyekiti madarakani
AI-assisted research summary: Section heading about removing the chairperson from office.
82. Kumwondoa Mwenyekiti madarakani 3 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Bunda Tangazo la Serikali Na.916 (Linaendelea.) SEHEMU YA VII POSHO KWA WAJUMBE
Part
SEHEMU YA VII
- 84 Verify source ↗
Posho iwapo mkutano umeahirishwa
AI-assisted research summary: This section is titled “Allowance if a meeting is adjourned.”
84. Posho iwapo mkutano umeahirishwa SEHEMU YA VIII MABADILIKO KWENYE KANUNI ZA KUDUMU
Part
SEHEMU YA VIII
- 85 Verify source ↗
Kusitisha utumiaji wa Kanuni za Kudumu
AI-assisted research summary: Section 85 concerns the suspension of the application of standing regulations.
85. Kusitisha utumiaji wa Kanuni za Kudumu - 86 Verify source ↗
Marekebisho na mabadiliko ya Kanuni za Kudumu
AI-assisted research summary: Sehemu hii inaeleza kuhusu marekebisho na mabadiliko ya Kanuni za Kudumu.
86. Marekebisho na mabadiliko ya Kanuni za Kudumu - 87 Verify source ↗
Kanuni za Kudumu kutolewa kwa Wajumbe
AI-assisted research summary: Section 87 is titled “Kanuni za Kudumu kutolewa kwa Wajumbe.”
87. Kanuni za Kudumu kutolewa kwa Wajumbe - 90 Verify source ↗
Dua/sala ya kuiombea Halmashauri
90. Dua/sala ya kuiombea Halmashauri SEHEMU YA 1 MASHARTI YA MWANZO KWA KUWA Kauli-mbiu ya Halmashauri ni kuendesha shughuli kwa namna inayozingatia demokrasia, ufanisi, tija, ushirikishwaji, uwazi na uwajibikaji. NA KWA KUWA jukumu la Halmashauri ni kuimarisha demokrasia katika ngazi zote na kutoa huduma kwa wananchi kwa kuzingatia ufanisi, inayochochea usawa, haki na kwa namna maendeleo ya maeneo yaliyo chini ya mamlaka ya Halmashauri kwa kuwashirikisha wananchi. NA KWA KUWA madhumuni ya Kanuni za Kudumu ni kuweka utaratibu wa namna Halmashauri na shughuli zake kwa kuzingatia misingi ya utawala itakavyoendesha mikutano 4 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Bunda Tangazo la Serikali Na.916 (Linaendelea.) bora. SASA BASI, Kanuni za Kudumu hizi zinaelekeza ifuatavyo: Jina 1 Kanuni hizi zitaitwa Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Bunda za Mwaka 2020. Tafsiri 2 Katika Kanuni hizi isipokuwa kama itaelezwa vinginevyo: Sura ya 287 “Afisa wa Serikali za Mitaa” Maana yake ni mtu ambaye ameajiriwa na au ambaye yumo katika utumishi wa Mamlaka ya Serikali za Mitaa na ambaye anashika au anakaimu katika nafasi ya menejimenti; “Diwani” Maana yake ni Mjumbe wa Halmashauri aliyetajwa kwa mujibu wa kifungu cha 35 cha Sheria ya Serikali za Mitaa (Mamlaka za Wilaya); “fujo” Maana yake ni kitendo chochote kinachoweza kufanywa na Mjumbe au Mshiriki wa Kikao cha Halmashauri au Kamati ya Kudumu ambacho ni kinyume na taratibu za uendeshaji wa vikao, kinachoweza kuvuruga kikao. Mfano kuongea bila ruhusa ya Mwenyekiti, kutoa lugha isiyofaa, kutoa kauli yenye maudhi, kuingia kwenye kikao akiwa amelewa, kuingia na silaha, kutoa lugha ya kashfa, matusi, kejeli au kukaidi amri ya Mwenyekiti, kukaidi kutoka nje anapoamriwa kutoka kutokana na fujo alizosababisha; “Halmashauri” Maana yake ni Halmashauri ya Wilaya ya Bunda; 5 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Bunda Tangazo la Serikali Na.916 (Linaendelea.) “Kamati” (a) Inapotumika kuhusiana na Halmashauri ina ya maana Kamati iliyoanzishwa au iliyoteuliwa na Halmashauri chini ya Sheria; (b) Inapotumika kuhusiana na Kamati Ndogo maana yake ni Kamati Ndogo hiyo iliyoteuliwa na Kamati; (c) Inapotumika kuhusiana na Kamati nyingine ina maana ya Kamati hiyo. "kauli zenye kashfa'' maana yake ni maneno yenye lengo la kumdhihaki na kumdhalilisha mtu utu wake; “Mamlaka ya Mji Mdogo” Maana yake ni Mamlaka ya Mji Mdogo ulioanzishwa chini ya Kifungu cha 13 cha Sheria; “Mkurugenzi” Maana yake ni Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda pamoja na Afisa yeyote aliyeteuliwa kutekeleza majukumu ya Mkurugenzi; “mjumbe” Maana yake ni Mjumbe wa Halmashauri kama ilivyoainishwa na kifungu cha 35 cha Sheria; 6 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Bunda Tangazo la Serikali Na.916 (Linaendelea.) “Mwenyekiti” (a) Kwa madhumuni ya Halmashauri maana yake ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda, na inajumuisha Makamu Mwenyekiti wakati anapotekele za majukumu ya Mwenyekiti kwa mujibu wa Kanuni hizi. (b) Kwa madhumuni ya Kamati, Bodi au Kamati Ndogo maana yake ni Mwenyekiti wa Kamati, Bodi au Kamati Ndogo. 7 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Bunda Tangazo la Serikali Na.916 (Linaendelea.) (c) Kwa maana ya Bodi ya Zabuni ni Mwenyekiti wa Bodi ya Zabuni (d) Kwa maana ya Kamati ya Ukaguzi ni Mwenyekiti wa Kamati ya Ukaguzi (e) Kwa maana ya Bodi ni Mwenyekiti wa Bodi ya Ajira “Sheria” Maana yake ni Sheria ya Serikali za Mitaa (Mamlaka za Wilaya); “Waziri” Maana yake ni Waziri mwenye dhamana ya Serikali za Mitaa. SEHEMU YA II MIKUTANO YA HALMASHAURI Mikutano ya Kawaida ya Halmashauri itafanyika mara moja kila baada ya miezi mitatu, na itafanyika mahali, tarehe na katika muda kama utakavyokuwa umepangwa katika kalenda ya mikutano ya Halmashauri. Mikutano ya kawaida ya Halmashauri (1) 3 . - Mkutano wa (2) (a) mkutano wa kwanza wa kawaida wa 8 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Bunda Tangazo la Serikali Na.916 (Linaendelea.) kwanza wa Halmashauri Halmashauri utafanyika baada ya Tume ya Uchaguzi kutangaza matokeo ya uchaguzi wa Madiwani wa Kata na uteuzi wa Madiwani wa Viti Maalumu na utafanyika mahali, siku na katika muda utakaopangwa na Mkurugenzi, ilimradi Mkurugenzi atapaswa kuitisha Mkutano huo ndani ya siku thelathini (30) kuanzia tarehe ya matokeo ya uchaguzi wa Madiwani wa Kata na Uteuzi wa madiwani Viti Maalum yanapotangazwa ya Uchaguzi ambapo moja ya ajenda za kumchagua Mkutano Mwenyekiti, Makamu Mwenyekiti na Wajumbe wa Kamati za Kudumu za Halmashauri. Tume huo na ni na Mkurugenzi (b) mkutano wa kwanza wa uchaguzi wa Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti utaongozwa na Katibu Tawala wa wa Wilaya Halmashauri atakuwa Katibu na mara baada ya Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti kupatikana, Mwenyekiti ataongoza zoezi la uundaji wa Kamati, na uchaguzi wa Wenyeviti wa Kamati za kudumu ya maamuzi shughuli (c) katika mkutano huo Mkurugenzi wa Halmashauri atawasilisha Taarifa ya ya kumbukumbu za utekelezaji Halmashauri katika kipindi ambacho Baraza la madiwani lilivunjwa. Wajumbe wa Baraza watapokea na kujadili bila kubatilisha maamuzi yaliyokwisha amuliwa. wa zilizofanyika Utaratibu (3) Uchaguzi wa Mwenyekiti na Makamu 9 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Bunda Tangazo la Serikali Na.916 (Linaendelea.) wa uchaguzi Mkutano maalum wa Halmashauri 4 . (1) (2) (3) (4) Mwenyekiti utafanyika kwa kupiga kura za siri na upigaji wa kura utafanyikia sehemu ya faragha umbali usiopungua mita tano kutoka kwa Msimamizi wa Uchaguzi na mpigaji kura atachukua karatasi ya kupiga kura kutoka kwa Msimamizi wa Uchaguzi. Mkutano maalum wa Halmashauri unaweza kuitishwa na Mwenyekiti ndani ya siku ishirini na moja baada ya kupokea maombi ya maandishi yaliyosainiwa na si pungufu ya theluthi moja ya wajumbe wote kutaka mkutano huo ufanyike na maombi hayo yaeleze wazi madhumuni ya kuitishwa kwa mkutano maalum huo. Iwapo Mwenyekiti anakataa kuitisha mkutano maalum wa Halmashauri baada ya kupokea maombi ya kutakiwa kufanya hivyo,maombi yaliyosainiwa na wajumbe wa Halmashauri wasiopungua theluthi moja ya Wajumbe wote wakionyesha sababu ya kuitisha mkutano huo maalum na kuwasilishwa kwake, au iwapo bila kukataa, Mwenyekiti, ndani ya kipindi cha siku saba ataendelea kutoitisha mkutano huo maalum baada ya kupokea ombi la kuitisha Mkutano huo Maalum, basi theluthi mbili ya Wajumbe waliotia saini na kuwasilisha kwa Mkurugenzi wanaweza kuitisha mkutano huo maalum mara moja. itahusu Endapo ajenda ya mkutano huo Mwenyekiti, madarakani kumuondoa mkutano huo utaitishwa na Mkurugenzi baada ya kupokea maombi yaliyosainiwa na Wajumbe wa Halmashauri wasiopungua theluthi mbili ya wajumbe wote. Baada ya Mkurugenzi kupata taarifa ya kutaka kufanyika kwa Mkutano wa kujadili ajenda ya Mwenyekiti, madarakani kumuondoa 10 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Bunda Tangazo la Serikali Na.916 (Linaendelea.) (5) (6) (7) (8) (9) (10) Mkurugenzi atamtaarifu Mwenyekiti tuhuma na sababu za kutaka kuondolewa uenyekiti na kumtaka aandae majibu ya tuhuma ndani ya siku tano baada ya kupokea tuhuma hizo. Mkurugenzi katika muda wa siku tatu baada ya kupokea maelezo ya utetezi kutoka kwa Mwenyekiti, atawasilisha kwa Mkuu wa Mkoa tuhuma pamoja na maelezo ya utetezi. Mkuu wa Mkoa katika muda wa siku tano baada ya kupokea taarifa ataunda timu ya uchunguzi ambayo itakuwa na wajumbe wasiopungua watatu na wasiozidi watano. Timu ya uchunguzi itatakiwa kukamilisha Uchunguzi katika muda wa siku kumi na nne na kuwasilisha taarifa hiyo kwa Mkuu wa Mkoa. Baada ya Mkuu wa Mkoa kupata taarifa ya timu ya uchunguzi atairudisha taarifa hiyo kwa Mkurugenzi wa Halmashauri ambaye naye katika muda wa siku kumi na nne ataiwasilisha kwenye kikao cha Baraza kwa uamuzi wa tuhuma hizo. Endapo Mwenyekiti hataridhika na uamuzi wa Baraza, atakata rufaa ndani ya siku kumi na nne kuanzia tarehe ya maamuzi kwa Waziri kuhusu utaratibu uliotumika kumuondoa madarakani na sio vinginevyo. utakaotumika rufaa kuwasilisha iliyowasilishwa na Utaratibu kushughulikia na Mwenyekiti ni ule ulioelezwa kwenye kumuondoa madarakani Taratibu Mwenyekiti wa Halmashauri wa Wilaya. za (11) Taarifa ya mkutano maalum itatolewa angalau 11 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Bunda Tangazo la Serikali Na.916 (Linaendelea.) saa ishirini na nne kabla ya mkutano. (12) Mkutano wa Bajeti 5 . Mkutano wa mwaka (1) 6 . shughuli nyingine Hakuna yoyote itakayojadiliwa katika Mkutano Maalum wa Halmashauri isipokuwa ile tu iliyoelezwa kwenye taarifa ya kuitishwa kwa Mkutano huo. Kutakuwepo na Mkutano wa Halmashauri wa Bajeti utakaofanyika kwa muda wa siku mbili mfululizo na utafanyika miezi miwili kabla ya mwaka wa fedha kumalizika na utajadili mambo yafuatayo: - (a) Utekelezaji wa Mipango na Bajeti ya mwaka uliopita. (b) Mipango na Bajeti ya mwaka unaofuata. (i) Mkutano wa mwaka wa Halmashauri utafanyika na muda tarehe, mahali utakaopangwa na Halmashauri katika kalenda ya mikutano na utaitishwa na Mkurugenzi baada ya kuwasiliana na Mwenyekiti wa Halmashauri. (ii) Mikutano yote ya Baraza itapangwa na Baraza la Madiwani kwa kuzingatia ratiba ya vikao vya Bunge ili kuwezesha Wabunge kuhudhuria Mikutano ya Baraza la Madiwani, endapo italazimika kuitishwa kwa Mkutano wa Baraza wakati wa vikao vya Bunge, au kuwajulisha Mkurugenzi atamjulisha ili Wabunge husika kuhusu kikao hicho wahudhurie. (2) Katika Mkutano wa kawaida wa mwaka, Halmashauri itajadili mambo yafuatayo: - (a) kumchagua Makamu wa Mwenyekiti; (b) kuteua Wajumbe wa Kamati za Kudumu; 12 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Bunda Tangazo la Serikali Na.916 (Linaendelea.) (c) kujadili taarifa na uwajibikaji wa Halmashauri kwa mwaka uliopita; utendaji ya Taarifa mkutano za (1) 7 . (2) (3) Akidi katika mikutano ya Halmashauri 8 . (1) (d) kupitisha ratiba ya Halmashauri Halmashauri. na vikao Kamati vya za Mkurugenzi atatoa taarifa ya mkutano kwa maandishi kwa kila Mjumbe katika muda usiopungua siku saba akieleza mahali, siku na saa ya mkutano unaokusudiwa na mambo yatakayojadiliwa katika mkutano huo. Taarifa ya mkutano itaambatana na nyaraka au kumbukumbu muhimu zitakazotumika katika mkutano huo. Isipokuwa kwa idhini ya Mwenyekiti na au ya idadi ya Wajumbe isiyopungua robo tatu ya Wajumbe waliohudhuria Mkutano, hakuna shughuli katika Mkutano wa Halmashauri mbali na shughuli zilizotajwa katika mwaliko wa Mkutano huo. itakayofanywa yoyote Hakuna mkutano wa kawaida wa Halmashauri utakaofanyika isipokuwa kama kutakuwepo isiyopungua nusu ya idadi ya Wajumbe Wajumbe na kujiandikisha kwenye daftari la mahudhurio. waliohudhuria wote (2) (3) katika mikutano maalum Akidi ya Halmashauri itakuwa ni theluthi mbili ya na Wajumbe wote wa Halmashauri itahesabiwa wakati wa ufunguzi wa Mkutano. Akidi katika Mkutano wa kawaida wa mwaka na Mkutano wa kwanza wa Halmashauri itakuwa theluthi mbili ya Wajumbe wote wa Halmashauri. 13 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Bunda Tangazo la Serikali Na.916 (Linaendelea.) (4) Endapo Wajumbe waliohudhuria mkutano hawatafikia akidi ya mkutano, Mwenyekiti atauahirisha mkutano huo na kuuitisha tena ndani ya siku saba na endapo akidi haitatimia tena, idadi yoyote ya Wajumbe waliohudhuria itatengeneza akidi ya Mkutano na Mkurugenzi atamjulisha Waziri kuwepo kwa hali hiyo. (1) 9 . Uchaguzi wa Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri SEHEMU YA III TARATIBU ZA MIKUTANO Mwenyekiti na Makamu wa Mwenyekiti watachaguliwa na Wajumbe, kutokana na Wajumbe wa Halmashauri kwa kura ya siri itakayopigwa na Mjumbe mmoja mmoja kwenye eneo la faragha litakalotengwa umbali usiopungua mita kutoka mahali alipoketi Msimamizi wa Uchaguzi. 14 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Bunda Tangazo la Serikali Na.916 (Linaendelea.) (2) (3) (4) (5) (6) (7) Mjumbe kabla ya kwenda sehemu ya faragha kwa ajili ya kupiga kura, atapatiwa na Msimamizi wa Uchaguzi karatasi ya kupigia kura kutoka kwenye chombo maalum kitakachowekwa mbele ya Msimamizi wa Uchaguzi, na atakwenda moja kwa moja kupiga kura yake kwenye sehemu ya faragha. atatangazwa kuchaguliwa Mtu kuwa Mwenyekiti au Makamu wa Mwenyekiti iwapo atapata zaidi ya nusu ya kura zilizopigwa. jina moja Iwapo wakati wa kumchagua Mwenyekiti au Makamu wa Mwenyekiti tu limependekezwa, Wajumbe watapiga kura za siri za “ndiyo” au “hapana” na endapo kura za “ndiyo” zitazidi asilimia hamsini ya kura zote zilizopigwa basi mgombea atatangazwa kuwa Mwenyekiti au Makamu wa Mwenyekiti. Iwapo kura za “Hapana” zitazidi asilimia hamsini ya kura zote zilizopigwa, jina la mgombea mwingine litapendekezwa kwa njia na utaratibu uliotumika hapo awali. Iwapo kura zitafanana, uchaguzi utarudiwa kwa mara ya pili na endapo hata baada ya kurudia uchaguzi, kura zimefanana, Baraza litaamua kuwa madarakani kwa wagombea hao ambao kura zao zimefanana kugawana muda wa Kama itatokea nafasi wazi ya Mwenyekiti au Makamu wa Mwenyekiti, Halmashauri itamchagua Mwenyekiti au Makamu Mwenyekiti katika muda wa siku zisizozidi sitini tangu nafasi hiyo ilipotokea. Uongozaji 1 (1) Mkutano wa Halmashauri utaongozwa na: 15 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Bunda Tangazo la Serikali Na.916 (Linaendelea.) wa mikutano ya Halmashauri 0 . (a) Mwenyekiti; au (b) kama Mwenyekiti hayupo, Makamu wa Mwenyekiti; au na Makamu (c) kama Mwenyekiti na Makamu wa Mwenyekiti wote hawapo, au kama wa Mwenyekiti Mwenyekiti wote hawawezi kuongoza mkutano, yeyote atachaguliwa na Wajumbe kutoka Wajumbe mwa miongoni waliohudhuria kwa ajili ya kuongoza mkutano huo; Mjumbe (d) Wajumbe wawapo ndani ya ukumbi wa mikutano wa Halmashauri watavaa mavazi maalum yaliyochaguliwa na kushonwa maalum kwa ajili hiyo; (e) endapo vazi maalum lililochaguliwa na Halmashauri ni joho basi litavaliwa juu ya vazi la Mjumbe, na Endapo Halmashauri haina joho basi Mjumbe atavaa vazi la heshima, na mavazi kama jeans, kofia zisizohusiana na dini na sare za chama cha siasa hazitaruhusiwa kuvaliwa wakati wa mikutano ya Halmashauri na vikao vya Kamati za Halmashauri; za Kudumu (f) vazi rasmi ya Taifa la Mwenyekiti na Mkurugenzi na Makamu Mwenyekiti litakuwa lenye kuonyesha rangi za na mazao Bendera yanayolimwa kwa wingi katika eneo la Halmashauri kadri Halmashauri itakavyoona hivyo, hata inafaa, Kanuni hii haitaathiri majoho ambayo yanatumika kabla ya Kanuni hizi; (g) endapo katika mkutano huo, 16 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Bunda Tangazo la Serikali Na.916 (Linaendelea.) (2) (3) (1) Kumbukum bu ya mahudhurio 1 1 . Halmashauri itajigeuza kuwa Kamati, Wajumbe watavua majoho; (h) endapo Baraza litajigeuza kuwa Kamati taratibu za kuendesha vikao vya Kamati zitatumika na kikao hicho kitakuwa cha siri. Madaraka au jukumu lolote la Mwenyekiti kuhusiana na uendeshaji wa mikutano yanaweza kutekelezwa na mtu anayeongoza mkutano huo. Halmashauri itatenga siku mbili kila wiki kwa ajili ya Mwenyekiti kufika ofisini na kutekeleza majukumu yafuatayo- (a) kusikiliza matatizo ya Wananchi; (b) kupata maelezo toka kwa Mkurugenzi kuhusu uendeshaji wa shughuli za Halmashauri ikiwa ni pamoja na masuala ya manunuzi; (c) kusaini mikataba mbalimbali ya Halmashauri; (d) kushughulikia ambalo linahitaji Mkurugenzi kushughulikiwa au kutekelezwa na Mwenyekiti; na jambo ataona (e) Endapo kutatokea shughuli au ugeni unaohitaji uwepo wa Mwenyekiti, Mkurugenzi atamjulisha Mwenyekiti ili ahudhurie. yoyote Kila Mjumbe anayehudhuria mkutano wa Halmashauri ya au Kamati Halmashauri ambamo yeye ni Mjumbe hatahudhuria mkutano huo mpaka awe ameweka saini yake kwenye rejesta ya mahudhurio inayotunzwa na Mkurugenzi kwa ajili hiyo. 17 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Bunda Tangazo la Serikali Na.916 (Linaendelea.) (2) Kuruhusu watu na vyombo vya Habari kwenye mikutano ya Halmashauri (1) 1 2 . (2) (1) Utaratibu wa shughuli za mikutano 1 3 . Isipokuwa siku ya kufanyika kwa mikutano ya Baraza au Kamati ambayo Diwani ni Mjumbe au pale atakapoitwa kutekeleza majukumu ya Serikali, si ruhusa kwa Diwani kuwa katika ofisi za Halmashauri na kufanya shughuli ambazo hazihusiani na Halmashauri au Serikali. Mikutano ya Halmashauri itakuwa wazi kwa watu wote pamoja na vyombo vya habari. italiweka Halmashauri itapaswa kuutangazia umma kuhusu muda, wakati na mahali pa mkutano hilo mahali tangazo na panapoonekana kwa urahisi katika eneo la Halmashauri siku zisizopungua tatu kabla ya mkutano, na kama mkutano umeitishwa katika muda mfupi zaidi basi wakati wa kuitisha mkutano huo. Isipokuwa kama Halmashauri, kutokana na sababu za dharura, itaamua kubadili utaratibu wa shughuli za mikutano, utaratibu wa shughuli katika kila mkutano wa kawaida wa Halmashauri utakuwa kama ifuatavyo- (a) Mwenyekiti akiongozwa na Katibu ataingia ukumbini baada ya mratibu wa mkutano kutoa ishara Maalum kuingia kuashiria Mwenyekiti ukumbini na Wajumbe watasimama na pale Mwenyekiti atakaporuhusu Wajumbe kukaa; kimya mpaka kukaa (b) mkutano utaanza kwa wimbo wa Taifa ukifuatiwa na Sala au Dua itakayosomwa na Mwenyekiti; 18 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Bunda Tangazo la Serikali Na.916 (Linaendelea.) (c) endapo Mwenyekiti au Makamu hawatakuwepo, Mwenyekiti Wajumbe watachagua mjumbe mmoja miongoni mwao wa kuongoza kikao; (e) (d) baada ya Sala au Dua kusomwa Mkurugenzi na Mwenyekiti wa Halmashauri watajibu maswali ya papo kwa papo kutoka kwa Wajumbe wa Baraza la madiwani kwa utaratibu na mpangilio kama ilivyooneshwa kwenye Kanuni hizi; kupokea na kujadili taarifa za kwenye Kata kutoka kwa Madiwani wa Kata husika; kujadili jambo lolote linalotakiwa kwa mujibu wa Sheria kushughulikiwa kabla ya shughuli nyingine yoyote; (g) kupokea taarifa yoyote inayopaswa ya kupokelewa shughuli nyingine yoyote; kisheria kabla (f) za nakala (h) kusoma au kuthibitisha muhtasari wa mkutano wa kawaida wa Halmashauri uliopita na mikutano yoyote Maalum ya Halmashauri iliyofanyika baada ya Mkutano huo wa kawaida. Hata hivyo iwapo zimesambazwa kwa kila Mjumbe kabla au wakati wa kupeleka taarifa ya kuhudhuria Mkutano, mihtasari hiyo itachukuliwa kuwa imesomwa; kupokea ambayo taarifa yoyote Mwenyekiti atapenda itolewe kwa Halmashauri; kujibu maswali kufuatana na Kanuni ya 21 ya Kanuni hizi; (i) (j) mihtasari (k) kumalizia shughuli yoyote iliyobaki (l) katika Mkutano wa kawaida uliopita; kupokea na kujadili taarifa za Kamati kwa za Halmashauri, kutoka 19 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Bunda Tangazo la Serikali Na.916 (Linaendelea.) ambao Wenyeviti wa Kamati ya watahusika Wajumbe kuhusiana na kazi za Kamati husika; kujibu maswali (m) kupokea na kujadili taarifa kutoka kwa Mkurugenzi wa Halmashauri; (n) kuidhinisha utiaji lakiri katika hati; (o) kujadili hoja binafsi kufuatana na jinsi zilivyopokelewa; na (p) kushughulikia mambo mengine taarifa ya yaliyoonyeshwa katika mkutano. inaweza, katika Mkutano Halmashauri wowote wa kawaida, kubadili utaratibu wa hoja za mazungumzo ili kutoa kipaumbele kwa shughuli yoyote ambayo kwa maoni ya Mwenyekiti na uharaka wa pekee, lakini mabadiliko hayo hayatabadilisha mpangilio wa shughuli zilizotajwa katika aya (a), (b) na (c) za Kanuni ya 13(1) ya Kanuni hii. Katibu ataandika muhtasari wa mazungumzo ya kikao unaozingatia majina ya Wajumbe waliohudhuria na wasiohudhuria, jina la mtoa hoja, aliyeunga mkono hoja, mabadiliko ya hoja kwa ufupi, ushauri uliotolewa na azimio lililofikiwa. Muhtasari utasomwa, kurekebishwa, kuthibitishwa na kusainiwa na Mwenyekiti wa Mkutano na kutunzwa katika rejesta Maalum ya mihtasari. huo Mara baada ya kusoma Muhtasari, au kama itachukuliwa kama umesomwa Mwenyekiti atauliza swali “Je Muhtasari wa Mkutano wa ya Halmashauri wa saini mwezi…………. Mwaka……..utiwe kama kumbukumbu sahihi?” tarehe…………… (2) Kuthibitisha Muhtasari (1) 1 4 . (2) (3) Hakuna hoja au majadiliano yatakayofanywa 20 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Bunda Tangazo la Serikali Na.916 (Linaendelea.) kuhusiana na muhtasari isipokuwa kuhusiana na usahihi wa muhtasari, kama hakuna swali lililoulizwa, basi mara baada ya kuthibitishwa Mwenyekiti atatia saini katika muhtasari huo. (4) (5) (1) (2) (3) za Hoja Mwenyekiti Taratibu za majadiliano 1 5 . 1 6 . ambao utakuwa umesainiwa Muhtasari vilivyo na kama hakuna ushahidi wa kuwepo kwa makosa utakuwa kumbukumbu sahihi na Mkutano utahesabika kuwa umeitishwa na kufanyika vilivyo na Wajumbe waliohudhuria watahesabika halali. unaofaa Mihtasari ya Halmashauri itakuwa wazi kwa ukaguzi na Wajumbe na kwa umma kwa wakati utaratibu na utakaokubaliwa na Halmashauri na kwamba mtu yeyote anaweza kupewa sehemu ya muhtasari huo kama akiomba na baada ya kulipa ada kama itakavyoidhinishwa na Halmashauri. kwa zinazowasilishwa na Mwenyekiti Hoja hazitazidi hoja tatu, bila kuathiri haki yake, kama Mjumbe ya kuwasilisha hoja katika taratibu za kawaida. Isipokuwa kwa idhini ya Halmashauri mtoa hoja atahutubia mkutano wa Halmashauri kwa dakika zisizozidi kumi. Wajumbe wengine ikiwa ni pamoja na mtoa hoja watazungumza kwa muda usiozidi dakika tano kila mmoja. Mjumbe anaruhusiwa kuzungumza mara moja katika hoja yoyote isipokuwa hoja inayowasilishwa bila mjadala. ile Mtoa hoja atakuwa na haki ya kuzungumza kwa muda usiozidi dakika tano katika kujibu majadiliano na muda huo utaanza kuhesabika mara atakapoanza kuchangia au kujibu. 21 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Bunda Tangazo la Serikali Na.916 (Linaendelea.) Mratibu wa vikao atatoa ishara maalum kumjulisha mtoa hoja kuwa muda wake umeisha na mjadala juu ya hoja hiyo utafungwa. Utaratibu huu wa kuhesabu muda utatumika yeyote atakayepewa muda wa kuchangia hojana mara tu baada ya kujibu, mjadala juu ya hoja utafungwa. kwa Mjumbe pia (4) (5) (6) (7) (8) Mjumbe yeyote aliyekwishachangia kwenye hoja hawezi kutoa au kuunga mkono marekebisho, ila marekebisho yakitolewa na kuungwa Mjumbe mkono, aliyekwishazungumza katika hoja ya awali anaweza hoja iliyorekebishwa kwa muda usiozidi dakika tatu; kuzungumza kwenye Iwapo Wajumbe wawili au zaidi watasimama kuzungumza, Mjumbe wakati mmoja atakayetamkwa ndiye atakayepewa nafasi kwanza. na Mwenyekiti Bila kuathiri masharti ya kanuni ndogo ya (5) ya Kanuni hizi, Mwenyekiti atahakikisha kuwa, nafasi ya kuchangia inatolewa kwa uwiano unaofaa miongoni mwa aina zote za uwakilishi wa Madiwani walioomba kuchangia hoja hiyo. Mjumbe ataelekeza anapozungumza mazungumzo yake kwa Mwenyekiti tu na atapaswa kusimama. anapozungumza hatakatizwa, Mjumbe isipokuwa kwa suala lakini anaweza kutoa nafasi kwa Mjumbe anayetaka kujieleza. la utaratibu, (9) Mjumbe anaposimama kutoa taarifa kuhusu 22 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Bunda Tangazo la Serikali Na.916 (Linaendelea.) utaratibu, Mjumbe anayezungumza ataketi na atabaki ameketi hadi hoja ya utaratibu itakapokuwa imeamuliwa na Mwenyekiti, isipokuwa kama anasimama kumweleza Mwenyekiti kuhusu suala la utaratibu. (10) (11) (12) (13) utaratibu katika mikutano Mwenyekiti ndiye pekee mwenye uamuzi kuhusu ya Halmashauri, na anayo madaraka ya kuzuia fujo na kuhakikisha kuwa maamuzi yake katika kusimamia usalama yanatekelezwa mara moja. Wakati wa majadiliano Mwenyekiti Mjumbe anayezungumza au aliyesimama ataketi na hakuna Mjumbe hadi Mwenyekiti ameketi. atakayesimama akisimama, Hakuna Mjumbe atakayebaki amesimama wakati Mjumbe mwingine anaelekeza mazungumzo yake kwa Mwenyekiti. Mkurugenzi wa Halmashauri atajibu swali lolote atakaloulizwa na Mwenyekiti kutokana na shughuli zinazoendelea kwenye mkutano isipokuwa kama atadai haki ya kukataa kujibu swali kwa msingi ya kwamba jibu linaweza kumweka hatiani au kuvunja uaminifu wake kama mtetezi au mahakamani. linamhusisha yeye wa Hakuna mtu kwa niaba yake mwenyewe, au kwa niaba ya watu wengine walio kwenye ujumbe atakayeruhusiwa watu, kuzungumza katika Mkutano wa Halmashauri isipokuwa kwa idhini ya Halmashauri iliyotolewa kwa njia ya azimio. Idhini ya namna hiyo haitatolewa isipokuwa kama mtu huyo au watu hao wanaotaka kuihutubia wamempatia watakuwa Halmashauri 23 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Bunda Tangazo la Serikali Na.916 (Linaendelea.) (14) (15) (1) Fujo zinazosabab ishwa Wajumbe na 1 7 . (2) Mkurugenzi au Afisa aliyeruhusiwa naye, taarifa ya muda usiopungua siku tisa kabla ya Mkutano wa Halmashauri ambamo wangetaka idhini, maombi yao yafikiriwe kupewa maombi ya kimaandishi jambo ikieleza linalotarajiwa kujadiliwa, na mpaka taarifa ya kupokelewa kwa maoni hayo itakapokuwa imebandikwa kwenye mbao za matangazo za Halmashauri. Hakuna zaidi ya watu wawili watakaokuwa na haki ya kuhutubia Halmashauri kwa niaba ya uwakilishi; na wala hakuna ujumbe utakaozidi idadi ya watu watano watakaoruhusiwa. Kiwango cha juu cha muda wa kuzungumza na Halmashauri ikiwa na muda wa kusoma risala hakitazidi dakika kumi. Katika Mkutano wowote wa Halmashauri kama Mjumbe wa Halmashauri ataonyesha kukosa heshima kwa madaraka aliyonayo Mwenyekiti au kudharau Kanuni za Kudumu za Halmashauri kwa kuzuia kwa makusudi shughuli za Halmashauri zisiendelee au vinginevyo, Mwenyekiti ataelekeza mkutano kwa tukio hilo kwa kumtaja jina mjumbe anayehusika. jina mjumbe Endapo baada ya kutajwa ataendelea kudharau madaraka ya Mwenyekiti basi Mwenyekiti ataliomba Baraza kuahirisha za mkutano kwa muda na shughuli jambo hilo na Mwenyekiti anaweza kuagiza yafuatayo: (a) Mjumbe atolewe nje ya mkutano kama Mjumbe wa Halmashauri na kumzuia kuhudhuria vikao vitatu mfululizo pamoja na haki zinazohusina na vikao hivyo; (b) Mjumbe kuzuiliwa kuhudhuria vikao vitatu mfululizo na kupoteza haki zake atatafakari 24 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Bunda Tangazo la Serikali Na.916 (Linaendelea.) (3) (1) Fujo zinazosabab ishwa Umma na 1 8 . (2) (1) Hoja na marekebisho ya hoja 1 9 . zinazohusiana na vikao hivyo. Iwapo kutatokea fujo kubwa katika Mkutano wowote wa Halmashauri, Mwenyekiti anaweza kama ataona ni muhimu kufanya hivyo, kuahirisha Mkutano bila majadiliano au swali au kusimamisha Mkutano kwa muda atakao ona unafaa. Iwapo mtu yeyote kati ya umma unaohudhuria Mkutano wa Halmashauri atavuruga mkutano wa Halmashauri, Mwenyekiti atamuonya mtu huyo aache kufanya hivyo na endapo mtu kuvuruga mkutano, huyo Mwenyekiti ataamuru mtu huyo atolewe kwenye chumba cha Mkutano. ataendelea ya Endapo kutakuwa na vurugu katika sehemu cha Mkutano yoyote kinachotumika umma, Mwenyekiti ataamuru kuondolewa kwa watu wote walio katika eneo hilo. chumba na taarifa, Taarifa ya kila hoja, isipokuwa hoja iliyowasilishwa chini ya Kanuni za Kudumu Na. 15, itawasilishwa kwa maandishi yaliyowekwa saini na Diwani au Madiwani waliotoa kwa na Mkurugenzi angalau siku nne kabla ya Mkutano wa Halmashauri unaofuata na akishaipokea, Mkurugenzi atagonga tarehe na kuipa namba na kuiingiza kwenye daftari kadri hoja zilivyowasilishwa, na daftari hiyo itakuwa wazi kukaguliwa na Mjumbe yeyote wa Halmashauri. itapelekwa (2) Mkurugenzi ataonyesha katika taarifa ya kila hoja Mkutano wa Halmashauri zilizowasilishwa kadri kwa na isipokuwa kama Diwani zilivyopokelewa 25 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Bunda Tangazo la Serikali Na.916 (Linaendelea.) (4) (3) (5) (6) (7) aliyetoa hoja hiyo ameeleza kwa maandishi wakati alipoleta hoja hiyo, kwamba anataka kuitoa utakaofanyika baadaye, au baada ya kuwasilisha ameifuta hoja hiyo kwa maandishi. katika Mkutano Iwapo hoja ambayo imeonyeshwa katika taarifa ya Mkutano haiwezi kutolewa na Mjumbe aliyewasilisha taarifa; au na Mjumbe mwingine yeyote kwa niaba yake, basi hoja hiyo, imeahirishwa kwa idhini ya Halmashauri, itachukuliwa kama imeondolewa na haitawasilishwa tena bila ya kutoa taarifa upya. isipokuwa kama Kamati mbalimbali Iwapo hoja itahusu jambo linalohusu Kamati au ya kupendekezwa na kuungwa mkono, hoja hiyo itapelekwa bila majadiliano kwenye Kamati ambayo Halmashauri iweze itaelekeza kufikiriwa na kutayarishiwa taarifa. baada ili Ni lazima kila hoja ihusu jambo ambalo Halmashauri ina uwezo na wajibu nalo, au iwe inahusu Halmashauri ya wilaya husika. Marekebisho ya hoja yaliyopendekezwa na kuungwa mkono yanaweza kuondolewa tu kwa ridhaa ya Wajumbe wa Halmashauri walio wengi waliopo katika Mkutano. ya hoja Marekebisho yanapokuwa yamethibitishwa, hoja ya msingi kama ilivyorekebishwa itatolewa na Mwenyekiti kama ndiyo hoja ya msingi ambayo nayo inaweza kufanyiwa marekebisho. Kama marekebisho hayakukubaliwa, hoja rekebisho lingine linaweza kupendekezwa. ya (8) Kwa idhini ya Mwenyekiti, zaidi ya rekebisho 26 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Bunda Tangazo la Serikali Na.916 (Linaendelea.) (9) (10) (11) (12) (13) moja linaweza kutolewa kwa wakati mmoja mbele ya Mkutano wa Halmashauri, lakini kila rekebisho la namna hii litatolewa moja baada ya jinsi mapendekezo hayo yalivyotolewa. jingine kufuatana na Rekebisho halitachukuliwa kuwa sahihi kama litakuwa sawa na kuikataa hoja moja kwa moja au kama si rekebisho la hoja ya msingi linalokusudiwa kurekebishwa. ambalo halikutolewa Rekebisho taarifa, halitapendekezwa baada ya mjadala wa hoja inayozungumzwa kuendelea kwa nusu saa, ila kwa mujibu wa sharti hili, taarifa ya idadi yoyote ya marekebisho inaweza kutolewa. itapitishwa na theluthi mbili ya Hoja ya kufuta azimio Wajumbe wasiopungua Wajumbe wote. Hoja ya kuzingatia taarifa ya Kamati au kuidhinisha majadiliano au mapendekezo ya Kamati inaweza kutolewa na Mwenyekiti wa Kamati husika, au na Mjumbe yeyote wa Kamati husika kwa niaba yake. Mjumbe yeyote ambaye hajachangia katika mjadala wa hoja, au hajaitolea marekebisho, anaweza kupendekeza “kwamba Halmashauri iendelee na shughuli inayofuata”. Hoja ya aina hiyo inaweza tu kuzingatiwa baada ya hoja kupendekezwa na kuungwa mkono. Hoja inapotolewa, itaamuliwa bila marekebisho au mjadala, na kama ikikubaliwa, shughuli iliyokatizwa na azimio hilo haitaendelea kujadiliwa katika kikao hicho. Hoja ya kupendekeza shughuli kuendelea inayofuata haitatolewa zaidi ya mara moja katika mjadala wa jambo lolote. na 27 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Bunda Tangazo la Serikali Na.916 (Linaendelea.) (14) (15) Hoja zinazoweza kutolewa bila taarifa 2 0 . Baada ya mjadala kuhusu hoja kuendelea kwa muda usiopungua nusu saa, Mjumbe ambaye hajachangia katika majadiliano anaweza kuomba idhini ya kutoa hoja “kwamba suala lililo mbele yetu sasa liamuliwe” na kama idhini hiyo itatolewa kwa kukubaliwa na si chini ya Wajumbe watano, hoja “kwamba suala liamuliwe” itawasilishwa mara moja, na kama ikiafikiwa, mtoa hoja ya msingi anaweza kuzungumza kwa dakika zisizozidi tano, na baada ya hapo swali ya Halmashauri yatafanyiwa uamuzi. lililo mbele yetu sasa yaliyo mbele au maswali Hoja “kwamba suala lililo mbele yetu sasa liamuliwe” haitatolewa zaidi ya mara moja katika mjadala unaoendelea kuhusu jambo lolote mpaka hapo mjadala utakapokuwa umeendelea kwa angalau nusu saa tangu kuwekwa mbele ya Mkutano hoja ya aina hiyo ilipopendekezwa awali. Hoja zifuatazo zinaweza kutolewa bila taarifa. (a) kumchagua Mwenyekiti wa Mkutano ambamo hoja imetolewa; (b) hoja kuhusu usahihi wa muhtasari, kuahirisha Mkutano, kufunga Mkutano, utaratibu wa Mkutano, au suala linalofuata; (c) kuteua Kamati au Wajumbe wa Kamati, au wawakilishi katika taasisi za jambo nje, na lililotaarifiwa katika wito wa Mkutano; unaotokana (d) kukubali taarifa na mapendekezo ya yote maazimio Kamati na 28 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Bunda Tangazo la Serikali Na.916 (Linaendelea.) yanayotokana na mapendekezo hayo; taarifa au (e) kwamba hoja; idhini itatolewa kuiondoa (f) kusahihisha hoja; (g) kuongeza muda wa hotuba; (h) kuwa, jambo lililotajwa katika taarifa ya kuitisha mkutano litangulie; (i) kusimamisha Kanuni za Kudumu; (j) kwamba Mjumbe asisikilizwe tena au aondoke katika Mkutano; (k) kumwomba Mjumbe abakie Mkutanoni na (l) kutoa idhini ya Halmashauri pale ambapo idhini inatakiwa kwa mujibu wa Kanuni za Kudumu hizi. Mtoa hoja atakuwa na haki ya kujibu maswali wakati wa kufunga mjadala juu ya hoja; kabla ya hoja kupigiwa kura au kabla ya hoja kutolewa “kwamba mkutano uhairishwe. Mjumbe anayetumia haki yake ya kujibu hataanzisha hoja nyingine mpya. jibu ambalo Baada ya kutolewa kwa linahusiana na Kanuni hizi, uamuzi utafikiwa bila majadiliano zaidi. Haki kujibu ya (1) 2 1 . (2) (3) Maswali (1) 2 2 . Mjumbe anaweza kumuuliza Mwenyekiti wa Kamati swali lolote kuhusu muhtasari wa Kamati uliofikishwa mbele ya Halmashauri. 29 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Bunda Tangazo la Serikali Na.916 (Linaendelea.) (2) (3) (4) (1) Maswali ya papo kwa papo 2 3 . Kila swali majadiliano. litaulizwa na kujibiwa bila hoja ambayo maswali Swali au maswali yatajibiwa na Mwenyekiti wa Kamati mara moja, na Mjumbe anayeuliza maswali hayo hatanyimwa haki yake ya kujadili hayo yanarejewa au kutoa hoja ya marekebisho. Pale ambapo swali la maandishi limeelekezwa taarifa kwa Mwenyekiti wa Kamati, na inayotakiwa imo katika mojawapo ya mihtasari ya Halmashauri, kuonyesha sehemu hiyo ya muhtasari ambapo la imeonyeshwa, kutachukuliwa ni kutosha. itatenga muda wa dakika Halmashauri thelathini kila Mkutano wa Halmashauri wa kawaida ambapo Mwenyekiti na Mkurugenzi wa Halmashauri atajibu maswali ya papo kwa papo kutoka kwa Wajumbe kabla ya kuanza kwa shughuli ya kawaida za Mkutano wa Halmashauri. habari katika jibu (2) (3) (4) Wajumbe kumwuliza ambao watataka Mkurugenzi na Mwenyekiti maswali ya papo kwa papo watatakiwa kujiorodhesha kwanza kwa Mwenyekiti angalau masaa ishirini na nne kabla ya Mkutano wa Halmashauri. Mjumbe yeyote ambaye hatajiorodhesha kwa Mwenyekiti au Mkurugenzi ndani ya masaa ishirini na nne atahesabika kuwa amechelewa, na hataruhusiwa kumuuliza Mkurugenzi au Mwenyekiti swali la papo kwa papo. Kabla ya kuanza kwa kipindi cha maswali ya papo kwa papo Mwenyekiti atataja majina ya Wajumbe waliojiorodhesha kuuliza maswali ya papo kwa papo na idadi ya maswali. 30 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Bunda Tangazo la Serikali Na.916 (Linaendelea.) (5) (6) (7) Mwenyekiti ataweka utaratibu ambao ataona unafaa na kuridhiwa na Wajumbe wa namna bora ya kuendesha kipindi cha maswali ya papo kwa papo. Mjumbe hataruhusiwa kuuliza zaidi ya swali moja la papo kwa papo. Maeneo ya umuhimu ambayo Wajumbe watatakiwa kuuliza maswali ya papo kwa papo ni:- (a) uendeshaji wa jumla wa Halmashauri; (b) utekelezaji wa miradi ya Maendeleo; (c) mipango ya kimkakati ya kuwaondolea Halmashauri wananchi umaskini; (d) mipango ya baadaye ya maendeleo ya Halmashauri; (e) usimamizi na utekelezaji wa Mipango na Bajeti kwa mwaka husika; (f) utoaji wa huduma za jamii kama vile elimu, afya, maji, barabara na madaraja; (g) hifadhi na utunzaji wa vyanzo vya maji; ya mazingira (h) usalama wa chakula na wa raia na mali zao; na (i) Utawala Bora na utatuzi wa kero za wananchi. 31 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Bunda Tangazo la Serikali Na.916 (Linaendelea.) (8) (9) (10) Baada ya kujibiwa kwa swali, muuliza swali atapewa fursa ya kuuliza swali moja tu la ufafanuzi na maswali yatajibiwa bila mjadala. Mwenyekiti atakuwa na uwezo wa kuruhusu kutojibu au kukataa swali lolote la papo kwa papo ambalo litaonekana linahitaji takwimu au utafiti zaidi au swali ambalo linalenga kumdhalilisha Mwenyekiti au Mjumbe yeyote wa Baraza na uamuzi wake utakuwa wa mwisho. Mara baada ya muda wa nusu saa kumalizika, kipindi cha maswali ya papo kwa papo kitamalizika na kuruhusu shughuli zingine za kikao kuendelea. Taarifa Kamati za (1) 2 4 . ya ya mikutano miwili pamoja au Kamati Kila Kamati iliyoteuliwa chini ya Kanuni hizi itatoa, katika mojawapo ya Halmashauri iliyoteua Kamati, Kamati ya taarifa ya pamoja au Kamati ndogo, majadiliano yanayohusiana na utekelezaji majukumu iliyokasimiwa, kwa ujulisho wa Halmashauri. (2) (3) Muhtasari wa Kamati unaohitaji idhini ya Halmashauri, na taarifa zozote zinazohusiana na muhtasari huo, na ambazo zinaonekana kwa Kamati kuwa zinastahili, zitapelekwa kwa kila Mjumbe wa Halmashauri angalau siku saba kabla ya Mkutano wa Halmashauri ambamo utafikiriwa. Mwenyekiti wa Kamati, au Mjumbe mwingine wa Kamati kwa niaba yake, wakati wa kupendekeza kuidhinishwa kwa muhtasari wa Kamati, anaweza kusema kuwa hakusudii kuwasilisha kipengele au vipengele fulani vya muhtasari huo kwa lengo la kupata idhini ya 32 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Bunda Tangazo la Serikali Na.916 (Linaendelea.) kukizungumzia Halmashauri. Katika hali hiyo Mjumbe yeyote au hataweza vipengele hivyo na muhtasari utawasilishwa bila vipengele hivyo. Kuondolewa kwa kipengele cha aina hiyo kutatolewa taarifa kwenye mkutano unaofuata. kipengele (4) Taarifa ya Kamati inapokuwa imepokelewa na hatua itamaanisha Halmashauri husika na zilizochukuliwa zimekubaliwa na mapendekezo yaliyo kwenye taarifa hiyo yatatekelezwa na kwamba Mkurugenzi atakuwa ameelekezwa ipasavyo. Kamati kuwa (1) za Taarifa kutoka kwenye kata 2 5 . Kila kata itatakiwa kuwasilisha taarifa za utekelezaji katika Mkutano wa Halmashauri ulioitishwa chini ya kanuni ya 3(1) ya Kanuni hizi. (2) (3) Taarifa za utekelezaji kutoka katika kata zitawasilishwa na Diwani wa kata husika, au hiyo hayupo, kama Diwani itawasilishwa na Diwani wa Viti Maalum anayeishi katika Kata hiyo na kama Diwani hayupo, Mwenyekiti Viti Maalum atamtaarifu mapema Diwani yeyote ili ajiandae kuwasilisha taarifa hiyo. taarifa Kutakuwa zitakazowasilishwa: - na aina tatu za taarifa (a) taarifa ya utekelezaji wa miradi ya ambayo maendeleo katika Kata itajumuisha ujenzi wa Madarasa, Nyumba za Walimu, Matundu ya Vyoo, Maabara, Viwanja vya Michezo, Vituo vya Afya, Zahanati, Madaraja, Barabara, Mashamba darasa, Ofisi za Vijiji, Kata na Tarafa; Idadi ya watu na vizazi; 33 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Bunda Tangazo la Serikali Na.916 (Linaendelea.) (b) taarifa zinazohusu hali ya kata ambazo zitajumuisha; (i) Maendeleo ya Elimu katika Kata kuhusiana na uandikishaji wa watoto wenye umri wa kwenda shule, ufundishaji, utoro, hali ya mahudhurio, mimba shuleni, ukaguzi na uratibu wa shule; (ii) Hali ya majanga ya kibinadamu kama wa magonjwa, mafuriko, njaa na hali ya uhalifu na vifo; vile mlipuko (iii) Maendeleo ya Kilimo, mifugo na uvuvi itajumuisha ambayo upatikanaji wa wataalamu, zana za kisasa na pembejeo za kilimo, mifugo na uvuvi; (iv) Uimarishaji wa dhana ya uzalendo na utaifa kwa kuhamasisha vijana kuanzisha na kujiunga na vikundi vya Vijana, Wagani kazi na mafunzo ya Jeshi la Mgambo, ulinzi shirikishi na polisi jamii; (c) taarifa ya utekelezaji wa miradi ya Maendeleo na taarifa ya hali ya Kata sharti ijumuishe pia taarifa za shughuli za kiuchumi, taarifa ya mavuno ya mazao ya chakula na biashara pamoja na taarifa ya utunzaji wa mazingira na vyanzo vya maji. (4) Mkurugenzi wa Halmashauri atahakikisha taarifa kutoka kwenye Kata, zinaandaliwa na kuwasilishwa na Diwani wa Kata hiyo kwenye Baraza la Madiwani ili ipitiwe na kuchambuliwa kwa nia ya kupata hoja 34 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Bunda Tangazo la Serikali Na.916 (Linaendelea.) (5) (6) (7) (8) Uhuru wa kutoa mawazo wakati wa majadiliano Kauli zenye kashfa 2 6 . 2 7 . (1) zitakazowasilishwa katika vikao vya Kamati husika na kutoa mrejesho. Mwasilishaji wa taarifa atatakiwa kuelezea mafanikio changamoto yaliyopatikana, zilizojitokeza na mbinu za kukabiliana nazo. Mbinu za kukabiliana na changamoto sharti ziwekewe malengo na muda Maalum wa kuzitatua; Taarifa za mapokeo ya fedha na matumizi yake zitakazokuwa zimeandaliwa na Afisa Mtendaji wa Kata, zitawasilishwa sanjari na miradi iliyotekelezwa na gharama zake. taarifa kutoka kwenye Kata Baada ya itamaanisha kupokelewa na Halmashauri, na kuwa taarifa hizo mapendekezo taarifa yatatekelezwa na Halmashauri, na Kata kupewa taarifa ya utekelezaji wa majukumu hayo. zimeidhinishwa kwenye yaliyomo Kutakuwepo na uhuru wa kutoa mawazo wakati wa majadiliano katika mikutano ya Halmashauri na uhuru huo hautaweza kuhojiwa katika mahakama yoyote au mahali popote nje ya Mkutano wa Halmashauri. kulingana na maoni Inapotokea, ya Mwenyekiti au mjumbe yeyote anayeongoza Mkutano, kuwa kauli iliyotolewa na Mjumbe inakashfu mtu yeyote, Mwenyekiti atamtaka Mjumbe aliyetoa kauli hiyo kufuta kauli yake na kumwomba msamaha mtu aliyekashifiwa kwa maandishi ndani ya muda wa siku saba tangu kauli hiyo ya kashfa ilipotamkwa. 35 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Bunda Tangazo la Serikali Na.916 (Linaendelea.) (2) (3) (1) Maamuzi ya mikutano ya Halmashauri 2 8 . (2) (1) 2 9 . Mwaliko kwa wasiokuwa Wajumbe kushiriki na kuzungumza kwenye Vikao vya Halmashauri kwa maandishi Endapo mjumbe aliyetoa kauli ya kashfa atakataa kufuta kauli yake na kuomba msamaha kama inavyoelekezwa katika kanuni ndogo (1) ya Kanuni hii, Mwenyekiti au mtu anayeongoza Mkutano, atamsimamisha Mjumbe huyo kuhudhuria vikao vitatu mfululizo vya Halmashauri Mjumbe aliyesimamishwa kwa mujibu wa kanuni ndogo (2) ya Kanuni hizi atapoteza haki zake zote zinazohusiana na vikao hivyo kwa muda wote wa kusimamishwa kwake. yote yaliyojadiliwa Masuala na kupendekezwa katika Mkutano wowote wa Halmashauri yataamuliwa kulingana na wingi wa kura za Wajumbe waliohudhuria Mkutano huo, na za Wajumbe zikalingana, basi Mwenyekiti au Mjumbe yeyote mwingine anayeongoza Mkutano, atapiga kura ya turufu mbali ya kura ya kawaida. ikitokea kura linalopigiwa kura Iwapo suala kutokuwa au na Mwenyekiti madarakani, au lingine kama Halmashauri, kura zitapigwa kwa siri. jambo itakavyoamuliwa linahusu kumwondoa lolote na imani Mwenyekiti, baada ya kushauriana na Wajumbe, anaweza kumwalika mtu yeyote kuhudhuria na kuzungumzia jambo lolote, au kushiriki kwa njia yoyote, katika Mkutano wowote wa Halmashauri lakini mwalikwa huyo hatakuwa na haki ya kupiga kura katika mkutano huo. (2) Wakuu wa Idara za Halmashauri wanapaswa kuhudhuria mikutano yote ya Halmashauri 36 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Bunda Tangazo la Serikali Na.916 (Linaendelea.) Mihtasari ya kata na vijiji Mihtasari ya Halmashauri kupelekwa kwa Mkuu wa Wilaya na Mkuu wa Mkoa Hoja kuhusu matumizi 3 0 . 3 1 . 3 2 . (1) (2) (3) lakini hawatakuwa na haki ya kupiga kura katika mikutano hiyo. Mkurugenzi wa Halmashauri atahakikisha mihtasari yote ya Kamati za Maendeleo za Kata, Halmashauri za vijiji na Mikutano Mikuu ya vijiji inapitiwa na kuchambuliwa kwa nia ya kupata hoja zitakazowasilishwa katika vikao vya Kamati husika na kutoa mrejesho inavyopaswa. Mihtasari ya Halmashauri itatolewa na kupelekwa kwa taarifa, kwa Mkuu wa Wilaya na Mkuu wa Mkoa ambamo Halmashauri imo katika muda wa saba baada ya siku kuthibitishwa kwa mihtasari hiyo. Mkuu wa Wilaya na Mkuu wa Mkoa wanaweza kupewa, wakiomba, nakala ya mihtasari au sehemu ya mihtasari ya Kamati za Kudumu na Kamati nyingine. Wakuu wa Wilaya na Wakuu wa Mikoa hawatabadilisha au kubatilisha au kuagiza au kubatilisha uamuzi wa kubadilisha Halmashauri. na ambayo, Hoja yoyote isiyotokana na mapendekezo au taarifa ya Kamati ya Fedha, Utawala na Mipango kama ikikubaliwa,itaongeza matumizi au kupunguza mapato yaliyo chini ya usimamizi wa Kamati yoyote, au itasababisha matumizi ya Kamati ya Kudumu, baada ya kupendekezwa au kuungwa bila majadiliano mpaka Mkutano wa kawaida wa Halmashauri unaofuata, na Kamati yoyote inayohusika na hoja hiyo itafikiria iwapo ingependa kutoa taarifa kuhusu athari za kifedha za pendekezo hilo. itaahirishwa mkono, 37 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Bunda Tangazo la Serikali Na.916 (Linaendelea.) (1) Kupokelewa taarifa kwa za Kamati 3 3 . (2) Kuidhinish wa taarifa Kamati kwa ya 3 4 . Uhalali wa majadiliano ya Halmashauri 3 5 . 3 6 Uwezo wa Halmashauri kujigeuza kuwa Kamati ya Halmashauri nzima 3 7 Hoja zinazohusu watumishi wa Halmashauri Taarifa ya Kamati inapowasilishwa kwenye Halmashauri, hoja itakuwa “kwamba taarifa ipokelewe”na baada ya kukubaliwa na Wajumbe taarifa itaanza kujadiliwa kipengele kimoja baada ya kingine. Mapendekezo yoyote yaliyomo katika taarifa hiyo yatapigiwa kura moja baada ya nyingine iwapo Mjumbe yeyote atapenda iwe hivyo. Baada ya hapo taarifa nzima itawasilishwa mbele ya Mkutano kwa kupokelewa ikiwa na au bila marekebisho. Taarifa ya Kamati inapokuwa imepokelewa na kuwa Halmashauri hatua itamaanisha zilizochukuliwa na Kamati iliyowasilisha taarifa hiyo zimeidhinisha na mapendekezo yaliyo kwenye taarifa yatatekelezwa na kwamba Mkurugenzi wa Halmashauri atakuwa ameelekezwa kama inavyotakiwa. Uhalali wa majadiliano kwenye Halmashauri hautaathiriwa na nafasi yoyote wazi ya Mjumbe, dosari zozote zilizo katika uchaguzi au uteuzi wa Wajumbe wa Kamati au zile za maafisa wake. Halmashauri inaweza kujigeuza kuwa Kamati ya Halmashauri nzima, na mara baada ya kujigeuza, taratibu za kuendesha vikao vya Kamati za Kudumu zitatumika. jambo litajitokeza lolote katika Kama mkutano wa Halmashauri linalohusu uteuzi, kupandishwa kazi, mishahara au mazingira ya kazi au utendaji kufukuzwa cheo, 38 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Bunda Tangazo la Serikali Na.916 (Linaendelea.) Kushiriki kwa Umma (1) 3 8 (2) Uahirishaji wa mikutano (1) 3 9 kazi kwa jumla wa mtumishi yeyote wa Halmashauri, jambo hilo litajadiliwa katika Kamati ya Halmashauri nzima. Mtu yeyote ambaye ni mkazi katika eneo la Halmashauri anaweza kuhudhuria kikao cha Halmashauri kwa nia ya kuwasilisha hoja mbele ya Halmashauri, baada ya kutoa taarifa kwa maandishi na kwa Mkurugenzi, Mkurugenzi akamkubalia kufanya hivyo. Mtu yeyote ambaye ni mkazi katika eneo la Halmashauri anaweza kualikwa kuhudhuria kikao cha Kamati au Kamati Ndogo kabla uamuzi haujafanyika kuhusu masuala ambayo ana maoni mahsusi. Kwa kuzingatia masharti ya kanuni ndogo ya (2) ya Kanuni 17 na Kanuni Ndogo ya 2 ya Kanuni haitaahirisha Mkutano wake hadi dondoo zote za agenda ya Mkutano huo zitakapojadiliwa na kutolewa uamuzi. hizi, Halmashauri (2) Pale ambapo katika Mkutano wowote wa Halmashauri akidi haikutimia, Wajumbe waliopo wataahirisha Mkutano na utaratibu wa kuitisha Mkutano mwingine utafanyika kwa kuzingatia maelekezo ya Kanuni hizi. Kamati Kudumu za (1) 4 0 SEHEMU YA IV KAMATI Halmashauri katika mkutano wake wa mwaka itateua Wajumbe wa Kamati za Kudumu idadi ya zifuatazo ambazo zitakuwa na Wajumbe (ukimwondoa Mwenyekiti wa Halmashauri isipokuwa katika Kamati ya kama Fedha, Utawala na mipango) 39 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Bunda Tangazo la Serikali Na.916 (Linaendelea.) au hapa chini inavyoonyesha kama itakavyorekebishwa na Halmashauri mara kwa mara. Isipokuwa katika kuteua Wajumbe wa Kamati ya Fedha, Utawala na Mipango Mwenyekiti na Mkurugenzi watazingatia uwiano wa uwakilishi wa vyama vya siasa katika Halmashauri. Kamati Idadi ya Wajumbe (a) Kamati ya Fedha ,Uongozi na Mipango (b)Kamati ya Elimu,Afya na Maji (c) Kamati ya Masuala ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira. (d)Kamati ya Maadili ya Madiwani (e)Kamati ya Kudhibiti Ukimwi (2) Kila Mjumbe wa Halmashauri atakuwa Mjumbe wa angalau Kamati moja ya Kudumu. Kamati ya Fedha, Utawala na mipango itakuwa na Wajumbe wafuatao: - (a) Mwenyekiti wa Halmashauri ambaye atakuwa Mwenyekiti. (b) Makamu Mwenyekiti (c) Mbunge au Wabunge wa Majimbo wanaowakilisha Majimbo katika eneo la Halmashauri (d) Wenyeviti wa Kamati za Kudumu za Halmashauri (e) Wajumbe wengine wasiozidi wawili na watakaopendekezwa (2) 40 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Bunda Tangazo la Serikali Na.916 (Linaendelea.) (3) (4) (5) (6) Mwenyekiti na kupigiwa kura na Baraza la Halmashauri mmoja kati yao awe mwanamke. Wajumbe wa Kamati za Kudumu watashika nyadhifa zao kwa muda wa mwaka mmoja na wataendelea kushika nyadhifa hizo mpaka Mkutano wa mwaka wa Halmashauri unaofuata. Wajumbe Isipokuwa waliochaguliwa kwenye Mkutano wa kwanza baada Uchaguzi Mkuu watashika nyadhifa zao kwa muda uliobaki kumaliza Mwaka wa Fedha ambapo Uchaguzi utafanyika tena. Halmashauri inaweza wakati wowote kuvunja na kuunda upya Kamati ya Kudumu iliyoteuliwa kwa mujibu wa Kanuni hii ya Kudumu, endapo kufanya hivyo kutakuwa ni kwa manufaa ya Halmashauri. Hakuna Halmashauri itakayounda Kamati ya Kudumu mpya zaidi ya Kamati zilizotajwa kwenye kanuni ya 40(1), isipokuwa baada ya kuomba na kupata idhini ya maandishi kutoka kwa Waziri. Maombi ya Halmashauri ya kuanzisha Kamati mpya ya Kudumu lazima yakidhi na yawe na maelezo yafuatayo; (a) Upekee wa majukumu yanayoombewa kuundwa kwa Kamati ya Kudumu mpya na majukumu hayo yawe hayawezi kutekelezwa na Kamati za Kudumu zilizotajwa zilizopo na kwenye kanuni ya 40(1); (b) Gharama za uendeshaji wa Kamati hiyo kwa mwaka; (c) Kuundwa kwa Kamati ya Kudumu hiyo mpya ni hitajio la lazima na ni kipaumbele cha Halmashauri na jamii 41 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Bunda Tangazo la Serikali Na.916 (Linaendelea.) 4 1 Mwenyekiti wa Halmashauri kuwa Mjumbe wa Kamati zote Uwezo wa Kamati 4 2 kwa ujumla. (7) Kamati yoyote itakayoundwa na Halmashauri bila itakuwa batili na maamuzi yake yote yatakuwa batili. idhini ya Waziri Mwenyekiti wa Halmashauri atakuwa Mjumbe wa Kamati zote za Kudumu za Halmashauri. Kamati zote za Halmashauri zitawasilisha taarifa zao kwa Halmashauri, na hakuna hatua itakayochukuliwa kutekeleza uamuzi wowote wa Kamati yoyote mpaka hapo taarifa ya Kamati husika itakapokuwa imewasilishwa na kukubaliwa na Halmashauri, isipokuwa pale ambapo hatua ya imekasimiwa kwa Kamati. kuchukua idhini Kamati pamoja za (1) 4 3 (2) inaweza kukubaliana na Halmashauri Halmashauri nyingine kuteua Kamati ya pamoja kutokana na Wajumbe wao kwa madhumuni yoyote yale ambayo wana maslahi ya pamoja, na Halmashauri hizo zinaweza kukasimu kwa Kamati hiyo ya pamoja, kutegemea na masharti na mipaka zitakazoweka kama watakavyoona inafaa, ya Halmashauri madaraka zinazohusiana na madhumuni yaliyozifanya ziunde Kamati hiyo, isipokuwa shughuli zile ambazo Halmashauri haziruhusiwi kukasimu. kazi au Muundo na muda wa kazi wa Wajumbe wake na mipaka ya eneo ambamo Kamati hiyo ya na pamoja Halmashauri zinazoiteua itapangwa itafanya kazi, (3) Kamati ya pamoja haitaingia katika gharama 42 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Bunda Tangazo la Serikali Na.916 (Linaendelea.) Kukasimu Madaraka kwenye Kamati (1) 4 4 zozote zaidi ya zile ambazo zimeidhishwa na mamlaka iliyoteua Kamati hiyo. Kufuatana na kanuni ndogo ya (2) ya Kanuni hizi pamoja na masharti mengine ambayo inafaa, Halmashauri Halmashauri inaweza kukasimu kwa Kamati uwezo wa kutekeleza kazi yoyote kwa niaba yake. itaona (2) Halmashauri haitakasimu kwa Kamati yoyote uwezo wa: (a) kutunga Sheria Ndogo; (b) kuweka na kutoza kodi; (c) kuidhinisha makadirio ya mapato na matumizi ya Halmashauri; (d) kutoza ada na ushuru; (e) kuidhinisha mpango na bajeti ya Halmashauri; (f) kuingia mikataba mbalimbali ikiwa ni pamoja na mikataba ya kukopa; (g) kupitisha mpango wa utoaji huduma. Kazi za kila Kamati ya Kudumu ya Halmashauri ni kama zilivyoonyeshwa katika Jedwali la Kwanza la Kanuni za Kudumu hizi. inaweza kusitisha Halmashauri au kurekebisha uamuzi wa kukasimu madaraka lakini usitishaji au yoyote kwa Kamati, urekebishaji huo hautaathiri lolote jambo lililofanywa kutokana na uamuzi wowote uliochukuliwa kihalali na Kamati. (3) (4) (5) Shughuli yoyote iliyotekelezwa na Kamati kutokana na kukasimiwa kwa mujibu wa 43 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Bunda Tangazo la Serikali Na.916 (Linaendelea.) Kamati ndogo (1) 4 5 (2) (3) (4) Vikao kamati vya (1) 4 6 Kanuni hii itatambuliwa kuwa imefanywa au kutekelezwa na Halmashauri. Kamati yoyote au Kamati ya pamoja inaweza kuteua Kamati Ndogo kutokana na Wajumbe wake kadri itakavyoona inafaa kwa ajili ya kuchunguza na kutoa taarifa kuhusu jambo lolote, lakini Kamati haitakasimu madaraka yake ya kiutendaji kwa Kamati Ndogo yoyote. Idadi ya Wajumbe wa Kamati Ndogo pamoja na muda watakaotumikia vitaamuliwa na Kamati iliyoteua Kamati Ndogo hiyo. Mwenyekiti wa Kamati atakuwa Mjumbe wa Kamati Ndogo yoyote kwa mujibu wa wadhifa wake isipokuwa kama atamfahamisha Mkurugenzi kwa maandishi kuwa hatakuwa Mjumbe wa Kamati hiyo. Kila Kamati Ndogo inaweza kumteua mmoja wa Wajumbe wake kuwa Mwenyekiti wa Kamati Ndogo husika. Kikao cha kwanza wa Kamati kitaitishwa na Mkurugenzi ndani ya mwezi mmoja baada ya Kamati kuteuliwa na baada ya hapo kulingana na kama mikutano itakavyoidhinishwa na Halmashauri. ratiba ya (2) (3) Taarifa ya angalau saa ishirini na nne yenye ajenda za kikao itabidi kutolewa kwa Wajumbe kabla ya kikao cha Kamati. Idadi ya Kamati haitazidi idadi ambayo itawekwa na Waziri kutokana na uwezo aliopewa chini ya kifungu cha 75(3) cha Sheria. Mwenyekiti 4 (1) Katika kikao chake cha kwanza baada ya 44 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Bunda Tangazo la Serikali Na.916 (Linaendelea.) wa Kamati 7 Kikao maalum cha Kamati Ajenda Kamati za Mahudhurio katika vikao 4 8 . 4 9 . 5 0 (2) (3) (4) (1) (2) Mkutano wa mwaka wa Halmashauri na kabla ya kuendelea na shughuli yoyote nyingine, kila Kamati itamchagua Mwenyekiti wa Kamati kwa mwaka unaohusika. Mwenyekiti wa Kamati, isipokuwa Kamati ya Fedha Utawala na Mipango atachaguliwa kwa kura ya siri ya Wajumbe walio wengi kwa kupiga kura ya siri kwenye eneo la faragha litakalotengwa na Mkurugenzi kwa ajili hiyo. Mwenyekiti wa Halmashauri atakuwa pia Mwenyekiti wa Kamati ya Fedha na Utawala. Endapo nafasi ya Mwenyekiti wa Kamati itakuwa wazi katika kipindi cha mwaka husika, Mkurugenzi atatoa taarifa kwa Wajumbe wote wa Kamati kuwa katika kikao kijacho cha kawaida cha Kamati husika dondoo ya kumchagua Mwenyekiti wa Kamati kwa kipindi cha mwaka kilichosalia itakuwa ya kwanza katika ajenda. Kikao Maalum cha Kamati kitaitishwa baada ya theluthi mbili ya Wajumbe wa Kamati kuomba kwa maandishi kuwa kikao hicho kifanyike na kueleza sababu. Taarifa ya kikao Maalum cha Kamati itaonyesha shughuli itakayofanyika katika kikao hicho na hakuna jambo jingine lolote litakalojadiliwa katika kikao hicho Mjumbe wa Kamati atakuwa na haki ya hoja zake kuwekwa katika ajenda ya Kamati kama atatoa taarifa ya angalau siku nne (4) kabla ya tarehe ya kikao. (1) Mjumbe wa Kamati ya Kudumu au Kamati Ndogo, ambaye ameshindwa kuhudhuria 45 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Bunda Tangazo la Serikali Na.916 (Linaendelea.) kikao cha Kamati Ndogo, hataruhusiwa kutuma mtu mwingine kumwakilisha kwenye kikao cha Kamati au Kamati Ndogo. Mjumbe wa Halmashauri hatakuwa na haki ya kuhudhuria kikao chochote cha Kamati au Kamati Ndogo ambamo yeye si Mjumbe, isipokuwa kama Kamati au Kamati Ndogo inayohusika imemwalika kuhudhuria, na hata hivyo hatakuwa na haki ya kupiga kura au kudai posho kwa kuhudhuria kikao hicho cha Kamati au Kamati Ndogo. Mjumbe wa Halmashauri anayewasilisha hoja ambayo imepelekwa kwenye Kamati atapewa taarifa ya kikao cha Kamati ambamo hoja yake imepagwa kuzungumzwa na kama atahudhuria atapewa nafasi ya kuizungumzia. Mwenyekiti wa Kamati, Kamati ya pamoja au Kamati Ndogo baada ya kushauriana na Wajumbe wa Kamati, Kamati ya pamoja na Kamati Ndogo, anaweza kumwalika mtu yeyote kuhudhuria na kuzungumza kwenye kikao kuhusu suala lolote au kushiriki kwa namna yoyote kwenye kikao cha Kamati, lakini mtu huyo atakayealikwa hatakuwa na haki ya kupiga kura kwenye kikao hicho. Majadiliano katika Kamati, Kamati ya pamoja au Kamati Ndogo hayatakuwa wazi kwa umma na vyombo vya habari, isipokuwa kwa kutokana la Halmashauri linaloruhusu kuwa umma na vyombo vya habari vihudhurie. azimio na vya Kamati . (2) 5 1 5 2 5 3 hoja cha Mtoa kualikwa kwenye kikao Kamati Waalikwa wasiokuwa Wajumbe kuhudhuria na kushiriki katika vikao vya Kamati Mahudhurio ya umma na vyombo vya Habari kwenye katika vikao vya Kamati na Kamati ndogo za Athari nafasi wazi kwenye Kamati (1) 5 4 Kunapotokea nafasi wazi kwenye Kamati, Kamati ya pamoja au Kamati Ndogo, Kamati itaendelea kutekeleza shughuli zake licha ya 46 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Bunda Tangazo la Serikali Na.916 (Linaendelea.) kuwepo kwa nafasi wazi hiyo au hizo au mpaka nafasi hiyo au hizo zitakapojazwa, kwa njia ya uchaguzi au uteuzi. Mjumbe atakayejaza nafasi hiyo atashika nafasi hiyo kwa kipindi kilichosalia cha Mjumbe ambaye nafasi yake imekuwa wazi. Uhalali wa tendo lolote au maamuzi ya kikao chochote cha Kamati hautaathiriwa kutokana na hitilafu katika uteuzi wa Mjumbe aliyeshika nafasi hiyo au nafasi hiyo kuachwa wazi na Mjumbe, au Wajumbe au Mjumbe au Wajumbe kuamua kutoka kwenye kikao kwa linalotaka la kukwamisha lengo kutolewa maamuzi na Kamati hiyo. jambo kikao Endapo Wajumbe waliohudhuria hawatafikia akidi ya Kikao, Mkurugenzi ataahirisha Kikao hicho na kukiitisha tena ndani ya siku saba na endapo akidi haitatimia tena, idadi yoyote ya Wajumbe waliohudhuria itatengeneza akidi ya Kikao ambapo kikao hicho kitaendelea na itakuwa halali na Mkurugenzi atamjulisha Waziri kuwepo kwa hali hiyo. Kanuni ya 16 ya Kanuni hizi za Kudumu itatumika, baada ya kufanya marekebisho yanayostahili, kwenye vikao vya Kamati za Halmashauri Mjumbe anapozungumza katika kikao cha anaweza Kamati kuzungumza zaidi ya mara moja juu ya jambo linalojadiliwa. ameketi na atakuwa (2) Akidi kwenye vikao Kamati 5 5 vya za Kanuni Kudumu katika vikao vya Kamati (1) 5 6 (2) Upigaji kura kwenye vikao Kamati vya 5 7 Masuala yote yanayoletwa mbele ya Kamati yataamuliwa kwa wingi wa kura za Wajumbe waliohudhuria na kupiga kura kwenye kikao husika na endapo kunatokea kura mlingano 47 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Bunda Tangazo la Serikali Na.916 (Linaendelea.) mtu anayeongoza kikao hicho atakuwa na kura ya turufu. Mihtasari ya Kamati (1) 5 8 Muhtasari wa kila Kamati, Kamati ya pamoja na Kamati Ndogo, utajumuisha majina ya Wajumbe waliohudhuria na wasiohudhuria, na utasainiwa kwenye kikao kinachofuata na mtu na muhtasari uliosainiwa hivyo, kama hakuna ushahidi wa kuwa una makosa, utapokelewa kwa ushahidi bila uthibitisho zaidi. aliyeongoza kikao (2) Hakuna hoja au mjadala utakaoendeshwa kuhusiana na muhtasari wa Kamati isipokuwa kuhusu usahihi wa suala lolote linalohusu usahihi litatolewa kwa hoja. ambapo lililowasilishwa suala Pale limeamuliwa kwa mujibu wa kanuni ya 55, suala hilo halitaanza kujadiliwa upya katika kikao hicho cha Kamati isipokuwa kama hoja hiyo inaungwa mkono na theluthi mbili ya Wajumbe waliohudhuria na kupiga kura. Mjumbe wa Kamati au Kamati ndogo hatatoa nje jambo lolote lililoletwa au kuzungumzwa kwenye Kamati au Kamati ndogo bila ruhusa ya Kamati hiyo, au Kamati ndogo mpaka hapo Kamati hiyo au Kamati Ndogo hiyo itakapokuwa kwenye Halmashauri au itakapokuwa imekamilisha utekelezaji wa jambo hilo. imetoa taarifa Kufikiriwa upya maamuzi 5 9 6 0 Kutunza siri za majadiliano ya Kamati na Kamati ndogo Kujiuzulu wadhifa wa Mwenyekiti wa Kamati 6 1 Mwenyekiti wa Kamati anaweza kujiuzulu wadhifa wake kwa kutoa taarifa ya maandishi aliyoisaini na kutuma kwa Mkurugenzi. Kujiuzulu ujumbe wa 6 (1) Mjumbe yeyote wa Kamati anaweza kujiuzulu 48 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Bunda Tangazo la Serikali Na.916 (Linaendelea.) 2 na Kamati kujazwa kwa nafasi iliyowazi (3) Taratibu za uagizaji (1) 6 3 Sura ya 290 (2) (3) 6 4 Kumbukum bu za majadiliano yanayohusu uagizaji wadhifa wake kwa kutoa taarifa ya maandishi aliyoisaini na kuituma kwa Mkurugenzi. Nafasi inayotokana na kujiuzulu kwa Mjumbe itajazwa na Halmashauri katika kikao chake cha kawaida baada ya tarehe ya kujiuzulu kwa Mjumbe. SEHEMU YA V UNUNUZI WA VIFAA, UPATIKANAJI WA HUDUMA NA UJENZI Uagizaji wa mali, huduma na ujenzi katika Halmashauri utazingatia Kanuni za Manunuzi zilizotungwa chini ya kifungu cha 68 cha Sheria za Fedha za Serikali za Mitaa, na Sheria ya Manunuzi ya mwaka 2011 pamoja na marekebisho yake ya mwaka 2016. Kutakuwepo na Bodi ya Zabuni ambayo imeanzishwa kwa mujibu wa Kanuni za Bodi ya Zabuni (Uanzishwaji na Mwenendo) za Serikali za Mitaa na ambayo itasimamia shughuli zote za uagizaji katika Halmashauri. Muhtasari wa Bodi ya Zabuni utapaswa kuwasilishwa kwenye kikao kifuatacho cha Halmashauri baada ya muhtasari huo kujadiliwa na kupitishwa kwanza na Kamati ya Fedha na Utawala. Bodi ya zabuni ya Halmashauri itaweka kumbukumbu ya majadiliano yanayohusu taratibu za ununuzi zikiwa na angalau taarifa zifuatazo: - (a) maelezo mafupi kuhusu vitu, ujenzi au huduma zinazotarajiwa kutolewa na 49 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Bunda Tangazo la Serikali Na.916 (Linaendelea.) iliyosababisha Bodi kuitisha haja zabuni; (b) majina na anuani ya wazabuni waliowasilisha zabuni, maelezo kuhusu sifa au ukosefu wa sifa za wazabuni waliowasilisha zabuni zao; (c) bei au msingi wa upangaji wa bei na muhtasari wa masharti mengine muhimu ya kila zabuni na ya kila mkataba wa uagizaji wa mali, huduma na ujenzi; (d) muhtasari wa tathmini na mlinganisho wa zabuni pamoja na upendeleo uliokuwepo katika tathmini hiyo; (e) kama zabuni tamko kuhusu uamuzi huo na sababu za uamuzi huo; zilikataliwa, (f) kama utaratibu mwingine wa kupata vitu au huduma mbalimbali ya utaratibu wa zabuni ndio uliotumika, basi tamko kuhusu sababu zilizoifanya Bodi iamue kutumia utaratibu huo mwingine; (g) kama zabuni ilikataliwa kwa kuwa mzabuni alitoa, alikubali kutoa moja kwa moja au kwa njia isiyo ya moja kwa moja, kwa mtumishi wa sasa au wa zamani wa Halmashauri, bakshishi ya aina yoyote, ahadi ya kumwajiri au kitu chochote kinachohusiana na ajira au chenye thamani, kama hamasisho kwa utendaji au uamuzi au utaratibu wa kutumia, tamko kuhusu jambo hilo; (h) katika upataji wa huduma, sababu na 50 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Bunda Tangazo la Serikali Na.916 (Linaendelea.) iliyoifanya Bodi hali kuchagua utaratibu wa kutumia katika upataji huo wa huduma; imeamua (i) katika upataji wa vitu au huduma kudhibiti ambao Bodi ushiriki kwa misingi ya Taifa, Mkoa au Wilaya, tamko kuhusu sababu na hali iliyofanya Bodi kudhibiti ushiriki huo; (j) katika upataji wa vifaa na huduma kwa kutoa kuwaomba watoaji mapendekezo yao moja kwa moja tamko la sababu na hali iliyofanya Bodi kuamua kutumia utaratibu huo; na (k) muhtasari wa maombi yoyote ya ufafanuzi kuhusu mchujo wa zabuni au nyaraka na majibu zabuni yaliyotolewa pamoja na muhtasari wa marekebisho yoyote yaliyofanywa katika nyaraka hizo. za Sehemu ya kumbukumbu zilizotajwa kwenye Kanuni Ndogo ya (1) (a) na (b) ya Kanuni hii zitatolewa, kama zikiombwa, kwa mtu yeyote baada ya zabuni kutangazwa, kufunguliwa na kukubaliwa, au baada ya kusimamishwa kwa taratibu za uagizaji bila ya kuingia katika mkataba wa uagizaji. Sehemu ya kumbukumbu zilizoelekezwa katika Kanuni Ndogo ya (1) (c) hadi (g) ya Kanuni hii kama itaombwa, itatolewa kwa wazabuni waliowasilisha zabauni baada ya zabuni kukubaliwa au baada ya kusitishwa bila ya kuingia kwenye mkataba wa utoaji wa vitu au huduma 51 (2) (3) Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Bunda Tangazo la Serikali Na.916 (Linaendelea.) (4) itaelekezwa hivyo na Isipokuwa kama mahakama yenye mamlaka na kutegemeana na masharti ya maelekezo hayo, Bodi haitatoa habari: cha Sheria, (a) kama utoaji huo wa habari utakuwa kinyume utazuia utekelezaji wa Sheria; hautakuwa na maslahi kwa umma, utahatarisha maslahi halali ya kibiashara ya wahusika au utazuia ushindani halali; na (5) (6) (7) (8) (b) habari zinazohusu uchambuzi, tathmini na ulinganisho wa zabuni pamoja na bei mbali ya muhtasari ulioelezwa kwenye Kanuni Ndogo ya (1) (e) ya Kanuni hizi. Mara baada ya zabuni kujadiliwa na Bodi, Katibu atamjulisha Mzabuni aliyefanikiwa ili makubaliano ya nyaraka za mkataba yaweze kufikiwa. Nakala za muhtasari zitapelekwa kwa siri kwa kila Mjumbe wa Bodi, Mkurugenzi, Mweka Hazina, Mkaguzi wa Ndani na Mkuu wa Idara husika kwa taarifa na kumbukumbu. hakufanikiwa Kila mzabuni atajulishwa za sababu na kutokubaliwa kwa zabuni yake atapaswa kupewa sababu. ambaye akiomba Bodi ya Zabuni kwa kuzingatia masharti ya taarifa ya Kanuni za uagizaji zabuni mwenendo zilizoitishwa kwenye Mkutano wa kawaida wa Halmashauri kupitia ya kuwasilishwa na maamuzi itaandaa na 52 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Bunda Tangazo la Serikali Na.916 (Linaendelea.) Uzuiaji wa rushwa 6 5 Sura ya 329 Kamati ya Kudumu husika. au ametoa, Katika mkataba wowote wa kimaandishi, yatawekwa maneno ambayo yataonyesha kuwa Halmashauri itakuwa na haki kusitisha mkataba na kumdai Mkandarasi malipo ya fidia kutokana na kusimamishwa kwa mkataba huo endapo Mkandarasi atabainika kuwa ameahidi kutoa au amekubali kutoa kwa mtu yeyote zawadi yoyote au upendeleo wa aina yoyote kama kishawishi au zawadi kwa kufanya au kumpendelea au kutomkubali mtu yeyote kuhusiana na mkataba na Halmashauri au kama vitendo hivyo vitakuwa vimefanywa na mtumishi yeyote aliyeajiriwa naye au kwa niaba yake iwe Mkandarasi anafahamu au hafahamu atakuwa ametenda kosa chini ya Sheria ya Kuzuia na Kudhibiti Rushwa. Usimamizi wa mikataba (1) 6 6 Mkurugenzi wa Halmashauri atawajibika katika usimamiaji na ufuatiliaji mzuri wa Mikataba. (2) (3) Mkataba wa upataji vitu hautabadilishwa kwa namna yoyote ile baada ya kutiwa saini na pande kama mabadiliko hayo ni: - zinazohusika isipokuwa (a) kwa faida ya Halmashauri na hayailetei hasara Halmashauri; (b) yamethibitishwa na Bodi ya zabuni ya Halmashauri; na (c) upande mwingine unaafiki. Malipo ya mwisho hayatafanywa mpaka mkataba mzima utakapokuwa umekamilika kutokana na kuridhika kwa Halmashauri na vya mkataba vipengele kulingana na 53 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Bunda Tangazo la Serikali Na.916 (Linaendelea.) unaohusika. (4) Malipo ya fedha za salio hayatalipwa mpaka upite muda wa miezi sita na kazi iwe haina kasoro. Uvunjaji wa Mkataba 6 7 Pale ambapo mkataba uliotiwa lakiri au muhuri na Halmashauri haukufuatwa na mkandarasi au mtoa huduma, ikiwa ni pamoja na ucheleweshaji usiokuwa wa kimsingi, Mkurugenzi mapema iwezekanavyo na Kamati ya Fedha, Uongozi na Mpango taratibu zilizowekwa kwenye mkataba, kuamua hatua muafaka za kuchukua na kumfahamisha Mkandarasi au mtoa huduma juu ya uamuzi. atashauriana kuzingatia kwa Rejesta mikataba ya (1) 6 8 Mkurugenzi atatunza maelezo yote ya mikataba kwenye rejesta ya mikataba na atafanya ulinganifu wa malipo halisi na yale yaliyoidhinishwa. (2) Taarifa ya matumizi yote ya ziada lazima yapelekwe ya Zabuni kwenye Bodi yakiambatana na maelezo kutoka kwa Mkurugenzi. (1) 6 9 au Diwani Afisa kutokuwa na maslahi katika Mikataba Endapo Diwani au Afisa wa Halmashauri ana maslahi ya kifedha ya moja kwa moja au vinginevyo katika mkataba wowote, mkataba unaopendekezwa au jambo lolote, na yupo kwenye Mkutano wa Halmashauri au Kamati au mkataba ambapo mkataba unaopendekezwa au lolote lingine linajadiliwa, atatangaza jambo hilo mara Mkutano utakapokuwa umeanza na hatashiriki wala kuwepo katika majadiliano au kupiga kura kuhusu jambo linalohusu mkataba au mkataba unaopendekezwa au jambo lingine lolote ambalo ana maslahi nalo. huo, jambo 54 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Bunda Tangazo la Serikali Na.916 (Linaendelea.) (2) (3) (4) (5) Kanuni hizi haitatumika kuhusiana na maslahi katika mkataba au suala lingine ambalo Mjumbe au Afisa wa Halmashauri ana maslahi nalo kama mlipa kodi au mkazi katika eneo lililo katika himaya ya Halmashauri Diwani atahesabika kuwa na maslahi ya moja kwa moja katika mkataba au jambo jingine endapo: (a) yeye au mtu aliyemchagua ni Mjumbe wa kampuni au chombo kingine au anayo hati ya hisa katika kampuni ambayo itaingia, au imependekezwa iingie katika mkataba, au anao uhusiano wa kifedha katika jambo linalojadiliwa; au (b) yeye ni mbia au ameajiriwa na mtu ambaye mkataba unafanywa naye, au utakuwa chini yake, au anao uhusiano wa kifedha wa moja kwa moja katika suala linalojadiliwa au kuzungumzwa. Katika Kanuni hizi maslahi ya moja kwa moja na yasiyo ya moja kwa moja ya mwanandoa au ndugu wa familia kama inafahamika kwa Mjumbe wa Halmashauri itachukuliwa kuwa ni maslahi ya moja kwa moja au yasiyo ya moja kwa moja. ya jumla itakayotolewa kwa Taarifa au Afisa wa Mkurugenzi na Diwani Halmashauri kuhusiana na yeye, mkewe, mumewe au ndugu yake kwamba ana maslahi ya moja kwa moja au yasiyo ya moja kwa moja katika mkataba unaokusudiwa au jambo lingine na aina ya maslahi itachukuliwa, isipokuwa pale atakapoondoa taarifa hiyo, kuwa ametoa taarifa ya kutosha akieleza 55 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Bunda Tangazo la Serikali Na.916 (Linaendelea.) (6) (7) (8) Kiapo kukubali wadhifa na 7 0 ya maslahi yake kuhusiana na suala ambalo limo katika mjadala. Mkurugezi rejista ya ataandika katika kutangaza maslahi taarifa za watu wenye maslahi waliotoa taarifa chini ya Kanuni Ndogo ya (1) na taarifa yoyote iliyomo katika Kanuni Ndogo ya (5) itakuwa wazi kwa ukaguzi wakati wa saa za kazi. Halmashauri inaweza baada ya kupata kibali cha Waziri, kuondoa kizuizi chini ya Kanuni hii kinachoifanya ishindwe wakati wowote idadi ya kufanya Mkutano pale ambapo Wajumbe wenye maslahi ni kubwa mno kiasi cha kukwamisha shughuli za Halmashauri au itakuwa ni kwa maslahi ya wakazi wa Halmashauri kuondoa kikwazo hicho. Katika Kanuni za Kudumu hizi, ndugu wa familia itachukuliwa kuwa ni pamoja na baba, mama, mtoto, kaka, au dada na wanandoa wao. SEHEMU YA VI MASUALA MENGINE Kila Diwani kabla ya kushika wadhifa wake kama Diwani na kabla ya Mkutano wa kwanza wa Halmashauri: (a) atakula kiapo kama kilivyoonyeshwa kwenye Jedwali la Pili la Kanuni hizi za Kudumu kitakachosimamiwa na Hakimu Mkazi au Hakimu wa Wilaya; na (b) atatoa tamko lililoandikwa la kimaandishi kwa Mkurugenzi 56 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Bunda Tangazo la Serikali Na.916 (Linaendelea.) Majukum u Diwani ya (1) 7 1 jambo akiahidi kutekeleza la maslahi linalohusiana na tamko katika shughuli za kibiashara, mali, na kadhalika na kuzifuata Kanuni za Maadili ya Madiwani. Diwani atakuwa na majukumu yafuatayo: (a) kuwa karibu na wapiga kura na kupata ushauri wa Wananchi katika mambo yanayotarajiwa kujadiliwa kwenye Halmashauri. (b) kutoa maoni na mapendekezo ya wananchi kwa Halmashauri; (c) kuhudhuria mikutano ya Halmashauri na ya Kamati au Kamati Ndogo ambamo yeye ni Mjumbe; (d) kutenga angalau siku moja kila mwezi kukutana na wananchi katika eneo lake la uchaguzi; (e) kutoa taarifa kwa wapiga kura kuhusu maamuzi ya jumla ya Halmashauri na hatua zilizochukuliwa na Halmashauri kuondoa yaliyowahi matatizo kuelezwa na wakazi wa eneo lake la uchaguzi; (f) kuchangia ujuzi na uzoefu wake katika majadiliano katika mikutano ya Halmashauri na Kamati za Halmashauri; na yanayofanyika (g) kushiriki katika shughuli za pamoja za la la maendeleo katika lake uchaguzi na katika eneo zima Halmashauri. eneo (2) Katika kutekeleza wajibu wake Diwani atazingatia; (a) Maslahi ya Taifa na maslahi ya la katika eneo Wananchi Halmashauri; (b) Katiba, Sheria na Kanuni; 57 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Bunda Tangazo la Serikali Na.916 (Linaendelea.) (c) Kanuni za Maadili ya Madiwani, Mwongozo juu ya mahusiano ya Madiwani na Watumishi na miiko mingine. Nafasi Wazi 7 2 (1) Kiti cha Mjumbe wa Halmashauri kitakuwa wazi endapo Mjumbe: (a) (b) (c) (d) (e) (f) (g) (h) (i) (j) (k) na jopo amefariki anakubali ajira kama mtumishi wa Halmashauri; kwa mujibu wa Sheria, yoyote atakayethibitishwa la madakitari wa Serikali kuwa hana akili timamu; yuko chini ya hukumu ya kifo au sita kifungo kinachozidi miezi kilichotolewa kwake na mahakama; kwa mujibu wa Sheria yoyote anatamkwa kuwa anapoteza sifa za kuendelea kuwa Mjumbe; atakoma kuwa mwanachama wa chama cha siasa kilichompendekeza kuwa mgombea wa kiti cha udiwani; anapokuwa amepatikana na kosa kutokana na Kanuni za Maadili ya Madiwani na adhabu ya kosa alilotenda ni pamoja na kumwondoa Mjumbe madarakani; na anapoteza ujumbe kwa mujibu wa kanuni ya 71 (2) ya Kanuni hizi za Kudumu; anahukumiwa kwa kosa la kutotaja maslahi yake; amejiuzulu kutoka kiti chake; Halmashauri imevunjwa na kuathiri 58 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Bunda Tangazo la Serikali Na.916 (Linaendelea.) (l) (m) mipaka ya majimbo ya uchaguzi; uchaguzi wa Mjumbe umetangazwa kuwa batili; au bila sababu ya kuridhisha au bila idhini au kibali cha maandishi cha Mwenyekiti, Mjumbe anakosa kuhudhuria mikutano mitatu ya kawaida ya Halmashauri au vikao vitatu vya Kamati ambamo yeye ni Mjumbe. inayofuatana na Mwenyekiti Waziri atatangaza kiti kuwa wazi pale atakapojulishwa wa Halmashauri kwa maandishi kwamba kiti kiko wazi kwa kuzingatia masharti ya kifungu cha 42 (1) cha Sheria ya Serikali za Mitaa (Mamlaka za Wilaya). kutoa yaweza Halmashauri ya kutokuwepo katika mikutano yake kwa muda usiozidi miezi kumi kwa Mjumbe yeyote anayetaka kwenda nje ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. idhini (2) Sura ya 287 Kutokuwep o Wajumbe kwa (1) 7 3 (2) Pale ambapo Mjumbe kwa sababu yoyote ile amekuwa nje ya nchi kwa muda unaozidi miezi kumi kiti cha udiwani kitachukuliwa kuwa kipo wazi. chake Taratibu za kutunga Sheria ndogo (1) 7 4 ambayo Pale ambapo Halmashauri inakusudia kutunga Sheria Ndogo itatoa tangazo kwa wakazi wa eneo husika kuhusu kusudio hilo katika kuwa namna watakaoathirika Ndogo na inayokusudiwa kutungwa wanafahamu vilivyo na kuwaomba wanaopenda kutoa pingamizi lolote au mapendekezo yao kwa maandishi katika muda uliowekwa. itahakikisha Sheria 59 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Bunda Tangazo la Serikali Na.916 (Linaendelea.) (2) (3) (4) (5) (6) Ukaguzi wa nyaraka (1) 7 5 Pale ambapo baada ya muda wa taarifa kumalizika hakuna pingamizi au malalamiko yaliyowasilishwa, au hakuna mtu yeyote aliyetoa pingamizi inayokubalika mbele ya Halmashauri, Halmashauri itaendelea kutunga Sheria Ndogo ikizingatia malalamiko na pingamizi zilizotolewa. Sheria Ndogo, zikishatungwa na Halmashauri zitapelekwa kwa Mkuu wa Mkoa ambamo Halmashauri husika imo ili aweze kuzitolea maoni yake na kisha kuziwasilisha kwa Waziri. Waziri anaweza kuidhinisha, kukubali au kukataa kuidhinisha Sheria Ndogo au kutoa au kusimamisha kibali chake kwa kutoa masharti atakayoyaeleza na anaweza baada ya kutoa idhini yake, kupanga tarehe ya kuanza kutumika kwa Sheria Ndogo hizo. athari zenye Waziri anaweza, kabla ya kuidhinisha Sheria Ndogo kwenye maeneo yaliyotengwa au maeneo Maalum au kwa Sheria nyingine yoyote, kushauriana na Waziri anayehusika na Sheria husika au na jambo lililotungiwa Sheria Ndogo kadri itakavyokuwa. Sheria Ndogo na yoyote Halmashauri lazima itangazwe katika Gazeti la Serikali kabla ya kuanza kutumika. iliyotungwa Mjumbe ataweza, kwa madhumuni ya kutekeleza wajibu wake kama Mjumbe, na si vinginevyo, kukagua au kupewa akiomba waraka wowote ambao umejadiliwa na Kamati ya Halmashauri na kama nakala zinapatikana, anaweza kupewa, akiomba 60 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Bunda Tangazo la Serikali Na.916 (Linaendelea.) (2) Sura ya 287 Uanzishaji wa Bodi za Huduma Sura ya 287 (1) 7 6 (2) (1) 7 7 Diwani kutembelea maeneo,shu ghuli mbalimbali za ujenzi n.k nakala kwa madhumuni hayo hayo. Mjumbe hatakagua kwa makusudi au kutaka apewe nakala ya waraka wowote unaohusu jambo ambalo yeye ana maslahi nalo kwa mujibu wa Sheria ya Serikali za Mitaa (Mamlaka za Wilaya). Hata hivyo Kanuni hii haitamzuia Mkurugenzi kuzuia kukaguliwa kwa waraka wowote ambao umezuiliwa kutolewa kwa mujibu wa Sheria yoyote au Kanuni zilizotungwa chini ya Sheria hizo. Halmashauri inaweza, kwa mujibu wa kifungu 88 cha Sheria ya Serikali za Mitaa (Mamlaka za Wilaya), kwa madhumuni ya kutekeleza kazi zake katika eneo lililo chini ya mamlaka yake, kuunda Bodi za Huduma kwa hati rasmi la Serikali, iliyotangazwa kwenye Gazeti kama itakavyoona inafaa kufanya hivyo. Bodi ya Huduma iliyotajwa katika Kanuni Ndogo ya (1) ya Kanuni hizi itawajibika moja kwa moja kwenye Halmashauri kupitia Kamati ya Kudumu husika na itatekeleza kazi ilivyofafanuliwa katika hati zake kama inayoianzisha. wa Halmashauri Mjumbe anaweza kutembelea eneo, jengo au shughuli za ujenzi zinazotekelezwa nje ya Kata yake na au kwa niaba ya Halmashauri na kabla ya kutembelea mradi atutuma taarifa kwa Mkurugenzi akieleza sababu za matembezi yake ili aweze kupangiwa Wataalam wa mradi au shughuli husika kwa ajili kupata maelekezo ya kitaalam. (2) Mjumbe wa Halmashauri anapotembelea ya maendeleo shughuli au kwa niaba ya inayotekelezwa na au miradi 61 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Bunda Tangazo la Serikali Na.916 (Linaendelea.) (3) (4) (5) (6) Halmashauri hataruhusiwa kutoa maelekezo au maagizo ya kitaalam awapo kwenye eneo la mradi. Baada ya Diwani kutembelea maeneo au majengo kama ilivyoainishwa kwenye Kanuni ndogo ya (1) ya Kanuni hizi anaona kuna umuhimu wa kutoa maoni au mang’amuzi yake juu ya matembezi hayo atafanya hivyo kwa kuwasilisha maoni au mang’amuzi yake kwa Mkurugenzi ambaye atafanyia kazi au kuyapeleka kwa afisa anayesimamia kazi husika kwa utekelezaji. Endapo maoni au mang’amuzi ya Diwani hayawezi kufanyiwa kazi na Mkurugenzi au Afisa mhusika, basi atamshauri Diwani kupeleka maoni na mang’amuzi yake kwa Kamati inayohusika ili yachunguzwe zaidi na kuamuliwa. Kamati za Kudumu za Halmashauri, zinaweza kutembelea mara moja kila robo mwaka miradi ya maendeleo au shughuli yoyote au kwa niaba ya inayotekelezwa na inaihusu Kamati Halmashauri na ambayo husika ili mradi katika kutembelea miradi hiyo Kamati itaongozana na Wataalam wa mradi au shughuli husika ili kupata maelekezo ya kitaalam. Kamati ya Kudumu itatembelea miradi au shughuli za maendeleo kabla ya kikao cha Kamati ambacho kitajadili mradi au shughuli hiyo. Uhifadhi wa lakiri ya Halmashauri 7 8 Lakiri ya Halmashauri itatunzwa kwa usalama na kufungiwa katika kasiki kwenye Ofisi ya Mkurugenzi mwenyewe. 62 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Bunda Tangazo la Serikali Na.916 (Linaendelea.) Utiaji muhuri kwenye nyaraka (1) 7 9 kwa ubandikaji kukubaliwa yoyote mpaka Lakiri ya Halmashauri haitabandikwa katika huo hati umeidhinishwa na azimio la Halmashauri likiidhinisha zabuni, ununuzi, uuzaji au upangishaji au kuchukua mali yoyote, utoaji wa hati yoyote ya ukopeshaji fedha, uwasilishaji wa madai yoyote, uwekaji wa viwango vya kodi, uingiaji kwenye mkataba, kutunga Sheria Ndogo, au hati yotote iliyo rasmi ambayo kwa mujibu wa Sheria au Kanuni yoyote inahitaji kuwekwa lakiri ya Halmashauri. (2) itashuhudiwa au kuthibitishwa na Lakiri Mwenyekiti au Makamu Mwenyekiti na Mkurugenzi, na hati zilizowekwa lakiri zitasainiwa na Mwenyekiti au Makamu Mwenyekiti, kama hali itakavyokuwa. Uandikishaji wa anuani (1) 8 0 Itakuwa wajibu wa kila Mjumbe katika kikao cha kwanza cha Halmashauri, baada ya uchaguzi kutoa taarifa ya maandishi kwa Mkurugenzi juu ya anuani yake ya Kudumu ya kupokelea taarifa. Taarifa zilizopelekwa iliyoandikishwa anuani kwa itachukuliwa na sahihi inatosheleza kwa matumizi yote. kutumia ndiyo kama (2) iwe Iwapo Mjumbe atatoa taarifa ya maandishi kwa Mkurugenzi kuwa angependa taarifa ya mikutano ya Halmashauri inatumwa kwake kwa kutumia anuani atakayoitaja kwenye taarifa hiyo ambayo ni tofauti na ile katika Kanuni Ndogo ya (1), taarifa yoyote itakayoachwa au itakayotumwa kwa njia ya posta kwa kutumia anwani hiyo itachukuliwa kuwa inatosha kwa ajili ya kutoa taarifa inayotakiwa kwa mujibu wa Kanuni za Kudumu hizi. 63 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Bunda Tangazo la Serikali Na.916 (Linaendelea.) Uteuzi wa Wajumbe kwenye taasisi za nje (1) 8 1 kwanza, Katika Mkutano wake wa itateua wawakilishi wake Halmashauri kwenye Bodi na Taasisi za nje ambazo Halmashauri inastahili kuwakilishwa. (2) au Wajumbe, wanaoiwakilisha Mjumbe Halmashauri kwenye Bodi na Taasisi za nje, watatakiwa kuwasilisha kwa Mkurugenzi taarifa kuhusu shughuli za Bodi au Taasisi zinazogusa sera na maslahi ya Halmashauri na wakazi wake kijumla na Mkurugenzi atachukua hatua zifaazo. Kumwondo a Mwenyekiti madarakani (1) 8 2 kumwondoa inaweza Halmashauri Mwenyekiti madarakani azimio linaloungwa mkono na theluthi mbili ya Wajumbe kutokana na sababu yoyote kati ya sababu zifuatazo:- (a) kutumia nafasi yake vibaya; kwa (b) kushiriki katika vitendo vya rushwa; (c) kushindwa kutekeleza majukumu yake (d) mwenendo mbaya au ukosefu wa adabu; au (e) Ulemavu wa kimwili au kiakili kwa kiasi cha kumfanya kushindwa kutekeleza majukumu yake kama Mwenyekiti. (2) Hoja au sababu zitakazotolewa lazima iwe imetimiza masharti yafuatayo: (i) iwe na tuhuma mahsusi yenye ushahidi wa kutosha; na (ii) iwe imetolewa maelezo kamili na yenye kueleweka kuhusu tuhuma zinazohusika. 64 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Bunda Tangazo la Serikali Na.916 (Linaendelea.) (3) Kwa madhumuni ya kumwondoa Mwenyekiti madarakani, kwa sababu zozote zilizotamkwa chini ya Kanuni Ndogo ya (1) ya Kanuni hii, Halmashauri itatumia taratibu zilizotolewa katika Taratibu za Kumwondoa Mwenyekiti zilizotangazwa na Waziri kwenye gazeti la Serikali kwa mujibu wa Sheria. SEHEMU YA VII POSHO KWA WAJUMBE Aina Posho za (1) 8 3 Wajumbe wa Halmashauri watalipwa posho mbalimbali kama itakavyopendekezwa na Halmashauri na kuidhinishwa na Waziri. (2) Posho zitakazolipwa kwa Wajumbe wa Halmashauri zitakuwa za aina zifuatazo: (a) posho ya usafiri; (b) posho ya kuhudhuria kikao; (c) posho ya madaraka; (d) posho ya kujikimu; (e) posho ya mwezi; na (f) Kiinua mgongo. (3) Endapo Mjumbe wa Halmashauri ataugua au ataumia wakati akifanya kazi aliyotumwa na Halmashauri, gharama za matibabu yake zitalipwa na Halmashauri. 8 4 Posho endapo Mkutano umehairish wa Endapo Mkutano wa Halmashauri au kikao cha Kamati utaahirishwa kwa sababu ya kukosekana kwa akidi, Mjumbe au Wajumbe waliofika kwa ajili ya kuhudhuria Mkutano ulioahirishwa watastahili malipo huo 65 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Bunda Tangazo la Serikali Na.916 (Linaendelea.) yaliyotajwa katika kanuni ya 81(2) (a) na (d) iwapo wamelazimika, bila kukusudia, kulala njiani au kwenye makao makuu ya Halmashauri. Hakuna malipo ya posho ya kuhudhuria kikao yatakayofanywa katika hali ya namna hiyo. SEHEMU YA VIII MABADILIKO KWENYE KANUNI ZA KUDUMU Kusitisha utumiaji wa Kanuni za Kudumu (1) 8 5 (2) na Marekebish o mabadiliko ya Kanuni za Kudumu za Kanuni Kudumu kutolewa kwa Wajumbe Kutafsiri Kanuni za 8 6 8 7 8 8 Kanuni yoyote inaweza kusitishwa kwa azimio lililoungwa mkono na theluthi mbili za Wajumbe waliohudhuria Mkutano wa Halmashauri kwa hoja iliyopendekezwa bila taarifa kwa madhumuni ya kuwezesha ili shughuli ishughulikiwe na Halmashauri kama jambo la dharura au lenye manufaa. iliyofafanuliwa yoyote Halmashauri haitasitisha matumizi ya Kanuni yoyote kama kusitisha huko kutasababisha kufanya jambo ambalo limezuiliwa na Sheria au kutofanya jambo linalotakiwa kufanywa chini ya Sheria yoyote. Halmashauri inaweza kubadilisha, kuongeza, kurekebisha au kutengua Kanuni hizi za Kudumu kwa azimio lililoungwa mkono kwa wingi usiopungua theluthi mbili ya kura na baada ya kupata idhini ya Waziri. Nakala iliyochapishwa ya Kanuni za Kudumu hizi zitatolewa na Mkurugenzi kwa kila Mjumbe. Uamuzi wa Mwenyekiti kuhusu maana ya matumizi ya Kanuni hizi au mwenendo wa 66 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Bunda Tangazo la Serikali Na.916 (Linaendelea.) Kudumu Mkutano wa Halmashauri hautapingwa wakati wa Mkutano wowote wa Halmashauri Ziara Wajumbe za (1) 8 9 SEHEMU YA IX ZIARA ZA WAJUMBE Wajumbe wa Halmashauri wanaweza kwenda ziara mbalimbali za mafunzo ili mradi ziara hizo ziwe zimeainishwa kwenye mpango na bajeti ya Halmashauri. Isipokuwa kwa ziara ambazo gharama zake hazihusiani na bajeti ya Halmashauri Wajumbe watafanya ziara hizo kwa mujibu wa ratiba ya mpango huo. (2) Bila kuathiri masharti ya Kanuni Ndogo ya (1) ya Kanuni hizi Halmashauri kabla ya kuruhusu kufanyika kwa ziara itahakikisha kwamba: (a) shughuli ya ziara hiyo inafanana na shughuli na Halmashauri; zinazofanywa (b) ziara hiyo itafanyika baada ya kupata kibali cha Mkuu wa Mkoa; (c) Wajumbe wana kitu cha kwenda wanakokwenda kule kuonyesha kujifunza; (d) ziara zinazofanyika nje ya Mkoa zihusishe wadau mbalimbali wa Halmashauri kutegemeana na ziara husika; (e) ziara iwe na matunda yanayoonekana; (f) Wajumbe walioshiriki kwenye ziara 67 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Bunda Tangazo la Serikali Na.916 (Linaendelea.) warejeapo wanatakiwa kuandaa na kuwasilisha ripoti ya maandishi kwa Halmashauri kuhusu mambo mapya na ya msingi waliyojifunza na kuweka utaratibu mzuri wa kuyatekeleza kwenye zao kwenye Kata Halmashauri; na (g) ziara zitafanywa kwa kuzingatia kama walengwa itakavyokubalika na Halmashauri. na mahitaji Wimbo au Dua na sala ya kuiombea Halmashauri 9 0 Kabla ya kuanza kwa Mkutano wa Halmashauri utaimbwa wimbo wa Taifa na kufuatiwa na Dua au Sala ya kuiombea Halmashauri ifuatayo; “Ewe MWENYEZI MUNGU Mtukufu, Muumba wa Mbingu na Dunia umeweka katika Dunia Serikali za Wanadamu ili haki yako itendeke. Twakuomba, uibariki Halmashauri yetu ya Wilaya ya Bunda idumishe uhuru, umoja, haki na amani. Uwajalie viongozi wetu wa Halmashauri hekima, afya njema na maisha marefu ili pamoja na wanaowashauri wadumishe utawala bora. Utuongezee hekima na busara sisi Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda na utupe uwezo wa kujadili kwa dhati, mambo yatakayoletwa mbele yetu leo, ili tufanye maamuzi sahihi yenye manufaa kwa watu wote na ustawi wa Halmashauri yetu. Mungu ibariki Tanzania, AMINA” 68 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Bunda Tangazo la Serikali Na.916 (Linaendelea.) 9 1 la Tangazo Serikali Namba 248 la Mwaka 2004 Kanuni za kudumu hizi zinafuta Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Bunda za Mwaka, 2004. JEDWALI LA KWANZA (Limetengenezwa chini ya kanuni ya 44(3)) HADIDU ZA REJEA ZA KAMATI ZA KUDUMU ZA HALMASHAURI ZA WILAYA Madhumuni ya jumla: 69 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Bunda Tangazo la Serikali Na.916 (Linaendelea.)
Part
JEDWALI LA KWANZA
- 7 Verify source ↗
Section 7
AI-assisted research summary: Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango inashauri na kusimamia masuala ya mapato, matumizi, bajeti, manunuzi, na hesabu za Halmashauri.
7. Kuishauri Halmashauri kutengeneza malengo yanayozingatia matakwa ya Wilaya na kuchukua hatua ambazo zitaonekana zinafaa ili kufikia malengo yaliyokusudiwa. Kuishauri Halmashauri kufanya maamuzi juu ya sera muhimu. Kuishauri Halmashauri kufanya maamuzi juu ya utoaji wa huduma kulingana na rasilimali walizonazo Kuiwezesha Halmashauri kutengeneza taratibu zitakazoongoza utendaji wa Kamati, Kamati Ndogo, na ule wa watumishi ili watimize wajibu wao. Kufanya mapitio yatakayowezesha Halmashauri kuamua juu ya kuongeza, kupunguza, kubinafsisha au kuwashirikisha wadau katika utoaji wa huduma. Kuhakikisha kuwa miundo na taratibu za utendaji wa Halmashauri zinazingatia ufanisi, uthabiti na tija katika kufikia malengo ya Halmashauri. Kuiwezesha Halmashauri kujenga mahusiano imara kati yake na Serikali kuu, Serikali zingine za Mitaa na Umma kwa ujumla. A. Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango: Majukumu ya jumla: Kamati hii inawashirikisha wenyeviti wa Kamati zote za Kudumu na inatakutana kila mwezi mara moja. Aidha, madaraka ya Kamati hii ni kama ya Kamati zingine za Kudumu na hivyo hairuhusiwi kisheria kufanya kazi/majukumu ya Kamati zingine za Kudumu. Kwa ujumla, majukumu yake ni pamoja na kusimamia na kudhibiti ukusanyaji wa mapato na matumizi ya mali ya Halmashauri kwa kupitia vikao vyake. Majukumu Maalum ya Kamati: 70 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Bunda Tangazo la Serikali Na.916 (Linaendelea.) (i) kuweka mikakati na kupendekeza uongezaji (ii) (iii) (iv) ili kuidhinishwa wa mapato; kuwasilisha mapendekezo ya Bajeti na kwenye mpango wa Maendeleo Halmashauri na Halmashauri; kusimamia utunzaji wa hesabu za fedha ikiwa ni pamoja na uhakiki wa mali za Halmashauri, ukusanyaji wa mapato, kufuta madeni, na kuomba vibali Maalum kwa matumizi yanayohitaji kibali cha Waziri mwenye dhamana ya Serikali za Mitaa; inapowezekana, pale kufikiria kupendekeza kwenye Halmashauri masuala yanayohusu Sheria Ndogo na utendaji katika ngazi za chini za Halmashauri.; na, na (vi) (vii) (viii) yaliyopo kupendekeza (v) kupokea na kuzingatia mapendekezo ya kubadili (re- fedha matumizi ya mafungu ya allocation) katika makisio yaliyoidhinishwa na kuyapeleka kwa Halmashauri; kuratibu mapendekezo kutoka kwenye Kamati zingine kuhusu matumizi ya kawaida na miradi na kuyawasilisha kwenye Halmashauri; kufikiria kwenye Halmashauri mikopo yote ya Halmashauri; kutoa mapendekezo ya vitega uchumi kwa madhumuni ya kuongeza mapato kwa mujibu wa Sheria ya Fedha za Serikali za Mitaa, Sura ya 290. kupokea na kujadili taarifa za wakaguzi wa fedha na mali ya Halmashauri na kupendekeza kuchukuliwa kutokana na maelekezo na maoni ya wakaguzi kwa mujibu wa Sheria za Serikali za Mitaa, Sura ya 290. (x) kusimamia na kudhibiti matumizi ya fedha za Halmashauri, kwa kuzingatia taratibu hatua (ix) za 71 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Bunda Tangazo la Serikali Na.916 (Linaendelea.) (xi) (xii) (xiii) (xiv) (xv) (xvi) (xvii) (xviii) (xix) yote bajeti katika kuiwasilisha marekebisho vinavyotolewa zilizowekwa na Waziri na taratibu nyingine zitakazowekwa na Halmashauri; kupitia yote yaliyopendekezwa hususan kuhusu taratibu za fedha, ikiwa ni pamoja na mapitio ya mara kwa mara yanayohusu thamani ya fedha ambapo Kanuni mbalimbali za manunuzi ya mali na vifaa hutumika; kufikiria na kupendekeza mabadiliko ya viwango vya kodi, ada na ushuru mbalimbali, na Halmashauri; kufikiria mapendekezo ya Bajeti na Mipango ya Maendeleo ya kila Kamati ya Kudumu kwenye na Halmashauri ili kupata idhini; kushughulikia tofauti ya mapato na na matumizi kupendekeza hatua stahiki ya kuchukua kuondoa mapungufu katika mapato au ziada matumizi; kufikiria mapendekezo yote yanayohusu matumizi makubwa ya fedha kabla hayajawasilishwa kwenye Halmashauri ili kupata idhini; kupokea mahesabu ya Halmashauri na kuhakikisha taarifa ya mahesabu ya mwaka inawasilishwa kwa wakati kwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali; kupitia na kuidhinisha mpango wa manunuzi wa Halmashauri kwa kuzingatia mpango wa Bajeti uliopitishwa na Halmashauri; kupitia taarifa ya kila robo mwaka kuhusu Manunuzi na Afisa iliyowasilishwa Masuuli; kusimamia utekelezaji wa mikataba ya Halmashauri kukagua miradi inayotekelezwa na vifaa vilivyopokelewa; ya mwaka kwa 72 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Bunda Tangazo la Serikali Na.916 (Linaendelea.) ya au (xx) (xxi) hivyo (xxii) (xxiv) (xxiii) endapo kumwelekeza Mkurugenzi kufanya manunuzi au ukaguzi wa huduma au vifaa vilivyonunuliwa ili kupata thamani halisi, itafanyika itadhihirika kwamba, maelezo yaliyotolewa kuhusu huduma vifaa manunuzi hayaridhishi; kuidhinisha majina ya wajumbe wa Bodi ya zabuni na wa Bodi zingine kwa mujibu wa Sheria husika; kushughulikia orodha ya wadaiwa wote itakayokayowasilishwa kwenye Kamati na kutoa mapendekezo ya hatua za kuchukua; kupendekeza njia na taratibu za kuondosha vifaa chakavu. Uondoshaji wa vifaa unaweza kufanyika kwa njia ya kuuza au kuviharibu; kujadili na kupitia taarifa za fedha za kila mwezi na kila robo mwaka; kupendekeza kwa Halmashauri hatua za kuchukua kuhusu kufuta madeni ya Halmashauri; kushughulikia Sera kuhusu kukopa na uwekezaji, kujadili na kupendekeza mabadiliko ya viwango vya kodi, ada na ushuru mbalimbali vinavyotozwa na Halmashauri, (xxviii) kubuni na kupendekeza mpango wa kuanzisha na kuendeleza uhusiano na Halmashauri nyingine; Kurekebisha na kusimamia makusanyo na matumizi ya mapato ya vijiji na miji midogo kwa mujibu wa Sheria, Sura ya - 287 Verify source ↗
Section 287
AI-assisted research summary: This section assigns duties to several district council committees, including health/education/water, HIV control, economy/construction/environment, and ethics committees.
287. kuteua wakaguzi wa fedha na mali za Serikali za Vijiji kwa mujibu wa Sheria, Sura ya 290. kujadili na kutoa mapendekezo ya hatua za yote kuchukuliwa kuhusu mambo (xxvii) (xxix) (xxvi) (xxxi) (xxv) (xxx) 73 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Bunda Tangazo la Serikali Na.916 (Linaendelea.) (xxxii) yanayohusu masuala ya ajira na kinidhamu ya wafanyakazi na watumishi; kujadili na kutoa mapendekezo kuhusu masuala za Halmashauri; yanayohusu nyumba (xxxiii) kupokea na kutoa uamuzi juu ya mapendekezo ya watumishi wanaokwenda masomoni; ya jumla (xxxiv) kujadili na kupendekeza masuala yote ya yanayohusu maslahi watumishi, ikiwa ni pamoja na mikopo, nyumba, usafiri, matibabu, rambirambi na motisha nyinginezo; kupitisha mapendekezo ya kuthibitisha watumishi kazini baada ya kumaliza kipindi cha majaribio kulingana na miundo husika ya utumishi; (xxxv) (xxxvi) kuhakiki ubora wa miradi ya maendeleo (value for money) na shughuli zinazoandaliwa na kamati hii inayotekelezwa na Halmashauri mara moja kila robo mwaka; (xxxvii) kupendekeza Sheria Ndogo zinazohusu Kamati hii. B: Kamati ya Elimu, Afya na Maji: Majukumu ya Jumla jamii. Kamati hii pia Kushughulikia mambo yote yanayohusu afya ya jamii, elimu na huduma za maji usafi na mazingira na maendeleo itashughulikia mambo ya yanayohusiana na jitihada za wananchi vijijini kujiletea maendeleo yao kwa kutumia mbinu mbalimbali ikiwa ni pamoja na kushauri, kushawishi, kuzindua, kuelimisha na 74 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Bunda Tangazo la Serikali Na.916 (Linaendelea.) kushirikisha wananchi hao hasa katika kutayarisha, kutekeleza, kusimamia na kutathmini mipango yao ya maendeleo. Majukumu Maalum ya Kamati: (i) kuandaa mipango madhubuti ya maendeleo ya upanuzi na ujenzi wa hospitali, vituo vya afya na zahanati; (ii) kuandaa mipago ya maendeleo ya upanuzi na ujenzi wa shule za awali na msingi na elimu ya watu wazima kwa mujibu wa Sheria ya Elimu ya 1978 kama ilivyorekebishwa mwaka 1995. kubuni na kupendekeza njia bora za kuzuia na kudhibiti magonjwa ya milipuko. (iii) (iv) kupendekeza mipango ya ujenzi au upanuzi wa vituo,viwanja, majengo na mazingira ya burudani, starehe, mapumziko na michezo (v) kuamua juu ya mambo yanayohusu uhifadhi wa mambo ya kale na mandhari mbalimbali zenye sura nzuri. (vi) kuandaa na kuratibu njia bora juu ya uhifadhi wa nyaraka muhimu kwa ajili ya kumbukumbu hizo zitahifadhiwa kwa mujibu wa Sheria ya Serikali za Mitaa. (vii) kupendekeza njia bora juu ya uhifadhi wa sanaa mbalimbali za ufundi na za maonyesho kwa mujibu wa Sheria ya Serikali za Mitaa, (viii) kupendekeza matumizi mazuri ya lugha ya taifa. (ix) kupendekeza namna ya malezi ya vijana ili waweze kuwa wazalishaji katika Taifa. (x) kusimamia uanzishaji wa uendelezaji wa vikundi vya jamii na vya hiari vya wananchi katika Halmashauri kwa mujibu wa sera wa maendelo ya jamii. (xi) kusimamia na kuhakiki maeneo ya misitu, mapori, na mbuga zilizotengwa kama hifadhi ya mamlaka ya Serikali za Mitaa. 75 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Bunda Tangazo la Serikali Na.916 (Linaendelea.) (xii) Uhakiki shughuli na miradi ya maendeleo inayohusu kamati hii mara moja kila robo mwaka. (xiii) kupendekeza Sheria Ndogo zinazohusu Kamati hizi. C: Kamati ya Kudumu ya Kudhibiti Ukimwi Majukumu ya Kamati: (a) (b) (c) (d) (e) (f) kushirikisha wadau tofauti katika maeneo husika ili kuongeza uchangiaji wa mawazo na/au nyenzo, usimamizi, uratibu na utekelezaji wa kazi za Tume ya kudhibiti UKIMWI; kusimamia uundaji wa Kamati zote za kudhibiti UKIMWI; ya kupendekeza UKIMWI/Mipango na utekelezaji wake na kufikisha katika ngazi husika kwa hatua zaidi; kutathmini hali ya UKIMWI katika eneo lake kuhusu; (i) idadi ya waathirika: wagonjwa, yatima, wajane, kasi ya maambukizo kuchambua hali na (ii) (iii) mazingira Maalum yanayochangia maambukizo; uelewa wa wananchi juu ya janga hili. (iv) kwa Halmashauri fedha Serikali isiyokuwa na mipango madhubuti ya kudhibiti UKIMWI. kupendekeza Sheria Ndogo za Kamati hii. haitatoa D: Kamati ya Masuala ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira: Majukumu ya jumla 76 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Bunda Tangazo la Serikali Na.916 (Linaendelea.) Kamati hii itashughulikia masuala ya uzalishaji mali ikiwemo kilimo, mifugo, viwanda, madini, Biashara n.k. Aidha itashughulikia pia miundombinu na suala zima la mendeleo ya Ardhi na hifadhi ya mazingira. Majukumu Maalum ya Kamati; (i) kupendekeza kwa Halmashauri mipango ya kupanua biashara na jinsi ya kukusanya mapato yatokanayo na upanuzi huo. (ii) kupendekeza mipango ya matumizi ya ardhi katika eneo la Halmashauri (iii) (iv) kusimamia matumizi ya Sheria ya nguvu kazi. kuandaa mipango madhubuti ya maendeleo ya upanuzi wa kilimo katika Halmashauri (v) kusimamia na kuhakiki miradi ya ujenzi wa (vi) masoko, minada, majosho na vituo vya mifugo. kushughulikia uanzishaji na uendelezaji wa vyama vya ushirika kwa mujibu wa Sheria ya Vyama vya Ushirika, (vii) kupendekeza na kufanya tathmini ya uendelezaji wa mabonde, mito na mabwawa. (x) (viii) kubuni na kupendekeza namna ya kidhibiti moto (ix) kubuni na kupendekeza mikakati ya utumiaji wa nishati mbadala, kuzuia ukataji miti ovyo, na kuhimiza upandaji miti kwa wingi. kuhakikisha kwamba ukaguzi wa majengo unafanyika mara kwa mara. kupendekeza mipango madhubuti ya ujenzi wa barabara vijijini na wilayani kwa ujumla. (xii) Kupendekeza sheria ndogo zinazohusu kamati (xi) hii. (xiii) Kuhakiki shughuli na miradi inayoangukia kamati hii mara moja kila robo mwaka. E. Kamati ya Maadili Majukumu ya Kamati: 77 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Bunda Tangazo la Serikali Na.916 (Linaendelea.) (kifungu cha 31(1) cha Kanuni za Serikali za Mitaa (Mamlaka za Wilaya) (Maadili ya Madiwani) za Mwaka 2000. (i) kutoa ushauri kwa Halmashauri kuhusu utekelezaji wa kanuni hizi. (ii) Kufanya uchunguzi wa madai ya uvunjaji wa kanuni za maadili ya madiwani na kuwasilisha mapendekezo kwa Halmashauri kwa hatua zinazostahili. (iii)Kutoa ushauri na maoni kwa Halmashauri na kwa diwani mmoja mmoja kuhusu masuala yanayohusu mwenendo wa kimaadili. FAHARASA – HALMASHAURI YA WILAYA Kanuni Na. Kifungu cha Sheria A Ajenda za Kamati Akidi katika mikutano ya Halmashauri Akidi kwenye mikutano ya Kamati Athari za nafasi wazi kwenye Kamati 49 8 55 54 Sura ya 287 kif.64 Sura ya 287 kif.84(2) na (3) Sura ya kif.84(1);84(3) 287 B C D Diwani au Afisa kutokuwa na maslahi katika mikataba Diwani kutembelea maeneo, shughuli mbalimbali za ujenzi. Dua ya kuiombea Halmashauri E. 69 77 90 78 Sura ya 287 kif.71 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Bunda Tangazo la Serikali Na.916 (Linaendelea.) F Fujo umma Fujo Wajumbe zinazosababishwa zinazosababishwa 18 17 na na Kanuni Na. Kifungu cha Sheria G H Haki ya kujibu Hoja kuhusu matumizi Hoja na marekebisho ya hoja Hoja za Mwenyekiti Hoja zinazohusu watumishi wa Halmashauri Hoja zinazoweza kutolewa bila taarifa 21 32 19 15 37 20 I J K Kamati Ndogo Kamati za Kudumu Kamati za pamoja Kanuni za Kudumu kutumika katika mikutano ya Kamati Kanuni za Kudumu kutolewa kwa Wajumbe Kauli zenye kashfa Kiapo na kukubali wadhifa Kuidhinishwa kwa Taarifa ya Kamati Kufikiriwa upya maamuzi Kufutwa kwa Kanuni zilizopo 45 40 43 56 87 27 70 34 59 91 79 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Bunda Tangazo la Serikali Na.916 (Linaendelea.) Kujiuzulu ujumbe wa Kamati nafasi na iliyoachwa wazi. kujazwa kwa wa Kujiuzulu wadhifa Mwenyekiti wa Kamati Kukasimu madaraka kwenye Kamati Kumbukumbu ya mahudhurio. Mwenyekiti Kumwondoa madarakani Kupokelewa kwa Kamati Kuruhusu watu na vyombo vya Habari kwenye mikutano ya Halmashauri taarifa za Kushiriki kwa Umma Kusitisha utumiaji wa Kanuni za Kudumu. Kutafsiri Kanuni za Kudumu Kuthibitisha muhtasari Kutokuwepo kwa Wajumbe Kutunza siri za Majadiliano ya Kamati na Kamati Ndogo. L M Maamuzi ya mikutano ya Halmashauri Mahudhurio katika mikutano ya Kamati Mahudhurio ya Umma na vyombo vya habari kwenye 62 61 44 11 82 33 12 Sura ya 287 kif.79 Sura ya 287 263/95 kif.36(5); GN Sura ya 287 kif.67(1) Kanuni Na. 38 Kifungu cha Sheria Sura ya 287 kif.114(1)(b) Sura ya 287 kif.41(2)na (3) Sura ya 287 kif.86 na 67(2) Sura ya 287 kif.66 85 88 14 73 60 28 50 53 80 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Bunda Tangazo la Serikali Na.916 (Linaendelea.) Sura ya 287 vif.86; 67 (2) Sura ya 287 kif. 70(1) Taz.pia Sura ya 290 kif.47 Sura ya 287 kif.83(2) Sura ya 287 kif.63(1) Sura ya 287 kif.63(3) Sura ya 287 kif.74(1) na na40 Sura ya 287 kif.42(1) (a) 172 (1);41 (4);Tangazo la Serikali Na.139/82 aya ya Sheria 23 Na.4/79 kif.40(1)(b);40 (b) na SheriaNa (1) 4/79kif.40(i) (b) (i); na Sheria Na.4/79 kif.40;tangazo la Serikali 280/2000 Na. kif.35;41(3)41(3) na kif.71(8). mikutano ya Kamati/Kamati Ndogo Majukumu ya Diwani Marekebisho na mabadiliko ya Kanuni za Kudumu Maswali Maswali ya papo kwa papo Mihtasari ya za Kata na vijiji. Mihtasari ya Halmashauri kupelekwa kwa Mkuu wa Wilaya na Mkuu wa Mkoa. Muhtasari wa Kamati Mikutano ya kawaida ya Halmashauri Mikutano ya Kamati Mtoa hoja kualikwa kwenye Mkutano wa Kamati. Mkutano wa Bajeti Mkutano wa Mwaka Mkutano Halmashauri Mkutano Maalum wa Kamati Mwaliko wa wasiokuwa Wajumbe Mwenyekiti kuwa Mjumbe wa Kamati zote Maalum wa N Nafasi wazi P 71 86 22 23 30 31 58 3 46 51 5 6 4 48 29 41 72 81 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Bunda Tangazo la Serikali Na.916 (Linaendelea.) Aina za Posho Posho umeahirishwa iwapo Mkutano Q R Rejesta ya mikataba S T Taarifa za Kamati Taarifa kutoka kwenye kata Taarifa za mikutano Tafsiri Taratibu za kutunga Sheria Ndogo Taratibu za Majadiliano Taratibu za Uagizaji za U Uahirishaji wa vikao Uandikishaji wa Anwani Uanzishaji wa Bodi Huduma Uchaguzi wa Mwenyekiti na Makamu wa Mwenyekiti wa Halmashauri Uhalali wa majadiliano ya Halmashauri Uhifadhi wa Halmashauri Uhuru wa kutoa mawazo wakati wa majadiliano Ukaguzi wa nyaraka Uongozi wa mikutano ya Halmashauri Upigaji mikutano ya Kamati Usimamiaji wa mikataba kwenye lakiri kura ya 83 84 68 24 25 7 2 74 16 63 39 80 76 9 35 78 26 75 10 57 66 13 81 82 Sura ya 287 kif.85 Sura ya 287 kif.155 Na.21/2004 Sura ya 290 kif.68 Sura ya 287 kif.88 Sura ya 287 kif.36(2) Sura ya 287 kif.72 Sura ya 287 kif.65 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Bunda Tangazo la Serikali Na.916 (Linaendelea.) 79 67 36 42 65 shughuli za Utaratibu wa mikutano Uteuzi wa Wajumbe kwenye Taasisi za nje Utiaji mhuri kwenye Nyaraka Uvunjaji wa mkataba Uwezo wa Halmashauri kujigeuza kuwa Kamati ya Halmashauri nzima. Uwezo wa Kamati Uzuiaji wa Rushwa V kuhudhuria W Waalikwa wasiokuwa na Wajumbe kushiriki katika mikutano ya Kamati. X Y Z Ziara za Wajumbe Kanuni Na. Kifungu cha Sheria 52 Sura ya 287 kif.75(4) 89 83 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Bunda Tangazo la Serikali Na.916 (Linaendelea.) JEDWALI LA PILI (Limetengenezwa chini ya kanuni ya 70(a)) KIAPO CHA DIWANI Mimi ……………………………… ninaapa/ninatamka kwa dhati kwamba nitaitumikia Halmashauri ya…………………. kwa wadhifa wangu wa Udiwani na kwamba nitahifadhi, nitalinda na kutetea, Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Sheria za Tanzania, Maadili ya Madiwani na Kanuni za Kudumu za Halmashauri kama zilivyowekwa kwa mujibu wa Sheria na kwamba nitaitumikia Halmashauri ya ………………………………………… kwa uaminifu kwa uwezo na moyo wangu wote. (Ewe Mwenyezi Mungu nisaidie) Kiapo/Tamko hili limetolewa hapa:……………………………………… Na…………………………………………………………………………….. Leo tarehe…………………… Mwezi wa…………………..mwaka 20………. Mbele ya:……………………………………….. Jina:……………………………………………… 84 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Bunda Tangazo la Serikali Na.916 (Linaendelea.) Cheo:……………………………………………. Saini:…………………………………………… Anuani…………………………………………. HAKIMU/KAMISHINA WA VIAPO MHURI JEDWALI LA TATU (Limetengenezwa Chini ya Kanuni ya 70 (b)) TAMKO LA VIONGOZI WA UMMA KUHUSU RASILIMALI NA MADENI (Kwa mujibu wa kifungu cha 9 na cha 11 cha Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma) Mimi…………………………………………………… Anuani:……………………baada kuapishwa wa…….……...tarehe……………………….mwaka rasmi na kwa moyo mnyofu kwamba hadi sasa nina rasilimali na madeni yafuatayo:- ya katika kuchaguliwa/kuteuliwa na wadhifa 20….Ninatamka (1) Fedha taslimu, Amana katika benki au taasisi ya fedha; (taja namba ya akaunti, benki au taasisi ya fedha na kiasi). …………………………………………………………………………… …………………………………………………………………………… …………………………………… 85 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Bunda Tangazo la Serikali Na.916 (Linaendelea.) 2) Hawala za Hazina (Treasury Bills) na dhamana nyingine Maalum:- …………………………………………………………………………… …………………………………………………………………………… …………………… 3) Faida ya akiba, mafungu ya mgawanyo wa faida zinazotokana na hisa n.k. …………………………………………………………………………… …………………………………………………………………………… ………………… 4) Nyumba au majengo ya kupangisha, (taja mahali yalipo na ukubwa au eneo:) …………………………………………………………………………… …………………………………………………………………………… ………………… * Rasilimali zinazotakiwa ni pamoja na zifuatazo, ambazo ni zako binafsi, za mume/mke au watoto wadogo wasiooa au kuolewa wa kiongozi wa umma. (a) fedha taslimu na amana katika benki au taasisi nyingine ya fedha. (b) hawala za Hazina Treasury Bills) na nyinginezo za dhamana Maalum zinazotolewa au kudhaminiwa na Serikali au vyombo vya Serikali. (c) faida itokanayo na fedha iliyowekwa akiba benki, chama cha Ujenzi au taasisi nyingine ya fedha. (d) mgao wa fedha kutokana na fungu la rasilimali ya kampuni (stocks) au hisa za kiongozi wa umma katika kampuni au shirika lolote. (e) maslahi katika chombo cha biashara kisichokuwa na mkataba na Serikali, na kisichokuwa na au kisichotawala amana zinazouzwa bayana na vyombo vya umma. (f) mashamba ya kibiashara. (g) mali halisi zisizohamishika ambazo si rasilimali zisizotakiwa kutajwa; na 86 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Bunda Tangazo la Serikali Na.916 (Linaendelea.) (h) rasilimali zinazoleta faida, ambazo si rasilimali zisizotakiwa kutajwa na ambazo zinamilikiwa kwa mbali. (5) Mashamba ya kibiashara, mifugo, madini n.k. …………………………………………………………………………… …………………………………………………………………………… …………………………………………………………………………… ……………………………… (6) Magari na aina nyingine za usafiri wa kibiashara; …………………………………………………………………………… …………………………………………………………………………… …………………………………………………………………………… ……………………………… (7) Mashine za kusaga nafaka, viwanda na shughuli nyingine za kibiashara au mitambo:………………………………………………………………… …………………………………………………………………………… …………………………………………………………………………… ……………………………… (8) Rasilimali nyinginezo au maslahi ambayo kiongozi wa umma anapenda kutaja:…………………………………………………………………… …………………………………………………………………………… …………………………………………………………………………… ……………………………… (9)Madeni:………………………………………………………………… …………………………………………………………………………… …………………………………………………………………………… …………………………… Tamko hili linatolewa na kusainiwa mbele yangu …………………………………………………………. na (mtoa tamko) ……………………………………… ninayemfahamu binafsi, au aliyetambulishwa kwangu na …………………………………………………………………… ambaye ninamfahamu leo tarehe …………………………….. Mtoa tamko Mwezi wa ………………………………………………………. saini……………………………………………………………... Wadhifa:…………………………………………………….. 87 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Bunda Tangazo la Serikali Na.916 (Linaendelea.) Anuani:………………………………………………………... …………………………………………………………………. (Tamko hili lazima litolewe mbele ya Kamishna wa Viapo) KWA: KAMISHINA WA MAADILI, SEKRETARIETI YA MAADILI, S.L.P 13341, DAR ES SALAAM. 88 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Bunda Tangazo la Serikali Na.916 (Linaendelea.) Muhuri wa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda Umebandikwa kwenye kanuni hizi za kudumu kufuatia azimio lililopitishwa katika mkutano wa halmashauri uliokaa tarehe 15/08/2017 na kubandikwa mbele ya; ISACK KABUGU MAELA MWENYEKITI HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA TAREHE 10/2/2020 KUSAJA AMOS , J. MKURUGENZI MTENDAJI (W) HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA TAREHE 10/2/2020 NAKUBALI SELEMANI S. JAFO WN OR-TAMISEMI TAREHE 10/9/2020 89 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri Ya Wilaya Ya Bunda Tangazo la Serikali Na.916 (Linaendelea.) 90
Provision text is displayed from LexChat’s stored statute record. Use the official source links to verify amendments, commencement, and current legal force.
Ask AI about this statute
KANUNI ZA KUDUMU ZA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA ZA MWAKA 2020
Sign in to ask AI about this statute
Sign in to start authenticated, citation-grounded statute research.
Sign in