Kanuni za Watumishi wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili za mwaka 2020
This section gives the short title of the rules.
AI-assisted research synopsis — verify against the official legal text below.
- Jurisdiction
- Tanzania
- Instrument
- Regulation
- Citation
- Kanuni za Watumishi wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili za mwaka 2020
- Version
- Undated source snapshot
- Language
- sw
- Official source
- View official record ↗
Statute overview
About this statute
This section gives the short title of the rules. Kanuni hizi zinatumika kwa watumishi wote wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili. This section defines key terms used in the staff regulations. Taasisi must hire staff under public service rules, with employment terms stated in the employment contract, and accepted applicants may be screened and medically examined. Mtumishi anapoajiriwa kwa mara ya kwanza huwekwa kwenye kipindi cha majaribio cha angalau miezi sita.
Search within this statute
Search all stored provisions in this version.
Legal text
Provisions of Kanuni za Watumishi wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili za mwaka 2020
Showing 107 of 107
- 1 Verify source ↗
Jina la Kanuni
AI-assisted research summary: This section gives the short title of the rules.
1. Kanuni hizi zitajulikana kama Kanuni za Watumishi wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili za mwaka 2020. - 2 Verify source ↗
Matumizi ya Kanuni
AI-assisted research summary: Kanuni hizi zinatumika kwa watumishi wote wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili.
2. Kanuni hizi za Watumishi zitatumika kwa watumishi wote wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili. - 3 Verify source ↗
Tafsiri
AI-assisted research summary: This section defines key terms used in the staff regulations.
3. Katika Kanuni hizi, isipokuwa muktadha ukihitaji vinginevyo - “Bodi” maana yake ni Bodi ya Wadhamini ya Taasisi iliyoteuliwa kulingana na Sheria; “bonasi” maana yake ni zawadi ya fedha inayotolewa kwa mtumishi baada ya kuonyesha ufanisi katika kazi katika kipindi fulani “daktari aliyesajiliwa” maana yake ni daktari aliyeingizwa kwenye daftari la Baraza la Madaktari la Tanganyika kulingana na Sheria husika; “dawa za kulevya” maana yake ni kama ilivyotafsiriwa katika Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa Dawa za Kulevya; “familia” maana yake ni mke au mume wa mtumishi na watoto wa kuwazaa au walioasiliwa kisheria; 6 Kanuni Za Watumishi Wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili Tangazo la Serikali Na. 819 (Linaendelea.) “Taasisi” maana yake ni Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili; “jopo la madaktari” maana yake ni kundi la madaktari walioteuliwa baada ya kupata kibali cha Mganga Mkuu wa Serikali kuchunguza hali ya kiafya ya mtumishi kwa ombi la menejimenti; “Kamati ya Uchunguzi” maana yake ni kamati itakayoundwa kuchunguza tuhuma dhidi ya mtumishi na kutoa taarifa kwenye mamlaka ya nidhamu juu ya mwenendo mzima wa shauri; “kiinua mgongo” maana yake ni mafao ya mkupuo anayolipwa mtumishi na mfuko wake wa hifadhi ya jamii kwa mujibu wa sheria ya mfuko baada ya kuhitimisha utumishi wake; “kosa” maana yake ni kitendo kinachosabisha taratibu na uvunjaji wa sheria, kanuni, miongozo ya kazi; “kuacha kazi”maana yake ni kitendo cha mtumishi kuacha kazi kwa hiari yake bila kuchukuliwa hatua za kinidhamu au kuachishwa na mwajiri; “kuachishwa kazi” maana yake ni kusitishwa kwa ajira ya mtumishi kunakofanywa na mwajiri kutokana na uvunjaji wa Sheria, kanuni, taratibu na miongozo ya kazi; “kujiuzulu” maana yake ni kitendo kinachofanywa na mtumishi kukatisha mkataba wa cheo cha madaraka na Taasisi kwa maandishi; “Kurugenzi” maana yake ni sehemu ya utendaji yenye vitengo au idara au sehemu kadhaa; “kushushwa cheo” maana yake ni kumtoa mtumishi kutoka cheo cha juu alichonacho kwenda cheo cha chini; “kustaafu kwa hiari” maana yake ni kitendo cha mtumishi kustaafu kazi kwa hiari katika Taasisi anapofikisha umri uliopangwa kwa mujibu wa Sheria; 7 Kanuni Za Watumishi Wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili Tangazo la Serikali Na. 819 (Linaendelea.) “kustaafu kwa lazima” maana yake ni kustaafu katika ajira ya taasisi kutokana na kufikisha umri uliopangwa kwa mujibu wa sheria; “kupokea rushwa” maana yake ni kukubali au kuchukua kutoka kwa mtu yeyote, zawadi yoyote, fedha au upendeleo wa aina yoyote ile, jinsi yoyote ile na kwa mtindo wowote ule unaolenga kumfanya anayepokea kutoa upendeleo katika maamuzi yake kwa kadiri itakavyofafanuliwa kisheria; “mafunzo ya muda mfupi” maana yake ni programu yoyote ya mafunzo yanayotolewa chini ya miezi kumi na mbili; “mafunzo ya muda mrefu” maana yake ni programu yoyote ya mafunzo ambayo muda wake ni zaidi ya miezi kumi na mbili; “majengo ya Taasisi” maana yake ni majengo ya Taasisi pamoja na majengo ya nje, ardhi na au zilizosajiliwa kwa mali yaliyokodishwa na Taasisi; jina la, “mamlaka ya ajira” maana yake ni Bodi ya Wadhamini au Mkurugenzi Mtendaji; “mtumishi” maana yake ni mtu aliye katika ajira ya mkataba wa kudumu au wa muda isipokuwa vibarua; “Mkurugenzi Mtendaji” maana yake ni Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili; “msimamizi” maana yake ni mtumishi ambaye ameteuliwa kusimamia kundi la watumishi wengine; “mtathmini” maana yake ni mtumishi katika ngazi ya usimamizi ambaye hutathmini utendaji kazi wa mtumishi wa cheo cha chini yake (mtathminiwa) katika kipindi maalum kwa madhumuni ya zoezi la Tathmini ya Watumishi; “mtathminiwa” maana yake ni mtumishi ambaye utendaji wake unapitiwa na kutathminiwa na 8 Kanuni Za Watumishi Wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili Tangazo la Serikali Na. 819 (Linaendelea.) mtathmini katika kipindi maalum kwa madhumuni ya zoezi tathmini ya watumishi; la “mtegemezi” maana yake ni mwanafamilia ambae maisha yake yanategemea pato la mtumishi; “mtoto” maana yake ni mtoto wa kumzaa au aliyeasiliwa kisheria na mtumishi wa taasisi ambaye umri wake si zaidi ya miaka kumi na nane, isipokuwa kama mtoto huyo bado ni mtegemezi lakini kwa hali yoyote ile, asizidi miaka ishirini na mitano; “mzazi” maana yake ni baba au mama aliyemzaa au aliyemuasili mtumishi; “mzunguko wa likizo” maana yake ni kipindi cha tarehe ya miezi kumi na mbili kutoka kuajiriwa ambapo mtumishi anastahili kupata siku ishirini na nane kama likizo ya mwaka na kwa upande wa likizo ya uzazi na ugonjwa itakuwa na maana ya kipindi cha miezi thelathini na sita baada ya likizo ya mwisho inayohusika; “nyongeza ya mshahara” maana yake ni nyongeza ya inayotolewa kwa mujibu wa mshahara taratibu za utumishi wa umma kwa watumishi kutokana na utendaji kazi unaoridhisha; “nyumbani” maana yake ni mahali ambapo mtumishi amezaliwa nchini Tanzania au ambapo anatangaza kuwa ni makazi yake ya kudumu nchini Tanzania; “onyo kali” maana yake ni karipio kali la maandishi; “posho ya kujikimu” maana yake ni posho anayolipwa mtumishi akiwa nje ya kituo cha kazi kwa ajili ya malazi na chakula; “Sheria” maana yake ni Sheria ya Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili. SEHEMU YA PILI AJIRA NA UTEUZI 9 Sura ya 94 Kanuni Za Watumishi Wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili Tangazo la Serikali Na. 819 (Linaendelea.) Masharti ya ajira kwa mara ya kwanza
Part
SEHEMU YA PILI
- 4 Verify source ↗
Masharti ya ajira kwa mara ya kwanza
AI-assisted research summary: Taasisi must hire staff under public service rules, with employment terms stated in the employment contract, and accepted applicants may be screened and medically examined.
4.-(1) Watumishi watakaoajiriwa na Taasisi watakuwa chini ya masharti ya kudumu na pensheni. Aidha, watumishi wafuatao hawatakuwa katika masharti ya kudumu na pensheni- (a) watumishi walio katika nafasi za uteuzi; (b) watumishi watakaoajiriwa wakiwa na umri unaozidi miaka arobaini na tano; na (c) vibarua. (2) Taasisi itatoa ajira kwa mujibu wa sheria na kanuni za utumishi wa umma, pamoja na miongozo mbalimbali itakayotolewa na Serikali. (3) Masharti ya ajira katika Taasisi yataelezwa kwenye mkataba wa ajira. Tarehe ya ajira imeainishwa kwenye itakuwa mkataba. tarehe ambayo (4) Watumishi wanaohamia katika Taasisi, vigezo vya ajira zao vitazingatia Sheria ya Taasisi na kanuni zake, Sheria ya Utumishi wa Umma na Kanuni zake pamoja na miongozo mbalimbali itakayotolewa na Serikali. (5) Taasisi inaweza kuomba taarifa ya siri kutoka kwa waajiri waliotangulia (kama wapo) na wadhamini zinazoeleza bayana juu ya uwezo wa utendaji kazi na mwenendo wa mwombaji wa ajira. Taasisi ina haki ya kutafuta taarifa zaidi juu ya mwombaji kutoka vyanzo mbalimbali itakavyoona vinafaa. (6) Taasisi inaweza kufanya upekuzi wa waombaji. (7) Taasisi waombaji kutoka bodi au zinazohusika. inaweza kuomba taarifa za tume za kitaalamu (8) Waombaji wa kazi ambao watakubalika kuajiriwa watafanyiwa uchunguzi wa afya kwa maelekezo ya Taasisi. (9) Ajira zote zitatolewa kutegemeana na inayoonyesha siha na afya njema ya taarifa mtumishi. 10 Kanuni Za Watumishi Wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili Tangazo la Serikali Na. 819 (Linaendelea.) Muda wa majaribio kazini Mapendekezo baada ya majaribio - 5 Verify source ↗
Muda wa majaribio kazini
AI-assisted research summary: Mtumishi anapoajiriwa kwa mara ya kwanza huwekwa kwenye kipindi cha majaribio cha angalau miezi sita.
5. Mtumishi anapoajiriwa kwa mara ya kwanza atakuwa katika kipindi cha majaribio kwa muda usiopungua miezi sita ambapo utendaji wake wa kazi na mwenendo wake kwa ujumla utafuatiliwa kwa karibu na kutathiminiwa. - 6 Verify source ↗
Mapendekezo baada ya majaribio
AI-assisted research summary: Mtumishi wa umma aliyeajiriwa au kuteuliwa kwa mara ya kwanza chini ya masharti ya kudumu na pensheni anatakiwa kuwa kwenye majaribio ya miezi sita, na mwajiri lazima aongee naye kwa maandishi kabla ya kuongeza muda au kusitisha ajira.
6.-(1) Endapo mtumishi ameajiriwa au ameteuliwa kwa mara ya kwanza katika utumishi wa umma katika masharti ya kudumu na pensheni, mtumishi huyo atatumikia muda wa majaribio kwa kipindi cha miezi sita. Kipindi hiki utendaji wa mtumishi na mwenendo wake vitakuwa vinafuatiliwa kwa karibu na msimamizi wake wa kazi na kuthaminiwa. Mwisho wa kipindi cha majaribio msimamizi wake atapendekeza mambo yafuatayo: (a) mtumishi athibitishwe katika ajira yake; au (b) kipindi cha majaribio kiongezwe ili kumpatia fursa ya kujirekebisha katika mtumishi kipengele chochote cha kazi au mwenendo wake; au (c) ajira ya mtumishi isitishwe. (2) Iwapo mamlaka ya ajira ya mtumishi itakuwa/atakuwa na wazo kuwa muda wa majaribio uongezwe au ajira isitishwe kulingana na jinsi itakavyokuwa itamjulisha/atamjulisha mtumishi kwa maandishi kabla ya kuongeza muda au kusitisha ajira hiyo. Kama itakuwa ni kusitisha ajira ya mtumishi, mtumishi ataelezwa haki yake ya kujitetea ndani ya muda utakaopangwa katika barua ya taarifa na atatakiwa kuthibitisha kama amepokea barua kwa mandishi ndani ya muda ataopewa. (3) Kabla ya kufikia uamuzi wa kuongeza au kusitisha ajira ya mtumishi aliyeshindwa kufanya vizuri katika kipindi cha miezi sita (6) mamlaka ya ajira itatakiwa kuonyesha jitihada ilizozifanya kwa maandishi kumsaidia mtumishi ili kufanya vizuri kulingana na viwango vya Taasisi. (4) Mtumishi aliyemudu majukumu yake 11 Kanuni Za Watumishi Wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili Tangazo la Serikali Na. 819 (Linaendelea.) Kupanda cheo Majaribio kazini baada ya kupanda cheo Mapendekezo baada ya majaribio katika kipindi cha muda wa majaribio atathibitishwa kazini kwa mujibu wa taratibu za utumishi wa umma na mtumishi huyo atajulishwa kwa barua. - 7 Verify source ↗
Kupanda cheo
AI-assisted research summary: Mamlaka ya ajira au uteuzi hupanga tarehe ya kumpandisha mtumishi daraja au cheo, na tarehe hiyo isiwe kabla ya tarehe za chini zilizotajwa; katika mazingira ya pekee, inaweza kuweka tarehe ya mapema zaidi.
7.-(1) Tarehe ya kumpandisha mtumishi daraja au cheo itapangwa na mamlaka ya ajira au uteuzi. Tarehe hiyo haitakuwa tarehe ya mapema kabla ya tarehe zifuatazo: (a) tarehe ambayo nafasi iko wazi au (b) tarehe ambayo afisa muhusika amekidhi vigezo vya kupanda daraja au cheo au (c) tarehe ambayo afisa mhusika ameanza kutekeleza majukumu ya nafasi au daraja au cheo kipya. (2) Bila ya kuathiri masharti ya hapo juu, mamlaka ya ajira au uteuzi katika mazingira ya pekee tarehe ya kumpandisha mtumishi daraja au cheo ambayo ni mapema zaidi kuliko tarehe iliyotajwa katika aya ya (c) hapo juu inaweza kuteua - 8 Verify source ↗
Majaribio kazini baada ya kupanda cheo
AI-assisted research summary: A public servant who is promoted must serve a probation period of at least six months.
8. Mtumishi anapopandishwa cheo kushika nafasi yoyote ile katika utumishi wa umma mtumishi huyo atakuwa katika kipindi cha majaribio kwa muda usiopungua miezi sita ambapo utendaji wake wa kazi na mwenendo wake kwa ujumla utafuatiliwa kwa karibu na kutathiminiwa - 9 Verify source ↗
Mapendekezo baada ya majaribio
AI-assisted research summary: Msimamizi wa mtumishi aliye kwenye majaribio lazima aupitie na kupendekeza hatima ya majaribio kabla hayajaisha; mtumishi pia anaweza kupewa haki ya kujitetea na anaweza kuhitajika kuthibitisha kupokea barua kwa maandishi.
9.-(1) Msimamizi wa mtumishi aliye katika majaribio, kabla ya kumalizika muda wa majaribio, ataangalia na kupendekeza kama- (a) mtumishi athibitishwe katika nafasi au cheo chake; (b) kipindi cha majaribio kisichozidi miezi sita kiongezwe ili kumpatia mtumishi fursa ya kujirekebisha katika utendaji wake wa kazi au mwenendo wake; au (c) uteuzi au upandishwaji wa cheo utenguliwe. (2) Iwapo itaonekana kuna haja ya muda wa kutenguliwa, kuongezwa cheo au majaribio 12 Kanuni Za Watumishi Wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili Tangazo la Serikali Na. 819 (Linaendelea.) mtumishi atajulishwa kwa maandishi miezi mitatu kabla ya kumalizika kwa muda wa majaribio au kutengua cheo. (3) Kama mapendekezo ya msimamizi ni uteuzi au upandishwaji cheo utenguliwe, mtumishi ataelezwa haki yake ya kujitetea ndani ya muda utakaopangwa katika barua ya taarifa na atatakiwa kuthibitisha kama amepokea barua kwa maandishi ndani ya muda atakaopewa. Uhamisho Nafasi ya uteuzi - 10 Verify source ↗
Uhamisho
AI-assisted research summary: Mkurugenzi Mtendaji anaweza kumhamisha mtumishi kutoka sehemu, kurugenzi, au kitengo kimoja kwenda kingine.
10. Mkurugenzi Mtendaji ana haki ya kumhamisha mtumishi kutoka kwenye kituo cha kazi au kurugenzi au kitengo moja kwenda kituo au kurugenzi au kitengo kingine. Uhamisho wa mtumishi mwenye taaluma utazingatia fani yake na eneo la utaalamu. Mtumishi ambaye atahamishwa ataonyesha kutii kutasababisha kuchukuliwa hatua za kinidhamu kwa mujibu wa sheria. ipasavyo. Kushindwa utii - 11 Verify source ↗
Nafasi ya uteuzi
AI-assisted research summary: When a vacancy arises, the institution must first fill it by promoting or appointing an internal employee, then use transfer or recruitment steps if needed.
11.-(1) Iwapo kutakuwa na nafasi wazi ya uteuzi,Taasisi itajaza nafasi hiyo kwanza kwa kumpandisha/kumteua mtumishi katika Taasisi. Kama Taasisi haina mtumishi wa kushika nafasi hiyo, itaomba mtumishi kutoka taasisi nyingine ya umma kuhamia au inaweza kujaza nafasi hiyo kwa ili kupata kutangaza ndani au nje ya Taasisi waombaji wenye sifa za kujaza nafasi husika (2) Endapo tangazo ni la ndani, Kurugenzi ya Maendelo ya Rasilimali Watu na Utawala kwa kushirikiana na Kurugenzi/vitengo husika inayohitaji kuajiri, zitafanya kazi ya kuwachuja waombaji wanaofaa na kuwasailikulingana na taratibu zilizopo na kuishauri menejimenti ipasavyo. Aidha, Taasisi inaweza kuomba taasisi nyingine au mtu binafsi kutoka nje ya Taasisi kusaidia kuendesha usaili. (3) Endapo tangazo ni la nje, Kurugenzi ya Maendelo ya Rasilimali Watu na Utawala kwa itafanya kushirikiana na Sekretarieti ya Ajira 13 Kanuni Za Watumishi Wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili Tangazo la Serikali Na. 819 (Linaendelea.) mchakato wa kumpata mtu mwenye sifa ya kujaza nafasi hiyo. Aidha, Taasisi inaweza kuomba uhamisho wa mtumishi kutoka Idara Kuu ya Menejimenti ya Utumishi wa Umma kwa taratibu zilizopo. (4) Uteuzi wa waombaji wa kazi utazingatia ustahili kupitia ushindani ulio wazi katika usaili. (5) Kurugenzi ya Maendelo ya Rasilimali Watu na Utawala itaandaa na kutoa mwongozo utakaofuatwa katika kuchuja maombi na kufanya usaili ili kuhakikisha kunakuwa na msimamo ulio sawa, kutopendelea na kupata waombaji wenye ubora unaofaa. (6) Inapotokea watahiniwa wenye elimu na uzoefu sawa katika nafasi fulani wanalingana, uthibitisho wa kustahili na kufaa kuchukua nafasi inayoshindaniwa utapewa uzito wa juu kuliko ukubwa wao kikazi. Ikitokea watahiniwa husika ni wanaume na wanawake, kipaumbele kitatolewa kwa wanawake. - 12 Verify source ↗
Uteuzi wa kukaimu
AI-assisted research summary: Taasisi lazima ijaze nafasi iliyo wazi kwa kukaimu wakati inafanya mipango ya kuajiri au kuteua mtu mpya; uteuzi wa kukaimu haupaswi kuzidi miezi sita, lakini unaweza kuongezwa au, katika hali ya kipekee, mtumishi wa kukaimu anaweza kuteuliwa rasmi.
12.-(1) Wakati nafasi ya uteuzi au madaraka itamteua mfanyakazi inapobaki wazi, Taasisi kukaimu nafasi hiyo wakati mipango muhimu ya kuajiri au kuteua mtu atakayeshika nafasi hiyo inafanywa. (2) Kipindi cha uteuzi wa kukaimu hakitazidi muda wa miezi sita. Hata hivyo, Taasisi inaweza kuongeza kipindi hiki kadiri itakavyoona inafaa. Katika hali ya kipekee, Taasisi inaweza kumteua mtumishi aliyekuwa anakaimu kuendelea kuitumikia nafasi hiyo rasmi. Uteuzi wa kukaimu Kamati ya usaili - 13 Verify source ↗
Kamati ya usaili
AI-assisted research summary: Taasisi lazima iunde Kamati ya Usaili ya dharura, na kamati hiyo ifanye uhakiki, iendeshe usaili, itayarishe matokeo, na kupendekeza waliofaa kuajiriwa.
13.-(1)Taasisi itaunda Kamati ya Usaili ya dharura kwa ajili ya kusaili watumishi. (2) Kamati ya Usaili itafanya kazi zifuatazo: (a) kufanya kazi kama wanajopo wakati wa usaili pamoja na kukubaliana kuhusu taratibu za kuendesha usaili; 14 Kanuni Za Watumishi Wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili Tangazo la Serikali Na. 819 (Linaendelea.) (b) kufanya uhakiki wa msailiwa na kujiridhisha kwamba msailiwa aliyefika ndiye aliyechaguliwa na mamlaka; (c) kupitia orodha ya majina ya waombaji yaliyoandaliwa na mamlaka husika pamoja na kuangalia sifa za watahiniwa ili kuona kama wanakidhi vigezo vilivyoainishwa katika kada husika; (d) kuhakiki vyeti na nyaraka zingine halisi na muhimu kwa ajili ya ajira; (e) kuendesha usaili kwa kufuata taratibu na miongozo iliyopo na bila ubaguzi; (f) kuandaa majibu au matokeo ya usaili yakionesha mwenye ufaulu wa juu hadi mwenye ufaulu wa chini; (g) kupendekeza msailiwa au wasailiwa wanaokidhi vigezo na wanaofaa kuajiriwa kwa mamlaka ya ajira au uteuzi. - 14 Verify source ↗
Ajira ya watumishi waliostaafu
AI-assisted research summary: Taasisi lazima izibe nafasi za watumishi wanaostaafu kwa kuajiri watumishi wapya, na inaweza pia kuwaajiri wastaafu wenye ujuzi maalum ili kusaidia upungufu wa watumishi.
14.-(1) Endapo mtumishi atastaafu katika umri wa miaka 55 kwa hiari au miaka 60 na 65 kwa lazima, Taasisi kuwa mipango itahakikisha inafanyika kuziba nafasi za watumishi wanaostaafu kwa kuajiri watumishi wapya. (2) Taasisi inaweza kutoa ajira kwa watumishi waliostaafu wenye ujuzi maalum na uzoefu kutoka ndani na nje ya Taasisi ili kutatua tatizo la upungufu wa watumishi katika taaluma husika. (3) Ajira za wastaafu zitatolewa kwa mujibu wa kanuni za utumishi wa umma. Ajira ya watumishi waliostaafu WAJIBU, MWENENDO NA MAADILI KWA WATUMISHI SEHEMU YA TATU Mahudhurio kazini
Part
SEHEMU YA TATU
- 15 Verify source ↗
Mahudhurio kazini
AI-assisted research summary: Watumishi lazima wazingatie saa za kazi, kuhudhuria kazi kwa wakati, kuingia na kutoka kwa taratibu zilizowekwa, na kupata ruhusa kabla ya kutokuwepo; wajawazito hawaruhusiwi kufanya kazi usiku katika kipindi kilichotajwa.
15.-(1) Mtumishi anatakiwa kuingia kazini saa 1:30 asubuhi na kutoka saa 9.30 jioni kwa siku tano mfululizo kuanzia Jumatatu hadi Ijumaa Mtumishi atatakiwa kufanya kazi kwa saa zisizozidi 15 Kanuni Za Watumishi Wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili Tangazo la Serikali Na. 819 (Linaendelea.) Kuwahi na kuwepo kazini 45 kwa wiki. (2) Watumishi watakaokuwa zamu za usiku wataingia kazini saa 11:00 jioni hadi saa 1:30 asubuhi ya siku inayofuata. (3) Siku zilizotamkwa na Serikali kuwa siku za mapumziko zitafuatwa kama ilivyo. (4) Watumishi ambao kazi zao haziingii katika ratiba ya kawaida ya saa za kazi watatakiwa kufanya jumla ya saa zisizozidi arobaini na tano (45) katika wiki kulingana na ratiba ya kazi inayolingana na aina ya kazi zao bila kufuata saa za kazi zilizotajwa hapo juu. (5) Mtumishi mjamzito haruhusiwi kufanya kazi usiku kwa kipindi cha miezi miwili kabla ya kujifungua na miezi mitatu baada ya likizo ya uzazi. 16-(1) Kila mfanyakazi atatakiwa kuwahi na kuwepo kazini muda wote anaotakiwa kuwa kazini. (2) Kila mfanyakazi atatakiwa kusaini kwenye mashine ya kibaiometrikia anapofika kazini na anapoondoka kazini kuonesha uwepo wake na kutokuwepo kwake kazini. Kwa yule mtumishi anayetakiwa kusaini kwenye daftari kwa baadhi ya maeneo ataandika majina yake kamili, muda aliofika na kutoka kazini pamoja na saini yake. (3) Mtumishi yeyote haruhusiwi kusaini kwa niaba ya mtumishi mwingine kwa sababu yoyote ile. (4) Mtumishi anapopata dharura ya muda ameshawasili kazini atatakiwa mfupi akiwa kumuomba ruhusa msimamizi wake wa kazi. (5) Kama mtumishi atashindwa kufika kazini kwa sababu ya ugonjwa atatakiwa kutoa taarifa kwa msimamizi wake na atatakiwa kuwasilisha hati ya daktari inayompatia kipindi cha mapumziko ya ugonjwa kwa Kurugenzi ya Maendeleo ya Raslimali Watu na Utawala. (6) Hati ya ugonjwa inapozidi siku tano, mtumishi atatakiwa kuwasilisha pia ripoti ya daktari lake kwa Kurugenzi ya inayoonesha tatizo 16 Kanuni Za Watumishi Wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili Tangazo la Serikali Na. 819 (Linaendelea.) Maendeleo ya Raslimali Watu na Utawala. (7) Isipokuwa kwa sababu ya ugonjwa, mtumishi hatoruhusiwa kutofika kazini bila ruhusa ya Mkurugenzi Mtendaji. (8) Watumishi watakaofika kazini baada ya saa 2:00 asubuhi watahesabika kuwa wamechelewa kazini. (9) Watumishi watatakiwa kuwepo na kufanya kazi wakati wote mahala pa kazi katika muda uliotajwa hapo juu, isipokuwa pale ambapo wasimamizi wao, wakurugenzi au Mkurugenzi Mtendaji watakuwa wamewaruhusu kutokuwepo. 17-(1) Inapotokea mtumishi anajua mapema kwamba hatakuwepo kazini, mtumishi huyo ni lazima aombe na kupata ruhusa kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji. (2) Kwa manufaa ya mtumishi na utumishi wake, mtumishi atakayeondoka katika kituo chake cha kazi baada ya masaa ya kazi au Jumamosi au Jumapili au siku za sikukuu kwenda nje ya mkoa atatakiwa kutoa taarifa ya maandishi Mkurugenzi Mtendaji. (3) Mtumishi anayekusudia kusafiri nje ya nchi atatakiwa kuomba ruhusa kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji na kupata kibali kutoka kwa mamlaka husika. (4) Isipokuwa kwa mtumishi aliyesafiri kikazi, mtumishi ambaye hatakuwa kazini bila ya ruhusa atakuwa ametenda kosa. - 18 Verify source ↗
Kutokuwepo kazini kwasababu za ugonjwa
AI-assisted research summary: A sick employee who cannot work must give a sickness certificate to the supervisor, and if the certificate lasts more than five days, must also send a doctor’s report to the Directorate.
18.-(1) Mtumishi ambaye ni mgonjwa na hawezi kufanya kazi kutokana na sababu za kuugua au ugonjwa atatakiwa kuwasilisha kwa msimamizi wake hati ya ugonjwa iliyosainiwa na daktari aliyesajiliwa. (2) Hati ya ugonjwa inapozidi siku tano, mtumishi atatakiwa kuwasilisha pia ripoti ya daktari lake kwa Kurugenzi ya inayoonyesha tatizo 17 Kutokuwepo kazini Kutokuwepo kazini kwasababu za ugonjwa Kanuni Za Watumishi Wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili Tangazo la Serikali Na. 819 (Linaendelea.) Maadili ya kazi Maendeleo ya Raslimali Watu na Utawala. (3) Iwapo mtumishi atashindwa kutoa taarifa ya kutokuwepo kwake kazini, atakuwa ametenda kosa na anaweza kuchukuliwa hatua stahiki na mamlaka yake ya nidhamu kwa mujibu wa sharia. (4) Mtumishi atoe taarifa ya kutokuwepo kazini mapema iwezekanavyo ili mwajiri aweze kuangalia namna ya kugawanya au kukaimisha majukumu yake. - 19 Verify source ↗
Maadili ya kazi
AI-assisted research summary: Mtumishi haruhusiwi kuomba, kudai au kupokea zawadi au rushwa, na anatakiwa kufuata maadili ya kazi, kulinda siri, kuvaa kitambulisho, na kuzingatia makatazo mengine ya mwenendo kazini.
19.-(1) Mtumishi haruhusiwi kuomba, kudai au kupokea zawadi, tuzo au vitu vyenye thamani kifedha kutoka kwa mtu au taasisi kutokana na huduma zozote atakazotoa kupitia nafasi yake kama mtumishi wa Taasisi. (2) Endapo mtumishi atapewa zawadi, tuzo au vitu vyenye thamani kifedha kutoka kwa mtu au shirika kutokana na huduma atakazotoa kupitia nafasi yake kama mtumishi wa Taasisi atapaswa kuwasilisha zawadi husika kwa Mkurugenzi Mtendaji na kupewa stakabadhi ya malipo. Zawadi hiyo itatumika kwa matumizi au maslahi ya Taasisi. (3) Mtumishi ataheshimu taratibu zote na maadili ya kazi, ikiwa ni pamoja na- (a) kuheshimu haki za binadamu; (b) kufanya kazi kwa uadilifu; (c) kutobagua watu wagonjwa anaowahudumia au watumishi wenzake; (d) kuheshimu sheria na kutoa maamuzi au ambayo siyo ya upendeleo; (e) kuwa tayari kufanya kazi sehemu yoyote; (f) kutotoa lugha isiyo na staha (lugha mbaya au ya udhalilishaji); (g) kutokuwa mkaidi; (h) kutunza siri za Taasisi; (i) kutoomba, kushawishi au kupokea rushwa anaye mhudumia, aliyemhudumia au anaye kwa mtu kutoka 18 Kanuni Za Watumishi Wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili Tangazo la Serikali Na. 819 (Linaendelea.) tarajia kumhudumia; (j) kutoshiriki katika shughuli za kisiasa wakati wa saa za kazi; (k) kuvaa vizuri wakati wote akiwa kazini kwa mujibu wa nyaraka na miongozo inayosimamia utumishi wa umma; (l) kuvaa kitambulisho/beji wakati wote na kukionesha akiwa kazini katika eneo la Taasisi. Iwapo kitambulisho kitapotea au kuharibika, mtumishi atatakiwa kutoa taarifa mara moja kwa Mkurugenzi wa Maendeleo ya Rasilimali Watu kupitia mkuu wake wa kurugenzi au kitengo. Kitambulisho au beji ni mali ya Taasisi na kitarejeshwa mara ajira ya mtumishi inapokoma; (m) kutumia dawa (haramu) za kulevya na bidhaa zinazohusiana nazo; (n) kutotumia kilevi wakati wa kazi. Utumiaji wa kilevi kupita kiasi nje ya saa za kazi unapigwa marufuku kwa kuwa unasababisha vitendo kama vile ufanisi tabia mbaya, utoro, duni wa kazi, ugomvi na vurugu; (o) kutovuta sigara ndani ya majengo ya Taasisi au ndani ya magari ya Taasisi kwa sababu za kiusalama na kiafya. (4) Mtumishi haruhusiwi kuwa na mahusiano au uhusiano wa kimapenzi sehemu ya kazi. Pia hatakiwi kufanya udhalilishaji wa kimapenzi ikiwa ni pamoja na kubaka, kulazimisha mapenzi, kupata au kutoa upendeleo, ahadi au zawadi kwa kutoa mapenzi au ahadi ya mapenzi na kadhalika. (5) Mtumishi anatakiwa kuendesha na kusimamia masuala yake ya kifedha kwa uangalifu na umakini. Mtumishi hatakiwi kujishughulisha na suala lolote la kifedha ambalo litasababisha aibike na kupata fedheha. Mtumishi mwenye matatizo ya kweli ya kifedha ajadiliane masuala hayo kwa siri na 19 Kanuni Za Watumishi Wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili Tangazo la Serikali Na. 819 (Linaendelea.) Mawasiliano kwa umma menejimenti. Kama itagundulika kuwa mtumishi amejiaibisha na kujiletea fedheha katika shughuli zake za kifedha, Taasisi itachukua hatua za kinidhamu dhidi yake kwa mujibu wa sheria na kanuni za utumishi. - 20 Verify source ↗
Mawasiliano kwa umma
AI-assisted research summary: Mkurugenzi Mtendaji ndiye msemaji mkuu wa Taasisi, na wafanyakazi hawaruhusiwi kutoa taarifa kuhusu Taasisi bila idhini yake.
20.-(1) Mkurugenzi Mtendaji ndiye msemaji mkuu wa Taasisi. Mtumishi yeyote haruhusiwi kutoa taarifa zinazohusu Taasisi bila ruhusa ya Mkurugenzi Mtendaji. (2) Taarifa, matamko na matangazo katika vyombo vya habari vya ndani na nje yataratibiwa na kitengo cha mahusiano na kuidhinishwa na Mkurugenzi Mtendaji. (3) Uhudhuriaji katika mikutano yoyote rasmi nje ya Taasisi pamoja na uwasilishaji wa makala kuhusu shughuli za Taasisi utahitaji idhini ya Mkurugenzi Mtendaji. (4) Iwapo itagundulika kwamba mtumishi ametoa taarifa zinazohusu Taasisi bila kupata idhini ya Mkurugenzi Mtendaji, Taasisi inaweza kuchukua hatua za kinidhamu dhidi yake. (5) Barua zote zinazotoka nje kuja kwenye Taasisi zielekezwe kwa Mkurugenzi Mtendaji. (6) Barua zote zinazotoka katika Taasisi kama zitaandikwa au kujibiwa na mtumishi tofauti na Mkurugenzi Mtendaji zioneshe kuwa aliyeandika amepata idhini ya Mkurugenzi Mtendaji na aandike kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji. Mhuri wa taasisi na utiaji saini katika nyaraka - 21 Verify source ↗
Mhuri wa taasisi na utiaji saini katika nyaraka
AI-assisted research summary: Nyaraka za taasisi lazima zisainiwe na Mkurugenzi Mtendaji, na yeye anaweza kukasimu mamlaka hayo kwa maofisa wengine anapoona inafaa.
21.-(1) Kutakuwa na mhuri wa Taasisi ambao utakuwa na umbo na saizi ambayo Bodi ya Wadhamini itaamua. (2) Mhuri wa Taasisi hautagongwa katika isipokuwa pale nyaraka hiyo nyaraka yoyote inapokuwa na Mwenyekiti wa Bodi au Mkurugenzi Mtendaji au mtumishi mwingine yeyote ambaye ameteuliwa kwa mujibu wa Sheria. imeshuhudiwa kusainiwa au 20 Kanuni Za Watumishi Wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili Tangazo la Serikali Na. 819 (Linaendelea.) Mgongano wa maslahi Haki ya mwajiri kufanya ukaguzi na upekuzi Utunzaji wa mali za taasisi Udhibiti na usalama wa mfumo wa habari (3) Nyaraka zitakazotengenezwa, zote andaliwa au andikwa zitasainiwa na Mkurugenzi Mtendaji. Mkurugenzi Mtendaji anaweza kukasimu mamlaka haya kwa maofisa wengine kadiri atakavyoona inafaa. - 22 Verify source ↗
Mgongano wa maslahi
AI-assisted research summary: Mtumishi hapaswi kuwa na au kutumia maslahi binafsi katika kazi ya taasisi, na lazima atoe taarifa mara moja kwa menejimenti akijikuta na mgongano wa maslahi.
22.-(1) Mtumishi haruhusiwi kuwa na maslahi binafsi kutokana na shughuli yoyote atakayofanya kwa niaba ya Taasisi. (2) Matumizi ya cheo cha mtumishi kuendeleza au kuleta faida kwa biashara binafsi au faida kwa biashara ya mke au mume, ndugu au rafiki hayaruhusiwi kabisa. Iwapo mtumishi atatakiwa kushughulikia suala lolote kama sehemu ya kazi ambalo ana maslahi binafsi, mtumishi huyo atatakiwa aeleze mara moja maslahi yake kwenye menejimenti. (3) Mtumishi hatakiwi kukopa au kupokea fedha au kitu chochote chenye thamani kutoka kwa mtu yeyote ambaye kazi za kiofisi zinawakutanisha. - 23 Verify source ↗
Haki ya mwajiri kufanya ukaguzi na upekuzi
AI-assisted research summary: Taasisi ina haki ya kumkagua na kumpekua mtumishi wake yeyote ndani ya eneo la Taasisi.
23. Taasisi itakuwa na haki ya kumkagua na kumpekua mtumishi wake yeyote ndani ya eneo la Taasisi. Mwanamke atakaguliwa na mwanamke mwenzie na mwanamume mwenzie. na mwanamume atakaguliwa - 24 Verify source ↗
Utunzaji wa mali za taasisi
AI-assisted research summary: Watumishi lazima watumie mali waliokabidhiwa na Taasisi kwa uangalifu.
24. Watumishi wanatakiwa kutumia mali wanazokabidhiwa na Taasisi kwa uangalifu. Hasara, upungufu au uharibifu wa mali unaotokana na uzembe, kukosa uaminifu au kutokutunza itakuwa ni kosa litakalosababisha mtumishi husika kuchukuliwa hatua za kinidhamu. - 25 Verify source ↗
Udhibiti na usalama wa mfumo wa habari
AI-assisted research summary: Mtumishi lazima azifuate hatua za udhibiti na usalama wa mfumo wa habari zilizoainishwa kwenye sera, sheria na miongozo husika.
25. Mtumishi anatakiwa kufuata hatua za udhibiti na usalama wa mfumo wa habari kama ilivyoelezwa kwenye sera, Sheria na miongozo mbalimbali inayohusu Usimamizi wa Usalama wa Mfumo wa Habari Serikalini. Mtumishi ambaye 21 Kanuni Za Watumishi Wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili Tangazo la Serikali Na. 819 (Linaendelea.) Vifaa vya mawasiliano Simu za mkononi Gharama za simu Uanachama katika vyama vya wafanyakazi atasababisha hasara au uharibifu kutokana na uzembe wake ama kutofuata mwongozo, taratibu na viwango vilivyowekwa kwenye sera hiyo atastahili kuchukuliwa hatua za kinidhamu kwa mujibu wa Sheria. - 26 Verify source ↗
Vifaa vya mawasiliano
AI-assisted research summary: Simu na vifaa vingine vya mawasiliano vya Taasisi vitumike kwa shughuli za Taasisi tu.
26. Simu na vifaa vingine vya Taasisi kwa ajili ya mawasiliano ni kwa ajili ya shughuli za Taasisi tu. - 27 Verify source ↗
Simu za mkononi
AI-assisted research summary: Kila mtumishi lazima atumie simu vizuri, azime simu wakati wa mikutano au vikao rasmi vinapofaa, na asitumie simu kwa muda mrefu kiasi cha kudumaza huduma wakati wa mawasiliano binafsi.
27.-(1) Kila mtumishi atatakiwa kuwa na matumizi sahihi ya simu hasa pale anapokuwa akihudumia wateja. (2) Kila mtumishi atatakiwa kuzima simu yake ya mkononi akiwa kwenye mikutano au vikao au katika matukio mengine rasmi ambako itaonekana kuwa ni busara kuzima simu. (3) Mtumishi haruhusiwi kutumia simu yake ya mkononi kwa muda mrefu na kudumaza huduma pale anapokuwa anafanya mawasiliano binafsi. - 28 Verify source ↗
Gharama za simu
AI-assisted research summary: Gharama za simu kwa menejimenti na watumishi wengine maalum zitatolewa kwa idhini ya Mkurugenzi Mtendaji.
28. Gharama za simu kwa ajili ya menejimenti na watumishi wengine maalum zitatolewa ambavyo kwa vitaidhinishwa na Mkurugenzi Mtendaji mara kwa mara. viwango ruzuku - 29 Verify source ↗
Uanachama katika vyama vya wafanyakazi
AI-assisted research summary: Watumishi wana haki ya kujiunga na kushiriki katika shughuli halali za chama cha wafanyakazi mahala pa kazi, lakini baadhi ya watumishi wa ngazi za juu hawaruhusiwi kuwa wanachama, na watumishi wenye nafasi za uongozi hawawezi kuwa viongozi wa vyama hivyo hadi waimalize muda wao wa uongozi.
29.-(1) Kila mtumishi ana haki ya kujiunga na chama cha wafanyakazi mahala pa kazi. (2) Watumishi wafuatao hawaruhusiwi kuwa wanachama katika chama cha wafanyakazi: (a) Mkurugenzi Mtendaji; (b) Wakurugenzi; (c) Meneja; na (d) Wakuu wa vitengo. (3) Kila mtumishi ana haki ya kushiriki katika shughuli halali za chama cha wafanyakazi. (4) Watumishi wenye nafasi za uongozi wanaweza kuwa wanachama wa vyama vya 22 Kanuni Za Watumishi Wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili Tangazo la Serikali Na. 819 (Linaendelea.) isipikuwa wafanyakazi kuwa viongozi wa vyama hivyo hadi watakapomaliza muda wao wa uongozi. hawataruhusiwi Gharama za mazishi na rambirambi SEHEMU YA NNE MAZISHI
Part
SEHEMU YA NNE
- 30 Verify source ↗
Gharama za mazishi na rambirambi
AI-assisted research summary: Taasisi lazima ilipie gharama za msiba na msaada wa mazishi kwa mtumishi, mwenza au mtoto aliyefariki, isipokuwa watumishi wa muda na vibarua.
30.-(1) Ikitokea mtumishi, mwenza au mtoto amefariki, Taasisi itagharamia msiba husika kwa gharama zifuatazo isipokuwa kwa watumishi walioko katika ajira za muda na vibarua: (a) gharama ya jeneza na sanda; (b) gharama ya kuchimba kaburi; (c) gharama ya mashada ya maua na mapambo; (d) gharama za kuhifadhi mwili na dawa; na (e) usafiri wa kumfikisha marehemu nyumbani kwao. (2) Taasisi itasafirisha watumishi watatu kwenda kushiriki kwenye mazishi nyumbani kwa marehemu kama mazishi hayo yanafanyika nje ya Jiji la Dar es Salaam. (3) Kama mazishi yanafanyika ndani ya Jiji la Dar es Salaam Taasisi itatoa usafiri wa gari ili baadhi ya watumishi wakashiriki kwenye mazishi. (4) Itatoa fedha ya kusafirisha familia na mizigo ya marehemu hadi nyumbani kwao. Malipo ya mizigo yatatolewa kwa msimamizi wa mirathi atakayeteuliwa na mahakama. (5) Stahiki zingine za mtumishi ambaye utumishi wake umekoma kwa sababu za kifo zitalipwa na mfuko wake wa hifadhi ya jamii kwa mujibu wa sheria za utumishi wa umma na sheria za mfuko huo. Uratibu wa mazishi na uwasilishaji wa vielelezo - 31 Verify source ↗
Uratibu wa mazishi na uwasilishaji wa vielelezo
AI-assisted research summary: Taasisi inalipa gharama za mazishi, na taratibu za mazishi zinafanywa na Kurugenzi ya Rasilimali Watu na Utawala kwa kushirikiana na familia.
31.-(1) Taasisi itatoa gharama za mazishi kutoka katika vyanzo vyake vya mapato au mfuko wa rambirambi wa watumishi. (2) Taratibu za mazishi ya mtumishi 23 Kanuni Za Watumishi Wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili Tangazo la Serikali Na. 819 (Linaendelea.) aliyefariki au mwanafamilia wa karibu wa mtumishi zitafanywa na Kurugenzi ya Rasilimali Watu na Utawala kwa kushirikiana na familia ya marehemu. (3) Mtumishi aliyefiwa na mwanae au mzazi na kupewa gharama za mazishi atatakiwa ndani ya siku thelathini tangu kifo kutokea awasilishe nakala ya kibali cha mazishi kwa ajili ya kumbukumbu. Aidha, ndani ya miezi sita tangu kifo kutokea awasilishe nakala ya cheti cha kifo kwa ajili ya kumbukumbu. (4) Mtumishi akifariki na familia yake kupewa gharama za mazishi, itatakiwa ndani ya siku thelathini tangu kifo kutokea iwasilishe nakala ya kibali cha mazishi kwa ajili ya kumbukumbu. Aidha, ndani ya miezi sita tangu kifo kutokea iwasilishe nakala ya cheti cha kifo kwa ajili ya kumbukumbu. - 32 Verify source ↗
Utaratibu wa rambirambi
AI-assisted research summary: An employee is entitled to condolence payment when a spouse who is also an employee of the Institution dies, and a condolence payment is paid once if two or more employees share the same deceased parent.
32.-(1) Mtumishi ambaye atafiwa na mume au mke wake ambaye ni mtumishi wa Taasisi atalipwa rambirambi inayolipwa kwa watumishi wanapofiwa na waume, wake au watoto wao. (2) Ikitokea kuwa watumishi wawili au zaidi katika Taasisi wamezaliwa na mzazi mmoja na mzazi huyo amefariki, rambirambi itatolewa mara moja kwa yeyote kati yao kama watakavyokubaliana. - 33 Verify source ↗
Kifo nje ya nchi
AI-assisted research summary: Taasisi lazima ilipie kusafirisha mwili na gharama zote za mazishi ikiwa mtumishi amefia nje ya nchi.
33.-(1) Iwapo itatokea mtumishi amefariki akiwa nje ya nchi, Taasisi italipa gharama za kuusafirisha mwili wa marehemu kuuleta nchini. Sehemu ambao wameruhusiwa kusafiri nje ya nchi kwa majukumu yanayotambulika na taasisi kama shughuli za kikazi, masomo au matibabu. itawahusu watumishi hii (2) Baada ya mwili wa mtumishi kuwasili nchini, Taasisi italipia gharama zote za mazishi kama ilivyo kwa mtumishi aliyefia ndani ya nchi. - 34 Verify source ↗
Nyaraka zinazohitajika
AI-assisted research summary: Sehemu hii inaonyesha kuwa kuna nyaraka zinazohitajika za kuthibitisha kifo, lakini maandishi yaliyopo yamekatika.
34. watumishi zilizokusanywa kwenye mafaili binafsi ya wazi na ya Kumbukumbu za 24 Utaratibu wa rambirambi Kifo nje ya nchi Nyaraka zinazohitajika Kanuni Za Watumishi Wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili Tangazo la Serikali Na. 819 (Linaendelea.) siri zitakuwa msingi wa malipo ya gharama za mazishi na rambirambi. Uthibitisho wa kifo kwa- - 35 Verify source ↗
Uthibitisho wa kifo
AI-assisted research summary: Uthibitisho wa kifo unaweza kupatikana kutoka kwa mwanafamilia, mtumishi, daktari, serikalini, au chanzo kingine cha kuaminika.
35. Uthibitisho wa kifo utapatikana kutoka (a) mwanafamilia au ndugu wa karibu kama aliyefariki ni mtumishi; (b) mtumishi mwenyewe kama aliyefariki ni mwanafamilia au ndugu wa karibu; (c) daktari; (d) kutoka serikalini; au (e) mtu mwingine yoyote au chanzo chochote cha kuaminika. Uendeshaji wa Mazishi - 36 Verify source ↗
Uendeshaji wa Mazishi
AI-assisted research summary: If the institution is informed that an employee has died or is bereaved, Human Resources and Administration must notify staff, inform the family about funeral and condolence costs, appoint representatives for the funeral, and read a short account of the deceased employee and the employer’s support.
36. Baada ya kupokea taarifa kuwa mtumishi amefariki au amefiwa, Kurugenzi ya Rasilimali Watu na Utawala itafanya yafuatayo: (a) itatoa taarifa ya ndani kwa watumishi wote kuwataarifu juu ya tukio la kifo cha mtumishi mwenzao au mtumishi mwenzao kufiwa; (b) itaijulisha familia juu ya gharama za mazishi pesa za rambirambi kulingana na taratibu zilizopo; iliyofiwa (c) itamteua mwakilishi wa Taasisi ambao watakuwa ni, mwakilishi wa menejimenti, mwakilishi wa kurugenzi au kitengo alichokuwa mtumishi anahudumu aliyefariki na mwakilishi wa Chama cha Wafanyakazi wa Taasisi kwenye mazishi; fupi ya mtumishi na mazishi juu ya msaada aliyefariki kwenye kuwajulisha wafiwa uliotolewa na mwajiri. (d) itasoma historia SEHEMU YA TANO MAFUNZO NA MAENDELEO YA WATUMISHI Elimu ya msingi katika ajira
Part
SEHEMU YA TANO
- 37 Verify source ↗
Elimu ya msingi katika ajira
AI-assisted research summary: The institution will not run foundational diploma or degree training, and staff may study courses that improve their skills and qualifications.
37.-(1) Ili kutumia soko la kazi lililopo, 25 Kanuni Za Watumishi Wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili Tangazo la Serikali Na. 819 (Linaendelea.) Taasisi haitakuwa na mpango wa kutoa mafunzo ya stashahada au shahada za msingi na badala yake itaajiri watumishi katika taaluma mbambali kutokana na elimu na sifa walizonazo kabla ya kuajiriwa kwa mujibu wa Muundo wa Utumishi uliopo. Kwa msingi au wataruhusiwa kusomea masomo ambayo yanaongeza ujuzi juu ya elimu na nafasi walizonazo. huu, watumishi watasomeshwa (2) Bila kujali uwezekano wa Taasisi kujaza nafasi kwa kutumia soko la kazi, nafasi chache za kujiendeleza kitaaluma zitatolewa kwa watumishi kwa gharama zao au ufadhili wa taasisi zingine kila mwaka kuwawezesha kupata elimu ya msingi kwa nafasi za juu zilizomo kwenye Muundo wa Utumishi wa Taasisi. - 38 Verify source ↗
Wajibu wa kutoa mafunzo na kujifunza
AI-assisted research summary: Viongozi wa vitengo wanapaswa kuwafundisha na kuendeleza watumishi walio chini yao, na kila mtumishi anawajibika na maendeleo yake kitaaluma.
38.-(1) Kila Mkuu wa kurugenzi, kitengo au femu au sehemu anawajibika na mafunzo na maendeleo ya wafanyakazi walio chini yake. Kutokana na utaratibu huu, kila mkuu ana wajibu wa kutoa mafunzo na kuwaendeleza watumishi walio chini yake. Aidha, anawajibika kuwahamasisha watumishi walio chini yake kuongeza ujuzi wao wa kazi kulingana na mahitaji ya utendaji wa kazi ili kuimarisha mtazamo wao wa kazi na kuleta ufanisi na ubora katika kazi. (2) Kila mtumishi atawajibika na maendeleo yake kitaaluma na matumizi ya ujuzi huo. - 39 Verify source ↗
Kipaumbele katika mafunzo
AI-assisted research summary: The institution must give priority to trainings named in its short- and long-term plans, and study approvals must follow that priority list.
39.-(1) Taasisi itatoa kipaumbele katika mafunzo yatakayobainishwa katika mikakati ya muda mfupi na muda mrefu ya Taasisi. Mpango wa mafunzo utapangwa na kuratibiwa kulingana na vipaumbele katika maeneo husika. Vipaumbele katika mafunzo pia vitatumika kama msingi wa kuwaruhusu watumishi wanaotaka kwenda kusoma kwa mipango yao binafsi au ya wafadhili. Ruhusa itatolewa tu kama mafunzo anayotaka kuchukua mtumishi yamo katika orodha ya vipaumbele. 26 Wajibu wa kutoa mafunzo na kujifunza Kipaumbele katika mafunzo Kanuni Za Watumishi Wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili Tangazo la Serikali Na. 819 (Linaendelea.) Mipango ya urithishaji wa madaraka Stahili ya mafunzo (2) Mtumishi atakayetaka kwenda kwenye mafunzo ya udaktari bingwa au mafunzo mengine yaliyopo nje ya mpango wa mafunzo wa Taasisi anaweza kuruhusiwa kujiunga na masomo hayo kwa masharti ya likizo bila malipo. (3) Kila kurugenzi au kitengo itakuwa na idadi maalum ya watumishi watakaopelekwa au ili kuruhusiwa kwenda kusoma kwa mwaka kuhakikisha kwamba kuna uwiano wa watumishi wanaokwenda kusoma na wanaomaliza mafunzo yao na kurudi kazini ili Taasisi iendelee kutoa huduma kwa wagonjwa kama inavyotakiwa. - 40 Verify source ↗
Mipango ya urithishaji wa madaraka
AI-assisted research summary: Kurugenzi ya Rasilimali Watu na kitengo husika lazima watayarishe mpango wa maendeleo ya watumishi, na taasisi ichochee mazingira yanayowezesha watumishi kupata mafunzo na maendeleo.
40.-(1) Kurugenzi ya Rasilimali Watu kwa kushirikiana na Kurugenzi au Kitengo kinachohusika itatayarisha mpango wa maendeleo ya watumishi kulingana na mahitaji ya Taasisi ya kuwepo kwa watumishi wa kushika nafasi zinazoachwa wazi. (2) Mafunzo na maendeleo ya watumishi utakaowagusa endelevu yatakuwa mchakato watumishi katika fani zote. (3) Taasisi itahamasisha na kutengeneza mazingira mazuri na yanayofaa kwa watumishi waliopo ili kumwezesha kila mtumishi kupata mafunzo na kuendelezwa kwa ajili ya kukabiliana na mabadiliko yanayotarajiwa - 41 Verify source ↗
Stahili ya mafunzo
AI-assisted research summary: Taasisi lazima iruhusu mafunzo kwa watumishi wake, itafute na itenge fedha za mafunzo, na mtumishi anaweza kujiendeleza mwenyewe akitimiza masharti yaliyotajwa.
41.-(1) Taasisi itaruhusu mafunzo kwa watumishi wake ndani na nje ya nchi kulingana na mpango wa mafunzo utakaoidhinishwa kila mwaka. Mtumishi aliyemaliza angalau miaka mitatu na kuendelea tokea kuajiriwa ndiye atakaepewa kipaumbele cha kupata mafunzo ya muda mrefu. (2) Kama mtumishi atahitaji kujiendeleza mwenyewe ataruhusiwa ikiwa hakuna upungufu sehemu yake ya kazi na ikiwa pia mafunzo anayotaka kujiendeleza nayo yanahitajika kwa ajili ya maendeleo ya Taasisi. (3)Taasisi itatafuta na kutenga fedha kwa ajili 27 Kanuni Za Watumishi Wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili Tangazo la Serikali Na. 819 (Linaendelea.) ya mafunzo ya muda mrefu na muda mfupi kadri hali itakavyoruhusu na kulingana na mpango wa mafunzo. (4) Taasisi haitalazimika kulipia kozi zilizotafutwa binafsi au zenye ufadhili baada ya kushindwa kwa mtumishi kulipia ada ya masomo inayotakiwa na gharama husika. Ubainishaji wa mahitaji ya mafunzo na maendeleo Utaratibu wa mafunzo ya udaktari bingwa
Part
sehemu yake ya kazi na
- 42 Verify source ↗
Ubainishaji wa mahitaji ya mafunzo na maendeleo
AI-assisted research summary: The Human Resources Directorate must coordinate training programme preparation, and the institution must ensure qualified staff keep improving their professional standards and register with professional bodies as required by law.
42.-(1) Mahitaji ya mafunzo yatabainishwa katika ngazi ya Taasisi, Kurugenzi, Kitengo na mtu binafsi. yote (2) Tathmini ya Utendaji Kazi na Mpango Mkakati wa Taasisi vitakuwa vyanzo vikuu vya kubainisha mahitaji ya mafunzo na maendeleo katika ngazi ya idara na mahitaji binafsi. (3) Kurugenzi ya Rasilimali Watu itaratibu uandaaji wa programu za mafunzo kwa kushirikiana na Wakuu wa kurugenzi na vitengo. (4) Taasisi itahakikisha kuwa watumishi wenye sifa za kitaalamu wanaendeleza viwango vyao vya utaalamu na wanasajiliwa katika Asasi za kitaaluma kama inavyotakiwa na sheria. za Programu mafunzo zinazotekelezwa zitakaguliwa na kutathminiwa na Wakuu wa Kurugenzi na Vitengo husika kwa kushirikiana na Kurugenzi ya Rasilimali Watu na Utawala. zote (5) - 43 Verify source ↗
Utaratibu wa mafunzo ya udaktari bingwa
AI-assisted research summary: Taasisi lazima itoe mpango wa mafunzo kila mwaka kwa mafunzo ya udaktari bingwa, na daktari anaweza kuruhusiwa kwenda nje ya mpango huo kwa likizo bila malipo.
43.-(1) Mahitaji ya Taasisi ya madaktari bingwa katika maeneo mbalimbali ya huduma za tiba, upasuaji na huduma shirikishi za tiba ndiyo yatakayokuwa msingi wa mafunzo ya udaktari bingwa. (2) Ili kutokuathiri mipango binafsi ya madaktari kujiendeleza kuwa madaktari bingwa na pia kutokuathiri idadi ya madaktari wanaohitajika katika Taasisi kutoa huduma, Taasisi itatayarisha mpango wa mafunzo kila mwaka utakaoruhusu madaktari wachache kutoka kila kitengo kuhudhuria 28 Kanuni Za Watumishi Wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili Tangazo la Serikali Na. 819 (Linaendelea.) mafunzo ya udaktari bingwa. (3) Daktari atakayetaka kwenda kwenye mafunzo ya udaktari bingwa nje ya mpango wa mafunzo anaweza kuruhusiwa kwa masharti ya likizo bila malipo. (4) Daktari atakaetaka kusomea udaktari bingwa ambao una madaktari bingwa wengi ukilinganisha na nafasi zilizopo kwenye ikama ya Taasisi hatabadilishwa kuwa daktari bingwa katika eneo husika hadi itakapopatikana nafasi. Taasisi inaweza na Serikali wa kuwahamishia katika Taasisi zingine nchini zenye upungufu bingwa walizosomea. kufanya mpango udaktari katika fani za (5) Mtumishi atakayebadilisha kozi tofauti na ile itakayoidhinishwa wakati anaruhusiwa kwenda kwenye mafunzo bila kupata kibali cha Uongozi wa Taasisi anaweza kuchukuliwa hatua za kinidhamu na atasimamishiwa mshahara na ufadhili kama mafunzo hayo yanagharamiwa na Taasisi. - 44 Verify source ↗
Taarifa ya maendeleo
AI-assisted research summary: Watumishi wanaohudhuria kozi fupi au ndefu lazima wawasilishe taarifa za mafunzo; wale wa kozi ndefu wawasilishe pia taarifa za maendeleo kila mwaka. Taasisi hailipi gharama za kurudia mafunzo.
44. Watumishi wanaohudhuria kozi za muda mfupi watatakiwa kuwasilisha taarifa za mafunzo juu ya kozi wanazohudhuria. Watumishi wanaohudhuria kozi za muda mrefu watatakiwa kuwasilisha taarifa za maendeleo yao kila mwaka kutoka katika vyuo husika. Taarifa hizi za maendeleo ya masomo zitatumika kama taarifa za ufanisi wao wakati wa mafunzo husika. Taasisi haitalipia gharama zozote zinazohusiana na kurudia mafunzo. - 45 Verify source ↗
Kozi za kitaaluma
AI-assisted research summary: Watumishi wanaohudhuria mafunzo ya mitihani ya kitaaluma au kozi za kitaalamu zinazosimamiwa na bodi mbalimbali wanatakiwa kulipa gharama zao, isipokuwa Taasisi itaona vingine.
45. Watumishi wanaohudhuria mafunzo kwa ajili ya kufanya mitihani ya kitaaluma, kozi za kitaalamu zinazosimamiwa na bodi mbalimbali watafanya hivyo kwa gharama zao isipokuwa pale Taasisi itakapoona inafaa. Taarifa ya maendeleo Kozi za kitaaluma Kozi na semina za ndani - 46 Verify source ↗
Kozi na semina za ndani
AI-assisted research summary: Taasisi inapaswa kuwahamasisha watumishi kufanya kozi na semina za ndani, na viongozi wanapaswa kuwapa wengine maarifa, ujuzi na mtazamo wa kazi.
46. Taasisi itatilia mkazo na kuwahamasisha watumishi kufanya kozi na semina za ndani ili 29 Kanuni Za Watumishi Wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili Tangazo la Serikali Na. 819 (Linaendelea.) kutumia kikamilifu rasilimali za ndani na watumishi wenye utaalamu na ujuzi katika kuendesha mafunzo. Viongozi wanatakiwa kuona ni fahari kwao kutoa maarifa, ujuzi na mtazamo wa kazi kwa watumishi wengine na jukumu hili litakuwa moja ya kazi zao kuu. Kufukuzwa au kusimamishwa masomo Programu ya elimu endelevu - 47 Verify source ↗
Kufukuzwa au kusimamishwa masomo
AI-assisted research summary: A servant or person suspended from studies for disciplinary offences may face disciplinary action under the existing Service Regulations; a person suspended for inability to cope with studies should not be considered for the same opportunity again for three years.
47.-(1) Mtumishi au kusimamishwa masomo kwa sababu za makosa ya kinidhamu, hatua za kinidhamu zitachukuliwa dhidi yake kulingana na Kanuni za Utumishi zilizopo. atayefukuzwa (2) Mtumishi au kusimamishwa masomo kwa sababu za kutokumudu masomo hatafikiriwa kupewa fursa kama hiyo tena ndani ya kipindi cha miaka mitatu. atakayefukuzwa - 48 Verify source ↗
Programu ya elimu endelevu
AI-assisted research summary: Elimu endelevu inapaswa kufanyika katika Kurugenzi na Vitengo kwa ushirikiano na Kurugenzi ya Rasilimali Watu na Utawala, na kila Kurugenzi au Kitengo kinapaswa kubainisha mahitaji ya mafunzo na matatizo ya utendaji kazi.
48.-(1) Elimu endelevu itaendeshwa katika Kurugenzi na Vitengo kwa ushirikiano na Kurugenzi ya Rasilimari Watu na Utawala (2) Kila Kurugenzi au Kitengo kitawajibika kubainisha mahitaji ya mafunzo na matatizo yanayohusiana na utendaji kazi (3) Programu za elimu endelevu zinaweza kujumuisha yafuatayo: (a) programu za maendeleo ya kiutendaji kwa wakurugenzi; (b) programu za usimamizi kwa viongozi; (c) programu za kiufundi kwa mafundi, makarani na wahudumu; (d) programu za kitaaluma kwa maafisa tawala, maafisa utumishi wahasibu, ndani, wanasheria, wakaguzi wa wafamasia, wauguzi, wahandisi, madaktari na watumishi wa Ugavi ambao wamesajiliwa na bodi. (4) Menejimenti itakagua programu ya mafunzo ya Taasisi kwa ajili ya kuhakiki ufanisi wake. 30 Kanuni Za Watumishi Wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili Tangazo la Serikali Na. 819 (Linaendelea.) Mkataba wa mafunzo - 49 Verify source ↗
Mkataba wa mafunzo
AI-assisted research summary: Mtumishi anayefadhiliwa kwa mafunzo lazima asaini mkataba wa mafunzo kabla ya kuanza na aheshimu masharti yake; baadhi ya mafunzo pia yanahitaji kuendelea kufanya kazi au kurudisha gharama.
49.-(1) Mtumishi anaweza kuruhusiwa kwenda masomoni baada ya miaka mitatu tangu kuajiriwa. (2) Itakapotokea kuwepo kwa uhitaji maalum, Taasisi inaweza kumteua mtumishi au watumishi kwenda masomoni pasipo kufungwa na sharti la kanuni ndogo ya (1). (3) Mtumishi anayefadhiliwa na Taasisi kuchukua mafunzo atatakiwa kusaini mkataba wa mafunzo na kuheshimu masharti yaliyomo katika mkataba wa mafunzo kabla ya kuanza kwa mafunzo yanayokusudiwa. Ufadhili unajumuisha mishahara ambayo mtumishi ataendelea kulipwa wakati akiwa mafunzoni. (4) Kama mtumishi anakwenda kuchukua mafunzo ya kuanzia miezi tisa kwa ufadhili wa Taasisi au Serikali atatakiwa kusaini mkataba ambao utamtaka afanye kazi na Taasisi walau kwa kipindi cha miaka mitatu au kurejesha gharama za mafunzo. (5) Kama mtumishi atakuwa anafanya mafunzo ya kuanzia miezi sita bila ufadhili wa Taasisi atatakiwa kusaini mkataba na Taasisi kwa kipindi sawa na kipindi cha mafunzo. (6) Mtumishi atatakiwa kusaini mkataba kabla ya kuanza mafunzo na atatakiwa kufanya kazi kwa kipindi sawa na kile kilichoko kwenye mkataba wake. (7) Mtumishi ambaye ataacha kazi baada ya kumaliza mafunzo yake kabla ya kuanza kutumikia mkataba wake atatakiwa kulipa mshahara ambao alikuwa akilipwa katika kipindi chote alichokuwa mafunzoni. (8) Sambamba na kanuni ndogo ya (7) kama mtumishi alilipiwa mafunzo na Taasisi atatakiwa pia fedha zote zilizotumiwa na Taasisi kurudisha kugharimia mafunzo hayo. (9) Kama mtumishi atakuwa ameanza kutumikia kipindi cha mkataba wake wa mafunzo kisha kuacha kazi kabla ya kumaliza kipindi cha 31 Kanuni Za Watumishi Wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili Tangazo la Serikali Na. 819 (Linaendelea.) mkataba mwajiri atapunguza gharama anazodai kwa mfanyakazi kulingana na kipindi alichokwisha kutumikia. (10) Kama mtumishi atakuwa amesaini mkataba kwenda mafunzoni na kushindwa kumaliza kwa sababu za kinidhamu atatakiwa kurudisha kiasi cha fedha sawasawa na gharama za malipo ya mafunzo kama itakuwa malipo hayo yamelipwa na Taasisi. (11) Mtumishi atakayeacha kazi kwa sababu za ugonjwa, au kifo hakuta kuwa na madai yoyote mwajiri atakayodai. - 50 Verify source ↗
Kamati ya mafunzo
AI-assisted research summary: A Training Committee must be established to oversee training and continuing education at the institution.
50.-(1) Kutakuwa na Kamati ya Mafunzo ambayo wajumbe wake watakuwa ni Wakurugenzi wote na Mwanasheria. Mwenyekiti wa kamati atakuwa mkurugenzi anayeshughulika na rasilimali watu na utawala na katibu atakuwa ni afisa mafunzo. Kamati hii itasimamia shughuli zote za mafunzo na elimu endelevu katika Taasisi. (2) Kamati itakutana mara kwa mara kutathmini na kupitia upya shughuli za mafunzo katika Taasisi, na kuidhinisha programu ya mafunzo. (3) Kamati itakuwa ndiyo chombo kikuu cha kumshauri mkurugenzi mtendaji masuala yote ya mafunzo na itafuatilia utekelezaji wa mafunzo. (4) Kutakuwa na mipango ya mafunzo na maendeleo ya watumishi ya muda mfupi na muda mrefu. - 51 Verify source ↗
Kasma ya mafunzo
AI-assisted research summary: Kasma ya mafunzo itatengwa kila mwaka kulingana na mahitaji ya mafunzo na uwezo wa kifedha wa taasisi.
51. Kasma ya mafunzo itatengwa kila mwaka kulingana mafunzo mahitaji yatakayobainishwa kwa kuzingatia uwezo wa Taasisi kifedha. ya na Kamati ya mafunzo Kasma ya mafunzo SEHEMU YA SITA USIMAMIZI NA TATHMINI YA UTENDAJI WA WATUMISHI Usimamizi na tathmini ya
Part
SEHEMU YA SITA
- 52 Verify source ↗
Usimamizi na tathmini ya utendaji
AI-assisted research summary: Taasisi lazima iwe na utaratibu wa usimamizi na tathmini ya utendaji unaoratibiwa na Kurugenzi ya Raslimali watu.
52. Ili kuwawezesha watumishi kuchangia 32 Kanuni Za Watumishi Wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili Tangazo la Serikali Na. 819 (Linaendelea.) utendaji Kupanga malengo Kusaidia katika utendaji Tathmini ya utendaji vizuri katika kufanikisha malengo ya Taasisi, Taasisi itakuwa na utaratibu wa usimamizi na tathmini ya utendaji ambao utaratibiwa na Kurugenzi ya Raslimali watu. Utaratibu huu utakuwa na awamu tatu, ambazo ni: kupanga malengo, kutekeleza na kutathmini utendaji. - 53 Verify source ↗
Kupanga malengo
AI-assisted research summary: At the start of the assessment year, each employee must receive performance objectives and measurable indicators, and the employee and supervisor must sign the performance form by year-end.
53.-(1) Mwanzoni mwa mwaka wa tathmini, kila mtumishi kazi atapewa maelezo yanayojumuisha malengo maalum na viashiria vinavyopimika kwa ajili ya matokeo yatakayofikiwa ndani ya miezi kumi na mbili. ya (2) Maelezo ya kazi yataorodheshwa kwa kutumia Fomu ya wazi ya mapitio na upimaji utendaji kazi kwa kushauriana na watumishi na yatajumuisha malengo ya utendaji na malengo ya maendeleo binafsi. (3) Mtumishi na msimamizi watatia saini fomu hii kama mkataba wa utendaji baina yao unaoonyesha malengo au kazi zilizokubalika kutimizwa na kutathminiwa mwishoni mwa mwaka. - 54 Verify source ↗
Kusaidia katika utendaji
AI-assisted research summary: Supervisors must put in place strong plans to guide subordinate staff, help them solve problems, and give staff regular performance information, advice, and support for at least six months.
54. Wasimamizi wataweka mipango madhubuti ya kuwaongoza watumishi walio chini yao kufanya kazi zao kwa ufanisi na watawasaidia watumishi kupata ufumbuzi wa matatizo ambayo yanaweza kukwamisha utekelezaji wa mipango ya mwaka waliyojiwekea. Kwa hali hii, wafanyakazi watapatiwa taarifa mara kwa mara kwa muda usiopungua miezi sita juu ya utendaji wao dhidi ya malengo, na watapatiwa ushauri na msaada ili kurekebisha kasoro zozote zilizopo. - 55 Verify source ↗
Tathmini ya utendaji
AI-assisted research summary: Tathmini ya utendaji ya mwaka lazima ijadiliwe kati ya mtumishi na msimamizi mwishoni mwa mwaka wa tathmini.
55.-(1) Kwa madhumuni ya sehemu hii, madhumuni ya tathmini ya utendaji ni kugundua, kutathmini na kuweka kumbukumbu za uwezo au kasoro hatua kuchukuliwa kwa ajili ya kuboresha. Kwa hali hii, kimaendeleo malengo za watumishi kuwezesha kiutendaji ya na ili 33 Kanuni Za Watumishi Wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili Tangazo la Serikali Na. 819 (Linaendelea.) Kipindi cha tathmini Mchakato wa tathmini ya utendaji yanayokubaliwa mwanzoni mwa mwaka wa tathmini yatajadiliwa baina ya mtumishi na msimamizi mwishoni mwa mwaka wa tathmini. (2) Mkutano huu utatoa fursa ya kujadili na kukubaliana juu ya alama zitakazotolewa kulingana na viashiria vya utendaji. Pia itakuwa fursa ya kujadili mahitaji ya mafunzo na maendeleo ya juu ya hatua za watumishi, ya kukubaliana kurekebisha kasoro zilizopo, na ya kuchunguza sababu zinazokwamisha utekelezaji wa malengo au kazi pale ambapo utendaji haukufikia viwango vilivyotakiwa. - 56 Verify source ↗
Kipindi cha tathmini
AI-assisted research summary: Kifungu kinaweka kuwa tathmini inafanyika kwa mwaka wa fedha, ikijumuisha tathmini ya nusu mwaka mwezi Desemba, na kinaeleza jinsi tathmini za wafanyakazi zinavyofanywa na nani.
56. Mwaka wa tathmini chini ya Kanuni hizi utakuwa mwaka wa fedha, kukiwa na tathmini ya nusu mwaka mwezi Disemba 57-(1) Tathimini ya Bodi ya Wadhamini tathimini ya itafanywa na Msajili wa Hazina, Mkurugenzi Mtendaji itafanywa na Bodi ya Wadhamini na tathimini ya Wakurugenzi na Wakuu wa Vitengo wanaowajibika au kuripoti moja kwa itafanywa na moja kwa Mkurugenzi Mtendaji Mkurugenzi Mtendaji. (2) Tathmini ya watumishi wengine itafanywa na Mkuu wa Kurugenzi au Kitengo kwa kila mtumishi ambae yuko chini yake na kujadiliana na mtumishi husika mara moja katika kila mwaka wa fedha. Utendaji wa mtumishi utafuatiliwa na kutathminiwa wakati wote na msimamizi wake wa karibu. Msimamizi ataendelea kutoa taarifa kwa mtumishi kuhusu utendaji wake. (3) Tathmini ya mtumishi aliye katika kipindi cha majaribio itafanyika mwishoni mwa kipindi cha majaribio. Mtumishi huyo atathibitishwa baada ya taarifa ya inayoridhisha tathmini ya utendaji kuwasilishwa kwa Mkurugenzi wa Raslimali Watu na mkuu wake wa kurugenzi au kitengo mwishoni mwa kipindi cha majaribio. 34 Kanuni Za Watumishi Wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili Tangazo la Serikali Na. 819 (Linaendelea.) (4) Mwishoni mwa kila kipindi cha tathmini, mtathmini atajadiliana na mtathminiwa juu ya utendaji wake dhidi ya malengo yaliyokubaliwa katika mpango kazi na majukumu yake ya kazi na kutoa mapendekezo ya hatua zinazofaa na tuzo inayotarajiwa. (6) Kurugenzi (5) Mtumishi ambaye hataridhika na matokeo ya zoezi la tathmini anaweza kukata rufaa kwa mkurugenzi wake au mkuu wake wa kazi na kama hataridhika atakata rufaa kwa Mkurugenzi Mtendaji. ya Rasilimali Watu itajumuisha na kuwasilisha Taarifa ya Mwaka ya Tathmini na mapendekezo kwenye Kamati ya Tathmini ya Watumishi kwa ajili ya majadiliano. Baada ya Kamati kukaa na kufikia muafaka juu ya utendaji wa tuzo, watumishi pamoja na mapendekezo ya Kurugenzi itawasilisha ya Rasilimali Watu mapendekezo hayo kwenye Bodi ya Wadhamini kwa ajili ya kuidhinishwa. ya Watumishi wote pamoja (7) Taarifa ya tathmini ya utendaji kwa watumishi ngazi ya menejimenti itaandaliwa na Mkurugenzi Mtendaji na kuwasilishwa kwenye Kamati ya Rasilimali Watu ya Bodi ya Wadhamini. (8) Zoezi la Tathmini ya Watumishi litakuwa kigezo kimojawapo cha utoaji wa tuzo au adhabu tathmini, mfano kupandishwa zinazohusiana na vyeo, nyongeza za mishahara, kuzuiwa kwa nyongeza za mishahara, kushushwa cheo, onyo na hatua nyingine za kiutawala. - 58 Verify source ↗
Matumizi ya taarifa ya tathmini ya utendaji
AI-assisted research summary: Performance appraisal information is used for awards, salary increments, transfers, study programs, senior appointments, demotions, and dismissal.
58. Taarifa inayopatikana kupitia tathmini ya utendaji itatumika katika kutoa tuzo au kuzuia nyongeza ya mshahara, kupanga uhamisho na programu za masomo, na katika kufanya uteuzi kwa nafasi za juu au katika kushusha vyeo au kuachisha kazi Matumizi ya taarifa ya tathmini ya utendaji Jinsi ya kushughulikia - 59 Verify source ↗
Jinsi ya kushughulikia utendaji usioridhisha
AI-assisted research summary: Ikiwa utendaji wa mtumishi ni usioridhisha, msimamizi wa karibu anapaswa kumwambia kwa maandishi na kumpa nafasi ya kujiimarisha ndani ya miezi 3 hadi 6.
59.-(1) Iwapo utendaji wa mtumishi 35 Kanuni Za Watumishi Wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili Tangazo la Serikali Na. 819 (Linaendelea.) utendaji usioridhisha utaonekana kuwa hauridhishi na kuna haja ya kuzuia nyongeza ya mshahara au kumshusha cheo au kumwachisha kazi kwa manufaa ya Taasisi, Mkurugenzi au Mkuu wa Kitengo anayeripoti moja kwa moja kwa Mkurugenzi Mtendaji atamtaarifu mtumishi husika kwa maandishi, eneo au maeneo ambapo utendaji wake hauridhishi na kumpatia fursa ya kuboresha utendaji wake ndani ya kipindi cha kati ya miezi mitatu hadi miezi sita. (2) Iwapo utendaji wa mtumishi hauoneshi mafanikio baada ya kupewa muda wa kujirekebisha, yafuatayo yatafanyika: (a) kwa mtumishi aliyeteuliwa na Bodi ya Wadhamini kushika nyadhifa mbalimbali, atatoa Mkurugenzi mapendekezo yake ushahidi kwenye Bodi kutengua wadhifa wake kutokana na utendaji usioridhisha; Mtendaji yenye (b) kwa mkuu wa kitengo ambaye siyo uteuzi wa Bodi, mkurugenzi husika atatoa mapendekezo yake yenye ushahidi kwa Mkurugenzi Mtendaji kutengua wadhifa wake kutokana na utendaji usioridhisha; (c) kwa watumishi wengine, msimamizi husika atatoa mapendekezo yake yenye ushahidi kuzuia kwa Mkurugenzi nyongeza ya mshahara au kumshusha cheo au kumuachisha kazi kutokana na utendaji usioridhisha. (3) Uachishwaji kazi chini ya kanuni hii ndogo utachukuliwa kama hatua ya kinidhamu dhidi ya mtumishi na utafuata taratibu za kinidhamu kama zinavyoelekezwa katika kanuni za utumishi. - 60 Verify source ↗
Tuzo zinazohusu utendaji
AI-assisted research summary: Kamati ya Tathmini inapaswa kujadili taarifa za tathmini ya mwaka za utendaji wa watumishi, kutoa mapendekezo ya tuzo, na kukutana mara mbili kwa mwaka.
60.-(1) Kutakuwa na Kamati ya Tathmini ambayo itajadili taarifa ya tathmini ya mwaka ya utendaji wa watumishi kutoka katika kurugenzi na vitengo mbalimbali baada ya kukusanywa na itatoa Kurugenzi ya Raslimali Watu. Kamati 36 Tuzo zinazohusu utendaji Kanuni Za Watumishi Wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili Tangazo la Serikali Na. 819 (Linaendelea.) mapendekezo ya tuzo mbalimbali kwenye Kamati ya Rasilimali Watu ya Bodi ya Wadhamini kama itakavyoona inamstahili kila mtumishi baada ya kuangalia kwa makini utendaji wake kwa ajili ya kuidhinishwa. (2) Kamati ya Tathmini itakaa mara mbili kwa mwaka kwa ajili ya tathmini ya nusu mwaka na tathmini ya mwaka mzima. Kamati itakuwa na Wajumbe wafuatao: (a) Mkurugenzi wa Rasilimali Watu na Utawala ambaye atakuwa Mwenyekiti; (b) Meneja wa Rasilimali Watu na Utawala au Afisa Rasilimali Watu na Ajira ambaye atakuwa Katibu; (c) Wakurugenzi na Mameneja, Wakuu wa Vitengo vinavyoripoti moja kwa moja kwa Mkurugenzi Mtendaji na Mwakilishi wa TUGHE ambao watakuwa wajumbe. Upandishwaji vyeo - 61 Verify source ↗
Upandishwaji vyeo
AI-assisted research summary: Taasisi lazima izingatie sifa za mtumishi na utendaji wake wa mwaka uliofanyiwa tathmini wakati wa kuzingatia upandishwaji vyeo; mtumishi anaweza kupanda cheo kwa mujibu wa masharti ya kanuni ya 7.
61.-(1) Katika kufikiria upandishwaji vyeo kwa watumishi, Taasisi itaongozwa na sifa za mtumishi zitakazozingatia utendaji wake katika mwaka uliofanyiwa tathmini. (2) Sifa za mtumishi kupanda cheo zitazingatia Muundo wa Utumishi. Aidha, mtumishi anaweza kupanda cheo kwa mujibu wa masharti ya kanuni ya 7. Nyongeza ya mishahara ambaye - 62 Verify source ↗
Nyongeza za mishahara
AI-assisted research summary: Mtumishi anayekidhi masharti ya utendaji uliotarajiwa kwa kuzingatia tathmini anastahili nyongeza ya mwaka, lakini nyongeza hutolewa tu baada ya Serikali kuidhinisha fedha.
62.-(1) Mtumishi ametekeleza masharti ya utendaji uliotarajiwa kwa kuzingatia matokeo ya tathmini atastahili tuzo ya nyongeza (ya kawaida) ya mwaka. Nyongeza zitatolewa baada ya Serikali kuidhinisha fedha kwa ajili ya zoezi hili. (2) Nyongeza ya mwaka itazuiwa kwa mtumishi ambaye matokeo ya tathmini yanaonyesha kuwa utendaji wake ni wa kiwango cha chini ya matarajio. Posho ya bonasi - 63 Verify source ↗
Posho ya bonasi
AI-assisted research summary: Taasisi inaweza kutoa bonasi au zawadi maalum kwa mtumishi au watumishi wakati wowote inapoonekana inafaa.
63. Taasisi inaweza kutoa bonasi kwa 37 Kanuni Za Watumishi Wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili Tangazo la Serikali Na. 819 (Linaendelea.) Zawadi maalum mtumishi/watumishi wakati wowote itakapoonekana inafaa. - 64 Verify source ↗
Zawadi maalum
AI-assisted research summary: Mtumishi anayeonyesha utendaji bora kutokana na tathmini anaweza kuzingatiwa kupewa tuzo maalum.
64. Mtumishi ambaye ataonyesha utendaji bora kutokana na matokeo ya tathmini anaweza kufikiriwa kupewa tuzo maalum baada ya kuwasilishwa kwa maandishi na ushahidi wenye kuthibitika. SEHEMU YA SABA TARATIBU ZA NIDHAMU Mamlaka za nidhamu Sura ya 298
Part
SEHEMU YA SABA
- 65 Verify source ↗
Mamlaka za nidhamu
AI-assisted research summary: This section assigns disciplinary authority to the Minister, the institution’s Board of Trustees, and the Executive Director for specified staff categories.
65. Bila kuathiri masharti ya Sheria ya Utumishi wa Umma na Sheria nyingine yoyote, kutakuwa na mamlaka za nidhamu kama ifuatavyo: (a) Waziri atakuwa mamlaka ya nidhamu ya Mkurugenzi Mtendaji; (b) Bodi ya Wadhamini ya Taasisi itakuwa mamlaka ya nidhamu ya Wakurugenzi wengine, mameneja, wakuu wa firm na Wakuu wa Vitengo wanaowajibika au kuripoti moja kwa moja kwa Mkurugenzi Mtendaji; (c) Mkurugenzi Mtendaji atakuwa mamlaka ya nidhamu kwa Wakuu wa Vitengo na sehemu waliochini ya Kurugenzi pamoja na watumishi wengine walio katika masharti ya kudumu na pensheni na wataalam walio katika mikataba. Mchakato wa mashauri ya nidhamu
Part
sehemu waliochini ya Kurugenzi pamoja
- 66 Verify source ↗
Mchakato wa mashauri ya nidhamu
AI-assisted research summary: When taking disciplinary action against Institution employees, the disciplinary authority must follow the Institution Act and regulations, the Public Service Act and regulations, and the Standing Orders.
66. Katika kuchukua hatua za kinidhamu dhidi ya watumishi wa Taasisi, mamlaka ya nidhamu inatakiwa kuzingatia Sheria ya Taasisi na Kanuni zake, Sheria ya Utumishi wa Umma na Kanuni zake na Kanuni za Kudumu za Utumishi wa Umma. Aina za uendeshaji wa makosa ya nidhamu - 67 Verify source ↗
Aina za uendeshaji wa makosa ya nidhamu
AI-assisted research summary: This section says disciplinary offences are handled in two main ways: serious offences and minor offences.
67. Kuna aina kuu mbili za uendeshaji wa makosa ya nidhamu kutegemea na uzito wa kosa alilotenda mtumishi au aina ya adhabu inayotarajiwa 38 Kanuni Za Watumishi Wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili Tangazo la Serikali Na. 819 (Linaendelea.) kutolewa na mamlaka ya nidhamu. Aina hizo ni kama ifuatavyo: (a) mwenendo wa makosa mazito unahusu makosa makubwa, kama yalivyoainishwa katika Jedwali la Kwanza, ambayo adhabu zake iwapo mtumishi atapatikana na hatia ni kufukuzwa kazi, kushushwa cheo au kupunguzwa mshahara; (b) mwenendo wa makosa mepesi, kama yalivyoainishwa katika Jedwali la Pili, ambayo haitapelekea mtumishi kufukuzwa kazi, kushushwa cheo au kushuwa mshahara. adhabu yake Makosa ya kinidhamu ambayo pia ni makosa ya jinai - 68 Verify source ↗
Makosa ya kinidhamu ambayo pia ni makosa ya jinai
AI-assisted research summary: Kesi za nidhamu zinaweza kusimamishwa au kucheleweshwa hadi mashauri ya jinai yakamilike, na matokeo ya jinai yanaweza kuathiri hatua za nidhamu.
68.-(1) Pale ambapo kosa la kinidhamu lililotendeka linapelekea kuwepo kwa kosa la jinai, hatua za kinidhamu hazitachukuliwa kama mashtaka ya jinai yameanzishwa dhidi ya mtumishi mpaka baada ya hitimisho la mashtaka ya jinai na kama hatua za kinidhamu zimeanza kuchukuliwa, basi zitasimama mara mashtaka ya jinai yanapoanzishwa. (2) Iwapo mashauri ya jinai yameanzishwa na kuhitimishwa na mtumishi amepatikana na hatia ya kosa la jinai, ambalo pia ni kosa la kinidhamu, mtumishi atachukuliwa kuwa amepatikana na hatia kwa tuhuma za nidhamu. jinai (3) Pale ambapo mashitaka ya yamehitimishwa dhidi ya mtumishi na kuachiwa huru kutokana na ufundi wa kisheria, hali hii haitakuwa kikwazo kwa mamlaka ya nidhamu kuanzisha au kuendelea kwa tuhuma za nidhamu isipokuwa kama mamlaka ya nidhamu itaridhika kuwa mtumishi aliachiwa huru kwa ushahidi. (4) Pale mtumishi wa Taasisi ambapo atakua amepatikana na hatia mahakamani kwa kosa la jinai ambalo kosa hilo pia ni kosa la kinidhamu kwa tuhuma zilezile na ushahidi ule ule, itahesabiwa kuwa amepatikana na hatia kwa makosa ya kinidhamu, hivyo mamlaka ya nidhamu haitaanzisha 39 Kanuni Za Watumishi Wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili Tangazo la Serikali Na. 819 (Linaendelea.) Taratibu za nidhamu Kupumzishwa kazi Kusimamishwa kazi upya shitaka hilo bali itampa notisi ikimtaka ajieleze kwanini asipewe adhabu iliyokusudiwa kwa kosa hilo na ikishajibiwa mamlaka ya nidhamu itaendelea kwa kutoa adhabu. - 69 Verify source ↗
Taratibu za nidhamu
AI-assisted research summary: Mtumishi anayetuhumiwa hapaswi kuadhibiwa kabla ya taratibu za nidhamu za kisheria kukamilika.
69. Ili haki ionekane inatendeka kabla na wakati wa kushughulikia masuala ya nidhamu, mtumishi anayetuhumiwahatopewa adhabu kabla ya taratibu za nidhamu kwa mujibu wa sheria hazijafanyika - 70 Verify source ↗
Kupumzishwa kazi
AI-assisted research summary: Mtumishi anaweza kupumzishwa kazi kwa muda usiozidi siku 90 ili kulinda ushahidi au uchunguzi, na akipumzishwa atalipwa angalau nusu ya mshahara wake na haruhusiwi kuondoka kituoni bila idhini ya mamlaka ya nidhamu.
70.-(1) Mtumishi anaweza kupumzishwa bila kusimamishwa kazi na bila kuathiri maslahi yake, lengo ni kuzuia kuharibu ushahidi au uchunguzi au kuzuia kosa lisiendelee kutendeka wakati uchunguzi wa awali ukifanyika, kwa muda usiozidi siku tisini. (2) Mtumishi atapumzishwa kazi baada ya kupewa hati ya mashtaka na hatua hii itafanyika baada ya mamlaka ya nidhamu kujiridhisha kuwa mtumishi anatuhuma za kujibu. (3) Mtumishi aliyepumzishwa kazi atalipwa sio chini ya nusu ya mshahara wake na hatoruhusiwa kutoka nje ya kituo chake cha kazi bila idhini ya mamlaka yake ya nidhamu. - 71 Verify source ↗
Kusimamishwa kazi
AI-assisted research summary: Mtumishi akipatikana na hatia ya kosa la jinai, mamlaka ya nidhamu lazima imsitishe kazi wakati shauri la nidhamu linaendelea. Mtumishi aliyesimamishwa kazi baada ya kuhukumiwa na mahakama hapati mshahara, bali anaweza kulipwa posho isiyozidi theluthi moja ya mshahara wake kwa mwezi.
71.-(1) Mtumishi atakayekutwa na hatia kwa kosa la jinai, mamlaka yake ya nidhamu inatakiwa kumsimamisha kazi mtumishi huyo kwa muda ambao atakuwa anasubiria kukamilishwa kwa shauri lake la nidhamu. (2) Mtumishi aliyesimamishwa kazi baada ya mahakama kumtia hatiani kwa kosa jinai hatalipwa mshahara bali atalipwa posho isiyozidi theluthi moja ya mshahara wake kwa mwezi. la Hati ya mashtaka na taarifa - 72 Verify source ↗
Hati ya mashtaka na taarifa
AI-assisted research summary: Disciplinary authorities must prepare and sign a charge sheet, make the allegations and alleged violated rule clear, and attach notice asking the accused employee to submit a written defence within 14 days.
72.-(1) Hati ya Mashitaka itaandaliwa na kusainiwa na mamlaka ya nidhamu, na itatakiwa kuonyesha kwa ufasaha kosa na kifungu cha Sheria au Kanuni kinachodaiwa kukiukwa na mtumishi 40 Kanuni Za Watumishi Wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili Tangazo la Serikali Na. 819 (Linaendelea.) anayetuhumiwa. (2) Hati ya Mashitaka ni lazima iainishe kwa ufasaha maelezo ya mashtaka ili kumuwezesha mtumishi anayetuhumiwa kuweza kujua tuhuma zinazomkabili ili aweze kujitetea ipasavyo. (3) Hati ya Mashitaka itaambatana na notisi ya kumtaka mtumishi anayetuhumiwa kuwasilisha utetezi wake kwa maandishi ndani ya siku kumi na nne kama muongozo wa Tume ya Utumishi wa Umma unavyoelekeza. (4) Hakuna mashitaka au mwenendo wa mashitaka utakaokuwa batili kwa sababu ya mapungufu ya hati ya mashitaka isipokuwa mapungufu hayo yanaweza kurekebishwa ndani ya tarehe ambayo mtumishi siku anayetuhumiwa alipopokea hati ya mashitaka. thelathini tangu Mapokezi ya hati ya mashitaka Kamati ya uchunguzi anayetuhumiwa - 73 Verify source ↗
Mapokezi ya hati ya mashitaka
AI-assisted research summary: Mamlaka ya nidhamu lazima ihakikishe hati ya mashitaka imemfikia mtumishi, na ikiwa mahali alipo hakujulikani, itumwe kwa mahali alipoishi au anwani yake ya mwisho.
73. Mamlaka ya nidhamu lazima ihakikishe amepokea hati ya mtumishi mashtaka na pale ambapo haijulikani alipo mtumishi anayetuhumiwa hati ya mshataka ipelekwe mahali ambapo mtumishi husika alikuwa akiishi au kuituma kupitia anuani yake ya mwisho - 74 Verify source ↗
Kamati ya uchunguzi
AI-assisted research summary: A disciplinary authority must form an investigation committee in the listed cases, but if the accused employee’s defence amounts to an admission of the charges, it need not conduct another investigation or form a committee and may continue to punish the employee.
74.-(1) Kamati ya Uchunguzi itaundwa pale ambapo mtumishi anayetuhumiwa amekana tuhuma zinazomkabili wakati akijibu hati ya mashitaka au iwapo ataamua kukaa kimya au atashindwa kujitetea kwa maandishi ndani ya muda aliopewa katika taarifa ya kusudio la kuchukuliwa hatua za kinidhamu au amejitetea lakini utetezi wake aukidhi kuwa utetezi wa tuhuma zinazomkabili. (2) Endapo mamlaka ya nidhamu itaridhika kuwa utetezi uliotolewa na mtumishi anayetuhumiwa unaonesha kukiri mashitaka makosa yanayomkabili, mamlaka ya nidhamu haitalazimika kufanya uchunguzi mwingine au kuunda kamati ya uchunguzi kuhusu makosa aliyotuhumiwa nayo mtumishi, badala yake, itaendelea kutoa adhabu kana kwamba 41 Kanuni Za Watumishi Wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili Tangazo la Serikali Na. 819 (Linaendelea.) mtuhumiwa amepatikana na hatia baada ya uchunguzi wa Kamati ya Uchunguzi. Sifa za wajumbe wa kamati ya uchunguzi - 75 Verify source ↗
Sifa za wajumbe wa kamati ya uchunguzi
AI-assisted research summary: Wajumbe wa Kamati ya Uchunguzi wanapaswa kuteuliwa kwa kuzingatia sifa zilizoorodheshwa na idadi yao iwe kati ya wawili na wanne.
75. Wajumbe wa Kamati ya Uchunguzi watateuliwa kwa kuzingatia sifa zifuatazo: (a) awe mwenye cheo cha uandamizi au Taratibu za uendeshaji uchunguzi zaidi; (b) awe na cheo cha ngazi ya juu kuliko cha mtuhumiwa; (c) muundo wa kamati uzingatie jinsia; (d) wajumbe wasiopungua wawili na wasiozidi wanne. - 76 Verify source ↗
Taratibu za uendeshaji uchunguzi
AI-assisted research summary: Kamati ya Uchunguzi lazima imjulishe mtumishi kwa maandishi kuhusu kikao chake, na mtumishi anatakiwa kuhudhuria na kusikiliza tuhuma, isipokuwa akiwa na sababu ya msingi ya kutofika au kutowakilishwa.
76.-(1) Kamati ya Uchunguzi itamjulisha mtumishi kwa maandishi kuhusu siku, muda na sehemu ambapo kamati itakutana. (2) Mtumishi atatakiwa kuhudhuria mbele ya kamati ya uchunguzi na kusikiliza tuhuma zilizowasilishwa dhidi yake, kusikilizwa na kuhoji mashahidi isipokuwa pale ambapo atatoa sababu ya msingi ya kutokufika kwake au kushindwa kuwakilishwa. Hata hivyo kama hakuna sababu ya msingi aliyotoa mtuhumiwa haitaathiri kazi ya kamati na hivyo itaendelea na uchunguzi wake. (3) Kamati ya uchunguzi inaweza kuruhusu mtumishi anayetuhumiwa na mamlaka ya nidhamu kuwakilishwa na mtumishi wa Taasisi au umma au wakili au mwakilishi wa chama cha wafanyakazi kwa upande wa mtumishi au mwakilishi wa chama cha waajiri kwa upande wa mamlaka ya nidhamu. (4) Iwapo wakati wa uchunguzi kutajitokeza ushahidi mpya unaohitaji kuwepo kwa tuhuma mpya, kamati ya uchunguzi itatakiwa kuijulisha mamlaka ya nidhamu ili iweze kuandaa hati ya mashtaka kwa tuhuma hizo, ili mtumishi anayetuhumiwa aweze kupewa fursa ya kujitetea dhidi ya tuhuma hizo mpya na ndipo kamati ya uchunguzi iendelee na uchunguzi. (5) Kamati ya Uchunguzi itajiwekea yenyewe 42 Kanuni Za Watumishi Wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili Tangazo la Serikali Na. 819 (Linaendelea.) utaratibu wake wa namna ya uendeshaji wa uchunguzi. (6) Uchunguzi utaanza kufanyika ndani ya muda usiozidi siku sitini tangu tarehe ambayo mtumishi anayetuhumiwaalipewa hati ya shitaka au mashitaka. Endapo muda huo utaisha kabla ya kukamilisha uchunguzi, kamati ya uchunguzi itaomba mamlaka ya nidhamu iongeze muda na mamlaka ya nidhamu itaongeza muda isipokuwa muda ulioongezwa hautazidi siku thelathini. Endapo muda unaohitajika ni zaidi ya siku thelathini basi kibali cha muda wa nyongeza kinatakiwa kuombwa kwa Katibu Mkuu (Utumishi). Haki za mtumishi anaechunguzwa
Part
sehemu ambapo kamati itakutana.
- 77 Verify source ↗
Haki za mtumishi anaechunguzwa
AI-assisted research summary: Mtumishi anayetuhumiwa ana haki ya kuhoji mwajiri na mashahidi, kukagua vielelezo vinavyotumika dhidi yake, kuleta mashahidi na vielelezo vyake, kuwakilishwa, na kuwepo wakati wa mahojiano ya kamati ya uchunguzi.
77. Mtumishi kutuhumiwa atakuwa na haki ya- anayechunguzwa au (a) kuhoji mwajiri na mashahidi wake (b) kupewa kuhakiki na vielelezo Kuhitimishwa kwa uchunguzi vilivyotolewa kama ushahidi dhidi yake (c) kuleta mashahidi wake na kuwasilisha vielelezo (d) kuwakilishwa na mtumishi wa umma au wakili au mwakilishi wa chama cha wafanyakazi; na (e) mtumishi anayetuhumiwa au mwakilishi wake anapaswa kuwepo muda wote wa mahojiano na kamati ya uchunguzi - 78 Verify source ↗
Kuhitimishwa kwa uchunguzi
AI-assisted research summary: After the investigation is completed, the investigation committee must send its conduct of the investigation and its report to the disciplinary authority.
78.-(1) Baada ya kukamilika kwa uchunguzi, kamati ya uchunguzi itawasilisha mwenendo wa uchunguzi na taarifa ya uchunguzi kwa mamlaka ya nidhamu. (2) Taarifa ya Kamati ya uchunguzi itatakiwa kukidhi vigezo vifuatavyo- (a) itamke kama, kwa maoni ya kamati ya uchunguzi tuhuma dhidi ya mtumishi anayetuhumiwa zimethibitishwa au la na kutoa sababu za maoni hayo; (b) hitimisho ya taarifa lazima ibainishe kwa 43 Kanuni Za Watumishi Wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili Tangazo la Serikali Na. 819 (Linaendelea.) ufasaha mazingira yote yaliosababisha kamati kuhitimisha kuwa mtumishi ana hatia au hana hatia; dhidi (c) itamke jambo ambalo kwa maoni ya kamati inaongeza au kupunguza uzito wa tuhuma mtumishi anayetuhumiwa (kwa mfano, rekodi ya nyuma kujirudiarudia kwa makosa, hali ya mtumishi anayetuhumiwa mwenyewe na muda wa utumishi wake); ya (d) Kamati ya Uchunguzi isipendekeze aina ya adhabu inayostahili kuchukuliwa dhidi ya mtumishi anayetuhumiwa. Utoaji wa adhabu - 79 Verify source ↗
Utoaji wa adhabu
AI-assisted research summary: Mamlaka ya nidhamu inapaswa kutoa uamuzi na kumjulisha mtumishi anayetuhumiwa ndani ya siku 30 baada ya kupokea taarifa ya uchunguzi.
79.-(1) Mara baada ya kupokea taarifa ya Kamati ya Uchunguzi, mamlaka ya nidhamu baada ya kutafakari ripoti hiyo inapaswa kutoa uamuzi na kumjulisha mtumishi anayetuhumiwa kuhusu uamuzi huo ndani ya muda wa siku thelathini kuanzia tarehe ya kupokea taarifa ya uchunguzi., kushindwa kutoa uamuzi ndani ya siku thelathini kutatafsiriwa kuwa mtumishi kama inavyoelekezwa katika Kanuni za Utumishi wa Umma. anayetuhumiwa hatia hana (2) Katika maamuzi yake mamlaka ya nidhamu inawajibika kutoa sababu za maamuzi hayo na kumjulisha mtumishi anayetuhumiwa haki, muda na mamlaka yake ya rufaa. Mamlaka za rufaa - 80 Verify source ↗
Mamlaka za rufaa
AI-assisted research summary: This section says appeal authority for the Executive Director is under the President, and for employees whose disciplinary authority is the Board of Trustees, Executive Director, Department Director, or Unit Head, it is under the Civil Service Commission.
80.-(1) Mamlaka ya rufaa kwa Mkurugenzi Mtendaji itakuwa chini ya Rais. (2) Mamlaka ya rufaa kwa watumishi ambao mamlaka yao ya nidhamu ni Bodi ya Wadhamini au Mkurugenzi Mtendaji au Mkurugenzi wa Idara au Mkuu wa Kitengo itakuwa chini ya Tume ya Utumishi wa Umma. Muda wa kukata rufaa - 81 Verify source ↗
Muda wa kukata rufaa
AI-assisted research summary: Mtumishi asiyeridhika na uamuzi wa Mamlaka ya Nidhamu ana haki ya kukata rufaa kwa mamlaka husika ya rufaa ndani ya siku 30.
81. Mtumishi ambaye atakuwa hajaridhika na uamuzi uliotolewa na Mamlaka yake ya Nidhamu 44 Kanuni Za Watumishi Wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili Tangazo la Serikali Na. 819 (Linaendelea.) atakuwa na haki ya kukata rufaa kwenye mamlaka husika ya rufaa ndani ya siku 30 kutoka tarehe ya uamuzi wa Mamlaka ya Nidhamu au tarehe anayoyalalamikia aliyofahamu kuwa maamuzi yametolewa Kukoma kwa ajira na malipo ya mafao - 82 Verify source ↗
Kukoma kwa ajira na malipo ya mafao
AI-assisted research summary: Ajira ya mtumishi katika Taasisi inaweza kuisha kwa sababu kama kufukuzwa kazi, kifo, kustaafu, kujiuzulu, kumalizika kwa mkataba, au kuacha kazi.
82. Ajira ya mtumishi katika Taasisi inaweza kukoma kutokana na sababu zifuatazo: (a) kufukuzwa kazi kwasababu ya makosa ya kinidhamu; (b) kufukuzwa kazi kwasababu ya utendaji mbovu; (c) kifo; (d) kustaafu; (e) kujiuzulu; (f) muda wa mkataba kuisha; na (g) kuacha kazi. Watumishi waliothibitishwa kazini - 83 Verify source ↗
Watumishi waliothibitishwa kazini
AI-assisted research summary: Mtumishi aliye tayari amethibitishwa anaweza kushushwa mshahara, kushushwa cheo, au kufukuzwa kazi kwa utendaji mbovu au makosa ya kinidhamu.
83. Mtumishi ambaye tayari amethibitishwa katika ajira yake anaweza kushushwa mshahara, kushushwa cheo au kufukuzwa kazi kutokana na utendaji mbovu au makosa mengine ya kinidhamu. Endapo Mtumishi huyo atafukuzwa kazi atastahili mafao yafuatayo: (a) malipo yoyote kwa mujibu wa sheria kwa kazi aliyofanya kabla ya kufukuzwa; (b) mafao husika kutoka mfuko wa pensheni kwa mujibu wa sheria za mfuko husika; ya (c) fedha siku zilizolimbikizwa na mwajiri; badala likizo za (d) malipo ya nauli kwa ajili yake, mwenza na watoto wasiozidi wanne na gharama za kusafirisha mizigo kutoka kituo cha kazi hadi nyumbani kwake; (e) mafao mengine anayostahili kwa mujibu wa sheria, kanuni na taratibu zilizopo. Mtumishi aliye katika kipindi cha majaribio - 84 Verify source ↗
Mtumishi aliye katika kipindi cha majaribio
AI-assisted research summary: Taasisi inaweza kumfukuza kazi mtumishi aliye katika muda wa majaribio.
84. Taasisi inaweza kumfukuza kazi mtumishi aliye katika muda wa majaribio kutokana 45 Kanuni Za Watumishi Wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili Tangazo la Serikali Na. 819 (Linaendelea.) Mtumishi kujiuzulu kazi Kujiuzulu kazi kwa mtumishi aliye katika majaribio Kustaafu kwa hiari na utendaji mbovu kwa mujibu wa sheria za kazi. - 85 Verify source ↗
Mtumishi kujiuzulu kazi
AI-assisted research summary: A confirmed employee may resign by giving 28 days’ written notice, or by paying salary if short notice is given.
85. Mtumishi aliyethibitishwa kazini anaweza kujiuzulu kazi kwa kutoa notisi ya siku 28 kwa maandishi akieleza nia yake ya kutaka kuacha kazi katika Taasisi au kwa kulipa mshahara kwa mujibu wa sheria na kanuni endapo atatoa notisi fupi. Mtumishi huyo atastahili mafao yafuatayo: (a) mafao kutoka mfuko husika wa pensheni kwa mujibu wa sheria za mfuko husika; (b) fedha kwa ajili ya siku za zilizolimbikizwa na mwajiri; likizo (c) malipo ya nauli kwa ajili yake, mwenza wake na watoto wasiozidi wanne na gharama za kusafirisha mizigo kutoka kituo cha kazi hadi nyumbani kwake. - 86 Verify source ↗
Kujiuzulu kazi kwa mtumishi aliye katika majaribio
AI-assisted research summary: Mtumishi aliye katika majaribio anaweza kuacha kazi ya Taasisi kulingana na sheria, kanuni, na taratibu za utumishi.
86. Mtumishi aliye katika majaribio anaweza kuacha kazi ya Taasisi kwa mujibu wa sheria, kanuni na taratibu za utumishi. - 87 Verify source ↗
Kustaafu kwa hiari
AI-assisted research summary: Mtumishi wa kudumu anaweza kuomba kustaafu kwa hiari baada ya kutoa taarifa ya maandishi ya angalau miezi sita, na ombi lake lazima liidhinishwe na mamlaka ya ajira.
87.-(1) Baada ya kutoa taarifa ya muda usiopungua miezi sita kwa maandishi, mtumishi aliyeajiriwa kwa masharti ya kudumu anaweza kuomba kustaafu kwa hiari baada ya kufikisha umri wa kustaafu kwa hiari kwa mujibu wa sheria, kanuni taratibu na kustaafu kwake kutategemea na kuidhinishwa kwa maombi yake na mamlaka ya ajira. (2) Mtumishi huyo atalipwa mafao yafuatayo: (a) malipo yote kwa mujibu wa sheria kwa kazi aliyofanya kabla ya kustaafu kazi; (b) mafao ya pensheni kutoka mfuko husika wa pensheni kwa mujibu wa sheria za mfuko husika; (c) malipo ya nauli kwa ajili yake, mwenza na watoto wasiozidi wanne na gharama za kusafirisha mizigo kutoka kituo cha kazi hadi nyumbani kwake; 46 Kanuni Za Watumishi Wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili Tangazo la Serikali Na. 819 (Linaendelea.) Kustaafu kwa lazima Kustaafu kwa sababu za ugonjwa (d) fedha kwa ajili ya siku za zilizolimbikizwa na mwajiri. likizo - 88 Verify source ↗
Kustaafu kwa lazima
AI-assisted research summary: Mfanyakazi wa kudumu lazima astaafu anapofikisha umri wa kisheria wa kustaafu na atoe taarifa ya kustaafu angalau miezi sita kabla ya tarehe hiyo.
88.-(1) Mtumishi aliyeajiriwa kwa masharti ya kudumu atastaafu ajira ya Taasisi baada ya kufikisha umri wa kustaafu kisheria. Mtumishi huyo atatakiwa kutoa taarifa ya kustaafu angalau miezi sita kabla ya tarehe yake ya kustaafu. Iwapo mtumishi huyo atashindwa kutoa taarifa hiyo, Taasisi inaweza kumkumbusha kwa maandishi juu ya tarehe yake ya kustaafu angalau miezi sita kabla ya kustaafu kazi. (2) Mtumishi huyo atastahili mafao yafuatayo: (a) mafao ya pensheni kutoka mfuko husika wa pensheni kwa mujibu wa sheria za mfuko husika; (b) malipo ya nauli kwa ajili yake, mwenza na watoto wasiozidi wanne na gharama za kusafirisha mizigo kutoka kituo cha kazi hadi nyumbani kwake; (c) fedha kwa ajili ya siku za likizo zilizolimbikizwa na mwajiri. - 89 Verify source ↗
Kustaafu kwa sababu za ugonjwa
AI-assisted research summary: If doctors confirm an employee cannot perform their duties because of illness, the employee may be retired for illness and paid listed termination benefits.
89. Iwapo jopo la madaktari litathibitisha kwamba mtumishi hawezi kutekeleza kazi zake kwa sababu inaweza kumstaafisha mtumishi husika kwa sababu ya ugonjwa na mtumishi huyo atalipwa mafao yafuatayo ya kukoma kwa ajira: ugonjwa, menejimenti ya (a) malipo yoyote kwa mujibu wa sheria kwa kazi aliyofanya kabla ya kustaafishwa kazi; (b) mafao ya pensheni kutoka mfuko husika wa pensheni; (c) malipo ya nauli kwa ajili yake, mwenza na watoto wasiozidi wanne na gharama za kusafirisha mizigo kutoka kituo cha kazi hadi nyumbani kwake; na (d) fedha kwa ajili ya siku za likizo 47 Kanuni Za Watumishi Wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili Tangazo la Serikali Na. 819 (Linaendelea.) zilizolimbikizwa na mwajiri. Kifo - 90 Verify source ↗
Kifo
AI-assisted research summary: Employment at the institution ends when an employee dies, and the deceased employee’s family is to be paid benefits under the law.
90.-(1) Ajira katika Taasisi itafikia kikomo kutokana na kifo cha mtumishi. (2) Familia ya marehemu italipwa mafao kwa mujibu wa sheria, ikiwemo- (a) malipo yoyote kwa mujibu wa sheria kwa kazi aliyofanya kabla ya kifo; (b) mafao kutoka mfuko husika wa pensheni; (c) fedha kwa ajili ya siku za likizo zilizolimbikizwa na mwajiri; kwa ya ajili nauli familia/wanafamilia na gharama za kusafirisha mizigo kutoka kituo cha kazi hadi nyumbani kwake; (d) malipo ya (e) msaada wa mazishi. Mwisho wa mkataba - 91 Verify source ↗
Mwisho wa mkataba
AI-assisted research summary: Kwa watumishi wa mkataba wa muda maalum, ajira katika Taasisi hukoma mkataba unapofikia mwisho isipokuwa kama mkataba wa ajira unasema vingine. Mtumishi aliyefikia mwisho wa mkataba hulipwa mafao yaliyoorodheshwa.
91.-(1) Ajira katika Taasisi itakoma baada ya kufika mwisho wa mkataba wa mtumishi kwa watumishi wenye mkataba wa muda maalum isipokuwa kama inavyoelezwa kwenye mkataba wa ajira. utatolewa mwingine kama (2) Mtumishi ambaye mkataba wake umefika mwisho atalipwa mafao yafuatayo: (a) malipo yoyote kwa mujibu wa sheria kwa kazi aliyofanya kabla ya mkataba kuisha; (b) mafao kutoka mfuko husika wa pensheni kwa mujibu wa sheria za mfuko husika; (c) fedha kwa ajili ya siku za likizo ambazo zimelimbikizwa na mwajiri; (d) malipo ya nauli kwa ajili yake, mwenza na watoto wasiozidi wanne na gharama za kusafirisha mizigo kutoka kituo cha kazi hadi nyumbani kwake. Madeni - 92 Verify source ↗
Madeni
AI-assisted research summary: The institution must not authorize payment to an employee who has debts until the employee pays the debt or shows proof of a repayment agreement.
92. Taasisi haitaidhinisha malipo yoyote kwa mtumishi mwenye madeni hadi atakapolipa au kupata uthibitisho wa makubaliano ya namna deni litakavyolipwa 48 Kanuni Za Watumishi Wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili Tangazo la Serikali Na. 819 (Linaendelea.) Kukabidhi mali za taasisi - 93 Verify source ↗
Kukabidhi mali za taasisi
AI-assisted research summary: Mtumishi anapofikia mwisho wa ajira yake lazima akabidhi mali za taasisi na kuwasilisha fomu za makabidhiano kabla ya kuondoka.
93.-(1) Pindi ajira ya mtumishi inapofikia kikomo mtumishi atapaswa kukabidhi mali za vya Taasisi, Taasisi vitambulisho vya bima ya afya pamoja na vya wategemezi, kitabu cha hundi (kama anacho) na zana za kazi. vitambulisho ikiwemo (2) Mtumishi za makabidhiano na kuiwasilisha kwa Mkurugenzi wa Rasilimali Watu na Utawala kabla ya kuondoka. atakamilisha fomu Cheti cha utumishi - 94 Verify source ↗
Cheti cha utumishi
AI-assisted research summary: Mtumishi ambaye ajira yake imefikia kikomo katika Taasisi anaweza kupewa cheti cha utumishi kilichosainiwa na Mkurugenzi Mtendaji.
94. Mtumishi ambaye ajira yake imefikia kikomo katika Taasisi anaweza kupatiwa cheti cha utumishi ambacho kitatiwa saini na Mkurugenzi Mtendaji. Ukomo wa muda wa madai SEHEMU YA NANE MASHARTI MENGINEYO
Part
SEHEMU YA NANE
- 95 Verify source ↗
Ukomo wa muda wa madai
AI-assisted research summary: Mtumishi wa Taasisi lazima awasilishe madai yake anayostahili ndani ya miezi 12; madai yanayowasilishwa baadaye kwa kawaida hayatazingatiwa, isipokuwa kuna mazingira maalumu yanayothibitishwa na afisa husika wa juu.
95.-(1) Mtumishi wa Taasisi atawasilisha madai yake yoyote anayostahili katika kipindi kisichozidi miezi kumi na mbili. (2) Madai yoyote yatakayowasilishwa katika Menejimenti baada ya kipindi cha miezi kumi na mbili kupita basi yatahesabika kama yamepitwa na wakati na hayatafikiriwa isipokuwa pale Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi au mamlaka nyingine ya juu ya utumishi wa umma itakapojiridhisha kuwa kuna mazingira maalumu yaliyosababisha kushindwa kufuatilia madai hayo ndani ya kipindi cha miezi kumi na mbili. Fidia ya kuumia kazini Sura ya 263 - 96 Verify source ↗
Fidia ya kuumia kazini
AI-assisted research summary: Mtumishi anayejiumiza kazini, au akiwa nje ya Taasisi wakati akitekeleza, akitoka kutekeleza, au akienda kutekeleza shughuli za Taasisi, anapaswa kufidiwa au kushughulikiwa kwa mujibu wa Sheria ya Fidia kwa Wafanyakazi.
96. Mtumishi akiumia kazini au akiwa nje ya Taasisi akitekeleza au akitoka kutekeleka au akienda kutekeleza shughuli za Taasisi, atafidiwa au kushughulikiwa kwa mujibu wa Sheria ya Fidia kwa Wafanyakazi. Majalada na nyaraka za taasisi - 97 Verify source ↗
Majalada na nyaraka za taasisi
AI-assisted research summary: Watumishi lazima washughulikie na kulinda majalada na nyaraka kwa kufuata sheria hizi; baadhi ya taarifa za binafsi au siri zina vizuizi maalum.
97.-(1) Majalada na nyaraka zote katika 49 Kanuni Za Watumishi Wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili Tangazo la Serikali Na. 819 (Linaendelea.) Taasisi zitabaki kuwa mali ya Taasisi. (2) watashughulikia mzunguko wa majalada na nyaraka. kumbukumbu Watumishi walioidhinishwa kusimamia na (3) Mtumishi hataruhusiwa kushika jalada lake binafsi. Iwapo jalada litahitajika, mtumishi husika atawasiliana na Mkurugenzi wa Rasilimali watu kwa ajili ya msaada. (4) Mawasiliano binafsi yote ambayo ni rasmi yatafanyika kupitia majalada binafsi. Taarifa katika majalada binafsi hazitatolewa kwa watu wasiohusika. (5) Majalada yote ya siri yatahifadhiwa kwa kufungiwa kwenye masijala ya siri. (6) Majalada ya siri yatashughulikiwa yakiwa yamehifadhiwa kwenye bahasha. (7) Mtumishi atakayekiuka kanuni hizi atachukuliwa hatua za kinidhamu kwa mujibu wa sheria, kanuni na taratibu za utumishi wa umma. - 98 Verify source ↗
Kuingiza taarifa binafsi za mtumishi
AI-assisted research summary: Mtumishi lazima amuarifu Mkurugenzi Mtendaji kuhusu mabadiliko ya taarifa binafsi; Mkurugenzi wa Rasilimali watu lazima awezeshe kuingiza kumbukumbu binafsi kwenye majalada husika.
98.-(1) Ni wajibu wa mtumishi kumtaarifu Mkurugenzi Mtendaji juu ya mabadiliko ya taarifa binafsi kama vile majina, anuani, wategemezi, warithi, hali ya ndoa na anuani ya dharura. (2) Mkurugenzi wa Rasilimali watu atawezesha kuingiza kumbukumbu binafsi kwenye majalada husika. - 99 Verify source ↗
Biashara ndani ya taasisi
AI-assisted research summary: Biashara ndani ya taasisi hairuhusiwi isipokuwa kama imeidhinishwa na taasisi hiyo.
99.-(1) Biashara Taasisi isipokuwa kwa wafanyabiashara ndani ya hazitaruhusiwa walioidhinishwa na Taasisi. (2) Endapo itabainika kuwa biashara inafanyika pasipo idhini, hatua kali za kisheria zitachukuliwa kwa wahusika. Kuingiza taarifa binafsi za mtumishi Biashara ndani ya taasisi Pasi ya kusafiria na viza - 100 Verify source ↗
Pasi ya kusafiria na viza
AI-assisted research summary: The institution must help an employee get a passport, visa, or travel documents, and the employee on official travel abroad must pay passport-related costs; the institution or sponsor must pay visa and related costs for a work trip.
100.-(1) Taasisi itatoa msaada wa kiutawala kumwezesha mtumishi kupata pasi, viza au nyaraka zozote za kusafiria. (2) Pasi ya kusafiria ni mali binafsi, hivyo 50 Kanuni Za Watumishi Wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili Tangazo la Serikali Na. 819 (Linaendelea.) mtumishi anayesafiri kikazi nje ya nchi atawajibika kulipia gharama zinazohusiana na upatikanaji, ubadilishaji zozote gharama zinazohusiana na pasi yake. nyingine au Usalama Mashitaka ya kisheria dhidi ya mtumishi Makabidhiano ya kazi Uanachama kwenye vyombo vya kitaaluma au klabu (3) Taasisi au mfadhili atalipia viza na gharama nyingine husika kwa ajili ya mtumishi anayekwenda safari ya kikazi. - 101 Verify source ↗
Usalama
AI-assisted research summary: Taasisi lazima ihakikishe watumishi wote wanaelewa taratibu za usalama za dharura kama moto na mafuriko.
101. Taasisi itahakikisha kuwa watumishi wote wanaelewa taratibu za usalama kuhusiana na dharura kama vile moto na mafuriko. - 102 Verify source ↗
Mashitaka ya kisheria dhidi ya mtumishi
AI-assisted research summary: Taasisi lazima imsaidie mtumishi anayeshtakiwa kwa sababu ya cheo au kazi yake kwa kumpa mshauri wa sheria au wakili na kulipa gharama za utetezi; lakini ikithibitika mtumishi alikuwa mzembe na kusababisha shtaka la jinai, mtumishi hulipa gharama zake mwenyewe.
102.-(1) Ikitokea mtumishi anashitakiwa kwa kosa la jinai au la madai kutokana na cheo chake au itamsaidia kwa kuweka utendaji wake, Taasisi mshauri wa masuala ya Sheria au wakili na italipia gharama zote zinazohusu utetezi wa mtumishi. (2) Endapo itathibitika kwamba mtumishi amekuwa mzembe katika utendaji wake na kusababisha kushitakiwa kwa kosa la jinai, Taasisi haitahusika na mtumishi atalipa gharama za kesi mwenyewe. - 103 Verify source ↗
Makabidhiano ya kazi
AI-assisted research summary: Mtumishi lazima akabidhi kazi na majukumu yake kwa maandishi kwa mkuu wake wa kazi anapoondoka kazini kwa angalau siku tatu za kazi, na akirudi lazima pia ato ripoti ya maandishi.
103.-(1) Mtumishi atakabidhi kazi na majukumu yake kwa maandishi kwa mkuu wake wa kazi atakapoondoka kazini kwa muda usiopungua siku tatu za kazi. (2) Atakaporudi, mtumishi aliyekabidhiwa kazi atatoa pia ripoti kwa mkuu wake wa kazi kwa maandishi. - 104 Verify source ↗
Uanachama kwenye vyombo vya kitaaluma au klabu
AI-assisted research summary: Taasisi lazima ilipie michango ya mwaka ya uanachama ya watumishi wake kwenye mabaraza, bodi au vyama vyao vya kitaaluma, lakini si ya klabu kwa wafanyakazi.
104.-(1) Taasisi itawajibika kulipia michango ya mwaka ya uanachama wa watumishi kwenye mabaraza, bodi au vyama vyao vya kitaaluma. (2) Taasisi haitawajibika kulipia michango ya mwaka ya uanachama kwenye klabu kwa wafanyakazi. Baraza la wafanyakazi - 105 Verify source ↗
Baraza la wafanyakazi
AI-assisted research summary: Provision 105 says there must be at least 51 meetings each year, and attending members are paid a sitting allowance according to the existing government circular.
105.-(1) Kutakuwa na mikutano isiyopungua 51 Kanuni Za Watumishi Wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili Tangazo la Serikali Na. 819 (Linaendelea.) Gharama za matibabu ya mtumishi na wategemezi wake miwili ya Baraza la Wafanyakazi wa Taasisi kila mwaka kulingana na mkataba uliopo. (2) Wajumbe wanaohudhuria mikutano hiyo watalipwa posho ya kikao kulingana na waraka wa Serikali uliopo. - 106 Verify source ↗
Gharama za matibabu ya mtumishi na wategemezi wake
AI-assisted research summary: Mtumishi na wategemezi wake wanapaswa kupata matibabu kupitia bima ya afya, na kuna utaratibu wa taasisi kusaidia dawa na vipimo visivyolipiwa au visivyopatikana.
106.-(1) Matibabu kwa mtumishi na wategemezi wake yatatolewa kupitia mpango wa Bima ya Afya na kila mtumishi atakuwa mwanachama wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya. (2) Taasisi itaweka utaratibu mbadala wa kuwasaidia watumishi na wategemezi wao kupata huduma za matibabu ambayo hayatolewi na bima ya afya ili kuwawezesha kuendelea na matibabu yao. (3) Taasisi itaweka utaratibu wa kuhakikisha kwamba dawa zote wanazoandikiwa watumishi na wategemezi wao na zile ambazo hazipo kwenye orodha ya dawa muhimu zinazolipiwa na bima ya afya zinapatikana. (4) Watumishi hawataruhusiwa kununua dawa nje ya Taasisi na kudai kurejeshewa fedha watakazotumia kama watakuwa wamepata idhini ya Mkurugenzi Mtendaji kabla ya kufanya hivyo. isipokuwa (5) Utaratibu ulioelezwa katika kanuni ndogo ya (4) utatumika pia kwa ajili ya kupata dawa ambazo zipo kwenye orodha ya dawa muhimu lakini hazipatikani hapa kwenye Taasisi. (6) Vipimo vyote ambavyo vinafanyika katika Taasisi lakini havilipiwi na bima ya afya vitatolewa bure kwa watumishi na wategemezi wao waliopo kwenye mpango wa bima na Taasisi itagharamia vipimo vitakavyohitajika kwa ajili ya matibabu ya mtumishi na wategemezi wake kama havipo ndani ya Taasisi. (7) Mtumishi atakayeandikiwa kufanya kipimo ambacho hakipo ndani ya Taasisi atatakiwa kupata idhini ya Mkurugenzi Mtendaji kabla ya kufanya kipimo kinachohitajika nje ya Taasisi. 52 Kanuni Za Watumishi Wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili Tangazo la Serikali Na. 819 (Linaendelea.) Huduma kwa watumishi wa taasisi wenye ulemavu (8) Mkurugenzi Mtendaji anaweza kuelekeza kipimo mbadala ndani ya Taasisi kama ataona kinafaa kuchunguza ugonjwa unaomkabili mtumishi. - 107 Verify source ↗
Huduma kwa watumishi wa taasisi wenye ulemavu
AI-assisted research summary: Taasisi must provide services and support to employees with disabilities and help them obtain their rights.
107.-(1) Taasisi itawajibika kuwahudumia watumishi wenye ulemavu na kuwasaidia kupata haki zao. (2) Taasisi itahakikisha kwamba watumishi wenye ulemavu wanapata huduma zitakazowasaidia kutekeleza majukumu yao kikamilifu kama vile nyenzo na vifaa ili kuwasaidia kuongeza kiwango chao cha kujitegemea katika maisha yao ya kila siku. (3) Nyenzo na vifaa kwa ajili ya watumishi wenye ulemavu vitajumisha- (a) baiskeli za magurudumu matatu; (b) vifaa vya kuongeza usikivu; (c) mashine za maandishi ya nukta nundu kwa wasioona; (d) karatasi za maandishi ya wasioona; (e) fimbo nyeupe; (f) viungo vya bandia; (g) mashine maalumu za kupiga chapa; (h) miwani maalumu; (i) viatu maalum; na (j) magongo ya kutembelea. (4) Taasisi itasaidia katika matengenezo, ugawaji na ukarabati wa nyenzo na vifaa vya watumishi wenye ulemavu na kutoa mafunzo juu ya matumizi na matunzo yake. Matibabu nje ya nchi - 108 Verify source ↗
Matibabu nje ya nchi
AI-assisted research summary: Taasisi lazima ichangie gharama za matibabu ya mtumishi nje ya nchi, ikiwa itaelekezwa hivyo na Serikali kupitia Wizara ya afya.
108. Taasisi itachangia gharama za matibabu ya mtumishi nje ya nchi kama itakavyoelekezwa na Serikali kupitia Wizara yenye dhamana na masuala ya afya. Huduma za maiti - 109 Verify source ↗
Huduma za maiti
AI-assisted research summary: Huduma za kuhifadhi maiti na kutayarisha mwili wa mtumishi au wategemezi wake zinatolewa bure.
109. Huduma za kuhifadhi maiti na kutayarisha mwili wa mtumishi au wategemezi wake zitatolewa bure. 53 Kanuni Za Watumishi Wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili Tangazo la Serikali Na. 819 (Linaendelea.) Mikopo kwa watumishi - 110 Verify source ↗
Mikopo kwa watumishi
AI-assisted research summary: The institution may not give loans to employees; instead, it must help them obtain personal loans from financial institutions under government directions.
110.-(1) Taasisi haitatoa mikopo kwa watumishi itawadhamini kupata mikopo binafsi kutoka kwenye taasisi za fedha kwa mujibu wa maelekezo ya Serikali. lakini (2) Katika kujaribu kuwasaidia watumishi kumiliki mali na kuinua kipato chao, Taasisi itasaidia kwa kufuata sheria, miongozo na maelekezo ya Serikali au Bodi ya Wadhamini. (3) Mtumishi atapitishiwa maombi ya mkopo kwenye taasisi yoyote ile ya fedha kama itaonekana anabaki na theluthi moja ya mshahara wake baada ya wakati yanayotarajiwa makato atakapokuwa anarejesha mkopo wake. kufanyika (4) Mtumishi asiyekidhi kilichoainishwa katika kanuni ndogo ya hatapitishiwa maombi yake. kigezo (3) 54 Kanuni Za Watumishi Wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili Tangazo la Serikali Na. 819 (Linaendelea.) ____________ JEDWALI LA KWANZA ____________ (Limetengenezwa chini ya kanuni ya 67(b)) MAKOSA MEPESI AMBAYO YANAWEZA KUTOLEWA MAONYO AINA YA KOSA ADHABU INAYORUHUSIWA Kosa kwa mara ya pili Kosa kwa mara ya tatu kwa ya Kosa mara kwanza Onyo maandishi. la Onyo (Karipio). kali Onyo maandishi. la Onyo (Karipio). kali Onyo maandishi. la Onyo (Karipio). kali Onyo maandishi. la Onyo (Karipio). kali Onyo maandishi. la Onyo (Karipio). kali Onyo maandishi. la Onyo (Karipio). kali Kuzuia nyongeza au ongezeko la mshahara. Kuzuia nyongeza au ongezeko la mshahara. Kuzuia nyongeza la au ongezeko mshahara. Kuzuia nyongeza au ongezeko la mshahara. Kuzuia nyongeza au ongezeko la mshahara. Kuzuia nyongeza la au ongezeko mshahara. Kuchelewa kazini bila ruhusa au sababu ya msingi. Kutokuwepo eneo la kazi wakati wa saa za kazi. Kutokuwa kazini bila ruhusa. Siku mbili mfululizo. Kuchindwa kumaliza kazi. katika Uzembe kufanya kazi ambao hausababishi usalama wa watu au mali. Kushindwa kutekeleza maagizo au maelekezo kushindwa ambako siyo udhalilishaji. Mtumishi akifanya makosa haya kwa mara nne mfululizo au zaidi kutapelekea kuhesabika katika makosa mazito. 55 Kanuni Za Watumishi Wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili Tangazo la Serikali Na. 819 (Linaendelea.) _________ JEDWALI LA PILI _________ (Limetengenezwa chini ya kanuni ya 67(a)) MAKOSA MAZITO YANAYOWEZA KUSABABISHA MTUMISHI KUFUKUZWA KAZI, KUSHUSHWA CHEO AU KUSHUSHWA MSHAHARA a) Kutokuwepo sehemu ya kazi bila ruhusa au kutokuwa na sababu za kuridhisha kwa zaidi ya siku tano mfululizo za kazi. b) Kufanya au kurudia kitendo cha kutotii uongozi. c) Kuwa na tabia inayojirudia mara kwa mara ya kutokufanya kazi inayoridhisha. d) Kutokuwa mwaminifu au uvunjifu wowote mkubwa wa uaminifu. e) Kutokuwa na uwezo wa hali ya juu au upungufu wowote katika kufanya kazi. f) Kutokuwa na ujuzi ambao mfanyakazi alionyesha au alidai kuwa anao au kwa namna nyingine alikiri kuwa anao. g) Kusababisha uharibifu mkubwa wa mali (iliyopo na itakayokuwepo) au upotevu wa mali yoyote (zikiwemo mali za watumishi wengine au wateja) kwa uzembe au kwa uharibifu wa makusudi. h) Vitendo vya rushwa, wizi au kuwa na mali ya Taasisi bila ya kuwa na kibali au mali nyingine yoyote zikiwemo mali za watumishi wengine au wateja. i) Kutengeneza mazingira ya kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu, kughushi au kutumia vibaya fedha za Taasisi. j) Tabia mbaya, kushambulia, kutishia kushambulia ama tabia isiyokubalika dhidi ya wateja, watumishi wenza au wanajamii. k) Kuwa katika hali ya ulevi wa pombe au dawa za kulevya wakati wa kazi au kutumia kilevi l) au dawa za kulevya wakati wa kazi. kufanya shambulio lolote lisilo katika msingi wa haki au kusababisha ghasia, au mzozo mahali pa kazi au wakati akifanya kazi; m) Kuvuta sigara mahali ambapo Taasisi imepiga marufuku kwa sababu za kiusalama; n) Makosa ya jinai yanayoweza kuwa na madhara ya moja kwa moja au yasiyo ya moja kwa moja katika mahusiano ya kazi o) Kutoa taarifa yoyote au jambo lolote la kiufundi, kitaalam au suala lolote la siri bila kuwa na mamlaka au ruhusa ya kufanya hivyo na kuiathiri Taasisi. p) Kufanya kitendo chochote kilicho kinyume na maslahi ya umma wakati akiwa kwenye utumishi wa umma. q) Kukiuka kanuni za maadili na utendaji katika utumishi wa umma; maadili ya kitaaluma na maadili ya uongozi. r) Makosa mengine yenye uvunjifu mkubwa wa sheria, kanuni, taratibu au sera ambayo yana madhara yasiyorekebishika katika mahusiano ya kazi. Dar es Salaam, 17 Agosti , 2020 Mwenyekiti Bodi ya Wadhamini ya Taasisi 56
Provision text is displayed from LexChat’s stored statute record. Use the official source links to verify amendments, commencement, and current legal force.
Ask AI about this statute
Kanuni za Watumishi wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili za mwaka 2020
Sign in to ask AI about this statute
Sign in to start authenticated, citation-grounded statute research.
Sign in