Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba za Mwaka 2020
This section provides definitions for terms used in Part II on council meetings.
AI-assisted research synopsis — verify against the official legal text below.
- Jurisdiction
- Tanzania
- Instrument
- Regulation
- Citation
- Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba za Mwaka 2020
- Version
- Undated source snapshot
- Language
- sw
- Official source
- View official record ↗
Statute overview
About this statute
This section provides definitions for terms used in Part II on council meetings. This section is titled “Akidi katika mikutano ya Halmashauri” and appears under the part on meeting procedures. This section concerns the election of the Chairperson and Vice Chairperson of the Council. This section is about allowing people and the media to attend council meetings. This section is titled about the procedure for meeting business and indicates the text continues.
Search within this statute
Search all stored provisions in this version.
Legal text
Provisions of Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba za Mwaka 2020
Showing 71 of 71
- 2 Verify source ↗
Tafsiri ya misamiati iliyotumika
AI-assisted research summary: This section provides definitions for terms used in Part II on council meetings.
2. Tafsiri ya misamiati iliyotumika. SEHEMU YA II MIKUTANO YA HALMASHAURI
Part
SEHEMU YA II
- 8 Verify source ↗
Akidi katika mikutano ya Halmashauri
AI-assisted research summary: This section is titled “Akidi katika mikutano ya Halmashauri” and appears under the part on meeting procedures.
8. Akidi katika mikutano ya Halmashauri. SEHEMU YA III TARATIBU ZA MIKUTANO - 3 Verify source ↗
Section 3
AI-assisted research summary: Halmashauri ya Kawaida lazima ikutane mara moja kila baada ya miezi mitatu, na mkutano wa kwanza lazima uitishwe na Mkurugenzi ndani ya siku 30 baada ya matokeo ya uchaguzi kutangazwa.
3. (1) Mikutano ya Kawaida ya Halmashauri itafanyika mara moja kila baada ya miezi mitatu, na itafanyika mahali, tarehe na katika muda kama utakavyokuwa umepangwa katika kalenda ya 8 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba Tangazo Namba 834 (Linaendelea) mikutano ya Halmashauri. Mkutano wa wa kwanza Halmashauri (2) siku (a) Mkutano wa kwanza wa kawaida wa Halmashauri utafanyika baada ya Tume ya Uchaguzi kutangaza matokeo ya uchaguzi wa Madiwani wa Kata na uteuzi wa Madiwani wa Viti Maalumu na utafanyika katika muda na mahali, utakaopangwa na Mkurugenzi, ilimradi Mkurugenzi atapaswa kuitisha Mkutano huo ndani ya siku thelathini (30) kuanzia tarehe ya matokeo ya uchaguzi wa Madiwani wa Kata na Uteuzi wa madiwani Viti Maalum yanapotangazwa na Tume ya Uchaguzi ambapo moja ya ajenda za Mkutano huo ni kumchagua Mwenyekiti, Makamu Mwenyekiti na Wajumbe wa Kamati za Kudumu za Halmashauri. (b) Mkutano wa Kwanza wa Uchaguzi wa Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti utaongozwa na Katibu Tawala wa Wilaya na Mkurugenzi wa Halmashauri atakuwa Katibu. Mara baada ya Mwenyekiti na Makamu kupatikana, Mwenyekiti ataongoza zoezi la uundaji wa Kamati, na uchaguzi wa Wenyeviti wa Kamati za kudumu Mwenyekiti (c) Katika Mkutano huo Mkurugenzi wa Halmashauri atawasilisha Taarifa ya kumbukumbu ya maamuzi ya utekelezaji wa shughuli za Halmashauri zilizofanyika la katika kipindi madiwani lilivunjwa. Wajumbe wa Baraza watapokea na kujadili bila kubatilisha maamuzi yaliyokwisha amuliwa. ambacho Baraza 9 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba Tangazo Namba 834 (Linaendelea) Utaratibu wa uchaguzi Mkutano Maalum wa Halmashauri - 4 Verify source ↗
Section 4
AI-assisted research summary: This section sets rules for calling special council meetings, including a secret ballot for electing the Chairperson and Vice Chairperson.
4. (3) Uchaguzi wa Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti utafanyika kwa kupiga kura za siri na upigaji wa kura utafanyikia sehemu ya faragha umbali usiopungua mita tano (5) kutoka kwa Msimamizi wa Uchaguzi na mpigaji kura atachukua karatasi ya kupiga kura kutoka kwa Msimamizi wa Uchaguzi. (1) Mkutano Maalum wa Halmashauri unaweza kuitishwa na Mwenyekiti ndani ya siku ishirini na (21) baada ya kupokea maombi ya moja maandishi yaliyosainiwa na si pungufu ya theluthi moja ya Wajumbe wote kutaka Mkutano huo ufanyike na maombi hayo yaeleze wazi madhumuni ya kuitishwa kwa Mkutano Maalum huo. (2) Iwapo Mwenyekiti anakataa kuitisha Mkutano Maalum wa Halmashauri baada ya kupokea maombi ya kutakiwa kufanya hivyo,maombi yaliyosainiwa na Wajumbe wa Halmashauri wasiopungua theluthi moja ya Wajumbe wote wakionyesha sababu ya kuitisha Mkutano huo Maalum na kuwasilishwa kwake, au iwapo bila kukataa, Mwenyekiti, ndani ya kipindi cha siku saba ataendelea kutoitisha Mkutano huo Maalum baada ya kupokea ombi la kuitisha Mkutano huo Maalum, basi theluthi mbili ya Wajumbe waliotia saini na kuwasilisha kwa Mkurugenzi wanaweza kuitisha Mkutano huo Maalum mara moja. (3) Endapo itahusu ajenda ya Mkutano huo kumuondoa madarakani Mwenyekiti, Mkutano huo utaitishwa na Mkurugenzi baada ya kupokea na Wajumbe wa maombi Halmashauri wasiopungua theluthi mbili ya Wajumbe wote. yaliyosainiwa (4) Baada ya Mkurugenzi kupata taarifa ya kutaka 10 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba Tangazo Namba 834 (Linaendelea) kufanyika kwa Mkutano wa kujadili ajenda ya kumuondoa madarakani Mwenyekiti, Mkurugenzi atamtaarifu Mwenyekiti tuhuma na sababu za kutaka kuondolewa uenyekiti na kumtaka aandae majibu ya tuhuma ndani ya siku Tano (5) baada ya kupokea tuhuma hizo. (5) Mkurugenzi katika muda wa siku Tatu (3) baada ya kupokea maelezo ya utetezi kutoka kwa Mwenyekiti, atawasilisha kwa Mkuu wa Mkoa tuhuma pamoja na maelezo ya utetezi. (6) Mkuu wa Mkoa katika muda wa siku tano (5) taarifa ataunda Timu ya baada ya kupokea na wajumbe ambayo Uchunguzi wasiopungua watatu (3) na wasiozidi watano (5). itakuwa (7) Timu ya Uchunguzi itatakiwa kukamilisha Uchunguzi katika muda wa siku kumi na nne (14) na kuwasilisha taarifa hiyo kwa Mkuu wa Mkoa. (8) Baada ya Mkuu wa Mkoa kupata taarifa ya Timu ya Uchunguzi atairudisha Taarifa hiyo kwa Mkurugenzi wa Halmashauri ambaye naye katika muda wa siku kumi na Nne (14) ataiwasilisha kwenye Kikao cha Baraza kwa uamuzi wa tuhuma hizo. Kif cha 36(5) Sura 287 (9) Endapo Mwenyekiti hataridhika na uamuzi wa Baraza, atakata rufaa ndani ya siku kumi na nne (14) kuanzia tarehe ya maamuzi kwa Waziri kuhusu kumuondoa utaratibu madarakani na sio vinginevyo. uliotumika Utaratibu wa kuwasilisha rufaa (10) Utaratibu utakaotumika rufaa kuwasilisha iliyowasilishwa na kushughulikia na Mwenyekiti ni ule ulioelezwa kwenye Taratibu za Kumuondoa Madarakani Mwenyekiti wa Halmashauri wa Wilaya. 11 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba Tangazo Namba 834 (Linaendelea) (11) Taarifa ya Mkutano Maalum itatolewa angalau saa ishirini na nne kabla ya Mkutano. (12) Hakuna shughuli nyingine yoyote itakayojadiliwa katika Mkutano Maalum wa Halmashauri isipokuwa ile tu iliyoelezwa kwenye taarifa ya kuitishwa kwa Mkutano huo. Mkutano wa Bajeti - 6 Verify source ↗
Section 6
AI-assisted research summary: This section sets when certain council meetings must happen and who convenes or is notified about them.
6. (1) Kutakuwepo na Mkutano wa Halmashauri wa Bajeti utakaofanyika kwa muda wa siku mbili mfululizo na utafanyika miezi miwili kabla ya mwaka wa fedha kumalizika na utajadili mambo yafuatayo: - (a) Utekelezaji wa Mipango na Bajeti ya mwaka uliopita. (b) Mipango na Bajeti ya mwaka unaofuata. (i) Mkutano wa Mwaka wa Halmashauri utafanyika tarehe, mahali na muda utakaopangwa na Halmashauri katika kalenda ya Mikutano na utaitishwa na Mkurugenzi baada ya kuwasiliana na Mwenyekiti wa Halmashauri. (ii) Mikutano yote ya Baraza itapangwa na Baraza la Madiwani kwa kuzingatia ratiba ya Vikao vya ili kuwezesha Wabunge kuhudhuria Bunge Mikutano ya Baraza la Madiwani. Endapo italazimika kuitishwa kwa Mkutano wa Baraza wakati wa Vikao vya Bunge, Mkurugenzi atamjulisha au kuwajulisha Wabunge husika kuhusu kikao hicho ili wahudhurie. (2) Katika Mkutano wa kawaida wa mwaka, Halmashauri itajadili mambo yafuatayo: - (a) kumchagua Makamu wa Mwenyekiti, (b) kuteua Wajumbe wa Kamati za Kudumu; (c) kujadili taarifa ya utendaji na uwajibikaji 12 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba Tangazo Namba 834 (Linaendelea) Taarifa Mkutano za - 7 Verify source ↗
Section 7
AI-assisted research summary: Mkurugenzi lazima atoe taarifa ya mkutano kwa maandishi angalau siku 7 kabla kwa kila mjumbe, na taarifa iambatane na nyaraka muhimu. Kikao cha Halmashauri hakipaswi kushughulikia mambo yasiyo kwenye mwaliko, isipokuwa kwa idhini ya Mwenyekiti au angalau robo tatu ya wajumbe waliohudhuria.
7. wa Halmashauri kwa mwaka uliopita. (d) kupitisha ratiba ya vikao vya Halmashauri na Kamati za Halmashauri. (1) Mkurugenzi atatoa taarifa ya Mkutano kwa maandishi kwa kila Mjumbe katika muda usiopungua siku saba akieleza mahali, siku na saa na mambo unaokusudiwa ya Mkutano yatakayojadiliwa katika Mkutano huo. (2) (3) Taarifa ya Mkutano itaambatana na nyaraka au kumbukumbu muhimu zitakazotumika katika Mkutano huo. Isipokuwa kwa idhini ya Mwenyekiti na au ya idadi ya Wajumbe isiyopungua robo tatu ya Wajumbe waliohudhuria Mkutano, hakuna shughuli yoyote itakayofanywa katika Mkutano wa Halmashauri mbali na shughuli zilizotajwa katika mwaliko wa Mkutano huo. Akidi mikutano Halmashauri katika ya - 8 Verify source ↗
Section 8
AI-assisted research summary: Ordinary council meetings cannot proceed unless quorum is present; if quorum is not met, the Chair must adjourn and reconvene within seven days.
8. (1) Hakuna Mkutano wa kawaida wa Halmashauri utakaofanyika isipokuwa kama kutakuwepo idadi ya Wajumbe isiyopungua nusu ya Wajumbe wote waliohudhuria na kujiandikisha kwenye daftari la mahudhurio. (2) Akidi katika mikutano Maalum ya Halmashauri itakuwa ni theluthi mbili ya Wajumbe wote wa Halmashauri na itahesabiwa wakati wa ufunguzi wa Mkutano. (3) Akidi katika Mkutano wa kawaida wa mwaka na Mkutano wa kwanza wa Halmashauri itakuwa theluthi mbili ya Wajumbe wote wa Halmashauri. (4) Endapo Wajumbe waliohudhuria Mkutano hawatafikia akidi ya Mkutano, Mwenyekiti atauahirisha Mkutano huo na kuuitisha tena ndani 13 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba Tangazo Namba 834 (Linaendelea) yoyote ya siku saba (7) na endapo akidi haitatimia tena, idadi ya Wajumbe waliohudhuria itatengeneza akidi ya Mkutano na Mkurugenzi atamjulisha Waziri kuwepo kwa hali hiyo. SEHEMU YA III TARATIBU ZA MIKUTANO
Part
SEHEMU YA III
- 9 Verify source ↗
Uchaguzi wa Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri
AI-assisted research summary: This section concerns the election of the Chairperson and Vice Chairperson of the Council.
9. Uchaguzi wa Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri. - 12 Verify source ↗
Kuruhusu watu na Vyombo vya Habari kwenye Mikutano ya
AI-assisted research summary: This section is about allowing people and the media to attend council meetings.
12. Kuruhusu watu na Vyombo vya Habari kwenye Mikutano ya Halmashauri. - 13 Verify source ↗
Utaratibu wa shughuli za Mikutano
AI-assisted research summary: This section is titled about the procedure for meeting business and indicates the text continues.
13. Utaratibu wa shughuli za Mikutano. 1 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba Tangazo Namba 834 (Linaendelea) - 20 Verify source ↗
Hoja zinazoweza kutolewa bila taarifa
AI-assisted research summary: Kichwa hiki kinataja kuhusu hoja zinazoweza kutolewa bila taarifa.
20. Hoja zinazoweza kutolewa bila taarifa. - 26 Verify source ↗
Uhuru wa Kutoa mawazo wakati wa majadiliano
AI-assisted research summary: This section is about freedom of speech during deliberations.
26. Uhuru wa Kutoa mawazo wakati wa majadiliano. - 29 Verify source ↗
Mwaliko kwa wasiokuwa Wajumbe kushiriki na kuzungumza
AI-assisted research summary: This section concerns inviting non-members to attend and speak at council meetings.
29. Mwaliko kwa wasiokuwa Wajumbe kushiriki na kuzungumza kwenye vikao vya Halmashauri. - 31 Verify source ↗
Mihtasari kupelekwa kwa Mkuu wa Wilaya na Mkuu wa
AI-assisted research summary: Mihtasari lazima kupelekwa kwa Mkuu wa Wilaya na Mkuu wa Mkoa.
31. Mihtasari kupelekwa kwa Mkuu wa Wilaya na Mkuu wa Mkoa. - 35 Verify source ↗
Uhalali wa majadiliano ya Halmashauri
AI-assisted research summary: Section 35 concerns the legality of council deliberations.
35. Uhalali wa majadiliano ya Halmashauri. - 36 Verify source ↗
Uwezo wa Halmashauri kujigeuza kuwa Kamati ya
AI-assisted research summary: Halmashauri ina uwezo wa kujigeuza kuwa Kamati ya Halmashauri nzima.
36. Uwezo wa Halmashauri kujigeuza kuwa Kamati ya Halmashauri nzima. - 37 Verify source ↗
Hoja zinazohusu watumishi wa Halmashauri
AI-assisted research summary: This section concerns employees of the Council.
37. Hoja zinazohusu watumishi wa Halmashauri. - 39 Verify source ↗
Uahirishaji wa mikutano
AI-assisted research summary: Heading for section 39: postponement of meetings.
39. Uahirishaji wa mikutano. SEHEMU YA IV KAMATI - 9 Verify source ↗
Section 9
AI-assisted research summary: Section 9 sets the procedure for electing the Chairperson and Vice Chairperson by secret ballot.
9. (1) Uchaguzi wa Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri Mwenyekiti na Makamu wa Mwenyekiti watachaguliwa na Wajumbe, kutokana na Wajumbe wa Halmashauri kwa kura ya siri itakayopigwa na Mjumbe mmoja mmoja kwenye eneo la faragha litakalotengwa umbali usiopungua mita 5 kutoka mahali alipoketi Msimamizi wa Uchaguzi. (2) Mjumbe kabla ya kwenda sehemu ya faragha kwa ajili ya kupiga Kura, atapatiwa na Msimamizi wa Uchaguzi karatasi ya kupigia Kura kutoka kwenye chombo Maalum kitakachowekwa mbele ya Msimamizi wa Uchaguzi, na atakwenda moja kwa moja kupiga kura yake kwenye sehemu ya faragha. (3) Mtu atatangazwa kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti au Makamu wa Mwenyekiti iwapo atapata zaidi ya nusu ya kura zilizopigwa. (4) jina moja Iwapo wakati wa kumchagua Mwenyekiti au Makamu wa Mwenyekiti tu limependekezwa, Wajumbe watapiga kura za siri za “ndiyo” au “hapana” na endapo kura za “ndiyo” zitazidi asilimia hamsini ya kura zote zilizopigwa basi mgombea atatangazwa kuwa Mwenyekiti au Makamu wa Mwenyekiti. (5) Iwapo kura za “Hapana” zitazidi asilimia hamsini ya kura zote zilizopigwa, la mgombea mwingine litapendekezwa kwa njia na utaratibu jina 14 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba Tangazo Namba 834 (Linaendelea) Uongozaji wa ya Mikutano Halmashauri uliotumika hapo awali. (6) Iwapo kura zitafafana, uchaguzi utarudiwa kwa mara ya pili na endapo hata baada ya kurudia uchaguzi, kura zimefanana, Baraza litaamua kugawana muda wa kuwa madarakani kwa wagombea hao ambao kura zao zimefanana (7) Kama itatokea nafasi wazi ya Mwenyekiti au Makamu Halmashauri itamchagua Mwenyekiti au Makamu Mwenyekiti katika muda wa siku zisizozidi sitini tangu nafasi hiyo ilipotokea. wa Mwenyekiti, - 10 Verify source ↗
Section 10
AI-assisted research summary: This section sets rules for who chairs council meetings, what members wear, and how the Chairperson’s office time and meeting duties are handled.
10. (1) Mkutano wa Halmashauri utaongozwa na: (a) Mwenyekiti; au (b) kama Mwenyekiti hayupo, Makamu wa Mwenyekiti; au (c) Kama Mwenyekiti na Makamu wa Mwenyekiti wote hawapo, au kama Mwenyekiti na Makamu wa Mwenyekiti wote hawawezi kuongoza Mkutano, na Mjumbe yeyote Wajumbe kutoka miongoni mwa Wajumbe waliohudhuria kwa ajili ya kuongoza Mkutano huo; atachaguliwa (d) Wajumbe wawapo ndani ya ukumbi wa mikutano wa Halmashauri watavaa mavazi Maalum yaliyochaguliwa na kushonwa Maalum kwa ajili hiyo; (e) Endapo vazi Maalum lililochaguliwa na Halmashauri ni joho basi litavaliwa juu ya vazi la Mjumbe, na Endapo Halmashauri haina joho basi Mjumbe atavaa vazi la heshima, na mavazi kama jeans, kofia zisizohusiana na dini na sare za Chama cha siasa hazitaruhusiwa kuvaliwa wakati wa Mikutano ya Halmashauri na vikao 15 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba Tangazo Namba 834 (Linaendelea) vya Kamati za Kudumu za Halmashauri; (f) Vazi rasmi la Mwenyekiti na Mkurugenzi na Makamu Mwenyekiti litakuwa lenye kuonyesha rangi za Bendera ya Taifa na mazao yanayolimwa kwa wingi katika eneo la Halmashauri kadri Halmashauri itakavyoona inafaa. Hata hivyo, Kanuni hii haitaathiri majoho ambayo yanatumika kabla ya Kanuni hizi; (g) Endapo katika Mkutano huo, Halmashauri kuwa Kamati, Wajumbe itajigeuza watavua majoho; (h) Endapo Baraza litajigeuza kuwa Kamati taratibu za kuendesha Vikao vya Kamati zitatumika na Kikao hicho kitakuwa cha siri. (2) Madaraka au jukumu lolote la Mwenyekiti kuhusiana na uendeshaji wa mikutano yanaweza kutekelezwa na mtu anayeongoza Mkutano huo. (3) Halmashauri itatenga siku mbili kila wiki kwa ajili ya Mwenyekiti kufika ofisini na kutekeleza majukumu yafuatayo: (a) kusikiliza matatizo ya Wananchi; (b) kupata maelezo toka kwa Mkurugenzi shughuli za kuhusu uendeshaji wa Halmashauri ikiwa ni pamoja na masuala ya manunuzi; (c) kusaini mikataba mbalimbali ya Halmashauri; (d) kushughulikia jambo ambalo Mkurugenzi linahitaji kushughulikiwa au ataona kutekelezwa na Mwenyekiti; 16 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba Tangazo Namba 834 (Linaendelea) (e) Endapo kutatokea shughuli au ugeni unaohitaji uwepo wa Mwenyekiti, Mkurugenzi atamjulisha Mwenyekiti ili ahudhurie. Kumbukumbu ya Mahudhurio - 11 Verify source ↗
Section 11
AI-assisted research summary: Mjumbe lazima asaini rejesta ya mahudhurio kabla ya kuhudhuria mkutano wa Halmashauri au Kamati yake; Diwani pia haruhusiwi kuwa ofisini mwa Halmashauri na kufanya shughuli zisizohusiana na Halmashauri au Serikali, isipokuwa katika mikutano yake au akitumwa kutekeleza majukumu ya Serikali.
11. (1) Kila Mjumbe anayehudhuria Mkutano wa Halmashauri au Kamati yoyote ya Halmashauri ambamo yeye ni Mjumbe hatahudhuria Mkutano huo mpaka awe ameweka saini yake kwenye na Rejesta Mkurugenzi kwa ajili hiyo. ya mahudhurio inayotunzwa (2) Isipokuwa siku ya kufanyika kwa Mikutano ya Baraza au Kamati ambayo Diwani ni Mjumbe au pale atakapoitwa kutekeleza majukumu ya Serikali, si ruhusa kwa Diwani kuwa katika ofisi za Halmashauri na kufanya shughuli ambazo hazihusiani na Halmashauri au Serikali. - 12 Verify source ↗
Section 12
AI-assisted research summary: Council meetings must be open to the public and the media, and advance notice of the meeting time, date, and place must be posted and announced.
12. (1) Mikutano ya Halmashauri itakuwa wazi kwa watu wote pamoja na vyombo vya habari. Kuruhusu Watu na Vyombo vya Habari Kwenye Mikutano Halmashauri ya (2) Halmashauri itapaswa kuutangazia umma kuhusu muda, wakati na mahali pa Mkutano na italiweka tangazo hilo mahali panapoonekana kwa urahisi katika eneo la Halmashauri siku zisizopungua tatu kabla ya Mkutano, na kama Mkutano umeitishwa katika muda mfupi zaidi basi wakati wa kuitisha Mkutano huo. Utaratibu wa za Shughuli Mikutano - 13 Verify source ↗
Section 13
AI-assisted research summary: This section sets the order of business for ordinary council meetings and allows urgent changes only without changing the first three listed items.
13. (1) Isipokuwa kama Halmashauri, kutokana na sababu za dharura, itaamua kubadili utaratibu wa shughuli za mikutano, utaratibu wa shughuli katika kila Mkutano wa kawaida wa Halmashauri utakuwa kama ifuatavyo: - 17 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba Tangazo Namba 834 (Linaendelea) (a) (b) (c) (d) (e) (f) (g) (h) kuingia ukumbini Mwenyekiti akiongozwa na Katibu ataingia ukumbini baada ya mratibu wa mkutano kutoa ishara Maalum kuashiria na Mwenyekiti Wajumbe watasimama na kukaa kimya mpaka pale Mwenyekiti atakaporuhusu Wajumbe kukaa; Mkutano utaanza kwa wimbo wa Taifa ukifuatiwa na Sala au Dua itakayosomwa na Mwenyekiti; au Makamu endapo Mwenyekiti Mwenyekiti hawatakuwepo, Wajumbe watachagua mjumbe mmoja miongoni mwao wa kuongoza kikao; baada ya Sala au Dua kusomwa Mkurugenzi na Mwenyekiti wa Halmashauri watajibu maswali ya papo kwa papo kutoka kwa Wajumbe wa Baraza la madiwani kwa utaratibu na mpangilio kama ilivyooneshwa kwenye Kanuni hizi; kupokea na kujadili taarifa za kwenye Kata kutoka kwa Madiwani wa Kata husika; kujadili jambo lolote linalotakiwa kwa mujibu wa Sheria kushughulikiwa kabla ya shughuli nyingine yoyote; kupokea inayopaswa kupokelewa kisheria kabla ya shughuli nyingine yoyote; kusoma au kuthibitisha muhtasari wa Mkutano wa kawaida wa Halmashauri uliopita na mikutano yoyote Maalum ya Halmashauri iliyofanyika baada ya Mkutano huo wa kawaida. Hata hivyo iwapo mihtasari zimesambazwa kwa kila Mjumbe kabla taarifa ya au wakati wa kupeleka kuhudhuria Mkutano, mihtasari hiyo 18 taarifa yoyote nakala za Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba Tangazo Namba 834 (Linaendelea) (i) (j) (k) (l) ambayo atapenda itolewe kwa itachukuliwa kuwa imesomwa; kupokea yoyote taarifa Mwenyekiti Halmashauri; kujibu maswali kufuatana na Kanuni ya 21 ya Kanuni hizi; kumalizia katika Mkutano wa kawaida uliopita; kupokea na kujadili taarifa za Kamati za Halmashauri, kutoka kwa Wenyeviti wa kujibu ambao watahusika Kamati maswali ya Wajumbe kuhusiana na kazi za Kamati husika; shughuli yoyote iliyobaki (m) kupokea na kujadili taarifa kutoka kwa (n) (o) (p) Mkurugenzi wa Halmashauri; kuidhinisha utiaji lakiri katika hati; kujadili hoja binafsi kufuatana na jinsi zilivyopokelewa; na kushughulikia yaliyoonyeshwa Mkutano. mengine ya mambo katika taarifa (2) Halmashauri inaweza, katika Mkutano wowote wa kawaida, kubadili utaratibu wa hoja za mazungumzo ili kutoa kipaumbele kwa shughuli yoyote ambayo kwa maoni ya Mwenyekiti na uharaka wa pekee, lakini mabadiliko hayo hayatabadilisha mpangilio wa shughuli zilizotajwa katika aya (a), (b) na (c) za Kanuni ya 13(1) ya Kanuni hii. Kuthibitisha Muhtasari - 14 Verify source ↗
Section 14
AI-assisted research summary: Katibu lazima aandike muhtasari wa kikao; Mwenyekiti asome, athibitishe na asaini muhtasari, na muhtasari uhifadhiwe kwenye rejesta maalum.
14. unaozingatia majina (1) Katibu ataandika muhtasari wa mazungumzo ya kikao ya Wajumbe waliohudhuria na wasiohudhuria, jina la mtoa hoja, aliyeunga mkono hoja, mabadiliko ya hoja kwa ufupi, ushauri uliotolewa na azimio lililofikiwa. Muhtasari utasomwa, kurekebishwa, kuthibitishwa na kusainiwa na huo 19 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba Tangazo Namba 834 (Linaendelea) Mwenyekiti wa Mkutano na kutunzwa katika rejesta Maalum ya mihtasari. (2) Mara baada ya kusoma Muhtasari, au kama itachukuliwa kama umesomwa Mwenyekiti atauliza swali “Je Muhtasari wa Mkutano wa Halmashauri ya mwezi…………. Mwaka……..utiwe saini kama kumbukumbu sahihi?” tarehe…………… wa (3) Hakuna hoja au majadiliano yatakayofanywa kuhusiana na muhtasari isipokuwa kuhusiana na usahihi wa muhtasari, kama hakuna swali lililoulizwa, basi mara baada ya kuthibitishwa Mwenyekiti atatia saini katika muhtasari huo. (4) Muhtasari ambao utakuwa umesainiwa vilivyo na kama hakuna ushahidi wa kuwepo kwa makosa sahihi na Mkutano utakuwa kumbukumbu utahesabika kuwa umeitishwa na kufanyika vilivyo na Wajumbe waliohudhuria watahesabika halali. (5) Mihtasari ya Halmashauri itakuwa wazi kwa ukaguzi na Wajumbe na kwa umma kwa wakati unaofaa na kwa utaratibu utakaokubaliwa na Halmashauri na kwamba mtu yeyote anaweza kupewa sehemu ya muhtasari huo kama akiomba na baada ya kulipa ada kama itakavyoidhinishwa na Halmashauri. Hoja Mwenyekiti za - 15 Verify source ↗
Section 15
AI-assisted research summary: The Chairperson may submit no more than three motions, while keeping the right to submit motions as a member in ordinary proceedings.
15. Hoja zinazowasilishwa na Mwenyekiti hazitazidi hoja tatu, bila kuathiri haki yake, kama Mjumbe ya kuwasilisha hoja katika taratibu za kawaida. Taratibu Majadiliano za - 16 Verify source ↗
Section 16
AI-assisted research summary: This section sets speaking limits and order for Council meetings, requires members to address the Chair, and gives the Chair power to maintain order and discipline.
16. (1) Isipokuwa kwa idhini ya Halmashauri mtoa hoja atahutubia Mkutano wa Halmashauri kwa dakika zisizozidi kumi. Wajumbe wengine ikiwa ni pamoja na mtoa hoja watazungumza kwa muda 20 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba Tangazo Namba 834 (Linaendelea) usiozidi dakika tano kila mmoja; (2) Mjumbe anaruhusiwa kuzungumza mara moja isipokuwa hoja katika hoja yoyote inayowasilishwa bila mjadala; ile (3) Mtoa hoja atakuwa na haki ya kuzungumza kwa muda usiozidi dakika tano katika kujibu majadiliano na muda huo utaanza kuhesabika mara atakapoanza kuchangia au kujibu. Mratibu wa vikao atatoa ishara Maalum kumjulisha mtoa hoja kuwa muda wake umeisha na mjadala juu ya hoja hiyo utafungwa. Utaratibu huu wa kuhesabu muda utatumika pia kwa Mjumbe yeyote atakayepewa muda wa kuchangia hojana mara tu baada ya kujibu, mjadala juu ya hoja utafungwa; (4) Mjumbe yeyote aliyekwishachangia kwenye hoja hawezi kutoa au kuunga mkono marekebisho, ila marekebisho yakitolewa na kuungwa mkono, Mjumbe aliyekwishazungumza katika hoja ya awali anaweza kuzungumza kwenye hoja iliyorekebishwa kwa muda usiozidi dakika tatu; (5) Iwapo Wajumbe wawili au zaidi watasimama wakati Mjumbe atakayetamkwa na Mwenyekiti ndiye atakayepewa nafasi kwanza. kuzungumza, mmoja (6) Bila kuathiri masharti ya Kanuni Ndogo ya (5) ya Kanuni hii, Mwenyekiti atahakikisha kuwa, nafasi ya kuchangia inatolewa kwa uwiano unaofaa miongoni mwa aina zote za uwakilishi wa Madiwani walioomba kuchangia hoja hiyo. (7) Mjumbe anapozungumza ataelekeza mazungumzo yake kwa Mwenyekiti tu na atapaswa kusimama; 21 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba Tangazo Namba 834 (Linaendelea) (8) Mjumbe anapozungumza hatakatizwa, isipokuwa kwa suala la utaratibu, lakini anaweza kutoa nafasi kwa Mjumbe anayetaka kujieleza; (9) Mjumbe anaposimama kutoa taarifa kuhusu utaratibu, Mjumbe anayezungumza ataketi na atabaki utaratibu na Mwenyekiti, itakapokuwa isipokuwa kumweleza Mwenyekiti kuhusu suala la utaratibu; hadi imeamuliwa anasimama ameketi kama hoja ya (10 ) (11 ) (12 ) (13 ) Mwenyekiti ndiye pekee mwenye uamuzi kuhusu utaratibu katika mikutano ya Halmashauri, na anayo madaraka ya kuzuia fujo na kuhakikisha kuwa maamuzi yake katika kusimamia usalama yanatekelezwa mara moja. Wakati wa majadiliano Mwenyekiti akisimama, Mjumbe anayezungumza au aliyesimama ataketi na hakuna Mjumbe atakayesimama hadi Mwenyekiti ameketi; Hakuna Mjumbe atakayebaki amesimama wakati Mjumbe mwingine anaelekeza mazungumzo yake kwa Mwenyekiti. zinazoendelea Mkurugenzi wa Halmashauri atajibu swali lolote atakaloulizwa na Mwenyekiti kutokana na shughuli kwenye Mkutano isipokuwa kama atadai haki ya kukataa kujibu swali kwa msingi ya kwamba jibu linaweza kumweka hatiani au kuvunja uaminifu wake au linamhusisha yeye kama mtetezi mahakamani. Hakuna mtu kwa niaba yake mwenyewe, au kwa niaba ya watu wengine walio kwenye ujumbe wa watu, katika Mkutano wa Halmashauri isipokuwa kwa idhini ya Halmashauri iliyotolewa kwa njia ya azimio. Idhini ya namna hiyo haitatolewa isipokuwa kama atakayeruhusiwa kuzungumza 22 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba Tangazo Namba 834 (Linaendelea) mtu huyo au watu hao wanaotaka kuihutubia Halmashauri watakuwa wamempatia Mkurugenzi au Afisa aliyeruhusiwa naye, taarifa ya muda tisa kabla ya Mkutano wa usiopungua siku Halmashauri ambamo wangetaka maombi yao yafikiriwe kupewa idhini, maombi ya kimaandishi ikieleza linalotarajiwa kujadiliwa, na mpaka taarifa ya kupokelewa kwa maoni hayo itakapokuwa imebandikwa kwenye mbao za matangazo za Halmashauri. jambo (14 ) (15 ) Hakuna zaidi ya watu wawili watakaokuwa na haki ya kuhutubia Halmashauri kwa niaba ya uwakilishi; na wala hakuna ujumbe utakaozidi idadi ya watu watano watakaoruhusiwa. Kiwango cha juu cha muda wa kuzungumza na Halmashauri ikiwa na muda wa kusoma risala hakitazidi dakika kumi. (1) Katika Mkutano wowote wa Halmashauri kama Mjumbe wa Halmashauri ataonyesha kukosa heshima kwa madaraka aliyonayo Mwenyekiti au kudharau Kanuni za Kudumu za Halmashauri kwa kuzuia kwa makusudi shughuli za Halmashauri zisiendelee au vinginevyo, Mwenyekiti ataelekeza Mkutano kwa tukio hilo kwa kumtaja jina mjumbe anayehusika. (2) ya Mwenyekiti Endapo baada ya kutajwa jina mjumbe ataendelea basi kudharau madaraka Mwenyekiti ataliomba Baraza kuahirisha shughuli za Mkutano kwa muda na Mwenyekiti atatafakari jambo hilo na anaweza kuagiza yafuatayo: (a) Mjumbe atolewe nje ya Mkutano kama Mjumbe wa Halmashauri na kumzuia kuhudhuria vikao vitatu mfululizo pamoja na haki zinazohusina na vikao hivyo; (b) Mjumbe kuzuiliwa kuhudhuria vikao vitatu 23 - 17 Verify source ↗
Section 17
AI-assisted research summary: Mwenyekiti anaweza kuahirisha au kusimamisha mkutano wa Halmashauri ikiwa kutatokea fujo kubwa na ataona ni muhimu kufanya hivyo.
17. Fujo zinazosababish wa na Wajumbe Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba Tangazo Namba 834 (Linaendelea) mfululizo kupoteza na zinazohusiana na vikao hivyo. haki zake (3) Iwapo kutatokea fujo kubwa katika Mkutano wowote wa Halmashauri, Mwenyekiti anaweza kama ataona ni muhimu kufanya hivyo, kuahirisha Mkutano au kusimamisha Mkutano kwa muda atakao ona unafaa. bila majadiliano swali au Fujo zinazosababish wa na Umma - 18 Verify source ↗
Section 18
AI-assisted research summary: The chairperson must warn anyone from the public who disrupts the council meeting, and may order removal if the disruption continues or there is disorder in the public area.
18. (1) Iwapo mtu yeyote kati ya umma unaohudhuria Mkutano wa Halmashauri atavuruga Mkutano wa Halmashauri, Mwenyekiti atamuonya mtu huyo aache kufanya hivyo. Endapo mtu huyo ataendelea kuvuruga Mkutano, Mwenyekiti ataamuru mtu huyo atolewe kwenye chumba cha Mkutano. (2) Endapo kutakuwa na vurugu katika sehemu yoyote ya chumba cha Mkutano kinachotumika na umma, Mwenyekiti ataamuru kuondolewa kwa watu wote walio katika eneo hilo. na Hoja Marekebisho ya Hoja - 19 Verify source ↗
Section 19
AI-assisted research summary: This section sets rules for giving, recording, listing, withdrawing, and debating motions in a council meeting.
19. (1) ya kila isipokuwa hoja hoja, Taarifa iliyowasilishwa chini ya Kanuni za Kudumu Na. 15, itawasilishwa kwa maandishi yaliyowekwa saini na Diwani au Madiwani waliotoa taarifa, na itapelekwa kwa Mkurugenzi angalau siku nne kabla ya Mkutano wa Halmashauri unaofuata na akishaipokea, Mkurugenzi atagonga tarehe na kuipa namba na kuiingiza kwenye daftari kadri hoja zilivyowasilishwa, na daftari hiyo itakuwa wazi kukaguliwa na Mjumbe yeyote wa Halmashauri. (2) Mkurugenzi ataonyesha katika taarifa ya kila Mkutano wa Halmashauri hoja zilizowasilishwa na kwa kadri zilivyopokelewa isipokuwa kama Diwani aliyetoa hoja hiyo ameeleza kwa maandishi wakati alipoleta hoja hiyo, kwamba 24 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba Tangazo Namba 834 (Linaendelea) anataka kuitoa katika Mkutano utakaofanyika baadaye, au baada ya kuwasilisha ameifuta hoja hiyo kwa maandishi. (3) (4) haiwezi kutolewa Iwapo hoja ambayo imeonyeshwa katika taarifa ya Mkutano na Mjumbe aliyewasilisha taarifa; au na Mjumbe mwingine yeyote kwa niaba yake, basi hoja hiyo, isipokuwa kama imeahirishwa kwa idhini ya Halmashauri, itachukuliwa na haitawasilishwa tena bila ya kutoa taarifa upya. imeondolewa kama Iwapo hoja itahusu jambo linalohusu Kamati au Kamati mbalimbali baada ya kupendekezwa na itapelekwa bila kuungwa mkono, hoja hiyo majadiliano kwenye Kamati ambayo Halmashauri itaelekeza ili iweze kufikiriwa na kutayarishiwa taarifa. (5) Ni lazima kila hoja jambo ambalo Halmashauri ina uwezo na wajibu nalo, au iwe inahusu Halmashauri ya wilaya husika. ihusu (6) Marekebisho ya hoja yaliyopendekezwa na kuungwa mkono yanaweza kuondolewa tu kwa ridhaa ya Wajumbe wa Halmashauri walio wengi waliopo katika Mkutano. (7) Marekebisho ya hoja hoja ya msingi yanapokuwa yamethibitishwa, kama ilivyorekebishwa itatolewa na Mwenyekiti kama ndiyo hoja ya msingi ambayo nayo inaweza kufanyiwa marekebisho. Kama marekebisho ya hoja hayakukubaliwa, rekebisho lingine linaweza kupendekezwa. (8) Kwa idhini ya Mwenyekiti, zaidi ya rekebisho moja linaweza kutolewa kwa wakati mmoja mbele 25 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba Tangazo Namba 834 (Linaendelea) ya Mkutano wa Halmashauri, lakini kila rekebisho la namna hii litatolewa moja baada ya jingine kufuatana hayo yalivyotolewa. jinsi mapendekezo na (9) Rekebisho halitachukuliwa kuwa sahihi kama litakuwa sawa na kuikataa hoja moja kwa moja au ya msingi kama linalokusudiwa kurekebishwa. rekebisho hoja la si (10) Rekebisho ambalo halikutolewa taarifa, halitapendekezwa baada ya mjadala wa hoja inayozungumzwa kuendelea kwa nusu saa, ila kwa mujibu wa sharti hili, taarifa ya idadi yoyote ya marekebisho inaweza kutolewa. (11) Hoja ya kufuta azimio itapitishwa na Wajumbe wasiopungua theluthi mbili ya Wajumbe wote. (12) Hoja ya kuzingatia taarifa ya Kamati au kuidhinisha majadiliano au mapendekezo ya Kamati inaweza kutolewa na Mwenyekiti wa Kamati husika, au na Mjumbe yeyote wa Kamati husika kwa niaba yake. (13 ) Mjumbe yeyote ambaye hajachangia katika mjadala wa hoja, au hajaitolea marekebisho, anaweza kupendekeza “kwamba Halmashauri iendelee na shughuli inayofuata”. Hoja ya aina hiyo inaweza tu kuzingatiwa baada ya hoja kupendekezwa na kuungwa mkono. Hoja itaamuliwa bila marekebisho au inapotolewa, ikikubaliwa, mjadala, shughuli haitaendelea hilo azimio iliyokatizwa kujadiliwa katika kikao hicho. Hoja ya kupendekeza kuendelea na shughuli inayofuata haitatolewa zaidi ya mara moja katika mjadala wa kama na na 26 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba Tangazo Namba 834 (Linaendelea) jambo lolote. (14 ) (15 ) Baada ya mjadala kuhusu hoja kuendelea kwa muda usiopungua nusu saa, Mjumbe ambaye hajachangia katika majadiliano anaweza kuomba idhini ya kutoa hoja “kwamba suala lililo mbele yetu sasa idhini hiyo liamuliwe” na kama itatolewa kwa kukubaliwa na si chini ya Wajumbe watano, hoja “kwamba suala lililo mbele yetu sasa liamuliwe” itawasilishwa mara moja, na kama ikiafikiwa, mtoa hoja ya msingi anaweza kuzungumza kwa dakika zisizozidi tano, na baada ya hapo swali au maswali yaliyo mbele ya Halmashauri yatafanyiwa uamuzi. Hoja “kwamba suala lililo mbele yetu sasa liamuliwe” haitatolewa zaidi ya mara moja katika mjadala unaoendelea kuhusu jambo lolote mpaka hapo mjadala utakapokuwa umeendelea kwa angalau nusu saa tangu kuwekwa mbele ya Mkutano hoja ya aina hiyo ilipopendekezwa awali. Hoja zinazoweza kutolewa bila Taarifa - 20 Verify source ↗
Section 20
AI-assisted research summary: The mover of a motion has a right to answer questions at the close of debate, before voting or before a motion to adjourn is made.
20. Hoja zifuatazo zinaweza kutolewa bila taarifa. (a) kumchagua Mwenyekiti wa Mkutano ambamo hoja imetolewa; (b) hoja kuhusu usahihi wa muhtasari, kufunga Mkutano, kuahirisha Mkutano, utaratibu wa Mkutano, suala linalofuata; au (c) kuteua Kamati au Wajumbe wa Kamati, au wawakilishi katika taasisi za nje, unaotokana na jambo lililotaarifiwa katika wito wa Mkutano; (d) kukubali taarifa na mapendekezo ya Kamati na maazimio yote yanayotokana 27 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba Tangazo Namba 834 (Linaendelea) na taarifa au mapendekezo hayo; (e) kwamba idhini itatolewa kuiondoa hoja; (f) kusahihisha hoja; (g) kuongeza muda wa hotuba; (h) kuwa, jambo lililotajwa katika taarifa ya kuitisha Mkutano litangulie; (i) kusimamisha Kanuni za Kudumu; (j) kwamba Mjumbe asisikilizwe tena au aondoke katika Mkutano; (k) kumwomba Mjumbe abakie Mkutanoni na (l) kutoa idhini ya Halmashauri pale ambapo idhini inatakiwa kwa mujibu wa Kanuni za Kudumu hizi. Haki ya kujibu 21. (1) Mtoa hoja atakuwa na haki ya kujibu maswali wakati wa kufunga mjadala juu ya hoja; kabla ya hoja kupigiwa kura au kabla ya hoja kutolewa “kwamba mkutano uhairishwe. (2) Mjumbe anayetumia haki yake ya kujibu hataanzisha hoja nyingine mpya. (3) Baada ya kutolewa kwa jibu ambalo linahusiana na Kanuni hizi, uamuzi utafikiwa bila majadiliano zaidi. Maswali - 22 Verify source ↗
Section 22
AI-assisted research summary: Mjumbe anaweza kuuliza Mwenyekiti wa Kamati swali kuhusu muhtasari, na maswali hayo lazima yajibiwe bila majadiliano.
22. (1) Mjumbe anaweza kumuuliza Mwenyekiti wa Kamati swali lolote kuhusu muhtasari wa Kamati uliofikishwa mbele ya Halmashauri. (2) Kila swali litaulizwa na kujibiwa bila majadiliano. 28 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba Tangazo Namba 834 (Linaendelea) (3) (4) Swali au maswali yatajibiwa na Mwenyekiti wa Kamati mara moja, na Mjumbe anayeuliza maswali hayo hatanyimwa haki yake ya kujadili hoja ambayo maswali hayo yanarejewa au kutoa hoja ya marekebisho. Pale ambapo swali la maandishi limeelekezwa kwa Mwenyekiti wa Kamati, na taarifa inayotakiwa imo katika mojawapo ya mihtasari ya Halmashauri, kuonyesha sehemu ya muhtasari ambapo habari hiyo imeonyeshwa, kutachukuliwa ni jibu la kutosha. (1) Halmashauri itatenga muda wa dakika thelathini katika kila Mkutano wa Halmashauri wa kawaida ambapo Mwenyekiti na Mkurugenzi wa Halmashauri atajibu maswali ya papo kwa papo kutoka kwa Wajumbe kabla ya kuanza kwa shughuli ya kawaida za Mkutano wa Halmashauri. Maswali ya papo kwa papo - 23 Verify source ↗
Section 23
AI-assisted research summary: Members must register with the Chairperson at least 24 hours before the meeting to ask live questions, and each member may ask only one such question.
23. (2) Wajumbe ambao watataka kumwuliza Mkurugenzi na Mwenyekiti maswali ya papo kwa papo watatakiwa kujiorodhesha kwanza kwa Mwenyekiti angalau masaa ishirini na nne (24) kabla ya Mkutano wa Halmashauri. (3) Mjumbe yeyote ambaye hatajiorodhesha kwa Mwenyekiti au Mkurugenzi ndani ya masaa ishirini na nne atahesabika kuwa amechelewa, na hataruhusiwa au Mwenyekiti swali la papo kwa papo. kumuuliza Mkurugenzi (4) Kabla ya kuanza kwa kipindi cha maswali ya papo kwa papo Mwenyekiti atataja majina ya Wajumbe waliojiorodhesha kuuliza maswali ya papo kwa papo na idadi ya maswali. (5) Mwenyekiti ataweka utaratibu ambao ataona 29 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba Tangazo Namba 834 (Linaendelea) unafaa na kuridhiwa na Wajumbe wa namna bora ya kuendesha kipindi cha maswali ya papo kwa papo. (6) Mjumbe hataruhusiwa kuuliza zaidi ya swali moja la papo kwa papo. (7) Maeneo ya umuhimu ambayo Wajumbe watatakiwa kuuliza maswali ya papo kwa papo ni:- (a) uendeshaji wa Halmashauri; jumla wa (b) utekelezaji wa miradi ya Maendeleo; (c) mipango ya Halmashauri wananchi umaskini; kimkakati ya kuwaondolea (d) mipango ya baadaye ya maendeleo ya Halmashauri; (e) (f) usimamizi na utekelezaji wa Mipango na Bajeti kwa mwaka husika; utoaji wa huduma za jamii kama vile elimu, afya, maji, barabara na madaraja; (g) hifadhi ya mazingira na utunzaji wa vyanzo vya maji; (h) usalama wa chakula na wa raia na mali zao; (i) Utawala Bora na utatuzi wa kero 30 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba Tangazo Namba 834 (Linaendelea) za wananchi. (8) Baada ya kujibiwa kwa swali, muuliza swali atapewa fursa ya kuuliza swali moja tu la ufafanuzi na maswali yatajibiwa bila mjadala. (9) Mwenyekiti atakuwa na uwezo wa kuruhusu kutojibu au kukataa swali lolote la papo kwa papo ambalo litaonekana linahitaji takwimu au utafiti zaidi au swali ambalo linalenga kumdhalilisha Mwenyekiti au Mjumbe yeyote wa Baraza na uamuzi wake utakuwa wa mwisho. (10 ) Mara baada ya muda wa nusu saa kumalizika, kipindi cha maswali ya papo kwa papo kitamalizika na kuruhusu shughuli zingine za kikao kuendelea. Taarifa Kamati za - 24 Verify source ↗
Section 24
AI-assisted research summary: Kamati au Kamati ya pamoja iliyopewa mamlaka lazima itoe taarifa ya utekelezaji kwa Halmashauri, na muhtasari wa Kamati unaohitaji idhini utapelekwa kwa wajumbe angalau siku 7 kabla ya mkutano husika.
24. (1) Kila Kamati au Kamati ya pamoja iliyoteuliwa chini ya Kanuni hizi itatoa, katika mojawapo ya mikutano miwili ya Halmashauri iliyoteua Kamati, Kamati ya pamoja au Kamati Ndogo, taarifa ya utekelezaji majadiliano majukumu iliyokasimiwa, kwa ujulisho wa Halmashauri. yanayohusiana na (2) Muhtasari wa Kamati unaohitaji idhini ya Halmashauri, na taarifa zozote zinazohusiana na muhtasari huo, na ambazo zinaonekana kwa Kamati kuwa zinastahili, zitapelekwa kwa kila Mjumbe wa Halmashauri angalau siku saba kabla ya Mkutano wa Halmashauri ambamo utafikiriwa. (3) Mwenyekiti wa Kamati, au Mjumbe mwingine wa Kamati kwa niaba yake, wakati wa kupendekeza kuidhinishwa kwa muhtasari wa Kamati, anaweza kusema kuwa hakusudii kuwasilisha kipengele au vipengele fulani vya muhtasari huo kwa lengo la kupata idhini ya Halmashauri. Katika hali hiyo 31 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba Tangazo Namba 834 (Linaendelea) yeyote hataweza Mjumbe kukizungumzia kipengele au vipengele hivyo na muhtasari utawasilishwa bila vipengele hivyo. Kuondolewa kwa kipengele cha aina hiyo kutatolewa taarifa kwenye Mkutano unaofuata. (4) itamaanisha Taarifa ya Kamati inapokuwa imepokelewa na hatua Halmashauri zilizochukuliwa na Kamati husika zimekubaliwa na mapendekezo yaliyo kwenye taarifa hiyo yatatekelezwa na kwamba Mkurugenzi atakuwa ameelekezwa ipasavyo. kuwa Taarifa za kutoka kwenye Kata - 25 Verify source ↗
Section 25
AI-assisted research summary: Kila Kata lazima iwasilishe taarifa ya utekelezaji kwenye Mkutano wa Halmashauri, kwa utaratibu wa Diwani wa Kata au mbadala wake.
25. (1) Kila Kata taarifa za itatakiwa kuwasilisha utekelezaji katika Mkutano wa Halmashauri ulioitishwa chini ya Kanuni ya 3(1) ya Kanuni hizi. (2) Taarifa za utekelezaji kutoka katika Kata zitawasilishwa na Diwani wa Kata husika, au kama Diwani hayupo, taarifa hiyo itawasilishwa na Diwani wa Viti Maalum anayeishi katika Kata hiyo na kama Diwani Viti Maalum hayupo, Mwenyekiti atamtaarifu mapema Diwani yeyote ili ajiandae kuwasilisha taarifa hiyo. (3) Kutakuwa na aina tatu za taarifa zitakazowasilishwa: - (a) Taarifa ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo katika Kata ambayo itajumuisha ujenzi wa Madarasa, Nyumba za Walimu, Matundu ya Vyoo, Maabara, Viwanja vya Michezo, Vituo vya Afya, Zahanati, Madaraja, Barabara, Mashamba darasa, Ofisi za Vijiji, Kata na Tarafa; Idadi ya watu na vizazi; (b) Taarifa zinazohusu hali ya Kata ambazo zitajumuisha; 32 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba Tangazo Namba 834 (Linaendelea) (i) Maendeleo ya Elimu katika Kata kuhusiana na uandikishaji wa watoto wenye umri wa kwenda shule, ufundishaji, utoro, hali ya mahudhurio, shuleni, ukaguzi na uratibu wa shule; mimba (ii) Hali ya majanga ya kibinadamu kama vile mlipuko wa magonjwa, mafuriko, njaa na hali ya uhalifu na vifo; (iii) Maendeleo ya Kilimo, mifugo na uvuvi itajumuisha ambayo upatikanaji wa wataalamu, zana za kisasa na pembejeo za kilimo, mifugo na uvuvi; (iv) Uimarishaji wa dhana ya uzalendo na utaifa kwa kuhamasisha vijana kuanzisha na kujiunga na vikundi vya Vijana, Wagani kazi na mafunzo ya Jeshi la Mgambo, ulinzi shirikishi na polisi jamii; (c) Taarifa ya utekelezaji wa miradi ya Maendeleo na taarifa ya hali ya Kata sharti ijumuishe pia taarifa za shughuli za kiuchumi, taarifa ya mavuno ya mazao ya chakula na biashara pamoja na taarifa ya utunzaji wa mazingira na vyanzo vya maji. kwenye Kata, (4) Mkurugenzi wa Halmashauri atahakikisha taarifa kutoka na kuwasilishwa na Diwani wa Kata hiyo kwenye Baraza la Madiwani ili ipitiwe na kuchambuliwa kwa nia ya kupata hoja zitakazowasilishwa katika vikao vya Kamati husika na kutoa mrejesho. zinaandaliwa 33 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba Tangazo Namba 834 (Linaendelea) Mafanikio na changamoto (5) Mwasilishaji wa mafanikio zilizojitokeza na mbinu za kukabiliana nazo. taarifa atatakiwa kuelezea changamoto yaliyopatikana, (6) Mbinu za kukabiliana na changamoto sharti ziwekewe malengo na muda Maalum wa kuzitatua; (7) Taarifa za mapokeo ya fedha na matumizi yake zitakazokuwa zimeandaliwa na Afisa Mtendaji wa na miradi zitawasilishwa Kata, iliyotekelezwa na gharama zake. sanjari (8) Baada ya taarifa kutoka kwenye Kata kupokelewa na Halmashauri, itamaanisha kuwa taarifa hizo zimeidhinishwa yaliyomo kwenye taarifa yatatekelezwa na Halmashauri, na Kata kupewa taarifa ya utekelezaji wa majukumu hayo. na mapendekezo - 26 Verify source ↗
Section 26
AI-assisted research summary: Section 26 appears to concern freedom to give ideas or make statements in discussion, including defamatory statements.
26. Uhuru wa kutoa Mawazo wa wakati Majadiliano Kauli Kashfa zenye - 27 Verify source ↗
Section 27
AI-assisted research summary: Kuna uhuru wa kutoa mawazo katika majadiliano ya mikutano ya Halmashauri, lakini ikiwa kauli inaonekana kumkashifu mtu, Mwenyekiti anaweza kumtaka Mjumbe aifute na aombe msamaha kwa maandishi ndani ya siku saba.
27. (1) Kutakuwepo na uhuru wa kutoa mawazo wakati wa majadiliano katika mikutano ya Halmashauri na uhuru huo hautaweza kuhojiwa katika mahakama yoyote au mahali popote nje ya Mkutano wa Halmashauri. iliyotolewa na Mjumbe Inapotokea, kulingana na maoni ya Mwenyekiti au mjumbe yeyote anayeongoza Mkutano, kuwa kauli inakashfu mtu yeyote, Mwenyekiti atamtaka Mjumbe aliyetoa kauli hiyo kufuta kauli yake na kumwomba msamaha mtu aliyekashifiwa kwa maandishi ndani ya muda wa siku saba tangu kauli hiyo ya kashfa ilipotamkwa. (2) Endapo Mjumbe aliyetoa kauli ya kashfa atakataa kufuta kauli yake na kuomba msamaha kwa maandishi kama inavyoelekezwa katika Kanuni 34 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba Tangazo Namba 834 (Linaendelea) Maamuzi Mikutano Halmashauri ya ya - 28 Verify source ↗
Section 28
AI-assisted research summary: The chairperson or presiding person must suspend a member from attending three consecutive council meetings, and a suspended member loses rights connected to those meetings during the suspension.
28. Ndogo (1) ya Kanuni hii, Mwenyekiti au mtu anayeongoza Mkutano, atamsimamisha Mjumbe huyo kuhudhuria vikao vitatu mfululizo vya Halmashauri (3) Mjumbe aliyesimamishwa kwa mujibu wa Kanuni Ndogo (2) ya Kanuni hii atapoteza haki zake zote zinazohusiana na vikao hivyo kwa muda wote wa kusimamishwa kwake. (1) Masuala yote yaliyojadiliwa na kupendekezwa katika Mkutano wowote wa Halmashauri yataamuliwa kulingana na wingi wa kura za Wajumbe waliohudhuria Mkutano huo, na ikitokea kura za Wajumbe zikalingana, basi Mwenyekiti au Mjumbe yeyote mwingine anayeongoza Mkutano, atapiga kura ya turufu mbali ya kura ya kawaida. (2) Iwapo suala linalopigiwa kura linahusu kutokuwa na imani au kumwondoa Mwenyekiti madarakani, au jambo lolote lingine kama itakavyoamuliwa na Halmashauri, kura zitapigwa kwa siri. Mwaliko kwa wasiokuwa Wajumbe kushiriki kuzungumza kwenye Vikao vya Halmashauri na - 29 Verify source ↗
Section 29
AI-assisted research summary: Mwenyekiti anaweza kumwalika mtu yeyote kuhudhuria na kushiriki katika mkutano wa Halmashauri, lakini mwalikwa haruhusiwi kupiga kura. Wakuu wa Idara za Halmashauri wanapaswa kuhudhuria mikutano yote ya Halmashauri, lakini hawana haki ya kupiga kura.
29. (1) Mwenyekiti, baada ya kushauriana na Wajumbe, anaweza kumwalika mtu yeyote kuhudhuria na kuzungumzia jambo lolote, au kushiriki kwa njia yoyote, katika Mkutano wowote wa Halmashauri lakini mwalikwa huyo hatakuwa na haki ya kupiga kura katika Mkutano huo. (2) Wakuu wa Idara za Halmashauri wanapaswa kuhudhuria mikutano yote ya Halmashauri lakini hawatakuwa na haki ya kupiga kura katika mikutano hiyo. Mihtasari kata na vijiji ya - 30 Verify source ↗
Section 30
AI-assisted research summary: Mkurugenzi wa Halmashauri lazima ahakikishe mihtasari ya kamati na mikutano fulani inapelekwa kwa viongozi husika na ipitiwe na kuchambuliwa.
30. Mkurugenzi wa Halmashauri atahakikisha mihtasari yote ya Kamati za Maendeleo za Kata, Halmashauri za Vijiji na Mikutano Mikuu ya 35 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba Tangazo Namba 834 (Linaendelea) ya Mihtasari Halmashauri kupelekwa kwa Mkuu wa na Wilaya Mkuu wa Mkoa Vijiji inapitiwa na kuchambuliwa kwa nia ya kupata hoja zitakazowasilishwa katika vikao vya Kamati husika na kutoa mrejesho inavyopaswa. - 31 Verify source ↗
Section 31
AI-assisted research summary: Halmashauri lazima itume mihtasari yake kwa Mkuu wa Wilaya na Mkuu wa Mkoa ndani ya siku 7 baada ya kuthibitishwa. Wakuu hao wanaweza kupewa nakala au sehemu ya mihtasari ya kamati wakiomba.
31. (1) Mihtasari ya Halmashauri itatolewa na kupelekwa kwa taarifa, kwa Mkuu wa Wilaya na Mkuu wa Mkoa ambamo Halmashauri imo katika muda wa siku 7 baada ya kuthibitishwa kwa mihtasari hiyo. (2) Mkuu wa Wilaya na Mkuu wa Mkoa wanaweza kupewa, wakiomba, nakala ya mihtasari au sehemu ya mihtasari ya Kamati za Kudumu na Kamati nyingine. (3) Wakuu wa Wilaya na Wakuu wa Mikoa au kubatilisha au kuagiza uamuzi wa kubatilisha au hawatabadilisha kubadilisha Halmashauri. kuhusu Hoja Matumizi
Part
SEHEMU YA IV
- 41 Verify source ↗
Mwenyekiti kuwa Mjumbe wa Kamati zote
AI-assisted research summary: The chairperson must be a member of all committees.
41. Mwenyekiti kuwa Mjumbe wa Kamati zote - 45 Verify source ↗
Kamati ndogo
AI-assisted research summary: Hii ni kichwa cha kifungu kuhusu “Kamati ndogo”.
45. Kamati ndogo. 2 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba Tangazo Namba 834 (Linaendelea) - 50 Verify source ↗
Mahudhurio katika mikutano ya Kamati
AI-assisted research summary: This section is about attendance at committee meetings.
50. Mahudhurio katika mikutano ya Kamati. - 51 Verify source ↗
Mtoa hoja kualikwa kwenye mkutano wa Kamati
AI-assisted research summary: The motion mover is to be invited to the committee meeting.
51. Mtoa hoja kualikwa kwenye mkutano wa Kamati. - 52 Verify source ↗
Waalikwa wasiokuwa Wajumbe kuhudhuria na kushiriki
AI-assisted research summary: Invited non-members may attend and participate in committee meetings.
52. Waalikwa wasiokuwa Wajumbe kuhudhuria na kushiriki katika mikutano ya Kamati. - 53 Verify source ↗
Mahudhurio ya Umma na vyombo vya Habari kwenye
AI-assisted research summary: This section concerns public attendance and media presence at committee and subcommittee meetings.
53. Mahudhurio ya Umma na vyombo vya Habari kwenye mikutano ya Kamati na Kamati ndogo. - 54 Verify source ↗
Athari za nafasi wazi kwenye Kamati
AI-assisted research summary: This section concerns the effects of a vacant seat on the committee.
54. Athari za nafasi wazi kwenye Kamati. - 56 Verify source ↗
Kanuni za Kudumu kutumika katika mikutano ya Kamati
AI-assisted research summary: Kanuni za Kudumu zinatumika katika mikutano ya Kamati.
56. Kanuni za Kudumu kutumika katika mikutano ya Kamati . - 57 Verify source ↗
Upigaji kura kwenye mikutano ya Kamati
AI-assisted research summary: Section title: Voting at committee meetings.
57. Upigaji kura kwenye mikutano ya Kamati. - 60 Verify source ↗
Kutunza siri za majadiliano ya Kamati na Kamati Ndogo
AI-assisted research summary: The provision concerns keeping committee and subcommittee discussions secret.
60. Kutunza siri za majadiliano ya Kamati na Kamati Ndogo. - 61 Verify source ↗
Kujiuzulu wadhifa wa Mwenyekiti wa Kamati
AI-assisted research summary: This section concerns resignation from the office of Chairperson of the Committee.
61. Kujiuzulu wadhifa wa Mwenyekiti wa Kamati. - 62 Verify source ↗
Kujiuzulu ujumbe wa Kamati na kujazwa kwa nafasi
AI-assisted research summary: This section concerns the resignation of a committee member and filling the vacant seat.
62. Kujiuzulu ujumbe wa Kamati na kujazwa kwa nafasi iliyoachwa wazi. SEHEMU YA V UNUNUZI WA VIFAA, UPATIKANAJI WA HUDUMA NA UJENZI - 48 Verify source ↗
Section 48
AI-assisted research summary: Kikao maalum cha kamati huombwa na angalau theluthi mbili ya wajumbe kwa maandishi na sababu lazima zielezwe; taarifa ya kikao lazima ionyeshe shughuli itakayofanyika, na mambo mengine hayajadiliwi.
48. (1) Kikao Maalum cha Kamati kitaitishwa baada ya theluthi mbili ya Wajumbe wa Kamati kuomba kwa maandishi kuwa kikao hicho kifanyike na kueleza sababu. (2) Taarifa ya kikao Maalum cha Kamati itaonyesha shughuli itakayofanyika katika kikao hicho na hakuna jambo jingine lolote litakalojadiliwa katika kikao hicho Ajenda Kamati za - 49 Verify source ↗
Section 49
AI-assisted research summary: A committee member may have his or her matters placed on the committee agenda if notice is given at least four days before the meeting date.
49. Mjumbe wa Kamati atakuwa na haki ya hoja zake kuwekwa katika ajenda ya Kamati kama atatoa taarifa ya angalau siku nne (4) kabla ya tarehe ya kikao. Mahudhurio katika vya Kamati vikao - 50 Verify source ↗
Section 50
AI-assisted research summary: Wajumbe fulani wa kamati hawaruhusiwi kutuma mtu wa kuwawakilisha, na mjumbe asiye wa kamati hana haki ya kuhudhuria isipokuwa akiitwa; hata akialikwa, hawezi kupiga kura wala kudai posho.
50. (1) Mjumbe wa Kamati ya Kudumu au Kamati Ndogo, ambaye ameshindwa kuhudhuria kikao cha Kamati Ndogo, hataruhusiwa kutuma mtu mwingine kumwakilisha kwenye kikao cha Kamati au Kamati Ndogo. (2) Mjumbe wa Halmashauri hatakuwa na haki ya kuhudhuria kikao chochote cha Kamati au Kamati 44 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba Tangazo Namba 834 (Linaendelea) 51 hoja Mtoa kualikwa kwenye kikao cha Kamati 52 Waalikwa wasiokuwa Wajumbe kuhudhuria na kushiriki katika vya Kamati vikao 53 Mahudhurio ya umma na Vyombo vya Habari kwenye katika vikao vya Kamati na Kamati Ndogo za wazi 54 Athari nafasi kwenye Kamati au Kamati Ndogo Ndogo ambamo yeye si Mjumbe, isipokuwa kama Kamati inayohusika imemwalika kuhudhuria, na hata hivyo hatakuwa na haki ya kupiga kura au kudai posho kwa kuhudhuria kikao hicho cha Kamati au Kamati Ndogo. Mjumbe wa Halmashauri anayewasilisha hoja ambayo imepelekwa kwenye Kamati atapewa taarifa ya kikao cha Kamati ambamo hoja yake imepagwa kuzungumzwa na kama atahudhuria atapewa nafasi ya kuizungumzia. Mwenyekiti wa Kamati, Kamati ya pamoja au Kamati Ndogo baada ya kushauriana na Wajumbe wa Kamati, Kamati ya pamoja na Kamati Ndogo, anaweza kumwalika mtu yeyote kuhudhuria na kuzungumza kwenye kikao kuhusu suala lolote au kushiriki kwa namna yoyote kwenye kikao cha Kamati, lakini mtu huyo atakayealikwa hatakuwa na haki ya kupiga kura kwenye kikao hicho. Majadiliano katika Kamati, Kamati ya pamoja au Kamati Ndogo hayatakuwa wazi kwa umma na vyombo vya habari, isipokuwa kwa kutokana na azimio la Halmashauri linaloruhusu kuwa umma na vyombo vya habari vihudhurie. (1) Kunapotokea nafasi wazi kwenye Kamati, Kamati ya pamoja au Kamati Ndogo, Kamati itaendelea kutekeleza shughuli zake licha ya kuwepo kwa nafasi wazi hiyo au hizo au mpaka nafasi hiyo au hizo zitakapojazwa, kwa njia ya uchaguzi au uteuzi. Mjumbe atakayejaza nafasi hiyo atashika nafasi hiyo kwa kipindi kilichosalia cha Mjumbe ambaye nafasi yake imekuwa wazi. 45 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba Tangazo Namba 834 (Linaendelea) (2) Uhalali wa tendo lolote au maamuzi ya kikao chochote cha Kamati hautaathiriwa kutokana na hitilafu katika uteuzi wa Mjumbe aliyeshika nafasi hiyo au nafasi hiyo kuachwa wazi na Mjumbe, au Wajumbe au Mjumbe au Wajumbe kuamua kutoka kwenye kikao kwa lengo la kukwamisha jambo linalotaka kutolewa maamuzi na Kamati hiyo. Akidi kwenye vikao vya Kamati 55 za 56 Kanuni Kudumu katika vya Kamati vikao Upigaji kura kwenye vikao vya Kamati 57 Mihtasari Kamati ya 58 akidi kikao waliohudhuria ya Kikao, Mkurugenzi Endapo Wajumbe hawatafikia ataahirisha Kikao hicho na kukiitisha tena ndani ya siku saba (7) na endapo akidi haitatimia tena, idadi ya Wajumbe waliohudhuria itatengeneza akidi ya Kikao ambapo kikao hicho kitaendelea na itakuwa halali na Mkurugenzi atamjulisha Waziri kuwepo kwa hali hiyo. yoyote (1) Kanuni ya 16 ya Kanuni hizi za Kudumu itatumika, baada ya kufanya marekebisho yanayostahili, kwenye vikao vya Kamati za Halmashauri (2) Mjumbe anapozungumza katika kikao cha Kamati atakuwa ameketi na anaweza kuzungumza zaidi ya mara moja juu ya jambo linalojadiliwa. Masuala yote yanayoletwa mbele ya Kamati yataamuliwa kwa wingi wa kura za Wajumbe waliohudhuria na kupiga kura kwenye kikao husika. Endapo kunatokea kura mlingano mtu anayeongoza kikao hicho atakuwa na kura ya turufu. (1) Muhtasari wa kila Kamati, Kamati ya pamoja na Kamati Ndogo, utajumuisha majina ya Wajumbe waliohudhuria na wasiohudhuria, na utasainiwa kwenye kikao kinachofuata na mtu aliyeongoza kikao na muhtasari uliosainiwa hivyo, kama 46 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba Tangazo Namba 834 (Linaendelea) hakuna ushahidi wa kuwa una makosa, utapokelewa kwa ushahidi bila uthibitisho zaidi. (2) Hakuna hoja au mjadala utakaoendeshwa kuhusiana na muhtasari wa Kamati isipokuwa kuhusu usahihi wa suala lolote linalohusu usahihi litatolewa kwa hoja. Kufikiriwa Upya Maamuzi 59 60 Kutunza siri za majadiliano ya Kamati na Kamati Ndogo Pale ambapo suala lililowasilishwa limeamuliwa kwa mujibu wa Kanuni ya 55, suala hilo halitaanza kujadiliwa upya katika kikao hicho cha Kamati isipokuwa kama hoja hiyo inaungwa mkono ya Wajumbe waliohudhuria na kupiga kura. theluthi mbili na Mjumbe wa Kamati au Kamati Ndogo hatatoa nje jambo lolote lililoletwa au kuzungumzwa kwenye Kamati au Kamati Ndogo bila ruhusa ya Kamati hiyo, au Kamati Ndogo mpaka hapo Kamati hiyo au Kamati Ndogo hiyo itakapokuwa imetoa taarifa kwenye itakapokuwa Halmashauri imekamilisha utekelezaji wa jambo hilo. au 61 Kujiuzulu wadhifa Mwenyekiti wa Kamati wa Mwenyekiti wa Kamati anaweza kujiuzulu wadhifa wake kwa kutoa taarifa ya maandishi aliyoisaini na kutuma kwa Mkurugenzi. 62 (1) Mjumbe yeyote wa Kamati anaweza kujiuzulu wadhifa wake kwa kutoa taarifa ya maandishi aliyoisaini na kuituma kwa Mkurugenzi. Kujiuzulu wa ujumbe na Kamati kujazwa kwa nafasi iliyowazi 47 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba Tangazo Namba 834 (Linaendelea) za 63 Taratibu uagizaji Sura 290 (2) Nafasi inayotokana na kujiuzulu kwa Mjumbe itajazwa na Halmashauri katika kikao chake cha kawaida baada ya tarehe ya kujiuzulu kwa Mjumbe. SEHEMU YA V UNUNUZI WA VIFAA, UPATIKANAJI WA HUDUMA NA UJENZI (1) Uagizaji wa mali, huduma na ujenzi katika Halmashauri utazingatia Kanuni za Manunuzi zilizotungwa chini ya kifungu cha 68 cha Sheria za Fedha za Serikali za Mitaa, na Sheria ya Manunuzi ya mwaka 2011 pamoja na marekebisho yake ya mwaka 2016. (2) Kutakuwepo na Bodi ya Zabuni ambayo imeanzishwa kwa mujibu wa Kanuni za Bodi ya Zabuni (Uanzishwaji na Mwenendo) za Serikali za Mitaa na ambayo itasimamia shughuli zote za uagizaji katika Halmashauri. (3) Muhtasari wa Bodi ya Zabuni utapaswa kuwasilishwa kwenye kikao kifuatacho cha Halmashauri baada ya muhtasari huo kujadiliwa na kupitishwa kwanza na Kamati ya Fedha na Utawala. 64 Kumbukumbu za majadiliano yanayohusu uagizaji Bodi ya zabuni ya Halmashauri itaweka kumbukumbu ya majadiliano yanayohusu taratibu za ununuzi zikiwa na angalau taarifa zifuatazo: - (a) maelezo mafupi kuhusu vitu, ujenzi au huduma zinazotarajiwa kutolewa na haja iliyosababisha Bodi kuitisha zabuni; (b) majina na anuani ya wazabuni 48 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba Tangazo Namba 834 (Linaendelea) waliowasilisha zabuni, maelezo kuhusu sifa au ukosefu wa sifa za wazabuni waliowasilisha zabuni zao; (c) bei au msingi wa upangaji wa bei na muhtasari wa masharti mengine muhimu ya kila zabuni na ya kila mkataba wa uagizaji wa mali, huduma na ujenzi; (d) muhtasari wa tathmini na mlinganisho wa zabuni pamoja na upendeleo uliokuwepo katika tathmini hiyo; (e) kama zabuni zilikataliwa, tamko kuhusu uamuzi huo na sababu za uamuzi huo; (f) kama utaratibu mwingine wa kupata vitu au huduma mbalimbali ya utaratibu wa zabuni ndio uliotumika, basi tamko kuhusu sababu zilizoifanya Bodi iamue kutumia utaratibu huo mwingine; (g) kama zabuni ilikataliwa kwa kuwa mzabuni alitoa, alikubali kutoa moja kwa moja au kwa njia isiyo ya moja kwa moja, kwa mtumishi wa sasa au wa zamani wa Halmashauri, bakshishi ya aina yoyote, ahadi ya kumwajiri au kitu chochote kinachohusiana na ajira au chenye thamani, kama hamasisho kwa utendaji au uamuzi au utaratibu wa kutumia, tamko kuhusu jambo hilo; (h) katika upataji wa huduma, sababu na hali iliyoifanya Bodi kuchagua utaratibu wa kutumia katika upataji huo wa huduma; (i) katika upataji wa vitu au huduma ambao Bodi imeamua kudhibiti ushiriki kwa 49 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba Tangazo Namba 834 (Linaendelea) misingi ya Taifa, Mkoa au Wilaya, tamko kuhusu sababu na hali iliyofanya Bodi kudhibiti ushiriki huo; (j) katika upataji wa vifaa na huduma kwa kuwaomba watoaji kutoa mapendekezo yao moja kwa moja tamko la sababu na hali iliyofanya Bodi kuamua kutumia utaratibu huo; na (k) muhtasari wa maombi yoyote ya ufafanuzi kuhusu mchujo wa zabuni au nyaraka za zabuni na majibu yaliyotolewa pamoja na muhtasari wa marekebisho yoyote yaliyofanywa katika nyaraka hizo. Sehemu ya kumbukumbu zilizotajwa kwenye Kanuni Ndogo ya (1) (a) na (b) ya Kanuni hii zitatolewa, kama zikiombwa, kwa mtu yeyote baada ya zabuni kutangazwa, kufunguliwa na kukubaliwa, au baada ya kusimamishwa kwa taratibu za uagizaji bila ya kuingia katika mkataba wa uagizaji. itaombwa, Sehemu ya kumbukumbu zilizoelekezwa katika Kanuni Ndogo ya (1) (c) hadi (g) ya Kanuni hii itatolewa kwa wazabuni kama waliowasilisha zabuni kukubaliwa au baada ya kusitishwa bila ya kuingia kwenye mkataba wa utoaji wa vitu au huduma zabauni baada ya (2) (3) (4) Isipokuwa kama itaelekezwa hivyo na mahakama yenye mamlaka na kutegemeana na masharti ya maelekezo hayo, Bodi haitatoa habari: (a) kama utoaji huo wa habari utakuwa kinyume cha Sheria, utazuia utekelezaji wa Sheria; hautakuwa na maslahi kwa umma, utahatarisha maslahi halali ya kibiashara ya wahusika au utazuia 50 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba Tangazo Namba 834 (Linaendelea) ushindani halali; na (b) habari zinazohusu uchambuzi, tathmini na ulinganisho wa zabuni pamoja na bei mbali ya muhtasari ulioelezwa kwenye Kanuni Ndogo ya (1) (e) ya Kanuni hizi. (5) Mara baada ya zabuni kujadiliwa na Bodi, Katibu atamjulisha Mzabuni ili makubaliano ya nyaraka za mkataba yaweze kufikiwa. aliyefanikiwa (6) Nakala za muhtasari zitapelekwa kwa siri kwa kila Mjumbe wa Bodi, Mkurugenzi, Mweka Hazina, Mkaguzi wa Ndani na Mkuu wa Idara husika kwa taarifa na kumbukumbu. (7) Kila mzabuni ambaye hakufanikiwa atajulishwa na akiomba sababu za kutokubaliwa kwa zabuni yake atapaswa kupewa sababu. (8) Bodi ya Zabuni kwa kuzingatia masharti ya Kanuni za uagizaji itaandaa taarifa ya mwenendo na maamuzi ya zilizoitishwa na zabuni kuwasilishwa kwenye Mkutano wa kawaida wa Halmashauri kupitia Kamati ya Kudumu husika. Uzuiaji Rushwa wa 65 Sura 329 Katika mkataba wowote wa kimaandishi, yatawekwa maneno ambayo yataonyesha kuwa Halmashauri itakuwa na haki kusitisha mkataba na kumdai Mkandarasi malipo ya fidia kutokana na kusimamishwa kwa mkataba huo endapo Mkandarasi atabainika kuwa ameahidi kutoa au ametoa, au amekubali kutoa kwa mtu yeyote zawadi yoyote au upendeleo wa aina yoyote kama kishawishi au kumpendelea au kutomkubali mtu yeyote kuhusiana na mkataba na Halmashauri au kama vitendo hivyo vitakuwa vimefanywa na mtumishi kufanya zawadi kwa au 51 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba Tangazo Namba 834 (Linaendelea) yeyote aliyeajiriwa naye au kwa niaba yake iwe Mkandarasi anafahamu au hafahamu atakuwa ametenda kosa chini ya Sheria ya Kuzuia na Kudhibiti Rushwa ya mwaka 2007. Usimamizi wa Mikataba 66 (1) Mkurugenzi wa Halmashauri atawajibika katika usimamiaji na ufuatiliaji mzuri wa Mikataba. (2) Mkataba wa upataji vitu hautabadilishwa kwa namna yoyote ile baada ya kutiwa saini na pande zinazohusika isipokuwa kama mabadiliko hayo ni: - (a) kwa faida ya Halmashauri na hayailetei hasara Halmashauri; (b) yamethibitishwa na Bodi ya zabuni ya Halmashauri; na (c) Upande mwingine unaafiki. (3) Malipo ya mwisho hayatafanywa mpaka mkataba mzima utakapokuwa umekamilika kutokana na kuridhika kwa Halmashauri na kulingana na vipengele vya mkataba unaohusika. (4) Malipo ya fedha za salio hayatalipwa mpaka upite muda wa miezi sita na kazi iwe haina kasoro. Uvunjaji wa Mkataba 67 Pale ambapo mkataba uliotiwa lakiri au muhuri na Halmashauri haukufuatwa na mkandarasi au mtoa ikiwa ni pamoja na ucheleweshaji huduma, usiokuwa wa kimsingi, Mkurugenzi atashauriana mapema iwezekanavyo na Kamati ya Fedha, Uongozi na Mpango kwa kuzingatia taratibu zilizowekwa kwenye mkataba, kuamua hatua muafaka kumfahamisha kuchukua Mkandarasi au mtoa huduma juu ya uamuzi. na za Rejesta ya 68 (1) Mkurugenzi atatunza maelezo yote ya mikataba 52 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba Tangazo Namba 834 (Linaendelea) Mikataba kwenye rejesta ya mikataba na atafanya ulinganifu wa malipo halisi na yale yaliyoidhinishwa. (2) lazima Taarifa ya matumizi yote ya ziada yapelekwe kwenye Bodi ya Zabuni yakiambatana na maelezo kutoka kwa Mkurugenzi. 69 (1) au Diwani Afisa kutokuwa na maslahi katika Mikataba jambo Endapo Diwani au Afisa wa Halmashauri ana maslahi ya kifedha ya moja kwa moja au vinginevyo katika mkataba wowote, mkataba lolote, na yupo unaopendekezwa au kwenye Mkutano wa Halmashauri au Kamati mkataba ambapo unaopendekezwa lolote linajadiliwa, atatangaza jambo hilo mara Mkutano utakapokuwa umeanza na hatashiriki wala kuwepo katika majadiliano au kupiga kura kuhusu jambo linalohusu mkataba au mkataba unaopendekezwa au jambo lingine lolote ambalo ana maslahi nalo. au lingine huo, jambo mkataba au (2) Kanuni hii haitatumika kuhusiana na maslahi katika mkataba au suala lingine ambalo Mjumbe au Afisa wa Halmashauri ana maslahi nalo kama mlipa kodi au mkazi katika eneo lililo katika himaya ya Halmashauri (3) Diwani atahesabika kuwa na maslahi ya moja kwa moja katika mkataba au jambo jingine endapo: (a) yeye au mtu aliyemchagua ni Mjumbe wa kampuni au chombo kingine au anayo hati ya hisa katika kampuni ambayo itaingia, au imependekezwa iingie katika mkataba, au anao uhusiano wa kifedha katika jambo linalojadiliwa; au (b) yeye ni mbia au ameajiriwa na mtu ambaye mkataba unafanywa naye, au utakuwa chini yake, au anao uhusiano wa kifedha wa moja kwa moja katika suala 53 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba Tangazo Namba 834 (Linaendelea) linalojadiliwa au kuzungumzwa. (4) Katika Kanuni hii maslahi ya moja kwa moja na yasiyo ya moja kwa moja ya mwanandoa au ndugu wa familia kama inafahamika kwa Mjumbe wa Halmashauri itachukuliwa kuwa ni maslahi ya moja kwa moja au yasiyo ya moja kwa moja. (5) Taarifa ya jumla itakayotolewa kwa Mkurugenzi na Diwani au Afisa wa Halmashauri kuhusiana na yeye, mkewe, mumewe au ndugu yake kwamba ana maslahi ya moja kwa moja au yasiyo ya moja kwa moja katika mkataba unaokusudiwa au jambo lingine na akieleza aina ya maslahi itachukuliwa, isipokuwa pale atakapoondoa taarifa hiyo, kuwa ametoa taarifa ya kutosha ya maslahi yake kuhusiana na suala ambalo limo katika mjadala. (6) Mkurugezi ataandika katika rejista ya kutangaza maslahi taarifa za watu wenye maslahi waliotoa taarifa chini ya Kanuni Ndogo ya (1) na taarifa yoyote iliyomo katika Kanuni Ndogo ya (5) itakuwa wazi kwa ukaguzi wakati wa saa za kazi. (7) Halmashauri inaweza baada ya kupata kibali cha Waziri, kuondoa kizuizi chini ya Kanuni hii kinachoifanya ishindwe wakati wowote kufanya Mkutano pale ambapo idadi ya Wajumbe wenye maslahi ni kubwa mno kiasi cha kukwamisha shughuli za Halmashauri au itakuwa ni kwa maslahi ya wakazi wa Halmashauri kuondoa kikwazo hicho. (8) Katika Kanuni za Kudumu hizi, ndugu wa familia itachukuliwa kuwa ni pamoja na baba, mama, mtoto, kaka, au dada na wanandoa wao. 54 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba Tangazo Namba 834 (Linaendelea) na 70 Kiapo kukubali Wadhifa SEHEMU YA VI MASUALA MENGINE Kila Diwani kabla ya kushika wadhifa wake kama Diwani na kabla ya Mkutano wa kwanza wa Halmashauri: - (a) atakula kiapo kama kilivyoonyeshwa kwenye Jedwali la Pili la Kanuni hizi za Kudumu kitakachosimamiwa na Hakimu Mkazi au Hakimu wa Wilaya; na (b) atatoa tamko la kimaandishi lililoandikwa kwa Mkurugenzi akiahidi kutekeleza jambo linalohusiana na tamko la maslahi katika shughuli za kibiashara, mali, na kadhalika na kuzifuata Kanuni za Maadili ya Madiwani. 71 (1) Diwani atakuwa na majukumu yafuatayo: - (a) kuwa karibu na wapiga kura na kupata ushauri wa Wananchi katika mambo yanayotarajiwa kwenye Halmashauri. kujadiliwa (b) kutoa maoni na mapendekezo ya (c) (d) (e) wananchi kwa Halmashauri; kuhudhuria mikutano ya Halmashauri na ya Kamati au Kamati Ndogo ambamo yeye ni Mjumbe; kutenga angalau siku moja kila mwezi kukutana na wananchi katika eneo lake la uchaguzi; kutoa taarifa kwa wapiga kura kuhusu maamuzi ya jumla ya Halmashauri na hatua zilizochukuliwa na Halmashauri kuondoa matatizo yaliyowahi kuelezwa na wakazi wa eneo lake la uchaguzi; (f) kuchangia ujuzi na uzoefu wake katika majadiliano katika mikutano ya Halmashauri na Kamati za yanayofanyika 55 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba Tangazo Namba 834 (Linaendelea) Halmashauri; na (g) kushiriki katika shughuli za pamoja za maendeleo katika eneo lake la uchaguzi na katika eneo zima la Halmashauri. (2) Katika kutekeleza wajibu wake Diwani atazingatia; (a) Maslahi ya Taifa na maslahi ya Wananchi katika eneo la Halmashauri; (b) Katiba, Sheria na Kanuni; (c) Kanuni za Maadili ya Madiwani, Mwongozo juu ya mahusiano ya Madiwani na Watumishi na miiko mingine. Nafasi Wazi 72 (1) Kiti cha Mjumbe wa Halmashauri kitakuwa wazi endapo Mjumbe: (a) (b) (c) (d) (e) (f) (g) kinachozidi miezi amefariki anakubali ajira kama mtumishi wa Halmashauri; kwa mujibu wa Sheria, yoyote atakayethibitishwa na jopo la madakitari wa Serikali kuwa hana akili timamu; yuko chini ya hukumu ya kifo au kifungo sita kilichotolewa kwake na mahakama; kwa mujibu wa Sheria yoyote anatamkwa kuwa anapoteza sifa za kuendelea kuwa Mjumbe; atakoma kuwa mwanachama wa chama cha siasa kilichompendekeza kuwa mgombea wa kiti cha udiwani; kosa amepatikana anapokuwa kutokana na Kanuni za Maadili ya Madiwani na adhabu ya kosa alilotenda ni pamoja na kumwondoa Mjumbe na 56 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba Tangazo Namba 834 (Linaendelea) (h) (i) (j) (k) (l) (m) imevunjwa na kuathiri madarakani; na anapoteza ujumbe kwa mujibu wa Kanuni ya 71 (2) ya Kanuni hizi za Kudumu; anahukumiwa kwa kosa la kutotaja maslahi yake; amejiuzulu kutoka kiti chake; Halmashauri mipaka ya majimbo ya uchaguzi; uchaguzi wa Mjumbe umetangazwa kuwa batili; au bila sababu ya kuridhisha au bila idhini cha kibali au Mwenyekiti, anakosa kuhudhuria mikutano mitatu ya kawaida inayofuatana ya Halmashauri au vikao vitatu vya Kamati ambamo yeye ni Mjumbe. cha maandishi Mjumbe Sura 287 (2) Waziri atatangaza kuwa wazi pale kiti atakapojulishwa na Mwenyekiti wa Halmashauri kwa maandishi kwamba kiti kiko wazi kwa kuzingatia masharti ya kifungu cha 42 (1) cha Sheria ya Serikali za Mitaa (Mamlaka za Wilaya). Kutokuwepo kwa Wajumbe 73 (1) Halmashauri yaweza kutoa idhini ya kutokuwepo katika mikutano yake kwa muda usiozidi miezi kumi kwa Mjumbe yeyote anayetaka kwenda nje ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. (2) Pale ambapo Mjumbe kwa sababu yoyote ile amekuwa nje ya nchi kwa muda unaozidi miezi kumi kiti chake cha udiwani kitachukuliwa kuwa kipo wazi. Taratibu za 74 (1) Pale ambapo Halmashauri inakusudia kutunga 57 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba Tangazo Namba 834 (Linaendelea) kutunga Sheria Ndogo Sheria Ndogo itatoa tangazo kwa wakazi wa eneo husika kuhusu kusudio hilo katika namna ambayo itahakikisha kuwa watakaoathirika na Sheria inayokusudiwa kutungwa wanafahamu Ndogo vilivyo kutoa pingamizi lolote au mapendekezo yao kwa maandishi katika muda uliowekwa. na kuwaomba wanaopenda (2) pingamizi Pale ambapo baada ya muda wa taarifa kumalizika hakuna malalamiko yaliyowasilishwa, au hakuna mtu yeyote aliyetoa pingamizi inayokubalika mbele ya Halmashauri, Halmashauri itaendelea kutunga Sheria Ndogo ikizingatia malalamiko na pingamizi zilizotolewa. au (3) Sheria Ndogo, zikishatungwa na Halmashauri zitapelekwa kwa Mkuu wa Mkoa ambamo Halmashauri husika imo ili aweze kuzitolea maoni yake na kisha kuziwasilisha kwa Waziri. (4) Waziri anaweza kuidhinisha, kukubali au kukataa kuidhinisha Sheria Ndogo au kusimamisha kibali chake kwa kutoa masharti atakayoyaeleza na anaweza baada ya kutoa idhini yake, kupanga tarehe ya kuanza kutumika kwa Sheria Ndogo hizo. kutoa au (5) Waziri anaweza, kabla ya kuidhinisha Sheria Ndogo zenye athari kwenye maeneo yaliyotengwa au maeneo Maalum au kwa Sheria nyingine yoyote, kushauriana na Waziri anayehusika na Sheria husika au na jambo lililotungiwa Sheria Ndogo kadri itakavyokuwa. (6) Sheria Ndogo yoyote iliyotungwa na Halmashauri lazima itangazwe katika Gazeti la Serikali kabla ya kuanza kutumika. Ukaguzi wa 75 (1) Mjumbe ataweza, kwa madhumuni ya kutekeleza 58 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba Tangazo Namba 834 (Linaendelea) Nyaraka Sura 287 76 Uanzishaji wa Bodi za Huduma Sura 287 wajibu wake kama Mjumbe, na si vinginevyo, kukagua au kupewa akiomba waraka wowote ambao umejadiliwa na Kamati ya Halmashauri na kama nakala zinapatikana, anaweza kupewa, akiomba nakala kwa madhumuni hayo hayo. (2) Mjumbe hatakagua kwa makusudi au kutaka apewe nakala ya waraka wowote unaohusu jambo ambalo yeye ana maslahi nalo kwa mujibu wa Sheria ya Serikali za Mitaa (Mamlaka za Wilaya),. Hata hivyo Kanuni hii haitamzuia Mkurugenzi kuzuia kukaguliwa kwa waraka wowote ambao umezuiliwa kutolewa kwa mujibu wa Sheria yoyote au Kanuni zilizotungwa chini ya Sheria hizo. (1) Halmashauri inaweza, kwa mujibu wa kifungu 88 cha Sheria ya Serikali za Mitaa (Mamlaka za Wilaya), kwa madhumuni ya kutekeleza kazi zake katika eneo lililo chini ya mamlaka yake, kuunda Bodi za Huduma kwa hati rasmi iliyotangazwa kwenye Gazeti la Serikali, kama itakavyoona inafaa kufanya hivyo. (2) Bodi ya Huduma iliyotajwa katika Kanuni Ndogo ya (1) ya Kanuni hizi itawajibika moja kwa moja kwenye Halmashauri kupitia Kamati ya Kudumu husika kama zake itatekeleza ilivyofafanuliwa katika hati inayoianzisha. kazi na 77 Diwani kutembelea maeneo,shugh uli mbalimbali za ujenzi n.k (1) Mjumbe wa Halmashauri anaweza kutembelea eneo, jengo au shughuli za ujenzi zinazotekelezwa nje ya Kata yake na au kwa niaba ya Halmashauri na kabla ya kutembelea mradi atutuma taarifa kwa Mkurugenzi akieleza sababu za matembezi yake ili aweze kupangiwa Wataalam wa mradi au shughuli husika kwa ajili kupata maelekezo ya kitaalam. 59 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba Tangazo Namba 834 (Linaendelea) (2) Mjumbe wa Halmashauri anapotembelea shughuli au miradi ya maendeleo inayotekelezwa na au kwa niaba ya Halmashauri hataruhusiwa kutoa maelekezo au maagizo ya kitaalam awapo kwenye eneo la mradi. (3) (4) Baada ya Diwani kutembelea maeneo au majengo kama ilivyoainishwa kwenye Kanuni Ndogo ya (1) ya Kanuni hii anaona kuna umuhimu wa kutoa maoni au mang’amuzi yake juu ya matembezi hayo atafanya hivyo kwa kuwasilisha maoni au mang’amuzi yake kwa Mkurugenzi ambaye atafanyia kazi afisa au kuyapeleka kwa anayesimamia kazi husika kwa utekelezaji. Endapo maoni au mang’amuzi ya Diwani hayawezi kufanyiwa kazi na Mkurugenzi au Afisa mhusika, basi atamshauri Diwani kupeleka maoni na mang’amuzi yake kwa Kamati inayohusika ili yachunguzwe zaidi na kuamuliwa. (5) Kamati za Kudumu za Halmashauri, zinaweza kutembelea mara moja kila robo mwaka miradi ya maendeleo au shughuli yoyote inayotekelezwa na au kwa niaba ya Halmashauri na ambayo inaihusu Kamati husika ili mradi katika kutembelea miradi hiyo Kamati itaongozana na Wataalam wa mradi au shughuli husika ili kupata maelekezo ya kitaalam. (6) Kamati ya Kudumu itatembelea miradi au shughuli za maendeleo kabla ya kikao cha Kamati ambacho kitajadili mradi au shughuli hiyo. Uhifadhi wa ya lakiri Halmashauri 78 Lakiri ya Halmashauri itatunzwa kwa usalama na kufungiwa katika kasiki kwenye Ofisi ya Mkurugenzi mwenyewe. 60 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba Tangazo Namba 834 (Linaendelea) Utiaji muhuri kwenye Nyaraka 79 (1) (2) Uandikishaji wa anuani 80 (1) (2) Lakiri ya Halmashauri haitabandikwa katika hati yoyote mpaka ubandikaji huo umeidhinishwa na azimio la Halmashauri likiidhinisha kukubaliwa kwa zabuni, ununuzi, uuzaji au upangishaji au kuchukua mali yoyote, utoaji wa hati yoyote ya ukopeshaji fedha, uwasilishaji wa madai yoyote, uwekaji wa viwango vya kodi, uingiaji kwenye mkataba, kutunga Sheria Ndogo, au hati yotote iliyo rasmi ambayo kwa mujibu wa Sheria au Kanuni yoyote lakiri ya Halmashauri. inahitaji kuwekwa au itashuhudiwa kuthibitishwa au Makamu Mwenyekiti na Lakiri Mwenyekiti Mkurugenzi, zitasainiwa Mwenyekiti, kama hali itakavyokuwa. hati na Mwenyekiti na na lakiri au Makamu zilizowekwa Itakuwa wajibu wa kila Mjumbe katika kikao cha kwanza cha Halmashauri, baada ya uchaguzi kutoa taarifa ya maandishi kwa Mkurugenzi juu ya anuani yake ya Kudumu ya kupokelea taarifa. Taarifa zilizopelekwa kwa kutumia anuani iliyoandikishwa itachukuliwa kama ndiyo sahihi na inatosheleza kwa matumizi yote. iwe Iwapo Mjumbe atatoa taarifa ya maandishi kwa Mkurugenzi kuwa angependa taarifa ya mikutano ya Halmashauri inatumwa kwake kwa kutumia anuani atakayoitaja kwenye taarifa hiyo ambayo ni tofauti na ile katika Kanuni Ndogo ya (1), taarifa yoyote itakayoachwa au itakayotumwa kwa njia ya posta kwa kutumia anwani hiyo itachukuliwa kuwa inatosha kwa ajili ya kutoa taarifa inayotakiwa kwa mujibu wa Kanuni za Kudumu hizi. Uteuzi Wajumbe wa 81 (1) Katika Mkutano wake wa kwanza, Halmashauri itateua wawakilishi wake kwenye Bodi na Taasisi 61 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba Tangazo Namba 834 (Linaendelea) kwenye Taasisi za nje za nje kuwakilishwa. ambazo Halmashauri inastahili (2) Mjumbe au Wajumbe, wanaoiwakilisha Halmashauri kwenye Bodi na Taasisi za nje, watatakiwa kuwasilisha kwa Mkurugenzi taarifa kuhusu shughuli za Bodi au Taasisi zinazogusa sera na maslahi ya Halmashauri na wakazi wake kijumla na Mkurugenzi atachukua hatua zifaazo. Kumwondoa Mwenyekiti madarakani 82 (1) Halmashauri inaweza kumwondoa Mwenyekiti madarakani kwa azimio linaloungwa mkono na theluthi mbili ya Wajumbe kutokana na sababu yoyote kati ya sababu zifuatazo:- (a) kutumia nafasi yake vibaya; (b) (c) (d) (e) kushiriki katika vitendo vya rushwa; kushindwa kutekeleza majukumu yake mwenendo mbaya au ukosefu wa adabu; au Ulemavu wa kimwili au kiakili kwa kiasi cha kumfanya kushindwa kutekeleza majukumu yake kama Mwenyekiti. (2) Hoja au sababu zitakazotolewa imetimiza masharti yafuatayo: lazima iwe (i) iwe na tuhuma mahsusi yenye ushahidi wa kutosha; na (ii) iwe imetolewa maelezo kamili na yenye tuhuma kuhusu kueleweka zinazohusika. (3) Kwa madhumuni ya kumwondoa Mwenyekiti madarakani, kwa sababu zozote zilizotamkwa chini ya Kanuni Ndogo ya (1) ya Kanuni hii, 62 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba Tangazo Namba 834 (Linaendelea) Halmashauri itatumia taratibu zilizotolewa katika Mwenyekiti Taratibu zilizotangazwa na Waziri kwenye gazeti la Serikali kwa mujibu wa Sheria. Kumwondoa za SEHEMU YA VII POSHO KWA WAJUMBE Aina za Posho 83 (1) Wajumbe wa Halmashauri watalipwa posho na mbalimbali Halmashauri na kuidhinishwa na Waziri. itakavyopendekezwa kama (2) zitakazolipwa Posho Halmashauri zitakuwa za aina zifuatazo: (a) posho ya usafiri; kwa Wajumbe wa (b) posho ya kuhudhuria kikao; (c) posho ya madaraka; (d) posho ya kujikimu; (e) posho ya mwezi; na (f) Kiinua mgongo. Posho endapo Mkutano umehairishwa 84 (3) Endapo Mjumbe wa Halmashauri ataugua au ataumia wakati akifanya kazi aliyotumwa na Halmashauri, gharama za matibabu yake zitalipwa na Halmashauri. Endapo Mkutano wa Halmashauri au kikao cha Kamati utaahirishwa kwa sababu ya kukosekana kwa akidi, Mjumbe au Wajumbe waliofika kwa ajili ya kuhudhuria Mkutano huo ulioahirishwa watastahili malipo yaliyotajwa katika Kanuni ya 81(2) (a) na (d) iwapo wamelazimika, bila kukusudia, kulala njiani au kwenye makao makuu 63 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba Tangazo Namba 834 (Linaendelea) ya Halmashauri. Hakuna malipo ya posho ya kuhudhuria kikao yatakayofanywa katika hali ya namna hiyo. SEHEMU YA VIII MABADILIKO KWENYE KANUNI ZA KUDUMU (1) Kanuni yoyote inaweza kusitishwa kwa azimio lililoungwa mkono na theluthi mbili za Wajumbe waliohudhuria Mkutano wa Halmashauri kwa hoja iliyopendekezwa bila taarifa kwa madhumuni ya kuwezesha shughuli yoyote iliyofafanuliwa ili ishughulikiwe na Halmashauri kama jambo la dharura au lenye manufaa. (2) Halmashauri haitasitisha matumizi ya Kanuni yoyote kama kusitisha huko kutasababisha kufanya jambo ambalo limezuiliwa na Sheria au kutofanya jambo linalotakiwa kufanywa chini ya Sheria yoyote. Halmashauri inaweza kubadilisha, kuongeza, kurekebisha au kutengua Kanuni hizi za Kudumu kwa azimio lililoungwa mkono kwa wingi usiopungua theluthi mbili ya kura na baada ya kupata idhini ya Waziri. Nakala iliyochapishwa ya Kanuni za Kudumu hizi zitatolewa na Mkurugenzi kwa kila Mjumbe. Uamuzi wa Mwenyekiti kuhusu maana ya matumizi ya Kanuni hizi au mwenendo wa Mkutano wa Halmashauri hautapingwa wakati wa Mkutano wowote wa Halmashauri 64 85 Kusitisha utumiaji wa za Kanuni Kudumu 86 Marekebisho na mabadiliko ya Kanuni za Kudumu 87 za Kanuni Kudumu kutolewa kwa Wajumbe Kutafsiri Kanuni Kudumu 88 za Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba Tangazo Namba 834 (Linaendelea) SEHEMU YA IX ZIARA ZA WAJUMBE Ziara Wajumbe za 89 (1) Wajumbe wa Halmashauri wanaweza kwenda ziara mbalimbali za mafunzo ili mradi ziara hizo ziwe zimeainishwa kwenye mpango na bajeti ya Isipokuwa kwa ziara ambazo Halmashauri. gharama ya hazihusiani Halmashauri Wajumbe watafanya ziara hizo kwa mujibu wa ratiba ya mpango huo. bajeti zake na (2) Bila kuathiri masharti ya Kanuni Ndogo ya (1) ya Kanuni hizi Halmashauri kabla ya kuruhusu kufanyika kwa ziara itahakikisha kwamba: (a) (b) shughuli ya ziara hiyo shughuli zinazofanywa na Halmashauri; inafanana na ziara hiyo itafanyika baada ya kupata kibali cha Mkuu wa Mkoa; (c) Wajumbe wana kwenda kuonyesha kule wanakokwenda kujifunza; kitu cha (d) ziara zinazofanyika nje ya Mkoa zihusishe wadau mbalimbali wa Halmashauri kutegemeana na ziara husika; (e) ziara iwe na matunda yanayoonekana; (f) Wajumbe walioshiriki kwenye kuandaa ziara warejeapo wanatakiwa na kuwasilisha ripoti ya maandishi kwa Halmashauri kuhusu mambo mapya na ya msingi waliyojifunza na kuweka utaratibu mzuri wa kuyatekeleza kwenye Kata zao na kwenye Halmashauri; 65 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba Tangazo Namba 834 (Linaendelea) (g) zitafanywa ziara walengwa na itakavyokubalika na Halmashauri. kwa mahitaji kuzingatia kama 90 Wimbo au Dua na ya sala kuiombea Halmashauri Kabla ya kuanza kwa Mkutano wa Halmashauri utaimbwa wimbo wa Taifa na kufuatiwa na Dua au Sala ya kuiombea Halmashauri ifuatayo; “Ewe MWENYEZI MUNGU Mtukufu, Muumba wa Mbingu na Dunia umeweka katika Dunia Serikali za Wanadamu ili haki yako itendeke. Twakuomba, uibariki Halmashauri yetu ya Wilaya ya Kwimba idumishe uhuru, umoja, haki na amani. Uwajalie viongozi wetu wa Halmashauri hekima, afya njema na maisha marefu ili pamoja na wanaowashauri wadumishe utawala bora. Utuongezee hekima na busara sisi Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba na utupe dhati, mambo uwezo wa kwa yatakayoletwa mbele yetu tufanye maamuzi sahihi yenye manufaa kwa watu wote na ibariki ustawi wa Halmashauri yetu. Mungu Tanzania, AMINA” kujadili leo, ili JEDWALI LA KWANZA (Limetengenezwa chini ya kanuni ya 44(3)) HADIDU ZA REJEA ZA KAMATI ZA KUDUMU ZA HALMASHAURI ZA WILAYA Madhumuni ya jumla:
Part
SEHEMU YA V
- 64 Verify source ↗
Kumbukumbu za majadiliano yanayohusu uagizaji
AI-assisted research summary: This provision concerns records of discussions about imports.
64. Kumbukumbu za majadiliano yanayohusu uagizaji. - 69 Verify source ↗
Diwani au Afisa kutokuwa na maslahi kwenye Mikataba
AI-assisted research summary: Hiki kifungu kinaonyesha mada ya diwani au afisa kutokuwa na maslahi kwenye mikataba.
69. Diwani au Afisa kutokuwa na maslahi kwenye Mikataba. SEHEMU YA VI MASUALA MENGINE
Part
SEHEMU YA VI
- 74 Verify source ↗
Taratibu za kutunga Sheria Ndogo
AI-assisted research summary: This section is about the procedure for making subsidiary by-laws.
74. Taratibu za kutunga Sheria Ndogo. 3 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba Tangazo Namba 834 (Linaendelea) - 77 Verify source ↗
Diwani kutembelea maeneo, shughuli mbalimbali za ujenzi
AI-assisted research summary: Section title referring to a ward councillor visiting areas and various construction activities.
77. Diwani kutembelea maeneo, shughuli mbalimbali za ujenzi. - 81 Verify source ↗
Uteuzi wa Wajumbe kwenye Taasisi za nje
AI-assisted research summary: Sehemu hii inaeleza uteuzi wa wajumbe kwenye taasisi za nje.
81. Uteuzi wa Wajumbe kwenye Taasisi za nje. - 82 Verify source ↗
Kumwondoa Mwenyekiti madarakani
AI-assisted research summary: Section title: removing the chairperson from office; the text also shows this is in Part VII on allowances for members.
82. Kumwondoa Mwenyekiti madarakani. SEHEMU YA VII POSHO KWA WAJUMBE
Part
SEHEMU YA VII
- 84 Verify source ↗
Posho iwapo mkutano umeahirishwa
AI-assisted research summary: Section 84 concerns an allowance or fee if a meeting has been adjourned.
84. Posho iwapo mkutano umeahirishwa. SEHEMU YA VIII MABADILIKO KWENYE KANUNI ZA KUDUMU
Part
SEHEMU YA VIII
- 85 Verify source ↗
Kusitisha utumiaji wa Kanuni za Kudumu
AI-assisted research summary: Kifungu hiki kinaweka mada ya kusitisha utumiaji wa Kanuni za Kudumu.
85. Kusitisha utumiaji wa Kanuni za Kudumu. - 86 Verify source ↗
Marekebisho na mabadiliko ya Kanuni za Kudumu
AI-assisted research summary: Sehemu hii inahusu marekebisho na mabadiliko ya Kanuni za Kudumu.
86. Marekebisho na mabadiliko ya Kanuni za Kudumu. - 87 Verify source ↗
Kanuni za Kudumu kutolewa kwa Wajumbe
AI-assisted research summary: Standing orders are to be issued to members.
87. Kanuni za Kudumu kutolewa kwa Wajumbe. - 90 Verify source ↗
Dua/sala ya kuiombea Halmashauri
AI-assisted research summary: This section introduces the Kwimba District Council Standing Orders for 2020 and defines key terms used in the rules.
90. Dua/sala ya kuiombea Halmashauri. SEHEMU YA 1 MASHARTI YA MWANZO KWA KUWA Kauli-mbiu ya Halmashauri ni kuendesha shughuli kwa namna inayozingatia demokrasia, ufanisi, tija, ushirikishwaji, uwazi na uwajibikaji. NA KWA KUWA jukumu la Halmashauri ni 4 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba Tangazo Namba 834 (Linaendelea) kuimarisha demokrasia katika ngazi zote na kutoa huduma kwa wananchi kwa kuzingatia ufanisi, usawa, haki na kwa namna inayochochea maendeleo ya maeneo yaliyo chini ya mamlaka ya Halmashauri kwa kuwashirikisha wananchi. NA KWA KUWA madhumuni ya Kanuni za Kudumu ni kuweka utaratibu wa namna Halmashauri na shughuli zake kwa kuzingatia misingi ya utawala bora. itakavyoendesha mikutano SASA BASI, Kanuni za Kudumu hizi zinaelekeza ifuatavyo: Kanuni hizi zitaitwa Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba za Mwaka 2020. Katika Kanuni hizi isipokuwa kama itaelezwa vinginevyo: “Afisa wa Serikali za Mitaa” Maana yake ni mtu ambaye ameajiriwa na au ambaye yumo katika utumishi wa Mamlaka ya Serikali za Mitaa na ambaye anashika au anakaimu katika nafasi ya menejimenti; “Diwani” Maana yake ni Mjumbe wa Halmashauri aliyetajwa kwa mujibu wa kifungu 35 cha Sheria ya Serikali za Mitaa (Mamlaka za Wilaya); Jina Tafsiri 1 2 Sura ya 287 “Fujo” Maana yake ni kitendo chochote kinachoweza kufanywa na Mjumbe au Mshiriki wa Kikao cha Halmashauri au Kamati ya Kudumu ambacho ni kinyume na taratibu za uendeshaji wa vikao, kinachoweza kuvuruga kikao. Mfano ya Mwenyekiti, kutoa lugha isiyofaa, kutoa kauli kuongea ruhusa bila 5 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba Tangazo Namba 834 (Linaendelea) yenye maudhi, kuingia kwenye kikao akiwa amelewa, kuingia na silaha, kutoa lugha ya kashfa, matusi, kejeli au kukaidi amri ya Mwenyekiti, kukaidi kutoka nje anapoamriwa kutoka kutokana na fujo alizosababisha; “Halmashauri” Maana yake ni Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba; “Kamati” (a) Inapotumika na kuhusiana Halmashauri ina maana ya Kamati iliyoanzishwa au iliyoteuliwa na Halmashauri chini ya Sheria; (b) Inapotumika kuhusiana na Kamati Ndogo maana yake ni Kamati Ndogo hiyo iliyoteuliwa na Kamati; (c) Inapotumika na kuhusiana Kamati nyingine ina maana ya Kamati hiyo. "kauli zenye kashfa'' maana yake ni maneno yenye lengo la kumdhihaki na kumdhalilisha mtu utu wake; “Mamlaka ya Mji Mdogo” Maana yake ni Mamlaka ya Mji Mdogo ulioanzishwa chini ya Kifungu cha 13 cha Sheria; “Mkurugenzi” Maana yake ni Mkurugenzi 6 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba Tangazo Namba 834 (Linaendelea) Sura ya 287 Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba pamoja na Afisa yeyote aliyeteuliwa kutekeleza majukumu ya Mkurugenzi; “Mjumbe” Maana yake ni Mjumbe wa Halmashauri kama ilivyoainishwa na kifungu cha 35 cha Sheria; “Mwenyekiti” (a) Kwa madhumuni ya Halmashauri maana yake ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba, na inajumuisha Makamu Mwenyekiti wakati anapotekeleza majukumu ya Mwenyekiti kwa mujibu wa Kanuni hizi. (b) Kwa madhumuni ya Kamati, au Bodi Kamati Ndogo maana yake ni Mwenyekiti 7 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba Tangazo Namba 834 (Linaendelea) wa Kamati, Bodi au Kamati Ndogo. (c) Kwa maana ya Bodi ya ni Zabuni Mwenyekiti wa Bodi ya Zabuni (d) Kwa maana ya Kamati ya ni Ukaguzi Mwenyekiti wa Kamati ya Ukaguzi (e) Kwa maana ya Bodi ni Mwenyekiti wa Bodi ya Ajira “Sheria” Maana yake ni Sheria ya Serikali za Mitaa (Mamlaka za Wilaya); “Waziri” Maana yake ni Waziri mwenye dhamana ya Serikali za Mitaa. SEHEMU YA II MIKUTANO YA HALMASHAURI Mikutano kawaida Halmashauri ya ya
Part
sehemu ya mihtasari ya Kamati za Kudumu na
- 33 Verify source ↗
Section 33
AI-assisted research summary: Certain motions must be deferred without debate, committee-related financial impacts may need a report, and proposals in the report can be voted on one by one if a member requests it.
33. (1) Hoja yoyote isiyotokana na mapendekezo au taarifa ya Kamati ya Fedha, Utawala na Mipango na ambayo, kama ikikubaliwa,itaongeza matumizi au kupunguza mapato yaliyo chini ya usimamizi wa Kamati yoyote, au itasababisha matumizi ya Kamati ya Kudumu, baada ya kupendekezwa au kuungwa mkono, itaahirishwa bila majadiliano mpaka Mkutano wa kawaida wa Halmashauri unaofuata, na Kamati yoyote inayohusika na hoja hiyo itafikiria iwapo ingependa kutoa taarifa kuhusu athari za kifedha za pendekezo hilo. inapowasilishwa kwenye Taarifa ya Kamati Halmashauri, hoja taarifa ipokelewe”na baada ya kukubaliwa na Wajumbe taarifa itaanza kujadiliwa kipengele kimoja baada ya kingine. itakuwa “kwamba (2) Mapendekezo yoyote yaliyomo katika taarifa hiyo 36 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba Tangazo Namba 834 (Linaendelea) yatapigiwa kura moja baada ya nyingine iwapo Mjumbe yeyote atapenda iwe hivyo. Baada ya hapo itawasilishwa mbele ya Mkutano kwa kupokelewa ikiwa na au bila marekebisho. taarifa nzima Kuidhinishwa kwa taarifa ya Kamati - 34 Verify source ↗
Section 34
AI-assisted research summary: Kichwa cha kifungu kinahusu uhalali wa majadiliano ya Halmashauri.
34. Uhalali wa majadiliano ya Halmashauri - 35 Verify source ↗
Section 35
AI-assisted research summary: This provision lets the council form and manage committees, but limits delegation and requires reports, notices, and approvals in several cases.
35. 36 wa Uwezo Halmashauri kujigeuza kuwa Kamati ya Halmashauri nzima 37 Hoja zinazohusu watumishi wa Halmashauri itamaanisha Taarifa ya Kamati inapokuwa imepokelewa na hatua Halmashauri zilizochukuliwa na Kamati iliyowasilisha taarifa hiyo zimeidhinisha na mapendekezo yaliyo taarifa yatatekelezwa na kwamba kwenye Mkurugenzi atakuwa Halmashauri ameelekezwa kama inavyotakiwa. kuwa wa Uhalali wa majadiliano kwenye Halmashauri hautaathiriwa na nafasi yoyote wazi ya Mjumbe, dosari zozote zilizo katika uchaguzi au uteuzi wa Wajumbe wa Kamati au zile za maafisa wake. Halmashauri inaweza kujigeuza kuwa Kamati ya Halmashauri nzima, na mara baada ya kujigeuza, taratibu za kuendesha vikao vya Kamati za Kudumu zitatumika. Kama litajitokeza jambo lolote katika mkutano wa Halmashauri linalohusu uteuzi, kupandishwa cheo, kufukuzwa kazi, mishahara au mazingira ya kazi au utendaji kazi kwa jumla wa mtumishi yeyote wa Halmashauri, jambo hilo litajadiliwa katika Kamati ya Halmashauri nzima. Kushiriki kwa Umma 38 (1) Mtu yeyote ambaye ni mkazi katika eneo la Halmashauri anaweza kuhudhuria kikao cha Halmashauri kwa nia ya kuwasilisha hoja mbele ya Halmashauri, baada ya kutoa taarifa kwa 37 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba Tangazo Namba 834 (Linaendelea) maandishi kwa Mkurugenzi, na Mkurugenzi akamkubalia kufanya hivyo. (2) Mtu yeyote ambaye ni mkazi katika eneo la Halmashauri anaweza kualikwa kuhudhuria kikao cha Kamati au Kamati Ndogo kabla uamuzi haujafanyika kuhusu masuala ambayo ana maoni mahsusi. Uahirishaji wa mikutano 39 (1) Kwa kuzingatia masharti ya Kanuni Ndogo ya (2) ya Kanuni 17 na Kanuni Ndogo ya 2 ya Kanuni hii, Halmashauri haitaahirisha Mkutano wake hadi dondoo zote za agenda ya Mkutano huo zitakapojadiliwa na kutolewa uamuzi. Kamati Kudumu za 40 (2) Pale ambapo katika Mkutano wowote wa Halmashauri akidi haikutimia, Wajumbe waliopo wataahirisha Mkutano na utaratibu wa kuitisha Mkutano mwingine utafanyika kwa kuzingatia maelekezo ya Kanuni hizi. SEHEMU YA IV KAMATI zitakuwa na (1) Halmashauri katika Mkutano wake wa mwaka itateua Wajumbe wa Kamati za Kudumu zifuatazo ambazo idadi ya Wajumbe (ukimwondoa Mwenyekiti wa Halmashauri isipokuwa katika Kamati ya Fedha, Utawala na mipango) kama inavyoonyesha hapa chini au kama itakavyorekebishwa na Halmashauri mara kwa mara. Isipokuwa katika kuteua Wajumbe wa Kamati ya Fedha, Utawala na Mipango Mwenyekiti na Mkurugenzi watazingatia uwiano wa uwakilishi wa vyama vya siasa katika Halmashauri. Kamati 38 Idadi ya Wajumbe Akidi Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba Tangazo Namba 834 (Linaendelea) (a) Kamati ya Fedha ,Uongozi na Mipango (b)Kamati ya Elimu,Afya na Maji (c) Kamati ya Masuala ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira. (d)Kamati ya Maadili ya Madiwani (e)Kamati ya Kudhibiti Ukimwi 10 07 08 05 02 05 04 04 03 02 (2) Kila Mjumbe wa Halmashauri atakuwa Mjumbe wa angalau Kamati moja ya Kudumu. Kamati ya Fedha, Utawala na mipango itakuwa na Wajumbe wafuatao: - (a) Mwenyekiti wa Halmashauri ambaye atakuwa Mwenyekiti. (b) Makamu Mwenyekiti (c) Mbunge au Wabunge wa Majimbo wanaowakilisha Majimbo katika eneo la Halmashauri (d) Wenyeviti wa Kamati za Kudumu za Halmashauri (e) Wajumbe wengine wasiozidi wawili (2) watakaopendekezwa na Mwenyekiti na kupigiwa kura na Baraza la Halmashauri mmoja kati yao awe mwanamke. (3) Wajumbe wa Kamati za Kudumu watashika nyadhifa zao kwa muda wa mwaka mmoja na wataendelea kushika nyadhifa hizo mpaka Mkutano wa mwaka wa Halmashauri unaofuata. 39 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba Tangazo Namba 834 (Linaendelea) Isipokuwa Wajumbe waliochaguliwa kwenye Mkutano wa kwanza baada Uchaguzi Mkuu watashika nyadhifa zao kwa muda uliobaki kumaliza Mwaka wa Fedha ambapo Uchaguzi utafanyika tena. (4) Halmashauri inaweza wakati wowote kuvunja na kuunda upya Kamati ya Kudumu iliyoteuliwa kwa mujibu wa Kanuni hii ya Kudumu, endapo kufanya hivyo kutakuwa ni kwa manufaa ya Halmashauri. (5) Hakuna Halmashauri itakayounda Kamati ya Kudumu mpya zaidi ya Kamati zilizotajwa kwenye Kanuni ya 40(1) hapo juu, isipokuwa baada ya kuomba na kupata idhini ya maandishi kutoka kwa Waziri. (6) Maombi ya Halmashauri ya kuanzisha Kamati mpya ya Kudumu lazima yakidhi na yawe na maelezo yafuatayo; (a) Upekee wa majukumu yanayoombewa kuundwa kwa Kamati ya Kudumu mpya na majukumu hayo yawe hayawezi kutekelezwa na Kamati za Kudumu zilizopo na zilizotajwa kwenye Kanuni ya 40(1) hapo juu; (b) Gharama za uendeshaji wa Kamati hiyo kwa mwaka; (c) Kuundwa kwa Kamati ya Kudumu hiyo mpya ni hitajio la lazima na ni kipaumbele cha Halmashauri na jamii kwa ujumla. (7) Kamati yoyote itakayoundwa na Halmashauri bila idhini ya Waziri itakuwa batili na maamuzi yake yote yatakuwa batili. 40 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba Tangazo Namba 834 (Linaendelea) 41 Mwenyekiti wa Halmashauri atakuwa Mjumbe wa Kamati zote za Kudumu za Halmashauri. Mwenyekiti wa Halmashauri kuwa Mjumbe wa Kamati zote Uwezo Kamati wa 42 Kamati Pamoja za 43 Kamati zote za Halmashauri zitawasilisha taarifa zao kwa Halmashauri, na hakuna hatua itakayochukuliwa kutekeleza uamuzi wowote wa Kamati yoyote mpaka hapo taarifa ya Kamati husika itakapokuwa imewasilishwa na kukubaliwa na Halmashauri, isipokuwa pale ambapo idhini ya kuchukua hatua imekasimiwa kwa Kamati. (1) Halmashauri inaweza kukubaliana na Halmashauri nyingine kuteua Kamati ya pamoja kutokana na Wajumbe wao kwa madhumuni yoyote yale ambayo wana maslahi ya pamoja, na Halmashauri hizo zinaweza kukasimu kwa Kamati hiyo ya pamoja, kutegemea na masharti na mipaka zitakazoweka inafaa, madaraka au kazi ya Halmashauri zinazohusiana na madhumuni yaliyozifanya ziunde Kamati hiyo, isipokuwa shughuli zile ambazo Halmashauri haziruhusiwi kukasimu. kama watakavyoona (2) Muundo na muda wa kazi wa Wajumbe wake na mipaka ya eneo ambamo Kamati hiyo ya pamoja itafanya na Halmashauri itapangwa zinazoiteua kazi, (3) Kamati ya pamoja haitaingia katika gharama zozote zaidi ya zile ambazo zimeidhishwa na mamlaka iliyoteua Kamati hiyo. Kukasimu Madaraka kwenye Kamati 44 (1) Kufuatana na Kanuni Ndogo ya (2) ya Kanuni hii pamoja na masharti mengine ambayo Halmashauri itaona inafaa, Halmashauri inaweza kukasimu kwa Kamati uwezo wa kutekeleza kazi yoyote kwa 41 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba Tangazo Namba 834 (Linaendelea) niaba yake. (2) Halmashauri haitakasimu kwa Kamati yoyote uwezo wa: (a) kutunga Sheria Ndogo; (b) kuweka na kutoza kodi; (c) kuidhinisha makadirio ya mapato na matumizi ya Halmashauri; (d) kutoza ada na ushuru; (e) kuidhinisha mpango na bajeti ya Halmashauri; (f) kuingia mikataba mbalimbali ikiwa ni pamoja na mikataba ya kukopa; (g) kupitisha mpango wa utoaji huduma. (3) Kazi za kila Kamati ya Kudumu ya Halmashauri la ni kama zilivyoonyeshwa katika Jedwali Kwanza la Kanuni za Kudumu hizi. (4) Halmashauri inaweza kusitisha au kurekebisha uamuzi wa kukasimu madaraka yoyote kwa Kamati, lakini usitishaji au urekebishaji huo hautaathiri jambo lolote lililofanywa kutokana na uamuzi wowote uliochukuliwa kihalali na Kamati. (5) iliyotekelezwa na Kamati Shughuli yoyote kutokana na kukasimiwa kwa mujibu wa Kanuni hii itatambuliwa kuwa imefanywa au kutekelezwa na Halmashauri. Kamati Ndogo 45 (1) Kamati yoyote au Kamati ya pamoja inaweza kuteua Kamati Ndogo kutokana na Wajumbe wake kadri itakavyoona inafaa kwa ajili ya 42 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba Tangazo Namba 834 (Linaendelea) kuchunguza na kutoa taarifa kuhusu jambo lolote, lakini Kamati haitakasimu madaraka yake ya kiutendaji kwa Kamati Ndogo yoyote. (2) Idadi ya Wajumbe wa Kamati Ndogo pamoja na muda watakaotumikia vitaamuliwa na Kamati iliyoteua Kamati Ndogo hiyo. (3) Mwenyekiti wa Kamati atakuwa Mjumbe wa Kamati Ndogo yoyote kwa mujibu wa wadhifa wake isipokuwa kama atamfahamisha Mkurugenzi kwa maandishi kuwa hatakuwa Mjumbe wa Kamati hiyo. (4) Kila Kamati Ndogo inaweza kumteua mmoja wa Wajumbe wake kuwa Mwenyekiti wa Kamati Ndogo husika. (1) Kikao cha kwanza wa Kamati kitaitishwa na Mkurugenzi ndani ya mwezi mmoja baada ya Kamati kuteuliwa na baada ya hapo kulingana na ratiba ya mikutano kama itakavyoidhinishwa na Halmashauri. (2) (3) Taarifa ya angalau saa ishirini na nne yenye ajenda za kikao itabidi kutolewa kwa Wajumbe kabla ya kikao cha Kamati. Idadi ya Kamati haitazidi idadi ambayo itawekwa na Waziri kutokana na uwezo aliopewa chini ya kifungu cha 75(3) cha Sheria. (1) Katika kikao chake cha kwanza baada ya Mkutano wa mwaka wa Halmashauri na kabla ya kuendelea na shughuli yoyote nyingine, kila Kamati itamchagua Mwenyekiti wa Kamati kwa mwaka unaohusika. (2) Mwenyekiti wa Kamati, isipokuwa Kamati ya 43 Vikao Kamati vya 46 Mwenyekiti wa Kamati 47 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba Tangazo Namba 834 (Linaendelea) Fedha Utawala na Mipango atachaguliwa kwa kura ya siri ya Wajumbe walio wengi kwa kupiga kura ya siri kwenye eneo la faragha litakalotengwa na Mkurugenzi kwa ajili hiyo. (3) Mwenyekiti wa Halmashauri atakuwa pia Mwenyekiti wa Kamati ya Fedha na Utawala. (4) Endapo nafasi ya Mwenyekiti wa Kamati itakuwa wazi katika kipindi cha mwaka husika, Mkurugenzi atatoa taarifa kwa Wajumbe wote wa Kamati kuwa katika kikao kijacho cha kawaida cha Kamati husika dondoo ya kumchagua Mwenyekiti wa Kamati kwa kipindi cha mwaka kilichosalia itakuwa ya kwanza katika ajenda. Kikao Maalum cha Kamati
Part
JEDWALI LA KWANZA
- 1 Verify source ↗
Section 1
AI-assisted research summary: Halmashauri inapaswa kutengeneza malengo yanayozingatia matakwa ya Wilaya na kuchukua hatua zinazofaa kufikia malengo yaliyokusudiwa.
1. Kuishauri Halmashauri kutengeneza malengo yanayozingatia matakwa ya Wilaya na kuchukua hatua ambazo zitaonekana zinafaa ili kufikia malengo yaliyokusudiwa. 66 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba Tangazo Namba 834 (Linaendelea) - 7 Verify source ↗
Section 7
AI-assisted research summary: Kifungu hiki kinaorodhesha majukumu ya kamati mbalimbali za Halmashauri, ikiwemo fedha na mipango, elimu/afya/maji, UKIMWI, uchumi/ujenzi/mazingira, na maadili.
7. kutengeneza Halmashauri juu ya sera Kuishauri Halmashauri kufanya maamuzi muhimu. Kuishauri Halmashauri kufanya maamuzi juu ya utoaji wa huduma kulingana na rasilimali walizonazo Kuiwezesha taratibu zitakazoongoza utendaji wa Kamati, Kamati Ndogo, na ule wa watumishi ili watimize wajibu wao. Kufanya mapitio yatakayowezesha Halmashauri kuamua juu ya kuongeza, kupunguza, kubinafsisha au kuwashirikisha wadau katika utoaji wa huduma. Kuhakikisha kuwa miundo na taratibu za utendaji wa Halmashauri zinazingatia ufanisi, uthabiti na tija katika kufikia malengo ya Halmashauri. Kuiwezesha Halmashauri kujenga mahusiano imara kati yake na Serikali kuu, Serikali zingine za Mitaa na Umma kwa ujumla. A. Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango: Majukumu ya jumla: Kamati hii inawashirikisha wenyeviti wa Kamati zote za Kudumu na inatakutana kila mwezi mara moja. Aidha, madaraka ya Kamati hii ni kama ya Kamati zingine za kufanya Kudumu kazi/majukumu ya Kamati zingine za Kudumu. Kwa ujumla, majukumu yake ni pamoja na kusimamia na kudhibiti ukusanyaji wa mapato na matumizi ya mali ya Halmashauri kwa kupitia vikao vyake. hairuhusiwi kisheria hivyo na Majukumu Maalum ya Kamati: (i) kuweka mikakati na kupendekeza uongezaji wa mapato; (ii) kuwasilisha mapendekezo ya Bajeti na mpango wa Maendeleo kwenye Halmashauri ili kuidhinishwa na Halmashauri; 67 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba Tangazo Namba 834 (Linaendelea) (iii) (iv) kusimamia utunzaji wa hesabu za fedha ikiwa ni pamoja na uhakiki wa mali za Halmashauri, ukusanyaji wa mapato, kufuta madeni, na kuomba vibali Maalum kwa matumizi yanayohitaji kibali cha Waziri mwenye dhamana ya Serikali za Mitaa; kufikiria na, pale inapowezekana, kupendekeza kwenye Halmashauri masuala yanayohusu Sheria Ndogo na utendaji katika ngazi za chini za Halmashauri.; (vi) (vii) (v) kupokea na kuzingatia mapendekezo ya kubadili matumizi ya mafungu ya fedha (re-allocation) yaliyopo katika makisio yaliyoidhinishwa na kuyapeleka kwa Halmashauri; kuratibu mapendekezo kutoka kwenye Kamati zingine kuhusu matumizi ya kawaida na miradi na kuyawasilisha kwenye Halmashauri; kufikiria na kupendekeza kwenye Halmashauri mikopo yote ya Halmashauri; kutoa mapendekezo ya vitega uchumi kwa madhumuni ya kuongeza mapato kwa mujibu wa Sheria ya Fedha za Serikali za Mitaa; kupokea na kujadili taarifa za wakaguzi wa fedha na mali ya Halmashauri na kupendekeza hatua za kuchukuliwa kutokana na maelekezo na maoni ya wakaguzi kwa mujibu wa Sheria za Serikali za Mitaa; (viii) (ix) (xi) kuzingatia (x) kusimamia na kudhibiti matumizi ya fedha za Halmashauri, taratibu kwa zilizowekwa na Waziri na taratibu nyingine zitakazowekwa na Halmashauri; kupitia marekebisho yote yaliyopendekezwa hususan kuhusu taratibu za fedha, ikiwa ni pamoja na mapitio ya mara kwa mara yanayohusu thamani ya fedha ambapo Kanuni mbalimbali za manunuzi ya mali na vifaa hutumika; kufikiria na kupendekeza mabadiliko ya viwango vya ushuru mbalimbali, vinavyotolewa na Halmashauri; kodi, (xii) ada na 68 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba Tangazo Namba 834 (Linaendelea) (xiii) (xiv) (xv) (xvi) (xvii) (xviii) (xix) (xx) (xxi) (xxii) (xxiii) ya yote fedha kufikiria mapendekezo ya Bajeti na Mipango ya Maendeleo ya kila Kamati ya Kudumu na kuiwasilisha kwenye Halmashauri ili kupata idhini; kushughulikia tofauti ya mapato na matumizi katika bajeti yote na kupendekeza hatua stahiki ya kuchukua kuondoa mapungufu katika mapato au ziada matumizi; yanayohusu kufikiria mapendekezo matumizi makubwa kabla hayajawasilishwa kwenye Halmashauri ili kupata idhini; kupokea mahesabu ya mwaka ya Halmashauri na kuhakikisha taarifa ya mahesabu ya mwaka inawasilishwa kwa wakati kwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali; kupitia na kuidhinisha mpango wa manunuzi wa Halmashauri kwa kuzingatia mpango wa Bajeti uliopitishwa na Halmashauri; kupitia taarifa ya kila robo mwaka kuhusu Manunuzi iliyowasilishwa na Afisa Masuuli; kusimamia ya utekelezaji wa mikataba Halmashauri kwa kukagua miradi inayotekelezwa na vifaa vilivyopokelewa; kumwelekeza Mkurugenzi kufanya manunuzi au ukaguzi wa huduma au vifaa vilivyonunuliwa ili kupata thamani halisi, itafanyika hivyo endapo itadhihirika kwamba, maelezo yaliyotolewa kuhusu manunuzi huduma hayaridhishi; kuidhinisha majina ya wajumbe wa Bodi ya zabuni na wa Bodi zingine kwa mujibu wa Sheria husika; kushughulikia ya wadaiwa wote itakayokayowasilishwa kwenye Kamati na kutoa mapendekezo ya hatua za kuchukua; kupendekeza njia na taratibu za kuondosha vifaa chakavu. Uondoshaji wa vifaa unaweza kufanyika kwa njia ya kuuza au kuviharibu; ya vifaa orodha au 69 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba Tangazo Namba 834 (Linaendelea) ada kodi, hatua (xxv) (xxx) (xxiv) (xxix) (xxxi) (xxviii) (xxvi) (xxvii) kwa Halmashauri kujadili na kupitia taarifa za fedha za kila mwezi na kila robo mwaka; kupendekeza za kuchukua kuhusu kufuta madeni ya Halmashauri; kushughulikia Sera kuhusu kukopa na uwekezaji, kujadili na kupendekeza mabadiliko ya viwango vya ushuru mbalimbali na vinavyotozwa na Halmashauri, kubuni na kupendekeza mpango wa kuanzisha na kuendeleza uhusiano na Halmashauri nyingine; Kurekebisha na kusimamia makusanyo na matumizi ya mapato ya vijiji na miji midogo kwa mujibu wa Sheria, Sura ya 287. kuteua wakaguzi wa fedha na mali za Serikali za Vijiji kwa mujibu wa Sheria, Sura ya 290. kujadili na kutoa mapendekezo ya hatua za kuchukuliwa kuhusu mambo yote yanayohusu masuala ya ajira na kinidhamu ya wafanyakazi na watumishi; kujadili na kutoa mapendekezo kuhusu masuala yanayohusu nyumba za Halmashauri; kupokea na kutoa uamuzi juu ya mapendekezo ya watumishi wanaokwenda masomoni; kujadili yote yanayohusu maslahi ya jumla ya watumishi, ikiwa ni pamoja na mikopo, nyumba, usafiri, matibabu, rambirambi na motisha nyinginezo; kupitisha mapendekezo ya kuthibitisha watumishi kazini baada ya kumaliza kipindi cha majaribio kulingana na miundo husika ya utumishi; (xxxvi) kuhakiki ubora wa miradi ya maendeleo (value for money) na shughuli zinazoandaliwa na kamati hii inayotekelezwa na Halmashauri mara moja kila robo mwaka; kupendekeza masuala (xxxiii) (xxxiv) (xxxii) (xxxv) na (xxxvii) kupendekeza Sheria Ndogo zinazohusu Kamati hii. 70 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba Tangazo Namba 834 (Linaendelea) B: Kamati ya Elimu, Afya na Maji: Majukumu ya Jumla Kushughulikia mambo yote yanayohusu afya ya jamii, elimu na huduma za maji usafi na mazingira na maendeleo ya jamii. Kamati hii pia itashughulikia mambo yanayohusiana na jitihada za wananchi vijijini kujiletea maendeleo yao kwa kutumia mbinu mbalimbali ikiwa ni pamoja na kushauri, kushawishi, kuzindua, kuelimisha na kushirikisha wananchi hao hasa katika kutayarisha, kutekeleza, kusimamia na kutathmini mipango yao ya maendeleo. Majukumu Maalum ya Kamati: (i) kuandaa mipango madhubuti ya maendeleo ya upanuzi na ujenzi wa hospitali, vituo vya afya na zahanati; (ii) kuandaa mipago ya maendeleo ya upanuzi na ujenzi wa shule za awali na msingi na elimu ya watu wazima kwa mujibu wa Sheria ya Elimu ya 1978 kama ilivyorekebishwa mwaka 1995. kubuni na kupendekeza njia bora za kuzuia na kudhibiti magonjwa ya milipuko. (iii) (iv) kupendekeza mipango ya ujenzi au upanuzi wa vituo,viwanja, majengo na mazingira ya burudani, starehe, mapumziko na michezo (v) kuamua juu ya mambo yanayohusu uhifadhi wa mambo ya kale na mandhari mbalimbali zenye sura nzuri. (vi) kuandaa na kuratibu njia bora juu ya uhifadhi wa nyaraka muhimu kwa ajili ya kumbukumbu hizo zitahifadhiwa kwa mujibu wa Sheria ya Serikali za Mitaa Sura ya 287. (vii) kupendekeza njia bora juu ya uhifadhi wa sanaa mbalimbali za ufundi na za maonyesho kwa mujibu wa Sheria ya Serikali za Mitaa Sura ya 287, (viii) kupendekeza matumizi mazuri ya lugha ya taifa. (ix) kupendekeza namna ya malezi ya vijana ili waweze kuwa wazalishaji katika Taifa. 71 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba Tangazo Namba 834 (Linaendelea) (x) kusimamia uanzishaji wa uendelezaji wa vikundi vya jamii na vya hiari vya wananchi katika Halmashauri kwa mujibu wa sera wa maendelo ya jamii. (xi) kusimamia na kuhakiki maeneo ya misitu, mapori, na mbuga zilizotengwa kama hifadhi ya mamlaka ya Serikali za Mitaa. (xii) Uhakiki shughuli na miradi ya maendeleo inayohusu kamati hii mara moja kila robo mwaka. (xiii) kupendekeza Sheria Ndogo zinazohusu Kamati hizi. C: Kamati ya Kudumu ya Kudhibiti Ukimwi Majukumu ya Kamati: (a) (b) (c) (d) (e) (f) kushirikisha wadau tofauti katika maeneo husika ili kuongeza uchangiaji wa mawazo na/au nyenzo, usimamizi, uratibu na utekelezaji wa kazi za Tume ya kudhibiti UKIMWI; kusimamia uundaji wa Kamati zote za kudhibiti UKIMWI; kupendekeza na kuchambua hali ya UKIMWI/Mipango na utekelezaji wake na kufikisha katika ngazi husika kwa hatua zaidi; kutathmini hali ya UKIMWI katika eneo lake kuhusu; (i) (ii) (iii) mazingira Maalum yanayochangia maambukizo; (iv) uelewa wa wananchi juu ya janga hili. Serikali haitatoa fedha kwa Halmashauri isiyokuwa na mipango madhubuti ya kudhibiti UKIMWI. kupendekeza Sheria Ndogo za Kamati hii. idadi ya waathirika: wagonjwa, yatima, wajane, kasi ya maambukizo 72 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba Tangazo Namba 834 (Linaendelea) D: Kamati ya Masuala ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira: Majukumu ya jumla Kamati hii itashughulikia masuala ya uzalishaji mali ikiwemo kilimo, mifugo, viwanda, madini, Biashara n.k. Aidha itashughulikia pia miundombinu na suala zima la mendeleo ya Ardhi na hifadhi ya mazingira. Majukumu Maalum ya Kamati; (i) kupendekeza kwa Halmashauri mipango ya kupanua biashara na jinsi ya kukusanya mapato yatokanayo na upanuzi huo. (ii) (iii) (iv) (v) (vi) kupendekeza mipango ya matumizi ya ardhi katika eneo la Halmashauri kusimamia matumizi ya Sheria ya nguvu kazi. kuandaa mipango madhubuti ya maendeleo ya upanuzi wa kilimo katika Halmashauri kusimamia na kuhakiki miradi ya ujenzi wa masoko, minada, majosho na vituo vya mifugo. kushughulikia uanzishaji na uendelezaji wa vyama vya ushirika kwa mujibu wa Sheria ya Vyama vya Ushirika, (vii) kupendekeza na kufanya tathmini ya uendelezaji wa mabonde, mito na mabwawa. (viii) kubuni na kupendekeza namna ya kidhibiti moto (ix) kubuni na kupendekeza mikakati ya utumiaji wa nishati mbadala, kuzuia ukataji miti ovyo, na kuhimiza upandaji miti kwa wingi. kuhakikisha kwamba ukaguzi wa majengo unafanyika mara kwa mara. kupendekeza mipango madhubuti ya ujenzi wa barabara vijijini na wilayani kwa ujumla. (x) (xi) (xii) Kupendekeza sheria ndogo zinazohusu kamati hii. (xiii) Kuhakiki shughuli na miradi inayoangukia kamati hii mara moja kila robo mwaka. 73 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba Tangazo Namba 834 (Linaendelea) E. Kamati ya Maadili Majukumu ya Kamati: (kifungu cha 31(1) cha Kanuni za Serikali za Mitaa (Mamlaka za Wilaya) (Maadili ya Madiwani) za Mwaka 2000. (i) kutoa ushauri kwa Halmashauri kuhusu utekelezaji wa kanuni hizi. (ii) Kufanya uchunguzi wa madai ya uvunjaji wa kanuni za maadili ya madiwani na kuwasilisha mapendekezo kwa Halmashauri kwa hatua zinazostahili. (iii) Kutoa ushauri na maoni kwa Halmashauri na kwa diwani mmoja mmoja kuhusu masuala yanayohusu mwenendo wa kimaadili. FAHARASA – HALMASHAURI YA WILAYA Kanuni Na. Kifungu cha Sheria A Ajenda za Kamati Akidi Halmashauri Akidi kwenye mikutano ya Kamati Athari za nafasi wazi kwenye Kamati mikutano katika ya B C D Diwani au Afisa kutokuwa na maslahi katika mikataba Diwani kutembelea maeneo, shughuli mbalimbali za ujenzi. Dua ya kuiombea Halmashauri E. F Fujo zinazosababishwa na umma Fujo zinazosababishwa na Wajumbe Sura ya 287 kif.64 Sura ya 287 kif.84(2) na (3) Sura ya 287 kif.84(1);84(3) Sura ya 287 kif.71 49 8 55 54 69 77 90 74 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba Tangazo Namba 834 (Linaendelea) 18 17 Kanuni Na. Kifungu cha Sheria G H Haki ya kujibu Hoja kuhusu matumizi Hoja na marekebisho ya hoja Hoja za Mwenyekiti Hoja Halmashauri Hoja zinazoweza kutolewa bila taarifa zinazohusu watumishi wa 21 32 19 15 37 20 I J K Kamati Ndogo Kamati za Kudumu Kamati za pamoja Kanuni za Kudumu kutumika katika mikutano ya Kamati Kanuni za Kudumu kutolewa kwa Wajumbe Kauli zenye kashfa Kiapo na kukubali wadhifa Kuidhinishwa kwa Taarifa ya Kamati Kufikiriwa upya maamuzi Kufutwa kwa Kanuni zilizopo Kujiuzulu ujumbe wa Kamati na kujazwa kwa nafasi iliyoachwa wazi. Kujiuzulu wadhifa wa Mwenyekiti wa Kamati Kukasimu madaraka kwenye Kamati Kumbukumbu ya mahudhurio. Kumwondoa Mwenyekiti madarakani Kupokelewa kwa taarifa za Kamati 45 40 43 56 87 27 70 34 59 91 62 61 44 75 Sura ya 287 kif.79 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba Tangazo Namba 834 (Linaendelea) Kuruhusu watu na vyombo vya Habari ya Halmashauri kwenye mikutano Kushiriki kwa Umma Kusitisha utumiaji wa Kanuni za Kudumu. Kutafsiri Kanuni za Kudumu Kuthibitisha muhtasari Kutokuwepo kwa Wajumbe Kutunza siri za Majadiliano ya Kamati na Kamati Ndogo. L ya ya mikutano M Maamuzi Halmashauri Mahudhurio katika mikutano ya Kamati Mahudhurio ya Umma na vyombo vya habari kwenye mikutano ya Kamati/Kamati Ndogo Majukumu ya Diwani Marekebisho na mabadiliko ya Kanuni za Kudumu Maswali Maswali ya papo kwa papo Mihtasari ya za Kata na vijiji. Mihtasari ya Halmashauri kupelekwa kwa Mkuu wa Wilaya na Mkuu wa Mkoa. Muhtasari wa Kamati 11 82 33 12 Sura ya 287 kif.36(5); GN 263/95 Sura ya 287 kif.67(1) Kanuni Na. 38 Kifungu cha Sheria Sura ya 287 kif.114(1)(b) 85 88 14 73 60 28 50 53 71 86 22 23 30 31 58 76 Sura ya 287 kif.41(2)na (3) Sura ya 287 kif.86 na 67(2) Sura ya 287 kif.66 Sura ya 287 vif.86; 67 (2) Sura ya 287 kif. 70(1) Taz.pia Sura ya 290 kif.47 Sura ya 287 kif.83(2) Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba Tangazo Namba 834 (Linaendelea) ya ya kwenye kawaida kualikwa Mikutano Halmashauri Mikutano ya Kamati hoja Mtoa Mkutano wa Kamati. Mkutano wa Bajeti Mkutano wa Mwaka Mkutano Maalum wa Halmashauri Mkutano Maalum wa Kamati Mwaliko wa wasiokuwa Wajumbe Mwenyekiti kuwa Mjumbe wa Kamati zote N Nafasi wazi P Aina za Posho Posho iwapo Mkutano umeahirishwa Q R Rejesta ya mikataba S T Taarifa za Kamati Taarifa kutoka kwenye kata Taarifa za mikutano Tafsiri Taratibu za kutunga Sheria Ndogo Taratibu za Majadiliano Taratibu za Uagizaji U 3 46 51 5 6 4 48 29 41 72 83 84 68 24 25 7 2 74 16 63 77 Sura ya 287 kif.63(1) Sura ya 287 kif.63(3) Sura ya 287 kif.74(1) Sura ya 287 kif.42(1) (a) 172 (1);41 (4);Tangazo la Serikali Na.139/82 aya ya 23 na40 na Sheria Na.4/79 kif.40(1)(b);40 (1) SheriaNa na 4/79kif.40(i) (b) (i); na Sheria Na.4/79 la 280/2000 Na. Serikali kif.35;41(3)41(3) na kif.71(8). kif.40;tangazo (b) Sura ya 287 kif.85 Sura ya 287 kif.155 Na.21/2004 Sura ya 290 kif.68 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba Tangazo Namba 834 (Linaendelea) ya wa majadiliano Uahirishaji wa vikao Uandikishaji wa Anwani Uanzishaji wa Bodi za Huduma na Uchaguzi wa Mwenyekiti Makamu wa Mwenyekiti wa Halmashauri Uhalali Halmashauri Uhifadhi wa lakiri ya Halmashauri Uhuru wa kutoa mawazo wakati wa majadiliano Ukaguzi wa nyaraka Uongozi Halmashauri Upigaji kura kwenye mikutano ya Kamati Usimamiaji wa mikataba Utaratibu wa shughuli za mikutano Uteuzi wa Wajumbe kwenye Taasisi za nje Utiaji mhuri kwenye Nyaraka Uvunjaji wa mkataba Uwezo wa Halmashauri kujigeuza kuwa Kamati ya Halmashauri nzima. Uwezo wa Kamati Uzuiaji wa Rushwa mikutano wa ya V W Waalikwa wasiokuwa Wajumbe kuhudhuria na kushiriki katika mikutano ya Kamati. X Y Z Ziara za Wajumbe Sura ya 287 kif.88 Sura ya 287 kif.36(2) Sura ya 287 kif.72 Sura ya 287 kif.65 39 80 76 9 35 78 26 75 10 57 66 13 81 79 67 36 42 65 Kanuni Na. Kifungu cha Sheria 52 Sura ya 287 kif.75(4) 89 78 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba Tangazo Namba 834 (Linaendelea) JEDWALI LA PILI (Limetengenezwa chini ya kanuni ya 70(a)) JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA KIAPO CHA DIWANI Mimi ……………………………… ninaapa/ninatamka kwa dhati kwamba nitaitumikia Halmashauri ya…………………. kwa wadhifa wangu wa Udiwani na kwamba nitahifadhi, nitalinda na kutetea, Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Sheria za Tanzania, Maadili ya Madiwani na Kanuni za Kudumu za Halmashauri kama zilivyowekwa kwa mujibu wa Sheria na kwamba nitaitumikia Halmashauri ya ………………………………………… kwa uaminifu kwa uwezo na moyo wangu wote. (Ewe Mwenyezi Mungu nisaidie) Kiapo/Tamko hili limetolewa hapa:……………………………………… Na…………………………………………………………………………….. Leo tarehe…………………… Mwezi wa…………………..mwaka 200………. Mbele ya:……………………………………….. Jina:……………………………………………… Cheo:……………………………………………. Saini:…………………………………………… Anuani…………………………………………. 79 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba Tangazo Namba 834 (Linaendelea) HAKIMU/KAMISHINA WA VIAPO MHURI JEDWALI LA TATU (Limetengenezwa chini ya Kanuni 70 (b)) JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA TAMKO LA VIONGOZI WA UMMA KUHUSU RASILIMALI NA MADENI (Kwa mujibu wa kifungu cha 9 na cha 11 cha Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma) Mimi…………………………………………………… Anuani:……………………baada ya kuchaguliwa/kuteuliwa na kuapishwa katika wadhifa wa…….……...tarehe……………………….mwaka 20….Ninatamka rasmi na kwa moyo mnyofu kwamba hadi sasa nina rasilimali na madeni yafuatayo:- (1) Fedha taslimu, Amana katika benki au taasisi ya fedha; (taja namba ya akaunti, benki au taasisi ya fedha na kiasi). ……………………………………………………………………………………… ……………………………………………………………………………………… 2) Hawala za Hazina (Treasury Bills) na dhamana nyingine Maalum:- ……………………………………………………………………………………… ……………………………………………………………………………………… 3) Faida ya akiba, mafungu ya mgawanyo wa faida zinazotokana na hisa n.k. ……………………………………………………………………………………… …………………………………………………………………………………… 80 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba Tangazo Namba 834 (Linaendelea) 4) Nyumba au majengo ya kupangisha, (taja mahali yalipo na ukubwa au eneo:) ……………………………………………………………………………………… …………………………………………………………………………………… * Rasilimali zinazotakiwa ni pamoja na zifuatazo, ambazo ni zako binafsi, za mume/mke au watoto wadogo wasiooa au kuolewa wa kiongozi wa umma. (a) fedha taslimu na amana katika benki au taasisi nyingine ya fedha. (b) hawala za Hazina Treasury Bills) na nyinginezo za dhamana Maalum zinazotolewa au kudhaminiwa na Serikali au vyombo vya Serikali. (c) faida itokanayo na fedha iliyowekwa akiba benki, chama cha Ujenzi au taasisi nyingine ya fedha. (d) mgao wa fedha kutokana na fungu la rasilimali ya kampuni (stocks) au hisa za kiongozi wa umma katika kampuni au shirika lolote. (e) maslahi katika chombo cha biashara kisichokuwa na mkataba na Serikali, na kisichokuwa na au kisichotawala amana zinazouzwa bayana na vyombo vya umma. (f) mashamba ya kibiashara. (g) mali halisi zisizohamishika ambazo si rasilimali zisizotakiwa kutajwa; na (h) rasilimali zinazoleta faida, ambazo si rasilimali zisizotakiwa kutajwa na ambazo zinamilikiwa kwa mbali. (5) Mashamba ya kibiashara, mifugo, madini n.k. ……………………………………………………………………………………… ……………………………………………………………………………………… (6) Magari na aina nyingine za usafiri wa kibiashara; ……………………………………………………………………………………… ……………………………………………………………………………………… (7) Mashine za kusaga nafaka, viwanda na shughuli nyingine za kibiashara au mitambo:…………………………………………………………………………… ……………………………………………………………………………………… (8) Rasilimali nyinginezo au maslahi ambayo kiongozi wa umma anapenda kutaja:……………………………………………………………………………… ……………………………………………………………………………………… 81 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba Tangazo Namba 834 (Linaendelea) (9)Madeni:………………………………………………………………………… ……………………………………………………………………………………… Tamko hili linatolewa na kusainiwa mbele yangu …………………………………………………………. na (mtoa tamko) ……………………………………… ninayemfahamu binafsi, au aliyetambulishwa kwangu na …………………………………………………………………… ambaye ninamfahamu leo tarehe …………………………….. Mwezi wa ………………………………………………………. saini……………………………………………………………... Wadhifa:…………………………………………………….. Anuani:………………………………………………………... …………………………………………………………………. (Tamko hili lazima litolewe mbele ya Kamishna wa Viapo) Mtoa tamko KWA: KAMISHINA WA MAADILI, SEKRETARIETI YA MAADILI, S.L.P 13341, DAR ES SALAAM. Nembo na Muhuri wa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba umebandikwa kwenye Sheria Ndogo hizi kufuatia Azimio la Baraza la Madiwani uliofanyika katika tarehe 30 ya mwezi Mei, 2019 mbele ya:- PENDO A. MALABEJA, Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba MHE. PETER L. NGASSA, Mwenyekiti Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa 82 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba Tangazo Namba 834 (Linaendelea) NAKUBALI, DODOMA, Tarehe 01 Septemba 2020 …………………………………….…… SELEMANI S. JAFO Waziri Ofisi ya Rais (TAMISEMI) 83
Provision text is displayed from LexChat’s stored statute record. Use the official source links to verify amendments, commencement, and current legal force.
Ask AI about this statute
Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba za Mwaka 2020
Sign in to ask AI about this statute
Sign in to start authenticated, citation-grounded statute research.
Sign in