Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Momba za Mwaka 2020
This section is titled as a definitions section for terms used in Part II on council meetings.
AI-assisted research synopsis — verify against the official legal text below.
- Jurisdiction
- Tanzania
- Instrument
- Regulation
- Citation
- Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Momba za Mwaka 2020
- Version
- Undated source snapshot
- Language
- sw
- Official source
- View official record ↗
Statute overview
About this statute
This section is titled as a definitions section for terms used in Part II on council meetings. Section 8 is titled “Akidi katika mikutano ya Halmashauri” and appears under Part III on meeting procedure. Section on the election of the Chairperson and Vice Chairperson of the Council. This section concerns allowing people and the media to attend council meetings. Section 14 is titled “Kuthibitisha muhtasari” and shows a continuation note.
Search within this statute
Search all stored provisions in this version.
Legal text
Provisions of Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Momba za Mwaka 2020
Showing 71 of 71
- 2 Verify source ↗
Tafsiri ya misamiati iliyotumika
AI-assisted research summary: This section is titled as a definitions section for terms used in Part II on council meetings.
2. Tafsiri ya misamiati iliyotumika. SEHEMU YA II MIKUTANO YA HALMASHAURI
Part
SEHEMU YA II
- 8 Verify source ↗
Akidi katika mikutano ya Halmashauri
AI-assisted research summary: Section 8 is titled “Akidi katika mikutano ya Halmashauri” and appears under Part III on meeting procedure.
8. Akidi katika mikutano ya Halmashauri. SEHEMU YA III TARATIBU ZA MIKUTANO - 3 Verify source ↗
Section 3
AI-assisted research summary: Baraza lazima likutane kila baada ya miezi mitatu, na mkutano wa kwanza wa kawaida uitishwe na Mkurugenzi ndani ya siku 30 baada ya matokeo ya uchaguzi kutangazwa.
3. (1) Mikutano ya Kawaida ya Halmashauri itafanyika mara moja kila baada ya miezi mitatu, na itafanyika mahali, tarehe na katika muda kama utakavyokuwa umepangwa katika kalenda ya mikutano ya Halmashauri. Mkutano wa kwanza wa Halmashauri (2) ya Uchaguzi (a) Mkutano wa kwanza wa kawaida wa Halmashauri utafanyika baada ya Tume kutangaza matokeo ya uchaguzi wa Madiwani wa Kata na uteuzi wa Madiwani wa Viti Maalumu na utafanyika mahali, siku na katika muda utakaopangwa na Mkurugenzi, ilimradi Mkurugenzi atapaswa kuitisha Mkutano huo ndani ya siku thelathini (30) kuanzia tarehe ya matokeo ya uchaguzi wa Madiwani wa Kata na Uteuzi wa Maalum Viti madiwani yanapotangazwa ya Uchaguzi ambapo moja ya ajenda za Mkutano kumchagua Mwenyekiti, Makamu Mwenyekiti na Tume huo ni 7 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Momba Tangazo la Serikali Na. 1033 (Linaendelea.) na Wajumbe wa Kamati za Kudumu za Halmashauri. (b) Mkutano wa Kwanza wa Uchaguzi na Makamu wa Mwenyekiti Mwenyekiti utaongozwa na Katibu Tawala wa Wilaya na Mkurugenzi wa Halmashauri atakuwa Katibu. Mara baada ya Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti kupatikana, Mwenyekiti la ataongoza uundaji wa Kamati, na uchaguzi wa Wenyeviti wa Kamati za kudumu zoezi (c) Katika Mkutano huo Mkurugenzi wa Halmashauri atawasilisha Taarifa ya ya maamuzi ya kumbukumbu za shughuli wa utekelezaji Halmashauri zilizofanyika katika kipindi ambacho Baraza la madiwani lilivunjwa. Wajumbe wa Baraza watapokea bila kubatilisha maamuzi yaliyokwisha amuliwa. kujadili na Utaratibu wa uchaguzi (3) Uchaguzi wa Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti utafanyika kwa kupiga kura za siri na upigaji wa kura utafanyikia sehemu ya faragha umbali usiopungua mita tano (5) kutoka kwa Msimamizi wa Uchaguzi na mpigaji kura atachukua karatasi ya kupiga kura kutoka kwa Msimamizi wa Uchaguzi. Mkutano Maalum wa Halmashauri - 4 Verify source ↗
Section 4
AI-assisted research summary: Sehemu hii inaweka utaratibu wa kuitisha Mkutano Maalum wa Halmashauri, hatua za kushughulikia hoja ya kumwondoa Mwenyekiti, na muda wa taarifa, uchunguzi, na rufaa.
4. (1) Mkutano Maalum wa Halmashauri unaweza kuitishwa na Mwenyekiti ndani ya siku ishirini na moja (21) baada ya kupokea maombi ya maandishi yaliyosainiwa na si pungufu ya theluthi moja ya Wajumbe wote kutaka Mkutano huo ufanyike na maombi hayo yaeleze wazi madhumuni ya kuitishwa kwa Mkutano Maalum huo. Iwapo Mwenyekiti anakataa kuitisha (2) 8 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Momba Tangazo la Serikali Na. 1033 (Linaendelea.) huo Maalum Mkutano Maalum wa Halmashauri baada ya kupokea maombi ya kutakiwa kufanya hivyo,maombi yaliyosainiwa na Wajumbe wa Halmashauri wasiopungua theluthi moja ya Wajumbe wote wakionyesha sababu ya kuitisha Mkutano na kuwasilishwa kwake, au iwapo bila kukataa, Mwenyekiti, ndani ya kipindi cha siku saba ataendelea kutoitisha Mkutano huo Maalum baada ya kupokea ombi la kuitisha Mkutano huo Maalum, basi theluthi mbili ya Wajumbe waliotia saini na kuwasilisha kwa Mkurugenzi wanaweza kuitisha Mkutano huo Maalum mara moja. Endapo ajenda ya Mkutano huo itahusu kumuondoa madarakani Mwenyekiti, Mkutano huo utaitishwa na Mkurugenzi baada ya kupokea maombi yaliyosainiwa na Wajumbe wa Halmashauri wasiopungua theluthi mbili ya Wajumbe wote. ya Baada ya Mkurugenzi kupata taarifa ya kutaka kufanyika kwa Mkutano wa kujadili kumuondoa madarakani ajenda Mwenyekiti, Mkurugenzi atamtaarifu Mwenyekiti tuhuma na sababu za kutaka kuondolewa uenyekiti na kumtaka aandae majibu ya tuhuma ndani ya siku Tano (5) baada ya kupokea tuhuma hizo. (3) (4) (5) Mkurugenzi katika muda wa siku Tatu (3) baada ya kupokea maelezo ya utetezi kutoka kwa Mwenyekiti, atawasilisha kwa Mkuu wa Mkoa tuhuma pamoja na maelezo ya utetezi. (6) Mkuu wa Mkoa katika muda wa siku tano (5) baada ya kupokea taarifa ataunda Timu ya Uchunguzi ambayo itakuwa na wajumbe wasiopungua watatu (3) na wasiozidi watano (5). Timu ya Uchunguzi itatakiwa kukamilisha (7) 9 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Momba Tangazo la Serikali Na. 1033 (Linaendelea.) Uchunguzi katika muda wa siku kumi na nne (14) na kuwasilisha taarifa hiyo kwa Mkuu wa Mkoa. (8) Baada ya Mkuu wa Mkoa kupata taarifa ya Timu ya Uchunguzi atairudisha Taarifa hiyo kwa Mkurugenzi wa Halmashauri ambaye naye katika muda wa siku kumi na Nne (14) ataiwasilisha kwenye Kikao cha Baraza kwa uamuzi wa tuhuma hizo. Kif cha 36(5) Sura 287 (9) Endapo Mwenyekiti hataridhika na uamuzi wa Baraza, atakata rufaa ndani ya siku kumi na nne (14) kuanzia tarehe ya maamuzi kwa Waziri uliotumika kumuondoa madarakani na sio vinginevyo. utaratibu kuhusu Utaratibu wa kuwasilisha rufaa (10) Utaratibu utakaotumika kuwasilisha na kushughulikia iliyowasilishwa na rufaa Mwenyekiti ni ule ulioelezwa kwenye Taratibu za Kumuondoa Madarakani Mwenyekiti wa Halmashauri wa Wilaya. (11) Taarifa ya Mkutano Maalum itatolewa ishirini na nne kabla ya angalau saa Mkutano. (12) Hakuna shughuli nyingine yoyote itakayojadiliwa katika Mkutano Maalum wa Halmashauri isipokuwa ile tu iliyoelezwa kwenye taarifa ya kuitishwa kwa Mkutano huo. Mkutano wa Bajeti - 5 Verify source ↗
Section 5
AI-assisted research summary: Halmashauri lazima ifanye Mkutano wa Bajeti wa siku mbili, ukiwa miezi miwili kabla ya mwaka wa fedha kuisha.
5. Kutakuwepo na Mkutano wa Halmashauri wa Bajeti utakaofanyika kwa muda wa siku mbili mfululizo na utafanyika miezi miwili kabla ya mwaka wa fedha kumalizika na utajadili mambo yafuatayo: - (a) Utekelezaji wa Mipango na Bajeti ya mwaka uliopita. (b) Mipango na Bajeti ya mwaka 10 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Momba Tangazo la Serikali Na. 1033 (Linaendelea.) Mkutano wa Mwaka - 6 Verify source ↗
Section 6
AI-assisted research summary: This section sets rules for how the council’s annual meeting and other council meetings are scheduled and called, and says the council must discuss specific business at the ordinary annual meeting.
6. (1) unaofuata. (i) Mkutano wa Mwaka wa Halmashauri na muda utafanyika tarehe, mahali katika utakaopangwa kalenda ya Mikutano na utaitishwa na Mkurugenzi baada ya kuwasiliana na Mwenyekiti wa Halmashauri. na Halmashauri (ii) Mikutano yote ya Baraza itapangwa na Baraza la Madiwani kwa kuzingatia ratiba ya Vikao vya Bunge ili kuwezesha Wabunge la kuhudhuria Mikutano Madiwani. Endapo italazimika kuitishwa kwa Mkutano wa Baraza wakati wa Vikao vya Bunge, Mkurugenzi atamjulisha au kuwajulisha Wabunge husika kuhusu kikao hicho ili wahudhurie. ya Baraza (2) Katika Mkutano wa kawaida wa mwaka, Halmashauri itajadili mambo yafuatayo: - (a) kumchagua Makamu wa Mwenyekiti, (b) kuteua Wajumbe wa Kamati za Kudumu; (c) kujadili taarifa ya utendaji na uwajibikaji wa Halmashauri kwa mwaka uliopita. (d) kupitisha Halmashauri Halmashauri. ratiba ya vikao vya za Kamati na Taarifa za Mkutano - 7 Verify source ↗
Section 7
AI-assisted research summary: The Director must send each member written meeting notice at least 7 days in advance and include the meeting details and supporting documents or records.
7. (1) Mkurugenzi atatoa taarifa ya Mkutano kwa maandishi kwa kila Mjumbe katika muda usiopungua siku saba akieleza mahali, siku na saa ya Mkutano unaokusudiwa na mambo yatakayojadiliwa katika Mkutano huo. (2) Taarifa ya Mkutano itaambatana na nyaraka 11 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Momba Tangazo la Serikali Na. 1033 (Linaendelea.) au kumbukumbu muhimu zitakazotumika katika Mkutano huo. (3) Isipokuwa kwa idhini ya Mwenyekiti na au ya idadi ya Wajumbe isiyopungua robo tatu ya Wajumbe waliohudhuria Mkutano, hakuna itakayofanywa katika Mkutano wa Halmashauri mbali na shughuli zilizotajwa katika mwaliko wa Mkutano huo. shughuli yoyote Akidi katika mikutano ya Halmashauri - 8 Verify source ↗
Section 8
AI-assisted research summary: Mikutano ya kawaida ya Halmashauri haziwezi kufanyika bila akidi iliyotajwa, na ikikosekana Mwenyekiti lazima aiahirishe na kuitisha tena ndani ya siku 7.
8. (1) (2) (3) (4) Hakuna Mkutano wa kawaida wa Halmashauri utakaofanyika isipokuwa kama kutakuwepo idadi ya Wajumbe isiyopungua nusu ya Wajumbe wote waliohudhuria na kujiandikisha kwenye daftari la mahudhurio. katika mikutano Maalum Akidi ya Halmashauri itakuwa ni theluthi mbili ya na Wajumbe wote wa Halmashauri itahesabiwa wakati wa ufunguzi wa Mkutano. Akidi katika Mkutano wa kawaida wa mwaka na Mkutano wa kwanza wa Halmashauri theluthi mbili ya Wajumbe wote wa Halmashauri. itakuwa Endapo Wajumbe waliohudhuria Mkutano hawatafikia akidi ya Mkutano, Mwenyekiti atauahirisha Mkutano huo na kuuitisha tena ndani ya siku saba (7) na endapo akidi haitatimia tena, idadi yoyote ya Wajumbe waliohudhuria ya Mkutano na Mkurugenzi atamjulisha Waziri kuwepo kwa hali hiyo. itatengeneza akidi SEHEMU YA III 12 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Momba Tangazo la Serikali Na. 1033 (Linaendelea.) TARATIBU ZA MIKUTANO
Part
SEHEMU YA III
- 9 Verify source ↗
Uchaguzi wa Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti wa
AI-assisted research summary: Section on the election of the Chairperson and Vice Chairperson of the Council.
9. Uchaguzi wa Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri. - 12 Verify source ↗
Kuruhusu watu na Vyombo vya Habari kwenye Mikutano ya
AI-assisted research summary: This section concerns allowing people and the media to attend council meetings.
12. Kuruhusu watu na Vyombo vya Habari kwenye Mikutano ya Halmashauri. - 14 Verify source ↗
Kuthibitisha muhtasari
AI-assisted research summary: Section 14 is titled “Kuthibitisha muhtasari” and shows a continuation note.
14. Kuthibitisha muhtasari. 1 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Momba Tangazo la Serikali Na. 1033 (Linaendelea.) - 20 Verify source ↗
Hoja zinazoweza kutolewa bila taarifa
AI-assisted research summary: Section title: leaves that may be issued without notice.
20. Hoja zinazoweza kutolewa bila taarifa. - 26 Verify source ↗
Uhuru wa Kutoa mawazo wakati wa majadiliano
AI-assisted research summary: Sehemu hii inahusu uhuru wa kutoa mawazo wakati wa majadiliano.
26. Uhuru wa Kutoa mawazo wakati wa majadiliano. - 29 Verify source ↗
Mwaliko kwa wasiokuwa Wajumbe kushiriki na kuzungumza
AI-assisted research summary: The provision concerns inviting non-members to take part in and speak at Halmashauri meetings.
29. Mwaliko kwa wasiokuwa Wajumbe kushiriki na kuzungumza kwenye vikao vya Halmashauri. - 31 Verify source ↗
Mihtasari kupelekwa kwa Mkuu wa Wilaya na Mkuu wa
AI-assisted research summary: Mihtasari inapaswa kupelekwa kwa Mkuu wa Wilaya na Mkuu wa Mkoa.
31. Mihtasari kupelekwa kwa Mkuu wa Wilaya na Mkuu wa Mkoa. - 35 Verify source ↗
Uhalali wa majadiliano ya Halmashauri
AI-assisted research summary: This section is titled “Uhalali wa majadiliano ya Halmashauri.”
35. Uhalali wa majadiliano ya Halmashauri. - 36 Verify source ↗
Uwezo wa Halmashauri kujigeuza kuwa Kamati ya
AI-assisted research summary: Section 36 concerns the council’s ability to convert itself into a full council committee.
36. Uwezo wa Halmashauri kujigeuza kuwa Kamati ya Halmashauri nzima. - 37 Verify source ↗
Hoja zinazohusu watumishi wa Halmashauri
AI-assisted research summary: This provision is about matters relating to council employees.
37. Hoja zinazohusu watumishi wa Halmashauri. - 39 Verify source ↗
Uahirishaji wa Vikao
AI-assisted research summary: Section title: “Uahirishaji wa Vikao” (postponement of meetings).
39. Uahirishaji wa Vikao. SEHEMU YA IV KAMATI - 9 Verify source ↗
Section 9
AI-assisted research summary: Wajumbe wa Halmashauri huchagua Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti kwa kura ya siri, kwa utaratibu uliowekwa wa kupiga kura na kwa zaidi ya nusu ya kura zilizopigwa.
9. (1) Uchaguzi wa Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri Mwenyekiti na Makamu wa Mwenyekiti watachaguliwa na Wajumbe, kutokana na Wajumbe wa Halmashauri kwa kura ya siri itakayopigwa na Mjumbe mmoja mmoja kwenye eneo litakalotengwa la faragha umbali usiopungua mita 5 kutoka mahali alipoketi Msimamizi wa Uchaguzi. (2) Mjumbe kabla ya kwenda sehemu ya faragha kwa ajili ya kupiga Kura, atapatiwa na Msimamizi wa Uchaguzi karatasi ya kupigia Kura kutoka kwenye chombo Maalum kitakachowekwa mbele ya Msimamizi wa Uchaguzi, na atakwenda moja kwa moja kupiga kura yake kwenye sehemu ya faragha. (3) Mtu atatangazwa kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti au Makamu wa Mwenyekiti iwapo atapata zaidi ya nusu ya kura zilizopigwa. (4) jina moja Iwapo wakati wa kumchagua Mwenyekiti au Makamu wa Mwenyekiti tu limependekezwa, Wajumbe watapiga kura za siri za “ndiyo” au “hapana” na endapo kura za “ndiyo” zitazidi asilimia hamsini ya kura zote zilizopigwa basi mgombea atatangazwa kuwa Mwenyekiti au Makamu wa Mwenyekiti. (5) Iwapo kura za “Hapana” zitazidi asilimia hamsini ya kura zote zilizopigwa, jina la mgombea mwingine litapendekezwa kwa njia na utaratibu uliotumika hapo awali. (6) Iwapo kura zitafafana, uchaguzi utarudiwa 13 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Momba Tangazo la Serikali Na. 1033 (Linaendelea.) Uongozaji wa Mikutano ya Halmashauri kwa mara ya pili na endapo hata baada ya kurudia uchaguzi, kura zimefanana, Baraza litaamua kuwa madarakani kwa wagombea hao ambao kura zao zimefanana kugawana muda wa (7) Kama itatokea nafasi wazi ya Mwenyekiti au Makamu wa Mwenyekiti, Halmashauri au Makamu itamchagua Mwenyekiti Mwenyekiti katika muda wa siku zisizozidi sitini tangu nafasi hiyo ilipotokea. - 10 Verify source ↗
Section 10
AI-assisted research summary: Mkutano wa Halmashauri huongozwa kwanza na Mwenyekiti, kisha Makamu wa Mwenyekiti, na wakikosekana au kushindwa kuongoza, mjumbe yeyote aliyehudhuria anaweza kuchaguliwa kuongoza. Pia, Halmashauri lazima itenge siku mbili kila wiki kwa ajili ya Mwenyekiti kuwa ofisini, na kuna vikwazo vya mavazi katika mikutano.
10. (1) Mkutano wa Halmashauri utaongozwa na: (a) Mwenyekiti; au (b) kama Mwenyekiti hayupo, Makamu wa Mwenyekiti; au (c) Kama Mwenyekiti na Makamu wa Mwenyekiti wote hawapo, au kama na Makamu wa Mwenyekiti Mwenyekiti hawawezi wote kuongoza Mkutano, Mjumbe yeyote atachaguliwa na Wajumbe kutoka Wajumbe mwa miongoni waliohudhuria kwa ajili ya kuongoza Mkutano huo; (d) Wajumbe wawapo ndani ya ukumbi wa mikutano wa Halmashauri Maalum mavazi watavaa yaliyochaguliwa kushonwa na Maalum kwa ajili hiyo; (e) Endapo vazi Maalum lililochaguliwa na Halmashauri ni joho basi litavaliwa juu ya vazi la Mjumbe, na Endapo Halmashauri haina joho basi Mjumbe atavaa vazi la heshima, na mavazi kofia zisizohusiana na dini na sare za Chama cha siasa hazitaruhusiwa jeans, kama 14 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Momba Tangazo la Serikali Na. 1033 (Linaendelea.) kuvaliwa wakati wa Mikutano ya Halmashauri na vikao vya Kamati za Kudumu za Halmashauri; (f) Vazi rasmi ya Taifa la Mwenyekiti na Mkurugenzi na Makamu Mwenyekiti litakuwa lenye kuonyesha rangi za Bendera na mazao yanayolimwa kwa wingi katika eneo la Halmashauri kadri Halmashauri inafaa. Hata hivyo, itakavyoona Kanuni haitaathiri majoho hii ambayo yanatumika kabla ya Kanuni hizi; (g) Endapo katika Mkutano Halmashauri Kamati, Wajumbe watavua majoho; itajigeuza huo, kuwa (h) Endapo Baraza litajigeuza kuwa Kamati taratibu za kuendesha Vikao vya Kamati zitatumika na Kikao hicho kitakuwa cha siri. (2) Madaraka au jukumu lolote la Mwenyekiti kuhusiana na uendeshaji wa mikutano yanaweza kutekelezwa na mtu anayeongoza Mkutano huo. (3) Halmashauri itatenga siku mbili kila wiki kwa ajili ya Mwenyekiti kufika ofisini na kutekeleza majukumu yafuatayo: (a) kusikiliza matatizo ya Wananchi; (b) kupata maelezo kwa Mkurugenzi kuhusu uendeshaji wa shughuli za Halmashauri ikiwa ni pamoja na masuala ya manunuzi; (c) kusaini mikataba mbalimbali ya toka Halmashauri; (d) kushughulikia jambo ambalo 15 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Momba Tangazo la Serikali Na. 1033 (Linaendelea.) Kumbukumbu ya Mahudhurio - 11 Verify source ↗
Section 11
AI-assisted research summary: Mkurugenzi lazima amjulisha Mwenyekiti ikiwa kuna shughuli au mgeni anayehitaji uwepo wake; mjumbe wa mkutano lazima kwanza asaini rejesta ya mahudhurio kabla ya kuhudhuria, na diwani hapaswi kuwa katika ofisi za Halmashauri na kufanya shughuli isipokuwa katika mikutano husika au akipangiwa majukumu ya Serikali.
11. (1) (2) ataona linahitaji Mkurugenzi kushughulikiwa au kutekelezwa na Mwenyekiti; (e) Endapo kutatokea shughuli au ugeni unaohitaji uwepo wa Mwenyekiti, Mkurugenzi atamjulisha Mwenyekiti ili ahudhurie. yoyote Kila Mjumbe anayehudhuria Mkutano wa Halmashauri ya au Kamati Halmashauri ambamo yeye ni Mjumbe hatahudhuria Mkutano huo mpaka awe ameweka saini yake kwenye Rejesta ya mahudhurio inayotunzwa na Mkurugenzi kwa ajili hiyo. Isipokuwa siku ya kufanyika kwa Mikutano ya Baraza au Kamati ambayo Diwani ni Mjumbe au pale atakapoitwa kutekeleza majukumu ya Serikali, si ruhusa kwa Diwani kuwa katika ofisi za Halmashauri na kufanya shughuli na Halmashauri au Serikali. hazihusiani ambazo - 12 Verify source ↗
Section 12
AI-assisted research summary: Council meetings must be open to the public and media, and the council must give public notice of the meeting time, date, and place in advance.
12. (1) Mikutano ya Halmashauri itakuwa wazi kwa watu wote pamoja na vyombo vya habari. Kuruhusu Watu na Vyombo vya Habari Kwenye Mikutano ya Halmashauri (2) italiweka Halmashauri itapaswa kuutangazia umma kuhusu muda, wakati na mahali pa Mkutano hilo mahali tangazo na panapoonekana kwa urahisi katika eneo la Halmashauri siku zisizopungua tatu kabla ya Mkutano, na kama Mkutano umeitishwa katika muda mfupi zaidi basi wakati wa kuitisha Mkutano huo. Utaratibu wa Shughuli za - 13 Verify source ↗
Section 13
AI-assisted research summary: Halmashauri inaweza kubadili mpangilio wa baadhi ya shughuli za mkutano wa kawaida ili kutoa kipaumbele, lakini haiwezi kubadilisha mpangilio wa sehemu za mwanzo zilizotajwa.
13. (1) Isipokuwa kama Halmashauri, kutokana na 16 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Momba Tangazo la Serikali Na. 1033 (Linaendelea.) Mikutano za dharura, itaamua kubadili sababu utaratibu wa shughuli za mikutano, utaratibu wa shughuli katika kila Mkutano wa kawaida wa Halmashauri utakuwa kama ifuatavyo: - (a) Mwenyekiti akiongozwa na Katibu ataingia ukumbini baada ya mratibu wa mkutano kutoa ishara Maalum kuingia kuashiria Mwenyekiti ukumbini na Wajumbe watasimama na kukaa kimya mpaka pale Mwenyekiti atakaporuhusu Wajumbe kukaa; (c) (b) Mkutano utaanza kwa wimbo wa Taifa ukifuatiwa na Sala au Dua itakayosomwa na Mwenyekiti; endapo Mwenyekiti au Makamu Mwenyekiti hawatakuwepo, Wajumbe watachagua mjumbe mmoja miongoni mwao wa kuongoza kikao; (d) baada ya Sala au Dua kusomwa Mkurugenzi na Mwenyekiti wa Halmashauri watajibu maswali ya papo kwa papo kutoka kwa Wajumbe wa Baraza la madiwani kwa utaratibu na mpangilio kama ilivyooneshwa kwenye Kanuni hizi; kupokea na kujadili taarifa za kwenye Kata kutoka kwa Madiwani wa Kata husika; kujadili jambo lolote linalotakiwa kwa Sheria kushughulikiwa kabla ya shughuli nyingine yoyote; mujibu wa (e) (f) (g) kupokea taarifa yoyote inayopaswa kabla ya kupokelewa kisheria shughuli nyingine yoyote; (h) kusoma au kuthibitisha muhtasari wa wa wa Mkutano kawaida 17 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Momba Tangazo la Serikali Na. 1033 (Linaendelea.) Halmashauri uliopita na mikutano yoyote Maalum ya Halmashauri iliyofanyika baada ya Mkutano huo wa kawaida. Hata hivyo iwapo nakala za mihtasari zimesambazwa kwa kila Mjumbe kabla au wakati wa kupeleka taarifa ya kuhudhuria Mkutano, hiyo itachukuliwa kuwa imesomwa; kupokea taarifa yoyote ambayo Mwenyekiti atapenda itolewe kwa Halmashauri; kujibu maswali kufuatana na Kanuni ya 21 ya Kanuni hizi; mihtasari (i) (j) (l) (k) kumalizia shughuli yoyote iliyobaki kawaida katika Mkutano wa uliopita; kupokea na kujadili taarifa za Kamati za Halmashauri, kutoka kwa ambao Wenyeviti wa Kamati watahusika kujibu maswali ya Wajumbe kuhusiana na kazi za Kamati husika; (m) kupokea na kujadili taarifa kutoka kwa Mkurugenzi wa Halmashauri; (n) kuidhinisha utiaji lakiri katika hati; (o) kujadili hoja binafsi kufuatana na jinsi zilivyopokelewa; na (p) kushughulikia mambo mengine taarifa ya yaliyoonyeshwa katika Mkutano. (2) Halmashauri inaweza, katika Mkutano wowote wa kawaida, kubadili utaratibu wa hoja za mazungumzo ili kutoa kipaumbele kwa shughuli yoyote ambayo kwa maoni ya Mwenyekiti na uharaka wa pekee, lakini mabadiliko hayo hayatabadilisha mpangilio wa shughuli zilizotajwa katika aya (a), (b) na (c) za Kanuni ya 13(1) ya Kanuni hii. 18 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Momba Tangazo la Serikali Na. 1033 (Linaendelea.) Kuthibitisha Muhtasari - 14 Verify source ↗
Section 14
AI-assisted research summary: Katibu lazima aandike muhtasari wa kikao, na Mwenyekiti lazima ausome, autathmini, autie saini, na kuuifadhi; pia kuna kikomo cha mjadala kuhusu muhtasari na utaratibu wa ukaguzi wa wazi.
14. (1) hoja, aliyeunga mkono Katibu ataandika muhtasari wa mazungumzo ya kikao unaozingatia majina ya Wajumbe waliohudhuria na wasiohudhuria, jina la hoja, mtoa mabadiliko ya hoja kwa ufupi, ushauri uliotolewa na azimio lililofikiwa. Muhtasari huo utasomwa, kurekebishwa, kuthibitishwa na kusainiwa na Mwenyekiti wa Mkutano na kutunzwa katika rejesta Maalum ya mihtasari. (2) Mara baada ya kusoma Muhtasari, au kama itachukuliwa kama umesomwa Mwenyekiti atauliza swali “Je Muhtasari wa Mkutano wa Halmashauri wa tarehe…………… ya mwezi…………. Mwaka……..utiwe saini kama kumbukumbu sahihi?” (3) Hakuna hoja au majadiliano yatakayofanywa kuhusiana na muhtasari isipokuwa kuhusiana na usahihi wa muhtasari, kama hakuna swali lililoulizwa, ya basi mara kuthibitishwa Mwenyekiti atatia saini katika muhtasari huo. baada (4) Muhtasari ambao utakuwa umesainiwa vilivyo na kama hakuna ushahidi wa kuwepo kwa makosa utakuwa kumbukumbu sahihi na Mkutano utahesabika kuwa umeitishwa na na Wajumbe vilivyo waliohudhuria watahesabika halali. kufanyika (5) Mihtasari ya Halmashauri itakuwa wazi kwa ukaguzi na Wajumbe na kwa umma kwa utaratibu na wakati utakaokubaliwa na Halmashauri na kwamba mtu yeyote anaweza kupewa sehemu ya muhtasari huo kama akiomba na baada ya itakavyoidhinishwa na kulipa ada kama unaofaa kwa 19 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Momba Tangazo la Serikali Na. 1033 (Linaendelea.) Hoja za Mwenyekiti - 16 Verify source ↗
Section 16
AI-assisted research summary: This section sets speaking and procedure rules for council meetings, including who may speak, for how long, and the Chair’s control over order.
16. (1) Halmashauri. Hoja zinazowasilishwa na Mwenyekiti hazitazidi hoja tatu, bila kuathiri haki yake, kama Mjumbe ya kuwasilisha hoja katika taratibu za kawaida. Isipokuwa kwa idhini ya Halmashauri mtoa hoja atahutubia Mkutano wa Halmashauri kwa dakika zisizozidi kumi. Wajumbe wengine ikiwa ni pamoja na mtoa hoja watazungumza kwa muda usiozidi dakika tano kila mmoja; (2) Mjumbe anaruhusiwa kuzungumza mara moja katika hoja yoyote ile isipokuwa hoja inayowasilishwa bila mjadala; huo na muda (3) Mtoa hoja atakuwa na haki ya kuzungumza kwa muda usiozidi dakika tano katika kujibu majadiliano utaanza kuhesabika mara atakapoanza kuchangia au kujibu. Mratibu wa vikao atatoa ishara Maalum kumjulisha mtoa hoja kuwa muda wake umeisha na mjadala juu ya hoja hiyo utafungwa. Utaratibu huu wa kuhesabu muda utatumika pia kwa Mjumbe yeyote atakayepewa muda wa kuchangia hojana mara tu baada ya kujibu, mjadala juu ya hoja utafungwa; (4) Mjumbe yeyote aliyekwishachangia kwenye hoja hawezi kutoa au kuunga mkono marekebisho, ila marekebisho yakitolewa na kuungwa Mjumbe mkono, aliyekwishazungumza katika hoja ya awali anaweza hoja iliyorekebishwa kwa muda usiozidi dakika tatu; Iwapo Wajumbe wawili kuzungumza kwenye zaidi (5) au 20 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Momba Tangazo la Serikali Na. 1033 (Linaendelea.) watasimama wakati mmoja kuzungumza, Mjumbe atakayetamkwa na Mwenyekiti ndiye atakayepewa nafasi kwanza. (6) Bila kuathiri masharti ya Kanuni Ndogo ya (5) ya Kanuni hii, Mwenyekiti atahakikisha kuwa, nafasi ya kuchangia inatolewa kwa uwiano unaofaa miongoni mwa aina zote za uwakilishi wa Madiwani walioomba kuchangia hoja hiyo. (7) Mjumbe ataelekeza anapozungumza mazungumzo yake kwa Mwenyekiti tu na atapaswa kusimama; (8) Mjumbe anapozungumza hatakatizwa, isipokuwa kwa suala la utaratibu, lakini anaweza kwa Mjumbe nafasi anayetaka kujieleza; kutoa (9) Mjumbe anaposimama kutoa taarifa kuhusu utaratibu, Mjumbe anayezungumza ataketi na atabaki ameketi hadi hoja ya utaratibu itakapokuwa imeamuliwa na Mwenyekiti, isipokuwa kama anasimama kumweleza Mwenyekiti kuhusu suala la utaratibu; (10) Mwenyekiti ndiye pekee mwenye uamuzi kuhusu utaratibu katika mikutano ya Halmashauri, na anayo madaraka ya kuzuia fujo na kuhakikisha kuwa maamuzi yake katika kusimamia usalama yanatekelezwa mara moja. Wakati wa majadiliano Mwenyekiti Mjumbe anayezungumza au aliyesimama ataketi na hakuna Mjumbe hadi Mwenyekiti ameketi; atakayesimama akisimama, (11) Hakuna Mjumbe atakayebaki amesimama 21 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Momba Tangazo la Serikali Na. 1033 (Linaendelea.) wakati Mjumbe mwingine mazungumzo yake kwa Mwenyekiti. anaelekeza atakaloulizwa (12) Mkurugenzi wa Halmashauri atajibu swali na Mwenyekiti lolote kutokana na shughuli zinazoendelea kwenye Mkutano isipokuwa kama atadai haki ya kukataa kujibu swali kwa msingi ya kwamba jibu linaweza kumweka hatiani au kuvunja uaminifu wake au linamhusisha yeye kama mtetezi mahakamani. wa katika Mkutano (13) Hakuna mtu kwa niaba yake mwenyewe, au kwa niaba ya watu wengine walio kwenye atakayeruhusiwa ujumbe watu, kuzungumza wa idhini ya isipokuwa kwa Halmashauri Halmashauri iliyotolewa kwa njia ya azimio. Idhini ya namna hiyo haitatolewa isipokuwa kama mtu huyo au watu hao wanaotaka watakuwa kuihutubia Halmashauri wamempatia Mkurugenzi au Afisa aliyeruhusiwa naye, taarifa ya muda usiopungua siku tisa kabla ya Mkutano wa Halmashauri ambamo wangetaka maombi yao yafikiriwe kupewa idhini, maombi ya kimaandishi ikieleza jambo linalotarajiwa kujadiliwa, na mpaka taarifa ya kupokelewa kwa maoni hayo itakapokuwa imebandikwa kwenye mbao za matangazo za Halmashauri. (14) Hakuna zaidi ya watu wawili watakaokuwa na haki ya kuhutubia Halmashauri kwa niaba ya uwakilishi; na wala hakuna ujumbe utakaozidi ya watu watano idadi watakaoruhusiwa. (15) Kiwango cha juu cha muda wa kuzungumza na Halmashauri ikiwa na muda wa kusoma risala hakitazidi dakika kumi. 22 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Momba Tangazo la Serikali Na. 1033 (Linaendelea.) - 17 Verify source ↗
Section 17
AI-assisted research summary: If a council member disrupts a meeting or shows contempt, the chair must name the member and may impose disciplinary measures, including removal, exclusion from three consecutive meetings, and loss of meeting-related rights. In serious disorder, the chair may adjourn or suspend the meeting.
17. (1) Fujo zinazosaba- bishwa na Wajumbe (2) Katika Mkutano wowote wa Halmashauri kama Mjumbe wa Halmashauri ataonyesha kukosa heshima kwa madaraka aliyonayo Mwenyekiti au kudharau Kanuni za Kudumu za Halmashauri kwa kuzuia kwa makusudi shughuli za Halmashauri zisiendelee au vinginevyo, Mwenyekiti ataelekeza Mkutano kwa tukio hilo kwa kumtaja jina mjumbe anayehusika. Endapo baada ya kutajwa jina mjumbe ataendelea ya Mwenyekiti basi Mwenyekiti ataliomba Baraza kuahirisha shughuli za Mkutano kwa muda na Mwenyekiti atatafakari jambo hilo na anaweza kuagiza yafuatayo: (a) Mjumbe atolewe nje ya Mkutano kama Mjumbe wa Halmashauri na kumzuia kuhudhuria vitatu mfululizo pamoja na haki zinazohusina na vikao hivyo; kudharau madaraka vikao (b) Mjumbe kuzuiliwa kuhudhuria vikao vitatu mfululizo na kupoteza haki zake zinazohusiana na vikao hivyo. (3) Iwapo kutatokea fujo kubwa katika Mkutano wowote wa Halmashauri, Mwenyekiti anaweza kama ataona ni muhimu kufanya hivyo, kuahirisha Mkutano bila majadiliano au swali au kusimamisha Mkutano kwa muda atakao ona unafaa. - 18 Verify source ↗
Section 18
AI-assisted research summary: If someone disrupts a council meeting, the chair must warn them to stop; if they keep disrupting it, the chair must order them removed. If there is disorder in any public meeting area, the chair must order everyone in that area removed.
18. (1) Fujo zinazosaba- bishwa na Umma (2) ya kati yeyote umma Iwapo mtu unaohudhuria Mkutano wa Halmashauri atavuruga Mkutano wa Halmashauri, Mwenyekiti atamuonya mtu huyo aache kufanya hivyo. Endapo mtu huyo ataendelea kuvuruga Mkutano, Mwenyekiti ataamuru mtu huyo atolewe kwenye chumba cha Mkutano. 23 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Momba Tangazo la Serikali Na. 1033 (Linaendelea.) ya chumba Endapo kutakuwa na vurugu katika sehemu yoyote cha Mkutano kinachotumika na umma, Mwenyekiti ataamuru kuondolewa kwa watu wote walio katika eneo hilo. Hoja na Marekebisho ya Hoja - 19 Verify source ↗
Section 19
AI-assisted research summary: Motions generally must be submitted in writing through the Director before the next Council meeting, and the Director must record and list them. Some motions can be referred to a committee, and amendments need majority consent to be withdrawn.
19. (1) taarifa, Taarifa ya kila hoja, isipokuwa hoja iliyowasilishwa chini ya Kanuni za Kudumu itawasilishwa kwa maandishi Na. 15, yaliyowekwa saini na Diwani au Madiwani waliotoa itapelekwa kwa na Mkurugenzi angalau siku nne kabla ya Mkutano wa Halmashauri unaofuata na akishaipokea, Mkurugenzi atagonga tarehe na kuipa namba na kuiingiza kwenye daftari kadri hoja zilivyowasilishwa, na daftari hiyo itakuwa wazi kukaguliwa na Mjumbe yeyote wa Halmashauri. (2) Mkurugenzi ataonyesha katika taarifa ya kila hoja Halmashauri Mkutano wa zilizowasilishwa kadri kwa na zilivyopokelewa isipokuwa kama Diwani aliyetoa hoja hiyo ameeleza kwa maandishi wakati alipoleta hoja hiyo, kwamba anataka kuitoa utakaofanyika baadaye, au baada ya kuwasilisha ameifuta hoja hiyo kwa maandishi. katika Mkutano (3) Iwapo hoja ambayo imeonyeshwa katika taarifa ya Mkutano haiwezi kutolewa na Mjumbe aliyewasilisha taarifa; au na Mjumbe mwingine yeyote kwa niaba yake, basi kama imeahirishwa kwa idhini ya Halmashauri, itachukuliwa na haitawasilishwa tena bila ya kutoa taarifa upya. imeondolewa isipokuwa kama hiyo, hoja 24 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Momba Tangazo la Serikali Na. 1033 (Linaendelea.) (4) Iwapo hoja itahusu jambo linalohusu Kamati au Kamati mbalimbali ya kupendekezwa na kuungwa mkono, hoja hiyo itapelekwa bila majadiliano kwenye Kamati ambayo Halmashauri itaelekeza ili iweze kufikiriwa na kutayarishiwa taarifa. baada (5) Ni lazima kila hoja ihusu jambo ambalo Halmashauri ina uwezo na wajibu nalo, au iwe inahusu Halmashauri ya wilaya husika. (6) Marekebisho ya hoja yaliyopendekezwa na kuungwa mkono yanaweza kuondolewa tu kwa ridhaa ya Wajumbe wa Halmashauri walio wengi waliopo katika Mkutano. (7) Marekebisho ya hoja yanapokuwa yamethibitishwa, hoja ya msingi kama ilivyorekebishwa itatolewa na Mwenyekiti kama ndiyo hoja ya msingi ambayo nayo inaweza kufanyiwa marekebisho. Kama marekebisho ya hoja hayakukubaliwa, rekebisho lingine linaweza kupendekezwa. (8) (9) idhini ya Mwenyekiti, zaidi ya Kwa rekebisho moja linaweza kutolewa kwa wakati mmoja mbele ya Mkutano wa Halmashauri, lakini kila rekebisho la namna jingine hii kufuatana na jinsi mapendekezo hayo yalivyotolewa. litatolewa moja baada ya Rekebisho halitachukuliwa kuwa sahihi kama litakuwa sawa na kuikataa hoja moja kwa moja au kama si rekebisho la hoja ya msingi linalokusudiwa kurekebishwa. (10) Rekebisho ambalo halikutolewa taarifa, halitapendekezwa baada ya mjadala wa hoja inayozungumzwa kuendelea kwa nusu saa, ila kwa mujibu wa sharti hili, taarifa ya idadi 25 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Momba Tangazo la Serikali Na. 1033 (Linaendelea.) yoyote ya marekebisho inaweza kutolewa. (11) Hoja ya kufuta azimio itapitishwa na Wajumbe wasiopungua theluthi mbili ya Wajumbe wote. (12) Hoja ya kuzingatia taarifa ya Kamati au kuidhinisha majadiliano au mapendekezo ya Kamati inaweza kutolewa na Mwenyekiti wa Kamati husika, au na Mjumbe yeyote wa Kamati husika kwa niaba yake. na (13) Mjumbe yeyote ambaye hajachangia katika mjadala wa hoja, au hajaitolea marekebisho, “kwamba kupendekeza anaweza Halmashauri shughuli iendelee inayofuata”. Hoja ya aina hiyo inaweza tu kuzingatiwa baada ya hoja kupendekezwa na kuungwa mkono. Hoja inapotolewa, itaamuliwa bila marekebisho au mjadala, na kama ikikubaliwa, shughuli iliyokatizwa na azimio hilo haitaendelea kujadiliwa katika kikao hicho. Hoja ya kupendekeza kuendelea na shughuli inayofuata haitatolewa zaidi ya mara moja katika mjadala wa jambo lolote. (14) Baada ya mjadala kuhusu hoja kuendelea kwa muda usiopungua nusu saa, Mjumbe ambaye hajachangia katika majadiliano idhini ya kutoa hoja anaweza kuomba “kwamba suala lililo mbele yetu sasa liamuliwe” na kama idhini hiyo itatolewa kwa kukubaliwa na si chini ya Wajumbe watano, hoja “kwamba suala lililo mbele yetu sasa liamuliwe” itawasilishwa mara moja, na kama ikiafikiwa, mtoa hoja ya msingi anaweza kuzungumza kwa dakika zisizozidi tano, na baada ya hapo swali au maswali yaliyo mbele ya Halmashauri yatafanyiwa uamuzi. 26 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Momba Tangazo la Serikali Na. 1033 (Linaendelea.) Hoja zinazoweza kutolewa bila Taarifa (15) Hoja “kwamba suala lililo mbele yetu sasa liamuliwe” haitatolewa zaidi ya mara moja katika mjadala unaoendelea kuhusu jambo lolote mpaka hapo mjadala utakapokuwa umeendelea kwa angalau nusu saa tangu kuwekwa mbele ya Mkutano hoja ya aina hiyo ilipopendekezwa awali. - 20 Verify source ↗
Section 20
AI-assisted research summary: Mtoa hoja ana haki ya kujibu maswali mwishoni mwa mjadala, kabla ya kupigiwa kura au kabla ya hoja ya kuahirisha mkutano; mjumbe anayetumia haki hiyo hawezi kuanzisha hoja mpya.
20. Hoja zifuatazo zinaweza kutolewa bila taarifa. (a) kumchagua Mwenyekiti wa Mkutano ambamo hoja imetolewa; (b) hoja kuhusu usahihi wa muhtasari, kufunga Mkutano, kuahirisha Mkutano, utaratibu wa Mkutano, au suala linalofuata; (c) kuteua Kamati au Wajumbe wa Kamati, au wawakilishi katika taasisi za nje, unaotokana na jambo lililotaarifiwa katika wito wa Mkutano; (d) kukubali taarifa na mapendekezo ya yote au maazimio Kamati na na yanayotokana mapendekezo hayo; taarifa (e) kwamba idhini itatolewa kuiondoa hoja; (f) kusahihisha hoja; (g) kuongeza muda wa hotuba; (h) kuwa, jambo lililotajwa katika taarifa ya kuitisha Mkutano litangulie; (i) kusimamisha Kanuni za Kudumu; 27 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Momba Tangazo la Serikali Na. 1033 (Linaendelea.) (j) kwamba Mjumbe asisikilizwe tena au aondoke katika Mkutano; (k) kumwomba Mjumbe abakie Mkutanoni na (l) kutoa idhini ya Halmashauri pale ambapo idhini inatakiwa kwa mujibu wa Kanuni za Kudumu hizi. Haki ya kujibu 21. (1) Mtoa hoja atakuwa na haki ya kujibu maswali wakati wa kufunga mjadala juu ya hoja; kabla ya hoja kupigiwa kura au kabla ya hoja kutolewa “kwamba mkutano uhairishwe. (2) Mjumbe anayetumia haki yake ya kujibu hataanzisha hoja nyingine mpya. (3) Baada ya kutolewa kwa linahusiana utafikiwa bila majadiliano zaidi. na Kanuni jibu ambalo hizi, uamuzi Maswali - 22 Verify source ↗
Section 22
AI-assisted research summary: Mjumbe anaweza kuuliza Mwenyekiti wa Kamati swali kuhusu muhtasari uliowasilishwa, na swali hilo lijibiwe mara moja.
22. (1) Mjumbe anaweza kumuuliza Mwenyekiti wa Kamati swali lolote kuhusu muhtasari wa Kamati uliofikishwa mbele ya Halmashauri. (2) (3) (4) Kila swali majadiliano. litaulizwa na kujibiwa bila Swali au maswali yatajibiwa na Mwenyekiti wa Kamati mara moja, na Mjumbe anayeuliza maswali hayo hatanyimwa haki yake ya kujadili hoja ambayo maswali hayo yanarejewa au kutoa hoja ya marekebisho. la maandishi swali Pale limeelekezwa kwa Mwenyekiti wa Kamati, na taarifa inayotakiwa imo katika mojawapo ya mihtasari ya Halmashauri, kuonyesha sehemu ya muhtasari ambapo habari hiyo la imeonyeshwa, kutachukuliwa ni ambapo jibu 28 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Momba Tangazo la Serikali Na. 1033 (Linaendelea.) kutosha. Maswali ya papo kwa papo
Part
SEHEMU YA IV
- 41 Verify source ↗
Mwenyekiti kuwa Mjumbe wa Kamati zote
AI-assisted research summary: The chairperson must be a member of all committees.
41. Mwenyekiti kuwa Mjumbe wa Kamati zote. - 48 Verify source ↗
Mkutano Maalum wa Kamati
AI-assisted research summary: Section 48 is titled “Mkutano Maalum wa Kamati” (Special Committee Meeting).
48. Mkutano Maalum wa Kamati. 2 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Momba Tangazo la Serikali Na. 1033 (Linaendelea.) - 50 Verify source ↗
Mahudhurio katika mikutano ya Kamati
AI-assisted research summary: This section is about attendance at committee meetings.
50. Mahudhurio katika mikutano ya Kamati. - 51 Verify source ↗
Mtoa hoja kualikwa kwenye Mkutano wa Kamati
AI-assisted research summary: Mtoa hoja hualikwa kwenye Mkutano wa Kamati.
51. Mtoa hoja kualikwa kwenye Mkutano wa Kamati. - 52 Verify source ↗
Waalikwa wasiokuwa Wajumbe kuhudhuria na kushiriki
AI-assisted research summary: Invited non-members may attend and participate in Committee meetings.
52. Waalikwa wasiokuwa Wajumbe kuhudhuria na kushiriki katika mikutano ya Kamati. - 53 Verify source ↗
Mahudhurio ya Umma na Vyombo vya Habari kwenye
AI-assisted research summary: This section is about public and media attendance at committee and subcommittee meetings.
53. Mahudhurio ya Umma na Vyombo vya Habari kwenye Mikutano ya Kamati na Kamati Ndogo. - 54 Verify source ↗
Athari za nafasi wazi kwenye Kamati
AI-assisted research summary: Section 54 concerns the effects of a vacancy in the Committee.
54. Athari za nafasi wazi kwenye Kamati. - 56 Verify source ↗
Kanuni za Kudumu kutumika katika mikutano ya Kamati
AI-assisted research summary: Kanuni za Kudumu zinatumika katika mikutano ya Kamati.
56. Kanuni za Kudumu kutumika katika mikutano ya Kamati. - 57 Verify source ↗
Upigaji kura kwenye mikutano ya Kamati
AI-assisted research summary: This section concerns voting at Committee meetings.
57. Upigaji kura kwenye mikutano ya Kamati. - 60 Verify source ↗
Kutunza siri za majadiliano ya Kamati na Kamati Ndogo
AI-assisted research summary: This section is about keeping committee and subcommittee discussions confidential.
60. Kutunza siri za majadiliano ya Kamati na Kamati Ndogo. - 61 Verify source ↗
Kujiuzulu wadhifa wa Mwenyekiti wa Kamati
AI-assisted research summary: This section concerns the resignation of the Chairperson of the Committee.
61. Kujiuzulu wadhifa wa Mwenyekiti wa Kamati. - 62 Verify source ↗
Kujiuzulu ujumbe wa Kamati na kujazwa kwa nafasi
AI-assisted research summary: This section is titled “Resignation of a committee member and filling the vacant position.”
62. Kujiuzulu ujumbe wa Kamati na kujazwa kwa nafasi iliyoachwa wazi. SEHEMU YA V UNUNUZI WA VIFAA, UPATIKANAJI WA HUDUMA NA UJENZI - 48 Verify source ↗
Section 48
AI-assisted research summary: If the chairperson’s office becomes vacant during the year, the Director must tell all committee members that the first item at the next ordinary meeting will be electing a chairperson for the remaining term.
48. (1) Endapo nafasi ya Mwenyekiti wa Kamati itakuwa wazi katika kipindi cha mwaka husika, Mkurugenzi atatoa taarifa kwa Wajumbe wote wa Kamati kuwa katika kikao kijacho cha kawaida cha Kamati husika dondoo ya kumchagua Mwenyekiti wa Kamati kwa kipindi cha mwaka kilichosalia itakuwa ya kwanza katika ajenda. Kikao Maalum cha Kamati kitaitishwa baada ya theluthi mbili ya Wajumbe wa Kamati kuomba kwa maandishi kuwa kikao hicho kifanyike na kueleza sababu. (2) Taarifa ya kikao Maalum cha Kamati itaonyesha shughuli itakayofanyika katika kikao hicho na hakuna jambo jingine lolote litakalojadiliwa katika kikao hicho Ajenda za Kamati - 49 Verify source ↗
Section 49
AI-assisted research summary: Mjumbe wa Kamati ana haki ya kuingizwa hoja zake katika ajenda ya Kamati akitoa taarifa angalau siku 4 kabla ya kikao.
49. Mjumbe wa Kamati atakuwa na haki ya hoja zake kuwekwa katika ajenda ya Kamati kama atatoa taarifa ya angalau siku nne (4) kabla ya tarehe ya kikao. Mahudhurio katika vikao vya Kamati - 50 Verify source ↗
Section 50
AI-assisted research summary: A committee member cannot send a substitute if they missed a subcommittee meeting. A council member may attend another committee’s meeting only if invited, but cannot vote or claim an allowance.
50. (1) Mjumbe wa Kamati ya Kudumu au Kamati Ndogo, ambaye ameshindwa kuhudhuria 44 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Momba Tangazo la Serikali Na. 1033 (Linaendelea.) kikao cha Kamati Ndogo, hataruhusiwa kutuma mtu mwingine kumwakilisha kwenye kikao cha Kamati au Kamati Ndogo. (2) Mjumbe wa Halmashauri hatakuwa na haki ya kuhudhuria kikao chochote cha Kamati au Kamati Ndogo ambamo yeye si Mjumbe, isipokuwa kama Kamati au Kamati Ndogo inayohusika imemwalika kuhudhuria, na hata hivyo hatakuwa na haki ya kupiga kura au kudai posho kwa kuhudhuria kikao hicho cha Kamati au Kamati Ndogo. 51 Mtoa hoja kualikwa kwenye kikao cha Kamati 52 53 54 (1) Waalikwa wasiokuwa Wajumbe kuhudhuria na kushiriki katika vikao vya Kamati Mahudhurio ya umma na Vyombo vya Habari kwenye katika vikao vya Kamati na Kamati Ndogo Athari za nafasi wazi kwenye Kamati Mjumbe wa Halmashauri anayewasilisha hoja ambayo imepelekwa kwenye Kamati taarifa ya kikao cha Kamati atapewa ambamo hoja yake imepagwa kuzungumzwa na kama atahudhuria atapewa nafasi ya kuizungumzia. Mwenyekiti wa Kamati, Kamati ya pamoja au Kamati Ndogo baada ya kushauriana na Wajumbe wa Kamati, Kamati ya pamoja na Kamati Ndogo, anaweza kumwalika mtu yeyote kuhudhuria na kuzungumza kwenye kikao kuhusu suala lolote au kushiriki kwa namna yoyote kwenye kikao cha Kamati, lakini mtu huyo atakayealikwa hatakuwa na haki ya kupiga kura kwenye kikao hicho. Majadiliano katika Kamati, Kamati ya pamoja au Kamati Ndogo hayatakuwa wazi kwa umma na vyombo vya habari, isipokuwa kwa kutokana na azimio la Halmashauri linaloruhusu kuwa umma na vyombo vya habari vihudhurie. Kunapotokea nafasi wazi kwenye Kamati, Kamati ya pamoja au Kamati Ndogo, Kamati itaendelea kutekeleza shughuli zake licha ya kuwepo kwa nafasi wazi hiyo au hizo au 45 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Momba Tangazo la Serikali Na. 1033 (Linaendelea.) (2) mpaka nafasi hiyo au hizo zitakapojazwa, kwa njia ya uchaguzi au uteuzi. Mjumbe atakayejaza nafasi hiyo atashika nafasi hiyo kwa kipindi kilichosalia cha Mjumbe ambaye nafasi yake imekuwa wazi. Uhalali wa tendo lolote au maamuzi ya kikao chochote cha Kamati hautaathiriwa kutokana na hitilafu katika uteuzi wa Mjumbe aliyeshika nafasi hiyo au nafasi hiyo kuachwa wazi na Mjumbe, au Wajumbe au Mjumbe au Wajumbe kuamua kutoka kwenye kikao kwa lengo la kukwamisha jambo linalotaka kutolewa maamuzi na Kamati hiyo. Endapo Wajumbe waliohudhuria kikao hawatafikia akidi ya Kikao, Mkurugenzi ataahirisha Kikao hicho na kukiitisha tena ndani ya siku saba (7) na endapo akidi haitatimia tena, idadi yoyote ya Wajumbe waliohudhuria itatengeneza akidi ya Kikao ambapo kikao hicho kitaendelea na itakuwa halali na Mkurugenzi atamjulisha Waziri kuwepo kwa hali hiyo. Akidi kwenye vikao vya Kamati 55 56 (1) Kanuni za Kudumu katika vikao vya Kamati Kanuni ya 16 ya Kanuni hizi za Kudumu itatumika, baada ya kufanya marekebisho yanayostahili, kwenye vikao vya Kamati za Halmashauri Upigaji kura kwenye vikao vya Kamati 57 (2) Mjumbe anapozungumza katika kikao cha Kamati atakuwa ameketi na anaweza kuzungumza zaidi ya mara moja juu ya jambo linalojadiliwa. Masuala yote yanayoletwa mbele ya Kamati yataamuliwa kwa wingi wa kura za Wajumbe waliohudhuria na kupiga kura kwenye kikao husika. Endapo kunatokea kura mlingano mtu anayeongoza kikao hicho 46 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Momba Tangazo la Serikali Na. 1033 (Linaendelea.) Mihtasari ya Kamati 58 Kufikiriwa Upya Maamuzi 59 60 Kutunza siri za majadiliano ya Kamati na Kamati Ndogo atakuwa na kura ya turufu. (1) Muhtasari wa kila Kamati, Kamati ya pamoja na Kamati Ndogo, utajumuisha majina ya Wajumbe waliohudhuria na wasiohudhuria, na utasainiwa kwenye kikao kinachofuata na mtu aliyeongoza kikao na muhtasari uliosainiwa hivyo, kama hakuna ushahidi wa kuwa una makosa, utapokelewa kwa ushahidi bila uthibitisho zaidi. (2) Hakuna hoja au mjadala utakaoendeshwa na muhtasari wa Kamati kuhusiana isipokuwa kuhusu usahihi wa suala lolote linalohusu usahihi litatolewa kwa hoja. ambapo lililowasilishwa suala Pale limeamuliwa kwa mujibu wa Kanuni ya 55, suala hilo halitaanza kujadiliwa upya katika kikao hicho cha Kamati isipokuwa kama hoja hiyo inaungwa mkono na theluthi mbili ya Wajumbe waliohudhuria na kupiga kura. lolote jambo Mjumbe wa Kamati au Kamati Ndogo hatatoa nje lililoletwa au kuzungumzwa kwenye Kamati au Kamati Ndogo bila ruhusa ya Kamati hiyo, au Kamati Ndogo mpaka hapo Kamati hiyo au Kamati Ndogo hiyo itakapokuwa imetoa taarifa kwenye Halmashauri au itakapokuwa imekamilisha utekelezaji wa jambo hilo. 61 Kujiuzulu wadhifa wa Mwenyekiti wa Kamati Mwenyekiti wa Kamati anaweza kujiuzulu wadhifa wake kwa kutoa taarifa ya maandishi aliyoisaini na kutuma kwa Mkurugenzi. 62 (1) Kujiuzulu ujumbe wa Kamati na kujazwa kwa Mjumbe yeyote wa Kamati anaweza kujiuzulu wadhifa wake kwa kutoa taarifa ya maandishi aliyoisaini na kuituma kwa 47 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Momba Tangazo la Serikali Na. 1033 (Linaendelea.) nafasi iliyowazi Mkurugenzi. (3) Nafasi inayotokana na kujiuzulu kwa Mjumbe itajazwa na Halmashauri katika kikao chake cha kawaida baada ya tarehe ya kujiuzulu kwa Mjumbe. SEHEMU YA V UNUNUZI WA VIFAA, UPATIKANAJI WA HUDUMA NA UJENZI Taratibu za uagizaji Sura ya 290 63 (1) utazingatia Kanuni Uagizaji wa mali, huduma na ujenzi katika za Halmashauri Manunuzi zilizotungwa chini ya kifungu cha 68 cha Sheria za Fedha za Serikali za Mitaa, na Sheria ya Manunuzi ya mwaka 2011 pamoja na marekebisho yake ya mwaka 2016. (2) Kutakuwepo na Bodi ya Zabuni ambayo imeanzishwa kwa mujibu wa Kanuni za Bodi ya Zabuni (Uanzishwaji na Mwenendo) za Serikali za Mitaa na ambayo itasimamia katika za shughuli Halmashauri. uagizaji zote (3) Muhtasari wa Bodi ya Zabuni utapaswa kuwasilishwa kwenye kikao kifuatacho cha Halmashauri baada ya muhtasari huo kujadiliwa na kupitishwa kwanza na Kamati ya Fedha na Utawala. 64 Kumbukumbu za majadiliano yanayohusu uagizaji Bodi ya zabuni ya Halmashauri itaweka kumbukumbu ya majadiliano yanayohusu taratibu za ununuzi zikiwa na angalau taarifa zifuatazo: - (a) maelezo mafupi kuhusu vitu, ujenzi au huduma zinazotarajiwa kutolewa 48 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Momba Tangazo la Serikali Na. 1033 (Linaendelea.) na haja iliyosababisha Bodi kuitisha zabuni; (b) majina na anuani ya wazabuni zabuni, maelezo waliowasilisha kuhusu sifa au ukosefu wa sifa za wazabuni waliowasilisha zabuni zao; (c) bei au msingi wa upangaji wa bei na muhtasari wa masharti mengine muhimu ya kila zabuni na ya kila mkataba wa uagizaji wa mali, huduma na ujenzi; (d) muhtasari wa tathmini na mlinganisho wa zabuni pamoja na katika upendeleo tathmini hiyo; uliokuwepo (e) kama zabuni zilikataliwa, tamko kuhusu uamuzi huo na sababu za uamuzi huo; (f) kama utaratibu mwingine wa kupata vitu au huduma mbalimbali ya utaratibu wa zabuni ndio uliotumika, basi sababu zilizoifanya Bodi iamue kutumia utaratibu huo mwingine; kuhusu tamko (g) kama zabuni ilikataliwa kwa kuwa mzabuni alitoa, alikubali kutoa moja kwa moja au kwa njia isiyo ya moja kwa moja, kwa mtumishi wa sasa au wa zamani wa Halmashauri, bakshishi ya aina yoyote, ahadi ya chochote kumwajiri kinachohusiana na ajira au chenye thamani, kama hamasisho kwa utendaji au uamuzi au utaratibu wa kitu au 49 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Momba Tangazo la Serikali Na. 1033 (Linaendelea.) kutumia, tamko kuhusu jambo hilo; (h) katika upataji wa huduma, sababu na hali iliyoifanya Bodi kuchagua utaratibu wa kutumia katika upataji huo wa huduma; (i) katika upataji wa vitu au huduma imeamua kudhibiti ambao Bodi ushiriki kwa misingi ya Taifa, Mkoa au Wilaya, tamko kuhusu sababu na hali kudhibiti ushiriki huo; iliyofanya Bodi (j) katika upataji wa vifaa na huduma kwa kutoa kuwaomba watoaji mapendekezo yao moja kwa moja tamko la sababu na hali iliyofanya Bodi kuamua kutumia utaratibu huo; na (k) muhtasari wa maombi yoyote ya ufafanuzi kuhusu mchujo wa zabuni au nyaraka za zabuni na majibu yaliyotolewa pamoja na muhtasari wa yoyote marekebisho yaliyofanywa katika nyaraka hizo. (2) (3) ya kumbukumbu zilizotajwa Sehemu kwenye Kanuni Ndogo ya (1) (a) na (b) ya Kanuni hii zitatolewa, kama zikiombwa, kwa mtu yeyote baada ya zabuni kutangazwa, kufunguliwa na kukubaliwa, au baada ya kusimamishwa kwa taratibu za uagizaji bila ya kuingia katika mkataba wa uagizaji. Sehemu ya kumbukumbu zilizoelekezwa katika Kanuni Ndogo ya (1) (c) hadi (g) ya Kanuni hii kama itaombwa, itatolewa kwa wazabuni waliowasilisha zabauni baada ya zabuni kukubaliwa au baada ya kusitishwa 50 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Momba Tangazo la Serikali Na. 1033 (Linaendelea.) bila ya kuingia kwenye mkataba wa utoaji wa vitu au huduma (4) Isipokuwa kama itaelekezwa hivyo na mahakama yenye mamlaka na kutegemeana na masharti ya maelekezo hayo, Bodi haitatoa habari: cha Sheria, (a) kama utoaji huo wa habari utakuwa utazuia kinyume utekelezaji wa Sheria; hautakuwa na maslahi kwa umma, utahatarisha maslahi halali ya kibiashara ya wahusika au utazuia ushindani halali; na (b) habari zinazohusu uchambuzi, tathmini na ulinganisho wa zabuni pamoja na bei mbali ya muhtasari ulioelezwa kwenye Kanuni Ndogo ya (1) (e) ya Kanuni hizi. (5) Mara baada ya zabuni kujadiliwa na Bodi, Katibu atamjulisha Mzabuni aliyefanikiwa ili makubaliano ya nyaraka za mkataba yaweze kufikiwa. (6) (7) (8) Nakala za muhtasari zitapelekwa kwa siri kwa kila Mjumbe wa Bodi, Mkurugenzi, Mweka Hazina, Mkaguzi wa Ndani na Mkuu wa na kumbukumbu. husika taarifa Idara kwa hakufanikiwa Kila mzabuni atajulishwa za sababu na kutokubaliwa kwa zabuni yake atapaswa kupewa sababu. ambaye akiomba Bodi ya Zabuni kwa kuzingatia masharti ya taarifa ya Kanuni za uagizaji zabuni mwenendo na maamuzi itaandaa ya 51 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Momba Tangazo la Serikali Na. 1033 (Linaendelea.) Uzuiaji wa Rushwa 65 zilizoitishwa na kuwasilishwa kwenye Mkutano wa kawaida wa Halmashauri kupitia Kamati ya Kudumu husika. Katika mkataba wowote wa kimaandishi, yatawekwa maneno ambayo yataonyesha kuwa Halmashauri itakuwa na haki kusitisha mkataba na kumdai Mkandarasi malipo ya fidia kutokana na kusimamishwa kwa mkataba huo endapo Mkandarasi atabainika kuwa ameahidi kutoa au ametoa, au amekubali kutoa kwa mtu yeyote zawadi yoyote au upendeleo wa aina yoyote kama kishawishi au zawadi kwa kufanya au kumpendelea au kutomkubali mtu yeyote kuhusiana na mkataba na Halmashauri au kama vitendo hivyo vitakuwa vimefanywa na mtumishi yeyote aliyeajiriwa naye au kwa niaba yake iwe Mkandarasi anafahamu au hafahamu atakuwa ametenda kosa chini ya Sheria ya Kuzuia na Kudhibiti Rushwa ya mwaka 2007. Usimamizi wa Mikataba 66 (1) Mkurugenzi wa Halmashauri atawajibika katika usimamiaji na ufuatiliaji mzuri wa Mikataba. (2) Mkataba wa upataji vitu hautabadilishwa kwa namna yoyote ile baada ya kutiwa saini na pande zinazohusika isipokuwa kama mabadiliko hayo ni: - (a) kwa faida ya Halmashauri na hayailetei hasara Halmashauri; (b) yamethibitishwa na Bodi ya zabuni ya Halmashauri; na (c) Upande mwingine unaafiki. (3) Malipo ya mwisho hayatafanywa mpaka 52 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Momba Tangazo la Serikali Na. 1033 (Linaendelea.) mkataba mzima utakapokuwa umekamilika kutokana na kuridhika kwa Halmashauri na kulingana na vipengele vya mkataba unaohusika. (4) Malipo ya fedha za salio hayatalipwa mpaka upite muda wa miezi sita na kazi iwe haina kasoro. Uvunjaji wa Mkataba 67 Pale ambapo mkataba uliotiwa lakiri au muhuri na Halmashauri haukufuatwa na mkandarasi au mtoa huduma, ikiwa ni pamoja na ucheleweshaji usiokuwa wa kimsingi, Mkurugenzi atashauriana mapema iwezekanavyo na Kamati ya Fedha, Uongozi na Mpango taratibu zilizowekwa kwenye mkataba, kuamua hatua muafaka za kuchukua na kumfahamisha Mkandarasi au mtoa huduma juu ya uamuzi. kuzingatia kwa Rejesta ya Mikataba 68 (1) Mkurugenzi atatunza maelezo yote ya mikataba kwenye rejesta ya mikataba na atafanya ulinganifu wa malipo halisi na yale yaliyoidhinishwa. (2) Taarifa ya matumizi yote ya ziada lazima yapelekwe ya Zabuni kwenye Bodi yakiambatana na maelezo kutoka kwa Mkurugenzi. 69 (1) Diwani au Afisa kutokuwa na maslahi katika Mikataba Endapo Diwani au Afisa wa Halmashauri ana maslahi ya kifedha ya moja kwa moja au vinginevyo katika mkataba wowote, mkataba unaopendekezwa au jambo lolote, na yupo kwenye Mkutano wa Halmashauri au Kamati au mkataba ambapo mkataba unaopendekezwa au jambo lingine lolote linajadiliwa, atatangaza jambo hilo mara Mkutano na hatashiriki wala kuwepo katika majadiliano utakapokuwa umeanza huo, 53 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Momba Tangazo la Serikali Na. 1033 (Linaendelea.) au kupiga kura kuhusu jambo linalohusu mkataba au mkataba unaopendekezwa au jambo lingine lolote ambalo ana maslahi nalo. (2) Kanuni hii haitatumika kuhusiana na maslahi katika mkataba au suala lingine ambalo Mjumbe au Afisa wa Halmashauri ana maslahi nalo kama mlipa kodi au mkazi katika eneo lililo katika himaya ya Halmashauri (3) Diwani atahesabika kuwa na maslahi ya moja kwa moja katika mkataba au jambo jingine endapo: (a) yeye au mtu aliyemchagua ni Mjumbe wa kampuni au chombo kingine au anayo hati ya hisa katika kampuni au katika imependekezwa mkataba, au anao uhusiano wa kifedha katika jambo linalojadiliwa; au itaingia, ambayo iingie (b) yeye ni mbia au ameajiriwa na mtu ambaye mkataba unafanywa naye, au utakuwa anao chini yake, uhusiano wa kifedha wa moja kwa moja katika suala linalojadiliwa au kuzungumzwa. au (4) Katika Kanuni hii maslahi ya moja kwa moja na yasiyo ya moja kwa moja ya mwanandoa au ndugu wa familia kama inafahamika kwa Mjumbe wa Halmashauri itachukuliwa kuwa ni maslahi ya moja kwa moja au yasiyo ya moja kwa moja. (5) Taarifa ya jumla itakayotolewa kwa 54 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Momba Tangazo la Serikali Na. 1033 (Linaendelea.) Mkurugenzi na Diwani au Afisa wa Halmashauri kuhusiana na yeye, mkewe, mumewe au ndugu yake kwamba ana maslahi ya moja kwa moja au yasiyo ya katika mkataba moja unaokusudiwa au jambo lingine na akieleza aina ya maslahi itachukuliwa, isipokuwa pale atakapoondoa taarifa hiyo, kuwa ametoa taarifa ya kutosha ya maslahi yake kuhusiana na suala ambalo limo katika mjadala. kwa moja (6) Mkurugezi ataandika katika rejista ya kutangaza maslahi taarifa za watu wenye maslahi waliotoa taarifa chini ya Kanuni Ndogo ya (1) na taarifa yoyote iliyomo katika Kanuni Ndogo ya (5) itakuwa wazi kwa ukaguzi wakati wa saa za kazi. (7) Halmashauri inaweza baada ya kupata kibali cha Waziri, kuondoa kizuizi chini ya Kanuni hii kinachoifanya ishindwe wakati wowote kufanya Mkutano pale ambapo idadi ya Wajumbe wenye maslahi ni kubwa mno za kiasi Halmashauri au itakuwa ni kwa maslahi ya wakazi wa Halmashauri kuondoa kikwazo hicho. kukwamisha shughuli cha (8) Katika Kanuni za Kudumu hizi, ndugu wa familia itachukuliwa kuwa ni pamoja na baba, mama, mtoto, kaka, au dada na wanandoa wao. SEHEMU YA VI MASUALA MENGINE Kiapo na kukubali Wadhifa 70 Kila Diwani kabla ya kushika wadhifa wake kama Diwani na kabla ya Mkutano wa kwanza wa Halmashauri: - 55 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Momba Tangazo la Serikali Na. 1033 (Linaendelea.) (a) atakula kiapo kama kilivyoonyeshwa kwenye Jedwali la Pili la Kanuni hizi za Kudumu kitakachosimamiwa na Hakimu Mkazi au Hakimu wa Wilaya; na (b) atatoa la tamko kimaandishi lililoandikwa kwa Mkurugenzi jambo kutekeleza akiahidi linalohusiana na tamko la maslahi katika shughuli za kibiashara, mali, na kadhalika na kuzifuata Kanuni za Maadili ya Madiwani. 71 (1) Diwani atakuwa na majukumu yafuatayo: - (a) kuwa karibu na wapiga kura na kupata ushauri wa Wananchi katika mambo yanayotarajiwa kujadiliwa kwenye Halmashauri. (b) kutoa maoni na mapendekezo ya wananchi kwa Halmashauri; (c) kuhudhuria mikutano ya Halmashauri na ya Kamati au Kamati Ndogo ambamo yeye ni Mjumbe; (d) kutenga angalau siku moja kila mwezi kukutana na wananchi katika eneo lake la uchaguzi; (e) kutoa taarifa kwa wapiga kura jumla ya kuhusu maamuzi ya hatua Halmashauri na na Halmashauri zilizochukuliwa kuondoa yaliyowahi matatizo kuelezwa na wakazi wa eneo lake la uchaguzi; (f) kuchangia ujuzi na uzoefu wake katika majadiliano yanayofanyika katika mikutano ya Halmashauri na Kamati za Halmashauri; na (g) kushiriki katika shughuli za pamoja 56 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Momba Tangazo la Serikali Na. 1033 (Linaendelea.) za maendeleo katika eneo lake la uchaguzi na katika eneo zima la Halmashauri. (2) Katika kutekeleza wajibu wake Diwani atazingatia; (a) Maslahi ya Taifa na maslahi ya la katika eneo Wananchi Halmashauri; (b) Katiba, Sheria na Kanuni; (c) Kanuni za Maadili ya Madiwani, Mwongozo juu ya mahusiano ya Madiwani na Watumishi na miiko mingine. Nafasi Wazi 72 (1) Kiti cha Mjumbe wa Halmashauri kitakuwa wazi endapo Mjumbe: (a) (b) (c) (d) (e) (f) (g) jopo amefariki anakubali ajira kama mtumishi wa Halmashauri; kwa mujibu wa Sheria, yoyote atakayethibitishwa na la madakitari wa Serikali kuwa hana akili timamu; yuko chini ya hukumu ya kifo au kifungo kinachozidi miezi sita kilichotolewa kwake na mahakama; kwa mujibu wa Sheria yoyote anatamkwa kuwa anapoteza sifa za kuendelea kuwa Mjumbe; atakoma kuwa mwanachama wa chama cha siasa kilichompendekeza kuwa mgombea wa kiti cha udiwani; anapokuwa amepatikana na kosa kutokana na Kanuni za Maadili ya Madiwani na adhabu ya kosa 57 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Momba Tangazo la Serikali Na. 1033 (Linaendelea.) (h) (i) (j) (k) (l) (m) ni pamoja na alilotenda kumwondoa Mjumbe madarakani; na anapoteza ujumbe kwa mujibu wa Kanuni ya 71 (2) ya Kanuni hizi za Kudumu; anahukumiwa kwa kosa la kutotaja maslahi yake; amejiuzulu kutoka kiti chake; Halmashauri imevunjwa na kuathiri mipaka ya majimbo ya uchaguzi; uchaguzi wa Mjumbe umetangazwa kuwa batili; au bila sababu ya kuridhisha au bila idhini au kibali cha maandishi cha Mwenyekiti, Mjumbe anakosa kuhudhuria mikutano mitatu ya ya kawaida Halmashauri au vikao vitatu vya Kamati ambamo yeye ni Mjumbe. inayofuatana (2) Waziri atatangaza kiti kuwa wazi pale atakapojulishwa na Mwenyekiti wa Halmashauri kwa maandishi kwamba kiti kiko wazi kwa kuzingatia masharti ya kifungu cha 42 (1) cha Sheria ya Serikali za Mitaa (Mamlaka za Wilaya) Sura ya 287. Kutokuwepo kwa Wajumbe 73 (1) idhini ya Halmashauri yaweza kutoa kutokuwepo katika mikutano yake kwa muda usiozidi miezi kumi kwa Mjumbe yeyote anayetaka kwenda nje ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. (2) Pale ambapo Mjumbe kwa sababu yoyote ile amekuwa nje ya nchi kwa muda unaozidi miezi kumi kiti chake cha udiwani 58 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Momba Tangazo la Serikali Na. 1033 (Linaendelea.) kitachukuliwa kuwa kipo wazi. Taratibu za kutunga Sheria Ndogo 74 (1) (2) (3) ambapo Halmashauri Pale inakusudia kutunga Sheria Ndogo itatoa tangazo kwa wakazi wa eneo husika kuhusu kusudio hilo katika namna ambayo itahakikisha kuwa watakaoathirika Ndogo na inayokusudiwa kutungwa wanafahamu vilivyo na kuwaomba wanaopenda kutoa pingamizi lolote au mapendekezo yao kwa maandishi katika muda uliowekwa. Sheria Pale ambapo baada ya muda wa taarifa kumalizika hakuna pingamizi au malalamiko yaliyowasilishwa, au hakuna mtu yeyote aliyetoa pingamizi inayokubalika mbele ya itaendelea Halmashauri, kutunga ikizingatia malalamiko na pingamizi zilizotolewa. Halmashauri Ndogo Sheria Ndogo, zikishatungwa Sheria na Halmashauri zitapelekwa kwa Mkuu wa Mkoa ambamo Halmashauri husika imo ili aweze kuzitolea maoni yake na kisha kuziwasilisha kwa Waziri. (4) Waziri anaweza kuidhinisha, kukubali au kukataa kuidhinisha Sheria Ndogo au kutoa au kusimamisha kibali chake kwa kutoa masharti atakayoyaeleza na anaweza baada ya kutoa idhini yake, kupanga tarehe ya kuanza kutumika kwa Sheria Ndogo hizo. zenye (5) Waziri anaweza, kabla ya kuidhinisha Sheria Ndogo athari kwenye maeneo yaliyotengwa au maeneo Maalum au kwa Sheria nyingine yoyote, kushauriana na Waziri anayehusika na Sheria husika au na jambo lililotungiwa Sheria Ndogo kadri itakavyokuwa. 59 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Momba Tangazo la Serikali Na. 1033 (Linaendelea.) Ukaguzi wa Nyaraka 75 (6) Sheria Ndogo yoyote iliyotungwa na Halmashauri lazima itangazwe katika Gazeti la Serikali kabla ya kuanza kutumika. (1) Mjumbe ataweza, kwa madhumuni ya kutekeleza wajibu wake kama Mjumbe, na si vinginevyo, kukagua au kupewa akiomba waraka wowote ambao umejadiliwa na Kamati ya Halmashauri na kama nakala zinapatikana, anaweza kupewa, akiomba nakala kwa madhumuni hayo hayo. (2) Mjumbe hatakagua kwa makusudi au kutaka apewe nakala ya waraka wowote unaohusu jambo ambalo yeye ana maslahi nalo kwa mujibu wa Sheria ya Serikali za Mitaa (Mamlaka za Wilaya), Sura ya 287. Hata hivyo Kanuni hii haitamzuia Mkurugenzi kuzuia kukaguliwa kwa waraka wowote ambao umezuiliwa kutolewa kwa mujibu wa Sheria yoyote au Kanuni zilizotungwa chini ya Sheria hizo. Uanzishaji wa Bodi za Huduma 76 (1) Halmashauri inaweza, kwa mujibu wa kifungu 88 cha Sheria ya Serikali za Mitaa (Mamlaka za Wilaya), Sura ya 287 kwa madhumuni ya kutekeleza kazi zake katika eneo lililo chini ya mamlaka yake, kuunda Bodi rasmi iliyotangazwa kwenye Gazeti la Serikali, kama itakavyoona inafaa kufanya hivyo. za Huduma kwa hati (2) Bodi ya Huduma iliyotajwa katika Kanuni Ndogo ya (1) ya Kanuni hizi itawajibika moja kwa moja kwenye Halmashauri kupitia Kamati ya Kudumu husika na itatekeleza kazi zake kama ilivyofafanuliwa katika hati inayoianzisha. 60 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Momba Tangazo la Serikali Na. 1033 (Linaendelea.) 77 Diwani kutembelea maeneo,shugh uli mbalimbali za ujenzi n.k (1) Mjumbe wa Halmashauri anaweza kutembelea eneo, jengo au shughuli za ujenzi zinazotekelezwa nje ya Kata yake na au kwa niaba ya Halmashauri na kabla ya taarifa kwa kutembelea mradi atutuma Mkurugenzi akieleza sababu za matembezi yake ili aweze kupangiwa Wataalam wa mradi au shughuli husika kwa ajili kupata maelekezo ya kitaalam. (2) Mjumbe wa Halmashauri anapotembelea shughuli ya maendeleo au miradi inayotekelezwa na au kwa niaba ya Halmashauri hataruhusiwa kutoa maelekezo au maagizo ya kitaalam awapo kwenye eneo la mradi. (3) (4) (5) Baada ya Diwani kutembelea maeneo au majengo kama ilivyoainishwa kwenye Kanuni Ndogo ya (1) ya Kanuni hii anaona kuna umuhimu wa kutoa maoni au mang’amuzi yake juu ya matembezi hayo atafanya hivyo kwa kuwasilisha maoni au mang’amuzi yake kwa Mkurugenzi ambaye atafanyia kazi au kuyapeleka kwa afisa anayesimamia kazi husika kwa utekelezaji. Endapo maoni au mang’amuzi ya Diwani hayawezi kufanyiwa kazi na Mkurugenzi au Afisa mhusika, basi atamshauri Diwani kupeleka maoni na mang’amuzi yake kwa Kamati inayohusika ili yachunguzwe zaidi na kuamuliwa. za Kudumu Kamati za Halmashauri, zinaweza kutembelea mara moja kila robo mwaka miradi ya maendeleo au shughuli yoyote inayotekelezwa na au kwa niaba ya Halmashauri na ambayo inaihusu Kamati husika ili mradi katika kutembelea miradi hiyo Kamati itaongozana na Wataalam wa 61 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Momba Tangazo la Serikali Na. 1033 (Linaendelea.) mradi au maelekezo ya kitaalam. shughuli husika ili kupata (6) Kamati ya Kudumu itatembelea miradi au shughuli za maendeleo kabla ya kikao cha Kamati ambacho kitajadili mradi au shughuli hiyo. Uhifadhi wa lakiri ya Halmashauri 78 itatunzwa kwa Lakiri ya Halmashauri usalama na kufungiwa katika kasiki kwenye Ofisi ya Mkurugenzi mwenyewe. Utiaji muhuri kwenye Nyaraka 79 (1) kwa ubandikaji yoyote mpaka Lakiri ya Halmashauri haitabandikwa katika hati huo umeidhinishwa na azimio la Halmashauri zabuni, kukubaliwa likiidhinisha ununuzi, uuzaji au upangishaji au kuchukua mali yoyote, utoaji wa hati yoyote ya ukopeshaji fedha, uwasilishaji wa madai yoyote, uwekaji wa viwango vya kodi, uingiaji kwenye mkataba, kutunga Sheria Ndogo, au hati yotote iliyo rasmi ambayo kwa mujibu wa Sheria au Kanuni yoyote inahitaji kuwekwa lakiri ya Halmashauri. (2) Lakiri itashuhudiwa au kuthibitishwa na Mwenyekiti au Makamu Mwenyekiti na Mkurugenzi, na hati zilizowekwa lakiri zitasainiwa na Mwenyekiti au Makamu Mwenyekiti, kama hali itakavyokuwa. Uandikishaji wa anuani 80 (1) Itakuwa wajibu wa kila Mjumbe katika kikao cha kwanza cha Halmashauri, baada ya uchaguzi kutoa taarifa ya maandishi kwa Mkurugenzi juu ya anuani yake ya Kudumu ya kupokelea taarifa. Taarifa zilizopelekwa iliyoandikishwa kwa anuani itachukuliwa na sahihi inatosheleza kwa matumizi yote. kutumia ndiyo kama 62 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Momba Tangazo la Serikali Na. 1033 (Linaendelea.) (2) Iwapo Mjumbe atatoa taarifa ya maandishi kwa Mkurugenzi kuwa angependa taarifa ya mikutano ya Halmashauri iwe inatumwa kwake kwa kutumia anuani atakayoitaja kwenye taarifa hiyo ambayo ni tofauti na ile katika Kanuni Ndogo ya (1), taarifa yoyote itakayoachwa au itakayotumwa kwa njia ya posta kwa kutumia anwani hiyo itachukuliwa kuwa inatosha kwa ajili ya kutoa taarifa inayotakiwa kwa mujibu wa Kanuni za Kudumu hizi. 81 (1) Uteuzi wa Wajumbe kwenye Taasisi za nje kwanza, Katika Mkutano wake wa Halmashauri itateua wawakilishi wake kwenye Bodi na Taasisi za nje ambazo Halmashauri inastahili kuwakilishwa. (2) Mjumbe au Wajumbe, wanaoiwakilisha Halmashauri kwenye Bodi na Taasisi za nje, watatakiwa kuwasilisha kwa Mkurugenzi taarifa kuhusu shughuli za Bodi au Taasisi zinazogusa sera na maslahi ya Halmashauri na wakazi wake kijumla na Mkurugenzi atachukua hatua zifaazo. Kumwondoa Mwenyekiti madarakani 82 (1) kumwondoa Halmashauri inaweza azimio Mwenyekiti madarakani linaloungwa mkono na theluthi mbili ya Wajumbe kutokana na sababu yoyote kati ya sababu zifuatazo:- (a) kutumia nafasi yake vibaya; kwa (b) kushiriki katika vitendo vya rushwa; (c) kushindwa kutekeleza majukumu yake (d) mwenendo mbaya au ukosefu wa adabu; au 63 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Momba Tangazo la Serikali Na. 1033 (Linaendelea.) (e) Ulemavu wa kimwili au kiakili kwa kiasi cha kumfanya kushindwa kutekeleza majukumu yake kama Mwenyekiti. (2) Hoja au sababu zitakazotolewa lazima iwe imetimiza masharti yafuatayo: (i) iwe na tuhuma mahsusi yenye ushahidi wa kutosha; na (ii) iwe imetolewa maelezo kamili na yenye kueleweka kuhusu tuhuma zinazohusika. (3) ya madhumuni Kwa kumwondoa Mwenyekiti madarakani, kwa sababu zozote zilizotamkwa chini ya Kanuni Ndogo ya (1) ya Kanuni hii, Halmashauri itatumia taratibu zilizotolewa katika Taratibu za Kumwondoa zilizotangazwa na Waziri Mwenyekiti kwenye gazeti la Serikali kwa mujibu wa Sheria. SEHEMU YA VII POSHO KWA WAJUMBE Aina za Posho 83 (1) Wajumbe wa Halmashauri watalipwa posho mbalimbali kama itakavyopendekezwa na Halmashauri na kuidhinishwa na Waziri. (2) Posho zitakazolipwa kwa Wajumbe wa Halmashauri zitakuwa za aina zifuatazo: (a) posho ya usafiri; (b) posho ya kuhudhuria kikao; (c) posho ya madaraka; (d) posho ya kujikimu; 64 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Momba Tangazo la Serikali Na. 1033 (Linaendelea.) Posho endapo Mkutano umehairishwa 84 (e) posho ya mwezi; na (f) Kiinua mgongo. (3) Endapo Mjumbe wa Halmashauri ataugua au ataumia wakati akifanya kazi aliyotumwa na Halmashauri, gharama za matibabu yake zitalipwa na Halmashauri. Endapo Mkutano wa Halmashauri au kikao cha Kamati utaahirishwa kwa sababu ya kukosekana kwa akidi, Mjumbe au Wajumbe waliofika kwa ajili ya kuhudhuria Mkutano huo ulioahirishwa watastahili malipo yaliyotajwa katika Kanuni ya 81(2) (a) na (d) iwapo wamelazimika, bila kukusudia, kulala njiani au kwenye makao makuu ya Halmashauri. Hakuna malipo ya posho ya kuhudhuria kikao yatakayofanywa katika hali ya namna hiyo. SEHEMU YA VIII MABADILIKO KWENYE KANUNI ZA KUDUMU 85 (1) Kusitisha utumiaji wa Kanuni za Kudumu (2) Kanuni yoyote inaweza kusitishwa kwa azimio lililoungwa mkono na theluthi mbili za Wajumbe waliohudhuria Mkutano wa Halmashauri kwa hoja iliyopendekezwa bila taarifa kwa madhumuni ya kuwezesha ili shughuli ishughulikiwe na Halmashauri kama jambo la dharura au lenye manufaa. iliyofafanuliwa yoyote haitasitisha matumizi ya Halmashauri Kanuni yoyote kama kusitisha huko kutasababisha ambalo limezuiliwa na Sheria au kutofanya jambo linalotakiwa kufanywa chini ya Sheria yoyote. kufanya jambo 65 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Momba Tangazo la Serikali Na. 1033 (Linaendelea.) 86 Marekebisho na mabadiliko ya Kanuni za Kudumu Kanuni za Kudumu kutolewa kwa Wajumbe Kutafsiri Kanuni za Kudumu 87 88 Ziara za Wajumbe 89 Halmashauri inaweza kubadilisha, kuongeza, kurekebisha au kutengua Kanuni hizi za Kudumu kwa azimio lililoungwa mkono kwa wingi usiopungua theluthi mbili ya kura na baada ya kupata idhini ya Waziri. iliyochapishwa ya Kanuni Nakala za Kudumu hizi zitatolewa na Mkurugenzi kwa kila Mjumbe. Uamuzi wa Mwenyekiti kuhusu maana ya matumizi ya Kanuni hizi au mwenendo wa Mkutano wa Halmashauri hautapingwa wakati wa Mkutano wowote wa Halmashauri SEHEMU YA IX ZIARA ZA WAJUMBE (1) Wajumbe wa Halmashauri wanaweza kwenda ziara mbalimbali za mafunzo ili mradi ziara hizo ziwe zimeainishwa kwenye mpango na bajeti ya Halmashauri. Isipokuwa kwa ziara ambazo gharama zake hazihusiani na ya Halmashauri Wajumbe watafanya ziara hizo kwa mujibu wa ratiba ya mpango huo. bajeti (2) Bila kuathiri masharti ya Kanuni Ndogo ya (1) ya Kanuni hizi Halmashauri kabla ya kuruhusu kufanyika kwa ziara itahakikisha kwamba: (a) shughuli ya ziara hiyo inafanana na shughuli na Halmashauri; zinazofanywa (b) ziara hiyo itafanyika baada ya kupata 66 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Momba Tangazo la Serikali Na. 1033 (Linaendelea.) kibali cha Mkuu wa Mkoa; (c) Wajumbe wana kitu cha kwenda kule wanakokwenda kuonyesha kujifunza; (d) ziara zinazofanyika nje ya Mkoa zihusishe wadau mbalimbali wa Halmashauri kutegemeana na ziara husika; (e) ziara yanayoonekana; iwe na matunda (f) Wajumbe walioshiriki kwenye ziara warejeapo wanatakiwa kuandaa na kuwasilisha ripoti ya maandishi kwa Halmashauri kuhusu mambo mapya na ya msingi waliyojifunza na kuweka utaratibu mzuri wa kuyatekeleza kwenye Kata zao na kwenye Halmashauri; (g) ziara zitafanywa kwa kuzingatia kama walengwa itakavyokubalika na Halmashauri. na mahitaji 90 Wimbo au Dua na sala ya kuiombea Halmashauri Kabla ya kuanza kwa Mkutano wa Halmashauri utaimbwa wimbo wa Taifa na kufuatiwa na Dua au Sala ya kuiombea Halmashauri ifuatayo; itendeke. Twakuomba, “Ewe MWENYEZI MUNGU Mtukufu, Muumba wa Mbingu na Dunia umeweka katika Dunia Serikali za Wanadamu ili haki uibariki yako Halmashauri yetu ya Wilaya ya Momba idumishe uhuru, umoja, haki na amani. Uwajalie viongozi wetu wa Halmashauri hekima, afya njema na maisha marefu ili 67 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Momba Tangazo la Serikali Na. 1033 (Linaendelea.) pamoja na wanaowashauri wadumishe utawala bora. Utuongezee hekima na busara sisi Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Momba na utupe uwezo wa kujadili kwa dhati, mambo yatakayoletwa mbele yetu leo, ili tufanye maamuzi sahihi yenye manufaa kwa watu wote na ustawi wa Halmashauri yetu. Mungu ibariki Tanzania, AMINA” JEDWALI LA KWANZA (Limetengenezwa Chini ya Kanuni ya 44(3)) HADIDU ZA REJEA ZA KAMATI ZA KUDUMU ZA HALMASHAURI ZA WILAYA 68 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Momba Tangazo la Serikali Na. 1033 (Linaendelea.) Madhumuni ya jumla:
Part
SEHEMU YA V
- 64 Verify source ↗
Kumbukumbu za majadiliano yanayohusu uagizaji
AI-assisted research summary: This section concerns records of discussions about imports.
64. Kumbukumbu za majadiliano yanayohusu uagizaji. - 69 Verify source ↗
Diwani au Afisa kutokuwa na maslahi kwenye Mikataba
AI-assisted research summary: Kichwa cha kifungu kinaonyesha mada ya diwani au afisa kutokuwa na maslahi kwenye mikataba.
69. Diwani au Afisa kutokuwa na maslahi kwenye Mikataba. SEHEMU YA VI MASUALA MENGINE
Part
SEHEMU YA VI
- 77 Verify source ↗
Diwani kutembelea maeneo, shughuli mbalimbali za ujenzi
AI-assisted research summary: This section is titled about municipal site visits and various construction activities.
77. Diwani kutembelea maeneo, shughuli mbalimbali za ujenzi. - 78 Verify source ↗
Uhifadhi wa lakiri ya Halmashauri
AI-assisted research summary: Kichwa hiki kinahusu uhifadhi wa lakiri ya Halmashauri.
78. Uhifadhi wa lakiri ya Halmashauri. 3 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Momba Tangazo la Serikali Na. 1033 (Linaendelea.) - 81 Verify source ↗
Uteuzi wa Wajumbe kwenye Taasisi za nje
AI-assisted research summary: Section 81 is about the appointment of members to external institutions.
81. Uteuzi wa Wajumbe kwenye Taasisi za nje. - 82 Verify source ↗
Kumwondoa Mwenyekiti madarakani
AI-assisted research summary: Section title only: “Kumwondoa Mwenyekiti madarakani.”
82. Kumwondoa Mwenyekiti madarakani. SEHEMU YA VII POSHO KWA WAJUMBE
Part
SEHEMU YA VII
- 84 Verify source ↗
Posho iwapo Mkutano umeahirishwa
AI-assisted research summary: Kichwa cha kifungu kinaonyesha suala la posho iwapo mkutano umeahirishwa na mabadiliko katika kanuni za kudumu.
84. Posho iwapo Mkutano umeahirishwa. SEHEMU YA VIII MABADILIKO KWENYE KANUNI ZA KUDUMU
Part
SEHEMU YA VIII
- 85 Verify source ↗
Kusitisha utumiaji wa Kanuni za Kudumu
AI-assisted research summary: Section 85 is titled “Suspension of application of the Permanent Rules.”
85. Kusitisha utumiaji wa Kanuni za Kudumu. - 86 Verify source ↗
Marekebisho na mabadiliko ya Kanuni za Kudumu
AI-assisted research summary: Sehemu hii ina kichwa cha marekebisho na mabadiliko ya Kanuni za Kudumu.
86. Marekebisho na mabadiliko ya Kanuni za Kudumu. - 87 Verify source ↗
Kanuni za Kudumu kutolewa kwa Wajumbe
AI-assisted research summary: Kanuni za Kudumu zinahusu kutolewa kwa Wajumbe.
87. Kanuni za Kudumu kutolewa kwa Wajumbe. - 90 Verify source ↗
Dua/sala ya kuiombea Halmashauri
AI-assisted research summary: This section introduces the council’s standing rules and defines key terms used in them.
90. Dua/sala ya kuiombea Halmashauri. SEHEMU YA 1 MASHARTI YA MWANZO KWA KUWA Kauli-mbiu ya Halmashauri ni kuendesha shughuli kwa namna inayozingatia demokrasia, ufanisi, tija, ushirikishwaji, uwazi na uwajibikaji. NA KWA KUWA jukumu la Halmashauri ni kuimarisha demokrasia katika ngazi zote na kutoa huduma kwa wananchi kwa kuzingatia ufanisi, usawa, haki na kwa namna inayochochea maendeleo ya maeneo yaliyo chini ya mamlaka ya Halmashauri kwa kuwashirikisha wananchi. NA KWA KUWA madhumuni ya Kanuni za Kudumu ni kuweka utaratibu wa namna Halmashauri itakavyoendesha mikutano na shughuli zake kwa kuzingatia misingi ya utawala bora. SASA BASI, Kanuni za Kudumu hizi zinaelekeza ifuatavyo: 4 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Momba Tangazo la Serikali Na. 1033 (Linaendelea.) Jina Tafsiri 1 2 Sura ya 287 Kanuni hizi zitaitwa Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Momba za Mwaka 2020. Katika Kanuni hizi itaelezwa vinginevyo: isipokuwa kama “Afisa wa Serikali za Mitaa” Maana yake ni mtu ambaye ameajiriwa na au ambaye yumo katika utumishi wa Mamlaka ya Serikali za Mitaa na ambaye anashika au anakaimu katika nafasi ya menejimenti; “Diwani” Maana yake ni Mjumbe wa Halmashauri aliyetajwa kwa mujibu wa kifungu 35 cha Sheria ya Serikali za Mitaa (Mamlaka za Wilaya); uendeshaji wa kuvuruga “Fujo” Maana yake ni kitendo chochote kinachoweza kufanywa na Mjumbe au Mshiriki wa Kikao cha Halmashauri au Kamati ya Kudumu ambacho ni kinyume na vikao, taratibu za kikao. Mfano kinachoweza kuongea bila ruhusa ya Mwenyekiti, kutoa lugha isiyofaa, kutoa kauli yenye maudhi, kuingia kwenye kikao akiwa amelewa, kuingia na silaha, kutoa lugha ya kashfa, amri ya au kukaidi matusi, kejeli Mwenyekiti, nje kukaidi anapoamriwa kutoka kutokana na fujo alizosababisha; kutoka “Halmashauri” Maana yake ni Halmashauri ya Wilaya ya Momba; “Kamati” (a) Inapotumika na Halmashauri ina maana ya Kamati iliyoanzishwa au iliyoteuliwa na kuhusiana 5 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Momba Tangazo la Serikali Na. 1033 (Linaendelea.) Halmashauri chini ya Sheria; (b) Inapotumika kuhusiana na Kamati Ndogo maana yake ni Kamati Ndogo hiyo iliyoteuliwa na Kamati; (c) Inapotumika kuhusiana na Kamati nyingine ina maana ya Kamati hiyo. "Kauli zenye kashfa'' maana yake ni maneno yenye lengo la kumdhihaki na kumdhalilisha mtu utu wake; “Mamlaka ya Mji Mdogo” Maana yake ni Mamlaka ya Mji Mdogo ulioanzishwa chini ya Kifungu cha 13 cha Sheria; “Mkurugenzi” Maana yake ni Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Momba pamoja na Afisa yeyote aliyeteuliwa kutekeleza majukumu ya Mkurugenzi; “Mjumbe” Maana yake ni Mjumbe wa na Halmashauri kifungu cha 35 cha Sheria; ilivyoainishwa kama Sura ya 287 “Mwenyekiti” (a) Kwa madhumuni ya Halmashauri maana yake ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya Momba, na inajumuisha Makamu Mwenyekiti wakati anapotekeleza majukumu ya Mwenyekiti kwa mujibu wa Kanuni hizi. ya Wilaya (b) Kwa madhumuni ya Kamati, Bodi au Kamati Ndogo maana yake ni Mwenyekiti wa Kamati, Bodi au Kamati Ndogo. (c) Kwa maana ya Bodi ya Zabuni ni Mwenyekiti wa Bodi ya Zabuni 6 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Momba Tangazo la Serikali Na. 1033 (Linaendelea.) (d) Kwa maana ya Kamati ya Ukaguzi ni Mwenyekiti wa Kamati ya Ukaguzi (e) Kwa maana ya Bodi ni Mwenyekiti wa Bodi ya Ajira “Sheria” Maana yake ni Sheria ya Serikali za Mitaa (Mamlaka za Wilaya) “Waziri” Maana yake ni Waziri mwenye dhamana ya Serikali za Mitaa. SEHEMU YA II MIKUTANO YA HALMASHAURI Mikutano ya Kawaida ya Halmashauri
Part
sehemu ya muhtasari ambapo habari hiyo
- 23 Verify source ↗
Section 23
AI-assisted research summary: Halmashauri lazima itenge dakika 30 kwa kila mkutano kwa maswali ya papo kwa papo, na wajumbe wanaotaka kuuliza maswali hayo wajiorodheshe kwa Mwenyekiti angalau saa 24 kabla.
23. (1) katika wa Halmashauri itatenga muda wa dakika thelathini kila Mkutano wa ambapo Halmashauri Mwenyekiti na Mkurugenzi wa Halmashauri atajibu maswali ya papo kwa papo kutoka kwa Wajumbe kabla ya kuanza kwa shughuli ya kawaida za Mkutano wa Halmashauri. kawaida (2) Wajumbe ambao watataka kumwuliza Mkurugenzi na Mwenyekiti maswali ya papo kwa papo watatakiwa kujiorodhesha kwanza kwa Mwenyekiti angalau masaa ishirini na nne (24) kabla ya Mkutano wa Halmashauri. (3) Mjumbe yeyote ambaye hatajiorodhesha kwa Mwenyekiti au Mkurugenzi ndani ya masaa ishirini na nne atahesabika kuwa amechelewa, na hataruhusiwa kumuuliza Mkurugenzi au Mwenyekiti swali la papo kwa papo. (4) Kabla ya kuanza kwa kipindi cha maswali ya papo kwa papo Mwenyekiti atataja majina ya Wajumbe waliojiorodhesha kuuliza maswali ya papo kwa papo na idadi ya maswali. (5) Mwenyekiti ataweka utaratibu ambao ataona unafaa na kuridhiwa na Wajumbe wa namna bora ya kuendesha kipindi cha maswali ya papo kwa papo. (6) Mjumbe hataruhusiwa kuuliza zaidi ya swali 29 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Momba Tangazo la Serikali Na. 1033 (Linaendelea.) moja la papo kwa papo. (7) Maeneo ya umuhimu ambayo Wajumbe watatakiwa kuuliza maswali ya papo kwa papo ni:- (a) uendeshaji wa Halmashauri; jumla wa (b) utekelezaji wa miradi ya Maendeleo; (c) mipango ya kimkakati ya Halmashauri kuwaondolea wananchi umaskini; (d) mipango ya baadaye ya maendeleo ya Halmashauri; (e) usimamizi na utekelezaji wa Mipango na Bajeti kwa mwaka husika; (f) utoaji wa huduma za jamii kama vile elimu, afya, maji, barabara na madaraja; (g) hifadhi ya mazingira na utunzaji wa vyanzo vya maji; (h) usalama wa chakula na wa raia na mali zao; (i) Utawala Bora na utatuzi wa kero za wananchi. (8) Baada ya kujibiwa kwa swali, muuliza swali atapewa fursa ya kuuliza swali moja tu la ufafanuzi na maswali yatajibiwa bila mjadala. (9) Mwenyekiti atakuwa na uwezo wa kuruhusu kutojibu au kukataa swali lolote la papo kwa 30 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Momba Tangazo la Serikali Na. 1033 (Linaendelea.) papo ambalo litaonekana linahitaji takwimu au utafiti zaidi au swali ambalo linalenga kumdhalilisha Mwenyekiti au Mjumbe yeyote wa Baraza na uamuzi wake utakuwa wa mwisho. (10) Mara baada ya muda wa nusu saa kumalizika, kipindi cha maswali ya papo kwa papo kitamalizika na kuruhusu shughuli zingine za kikao kuendelea. Taarifa za Kamati - 24 Verify source ↗
Section 24
AI-assisted research summary: Kamati lazima itoe taarifa ya majadiliano kuhusu utekelezaji wa majukumu yake kwa Halmashauri; muhtasari unaohitaji idhini lazima upelekwe kwa wajumbe angalau siku 7 kabla ya mkutano, na sehemu zilizoondolewa haziwezi kujadiliwa.
24. (1) Kila Kamati au Kamati ya pamoja iliyoteuliwa chini ya Kanuni hizi itatoa, katika mojawapo ya mikutano miwili ya Halmashauri iliyoteua Kamati, Kamati ya pamoja au Kamati Ndogo, taarifa ya majadiliano yanayohusiana na utekelezaji majukumu iliyokasimiwa, kwa ujulisho wa Halmashauri. (2) Muhtasari wa Kamati unaohitaji idhini ya Halmashauri, na taarifa zozote zinazohusiana na muhtasari huo, na ambazo zinaonekana kwa Kamati kuwa zinastahili, zitapelekwa kwa kila Mjumbe wa Halmashauri angalau siku saba kabla ya Mkutano wa Halmashauri ambamo utafikiriwa. (3) Mwenyekiti wa Kamati, au Mjumbe mwingine wa Kamati kwa niaba yake, wakati wa kupendekeza kuidhinishwa kwa muhtasari wa Kamati, anaweza kusema kuwa hakusudii kuwasilisha kipengele au vipengele fulani vya muhtasari huo kwa lengo la kupata idhini ya Halmashauri. Katika hali hiyo Mjumbe yeyote hataweza kukizungumzia kipengele au vipengele hivyo na muhtasari utawasilishwa bila vipengele hivyo. Kuondolewa kwa kipengele cha aina hiyo kutatolewa taarifa kwenye 31 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Momba Tangazo la Serikali Na. 1033 (Linaendelea.) Mkutano unaofuata. (4) Taarifa ya Kamati inapokuwa imepokelewa na Halmashauri itamaanisha kuwa hatua husika na zilizochukuliwa zimekubaliwa na mapendekezo yaliyo kwenye taarifa hiyo yatatekelezwa na kwamba Mkurugenzi atakuwa ameelekezwa ipasavyo. Kamati Taarifa za kutoka kwenye Kata - 25 Verify source ↗
Section 25
AI-assisted research summary: Kila Kata lazima iwasilishe taarifa ya utekelezaji katika mkutano wa Halmashauri, na taarifa hiyo iandaliwe na kusimamiwa kwa uwasilishaji na viongozi wa Halmashauri walioainishwa.
25. (1) (2) (3) Kila Kata itatakiwa kuwasilisha taarifa za utekelezaji katika Mkutano wa Halmashauri ulioitishwa chini ya Kanuni ya 3(1) ya Kanuni hizi. Taarifa za utekelezaji kutoka katika Kata zitawasilishwa na Diwani wa Kata husika, au kama Diwani hiyo hayupo, itawasilishwa na Diwani wa Viti Maalum anayeishi katika Kata hiyo na kama Diwani hayupo, Mwenyekiti Viti Maalum atamtaarifu mapema Diwani yeyote ili ajiandae kuwasilisha taarifa hiyo. taarifa za na tatu aina taarifa katika Kata Kutakuwa zitakazowasilishwa: - (a) Taarifa ya utekelezaji wa miradi ya ambayo maendeleo itajumuisha ujenzi wa Madarasa, Nyumba za Walimu, Matundu ya Vyoo, Maabara, Viwanja vya Michezo, Vituo vya Afya, Zahanati, Madaraja, Barabara, Mashamba darasa, Ofisi za Vijiji, Kata na Tarafa; Idadi ya watu na vizazi; (b) Taarifa zinazohusu hali ya Kata ambazo zitajumuisha; (i) Maendeleo ya Elimu katika Kata kuhusiana na uandikishaji wa 32 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Momba Tangazo la Serikali Na. 1033 (Linaendelea.) watoto wenye umri wa kwenda shule, ufundishaji, utoro, hali ya mahudhurio, mimba shuleni, ukaguzi na uratibu wa shule; (ii) Hali ya majanga ya kibinadamu kama vile mlipuko wa magonjwa, mafuriko, njaa na hali ya uhalifu na vifo; (iii) Maendeleo ya Kilimo, mifugo na uvuvi itajumuisha ambayo upatikanaji wa wataalamu, zana za kisasa na pembejeo za kilimo, mifugo na uvuvi; (iv) na utaifa Uimarishaji wa dhana ya kwa uzalendo kuhamasisha vijana kuanzisha na kujiunga na vikundi vya Vijana, Wagani na mafunzo ya Jeshi la Mgambo, ulinzi shirikishi na polisi jamii; kazi (c) Taarifa ya utekelezaji wa miradi ya Maendeleo na taarifa ya hali ya Kata sharti ijumuishe pia taarifa za shughuli za kiuchumi, taarifa ya mavuno ya mazao ya chakula na biashara pamoja na taarifa ya utunzaji wa mazingira na vyanzo vya maji. (4) Mkurugenzi wa Halmashauri atahakikisha taarifa kutoka kwenye Kata, zinaandaliwa na kuwasilishwa na Diwani wa Kata hiyo kwenye Baraza la Madiwani ili ipitiwe na kuchambuliwa kwa nia ya kupata hoja zitakazowasilishwa katika vikao vya Kamati husika na kutoa mrejesho. Mafanikio na changamoto (5) Mwasilishaji wa taarifa atatakiwa kuelezea changamoto yaliyopatikana, mafanikio 33 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Momba Tangazo la Serikali Na. 1033 (Linaendelea.) zilizojitokeza na mbinu za kukabiliana nazo. (6) Mbinu za kukabiliana na changamoto sharti ziwekewe malengo na muda Maalum wa kuzitatua; (7) (8) Taarifa za mapokeo ya fedha na matumizi yake zitakazokuwa zimeandaliwa na Afisa Mtendaji wa Kata, zitawasilishwa sanjari na miradi iliyotekelezwa na gharama zake. Baada ya taarifa kutoka kwenye Kata kupokelewa na Halmashauri, itamaanisha taarifa hizo zimeidhinishwa na kuwa mapendekezo yaliyomo kwenye taarifa yatatekelezwa na Halmashauri, na Kata kupewa taarifa ya utekelezaji wa majukumu hayo. - 26 Verify source ↗
Section 26
AI-assisted research summary: During council meeting debates, freedom to speak exists and cannot be challenged in court or elsewhere outside the council meeting.
26. Uhuru wa kutoa Mawazo wakati wa Majadiliano Kutakuwepo na uhuru wa kutoa mawazo wakati wa majadiliano katika mikutano ya Halmashauri na uhuru huo hautaweza kuhojiwa katika mahakama yoyote au mahali popote nje ya Mkutano wa Halmashauri. Kauli zenye Kashfa - 27 Verify source ↗
Section 27
AI-assisted research summary: A member who makes a defamatory statement may be required to withdraw it and apologize in writing within 7 days; if they refuse, they can be suspended from three consecutive council meetings and lose related rights during the suspension.
27. (1) (2) kulingana na maoni Inapotokea, ya Mwenyekiti au mjumbe yeyote anayeongoza Mkutano, kuwa kauli iliyotolewa na Mjumbe inakashifu mtu yeyote, Mwenyekiti atamtaka Mjumbe aliyetoa kauli hiyo kufuta kauli kumwomba msamaha mtu yake aliyekashifiwa kwa maandishi ndani ya muda wa siku saba tangu kauli hiyo ya kashfa ilipotamkwa. na Endapo Mjumbe aliyetoa kauli ya kashfa atakataa kufuta kauli yake na kuomba msamaha kama inavyoelekezwa katika Kanuni Ndogo (1) ya maandishi kwa 34 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Momba Tangazo la Serikali Na. 1033 (Linaendelea.) Kanuni hii, Mwenyekiti au mtu anayeongoza Mkutano, atamsimamisha Mjumbe huyo kuhudhuria vikao vitatu mfululizo vya Halmashauri (3) Mjumbe aliyesimamishwa kwa mujibu wa Kanuni Ndogo (2) ya Kanuni hii atapoteza haki zake zote zinazohusiana na vikao hivyo kwa muda wote wa kusimamishwa kwake. Maamuzi ya Mikutano ya Halmashauri - 28 Verify source ↗
Section 28
AI-assisted research summary: Council matters are decided by a majority of votes of members present; if there is a tie, the chair or presiding member has a casting vote. Secret ballot is required for a no-confidence vote against the chair and for any other matter the council decides.
28. (1) Masuala yote yaliyojadiliwa na kupendekezwa katika Mkutano wowote wa Halmashauri yataamuliwa kulingana na wingi wa kura za Wajumbe waliohudhuria Mkutano huo, na ikitokea kura za Wajumbe zikalingana, basi Mwenyekiti au Mjumbe yeyote mwingine anayeongoza Mkutano, atapiga kura ya turufu mbali ya kura ya kawaida. (2) na linalopigiwa kura linahusu Iwapo suala kutokuwa kumwondoa imani Mwenyekiti madarakani, au jambo lolote na itakavyoamuliwa lingine Halmashauri, kura zitapigwa kwa siri. kama au - 29 Verify source ↗
Section 29
AI-assisted research summary: Mwenyekiti anaweza, baada ya kushauriana na Wajumbe, kumwalika mtu yeyote kuhudhuria, kuzungumza, au kushiriki katika mkutano wa Halmashauri, lakini mualikwa hana haki ya kupiga kura. Wakuu wa Idara za Halmashauri wanapaswa kuhudhuria mikutano yote ya Halmashauri lakini pia hawana haki ya kupiga kura.
29. Mwaliko kwa wasiokuwa Wajumbe kushiriki na kuzungumza kwenye Vikao vya Halmashauri (1) Mwenyekiti, baada ya kushauriana na Wajumbe, anaweza kumwalika mtu yeyote kuhudhuria na kuzungumzia jambo lolote, au kushiriki kwa njia yoyote, katika Mkutano wowote wa Halmashauri lakini mwalikwa huyo hatakuwa na haki ya kupiga kura katika Mkutano huo. (2) Wakuu wa Idara za Halmashauri wanapaswa kuhudhuria mikutano yote ya Halmashauri lakini hawatakuwa na haki ya kupiga kura katika mikutano hiyo. Mihtasari ya kata na vijiji - 30 Verify source ↗
Section 30
AI-assisted research summary: The Council Director must ensure committee and village meeting minutes are reviewed and analyzed, and council minutes are sent to the District Commissioner and Regional Commissioner.
30. Mkurugenzi wa Halmashauri atahakikisha 35 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Momba Tangazo la Serikali Na. 1033 (Linaendelea.) mihtasari yote ya Kamati za Maendeleo za Kata, Halmashauri za Vijiji na Mikutano Mikuu ya Vijiji inapitiwa na kuchambuliwa kwa nia ya kupata hoja zitakazowasilishwa katika vikao vya Kamati husika na kutoa mrejesho inavyopaswa. Mihtasari ya Halmashauri kupelekwa kwa Mkuu wa Wilaya na Mkuu wa Mkoa - 31 Verify source ↗
Section 31
AI-assisted research summary: Council minutes must be sent with notice to the District Commissioner and Regional Commissioner within 7 days after the minutes are confirmed.
31. (1) Mihtasari ya Halmashauri itatolewa na taarifa, kwa Mkuu wa kupelekwa kwa Wilaya na Mkuu wa Mkoa ambamo Halmashauri imo katika muda wa siku 7 baada ya kuthibitishwa kwa mihtasari hiyo. (2) Mkuu wa Wilaya na Mkuu wa Mkoa wanaweza kupewa, wakiomba, nakala ya mihtasari au sehemu ya mihtasari ya Kamati za Kudumu na Kamati nyingine. (3) Wakuu wa Wilaya na Wakuu wa Mikoa hawatabadilisha au kubatilisha au kuagiza kubadilisha au kubatilisha uamuzi wa Halmashauri. Hoja kuhusu Matumizi - 32 Verify source ↗
Section 32
AI-assisted research summary: Motions that are not based on a Finance, Administration and Planning Committee report or information, and that would increase or reduce committee revenue or cause standing committee expenditure, are deferred to the next ordinary council meeting.
32. na yaliyo ambayo, matumizi chini yoyote, Hoja yoyote isiyotokana na mapendekezo au taarifa ya Kamati ya Fedha, Utawala na kama Mipango au ikikubaliwa,itaongeza ya kupunguza mapato usimamizi wa Kamati au itasababisha matumizi ya Kamati ya Kudumu, baada ya kupendekezwa au bila kuungwa mkono, majadiliano mpaka Mkutano wa kawaida wa Halmashauri unaofuata, na Kamati yoyote inayohusika na hoja hiyo itafikiria iwapo ingependa kutoa taarifa kuhusu athari za kifedha za pendekezo hilo. itaahirishwa Kupokelewa kwa taarifa za Kamati - 33 Verify source ↗
Section 33
AI-assisted research summary: The council must receive and discuss a committee report item by item, vote on any recommendations if a member requests it, and then present the full report to the meeting with or without amendments.
33. (1) Taarifa ya Kamati inapowasilishwa kwenye Halmashauri, hoja itakuwa “kwamba taarifa 36 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Momba Tangazo la Serikali Na. 1033 (Linaendelea.) ipokelewe”na baada ya kukubaliwa na Wajumbe kujadiliwa taarifa kipengele kimoja baada ya kingine. itaanza (2) Mapendekezo yoyote yaliyomo katika taarifa hiyo yatapigiwa kura moja baada ya nyingine iwapo Mjumbe yeyote atapenda iwe hivyo. Baada ya hapo taarifa nzima itawasilishwa mbele ya Mkutano kwa kupokelewa ikiwa na au bila marekebisho. Taarifa ya Kamati inapokuwa imepokelewa na Halmashauri itamaanisha kuwa hatua zilizochukuliwa na Kamati iliyowasilisha taarifa hiyo zimeidhinisha na mapendekezo taarifa yatatekelezwa na yaliyo kwenye kwamba Mkurugenzi wa Halmashauri atakuwa ameelekezwa kama inavyotakiwa. Uhalali wa majadiliano kwenye Halmashauri hautaathiriwa na nafasi yoyote wazi ya Mjumbe, dosari zilizo katika uchaguzi au uteuzi wa Wajumbe wa Kamati au zile za maafisa wake. zozote inaweza Halmashauri kujigeuza kuwa Kamati ya Halmashauri nzima, na mara baada ya kujigeuza, taratibu za kuendesha vikao vya Kamati za Kudumu zitatumika. jambo litajitokeza Kama lolote katika mkutano wa Halmashauri linalohusu uteuzi, kupandishwa kazi, mishahara au mazingira ya kazi au utendaji kazi kwa jumla wa mtumishi yeyote wa Halmashauri, jambo hilo litajadiliwa katika kufukuzwa cheo, 37 Kuidhinishwa kwa taarifa ya Kamati - 34 Verify source ↗
Section 34
AI-assisted research summary: Heading only: “Uhalali wa majadiliano ya Halmashauri.”
34. Uhalali wa majadiliano ya Halmashauri - 35 Verify source ↗
Section 35
AI-assisted research summary: Residents may attend council meetings to present issues if they give written notice to the Director and the Director approves. Council and committee meeting rules also regulate adjournments, committee appointments, delegation limits, and notice periods.
35. 36 Uwezo wa Halmashauri kujigeuza kuwa Kamati ya Halmashauri nzima 37 Hoja zinazohusu watumishi wa Halmashauri Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Momba Tangazo la Serikali Na. 1033 (Linaendelea.) Kushiriki kwa Umma 38 Kamati ya Halmashauri nzima. (1) Mtu yeyote ambaye ni mkazi katika eneo la Halmashauri anaweza kuhudhuria kikao cha Halmashauri kwa nia ya kuwasilisha hoja mbele ya Halmashauri, baada ya kutoa taarifa kwa maandishi kwa Mkurugenzi, na Mkurugenzi akamkubalia kufanya hivyo. (2) Mtu yeyote ambaye ni mkazi katika eneo la Halmashauri anaweza kualikwa kuhudhuria kikao cha Kamati au Kamati Ndogo kabla kuhusu masuala uamuzi ambayo ana maoni mahsusi. haujafanyika Uahirishaji wa mikutano 39 (1) Kwa kuzingatia masharti ya Kanuni Ndogo ya (2) ya Kanuni 17 na Kanuni Ndogo ya 2 ya Kanuni hii, Halmashauri haitaahirisha Mkutano wake hadi dondoo zote za agenda zitakapojadiliwa na ya Mkutano huo kutolewa uamuzi. (2) Pale ambapo katika Mkutano wowote wa Halmashauri akidi haikutimia, Wajumbe waliopo wataahirisha Mkutano na utaratibu wa kuitisha Mkutano mwingine utafanyika kwa kuzingatia maelekezo ya Kanuni hizi. SEHEMU YA IV KAMATI Kamati za Kudumu 40 (1) Halmashauri katika Mkutano wake wa mwaka itateua Wajumbe wa Kamati za Kudumu zifuatazo ambazo zitakuwa na idadi ya Wajumbe (ukimwondoa Mwenyekiti wa Halmashauri isipokuwa katika Kamati ya kama Fedha, Utawala inavyoonyesha kama itakavyorekebishwa na Halmashauri mara kuteua kwa mara. na mipango) au chini Isipokuwa katika hapa 38 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Momba Tangazo la Serikali Na. 1033 (Linaendelea.) Wajumbe wa Kamati ya Fedha, Utawala na Mipango Mwenyekiti na Mkurugenzi watazingatia uwiano wa uwakilishi wa vyama vya siasa katika Halmashauri. Kamati (a) Kamati ya Fedha ,Uongozi na Mipango (b)Kamati ya Elimu,Afya na Maji (c) Kamati ya Masuala ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira. (d)Kamati ya Maadili ya Madiwani (e)Kamati ya Kudhibiti Ukimwi Idadi ya Wajumbe 11 10 10 05 02 Akidi 06 05 05 03 02 (2) Kila Mjumbe wa Halmashauri atakuwa Mjumbe wa angalau Kamati moja ya Kudumu. Kamati ya Fedha, Utawala na mipango itakuwa na Wajumbe wafuatao: - (a) Mwenyekiti wa Halmashauri ambaye atakuwa Mwenyekiti. (b) Makamu Mwenyekiti (c) Mbunge au Wabunge wa Majimbo wanaowakilisha Majimbo katika eneo la Halmashauri (d) Wenyeviti wa Kamati za Kudumu za Halmashauri (e) Wajumbe wengine wasiozidi wawili (2) na watakaopendekezwa Mwenyekiti na kupigiwa kura na Baraza la Halmashauri mmoja kati yao awe mwanamke. (3) Wajumbe wa Kamati za Kudumu watashika nyadhifa zao kwa muda wa mwaka mmoja 39 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Momba Tangazo la Serikali Na. 1033 (Linaendelea.) na wataendelea kushika nyadhifa hizo mpaka Mkutano wa mwaka wa Halmashauri Isipokuwa unaofuata. Wajumbe waliochaguliwa kwenye Mkutano wa kwanza baada Uchaguzi Mkuu watashika nyadhifa zao kwa muda uliobaki kumaliza Mwaka wa Fedha ambapo Uchaguzi utafanyika tena. Halmashauri inaweza wakati wowote kuvunja na kuunda upya Kamati ya Kudumu iliyoteuliwa kwa mujibu wa Kanuni hii ya Kudumu, endapo kufanya hivyo kutakuwa ni kwa manufaa ya Halmashauri. Hakuna Halmashauri itakayounda Kamati ya Kudumu mpya zaidi ya Kamati zilizotajwa kwenye Kanuni ya 40(1) hapo juu, isipokuwa baada ya kuomba na kupata idhini ya maandishi kutoka kwa Waziri. (4) (5) (6) Maombi ya Halmashauri ya kuanzisha Kamati mpya ya Kudumu lazima yakidhi na yawe na maelezo yafuatayo; (a) Upekee wa kuundwa majukumu yanayoombewa kwa Kamati ya Kudumu mpya na majukumu hayo yawe hayawezi kutekelezwa na Kamati za Kudumu zilizopo na zilizotajwa kwenye Kanuni ya 40(1) hapo juu; (b) Gharama za uendeshaji wa Kamati hiyo kwa mwaka; (c) Kuundwa kwa Kamati ya Kudumu hiyo mpya ni hitajio la lazima na ni kipaumbele cha Halmashauri na jamii kwa ujumla. (7) Kamati na Halmashauri bila idhini ya Waziri itakuwa itakayoundwa yoyote 40 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Momba Tangazo la Serikali Na. 1033 (Linaendelea.) 41 Mwenyekiti wa Halmashauri kuwa Mjumbe wa Kamati zote Uwezo wa Kamati 42 Kamati za Pamoja 43 (1) batili na maamuzi yake yote yatakuwa batili. Mwenyekiti wa Halmashauri atakuwa Mjumbe wa Kamati zote za Kudumu za Halmashauri. Kamati zote za Halmashauri zitawasilisha taarifa zao kwa Halmashauri, na hakuna hatua itakayochukuliwa kutekeleza uamuzi wowote wa Kamati yoyote mpaka hapo itakapokuwa taarifa ya Kamati husika imewasilishwa na Halmashauri, isipokuwa pale ambapo idhini ya kuchukua hatua imekasimiwa kwa Kamati. kukubaliwa na inaweza kukubaliana Halmashauri na Halmashauri nyingine kuteua Kamati ya pamoja kutokana na Wajumbe wao kwa madhumuni yoyote yale ambayo wana maslahi ya pamoja, na Halmashauri hizo zinaweza kukasimu kwa Kamati hiyo ya pamoja, kutegemea na masharti na mipaka zitakazoweka kama watakavyoona inafaa, madaraka ya Halmashauri zinazohusiana na madhumuni yaliyozifanya ziunde Kamati hiyo, isipokuwa shughuli zile ambazo haziruhusiwi kukasimu. Halmashauri kazi au (2) Muundo na muda wa kazi wa Wajumbe wake na mipaka ya eneo ambamo Kamati hiyo ya pamoja itafanya kazi, itapangwa na Halmashauri zinazoiteua (3) Kamati ya pamoja haitaingia katika gharama zozote zaidi ya zile ambazo zimeidhishwa na mamlaka iliyoteua Kamati hiyo. 41 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Momba Tangazo la Serikali Na. 1033 (Linaendelea.) 44 (1) Kukasimu Madaraka kwenye Kamati Kufuatana na Kanuni Ndogo ya (2) ya Kanuni hii pamoja na masharti mengine ambayo Halmashauri inafaa, Halmashauri inaweza kukasimu kwa Kamati uwezo wa kutekeleza kazi yoyote kwa niaba yake. itaona (2) Halmashauri haitakasimu kwa Kamati yoyote uwezo wa: (a) kutunga Sheria Ndogo; (b) kuweka na kutoza kodi; (c) kuidhinisha makadirio ya mapato na matumizi ya Halmashauri; (d) kutoza ada na ushuru; (e) kuidhinisha mpango na bajeti ya Halmashauri; (f) kuingia mikataba mbalimbali ikiwa ni pamoja na mikataba ya kukopa; (g) kupitisha mpango wa utoaji huduma. Kazi za kila Kamati ya Kudumu ya Halmashauri ni kama zilivyoonyeshwa katika Jedwali la Kwanza la Kanuni za Kudumu hizi. inaweza kusitisha Halmashauri au kurekebisha uamuzi wa kukasimu madaraka yoyote kwa Kamati, lakini usitishaji au urekebishaji huo hautaathiri jambo lolote lililofanywa kutokana na uamuzi wowote uliochukuliwa kihalali na Kamati. Shughuli yoyote iliyotekelezwa na Kamati kutokana na kukasimiwa kwa mujibu wa Kanuni hii itatambuliwa kuwa imefanywa au kutekelezwa na Halmashauri. Kamati yoyote au Kamati ya pamoja inaweza kuteua Kamati Ndogo kutokana na Wajumbe wake kadri itakavyoona inafaa kwa ajili ya kuchunguza na kutoa taarifa 42 (3) (4) (5) Kamati Ndogo 45 (1) Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Momba Tangazo la Serikali Na. 1033 (Linaendelea.) jambo lakini Kamati lolote, kuhusu haitakasimu madaraka yake ya kiutendaji kwa Kamati Ndogo yoyote. (2) Idadi ya Wajumbe wa Kamati Ndogo pamoja watakaotumikia muda vitaamuliwa na Kamati iliyoteua Kamati Ndogo hiyo. na (3) Mwenyekiti wa Kamati atakuwa Mjumbe wa Kamati Ndogo yoyote kwa mujibu wa wadhifa kama atamfahamisha Mkurugenzi kwa maandishi kuwa hatakuwa Mjumbe wa Kamati hiyo. isipokuwa wake (4) Kila Kamati Ndogo inaweza kumteua mmoja wa Wajumbe wake kuwa Mwenyekiti wa Kamati Ndogo husika. Vikao vya Kamati 46 (1) Kikao cha kwanza wa Kamati kitaitishwa na Mkurugenzi ndani ya mwezi mmoja baada ya Kamati kuteuliwa na baada ya hapo kulingana na ratiba ya mikutano kama itakavyoidhinishwa na Halmashauri. (2) (3) Taarifa ya angalau saa ishirini na nne yenye itabidi kutolewa kwa ajenda za kikao Wajumbe kabla ya kikao cha Kamati. Idadi ya Kamati haitazidi idadi ambayo itawekwa na Waziri kutokana na uwezo aliopewa chini ya kifungu cha 75(3) cha Sheria. Mwenyekiti wa Kamati 47 (1) Katika kikao chake cha kwanza baada ya Mkutano wa mwaka wa Halmashauri na kabla ya kuendelea na shughuli yoyote nyingine, itamchagua Mwenyekiti wa Kamati kwa mwaka Kamati kila 43 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Momba Tangazo la Serikali Na. 1033 (Linaendelea.) unaohusika. (2) Mwenyekiti wa Kamati, isipokuwa Kamati ya Fedha Utawala na Mipango atachaguliwa kwa kura ya siri ya Wajumbe walio wengi kwa kupiga kura ya siri kwenye eneo la faragha litakalotengwa na Mkurugenzi kwa ajili hiyo. (3) Mwenyekiti wa Halmashauri atakuwa pia Mwenyekiti wa Kamati ya Fedha na Utawala. (4) Kikao Maalum cha Kamati
Part
JEDWALI LA KWANZA
- 7 Verify source ↗
Section 7
AI-assisted research summary: Sehemu hii inaeleza majukumu ya kamati mbalimbali za Halmashauri, ikiwemo usimamizi wa mapato na mali, mapendekezo ya bajeti, huduma za jamii, UKIMWI, uchumi, ujenzi na mazingira.
7. Kuishauri Halmashauri kutengeneza malengo yanayozingatia matakwa ya Wilaya na kuchukua hatua ambazo zitaonekana zinafaa ili kufikia malengo yaliyokusudiwa. Kuishauri Halmashauri kufanya maamuzi juu ya sera muhimu. Kuishauri Halmashauri kufanya maamuzi juu ya utoaji wa huduma kulingana na rasilimali walizonazo Kuiwezesha Halmashauri kutengeneza taratibu zitakazoongoza utendaji wa Kamati, Kamati Ndogo, na ule wa watumishi ili watimize wajibu wao. Kufanya mapitio yatakayowezesha Halmashauri kuamua juu ya kuongeza, kupunguza, kubinafsisha au kuwashirikisha wadau katika utoaji wa huduma. Kuhakikisha kuwa miundo na taratibu za utendaji wa Halmashauri tija katika kufikia malengo ya zinazingatia ufanisi, uthabiti na Halmashauri. Kuiwezesha Halmashauri kujenga mahusiano imara kati yake na Serikali kuu, Serikali zingine za Mitaa na Umma kwa ujumla. A. Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango: Majukumu ya jumla: Kamati hii inawashirikisha wenyeviti wa Kamati zote za Kudumu na inatakutana kila mwezi mara moja. Aidha, madaraka ya Kamati hii ni kama ya Kamati zingine za Kudumu na hivyo hairuhusiwi kisheria kufanya kazi/majukumu ya Kamati zingine za Kudumu. Kwa ujumla, majukumu yake ni pamoja na kusimamia na kudhibiti ukusanyaji wa mapato na matumizi ya mali ya Halmashauri kwa kupitia vikao vyake. Majukumu Maalum ya Kamati: (i) kuweka mikakati na kupendekeza uongezaji wa mapato; (ii) kuwasilisha mapendekezo ya Bajeti na mpango wa Maendeleo kwenye Halmashauri ili kuidhinishwa na Halmashauri; (iii) kusimamia utunzaji wa hesabu za fedha ikiwa ni pamoja na uhakiki wa mali za Halmashauri, ukusanyaji wa mapato, kufuta madeni, na kuomba vibali Maalum kwa matumizi yanayohitaji kibali cha Waziri mwenye dhamana ya Serikali za Mitaa; (iv) kufikiria na, pale inapowezekana, kupendekeza kwenye Halmashauri masuala yanayohusu Sheria Ndogo na utendaji katika ngazi za chini za Halmashauri.; (v) kupokea na kuzingatia mapendekezo ya kubadili matumizi ya mafungu ya fedha (re-allocation) yaliyopo katika makisio yaliyoidhinishwa na kuyapeleka kwa Halmashauri; (vi) kuratibu mapendekezo kutoka kwenye Kamati zingine kuhusu matumizi ya kawaida na miradi na kuyawasilisha kwenye Halmashauri; 69 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Momba Tangazo la Serikali Na. 1033 (Linaendelea.) (vii) (viii) kufikiria na kupendekeza kwenye Halmashauri mikopo yote ya Halmashauri; kutoa mapendekezo ya vitega uchumi kwa madhumuni ya kuongeza mapato kwa mujibu wa Sheria ya Fedha za Serikali za Mitaa, Sura ya 290. (ix) kupokea na kujadili taarifa za wakaguzi wa fedha na mali ya Halmashauri na kupendekeza hatua za kuchukuliwa kutokana na maelekezo na maoni ya wakaguzi kwa mujibu wa Sheria za Serikali za Mitaa, Sura ya 290. (x) kusimamia na kudhibiti matumizi ya fedha za Halmashauri, kwa kuzingatia taratibu zilizowekwa na Waziri na taratibu nyingine zitakazowekwa na Halmashauri; (xv) (xii) (xiv) (xvi) (xiii) (xvii) (xi) kupitia marekebisho yote yaliyopendekezwa hususan kuhusu taratibu za fedha, ikiwa ni pamoja na mapitio ya mara kwa mara yanayohusu thamani ya fedha ambapo Kanuni mbalimbali za manunuzi ya mali na vifaa hutumika; kufikiria na kupendekeza mabadiliko ya viwango vya kodi, ada na ushuru mbalimbali, vinavyotolewa na Halmashauri; kufikiria mapendekezo ya Bajeti na Mipango ya Maendeleo ya kila Kamati ya Kudumu na kuiwasilisha kwenye Halmashauri ili kupata idhini; kushughulikia tofauti ya mapato na matumizi katika bajeti yote na kupendekeza hatua stahiki ya kuchukua kuondoa mapungufu katika mapato au ziada matumizi; kufikiria mapendekezo yote yanayohusu matumizi makubwa ya fedha kabla hayajawasilishwa kwenye Halmashauri ili kupata idhini; kupokea mahesabu ya mwaka ya Halmashauri na kuhakikisha taarifa ya mahesabu ya mwaka inawasilishwa kwa wakati kwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali; kupitia na kuidhinisha mpango wa manunuzi wa Halmashauri kuzingatia mpango wa Bajeti uliopitishwa na Halmashauri; kupitia taarifa ya kila robo mwaka kuhusu Manunuzi iliyowasilishwa na Afisa Masuuli; kusimamia utekelezaji wa mikataba ya Halmashauri kwa kukagua miradi inayotekelezwa na vifaa vilivyopokelewa; kumwelekeza Mkurugenzi kufanya manunuzi au ukaguzi wa huduma au vifaa vilivyonunuliwa ili kupata thamani halisi, itadhihirika kwamba, maelezo yaliyotolewa kuhusu manunuzi ya vifaa au huduma hayaridhishi; kuidhinisha majina ya wajumbe wa Bodi ya zabuni na wa Bodi zingine kwa mujibu wa Sheria husika; kushughulikia itakayokayowasilishwa mapendekezo ya hatua za kuchukua; kupendekeza njia na taratibu za kuondosha vifaa chakavu. Uondoshaji wa vifaa unaweza kufanyika kwa njia ya kuuza au kuviharibu; kujadili na kupitia taarifa za fedha za kila mwezi na kila robo mwaka; itafanyika hivyo endapo kwenye Kamati wote kutoa wadaiwa orodha (xviii) (xxiii) (xxiv) (xxii) (xix) (xxi) (xx) kwa na ya 70 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Momba Tangazo la Serikali Na. 1033 (Linaendelea.) (xxv) (xxvi) (xxvii) (xxviii) (xxix) (xxx) (xxxi) (xxxii) (xxxiii) (xxxiv) (xxxv) kupendekeza kwa Halmashauri hatua za kuchukua kuhusu kufuta madeni ya Halmashauri; kushughulikia Sera kuhusu kukopa na uwekezaji, kujadili na kupendekeza mabadiliko ya viwango vya kodi, ada na ushuru mbalimbali vinavyotozwa na Halmashauri, kubuni na kupendekeza mpango wa kuanzisha na kuendeleza uhusiano na Halmashauri nyingine; Kurekebisha na kusimamia makusanyo na matumizi ya mapato ya vijiji na miji midogo kwa mujibu wa Sheria, Sura ya 287. kuteua wakaguzi wa fedha na mali za Serikali za Vijiji kwa mujibu wa Sheria, Sura ya 290. kujadili na kutoa mapendekezo ya hatua za kuchukuliwa kuhusu mambo yote yanayohusu masuala ya ajira na kinidhamu ya wafanyakazi na watumishi; kujadili kutoa mapendekezo yanayohusu nyumba za Halmashauri; kupokea na kutoa uamuzi watumishi wanaokwenda masomoni; kujadili na kupendekeza masuala yote yanayohusu maslahi ya jumla ya watumishi, ikiwa ni pamoja na mikopo, rambirambi na motisha nyumba, usafiri, matibabu, nyinginezo; kupitisha mapendekezo ya kuthibitisha watumishi kazini baada ya kumaliza kipindi cha majaribio kulingana na miundo husika ya utumishi; juu ya mapendekezo ya kuhusu masuala na (xxxvi) kuhakiki ubora wa miradi ya maendeleo (value for money) na shughuli zinazoandaliwa na kamati hii inayotekelezwa na Halmashauri mara moja kila robo mwaka; (xxxvii) kupendekeza Sheria Ndogo zinazohusu Kamati hii. B: Kamati ya Elimu, Afya na Maji: Majukumu ya Jumla Kushughulikia mambo yote yanayohusu afya ya jamii, elimu na huduma za maji usafi na mazingira na maendeleo ya jamii. Kamati hii pia itashughulikia mambo yanayohusiana na jitihada za wananchi vijijini kujiletea maendeleo yao kwa kutumia mbinu mbalimbali ikiwa ni pamoja na kushauri, kushawishi, kuzindua, kuelimisha na kushirikisha wananchi hao hasa katika kutayarisha, kutekeleza, kusimamia na kutathmini mipango yao ya maendeleo. Majukumu Maalum ya Kamati: (i) kuandaa mipango madhubuti ya maendeleo ya upanuzi na ujenzi wa hospitali, vituo vya afya na zahanati; (ii) (iii) kuandaa mipago ya maendeleo ya upanuzi na ujenzi wa shule za awali na msingi na elimu ya watu wazima kwa mujibu wa Sheria ya Elimu ya 1978 kama ilivyorekebishwa mwaka 1995. kubuni na kupendekeza njia bora za kuzuia na kudhibiti magonjwa ya milipuko. 71 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Momba Tangazo la Serikali Na. 1033 (Linaendelea.) (iv) kupendekeza mipango ya ujenzi au upanuzi wa vituo,viwanja, majengo na mazingira ya burudani, starehe, mapumziko na michezo (v) kuamua juu ya mambo yanayohusu uhifadhi wa mambo ya kale na mandhari mbalimbali zenye sura nzuri. (vi) kuandaa na kuratibu njia bora juu ya uhifadhi wa nyaraka muhimu kwa ajili ya kumbukumbu hizo zitahifadhiwa kwa mujibu wa Sheria ya Serikali za Mitaa Sura ya 287. (vii) kupendekeza njia bora juu ya uhifadhi wa sanaa mbalimbali za ufundi na za maonyesho kwa mujibu wa Sheria ya Serikali za Mitaa Sura ya 287, (viii) kupendekeza matumizi mazuri ya lugha ya taifa. (ix) kupendekeza namna ya malezi ya vijana ili waweze kuwa wazalishaji katika Taifa. (x) kusimamia uanzishaji wa uendelezaji wa vikundi vya jamii na vya hiari vya wananchi katika Halmashauri kwa mujibu wa sera wa maendelo ya jamii. (xi) kusimamia na kuhakiki maeneo ya misitu, mapori, na mbuga zilizotengwa kama hifadhi ya mamlaka ya Serikali za Mitaa. (xii) Uhakiki shughuli na miradi ya maendeleo inayohusu kamati hii mara moja kila robo mwaka. (xiii) kupendekeza Sheria Ndogo zinazohusu Kamati hizi. C: Kamati ya Kudumu ya Kudhibiti Ukimwi Majukumu ya Kamati: (a) (b) (c) (d) (e) (f) kushirikisha wadau tofauti katika maeneo husika ili kuongeza uchangiaji wa mawazo na/au nyenzo, usimamizi, uratibu na utekelezaji wa kazi za Tume ya kudhibiti UKIMWI; kusimamia uundaji wa Kamati zote za kudhibiti UKIMWI; kupendekeza na kuchambua hali ya UKIMWI/Mipango na utekelezaji wake na kufikisha katika ngazi husika kwa hatua zaidi; kutathmini hali ya UKIMWI katika eneo lake kuhusu; (i) (ii) kasi ya maambukizo (iii) mazingira Maalum yanayochangia maambukizo; (iv) uelewa wa wananchi juu ya janga hili. Serikali haitatoa fedha kwa Halmashauri isiyokuwa na mipango madhubuti ya kudhibiti UKIMWI. kupendekeza Sheria Ndogo za Kamati hii. idadi ya waathirika: wagonjwa, yatima, wajane, D: Kamati ya Masuala ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira: Majukumu ya jumla Kamati hii itashughulikia masuala ya uzalishaji mali ikiwemo kilimo, mifugo, viwanda, madini, Biashara n.k. Aidha itashughulikia pia miundombinu na suala zima la mendeleo ya Ardhi na hifadhi ya mazingira. Majukumu Maalum ya Kamati; (i) kupendekeza kwa Halmashauri mipango ya kupanua biashara na jinsi ya kukusanya mapato yatokanayo na upanuzi huo. (ii) kupendekeza mipango ya matumizi ya ardhi katika eneo la Halmashauri 72 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Momba Tangazo la Serikali Na. 1033 (Linaendelea.) (iii) (iv) (v) (vi) kusimamia matumizi ya Sheria ya nguvu kazi. kuandaa mipango madhubuti ya maendeleo ya upanuzi wa kilimo katika Halmashauri kusimamia na kuhakiki miradi ya ujenzi wa masoko, minada, majosho na vituo vya mifugo. kushughulikia uanzishaji na uendelezaji wa vyama vya ushirika kwa mujibu wa Sheria ya Vyama vya Ushirika, (vii) kupendekeza na kufanya tathmini ya uendelezaji wa mabonde, mito na mabwawa. (viii) (ix) kubuni na kupendekeza namna ya kidhibiti moto kubuni na kupendekeza mikakati ya utumiaji wa nishati mbadala, kuzuia ukataji miti ovyo, na kuhimiza upandaji miti kwa wingi. (x) kuhakikisha kwamba ukaguzi wa majengo unafanyika mara kwa mara. (xi) kupendekeza mipango madhubuti ya ujenzi wa barabara vijijini na wilayani kwa ujumla. Kupendekeza sheria ndogo zinazohusu kamati hii. Kuhakiki shughuli na miradi inayoangukia kamati hii mara moja kila robo mwaka. (xii) (xiii) E. Kamati ya Maadili Majukumu ya Kamati: (kifungu cha 31(1) cha Kanuni za Serikali za Mitaa (Mamlaka za Wilaya) (Maadili ya Madiwani) za Mwaka 2000. (i) kutoa ushauri kwa Halmashauri kuhusu utekelezaji wa kanuni hizi. (ii) Kufanya uchunguzi wa madai ya uvunjaji wa kanuni za maadili ya madiwani na kuwasilisha mapendekezo kwa Halmashauri kwa hatua zinazostahili. (iii) Kutoa ushauri na maoni kwa Halmashauri na kwa diwani mmoja mmoja kuhusu masuala yanayohusu mwenendo wa kimaadili. FAHARASA – HALMASHAURI YA WILAYA Kanuni Na. Kifungu cha Sheria A Ajenda za Kamati Akidi katika mikutano ya Halmashauri Akidi kwenye mikutano ya Kamati Athari za nafasi wazi kwenye Kamati B C D Diwani au Afisa kutokuwa na maslahi katika mikataba Diwani kutembelea maeneo, shughuli mbalimbali za ujenzi. 49 8 55 54 69 73 Sura ya 287 kif.64 Sura ya 287 kif.84(2) na (3) Sura ya 287 kif.84(1);84(3) Sura ya 287 kif.71 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Momba Tangazo la Serikali Na. 1033 (Linaendelea.) Dua ya kuiombea Halmashauri E. F Fujo zinazosababishwa na umma Fujo zinazosababishwa na Wajumbe 77 90 18 17 Kanuni Na. Kifungu cha Sheria G H Haki ya kujibu Hoja kuhusu matumizi Hoja na marekebisho ya hoja Hoja za Mwenyekiti zinazohusu Hoja Halmashauri Hoja zinazoweza kutolewa bila taarifa watumishi wa I J K Kamati Ndogo Kamati za Kudumu Kamati za pamoja Kanuni za Kudumu kutumika katika mikutano ya Kamati Kanuni Wajumbe Kauli zenye kashfa Kiapo na kukubali wadhifa Kuidhinishwa kwa Taarifa ya Kamati Kufikiriwa upya maamuzi Kufutwa kwa Kanuni zilizopo za Kudumu kutolewa kwa Kujiuzulu ujumbe wa Kamati na kujazwa kwa nafasi iliyoachwa wazi. Kujiuzulu wadhifa wa Mwenyekiti wa Kamati Kukasimu madaraka kwenye Kamati Kumbukumbu ya mahudhurio. Kumwondoa Mwenyekiti madarakani Kupokelewa kwa taarifa za Kamati Kuruhusu watu na vyombo vya Habari kwenye mikutano ya Halmashauri 21 32 19 15 37 20 45 40 43 56 87 27 70 34 59 91 62 61 44 11 82 33 74 Sura ya 287 kif.79 Sura ya 287 kif.36(5); GN 263/95 Sura ya 287 kif.67(1) Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Momba Tangazo la Serikali Na. 1033 (Linaendelea.) 12 za Kushiriki kwa Umma Kusitisha utumiaji wa Kanuni Kudumu. Kutafsiri Kanuni za Kudumu Kuthibitisha muhtasari Kutokuwepo kwa Wajumbe Kutunza siri za Majadiliano ya Kamati na Kamati Ndogo. L kwenye mikutano M Maamuzi ya mikutano ya Halmashauri Mahudhurio katika mikutano ya Kamati Mahudhurio ya Umma na vyombo vya habari ya Kamati/Kamati Ndogo Majukumu ya Diwani Marekebisho na mabadiliko ya Kanuni za Kudumu Maswali Maswali ya papo kwa papo Mihtasari ya za Kata na vijiji. Mihtasari ya Halmashauri kupelekwa kwa Mkuu wa Wilaya na Mkuu wa Mkoa. Muhtasari wa Kamati Mikutano ya kawaida ya Halmashauri Mikutano ya Kamati Mtoa hoja kualikwa kwenye Mkutano wa Kamati. Mkutano wa Bajeti Mkutano wa Mwaka Mkutano Maalum wa Halmashauri Mkutano Maalum wa Kamati Mwaliko wa wasiokuwa Wajumbe Mwenyekiti kuwa Mjumbe wa Kamati zote N Nafasi wazi Kanuni Na. 38 Kifungu cha Sheria Sura ya 287 kif.114(1)(b) 85 88 14 73 60 28 50 53 71 86 22 23 30 31 58 3 46 51 5 6 4 48 29 41 75 Sura ya 287 kif.41(2)na (3) Sura ya 287 kif.86 na 67(2) Sura ya 287 kif.66 Sura ya 287 vif.86; 67 (2) Sura ya 287 kif. 70(1) Taz.pia Sura ya 290 kif.47 Sura ya 287 kif.83(2) Sura ya 287 kif.63(1) Sura ya 287 kif.63(3) Sura ya 287 kif.74(1) Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Momba Tangazo la Serikali Na. 1033 (Linaendelea.) Sura ya 287 kif.42(1) (a) 172 la Serikali (1);41 (4);Tangazo Na.139/82 aya ya 23 na40 na Sheria Na.4/79 kif.40(1)(b);40 (1) (b) na SheriaNa 4/79kif.40(i) (b) (i); Na.4/79 Sheria la Serikali Na. kif.40;tangazo 280/2000 kif.35;41(3)41(3) na kif.71(8). na Sura ya 287 kif.85 Sura ya 287 kif.155 Na.21/2004 Sura ya 290 kif.68 Sura ya 287 kif.88 Sura ya 287 kif.36(2) Sura ya 287 kif.72 Sura ya 287 kif.65 P Aina za Posho Posho iwapo Mkutano umeahirishwa Q R Rejesta ya mikataba S T Taarifa za Kamati Taarifa kutoka kwenye kata Taarifa za mikutano Tafsiri Taratibu za kutunga Sheria Ndogo Taratibu za Majadiliano Taratibu za Uagizaji U Uahirishaji wa vikao Uandikishaji wa Anwani Uanzishaji wa Bodi za Huduma Uchaguzi wa Mwenyekiti na Makamu wa Mwenyekiti wa Halmashauri Uhalali wa majadiliano ya Halmashauri Uhifadhi wa lakiri ya Halmashauri Uhuru wa kutoa mawazo wakati wa majadiliano Ukaguzi wa nyaraka Uongozi wa mikutano ya Halmashauri Upigaji kura kwenye mikutano ya Kamati Usimamiaji wa mikataba Utaratibu wa shughuli za mikutano Uteuzi wa Wajumbe kwenye Taasisi za nje Utiaji mhuri kwenye Nyaraka Uvunjaji wa mkataba Uwezo wa Halmashauri kujigeuza kuwa Kamati ya Halmashauri nzima. Uwezo wa Kamati Uzuiaji wa Rushwa 72 83 84 68 24 25 7 2 74 16 63 39 80 76 9 35 78 26 75 10 57 66 13 81 79 67 36 76 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Momba Tangazo la Serikali Na. 1033 (Linaendelea.) V W Wajumbe wasiokuwa Waalikwa kuhudhuria na kushiriki katika mikutano ya Kamati. X Y Z Ziara za Wajumbe 42 65 Kanuni Na. Kifungu cha Sheria 52 Sura ya 287 kif.75(4) 89 77 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Momba Tangazo la Serikali Na. 1033 (Linaendelea.) _________ JEDWALI LA PILI _________ (Limetengenezwa chini ya Kanuni ya 70(a)) JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA KIAPO CHA DIWANI Mimi ………………………………………………………… ninaapa/ninatamka kwa dhati kwamba nitaitumikia Halmashauri ya…………………. kwa wadhifa wangu wa Udiwani na kwamba nitahifadhi, nitalinda na kutetea, Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Sheria za Tanzania, Maadili ya Madiwani na Kanuni za Kudumu za Halmashauri kama zilivyowekwa kwa mujibu wa Sheria na kwamba nitaitumikia Halmashauri ya ………………………………………… kwa uaminifu kwa uwezo na moyo wangu wote. (Ewe Mwenyezi Mungu nisaidie) Kiapo/Tamko hili limetolewa hapa:……………………………………… Na…………………………………………………………………………….. Leo tarehe…………………… Mwezi wa…………………..mwaka 20………. Mbele ya:……………………………………….. Jina:……………………………………………… Cheo:……………………………………………. Saini:…………………………………………… Anuani…………………………………………. HAKIMU/KAMISHINA WA VIAPO MHURI 78 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Momba Tangazo la Serikali Na. 1033 (Linaendelea.) __________ JEDWALI LA TATU _____________ (Limetengenezwa Chini ya Kanuni 70 (b)) JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA TAMKO LA VIONGOZI WA UMMA KUHUSU RASILIMALI NA MADENI (Kwa mujibu wa kifungu cha 9 na cha 11 cha Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma) Mimi…………………………………………………… Anuani:……………………baada ya kuchaguliwa/kuteuliwa na kuapishwa katika wadhifa wa…….……...tarehe……………………….mwaka 200….Ninatamka rasmi na kwa moyo mnyofu kwamba hadi sasa nina rasilimali na madeni yafuatayo:- (1) Fedha taslimu, Amana katika benki au taasisi ya fedha; (taja namba ya akaunti, benki au taasisi ya fedha na kiasi). ………………………………………………………………………………………………………… …………………………………………………………………………………… 2) Hawala za Hazina (Treasury Bills) na dhamana nyingine Maalum:- ………………………………………………………………………………………………………… …………………………………………………………………… 3) Faida ya akiba, mafungu ya mgawanyo wa faida zinazotokana na hisa n.k. ………………………………………………………………………………………………………… ………………………………………………………………… 4) Nyumba au majengo ya kupangisha, (taja mahali yalipo na ukubwa au eneo:) ………………………………………………………………………………………………………… ………………………………………………………………… * Rasilimali zinazotakiwa ni pamoja na zifuatazo, ambazo ni zako binafsi, za mume/mke au watoto wadogo wasiooa au kuolewa wa kiongozi wa umma. (a) fedha taslimu na amana katika benki au taasisi nyingine ya fedha. (b) hawala za Hazina Treasury Bills) na nyinginezo za dhamana Maalum zinazotolewa au kudhaminiwa na Serikali au vyombo vya Serikali. (c) faida itokanayo na fedha iliyowekwa akiba benki, chama cha Ujenzi au taasisi nyingine ya fedha. (d) mgao wa fedha kutokana na fungu la rasilimali ya kampuni (stocks) au hisa za kiongozi wa umma katika kampuni au shirika lolote. (e) maslahi katika chombo cha biashara kisichokuwa na mkataba na Serikali, na kisichokuwa na au kisichotawala amana zinazouzwa bayana na vyombo vya umma. 79 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Momba Tangazo la Serikali Na. 1033 (Linaendelea.) (f) mashamba ya kibiashara. (g) mali halisi zisizohamishika ambazo si rasilimali zisizotakiwa kutajwa; na (h) rasilimali zinazoleta faida, ambazo si rasilimali zisizotakiwa kutajwa na ambazo zinamilikiwa kwa mbali. shughuli nyingine za kibiashara au (5) Mashamba ya kibiashara, mifugo, madini n.k. ………………………………………………………………………………………………………… ………………………………………………………………………………………………………… ………………………………………………… (6) Magari na aina nyingine za usafiri wa kibiashara; ………………………………………………………………………………………………………… ………………………………………………………………………………………………………… ………………………………………………… (7) Mashine za kusaga nafaka, viwanda na mitambo:……………………………………………………………………………………………… ………………………………………………………………………………………………………… ………………………………………………… (8) Rasilimali au maslahi kutaja:………………………………………………………………………………………………… ………………………………………………………………………………………………………… ………………………………………………… (9)Madeni:…………………………………………………………………………………………… ………………………………………………………………………………………………………… ………………………………………………… Tamko hili linatolewa na kusainiwa mbele yangu …………………………………………………………. na (mtoa tamko) ……………………………………… ninayemfahamu binafsi, au aliyetambulishwa kwangu na …………………………………………………………………… kiongozi wa nyinginezo anapenda ambayo umma ambaye ninamfahamu leo tarehe …………………………….. Mwezi wa ………………………………………………………. saini……………………………………………………………... Wadhifa:…………………………………………………….. Anuani:………………………………………………………... …………………………………………………………………. (Tamko hili lazima litolewe mbele ya Kamishna wa Viapo) Mtoa tamko KWA: KAMISHINA WA MAADILI, SEKRETARIETI YA MAADILI, S.L.P 13341, DAR ES SALAAM. 80 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Momba Tangazo la Serikali Na. 1033 (Linaendelea.) Lakiri ya Halmashauri ya Wilaya ya Momba iligongwa katika kanuni za kudumu hizi kwa…………………………………..mkutano wa baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Momba la tarehe……...........na imebandikwa mbele ya:- ADRIAN J. JUNGU, Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya, Momba MATHEW M. CHIKOTI, Mwenyekiti Halmashauri ya Wilaya, Momba L.S NAKUBALI, Dodoma, SELEMANI S. JAFO (MB.) 2 Novemba, 2020 WN-OR-TAMISEMI 81
Provision text is displayed from LexChat’s stored statute record. Use the official source links to verify amendments, commencement, and current legal force.
Ask AI about this statute
Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Momba za Mwaka 2020
Sign in to ask AI about this statute
Sign in to start authenticated, citation-grounded statute research.
Sign in