Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Songwe za Mwaka 2020
This section is titled as the interpretation of terms used in Part II on council meetings.
AI-assisted research synopsis — verify against the official legal text below.
- Jurisdiction
- Tanzania
- Instrument
- Regulation
- Citation
- Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Songwe za Mwaka 2020
- Version
- Undated source snapshot
- Language
- sw
- Official source
- View official record ↗
Statute overview
About this statute
This section is titled as the interpretation of terms used in Part II on council meetings. Kifungu hiki kinaweka kichwa cha mada kuhusu akidi katika mikutano ya Halmashauri. Kifungu hiki kinaonyesha mada ya uchaguzi wa Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri. This section concerns allowing people and the media to attend council meetings. This section is titled “Kuthibitisha muhtasari” and identifies the provision within the Songwe District Council’s Standing Orders.
Search within this statute
Search all stored provisions in this version.
Legal text
Provisions of Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Songwe za Mwaka 2020
Showing 69 of 69
- 2 Verify source ↗
Tafsiri ya misamiati iliyotumika
AI-assisted research summary: This section is titled as the interpretation of terms used in Part II on council meetings.
2. Tafsiri ya misamiati iliyotumika SEHEMU YA II MIKUTANO YA HALMASHAURI
Part
SEHEMU YA II
- 8 Verify source ↗
Akidi katika mikutano ya Halmashauri
AI-assisted research summary: Kifungu hiki kinaweka kichwa cha mada kuhusu akidi katika mikutano ya Halmashauri.
8. Akidi katika mikutano ya Halmashauri. SEHEMU YA III TARATIBU ZA MIKUTANO - 3 Verify source ↗
Section 3
AI-assisted research summary: Section 3 sets the timing and procedure for regular council meetings and the first council meeting, including who convenes and chairs them.
3. (1) Mikutano ya Kawaida ya Halmashauri itafanyika mara moja kila baada ya miezi mitatu, na itafanyika mahali, tarehe na katika muda kama utakavyokuwa umepangwa katika 7 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Songwe Tangazo la Serikali Na. 1045 (Linaendelea.) kalenda ya mikutano ya Halmashauri. Mkutano wa kwanza wa Halmashauri (2) (a) Mkutano wa kwanza wa kawaida wa Halmashauri utafanyika baada ya Tume ya Uchaguzi kutangaza matokeo ya uchaguzi wa Madiwani wa Kata na uteuzi wa Madiwani wa Viti Maalumu na utafanyika mahali, siku na katika muda utakaopangwa na Mkurugenzi, ilimradi Mkurugenzi atapaswa kuitisha Mkutano huo ndani ya siku thelathini (30) kuanzia tarehe ya matokeo ya uchaguzi wa Madiwani wa Kata na Uteuzi wa madiwani Viti Maalum yanapotangazwa ya Uchaguzi ambapo moja ya ajenda za Mkutano kumchagua Mwenyekiti, Makamu Mwenyekiti na Wajumbe wa Kamati za Kudumu za Halmashauri. Tume huo na ni na Mkurugenzi (b) Mkutano wa Kwanza wa Uchaguzi wa Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti utaongozwa na Katibu Tawala wa Wilaya wa Halmashauri atakuwa Katibu. Mara baada ya Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti kupatikana, Mwenyekiti ataongoza zoezi la uundaji wa Kamati, na uchaguzi wa Wenyeviti wa Kamati za kudumu (c) Katika Mkutano huo Mkurugenzi wa Halmashauri atawasilisha Taarifa ya ya kumbukumbu utekelezaji za Halmashauri katika kipindi ambacho Baraza la madiwani lilivunjwa. Wajumbe wa Baraza watapokea na kujadili bila kubatilisha ya maamuzi shughuli wa zilizofanyika 8 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Songwe Tangazo la Serikali Na. 1045 (Linaendelea.) Utaratibu wa uchaguzi (3) maamuzi yaliyokwisha amuliwa. Uchaguzi wa Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti utafanyika kwa kupiga kura za siri na upigaji wa kura utafanyikia sehemu ya faragha umbali usiopungua mita tano (5) kutoka kwa Msimamizi wa Uchaguzi na mpigaji kura atachukua karatasi ya kupiga kura kutoka kwa Msimamizi wa Uchaguzi. Mkutano Maalum wa Halmashauri - 4 Verify source ↗
Section 4
AI-assisted research summary: Section 4 sets out when a special council meeting may be called, who may call it, notice requirements, and the appeal process for removing the Chairperson.
4. (1) Mkutano Maalum wa Halmashauri unaweza kuitishwa na Mwenyekiti ndani ya siku ishirini na moja (21) baada ya kupokea maombi ya maandishi yaliyosainiwa na si pungufu ya theluthi moja ya Wajumbe wote kutaka Mkutano huo ufanyike na maombi hayo yaeleze wazi madhumuni ya kuitishwa kwa Mkutano Maalum huo. (2) (3) Iwapo Mwenyekiti anakataa kuitisha Mkutano Maalum wa Halmashauri baada ya kupokea maombi ya kutakiwa kufanya hivyo,maombi yaliyosainiwa na Wajumbe wa Halmashauri wasiopungua theluthi moja ya Wajumbe wote wakionyesha sababu ya kuitisha Mkutano huo Maalum na kuwasilishwa kwake, au iwapo bila kukataa, Mwenyekiti, ndani ya kipindi cha siku saba ataendelea kutoitisha Mkutano huo Maalum baada ya kupokea ombi la kuitisha Mkutano huo Maalum, basi theluthi mbili ya Wajumbe waliotia saini na kuwasilisha kwa Mkurugenzi wanaweza kuitisha Mkutano huo Maalum mara moja. itahusu Endapo ajenda ya Mkutano huo kumuondoa Mwenyekiti, madarakani Mkutano huo utaitishwa na Mkurugenzi baada ya kupokea maombi yaliyosainiwa na Wajumbe wa Halmashauri wasiopungua theluthi mbili ya Wajumbe wote. (4) Baada ya Mkurugenzi kupata taarifa ya kutaka 9 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Songwe Tangazo la Serikali Na. 1045 (Linaendelea.) kufanyika kwa Mkutano wa kujadili ajenda ya kumuondoa Mwenyekiti, madarakani Mkurugenzi atamtaarifu Mwenyekiti tuhuma na sababu za kutaka kuondolewa uenyekiti na kumtaka aandae majibu ya tuhuma ndani ya siku Tano (5) baada ya kupokea tuhuma hizo. (5) Mkurugenzi katika muda wa siku Tatu (3) baada ya kupokea maelezo ya utetezi kutoka kwa Mwenyekiti, atawasilisha kwa Mkuu wa Mkoa tuhuma pamoja na maelezo ya utetezi. (6) Mkuu wa Mkoa katika muda wa siku tano (5) baada ya kupokea taarifa ataunda Timu ya Uchunguzi ambayo itakuwa na wajumbe wasiopungua watatu (3) na wasiozidi watano (5). (7) (8) Timu ya Uchunguzi itatakiwa kukamilisha Uchunguzi katika muda wa siku kumi na nne (14) na kuwasilisha taarifa hiyo kwa Mkuu wa Mkoa. Baada ya Mkuu wa Mkoa kupata taarifa ya Timu ya Uchunguzi atairudisha Taarifa hiyo kwa Mkurugenzi wa Halmashauri ambaye naye katika muda wa siku kumi na Nne (14) ataiwasilisha kwenye Kikao cha Baraza kwa uamuzi wa tuhuma hizo. Kif cha 36(5) Sura 287 (9) Endapo Mwenyekiti hataridhika na uamuzi wa Baraza, atakata rufaa ndani ya siku kumi na nne (14) kuanzia tarehe ya maamuzi kwa Waziri uliotumika kumuondoa madarakani na sio vinginevyo. utaratibu kuhusu Utaratibu wa kuwasilisha rufaa (10) Utaratibu utakaotumika rufaa kuwasilisha iliyowasilishwa na kushughulikia na Mwenyekiti ni ule ulioelezwa kwenye za Kumuondoa Madarakani Taratibu Mwenyekiti wa Halmashauri wa Wilaya. 10 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Songwe Tangazo la Serikali Na. 1045 (Linaendelea.) (11) Taarifa ya Mkutano Maalum itatolewa angalau saa ishirini na nne kabla ya Mkutano. (12) Hakuna shughuli nyingine yoyote itakayojadiliwa katika Mkutano Maalum wa Halmashauri isipokuwa ile tu iliyoelezwa kwenye taarifa ya kuitishwa kwa Mkutano huo. Mkutano wa Bajeti - 6 Verify source ↗
Section 6
AI-assisted research summary: Halmashauri must hold a two-day budget meeting two months before the financial year ends, and its annual meeting must be scheduled and convened under the stated procedures.
6. (1) Kutakuwepo na Mkutano wa Halmashauri wa Bajeti utakaofanyika kwa muda wa siku mbili mfululizo na utafanyika miezi miwili kabla ya mwaka wa fedha kumalizika na utajadili mambo yafuatayo:- (a) Utekelezaji wa Mipango na Bajeti ya mwaka uliopita. (b) Mipango na Bajeti ya mwaka unaofuata. (i) Mkutano wa Mwaka wa Halmashauri utafanyika na muda tarehe, mahali utakaopangwa na Halmashauri katika kalenda ya Mikutano na utaitishwa na Mkurugenzi baada ya kuwasiliana na Mwenyekiti wa Halmashauri. (ii) Mikutano yote ya Baraza itapangwa na Baraza la Madiwani kwa kuzingatia ratiba ya Vikao vya Bunge ili kuwezesha Wabunge kuhudhuria Mikutano ya Baraza la Madiwani. Endapo italazimika kuitishwa kwa Mkutano wa Baraza wakati wa Vikao vya Bunge, au kuwajulisha Mkurugenzi atamjulisha Wabunge husika kuhusu kikao hicho ili wahudhurie. (3) Katika Mkutano wa kawaida wa mwaka, 11 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Songwe Tangazo la Serikali Na. 1045 (Linaendelea.) Halmashauri itajadili mambo yafuatayo:- (a) kumchagua Makamu wa Mwenyekiti, (b) kuteua Wajumbe wa Kamati za Kudumu; (c) kujadili taarifa na uwajibikaji wa Halmashauri kwa mwaka uliopita. utendaji ya Taarifa za Mkutano - 7 Verify source ↗
Section 7
AI-assisted research summary: Mkurugenzi lazima awajulishe wajumbe kwa maandishi angalau siku 7 kabla ya mkutano, akieleza mahali, siku, saa, na ajenda; ujumbe huo uambatane na nyaraka muhimu.
7. (d) kupitisha ratiba ya Halmashauri Halmashauri. na vikao Kamati vya za (1) Mkurugenzi atatoa taarifa ya Mkutano kwa maandishi kwa kila Mjumbe katika muda usiopungua siku saba akieleza mahali, siku na saa ya Mkutano unaokusudiwa na mambo yatakayojadiliwa katika Mkutano huo. Endapo litatokea jambo linalohitaji kutolewa maamuzi na ambalo linaweza kufanya Mkurugenzi kushindwa kutoa taarifa ya mkutano kwa mjumbe katika muda usiopungua siku saba, Mkurugenzi taarifa ya anaweza kutoa Mkutano katika siku zinazopungua siku saba. (2) (3) Taarifa ya Mkutano itaambatana na nyaraka au kumbukumbu muhimu zitakazotumika katika Mkutano huo. Isipokuwa kwa idhini ya Mwenyekiti na au ya idadi ya Wajumbe isiyopungua robo tatu ya Wajumbe waliohudhuria Mkutano, hakuna shughuli katika Mkutano wa Halmashauri mbali na shughuli zilizotajwa katika mwaliko wa Mkutano huo itakayofanywa yoyote Akidi katika mikutano ya Halmashauri - 8 Verify source ↗
Section 8
AI-assisted research summary: Mkutano wa kawaida wa Halmashauri hauwezi kufanyika bila angalau Wajumbe 12. Ikiwa akidi haitatimia, Mwenyekiti anaahirisha na kuitisha tena ndani ya siku 7; bado ikikosa akidi, waliohudhuria wowote wanaweza kutengeneza akidi na Mkurugenzi anamjulisha Waziri.
8. (1) Hakuna Mkutano wa kawaida wa Halmashauri utakaofanyika isipokuwa kama kutakuwepo idadi ya Wajumbe isiyopungua 12 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Songwe Tangazo la Serikali Na. 1045 (Linaendelea.) (2) (3) (4) nusu ya Wajumbe wote waliohudhuria na kujiandikisha kwenye daftari la mahudhurio. katika mikutano Maalum Akidi ya Halmashauri itakuwa ni theluthi mbili ya Wajumbe wote wa Halmashauri na itahesabiwa wakati wa ufunguzi wa Mkutano. Akidi katika Mkutano wa kawaida wa mwaka na Mkutano wa kwanza wa Halmashauri itakuwa theluthi mbili ya Wajumbe wote wa Halmashauri. Endapo Wajumbe waliohudhuria Mkutano hawatafikia akidi ya Mkutano, Mwenyekiti atauahirisha Mkutano huo na kuuitisha tena ndani ya siku saba (7) na endapo akidi haitatimia tena, idadi yoyote ya Wajumbe waliohudhuria itatengeneza akidi ya Mkutano na Mkurugenzi atamjulisha Waziri kuwepo kwa hali hiyo. - 9 Verify source ↗
Section 9
AI-assisted research summary: Wajumbe wa Halmashauri wanamchagua Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti kwa kura ya siri, na mtu hushinda akipata zaidi ya nusu ya kura zilizopigwa.
9. (1) Uchaguzi wa Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri SEHEMU YA III TARATIBU ZA MIKUTANO Mwenyekiti na Makamu wa Mwenyekiti watachaguliwa na Wajumbe, kutokana na Wajumbe wa Halmashauri kwa kura ya siri itakayopigwa na Mjumbe mmoja mmoja kwenye eneo la faragha litakalotengwa umbali usiopungua mita 5 kutoka mahali alipoketi Msimamizi wa Uchaguzi. 13 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Songwe Tangazo la Serikali Na. 1045 (Linaendelea.) (2) Mjumbe kabla ya kwenda sehemu ya faragha kwa ajili ya kupiga Kura, atapatiwa na Msimamizi wa Uchaguzi karatasi ya kupigia Kura kutoka kwenye chombo Maalum kitakachowekwa mbele ya Msimamizi wa Uchaguzi, na atakwenda moja kwa moja kupiga kura yake kwenye sehemu ya faragha. (3) Mtu atatangazwa kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti au Makamu wa Mwenyekiti iwapo atapata zaidi ya nusu ya kura zilizopigwa. (4) (5) (6) jina moja Iwapo wakati wa kumchagua Mwenyekiti au Makamu wa Mwenyekiti tu limependekezwa, Wajumbe watapiga kura za siri za “ndiyo” au “hapana” na endapo kura za “ndiyo” zitazidi asilimia hamsini ya kura zote zilizopigwa basi mgombea atatangazwa kuwa Mwenyekiti au Makamu wa Mwenyekiti. Iwapo kura za “Hapana” zitazidi asilimia hamsini ya kura zote zilizopigwa, jina la mgombea mwingine litapendekezwa kwa njia na utaratibu uliotumika hapo awali. Iwapo kura zitafafana, uchaguzi utarudiwa kwa mara ya pili na endapo hata baada ya kurudia uchaguzi, kura zimefanana, Baraza kuwa litaamua madarakani kwa wagombea hao ambao kura zao zimefanana kugawana muda wa (7) Kama itatokea nafasi wazi ya Mwenyekiti au Makamu wa Mwenyekiti, Halmashauri 14 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Songwe Tangazo la Serikali Na. 1045 (Linaendelea.) au Makamu itamchagua Mwenyekiti Mwenyekiti katika muda wa siku zisizozidi sitini tangu nafasi hiyo ilipotokea. Uongozaji wa Mikutano ya Halmashauri
Part
SEHEMU YA III
- 9 Verify source ↗
Uchaguzi wa Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti wa
AI-assisted research summary: Kifungu hiki kinaonyesha mada ya uchaguzi wa Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri.
9. Uchaguzi wa Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri - 12 Verify source ↗
Kuruhusu watu na Vyombo vya Habari kwenye Mikutano ya
AI-assisted research summary: This section concerns allowing people and the media to attend council meetings.
12. Kuruhusu watu na Vyombo vya Habari kwenye Mikutano ya Halmashauri - 14 Verify source ↗
Kuthibitisha muhtasari
AI-assisted research summary: This section is titled “Kuthibitisha muhtasari” and identifies the provision within the Songwe District Council’s Standing Orders.
14. Kuthibitisha muhtasari 1 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Songwe Tangazo la Serikali Na. 1045 (Linaendelea.) - 20 Verify source ↗
Hoja zinazoweza kutolewa bila taarifa
AI-assisted research summary: Kichwa cha kifungu kinahusu hoja zinazoweza kutolewa bila taarifa.
20. Hoja zinazoweza kutolewa bila taarifa. - 26 Verify source ↗
Uhuru wa Kutoa mawazo wakati wa majadiliano
AI-assisted research summary: Section title: freedom to express ideas during discussions.
26. Uhuru wa Kutoa mawazo wakati wa majadiliano - 29 Verify source ↗
Mwaliko kwa wasiokuwa Wajumbe kushiriki na kuzungumza
AI-assisted research summary: This section concerns inviting non-members to participate and speak in council meetings.
29. Mwaliko kwa wasiokuwa Wajumbe kushiriki na kuzungumza kwenye vikao vya Halmashauri - 31 Verify source ↗
Mihtasari kupelekwa kwa Mkuu wa Wilaya na Mkuu wa
AI-assisted research summary: Section 31 concerns sending summaries to the District Commissioner and the Regional Commissioner.
31. Mihtasari kupelekwa kwa Mkuu wa Wilaya na Mkuu wa Mkoa - 35 Verify source ↗
Uhalali wa majadiliano ya Halmashauri
AI-assisted research summary: Section title: Validity of Council discussions.
35. Uhalali wa majadiliano ya Halmashauri - 36 Verify source ↗
Uwezo wa Halmashauri kujigeuza kuwa Kamati ya
AI-assisted research summary: Section title about the council’s ability to turn itself into a full council committee.
36. Uwezo wa Halmashauri kujigeuza kuwa Kamati ya Halmashauri nzima - 37 Verify source ↗
Hoja zinazohusu watumishi wa Halmashauri
AI-assisted research summary: Kifungu hiki kinahusu masuala yanayohusu watumishi wa Halmashauri.
37. Hoja zinazohusu watumishi wa Halmashauri - 39 Verify source ↗
Uahirishaji wa Vikao
AI-assisted research summary: This section is titled “Uahirishaji wa Vikao” (postponement of meetings).
39. Uahirishaji wa Vikao SEHEMU YA IV KAMATI - 10 Verify source ↗
Section 10
AI-assisted research summary: This provision says how a Council meeting is to be led, what members must wear, and how chairperson-related duties are handled.
10. (1) Mkutano wa Halmashauri utaongozwa na: (a) Mwenyekiti; au (b) kama Mwenyekiti hayupo, Makamu wa Mwenyekiti; au na Makamu (c) Kama Mwenyekiti na Makamu wa Mwenyekiti wote hawapo, au kama wa Mwenyekiti Mwenyekiti wote hawawezi kuongoza Mkutano, yeyote atachaguliwa na Wajumbe kutoka miongoni Wajumbe mwa waliohudhuria kwa ajili ya kuongoza Mkutano huo; Mjumbe (d) Wajumbe wawapo ndani ya ukumbi wa mikutano wa Halmashauri watavaa mavazi Maalum yaliyochaguliwa na kushonwa Maalum kwa ajili hiyo; (e) Endapo vazi Maalum lililochaguliwa na Halmashauri ni joho basi litavaliwa juu ya vazi la Mjumbe, na Endapo Halmashauri haina joho basi Mjumbe atavaa vazi la heshima, na mavazi kama jeans, kofia zisizohusiana na dini na sare za Chama cha siasa hazitaruhusiwa kuvaliwa wakati wa Mikutano ya Halmashauri na vikao vya Kamati za Halmashauri; za Kudumu (f) Vazi rasmi la Mwenyekiti na Mkurugenzi na Makamu Mwenyekiti litakuwa lenye kuonyesha rangi za na mazao Bendera 15 ya Taifa Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Songwe Tangazo la Serikali Na. 1045 (Linaendelea.) yanayolimwa kwa wingi katika eneo la kadri Halmashauri Halmashauri itakavyoona inafaa. Hata hivyo, Kanuni hii haitaathiri majoho ambayo yanatumika kabla ya Kanuni hizi; (g) Endapo katika Mkutano huo, Halmashauri itajigeuza kuwa Kamati, Wajumbe watavua majoho; (h) Endapo Baraza litajigeuza kuwa Kamati taratibu za kuendesha Vikao vya Kamati zitatumika na Kikao hicho kitakuwa cha siri. (2) Madaraka au jukumu lolote la Mwenyekiti kuhusiana na uendeshaji wa mikutano yanaweza kutekelezwa na mtu anayeongoza Mkutano huo. (3) Halmashauri itatenga siku mbili kila wiki kwa ajili ya Mwenyekiti kufika ofisini na kutekeleza majukumu yafuatayo: (a) kusikiliza matatizo ya Wananchi; (b) kupata maelezo toka kwa Mkurugenzi kuhusu uendeshaji wa shughuli za ikiwa ni pamoja na Halmashauri masuala ya manunuzi; (c) kusaini mikataba mbalimbali ya Halmashauri; (d) kushughulikia ambalo Mkurugenzi linahitaji kushughulikiwa au kutekelezwa na Mwenyekiti; jambo ataona (e) Endapo kutatokea shughuli au ugeni unaohitaji uwepo wa Mwenyekiti, Mkurugenzi atamjulisha Mwenyekiti 16 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Songwe Tangazo la Serikali Na. 1045 (Linaendelea.) Kumbukumbu ya Mahudhurio - 11 Verify source ↗
Section 11
AI-assisted research summary: Mjumbe anayetaka kuhudhuria mkutano wa Halmashauri au Kamati analazimika kwanza kusaini rejesta ya mahudhurio. Diwani pia haruhusiwi kuwa katika ofisi za Halmashauri na kufanya shughuli zisizohusiana nayo, isipokuwa kwa mikutano yake au akiitwa kutekeleza majukumu ya Serikali.
11. (1) ili ahudhurie. yoyote Kila Mjumbe anayehudhuria Mkutano wa Halmashauri ya au Kamati Halmashauri ambamo yeye ni Mjumbe hatahudhuria Mkutano huo mpaka awe ameweka saini yake kwenye Rejesta ya mahudhurio inayotunzwa na Mkurugenzi kwa ajili hiyo. (2) Isipokuwa siku ya kufanyika kwa Mikutano ya Baraza au Kamati ambayo Diwani ni Mjumbe au pale atakapoitwa kutekeleza majukumu ya Serikali, si ruhusa kwa Diwani kuwa katika ofisi za Halmashauri na kufanya shughuli ambazo hazihusiani na Halmashauri au Serikali. - 12 Verify source ↗
Section 12
AI-assisted research summary: Council meetings must be open to the public and the media.
12. (1) Mikutano ya Halmashauri itakuwa wazi kwa watu wote pamoja na vyombo vya habari. Kuruhusu Watu na Vyombo vya Habari Kwenye Mikutano ya Halmashauri (2) Utaratibu wa Shughuli za Mikutano - 13 Verify source ↗
Section 13
AI-assisted research summary: Halmashauri must notify the public about a meeting’s time, place, and date, and post the notice visibly at least three days before the meeting unless the meeting is called on shorter notice.
13. (1) italiweka itapaswa kuutangazia umma Halmashauri kuhusu muda, wakati na mahali pa Mkutano na hilo mahali tangazo panapoonekana kwa urahisi katika eneo la Halmashauri siku zisizopungua tatu kabla ya Mkutano, na kama Mkutano umeitishwa katika muda mfupi zaidi basi wakati wa kuitisha Mkutano huo. Isipokuwa kama Halmashauri, kutokana na sababu za dharura, itaamua kubadili utaratibu wa shughuli za mikutano, utaratibu wa shughuli katika kila Mkutano wa kawaida wa Halmashauri utakuwa kama ifuatavyo:- (a) Mwenyekiti akiongozwa na Katibu ataingia ukumbini baada ya mratibu wa mkutano kutoa ishara Maalum 17 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Songwe Tangazo la Serikali Na. 1045 (Linaendelea.) kuingia kuashiria Mwenyekiti ukumbini na Wajumbe watasimama na pale Mwenyekiti atakaporuhusu Wajumbe kukaa; kimya mpaka kukaa (b) Mkutano utaanza kwa wimbo wa Taifa ukifuatiwa au Dua na itakayosomwa na Mwenyekiti; Sala (c) endapo Mwenyekiti au Makamu Mwenyekiti hawatakuwepo, Wajumbe watachagua mjumbe mmoja miongoni mwao wa kuongoza kikao; (d) baada ya Sala au Dua kusomwa Mkurugenzi na Mwenyekiti wa Halmashauri watajibu maswali ya papo kwa papo kutoka kwa Wajumbe wa Baraza la madiwani kwa utaratibu na mpangilio kama ilivyooneshwa kwenye Kanuni hizi; (e) kupokea na kujadili taarifa za kwenye Kata kutoka kwa Madiwani wa Kata husika; (f) kujadili jambo lolote linalotakiwa kwa mujibu wa Sheria kushughulikiwa kabla ya shughuli nyingine yoyote; (g) kupokea taarifa yoyote inayopaswa ya kupokelewa shughuli nyingine yoyote; kisheria kabla (h) kusoma au kuthibitisha muhtasari wa Mkutano wa kawaida wa Halmashauri uliopita na mikutano yoyote Maalum ya Halmashauri iliyofanyika baada ya Mkutano huo wa kawaida. Hata hivyo iwapo zimesambazwa kwa kila Mjumbe kabla au wakati wa kupeleka taarifa ya kuhudhuria Mkutano, mihtasari hiyo itachukuliwa kuwa imesomwa; nakala za mihtasari (i) kupokea taarifa ambayo Mwenyekiti atapenda itolewe kwa 18 yoyote Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Songwe Tangazo la Serikali Na. 1045 (Linaendelea.) Halmashauri; (j) kujibu maswali kufuatana na Kanuni ya 21 ya Kanuni hizi; (k) kumalizia shughuli yoyote iliyobaki katika Mkutano wa kawaida uliopita; (l) kupokea na kujadili taarifa za Kamati za Halmashauri, kwa Wenyeviti wa Kamati ambao ya watahusika Wajumbe kuhusiana na kazi za Kamati husika; kujibu maswali kutoka (m) kupokea na kujadili taarifa kutoka kwa Mkurugenzi wa Halmashauri; (n) kuidhinisha utiaji lakiri katika hati; (o) kujadili hoja binafsi kufuatana na jinsi zilivyopokelewa; na (p) kushughulikia mambo yaliyoonyeshwa katika Mkutano. mengine taarifa ya (2) Kuthibitisha Muhtasari - 14 Verify source ↗
Section 14
AI-assisted research summary: The secretary must prepare minutes of the meeting, the chairperson must handle confirmation and signing, and the minutes must be kept and made available for inspection and copies on request and payment of an approved fee.
14. (1) inaweza, Halmashauri katika Mkutano wowote wa kawaida, kubadili utaratibu wa hoja za mazungumzo ili kutoa kipaumbele kwa shughuli yoyote ambayo kwa maoni ya Mwenyekiti na uharaka wa pekee, lakini mabadiliko hayo hayatabadilisha mpangilio wa shughuli zilizotajwa katika aya (a), (b) na (c) za Kanuni ya 13(1) ya Kanuni hii. Katibu ataandika muhtasari wa mazungumzo ya kikao unaozingatia majina ya Wajumbe waliohudhuria na wasiohudhuria, jina la mtoa hoja, aliyeunga mkono hoja, mabadiliko ya hoja kwa ufupi, ushauri uliotolewa na azimio lililofikiwa. Muhtasari utasomwa, kurekebishwa, kuthibitishwa na kusainiwa na Mwenyekiti wa Mkutano na kutunzwa katika rejesta Maalum ya mihtasari. huo (2) Mara baada ya kusoma Muhtasari, au kama itachukuliwa kama umesomwa Mwenyekiti 19 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Songwe Tangazo la Serikali Na. 1045 (Linaendelea.) atauliza swali “Je Muhtasari wa Mkutano wa ya Halmashauri wa mwezi…………. Mwaka……..utiwe saini kama kumbukumbu sahihi?” tarehe…………… (3) Hakuna hoja au majadiliano yatakayofanywa kuhusiana na muhtasari isipokuwa kuhusiana na usahihi wa muhtasari, kama hakuna swali lililoulizwa, basi mara baada ya kuthibitishwa Mwenyekiti atatia saini katika muhtasari huo. (4) Muhtasari ambao utakuwa umesainiwa vilivyo na kama hakuna ushahidi wa kuwepo kwa makosa utakuwa kumbukumbu sahihi na Mkutano utahesabika kuwa umeitishwa na kufanyika vilivyo na Wajumbe waliohudhuria watahesabika halali. unaofaa (5) Mihtasari ya Halmashauri itakuwa wazi kwa ukaguzi na Wajumbe na kwa umma kwa wakati utaratibu na utakaokubaliwa na Halmashauri na kwamba mtu yeyote anaweza kupewa sehemu ya muhtasari huo kama akiomba na baada ya kulipa ada kama itakavyoidhinishwa na Halmashauri. kwa Hoja za Mwenyekiti - 16 Verify source ↗
Section 16
AI-assisted research summary: This section sets speaking and debate rules for council meetings, including who may speak, who decides the order, and time limits for different speakers.
16. (1) zinazowasilishwa Hoja na Mwenyekiti hazitazidi hoja tatu, bila kuathiri haki yake, kama Mjumbe ya kuwasilisha hoja katika taratibu za kawaida. Isipokuwa kwa idhini ya Halmashauri mtoa hoja atahutubia Mkutano wa Halmashauri kwa dakika zisizozidi kumi. Wajumbe wengine ikiwa ni pamoja na mtoa hoja watazungumza kwa muda usiozidi dakika tano kila mmoja; (2) Mjumbe anaruhusiwa kuzungumza mara moja isipokuwa hoja katika hoja yoyote ile 20 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Songwe Tangazo la Serikali Na. 1045 (Linaendelea.) inayowasilishwa bila mjadala; (3) Mtoa hoja atakuwa na haki ya kuzungumza kwa muda usiozidi dakika tano katika kujibu majadiliano na muda huo utaanza kuhesabika mara atakapoanza kuchangia au kujibu. Mratibu wa vikao atatoa ishara Maalum kumjulisha mtoa hoja kuwa muda wake juu ya hoja hiyo umeisha na mjadala utafungwa. Utaratibu huu wa kuhesabu muda utatumika yeyote atakayepewa muda wa kuchangia hojana mara tu baada ya kujibu, mjadala juu ya hoja utafungwa; kwa Mjumbe pia (4) Mjumbe yeyote aliyekwishachangia kwenye hoja hawezi kutoa au kuunga mkono marekebisho, ila marekebisho yakitolewa na kuungwa mkono, Mjumbe aliyekwishazu- ngumza katika hoja ya awali anaweza kuzungumza kwenye hoja iliyorekebishwa kwa muda usiozidi dakika tatu; (5) (6) Iwapo Wajumbe wawili au zaidi watasimama kuzungumza, Mjumbe wakati mmoja atakayetamkwa ndiye atakayepewa nafasi kwanza. na Mwenyekiti Bila kuathiri masharti ya Kanuni Ndogo ya (5) ya Kanuni hii, Mwenyekiti atahakikisha kuwa, nafasi ya kuchangia inatolewa kwa uwiano unaofaa miongoni mwa aina zote za uwakilishi wa Madiwani walioomba kuchangia hoja hiyo. (7) Mjumbe ataelekeza anapozungumza mazungumzo yake kwa Mwenyekiti tu na atapaswa kusimama; (8) Mjumbe anapozungumza hatakatizwa, lakini la utaratibu, isipokuwa kwa suala 21 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Songwe Tangazo la Serikali Na. 1045 (Linaendelea.) anaweza kutoa nafasi kwa Mjumbe anayetaka kujieleza; (9) Mjumbe anaposimama kutoa taarifa kuhusu utaratibu, Mjumbe anayezungumza ataketi na atabaki ameketi hadi hoja ya utaratibu itakapokuwa imeamuliwa na Mwenyekiti, isipokuwa kama anasimama kumweleza Mwenyekiti kuhusu suala la utaratibu; utaratibu katika mikutano (10) Mwenyekiti ndiye pekee mwenye uamuzi kuhusu ya Halmashauri, na anayo madaraka ya kuzuia fujo na kuhakikisha kuwa maamuzi yake katika kusimamia usalama yanatekelezwa mara moja. Wakati wa majadiliano Mwenyekiti akisimama, Mjumbe anayezungu- mza au aliyesimama ataketi na hakuna Mjumbe atakayesimama hadi Mwenyekiti ameketi; (11) Hakuna Mjumbe atakayebaki amesimama anaelekeza wakati Mjumbe mwingine mazungumzo yake kwa Mwenyekiti. (12) Mkurugenzi wa Halmashauri atajibu swali lolote atakaloulizwa na Mwenyekiti kutokana na shughuli zinazoendelea kwenye Mkutano isipokuwa kama atadai haki ya kukataa kujibu swali kwa msingi ya kwamba jibu linaweza kumweka hatiani au kuvunja uaminifu wake kama mtetezi au mahakamani. linamhusisha yeye (13) Hakuna mtu kwa niaba yake mwenyewe, au kwa niaba ya watu wengine walio kwenye ujumbe atakayeruhusiwa watu, kuzungumza katika Mkutano wa Halmashauri isipokuwa kwa idhini ya Halmashauri iliyotolewa kwa njia ya azimio. Idhini ya namna hiyo haitatolewa isipokuwa kama mtu wa 22 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Songwe Tangazo la Serikali Na. 1045 (Linaendelea.) huyo au watu hao wanaotaka kuihutubia Halmashauri wamempatia watakuwa Mkurugenzi au Afisa aliyeruhusiwa naye, taarifa ya muda usiopungua siku tisa kabla ya Mkutano wa Halmashauri ambamo wangetaka idhini, maombi yao yafikiriwe kupewa maombi ya kimaandishi jambo ikieleza linalotarajiwa kujadiliwa, na mpaka taarifa ya kupokelewa kwa maoni hayo itakapokuwa imebandikwa kwenye mbao za matangazo za Halmashauri. (14) Hakuna zaidi ya watu wawili watakaokuwa na haki ya kuhutubia Halmashauri kwa niaba ya uwakilishi; na wala hakuna ujumbe utakaozidi idadi ya watu watano watakaoruhusiwa. (15) Kiwango cha juu cha muda wa kuzungumza na Halmashauri ikiwa na muda wa kusoma risala hakitazidi dakika kumi. - 17 Verify source ↗
Section 17
AI-assisted research summary: If a member disrupts a council meeting or disrespects the chair, the chairperson may call out the member, seek a temporary adjournment, remove the member, bar them from three consecutive meetings, or suspend the meeting during serious disorder.
17. (1) Fujo zinazosaba- bishwa na Wajumbe (2) Katika Mkutano wowote wa Halmashauri kama Mjumbe wa Halmashauri ataonyesha kukosa heshima kwa madaraka aliyonayo Mwenyekiti au kudharau Kanuni za Kudumu za Halmashauri kwa kuzuia kwa makusudi shughuli za Halmashauri zisiendelee au vinginevyo, Mwenyekiti ataelekeza Mkutano kwa tukio hilo kwa kumtaja jina mjumbe anayehusika Endapo baada ya kutajwa jina mjumbe ataendelea kudharau madaraka ya Mwenyekiti basi Mwenyekiti ataliomba Baraza kuahirisha za Mkutano kwa muda na shughuli Mwenyekiti jambo hilo na anaweza kuagiza yafuatayo: atatafakari (a) Mjumbe atolewe nje ya Mkutano kama Mjumbe wa Halmashauri na kumzuia kuhudhuria vikao vitatu mfululizo pamoja na haki zinazohusina na vikao hivyo; 23 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Songwe Tangazo la Serikali Na. 1045 (Linaendelea.) (b) Mjumbe kuzuiliwa kuhudhuria vikao vitatu mfululizo na kupoteza haki zake zinazohusiana na vikao hivyo. (3) Iwapo kutatokea fujo kubwa katika Mkutano wowote wa Halmashauri, Mwenyekiti anaweza kama ataona ni muhimu kufanya hivyo, kuahirisha Mkutano bila majadiliano au swali au kusimamisha Mkutano kwa muda atakao ona unafaa. - 18 Verify source ↗
Section 18
AI-assisted research summary: If a member of the public attending a Council meeting disrupts the meeting, the Chair must warn them to stop. If the disruption continues, the Chair must order them removed from the meeting room.
18. (1) Fujo zinazosaba- bishwa na Umma Iwapo mtu yeyote kati ya umma unaohudhuria Mkutano wa Halmashauri atavuruga Mkutano wa Halmashauri, Mwenyekiti atamuonya mtu huyo aache kufanya hivyo. Endapo mtu huyo ataendelea kuvuruga Mkutano, Mwenyekiti ataamuru mtu huyo atolewe kwenye chumba cha Mkutano. (2) Hoja na Marekebisho ya Hoja - 19 Verify source ↗
Section 19
AI-assisted research summary: This section sets meeting procedure rules: the Chairperson must clear the room if there is disorder, the Director must record and list motions, and members must follow limits on motions, amendments, and adjournment-style requests.
19. (1) ya Endapo kutakuwa na vurugu katika sehemu cha Mkutano yoyote kinachotumika umma, Mwenyekiti ataamuru kuondolewa kwa watu wote walio katika eneo hilo. chumba na taarifa, Taarifa ya kila hoja, isipokuwa hoja iliyowasilishwa chini ya Kanuni za Kudumu Na. 15, itawasilishwa kwa maandishi yaliyowekwa saini na Diwani au Madiwani waliotoa kwa na Mkurugenzi angalau siku nne kabla ya Mkutano wa Halmashauri unaofuata na akishaipokea, Mkurugenzi atagonga tarehe na kuipa namba na kuiingiza kwenye daftari kadri hoja zilivyowasilishwa, na daftari hiyo itakuwa wazi kukaguliwa na Mjumbe yeyote wa Halmashauri. itapelekwa (2) Mkurugenzi ataonyesha katika taarifa ya kila hoja Halmashauri Mkutano wa 24 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Songwe Tangazo la Serikali Na. 1045 (Linaendelea.) na kadri kwa zilizowasilishwa zilivyopokelewa isipokuwa kama Diwani aliyetoa hoja hiyo ameeleza kwa maandishi wakati alipoleta hoja hiyo, kwamba anataka utakaofanyika kuitoa baadaye, au baada ya kuwasilisha ameifuta hoja hiyo kwa maandishi. katika Mkutano imeonyeshwa katika Iwapo hoja ambayo taarifa ya Mkutano haiwezi kutolewa na Mjumbe aliyewasilisha taarifa; au na Mjumbe mwingine yeyote kwa niaba yake, basi hoja imeahirishwa kwa hiyo, idhini ya Halmashauri, itachukuliwa kama imeondolewa na haitawasilishwa tena bila ya kutoa taarifa upya. isipokuwa kama Iwapo hoja itahusu jambo linalohusu Kamati au Kamati mbalimbali baada ya kupendekezwa na kuungwa mkono, hoja hiyo itapelekwa bila majadiliano ambayo Halmashauri itaelekeza ili iweze kufikiriwa na kutayarishiwa taarifa. kwenye Kamati (3) (4) (5) Ni lazima kila hoja ihusu jambo ambalo Halmashauri ina uwezo na wajibu nalo, au iwe inahusu Halmashauri ya wilaya husika. (6) Marekebisho ya hoja yaliyopendekezwa na kuungwa mkono yanaweza kuondolewa tu kwa ridhaa ya Wajumbe wa Halmashauri walio wengi waliopo katika Mkutano. (7) Marekebisho ya hoja yanapokuwa yamethibitishwa, hoja ya msingi kama ilivyorekebishwa itatolewa na Mwenyekiti kama ndiyo hoja ya msingi ambayo nayo inaweza kufanyiwa marekebisho. Kama marekebisho hayakukubaliwa, hoja rekebisho lingine linaweza kupendekezwa. ya 25 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Songwe Tangazo la Serikali Na. 1045 (Linaendelea.) (8) (9) Kwa idhini ya Mwenyekiti, zaidi ya rekebisho moja linaweza kutolewa kwa wakati mmoja mbele ya Mkutano wa Halmashauri, lakini kila rekebisho la namna hii litatolewa moja jinsi baada ya mapendekezo hayo yalivyotolewa. jingine kufuatana na Rekebisho halitachukuliwa kuwa sahihi kama litakuwa sawa na kuikataa hoja moja kwa moja au kama si rekebisho la hoja ya msingi linalokusudiwa kurekebishwa. (10) Rekebisho ambalo halikutolewa taarifa, halitapendekezwa baada ya mjadala wa hoja inayozungumzwa kuendelea kwa nusu saa, ila kwa mujibu wa sharti hili, taarifa ya idadi yoyote ya marekebisho inaweza kutolewa. (11) Hoja ya kufuta azimio Wajumbe wasiopungua Wajumbe wote. itapitishwa na theluthi mbili ya (12) Hoja ya kuzingatia taarifa ya Kamati au kuidhinisha majadiliano au mapendekezo ya Kamati inaweza kutolewa na Mwenyekiti wa Kamati husika, au na Mjumbe yeyote wa Kamati husika kwa niaba yake. (13) Mjumbe yeyote ambaye hajachangia katika mjadala wa hoja, au hajaitolea marekebisho, anaweza kupendekeza “kwamba Halmashauri iendelee na shughuli inayofuata”. Hoja ya aina hiyo inaweza tu kuzingatiwa baada ya hoja kupendekezwa na kuungwa mkono. Hoja inapotolewa, itaamuliwa bila marekebisho au ikikubaliwa, shughuli mjadala, na kama iliyokatizwa na azimio hilo haitaendelea kujadiliwa katika kikao hicho. Hoja ya kupendekeza shughuli kuendelea inayofuata haitatolewa zaidi ya mara moja katika mjadala wa jambo lolote. na 26 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Songwe Tangazo la Serikali Na. 1045 (Linaendelea.) (14) Baada ya mjadala kuhusu hoja kuendelea kwa muda usiopungua nusu saa, Mjumbe ambaye hajachangia katika majadiliano anaweza kuomba idhini ya kutoa hoja “kwamba suala lililo mbele yetu sasa liamuliwe” na kama idhini hiyo itatolewa kwa kukubaliwa na si chini ya Wajumbe watano, hoja “kwamba liamuliwe” suala itawasilishwa mara moja, na kama ikiafikiwa, mtoa hoja ya msingi anaweza kuzungumza kwa dakika zisizozidi tano, na baada ya hapo ya swali Halmashauri yatafanyiwa uamuzi. lililo mbele yetu sasa yaliyo mbele au maswali (15) Hoja “kwamba suala lililo mbele yetu sasa liamuliwe” haitatolewa zaidi ya mara moja katika mjadala unaoendelea kuhusu jambo lolote mpaka hapo mjadala utakapokuwa umeendelea kwa angalau nusu saa tangu kuwekwa mbele ya Mkutano hoja ya aina hiyo ilipopendekezwa awali. - 20 Verify source ↗
Section 20
AI-assisted research summary: Mtoa hoja ana haki ya kujibu maswali mwishoni mwa mjadala au kabla ya kura/kuahirisha, na mjumbe anayejibu asianzishe hoja mpya.
20. Hoja zinazoweza kutolewa bila Taarifa Hoja zifuatazo zinaweza kutolewa bila taarifa. (a) Kumchagua Mwenyekiti wa Mkutano ambamo hoja imetolewa; (b) Hoja kuhusu usahihi wa muhtasari, kufunga kuahirisha Mkutano, Mkutano, utaratibu wa Mkutano, au suala linalofuata; (c) kuteua Kamati au Wajumbe wa Kamati, au wawakilishi katika taasisi jambo na nje, za lililotaarifiwa katika wito wa Mkutano; unaotokana (d) kukubali taarifa na mapendekezo ya yote maazimio Kamati na 27 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Songwe Tangazo la Serikali Na. 1045 (Linaendelea.) na yanayotokana mapendekezo hayo; taarifa au (e) kwamba hoja; idhini itatolewa kuiondoa (f) kusahihisha hoja; (g) kuongeza muda wa hotuba; (h) kuwa, jambo lililotajwa katika taarifa ya kuitisha Mkutano litangulie; (i) kusimamisha Kanuni za Kudumu; (j) kwamba Mjumbe asisikilizwe tena au aondoke katika Mkutano; (k) kumwomba Mjumbe abakie Mkutanoni na (l) kutoa idhini ya Halmashauri pale ambapo idhini inatakiwa kwa mujibu wa Kanuni za Kudumu hizi. Haki ya kujibu 21. (1) Mtoa hoja atakuwa na haki ya kujibu maswali wakati wa kufunga mjadala juu ya hoja; kabla ya hoja kupigiwa kura au kabla ya hoja kutolewa “kwamba mkutano uhairishwe. (2) Mjumbe anayetumia haki yake ya kujibu hataanzisha hoja nyingine mpya. (3) Baada ya kutolewa kwa jibu ambalo linahusiana na Kanuni hizi, uamuzi utafikiwa bila majadiliano zaidi. Maswali - 22 Verify source ↗
Section 22
AI-assisted research summary: A member may ask the Committee Chair any question about the Committee summary presented before the Council.
22. (1) Mjumbe anaweza kumuuliza Mwenyekiti wa Kamati swali lolote kuhusu muhtasari wa Kamati uliofikishwa mbele ya Halmashauri. (2) Kila swali litaulizwa na kujibiwa bila 28 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Songwe Tangazo la Serikali Na. 1045 (Linaendelea.) majadiliano (3) (4) Maswali ya papo kwa papo - 23 Verify source ↗
Section 23
AI-assisted research summary: This section sets rules for oral and written questions at council meetings, including advance registration, a 30-minute question period, and limits on how many questions a member may ask.
23. (1) Swali au maswali yatajibiwa na Mwenyekiti wa Kamati mara moja, na Mjumbe anayeuliza maswali hayo hatanyimwa haki yake ya kujadili hayo yanarejewa au kutoa hoja ya marekebisho. ambayo maswali hoja Pale ambapo swali la maandishi limeelekezwa taarifa kwa Mwenyekiti wa Kamati, na inayotakiwa imo katika mojawapo ya mihtasari ya Halmashauri, kuonyesha sehemu ya muhtasari ambapo habari hiyo imeonyeshwa, kutachukuliwa ni jibu la kutosha. katika itatenga muda wa dakika Halmashauri thelathini kila Mkutano wa Halmashauri wa kawaida ambapo Mwenyekiti na Mkurugenzi wa Halmashauri atajibu maswali ya papo kwa papo kutoka kwa Wajumbe kabla ya kuanza kwa shughuli ya kawaida za Mkutano wa Halmashauri. (2) Wajumbe kumwuliza ambao watataka Mkurugenzi na Mwenyekiti maswali ya papo kwa papo watatakiwa kujiorodhesha kwanza kwa Mwenyekiti angalau masaa ishirini na nne (24) kabla ya Mkutano wa Halmashauri, (3) Mjumbe yeyote ambaye hatajiorodhesha kwa Mwenyekiti au Mkurugenzi ndani ya masaa ishirini na nne atahesabika kuwa amechelewa, na hataruhusiwa kumuuliza Mkurugenzi au Mwenyekiti swali la papo kwa papo (4) Kabla ya kuanza kwa kipindi cha maswali ya papo kwa papo Mwenyekiti atataja majina ya Wajumbe waliojiorodhesha kuuliza maswali ya papo kwa papo na idadi ya maswali, (5) Mwenyekiti ataweka utaratibu ambao ataona unafaa na kuridhiwa na Wajumbe wa namna bora ya kuendesha kipindi cha maswali ya 29 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Songwe Tangazo la Serikali Na. 1045 (Linaendelea.) papo kwa papo. (6) Mjumbe hataruhusiwa kuuliza zaidi ya swali moja la papo kwa papo (7) Maeneo ya umuhimu ambayo Wajumbe watatakiwa kuuliza maswali ya papo kwa papo ni:- (a) Uendeshaji wa jumla wa Halmashauri; (b) Utekelezaji wa miradi ya Maendeleo; (c) Mipango ya kimkakati ya kuwaondolea Halmashauri wananchi umaskini; (d) Mipango ya baadaye ya maendeleo ya Halmashauri; (e) Usimamizi na utekelezaji wa Mipango na Bajeti kwa mwaka husika; (f) Utoaji wa huduma za jamii kama vile elimu, afya, maji, barabara na madaraja; (g) Hifadhi ya mazingira na utunzaji wa vyanzo vya maji; (h) Usalama wa chakula na wa raia na mali zao; (i) Utawala Bora na utatuzi wa kero za wananchi. (8) Baada ya kujibiwa kwa swali, muuliza swali atapewa fursa ya kuuliza swali moja tu la ufafanuzi na maswali yatajibiwa bila mjadala. (9) Mwenyekiti atakuwa na uwezo wa kuruhusu kutojibu au kukataa swali lolote la papo kwa papo ambalo litaonekana linahitaji takwimu au utafiti zaidi au swali ambalo linalenga kumdhalilisha Mwenyekiti au Mjumbe yeyote wa Baraza na uamuzi wake utakuwa wa mwisho. 30 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Songwe Tangazo la Serikali Na. 1045 (Linaendelea.) (10) Mara baada ya muda wa nusu saa kumalizika, kipindi cha maswali ya papo kwa papo kitamalizika na kuruhusu shughuli zingine za kikao kuendelea Taarifa za Kamati
Part
SEHEMU YA IV
- 41 Verify source ↗
Mwenyekiti kuwa Mjumbe wa Kamati zote
AI-assisted research summary: The chairperson must be a member of all committees.
41. Mwenyekiti kuwa Mjumbe wa Kamati zote. - 49 Verify source ↗
Ajenda za Kamati
AI-assisted research summary: This section is titled “Agenda for Committees.”
49. Ajenda za Kamati 2 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Songwe Tangazo la Serikali Na. 1045 (Linaendelea.) - 50 Verify source ↗
Mahudhurio katika mikutano ya Kamati
AI-assisted research summary: This section is titled “Attendance at Committee meetings.”
50. Mahudhurio katika mikutano ya Kamati - 51 Verify source ↗
Mtoa hoja kualikwa kwenye Mkutano wa Kamati
AI-assisted research summary: The mover of a motion is to be invited to the committee meeting.
51. Mtoa hoja kualikwa kwenye Mkutano wa Kamati - 52 Verify source ↗
Waalikwa wasiokuwa Wajumbe kuhudhuria na kushiriki
AI-assisted research summary: This provision concerns guests who are not members attending and participating in committee meetings.
52. Waalikwa wasiokuwa Wajumbe kuhudhuria na kushiriki katika mikutano ya Kamati - 53 Verify source ↗
Mahudhurio ya Umma na Vyombo vya Habari kwenye
AI-assisted research summary: This section is about public and media attendance at committee and subcommittee meetings.
53. Mahudhurio ya Umma na Vyombo vya Habari kwenye Mikutano ya Kamati na Kamati Ndogo - 56 Verify source ↗
Kanuni za Kudumu kutumika katika mikutano ya Kamati
AI-assisted research summary: Standing orders apply in committee meetings.
56. Kanuni za Kudumu kutumika katika mikutano ya Kamati - 57 Verify source ↗
Upigaji kura kwenye mikutano ya Kamati
AI-assisted research summary: This section is about voting in committee meetings.
57. Upigaji kura kwenye mikutano ya Kamati - 60 Verify source ↗
Kutunza siri za majadiliano ya Kamati na Kamati Ndogo
AI-assisted research summary: Kifungu hiki kinaeleza kuhusu kutunza siri za majadiliano ya Kamati na Kamati Ndogo.
60. Kutunza siri za majadiliano ya Kamati na Kamati Ndogo - 61 Verify source ↗
Kujiuzulu wadhifa wa Mwenyekiti wa Kamati
AI-assisted research summary: This provision concerns resignation from the position of Chairperson of the Committee.
61. Kujiuzulu wadhifa wa Mwenyekiti wa Kamati - 62 Verify source ↗
Kujiuzulu ujumbe wa Kamati na kujazwa kwa nafasi
AI-assisted research summary: Hii ni kichwa cha kifungu kuhusu kujiuzulu kwa ujumbe wa Kamati na kujazwa kwa nafasi iliyoachwa wazi.
62. Kujiuzulu ujumbe wa Kamati na kujazwa kwa nafasi iliyoachwa wazi. SEHEMU YA V UNUNUZI WA VIFAA, UPATIKANAJI WA HUDUMA NA UJENZI
Part
SEHEMU YA V
- 64 Verify source ↗
Kumbukumbu za majadiliano yanayohusu uagizaji
AI-assisted research summary: Heading for records of discussions concerning imports.
64. Kumbukumbu za majadiliano yanayohusu uagizaji - 69 Verify source ↗
Diwani au Afisa kutokuwa na maslahi kwenye Mikataba
AI-assisted research summary: Diwani au Afisa must not have an interest in contracts.
69. Diwani au Afisa kutokuwa na maslahi kwenye Mikataba SEHEMU YA VI MASUALA MENGINE
Part
SEHEMU YA VI
- 77 Verify source ↗
Diwani kutembelea maeneo, shughuli mbalimbali za ujenzi
AI-assisted research summary: Kichwa cha kifungu kinahusu diwani kutembelea maeneo na shughuli mbalimbali za ujenzi.
77. Diwani kutembelea maeneo, shughuli mbalimbali za ujenzi - 80 Verify source ↗
Uandikishaji wa anwani
AI-assisted research summary: Section 80 is titled “Uandikishaji wa anwani” (address registration).
80. Uandikishaji wa anwani 3 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Songwe Tangazo la Serikali Na. 1045 (Linaendelea.) - 81 Verify source ↗
Uteuzi wa Wajumbe kwenye Taasisi za nje
AI-assisted research summary: Sehemu hii ina kichwa kuhusu uteuzi wa wajumbe kwenye taasisi za nje.
81. Uteuzi wa Wajumbe kwenye Taasisi za nje - 82 Verify source ↗
Kumwondoa Mwenyekiti madarakani
AI-assisted research summary: Section 82 is titled “Kumwondoa Mwenyekiti madarakani.”
82. Kumwondoa Mwenyekiti madarakani. SEHEMU YA VII POSHO KWA WAJUMBE
Part
SEHEMU YA VII
- 84 Verify source ↗
Posho iwapo Mkutano umeahirishwa
AI-assisted research summary: Kifungu hiki kinaweka mada ya posho iwapo mkutano umeahirishwa.
84. Posho iwapo Mkutano umeahirishwa SEHEMU YA VIII MABADILIKO KWENYE KANUNI ZA KUDUMU
Part
SEHEMU YA VIII
- 85 Verify source ↗
Kusitisha utumiaji wa Kanuni za Kudumu
AI-assisted research summary: Kifungu hiki kinaonyesha mada ya kusitisha utumiaji wa Kanuni za Kudumu.
85. Kusitisha utumiaji wa Kanuni za Kudumu - 86 Verify source ↗
Marekebisho na mabadiliko ya Kanuni za Kudumu
AI-assisted research summary: Kichwa cha kifungu kuhusu marekebisho na mabadiliko ya Kanuni za Kudumu.
86. Marekebisho na mabadiliko ya Kanuni za Kudumu - 87 Verify source ↗
Kanuni za Kudumu kutolewa kwa Wajumbe
AI-assisted research summary: Section 87 concerns standing orders to be issued for members.
87. Kanuni za Kudumu kutolewa kwa Wajumbe - 90 Verify source ↗
Dua/sala ya kuiombea Halmashauri
AI-assisted research summary: This section gives the title of the rules and defines key terms used in the rest of the rules.
90. Dua/sala ya kuiombea Halmashauri SEHEMU YA 1 MASHARTI YA MWANZO KWA KUWA Kauli-mbiu ya Halmashauri ni 4 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Songwe Tangazo la Serikali Na. 1045 (Linaendelea.) yenye na Halmashauri jamii kuwa iliyoelimika yenye uchumi imara, Afya bora inayojitosheleleza na inayoshiriki kikamilifu katika shughuli za maendeleo kwa msingi ya utawala bora. chakula kwa NA KWA KUWA jukumu la Halmashauri ni kuimarisha demokrasia katika ngazi zote na kutoa huduma kwa wananchi kwa kuzingatia ufanisi, usawa, haki na kwa namna inayochochea maendeleo ya maeneo yaliyo chini ya mamlaka ya Halmashauri kwa kuwashirikisha wananchi. NA KWA KUWA madhumuni ya Kanuni za Kudumu ni kuweka utaratibu wa namna Halmashauri itakavyoendesha mikutano na shughuli zake kwa kuzingatia misingi ya utawala bora. SASA BASI, Kanuni za Kudumu hizi zinaelekeza ifuatavyo: Kanuni hizi zitaitwa Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Songwe za Mwaka 2020. Katika Kanuni hizi isipokuwa kama itaelezwa vinginevyo: “Afisa wa Serikali za Mitaa” Maana yake ni mtu ambaye ameajiriwa na au ambaye yumo katika utumishi wa Mamlaka ya Serikali za Mitaa na ambaye anashika au anakaimu katika nafasi ya menejimenti; “Diwani” Maana yake ni Mjumbe wa Halmashauri aliyetajwa kwa mujibu wa kifungu 35 cha Sheria ya Serikali za Mitaa (Mamlaka za Wilaya); 5 Jina Tafsiri 1 2 Sura ya 287 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Songwe Tangazo la Serikali Na. 1045 (Linaendelea.) “Fujo” Maana yake ni kitendo chochote kinachoweza kufanywa na Mjumbe au Mshiriki wa Kikao cha Halmashauri au Kamati ya Kudumu ambacho ni kinyume na taratibu za uendeshaji wa vikao, kinachoweza kuvuruga kikao. Mfano kuongea bila ruhusa ya Mwenyekiti, kutoa lugha isiyofaa, kutoa kauli yenye maudhi, kuingia kwenye kikao akiwa amelewa, kuingia na silaha, kutoa lugha ya kashfa, matusi, kejeli au kukaidi amri ya Mwenyekiti, kukaidi kutoka nje fujo anapoamriwa kutoka kutokana na alizosababisha; “Halmashauri” Maana yake ni Halmashauri ya Wilaya ya Songwe; “Kamati” (a) (b) (c) iliyoanzishwa na kuhusiana Inapotumika ina maana ya Halmashauri Kamati au iliyoteuliwa na Halmashauri chini ya Sheria; Inapotumika na Kamati Ndogo maana yake ni Kamati hiyo iliyoteuliwa na Kamati; Inapotumika na Kamati nyingine ina maana ya Kamati hiyo. kuhusiana kuhusiana Ndogo "Kauli zenye kashfa'' maana yake ni maneno yenye lengo la kumdhihaki na kumdhalilisha mtu utu wake; “Mamlaka ya Mji Mdogo” Maana yake ni Mamlaka ya Mji Mdogo ulioanzishwa chini ya Kifungu cha 13 cha Sheria; “Mkurugenzi” Maana yake ni Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya 6 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Songwe Tangazo la Serikali Na. 1045 (Linaendelea.) Sura ya 287 Songwe pamoja na Afisa yeyote aliyeteuliwa kutekeleza majukumu ya Mkurugenzi; “Mjumbe” Maana yake ni Mjumbe wa Halmashauri kama ilivyoainishwa na kifungu cha 35 cha Sheria; “Mwenyekiti” (a) Kwa madhumuni ya Halmashauri maana yake ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Songwe, na inajumuisha Makamu Mwenyekiti wakati anapotekeleza majukumu ya Mwenyekiti kwa mujibu wa Kanuni hizi. (b) Kwa madhumuni ya Kamati, Bodi au Kamati Ndogo maana yake ni Mwenyekiti wa Kamati, Bodi au Kamati Ndogo. (c) Kwa maana ya Bodi ya Zabuni ni Mwenyekiti wa Bodi ya Zabuni “Sheria” Maana yake ni Sheria ya Serikali za Mitaa (Mamlaka za Wilaya); “Waziri” Maana yake ni Waziri mwenye dhamana ya Serikali za Mitaa. SEHEMU YA II MIKUTANO YA HALMASHAURI Mikutano ya Kawaida ya Halmashauri
Part
sehemu ya
- 24 Verify source ↗
Section 24
AI-assisted research summary: Kamati lazima iwasilishe taarifa ya majadiliano ya utekelezaji wa majukumu yake kwa Halmashauri, na muhtasari unaohitaji idhini utapelekwa kwa kila Mjumbe angalau siku 7 kabla ya mkutano husika.
24. (1) ya ya mikutano miwili Kila Kamati pamoja au Kamati iliyoteuliwa chini ya Kanuni hizi itatoa, katika ya mojawapo Halmashauri iliyoteua Kamati, Kamati ya pamoja au Kamati Ndogo, taarifa ya majadiliano yanayohusiana na utekelezaji majukumu iliyokasimiwa, kwa ujulisho wa Halmashauri. (2) Muhtasari wa Kamati unaohitaji idhini ya Halmashauri, na taarifa zozote zinazohusiana na muhtasari huo, na ambazo zinaonekana kwa Kamati kuwa zinastahili, zitapelekwa kwa kila Mjumbe wa Halmashauri angalau siku saba kabla ya Mkutano wa Halmashauri ambamo utafikiriwa. (3) Mwenyekiti wa Kamati, au Mjumbe mwingine wa Kamati kwa niaba yake, wakati wa kupendekeza kuidhinishwa kwa muhtasari wa Kamati, anaweza kusema kuwa hakusudii kuwasilisha kipengele au vipengele fulani vya muhtasari huo kwa lengo la kupata idhini ya Halmashauri. Katika hali hiyo Mjumbe yeyote hataweza au vipengele hivyo na muhtasari utawasilishwa bila vipengele hivyo. Kuondolewa kwa kipengele cha aina hiyo kutatolewa taarifa kwenye Mkutano unaofuata. kukizungumzia kipengele (4) Taarifa ya Kamati inapokuwa imepokelewa na itamaanisha Halmashauri hatua zilizochukuliwa husika na zimekubaliwa na mapendekezo yaliyo kwenye taarifa hiyo yatatekelezwa na kwamba Kamati kuwa 31 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Songwe Tangazo la Serikali Na. 1045 (Linaendelea.) Taarifa za kutoka kwenye Kata - 25 Verify source ↗
Section 25
AI-assisted research summary: Kata lazima ziwasilishe taarifa za utekelezaji kwenye mkutano wa Halmashauri, na taarifa hizo ziandaliwe na kuwasilishwa kama ilivyoelekezwa.
25. (1) (2) Mkurugenzi atakuwa ameelekezwa ipasavyo. Kila Kata itatakiwa kuwasilisha taarifa za utekelezaji katika Mkutano wa Halmashauri ulioitishwa chini ya Kanuni ya 3(1) ya Kanuni hizi. Taarifa za utekelezaji kutoka katika Kata zitawasilishwa na Diwani wa Kata husika, au kama Diwani hiyo hayupo, itawasilishwa na Diwani wa Viti Maalum anayeishi katika Kata hiyo na kama Diwani hayupo, Mwenyekiti Viti Maalum atamtaarifu mapema Diwani yeyote ili ajiandae kuwasilisha taarifa hiyo. taarifa (3) Kutakuwa na zitakazowasilishwa:- aina tatu za taarifa (a) Taarifa ya utekelezaji wa miradi ya katika Kata ambayo maendeleo itajumuisha ujenzi wa Madarasa, Nyumba za Walimu, Matundu ya Vyoo, Maabara, Viwanja vya Michezo, Vituo vya Afya, Zahanati, Madaraja, Barabara, Mashamba darasa, Ofisi za Vijiji, Kata na Tarafa; Idadi ya watu na vizazi; (b) Taarifa zinazohusu hali ya Kata ambazo zitajumuisha; (i) Maendeleo ya Elimu katika Kata kuhusiana na uandikishaji wa watoto wenye umri wa kwenda shule, ufundishaji, utoro, hali ya mahudhurio, mimba shuleni, ukaguzi na uratibu wa shule; (ii) Hali ya majanga ya kibinadamu wa vile mlipuko kama 32 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Songwe Tangazo la Serikali Na. 1045 (Linaendelea.) magonjwa, mafuriko, njaa na hali ya uhalifu na vifo; (iii) Maendeleo ya Kilimo, mifugo na itajumuisha ambayo uvuvi upatikanaji wa wataalamu, zana za kisasa na pembejeo za kilimo, mifugo na uvuvi; (iv) Uimarishaji wa dhana ya uzalendo na utaifa kwa kuhamasisha vijana kuanzisha na kujiunga na vikundi vya Vijana, Wagani kazi na mafunzo ya Jeshi la Mgambo, ulinzi shirikishi na polisi jamii; (c) Taarifa ya utekelezaji wa miradi ya Maendeleo na taarifa ya hali ya Kata sharti ijumuishe pia taarifa za shughuli za kiuchumi, taarifa ya mavuno ya mazao ya chakula na biashara pamoja na taarifa ya utunzaji wa mazingira na vyanzo vya maji. (4) Mkurugenzi wa Halmashauri atahakikisha taarifa kutoka kwenye Kata, zinaandaliwa na kuwasilishwa na Diwani wa Kata hiyo kwenye Baraza la Madiwani ili ipitiwe na kuchambuliwa kwa nia ya kupata hoja zitakazowasilishwa katika vikao vya Kamati husika na kutoa mrejesho. Mafanikio na changamoto (5) Mwasilishaji wa taarifa atatakiwa kuelezea changamoto mafanikio yaliyopatikana, zilizojitokeza na mbinu za kukabiliana nazo. (6) Mbinu za kukabiliana na changamoto sharti ziwekewe malengo na muda Maalum wa kuzitatua; (7) Taarifa za mapokeo ya fedha na matumizi 33 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Songwe Tangazo la Serikali Na. 1045 (Linaendelea.) yake zitakazokuwa zimeandaliwa na Afisa Mtendaji wa Kata, zitawasilishwa sanjari na miradi iliyotekelezwa na gharama zake. (8) taarifa kutoka kwenye Kata Baada ya itamaanisha kupokelewa na Halmashauri, zimeidhinishwa na kuwa taarifa mapendekezo taarifa yatatekelezwa na Halmashauri, na Kata kupewa taarifa ya utekelezaji wa majukumu hayo. hizo yaliyomo kwenye - 26 Verify source ↗
Section 26
AI-assisted research summary: People may express opinions during council meeting discussions, and that freedom cannot be challenged in court or outside the council meeting.
26. Uhuru wa kutoa Mawazo wakati wa Majadiliano Kutakuwepo na uhuru wa kutoa mawazo wakati wa majadiliano katika mikutano ya Halmashauri na uhuru huo hautaweza kuhojiwa katika mahakama yoyote au mahali popote nje ya Mkutano wa Halmashauri. Kauli zenye Kashfa - 27 Verify source ↗
Section 27
AI-assisted research summary: Mjumbe anayetoa kauli ya kumkashfu mtu anaweza kuamriwa kuifuta na kuomba msamaha kwa maandishi ndani ya siku saba.
27. (1) (2) kulingana na maoni Inapotokea, ya Mwenyekiti au mjumbe yeyote anayeongoza Mkutano, kuwa kauli iliyotolewa na Mjumbe inalenga kumkashfu mtu yeyote, Mwenyekiti atamtaka Mjumbe aliyetoa kauli hiyo kufuta kauli yake na kumwomba msamaha mtu aliyekashifiwa kwa maandishi ndani ya muda wa siku saba tangu kauli hiyo ya kashfa ilipotamkwa. Endapo Mjumbe aliyetoa kauli ya kashfa atakataa kufuta kauli yake na kuomba msamaha kama inavyoelekezwa katika Kanuni Ndogo (1) ya Kanuni hii, Mwenyekiti au mtu anayeongoza Mkutano, atamsimamisha Mjumbe huyo kuhudhuria vikao vitatu mfululizo vya Halmashauri maandishi kwa (3) Mjumbe aliyesimamishwa kwa mujibu wa Kanuni Ndogo (2) ya Kanuni hii atapoteza haki zake zote zinazohusiana na vikao hivyo kwa muda wote wa kusimamishwa kwake. 34 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Songwe Tangazo la Serikali Na. 1045 (Linaendelea.) Maamuzi ya Mikutano ya Halmashauri - 28 Verify source ↗
Section 28
AI-assisted research summary: Masuala ya Halmashauri huamuliwa kwa kura nyingi za waliohudhuria; kura zinazolingana huvunjwa na Mwenyekiti au msimamizi mwingine kwa kura ya turufu, na baadhi ya masuala hupigwa kwa siri.
28. (1) Masuala yote yaliyojadiliwa na kupendekezwa katika Mkutano wowote wa Halmashauri yataamuliwa kulingana na wingi wa kura za Wajumbe waliohudhuria Mkutano za Wajumbe huo, na zikalingana, basi Mwenyekiti au Mjumbe yeyote mwingine anayeongoza Mkutano, atapiga kura ya turufu mbali ya kura ya kawaida. ikitokea kura (2) linalopigiwa kura Iwapo suala kutokuwa au na Mwenyekiti madarakani, au lingine kama Halmashauri, kura zitapigwa kwa siri. jambo itakavyoamuliwa linahusu kumwondoa lolote na imani - 29 Verify source ↗
Section 29
AI-assisted research summary: Mwenyekiti anaweza, baada ya kushauriana na Wajumbe, kumwalika mtu yeyote kushiriki au kuzungumza katika mkutano wa Halmashauri, lakini mwalikwa hana haki ya kupiga kura.
29. Mwaliko kwa wasiokuwa Wajumbe kushiriki na kuzungumza kwenye Vikao vya Halmashauri (1) Mwenyekiti, baada ya kushauriana na Wajumbe, anaweza kumwalika mtu yeyote kuhudhuria na kuzungumzia jambo lolote, au kushiriki kwa njia yoyote, katika Mkutano wowote wa Halmashauri lakini mwalikwa huyo hatakuwa na haki ya kupiga kura katika Mkutano huo. Mihtasari ya kata na vijiji - 30 Verify source ↗
Section 30
AI-assisted research summary: Council department heads must attend all council meetings but cannot vote there. The council director must review and analyze minutes from ward development committees, village councils, and village general meetings and provide feedback appropriately.
30. (2) Wakuu wa Idara za Halmashauri wanapaswa kuhudhuria mikutano yote ya Halmashauri lakini hawatakuwa na haki ya kupiga kura katika mikutano hiyo. Mkurugenzi wa Halmashauri atahakikisha mihtasari yote ya Kamati za Maendeleo za Kata, Halmashauri za Vijiji na Mikutano Mikuu ya Vijiji inapitiwa na kuchambuliwa kwa nia ya kupata hoja zitakazowasilishwa katika vikao vya Kamati husika na kutoa mrejesho inavyopaswa. Mihtasari ya Halmashauri kupelekwa kwa Mkuu wa Wilaya na - 31 Verify source ↗
Section 31
AI-assisted research summary: Halmashauri must send its summaries to the District Commissioner and Regional Commissioner within 7 days after confirmation; District and Regional Commissioners must not change or cancel council decisions.
31. (1) Mihtasari ya Halmashauri itatolewa na kupelekwa kwa taarifa, kwa Mkuu wa Wilaya na Mkuu wa Mkoa ambamo Halmashauri imo katika muda wa siku 7 baada ya kuthibitishwa 35 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Songwe Tangazo la Serikali Na. 1045 (Linaendelea.) Mkuu wa Mkoa kwa mihtasari hiyo. (2) Mkuu wa Wilaya na Mkuu wa Mkoa wanaweza kupewa, wakiomba, nakala ya mihtasari au sehemu ya mihtasari ya Kamati za Kudumu na Kamati nyingine. (3) Wakuu wa Wilaya na Wakuu wa Mikoa hawatabadilisha au kubatilisha au kuagiza kubadilisha au kubatilisha uamuzi wa Halmashauri. Hoja kuhusu Matumizi - 32 Verify source ↗
Section 32
AI-assisted research summary: Mawazo au hoja zisizotoka kwenye mapendekezo au taarifa ya Kamati ya Fedha, Utawala na Mipango na zinazoathiri matumizi au mapato huahirishwa hadi mkutano wa kawaida unaofuata, na kamati husika huzingatia kama itatoa taarifa ya athari za kifedha.
32. na ambayo, Hoja yoyote isiyotokana na mapendekezo au taarifa ya Kamati ya Fedha, Utawala na Mipango kama ikikubaliwa,itaongeza matumizi au kupunguza mapato yaliyo chini ya usimamizi wa Kamati yoyote, au itasababisha matumizi ya Kamati ya Kudumu, baada ya kupendekezwa au bila kuungwa majadiliano mpaka Mkutano wa kawaida wa Halmashauri unaofuata, na Kamati yoyote inayohusika na hoja hiyo itafikiria iwapo ingependa kutoa taarifa kuhusu athari za kifedha za pendekezo hilo. itaahirishwa mkono, Kupokelewa kwa taarifa za Kamati - 33 Verify source ↗
Section 33
AI-assisted research summary: Ukitolewa taarifa ya Kamati kwenye Halmashauri, hoja ni ipokelewe; ikikubaliwa na wajumbe, itajadiliwa kipengele kwa kipengele na mapendekezo yanaweza kupigiwa kura moja moja kwa ombi la mjumbe yeyote.
33. (1) Taarifa ya Kamati inapowasilishwa kwenye Halmashauri, hoja itakuwa “kwamba taarifa ipokelewe”na baada ya kukubaliwa na Wajumbe taarifa itaanza kujadiliwa kipengele kimoja baada ya kingine (2) Mapendekezo yoyote yaliyomo katika taarifa hiyo yatapigiwa kura moja baada ya nyingine iwapo Mjumbe yeyote atapenda iwe hivyo. Baada ya hapo taarifa nzima itawasilishwa mbele ya Mkutano kwa kupokelewa ikiwa na au bila marekebisho. Kuidhinishwa kwa taarifa ya Kamati - 34 Verify source ↗
Section 34
AI-assisted research summary: The text appears to say that once a committee report is received, a further step is treated as referring to the Council, but the sentence is incomplete.
34. Taarifa ya Kamati inapokuwa imepokelewa na hatua itamaanisha Halmashauri kuwa 36 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Songwe Tangazo la Serikali Na. 1045 (Linaendelea.) Uhalali wa majadiliano ya Halmashauri - 35 Verify source ↗
Section 35
AI-assisted research summary: This section lets the council sit as a full council committee, delegate some powers to committees, and allows residents to attend in limited circumstances.
35. 36 Uwezo wa Halmashauri kujigeuza kuwa Kamati ya Halmashauri nzima 37 Hoja zinazohusu watumishi wa Halmashauri Kushiriki kwa Umma 38 iliyowasilisha zilizochukuliwa na Kamati taarifa hiyo zimeidhinisha na mapendekezo yaliyo kwenye taarifa yatatekelezwa na kwamba Mkurugenzi wa Halmashauri atakuwa ameelekezwa kama inavyotakiwa. Uhalali wa majadiliano kwenye Halmashauri hautaathiriwa na nafasi yoyote wazi ya Mjumbe, dosari zozote zilizo katika uchaguzi au uteuzi wa Wajumbe wa Kamati au zile za maafisa wake. Halmashauri inaweza kujigeuza kuwa Kamati ya Halmashauri nzima, na mara baada ya kujigeuza, taratibu za kuendesha vikao vya Kamati za Kudumu zitatumika. jambo litajitokeza Kama lolote katika mkutano wa Halmashauri linalohusu uteuzi, kupandishwa kazi, mishahara au mazingira ya kazi au utendaji kazi kwa jumla wa mtumishi yeyote wa Halmashauri, jambo hilo litajadiliwa katika Kamati ya Halmashauri nzima. kufukuzwa cheo, (1) Mtu yeyote ambaye ni mkazi katika eneo la Halmashauri anaweza kuhudhuria kikao cha Halmashauri kwa nia ya kuwasilisha hoja mbele ya Halmashauri, baada ya kutoa taarifa kwa maandishi na kwa Mkurugenzi, Mkurugenzi akamkubalia kufanya hivyo (2) Mtu yeyote ambaye ni mkazi katika eneo la Halmashauri anaweza kualikwa kuhudhuria kikao cha Kamati au Kamati Ndogo kabla uamuzi haujafanyika kuhusu masuala ambayo ana maoni mahsusi. 37 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Songwe Tangazo la Serikali Na. 1045 (Linaendelea.) Uahirishaji wa mikutano 39 (1) Kwa kuzingatia masharti ya Kanuni Ndogo ya (2) ya Kanuni 17 na Kanuni Ndogo ya 2 ya Kanuni haitaahirisha Mkutano wake hadi dondoo zote za agenda ya Mkutano huo zitakapojadiliwa na kutolewa uamuzi. hii, Halmashauri (2) Pale ambapo katika Mkutano wowote wa Halmashauri akidi haikutimia, Wajumbe waliopo wataahirisha Mkutano na utaratibu wa kuitisha Mkutano mwingine utafanyika kwa kuzingatia maelekezo ya Kanuni hizi. Kamati za Kudumu 40 (1) SEHEMU YA IV KAMATI Halmashauri katika Mkutano wake wa mwaka itateua Wajumbe wa Kamati za Kudumu zifuatazo ambazo zitakuwa na idadi ya (ukimwondoa Mwenyekiti wa Wajumbe isipokuwa katika Kamati ya Halmashauri kama na mipango) Fedha, Utawala inavyoonyesha kama au chini itakavyorekebishwa na Halmashauri mara kwa mara.Isipokuwa katika kuteua Wajumbe wa Kamati ya Fedha, Utawala na Mipango Mwenyekiti na Mkurugenzi watazingatia uwiano wa uwakilishi wa vyama vya siasa katika Halmashauri. hapa Kamati Idadi ya Wajumbe (a) Kamati ya Fedha ,Uongozi na Mipango (b)Kamati ya Elimu,Afya na Maji (c) Kamati ya Masuala ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira. (d)Kamati ya Maadili ya Madiwani (e)Kamati ya Kudhibiti Ukimwi 38 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Songwe Tangazo la Serikali Na. 1045 (Linaendelea.) (2) Kila Mjumbe wa Halmashauri atakuwa Mjumbe wa angalau Kamati moja ya Kudumu. Kamati ya Fedha, Utawala na mipango itakuwa na Wajumbe wafuatao- (a) Mwenyekiti wa Halmashauri ambaye atakuwa Mwenyekiti. (b) Makamu Mwenyekiti (c) Mbunge au Wabunge wa Majimbo wanaowakilisha Majimbo katika eneo la Halmashauri (d) Wenyeviti wa Kamati za Kudumu za Halmashauri (e) Wajumbe wengine wasiozidi wawili(2) watakaopendekezwa na Mwenyekiti na la kupigiwa Halmashauri mmoja kati yao awe mwanamke. na Baraza kura (3) (4) Halmashauri yenye Madiwani wasiozidi ishirini(20), Idadi ya wajumbe wa Kamati wa Fedha itakuwa kama ilivyoonyeshwa kwenye Kanuni ya 40(2) Bila kuathiri masharti ya Kanuni Ndogo ya (2) ya Kanuni hii, Halmashauri yenye idadi ya Madiwani wanaozidi ishirini (20) na wasiozidi thelathini na tano (35) Wajumbe wa Kamati ya Fedha watakuwa kama ilivyoonyeshwa kwenye Kanuni ya40(2) pamoja na wajumbe wengine wawili (2) watakaotokana na orodha itakayopendekezwa na kupigiwa kura na Baraza la Halmashauri mmoja kati yao awe mwanamke. na Mwenyekiti (5) Bila kuathiri masharti ya Kanuni Ndogo ya 39 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Songwe Tangazo la Serikali Na. 1045 (Linaendelea.) idadi (2),(3) na (4) ya Kanuni hii, Halmashauri yenye ya Madiwani wanaozidi thelathini na tano(35) Wajumbe wa Kamati ya Fedha watakuwa kama ilivyoonyeshwa kwenye Kanuni ya 40(2) pamoja na wajumbe wengine wanne(4) watakaotokana na orodha itakayopendekezwa na kupigiwa kura na Baraza la Halmashauri wawili kati yao wawe wanawake. na Mwenyekiti (6) Wajumbe wa Kamati za Kudumu watashika nyadhifa zao kwa muda wa mwaka mmoja na wataendelea kushika nyadhifa hizo mpaka Mkutano wa mwaka wa Halmashauri unaofuata. Wajumbe Isipokuwa waliochaguliwa kwenye Mkutano wa kwanza baada Uchaguzi Mkuu watashika nyadhifa zao kwa muda uliobaki kumaliza Mwaka wa Fedha ambapo Uchaguzi utafanyika tena. (7) (8) Halmashauri inaweza wakati wowote kuvunja na kuunda upya Kamati ya Kudumu iliyoteuliwa kwa mujibu wa Kanuni hii ya Kudumu, endapo kufanya hivyo kutakuwa ni kwa manufaa ya Halmashauri. Hakuna Halmashauri itakayounda Kamati ya Kudumu mpya zaidi ya Kamati zilizotajwa kwenye Kanuni ya 40(1) hapo juu, isipokuwa baada ya kuomba na kupata idhini ya maandishi kutoka kwa Waziri. (9) Maombi ya Halmashauri ya kuanzisha Kamati mpya ya Kudumu lazima yakidhi na yawe na maelezo yafuatayo; (a) Upekee wa majukumu yanayoombewa kuundwa kwa Kamati ya Kudumu mpya na majukumu hayo yawe hayawezi kutekelezwa na Kamati za zilizotajwa zilizopo na Kudumu kwenye Kanuni ya 40(1) hapo juu; 40 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Songwe Tangazo la Serikali Na. 1045 (Linaendelea.) (b) Gharama za uendeshaji wa Kamati hiyo kwa mwaka; (c) Kuundwa kwa Kamati ya Kudumu hiyo mpya ni hitajio la lazima na ni kipaumbele cha Halmashauri na jamii kwa ujumla. (10) Kamati yoyote itakayoundwa na Halmashauri itakuwa batili na idhini ya Waziri bila maamuzi yake yote yatakuwa batili. 41 Mwenyekiti wa Halmashauri kuwa Mjumbe wa Kamati zote Uwezo wa Kamati 42 Kamati za Pamoja 43 (1) Mwenyekiti wa Halmashauri atakuwa Mjumbe wa Kamati zote za Kudumu za Halmashauri. Kamati zote za Halmashauri zitawasilisha taarifa zao kwa Halmashauri, na hakuna hatua itakayochukuliwa kutekeleza uamuzi wowote wa Kamati yoyote mpaka hapo taarifa ya Kamati husika itakapokuwa imewasilishwa na kukubaliwa na Halmashauri, isipokuwa pale ambapo hatua ya imekasimiwa kwa Kamati. kuchukua idhini inaweza kukubaliana Halmashauri na Halmashauri nyingine kuteua Kamati ya pamoja kutokana na Wajumbe wao kwa madhumuni yoyote yale ambayo wana maslahi ya pamoja, na Halmashauri hizo zinaweza kukasimu kwa Kamati hiyo ya pamoja, kutegemea na masharti na mipaka inafaa, zitakazoweka kama watakavyoona madaraka ya Halmashauri zinazohusiana na madhumuni yaliyozifanya ziunde Kamati hiyo, isipokuwa shughuli zile ambazo Halmashauri haziruhusiwi kukasimu. kazi au 41 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Songwe Tangazo la Serikali Na. 1045 (Linaendelea.) (2) Muundo na muda wa kazi wa Wajumbe wake na mipaka ya eneo ambamo Kamati hiyo ya pamoja na Halmashauri zinazoiteua itapangwa itafanya kazi, (3) Kamati ya pamoja haitaingia katika gharama zozote zaidi ya zile ambazo zimeidhishwa na mamlaka iliyoteua Kamati hiyo. 44 (1) Kukasimu Madaraka kwenye Kamati Kufuatana na Kanuni Ndogo ya (2) ya Kanuni hii pamoja na masharti mengine ambayo Halmashauri inafaa, Halmashauri inaweza kukasimu kwa Kamati uwezo wa kutekeleza kazi yoyote kwa niaba yake. itaona (2) Halmashauri haitakasimu kwa Kamati yoyote uwezo wa: (a) kutunga Sheria Ndogo; (b) kuweka na kutoza kodi; (c) kuidhinisha makadirio ya mapato na matumizi ya Halmashauri; (d) kutoza ada na ushuru; (e) kuidhinisha mpango na bajeti ya Halmashauri; (f) kuingia mikataba mbalimbali ikiwa ni pamoja na mikataba ya kukopa; (g) kupitisha mpango wa utoaji huduma. Kazi za kila Kamati ya Kudumu ya Halmashauri ni kama zilivyoonyeshwa katika Jedwali la Kwanza la Kanuni za Kudumu hizi. inaweza kusitisha au Halmashauri kurekebisha uamuzi wa kukasimu madaraka lakini usitishaji au yoyote kwa Kamati, urekebishaji huo hautaathiri lolote jambo lililofanywa kutokana na uamuzi wowote uliochukuliwa kihalali na Kamati. (3) (4) (5) Shughuli yoyote iliyotekelezwa na Kamati kutokana na kukasimiwa kwa mujibu wa Kanuni hii itatambuliwa kuwa imefanywa au 42 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Songwe Tangazo la Serikali Na. 1045 (Linaendelea.) Kamati Ndogo 45 (1) kutekelezwa na Halmashauri. Kamati yoyote au Kamati ya pamoja inaweza kuteua Kamati Ndogo kutokana na Wajumbe wake kadri itakavyoona inafaa kwa ajili ya kuchunguza na kutoa taarifa kuhusu jambo lolote, lakini Kamati haitakasimu madaraka yake ya kiutendaji kwa Kamati Ndogo yoyote. (2) Idadi ya Wajumbe wa Kamati Ndogo pamoja na muda watakaotumikia vitaamuliwa na Kamati iliyoteua Kamati Ndogo hiyo. (3) Mwenyekiti wa Kamati atakuwa Mjumbe wa Kamati Ndogo yoyote kwa mujibu wa wadhifa wake isipokuwa kama atamfahamisha Mkurugenzi kwa maandishi kuwa hatakuwa Mjumbe wa Kamati hiyo. (4) Kila Kamati Ndogo inaweza kumteua mmoja wa Wajumbe wake kuwa Mwenyekiti wa Kamati Ndogo husika. Vikao vya Kamati 46 (1) Kikao cha kwanza wa Kamati kitaitishwa na Mkurugenzi ndani ya mwezi mmoja baada ya Kamati kuteuliwa na baada ya hapo kulingana na kama mikutano itakavyoidhinishwa na Halmashauri. ratiba ya (2) (3) Taarifa ya angalau saa ishirini na nne yenye ajenda za kikao itabidi kutolewa kwa Wajumbe kabla ya kikao cha Kamati. Idadi ya Kamati haitazidi idadi ambayo itawekwa na Waziri kutokana na uwezo aliopewa chini ya kifungu cha 75(3) cha Sheria. Mwenyekiti wa Kamati 47 (1) Katika kikao chake cha kwanza baada ya Mkutano wa mwaka wa Halmashauri na kabla ya kuendelea na shughuli yoyote nyingine, 43 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Songwe Tangazo la Serikali Na. 1045 (Linaendelea.) kila Kamati Kamati kwa mwaka unaohusika itamchagua Mwenyekiti wa (2) Mwenyekiti wa Kamati, isipokuwa Kamati ya Fedha Utawala na Mipango atachaguliwa kwa kura ya siri ya Wajumbe walio wengi kwa kupiga kura ya siri kwenye eneo la faragha litakalotengwa na Mkurugenzi kwa ajili hiyo. (3) Mwenyekiti wa Halmashauri atakuwa pia Mwenyekiti wa Kamati ya Fedha, Utawala na Mipango. (4) Kikao Maalum cha Kamati
Part
Jedwali la Kwanza la Kanuni za Kudumu hizi.
- 48 Verify source ↗
Section 48
AI-assisted research summary: If the committee chair position becomes vacant during the year, the Director must put a proposal to elect a chair for the remaining term first on the next ordinary meeting agenda. A special committee meeting must be called after two-thirds of members request it in writing and give reasons.
48. (1) Endapo nafasi ya Mwenyekiti wa Kamati itakuwa wazi katika kipindi cha mwaka taarifa kwa husika, Mkurugenzi atatoa Wajumbe wote wa Kamati kuwa katika kikao kijacho cha kawaida cha Kamati husika dondoo ya kumchagua Mwenyekiti wa Kamati kwa kipindi cha mwaka kilichosalia itakuwa ya kwanza katika ajenda. Kikao Maalum cha Kamati kitaitishwa baada ya theluthi mbili ya Wajumbe wa Kamati kuomba kwa maandishi kuwa kikao hicho kifanyike na kueleza sababu. (2) Taarifa ya kikao Maalum cha Kamati itaonyesha shughuli itakayofanyika katika kikao hicho na hakuna jambo jingine lolote litakalojadiliwa katika kikao hicho Ajenda za Kamati - 49 Verify source ↗
Section 49
AI-assisted research summary: Kamati member is entitled to have their motions placed on the committee agenda if they give at least 4 days’ notice before the meeting date.
49. Mjumbe wa Kamati atakuwa na haki ya hoja zake kuwekwa katika ajenda ya Kamati kama atatoa taarifa ya angalau siku nne(4) kabla ya tarehe ya kikao. Mahudhurio katika vikao vya Kamati - 50 Verify source ↗
Section 50
AI-assisted research summary: Wajumbe wa kamati na halmashauri wana mipaka ya kuhudhuria, kupiga kura, na kufichua mambo ya vikao; baadhi ya watu wanaweza kualikwa kuzungumza lakini si kupiga kura.
50. (1) Mjumbe wa Kamati ya Kudumu au Kamati Ndogo, ambaye ameshindwa kuhudhuria kikao cha Kamati Ndogo, hataruhusiwa kutuma mtu mwingine kumwakilisha kwenye 44 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Songwe Tangazo la Serikali Na. 1045 (Linaendelea.) kikao cha Kamati au Kamati Ndogo. (2) Mjumbe wa Halmashauri hatakuwa na haki ya kuhudhuria kikao chochote cha Kamati au Kamati Ndogo ambamo yeye si Mjumbe, isipokuwa kama Kamati au Kamati Ndogo inayohusika imemwalika kuhudhuria, na hata hivyo hatakuwa na haki ya kupiga kura au kudai posho kwa kuhudhuria kikao hicho cha Kamati au Kamati Ndogo. Mjumbe wa Halmashauri anayewasilisha hoja ambayo imepelekwa kwenye Kamati atapewa taarifa ya kikao cha Kamati ambamo hoja yake imepagwa kuzungumzwa na kama atahudhuria atapewa nafasi ya kuizungumzia. Mwenyekiti wa Kamati, Kamati ya pamoja au Kamati Ndogo baada ya kushauriana na Wajumbe wa Kamati, Kamati ya pamoja na Kamati Ndogo, anaweza kumwalika mtu yeyote kuhudhuria na kuzungumza kwenye kikao kuhusu suala lolote au kushiriki kwa namna yoyote kwenye kikao cha Kamati, lakini mtu huyo atakayealikwa hatakuwa na haki ya kupiga kura kwenye kikao hicho. 51 Mtoa hoja kualikwa kwenye kikao cha Kamati 52 Waalikwa wasiokuwa Wajumbe kuhudhuria na kushiriki katika vikao vya Kamati 53 54 (1) Mahudhurio ya umma na Vyombo vya Habari kwenye katika vikao vya Kamati na Kamati Ndogo Athari za nafasi wazi kwenye Kamati na azimio Majadiliano katika Kamati, Kamati ya pamoja au Kamati Ndogo hayatakuwa wazi kwa umma na vyombo vya habari, isipokuwa kwa la Halmashauri kutokana linaloruhusu kuwa umma na vyombo vya habari vihudhurie. Kunapotokea nafasi wazi kwenye Kamati, Kamati ya pamoja au Kamati Ndogo, Kamati itaendelea kutekeleza shughuli zake licha ya kuwepo kwa nafasi wazi hiyo au hizo au mpaka nafasi hiyo au hizo zitakapojazwa, kwa au uteuzi. Mjumbe njia ya uchaguzi atakayejaza nafasi hiyo atashika nafasi hiyo 45 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Songwe Tangazo la Serikali Na. 1045 (Linaendelea.) (2) kwa kipindi kilichosalia cha Mjumbe ambaye nafasi yake imekuwa wazi. Uhalali wa tendo lolote au maamuzi ya kikao chochote cha Kamati hautaathiriwa kutokana na hitilafu katika uteuzi wa Mjumbe aliyeshika nafasi hiyo au nafasi hiyo kuachwa wazi na Mjumbe, au Wajumbe au Mjumbe au Wajumbe kuamua kutoka kwenye kikao kwa lengo linalotaka la kukwamisha kutolewa maamuzi na Kamati hiyo. jambo kikao Endapo Wajumbe waliohudhuria hawatafikia akidi ya Kikao, Mkurugenzi ataahirisha Kikao hichona kukiitisha tena ndani ya siku saba (7) na endapo akidi haitatimia tena, idadi yoyote ya Wajumbe waliohudhuria itatengeneza akidi ya Kikao ambapo kikao hicho kitaendelea na itakuwa halali na Mkurugenzi atamjulisha Waziri kuwepo kwa hali hiyo. Akidi kwenye vikao vya Kamati 55 56 (1) Kanuni za Kudumu katika vikao vya Kamati Kanuni ya 16 ya Kanuni hizi za Kudumu itatumika, baada ya kufanya marekebisho yanayostahili, kwenye vikao vya Kamati za Halmashauri (2) Mjumbe anapozungumza katika kikao cha Kamati anaweza kuzungumza zaidi ya mara moja juu ya jambo linalojadiliwa. ameketi na atakuwa Upigaji kura kwenye vikao vya Kamati 57 Masuala yote yanayoletwa mbele ya Kamati yataamuliwa kwa wingi wa kura za Wajumbe waliohudhuria na kupiga kura kwenye kikao husika. Endapo kunatokea kura mlingano mtu anayeongoza kikao hicho atakuwa na kura ya turufu. Mihtasari ya Kamati 58 (1) Muhtasari wa kila Kamati, Kamati ya pamoja na Kamati Ndogo, utajumuisha majina ya 46 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Songwe Tangazo la Serikali Na. 1045 (Linaendelea.) aliyeongoza Wajumbe waliohudhuria na wasiohudhuria, na utasainiwa kwenye kikao kinachofuata na mtu na muhtasari uliosainiwa hivyo, kama hakuna ushahidi wa kuwa una makosa, utapokelewa kwa ushahidi bila uthibitisho zaidi. kikao (2) Hakuna hoja au mjadala utakaoendeshwa kuhusiana na muhtasari wa Kamati isipokuwa kuhusu usahihi wa suala lolote linalohusu usahihi litatolewa kwa hoja. ambapo lililowasilishwa suala Pale limeamuliwa kwa mujibu wa Kanuni ya 55, suala hilo halitaanza kujadiliwa upya katika kikao hicho cha Kamati isipokuwa kama hoja hiyo inaungwa mkono na theluthi mbili ya Wajumbe waliohudhuria na kupiga kura. Mjumbe wa Kamati au Kamati Ndogo hatatoa nje jambo lolote lililoletwa au kuzungumzwa kwenye Kamati au Kamati Ndogo bila ruhusa ya Kamati hiyo, au Kamati Ndogo mpaka hapo Kamati hiyo au Kamati Ndogo hiyo itakapokuwa kwenye Halmashauri au itakapokuwa imekamilisha utekelezaji wa jambo hilo. imetoa taarifa Kufikiriwa Upya Maamuzi 59 60 Kutunza siri za majadiliano ya Kamati na Kamati Ndogo 61 Kujiuzulu wadhifa wa Mwenyekiti wa Kamati Mwenyekiti wa Kamati anaweza kujiuzulu wadhifa wake kwa kutoa taarifa ya maandishi aliyoisaini na kutuma kwa Mkurugenzi. Kujiuzulu ujumbe wa Kamati na kujazwa kwa nafasi iliyowazi 62 (1) Mjumbe yeyote wa Kamati anaweza kujiuzulu wadhifa wake kwa kutoa taarifa ya maandishi aliyoisaini na kuituma kwa Mkurugenzi. 47 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Songwe Tangazo la Serikali Na. 1045 (Linaendelea.) (3) Nafasi inayotokana na kujiuzulu kwa Mjumbe itajazwa na Halmashauri katika kikao chake cha kawaida baada ya tarehe ya kujiuzulu kwa Mjumbe. SEHEMU YA V Taratibu za uagizaji Sura ya 290 63 (1) UNUNUZI WA VIFAA, UPATIKANAJI WA HUDUMA NA UJENZI Uagizaji wa mali, huduma na ujenzi katika Halmashauri utazingatia Kanuni za Manunuzi zilizotungwa chini ya kifungu cha 68 cha Sheria za Fedha za Serikali za Mitaa,Sura ya 290 na Sheria ya Manunuzi ya mwaka 2011 pamoja na marekebisho yake ya mwaka 2016. (2) Kutakuwepo na Bodi ya Zabuni ambayo imeanzishwa kwa mujibu wa Kanuni za Bodi ya Zabuni (Uanzishwaji na Mwenendo) za Serikali za Mitaa na ambayo itasimamia shughuli zote za uagizaji katika Halmashauri. (3) Muhtasari wa Bodi ya Zabuni utapaswa kuwasilishwa kwenye kikao kifuatacho cha Halmashauri baada ya muhtasari huo kujadiliwa na kupitishwa kwanza na Kamati ya Fedha na Utawala. 64 Kumbukumbu za majadiliano yanayohusu uagizaji Bodi ya zabuni ya Halmashauri itaweka kumbukumbu ya majadiliano yanayohusu taratibu za ununuzi zikiwa na angalau taarifa zifuatazo:- (a) Maelezo mafupi kuhusu vitu, ujenzi au huduma zinazotarajiwa kutolewa na haja iliyosababisha Bodi kuitisha zabuni; (b) Majina na anuani ya wazabuni waliowasilisha zabuni, maelezo kuhusu sifa au ukosefu wa sifa za 48 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Songwe Tangazo la Serikali Na. 1045 (Linaendelea.) wazabuni waliowasilisha zabuni zao; (c) Bei au msingi wa upangaji wa bei na muhtasari wa masharti mengine muhimu ya kila zabuni na ya kila mkataba wa uagizaji wa mali, huduma na ujenzi; (d) Muhtasari wa tathmini na mlinganisho wa zabuni pamoja na upendeleo uliokuwepo katika tathmini hiyo; (e) Kama zabuni zilikataliwa, tamko kuhusu uamuzi huo na sababu za uamuzi huo; (f) Kama utaratibu mwingine wa kupata vitu au huduma mbalimbali ya utaratibu wa zabuni ndio uliotumika, basi tamko kuhusu sababu zilizoifanya Bodi iamue kutumia utaratibu huo mwingine; (g) Kama zabuni ilikataliwa kwa kuwa mzabuni alitoa, alikubali kutoa moja kwa moja au kwa njia isiyo ya moja kwa moja, kwa mtumishi wa sasa au wa zamani wa Halmashauri, bakshishi ya aina yoyote, ahadi ya kumwajiri au kitu chochote kinachohusiana na ajira au chenye thamani, kama hamasisho kwa utendaji au uamuzi au utaratibu wa kutumia, tamko kuhusu jambo hilo; (h) Katika upataji wa huduma, sababu na kuchagua iliyoifanya Bodi hali utaratibu wa kutumia katika upataji huo wa huduma. (i) Katika upataji wa vitu au huduma kudhibiti imeamua ambao Bodi 49 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Songwe Tangazo la Serikali Na. 1045 (Linaendelea.) ushiriki kwa misingi ya Taifa, Mkoa au Wilaya, tamko kuhusu sababu na hali iliyofanya Bodi kudhibiti ushiriki huo. (j) Katika upataji wa vifaa na huduma kwa kutoa kuwaomba watoaji mapendekezo yao moja kwa moja tamko la sababu na hali iliyofanya Bodi kuamua kutumia utaratibu huo; na (k) Muhtasari wa maombi yoyote ya ufafanuzi kuhusu mchujo wa zabuni au nyaraka na majibu zabuni yaliyotolewa pamoja na muhtasari wa marekebisho yoyote yaliyofanywa katika nyaraka hizo. za Sehemu ya kumbukumbu zilizotajwa kwenye Kanuni Ndogo ya (1) (a) na (b) ya Kanuni hii zitatolewa, kama zikiombwa, kwa mtu yeyote baada ya zabuni kutangazwa, kufunguliwa na kukubaliwa, au baada ya kusimamishwa kwa taratibu za uagizaji bila ya kuingia katika mkataba wa uagizaji. Sehemu ya kumbukumbu zilizoelekezwa katika Kanuni Ndogo ya (1) (c) hadi (g) ya Kanuni hii kama itaombwa, itatolewa kwa wazabuni waliowasilisha zabauni baada ya zabuni kukubaliwa au baada ya kusitishwa bila ya kuingia kwenye mkataba wa utoaji wa vitu au huduma itaelekezwa hivyo na Isipokuwa kama mahakama yenye mamlaka na kutegemeana na masharti ya maelekezo hayo, Bodi haitatoa habari: (a) kama utoaji huo wa habari utakuwa 50 (2) (3) (4) Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Songwe Tangazo la Serikali Na. 1045 (Linaendelea.) cha Sheria, utazuia kinyume utekelezaji wa Sheria; hautakuwa na maslahi kwa umma, utahatarisha maslahi halali ya kibiashara ya wahusika au utazuia ushindani halali; na (b) habari zinazohusu uchambuzi, tathmini na ulinganisho wa zabuni pamoja na bei mbali ya muhtasari ulioelezwa kwenye Kanuni Ndogo ya (1) (e) ya Kanuni hizi. (5) Mara baada ya zabuni kujadiliwa na Bodi, Katibu atamjulisha Mzabuni aliyefanikiwa ili makubaliano ya nyaraka za mkataba yaweze kufikiwa. (6) (7) (8) Nakala za muhtasari zitapelekwa kwa siri kwa kila Mjumbe wa Bodi, Mkurugenzi, Mweka Hazina, Mkaguzi wa Ndani na Mkuu wa Idara husika kwa taarifa na kumbukumbu. hakufanikiwa Kila mzabuni atajulishwa za sababu na kutokubaliwa kwa zabuni yake atapaswa kupewa sababu. ambaye akiomba itaandaa Bodi ya Zabuni kwa kuzingatia masharti ya taarifa ya Kanuni za uagizaji mwenendo zabuni kwenye zilizoitishwa Mkutano wa kawaida wa Halmashauri kupitia Kamati ya Kudumu husika. ya kuwasilishwa na maamuzi na Uzuiaji wa Rushwa 65 Katika mkataba wowote wa kimaandishi, yatawekwa maneno ambayo yataonyesha kuwa Halmashauri itakuwa na haki kusitisha mkataba na kumdai Mkandarasi malipo ya fidia kutokana na kusimamishwa kwa mkataba huo endapo Mkandarasi atabainika 51 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Songwe Tangazo la Serikali Na. 1045 (Linaendelea.) ametoa, au kuwa ameahidi kutoa au amekubali kutoa kwa mtu yeyote zawadi yoyote au upendeleo wa aina yoyote kama kishawishi au zawadi kwa kufanya au kumpendelea au kutomkubali mtu yeyote kuhusiana na mkataba na Halmashauri au kama vitendo hivyo vitakuwa vimefanywa na mtumishi yeyote aliyeajiriwa naye au kwa niaba yake iwe Mkandarasi anafahamu au hafahamu atakuwa ametenda kosa chini ya Sheria ya Kuzuia na Kudhibiti Rushwa ya mwaka 2007. Usimamizi wa Mikataba 66 (1) Mkurugenzi wa Halmashauri atawajibika katika usimamiaji na ufuatiliaji mzuri wa Mikataba. (2) Mkataba wa upataji vitu hautabadilishwa kwa namna yoyote ile baada ya kutiwa saini na kama pande mabadiliko hayo ni:- faida ya Halmashauri zinazohusika isipokuwa (a) kwa na hayailetei hasara Halmashauri; (b) yamethibitishwa na Bodi ya zabuni ya Halmashauri; na (c) Upande mwingine unaafiki. (3) Malipo ya mwisho hayatafanywa mpaka mkataba mzima utakapokuwa umekamilika kutokana na kuridhika kwa Halmashauri na kulingana vya mkataba vipengele unaohusika. na (4) Malipo ya fedha za salio hayatalipwa mpaka upite muda wa miezi sita na kazi iwe haina kasoro. Uvunjaji wa Mkataba 67 lakiri au Pale ambapo mkataba uliotiwa muhuri na Halmashauri haukufuatwa na 52 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Songwe Tangazo la Serikali Na. 1045 (Linaendelea.) atashauriana mkandarasi au mtoa huduma, ikiwa ni pamoja na ucheleweshaji usiokuwa wa kimsingi, Mkurugenzi mapema iwezekanavyo na Kamati ya Fedha, Uongozi taratibu na Mpango zilizowekwa kwenye mkataba, kuamua hatua muafaka za kuchukua na kumfahamisha Mkandarasi au mtoa huduma juu ya uamuzi. kuzingatia kwa Rejesta ya Mikataba 68 (1) Mkurugenzi atatunza maelezo yote ya mikataba kwenye rejesta ya mikataba na atafanya ulinganifu wa malipo halisi na yale yaliyoidhinishwa. (2) Taarifa ya matumizi yote ya ziada lazima ya Zabuni kwenye Bodi yapelekwe yakiambatana na maelezo kutoka kwa Mkurugenzi. 69 (1) Diwani au Afisa kutokuwa na maslahi katika Mikataba Endapo Diwani au Afisa wa Halmashauri ana maslahi ya kifedha ya moja kwa moja au vinginevyo katika mkataba wowote, mkataba unaopendekezwa au jambo lolote, na yupo kwenye Mkutano wa Halmashauri au Kamati au mkataba ambapo mkataba unaopendekezwa au lolote lingine linajadiliwa, atatangaza jambo hilo mara Mkutano utakapokuwa umeanza na hatashiriki wala kuwepo katika majadiliano au kupiga kura kuhusu jambo linalohusu mkataba au mkataba unaopendekezwa au jambo lingine lolote ambalo ana maslahi nalo. huo, jambo (2) Kanuni hii haitatumika kuhusiana na maslahi katika mkataba au suala lingine ambalo Mjumbe au Afisa wa Halmashauri ana maslahi nalo kama mlipa kodi au mkazi katika eneo lililo katika himaya ya Halmashauri (3) Diwani atahesabika kuwa na maslahi ya moja kwa moja katika mkataba au jambo jingine 53 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Songwe Tangazo la Serikali Na. 1045 (Linaendelea.) endapo: (a) yeye au mtu aliyemchagua ni Mjumbe wa kampuni au chombo kingine au anayo hati ya hisa katika kampuni ambayo itaingia, au imependekezwa iingie katika mkataba, au anao uhusiano wa kifedha katika jambo linalojadiliwa; au (b) yeye ni mbia au ameajiriwa na mtu ambaye mkataba unafanywa naye, au utakuwa chini yake, au anao uhusiano wa kifedha wa moja kwa moja katika suala linalojadiliwa au kuzungumzwa. Katika Kanuni hii maslahi ya moja kwa moja na yasiyo ya moja kwa moja ya mwanandoa au ndugu wa familia kama inafahamika kwa Mjumbe wa Halmashauri itachukuliwa kuwa ni maslahi ya moja kwa moja au yasiyo ya moja kwa moja. ya jumla itakayotolewa kwa Taarifa Mkurugenzi na Diwani au Afisa wa Halmashauri kuhusiana na yeye, mkewe, mumewe au ndugu yake kwamba ana maslahi ya moja kwa moja au yasiyo ya moja kwa moja katika mkataba unaokusudiwa au jambo lingine na aina ya maslahi itachukuliwa, isipokuwa pale atakapoondoa taarifa hiyo, kuwa ametoa taarifa ya kutosha ya maslahi yake kuhusiana na suala ambalo limo katika mjadala. akieleza (4) (5) (6) Mkurugezi rejista ya ataandika katika kutangaza maslahi taarifa za watu wenye maslahi waliotoa taarifa chini ya Kanuni Ndogo ya (1) na taarifa yoyote iliyomo katika Kanuni Ndogo ya (5) itakuwa wazi kwa 54 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Songwe Tangazo la Serikali Na. 1045 (Linaendelea.) (7) (8) (9) ukaguzi wakati wa saa za kazi. Halmashauri inaweza baada ya kupata kibali cha Waziri, kuondoa kizuizi chini ya Kanuni hii kinachoifanya ishindwe wakati wowote kufanya Mkutano pale ambapo idadi ya Wajumbe wenye maslahi ni kubwa mno kiasi cha kukwamisha shughuli za Halmashauri au itakuwa ni kwa maslahi ya wakazi wa Halmashauri kuondoa kikwazo hicho. Katika Kanuni za Kudumu hizi, ndugu wa familia itachukuliwa kuwa ni pamoja na baba, mama, mtoto, kaka, au dada na wanandoa wao. Diwani au mtu yeyote atakayekiuka vipengele vya Kanuni hizi atakuwa ametenda kosa chini ya kifungu cha 120(4) cha Sheria za Serikali za Mitaa(Mamlaka za Wilaya) Sura ya 287 Toleo la 2002 na atachukuliwa hatua kwa mujibu wa kifungu cha 96 cha Sheria ya Kanuni za adhabu Sura ya 16 Toleo la 2002 SEHEMU YA VI MASUALA MENGINE Kiapo na kukubali Wadhifa 70 Kila Diwani kabla ya kushika wadhifa wake kama Diwani na kabla ya Mkutano wa kwanza wa Halmashauri:- (a) atakula kiapo kama kilivyoonyeshwa kwenye Jedwali la Pili la Kanuni hizi za Kudumu kitakachosimamiwa na Hakimu Mkazi au Hakimu wa Wilaya; na (b) atatoa tamko lililoandikwa 55 la kimaandishi kwa Mkurugenzi Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Songwe Tangazo la Serikali Na. 1045 (Linaendelea.) jambo kutekeleza akiahidi linalohusiana na tamko la maslahi katika shughuli za kibiashara, mali, na kadhalika na kuzifuata Kanuni za kama ya Madiwani, Maadili ilivyoelekezwa kwenye Jedwali la Tatu la Kanuni hizi. 71 (1) Diwani atakuwa na majukumu yafuatayo:- (a) kuwa karibu na wapiga kura na kupata ushauri wa Wananchi katika mambo yanayotarajiwa kujadiliwa kwenye Halmashauri. (b) kutoa maoni na mapendekezo ya wananchi kwa Halmashauri; (c) kuhudhuria mikutano ya Halmashauri na ya Kamati au Kamati Ndogo ambamo yeye ni Mjumbe; (d) kutenga angalau siku moja kila mwezi kukutana na wananchi katika eneo lake la uchaguzi; (e) kutoa taarifa kwa wapiga kura kuhusu maamuzi ya jumla ya Halmashauri na hatua zilizochukuliwa na Halmashauri kuondoa yaliyowahi matatizo kuelezwa na wakazi wa eneo lake la uchaguzi; (f) kuchangia ujuzi na uzoefu wake katika katika majadiliano mikutano ya Halmashauri na Kamati za Halmashauri; na yanayofanyika (g) kushiriki katika shughuli za pamoja za la eneo lake maendeleo katika 56 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Songwe Tangazo la Serikali Na. 1045 (Linaendelea.) uchaguzi na katika eneo zima Halmashauri la (h) Bila kuathiri masharti ya kanuni ya 71(1) (a), (b) na (c) Diwani Viti Maalumu atakuwa mjumbe wa Kamati ya Maendeleo ya Kata na kuhudhuria kisheria vikao vyote kata vitakavyofanyika anakoishi. vya kwenye (2) Katika kutekeleza wajibu wake Diwani atazingatia; (a) Maslahi ya Taifa na maslahi ya la katika eneo Wananchi Halmashauri; (b) Katiba, Sheria na Kanuni; (c) Kanuni za Maadili ya Madiwani, Mwongozo juu ya mahusiano ya Madiwani na Watumishi na miiko mingine. Nafasi Wazi 72 (1) Kiti cha Mjumbe wa Halmashauri kitakuwa wazi endapo Mjumbe: (a) (b) (c) (d) (e) amefariki anakubali ajira kama mtumishi wa Halmashauri; kwa mujibu wa Sheria, yoyote atakayethibitishwa la madakitari wa Serikali kuwa hana akili timamu yuko chini ya hukumu ya kifo au kifungo kinachozidi miezi sita kilichotolewa kwake na mahakama; kwa mujibu wa Sheria yoyote jopo na 57 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Songwe Tangazo la Serikali Na. 1045 (Linaendelea.) (f) (g) (h) (i) (j) (k) (l) (m) anatamkwa kuwa anapoteza sifa za kuendelea kuwa Mjumbe; atakoma kuwa mwanachama wa chama cha siasa kilichompendekeza kuwa mgombea wa kiti cha udiwani; anapokuwa amepatikana na kosa kutokana na Kanuni za Maadili ya Madiwani na adhabu ya kosa alilotenda ni pamoja na kumwondoa Mjumbe madarakani; na anapoteza ujumbe kwa mujibu wa Kanuni ya 71 (2) ya Kanuni hizi za Kudumu; anahukumiwa kwa kosa la kutotaja maslahi yake. amejiuzulu kutoka kiti chake; Halmashauri imevunjwa na kuathiri mipaka ya majimbo ya uchaguzi. uchaguzi wa Mjumbe umetangazwa kuwa batili; au bila sababu ya kuridhisha au bila idhini au kibali cha maandishi cha Mwenyekiti, Mjumbe anakosa kuhudhuria mikutano mitatu ya kawaida ya Halmashauri au vikao vitatu vya Kamati ambamo yeye ni Mjumbe isipokuwa kamati ya Fedha, Utawala na Mipango inayokutana kila mwezi, asipohudhuria vikao vyote vya robo mwaka tatu. inayofuatana (2) Waziri atatangaza kiti kuwa wazi pale atakapojulishwa wa Halmashauri kwa maandishi kwamba kiti kiko wazi kwa kuzingatia masharti ya kifungu cha na Mwenyekiti 58 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Songwe Tangazo la Serikali Na. 1045 (Linaendelea.) 42 (1) cha Sheria ya Serikali za Mitaa (Mamlaka za Wilaya) Sura ya 287. Kutokuwepo kwa Wajumbe 73 (1) (2) Taratibu za kutunga Sheria Ndogo 74 (1) kutoa yaweza Halmashauri ya kutokuwepo katika mikutano yake kwa muda usiozidi miezi kumi kwa Mjumbe yeyote anayetaka kwenda nje ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. idhini Pale ambapo Mjumbe kwa sababu yoyote ile amekuwa nje ya nchi kwa muda unaozidi miezi kumi kiti udiwani kitachukuliwa kuwa kipo wazi. chake cha ambayo Pale ambapo Halmashauri inakusudia kutunga Sheria Ndogo itatoa tangazo kwa wakazi wa eneo husika kuhusu kusudio hilo katika namna kuwa watakaoathirika Ndogo na inayokusudiwa kutungwa wanafahamu vilivyo na kuwaomba wanaopenda kutoa pingamizi lolote au mapendekezo yao kwa maandishi katika muda uliowekwa. itahakikisha Sheria (2) (3) Pale ambapo baada ya muda wa taarifa kumalizika hakuna pingamizi au malalamiko yaliyowasilishwa, au hakuna mtu yeyote aliyetoa pingamizi inayokubalika mbele ya Halmashauri, Halmashauri itaendelea kutunga Sheria Ndogo ikizingatia malalamiko na pingamizi zilizotolewa Sheria Ndogo, zikishatungwa na Halmashauri zitapelekwa kwa Mkuu wa Mkoa ambamo Halmashauri husika imo ili aweze kuzitolea maoni yake na kisha kuziwasilisha kwa Waziri. (4) Waziri anaweza kuidhinisha, kukubali au kukataa kuidhinisha Sheria Ndogo au kutoa au 59 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Songwe Tangazo la Serikali Na. 1045 (Linaendelea.) kusimamisha kibali chake kwa kutoa masharti atakayoyaeleza na anaweza baada ya kutoa idhini yake, kupanga tarehe ya kuanza kutumika kwa Sheria Ndogo hizo. athari zenye (5) Waziri anaweza, kabla ya kuidhinisha Sheria Ndogo kwenye maeneo yaliyotengwa au maeneo Maalum au kwa Sheria nyingine yoyote, kushauriana na Waziri anayehusika na Sheria husika au na jambo lililotungiwa Sheria Ndogo kadri itakavyokuwa. Ukaguzi wa Nyaraka 75 (6) Sheria Ndogo na yoyote Halmashauri lazima itangazwe katika Gazeti la Serikali kabla ya kuanza kutumika. iliyotungwa (1) Mjumbe ataweza, kwa madhumuni ya kutekeleza wajibu wake kama Mjumbe, na si vinginevyo, kukagua au kupewa akiomba waraka wowote ambao umejadiliwa na Kamati ya Halmashauri na kama nakala zinapatikana, anaweza kupewa, akiomba nakala kwa madhumuni hayo hayo. (2) Mjumbe hatakagua kwa makusudi au kutaka apewe nakala ya waraka wowote unaohusu jambo ambalo yeye ana maslahi nalo kwa mujibu wa Sheria ya Serikali za Mitaa (Mamlaka za Wilaya), Sura ya 287. Hata hivyo Kanuni hii haitamzuia Mkurugenzi kuzuia kukaguliwa kwa waraka wowote ambao umezuiliwa kutolewa kwa mujibu wa Sheria yoyote au Kanuni zilizotungwa chini ya Sheria hizo. Uanzishaji wa Bodi za Huduma 76 (1) Halmashauri inaweza, kwa mujibu wa kifungu 88 cha Sheria ya Serikali za Mitaa (Mamlaka za Wilaya), Sura ya 287 kwa madhumuni ya kutekeleza kazi zake katika eneo lililo chini ya mamlaka yake, kuunda Bodi za Huduma kwa 60 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Songwe Tangazo la Serikali Na. 1045 (Linaendelea.) (2) Hati Rasmi iliyotangazwa kwenye Gazeti la Serikali, kama itakavyoona inafaa kufanya hivyo. Bodi ya Huduma iliyotajwa katika Kanuni Ndogo ya (1) ya Kanuni hizi itawajibika moja kwa moja kwenye Halmashauri kupitia Kamati ya Kudumu husika na itatekeleza kazi zake kama ilivyofafanuliwa katika hati inayoianzisha 77 Diwani kutembelea maeneo,shugh uli mbalimbali za ujenzi n.k (1) Mjumbe wa Halmashauri anaweza kutembelea eneo, jengo au shughuli za ujenzi zinazotekelezwa nje ya Kata yake na kabla ya kutembelea mradi atutuma taarifa kwa Mkurugenzi akieleza sababu za matembezi yake ili aweze kupangiwa Wataalam wa mradi au shughuli husika kwa ajili kupata maelekezo ya kitaalam. (2) Mjumbe wa Halmashauri anapotembelea shughuli ya maendeleo au miradi inayotekelezwa na Halmashauri hataruhusiwa kutoa maelekezo au maagizo ya kitaalam awapo kwenye eneo la mradi. (3) (4) Baada ya Diwani kutembelea maeneo au majengo kama ilivyoainishwa kwenye Kanuni Ndogo ya (1) ya Kanuni hii anaona kuna umuhimu wa kutoa maoni au mang’amuzi yake juu ya matembezi hayo atafanya hivyo kwa kuwasilisha maoni au mang’amuzi yake kwa Mkurugenzi ambaye atafanyia kazi au kuyapeleka kwa afisa anayesimamia kazi husika kwa utekelezaji. Endapo maoni au mang’amuzi ya Diwani hayawezi kufanyiwa kazi na Mkurugenzi au Afisa mhusika, basi atamshauri Diwani kupeleka maoni na mang’amuzi yake kwa Kamati inayohusika ili yachunguzwe zaidi na kuamuliwa 61 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Songwe Tangazo la Serikali Na. 1045 (Linaendelea.) (5) Kamati za Kudumu za Halmashauri, zinaweza kutembelea mara moja kila robo mwaka miradi ya maendeleo au shughuli yoyote inayotekelezwa na au kwa niaba ya Halmashauri na ambayo inaihusu Kamati husika ili mradi katika kutembelea miradi hiyo Kamati itaongozana na Wataalam wa mradi au shughuli husika ili kupata maelekezo ya kitaalam. (6) Kamati ya Kudumu itatembelea miradi au shughuli za maendeleo kabla ya kikao cha Kamati ambacho kitajadili mradi au shughuli hiyo. Uhifadhi wa lakiri ya Halmashauri 78 Lakiri ya Halmashauri itatunzwa kwa usalama na kufungiwa katika kasiki kwenye Ofisi ya Mkurugenzi mwenyewe, Utiaji muhuri kwenye Nyaraka 79 (1) (2) kwa ubandikaji kukubaliwa yoyote mpaka Lakiri ya Halmashauri haitabandikwa katika huo hati umeidhinishwa na azimio la Halmashauri likiidhinisha zabuni, ununuzi, uuzaji au upangishaji au kuchukua mali yoyote, utoaji wa hati yoyote ya ukopeshaji fedha, uwasilishaji wa madai yoyote, uwekaji wa viwango vya kodi, uingiaji kwenye mkataba, kutunga Sheria Ndogo, au hati yotote iliyo rasmi ambayo kwa mujibu wa Sheria au Kanuni yoyote inahitaji kuwekwa lakiri ya Halmashauri. itashuhudiwa au kuthibitishwa na Lakiri Mwenyekiti au Makamu Mwenyekiti na Mkurugenzi, na hati zilizowekwa lakiri zitasainiwa na Mwenyekiti au Makamu Mwenyekiti, kama hali itakavyokuwa. Uandikishaji wa anuani 80 (1) Itakuwa wajibu wa kila Mjumbe katika kikao cha kwanza cha Halmashauri, baada ya uchaguzi kutoa taarifa ya maandishi kwa Mkurugenzi juu ya anuani yake ya Kudumu 62 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Songwe Tangazo la Serikali Na. 1045 (Linaendelea.) kutumia ya kupokelea taarifa. Taarifa zilizopelekwa iliyoandikishwa kwa anuani itachukuliwa na sahihi inatosheleza kwa matumizi yote. ndiyo kama (2) iwe Iwapo Mjumbe atatoa taarifa ya maandishi kwa Mkurugenzi kuwa angependa taarifa ya mikutano ya Halmashauri inatumwa kwake kwa kutumia anuani atakayoitaja kwenye taarifa hiyo ambayo ni tofauti na ile katika Kanuni Ndogo ya (1), taarifa yoyote itakayoachwa au itakayotumwa kwa njia ya posta kwa kutumia anwani hiyo itachukuliwa kuwa inatosha kwa ajili ya kutoa taarifa inayotakiwa kwa mujibu wa Kanuni za Kudumu hizi. 81 (1) Uteuzi wa Wajumbe kwenye Taasisi za nje kwanza, Katika Mkutano wake wa Halmashauri itateua wawakilishi wake kwenye Bodi na Taasisi za nje ambazo Halmashauri inastahili kuwakilishwa. (2) Mjumbe au Wajumbe, wanaoiwakilisha Halmashauri kwenye Bodi na Taasisi za nje, watatakiwa kuwasilisha kwa Mkurugenzi taarifa kuhusu shughuli za Bodi au Taasisi zinazogusa sera na maslahi ya Halmashauri na wakazi wake kijumla na Mkurugenzi atachukua hatua zifaazo. Kumwondoa Mwenyekiti madarakani 82 (1) Halmashauri inaweza kumwondoa azimio Mwenyekiti madarakani linaloungwa mkono na theluthi mbili ya Wajumbe kutokana na sababu yoyote kati ya sababu zifuatazo:- kwa (a) kutumia nafasi yake vibaya; (b) kushiriki katika vitendo vya rushwa; 63 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Songwe Tangazo la Serikali Na. 1045 (Linaendelea.) (c) kushindwa kutekeleza majukumu yake (d) mwenendo mbaya au ukosefu wa adabu; au (e) cha Ulemavu wa kimwili au kiakili kwa kiasi kushindwa kumfanya kutekeleza majukumu yake kama Mwenyekiti. (2) Hoja au sababu zitakazotolewa lazima iwe imetimiza masharti yafuatayo: (i) Iwe na tuhuma mahsusi yenye ushahidi wa kutosha; na (ii) Iwe imetolewa maelezo kamili na yenye kueleweka kuhusu tuhuma zinazohusika. (3) Kwa madhumuni ya kumwondoa Mwenyekiti madarakani, kwa sababu zozote zilizotamkwa chini ya Kanuni Ndogo ya (1) ya Kanuni hii, Halmashauri itatumia taratibu zilizotolewa katika Taratibu za Kumwondoa Mwenyekiti zilizotangazwa na Waziri kwenye gazeti la Serikali kwa mujibu wa Sheria. SEHEMU YA VII POSHO KWA WAJUMBE Aina za Posho 83 (1) Wajumbe wa Halmashauri watalipwa posho itakavyopendekezwa na mbalimbali kama Halmashauri na kuidhinishwa na Waziri. (2) Posho zitakazolipwa kwa Wajumbe wa Halmashauri zitakuwa za aina zifuatazo: 64 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Songwe Tangazo la Serikali Na. 1045 (Linaendelea.) Posho endapo Mkutano umehairishwa 84 (a) posho ya usafiri; (b) posho ya kuhudhuria kikao; (c) posho ya madaraka; (d) posho ya kujikimu; (e) posho ya mwezi; na (f) Kiinua mgongo. (4) Endapo Mjumbe wa Halmashauri ataugua au ataumia wakati akifanya kazi aliyotumwa na Halmashauri, gharama za matibabu yake zitalipwa na Halmashauri. Endapo Mkutano wa Halmashauri au kikao cha Kamati utaahirishwa kwa sababu ya kukosekana kwa akidi, Mjumbe au Wajumbe waliofika kwa ajili ya kuhudhuria Mkutano huo ulioahirishwa watastahili malipo yaliyotajwa katika Kanuni ya 81(2) (a) na (d) iwapo wamelazimika, bila kukusudia, kulala au kwenye makao makuu ya njiani Halmashauri. Hakuna malipo ya posho ya kuhudhuria kikao yatakayofanywa katika hali ya namna hiyo. SEHEMU YA VIII MABADILIKO KWENYE KANUNI ZA KUDUMU 85 (1) Kusitisha utumiaji wa Kanuni za Kudumu Kanuni yoyote inaweza kusitishwa kwa azimio lililoungwa mkono na theluthi mbili za Wajumbe waliohudhuria Mkutano wa Halmashauri kwa hoja iliyopendekezwa bila taarifa kwa madhumuni ya kuwezesha ili shughuli iliyofafanuliwa yoyote 65 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Songwe Tangazo la Serikali Na. 1045 (Linaendelea.) 86 Marekebisho na mabadiliko ya Kanuni za Kudumu Kanuni za Kudumu kutolewa kwa Wajumbe Kutafsiri Kanuni za Kudumu 87 88 Ziara za Wajumbe 89 ishughulikiwe na Halmashauri kama jambo la dharura au lenye manufaa (2) Halmashauri haitasitisha matumizi ya Kanuni yoyote kama kusitisha huko kutasababisha kufanya jambo ambalo limezuiliwa na Sheria au kutofanya jambo linalotakiwa kufanywa chini ya Sheria yoyote. Halmashauri inaweza kubadilisha, kuongeza, kurekebisha au kutengua Kanuni hizi za Kudumu kwa azimio lililoungwa mkono kwa wingi usiopungua theluthi mbili ya kura na baada ya kupata idhini ya Waziri. Nakala iliyochapishwa ya Kanuni za Kudumu hizi zitatolewa na Mkurugenzi kwa kila Mjumbe. Uamuzi wa Mwenyekiti kuhusu maana ya matumizi ya Kanuni hizi au mwenendo wa Mkutano wa Halmashauri hautapingwa wakati wa Mkutano wowote wa Halmashauri SEHEMU YA IX ZIARA ZA WAJUMBE (1) Wajumbe wa Halmashauri wanaweza kwenda ziara mbalimbali za mafunzo ili mradi ziara hizo ziwe zimeainishwa kwenye mpango na bajeti ya Halmashauri. Isipokuwa kwa ziara ambazo gharama zake hazihusiani na bajeti ya Halmashauri Wajumbe watafanya ziara hizo kwa mujibu wa ratiba ya mpango huo. (2) Bila kuathiri masharti ya Kanuni Ndogo ya (1) ya Kanuni hizi Halmashauri kabla ya kuruhusu kufanyika kwa ziara itahakikisha kwamba: (a) shughuli ya ziara hiyo inafanana na 66 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Songwe Tangazo la Serikali Na. 1045 (Linaendelea.) zinazofanywa shughuli Halmashauri; ziara hiyo itafanyika baada ya kupata kibali cha Mkuu wa Mkoa; na (b) (d) (c) Wajumbe wana kitu cha kwenda wanakokwenda kule kuonyesha kujifunza; ziara zinazofanyika nje ya Mkoa zihusishe wadau mbalimbali wa Halmashauri kutegemeana na ziara husika; (e) ziara iwe na matunda yanayoonekana; (f) Wajumbe walioshiriki kwenye ziara warejeapo wanatakiwa kuandaa na kuwasilisha ripoti ya maandishi kwa Halmashauri kuhusu mambo mapya na ya msingi waliyojifunza na kuweka utaratibu mzuri wa kuyatekeleza kwenye Kata kwenye zao Halmashauri; na (g) ziara zitafanywa kwa kuzingatia kama walengwa itakavyokubalika na Halmashauri. na mahitaji 90 Wimbo au Dua na sala ya kuiombea Halmashauri Kabla ya kuanza kwa Mkutano wa Halmashauri utaimbwa wimbo wa Taifa na kufuatiwa na Dua au Sala ya kuiombea Halmashauri ifuatayo; itendeke. Twakuomba, “Ewe MWENYEZI MUNGU Mtukufu, Muumba wa Mbingu na Dunia umeweka katika Dunia Serikali za Wanadamu ili haki yako uibariki Halmashauri yetu ya Wilaya ya Songwe idumishe uhuru, umoja, haki na amani. Uwajalie viongozi wetu wa Halmashauri hekima, afya njema na maisha marefu ili na wanaowashauri wadumishe pamoja utawala bora. Utuongezee hekima na busara sisi Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya 67 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Songwe Tangazo la Serikali Na. 1045 (Linaendelea.) Songwe na utupe uwezo wa kujadili kwa dhati, mambo yatakayoletwa mbele yetu leo, ili tufanye maamuzi sahihi yenye manufaa kwa watu wote na ustawi wa Halmashauri yetu. Mungu ibariki Tanzania, AMINA” Kanuni za kudumu hizi zinafuta kanuni za kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Songwe za mwaka, 2009 tangazo la Serikali nambari 152 la tarehe 05, Mwezi 06 mwaka 2009. Tangazo la Serikali Namba 152 91 68 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Songwe Tangazo la Serikali Na. 1045 (Linaendelea.) _______ JEDWALI LA KWANZA _______ (Limetengenezwa Chini ya Kanuni ya 44(3)) HADIDU ZA REJEA ZA KAMATI ZA KUDUMU ZA HALMASHAURI ZA WILAYA. Madhumuni ya jumla:
Part
JEDWALI LA KWANZA
- 7 Verify source ↗
Section 7
AI-assisted research summary: Kifungu hiki kinaweka majukumu na madaraka ya kamati mbalimbali za Halmashauri, hasa Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango, pamoja na maeneo ya elimu, afya, maji, UKIMWI, uchumi, ujenzi, mazingira na maadili.
7. Kuishauri Halmashauri kutengeneza malengo yanayozingatia matakwa ya Wilaya na kuchukua hatua ambazo zitaonekana zinafaa ili kufikia malengo yaliyokusudiwa. Kuishauri Halmashauri kufanya maamuzi juu ya sera muhimu. Kuishauri Halmashauri kufanya maamuzi juu ya utoaji wa huduma kulingana na rasilimali walizo nazo Kuiwezesha Halmashauri kutengeneza taratibu zitakazoongoza utendaji wa Kamati, Kamati Ndogo, na ule wa watumishi ili watimize wajibu wao. juu ya Kufanya mapitio yatakayowezesha Halmashauri kuamua kuongeza, kupunguza, kubinafsisha au kuwashirikisha wadau katika utoaji wa huduma. Kuhakikisha kuwa miundo na taratibu za utendaji wa Halmashauri zinazingatia ufanisi, uthabiti na tija katika kufikia malengo ya Halmashauri. Kuiwezesha Halmashauri kujenga mahusiano imara kati yake na Serikali kuu, Serikali zingine za Mitaa na Umma kwa ujumla. A. Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango: Majukumu ya jumla: Kamati hii inawashirikisha wenyeviti wa Kamati zote za Kudumu na itakutana kila mwezi mara moja. Aidha, madaraka ya Kamati hii ni kama ya Kamati zingine za Kudumu na hivyo hairuhusiwi kisheria kufanya kazi/majukumu ya Kamati zingine za Kudumu. Kwa ujumla, majukumu yake ni pamoja na kusimamia na kudhibiti ukusanyaji wa mapato na matumizi ya mali ya Halmashauri kwa kupitia vikao vyake. Majukumu Maalum ya Kamati: (i) Kuweka mikakati na kupendekeza uongezaji wa mapato (ii) kuwasilisha mapendekezo ya Bajeti na mpango wa Maendeleo kwenye Halmashauri ili kuidhinishwa na Halmashauri. (iii) kusimamia utunzaji wa hesabu za fedha ikiwa ni pamoja na uhakiki wa mali za Halmashauri, ukusanyaji wa mapato, kufuta madeni, na kuomba vibali Maalum kwa matumizi 69 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Songwe Tangazo la Serikali Na. 1045 (Linaendelea.) yanayohitaji kibali cha Waziri mwenye dhamana ya Serikali za Mitaa. (iv) Kufikiria na, pale inapowezekana, kupendekeza kwenye Halmashauri masuala yanayohusu Sheria Ndogo na utendaji katika ngazi za chini za Halmashauri. (v) Kupokea na kuzingatia mapendekezo ya kubadili matumizi ya mafungu ya fedha (re-allocation) yaliyopo katika makisio yaliyoidhinishwa na kuyapeleka kwa Halmashauri. (vii) (vi) Kuratibu mapendekezo kutoka kwenye Kamati zingine kuhusu matumizi ya kawaida na miradi na kuyawasilisha kwenye Halmashauri. kufikiria na kupendekeza kwenye Halmashauri mikopo yote ya Halmashauri. kutoa mapendekezo ya vitega uchumi kwa madhumuni ya kuongeza mapato kwa mujibu wa Sheria ya Fedha za Serikali za Mitaa, Sura ya 290. (viii) (ix) kupokea na kujadili taarifa za wakaguzi wa fedha na mali ya Halmashauri na kupendekeza hatua za kuchukuliwa kutokana na maelekezo na maoni ya wakaguzi kwa mujibu wa Sheria za Serikali za Mitaa, Sura ya 290. (x) Kusimamia na kudhibiti matumizi ya fedha za Halmashauri, kwa kuzingatia taratibu zilizowekwa na Waziri na taratibu nyingine zitakazowekwa na Halmashauri; (xv) (xii) (xiv) (xvi) (xiii) (xi) Kupitia marekebisho yote yaliyopendekezwa hususan kuhusu taratibu za fedha, ikiwa ni pamoja na mapitio ya mara kwa mara yanayohusu thamani ya fedha ambapo Kanuni mbalimbali za manunuzi ya mali na vifaa hutumika; Kufikiria na kupendekeza mabadiliko ya viwango vya kodi, ada na ushuru mbalimbali, vinavyotolewa na Halmashauri; Kufikiria mapendekezo ya Bajeti na Mipango ya Maendeleo ya kila Kamati ya Kudumu na kuiwasilisha kwenye Halmashauri ili kupata idhini; Kushughulikia tofauti ya mapato na matumizi katika bajeti yote na kupendekeza hatua stahiki ya kuchukua kuondoa mapungufu katika mapato au ziada matumizi; Kufikiria mapendekezo yote yanayohusu matumizi fedha kabla hayajawasilishwa kwenye makubwa ya Halmashauri ili kupata idhini; Kupokea mahesabu ya mwaka ya Halmashauri na kuhakikisha taarifa ya mahesabu ya mwaka inawasilishwa kwa wakati kwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali; Kupitia na kuidhinisha mpango wa manunuzi wa Halmashauri kuzingatia mpango wa Bajeti uliopitishwa na Halmashauri; Kupitia taarifa ya kila robo mwaka kuhusu Manunuzi iliyowasilishwa na Afisa Masuuli; Kusimamia utekelezaji wa mikataba ya Halmashauri kwa kukagua miradi inayotekelezwa na vifaa vilivyopokelewa; Kumwelekeza Mkurugenzi kufanya manunuzi au ukaguzi wa huduma au vifaa vilivyonunuliwa ili kupata thamani halisi, itadhihirika kwamba, maelezo yaliyotolewa kuhusu manunuzi ya vifaa au huduma hayaridhishi; itafanyika hivyo endapo (xviii) (xvii) (xix) (xx) kwa 70 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Songwe Tangazo la Serikali Na. 1045 (Linaendelea.) (xxi) (xxii) (xxiii) (xxiv) (xxv) (xxvi) (xxvii) (xxviii) (xxix) (xxx) (xxxi) (xxxii) (xxxiii) (xxxiv) (xxxv) ya na orodha wadaiwa wote kutoa kwenye Kamati Kuidhinisha majina ya wajumbe wa Bodi ya zabuni na wa Bodi zingine kwa mujibu wa Sheria husika; Kushughulikia itakayokayowasilishwa mapendekezo ya hatua za kuchukua; Kupendekeza njia na taratibu za kuondosha vifaa chakavu. Uondoshaji wa vifaa unaweza kufanyika kwa njia ya kuuza au kuviharibu; Kujadili na kupitia taarifa za fedha za kila mwezi na kila robo mwaka; Kupendekeza kwa Halmashauri hatua za kuchukua kuhusu kufuta madeni ya Halmashauri; Kushughulikia Sera kuhusu kukopa na uwekezaji, Kujadili na kupendekeza mabadiliko ya viwango vya kodi, ada na ushuru mbalimbali vinavyotozwa na Halmashauri, Kubuni na kupendekeza mpango wa kuanzisha na kuendeleza uhusiano na Halmashauri nyingine. Kurekebisha na kusimamia makusanyo na matumizi ya mapato ya vijiji na miji midogo kwa mujibu wa Sheria, Sura ya 287. kuteua wakaguzi wa fedha/mali za Serikali za Vijiji kwa mujibu wa Sheria, Sura ya 290. Kujadili na kutoa mapendekezo ya hatua za kuchukuliwa kuhusu mambo yote yanayohusu masuala ya ajira na kinidhamu ya wafanyakazi na watumishi. Kujadili na kutoa mapendekezo kuhusu masuala yanayohusu nyumba za Halmashauri. Kupokea na kutoa uamuzi watumishi wanaokwenda masomoni. juu ya mapendekezo ya Kujadili na kupendekeza masuala yote yanayohusu maslahi ya jumla ya watumishi, ikiwa ni pamoja na mikopo, nyumba, usafiri, matibabu, rambirambi na motisha nyinginezo. Kupitisha mapendekezo ya kuthibitisha watumishi kazini baada ya kumaliza kipindi cha majaribio kulingana na miundo husika ya utumishi. (xxxvi) Kuhakiki ubora wa miradi ya maendeleo (value for money) na shughuli zinazoandaliwa na kamati hii inayotekelezwa na Halmashauri mara moja kila robo mwaka. (xxxvii) kupendekeza Sheria Ndogo zinazohusu Kamati hii B: Kamati ya Elimu, Afya na Maji: Majukumu ya Jumla Kushughulikia mambo yote yanayohusu afya ya jamii, elimu na huduma za maji usafi na mazingira na maendeleo ya jamii. Kamati hii pia itashughulikia mambo yanayohusiana na jitihada za wananchi vijijini kujiletea maendeleo yao kwa kutumia mbinu mbalimbali ikiwa ni pamoja na kushauri, kushawishi, kuzindua, kuelimisha na kushirikisha wananchi hao hasa katika kutayarisha, kutekeleza, kusimamia na kutathmini mipango yao ya maendeleo. 71 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Songwe Tangazo la Serikali Na. 1045 (Linaendelea.) Majukumu Maalum ya Kamati: (i) kuandaa mipango madhubuti ya maendeleo ya upanuzi na ujenzi wa hospitali, vituo vya afya na zahanati (ii) (iii) kuandaa mipago ya maendeleo ya upanuzi na ujenzi wa shule za awali na msingi na elimu ya watu wazima kwa mujibu wa Sheria ya Elimu ya 1978 kama ilivyorekebishwa mwaka 1995. kubuni na kupendekeza njia bora za kuzuia na kudhibiti magonjwa ya milipuko. (iv) kupendekeza mipango ya ujenzi au upanuzi wa vituo,viwanja, majengo na mazingira ya burudani, starehe, mapumziko na michezo (v) kuamua juu ya mambo yanayohusu uhifadhi wa mambo ya kale na mandhari mbalimbali zenye sura nzuri. (vi) kuandaa na kuratibu njia bora juu ya uhifadhi wa nyaraka muhimu kwa ajili ya kumbukumbu hizo zitahifadhiwa kwa mujibu wa Sheria ya Serikali za Mitaa Sura ya 287. (vii) kupendekeza njia bora juu ya uhifadhi wa sanaa mbalimbali za ufundi na za maonyesho kwa mujibu wa Sheria ya Serikali za Mitaa Sura ya 287, (viii) kupendekeza matumizi mazuri ya lugha ya taifa. (ix) kupendekeza namna ya malezi ya vijana ili waweze kuwa wazalishaji katika Taifa. (x) kusimamia uanzishaji wa uendelezaji wa vikundi vya jamii na vya hiari vya wananchi katika Halmashauri kwa mujibu wa sera wa maendelo ya jamii. (xi) kusimamia na kuhakiki maeneo ya misitu, mapori, na mbuga zilizotengwa kama hifadhi ya mamlaka ya Serikali za Mitaa. (xii) Uhakiki shughuli na miradi ya maendeleo inayohusu kamati hii mara moja kila robo mwaka. (xiii) kupendekeza Sheria Ndogo zinazohusu Kamati hizi. C: Kamati ya Kudumu ya Kudhibiti Ukimwi Majukumu ya Kamati: (a) (b) (c) (d) (e) (f) kushirikisha wadau tofauti katika maeneo husika ili kuongeza uchangiaji wa mawazo na/au nyenzo, usimamizi, uratibu na utekelezaji wa kazi za Tume ya kudhibiti UKIMWI; kusimamia uundaji wa Kamati zote za kudhibiti UKIMWI; kupendekeza na kuchambua hali ya UKIMWI/Mipango na utekelezaji wake na kufikisha katika ngazi husika kwa hatua zaidi; kutathmini hali ya UKIMWI katika eneo lake kuhusu; (i) (ii) (iii) (iv) Serikali haitatoa fedha kwa Halmashauri isiyokuwa na mipango madhubuti ya kudhibiti UKIMWI. kupendekeza Sheria Ndogo za Kamati hii. idadi ya waathirika: wagonjwa, yatima, wajane, kasi ya maambukizo mazingira Maalum yanayochangia maambukizo; uelewa wa wananchi juu ya janga hili. D: Kamati ya Masuala ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira: Majukumu ya jumla 72 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Songwe Tangazo la Serikali Na. 1045 (Linaendelea.) Kamati hii itashughulikia masuala ya uzalishaji mali ikiwemo kilimo, mifugo, viwanda, madini, Biashara n.k. Aidha itashughulikia pia miundombinu na suala zima la mendeleo ya Ardhi na hifadhi ya mazingira. Majukumu Maalum ya Kamati; (i) kupendekeza kwa Halmashauri mipango ya kupanua biashara na (ii) (iii) (iv) (v) (vi) jinsi ya kukusanya mapato yatokanayo na upanuzi huo. kupendekeza mipango ya matumizi ya ardhi katika eneo la Halmashauri kusimamia matumizi ya Sheria ya nguvu kazi. kuandaa mipango madhubuti ya maendeleo ya upanuzi wa kilimo katika Halmashauri kusimamia na kuhakiki miradi ya ujenzi wa masoko, minada,majosho na vituo vya mifugo. kushughulikia uanzishaji na uendelezaji wa vyama vya ushirika kwa mujibu wa Sheria ya Vyama vya Ushirika, (vii) kupendekeza na kufanya tathmini ya uendelezaji wa mabonde, mito na mabwawa. (viii) (ix) kubuni na kupendekeza namna ya kidhibiti moto kubuni na kupendekeza mikakati ya utumiaji wa nishati mbadala, kuzuia ukataji miti ovyo, na kuhimiza upandaji miti kwa wingi. (x) kuhakikisha kwamba ukaguzi wa majengo unafanyika mara kwa mara. (xi) kupendekeza mipango madhubuti ya ujenzi wa barabara vijijini na wilayani kwa ujumla. Kupendekeza sheria ndogo zinazohusu kamati hii. Kuhakiki shughuli na miradi inayoangukia kamati hii mara moja kila robo mwaka. (xii) (xiii) E. Kamati ya Maadili Majukumu ya Kamati: (Kifungu cha 31(1) cha Kanuni za Serikali za Mitaa (Mamlaka za Wilaya) (Maadili ya Madiwani) za Mwaka 2000. (i) kutoa ushauri kwa Halmashauri kuhusu utekelezaji wa kanuni hizi. (ii) Kufanya uchunguzi wa madai ya uvunjaji wa kanuni za maadili ya madiwani na kuwasilisha mapendekezo kwa Halmashauri kwa hatua zinazostahili. (iii) Kutoa ushauri na maoni kwa Halmashauri na kwa diwani mmoja mmoja kuhusu masuala yanayohusu mwenendo wa kimaadili. FAHARASA – HALMASHAURI YA WILAYA Kanuni Na. Kifungu cha Sheria A Ajenda za Kamati Akidi katika mikutano ya Halmashauri Akidi kwenye mikutano ya Kamati Athari za nafasi wazi kwenye Kamati 49 8 55 54 Sura ya 287 kif.64 Sura ya 287 kif.84(2) na (3) Sura ya 287 kif.84(1);84(3) B C 73 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Songwe Tangazo la Serikali Na. 1045 (Linaendelea.) D Diwani au Afisa kutokuwa na maslahi katika mikataba Diwani kutembelea maeneo, shughuli mbalimbali za ujenzi. Dua ya kuiombea Halmashauri E. 69 77 90 F Fujo zinazosababishwa na umma Fujo zinazosababishwa na Wajumbe Sura ya 287 kif.71 18 17 Kanuni Na. Kifungu cha Sheria G H Haki ya kujibu Hoja kuhusu matumizi Hoja na marekebisho ya hoja Hoja za Mwenyekiti Hoja zinazohusu watumishi wa Halmashauri Hoja zinazoweza kutolewa bila taarifa I J K Kamati Ndogo Kamati za Kudumu Kamati za pamoja Kanuni za Kudumu kutumika katika mikutano ya Kamati Kanuni za Kudumu kutolewa kwa Wajumbe Kauli zenye kashfa Kiapo na kukubali wadhifa Kuidhinishwa kwa Taarifa ya Kamati Kufikiriwa upya maamuzi Kufutwa kwa Kanuni zilizopo Kujiuzulu ujumbe wa Kamati na kujazwa kwa nafasi iliyoachwa wazi. Kujiuzulu wadhifa wa Mwenyekiti wa Kamati Kukasimu madaraka kwenye Kamati Kumbukumbu ya mahudhurio. Kumwondoa Mwenyekiti madarakani Kupokelewa kwa taarifa za Kamati Kuruhusu watu na vyombo vya Habari kwenye mikutano ya Halmashauri 21 32 19 15 37 20 45 40 43 56 87 27 70 34 59 91 62 61 44 11 82 33 12 74 Sura ya 287 kif.79 Sura ya 287 kif.36(5); GN 263/95 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Songwe Tangazo la Serikali Na. 1045 (Linaendelea.) Sura ya 287 kif.67(1) Kushiriki kwa Umma Kusitisha utumiaji wa Kanuni za Kudumu. Kutafsiri Kanuni za Kudumu Kuthibitisha muhtasari Kutokuwepo kwa Wajumbe Kutunza siri za Majadiliano ya Kamati na Kamati Ndogo. L M Maamuzi ya mikutano ya Halmashauri Mahudhurio katika mikutano ya Kamati Mahudhurio ya Umma na vyombo vya habari kwenye mikutano ya Kamati/Kamati Ndogo Majukumu ya Diwani Marekebisho na mabadiliko ya Kanuni za Kudumu Maswali Maswali ya papo kwa papo Mihtasari ya za Kata na vijiji. Mihtasari ya Halmashauri kupelekwa kwa Mkuu wa Wilaya na Mkuu wa Mkoa. Muhtasari wa Kamati Mikutano ya kawaida ya Halmashauri Mikutano ya Kamati Mtoa hoja kualikwa kwenye Mkutano wa Kamati. Mkutano wa Bajeti Mkutano wa Mwaka Mkutano Maalum wa Halmashauri Mkutano Maalum wa Kamati Mwaliko wa wasiokuwa Wajumbe Mwenyekiti kuwa Mjumbe wa Kamati zote N Nafasi wazi P 75 Kanuni Na. 38 Kifungu cha Sheria Sura ya 287 kif.114(1)(b) 85 88 14 73 60 28 50 53 71 86 22 23 30 31 58 3 46 51 5 6 4 48 29 41 72 Sura ya 287 kif.41(2)na (3) Sura ya 287 kif.86 na 67(2) Sura ya 287 kif.66 Sura ya 287 vif.86; 67 (2) Sura ya 287 kif. 70(1) Taz.pia Sura ya 290 kif.47 Sura ya 287 kif.83(2) Sura ya 287 kif.63(1) Sura ya 287 kif.63(3) Sura ya 287 kif.74(1) (a) 172 Sura ya 287 kif.42(1) (1);41 (4);Tangazo la Serikali Na.139/82 aya ya 23 na40 na Sheria Na.4/79 kif.40(1)(b);40 (1) (b) na SheriaNa 4/79kif.40(i) (b) (i); na Sheria la Serikali Na. Na.4/79 kif.40;tangazo 280/2000 kif.35;41(3)41(3) na kif.71(8). Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Songwe Tangazo la Serikali Na. 1045 (Linaendelea.) Aina za Posho Posho iwapo Mkutano umeahirishwa Q R Rejesta ya mikataba S T Taarifa za Kamati Taarifa kutoka kwenye kata Taarifa za mikutano Tafsiri Taratibu za kutunga Sheria Ndogo Taratibu za Majadiliano Taratibu za Uagizaji U Uahirishaji wa vikao Uandikishaji wa Anwani Uanzishaji wa Bodi za Huduma Uchaguzi wa Mwenyekiti na Makamu wa Mwenyekiti wa Halmashauri Uhalali wa majadiliano ya Halmashauri Uhifadhi wa lakiri ya Halmashauri Uhuru wa kutoa mawazo wakati wa majadiliano Ukaguzi wa nyaraka Uongozi wa mikutano ya Halmashauri Upigaji kura kwenye mikutano ya Kamati Usimamiaji wa mikataba Utaratibu wa shughuli za mikutano Uteuzi wa Wajumbe kwenye Taasisi za nje Utiaji mhuri kwenye Nyaraka Uvunjaji wa mkataba Uwezo wa Halmashauri kujigeuza kuwa Kamati ya Halmashauri nzima. Uwezo wa Kamati Uzuiaji wa Rushwa 83 84 68 24 25 7 2 74 16 63 39 80 76 9 35 78 26 75 10 57 66 13 81 79 67 36 42 65 Sura ya 287 kif.85 Sura ya 287 kif.155 Na.21/2004 Sura ya 290 kif.68 Sura ya 287 kif.88 Sura ya 287 kif.36(2) Sura ya 287 kif.72 Sura ya 287 kif.65 V 76 Kanuni Na. Kifungu cha Sheria Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Songwe Tangazo la Serikali Na. 1045 (Linaendelea.) W Waalikwa wasiokuwa Wajumbe kuhudhuria na kushiriki katika mikutano ya Kamati. X Y Z Ziara za Wajumbe 52 89 Sura ya 287 kif.75(4) _____________ JEDWALI LA PILI _______________ (Limetengenezwa chini ya Kanuni ya 70(a)) JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA KIAPO CHA DIWANI Mimi ……………………………… ninaapa/ninatamka kwa dhati kwamba nitaitumikia Halmashauri ya………………….. kwa wadhifa wangu wa Udiwani na kwamba nitahifadhi, nitalinda na kutetea, Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Sheria za Tanzania, Maadili ya Madiwani na Kanuni za Kudumu za Halmashauri kama zilivyowekwa kwa mujibu wa Sheria na kwamba nitaitumikia Halmashauri ya ………………………………………… kwa uaminifu kwa uwezo na moyo wangu wote. (Ewe Mwenyezi Mungu nisaidie) Kiapo/Tamko hili limetolewa hapa:……………………………………… Na…………………………………………………………………………….. Leo tarehe…………………… Mwezi wa…………………..mwaka 200………. Mbele ya:……………………………………….. Jina:……………………………………………… Cheo:……………………………………………. Saini:…………………………………………… Anuani…………………………………………. HAKIMU/KAMISHINA WA VIAPO MHURI __________________ JEDWALI LA TATU _________________ (Limetengenezwa Chini ya Kanuni 70 (b)) JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA 77 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Songwe Tangazo la Serikali Na. 1045 (Linaendelea.) TAMKO LA VIONGOZI WA UMMA KUHUSU RASILIMALI NA MADENI (Kwa mujibu wa kifungu cha 9 na cha 11 cha Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma) Mimi…………………………………………………… Anuani:……………………baada ya kuchaguliwa/kuteuliwa na kuapishwa katika wadhifa wa…….……...tarehe……………………….mwaka 200….Ninatamka rasmi na kwa moyo mnyofu kwamba hadi sasa nina rasilimali na madeni yafuatayo:- (1) Fedha taslimu, Amana katika benki au taasisi ya fedha; (taja namba ya akaunti, benki au taasisi ya fedha na kiasi). ………………………………………………………………………………………………………… …………………………………………………………………………………… 2) Hawala za Hazina (Treasury Bills) na dhamana nyingine Maalum:- ………………………………………………………………………………………………………… …………………………………………………………………… 3) Faida ya akiba, mafungu ya mgawanyo wa faida zinazotokana na hisa n.k. ………………………………………………………………………………………………………… ………………………………………………………………… 4) Nyumba au majengo ya kupangisha, (taja mahali yalipo na ukubwa au eneo:) ………………………………………………………………………………………………………… ………………………………………………………………… * Rasilimali zinazotakiwa ni pamoja na zifuatazo, ambazo ni zako binafsi, za mume/mke au watoto wadogo wasiooa au kuolewa wa kiongozi wa umma. (a) fedha taslimu na amana katika benki au taasisi nyingine ya fedha. (b) hawala za Hazina Treasury Bills) na nyinginezo za dhamana Maalum zinazotolewa au kudhaminiwa na Serikali au vyombo vya Serikali. (c) faida itokanayo na fedha iliyowekwa akiba benki, chama cha Ujenzi au taasisi nyingine ya fedha. (d) mgao wa fedha kutokana na fungu la rasilimali ya kampuni (stocks) au hisa za kiongozi wa umma katika kampuni au shirika lolote. (e) maslahi katika chombo cha biashara kisichokuwa na mkataba na Serikali, na kisichokuwa na au kisichotawala amana zinazouzwa bayana na vyombo vya umma. (f) mashamba ya kibiashara. (g) mali halisi zisizohamishika ambazo si rasilimali zisizotakiwa kutajwa; na (h) rasilimali zinazoleta faida, ambazo si rasilimali zisizotakiwa kutajwa na ambazo zinamilikiwa kwa mbali. (5) Mashamba ya kibiashara, mifugo, madini n.k. ………………………………………………………………………………………………………… ………………………………………………………………………………………………………… ………………………………………………… 78 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Songwe Tangazo la Serikali Na. 1045 (Linaendelea.) nyinginezo shughuli nyingine za kibiashara au (6) Magari na aina nyingine za usafiri wa kibiashara; ………………………………………………………………………………………………………… ………………………………………………………………………………………………………… ………………………………………………… (7) Mashine za kusaga nafaka, viwanda na mitambo:……………………………………………………………………………………………… ………………………………………………………………………………………………………… ………………………………………………… (8) Rasilimali au maslahi kutaja:………………………………………………………………………………………………… ………………………………………………………………………………………………………… ………………………………………………… (9)Madeni:…………………………………………………………………………………………… ………………………………………………………………………………………………………… ………………………………………………… Tamko hili linatolewa na kusainiwa mbele yangu …………………………………………………………. na (mtoa tamko)……………………………………… ninayemfahamu binafsi, au aliyetambulishwa kwangu na …………………………………………………………………… kiongozi wa anapenda ambayo umma ambaye ninamfahamu leo tarehe …………………………….. Mwezi wa ………………………………………………………. saini……………………………………………………………... Wadhifa:……………………………………………………….. Anuani:………………………………………………………... …………………………………………………………………. (Tamko hili lazima litolewe mbele ya Kamishna wa Viapo) Mtoa tamko KWA: KAMISHINA WA MAADILI, SEKRETARIETI YA MAADILI, S.L.P 13341, DAR ES SALAAM. 79 Kanuni Za Kudumu Za Halmashauri ya Wilaya ya Songwe Tangazo la Serikali Na. 1045 (Linaendelea.) Lakili ya Halmashauri ya Wilaya ya Songwe iliyogongwa katika Kanuni za Kudumi hizi kwa Azimio Na. SDC/MB/162/2019 la kikao cha Halmashauri ya Wilaya ya Songwe cha tarehe 7 mwezi Novemba, mwaka 2019, na imebandikwa mbele ya : FAUZIA HAMIDU Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Songwe ABRAHAM S. KAGALUKA Mwenyekiti Halmashauri ya Wilaya ya Songwe L.S NAKUBALI, Dodoma, SELEMANI S. JAFO (MB.) 2 Novemba, 2020 WN-OR-TAMISEMI 80
Provision text is displayed from LexChat’s stored statute record. Use the official source links to verify amendments, commencement, and current legal force.
Ask AI about this statute
Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Songwe za Mwaka 2020
Sign in to ask AI about this statute
Sign in to start authenticated, citation-grounded statute research.
Sign in