Kanuni za Mawasiliano ya Kielektroniki na Posta kuhusu Usajili wa Laini za Simu, 2023
This section gives the name of the regulations on electronic communications and postal services for mobile SIM line registration, 2023.
AI-assisted research synopsis — verify against the official legal text below.
- Jurisdiction
- Tanzania
- Instrument
- Regulation
- Citation
- Kanuni za Mawasiliano ya Kielektroniki na Posta kuhusu Usajili wa Laini za Simu, 2023
- Version
- Undated source snapshot
- Language
- sw
- Official source
- View official record ↗
Statute overview
About this statute
This section gives the name of the regulations on electronic communications and postal services for mobile SIM line registration, 2023. Kanuni hizi zinatumika kwa watumiaji wote wa laini za simu ndani ya Jamhuri ya Muungano, isipokuwa laini zilizotolewa au kusajiliwa nje ya nchi zinazofanya kazi nchini kupitia mitandao ya watoa huduma wa ndani. This section defines key terms used in the biometric SIM registration regulations. Wamiliki, wadhibiti, wauzaji na watoa huduma wa laini za simu lazima zisajiliwe na kulindwa kwa utaratibu ulioainishwa, na mtoa huduma lazima aweke mifumo yake ya usajili ikiunganishwa na mifumo ya mamlaka husika. Mtoa huduma wa simu lazima aweke utaratibu wa kuhakikisha usajili unafanywa kwa wateja waliokusudiwa, kisha atume SMS kwa mteja baada ya usajili au mabadiliko ya usajili.
Search within this statute
Search all stored provisions in this version.
Legal text
Provisions of Kanuni za Mawasiliano ya Kielektroniki na Posta kuhusu Usajili wa Laini za Simu, 2023
Showing 41 of 41
- 1
AI-assisted research summary: This section gives the name of the regulations on electronic communications and postal services for mobile SIM line registration, 2023.
1. Kanuni hizi zitajulikana kama Kanuni za Mawasiliano ya Kielektroniki na Posta kuhusu Usajili wa Laini za Simu, 2023. Matumizi - 2
AI-assisted research summary: Kanuni hizi zinatumika kwa watumiaji wote wa laini za simu ndani ya Jamhuri ya Muungano, isipokuwa laini zilizotolewa au kusajiliwa nje ya nchi zinazofanya kazi nchini kupitia mitandao ya watoa huduma wa ndani.
2.-(1) Kanuni hizi zitatumika kwa watumiaji wote wa laini za simu katika Jamhuri ya Muungano. (2) Bila kuathiri ujumla wa kanuni ndogo ya (1), Kanuni hizi hazitatumika kwa watumiaji wa laini za simu zilizotolewa au kusajiliwa nje ya nchi ambazo zinafanya kazi nchini kupitia mitandao ya simu ya watoa huduma wa ndani. Tafsiri - 3
AI-assisted research summary: This section defines key terms used in the biometric SIM registration regulations.
3. Katika Kanuni hizi isipokuwa kama muktadha utahitaji vinginevyo: “aina za usajili wa laini za simu kibayometriki” inajumuisha kampuni, mdiplomasia, mtu binafsi, taasisi, mgeni, mtoto, mkimbizi, mgeni wa muda mfupi kama itakavyoamuliwa na Mamlaka mara kwa mara; nyingine yoyote aina au “Idara ya Uhamiaji” maana yake ni Idara ya Uhamiaji iliyoanzishwa chini ya Sheria ya Tanzania Uhamiaji; “kuhuisha matumizi ya laini ya simu” maana yake ni 4 Kanuni Za Mawasiliano ya Kielektroniki Na Posta KuhusuUsajili wa Laini Za Simu Tangazo la Serikali Na. 60 (Linaendelea.) kuifanya laini ya simu iweze kufanya kazi katika mtandao wa simu; “kundi la laini za simu” maana yake ni laini za simu zaidi ya moja zilizosajiliwa kwa pamoja kwa ajili ya mawasiliano ya kielektroniki na kwa kutumia kitambulisho cha taifa na alama za vidole za mwakilishi mmoja pasipo laini za ziada; “laini ya simu” maana yake ni moduli ya utambulisho wa mteja ambayo ni kadi inayojitegemea iliyowashwa kielektroniki iliyoundwa kwa ajili ya matumizi pamoja na simu ya mkononi ili kumwezesha mtumiaji kutuma na kupokea mawasiliano ya kielektroniki; “laini ya simu hai” maana yake ni laini ya simu inayofanya kazi katika mtandao wa simu; "kifaa cha mawasiliano ya simu" maana yake ni kifaa kinachotumika kwa huduma za mawasiliano ya simu za mkononi ikijumuisha vifaa vinavyotumia huduma za mtandao katika mitandao ya simu; “Mamlaka” maana yake ni Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania iliyoanzishwa kwa Sheria ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania; “mawasiliano ya mashine kwa mashine” maana yake ni mawasiliano ya moja kwa moja kati ya vifaa ili kubadilishana taarifa na kufanya vitendo bila uingiliaji wa mwanadamu; “mdiplomasia” maana yake ni mtu ambaye yuko kwenye kazi ya kidiplomasia katika Jamhuri ya Muungano kama ilivyoainishwa katika Sheria ya Kinga na Haki za Kidiplomasia na Kibalozi; “mgeni” maana yake ni mtu asiye raia wa Tanzania au mdiplomasia anayekaa nchini kwa kipindi cha zaidi ya miezi sita; “mgeni wa muda mfupi” maana yake ni mtu asiye raia ambaye si mdiplomasia na anatarajia kukaa katika Jamhuri ya Muungano kwa muda usiozidi miezi minne; “mkataba wa huduma” maana yake ni makubaliano yaliyoingiwa kati ya mtoa huduma na mteja kwa ajili ya utoaji wa huduma zilizotolewa leseni kwa 5 Sura ya 172 Sura ya 356 Kanuni Za Mawasiliano ya Kielektroniki Na Posta KuhusuUsajili wa Laini Za Simu Tangazo la Serikali Na. 60 (Linaendelea.) Sura ya 37 mkimbizi” maana yake ni kama ilivyotafsiriwa chini ya wateja; Sura ya 306 Sheria ya Wakimbizi; “mlaji” maana yake ni mtu yeyote anayetumia bidhaa au huduma za mawasiliano ya kielektroniki au posta; “mlezi” maana yake ni mtu ambaye ana wajibu, udhibiti au usimamizi kwa mtoto au mtu aliyeteuliwa kwa hati, wosia au amri ya mahakama aliyepewa jukumu la kutunza na kusimamia mali na haki za mtoto; “mteja” maana yake ni mtu yeyote anayepata au aliyeomba kupata huduma ya aina yoyote kutoka kwa mtu anayefanya kazi kwa mujibu wa Kanuni hizi na inajumuisha wateja wa kampuni za simu; “mtoa huduma” maana yake ni mtu aliyepewa leseni na Mamlaka ya kutoa na kuwezesha utoaji wa huduma za mawasiliano ya kielektroniki; “mtoto” maana yake ni mtoto mwenye umri chini ya miaka kumi na minane na zaidi ya miaka kumi na miwili; “Sheria” maana yake ni Sheria ya Mawasiliano ya Kielektroniki na Posta; “taasisi” maana yake ni serikali au taasisi isiyo ya kiserikali inayofanya kazi ndani ya Jamhuri ya Muungano; “taasisi ya kidiplomasia” maana yake ni taasisi ya kimataifa yenye vibali vya kidiplomasia kwa Jamhuri ya Muungano; “usajili wa laini ya simu kibayometriki kwa mgeni” maana yake ni aina ya usajili wa laini za simu kibayometriki ajili ya matumizi ya mgeni pekee; itakayotumika kwa “usajili wa laini ya simu kibayometriki kwa mgeni wa muda mfupi" maana yake ni aina ya usajili wa laini ya simu kibayometriki kwa ajili ya matumizi ya mgeni wa muda mfupi pekee; na “usajili wa laini ya simu kibayometriki kwa kampuni” maana yake ni aina ya usajili wa laini ya simu kibayometriki ajili ya matumizi ya kampuni pekee; itakayotumika kwa 6 Kanuni Za Mawasiliano ya Kielektroniki Na Posta KuhusuUsajili wa Laini Za Simu Tangazo la Serikali Na. 60 (Linaendelea.) Sura ya 54 “usajili wa laini za simu kibayometriki kwa mtu binafsi” maana yake ni aina ya usajili wa laini ya simu kibayometriki kwa ajili ya matumizi ya mtu binafsi pekee; “usajili wa laini ya simu kwa mdiplomasia” maana yake ni aina ya usajili wa laini ya simu kibayometriki ajili ya matumizi ya itakayotumika kwa mdiplomasia pekee; "usajili wa laini ya simu kibayometriki kwa mtoto" maana yake ni aina ya usajili wa laini ya simu kibayometriki kwa ajili ya matumizi ya mtoto pekee; “usajili wa laini za simu kibayometriki kwa taasisi” maana yake ni aina ya usajili wa laini ya simu kibayometriki kwa ajili ya matumizi ya taasisi pekee; itakayotumika kwa “usajili wa laini za simu kwa taasisi za kidiplomasia” laini za simu ajili ya maana yake ni usajili wa kibayometriki matumizi ya taasisi za kidiplomasia pekee; “nambari tambulishi” maana yake ni msimbo wa kipekee simu binafsi katika unaotumika kutambua mtandao wa Mifumo ya Mawasiliano ya Simu ya Kimataifa; “PIN” maana yake ni nambari pekee kufungua na kufunga laini ya simu; inayotumika “wakala” maana yake ni chombo au mtu anayesajili laini za simu kwa niaba ya mtoa huduma; “wakala asiye na ofisi” maana yake ni wakala anayeruhusiwa kufanya kazi katika eneo maalum la kijiografia; SEHEMU YA PILI TARATIBU ZA USAJILI WA LAINI ZA SIMU Wajibu wa kusajili laini ya simu kutumia
Part
SEHEMU YA PILI
- 4
AI-assisted research summary: Wamiliki, wadhibiti, wauzaji na watoa huduma wa laini za simu lazima zisajiliwe na kulindwa kwa utaratibu ulioainishwa, na mtoa huduma lazima aweke mifumo yake ya usajili ikiunganishwa na mifumo ya mamlaka husika.
4.-(1) Mtu yeyote anayemiliki, anadhibiti au anakusudia inayoweza laini kuondolewa, iliyojengwa ndani ya simu ya mkononi au kifaa cha mawasiliano kinachotumia laini ya simu- ya kibayometriki (a) atasajili simu simu laini ya 7 Kanuni Za Mawasiliano ya Kielektroniki Na Posta KuhusuUsajili wa Laini Za Simu Tangazo la Serikali Na. 60 (Linaendelea.) inayoweza kuondolewa, iliyojengwa ndani ya simu ya mkononi au kifaa cha mawasiliano kinachotumia laini ya simu kwa mtoa huduma husika au wakala aliyeidhinishwa kwa namna iliyoainishwa katika Kanuni hizi; (b) atahakikisha PIN ya laini yake ya simu haijulikani na mtu mwingine yeyote; na (c) atamtaarifu mtoa huduma wake kuhusu mabadiliko ya mtumiaji au matumizi ya kila laini ya simu anayoimiliki. (2) Mtu yeyote ambaye anauza au kwa namna nyingine yoyote anatoa inayoweza kuondolewa, iliyojengwa ndani ya simu ya mkononi au kifaa cha mawasiliano kinachotumia laini ya simu kwa mteja yeyote - laini ya simu (a) atasajili laini za simu za wateja kwa kutumia taratibu kama zilivyoainishwa katika kanuni hizi; na za (b) atatunza kumbukumbu za taarifa ya usajili wa simu katika kanzidata kama laini zitakavyochukuliwa kutoka kielektroniki Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa au Idara ya Uhamiaji. (3) Kila mtoa huduma atahakikisha kuwa- (a) mfumo wake wa usajili umeunganishwa na mfumo wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa, unafanya kazi na unapatikana muda wote. za usajili wa (b) mfumo wake wa usajili umeunganishwa na kanzidata kuu ya usajili wa laini za simu ya Mamlaka, unafanya kazi na unapatikana muda wote. (c) taarifa simu zilizohakikiwa na Mamlaka ya Vitambulisho vya ya Uhamiaji zinawasilishwa moja kwa moja kwenye kanzidata kuu ya usajili wa laini za simu ya Mamlaka wakati wa mchakato wa usajili; na (d) ubadilishaji wa laini ya simu iliyoharibika unafanyika baada ya kuhakiki kibayometriki laini ya Taifa Idara au 8 Kanuni Za Mawasiliano ya Kielektroniki Na Posta KuhusuUsajili wa Laini Za Simu Tangazo la Serikali Na. 60 (Linaendelea.) usajili na umiliki wa awali wa mhusika. (4) Mtu hatasajili laini yoyote ya simu kwa kutumia kitambulisho cha taifa cha mtu mwingine isipokuwa kama ilivyoainishwa katika Kanuni hizi. Wajibu wa Mtoa huduma Utaratibu wa usajili wa laini ya simu kwa mtu binafsi - 5
AI-assisted research summary: Mtoa huduma wa simu lazima aweke utaratibu wa kuhakikisha usajili unafanywa kwa wateja waliokusudiwa, kisha atume SMS kwa mteja baada ya usajili au mabadiliko ya usajili.
5.-(1) Mtoa huduma ataweka utaratibu wa laini za simu ili kuhakikisha kwamba uthibitisho zinasajiliwa kwa ajili ya wateja waliokusudiwa. (2) Baada ya kukamilisha usajili wa laini ya simu, mtoa huduma atatuma ujumbe mfupi wa maneno kwenye laini zote za simu za mteja ukionesha jina la wakala aliyefanya usajili, namba ya kitambulisho cha taifa cha wakala na orodha ya laini zote za simu zilizosajiliwa na mteja kwa watoa huduma wote. (3) Baada ya ufutaji, ubadilishaji au uhuishaji wa usajili wa laini ya simu, mtoa huduma atatuma taarifa ya ujumbe mfupi wa maneno kwenye laini za simu za mteja la wakala aliyefanya jina zilizosajiliwa ukionesha mabadiliko, namba ya kitambulisho cha taifa ya wakala na orodha kamili ya laini za simu zilizosajiliwa na mteja kwa watoa huduma wote. - 6
AI-assisted research summary: An individual must present a national ID, and the service provider must register the SIM biometrically using fingerprint verification through the National Identification Authority system.
6. Utaratibu wa usajili wa laini ya simu kwa mtu binafsi utakuwa kama ifuatavyo- (a) mtu binafsi atawasilisha kwa mtoa huduma au namba ya taifa cha kitambulisho kitambulisho cha taifa; (b) mtoa huduma atafanya usajili wa laini ya simu kibayometriki kwa kuhakiki alama za vidole kupitia mfumo wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa; kielektroniki (c) mtoa huduma atatunza taarifa za mteja kama kutoka zilivyochukuliwa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa; na (d) laini ya simu iliyosajiliwa itakuwa na jina la linavyosomeka katika mtu binafsi kama mfumo wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa. Utaratibu wa - 7
AI-assisted research summary: Kampuni zikisajili laini za simu, mwakilishi wao lazima awasilishe nyaraka zinazotakiwa na kitambulisho, na mtoa huduma lazima asajili laini kwa uthibitishaji wa kibayometriki na kuhifadhi taarifa za kampuni.
7. Utaratibu wa kusajili laini za simu endapo 9 Kanuni Za Mawasiliano ya Kielektroniki Na Posta KuhusuUsajili wa Laini Za Simu Tangazo la Serikali Na. 60 (Linaendelea.) usajili wa laini ya simu kwa kampuni mteja ni kampuni utafanyika chini ya usajili wa laini za simu kibayometriki kwa kampuni kwenye maduka ya watoa huduma au mawakala kwa namna ifuatayo: nakala (a) mwakilishi wa kampuni atawasilisha barua ya utambulisho, halali kilichothibitishwa chenye Namba ya Mlipa Kodi, leseni ya biashara na cheti cha usajili wa kampuni au cheti cha utekelezaji wa kazi husika; cheti ya kampuni (b) mwakilishi wa atawakilisha kitambulisho chake cha taifa au namba ya kitambulisho cha taifa kwa mtoa huduma; (c) mtoa huduma atafanya usajili wa kundi la laini za simu kibayometriki kwa kuhakiki alama za vidole za muwakishi wa kampuni mara moja kupitia mfumo wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa; (d) mtoa huduma atatunza taarifa za kampuni na za mwakilishi wa kampuni; (e) laini za simu zilizosajiliwa zitakuwa kwa jina la kampuni; na (f) kampuni itamtaarifu mtoa huduma kuhusu mabadiliko ya mwakilishi wa kampuni kwa ajili ya mtoa huduma kumsajili mwakilishi mpya kwa mujibu wa Kanuni hizi. Utaratibu wa usajili wa laini ya simu kwa wafanyakazi wa kampuni - 8
AI-assisted research summary: Companies registering SIM cards for employees must provide specified company documents, the employee must submit a national ID or number, and the service provider must complete biometric registration and keep the related information.
8. Utaratibu wa kusajili laini za simu kwa wafanyakazi wa kampuni, utafanyika chini ya usajili wa laini za simu kibayometriki kwa wafanyakazi wa kampuni kwenye maduka ya watoa huduma au mawakala kwa namna ifuatayo- (a) kampuni itawasilisha barua ya utambulisho, nakala ya cheti halali kilichothibitishwa chenye Namba ya Mlipa Kodi, leseni ya biashara na cheti cha usajili au cheti cha utekelezaji wa kazi husika; (b) mfanyakazi wa kampuni ambaye anastahili kutumia laini ya simu atatakiwa kuwasilisha kwa mtoa huduma kitambulisho chake cha taifa au namba ya kitambulisho cha taifa; 10 Kanuni Za Mawasiliano ya Kielektroniki Na Posta KuhusuUsajili wa Laini Za Simu Tangazo la Serikali Na. 60 (Linaendelea.) (c) mtoa huduma atafanya usajili wa laini ya simu kibayometriki kwa kuhakiki alama za vidole za mfanyakazi wa kampuni kupitia mfumo wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (d) mtoa huduma atatunza taarifa za mfanyakazi na kampuni; (e) laini ya simu iliyosajiliwa itakuwa kwa jina la mfanyakazi; na (f) kampuni itamtaarifu mtoa huduma kuhusu kubadili umiliki wa laini ya simu kwa ajili ya mtoa huduma kumsajili mfanyakazi mpya kwa mujibu wa Kanuni hizi. Utaratibu wa usajili wa laini ya simu kwa taasisi - 9
AI-assisted research summary: Ikiwa mteja ni taasisi, usajili wa laini za simu utafanywa kibayometriki na taasisi itawasilisha barua ya utambulisho na kitambulisho/Namba ya Taifa; mtoa huduma atathibitisha alama za vidole, atahifadhi taarifa, na laini zilizosajiliwa zitakuwa kwa jina la taasisi.
9. Utaratibu wa kusajili laini ya simu endapo mteja ni taasisi, utafanyika chini ya usajili wa laini ya simu kibayometriki kwa taasisi kwenye maduka ya watoa huduma au mawakala kwa namna ifuatayo- (a) mwakilishi wa taasisi atawasilisha barua ya utambulisho kutoka katika taasisi husika; (b) mwakilishi wa taasisi atawasilisha kwa mtoa huduma kitambulisho cha Taifa au Namba ya kitambulisho cha Taifa; (c) Mtoa huduma atafanya usajili wa kundi la laini za simu kibayometriki kwa kuhakiki alama za vidole za mwakilishi wa taasisi mara moja kupitia mfumo wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa; (d) mtoa huduma atatunza taarifa za taasisi na mwakilishi wa taasisi; na (e) laini za simu zilizosajiliwa zitakuwa kwa jina la taasisi. Utaratibu wa usajili wa laini ya simu kwa mtoto - 10
AI-assisted research summary: Laini ya simu ya mtoto husajiliwa kibayometriki kupitia mtoa huduma, kwa nyaraka tofauti kulingana na hali ya mtoto, na inasajiliwa kwa jina la mtoto.
10. Utaratibu wa kusajili laini za simu endapo mteja ni mtoto, utafanyika chini ya usajili wa laini za simu kibayometriki kwenye maduka ya watoa huduma au mawakala kwa namna ifuatayo: au mlezi (a) mzazi atawasilisha nakala iliyothibitishwa ya cheti cha kuzaliwa cha mtoto, nakala ya cheti cha kuasili, hati halali ya kusafiria pamoja na picha ya mtoto husika; 11 Kanuni Za Mawasiliano ya Kielektroniki Na Posta KuhusuUsajili wa Laini Za Simu Tangazo la Serikali Na. 60 (Linaendelea.) (b) kwa mtoto ambaye ni mzawa au mgeni, mzazi au mlezi wake atawasilisha kwa mtoa huduma kitambulisho cha taifa na mtoa huduma atafanya usajili wa laini ya simu kibayometriki kwa kuhakiki alama za vidole za mzazi au mlezi kupitia mfumo wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa; (c) kwa mtoto ambaye ni mgeni wa muda mfupi, mzazi au mlezi wake atawasilisha kwa mtoa huduma hati ya kusafiria, na mtoa huduma atafanya usajili wa laini ya simu kibayometriki kwa kuhakiki alama za vidole za mzazi au mlezi kupitia mfumo wa Idara ya Uhamiaji; (d) kwa mtoto ambaye ni mdiplomasia, mzazi au mlezi wake atawasilisha hati halali ya kidiplomasia cha kidiplomasia kwa ajili ya usajili wa laini ya simu; kitambulisho na (e) kwa mtoto ambaye ni mkimbizi, mzazi au mlezi wake atawasilisha kwa mtoa huduma kitambulisho cha ukimbizi kilichotolewa na Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa, na mtoa huduma atafanya usajili wa laini ya simu kibayometriki kwa ajili ya uhakiki; (f) mtoa huduma atatunza taarifa za mtoto na mzazi au mlezi kwa njia ya kielektroniki; (g) laini ya simu iliyosajiliwa itakuwa kwa jina la mtoto; (h) baada ya kufikia umri wa utu uzima, mtoto atasajili upya laini ya simu kwa kutumia kitambulisho chake cha Taifa; (i) mtoa huduma atamtaarifu mtoto miezi mitatu kabla ya kufikia umri wa utu uzima na atampa muda wa nyongeza wa miezi mitatu kwa ajili ya kusajili upya laini ya simu baada ya kufikia umri wa utu uzima; na (j) endapo mtoto atashindwa kusajili upya laini ya simiu ndani ya muda wa miezi mitatu baada ya kufikia umri wa utu uzima, mtoa huduma atasitisha matumizi ya laini ya simu 12 Kanuni Za Mawasiliano ya Kielektroniki Na Posta KuhusuUsajili wa Laini Za Simu Tangazo la Serikali Na. 60 (Linaendelea.) husika. Utaratibu wa usajili wa laini ya simu kwa mgeni wa muda mfupi - 11
AI-assisted research summary: Temporary visitors must provide passport copies for biometric SIM registration, and providers must verify fingerprints, keep visitor information, and ensure the SIM is registered in the visitor’s name.
11.-(1) Utaratibu wa kusajili laini ya simu endapo mteja ni mgeni wa muda mfupi, utafanyika chini ya usajili wa laini za simu kibayometriki kwenye maduka ya watoa huduma au mawakala kwa namna ifuatayo- (a) mgeni wa muda mfupi atawasilisha nakala ya nyaraka za kusafiria; (b) mtoa huduma atafanya usajili wa laini ya simu kibayometriki kwa kuhakiki alama za vidole za mgeni wa muda mfupi kupitia mfumo wa Idara ya Uhamiaji; (c) mtoa huduma atatunza taarifa za mgeni wa muda mfupi; (d) laini ya simu iliyosajiliwa itakuwa na jina la mgeni wa muda mfupi; na (e) laini ya simu itakuwa hai kwa kipindi ambacho mgeni wa muda mfupi ameruhusiwa kukaa nchini. (2) Endapo taarifa za kibayometriki au ya hati ya kusafiria hazipo katika kanzidata ya uhamihaji au laini ya simu kanzidata ya uhamihaji haipatikani, itasajiliwa kwa namna ifuatayo: (a) mgeni wa muda mfupi ataruhusiwa kusajili laini moja tu; (b) mteja atawasilisha hati ya kusafiria kwa ajili ya usajili wa laini ya simu; (c) alama za vidole hazitachukuliwa wakati wa usajili wa laini ya simu; (d) mtoa huduma atatunza nakala ya hati ya kusafiria; (e) laini ya simu iliyosajiliwa itakuwa hai kwa muda ambao mgeni wa muda mfupi ameruhusiwa kukaa nchini; (f) laini ya simu iliyosajiliwa itakuwa kwa jina la mgeni wa muda mfupi; na (g) mtoa huduma atatunza taarifa za usajili na kuziwasilisha kwa Mamlaka kwa wakati. Utaratibu wa - 12
AI-assisted research summary: Kwa usajili wa laini ya simu kwa mgeni, mgeni lazima alete kitambulisho chake na mtoa huduma afanye usajili wa kibayometriki, akihifadhi taarifa za mgeni; laini husajiliwa kwa jina la mgeni na hubaki hai kwa muda wa ruhusa yake ya kukaa nchini.
12. Utaratibu wa usajili wa laini za simu endapo 13 Kanuni Za Mawasiliano ya Kielektroniki Na Posta KuhusuUsajili wa Laini Za Simu Tangazo la Serikali Na. 60 (Linaendelea.) usajili wa laini ya simu kwa mgeni mteja ni mgeni utafanyika chini ya usajili wa laini za simu kibayometriki kwenye maduka ya watoa huduma au mawakala kwa namna ifuatayo: (a) mgeni atawasilisha kitambulisho alichopewa na Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa; (b) mtoa huduma atafanya usajili wa laini ya simu kibayometriki kwa kuhakiki alama za vidole kupitia mfumo wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa; (c) mtoa huduma atatunza taarifa za mgeni; (d) laini ya simu iliyosajiliwa itakuwa kwa jina la mgeni; na (e) laini ya simu itakuwa hai kwa kipindi ambacho mgeni ameruhusiwa kukaa nchini. Utaratibu wa usajili wa laini ya simu kwa mkimbizi - 13 Verify source ↗
Jina
AI-assisted research summary: Refugee SIM registration must use biometric registration: the refugee presents the identity card issued by the National Identification Authority, the provider verifies fingerprints through that system, keeps the refugee’s information, and registers the SIM in the refugee’s name.
13. Utaratibu wa usajili wa laini za simu endapo mteja ni mkimbizi utafanyika chini ya usajili wa laini za simu kibayometriki kwenye maduka ya watoa huduma au mawakala kwa namna ifuatayo: (a) mkimbizi atawasilisha kitambulisho alichopewa na Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa; (b) mtoa huduma atafanya usajili wa laini ya simu kibayometriki kwa kuhakiki alama za vidole za mkimbizi kupitia mfumo wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa; (c) mtoa huduma atatunza taarifa za mkimbizi na; (d) laini ya simu iliyosajiliwa itakuwa kwa jina la mkimbizi. Utaratibu wa usajili wa laini ya simu kwa wanadiplomasia - 14
AI-assisted research summary: If the customer is a diplomat, SIM registration is done using biometric SIM registration at a service provider shop or agent, the diplomat must present a valid diplomatic travel document, fingerprints are not to be taken, the provider must keep the diplomat’s information, and the SIM is registered in the diplomat’s name.
14. Utaratibu wa usajili wa laini za simu endapo mteja ni mdiplomasia utafanyika chini ya usajili wa laini ya simu kibayometriki kwenye maduka ya watoa huduma au mawakala kwa namna ifuatayo: (a) mdiplomasia atawasilisha hati yake halali ya halali wa kusafiria kidiplomasia kwa ajili ya usajili wa laini ya simu; utambulisho na (b) alama za vidole hazitachukuliwa wakati wa usajili wa laini ya simu; 14 Kanuni Za Mawasiliano ya Kielektroniki Na Posta KuhusuUsajili wa Laini Za Simu Tangazo la Serikali Na. 60 (Linaendelea.) (c) mtoa huduma atatunza taarifa za mdiplomasia; na (d) laini ya simu iliyosajiliwa itakuwa kwa jina la mdiplomasia. Utaratibu wa usajili wa laini ya simu kwa taasisi ya kidiplomasia - 15
AI-assisted research summary: Diplomatic institutions follow a special biometric SIM registration process, including identity letters and ID documents, and the provider must not take fingerprints.
15. Utaratibu wa usajili wa laini za simu endapo mteja ni taasisi ya kidiplomasia utafanyika chini ya usajili wa laini ya simu kibayometriki kwenye maduka ya watoa huduma au mawakala kwa namna ifuatayo: (a) taasisi ya kidiplomasia itawasilisha barua za utambulisho kutoka kwenye taasisi husika na Wizara yenye dhamana na masuala ya mambo ya nje; (b) mwakilishi wa taasisi ya kidiplomasia atawasilisha hati halali ya kusafiria na kitambulisho halali cha kidiplomasia kwa ajili ya usajili wa kundi la laini za simu; (c) alama za vidole hazitachukuliwa wakati wa usajili wa laini ya simu; (d) mtoa huduma atatunza taarifa ya taasisi ya kidiplomasia na za mwakilishi; na (e) laini ya simu iliyosajiliwa itakuwa kwa jina la taasisi ya kidiplomasia. Utaratibu wa usajili wa laini ya simu itakayotumika kwenye kifaa cha kielektriniki au mashine - 16
AI-assisted research summary: Laini ya simu inayotumika kwenye kifaa au mashine ya kielektroniki lazima isajiliwe kupitia mtoa huduma, na kwa baadhi ya kampuni au taasisi usajili unafanywa kwa kuhakiki alama za vidole za mwakilishi wao.
16. Utaratibu wa usajili wa laini ya simu inayokusudiwa kutumika kwenye inayotumika au mashine cha kielektroniki laini hiyo ya simu itasajiliwa kwenye maduka ya mtoa huduma kwa namna ifuatayo- cha mawasiliano aukifaa kingine (a) endapo mashine au kifaa kingine cha mawasiliano cha kielektroniki kinamilikiwa na mtu binafsi, usajili wa laini ya simu utafanyika kama kwa mtu kibayometriki ilivyoainishwa chini ya kanuni ya 6; binafsi (b) endapo mashine au kifaa kingine cha mawasiliano cha kielektroniki kinamilikiwa na kampuni au taasisi, usajili wa laini ya simu utafanyika kibayometriki kwa kampuni au taasisi kama ilivyoainishwa chini ya kanuni ya 7 au ya kanuni ya 9; na 15 Kanuni Za Mawasiliano ya Kielektroniki Na Posta KuhusuUsajili wa Laini Za Simu Tangazo la Serikali Na. 60 (Linaendelea.) Utaratibu wa usajili wa laini ya simu kwa watumiaji wenye kasoro kwenye vidole au wasio na vidole (c) endapo kundi la laini za simu zitahtajika kusajiliwa kwa ajili ya kampuni au taasisi, mtoa huduma atafanya usajili wa kundi la laini za simu kibayometriki kwa kuhakiki alama za vidole za mwakilishi wa kampuni au taasisi mara moja kupitia mfumo wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa. - 17
AI-assisted research summary: Customers with fingerprint defects or no fingers must follow a special SIM registration process, including identity verification through the National Identification Authority.
17.-(1) Utaratibu wa usajili wa laini ya simu endapo mteja ana kasoro katika alama za vidole au hana vidole utafanyika kwa namna ifuatayo: (a) mteja atatembelea Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa kuhuisha taarifa za kasoro za alama za vidole kwenye kanzidata; (b) mteja atawasilisha kitambulisho chake cha taifa au Namba ya Utambulisho wa taifa kwa ajili ya usajili wa laini ya simu; (c) mtoa huduma atawasilisha kwa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa namba ya utambulisho wa mteja kwa uhakiki wa usajili wa laini ya simu kielektroniki; (d) baada ya kupokea maombi kwa ajili ya uhakiki, Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa itatoa maswali mbalimbali na mpangilio moja kwa moja kwa mteja kwa ajili ya uhakiki wa taarifa zake kabla ya kukamilika kwa mchakato wa usajili; yasiyo (e) mtoa huduma atamuuliza maswali mteja kama alivyopokea kutoka kwenye kanzidata ya Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa; (f) Endapo mteja atajibu angalau maswali matatu kati ya matano kwa usahihi, uhakiki utakuwa umefaulu. (2) Mtoa huduma atatunza kumbukumbu zilizohakikiwa na Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa. (3) Endapo Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa itaweka utaratibu mwingine wa uhakiki kwa wateja wenye kasoro za alama za vidole, Mamlaka itatoa utaratibu mwingine wa uhakiki kama itakavyoona inafaa. 16 Kanuni Za Mawasiliano ya Kielektroniki Na Posta KuhusuUsajili wa Laini Za Simu Tangazo la Serikali Na. 60 (Linaendelea.) Utaratibu wa usajili wa laini ya simu kwa baadhi ya watu - 18
AI-assisted research summary: Kwa usajili wa laini za simu kwa mgeni wa muda mfupi aliye na hali maalumu ya kibayometriki, mtoa huduma na Idara ya Uhamiaji wana hatua maalumu za uthibitishaji na kumbukumbu.
18.-(1) Utaratibu wa usajili wa laini za simu endapo mteja ni mgeni wa muda mfupi na ana umri zaidi ya miaka sitini na tano, ana kasoro katika alama za vidole, hana vidole au ameingia kupitia mipaka ambayo haina vifaa vya kibayometriki utafanyika kwa namna ifuatayo: (a) Idara ya Uhamihaji itaweka kanzidata maalumu kwa ajili ya wageni wa muda mfupi wenye umri zaidi ya miaka sitini na tano, walio na kasoro katika alama za vidole, wasiokuwa na vidole au walioingia kupitia mipaka isiyokuwa na vifaa vya usajili wa kibayometriki; (b) aina hii ya usajili wa laini za simu utafanyika katika maduka ya watoa huduma; (c) mteja atawasilisha hati yake ya kusafiria kwa ajili ya usajili wa laini za simu; (d) mtoa huduma atawasilisha kwa Idara ya Uhamiaji kielektroniki namba ya hati ya kusafiria ya mteja kwa ajili ya uhakiki wakati wa usajili wa laini ya simu; (e) baada ya kupokea maombi kwa ajili ya uhakiki, Idara ya Uhamiaji itatoa maswali mbalimbali yasiyo na mpangilio moja kwa moja kwa mteja kwa ajili ya uhakiki wa taarifa zake kabla ya kukamilika mchakato wa usajili; (f) mtoa huduma atatumia chaguo la maswali mengi kumhakiki mteja na atauliza maswali kama alivyoyapokea kutoka kwenye kanzidata ya Idara ya Uhamihaji; (g) endapo mteja atajibu angalau maswali matatu kati ya matano kwa usahihi, uhakiki utakuwa umefaulu. (2) Mtoa huduma zilizohakikiwa na Idara ya Uhamiaji. atatunza kumbukumbu (3) Endapo Idara ya Uhamiaji itaweka utaratibu mwingine wa uhakiki kwa wateja wenye kasoro za alama za vidole, Mamlaka itatoa utaratibu mwingine wa uhakiki kama itakavyoona inafaa. Utaratibu wa - 19
AI-assisted research summary: Mteja anayebadili jina baada ya kusajiliwa kwa ajili ya kusajili upya laini ya simu lazima atume taarifa za mabadiliko hayo kwa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa.
19. Endapo mteja ambaye jina lake limesajiliwa 17 Kanuni Za Mawasiliano ya Kielektroniki Na Posta KuhusuUsajili wa Laini Za Simu Tangazo la Serikali Na. 60 (Linaendelea.) kusajili upya laini ya simu na Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa, amebadili jina, mteja huyu atatuma taarifa za mabadiliko hayo kwa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa na utaratibu wa kusajili upya laini ya simu utakuwa kama ulivyoainishwa chini ya kanuni ya 6,7 au 9. Zuio la kutumia kitambulisho cha taifa - 20
AI-assisted research summary: Wageni, wageni wa muda mfupi, wakimbizi au madiplomasia hawapaswi kutumia kitambulisho kwa usajili wa laini ya simu bila uthibitisho wa kibiometriki.
20. Mgeni, mgeni wa muda mfupi, mkimbizi au mdiplomasia taifa kilichotolewa kwa raia wa Tanzania kwa lengo la usajili wa laini ya simu. kitambulisho hatatumia cha Haki ya kusajili laini ya simu bila uthibitisho wa kibiometriki - 21
AI-assisted research summary: Mteja wa taasisi ya Serikali au wakala aliyeidhinishwa anayehitaji msamaha wa usajili wa laini kwa njia ya kibayometriki lazima aandike barua kwa Mamlaka, awasilishe kitambulisho na kibali kwa mtoa huduma, na usajili ufanywe kwa idhini ya Mamlaka katika duka la mtoa huduma.
21. Mteja kutoka taasisi ya Serikali au wakala aliyeidhinishwa na Serikali ambaye anahitaji msamaha wa usajili wa laini ya simu kwa njia ya kibayometriki atatumia utaratibu ufuatao: (a) ataandika barua kwa Mamlaka ili kupata kibali cha msamaha wa usajili wa laini ya simu kwa njia ya kibayometriki; (b) atawasilisha kitambulisho chake cha taifa au Namba ya kitambulisho cha taifa na kibali cha Mamlaka kwa mtoa huduma kwa ajili ya usajili wa laini ya simu; (c) mtoa huduma atasajili laini ya simu kwa idhini ya Mamlaka; na (d) usajili wa laini ya simu ya aina hii utafanywa katika maduka ya watoa huduma. Taarifa ya ziada - 22
AI-assisted research summary: A person who sells, registers, or otherwise disposes of a mobile phone or communication device using a SIM line may ask the customer for extra information linked to SIM registration.
22. Mtu yeyote anayeuza, kusajili au kwa namna inayoweza nyingine yoyote anatoa kuondolewa, iliyojengwa ndani ya simu ya mkononi au kifaa cha mawasiliano kinachotumia laini ya simu anaweza kuomba taarifa ya ziada kutoka kwa mteja inayohusiana na usajili wa laini ya simu. laini ya simu SEHEMU YA TATU KUHUISHA NA KUSITISHA MATUMIZI YA LAINI ZA SIMU Kuhuisha matumizi ya laini za simu
Part
SEHEMU YA TATU
- 23
AI-assisted research summary: Mtoa huduma asiamilishe SIM bila usajili sahihi; lazima pia aweke na kuthibitisha taarifa za usajili, atumie PIN kwa SIM mpya, na awape wateja chaguo na elimu kuhusu PIN.
23.-(1) Mtoa huduma hatahuisha matumizi ya laini ya simu inayoweza kuondolewa, iliyojengwa ndani ya simu ya mkononi au kifaa cha mawasiliano 18 Kanuni Za Mawasiliano ya Kielektroniki Na Posta KuhusuUsajili wa Laini Za Simu Tangazo la Serikali Na. 60 (Linaendelea.) kinachotumia laini ya simu kwenye mfumo wake wa mawasiliano ya kielektroniki isipokuwa kama usajili wa laini ya simu umefanyika kwa mujibu wa Kanuni hizi. (2) Taarifa za usajili wa laini ya simu inayoweza kuondolewa, iliyojengwa ndani ya simu ya mkononi au kifaa cha mawasiliano kinachotumia laini ya simu zitawekwa kwenye kanzidata ya mtoa huduma baada ya kuhakikiwa ya kanzidata Vitambulisho vya Taifa au Idara ya Uhamiaji na itawasilishwa kwa wakati kwenye kanzidata Kuu ya Usajili wa Laini za simu. ya Mamlaka kupitia (3) Usajili wa laini ya simu yoyote inayoweza kuondolewa, iliyojengwa ndani ya simu ya mkononi au kifaa cha mawasiliano kinachotumia laini ya simu ambao haujahakikiwa kupitia kanzidata ya Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa, Idara ya Uhamiaji au kama ilivyoainishwa katika Kanuni hizi, utakuwa batili. (4) Laini ya simu iliyosajiliwa kwa ajili ya mgeni wa muda mfupi itakuwa hai kwa muda ambao mgeni ameidhinishwa kukaa nchini. (5) Mtoa huduma atahakikisha kuwa- (a) laini yoyote ya simu ambayo ni mpya, inayoweza kuondolewa, iliyojengwa ndani ya simu ya mkononi au kifaa cha mawasiliano kinachotumia laini ya simu inakuwa na PIN; (b) PIN ya laini ya simu imezimwa wakati wa usajili wa laini ya simu; (c) wateja wamewekewa chaguo la kuwasha au kuzima PIN kwa ajili ya usalama wa laini ya simu; (d) elimu na ushauri kuhusu umuhimu na namna laini ya simu ya kutumia PIN kwenye inatolewa kwa wateja. Uhuishaji wa matumizi ya PIN ya kufungua na kufunga laini ya simu - 24
AI-assisted research summary: This section requires the service provider to tell customers about SIM PIN use at registration and send PIN instructions after the SIM is inserted; if a PIN is entered wrong five times in a row, the line is suspended and the customer must ask for reactivation.
24.-(1) Uhuishaji wa matumizi ya PIN ya laini ya simu kwenye simu za mkononi utakuwa kwa namna ifuatayo- (a) mtoa huduma atamfahamisha mteja wakati wa usajili wa laini ya simu kwamba laini za simu zimewezeshwa PIN na kumshauri mteja 19 Kanuni Za Mawasiliano ya Kielektroniki Na Posta KuhusuUsajili wa Laini Za Simu Tangazo la Serikali Na. 60 (Linaendelea.) kutumia PIN kwa usalama wake binafsi; (b) baada ya kuweka laini ya simu kwenye simu ya mkononi, ujumbe mfupi utapokelewa moja kwa moja na taarifa kuhusu utaratibu wa kuwezesha, kubadilisha na kuzima PIN; na (c) endapo PIN ya laini ya simu imehuishwa, itatakiwa kufanya kazi wakati wote simu itakapowashwa au kuzimwa. (2) Uwezeshaji wa PIN kwenye laini za simu zinazotumiwa kwa mawasiliano ya mashine kwa mashine na vifaa vingine vinavyohusiana itakuwa kwa namna ifuatayo: (a) wakati wa usajili wa laini ya simu, mteja atatoa namba ya simu mbadala au atapewa kiungo kwa ajili ya laini za simu zote zinazotumika kwa mawasiliano ya mashine kwa mashine na vifaa vingine vinavyohusiana ili kupata taarifa ya PIN; (b) baada ya kuweka laini ya simu kwenye kifaa, ujumbe mfupi utapokelewa moja kwa moja kwenye namba ya simu mbadala au kiungo na taarifa kuhusu utaratibu wa kuwezesha, kubadilisha na kuzima PIN. (3) Endapo mteja ataweka PIN kwenye laini ya simu kwa kukosea mara tano mfululizo, laini ya simu itasitishwa matumizi na mteja atatakiwa kumuomba mtoa huduma kuhuisha laini ya simu husika. Uzimaji wa laini za simu zisizotumika laini ya - 25
AI-assisted research summary: Huduma ya laini ya simu inaweza kusitishwa baada ya kutotumika kwa siku 90, lakini haitasitishwa ikiwa mteja ametoa taarifa ya maandishi kuwa haitatumika kwa hadi miezi 12.
25.-(1) Endapo inayoweza kuondolewa, iliyojengwa ndani ya simu ya mkononi au kifaa cha mawasiliano kinachotumia laini ya simu haijatumika katika mawasiliano kwa muda wa siku tisini mfululizo, laini hiyo ya simu itasitishwa kutumika. simu (2) Bila kujali masharti ya kanuni ndogo ya (1), mtoa huduma hatasitisha matumizi ya laini ya simu inayoweza kuondolewa, iliyojengwa ndani ya simu ya mkononi au kifaa cha mawasiliano kinachotumia laini ya simu pale ambapo mteja ametoa taarifa kwa maandishi kuwa laini hiyo ya simu haitatumika kwa kipindi cha mfululizo cha miezi isiyozidi kumi na miwili. 20 Kanuni Za Mawasiliano ya Kielektroniki Na Posta KuhusuUsajili wa Laini Za Simu Tangazo la Serikali Na. 60 (Linaendelea.) (3) Mteja ambaye laini yake ya simu inayoweza kuondolewa, iliyojengwa ndani ya simu ya mkononi au kifaa cha mawasiliano kinachotumia laini ya simu kimesitishwa matumizi anaweza kuwasilisha maombi mapya ya usajili ili kupata namba yake ya awali ikiwa bado ipo. (4) Endapo mteja atafariki, ndani ya siku tisini baada ya kifo- (a) mume, mke, watoto au ndugu wa karibu atatoa taarifa ya kifo hicho kwa mtoa huduma husika; sita atawasilisha (b) msimamizi wa mirathi ndani ya kipindi cha miezi taarifa za mtu atakayerithi laini ya simu na mtoa huduma hatasitisha matumizi ya laini hiyo na mrithi huyo atatakiwa kufuata taratibu zote za usajili wa laini ya simu; (c) endapo hakuna mrithi wa laini ya simu, msimamizi wa mirathi atarudisha laini hiyo ya simu kwa mtoa huduma husika kabla ya kuisha kwa kipindi cha miezi sita. Utaratibu kwa ajili ya mizani au bakaa ya fedha Sura ya 437 - 26
AI-assisted research summary: Mtoa huduma lazima aweke utaratibu wa kushughulikia salio la fedha lililo katika laini fulani za simu au vifaa vinavyotumia laini ya simu zilizo huishwa tena chini ya Sheria ya Mfumo wa Malipo wa Taifa.
26. Mtoa huduma ataweka utaratibu wa kushughulikia salio la fedha lililopo katika laini ya simu inayoweza kuondolewa, iliyojengwa ndani ya simu ya mkononi au kifaa cha mawasiliano kinachotumia laini ya simu ambacho kimehuishwa matumizi yake kwa mujibu wa Sheria ya Mfumo wa Malipo wa Taifa. Uwasilishaji wa maelezo ya uzimaji wa laini za simu kwa Mamlaka - 27 Verify source ↗
Utaratibu wa usajili wa laini ya simu kwa mdiplomasia
AI-assisted research summary: Mtoa huduma lazima awasilishe kwa Mamlaka taarifa za laini za simu zinazoweza kuondolewa zilizo ndani ya simu au kifaa cha mawasiliano kwa wakati na katika muundo unaoamuliwa na Mamlaka.
27. Mtoa huduma atawasilisha kwa Mamlaka taarifa za laini za simu zinazoweza kuondolewa, zilizojengwa ndani ya simu ya mkononi au kifaa cha mawasiliano cha simu kinachotumia laini za simu ambazo zimesitishwa matumizi yake kwa wakati na katika muundo utakaoamuliwa na Mamlaka. SEHEMU YA NNE UTUMIAJI WA MAWAKALA KATIKA USAJILI WA LAINI ZA SIMU 21 Kanuni Za Mawasiliano ya Kielektroniki Na Posta KuhusuUsajili wa Laini Za Simu Tangazo la Serikali Na. 60 (Linaendelea.) Utumiaji wa mawakala kwenye usajili wa laini za simu Uhitaji wa mawakala
Part
SEHEMU YA NNE
- 28
AI-assisted research summary: Mtoa huduma anaweza kutumia mawakala walioidhinishwa kusajili aina fulani za laini za simu, lakini wakala lazima awe na mkataba halali na vitambulisho halali, na mtoa huduma hawezi kuruhusu wakala asiye na mkataba halali kutumia mfumo wa usajili.
28.-(1) Mtoa huduma anaweza kutumia mawakala walioidhinishwa katika kusajili laini za simu zinazoweza kuondolewa, zilizojengwa ndani ya simu ya mkononi au kifaa cha mawasiliano kinachotumia laini ya simu. (2) Wakala anayesajili laini ya simu inayoweza kuondolewa, iliyojengwa ndani ya simu ya mkononi au kifaa cha mawasiliano cha simu kinachotumia laini ya simu atakuwa na mkataba halali na kadi za utambulisho halali zinazotolewa na mtoa huduma katika mfumo ulioidhinishwa na Mamlaka. (3) Wakala anaweza kufanya kazi katika eneo mahususi au eneo lenye mipaka ya kijiografia. (4) Mtoa huduma hataruhusu wakala asiye na mkataba halali kutumia mfumo wa usajili wa mtoa huduma. - 29 Verify source ↗
30. Mtoa huduma kuwasilisha taarifa za kila mwezi
AI-assisted research summary: Mtoa huduma lazima ahakikishe mawakala wake waliotajwa na waliopata idhini ya kupata laini ya simu iliyosajiliwa wanatimiza masharti yaliyowekwa.
29.-(1) Kila mtoa huduma atahakikisha kwamba kila wakala aliyetajwa chini ya kanuni ya 28(1) ambaye ameidhinishwa kupata laini ya simu iliyosajiliwa katika mfumo atapaswa kutimiza masharti yafuatayo: (a) ikiwa ni mawakala ambao wanatoa huduma katika maduka watatakiwa kuwa na - leseni ya biashara; (i) (ii) namba ya utambulisho ya mlipa kodi; (iii) anuani ambayo inajumuisha jina la mtaa, namba ya nyumba na postikodi; biashara ya (iv) Jina la mhusika na anuani yake; (v) mawasiliano ikijumuisha namba ya simu na barua pepe; (vi) mkataba halali wa mtoa huduma; na (vii) kitambulisho halali cha Taifa cha mhusika; (b) ikiwa ni wakala wa simu ambaye hana ofisi maalumu- (i) anuani ya makazi ambayo inajumuisha jina la muhusika, mtaa, namba ya nyumba na postikodi; (ii) mawasiliano ikijumuisha namba ya simu na barua pepe; 22 Kanuni Za Mawasiliano ya Kielektroniki Na Posta KuhusuUsajili wa Laini Za Simu Tangazo la Serikali Na. 60 (Linaendelea.) (iii) hati safi ya polisi inayohuishwa kila mwaka; (iv) mkataba halali na mtoa huduma; (v) kitambulisho halali cha taifa; (vi) namba ya utambulisho wa mlipa kodi; (vii) kitambulisho halali kilichotolewa na mtoa huduma. Uwasilishaji wa taarifaza mwezi na mtoa huduma - 30 Verify source ↗
Mtoa huduma kuwasilisha taarifa za kila mwezi
AI-assisted research summary: Kila mtoa huduma lazima kila mwezi awasilishe ripoti/orodha ya mawakala wote walioidhinishwa na Mamlaka.
30. kila mtoa huduma atawasilisha kila mwezi ya mawakala wote ripoti orodha inayohakiki walioidhinishwa na Mamlaka. SEHEMU YA TANO UBADILISHAJI WA TAARIFA AU UMILIKI
Part
SEHEMU YA TANO
- 31
AI-assisted research summary: Maombi ya kubadilisha umiliki wa laini ya simu huwasilishwa kwa mtoa huduma, ambaye lazima aombe ridhaa ya mmiliki wa awali. Mmiliki wa awali anaweza kukubali au kukataa, na akiridhia mtoa huduma husajili laini kwa njia ya kibayometriki na kuhifadhi taarifa za wamiliki wote wawili.
31.-(1) Maombi ya kubadilisha umiliki wa laini ya simu yatawasilishwa kwenye duka la mtoa huduma ambapo mtoa huduma atatafuta ridhaa ya mabadiliko hayo kutoka kwa mmiliki wa awali. (2) Mmiliki wa awali anaweza kuridhia au kukataa maombi ya kubadilisha umiliki wa laini ya simu yaliyowasilishwa kwa mtoa huduma. (3) Endapo mmiliki wa awali ataridhia, mtoa huduma atasajili laini ya simu kwa njia ya kibayometriki na kuhifadhi taarifa za mmiliki wa awali na mmiliki mpya. - 32
AI-assisted research summary: Mteja wa laini ya simu inayoweza kuondolewa lazima aripoti kupotea au kuibiwa polisi ndani ya siku saba na apeleke kitambulisho kinachohitajika kwa mtoa huduma wake wanapotaka kubadilisha taarifa za laini.
32. Mteja wa inayoweza kuondolewa, iliyojengwa ndani ya simu ya mkononi au kifaa cha mawasiliano kinachotumia laini ya simu atalazimika: laini ya simu Ubadilishaji wa taarifa na umiliki Jukumu la kutoa taarifa ya kupotea kwa laini ya simu (a) kutoa taarifa ya kupotea au kuibiwa kwa laini ya simu inayoweza kuondolewa, iliyojengwa ndani ya simu ya mkononi au kifaa cha mawasiliano kinachotumia laini ya simu katika kituo cha polisi na kupata taarifa ya kupotea kwa laini ya simu husika au ripoti ya uchunguzi wa awali ndani ya siku saba kuanzia tarehe ya kupotea au kuibiwa kwa laini hiyo ya simu; 23 Kanuni Za Mawasiliano ya Kielektroniki Na Posta KuhusuUsajili wa Laini Za Simu Tangazo la Serikali Na. 60 (Linaendelea.) (b) kuwasilisha kitambulisho cha Taifa, namba ya utambulisho cha Taifa au hati ya kusafiria kwa mtoa huduma wake wakati atakapohitaji inayoweza ya kubadilisha kuondolewa, iliyojengwa ndani ya simu ya mkononi cha mawasiliano au kinachotumia laini ya simu. kifaa simu laini Ubadilishaji wa laini ya simu Kubadili taarifa kwenye simu - 33
AI-assisted research summary: Mtoa huduma lazima abadilishe laini ya simu iliyopotea, kuibiwa au kuharibika baada ya kuthibitisha umiliki; mteja lazima akabidhi laini iliyoharibika kabla ya kubadilishwa; na mtoa huduma lazima aiweke/aitunze laini hiyo kwa angalau miezi 12.
33.-(1) Mtoa huduma atabadilisha laini ya simu iliyopotea, iliyoibiwa au iliyoharibika baada ya uhakiki wa umiliki wake. (2) Mteja atakabidhi laini ya simu inayoweza kuondolewa, iliyojengwa ndani ya simu ya mkononi au kifaa cha mawasiliano kinachotumia laini ya simu ambayo imeharibika, kabla ya kuibadilisha. (3) Mtoa huduma atahakikisha kuwa laini ya simu iliyotajwa katika kanuni ndogo ya (2) inatunzwa kwa kipindi kisichopungua miezi kumi na miwili. - 34 Verify source ↗
Ubadilishaji wa taarifa na umiliki
AI-assisted research summary: Mtoa huduma lazima ahakikishe laini zote zilizobadilishwa zimehakikiwa, na ahifadhi na kuwasilisha taarifa na taratibu zinazohusiana na ubadilishaji wa laini.
34.-(1) Mtoa huduma atahakikisha kuwa laini za simu zote zilizobadilishwa zimehakikiwa kibayometriki au zimehakikiwa kwa namna ilivyowekwa chini ya kanuni hizi. (2) Bila kujali kanuni ndogo ya (1), mtoa huduma- (a) atawasilisha kwa Mamlaka taratibu zake za kubadili laini ya simu; (b) atahifadhi taarifa za usajili wa laini ya simu zilizobadilishwa; (c) atatunza laini ya simu inayoweza kuondolewa, iliyojengwa ndani ya simu ya mkononi au kifaa cha mawasiliano kinachotumia laini ya simu iliyoharibika; (d) atarekodi na kuhifadhi taarifa za wakala aliyehamisha taarifa za laini ya simu pamoja na za mtu yeyote mwenye uwezo wa kuingia na kutumia kanzidata inayotunza uhamishaji wa taarifa kwenye laini mpya; (e) atatunza taarifa zote alizozipata chini ya kanuni hii kwenye kanzidata itakayofikika kwa urahisi kwa kipindi cha miezi kumi na 24 Kanuni Za Mawasiliano ya Kielektroniki Na Posta KuhusuUsajili wa Laini Za Simu Tangazo la Serikali Na. 60 (Linaendelea.) miwili. SEHEMU YA SITA MASHARTI YA JUMLA Uhitaji wa wakala kukaguliwa Kuzuia udanganyifu
Part
SEHEMU YA SITA
- 35
AI-assisted research summary: Mtoa huduma lazima amkague wakala wake kila mwezi na awasilishe taarifa ya mwezi kwa Mamlaka.
35. Mtoa huduma atamkagua wakala wake kila mwezi kuhakikikisha kuwa matakwa ya usajili wa laini za simu yanazingatiwa na kuwasilisha taarifa ya mwezi kwa Mamlaka. - 36
AI-assisted research summary: All service providers must control fraud in SIM card registration and carry out the listed fraud-prevention steps.
36. Watoa huduma wote watadhibiti vitendo vya udanganyifu wakati wa usajili wa laini za simu kwa kuzingatia yafuatayo: (a) kutekeleza taratibu za ndani za kudhibiti vitendo vya udanganyifu wakati wa usajili wa laini za simu; (b) kusitisha matumizi ya laini zote za simu ambazo zimebainika kuwa zimesajiliwa kwa udanganyifu; (c) kushirikiana pale inapowezekana, kuzuia vitendo vya udanganyifu au vitendo ambavyo havijaidhinishwa wakati wa usajili wa laini za simu na kuchukua hatua stahiki dhidi ya wahusika wa vitendo vya udanganyifu; (d) kuhakikisha ulinzi na usiri wa taarifa kwa kufuata sheria husika zinazotumika pamoja na sheria nyingine za makampuni na biashara; (e) kufidia waathirika wa upotevu wowote wa pesa na mali utakaotokana na vitendo vya udanganyifu unaohusiana na usajili wa laini za simu ambapo mtoa huduma alishindwa kumtambua mhusika aliyefanya udanganyifu; (f) kuweka zuio la kuendelea kutumika katika usajili wa simu, namba za kitambulisho cha taifa au hati ya kusafiria iliyotumika kusajili laini ya simu ambayo imebainika katika kitendo cha udanganyifu; (g) kuweka zuio la kuendelea kutumika kwa tambulishi za vifaa vyote vya ambavyo namba kielektroni na mawasiliano laini za 25 Kanuni Za Mawasiliano ya Kielektroniki Na Posta KuhusuUsajili wa Laini Za Simu Tangazo la Serikali Na. 60 (Linaendelea.) vimebainika kutumika katika vitendo vya udanganyifu; (h) kuwasilisha kwa Mamlaka, taarifa zote za namba ya kitambulisho cha taifa au hati ya kusafiria, namba ya laini ya simu na namba tambulishi ya kifaa ambazo zimefungiwa kwa ajili ya kuwataarifu watoa huduma wengine ili waweze kuzizuia kutumika katika mitandao yao; na (i) kuwaondoa kwenye mfumo wa usajili wa laini simu mawakala wote waliobainika za kuhusika kwenye vitendo vya udanganyifu wakati wa usajili wa laini za simu; (j) kuwasilisha za taarifa mawakala walioondolewa kwenye mifumo ya usajili wa laini za simu kwa Mamlaka ya kuwasilishwa kwa watoa huduma wengine kwa hatua stahiki; na (k) kutekeleza utaratibu mwingine wowote kama utakavyoidhinishwa na Mamlaka. Ukomo wa umiliki wa idadi za laini za simu - 37
AI-assisted research summary: Section 37 limits how many SIM cards a person, company, or institution may register or own, restricts registered SIMs to their intended use, and sets fines for breaches.
37.-(1) Mtu anayekusudia kumiliki na kutumia laini ya simu cha mawasiliano laini ya simu iliyojengewa kilichowezeshwa na laini ya simu ataruhusiwa kusajili- inayoweza kutolewa, ndani kifaa au (a) ikiwa ni mtu binafsi- (i) laini ya simu moja pekee kwa kila mtandao wa simu kwa ajili ya matumizi ya sauti, ujumbe mfupi na huduma za kimtandao; laini za simu zisizozidi tano kwa kila mtandao wa simu kwa ajili ya matumizi ya mawasiliano ya mashine kwa mashine; na (b) ikiwa ni kampuni au taasisi, atasajili- (ii) (i) (ii) laini za simu zisizozidi mia moja kwa kila mtandao wa simu kwa ajili ya matumizi ya sauti, ujumbe mfupi na huduma za mtandao; na laini za simu zisizozidi mia mbili 26 Kanuni Za Mawasiliano ya Kielektroniki Na Posta KuhusuUsajili wa Laini Za Simu Tangazo la Serikali Na. 60 (Linaendelea.) kutoka kwa kila mtandao wa simu kwa ajili ya matumizi ya mawasiliano ya mashine kwa mashine. (2) Laini ya simu iliyosajiliwa chini ya kanuni ndogo ya (1) haitatumika kwa matumizi tofauti na yaliyokusudiwa wakati wa usajili. (3) Bila kujali kanuni ndogo ya (1), mtu binafsi, kampuni au taasisi inaweza kuruhusiwa kusajili au kumiliki zaidi ya idadi ya laini za simu zilizoainishwa baada ya kupokea ridhaa ya kusajili laini ya ziada kutoka kwa Mamlaka. (4) Mamlaka inaweza kuweka ukomo wa laini za ziada kwa aina ya usajili. (5) Kwa kuzingatia kanuni ndogo ya (3), mtu binafsi, kampuni au taasisi itawasilisha sababu za msingi kwa kila ombi la laini za simu za ziada. (6) Mtu ambaye atakiuka kanuni hii, atakuwa ametenda kosa na atakapotiwa hatiani atawajibika kama ifuatavyo- (a) endapo kulipa binafsi, ni mtu faini isiyopungua shilingi milioni tano au kifungo kisichopungua miezi kumi na miwili au vyote na atawajibika kulipa isiyopungua shilingi elfu sabini na tano kwa kila siku ambayo laini ya simu husika ilitumika au kumilikiwa; na faini (b) ikiwa ni kampuni au taasisi, kulipa faini isiyopungua shilingi milioni hamsini na atawajibika kulipa faini isiyopungua shilingi laki moja na elfu sabini na tano kwa kila siku ambayo laini ya simu husika ilitumika au kumilikiwa. Uthibitishaji wa laini za simu zilizopo - 38
AI-assisted research summary: Mtoa huduma lazima amuambie mteja aliye na laini nyingi ndani ya siku 30 achague namba kuu na athibitishe namba za ziada.
38.-(1) Endapo mtu binafsi au kampuni au taasisi inamiliki idadi ya laini za simu zaidi ya zilizoainishwa katika kanuni ya 37(1), mtoa huduma atamtaarifu mteja husika ndani ya siku thelathini kuanzia tarehe ya kutangazwa kwa kanuni hizi ili achague namba kuu ya laini ya simu na kuhakiki namba za ziada pasipo idadi kilichoainishwa katika kuzidisha kikomo cha 27 Kanuni Za Mawasiliano ya Kielektroniki Na Posta KuhusuUsajili wa Laini Za Simu Tangazo la Serikali Na. 60 (Linaendelea.) Kanuni hizi. (2) Baada ya kushindwa kuzingatia matakwa yaliyowekwa chini ya kanuni ndogo ya (1), mtoa huduma atasitisha matumizi ya laini zote za simu ambazo hazijahakikiwa ndani ya siku thelathini kuanzia tarehe ya kutolewa kwa notisi. (3) Endapo mtoa huduma atashindwa, ataacha au atazembea kuzingatia matakwa chini ya kanuni ndogo ya (1) na ya (2), atalipa faini isiyopungua shilingi milioni tano. (4) Endapo laini ya simu iliyosajiliwa imesitishwa matumizi chini ya kanuni ndogo ya (2) na mmiliki ana nia ya kuihuisha, mtoa huduma anaweza kuisajili upya laini hiyo ya simu kwa kuzingatia upatikanaji wake. Kosa kwa utumiaji mbaya wa taarifa - 39
AI-assisted research summary: Mtoa huduma au wakala haruhusiwi kutumia taarifa ya mteja vibaya kwa usajili wa laini ya simu.
39. Mtoa huduma au wakala yeyote atakayetumia taarifa ya mteja vibaya kwa ajili ya usajili wa laini ya simu, atakuwa ametenda kosa na atakapotiwa hatiani atalipa faini isiyopungua shilingi milioni tano au kifungo cha kipindi kisichopungua miezi kumi na miwili au vyote. Adhabu ya jumla - 40
AI-assisted research summary: Mtu yeyote anayekiuka masharti ya Kanuni hizi bila adhabu mahususi anaweza kuwa ametenda kosa na, akitiwa hatiani, ataadhibiwa kwa adhabu iliyoainishwa chini ya Sheria.
40.-(1) Mtu yeyote atakayekiuka masharti yoyote ya Kanuni hizi pale ambapo hakuna adhabu mahususi iliyowekwa, atakuwa ametenda kosa na atakapotiwa hatiani atawajibika kwa adhabu iliyoainishwa chini ya Sheria. (2) Bila kujali kanuni ndogo ya (1), endapo mtu atakuwa ametenda kosa chini ya Kanuni hizi, Mkurugenzi Mkuu wa mamlaka anaweza, pale ambapo mtu huyo amekubali kwa maandishi, kufifilisha kosa hilo kwa namna ilivyoainishwa kwenye Sheria. Kufutwa kwa TS Na. 112 la 2020 - 41 Verify source ↗
Ukaguzi wa wakala
AI-assisted research summary: Kanuni za mwaka 2020 kuhusu usajili wa laini za simu zimefutwa.
41. Kanuni za Mawasiliano ya Kielektroniki na Posta kuhusu Usajili wa laini za Simu za Mwaka 2020 zimefutwa. Dodoma, 1 Februari, 2023 NAPE MOSES NNAUYE, Waziri wa Habari, Mawasiliano Na Teknolojia ya Habari 28
Provision text is displayed from LexChat’s stored statute record. Use the official source links to verify amendments, commencement, and current legal force.
Ask AI about this statute
Kanuni za Mawasiliano ya Kielektroniki na Posta kuhusu Usajili wa Laini za Simu, 2023
Sign in to ask AI about this statute
Sign in to start authenticated, citation-grounded statute research.
Sign in