Kanuni za Usafiri Majini za Uchunguzi wa Afya za mwaka 2023
These regulations are called the Maritime Transport Health Inspection Regulations, 2023.
AI-assisted research synopsis — verify against the official legal text below.
- Jurisdiction
- Tanzania
- Instrument
- Regulation
- Citation
- Kanuni za Usafiri Majini za Uchunguzi wa Afya za mwaka 2023
- Version
- Undated source snapshot
- Language
- sw
- Official source
- View official record ↗
Statute overview
About this statute
These regulations are called the Maritime Transport Health Inspection Regulations, 2023. Kanuni hizi zinatumika kwa makundi fulani ya mabaharia na nahodha, na hazitumiki kwa baadhi ya vyombo na mitambo iliyosimikwa. This section defines key terms used in the regulations. Shirika linaweza kuteua daktari wa kuchunguza mabaharia au nahodha, lakini daktari huyo lazima awe na angalau miaka mitano ya uzoefu na alete nyaraka za taaluma na usajili. Shirika may suspend or cancel a doctor’s appointment for specified reasons, and must give 30 days’ written notice if it does so.
Search within this statute
Search all stored provisions in this version.
Legal text
Provisions of Kanuni za Usafiri Majini za Uchunguzi wa Afya za mwaka 2023
Showing 23 of 23
- 1 Verify source ↗
Jina
AI-assisted research summary: These regulations are called the Maritime Transport Health Inspection Regulations, 2023.
1. Kanuni hizi zitajulikana kama Kanuni za Usafiri Majini za Uchunguzi wa Afya za mwaka 2023. - 2 Verify source ↗
Matumizi
AI-assisted research summary: Kanuni hizi zinatumika kwa makundi fulani ya mabaharia na nahodha, na hazitumiki kwa baadhi ya vyombo na mitambo iliyosimikwa.
2.-(1) Isipokuwa kama imeelezwa vinginevyo, Kanuni hizi zitatumika katika kutekeleza Mkataba wa Kimataifa wa Viwango vya Mafunzo, Utoaji Vyeti na Ufanyaji Kazi Melini kwa Mabaharia, 1978 na Mkataba wa Kimataifa wa Ajira za Mabaharia, 2006 kama ilivyorekebishwa. (2) Bila kuathiri ujumla wa kanuni ndogo ya (1), Kanuni hizi zitatumika kwa- (a) baharia au nahodha mwenye cheti halali cha matibabu na mwenye cheti cha Tanzania kilichotolewa chini ya Kanuni za Usafiri Majini za Mafunzo, Utoaji Vyeti na Idadi na Sifa za Wafanyakazi Melini bila kujali ukubwa wa meli anayofanya kazi au anayokusudia kufanya kazi; na (b) baharia au nahodha wa meli zinazosafiri si meli za Tanzania, baharini ambazo zinapokuwa katika bandari ya Tanzania. (3) Bila kujali masharti ya kanuni ndogo ya (2), Kanuni hizi hazitatumika kwa: (a) vyombo vya starehe; (b) vyombo vya uvuvi; (c) meli za kivita au usaidizi wa jeshi la wanamaji; (d) vyombo vya majini vinavyomilikiwa na kuendeshwa na idara au wakala wa Serikali kwa madhumuni yasiyo ya kibiashara; na 3 Kanuni za Usafiri Majini za Uchunguzi wa Afya Tangazo la Serikali Na.336 (linaendelea) (e) mitambo iliyosimikwa inapokuwa katika maeneo yake ya kazi. baharini wakati Tafsiri - 3 Verify source ↗
Tafsiri
AI-assisted research summary: This section defines key terms used in the regulations.
3. Katika Kanuni hizi, isipokuwa kama muktadha utahitaji vinginevyo- “baharia” inajumuisha kila mtu isipokuwa nahodha wa meli, rubani au mwanagenzi aliyeingia mkataba au na anafanya kazi katika nafasi yoyote ndani ya meli; amesajiliwa, ameajiriwa ambaye Sura ya 152 “daktari” ina maana iliyoainishwa chini ya Sheria ya Matabibu, Madaktari wa Meno na Wataalamu wa Afya Shirikishi; “mmiliki” kuhusiana na meli, au “mmiliki wa meli” maana yake, kwa meli iliyosajiliwa, ni mmiliki inajumuisha mkodishwaji aliyesajiliwa na mwenye majukumu na mmiliki mwendeshaji au wakala mwendeshaji; “Notisi” maana yake ni Notisi ya Usafiri Majini iliyotolewa na Msajili; “cheti cha utimamu wa afya” maana yake ni cheti cha afya cha baharia kilichotolewa chini ya Kanuni hizi; yote “daktari mwamuzi” maana yake ni mmoja wa madaktari aliyeteuliwa na Msajili kufanya mapitio ya uchunguzi wa mabaharia au nahodha kwa mujibu wa kanuni ya 21 ya Kanuni hizi; “meli” maana yake ni chombo kinachoelea ambacho kinajiendesha na chenye uwezo wa kubeba abiria au mizigo na inajumuisha kila aina ya chombo kinachotumika katika usafari majini; “Mkataba wa STCW” maana yake ni Mkataba wa Kimataifa wa Viwango vya Mafunzo, Utoaji kwa Vyeti na Ufanyaji Kazi Melini Mabahariawa kama ulivyofanyiwa marekebisho; mwaka 1978, Sura ya 415 “Msajili” maana yake ni Msajili aliyeteuliwa chini ya kifungu cha 31 cha Sheria ya Uwakala wa Meli Tanzania; “nahodha” maana yake ni mtu, isipokuwa rubani, 4 Kanuni za Usafiri Majini za Uchunguzi wa Afya Tangazo la Serikali Na.336 (linaendelea) mwenye amri au jukumu la usimamizi wa meli, ndege ya baharini au chombo kingine kikiwa juu au karibu na maji; “Sheria” maana yake ni Sheria ya Usafiri Majini; “Shirika” maana yake ni Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania lilioanzishwa chini ya kifungu cha 4 cha Sheria ya Uwakala wa Meli Tanzania. Sura ya 165 Sura ya 415 SEHEMU YA PILI UTEUZI, SIFA NA ENEO LA DAKTARI KUFANYIA KAZI Uteuzi wa daktari
Part
SEHEMU YA PILI
- 4 Verify source ↗
Uteuzi wa daktari
AI-assisted research summary: Shirika linaweza kuteua daktari wa kuchunguza mabaharia au nahodha, lakini daktari huyo lazima awe na angalau miaka mitano ya uzoefu na alete nyaraka za taaluma na usajili.
4.-(1) Shirika linaweza kuteua daktari kwa madhumuni ya kufanya uchunguzi kwa mabaharia au nahodha kwa ajili ya kubaini utimamu wa afya zao. (2) Kwa kuzingatia kanuni ndogo ya (1), daktari aliyeteuliwa anapaswa kuwa na uzoefu wa kazi ya utabibu kwa muda usiopungua miaka mitano. (3) Daktari anayetaka kuteuliwa atapaswa kuwasilisha kwa Shirika nyaraka zifuatazo: (a) vyeti husika vya taaluma; na (b) cheti cha usajili kinachotolewa na chombo husika cha ithibati ya matibabu. (4) Katika kuhakiki uhalisi na uhalali wa nyaraka zilizoambatishwa katika maombi, Shirika linaweza kumtaka daktari kutoa taarifa za nyongeza kadiri litakavyoona inafaa. (5) Shirika litaingia katika makubaliano ya kimaandishi na daktari aliyeteuliwa kuhusiana na usimamizi na utoaji wa huduma ya uchunguzi wa afya kwa mabaharia. Kusitisha au kufuta uteuzi wa daktari - 5 Verify source ↗
Kusitisha au kufuta uteuzi wa daktari
AI-assisted research summary: Shirika may suspend or cancel a doctor’s appointment for specified reasons, and must give 30 days’ written notice if it does so.
5.-(1) Uteuzi wa daktari unaweza kusitishwa au kufutwa na Shirika kwa maandishi- (a) kwa kuzingatia mapendekezo yaliyotolewa katika uchunguzi au taarifa ya ukaguzi na mamlaka husika; (b) endapo daktari amehama sehemu au eneo analofanyia kazi yake ya kitabibu kwenda sehemu au eneo lingine bila kutoa taarifa kwa Shirika; (c) pale ambapo, kwa maoni ya Shirika, mazingira 5 Kanuni za Usafiri Majini za Uchunguzi wa Afya Tangazo la Serikali Na.336 (linaendelea) yanalazimu kusitisha au kufuta uteuzi; (d) baada ya usajili wa daktari kubatilishwa na chombo husika cha ithibati ya madaktari. ; (e) endapo daktari atashindwa kuzingatia masharti ya Kanuni hizi. (2) Endapo Shirika litafanya uamuzi wa kusitisha au kufuta uteuzi wa daktari, litatoa notisi ya maandishi ya siku thelathini. (3) Ikiwa ni kusitisha uteuzi, Shirika litaainisha muda wa kusitishwa au masharti ambayo yakitimizwa yatapelekea kuondoa sitisho.
Part
sehemu au eneo lingine bila kutoa taarifa kwa
- 6 Verify source ↗
7. Uhamisho wa eneo
AI-assisted research summary: Uchunguzi wa afya ya mabaharia au nahodha ufanyike katika eneo lililosajiliwa na mamlaka husika, lenye miundombinu na vifaa vinavyohitajika.
6.-(1) Uchunguzi wa afya ya mabaharia au nahodha utafanyika katika sehemu au eneo ambalo limesajiliwa na mamlaka husika. (2) Sehemu au eneo husika litakua na miundombinu na vifaa vinavyohitajika katika kufanya uchunguzi wa utimamu wa afya na kufikika kwa urahisi. (3) Shirika litafanya ukaguzi wa eneo na vifaa ili kuthibitisha kama vinafaa katika kufanya uchunguzi wa utimamu wa afya. - 7 Verify source ↗
Uhamisho wa eneo
AI-assisted research summary: Daktari anayehama huduma zake kwenda eneo jingine lazima atoe taarifa ya maandishi kwa Shirika angalau siku 5 kabla; Shirika lazima lifanye uhakiki wa eneo ndani ya siku 14 baada ya kupokea taarifa.
7.-(1) Daktari kuhamisha huduma zake kwenda eneo lingine atalitaarifu Shirika kwa maandishi angalau siku tano kabla ya mabadiliko hayo. anayekusudia (2) Baada ya kupokea taarifa katika kanuni ndogo ya (1), Shirika litafanya uhakiki wa eneo husika ndani ya siku kumi na nne baada ya kupokea taarifa. SEHEMU YA TATU CHETI CHA UTIMAMU WA AFYA
Part
SEHEMU YA TATU
- 8 Verify source ↗
Ajira kwa baharia
AI-assisted research summary: Mmiliki wa meli au nahodha lazima amwajiri baharia mwenye cheti halali cha utimamu wa afya kinachofaa; kuna masharti ya muda kwa kuendelea kumwajiri baharia ambaye cheti chake kinaisha au kimemalizika karibu, na ukiukaji wa sharti la msingi ni kosa linaloweza kuleta faini.
8.-(1) Mmiliki wa meli au nahodha atamwajiri baharia mwenye cheti halali cha utimamu wa afya kinachofaa kwa eneo ambalo meli itafanya kazi au kwa kazi ambayo baharia ataajiriwa kufanya kama ilivyoainishwa katika Jedwali la Kwanza. (2) Baharia atachukuliwa kuwa mwenye utimamu wa afya endapo- 6 Sehemu au eneo kwa ya ajili uchunguzi wa afya Uhamisho wa eneo Ajira kwa baharia Kanuni za Usafiri Majini za Uchunguzi wa Afya Tangazo la Serikali Na.336 (linaendelea) (c) (a) ana cheti halali cha utimamu wa afya; (b) hakuna ushahidi kwamba hali yake ya kiafya imebadilika tangu uchunguzi wa awali wa kiafya kiasi ambacho kingeweza kumfanya ashindwe kutekeleza majukumu yake kama inavyotakiwa; au imethibitishwa kuwa ana cheti cha utimamu wa afya kilichoisha muda wake karibuni na inawezekana kwa baharia kuchunguzwa na kupata cheti cha utimamu wa afya katika bandari inayofuata. (3) Endapo cheti cha utimamu wa afya cha baharia kitaisha muda wake wakati wa safari, mmiliki wa meli au nahodha anaweza kuendelea kumwajiri baharia- (a) kwa muda usiozidi miezi mitatu kuanzia tarehe ya kuisha muda kwa cheti cha utimamu wa afya, au (b) mpaka kwenye bandari nyingine ambayo baharia anaweza kuchunguzwa na kupata cheti cha utimamu wa afya, mradi ana cheti cha utimamu wa afya ambacho muda wake umekwisha karibuni; chochote kitakachotangulia. (4) Msajili anaweza kumruhusu baharia mwenye cheti cha utimamu wa afya kilichoisha muda wake ndani ya mwezi kabla ya tarehe ambayo baharia alijiunga na meli zinazoguswa na Kanuni hizi, kuajiriwa licha ya kuisha muda wa cheti, hadi bandari nyingine ambapo baharia atapata cheti cha utimamu wa afya kwa mujibu wa Kanuni hizi: Isipokuwa, muda wa ruhusa hiyo hautazidi miezi mitatu. (5) Mmiliki wa meli au nahodha atakayekiuka masharti ya kanuni ndogo ya (1) anatenda kosa na akitiwa hatiani atawajibika kulipa faini isiyopungua Dola za Marekani elfu mbili au kiwango sawa na hicho kwa shilingi za Tanzania. Sifa za kupata cheti cha utimamu wa afya
Part
Sehemu au eneo
- 9 Verify source ↗
10. Kiwango cha utimamu wa afya
AI-assisted research summary: Baharia au nahodha anayetaka cheti cha utimamu wa afya lazima awe na angalau miaka 18, atoe uthibitisho wa utambulisho, na afanyiwe uchunguzi wa afya.
9.-(1) Baharia au nahodha anayekusudia kupata cheti cha utimamu wa afya, atapaswa- 7 Kanuni za Usafiri Majini za Uchunguzi wa Afya Tangazo la Serikali Na.336 (linaendelea) (a) kuwa na umri wa angalau miaka kumi na nane; (b) kutoa kuridhisha uthibitisho wa unaomtambulisha baharia; na (c) kufanyiwa uchunguzi wa afya ili kuhakiki utimamu wake, kwa kuzingatia viwango vya kitabibu kama ilivyoainishwa katika kanuni ya - 10 Verify source ↗
Kiwango cha utimamu wa afya
AI-assisted research summary: Baharia mwenye umri wa miaka 16 hadi chini ya 18 anaweza kupata cheti cha utimamu wa afya kwa ajili ya mafunzo melini.
10. (2) Bila kujali masharti ya kanuni ndogo ya (1), baharia mwenye umri wa chini ya miaka kumi na nane lakini mwenye zaidi ya miaka kumi na sita anaweza kupata cheti cha utimamu wa afya kwa madhumuni ya kupata mafunzo melini. (3) Cheti cha utimamu wa afya- (a) kitakuwa katika lugha ya Kiingereza na katika muundo kama ilivyoainishwa katika Jedwali la Kwanza; na (b) kitatoa taarifa endapo mwombaji anafaa au hafai kufanya kazi ya ubaharia aliyoajiriwa kuifanya. (4) Endapo uoni wa rangi unatiliwa shaka, daktari kuzingatia majukumu atakayoyafanya baharia au nahodha akiwa baharini, kuendelea kufanya kipimo cha uthibitisho wa uoni wa rangi- anaweza, kwa Kiwango cha utimamu wa afya (a) kwa kutumia kituo kilichoteuliwa na Shirika; na (b) kwa mujibu wa viwango vya chini vya uoni kwa baharia au nahodha. - 10 Verify source ↗
Kiwango cha utimamu wa afya
AI-assisted research summary: Uchunguzi wa afya wa baharia au nahodha kwa ajili ya cheti cha utimamu wa afya lazima uzingatie viwango vya kuona, uoni, na usikiaji.
10.-(1) Uchunguzi wa afya ya baharia au nahodha kwa ajili ya utoaji wa cheti cha utimamu wa afya utazingatia viwango vya- (a) kuona na uoni; na (b) usikiaji. (2) Kwa kuzingatia masharti ya kanuni ndogo ya (1), viwango vitakuwa kama ilivyoainishwa katika Jedwali la Pili. (3) Kipimo cha kuona na uoni wa rangi kitakachofanyika kitakuwa halali kwa kipindi kisichozidi miaka sita. (4) Shirika linaweza kuteua mahali kama kituo 8 Kanuni za Usafiri Majini za Uchunguzi wa Afya Tangazo la Serikali Na.336 (linaendelea) cha rufaa kwa madhumuni ya kutathmini uwezo wa uoni wa rangi ili kumpa daktari taarifa muhimu kwa ajili kutoa cheti cha utimamu wa afya. Uhalali wa cheti
Part
Jedwali la Pili.
- 11 Verify source ↗
Uhalali wa cheti
AI-assisted research summary: Cheti cha utimamu wa afya kina muda wa uhalali tofauti kulingana na umri wa baharia: hadi mwaka 1 kwa walio chini ya miaka 18 na hadi miaka 2 kwa walio na miaka 18 na kuendelea.
11. Muda wa uhalali wa cheti cha utimamu wa afya utakuwa kama ifuatavyo: (a) kwa baharia ambaye hajatimiza umri wa miaka kumi na nane, muda usiozidi mwaka mmoja; na (b) kwa baharia aliyetimiza umri wa miaka kumi na nane, muda usiozidi miaka miwili. Umiliki wa cheti cha utimamu wa afya - 12 Verify source ↗
Umiliki wa cheti cha utimamu wa afya
AI-assisted research summary: Baharia au nahodha aliyepewa cheti cha utimamu wa afya lazima awe nacho halisi wakati wote akiwa kwenye meli na akionyeshe inapohitajika na mkaguzi au mchunguzi.
12. Baharia au nahodha aliyepewa cheti cha utimamu wa afya- (a) atahakikisha kwamba cheti halisi kipo katika umiliki wake muda wote atakapokuwa kwenye meli kwa kipindi cha ajira yake; na (b) ataonesha cheti hicho pale ambapo atahitajika kufanya hivyo na mkaguzi au mchunguzi. Utambuzi wa cheti cha utimamu wa afya kilichotolewa na nchi nyingine - 13 Verify source ↗
Utambuzi wa cheti cha utimamu wa afya kilichotolewa na nchi
AI-assisted research summary: A foreign government-issued health certificate may be treated as equivalent to a certificate issued under these Regulations if it is issued for STCW Convention implementation or by a country named in the Maritime Notice.
13. Cheti cha utimamu wa afya kilichotolewa na mamlaka ya serikali ya nchi nyingine katika kutekeleza mashati ya Mkataba wa STCW au nchi iliyoainishwa katika Notisi ya Usafiri Majini kitakuwa sawa na cheti cha utimamu wa afya kilichotolewa chini ya Kanuni hizi. Kusitisha au kufuta cheti cha utimamu wa afya - 14 Verify source ↗
Kusitisha au kufuta cheti cha utimamu wa afya
AI-assisted research summary: Shirika linaweza kusitisha au kufuta cheti cha utimamu wa afya cha baharia au nahodha kwa masharti fulani, na lazima liwajulishe kwa maandishi na kuhitaji kurejesha cheti ndani ya siku saba.
14.-(1) Shirika linaweza- (a) kusitisha cheti mpaka baharia atakapofanya uchunguzi mwingine wa afya na kuidhinishwa; pale (b) kusitisha cheti kwa muda ambao baharia kama hataweza itakavyopendekezwa na daktari au; baharini kusafiri (c) kufuta cheti endapo daktari atapendekeza kwamba baharia hataweza kamwe kusafiri baharini. (2) Shirika litasitisha au kufuta cheti pale litakuwa na sababu za msingi kuamini endapo kwamba- (a) kumekuwa na mabadiliko makubwa ya kiafya ambayo yanaathiri utimamu wa afya ya baharia 9 Kanuni za Usafiri Majini za Uchunguzi wa Afya Tangazo la Serikali Na.336 (linaendelea) au nahodha wakati wa uhalali wa cheti chake; na, (b) cheti cha utimamu wa afya kilitolewa kwa baharia au nahodha kinyume na matakwa ya Kanuni hizi. (3) Endapo Shirika limesitisha au kufuta cheti kilichotolewa chini ya Kanuni hizi, litamjulisha baharia au nahodha kuhusu uamuzi huo kwa maandishi. (4) Shirika litamwelekeza baharia au nahodha ambaye cheti chake kimesitishwa au kufutwa chini ya kanuni ndogo ya (1) kusalimisha cheti hicho kwa Shirika ndani ya siku saba. (5) Ikiwa cheti kimesitishwa, Shirika litaainisha yakitekelezwa ambayo au masharti muda yatasababisha sitisho kuondolewa. Cheti cha ustadi na cheti cha umahiri - 15 Verify source ↗
Cheti cha ustadi na cheti cha umahiri
AI-assisted research summary: A health fitness certificate issued under these Regulations is accepted as proof of a seafarer’s or master’s health fitness, or as proof for a skill or competence certificate application.
15. Cheti cha utimamu wa afya kilichotolewa chini ya Kanuni hizi kitakubalika kama uthibitisho wa utimamu wa afya ya baharia au nahodha anayeomba kupewa au uthibitisho wa cheti cha ustadi au umahiri. Makosa chini ya Kanuni hizi SEHEMU YA NNE MAKOSA NA ADHABU
Part
SEHEMU YA NNE
- 16 Verify source ↗
Makosa chini ya Kanuni hizi
AI-assisted research summary: This section creates offences for using an unfit seaman, giving false information or documents, issuing health certificates without proper appointment, and for a seaman failing to comply with the Regulations.
16.-(1) Mtu yeyote atakayekiuka masharti ya Kanuni hizi kwa: (a) kumwajiri baharia asiyekuwa na cheti hai cha utimamu wa afya kinachofaa kwa eneo atakalofanya kazi katika meli; (b) kutoa taarifa isiyo sahihi au nyaraka zisizo sahihi, anatenda kosa na akitiwa hatiani atawajibika kulipa faini isiyopungua thamani ya shilingi za Tanzania sawa na Dola za Marekani elfu tano au kifungo kisichozidi miezi sita au vyote. (2) Daktari atakayetoa cheti cha utimamu wa afya- (a) bila kuteuliwa na Shirika; au (b) wakati uteuzi wake wa kutoa huduma ya uchunguzi wa afya kwa mabaharia umesitishwa 10 Kanuni za Usafiri Majini za Uchunguzi wa Afya Tangazo la Serikali Na.336 (linaendelea) au umefutwa na Shirika, anatenda kosa na akitiwa hatiani atawajibika kulipa faini isiyopungua thamani ya shilingi za Tanzania sawa na Dola za Marekani elfu tano au kifungo kisichozidi miezi sita au vyote. (3) Baharia ambaye atashindwa kuzingatia masharti ya Kanuni hizi, anatenda kosa na akitiwa hatiani atawajibika kulipa faini isiyopungua thamani ya shilingi za Tanzania sawa na Dola za Marekani elfu mbili. Adhabu ya jumla - 17 Verify source ↗
Adhabu ya jumla
AI-assisted research summary: A person who commits an offence not expressly penalized in these Regulations is liable, if convicted, to the penalty set by law.
17. Endapo mtu atatenda kosa ambalo adhabu yake haijatamkwa katika Kanuni hizi, akitiwa hatiani atawajibika kwa adhabu iliyoainishwa katika Sheria. SEHEMU YA TANO MASHARTI YA JUMLA Mfumo wa viwango vya ubora Taarifa za afya ya baharia au nahodha
Part
SEHEMU YA TANO
- 18 Verify source ↗
Mfumo wa viwango vya ubora
AI-assisted research summary: Shirika must supervise health fitness certification through the Quality Standards System, and that system must set procedures and minimum standards for health certificates, doctor appointment, and review of the Agency’s decisions.
18.-(1) Shirika shughuli za uthibitisho wa utimamu wa afya kupitia Mfumo wa Viwango vya Ubora. litasimamia (2) Mfumo wa Viwango vya Ubora utaweka taratibu na viwango vya chini vya- (a) utoaji wa vyeti vya afya; (b) uteuzi wa daktari; na (c) mapitio ya uamuzi wa Shirika. - 19
AI-assisted research summary: Nakala za vyeti vya afya na taarifa za uchunguzi wa afya lazima zihifadhiwe kwa siri na zitolewe au zitumike tu kwa madhumuni yaliyoruhusiwa.
19.-(1) Nakala za vyeti vya afya vya mabaharia au nahodha zitawekwa katika majalada katika eneo au kituo ambapo cheti kimetolewa na kitawekwa alama ya usiri. (2) Taarifa za uchunguzi wa afya- (a) zitatunzwa kwa siri; (b) zitatumika kwa ajili ya kutathmini utimamu wa baharia au nahodha katika kazi na kwa ajili ya kuimarisha huduma za afya; (c) zitatolewa kwa mtu aliyeidhinishwa pekee; na (d) hazitatumika kwa madhumuni mengine isipokuwa kuwezesha matibabu ya baharia au nahodha. (3) Taarifa za afya hazitafichuliwa kwa mtu 11 Kanuni za Usafiri Majini za Uchunguzi wa Afya Tangazo la Serikali Na.336 (linaendelea) Rejesta Ushughulikiaji wa malalamiko TS. Na. 338 la 2018 Kufutwa kwa Kanuni na masharti yanayoendelea kutumika TS. Na. 244 la 2016 mwingine yeyote bila idhini ya maandishi ya baharia au nahodha. (a) (b) - 20 Verify source ↗
21. Ushughulikiaji wa malalamiko
AI-assisted research summary: Shirika lazima lihifadhi Rejesta ya taarifa za uchunguzi wa afya na liruhusu ipatikane kwa ombi la nchi, kampuni, au baharia.
20.-(1)- Shirika- litahifadhi na kutunza Rejesta itakayokuwa na taarifa kuhusiana na uchunguzi wa afya kwa madhumuni ya Kanuni hizi; na litawezesha upatikananji wa Rejesta kwa maombi ya nchi yoyote, kampuni au baharia. (2) Taarifa katika Rejesta iliyorejewa katika kanuni ndogo ya (1) zitajumuisha- (a) taarifa za madaktari walioteuliwa chini ya Kanuni hizi; na (b) majina ya nchi ambazo vyeti vyao vya afya vinatambuliwa na Shirika. - 21 Verify source ↗
Ushughulikiaji wa malalamiko
AI-assisted research summary: Baharia au nahodha anayekataa uamuzi chini ya kanuni ya 14 anaweza kuomba mapitio kwa Shirika. Ombi hilo lazima liwasilishwe ndani ya siku 30, na Shirika linapaswa kutoa uamuzi ndani ya siku 14 baada ya kupokea ombi.
21.-(1) Baharia au nahodha ambaye hajaridhika na uamuzi chini ya kanuni ya 14 anaweza kuwasilisha kwa Shirika maombi ya mapitio ya uchunguzi na daktari mwamuzi kama ilivyoainishwa katika Jedwali la Tatu. (2) Kwa kuzingatia kanuni ndogo ya (1), maombi ya mapitio ya uchunguzi yatawasilishwa kwa Shirika ndani ya siku thelathini kuanzia tarehe ambayo uamuzi ulitolewa. (3) Baada ya kupokea maombi ya mapitio ya uchunguzi, Shirika litashughulikia maombi hayo na kuwasilisha uamuzi wake kwa mwombaji ndani ya siku kumi na nne. - 22 Verify source ↗
Kufutwa kwa Kanuni na masharti yanayoendelea kutumika
AI-assisted research summary: The medical examination regulations are repealed, but existing health certificates for seafarers or masters continue until the expiry date stated on the certificate.
22.-(1) Kanuni (Uchunguzi wa Afya) zinafutwa. za Usafirishaji Majini (2) Bila kujali kanuni ndogo ya (1), cheti cha utimamu wa afya kilichotolewa kwa baharia au nahodha chini ya Kanuni za Usafirishaji Majini (Uchunguzi wa Afya) kitaendelea kutumika hadi tarehe ya mwisho ya kutumika kama ilivyoainishwa kwenye cheti. 12 Kanuni za Usafiri Majini za Uchunguzi wa Afya Tangazo la Serikali Na.336 (linaendelea) JAMUHURI YA MUUNGANO WA _________________ TANZANIA JEDWALI LA KWANZA WIZARA YA UJENZI NA UCHUKUZI SHIRIKA LA UWAKALA WA MELI __________________ TANZANIATANZANIA JEDWALI LA KWANZA TASAC _________________ (Limetengenezwa chini ya kanuni ya 9(3)) CHETI CHA UTIMAMU WA AFYA Cheti hiki kimetolewa kwa kuzingatia: (a) Kanuni za Usafiri Majini (Mafunzo, Utoaji Vyeti na Idadi na Sifa za Wafanyakazi Melini), TS. Na. 243/ 2016; (b) Kanuni za Usafiri Majini (Uchunguzi wa Afya), 2023; (c) Kanuni za Usafiri Majini (Ajira za Mabaharia), TS. Na. 228/2022; (d) Kanuni ya I/9 ya Mkataba wa Kimataifa wa Viwango vya Mafunzo, Utoaji Vyeti na Ufanyaji Kazi Melini kwa Mabaharia 1978, kama ilivyorekebishwa (STCW); (e) Kanuni ya 1.2 ya Mkataba wa Kimataifa wa Ajira za Mabaharia (MLC,2006). Taarifa za Baharia au Nahodha: Jina la Ukoo……………………. Jina la Kwanza…………………………Jina la Kati……………………… Tarehe ya Kuzaliwa (Siku/Mwezi/Mwaka …./…./….Jinsia: Me Makazi ya Kudumu: Ke …………………………………………………………………………………… Aina ya Kitambulisho:……...........................…………….. Na.: ……………. Utaifa: ………………………........ Idara: Injini Sitaha Upishi Nyinginezo (Ainisha): ………….................... Nimemkagua mwombaji aliyetajwa hapo juu kulingana na viwango vya utimamu wa afya vya baharia na mahitaji ya uthibitisho yaliyowekwa kwa mujibu wa masharti ya kanuni I/9 ya Mkataba wa STCW wa 1978 kama ulivyorekebishwa na kanuni ya 1.2 ya Mkataba wa Ajira za Mabaharia wa 2006 kama ilivyorekebishwa. Kwa msingi wa tamko binafsi la mwombaji, uchunguzi wangu wa afya na matokeo ya vipimo vya afya vilivyoandikwa kwenye fomu ya uchunguzi wa matibabu, ninathibitisha kuwa mwombaji kwa mujibu wa maombi aliyoleta: Anafaa: Hafai: Kwa masharti:........................................................................................................ Maelezo ya Masharti.............................................................................................. 13 Kanuni za Usafiri Majini za Uchunguzi wa Afya Tangazo la Serikali Na.336 (linaendelea) Tiba inayopendekezwa:......................................................................................... Nathibitisha yafuatayo: (Weka tiki inapostahili: Uoni: Uwezo wa kuona: Ndio Lensi za mawasiliano Hapana Miwani Msaada wa uono Maoni ya rangi: Ndio Hapana Tarehe ya mwisho ya kipimo cha kiwango cha uonaji: ………………………Mwezi………………., 20……… (Zingatia: kipimo cha uonaji rangi hakihitajiki kwa vyeti vya kitaifa vya uhandisi) Usikivu: Ndio Hapana Majukumu ya kuangalia usalama (Idara ya Sitaha pekee): Ndio Hapana Uwezo wa kusikia: Ndio Hapana Wakuridhisha Usaidizi wa kusikia: Ndio Hapana Uwezo wa kuangalia usalama: Ndio Hapana Majukumu ya kuridhisha: ………………………………………………………………………………… Tarehe ya uchunguzi: …..……/..………/……………… Sehemu ya 14 Kanuni za Usafiri Majini za Uchunguzi wa Afya Tangazo la Serikali Na.336 (linaendelea) uchunguzi………………………………… Tarehe ya ukomo wa cheti: ………/…………/…………… Jina la Daktari: ………………………………………………………………………….................. Sahihi ya Daktari: ……………………………………... Muhuri wa moto: ............................................................ Ninakiri kwamba nimeshauriwa kuhusu maudhui ya taarifa ya uchunguzi wa afya na haki yangu ya kutafuta mapitio ya maudhui ya cheti hiki. Katika kipindi cha mabadiliko ya hali yangu ya afya, ninakubali uhalali wa cheti kupitiwa upya na Daktari. Sahihi ya mwombaji: ………………………… (imesainiwa mbele ya Daktari) JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA UJENZI NA UCHUKUZI _______________ SHIRIKA LA UWAKALA WA MELI TANZANIA JEDWALI LA TATU ________________ (Limetengenezwa chini ya kanuni ya 21(1)) TSC-DMSE-SMERRF FOMU YA MAOMBI YA MAPITIO YA UCHUNGUZI WA AFYA KWA BAHARIA A. TAARIFA ZA MUOMBAJI Namba ya Hati ya Kusafiria Na. / CDC Na. (Kitabu cha Kushuka Melini) Tarehe ya kuzaliwa ...................................................................................................................... TR...........MZ...........MK................. Jina kamili Bw./ Bibi./Bi.: .............................................................................................................. ............................. Mahali pa kuzaliwa: Wilaya:..........................................Mkoa:............................Uraia:........................... Anuani ya kudumu (kwa mawasiliano) Mtaa:........................................ Na. Ya Mkazi:........................... S.L.P………………… Mji/Jiji……………………….. 15 Kanuni za Usafiri Majini za Uchunguzi wa Afya Tangazo la Serikali Na.336 (linaendelea) Anuani ya kupokelea (kama ni tofauti) …………………………………………………………………………………………… ……………………………….. Namba za Simu: ……………………………………………………. Barua pepe: ……………………………………………………. B. UCHUNGUZI WA KAZI ATAKAYOFANYA: (weka tiki inapostahili) Sitaha Injini Upishi Mengineyo (ainisha): …………………………………………………………………………………………… ……… Tarehe ulipofanyika uchunguzi wa afya unaombewa marejeo: …………………………………………………………………………………………… ……………………………….. SAHIHI YA MWOMBAJI NA PICHA Tafadhali tumia kalamu ya wino mweusi Sahihi Picha C. SABABU ZA UCHUNGUZI MWINGINE Tafadhali onesha hapa chini sababu za marejeo ya uchunguzi, ambatisha nyaraka zinazohusika. Sababu:…………………………………………………………………………………… …………………………………………………………………………………………… …………………………………………………………………………………………… ……………………………………………………………………………… D. TAMKO Nathibitisha kwamba taarifa nilizozitoa katika ombi hili la uchunguzi mwingine ni za kweli na zimekamilika. Nathibitisha kuwa nyaraka nilizowasilisha ni halisi, na Ninaelewa kuwa ombi langu la kufanyiwa uchunguzi mwingine halihitaji malipo kwa kila matokeo au uamuzi unaopitiwa. Sahihi ya mwombaji: ……………………………………………… Tarehe: …………………………………............................................. Kumb.: Majibu ya uchunguzi mwingine yatatolewa na mamlaka ndani ya siku kumi na nne tangu kutumwa kwa maombi. E. MAONI YA DAKTARI MWAMUZI Maoni: ………………………………………………………………………………… ………………………………………………………………………………… ………………………………………………………………………………… 16 Kanuni za Usafiri Majini za Uchunguzi wa Afya Tangazo la Serikali Na.336 (linaendelea) ………………………………………………….. ……………………………………. Jina Wadhifa …………..……………………… …………………… Sahihi Tarehe F. KWA MATUMIZI YA OFISI SEHEMU A: UTHIBITISHO WA AFISA Maoni: ……………………………………………………………………………………… ………………………………………………………………………………………………… ……………………… ………………………… Sahihi Tarehe SEHEMU B: MAPENDEKEZO YA MENEJA WA MABAHARIA Maombi haya yamepitishwa hayajapitishwa Maoni: …………………………………………………………………………………… …………………………………………………………………………………… ……………………… ………………………… Sahihi Tarehe SEHEMU C: KIBALI CHA MSAJILI Maombi haya yameidhinishwa hayajaidhinishwa Maoni: ………………….............................……………………………………................. …………………………………………………………………………………….. Dodoma MAKAME M. MBARAWA 20 April, 2023 Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi 17
Provision text is displayed from LexChat’s stored statute record. Use the official source links to verify amendments, commencement, and current legal force.
Ask AI about this statute
Kanuni za Usafiri Majini za Uchunguzi wa Afya za mwaka 2023
Sign in to ask AI about this statute
Sign in to start authenticated, citation-grounded statute research.
Sign in