Kanuni za Baraza la Masoko ya Mitaji na Dhaana za mwaka 2023
Sehemu hii inaorodhesha mada za muundo wa Baraza na hatua za kuanzisha rufaa mbele ya Baraza.
AI-assisted research synopsis — verify against the official legal text below.
- Jurisdiction
- Tanzania
- Instrument
- Regulation
- Citation
- Kanuni za Baraza la Masoko ya Mitaji na Dhaana za mwaka 2023
- Version
- Undated source snapshot
- Language
- sw
- Official source
- View official record ↗
Statute overview
About this statute
Sehemu hii inaorodhesha mada za muundo wa Baraza na hatua za kuanzisha rufaa mbele ya Baraza. This section concerns changes to appeal grounds and related steps, including extending the time to file an appeal and withdrawing an appeal, including before the appeal is called for hearing. Utoaji huu unahusu kuhudhuria na uwakilishi wa wahusika. Section title about failure to appear at a hearing. This section concerns failing to appear at a hearing.
Search within this statute
Search all stored provisions in this version.
Legal text
Provisions of Kanuni za Baraza la Masoko ya Mitaji na Dhaana za mwaka 2023
Showing 71 of 71
- 6 Verify source ↗
Section 6
AI-assisted research summary: Sehemu hii inaorodhesha mada za muundo wa Baraza na hatua za kuanzisha rufaa mbele ya Baraza.
6. Jina. Tafsiri. SEHEMU YA PILI MUUNDO WA BARAZA Muundo wa Baraza. Mgongano wa maslahi. Msajili wa Baraza. Sekretarieti ya Baraza. SEHEMU YA TATU KUANZISHA RUFAA MBELE YA BARAZA Mambo ambayo yanaweza kukatiwa rufaa. Rufaa kwenda kwenye Baraza. Notisi ya kusudio la kukata rufaa Uidhinishaji na uwasilishaji wa notisi ya kusudio la kukata rufaa. Yaliyomo kwenye rufaa. Upokeaji wa rufaa na taarifa kwa wahusika.
Part
SEHEMU YA TATU
- 18 Verify source ↗
Marekebisho ya sababu za rufaa
AI-assisted research summary: This section concerns changes to appeal grounds and related steps, including extending the time to file an appeal and withdrawing an appeal, including before the appeal is called for hearing.
18. Marekebisho ya sababu za rufaa. Kuongeza muda wa kuanzisha rufaa. Kufuta rufaa. Kuondoa rufaa. Kuondoa rufaa kabla ya rufaa kuitwa kwa usikilizwaji. 1 Kanuni za Baraza la Masoko ya Mitaji Na Dhamana Tangazo La Serikali Na. 657 (Linaendelea) SEHEMU YA NNE MAHUDHURIO YA WAHUSIKA - 7 Verify source ↗
(1) Kwa kuzingatia kifungu cha 136G cha Sheria,
AI-assisted research summary: Baraza linaweza kuamua aina fulani ya migogoro na masuala yanayohusiana, lakini halina mamlaka ya kusikiliza suala la kijinai.
7.-(1) Kwa kuzingatia kifungu cha 136G cha Sheria, Baraza linaweza kuamua masuala yanayohusiana na- (a) tafsiri ya sheria yoyote au kanuni ambazo sheria hii inahuiska; (b) migogoro baina ya Mamlaka na masoko yoyote ya hisa; (c) migogoro baina ya Mamlaka na mtendaji yeyote wa soko; (d) migogoro baina ya watendaji wa masoko na wateja wao; (e) migogoro kati ya kampuni zilizoorodheshwa na mamlaka za usimamizi wasimamizi au masoko ya dhamana; (f) Mamlaka kukataa kutoa leseni; (g) Mamlaka kuweka mipaka au zuio katika leseni; (h) kusitishwa au kufutwa kwa leseni na Mamlaka; (i) kukataa kuorodhesha dhamana katika soko la hisa; (j) kusitisha ununuzi na uuzaji wa dhamana katika soko la hisa; (k) kuondolewa kwa dhamana kutoka katika orodha 5 Kanuni za Baraza la Masoko ya Mitaji Na Dhamana Tangazo La Serikali Na. 657 (Linaendelea) rasmi ya soko la hisa; na (l) mgogoro wowote uliotokana na utekekelezaji wa majukumu ya Mamlaka chini ya Sheria hii. (2) Bila ya kuathiri masharti ya kanuni ndogo ya (1), Baraza halitakuwa na mamlaka ya kusikiliza suala ya kijinai. Rufaa kwenda Baraza - 8 Verify source ↗
(1) Mtu ambaye hakuridhika na uamuzi wa
AI-assisted research summary: A person dissatisfied with the Authority’s decision may appeal to the Council within 30 days, and the appeal may be lodged by submitting appeal particulars to the Council’s Registrar.
8.-(1) Mtu ambaye hakuridhika na uamuzi wa Mamlaka anaweza kukata rufaa katika Baraza ndani ya siku thelathini kutokea tarehe ambayo uamuzi ulitolewa. (2) Rufaa inaweza kufunguliwa kwa kuwasilisha maelezo ya rufaa kwa Msajili wa Baraza ili kuainisha migogoro chini ya kanuni ya 8 (1). Notisi ya kusudio la kukata rufaa - 9 Verify source ↗
(1) Mtu atayetaka kukata rufaa dhidi ya uamuzi wa
AI-assisted research summary: A person who wants to appeal must file a notice of intention to appeal within 7 working days of the decision, use the required form, sign it, and file the required number of copies.
9.-(1) Mtu atayetaka kukata rufaa dhidi ya uamuzi wa Mamlaka atawasilisha notisi ya kusudio la kukata rufaa ndani ya siku saba za kazi kutolewa tarehe ya uamuzi. (2) Notisi ya kusudio la kukata rufa- (a) itatamka iwapo inakusudiwa kukata rufaa dhidi ya uamuzi wote au sehemu ya uamuzi; (b) itawasilishwa kwa kutumia CMT Fomu Na. 1 kama ilivyoainishwa kwenye Jedwali la Kwanza la Kanuni hizi; (c) itasainiwa na au kwa niaba mrufani; na (d) itawasilishwa katika nakala saba. (3) Ada ya kuwasilisha notisi ya kusudio la kukata rufaa itainishwa kwenye Jedwali la Kwanza la Kanuni hizi. rufaa, (4) Endapo mhusika anajiunga kwenye atatakiwa kulipa ada kama zilivyoainishwa katika Jedwali la Kwanza la Kanuni hizi. (5) Mtu ambaye anakusudia kukata rufaa kwenye Baraza atawasilisha notisi kwenye Baraza ikiwa katika nakala saba kwa ajili ya matumizi ya Baraza na kwa kila mhusika wa rufaa hiyo. Uidhinisha ji na uwasilishaj i wa notisi ya kusudio la kukata rufaa - 10 Verify source ↗
(1) Msajili, baada ya kupokea notisi ya kusudio la
AI-assisted research summary: Msajili must record the date a notice of intention to appeal is received and enter relevant parties in the register. The appellant must serve a copy of the notice on the respondent and any parties who may be affected by the Board’s decision.
10.-(1) Msajili, baada ya kupokea notisi ya kusudio la kukata rufaa, ataandika tarehe ambayo ilipokelewa na baada ya hapo ataingiza katika rejesta, wahusika wote muhimu kwa kadri itakavyo kuwa inafaa kwa ajili ya utambuzi wa rufaa hiyo. 6 Kanuni za Baraza la Masoko ya Mitaji Na Dhamana Tangazo La Serikali Na. 657 (Linaendelea) Yaliyomo kwenye rufaa (2) Mrufani atawasilisha nakala ya notisi ya kusudio la kukata rufaa kwa mrufaniwa na wahusika wote ambao wanaweza kuathirika na uamuzi wa Baraza. - 11 Verify source ↗
(1) Rufaa katika Baraza
AI-assisted research summary: Rufaa kwa Baraza lazima iwasilishwe kwa Msajili wa Baraza ndani ya siku 45, na iambatane na nyaraka zilizotajwa.
11.-(1) Rufaa katika Baraza itafunguliwa kwa kuwasilisha maelezo ya rufaa kwa Msajili wa Baraza ndani ya siku arobaini na tano kutoka tarehe ya kutolewa kwa maamuzi ya Mamlaka dhidi ya rufaa iliyoletwa. (2) Maelezo ya rufaa yatakuwa kwenye CMT Fomu Na. 2 kama ilivyoainishwa kwenye Jedwali la Tatu la Kanuni hizi. (3) Rufaa zote zitawalishwa pamoja na ushahidi wote wa msingi wa kuwezeshwa kutolewa kwa uamuzi wa rufaa. (4) Bila kuathiri kanuni ndogo ya (2), rufaa itaambatana na: (a) nakala iliyothibitishwa ya maamuzi ya Mamlaka; (b) nakala iliyothibitishwa ya mwenendo wa Mamlaka; (c) nakala ya notisi ya kusudio la kukata rufaa; (d) maelezo ya rufaa; na (e) hati nyingine za msingi ambazo mrufani ataona ni muhimu katika kutoa uamuzi sahihi wa rufaa. (5) Kwa madhumuni ya kanuni ndogo ya (4)(b), mwenendo na viambatanisho vilivyowasilishwa wakati kusikilizwa kwa suala kwenye Mamlaka. hautalazimika kujumuisha vielelezo (6) Baraza linaweza kuhitaji kuwasilishwa kwa vielelezo na viambatanisho vilivyowasilishwa wakati wa uwasikilizwaji suala kwenye Mamlaka viwasilishwe. Upokeaji wa rufaa na utoaji wa taarifa kwa wahusika. - 12 Verify source ↗
(1) Baada ya kupokea rufaa, Msajili ataandika
AI-assisted research summary: Msajili must record receipt of an appeal, send the appeal copy and notice to the respondent, and the respondent must submit a written reply within 14 working days.
12.-(1) Baada ya kupokea rufaa, Msajili ataandika tarehe ya kupokea maelezo ya rufaa na kutuma nakala ya rufaa kwa mrufaniwa pamoja na barua ya taarifa inayomhitaji mrufaniwa kuwasilisha majibu yake ndani ya siku kumi na nne za kazi kutoka tarehe ya kupokea taarifa. (2) Baada ya kupokea barua ya taarifa na maelezo ya rufaa, mrufaniwa ndani ya siku kumi na nne za kazi kutoka tarehe ya kupokea atawasilisha majibu ya rufaa kwa maandishi. 7 Kanuni za Baraza la Masoko ya Mitaji Na Dhamana Tangazo La Serikali Na. 657 (Linaendelea) (3) Majibu ya rufaa yatakuwa kwenye CMT Fomu Na. 3 kama ilivyoainishwa kwenye Jedwali la Nne la Kanuni hizi. (4) Majibu yaliyotolewa chini ya kanuni ndogo ya (3) yatakuwa pamoja na maelezo ya rufaa na maelezo ya majibu kutoka kwa mrufaniwa na katika hatua hii, mhusika mwingine yeyote ambaye anaweza kuathiriwa na mwenendo wa rufaa, atakuwa na haki ya kujiunga kama mhusika katika shauri au kuhudhuria usikilizwaji wa rufaa kama mwangalizi. (5) Endapo utaratibu wa kuamua rufaa ni kwa njia ya usikilizwaji, Msajili atapanga tarehe ya kusikilizwa na kuwataarifu wahusika kupitia CMT Fomu Na. 4(a), kama ilivyoainishwa kwenye Jedwali la Tano la Kanuni hizi. (6) Msajili kupitia fomu ya CMT fomu Na 4(b) iliyoainishwa kwenye Jedwali la Sita atawataarifu mashahidi au wataalaum wanaohitajika kwenye rufaa kuhudhuria usikilizwaji wa rufaa. (7) Pale ambapo mtu anaweza kuathirika na shauri la rufaa, atawasilisha maelezo akieleza sababu za kujiunga, ndani ya siku tano kutoka tarehe ya kupokea taarifa. - 13 Verify source ↗
Msajili atakataa maombi ya rufaa ikiwa maombi
AI-assisted research summary: Msajili must reject an appeal application if the application does not comply with these Regulations.
13. Msajili atakataa maombi ya rufaa ikiwa maombi hayo hayajazingatia masharti ya Kanuni hizi. - 14 Verify source ↗
(1) Pamoja na kukataliwa kwa maombi ya rufaa
AI-assisted research summary: Baraza linaweza kuongeza muda wa kuwasilisha rufaa ikiwa mrufani ameomba kwa maandishi, ni haki na sawa, na mrufaniwa amesikilizwa.
14.-(1) Pamoja na kukataliwa kwa maombi ya rufaa yaliyokatakiwa katika kanuni ya 14, Baraza linaweza- (a) kwa maombi ya maandishi kutoka kwa mrufani; (b) pale ambapo inaonekana ni haki na sawa; na (c) baada ya mrufaniwa kupewa nafasi ya kusikilizwa, kwa amri, kuongeza muda ambao mrufani anaweza kuwasilisha rufaa kwenye Baraza. (2) Kwa madhumuni ya kanuni ndogo (1) maombi ya kuongeza muda wa kuleta maombi ya rufaa nje ya muda yatawasilishwa kwenye Baraza ndani ya siku saba za kazi tangu tarehe ambayo mrufani alipaswa kuwa amewasilisha maombi ya rufaa. (3) Maombi ya nyongeza ya muda yatafanywa katika 8 Msajili kukataa maombi ya rufaa Kuongeza muda wa kuanzisha rufaa. Kanuni za Baraza la Masoko ya Mitaji Na Dhamana Tangazo La Serikali Na. 657 (Linaendelea) Kufuta rufaa Kuondoa rufaa CMT Fomu Na.5 kama ilivyoainishwa katika Jedwali la Saba la Kanuni hizi. - 15 Verify source ↗
(1) Baraza linaweza, kwa uamuzi wake yenyewe
AI-assisted research summary: Baraza may dismiss an appeal application if required filing conditions are not met, and it must give reasons if it does so.
15.-(1) Baraza linaweza, kwa uamuzi wake yenyewe kufuta maombi ya rufaa ikiwa itajiridhisha kuwa sharti lolote linalotakiwa katika kuleta maombi ya rufaa halijatekelezwa. (2) Endapo maombi ya rufaa yamefutwa kwa mujibu wa kanuni ndogo (1) Baraza litatoa sababu za kukataliwa kwa rufaa hiyo. (3) Kufutwa kwa maombi ya rufaa hakutamzuia mrufani kuleta maombi upya kuhusiana na suala lilelile kwa kuzingatia kwa Sheria ya Ukomo wa madai. - 16 Verify source ↗
(1) Mrufani anaweza, muda wowote wakati wa
AI-assisted research summary: An appellant may withdraw an appeal by giving written notice to the Registrar, subject to timing limits, and must serve copies on affected parties.
16.-(1) Mrufani anaweza, muda wowote wakati wa usikilizwaji, lakini si zaidi ya siku tatu kabla ya tarehe ya kusikilizwa, kuwasilisha notisi ya maandishi kwa Msajili kuwa hakusudii kuendelea na rufaa. (2) Mrufani, kabla au ndani ya siku saba za kazi baada kuwasilisha notisi ya kuondoa rufaa, atapeleka nakala za notisi ya kuandaa rufaa kwa mrufaniwa au mhusika mwingine yeyote ambaye anaweza kuathirika na rufaa iliyofunguliwa. (3) Ikiwa kuondolewa kwa rufaa kumefanyika wakati wahusika wamehudhuria, mrufani atatoa maelezo ya mdomo ya kuandaa rufaa na Mwenyekiti ataandika maelezo hayo. (4) Baraza linaweza, baada ya kupokea notisi ya kuondoa rufaa, kuridhia maombi hayo kwa kuzingatia vigezo vya gharama au masharti mengine. (5) Endapo rufaa imeondolewa, Msajili atatuma kwa mrufaniwa na wahusika wengine nakala ya notisi ya kuondoa rufaa au maelezo ya kuondoa rufaa au maelezo kama yaliyoainishwa na Mwenyekiti, kwa mujibu wa kanuni ndogo (4), na anaweza kuambatanisha nyaraka yoyote kuhusiana na suala linalohusiana na rufaa. Kuondoa rufaa kabla ya maombi ya rufaa kuitwa - 17 Verify source ↗
Bila kujali masharti yaliyotangulia kuhusiana na
AI-assisted research summary: An appellant may file a written notice in the Board’s registry saying they do not want to continue the appeal, but must give each respondent a copy seven days before filing that withdrawal notice.
17. Bila kujali masharti yaliyotangulia kuhusiana na kupokelewa kwa maombi ya rufaa, mrufani, katika muda wowote baada ya kuwasilisha rufaa yake na kabla rufaa haijaitwa kwa ajili ya kusikilizwa, anaweza kuwasilisha 9 Kanuni za Baraza la Masoko ya Mitaji Na Dhamana Tangazo La Serikali Na. 657 (Linaendelea) kwa ajili ya kusikilizw a Marekebis ho ya sababu za rufaa notisi ya maandishi katika masijala ya Baraza, kuwa hakusudii kuendelea na rufaa. Isipokuwa kwamba, siku saba kabla ya kuwasilisha Notisi ya kuondoa rufaa mrufani atampatia nakala kila mjibu rufaa. - 18 Verify source ↗
(1) Msajili, kwa uamuzi wake au kwa maombi ya
AI-assisted research summary: The Registrar may order changes to appeal particulars, and the amended particulars must be filed with the Board within 5 working days. The respondent may reply within 5 working days after receiving the amendment, and the appellant may not raise new grounds at the hearing unless they arise from the respondent’s reply.
18. (1) Msajili, kwa uamuzi wake au kwa maombi ya wahusika linaweza kutoa amri ya kurekebisha maelezo ya rufaa kwa namna itakavyokuwa ni nzuri na muhimu katika kutoa uamuzi wa rufaa. (2) Amri ya marekebisho chini ya kanuni ndogo ya kwanza itatolewa- (a) iwapo kwa uamuzi wa Baraza, ndani ya muda unaofaa kabla ya tarehe ya kusikilizwa; au (b) iwapo ni kufuatia maombi ya mrufani, ndani ya siku tano za kazi kutokea tarehe ya kuwasilisha kwa maombi ya kurebisha maelezo ya rufaa. (3) Pale ambapo amri ya marekebisho kurekebisha, maelezo ya rufaa yaliyorekebishwa yatandikwa na kuwasilishwa kwenye Baraza ndani ya siku tano za kazi kutokea tarehe ya amri ya kurekebishwa maelezo ya rufaa. ya rufaa yaliyorekebishwakuwasilishwa kwenye Baraza na nakala kupelekwa kwa mrufaniwa, mrufaniwa ana haki ya kujibu ndani ya siku tano za kazi toka tarehe ya kupokea marekebisho ya maelezo ya rufaa. maelezo Baada (4) ya (5) Wakati wa kusikiliza rufaa au mapitio, mrufani hataileta hoja mpya ambayo haikuwepo kwenye maelezo ya maandishi ya rufaa yaliyotolewa awali isipokuwa hoja hiyo mpya imetokana na majibu ya mrufaniwa. SEHEMU YA NNE MAHUDHURIO YA WAHUSIKA Mahudhuri o na uwakilisha ji wa wahusika
Part
SEHEMU YA NNE
- 19 Verify source ↗
Section 19
AI-assisted research summary: Utoaji huu unahusu kuhudhuria na uwakilishi wa wahusika.
19. Kuhudhuria na uwakilishi wa wahusika. - 20 Verify source ↗
Mrufani kutofika kwenye usikilizwaji
AI-assisted research summary: Section title about failure to appear at a hearing.
20. Mrufani kutofika kwenye usikilizwaji. - 21 Verify source ↗
Mrufaniwa kutofika kwenye usikilizwaji
AI-assisted research summary: This section concerns failing to appear at a hearing.
21. Mrufaniwa kutofika kwenye usikilizwaji. - 22 Verify source ↗
Wahusika kutokufika kwenye usikilizwaji
AI-assisted research summary: Hii ni kichwa cha kifungu kinachohusu wahusika kutokufika kwenye usikilizwaji.
22. Wahusika kutokufika kwenye usikilizwaji. - 23 Verify source ↗
Section 23
AI-assisted research summary: Sehemu hii ina kichwa kinachohusu kutengua uamuzi wa upande mmoja ndani ya taratibu za baraza.
23. Kutengua uamuzi wa upande mmoja SEHEMU YA TANO TARATIBU ZA BARAZA - 19 Verify source ↗
(1) Katika kila shauri lililopo mbele ya Baraza,
AI-assisted research summary: Katika shauri lililo mbele ya Baraza, mrufani anaweza kujitokeza mwenyewe au kuwakilishwa; Msajili lazima atoe notisi ya wito wa kufika, na mtu aliyepewa notisi lazima aisaini na kupeleka nakala moja kwa Baraza.
19.-(1) Katika kila shauri lililopo mbele ya Baraza, mrufani anaweza kufika mwenyewe au kwa kuwakilishwa na mtu aliyesajiliwa kama mtendaji wa soko, mshauri wa masuala ya kodi, mhasibu, mkaguzi au wakili, na Mamlaka inaweza kuwakilishwa na mtu aliyeidhiniwa kwa niaba yake. (2) Msajili atatoa notisi ya wito wa kufika na mhusika 10 Kanuni za Baraza la Masoko ya Mitaji Na Dhamana Tangazo La Serikali Na. 657 (Linaendelea) aliyepelekewa notisi hiyo ataweka saini katika kila nakala ya hati ya notisi na kuwasilisha nakala moja kwa Baraza. Mrufani kutofika kwenye usikilizwaj i Mufaniwa kutofika kwenye usikilizwaj i Wahusika kutofika kwenye usikilizwaj i Kutengua uamuzi wa upande mmoja - 20 Verify source ↗
(1) Pale ambapo, katika
AI-assisted research summary: Rufaa inaweza kuondolewa kama mwombaji wa rufaa hajafika bila sababu za msingi baada ya notisi kutolewa ipasavyo; Baraza pia linaweza kuahirisha usikilizwaji.
20.-(1) Pale ambapo, katika tarehe na muda uliopangwa kwa ajili ya kusikilizwa kwa rufaa, mrufani hatohudhuria na ikathibitishwa kwamba notisi iliwasilishwa ipasavyo na mrufani ameshindwa kuhudhuria bila sababu za msingi, rufaa inaweza kuondolewa isipokuwa kama Baraza litaona inafaa kuahirisha usikilizwaji kwa rufaa. lakini mrufaniwa akahudhuria, (2) Ikiwa rufaa itaondolewa kwa kuzingatia kanuni ndogo (1), mrufani hatoruhusiwa kuanzisha rufaa hiyo tena. - 21 Verify source ↗
Pale ambapo, katika muda na tarehe iliyopangwa
AI-assisted research summary: If the appellant attends the scheduled appeal hearing and the respondent does not, and notice was properly served, the appellant may ask to proceed on one side only.
21. Pale ambapo, katika muda na tarehe iliyopangwa kwa usikilizwaji wa rufaa, mrufani anafika na mrufaniwa hafiki, na ikathibitika kuwa notisi ilipelekwa ipasavyo, na mrufani ameshindwa kufika katika usikilizwaji bila ya kuwa sababu ya msingi, mrufani anaweza kuomba kuendelea na upande mmoja. - 22 Verify source ↗
Pale ambapo hakuna mhusika aliyefika katika
AI-assisted research summary: If no party appears at an appeal hearing without good reason, the Board may dismiss the appeal or continue reviewing the case based on documents and notify the parties.
22. Pale ambapo hakuna mhusika aliyefika katika usikilizwaji wa rufaa pasipokuwa na sababu ya msingi, Baraza linaweza kutoa amri ya kufuta rufaa au kuendelea kufanya mapitio ya shauri kwa kupitia nyaraka na kuwataarifu wahusika. - 23 Verify source ↗
(1) Pale ambapo uamuzi wa upande mmoja
AI-assisted research summary: Mrufaniwa anaweza kuomba Baraza litengue uamuzi wa upande mmoja, na lazima atumie fomu husika ndani ya muda uliowekwa.
23.-(1) Pale ambapo uamuzi wa upande mmoja umetolewa dhidi ya mrufaniwa, mrufaniwa, ndani ya siku thelethini za kazi toka tarehe ya uamuzi, anaweza kuliomba Baraza kutoa amri ya kutengua uamuzi wa upande mmoja ikiwa Baraza linajiridhisha kulikuwa na sababu ya msingi iliyomzuia mrufaniwa kuhudhuria na tarehe nyingine ya kusikiliza rufaa. litapanga (2) Maombi ya kutengua uamuzi wa upande mmoja yatafanywa: (a) kwa kuwasilisha CMT Fomu Na. 6 kama ilivyoainishwa kwenye Jedwali la Nane la Kanuni hizi; na (b) ndani ya siku tano za kazi toka tarehe ambayo 11 Kanuni za Baraza la Masoko ya Mitaji Na Dhamana Tangazo La Serikali Na. 657 (Linaendelea) uamuzi uliwasilishwa kwa mrufaniwa. SEHEMU YA TANO MWENENDO WA BARAZA Mwenendo wa Baraza
Part
SEHEMU YA TANO
- 38 Verify source ↗
Msaada wa Baraza katika utekelezaji wa amri n.k
AI-assisted research summary: Section 38 is titled “Msaada wa Baraza katika utekelezaji wa amri n.k”.
38. Msaada wa Baraza katika utekelezaji wa amri n.k - 39 Verify source ↗
Section 39
AI-assisted research summary: Baraza linaweza kuita shahidi mtaalam na mashahidi katika usikilizwaji wa rufaa, na kifungu kinaorodhesha pia uamuzi, amri, na utekelezaji wa uamuzi.
39. Notisi kwa wahusika kuhudhuria usikilizwaji wa rufaa. Baraza kuita shahidi mtaalam. Baraza kuita mashahidi. Uamuzi. Usikilizwaji kwa njia ya maandishi Kuunganishwa kwa rufaa Yaliyomo kwenye uamuzi. Amri Utekelezaji wa uamuzi. Akaunti ya Baraza. SEHEMU YA SITA RUFAA KWENDA MAHAKAMA YA RUFAA Rufaa dhidi ya uamuzi wa Baraza. - 24 Verify source ↗
(1) Kwa kuzingatia Sheria na Kanuni hizi, Baraza
AI-assisted research summary: Baraza must set its own hearing procedures and conduct cases informally and flexibly.
24.-(1) Kwa kuzingatia Sheria na Kanuni hizi, Baraza litajipangia taratibu za uendeshaji wa mashauri. (2) Mashauri mbele ya Baraza yataendeshwa kwa utaratibu na ufundi mdogo kadri inavyowezekana, na Baraza halitafungwa na kanuni za ushahidi au taratibu za kimahakama. (3) Pale ambapo Kanuni ziko kimya kuhusiana na taratibu yoyote inayohusika, mwenendo wa shauri la Baraza zitaendeshwa kulingana na kanuni za uendeshaji au utaratibu ambao Baraza utakavyoainishwa. (4) Usikilizwaji mbele ya Baraza utakuwa wazi kwa wananchi isipokuwa Baraza, kwa na maombi ya wahusika au kwa kuelekeza wananchi linaweza wasiruhusiwe katika usikilizwaji huo. uamuzi wake, (5) Kwa madhumuni ya shauri lilipo mbele ya Baraza, Baraza linaweza kuchukua ushahidi wa nyongeza kwa kiapo, kwa njia ya mdomo au kwa kiapo cha maandishi kama litakavyoona inafaa. Vikao vya Baraza - 25 Verify source ↗
Vikao vya Baraza vitafanyika katika mkoa wa Dar
AI-assisted research summary: Vikao vya Baraza vinapaswa kufanyika Dar es Salaam, lakini vinaweza pia kufanyika mahali popote ndani ya Jamhuri ya Muungano ikionekana ni muhimu.
25.Vikao vya Baraza vitafanyika katika mkoa wa Dar es salaam, isipokuwa kwamba vikao vinaweza kufanyika sehemu yoyote ndani ya Jamhuri ya Muungano, itakapoonekana ni muhimu kufanya hivyo. Akidi
Part
SEHEMU YA SITA
- 41 Verify source ↗
Matumizi ya Kanuni za Mahakama ya Rufaa
AI-assisted research summary: This section is titled “Use of Court of Appeal Rules.”
41. Matumizi ya Kanuni za Mahakama ya Rufaa. _______ MAJEDWALI _________ 2 Kanuni za Baraza la Masoko ya Mitaji Na Dhamana Tangazo La Serikali Na. 657 (Linaendelea) SHERIA YA MASOKO YA MITAJI NA DHAMANA, (SURA YA 79) _______ KANUNI _______ (Zimetengenezwa chini ya kifungu cha 136J) KANUNI ZA BARAZA LA MASOKO YA MITAJI, 2023 SEHEMU YA KWANZA MASHARTI YA UTANGULIZI Jina
Part
SEHEMU YA KWANZA
- 1 Verify source ↗
Kanuni hizi zitajulikana kama Kanuni za Baraza la
AI-assisted research summary: Kanuni hizi zinaitwa Kanuni za Baraza la Masoko ya Mitaji na Dhaana za mwaka 2023, na zinaeleza tafsiri ya Sura ya 79.
1. Kanuni hizi zitajulikana kama Kanuni za Baraza la Masoko ya Mitaji na Dhaana za mwaka 2023. Tafsiri Sura ya 79 - 2 Verify source ↗
Katika Kanuni hizi, isipokuwa kama muktadha
AI-assisted research summary: This provision defines several terms used in these Regulations, including “Sheria,” “mwombaji,” “mrufani,” “mjibu maombi,” “Waziri,” “Msajili,” and “Baraza.”
2. Katika Kanuni hizi, isipokuwa kama muktadha unahitaji vinginevyo- “Sheria” maana yake ni Sheria ya Masoko ya Mitaji na Dhamana; “mwombaji” maana yake ni mtu yeyote anayewasilisha maombi mbele ya Baraza; “mrufani” maana yake ni mtu yeyote aliyewasilisha rufaa mbele ya Baraza; “mrufaniwa” maana mtu yeyote ambaye dhidi yake rufaa au maombi kama hali itakavyokuwa, shauri linaweza kufunguliwa dhidi yake; Sura ya 79 “Mamlaka” ina maana iliyoainishwa chini ya kifungu cha 6 cha Sheria; “mwenyekiti” maana yake ni Mwenyekiti aliyeteuliwa chini ya kifungu cha 136B (a) cha Sheria; “mjibu maombi” maana yake ni mtu yoyote ambaye maombi yamewasilishwa dhidi yake; “mjumbe” maana yake Mwenyekiti na wajumbe wengine wa Baraza waliyoteuliwa chini ya kifungu 136B cha 3 Kanuni za Baraza la Masoko ya Mitaji Na Dhamana Tangazo La Serikali Na. 657 (Linaendelea) Sheria; “mtendaji wa soko” ina maana iliyotainishwa chini ya kifungu cha 2 cha Sheria; “notisi ya kufika” maana yake ni wito unaomtaka mtu kufika mahakamani kwa ajili ya kutoa ushahidi; “Waziri” maana yake Waziri mwenye dhamana na mambo ya fedha; “Msajili” maana yake ni Msajili wa Baraza; “Baraza” maana ni Baraza la Masoko ya Mitaji na Dhamana lililoanzoshwa chini ya kifungu cha 136A cha Sheria. SEHEMU YA PILI MUUNDO NA MAJUKUMU YA BARAZA
Part
SEHEMU YA PILI
- 3 Verify source ↗
Baraza litaundwa na
AI-assisted research summary: The Board must consist of a chairperson and four members with knowledge and experience in capital markets, and one of the members must be a lawyer.
3. Baraza litaundwa na: (a) mwenyekiti; na (b) wajumbe wanne wenye uelewa na uzoefu kwenye masoko ya mitaji, ambapo mmoja kati yao atakuwa mwanasheria. - 4 Verify source ↗
(1) Endapo Mjumbe atakuwepo kwenye kikao cha
AI-assisted research summary: A Council member with a direct or personal interest in a matter must disclose it promptly and generally must not take part in the decision or comments, unless the Council directs otherwise.
4.-(1) Endapo Mjumbe atakuwepo kwenye kikao cha Baraza ambacho mbele yake suala lolote linajadiliwa, ambalo mjumbe au mmoja wa familia yake anahusika moja kwa moja au kwa namna nyingine ana maslahi binafsi, mjumbe huyo, mapema iwezekanavyo baada au kabla ya kuanza kwa mwenendo wa Baraza, ataweka wazi maslahi hayo na, isipokuwa kama Baraza litaelekeza vinginevyo, hatashiriki katika uamuzi wa rufaa hiyo au kutoa maoni kuhusiana na swali lolote kuhusiana na jambo hilo. (2) Kuwekwa wazi kwa maslahi ya mjumbe kutaandikwa kwenye mwenendo wa jambo linalotakiwa kutolewa maamuzi. (3) Mjumbe atayekaa na kushiriki kwenye mwenendo wa Baraza kinyume na kanuni hii anatenda kosa. Muundo wa Baraza Mgongano wa maslahi Msajili wa Baraza - 5 Verify source ↗
(1) Kutakuwa na Msajili wa Baraza ambaye
AI-assisted research summary: A Board Registrar must be appointed under the law and carry out the administrative duties set by law and as assigned by the Board Chairperson.
5.-(1) Kutakuwa na Msajili wa Baraza ambaye atateuliwa kwa mujibu wa Sheria. (2) Msajili atatekeleza majukumu yote ya kiutawala ilivyoainishwa kwenye Sheria na kwa kadri kama 4 Kanuni za Baraza la Masoko ya Mitaji Na Dhamana Tangazo La Serikali Na. 657 (Linaendelea) atakavyopangiwa na Mwenyekiti wa Baraza. Sekretariet i ya Baraza - 6 Verify source ↗
(1) Itateuliwa Sekritarieti ya Baraza ambayo
AI-assisted research summary: The Council’s Secretariat must carry out all administrative duties of the Council, and the Council may decide how many staff and what grades to hire.
6.-(1) Itateuliwa Sekritarieti ya Baraza ambayo itatekeleza majukumu yote ya kiutawala ya Baraza na itaundwa na- (a) Msajili, ambaye atakuwa kiongozi wa Sekretarieti; (b) wanasheria; (c) katibu wa kiutawala; (d) afisa kumbukumbu; (e) mhasibu; na (f) dereva. (2) Baraza linaweza kuamua idadi na kada za wafanyakazi watakaoajiriwa. SEHEMU YA TATU KUANZISHA RUFAA MBELE YA BARAZA Mambo yanayowez a kukatiwa rufaa
Part
sehemu yoyote ndani ya
- 26 Verify source ↗
(1) Wajumbe watatu wa Baraza watatengeneza
AI-assisted research summary: Baraza linapaswa kuwa na akidi ya wajumbe watatu kwa uamuzi wa rufaa, vikao vinaongozwa na Mwenyekiti, na akipokosekana Mwenyekiti wajumbe waliopo humchagua mjumbe wa kuongoza.
26.-(1) Wajumbe watatu wa Baraza watatengeneza akidi katika kutoa uamuzi wa rufaa. (2) Vikao vya Baraza vitaongozwa na Mwenyekiti (3) Bila kujali kanuni ndogo (2), iwapo Mwenyekiti hayupo, wajumbe waliyopo watateua mjumbe kutoka miongoni mwao kuwa Mwenyekiti. (4) Katika kikao chochote cha kuamua rufaa, uamuzi wa wajumbe walio wengi waliopo utaandikwa kama uamuzi wa Baraza, isipokuwa kwamba- (a) mjumbe anayepingana na uamuzi huo atakuwa na 12 Kanuni za Baraza la Masoko ya Mitaji Na Dhamana Tangazo La Serikali Na. 657 (Linaendelea) haki ya kuandika maoni ya kupinga uamuzi na sababu zake zitaandikwa katika muhtasari wa mwenendo wa rufaa; na (b) Mwenyekiti hatofungwa na maoni ya mjumbe yeyote, isipokuwa kama hakubaliani na maoni ya mjumbe yeyote, atanakili maoni ya mjumbe au wajumbe hao waliotofautiana naye na sababu za kutofautiana. Kumbuku mbu za mwenendo rufaa - 27 Verify source ↗
(1) Kumbukumbu za mwenendo wa
AI-assisted research summary: Minutes of proceedings must be written down by the Chairperson or a delegated person, signed by the members present, and appeal hearing proceedings must be recorded electronically or mechanically; if the Council confirms them, they count as the official record.
27.-(1) Kumbukumbu za mwenendo wa zitachukuliwa kwa maandishi na Mwenyekiti wa Baraza au mtu aliyepewa dhamana ya kufanya hivyo katika namna itakayoamuliwa na Mwenyekiti. (2) Kumbukumbu za kila mwenendo wa shauri la na Wajumbe na Mwenyekiti zitasainiwa Baraza waliohudhuria. (3) Bila kuathiri kanuni ndogo (1), mwenendo wa rufaa wakati wa usikilizwaji wa rufaa utawekwa kwenye kumbukumbu kwa njia ya maandishi kielektroniki au mekanika na ikiwa umethibitishwa na Baraza utachukuliwa kama kumbukumbu halisi za mwenendo wa shauri hilo. Mapitio mbele ya Baraza - 28 Verify source ↗
(1) Mhusika ambaye hatoridhika na uamuzi wa
AI-assisted research summary: A dissatisfied party must ask the Board in writing for a full review, notify the Registrar within 7 days, and file the review application within 10 working days with the required legal basis or evidence. A person in a case before the Board may appeal to the Court of Appeal within 45 days after the appeal or review decision.
28.-(1) Mhusika ambaye hatoridhika na uamuzi wa Baraza ataomba kwa maandishi kwa Baraza kufanya mapitio ya uamuzi wote. (2) Mhusika mwenye nia ya kuomba mapitio atatoa notisi ya maandishi kwa Msajili ndani ya siku saba tokea siku ya kupokea uamuzi. (3) Maombi ya mapitio- (a) yatawasilishwa kwenye Baraza ndani ya siku kumi za kazi kutokea tarehe ya kutolewa notisi ya kusudio la kuomba mapitio ya uamuzi wa Baraza; na (b) yataeleza vifungu vya sheria au ushahidi ambao kama utazingatiwa utapelekea matokeo au uamuzi tofauti. (4) Kushindwa kutekeleza masharti yaliyoainishwa kwenye kanuni hii kutapelekea Baraza kukataa maombi. (5) Mtu ambaye ni mhusika kwenye shauri mbele ya 13 Kanuni za Baraza la Masoko ya Mitaji Na Dhamana Tangazo La Serikali Na. 657 (Linaendelea) Baraza na ambaye hajaridhika na uamuzi wa Baraza anaweza baada ya uamuzi wa rufaa au mapitio kutolewa, kukata rufaa kwenye Mahakama ya Rufaa ndani ya siku arobaini na tano. Notisi kwa wahusika kuhudhuri a uskilizwaji wa rufaa - 29 Verify source ↗
(1) Baada ya uwasilishwaji wa nyaraka zote
AI-assisted research summary: Msajili lazima atoe notisi ya rufaa baada ya nyaraka zote kuwasilishwa, na notisi ya usikilizwaji lazima itaje tarehe, muda na mahali.
29.-(1) Baada ya uwasilishwaji wa nyaraka zote zinazohitajika, Msajili atatoa notisi ya rufaa ya siku kumi na nne kwa wahusika. (2) Notisi ya usikilizwaji: (a) itataja tarehe, muda na mahali pa kusikilizwa kwa rufaa; na (b) itasainiwa na Msajili na kupelekwa kwa wahusika kupitia CMT Fomu Na. 4(a) kama ilivyoainishwa kwenye Jedwali la Tano. (3) Mtu atakayepelekewa notisi ya usikilizwaji wa rufaa ataweka saini katika kila nakala ya notisi na kurudisha notisi moja kwa Msajili. (4) Kuweka saini katika notisi na mtu aliyepelekewa kutakuwa ni kithibitisho kuwa notisi imefika. - 30 Verify source ↗
(1) Baraza
AI-assisted research summary: Baraza linaweza kumuita mtu kuhudhuria usikilizwaji wa rufaa na kutoa maoni au hati; shahidi aliyeitwa ana haki ya kulipwa gharama ya safari kwa kiwango kinachoamuliwa na Baraza.
30.-(1) Baraza linaweza kumuita mtu yeyote kuhudhuria katika usikilizwaji wa rufaa na kutoa maoni ya kitaalam ikiwemo kutoa hati kama inaamini maoni hayo ni muhimu katika umalizwaji wa haki wa suala lililo mbele yake. (2) Notisi ya kuhudhuria itatolewa na kuwekwa saini (b), kama na Msajili kupitia CMT Fomu. Na. 4 ilivyoainishwa kwenye Jedwali la Sita. (3) Mtu ambaye ameitwa na Baraza kama shahidi atastahili kulipwa gharama ya safari katika kiwango kitakachoamuliwa na Baraza. - 31 Verify source ↗
(1) Bila kuathiri vifungu vilivyotangulia vya
AI-assisted research summary: Baraza linaweza kuitwa shahidi wa ushahidi wa nyongeza katika rufaa, mhusika aliyemuita shahidi anaweza kulazimika kulipa gharama zake, na mrufaniwa anaruhusiwa kutoa wasilisho la mwisho lenye ushahidi unaohusika.
31.-(1) Bila kuathiri vifungu vilivyotangulia vya Kanuni hizi, Baraza, kwa maombi ya mhusika yeyote au kwa uamuzi wake yenyewe, linaweza kuita shahidi kwa ajili ya ushahidi wa nyongeza ambao ni muhimu katika kufafanua ya zaidi wa hoja zilizoletwa wakati wa usikilizwaji wa rufaa. (2) Pale ambapo shahidi ameitwa na mhusika katika shauri, mhusika ambaye anaona shahidi huyo ni wa muhimu katika kuthibitisha hoja zake atalipa gharama za shahidi 14 Wito wa mtaalam Wito wa mashahidi Kanuni za Baraza la Masoko ya Mitaji Na Dhamana Tangazo La Serikali Na. 657 (Linaendelea) huyo. (3) Baada ya kumulizika kwa mawasilisho na ushahidi wowote kwa niaba ya mrufani, mrufaniwa ataruhusiwa kufanya wasilisho linaloambatana na ushahidi unaohusika kama inavyoweza kuhitajika. Uamuzi - 32 Verify source ↗
(1) Baraza litatoa uamuzi ndani ya siku arobaini
AI-assisted research summary: Baraza must decide an appeal within 45 days after the hearing ends, issue the decision in writing and signed, read it to the parties or their representatives, and state reasons and any relief. The Registrar must give the parties certified copies within 7 working days, and the Chairperson or Registrar must certify and deliver copies.
32.-(1) Baraza litatoa uamuzi ndani ya siku arobaini na tano ya kumalizika kwa usikilizwaji kwa rufaa. Usikilizwa ji kwa njia ya maandishi (2) Uamuzi wa Baraza: (a) utatolewa kwa maandishi na kusainiwa na wajumbe wanaounda jopo; (b) utasomwa mbele ya wahusika au mawakili au wawakilishi wao; na (c) utaeleza sababu za uamuzi na afua zilizotolewa, kama zipo. (3) Msajili, ndani ya siku saba za kazi kutoka tarehe ya kutolewa uamuzi, atawapatia wahusika nakala za uamuzi zilizothibitishwa. (3), (4) Kwa madhumuni ya kanuni ndogo Mwenyekiti au Msajili, kama itakavyokuwa, watathibitisha nakala za uamuzi wa Baraza na kupeleka nakala hizo kwa wahusika. - 33 Verify source ↗
(1) Iwapo hali ya rufaa
AI-assisted research summary: Baraza linaweza kuamua rufaa isikilizwe kwa maandishi, na likifanya hivyo mrufani na mrufaniwa lazima watoe mawasilisho na majibu kwa muda uliotajwa.
33.-(1) Iwapo hali ya rufaa inaruhusu, Baraza linaweza kuamuru rufaa isikilizwe kwa njia ya maandishi. (2) Pale ambapo Baraza litaamuru rufaa isikilizwe kwa njia ya maandishi mrufani- (a) atawasilisha maombi yake ya rufaa katika Baraza na Baraza litawasilisha nakala ya maombi hayo kwa mrufaniwa; na (b) atawasilisha majibu kuhusiana na majibu ya mrufaniwa, ikiwa yapo ndani ya siku kumi na nne za kazi tangu kupokea kwa majibu hayo. (3) Masharti ya kanuni za 36, 37 and 38 yatatumika kuhusiana na utoaji wa uamuzi wa Baraza. (4) Baraza litapitia mawasilisho yaliyowasilishwa na wahusika, kuamua juu ya ushahidi uliowasilishwa na kutoa uamuzi ndani ya siku arobaini na tano tangu tarehe ya 15 Kanuni za Baraza la Masoko ya Mitaji Na Dhamana Tangazo La Serikali Na. 657 (Linaendelea) kufunguliwa kwa rufaa. Kuunganis hwa kwa rufaa Yaliyomo kwenye maamuzi Amri - 34 Verify source ↗
Baraza linaweza, itakapoonekana inafaa, kuamuru
AI-assisted research summary: Baraza linaweza kuamuru rufaa mbili au zaidi ziunganishwe, zisikilizwe pamoja au mfululizo, au zisubiriwe hadi moja ikamilike, ikiwa itaonekana inafaa.
34. Baraza linaweza, itakapoonekana inafaa, kuamuru kuwa rufaa mbili au zaidi- (a) kuunganishwa kwa taratibu itakazoona zinafaa; (b) kusikilizwa au kupitiwa kwa wakati mmoja au moja baada ya nyingine ; (c) kusubirishwa hadi kumalizika kusikilizwa mojawapo kati ya rufaa hizo. - 35 Verify source ↗
Uamuzi wa Baraza utakuwa katika maandishi na
AI-assisted research summary: Baraza lazima litoe uamuzi wake kwa maandishi.
35. Uamuzi wa Baraza utakuwa katika maandishi na utakuwa na: (a) maelezo mafupi ya aina ya rufaaa; (b) kuidhinishwa au kubadilisha au kutengua uamuzi wa Mamlaka; (c) sababu za uamuzi; (d) nafuu au fidia, yoyote ambayo wahusika wanastahili; na (e) amri kuhusiana na gharama. - 36 Verify source ↗
(1) Amri itatolewa kutoka katika uamuzi na
AI-assisted research summary: The order must be issued from the decision, signed by the Chairperson or Registrar as applicable, and include key case details.
36.-(1) Amri itatolewa kutoka katika uamuzi na kusainiwa na Mwenyekiti au Msajili, kama itakavyokuwa. (2) Amri itaendana na uamuzi na itakuwa na namba ya rufaa, majina na maelezo ya wahusika, maelezo ya madai na kueleza nafuu zilizotolewa au maamuzi mengine ya rufaa. linaweza kuamuru kuwa gharama zinazolipwa na mhusika mmoja na mhusika mwingine, zitakatwa kutoka katika kiasi kilichokubaliwa au kupatikana kuwa kinatakiwa kulipwa na mhusika mmoja. (3) Baraza (4) Amri itakuwa na tarehe ambayo uamuzi umetolewa na endapo Mwenyekiti au Msajili, kama hali itakavyokuwa, wakijiridhisha kuwa amri hiyo imeandaliwa kulingana na uamuzi, atasaini amri hiyo. Utekelezaj i uamuzi wa - 37 Verify source ↗
(1) Uamuzi wa Baraza utatekelezwa kwa
AI-assisted research summary: Uamuzi wa Baraza hutekelezwa baada ya maombi kuwasilishwa kwa kutumia fomu CMT Na. 6, na Mwenyekiti au Msajili hutoa amri ya kuidhinisha utekelezaji.
37.-(1) Uamuzi wa Baraza utatekelezwa kwa kupeleka maombi ya muandishi kwenye Baraza kwa kutumia fomu CMT. Na. 6 kama ilivyoainishwa katika Jedwali la Kwanza la Kanuni hizi, na Mwenyekiti au Msajili atatoa amri ya kuidhinisha utekelezaji wa uamuzi huo. 16 Kanuni za Baraza la Masoko ya Mitaji Na Dhamana Tangazo La Serikali Na. 657 (Linaendelea) Sura.33 Msaada wa Baraza katika utekelezaji wa amri n.k Akaunti ya Baraza (2) Utekelezaji wa amri au agizo lililotolewa na Baraza litakuwa kulingana na masharti Sheria ya Mwenendo wa Mashauri ya Madai au sheria nyingine yoyote. (3) Maombi ya kutekeleza uamuzi yatafanya baada ya kumalizika siku thelathini tangu tarehe ambayo uamuzi wa Baraza ulitolewa. - 38 Verify source ↗
Kwa madhumuni ya kanuni ya 38, Baraza
AI-assisted research summary: Baraza linapaswa kupewa msaada wa kutekeleza kwa halali michakato yake na masharti yanayofanana na ya mahakama za kawaida nchini.
38. Kwa madhumuni ya kanuni ya 38, Baraza litapatiwa msaada katika utekelezaji halali wa michakato yake, agizo, kanuni, amri au masharti kama ilivyo kwa mahakama za kawaida nchini. - 39 Verify source ↗
Kutokuwa na akaunti za Baraza ambazo
AI-assisted research summary: The provision says the Council should not have accounts used to deposit all funds connected to its activities and duties under these Regulations.
39. Kutokuwa na akaunti za Baraza ambazo zitawekwa fedha zote kuhusiana na shughuli na majukumu ya Baraza chini ya Kanuni hizi. SEHEMU VI RUFAA KWENDA MAHAKAMA YA RUFAA Rufaa dhidi ya uamuzi ya Baraza
Part
SEHEMU VI
- 40 Verify source ↗
Mtu ambaye hataridhika na uamuzi wa Baraza
AI-assisted research summary: A person dissatisfied with a Council decision may file an appeal application to the Court of Appeal within 30 days of the decision.
40. Mtu ambaye hataridhika na uamuzi wa Baraza anaweza kupeleka maombi ya rufaa katika Mahakama ya Rufaa ndani ya siku 30 tangu kutolewa kwa uamuzi. - 41 Verify source ↗
Bila ya kuathiri masharti yaliyotangulia kuhusiana
AI-assisted research summary: Filing appeal applications must follow the Court of Appeal Rules.
41. Bila ya kuathiri masharti yaliyotangulia kuhusiana na rufaa katika Mahakama ya Rufaa, taratibu za kufungua maombi ya rufaa katika Mahakama ya zitakuwa kwa mujibu wa Kanuni za Mahakama ya Rufaa. Matumizi ya Kanuni za Mahakama ya Rufaa TS. Na. 344 of 2019 ______________ JEDWALI LA KWANZA _______________ (Limetengenezwa chini ya kanuni 10(3)) ADA ZA BARAZA LA MASOKO YA MITAJI 17 Kanuni za Baraza la Masoko ya Mitaji Na Dhamana Tangazo La Serikali Na. 657 (Linaendelea) Na. Maelezo Maombi ya kutekeleza amri au agizo Maombi ya kuomba kuongeza muda wa kukata rufaa Kuwasilisha notisi ya kukata rufaa Kuwasilisha maelezo ya rufaa Kuwasilisha majibu ya maelezo ya rufaa Kuwasilisha sababu za rufaa za nyongeza
Part
JEDWALI LA KWANZA
- 11 Verify source ↗
Maombi ya kutenga/kuseta pembeni maamuzi ya upande
AI-assisted research summary: Sehemu hii inaorodhesha aina za maombi na ada zake kwa shilingi.
11. Maombi ya kutenga/kuseta pembeni maamuzi ya upande Maombi ya hiari ya kuunganishwa kama Mrufani wa pili Maombi ya kufanya marekebisho ya sababu za rufaa Notisi ya kuondoa rufaa Ada ya upekuzi Kiasi katika Shilingi. 50,000.00 200,000.00 50,000.00 100,000.00 30,000.00 50,000.00 40,000.00 200,000.00 100,000.00 3,000,000.00 1,500,000. 00 mmoja - 12 Verify source ↗
Maombi ya kupata nakala ya uamuzi, mwenendo wa
AI-assisted research summary: This section shows appeal form templates and a notice of intention to appeal, and it mentions a 50,000.00 fee for an application to obtain a copy of a decision/proceedings.
12. Maombi ya kupata nakala ya uamuzi, mwenendo wa 50,000.00 shauri n.k 18 Kanuni za Baraza la Masoko ya Mitaji Na Dhamana Tangazo La Serikali Na. 657 (Linaendelea) ______________ JEDWALI LA PILI _____________ (Limetengenezwa chini ya kanuni 10(2)(b)) CMT FOMU Na.1 KATIKA BARAZA LA MASOKO LA MITAJI KATIKA __________________________________________ Katika shauri linalokatiwa rufaa RUFAA NA. _______________YA_________________ KATI YA _______________________________________________________________MRUFANI NA ______________________________________________________________MRUFANIWA NOTISI YA NIA YA KUKATA RUFAA FAHAMU KWAMBA kwamba _______________________________________ (Jina la Mrufani ) wa S.L.P __________________Anuani ya Makazi: ________________________________ Simu ________________________baada ya kutoridhika na maamuzi ya _____________________________(Jina la Mrufaniwa ) yaliyotolewa __________siku ya _______ 20______ kuhusiana ___________________________________________________anategemea kukata rufaa dhidi ya maamuzi yote/sehemu ya maamuzi Saini ya Mrufani ______________________Tarehe _______siku ya______________________ 20 __________________ Imesainiwa na: _____________________________________________________________________ (Mwakilishi wa Mrufani anayetambulika kisheria) AU Saini____________________________ Tarehe __________siku ya _____________20 ______________ 19 Kanuni za Baraza la Masoko ya Mitaji Na Dhamana Tangazo La Serikali Na. 657 (Linaendelea) KWA MATUMIZI YA OFISI TU (MASIJALA) Imepokelewa katika masijala ________________________muda (asubuhi/jioni) leo ______________siku ya_____________20 Jina: _________________________________________Cheo______________________________ _____________ Saini_______________________________________ ofisi_________________________________________ Muhuri wa ______________ JEDWALI LA TATU __________ (Limetengenezwa chini ya kanuni 12(2)) CMT FOMU NA.2 KATIKA BARAZA LA MASOKO LA MITAJI KATIKA __________________________________________ Katika shauri linalokatiwa rufaa RUFAA NA. _______________YA _________________ KATI YA _________________________________________________ MRUFANI NA __________________________________________________MRUFANIWA MAELEZO YA RUFAA
Part
JEDWALI LA TATU
- 1 Verify source ↗
MAELEZO YA MRUFANI
AI-assisted research summary: Fomu hii inaomba maelezo ya mrufani, kama jina, anuani, jiji/manispaa, namba ya simu, nukushi na barua pepe.
1. MAELEZO YA MRUFANI (a) JINA :__________________________________________________________________ 20 Kanuni za Baraza la Masoko ya Mitaji Na Dhamana Tangazo La Serikali Na. 657 (Linaendelea) (b) ANUANI ____________________________________________________________ (c) Jiji, _____________________________________________________ Manispaa, (d) Namba Mji ya Simu:______________________________________________________________ (e) Nukushi Na :___________________________ Barua pepe:____________________________ - 2 Verify source ↗
Section 2
AI-assisted research summary: This section provides space to write the reasons for an appeal and says extra pages may be attached if there is not enough space.
2. MAELEZO YA RUFAA (Ikiwa nafasi haitoshi ambatisha kurasa zingine za maelezo kama itakavyohitajika) ___________________________________________________________________________ ___________________________________________________________________________ ___________________________________________________________________________ ___________________________________________________________________________ ___________________________________________________________________________ ___________________________________________________________________________ ___________________________________________________________________________ ___________________________________________________________________________ ___________________________________________________________________________ ___________________________________________________________________________ ___________________________________________________________________________ ___________________________________________________________________________ ___________________________________________________________________________ ___________________________________________________________________________ ___________________________________________________________________________ ___________________________________________________________________________ ___________________________________________________________________________ ___________________________________________________________________________ ___________________________________________________________________________ ___________________________________________________________________________ ___________________________________________________________________________ ___________________________________________________________________________ ___________________________________________________________________________ ___________________________________________________________________________ ___________________________________________________________________________ ___________________________________________________________________________ ___________________________________________________________________________ ___________________________________________________________________________ _________________________ 21 Kanuni za Baraza la Masoko ya Mitaji Na Dhamana Tangazo La Serikali Na. 657 (Linaendelea) - 3 Verify source ↗
Section 3
AI-assisted research summary: This section is titled “grounds for appeal.”
3. VIGEZO/ SABABU ZA RUFAA ___________________________________________________________________________ ___________________________________________________________________________ ___________________________________________________________________________ ___________________________________________________________________________ ___________________________________________________________________________ ___________________________________________________________________________ ___________________________________________________________________________ ___________________________________________________________________________ ___________________________________________________________________________ ___________________________________________________________________________ ___________________________________________________________________________ ___________________________________________________________________________ ___________________________________________________________________________ ___________________________________________________________________________ ___________________________________________________________________________ ___________________________________________________________________________ ___________________________________________________________________________ ___________________________________________________________________________ ___________________________________________________________________________ ___________________________________________________________________________ ___________________________________________________________________________ ________________________________________ - 4 Verify source ↗
ORODHA YA NYARAKA AU VITU VITAKAVYOWASILISHWA KATIKA
AI-assisted research summary: Sehemu hii inaorodhesha nyaraka au vitu vinavyopaswa kuwasilishwa katika Baraza la Mitaji.
4. ORODHA YA NYARAKA AU VITU VITAKAVYOWASILISHWA KATIKA BARAZA LA MITAJI (Toa maelezo mafupi ya kila nyaraka au vitu vilivyoambatiswa katika maelezo ya rufaa na vipewe namba kwa mpangilio :) Na Namba ya Maelezo Chimbuko/Mwandishi nyaraka/Kiambatisho 22 Kanuni za Baraza la Masoko ya Mitaji Na Dhamana Tangazo La Serikali Na. 657 (Linaendelea) - 5 Verify source ↗
Section 5
AI-assisted research summary: This section is a form page for listing requested items, witness details, and office receipt information.
5. FIDIA/NAFUU/MADAI YANAYOOMBWA : (vipewe namba kwa mpangilio) __________________________________________________________ _________________________________________________________ _________________________________________________________ _________________________________________________________ _________________________________________________________ _________________________________________________________ _________________________________________________________ _________________________________________________________ __________________________________________________________ ________________________________________________________ 5 MAELEZO YA MASHAHIDI Na JINA CHEO ANUANI tarehe ________________________________ _______________ siku ya ___________________ 20 Jina : ____________________________________________________________ Cheo: ______________________________________________________ Imesainiwa na : _____________________________ (Mrufani /Mwakilishi wa Mrufani anayetambulika kisheria). KWA MATUMIZI YA OFISI TU (MASIJALA) Imepokelewa katika masijala ________________________ muda (asubuhi/jioni) leo _______________siku ya _____________20 Jina ___________________________________________ _________________________________________ Cheo 23 Kanuni za Baraza la Masoko ya Mitaji Na Dhamana Tangazo La Serikali Na. 657 (Linaendelea) Saini_______________________________________ Ofisi_________________________________________ - 7 Verify source ↗
NAKALA YA MAELEZO YA RUFAA IWASILISWE KWA
AI-assisted research summary: This is a form for submitting an appeal statement and related details.
7. NAKALA YA MAELEZO YA RUFAA IWASILISWE KWA: Muhuri wa Jina: __________________________________________ Anuani: _______________________________________ Simu: _________________________________________ Tarehe: __________________________________________ Saaini ya Mpokeaji: __________________________ Cheo: _____________________________________ Muhuri wa ofisi ___________________________________ ______________ JEDWALI LA NNE __________ (Limetengenezwa chini ya kanuni 13(3)) CMT FOMU NA.3 KATIKA BARAZA LA MASOKO LA MITAJI KATIKA__________________________________________ Katika shauri linalokatiwa rufaa RUFAA NA. _______________YA_________________ KATI YA _________________________________________________ MRUFANI NA _________________________________________________ MRUFANIWA MAJIBU YA MAELEZO YA RUFAA
Part
JEDWALI LA NNE
- 1 Verify source ↗
Section 1
AI-assisted research summary: Sehemu hii inaomba maelezo ya mrufaniwa, ikiwemo jina, anuani, anuani ya makazi, jiji/manispaa/mji, namba ya simu, nukushi na barua pepe.
1. MAELEZO YA MRUFANIWA 24 Kanuni za Baraza la Masoko ya Mitaji Na Dhamana Tangazo La Serikali Na. 657 (Linaendelea) Jina: _____________________________________________ Anuani: _______________________________________ Anuani ya Makazi: ______________________________________ Jiji, Manispaa, Mji: ________________________________ Na ya simu_________________________________________ Nukushi: ______________________________________________ Barua pepe:________________________________________ MAJIBU YA MAELEZO YA RUFAA - 2 Verify source ↗
Section 2
AI-assisted research summary: If there is not enough space, attach additional pages as needed and ensure each ground of appeal is answered as submitted by the appellant.
2. (Ikiwa nafasi haitoshi ambatisha kurasa zingine za maelezo kama itakavyohitajika.Hakikisha kila sababu ya rufaa imejibiwa kama ilivyowasilishwa na Mrufani) ___________________________________________________________________________ ___________________________________________________________________________ ___________________________________________________________________________ ___________________________________________________________________________ ___________________________________________________________________________ ___________________________________________________________________________ ___________________________________________________________________________ ___________________________________________________________________________ ___________________________________________________________________________ ___________________________________________________________________________ ___________________________________________________________________________ ___________________________________________________________________________ ___________________________________________________________________________ ___________________________________________________________________________ ___________________________________________________________________________ ___________________________________________________________________________ ___________________________________________________________________________ ___________________________________________________________________________ ___________________________________________________________________________ ___________________________________________________________________________ ___________________________________________________________________________ ___________________________________________________________________________ ___________________________________________________________________________ ___________________________________________________________________________ ___________________________________________________________________________ ___________________________________________________________________________ ___________________________________________________________________________ ___________________________________________________________________________ 25 Kanuni za Baraza la Masoko ya Mitaji Na Dhamana Tangazo La Serikali Na. 657 (Linaendelea) _________________________ ___________________________________________________________________________ ___________________________________________________________________________ ___________________________________________________________________________ ___________________________________________________________________________ ___________________________________________________________________________ ___________________________________________________________________________ ___________________________________________________________________________ ___________________________________________________________________________ ___________________________________________________________________________ ___________________________________________________________________________ ___________________________________________________________________________ ___________________________________________________________________________ ___________________________________________________________________________ ___________________________________________________________________________ ___________________________________________________________________________ ___________________________________________________________________________ ___________________________________________________________________________ ___________________________________________________________________________ ___________________________________________________________________________ ___________________ - 3 Verify source ↗
ORODHA YA NYARAKA AU VITU VITAKAVYOWASILISHWA KATIKA
AI-assisted research summary: Maelezo mafupi ya kila nyaraka au vitu vilivyoambatiswa katika maelezo ya rufaa yanapaswa kutolewa, na kila kimoja kiwekwe namba kwa mpangilio.
3.ORODHA YA NYARAKA AU VITU VITAKAVYOWASILISHWA KATIKA BARAZA LA MITAJI (Toa maelezo mafupi ya kila nyaraka au vitu vilivyoambatiswa katika maelezo ya rufaa na vipewe namba kwa mpangilio) ya Somo Na Kiambatisho. Tarehe Chimbuko/Mwandishi - 4 Verify source ↗
MAJIBU YA FIDIA ZILIZOOMBWA
AI-assisted research summary: Section heading only; no rule is stated in the provided text.
4. MAJIBU YA FIDIA ZILIZOOMBWA _________________________________________________________ ________________________________________________________ _________________________________________________________ _________________________________________________________ _________________________________________________________ _________________________________________________________ _________________________________________________________ 26 Kanuni za Baraza la Masoko ya Mitaji Na Dhamana Tangazo La Serikali Na. 657 (Linaendelea) _________________________________________________________ _________________________________________________________ ________________________________________________________ - 5 Verify source ↗
MAELEZO YA MASHAHIDI
AI-assisted research summary: This section provides a form for listing witness details and signatures, and for registrar office use.
5. MAELEZO YA MASHAHIDI NA. JINA KAZI ANWANI Imesainiwa tarehe …………mwezi wa …………………. 20 ………… Jina: ………………………………………………………. Kazi: ……………………………………………….. Imesainiwa na: ……………………….………………………… (Mrufaniwa/Mwakilishi wa kisheria). KWA MATUMIZI YA OFISI TU: Imepokelewa na ofisi ya msajili tarehe ……….… mwezi wa ………………………. 20 ………. Saa ………… (Kabla adhuhuri/baada adhuhuri) Jina: …………………………………………………… kazi …………………………………………. Saini: ……………………………………………………………… Muhuri: ……………………………………………………… - 6 Verify source ↗
NAKALA YA TAARIFA YA MAJIBU IMEPELEKWA KWA
AI-assisted research summary: Notisi hii inamtaka mhusika kuhudhuria mbele ya Baraza la Masoko ya Mitaji na kuja na shahidi wake kama yupo; shahidi au mtaalamu anayetajwa pia anatakiwa kuhudhuria na kuleta nyaraka au vitu vilivyoombwa.
6. NAKALA YA TAARIFA YA MAJIBU IMEPELEKWA KWA: Jina: ………………………………………………………………… Anwani: …………………………………………………………… Anwani ya makazi: ……………………………………………. Tarehe: ……………………………………………………………. Saini: ………………………………………………………………. Kazi: …………………………………………………………… Muhuri: ………………………………………………………. 27 Kanuni za Baraza la Masoko ya Mitaji Na Dhamana Tangazo La Serikali Na. 657 (Linaendelea) _______________ JEDWALI LA TANO _______________ (Limetengenezwa chini ya kanuni 13(5) na 30(2)) ___________ CMT FOMU Na. 4 (a) BARAZA LA MASOKO YA MITAJI KATIKA ………………………………………………. Katika shauri la RUFAA NA. ……………………… YA ………………….. KATI YA …………………………………………………………….. MRUFANI ……………………………………………………………………MRUFANIWA NOTISI YA KUHUDHURIA KWA WAHUSIKA KWA: ………………………………………………………………………………………………… ………………………………………………………………………………………………… ………………………………………………………………………………………………… …………………………………………………………………… TAARIFA INATOLEWA kwamba shauri tajwa hapo juu litasilikilizwa katika Baraza la Masoko ya Mitaji katika siku ya …………………………… mwezi wa ……………. 20 …. Saa ………………(Kabla adhuhuri/Baada adhuhuri) katika (eneo na anwani ya makazi) ………………………………………………………………………………………………… ………………………………………………………………………………………………… ………………………………………………………………………………………………… ……… Unatakiwa kuhudhuria katika uliyotajwa hapo juu mbele ya Baraza la Masoko ya Mitaji na unatakiwa uje na shahidi wako, kama yupo. Ikiwa hautahudhuria bila ya kuwa na notisi yoyote au bila ya kuwa na mwakilishi wa kisheria wa kukuwakilisha, shauri hili la rufaa litatupiliwa mbali bila ya kusikilizwa au kuamuliwa bila ya uwepo wako. Imesainiwa na kutolewa na Baraza la Masoko ya Mitaji katika siku ya …………. Mwezi wa …. 20 ……… ……………………………………………………………………. Jina: ……………………………………… Saini: ……………………………………………………… Muhuri ……………………………………………………. KUKIRI KUPOKEA NAKALA YA NOTISI Jina: …………………………………………………… Saini: ………………………………………………… Kazi: …………………………. Tarehe: ………………………. ……………………………………………………………… Anwani: Kazi 28 Kanuni za Baraza la Masoko ya Mitaji Na Dhamana Tangazo La Serikali Na. 657 (Linaendelea) ____________ JEDWALI LA SITA ____________ (Imetengenezwa chini ya kanuni 13(6) na 31(2)) _____________ CMT FOMU Na. 4 (b) BARAZA LA MASOKO YA MITAJI KATIKA ……………………………………………….. Katika shauri la RUFAA NA. ……………………… YA …………………….. KATI YA …………………………………………………………….. MRUFANI ……………………………………………………………………MRUFANIWA NOTISI YA KUHUDHURIA KWA SHAHIDI/MTAALAMU KWA: ………………………………………………………………………………………………… ………………………………………………………………………………………………… ………………………………………………………………………………………………… …………………………………………………………………… Pale ambapo unahitajika kuhudhuria kama shahidi/mtaalamu kwa niaba ya Baraza la Masoko ya Mitaji katika shauri la rufaa tajwa hapo juu. Kwa notisi hii, unatakiwa kuhudhuria mbele ya Baraza la Masoko ya Mitaji katika siku ya ………………… mwezi wa ……………. makazi) ………. 20……. ………………………………………………………. Unatakiwa kuhudhuria na kuleta vutabu, nyaraka au vitu vifuatavyo katika Baraza la Masoko ya Mitaji. (anwani Katika saa ya (a) ……………………………………………………………………….. (b) ……………………………………………………………………….. (c) ………………………………………………………………………… (d) …………………………………………………………………………; au (e) Kitu chochote chenye umuhimu kama ushahidi. Imesainiwa na kutolewa na Baraza la Masoko ya Mitaji katika siku ya ……………. Mwezi wa ….. 20 ……… KUKIRI KUPOKEA NAKALA YA NOTISI Jina: ……………………………………………………………… Anwani: ………………………………………………………… Simu: …………………………………………………………… Saini: …………………………………………………………… Kazi: …………………………………………………………... Tarehe: ……………………………………………………. 29 Kanuni za Baraza la Masoko ya Mitaji Na Dhamana Tangazo La Serikali Na. 657 (Linaendelea) ________________ JEDWALI LA SABA ________________ (Limetengenezwa chini yakanuni ya 15(3)) ___________ CMT FOMU Na. 5 BARAZA LA MASOKO YA MITAJI KATIKA ……………………………………………….. Katika shauri la RUFAA NA. ……………………… YA …………………….. KATI YA …………………………………………………………….. MRUFANI ……………………………………………………………………MRUFANIWA MAOMBI YA KUONGEZEWA MUDA
Part
JEDWALI LA SABA
- 1 Verify source ↗
MAELEZO YA MUOMBAJI
AI-assisted research summary: This section is an applicant information form asking for personal and contact details.
1. MAELEZO YA MUOMBAJI (a) Jina: …………………………………………………………….. (b) Aina ya kazi: …………………………………………………. (c) Anwani ya posta: ……………………………………………. (d) Mji, Manispaa, Jiji: ………………………………………….. (e) Simu: ……………………………………………………………. (f) Nukushi:……………………………………………………… …………………………… barua pepe KWA: …………………………………………………………………………………………….. …………………………………………………………………………………………….. …………………………………………………………………………………………….. ……………………………………………………………………………………………. - 2 Verify source ↗
MAELEZO YA TAARIFA
AI-assisted research summary: Hii ni fomu ya maombi ya kuomba kuongezewa muda wa kuleta rufaa iliyochelewa, na kuambatanisha nyaraka za kuunga mkono kama zipo.
2. MAELEZO YA TAARIFA Mtajwa hapo juu anatarajia kuleta maombi katika Baraza la Masoko ya Mitaji ya kuongezewa muda wa kuleta rufaa iliyo nje ya muda kutokana na sababu zifuatazo: ……………………………………………………………………………………………… ……………………………………………………………………………………………… ……………………………………………………………………………………………… ……………………………………………………………………………………………… ……………………………………………………………………………………………… ……………………………………………………………………………………………… ……………………………………………………………………………………………… ……………………………………………………………………………………………… 30 Kanuni za Baraza la Masoko ya Mitaji Na Dhamana Tangazo La Serikali Na. 657 (Linaendelea) ……………………………………………………………………………………………… ……………………………………………………………………………………………… ……………………………………………………………………………………………… ……………………………………………………………………………………………… ……………………………………………………………………………………………… ……………………………………………………………………………………………… ……………………………………………………………………………………………… ……………………………………………………………………………………………… ……………………………………………………………………………………………… ……………………………………………………………………………………………… ……………………………. Muombaji anaomba kuambatisha nyaraka zifuatazo katika maombi yake (kama zipo) (a) ………………………………………………………………………………………… …………………… (b) ………………………………………………………………………………………… …………………… (c) ………………………………………………………………………………………… ……………………. (d) ………………………………………………………………………………………… ……………………. (e) ………………………………………………………………………………………… ……………………. (f) ………………………………………………………………………………………… ……………………. Imesainiwa (Asubuhii/Jioni) tarehe ……………………. Siku ya …………………. 20 ………. Imesainiwa tarehe …………mwezi wa …………………. 20 ………… Jina: …………………………………………………. ………………………………………………………. Kazi: Imesainiwa na: ……………………….………………………… (Mrufaniwa/Mwakilishi wa kisheria). KWA MATUMIZI YA OFISI TU: Imepokelewa ofisi ……………………………. 20 ………. Saa ……… (Asubuhi/Jioni) ya msajili na tarehe ……….… mwezi wa Jina: …………………………………………. ……………………………………………………………………. Kazi Saini: ……………………………………………………………… 31 Kanuni za Baraza la Masoko ya Mitaji Na Dhamana Tangazo La Serikali Na. 657 (Linaendelea) Muhuri: ………………………………………………………. 32 Kanuni za Baraza la Masoko ya Mitaji Na Dhamana Tangazo La Serikali Na. 657 (Linaendelea) ______________ JEDWALI LA NANE ______________ (Limetengenezwa chini yakanuni ya 24(2)(a)) _____________ CMT FOMU Na. 6 BARAZA LA MASOKO YA MITAJI KATIKA ……………………………………………….. Katika shauri la RUFAA NA. ……………………… YA …………………….. KATI YA ……………..……………………………………………….. MRUFANI ……………………………………………………………………MRUFANIWA MAOMBI YA KUWEKA PEMBENI UAMUZI ULIYOTOLEWA UPANDE MMOJA
Part
JEDWALI LA NANE
- 1 Verify source ↗
MAELEZO YA MUOMBAJI
AI-assisted research summary: This section is a form asking the applicant to provide personal and contact details.
1. MAELEZO YA MUOMBAJI (a) Jina: …………………………………………………………….. (b) Aina ya kazi: …………………………………………………. (c) Anwani ya posta: ……………………………………………. (d) Mji, Manispaa, Jiji: ………………………………………….. (e) Simu: ……………………………………………………………. (f) Nukushi: ………………………………………………………… (g) barua pepe: ……………………………………………….….. KWA: …………………………………………………………………………………………….. …………………………………………………………………………………………….. …………………………………………………………………………………………….. ………………………………………………………………………………………….…. kati hapo katika shauri ambaye ni mrufaniwa …………………………………… - 2 Verify source ↗
MAELEZO YA TAARIFA
AI-assisted research summary: Hii ni fomu ya kutoa maelezo ya taarifa kwa shauri lenye mgogoro na kuambatisha nyaraka za maombi, kama zipo.
2. MAELEZO YA TAARIFA ya juu Mtajwa na …………………………………………… ……………………………………………………. posta ……………………………………………….. kuhusiana na (shauri lenye mgogoro) la na Na. ……………………………………………….. lililopo katika Baraza kwa ajili ya kuweka pembeni uamuzi uliyotolewa upande mmoja katika tarehe …………………… ya mwezi ………………… 20 …………….. kutokana na sababu zifuatazo: (a) ……………………………………………………………………………………. (b) …………………………………………………………………………………… (c) …………………………………………………………………………………… (d) ………………………………………………………………………………….. kuhusiana sanduku wa la 33 Kanuni za Baraza la Masoko ya Mitaji Na Dhamana Tangazo La Serikali Na. 657 (Linaendelea) (e) ………………………………………………………………………………….. Muombaji anaomba kuambatisha nyaraka zifuatazo katika maombi yake (kama zipo) (a) ………………………………………………………………………………………… …………………… (b) ………………………………………………………………………………………… …………………… (c) ………………………………………………………………………………………… ……………………. (d) ………………………………………………………………………………………… ……………………. (e) ………………………………………………………………………………………… ……………………. (f) ………………………………………………………………………………………… ……………………. Imesainiwa (Asubuhii/jioni) tarehe ……………………. Siku ya …………………. 20 ………. Jina: ………………………………………………….. ………………………………………………………. Kazi: Imesainiwa na: ……………………….………………………… (Mrufaniwa/Mwakilishi wa kisheria). - 3 Verify source ↗
KWA MATUMIZI YA OFISI TU
AI-assisted research summary: This is an office-use section with blank spaces for the registrar to record receipt details.
3. KWA MATUMIZI YA OFISI TU: Imepokelewa ofisi …………………………….. 20 ……….. Saa ………… (Kabla Asubuhi /Jioni) ya msajili na tarehe ……….… mwezi wa Jina: …………………………………………….. ……………………………………………………………………….. Kazi Saini: ……………………………………………………………… Muhuri: ………………………………………………………….. - 4 Verify source ↗
KUKIRI KUPOKEA NAKALA YA NOTISI
AI-assisted research summary: This section provides a receipt form for a notice copy, with spaces for the recipient’s name, address, date, signature, job title, and stamp.
4. KUKIRI KUPOKEA NAKALA YA NOTISI 34 Kanuni za Baraza la Masoko ya Mitaji Na Dhamana Tangazo La Serikali Na. 657 (Linaendelea) Jina: ……………………………………………………………… Anwani: ………………………………………………………… Tarehe: …………………………………………………………… Saini ya mpokeaji: …………………………………………… Kazi: …………………………………………………………... Muhuri: ………………… Dodoma, MUSTAFA ISMAIL KAMBONA 21st August, 2023 Mwenyekiti wa Baraza la Masoko ya Mitaji 35
Provision text is displayed from LexChat’s stored statute record. Use the official source links to verify amendments, commencement, and current legal force.
Ask AI about this statute
Kanuni za Baraza la Masoko ya Mitaji na Dhaana za mwaka 2023
Sign in to ask AI about this statute
Sign in to start authenticated, citation-grounded statute research.
Sign in