Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Rorya za Mwaka 2023
Sehemu hii inaonyesha kichwa cha kifungu cha 2: “Tafsiri”, chini ya sehemu za mwanzo kuhusu masharti ya utangulizi na mikutano ya halmashauri.
AI-assisted research synopsis — verify against the official legal text below.
- Jurisdiction
- Tanzania
- Instrument
- Regulation
- Citation
- Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Rorya za Mwaka 2023
- Version
- Undated source snapshot
- Language
- sw
- Official source
- View official record ↗
Statute overview
About this statute
Sehemu hii inaonyesha kichwa cha kifungu cha 2: “Tafsiri”, chini ya sehemu za mwanzo kuhusu masharti ya utangulizi na mikutano ya halmashauri. Section 8 is titled “Mkutano wa bajeti” (budget meeting). This section is titled “Akidi katika mikutano ya Halmashauri” and sits under procedures for meetings. Kifungu hiki kinahusu uchaguzi wa Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri. This section is about the procedures for conducting council meetings.
Search within this statute
Search all stored provisions in this version.
Legal text
Provisions of Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Rorya za Mwaka 2023
Showing 131 of 131
- 2 Verify source ↗
Tafsiri
AI-assisted research summary: Sehemu hii inaonyesha kichwa cha kifungu cha 2: “Tafsiri”, chini ya sehemu za mwanzo kuhusu masharti ya utangulizi na mikutano ya halmashauri.
2. Tafsiri. SEHEMU YA KWANZA MASHARTI YA UTANGLIZI SEHEMU YA PILI MIKUTANO YA HALMASHAURI
Part
SEHEMU YA PILI
- 8 Verify source ↗
Mkutano wa bajeti
AI-assisted research summary: Section 8 is titled “Mkutano wa bajeti” (budget meeting).
8. Mkutano wa bajeti. 1 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Rorya Tangazo La Serikali Na. 904 (Linaendelea) - 11 Verify source ↗
Akidi katika mikutano ya Halmashauri
AI-assisted research summary: This section is titled “Akidi katika mikutano ya Halmashauri” and sits under procedures for meetings.
11. Akidi katika mikutano ya Halmashauri. SEHEMU YA TATU TARATIBU ZA MIKUTANO - 3 Verify source ↗
Mikutano ya Kawaida ya Halmashauri itafanyika
AI-assisted research summary: Halmashauri must hold ordinary meetings once every three months.
3. Mikutano ya Kawaida ya Halmashauri itafanyika mara moja kila baada ya miezi mitatu, na itafanyika mahali, tarehe na katika muda kama utakavyokuwa umepangwa katika kalenda ya mikutano ya Halmashauri. Mkutano wa kwanza wa Halmashau ri - 4 Verify source ↗
(1) Mkutano wa kwanza wa kawaida wa
AI-assisted research summary: Mkurugenzi lazima aitishe Mkutano wa kwanza wa kawaida wa Halmashauri ndani ya siku 30 baada ya matokeo ya uchaguzi na uteuzi kutangazwa; Mkurugenzi pia hupanga mahali, siku na muda wa mkutano.
4.-(1) Mkutano wa kwanza wa kawaida wa Halmashauri utafanyika baada ya Tume ya Uchaguzi kutangaza matokeo ya uchaguzi wa Madiwani wa Kata na uteuzi wa Madiwani wa Viti Maalumu na utafanyika mahali, siku na katika muda utakaopangwa na Mkurugenzi, ilimradi Mkurugenzi atapaswa kuitisha Mkutano huo ndani ya siku thelathini kuanzia tarehe ya matokeo ya uchaguzi wa Madiwani wa Kata na Uteuzi wa madiwani Viti Maalum yanapotangazwa na Tume ya Uchaguzi. (2) Moja ya ajenda za Mkutano wa kwanza wa kawaida wa Halmashauri kumchagua Mwenyekiti, Makamu Mwenyekiti na Wajumbe wa Kamati za Kudumu za Halmashauri. itakuwa ni (3) Katika Mkutano huo Mkurugenzi wa Halmashauri atawasilisha Taarifa ya kumbukumbu ya maamuzi ya utekelezaji wa shughuli za Halmashauri zilizofanyika katika kipindi ambacho Baraza la Madiwani lilivunjwa. (4) Wajumbe wa Baraza watapokea na kujadili bila kubatilisha maamuzi yaliyokwishaamuliwa. Utaratibu wa Uchaguzi - 5 Verify source ↗
Uchaguzi wa Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti
AI-assisted research summary: Uchaguzi wa Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti unafanyika kwa kura za siri, na mpigaji kura huchukua karatasi ya kupigia kura kutoka kwa Msimamizi wa Uchaguzi.
5. Uchaguzi wa Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti utafanyika kwa kupiga kura za siri na upigaji wa kura utafanyikia sehemu ya faragha umbali usiopungua mita tano kutoka kwa Msimamizi wa Uchaguzi na mpigaji kura atachukua karatasi ya kupiga kura kutoka kwa Msimamizi wa Uchaguzi. 8 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Rorya Tangazo La Serikali Na. 904 (Linaendelea) Mkutano Maalum wa Halmashau ri - 6 Verify source ↗
(1) Mkutano Maalum wa Halmashauri unaweza
AI-assisted research summary: The Chairperson, Director, or Regional Commissioner must act on requests to convene a special council meeting, with strict member-signature thresholds and time limits.
6.-(1) Mkutano Maalum wa Halmashauri unaweza kuitishwa na Mwenyekiti ndani ya siku ishirini na moja baada ya kupokea maombi ya maandishi yaliyosainiwa na si pungufu ya theluthi moja ya Wajumbe wote kutaka Mkutano huo ufanyike na maombi hayo yaeleze wazi madhumuni ya kuitishwa kwa Mkutano huo Maalum. (2) Iwapo Mwenyekiti anakataa kuitisha Mkutano Maalum wa Halmashauri baada ya kupokea maombi ya kutakiwa kufanya hivyo, maombi yaliyosainiwa na Wajumbe wa Halmashauri wasiopungua theluthi moja ya Wajumbe wote wakionyesha sababu ya kuitisha Mkutano huo Maalum na kuwasilishwa kwake, au iwapo bila kukataa, Mwenyekiti, ndani ya kipindi cha siku saba ataendelea kutoitisha Mkutano huo Maalum baada ya kupokea ombi la kuitisha Mkutano huo Maalum, basi theluthi mbili ya Wajumbe waliotia saini na kuwasilisha kwa Mkurugenzi wanaweza kuitisha Mkutano huo Maalum mara moja. (3) Endapo ajenda ya Mkutano huo itahusu kumuondoa madarakani Mwenyekiti, Mkutano huo utaitishwa na Mkurugenzi baada ya kupokea maombi yaliyosainiwa na Wajumbe wa Halmashauri wasiopungua theluthi mbili ya Wajumbe wote. (4) Baada ya Mkurugenzi kupata taarifa ya kutaka kufanyika kwa Mkutano wa kujadili ajenda ya kumuondoa atamtaarifu madarakani Mwenyekiti, Mkurugenzi Mwenyekiti tuhuma na sababu za kutaka kuondolewa uenyekiti na kumtaka aandae majibu ya tuhuma ndani ya siku Tano baada ya kupokea tuhuma hizo. (5) Mkurugenzi katika muda wa siku Tatu baada ya kupokea maelezo ya utetezi kutoka kwa Mwenyekiti, atawasilisha kwa Mkuu wa Mkoa tuhuma pamoja na maelezo ya utetezi. (6) Mkuu wa Mkoa katika muda wa siku tano baada ya kupokea taarifa ataunda Timu ya Uchunguzi ambayo itakua na wajumbe wasiopungua watatu na wasiozidi watano. 9 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Rorya Tangazo La Serikali Na. 904 (Linaendelea) (7) Timu ya Uchunguzi itatakiwa kukamilisha Uchunguzi katika muda wa siku kumi na nne na kuwasilisha taarifa hiyo kwa Mkuu wa Mkoa. (8) Baada ya Mkuu wa Mkoa kupata taarifa ya Timu ya Uchunguzi atairudisha Taarifa hiyo kwa Mkurugenzi wa Halmashauri ambaye naye katika muda wa siku kumi na Nne ataiwasilisha kwenye Kikao cha Baraza kwa uamuzi wa tuhuma hizo. (9) Endapo Mwenyekiti hataridhika na uamuzi wa rufaa kwa Waziri kuhusu utaratibu Baraza, atakata uliotumika kumuondoa madarakani na sio vinginevyo. - 7 Verify source ↗
(1) Utaratibu utakaotumika kuwasilisha na
AI-assisted research summary: Notice of a special meeting must be given at least 24 hours before the meeting.
7.-(1) Utaratibu utakaotumika kuwasilisha na kushughulikia rufaa iliyowasilishwa na Mwenyekiti ni ule ulioelezwa kwenye Taratibu za Kumuondoa Madarakani Mwenyekiti wa Halmashauri wa Wilaya. (2) Taarifa ya Mkutano Maalum itatolewa angalau saa ishirini na nne kabla ya Mkutano. (3) Hakuna shughuli nyingine yoyote itakayojadiliwa katika Mkutano Maalum wa Halmashauri isipokuwa ile tu iliyoelezwa kwenye taarifa ya kuitishwa kwa Mkutano huo. Utaratibu wa kuwasilisha rufaa Mkutano wa Bajeti - 8 Verify source ↗
Kutakuwepo na Mkutano wa Halmashauri wa
AI-assisted research summary: Kuna Mkutano wa Halmashauri wa Bajeti utakaofanyika kwa siku mbili mfululizo, miezi miwili kabla ya mwaka wa fedha kuisha, ili kujadili utekelezaji wa mipango na bajeti ya mwaka uliopita pamoja na mipango na bajeti ya mwaka unaofuata.
8. Kutakuwepo na Mkutano wa Halmashauri wa Bajeti utakaofanyika kwa muda wa siku mbili mfululizo na utafanyika miezi miwili kabla ya mwaka wa fedha kumalizika na utajadili mambo yafuatayo: (a) utekelezaji wa mipango na bajeti ya mwaka uliopita; (b) mipango na bajeti ya mwaka unaofuata. Mkutano wa Mwaka - 9 Verify source ↗
(1) Mkutano wa Mwaka wa Halmashauri
AI-assisted research summary: This provision sets how the council’s annual meeting and related council meetings are scheduled, convened, and chaired.
9.-(1) Mkutano wa Mwaka wa Halmashauri tarehe, mahali na muda utakaopangwa na utafanyika Halmashauri katika kalenda ya Mikutano na utaitishwa na Mkurugenzi baada ya kuwasiliana na Mwenyekiti wa Halmashauri. (2) Mikutano yote ya Baraza itapangwa na Baraza la 10 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Rorya Tangazo La Serikali Na. 904 (Linaendelea) Madiwani kwa kuzingatia ratiba ya Vikao vya Bunge ili kuwezesha Wabunge kuhudhuria Mikutano ya Baraza la Madiwani. Endapo italazimika kuitishwa kwa Mkutano wa Baraza wakati wa Vikao vya Bunge, Mkurugenzi atamjulisha au kuwajulisha Wabunge husika kuhusu kikao hicho ili wahudhurie. (3) Mkutano wa Kwanza wa Uchaguzi wa Mwenyekiti, Makamu Mwenyekiti na Wajumbe wa Kamati utaongozwa na Katibu Tawala wa Wilaya na Mkurugenzi wa Halmashauri atakuwa Katibu. (4) Katika Mkutano wa kawaida wa mwaka, Halmashauri itajadili mambo yafuatayo: (a) kumchagua Makamu wa Mwenyekiti; (b) kuteua Wajumbe wa Kamati za Kudumu; (c) kujadili taarifa ya utendaji na uwajibikaji wa Halmashauri kwa mwaka uliopita; (d) kupitisha ratiba ya vikao vya Halmashauri na Kamati za Halmashauri. Taarifa za Mkutano - 10 Verify source ↗
(1) Mkurugenzi atatoa taarifa ya Mkutano kwa
AI-assisted research summary: Mkurugenzi lazima amjumuishe kila Mjumbe notisi ya maandishi ya Mkutano angalau siku 7 kabla, ikionyesha mahali, tarehe, saa na ajenda.
10.-(1) Mkurugenzi atatoa taarifa ya Mkutano kwa maandishi kwa kila Mjumbe katika muda usiopungua siku saba akieleza mahali, siku na saa ya Mkutano unaokusudiwa na mambo yatakayojadiliwa katika Mkutano huo. (2) Taarifa ya Mkutano itaambatana na nyaraka au kumbukumbu muhimu zitakazotumika katika Mkutano huo. (3) Isipokuwa kwa idhini ya Mwenyekiti na au ya idadi ya Wajumbe isiyopungua robo tatu ya Wajumbe waliohudhuria Mkutano, yoyote itakayofanywa katika Mkutano wa Halmashauri mbali na shughuli zilizotajwa katika mwaliko wa Mkutano huo shughuli hakuna Akidi katika mikutano ya Halmashau ri - 11 Verify source ↗
(1) Hakuna Mkutano wa
AI-assisted research summary: Mikutano ya Halmashauri inaweza kufanyika tu ikiwa akidi ya wajumbe ipo, na Mkurugenzi lazima aiahirishe na kuuita tena mkutano ndani ya siku 7 ikiwa akidi haijatimia.
11.-(1) Hakuna Mkutano wa kawaida wa Halmashauri utakaofanyika isipokuwa kama kutakuwepo idadi ya Wajumbe isiyopungua nusu ya Wajumbe wote waliohudhuria na kujiandikisha kwenye daftari la mahudhurio. 11 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Rorya Tangazo La Serikali Na. 904 (Linaendelea) (2) Akidi katika mikutano Maalum ya Halmashauri itakuwa ni theluthi mbili ya Wajumbe wote wa Halmashauri na itahesabiwa wakati wa ufunguzi wa Mkutano. (3) Akidi katika Mkutano wa kawaida wa mwaka na Mkutano wa kwanza wa Halmashauri itakuwa theluthi mbili ya Wajumbe wote wa Halmashauri. (4) Endapo Wajumbe waliohudhuria Mkutano hawatafikia akidi ya Mkutano, Mkurugenzi atauahirisha Mkutano huo na kuuitisha tena ndani ya siku saba (7) na endapo akidi haitatimia tena, idadi yoyote ya Wajumbe na ya Mkutano waliohudhuria Mkurugenzi atamjulisha Waziri kuwepo kwa hali hiyo. itatengeneza akidi Uchaguzi wa Mwenyekit i na Makamu Mwenyekit i wa Halmashau ri SEHEMU YA TATU TARATIBU ZA MIKUTANO
Part
SEHEMU YA TATU
- 12 Verify source ↗
Uchaguzi wa Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri
AI-assisted research summary: Kifungu hiki kinahusu uchaguzi wa Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri.
12. Uchaguzi wa Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri. - 13 Verify source ↗
Taratibu za uongozaji wa Mikutano ya Halmashauri
AI-assisted research summary: This section is about the procedures for conducting council meetings.
13. Taratibu za uongozaji wa Mikutano ya Halmashauri. - 15 Verify source ↗
Kuruhusu watu na vyombo vya habari kwenye Mikutano ya
AI-assisted research summary: This provision concerns allowing people and media to attend council meetings.
15. Kuruhusu watu na vyombo vya habari kwenye Mikutano ya Halmashauri. - 23 Verify source ↗
Hoja zinazoweza kutolewa bila taarifa
AI-assisted research summary: Section title: sheets/documents that may be issued without notice.
23. Hoja zinazoweza kutolewa bila taarifa. - 30 Verify source ↗
Uhuru wa kutoa mawazo wakati wa majadiliano
AI-assisted research summary: This section is about freedom to speak during discussions.
30. Uhuru wa kutoa mawazo wakati wa majadiliano. - 33 Verify source ↗
Mwaliko kwa wasio wajumbe kushiriki kwenye vikao vya
AI-assisted research summary: Invitations for non-members to attend Halmashauri meetings.
33. Mwaliko kwa wasio wajumbe kushiriki kwenye vikao vya Halmashauri. - 35 Verify source ↗
Mihtasari kupelekwa kwa Mkuu wa Wilaya na Mkuu wa Mkoa
AI-assisted research summary: Mihtasari inahusishwa na kupelekwa kwa Mkuu wa Wilaya na Mkuu wa Mkoa.
35. Mihtasari kupelekwa kwa Mkuu wa Wilaya na Mkuu wa Mkoa. - 38 Verify source ↗
Kuidhinishwa kwa taarifa ya Kamati
AI-assisted research summary: Section 38 is titled as approving the committee’s report.
38. Kuidhinishwa kwa taarifa ya Kamati. 2 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Rorya Tangazo La Serikali Na. 904 (Linaendelea) - 39 Verify source ↗
Uhalali wa majadiliano ya Halmashauri
AI-assisted research summary: Section 39 is titled “Uhalali wa majadiliano ya Halmashauri.”
39. Uhalali wa majadiliano ya Halmashauri. - 40 Verify source ↗
Uwezo wa Halmashauri kujigeuza kuwa Kamati ya Halmashauri
AI-assisted research summary: Section 40 says the Halmashauri has the power to turn itself into the full council committee.
40. Uwezo wa Halmashauri kujigeuza kuwa Kamati ya Halmashauri nzima. - 41 Verify source ↗
Hoja zinazohusu watumishi wa Halmashauri
AI-assisted research summary: This section is about leave for council employees.
41. Hoja zinazohusu watumishi wa Halmashauri. - 43 Verify source ↗
Uahirishaji wa vikao
AI-assisted research summary: Kichwa hiki kinaonyesha kuwa kifungu kinahusu uahirishaji wa vikao.
43. Uahirishaji wa vikao. SEHEMU YA NNE KAMATI - 12 Verify source ↗
(1) Mwenyekiti na Makamu wa Mwenyekiti
AI-assisted research summary: Wajumbe huchagua Mwenyekiti na Makamu wa Mwenyekiti kwa kura ya siri, na ushindi hutegemea kupata zaidi ya nusu ya kura zilizopigwa.
12.-(1) Mwenyekiti na Makamu wa Mwenyekiti watachaguliwa na Wajumbe, kutokana na Wajumbe wa Halmashauri kwa kura ya siri itakayopigwa na Mjumbe mmoja mmoja kwenye eneo la faragha litakalotengwa umbali usiopungua mita 5 kutoka mahali alipoketi Msimamizi wa Uchaguzi. (2) Mjumbe kabla ya kwenda sehemu ya faragha kwa ajili ya kupiga Kura, atapatiwa na Msimamizi wa Uchaguzi karatasi ya kupigia Kura kutoka kwenye chombo Maalum kitakachowekwa mbele ya Msimamizi wa Uchaguzi, na atakwenda moja kwa moja kupiga kura yake kwenye sehemu ya faragha. (3) Mtu atatangazwa kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti au Makamu wa Mwenyekiti iwapo atapata zaidi ya nusu ya kura zilizopigwa. (4) Iwapo wakati wa kumchagua Mwenyekiti au Makamu wa Mwenyekiti jina moja tu limependekezwa, Wajumbe watapiga kura za siri za “ndiyo” au “hapana” na endapo kura za “ndiyo” zitazidi asilimia hamsini ya kura 12 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Rorya Tangazo La Serikali Na. 904 (Linaendelea) zote zilizopigwa basi mgombea atatangazwa kuwa Mwenyekiti au Makamu wa Mwenyekiti. (5) Iwapo kura za “Hapana” zitazidi asilimia hamsini ya kura zote zilizopigwa, jina la mgombea mwingine litapendekezwa kwa njia na utaratibu uliotumika hapo awali. (6) Iwapo kura zitafafana, uchaguzi utarudiwa kwa mara ya pili na endapo hata baada ya kurudia uchaguzi, kura zimefanana, Baraza litaamua kugawana muda wa kuwa madarakani kwa wagombea hao ambao kura zao zimefanana. (7) Kama itatokea nafasi wazi ya Mwenyekiti au itamchagua Makamu wa Mwenyekiti, Halmashauri Mwenyekiti au Makamu Mwenyekiti katika muda wa siku zisizozidi sitini tangu nafasi hiyo ilipotokea. - 13 Verify source ↗
Mkutano wa Halmashauri utaongozwa na
AI-assisted research summary: Mkutano wa Halmashauri huongozwa kwanza na Mwenyekiti, kisha Makamu Mwenyekiti, na ikibidi mjumbe aliyechaguliwa na waliohudhuria. Wajumbe lazima wavae mavazi maalum kwenye ukumbi wa mikutano, na baadhi ya mavazi hayaruhusiwi wakati huo.
13. Mkutano wa Halmashauri utaongozwa na: (a) Mwenyekiti; au (b) kama Mwenyekiti Mwenyekiti; au hayupo, Makamu wa (c) kama Mwenyekiti na Makamu wa Mwenyekiti wote hawapo, au kama Mwenyekiti na Makamu wa Mwenyekiti wote hawawezi kuongoza Mkutano, Mjumbe yeyote atachaguliwa na Wajumbe kutoka miongoni mwa Wajumbe waliohudhuria kwa ajili ya kuongoza Mkutano huo; Taratibu za uongozaji wa Mikutano ya Halmashau ri (d) wajumbe wawapo ndani ya ukumbi wa mikutano wa Halmashauri watavaa mavazi Maalum yaliyochaguliwa na kushonwa Maalum kwa ajili hiyo; (e) endapo na Halmashauri ni joho basi litavaliwa juu ya vazi la Mjumbe, na endapo Halmashauri haina joho basi Mjumbe atavaa vazi la heshima, na mavazi kama jeans, kofia zinazohusiana na dini na sare za chama hazitaruhusiwa kuvaliwa wakati wa vazi Maalum lililochaguliwa 13 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Rorya Tangazo La Serikali Na. 904 (Linaendelea) Mikutano ya Halmashauri na vikao vya Kamati za Kudumu za Halmashauri; (f) wazi rasmi la Mwenyekiti na Mkurugenzi na Makamu Mwenyekiti litakuwa lenye kuonyesha rangi za Bendera ya Taifa na mazao yanayolimwa kwa wingi katika eneo la Halmashauri kadri Halmashauri itakavyoona inafaa. Hata hivyo, kanuni hii haitaathiri majoho ambayo yanatumika kabla ya Kanuni hizi; (g) endapo katika Mkutano huo Halmashauri itajigeuza kuwa Kamati, Wajumbe watavua majoho; (h) endapo Baraza litajigeuza kuwa Kamati taratibu za kuendesha Vikao vya Kamati zitatumika na Kikao hicho kitakuwa cha siri. (2) Madaraka au jukumu lolote la Mwenyekiti kuhusiana yanaweza uendeshaji wa mikutano kutekelezwa na mtu anayeongoza Mkutano huo. na (3) Halmashauri itatenga siku mbili kila wiki kwa ajili ya Mwenyekiti kufika ofisini na kutekeleza majukumu yafuatayo: - 14 Verify source ↗
(1) Kila Mjumbe anayehudhuria Mkutano wa
AI-assisted research summary: Members may not attend a council or committee meeting until they have signed the attendance register; councillors are generally not allowed to be in council offices or do unrelated activities, except on meeting days or when carrying out government duties.
14.-(1) Kila Mjumbe anayehudhuria Mkutano wa Halmashauri au Kamati yoyote ya Halmashauri ambamo yeye ni Mjumbe hatahudhuria Mkutano huo mpaka awe ameweka saini yake kwenye Rejesta ya mahudhurio inayotunzwa na Mkurugenzi kwa ajili hiyo. (2) Isipokuwa siku ya kufanyika kwa Mikutano ya Baraza au Kamati ambayo Diwani ni Mjumbe au pale atakapoitwa kutekeleza majukumu ya Serikali, si ruhusa kwa Diwani kuwa katika ofisi za Halmashauri na kufanya shughuli ambazo hazihusiani na Halmashauri au Serikali. Kumbukum bu ya mahudhuri o Kuruhusu watu na vyombo vya habari - 15 Verify source ↗
(1) Mikutano ya Halmashauri itakuwa wazi kwa
AI-assisted research summary: Halmashauri meetings must be open to the public and media, and the council must announce the meeting time and place in advance and post the notice visibly.
15.-(1) Mikutano ya Halmashauri itakuwa wazi kwa watu wote pamoja na vyombo vya habari. (2) Halmashauri itapaswa kuutangazia umma kuhusu 14 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Rorya Tangazo La Serikali Na. 904 (Linaendelea) kwenye Mikutano ya Halmashau ri muda, wakati na mahali pa Mkutano na italiweka tangazo hilo mahali panapoonekana kwa urahisi katika eneo la Halmashauri siku zisizopungua tatu kabla ya Mkutano, na kama Mkutano umeitishwa katika muda mfupi zaidi basi wakati wa kuitisha Mkutano huo. Utaratibu wa shughuli za Mikutano - 16 Verify source ↗
Isipokuwa kama Halmashauri, kutokana na
AI-assisted research summary: Kipengele hiki kinaweka utaratibu wa mkutano wa kawaida wa Halmashauri, ikiwemo kuanza kwa Sala/Dua, utaratibu wa kuingia kwa Mwenyekiti, na namna ya kuchagua mwenyekiti wa kikao iwapo viongozi hawapo.
16. Isipokuwa kama Halmashauri, kutokana na sababu za dharura, itaamua kubadili utaratibu wa shughuli za mikutano, utaratibu wa shughuli katika kila Mkutano wa kawaida wa Halmashauri utakuwa kama ifuatavyo: (a) Mwenyekiti akiongozwa na Katibu ataingia ukumbini baada ya mratibu wa vikao kutoa ishara Maalum kuashiria Mwenyekiti kuingia ukumbini na Wajumbe watasimama na kukaa kimya mpaka pale Mwenyekiti atakaporuhusu Wajumbe kukaa; (b) Mkutano utaanza kwa Sala au Dua itakayosomwa na Mwenyekiti; (c) endapo Mwenyekiti au Makamu Mwenyekiti hawatakuwepo, Wajumbe watachagua mtu wa kuongoza kikao; (d) baada ya Sala/Dua kusomwa Mkurugenzi na Mwenyekiti wa Halmashauri watajibu maswali ya papo kwa papo kutoka kwa Wajumbe wa Baraza la madiwani kwa utaratibu na mpangilio kama ilivyooneshwa kwenye Kanuni hizi; (e) kupokea na kujadili taarifa za kwenye Kata kutoka kwa Madiwani wa Kata husika; (f) kujadili jambo lolote linalotakiwa kwa mujibu wa shughuli Sheria kushughulikiwa kabla ya nyingine yoyote; (g) kupokea taarifa yoyote inayopaswa kupokelewa kisheria kabla ya shughuli nyingine yoyote; (h) kusoma au kuthibitisha muhtasari wa Mkutano wa kawaida wa Halmashauri uliopita na mikutano yoyote Maalum ya Halmashauri iliyofanyika baada ya Mkutano huo wa 15 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Rorya Tangazo La Serikali Na. 904 (Linaendelea) Kuthibitish a muhtasari kawaida.Hata hivyo iwapo nakala za mihtasari zimesambazwa kwa kila Mjumbe kabla au wakati wa kupeleka taarifa ya kuhudhuria Mkutano, mihtasari hiyo itachukuliwa kuwa imesomwa; (i) kupokea taarifa yoyote ambayo Mwenyekiti atapenda itolewe kwa Halmashauri; (j) Halmashauri inaweza, katika Mkutano wowote wa kawaida, kubadili utaratibu wa hoja za mazungumzo ili kutoa kipaumbele kwa shughuli yoyote ambayo kwa maoni ya Mwenyekiti ina lakini mabadiliko hayo uharaka wa pekee, hayatabadilisha mpangilio shughuli wa zilizotajwa katika aya (a), (b) na (c). - 17 Verify source ↗
(1) Katibu ataandika muhtasari wa mazungumzo
AI-assisted research summary: Katibu lazima aandike muhtasari wa kikao, na Mwenyekiti aupitie, aidhinishe na kuusaini; muhtasari ulio sahihi pia uwe wazi kwa ukaguzi na sehemu yake inaweza kutolewa kwa ombi baada ya ada.
17.-(1) Katibu ataandika muhtasari wa mazungumzo ya kikao unaozingatia majina ya Wajumbe waliohudhuria na wasiohudhuria, jina la mtoa hoja, aliyeunga mkono hoja, mabadiliko ya hoja kwa ufupi, ushauri uliotolewa na azimio lililofikiwa. Muhtasari huo utasomwa, kurekebishwa, kuthibitishwa na kusainiwa na Mwenyekiti wa Mkutano na kutunzwa katika rejesta Maalum ya mihtasari. (2) Mara baada ya kusoma Muhtasari, au kama itachukuliwa kama umesomwa, Mwenyekiti atauliza swali “Je Muhtasari wa Mkutano wa Halmashauri wa Tarehe…………… ya Mwezi…………. Mwaka……..utiwe saini kama kumbukumbu sahihi?”. (3) Hakuna hoja au majadiliano yatakayofanywa kuhusiana na muhtasari isipokuwa kuhusiana na usahihi wa muhtasari, kama hakuna swali lililoulizwa, basi mara baada ya kuthibitishwa Mwenyekiti atatia saini katika muhtasari huo. (4) Muhtasari ambao utakuwa umesainiwa vilivyo na kama hakuna ushahidi wa kuwepo kwa makosa utakuwa kumbukumbu sahihi na Mkutano utahesabika kuwa umeitishwa na kufanyika vilivyo na Wajumbe waliohudhuria watahesabika halali. 16 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Rorya Tangazo La Serikali Na. 904 (Linaendelea) (5) Mihtasari ya Halmashauri itakuwa wazi kwa ukaguzi na Wajumbe na kwa umma kwa wakati unaofaa na kwa utaratibu utakaokubaliwa na Halmashauri na kwamba mtu yeyote anaweza kupewa sehemu ya muhtasari huo kama akiomba na baada ya kulipa ada kama itakavyoidhinishwa na Halmashauri. Hoja za Mwenyekit i - 18 Verify source ↗
Hoja zinazowasilishwa na Mwenyekiti hazitazidi
AI-assisted research summary: The Chairperson may present no more than three motions. This does not affect a Member’s right to present motions in the ordinary procedure.
18. Hoja zinazowasilishwa na Mwenyekiti hazitazidi hoja tatu, bila kuathiri haki yake kama Mjumbe ya kuwasilisha hoja katika taratibu za kawaida. Taratibu za majadiliano - 19 Verify source ↗
(1) Isipokuwa kwa idhini ya Halmashauri mtoa
AI-assisted research summary: This section sets speaking limits and meeting-order rules for Council meetings.
19.-(1) Isipokuwa kwa idhini ya Halmashauri mtoa hoja atahutubia Mkutano wa Halmashauri kwa dakika zisizozidi kumi. Wajumbe wengine ikiwa ni pamoja na mtoa hoja watazungumza kwa muda usiozidi dakika tano kila mmoja. (2) Mjumbe anaruhusiwa kuzungumza mara moja katika hoja yoyote ile isipokuwa hoja inayowasilishwa bila mjadala. (3) Mtoa hoja atakuwa na haki ya kuzungumza kwa muda usiozidi dakika tano katika kujibu majadiliano na muda huo utaanza kuhesabika mara atakapoanza kuchangia au kujibu. Mratibu wa vikao atatoa ishara Maalum kumjulisha mtoa hoja kuwa muda wake umeisha na mjadala juu ya hoja hiyo utafungwa. Utaratibu huu wa kuhesabu muda utatumika pia kwa Mjumbe yeyote atakayepewa muda wa kuchangia hoja na mara tu baada ya kujibu, mjadala juu ya hoja utafungwa. (4) Mjumbe yeyote aliyekwishachangia kwenye hoja ila hawezi kutoa au kuunga mkono marekebisho, marekebisho yakitolewa na kuungwa mkono, (5) Mjumbe aliyekwishazungumza katika hoja ya awali anaweza kuzungumza kwenye hoja iliyorekebishwa kwa muda usiozidi dakika tatu. (6) Iwapo Wajumbe wawili au zaidi watasimama wakati mmoja kuzungumza, Mjumbe atakayetamkwa na 17 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Rorya Tangazo La Serikali Na. 904 (Linaendelea) Mwenyekiti ndiye atakayepewa nafasi kwanza. (7) Bila kuathiri masharti ya kanuni ndogo ya (5), Mwenyekiti atahakikisha kuwa, nafasi ya kuchangia inatolewa kwa uwiano unaofaa miongoni mwa aina zote za uwakilishi wa Madiwani walioomba kuchangia hoja hiyo. (8) Mjumbe mazungumzo yake kwa Mwenyekiti kusimama. anapozungumza ataelekeza tu na atapaswa (9) Mjumbe anapozungumza hatakatizwa, isipokuwa kwa suala la utaratibu, lakini anaweza kutoa nafasi kwa Mjumbe anayetaka kujieleza. (10) Mjumbe anaposimama kutoa taarifa kuhusu utaratibu, Mjumbe anayezungumza ataketi na atabaki ameketi hadi hoja ya utaratibu itakapokuwa imeamuliwa na Mwenyekiti, isipokuwa kama anasimama kumweleza Mwenyekiti kuhusu suala la utaratibu. (11) Mwenyekiti ndiye pekee mwenye uamuzi kuhusu utaratibu katika mikutano ya Halmashauri, na anayo madaraka ya kuzuia fujo na kuhakikisha kuwa maamuzi yake katika kusimamia usalama yanatekelezwa mara moja. Wakati wa majadiliano Mwenyekiti akisimama, Mjumbe anayezungumza au aliyesimama ataketi na hakuna Mjumbe atakayesimama hadi Mwenyekiti ameketi. (12) Hakuna Mjumbe atakayebaki amesimama wakati Mjumbe mwingine anaelekeza mazungumzo yake kwa Mwenyekiti. (13) Mkurugenzi wa Halmashauri atajibu swali lolote atakaloulizwa na Mwenyekiti kutokana na shughuli zinazoendelea kwenye Mkutano isipokuwa kama atadai haki ya kukataa kujibu swali kwa msingi ya kwamba jibu linaweza kumweka hatiani au kuvunja uaminifu wake au linamhusisha yeye kama mtetezi mahakamani. (14) Hakuna mtu kwa niaba yake mwenyewe, au kwa niaba ya watu wengine walio kwenye ujumbe wa watu, katika Mkutano wa atakayeruhusiwa idhini ya Halmashauri Halmashauri kuzungumza isipokuwa kwa 18 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Rorya Tangazo La Serikali Na. 904 (Linaendelea) iliyotolewa kwa njia ya azimio. Idhini ya namna hiyo haitatolewa isipokuwa kama mtu huyo au watu hao wanaotaka kuihutubia Halmashauri watakuwa wamempatia Mkurugenzi au Afisa aliyeruhusiwa naye, taarifa ya muda usiopungua siku tisa kabla ya Mkutano wa Halmashauri ambamo wangetaka maombi yao yafikiriwe kupewa idhini, linalotarajiwa maombi ya kimaandishi kujadiliwa, na mpaka taarifa ya kupokelewa kwa maomi hayo itakapokuwa imebandikwa kwenye mbao za matangazo za Halmashauri. ikieleza jambo Fujo zinazosaba bishwa na wajumbe (15) Hakuna zaidi ya watu wawili watakaokuwa na haki ya kuhutubia Halmashauri kwa niaba ya uwakilishi; na wala hakuna ujumbe utakaozidi idadi ya watu watano watakaoruhusiwa. (16) Kiwango cha juu cha muda wa kuzungumza na Halmashauri ikiwa ni pomaja na muda wa kusoma risala hakitazidi dakika kumi. - 20 Verify source ↗
(1) Katika Mkutano wowote wa Halmashauri
AI-assisted research summary: The Chairman may name a disruptive member, ask for adjournment, remove or bar the member for three consecutive meetings, and suspend a meeting when serious disorder occurs.
20.-(1) Katika Mkutano wowote wa Halmashauri kama Mjumbe wa Halmashauri ataonyesha kukosa heshima kwa madaraka aliyonayo Mwenyekiti au kudharau Kanuni za Kudumu za Halmashauri kwa kuzuia kwa makusudi shughuli za Halmashauri zisiendelee au vinginevyo, Mwenyekiti ataelekeza Mkutano kwa tukio hilo kwa kumtaja jina mtu anayehusika. (2) Endapo baada ya kutajwa jina mjumbe ataendelea kudharau madaraka ya Mwenyekiti basi Mwenyekiti ataliomba Baraza kuahirisha shughuli za Mkutano na Mwenyekiti atatafakari jambo hilo na anaweza kuagiza yafuatayo: (a) Mjumbe atolewe nje ya Mkutano kama Mjumbe wa Halmashauri na kumzuia kuhudhuria vikao vitatu mfululizo pamoja na haki zake zote. (b) Mjumbe kuzuiliwa kuhudhuria vikao vitatu mfululizo na kupoteza haki zake zinazohusiana na vikao hivyo. 19 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Rorya Tangazo La Serikali Na. 904 (Linaendelea) Fujo zinazosaba bishwa na umma Hoja na marekebish o ya hoja (3) Iwapo kutatokea fujo kubwa katika Mkutano wowote wa Halmashauri, Mwenyekiti anaweza kama ataona ni muhimu kufanya hivyo, kuahirisha Mkutano bila majadiliano au swali au kusimamisha Mkutano kwa muda atakaoona unafaa. - 21 Verify source ↗
(1)
AI-assisted research summary: The Chairperson must warn a person who disrupts the Council meeting and, if the disruption continues, order that person removed. If there is disorder in any public part of the meeting room, the Chairperson must order everyone in that area removed.
21.-(1) Iwapo mtu yeyote kati ya umma unaohudhuria Mkutano wa Halmashauri atavuruga Mkutano wa Halmashauri, Mwenyekiti atamuonya mtu huyo aache kufanya hivyo. Endapo mtu huyo ataendelea kuvuruga Mkutano, Mwenyekiti ataamuru mtu huyo atolewe kwenye chumba cha Mkutano. Endapo kutakuwa na vurugu katika sehemu yoyote ya chumba cha Mkutano kinachotumika na umma, Mwenyekiti ataaamuru kuondolewa kwa watu wote walio katika eneo hilo. - 22 Verify source ↗
(1) Taarifa ya kila hoja,
AI-assisted research summary: Hoja za Mkutano lazima ziwasilishwe kwa maandishi na kufikishwa kwa Mkurugenzi angalau siku nne kabla, na Mkurugenzi aziweke tarehe, namba, na kuziingiza kwenye daftari.
22.-(1) Taarifa ya kila hoja, isipokuwa hoja iliyowasilishwa chini ya Kanuni za Kudumu Na. 20, itawasilishwa kwa maandishi yaliyowekwa saini na Diwani au Madiwani waliotoa itapelekwa kwa Mkurugenzi angalau siku nne kabla ya Mkutano wa Halmashauri unaofuata na akishaipokea, Mkurugenzi atagonga tarehe na kuipa namba na kuiingiza kwenye daftari kadri hoja zilivyowasilishwa, na daftari hiyo itakuwa wazi kukaguliwa na Mjumbe yeyote wa Halmashauri. taarifa, na (2) Mkurugenzi ataonyesha katika taarifa ya kila Mkutano wa Halmashauri hoja zilizowasilishwa na kwa kadri zilivyopokelewa isipokuwa kama Diwani aliyetoa hoja hiyo ameeleza kwa maandishi wakati alipoleta hoja hiyo, kwamba anataka kuitoa katika Mkutano utakaofanyika baadaye, au baada ya kuwasilisha ameifuta hoja hiyo kwa maandishi. (3) Iwapo hoja ambayo imeonyeshwa katika taarifa ya Mkutano haiwezi kutolewa na Mjumbe aliyewasilisha taarifa; au na Mjumbe mwingine yeyote kwa niaba yake, 20 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Rorya Tangazo La Serikali Na. 904 (Linaendelea) basi hoja hiyo, isipokuwa kama imeahirishwa kwa idhini ya Halmashauri, na itachukuliwa haitawasilishwa tena bila ya kutoa taarifa upya. imeondolewa kama (4) Iwapo hoja itahusu jambo linalohusu Kamati au Kamati mbalimbali baada ya kupendekezwa na kuungwa mkono, hoja hiyo itapelekwa bila majadiliano kwenye Kamati ambayo Halmashauri itaelekeza ili iweze kufikiriwa na kutayarishiwa taarifa. (5) Ni jambo ambalo Halmashauri ina uwezo na wajibu nalo, au iwe inahusu Halmashauri ya wilaya husika. lazima kila hoja ihusu (6) Marekebisho ya hoja yaliyopendekezwa na kuungwa mkono yanaweza kuondolewa tu kwa ridhaa ya Wajumbe wa Halmashauri walio wengi waliopo katika Mkutano. ya hoja (7) Marekebisho yanapokuwa yamethibitishwa, hoja ya msingi kama ilivyorekebishwa itatolewa na Mwenyekiti kama ndiyo hoja ya msingi ambayo nayo inaweza kufanyiwa marekebisho. Kama marekebisho ya hoja hayakukubaliwa, linaweza kupendekezwa. rekebisho lingine (8) Kwa idhini ya Mwenyekiti, zaidi ya rekebisho moja linaweza kutolewa kwa wakati mmoja mbele ya Mkutano wa Halmashauri, lakini kila rekebisho la namna hii jinsi litatolewa moja baada ya mapendekezo hayo yalivyotolewa. jingine kufuatana na (9) Rekebisho halitachukuliwa kuwa sahihi kama litakuwa sawa na kuikataa hoja moja kwa moja au kama si rekebisho la hoja ya msingi linalokusudiwa kurekebisha. (10) Rekebisho ambalo halikutolewa taarifa, halitapendekezwa hoja inayozungumzwa kuendelea kwa nusu saa, ila kwa mujibu wa sharti hili, taarifa ya idadi yoyote ya marekebisho inaweza kutolewa. ya mjadala wa baada (11) Hoja ya kufuta azimio itapitishwa na Wajumbe wasiopungua theluthi mbili ya Wajumbe wote. 21 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Rorya Tangazo La Serikali Na. 904 (Linaendelea) (12) Hoja ya kuzingatia taarifa ya Kamati au kuidhinisha majadiliano au mapendekezo ya Kamati inaweza kutolewa na Mwenyekiti wa Kamati husika, au na Mjumbe yeyote wa Kamati husika kwa niaba yake. (13) Mjumbe yeyote ambaye hajachangia katika mjadala wa hoja, au hajaitolea marekebisho, anaweza kupendekeza “kwamba Halmashauri iendelee na shughuli inayofuata”. Hoja ya aina hiyo inaweza tu kuzingatiwa baada ya hoja kupendekezwa na kuungwa mkono. Hoja inapotolewa, itaamuliwa bila marekebisho au mjadala, na kama ikikubaliwa, shughuli iliyokatizwa na azimio hilo haitaendelea kujadiliwa katika kikao hicho. Hoja ya kupendekeza kuendelea na shughuli inayofuata haitatolewa zaidi ya mara moja katika mjadala wa jambo lolote. (14) Baada ya mjadala kuhusu hoja kuendelea kwa muda usiopungua nusu saa, Mjumbe ambaye hajachangia katika majadiliano anaweza kuomba idhini ya kutoa hoja “kwamba suala lililo mbele yetu sasa liamuliwe” na kama idhini hiyo itatolewa kwa kukubaliwa na si chini ya Wajumbe watano, hoja “kwamba suala lililo mbele yetu sasa liamuliwe” itawasilishwa mara moja, na kama ikiafikiwa, mtoa hoja ya msingi anaweza kuzungumza kwa dakika zisizozidi tano, na baada ya hapo swali au maswali yaliyo mbele ya Halmashauri yatafanyiwa uamuzi. (15) Hoja “kwamba suala lililo mbele yetu sasa liamuliwe” haitatolewa zaidi ya mara moja katika mjadala unaoendelea kuhusu jambo lolote mpaka hapo mjadala utakapokuwa umeendelea kwa angalau nusu saa tangu kuwekwa mbele ya Mkutano hoja ya aina hiyo ilipopendekezwa awali. Hoja zinazoweza kutolewa bila Taarifa - 23 Verify source ↗
Hoja zifuatazo zinaweza kutolewa bila taarifa
AI-assisted research summary: Hoja zilizoorodheshwa zinaweza kushughulikiwa bila taarifa ya awali.
23. Hoja zifuatazo zinaweza kutolewa bila taarifa. (a) kumchagua Mwenyekiti wa Mkutano ambamo hoja imetolewa; (b) hoja kuhusu usahihi wa muhtasari, kufunga Mkutano, kuahiirsha Mkutano, utaratibu wa 22 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Rorya Tangazo La Serikali Na. 904 (Linaendelea) Mkutano, au suala linalofuata; (c) kuteua Kamati au Wajumbe wa Kamati, au wawakilishi katika taasisi za nje, unaotokana na jambo kukubali taarifa na mapendekezo ya Kamati na maazimio yote yanayotokana na taarifa au mapendekezo hayo;lililotaarifiwa katika wito wa Mkutano; (d) kwamba idhini itatolewa kuiondoa hoja; (e) kusahihisha hoja; (f) kuongeza muda wa hotuba; (g) kuwa, jambo lililotajwa katika taarifa ya kuitisha mkutano litangulie; (h) kusimamisha Kanuni za Kudumu; (i) kwamba Mjumbe asisikilizwe tena au aondoke katika Mkutano; (j) kumwomba Mjumbe abakie Mkutanoni na (k) kutoa idhini ya Halmashauri pale ambapo idhini inatakiwa kwa mujibu wa Kanuni za Kudumu hii. - 24 Verify source ↗
(1) Mtoa hoja atakuwa na haki ya kujibu maswali
AI-assisted research summary: Mtoa hoja ana haki ya kujibu maswali kabla ya kura au kabla ya hoja ya kuahirisha kikao, na mjumbe anayejibu hatakiwi kuanzisha hoja mpya.
24.-(1) Mtoa hoja atakuwa na haki ya kujibu maswali wakati wa kufunga mjadala juu ya hoja; kabla ya hoja kupigiwa kura au kabla ya hoja kutolewa “kwamba kikao kiahirishwe. (2) Mjumbe anayetumia haki yake ya kujibu hataanzisha hoja nyingine mpya. (3) Baada ya kutolewa kwa jibu ambalo linahusiana na kanuni hii, uamuzi utafikiwa bila majadiliano zaidi. - 25 Verify source ↗
(1) Mjumbe anaweza kumuuliza Mwenyekiti wa
AI-assisted research summary: A member may ask the committee chair questions about a committee summary brought before the council, and the questions must be answered without debate.
25.-(1) Mjumbe anaweza kumuuliza Mwenyekiti wa lolote kuhusu muhtasari wa Kamati swali Kamati uliofikishwa mbele ya Halmashauri. (2) Kila swali litaulizwa na kujibiwa bila majadiliano. (3) Swali au maswali yatajibiwa na Mwenyekiti wa Kamati mara moja, na Mjumbe anayeuliza maswali hayo hatanyimwa haki yake ya kujadili hoja ambayo maswali 23 Haki ya kujibu Maswali Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Rorya Tangazo La Serikali Na. 904 (Linaendelea) hayo yanarejewa au kutoa hoja ya marekebisho. (4) Pale ambapo swali la maandishi limeelekezwa kwa Mwenyekiti wa Kamati, na taarifa inayotakiwa imo katika mojawapo ya mihtasari ya Halmashauri, kuonyesha sehemu ya muhtasari ambapo habari hiyo imeonyeshwa, kutachukuliwa ni jibu la kutosha. Maswali ya papo kwa papo
Part
SEHEMU YA NNE
- 45 Verify source ↗
Mwenyekiti wa Halmashauri kuwa Mjumbe wa Kamati zote
AI-assisted research summary: The Chairperson of the Council must be a member of all committees.
45. Mwenyekiti wa Halmashauri kuwa Mjumbe wa Kamati zote. - 54 Verify source ↗
Mahudhurio katika Mikutano ya Kamati
AI-assisted research summary: Kifungu hiki kina kichwa kuhusu mahudhurio katika mikutano ya kamati.
54. Mahudhurio katika Mikutano ya Kamati. - 55 Verify source ↗
Mtoa hoja kualikwa kwenye Mkutano wa Kamati
AI-assisted research summary: The mover of the motion is invited to the committee meeting.
55. Mtoa hoja kualikwa kwenye Mkutano wa Kamati. - 56 Verify source ↗
Waalikwa wasiokuwa Wajumbe kuhudhuria na kushiriki katika
AI-assisted research summary: Guests who are not members may attend and participate in committee meetings.
56. Waalikwa wasiokuwa Wajumbe kuhudhuria na kushiriki katika mikutano ya Kamati. - 57 Verify source ↗
Mahudhurio ya umma na vyombo vya habari kwenye Mikutano ya
AI-assisted research summary: This section concerns public and media attendance at committee and subcommittee meetings.
57. Mahudhurio ya umma na vyombo vya habari kwenye Mikutano ya Kamati na Kamati Ndogo. - 58 Verify source ↗
Athari za nafasi wazi kwenye Kamati
AI-assisted research summary: 58. Athari za nafasi wazi kwenye Kamati.
58. Athari za nafasi wazi kwenye Kamati. - 60 Verify source ↗
Kanuni za Kudumu kutumika katika Mikutano ya Kamati
AI-assisted research summary: Kanuni za Kudumu zinatumika katika mikutano ya kamati.
60. Kanuni za Kudumu kutumika katika Mikutano ya Kamati. - 61 Verify source ↗
Upigaji kura kwenye Mikutano ya Kamati
AI-assisted research summary: Section 61 concerns voting at committee meetings.
61. Upigaji kura kwenye Mikutano ya Kamati. - 64 Verify source ↗
Kutunza siri za majadiliano ya Kamati na Kamati Ndogo
AI-assisted research summary: This section concerns keeping committee and subcommittee discussions confidential.
64. Kutunza siri za majadiliano ya Kamati na Kamati Ndogo. - 65 Verify source ↗
Kujiuzulu wadhifa wa Mwenyekiti wa Kamati
AI-assisted research summary: This section is about the resignation of the committee chairperson.
65. Kujiuzulu wadhifa wa Mwenyekiti wa Kamati. - 66 Verify source ↗
Kujiuzulu ujumbe wa Kamati na kujazwa kwa nafasi iliyoachwa wazi
AI-assisted research summary: This section concerns the resignation of a committee member and filling a vacant seat.
66. Kujiuzulu ujumbe wa Kamati na kujazwa kwa nafasi iliyoachwa wazi. 3 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Rorya Tangazo La Serikali Na. 904 (Linaendelea) SEHEMU YA TANO UNUNUZI WA VIFAA, UPATIKANAJI WA HUDUMU NA UJENZI - 45 Verify source ↗
Mwenyekiti wa Halmashauri atakuwa Mjumbe
AI-assisted research summary: Mwenyekiti wa Halmashauri lazima awe Mjumbe wa Kamati zote za Kudumu za Halmashauri.
45. Mwenyekiti wa Halmashauri atakuwa Mjumbe wa Kamati zote za Kudumu za Halmashauri. - 46 Verify source ↗
Kamati zote za Halmashauri zitawasilisha taarifa
AI-assisted research summary: Kamati zote za Halmashauri lazima ziwasilishe taarifa zao kwa Halmashauri.
46. Kamati zote za Halmashauri zitawasilisha taarifa zao kwa Halmashauri, na hakuna hatua itakayochukuliwa kutekeleza uamuzi wowote wa Kamati yoyote mpaka hapo taarifa ya Kamati husika itakapokuwa imewasilishwa na kukubaliwa na Halmashauri, isipokuwa pale ambapo idhini ya kuchukua hatua imekasimiwa kwa Kamati. - 47 Verify source ↗
(1) Halmashauri
AI-assisted research summary: Councils may agree with other councils to appoint a joint committee and may delegate certain powers or functions to it, subject to terms, limits, and non-delegable activities.
47.-(1) Halmashauri inaweza kukubaliana na Halmashauri nyingine kuteua Kamati ya pamoja kutokana na Wajumbe wao kwa madhumuni yoyote yale ambayo wana maslahi ya pamoja, na Halmashauri hizo zinaweza kukasimu kwa Kamati hiyo ya pamoja, kutegemea na masharti na mipaka zitakazoweka kama watakavyoona inafaa, madaraka au kazi ya Halmashauri zinazohusiana na madhumuni yaliyozifanya ziunde Kamati hiyo, isipokuwa shughuli zile ambazo Halmashauri haziruhusiwi kukasimu. (2) Muundo na muda wa kazi wa Wajumbe wake na mipaka ya eneo ambamo Kamati hiyo ya pamoja itafanya 34 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Rorya Tangazo La Serikali Na. 904 (Linaendelea) kazi, itapangwa na Halmashauri zinazoiteua. (3) Kamati ya pamoja haitaingia katika gharama zozote zaidi ya zile ambazo zimeidhishwa na mamlaka iliyoteua Kamati hiyo. Kukasimu madaraka kwenye Kamati - 48 Verify source ↗
(1) Kwa kuzingatia kanuni ndogo ya (2) pamoja
AI-assisted research summary: Halmashauri inaweza kukasimu baadhi ya kazi kwa Kamati, lakini haipaswi kukasimu mamlaka fulani maalum, na inaweza kusitisha au kurekebisha kukasimu huko.
48.-(1) Kwa kuzingatia kanuni ndogo ya (2) pamoja na masharti mengine ambayo Halmashauri itaona inafaa, Halmashauri inaweza kukasimu kwa Kamati uwezo wa kutekeleza kazi yoyote kwa niaba yake. (2) Halmashauri haitakasimu kwa Kamati yoyote mamlaka ya- (a) kutunga Sheria Ndogo; (b) kuweka na kutoza kodi; (c) kuidhinisha makadirio ya mapato na matumizi ya Halmashauri; (d) kutoza ada na ushuru; (e) kuidhinisha mpango na bajeti ya Halmashauri; (f) kuingia mikataba mbalimbali ikiwa ni pamoja na mikataba ya kukopa; (g) kupitisha mpango wa utoaji huduma. (3) Kazi za kila Kamati ya Kudumu ya Halmashauri ni kama zilivyoonyeshwa katika Jedwali la Kwanza la Kanuni za Kudumu hii. (4) Halmashauri inaweza kusitisha au kurekebisha uamuzi wa kukasimu madaraka yoyote kwa Kamati, lakini usitishaji au urekebishaji huo hautaathiri jambo lolote lililofanywa kutokana na uamuzi wowote uliochukuliwa kihalali na Kamati. (5) Shughuli yoyote iliyotekelezwa na Kamati kutokana na kukasimiwa kwa mujibu wa Kanuni hii itatambuliwa kuwa au kutekelezwa na imefanywa Halmashauri. Kamati Ndogo - 49 Verify source ↗
(1) Kamati yoyote au Kamati ya pamoja inaweza
AI-assisted research summary: A committee or joint committee may appoint a subcommittee, but it must not delegate its executive powers to that subcommittee.
49.-(1) Kamati yoyote au Kamati ya pamoja inaweza kuteua Kamati Ndogo kutokana na Wajumbe wake kadri itakavyoona inafaa kwa ajili ya kuchunguza na kutoa taarifa 35 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Rorya Tangazo La Serikali Na. 904 (Linaendelea) Mikutano ya Kamati Mwenyekit i wa Kamati kuhusu jambo lolote, lakini Kamati haitakasimu madaraka yake ya kiutendaji kwa Kamati Ndogo yoyote. (2) Idadi ya Wajumbe wa Kamati Ndogo pamoja na muda watakaotumikia vitaamuliwa na Kamati iliyoteua Kamati Ndogo hiyo. (3) Mwenyekiti wa Kamati atakuwa Mjumbe wa Kamati Ndogo yoyote kwa mujibu wa wadhifa wake isipokuwa kama atamfahamisha Mkurugenzi kwa maandishi kuwa hatakuwa Mjumbe wa Kamati hiyo. (3) Kila Kamati Ndogo inaweza kumteua mmoja wa Wajumbe wake kuwa Mwenyekiti wa Kamati Ndogo husika. - 50 Verify source ↗
(1) Mkutano wa kwanza wa Kamati utaitishwa na
AI-assisted research summary: Mkurugenzi lazima aitishe mkutano wa kwanza wa Kamati ndani ya mwezi mmoja baada ya Kamati kuteuliwa, na wajumbe wapewe taarifa ya angalau saa 24 kabla ya mkutano.
50.-(1) Mkutano wa kwanza wa Kamati utaitishwa na Mkurugenzi ndani ya mwezi mmoja baada ya Kamati kuteuliwa na baada ya hapo kulingana na ratiba ya mikutano kama itakavyoidhinishwa na Halmashauri. (2) Taarifa ya angalau saa ishirini na nne yenye ajenda za kikao itabidi kutolewa kwa Wajumbe kabla ya Mkutano wa Kamati. (3) Idadi ya Kamati haitazidi idadi ambayo itawekwa na Waziri kutokana na uwezo aliopewa chini ya kifungu cha 75(3) cha Sheria. - 51 Verify source ↗
(1) Katika kikao chake cha kwanza baada ya
AI-assisted research summary: Kamati kila moja lazima imchague mwenyekiti wake katika kikao cha kwanza baada ya Mkutano wa mwaka, kabla ya shughuli nyingine. Iwapo nafasi ya mwenyekiti itaachwa wazi, Mkurugenzi lazima ajulishe wajumbe ili uchaguzi wa kujaza nafasi hiyo uwe ajenda ya kwanza katika kikao kijacho cha kawaida.
51.-(1) Katika kikao chake cha kwanza baada ya Mkutano wa mwaka wa Halmashauri na kabla ya kuendelea na shughuli yoyote nyingine, kila Kamati itamchagua Mwenyekiti wa Kamati kwa mwaka unaohusika. (2) Mwenyekiti wa Kamati, isipokuwa Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango, atachaguliwa kwa kura ya siri ya Wajumbe walio wengi kwa kupiga kura ya siri kwenye eneo la faragha litakalotengwa na Mkurugenzi kwa ajili hiyo. (3) Mwenyekiti wa Halmashauri atakuwa pia Mwenyekiti wa Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango. (4) Endapo nafasi ya Mwenyekiti wa Kamati itakuwa wazi katika kipindi cha mwaka husika, Mkurugenzi atatoa taarifa kwa Wajumbe wote wa Kamati kuwa katika kikao 36 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Rorya Tangazo La Serikali Na. 904 (Linaendelea) kijacho cha kawaida cha Kamati husika dondoo ya kumchagua Mwenyekiti wa Kamati kwa kipindi cha mwaka kilichosalia itakuwa ya kwanza katika agenda. Mkutano Maalum wa Kamati - 52 Verify source ↗
(1) Mkutano Maalum wa Kamati utaitishwa
AI-assisted research summary: Mkutano Maalum wa Kamati huaitishwa baada ya ombi la maandishi la theluthi mbili ya wajumbe, na taarifa ya mkutano lazima ionyeshe shughuli itakayojadiliwa pekee.
52.-(1) Mkutano Maalum wa Kamati utaitishwa baada ya theluthi mbili ya Wajumbe wa Kamati kuomba kwa maandishi kuwa Mkutano huo ufanyike na kueleza sababu. (2) Taarifa ya Mkutano Maalum wa Kamati itaonyesha shughuli itakayofanyika katika Mkutano Maalum huo na hakuna jambo jingine lolote litakalojadiliwa katika Mkutano huo. Ajenda za Kamati Mahudhuri o katika mikutano ya Kamati - 53 Verify source ↗
Mjumbe wa Kamati atakuwa na haki ya hoja zake
AI-assisted research summary: Mjumbe wa Kamati ana haki ya hoja zake kuwekwa kwenye ajenda ya Kamati ikiwa atatoa taarifa angalau siku 4 kabla ya kikao.
53. Mjumbe wa Kamati atakuwa na haki ya hoja zake kuwekwa katika ajenda ya Kamati kama atatoa taarifa ya angalau siku nne (4) kabla ya tarehe ya kikao. - 54 Verify source ↗
(1) Mjumbe wa Kamati ya Kudumu au Kamati
AI-assisted research summary: Mjumbe wa kamati hawezi kumtuma mtu mwingine kumwakilisha, na mjumbe wa Halmashauri asiye mjumbe wa kamati hana haki ya kuhudhuria bila mwaliko.
54.-(1) Mjumbe wa Kamati ya Kudumu au Kamati Ndogo, ambaye ameshindwa kuhudhuria Mkutano wa Kamati Ndogo, hataruhusiwa kutuma mtu mwingine kumwakilisha kwenye Mkutano wa Kamati au Kamati Ndogo. (2) Mjumbe wa Halmashauri hatakuwa na haki ya kuhudhuria kikao chochote cha Kamati au Kamati Ndogo ambamo yeye si Mjumbe, isipokuwa kama Kamati au Kamati Ndogo inayohusika imemwalika kuhudhuria, na hata hivyo hatakuwa na haki ya kupiga kura au kudai posho kwa kuhudhuria Mkutano huo wa Kamati au Kamati Ndogo. Mtoa hoja kualikwa kwenye Mkutano wa Kamati Waalikwa wasiokuwa Wajumbe - 55 Verify source ↗
Mjumbe wa Halmashauri anayewasilisha hoja
AI-assisted research summary: A council member who submits a motion sent to committee must be informed of the committee meeting, and if present, given a chance to speak.
55. Mjumbe wa Halmashauri anayewasilisha hoja ambayo imepelekwa kwenye Kamati atapewa taarifa ya Mkutano wa Kamati ambamo hoja yake imepagwa kuzungumzwa na kama atahudhuria atapewa nafasi ya kuizungumzia. - 56 Verify source ↗
Mwenyekiti wa Kamati, Kamati ya pamoja au
AI-assisted research summary: Chairpersons of the committee, joint committee, or subcommittee may invite any person to attend, speak, or participate in a meeting, but the invited person may not vote.
56. Mwenyekiti wa Kamati, Kamati ya pamoja au Kamati Ndogo baada ya kushauriana na Wajumbe wa 37 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Rorya Tangazo La Serikali Na. 904 (Linaendelea) kuhudhuria na kushiriki katika Mikutano ya Kamati Kamati, Kamati ya pamoja na Kamati Ndogo, anaweza kumwalika mtu yeyote kuhudhuria na kuzungumza kwenye Mkutano kuhusu suala lolote au kushiriki kwa namna yoyote kwenye kikao cha Kamati, lakini mtu huyo atakayealikwa hatakuwa na haki ya kupiga kura kwenye Mkutano huo. Mahudhuri o ya umma na vyombo vya habari kwenye Mikutano ya Kamati na Kamati Ndogo Athari za nafasi wazi kwenye Kamati - 57 Verify source ↗
Majadiliano katika Kamati, Kamati ya pamoja au
AI-assisted research summary: Majadiliano ya Kamati, Kamati ya pamoja au Kamati Ndogo hayapaswi kuwa wazi kwa umma na vyombo vya habari, isipokuwa kama Halmashauri itapitisha azimio linaloruhusu uhudhuriaji.
57. Majadiliano katika Kamati, Kamati ya pamoja au Kamati Ndogo hayatakuwa wazi kwa umma na vyombo vya habari, isipokuwa kwa kutokana na azimio la Halmashauri linaloruhusu kuwa umma na vyombo vya habari vihudhurie. - 58 Verify source ↗
Kunapotokea nafasi wazi kwenye Kamati,
AI-assisted research summary: Kamati inaweza kuendelea kufanya shughuli zake hata kama kuna nafasi wazi, na mtu anayejaza nafasi hiyo anahudumu kwa muda uliobaki wa aliyekuwa ameshikilia nafasi hiyo.
58. Kunapotokea nafasi wazi kwenye Kamati, Kamati ya pamoja au Kamati Ndogo, Kamati itaendelea kutekeleza shughuli zake licha ya kuwepo kwa nafasi wazi hiyo au hizo au mpaka nafasi hiyo au hizo zitakapojazwa, kwa njia ya uchaguzi au uteuzi. Mjumbe atakayejaza nafasi hiyo atashika nafasi hiyo kwa kipindi kilichosalia cha Mjumbe ambaye nafasi yake imekuwa wazi. (2) Uhalali wa tendo lolote au maamuzi ya Mkutano wowote wa Kamati hautaathiriwa kutokana na hitilafu katika uteuzi wa Mjumbe aliyeshika nafasi hiyo au nafasi hiyo kuachwa wazi na Mjumbe, au Wajumbe au Mjumbe au Wajumbe kuamua kutoka kwenye kikao kwa lengo la kukwamisha jambo linalotaka kutolewa maamuzi na Kamati hiyo. Akidi kwenye Mikutano ya Kamati - 59 Verify source ↗
Endapo Wajumbe waliohudhuria Mkutano
AI-assisted research summary: Kama akidi ya Mkutano haijafikiwa, Mkurugenzi lazima aahirishe Mkutano na kuuita tena ndani ya siku saba; akidi ikitimia baadae, Mkutano unaweza kuendelea kuwa halali na Mkurugenzi anamjulisha Waziri.
59. Endapo Wajumbe waliohudhuria Mkutano hawatafikia akidi ya Mkutano, Mkurugenzi atauahirisha Mkutano huo na kuuitisha tena ndani ya siku saba na endapo idadi yoyote ya Wajumbe akidi haitatimia waliohudhuria itatengeneza akidi ya Mkutano ambapo Mkutano huo utaendelea na utakuwa halali na Mkurugenzi atamjulisha Waziri kuwepo kwa hali hiyo. tena, 38 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Rorya Tangazo La Serikali Na. 904 (Linaendelea) Kanuni za Kudumu kutumika katika Mikutano ya Kamati Upigaji kura kwenye Mikutano ya Kamati Muhtasari wa Kamati - 60 Verify source ↗
Kanuni ya 19 itatumika, baada ya kufanya
AI-assisted research summary: Rule 19 applies, with necessary modifications, to committee meetings of councils. A member speaking in a committee meeting must be seated and may speak more than twice on the matter being discussed.
60. Kanuni ya 19 itatumika, baada ya kufanya marekebisho yanayostahili, kwenye mikutano ya Kamati za Halmashauri. (2) Mjumbe anapozungumza katika Mkutano wa Kamati atakuwa ameketi na anaweza kuzungumza zaidi ya mara mbili juu ya jambo linalojadiliwa. - 61 Verify source ↗
Masuala yote yanayoletwa mbele ya Kamati
AI-assisted research summary: Mambo yanayoletwa mbele ya Kamati huamuliwa kwa kura za wengi wa wajumbe waliopo na wanaopiga kura; ikitokea kura mlingano, mwenyekiti wa kikao ana kura ya turufu.
61. Masuala yote yanayoletwa mbele ya Kamati yataamuliwa kwa wingi wa kura za Wajumbe waliohudhuria na kupiga kura kwenye Mkutano husika. Endapo kunatokea kura mlingano mtu anayeongoza kikao hicho atakuwa na kura ya turufu. - 62 Verify source ↗
(1) Muhtasari wa kila Kamati, Kamati ya pamoja
AI-assisted research summary: Kamati minutes must list the names of members present and absent, and be signed at the next meeting by the person who chaired the meeting.
62.-(1) Muhtasari wa kila Kamati, Kamati ya pamoja na Kamati Ndogo, utajumuisha majina ya Wajumbe waliohudhuria na wasiohudhuria, na utasainiwa kwenye Mkutano unaofuata na mtu aliyeongoza Mkutano na muhtasari uliosainiwa hivyo, kama hakuna ushahidi wa kuwa una makosa, utapokelewa kwa ushahidi bila uthibitisho zaidi. (2) Hakuna hoja au mjadala utakaoendeshwa kuhusiana na muhtasari wa Kamati isipokuwa kuhusu usahihi wa suala lolote linalohusu usahihi litatolewa kwa hoja. Kufikiriwa upya maamuzi - 63 Verify source ↗
Pale ambapo suala lililowasilishwa limeamuliwa
AI-assisted research summary: A matter already decided under rule 61 must not be reopened in the Committee meeting unless two-thirds of the members present and voting support the motion.
63. Pale ambapo suala lililowasilishwa limeamuliwa kwa mujibu wa kanuni ya 61, suala hilo halitaanza kujadiliwa upya katika Mkutano huo wa Kamati isipokuwa kama hoja hiyo inaungwa mkono na theluthi mbili ya Wajumbe waliohudhuria na kupiga kura. Kutunza siri za majadiliano - 64 Verify source ↗
Mjumbe wa Kamati au Kamati Ndogo hatatoa nje
AI-assisted research summary: Mjumbe wa Kamati au Kamati Ndogo hapaswi kutoa nje au kuzungumza habari zilizojadiliwa kwenye kamati bila ruhusa ya kamati hiyo.
64. Mjumbe wa Kamati au Kamati Ndogo hatatoa nje jambo lolote lililoletwa au kuzungumzwa kwenye Kamati au 39 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Rorya Tangazo La Serikali Na. 904 (Linaendelea) ya Kamati na Kamati Ndogo Kujiuzulu wadhifa wa Mwenyekit i wa Kamati Kujiuzulu ujumbe wa Kamati na kujazwa kwa nafasi iliyoachwa wazi Kamati Ndogo bila ruhusa ya Kamati hiyo, au kuzungumza kwenye Kamati Ndogo mpaka hapo Kamati hiyo au Kamati kwenye Ndogo Halmashauri au itakapokuwa imekamilisha utekelezaji wa jambo hilo. itakapokuwa imetoa taarifa hiyo - 65 Verify source ↗
Mwenyekiti wa Kamati anaweza kujiuzulu
AI-assisted research summary: Mwenyekiti wa Kamati anaweza kujiuzulu wadhifa wake kwa kutoa taarifa ya maandishi iliyosainiwa na kumtumia Mkurugenzi.
65. Mwenyekiti wa Kamati anaweza kujiuzulu wadhifa wake kwa kutoa taarifa ya maandishi aliyoisaini na kutuma kwa Mkurugenzi. - 66 Verify source ↗
(1) Mjumbe yeyote wa Kamati anaweza
AI-assisted research summary: A committee member may resign by sending a signed written notice to the Director, and the resulting vacancy must be filled by the Halmashauri at its ordinary meeting after the resignation date.
66.-(1) Mjumbe yeyote wa Kamati anaweza kujiuzulu wadhifa wake kwa kutoa taarifa ya maandishi aliyoisaini na kuituma kwa Mkurugenzi. (2) Nafasi inayotokana na kujiuzulu kwa Mjumbe itajazwa na Halmashauri katika kikao chake cha kawaida baada ya tarehe ya kujiuzulu kwa Mjumbe. SEHEMU YA TANO UNUNUZI WA VIFAA, UPATIKANAJI WA HUDUMA NA UJENZI Taratibu za uagizaji Sura ya 290 Kumbukum bu za
Part
SEHEMU YA TANO
- 68 Verify source ↗
Kumbukumbu za majadiliano yanayohusu uagizaji
AI-assisted research summary: Records of discussions about imports.
68. Kumbukumbu za majadiliano yanayohusu uagizaji. - 73 Verify source ↗
Diwani au afisa kutokuwa na maslahi kwenye mikataba
AI-assisted research summary: Diwani au afisa hapaswi kuwa na maslahi kwenye mikataba.
73. Diwani au afisa kutokuwa na maslahi kwenye mikataba. SEHEMU YA SITA MASHARTI MENGINEYO - 67 Verify source ↗
(1) Uagizaji wa mali, huduma na ujenzi katika
AI-assisted research summary: Manunuzi ya mali, huduma na ujenzi katika Halmashauri lazima yafuate kanuni husika, na Bodi ya Zabuni isimamie shughuli zote za uagizaji.
67.-(1) Uagizaji wa mali, huduma na ujenzi katika Halmashauri utazingatia Kanuni za Manunuzi zilizotungwa chini ya kifungu cha 68 cha Sheria za Fedha za Serikali za Mitaa na Sheria ya Ununuzi wa Umma ya mwaka 2023. (2) Kutakuwepo na Bodi ya Zabuni ambayo imeanzishwa kwa mujibu wa Kanuni za Bodi ya Zabuni (Uanzishwaji na Mwenendo) za Serikali za Mitaa na ambayo itasimamia shughuli zote za uagizaji katika Halmashauri. (3) Muhtasari wa Bodi ya Zabuni utapaswa kuwasilishwa kwenye kikao kifuatacho cha Halmashauri baada ya muhtasari huo kujadiliwa na kupitishwa kwanza na Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango. - 68 Verify source ↗
Bodi ya zabuni ya Halmashauri
AI-assisted research summary: Bodi ya zabuni ya Halmashauri lazima iweke kumbukumbu za majadiliano ya ununuzi na, inapoulizwa, itoe sehemu fulani za kumbukumbu na sababu za baadhi ya maamuzi ya zabuni; pia hairuhusiwi kutoa habari fulani isipokuwa mahakama iagize.
68. Bodi ya zabuni ya Halmashauri kumbukumbu ya majadiliano yanayohusu 40 itaweka taratibu za Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Rorya Tangazo La Serikali Na. 904 (Linaendelea) majadiliano yanayohusu uagizaji ununuzi zikiwa na angalau taarifa zifuatazo: (a) maelezo mafupi kuhusu vitu, ujenzi au huduma zinazotarajiwa kutolewa na haja iliyosababisha Bodi kuitisha zabuni; (b) majina na anuani ya wazabuni waliowasilisha zabuni, maelezo kuhusu sifa au ukosefu wa sifa za wazabuni waliowasilisha zabuni zao; (c) bei au msingi wa upangaji wa bei na muhtasari wa masharti mengine muhimu ya kila zabuni na ya kila mkataba wa uagizaji wa mali, huduma na ujenzi; (d) muhtasari wa tathmini na mlinganisho wa zabuni pamoja na upendeleo uliokuwepo katika tathmini hiyo; (e) kama zabuni zilikataliwa tamko kuhusu uamuzi huo na sababu za uamuzi huo; (f) kama utaratibu mwingine wa kupata vitu au huduma mbalimbali ya utaratibu wa zabuni ndio uliotumika, sababu tamko zilizoifanya Bodi iamue kutumia utaratibu huo mwingine; kuhusu basi (g) kama zabuni ilikataliwa kwa kuwa mzabuni alitoa, alikubali kutoa moja kwa moja au kwa njia isiyo ya moja kwa moja, kwa mtumishi wa sasa au wa zamani wa Halmashauri, bakshishi ya aina yoyote, ahadi ya kumwajiri au kitu chochote kinachohusiana na ajira au chenye thamani, kama hamasisho kwa utendaji au uamuzi au utaratibu wa kutumia, tamko kuhusu jambo hilo; (h) katika upataji wa huduma, sababu na hali iliyoifanya Bodi kuchagua utaratibu wa kutumia katika upataji huo wa huduma; (i) katika upataji wa vitu au huduma ambao Bodi imeamua kudhibiti ushiriki kwa misingi ya Taifa, Mkoa au Wilaya, tamko kuhusu sababu na hali iliyofanya Bodi kudhibiti ushiriki huo; 41 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Rorya Tangazo La Serikali Na. 904 (Linaendelea) (j) katika upataji wa vifaa na huduma kwa kuwaomba watoaji kutoa mapendekezo yao moja kwa moja tamko la sababu na hali iliyofanya Bodi kuamua kutumia utaratibu huo; na (k) kuhtasari wa maombi yoyote ya ufafanuzi kuhusu mchujo wa zabuni au nyaraka za zabuni na majibu yaliyotolewa pamoja na muhtasari wa marekebisho yoyote yaliyofanywa katika nyaraka hizo. (2) Sehemu ya kumbukumbu zilizotajwa kwenye kanuni ndogo ya (1)(a) na (b) zitatolewa, kama zikiombwa, kwa mtu yeyote baada ya zabuni kutangazwa, kufunguliwa na kukubaliwa, au baada ya kusimamishwa kwa taratibu za uagizaji bila ya kuingia katika mkataba wa uagizaji. (3) Sehemu ya kumbukumbu zilizoelekezwa katika kanuni ndogo ya (1)(c) hadi (g) kama itaombwa, itatolewa kwa wazabuni waliowasilisha zabauni baada ya zabuni kukubaliwa au baada ya kusitishwa bila ya kuingia kwenye mkataba wa utoaji wa vitu au huduma. (4) Isipokuwa kama itaelekezwa hivyo na Mahakama yenye mamlaka na kutegemeana na masharti ya maelekezo hayo, Bodi haitatoa habari: (a) kama utoaji huo wa habari utakuwa kinyume cha Sheria; utazuia utekelezaji wa Sheria; hautakuwa na maslahi kwa umma; utahatarisha maslahi halali ya kibiashara ya wahusika au utazuia ushindani halali; na (b) habari zinazohusu uchambuzi, tathmini na ulinganisho wa zabuni pamoja na bei mbali ya muhtasari ulioelezwa kwenye kanuni ndogo ya (1)(e). (5) Mara baada ya zabuni kujadiliwa na Bodi, Katibu ili makubaliano ya atamjulisha Mzabuni aliyefanikiwa nyaraka za mkataba yaweze kufikiwa. (6) Nakala za muhtasari zitapelekwa kwa siri kwa kila Mjumbe wa Bodi, Mkurugenzi, Mweka Hazina, 42 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Rorya Tangazo La Serikali Na. 904 (Linaendelea) Mkaguzi wa Ndani na Mkuu wa Idara husika kwa taarifa na kumbukumbu. (7) Kila mzabuni ambaye hakufanikiwa atajulishwa na akiomba sababu za kutokubaliwa kwa zabuni yake atapaswa kupewa sababu. (8) Bodi ya Zabuni kwa kuzingatia masharti ya Kanuni za uagizaji itaandaa taarifa ya mwenendo na maamuzi ya zabuni zilizoitishwa na kuwasilishwa kwenye Mkutano wa kawaida wa Halmashauri kupitia Kamati ya Kudumu husika. Uzuiaji wa rushwa Sura ya 329 - 69 Verify source ↗
Katika mkataba wowote wa kimaandishi,
AI-assisted research summary: Katika mkataba wa maandishi, Halmashauri inaweza kusitisha mkataba na kudai fidia ikiwa Mkandarasi au mtu anayemtumikia anatoa, anaahidi kutoa, au anakubali kutoa rushwa au upendeleo kama kishawishi kuhusiana na mkataba.
69. Katika mkataba wowote wa kimaandishi, yatawekwa maneno ambayo yataonyesha kuwa Halmashauri itakuwa na haki kusitisha mkataba na kumdai Mkandarasi malipo ya fidia kutokana na kusimamishwa kwa mkataba huo endapo Mkandarasi atabainika kuwa ameahidi kutoa au ametoa, au amekubali kutoa kwa mtu yeyote zawadi yoyote au upendeleo wa aina yoyote kama kishawishi au zawadi kwa kufanya au kumpendelea au kutomkubali mtu yeyote kuhusiana na mkataba na Halmashauri au kama vitendo hivyo vitakuwa vimefanywa na mtumishi yeyote aliyeajiriwa naye au kwa niaba yake iwe Mkandarasi anafahamu au hafahamu atakuwa ametenda kosa chini ya Sheria ya Kuzuia na Kudhibiti Rushwa. Usimamizi wa mikataba - 70 Verify source ↗
(1) Mkurugenzi wa Halmashauri atawajibika
AI-assisted research summary: The council director must oversee and monitor contracts properly. A supply contract generally cannot be changed after signing unless the change benefits the council, does not cause the council loss, is approved by the council tender board, and the other party agrees. Final payment and balance payment are withheld until completion and until six months after, with no defects.
70.-(1) Mkurugenzi wa Halmashauri atawajibika katika usimamiaji na ufuatiliaji mzuri wa Mikataba. (2) Mkataba wa upataji vitu hautabadilishwa kwa ile baada ya kutiwa saini na pande namna yoyote zinazohusika isipokuwa kama mabadiliko hayo ni- (a) kwa faida ya Halmashauri na hayailetei hasara Halmashauri; (b) yamethibitishwa na Bodi ya zabuni ya Halmashauri; na (c) upande mwingine unaafiki. (3) Malipo ya mwisho hayatafanywa mpaka mkataba 43 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Rorya Tangazo La Serikali Na. 904 (Linaendelea) Uvunjaji wa mkataba Sura ya 345 Sura ya 410 Rejesta ya mikataba Diwaniau Afisa kutokuwa na maslahi katika mikataba mzima utakapokuwa umekamilika kutokana na kuridhika kwa Halmashauri na kulingana na vipengele vya mkataba unaohusika. (4) Malipo ya fedha za salio hayatalipwa mpaka upite muda wa miezi sita na kazi iwe haina kasoro. - 71 Verify source ↗
Pale ambapo mkataba uliotiwa lakiri/muhuri na
AI-assisted research summary: If a contractor does not follow a sealed/stamped contract, the Director must consult the Finance, Planning and Administration Committee as soon as possible, decide appropriate action, and inform the contractor.
71. Pale ambapo mkataba uliotiwa lakiri/muhuri na Halmashauri haukufuatwa na mkandarasi, ikiwa ni pamoja na ucheleweshaji usiokuwa wa kimsingi, Mkurugenzi atashauriana mapema iwezekanavyo na Kamati ya Fedha, Mipango na Uongozi kwa kuzingatia taratibu zilizowekwa kwenye mkataba, na kuamua hatua muafaka za kuchukua na kumfahamisha Mkandarasi juu ya uamuzi kwa kuzingatia Sheria ya Mikataba na Sheria ya Ununuzi wa Umma na Kanuni za Ununuzi wa Umma. - 72 Verify source ↗
(1) Mkurugenzi atatunza maelezo yote ya
AI-assisted research summary: Mkurugenzi lazima atunze maelezo yote ya mikataba kwenye rejesta ya mikataba na kulinganisha malipo halisi na yaliyoidhinishwa.
72.-(1) Mkurugenzi atatunza maelezo yote ya mikataba kwenye rejesta ya mikataba na atafanya ulinganifu wa malipo halisi na yale yaliyoidhinishwa. (2) Taarifa ya matumizi yote ya ziada lazima yapelekwe kwenye Bodi ya Zabuni yakiambatana na maelezo kutoka kwa Mkurugenzi. - 73 Verify source ↗
(1) Endapo Diwani au Afisa wa Halmashauri ana
AI-assisted research summary: Councillors and council officers must disclose conflicts of interest, stay out of related discussions and votes, and the director must keep the disclosure records open for inspection.
73.-(1) Endapo Diwani au Afisa wa Halmashauri ana maslahi ya kifedha ya moja kwa moja au vinginevyo katika mkataba wowote, mkataba unaopendekezwa au jambo lolote, na yupo kwenye Mkutano wa Halmashauri au Kamati ambapo mkataba huo, au mkataba unaopendekezwa au jambo lingine lolote linajadiliwa, atatangaza jambo hilo mara Mkutano utakapokuwa umeanza na hatashiriki wala kuwepo katika majadiliano au kupiga kura kuhusu jambo linalohusu mkataba au mkataba unaopendekezwa au jambo lingine lolote ambalo ana maslahi nalo. (2) Kanuni hii haitatumika kuhusiana na maslahi katika mkataba au suala lingine ambalo Mjumbe au Afisa wa Halmashauri ana maslahi nalo kama mlipa kodi au mkazi 44 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Rorya Tangazo La Serikali Na. 904 (Linaendelea) katika eneo lililo katika himaya ya Halmashauri. (3) Diwani atahesabika kuwa na maslahi ya moja kwa moja katika mkataba au jambo jingine endapo: (a) yeye au mtu aliyemchagua ni Mjumbe wa kampuni au chombo kingine au anayo hati ya hisa katika au imependekezwa iingie katika mkataba, au anao uhusiano wa kifedha katika jambo linalojadiliwa; au kampuni itaingia, ambayo (b) yeye ni mbia au ameajiriwa na mtu ambaye mkataba unafanywa naye, au utakuwa chini yake, au anao uhusiano wa kifedha wa moja kwa moja katika suala linalojadiliwa au kuzungumzwa. (4) Katika kanuni hii maslahi ya moja kwa moja na yasiyo ya moja kwa moja ya mwanandoa au ndugu wa familia kama inafahamika kwa Mjumbe wa Halmashauri itachukuliwa kuwa ni maslahi ya moja kwa moja au yasiyo ya moja kwa moja. (5) Taarifa ya jumla itakayotolewa kwa Mkurugenzi na Diwani au Afisa wa Halmashauri kuhusiana na yeye, mkewe, mumewe au ndugu yake kwamba ana maslahi ya moja kwa moja au yasiyo ya moja kwa moja katika mkataba unaokusudiwa au jambo lingine na akieleza aina ya maslahi itachukuliwa, isipokuwa pale atakapoondoa taarifa hiyo, kuwa ametoa taarifa ya kutosha ya maslahi yake kuhusiana na suala ambalo limo katika mjadala. (6) Mkurugezi ataandika taarifa za watu wenye maslahi waliotoa taarifa chini ya Kanuni Ndogo ya (1) na taarifa yoyote iliyomo katika Kanuni Ndogo ya (5) itakuwa wazi kwa ukaguzi wakati wa saa za kazi. (7) Halmashauri inaweza baada ya kupata kibali cha Waziri, kuondoa kizuizi chini ya kanuni hii kinachoifanya ishindwe wakati wowote kufanya Mkutano pale ambapo idadi ya Wajumbe wenye maslahi ni kubwa mno kiasi cha kukwamisha shughuli za Halmashauri au itakuwa ni kwa maslahi ya wakazi wa Halmashauri kuondoa kikwazo hicho. 45 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Rorya Tangazo La Serikali Na. 904 (Linaendelea) (8) Katika kanuni hii, ndugu wa familia itachukuliwa kuwa ni pamoja na baba, mama, mtoto, kaka, dada na mwanandoa. (9) Diwani au mtu yoyote atakayekiuka masharti ya kanuni hii atakuwa ametenda kosa chini ya kifungu cha 120(4) cha Sheria na anaweza kuchukuliwa hatua kwa mujibu wa kifungu cha 96 cha Sheria ya Kanuni za Adhabu. Sura ya 16 SEHEMU YA SITA MASHARTI MENGINEYO Kiapo na kukubali wadhifa
Part
SEHEMU YA SITA
- 81 Verify source ↗
Diwani kutembelea maeneo, shughuli mbalimbali za ujenzi
AI-assisted research summary: Kifungu hiki kina kichwa kuhusu diwani kutembelea maeneo na shughuli mbalimbali za ujenzi.
81. Diwani kutembelea maeneo, shughuli mbalimbali za ujenzi. - 85 Verify source ↗
Uteuzi wa Wajumbe kwenye Taasisi za nje
AI-assisted research summary: Sehemu hii ina kichwa kuhusu uteuzi wa wajumbe kwenye taasisi za nje.
85. Uteuzi wa Wajumbe kwenye Taasisi za nje. - 86 Verify source ↗
Kumwondoa Mwenyekiti madarakani
AI-assisted research summary: This section is titled “Kumwondoa Mwenyekiti madarakani” and appears under “SEHEMU YA SABA Posho kwa Wajumbe.”
86. Kumwondoa Mwenyekiti madarakani. SEHEMU YA SABA POSHO KWA WAJUMBE - 74 Verify source ↗
Kila Diwani kabla ya kushika wadhifa wake
AI-assisted research summary: Kila Diwani lazima aape kiapo kabla ya kushika wadhifa wake na kabla ya mkutano wa kwanza wa Halmashauri, na pia atoze tamko la kimaandishi kwa Mkurugenzi kuhusu maslahi yake na kufuata Kanuni za Maadili ya Madiwani.
74. Kila Diwani kabla ya kushika wadhifa wake kama Diwani na kabla ya Mkutano wa kwanza wa Halmashauri: (a) atakula kiapo kama kilivyoonyeshwa kwenye Jedwali la Pili la Kanuni hizi za Kudumu kitakachosimamiwa na Hakimu wa Wilaya au Wakili; na akiahidi kutekeleza (b) atatoa tamko la kimaandishi lililoandikwa kwa Mkurugenzi jambo linalohusiana na tamko la maslahi katika shughuli za kibiashara, mali, na kadhalika na kuzifuata Kanuni za Maadili ya Madiwani kama inavyoonekana kwenye Jedwali la Tatu la Kanuni hizi. Majukumu ya Diwani
Part
SEHEMU YA SABA
- 88 Verify source ↗
Posho iwapo Mkutano umeahirishwa
AI-assisted research summary: Hii ni sehemu yenye kichwa kuhusu posho iwapo mkutano umeahirishwa.
88. Posho iwapo Mkutano umeahirishwa. 4 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Rorya Tangazo La Serikali Na. 904 (Linaendelea) SEHEMU YA NANE MABADILIKO KWENYE KANUNI ZA KUDUMU - 87 Verify source ↗
(1) Wajumbe wa Halmashauri watalipwa posho
AI-assisted research summary: Council members are to be paid allowances, proposed by the Council and approved by the Minister.
87.-(1) Wajumbe wa Halmashauri watalipwa posho mbalimbali kama itakavyopendekezwa na Halmashauri na kuidhinishwa na Waziri. (2) Posho zitakazolipwa kwa Wajumbe wa Halmashauri zitakuwa za aina zifuatazo: (a) posho ya usafiri; (b) posho ya kuhudhuria kikao; (c) posho ya madaraka; (d) posho ya kujikimu; (e) posho ya mwezi na, (f) Kiinua mgongo. (3) Endapo Mjumbe wa Halmashauri ataugua au ataumia wakati akifanya kazi aliyotumwa na Halmashauri, gharama za matibabu yake zitalipwa na Halmashauri. - 88 Verify source ↗
Endapo Mkutano wa Halmashauri au Kamati
AI-assisted research summary: If a council or committee meeting is adjourned for lack of quorum, members who attend the adjourned meeting may be entitled to the payments named in rule 87(2)(a) and (d), but no payment is made in that situation.
88. Endapo Mkutano wa Halmashauri au Kamati utaahirishwa kwa sababu ya kukosekana kwa akidi, Mjumbe au Wajumbe waliofika kwa ajili ya kuhudhuria Mkutano huo ulioahirishwa watastahili malipo yaliyotajwa katika kanuni ya 87(2)(a) na (d) iwapo wamelazimika, bila kukusudia, kulala njiani au kwenye makao makuu ya Halmashauri. kikao posho ya Hakuna malipo yatakayofanywa katika hali ya namna hiyo. kuhudhuria ya SEHEMU YA NANE MABADILIKO KWENYE KANUNI ZA KUDUMU 53 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Rorya Tangazo La Serikali Na. 904 (Linaendelea) Kusitisha utumiaji wa Kanuni za Kudumu
Part
SEHEMU YA NANE
- 89 Verify source ↗
Kusitisha utumiaji wa Kanuni za Kudumu
AI-assisted research summary: Huu ni kichwa cha kifungu kinachohusu kusitisha utumiaji wa Kanuni za Kudumu.
89. Kusitisha utumiaji wa Kanuni za Kudumu. - 90 Verify source ↗
Marekebisho na mabadiliko ya Kanuni za Kudumu
AI-assisted research summary: Section 90 is titled “Marekebisho na mabadiliko ya Kanuni za Kudumu.”
90. Marekebisho na mabadiliko ya Kanuni za Kudumu. - 91 Verify source ↗
Kanuni za Kudumu kutolewa kwa Wajumbe
AI-assisted research summary: Standing orders are issued to members.
91. Kanuni za Kudumu kutolewa kwa Wajumbe. - 92 Verify source ↗
Kutafsiri Kanuni za Kudumu
AI-assisted research summary: This section is titled “Kutafsiri Kanuni za Kudumu” and appears under Part Nine, “Ziara za Wajumbe.”
92. Kutafsiri Kanuni za Kudumu. SEHEMU YA TISA ZIARA ZA WAJUMBE - 89 Verify source ↗
(1) Kanuni yoyote inaweza kusitishwa kwa
AI-assisted research summary: Kanuni inaweza kusitishwa kwa azimio la theluthi mbili za waliopo kwenye Mkutano wa Halmashauri, lakini Halmashauri isitishe ikiwa kusitisha kutavunja sheria au kuacha jambo linalotakiwa na sheria.
89.-(1) Kanuni yoyote inaweza kusitishwa kwa azimio lililoungwa mkono na theluthi mbili za Wajumbe waliohudhuria Mkutano wa Halmashauri kwa hoja iliyopendekezwa bila taarifa kwa madhumuni ya kuwezesha shughuli yoyote ishughulikiwe na iliyofafanuliwa Halmashauri kama jambo la dharura au lenye manufaa. ili (2) Halmashauri haitasitisha matumizi ya Kanuni yoyote kama kusitisha huko kutasababisha kufanya jambo ambalo jambo limezuiliwa na Sheria au kutofanya linalotakiwa kufanywa chini ya Sheria yoyote. Marekebish o na mabadiliko ya Kanuni za Kudumu - 90 Verify source ↗
Halmashauri inaweza kubadilisha, kuongeza,
AI-assisted research summary: Halmashauri inaweza kubadilisha, kuongeza, kurekebisha au kutengua Kanuni hizi za Kudumu ikiwa azimio linaungwa mkono na angalau theluthi mbili ya kura na Waziri ametoa idhini.
90. Halmashauri inaweza kubadilisha, kuongeza, kurekebisha au kutengua Kanuni hizi za Kudumu kwa azimio lililoungwa mkono kwa wingi usiopungua theluthi mbili ya kura na baada ya kupata idhini ya Waziri. Kanuni za Kudumu kutolewa kwa Wajumbe Kutafsiri Kanuni za Kudumu Ziara za Wajumbe - 91 Verify source ↗
Nakala zilizochapishwa za Kanuni za Kudumu
AI-assisted research summary: Mkurugenzi lazima awape kila Mjumbe nakala zilizochapishwa za Kanuni za Kudumu.
91. Nakala zilizochapishwa za Kanuni za Kudumu zitatolewa na Mkurugenzi kwa kila Mjumbe. - 92 Verify source ↗
Uamuzi wa Mwenyekiti kuhusu maana ya
AI-assisted research summary: The Chair’s decision on the meaning of these Rules or the conduct of the Council meeting cannot be challenged during any Council meeting.
92. Uamuzi wa Mwenyekiti kuhusu maana ya matumizi ya Kanuni hizi au mwenendo wa Mkutano wa Halmashauri hautapingwa wakati wa Mkutano wowote wa Halmashauri. SEHEMU YA TISA ZIARA ZA WAJUMBE
Part
SEHEMU YA TISA
- 94 Verify source ↗
Wimbo, Dua na sala ya kuiombea Halmashauri
AI-assisted research summary: This section is a heading for a council-related provision about anthem, prayer, and supplication for the district council.
94. Wimbo, Dua na sala ya kuiombea Halmashauri. SHERIA YA SERIKALI ZA MITAA (MAMLAKA ZA WILAYA), (SURA YA 287) ______________ KANUNI ZA KUDUMU _______________ (Zimetengenezwa chini ya kifungu cha 70(1)) KANUNI ZA KUDUMU ZA HALMASHAURI YA WILAYA YA RORYA ZA MWAKA 2023 KWA KUWA Kauli-mbiu ya Halmashauri ni kuendesha shughuli kwa namna inayozingatia demokrasia, ufanisi, tija, ushirikishwaji, uwazi na uwajibikaji: NA KWA KUWA jukumu la Halmashauri ni kuimarisha demokrasia katika ngazi zote na kutoa huduma kwa wananchi kwa kuzingatia ufanisi, usawa, haki na kwa namna inayochochea maendeleo ya maeneo yaliyo chini ya mamlaka ya Halmashauri kwa kuwashirikisha wananchi: 5 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Rorya Tangazo La Serikali Na. 904 (Linaendelea) NA KWA KUWA madhumuni ya Kanuni za Kudumu ni kuweka utaratibu wa namna Halmashauri itakavyoendesha mikutano na shughuli zake kwa kuzingatia misingi ya utawala bora: SASA BASI, Kanuni za Kudumu hii zinaelekeza ifuatavyo: Jina Tafsiri SEHEMU YA KWANZA MASHARTI YA UTANGULIZI - 93 Verify source ↗
(1) Wajumbe wa Halmashauri wanaweza kwenda
AI-assisted research summary: Halmashauri members may go on training visits if the visits are included in the council’s plan and budget, and the council must check several conditions before allowing a visit.
93.-(1) Wajumbe wa Halmashauri wanaweza kwenda ziara mbalimbali za mafunzo ili mradi ziara hizo ziwe zimeainishwa kwenye mpango na bajeti ya Halmashauri. Isipokuwa kwa ziara ambazo gharama zake hazihusiani na bajeti ya Halmashauri Wajumbe watafanya ziara hizo kwa mujibu wa ratiba ya mpango huo. (2) Bila kuathiri masharti ya kanuni ndogo ya (1), 54 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Rorya Tangazo La Serikali Na. 904 (Linaendelea) Halmashauri kabla ya kuruhusu kufanyika kwa ziara itahaikikisha kwamba- (a) shughuli ya ziara hiyo inafanana na shughuli zinazofanywa na halmashauri; (b) ziara hiyo itafanyika baada ya kupata kibali cha Mkuu wa Mkoa; (c) wajumbe wana kitu cha kwenda kuonesha kule wanakokwenda kujifunza; (d) ziara zinazofanyika nje ya mkoa zihusishe wadau mbalimbali wa halmashauri kutegemeana na ziara husika; (e) ziara iwe na matunda yanayoonekana; (f) wajumbe walioshiriki kwenye ziara warejeapo taarifa ya wanatakiwa kuandaa na kuwasilisha maandishi kwa Halmashauri kuhusu mambo mapya na ya msingi waliyofunza na kuweka utaraibu mzuri wa kuyatekeleza kwenye kata zao na kwenye Halmashauri; na (g) ziara zitafanywa kwa kuzingatia walengwa na mahitaji kama itakavyokubalika na Halmashauri. - 94 Verify source ↗
Kabla ya kuanza kwa Mkutano wa Halmashauri
AI-assisted research summary: Before a Council meeting starts, the national anthem is sung and then a prayer or supplication is recited.
94. Kabla ya kuanza kwa Mkutano wa Halmashauri utaimbwa wimbo wa Taifa na kufuatiwa na Dua au Sala ya kuiombea Halmashauri ifuatayo; “Ewe MWENYEZI MUNGU Mtukufu, Muumba wa Mbingu na Dunia umeweka katika Dunia Serikali za Wanadamu ili haki yako itendeke. Twakuomba, uibariki Halmashauri yetu ya Wilaya ya Rorya idumishe uhuru, umoja, haki na amani. Uwajalie viongozi wetu wa Halmashauri hekima, afya njema na maisha marefu ili pamoja na wanaowashauri wadumishe utawala bora. Utuongezee hekima na busara sisi Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Rorya na utupe uwezo wa kujadili kwa dhati, mambo yatakayoletwa mbele yetu leo, ili tufanye 55 Wimbo, Dua na sala ya kuiombea Halmashau ri Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Rorya Tangazo La Serikali Na. 904 (Linaendelea) maamuzi sahihi yenye manufaa kwa watu wote na ustawi wa Halmashauri yetu. Mungu Ibariki Tanzania. AMINA” ________________ JEDWALI LA KWANZA ________________ (Limetengenezwa chini ya kanuni ya 48(3)) HADIDU ZA REJEA ZA KAMATI ZA KUDUMU ZA HALMASHAURI
Part
SEHEMU YA KWANZA
- 1 Verify source ↗
Kanuni hii zitajulikana kama Kanuni za Kudumu
AI-assisted research summary: Kanuni hizi zitajulikana kama Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Rorya za Mwaka 2023.
1. Kanuni hii zitajulikana kama Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Rorya za Mwaka 2023. - 2 Verify source ↗
Katika Kanuni hizi, isipokuwa kama muktadha
AI-assisted research summary: This section defines key terms used in the regulations, such as local government officer, councillor, committee, council, chairperson, and minister.
2. Katika Kanuni hizi, isipokuwa kama muktadha utahitaji vinginevyo- “afisa wa serikali za mitaa” maana yake ni mtu ambaye ameajiriwa na au ambaye yumo katika utumishi wa Mamlaka ya Serikali za Mitaa na ambaye anashika au anakaimu katika nafasi ya menejimenti; “Diwani” maana yake ni Mjumbe wa Halmashauri aliyetajwa kwa mujibu wa kifungu 35 cha Sheria; “fujo” maana yake ni kitendo chochote kinachoweza kufanywa na Mjumbe au Mshiriki wa Kikao cha Halmashauri au Kamati ya Kudumu ambacho ni kinyume na taratibu za uendeshaji wa vikao, kinachoweza kuvuruga kikao; “Halmashauri” maana yake ni Halmashauri ya Wilaya ya Rorya; “Kamati”- (a) inapotumika kuhusiana na Halmashauri ya Wilaya au Mamlaka ya Mji Mdogo maana yake ni Kamati iliyoteuliwa na Halmashauri ya Wilaya au Mamlaka ya Mji Mdogo chini ya Sheria; iliyoanzishwa au (b) inapotumika kuhusiana na Kamati ya Maendeleo ya Kata maana yake n i Kamati Kamati ya Maendeleo ya Kata; 6 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Rorya Tangazo La Serikali Na. 904 (Linaendelea) (c) inapotumika kuhusiana na Kamati Ndogo maana yake ni Kamati Ndogo hiyo iliyoteuliwa na Kamati; (d) inapotumika kuhusiana na Kamati nyingine maana yake Kamati hiyo nyingine. “kauli zenye kashfa” maana yake ni kauli zinazotolewa dhidi ya mtu yeyote ambazo hazina ukweli wowote zenye lengo la kuudhi na kushusha hadhi ya mtu huyo ambayo amejijengea katika jamii. “Mamlaka ya Mji Mdogo” maana yake ni Mamlaka ya Mji Mdogo ulioanzishwa chini ya kifungu 13 cha Sheria; “Mkurugenzi” maana yake ni Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Rorya pamoja na Afisa ya yeyote aliyeteuliwa kutekeleza majukumu Mkurugenzi; “mjumbe” maana yake ni Mjumbe wa Halmashauri kama ilivyoainishwa na kifungu cha 35 cha Sheria; “Mwenyekiti”- (a) kwa madhumuni ya Halmashauri maana yake ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Rorya, na inajumuisha Makamu Mwenyekiti wakati anapotekeleza majukumu ya Mwenyekiti kwa mujibu wa Kanuni hizi; (b) kwa madhumuni ya Kamati, Bodi au Kamati Ndogo maana yake ni Mwenyekiti wa Kamati, Bodi au Kamati Ndogo; (c) kwa maana ya Bodi ya Zabuni ni Mwenyekiti wa Bodi ya Zabuni; Sura ya 287 “Sheria” maana yake ni Sheria ya Serikali za Mitaa (Mamlaka za Wilaya); “Waziri” maana yake ni Waziri mwenye dhamana ya Serikali za Mitaa. 7 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Rorya Tangazo La Serikali Na. 904 (Linaendelea) SEHEMU YA PILI MIKUTANO YA HALMASHAURI Mikutano ya Kawaida ya Halmashau ri
Part
sehemu ya muhtasari ambapo habari hiyo imeonyeshwa,
- 26 Verify source ↗
(1) Halmashauri
AI-assisted research summary: The Council must set aside at least 30 minutes in each ordinary meeting for live questions, and the Director must answer them.
26.-(1) Halmashauri itatenga muda wa angalau dakika thelathini katika kila Mkutano wa Halmashauri wa kawaida na Mkurugenzi wa Halmashauri watajibu maswali ya papo kwa papo kutoka kwa Wajumbe kabla ya kuanza kwa shughuli ya kawaida za Mkutano wa Halmashauri. ambapo Mwenyekiti (2) Wajumbe ambao watataka kumwuliza Mkurugenzi na Mwenyekiti maswali ya papo kwa papo watatakiwa kujiorodhesha kwanza kwa Mwenyekiti angalau masaa ishirini na nne (24) kabla ya Mkutano wa Halmashauri. (3) Mjumbe yeyote ambaye hatajiorodhesha kwa Mwenyekiti ndani ya masaa ishirini na nne atahesabika kuwa amechelewa, na hataruhusiwa kumuuliza Mkurugenzi au Mwenyekiti swali la papo kwa papo. (4) Kabla ya kuanza kwa kipindi cha maswali ya papo kwa papo Mwenyekiti atataja majina ya Wajumbe waliojiorodhesha kuuliza maswali ya papo kwa papo na idadi ya maswali. (5) Mwenyekiti ataweka utaratibu ambao ataona unafaa na kuridhiwa na Wajumbe wa namna bora ya kuendesha kipindi cha maswali ya papo kwa papo. (6) Mjumbe hataruhusiwa kuuliza zaidi ya swali moja la papo kwa papo. (7) Maeneo ya umuhimu ambayo Wajumbe watatakiwa kuuliza maswali ya papo kwa papo ni:- (a) Uendeshaji wa jumla wa Halmashauri; (b) Utekelezaji wa miradi ya Maendeleo; (c) Mipango kimkakati ya ya Halmashauri 24 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Rorya Tangazo La Serikali Na. 904 (Linaendelea) kuwaondolea wananchi umaskini; (d) Mipango ya baadaye ya maendeleo ya Halmashauri; (e) Usimamizi na utekelezaji wa Mipango na Bajeti kwa mwaka husika; (f) Utoaji wa huduma za jamii kama vile elimu, afya, maji, barabara na madaraja; (g) Hifadhi ya mazingira na utunzaji wa vyanzo vya maji; (h) Usalama wa chakula na wa raia na mali zao; na (i) Utawala Bora na utatuzi wa kero za wananchi. (8) Baada ya kujibiwa kwa swali, muuliza swali atapewa fursa ya kuuliza swali moja tu la ufafanuzi na maswali yatajibiwa bila mjadala. (9) Mwenyekiti atakuwa na uwezo wa kuruhusu au kukataa swali lolote la papo kwa papo ambalo litaonekana linahitaji takwimu au utafiti zaidi au swali ambalo linalenga kumdhalilisha Mwenyekiti au Mjumbe yeyote wa Baraza na uamuzi wake utakuwa wa mwisho. Mwenyekiti atakuwa na uwezo wa kutojibu swali la papo kwa papo iwapo swali hilo litaonekana linahitaji takwimu au tafiti zaidi au litaonekana ni swali la kumdhalilisha Mwenyekiti au Mjumbe wa Baraza. (10) Mara baada ya muda wa nusu saa kumalizika, kipindi cha maswali ya papo kwa papo kitamalizika na kuruhusu shughuli zingine za kikao kuendelea. - 27 Verify source ↗
(1) Kila Kamati au Kamati ya pamoja
AI-assisted research summary: Committees and joint committees must report on discussions about delegated duties to the council, and any council-approval summary must be sent to councillors at least seven days before the meeting.
27.-(1) Kila Kamati au Kamati ya pamoja iliyoteuliwa chini ya Kanuni hizi, katika mojawapo ya vikao viwili vya Halmashauri iliyoteua Kamati, Kamati ya pamoja au Kamati Ndogo, taarifa ya majadiliano yanayohusiana na utekelezaji majukumu iliyokasimiwa, kwa ujulisho wa Halmashauri. (2) Muhtasari wa Kamati unaohitaji idhini ya Halmashauri, na taarifa zozote zinazohusiana na muhtasari huo, na ambazo zinaonekana kwa Kamati kuwa zinastahili, 25 Taarifa za Kamati Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Rorya Tangazo La Serikali Na. 904 (Linaendelea) zitapelekwa kwa kila Mjumbe wa Halmashauri angalau siku saba kabla ya Mkutano wa Halmashauri ambamo utafikiriwa. (3) Mwenyekiti wa Kamati, au Mjumbe mwingine wa Kamati kwa niaba yake, wakati wa kupendekeza kuidhinishwa kwa muhtasari wa Kamati, anaweza kusema kuwa hakusudii kuwasilisha kipengele au vipengele fulani vya muhtasari huo kwa idhini ya Halmashauri. Katika hali hiyo Mjumbe yeyote hataweza kukizungumzia kipengele au vipengele hivyo na muhtasari utawasilishwa bila vipengele hivyo. Kuondolewa kwa kipengele cha aina hiyo kutatolewa taarifa kwenye Mkutano unaofuata. la kupata lengo (4) Taarifa ya Kamati inapokuwa imepokelewa na Halmashauri itamaanisha kuwa hatua zilizochukuliwa na Kamati husika zimekubaliwa na mapendekezo yaliyo kwenye taarifa hiyo yatatekelezwa na kwamba Mkurugenzi atakuwa ameelekezwa ipasavyo. Taarifa kutoka kwenye Kata - 28 Verify source ↗
(1) Kila Kata itatakiwa kuwasilisha taarifa za
AI-assisted research summary: Kila Kata lazima iwasilishe taarifa ya utekelezaji kwenye Mkutano wa Halmashauri.
28.-(1) Kila Kata itatakiwa kuwasilisha taarifa za utekelezaji katika Mkutano wa Halmashauri ulioitishwa chini ya kanuni ya 3(1). (2) Taarifa za utekelezaji kutoka katika Kata zitawasilishwa na Diwani wa Kata husika, au kama Diwani hayupo, taarifa hiyo itawasilishwa na Diwani wa Viti Maalum anayeishi katika Kata hiyo na kama Diwani Viti Maalum hayupo, Mwenyekiti atamtaarifu mapema Diwani yeyote ili ajiandae kuwasilisha taarifa hiyo. tatu (3) Kutakuwa taarifa aina na za zitakazowasilishwa:- (a) Taarifa ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo itajumuisha ujenzi wa katika Kata ambayo Madarasa, Nyumba za Walimu, Matundu ya Vyoo, Maabara, Viwanja vya Michezo, Vituo vya Afya, Zahanati, Madaraja, Barabara, Mashamba darasa, Ofisi za Vijiji, Mitaa, Kata na Tarafa; 26 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Rorya Tangazo La Serikali Na. 904 (Linaendelea) Idadi ya watu na vizazi; (b) Taarifa zinazohusu hali ya Kata ambazo zitajumuisha- (i) Maendeleo ya Elimu katika Kata kuhusiana na uandikishaji wa watoto wenye shule, ufundishaji, utoro, hali ya mahudhurio, mimba mashuleni, ukaguzi na uratibu wa shule; umri wa kwenda (ii) Hali ya majanga ya kibinadamu kama vile mlipuko wa magonjwa, mafuriko, njaa na hali ya uhalifu na vifo; (iii) Maendeleo ya Kilimo, mifugo na uvuvi itajumuisha upatikanaji wa ambayo wataalmu, zana za kisasa na pembejeo za kilimo, mifugo na uvuvi; (iv) Uimarishaji wa dhana ya uzalendo na utaifa kwa kuhamasisha vijana kuanzisha na kujiunga na vikundi vya Vijana Wagani kazi na mafunzo ya Jeshi la Mgambo, ulinzi shirikishi na polisi jamii; (c) Taarifa ya utekelezaji wa miradi ya Maendeleo na taarifa ya hali ya Kata sharti ijumuishe pia taarifa za shughuli za kiuchumi, taarifa ya mavuno ya mazao ya chakula na biashara pamoja na taarifa ya utunzaji wa mazingira na vyanzo vya maji. (4) Mkurugenzi wa Halmashauri atahakikisha taarifa kutoka kwenye Kata, zinaandaliwa na kuwasilishwa na Diwani wa Kata hiyo kwenye Baraza la Madiwani ili ipitiwe na kuchambuliwa kwa nia ya kupata hoja zitakazowasilishwa katika vikao vya Kamati husika na kutoa mrejesho. Mafanikio na changamot o - 29 Verify source ↗
(1) Mwasilishaji wa taarifa atatakiwa kuelezea
AI-assisted research summary: The report submitter must explain achievements, challenges, and how they will be addressed.
29.-(1) Mwasilishaji wa taarifa atatakiwa kuelezea mafanikio yaliyopatikana, changamoto zilizo jitokeza na mbinu za kukabiliana nazo. (2) Mbinu za kukabiliana na changamoto sharti 27 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Rorya Tangazo La Serikali Na. 904 (Linaendelea) ziwekewe malengo na muda Maalum wa kuzitatua. (3) Taarifa za mapokeo ya fedha na matumizi yake zitakazokuwa zimeandaliwa na Afisa Mtendaji wa Kata, zitawasilishwa sanjari na miradi iliyotekelezwa na gharama zake. (4) Baada ya taarifa kutoka kwenye Kata kupokelewa na Halmashauri, itamaanisha kuwa taarifa hizo zimeidhinishwa na mapendekezo yaliyomo kwenye taarifa yatatekelezwa na Halmashauri, na Kata kupewa taarifa ya utekelezaji wa majukumu hayo. Uhuru wa kutoa mawazo wakati wa majadiliano - 30 Verify source ↗
Kutakuwepo na uhuru wa kutoa mawazo wakati
AI-assisted research summary: During council meeting discussions, freedom of expression is protected and cannot be challenged in court or anywhere outside the council meeting.
30. Kutakuwepo na uhuru wa kutoa mawazo wakati wa majadiliano katika mikutano ya Halmashauri na uhuru huo hautaweza kuhojiwa katika mahakama yoyote au mahali popote nje ya Mkutano wa Halmashauri. Kauli zenye kashfa - 31 Verify source ↗
(1)
AI-assisted research summary: A member who makes a defamatory statement may be required to withdraw it and apologize in writing within 7 days, or be suspended and lose rights during the suspension.
31.-(1) iliyotolewa na Mjumbe Inapotokea, kulingana na maoni ya Mwenyekiti au mtu yeyote anayeongoza Mkutano, kuwa kauli inakashifu mtu yeyote, Mwenyekiti atamtaka Mjumbe aliyetoa kauli hiyo kufuta kauli yake na kumwomba msamaha mtu aliyekashifiwa kwa maandishi ndani ya muda wa siku saba tangu kauli hiyo ya kashfa ilipotamkwa. (2) Endapo Mjumbe aliyetoa kauli za kashfa atakataa kufuta kauli yake na kuomba msamaha kwa maandishi kama inavyoelekezwa katika kanuni ndogo (1), Mwenyekiti au mtu anayeongoza Mkutano, atamsimamisha Mjumbe huyo kuhudhuria vikao vitatu mfululizo vya Halmashauri. (3) Mjumbe aliyesimamishwa kwa mujibu wa kanuni ndogo (2) atapoteza haki zake zote ikiwa ni pamoja na posho na nauli kwa muda wote wa kusimamishwa kwake. Maamuzi ya Mikutano ya Halmashau - 32 Verify source ↗
(1) Masuala yote yaliyojadiliwa na kupendekeza
AI-assisted research summary: Masuala ya Mkutano wa Halmashauri huamuliwa kwa kura nyingi; kura zikiwa sawa, mwenyekiti au anayeongoza hutoa kura ya turufu; na baadhi ya masuala hupigwa kwa siri.
32.-(1) Masuala yote yaliyojadiliwa na kupendekeza katika Mkutano wowote wa Halmashauri yataamuliwa kulingana na wingi wa kura za Wajumbe waliohudhuria Mkutano huo, na ikitokea kura za Wajumbe zikalingana, basi 28 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Rorya Tangazo La Serikali Na. 904 (Linaendelea) ri Mwaliko kwa wasio wajumbe kushiriki kwenye vikao vya Halmashau ri Mihtasari ya kata na vijiji Mihtasari kupelekwa kwa Mkuu wa Wilaya na Mkuu wa Mkoa Mwenyekiti au Mjumbe yeyote mwingine anayeongoza Mkutano, atapiga kura ya turufu mbali ya kura ya kawaida. (2) Iwapo suala linalopigiwa kura linahusu kutokuwa na imani au kumwondoa Mwenyekiti madarakani, au jambo lolote lingine kama itakavyoamuliwa na Halmashauri, kura zitapigwa kwa siri. - 33 Verify source ↗
Mwenyekiti, baada ya kushauriana na Wajumbe,
AI-assisted research summary: The Chairperson may invite any person to attend, speak, or participate in a council meeting, but invited persons cannot vote. Heads of departments must attend all council meetings and also cannot vote.
33. Mwenyekiti, baada ya kushauriana na Wajumbe, anaweza kumwalika mtu yeyote kuhudhuria na kuzungumzia jambo lolote, au kushiriki kwa njia yoyote, katika Mkutano wowote wa Halmashauri lakini Mwalikwa huyo hatakuwa na haki ya kupiga kura katika Mkutano huo. (2) Wakuu wa Idara za Halmashauri wanapaswa lakini kuhudhuria mikutano yote ya Halmashauri hawatakuwa na haki ya kupiga kura katika mikutano hiyo. - 34 Verify source ↗
Mkurugenzi wa Halmashauri atahakikisha
AI-assisted research summary: The Council Director must make sure all summaries are reviewed and analyzed so issues can be taken to the relevant committee meetings and feedback given appropriately.
34. Mkurugenzi wa Halmashauri atahakikisha mihtasari yote ya Kamati za Maendeleo za Kata, Halmashauri za Vijiji na Mikutano Mikuu ya Vijiji inapitiwa na kuchambuliwa kwa nia ya kupata hoja zitakazowasilishwa katika vikao vya Kamati husika na kutoa mrejesho inavyopaswa. - 35 Verify source ↗
(1) Mihtasari ya Halmashauri
AI-assisted research summary: Halmashauri must send its confirmed summary to the District Commissioner and Regional Commissioner within 7 days, and those commissioners may receive copies of committee minutes on request.
35.-(1) Mihtasari ya Halmashauri itatolewa na kupelekwa kwa taarifa, kwa Mkuu wa Wilaya na Mkuu wa Mkoa ambamo Halmashauri imo katika muda wa siku 7 baada ya kuthibitishwa kwa mihutasari hiyo. (2) Mkuu wa Wilaya na Mkuu wa Mkoa wanaweza kupewa, wakiomba, nakala ya mihtasari au sehemu ya mihtasari ya Kamati za Kudumu na Kamati nyingine. (3) Wakuu wa Wilaya na Wakuu wa Mikoa hawatabadilisha au kubatilisha au kuagiza kubadilisha au kubatilisha uamuzi wa Halmashauri. Hoja - 36 Verify source ↗
Hoja yoyote isiyotokana na mapendekezo au
AI-assisted research summary: Hoja fulani za kifedha lazima ziahirishwe bila mjadala hadi mkutano wa kawaida unaofuata, na kamati husika inapaswa kuzingatia kama kutoa taarifa ya athari za kifedha.
36. Hoja yoyote isiyotokana na mapendekezo au 29 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Rorya Tangazo La Serikali Na. 904 (Linaendelea) kuhusu matumizi Kupokelew a kwa taarifa za Kamati taarifa ya Kamati ya Fedha, Utawala na Mipango na ambayo, kama ikikubaliwa,itaongeza matumizi au kupunguza mapato yaliyo chini ya usimamizi wa Kamati yoyote, au itasababisha matumizi ya Kamati ya Kudumu, baada ya kupendekezwa au kuungwa mkono, itaahirishwa bila majadiliano mpaka Mkutano wa kawaida wa Halmashauri unaofuata, na Kamati yoyote inayohusika na hoja hiyo itafikiria iwapo ingependa kutoa taarifa kuhusu athari za kifedha za pendekezo hilo. - 37 Verify source ↗
(1)Taarifa ya Kamati inapowasilishwa kwenye
AI-assisted research summary: When a committee report is presented to the council, the motion is that it be received, and then the report is discussed clause by clause after acceptance.
37.-(1)Taarifa ya Kamati inapowasilishwa kwenye Halmashauri, hoja itakuwa “kwamba taarifa ipokelewe”na baada ya kukubaliwa na Wajumbe taarifa itaanza kujadiliwa kipengele kimoja baada ya kingine. (2) Mapendekezo yoyote yaliyomo katika taarifa hiyo yatapigiwa kura baada ya nyingine iwapo Mjumbe yeyote atapenda taarifa nzima itawasilishwa mbele ya Mkutano kwa kupokelewa ikiwa na au bila marekebisho. iwe hivyo. Baada ya hapo Kuidhinish wa kwa taarifa ya Kamati - 38 Verify source ↗
Taarifa ya Kamati inapokuwa imepokelewa na
AI-assisted research summary: Kamati inapopokelewa na Halmashauri, hilo huchukuliwa kumaanisha kuwa hatua zilizoelezwa zimeidhinishwa, mapendekezo yatatekelezwa, na Mkurugenzi wa Halmashauri ataelekezwa kama inavyotakiwa.
38. Taarifa ya Kamati inapokuwa imepokelewa na Halmashauri itamaanisha kuwa hatua zilizochukuliwa na taarifa hiyo zimeidhinisha na iliyowasilisha Kamati mapendekezo yaliyo kwenye taarifa yatatekelezwa na kwamba Mkurugenzi wa Halmashauri atakuwa ameelekezwa kama inavyotakiwa. Uhalali wa majadiliano ya Halmashau ri - 39 Verify source ↗
Uhalali wa majadiliano kwenye Halmashauri
AI-assisted research summary: The validity of Halmashauri deliberations is not affected by any vacancy, defect in the election or appointment of committee members, or defects in the appointment of its officers.
39. Uhalali wa majadiliano kwenye Halmashauri hautaathiriwa na nafasi yoyote wazi ya Mjumbe, dosari zozote zilizo katika uchaguzi au uteuzi wa Wajumbe wa Kamati au zile za maafisa wake. - 40 Verify source ↗
Halmashauri inaweza kujigeuza kuwa Kamati ya
AI-assisted research summary: Halmashauri inaweza kujigeuza kuwa Kamati ya Halmashauri, na baada ya kufanya hivyo taratibu za vikao vya Kamati za Kudumu hutumika.
40. Halmashauri inaweza kujigeuza kuwa Kamati ya Halmashauri, na mara baada ya kujigeuza, taratibu za kuendesha vikao vya Kamati za Kudumu zitatumika. Uwezo wa Halmashau ri kujigeuza kuwa Kamati ya Halmashau ri nzima 30 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Rorya Tangazo La Serikali Na. 904 (Linaendelea) Hoja zinazohusu watumishi wa Halmashau ri Ushiriki wa Umma Uahirishaji wa vikao linalohusu - 41 Verify source ↗
Kama litajitokeza jambo lolote katika kikao cha
AI-assisted research summary: Masuala yanayohusu mtumishi wa Halmashauri—kama kufukuzwa kazi, mishahara, mazingira ya kazi, au utendaji kazi kwa jumla—yanapaswa kujadiliwa katika Kamati ya Halmashauri nzima.
41. Kama litajitokeza jambo lolote katika kikao cha cheo, Halmashauri kufukuzwa kazi, mishahara au mazingira ya kazi au utendaji kazi kwa jumla wa mtumishi yeyote wa Halmashauri, jambo hilo litajadiliwa katika Kamati ya Halmashauri nzima. kupandishwa uteuzi, - 42 Verify source ↗
(1) Mtu yeyote ambaye ni mkazi katika eneo la
AI-assisted research summary: Mkazi wa eneo la Halmashauri anaweza kuhudhuria kikao cha Halmashauri kuwasilisha hoja, lakini lazima kwanza atoe taarifa ya maandishi kwa Mkurugenzi na apate kibali chake; pia anaweza kualikwa kuhudhuria kikao cha Kamati au Kamati Ndogo kabla ya uamuzi kufanywa.
42.-(1) Mtu yeyote ambaye ni mkazi katika eneo la Halmashauri anaweza kuhudhuria kikao cha Halmashauri kwa nia ya kuwasilisha hoja mbele ya Halmashauri, baada ya taarifa kwa maandishi kwa Mkurugenzi, na kutoa Mkurugenzi akamkubali kufanya hivyo (2) Mtu yeyote ambaye ni mkazi katika eneo la Halmashauri anaweza kualikwa kuhudhuria kikao cha Kamati au Kamati Ndogo kabla uamuzi haujafanyika kuhusu masuala ambayo ana maoni mahsusi. - 43 Verify source ↗
(1) Kwa kuzingatia masharti ya kanuni ya 17(3)
AI-assisted research summary: Halmashauri must not adjourn its meeting until all agenda items are discussed and decided, except as allowed by the cited rules; if quorum is not met, members present must adjourn the meeting. The Halmashauri may also dissolve and reconstitute standing committees, and it needs written ministerial approval to create a new standing committee.
43.-(1) Kwa kuzingatia masharti ya kanuni ya 17(3) na kanuni ndogo ya (2) ya kanuni hii, Halmashauri haitaahirisha Mkutano wake hadi dondoo zote za agenda ya Mkutano huo zitakapojadiliwa na kutolewa uamuzi. akidi (2) Pale ambapo katika Mkutano wowote wa Halmashauri haikutimia, wajumbe waliopo wataahirisha Mkutano na utaratibu wa kuitisha Mkutano mwingine utafanyika kwa kuzingatia maelekezo ya Kanuni hizi. SEHEMU YA NNE KAMATI Kamati za Kudumu 44-(1) Halmashauri katika Mkutano wake wa mwaka itateua Wajumbe wa Kamati za Kudumu zifuatazo ambazo zitakuwa na idadi ya Wajumbe (ukimwondoa Mwenyekiti wa Halmashauri isipokuwa katika Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango) kama inavyoonyesha hapa chini au kama itakavyorekebishwa na Halmashauri mara kwa mara. 31 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Rorya Tangazo La Serikali Na. 904 (Linaendelea) Isipokuwa katika kuteua Wajumbe wa Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango Mwenyekiti na Mkurugenzi watazingatia uwiano wa uwakilishi wa vyama katika Halmashauri. Kamati (a) Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango (b) Kamati ya Elimu,Afya na Maji (c) Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira. (d) Kamati ya Maadili ya Madiwani (e) Kamati ya Kudhibiti UKIMWI Idadi ya Wajumbe 12 8 8 5 3 Akidi 6 4 4 3 3 (2) Kila Mjumbe wa Halmashauri atakuwa Mjumbe wa angalau Kamati moja ya Kudumu. Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango itakuwa na Wajumbe wafuatao: (a) Mwenyekiti wa Halmashauri ambaye atakuwa Mwenyekiti; (b) Makamu Mwenyekiti; (c) Mbunge au Wabunge wanaowakilisha Majimbo katika Halmashauri; wa Majimbo la eneo (d) Wenyeviti wa Kamati za Kudumu za Halmashauri; (e) Wajumbe wengine wasiozidi wawili (2) watakaopendekezwa na Mwenyekiti na kupigiwa kura na Baraza la Halmashauri mmoja kati yao awe Mwanamke. (3) Endapo katika Halmashauri Madiwani hawazidi ishirini (20), idadi ya wajumbe wa Kamati wa Fedha, Uongozi na Mipango itakuwa kama ilivyoonyeshwa kwenye kanuni ndogo ya (1). (4) Bila kuathiri masharti ya kanuni ndogo ya (2), 32 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Rorya Tangazo La Serikali Na. 904 (Linaendelea) endapo katika Halmashauri idadi ya Madiwani inazidi ishirini (20) lakini haizidi thelathini na tano (35), wajumbe wa Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango watakuwa kama ilivyoonyeshwa kwenye kanuni ndogo ya (2) pamoja na wajumbe wengine wawili (2) watakaotokana na orodha itakayopendekezwa na Mwenyekiti na kupigiwa kura na Baraza la Halmashauri mmoja kati yao awe wanawake. (5) Bila kuathiri masharti ya kanuni ndogo ya (2), (3) na (4), endapo katika Halmashauri idadi ya Madiwani ni thelathini na tano (35) au zaidi, wajumbe wa Kamati ya kama Fedha, Uongozi ilivyoonyeshwa kwenye kanuni ndogo ya (2) pamoja na wajumbe wengine wanne (4) watakaotokana na orodha itakayopendekezwa na Mwenyekiti na kupigiwa kura na Baraza la Halmashauri wawili kati yao wawe wanawake. na Mipango watakuwa (6) Wajumbe wa Kamati za Kudumu watashika nyadhifa zao kwa muda wa mwaka mmoja na wataendelea kushika nyadhifa hizo mpaka Mkutano wa mwaka wa Halmashauri Wajumbe waliochaguliwa kwenye Mkutano wa kwanza baada Uchaguzi Mkuu watashika nyadhifa zao kwa muda uliobaki kumaliza mwaka wa fedha ambapo Uchaguzi utafanyika tena. unaofuata. Isipokuwa (7) Halmashauri inaweza wakati wowote kuvunja na kuunda upya Kamati ya Kudumu iliyoteuliwa kwa mujibu wa Kanuni hizi, endapo kufanya hivyo kutakuwa ni kwa manufaa ya Halmashauri. (8) Hakuna Halmashauri itakayounda Kamati ya Kudumu mpya zaidi ya Kamati zilizotajwa kwenye kanuni ndogo ya (1), isipokuwa baada ya kuomba na kupata idhini ya maandishi kutoka kwa Waziri. (9) Maombi ya Halmashauri ya kuanzisha Kamati mpya ya Kudumu lazima yakidhi na yawe na maelezo yafuatayo; (a) upekee wa majukumu yanayoombewa kuundwa kwa Kamati ya Kudumu mpya na majukumu 33 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Rorya Tangazo La Serikali Na. 904 (Linaendelea) hayo yawe hayawezi kutekelezwa na Kamati za Kudumu zilizopo na zilizotajwa kwenye Kanuni ndogo ya (1); (b) gharama za uendeshaji wa Kamati hiyo kwa mwaka; (c) kuundwa kwa Kamati ya Kudumu hiyo mpya ni lazima na ni kipaumbele cha hitajio Halmashauri na jamii kwa ujumla. la Mwenyekit i wa Halmashau ri kuwa Mjumbe wa Kamati zote Uwezo wa Kamati Kamati za Pamoja (10) Kamati yoyote itakayoundwa na Halmashauri bila idhini ya Waziri itakuwa batili na maamuzi yake yote yatakuwa batili.
Part
Jedwali la Pili la Kanuni hizi za Kudumu
- 75 Verify source ↗
Diwani atakuwa na majukumu yafuatayo
AI-assisted research summary: Diwani lazima atekeleze majukumu ya kuwahudumia wapiga kura, kushiriki mikutano ya Halmashauri, kukutana na wananchi, kutoa taarifa na kuchangia maendeleo ya eneo lake.
75. Diwani atakuwa na majukumu yafuatayo: (a) kuwa karibu na wapiga kura na kupata ushauri wa yanayotarajiwa katika mambo Wananchi kujadiliwa kwenye Halmashauri; (b) kutoa maoni na mapendekezo ya wananchi kwa Halmashauri; (c) kuhudhuria mikutano ya Halmashauri na ya Kamati au Kamati Ndogo ambamo yeye ni Mjumbe; 46 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Rorya Tangazo La Serikali Na. 904 (Linaendelea) (d) kutenga angalau siku moja kila mwezi kukutana na wananchi katika eneo lake la uchaguzi; (e) kutoa taarifa kwa wapiga kura kuhusu maamuzi hatua ya jumla zilizochukuliwa kuondoa matatizo yaliyowahi kuelezwa na wakazi wa eneo lake la uchaguzi; ya Halmashauri na Halmashauri na (f) kuchangia ujuzi na uzoefu wake katika majadiliano yanayofanyika katika mikutano ya Halmashauri na Kamati za Halmashauri; na (g) kushiriki katika shughuli za pamoja za maendeleo katika eneo lake la uchaguzi na katika eneo zima la Halmashauri. (2) Katika kutekeleza wajibu wake Diwani atazingatia- (a) maslahi ya Taifa na maslahi ya wananchi katika eneo la Halmashauri; (b) Katiba, Sheria na Kanuni; (c) Kanuni za Maadili ya Madiwani, Mwongozo juu ya mahusiano ya Madiwani na watumishi na miiko mingine. Nafasi wazi - 76 Verify source ↗
(1) Kiti cha Mjumbe wa Halmashauri kitakuwa
AI-assisted research summary: A councillor’s seat becomes vacant if listed events occur, and the Minister declares the seat vacant after written notice from the chairperson.
76.-(1) Kiti cha Mjumbe wa Halmashauri kitakuwa wazi endapo Mjumbe: (a) amefariki; (b) anakubali ajira kama mtumishi wa Halmashauri; (c) kwa mujibu wa Sheria yoyote anatangazwa kuwa hana akili timamu; (d) yuko chini ya hukumu ya kifo au kifungo kinachozidi miezi sita kilichotolewa kwake na Mahakama; (e) kwa mujibu wa Sheria yoyote anatamkwa kuwa anapoteza sifa za kuendelea kuwa Mjumbe; (f) atakoma kuwa mwanachama wa chama cha siasa kilichompendekeza kuwa mgombea wa kiti cha udiwani; 47 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Rorya Tangazo La Serikali Na. 904 (Linaendelea) (g) anapokuwa amepatikana na kosa kutokana na Kanuni za Maadili ya Madiwani na adhabu ya kosa alilotenda ni pamoja na kumwondoa Mjumbe madarakani; na (h) anapoteza ujumbe kwa mujibu wa kanuni ya 77(2); (i) anahukumiwa kwa kosa la kutotaja maslahi yake. (j) amejiuzulu kutoka kiti chake; (k) Halmashauri imevunjwa na kuathiri mipaka ya majimbo ya uchaguzi. (l) uchaguzi wa Mjumbe umetangazwa kuwa batili; au (m) bila sababu ya kuridhisha au bila idhini au kibali cha maandishi cha Mwenyekiti, Mjumbe anakosa kuhudhuria mikutano mitatu ya kawaida inayofuatana ya Halmashauri au Kamati ambamo yeye ni Mjumbe; (2) Waziri atatangaza kiti kuwa wazi pale atakapojulishwa na Mwenyekiti wa Halmashauri kwa maandishi kwamba kiti kiko wazi kwa kuzingatia masharti ya kifungu cha 42(1) cha Sheria. Kutokuwep o kwa Wajumbe - 77 Verify source ↗
(1) Halmashauri yaweza kutoa
AI-assisted research summary: The council may allow a member to be absent from meetings for up to 10 months if the member wants to go outside Tanzania.
77.-(1) Halmashauri yaweza kutoa idhini ya kutokuwepo katika mikutano yake kwa muda usiozidi miezi kumi kwa Mjumbe yeyote anayetaka kwenda nje ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. (2) Pale ambapo Mjumbe kwa sababu yoyote ile amekuwa nje ya nchi kwa muda unaozidi miezi kumi kiti chake cha udiwani kitachukuliwa kuwa kipo wazi. Taratibu za kutunga Sheria Ndogo - 78 Verify source ↗
(1) Pale ambapo Halmashauri inakusudia kutunga
AI-assisted research summary: Halmashauri lazima itangaze nia ya kutunga Sheria Ndogo, ipokee maoni ya wakazi kwa maandishi, na itume Sheria Ndogo zilizotungwa kwa taratibu za maoni na idhini kabla hazijaanza kutumika.
78.-(1) Pale ambapo Halmashauri inakusudia kutunga Sheria Ndogo itatoa tangazo kwa wakazi wa eneo husika kuhusu kusudio hilo katika namna ambayo itahakikisha kuwa watakaoathirika na Sheria Ndogo inayokusudiwa kutungwa wanafahamu vilivyo na kuwaomba wanaopenda kutoa pingamizi lolote au mapendekezo yao kwa maandishi 48 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Rorya Tangazo La Serikali Na. 904 (Linaendelea) katika muda uliowekwa. hakuna (2) Pale ambapo baada ya muda wa taarifa malalamiko kumalizika yaliyowasilishwa, aliyetoa kipingamizi kinachokubalika mbele ya Halmashauri, Halmashauri itaendelea kutunga Sheria Ndogo ikizingatia malalamiko na pingamizi zilizotolewa au hakuna mtu yeyote pingamizi au (3) Sheria Ndogo, zikishatungwa na Halmashauri zitapelekwa kwa Mkuu wa Mkoa ambamo Halmashauri husika imo ili aweze kuzitolea maoni yake na kisha kuziwasilisha kwa Waziri. (4) Waziri anaweza kuidhinisha, kukubali au kukataa kuidhinisha Sheria Ndogo au kutoa au kusimamisha kibali chake kwa kutoa masharti atakayoyaeleza na anaweza baada ya kutoa idhini yake, kupanga tarehe ya kuanza kutumika kwa Sheria Ndogo hizo. (5) Waziri anaweza, kabla ya kuidhinisha Sheria Ndogo zenye athari kwenye maeneo yaliyotengwa au maeneo Maalum au kwa Sheria nyingine yoyote, kushauriana na Waziri anayehusika na Sheria husika au na jambo lililotungiwa Sheria Ndogo kadri itakavyokuwa. (6) Sheria Ndogo yoyote iliyotungwa na Halmashauri lazima itangazwe katika Gazeti la Serikali kabla ya kuanza kutumika. - 79 Verify source ↗
(1) Mjumbe ataweza, kwa madhumuni ya
AI-assisted research summary: A member may inspect council committee documents and request copies only for carrying out member duties, and must not inspect or seek copies of documents about matters in which the member has an interest.
79.-(1) Mjumbe ataweza, kwa madhumuni ya kutekeleza wajibu wake kama Mjumbe, na si vinginevyo, kukagua waraka wowote ambao umejadiliwa na Kamati ya Halmashauri na anaweza kupewa, akiomba, nakala kwa madhumuni hayo hayo. (2) Mjumbe hatakagua kwa makusudi au kutaka apewe nakala ya waraka wowote unaohusu jambo ambalo yeye ana maslahi nalo kwa mujibu wa Sheria Isipokuwa kwamba, kanuni hii haitamzuia Mkurugenzi kuzuia kukaguliwa kwa waraka wowote ambao umezuiliwa kutolewa kwa mujibu wa Sheria yoyote au Kanuni 49 Ukaguzi wa nyaraka Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Rorya Tangazo La Serikali Na. 904 (Linaendelea) zilizotungwa chini ya Sheria hizo. Uanzishaji wa Bodi za Huduma Diwani kutembelea maeneo, shughuli mbalimbali za ujenzi n. k - 80 Verify source ↗
(1) Halmashauri
AI-assisted research summary: Halmashauri inaweza kuunda Bodi za Huduma kwa hati rasmi ili kutekeleza kazi zake ndani ya eneo lake.
80.-(1) Halmashauri inaweza, kwa mujibu wa kifungu 88 cha Sheria kwa madhumuni ya kutekeleza kazi zake katika eneo lililo chini ya mamlaka yake, kuunda Bodi za Huduma kwa hati rasmi kama itakavyoona inafaa kufanya hivyo. (2) Bodi ya Huduma iliyotajwa katika kanuni ndogo ya (1) itawajibika moja kwa moja kwenye Halmashauri kupitia Kamati ya Kudumu husika na itatekeleza kazi zake kama ilivyofafanuliwa katika hati inayoianzisha. - 81 Verify source ↗
Mjumbe wa Halmashauri anaweza kutembelea
AI-assisted research summary: Council members may visit council project sites, but they may not give technical instructions while there.
81. Mjumbe wa Halmashauri anaweza kutembelea eneo, jengo au shughuli za ujenzi zinazotekelezwa na au kwa niaba ya Halmashauri na anaweza kutuma taarifa kwa Mkurugenzi akieleza sababu za matembezi yake ili aweze kupangiwa Wataalamu wa mradi au shughuli husika kwa ajili kupata maelekezo ya kitaalamu. (2) Mjumbe wa Halmashauri anapotembelea shughuli au miradi ya maendeleo inayotekelezwa na au kwa niaba ya Halmashauri hataruhusiwa kutoa maelekezo au maagizo ya kitaalamu awapo kwenye eneo la mradi. (3) Baada ya Diwani kutembelea maeneo au majengo kama ilivyoainishwa kwenye kanuni ndogo ya (1) anaona kuna umuhimu wa kutoa maoni au mang’amuzi yake juu ya matembezi hayo atafanya hivyo kwa kuwasilisha maoni au mang’amuzi yake kwa Mkurugenzi ambaye atafanyia kazi au kuyapeleka kwa afisa anayesimamia kazi husika kwa utekelezaji; Endapo maoni au mang’amuzi ya Diwani hayawezi kufanyiwa kazi na Mkurugenzi au Afisa mhusika, basi atamshauri Diwani kupeleka maoni na mang’amuzi yake kwa Kamati ili yachunguzwe zaidi na kuamuliwa. inayohusika (4) Kamati za Kudumu za Halmashauri, zinaweza kutembelea miradi ya maendeleo au shughuli yoyote 50 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Rorya Tangazo La Serikali Na. 904 (Linaendelea) inayotekelezwa na au kwa niaba ya Halmashauri na ambayo inaihusu Kamati husika ili mradi katika kutembelea miradi hiyo Kamati itaongozana na Wataalamu wa mradi au shughuli husika ili kupata maelekezo ya kitaalamu. (5) Kamati ya Kudumu itatembelea miradi au shughuli za maendeleo kabla ya kikao cha Kamati ambacho kitajadili Mradi au shughuli hiyo. Uhifadhi wa lakiri ya Halmashau ri - 82 Verify source ↗
Lakiri ya Halmashauri itatunzwa kwa usalama na
AI-assisted research summary: The council seal must be kept securely and locked in a cabinet at the Director’s office.
82. Lakiri ya Halmashauri itatunzwa kwa usalama na kufungiwa katika kasiki kwenye Ofisi ya Mkurugenzi mwenyewe. Utiaji muhuri kwenye nyaraka Uandikisha ji wa anuani - 83 Verify source ↗
(1) Lakiri ya Halmashauri haitabandikwa katika
AI-assisted research summary: Council seal may not be affixed to any document unless the Council has approved it by resolution.
83.-(1) Lakiri ya Halmashauri haitabandikwa katika hati yoyote mpaka ubandikaji huo umeidhinishwa na azimio la Halmashauri likiidhinisha kukubaliwa kwa zabuni, ununuzi, uuzaji au upangishaji au kuchukua mali yoyote, utoaji wa hati yoyote ya ukopeshaji fedha, uwasilishaji wa madai yoyote, uwekaji wa viwango vya kodi, uingiaji kwenye mkataba, kutunga Sheria Ndogo, au hati yotote iliyo rasmi ambayo kwa mujibu wa Sheria au Kanuni yoyote inahitaji kuwekwa lakiri ya Halmashauri. (2) Lakiri itashuhudiwa au kuthibitishwa na Mwenyekiti au Makamu Mwenyekiti na Mkurugenzi, na hati zilizowekwa lakiri zitasainiwa na Mwenyekiti au Makamu Mwenyekiti, kama hali itakavyokuwa. - 84 Verify source ↗
(1) Itakuwa wajibu wa kila Mjumbe katika kikao
AI-assisted research summary: Each member must give the Director written notice of their permanent address for service at the first council meeting after election.
84.-(1) Itakuwa wajibu wa kila Mjumbe katika kikao cha kwanza cha Halmashauri, baada ya uchaguzi kutoa taarifa ya maandishi kwa Mkurugenzi juu ya anuani yake ya Kudumu ya kupokelea taarifa. Taarifa zilizopelekwa kwa kutumia anuani iliyoandikishwa itachukuliwa kama ndiyo sahihi na inatosheleza kwa matumizi yote. (2) Iwapo Mjumbe atatoa taarifa ya maandishi kwa Mkurugenzi kuwa angependa taarifa ya mikutano ya Halmashauri iwe inatumwa kwake kwa kutumia anuani atakayoitaja kwenye taarifa hiyo ambayo ni tofauti na ile 51 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Rorya Tangazo La Serikali Na. 904 (Linaendelea) Uteuzi wa Wajumbe kwenye taasisi za nje Kumwondo a Mwenyekit i madarakani katika Kanuni Ndogo ya (1), taarifa yoyote itakayoachwa au itakayotumwa kwa njia ya posta kwa kutumia anwani hiyo itachukuliwa kuwa inatosha kwa ajili ya kutoa taarifa inayotakiwa kwa mujibu wa Kanuni za Kudumu hii. - 85 Verify source ↗
(1) Katika Mkutano wake wa kwanza,
AI-assisted research summary: Halmashauri lazima itawateua wawakilishi kwenye Bodi na taasisi za nje katika mkutano wake wa kwanza, na wawakilishi hao lazima wampe Mkurugenzi taarifa kuhusu shughuli husika; Mkurugenzi atachukua hatua zifaazo.
85.-(1) Katika Mkutano wake wa kwanza, Halmashauri itateua wawakilishi wake kwenye Bodi na Taasisi za nje ambazo Halmashauri inastahili kuwakilishwa. (2) Mjumbe au Wajumbe, wanaoiwakilisha Halmashauri kwenye Bodi na Taasisi za nje, watatakiwa kuwasilisha kwa Mkurugenzi taarifa kuhusu shughuli za Bodi au Taasisi zinazogusa sera na maslahi ya Halmashauri na wakazi wake kijumla na Mkurugenzi atachukua hatua zifaazo. - 86 Verify source ↗
(1)
AI-assisted research summary: Halmashauri inaweza kumwondoa Mwenyekiti madarakani kwa azimio la theluthi mbili ya Wajumbe, ikiwa kuna sababu maalum kama matumizi mabaya ya madaraka, rushwa, kushindwa kutekeleza majukumu, mwenendo mbaya, au ulemavu unaomzuia kutekeleza majukumu yake.
86.-(1) Halmashauri kumwondoa Mwenyekiti madarakani kwa azimio linaloungwa mkono na theluthi mbili ya Wajumbe kutokana na sababu yoyote kati ya sababu zifuatazo:- inaweza (a) kutumia nafasi yake vibaya; (b) kushiriki katika vitendo vya rushwa; (c) kushindwa kutekeleza majukumu yake; (d) mwenendo mbaya au ukosefu wa adabu; au (e) ulemavu wa kimwili au kiakili kwa kiasi cha kumfanya kushindwa kutekeleza majukumu yake kama Mwenyekiti. (2) Hoja au sababu zitakazotolewa lazima iwe imetimiza masharti yafuatayo: (a) Iwe na tuhuma mahsusi yenye ushahidi wa kutosha (b) Iwe imetolewa maelezo kamili na yenye kueleweka kuhusu tuhuma zinazohusika. (3) Kwa madhumuni ya kumwondoa Mwenyekiti madarakani, kwa sababu zozote zilizotamkwa chini ya taratibu (1), Halmashauri kanuni ndogo ya itatumia 52 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Rorya Tangazo La Serikali Na. 904 (Linaendelea) zilizotolewa katika Taratibu za Kumwondoa Mwenyekiti zilizotangazwa na Waziri kwenye Gazeti la Serikali kwa mujibu wa Sheria. Aina za posho Posho iwapo Mkutano umehairish wa SEHEMU YA SABA POSHO KWA WAJUMBE
Part
JEDWALI LA KWANZA
- 7 Verify source ↗
Section 7
AI-assisted research summary: Provision hii inaweka majukumu na mamlaka ya kamati mbalimbali za Halmashauri, ikiwemo kukutana mara kwa mara, kusimamia mapato na mali, na kutoa mapendekezo kwa Halmashauri kuhusu bajeti, mipango na masuala mengine.
7. Madhumuni ya jumla: Kuishauri Halmashauri kutengeneza malengo yanayozingatia matakwa ya Wilaya na kuchukua hatua ambazo zitaonekana zinafaa ili kufikia malengo yaliyokusudiwa. Kuishauri Halmashauri kufanya maamuzi juu ya sera muhimu. Kuishauri Halmashauri kufanya maamuzi juu ya utoaji wa huduma kulingana na rasilimali walizo nazo Kuiwezesha Halmashauri kutengeneza taratibu zitakazoongoza utendaji wa Kamati, Kamati Ndogo, na ule wa watumishi ili watimize wajibu wao. Kufanya mapitio yatakayowezesha Halmashauri kuamua juu ya kuongeza, kupunguza, kubinafsisha au kuwashirikisha wadau katika utoaji wa huduma. Kuhakikisha kuwa miundo na taratibu za utendaji wa Halmashauri zinazingatia ufanisi, uthabiti na tija katika kufikia malengo ya Halmashauri. Kuiwezesha Halmashauri kujenga mahusiano imara kati yake na Serikali kuu, Serikali zingine za Mitaa na Umma kwa ujumla. A: Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango: Majukumu ya jumla: Kamati hii inawashirikisha Wenyeviti wa Kamati zote za Kudumu na inapaswa kukutana kila Mwezi mara moja. Aidha, madaraka ya Kamati hii ni kama ya 56 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Rorya Tangazo La Serikali Na. 904 (Linaendelea) Kamati zingine za Kudumu na hivyo hairuhusiwi kisheria kufanya kazi/majukumu ya Kamati zingine za Kudumu. Kwa ujumla, majukumu yake ni pamoja na kusimamia na kudhibiti ukusanyaji wa mapato na matumizi ya mali ya Halmashauri kwa kupitia vikao vyake. Majukumu Maalum ya Kamati: (i) Kuweka mikakati na kupendekeza uongezaji wa mapato. (ii) Kuwasilisha mapendekezo ya Bajeti na mpango wa Maendeleo (iv) (iii) kwenye Halmashauri ili kuidhinishwa na Halmashauri. kusimamia utunzaji wa hesabu za fedha ikiwa ni pamoja na uhakiki wa mali za Halmashauri, ukusanyaji wa mapato, kufuta madeni, na kuomba vibali Maalum kwa matumizi yanayohitaji kibali cha Waziri mwenye dhamana ya Serikali za Mitaa. Kufikiria na, pale inapowezekana, kupendekeza kwenye Halmashauri masuala yanayohusu Sheria Ndogo na utendaji katika ngazi za chini za Halmashauri. (v) Kupokea na kuzingatia mapendekezo ya kubadili matumizi ya mafungu ya fedha (re-allocation) yaliyopo katika makisio yaliyoidhinishwa na kuyapeleka kwa Halmashauri. Kuratibu mapendekezo kutoka kwenye Kamati zingine kuhusu matumizi ya kawaida na miradi na kuyawasilisha kwenye Halmashauri. Kufikiria na kupendekeza kwenye Halmashauri mikopo yote ya Halmashauri. Kutoa mapendekezo ya vitega uchumi kwa madhumuni ya kuongeza mapato kwa mujibu wa Sheria ya Fedha za Serikali za Mitaa, Sura ya 290. kupokea na kujadili taarifa za wakaguzi wa fedha na mali ya Halmashauri na kupendekeza hatua za kuchukuliwa kutokana na maelekezo na maoni ya wakaguzi kwa mujibu wa Sheria za Serikali za Mitaa, Sura ya 290. (viii) (vii) (ix) (vi) (x) Kusimamia na kudhibiti matumizi ya (xi) fedha taratibu nyingine za Halmashauri, kwa kuzingatia taratibu zilizowekwa na Waziri na zitakazowekwa na Halmashauri; Kupitia marekebisho yote yaliyopendekezwa hususan kuhusu taratibu za fedha, ikiwa ni pamoja na mapitio ya mara kwa mara yanayohusu thamani ya fedha ambapo Kanuni mbalimbali za manunuzi ya mali na vifaa hutumika; 57 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Rorya Tangazo La Serikali Na. 904 (Linaendelea) (xii) (xiii) (xiv) (xv) (xvi) (xvii) (xviii) (xix) (xx) (xxi) (xxii) (xxiii) (xxiv) (xxv) (xxvi) Kufikiria na kupendekeza mabadiliko ya viwango vya kodi, ada na ushuru mbalimbali, vinavyotolewa na Halmashauri; Kufikiria mapendekezo ya Bajeti na Mipango ya Maendeleo ya kila Kamati ya Kudumu na kuiwasilisha kwenye Halmashauri ili kupata idhini; Kushughulikia tofauti ya mapato na matumizi katika bajeti yote na kupendekeza hatua stahiki ya kuchukua kuondoa mapungufu katika mapato au ziada matumizi; Kufikiria mapendekezo yote yanayohusu matumizi makubwa ya fedha kabla hayajawasilishwa kwenye Halmashauri ili kupata idhini; Kupokea mahesabu ya mwaka ya Halmashauri na kuhakikisha taarifa ya mahesabu ya mwaka inawasilishwa kwa wakati kwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali; Kupitia na kuidhinisha mpango wa manunuzi wa Halmashauri kwa kuzingatia mpango wa Bajeti uliopitishwa na Halmashauri; Kupitia taarifa ya kila robo mwaka kuhusu Manunuzi iliyowasilishwa na Afisa Masuuli; Kusimamia utekelezaji wa mikataba ya Halmashauri kwa kukagua miradi inayotekelezwa na vifaa vilivyopokelewa; Kumwelekeza Mkurugenzi kufanya manunuzi au ukaguzi wa huduma au vifaa vilivyonunuliwa ili kupata thamani halisi, itafanyika hivyo endapo itadhihirika kwamba, maelezo yaliyotolewa kuhusu manunuzi ya vifaa au huduma hayaridhishi; Kuidhinisha majina ya wajumbe wa Bodi ya zabuni na wa Bodi zingine kwa mujibu wa Sheria husika; Kushughulikia wote itakayokayowasilishwa kwenye Kamati na kutoa mapendekezo ya hatua za kuchukua; Kupendekeza njia na taratibu za kuondosha vifaa chakavu. Uondoshaji wa vifaa unaweza kufanyika kwa njia ya kuuza au kuviharibu; Kujadili na kupitia taarifa za fedha za kila mwezi na kila robo mwaka; Kupendekeza kwa Halmashauri hatua za kuchukua kuhusu kufuta madeni ya Halmashauri; Kushughulikia Sera kuhusu kukopa na uwekezaji, wadaiwa orodha ya 58 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Rorya Tangazo La Serikali Na. 904 (Linaendelea) (xxvii) (xxviii) (xxix) (xxx) (xxxi) (xxxii) (xxxiii) (xxxiv) (xxxv) (xxxvi) Kujadili na kupendekeza mabadiliko ya viwango vya kodi, ada na ushuru mbalimbali vinavyotozwa na Halmashauri, Kubuni na kupendekeza mpango wa kuanzisha na kuendeleza uhusiano na Halmashauri nyingine. Kurekebisha na kusimamia makusanyo na matumizi ya mapato ya vijiji na miji midogo kwa mujibu wa Sheria. Kuteua wakaguzi wa fedha/mali za Serikali za Vijiji kwa mujibu wa Sheria, Sura ya 290. Kujadili na kutoa mapendekezo ya hatua za kuchukuliwa kuhusu mambo yote ya yanayohusu masuala ya ajira na kinidhamu ya wafanyakazi na watumishi. Kujadili na kutoa mapendekezo kuhusu masuala yanayohusu nyumba za Halmashauri. Kupokea na kutoa uamuzi juu ya mapendekezo ya watumishi wanaokwenda masomoni. Kujadili na kupendekeza masuala yote yanayohusu maslahi ya jumla ya watumishi, ikiwa ni pamoja na mikopo, nyumba, usafiri, matibabu, rambirambi na motisha nyinginezo. Kupitisha mapendekezo ya kuthibitisha watumishi kazini baada ya kumaliza kipindi cha majaribio kulingana na miundo husika ya utumishi. Kupendekeza Sheria Ndogo zinazohusu Kamati hii. B: Kamati ya Elimu, Afya na Maji: Majukumu ya Jumla Kushughulikia mambo yote yanayohusu afya ya jamii, elimu na huduma za maji. Kamati hii pia itashughulikia mambo yanayohusiana na jitihada za wanannchi vijijini kujiletea maendeleo yao kwa kutumia mbinu mbalimbali ikiwa ni pamoja na kushauri, kushawishi, kuzindua, kuelimisha na kushirikisha wananchi hao hasa katika kutayarisha, kutekeleza, kusimamia na kutathmini mipango yao ya maendeleo. Majukumu Maalum ya Kamati: (i) (ii) Kuandaa mipango madhubuti ya maendeleo ya upanuzi na ujenzi wa hospitali, vituo vya afya na zahanati Kuandaa mipago ya maendeleo ya upanuzi na ujenzi wa shule za awali na msingi na elimu ya watu wazima kwa 59 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Rorya Tangazo La Serikali Na. 904 (Linaendelea) mujibu wa Sheria ya Elimu ya 1978 kama ilivyorekebishwa mwaka 1995. Kupendekeza mipango ya ujenzi au upanuzi wa vituo,viwanja, majengo na mazingira ya burudani, starehe, mapumziko na michezo. Kuamua juu ya mambo yanayohusu uhifadhi wa mambo ya kale na mandhari mbalimbali zenye sura nzuri. Kuandaa na kuratibu njia bora juu ya uhifadhi wa nyaraka muhimu kwa ajili ya kumbukumbu hizo zitahifadhiwa kwa mujibu wa Sheria ya Serikali za Mitaa Sura ya 287. Kupendekeza njia bora juu ya uhifadhi wa sanaa mbalimbali za ufundi na za maonyesho kwa mujibu wa Sheria ya Serikali za Mitaa Sura ya 287, Kupendekeza matumizi mazuri ya lugha ya taifa. Kupendekeza namna ya malezi ya vijana ili waweze kuwa wazalishaji katika Taifa. Kupendekeza namna ya malezi ya vijana ili waweze kuwa wazalishaji katika Taifa. Kusimamia uanzishaji wa uendelezaji wa vikundi vya jamii na vya hiari vya wananchi katika Halmashauri kwa mujibu wa sera wa maendelo ya jamii. Kusimamia na kuhakiki maeneo ya misitu, mapori, na mbuga zilizotengwa kama hifadhi ya mamlaka ya Serikali za Mitaa. Kupendekeza na kufanya tathmini ya uendelezaji wa mabonde, mito na mabwawa. Kubuni na kupendekeza namna ya kidhibiti moto. Kubuni na kupendekeza mikakati ya utumiaji wa nishati mbadala, kuzuia ukataji miti ovyo, na kuhimiza upandaji miti kwa wingi. Kuhakikisha kwamba ukaguzi wa majengo unafanyika mara kwa mara. Kupendekeza mipango madhubuti ya ujenzi wa barabara vijijini na wilayani kwa ujumla. Kupendekeza Sheria Ndogo zinazohusu Kamati hii. (iii) (iv) (v) (vi) (vii) (viii) (ix) (x) (xi) (xii) (xiii) (xiv) (xv) (xvi) (xvii) C: Kamati ya Kudhibiti Ukimwi Majukumu ya Kamati: (a) Kushirikisha wadau tofauti katika maeneo husika ili kuongeza uchangiaji wa mawazo na/au nyenzo, usimamizi, uratibu na utekelezaji wa kazi za Tume za kudhibiti UKIMWI; 60 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Rorya Tangazo La Serikali Na. 904 (Linaendelea) (b) (c) (d) Kusimamia uundaji wa Kamati zote za kudhibiti UKIMWI; Kupendekeza na kuchambua hali ya UKIMWI/Mipango na utekelezaji wake na kufikisha katika ngazi husuka kwa hatua zaidi; Kutathmini hali ya UKIMWI katika eneo lake kuhusu; (i) idadi ya waathirika: wagonjwa, yatima, wajane, (ii) kasi ya maambukizo (iii) mazingira Maalum yanayochangia maambukizo; (iv) uelewa wa wananchi juu ya janga hili. (e) (f) (g) (h) (i) Serikali haitatoa fedha kwa Halmashauri isiyokuwa na mipango madhubuti ya kudhibiti UKIMWI. Kuweka mikakati madhubuti ya kuhakikisha kila mtoto aliyefikia umri wa kwenda shule anafanya hivyo, Kuweka mikakati ya makusudi juu ya njia bora za kuchangia baadhi ya huduma za Elimu na Afya. Kubuni na kupendekeza njia bora za kuzuia na kudhibiti magonjwa ya milipuko. Kupendekeza Sheria Ndogo za Kamati hii. D: Kamati ya Masuala ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira: Majukumu ya jumla Kamati hii itashughulikia masuala ya uzalishaji mali ikiwemo kilimo, mifugo, viwanda, madini, Biashara n.k. Aidha itashughulikia pia miundombinu na suala zima la mendeleo ya Ardhi na hifadhi ya mazingira. Majukumu Maalum ya Kamati: (i) (ii) (iii) (iv) (v) (vi) Kupendekeza kwa Halmashauri mipango ya kupanua biashara na jinsi ya kukusanya mapato yatokanayo na upanuzi huo. Kupendekeza mipango ya matumizi ya ardhi katika eneo la Halmashauri Kusimamia matumizi ya Sheria ya nguvu kazi. Kuandaa mipango madhubuti ya maendeleo ya upanuzi wa kilimo katika Halmashauri Kusimamia na kuhakiki miradi ya ujenzi wa masoko, minada, majosho na vituo vya mifugo. Kushughulikia uanzishaji na uendelezaji wa vyama vya ushirika kwa mujibu wa Sheria ya Vyama vya Ushirika, E: Kamati ya Maadili ya Madiwani 61 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Rorya Tangazo La Serikali Na. 904 (Linaendelea) Majukumu ya Kamati (a) Kamati hii itatekeleza kazi zake kwa kuzingatia Kanuni za Serikali za Mitaa (Mamlaka za Wilaya) (Maadili ya Madiwani), Tangazo la Serikali Na. 280 la mwaka 2000; (b) Bila kuathiri majukumu yaliyoainishwa kifungu cha (a) hapo juu kamati itakuwa na uwezo wa kusikiliza malalamiko na kuyatolea uamuzi, Malalamiko yataletwa na diwani ambaye hakuridhika na maamuzi ya Mwenyekiti dhidi yake ndani ya siku 7. 62 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Rorya Tangazo La Serikali Na. 904 (Linaendelea) FAHARASA – HALMASHAURI ZA WILAYA Kanuni Na. Kifungu cha Sheria A Ajenda za Kamati Akidi katika mikutano ya Halmashauri Akidi kwenye mikutano ya Kamati Athari za nafasi wazi kwenye Kamati B C D Diwani au Afisa kutokuwa na maslahi katika mikataba Diwani kutembelea maeneo, shughuli mbalimbali za ujenzi. Dua ya kuiombea Halmashauri E. F Fujo zinazosababishwa na umma Fujo zinazosababishwa na Wajumbe G 49 8 55 54 69 77 90 Sura ya 287 kif.64 Sura ya 287 kif.84(2) na (3) Sura ya kif.84(1);84(3) 287 Sura ya 287 kif.71 18 17 Kanuni Na. Kifungu cha Sheria H Haki ya kujibu Hoja kuhusu matumizi Hoja na marekebisho ya hoja Hoja za Mwenyekiti zinazohusu Hoja Halmashauri Hoja zinazoweza kutolewa bila taarifa watumishi 21 32 19 15 37 20 wa I J 63 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Rorya Tangazo La Serikali Na. 904 (Linaendelea) K Kamati Ndogo Kamati za Kudumu Kamati za pamoja Kanuni za Kudumu kutumika katika mikutano ya Kamati Kanuni Wajumbe Kauli zenye kashfa Kiapo na kukubali wadhifa Kuidhinishwa kwa Taarifa ya Kamati za Kudumu kutolewa kwa Kufikiriwa upya maamuzi Kufutwa kwa Kanuni zilizopo Kujiuzulu ujumbe wa Kamati na kujazwa kwa nafasi iliyoachwa wazi. Kujiuzulu wadhifa wa Mwenyekiti wa Kamati Kukasimu madaraka kwenye Kamati Kumbukumbu ya mahudhurio. Kumwondoa Mwenyekiti madarakani Kupokelewa kwa taarifa za Kamati Kuruhusu watu na vyombo vya Habari kwenye mikutano ya Halmashauri 45 40 43 56 87 27 70 34 59 91 62 61 44 11 82 33 12 Sura ya 287 kif.79 Sura ya 287 263/95 kif.36(5); GN Sura ya 287 kif.67(1) za Kushiriki kwa Umma Kusitisha utumiaji wa Kanuni Kudumu. Kutafsiri Kanuni za Kudumu Kuthibitisha muhtasari Kutokuwepo kwa Wajumbe Kutunza siri za Majadiliano ya Kamati na Kamati Ndogo. Kanuni Na. 38 85 Kifungu cha Sheria Sura ya 287 kif.114(1)(b) 88 14 73 60 Sura ya 287 kif.41(2) na (3) Sura ya 287 kif.86 na 67(2) 64 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Rorya Tangazo La Serikali Na. 904 (Linaendelea) L kwenye mikutano M Maamuzi ya mikutano ya Halmashauri Mahudhurio katika mikutano ya Kamati Mahudhurio ya Umma na vyombo vya habari ya Kamati/Kamati Ndogo Majukumu ya Diwani Marekebisho na mabadiliko ya Kanuni za Kudumu Maswali Maswali ya papo kwa papo Mihtasari ya za Kata na vijiji. Mihtasari ya Halmashauri kupelekwa kwa Mkuu wa Wilaya na Mkuu wa Mkoa. Muhtasari wa Kamati Mikutano ya kawaida ya Halmashauri Mikutano ya Kamati Mtoa hoja kualikwa kwenye Mkutano wa Kamati. Mkutano wa Bajeti Mkutano wa Mwaka Mkutano Maalum wa Halmashauri Mkutano Maalum wa Kamati Mwaliko wa wasiokuwa Wajumbe Mwenyekiti kuwa Mjumbe wa Kamati zote N Nafasi wazi 28 50 53 71 86 22 23 30 31 58 3 46 51 5 6 4 48 29 41 72 Sura ya 287 kif.66 Sura ya 287 vif.86; 67 (2) Sura ya 287 kif. 70(1) Taz.pia Sura ya 290 kif.47 Sura ya 287 kif.83(2) Sura ya 287 kif.63(1) Sura ya 287 kif.63(3) Sura ya 287 kif.74(1) Sura ya 287 kif.42(1) (a) 172 (1);41 (4); Tangazo la Serikali Na.139/82 aya ya 23 na40 na Sheria kif.40(1)(b);40 Na.4/79 (1) (b) na SheriaNa 4/79kif.40(i) (b) (i); na 65 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Rorya Tangazo La Serikali Na. 904 (Linaendelea) Sheria Na.4/79 kif.40; tangazo la Serikali Na. 280/2000 kif.35;41(3)41(3) kif.71(8). na Sura ya 287 kif.85 Sura ya 287 kif.155 Na.21/2004 Sura ya 290 kif.68 Sura ya 287 kif.88 Sura ya 287 kif.36(2) Sura ya 287 kif.72 Sura ya 287 kif.65 P Aina za Posho Posho iwapo Mkutano umeahirishwa Q R Rejesta ya mikataba S T Taarifa za Kamati Taarifa kutoka kwenye kata Taarifa za mikutano Tafsiri Taratibu za kutunga Sheria Ndogo Taratibu za Majadiliano Taratibu za Uagizaji U Uahirishaji wa vikao Uandikishaji wa Anwani Uanzishaji wa Bodi za Huduma Uchaguzi wa Mwenyekiti na Makamu wa Mwenyekiti wa Halmashauri Uhalali wa majadiliano ya Halmashauri Uhifadhi wa lakiri ya Halmashauri Uhuru wa kutoa mawazo wakati wa majadiliano Ukaguzi wa nyaraka Uongozi wa mikutano ya Halmashauri Upigaji kura kwenye mikutano ya Kamati Usimamiaji wa mikataba Utaratibu wa shughuli za mikutano Uteuzi wa Wajumbe kwenye Taasisi za nje Utiaji mhuri kwenye Nyaraka Uvunjaji wa mkataba 83 84 68 24 25 7 2 74 16 63 39 80 76 9 35 78 26 75 10 57 66 13 81 79 66 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Rorya Tangazo La Serikali Na. 904 (Linaendelea) Uwezo wa Halmashauri kujigeuza kuwa Kamati ya Halmashauri nzima. Uwezo wa Kamati Uzuiaji wa Rushwa 67 36 42 65 V W Waalikwa Wajumbe wasiokuwa kuhudhuria na kushiriki katika mikutano ya Kamati. X Y Z Ziara za Wajumbe Kanuni Na. Kifungu cha Sheria 52 Sura ya 287 kif.75(4) 89 _____________ JEDWALI LA PILI _____________ (Zimetengenezwa chini ya kanuni ya 74(a)) KIAPO CHA DIWANI Mimi ……………………………….............................. naapa/natamka kwa dhati kwamba nitaitumikia Halmashauri ya………………….......... kwa wadhifa wangu wa Udiwani na kwamba nitahifadhi, nitalinda na kutetea, Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Sheria za Tanzania, Maadili ya Madiwani na Kanuni za Kudumu za Halmashauri kama zilivyowekwa kwa mujibu wa Sheria na kwamba nitaitumikia Halmashauri ya ………………………………………… kwa uaminifu kwa uwezo na moyo wangu wote. (Ewe Mwenyezi Mungu nisaidie) Kiapo/Tamko hili limetolewa hapa:………………………………… Na………………………………………………………………………… Leo tarehe…………………… Mwezi wa…………………..20………. MBELE YA:……………………………………….. Jina:……………………………………………… Cheo:……………………………………………. Saini:…………………………………………… Anuani…………………………………………. ……………………... HAKIMU/WAKILI 67 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Rorya Tangazo La Serikali Na. 904 (Linaendelea) _______________ JEDWALI LA TATU ______________ (Zimetengenezwa chini ya kanuni ya 74(b)) JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA TAMKO LA VIONGOZI WA UMMA KUHUSU RASILIMALI NA MADENI (Kwa mujibu wa kifungu cha 9 na cha 11 cha Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma) Mimi…………………………………………………… Anuani:……………………baada ya kuchaguliwa/kuteuliwa na kuapishwa katika wadhifa wa…….……...tarehe……………………….mwaka 20......….Ninatamka rasmi na kwa moyo mnyofu kwamba hadi sasa nina rasilimali na madeni yafuatayo:- (1) Fedha taslimu, Amana katika benki au taasisi ya fedha; taja namba ya akaunti, benki au taasisi ya fedha na kiasi: ………………………………………………………………………………………………… ……………………………………………………………………………………………........... ............ 2) Hawala za Hazina (Treasury Bills) na dhamana nyingine Maalum: - ………………………………………………………………………………………………… ……………………………………………………………………………………………........... ............ 3) Faida ya akiba, mafungu ya mgawanyo wa faida zinazotokana na hisa n.k. ………………………………………………………………………………………………… ……………………………………………………………………………………………........... ........... 4) Nyumba au majengo ya kupangisha, taja mahali yalipo na ukubwa au eneo: ………………………………………………………………………………………………… ……………………………………………………………………………………………........... ............ * Rasilimali zinazotakiwa ni pamoja na zifuatazo, ambazo ni zako binafsi, za mume/mke au watoto wadogo wasiooa au kuolewa wa kiongozi wa umma. (a) fedha taslimu na amana katika benki au taasisi nyingine ya fedha. (b) hawala za Hazina Treasury Bills) na nyinginezo za dhamana Maalum zinazotolewa au kudhaminiwa na Serikali au vyombo vya Serikali. 68 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Rorya Tangazo La Serikali Na. 904 (Linaendelea) (c) faida itolanayo na fedha iliyowekwa akiba benki, chana cha Ujenzi au taasisi nyingine ya fedha. (d) mgao wa fedha kutokana na fungu la rasilimali ya kampuni (stocks) au hisa za kiongozi wa umma katika kampuni au shirika lolote. (e) maslahi katika chombo cha biashara kisichokuwa na mkataba na Serikali, na kisichokuwa na au kisichotawala amana zinazouzwa bayana na vyombo vya umma. (f) mashamba ya kibiashara. (g) mali halisi zisizohamishika ambazo si rasilimali zisizotakiwa kutajwa; na (h) rasilimali zinazoleta faida, ambazo si rasilimali zisizotakiwa kutajwa na ambazo zinamilikiwa kwa mbali. (5) Mashamba ya kibiashara, mifugo, madini n.k. ………………………………………………………………………………………………… ………………………………………………………………………………………………… ………… (6) Magari na aina nyingine za usafiri wa kibiashara; ………………………………………………………………………………………………… ………………………………………………………………………………………………… ………… (7) Mashine za kusaga nafaka, viwanda na shughuli nyingine za kibiashara au mitambo:……………………………………………………………………………………… ………………………………………………………………………………………………… ……… (8) Rasilimali nyinginezo au maslahi ambayo kiongozi wa umma anapenda kutaja:…………………………………………………………………………………………… ………………………………………………………………………………………………… …………………………………………………………………………………… (9)Madeni:……………………………………………………………………………………… ………………………………………………………………………………………………… ……………………………………………………………………… Tamko hili linatolewa na kusainiwa mbele yangu …………………………………………………………. na (mtoa tamko)……………………………………… ninayemfahamu binafsi, au aliyetambulishwa kwangu na …………………………………………………………………… .....….………….. ambaye ninamfahamu leo tarehe …………………………….. Mtoa tamko Mwezi wa ………………………………………………………. saini……………………………………………………………... Wadhifa:……………………………………………………….. 69 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Rorya Tangazo La Serikali Na. 904 (Linaendelea) Anuani:………………………………………………………... …………………………………………………………………. (Tamko hili lazima litolewe mbele ya Kamishna wa Viapo) KWA: KAMISHINA WA MAADILI, SEKRETARIETI YA MAADILI, S.L.P 13341, DAR ES SALAAM. 70 Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Rorya Tangazo La Serikali Na. 904 (Linaendelea) Lakiri ya Halmashauri ya Wilaya Rorya imegongwa kwenye Kanuni hizi za Kudumu kufutia azimio lililotolewa kwenye kikao cha Baraza la Halmashauri kilichofanyika mnamoTarehe 5 mwezi Agosti, Mwaka 2022 ABDUL O. MTAKA Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Rorya GERALD S. NG’ONG’A Mwenyekiti Halmashauri ya Wilaya ya Rorya NAKUBALI, Dodoma, MOHAMED OMARI MCHENGERWA (MB) 31 Oktoba, 2023 Waziri wa Nchi – Ofisi ya Rais, (Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa) 71
Provision text is displayed from LexChat’s stored statute record. Use the official source links to verify amendments, commencement, and current legal force.
Ask AI about this statute
Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Rorya za Mwaka 2023
Sign in to ask AI about this statute
Sign in to start authenticated, citation-grounded statute research.
Sign in