Sheria Ndogo ya (Ada na Ushuru) ya Halmashauri ya Wilaya ya Moshi ya Mwaka, 2024
This section gives the bylaw its short title: the Moshi District Council (Fees and Charges) By-Law, 2024.
AI-assisted research synopsis — verify against the official legal text below.
- Jurisdiction
- Tanzania
- Instrument
- Regulation
- Citation
- Sheria Ndogo ya (Ada na Ushuru) ya Halmashauri ya Wilaya ya Moshi ya Mwaka, 2024
- Version
- Undated source snapshot
- Language
- sw
- Official source
- View official record ↗
Statute overview
About this statute
This section gives the bylaw its short title: the Moshi District Council (Fees and Charges) By-Law, 2024. Sheria Ndogo hii inatumika katika eneo lote la Mamlaka ya Halmashauri ya Wilaya ya Moshi. Sehemu hii inaweka maana za maneno mbalimbali yanayotumika katika Sheria Ndogo hii. Halmashauri inawezesha na kutoza ada au ushuru kwa vibali, leseni, na huduma zake mbalimbali, na malipo hufanywa kabla au wakati wa kupokea huduma. Anyone liable to pay a fee or tax under this bylaw must pay it at the rates set in the bylaw.
Search within this statute
Search all stored provisions in this version.
Legal text
Provisions of Sheria Ndogo ya (Ada na Ushuru) ya Halmashauri ya Wilaya ya Moshi ya Mwaka, 2024
Showing 60 of 60
- 1 Verify source ↗
Sheria Ndogo hii itajulikana kama Sheria Ndogo ya
AI-assisted research summary: This section gives the bylaw its short title: the Moshi District Council (Fees and Charges) By-Law, 2024.
1.Sheria Ndogo hii itajulikana kama Sheria Ndogo ya (Ada na Ushuru) ya Halmashauri ya Wilaya ya Moshi ya Mwaka 2024. Matumizi - 2 Verify source ↗
Sheria Ndogo hii itatumika katika eneo lote la
AI-assisted research summary: Sheria Ndogo hii inatumika katika eneo lote la Mamlaka ya Halmashauri ya Wilaya ya Moshi.
2. Sheria Ndogo hii itatumika katika eneo lote la Mamlaka ya Halmashauri ya Wilaya ya Moshi. Tafsiri - 3 Verify source ↗
Katika Sheria Ndogo hii, isipokuwa
AI-assisted research summary: Sehemu hii inaweka maana za maneno mbalimbali yanayotumika katika Sheria Ndogo hii.
3. Katika Sheria Ndogo hii, isipokuwa kama muktadha utahitaji vinginevyo: “ada” maana yakeni malipo yanayolipwa kwa Halmashauri kwa ajili ya vibali au leseni mbalimbali zitolewazo na Halmashauri; “Afisa Mwidhiniwa” maana yake ni afisa yeyote aliyeteuliwa na Mkurugenzi kwa lengo la kusimamia utekelezaji wa Sheria Ndogo hii; chombo cha usafiri” maana yake ni chombo chochote kinachotumika kusafirisha abiria na mizigo kutoka sehemu moja kwenda sehemu nyingine isipokuwa baiskeli, mkokoteni au wanyama wanaotumika kusafirisha watu au mizigo; “Halmashauri” maana yake ni Halmashauri ya Wilaya ya 1 Sheria Ndogo ya (Ada Na Ushuru) ya Halmashauri ya Wilaya ya Moshi Tangazo La Serikali Na. 39 (Linaendelea) Moshi; “hesabu” maana yake ni jumla ya mauzo ya bidhaa, kazi au huduma katika mwaka wa mapato; “kibali” maana yake ni idhini au ruhusa ya maandishi inayotolewa na Halmashauri; “kipindi maalum cha hesabu” maana yake ni muda ambao mfanyabiashara anatakiwa kuwasilisha hesabu za biashara kwa Halmashauri; “madini ya ujenzi” maana yake ni tarazo, moramu, udongo, kifusi, kokoto, mawe, mchanga, chokaa na madini mengine yanayotumika katika ujenzi; “Mkurugenzi” maana yake ni Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Moshi au afisa yeyote aliyeteuliwa kutekeleza majukumu ya Mkurugenzi; “soko” maana yake ni ni eneo au soko liliotengwa na linalomikiwa na Halmashauri kama soko; “hifadhi ya barabara” ina maana iliyoainishwa katika Sheria ya Barabara; “kituo cha mabasi” maana yake ni eneo maalum lililotengwa au kujengwa na Halmashauri kwa ajili ya kupakia na kushusha abiria au mizigo; “ushuru” maana yake ni maana yake ni tozo inayotozwa na Halmashauri kwa shughuli au huduma mbalimbali zinazofanywa katika eneo la Halmashauri; taasisi la Kampuni, “ushuru wa huduma” maana yake ni ushuru unaotozwa au unaokusanywa na Halmashauri kutoka kwa Kampuni, au tawi mfanyabiashara kwa huduma anazopata kutokana na kutumia miundombinu ya umma inayomuwezesha kufanya biashara katika eneo la Halmashauri “ukokotoaji” maana yake ni namna ya kuandaa kiasi cha Ushuru wa huduma kitakacholipwa kwa mujibu wa Sheria Ndogo hii. biashara ya “wakala” maana yake ni kampuni iliyoteuliwa kukusanya ushuru kwa niaba ya Halmashauri chini ya Sheria 2 Sheria Ndogo ya (Ada Na Ushuru) ya Halmashauri ya Wilaya ya Moshi Tangazo La Serikali Na. 39 (Linaendelea) Utozaji wa ada au ushuru Ndogo hii.
Part
sehemu moja kwenda sehemu nyingine isipokuwa
- 4 Verify source ↗
(1) Halmashauri itatoza ada au ushuru kwa ajili ya
AI-assisted research summary: Halmashauri inawezesha na kutoza ada au ushuru kwa vibali, leseni, na huduma zake mbalimbali, na malipo hufanywa kabla au wakati wa kupokea huduma.
4.-(1) Halmashauri itatoza ada au ushuru kwa ajili ya vibali au leseni na huduma mbalimbali zinazotolewa na Halmashauri kama ilivyoainishwa katika Jedwali la Kwanza la Sheria Ndogo hii. (2) Kwa kuzingatia masharti ya kifungu kidogo cha (1), ushuru unaotozwa chini ya Sheria Ndogo hii utalipwa kwa Halmashauri au wakala wa Halmashauri kwa kadri Halmashauri itakavyoelekeza. (3) Kwa kuzingatia masharti ya kifungu kidogo cha (1), ada zinazotozwa chini ya Sheria Ndogo hii zitalipwa kwa Halmashauri. (4) Malipo ya ada au ushuru yatalipwa kabla au wakati wa kupokea huduma inayotozwa ada au ushuru chini ya Sheria Ndogo hii. Wajibu wa kulipa ada au ushuru - 5 Verify source ↗
Mtu yeyote anayestahili kulipa ada au ushuru kwa
AI-assisted research summary: Anyone liable to pay a fee or tax under this bylaw must pay it at the rates set in the bylaw.
5. Mtu yeyote anayestahili kulipa ada au ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hii atatakiwa kulipa ada au ushuru huo kwa kuzingatia viwango vilivyoainishwa katika Sheria Ndogo hii. Ushuru wa stendi - 6 Verify source ↗
Halmashauri itatoza ada au ushuru kwa ajili ya
AI-assisted research summary: Halmashauri inaweza kutoza ada au ushuru wa stendi, na mabasi fulani lazima yaingie katika stendi maalum; pia ni marufuku kushusha au kupakia abiria nje ya maeneo yaliyoidhinishwa.
6. Halmashauri itatoza ada au ushuru kwa ajili ya stendi na huduma mbalimbali zinazotolewa na Halmashauri ndani ya stendi kama ilivyoainishwa katika Jedwali la Kwanza la Sheria Ndogo hii. (2) Mabasi yote yatokayo na kuelekea Moshi Mjini yatalazimika kuingia katika stendi ya Njiapanda. (3) Mabasi yote yatokayo na kuelekea Marangu, Kilema, Mamba, Mwika na Holili na yatalazimika kuingia katika stendi ya Himo. (4) Ni marufuku kwa mabasi kupakia na kushusha abiria nje ya stendi, eneo la mizani au sehemu yeyote ambayo haijaidhinishwa na Halmashauri. (5) Endapo dereva, utingo au mtu yeyote anayehusika na basi atagoma kilipa ushuru wa Stendi atalipa ushuru husika na faini kama ilivyo ainishwa kwenye Sheria Ndogo 3 Sheria Ndogo ya (Ada Na Ushuru) ya Halmashauri ya Wilaya ya Moshi Tangazo La Serikali Na. 39 (Linaendelea) Ushuru wa magulio na minada Ushuru wa mazao hii, basi lake litakamatwa na endapo ndani ya masaa 12 hatakuwa amelipa Halmashauri itafungua kesi mahakamani na basi lake litapelekwa katika kituo cha Salama kwa uhifadhi kwa gharama za mwenye basi hadi pale basi litakapokombolewa. - 7 Verify source ↗
(1) Halmashauri itatoza ada au ushuru kwa ajili ya
AI-assisted research summary: Halmashauri may charge fees or levies for markets, fairs, auctions, and related services, and no one may do business outside the designated markets, fairs, and auction places set by the Halmashauri.
7.-(1) Halmashauri itatoza ada au ushuru kwa ajili ya magulio, masoko na minada na huduma mbalimbali zinazotolewa na Halmashauri kama ilivyoainishwa katika Jedwali la Kwanza la Sheria Ndogo hii. (2) Mtu yeyote hataruhusiwa kufanya biashara nje ya magulio, masoko na minada yaliyotengwa na Halmashauri.
Part
Jedwali la Kwanza la Sheria Ndogo hii.
- 8 Verify source ↗
(1) Kutakuwa na ushuru wa mazao utakaotozwa na
AI-assisted research summary: Halmashauri inatoza ushuru wa mazao kwa wanunuzi na wasafirishaji wa mazao zaidi ya tani moja, lakini hailipiwi kwa mkulima wa kujikimu mwenye mazao yasiyozidi tani moja.
8.-(1) Kutakuwa na ushuru wa mazao utakaotozwa na Halmashauri kwa viwango ambavyo vimeainishwa kwenye Jedwali la Kwanza la Sheria Ndogo hii: (a) kwa mnunuzi wa mazao pindi anunuapo mazao kutoka kwa muuzaji katika eneo la Halmashauri; (b) kwa mnunuzi wa mazao pindi anunuapo mazao kutoka kwa muuzaji katika eneo la Halmashauri; (c) kwa mtu yeyote atakayesafirisha mazao zaidi ya tani moja kutoka eneo lolote la Halmashauri. (2) Halmashauri haitatoza ushuru wa mazao kwa mtu yeyote ambaye analima kwa ajili ya kujikimu na familia yake mwenye mazao yasiyozidi tani moja. (3) Mtu yeyote atakayesafirisha mazao yasiyozidi tani moja atatakiwa kuwa na barua kutoka kwa Afisa Mtendaji wa Kijiji wa sehemu aliyolima mazao yake ambayo itathibitisha kwamba mtu huyo ameyelima shamba katika Kijiji chake. (4) Ili kuondoa mashaka, katika kupata hesabu ya tani moja yatahesabiwa magunia kumi yenye ujazo usiozidi debe nane kama ndio sawa na tani moja. (5) Halmashauri itakuwa na Mamlaka ya kutoa mwongozo kuhusu utozaji wa ushuru wa mazao kila mwaka ambapo itaweka kiwango cha kununulia mazao kwa msimu husika ambacho kitatumika kama msingi wa utozaji wa 4 Sheria Ndogo ya (Ada Na Ushuru) ya Halmashauri ya Wilaya ya Moshi Tangazo La Serikali Na. 39 (Linaendelea) Kibali cha kusafirisha mazao Ushuru wa Huduma ushuru wa mazao kwa msimu huo. - 18 Verify source ↗
(1) Halmashauri itatoza na kukusanya ushuru wa
AI-assisted research summary: Halmashauri inatoza ushuru wa nyumba za kulala wageni na wapangaji lazima waweke rejista ya wageni na kuwasilisha taarifa za mwezi.
18.-(1) Halmashauri itatoza na kukusanya ushuru wa nyumba za kulala wageni kwa kiwango cha asilimia kumi ya bei ya chumba kwa siku kwa nyumba za kulala wageni ambayo haijasajiliwa kulipa Kodi ya Ongezeko la Thamani. (2) Kila mlipa ushuru wa nyumba ya kulala wageni anatakiwa kuwa na daftari maalum kwa ajili ya kuorodhesha wageni wanaoingia kupata huduma ya malazi. (3) Kila mlipa ushuru atatakiwa kuwasilisha Halmashauri taarifa sahihi ya idadi ya wageni kwa kila chumba kilichopangishwa pamoja na ushuru wa nyumba ya kulala wageni kwa kila mwisho wa mwezi. (4) Endapo itabainika kuwa kuna mgeni au wageni ambao hawajaorodheshwa katika daftari maalum la wageni, Halmashauri itakuwa na mamlaka kisheria ya kumtoza 8 Sheria Ndogo ya (Ada Na Ushuru) ya Halmashauri ya Wilaya ya Moshi Tangazo La Serikali Na. 39 (Linaendelea) mmiliki huyo ushuru kwa kiwango cha idadi ya vyumba vyote vya hoteli hiyo. Ushuru wa mabango ya biashara - 19 Verify source ↗
Halmashauri itatoza ada au ushuru wa mabango ya
AI-assisted research summary: Halmashauri lazima itoeze ada au ushuru wa mabango ya biashara kutoka kwa wafanyabiashara kwa viwango vilivyo katika Jedwali la Kwanza.
19. Halmashauri itatoza ada au ushuru wa mabango ya biashara utakaotozwa kutoka kwa wafanyabiashara kwa viwango ambavyo vimeainishwa kwenye Jedwali la Kwanza la Sheria Ndogo hii. Muda wa kukusanya ada au ushuru Ukusanyaj i wa madeni - 20 Verify source ↗
(1) Muda wa kukusanya ada au ushuru utakuwa ni
AI-assisted research summary: Ada au ushuru hukusanywa kati ya saa 12 asubuhi na saa 12 jioni, lakini Halmashauri au Wakala anaweza kukusanya nje ya muda huo kwa kibali maalum cha Mkurugenzi.
20.-(1) Muda wa kukusanya ada au ushuru utakuwa ni kuanzia saa kumi na mbili kamili asubuhi hadi saa kumi na mbili kamili jioni. (2) Bila kuathiri masharti ya kifungu kidogo cha (1), Halmashauri au Wakala, kwa kibali maalum kutoka kwa Mkurugenzi, anaweza kukusanya ada au ushuru baada ya muda uliotajwa katika kifungu kidogo cha (1). (3) Malipo ya ada au ushuru yatafanyika kila siku au kwa mwezi au kwa namna yeyote itakayokubalika kulingana na makubaliano yatakayowekwa kati ya Halmashauri na mlipa ada au ushuru. (4) Malipo ya ada au ushuru yanayotozwa kwa mujibu wa Sheria Ndogo hii yatalipwa kwa Halmashauri au wakala wake na kutolewa stakabadhi ya kielektroniki ya Halmashauri kama kielelezo cha malipo yaliyofanyika. - 21 Verify source ↗
(1) Halmashauri inaweza kukusanya ushuru kwa
AI-assisted research summary: Halmashauri inaweza kutumia mahakama kukusanya ada au ushuru ambao haujalipwa na pia kukamata, kushikilia, na kuuza mali fulani ya mdaiwa chini ya masharti yaliyotajwa.
21.-(1) Halmashauri inaweza kukusanya ushuru kwa njia ya Mahakama endapo mtu binafsi, kikundi, taasisi au kampuni itakuwa imeshindwa kulipa ada au ushuru kwa muda uliokubaliwa. (2) Bila kuathiri masharti yaliyowekwa katika Kifungu kidogo cha (1), Halmashauri inaweza kukusanya madeni ya ushuru kwa njia ya kukamata au kushikilia mali zinazohamishika za mdaiwa zenye thamani sawa na deni la ushuru pamoja na gharama za kukamata. (3) Baada ya kipindi cha siku thelathini kupita tangu kukamatwa kwa mali za mdaiwa, Halmashauri itakuwa na mamlaka ya kuziuza kwa njia ya mnada baada ya kupata 9 Sheria Ndogo ya (Ada Na Ushuru) ya Halmashauri ya Wilaya ya Moshi Tangazo La Serikali Na. 39 (Linaendelea) idhini ya Mahakama. (4) Endapo mali zilizokamatwa zinaweza kuharibika kwa haraka, Halmashauri itakuwa na uwezo wa kuziuza kabla hazijaharibika baada ya kupata idhini ya Mahakama. (5) Bila kuathiri masharti yaliyowekwa katika Kifungu Kidogo cha (3) na (4), Halmashauri kabla ya kuuza mali yoyote iliyokamatwa, Mkurugenzi atatoa taarifa ya siku saba kwa mdaiwa na umma juu ya kusudio la kuuza mali hizo. (6) Halmashauri haitawajibika kwa hasara yoyote ile itakayotokea ama wakati wa kukusanya madeni au kwa mali itakayokamatwa na kushikiliwa na Halmashauri, isipokuwa kama hasara hiyo itakuwa imesababishwa na uzembe wa watumishi wa Halmashauri au wakala. Uteuzi wa Wakala - 22 Verify source ↗
(1) Halmashauri itakuwa na mamlaka ya kuteua
AI-assisted research summary: Halmashauri inaweza kuteua kampuni iliyosajiliwa kukusanya ushuru, na wakala aliyechaguliwa lazima akusanye, apokee, na awasilishe makusanyo kama ilivyoelekezwa.
22.-(1) Halmashauri itakuwa na mamlaka ya kuteua kampuni iliyosajiliwa kwa mujibu wa sheria kukusanya ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hii. (2) Wakala aliyeteuliwa kwa mujibu wa kifungu kidogo cha (1) atakuwa na wajibu wa: (a) kukusanya na kupokea ushuru kwa niaba ya Halmashauri katika eneo alilopangiwa na kwa viwango vilivyoidhinishwa katika Sheria Ndogo hii; (b) kukusanya ushuru kwa kutumia mfumo wa kielektroniki na kuwasilisha makusanyo yote kwa kuzingatia masharti ya mkataba wa uwakala alioingia na Halmashauri. Mamlaka ya Afisa Mwidhini wa - 23 Verify source ↗
Bila kuathiri masharti ya Sheria Ndogo hii, Afisa
AI-assisted research summary: Afisa Mwidhiniwa anaweza kuingia katika eneo, jengo au chombo cha usafiri ndani ya saa zilizotajwa kwa ajili ya kukusanya ada au ushuru, kufanya tathmini, au kushughulikia masuala ya ada, ushuru, leseni au kibali.
23. Bila kuathiri masharti ya Sheria Ndogo hii, Afisa Mwidhiniwa anaweza kuingia katika eneo, jengo au chombo cha usafiri kuanzia saa kumi na mbili kamili asubuhi hadi saa kumi na mbili kamili jioni kwa nia ya kukusanya ada au ushuru, kufanya tathmini au kufanya jambo lolote linalohusu ada, ushuru, leseni au kibali kwa mujibu wa Sheria Ndogo hii. 10 Sheria Ndogo ya (Ada Na Ushuru) ya Halmashauri ya Wilaya ya Moshi Tangazo La Serikali Na. 39 (Linaendelea) Kamati ya kufuatilia mapato - 24 Verify source ↗
(1) Kutakuwa na Kamati yakufatilia mapato ya
AI-assisted research summary: A revenue monitoring committee for the council is to be created by the Director and must carry out listed revenue-related tasks, including monthly reporting to management.
24.-(1) Kutakuwa na Kamati yakufatilia mapato ya Halmashauri itakayoundwa na Mkurugenzi ambayo itakuwa na majukumu yafuatayo: (a) kuratibu utendaji kazi wa kikosi kazi cha kukusanya mapato; (b) kuishauri Halmashauri ya kuongeza mapato na kubuni vyanzo vipya vya mapato; kuhusu namna Kikosi kazi cha kudhibiti mapato Makosa (c) kufanya tathmini ya makusanyo katika kila chanzo ili kuweka maoteo ya mwaka kwa mwaka unaofuata. (2) Kamati ya mapato itawajibika kutoa taarifa ya utendaji kazi kwa Menejimenti kila mwezi kuonyesha namna ilivyofanya kazi katika kipindi husika. - 25 Verify source ↗
(1) Kutakuwa na kikosi kazi cha kufuatilia na
AI-assisted research summary: A task force must be formed by the Director to monitor and control revenue leakage.
25.-(1) Kutakuwa na kikosi kazi cha kufuatilia na kudhibiti utoroshaji wa mapato ambacho kitaundwa na Mkurugenzi kikihusisha wataalamu kutoka sekta mbalimbali za Halmashauri. (2) Kikosi kazi kitakachoundwa kwa mujibu wa Sheria Ndogo hii kitawajibika kwa Kamati ya Mapato. - 26 Verify source ↗
Mtu yeyote atakuwa ametenda kosa endapo
AI-assisted research summary: Mtu yeyote anaweza kutenda kosa ikiwa hatalipa ada au ushuru, atazuia maafisa, atatoa taarifa za uongo, au atafisha/atatumia nyaraka au kumbukumbu za uongo zinazohusiana na ukusanyaji wa ada na ushuru.
26. Mtu yeyote atakuwa ametenda kosa endapo; (a) atashindwa au atadharau au atakwepa au atakataa kulipa ada au ushuru au kutekeleza agizo lolote alilopewa na Halmashauri kwa mujibu wa Sheria Ndogo hii (b) atamshawishi mtu au kundi la watu kukwepa au kukataa kulipa ada au ushuru; (c) atamzuia Mkurugenzi au Afisa Mwidhiniwa au Wakala kutekeleza majukumu yake kwa mujibu wa Sheria Ndogo hii; (d) atatumia nyaraka za kughushi kwa nia ya kujipatia manufaa yatokanayo na ukusanyaji wa ada au ushuru ndani ya Halmashauri; 11 Sheria Ndogo ya (Ada Na Ushuru) ya Halmashauri ya Wilaya ya Moshi Tangazo La Serikali Na. 39 (Linaendelea) (e) atatoa taarifa za uongo kwa Halmashauri au Wakala kuhusu huduma zinazohitaji kulipiwa leseni ya ushuru na zinazohitaji kibali au Halmashauri; (f) atatumia chombo chochote kile kusafirishia bidhaa ambayo haijalipiwa ushuru au ada; (g) atashindwa kuwasilisha hesabu sahihi za biashara yake; (h) atashindwa kuwasilisha nyaraka, maelezo au taarifa kwa Mkurugenzi au Afisa mwidhiniwa katika muda uliowekwa; kuwasilishwa inayotakiwa (i) atashindwa kutunza kumbukumbu yoyote au nyaraka kwa ajili ya ukokotoaji wa mahesabu ya ushuru wa huduma; (j) ataandaa au kusababisha kuandaliwa au kutengenezwa kwa vitabu vya uongo vya hesabu au kumbukumbu kutengeneza au Adhabu - 27 Verify source ↗
Mtu yeyote atakayekiuka masharti ya Sheria
AI-assisted research summary: Mtu yeyote anayekiuka masharti ya Sheria Ndogo hii anatenda kosa na, akipatikana na hatia, anaweza kutozwa faini, kifungo, au vyote pamoja.
27. Mtu yeyote atakayekiuka masharti ya Sheria Ndogo hii atakuwa ametenda kosa na akipatikana na hatia atatozwa faini ya kiasi kisichopungua shilingi laki mbili na isiyozidi shilingi milioni moja au kifungo kisichopungua miezi kumi na mbili na kisichozidi miezi ishirini na nne au vyote kwa Pamoja. Kufililisha kosa - 28 Verify source ↗
Mkurugenzi atakuwa na uwezo wa kufifilisha kosa
AI-assisted research summary: Mkurugenzi anaweza kufifilisha kosa na kumtoza mkosaji shilingi laki mbili ikiwa mkosaji anakiri kosa, anatumia fomu maalum ya Jedwali la Nne, na analipa ada au ushuru unaodaiwa.
28. Mkurugenzi atakuwa na uwezo wa kufifilisha kosa kwa kumtoza mtu yeyote aliyetenda kosa kwa mujibu wa Sheria Ndogo hii kiasi cha shilingi laki mbili endapo mkosaji atakiri kosa na kuwa fomu maalum iliyoainishwa katika Jedwali la Nne la Sheria Ndogo hii na kulipa ada au ushuru anaodaiwa. tayari kujaza Kufutwa TS Na. 160 la mwaka Sheria Ndogo ya (Ada na Ushuru) ya Halmashauri ya Wilaya ya Moshi Mwaka 2014 na Sheria Ndogo ya (Kodi ya Huduma) ya Halmashauri ya Wilaya ya Moshi Mwaka 2008 12 Sheria Ndogo ya (Ada Na Ushuru) ya Halmashauri ya Wilaya ya Moshi Tangazo La Serikali Na. 39 (Linaendelea) zinafutwa. 2014 236 la mwaka 2008 ___________ JEDWALI LA KWANZA ___________ (Limetengenezwa chini ya kifungu cha 4(1)) SEHEMU YA KWANZA ADA YA VIBALI VYA SHEREHE, MATANGAZO, BURUDANI NA SHUGHULI ZA UTAMADUNI
Part
Jedwali la Kwanza la Sheria Ndogo hii:
- 9 Verify source ↗
(1) Kutakuwa na kibali cha kusafirisha mazao
AI-assisted research summary: The Council issues a transport permit for produce sold by a buyer taking produce outside the Council area, except for traders moving animal feed produce; the permit costs TZS 20,000.
9.-(1) Kutakuwa na kibali cha kusafirisha mazao kitakachotolewa na Halmashauri kwa mnunuzi wa mazao atakayesafirisha mazao yake nje ya eneo la Halmashauri kama kilivyoainishwa katika Jedwali la Pili la Sheria Ndogo hii. (2) Kibali hiki hakitawahusu wafanyabiashara wanaosafirisha mazao ya chakula cha mifugo kama vile pumba laini, mashudu na mazao mengine yanayoendana na hayo. (3) Kibali chini ya kifungu hiki kitapaswa kulipiwa kiasi cha Shilingi elfu ishirini. - 10 Verify source ↗
(1) Halmashauri itatoza na kukusanya ushuru wa
AI-assisted research summary: Halmashauri must charge and collect service tax, including a 0.3% rate for certain business licence holders who file sales returns, and a different rate from those who do not. Liable business operators must submit annual accounts to the Director and pay the tax within 14 days after filing sales returns.
10.-(1) Halmashauri itatoza na kukusanya ushuru wa huduma kwa kiwango cha asilimia sifuri nukta tatu (0.3%) ya mauzo baada ya kutoa Kodi ya Ongezeko la Thamani na Ushuru wa Bidhaa kutoka kwa mtu yeyote mwenye leseni ya biashara anayewasilisha hesabu za mauzo kwa Mamlaka ya Mapato Tanzania. (2) Bila kuathiri masharti ya kifungu kidogo cha (1), Halmashauri itatoza na kukusanya ushuru wa huduma kwa kiwango kilichoainishwa katika Jedwali la Kwanza la Sheria Ndogo hii kutoka kwa wafanyabiashara wenye leseni za biashara ambao hawawasilishi hesabu za mauzo Mamlaka ya Mapato Tanzania (3) Itakuwa ni wajibu wa kila mfanyabiashara mwenye leseni ya biashara ambaye anawajibika kulipa ushuru wa huduma kuwasilisha kwa Mkurugenzi taarifa za hesabu za mwaka kwa ajili ya kukokotoa kiwango. (4) Halmashauri itakokotoa ushuru wa huduma kwa walipa ushuru wa huduma wanaowasilisha taarifa za mauzo Mamlaka ya Mapato Tanzania kwa kuzingatia taarifa zinazowasilishwa na walipa ushuru wa huduma katika kipindi maalum cha hesabu. (5) Kila mlipa ushuru wa huduma atatakiwa kulipa 5 Sheria Ndogo ya (Ada Na Ushuru) ya Halmashauri ya Wilaya ya Moshi Tangazo La Serikali Na. 39 (Linaendelea) ushuru wa huduma si zaidi ya siku kumi na nne tangu tarehe ya kuwasilisha taarifa za mauzo ya kila mwezi, miezi mitatu, miezi sita au miezi kumi na mbili. Ushuru wa mazao ya misitu - 11 Verify source ↗
Kutakuwa na ushuru wa mazao ya misitu
AI-assisted research summary: Halmashauri inatoza ushuru wa mazao ya misitu kwa viwango vilivyo kwenye Jedwali la Kwanza.
11. Kutakuwa na ushuru wa mazao ya misitu utakaotozwa na Halmashauri kwa viwango ambavyo vimeainishwa kwenye Jedwali la Kwanza la Sheria Ndogo hii. Ushuru wa madini ya ujenzi Kibali cha uchimbaji wa madini ya ujenzi - 12 Verify source ↗
(1) Kila mnunuzi au msafirishaji wa madini ya
AI-assisted research summary: Mnunuzi au msafirishaji wa madini ya ujenzi lazima alipe ushuru wa madini ya ujenzi kwa viwango vilivyo katika Jedwali la Kwanza.
12.-(1) Kila mnunuzi au msafirishaji wa madini ya ujenzi atatakiwa kulipia ushuru wa madini ya ujenzi kwa viwango vilivyoainishwa katika Jedwali la Kwanza la Sheria Ndogo hii (2) Ushuru wa madini ya ujenzi utatozwa katika eneo la machimbo, barabara zinazoelekea au kutoka maeneo ya machimbo au eneo lolote lililo chini ya mamlaka ya Halmashauri. yeyote - 13 Verify source ↗
(1) Mtu
AI-assisted research summary: Mtu anayetaka kuanzisha machimbo ya madini ya ujenzi katika eneo la Halmashauri lazima aombe kibali kwa Mkurugenzi, aambatishe taarifa zilizotajwa, na Mkurugenzi afanye ukaguzi na kutoa uamuzi.
13.-(1) Mtu kuanzisha machimbo ya madini ya ujenzi katika eneo la Halmashauri atatakiwa kuwasilisha kwa Mkurugenzi maombi ya kibali cha uchimbaji wa madini ya ujenzi kama kilivyoainishwa katika Jedwali la Tatu la Sheria Ndogo hii. anayekusudia (2) Maombi ya kibali yatatakiwa kuambatishwa na taarifa zifuatazo: (a) leseni ya uchimbaji wa madini iliyotolewa na mamlaka husika; (b) aina ya madini yanayokusudiwa kuchimbwa; (c) umiliki na linalokusudiwa kuchimbwa madini ya ujenzi; (d) mpango wa utunzaji wa mazingira katika eneo la ukubwa wa pamoja eneo machimbo; na (e) muhtasari wa Kijiji ambacho uchimbaji wa madini ya ujenzi unafanyika ukionesha kumtambua mchimbaji. (3) Mkurugenzi, ndani ya muda wa siku saba tangu 6 Sheria Ndogo ya (Ada Na Ushuru) ya Halmashauri ya Wilaya ya Moshi Tangazo La Serikali Na. 39 (Linaendelea) Kufutwa au kusimamis hwa kwa kibali Ushuru wa vibali vya ujenzi kupokea maombi, atatakiwa kukagua eneo ambalo uchimbaji wa madini ya ujenzi unakusudiwa kufanyika ili kujiridhisha iwapo eneo hilo linafaa kwa shughuli za uchimbaji. (4) Bila kuathiri masharti ya kifungu kidogo cha (1), Mkurugenzi baada ya kukamilika kwa ukaguzi wa eneo linaloombewa kibali atatakiwa kukubali au kukataa maombi na endapo atakataa atatoa sababu za kukataa kwa maombi hayo.
Part
Jedwali la Tatu la Sheria Ndogo hii.
- 14 Verify source ↗
(1) Halmashauri inaweza kufuta au kusimamisha
AI-assisted research summary: Halmashauri inaweza kufuta au kusimamisha kibali cha uchimbaji wa madini ya ujenzi ikiwa kuna ukiukwaji wa masharti, lakini lazima itoe notisi ya siku saba kabla ya kufanya hivyo.
14.-(1) Halmashauri inaweza kufuta au kusimamisha kibali cha uchimbaji wa madini ya ujenzi endapo itajiridhisha kuwa kuna ukiukwaji wa masharti ya Sheria Ndogo hii au masharti ya kibali cha uchimbaji wa madini ya ujenzi. (2) Kwa kuzingatia masharti ya kifungu kidogo cha (1), Halmashauri kabla ya kufuta au kusimamisha kibali itatakiwa kutoa notisi ya siku saba ya kusudio la kufuta au kusimamisha kibali kwa mtu yeyote aliyepewa kibali cha uchimbaji. (3) Notisi itakayotolewa kwa mujibu wa Kifungu Kidogo cha (2) itaainisha sababu za kufuta au kusimamisha kibali husika. (4) Endapo kibali kitafutwa au kusimamishwa, mtu yeyote aliyepewa kibali cha uchimbaji wa madini ya ujenzi atasimama kuchimba madini hayo. - 15 Verify source ↗
(1) Mtu yeyote anayetaka kujenga, kubomoa,
AI-assisted research summary: Anyone planning to build, demolish, add to, or make major structural changes to a building must get a building permit.
15.-(1) Mtu yeyote anayetaka kujenga, kubomoa, kuongeza au kufanya marekebisho makubwa yanayoweza kuathiri uimara wa jengo atatakiwa kupata kibali cha ujenzi. (2) Ada na ushuru wa vibali vya ujenzi itatozwa kama ilivyo ainishwa kwenye Jedwali la Kwanza la Sheria Ndogo hii. (3) Kila mtu anayeomba kibali cha ujenzi atajaza fomu ya maombi ya kibali cha ujenzi na kuambatanisha nyaraka zote zinazotakiwa kuwasilishwa. (4) Muda wa kibali cha ujenzi ni miezi sita kuazia tarehe ya kutolewa kwa kibali cha ujenzi. 7 Sheria Ndogo ya (Ada Na Ushuru) ya Halmashauri ya Wilaya ya Moshi Tangazo La Serikali Na. 39 (Linaendelea) Timu ya kuidhinish a vibali vya ujenzi - 16 Verify source ↗
(1) Kutakuwa na
AI-assisted research summary: The Executive Director must establish a professional team to approve building permits.
16.-(1) Kutakuwa na timu ya wataalamu ya kuidhinisha vibali vya ujenzi itakayoundwa na Mkurugenzi Mtendaji. ambayo itakuwa na wajumbe wafuatao: (a) Mkurugenzi Mtendaji; (b) Afisa Ardhi; (c) Mpima Ardhi; (d) Afisa Mipango Miji; (e) Msanifu au Mbunifu Majengo; (f) Mhandisi wa Ujenzi; (g) Afisa Mazingira; (h) Afisa anyesimamia Anuani za Makazi; na (i) Mthamini Ardhi. (2) Mwenyekiti wa Timu ya Wataalamu atakua Mkurugenzi Mtendaji na katibu wa Timu ya Wataalamu atakua Mhandisi wa Ujenzi. Ushuru wa utalii - 17 Verify source ↗
Halmashauri itatoza na kukusanya ushuru katika
AI-assisted research summary: Halmashauri must collect the tourist-area gate fee from any person or vehicle at the entrance, using the rates in the First Schedule.
17. Halmashauri itatoza na kukusanya ushuru katika lango kuingia kwenye eneo la utalii kwa mtu yeyote au chombo cha usafiri kwa viwango vilivyoainishwa kwenye Jedwali la Kwanza la Sheria Ndogo hii. Ushuru wa nyumba za kulala wageni
Part
SEHEMU YA KWANZA
- 1 Verify source ↗
Ada ya Sherehe
AI-assisted research summary: This section appears to be a fee schedule header listing service names and payment amounts in shillings.
1. Ada ya Sherehe Namba Aina ya huduma Kiwango cha malipo (Shilingi) 1 - 2 Verify source ↗
Section 2
AI-assisted research summary: Heading text listing village ceremonies, city ceremonies, and planning.
2. Sherehe za Vijijini Sherehe za Mjini Mipangomiji) - 2 Verify source ↗
Ada za Matangazo
AI-assisted research summary: This section appears to list advertisement charges, including 30,000/= per day and 50,000/= per day.
2. Ada za Matangazo (Maeneo ya 30,000/= kwa siku 50,000/= kwa siku Namba Aina ya huduma Kiwango cha malipo (Shilingi) 1 - 3 Verify source ↗
Burudani
AI-assisted research summary: Burudani is listed at 50,000 shillings per day.
3. Burudani 50,000/= kwa siku 50,000/= kwa siku Namba Aina ya huduma Kiwango cha malipo (Shilingi) 1 - 11 Verify source ↗
Section 11
AI-assisted research summary: Sehemu hii inaorodhesha ada/ushuru tofauti kwa shughuli mbalimbali za burudani na uuzaji, kwa viwango vya kila siku, kila mwezi, kila mwaka, na kwa kila mtu au tiketi kwa burudani ya kandanda.
11. Mshereheshaji (MC) Mchezesha Muziki (DJ) Mapambo Mzabuni wa Chakula Mzabuni wa Vinywaji Night Club Vibanda vya burudani (vibanda umiza) Muziki wa bendi Burudani ya kandanda Burudani ya ngumi (mwandaaji) 13 10,000/= kwa siku 10,000/= kwa siku 10,000/= kwa siku 10,000/= kwa siku 10,000/= kwa siku 200,000/= kwa mwaka 10,000/= kwa mwezi 30,000/= kwa siku 1,000/= kwa mtu mzima, na 500/= kwa mtoto. 50,000/= kwa siku Sheria Ndogo ya (Ada Na Ushuru) ya Halmashauri ya Wilaya ya Moshi Tangazo La Serikali Na. 39 (Linaendelea) - 20 Verify source ↗
Section 20
AI-assisted research summary: This section lists fees for entertainment registrations, permits, event-related activities, and council property rentals.
20. Ada ya usajili na vibali wa kumbi za burudani Usajili na vibali wa vikundi vya sanaa Usajili na vibali wa vyama au vilabu vya michezo Kibali cha kuchezesha disco au Maonyesho ya bendi au Sanaa za maonyesho au picha (Sinema mjongeo au maigizo au sarakasi au ada nyingine Kibali cha mchezo wa pool table Kibali cha tamasha au kongamano na mikutano ya kidini nje ya sehemu za kuabudia. Bahati nasibu ndogo ndogo (fete) Kibali cha matangazo Kibali cha Mazishi 25% ya usajili ya Gharama ya Usajili BASATA 20% ya usajili ya Gharama ya Usajiri 20% ya usajili ya Gharama ya Usajili 50,000/= kwa tukio 50,000/=kwa mwaka. 20,000/= kwa siku 10,000/= kwa kwa mwezi 50,000/= kwa tangazo ya biashara. Bure __________ SEHEMU YA PILI ___________ ADA YA KUKODI MALI ZA HALMASHAURI Aina Kiwango cha Ada Ukumbi wa Halmashauri Nyumba za Halmashauri Vibanda vya biashara vya Halmashauri Meza za Sokoni Magari na Mitambo Kodi ya pango itatajwa kwenye mkataba Kodi ya pango itatajwa kwenye mkataba. Kodi ya pango mkataba. Kodi ya pango mkataba. Kodi ya pango mkataba. Kodi ya pango mkataba. itatajwa kwenye itatajwa kwenye itatajwa kwenye Kukodi vitalu vya kufugia mifugo Mali nyingine ya Halmashauri Kodi ya pango itatajwa kwenye itatajwa kwenye 14 Namba.
Part
SEHEMU YA PILI
- 7 Verify source ↗
Section 7
AI-assisted research summary: This section is titled as the part dealing with the warehouse service fee for Moshi District Council.
7. Sheria Ndogo ya (Ada Na Ushuru) ya Halmashauri ya Wilaya ya Moshi Tangazo La Serikali Na. 39 (Linaendelea) mkataba. __________ SEHEMU YA TATU __________ ADA YA HUDUMA YA MAGHALA YA HALMASHAURI Namba
Part
SEHEMU YA TATU
- 3 Verify source ↗
Section 3
AI-assisted research summary: Hii sehemu inaorodhesha ada za kuhifadhi bidhaa mbalimbali na ada/ushuru wa ukaguzi wa afya.
3. Aina ya huduma Kutunza dagaa kwenye ghala Kutunza samaki wakavu Kutunza bidhaa nyinginezo Kiwango cha Ada (Shilingi) 500/= kwa kila gunia kwa siku 15/= kwa kilo 500/= kwa kila gunia kwa siku ___________ SEHEMU YA NNE ____________ ADA AU USHURU WA UKAGUZI WA AFYA Kiwango cha malipo (Shilingi) 3,000/= kila baada ya miezi mitatu 3,000/= kila baada ya miezi mitatu Namba
Part
SEHEMU YA NNE
- 6 Verify source ↗
Section 6
AI-assisted research summary: Baadhi ya biashara na viwanda vinatajwa kuhusiana na ukaguzi na ada zake, ikiwemo ada ya mwaka au ya mara moja kwa aina tofauti za ukaguzi.
6. 7 Aina ukaguzi Nyumba starehe za (baa,vilabu vya pombe za kienyeji na nyumba ya kulala wageni Nyumba ya kutengeneza na kuuzia vyakula au nyama choma. kufungua ya Maombi Biashara baada ya ukaguzi ili kufunguliwa upya Ukaguzi vikubwa Ukaguzi wa viwanda vya kati Ukaguzi wa viwanda vidogo 50,000/= kwa mwaka 15,000/= mara moja. viwanda wa 100,000/= kwa mwaka 150,000/= kwa mwaka 15 Sheria Ndogo ya (Ada Na Ushuru) ya Halmashauri ya Wilaya ya Moshi Tangazo La Serikali Na. 39 (Linaendelea) - 8 Verify source ↗
Section 8
AI-assisted research summary: Wahudumu wanaonekana kuhusishwa na ada ya upimaji afya ya 5,000/= kila baada ya miezi mitatu.
8. Upimaji afya wahudumu 5,000/= kila baada ya miezi mitatu ________ SEHEMU YA TANO __________ ADA YA USAJILI WA TEKSI, MAGARI YA MIZIGO, PIKIPIKI NA PIKIPIKI ZA MAGURUDUMU MATATU Namba. Aina ya Gari Ukubwa Kiasi cha ushuru kwa mwaka (Shilingi)
Part
SEHEMU YA TANO
- 2 Verify source ↗
Section 2
AI-assisted research summary: Inaonyesha ada ya Teksi ni TZS 60,000 na ya magari ya mizigo chini ya tani moja na nusu ni TZS 30,000.
2. Teksi - 60, 000/= Magari ya mizigo chini ya tani moja na nusu 30,000/= - 3 Verify source ↗
Section 3
AI-assisted research summary: The text lists fees for certain vehicle types, including cargo vehicles over 1.5 tons and three-wheeled motorcycles (Bajaji).
3. Magari ya mizigo zaidi ya tani moja na nusu 40,000/= 4 5 Pikipiki Pikipiki ya Magurudumu Matatu (Bajaji) - - 17,000/= 22,000/= _________ SEHEMU YA SITA ___________ USHURU WA KUINGIA NA MAEGESHO NA NDANI YA KITUO CHA MABASI Namba 1
Part
SEHEMU YA SITA
- 3 Verify source ↗
Section 3
AI-assisted research summary: The provision lists daily tax amounts for different vehicle types: large vehicles/buses, small vehicles (Hiace), and taxis.
3. Aina ya chombo cha usafiri Kiwango cha ushuru (Shilingi) Gari au basi kubwa 2,000/= kwa siku Magari madogo (Hiace) 1,000/= kwa siku Teksi 1,000/= kwa siku 16 Sheria Ndogo ya (Ada Na Ushuru) ya Halmashauri ya Wilaya ya Moshi Tangazo La Serikali Na. 39 (Linaendelea) - 8 Verify source ↗
Section 8
AI-assisted research summary: This section lists transport-related fees for different vehicle types and for a person entering the bus stand without a ticket.
8. Bajaji au Guta au mkokoteni 500/= kwa siku Magari biashara binafsi yasiyo ya 500/= kila linapotoka stendi Gari dogo la mizigo (Lori au Pick – up) chini ya Tani 7 Gari kubwa la mizigo zaidi ya Tani 7 Kuingia ndani ya Standi au kituo cha mabasi kwa mtu asiye na tiketi 2,000/= kila linapotoka stendi 3,000/= kila linapotoka stendi 200/= kila anapoingia. __________ SEHEMU YA SABA ___________ USHURU WA KULAZA VYOMBO VYA USAFIRI KATIKA MAENEO YALIYOTENGWA NA HALMASHAURI Namba Aina ya chombo cha usafiri Kiwango cha ushuru(Shilingi)
Part
SEHEMU YA SABA
- 7 Verify source ↗
Section 7
AI-assisted research summary: The text lists daily local charges for different vehicle types.
7. Gari (Lori)kubwa la mizigo 5,000/= kwa siku Fuso au kenta au magari 3,000/= kwa siku mengine ya mizigo Basi kubwa Mabasi ya kati Teksi Magari binafsi yasiyo ya biashara Aina nyingine ya chombo cha usafiri 17 3,000/= kwa siku 2,000/= kwa siku 1,000/= kwa siku 1,000/= kwa siku 1,000/= kwa siku. Sheria Ndogo ya (Ada Na Ushuru) ya Halmashauri ya Wilaya ya Moshi Tangazo La Serikali Na. 39 (Linaendelea) __________ SEHEMU YA NANE ____________ USHURU WA MAGULIO, MASOKO NA MINADA Namba Aina ya biashara Kiwango cha ushuru(Shilingi)
Part
SEHEMU YA NANE
- 12 Verify source ↗
Section 12
AI-assisted research summary: This section lists daily market/parking charges for different types of businesses.
12. Biashara ya nguo za mitumba Biashara ya nguo za madukani 1,000/= kwa siku 1,000/= kwa siku Biashara ya viatu vya mitumba 1,000/= kwa siku Biashara ya vileo Biashara ya kuuza nyama choma Michezo mbalimbali katika soko Biashara za bidhaa za urembo Biashara ya vyombo vya ndani Biashara ya samani mbalimbali Biashara nyingine Meza za nafaka na samaki wabichi Wauza kuku vibandani 2, 000/= kwa siku 2,000/= kwa siku 2,000/= kwa siku 1,000/= kwa siku 1,000/= kwa siku 1,000/= kwa siku 1,000/= kwa siku 1,000/= kwa siku 500/= kwa siku 18 Sheria Ndogo ya (Ada Na Ushuru) ya Halmashauri ya Wilaya ya Moshi Tangazo La Serikali Na. 39 (Linaendelea) _________ SEHEMU YA TISA __________ USHURU WA MAEGESHO KATIKA MASOKO, NA MAENEO MENGINE YA HALMASHAURI Namba 1
Part
SEHEMU YA TISA
- 8 Verify source ↗
Section 8
AI-assisted research summary: Kifungu hiki kinaweka ushuru wa kulipwa kwa tripu kwa aina mbalimbali za magari kulingana na aina ya mizigo na uzito wake.
8. Aina ya chombo cha usafiri Gari lenye ndizi,Viazi na mazao ya nafaka tani 1 hadi 4 Gari lenye bidhaa za viwandani tani 1 hadi 4 Kiwango cha ushuru (Shilingi) 10,000/= kwa tripu 15,000/= kwa tripu Gari lenye ndizi,Viazi na mazao ya nafaka tani 5 na kuendelea 15,000/= kwa tripu Gari lenye bidhaa za viwandani tani 5 na kuendelea Gari la mafuta ya taa, dizeli au petrol zaidi ya tani 10 20,000/= kwa tripu 25,000/= kwa tripu Gari la mafuta ya taa, dizeli au petroli chini ya tani 10 Gari la gesi na bidhaa nyingine zenye mlipuko Gari la bidhaa nyinginezo 20,000/= kwa tripu 30,000/= kwa tripu 1,000/= kwa tripu _________ SEHEMU YA KUMI __________ ADA YA HUDUMA YA VYOO VYA HALMASHAURI Namba Aina ya Jengo Kiasi (Shilingi)
Part
SEHEMU YA KUMI
- 2 Verify source ↗
Section 2
AI-assisted research summary: The text lists set charges for certain toilets and begins a section on taxes for produce.
2. 3 Choo cha Stendi 300/= kwa kila mtu Choo cha Soko kuu 300/= kwa kila mtu Choo cha Soko, Gulio na Mnada 200/= kwa kila mtu 19 Sheria Ndogo ya (Ada Na Ushuru) ya Halmashauri ya Wilaya ya Moshi Tangazo La Serikali Na. 39 (Linaendelea) _____________ SEHEMU YA KUMI NA MOJA _____________ USHURU WA MAZAO. Namba Aina ya mazao Kiwango cha ushuru(Shilingi) 1
Part
SEHEMU YA KUMI NA MOJA
- 2 Verify source ↗
Section 2
AI-assisted research summary: The text shows a 3% charge based on the purchase price for food crops and commercial crops.
2. Mazao ya Chakula Mazao ya Biashara 3% ya bei ya kununulia (mauzo) 3% ya bei ya kununulia (mauzo) ______________ SEHEMU YA KUMI NA MBILI _______________ ADA/USHURU WA MAGANDA YA KAHAWA KWENDA NJE YA HALMASHAURI Namba Aina ya chombo cha usafiri Kiwango cha ushuru (Shilingi)
Part
SEHEMU YA KUMI NA MBILI
- 2 Verify source ↗
Section 2
AI-assisted research summary: A fee schedule is shown for “gari tani” vehicles, with different amounts per trip for vehicles in the 1–10 and 11–30 ranges.
2. Gari tani 1-10 Gari tani 11-30 10,000/= kwa safari(tripu) 20,000/= kwa safari(tripu) ______________ SEHEMU YA KUMI NA TATU ______________ Namba. YA MAPATO TANZANIA (TRA) Aina ya Bishara
Part
SEHEMU YA KUMI NA TATU
- 4 Verify source ↗
Section 4
AI-assisted research summary: The provision lists ushuru amounts for several business activities and lottery machines.
4. Bahati Nasibu (Mashine) Duka la kuoka mikate Biashara ya Kuuza mifugo Duka la nyama 20 Kiwango cha Ushuru (Shilingi) 50,000/= 100,000/= 150,000/= 80,000/= Sheria Ndogo ya (Ada Na Ushuru) ya Halmashauri ya Wilaya ya Moshi Tangazo La Serikali Na. 39 (Linaendelea) - 39 Verify source ↗
Section 39
AI-assisted research summary: This section lists different business activities and the fees charged for each one.
39. Cable TV Networks Sehemu ya kuoshea magari/pikipiki Day Care & Nursery School Driving School Duka la vifaa vya ofisini/Kupiga chapa. Duka la Bia za Jumla Duka la dawa baridi Duka la ku burn na kuuza CD/Flash Duka la kushona nguo Duka la kuuza computer/Radio Duka la kuuza magodoro Duka la kuuza Maua Duka la kuuza mitungi ya gesi na majiko Duka la kuuza nguo Duka la kuuza vilainishi vya vyombo vya usafiri. Duka la kuuza pembejeo za kilimo Duka la kuuza viatu Duka la kuuza vifaa vya Maabara Duka la kuuza vifaa vya simu Duka la kuuza Vifaa vya Umeme Duka la vifaa vya maji Duka la vipuri vya magari Duka la vipuri vya pikipiki/baiskeli Duka la vinyago Duka la vipodozi Duka la vyakula vya mifugo Duka la vyombo Fundi wa kuranda Fundi wa vifaa vya umeme na kieletroniki Karakana ya magari. Bustani Ghala la kuhifadhia mazao Duka la vifaa vya Ujenzi Kituo cha Kulea na Kutunza watoto Kioski 21 200,000/= 100,000/= 200,000/= 300,000/= 80,000/= 300,000/= 50,000/= 30,000/= 30,000/= 100,000/= 50,000/= 30,000/= 100,000/= 50,000/= 50,000/= 60,000/= 50,000/= 100,000/= 60,000/= 150,000/= 100,000/= 150,000/= 60,000/= 100,000/= 50,000/= 60,000/= 50,000/= 70,000/= 70,000/= 80,000/= 300,000/= 150,000/= 300,000/= 150,000/= 40,000/= Sheria Ndogo ya (Ada Na Ushuru) ya Halmashauri ya Wilaya ya Moshi Tangazo La Serikali Na. 39 (Linaendelea)
Part
Sehemu ya kuoshea magari/pikipiki
- 66 Verify source ↗
Section 66
AI-assisted research summary: The section sets fees and charges for listed businesses, timber products, and certain mineral materials, with amounts based on item type and, for some items, weight or trip size.
66. Karakana Kufyatua matofali Kukamua mafuta ya alizeti Kuloweka mbege Kupiga picha Kushona nguo(Mashine moja) Kuuza Samaki Maabara Machinjio Maduka ya RejaReja Mafundi wa Kutengeneza mizani Mashine ya kukoboa Mpunga Mgahawa Migodi ya Madini ya Ujenzi Milling machine/Mashine ya kukoboa na Kusaga nafaka Mwika SIDO- (KIWANDA) Private Students Hostel Saloni Social Hall Ukumbi Sonara Studio Super Market Timber Yard Wakala wa Fedha(Mpesa,Tigo Pesa) Welding Whole sale Workshop ya kuranda mbao 70,000/= 100,000/= 40,000/= 50,000/= 30,000/= 30,000/= 80,000/= 100,000/= 150,000/= 50,000/= 200,000/= 150,000/= 30,000/= 300,000/= 30,000/= 500,000/= 150,000/= 30,000/= 300,000/= 150,000/= 80,000/= 150,000/= 150,000/= 50,000/= 70,000/= 300,000/= 70,000/= _____________ SEHEMU YA KUMI NA NNE ______________ ADA/USHURU WA MAZAO YA MISTU Namba 1 Aina ya zao Kiasi cha malipo(Shilingi) Mbao za asili 3% ya thamani ya ubao 22 Sheria Ndogo ya (Ada Na Ushuru) ya Halmashauri ya Wilaya ya Moshi Tangazo La Serikali Na. 39 (Linaendelea) 2 3 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 17 18 19 20 21 Mbao za kupandwa Mkaa Asali Slipa Kitanda kipya Kiti Kochi dogo Kochi kubwa Kuni Kuni Meza Frame ya mlango Shutter(Top) Mbao (scant) Magogo Mirunda Nguzo Bidhaa nyingine za ti-mbao( non wood) 300/= kwa kila ubao 1,000/= kwa kila gunia 300/= kwa kila kilo 100/= kwa kila slipa 1,000/= kwa kila kitanda 500/=kwa kiti kimoja 500/= kwa kochi 1,000/= kwa kochi 20,000/= Chini y a Tani 7, 25,000/= zaidi ya Tani 7, 1,000/= kwa kila meza 2,000/= kwa kila fremu ya mlango 2,000/= kwa kila shutter ya mlango 1,000/= kwa kila scant 1,500 kwa kila gogo. 1,000/= kwa mrunda mmoja 1,000 kwa kila nguzo 500 kwa kila bidhaa ______________ SEHEMU YA KUMI NA TANO ________________ A. USHURU WA MAWE, MORAMU, MCHANGA NA KIFUSI Namba. Uzito Kiwango cha Ushuru (Shilingi) 1 2 3 4 5 Chini ya Tani 1 kwa Tripu moja Zaidi yaTani 1 hadi Tani 4 kwa Tripu moja Zaidi ya Tani 4 hadi Tani 8 kwa Tripu moja Zaidi ya Tani 8 hadi Tani 15 kwa Tripu moja Zaidi ya Tani 16 Kuendelea kwa Tripu moja 20,000/= 1,000/= 5,000/= 10,000/= 15,000/= 23 Sheria Ndogo ya (Ada Na Ushuru) ya Halmashauri ya Wilaya ya Moshi Tangazo La Serikali Na. 39 (Linaendelea) B. USHURU WA KOKOTO, TOFALI ZA KUCHOMA, TOFALI ZA MWAMBA NA TOFALI ZA MORAMU NA MADINI MENGINE. Namba Uzito Kiwango cha Ushuru (Shilingi) 1 2 3 4 5 Chini ya Tani 1 kwa Trip moja Zaidi ya Tani 1 hadi Tani 4 kwa Trip moja Zaidi ya Tani 4 hadi Tani 8 kwa Trip moja Zaidi ya Tani 8 hadi Tani 15 kwa Trip moja Zaidi ya Tani 15 na Kuendelea kwa Trip moja 2,000/= 10,000/= 15,000/= 20,000/= 25,000/= C. KIBALI CHA KUMILIKI ENEO LA KUCHIMBA MADINI YA UJENZI Namba Ukubwa wa Eneo Kiwango cha Malipo (Shilingi)
Part
SEHEMU YA KUMI NA TANO
- 2 Verify source ↗
Section 2
AI-assisted research summary: Kiwango cha ada kinaonekana kuwa TZS 50,000 kwa mwaka kwa eneo chini ya mita za mraba 40,000 na TZS 100,000 kwa mwaka kwa eneo zaidi ya mita za mraba 40,000.
2. Eneo lenye ukubwa chini ya mita za mraba 40,000 50,000/= kwa mwaka Eneo lenye ukubwa zaidi ya mita za mraba 40,000 100,000/= kwa mwaka ____________ SEHEMU YA KUMI NA SITA _____________ A. GHARAMA ZA VIBALI VYA UJENZI – MAENEO YALIOPIMWA Namba Aina ya Ada Jengo la makazi lisilo la ghorofa Jengo la makazi la ghorofa AINA YA JENGO Jengo la biasharala ghorofa Jengo la biashara lisilo la ghorofa Majengo ya shule Majengo ya nyumba za ibada
Part
SEHEMU YA KUMI NA SITA
- 2 Verify source ↗
Section 2
AI-assisted research summary: This section lists inspection and building permit fees, including Shilingi 2,500, Shilingi 300 per square meter, and some rural building permit fees of Shilingi 100 per square meter.
2. Ada ya Ukaguzi Ada ya Shilingi Shilingi 2,500/= 2,500/= Shilingi Shilingi Shilingi Shilingi Shilingi 2,500/= Shilingi 2,500/= Shilingi 2,500/= Shilingi Shilingi 2,500/= Shilingi 24 Sheria Ndogo ya (Ada Na Ushuru) ya Halmashauri ya Wilaya ya Moshi Tangazo La Serikali Na. 39 (Linaendelea) Kibali cha Ujenzi 300/= kwa mita moja ya mraba 300/= kwa mita moja ya mraba 300/= kwa mita moja ya mraba 300/= kwa mita moja ya mraba ya sakafu 100/= kwa mita moja ya mraba 100/= kwa mita moja ya mraba B. GHARAMA ZA VIBALI VYA UJENZI – MAENEO YA VIJIJINI AINA YA JENGO Namba Aina ya ada Jengo la makazi lisilo la ghorofa Jengo la makazi la ghorofa Jengo la biashar a lisilo la ghorofa Jengo la biasharala ghorofa Majengo ya shule Majengo ya nyumba za ibada - 2 Verify source ↗
Section 2
AI-assisted research summary: Sehemu hii inaonyesha ada na ushuru mbalimbali unaohusiana na ujenzi na vibali vya ujenzi.
2. Ada ya Ukaguz i Ada ya Kibali cha Ujenzi Shilingi 2,000/= Shilingi 2,000/= Shilingi 2,000/= Shilingi 2,000/= Shilingi 2,000/= Shilingi 2,000/= Shilingi 200/= kwa mita moja ya mraba Shilingi 200/= kwa mita moja ya mraba Shilingi 200/= kwa mita moja ya mraba Shilingi 200/= kwa mita moja ya mraba ya sakafu Shilingi 50/= kwa mita moja ya mraba Shilingi 50/= kwa mita moja ya mraba B. UJENZI MAALUM Namba Aina ya Ujenzi Kiwango cha Ushuru (Shilingi) 25 Sheria Ndogo ya (Ada Na Ushuru) ya Halmashauri ya Wilaya ya Moshi Tangazo La Serikali Na. 39 (Linaendelea) 1 2 3 Kituo cha Mafuta 500,000/= Minara ya Mawasiliano (Simu, Radio na Tv) 1,500,000/= Kuhuisha Kibali cha Ujenzi 50,000/= C. ADA YA MABADILIKO YA NYUMBA AU JENGO LILILOPO Namba. Aina Kiwango cha Ada(Shilingi) - 7 Verify source ↗
Section 7
AI-assisted research summary: This section lists local fees in shillings for tourism-related activities, attractions, sports, special events, and some helicopter landing services.
7. Nyumba ya makazi Nyumba ya biashara Ghorofa Kiwanda, bohari ghala Kituo cha mafuta Maombi ya kugawanya ardhi Majengo mengine 10,000/= 15,000/= 100,000/= 100,000/= 100,000/= 100,000/= 10,000/= _____________ SEHEMU YA KUMI NA SABA ______________ A. VIVUTIO VYA ASILI Namba . Aina ya Utalii 1 2 Hifadhi ya wanya ma pori Fukwe Mwanafu nzi Shule ya Msingi (Shilingi) Mwanafu nzi Shule ya Sekondari (Shilingi) Mwana fuzi wa Chuo (Shilin gi) Mtu Mzima Mtanza nia (Shilin gi) Mwana funzi Nje ya Nchi (Shilin gi) Mtu Mzima Nje ya Nchi. (Shilingi ) 500/= 1,000/= 2,000/= 5,000/= 5,000/= 10,000/= 500/= 1,000/= 2,000/= 5,000/= 5,000/= 10,000/= 26 Sheria Ndogo ya (Ada Na Ushuru) ya Halmashauri ya Wilaya ya Moshi Tangazo La Serikali Na. 39 (Linaendelea) 500/= 1,000/= 2,000/= 5,000/= 5,000/= 10,000/= 500/= 1,000/= 2,000/= 5,000/= 5,000/= 10,000/= 500/= 500/= 500/= 1,000/= 2,000/= 5,000/= 5,000/= 10,000/= 1,000/= 2,000/= 5,000/= 5,000/= 10,000/= 1,000/= 2,000/= 5,000/= 5,000/= 10,000/= 3 4 5 6 7 Mahan daki Maang uko ya Maji Milima Misitu Maene o Tengef u B. VIVUTIO VYA KUTENGENEZA Namba . Aina ya Utalii Mwanafu nzi Shule ya Msingi (Shilingi) Mwanafu nzi Shule ya Sekondari (Shilingi) Mwana fuzi wa Chuo (Shilin gi) Mtu Mzima Mtanza nia (Shilin gi) Mwana funzi Nje ya Nchi (Shilin gi) Mtu Mzima Nje ya Nchi. (Shiling) 1 2 3 4 Sehem u ya Buruda ni Banda la wanya mapori (Zoo) Makum busho na makusa nyo ya Picha Maene o ya Kipeke e 500/= 1,000/= 2,000/= 5,000/= 5,000/= 10,000/= 500/= 1,000/= 2,000/= 5,000/= 5,000/= 10,000/= 500/= 1,000/= 2,000/= 5,000/= 5,000/= 10,000/= 500/= 1,000/= 2,000/= 5,000/= 5,000/= 10,000/= 27 Sheria Ndogo ya (Ada Na Ushuru) ya Halmashauri ya Wilaya ya Moshi Tangazo La Serikali Na. 39 (Linaendelea) 5 Namba 1 2 3 Maene o ya Kihisto ria Aina ya Utalii Mshabi ki Mshiri ki wa Michez o Utemb eleaji wa Viwanj a vya Michez o Namba . Aina ya Utalii 500/= 1,000/= 2,000/= 5,000/= 5,000/= 10,000/= Mwanafu nzi Shule ya Msingi (Shilingi) C. MICHEZO Mwana fuzi wa Chuo (Shilin gi) Mwanafu nzi Shule ya Sekondari (Shilingi) Mtu Mzima Mtanza nia (Shilin gi) Mwana funzi Nje ya Nchi (Shilin gi) Mtu Mzima Nje ya Nchi. (Shilingi ) 500/= 1,000/= 2,000/= 5,000/= 5,000/= 10,000/= 500/= 1,000/= 2,000/= 5,000/= 5,000/= 10,000/= 500/= 1,000/= 2,000/= 5,000/= 5,000/= 10,000/= D. MATUKIO MAALUM Mwanafu nzi Shule ya Msingi (Shilingi) Mwanafu nzi Shule ya Sekondari (Shilingi) Mwana fuzi wa Chuo (Shiling i) Mtu Mzima Mtanza nia(Shil ingi) Mwana funzi Nje ya Nchi (Shiling i) Mtu Mzima Nje ya Nchi. (Shiling i) 1 2 3 Masoko 500/= 1,000/= 2,000/= 500/= 1,000/= 2,000/= 5,000/= 5,000/= 5,000/= 5,000/= 500/= 1,000/= 2,000/= 5,000/= 5,000/= 10,000/ = 10,000/ = 10,000/ Tamash a la Halaiki Uzindu 28 Sheria Ndogo ya (Ada Na Ushuru) ya Halmashauri ya Wilaya ya Moshi Tangazo La Serikali Na. 39 (Linaendelea) Haruhusi wi Kushiriki Haruhusi wi Kushiriki 15,000/ = 20,000/ = 25,000/ = = 30,000/ = Haruhusi wi Kushiriki Haruhusi wi Kushiriki 10,000/ = 15,000/ = 20,000/ = 25,000/ = 5,00/= 1,000/= 2,000/= 5,000/= 8,000/= 10,000/ = 4 5 6 zi Mbio za Magari kila Mshirik i Mbio za pikipiki kila Mshirik i Mbio za Baisike li kila Mshirik i E. SHUGHULI YEYOTE YA UTALII AMBAYO HAIJATAJWA KWENYE Mwanafu nzi Shule ya Msingi (Shilingi) 500/= SHERIA NDOGO HII Mwanafunzi Shule ya Sekondari (Shilingi) Mwanafuzi ni wa Chuo (Shilingi) Mtu Mzima Mtanzania (Shilingi) Mwanafunz i Nje ya Nchi (Shilingi) Mtu Mzima Nje ya Nchi. (Shilingi) 1,000/= 2,000/= 5,000/= 5,000/= 10,000/= _________________ SEHEMU YA KUMI NA NANE _________________ A. . UTUAJI WA HELIKOPTA KWENYE VIWANJA NA MAENEO YA WAZI YA HALMASHAURI Namba Huduma Muda
Part
SEHEMU YA KUMI NA NANE
- 1 Verify source ↗
Section 1
AI-assisted research summary: The text appears to list a shilingi 100,000 fee/tax for an unspecified item or activity.
1. Utuaji wa Dakika 1 hadi saa Kiwango cha Ushuru (Shilingi) 100,000/= 29 Sheria Ndogo ya (Ada Na Ushuru) ya Halmashauri ya Wilaya ya Moshi Tangazo La Serikali Na. 39 (Linaendelea) Helikopta moja B. MIKUSANYIKO KWENYE VIWANJA NA MAENEO YA WAZI YA HALMASHAURI Namba - 1 Verify source ↗
Section 1
AI-assisted research summary: Sehemu hii inaorodhesha ada na ushuru mbalimbali wa Halmashauri, hasa kwa mabango, matangazo ya muda mfupi, na shughuli fulani za biashara.
1. Huduma Mikusanyiko kwenye viwanja na maeneo ya wazi ya Halmashauri Kiwango cha Ada (Shilingi) 50,000/= Kwa siku Zingatia: Ada hii haijumuishi ada ya kibali cha kusanyiko ambayo hutolewa na Halmashauri. ___________________ SEHEMU YA KUMI NA TISA ___________________ Namba 1 2 3 4 5 6 ADA NA USHURU WA MABANGO YA BIASHARA Aina ya Bango Bango lisilo la Mng’ao (Non-Illuminated Sign) Bango Mng’ao (Illuminated Sign) Mabango ya Biashara yaliandikwa na kuchora kwenye kuta za Majengo (Wall Sign) Mabango ya Kietroniki (Electronic Sign) Kiwango (Shilingi) 7,000/= Kwa Kila Futi Moja ya Mraba 10,000/= Kwa Kila Futi Moja ya Mraba 10,000/= Kwa Kila Futi Moja ya Mraba. 10,000/= Kwa Kila Futi Moja ya Mraba. Bango kwenye Gari (Vehicular advertisement) 10,000/= Kwa Kila Futi Moja ya Mraba. 4,000/= Kwa Kila Futi Moja ya Mraba. Bango kwenye gari kwa mmiliki wa gari anayetangaza biashara yake mwenyewe (Vehicular Advertisement branding own products) 30 Sheria Ndogo ya (Ada Na Ushuru) ya Halmashauri ya Wilaya ya Moshi Tangazo La Serikali Na. 39 (Linaendelea) 7 Bango kwenye eneo la Biashara (Point of sale display): (a) Bango lisilo la Mng’ao (Non illuminated) Bango Mng’ao (Illuminated) (b) 8 (i) Mabango ya kukuza Biashara kwa mabango 100 ya awali kwa kila bango (Every poster promotion for first 100 posters). 7,000/= Kwa Kila Futi Moja ya Mraba. 10,000/= Kwa Kila Futi Moja ya Mraba. 50,000/= (ii) Mabango ya kukuza Biashara kwa 50,000/= mabango 100 ya kundi lingine kwa kila bango (For every other bunch of 100 posters or part thereof). 9 (Matangazo ya muda mfupi kwa siku (Short term advertisement or promotion per day). 50,000/= _____________________ SEHEMU YA KUMI NA SHIRINI _____________________ ADA AU USHURU MWINGINE Namba Aina ya Biashara Kiasi (Shilingi) 1 2 3 4 Karakana ya uvunaji mkaa, mbao na kuni Biashara ya bucha ya wanyamapori Tathimini ya athari ya mazingira Shughuli za uwindaji 31 20% ya tozo ya Serikali Kuu Usajili kwa mwaka 20% ya tozo ya Serikali Kuu Usajili kwa mwaka 20,000/= kwa kila kazi kwa kibali 20% ya tozo ya Serikali Kuu kwa mwaka Sheria Ndogo ya (Ada Na Ushuru) ya Halmashauri ya Wilaya ya Moshi Tangazo La Serikali Na. 39 (Linaendelea) ______________ JEDWALI LA PILI _______________ (Limetengenezwa chini ya kifungu cha 9(1)) JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA WILAYA YA MOSHI KIBALI CHA KUSAFIRISHA MAZAO NJE YA WILAYA (Transportation Permit for Crop Produce Outside the District) Namba ya Kibali (Permit No.) ……………………………………. Tarehe ya Kutolewa (Date of Issue) ………………………………. Jina la Msafirishaji (Transporter’s Name) ………………………… Aina ya Gari (Vehicle Type) ………………………………………. Namba ya Gari (Vehicle Registration No.) …………………………
Part
JEDWALI LA PILI
- 1 Verify source ↗
Kibali
AI-assisted research summary: This section appears to be a permit form for transporting goods, showing fields for the amount in tonnes and the route from one place to another.
1. Kibali kwa kimetolewa ………………………………….. transport)………………………Tani(Tones)…………………….kutoka(From)…… ………..kwenda (To)…………………………….. granted to) kusafirisha(To (Permit hereby is - 2 Verify source ↗
Kibali hiki ni cha siku (This Permit is valid for number of days) …………. kuanzia
AI-assisted research summary: This permit is valid for a stated number of days, starting from one date and ending on another date.
2. Kibali hiki ni cha siku (This Permit is valid for number of days) …………. kuanzia tarehe ( starting from)………………..mpaka (To)…………………….. - 3 Verify source ↗
Kibali hiki hakihamishiki (Not transferable)
AI-assisted research summary: Kibali hiki hakihamishiki, na uchimbaji wa madini ya ujenzi unaoruhusiwa ni kwa muda wa miezi 12 tu.
3. Kibali hiki hakihamishiki (Not transferable) KWA MATUMIZI YA OFISI TU (For office use only) Namba ya kibali (Place)……………. Stakabadhi (Date)…………………………. (Receipt No.) Na. (Permit No.) ……………. Tarehe (Date)……………. Mahali ………………………ya Tarehe Jina la Afisa Muidhinishaji (Name of Authorizing Officer) …………………………………. 32 Sheria Ndogo ya (Ada Na Ushuru) ya Halmashauri ya Wilaya ya Moshi Tangazo La Serikali Na. 39 (Linaendelea) Saini (Signature)……………………cheo (Designation)…………………………. Muhuri (official stamp) ___________ JEDWALI LA TATU ___________ (Limetengenezwa chini ya kifungu cha 13(1)) JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA WILAYA YA MOSHI KIBALI CHA UCHIMBAJI WA MADINI YA UJENZI Kibali hiki kimetolewa kwa Bw/Bi: ………………………………………………….……wa S.L.P………………, Mlimba. Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Moshi ameridhia Ndugu mtajwa hapo juu, aendeshe shughuli za kuchimba madini ya ujenzi katika eneo la …………………………Kijiji cha………………………. kata ya …………………………… baada ya kufanya ukaguzi katika eneo husika ili kutathimini athari za Mazingira. Kutokana na uzingatiaji wa athari za mazingira mchimbaji anaruhusiwa kuchimba madini ya ujenzi katika eneo hilo kwa muda wa miezi kumi na mbili tu. mwombaji analazimika kuomba tena kibali baada ya muda huo kuisha na ukaguzi utafanyika tena. TAMKO LA MWOMBAJI; MIMI…………………………………………………………nipo tayari kufuata masharti ya kibali hiki cha uchimbaji wa madini ya ujenzi ndani ya Halmashauri ya Wilaya ya Moshi kwa lengo la kutunza na kuhifadhi mazingira. Nathibitisha kwa hiari yangu nimeelewa vema masharti ya kibali hiki. Jina: ……………………………………… Saini …………………..T arehe ………………… KWA MATUMIZI YA OFISI; 33 Sheria Ndogo ya (Ada Na Ushuru) ya Halmashauri ya Wilaya ya Moshi Tangazo La Serikali Na. 39 (Linaendelea) Mwombaji amelipia Shilingi ……………. tarehe……….mwezi………….Mwaka………….. (Ambatanisha stakabadhi ya malipo na fomu hii) Jina la Afisa aliyetoa kibali……………………… Saini …………… Tarehe ………………. Muhuri:……………………………………………. __________ JEDWALI LA NNE _____________ (Limetengenezwa chini ya kifungu cha 28) HATI YA KUKIRI NA KUFIFILISHA KOSA Mimi ……………………………………………………… nakiri KWA HIARI YANGU MWENYEWE mbele ya …………………………………………. ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashuri ya Wilaya ya Moshi, kwamba mnamo tarehe …… ya mwezi ……. mwaka …… nilitenda kosa la kukiuka masharti ya Kifungu cha …… cha Sheria Ndogo ya (Ada na Ushuru) ya Halmashauri ya Wilaya ya Moshi ya mwaka, 2023. Kwa Mamlaka aliyopewa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Moshi, niko tayari kulipa kiasi cha Ushuru ninaodaiwa pamoja na faini badala ya kushtakiwa Mahakamani. NATHIBITISHA KWAMBA MAELEZO HAPO JUU NI YA KWELI NA NIMEYATOA MIMI MWENYEWE KWA HIARI YANGU KADRI YA UFAHAMU WANGU Leo tarehe…………. Jina……………………………….. ya Mwezi…………..… Mwaka ……………. Saini……………………… MBELE YANGU : Jina:……………………………………..…………………… Saini………………………….…………………………..……… Wadhifa: ………………………………………………………… Tarehe…………………………………………………………… 34 Sheria Ndogo ya (Ada Na Ushuru) ya Halmashauri ya Wilaya ya Moshi Tangazo La Serikali Na. 39 (Linaendelea) Lakiri ya Halmashauri ya Moshi imegongwa kwenye sheria Ndogo hii kufutia azimio lililopitishwa katika Mkutano wa Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Moshi uliofanyika Tarehe 09 Mwezi Februari Mwaka 2021 na Kushudiwa na Lakiri hiyo ikigongwa mbele ya :- SHADRACK M. MGAHAGAMA Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Moshi MORRIS J. MAKOI Mwenyekiti Halmashauri ya Wilaya ya Moshi NAKUBALI, Dodoma, MOHAMED OMARI MCHENGERWA (MB) 5 Decemba, 2023 Waziri wa Nchi – Ofisi ya Rais, (Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa) 35
Provision text is displayed from LexChat’s stored statute record. Use the official source links to verify amendments, commencement, and current legal force.
Ask AI about this statute
Sheria Ndogo ya (Ada na Ushuru) ya Halmashauri ya Wilaya ya Moshi ya Mwaka, 2024
Sign in to ask AI about this statute
Sign in to start authenticated, citation-grounded statute research.
Sign in