Kanuni za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji na Mwenyekiti wa Kitongoji katika Mamlaka za Wilaya za Mwaka 2024
Sehemu hii inaanzisha jina la kanuni hizi.
AI-assisted research synopsis — verify against the official legal text below.
- Jurisdiction
- Tanzania
- Instrument
- Regulation
- Citation
- Kanuni za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji na Mwenyekiti wa Kitongoji katika Mamlaka za Wilaya za Mwaka 2024
- Version
- Undated source snapshot
- Language
- sw
- Official source
- View official record ↗
Statute overview
About this statute
Sehemu hii inaanzisha jina la kanuni hizi. These rules apply in all villages and hamlets within district authority areas. This section defines key terms and requires the Minister to publicly announce the election at least 90 days before election day. A public election notice must state the election timetable, related activities, and important election conditions. Msimamizi wa Uchaguzi lazima abandike majina na mipaka ya Vijiji na Vitongoji katika sehemu ya matangazo ya uchaguzi.
Search within this statute
Search all stored provisions in this version.
Legal text
Provisions of Kanuni za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji na Mwenyekiti wa Kitongoji katika Mamlaka za Wilaya za Mwaka 2024
Showing 109 of 109
- 1 Verify source ↗
Section 1
AI-assisted research summary: Sehemu hii inaanzisha jina la kanuni hizi.
1. SEHEMU YA KWANZA MASHARTI YA UTANGULIZI Kanuni hizi zitajulikana kama Kanuni za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji na Mwenyekiti wa Kitongoji katika Mamlaka za Wilaya za Mwaka 2024. Matumizi
Part
SEHEMU YA KWANZA
- 2 Verify source ↗
Kanuni hizi zitatumika katika Vijiji na Vitongoji vyote
AI-assisted research summary: These rules apply in all villages and hamlets within district authority areas.
2. Kanuni hizi zitatumika katika Vijiji na Vitongoji vyote vilivyomo katika maeneo ya Mamlaka za Wilaya. Tafsiri - 3 Verify source ↗
Katika Kanuni hizi, isipokuwa kama muktadha utahitaji
AI-assisted research summary: This section defines key terms and requires the Minister to publicly announce the election at least 90 days before election day.
3. Katika Kanuni hizi, isipokuwa kama muktadha utahitaji Sura ya 258 Sura ya 287 Sura ya 287 vinginevyo: “Chama cha Siasa” maana yake ni Chama cha Siasa kilichopata usajili wa kudumu kwa mujibu wa Sheria ya Vyama vya Siasa; “Kijiji” maana yake ni Kijiji kilichomo katika eneo la Mamlaka za Wilaya na ambacho kimesajiliwa kwa mujibu wa Sheria ya Serikali za Mitaa (Mamlaka za Wilaya); “Kitongoji” maana yake ni sehemu ya eneo la utawala katika Kijiji kilichosajiliwa kwa mujibu wa Sheria ya Serikali za Mitaa (Mamlaka za Wilaya); 1 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katika Mamlaka Za Wilaya Tangazo la Serikali Na.571 (Linaendelea.) “mkazi” maana yake ni raia wa Tanzania ambaye anaishi kwenye eneo la Kijiji au Kitongoji na ambaye ana kaya au anaishi katika kaya au taasisi iliyopo katika eneo la Kijiji au Kitongoji; “Msimamizi wa Uchaguzi” maana yake ni Mtumishi yeyote wa umma aliyeteuliwa kusimamia Uchaguzi kwa mujibu wa Kanuni hizi; “Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi” maana yake ni mtumishi yeyote wa umma aliyeteuliwa na Msimamizi wa Uchaguzi kuwa Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi chini ya Kanuni hizi; “Msimamizi wa Kituo” maana yake ni mtumishi yeyote wa umma aliyeteuliwa na Msimamizi wa Uchaguzi kusimamia kituo cha uchaguzi; “Mtendaji wa Kijiji” maana yake ni mtendaji mkuu wa shughuli za Serikali katika Kijiji na ni pamoja na mtumishi yeyote wa umma atakayeteuliwa kutekeleza majukumu ya Mtendaji wa Kijiji kwa mujibu wa Kanuni hizi; “mtumishi wa umma” maana yake ni mtu yeyote aliyeajiriwa katika utumishi wa umma; “mwangalizi wa uchaguzi” maana yake ni mwangalizi wa ndani wa uchaguzi mwenye kibali cha Katibu Mkuu wa Wizara yenye dhamana ya Serikali za Mitaa; “Orodha ya Wapiga Kura” maana yake ni orodha ya majina ya wapiga kura iliyoandaliwa chini ya Kanuni hizi; “raia” maana yake ni raia wa Tanzania kwa mujibu wa Sheria ya Uraia; “sehemu ya matangazo ya uchaguzi” maana yake ni sehemu maalum iliyoteuliwa na Msimamizi wa Uchaguzi kwa ajili ya kutolea matangazo, au taarifa mbalimbali za uchaguzi kwa mujibu wa Kanuni hizi; “siku ya uteuzi” maana yake ni siku ya kutangaza majina ya wanaostahili na wasiostahili kugombea nafasi za uongozi chini ya Kanuni hizi; “Sheria” maana yake ni Sheria ya Serikali za Mitaa (Mamlaka za Wilaya); “Uchaguzi” maana yake ni Uchaguzi wa Mwenyekiti wa 2 Sura ya 357 Sura ya 287 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katika Mamlaka Za Wilaya Tangazo la Serikali Na.571 (Linaendelea.) Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji na Mwenyekiti wa Kitongoji; “uchaguzi mdogo” maana yake ni uchaguzi ambao utafanyika baada ya kuwepo kwa nafasi wazi ya Mwenyekiti wa Kijiji, Mwenyekiti wa Kitongoji au Mjumbe wa Halmashauri ya Kijiji; “wakati wa uchaguzi” maana yake ni muda ambao uchaguzi wa kawaida au Uchaguzi Mdogo unafanyika kwa mujibu wa Kanuni hizi na unaanzia tarehe ya tangazo la uchaguzi hadi matokeo ya uchaguzi yanapotangazwa; “Waziri” maana yake ni Waziri mwenye dhamana ya Serikali za Mitaa. SEHEMU YA PILI TANGAZO LA UCHAGUZI (1) Waziri atatoa tangazo kwa umma kuhusu kuwepo kwa uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji na Mwenyekiti wa Kitongoji kwa mujibu wa Kanuni hizi. (2) Tangazo la Uchaguzi kwa mujibu wa kanuni ndogo ya (1) litatolewa katika magazeti ya Kiswahili na Kiingereza yanayosambazwa nchi nzima na katika vyombo mbalimbali vya habari si chini ya siku tisini kabla ya siku ya uchaguzi. (3) Tangazo litakalotolewa na Waziri litaelekeza
Part
SEHEMU YA PILI
- 4 Verify source ↗
Section 4
AI-assisted research summary: A public election notice must state the election timetable, related activities, and important election conditions.
4.- Tangazo la uchaguzi kwa umma mambo yafuatayo: (a) ratiba ya uchaguzi na shughuli zinazohusika; na masharti muhimu ya uchaguzi kwa mujibu wa Sheria na Kanuni hizi. (b) - 5 Verify source ↗
Section 5
AI-assisted research summary: Msimamizi wa Uchaguzi lazima abandike majina na mipaka ya Vijiji na Vitongoji katika sehemu ya matangazo ya uchaguzi.
5. Majina na mipaka ya Vijiji na Vitongoji Msimamizi wa Uchaguzi atabandika katika sehemu ya matangazo ya uchaguzi majina na mipaka ya Vijiji na Vitongoji vilivyoko katika eneo la Halmashauri husika kwa kuzingatia orodha ya Vijiji na Vitongoji iliyotangazwa siku sabini na mbili kabla ya siku ya uchaguzi kwa ajili ya Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, 3 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katika Mamlaka Za Wilaya Tangazo la Serikali Na.571 (Linaendelea.) Mwenye kiti na Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji na Mwenyekiti wa Kitongoji. - 6 Verify source ↗
(1) Halmashauri ya Kijiji itakuwa na Wajumbe ambao
AI-assisted research summary: The Village Council must have no more than 25 members, and at least one-third of the elected members must be women.
6.- (1) Halmashauri ya Kijiji itakuwa na Wajumbe ambao idadi yao haitazidi wajumbe ishirini na watano. (2) Kwa kuzingatia masharti ya Kanuni ndogo ya (1), Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji watakuwa ni: (a) (b) Mwenyekiti wa Kijiji; Wenyeviti wa Vitongoji vilivyomo katika eneo la Kijiji; na Wajumbe watakaochaguliwa wakiwemo wanawake wasiopungua theluthi moja ya wajumbe wote wa Halmashauri ya Kijiji. (c) Wasimamizi na Wasimamizi Wasaidizi wa Uchaguzi - 7 Verify source ↗
(1) Kutakuwa na Msimamizi wa Uchaguzi, Msimamizi
AI-assisted research summary: Kuna nafasi za Msimamizi wa Uchaguzi, Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi, na Msimamizi wa Kituo kwa ajili ya kusimamia uchaguzi; baadhi ya watu hawapaswi kuteuliwa kwenye nafasi hizo.
7.- (1) Kutakuwa na Msimamizi wa Uchaguzi, Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi, na Msimamizi wa Kituo atakayeteuliwa kusimamia uchaguzi kwa mujibu wa Kanuni hizi. (2) Mtu hatateuliwa kuwa Msimamizi wa Uchaguzi, Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi au Msimamizi wa Kituo endapo ni: (a) (b) (c) (d) (e) kiongozi wa chama cha siasa; mgombea; hakimu au jaji; kiongozi wa dini; Askari au afisa yeyote wa chombo cha ulinzi na usalama; Katibu Tawala wa Wilaya; Katibu Tawala wa Mkoa; (f) (g) (h) Mkuu wa Wilaya; au (i) Mkuu wa Mkoa. Kuzingatia sheria, kanuni, maelekezo na matangazo - 8 Verify source ↗
Kila Msimamizi wa Uchaguzi, Msimamizi Msaidizi wa
AI-assisted research summary: Election officials and appeal committee members must carry out their duties in line with the law, regulations, instructions, and notices made under these regulations.
8. Kila Msimamizi wa Uchaguzi, Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi, Msimamizi wa Kituo na wajumbe wa kamati ya rufani watatekeleza majukumu yao kwa kuzingatia Sheria, kanuni, maelekezo na matangazo yatakayotolewa kwa mujibu wa Kanuni hizi. 4 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katika Mamlaka Za Wilaya Tangazo la Serikali Na.571 (Linaendelea.) SEHEMU YA TATU MAELEKEZO YA UCHAGUZI Maelekezo kuhusu uchaguzi
Part
SEHEMU YA TATU
- 9 Verify source ↗
Section 9
AI-assisted research summary: Msimamizi wa Uchaguzi must issue election instructions 62 days before election day.
9.- (1) Msimamizi wa Uchaguzi atatoa maelekezo ya uchaguzi siku sitini na mbili kabla ya siku ya uchaguzi. (2) Maelekezo ya uchaguzi, kwa mujibu wa Kanuni hizi, yataelekeza mambo yafuatayo: (a) (b) (c) (d) tarehe ya kufanyika kwa uchaguzi; muda na sehemu ya kuandikisha wapiga kura; muda na mahali pa kufanyia uchaguzi; kuwataka wakazi wote wenye sifa za kupiga kura kushiriki uchaguzi; kuwataka wakazi wenye umri wa miaka ishirini na moja au zaidi wanaotaka kugombea nafasi ya uenyekiti wa Kijiji, ujumbe wa Halmashauri ya Kijiji au uenyekiti wa Kitongoji kuchukua fomu za kugombea zitakazopatikana kwenye ofisi ya Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi; tarehe na muda wa kuchukua na kurudisha fomu za maombi ya kugombea uenyekiti wa Kijiji, ujumbe wa Halmashauri ya Kijiji na uenyekiti wa Kitongoji kwa Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi; siku ambayo uteuzi utafanyika na sehemu ya matangazo ya uchaguzi ambapo fomu za wagombea zitabandikwa; muda wa kuweka pingamizi dhidi ya uteuzi na kusikilizwa kwa pingamizi; tarehe ya kusikiliza rufaa dhidi ya uamuzi wa Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi; kipindi cha kuendesha mikutano ya kampeni za uchaguzi; na masuala mengine yanayohusu uchaguzi. (e) (f) (g) (h) (i) (j) (k) Orodha ya Wapiga Kura - 10 Verify source ↗
(1) Kutakuwa na Orodha ya Wapiga Kura kwa ajili ya
AI-assisted research summary: The election officer must appoint public servants to register and prepare the voter register in villages, and village/ward executives may not be appointed or allowed to do that work.
10.- (1) Kutakuwa na Orodha ya Wapiga Kura kwa ajili ya uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa 5 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katika Mamlaka Za Wilaya Tangazo la Serikali Na.571 (Linaendelea.) Uandikishaji wa Wapiga Kura Halmashauri ya Kijiji na Mwenyekiti wa Kitongoji. (2) Kwa madhumuni ya Kanuni ndogo ya (1), Msimamizi wa Uchaguzi atafanya uteuzi wa watumishi wa umma watakaoandikisha na kuandaa Orodha ya Wapiga Kura katika Vitongoji siku hamsini na mbili kabla ya siku ya Uchaguzi. (3) Watendaji wa Vijiji na Kata hawatateuliwa wala hawataruhusiwa kuandikisha au kuandaa Orodha ya Wapiga Kura. - 11 Verify source ↗
(1) Uandikishaji na uandaaji wa Orodha ya Wapiga Kura
AI-assisted research summary: Uandikishaji wa wapiga kura huanza siku 47 kabla ya uchaguzi na hudumu siku 10; vituo hufunguliwa na kufungwa kwa saa zilizotajwa, chama cha siasa hutaja wakala kwa kila kituo, na mkazi aliyejiandikisha ana haki ya kukagua na kupinga orodha ya wapiga kura ndani ya siku 7 baada ya kubandikwa.
11.- (1) Uandikishaji na uandaaji wa Orodha ya Wapiga Kura utaanza siku ya arobaini na saba kabla ya siku ya Uchaguzi na utafanyika kwa muda wa siku kumi kwa kutumia fomu iliyoainishwa katika Jedwali la Kwanza la Kanuni hizi katika majengo ya umma na pale ambapo hakuna la umma, uandikishaji utafanyika kwenye sehemu ambayo Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi atakuwa amekubaliana na Viongozi wa Vyama vya Siasa. jengo (2) Vituo vya uandikishaji wa wapiga kura vitafunguliwa saa mbili kamili asubuhi na kufungwa saa kumi na mbili kamili jioni. (3) Chama cha Siasa kitateua wakala wake kwa kila kituo cha uandikishaji wa wapiga kura wakati wa uandikishaji wa wapiga kura. (4) Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi atabandika sehemu ya matangazo ya uchaguzi nakala ya Orodha ya Wapiga Kura siku moja baada ya kukamilika kwa uandikishaji wa wapiga kura na atatunza nakala halisi ya Orodha hiyo. (5) Mkazi ambaye amejiandikisha katika Orodha ya Wapiga Kura atakuwa na haki ya kukagua Orodha ya Wapiga Kura katika muda wa siku saba tangu tarehe ya Orodha hiyo kubandikwa sehemu ya matangazo ya uchaguzi ili: (a) kuweka pingamizi kuhusu usahihi wa Orodha hiyo; kuomba Orodha irekebishwe ili- (i) kurekebisha jina lake; (b) 6 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katika Mamlaka Za Wilaya Tangazo la Serikali Na.571 (Linaendelea.) (ii) kubadilisha Orodha hiyo; au taarifa zilizoko katika (iii) kufuta jina lililoorodheshwa kwa vile aliyeorodheshwa amefariki. Pingamizi kuhusu uandikishaji - 12 Verify source ↗
(1) Mkazi ambaye amejiandikisha katika Orodha ya
AI-assisted research summary: A registered resident may object to another person being registered as a voter before the voter roll inspection period ends.
12.- (1) Mkazi ambaye amejiandikisha katika Orodha ya Wapiga Kura anaweza kuweka pingamizi dhidi ya mtu kuandikishwa kuwa mpiga kura kabla ya kumalizika kwa muda wa kukagua Orodha ya Wapiga Kura. (2) Pingamizi chini ya kanuni ndogo ya (1) litawasilishwa kwa Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi ambaye atatakiwa kutoa uamuzi kuhusu pingamizi lililowekwa ndani ya siku mbili tangu tarehe ya mwisho ya ukaguzi wa Orodha ya Wapiga Kura. (3) Endapo Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi ataridhika na pingamizi lililowekwa chini ya kanuni hii, atarekebisha Orodha ya Wapiga Kura iliyotangazwa baada ya muda wa siku mbili isipokuwa kama uamuzi wake umekatiwa rufaa. (4) Endapo mtu aliyeweka au aliyewekewa pingamizi hatoridhika na uamuzi wa Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi kuhusu pingamizi lililowasilishwa kwake, mtu huyo atawasilisha rufaa kwa Msimamizi wa Uchaguzi ndani ya muda wa siku mbili tangu kutolewa kwa uamuzi wa pingamizi. (5) Msimamizi wa Uchaguzi, baada ya kupokea rufaa hiyo, ataishughulikia na kuitolea uamuzi ndani ya siku nne tangu siku ya kupokea rufaa hiyo. Sifa za mpiga kura - 13 Verify source ↗
Mkazi yeyote atakuwa na haki ya kupiga kura endapo
AI-assisted research summary: Mkazi yeyote ana haki ya kupiga kura ikiwa anakidhi masharti yaliyotajwa.
13. Mkazi yeyote atakuwa na haki ya kupiga kura endapo atakuwa na sifa zifuatazo: (a) (b) (c) (d) (e) ni raia wa Tanzania; ana umri wa miaka kumi na nane au zaidi; ni mkazi wa eneo la Kitongoji; ana akili timamu; na awe amejiandikisha kupiga kura katika Kitongoji husika. 7 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katika Mamlaka Za Wilaya Tangazo la Serikali Na.571 (Linaendelea.) Kupoteza sifa ya kupiga kura - 14 Verify source ↗
Mtu hatakuwa na haki ya kupiga kura endapo
AI-assisted research summary: A person has no right to vote if they do not meet a qualification in Rule 13 or if they registered to vote at more than one polling station.
14.- Mtu hatakuwa na haki ya kupiga kura endapo: (a) (b) hana mojawapo ya sifa zilizoainishwa katika Kanuni ya 13; au amejiandikisha kupiga kura katika kituo zaidi ya kimoja. Sifa za Mgombea - 15 Verify source ↗
Mkazi yeyote wa Kitongoji anaweza kugombea uenyekiti
AI-assisted research summary: A resident of the Kitongoji may contest specified local leadership positions if they meet the listed eligibility conditions.
15. Mkazi yeyote wa Kitongoji anaweza kugombea uenyekiti wa Kijiji au ujumbe wa Halmashauri ya Kijiji au uenyekiti wa Kitongoji endapo- (a) (b) (c) (d) (e) (f) (g) ni raia wa Tanzania; ana umri wa miaka ishirini na moja au zaidi; ana uwezo wa kusoma na kuandika Kiswahili au Kiingereza; ana shughuli halali ya kumwezesha kuishi; ni mkazi wa eneo la Kitongoji; ni mwanachama wa Chama cha Siasa na amedhaminiwa na Chama hicho; na ana akili timamu. Kupoteza sifa ya kuwa mgombea - 16 Verify source ↗
(1) Mtu hatakuwa na sifa za kugombea nafasi ya
AI-assisted research summary: A person is not eligible to run for village chair, village council member, or hamlet chair if listed disqualifying conditions apply.
16.- (1) Mtu hatakuwa na sifa za kugombea nafasi ya uenyekiti wa Kijiji, Ujumbe wa Halmashauri ya Kijiji au uenyekiti wa Kitongoji endapo: (a) sifa za mgombea amepoteza au hana zilizoainishwa katika Kanuni ya 15; amehukumiwa kifungo kinachozidi muda wa miezi sita gerezani au hukumu ya kifo na Mahakama za Tanzania; ana mkataba au maslahi kwenye kampuni ambayo ina mkataba na Mamlaka ya Serikali za Mitaa ambayo anagombea nafasi ya uongozi na hajatangaza kuwepo kwa mkataba au maslahi yake kupitia kwenye gazeti linalopatikana katika eneo husika au mbao za matangazo katika ofisi ya Kijiji; amepoteza sifa ya kupiga kura chini ya Kanuni hizi; au ataajiriwa au kuteuliwa katika wadhifa wowote katika Utumishi wa Umma au (b) (c) (d) (e) 8 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katika Mamlaka Za Wilaya Tangazo la Serikali Na.571 (Linaendelea.) kuchaguliwa katika nafasi ya udiwani, ubunge, uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, umakamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania au urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. (2) Kwa madhumuni ya kanuni ya 16(1)(b): (a) (b) adhabu mbili au zaidi za kifungo zinazopaswa kutumikiwa kwa kufuatana zitachukuliwa kuwa ni adhabu tofauti iwapo kati ya adhabu hizo hakuna inayozidi miezi sita gerezani lakini endapo kati ya adhabu hizo kuna inayozidi miezi sita gerezani itachukuliwa kuwa ni adhabu moja; au kifungo cha gerezani kilichosababishwa na kushindwa kulipa faini hakitohesabiwa kuwa ni adhabu ya kifungo kinachomuondolea mgombea sifa. SEHEMU YA NNE UTEUZI WA WAGOMBEA Muda wa kuchukua na kurudisha fomu za uteuzi
Part
SEHEMU YA NNE
- 17 Verify source ↗
(1) Mtu yeyote anayekusudia kugombea nafasi ya
AI-assisted research summary: Watu wanaotaka kugombea nafasi hizi lazima wachukue fomu mapema angalau siku 26 kabla ya uchaguzi na warejeshe fomu ndani ya siku 7; fomu hupokelewa tu katika muda uliowekwa, na hazikubaliwi baada ya saa 10 jioni ya siku ya mwisho.
17.- (1) Mtu yeyote anayekusudia kugombea nafasi ya uenyekiti wa Kijiji, ujumbe wa Halmashauri ya Kijiji au uenyekiti wa Kitongoji atatakiwa kuchukua fomu siku ya uteuzi wa kugombea nafasi husika zisizopungua ishirini na sita kabla ya siku ya uchaguzi kwa kadri itakavyoelekezwa na Msimamizi wa Uchaguzi. (2) Mtu aliyechukua fomu kwa mujibu wa kanuni ndogo ya (1) atatakiwa kurejesha fomu husika ndani ya muda wa siku saba tangu siku ya kwanza ya uchukuaji wa fomu iliyotangazwa na Msimamizi wa Uchaguzi. (3) Fomu za uteuzi wa kugombea nafasi ya uenyekiti wa Kijiji, ujumbe wa Halmashauri ya Kijiji na uenyekiti wa Kitongoji zitatolewa na kupokelewa na Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi kuanzia saa moja na nusu asubuhi hadi saa kumi kamili jioni. (4) Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi hatoruhusiwa kupokea kutoka kwa mtu yeyote fomu za uteuzi 9 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katika Mamlaka Za Wilaya Tangazo la Serikali Na.571 (Linaendelea.) Utaratibu wa uteuzi wa Wagombea zitakazowasilishwa baada ya saa kumi kamili jioni ya siku ya mwisho ya kurejesha fomu. (5) Fomu ya uteuzi wa kugombea nafasi ya uenyekiti wa Kijiji, ujumbe wa Halmashauri ya Kijiji na uenyekiti wa Kitongoji zitakuwa kama zilivyoainishwa katika Jedwali la Pili la Kanuni hizi.
Part
Jedwali la Pili la Kanuni hizi.
- 18 Verify source ↗
(1) Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi atafanya uteuzi wa
AI-assisted research summary: The Assistant Election Administrator must select candidates for specified village and sub-village leadership posts, post the candidate names, and notify political parties and local residents if there are no eligible applicants; if needed, the election process is to be repeated after 40 days.
18.- (1) Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi atafanya uteuzi wa wagombea wa nafasi ya uenyekiti wa Kijiji, ujumbe wa Halmashauri ya Kijiji na uenyekiti wa Kitongoji siku kumi na tisa kabla ya tarehe ya Uchaguzi kuanzia saa mbili kamili asubuhi hadi saa kumi kamili jioni. (2) Baada ya uteuzi kufanyika, Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi atabandika majina ya wagombea wenye sifa na wasio na sifa za kugombea nafasi ya uenyekiti wa Kijiji, ujumbe wa Halmashauri ya kijiji au uenyekiti wa Kitongoji sehemu ya matangazo ya uchaguzi. (3) Endapo baada ya saa kumi kamili jioni ya siku ya mwisho ya kurejesha fomu za uteuzi kutakuwa hakuna mwombaji aliyejitokeza au kama waombaji wote waliojitokeza hawana zinazostahili, Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi katika siku iliyopangwa kwa ajili ya uteuzi atavitaarifu Vyama vya Siasa na wakazi wa Kijiji au Kitongoji kuhusu kukosekana kwa waombaji au kutokuwepo kwa waombaji wenye sifa. sifa (4) Kwa kuzingatia masharti ya kanuni ndogo ya (3), Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi atavitaarifu Vyama vya Siasa na wakazi wa Kijiji au wa Kitongoji husika kuhusu kurudiwa kwa mchakato wa uchaguzi baada ya siku arobaini kuanzia tarehe ya uteuzi. Utaratibu wa uteuzi wa mgombea pekee - 19 Verify source ↗
(1) Endapo siku ya uteuzi kutakuwa na mwombaji mmoja
AI-assisted research summary: The election assistant supervisor must declare certain applicants to be the only candidates when there is only one applicant, when applications match the number required, or when they are fewer than required in the relevant village posts.
19.- (1) Endapo siku ya uteuzi kutakuwa na mwombaji mmoja aliyejitokeza katika nafasi ya uenyekiti wa Kijiji au uenyekiti wa Kitongoji, Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi atamteua mwombaji huyo kuwa mgombea pekee kwa nafasi aliyoomba. Endapo idadi ya waombaji wa nafasi ya ujumbe wa Halmashauri ya Kijiji kwa kundi mchanganyiko yaani (2) 10 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katika Mamlaka Za Wilaya Tangazo la Serikali Na.571 (Linaendelea.) wanaume na wanawake au kwa kundi la wanawake waliojitokeza na kuteuliwa itakuwa sawa na idadi ya wajumbe wanaohitajika kwa mujibu wa Kanuni ya 6 ya Kanuni hizi, Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi atawateua waombaji hao kuwa wagombea pekee kwa nafasi waliyoomba. (3) Endapo idadi ya waombaji wa nafasi ya ujumbe wa Halmashauri ya Kijiji waliojitokeza kwa kundi mchanganyiko yaani la wanaume na wanawake au kwa kundi la wanawake na kuteuliwa itakuwa chini ya idadi ya wajumbe wanaohitajika kwa mujibu wa kanuni ya 6 ya Kanuni hizi, Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi atawateua waombaji hao kuwa ni wagombea pekee wa nafasi ya ujumbe wa Halmashauri ya Kijiji kwa kundi husika. Kujitoa kwa mgombea - 20 Verify source ↗
(1) Mgombea wa nafasi ya uenyekiti wa Kijiji au wa
AI-assisted research summary: Mgombea anaweza kujitoa ndani ya siku nne baada ya uteuzi kwa kujaza fomu maalum na kuiwasilisha binafsi kwa Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi.
20. (1) Mgombea wa nafasi ya uenyekiti wa Kijiji au wa Kitongoji au ujumbe wa Halmashauri ya Kijiji anaweza kujitoa katika nafasi hiyo kwa kujaza fomu ya kujitoa iliyoainishwa katika Jedwali la Tatu na kuiwasilisha yeye mwenyewe kwa Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi ndani ya siku nne baada ya tarehe ya uteuzi. (2) Endapo, baada ya uteuzi kufanyika, mgombea aliyeteuliwa kugombea nafasi ya uenyekiti wa Kijiji au Kitongoji atajitoa, Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi atatengua uteuzi wa mgombea huyo na wagombea waliobaki wataendelea na hatua ya Uchaguzi. (3) Endapo, baada ya uteuzi kufanyika, mgombea aliyeteuliwa kugombea nafasi ya uenyekiti wa Kijiji au Kitongoji atajitoa na kubaki mgombea mmoja wa nafasi hiyo, Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi atatengua uteuzi wa mgombea huyo na mgombea aliyebaki ataendelea na hatua ya Uchaguzi. (4) Endapo, baada ya uteuzi kufanyika, mgombea wa nafasi ya ujumbe wa Halmashauri ya Kijiji atajitoa, Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi atatengua uteuzi huo na wagombea waliobaki wataendelea na hatua ya 11 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katika Mamlaka Za Wilaya Tangazo la Serikali Na.571 (Linaendelea.) Kufariki kwa mgombea Uchaguzi. - 21 Verify source ↗
(1) Endapo, baada ya uteuzi kufanyika, mgombea wa
AI-assisted research summary: Ukifa mgombea baada ya uteuzi, Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi lazima aahirishe uchaguzi. Chama cha siasa kilichotoa mgombea huyo kinaweza kuwasilisha jina la mwombaji mwingine ndani ya siku 40.
21.- (1) Endapo, baada ya uteuzi kufanyika, mgombea wa nafasi ya uenyekiti wa Kijiji au Kitongoji atafariki, Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi ataahirisha uchaguzi wa nafasi hiyo na Chama cha Siasa kilichotoa mgombea aliyefariki kinaweza kuwasilisha jina la mwombaji mwingine ndani ya siku arobaini tangu kuahirishwa kwa uchaguzi ili hatua za uteuzi wa mwombaji huyo zifanyike. (2) Endapo, baada ya uteuzi kufanyika, mgombea wa nafasi ya ujumbe wa Halmashauri ya Kijiji atafariki, Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi ataahirisha uchaguzi wa nafasi hiyo na Chama cha Siasa kilichotoa mgombea aliyefariki kinaweza kuwasilisha jina la mwombaji mwingine ndani ya siku arobaini tangu kuahirishwa kwa uchaguzi ili hatua ya uteuzi wa mwombaji huyo zifanyike. Ukomo wa kuwa madarakani - 22 Verify source ↗
Wenyeviti wa Vijiji, Wajumbe wa Halmashauri za
AI-assisted research summary: Village chairpersons, village council members, and hamlet chairpersons must stop holding those offices seven days before the day nomination forms are taken under these regulations.
22. Wenyeviti wa Vijiji, Wajumbe wa Halmashauri za Vijiji na Wenyeviti wa Vitongoji watakoma kushika nafasi hizo siku saba kabla ya siku ya kuchukua fomu za kugombea uongozi chini ya Kanuni hizi. SEHEMU YA TANO UTARATIBU WA KUSHUGHULIKIA PINGAMIZI NA RUFAA Pingamizi kuhusu uteuzi
Part
SEHEMU YA TANO
- 23 Verify source ↗
(1) Mtu yeyote aliyeomba kuteuliwa kuwa mgombea au
AI-assisted research summary: A person seeking nomination or a candidate may object to a nomination decision, ask for review, and appeal an unfavorable decision.
23.- (1) Mtu yeyote aliyeomba kuteuliwa kuwa mgombea au mgombea ambaye hakuridhika na uamuzi uliotolewa na Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi au anapinga uteuzi wa mgombea yeyote, anaweza kuwasilisha pingamizi na kumwomba Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi kupitia upya uamuzi uliofanyika ili amteue kuwa mgombea au atengue uteuzi anaoupinga na Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi, baada ya kupitia pingamizi husika, anaweza kukubali au kulikataa pingamizi hilo. (2) Pingamizi chini (1) ya kanuni litawasilishwa kwa maandishi kwa Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi katika muda wa siku mbili ndogo ya 12 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katika Mamlaka Za Wilaya Tangazo la Serikali Na.571 (Linaendelea.) tangu uamuzi au uteuzi ulipofanyika na Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi atasikiliza na kutoa uamuzi katika muda usiozidi siku mbili kuanzia siku ya kupokea pingamizi hilo. (3) Mwombaji au mgombea ambaye hataridhika na uamuzi wa Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi atakuwa na haki ya kukata rufaa kwenye Kamati ya Rufani iliyoanzishwa chini ya kanuni ya 24 katika muda usiozidi siku nne kuanzia tarehe ya uamuzi wa Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi. ya - 24 Verify source ↗
(1) Kutakuwa na Kamati ya Rufani katika kila Wilaya
AI-assisted research summary: Kila Wilaya lazima iwe na Kamati ya Rufani, na wajumbe wake huteuliwa na Katibu Tawala wa Mkoa. Mtu mmoja wa umma ndiye Katibu na hana haki ya kupiga kura.
24.- (1) Kutakuwa na Kamati ya Rufani katika kila Wilaya ambayo itakuwa na wajumbe wafuatao: (a) Katibu Tawala wa Wilaya ambaye atakuwa Mwenyekiti; watumishi wanne wa umma kutoka taasisi za umma zilizopo katika Wilaya husika; na mtumishi mmoja wa umma ambaye atakuwa Katibu na hatakuwa na haki ya kupiga kura. (b) (c) Kamati Rufani (2) Wajumbe wa Kamati ya Rufani watateuliwa na Katibu Tawala wa Mkoa siku saba kabla ya siku ya sifa uteuzi wa wagombea zilizoainishwa katika kanuni ya 25. kuzingatia kwa Sifa za Wajumbe wa Kamati ya Rufani - 25 Verify source ↗
Mtu yeyote hatateuliwa kuwa Mjumbe wa Kamati ya
AI-assisted research summary: A person must not be appointed as a member of the Appeals Committee if they have certain roles or connections, including candidate selection involvement, election administration roles, local government employment, or being a political party leader.
25. Mtu yeyote hatateuliwa kuwa Mjumbe wa Kamati ya Rufani endapo- (a) (b) (c) (d) anahusika na uteuzi wa wagombea; ni Msimamizi wa Uchaguzi, Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi au Msimamizi wa Kituo; ni mtumishi wa Halmashauri; au kiongozi wa Chama cha Siasa katika ngazi yoyote. Majukumu ya Kamati ya Rufani - 26 Verify source ↗
(1) Kamati ya Rufani itakuwa na majukumu ya kupokea,
AI-assisted research summary: The Appeals Committee must receive, hear, and decide appeals submitted under rule 23(3).
26.- (1) Kamati ya Rufani itakuwa na majukumu ya kupokea, kusikiliza na kutoa uamuzi wa rufaa iliyowasilishwa chini ya kanuni ya 23(3). (2) Kamati ya Rufani itatoa uamuzi wa rufaa ndani ya siku nne kuanzia siku ya kupokea rufaa na uamuzi 13 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katika Mamlaka Za Wilaya Tangazo la Serikali Na.571 (Linaendelea.) Kampeni za uchaguzi wake utakuwa wa mwisho. SEHEMU YA SITA KAMPENI ZA UCHAGUZI
Part
SEHEMU YA SITA
- 27 Verify source ↗
(1) Kampeni za Uchaguzi zitafanyika siku saba kabla ya
AI-assisted research summary: Kampeni za uchaguzi hufanyika siku saba kabla ya uchaguzi, na vyama vinavyoshiriki lazima viwasilishe ratiba ya mikutano ya kampeni kwa Msimamizi wa Uchaguzi mapema. Ratiba hizo huunganishwa na kupelekwa kwa Mkuu wa Polisi wa Wilaya.
27.- (1) Kampeni za Uchaguzi zitafanyika siku saba kabla ya siku ya Uchaguzi. (2) Kila Chama cha Siasa kinachoshiriki Uchaguzi kitawasilisha ratiba yake ya mikutano ya kampeni ya uchaguzi kwa Msimamizi wa Uchaguzi si chini ya siku saba kabla ya kuanza kwa kampeni. (3) Msimamizi wa Uchaguzi ataunganisha ratiba za mikutano ya kampeni zilizowasilishwa na Vyama vya Siasa kwa mujibu wa kanuni ndogo ya (2) baada ya maridhiano na Vyama vya Siasa vinavyoshiriki Uchaguzi na atatakiwa kuwasilisha ratiba ya mikutano ya kampeni za uchaguzi iliyounganishwa siku tatu kabla ya kampeni kuanza kwa Mkuu wa Polisi wa Wilaya. (4) Endapo Vyama Vya Siasa vitashindwa kuridhiana wakati wa uunganishaji wa ratiba za mikutano ya kampeni, Msimamizi wa Uchaguzi ataunganisha ratiba za mikutano ya kampeni na uamuzi wake utakuwa wa mwisho. (5) Mgombea au mwakilishi wa mgombea au Chama cha Siasa chenye mgombea kinaweza kuitisha na kuhutubia mikutano ya kampeni kwa mujibu wa ratiba ya mikutano ya kampeni iliyoandaliwa na kuwasilishwa kwa Mkuu wa Polisi wa Wilaya na mikutano hiyo itaratibiwa na Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi. Wajibu wa Jeshi la Polisi - 28 Verify source ↗
(1) Mkuu wa Polisi wa Wilaya atakuwa na wajibu wa
AI-assisted research summary: Mkuu wa Polisi wa Wilaya lazima ahakikishe ulinzi na usalama kwenye mikutano ya kampeni.
28.- (1) Mkuu wa Polisi wa Wilaya atakuwa na wajibu wa kuhakikisha ulinzi na usalama katika mikutano ya kampeni. (2) Ratiba ya mikutano ya kampeni za uchaguzi itakayowasilishwa na Msimamizi wa Uchaguzi kwa Mkuu wa Polisi wa Wilaya chini ya kanuni ya 27(3) itakuwa ni taarifa rasmi ya mikutano ya kampeni na 14 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katika Mamlaka Za Wilaya Tangazo la Serikali Na.571 (Linaendelea.) mgombea au Chama chake hakitowajibika kutoa taarifa kwa Jeshi la Polisi. (3) Mikutano ya kampeni za uchaguzi kwa mujibu wa ratiba iliyopitishwa itaanza saa mbili asubuhi na itamalizika saa kumi na mbili kamili jioni ya kila siku ya kampeni. Mabadiliko ya ratiba - 29 Verify source ↗
(1) Endapo Mgombea au Chama cha Siasa chenye
AI-assisted research summary: To change a campaign meeting schedule, a candidate or political party with a candidate must first submit the proposed changes in writing to the Election Supervisor, and the changes must be approved under subrule (2).
29.- (1) Endapo Mgombea au Chama cha Siasa chenye mgombea kitakusudia kufanya mabadiliko ya ratiba ya mikutano ya kampeni, kitafanya hivyo baada ya kuwasilisha kwa maandishi mapendekezo ya mabadiliko hayo kwa Msimamizi wa Uchaguzi na mapendekezo hayo kuridhiwa kwa mujibu wa kanuni ndogo ya (2). (2) Msimamizi wa Uchaguzi ataitisha kikao na Vyama vya Siasa vinavyoshiriki uchaguzi ili kujadili maombi ya mabadiliko na mabadiliko yatakayokubaliwa yatawasilishwa kwa Mkuu wa Polisi wa Wilaya kwa ajili ya kupatiwa ulinzi siku ya mkutano wa kampeni. ratiba ya Masharti ya kampeni - 30 Verify source ↗
(1) Mgombea, mwakilishi wa mgombea au Chama cha
AI-assisted research summary: Mgombea, mwakilishi wa mgombea, au chama cha siasa chenye mgombea lazima kiendeshe mikutano ya kampeni kulingana na ratiba na muda uliowekwa, na hakiruhusiwi kufanya kampeni kwa rushwa, matusi, ubaguzi, au maneno yanayoweza kusababisha amani kuvurugika au vurugu.
30.- (1) Mgombea, mwakilishi wa mgombea au Chama cha Siasa chenye mgombea kitatakiwa kuendesha mikutano ya kampeni za uchaguzi kwa mujibu wa ratiba na kwa kuzingatia muda uliowekwa chini ya Kanuni hizi. (2) Mgombea au mwakilishi wa mgombea au Chama cha Siasa chenye mgombea hakitaruhusiwa kuendesha kampeni za uchaguzi kwa: (a) (b) (c) kutumia rushwa; kutoa maneno ya kashfa au lugha za matusi; jinsia, maumbile, kufanya ubaguzi wa ulemavu, dini, rangi, kabila au ubaguzi mwingine wa aina yoyote; au kutoa maneno ambayo yanaweza kusababisha uvunjifu wa amani au vurugu. (d) 15 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katika Mamlaka Za Wilaya Tangazo la Serikali Na.571 (Linaendelea.) Mahali, vituo na muda wa kupigia kura Masanduku ya kura SEHEMU YA SABA TARATIBU ZA UPIGAJI KURA
Part
SEHEMU YA SABA
- 31 Verify source ↗
(1) Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Mwenyekiti wa
AI-assisted research summary: Voting for village leaders takes place in the hamlets within the village, at public buildings in the relevant hamlet or another place if no public building is available, with voting running from 2:00 a.m. to 10:00 p.m.
31.- (1) Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Mwenyekiti wa Kitongoji na Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji utafanyika katika Vitongoji vilivyomo katika Kijiji. (2) Vituo vya kupigia kura vitakuwa katika majengo ya umma yaliyopo katika Kitongoji husika na endapo Kitongoji hakina majengo ya umma, Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi, baada ya kushauriana na wagombea au Vyama vya Siasa vyenye wagombea, atateua eneo lingine kuwa kituo cha kupigia kura. (3) Kura zitapigwa kuanzia saa mbili kamili asubuhi mpaka saa kumi kamili jioni. (4) Baada ya saa kumi kamili, askari atakaa nyuma ya mpiga kura wa mwisho ili kuzuia watu waliochelewa kupiga kura. - 32 Verify source ↗
(1) Kutakuwa na masanduku maalum ya kupigia kura
AI-assisted research summary: Kabla ya kupiga kura, msimamizi wa kituo lazima awaoneshe wapiga kura sanduku la kura lililo wazi na kulifunga kwa lakiri.
32.- (1) Kutakuwa na masanduku maalum ya kupigia kura kwa nafasi ya uenyekiti wa Kijiji, ujumbe wa la Halmashauri ya Kijiji kundi mchanganyiko wanaume na wanawake, ujumbe wa Halmashauri ya Kijiji kupitia kundi la wanawake na uenyekiti wa namna Kitongoji itakayomwezesha mpiga kura kutumbukiza kura yake kwa urahisi kwa kila ngazi itakayopigiwa kura bila ya kuruhusu kura hiyo kutolewa ndani ya sanduku hilo. (2) Kabla ya kuanza kupiga kura, Msimamizi wa Kituo atawaonesha wapiga kura sanduku la kupigia kura lililo wazi na atalifunga kwa lakiri kwa namna ambayo itazuia kufunguliwa bila kukata lakiri. yaliyotengenezwa kwa Karatasi za kupigia kura - 33 Verify source ↗
Kutakuwa na karatasi za kupigia kura kwa nafasi ya
AI-assisted research summary: Ballot papers are to be used for the listed village and sub-ward election positions, as set out in the Fourth Schedule.
33. Kutakuwa na karatasi za kupigia kura kwa nafasi ya uenyekiti wa Kijiji, ujumbe wa Halmashauri ya Kijiji kundi mchanganyiko la wanaume na wanawake, ujumbe wa Halmashauri ya Kijiji kupitia kundi la wanawake na uenyekiti wa Kitongoji zitakuwa kama zilivyoainishwa katika Jedwali la Nne la Kanuni hizi. ambazo 16 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katika Mamlaka Za Wilaya Tangazo la Serikali Na.571 (Linaendelea.) - 34 Verify source ↗
Section 34
AI-assisted research summary: Polling station supervisors must check a voter’s name on the voter list before issuing ballot papers, and may ask for identification.
34.- Utambulisho wa mpiga kura (1) Msimamizi wa Kituo atatakiwa, kabla ya kumpa mpiga kura karatasi za kupigia kura, kujiridhisha kama jina la mpiga kura huyo limo kwenye orodha ya Wapiga Kura. (2) Kwa madhumuni ya kanuni ndogo ya (1), Msimamizi wa Kituo anaweza kumtaka mpiga kura aoneshe kitambulisho kitakachoonesha kuwa jina la mpiga kura huyo ndilo lililomo kwenye Orodha ya Wapiga Kura. (3) Aina ya kitambulisho ambacho Msimamizi wa Kituo anaweza kumtaka mpiga kura kuonesha ni pamoja na: (a) (b) (c) (d) (e) (f) (g) (h) kitambulisho cha mpiga kura; kitambulisho cha kazi; hati ya kusafiria; kadi ya bima ya afya; kitambulisho cha shule au chuo; kitambulisho cha mifuko ya hifadhi ya jamii; leseni ya udereva; au kitambulisho cha taifa. (4) Endapo mpiga kura atakuwa hana kitambulisho cha aina yoyote kati ya vilivyotajwa chini ya kanuni ndogo ya (3) lakini jina lake limo kwenye Orodha ya Wapiga Kura iliyoandaliwa kwa mujibu wa Kanuni hizi, Msimamizi wa Kituo atamruhusu mtu huyo kupiga kura baada ya kutambuliwa na wakazi wa eneo husika. Upigaji kura 35.- (1) Kura zitapigwa katika namna itakayozingatia usiri. (2) Kwa kuzingatia masharti ya kanuni ya 34, Msimamizi wa Kituo atampa mpiga kura karatasi nne za kupigia kura kwa nafasi zifuatazo: (a) (b) (c) mwenyekiti wa Kijiji; wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji; wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji kupitia kundi la wanawake; na mwenyekiti wa Kitongoji. (d) (3) Mpiga kura, baada ya kupewa karatasi za kupigia kura, atapiga kura kwa utaratibu ufuatao: (a) kura moja kwa nafasi ya uenyekiti wa Kijiji; 17 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katika Mamlaka Za Wilaya Tangazo la Serikali Na.571 (Linaendelea.) (b) (c) (d) kura moja kwa nafasi ya uenyekiti wa Kitongoji; kura kwa nafasi ya ujumbe wa Halmashauri ya Kijiji kwa itakayoelekezwa na Msimamizi wa kituo; na kura kwa nafasi ya ujumbe wa Halmashauri ya Kijiji kupitia kundi la wanawake. idadi (4) Bila kuathiri masharti ya kanuni ndogo (3), Endapo kutakuwa na mgombea pekee kwa nafasi ya Mwenyekiti wa Kijiji au Kitongoji au kundi la Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji kwa kundi mchanganyiko yaani wanaume na wanawake au kwa kundi la wanawake mpiga kura atapiga kura moja ya NDIYO au HAPANA kwa nafasi ya mgombea husika. (5) Baada ya kupiga kura, mpiga kura atatakiwa kuchovya kidole cha mkono katika kidau cha wino. (6) Wakati wa kupiga kura watu wafuatao wataruhusiwa kushuhudia kura zinavyopigwa: (a) Msimamizi wa Uchaguzi; (b) Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi; (c) Askari Polisi, Mgambo mwenye sare au afisa yeyote ambaye atatambuliwa na Msimamizi au Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi; anayesimamia ulinzi (d) Wakala wa Chama cha Siasa chenye Mgombea; na (e) Mwangalizi wa Uchaguzi mwenye kitambulisho. (7) Bila kuathiri masharti ya Kanuni hizi, mtu yeyote la Kituo cha hatoruhusiwa kubaki katika eneo Kupigia Kura baada ya kupiga kura. - 36 Verify source ↗
(1) Mpiga kura ambaye
AI-assisted research summary: Mpiga kura mwenye ulemavu wa macho, ulemavu mwingine, au asiyejua kusoma na kuandika anaweza kuomba msaada wa kupiga kura; mtu mmoja haruhusiwi kumsaidia zaidi ya mpiga kura mmoja.
36.- (1) Mpiga kura ambaye: (a) kwa sababu ya ulemavu wa macho au ulemavu mwingine wowote; au hajui kusoma na kuandika, (b) anaweza kumwomba mtu yeyote kumsaidia kupiga isipokuwa mpiga kura huyo hataruhusiwa kura; 18 Usaidizi kwa wenye mahitaji maalum Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katika Mamlaka Za Wilaya Tangazo la Serikali Na.571 (Linaendelea.) kuomba usaidizi wa Msimamizi wa Uchaguzi, Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi, Msimamizi wa Kituo, mgombea au wakala wake. (2) Bila kuathiri masharti ya kanuni ndogo ya (1), mtu mmoja hataruhusiwa kumsaidia mpiga kura zaidi ya mmoja. Kuahirisha upigaji kura - 37 Verify source ↗
Endapo siku ya kupiga kura kutatokea jambo lolote
AI-assisted research summary: If something prevents voting from continuing on polling day, the assistant election officer must postpone the vote.
37. Endapo siku ya kupiga kura kutatokea jambo lolote litakalozuia upigaji kura kuendelea kufanyika, Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi baada ya kuwasiliana na Msimamizi wa Uchaguzi ataahirisha upigaji kura hadi siku inayofuata au siku nyingine anayoona inafaa ambayo haitazidi siku saba tangu siku uchaguzi ulipoahirishwa. SEHEMU YA NANE KUHESABU KURA NA KUTANGAZA MATOKEO Kuhesabu kura
Part
SEHEMU YA NANE
- 38 Verify source ↗
(1) Kura zitahesabiwa na Msimamizi wa Kituo kwenye
AI-assisted research summary: Kura huhesabiwa na Msimamizi wa Kituo mbele ya wagombea au mawakala wao, na watu fulani wanaruhusiwa kushuhudia mchakato huo.
38.- (1) Kura zitahesabiwa na Msimamizi wa Kituo kwenye kituo cha kupigia kura mbele ya wagombea au mawakala wao. (c) lakiri (2) Msimamizi wa Kituo, kabla ya kuanza kuhesabu kura, atafanya yafuatayo mbele ya wagombea au mawakala wao: (a) (b) atahakiki idadi ya wakazi waliopiga kura; atahesabu idadi ya karatasi za kupigia kura ambazo hazikutumika na kuziweka katika bahasha maalum; atakagua haijafunguliwa; atakata lakiri; na atafungua sanduku la kupigia kura. (3) Bila ya kuathiri masharti ya kanuni ndogo ya (1), kura watu wafuatao wakati wa wataruhusiwa kushuhudia kura zinavyohesabiwa: (a) Msimamizi wa Uchaguzi; (b) Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi; (c) Askari Polisi, Mgambo mwenye sare au afisa yeyote anayesimamia ulinzi; na kuhesabu (d) (e) kuona kama na (d) Mwangalizi wa uchaguzi mwenye 19 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katika Mamlaka Za Wilaya Tangazo la Serikali Na.571 (Linaendelea.) kitambulisho. (4) Bila kuathiri masharti ya Kanuni hii, kura za wagombea wa nafasi ya uenyekiti wa Kijiji na ujumbe wa Halmashauri ya Kijiji zitajumlishwa katika kituo cha kujumlishia kura kitakachokuwa katika ofisi ya Serikali ya Kijiji au mahali kwingine ambapo Msimamizi wa Uchaguzi ataelekeza. (5) Kwa madhumuni ya kanuni ndogo ya (4), Mgombea au Wakala wake na watu waliotajwa katika kanuni ndogo kura ya zinavyojumlishwa. (3) wanaweza kushuhudia Matokeo ya Mwenyekiti wa Kitongoji - 39 Verify source ↗
(1) Msimamizi wa Kituo atamtangaza mgombea wa
AI-assisted research summary: The Station Supervisor must declare the candidate with the most votes as Ward Chairperson, and handle tied results by reporting them and triggering a new election date.
39.- (1) Msimamizi wa Kituo atamtangaza mgombea wa nafasi ya uenyekiti wa Kitongoji aliyepata kura nyingi kuwa Mwenyekiti wa Kitongoji. (2) Endapo idadi ya kura kwa nafasi ya uenyekiti wa Kitongoji italingana kwa wagombea wanaoongoza, Msimamizi wa Kituo atatangaza matokeo hayo na kuwasilisha taarifa ya uchaguzi huo kwa Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi ambaye atapanga tarehe nyingine ya uchaguzi ndani ya siku kumi na nne tangu tarehe ya uchaguzi. (3) Matokeo ya uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kitongoji yatajazwa kwenye fomu ya matokeo kama ilivyoainishwa katika Jedwali la Tano la Kanuni hizi ambayo itasainiwa na wagombea au mawakala wao pamoja na Msimamizi wa Kituo na kubandikwa kwenye sehemu ya matangazo ya uchaguzi. (4) Bila kuathiri masharti ya Kanuni hii, pale ambapo nafasi ya uenyekiti wa Kitongoji ilikuwa na mgombea pekee, Msimamizi wa Kituo atamtangaza mgombea pekee kuwa Mwenyekiti wa Kitongoji endapo atakuwa amepata kura nyingi za NDIYO. (5) Endapo idadi ya kura za NDIYO na HAPANA kwa mgombea pekee kwa nafasi ya uenyekiti wa zitalingana, Msimamizi wa Kituo Kitongoji atatangaza matokeo hayo na kuwasilisha taarifa ya Uchaguzi huo kwa Msimamizi wa Uchaguzi ambaye atapanga tarehe nyingine ya Uchaguzi ndani ya siku 20 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katika Mamlaka Za Wilaya Tangazo la Serikali Na.571 (Linaendelea.) - 40 Verify source ↗
(1)
AI-assisted research summary: Viongozi wa uchaguzi lazima wajaze, wasaini, na kuwasilisha fomu za matokeo, kisha kutangaza washindi kulingana na matokeo ya kura; ikitokea sare fulani, uchaguzi mwingine hupangwa ndani ya siku 14.
40.- (1) Matokeo ya Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji kumi na nne tangu tarehe ya Uchaguzi. Msimamizi wa Kituo atajaza matokeo ya Uchaguzi wa Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji kupitia kundi mchanganyiko la wanaume na wanawake na Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji kupitia kundi la wanawake kwenye fomu ya matokeo iliyoainishwa katika Jedwali la Tano la Kanuni hizi ambayo itasainiwa na wagombea au mawakala wao pamoja na Msimamizi wa Kituo na nakala kubandikwa kwenye sehemu ya matangazo ya Uchaguzi na nakala halisi kuwasilishwa Ofisi ya Serikali ya Kijiji. (2) Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi, baada ya kupokea nakala halisi ya fomu ya matokeo kutoka kwa Msimamizi wa Kituo, atajaza matokeo hayo katika fomu ya matokeo ya jumla iliyoainishwa katika Jedwali la Tano la Kanuni hizi na kumtangaza mshindi au washindi wa kila nafasi iliyogombewa. (3) Fomu ya matokeo ya jumla itasainiwa na wagombea au mawakala wao pamoja na Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi. (4) Utaratibu wa kutangaza matokeo ya Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji wa kundi la wagombea mchanganyiko yaani wanawake na wanaume utakuwa kama ifuatavyo: (a) endapo idadi ya wagombea ni kubwa kuliko idadi ya nafasi za ujumbe zilizopo, Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi atawatangaza wagombea waliopata kura nyingi kuwa wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji; inalingana kwa endapo wagombea au kwa baadhi yao, Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi atawatangaza wagombea ambao wamepata kura nyingi kuwa washindi wa nafasi ya ujumbe wa Halmashauri ya Kijiji; endapo wagombea inalingana kwa lakini anahitajika mgombea idadi ya kura idadi ya kura 21 (b) (c) Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katika Mamlaka Za Wilaya Tangazo la Serikali Na.571 (Linaendelea.) mmoja kati yao ili kupata idadi ya jumla ya wajumbe wanaohitajika kwa mujibu wa Kanuni hizi, Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi atatangaza matokeo hayo na kupanga tarehe nyingine ya Uchaguzi katika muda usiozidi siku kumi na nne tangu siku ya Uchaguzi. (5) Utaratibu wa kutangaza matokeo ya wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji kwa kundi la wagombea wa ujumbe wa Halmashauri ya Kijiji kundi la wanawake utakuwa kama ifuatavyo: (a) (b) (c) wa za ujumbe idadi ya kura endapo idadi ya wajumbe ni kubwa kuliko zilizopo, idadi ya nafasi Uchaguzi Msimamizi Msaidizi atawatangaza wagombea waliopata kura nyingi kuwa wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji; italingana kwa endapo wagombea au kwa baadhi yao, Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi atawatangaza wagombea ambao wamepata kura nyingi kuwa ni washindi wa nafasi ya ujumbe wa Halmashauri ya Kijiji; italingana kwa endapo anahitajika mgombea wagombea mmoja kati yao ili kupata idadi ya jumla ya wajumbe wanaohitajika kwa mujibu wa Kanuni hizi, Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi atatangaza matokeo hayo na kupanga tarehe nyingine ya Uchaguzi katika muda usiozidi siku kumi na nne tangu siku ya Uchaguzi. idadi ya kura lakini (6) Bila kuathiri masharti ya Kanuni hii, pale ambapo nafasi ya Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji kupitia kundi mchanganyiko la wanaume na wanawake na Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji kupitia kundi la wanawake lina wagombea pekee, Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi atamtangaza mgombea pekee kuwa Mjumbe wa Halmashauri ya Kijiji kupitia kundi 22 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katika Mamlaka Za Wilaya Tangazo la Serikali Na.571 (Linaendelea.) mchanganyiko la wanaume na wanawake na Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji kupitia kundi la wanawake endapo atakuwa amepata kura nyingi za NDIYO. (7) Endapo idadi ya kura za NDIYO na HAPANA kwa Mjumbe wa Halmashauri ya Kijiji kupitia kundi mchanganyiko la wanaume na wanawake na Mjumbe wa Halmashauri ya Kijiji kupitia kundi la wanawake zitalingana, Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi atatangaza matokeo hayo na kuwasilisha taarifa ya Uchaguzi huo kwa Msimamizi wa Uchaguzi ambaye atapanga tarehe nyingine ya Uchaguzi ndani ya siku kumi na nne tangu tarehe ya Uchaguzi. Matokeo ya Mwenyekiti wa Kijiji
Part
Jedwali la Tano la Kanuni hizi na kumtangaza
- 41 Verify source ↗
(1) Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi, baada ya kupokea
AI-assisted research summary: The Assistant Election Supervisor must count the votes, complete the total results form, and announce the winner or arrange a repeat election where the vote is tied.
41.- (1) Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi, baada ya kupokea fomu za matokeo ya kura za nafasi ya uenyekiti wa Kijiji kutoka kwa wasimamizi wa vituo vya kupigia kura, atajumlisha idadi ya kura kwa kila mgombea wa nafasi ya uenyekiti wa Kijiji na kujaza matokeo katika fomu ya matokeo ya jumla iliyoainishwa katika Jedwali la Tano la Kanuni hizi na fomu hiyo itasainiwa na wagombea au mawakala wao pamoja na Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi. (2) Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi atamtangaza mgombea aliyepata kura nyingi kuwa Mwenyekiti wa Kijiji na kubandika matokeo hayo kwenye sehemu ya matangazo ya uchaguzi. (3) Endapo idadi ya kura inalingana kwa wagombea wanaoongoza, Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi atatangaza matokeo na kupanga tarehe nyingine ya uchaguzi wa marudio utakaofanyika ndani ya muda wa siku kumi na nne tangu tarehe ya uchaguzi. (4) Bila kuathiri masharti ya Kanuni hii, pale ambapo nafasi ya uenyekiti wa Kijiji ilikuwa na mgombea pekee, Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi atamtangaza mgombea pekee kuwa Mwenyekiti wa Kijiji endapo atakuwa amepata kura nyingi za NDIYO. (5) Endapo idadi ya kura za NDIYO na HAPANA kwa 23 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katika Mamlaka Za Wilaya Tangazo la Serikali Na.571 (Linaendelea.) mgombea pekee kwa nafasi ya uenyekiti wa Kijiji zitalingana, Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi atatangaza matokeo hayo na kuwasilisha taarifa ya Uchaguzi huo kwa Msimamizi wa Uchaguzi ambaye atapanga tarehe nyingine ya Uchaguzi ndani ya siku kumi na nne tangu tarehe ya Uchaguzi. Taratibu za kurudia uchaguzi - 42 Verify source ↗
(1) Bila kuathiri masharti ya Kanuni hizi, uchaguzi wa
AI-assisted research summary: Wagombea wa uchaguzi wa marudio na vyama vyao vya siasa hawaruhusiwi kufanya kampeni za uchaguzi wa marudio.
42.- (1) Bila kuathiri masharti ya Kanuni hizi, uchaguzi wa marudio unaotokana na kulingana kwa idadi ya kura utahusisha wagombea ambao idadi ya kura zao zimelingana na itachukuliwa kuwa wagombea hao wameshateuliwa kuwa wagombea kwa mujibu wa Kanuni hizi. (2) Wagombea wanaoshiriki katika uchaguzi wa marudio au Vyama vyao vya Siasa kwa mujibu wa kanuni ndogo ya (1) havitaruhusiwa kufanya kampeni za uchaguzi wa marudio. Masuala yasiyobatili- sha matokeo - 43 Verify source ↗
Masuala yafuatayo hayatobatilisha matokeo ya uchaguzi
AI-assisted research summary: Certain election-result issues do not invalidate the election or election activity.
43. Masuala yafuatayo hayatobatilisha matokeo ya uchaguzi au utekelezaji wa shughuli yoyote ya uchaguzi: (a) kutokuwepo kwa mgombea au wakala wa mgombea wakati wa kupiga kura, kuhesabu kura au kutangaza matokeo; au (b) mgombea au wakala wa mgombea kukataa kusaini fomu ya matokeo. Malalamiko kuhusu uendesha ji wa uchaguzi - 44 Verify source ↗
Mgombea yeyote ambaye hakuridhika na matokeo ya
AI-assisted research summary: A dissatisfied election candidate may file a case in the District Court within 30 days after election results are announced.
44. Mgombea yeyote ambaye hakuridhika na matokeo ya uchaguzi au uendeshaji wa uchaguzi anaweza kufungua shauri katika Mahakama ya Wilaya ndani ya siku thelathini tangu siku ya kutangaza matokeo ya uchaguzi. Utunzaji wa nyaraka - 45 Verify source ↗
(1) Msimamizi wa uchaguzi atahakikisha anatunza kwa
AI-assisted research summary: Msimamizi wa uchaguzi lazima aweke salama nyaraka zote za uendeshaji wa uchaguzi, na aziteketeze baada ya siku 30 tangu siku ya uchaguzi isipokuwa Mahakama iagize vinginevyo.
45.- (1) Msimamizi wa uchaguzi atahakikisha anatunza kwa usalama nyaraka zote zinazohusu uendeshaji wa uchaguzi. (2) Msimamizi wa uchaguzi atahakikisha nyaraka zote zinazohusu uendeshaji wa uchaguzi zinateketezwa baada ya kupita kipindi cha siku thelathini toka siku ya uchaguzi isipokuwa kama itaelekezwa vinginevyo kwa amri ya Mahakama kutokana na mwenendo wa 24 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katika Mamlaka Za Wilaya Tangazo la Serikali Na.571 (Linaendelea.) mashauri ya uchaguzi. SEHEMU YA TISA NAFASI WAZI NA UCHAGUZI MDOGO Nafasi wazi
Part
SEHEMU YA TISA
- 46 Verify source ↗
(1) Nafasi ya uenyekiti wa Kijiji au ujumbe wa
AI-assisted research summary: Nafasi za uenyekiti wa Kijiji, ujumbe wa Halmashauri ya Kijiji, au uenyekiti wa Kitongoji huwa wazi ikitokea sababu zilizoorodheshwa; Mtendaji wa Kijiji lazima amjulishe Msimamizi wa Uchaguzi ndani ya siku 7.
46.- (1) Nafasi ya uenyekiti wa Kijiji au ujumbe wa Halmashauri ya Kijiji au uenyekiti wa Kitongoji itakuwa wazi endapo yatatokea mambo yafuatayo: (a) kifo cha Mwenyekiti au Mjumbe; (b) Mwenyekiti au Mjumbe kujiuzulu wadhifa wake; (c) Mwenyekiti au Mjumbe kukosa sifa za kuwa mgombea; kubatilishwa kwa matokeo ya uchaguzi; (d) (e) Mwenyekiti au Mjumbe kukoma kuwa cha Siasa mwanachama wa Chama kilichomdhamini; Mwenyekiti au Mjumbe kuhama Kijiji au Kitongoji kwa kadri itakavyokuwa; (f) (g) Mwenyekiti kutoitisha mikutano mitatu ya kawaida mfululizo bila kuwa na sababu za msingi; (h) Mwenyekiti kutohudhuria au Mjumbe mikutano mitatu mfululizo ya kawaida bila kuwa na sababu ya msingi; kugawanywa kwa Kijiji au Kitongoji; au Mwenyekiti au Mjumbe kuvuliwa madaraka kwa mujibu wa Sheria. (i) (j) (2) Endapo litatokea jambo lolote chini ya kanuni ndogo ya (1), Mtendaji wa Kijiji atatoa taarifa kwa Msimamizi wa Uchaguzi katika kipindi kisichozidi siku saba tangu kutokea kwa jambo hilo. Uchaguzi Mdogo - 47 Verify source ↗
(1) Msimamizi wa Uchaguzi atatangaza kuwepo kwa
AI-assisted research summary: The election supervisor must announce certain local government vacancies within 14 days of receiving notice, and those vacancies are normally filled by a by-election within 60 days.
47.- (1) Msimamizi wa Uchaguzi atatangaza kuwepo kwa nafasi wazi ya uenyekiti wa Kijiji, ujumbe wa Halmashauri ya Kijiji au uenyekiti wa Kitongoji ndani ya siku kumi na nne baada ya kupokea taarifa kutoka kwa Mtendaji wa Kijiji juu ya kuwepo kwa nafasi wazi. 25 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katika Mamlaka Za Wilaya Tangazo la Serikali Na.571 (Linaendelea.) (2) Nafasi wazi ya uenyekiti wa Kijiji au ujumbe wa Halmashauri ya Kijiji au uenyekiti wa Kitongoji itajazwa kwa kufanya Uchaguzi Mdogo kwa utaratibu uliopo katika Kanuni hizi. (3) Nafasi ya uenyekiti wa Kijiji au ujumbe wa Halmashauri ya Kijiji au uenyekiti wa Kitongoji itajazwa ndani ya muda wa siku sitini baada ya kutangazwa kuwa wazi. (4) Uchaguzi Mdogo hautafanyika kwa nafasi yoyote ile chini ya Kanuni hizi endapo muda uliosalia kabla ya uchaguzi wa kawaida ni miezi sita au pungufu yake. SEHEMU YA KUMI UTARATIBU WA KUAPISHWA Kiapo
Part
SEHEMU YA KUMI
- 48 Verify source ↗
(1) Wafuatao watatakiwa kuapa kiapo cha uaminifu na
AI-assisted research summary: Some election officials and related persons must swear an oath of fidelity and secrecy before a magistrate before starting their duties; if no magistrate is available, the election supervisor or assistant supervisor may administer the oath for certain listed persons.
48.- (1) Wafuatao watatakiwa kuapa kiapo cha uaminifu na kutunza siri mbele ya Hakimu kabla ya kuanza kutekeleza majukumu yao chini ya Kanuni hizi: (a) Msimamizi wa Uchaguzi; (b) Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi; (c) Msimamizi wa Kituo; (d) Mwenyekiti na Wajumbe wa Kamati ya Rufani; (e) mawakala wa Vyama vya Siasa; na (f) mtumishi yeyote wa umma atakayeteuliwa kusimamia shughuli za uchaguzi chini ya Kanuni hizi. (2) Endapo Hakimu hawezi kupatikana, Msimamizi wa Uchaguzi au Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi anaweza kuwaapisha watu waliotajwa katika aya za (c), (d), (e) na (f) za kanuni ndogo ya (1). (3) Wenyeviti wa Vijiji, Wenyeviti wa Vitongoji na Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji, kabla ya kuanza kutekeleza majukumu yao, wataapa kiapo cha utii na uadilifu mbele ya Hakimu ndani ya siku kumi na nne baada ya siku ya uchaguzi. (4) Viapo vilivyotajwa katika Kanuni hii vitakuwa kama vilivyoainishwa katika Jedwali la Sita la Kanuni hizi na watakaoapishwa watapewa nakala za viapo. 26 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katika Mamlaka Za Wilaya Tangazo la Serikali Na.571 (Linaendelea.) SEHEMU YA KUMI NA MOJA MAKOSA NA ADHABU
Part
SEHEMU YA KUMI NA MOJA
- 49 Verify source ↗
(1) Mtu yeyote atakuwa ametenda kosa la uchaguzi
AI-assisted research summary: Mtu yeyote anatendwa kosa la uchaguzi akifanya vitendo vilivyotajwa, kama vile kutoa taarifa za uongo, kupiga kura mara mbili, kufanya kampeni siku ya uchaguzi, kuzuia maofisa wa uchaguzi, au kuvunja masharti ya uchaguzi.
49.- (1) Mtu yeyote atakuwa ametenda kosa la uchaguzi Makosa ya uchaguzi endapo: (a) (b) (c) (d) (e) (f) (g) (h) (i) (j) (k) (l) (m) ili au ataharibu Orodha ya Wapiga Kura au nyaraka zozote zinazohusiana na uchaguzi; atatoa taarifa za uongo ili aweze kupiga kura au kugombea nafasi ya uenyekiti wa Kijiji au ujumbe wa Halmashauri ya Kijiji au uenyekiti wa Kitongoji; atajiandikisha zaidi ya mara moja kwenye orodha ya wapiga kura; atapiga kura zaidi ya mara moja kwa wagombea wa nafasi moja; atatishia wapiga kura au wagombea kuvuruga uchaguzi; atafanya kampeni siku ya uchaguzi; ataonyesha kuvaa mavazi ishara yanayoashiria kumtambulisha mgombea au Chama cha Siasa katika eneo la mita mia mbili kutoka kwenye kituo cha kupigia kura; atamzuia Msimamizi wa Uchaguzi, Uchaguzi, Msimamizi Msaidizi Msimamizi wa Kituo, Mjumbe wa Kamati ya Rufani au mtumishi wa umma aliyeteuliwa kusimamia uchaguzi kutekeleza majukumu yake; atakiuka masharti ya kiapo chake chini ya kanuni ya 48(1); atapatikana na karatasi za kupigia kura zaidi ya moja kwa nafasi moja inayogombewa; atavuruga ratiba ya mikutano ya kampeni za uchaguzi au atavunja masharti ya kampeni za uchaguzi; atafanya jambo lolote kinyume cha Kanuni hizi. atakutwa na silaha kinyume cha Sheria wa 27 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katika Mamlaka Za Wilaya Tangazo la Serikali Na.571 (Linaendelea.) (n) kwenye eneo la uteuzi wa wagombea, mikutano ya kampeni, eneo la usikilizaji wa rufaa, kituo cha kuandikisha wapiga kura au kituo cha kupigia na kuhesabu kura; au atatangaza matokeo ya uchaguzi kabla hayajatangazwa na Msimamizi wa Uchaguzi, Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi au Msimamizi wa Kituo kwa mujibu wa Kanuni hizi. (2) Mtu yeyote atakayepatikana na hatia kwa kosa lolote chini ya kanuni ndogo ya (1) atahukumiwa adhabu ya faini isiyozidi shilingi laki tatu au kifungo kisichozidi miezi kumi na miwili au vyote kwa pamoja yaani faini na kifungo. (3) Mtu yeyote atakayetumia lugha ya matusi, kashfa, kejeli, udhalilishaji na vitisho au lugha inayo ashiria unyanyasaji na ukatilii wa kijinsia katika uchaguzi atakuwa ametenda kosa na akipatikana na hatia ataadhibiwa kwa mujibu wa taratibu za maadili. Kinga - 50 Verify source ↗
Msimamizi wa Uchaguzi, Msimamizi Msaidizi wa
AI-assisted research summary: Watawala wa uchaguzi na watumishi wa umma wanaohusika na usimamizi wa uchaguzi hawawajibiki, hawashitakiwi, na hawachukuliwi hatua za kinidhamu au kiutawala kwa vitendo au kuacha kufanya vitendo vilivyofanywa kwa nia njema wakati wa kutekeleza majukumu yao chini ya Kanuni hizi.
50. Msimamizi wa Uchaguzi, Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi, Msimamizi wa Kituo, Wajumbe wa Kamati ya Rufani au mtumishi yeyote wa umma aliyehusika na usimamizi wa uchaguzi hatowajibika kwa jinai au madai au kuchukuliwa hatua za kinidhamu au kiutawala kwa jambo lolote alilolifanya au kuacha kufanya kwa nia njema wakati wa kutekeleza majukumu yake chini ya Kanuni hizi. SEHEMU YA KUMI NA MBILI MASUALA MENGINEYO Waangalizi wa ndani wa uchaguzi
Part
SEHEMU YA KUMI NA MBILI
- 51 Verify source ↗
(1) Waangalizi wa ndani wa uchaguzi wataruhusiwa
AI-assisted research summary: Waangalizi wa ndani wa uchaguzi wanaweza kuangalia uchaguzi baada ya kupata kibali cha Katibu Mkuu wa Wizara yenye dhamana ya Serikali za Mitaa.
51.- (1) Waangalizi wa ndani wa uchaguzi wataruhusiwa kuangalia uchaguzi baada ya kupata kibali cha Katibu Mkuu wa Wizara yenye dhamana ya Serikali za Mitaa. (2) Maombi ya kibali cha uangalizi wa uchaguzi yatawasilishwa kwa Katibu Mkuu wa Wizara yenye dhamana ya Serikali za Mitaa ndani ya muda wa siku 28 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katika Mamlaka Za Wilaya Tangazo la Serikali Na.571 (Linaendelea.) ishirini na moja baada ya Tangazo la Uchaguzi kutolewa. (3) Waangalizi wa ndani wa uchaguzi watafanya shughuli za uangalizi kwa gharama zao wenyewe na watatakiwa kuzingatia masharti ya Kanuni hizi na miongozo ikiwa ni pamoja na kutoingilia kwa namna yoyote shughuli za uchaguzi. itakayotolewa Taratibu za Maadili - 52 Verify source ↗
Bila ya kuathiri masharti ya Kanuni hizi, kutakuwa na
AI-assisted research summary: Wadau wa uchaguzi waliotajwa lazima wafuate Taratibu za Maadili ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa zilizo kwenye Jedwali la Saba. Pia, Waziri anaweza kutoa miongozo kuhusu uchaguzi.
52. Bila ya kuathiri masharti ya Kanuni hizi, kutakuwa na Taratibu za Maadili ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa zilizoainishwa katika Jedwali la Saba la Kanuni hizi ambazo zitatakiwa kufuatwa na wadau wa uchaguzi walioainishwa katika Taratibu hizo. Miongozo 53. Bila ya kuathiri masharti ya Kanuni hizi, Waziri anaweza kutoa miongozo mbalimbali kuhusu uchaguzi. ya Elimu Mpiga Kura - 54 Verify source ↗
(1) Taasisi yoyote inayotaka kutoa elimu ya mpiga kura
AI-assisted research summary: Taasisi inayotaka kutoa elimu ya mpiga kura katika uchaguzi lazima iombe kibali kwa Katibu Mkuu wa Wizara yenye dhamana ya Serikali za Mitaa, na taasisi zinazotoa elimu hiyo zinaifanya kwa gharama zao.
54.- (1) Taasisi yoyote inayotaka kutoa elimu ya mpiga kura katika uchaguzi itatakiwa kuwasilisha maombi ya kibali cha kutoa elimu ya mpiga kura kwa Katibu Mkuu wa Wizara yenye dhamana ya Serikali za Mitaa kwa kuzingatia miongozo itakayotolewa. (2) Taasisi zitakazotoa elimu ya mpiga kura zitatoa elimu hiyo kwa gharama zao. Kufutwa kwa Kanuni za Uchaguzi TS Na. 373 la 2019 - 55 Verify source ↗
(1) Kanuni za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji na
AI-assisted research summary: This section repeals the 2019 village and hamlet chairperson election regulations, and lets earlier local-government election notices and related materials keep applying until they are replaced or conflict with these regulations.
55.- (1) Kanuni za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji na Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji na Mwenyekiti wa Kitongoji katika Mamlaka za Wilaya za Mwaka 2019 zinafutwa. (2) Bila kujali masharti ya kanuni ndogo ya (1), matangazo, machapisho, miongozo, taratibu au kitu chochote kinachohusu Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ambacho kilikuwa kinatumika kabla ya kuanza kutumika kwa Kanuni hizi, kitaendelea kutumika hadi pale kitakapofutwa na matangazo, machapisho, miongozo, taratibu au kitu chochote kitakachotolewa isipokuwa kama kwa mujibu wa Kanuni hizi machapisho, miongozo, taratibu au kitu hicho kinakinzana na Kanuni hizi. 29 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katika Mamlaka Za Wilaya Tangazo la Serikali Na.571 (Linaendelea.) __________ JEDWALI LA KWANZA _________ (Limetengenezwa chini ya kanuni ya 11(1)) __________ JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA FOMU Na. I ORODHA YA WAPIGA KURA KWA AJILI YA UCHAGUZI WA MAMLAKA ZA SERIKALI ZA MITAA MWAKA 2024 HALMASHAURI: …………………… MAMLAKA YA MJI MDOGO: …………… KATA: …………………………………… KIJIJI/MTAA: ……………………………. KITONGOJI: …………………………… Na. Jina la Mpiga Kura (Majina matatu) Jinsi (Me/Ke) Umri Tarehe ya kuandikish wa Saini/Dole gumba la aliyeandikish wa Saini ya Mwandikish aji
Part
JEDWALI LA KWANZA
- 10 Verify source ↗
Section 10
AI-assisted research summary: This section contains a form for applying to run for village/hamlet chairperson in 2024.
10. 30 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katika Mamlaka Za Wilaya Tangazo la Serikali Na.571 (Linaendelea.) __________ JEDWALI LA PILI __________ (Limetengenezwa chini ya kanuni ya 17(5)) __________ FOMU YA MAOMBI YA UTEUZI KUGOMBEA UENYEKITI WA KITONGOJI/KIJIJI MWAKA 2024 FOMU Na. II NEMBO YA HALMASHAURI HALMASHAURI ……………………………………. KATA…………………………………………………. KIJIJI…………………………………………………. KITONGOJI ………………………………………… SEHEMU A: MAELEZO YA MGOMBEA (Ijazwe na anayeomba kugombea)
Part
SEHEMU A: MAELEZO YA MGOMBEA
- 7 Verify source ↗
Mahali unapoishi
AI-assisted research summary: Sehemu hii inaonyesha chaguo za mahali unapoishi: kitongoji, kijiji, au kata.
7. Mahali unapoishi (a) Kitongoji……………………… (b)Kijiji…………………………… (c) Kata…………………………… - 8 Verify source ↗
Namba ya Simu (kama ipo) …………………………
AI-assisted research summary: Kifungu hiki kinaonyesha kichwa cha mada ya namba ya simu, ikiwa ipo.
8. Namba ya Simu (kama ipo) ………………………….. - 10 Verify source ↗
Uwezo wako wa Kusoma na Kuandika kiswahili au kiingereza
AI-assisted research summary: The section records a person’s ability to read and write Kiswahili and English.
10.Uwezo wako wa Kusoma na Kuandika kiswahili au kiingereza (a) Kusoma Kiswahili Ndiyo Hapana (b) Kuandika Kiswahili Ndiyo (c) Kusoma Kiingereza Ndiyo (d) Kuandika Kiingereza Ndiyo Hapana Hapana Hapana - 11 Verify source ↗
Je una ulemavu wa aina yoyote? Ndiyo
AI-assisted research summary: The form asks whether the person has any disability and, if yes, to state the type of disability.
11. Je una ulemavu wa aina yoyote? Ndiyo Aina ya Ulemamavu…………………………………… Hapana - 12 Verify source ↗
Jina la Chama cha Siasa kinachokudhamini ………………………………
AI-assisted research summary: This section is a heading about the name of the sponsoring political party and the election rules for village chairpersons, village council members, and hamlet chairpersons in district authorities.
12. Jina la Chama cha Siasa kinachokudhamini ……………………………….. (kwa kirefu au kwa kifupi) 31 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katika Mamlaka Za Wilaya Tangazo la Serikali Na.571 (Linaendelea.) - 13 Verify source ↗
Nafasi unayoomba kugombea……………………………………………
AI-assisted research summary: Mgombea anatakiwa kuheshimu na kutekeleza Taratibu za Maadili ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa Mwaka 2024 wakati wote wa uchaguzi.
13. Nafasi unayoomba kugombea……………………………………………... Nathibitisha kwamba taarifa zote zilizoandikwa hapo juu ni sahihi kama nijuavyo. Saini ya Mgombea ………………………Tarehe ……………..……………… SEHEMU B: TAMKO LA MGOMBEA LA KUHESHIMU NA KUTEKELEZA TARATIBU ZA MAADILI YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA MWAKA 2024 Mimi…..........................................................ambaye ninatarajia kuwa mgombea wa nafasi ya ………………...................................................niliyependekezwa Chama cha…................................................................................. kilichosajiliwa kwa mujibu wa Sheria ya Vyama vya Siasa, Sura ya 258 ninatamka kuwa nitaheshimu na kutekeleza Taratibu za Maadili ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa Mwaka 2024 wakati wote wa uchaguzi. na Ninatoa tamko hili nikiamini kuwa yote niliyoeleza hapo juu ni kweli kwa kadri ya ufahamu wangu. Saini ya Mgombea ………………………Tarehe ……………..……………… SEHEMU C: UDHAMINI WA CHAMA CHA SIASA (Ijazwe na Chama cha Siasa) Hii ni kuthibitisha kuwa ……………………….……..(Taja jina la Mgombea) ni Mwanachama na amedhaminiwa na ………………………………………..(Taja jina la Chama kwa kirefu au kifupi) - 10 Verify source ↗
Uwezo wako wa Kusoma na Kuandika kiswahili au kiingereza
AI-assisted research summary: This section lists whether a person can read and write Kiswahili or English.
10.Uwezo wako wa Kusoma na Kuandika kiswahili au kiingereza (e) Kusoma Kiswahili Ndiyo Hapana (f) Kuandika Kiswahili Ndiyo (g) Kusoma Kiingereza Ndiyo (h) Kuandika Kiingereza Ndiyo (i) Hapana Hapana Hapana - 12 Verify source ↗
Jina la Chama cha Siasa kinachomdhamini………………………………
AI-assisted research summary: Hii ni fungu la kuingiza jina la chama cha siasa kinachomdhamini, kwa kirefu au kwa kifupi.
12. Jina la Chama cha Siasa kinachomdhamini……………………………….. (kwa kirefu au kwa kifupi) - 13 Verify source ↗
Nafasi anayoomba kugombea……………………………………………
AI-assisted research summary: Mgombea anatamka kuwa ataheshimu na kutekeleza taratibu za maadili ya uchaguzi wa serikali za mitaa wakati wote wa uchaguzi.
13. Nafasi anayoomba kugombea……………………………………………... Nathibitisha kwamba taarifa zote zilizoandikwa hapo juu ni sahihi kama nijuavyo. Saini ya Mgombea ………………………Tarehe ……………..……………… 34 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katika Mamlaka Za Wilaya Tangazo la Serikali Na.571 (Linaendelea.) SEHEMU B: TAMKO LA MGOMBEA LA KUHESHIMU NA KUTEKELEZA TARATIBU ZA MAADILI YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA MWAKA 2024 Mimi…..........................................................ambaye ninatarajia kuwa mgombea wa nafasi ya Chama ………………...................................................niliyependekezwa cha…................................................................................. kilichosajiliwa kwa mujibu wa Sheria ya Vyama vya Siasa, Sura ya 258 ninatamka kuwa nitaheshimu na kutekeleza Taratibu za Maadili ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa Mwaka 2024 wakati wote wa uchaguzi. na Ninatoa tamko hili nikiamini kuwa yote niliyoeleza hapo juu ni kweli kwa kadri ya ufahamu wangu. Saini ya Mgombea ………………………Tarehe ……………..……………… SEHEMU C: UDHAMINI WA CHAMA CHA SIASA (Ijazwe na Chama cha Siasa) Hii ni kuthibitisha kuwa ……………………….……..(Taja jina la Mgombea) ni Mwanachama na amedhaminiwa na ………………………………………..(Taja jina la Chama kwa kirefu au kwa kifupi)
Part
SEHEMU C: UDHAMINI WA CHAMA CHA SIASA
- 6 Verify source ↗
Muhuri wa Chama cha Siasa:……………
AI-assisted research summary: This section is titled about the political party seal and returning forms.
6. Muhuri wa Chama cha Siasa:…………… 32 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katika Mamlaka Za Wilaya Tangazo la Serikali Na.571 (Linaendelea.) SEHEMU D: KURUDISHA FOMU (Ijazwe na Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi) - 6 Verify source ↗
Muhuri wa Chama cha Siasa:……………
AI-assisted research summary: Sehemu hii inaonyesha kichwa cha sehemu ya kurudisha fomu kwa uchaguzi, inayotajwa kujazwa na Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi.
6. Muhuri wa Chama cha Siasa:…………… 35 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katika Mamlaka Za Wilaya Tangazo la Serikali Na.571 (Linaendelea.) SEHEMU D: KURUDISHA FOMU (Ijazwe na Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi)
Part
SEHEMU D: KURUDISHA FOMU
- 1 Verify source ↗
Tarehe ya kupokea fomu……………………………………………
AI-assisted research summary: This section is titled “Date of receipt of form.”
1. Tarehe ya kupokea fomu……………………………………………. - 3 Verify source ↗
Saini ya Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi…………………………
AI-assisted research summary: Section heading for the signature of the Assistant Electoral Supervisor.
3. Saini ya Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi………………………… - 4 Verify source ↗
Section 4
AI-assisted research summary: Section 4 is titled “Jina la Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi” (Name of the Assistant Electoral Supervisor).
4. Jina la Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi………………………….. - 5 Verify source ↗
Muhuri wa Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi ……………………
AI-assisted research summary: This section concerns the seal of the Assistant Election Supervisor.
5. Muhuri wa Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi ……………………. - 1 Verify source ↗
Mgombea ameteuliwa/hakuteuliwa………………………………….kugombea nafasi ya
AI-assisted research summary: This section concerns whether a candidate is nominated or not nominated to contest a position.
1. Mgombea ameteuliwa/hakuteuliwa………………………………….kugombea nafasi ya (Ijazwe na Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi siku ya uteuzi) SEHEMU E: UTEUZI ………………………………………… - 1 Verify source ↗
Mgombea ameteuliwa/hakuteuliwa………………………………….kugombea nafasi ya
AI-assisted research summary: Hii ni sehemu ya fomu kuhusu uteuzi wa mgombea kugombea nafasi ya uchaguzi.
1. Mgombea ameteuliwa/hakuteuliwa………………………………….kugombea nafasi ya (Ijazwe na Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi siku ya uteuzi) SEHEMU E: UTEUZI …………………………….
Part
SEHEMU E: UTEUZI
- 3 Verify source ↗
Section 3
AI-assisted research summary: Section title: “Jina la Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi.”
3. Jina la Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi………………………… - 4 Verify source ↗
Saini ya Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi ………………………
AI-assisted research summary: Section 4 is titled “Saini ya Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi” (signature of the assistant election supervisor).
4. Saini ya Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi ………………………. - 6 Verify source ↗
Muhuri wa Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi ……………………
AI-assisted research summary: This section shows an election application form for nomination to contest membership of a village council, including a mixed group and women’s group for 2024.
6. Muhuri wa Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi …………………… 33 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katika Mamlaka Za Wilaya Tangazo la Serikali Na.571 (Linaendelea.) FOMU YA UCHAGUZI FOMU YA MAOMBI YA UTEUZI KUGOMBEA UJUMBE WA HALMASHAURI YA KIJIJI KUNDI MCHANGANYIKO NA KUNDI LA WANAWAKE MWAKA 2024 FOMU Na. III NEMBO YA HALMASHAURI HALMASHAURI ……………………………………. KATA…………………………………………………. KIJIJI…………………………………………………. KITONGOJI ………………………………………… SEHEMU A: MAELEZO YA MGOMBEA (Ijazwe na anayeomba kugombea) - 3 Verify source ↗
Section 3
AI-assisted research summary: Section 3 gives the title/name of the Assistant Election Supervisor.
3. Jina la Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi………………………….. - 4 Verify source ↗
Saini ya Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi ………………………
AI-assisted research summary: Section heading for the signature of the Assistant Returning Officer.
4. Saini ya Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi ……………………….. - 6 Verify source ↗
Muhuri wa Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi ……………………
AI-assisted research summary: This provision shows election form templates, including a candidate withdrawal form and a ballot paper for the village chairperson election in 2024.
6. Muhuri wa Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi ……………………. 36 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katika Mamlaka Za Wilaya Tangazo la Serikali Na.571 (Linaendelea.) ____________ JEDWALI LA TATU __________ (Limetengenezwa chini ya kanuni ya 20(1)) FOMU YA KUJITOA MGOMBEA YA MWAKA 2024 NEMBO YA HALMASHAURI JINA LA MGOMBEA JINA LA CHAMA JINSI (ME/KE) JINA LA KITONGOJI/KIJIJI…………………………………………………………. NAFASI UNAYOJITOA…………………………………………………………….. SABABU ZA KUJITOA…………………………………………………………….. ……………………………………………………………………………………….. ……………………………………………………………………………………….. SAINI YA MGOMBEA ANAYEJITOA………………………………… ALAMA YA DOLE GUMBA TAREHE……………………………. KWA MATUMIZI YA OFISI TU JINA LA MSIMAMIZI MSAIDIZI WA UCHAGUZI…………………………………….. TAREHE YA KUPOKEA……………………………………………. SAINI………………………………………………………………… 37 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katika Mamlaka Za Wilaya Tangazo la Serikali Na.571 (Linaendelea.) __________ JEDWALI LA NNE __________ (Limetengenezwa chini ya kanuni ya 33) ___________ KARATASI YA KUPIGIA KURA KWA NAFASI YA MWENYEKITI WA KIJIJI YA MWAKA 2024 FOMU Na. V “A” NEMBO YA HALMASHAURI Na. JINA LA MGOMBEA JINA LA CHAMA CHA MGOMBEA NEMBO YA CHAMA CHA SIASA WEKA ALAMA YA VEMA KWA MGOMBEA UNAYEMTAKA (√)
Part
JEDWALI LA NNE
- 10 Verify source ↗
Section 10
AI-assisted research summary: This section shows ballot paper templates for 2024 elections for a village chairperson and a hamlet chairperson.
10. 38 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katika Mamlaka Za Wilaya Tangazo la Serikali Na.571 (Linaendelea.) KARATASI YA KUPIGIA KURA KWA NAFASI YA MWENYEKITI WA KIJIJI KWA MGOMBEA PEKEE YA MWAKA 2024 FOMU Na. V “B” NEMBO YA HALMASHAURI Na. JINA LA MGOMBEA JINA LA CHAMA CHA MGOMBEA NEMBO YA CHAMA CHA SIASA WEKA ALAMA YA VEMA KATIKA KISANDUKU CHA NDIYO AU HAPANA (√) NDIYO HAPANA 39 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katika Mamlaka Za Wilaya Tangazo la Serikali Na.571 (Linaendelea.) KARATASI YA KUPIGIA KURA KWA NAFASI YA MWENYEKITI WA KITONGOJI YA MWAKA 2024 FOMU Na. VI “A” NEMBO YA HALMASHAURI Na. JINA LA MGOMBEA JINA LA CHAMA CHA MGOMBEA NEMBO YA CHAMA CHA SIASA WEKA ALAMA YA VEMA KWA MGOMBEA UNAYEMTAKA (√) - 10 Verify source ↗
Section 10
AI-assisted research summary: This text shows ballot paper forms for voting in local elections, including a single-candidate hamlet chairperson ballot and a mixed-group village council membership ballot.
10. 40 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katika Mamlaka Za Wilaya Tangazo la Serikali Na.571 (Linaendelea.) KARATASI YA KUPIGIA KURA KWA NAFASI YA MWENYEKITI WA KITONGOJI KWA MGOMBEA PEKEE YA MWAKA2024 FOMU Na. VI “B” NEMBO YA HALMASHAURI Na. JINA LA MGOMBEA JINA LA CHAMA CHA MGOMBEA NEMBO YA CHAMA CHA SIASA WEKA ALAMA YA VEMA KATIKA KISANDUKU CHA NDIYO AU HAPANA (√) NDIYO HAPANA 41 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katika Mamlaka Za Wilaya Tangazo la Serikali Na.571 (Linaendelea.) FOMU Na. VII “A” KARATASI YA KUPIGIA KURA NAFASI YA UJUMBE WA HALMASHAURI YA KIJIJI KWA KUNDI MCHANGANYIKO YA MWAKA 2024 NEMBO YA HALMASHAURI Na. JINA LA MGOMBEA JINA LA CHAMA CHA MGOMBEA NEMBO YA CHAMA CHA SIASA WEKA ALAMA YA VEMA KWA MGOMBEA UNAYEMTAK A (√) - 10 Verify source ↗
Section 10
AI-assisted research summary: This section contains election ballot form text for village council and committee candidate voting in 2024.
10. 42 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katika Mamlaka Za Wilaya Tangazo la Serikali Na.571 (Linaendelea.) FOMU Na. VII “B” KARATASI YA KUPIGIA KURA NAFASI YA UJUMBE WA HALMASHAURI YA KIJIJI KUNDI MCHANGANYIKO KWA MGOMBEA PEKEE YA MWAKA 2024 NEMBO YA HALMASHAURI Na. JINA LA MGOMBEA JINA LA CHAMA CHA MGOMBEA NEMBO YA CHAMA CHA SIASA WEKA ALAMA YA VEMA KATIKA KISANDUKU CHA NDIYO AU HAPANA (√) NDIYO HAPANA 43 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katika Mamlaka Za Wilaya Tangazo la Serikali Na.571 (Linaendelea.) KARATASI YA KUPIGIA KURA WAGOMBEA UJUMBE WA HALMASHAURI YA KIJIJI KUNDI LA WANAWAKE YA MWAKA 2024 FOMU Na. VIII “A” NEMBO YA HALMASHAURI Na. JINA LA MGOMBEA JINA LA CHAMA CHA MGOMBEA NEMBO YA CHAMA CHA SIASA WEKA ALAMA YA VEMA KWA MGOMBEA UNAYEMTAKA (√) - 10 Verify source ↗
Section 10
AI-assisted research summary: This section shows election form templates for a village council candidate ballot paper and a village/hamlet chairperson election results form for 2024.
10. 44 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katika Mamlaka Za Wilaya Tangazo la Serikali Na.571 (Linaendelea.) KARATASI YA KUPIGIA KURA WAGOMBEA UJUMBE WA HALMASHAURI YA KIJIJI KUNDI LA WANAWAKE KWA MGOMBEA PEKEE YA MWAKA 2024 FOMU Na. VIII “B” NEMBO YA HALMASHAURI Na. JINA LA MGOMBEA JINA LA CHAMA CHA MGOMBEA NEMBO YA CHAMA CHA SIASA WEKA ALAMA YA VEMA KATIKA KISANDUKU CHA NDIYO AU HAPANA (√) NDIYO HAPANA 45 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katika Mamlaka Za Wilaya Tangazo la Serikali Na.571 (Linaendelea.) _________ JEDWALI LA TANO __________ (Limetengenzwa chini ya kanuni za 39, 40 na 41) _________ FOMU Na. IX “A” FOMU YA MATOKEO YA UCHAGUZI WA MWENYEKITI WA KIJIJI/KITONGOJI YA MWAKA 2024 NEMBO YA HALMASHAURI Na. JINA LA MGOMBEA CHAMA CHA SIASA KURA ALIZOPATA JINSI (KE/ME) SAINI YA MGOMBEA AU MWAKILISHI WAKE
Part
JEDWALI LA TANO
- 9 Verify source ↗
Section 9
AI-assisted research summary: This text is a set of election result form templates for village/hamlet chairperson and village committee member elections in 2024.
9. 10 Idadi ya waliojiandikisha kupiga kura Idadi ya waliopiga kura Idadi ya kura halali Idadi ya kura zilizoharibika Jina la Msimamizi wa Kituo Saini…………………………………………………………tarehe……………… Muhuri wa Msimamizi wa Kituo FOMU YA MATOKEO YA UCHAGUZI WA MWENYEKITI WA KIJIJI/KITONGOJI KWA MGOMBEA PEKEE YA MWAKA 2024 FOMU Na. IX “B” NEMBO YA HALMASHAURI Na . JINA LA MGOMBEA CHAMA CHA SIASA KURA ALIZOPATA JINSI (KE/M E) SAINI YA MGOMBEA AU MWAKILISHI WAKE 46 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katika Mamlaka Za Wilaya Tangazo la Serikali Na.571 (Linaendelea.) NDIYO HAPANA Idadi ya waliojiandikisha kupiga kura Idadi ya waliopiga kura Idadi ya kura halali Hapana) Idadi ya kura zilizoharibika Jina la Msimamizi wa Kituo (Ndiyo na Saini…………………………………………………………tarehe……………… Muhuri wa Msimamizi wa Kituo 47 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katika Mamlaka Za Wilaya Tangazo la Serikali Na.571 (Linaendelea.) FOMU Na. X “A” FOMU YA MATOKEO YA UCHAGUZI WA WAJUMBE WA HALMASHAURI YA KIJIJI KUNDI MCHANGANYIKO/KUNDI LA WANAWAKE YA MWAKA 2024 NEMBO YA HALMASHAURI Na. JINA LA MGOMBEA CHAMA CHA SIASA KURA ALIZOPATA JINSI (KE/ME) SAINI YA MGOMBEA AU MWAKILISHI WAKE - 4 Verify source ↗
Section 4
AI-assisted research summary: This text is a results form for a village council member election and lists the fields to record, including votes, valid ballots, rejected ballots, candidate name, party, gender, and signatures.
4. Idadi ya waliojiandikisha kupiga kura Idadi ya waliopiga kura Idadi ya kura halali Idadi ya kura zilizoharibika/kukataliwa JUMLA Jina la Msimamizi wa Kituo Saini…………………………….……tarehe………………… Muhuri wa Msimamizi wa Kituo…………………………….. FOMU Na. X “B” FOMU YA MATOKEO YA UCHAGUZI WA UJUMBE WA HALMASHAURI YA KIJIJI KUNDI MCHANGANYIKO/KUNDI LA WANAWAKE KWA MGOMBEA PEKEE YA MWAKA 2024 NEMBO YA HALMASHAURI Na. JINA LA MGOMBEA CHAMA CHA SIASA KURA ALIZOPATA JINSI (KE/ME) SAINI YA MGOMBEA AU MWAKILISHI WAKE - 1 Verify source ↗
Section 1
AI-assisted research summary: This text is a results form for village or sub-ward chair elections in 2024, showing the information to record about votes, candidates, and the supervising officer.
1. NDIYO HAPANA 48 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katika Mamlaka Za Wilaya Tangazo la Serikali Na.571 (Linaendelea.) Idadi ya waliojiandikisha kupiga kura Idadi ya waliopiga kura Idadi ya kura halali (Ndiyo na Hapana) Idadi ya kura zilizoharibika/kukataliwa JUMLA Jina la Msimamizi wa Kituo Saini…………………………….……tarehe………………… Muhuri wa Msimamizi wa Kituo…………………………….. FOMU YA MATOKEO YA JUMLA YA UCHAGUZI WA MWENYEKITI WA KIJIJI/KITONGOJI YA MWAKA 2024 FOMU Na. XI NEMBO YA HALMASHAURI Na. JINA LA MGOMBEA CHAMA CHA SIASA KURA ALIZOPATA JINSI (KE/ME) SAINI YA MGOMBEA AU MWAKILISHI WAKE - 1
AI-assisted research summary: This text is an election results form listing fields to record voting totals and candidate details.
1.0 Idadi ya waliojiandikisha kupiga kura Idadi ya waliopiga kura Idadi ya kura halali Idadi ya kura zilizoharibika Jumla ya matokeo ya kura Jina la Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi Saini…………………………………………………………tarehe……………… Muhuri wa Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi…………………………………… 49 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katika Mamlaka Za Wilaya Tangazo la Serikali Na.571 (Linaendelea.) FOMU YA MATOKEO YA JUMLA YA UCHAGUZI WA WAJUMBE WA HALMASHAURI YA KIJIJI KUNDI MCHANGANYIKO/ KUNDI LA WANAWAKE YA MWAKA 2024 FOMU Na. XII NEMBO YA HALMASHAURI Na. JINA LA MGOMBEA CHAMA CHA SIASA KURA ALIZOPATA JINSI (KE/ME) SAINI YA MGOMBEA AU MWAKILISHI WAKE - 5 Verify source ↗
Section 5
AI-assisted research summary: This provision gives oath forms for election officials and requires them to serve faithfully, treat people fairly, keep work-related secrets, and protect the Constitution, laws, and public ethics rules.
5. Idadi ya waliojiandikisha kupiga kura Idadi ya waliopiga kura Idadi ya kura halali Idadi ya kura zilizoharibika/kukataliwa JUMLA Jina la Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi Saini…………………………….……tarehe………………… Muhuri wa Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi………………. 50 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katika Mamlaka Za Wilaya Tangazo la Serikali Na.571 (Linaendelea.) ___________ JEDWALI LA SITA ___________ (Limetengenezwa chini ya kanuni ya 48(4)) __________ VIAPO (a) Kiapo cha Uaminifu na kutunza siri “Mimi …………………………………………………….……. naapa/natamka kwa dhati kwamba nitaitumikia vyema na kwa moyo thabiti Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika kazi yangu kama ………………………………..katika Halmashauri ya …………………… na katika kutimiza wajibu wa nafasi hiyo nitawatendea haki watu wote kwa mujibu wa Katiba, Sheria na Kanuni za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na kwa vyovyote vile sitatoa siri zinazohusu majukumu yangu isipokuwa kwa mujibu wa sheria. Ewe Mwenyezi Mungu, nisaidie.” Kiapo/Tamko hili limetolewa hapa: ……………………………………… na………………………………………………………………………….. Leo tarehe…………………… Mwezi wa…………………..20………....... Mbele ya: Jina:……………………………………………… Saini:…………………………………………….. Wadhifa:………………………………………… Anuani…………………………………………… (b) Kiapo cha Utii na Uadilifu Jamhuri Tanzania ya Muungano wa Mimi ………………………………………………………. naapa/natamka kwa dhati kwamba nitaitumikia kwa wadhifa wangu wa …………………………………………. kwa uaminifu, kwa uwezo na moyo wangu wote na kwamba nitahifadhi, nitalinda na kutetea Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Sheria za Tanzania na Maadili ya Viongozi wa Umma kama yalivyowekwa kwa mujibu wa Sheria. Ewe Mwenyezi Mungu nisaidie” Kiapo/Tamko hili limetolewa hapa: ……………………………………… na………………………………………………………………………….. Leo tarehe…………………… Mwezi wa…………………..20………. Mbele ya:……………………………………….. Jina:……………………………………………… Cheo:……………………………………………. Saini:…………………………………………… Anuani…………………………………………. 51 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katika Mamlaka Za Wilaya Tangazo la Serikali Na.571 (Linaendelea.) ___________ JEDWALI LA SABA __________ (Limetengenezwa chini ya kanuni ya 52) __________ TARATIBU ZA MAADILI
Part
JEDWALI LA SABA
- 1
AI-assisted research summary: This section gives the title and commencement heading for the local government election ethics rules for 2024.
1.0 Jina na Tarehe ya kuanza kutumika Jina, Matumizi, Wahusika wa Maadili ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa Mwaka 2024. - 1
AI-assisted research summary: These Rules are to be known as the Local Government Election Ethics Rules, 2024.
1.1 Taratibu hizi zitajulikana kama Taratibu za Maadili ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa za Mwaka 2024. - 1
AI-assisted research summary: This provision lists the parties covered by the ethics procedures: political parties, candidates, the Government of the United Republic of Tanzania, and election supervisors and assistant election supervisors.
1.2 Wahusika wa Taratibu za Maadili Wahusika wa Taratibu za Maadili watakuwa wafuatao: (a) Vyama vya Siasa; (b) Wagombea; (c) Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania; na (d) Wasimamizi wa Uchaguzi na Wasimamizi Wasaidizi wa Uchaguzi. - 2
AI-assisted research summary: Political parties and candidates must follow election rules and campaign conduct requirements, and take specified steps to promote fair, peaceful, and orderly campaigning.
2.1 Kila Chama cha Siasa na Wagombea watatakiwa kuzingatia yafuatayo: Wajibu wa Vyama vya Siasa na Wagombea (a) kuheshimu na kutekeleza Kanuni za Uchaguzi, Taratibu za Maadili ya Uchaguzi na Miongozo ya Uchaguzi itakayotolewa kwa mujibu wa Kanuni pamoja na kuzingatia matakwa ya Sheria nyingine za nchi katika kipindi chote cha Uchaguzi; (b) kuelimisha, kuhamasisha na kuwasisitiza wanachama na wafuasi wao kuheshimu Kanuni za Uchaguzi, Taratibu za Maadili ya Uchaguzi na Miongozo ya Uchaguzi itakayotolewa kwa mujibu wa Kanuni pamoja na Sheria nyingine za nchi katika kipindi chote cha Uchaguzi; (c) kuzingatia ratiba ya mikutano ya kampeni; (d) kushirikiana na wanachama na wafuasi wa Vyama vingine vya Siasa kuhakikisha kuwa wanachukua hatua za makusudi ili: (i) kufanya Uchaguzi uwe huru na wa haki; (ii) kuzuia vitendo vya vurugu na vitisho; (iii) kukataa aina yoyote ya ubaguzi katika misingi ya jinsia, maumbile, ulemavu, ukabila, dini au rangi; na (iv) kueneza taarifa sahihi kuhusu mchakato wa Uchaguzi; (e) kuchapisha vijitabu, vipeperushi, vitini, mabango na machapisho ya aina yoyote yanayoelezea sera zao baada ya kuidhinishwa na Msimamizi wa Uchaguzi; (f) kutumia vyombo vya habari kutangaza sera zao kwa kuzingatia sheria zinazosimamia vyombo vya habari na Miongozo ya Uchaguzi; (g) kujenga mazingira ambayo yatawezesha Uchaguzi kufanyika kwa uhuru na haki, ikiwa ni pamoja na kuwezesha makundi maalum kushiriki kikamilifu katika Uchaguzi; (h) kuhakikisha hifadhi na usafi wa mazingira katika kusambaza matangazo ya kampeni; (i) kuondoa mabango, matangazo na machapisho ya aina yoyote ile yaliyotumika wakati wa kampeni katika sehemu za wazi baada ya Uchaguzi; 52 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katika Mamlaka Za Wilaya Tangazo la Serikali Na.571 (Linaendelea.) (j) kutoa taarifa mara moja kwa mamlaka husika wanapofahamu au wanapoona tukio linaloweza kusababisha vurugu au uvunjifu wa amani; (k) kuhakikisha kuwa wanafanya kampeni kwa kuzingatia misingi inayolenga kutangaza sera za Vyama vyao pasipo kujenga chuki, kusababisha mifarakano na migawanyiko katika jamii; (l) kuchukua hatua za lazima kuhakikisha kuwa hakuna migongano ya mikutano ya kampeni na Vyama vingine; (m) kukataza wanachama au wafuasi kutamka kauli mbiu, kuonesha ishara za Vyama vyao, au kuvaa sare zenye rangi ya Chama chao katika mikutano ya hadhara ya Vyama vingine; (n) kuwaelekeza Mawakala wao watakaokuwepo katika Vituo vya kupigia, kuhesabia na kujumlishia kura kutekeleza majukumu yao kwa mujibu wa Kanuni za Uchaguzi, Taratibu za Maadili ya Uchaguzi na Miongozo ya Uchaguzi. - 2
AI-assisted research summary: Vyama vya siasa na wagombea hawaruhusiwi kufanya vitendo fulani vya vurugu, lugha ya matusi, uchochezi, uharibifu wa matangazo, kubandika mabango bila idhini, rushwa, au kuzuia watu katika mikutano au kupiga kura.
2.2 Mambo yasiyotakiwa kufanywa na Vyama vya Siasa na Wagombea Kila Chama cha Siasa au Mgombea hatatakiwa kufanya yafuatayo: (a) kusababisha au kufanya fujo au vurugu ya aina yoyote katika Mkutano wake au wa Chama kingine; (b) kutumia lugha ya matusi, kashfa, kejeli, udhalilishaji na vitisho au lugha inayochochea uvunjifu wa amani au kuashiria ubaguzi wa kijinsia, dini, rangi, ulemavu au maumbile kwenye mikutano ya kampeni; (c) kubeba sanamu, kinyago au kitu chochote ambacho kinaonyesha kudhalilisha, kukebehi, kufedhehesha au kukejeli Chama kingine cha Siasa au Mgombea au Kiongozi wa Chama kingine cha Siasa au Serikali katika mkutano wowote wa kampeni za Uchaguzi; (d) kutumia vipaza sauti vya aina yoyote kwa shughuli za kisiasa mara baada ya muda wa kampeni za uchaguzi kumalizika; (e) kuchafua, kubandua au kuharibu kwa namna yoyote ile matangazo ya kampeni ya Vyama vingine vya Siasa na matangazo mengine yanayotolewa na Mamlaka za Uchaguzi; (f) kubandika mabango ya kampeni, matangazo au mchoro wowote kwenye nyumba, majengo au vyombo vya usafiri vya watu binafsi au taasisi mbalimbali bila idhini ya wamiliki husika; (g) kubandika mabango ya kampeni, matangazo au mchoro wowote kwenye nyumba za ibada, taasisi za dini na majengo ya Serikali na taasisi zake; (h) kutoa rushwa ili kumshawishi mtu yeyote kupiga kura, kugombea au kujitoa katika kugombea nafasi ya uongozi; (i) kuzuia mtu yeyote, watu au wafuasi wa vyama vingine kuhudhuria mikutano ya kampeni au kupiga kura. - 2
AI-assisted research summary: This provision concerns ethics during voting, counting and tallying votes, and announcing results.
2.3 ya Uchaguzi Maadili wakati wa kupiga, kuhesabu, kujumlisha kura na kutangaza matokeo - 2 Verify source ↗
3.1
AI-assisted research summary: Wakala wa vyama vya siasa, vyama vya siasa, wagombea na viongozi wa vyama lazima washirikiane na wasimamizi wa uchaguzi vituoni, na viongozi wa vyama lazima waelekeze wanachama na wafuasi wao kuondoka eneo la kupigia kura baada ya kupiga kura au kukaa mita 200 kutoka kituoni.
2.3.1. Yanayotakiwa Kufanywa (a) Mawakala wa Vyama vya Siasa, Vyama vya Siasa na Wagombea watakuwa na wajibu wa kushirikiana na Wasimamizi wa Uchaguzi, Wasimamizi Wasaidizi wa Uchaguzi na Wasimamizi wa Vituo katika vituo vya kupigia kura kwa kuzingatia Kanuni za Uchaguzi na Miongozo ya Uchaguzi; 53 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katika Mamlaka Za Wilaya Tangazo la Serikali Na.571 (Linaendelea.) (b) Viongozi wa Vyama vya Siasa watakuwa na wajibu wa kuwaelimisha wanachama na wafuasi wao kuwa, watatakiwa kuondoka eneo la kupigia Kura mara tu wamalizapo kupiga kura na kama itawalazimu kubakia katika eneo hilo watatakiwa kukaa umbali wa mita mia mbili kutoka kituo cha kupigia kura. - 2 Verify source ↗
3.2 Mambo yasiyotakiwa kufanywa
AI-assisted research summary: This section bans election campaigning and disruptive conduct on polling day, restricts mobile phone use inside the counting center, and forbids vote buying, double voting encouragement, and insulting officials.
2.3.2 Mambo yasiyotakiwa kufanywa (a) Kampeni za uchaguzi hazitaruhusiwa siku ya upigaji kura. Hii ni pamoja na kuvaa vazi lolote au kuwa na kitu chochote kinachoashiria kushawishi watu kumpigia kura Mgombea fulani au utambuzi wa Mgombea fulani au matumizi ya chombo cha usafiri kinachoashiria utambuzi wa Chama au Mgombea wa Chama chochote; (b) Viongozi wa Vyama vya Siasa, Wagombea na wafuasi wao watatakiwa kujiepusha na vitendo vinavyoweza kusababisha fujo au vurugu katika vituo vya kupigia, kuhesabia na kujumlishia kura; (c) Hakuna mtu atakayeruhusiwa kutumia simu ya kiganjani ndani ya kituo cha kuhesabu na kujumlishia kura isipokuwa Msimamizi wa Uchaguzi na Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi na mlinzi wa kituo cha kupigia kura ambao watatumia simu zao pale itakapobidi kwa shughuli za Uchaguzi tu na simu hizo wakati wote ziwe zimeondolewa mlio; (d) Kiongozi wa Chama cha Siasa au mwanachama au mfuasi hatatakiwa: (i) kuvamia au kukaa kwa nguvu ndani ya kituo cha kupigia, kuhesabia na kujumlishia kura; (ii) kuwahamasisha wanachama au wafuasi kupiga kura zaidi ya mara moja katika Uchaguzi mmoja; (iii) kununua kura au kutoa rushwa au aina yoyote ya malipo ya fedha au vifaa kwa mpiga kura au Msimamizi wa Uchaguzi au Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi; (iv) kutumia lugha ya matusi kwa Msimamizi wa Uchaguzi, Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi au Msimamizi wa Kituo katika kituo cha kupigia, kuhesabia na kujumlishia kura. - 3
AI-assisted research summary: Serikali lazima iwawekee wadau wote wa uchaguzi fursa sawa, ihakikishe usalama na utulivu wakati wa uchaguzi, na ihakikishe viongozi wake wanaheshimu mipaka ya madaraka yao.
3.0 Wajibu wa Serikali: Serikali itakuwa na Wajibu wa: (a) kutoa fursa sawa kwa wadau wote wa Uchaguzi hususan Vyama vya Siasa na Wagombea ili kuendesha shughuli zao za kisiasa wakati wa Uchaguzi kwa uhuru na kuzingatia sheria za nchi; (b) kuhakikisha hali ya usalama, amani na utulivu wakati wote wa Uchaguzi; (c) kuhakikisha kuwa viongozi na watendaji wake wanazingatia ipasavyo ukomo wa madaraka yao katika shughuli za Uchaguzi. - 4
AI-assisted research summary: Kichwa hiki kinaonyesha taratibu za maadili kwa wasimamizi wa uchaguzi na wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi.
4.0 Uchaguzi Taratibu za Maadili kwa Wasimamizi wa Uchaguzi na Wasimamizi Wasaidizi wa - 4
AI-assisted research summary: Wasimamizi wa Uchaguzi na wasimamizi wasaidizi wanapaswa kupanga, kusimamia na kuendesha uchaguzi ili uwe huru na wa haki.
4.1 Mambo wanayotakiwa Kufanya Wasimamizi wa Uchaguzi na Wasimamizi Wasaidizi wa Uchaguzi watakuwa na wajibu wa kupanga, kusimamia na kuendesha Uchaguzi katika misingi inayowezesha Uchaguzi kuwa huru na wa haki kwa kufanya yafuatayo: (a) kuzingatia Katiba ya Nchi, Kanuni za Uchaguzi na Sheria nyingine za nchi; (b) kuvipa Vyama vya Siasa ratiba na taarifa za Uchaguzi mapema; 54 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katika Mamlaka Za Wilaya Tangazo la Serikali Na.571 (Linaendelea.) (c) kutoa Elimu ya Mpiga Kura, kusimamia na kuratibu taasisi na watu wanaotoa Elimu ya Mpiga Kura; (d) kutoa mafunzo kwa wanaohusika na Uchaguzi ili kuwawezesha kuendesha uchaguzi kwa ufanisi; (e) kuvipa Vyama vya Siasa Kanuni, Miongozo ya Uchaguzi na Nyaraka nyingine zinazohusiana na Uchaguzi; (f) kukemea vitendo vyenye nia ya kuharibu Uchaguzi vinavyoweza kufanywa na Viongozi wa Vyama vya Siasa, Wagombea au wafuasi wao; (g) kuendesha na kuziwezesha Kamati za kusimamia Maadili ya Uchaguzi na kusimamia utekelezaji wa uamuzi unaotolewa na Kamati hizo; (h) kukutana na Vyama vya Siasa pale inapobidi kujadili masuala mbalimbali yanayohusu Kampeni za Uchaguzi na Uchaguzi wenyewe; (i) kuhakikisha kuwa hakuna mtu yeyote atakayefanyiwa uonevu au kukoseshwa haki wakati wa shughuli za Uchaguzi; (j) kutambua majukumu ya Vyama vya Siasa, Wagombea na Mawakala wao; (k) kuandaa na kupeleka kwa wakati vifaa kwenye vituo vya kupigia kura; (l) kuendesha zoezi la Uchaguzi kwa uwazi, haki na uadilifu. - 4
AI-assisted research summary: Wasimamizi wa Uchaguzi na wasimamizi wasaidizi hawaruhusiwi kupendelea chama chochote cha siasa au mgombea yeyote.
4.2 Mambo yasiyotakiwa kufanywa na Wasimamizi wa Uchaguzi na Wasimamizi Wasaidizi wa Uchaguzi (a) kupendelea Chama chochote cha Siasa au Mgombea yeyote; (b) kubadili ratiba za Kampeni za Uchaguzi bila kuvishirikisha Vyama vya Siasa; (c) kuchelewa au kupeleka vifaa pungufu katika vituo vya kupigia kura bila sababu za msingi; (d) kuchelewa kutangaza Matokeo ya Uchaguzi bila sababu za msingi. - 5 Verify source ↗
0 Usimamizi wa Utekelezaji waTaratibu za Maadili ya Uchaguzi
AI-assisted research summary: This section is titled “Usimamizi wa Utekelezaji wa Taratibu za Maadili ya Uchaguzi.”
5.0 Usimamizi wa Utekelezaji waTaratibu za Maadili ya Uchaguzi - 5
AI-assisted research summary: Msimamizi wa Uchaguzi anapaswa kuunda Kamati za Maadili za Halmashauri na za Kata.
5.1 Kamati za Maadili za kusimamia Utekelezaji wa Taratibu za Maadili ya Uchaguzi Kutakuwa na Kamati za Maadili zifuatazo zitakazoundwa na Msimamizi wa Uchaguzi: (a) Kamati ya Maadili ya Halmashauri; na (b) Kamati ya Maadili ya Kata. - 5
AI-assisted research summary: This section is about the structure of the committees for election ethics procedures.
5.2 Muundo wa Kamati za Taratibu za Maadili ya Uchaguzi - 5 Verify source ↗
2.1
AI-assisted research summary: The Council Ethics Committee must be made up of the listed members, including the Council Election Supervisor as chairperson and the Election Officer as secretary.
5.2.1 Kamati ya Maadili ya Halmashauri itakuwa na wajumbe wafuatao: Kamati ya Maadili ya Halmashauri (a) Msimamizi wa Uchaguzi katika Halmashauri ambaye atakuwa Mwenyekiti wa Kamati; (b) Mjumbe mmoja kutoka kila Chama cha Siasa kinachoshiriki Uchaguzi katika Halmashauri; (c) Wajumbe wawili watakaoiwakilisha Serikali ambao watateuliwa na Katibu Tawala wa Wilaya husika kwa maandishi na kwa kuzingatia jinsia; na (d) Afisa Uchaguzi ambaye atakuwa ni Katibu wa Kamati ya Maadili ya Uchaguzi. 55 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katika Mamlaka Za Wilaya Tangazo la Serikali Na.571 (Linaendelea.) - 5 Verify source ↗
2.2
AI-assisted research summary: The Ward Ethics Committee must be made up of the listed members.
5.2.2 Kamati ya Maadili ya Kata itakuwa na wajumbe wafuatao: Kamati ya Maadili ya Kata (a) Msimamizi Msaidizi ngazi ya Kata husika ambaye atakuwa Mwenyekiti wa Kamati; (b) Mjumbe mmoja kutoka kila Chama cha Siasa kinachoshiriki katika Uchaguzi kwenye Kata; (c) Wajumbe wawili watakaoiwakilisha Serikali ambao watateuliwa na Katibu Tawala wa Wilaya husika kwa maandishi na kwa kuzingatia jinsia; na (d) Katibu ambaye ni Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi ngazi ya kijiji atakayeteuliwa na Msimamizi wa Uchaguzi. - 5 Verify source ↗
2.3 Utoaji wa taarifa za Kamati za Maadili
AI-assisted research summary: Watu fulani hawaruhusiwi kutoa taarifa kuhusu uamuzi wa Kamati au jambo lililo mbele ya Kamati, na malalamiko kuhusu ukiukaji wa Maadili ya Uchaguzi yanapaswa kuwasilishwa kwa maandishi ndani ya siku 3.
5.2.3 Utoaji wa taarifa za Kamati za Maadili Itakuwa ni marufuku kwa mtu, mgombea, Chama cha Siasa au mjumbe wa Kamati ya Maadili ambaye sio Mwenyekiti wa Kamati ya Maadili kutoa taarifa yoyote kuhusu uamuzi wa Kamati au suala lolote lililopo mbele ya Kamati. Uwasilishaji wa Malalamiko Mgombea yeyote, Wasimamizi wa Uchaguzi au Wasimamizi Wasaidizi wa Uchaguzi, Serikali au Chama chenye mgombea kinachoamini kwamba Maadili ya Uchaguzi yamekiukwa kitawasilisha malalamiko kwa Mwenyekiti wa Kamati ya Maadili ya Kata kwa maandishi. Muda wa kuwasilisha Malalamiko Malalamiko yoyote yatatakiwa kuwasilishwa ndani ya siku tatu tangu kutokea kwa tukio linalolalamikiwa. Kuitisha kikao cha Kamati ya Maadili ya Uchaguzi Mwenyekiti wa Kamati husika baada ya kupokea malalamiko na kujiridhisha kuwa Taratibu za Maadili zimekiukwa atatakiwa kuitisha kikao ndani ya siku mbili. - 5
AI-assisted research summary: Kanuni hizi zinaweka utaratibu wa kushughulikia malalamiko na kufanya uamuzi wa kamati, ikiwemo muda wa utetezi, akidi ya kikao, na wajibu wa kutekeleza uamuzi.
5.6 Namna ya kushughulikia Malalamiko (a) Malalamiko yote yatajadiliwa na kuamuliwa katika kikao cha Kamati ya Maadili ya Kata husika; (b) Kamati itashughulikia malalamiko na kutoa uamuzi wake mapema iwezekanavyo; (c) Baada ya kupokea malalamiko, Kamati itamtaka aliyelalamikiwa kuwasilisha utetezi wake kwa maandishi ndani ya siku mbili tangu kupokea malalamiko; (d) Katika kushughulikia malalamiko, Kamati inaweza kumwita mtu yeyote kutoa maelezo ili kusaidia Kamati kufikia uamuzi wa haki; (e) Akidi ya Kikao cha Kamati husika itakuwa zaidi ya nusu ya wajumbe wote wa Kamati; (f) Kamati ya Maadili ya Uchaguzi itaamua malalamiko yote baada ya kusikiliza au kupata maelezo ya utetezi kutoka kwa pande zote mbili ambazo ni mlalamikaji na mlalamikiwa ndani ya siku mbili isipokuwa kama upande unaolalamikiwa utashindwa kuwasilisha maelezo ya utetezi katika muda ulioainishwa Kamati inaweza kufanya uamuzi; (g) Uamuzi utakaofikiwa na Kamati ya Maadili ya Kata yatatekelezwa na pande zinazohusika na uamuzi huo; (h) Ikitokea kuna umuhimu wa kufanya uamuzi kwa kupiga kura, wawakilishi wa Mlalamikaji na Mlalamikiwa hawataruhusiwa kupiga kura; 56 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katika Mamlaka Za Wilaya Tangazo la Serikali Na.571 (Linaendelea.) (i) Malalamiko yatakayoshughulikiwa na Kamati za Maadili ni yale tu yaliyotokea katika kipindi cha Kampeni; (j) Malalamiko yatakayotokea siku ya Upigaji Kura yatashughulikiwa kwa kuzingatia Kanuni za Uchaguzi; (k) Kamati itakuwa na mamlaka ya kuchunguza malalamiko yote yatakayowasilishwa kabla ya kufanya uamuzi; (l) Kamati inaweza kuelekeza malalamiko mengine kwenye mamlaka zinazohusika kama itakavyoona inafaa kwa hatua zinazostahili. - 5
AI-assisted research summary: Kama upande haujaridhika na uamuzi wa Kamati ya Maadili ya Kata, unaweza kukata rufaa kwa Kamati ya Maadili ya Halmashauri ndani ya siku mbili; uamuzi wa Kamati ya Maadili ya Halmashauri ni wa mwisho.
5.7 Rufaa Dhidi ya Uamuzi (a) Upande ambao hautaridhika na uamuzi wa Kamati ya Maadili ya Kata, utakuwa na haki ya kukata rufaa kwa Kamati ya Maadili ya Halmashauri ndani ya siku mbili tangu uamuzi wa Kamati ya Maadili ya Kata ulipotolewa; na (b) Uamuzi utakaotolewa na Kamati ya Maadili ya Halmashauri utakuwa ni wa mwisho. - 5
AI-assisted research summary: Malalamiko dhidi ya Msimamizi wa Uchaguzi au Msimamizi Msaidizi yanashughulikiwa bila Msimamizi wa Uchaguzi kuendesha kikao hicho, isipokuwa Katibu Tawala wa Mkoa akiteua afisa mwandamizi wa umma kuwa mwenyekiti wa kikao.
5.8 Uchaguzi Malalamiko dhidi ya Msimamizi wa Uchaguzi au Msimamizi Msaidizi wa (a) Pale ambapo malalamiko yaliyowasilishwa ni dhidi ya Msimamizi wa Uchaguzi, ambaye ni Mwenyekiti wa Kamati ya Maadili`ya Uchaguzi, Msimamizi au Msimamizi Msaidizi, Msimamizi wa Uchaguzi hataendesha Kikao hicho, isipokuwa Katibu Tawala wa Mkoa atateua Afisa yeyote wa Umma Mwandamizi kutoka Sekretarieti ya Mkoa kuwa Mwenyekiti wa kikao hicho; (b) Iwapo Kamati itaona kuwa Msimamizi amekosea Kamati itamtaka linalolalamikiwa Msimamizi wa Uchaguzi kurekebisha mapema iwezekanavyo. tatizo - 5
AI-assisted research summary: Kamati za Maadili ya Uchaguzi za Halmashauri na Kata zinaweza kuchukua hatua dhidi ya ukiukaji wa maadili, ikiwemo kuagiza marekebisho, onyo la maandishi, kutangaza jina la aliyekiuka, au kusimamisha kampeni kwa muda.
5.9 Mamlaka ya Kamati za Maadili ya Uchaguzi ngazi ya Halmashauri na Kata katika kushughulikia Malalamiko na kutoa adhabu zinaweza kuchukua hatua zifuatazo: (a) kuagiza upande uliokiuka maadili kusahihisha kosa au makosa yaliyotendeka na iwapo italazimu, kuomba msamaha hadharani; (b) kutoa onyo au karipio kwa maandishi; (c) kutangaza jina la Chama au Mgombea aliyekiuka Maadili na kueleza kosa au makosa yake kwa njia za Taarifa kwa Umma, redio, televisheni, magazeti na njia nyingine za mawasiliano; (d) Kamati inaweza kukisimamisha Chama au Mgombea kuendelea kufanya Kampeni za Uchaguzi kwa muda itakavyoona inafaa. - 5
AI-assisted research summary: If a candidate or party fails to follow the relevant committee’s decision, the Electoral Ethics Committee may suspend the party from campaigning.
5.10 Kushindwa Kutekeleza Uamuzi wa Kamati za Maadili Pale ambapo Mgombea au Chama kitashindwa kutekeleza uamuzi wa Kamati husika, Kamati ya Maadili ya Uchaguzi inaweza kukisimamisha Chama husika kufanya kampeni za Uchaguzi. Dodoma, 28 Juni, 2024 MOHAMED OMARY MCHENGERWA, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais- Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa 57
Provision text is displayed from LexChat’s stored statute record. Use the official source links to verify amendments, commencement, and current legal force.
Ask AI about this statute
Kanuni za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji na Mwenyekiti wa Kitongoji katika Mamlaka za Wilaya za Mwaka 2024
Sign in to ask AI about this statute
Sign in to start authenticated, citation-grounded statute research.
Sign in