Kanuni za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kitongoji katika Mamlaka za Miji Midogo za Mwaka 2024
The regulations define key election terms and require the Minister to give a public election notice, and the election supervisor to post ward names and boundaries before election day.
AI-assisted research synopsis — verify against the official legal text below.
- Jurisdiction
- Tanzania
- Instrument
- Regulation
- Citation
- Kanuni za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kitongoji katika Mamlaka za Miji Midogo za Mwaka 2024
- Version
- Undated source snapshot
- Language
- sw
- Official source
- View official record ↗
Statute overview
About this statute
The regulations define key election terms and require the Minister to give a public election notice, and the election supervisor to post ward names and boundaries before election day. Hawatateuliwa kuwa Msimamizi wa Uchaguzi au Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi watu walioorodheshwa kwenye kifungu hiki. Election officers, assistant election officers, polling station officers, and appeal committee members must carry out their duties in line with the law, regulations, instructions, and notices issued under these regulations. Msimamizi wa Uchaguzi lazima atoe maelekezo ya uchaguzi siku 62 kabla ya siku ya uchaguzi. Section 10 sets out voter register preparation, posting, inspection, and who may or may not take part in registering voters.
Search within this statute
Search all stored provisions in this version.
Legal text
Provisions of Kanuni za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kitongoji katika Mamlaka za Miji Midogo za Mwaka 2024
Showing 86 of 86
- 3 Verify source ↗
Section 3
AI-assisted research summary: The regulations define key election terms and require the Minister to give a public election notice, and the election supervisor to post ward names and boundaries before election day.
3. Jina Matumizi Tafsiri Sura ya 258 Sura ya 287 SEHEMU YA KWANZA MASHARTI YA UTANGULIZI Kanuni hizi zitajulikana kama Kanuni za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kitongoji katika Mamlaka za Miji Midogo za Mwaka 2024. Kanuni hizi zitatumika katika Vitongoji vyote vilivyomo katika maeneo ya Mamlaka za Miji Midogo. Katika Kanuni hizi, isipokuwa kama muktadha utahitaji vinginevyo- “Chama cha Siasa” maana yake ni Chama cha Siasa kilichopata usajili wa kudumu kwa mujibu wa Sheria ya Vyama vya Siasa; “Kitongoji” maana yake ni sehemu ya eneo la utawala katika eneo la Mamlaka ya Mji Mdogo kwa mujibu wa Sheria ya Serikali za Mitaa (Mamlaka za Wilaya); “mkazi” maana yake ni raia wa Tanzania ambaye anaishi kwenye eneo la Kitongoji na ambaye ana kaya au anaishi katika kaya au taasisi iliyopo katika eneo la Kitongoji; “Msimamizi wa Uchaguzi” maana yake ni Mtumishi yeyote wa umma aliyeteuliwa kusimamia 1 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kitongoji Katika Mamlaka Za Miji Midogo Tangazo la Serikali Na.572 (Linaendelea.) Uchaguzi kwa mujibu wa Kanuni hizi; “Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi” maana yake ni mtumishi yeyote wa umma aliyeteuliwa na Msimamizi wa Uchaguzi kuwa Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi chini ya Kanuni hizi; “Msimamizi wa Kituo” maana yake ni mtumishi yeyote wa umma aliyeteuliwa na Msimamizi wa Uchaguzi kusimamia kituo cha uchaguzi; “Mtendaji wa Mamlaka ya Mji Mdogo” maana yake ni Mtendaji Mkuu wa shughuli za Serikali katika Mamlaka ya Mji Mdogo na ni pamoja na mtumishi yeyote wa umma atakayeteuliwa kutekeleza majukumu ya Mtendaji wa Mamlaka ya Mji Mdogo kwa mujibu wa Kanuni hizi; “mtumishi wa umma” maana yake ni mtu yeyote aliyeajiriwa katika utumishi wa umma; “mwangalizi wa uchaguzi” maana yake ni mwangalizi wa ndani wa uchaguzi mwenye kibali cha Katibu Mkuu wa Wizara yenye dhamana ya Serikali za Mitaa; “Orodha ya Wapiga Kura” maana yake ni orodha ya majina ya wapiga kura iliyoandaliwa chini ya Kanuni hizi; “raia” maana yake ni raia wa Tanzania kwa mujibu wa Sheria ya Uraia; “sehemu ya matangazo ya uchaguzi” maana yake ni sehemu maalum iliyoteuliwa na Msimamizi wa Uchaguzi kwa ajili ya kutolea matangazo au taarifa mbalimbali za Uchaguzi kwa mujibu wa Kanuni hizi; “siku ya uteuzi” maana yake ni siku ya kutangaza majina na wasiostahili kugombea nafasi za uongozi chini ya Kanuni hizi; ya wanaostahili “Sheria” maana yake ni Sheria ya Serikali za Mitaa (Mamlaka za Wilaya) “Uchaguzi” maana yake ni Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kitongoji katika Mamlaka za Miji Midogo; “Uchaguzi Mdogo” maana yake ni uchaguzi ambao utafanyika baada ya kuwepo kwa nafasi wazi ya 2 Sura ya 357 Sura ya 287 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kitongoji Katika Mamlaka Za Miji Midogo Tangazo la Serikali Na.572 (Linaendelea.) Mwenyekiti wa Kitongoji; “wakati wa uchaguzi” maana yake ni muda ambao uchaguzi wa kawaida au Uchaguzi Mdogo unafanyika kwa mujibu wa Kanuni hizi na unaanzia tarehe ya tangazo la uchaguzi hadi matokeo ya uchaguzi yanapotangazwa; “Waziri” maana yake ni Waziri mwenye dhamana ya Serikali za Mitaa. SEHEMU YA PILI TANGAZO LA UCHAGUZI (1) Waziri atatoa Tangazo kwa umma kuhusu kuwepo kwa Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kitongoji kwa mujibu wa Kanuni hizi. (2) Tangazo la Uchaguzi kwa mujibu wa kanuni ndogo ya (1) litatolewa katika magazeti ya Kiswahili na Kiingereza yanayosambazwa nchi nzima na katika vyombo mbalimbali vya habari si chini ya siku tisini kabla ya siku ya Uchaguzi. (3) Tangazo litakalotolewa na Waziri litaelekeza mambo yafuatayo: ratiba ya (a) zinazohusika; na uchaguzi na shughuli (b) masharti muhimu ya uchaguzi kwa mujibu wa Sheria na Kanuni hizi. Msimamizi wa Uchaguzi atabandika katika sehemu ya matangazo ya uchaguzi majina na mipaka ya Vitongoji vilivyoko katika eneo la Mamlaka ya Mji Mdogo siku sabini na mbili kabla ya siku ya uchaguzi kwa ajili ya uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kitongoji. Tangazo la uchaguzi kwa umma
Part
SEHEMU YA PILI
- 6 Verify source ↗
Section 6
AI-assisted research summary: Hawatateuliwa kuwa Msimamizi wa Uchaguzi au Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi watu walioorodheshwa kwenye kifungu hiki.
6.- Wasimamizi na Wasimamizi Wasaidizi wa Uchaguzi (1) Kutakuwa na Msimamizi wa Uchaguzi, Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi, na Msimamizi wa Kituo atakayeteuliwa kusimamia uchaguzi kwa mujibu wa Kanuni hizi. 3 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kitongoji Katika Mamlaka Za Miji Midogo Tangazo la Serikali Na.572 (Linaendelea.) (2) Mtu hatateuliwa kuwa Msimamizi wa au Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi Uchaguzi endapo ni: (a) kiongozi wa chama cha siasa; (b) mgombea; (c) hakimu au jaji; (d) kiongozi wa dini; (e) askari au afisa yeyote wa chombo cha ulinzi na usalama; (f) Katibu Tawala wa Wilaya; (g) Katibu Tawala wa Mkoa; (h) Mkuu wa Wilaya; au (i) Mkuu wa Mkoa. Kuzingatia sheria, kanuni, maelekezo na matangazo - 7 Verify source ↗
Kila Msimamizi wa Uchaguzi, Msimamizi Msaidizi
AI-assisted research summary: Election officers, assistant election officers, polling station officers, and appeal committee members must carry out their duties in line with the law, regulations, instructions, and notices issued under these regulations.
7. Kila Msimamizi wa Uchaguzi, Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi, Msimamizi wa Kituo na wajumbe wa kamati ya rufani watatekeleza majukumu yao kwa kuzingatia Sheria, kanuni, maelekezo na matangazo yatakayotolewa kwa mujibu wa Kanuni hizi. Maelekezo kuhusu uchaguzi - 8 Verify source ↗
Section 8
AI-assisted research summary: Msimamizi wa Uchaguzi lazima atoe maelekezo ya uchaguzi siku 62 kabla ya siku ya uchaguzi.
8.- SEHEMU YA TATU MAELEKEZO YA UCHAGUZI (1) Msimamizi wa Uchaguzi atatoa maelekezo ya uchaguzi siku sitini na mbili kabla ya siku ya uchaguzi. (2) Maelekezo ya Uchaguzi, kwa mujibu wa Kanuni hizi, yataelekeza mambo yafuatayo: (a) tarehe ya kufanyika kwa uchaguzi; (b) muda na sehemu ya kuandikisha wapiga kura; (e) (c) muda na mahali pa kufanyia uchaguzi; (d) kuwataka wakazi wote wenye sifa za kupiga kura washiriki uchaguzi; kuwataka wakazi wenye umri wa miaka ishirini na moja au zaidi wanaotaka kugombea nafasi ya uenyekiti wa Kitongoji kuchukua fomu za kugombea zitakazopatikana ya ofisi Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi; kwenye 4 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kitongoji Katika Mamlaka Za Miji Midogo Tangazo la Serikali Na.572 (Linaendelea.) (f) (g) fomu za maombi tarehe na muda wa kuchukua na kurudisha ya kugombea uenyekiti wa Kitongoji kwa Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi; siku ambayo uteuzi utafanyika na sehemu ya matangazo ya uchaguzi ambapo wagombea zitabandikwa; fomu za Orodha Wapiga Kura ya
Part
sehemu ya matangazo ya uchaguzi
- 10 Verify source ↗
Section 10
AI-assisted research summary: Section 10 sets out voter register preparation, posting, inspection, and who may or may not take part in registering voters.
10.- (h) muda wa kuweka pingamizi dhidi ya (i) (j) uteuzi na kusikilizwa kwa pingamizi; tarehe ya kusikiliza rufaa dhidi ya uamuzi wa Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi; kipindi cha kuendesha mikutano ya kampeni za uchaguzi; na (k) masuala mengine yanayohusu uchaguzi. (1) Kutakuwa na Orodha ya Wapiga Kura kwa ajili ya Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kitongoji. (2) Kwa madhumuni ya kanuni ndogo ya (1), Msimamizi wa Uchaguzi atafanya uteuzi wa watumishi wa umma watakaoandikisha na kuandaa Orodha ya Wapiga Kura katika Vitongoji siku hamsini na mbili kabla ya siku ya Uchaguzi. (3) Watendaji wa Vijiji, Mitaa na Kata hawatateuliwa hawataruhusiwa wala kuandikisha au kuandaa orodha ya wapiga kura. (1) Uandikishaji na uandaaji wa Orodha ya Wapiga Kura utaanza siku ya arobaini na saba kabla ya siku ya uchaguzi na utafanyika kwa muda wa siku kumi kwa kutumia fomu iliyoainishwa katika Jedwali la Kwanza la Kanuni hizi katika majengo ya umma na pale ambapo hakuna jengo la umma, uandikishaji utafanyika ambayo Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi atakuwa kwenye sehemu 5 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kitongoji Katika Mamlaka Za Miji Midogo Tangazo la Serikali Na.572 (Linaendelea.) amekubaliana na Viongozi wa Vyama vya Siasa; (2) Vituo vya uandikishaji wa wapiga kura vitafunguliwa saa mbili kamili asubuhi na kufungwa saa kumi na mbili kamili jioni. (3) Chama cha Siasa kitateua wakala wake kwa kila kituo cha uandikishaji wa wapiga kura wakati wa uandikishaji wa wapiga kura. (4) Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi atabandika sehemu ya matangazo ya uchaguzi nakala ya Orodha ya Wapiga Kura siku moja baada ya kukamilika kwa uandikishaji wa wapiga kura na atatunza nakala halisi ya Orodha hiyo. (5) Mkazi ambaye amejiandikisha katika Orodha ya Wapiga Kura atakuwa na haki ya kukagua Orodha ya Wapiga Kura katika muda wa siku saba tangu tarehe ya Orodha hiyo kubandikwa sehemu ya matangazo ya uchaguzi ili: (a) (b) kuweka pingamizi kuhusu usahihi wa Orodha hiyo; kuomba Orodha irekebishwe ili- (i) (ii) kurekebisha jina lake; kubadilisha taarifa katika Orodha hiyo; au kufuta jina lililoorodheshwa kwa vile aliyeorodheshwa amefariki. zilizoko (iii) Pingamizi kuhusu uandikishaji
Part
sehemu ya matangazo ya uchaguzi ili:
- 11 Verify source ↗
Section 11
AI-assisted research summary: Mkazi aliyejiandikisha kwenye Orodha ya Wapiga Kura anaweza kupinga kuandikishwa kwa mtu kuwa mpiga kura kabla ya ukaguzi kuisha.
11.- (1) Mkazi ambaye amejiandikisha katika Orodha ya Wapiga Kura anaweza kuweka pingamizi dhidi ya mtu kuandikishwa kuwa mpiga kura kabla ya kumalizika kwa muda wa kukagua Orodha ya Wapiga Kura. (2) Pingamizi chini ya kanuni ndogo ya (1) litawasilishwa kwa Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi ambaye atatakiwa kutoa uamuzi kuhusu pingamizi lililowekwa ndani ya siku mbili tangu tarehe ya mwisho ya ukaguzi wa Orodha ya Wapiga Kura. (3) Endapo Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi ataridhika na pingamizi lililowekwa chini ya 6 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kitongoji Katika Mamlaka Za Miji Midogo Tangazo la Serikali Na.572 (Linaendelea.) Kanuni hii, atarekebisha Orodha ya Wapiga Kura iliyotangazwa katika muda wa siku mbili isipokuwa kama uamuzi wake umekatiwa rufaa. (4) Endapo mtu pingamizi au aliyeweka aliyewekewa pingamizi hatoridhika na uamuzi wa Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi kuhusu pingamizi lililowasilishwa kwake, mtu huyo atawasilisha rufaa kwa Msimamizi wa Uchaguzi ndani ya muda wa siku mbili tangu kutolewa kwa uamuzi wa pingamizi. (5) Msimamizi wa Uchaguzi, baada ya kupokea rufaa hiyo, ataishughulikia na kuitolea uamuzi ndani ya siku nne tangu siku ya kupokea rufaa hiyo. Sifa za mpiga kura - 12 Verify source ↗
Mkazi yeyote wa Kitongoji atakuwa na haki ya
AI-assisted research summary: Mkazi wa Kitongoji ana haki ya kupiga kura ikiwa anakidhi masharti yaliyoorodheshwa.
12. Mkazi yeyote wa Kitongoji atakuwa na haki ya kupiga kura endapo atakuwa na sifa zifuatazo: Kupoteza sifa ya kupiga kura Sifa za Mgombea (a) ni raia wa Tanzania; (b) ana umri wa miaka kumi na nane au zaidi; (c) ni mkazi wa eneo la Kitongoji; (d) ana akili timamu; na (e) awe amejiandikisha kupiga kura katika Kitongoji husika. - 13 Verify source ↗
Mtu hatakuwa na haki ya kupiga kura endapo
AI-assisted research summary: A person loses the right to vote if they lack any qualification listed in regulation 12 or if they register to vote at more than one polling station.
13.- Mtu hatakuwa na haki ya kupiga kura endapo: (a) (b) hana mojawapo ya sifa zilizoainishwa katika kanuni ya 12; au amejiandikisha kupiga kura katika kituo zaidi ya kimoja. - 14 Verify source ↗
Mkazi yeyote wa Kitongoji anaweza kugombea
AI-assisted research summary: Mkazi wa Kitongoji anaweza kugombea uenyekiti wa Kitongoji ikiwa anakidhi masharti yaliyotajwa.
14. Mkazi yeyote wa Kitongoji anaweza kugombea (a) (b) uenyekiti wa Kitongoji endapo- ni raia wa Tanzania; ana umri wa miaka ishirini na moja au zaidi; ana uwezo wa kusoma na kuandika Kiswahili au Kiingereza; ana shughuli halali ya kumwezesha (d) (c) 7 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kitongoji Katika Mamlaka Za Miji Midogo Tangazo la Serikali Na.572 (Linaendelea.) Kupoteza sifa ya kuwa mgombea kuishi; ni mkazi wa eneo la Kitongoji; ni mwanachama wa Chama cha Siasa na amedhaminiwa na Chama hicho; na ana akili timamu. (e) (f) (g) - 15 Verify source ↗
Section 15
AI-assisted research summary: Mtu hapaswi kuwania uenyekiti wa Kitongoji ikiwa hana sifa za kugombea au ana mojawapo ya sababu zilizoorodheshwa za kumzuia.
15.- (1) Mtu hatakuwa na sifa za kugombea nafasi ya uenyekiti wa Kitongoji endapo- (a) (b) (c) (d) (e) kifungo amepoteza au hana sifa za mgombea zilizoainishwa katika kanuni ya 14; kinachozidi amehukumiwa muda wa miezi sita gerezani au hukumu ya kifo na Mahakama za Tanzania; ana mkataba au maslahi kwenye ina mkataba na kampuni ambayo Mamlaka ya Serikali za Mitaa ambayo anagombea nafasi ya uongozi na hajatangaza kuwepo kwa mkataba au maslahi yake kupitia kwenye gazeti linalopatikana katika eneo husika au mbao za matangazo katika ofisi ya Kitongoji; amepoteza sifa ya kupiga kura chini ya Kanuni hizi; au ataajiriwa au kuteuliwa katika wadhifa wowote katika Utumishi wa Umma au kuchaguliwa katika nafasi ya udiwani, ubunge, uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, umakamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania au urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. (2) Kwa madhumuni ya kanuni ya 15(1)(b)- (a) adhabu mbili au zaidi zinazopaswa kutumikiwa kufuatana kwa zitachukuliwa kuwa ni adhabu tofauti iwapo kati ya adhabu hizo hakuna inayozidi miezi sita gerezani lakini endapo kati ya adhabu hizo kuna gerezani inayozidi miezi sita 8 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kitongoji Katika Mamlaka Za Miji Midogo Tangazo la Serikali Na.572 (Linaendelea.) (b) kushindwa itachukuliwa kuwa ni adhabu moja; au kifungo cha gerezani kilichosababishwa na faini hakitohesabiwa kuwa ni adhabu ya kifungo kinachomuondolea mgombea sifa. kulipa - 16 Verify source ↗
Section 16
AI-assisted research summary: Anyone seeking nomination for the Kitongoji chairperson seat must collect the nomination form at least 26 days before election day and return it within 7 days of the announced first day for collecting forms.
16.- Muda wa kuchukua na kurudisha fomu za uteuzi SEHEMU YA NNE UTEUZI WA WAGOMBEA (1) Mtu yeyote anayekusudia kugombea nafasi ya uenyekiti wa Kitongoji atatakiwa kuchukua fomu ya uteuzi wa kugombea nafasi husika siku zisizopungua ishirini na sita kabla ya siku ya uchaguzi kwa kadri itakavyoelekezwa na Msimamizi wa Uchaguzi. (2) Mtu aliyechukua fomu kwa mujibu wa kanuni ndogo ya (1) atatakiwa kurejesha fomu husika ndani ya muda wa siku saba tangu siku ya kwanza ya uchukuaji wa fomu iliyotangazwa na Msimamizi wa Uchaguzi. (3) Fomu za uteuzi wa kugombea nafasi ya uenyekiti wa Kitongoji na kupokelewa na Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi kuanzia saa moja na nusu asubuhi hadi saa kumi kamili jioni. zitatolewa (4) Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi hatoruhusiwa kupokea kutoka kwa mtu yeyote fomu za uteuzi zitakazowasilishwa baada ya saa kumi kamili jioni ya siku ya mwisho ya kurejesha fomu. (5) Fomu ya uteuzi wa kugombea nafasi ya uenyekiti wa Kitongoji zitakuwa kama zilivyoainishwa katika Jedwali la Kanuni hizi. la Pili Utaratibu wa uteuzi wa wagombea
Part
SEHEMU YA NNE
- 17 Verify source ↗
Section 17
AI-assisted research summary: Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi lazima afanye uteuzi wa wagombea wa uenyekiti wa Kitongoji siku 19 kabla ya uchaguzi, abadili majina ya wagombea kwenye matangazo, na aifikishie taarifa vyama vya siasa na wakazi ikiwa hakuna mwombaji au kama waombaji hawana sifa.
17.- (1) Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi atafanya uteuzi wa wagombea wa nafasi ya uenyekiti wa Kitongoji siku kumi na tisa kabla ya tarehe ya Uchaguzi kuanzia saa mbili kamili asubuhi 9 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kitongoji Katika Mamlaka Za Miji Midogo Tangazo la Serikali Na.572 (Linaendelea.) hadi saa kumi kamili jioni. (2) Baada ya uteuzi kufanyika, Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi atabandika majina ya wagombea wenye sifa na wasio na sifa za kugombea nafasi ya uenyekiti wa kitongoji sehemu ya matangazo ya uchaguzi. sifa (3) Endapo baada ya saa kumi kamili jioni ya siku ya uteuzi kutakuwa hakuna mwombaji au kama waombaji wote aliyejitokeza waliojitokeza hawana zinazostahili, Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi atavitaarifu Vyama vya Siasa na wakazi wa Kitongoji kuhusu kukosekana kwa waombaji au kutokuwepo kwa waombaji wenye sifa. (4) Kwa kuzingatia masharti ya kanuni ndogo ya (3), Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi atavitaarifu Vyama vya Siasa na wakazi wa Kitongoji husika kuhusu kurudiwa kwa mchakato wa uchaguzi baada ya siku arobaini kuanzia tarehe ya uteuzi. Utaratibu wa uteuzi wa mgombea pekee
Part
sehemu ya matangazo ya uchaguzi.
- 18 Verify source ↗
Endapo siku ya uteuzi kutakuwa na mwombaji
AI-assisted research summary: If, on nomination day, only one applicant has come forward for the Kitongoji chairperson position, the Deputy Election Supervisor must appoint that applicant as the sole candidate.
18. Endapo siku ya uteuzi kutakuwa na mwombaji mmoja aliyejitokeza katika nafasi ya uenyekiti wa Kitongoji, Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi atamteua mwombaji huyo kuwa mgombea pekee kwa nafasi aliyoomba. Kujitoa kwa mgombea - 19 Verify source ↗
Section 19
AI-assisted research summary: A candidate for chairperson of a Kitongoji may withdraw by filling the prescribed withdrawal form and personally submitting it to the Assistant Election Supervisor within 4 days of nomination.
19.- (1) Mgombea wa nafasi ya uenyekiti wa Kitongoji anaweza kujitoa katika nafasi hiyo kwa kujaza fomu ya kujitoa iliyoainishwa katika Jedwali la Tatu na kuiwasilisha yeye mwenyewe kwa Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi ndani ya siku nne baada ya tarehe ya uteuzi; (2) Endapo, baada ya uteuzi kufanyika, mgombea aliyeteuliwa kugombea nafasi ya uenyekiti wa Kitongoji atajitoa, Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi atatengua uteuzi wa mgombea huyo na wagombea waliobaki wataendelea na hatua ya Uchaguzi. 10 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kitongoji Katika Mamlaka Za Miji Midogo Tangazo la Serikali Na.572 (Linaendelea.) Kufariki kwa mgombea - 20 Verify source ↗
Endapo, baada ya uteuzi kufanyika, mgombea wa
AI-assisted research summary: If a candidate for village chair dies after nomination, the assistant election supervisor must postpone the election, and the political party that nominated the candidate may submit another applicant’s name within 40 days.
20. Endapo, baada ya uteuzi kufanyika, mgombea wa nafasi ya uenyekiti wa Kitongoji atafariki, Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi ataahirisha uchaguzi wa nafasi hiyo na Chama cha Siasa kilichotoa kinaweza kuwasilisha jina la mwombaji mwingine ndani ya siku arobaini tangu kuahirishwa kwa uchaguzi ili hatua za uteuzi wa mgombea huyo zifanyike. aliyefariki mgombea Ukomo wa kuwa madarakani - 21 Verify source ↗
Mwenyekiti wa Kitongoji atakoma kushika nafasi
AI-assisted research summary: The neighborhood chairperson stops holding office seven days before nomination forms are collected under these Regulations.
21. Mwenyekiti wa Kitongoji atakoma kushika nafasi hiyo siku saba kabla ya siku ya kuchukua fomu za kugombea uongozi chini ya Kanuni hizi. SEHEMU YA TANO UTARATIBU WA KUSHUGHULIKIA PINGAMIZI NA RUFAA Pingamizi kuhusu uteuzi
Part
SEHEMU YA TANO
- 22 Verify source ↗
Section 22
AI-assisted research summary: Wagombea au waombaji wanaweza kuwasilisha pingamizi dhidi ya uamuzi wa uteuzi, kupata kupitia upya, na kukata rufaa ndani ya muda uliowekwa.
22.- (1) Mtu yeyote aliyeomba kuteuliwa kuwa mgombea au mgombea ambaye hakuridhika na uamuzi uliotolewa na Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi au anapinga uteuzi wa mgombea yeyote, anaweza kuwasilisha pingamizi na kumwomba Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi kupitia upya uamuzi uliofanyika ili amteue kuwa mgombea au atengue uteuzi anaoupinga na Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi, baada ya kupitia pingamizi husika, anaweza kukubali au kulikataa pingamizi hilo. (2) Pingamizi chini ya kanuni ndogo ya (1) litawasilishwa kwa maandishi kwa Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi katika muda wa siku mbili tangu uamuzi au uteuzi ulipofanyika na Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi atasikiliza na kutoa uamuzi katika muda usiozidi siku mbili kuanzia siku ya kupokea pingamizi hilo. (3) Mwombaji au mgombea ambaye hataridhika na uamuzi wa Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi atakuwa na haki ya kukata rufaa kwenye Kamati ya Rufani iliyoanzishwa chini ya kanuni ya 23 katika muda usiozidi siku nne kuanzia tarehe ya uamuzi wa Msimamizi 11 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kitongoji Katika Mamlaka Za Miji Midogo Tangazo la Serikali Na.572 (Linaendelea.) Msaidizi wa Uchaguzi. Kamati ya Rufani - 23 Verify source ↗
Section 23
AI-assisted research summary: This section creates an Appeals Committee in each district and says who its chair, members, and secretary are, and who appoints them.
23.- (1) Kutakuwa na Kamati ya Rufani katika kila na wajumbe Wilaya wafuatao: (a) Katibu Tawala wa Wilaya ambaye ambayo itakuwa atakuwa Mwenyekiti; (b) watumishi wanne wa umma kutoka taasisi za umma zilizopo katika Wilaya husika; na (c) mtumishi mmoja wa umma ambaye atakuwa Katibu na hatakuwa na haki ya kupiga kura. (2) Wajumbe wa Kamati ya Rufani watateuliwa na Katibu Tawala wa Mkoa, siku saba kabla ya siku ya uteuzi wa wagombea, kwa kuzingatia sifa zilizoainishwa katika Kanuni ya 24. Sifa za Wajumbe wa Kamati ya Rufani - 24 Verify source ↗
Mtu yeyote hatateuliwa kuwa Mjumbe wa Kamati
AI-assisted research summary: Mtu yeyote hawezi kuteuliwa kuwa Mjumbe wa Kamati ya Rufani ikiwa yuko katika mojawapo ya hali zilizoorodheshwa.
24. Mtu yeyote hatateuliwa kuwa Mjumbe wa Kamati ya Rufani endapo: (a) (b) anahusika na uteuzi wa wagombea ni Msimamizi wa Uchaguzi, Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi au Msimamizi wa Kituo; ni mtumishi wa Halmashauri; au (c) (d) Kiongozi wa Chama cha Siasa katika ngazi yoyote. Majukumu ya Kamati ya Rufani - 25 Verify source ↗
Section 25
AI-assisted research summary: Kamati ya Rufani inapokea, inasikiliza, na kuamua rufaa zilizowasilishwa chini ya kanuni ya 22(3).
25.- (1) Kamati ya Rufani itakuwa na majukumu ya kupokea, kusikiliza na kutoa uamuzi wa rufaa iliyowasilishwa chini ya kanuni ya 22(3). (2) Kamati ya Rufani itatoa uamuzi wa rufaa ndani ya siku nne kuanzia siku ya kupokea rufaa na uamuzi wake utakuwa wa mwisho. 12 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kitongoji Katika Mamlaka Za Miji Midogo Tangazo la Serikali Na.572 (Linaendelea.) SEHEMU YA SITA KAMPENI ZA UCHAGUZI Kampeni za uchaguzi
Part
SEHEMU YA SITA
- 26 Verify source ↗
Section 26
AI-assisted research summary: Campaign schedules must be submitted and coordinated before campaigning begins, and the district police chief must ensure security at campaign meetings.
26.- (1) Kampeni za Uchaguzi zitafanyika siku saba kabla ya siku ya Uchaguzi. (2) Kila Chama cha Siasa kinachoshiriki Uchaguzi kitawasilisha ratiba yake ya mikutano ya kampeni ya uchaguzi kwa Msimamizi wa Uchaguzi si chini ya siku saba kabla ya kuanza kwa kampeni. (3) Msimamizi wa Uchaguzi ataunganisha ratiba za mikutano ya kampeni zilizowasilishwa na Vyama vya Siasa kwa mujibu wa kanuni ndogo ya (2) baada ya maridhiano na Vyama vya Siasa vinavyoshiriki Uchaguzi na atatakiwa kuwasilisha ratiba ya mikutano ya kampeni za uchaguzi iliyounganishwa siku tatu kabla ya kampeni kuanza kwa Mkuu wa Polisi wa Wilaya. (4) Endapo Vyama vya Siasa vitashindwa kuridhiana wakati wa uunganishaji wa ratiba za mikutano ya kampeni, Msimamizi wa Uchaguzi ataunganisha ratiba za mikutano ya kampeni na uamuzi wake utakuwa wa mwisho. (5) Mgombea au mwakilishi wa mgombea au Chama cha Siasa chenye mgombea kinaweza kuitisha na kuhutubia mikutano ya kampeni kwa mujibu wa ratiba ya mikutano ya kampeni iliyoandaliwa na kuwasilishwa kwa Mkuu wa Polisi wa Wilaya na mikutano hiyo itaratibiwa na Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi. (1) Mkuu wa Polisi wa Wilaya atakuwa na wajibu wa kuhakikisha ulinzi na usalama unakuwepo katika mikutano ya kampeni. (2) Ratiba ya mikutano ya kampeni za uchaguzi itakayowasilishwa na Msimamizi wa Uchaguzi kwa Mkuu wa Polisi wa Wilaya chini ya kanuni ya 26(3) itakuwa ni taarifa 13 Wajibu wa Jeshi la Polisi - 27 Verify source ↗
Section 27
AI-assisted research summary: Campaign meetings must follow the scheduled times, and any schedule changes must be proposed in writing and handled through the electoral supervisor.
27.- Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kitongoji Katika Mamlaka Za Miji Midogo Tangazo la Serikali Na.572 (Linaendelea.) rasmi ya mikutano ya kampeni na mgombea au Chama chake hakitowajibika kutoa taarifa kwa Jeshi la Polisi. (3) Mikutano ya kampeni za uchaguzi kwa mujibu wa ratiba itaanza saa mbili asubuhi na itamalizika saa kumi na mbili kamili jioni ya kila siku ya kampeni. iliyopitishwa (1) Endapo Mgombea au Chama cha Siasa chenye mgombea kitakusudia kufanya mabadiliko ya ratiba ya mikutano ya kampeni, kitafanya hivyo baada ya kuwasilisha kwa maandishi mapendekezo ya mabadiliko hayo kwa Msimamizi wa Uchaguzi na mapendekezo hayo kuridhiwa kwa mujibu wa kanuni ndogo ya (2). (2) Msimamizi wa Uchaguzi ataitisha kikao na Vyama vya Siasa vinavyoshiriki uchaguzi ili kujadili maombi ya mabadiliko ya ratiba na mabadiliko yatakayokubaliwa yatawasilishwa kwa Mkuu wa Polisi wa Wilaya kwa ajili ya kupatiwa ulinzi siku ya mkutano wa kampeni. (1) Mgombea, mwakilishi wa mgombea au Chama cha Siasa chenye mgombea kitatakiwa kuendesha mikutano ya kampeni za uchaguzi kwa mujibu wa ratiba na kwa kuzingatia muda uliowekwa chini ya Kanuni hizi. Mabadiliko ya ratiba - 29 Verify source ↗
Section 29
AI-assisted research summary: Campaign candidates and their representatives must not use bribery, insulting/defamatory language, discrimination, or speech that may disturb public peace.
29.- (2) Mgombea au mwakilishi wa mgombea au chenye mgombea Siasa za kampeni kuendesha cha Chama hakitaruhusiwa uchaguzi kwa: (a) (b) kutumia rushwa; kutoa maneno ya kashfa au lugha za matusi; kufanya ubaguzi wa jinsia, maumbile, ulemavu, dini, rangi, kabila au ubaguzi mwingine wa aina yoyote; au kutoa maneno yanaweza kusababisha uvunjifu wa amani au ambayo (c) (d) 14 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kitongoji Katika Mamlaka Za Miji Midogo Tangazo la Serikali Na.572 (Linaendelea.) Mahali, vituo na muda wa kupigia kura - 31 Verify source ↗
Section 31
AI-assisted research summary: Sheria hii inaweka utaratibu wa kupiga kura: vituo viwe kwenye majengo ya umma ya kitongoji husika, au eneo jingine liteuliwe ikiwa hakuna majengo ya umma; kura hupigwa ndani ya muda uliotajwa; na sanduku la kura lionyeshwe wazi na kufungwa kwa lakiri kabla ya upigaji kura kuanza.
31.- kusababisha vurugu. SEHEMU YA SABA TARATIBU ZA UPIGAJI KURA (1) Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kitongoji utafanyika katika Vitongoji vilivyomo katika Mamlaka ya Mji Mdogo. (2) Vituo vya kupigia kura vitakuwa katika majengo ya umma yaliyopo katika Kitongoji husika na endapo Kitongoji hakina majengo ya umma, Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi, baada ya kushauriana na wagombea au Vyama vya Siasa vyenye wagombea, atateua eneo lingine kuwa kituo cha kupigia kura. (3) Kura zitapigwa kuanzia saa mbili kamili asubuhi mpaka saa kumi kamili jioni. (4) Baada ya saa kumi kamili, askari atakaa nyuma ya mpiga kura wa mwisho ili kuzuia watu waliochelewa kupiga kura. (1) Kutakuwa na sanduku maalum la kupigia kura lililotengenezwa kwa namna itakayomwezesha mpiga kura kutumbukiza kura yake kwa urahisi kwa kila ngazi itakayopigiwa kura bila ya kuruhusu kura hiyo kutolewa ndani ya sanduku hilo. (2) Kabla ya kuanza kupiga kura, Msimamizi wa Kituo atawaonesha wapiga kura sanduku la kupigia kura lililo wazi na atalifunga kwa lakiri kwa namna ambayo itazuia kufunguliwa bila kukata lakiri. Karatasi za kupigia kura
Part
SEHEMU YA SABA
- 32 Verify source ↗
Kutakuwa na karatasi za kupigia kura kwa nafasi ya
AI-assisted research summary: Ballot papers for the neighborhood chairperson position must be as set out in the Fourth Schedule of these Regulations.
32. Kutakuwa na karatasi za kupigia kura kwa nafasi ya uenyekiti wa Kitongoji ambazo zitakuwa kama zilivyoainishwa katika Jedwali la Nne la Kanuni hizi. Utambulisho wa mpiga kura - 33 Verify source ↗
Section 33
AI-assisted research summary: Msimamizi wa Kituo lazima acheck kama mpiga kura yuko kwenye orodha kabla ya kutoa karatasi za kupigia kura, na anaweza kuomba kitambulisho.
33.- (1) Msimamizi wa Kituo atatakiwa, kabla ya kumpa mpiga kura karatasi za kupigia kura, 15 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kitongoji Katika Mamlaka Za Miji Midogo Tangazo la Serikali Na.572 (Linaendelea.) kujiridhisha kama jina la mpiga kura huyo limeorodheshwa katika Orodha ya Wapiga Kura. (2) Kwa madhumuni ya kanuni ndogo ya (1), Msimamizi wa Kituo anaweza kumtaka mpiga kura aoneshe kitambulisho kitakachoonesha kuwa jina la mpiga kura huyo ndilo lililomo kwenye orodha ya Wapiga Kura. (3) Aina ya kitambulisho ambacho Msimamizi wa Kituo anaweza kumtaka mpiga kura kuonesha ni pamoja na: (a) kitambulisho cha mpiga kura; (b) kitambulisho cha kazi; (c) hati ya kusafiria; (d) kadi ya bima ya afya; (e) kitambulisho cha shule au chuo; (f) kitambulisho cha mifuko ya hifadhi ya jamii; leseni ya udereva; au (g) (h) kitambulisho cha taifa. (4) Endapo mpiga atakuwa hana kura kitambulisho cha aina yoyote kati ya vilivyotajwa chini ya kanuni ndogo ya (3) lakini jina lake limo kwenye orodha ya wapiga kura iliyoandaliwa kwa mujibu wa Kanuni hizi, Msimamizi wa Kituo atamruhusu mtu huyo kupiga kura baada ya kutambuliwa na wakazi wa eneo husika. Upigaji kura - 34 Verify source ↗
Section 34
AI-assisted research summary: Kura zinapaswa kupigwa kwa siri, mpiga kura apewe karatasi moja ya kura, apige kura moja, achovye kidole kwenye wino baada ya kupiga kura, na asiache mtu yeyote kubaki eneo la kituo baada ya kupiga kura.
34.- (1) Kura zitapigwa katika namna itakayozingatia usiri. (2) Kwa kuzingatia masharti ya kanuni ya 33, Msimamizi wa Kituo atampa mpiga kura karatasi moja ya kupigia kura kwa nafasi ya mwenyekiti wa Kitongoji. (3) Mpiga kura, baada ya kupewa karatasi ya kupigia kura, atapiga kura moja kwa nafasi ya uenyekiti wa Kitongoji. (4) Bila kuathiri masharti ya kanuni ndogo (3), Endapo kutakuwa na mgombea pekee mpiga 16 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kitongoji Katika Mamlaka Za Miji Midogo Tangazo la Serikali Na.572 (Linaendelea.) kura atapiga kura moja ya NDIYO au HAPANA. (5) Baada ya kupiga kura, mpiga kura atatakiwa kuchovya kidole cha mkono katika kidau cha wino. (6) Wakati wa kupiga kura watu wafuatao wataruhusiwa kushuhudia kura zinavyopigwa: (a) Msimamizi wa Uchaguzi; (b) Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi; (c) askari au afisa wa polisi, mgambo yeyote mwenye ambaye anayesimamia atatambuliwa na Msimamizi wa Uchaguzi au Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi; au ulinzi afisa sare Usaidizi kwa wenye mahitaji maalum (d) Wakala wa Chama cha Siasa chenye mgombea; na (e) mwangalizi wa kitambulisho. uchaguzi mwenye (7) Bila kuathiri masharti ya Kanuni hizi, mtu yeyote hatoruhusiwa kubaki katika eneo la Kituo cha Kupigia Kura baada ya kupiga kura. - 35 Verify source ↗
Section 35
AI-assisted research summary: A voter with a visual disability, another disability, or inability to read and write may ask any person to help them vote, but not certain election officials, a candidate, or the candidate’s agent.
35.- (1) Mpiga kura ambaye- (a) kwa sababu ya ulemavu wa macho au ulemavu mwingine wowote; au (b) hajui kusoma na kuandika, anaweza kumwomba mtu yeyote kumsaidia kupiga kura; isipokuwa mpiga kura huyo hataruhusiwa kuomba usaidizi wa Msimamizi wa Uchaguzi, Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi, Msimamizi wa Kituo, mgombea au wakala wake. (2) Bila kuathiri masharti ya kanuni ndogo ya (1), mtu mmoja hataruhusiwa kumsaidia mpiga kura zaidi ya mmoja. Kuahirisha upigaji kura - 36 Verify source ↗
Endapo siku ya kupiga kura kutatokea jambo lolote
AI-assisted research summary: Akitokea kitu kinachozuia upigaji kura kuendelea, Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi anaahirisha kura hadi siku inayofuata au siku nyingine inayofaa, baada ya kuwasiliana na Msimamizi wa Uchaguzi.
36. Endapo siku ya kupiga kura kutatokea jambo lolote litakalozuia upigaji kura kuendelea kufanyika, Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi baada ya 17 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kitongoji Katika Mamlaka Za Miji Midogo Tangazo la Serikali Na.572 (Linaendelea.) kuwasiliana na Msimamizi wa Uchaguzi ataahirisha upigaji kura hadi siku inayofuata au siku nyingine anayoona inafaa ambayo haitazidi siku saba tangu siku ya uchaguzi ulipoahirishwa. SEHEMU YA NANE KUHESABU KURA NA KUTANGAZA MATOKEO Kuhesabu kura 37.- (1) Kura zitahesabiwa na Msimamizi wa Kituo kwenye kituo cha kupigia kura mbele ya wagombea au mawakala wao. (2) Msimamizi wa Kituo, kabla ya kuanza kuhesabu kura, atafanya yafuatayo mbele ya wagombea au mawakala wao: (a) atahakiki idadi ya wakazi waliopiga kura; atahesabu idadi ya karatasi za kupigia kura ambazo hazikutumika na kuziweka katika bahasha maalum; atakagua haijafunguliwa; atakata lakiri; na atafungua sanduku la kupigia kura. kuona kama lakiri na (b) (c) (d) (e) (3) Bila ya kuathiri masharti ya kanuni ndogo ya (1), wakati wa kuhesabu kura watu wafuatao kura wataruhusiwa zinavyohesabiwa- (a) Msimamizi wa Uchaguzi; (b) Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi; (c) Askari Polisi, Mgambo wenye sare au kushuhudia Afisa yeyote anayesimamia ulinzi; na (d) mwangalizi wa uchaguzi mwenye kitambulisho. Matokeo ya Mwenyekiti wa Kitongoji
Part
SEHEMU YA NANE
- 38 Verify source ↗
Section 38
AI-assisted research summary: The polling station supervisor must declare the subdistrict chairperson candidate with the most votes as chairperson, and must handle tie cases by reporting them and triggering a new election date within 14 days.
38.- (1) Msimamizi wa Kituo atamtangaza mgombea wa nafasi ya uenyekiti wa Kitongoji aliyepata kura nyingi kuwa Mwenyekiti wa Kitongoji. (2) Endapo idadi ya kura kwa nafasi ya uenyekiti italingana kwa wagombea Kituo wa Kitongoji wanaoongoza, Msimamizi wa 18 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kitongoji Katika Mamlaka Za Miji Midogo Tangazo la Serikali Na.572 (Linaendelea.) atatangaza matokeo hayo na kuwasilisha taarifa ya uchaguzi huo kwa Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi ambaye atapanga tarehe nyingine ya uchaguzi ndani ya siku kumi na nne tangu tarehe ya uchaguzi. (3) Matokeo ya uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kitongoji yatajazwa kwenye fomu ya matokeo kama ilivyoainishwa katika Jedwali la Tano la Kanuni hizi ambayo itasainiwa na wagombea au mawakala wao pamoja na Msimamizi wa Kituo na kubandikwa kwenye sehemu ya matangazo. (4) Bila kuathiri masharti ya Kanuni hii, pale ambapo nafasi ya uenyekiti wa Kitongoji ilikuwa na mgombea pekee, Msimamizi wa Kituo atamtangaza mgombea pekee kuwa Mwenyekiti wa Kitongoji endapo atakuwa amepata kura nyingi za NDIYO. (5) Endapo idadi ya kura za NDIYO na HAPANA kwa mgombea pekee zitalingana, Msimamizi wa Kituo atatangaza matokeo hayo na kuwasilisha taarifa ya Uchaguzi huo kwa Msimamizi wa Uchaguzi ambaye atapanga tarehe nyingine ya Uchaguzi ndani ya siku kumi na nne tangu tarehe ya Uchaguzi. Taratibu za kurudia uchaguzi - 39 Verify source ↗
Section 39
AI-assisted research summary: Katika uchaguzi wa marudio, wagombea na vyama vyao hawaruhusiwi kufanya kampeni za uchaguzi wa marudio.
39.- (1) Bila kuathiri masharti ya Kanuni hizi, uchaguzi wa marudio na kulingana kwa idadi ya kura utahusisha zao wagombea idadi ya kura zimelingana na itachukuliwa kuwa wagombea hao wameshateuliwa kuwa wagombea kwa mujibu wa Kanuni hizi. unaotokana ambao (2) Wagombea wanaoshiriki katika uchaguzi wa marudio au Vyama vyao vya Siasa kwa mujibu wa (1) havitaruhusiwa kufanya kampeni za uchaguzi wa marudio. kanuni ndogo ya 19 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kitongoji Katika Mamlaka Za Miji Midogo Tangazo la Serikali Na.572 (Linaendelea.) Masuala yasiyobatilisha matokeo - 40 Verify source ↗
Masuala yafuatayo hayatobatilisha matokeo ya
AI-assisted research summary: Certain issues do not invalidate election results or the conduct of an election activity.
40. Masuala yafuatayo hayatobatilisha matokeo ya uchaguzi au utekelezaji wa shughuli yoyote ya uchaguzi: (a) kutokuwepo kwa mgombea au wakala wa mgombea wakati wa kupiga kura, kuhesabu kura au kutangaza matokeo; au (b) mgombea au wakala wa mgombea kukataa kusaini fomu ya matokeo. Malalamiko kuhusu uendeshaji wa Uchaguzi - 41 Verify source ↗
Mgombea yeyote ambaye hakuridhika na matokeo
AI-assisted research summary: A dissatisfied candidate may file a case in the District Court within 30 days after election results are announced.
41. Mgombea yeyote ambaye hakuridhika na matokeo ya uchaguzi au uendeshaji wa uchaguzi atakuwa na haki ya kufungua shauri katika Mahakama ya Wilaya ndani ya siku thelathini tangu siku ya kutangaza matokeo ya uchaguzi. Utunzaji wa nyaraka - 42 Verify source ↗
Section 42
AI-assisted research summary: The election supervisor must keep election-operation documents secure and destroy them 30 days after election day, unless a court orders otherwise.
42.- (1) Msimamizi wa uchaguzi atahakikisha zote anatunza zinazohusu uendeshaji wa uchaguzi. usalama kwa nyaraka (2) Msimamizi wa uchaguzi atahakikisha nyaraka zote zinazohusu uendeshaji wa uchaguzi zinateketezwa baada ya kupita kipindi cha siku thelathini toka siku ya uchaguzi isipokuwa kama itaelekezwa vinginevyo kwa amri ya Mahakama kutokana na mwenendo wa mashauri ya uchaguzi. SEHEMU YA TISA NAFASI WAZI NA UCHAGUZI MDOGO Nafasi wazi
Part
SEHEMU YA TISA
- 43 Verify source ↗
Section 43
AI-assisted research summary: An electoral vacancy in a Kitongoji chairmanship must be reported, announced, and filled within set time limits; by-elections are not held if six months or less remain before the regular election, and listed officials must take an oath before a magistrate before starting duties.
43.- (1) Nafasi ya uenyekiti wa Kitongoji itakuwa wazi endapo yatatokea mambo yafuatayo: (a) kifo cha Mwenyekiti; (b) Mwenyekiti kujiuzulu wadhifa wake; (c) Mwenyekiti kukosa sifa za kuwa mgombea; (d) kubatilishwa kwa matokeo ya Uchaguzi; (e) Mwenyekiti kukoma kuwa mwanachama wa Chama cha Siasa kilichomdhamini; (f) Mwenyekiti kuhama Kitongoji; (g) Mwenyekiti kutoitisha mikutano mitatu 20 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kitongoji Katika Mamlaka Za Miji Midogo Tangazo la Serikali Na.572 (Linaendelea.) ya kawaida mfululizo bila kuwa na sababu za msingi; (h) Mwenyekiti kutohudhuria mikutano mitatu mfululizo ya kawaida bila kuwa na sababu ya msingi; (i) kugawanywa Kitongoji; au (j) Mwenyekiti kuvuliwa madaraka kwa mujibu wa Sheria. (2) Endapo litatokea jambo lolote chini ya kanuni ndogo ya (1), Mtendaji wa Mamlaka ya Mji Mdogo atatoa taarifa kwa Msimamizi wa Uchaguzi katika kipindi kisichozidi siku saba tangu kutokea kwa jambo hilo. (1) Msimamizi wa Uchaguzi atatangaza kuwepo kwa nafasi wazi ya uenyekiti wa Kitongoji ndani ya siku kumi na nne baada ya kupokea taarifa kutoka kwa Mtendaji wa Mamlaka ya juu ya kuwepo kwa nafasi Mji Mdogo iliyoachwa wazi. (2) Nafasi wazi ya uenyekiti wa Kitongoji itajazwa kwa kufanya Uchaguzi Mdogo kwa utaratibu uliopo katika Kanuni hizi. (3) Nafasi ya uenyekiti wa Kitongoji itajazwa ndani ya muda wa siku sitini baada ya kutangazwa kuwa wazi. (4) Uchaguzi Mdogo hautafanyika chini ya Kanuni hizi endapo muda uliosalia kabla ya uchaguzi wa kawaida ni miezi sita au pungufu yake. SEHEMU YA KUMI UTARATIBU WA KUAPISHWA (1) Wafuatao watatakiwa kuapa kiapo cha uaminifu na kutunza siri mbele ya Hakimu kabla ya kuanza kutekeleza majukumu yao chini ya Kanuni hizi- (a) Msimamizi wa Uchaguzi; (b) Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi; 21 Uchaguzi Mdogo
Part
SEHEMU YA KUMI
- 45 Verify source ↗
Section 45
AI-assisted research summary: The election officer may swear in certain listed people if a judge cannot be found, and village chairpersons must take an oath of allegiance and integrity before a judge within 14 days after election day.
45.- Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kitongoji Katika Mamlaka Za Miji Midogo Tangazo la Serikali Na.572 (Linaendelea.) (c) Msimamizi wa kituo; (d) Mwenyekiti na Wajumbe wa Kamati ya Rufani; (e) mawakala wa Vyama vya Siasa; na (f) Mtumishi umma atakayeteuliwa kusimamia shughuli za uchaguzi chini ya Kanuni hizi. yeyote wa (2) Endapo hawezi Hakimu kupatikana, Msimamizi wa Uchaguzi au Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi anaweza kuwaapisha watu waliotajwa katika aya za (c), (d), (e) na (f) za kanuni ndogo ya (1). (3) Wenyeviti wa Vitongoji, kabla ya kuanza kutekeleza majukumu yao, wataapa kiapo cha utii na uadilifu mbele ya Hakimu ndani ya siku kumi na nne baada ya siku ya uchaguzi. (4) Viapo vilivyotajwa katika Kanuni hii vitakuwa kama vilivyoainishwa katika Jedwali la Sita la Kanuni hizi na watakaoapishwa watapewa nakala za viapo. SEHEMU YA KUMI NA MOJA MAKOSA NA ADHABU
Part
SEHEMU YA KUMI NA MOJA
- 46 Verify source ↗
Section 46
AI-assisted research summary: Hii inakataza vitendo mbalimbali vinavyohusiana na uchaguzi na kampeni, na inaweka adhabu kwa anayepatikana na kosa.
46.- (1) Mtu yeyote atakuwa ametenda kosa la uchaguzi endapo: (a) ataharibu orodha ya wapiga kura au na zinazohusiana zozote nyaraka uchaguzi; (b) atatoa taarifa za uongo ili aweze kupiga kura au kugombea nafasi ya uenyekiti wa Kitongoji; (c) atajiandikisha zaidi ya mara moja kwenye orodha ya wapiga kura; (d) atapiga kura zaidi ya mara moja kwa wagombea wa nafasi moja; (e) atatishia wapiga kura au wagombea ili Makosa ya uchaguzi (f) (g) ataonyesha kuvuruga uchaguzi; atafanya kampeni siku ya uchaguzi; ishara au kuvaa mavazi yanayoashiria kumtambulisha mgombea 22 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kitongoji Katika Mamlaka Za Miji Midogo Tangazo la Serikali Na.572 (Linaendelea.) au Chama cha Siasa katika eneo la mita mia mbili kutoka kwenye kituo cha kupigia kura; (h) atamzuia Msimamizi wa Uchaguzi, Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi, Msimamizi wa Kituo, Mjumbe wa Kamati ya Rufani au afisa wa umma uchaguzi kusimamia aliyeteuliwa kutekeleza majukumu yake; atakiuka masharti ya kiapo chake chini ya kanuni ya 45(1); atapatikana na karatasi za kupigia kura zaidi ya moja kwa nafasi moja inayogombewa; (j) (i) (k) atavuruga ratiba ya mikutano ya kampeni za uchaguzi au atavunja masharti ya kampeni za uchaguzi; atafanya Kanuni hizi; lolote kinyume cha jambo (l) (m) atakutwa na silaha kinyume cha Sheria kwenye eneo la uteuzi wa wagombea, mikutano ya kampeni, eneo la usikilizaji wa rufaa za wagombea, kituo cha kuandikisha wapiga kura au kituo cha kupigia na kuhesabu kura; au (n) atatangaza matokeo ya uchaguzi kabla hayajatangazwa na Msimamizi wa Uchaguzi, Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi au Msimamizi wa Kituo kwa mujibu wa Kanuni hizi; (2) Mtu yeyote atakayepatikana na hatia kwa kosa lolote chini ya kanuni ndogo ya (1) atahukumiwa adhabu ya faini isiyozidi shilingi laki tatu au kifungo kisichozidi miezi kumi na miwili au vyote kwa pamoja yaani faini na kifungo. (3) Mtu yeyote atakayetumia lugha ya matusi, kashfa, kejeli, udhalilishaji na vitisho au lugha inayo ashiria unyanyasaji na ukatilii wa kijinsia katika uchaguzi atakuwa ametenda 23 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kitongoji Katika Mamlaka Za Miji Midogo Tangazo la Serikali Na.572 (Linaendelea.) kosa na akipatikana na hatia ataadhibiwa kwa mujibu wa taratibu za maadili. Kinga - 47 Verify source ↗
Msimamizi wa Uchaguzi, Msimamizi Msaidizi wa
AI-assisted research summary: Wahusika wa usimamizi wa uchaguzi hawawezi kuwajibishwa au kuchukuliwa hatua kwa vitendo au kuacha vitendo vilivyofanywa kwa nia njema wakati wa kutekeleza majukumu yao chini ya Kanuni hizi.
47. Msimamizi wa Uchaguzi, Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi, Msimamizi wa Kituo, Wajumbe wa Kamati ya Rufani au mtumishi yeyote wa umma aliyehusika na usimamizi wa uchaguzi hatowajibika kwa jinai au madai au kuchukuliwa hatua za kinidhamu lolote alilolifanya au kuacha kufanya kwa nia njema wakati wa kutekeleza majukumu yake chini ya Kanuni hizi. au kiutawala kwa jambo SEHEMU YA KUMI NA MBILI MASUALA MENGINEYO Waangalizi wa ndani wa uchaguzi
Part
SEHEMU YA KUMI NA MBILI
- 48 Verify source ↗
Section 48
AI-assisted research summary: Waangalizi wa ndani wa uchaguzi wanaweza kuangalia uchaguzi tu baada ya kupata kibali, na maombi ya kibali lazima yawasilishwe ndani ya siku 21 baada ya Tangazo la Uchaguzi.
48.- (1) Waangalizi wa ndani wa uchaguzi wataruhusiwa kuangalia uchaguzi baada ya kupata kibali cha Katibu Mkuu wa Wizara yenye dhamana ya Serikali za Mitaa. (2) Maombi ya kibali cha uangalizi wa uchaguzi yatawasilishwa kwa Katibu Mkuu wa Wizara yenye dhamana ya Serikali za Mitaa ndani ya muda wa siku ishirini na moja baada ya Tangazo la Uchaguzi kutolewa. (3) Waangalizi wa ndani wa uchaguzi watafanya shughuli za uangalizi kwa gharama zao wenyewe na watatakiwa kuzingatia masharti ya Kanuni hizi na miongozo itakayotolewa ikiwa ni pamoja na kutoingilia kwa namna yoyote shughuli ya uchaguzi. Taratibu Maadili za - 49 Verify source ↗
Bila ya kuathiri masharti ya Kanuni hizi, kutakuwa
AI-assisted research summary: Wadau wa uchaguzi walioainishwa katika Taratibu za Maadili ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa lazima wafuate taratibu hizo, bila kuathiri masharti ya Kanuni hizi.
49. Bila ya kuathiri masharti ya Kanuni hizi, kutakuwa na Taratibu za Maadili ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa zilizoainishwa katika Jedwali la Saba la Kanuni hizi ambazo zitatakiwa kufuatwa na wadau wa uchaguzi walioainishwa katika Taratibu hizo. Miongozo - 50 Verify source ↗
Bila ya kuathiri masharti ya Kanuni hizi, Waziri
AI-assisted research summary: The Minister may issue various election guidelines, as long as the regulations are not affected.
50. Bila ya kuathiri masharti ya Kanuni hizi, Waziri anaweza kutoa miongozo mbalimbali kuhusu uchaguzi. 24 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kitongoji Katika Mamlaka Za Miji Midogo Tangazo la Serikali Na.572 (Linaendelea.) Elimu Mpiga Kura ya - 51 Verify source ↗
Section 51
AI-assisted research summary: Taasisi inayotaka kutoa elimu ya mpiga kura katika uchaguzi lazima iombe kibali kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Serikali za Mitaa, na taasisi zinazotoa elimu hiyo zinalipa gharama zao wenyewe.
51.- (1) Taasisi yoyote inayotaka kutoa elimu ya mpiga kura katika uchaguzi itatakiwa kuwasilisha maombi ya kibali cha kutoa elimu ya mpiga kura kwa Katibu Mkuu wa Wizara yenye dhamana ya Serikali za Mitaa kwa kuzingatia miongozo itakayotolewa. (2) Taasisi zitakazotoa elimu ya mpiga kura zitatoa elimu hiyo kwa gharama zao. Kufutwa kwa za Kanuni Uchaguzi TS Na. 371 la 2019 - 52 Verify source ↗
Section 52
AI-assisted research summary: Kanuni za uchaguzi za mwaka 2019 zinafutwa, lakini nyaraka au taratibu za zamani zinazohusu uchaguzi wa serikali za mitaa zinaweza kuendelea kutumika hadi zitakapofutwa chini ya kanuni hizi, mradi hazikinzani nazo.
52.- (1) Kanuni za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kitongoji katika Mamlaka za Miji Midogo za Mwaka 2019 zinafutwa. ambacho za Mitaa (2) Bila kujali masharti ya kanuni ndogo ya (1), matangazo, machapisho, miongozo, taratibu au kitu chochote kinachohusu Uchaguzi wa Serikali kilikuwa kinatumika kabla ya kuanza kutumika kwa Kanuni hizi, kitaendelea kutumika hadi pale kitakapofutwa na matangazo, machapisho, miongozo, chochote kitakachotolewa kwa mujibu wa Kanuni hizi isipokuwa kama machapisho, miongozo, taratibu au kitu hicho kinakinzana na Kanuni hizi. taratibu kitu au 25 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kitongoji Katika Mamlaka Za Miji Midogo Tangazo la Serikali Na.572 (Linaendelea.) ________ JEDWALI LA KWANZA _________ (Limetengenezwa chini ya kanuni ya 10(1)) __________ JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA FOMU Na. I ORODHA YA WAPIGA KURA KWA AJILI YA UCHAGUZI WA MAMLAKA ZA SERIKALI ZA MITAA MWAKA 2024 HALMASHAURI: …………………………… MAMLAKA YA MJI MDOGO: ……………………… KATA: …………………………………… KIJIJI/MTAA: ……………………………………. KITONGOJI: …………………………… Na. Jina la Mpiga Kura (Majina matatu) Jinsi (Me/Ke) Umri Tarehe ya kuandikishw a Saini/Dole gumba la aliyeandikishwa Saini ya Mwandikishaji
Part
JEDWALI LA KWANZA
- 10 Verify source ↗
Section 10
AI-assisted research summary: This section provides a form for applying to contest the position of ward chairperson for 2024.
10. 26 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kitongoji Katika Mamlaka Za Miji Midogo Tangazo la Serikali Na.572 (Linaendelea.) _________ JEDWALI LA PILI ____________ (Limetengenezwa chini ya kanuni ya 16 (5)) ________________ FOMU YA MAOMBI YA UTEUZI KUGOMBEA UENYEKITI WA KITONGOJI MWAKA 2024 FOMU Na. II NEMBO YA HALMASHAURI MAMLAKA YA MJI MDOGO…………………….. HALMASHAURI ……………………………………. KITONGOJI………………………………………………… SEHEMU A: MAELEZO YA MGOMBEA (Ijazwe na anayeomba kugombea)
Part
SEHEMU A: MAELEZO YA MGOMBEA
- 8 Verify source ↗
Namba ya Simu (kama ipo) …………………………
AI-assisted research summary: Kifungu hiki kina kichwa cha “Namba ya Simu (kama ipo)”.
8. Namba ya Simu (kama ipo) ………………………….. - 10 Verify source ↗
Uwezo wako wa Kusoma na Kuandika kiswahili au kiingereza
AI-assisted research summary: This section asks whether a person can read and write Swahili or English.
10.Uwezo wako wa Kusoma na Kuandika kiswahili au kiingereza (a) Kusoma Kiswahili Ndiyo Hapana (b) Kuandika Kiswahili Ndiyo (c) Kusoma Kiingereza Ndiyo (d) Kuandika Kiingereza Ndiyo Hapana Hapana Hapana Kitongoji……………………… - 11 Verify source ↗
Je una ulemavu wa aina yoyote? Ndiyo
AI-assisted research summary: The form asks whether the person has any disability and, if yes, to state the type of disability.
11. Je una ulemavu wa aina yoyote? Ndiyo Aina ya ulemavu…………………………….. - 12 Verify source ↗
Jina la Chama cha Siasa kinachokudhamini………………………………
AI-assisted research summary: This provision asks for the name of the sponsoring political party, either in full or abbreviated form.
12. Jina la Chama cha Siasa kinachokudhamini……………………………….. (kwa kirefu au kifupi) Hapana - 13 Verify source ↗
Nafasi unayoomba kugombea……………………………………………
AI-assisted research summary: This section is a candidate declaration to respect and follow the local government election ethics procedures for 2024.
13. Nafasi unayoomba kugombea……………………………………………... Nathibitisha kwamba taarifa zote zilizoandikwa hapo juu ni sahihi kama nijuavyo. Saini ya Mgombea ………………………Tarehe ……………..……………… 27 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kitongoji Katika Mamlaka Za Miji Midogo Tangazo la Serikali Na.572 (Linaendelea.) SEHEMU B: TAMKO LA MGOMBEA LA KUHESHIMU NA KUTEKELEZA TARATIBU ZA MAADILI YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA MWAKA 2024 Mimi…..........................................................................................ambaye ninatarajia kuwa mgombea wa nafasi ya ………………...................................................niliyependekezwa na Chama cha…................................................................................. kilichosajiliwa kwa mujibu wa Sheria ya Vyama vya Siasa, Sura ya 258 ninatamka kuwa nitaheshimu na kutekeleza Taratibu za Maadili ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa Mwaka 2024 wakati wote wa uchaguzi. Ninatoa tamko hili nikiamini kuwa yote niliyoeleza hapo juu ni kweli kwa kadri ya ufahamu wangu. Saini ya Mgombea ………………………Tarehe ……………..……………… SEHEMU C: UDHAMINI WA CHAMA CHA SIASA (Ijazwe na Chama cha Siasa) Hii ni kuthibitisha kuwa ……………………….……..(Taja jina la Mgombea) ni Mwanachama na amedhaminiwa na ………………………………………..(Taja jina la Chama kwa kirefu au kifupi)
Part
SEHEMU C: UDHAMINI WA CHAMA CHA SIASA
- 6 Verify source ↗
Muhuri wa Chama cha Siasa:……………
AI-assisted research summary: This section is titled “Muhuri wa Chama cha Siasa” and says the form is to be filled in by the Deputy Election Supervisor.
6. Muhuri wa Chama cha Siasa:…………… SEHEMU D: KURUDISHA FOMU (Ijazwe na Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi)
Part
SEHEMU D: KURUDISHA FOMU
- 1 Verify source ↗
Tarehe ya kupokea fomu……………………………………………
AI-assisted research summary: Section heading about the date of receipt of a form.
1. Tarehe ya kupokea fomu……………………………………………. - 3 Verify source ↗
Saini ya Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi…………………………
AI-assisted research summary: Section 3 is titled “Saini ya Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi” (signature of the assistant electoral supervisor).
3. Saini ya Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi………………………… - 4 Verify source ↗
Section 4
AI-assisted research summary: This section gives the title of the Assistant Election Supervisor.
4. Jina la Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi………………………….. - 5 Verify source ↗
Muhuri wa Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi ……………………
AI-assisted research summary: This section is a form heading for the Assistant Election Supervisor’s seal/signature area.
5. Muhuri wa Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi ……………………. 28 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kitongoji Katika Mamlaka Za Miji Midogo Tangazo la Serikali Na.572 (Linaendelea.) SEHEMU E: UTEUZI (Ijazwe na Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi siku ya uteuzi)
Part
SEHEMU E: UTEUZI
- 1 Verify source ↗
Mgombea ameteuliwa/hakuteuliwa………………………………….kugombea nafasi ya
AI-assisted research summary: This text refers to whether a candidate is nominated or not nominated to contest a position.
1. Mgombea ameteuliwa/hakuteuliwa………………………………….kugombea nafasi ya ………………………………………… - 3 Verify source ↗
Section 3
AI-assisted research summary: Kipengele hiki kina kichwa cha sehemu kinachohusu jina la Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi.
3. Jina la Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi………………………… - 4 Verify source ↗
Saini ya Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi ………………………
AI-assisted research summary: This section is the signature line for the Assistant Election Supervisor.
4. Saini ya Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi ………………………. - 6 Verify source ↗
Muhuri wa Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi ……………………
AI-assisted research summary: This provision shows a candidate withdrawal form and a ballot paper template for the 2024 village chairperson election.
6. Muhuri wa Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi …………………… ____________ JEDWALI LA TATU _____________ (Limetengenezwa chini ya kanuni ya 19(1)) FOMU YA KUJITOA MGOMBEA YA MWAKA 2024 NEMBO YA HALMASHAURI JINA LA MGOMBEA JINA LA CHAMA JINSI (ME/KE) JINA LA KITONGOJI………………………………………………………………. NAFASI UNAYOJITOA……………………………………………………………. SABABU ZA KUJITOA…………………………………………………………….. ……………………………………………………………………………………….. ……………………………………………………………………………………….. SAINI YA MGOMBEA ANAYEJITOA………………………………… ALAMA YA DOLE GUMBA TAREHE……………………………. KWA MATUMIZI YA OFISI TU JINA LA MSIMAMIZI MSAIDIZI WA UCHAGUZI…………………………………….. TAREHE YA KUPOKEA……………………………………………. SAINI…………………………………………………………………… 29 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kitongoji Katika Mamlaka Za Miji Midogo Tangazo la Serikali Na.572 (Linaendelea.) _________ JEDWALI LA NNE _________ (Limetengenezwa chini ya kanuni ya 32) __________ KARATASI YA KUPIGIA KURA KWA NAFASI YA MWENYEKITI WA KITONGOJI YA MWAKA 2024 FOMU Na. IV “A” Na. JINA LA MGOMBEA NEMBO YA HALMASHAURI JINA LA CHAMA CHA MGOMBEA NEMBO YA CHAMA CHA SIASA WEKA ALAMA YA VEMA KWA MGOMBEA UNAYEMTAK A (√)
Part
JEDWALI LA NNE
- 10 Verify source ↗
Section 10
AI-assisted research summary: This text provides election forms for a village chairperson election and a results form for 2024.
10. 30 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kitongoji Katika Mamlaka Za Miji Midogo Tangazo la Serikali Na.572 (Linaendelea.) FOMU Na. IV “B” KARATASI YA KUPIGIA KURA KWA NAFASI YA MWENYEKITI WA KITONGOJI KWA MGOMBEA PEKEE YA MWAKA 2024 NEMBO YA HALMASHAURI Na. JINA LA MGOMBEA JINA LA CHAMA CHA MGOMBEA NEMBO YA CHAMA CHA SIASA WEKA ALAMA YA VEMA KATIKA KISANDUKU CHA NDIYO AU HAPANA (√) NDIYO HAPANA 31 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kitongoji Katika Mamlaka Za Miji Midogo Tangazo la Serikali Na.572 (Linaendelea.) __________ JEDWALI LA TANO __________ (Limetengenezwa chini ya kanuni ya 38(3) ___________ FOMU YA MATOKEO YA UCHAGUZI WA MWENYEKITI WA KITONGOJI YA MWAKA 2024 FOMU Na. V “A” NEMBO YA HALMASHAURI Na. JINA LA MGOMBEA CHAMA CHA SIASA KURA ALIZOPATA JINSI (KE/ME) SAINI YA MGOMBEA AU MWAKILISHI WAKE
Part
JEDWALI LA TANO
- 1
AI-assisted research summary: Fomu hii ina kiapo cha uaminifu na kiapo cha utii na uadilifu kwa mtu anayeteuliwa, akiahidi kutumikia kwa uaminifu, kutenda haki, kutunza siri, na kulinda Katiba na sheria.
1.0 Idadi ya waliojiandikisha kupiga kura Idadi ya waliopiga kura Idadi ya kura halali Idadi ya kura zilizoharibika Jina la Msimamizi wa Kituo Saini…………………………………………………………tarehe……………… Muhuri wa Msimamizi wa Kituo 32 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kitongoji Katika Mamlaka Za Miji Midogo Tangazo la Serikali Na.572 (Linaendelea.) FOMU Na. V “B” FOMU YA MATOKEO YA UCHAGUZI WA MWENYEKITI WA KITONGOJI KWA MGOMBEA PEKEE YA MWAKA 2024 NEMBO YA HALMASHAURI Na . JINA LA MGOMBEA CHAMA CHA SIASA KURA ALIZOPATA JINSI (KE/ME) SAINI YA MGOMBEA AU MWAKILISHI WAKE NDIYO HAPANA Idadi ya waliojiandikisha kupiga kura Idadi ya waliopiga kura Idadi ya kura halali Hapana) Idadi ya kura zilizoharibika Jina la Msimamizi wa Kituo (Ndiyo na Saini…………………………………………………………tarehe……………… Muhuri wa Msimamizi wa Kituo 33 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kitongoji Katika Mamlaka Za Miji Midogo Tangazo la Serikali Na.572 (Linaendelea.) ____________ JEDWALI LA SITA ____________ (Limetengenezwa chini ya kanuni ya 45(4)) ___________ VIAPO (a) Kiapo cha Uaminifu na kutunza siri thabiti Jamhuri ya Muungano wa Tanzania “Mimi ……………………………. naapa/natamka kwa dhati kwamba nitaitumikia vyema na kwa moyo kama ………………………………..katika Halmashauri ya …………………… na katika kutimiza wajibu wa nafasi hiyo nitawatendea haki watu wote kwa mujibu wa Katiba, Sheria na Kanuni za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na kwa vyovyote vile sitatoa siri zinazohusu majukumu yangu isipokuwa kwa mujibu wa sheria. Ewe Mwenyezi Mungu, nisaidie.” Kiapo/Tamko hili limetolewa hapa: ……………………………………… na………………………………………………………………………….. katika yangu kazi Leo tarehe…………………… Mwezi wa…………………..20………....... Mbele ya: Jina:……………………………………………… Saini:…………………………………………….. Wadhifa:………………………………………… Anuani…………………………………………… Jamhuri Tanzania ya Muungano wa (b) Kiapo cha Utii na Uadilifu Mimi ………………………………………………………. naapa/natamka kwa dhati kwamba nitaitumikia kwa wadhifa wangu wa …………………………………………. kwa uaminifu, kwa uwezo na moyo wangu wote na kwamba nitahifadhi, nitalinda na kutetea Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Sheria za Tanzania na Maadili ya Viongozi wa Umma kama yalivyowekwa kwa mujibu wa Sheria. Ewe Mwenyezi Mungu nisaidie” Kiapo/Tamko hili limetolewa hapa: ……………………………………… na………………………………………………………………………….. Leo tarehe…………………… Mwezi wa…………………..20………. Mbele ya:……………………………………….. Jina:……………………………………………… Cheo:……………………………………………. Saini:…………………………………………… Anuani…………………………………………. 34 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kitongoji Katika Mamlaka Za Miji Midogo Tangazo la Serikali Na.572 (Linaendelea.) _________ JEDWALI LA SABA __________ (Limetengenezwa chini ya kanuni ya 49) __________ TARATIBU ZA MAADILI
Part
JEDWALI LA SABA
- 1
AI-assisted research summary: Section heading about the purpose, use, and actors of the 2024 local government election ethics rules.
1.0 Jina, Matumizi, Wahusika wa Maadili ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa Mwaka 2024 - 1
AI-assisted research summary: This provision gives the regulations their official name.
1.1 Jina na Tarehe ya kuanza kutumika Taratibu hizi zitajulikana kama Taratibu za Maadili ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa za Mwaka 2024 - 1
AI-assisted research summary: This provision lists the actors covered by the ethics procedures: political parties, candidates, the Government, and election managers and assistant election managers.
1.2 Wahusika wa Taratibu za Maadili Wahusika wa Taratibu za Maadili hizi watakuwa wafuatao: (a) Vyama vya Siasa; (b) Wagombea; (c) Serikali; na (d) Wasimamizi wa Uchaguzi na Wasimamizi Wasaidizi wa Uchaguzi. - 2
AI-assisted research summary: Vyama vya siasa na wagombea lazima wazingatie kanuni za uchaguzi na wafanye kampeni kwa njia ya amani, ya haki, na inayofuata sheria za uchaguzi.
2.1 Wajibu wa Vyama vya Siasa na Wagombea Kila Chama cha Siasa na Wagombea watatakiwa kuzingatia yafuatayo: (a) kuheshimu na kutekeleza Kanuni za Uchaguzi, Taratibu za Maadili ya Uchaguzi na Miongozo ya Uchaguzi itakayotolewa kwa mujibu wa Kanuni pamoja na kuzingatia matakwa ya Sheria nyingine za nchi katika kipindi chote cha Uchaguzi; (b) kuelimisha, kuhamasisha na kuwasisitiza wanachama na wafuasi wao kuheshimu Kanuni za Uchaguzi, Taratibu za Maadili ya Uchaguzi na Miongozo ya Uchaguzi itakayotolewa kwa mujibu wa Kanuni pamoja na Sheria nyingine za nchi katika kipindi chote cha Uchaguzi; (c) kuzingatia ratiba ya mikutano ya kampeni; (d) kushirikiana na wanachama na wafuasi wa Vyama vingine vya Siasa kuhakikisha kuwa wanachukua hatua za makusudi ili- (i) kufanya Uchaguzi uwe huru na wa haki; (ii) kuzuia vitendo vya vurugu na vitisho; (iii) kukataa aina yoyote ya ubaguzi katika misingi ya jinsia, maumbile, ulemavu, ukabila, dini au rangi; na (iv) kueneza taarifa sahihi kuhusu mchakato wa Uchaguzi; (e) kuchapisha vijitabu, vipeperushi, vitini, mabango na machapisho ya aina yoyote yanayoelezea sera zao baada ya kuidhinishwa na Msimamizi wa Uchaguzi; (f) kutumia vyombo vya habari kutangaza sera zao kwa kuzingatia sheria zinazosimamia vyombo vya habari na Miongozo ya Uchaguzi; (g) kujenga mazingira ambayo yatawezesha Uchaguzi kufanyika kwa uhuru na haki, ikiwa ni pamoja na kuwezesha makundi maalum kushiriki kikamilifu katika Uchaguzi; (h) kuhakikisha hifadhi na usafi wa mazingira katika kusambaza matangazo ya kampeni; (i) kuondoa mabango, matangazo na machapisho ya aina yoyote ile yaliyotumika wakati wa kampeni katika sehemu za wazi baada ya Uchaguzi; (j) kutoa taarifa mara moja kwa mamlaka husika wanapofahamu au wanapoona tukio linaloweza kusababisha vurugu au uvunjifu wa amani; 35 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kitongoji Katika Mamlaka Za Miji Midogo Tangazo la Serikali Na.572 (Linaendelea.) (k) kuhakikisha kuwa wanafanya kampeni kwa kuzingatia misingi inayolenga kutangaza sera za Vyama vyao pasipo kujenga chuki, kusababisha mifarakano na migawanyiko katika jamii; (l) kuchukua hatua za lazima kuhakikisha kuwa hakuna migongano ya mikutano ya kampeni na Vyama vingine; (m) kukataza wanachama au wafuasi kutamka kauli mbiu, kuonesha ishara za Vyama vyao, au kuvaa sare zenye rangi ya Chama chao katika mikutano ya hadhara ya Vyama vingine; (n) kuwaelekeza Mawakala wao watakaokuwepo katika Vituo vya kupigia, kuhesabia na kujumlishia kura kutekeleza majukumu yao kwa mujibu wa Kanuni za Uchaguzi, Taratibu za Maadili ya Uchaguzi na Miongozo ya Uchaguzi. - 2
AI-assisted research summary: Vyama vya siasa na wagombea hawaruhusiwi kufanya vitendo mbalimbali vya kampeni vinavyosababisha fujo, lugha ya matusi au ya ubaguzi, kubeba vitu vya kubeza, kutumia vipaza sauti baada ya kampeni, kuharibu matangazo, kubandika matangazo bila idhini, kubandika kwenye maeneo ya ibada au ya serikali, kutoa rushwa, au kuzuia watu kuhudhuria mikutano au kupiga kura.
2.2 Mambo yasiyotakiwa kufanywa na Vyama vya Siasa na Wagombea Kila Chama cha Siasa au Mgombea hatatakiwa kufanya yafuatayo:- (a) kusababisha au kufanya fujo au vurugu ya aina yoyote katika Mkutano wake au wa Chama kingine; (b) kutumia lugha ya matusi, kashfa, kejeli, udhalilishaji na vitisho au lugha inayochochea uvunjifu wa amani au kuashiria ubaguzi wa kijinsia, dini, rangi, ulemavu au maumbile kwenye mikutano ya kampeni; (c) kubeba sanamu, kinyago au kitu chochote ambacho kinaonyesha kudhalilisha, kukebehi, kufedhehesha au kukejeli Chama kingine cha Siasa au Mgombea au Kiongozi wa Chama kingine cha Siasa au Serikali katika mkutano wowote wa kampeni za Uchaguzi; (d) kutumia vipaza sauti vya aina yoyote kwa shughuli za kisiasa mara baada ya muda wa kampeni za uchaguzi kumalizika; (e) kuchafua, kubandua au kuharibu kwa namna yoyote ile matangazo ya kampeni ya Vyama vingine vya Siasa na matangazo mengine yanayotolewa na Mamlaka za Uchaguzi; (f) kubandika mabango ya kampeni, matangazo au mchoro wowote kwenye nyumba, majengo au vyombo vya usafiri vya watu binafsi au taasisi mbalimbali bila idhini ya wamiliki husika; (g) kubandika mabango ya kampeni, matangazo au mchoro wowote kwenye nyumba za ibada, taasisi za dini na majengo ya Serikali na taasisi zake; (h) kutoa rushwa ili kumshawishi mtu yeyote kupiga kura, kugombea au kujitoa katika kugombea nafasi ya uongozi; (i) kuzuia mtu yeyote, watu au wafuasi wa vyama vingine kuhudhuria mikutano ya kampeni au kupiga kura. - 2
AI-assisted research summary: This section concerns election ethics during voting, counting votes, totaling votes, and announcing results.
2.3 ya Uchaguzi Maadili wakati wa kupiga, kuhesabu, kujumlisha kura na kutangaza matokeo - 2 Verify source ↗
3.1
AI-assisted research summary: Vyama vya siasa, wagombea, mawakala wao, na viongozi wa vyama wana wajibu wa kufuata taratibu za uchaguzi kabla na wakati wa kupiga kura.
2.3.1. Yanayotakiwa kufanywa (a) Vyama vya Siasa na Wagombea watahakikisha kuwa Mawakala wao wanakula kiapo na kukiwasilisha kwa Msimamizi au Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi kabla ya siku ya Uchaguzi; (b) Mawakala wa Vyama vya Siasa, Vyama vya Siasa na Wagombea watakuwa na wajibu wa kushirikiana na Wasimamizi wa Uchaguzi, Wasimamizi Wasaidizi wa Uchaguzi na Wasimamizi wa Vituo katika vituo vya kupigia kura kwa kuzingatia Kanuni za Uchaguzi na Miongozo ya Uchaguzi; 36 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kitongoji Katika Mamlaka Za Miji Midogo Tangazo la Serikali Na.572 (Linaendelea.) (c) Viongozi wa Vyama vya Siasa watakuwa na wajibu wa kuwaelimisha wanachama na wafuasi wao kuwa, watatakiwa kuondoka eneo la kupigia Kura mara tu wamalizapo kupiga kura na kama itawalazimu kubakia katika eneo hilo watatakiwa kukaa umbali wa mita mia mbili kutoka kituo cha kupigia kura. - 2 Verify source ↗
3.2 Mambo yasiyotakiwa kufanywa
AI-assisted research summary: Hii sehemu inapiga marufuku kampeni na vitendo kadhaa vya utovu wa nidhamu siku ya kupiga kura na ndani ya vituo vya kupigia, kuhesabia na kujumlishia kura.
2.3.2 Mambo yasiyotakiwa kufanywa (a) Kampeni za uchaguzi hazitaruhusiwa siku ya upigaji kura. Hii ni pamoja na kuvaa vazi lolote au kuwa na kitu chochote kinachoashiria kushawishi watu kumpigia kura Mgombea fulani au utambuzi wa Mgombea fulani au matumizi ya chombo cha usafiri kinachoashiria utambuzi wa Chama au Mgombea wa Chama chochote; (b) Viongozi wa Vyama vya Siasa, Wagombea na wafuasi wao watatakiwa kujiepusha na vitendo vinavyoweza kusababisha fujo au vurugu katika vituo vya kupigia, kuhesabia na kujumlishia kura; (c) Hakuna mtu atakayeruhusiwa kutumia simu ya kiganjani ndani ya kituo cha kuhesabu na kujumlishia kura isipokuwa Msimamizi wa Uchaguzi na Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi na mlinzi wa kituo cha kupigia kura ambao watatumia simu zao pale itakapobidi kwa tu na simu hizo wakati wote ziwe shughuli za Uchaguzi zimeondolewa mlio na ziwe kwenye mtetemo; (d) Kiongozi wa Chama cha Siasa au Mwanachama au mfuasi hatatakiwa: (i) kuvamia au kukaa kwa nguvu ndani ya kituo cha kupigia, kuhesabia na kujumlishia kura; (ii) kuwahamasisha wanachama au wafuasi kupiga kura zaidi ya mara moja katika Uchaguzi mmoja; (iii) kununua kura au kutoa rushwa au aina yoyote ya malipo ya fedha au vifaa kwa mpiga kura au Msimamizi wa Uchaguzi au Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi; (iv) kutumia lugha ya matusi kwa Msimamizi wa Uchaguzi, Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi au Msimamizi wa Kituo katika kituo cha kupigia, kuhesabia na kujumlishia kura. - 3
AI-assisted research summary: Serikali lazima ipe fursa sawa kwa wadau wa uchaguzi, ihakikishe usalama na utulivu wakati wa uchaguzi, na izuie viongozi na watendaji wake kuzidi mamlaka yao.
3.0 Serikali itakuwa na Wajibu wa: Wajibu wa Serikali: (a) kutoa fursa sawa kwa wadau wote wa Uchaguzi hususan Vyama vya Siasa na Wagombea ili kuendesha shughuli zao za kisiasa wakati wa Uchaguzi kwa uhuru na kuzingatia sheria za nchi; (b) kuhakikisha hali ya usalama, amani na utulivu wakati wote wa Uchaguzi; (c) kuhakikisha kuwa viongozi na watendaji wake wanazingatia ipasavyo ukomo wa madaraka yao katika shughuli za Uchaguzi. - 4
AI-assisted research summary: Kichwa cha kifungu kinahusu taratibu za maadili kwa wasimamizi wa uchaguzi na wasimamizi wasaidizi.
4.0 Uchaguzi Taratibu za Maadili kwa Wasimamizi wa Uchaguzi na Wasimamizi Wasaidizi wa - 4
AI-assisted research summary: Wasimamizi wa Uchaguzi na wasaidizi wao lazima wapange, wasimamie na waendeshe uchaguzi kwa uwazi, haki na uadilifu.
4.1 Mambo wanayotakiwa Kufanya Wasimamizi wa Uchaguzi na Wasimamizi Wasaidizi wa Uchaguzi watakuwa na wajibu wa kupanga, kusimamia na kuendesha Uchaguzi katika misingi inayowezesha Uchaguzi kuwa huru na wa haki kwa kufanya yafuatayo:- (a) kuzingatia Katiba ya Nchi, Kanuni za Uchaguzi na Sheria nyingine za nchi; (b) kuvipa Vyama vya Siasa ratiba na taarifa za Uchaguzi mapema; 37 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kitongoji Katika Mamlaka Za Miji Midogo Tangazo la Serikali Na.572 (Linaendelea.) (c) kutoa Elimu ya Mpiga Kura, kusimamia na kuratibu taasisi na watu wanaotoa Elimu ya Mpiga Kura; (d) kutoa mafunzo kwa wanaohusika na Uchaguzi ili kuwawezesha kuendesha uchaguzi kwa ufanisi; (e) kuvipa Vyama vya Siasa Kanuni, Miongozo ya Uchaguzi na Nyaraka nyingine zinazohusiana na Uchaguzi; (f) kukemea vitendo vyenye nia ya kuharibu Uchaguzi vinavyoweza kufanywa na Viongozi wa Vyama vya Siasa, Wagombea au wafuasi wao; (g) kuendesha na kuziwezesha Kamati za kusimamia Maadili ya Uchaguzi na kusimamia utekelezaji wa uamuzi unaotolewa na Kamati hizo; (h) kukutana na Vyama vya Siasa pale inapobidi kujadili masuala mbalimbali yanayohusu Kampeni za Uchaguzi na Uchaguzi wenyewe; (i) kuhakikisha kuwa hakuna mtu yeyote atakayefanyiwa uonevu au kukoseshwa haki wakati wa shughuli za Uchaguzi; (j) kutambua majukumu ya Vyama vya Siasa, Wagombea na Mawakala wao; (k) kuandaa na kupeleka kwa wakati vifaa kwenye vituo vya kupigia kura; (l) kuendesha zoezi la Uchaguzi kwa uwazi, haki na uadilifu. - 4
AI-assisted research summary: Election officials and assistant election officials must not favor any political party or candidate.
4.2 Mambo yasiyotakiwa kufanywa na Wasimamizi wa Uchaguzi na Wasimamizi Wasaidizi wa Uchaguzi (a) kupendelea Chama chochote cha Siasa au Mgombea yeyote; (b) kubadili ratiba za Kampeni za Uchaguzi bila kuvishirikisha Vyama vya Siasa; (c) kuchelewa au kupeleka vifaa pungufu katika vituo vya kupigia kura bila sababu za msingi; (d) kuchelewa kutangaza Matokeo ya Uchaguzi bila sababu za msingi. - 5 Verify source ↗
0 Usimamizi wa Utekelezaji waTaratibu za Maadili ya Uchaguzi
AI-assisted research summary: Kifungu hiki ni kichwa cha sehemu kuhusu usimamizi wa utekelezaji wa taratibu za maadili ya uchaguzi.
5.0 Usimamizi wa Utekelezaji waTaratibu za Maadili ya Uchaguzi - 5
AI-assisted research summary: Msimamizi wa Uchaguzi lazima aunde Kamati za Maadili za Halmashauri na Kamati za Maadili za Kata.
5.1 Kamati za Maadili za kusimamia Utekelezaji wa Taratibu za Maadili ya Uchaguzi Kutakuwa na Kamati za Maadili zifuatazo zitakazoundwa na Msimamizi wa Uchaguzi- (a) Kamati ya Maadili ya Halmashauri; na (b) Kamati ya Maadili ya Kata. - 5
AI-assisted research summary: This section concerns the composition of committees for election ethics procedures.
5.2 Muundo wa Kamati za Taratibu za Maadili ya Uchaguzi - 5 Verify source ↗
2.1
AI-assisted research summary: Kamati ya Maadili ya Halmashauri lazima iwe na wajumbe waliotajwa, ikiwemo Msimamizi wa Uchaguzi, mjumbe kutoka kila chama kinachoshiriki uchaguzi, wajumbe wawili wa Serikali, na Afisa Uchaguzi.
5.2.1 Kamati ya Maadili ya Halmashauri Kamati ya Maadili ya Halmashauri itakuwa na wajumbe wafuatao:- (a) Msimamizi wa Uchaguzi katika Halmashauri ambaye atakuwa Mwenyekiti wa Kamati; (b) Mjumbe mmoja kutoka kila Chama cha Siasa kinachoshiriki Uchaguzi katika Halmashauri; (c) Wajumbe wawili watakaoiwakilisha Serikali ambao watateuliwa na Katibu Tawala wa Wilaya husika kwa maandishi na kwa kuzingatia jinsia; na (d) Afisa Uchaguzi ambaye atakuwa ni Katibu wa Kamati ya Maadili ya Uchaguzi. 38 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kitongoji Katika Mamlaka Za Miji Midogo Tangazo la Serikali Na.572 (Linaendelea.) - 5 Verify source ↗
2.2
AI-assisted research summary: Kamati ya Maadili ya Kata inapaswa kuwa na members specified in the provision.
5.2.2 Kamati ya Maadili ya Kata Kamati ya Maadili ya Kata itakuwa na wajumbe wafuatao:- (a) Msimamizi Msaidizi ngazi ya Kata husika ambaye atakuwa Mwenyekiti wa Kamati; (b) Mjumbe mmoja kutoka kila Chama cha Siasa kinachoshiriki katika Uchaguzi kwenye Kata; (c) Wajumbe wawili watakaoiwakilisha Serikali ambao watateuliwa na Katibu Tawala wa Wilaya husika kwa maandishi na kwa kuzingatia jinsia; na (d) Katibu ambaye ni Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi ngazi ya kijiji atakayeteuliwa na Msimamizi wa Uchaguzi. - 5 Verify source ↗
2.3 Utoaji wa taarifa za Kamati za Maadili
AI-assisted research summary: Certain people involved with the Ethics Committee must not disclose information about the Committee’s decisions or matters before it.
5.2.3 Utoaji wa taarifa za Kamati za Maadili Itakuwa ni marufuku kwa mtu, mgombea, Chama cha Siasa au mjumbe wa Kamati ya Maadili ambaye sio Mwenyekiti wa Kamati ya Maadili kutoa taarifa yoyote kuhusu uamuzi wa Kamati au suala lolote lililopo mbele ya Kamati. - 5
AI-assisted research summary: Watu na vyombo vilivyotajwa lazima wawasilishe malalamiko kwa maandishi kwa Mwenyekiti wa Kamati ya Maadili ya Kata wanapoamini Maadili ya Uchaguzi yamekiukwa.
5.3 Uwasilishaji wa Malalamiko Mgombea yeyote, Wasimamizi wa Uchaguzi au Wasimamizi Wasaidizi wa Uchaguzi, Serikali au Chama kilichosaini Maadili ya Uchaguzi na chenye Mgombea kinachoamini kwamba Maadili ya Uchaguzi yamekiukwa kitawasilisha malalamiko kwa Mwenyekiti wa Kamati ya Maadili ya Kata kwa maandishi. Muda wa kuwasilisha Malalamiko - 5
AI-assisted research summary: Any complaint must be submitted within three days of the event complained of.
5.4 Malalamiko yoyote yatatakiwa kuwasilishwa ndani ya siku tatu tangu kutokea kwa tukio linalolalamikiwa. Kuitisha kikao cha Kamati ya Maadili ya Uchaguzi - 5
AI-assisted research summary: Mwenyekiti wa Kamati husika lazima aitishe kikao ndani ya siku mbili baada ya kupokea malalamiko na kujiridhisha kuwa Taratibu za Maadili zimekiukwa.
5.5 Mwenyekiti wa Kamati husika baada ya kupokea malalamiko na kujiridhisha kuwa Taratibu za Maadili zimekiukwa atatakiwa kuitisha kikao ndani ya siku mbili. - 5
AI-assisted research summary: The committee must hear, investigate, and decide complaints under this section, with written defenses due within two days and some decisions barred from voting by the parties’ representatives.
5.6 Namna ya kushughulikia Malalamiko (a) Malalamiko yote yatajadiliwa na kuamuliwa katika kikao cha Kamati ya Maadili ya Kata husika; (b) Kamati itashughulikia malalamiko na kutoa uamuzi wake mapema iwezekanavyo; (c) Baada ya kupokea malalamiko, Kamati itamtaka aliyelalamikiwa kuwasilisha utetezi wake kwa maandishi ndani ya siku mbili tangu kupokea malalamiko; (d) Katika kushughulikia malalamiko, Kamati inaweza kumwita mtu yeyote kutoa maelezo ili kusaidia Kamati kufikia uamuzi wa haki; (e) Akidi ya Kikao cha Kamati husika itakuwa zaidi ya nusu ya wajumbe wote wa Kamati; (f) Kamati ya Maadili ya Uchaguzi itaamua malalamiko yote baada ya kusikiliza au kupata maelezo ya utetezi kutoka kwa pande zote mbili ambazo ni mlalamikaji na mlalamikiwa ndani ya siku mbili isipokuwa kama upande unaolalamikiwa utashindwa kuwasilisha maelezo ya utetezi katika muda ulioainishwa Kamati inaweza kufanya uamuzi; (g) Uamuzi utakaofikiwa na Kamati ya Maadili ya Kata yatatekelezwa na pande zinazohusika na uamuzi huo; (h) Ikitokea kuna umuhimu wa kufanya uamuzi kwa kupiga kura, wawakilishi wa Mlalamikaji na Mlalamikiwa hawataruhusiwa kupiga kura; 39 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kitongoji Katika Mamlaka Za Miji Midogo Tangazo la Serikali Na.572 (Linaendelea.) (i) Malalamiko yatakayoshughulikiwa na Kamati za Maadili ni yale tu yaliyotokea katika kipindi cha Kampeni; (j) Malalamiko yatakayotokea siku ya Upigaji Kura yatashughulikiwa kwa kuzingatia Kanuni za Uchaguzi; (k) Kamati itakuwa na mamlaka ya kuchunguza malalamiko yote yatakayowasilishwa kabla ya kufanya uamuzi; (l) Kamati inaweza kuelekeza malalamiko mengine kwenye mamlaka zinazohusika kama itakavyoona inafaa kwa hatua zinazostahili. - 5
AI-assisted research summary: If a party is dissatisfied with the ward ethics committee decision, it may appeal to the district council ethics committee within two days. The district council ethics committee’s decision is final.
5.7 Rufaa Dhidi ya Uamuzi (a) Upande ambao hautaridhika na uamuzi wa Kamati ya Maadili ya Kata, utakuwa na haki ya kukata rufaa kwa Kamati ya Maadili ya Halmashauri ndani ya siku mbili tangu uamuzi wa Kamati ya Maadili ya Kata ulipotolewa; na (b) Uamuzi utakaotolewa na Kamati ya Maadili ya Halmashauri utakuwa ni wa mwisho. - 5
AI-assisted research summary: If a complaint is made against the election supervisor or assistant election supervisor, the supervisor must not run that hearing unless a senior regional public officer is appointed to chair it.
5.8 Malalamiko dhidi ya Msimamizi wa Uchaguzi au Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi (a) Pale ambapo malalamiko yaliyowasilishwa ni dhidi ya Msimamizi wa Uchaguzi, ambaye ni Mwenyekiti wa Kamati ya Maadili`ya Uchaguzi, Msimamizi au Msimamizi Msaidizi, Msimamizi wa Uchaguzi hataendesha Kikao hicho, isipokuwa Katibu Tawala wa Mkoa atateua Afisa yeyote wa Umma Mwandamizi kutoka Sekretarieti ya Mkoa kuwa Mwenyekiti wa kikao hicho; (b) Iwapo Kamati itaona kuwa Msimamizi amekosea Kamati itamtaka linalolalamikiwa Msimamizi wa Uchaguzi kurekebisha mapema iwezekanavyo. tatizo - 5
AI-assisted research summary: Kamati za Maadili ya Uchaguzi za Halmashauri na Kata zinaweza kushughulikia malalamiko na kutoa adhabu, ikiwemo kuamuru kusahihisha kosa, kuomba msamaha hadharani, kutoa onyo la maandishi, kutangaza jina la mkosaji, au kusimamisha kampeni kwa muda.
5.9 Mamlaka ya Kamati za Maadili ya Uchaguzi ngazi ya Halmashauri na Kata katika kushughulikia Malalamiko na kutoa adhabu zinaweza kuchukua hatua zifuatazo:- (a) kuagiza upande uliokiuka maadili kusahihisha kosa au makosa yaliyotendeka na iwapo italazimu, kuomba msamaha hadharani; (b) kutoa onyo au karipio kwa maandishi; (c) kutangaza jina la Chama au Mgombea aliyekiuka Maadili na kueleza kosa au makosa yake kwa njia za Taarifa kwa Umma, redio, televisheni, magazeti na njia nyingine za mawasiliano; (d) Kamati inaweza kukisimamisha Chama au Mgombea kuendelea kufanya Kampeni za Uchaguzi kwa muda itakavyoona inafaa. - 5
AI-assisted research summary: If a candidate or party does not carry out a relevant committee decision, the Election Ethics Committee may suspend that party from campaigning.
5.10 Kushindwa Kutekeleza Uamuzi ya Kamati za Maadili Pale ambapo Mgombea au Chama kitashindwa kutekeleza uamuzi wa Kamati husika, Kamati ya Maadili ya Uchaguzi inaweza kukisimamisha Chama husika kufanya kampeni za Uchaguzi. Dodoma, 28 Juni, 2024 MOHAMED OMARY MCHENGERWA, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa 40
Provision text is displayed from LexChat’s stored statute record. Use the official source links to verify amendments, commencement, and current legal force.
Ask AI about this statute
Kanuni za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kitongoji katika Mamlaka za Miji Midogo za Mwaka 2024
Sign in to ask AI about this statute
Sign in to start authenticated, citation-grounded statute research.
Sign in