KANUNI ZA UCHAGUZI WA MWENYEKITI WA KIJIJI, WAJUMBE WA HALMASHAURI YA KIJIJI NA MWENYEKITI WA KITONGOJI KATIKA MAMLAKA ZA MIJI ZA MWAKA 2024
This section gives the name of the regulations.
AI-assisted research synopsis — verify against the official legal text below.
- Jurisdiction
- Tanzania
- Instrument
- Regulation
- Citation
- KANUNI ZA UCHAGUZI WA MWENYEKITI WA KIJIJI, WAJUMBE WA HALMASHAURI YA KIJIJI NA MWENYEKITI WA KITONGOJI KATIKA MAMLAKA ZA MIJI ZA MWAKA 2024
- Version
- Undated source snapshot
- Language
- sw
- Official source
- View official record ↗
Statute overview
About this statute
This section gives the name of the regulations. Kanuni hizi zinatumika katika vijiji na vitongoji vyote vilivyo ndani ya maeneo ya mamlaka za miji. This section defines key election terms and requires the Minister to publish a public election notice at least 90 days before election day. This section names village and hamlet boundaries and relates to rules for elections of a village chairperson, village council members, and a hamlet chairperson in urban local authorities. Kichwa cha kifungu kinahusu Mwenyekiti na Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji.
Search within this statute
Search all stored provisions in this version.
Legal text
Provisions of KANUNI ZA UCHAGUZI WA MWENYEKITI WA KIJIJI, WAJUMBE WA HALMASHAURI YA KIJIJI NA MWENYEKITI WA KITONGOJI KATIKA MAMLAKA ZA MIJI ZA MWAKA 2024
Showing 105 of 105
- 1 Verify source ↗
Section 1
AI-assisted research summary: This section gives the name of the regulations.
1. Kanuni hizi zitajulikana kama Kanuni za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji na Mwenyekiti wa Kitongoji katika Mamlaka za Miji za Mwaka 2024. Matumizi - 2 Verify source ↗
Kanuni hizi zitatumika katika Vijiji na Vitongoji
AI-assisted research summary: Kanuni hizi zinatumika katika vijiji na vitongoji vyote vilivyo ndani ya maeneo ya mamlaka za miji.
2. Kanuni hizi zitatumika katika Vijiji na Vitongoji vyote vilivyomo katika maeneo ya Mamlaka za Miji. Tafsiri - 3 Verify source ↗
Katika Kanuni hizi,
AI-assisted research summary: This section defines key election terms and requires the Minister to publish a public election notice at least 90 days before election day.
3. Katika Kanuni hizi, isipokuwa kama muktadha Sura ya 258 utahitaji vinginevyo- “Chama cha Siasa” maana yake ni Chama cha Siasa kilichopata usajili wa kudumu kwa mujibu wa Sheria ya Vyama vya Siasa; “Kijiji” maana yake ni Kijiji kilichomo katika eneo la Mamlaka za Miji; “Kitongoji” maana yake ni sehemu ya eneo la utawala katika Kijiji kilichopo ndani ya Mamlaka za Miji; “mkazi” maana yake ni raia wa Tanzania ambaye anaishi kwenye eneo la Kijiji au Kitongoji na ambaye ana kaya au anaishi katika kaya au 1 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katikab Mamlaka Za Miji Tangazo la Serikali Na.573 (Linaendelea.) taasisi iliyopo katika eneo la Kijiji au Kitongoji; “Msimamizi wa Uchaguzi” maana yake ni Mtumishi yeyote wa umma aliyeteuliwa kusimamia Uchaguzi kwa mujibu wa Kanuni hizi; “Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi” maana yake ni mtumishi yeyote wa umma aliyeteuliwa na Msimamizi wa Uchaguzi kuwa Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi chini ya Kanuni hizi; “Msimamizi wa Kituo” maana yake ni mtumishi yeyote wa umma aliyeteuliwa na Msimamizi wa Uchaguzi kusimamia kituo cha uchaguzi; “Mtendaji wa Kijiji” maana yake ni mtendaji mkuu wa shughuli za Serikali katika Kijiji na ni pamoja na mtumishi yeyote wa umma ya atakayeteuliwa Mtendaji wa Kijiji kwa mujibu wa Kanuni hizi; kutekeleza majukumu “mtumishi wa umma” maana yake ni mtu yeyote aliyeajiriwa katika utumishi wa umma; “mwangalizi wa uchaguzi” maana yake ni mwangalizi wa ndani wa uchaguzi mwenye kibali cha Katibu Mkuu wa Wizara yenye dhamana ya Serikali za Mitaa; “Orodha ya Wapiga Kura” maana yake ni orodha ya majina ya wapiga kura iliyoandaliwa chini ya Kanuni hizi; “raia” maana yake ni raia wa Tanzania kwa mujibu wa Sheria ya Uraia; “sehemu ya matangazo ya uchaguzi” maana yake ni sehemu maalum iliyoteuliwa na Msimamizi wa Uchaguzi kwa ajili ya kutolea matangazo, au taarifa mbalimbali za uchaguzi kwa mujibu wa Kanuni hizi; “siku ya uteuzi” maana yake ni siku ya kutangaza majina na wasiostahili kugombea nafasi za uongozi chini ya Kanuni hizi; ya wanaostahili “Sheria” maana yake ni Sheria ya Serikali za Mitaa (Mamlaka za Miji); “Uchaguzi” maana yake ni Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji na 2 Sura ya 357 Sura ya 288 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katikab Mamlaka Za Miji Tangazo la Serikali Na.573 (Linaendelea.) Mwenyekiti wa Kitongoji; “Uchaguzi Mdogo” maana yake ni uchaguzi ambao utafanyika baada ya kuwepo kwa nafasi wazi ya Mwenyekiti wa Kijiji, Mwenyekiti wa Kitongoji au Mjumbe wa Halmashauri ya Kijiji; “wakati wa uchaguzi” maana yake ni muda ambao uchaguzi wa kawaida au Uchaguzi Mdogo unafanyika kwa mujibu wa Kanuni hizi na unaanzia tarehe ya tangazo la uchaguzi hadi matokeo ya uchaguzi yanapotangazwa; “Waziri” maana yake ni Waziri mwenye dhamana ya Serikali za Mitaa. SEHEMU YA PILI TANGAZO LA UCHAGUZI (1) Waziri atatoa tangazo kwa umma kuhusu kuwepo kwa Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji na Mwenyekiti wa Kitongoji kwa mujibu wa Kanuni hizi. (2) Tangazo la Uchaguzi kwa mujibu wa kanuni ndogo ya (1) litatolewa katika magazeti ya Kiswahili na Kiingereza yanayosambazwa nchi nzima na katika vyombo mbalimbali vya habari si chini ya siku tisini kabla ya siku ya Uchaguzi. (3) Tangazo litakalotolewa na Waziri litaelekeza mambo yafuatayo: ratiba ya (a) zinazohusika; na uchaguzi na shughuli (b) masharti muhimu ya uchaguzi kwa mujibu wa Sheria na Kanuni hizi. Msimamizi wa Uchaguzi atabandika katika sehemu ya matangazo ya uchaguzi majina na mipaka ya Vijiji na Vitongoji vilivyoko katika eneo la Halmashauri husika kwa kuzingatia orodha ya Vijiji na Vitongoji iliyotangazwa siku sabini na mbili kabla ya siku ya uchaguzi kwa ajili ya Uchaguzi wa Mwenyekiti wa 3 Tangazo la uchaguzi kwa umma
Part
SEHEMU YA PILI
- 5 Verify source ↗
Section 5
AI-assisted research summary: This section names village and hamlet boundaries and relates to rules for elections of a village chairperson, village council members, and a hamlet chairperson in urban local authorities.
5. Majina na mipaka ya Vijiji na Vitongoji Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katikab Mamlaka Za Miji Tangazo la Serikali Na.573 (Linaendelea.) - 6 Verify source ↗
Section 6
AI-assisted research summary: Kichwa cha kifungu kinahusu Mwenyekiti na Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji.
6.- Mwenyekiti na Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji - 7 Verify source ↗
Section 7
AI-assisted research summary: The provision limits village council membership, sets who must make up the council, creates election supervisor roles, and bars certain people from being appointed to those election posts.
7.- Wasimamizi na Wasimamizi Wasaidizi wa Uchaguzi Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji na Mwenyekiti wa Kitongoji. (1) Halmashauri ya Kijiji itakuwa na Wajumbe ambao idadi yao haitazidi wajumbe ishirini na watano. (2) Kwa kuzingatia masharti ya kanuni ndogo ya (1), Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji watakuwa ni- (a) Mwenyekiti wa Kijiji; (b) Wenyeviti wa Vitongoji vilivyomo katika eneo la Kijiji; na (c) Wajumbe watakaochaguliwa wakiwemo wanawake wasiopungua theluthi moja ya wajumbe wote wa Halmashauri ya Kijiji. (1) Kutakuwa na Msimamizi wa Uchaguzi, Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi, na atakayeteuliwa Msimamizi kusimamia uchaguzi kwa mujibu wa Kanuni hizi. Kituo wa (2) Mtu hatateuliwa kuwa Msimamizi wa Uchaguzi, Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi au Msimamizi wa Kituo endapo ni- (a) kiongozi wa chama cha siasa; (b) mgombea; (c) (d) kiongozi wa dini; (e) askari au afisa yeyote wa chombo cha ulinzi na usalama; hakimu au jaji; (f) Katibu Tawala wa Wilaya; (g) Katibu Tawala wa Mkoa; (h) Mkuu wa Wilaya; au (i) Mkuu wa Mkoa. Kuzingatia sheria, kanuni, maelekezo na matangazo - 8 Verify source ↗
Kila Msimamizi wa Uchaguzi, Msimamizi Msaidizi
AI-assisted research summary: Wahusika wa uchaguzi waliotajwa lazima watekeleze majukumu yao kwa kuzingatia sheria, kanuni, maelekezo na matangazo yanayotolewa chini ya Kanuni hizi.
8. Kila Msimamizi wa Uchaguzi, Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi, Msimamizi wa Kituo na wajumbe wa kamati ya rufani watatekeleza majukumu yao kwa kuzingatia Sheria, kanuni, maelekezo na matangazo yatakayotolewa kwa mujibu wa Kanuni hizi. 4 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katikab Mamlaka Za Miji Tangazo la Serikali Na.573 (Linaendelea.) Maelekezo kuhusu uchaguzi - 9 Verify source ↗
Section 9
AI-assisted research summary: The election administrator must issue election instructions 62 days before election day.
9.- SEHEMU YA TATU MAELEKEZO YA UCHAGUZI (1) Msimamizi wa Uchaguzi atatoa maelekezo ya uchaguzi siku sitini na mbili kabla ya siku ya uchaguzi. (2) Maelekezo ya uchaguzi, kwa mujibu wa Kanuni hizi, yataelekeza mambo yafuatayo: (a) tarehe ya kufanyika kwa uchaguzi; (b) muda na sehemu ya kuandikisha wapiga kura; (c) muda na mahali pa kufanyia uchaguzi; (d) kuwataka wakazi wote wenye sifa za (e) (f) (g) kupiga kura kushiriki uchaguzi; kuwataka wakazi wenye umri wa miaka ishirini na moja au zaidi wanaotaka kugombea nafasi ya uenyekiti wa Kijiji, ujumbe wa Halmashauri ya Kijiji au uenyekiti wa Kitongoji kuchukua fomu za kugombea zitakazopatikana kwenye ofisi ya Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi; tarehe na muda wa kuchukua na kurudisha fomu za maombi ya kugombea ujumbe wa uenyekiti wa Kijiji, Halmashauri ya Kijiji na uenyekiti wa Kitongoji kwa Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi; siku ambayo uteuzi utafanyika na sehemu ya matangazo ya uchaguzi ambapo fomu za wagombea zitabandikwa; (i) (h) muda wa kuweka pingamizi dhidi ya uteuzi na kusikilizwa kwa pingamizi; tarehe ya kusikiliza rufaa dhidi ya uamuzi wa Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi; kipindi cha kuendesha mikutano ya kampeni za uchaguzi; na (j) (k) masuala mengine yanayohusu uchaguzi. 5 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katikab Mamlaka Za Miji Tangazo la Serikali Na.573 (Linaendelea.) Orodha ya Wapiga Kura
Part
SEHEMU YA TATU
- 11 Verify source ↗
Section 11
AI-assisted research summary: Section 11 sets rules for preparing and displaying the voter list, who may register voters, and who may inspect the list.
11.- (1) Kutakuwa na Orodha ya Wapiga Kura kwa ajili ya uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji na Mwenyekiti wa Kitongoji. (2) Kwa madhumuni ya kanuni ndogo ya (1), Msimamizi wa Uchaguzi atafanya uteuzi wa watumishi wa umma watakaoandikisha na kuandaa Orodha ya Wapiga Kura katika Vitongoji siku hamsini na mbili kabla ya siku ya Uchaguzi. (3) Watendaji wa Vijiji na Kata hawatateuliwa wala hawataruhusiwa kuandikisha au kuandaa Orodha ya Wapiga Kura. (1) Uandikishaji na uandaaji wa Orodha ya Wapiga Kura utaanza siku ya arobaini na saba kabla ya siku ya uchaguzi na utafanyika kwa muda wa siku kumi kwa kutumia fomu iliyoainishwa katika Jedwali la Kwanza la Kanuni hizi katika majengo ya umma na pale ambapo hakuna jengo la umma, uandikishaji utafanyika kwenye sehemu ambayo Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi atakuwa amekubaliana na Viongozi wa Vyama vya Siasa. (2) Vituo vya uandikishaji wa wapiga kura vitafunguliwa saa mbili kamili asubuhi na kufungwa saa kumi na mbili kamili jioni. (3) Chama cha Siasa kitateua wakala wake kwa kila kituo cha uandikishaji wa wapiga kura wakati wa uandikishaji wa wapiga kura. (4) Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi atabandika sehemu ya matangazo ya uchaguzi nakala ya Orodha ya Wapiga Kura siku moja baada ya kukamilika kwa uandikishaji wa wapiga kura na atatunza nakala halisi ya Orodha hiyo. (5) Mkazi ambaye amejiandikisha katika Orodha ya Wapiga Kura atakuwa na haki ya kukagua Orodha ya Wapiga Kura katika muda wa siku saba tangu tarehe ya Orodha hiyo kubandikwa 6 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katikab Mamlaka Za Miji Tangazo la Serikali Na.573 (Linaendelea.) Pingamizi kuhusu uandikishaji
Part
sehemu ya matangazo ya uchaguzi nakala ya
- 12 Verify source ↗
Section 12
AI-assisted research summary: A registered resident may object to a person being registered as a voter before the voter register inspection period ends, and the election officials must decide and handle any appeal within short deadlines.
12.- sehemu ya matangazo ya uchaguzi ili: (a) kuweka pingamizi kuhusu usahihi wa Orodha hiyo; (b) kuomba Orodha irekebishwe ili- (i) (ii) (iii) kurekebisha jina lake; kubadilisha taarifa zilizoko katika Orodha hiyo; au kufuta jina lililoorodheshwa kwa vile aliyeorodheshwa amefariki. (1) Mkazi ambaye amejiandikisha katika Orodha ya Wapiga Kura anaweza kuweka pingamizi dhidi ya mtu kuandikishwa kuwa mpiga kura kabla ya kumalizika kwa muda wa kukagua Orodha ya Wapiga Kura. Pingamizi chini ya kanuni ndogo ya (1) litawasilishwa kwa Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi ambaye atatakiwa kutoa uamuzi kuhusu pingamizi lililowekwa ndani ya siku mbili tangu tarehe ya mwisho ya ukaguzi wa Orodha ya Wapiga Kura. (2) (3) Endapo Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi ataridhika na pingamizi lililowekwa chini ya Kanuni hii, atarekebisha Orodha ya Wapiga Kura iliyotangazwa baada ya muda wa siku mbili isipokuwa kama uamuzi wake umekatiwa rufaa. na hatoridhika (4) Endapo mtu aliyeweka au aliyewekewa uamuzi wa pingamizi Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi kuhusu pingamizi lililowasilishwa kwake, mtu huyo atawasilisha rufaa kwa Msimamizi wa Uchaguzi ndani ya muda wa siku mbili tangu kutolewa kwa uamuzi wa pingamizi. (5) Msimamizi wa Uchaguzi, baada ya kupokea rufaa hiyo, ataishughulikia na kuitolea uamuzi ndani ya siku nne tangu siku ya kupokea rufaa hiyo. 7 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katikab Mamlaka Za Miji Tangazo la Serikali Na.573 (Linaendelea.) Sifa za mpiga kura
Part
sehemu ya matangazo ya uchaguzi ili:
- 13 Verify source ↗
Mkazi yeyote atakuwa na haki ya kupiga kura endapo
AI-assisted research summary: Mkazi yeyote ana haki ya kupiga kura ikiwa anakidhi masharti yaliyotajwa.
13. Mkazi yeyote atakuwa na haki ya kupiga kura endapo atakuwa na sifa zifuatazo: (a) (b) (c) (d) (e) ni raia wa Tanzania; ana umri wa miaka kumi na nane au zaidi; ni mkazi wa eneo la Kitongoji; ana akili timamu; na awe amejiandikisha kupiga kura katika Kitongoji husika. Kupoteza sifa ya kupiga kura - 14 Verify source ↗
Mtu hatakuwa na haki ya kupiga kura endapo
AI-assisted research summary: A person may not vote if they lack the qualifications in regulation 13 or if they registered to vote at more than one polling station.
14. Mtu hatakuwa na haki ya kupiga kura endapo: (a) (b) hana mojawapo ya sifa zilizoainishwa katika kanuni ya 13; au amejiandikisha kupiga kura katika kituo zaidi ya kimoja. Sifa za Mgombea - 15 Verify source ↗
Mkazi yeyote wa Kitongoji anaweza kugombea
AI-assisted research summary: Mkazi wa Kitongoji anaweza kugombea nafasi za uenyekiti wa Kijiji, ujumbe wa Halmashauri ya Kijiji, au uenyekiti wa Kitongoji ikiwa anakidhi masharti yaliyotajwa.
15. Mkazi yeyote wa Kitongoji anaweza kugombea uenyekiti wa Kijiji au ujumbe wa Halmashauri ya Kijiji au uenyekiti wa Kitongoji endapo- (a) (b) (c) (d) (e) (f) (g) ni raia wa Tanzania; ana umri wa miaka ishirini na moja au zaidi; ana uwezo wa kusoma na kuandika Kiswahili au Kiingereza; ana shughuli halali ya kumwezesha kuishi; ni mkazi wa eneo la Kitongoji; ni mwanachama wa Chama cha Siasa na amedhaminiwa na Chama hicho; na ana akili timamu. Kupoteza sifa ya kuwa mgombea - 16 Verify source ↗
Section 16
AI-assisted research summary: A person may not qualify to contest certain village and hamlet leadership positions if specified disqualifying conditions apply.
16.- (1) Mtu hatakuwa na sifa za kugombea nafasi ya uenyekiti wa Kijiji, Ujumbe wa Halmashauri ya Kijiji au uenyekiti wa Kitongoji endapo: (a) amepoteza au hana sifa za mgombea zilizoainishwa katika kanuni ya 15; amehukumiwa kifungo kinachozidi muda wa miezi sita gerezani au hukumu ya kifo na Mahakama za Tanzania; ana mkataba au maslahi kwenye kampuni (b) (c) 8 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katikab Mamlaka Za Miji Tangazo la Serikali Na.573 (Linaendelea.) (d) (f) ambayo ina mkataba na Mamlaka ya Serikali za Mitaa ambayo anagombea nafasi ya uongozi na hajatangaza kuwepo kwa mkataba au maslahi yake kupitia kwenye gazeti linalopatikana katika eneo husika au mbao za matangazo katika ofisi ya Kijiji; amepoteza sifa ya kupiga kura chini ya Kanuni hizi; au ataajiriwa au kuteuliwa katika wadhifa wowote katika Utumishi wa Umma au kuchaguliwa katika nafasi ya udiwani, ubunge, uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, umakamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania au urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. (2) Kwa madhumuni ya kanuni ya 16(1)(b)- (a) adhabu mbili au zaidi za kifungo zinazopaswa kutumikiwa kwa kufuatana zitachukuliwa kuwa ni adhabu tofauti iwapo kati ya adhabu hizo hakuna inayozidi miezi sita gerezani lakini endapo kati ya adhabu hizo kuna inayozidi gerezani itachukuliwa kuwa ni adhabu moja; au miezi sita kushindwa (b) kifungo cha gerezani kilichosababishwa na faini hakitohesabiwa kuwa ni adhabu ya kifungo kinachomuondolea mgombea sifa. kulipa SEHEMU YA NNE UTEUZI WA WAGOMBEA
Part
SEHEMU YA NNE
- 17 Verify source ↗
Section 17
AI-assisted research summary: Wagombea wa uenyekiti wa Kijiji, wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji, na uenyekiti wa Kitongoji lazima wachukue fomu za uteuzi mapema, na wale waliochukua lazima wazirejeshe ndani ya siku 7. Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi hatoruhusiwa kupokea fomu zilizochelewa baada ya saa 10 jioni ya siku ya mwisho.
17.- Muda wa kuchukua na kurudisha fomu za uteuzi (1) Mtu yeyote anayekusudia kugombea nafasi ya uenyekiti wa Kijiji, ujumbe wa Halmashauri ya Kijiji au uenyekiti wa Kitongoji atatakiwa kuchukua fomu ya uteuzi wa kugombea nafasi husika siku zisizopungua ishirini na sita kabla 9 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katikab Mamlaka Za Miji Tangazo la Serikali Na.573 (Linaendelea.) ya siku kwa uchaguzi ya kadri itakavyoelekezwa na Msimamizi wa Uchaguzi. (2) Mtu aliyechukua fomu kwa mujibu wa kanuni ndogo ya (1) atatakiwa kurejesha fomu husika ndani ya muda wa siku saba tangu siku ya kwanza ya uchukuaji wa fomu iliyotangazwa na Msimamizi wa Uchaguzi. Fomu za uteuzi wa kugombea nafasi ya uenyekiti wa Kijiji, ujumbe wa Halmashauri ya Kijiji na uenyekiti wa Kitongoji zitatolewa na kupokelewa na Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi kuanzia saa moja na nusu asubuhi hadi saa kumi kamili jioni. (3) (4) Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi hatoruhusiwa kupokea kutoka kwa mtu yeyote fomu za uteuzi zitakazowasilishwa baada ya saa kumi kamili jioni ya siku ya mwisho ya kurejesha fomu. Fomu ya uteuzi wa kugombea nafasi ya uenyekiti wa Kijiji, ujumbe wa Halmashauri ya Kijiji na uenyekiti wa Kitongoji zitakuwa kama zilivyoainishwa katika Jedwali la Pili la Kanuni hizi. (5) Utaratibu wa uteuzi wa Wagombea - 18 Verify source ↗
Section 18
AI-assisted research summary: The assistant election supervisor must conduct candidate nominations 19 days before the election and then post the names of qualified and unqualified candidates on the election notice board.
18.- (1) Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi atafanya uteuzi wa wagombea wa nafasi ya uenyekiti wa Kijiji, ujumbe wa Halmashauri ya Kijiji na uenyekiti wa Kitongoji siku kumi na tisa kabla ya tarehe ya Uchaguzi kuanzia saa mbili kamili asubuhi hadi saa kumi kamili jioni. (2) Baada ya uteuzi kufanyika, Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi atabandika majina ya wagombea wenye sifa na wasio na sifa za kugombea nafasi ya uenyekiti wa Kijiji, ujumbe wa Halmashauri ya kijiji au uenyekiti wa Kitongoji sehemu ya matangazo ya uchaguzi. (3) Endapo baada ya saa kumi kamili jioni ya siku ya mwisho ya kurejesha fomu za uteuzi kutakuwa hakuna mwombaji aliyejitokeza au 10 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katikab Mamlaka Za Miji Tangazo la Serikali Na.573 (Linaendelea.) - 19 Verify source ↗
Section 19
AI-assisted research summary: Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi lazima atoe taarifa na, katika hali fulani, amteue mwombaji au waombaji kuwa mgombea pekee.
19.- Utaratibu wa uteuzi wa mgombea pekee kama waombaji wote waliojitokeza hawana sifa zinazostahili, Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi katika siku iliyopangwa kwa ajili ya uteuzi atavitaarifu Vyama vya Siasa na wakazi wa Kijiji au Kitongoji kuhusu kukosekana kwa waombaji au kutokuwepo kwa waombaji wenye sifa. (4) Kwa kuzingatia masharti ya kanuni ndogo ya (3), msimamizi msaidizi wa Uchaguzi atavitaarifu Vyama vya Siasa na wakazi wa Kijiji au wa Kitongoji husika kuhusu kurudiwa kwa mchakato wa uchaguzi baada ya siku arobaini kuanzia tarehe ya uteuzi. (2) (1) Endapo siku ya uteuzi kutakuwa na mwombaji mmoja aliyejitokeza katika nafasi ya uenyekiti wa Kijiji au uenyekiti wa Kitongoji, Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi atamteua mwombaji huyo kuwa mgombea pekee kwa nafasi aliyoomba. Endapo idadi ya waombaji wa nafasi ya ujumbe wa Halmashauri ya Kijiji kwa kundi mchanganyiko yaani wanaume na wanawake au kwa kundi la wanawake waliojitokeza na kuteuliwa itakuwa sawa na idadi ya wajumbe wanaohitajika kwa mujibu wa kanuni ya 6, Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi atawateua waombaji hao kuwa wagombea pekee kwa nafasi waliyoomba. (3) Endapo idadi ya waombaji wa nafasi ya ujumbe wa Halmashauri ya Kijiji waliojitokeza kwa kundi mchanganyiko yaani la wanaume na wanawake au kwa kundi la wanawake na kuteuliwa itakuwa chini ya idadi ya wajumbe wanaohitajika kwa mujibu wa kanuni ya 6, Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi atawateua waombaji hao kuwa ni wagombea pekee wa nafasi ya ujumbe wa Halmashauri ya Kijiji kwa kundi husika. 11 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katikab Mamlaka Za Miji Tangazo la Serikali Na.573 (Linaendelea.) Kujitoa kwa mgombea - 21 Verify source ↗
Section 21
AI-assisted research summary: A candidate may withdraw by filing the prescribed withdrawal form and delivering it personally to the Assistant Election Supervisor within 4 days of nomination.
21.- (1) Mgombea wa nafasi ya uenyekiti wa Kijiji au wa Kitongoji au ujumbe wa Halmashauri ya Kijiji anaweza kujitoa katika nafasi hiyo kwa kujaza fomu ya kujitoa iliyoainishwa katika Jedwali la Tatu na kuiwasilisha yeye mwenyewe kwa Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi ndani ya siku nne baada ya tarehe ya uteuzi; (2) Endapo, baada ya uteuzi kufanyika, mgombea aliyeteuliwa kugombea nafasi ya uenyekiti wa au Kitongoji atajitoa, Msimamizi Kijiji Msaidizi wa Uchaguzi atatengua uteuzi wa mgombea huyo na wagombea waliobaki wataendelea na hatua ya Uchaguzi. (3) Endapo, baada ya uteuzi kufanyika, mgombea aliyeteuliwa kugombea nafasi ya uenyekiti wa Kijiji au Kitongoji atajitoa na kubaki mgombea mmoja wa nafasi hiyo, Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi atatengua uteuzi wa mgombea huyo na mgombea aliyebaki ataendelea na hatua ya Uchaguzi. (4) Endapo, baada ya uteuzi kufanyika, mgombea wa nafasi ya ujumbe wa Halmashauri ya Kijiji atajitoa, Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi atatengua uteuzi huo na wagombea waliobaki wataendelea na hatua ya Uchaguzi. (1) Endapo, baada ya uteuzi kufanyika, mgombea wa nafasi ya uenyekiti wa Kijiji au Kitongoji atafariki, Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi ataahirisha uchaguzi wa nafasi hiyo na Chama cha Siasa kilichotoa mgombea aliyefariki la mwombaji kinaweza kuwasilisha mwingine ndani ya siku arobaini tangu kuahirishwa kwa uchaguzi ili hatua za uteuzi wa mwombaji huyo zifanyike. jina (2) Endapo, baada ya uteuzi kufanyika, mgombea wa nafasi ya ujumbe wa Halmashauri ya Kijiji atafariki, Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi ataahirisha uchaguzi wa nafasi hiyo na Chama 12 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katikab Mamlaka Za Miji Tangazo la Serikali Na.573 (Linaendelea.) cha Siasa kilichotoa mgombea aliyefariki la mwombaji kinaweza kuwasilisha mwingine ndani ya siku arobaini tangu kuahirishwa kwa uchaguzi ili hatua ya uteuzi wa mwombaji huyo zifanyike. jina Wenyeviti wa Vijiji, Wajumbe wa Halmashauri za Vijiji na Wenyeviti wa Vitongoji watakoma kushika nafasi hizo siku saba kabla ya siku ya kuchukua fomu za kugombea uongozi chini ya Kanuni hizi. Ukomo wa kuwa madarakani
Part
Jedwali
- 22 Verify source ↗
Section 22
AI-assisted research summary: Section 22 is in Part Five on the procedure for handling objections and appeals, and mentions objections about an appointment.
22. SEHEMU YA TANO UTARATIBU WA KUSHUGHULIKIA PINGAMIZI NA RUFAA Pingamizi kuhusu uteuzi
Part
SEHEMU YA TANO
- 23 Verify source ↗
Section 23
AI-assisted research summary: A candidate or applicant may object to a nomination decision, and the Assistant Election Supervisor must hear and decide the objection within 2 days; an unhappy applicant or candidate may appeal within 4 days.
23.- (1) Mtu yeyote aliyeomba kuteuliwa kuwa mgombea au mgombea ambaye hakuridhika na uamuzi uliotolewa na Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi au anapinga uteuzi wa mgombea yeyote, anaweza kuwasilisha pingamizi na kumwomba Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi kupitia upya uamuzi uliofanyika ili amteue kuwa mgombea au atengue uteuzi anaoupinga na Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi, baada ya kupitia pingamizi husika, anaweza kukubali au kulikataa pingamizi hilo. Pingamizi chini ya kanuni ndogo ya (1) litawasilishwa kwa maandishi kwa Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi katika muda wa siku mbili tangu uamuzi au uteuzi ulipofanyika na Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi atasikiliza na kutoa uamuzi katika muda usiozidi siku mbili kuanzia siku ya kupokea pingamizi hilo. (2) (3) Mwombaji au mgombea ambaye hataridhika na uamuzi wa Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi atakuwa na haki ya kukata rufaa kwenye Kamati ya Rufani iliyoanzishwa chini ya kanuni ya 24 katika muda usiozidi siku nne kuanzia tarehe ya uamuzi wa Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi. 13 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katikab Mamlaka Za Miji Tangazo la Serikali Na.573 (Linaendelea.) Kamati ya Rufani - 24 Verify source ↗
Section 24
AI-assisted research summary: Kila Wilaya lazima iwe na Kamati ya Rufani, yenye mwenyekiti, wajumbe wanne wa umma, na katibu asiye na haki ya kupiga kura. Wajumbe wanateuliwa na Katibu Tawala wa Mkoa siku saba kabla ya uteuzi wa wagombea, kwa kuzingatia kanuni ya 25.
24.- (1) Kutakuwa na Kamati ya Rufani katika kila Wilaya ambayo itakuwa na wajumbe wafuatao: (a) Katibu Tawala wa Wilaya ambaye atakuwa Mwenyekiti; (b) watumishi wanne wa umma kutoka taasisi za umma zilizopo katika Wilaya husika; na (c) mtumishi mmoja wa umma ambaye atakuwa Katibu na hatakuwa na haki ya kupiga kura. (2) Wajumbe wa Kamati ya Rufani watateuliwa na Katibu Tawala wa Mkoa siku saba kabla ya siku ya uteuzi wa wagombea kwa kuzingatia sifa zilizoainishwa katika kanuni ya 25. - 25 Verify source ↗
Mtu yeyote hatateuliwa kuwa Mjumbe wa Kamati ya
AI-assisted research summary: A person must not be appointed as a member of the Appeals Committee if they fit any listed disqualifying role or function.
25. Mtu yeyote hatateuliwa kuwa Mjumbe wa Kamati ya Rufani endapo- (a) (b) anahusika na uteuzi wa wagombea; ni Msimamizi wa Uchaguzi, Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi au Msimamizi wa Kituo; ni mtumishi wa Halmashauri; au kiongozi wa Chama cha Siasa katika ngazi yoyote. (c) (d) Sifa za Wajumbe wa Kamati ya Rufani Majukumu ya Kamati ya Rufani - 26 Verify source ↗
Section 26
AI-assisted research summary: Kamati ya Rufani lazima ipokee, isikilize, na iamue rufaa za chini ya kanuni ya 23(3), na itoe uamuzi ndani ya siku nne kutoka inapopokea rufaa.
26.- (1) Kamati ya Rufani itakuwa na majukumu ya kupokea, kusikiliza na kutoa uamuzi wa rufaa iliyowasilishwa chini ya kanuni ya 23(3). (2) Kamati ya Rufani itatoa uamuzi wa rufaa ndani ya siku nne kuanzia siku ya kupokea rufaa na uamuzi wake utakuwa wa mwisho. SEHEMU YA SITA KAMPENI ZA UCHAGUZI Kampeni za uchaguzi
Part
SEHEMU YA SITA
- 27 Verify source ↗
Section 27
AI-assisted research summary: Ratiba za mikutano ya kampeni lazima ziwasilishwe mapema, ziratibiwe na Msimamizi wa Uchaguzi, na Polisi wa Wilaya wahakikishe usalama wa mikutano hiyo.
27.- (1) Kampeni za Uchaguzi zitafanyika siku saba kabla ya siku ya Uchaguzi. (2) Kila Chama cha Siasa kinachoshiriki Uchaguzi kitawasilisha ratiba yake ya mikutano ya 14 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katikab Mamlaka Za Miji Tangazo la Serikali Na.573 (Linaendelea.) kampeni ya uchaguzi kwa Msimamizi wa Uchaguzi si chini ya siku saba kabla ya kuanza kwa kampeni. (3) Msimamizi wa Uchaguzi ataunganisha ratiba za mikutano ya kampeni zilizowasilishwa na Vyama vya Siasa kwa mujibu wa kanuni ndogo ya (2) baada ya maridhiano na Vyama vya Siasa vinavyoshiriki Uchaguzi na atatakiwa kuwasilisha ratiba ya mikutano ya kampeni za uchaguzi iliyounganishwa siku tatu kabla ya kampeni kuanza kwa Mkuu wa Polisi wa Wilaya. ya (4) Endapo Vyama Vya Siasa vitashindwa kuridhiana wakati wa uunganishaji wa ratiba za kampeni, Msimamizi wa mikutano Uchaguzi ataunganisha ratiba za mikutano ya kampeni na uamuzi wake utakuwa wa mwisho. (5) Mgombea au mwakilishi wa mgombea au Chama cha Siasa chenye mgombea kinaweza kuitisha na kuhutubia mikutano ya kampeni kwa mujibu wa ratiba ya mikutano ya kampeni iliyoandaliwa na kuwasilishwa kwa Mkuu wa Polisi wa Wilaya na mikutano hiyo itaratibiwa na Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi. (1) Mkuu wa Polisi wa Wilaya atakuwa na wajibu wa kuhakikisha ulinzi na usalama katika mikutano ya kampeni. (2) Ratiba ya mikutano ya kampeni za uchaguzi itakayowasilishwa na Msimamizi wa Uchaguzi kwa Mkuu wa Polisi wa Wilaya chini ya kanuni ya 27(3) itakuwa ni taarifa rasmi ya mikutano ya kampeni na mgombea au Chama chake hakitowajibika kutoa taarifa kwa Jeshi la Polisi. (3) Mikutano ya kampeni za uchaguzi kwa mujibu itaanza saa mbili wa ratiba asubuhi na itamalizika saa kumi na mbili kamili jioni ya kila siku ya kampeni. iliyopitishwa 15 Wajibu wa Jeshi la Polisi - 28 Verify source ↗
Section 28
AI-assisted research summary: This section is about rules for electing a village chairperson, village council members, and a hamlet chairperson in urban authorities.
28.- Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katikab Mamlaka Za Miji Tangazo la Serikali Na.573 (Linaendelea.) Mabadiliko ya ratiba - 30 Verify source ↗
Section 30
AI-assisted research summary: Wagombea na vyama vyenye wagombea lazima wafuate ratiba ya mikutano ya kampeni, na mabadiliko ya ratiba yaombewe kwa maandishi kwa Msimamizi wa Uchaguzi. Pia, kampeni hazipaswi kutumia lugha ya kashfa, rushwa, matusi, ubaguzi, au maneno yanayoweza kusababisha vurugu.
30.- (1) Endapo Mgombea au Chama cha Siasa chenye mgombea kitakusudia kufanya mabadiliko ya ratiba ya mikutano ya kampeni, kitafanya hivyo baada ya kuwasilisha kwa maandishi mapendekezo ya mabadiliko hayo kwa Msimamizi wa Uchaguzi na mapendekezo hayo kuridhiwa kwa mujibu wa kanuni ndogo ya (2). (2) Msimamizi wa Uchaguzi ataitisha kikao na Vyama vya Siasa vinavyoshiriki uchaguzi ili kujadili maombi ya mabadiliko ya ratiba na mabadiliko yatakayokubaliwa yatawasilishwa kwa Mkuu wa Polisi wa Wilaya kwa ajili ya kupatiwa ulinzi siku ya mkutano wa kampeni. (1) Mgombea, mwakilishi wa mgombea au Chama cha Siasa chenye mgombea kitatakiwa kuendesha mikutano ya kampeni za uchaguzi kwa mujibu wa ratiba na kwa kuzingatia muda uliowekwa chini ya Kanuni hizi. (2) Mgombea au mwakilishi wa mgombea au chenye mgombea Siasa za kampeni kuendesha cha Chama hakitaruhusiwa uchaguzi kwa: (a) (b) kutoa maneno ya kashfa au lugha za kutumia rushwa; (c) matusi; kufanya ubaguzi wa jinsia, maumbile, ulemavu, dini, rangi, kabila au ubaguzi mwingine wa aina yoyote; au ambayo yanaweza kusababisha uvunjifu wa amani au vurugu. (d) kutoa maneno SEHEMU YA SABA TARATIBU ZA UPIGAJI KURA Mahali, vituo na muda wa kupigia kura
Part
SEHEMU YA SABA
- 31 Verify source ↗
Section 31
AI-assisted research summary: Uchaguzi wa viongozi wa kijiji na kitongoji unafanyika ndani ya vitongoji vilivyo kwenye kijiji, vituo vya kupigia kura viwe kwenye majengo ya umma au eneo lingine likikosekana, na upigaji kura ufanyike kuanzia saa 2 asubuhi hadi saa 10 jioni.
31.- (1) Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Mwenyekiti wa Kitongoji na Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji utafanyika katika 16 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katikab Mamlaka Za Miji Tangazo la Serikali Na.573 (Linaendelea.) Vitongoji vilivyomo katika Kijiji. (2) Vituo vya kupigia kura vitakuwa katika majengo ya umma yaliyopo katika Kitongoji husika na endapo Kitongoji hakina majengo ya umma, Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi, baada ya kushauriana na wagombea au Vyama vya Siasa vyenye wagombea, atateua eneo lingine kuwa kituo cha kupigia kura. (3) Kura zitapigwa kuanzia saa mbili kamili asubuhi mpaka saa kumi kamili jioni. (4) Baada ya saa kumi kamili, askari atakaa nyuma ya mpiga kura wa mwisho ili kuzuia watu waliochelewa kupiga kura. Masanduku ya kura - 32 Verify source ↗
Section 32
AI-assisted research summary: Kabla ya kupiga kura, Msimamizi wa Kituo lazima awaonyeshe wapiga kura sanduku la kura lililo wazi na alifunge kwa lakiri. Pia lazima kuwe na masanduku maalum ya kura kwa nafasi zilizotajwa.
32.- (1) Kutakuwa na masanduku maalum ya kupigia kura kwa nafasi ya uenyekiti wa Kijiji, ujumbe wa Halmashauri ya Kijiji kundi mchanganyiko la wanaume na wanawake, ujumbe wa la Halmashauri ya Kijiji kupitia kundi uenyekiti wa Kitongoji wanawake yaliyotengenezwa namna itakayomwezesha mpiga kura kutumbukiza kura yake kwa urahisi kwa kila ngazi itakayopigiwa kura bila ya kuruhusu kura hiyo kutolewa ndani ya sanduku hilo. kwa na (2) Kabla ya kuanza kupiga kura, Msimamizi wa Kituo atawaonesha wapiga kura sanduku la kupigia kura lililo wazi na atalifunga kwa lakiri kwa namna ambayo itazuia kufunguliwa bila kukata lakiri. Karatasi za kupigia kura - 33 Verify source ↗
Kutakuwa na karatasi za kupigia kura kwa nafasi ya
AI-assisted research summary: This provision says ballot papers must exist for the listed village and sub-village positions, as set out in Schedule Four.
33. Kutakuwa na karatasi za kupigia kura kwa nafasi ya uenyekiti wa Kijiji, ujumbe wa Halmashauri ya Kijiji kundi mchanganyiko la wanaume na wanawake, ujumbe wa Halmashauri ya Kijiji kupitia kundi la wanawake na uenyekiti wa Kitongoji ambazo zitakuwa kama zilivyoainishwa katika Jedwali la Nne la Kanuni hizi. 17 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katikab Mamlaka Za Miji Tangazo la Serikali Na.573 (Linaendelea.) Utambulisho wa mpiga kura - 34 Verify source ↗
Section 34
AI-assisted research summary: The polling station supervisor must check that a voter’s name is on the voters’ register before issuing ballot papers, may ask for ID, and must allow voting without listed ID if the voter is identified by local residents and is on the register.
34.- (1) Msimamizi wa Kituo atatakiwa, kabla ya kumpa mpiga kura karatasi za kupigia kura, kujiridhisha kama jina la mpiga kura huyo limo kwenye orodha ya Wapiga Kura. (2) Kwa madhumuni ya kanuni ndogo ya (1), Msimamizi wa Kituo anaweza kumtaka mpiga kura aoneshe kitambulisho kitakachoonesha kuwa jina la mpiga kura huyo ndilo lililomo kwenye Orodha ya Wapiga Kura. kitambulisho cha mpiga kura; (3) Aina ya kitambulisho ambacho Msimamizi wa Kituo anaweza kumtaka mpiga kura kuonesha ni pamoja na- (a) (b) kitambulisho cha kazi; hati ya kusafiria; (c) (d) kadi ya bima ya afya; (e) (f) kitambulisho cha shule au chuo; kitambulisho cha mifuko ya hifadhi ya jamii; leseni ya udereva; au (g) (h) kitambulisho cha taifa. (4) Endapo mpiga kura atakuwa hana kitambulisho cha aina yoyote kati ya vilivyoainishwa chini ya kanuni ndogo ya (3) lakini jina lake limo kwenye Orodha ya Wapiga Kura iliyoandaliwa kwa mujibu wa Kanuni hizi, Msimamizi wa Kituo atamruhusu mtu huyo kupiga kura baada ya kutambuliwa na wakazi wa eneo husika. Upigaji kura - 35 Verify source ↗
Section 35
AI-assisted research summary: Kura zinapaswa kupigwa kwa siri, na mpiga kura lazima afuate utaratibu maalum wa kupiga kura na kuchovya kidole kwenye wino baada ya kupiga kura.
35.- (1) Kura zitapigwa katika namna itakayozingatia usiri. (2) Kwa kuzingatia masharti ya kanuni ya 34, Msimamizi wa Kituo atampa mpiga kura karatasi nne za kupigia kura kwa nafasi zifuatazo: (a) mwenyekiti wa Kijiji; (b) wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji; (c) wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji kupitia kundi la wanawake; na (d) mwenyekiti wa Kitongoji. 18 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katikab Mamlaka Za Miji Tangazo la Serikali Na.573 (Linaendelea.) (3) Mpiga kura, baada ya kupewa karatasi za kupigia kura, atapiga kura kwa utaratibu ufuatao: (a) kura moja kwa nafasi ya uenyekiti wa Kijiji; (b) kura moja kwa nafasi ya uenyekiti wa (c) Kitongoji; kura kwa nafasi ya ujumbe wa Halmashauri idadi itakayoelekezwa na Msimamizi wa kituo; na ya Kijiji kwa (d) kura kwa nafasi ya ujumbe wa Halmashauri ya Kijiji kupitia kundi la wanawake. (4) Bila kuathiri masharti ya kanuni ndogo (3), Endapo kutakuwa na mgombea pekee kwa nafasi ya Mwenyekiti wa Kijiji au Kitongoji au kundi la Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji kwa kundi mchanganyiko yaani wanaume na wanawake au kwa kundi la wanawake mpiga kura atapiga kura moja ya NDIYO au HAPANA kwa nafasi ya mgombea husika. (5) Baada ya kupiga kura, mpiga kura atatakiwa kuchovya kidole cha mkono katika kidau cha wino. (6) Wakati wa kupiga kura watu wafuatao wataruhusiwa kushuhudia kura zinavyopigwa: (a) Msimamizi wa Uchaguzi; (b) Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi; (c) askari polisi, mgambo mwenye sare au afisa yeyote anayesimamia ulinzi ambaye atatambuliwa au na Msimamizi Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi; (d) Wakala wa Chama cha Siasa chenye Mgombea; na (e) Mwangalizi wa kitambulisho. uchaguzi mwenye (7) Bila kuathiri masharti ya Kanuni hizi, mtu yeyote hatoruhusiwa kubaki katika eneo la Kituo cha Kupigia Kura baada ya kupiga kura. 19 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katikab Mamlaka Za Miji Tangazo la Serikali Na.573 (Linaendelea.) Usaidizi kwa wenye mahitaji maalum - 36 Verify source ↗
Section 36
AI-assisted research summary: Mpiga kura mwenye ulemavu wa macho, ulemavu mwingine, au asiyejua kusoma na kuandika anaweza kuomba msaada wa kupiga kura kutoka kwa mtu yeyote, lakini si kutoka kwa baadhi ya maafisa wa uchaguzi, mgombea, au wakala wake.
36.- (1) Mpiga kura ambaye- (a) kwa sababu ya ulemavu wa macho au ulemavu mwingine wowote; au (b) hajui kusoma na kuandika, anaweza kumwomba mtu yeyote kumsaidia kupiga kura; isipokuwa mpiga kura huyo hataruhusiwa kuomba usaidizi wa Msimamizi wa Uchaguzi, Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi, Msimamizi wa Kituo, mgombea au wakala wake. (2) Bila kuathiri masharti ya kanuni ndogo ya (1), mtu mmoja hataruhusiwa kumsaidia mpiga kura zaidi ya mmoja. Kuahirisha upigaji kura - 37 Verify source ↗
Endapo siku ya kupiga kura kutatokea jambo lolote
AI-assisted research summary: If something prevents voting from continuing on polling day, the assistant electoral officer must postpone voting after consulting the electoral officer.
37. Endapo siku ya kupiga kura kutatokea jambo lolote litakalozuia upigaji kura kuendelea kufanyika, Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi baada ya kuwasiliana na Msimamizi wa Uchaguzi ataahirisha upigaji kura hadi siku inayofuata au siku nyingine anayoona inafaa ambayo haitazidi siku saba tangu siku uchaguzi ulipoahirishwa. SEHEMU YA NANE KUHESABU KURA NA KUTANGAZA MATOKEO Kuhesabu kura
Part
SEHEMU YA NANE
- 38 Verify source ↗
Section 38
AI-assisted research summary: Msimamizi wa Kituo lazima ahesabu kura kituoni mbele ya wagombea au mawakala wao, na kabla ya kuanza afanye ukaguzi na maandalizi yaliyotajwa.
38.- (1) Kura zitahesabiwa na Msimamizi wa Kituo kwenye kituo cha kupigia kura mbele ya wagombea au mawakala wao. (2) Msimamizi wa Kituo, kabla ya kuanza kuhesabu kura, atafanya yafuatayo mbele ya wagombea au mawakala wao: (a) (b) atahakiki idadi ya wakazi waliopiga kura; atahesabu idadi ya karatasi za kupigia kura ambazo hazikutumika na kuziweka katika bahasha maalum; na atakagua haijafunguliwa; atakata lakiri; na atafungua sanduku la kupigia kura. (c) (d) (e) kuona kama lakiri 20 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katikab Mamlaka Za Miji Tangazo la Serikali Na.573 (Linaendelea.) (3) Bila ya kuathiri masharti ya kanuni ndogo ya (1), wakati wa kuhesabu kura watu wafuatao wataruhusiwa kura zinavyohesabiwa: (a) Msimamizi wa Uchaguzi; (b) Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi; (c) askari polisi, mgambo mwenye sare au afisa yeyote anayesimamia ulinzi; na kushuhudia (d) Mwangalizi wa kitambulisho. uchaguzi mwenye (4) Bila kuathiri masharti ya Kanuni hii, kura za wagombea wa nafasi ya uenyekiti wa Kijiji na ujumbe Kijiji zitajumlishwa katika kituo cha kujumlishia kura kitakachokuwa katika ofisi ya Serikali ya Kijiji au mahali kwingine ambapo Msimamizi wa Uchaguzi ataelekeza. Halmashauri wa ya Matokeo ya Mwenyekiti wa Kitongoji - 39 Verify source ↗
Section 39
AI-assisted research summary: The polling station manager must declare the hamlet chairperson candidate with the most votes elected, handle ties by reporting the result and referring the election for a new date within 14 days, and complete and post the election result form.
39.- (5) Kwa madhumuni ya kanuni ndogo ya (4), Mgombea au Wakala wake na watu waliotajwa katika kanuni ndogo ya (3) wanaweza kushuhudia kura zinavyojumlishwa. (1) Msimamizi wa Kituo atamtangaza mgombea wa nafasi ya uenyekiti wa Kitongoji aliyepata kura nyingi kuwa Mwenyekiti wa Kitongoji. (2) Endapo idadi ya kura kwa nafasi ya uenyekiti wa Kitongoji italingana kwa wagombea wanaoongoza, Msimamizi wa Kituo atatangaza taarifa ya matokeo hayo na kuwasilisha uchaguzi huo kwa Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi ambaye atapanga tarehe nyingine ya uchaguzi ndani ya siku kumi na nne tangu tarehe ya uchaguzi. (3) Matokeo ya uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kitongoji yatajazwa kwenye fomu ya matokeo kama ilivyoainishwa katika Jedwali la Tano la Kanuni hizi ambayo itasainiwa na wagombea au mawakala wao pamoja na Msimamizi wa Kituo na kubandikwa kwenye sehemu ya matangazo ya uchaguzi. 21 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katikab Mamlaka Za Miji Tangazo la Serikali Na.573 (Linaendelea.) (4) Bila kuathiri masharti ya Kanuni hii, pale ambapo nafasi ya uenyekiti wa Kitongoji ilikuwa na mgombea pekee, Msimamizi wa Kituo atamtangaza mgombea pekee kuwa Mwenyekiti wa Kitongoji endapo atakuwa amepata kura nyingi za NDIYO. (5) Endapo idadi ya kura za NDIYO na HAPANA kwa mgombea pekee kwa nafasi ya uenyekiti wa Kitongoji zitalingana, Msimamizi wa Kituo atatangaza matokeo hayo na kuwasilisha taarifa ya Uchaguzi huo kwa Msimamizi wa Uchaguzi ambaye atapanga tarehe nyingine ya Uchaguzi ndani ya siku kumi na nne tangu tarehe ya Uchaguzi. - 40 Verify source ↗
Section 40
AI-assisted research summary: This section sets the steps for recording and announcing village council election results, including signing the result forms, posting copies, submitting originals, and handling tied results.
40.- (1) Matokeo ya Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Msimamizi wa Kituo atajaza matokeo ya Uchaguzi wa Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji kupitia kundi mchanganyiko la wanaume na wanawake na Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji kupitia kundi la wanawake kwenye fomu ya matokeo iliyoainishwa katika Jedwali la Tano la Kanuni hizi ambayo itasainiwa na wagombea au mawakala wao pamoja na Msimamizi wa Kituo na nakala kubandikwa kwenye sehemu ya matangazo ya Uchaguzi na nakala halisi kuwasilishwa Ofisi ya Serikali ya Kijiji. (2) Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi, baada ya kupokea nakala halisi ya fomu ya matokeo kutoka kwa Msimamizi wa Kituo, atajaza matokeo hayo katika fomu ya matokeo ya jumla iliyoainishwa katika Jedwali la Tano la Kanuni hizi na kumtangaza mshindi au washindi wa kila nafasi iliyogombewa. Fomu ya matokeo ya jumla itasainiwa na wagombea au mawakala wao pamoja na Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi. (3) (4) Utaratibu wa kutangaza matokeo ya Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji wa kundi la wagombea mchanganyiko yaani wanawake na 22 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katikab Mamlaka Za Miji Tangazo la Serikali Na.573 (Linaendelea.) wanaume utakuwa kama ifuatavyo: (a) (b) (c) au baadhi wagombea endapo idadi ya wagombea ni kubwa kuliko idadi ya nafasi za ujumbe zilizopo, Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi atawatangaza wagombea waliopata kura nyingi kuwa wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji; endapo idadi ya kura inalingana kwa wagombea yao, kwa Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi ambao atawatangaza wamepata kura nyingi kuwa washindi wa nafasi ya ujumbe wa Halmashauri ya Kijiji; endapo idadi ya kura inalingana kwa wagombea lakini anahitajika mgombea mmoja kati yao ili kupata idadi ya jumla ya wajumbe wanaohitajika kwa mujibu wa Kanuni hizi, Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi atatangaza matokeo hayo na kupanga tarehe nyingine ya Uchaguzi katika muda usiozidi siku kumi na nne tangu siku ya Uchaguzi. (5) Utaratibu wa kutangaza matokeo ya wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji kwa kundi la wagombea wa ujumbe wa Halmashauri ya Kijiji kundi la wanawake utakuwa kama ifuatavyo: (a) endapo idadi ya wajumbe ni kubwa kuliko idadi ya nafasi za ujumbe zilizopo, Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi atawatangaza wagombea waliopata kura nyingi kuwa wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji; endapo idadi ya kura italingana kwa wagombea yao, kwa Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi atawatangaza ambao wamepata kura nyingi kuwa ni washindi wa nafasi ya ujumbe wa Halmashauri ya wagombea baadhi au (b) 23 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katikab Mamlaka Za Miji Tangazo la Serikali Na.573 (Linaendelea.) (c) Kijiji; endapo idadi ya kura italingana kwa wagombea lakini anahitajika mgombea mmoja kati yao ili kupata idadi ya jumla ya wajumbe wanaohitajika kwa mujibu wa Kanuni hizi, Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi atatangaza matokeo hayo na kupanga tarehe nyingine ya Uchaguzi katika muda usiozidi siku kumi na nne tangu siku ya Uchaguzi. la wanaume la wanawake (6) Bila kuathiri masharti ya kanuni hii, pale ambapo nafasi ya Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji kupitia kundi mchanganyiko la wanaume na wanawake na Wajumbe wa Halmashauri ya lina Kijiji kupitia kundi wagombea pekee, Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi atamtangaza mgombea pekee kuwa Mjumbe wa Halmashauri ya Kijiji kupitia na kundi mchanganyiko wanawake na Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji kupitia kundi la wanawake endapo atakuwa amepata kura nyingi za NDIYO. (7) Endapo idadi ya kura za NDIYO na HAPANA kwa Mjumbe wa Halmashauri ya Kijiji kupitia kundi mchanganyiko na wanawake na Mjumbe wa Halmashauri ya Kijiji kupitia kundi la wanawake zitalingana, Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi atatangaza taarifa ya matokeo hayo na kuwasilisha Uchaguzi huo kwa Msimamizi wa Uchaguzi ambaye atapanga tarehe nyingine ya Uchaguzi ndani ya siku kumi na nne tangu tarehe ya Uchaguzi. la wanaume Matokeo ya Mwenyekiti wa Kijiji - 41 Verify source ↗
Section 41
AI-assisted research summary: Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi lazima ahesabu na kujaza matokeo ya uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, atangaze mshindi na kubandika matokeo; akitokea sare, apange uchaguzi wa marudio ndani ya siku 14.
41.- (1) Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi, baada ya kupokea fomu za matokeo ya kura za nafasi ya uenyekiti wa Kijiji kutoka kwa wasimamizi wa vituo vya kupigia kura, atajumlisha idadi ya kura kwa kila mgombea wa nafasi ya uenyekiti wa Kijiji na kujaza matokeo katika fomu ya 24 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katikab Mamlaka Za Miji Tangazo la Serikali Na.573 (Linaendelea.) matokeo ya jumla iliyoainishwa katika Jedwali la Tano la Kanuni hizi na fomu hiyo itasainiwa na wagombea au mawakala wao pamoja na Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi. (2) Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi atamtangaza mgombea kuwa Mwenyekiti wa Kijiji na kubandika matokeo hayo kwenye sehemu ya matangazo ya uchaguzi. aliyepata nyingi kura (3) Endapo idadi ya kura inalingana kwa wagombea wanaoongoza, Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi atatangaza matokeo na kupanga tarehe nyingine ya uchaguzi wa marudio utakaofanyika ndani ya muda wa siku kumi na nne tangu tarehe ya uchaguzi. (4) Bila kuathiri masharti ya Kanuni hii, pale ambapo nafasi ya uenyekiti wa Kijiji ilikuwa na mgombea pekee, Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi atamtangaza mgombea pekee kuwa Mwenyekiti wa Kijiji endapo atakuwa amepata kura nyingi za NDIYO. (5) Endapo idadi ya kura za NDIYO na HAPANA kwa mgombea pekee kwa nafasi ya uenyekiti wa Kijiji zitalingana, Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi atatangaza matokeo hayo na kuwasilisha taarifa ya Uchaguzi huo kwa Msimamizi wa Uchaguzi ambaye atapanga tarehe nyingine ya Uchaguzi ndani ya siku kumi na nne tangu tarehe ya Uchaguzi. (1) Bila kuathiri masharti ya Kanuni hizi, uchaguzi wa marudio unaotokana na kulingana kwa idadi ya kura utahusisha wagombea ambao idadi ya kura zao zimelingana na itachukuliwa kuwa wagombea hao wameshateuliwa kuwa wagombea kwa mujibu wa Kanuni hizi. (2) Wagombea wanaoshiriki katika uchaguzi wa marudio au vyama vyao vya siasa kwa mujibu wa kanuni ndogo ya (1) havitaruhusiwa kufanya kampeni za uchaguzi wa marudio. 25 Taratibu za kurudia uchaguzi - 42 Verify source ↗
Section 42
AI-assisted research summary: This section appears to be a heading about rules for electing a village chairperson, village council members, and a hamlet chairperson in urban authorities.
42.- Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katikab Mamlaka Za Miji Tangazo la Serikali Na.573 (Linaendelea.) Masuala yasiyobatili sha matokeo - 43 Verify source ↗
Masuala yafuatayo hayatobatilisha matokeo ya
AI-assisted research summary: These matters do not invalidate election results or the carrying out of election activities.
43. Masuala yafuatayo hayatobatilisha matokeo ya uchaguzi au utekelezaji wa shughuli yoyote ya uchaguzi: (a) kutokuwepo kwa mgombea au wakala wa mgombea wakati wa kupiga kura, kuhesabu kura au kutangaza matokeo; au (b) mgombea au wakala wa mgombea kukataa kusaini fomu ya matokeo. Malalamiko kuhusu uendeshaji wa uchaguzi - 44 Verify source ↗
Mgombea yeyote ambaye hakuridhika na matokeo
AI-assisted research summary: A candidate who is dissatisfied with the election results or the conduct of the election may file a case in the District Court within 30 days from the day the results are announced.
44. Mgombea yeyote ambaye hakuridhika na matokeo ya uchaguzi au uendeshaji wa uchaguzi anaweza kufungua shauri katika Mahakama ya Wilaya ndani ya siku thelathini tangu siku ya kutangaza matokeo ya uchaguzi. Utunzaji wa nyaraka - 45 Verify source ↗
Section 45
AI-assisted research summary: Msimamizi wa uchaguzi lazima ahifadhi kwa usalama nyaraka za uendeshaji wa uchaguzi, na aziteketeze baada ya siku 30 tangu siku ya uchaguzi isipokuwa Mahakama iamuru vinginevyo.
45.- (1) Msimamizi wa uchaguzi atahakikisha anatunza zinazohusu zote kwa usalama nyaraka uendeshaji wa uchaguzi. (2) Msimamizi wa uchaguzi atahakikisha nyaraka zote zinazohusu uendeshaji wa uchaguzi zinateketezwa baada ya kupita kipindi cha siku thelathini toka siku ya uchaguzi isipokuwa kama itaelekezwa vinginevyo kwa amri ya Mahakama kutokana na mwenendo wa mashauri ya uchaguzi. 26 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katikab Mamlaka Za Miji Tangazo la Serikali Na.573 (Linaendelea.) SEHEMU YA TISA NAFASI WAZI NA UCHAGUZI MDOGO Nafasi wazi
Part
SEHEMU YA TISA
- 46 Verify source ↗
Section 46
AI-assisted research summary: The positions of village chairperson, village council member, or hamlet chairperson become vacant if any of the listed events happen.
46.- (1) Nafasi ya uenyekiti wa Kijiji au ujumbe wa Halmashauri ya Kijiji au uenyekiti wa Kitongoji itakuwa wazi endapo yatatokea mambo yafuatayo: (a) (b) Mwenyekiti kifo cha Mwenyekiti au Mjumbe; au Mjumbe kujiuzulu wadhifa wake; (c) Mwenyekiti au Mjumbe kukosa sifa za kuwa mgombea; (d) kubatilishwa kwa matokeo ya uchaguzi; (e) Mwenyekiti au Mjumbe kukoma kuwa mwanachama wa Chama cha Siasa kilichomdhamini; (f) Mwenyekiti au Mjumbe kuhama Kijiji au Kitongoji kwa kadri itakavyokuwa; (g) Mwenyekiti kutoitisha mikutano mitatu ya kawaida mfululizo bila kuwa na sababu za msingi; (h) Mwenyekiti au Mjumbe kutohudhuria mikutano mitatu mfululizo ya kawaida bila kuwa na sababu ya msingi; kugawanywa kwa Kijiji au Kitongoji; au kuvuliwa (i) (j) Mwenyekiti au Mjumbe Uchaguzi Mdogo - 47 Verify source ↗
Section 47
AI-assisted research summary: Mtendaji wa Kijiji lazima amuarifu Msimamizi wa Uchaguzi ndani ya siku 7 jambo likitokea; Msimamizi wa Uchaguzi lazima atangaze nafasi wazi ndani ya siku 14, na nafasi hiyo ijazwe kwa uchaguzi mdogo ndani ya siku 60. Uchaguzi mdogo haufanyiki ikiwa kabla ya uchaguzi wa kawaida kuna miezi 6 au chini.
47.- madaraka kwa mujibu wa Sheria. (2) Endapo litatokea jambo lolote chini ya kanuni ndogo ya (1), mtendaji wa kijiji atatoa taarifa kwa Msimamizi wa Uchaguzi katika kipindi kisichozidi siku saba tangu kutokea kwa jambo hilo. (1) Msimamizi wa Uchaguzi atatangaza kuwepo kwa nafasi wazi ya uenyekiti wa Kijiji, ujumbe wa Halmashauri ya Kijiji au uenyekiti wa Kitongoji ndani ya siku kumi na nne baada ya kupokea taarifa kutoka kwa Mtendaji wa Kijiji juu ya kuwepo kwa nafasi wazi. 27 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katikab Mamlaka Za Miji Tangazo la Serikali Na.573 (Linaendelea.) (2) Nafasi wazi ya uenyekiti wa Kijiji au ujumbe wa Halmashauri ya Kijiji au uenyekiti wa Kitongoji itajazwa kwa kufanya Uchaguzi Mdogo kwa utaratibu uliopo katika Kanuni hizi. (3) Nafasi ya uenyekiti wa Kijiji au ujumbe wa Halmashauri ya Kijiji au uenyekiti wa Kitongoji itajazwa ndani ya muda wa siku sitini baada ya kutangazwa kuwa wazi. (4) Uchaguzi Mdogo hautafanyika kwa nafasi yoyote ile chini ya Kanuni hizi endapo muda uliosalia kabla ya uchaguzi wa kawaida ni miezi sita au pungufu yake. SEHEMU YA KUMI UTARATIBU WA KUAPISHWA (1) Wafuatao watatakiwa kuapa kiapo cha uaminifu na kutunza siri mbele ya Hakimu kabla ya kuanza kutekeleza majukumu yao chini ya Kanuni hizi: (a) Msimamizi wa Uchaguzi; (b) Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi; (c) Msimamizi wa Kituo; (d) Mwenyekiti na Wajumbe wa Kamati ya Rufani; Kiapo
Part
SEHEMU YA KUMI
- 48 Verify source ↗
Section 48
AI-assisted research summary: Certain village and ward local leaders must take an oath of obedience and integrity before a Magistrate before starting their duties, generally within 14 days after the 28th day.
48.- (e) mawakala wa Vyama vya Siasa; na (f) mtumishi umma atakayeteuliwa kusimamia shughuli za uchaguzi chini ya Kanuni hizi. yeyote wa (2) Endapo hawezi Hakimu kupatikana, Msimamizi wa Uchaguzi au Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi anaweza kuwaapisha watu waliotajwa katika aya za (c), (d), (e) na (f) za kanuni ndogo ya (1). (3) Wenyeviti wa Vijiji, Wenyeviti wa Vitongoji na Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji, kabla ya kuanza kutekeleza majukumu yao, wataapa kiapo cha utii na uadilifu mbele ya Hakimu ndani ya siku kumi na nne baada ya siku ya 28 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katikab Mamlaka Za Miji Tangazo la Serikali Na.573 (Linaendelea.) uchaguzi. (4) Viapo vilivyotajwa katika Kanuni hii vitakuwa kama vilivyoainishwa katika Jedwali la Sita la Kanuni hizi na watakaoapishwa watapewa nakala za viapo. SEHEMU YA KUMI NA MOJA MAKOSA NA ADHABU
Part
SEHEMU YA KUMI NA MOJA
- 49 Verify source ↗
Section 49
AI-assisted research summary: Mtu yeyote anayefanya vitendo vilivyotajwa katika uchaguzi, kama kuharibu nyaraka za uchaguzi, kutoa taarifa za uongo, kupiga kura mara zaidi ya moja, au kutumia lugha ya matusi katika uchaguzi, atakuwa ametenda kosa.
49.- (1) Mtu yeyote atakuwa ametenda kosa la Makosa ya uchaguzi uchaguzi endapo: (a) (b) (c) (d) (e) (f) (g) (h) (i) (j) zozote zinazohusiana ataharibu Orodha ya Wapiga Kura au nyaraka na uchaguzi; atatoa taarifa za uongo ili aweze kupiga kura au kugombea nafasi ya uenyekiti wa Kijiji au ujumbe wa Halmashauri ya Kijiji au uenyekiti wa Kitongoji; atajiandikisha zaidi ya mara moja kwenye orodha ya wapiga kura; atapiga kura zaidi ya mara moja kwa wagombea wa nafasi moja; atatishia wapiga kura au wagombea ili kuvuruga uchaguzi; atafanya kampeni siku ya uchaguzi; ishara au kuvaa mavazi ataonyesha yanayoashiria kumtambulisha mgombea au Chama cha Siasa katika eneo la mita mia mbili kutoka kwenye kituo cha kupigia kura; atamzuia Msimamizi wa Uchaguzi, Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi, Msimamizi wa Kituo, Mjumbe wa Kamati ya Rufani au mtumishi wa umma aliyeteuliwa uchaguzi kusimamia kutekeleza majukumu yake; atakiuka masharti ya kiapo chake chini ya kanuni ya 48(1); atapatikana na karatasi za kupigia kura zaidi ya moja kwa nafasi moja 29 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katikab Mamlaka Za Miji Tangazo la Serikali Na.573 (Linaendelea.) (k) (l) inayogombewa; atavuruga ratiba ya mikutano ya kampeni za uchaguzi au atavunja masharti ya kampeni za uchaguzi; atafanya Kanuni hizi. lolote kinyume cha jambo (m) atakutwa na silaha kinyume cha Sheria kwenye eneo la uteuzi wa wagombea, mikutano ya kampeni, eneo la usikilizaji wa rufaa, kituo cha kuandikisha wapiga kura au kituo cha kupigia na kuhesabu kura; au atatangaza matokeo ya uchaguzi kabla hayajatangazwa na Msimamizi wa Uchaguzi, Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi au Msimamizi wa Kituo kwa mujibu wa Kanuni hizi. (n) (2) Mtu yeyote atakayepatikana na hatia kwa kosa (1) lolote chini ya kanuni ndogo ya atahukumiwa adhabu ya faini isiyozidi shilingi laki tatu au kifungo kisichozidi miezi kumi na miwili au vyote kwa pamoja yaani faini na kifungo. (3) Mtu yeyote atakayetumia lugha ya matusi, kashfa, kejeli, udhalilishaji na vitisho au lugha inayo ashiria unyanyasaji na ukatilii wa kijinsia katika uchaguzi atakuwa ametenda kosa na akipatikana na hatia ataadhibiwa kwa mujibu wa taratibu za maadili. Kinga - 50 Verify source ↗
Msimamizi wa Uchaguzi, Msimamizi Msaidizi wa
AI-assisted research summary: Election officials and certain public servants are not liable for acts or omissions done in good faith while carrying out their duties under these Rules.
50. Msimamizi wa Uchaguzi, Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi, Msimamizi wa Kituo, Wajumbe wa Kamati ya Rufani au mtumishi yeyote wa umma aliyehusika na usimamizi wa uchaguzi hatowajibika kwa jinai au madai au kuchukuliwa hatua za kinidhamu lolote alilolifanya au kuacha kufanya kwa nia njema wakati wa kutekeleza majukumu yake chini ya Kanuni hizi. au kiutawala kwa jambo 30 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katikab Mamlaka Za Miji Tangazo la Serikali Na.573 (Linaendelea.) SEHEMU YA KUMI NA MBILI MASUALA MENGINEYO Waangalizi wa ndani wa uchaguzi
Part
SEHEMU YA KUMI NA MBILI
- 52 Verify source ↗
Section 52
AI-assisted research summary: Waangalizi wa ndani wa uchaguzi wanaweza kuangalia uchaguzi baada ya kupata kibali, na maombi ya kibali yanapaswa kuwasilishwa ndani ya siku 21 baada ya Tangazo la Uchaguzi.
52. (1) Waangalizi wa ndani wa uchaguzi wataruhusiwa kuangalia uchaguzi baada ya kupata kibali cha Katibu Mkuu wa Wizara yenye dhamana ya Serikali za Mitaa. (2) Maombi ya kibali cha uangalizi wa uchaguzi yatawasilishwa kwa Katibu Mkuu wa Wizara yenye dhamana ya Serikali za Mitaa ndani ya muda wa siku ishirini na moja baada ya Tangazo la Uchaguzi kutolewa. (3) Waangalizi wa ndani wa uchaguzi watafanya shughuli za uangalizi kwa gharama zao wenyewe na watatakiwa kuzingatia masharti ya Kanuni hizi na miongozo itakayotolewa ikiwa ni pamoja na kutoingilia kwa namna yoyote shughuli za uchaguzi. Bila ya kuathiri masharti ya Kanuni hizi, kutakuwa na Taratibu za Maadili ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa zilizoainishwa katika Jedwali la Saba la Kanuni hizi ambazo zitatakiwa kufuatwa na wadau wa uchaguzi walioainishwa katika Taratibu hizo. Miongozo - 53 Verify source ↗
Section 53
AI-assisted research summary: The Minister may issue various guidelines about elections, as long as this does not affect these Regulations.
53. Bila ya kuathiri masharti ya Kanuni hizi, Waziri anaweza kutoa miongozo mbalimbali kuhusu uchaguzi. Elimu ya Mpiga Kura - 54 Verify source ↗
Section 54
AI-assisted research summary: Institutions that want to give voter education in an election must apply for a permit from the Secretary General of the ministry responsible for local government, and they must do so at their own expense.
54.- (1) Taasisi yoyote inayotaka kutoa elimu ya mpiga kura katika uchaguzi itatakiwa kuwasilisha maombi ya kibali cha kutoa elimu ya mpiga kura kwa Katibu Mkuu wa Wizara yenye dhamana ya Serikali za Mitaa kwa kuzingatia miongozo itakayotolewa. (2) Taasisi zitakazotoa elimu ya mpiga kura zitatoa elimu hiyo kwa gharama zao. 31 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katikab Mamlaka Za Miji Tangazo la Serikali Na.573 (Linaendelea.) - 55 Verify source ↗
Section 55
AI-assisted research summary: This section repeals the 2019 village, village council, and street chairperson election regulations for urban authorities, while preserving earlier election notices, publications, guides, and procedures until they are revoked, unless they conflict with these regulations.
55.- Kufutwa kwa Kanuni za Uchaguzi TS Na. 374 la 2019 (1) Kanuni za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji na Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji na Mwenyekiti wa Kitongoji katika Mamlaka za Miji za Mwaka 2019 zinafutwa. ambacho za Mitaa (2) Bila kujali masharti ya kanuni ndogo ya (1), matangazo, machapisho, miongozo, taratibu au kitu chochote kinachohusu Uchaguzi wa kilikuwa Serikali kinatumika kabla ya kuanza kutumika kwa Kanuni hizi, kitaendelea kutumika hadi pale kitakapofutwa na matangazo, machapisho, miongozo, chochote kitakachotolewa kwa mujibu wa Kanuni hizi isipokuwa kama machapisho, miongozo, taratibu au kitu hicho kinakinzana na Kanuni hizi. taratibu kitu au 32 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katikab Mamlaka Za Miji Tangazo la Serikali Na.573 (Linaendelea.) ______ JEDWALI LA KWANZA ______ (Limetengenezwa chini ya kanuni ya 11(1)) _______ JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA FOMU Na. I ORODHA YA WAPIGA KURA KWA AJILI YA UCHAGUZI WA MAMLAKA ZA SERIKALI ZA MITAA MWAKA 2024 HALMASHAURI: …………………………… MAMLAKA YA MJI MDOGO: ……………………… KATA: …………………………………… KIJIJI/MTAA: ……………………………………. KITONGOJI: …………………………… Na. Jina la Mpiga Kura (Majina matatu) Jinsi (Me/Ke) Umri Tarehe ya kuandikishwa Saini/Dole gumba la aliyeandiki shwa Saini ya Mwandiki shaji
Part
JEDWALI LA KWANZA
- 10 Verify source ↗
Section 10
AI-assisted research summary: This section contains a nomination application form for candidates seeking to contest the chairperson position for a hamlet or village in 2024.
10. __________ 33 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katikab Mamlaka Za Miji Tangazo la Serikali Na.573 (Linaendelea.) JEDWALI LA PILI __________ (Limetengenezwa chini ya kanuni ya 17(5)) _________ FOMU YA MAOMBI YA UTEUZI KUGOMBEA UENYEKITI WA KITONGOJI/KIJIJI MWAKA 2024 FOMU Na. II NEMBO YA HALMASHAURI HALMASHAURI ……………………………………. KATA…………………………………………………. KIJIJI…………………………………………………. KITONGOJI ………………………………………… SEHEMU A: MAELEZO YA MGOMBEA (Ijazwe na anayeomba kugombea)
Part
SEHEMU A: MAELEZO YA MGOMBEA
- 7 Verify source ↗
Mahali unapoishi
AI-assisted research summary: This section asks for the place where you live, with entries for neighborhood, village, and ward.
7. Mahali unapoishi (a) Kitongoji……………………… (b)Kijiji…………………………… (c) Kata…………………………… - 8 Verify source ↗
Namba ya Simu (kama ipo) …………………………
AI-assisted research summary: This section refers to a phone number, if any.
8. Namba ya Simu (kama ipo) ………………………….. - 10 Verify source ↗
Uwezo wako wa Kusoma na Kuandika kiswahili au kiingereza
AI-assisted research summary: This section lists reading and writing ability in Kiswahili and English with yes/no options.
10.Uwezo wako wa Kusoma na Kuandika kiswahili au kiingereza (a) Kusoma Kiswahili Ndiyo Hapana (b) Kuandika Kiswahili Ndiyo (c) Kusoma Kiingereza Ndiyo (d) Kuandika Kiingereza Ndiyo Hapana Hapana Hapana - 11 Verify source ↗
Je una ulemavu wa aina yoyote? Ndiyo
AI-assisted research summary: This item asks whether a person has any disability and, if yes, to state the type of disability.
11. Je una ulemavu wa aina yoyote? Ndiyo Aina ya ulemavu…………………………………………. Hapana - 12 Verify source ↗
Jina la Chama cha Siasa kinachokudhamini………………………………
AI-assisted research summary: This section is for the name of the sponsoring political party, written in full or in short form.
12. Jina la Chama cha Siasa kinachokudhamini……………………………….. (kwa kirefu au kifupi) - 13 Verify source ↗
Nafasi unayoomba kugombea……………………………………………
AI-assisted research summary: The candidate must state that the information provided is true to the best of their knowledge and must comply with the 2024 local government election ethics procedures during the election.
13. Nafasi unayoomba kugombea……………………………………………... Nathibitisha kwamba taarifa zote zilizoandikwa hapo juu ni sahihi kama nijuavyo. 34 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katikab Mamlaka Za Miji Tangazo la Serikali Na.573 (Linaendelea.) Saini ya Mgombea ………………………Tarehe ……………..……………… SEHEMU B: TAMKO LA MGOMBEA LA KUHESHIMU NA KUTEKELEZA TARATIBU ZA MAADILI YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA MWAKA 2024 Mimi…..........................................................ambaye ninatarajia kuwa mgombea wa nafasi ya ………………...................................................niliyependekezwa Chama cha…................................................................................. kilichosajiliwa kwa mujibu wa Sheria ya Vyama vya Siasa, Sura ya 258 ninatamka kuwa nitaheshimu na kutekeleza Taratibu za Maadili ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa Mwaka 2024 wakati wote wa uchaguzi. na Ninatoa tamko hili nikiamini kuwa yote niliyoeleza hapo juu ni kweli kwa kadri ya ufahamu wangu. Saini ya Mgombea ………………………Tarehe ……………..……………… SEHEMU C: UDHAMINI WA CHAMA CHA SIASA (Ijazwe na Chama cha Siasa) Hii ni kuthibitisha kuwa ……………………….……..(Taja jina la Mgombea) ni Mwanachama na amedhaminiwa na ………………………………………..(Taja jina la Chama kwa kirefu au kifupi) - 10 Verify source ↗
Uwezo wako wa Kusoma na Kuandika kiswahili au kiingereza
AI-assisted research summary: Sehemu hii inauliza kama mtu anaweza kusoma na kuandika Kiswahili au Kiingereza, kwa majibu ya Ndiyo/Hapana.
10.Uwezo wako wa Kusoma na Kuandika kiswahili au kiingereza (e) Kusoma Kiswahili Ndiyo Hapana (f) Kuandika Kiswahili Ndiyo (g) Kusoma Kiingereza Ndiyo (h) Kuandika Kiingereza Ndiyo Hapana Hapana Hapana - 11 Verify source ↗
Jina la Chama cha Siasa kinachomdhamini………………………………
AI-assisted research summary: This section labels the sponsoring political party’s name, in full or short form.
11. Jina la Chama cha Siasa kinachomdhamini……………………………….. (kwa kirefu au kifupi) - 12 Verify source ↗
Nafasi anayoomba kugombea……………………………………………
AI-assisted research summary: A prospective candidate states that they will respect and follow the 2024 local government election ethics procedures throughout the election.
12. Nafasi anayoomba kugombea……………………………………………... Nathibitisha kwamba taarifa zote zilizoandikwa hapo juu ni sahihi kama nijuavyo. Saini ya Mgombea ………………………Tarehe ……………..……………… SEHEMU B: TAMKO LA MGOMBEA LA KUHESHIMU NA KUTEKELEZA TARATIBU ZA MAADILI YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA MWAKA 2024 Mimi…..........................................................ambaye ninatarajia kuwa mgombea wa nafasi ya ………………...................................................niliyependekezwa Chama cha…................................................................................. kilichosajiliwa kwa mujibu wa Sheria ya Vyama vya Siasa, Sura ya 258 ninatamka kuwa nitaheshimu na kutekeleza Taratibu za Maadili ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa Mwaka 2024 wakati wote wa uchaguzi. na 36 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katikab Mamlaka Za Miji Tangazo la Serikali Na.573 (Linaendelea.) Ninatoa tamko hili nikiamini kuwa yote niliyoeleza hapo juu ni kweli kwa kadri ya ufahamu wangu. Saini ya Mgombea ………………………Tarehe ……………..……………… SEHEMU C: UDHAMINI WA CHAMA CHA SIASA (Ijazwe na Chama cha Siasa) Hii ni kuthibitisha kuwa ……………………….……..(Taja jina la Mgombea) ni Mwanachama na amedhaminiwa na ………………………………………..(Taja jina la Chama kwa kirefu au kifupi)
Part
SEHEMU C: UDHAMINI WA CHAMA CHA SIASA
- 6 Verify source ↗
Muhuri wa Chama cha Siasa:……………
AI-assisted research summary: This section labels the political party stamp heading and the form-return section to be filled by the assistant election supervisor.
6. Muhuri wa Chama cha Siasa:…………… SEHEMU D: KURUDISHA FOMU (Ijazwe na Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi)
Part
SEHEMU D: KURUDISHA FOMU
- 1 Verify source ↗
Tarehe ya kupokea fomu……………………………………………
AI-assisted research summary: Section title: “Tarehe ya kupokea fomu” (date of receiving the form).
1. Tarehe ya kupokea fomu……………………………………………. - 3 Verify source ↗
Saini ya Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi…………………………
AI-assisted research summary: Section 3 is about the signature of the Assistant Election Supervisor.
3. Saini ya Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi………………………… - 4 Verify source ↗
Section 4
AI-assisted research summary: This section is titled “Jina la Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi.”
4. Jina la Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi………………………….. - 5 Verify source ↗
Muhuri wa Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi ……………………
AI-assisted research summary: This section is a form for appointment, to be filled in by the Assistant Election Supervisor on the day of appointment.
5. Muhuri wa Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi ……………………. SEHEMU E: UTEUZI (Ijazwe na Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi siku ya uteuzi)
Part
SEHEMU E: UTEUZI
- 1 Verify source ↗
Mgombea ameteuliwa/hakuteuliwa………………………………….kugombea nafasi ya
AI-assisted research summary: This section refers to whether a candidate is nominated or not nominated to contest a position.
1. Mgombea ameteuliwa/hakuteuliwa………………………………….kugombea nafasi ya ………………………………………… - 3 Verify source ↗
Section 3
AI-assisted research summary: Section title: Name of the Assistant Electoral Supervisor.
3. Jina la Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi………………………… - 4 Verify source ↗
Saini ya Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi ………………………
AI-assisted research summary: Section heading for the signature of the Assistant Election Supervisor.
4. Saini ya Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi ………………………. - 6 Verify source ↗
Muhuri wa Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi ……………………
AI-assisted research summary: This text is a section heading and election application form for candidacy to village council membership in 2024.
6. Muhuri wa Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi …………………… 35 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katikab Mamlaka Za Miji Tangazo la Serikali Na.573 (Linaendelea.) FOMU YA UCHAGUZI FOMU YA MAOMBI YA UTEUZI KUGOMBEA UJUMBE WA HALMASHAURI YA KIJIJI KUNDI MCHANGANYIKO NA KUNDI LA WANAWAKE MWAKA 2024 FOMU Na. III NEMBO YA HALMASHAURI HALMASHAURI ……………………………………. KATA…………………………………………………. KIJIJI…………………………………………………. KITONGOJI ………………………………………… SEHEMU A: MAELEZO YA MGOMBEA (Ijazwe na anayeomba kugombea) - 1 Verify source ↗
Mgombea ameteuliwa/hakuteuliwa……………….kugombea nafasi ya
AI-assisted research summary: This provision references a candidate being selected or not selected to contest a position.
1. Mgombea ameteuliwa/hakuteuliwa……………….kugombea nafasi ya - 3 Verify source ↗
Section 3
AI-assisted research summary: This section is a heading for the name of the Assistant Electoral Supervisor.
3. Jina la Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi………………………….. - 4 Verify source ↗
Saini ya Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi ………………………
AI-assisted research summary: This section is titled “Signature of the Assistant Election Supervisor.”
4. Saini ya Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi ……………………….. - 6 Verify source ↗
Muhuri wa Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi ……………………
AI-assisted research summary: This provision contains an election form template for a candidate withdrawal form and a ballot paper template for the 2024 village chairperson election.
6. Muhuri wa Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi ……………………. 37 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katikab Mamlaka Za Miji Tangazo la Serikali Na.573 (Linaendelea.) _________ JEDWALI LA TATU _________ (Limetengenezwa chini ya kanuni ya 20(1)) FOMU YA KUJITOA MGOMBEA YA MWAKA 2024 NEMBO YA HALMASHAURI JINA LA MGOMBEA JINA LA CHAMA JINSI (ME/KE) JINA LA KITONGOJI/KIJIJI…………………………………………………………. NAFASI UNAYOJITOA……………………………………………………………… SABABU ZA KUJITOA…………………………………………………………….. ……………………………………………………………………………………….. ……………………………………………………………………………………….. SAINI YA MGOMBEA ANAYEJITOA………………………………… ALAMA YA DOLE GUMBA TAREHE……………………………. KWA MATUMIZI YA OFISI TU JINA LA MSIMAMIZI MSAIDIZI WA UCHAGUZI…………………………………….. TAREHE YA KUPOKEA……………………………………………. SAINI…………………………………………………………………… 38 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katikab Mamlaka Za Miji Tangazo la Serikali Na.573 (Linaendelea.) ____________ JEDWALI LA NNE _____________ (Limetengenezwa chini ya kanuni ya 33) ______________ KARATASI YA KUPIGIA KURA KWA NAFASI YA MWENYEKITI WA KIJIJI YA MWAKA 2024 FOMU Na. V “A” NEMBO YA HALMASHAURI Na. JINA LA MGOMBEA JINA LA CHAMA CHA MGOMBEA NEMBO YA CHAMA CHA SIASA WEKA ALAMA YA VEMA KWA MGOMBEA UNAYEMTA KA (√)
Part
JEDWALI LA NNE
- 10 Verify source ↗
Section 10
AI-assisted research summary: This text provides ballot paper labels for election forms for village and hamlet chairperson positions, including candidate name, party name, party symbol, and yes/no voting boxes.
10. 39 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katikab Mamlaka Za Miji Tangazo la Serikali Na.573 (Linaendelea.) KARATASI YA KUPIGIA KURA KWA NAFASI YA MWENYEKITI WA KIJIJI KWA MGOMBEA PEKEE YA MWAKA 2024 FOMU Na. V “B” NEMBO YA HALMASHAURI Na. JINA LA MGOMBEA JINA LA CHAMA CHA MGOMBEA NEMBO YA CHAMA CHA SIASA WEKA ALAMA YA VEMA KATIKA KISANDUKU CHA NDIYO AU HAPANA (√) NDIYO HAPANA 40 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katikab Mamlaka Za Miji Tangazo la Serikali Na.573 (Linaendelea.) KARATASI YA KUPIGIA KURA KWA NAFASI YA MWENYEKITI WA KITONGOJI YA MWAKA 2024 FOMU Na. VI “A” NEMBO YA HALMASHAURI Na. JINA LA MGOMBEA JINA LA CHAMA CHA MGOMBEA NEMBO YA CHAMA CHA SIASA WEKA ALAMA YA VEMA KWA MGOMBEA UNAYEMTA KA (√) - 10 Verify source ↗
Section 10
AI-assisted research summary: This section shows ballot forms used for the 2024 village and hamlet election papers.
10. 41 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katikab Mamlaka Za Miji Tangazo la Serikali Na.573 (Linaendelea.) KARATASI YA KUPIGIA KURA KWA NAFASI YA MWENYEKITI WA KITONGOJI KWA MGOMBEA PEKEE YA MWAKA 2024 FOMU Na. VI “B” NEMBO YA HALMASHAURI Na. JINA LA MGOMBEA JINA LA CHAMA CHA MGOMBEA NEMBO YA CHAMA CHA SIASA WEKA ALAMA YA VEMA KATIKA KISANDUKU CHA NDIYO AU HAPANA (√) NDIYO HAPANA 42 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katikab Mamlaka Za Miji Tangazo la Serikali Na.573 (Linaendelea.) FOMU Na. VII “A” KARATASI YA KUPIGIA KURA NAFASI YA UJUMBE WA HALMASHAURI YA KIJIJI KWA KUNDI MCHANGANYIKO YA MWAKA 2024 Na. JINA LA MGOMBEA NEMBO YA HALMASHAURI JINA LA CHAMA CHA MGOMBEA NEMBO YA CHAMA CHA SIASA WEKA ALAMA YA VEMA KWA MGOMBEA UNAYEMTA KA (√) - 10 Verify source ↗
Section 10
AI-assisted research summary: This text is a voting form for village council elections, including a form for a single candidate and a form for women candidates.
10. 43 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katikab Mamlaka Za Miji Tangazo la Serikali Na.573 (Linaendelea.) FOMU Na. VII “B” KARATASI YA KUPIGIA KURA NAFASI YA UJUMBE WA HALMASHAURI YA KIJIJI KUNDI MCHANGANYIKO KWA MGOMBEA PEKEE YA MWAKA 2024 NEMBO YA HALMASHAURI Na. JINA LA MGOMBEA JINA LA CHAMA CHA MGOMBEA NEMBO YA CHAMA CHA SIASA WEKA ALAMA YA VEMA KATIKA KISANDUKU CHA NDIYO AU HAPANA (√) NDIYO HAPANA 44 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katikab Mamlaka Za Miji Tangazo la Serikali Na.573 (Linaendelea.) KARATASI YA KUPIGIA KURA WAGOMBEA UJUMBE WA HALMASHAURI YA KIJIJI KUNDI LA WANAWAKE YA MWAKA 2024 FOMU Na. VIII “A” Na. JINA LA MGOMBEA NEMBO YA HALMASHAURI JINA LA CHAMA CHA MGOMB EA NEMBO YA CHAMA CHA SIASA WEKA ALAMA YA VEMA KWA MGOMBEA UNAYEMT AKA (√) - 10 Verify source ↗
Section 10
AI-assisted research summary: Hii ni sehemu ya fomu za uchaguzi wa mwaka 2024, ikionyesha karatasi ya kupigia kura na fomu ya matokeo ya uchaguzi wa mwenyekiti wa kijiji/kitongoji.
10. 45 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katikab Mamlaka Za Miji Tangazo la Serikali Na.573 (Linaendelea.) KARATASI YA KUPIGIA KURA WAGOMBEA UJUMBE WA HALMASHAURI YA KIJIJI KUNDI LA WANAWAKE KWA MGOMBEA PEKEE YA MWAKA 2024 FOMU Na. VIII “B” NEMBO YA HALMASHAURI Na. JINA LA MGOMBEA JINA LA CHAMA CHA MGOMBEA NEMBO YA CHAMA CHA SIASA WEKA ALAMA YA VEMA KATIKA KISANDUKU CHA NDIYO AU HAPANA (√) NDIYO HAPANA 46 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katikab Mamlaka Za Miji Tangazo la Serikali Na.573 (Linaendelea.) _________ JEDWALI LA TANO __________ (Limetengenzwa chini ya kanuni za 39, 40 na 41) __________ FOMU Na. IX “A” FOMU YA MATOKEO YA UCHAGUZI WA MWENYEKITI WA KIJIJI/KITONGOJI YA MWAKA 2024 NEMBO YA HALMASHAURI Na. JINA LA MGOMBEA CHAMA CHA SIASA KURA ALIZOPATA JINSI (KE/ME) SAINI YA MGOMBEA AU MWAKILISHI WAKE
Part
JEDWALI LA TANO
- 9 Verify source ↗
Section 9
AI-assisted research summary: This section contains election results form templates for recording votes and candidate details in village and hamlet elections.
9. 10 Idadi ya waliojiandikisha kupiga kura Idadi ya waliopiga kura Idadi ya kura halali Idadi ya kura zilizoharibika Jina la Msimamizi wa Kituo Saini…………………………………………………………tarehe……………… Muhuri wa Msimamizi wa Kituo 47 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katikab Mamlaka Za Miji Tangazo la Serikali Na.573 (Linaendelea.) FOMU YA MATOKEO YA UCHAGUZI WA MWENYEKITI WA KIJIJI/KITONGOJI KWA MGOMBEA PEKEE YA MWAKA 2024 FOMU Na. IX “B” NEMBO YA HALMASHAURI N a. JINA LA MGOMBEA CHAMA CHA SIASA KURA ALIZOPATA JINSI (KE/M E) SAINI YA MGOMBEA AU MWAKILISHI WAKE NDIYO HAPANA Idadi ya waliojiandikisha kupiga kura Idadi ya waliopiga kura Idadi ya kura halali Hapana) Idadi ya kura zilizoharibika (Ndiyo na Jina la Msimamizi wa Kituo Saini…………………………………………………………tarehe……………… Muhuri wa Msimamizi wa Kituo 48 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katikab Mamlaka Za Miji Tangazo la Serikali Na.573 (Linaendelea.) FOMU Na. X “A” FOMU YA MATOKEO YA UCHAGUZI WA WAJUMBE WA HALMASHAURI YA KIJIJI KUNDI MCHANGANYIKO/KUNDI LA WANAWAKE YA MWAKA 2024 NEMBO YA HALMASHAURI Na. JINA LA MGOMBEA CHAMA CHA SIASA KURA ALIZOPATA JINSI (KE/ME) SAINI YA MGOMBEA AU MWAKILISHI WAKE - 4 Verify source ↗
Section 4
AI-assisted research summary: This section is a form for recording election results and candidate details.
4. Idadi ya waliojiandikisha kupiga kura Idadi ya waliopiga kura Idadi ya kura halali Idadi ya kura zilizoharibika/kukataliwa JUMLA Jina la Msimamizi wa Kituo Saini…………………………….……tarehe………………… Muhuri wa Msimamizi wa Kituo…………………………….. 49 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katikab Mamlaka Za Miji Tangazo la Serikali Na.573 (Linaendelea.) FOMU Na. X “B” FOMU YA MATOKEO YA UCHAGUZI WA UJUMBE WA HALMASHAURI YA KIJIJI KUNDI MCHANGANYIKO/KUNDI LA WANAWAKE KWA MGOMBEA PEKEE YA MWAKA 2024 NEMBO YA HALMASHAURI Na. JINA LA MGOMBEA CHAMA CHA SIASA KURA ALIZOPATA JINSI (KE/ME) SAINI YA MGOMBEA AU MWAKILISHI WAKE - 1 Verify source ↗
Section 1
AI-assisted research summary: This is a results form for recording village/hamlet chair election totals and candidate vote details.
1. NDIYO HAPANA Idadi ya waliojiandikisha kupiga kura Idadi ya waliopiga kura Idadi ya kura halali (Ndiyo na Hapana) Idadi ya kura zilizoharibika/kukataliwa JUMLA Jina la Msimamizi wa Kituo Saini…………………………….……tarehe………………… Muhuri wa Msimamizi wa Kituo…………………………….. 50 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katikab Mamlaka Za Miji Tangazo la Serikali Na.573 (Linaendelea.) FOMU Na. XI FOMU YA MATOKEO YA JUMLA YA UCHAGUZI WA MWENYEKITI WA KIJIJI/KITONGOJI YA MWAKA 2024 NEMBO YA HALMASHAURI Na. JINA LA MGOMBEA CHAMA CHA SIASA KURA ALIZOPATA JINSI (KE/ME) SAINI YA MGOMBEA AU MWAKILISHI WAKE - 1
AI-assisted research summary: This text is a form for recording election results and candidate details, not a rule imposing duties or rights.
1.0 Idadi ya waliojiandikisha kupiga kura Idadi ya waliopiga kura Idadi ya kura halali Idadi ya kura zilizoharibika Jumla ya matokeo ya kura Jina Uchaguzi la Msimamizi Msaidizi wa Saini…………………………………………………………tarehe……………… Muhuri wa Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi…………………………………… 51 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katikab Mamlaka Za Miji Tangazo la Serikali Na.573 (Linaendelea.) FOMU Na. XII FOMU YA MATOKEO YA JUMLA YA UCHAGUZI WA WAJUMBE WA HALMASHAURI YA KIJIJI KUNDI MCHANGANYIKO/ KUNDI LA WANAWAKE YA MWAKA 2024 NEMBO YA HALMASHAURI Na. JINA LA MGOMBEA CHAMA CHA SIASA KURA ALIZOPATA JINSI (KE/ME) SAINI YA MGOMBEA AU MWAKILISHI WAKE - 5 Verify source ↗
Section 5
AI-assisted research summary: This section provides oath forms for officials to promise faithful service, fairness, loyalty, and confidentiality.
5. Idadi ya waliojiandikisha kupiga kura Idadi ya waliopiga kura Idadi ya kura halali Idadi ya kura zilizoharibika/kukataliwa JUMLA Jina la Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi Saini…………………………….……tarehe………………… Muhuri wa Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi………………. 52 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katikab Mamlaka Za Miji Tangazo la Serikali Na.573 (Linaendelea.) ________ JEDWALI LA SITA ________ (Limetengenezwa chini ya kanuni ya 48(4)) __________ VIAPO (a) Kiapo cha Uaminifu na kutunza siri thabiti Jamhuri ya Muungano wa Tanzania “Mimi ……………………………. naapa/natamka kwa dhati kwamba nitaitumikia vyema na kwa moyo kama ………………………………..katika Halmashauri ya …………………… na katika kutimiza wajibu wa nafasi hiyo nitawatendea haki watu wote kwa mujibu wa Katiba, Sheria na Kanuni za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na kwa vyovyote vile sitatoa siri zinazohusu majukumu yangu isipokuwa kwa mujibu wa sheria. Ewe Mwenyezi Mungu, nisaidie.” Kiapo/Tamko hili limetolewa hapa: ……………………………………… na………………………………………………………………………….. katika yangu kazi Leo tarehe…………………… Mwezi wa…………………..20………....... Mbele ya: Jina:……………………………………………… Saini:…………………………………………….. Wadhifa:………………………………………… Anuani…………………………………………… (b) Kiapo cha Utii na Uadilifu Jamhuri ya Muungano wa Mimi ………………………………………………………. naapa/natamka kwa dhati kwamba nitaitumikia kwa wadhifa wangu wa …………………………………………. kwa uaminifu, kwa uwezo na moyo wangu wote na kwamba nitahifadhi, nitalinda na kutetea Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Sheria za Tanzania na Maadili ya Viongozi wa Umma kama yalivyowekwa kwa mujibu wa Sheria. Ewe Mwenyezi Mungu nisaidie” Kiapo/Tamko hili limetolewa hapa: ……………………………………… na………………………………………………………………………….. Tanzania Leo tarehe…………………… Mwezi wa…………………..20………. Mbele ya:……………………………………….. Jina:……………………………………………… Cheo:……………………………………………. Saini:…………………………………………… Anuani…………………………………………. 53 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katikab Mamlaka Za Miji Tangazo la Serikali Na.573 (Linaendelea.) __________ JEDWALI LA SABA _________ (Limetengenezwa chini ya kanuni ya 52) ________ TARATIBU ZA MAADILI
Part
JEDWALI LA SABA
- 1
AI-assisted research summary: This section gives the name and stated subject of the 2024 local government election ethics rules.
1.0 Jina na Tarehe ya kuanza kutumika Jina, Matumizi, Wahusika wa Maadili ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa Mwaka 2024. - 1
AI-assisted research summary: These regulations are named the Local Government Elections Ethics Regulations, 2024.
1.1 Taratibu hizi zitajulikana kama Taratibu za Maadili ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa za Mwaka 2024. - 1
AI-assisted research summary: The provision lists who counts as actors in the ethics procedures.
1.2 Wahusika wa Taratibu za Maadili Wahusika wa Taratibu za Maadili watakuwa wafuatao: (a) Vyama vya Siasa; (b) Wagombea; (c) Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania; na (d) Wasimamizi wa Uchaguzi na Wasimamizi Wasaidizi wa Uchaguzi. - 2
AI-assisted research summary: Vyama vya siasa na wagombea lazima wafuate sheria na kanuni za uchaguzi, waendeshe kampeni kwa utaratibu, na waepuke vurugu, chuki, na migongano.
2.1 Kila Chama cha Siasa na Wagombea watatakiwa kuzingatia yafuatayo: Wajibu wa Vyama vya Siasa na Wagombea (a) kuheshimu na kutekeleza Kanuni za Uchaguzi, Taratibu za Maadili ya Uchaguzi na Miongozo ya Uchaguzi itakayotolewa kwa mujibu wa Kanuni pamoja na kuzingatia matakwa ya Sheria nyingine za nchi katika kipindi chote cha Uchaguzi; (b) kuelimisha, kuhamasisha na kuwasisitiza wanachama na wafuasi wao kuheshimu Kanuni za Uchaguzi, Taratibu za Maadili ya Uchaguzi na Miongozo ya Uchaguzi itakayotolewa kwa mujibu wa Kanuni pamoja na Sheria nyingine za nchi katika kipindi chote cha Uchaguzi; (c) kuzingatia ratiba ya mikutano ya kampeni; (d) kushirikiana na wanachama na wafuasi wa Vyama vingine vya Siasa kuhakikisha kuwa wanachukua hatua za makusudi ili: (i) kufanya Uchaguzi uwe huru na wa haki; (ii) kuzuia vitendo vya vurugu na vitisho; (iii) kukataa aina yoyote ya ubaguzi katika misingi ya jinsia, maumbile, ulemavu, ukabila, dini au rangi; na (iv) kueneza taarifa sahihi kuhusu mchakato wa Uchaguzi; (e) kuchapisha vijitabu, vipeperushi, vitini, mabango na machapisho ya aina yoyote yanayoelezea sera zao baada ya kuidhinishwa na Msimamizi wa Uchaguzi; (f) kutumia vyombo vya habari kutangaza sera zao kwa kuzingatia sheria zinazosimamia vyombo vya habari na Miongozo ya Uchaguzi; (g) kujenga mazingira ambayo yatawezesha Uchaguzi kufanyika kwa uhuru na haki, ikiwa ni pamoja na kuwezesha makundi maalum kushiriki kikamilifu katika Uchaguzi; (h) kuhakikisha hifadhi na usafi wa mazingira katika kusambaza matangazo ya kampeni; (i) kuondoa mabango, matangazo na machapisho ya aina yoyote ile yaliyotumika wakati wa kampeni katika sehemu za wazi baada ya Uchaguzi; (j) kutoa taarifa mara moja kwa mamlaka husika wanapofahamu au wanapoona tukio linaloweza kusababisha vurugu au uvunjifu wa amani; 54 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katikab Mamlaka Za Miji Tangazo la Serikali Na.573 (Linaendelea.) (k) kuhakikisha kuwa wanafanya kampeni kwa kuzingatia misingi inayolenga kutangaza sera za Vyama vyao pasipo kujenga chuki, kusababisha mifarakano na migawanyiko katika jamii; (l) kuchukua hatua za lazima kuhakikisha kuwa hakuna migongano ya mikutano ya kampeni na Vyama vingine; (m) kukataza wanachama au wafuasi kutamka kauli mbiu, kuonesha ishara za Vyama vyao, au kuvaa sare zenye rangi ya Chama chao katika mikutano ya hadhara ya Vyama vingine; (n) kuwaelekeza Mawakala wao watakaokuwepo katika Vituo vya kupigia, kuhesabia na kujumlishia kura kutekeleza majukumu yao kwa mujibu wa Kanuni za Uchaguzi, Taratibu za Maadili ya Uchaguzi na Miongozo ya Uchaguzi. - 2
AI-assisted research summary: Vyama vya siasa na wagombea hawaruhusiwi kufanya vitendo fulani vya kampeni kama fujo, lugha ya chuki au matusi, kuharibu matangazo, kubandika mabango bila idhini, au kutoa rushwa.
2.2 Mambo yasiyotakiwa kufanywa na Vyama vya Siasa na Wagombea Kila Chama cha Siasa au Mgombea hatatakiwa kufanya yafuatayo: (a) kusababisha au kufanya fujo au vurugu ya aina yoyote katika Mkutano wake au wa Chama kingine; (b) kutumia lugha ya matusi, kashfa, kejeli, udhalilishaji na vitisho au lugha inayochochea uvunjifu wa amani au kuashiria ubaguzi wa kijinsia, dini, rangi, ulemavu au maumbile kwenye mikutano ya kampeni; (c) kubeba sanamu, kinyago au kitu chochote ambacho kinaonyesha kudhalilisha, kukebehi, kufedhehesha au kukejeli Chama kingine cha Siasa au Mgombea au Kiongozi wa Chama kingine cha Siasa au Serikali katika mkutano wowote wa kampeni za Uchaguzi; (d) kutumia vipaza sauti vya aina yoyote kwa shughuli za kisiasa mara baada ya muda wa kampeni za uchaguzi kumalizika; (e) kuchafua, kubandua au kuharibu kwa namna yoyote ile matangazo ya kampeni ya Vyama vingine vya Siasa na matangazo mengine yanayotolewa na Mamlaka za Uchaguzi; (f) kubandika mabango ya kampeni, matangazo au mchoro wowote kwenye nyumba, majengo au vyombo vya usafiri vya watu binafsi au taasisi mbalimbali bila idhini ya wamiliki husika; (g) kubandika mabango ya kampeni, matangazo au mchoro wowote kwenye nyumba za ibada, taasisi za dini na majengo ya Serikali na taasisi zake; (h) kutoa rushwa ili kumshawishi mtu yeyote kupiga kura, kugombea au kujitoa katika kugombea nafasi ya uongozi; (i) kuzuia mtu yeyote, watu au wafuasi wa vyama vingine kuhudhuria mikutano ya kampeni au kupiga kura. - 2
AI-assisted research summary: This section concerns election ethics during voting, counting, tabulating votes, and announcing results.
2.3 ya Uchaguzi Maadili wakati wa kupiga, kuhesabu, kujumlisha kura na kutangaza matokeo - 2 Verify source ↗
3.1
AI-assisted research summary: Political party agents, parties, and candidates must cooperate with election officials at polling stations. Party leaders must also instruct members and supporters to leave the polling area after voting, or stay at least 200 meters away if they must remain.
2.3.1. Yanayotakiwa Kufanywa (a) Mawakala wa Vyama vya Siasa, Vyama vya Siasa na Wagombea watakuwa na wajibu wa kushirikiana na Wasimamizi wa Uchaguzi, Wasimamizi Wasaidizi wa Uchaguzi na Wasimamizi wa Vituo katika vituo vya kupigia kura kwa kuzingatia Kanuni za Uchaguzi na Miongozo ya Uchaguzi; (b) Viongozi wa Vyama vya Siasa watakuwa na wajibu wa kuwaelimisha wanachama na wafuasi wao kuwa, watatakiwa kuondoka eneo la kupigia Kura mara tu wamalizapo kupiga kura na kama itawalazimu 55 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katikab Mamlaka Za Miji Tangazo la Serikali Na.573 (Linaendelea.) kubakia katika eneo hilo watatakiwa kukaa umbali wa mita mia mbili kutoka kituo cha kupigia kura. - 2 Verify source ↗
3.2 Mambo yasiyotakiwa kufanywa
AI-assisted research summary: Sheria hii inakataza kampeni siku ya kupiga kura na matumizi ya simu ndani ya kituo cha kuhesabu kura, isipokuwa kwa maafisa waliotajwa. Pia inazuia vitendo vya vurugu, uvamizi, upigaji kura zaidi ya mara moja, rushwa ya kura, na lugha ya matusi katika vituo vya kupigia na kuhesabia kura.
2.3.2 Mambo yasiyotakiwa kufanywa (a) Kampeni za uchaguzi hazitaruhusiwa siku ya upigaji kura. Hii ni pamoja na kuvaa vazi lolote au kuwa na kitu chochote kinachoashiria kushawishi watu kumpigia kura Mgombea fulani au utambuzi wa Mgombea fulani au matumizi ya chombo cha usafiri kinachoashiria utambuzi wa Chama au Mgombea wa Chama chochote; (b) Viongozi wa Vyama vya Siasa, Wagombea na wafuasi wao watatakiwa kujiepusha na vitendo vinavyoweza kusababisha fujo au vurugu katika vituo vya kupigia, kuhesabia na kujumlishia kura; (c) Hakuna mtu atakayeruhusiwa kutumia simu ya kiganjani ndani ya kituo cha kuhesabu na kujumlishia kura isipokuwa Msimamizi wa Uchaguzi na Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi na mlinzi wa kituo cha kupigia kura ambao watatumia simu zao pale itakapobidi kwa shughuli za Uchaguzi tu na simu hizo wakati wote ziwe zimeondolewa mlio; (d) Kiongozi wa Chama cha Siasa au mwanachama au mfuasi hatatakiwa: (i) kuvamia au kukaa kwa nguvu ndani ya kituo cha kupigia, kuhesabia na kujumlishia kura; (ii) kuwahamasisha wanachama au wafuasi kupiga kura zaidi ya mara moja katika Uchaguzi mmoja; (iii) kununua kura au kutoa rushwa au aina yoyote ya malipo ya fedha au vifaa kwa mpiga kura au Msimamizi wa Uchaguzi au Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi; (iv) kutumia lugha ya matusi kwa Msimamizi wa Uchaguzi, Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi au Msimamizi wa Kituo katika kituo cha kupigia, kuhesabia na kujumlishia kura. - 3
AI-assisted research summary: The Government must give all election stakeholders equal opportunity, keep elections secure and orderly, and ensure its officials stay within their powers during election activities.
3.0 Wajibu wa Serikali: Serikali itakuwa na Wajibu wa: (a) kutoa fursa sawa kwa wadau wote wa Uchaguzi hususan Vyama vya Siasa na Wagombea ili kuendesha shughuli zao za kisiasa wakati wa Uchaguzi kwa uhuru na kuzingatia sheria za nchi; (b) kuhakikisha hali ya usalama, amani na utulivu wakati wote wa Uchaguzi; (c) kuhakikisha kuwa viongozi na watendaji wake wanazingatia ipasavyo ukomo wa madaraka yao katika shughuli za Uchaguzi. - 4
AI-assisted research summary: This section is titled as ethics procedures for election supervisors and assistant supervisors.
4.0 Uchaguzi Taratibu za Maadili kwa Wasimamizi wa Uchaguzi na Wasimamizi Wasaidizi wa - 4
AI-assisted research summary: Wasimamizi wa Uchaguzi na wasaidizi wao lazima wapange, wasimamie na waendeshe uchaguzi kwa uwazi, haki, na uadilifu.
4.1 Mambo wanayotakiwa Kufanya Wasimamizi wa Uchaguzi na Wasimamizi Wasaidizi wa Uchaguzi watakuwa na wajibu wa kupanga, kusimamia na kuendesha Uchaguzi katika misingi inayowezesha Uchaguzi kuwa huru na wa haki kwa kufanya yafuatayo: (a) kuzingatia Katiba ya Nchi, Kanuni za Uchaguzi na Sheria nyingine za nchi; (b) kuvipa Vyama vya Siasa ratiba na taarifa za Uchaguzi mapema; (c) kutoa Elimu ya Mpiga Kura, kusimamia na kuratibu taasisi na watu wanaotoa Elimu ya Mpiga Kura; (d) kutoa mafunzo kwa wanaohusika na Uchaguzi ili kuwawezesha kuendesha uchaguzi kwa ufanisi; 56 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katikab Mamlaka Za Miji Tangazo la Serikali Na.573 (Linaendelea.) (e) kuvipa Vyama vya Siasa Kanuni, Miongozo ya Uchaguzi na Nyaraka nyingine zinazohusiana na Uchaguzi; (f) kukemea vitendo vyenye nia ya kuharibu Uchaguzi vinavyoweza kufanywa na Viongozi wa Vyama vya Siasa, Wagombea au wafuasi wao; (g) kuendesha na kuziwezesha Kamati za kusimamia Maadili ya Uchaguzi na kusimamia utekelezaji wa uamuzi unaotolewa na Kamati hizo; (h) kukutana na Vyama vya Siasa pale inapobidi kujadili masuala mbalimbali yanayohusu Kampeni za Uchaguzi na Uchaguzi wenyewe; (i) kuhakikisha kuwa hakuna mtu yeyote atakayefanyiwa uonevu au kukoseshwa haki wakati wa shughuli za Uchaguzi; (j) kutambua majukumu ya Vyama vya Siasa, Wagombea na Mawakala wao; (k) kuandaa na kupeleka kwa wakati vifaa kwenye vituo vya kupigia kura; (l) kuendesha zoezi la Uchaguzi kwa uwazi, haki na uadilifu. - 4
AI-assisted research summary: Wasimamizi wa Uchaguzi na Wasimamizi Wasaidizi wa Uchaguzi hawaruhusiwi kupendelea chama au mgombea, kubadili ratiba za kampeni bila kuwashirikisha vyama vya siasa, kuchelewesha au kupeleka vifaa pungufu kwenye vituo vya kupigia kura bila sababu za msingi, au kuchelewesha kutangaza matokeo bila sababu za msingi.
4.2 Mambo yasiyotakiwa kufanywa na Wasimamizi wa Uchaguzi na Wasimamizi Wasaidizi wa Uchaguzi (a) kupendelea Chama chochote cha Siasa au Mgombea yeyote; (b) kubadili ratiba za Kampeni za Uchaguzi bila kuvishirikisha Vyama vya Siasa; (c) kuchelewa au kupeleka vifaa pungufu katika vituo vya kupigia kura bila sababu za msingi; (d) kuchelewa kutangaza Matokeo ya Uchaguzi bila sababu za msingi. - 5 Verify source ↗
0 Usimamizi wa Utekelezaji waTaratibu za Maadili ya Uchaguzi
AI-assisted research summary: Sehemu hii inahusu usimamizi wa utekelezaji wa taratibu za maadili ya uchaguzi.
5.0 Usimamizi wa Utekelezaji waTaratibu za Maadili ya Uchaguzi - 5
AI-assisted research summary: Kutakuwa na Kamati za Maadili za uchaguzi, na Msimamizi wa Uchaguzi atazianzisha.
5.1 Kamati za Maadili za kusimamia Utekelezaji wa Taratibu za Maadili ya Uchaguzi Kutakuwa na Kamati za Maadili zifuatazo zitakazoundwa na Msimamizi wa Uchaguzi: (a) Kamati ya Maadili ya Halmashauri; na (b) Kamati ya Maadili ya Kata. - 5
AI-assisted research summary: Hiki ni kichwa cha kifungu kinachohusu muundo wa Kamati za Taratibu za Maadili ya Uchaguzi.
5.2 Muundo wa Kamati za Taratibu za Maadili ya Uchaguzi - 5 Verify source ↗
2.1
AI-assisted research summary: Kamati ya Maadili ya Halmashauri lazima iwe na wajumbe waliobainishwa: Msimamizi wa Uchaguzi kama Mwenyekiti, mwakilishi mmoja kutoka kila chama kinachoshiriki uchaguzi, wajumbe wawili wa Serikali walioteuliwa kwa maandishi na kwa kuzingatia jinsia, na Afisa Uchaguzi kama Katibu.
5.2.1 Kamati ya Maadili ya Halmashauri itakuwa na wajumbe wafuatao: Kamati ya Maadili ya Halmashauri (a) Msimamizi wa Uchaguzi katika Halmashauri ambaye atakuwa Mwenyekiti wa Kamati; (b) Mjumbe mmoja kutoka kila Chama cha Siasa kinachoshiriki Uchaguzi katika Halmashauri; (c) Wajumbe wawili watakaoiwakilisha Serikali ambao watateuliwa na Katibu Tawala wa Wilaya husika kwa maandishi na kwa kuzingatia jinsia; na (d) Afisa Uchaguzi ambaye atakuwa ni Katibu wa Kamati ya Maadili ya Uchaguzi. - 5 Verify source ↗
2.2
AI-assisted research summary: Kamati ya Maadili ya Kata itakuwa na wajumbe waliotajwa katika kifungu hiki.
5.2.2 Kamati ya Maadili ya Kata itakuwa na wajumbe wafuatao: Kamati ya Maadili ya Kata (a) Msimamizi Msaidizi ngazi ya Kata husika ambaye atakuwa Mwenyekiti wa Kamati; 57 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katikab Mamlaka Za Miji Tangazo la Serikali Na.573 (Linaendelea.) (b) Mjumbe mmoja kutoka kila Chama cha Siasa kinachoshiriki katika Uchaguzi kwenye Kata; (c) Wajumbe wawili watakaoiwakilisha Serikali ambao watateuliwa na Katibu Tawala wa Wilaya husika kwa maandishi na kwa kuzingatia jinsia; na (d) Katibu ambaye ni Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi ngazi ya kijiji atakayeteuliwa na Msimamizi wa Uchaguzi. - 5 Verify source ↗
2.3 Utoaji wa taarifa za Kamati za Maadili
AI-assisted research summary: Inakataza watu fulani wasitoe taarifa za uamuzi au suala lililo mbele ya Kamati ya Maadili; pia inaelekeza malalamiko yawasilishwe kwa maandishi ndani ya siku 3, na mwenyekiti kuitisha kikao ndani ya siku 2 baada ya kupokea malalamiko na kujiridhisha kuwa taratibu zimekiukwa.
5.2.3 Utoaji wa taarifa za Kamati za Maadili Itakuwa ni marufuku kwa mtu, mgombea, Chama cha Siasa au mjumbe wa Kamati ya Maadili ambaye sio Mwenyekiti wa Kamati ya Maadili kutoa taarifa yoyote kuhusu uamuzi wa Kamati au suala lolote lililopo mbele ya Kamati. Uwasilishaji wa Malalamiko Mgombea yeyote, Wasimamizi wa Uchaguzi au Wasimamizi Wasaidizi wa Uchaguzi, Serikali au Chama chenye mgombea kinachoamini kwamba Maadili ya Uchaguzi yamekiukwa kitawasilisha malalamiko kwa Mwenyekiti wa Kamati ya Maadili ya Kata kwa maandishi. Muda wa kuwasilisha Malalamiko Malalamiko yoyote yatatakiwa kuwasilishwa ndani ya siku tatu tangu kutokea kwa tukio linalolalamikiwa. Kuitisha kikao cha Kamati ya Maadili ya Uchaguzi Mwenyekiti wa Kamati husika baada ya kupokea malalamiko na kujiridhisha kuwa Taratibu za Maadili zimekiukwa atatakiwa kuitisha kikao ndani ya siku mbili. - 5
AI-assisted research summary: Malalamiko yanapaswa kushughulikiwa na Kamati ya Maadili, na upande unaolalamikiwa unaweza kupewa siku mbili kuwasilisha utetezi wa maandishi.
5.6 Namna ya kushughulikia Malalamiko (a) Malalamiko yote yatajadiliwa na kuamuliwa katika kikao cha Kamati ya Maadili ya Kata husika; (b) Kamati itashughulikia malalamiko na kutoa uamuzi wake mapema iwezekanavyo; (c) Baada ya kupokea malalamiko, Kamati itamtaka aliyelalamikiwa kuwasilisha utetezi wake kwa maandishi ndani ya siku mbili tangu kupokea malalamiko; (d) Katika kushughulikia malalamiko, Kamati inaweza kumwita mtu yeyote kutoa maelezo ili kusaidia Kamati kufikia uamuzi wa haki; (e) Akidi ya Kikao cha Kamati husika itakuwa zaidi ya nusu ya wajumbe wote wa Kamati; (f) Kamati ya Maadili ya Uchaguzi itaamua malalamiko yote baada ya kusikiliza au kupata maelezo ya utetezi kutoka kwa pande zote mbili ambazo ni mlalamikaji na mlalamikiwa ndani ya siku mbili isipokuwa kama upande unaolalamikiwa utashindwa kuwasilisha maelezo ya utetezi katika muda ulioainishwa Kamati inaweza kufanya uamuzi; (g) Uamuzi utakaofikiwa na Kamati ya Maadili ya Kata yatatekelezwa na pande zinazohusika na uamuzi huo; (h) Ikitokea kuna umuhimu wa kufanya uamuzi kwa kupiga kura, wawakilishi wa Mlalamikaji na Mlalamikiwa hawataruhusiwa kupiga kura; (i) Malalamiko yatakayoshughulikiwa na Kamati za Maadili ni yale tu yaliyotokea katika kipindi cha Kampeni; (j) Malalamiko yatakayotokea siku ya Upigaji Kura yatashughulikiwa kwa kuzingatia Kanuni za Uchaguzi; 58 Kanuni Za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji Na Mwenyekiti wa Kitongoji Katikab Mamlaka Za Miji Tangazo la Serikali Na.573 (Linaendelea.) (k) Kamati itakuwa na mamlaka ya kuchunguza malalamiko yote yatakayowasilishwa kabla ya kufanya uamuzi; (l) Kamati inaweza kuelekeza malalamiko mengine kwenye mamlaka zinazohusika kama itakavyoona inafaa kwa hatua zinazostahili. - 5
AI-assisted research summary: Mtu asiyeridhika na uamuzi wa Kamati ya Maadili ya Kata anaweza kukata rufaa kwa Kamati ya Maadili ya Halmashauri ndani ya siku mbili; uamuzi wa Kamati ya Maadili ya Halmashauri ni wa mwisho.
5.7 Rufaa Dhidi ya Uamuzi (a) Upande ambao hautaridhika na uamuzi wa Kamati ya Maadili ya Kata, utakuwa na haki ya kukata rufaa kwa Kamati ya Maadili ya Halmashauri ndani ya siku mbili tangu uamuzi wa Kamati ya Maadili ya Kata ulipotolewa; na (b) Uamuzi utakaotolewa na Kamati ya Maadili ya Halmashauri utakuwa ni wa mwisho. - 5
AI-assisted research summary: Malalamiko dhidi ya Msimamizi wa Uchaguzi au Msimamizi Msaidizi yanaweza kusikilizwa bila Msimamizi wa Uchaguzi kuendesha kikao, isipokuwa kama Katibu Tawala wa Mkoa amemteua afisa mwandamizi kutoka Sekretarieti ya Mkoa kuwa mwenyekiti.
5.8 Uchaguzi Malalamiko dhidi ya Msimamizi wa Uchaguzi au Msimamizi Msaidizi wa (a) Pale ambapo malalamiko yaliyowasilishwa ni dhidi ya Msimamizi wa Uchaguzi, ambaye ni Mwenyekiti wa Kamati ya Maadili`ya Uchaguzi, Msimamizi au Msimamizi Msaidizi, Msimamizi wa Uchaguzi hataendesha Kikao hicho, isipokuwa Katibu Tawala wa Mkoa atateua Afisa yeyote wa Umma Mwandamizi kutoka Sekretarieti ya Mkoa kuwa Mwenyekiti wa kikao hicho; (b) Iwapo Kamati itaona kuwa Msimamizi amekosea Kamati itamtaka linalolalamikiwa Msimamizi wa Uchaguzi kurekebisha mapema iwezekanavyo. tatizo - 5
AI-assisted research summary: Kamati za Maadili ya Uchaguzi za Halmashauri na Kata zinaweza kuchukua hatua dhidi ya ukiukaji wa maadili, ikiwemo kuagiza marekebisho, kutoa onyo la maandishi, kutangaza jina la mkosaji, au kusimamisha kampeni kwa muda.
5.9 Mamlaka ya Kamati za Maadili ya Uchaguzi ngazi ya Halmashauri na Kata katika kushughulikia Malalamiko na kutoa adhabu zinaweza kuchukua hatua zifuatazo: (a) kuagiza upande uliokiuka maadili kusahihisha kosa au makosa yaliyotendeka na iwapo italazimu, kuomba msamaha hadharani; (b) kutoa onyo au karipio kwa maandishi; (c) kutangaza jina la Chama au Mgombea aliyekiuka Maadili na kueleza kosa au makosa yake kwa njia za Taarifa kwa Umma, redio, televisheni, magazeti na njia nyingine za mawasiliano; (d) Kamati inaweza kukisimamisha Chama au Mgombea kuendelea kufanya Kampeni za Uchaguzi kwa muda itakavyoona inafaa. - 5
AI-assisted research summary: If a candidate or party fails to carry out a relevant committee decision, the Electoral Ethics Committee may suspend that party from election campaigning.
5.10 Kushindwa Kutekeleza Uamuzi wa Kamati za Maadili Pale ambapo Mgombea au Chama kitashindwa kutekeleza uamuzi wa Kamati husika, Kamati ya Maadili ya Uchaguzi inaweza kukisimamisha Chama husika kufanya kampeni za Uchaguzi. Dodoma, 28 Juni, 2024 MOHAMED OMARY MCHENGERWA, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais- Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa 59
Provision text is displayed from LexChat’s stored statute record. Use the official source links to verify amendments, commencement, and current legal force.
Ask AI about this statute
KANUNI ZA UCHAGUZI WA MWENYEKITI WA KIJIJI, WAJUMBE WA HALMASHAURI YA KIJIJI NA MWENYEKITI WA KITONGOJI KATIKA MAMLAKA ZA MIJI ZA MWAKA 2024
Sign in to ask AI about this statute
Sign in to start authenticated, citation-grounded statute research.
Sign in