Kanuni za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Mtaa na Wajumbe wa Kamati ya Mtaa katika Mamlaka za Miji za Mwaka 2024
The Minister must publicly announce the street chairperson and street committee election, publish it in Kiswahili and English media at least 90 days before the election, and include the timetable and key election conditions. The Election Supervisor must also post street names and boundaries in the election notice area,
AI-assisted research synopsis — verify against the official legal text below.
- Jurisdiction
- Tanzania
- Instrument
- Regulation
- Citation
- Kanuni za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Mtaa na Wajumbe wa Kamati ya Mtaa katika Mamlaka za Miji za Mwaka 2024
- Version
- Undated source snapshot
- Language
- sw
- Official source
- View official record ↗
Statute overview
About this statute
The Minister must publicly announce the street chairperson and street committee election, publish it in Kiswahili and English media at least 90 days before the election, and include the timetable and key election conditions. The Election Supervisor must also post street names and boundaries in the election notice area, using the list announced 72 days before election day. This section concerns the rules for electing the chairperson and members of the street committee in urban authorities. The Mtaa Committee may have no more than six members. Watu walio katika nafasi fulani hawapaswi kuteuliwa kuwa Msimamizi wa Uchaguzi au Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi. Election officials and appeal committee members must carry out their duties in line with the law, regulations, instructions, and notices issued under these regulations.
Search within this statute
Search all stored provisions in this version.
Legal text
Provisions of Kanuni za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Mtaa na Wajumbe wa Kamati ya Mtaa katika Mamlaka za Miji za Mwaka 2024
Showing 105 of 105
- 3 Verify source ↗
Section 3
AI-assisted research summary: The Minister must publicly announce the street chairperson and street committee election, publish it in Kiswahili and English media at least 90 days before the election, and include the timetable and key election conditions. The Election Supervisor must also post street names and boundaries in the election notice area, using the list announced 72 days before election day.
3. Jina Matumizi Tafsiri Sura ya 258 SEHEMU YA KWANZA MASHARTI YA UTANGULIZI Kanuni hizi zitajulikana kama Kanuni za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Mtaa na Wajumbe wa Kamati ya Mtaa katika Mamlaka za Miji za Mwaka 2024. Kanuni hizi zitatumika katika Mitaa yote iliyomo katika maeneo ya Mamlaka za Miji. isipokuwa kama muktadha Katika Kanuni hizi, utahitaji vinginevyo- “Chama cha Siasa” maana yake ni Chama cha Siasa kilichopata usajili wa kudumu kwa mujibu wa Sheria ya Vyama vya Siasa; “mkazi” maana yake ni raia wa Tanzania ambaye anaishi katika kaya au taasisi iliyopo katika eneo la Mtaa; “Msimamizi wa Uchaguzi” maana yake ni Mtumishi yeyote wa umma aliyeteuliwa kusimamia Uchaguzi kwa mujibu wa Kanuni hizi; “Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi” maana yake ni mtumishi yeyote wa umma aliyeteuliwa na 1 Kanuni Za Uchaguzi Wa Mwenyekiti Wa Mtaa Na Wajumbe Wa Kamati Ya Mtaa Katika Mamlaka Za Miji Tangazo la Serikali Na.574 (Linaendelea.) Sura ya 288 Sura ya 357 Sura ya 288 Msimamizi wa Uchaguzi kuwa Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi chini ya Kanuni hizi; “Msimamizi wa Kituo” maana yake ni mtumishi yeyote wa umma aliyeteuliwa na Msimamizi wa Uchaguzi kusimamia kituo cha uchaguzi; “Mtaa” maana yake ni sehemu ya eneo la utawala katika Kata iliyoko kwenye eneo la Mamlaka ya Mji kwa mujibu wa Sheria ya Serikali za Mitaa (Mamlaka za Mji); “Mtendaji wa Mtaa” maana yake ni mtendaji mkuu wa shughuli za Serikali katika Mtaa na ni pamoja na mtumishi yeyote wa umma atakayeteuliwa ya Mtendaji wa Mtaa kwa mujibu wa Kanuni hizi; kutekeleza majukumu “mtumishi wa umma” maana yake ni mtu yeyote aliyeajiriwa katika utumishi wa umma; “mwangalizi wa uchaguzi” maana yake ni mwangalizi wa ndani wa uchaguzi mwenye kibali cha Katibu Mkuu wa Wizara yenye dhamana ya Serikali za Mitaa; “Orodha ya Wapiga Kura” maana yake ni orodha ya majina ya wapiga kura iliyoandaliwa chini ya Kanuni hizi; “raia” maana yake ni raia wa Tanzania kwa mujibu wa Sheria ya Uraia; “ “sehemu ya matangazo ya uchaguzi” maana yake ni sehemu maalum iliyoteuliwa na Msimamizi wa Uchaguzi kwa ajili ya kutolea matangazo au taarifa mbalimbali za uchaguzi kwa mujibu wa Kanuni hizi; “siku ya uteuzi” maana yake ni siku ya kutangaza majina na wasiostahili kugombea nafasi za uongozi chini ya Kanuni hizi; ya wanaostahili “Sheria” maana yake ni Sheria ya Serikali za Mitaa (Mamlaka za Miji); “Uchaguzi” maana yake ni uchaguzi wa Mwenyekiti wa Mtaa na Wajumbe wa Kamati ya Mtaa katika Mamlaka za Miji; “Uchaguzi Mdogo” maana yake ni uchaguzi ambao utafanyika baada ya kuwepo kwa nafasi wazi ya 2 Kanuni Za Uchaguzi Wa Mwenyekiti Wa Mtaa Na Wajumbe Wa Kamati Ya Mtaa Katika Mamlaka Za Miji Tangazo la Serikali Na.574 (Linaendelea.) Mwenyekiti wa Mtaa au Mjumbe wa Kamati ya Mtaa; “wakati wa uchaguzi” maana yake ni muda ambao uchaguzi wa kawaida au uchaguzi mdogo unafanyika kwa mujibu wa Kanuni hizi na unaanzia tarehe ya tangazo la uchaguzi hadi matokeo ya uchaguzi yanapotangazwa; “Waziri” maana yake ni Waziri mwenye dhamana ya Serikali za Mitaa. SEHEMU YA PILI TANGAZO LA UCHAGUZI (1) Waziri atatoa Tangazo kwa umma kuhusu kuwepo kwa Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Mtaa na Wajumbe wa Kamati ya Mtaa kwa mujibu wa Kanuni hizi. (2) Tangazo la Uchaguzi kwa mujibu wa kanuni ndogo ya (1) litatolewa katika magazeti ya Kiswahili na Kiingereza yanayosambazwa nchi nzima na katika vyombo mbalimbali vya habari si chini ya siku tisini kabla ya siku ya Uchaguzi. (3) Tangazo litakalotolewa na Waziri litaelekeza mambo yafuatayo: ya ratiba (a) zinazohusika; na uchaguzi na shughuli (b) masharti muhimu ya uchaguzi kwa mujibu wa Sheria na Kanuni hizi. Msimamizi wa Uchaguzi atabandika katika sehemu ya matangazo ya uchaguzi majina na mipaka ya Mitaa iliyomo katika eneo la Halmashauri husika kwa kuzingatia orodha ya Mitaa iliyotangazwa siku sabini na mbili kabla ya siku ya uchaguzi kwa ajili ya Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Mtaa na Wajumbe wa Kamati ya Mtaa. 3 Tangazo la uchaguzi kwa umma
Part
SEHEMU YA PILI
- 5 Verify source ↗
Section 5
AI-assisted research summary: This section concerns the rules for electing the chairperson and members of the street committee in urban authorities.
5. Kanuni Za Uchaguzi Wa Mwenyekiti Wa Mtaa Na Wajumbe Wa Kamati Ya Mtaa Katika Mamlaka Za Miji Tangazo la Serikali Na.574 (Linaendelea.) Mwenyekiti na Wajumbe wa Kamati ya Mtaa - 6 Verify source ↗
Kamati ya Mtaa itakuwa na Wajumbe wasiozidi sita
AI-assisted research summary: The Mtaa Committee may have no more than six members.
6. Kamati ya Mtaa itakuwa na Wajumbe wasiozidi sita ambao ni: (a) Mwenyekiti wa Mtaa; (b) Wajumbe wengine watano ambao kati yao Wajumbe wawili watakuwa wanawake. - 7 Verify source ↗
Section 7
AI-assisted research summary: Watu walio katika nafasi fulani hawapaswi kuteuliwa kuwa Msimamizi wa Uchaguzi au Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi.
7. Wasimamizi na Wasimamizi Wasaidizi wa Uchaguzi (1) Kutakuwa na Msimamizi wa Uchaguzi, Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi na Msimamizi wa Kituo atakayeteuliwa kusimamia uchaguzi kwa mujibu wa Kanuni hizi. (2) Mtu hatateuliwa kuwa Msimamizi wa au Msimamizi Msaidizi wa kiongozi wa chama cha siasa; Uchaguzi Uchaguzi endapo ni: (a) (b) mgombea; (c) (d) (e) Askari au afisa yeyote wa chombo cha hakimu au jaji; kiongozi wa dini; ulinzi na usalama; (f) Katibu Tawala wa Wilaya; (g) Katibu Tawala wa Mkoa; (h) Mkuu wa Wilaya; au (i) Mkuu wa Mkoa. Kuzingatia sheria, kanuni, maelekezo na matangazo - 8 Verify source ↗
Kila Msimamizi wa Uchaguzi, Msimamizi Msaidizi
AI-assisted research summary: Election officials and appeal committee members must carry out their duties in line with the law, regulations, instructions, and notices issued under these regulations.
8. Kila Msimamizi wa Uchaguzi, Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi, Msimamizi wa Kituo na Wajumbe wa Kamati ya Rufani watatekeleza majukumu yao kwa kuzingatia Sheria, Kanuni, maelekezo na matangazo yatakayotolewa kwa mujibu wa Kanuni hizi. SEHEMU YA TATU MAELEKEZO YA UCHAGUZI Maelekezo kuhusu uchaguzi
Part
SEHEMU YA TATU
- 9 Verify source ↗
Section 9
AI-assisted research summary: Msimamizi wa Uchaguzi lazima atoe maelekezo ya uchaguzi siku 62 kabla ya siku ya uchaguzi.
9.- (1) Msimamizi wa Uchaguzi atatoa maelekezo ya uchaguzi siku sitini na mbili kabla ya siku ya Uchaguzi. (2) Maelekezo ya Uchaguzi, kwa mujibu wa Kanuni hizi, yataelekeza mambo yafuatayo: 4 Kanuni Za Uchaguzi Wa Mwenyekiti Wa Mtaa Na Wajumbe Wa Kamati Ya Mtaa Katika Mamlaka Za Miji Tangazo la Serikali Na.574 (Linaendelea.) tarehe ya kufanyika kwa uchaguzi; (a) (b) muda na sehemu ya kuandikisha wapiga kura; (c) muda na mahali pa kufanyia uchaguzi; (d) (e) (f) (g) fomu za kwenye kuwataka wakazi wote wenye sifa za kupiga kura washiriki uchaguzi; kuwataka wakazi wenye umri wa miaka ishirini na moja au zaidi wanaotaka kugombea nafasi ya uenyekiti wa Mtaa au ujumbe wa Kamati ya Mtaa kugombea kuchukua ya ofisi zitakazopatikana Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi; tarehe na muda wa kuchukua na ya kurudisha kugombea uenyekiti wa Mtaa au ujumbe wa Kamati ya Mtaa kwa Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi; siku ambayo uteuzi utafanyika na sehemu ya matangazo ya uchaguzi ambapo wagombea zitabandikwa; za maombi fomu fomu za Orodha ya Wapiga Kura
Part
sehemu ya matangazo ya uchaguzi
- 10 Verify source ↗
Section 10
AI-assisted research summary: Kanuni hii inasema kuwa kutakuwa na Orodha ya Wapiga Kura kwa uchaguzi wa Mwenyekiti wa Mtaa na Wajumbe wa Kamati ya Mtaa, na Msimamizi wa Uchaguzi lazima awateue watumishi wa umma wa kuandikisha na kuandaa orodha hiyo siku 52 kabla ya siku ya uchaguzi.
10.- (h) muda wa kuweka pingamizi dhidi ya (i) (j) uteuzi na kusikilizwa kwa pingamizi; tarehe ya kusikiliza rufaa dhidi ya uamuzi wa Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi; kipindi cha kuendesha mikutano ya kampeni za uchaguzi; na (k) masuala mengine yanayohusu uchaguzi. (1) Kutakuwa na Orodha ya Wapiga Kura kwa ajili ya uchaguzi wa Mwenyekiti wa Mtaa na Wajumbe wa Kamati ya Mtaa. (2) Kwa madhumuni ya kanuni ndogo ya (1), Msimamizi wa Uchaguzi atafanya uteuzi wa watumishi wa umma watakaoandikisha na kuandaa Orodha ya Wapiga Kura katika Mitaa siku hamsini na mbili kabla ya siku ya uchaguzi. 5 Kanuni Za Uchaguzi Wa Mwenyekiti Wa Mtaa Na Wajumbe Wa Kamati Ya Mtaa Katika Mamlaka Za Miji Tangazo la Serikali Na.574 (Linaendelea.) Uandikishaji wa wapiga kura - 11 Verify source ↗
Section 11
AI-assisted research summary: Hii sehemu inaweka ratiba na utaratibu wa uandikishaji wa wapiga kura, inakataza watendaji wa Mitaa na Kata kuandikisha au kuandaa orodha ya wapiga kura, na inampa mkazi aliyejiandikisha haki ya kukagua orodha hiyo.
11.- (3) Watendaji wa Mitaa na Kata hawatateuliwa wala hawataruhusiwa kuandikisha au kuandaa orodha ya wapiga kura. (1) Uandikishaji na uandaaji wa Orodha ya Wapiga Kura utaanza siku ya arobaini na saba kabla ya siku ya uchaguzi na utafanyika kwa muda wa siku kumi kwa kutumia fomu iliyoainishwa katika Jedwali la Kwanza la Kanuni hizi katika majengo ya umma na pale ambapo hakuna jengo la umma, uandikishaji utafanyika kwenye sehemu ambayo Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi atakuwa amekubaliana na Viongozi wa Vyama vya Siasa; (2) Vituo vya uandikishaji wa wapiga kura vitafunguliwa saa mbili kamili asubuhi na kufungwa saa kumi na mbili kamili jioni. (3) Chama cha Siasa kitateua wakala wake kwa kila kituo cha uandikishaji wa wapiga kura wakati wa uandikishaji wa wapiga kura. (4) Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi atabandika sehemu ya matangazo ya uchaguzi nakala ya Orodha ya Wapiga Kura siku moja baada ya kukamilika kwa uandikishaji wa wapiga kura na atatunza nakala halisi ya Orodha hiyo. (5) Mkazi ambaye amejiandikisha katika Orodha ya Wapiga Kura atakuwa na haki ya kukagua Orodha ya Wapiga Kura katika muda wa siku saba tangu tarehe ya Orodha hiyo kubandikwa sehemu ya matangazo ya uchaguzi ili: (a) kuweka pingamizi kuhusu usahihi wa Orodha hiyo; kuomba Orodha irekebishwe ili: kurekebisha jina lake; (i) kubadilisha taarifa zilizoko katika (ii) Orodha hiyo; au (b) (iii) kufuta jina lililoorodheshwa kwa vile aliyeorodheshwa amefariki. Pingamizi kuhusu uandikishaji
Part
sehemu ya matangazo ya uchaguzi ili:
- 12 Verify source ↗
Section 12
AI-assisted research summary: A registered resident may object to another person being registered as a voter, and the objection must be decided within two days after the register inspection period ends.
12.- (1) Mkazi ambaye amejiandikisha katika Orodha ya wapiga Kura anaweza kuweka pingamizi dhidi ya mtu kuandikishwa kuwa mpiga kura 6 Kanuni Za Uchaguzi Wa Mwenyekiti Wa Mtaa Na Wajumbe Wa Kamati Ya Mtaa Katika Mamlaka Za Miji Tangazo la Serikali Na.574 (Linaendelea.) (2) (3) (4) kabla ya kumalizika kwa muda wa kukagua Orodha ya Wapiga Kura. Pingamizi chini ya kanuni ndogo ya (1) litawasilishwa kwa Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi ambaye atatakiwa kutoa uamuzi kuhusu pingamizi lililowekwa ndani ya siku mbili tangu tarehe ya mwisho ya ukaguzi wa Orodha ya Wapiga Kura. Endapo Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi ataridhika na pingamizi lililowekwa chini ya Kanuni hii, atarekebisha Orodha ya Wapiga Kura iliyotangazwa baada ya muda wa siku mbili uamuzi wake umekatiwa rufaa. au aliyeweka Endapo mtu aliyewekewa pingamizi hatoridhika na uamuzi wa Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi kuhusu pingamizi lililowasilishwa kwake, mtu huyo rufaa kwa Msimamizi wa atawasilisha Uchaguzi ndani ya muda wa siku mbili tangu kutolewa kwa uamuzi wa pingamizi. isipokuwa pingamizi kama (5) Msimamizi wa Uchaguzi, baada ya kupokea rufaa hiyo, ataishughulikia na kuitolea uamuzi ndani ya muda wa siku nne tangu siku ya kupokea rufaa hiyo. Sifa za mpiga kura - 13 Verify source ↗
Mkazi yeyote wa Mtaa atakuwa na haki ya kupiga
AI-assisted research summary: A village resident has the right to vote if they meet the stated qualifications.
13. Mkazi yeyote wa Mtaa atakuwa na haki ya kupiga kura endapo atakuwa na sifa zifuatazo: (a) (b) (c) (d) (e) ni raia wa Tanzania; ana umri wa miaka kumi na nane au zaidi; ni mkazi wa eneo la Mtaa; ana akili timamu; na awe amejiandikisha kupiga kura katika Mtaa husika. Kupoteza sifa ya kupiga kura - 14 Verify source ↗
Mtu hatakuwa na haki ya kupiga kura endapo
AI-assisted research summary: A person may not vote if they lack any required qualification under regulation 13 or are registered to vote at more than one polling station.
14.- Mtu hatakuwa na haki ya kupiga kura endapo- (a) (b) hana mojawapo ya sifa zilizoainishwa katika kanuni ya 13; au amejiandikisha kupiga kura katika kituo zaidi 7 Kanuni Za Uchaguzi Wa Mwenyekiti Wa Mtaa Na Wajumbe Wa Kamati Ya Mtaa Katika Mamlaka Za Miji Tangazo la Serikali Na.574 (Linaendelea.) ya kimoja. Sifa za Mgombea (c) (a) (b) - 15 Verify source ↗
Mkazi yeyote wa Mtaa anaweza kugombea uenyekiti
AI-assisted research summary: Mkazi wa Mtaa anaweza kugombea uenyekiti wa Mtaa au uanachama wa Kamati ya Mtaa ikiwa anakidhi masharti yaliyotajwa.
15. Mkazi yeyote wa Mtaa anaweza kugombea uenyekiti wa Mtaa au ujumbe wa Kamati ya Mtaa endapo- ni raia wa Tanzania; ana umri wa miaka ishirini na moja au zaidi; ana uwezo wa kusoma na kuandika Kiswahili au Kiingereza; ana shughuli halali ya kumwezesha kuishi; ni mkazi wa eneo la Mtaa; ni mwanachama wa Chama cha Siasa na amedhaminiwa na Chama hicho; na ana akili timamu. (e) (f) (g) (d) Kupoteza sifa ya kuwa mgombea - 16 Verify source ↗
Section 16
AI-assisted research summary: A person is disqualified from standing for the post of Street Chairperson or Street Committee Member if they meet certain disqualifying conditions.
16.- (1) Mtu hatakuwa na sifa za kugombea nafasi ya uenyekiti wa Mtaa au Ujumbe wa Kamati ya Mtaa endapo- (a) (b) (c) (d) (e) kifungo amepoteza au hana sifa za mgombea zilizoainishwa katika Kanuni ya 15; amehukumiwa kinachozidi muda wa miezi sita gerezani au hukumu ya kifo na Mahakama za Tanzania; ana mkataba au maslahi kwenye ina mkataba na kampuni ambayo Mamlaka ya Serikali za Mitaa ambayo anagombea nafasi ya uongozi na hajatangaza kuwepo kwa mkataba au maslahi yake kupitia kwenye gazeti linalopatikana katika eneo husika au mbao za matangazo katika ofisi ya Mtaa; amepoteza sifa ya kupiga kura chini ya Kanuni hizi; au ataajiriwa au kuteuliwa katika wadhifa wowote katika utumishi wa umma au kuchaguliwa katika nafasi ya udiwani, ubunge, uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, umakamu wa 8 Kanuni Za Uchaguzi Wa Mwenyekiti Wa Mtaa Na Wajumbe Wa Kamati Ya Mtaa Katika Mamlaka Za Miji Tangazo la Serikali Na.574 (Linaendelea.) Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania au urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. (2) Kwa madhumuni ya kanuni ya 16(1)(b): (a) (b) adhabu mbili au zaidi za kifungo zinazopaswa kutumikiwa kwa kufuatana zitachukuliwa kuwa ni adhabu tofauti iwapo kati ya adhabu hizo hakuna inayozidi miezi sita gerezani endapo kati ya adhabu hizo kuna inayozidi miezi sita gerezani itachukuliwa kuwa ni adhabu moja; au kifungo cha gerezani kilichosababishwa na faini hakitohesabiwa kuwa ni adhabu ya kifungo kinachomuondolea mgombea sifa. kushindwa kulipa - 17 Verify source ↗
Section 17
AI-assisted research summary: Wagombea wa uenyekiti wa Mtaa au ujumbe wa Kamati ya Mtaa wanatakiwa kuchukua na kurudisha fomu za uteuzi ndani ya muda uliowekwa, na Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi ndiye anayetoa, kupokea, na kufanya uteuzi kwa saa na siku zilizoainishwa.
17.- Muda wa kuchukua na kurudisha fomu za uteuzi SEHEMU YA NNE UTEUZI WA WAGOMBEA (1) Mtu yeyote anayekusudia kugombea nafasi ya uenyekiti wa Mtaa au ujumbe wa Kamati ya Mtaa atatakiwa kuchukua fomu ya uteuzi wa kugombea nafasi husika siku zisizopungua ishirini na sita kabla ya siku ya uchaguzi kwa kadri itakavyoelekezwa na Msimamizi wa Uchaguzi. (2) Mtu aliyechukua fomu kwa mujibu wa kanuni ndogo ya (1) atatakiwa kurejesha fomu husika ndani ya muda wa siku saba tangu siku ya kwanza ya uchukuaji wa fomu iliyotangazwa na Msimamizi wa Uchaguzi. Fomu za uteuzi wa kugombea nafasi ya uenyekiti wa Mtaa au ujumbe wa Kamati ya Mtaa zitatolewa na kupokelewa na Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi kuanzia saa moja na nusu asubuhi hadi saa kumi kamili jioni. (3) (4) Msimamizi Msaidizi Uchaguzi hatoruhusiwa kupokea kutoka kwa mtu yeyote wa 9 Kanuni Za Uchaguzi Wa Mwenyekiti Wa Mtaa Na Wajumbe Wa Kamati Ya Mtaa Katika Mamlaka Za Miji Tangazo la Serikali Na.574 (Linaendelea.) (5) fomu za uteuzi zitakazowasilishwa baada ya saa kumi kamili jioni ya siku ya mwisho ya kurejesha fomu. Fomu ya uteuzi wa kugombea nafasi ya uenyekiti wa Mtaa au ujumbe wa Kamati ya Mtaa zitakuwa kama zilivyoainishwa katika Jedwali la Pili la Kanuni hizi. (1) Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi atafanya uteuzi wa wagombea wa nafasi ya uenyekiti wa Mtaa na ujumbe wa Kamati ya Mtaa siku kumi na tisa kabla ya tarehe ya Uchaguzi kuanzia saa mbili kamili asubuhi hadi saa kumi kamili jioni. Utaratibu wa uteuzi wa Wagombea
Part
Jedwali la Pili la Kanuni hizi.
- 18 Verify source ↗
Section 18
AI-assisted research summary: Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi lazima abandike majina ya wagombea wenye sifa na wasio na sifa baada ya uteuzi, na awajulishe Vyama vya Siasa na wakazi wa Mtaa ikiwa hakuna mwombaji mwenye sifa au ikiwa mchakato wa uchaguzi utarudiwa.
18.- (3) (2) Baada ya uteuzi kufanyika, Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi atabandika majina ya wagombea wenye sifa na wasio na sifa za kugombea nafasi ya uenyekiti wa Mtaa au ujumbe wa Kamati ya Mtaa sehemu ya matangazo ya uchaguzi. Endapo baada ya saa kumi kamili jioni ya siku ya uteuzi kutakuwa hakuna mwombaji au kama waombaji wote aliyejitokeza waliojitokeza hawana zinazostahili, Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi atavitaarifu Vyama vya Siasa na wakazi wa Mtaa kuhusu kukosekana kwa waombaji au kutokuwepo kwa waombaji wenye sifa. sifa (4) Kwa kuzingatia masharti ya kanuni ndogo ya (3), msimamizi msaidizi wa Uchaguzi atavitaarifu Vyama vya Siasa na wakazi wa Mtaa husika kuhusu kurudiwa kwa mchakato wa uchaguzi baada ya siku arobaini kuanzia tarehe ya uteuzi. - 19 Verify source ↗
Section 19
AI-assisted research summary: Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi lazima amteue mwombaji kuwa mgombea pekee katika hali zilizotajwa na kifungu hiki.
19.- (1) Utaratibu wa uteuzi wa mgombea pekee Endapo siku ya uteuzi kutakuwa na mwombaji mmoja aliyejitokeza katika nafasi ya uenyekiti wa Mtaa, Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi atamteua mwombaji huyo kuwa mgombea pekee kwa nafasi aliyoomba. 10 Kanuni Za Uchaguzi Wa Mwenyekiti Wa Mtaa Na Wajumbe Wa Kamati Ya Mtaa Katika Mamlaka Za Miji Tangazo la Serikali Na.574 (Linaendelea.) (2) Endapo idadi ya waombaji wa nafasi ya ujumbe wa Kamati ya Mtaa, waliojitokeza na kuteuliwa itakuwa sawa na idadi ya wajumbe wanaohitajika kwa mujibu wa kanuni ya 6, Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi atawateua waombaji hao kuwa wagombea pekee kwa nafasi waliyoomba. (3) Endapo idadi ya waombaji wa nafasi ya ujumbe wa Kamati ya Mtaa, waliojitokeza na kuteuliwa itakuwa chini ya idadi ya wajumbe wanaohitajika kwa mujibu wa kanuni ya 6, Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi atawateua waombaji hao kuwa ni wagombea pekee wa nafasi ya ujumbe wa Kamati ya Mtaa. Kujitoa kwa mgombea - 20 Verify source ↗
Section 20
AI-assisted research summary: A Ward chairperson candidate may withdraw by submitting the specified withdrawal form personally to the Assistant Election Supervisor within four days after nomination. If a nominated candidate withdraws, the Assistant Election Supervisor cancels that nomination and the remaining candidates continue in the election process.
20.- (2) (1) Mgombea wa nafasi ya uenyekiti wa Mtaa anaweza kujitoa katika nafasi hiyo kwa kujaza fomu ya kujitoa iliyoainishwa katika Jedwali la Tatu na kuiwasilisha yeye mwenyewe kwa Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi ndani ya siku nne baada ya tarehe ya uteuzi; Endapo, baada ya uteuzi kufanyika, mgombea aliyeteuliwa kugombea nafasi ya uenyekiti wa Mtaa atajitoa, Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi atatengua uteuzi wa mgombea huyo na wagombea waliobaki wataendelea na hatua ya Uchaguzi. Endapo, baada ya uteuzi kufanyika, mgombea wa nafasi ya ujumbe wa Kamati ya Mtaa atajitoa, Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi atatengua uteuzi wa mgombea huyo na wagombea waliobaki wataendelea na hatua ya Uchaguzi. (3) Kufariki kwa mgombea - 21 Verify source ↗
Section 21
AI-assisted research summary: Kama mgombea wa uenyekiti wa Mtaa au ujumbe wa Kamati ya Mtaa atafariki baada ya uteuzi, uchaguzi huo unaahirishwa na chama kilichomtoa mgombea kinaweza kuwasilisha jina la mwombaji mwingine ndani ya siku 40. Mwenyekiti wa Mtaa na Mjumbe wa Kamati ya Mtaa pia hukoma kushika nafasi hizo siku 7 kabla ya siku ya kuchukua fomu za kugombea.
21.- (1) Endapo, baada ya uteuzi kufanyika, mgombea wa nafasi ya uenyekiti wa Mtaa atafariki, Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi ataahirisha uchaguzi wa nafasi hiyo na Chama cha Siasa kilichotoa mgombea aliyefariki kinaweza kuwasilisha jina la mwombaji mwingine ndani 11 Kanuni Za Uchaguzi Wa Mwenyekiti Wa Mtaa Na Wajumbe Wa Kamati Ya Mtaa Katika Mamlaka Za Miji Tangazo la Serikali Na.574 (Linaendelea.) (2) tangu kuahirishwa kwa ya siku arobaini uchaguzi ili hatua za uteuzi wa mwombaji huyo zifanyike. Endapo, baada ya uteuzi kufanyika, mgombea wa nafasi ya ujumbe wa Kamati ya Mtaa atafariki, Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi ataahirisha uchaguzi wa nafasi hiyo na Chama cha Siasa kilichotoa mgombea aliyefariki la mwombaji kinaweza kuwasilisha mwingine ndani ya siku arobaini tangu kuahirishwa kwa uchaguzi ili hatua ya uteuzi wa mwombaji huyo zifanyike. jina Mwenyeviti wa Mtaa na Mjumbe wa Kamati ya Mtaa watakoma kushika nafasi hizo siku saba kabla ya siku ya kuchukua fomu za kugombea uongozi chini ya Kanuni hizi. Ukomo wa kuwa madarakani - 22 Verify source ↗
Section 22
AI-assisted research summary: This section introduces the procedure for handling objections and appeals, including objections about an appointment.
22. SEHEMU YA TANO UTARATIBU WA KUSHUGHULIKIA PINGAMIZI NA RUFAA Pingamizi kuhusu uteuzi
Part
SEHEMU YA TANO
- 23 Verify source ↗
Section 23
AI-assisted research summary: A candidate applicant or candidate may object to a nomination decision in writing within 2 days, and may appeal to the Appeal Committee within 4 days if dissatisfied.
23.- (1) Mtu yeyote aliyeomba kuteuliwa kuwa mgombea au mgombea ambaye hakuridhika na uamuzi uliotolewa na Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi au anapinga uteuzi wa mgombea yeyote, anaweza kuwasilisha pingamizi na kumwomba Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi kupitia upya uamuzi uliofanyika ili amteue kuwa mgombea au atengue uteuzi anaoupinga na Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi, baada ya kupitia pingamizi husika, anaweza kukubali au kulikataa pingamizi hilo. Pingamizi chini ya kanuni ndogo ya (1) ya kanuni hii litawasilishwa kwa maandishi kwa Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi katika muda wa siku mbili tangu uamuzi au uteuzi ulipofanyika na Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi atasikiliza na kutoa uamuzi katika muda usiozidi siku mbili kuanzia siku ya kupokea pingamizi hilo. (2) 12 Kanuni Za Uchaguzi Wa Mwenyekiti Wa Mtaa Na Wajumbe Wa Kamati Ya Mtaa Katika Mamlaka Za Miji Tangazo la Serikali Na.574 (Linaendelea.) (3) Mwombaji au mgombea ambaye hataridhika na uamuzi wa Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi atakuwa na haki ya kukata rufaa kwenye Kamati ya Rufani iliyoanzishwa chini ya Kanuni ya 24 katika muda usiozidi siku nne kuanzia tarehe ya uamuzi wa Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi. Kamati ya Rufani - 24 Verify source ↗
Section 24
AI-assisted research summary: Kila Wilaya itakuwa na Kamati ya Rufani, yenye wajumbe maalum, na wajumbe wake watateuliwa na Katibu Tawala wa Mkoa kabla ya siku ya uteuzi wa wagombea.
24.- (1) Kutakuwa na Kamati ya Rufani katika kila na wajumbe Wilaya wafuatao: (a) Katibu Tawala wa Wilaya ambaye ambayo itakuwa atakuwa Mwenyekiti; (b) watumishi wanne wa umma kutoka taasisi za umma zilizopo katika Wilaya husika; na (c) mtumishi mmoja wa umma ambaye atakuwa Katibu na hatakuwa na haki ya kupiga kura. (2) Wajumbe wa Kamati ya Rufani watateuliwa na Katibu Tawala wa Mkoa siku saba kabla ya siku ya uteuzi wa wagombea kwa kuzingatia sifa zilizoainishwa katika kanuni ya 25. - 25 Verify source ↗
Mtu yeyote hatateuliwa kuwa Mjumbe wa Kamati ya
AI-assisted research summary: A person must not be appointed as a member of the Appeals Committee if the person fits any listed disqualifying condition.
25. Mtu yeyote hatateuliwa kuwa Mjumbe wa Kamati ya Rufani endapo: (a) (b) anahusika na uteuzi wa wagombea ni Msimamizi wa Uchaguzi, Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi au Msimamizi wa Kituo; ni mtumishi wa Halmashauri; au kiongozi wa Chama cha Siasa katika ngazi yoyote. (c) (d) Sifa za Wajumbe wa Kamati ya Rufani Majukumu ya Kamati ya Rufani - 26 Verify source ↗
Section 26
AI-assisted research summary: The Appeal Committee must receive, hear, and decide appeals under regulation 23(3), and it must decide them within four days of receiving them.
26.- (1) Kamati ya Rufani itakuwa na majukumu ya kupokea, kusikiliza na kutoa uamuzi wa rufaa iliyowasilishwa chini ya kanuni ya 23(3). (2) Kamati ya Rufani itatoa uamuzi wa rufaa ndani ya siku nne kuanzia siku ya kupokea rufaa na uamuzi wake utakuwa wa mwisho. 13 Kanuni Za Uchaguzi Wa Mwenyekiti Wa Mtaa Na Wajumbe Wa Kamati Ya Mtaa Katika Mamlaka Za Miji Tangazo la Serikali Na.574 (Linaendelea.) SEHEMU YA SITA KAMPENI ZA UCHAGUZI
Part
SEHEMU YA SITA
- 27 Verify source ↗
Section 27
AI-assisted research summary: Vyama vya siasa vinavyoshiriki uchaguzi lazima viwasilishe ratiba ya mikutano ya kampeni mapema; Msimamizi wa Uchaguzi anaunganisha ratiba hizo na Polisi wa Wilaya hupokea ratiba iliyounganishwa. Mgombea, mwakilishi wake, au chama chenye mgombea kinaweza kufanya mikutano ya kampeni kwa kufuata ratiba hiyo.
27.- (1) Kampeni za Uchaguzi zitafanyika siku saba Kampeni za uchaguzi kabla ya siku ya Uchaguzi. (2) Kila Chama cha Siasa kinachoshiriki Uchaguzi kitawasilisha ratiba yake ya mikutano ya kampeni ya uchaguzi kwa Msimamizi wa Uchaguzi si chini ya siku saba kabla ya kuanza kwa kampeni. (3) Msimamizi wa Uchaguzi ataunganisha ratiba za mikutano ya kampeni zilizowasilishwa na Vyama vya Siasa kwa mujibu wa kanuni ndogo ya (2) baada ya maridhiano na Vyama vya Siasa vinavyoshiriki Uchaguzi na atatakiwa kuwasilisha ratiba ya mikutano ya kampeni za uchaguzi iliyounganishwa siku tatu kabla ya kampeni kuanza kwa Mkuu wa Polisi wa Wilaya. Endapo Vyama vya Siasa vitashindwa kuridhiana wakati wa uunganishaji wa ratiba za mikutano ya kampeni, Msimamizi wa Uchaguzi ataunganisha ratiba za mikutano ya kampeni na uamuzi wake utakuwa wa mwisho. (4) (5) Mgombea au mwakilishi wa mgombea au Chama cha Siasa chenye mgombea kinaweza kuitisha na kuhutubia mikutano ya kampeni kwa mujibu wa ratiba ya mikutano ya kampeni iliyoandaliwa na kuwasilishwa kwa Mkuu wa Polisi wa Wilaya na mikutano hiyo itaratibiwa na Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi. (1) Mkuu wa Polisi wa Wilaya atakuwa na wajibu wa kuhakikisha ulinzi na usalama unakuwepo katika mikutano ya kampeni. (2) Ratiba ya mikutano ya kampeni za uchaguzi itakayowasilishwa na Msimamizi wa Uchaguzi kwa Mkuu wa Polisi wa Wilaya chini ya 14 Wajibu wa Jeshi la Polisi - 28 Verify source ↗
Section 28
AI-assisted research summary: Campaign meetings must follow the stated schedule, and the candidate or their party does not have to give notice to the police.
28.- Kanuni Za Uchaguzi Wa Mwenyekiti Wa Mtaa Na Wajumbe Wa Kamati Ya Mtaa Katika Mamlaka Za Miji Tangazo la Serikali Na.574 (Linaendelea.) kanuni ya 27(3) itakuwa ni taarifa rasmi ya mikutano ya kampeni na mgombea au Chama chake hakitowajibika kutoa taarifa kwa Jeshi la Polisi. (3) Mikutano ya kampeni za uchaguzi kwa mujibu wa ratiba itaanza saa mbili iliyopitishwa asubuhi na itamalizika saa kumi na mbili kamili jioni ya kila siku ya kampeni. Mabadiliko ya ratiba - 29 Verify source ↗
Section 29
AI-assisted research summary: Watu wanaotaka kubadili ratiba ya mikutano ya kampeni lazima wawasilishe mabadiliko kwa maandishi kwa Msimamizi wa Uchaguzi, na mikutano ya kampeni ifanywe kwa kufuata ratiba na muda uliowekwa.
29.- (1) Endapo Mgombea au Chama cha Siasa chenye mgombea kitakusudia kufanya mabadiliko ya ratiba ya mikutano ya kampeni, kitafanya hivyo baada ya kuwasilisha kwa maandishi mapendekezo ya mabadiliko hayo kwa Msimamizi wa Uchaguzi na mapendekezo hayo kuridhiwa kwa mujibu wa kanuni ndogo ya (2). (2) Msimamizi wa Uchaguzi ataitisha kikao na Vyama vya Siasa vinavyoshiriki uchaguzi ili kujadili maombi ya mabadiliko ya ratiba na mabadiliko yatakayokubaliwa yatawasilishwa kwa Mkuu wa Polisi wa Wilaya kwa ajili ya kupatiwa ulinzi siku ya mkutano wa kampeni. (1) Mgombea, mwakilishi wa mgombea au Chama cha Siasa chenye mgombea kitatakiwa kuendesha mikutano ya kampeni za uchaguzi kwa mujibu wa ratiba na kwa kuzingatia muda uliowekwa chini ya Kanuni hizi. Masharti ya kampeni - 30 Verify source ↗
Section 30
AI-assisted research summary: Mgombea au mwakilishi wa mgombea hapaswi kutumia rushwa, lugha za kashfa au matusi, ubaguzi, au maneno yanayoweza kusababisha fujo wakati wa kampeni.
30.- (2) Mgombea au mwakilishi wa mgombea au chenye mgombea Siasa za kampeni kuendesha Chama cha hakitaruhusiwa uchaguzi kwa: (a) (b) kutumia rushwa; kutoa maneno ya kashfa au lugha za matusi; kufanya ubaguzi wa jinsia, maumbile, ulemavu, dini, rangi, kabila au ubaguzi mwingine wa aina yoyote; au kutoa maneno yanaweza ambayo (c) (d) 15 Kanuni Za Uchaguzi Wa Mwenyekiti Wa Mtaa Na Wajumbe Wa Kamati Ya Mtaa Katika Mamlaka Za Miji Tangazo la Serikali Na.574 (Linaendelea.) kusababisha uvunjifu wa amani au kusababisha vurugu. Mahali, vituo na muda wa kupigia kura - 32 Verify source ↗
Section 32
AI-assisted research summary: Section 32 sets the voting procedure, including where polling takes place, polling hours, and how the ballot box is handled.
32.- SEHEMU YA SABA TARATIBU ZA UPIGAJI KURA (1) Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Mtaa na Wajumbe wa Kamati ya Mtaa utafanyika katika Mtaa husika. (2) Vituo vya kupigia kura vitakuwa katika majengo ya umma yaliyopo katika Mtaa husika na endapo Mtaa hauna majengo ya umma, Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi, baada ya kushauriana na wagombea au Vyama vya Siasa vyenye wagombea, atateua eneo lingine kuwa kituo cha kupigia kura. (3) Kura zitapigwa kuanzia saa mbili kamili asubuhi mpaka saa kumi kamili jioni. (4) Baada ya saa kumi kamili, askari atakaa nyuma ya mpiga kura wa mwisho ili kuzuia watu waliochelewa kupiga kura. (1) Kutakuwa na sanduku maalum la kupigia kura lililotengenezwa kwa namna itakayomwezesha mpiga kura kutumbukiza kura yake kwa urahisi kwa kila ngazi itakayopigiwa kura bila ya kuruhusu kura hiyo kutolewa ndani ya sanduku hilo. (2) Kabla ya kuanza kupiga kura, Msimamizi wa Kituo atawaonesha wapiga kura sanduku la kupigia kura lililo wazi na atalifunga kwa lakiri kwa namna ambayo itazuia kufunguliwa bila kukata lakiri. Karatasi za kupigia kura
Part
SEHEMU YA SABA
- 33 Verify source ↗
Kutakuwa na karatasi za kupigia kura kwa nafasi ya
AI-assisted research summary: Ballot papers must be prepared for the election of the street chairperson and street committee members, in the form set out in the Fourth Schedule of these Regulations.
33. Kutakuwa na karatasi za kupigia kura kwa nafasi ya uenyekiti wa Mtaa, ujumbe wa Kamati ya Mtaa na la ujumbe wa Kamati ya Mtaa kupitia kundi wanawake ambazo zitakuwa kama zilivyoainishwa katika Jedwali la Nne la Kanuni hizi. 16 Kanuni Za Uchaguzi Wa Mwenyekiti Wa Mtaa Na Wajumbe Wa Kamati Ya Mtaa Katika Mamlaka Za Miji Tangazo la Serikali Na.574 (Linaendelea.) Utambulisho wa mpiga kura - 34 Verify source ↗
Section 34
AI-assisted research summary: Msimamizi wa Kituo lazima ahakikishe jina la mpiga kura lipo kwenye Orodha ya Wapiga Kura kabla ya kutoa karatasi za kupigia kura, na anaweza kuomba kitambulisho cha kuthibitisha hilo.
34.- (1) Msimamizi wa Kituo atatakiwa, kabla ya kumpa mpiga kura karatasi za kupigia kura, kujiridhisha kama jina la mpiga kura huyo limo kwenye Orodha ya Wapiga Kura. (2) Kwa madhumuni ya kanuni ndogo ya (1), Msimamizi wa Kituo anaweza kumtaka mpiga kura aoneshe kitambulisho kitakachoonesha kuwa jina la mpiga kura huyo ndilo lililomo kwenye Orodha ya Wapiga Kura. (3) Aina ya kitambulisho ambacho Msimamizi wa Kituo anaweza kumtaka mpiga kura kuonesha ni pamoja na: (a) (b) (c) (d) (e) (f) kitambulisho cha mpiga kura; kitambulisho cha kazi; hati ya kusafiria; kadi ya bima ya afya; kitambulisho cha shule au chuo; kitambulisho cha mifuko ya hifadhi ya jamii; leseni ya udereva; au kitambulisho cha taifa. (g) (h) Endapo mpiga hana kura kitambulisho cha aina yoyote kati ya vilivyotajwa chini ya kanuni ndogo ya (3) lakini jina lake limo kwenye orodha ya wapiga kura iliyoandaliwa kwa mujibu wa Kanuni hizi, Msimamizi wa Kituo atamruhusu mtu huyo kupiga kura baada ya kutambuliwa na wakazi wa eneo husika. atakuwa (4) Upigaji kura - 35 Verify source ↗
Section 35
AI-assisted research summary: Kura lazima zipigwe kwa usiri, na mpiga kura afuate utaratibu uliowekwa baada ya kupewa karatasi za kura.
35.- (1) Kura zitapigwa katika namna itakayozingatia usiri. (2) Kwa kuzingatia masharti ya kanuni ya 34, Msimamizi wa Kituo atampa mpiga kura karatasi tatu za kupigia kura kwa nafasi zifuatazo: (a) mwenyekiti wa Mtaa; (b) wajumbe wa Kamati ya Mtaa; na (c) wajumbe wa Kamati ya Mtaa kupitia kundi la wanawake. 17 Kanuni Za Uchaguzi Wa Mwenyekiti Wa Mtaa Na Wajumbe Wa Kamati Ya Mtaa Katika Mamlaka Za Miji Tangazo la Serikali Na.574 (Linaendelea.) (3) Mpiga kura, baada ya kupewa karatasi za kupigia kura, atapiga kura kwa utaratibu ufuatao: (a) kura moja kwa nafasi ya uenyekiti wa Mtaa; kura kwa nafasi ya ujumbe wa Kamati ya Mtaa kwa idadi itakayoelekezwa na Msimamizi wa kituo; na kura kwa nafasi ya ujumbe wa Kamati ya Mtaa kupitia kundi la wanawake. (c) (d) (4) Bila kuathiri masharti ya kanuni ndogo ya (3), Endapo kutakuwa na mgombea pekee kwa nafasi ya Mwenyekiti wa Mtaa au Wajumbe wa Kamati ya Mtaa mpiga kura atapiga kura moja ya NDIYO au HAPANA kwa nafasi ya mgombea husika. (5) Baada ya kupiga kura, mpiga kura atatakiwa kuchovya kidole cha mkono katika kidau cha wino. (6) Wakati wa kupiga kura watu wafuatao wataruhusiwa kushuhudia kura zinavyopigwa: (a) Msimamizi wa Uchaguzi; (b) Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi; (c) sare askari au afisa wa polisi, mgambo yeyote au mwenye ambaye ulinzi anayesimamia atatambuliwa na Msimamizi wa Uchaguzi au Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi; afisa (d) wakala wa Chama cha Siasa chenye Mgombea; na (e) mwangalizi wa uchaguzi mwenye kitambulisho. (7) Bila kuathiri masharti ya Kanuni hizi, mtu yeyote hatoruhusiwa kubaki katika eneo la Kituo cha Kupigia Kura baada ya kupiga kura. Usaidizi kwa wenye mahitaji maalum - 36 Verify source ↗
Section 36
AI-assisted research summary: Voters with visual or other disabilities, or who cannot read and write, may ask any person to help them vote, but not the election supervisor, assistant supervisor, polling station supervisor, a candidate, or the candidate’s agent.
36.- (1) Mpiga kura ambaye: (a) kwa sababu ya ulemavu wa macho au ulemavu mwingine wowote; au 18 Kanuni Za Uchaguzi Wa Mwenyekiti Wa Mtaa Na Wajumbe Wa Kamati Ya Mtaa Katika Mamlaka Za Miji Tangazo la Serikali Na.574 (Linaendelea.) hajui kusoma na kuandika, (b) anaweza kumwomba mtu yeyote kumsaidia kupiga kura; isipokuwa mpiga kura huyo hataruhusiwa kuomba usaidizi wa Msimamizi wa Uchaguzi, Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi, Msimamizi wa Kituo, mgombea au wakala wake. (2) Bila kuathiri masharti ya kanuni ndogo ya (1), mtu mmoja hataruhusiwa kumsaidia mpiga kura zaidi ya mmoja. Kuahirisha upigaji kura - 37 Verify source ↗
Endapo siku ya kupiga kura kutatokea jambo lolote
AI-assisted research summary: If something on voting day prevents voting from continuing, the assistant election supervisor must postpone voting.
37. Endapo siku ya kupiga kura kutatokea jambo lolote litakalozuia upigaji kura kuendelea kufanyika, Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi baada ya kuwasiliana na Msimamizi wa Uchaguzi ataahirisha upigaji kura hadi siku inayofuata au siku nyingine anayoona inafaa ambayo haitazidi siku saba tangu siku ya uchaguzi ulipoahirishwa. SEHEMU YA NANE KUHESABU KURA NA KUTANGAZA MATOKEO Kuhesabu kura 38.- (1) Kura zitahesabiwa na Msimamizi wa Kituo kwenye kituo cha kupigia kura mbele ya wagombea au mawakala wao. (2) Msimamizi wa Kituo, kabla ya kuanza kuhesabu kura, atafanya yafuatayo mbele ya wagombea au mawakala wao: (a) atahakiki idadi ya wakazi waliopiga kura; atahesabu idadi ya karatasi za kupigia kura ambazo hazikutumika na kuziweka katika bahasha maalum; atakagua na haijafunguliwa; atakata lakiri; na atafungua sanduku la kupigia kura. kuona kama lakiri (b) (c) (d) (e) (3) Bila ya kuathiri masharti ya kanuni ndogo ya (1), wakati wa kuhesabu kura watu wafuatao kura wataruhusiwa kushuhudia 19 Kanuni Za Uchaguzi Wa Mwenyekiti Wa Mtaa Na Wajumbe Wa Kamati Ya Mtaa Katika Mamlaka Za Miji Tangazo la Serikali Na.574 (Linaendelea.)
Part
SEHEMU YA NANE
- 39 Verify source ↗
Section 39
AI-assisted research summary: Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi anahesabu na kutangaza matokeo ya baadhi ya uchaguzi wa Wajumbe wa Kamati ya Mtaa na Mwenyekiti wa Mtaa, na wakati wa sare anaweza kupanga uchaguzi mwingine ndani ya siku 14.
39.- Matokeo ya Wajumbe wa Kamati ya Mtaa zinavyohesabiwa: (a) Msimamizi wa Uchaguzi; (b) Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi; (c) Askari Polisi, Mgambo wenye sare au Afisa yeyote anayesimamia ulinzi; na (d) mwangalizi wa uchaguzi mwenye kitambulisho. (1) Matokeo ya uchaguzi wa Wajumbe wa Kamati ya Mtaa na Wajumbe wa Kamati ya Mtaa kupitia kundi la wanawake yatajazwa kwenye fomu ya matokeo kama ilivyoainishwa katika Jedwali la Tano la Kanuni hizi ambayo itasainiwa na wagombea au mawakala wao pamoja na Msimamizi wa Kituo na nakala kubandikwa kwenye sehemu ya matangazo ya uchaguzi na nakala halisi kuwasilishwa ofisi ya Serikali ya Mtaa kwa ajili ya kujumlishwa na kutangaza mshindi au washindi wa kila nafasi iliyogombewa. (2) Utaratibu wa kutangaza matokeo ya Wajumbe wa Kamati ya Mtaa wa kundi la wagombea mchanganyiko yaani wanawake na wanaume utakuwa kama ifuatavyo: (a) endapo idadi ya wagombea ni kubwa idadi ya nafasi za ujumbe kuliko zilizopo, Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi atawatangaza wagombea waliopata kura nyingi kuwa wajumbe wa Kamati ya Mtaa; endapo idadi ya kura inalingana kwa wagombea yao, kwa Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi atawatangaza ambao wamepata kura nyingi kuwa washindi wa nafasi ya ujumbe wa Kamati ya Mtaa; au endapo idadi ya kura inalingana kwa wagombea lakini anahitajika mgombea mmoja kati yao ili kupata idadi ya jumla wagombea baadhi au (b) (c) 20 Kanuni Za Uchaguzi Wa Mwenyekiti Wa Mtaa Na Wajumbe Wa Kamati Ya Mtaa Katika Mamlaka Za Miji Tangazo la Serikali Na.574 (Linaendelea.) ya wajumbe wanaohitajika kwa mujibu wa Kanuni hizi, Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi atatangaza matokeo hayo na kupanga tarehe nyingine ya uchaguzi katika muda usiozidi siku kumi na nne tangu siku ya uchaguzi. (3) Utaratibu wa kutangaza matokeo ya wajumbe wa Kamati ya Mtaa kwa kundi la wagombea wa kundi la wanawake utakuwa kama ifuatavyo: (a) (b) (c) au baadhi wagombea endapo idadi ya wajumbe ni kubwa idadi ya nafasi za ujumbe kuliko zilizopo Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi atawatangaza wagombea waliopata kura nyingi kuwa wajumbe wa Kamati ya Mtaa; endapo idadi ya kura italingana kwa wagombea yao, kwa Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi atawatangaza ambao wamepata kura nyingi kuwa ni washindi wa nafasi ya ujumbe wa Kamati ya Mtaa; au endapo idadi ya kura italingana kwa wagombea lakini anahitajika mgombea mmoja kati yao ili kupata idadi ya jumla ya wajumbe wanaohitajika kwa mujibu wa Kanuni hizi, Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi atatangaza matokeo hayo na kupanga tarehe nyingine ya uchaguzi katika muda usiozidi siku kumi na nne tangu siku ya uchaguzi. (4) Bila kuathiri masharti ya Kanuni hii, pale ambapo nafasi ya Wajumbe wa Kamati ya Mtaa kupitia kundi mchanganyiko la wanaume na wanawake na Wajumbe wa Kamati ya Mtaa kupitia kundi la wanawake lina wagombea pekee, Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi atamtangaza mgombea pekee kuwa Mjumbe kundi ya Mtaa wa Kamati kupitia 21 Kanuni Za Uchaguzi Wa Mwenyekiti Wa Mtaa Na Wajumbe Wa Kamati Ya Mtaa Katika Mamlaka Za Miji Tangazo la Serikali Na.574 (Linaendelea.) (5) mchanganyiko la wanaume na wanawake na Wajumbe wa Kamati ya Mtaa kupitia kundi la wanawake endapo atakuwa amepata kura nyingi za NDIYO. Endapo idadi ya kura za NDIYO na HAPANA kwa Mjumbe wa Kamati ya Mtaa kupitia kundi mchanganyiko na wanawake na Mjumbe wa Kamati ya Mtaa kupitia kundi la wanawake zitalingana, Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi atatangaza matokeo hayo na kuwasilisha taarifa ya Uchaguzi huo kwa Msimamizi wa Uchaguzi ambaye atapanga tarehe nyingine ya Uchaguzi ndani ya siku kumi na nne tangu tarehe ya Uchaguzi. la wanaume (1) Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi, baada ya kupokea fomu za matokeo ya kura za nafasi ya uenyekiti wa Mtaa kutoka kwa wasimamizi wa vituo vya kupigia kura, atajumlisha idadi ya kura kwa kila mgombea wa nafasi ya uenyekiti wa Mtaa na kujaza matokeo katika fomu ya matokeo kama ilivyoainishwa katika Jedwali la Nne la Kanuni hizi na fomu hiyo itasainiwa na wagombea au mawakala wao pamoja na Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi. Matokeo ya Mwenyekiti wa Mtaa
Part
Jedwali
- 40 Verify source ↗
Section 40
AI-assisted research summary: Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi lazima atangaze mshindi wa kura nyingi na kubandika matokeo; ikitokea sare, lazima apange uchaguzi wa marudio ndani ya siku 14.
40.- (3) (2) Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi atamtangaza mgombea aliyepata kura nyingi kuwa Mwenyekiti wa Mtaa na kubandika matokeo hayo kwenye sehemu ya matangazo ya uchaguzi. Endapo inalingana kwa wagombea wanaoongoza, Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi atatangaza matokeo na kupanga tarehe nyingine ya uchaguzi wa marudio utakaofanyika ndani ya siku kumi na nne tangu tarehe ya uchaguzi. idadi ya kura (4) Bila kuathiri masharti ya Kanuni hii, pale ambapo nafasi ya uenyekiti wa Mtaa ilikuwa na mgombea pekee, Msimamizi Msaidizi wa 22 Kanuni Za Uchaguzi Wa Mwenyekiti Wa Mtaa Na Wajumbe Wa Kamati Ya Mtaa Katika Mamlaka Za Miji Tangazo la Serikali Na.574 (Linaendelea.) (5) Uchaguzi atamtangaza mgombea pekee kuwa Mwenyekiti wa Mtaa endapo atakuwa amepata kura nyingi za NDIYO. Endapo idadi ya kura za NDIYO na HAPANA kwa mgombea pekee kwa nafasi ya uenyekiti wa Mtaa zitalingana, Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi atatangaza matokeo hayo na kuwasilisha taarifa ya Uchaguzi huo kwa Msimamizi wa Uchaguzi ambaye atapanga tarehe nyingine ya Uchaguzi ndani ya siku kumi na nne tangu tarehe ya Uchaguzi. Taratibu za kurudia uchaguzi - 41 Verify source ↗
Section 41
AI-assisted research summary: Wagombea wanaoshiriki uchaguzi wa marudio pamoja na vyama vyao hawaruhusiwi kufanya kampeni za uchaguzi huo.
41.- (1) Bila kuathiri masharti ya Kanuni hizi, uchaguzi wa marudio unaotokana na kulingana idadi ya kura utahusisha wagombea kwa ambao idadi ya kura zao zimelingana na itachukuliwa hao wameshateuliwa kuwa wagombea kwa mujibu wa Kanuni hizi. wagombea kuwa (2) Wagombea wanaoshiriki katika uchaguzi wa marudio na Vyama vyao vya Siasa kwa mujibu wa (1) havitaruhusiwa kufanya kampeni za uchaguzi wa marudio. kanuni ndogo ya Masuala yasiyobatilisha matokeo - 42 Verify source ↗
Masuala yafuatayo hayatobatilisha matokeo ya
AI-assisted research summary: The absence of a candidate or candidate’s agent during voting, vote counting, or announcement of results does not invalidate the election result or the conduct of the election, and neither does a candidate’s or agent’s refusal to sign the results form.
42. Masuala yafuatayo hayatobatilisha matokeo ya uchaguzi au utekelezaji wa shughuli yoyote ya uchaguzi: (a) kutokuwepo kwa mgombea au wakala wa mgombea wakati wa kupiga kura, kuhesabu kura au kutangaza matokeo; au (b) mgombea au wakala wa mgombea kukataa kusaini fomu ya matokeo. Malalamiko kuhusu uendeshaji wa Uchaguzi - 43 Verify source ↗
Mgombea yeyote ambaye hakuridhika na matokeo
AI-assisted research summary: A dissatisfied candidate may file a case in the District Court within 30 days after election results are announced.
43. Mgombea yeyote ambaye hakuridhika na matokeo ya uchaguzi au uendeshaji wa uchaguzi atakuwa na haki ya kufungua shauri katika Mahakama ya Wilaya ndani ya siku thelathini tangu siku ya kutangaza matokeo ya uchaguzi. 23 Kanuni Za Uchaguzi Wa Mwenyekiti Wa Mtaa Na Wajumbe Wa Kamati Ya Mtaa Katika Mamlaka Za Miji Tangazo la Serikali Na.574 (Linaendelea.) Utunzaji wa - 44 Verify source ↗
Section 44
AI-assisted research summary: Msimamizi wa uchaguzi lazima ahakikishe nyaraka zote za uendeshaji wa uchaguzi zinaharibiwa baada ya siku 30, isipokuwa mahakama iamuru vinginevyo.
44.- nyaraka (1) Msimamizi wa anatunza zinazohusu uendeshaji wa uchaguzi. uchaguzi usalama kwa atahakikisha zote nyaraka (2) Msimamizi wa uchaguzi atahakikisha nyaraka zote zinazohusu uendeshaji wa uchaguzi zinateketezwa baada ya kupita kipindi cha siku thelathini toka siku ya itaelekezwa uchaguzi vinginevyo kwa amri ya Mahakama kutokana na mwenendo wa mashauri ya uchaguzi. isipokuwa kama SEHEMU YA TISA NAFASI WAZI NA UCHAGUZI MDOGO Nafasi wazi
Part
SEHEMU YA TISA
- 45 Verify source ↗
Section 45
AI-assisted research summary: Ukiwa wazi wadhifa wa uenyekiti wa Mtaa au ujumbe kutokana na matukio yaliyotajwa, mtendaji wa Mtaa lazima aripoti kwa Msimamizi wa Uchaguzi ndani ya siku 7.
45.- (1) Nafasi ya uenyekiti wa Mtaa au ujumbe wa itakuwa wazi endapo Kamati ya Mtaa yatatokea mambo yafuatayo: (a) (b) Mwenyekiti kifo cha Mwenyekiti au Mjumbe; au Mjumbe kujiuzulu wadhifa wake; (c) Mwenyekiti au Mjumbe kukosa sifa za kuwa mgombea; kubatilishwa kwa matokeo ya Uchaguzi; (d) (e) Mwenyekiti au Mjumbe kukoma kuwa mwanachama wa Chama cha Siasa kilichomdhamini; (f) Mwenyekiti au Mjumbe kuhama Mtaa; (g) Mwenyekiti kutoitisha mikutano mitatu ya kawaida mfululizo bila kuwa na sababu za msingi; (h) Mwenyekiti au Mjumbe kutohudhuria mikutano mitatu mfululizo ya kawaida bila kuwa na sababu ya msingi; kugawanywa kwa Mtaa; kufutwa kwa Mtaa; (i) (j) (l) Mwenyekiti au Mjumbe kuvuliwa madaraka kwa mujibu wa Sheria. (2) Endapo litatokea jambo lolote chini ya kanuni ndogo ya (1), mtendaji wa Mtaa atatoa taarifa kwa Msimamizi wa Uchaguzi katika kipindi 24 Kanuni Za Uchaguzi Wa Mwenyekiti Wa Mtaa Na Wajumbe Wa Kamati Ya Mtaa Katika Mamlaka Za Miji Tangazo la Serikali Na.574 (Linaendelea.) kisichozidi siku saba tangu kutokea kwa jambo hilo. Uchaguzi mdogo - 47 Verify source ↗
Section 47
AI-assisted research summary: Msimamizi wa Uchaguzi lazima atangaze nafasi wazi ndani ya siku 14; nafasi hiyo ijazwe kwa uchaguzi mdogo ndani ya siku 60, isipokuwa kama uchaguzi wa kawaida uko ndani ya miezi 6 au chini. Watu fulani pia lazima waape mbele ya Hakimu kabla ya kuanza kazi.
47.- (1) Msimamizi wa Uchaguzi atatangaza kuwepo kwa nafasi wazi ya uenyekiti wa Mtaa au ujumbe wa Kamati ya Mtaa ndani ya siku kumi na nne baada ya kupokea taarifa kutoka kwa Mtendaji wa Mtaa juu ya kuwepo kwa nafasi iliyoachwa wazi. (2) Nafasi wazi ya uenyekiti wa Mtaa au ujumbe wa Kamati ya Mtaa itajazwa kwa kufanya uchaguzi mdogo kwa utaratibu uliopo katika Kanuni hizi. (3) Nafasi ya uenyekiti wa Mtaa au ujumbe wa Kamati ya Mtaa itajazwa ndani ya muda wa siku sitini baada ya kutangazwa kuwa wazi. (4) Uchaguzi mdogo hautafanyika kwa nafasi yoyote ile chini ya Kanuni hizi endapo muda uliosalia kabla ya uchaguzi wa kawaida ni miezi sita au pungufu yake. SEHEMU YA KUMI UTARATIBU WA KUAPISHWA (1) Wafuatao watatakiwa kuapa kiapo cha uaminifu na kutunza siri mbele ya Hakimu kabla ya kuanza kutekeleza majukumu yao chini ya Kanuni hizi: (a) Msimamizi wa Uchaguzi; (b) Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi; (c) Msimamizi wa kituo; (d) Mwenyekiti na Wajumbe wa Kamati ya Rufani; (e) Mawakala wa Vyama vya Siasa; na (f) Mtumishi umma atakayeteuliwa kusimamia shughuli za uchaguzi chini ya Kanuni hizi. yeyote wa (2) Endapo Hakimu kupatikana, Msimamizi wa Uchaguzi au Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi anaweza kuwaapisha hawezi 25 Kanuni Za Uchaguzi Wa Mwenyekiti Wa Mtaa Na Wajumbe Wa Kamati Ya Mtaa Katika Mamlaka Za Miji Tangazo la Serikali Na.574 (Linaendelea.) watu waliotajwa katika aya za (c), (d), (e) na (f) za kanuni ndogo ya (1). (3) Wenyeviti wa Mitaa na Wajumbe wa Kamati ya Mtaa, kabla ya kuanza kutekeleza majukumu yao, wataapa kiapo cha utii na uadilifu mbele ya Hakimu ndani ya siku kumi na nne baada ya siku ya uchaguzi. (4) Viapo vilivyotajwa katika Kanuni hii vitakuwa kama vilivyoainishwa katika Jedwali la Sita la Kanuni hizi na watakaoapishwa watapewa nakala za viapo. SEHEMU YA KUMI NA MOJA MAKOSA NA ADHABU ya
Part
SEHEMU YA KUMI NA MOJA
- 48 Verify source ↗
Section 48
AI-assisted research summary: Anyone who commits one of the listed election-related acts commits an offence, and conviction can lead to a fine, imprisonment, or both.
48.- (1) Mtu yeyote atakuwa ametenda kosa la Makosa uchaguzi uchaguzi endapo: (a) (b) (c) (d) (e) (f) (g) (h) zozote zinazohusiana ataharibu orodha ya wapiga kura au na nyaraka uchaguzi; atatoa taarifa za uongo ili aweze kupiga kura au kugombea nafasi ya uenyekiti wa Mtaa au ujumbe wa Kamati ya Mtaa; atajiandikisha zaidi ya mara moja kwenye orodha ya wapiga kura; atapiga kura zaidi ya mara moja kwa wagombea wa nafasi moja; atatishia wapiga kura au wagombea ili kuvuruga uchaguzi; atafanya kampeni siku ya uchaguzi; ataonyesha ishara au kuvaa mavazi yanayoashiria kumtambulisha mgombea au Chama cha Siasa katika eneo la mita mia mbili kutoka kwenye kituo cha kupigia kura; atamzuia Msimamizi wa Uchaguzi, Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi, Msimamizi wa Kituo, Mjumbe wa Kamati ya Rufani au mtumishi wa umma aliyeteuliwa kusimamia uchaguzi 26 Kanuni Za Uchaguzi Wa Mwenyekiti Wa Mtaa Na Wajumbe Wa Kamati Ya Mtaa Katika Mamlaka Za Miji Tangazo la Serikali Na.574 (Linaendelea.) (i) (j) (k) (l) kutekeleza majukumu yake; atakiuka masharti ya kiapo chake chini ya kanuni ya 47(1); atapatikana na karatasi za kupigia kura zaidi ya moja kwa nafasi moja inayogombewa; atavuruga ratiba ya mikutano ya kampeni za uchaguzi au atavunja masharti ya kampeni za uchaguzi; atafanya Kanuni hizi; lolote kinyume cha jambo (m) atakutwa na silaha kinyume cha Sheria kwenye eneo la uteuzi wa wagombea, mikutano ya kampeni, eneo la usikilizaji wa rufaa za wagombea, kituo cha kupigia na kuhesabu kura; au atatangaza matokeo ya uchaguzi kabla hayajatangazwa na Msimamizi wa Uchaguzi au Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi kwa mujibu wa Kanuni hizi. (n) (2) Mtu yeyote atakayepatikana na hatia kwa kosa lolote chini ya kanuni ndogo ya (1) atahukumiwa adhabu ya faini isiyozidi shilingi laki tatu au kifungo kisichozidi miezi kumi na miwili au vyote kwa pamoja yaani faini na kifungo. (3) Mtu yeyote atakayetumia lugha ya matusi, kashfa, kejeli, udhalilishaji na vitisho au lugha inayo ashiria unyanyasaji na ukatilii wa kijinsia katika uchaguzi atakuwa ametenda kosa na akipatikana na hatia ataadhibiwa kwa mujibu wa taratibu za maadili. Kinga - 49 Verify source ↗
Msimamizi wa Uchaguzi, Msimamizi Msaidizi wa
AI-assisted research summary: Watawala wa uchaguzi na baadhi ya watumishi wa umma wanaohusika na usimamizi wa uchaguzi hawawajibiki kwa jinai, madai, au hatua za kinidhamu kwa matendo au kuacha kutenda yaliyofanywa kwa nia njema wakati wa kutekeleza majukumu yao chini ya Kanuni hizi.
49. Msimamizi wa Uchaguzi, Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi, Msimamizi wa Kituo, Wajumbe wa Kamati ya Rufani au mtumishi yeyote wa umma aliyehusika na usimamizi wa uchaguzi hatowajibika kwa jinai au madai au kuchukuliwa hatua za kinidhamu lolote alilolifanya au kuacha kufanya kwa nia njema wakati au kiutawala kwa jambo 27 Kanuni Za Uchaguzi Wa Mwenyekiti Wa Mtaa Na Wajumbe Wa Kamati Ya Mtaa Katika Mamlaka Za Miji Tangazo la Serikali Na.574 (Linaendelea.) wa kutekeleza majukumu yake chini ya Kanuni hizi. SEHEMU YA KUMI NA MBILI MASUALA MENGINEYO Waangalizi wa ndani wa uchaguzi
Part
SEHEMU YA KUMI NA MBILI
- 50 Verify source ↗
Section 50
AI-assisted research summary: Waangalizi wa ndani wa uchaguzi wanaweza kuangalia uchaguzi baada ya kupata kibali cha Katibu Mkuu wa Wizara yenye dhamana ya Serikali za Mitaa.
50.- (1) Waangalizi wa ndani wa uchaguzi wataruhusiwa kuangalia uchaguzi baada ya kupata kibali cha Katibu Mkuu wa Wizara yenye dhamana ya Serikali za Mitaa. (2) Maombi ya kibali cha uangalizi wa uchaguzi yatawasilishwa kwa Katibu Mkuu wa Wizara yenye dhamana ya Serikali za Mitaa ndani ya muda wa siku ishirini na moja baada ya Tangazo la Uchaguzi kutolewa. (3) Waangalizi wa ndani wa uchaguzi watafanya shughuli za uangalizi kwa gharama zao wenyewe na watatakiwa kuzingatia masharti ya Kanuni hizi na miongozo itakayotolewa ikiwa ni pamoja na kutoingilia kwa namna yoyote shughuli ya Uchaguzi. Taratibu za maadili - 51 Verify source ↗
Bila ya kuathiri masharti ya Kanuni hizi, kutakuwa
AI-assisted research summary: Wadau wa uchaguzi walioainishwa lazima wafuate Taratibu za Maadili ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa zilizo katika Jedwali la Saba.
51. Bila ya kuathiri masharti ya Kanuni hizi, kutakuwa na Taratibu za Maadili ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa zilizoainishwa katika Jedwali la Saba la Kanuni hizi ambazo zitatakiwa kufuatwa na wadau wa uchaguzi walioainishwa katika Taratibu hizo. Miongozo - 52 Verify source ↗
Bila ya kuathiri masharti ya Kanuni hizi, Waziri
AI-assisted research summary: Waziri anaweza kutoa miongozo kuhusu uchaguzi, mradi tu isiathiri masharti ya Kanuni hizi.
52. Bila ya kuathiri masharti ya Kanuni hizi, Waziri anaweza kutoa miongozo mbalimbali kuhusu Uchaguzi. Elimu ya Mpiga Kura - 53 Verify source ↗
Section 53
AI-assisted research summary: Taasisi zinazotaka kutoa elimu ya mpiga kura katika uchaguzi lazima ziombe kibali kwa Katibu Mkuu wa Wizara yenye dhamana ya Serikali za Mitaa, na taasisi zitakazotoa elimu hiyo zitagharamia wenyewe shughuli hizo.
53.- (1) Taasisi yoyote inayotaka kutoa elimu ya mpiga kura katika uchaguzi itatakiwa kuwasilisha maombi ya kibali cha kutoa elimu ya mpiga kura kwa Katibu Mkuu wa Wizara yenye dhamana ya Serikali za Mitaa kwa kuzingatia miongozo itakayotolewa. (2) Taasisi zitakazotoa elimu ya mpiga kura zitatoa elimu hiyo kwa gharama zao. 28 Kanuni Za Uchaguzi Wa Mwenyekiti Wa Mtaa Na Wajumbe Wa Kamati Ya Mtaa Katika Mamlaka Za Miji Tangazo la Serikali Na.574 (Linaendelea.) Kufutwa kwa Kanuni za Uchaguzi TS Na. 372 la 2019 - 54 Verify source ↗
Section 54
AI-assisted research summary: Kanuni za mwaka 2019 zilizohusu uchaguzi wa Mwenyekiti wa Mtaa na wajumbe wa Kamati ya Mtaa katika mamlaka za miji zinafutwa.
54.- (1) Kanuni za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Mtaa na Wajumbe wa Kamati ya Mtaa katika Mamlaka za Miji za Mwaka 2019 zinafutwa. ambacho za Mitaa (2) Bila kujali masharti ya kanuni ndogo ya (1), matangazo, machapisho, miongozo, taratibu au kitu chochote kinachohusu Uchaguzi wa Serikali kilikuwa kinatumika kabla ya kuanza kutumika kwa Kanuni hizi, kitaendelea kutumika hadi pale kitakapofutwa na matangazo, machapisho, miongozo, chochote kitakachotolewa kwa mujibu wa Kanuni hizi isipokuwa kama machapisho, miongozo, taratibu au kitu hicho kinakinzana na Kanuni hizi. taratibu kitu au 29 Kanuni Za Uchaguzi Wa Mwenyekiti Wa Mtaa Na Wajumbe Wa Kamati Ya Mtaa Katika Mamlaka Za Miji Tangazo la Serikali Na.574 (Linaendelea.) ______ JEDWALI LA KWANZA _______ (Limetengenezwa chini ya kanuni ya 11(1)) _______ JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA FOMU Na. I ORODHA YA WAPIGA KURA KWA AJILI YA UCHAGUZI WA MAMLAKA ZA SERIKALI ZA MITAA YA MWAKA 2024 HALMASHAURI: …………………………… MAMLAKA YA MJI MDOGO: ……………………… KATA: …………………………………… KIJIJI/MTAA: ……………………………………. KITONGOJI: …………………………… Na. Jina la Mpiga Kura (Majina matatu) Umri Jinsi (Me/ Ke) Tarehe ya kuandiki shwa Saini/Do le gumba la aliyeandi kishwa Saini ya Mwandik ishaji
Part
JEDWALI LA KWANZA
- 10 Verify source ↗
Section 10
AI-assisted research summary: This is a 2024 application form for a candidate seeking to contest the Mtaa chairperson election.
10. 30 Kanuni Za Uchaguzi Wa Mwenyekiti Wa Mtaa Na Wajumbe Wa Kamati Ya Mtaa Katika Mamlaka Za Miji Tangazo la Serikali Na.574 (Linaendelea.) ___________ JEDWALI LA PILI __________ (Limetengenezwa chini ya kanuni ya 17(5)) __________ FOMU YA MAOMBI YA UTEUZI KUGOMBEA UENYEKITI WA MTAA YA MWAKA 2024 FOMU Na. II NEMBO YA HALMASHAURI HALMASHAURI ……………………………………. KATA…………………………………………………. MTAA………………………………………………… SEHEMU A: MAELEZO YA MGOMBEA (Ijazwe na anayeomba kugombea)
Part
SEHEMU A: MAELEZO YA MGOMBEA
- 7 Verify source ↗
Mahali unapoishi
AI-assisted research summary: Sehemu hii inaomba taarifa ya mahali unapoishi, hasa mtaa na kata.
7. Mahali unapoishi (a) Mtaa……………………… (b) Kata…………………………… - 8 Verify source ↗
Namba ya Simu (kama ipo) …………………………
AI-assisted research summary: Kichwa hiki kinahusu namba ya simu, ikiwa ipo.
8. Namba ya Simu (kama ipo) ………………………….. - 10 Verify source ↗
Uwezo wako wa Kusoma na Kuandika kiswahili au kiingereza
AI-assisted research summary: The provision asks about a person’s ability to read and write Kiswahili or English.
10.Uwezo wako wa Kusoma na Kuandika kiswahili au kiingereza (a) Kusoma Kiswahili Ndiyo Hapana (b) Kuandika Kiswahili Ndiyo (c) Kusoma Kiingereza Ndiyo (d) Kuandika Kiingereza Ndiyo Hapana Hapana Hapana - 11 Verify source ↗
Je una ulemavu wa aina yoyote? Ndiyo
AI-assisted research summary: The text asks whether a person has any disability and, if yes, the type of disability.
11. Je una ulemavu wa aina yoyote? Ndiyo Aina ya ulemavu…………………………….. Hapana - 12 Verify source ↗
Jina la Chama cha Siasa kinachomdhamini………………………………
AI-assisted research summary: This section is a heading about the name of the sponsoring political party, whether written in full or abbreviated form.
12. Jina la Chama cha Siasa kinachomdhamini……………………………….. (kwa kirefu au kifupi) - 13 Verify source ↗
Nafasi anayoomba kugombea……………………………………………
AI-assisted research summary: A candidate states that they will respect and follow the local government election ethics procedures during the election and that their statement is true to the best of their knowledge.
13. Nafasi anayoomba kugombea……………………………………………... Nathibitisha kwamba taarifa zote zilizoandikwa hapo juu ni sahihi kama nijuavyo. Saini ya Mgombea ………………………Tarehe ……………..……………… 31 Kanuni Za Uchaguzi Wa Mwenyekiti Wa Mtaa Na Wajumbe Wa Kamati Ya Mtaa Katika Mamlaka Za Miji Tangazo la Serikali Na.574 (Linaendelea.) SEHEMU B: TAMKO LA MGOMBEA LA KUHESHIMU NA KUTEKELEZA TARATIBU ZA MAADILI YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA MWAKA 2024 Mimi…..........................................................ambaye ninatarajia kuwa mgombea wa nafasi ya Chama ………………...................................................niliyependekezwa cha…................................................................................. kilichosajiliwa kwa mujibu wa Sheria ya Vyama vya Siasa, Sura ya 258 ninatamka kuwa nitaheshimu na kutekeleza Taratibu za Maadili ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa Mwaka 2024 wakati wote wa uchaguzi. na Ninatoa tamko hili nikiamini kuwa yote niliyoeleza hapo juu ni kweli kwa kadri ya ufahamu wangu. Saini ya Mgombea ………………………Tarehe ……………..……………… SEHEMU C: UDHAMINI WA CHAMA CHA SIASA (Ijazwe na Chama cha Siasa) Hii ni kuthibitisha kuwa ……………………….……..(Taja jina la Mgombea) ni Mwanachama na amedhaminiwa na ………………………………………..(Taja jina la Chama kwa kirefu au kifupi) - 7 Verify source ↗
Mahali unapoishi
AI-assisted research summary: This section asks for the place you live, including street and ward.
7. Mahali unapoishi (a) Mtaa……………………… (b)Kata…………………………… - 10 Verify source ↗
Uwezo wako wa Kusoma na Kuandika kiswahili au kiingereza
AI-assisted research summary: This section lists whether a person can read and write Kiswahili or English.
10.Uwezo wako wa Kusoma na Kuandika kiswahili au kiingereza (e) Kusoma Kiswahili Ndiyo Hapana (f) Kuandika Kiswahili Ndiyo (g) Kusoma Kiingereza Ndiyo (h) Kuandika Kiingereza ndiyo Hapana Hapana Hapana - 11 Verify source ↗
Je una ulemavu wa aina yoyote? Ndiyo
AI-assisted research summary: This item asks whether a person has any disability and, if so, to state the type of disability.
11. Je una ulemavu wa aina yoyote? Ndiyo Hapana Aina ya ulemavu……………………………….. - 12 Verify source ↗
Jina la Chama cha Siasa kinachokudhamini………………………………
AI-assisted research summary: This section is a heading about the name of the political party sponsoring someone, in full or abbreviated form.
12. Jina la Chama cha Siasa kinachokudhamini……………………………….. (kwa kirefu au kifupi) - 13 Verify source ↗
Nafasi unayoomba kugombea……………………………………………
AI-assisted research summary: A candidate declares that they will respect and carry out the local government election ethics procedures during the whole election period.
13. Nafasi unayoomba kugombea……………………………………………... Nathibitisha kwamba taarifa zote zilizoandikwa hapo juu ni sahihi kama nijuavyo. Saini ya Mgombea ………………………Tarehe ……………..……………… SEHEMU B: TAMKO LA MGOMBEA LA KUHESHIMU NA KUTEKELEZA TARATIBU ZA MAADILI YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA MWAKA 2024 Mimi…..........................................................ambaye ninatarajia kuwa mgombea wa nafasi ya ………………...................................................niliyependekezwa Chama cha…................................................................................. kilichosajiliwa kwa mujibu wa Sheria ya Vyama vya Siasa, Sura ya 258 ninatamka kuwa nitaheshimu na kutekeleza Taratibu za Maadili ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa Mwaka 2024 wakati wote wa uchaguzi. na 33 Kanuni Za Uchaguzi Wa Mwenyekiti Wa Mtaa Na Wajumbe Wa Kamati Ya Mtaa Katika Mamlaka Za Miji Tangazo la Serikali Na.574 (Linaendelea.) Ninatoa tamko hili nikiamini kuwa yote niliyoeleza hapo juu ni kweli kwa kadri ya ufahamu wangu. Saini ya Mgombea ………………………Tarehe ……………..……………… SEHEMU C: UDHAMINI WA CHAMA CHA SIASA (Ijazwe na Chama cha Siasa) Hii ni kuthibitisha kuwa ……………………….……..(Taja jina la Mgombea) ni Mwanachama na amedhaminiwa na ………………………………………..(Taja jina la Chama kwa kirefu au kifupi)
Part
SEHEMU C: UDHAMINI WA CHAMA CHA SIASA
- 6 Verify source ↗
Muhuri wa Chama cha Siasa:……………
AI-assisted research summary: This section is titled “Muhuri wa Chama cha Siasa” and relates to returning the form, to be filled by the Assistant Election Supervisor.
6. Muhuri wa Chama cha Siasa:…………… SEHEMU D: KURUDISHA FOMU (Ijazwe na Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi)
Part
SEHEMU D: KURUDISHA FOMU
- 1 Verify source ↗
Tarehe ya kupokea fomu……………………………………………
AI-assisted research summary: Sehemu hii inataja tarehe ya kupokea fomu.
1. Tarehe ya kupokea fomu……………………………………………. - 3 Verify source ↗
Saini ya Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi…………………………
AI-assisted research summary: Section title only: “Saini ya Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi.”
3. Saini ya Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi………………………… - 4 Verify source ↗
Section 4
AI-assisted research summary: This section gives the name or title of the Assistant Election Supervisor.
4. Jina la Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi………………………….. - 5 Verify source ↗
Muhuri wa Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi ……………………
AI-assisted research summary: This section is for appointment details to be filled in by the Assistant Election Supervisor on the day of appointment.
5. Muhuri wa Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi ……………………. SEHEMU E: UTEUZI (Ijazwe na Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi siku ya uteuzi)
Part
SEHEMU E: UTEUZI
- 1 Verify source ↗
Mgombea ameteuliwa/hakuteuliwa…………………………………………….kugombea
AI-assisted research summary: Inaonyesha kama mgombea ameteuliwa au hakuteuliwa kugombea nafasi fulani.
1. Mgombea ameteuliwa/hakuteuliwa…………………………………………….kugombea nafasi ya ………………………………………… - 3 Verify source ↗
Section 3
AI-assisted research summary: This section is a heading for the name of the Assistant Election Supervisor.
3. Jina la Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi………………………… - 4 Verify source ↗
Saini ya Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi ………………………
AI-assisted research summary: Kifungu hiki kina kichwa kinachohusu saini ya Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi.
4. Saini ya Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi ………………………. - 6 Verify source ↗
Muhuri wa Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi ……………………
AI-assisted research summary: This section shows the title of an election nomination form for candidates for a street committee seat in 2024.
6. Muhuri wa Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi …………………… 32 Kanuni Za Uchaguzi Wa Mwenyekiti Wa Mtaa Na Wajumbe Wa Kamati Ya Mtaa Katika Mamlaka Za Miji Tangazo la Serikali Na.574 (Linaendelea.) FOMU Na. III FOMU YA UCHAGUZI FOMU YA MAOMBI YA UTEUZI KUGOMBEA UJUMBE WA KAMATI YA MTAA KUNDI MCHANGANYIKO NA KUNDI LA WANAWAKE MWAKA 2024 NEMBO YA HALMASHAURI HALMASHAURI ……………………………………. KATA…………………………………………………. MTAA………………………………………………… SEHEMU A: MAELEZO YA MGOMBEA (Ijazwe na anayeomba kugombea) - 1 Verify source ↗
Mgombea ameteuliwa/hakuteuliwa………………………………….kugombea nafasi ya
AI-assisted research summary: Nakala hii inaonyesha suala la mgombea kuteuliwa au kutokuteuliwa kugombea nafasi, lakini maneno yake ni mafupi na yamekatika.
1. Mgombea ameteuliwa/hakuteuliwa………………………………….kugombea nafasi ya - 3 Verify source ↗
Section 3
AI-assisted research summary: This section is a heading naming the Assistant Election Supervisor.
3. Jina la Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi………………………….. - 4 Verify source ↗
Saini ya Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi ………………………
AI-assisted research summary: Hii ni kichwa cha kifungu kuhusu saini ya Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi.
4. Saini ya Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi ……………………….. - 6 Verify source ↗
Muhuri wa Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi ……………………
AI-assisted research summary: This section contains official election forms, including a candidate withdrawal form and a ballot paper for the 2024 ward chairman election.
6. Muhuri wa Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi ……………………. 34 Kanuni Za Uchaguzi Wa Mwenyekiti Wa Mtaa Na Wajumbe Wa Kamati Ya Mtaa Katika Mamlaka Za Miji Tangazo la Serikali Na.574 (Linaendelea.) ____________ JEDWALI LA TATU _____________ (Limetengenezwa chini ya kanuni ya 20(1)) FOMU YA KUJITOA MGOMBEA YA MWAKA 2024 NEMBO YA HALMASHAURI JINA LA MGOMBEA JINA LA CHAMA JINSI (ME/KE) JINA LA MTAA………………………………………………………………….…. NAFASI UNAYOJITOA……………………………………………………………… SABABU ZA KUJITOA…………………………………………………………….. ……………………………………………………………………………………….. ……………………………………………………………………………………….. SAINI YA MGOMBEA ANAYEJITOA………………………………… ALAMA YA DOLE GUMBA TAREHE……………………………. KWA MATUMIZI YA OFISI TU JINA LA MSIMAMIZI MSAIDIZI WA UCHAGUZI…………………………………….. TAREHE YA KUPOKEA……………………………………………. SAINI…………………………………………………………………… 35 Kanuni Za Uchaguzi Wa Mwenyekiti Wa Mtaa Na Wajumbe Wa Kamati Ya Mtaa Katika Mamlaka Za Miji Tangazo la Serikali Na.574 (Linaendelea.) _____________ JEDWALI LA NNE _____________ (Limetengenezwa chini ya kanuni ya 33) ______________ KARATASI YA KUPIGIA KURA KWA NAFASI YA MWENYEKITI WA MTAA YA MWAKA 2024 FOMU Na. V “A” NEMBO YA HALMASHAURI Na. JINA LA MGOMBEA JINA LA CHAMA CHA MGOMBEA NEMBO YA CHAMA CHA SIASA WEKA ALAMA YA VEMA KWA MGOMBEA UNAYEMTAKA (√)
Part
JEDWALI LA NNE
- 10 Verify source ↗
Section 10
AI-assisted research summary: Hii ni fomu za kupigia kura kwa uchaguzi wa Mwenyekiti wa Mtaa na Mjumbe wa Kamati ya Mtaa mwaka 2024.
10. 36 Kanuni Za Uchaguzi Wa Mwenyekiti Wa Mtaa Na Wajumbe Wa Kamati Ya Mtaa Katika Mamlaka Za Miji Tangazo la Serikali Na.574 (Linaendelea.) KARATASI YA KUPIGIA KURA KWA NAFASI YA MWENYEKITI WA MTAA KWA MGOMBEA PEKEE YA MWAKA 2024 FOMU Na. V “B” NEMBO YA HALMASHAURI Na. JINA LA MGOMBEA JINA LA CHAMA CHA MGOMBEA NEMBO YA CHAMA CHA SIASA WEKA ALAMA YA VEMA KATIKA KISANDUKU CHA NDIYO AU HAPANA (√) NDIYO HAPANA 37 Kanuni Za Uchaguzi Wa Mwenyekiti Wa Mtaa Na Wajumbe Wa Kamati Ya Mtaa Katika Mamlaka Za Miji Tangazo la Serikali Na.574 (Linaendelea.) FOMU Na. VI “A” KARATASI YA KUPIGIA KURA NAFASI YA MJUMBE WA KAMATI YA MTAA KUNDI MCHANGANYIKO YA MWAKA 2024 Na. JINA LA MGOMBEA NEMBO YA HALMASHAURI JINA LA CHAMA CHA MGOMBE A NEMBO YA CHAMA CHA SIASA WEKA ALAMA YA VEMA KWA MGOMBE A UNAYEMT AKA (√) - 10 Verify source ↗
Section 10
AI-assisted research summary: This section shows sample ballot forms for voting for street committee members in urban authorities.
10. 38 Kanuni Za Uchaguzi Wa Mwenyekiti Wa Mtaa Na Wajumbe Wa Kamati Ya Mtaa Katika Mamlaka Za Miji Tangazo la Serikali Na.574 (Linaendelea.) FOMU Na. VI “B” KARATASI YA KUPIGIA KURA NAFASI YA MJUMBE WA KAMATI YA MTAA KUNDI MCHANGANYIKO KWA MGOMBEA PEKEE YA MWAKA 2024 NEMBO YA HALMASHAURI Na. JINA LA MGOMBEA JINA LA CHAMA CHA MGOMBEA NEMBO YA CHAMA CHA SIASA WEKA ALAMA YA VEMA KATIKA KISANDUKU CHA NDIYO AU HAPANA (√) NDIYO HAPANA 39 Kanuni Za Uchaguzi Wa Mwenyekiti Wa Mtaa Na Wajumbe Wa Kamati Ya Mtaa Katika Mamlaka Za Miji Tangazo la Serikali Na.574 (Linaendelea.) FOMU Na. VII “A” KARATASI YA KUPIGIA KURA WAGOMBEA UJUMBE WA KAMATI YA MTAA KUNDI LA WANAWAKE YA MWAKA 2024 NEMBO YA HALMASHAURI Na. JINA LA MGOMBEA JINA LA CHAMA CHA MGOMBEA NEMBO YA CHAMA CHA SIASA WEKA ALAMA YA VEMA KWA MGOMBEA UNAYEMTA KA (√) - 10 Verify source ↗
Section 10
AI-assisted research summary: This section shows election form templates for voting and recording results.
10. 40 Kanuni Za Uchaguzi Wa Mwenyekiti Wa Mtaa Na Wajumbe Wa Kamati Ya Mtaa Katika Mamlaka Za Miji Tangazo la Serikali Na.574 (Linaendelea.) FOMU Na. VII “B” KARATASI YA KUPIGIA KURA WAGOMBEA UJUMBE WA KAMATI YA MTAA KUNDI LA WANAWAKE KWA MGOMBEA PEKEE YA MWAKA 2024 NEMBO YA HALMASHAURI Na. JINA LA MGOMBEA JINA LA CHAMA CHA MGOMBEA NEMBO YA CHAMA CHA SIASA WEKA ALAMA YA VEMA KATIKA KISANDUKU CHA NDIYO AU HAPANA (√) NDIYO HAPANA 41 Kanuni Za Uchaguzi Wa Mwenyekiti Wa Mtaa Na Wajumbe Wa Kamati Ya Mtaa Katika Mamlaka Za Miji Tangazo la Serikali Na.574 (Linaendelea.) _________ JEDWALI LA TANO _________ (Limetengenzwa chini ya kanuni za 39 na 40) ________ FOMU YA MATOKEO YA UCHAGUZI WA MWENYEKITI WA MTAA FOMU Na. VIII “A” NEMBO YA HALMASHAURI Na. JINA LA MGOMBEA CHAMA CHA SIASA KURA ALIZOPATA JINSI(KE/ME) SAINI YA MGOMBEA AU MWAKILISHI WAKE
Part
JEDWALI LA TANO
- 9 Verify source ↗
Section 9
AI-assisted research summary: This section contains election result forms for recording polling-station vote totals and candidate details.
9. 10 Idadi ya waliojiandikisha kupiga kura Idadi ya waliopiga kura Idadi ya kura halali Idadi ya kura zilizoharibika Jina la Msimamizi wa Kituo Saini…………………………………………………………tarehe……………… Muhuri wa Msimamizi wa Kituo 42 Kanuni Za Uchaguzi Wa Mwenyekiti Wa Mtaa Na Wajumbe Wa Kamati Ya Mtaa Katika Mamlaka Za Miji Tangazo la Serikali Na.574 (Linaendelea.) FOMU Na. VIII “B” FOMU YA MATOKEO YA UCHAGUZI WA MWENYEKITI WA MTAA KWA MGOMBEA PEKEE YA MWAKA 2024 NEMBO YA HALMASHAURI Na . JINA LA MGOMBEA CHAMA CHA SIASA KURA ALIZOPATA JINSI (KE/ME) SAINI YA MGOMBE A AU MWAKILI SHI WAKE NDIYO HAPANA Idadi ya waliojiandikisha kupiga kura Idadi ya waliopiga kura Idadi ya kura halali Hapana) (Ndiyo na Idadi ya kura zilizoharibika Jina la Msimamizi wa Kituo Saini…………………………………………………………tarehe……………… Muhuri wa Msimamizi wa Kituo FOMU YA MATOKEO YA UCHAGUZI WA WAJUMBE WA KAMATI YA MTAA KUNDI MCHANGANYIKO/KUNDI LA WANAWAKE YA MWAKA 2024 FOMU Na. IX “A” NEMBO YA HALMASHAURI Na. JINA LA MGOMBEA CHAMA CHA SIASA KURA ALIZOPATA JINSI (KE/ME) SAINI YA MGOMBEA AU MWAKILISHI WAKE - 4 Verify source ↗
Section 4
AI-assisted research summary: This text provides election result form headings for a neighborhood committee election and a polling station result form.
4. 43 Kanuni Za Uchaguzi Wa Mwenyekiti Wa Mtaa Na Wajumbe Wa Kamati Ya Mtaa Katika Mamlaka Za Miji Tangazo la Serikali Na.574 (Linaendelea.) Idadi ya waliojiandikisha kupiga kura Idadi ya waliopiga kura Idadi ya kura halali Idadi ya kura zilizoharibika/kukataliwa JUMLA Jina la Kituo Jina la Msimamizi wa Kituo Saini…………………………….……tarehe………………… Muhuri wa Msimamizi wa Kituo…………………………….. 44 Kanuni Za Uchaguzi Wa Mwenyekiti Wa Mtaa Na Wajumbe Wa Kamati Ya Mtaa Katika Mamlaka Za Miji Tangazo la Serikali Na.574 (Linaendelea.) FOMU Na. IX “B” FOMU YA MATOKEO YA UCHAGUZI WA WAJUMBE WA KAMATI YA MTAA KUNDI MCHANGANYIKO/KUNDI LA WANAWAKE KWA WAGOMBEA PEKEE YA MWAKA 2024 NEMBO YA HALMASHAURI Na. JINA LA MGOMBEA CHAMA CHA SIASA KURA ALIZOPATA JINSI (KE/ME) SAINI YA MGOMBEA AU MWAKILISHI WAKE - 1 Verify source ↗
Section 1
AI-assisted research summary: This section provides oath/affirmation wording for a local government office and requires the officeholder to serve faithfully, treat everyone fairly, keep official secrets, and protect the Constitution, laws, and public-leader ethics.
1. NDIYO HAPANA Idadi ya waliojiandikisha kupiga kura Idadi ya waliopiga kura Idadi ya kura halali (Ndiyo na Hapana) Idadi ya kura zilizoharibika/kukataliwa JUMLA Jina la Kituo Jina la Msimamizi wa Kituo Saini…………………………….……tarehe………………… Muhuri wa Msimamizi wa Kituo…………………………….. 45 Kanuni Za Uchaguzi Wa Mwenyekiti Wa Mtaa Na Wajumbe Wa Kamati Ya Mtaa Katika Mamlaka Za Miji Tangazo la Serikali Na.574 (Linaendelea.) ___________ JEDWALI LA SITA __________ (Limetengenezwa chini ya kanuni ya 47(4)) __________ VIAPO (a) Kiapo cha Uaminifu na kutunza siri “Mimi ……………………………………..…………………. naapa/natamka kwa dhati kwamba nitaitumikia vyema na kwa moyo thabiti Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika kazi yangu kama ………………………………..katika Halmashauri ya …………………… na katika kutimiza wajibu wa nafasi hiyo nitawatendea haki watu wote kwa mujibu wa Katiba, Sheria na Kanuni za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na kwa vyovyote vile sitatoa siri zinazohusu majukumu yangu isipokuwa kwa mujibu wa sheria. Ewe Mwenyezi Mungu, nisaidie.” Kiapo/Tamko hili limetolewa hapa: ……………………………………… na………………………………………………………………………….. Leo tarehe…………………… Mwezi wa…………………..20………....... Mbele ya: Jina:……………………………………………… Saini:…………………………………………….. Wadhifa:………………………………………… Anuani…………………………………………… Jamhuri (b) Kiapo cha Utii na Uadilifu Mimi ………………………………………………………. naapa/natamka kwa dhati kwamba kwa wadhifa wangu wa nitaitumikia …………………………………………. kwa uaminifu, kwa uwezo na moyo wangu wote na kwamba nitahifadhi, nitalinda na kutetea Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Sheria za Tanzania na Maadili ya Viongozi wa Umma kama yalivyowekwa kwa mujibu wa Sheria. Ewe Mwenyezi Mungu nisaidie” ya Muungano wa Tanzania Kiapo/Tamko hili limetolewa hapa: ………………………………………………………….. Leo tarehe…………………… Mwezi wa…………………..20………. Mbele ya:……………………………………….. Jina:……………………………………………… Cheo:……………………………………………. Saini:…………………………………………… Anuani…………………………………………. 46 Kanuni Za Uchaguzi Wa Mwenyekiti Wa Mtaa Na Wajumbe Wa Kamati Ya Mtaa Katika Mamlaka Za Miji Tangazo la Serikali Na.574 (Linaendelea.) __________ JEDWALI LA SABA __________ (Limetengenezwa chini ya kanuni ya 51) __________ TARATIBU ZA MAADILI
Part
JEDWALI LA SABA
- 1
AI-assisted research summary: This provision gives the title of the 2024 local government election ethics rules.
1.0 Jina, Matumizi, Wahusika wa Maadili ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa Mwaka 2024 - 1
AI-assisted research summary: This section says these procedures are called the 2024 Local Government Election Ethics Procedures.
1.1 Jina na Tarehe ya kuanza kutumika Taratibu hizi zitajulikana kama Taratibu za Maadili ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa za Mwaka 2024. - 1
AI-assisted research summary: This section lists the people and bodies covered by the ethics procedures.
1.2 Wahusika wa Taratibu za Maadili Wahusika wa taratibu za Maadili hizi watakuwa wafuatao: (a) Vyama vya Siasa; (b) Wagombea; (c) Serikali; na (d) Wasimamizi wa Uchaguzi na Wasimamizi Wasaidizi wa Uchaguzi. - 2
AI-assisted research summary: Political parties and candidates must conduct election campaigning responsibly and in line with election rules, ethics, guidelines, and other laws.
2.1 Wajibu wa Vyama vya Siasa na Wagombea Kila Chama cha Siasa na Wagombea watatakiwa kuzingatia yafuatayo: (a) kuheshimu na kutekeleza Kanuni za Uchaguzi, Taratibu za Maadili ya Uchaguzi na Miongozo ya Uchaguzi itakayotolewa kwa mujibu wa Kanuni pamoja na kuzingatia matakwa ya Sheria nyingine za nchi katika kipindi chote cha uchaguzi; (b) kuelimisha, kuhamasisha na kuwasisitiza wanachama na wafuasi wao kuheshimu Kanuni za Uchaguzi, Taratibu za Maadili ya Uchaguzi na Miongozo ya Uchaguzi itakayotolewa kwa mujibu wa Kanuni pamoja na Sheria nyingine za nchi katika kipindi chote cha Uchaguzi; (c) kuzingatia ratiba ya mikutano ya kampeni; (d) kwa kushirikiana na wanachama na wafuasi wa vyama vingine vya siasa kuhakikisha kuwa wanachukua hatua za makusudi ili- (i) kufanya Uchaguzi uwe huru na wa haki; (ii) kuzuia vitendo vya vurugu na vitisho; (iii) kukataa aina yoyote ya ubaguzi katika misingi ya jinsia, maumbile, ulemavu, ukabila, dini au rangi; na (iv) kueneza taarifa sahihi kuhusu mchakato wa Uchaguzi; (e) kuchapisha vijitabu, vipeperushi, vitini, mabango na machapisho ya aina yoyote yanayoelezea sera zao baada ya kuidhinishwa na Msimamizi wa Uchaguzi; (f) kutumia vyombo vya habari kutangaza sera zao kwa kuzingatia sheria zinazosimamia vyombo vya habari na Miongozo ya Uchaguzi; (g) kujenga mazingira ambayo yatawezesha Uchaguzi kufanyika kwa uhuru na haki, ikiwa ni pamoja na kuwezesha makundi maalum kushiriki kikamilifu katika Uchaguzi; (h) kuhakikisha hifadhi na usafi wa mazingira katika kusambaza matangazo ya kampeni; (i) kuondoa mabango, matangazo na machapisho ya aina yoyote ile yaliyotumika wakati wa kampeni katika sehemu za wazi baada ya Uchaguzi; (j) kutoa taarifa mara moja kwa mamlaka husika wanapofahamu au wanapoona tukio linaloweza kusababisha vurugu au uvunjifu wa amani; 47 Kanuni Za Uchaguzi Wa Mwenyekiti Wa Mtaa Na Wajumbe Wa Kamati Ya Mtaa Katika Mamlaka Za Miji Tangazo la Serikali Na.574 (Linaendelea.) (k) kuhakikisha kuwa wanafanya kampeni kwa kuzingatia misingi inayolenga kutangaza sera za Vyama vyao pasipo kujenga chuki, kusababisha mifarakano na migawanyiko katika jamii; (l) kuchukua hatua za lazima kuhakikisha kuwa hakuna migongano ya mikutano ya kampeni na Vyama vingine; (m) kukataza wanachama au wafuasi kutamka kauli mbiu, kuonesha ishara za Vyama vyao, au kuvaa sare zenye rangi ya Chama chao katika mikutano ya hadhara ya Vyama vingine; (n) kuwaelekeza Mawakala wao watakaokuwepo katika Vituo vya kupigia, kuhesabia na kujumlishia kura kutekeleza majukumu yao kwa mujibu wa Kanuni za Uchaguzi, Taratibu za Maadili ya Uchaguzi na Miongozo ya Uchaguzi. - 2
AI-assisted research summary: Vyama vya siasa na wagombea hawaruhusiwi kufanya vitendo kadhaa vya kampeni vinavyohusisha fujo, lugha ya matusi, kudhalilisha wengine, kutumia vipaza sauti baada ya kampeni kuisha, kuharibu matangazo, kubandika bila idhini, kutoa rushwa, au kuzuia watu kuhudhuria mikutano au kupiga kura.
2.2 Mambo yasiyotakiwa kufanywa na Vyama vya Siasa na Wagombea Kila Chama cha Siasa au Mgombea hatatakiwa kufanya yafuatayo: (a) kusababisha au kufanya fujo au vurugu ya aina yoyote katika Mkutano wake au wa Chama kingine; (b) kutumia lugha ya matusi, kashfa, kejeli, udhalilishaji na vitisho au lugha inayochochea uvunjifu wa amani au kuashiria ubaguzi wa kijinsia, dini, rangi, ulemavu au maumbile kwenye mikutano ya kampeni; (c) kubeba sanamu, kinyago au kitu chochote ambacho kinaonyesha kudhalilisha, kukebehi, kufedhehesha au kukejeli Chama kingine cha Siasa au Mgombea au Kiongozi wa Chama kingine cha Siasa au Serikali katika mkutano wowote wa kampeni za Uchaguzi; (d) kutumia vipaza sauti vya aina yoyote kwa shughuli za kisiasa mara baada ya muda wa kampeni za uchaguzi kumalizika; (e) kuchafua, kubandua au kuharibu kwa namna yoyote ile matangazo ya kampeni ya Vyama vingine vya Siasa na matangazo mengine yanayotolewa na Mamlaka za Uchaguzi; (f) kubandika mabango ya kampeni, matangazo au mchoro wowote kwenye nyumba, majengo au vyombo vya usafiri vya watu binafsi au taasisi mbalimbali bila idhini ya wamiliki husika; (g) kubandika mabango ya kampeni, matangazo au mchoro wowote kwenye nyumba za ibada, taasisi za dini na majengo ya Serikali na taasisi zake; (h) kutoa rushwa ili kumshawishi mtu yeyote kupiga kura, kugombea au kujitoa katika kugombea nafasi ya uongozi; (i) kuzuia mtu yeyote, watu au wafuasi wa vyama vingine kuhudhuria mikutano ya kampeni au kupiga kura. - 2
AI-assisted research summary: This section concerns ethics during voting, counting, tallying, and announcing election results.
2.3 ya Uchaguzi Maadili wakati wa kupiga, kuhesabu, kujumlisha kura na kutangaza matokeo - 2 Verify source ↗
3.1
AI-assisted research summary: Political parties, candidates, and party leaders must follow polling-day rules: agents must swear an oath and submit it before election day, relevant actors must cooperate with election officials at polling stations, and leaders must tell supporters to leave the polling area after voting or stay 200 meters away if they remain.
2.3.1. Yanayotakiwa kufanywa: (a) Vyama vya Siasa na Wagombea watahakikisha kuwa Mawakala wao wanakula kiapo na kukiwasilisha kwa Msimamizi wa Uchaguzi au Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi kabla ya siku ya Uchaguzi; (b) Mawakala wa Vyama vya Siasa, Vyama vya Siasa na Wagombea watakuwa na wajibu wa kushirikiana na Wasimamizi wa Uchaguzi, Wasimamizi Wasaidizi wa Uchaguzi na Wasimamizi wa Vituo katika vituo vya kupigia kura kwa kuzingatia Kanuni za Uchaguzi na Miongozo ya Uchaguzi; 48 Kanuni Za Uchaguzi Wa Mwenyekiti Wa Mtaa Na Wajumbe Wa Kamati Ya Mtaa Katika Mamlaka Za Miji Tangazo la Serikali Na.574 (Linaendelea.) (c) Viongozi wa Vyama vya Siasa watakuwa na wajibu wa kuwaelimisha wanachama na wafuasi wao kuwa, watatakiwa kuondoka eneo la kupigia Kura mara tu wamalizapo kupiga kura na kama itawalazimu kubakia katika eneo hilo watatakiwa kukaa umbali wa mita mia mbili kutoka kituo cha kupigia kura. - 2 Verify source ↗
3.2 Mambo yasiyotakiwa kufanywa
AI-assisted research summary: This provision bans campaigning on voting day and sets conduct rules for parties, candidates, supporters, and election officials at polling and counting locations.
2.3.2 Mambo yasiyotakiwa kufanywa (a) Kampeni za uchaguzi hazitaruhusiwa siku ya upigaji kura. Hii ni pamoja na kuvaa vazi lolote au kuwa na kitu chochote kinachoashiria kushawishi watu kumpigia kura Mgombea fulani au utambuzi wa Mgombea fulani au matumizi ya chombo cha usafiri kinachoashiria utambuzi wa Chama au Mgombea wa Chama chochote; (b) Viongozi wa Vyama vya Siasa, Wagombea na wafuasi wao watatakiwa kujiepusha na vitendo vinavyoweza kusababisha fujo au vurugu katika vituo vya kupigia, kuhesabia na kujumlishia kura; (c) Hakuna mtu atakayeruhusiwa kutumia simu ya kiganjani ndani ya kituo cha kuhesabu na kujumlishia kura isipokuwa Msimamizi wa Uchaguzi na Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi na mlinzi wa kituo cha kupigia kura ambao watatumia simu zao pale itakapobidi kwa shughuli za Uchaguzi tu na simu hizo wakati wote ziwe zimeondolewa mlio na ziwe kwenye mtetemo; (d) Kiongozi wa Chama cha Siasa au mwanachama au mfuasi hatatakiwa: (i) kuvamia au kukaa kwa nguvu ndani ya kituo cha kupigia, kuhesabia na kujumlishia kura; (ii) kuwahamasisha wanachama au wafuasi kupiga kura zaidi ya mara moja katika Uchaguzi mmoja; (iii) kununua kura au kutoa rushwa au aina yoyote ya malipo ya fedha au vifaa kwa mpiga kura au Msimamizi wa Uchaguzi au Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi; (iv) kutumia lugha ya matusi kwa Msimamizi wa Uchaguzi, Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi au Msimamizi wa Kituo katika kituo cha kupigia, kuhesabia na kujumlishia kura. - 3
AI-assisted research summary: Serikali lazima iwahakikishie wadau wa Uchaguzi fursa sawa, usalama, amani na utulivu, na ihakikishe viongozi na watendaji wake wanaheshimu mipaka ya madaraka yao.
3.0 Serikali itakuwa na Wajibu wa: Wajibu wa Serikali: (a) kutoa fursa sawa kwa wadau wote wa Uchaguzi hususan Vyama vya Siasa na Wagombea ili kuendesha shughuli zao za kisiasa wakati wa Uchaguzi kwa uhuru na kuzingatia sheria za nchi; (b) kuhakikisha hali ya usalama, amani na utulivu wakati wote wa Uchaguzi; (c) kuhakikisha kuwa viongozi na watendaji wake wanazingatia ipasavyo ukomo wa madaraka yao katika shughuli za Uchaguzi. - 4
AI-assisted research summary: This section appears to concern ethical procedures for election supervisors and assistant supervisors.
4.0 Uchaguzi Taratibu za Maadili kwa Wasimamizi wa Uchaguzi na Wasimamizi Wasaidizi wa - 4
AI-assisted research summary: Election supervisors and assistant supervisors must run the election fairly and openly and perform the listed administrative tasks.
4.1 Mambo wanayotakiwa Kufanya Wasimamizi na Wasimamizi Wasaidizi wa Uchaguzi watakuwa na wajibu wa kupanga, kusimamia na kuendesha Uchaguzi katika misingi inayowezesha Uchaguzi kuwa huru na wa haki kwa kufanya yafuatayo: (a) kuzingatia Katiba ya Nchi, Kanuni za Uchaguzi na Sheria nyingine za nchi; (b) kuvipa Vyama vya Siasa ratiba na taarifa za Uchaguzi mapema; (c) kutoa Elimu ya Mpiga Kura, kusimamia na kuratibu taasisi na watu wanaotoa Elimu ya Mpiga Kura; 49 Kanuni Za Uchaguzi Wa Mwenyekiti Wa Mtaa Na Wajumbe Wa Kamati Ya Mtaa Katika Mamlaka Za Miji Tangazo la Serikali Na.574 (Linaendelea.) (d) kutoa mafunzo kwa wanaohusika na Uchaguzi ili kuwawezesha kuendesha uchaguzi kwa ufanisi; (e) kuvipa Vyama vya Siasa Kanuni, Miongozo ya Uchaguzi na Nyaraka nyingine zinazohusiana na Uchaguzi; (f) kukemea vitendo vyenye nia ya kuharibu Uchaguzi vinavyoweza kufanywa na Viongozi wa Vyama vya Siasa, Wagombea au wafuasi wao; (g) kuendesha na kuziwezesha Kamati za kusimamia Maadili ya Uchaguzi na kusimamia utekelezaji wa uamuzi yanayotolewa na Kamati hizo; (h) kukutana na Vyama vya Siasa pale inapobidi kujadili masuala mbalimbali yanayohusu Kampeni za Uchaguzi na Uchaguzi wenyewe; (i) kuhakikisha kuwa hakuna mtu yeyote atakayefanyiwa uonevu au kukoseshwa haki wakati wa shughuli za Uchaguzi; (j) kutambua majukumu ya Vyama vya Siasa, Wagombea na Mawakala wao; (k) kuandaa na kupeleka kwa wakati vifaa kwenye vituo vya kupigia kura; (l) kuendesha zoezi la Uchaguzi kwa uwazi, haki na uadilifu. - 4
AI-assisted research summary: Wasimamizi wa Uchaguzi na Wasimamizi Wasaidizi hawapaswi kuonyesha upendeleo, kubadili ratiba za kampeni bila kuwashirikisha vyama vya siasa, kuchelewesha au kupeleka vifaa pungufu kwenye vituo vya kupigia kura bila sababu za msingi, au kuchelewesha kutangaza matokeo ya uchaguzi bila sababu za msingi.
4.2 wa Uchaguzi Mambo yasiyotakiwa kufanywa na Wasimamizi wa Uchaguzi na Wasimamizi Wasaidizi (a) kupendelea Chama chochote cha Siasa au Mgombea yeyote; (b) kubadili ratiba za Kampeni za Uchaguzi bila kuvishirikisha Vyama vya Siasa; (c) kuchelewa au kupeleka vifaa pungufu katika vituo vya kupigia kura bila sababu za msingi; (d) kuchelewa kutangaza Matokeo ya Uchaguzi bila sababu za msingi. - 5 Verify source ↗
0 Usimamizi wa Utekelezaji waTaratibu za Maadili ya Uchaguzi
AI-assisted research summary: Kichwa hiki kinaonyesha sehemu inayohusu usimamizi wa utekelezaji wa taratibu za maadili ya uchaguzi.
5.0 Usimamizi wa Utekelezaji waTaratibu za Maadili ya Uchaguzi - 5
AI-assisted research summary: Kuna Kamati za Maadili mbili zinazoundwa na Msimamizi wa Uchaguzi: Kamati ya Maadili ya Halmashauri na Kamati ya Maadili ya Kata.
5.1 Kamati za Maadili za kusimamia Utekelezaji wa Taratibu za Maadili ya Uchaguzi Kutakuwa na Kamati za Maadili zifuatazo zitakazoundwa na Msimamizi wa Uchaguzi: (a) Kamati ya Maadili ya Halmashauri; na (b) Kamati ya Maadili ya Kata. - 5
AI-assisted research summary: Heading only: “5.2 Muundo wa Kamati za Taratibu za Maadili ya Uchaguzi.”
5.2 Muundo wa Kamati za Taratibu za Maadili ya Uchaguzi - 5 Verify source ↗
2.1
AI-assisted research summary: The Ward Ethics Committee must be made up of specific members, including the Ward Election Officer as chair and the Election Officer as secretary.
5.2.1 Kamati ya Maadili ya Halmashauri Kamati ya Maadili ya Halmashauri itakuwa na wajumbe wafuatao: (a) Msimamizi wa Uchaguzi katika Halmashauri ambaye atakuwa Mwenyekiti wa Kamati; (b) Mjumbe mmoja kutoka kila Chama cha Siasa kinachoshiriki Uchaguzi katika Halmashauri; (c) Wajumbe wawili watakaoiwakilisha Serikali ambao watateuliwa na Katibu Tawala wa Wilaya husika kwa maandishi na kwa kuzingatia jinsia; na (d) Afisa Uchaguzi ambaye atakuwa ni Katibu wa Kamati ya Maadili ya Uchaguzi. - 5 Verify source ↗
2.2
AI-assisted research summary: The Ward Ethics Committee must have specified members, including a ward assistant supervisor as chairperson, party representatives, two government representatives, and a secretary.
5.2.2 Kamati ya Maadili ya Kata itakuwa na wajumbe wafuatao: Kamati ya Maadili ya Kata (a) Msimamizi Msaidizi ngazi ya Kata husika ambaye atakuwa Mwenyekiti wa Kamati; 50 Kanuni Za Uchaguzi Wa Mwenyekiti Wa Mtaa Na Wajumbe Wa Kamati Ya Mtaa Katika Mamlaka Za Miji Tangazo la Serikali Na.574 (Linaendelea.) (b) Mjumbe mmoja kutoka kila Chama cha Siasa kinachoshiriki katika Uchaguzi kwenye Kata; (c) Wajumbe wawili watakaoiwakilisha Serikali ambao watateuliwa na Katibu Tawala wa Wilaya husika kwa maandishi na kwa kuzingatia jinsia; na (d) Katibu ambaye ni Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi ngazi ya kijiji atakayeteuliwa na Msimamizi wa Uchaguzi. - 5 Verify source ↗
2.3 Utoaji wa taarifa za Kamati za Maadili
AI-assisted research summary: Watu, wagombea, vyama vya siasa, na wajumbe wa Kamati ya Maadili wasiokuwa wenyeyekiti hawaruhusiwi kutoa taarifa kuhusu uamuzi wa Kamati au suala lililo mbele yake.
5.2.3 Utoaji wa taarifa za Kamati za Maadili Itakuwa ni marufuku kwa mtu, mgombea, Chama cha Siasa au mjumbe wa Kamati ya Maadili ambaye sio Mwenyekiti wa Kamati ya Maadili kutoa taarifa yoyote kuhusu uamuzi wa Kamati au suala lolote lililopo mbele ya Kamati. Uwasilishaji wa Malalamiko - 5
AI-assisted research summary: Watu walioorodheshwa hapa wanapaswa kuwasilisha malalamiko ya ukiukaji wa Maadili ya Uchaguzi kwa maandishi kwa Mwenyekiti wa Kamati ya Maadili ya Kata.
5.3 Mgombea yeyote, Wasimamizi au Wasimamizi Wasaidizi wa Uchaguzi, Serikali au Chama kilichosaini Maadili ya Uchaguzi na chenye Mgombea kinachoamini kwamba Maadili ya Uchaguzi yamekiukwa kitawasilisha malalamiko kwa Mwenyekiti wa Kamati ya Maadili ya Kata kwa maandishi. Muda wa kuwasilisha Malalamiko - 5
AI-assisted research summary: Any complaint must be filed within three days of the complained-of event.
5.4 Malalamiko yoyote yatatakiwa kuwasilishwa ndani ya siku tatu tangu kutokea kwa tukio linalolalamikiwa. Kuitisha kikao cha Kamati ya Maadili ya Uchaguzi - 5
AI-assisted research summary: Mwenyekiti wa Kamati husika lazima aitishe kikao ndani ya siku mbili baada ya kupokea malalamiko na kujiridhisha kuwa Taratibu za Maadili zimekiukwa.
5.5 Mwenyekiti wa Kamati husika baada ya kupokea malalamiko na kujiridhisha kuwa Taratibu za Maadili zimekiukwa atatakiwa kuitisha kikao ndani ya siku mbili. - 5
AI-assisted research summary: This provision sets out how complaints are handled by the ward ethics committee.
5.6 Namna ya kushughulikia Malalamiko (a) Malalamiko yote yatajadiliwa na kuamuliwa katika kikao cha Kamati ya Maadili ya Kata husika; (b) Kamati itashughulikia malalamiko na kutoa uamuzi wake mapema iwezekanavyo; (c) Baada ya kupokea malalamiko, Kamati itamtaka aliyelalamikiwa kuwasilisha utetezi wake kwa maandishi ndani ya siku mbili tangu kupokea malalamiko; (d) Katika kushughulikia malalamiko, Kamati inaweza kumwita mtu yeyote kutoa maelezo ili kusaidia Kamati kufikia uamuzi wa haki; (e) Akidi ya Kikao cha Kamati husika itakuwa zaidi ya nusu ya wajumbe wote wa Kamati; (f) Kamati ya Maadili ya Uchaguzi itaamua malalamiko yote baada ya kusikiliza au kupata maelezo ya utetezi kutoka kwa pande zote mbili ambazo ni mlalamikaji na mlalamikiwa ndani ya siku mbili isipokuwa kama upande unaolalamikiwa utashindwa kuwasilisha maelezo ya utetezi katika muda ulioainishwa Kamati inaweza kufanya uamuzi; (g) Uamuzi utakaofikiwa na Kamati ya Maadili ya Kata yatatekelezwa na pande zinazohusika na uamuzi huo; (h) Ikitokea kuna umuhimu wa kufanya uamuzi kwa kupiga kura, wawakilishi wa Mlalamikaji na Mlalamikiwa hawataruhusiwa kupiga kura; (i) Malalamiko yatakayoshughulikiwa na Kamati za Maadili ni yale tu yaliyotokea katika kipindi cha Kampeni; (j) Malalamiko yatakayotokea siku ya Upigaji Kura yatashughulikiwa kwa kuzingatia Kanuni za Uchaguzi; 51 Kanuni Za Uchaguzi Wa Mwenyekiti Wa Mtaa Na Wajumbe Wa Kamati Ya Mtaa Katika Mamlaka Za Miji Tangazo la Serikali Na.574 (Linaendelea.) (k) Kamati itakuwa na mamlaka ya kuchunguza malalamiko yote yatakayowasilishwa kabla ya kufanya uamuzi; (l) Kamati inaweza kuelekeza malalamiko mengine kwenye mamlaka zinazohusika kama itakavyoona inafaa kwa hatua zinazostahili. - 5
AI-assisted research summary: Upande usioridhika na uamuzi wa Kamati ya Maadili ya Kata unaweza kukata rufaa kwa Kamati ya Maadili ya Halmashauri ndani ya siku mbili.
5.7 Rufaa Dhidi ya Uamuzi (a) Upande ambao hautaridhika na uamuzi wa Kamati ya Maadili ya Kata, utakuwa na haki ya kukata rufaa kwa Kamati ya Maadili ya Halmashauri ndani ya siku mbili tangu uamuzi wa Kamati ya Maadili ya Kata ulipotolewa; na (b) Uamuzi utakaotolewa na Kamati ya Maadili ya Halmashauri utakuwa ni wa mwisho. - 5
AI-assisted research summary: When a complaint is against the election supervisor or assistant election supervisor, the election supervisor must not run that session; the Regional Administrative Secretary may appoint a senior public officer from the regional secretariat to chair it.
5.8 Malalamiko dhidi ya Msimamizi wa Uchaguzi au Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi (a) Pale ambapo malalamiko yaliyowasilishwa ni dhidi ya Msimamizi wa Uchaguzi, ambaye ni Mwenyekiti wa Kamati ya Maadili`ya Uchaguzi, Msimamizi au Msimamizi Msaidizi, Msimamizi wa Uchaguzi hataendesha Kikao hicho, isipokuwa Katibu Tawala wa Mkoa atateua Afisa yeyote wa Umma Mwandamizi kutoka Sekretarieti ya Mkoa kuwa Mwenyekiti wa kikao hicho; (b) Iwapo Kamati itaona kuwa Msimamizi amekosea Kamati itamtaka linalolalamikiwa Msimamizi wa Uchaguzi kurekebisha mapema iwezekanavyo. tatizo - 5
AI-assisted research summary: Kamati za Maadili ya Uchaguzi za Halmashauri na Kata zinaweza kuchukua hatua dhidi ya aliyevuka maadili, ikiwemo kuagiza marekebisho, kuomba msamaha hadharani, kutoa onyo la maandishi, kutangaza kosa, au kusimamisha kampeni.
5.9 kushughulikia Malalamiko na kutoa adhabu zinaweza kuchukua hatua zifuatazo:- Mamlaka ya Kamati za Maadili ya Uchaguzi ngazi ya Halmashauri na Kata katika (a) kuagiza upande uliokiuka maadili kusahihisha kosa au makosa yaliyotendeka na iwapo italazimu, kuomba msamaha hadharani; (b) kutoa onyo au karipio kwa maandishi; (c) kutangaza jina la Chama au Mgombea aliyekiuka Maadili na kueleza kosa au makosa yake kwa njia za Taarifa kwa Umma, redio, televisheni, magazeti na njia nyingine za mawasiliano; (d) Kamati inaweza kukisimamisha Chama au Mgombea kuendelea kufanya Kampeni za Uchaguzi kwa muda itakavyoona inafaa. - 5 Verify source ↗
10 Kushindwa Kutekeleza Uamuzi wa Kamati za Maadili
AI-assisted research summary: If a candidate or party fails to carry out the relevant committee’s decision, the Election Ethics Committee may suspend the party from campaigning.
5.10 Kushindwa Kutekeleza Uamuzi wa Kamati za Maadili Pale ambapo Mgombea au Chama kitashindwa kutekeleza uamuzi wa Kamati husika, Kamati ya Maadili ya Uchaguzi inaweza kukisimamisha Chama husika kufanya kampeni za Uchaguzi. Dodoma, 28 Juni, 2024 MOHAMED OMARY MCHENGERWA, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais- Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa 52
Provision text is displayed from LexChat’s stored statute record. Use the official source links to verify amendments, commencement, and current legal force.
Ask AI about this statute
Kanuni za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Mtaa na Wajumbe wa Kamati ya Mtaa katika Mamlaka za Miji za Mwaka 2024
Sign in to ask AI about this statute
Sign in to start authenticated, citation-grounded statute research.
Sign in