Kanuni za Nidhamu kwa Wanafunzi za Mwaka 2024
This section is titled “Interpretation” and introduces Part Two on disciplinary offences.
AI-assisted research synopsis — verify against the official legal text below.
- Jurisdiction
- Tanzania
- Instrument
- Regulation
- Citation
- Kanuni za Nidhamu kwa Wanafunzi za Mwaka 2024
- Version
- Undated source snapshot
- Language
- sw
- Official source
- View official record ↗
Statute overview
About this statute
This section is titled “Interpretation” and introduces Part Two on disciplinary offences. Sehemu hii inahusu makosa yanayohusiana na utaratibu wa mavazi. This section is about damage to or loss of the College’s property. Section heading on the right to terminate a tenancy agreement. Hiki ni kichwa cha kifungu kuhusu “Zuio la kuingia jikoni” ndani ya Kanuni za Nidhamu kwa Wanafunzi.
Search within this statute
Search all stored provisions in this version.
Legal text
Provisions of Kanuni za Nidhamu kwa Wanafunzi za Mwaka 2024
Showing 54 of 54
- 3 Verify source ↗
Section 3
AI-assisted research summary: This section is titled “Interpretation” and introduces Part Two on disciplinary offences.
3. Tafsiri. SEHEMU YA PILI MAKOSA YA KINIDHAMU
Part
SEHEMU YA PILI
- 5 Verify source ↗
Makosa yanayohusiana na utaratibu wa mavazi
AI-assisted research summary: Sehemu hii inahusu makosa yanayohusiana na utaratibu wa mavazi.
5. Makosa yanayohusiana na utaratibu wa mavazi. - 8 Verify source ↗
Uharibifu au upotevu wa mali ya Chuo
AI-assisted research summary: This section is about damage to or loss of the College’s property.
8. Uharibifu au upotevu wa mali ya Chuo. - 9 Verify source ↗
Haki ya kuvunja mkataba wa upangaji
AI-assisted research summary: Section heading on the right to terminate a tenancy agreement.
9. Haki ya kuvunja mkataba wa upangaji SEHEMU YA TATU MASHARTI YANAYOHUSIANA NA MGAHAWA NA JIKO - 4 Verify source ↗
Kwa madhumuni ya Kanuni hizi, makosa ya
AI-assisted research summary: Kifungu hiki kinaorodhesha makosa mengi ya kinidhamu ya wanafunzi, ikiwemo vurugu, uharibifu, kutotii amri, udanganyifu, makosa ya uchaguzi, unyanyasaji wa kijinsia, na matumizi au umiliki usioidhinishwa wa mali au silaha.
4. Kwa madhumuni ya Kanuni hizi, makosa ya kinidhamu yatajumuisha- (a) mwenendo au una ambao unafanya uwezekano wa kusababisha uharibifu au vurugu kwa mtu au mali yoyote ndani ya Chuo ikizingatiwa kuwa, kitendo hicho kimefanywa na mwanafunzi dhidi ya mwanafunzi mwingine au afisa, chuoni au eneo au linalotambuliwa rasmi na Chuo; lililokodishwa lolote eneo (b) kutumia nguvu, vurugu au vitisho dhidi ya au kumshambulia mwanafunzi mwingine au afisa wa Chuo au mtu yeyote ndani ya Chuo au au linalotambuliwa rasmi na Chuo; kitendo au mwenendo ambao unaweza kuzuia au kukwamisha kufanyika kwa shughuli yoyote ya kitaaluma, kiutawala au uchaguzi; lililokodishwa lolote (c) (d) kuharibu, kufuja au kuvuruga mali ya Chuo; (e) matumizi yasioidhinishwa ya, au kuingilia, mfumo wowote wa kiteknolojia, umeme au huduma zingine za Chuo; 5 Tangazo la Serikali Na. 365 (Linaendelea) Kanuni za Nidhamu kwa Wanafunzi kumiliki mali yoyote ya Chuo bila kibali; (f) (g) kukataa au kushindwa kutii amri halali au maelekezo yaliyotolewa na afisa yeyote wa Chuo au amri kutoka kwa chombo chochote husika cha Chuo; (h) kwa makusudi na kwa kujua, kutoa taarifa (i) (j) ya uongo; kushindwa au kukataa kuhudhuria kikao kilichoitishwa na chombo chochote chenye mamlaka kwa njia ya mdomo au maandishi; kuzuia au kuingilia kwa makusudi kazi au mashauri yaliyoendeshwa na afisa yeyote mwenye mamlaka au chombo chochote chenye mamlaka cha Chuo; (l) (k) kukataa au kushindwa kutoa ushahidi mbele ya Kamati ya Nidhamu kwa Wanafunzi au chombo chochote chenye mamlaka; kukataa au kushindwa kuheshimu na kutekeleza hukumu, uamuzi au adhabu halali iliyotolewa na afisa yeyote au chombo chochote chenye mamlaka; (m) mwanafunzi kutumia lugha ya kashfa, matusi au ya kitisho dhidi ya mwanafunzi mwingine, afisa au mwanajumuiya yeyote wa Chuo; (n) kutenda kwa namna ambayo inaweza kushawishi au kuchochea vurugu miongoni mwa wanafunzi, iwe ndani ya Chuo au eneo lolote linalotambuliwa rasmi na Chuo; lililokodishwa au (o) kufanya kitendo chochote ambacho kinasababisha au kinaweza kusababisha madhara ya kimwili au kisaikolojia kwa mwanafunzi mwingine, afisa wa chuo au mwanajumuiya yeyote wa Chuo; (p) kupiga kelele, kusumbua au kuwahamasisha wanafunzi au watu wengine kupiga kelele au kufanya usumbufu wa aina yoyote kwenye majengo ya Chuo au majengo 6 Tangazo la Serikali Na. 365 (Linaendelea) Kanuni za Nidhamu kwa Wanafunzi yoyote yaliyokodiwa; (r) kushiriki ambacho (q) kuunda au kuanzisha kikundi cha wanafunzi kisichoruhusiwa kinaweza kusababisha kuvunja umoja au kuleta vurugu; kuandaa, kwa makusudi mkutano au kikao kinyume na sheria; kuchochea na kushiriki katika ghasia, mgomo, kususia madarasa, au kushiriki kwenye vurugu au uchochezi wowote; kushawishi wanafunzi kugomea lolote; kuitisha suala (s) (t) au (u) kuitisha au kufanya Baraza la Wanafunzi bila ruhusa; (v) kupanga au kushiriki kwenye maandamano yasiyo halali; (w) kumwalika kiongozi wa serikali au wa kisiasa, mgeni rasmi, mshereheshaji, au mtu yeyote kutoka nje ya Chuo bila kupata ruhusa kutoka kwa Mshauri wa Wanafunzi au yeyote mwenye mamlaka; afisa mwingine (x) kusambaza kwa maandishi au mdomo matamko ya kashfa kwa watu wengine; (y) uzembe au ubadhirifu wa fedha za Serikali ya Wanafunzi au chama, klabu, au kikundi chochote cha wanafunzi kinachotambulika; kiongozi wa Serikali ya Wanafunzi wa Chuo cha Elimu ya Biashara kuingia mkataba na mtu yeyote kinyume na Katiba ya Serikali ya Wanafunzi wa Chuo cha Elimu ya Biashara; (z) (aa) kukusanya fedha kwa ulaghai au kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu kutoka kwa wanafunzi wenzake au mtu mwingine yeyote; (bb) kushindwa kulipa fidia kwa uharibifu au upotevu wa mali ya Chuo; 7 Tangazo la Serikali Na. 365 (Linaendelea) Kanuni za Nidhamu kwa Wanafunzi (cc) kubeba silaha bila ruhusa au kibali ndani ya majengo lolote lililokodishwa au linalotambuliwa rasmi na Chuo; ya Chuo eneo au (dd) wizi unaofanyika katika majengo ya Chuo au lililokodishwa au linalotambuliwa rasmi na Chuo; lolote eneo Sura ya 273 Sura ya 443 (ee) kughushi waraka, kusambaza waraka wa uongo au kuwasilisha waraka wa kughushi; (ff) kosa ambalo linavunja Sheria ya Serikali Mtandao; (gg) kutumia dawa zozote haramu au sumu ya aina yoyote kwa mwanafunzi mwenyewe au mwanafunzi mwenzake au mtu mwingine yeyote; (hh) kosa ambalo linavunja Sheria ya Makosa ya Kimtandao; chochote (ii) kitendo na mwanafunzi ndani au nje ya Chuo na kupelekea kuharibu taswari ya Chuo; (jj) kuendesha mkutano au kampeni ya uchaguzi kinachofanywa nje ya muda uliopangwa; (kk) unyanyasaji wa kijinsia wa aina yoyote ikijumuisha - (i) kushinikiza kufanya tendo la ngono (ii) (iii) (iv) (v) au upendeleo; kuuliza kuhusu maisha binafsi ya kingono, kushawishi kupewa ngono kwa ahadi ya kutoa zawadi; kutoa maoni ya udhalilishaji la mtu, kutokana kung’ang’ania kuomba miadi; umbo na kufanya utani wa kingono, kutoa maoni ya kingono, kutumia lugha ya matusi, kutoa ishara ya kingono; kusema uongo au kueneza uvumi kuhusu maisha ya kingono ya mtu kwa madhumuni ya kuharibu sifa za mlengwa; 8 Tangazo la Serikali Na. 365 (Linaendelea) Kanuni za Nidhamu kwa Wanafunzi (vi) kugusana kimwili kwa kusudio la kingono bila ridhaa; (vii) kusambaza ujumbe wa shambulizi ya kingono kwa njia yoyote; (viii) kufanya ngono ya kundi; (ix) kubaka au shambulio la aibu au kuwa uchi au kubaka kwa kundi; (x) matumizi ya mamlaka au madaraka kumshawishi mtu mwingine kuingia katika mahusiano ya kingono au kumuadhibu mtu na kukataa kwake. (ll) kuomba au kutoa rushwa ya ngono; (mm) kujifanya mtu mwingine; (nn) kitendo chochote cha mwanafunzi chenye lengo la kuonesha ushiriki au utii kwa chama cha siasa; kutokana (oo) kushawishi au kuwachochea wanafunzi kugomea mihadhara, mitihani ya vitendo au kazi yoyote ya kitaaluma; Sura ya 95 Sura ya 329 (pp) kushindwa kusoma taarifa au matangazo kwenye ubao wa matangazo, mfumo wa habari wa wanafunzi, tovuti ya Chuo au namna au kushindwa kufuata maelekezo ya Chuo; (qq) kosa ambalo linavunja Sheria ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya; (rr) kosa ambalo linavunja Sheria ya Kuzuia na itakayotumika, nyingine Kupambana na Rushwa; (ss) kuingilia pasipo uhalali mchakato wa uchaguzi wa Serikali ya Wanafunzi wa Chuo cha Elimu ya Biashara.); (tt) kuunda au kuanzisha chama, klabu au kikundi cha wanafunzi bila ruhusa kutoka kwa Mshauri wa Wanafunzi, afisa ustawi wa jamii au chombo chochote chenye mamlaka; (uu) kushindwa au kitambulisho cha uanafunzi kuonesha kukabidhi inapotakiwa 9 Tangazo la Serikali Na. 365 (Linaendelea) Kanuni za Nidhamu kwa Wanafunzi kufanya hivyo na afisa mwenye mamlaka; (vv) kutokupitisha kwa Mshauri wa Wanafunzi au afisa ustawi wa jamii mawasiliano yoyote rasmi ya kwenda nje ya Chuo kwa mwanafunzi yeyote au kiongozi wa Serikali ya Wanafunzi wa Chuo cha Biashara; na (ww) kushindwa kurejesha mkopo au deni baina ya wanafunzi au mtu mwingine yeyote. Makosa yanayohusiana na utaratibu wa mavazi - 5 Verify source ↗
Wanafunzi hawaruhusiwa kuvaa mavazi
AI-assisted research summary: Students must not wear the listed kinds of clothing in University areas or any area leased by or officially recognized by the University.
5. Wanafunzi hawaruhusiwa kuvaa mavazi yafuatayo katika maeneo ya Chuo au eneo lolote lililokodishwa au linalotambuliwa rasmi na Chuo: (a) jinzi au nguo yenye matundu; (b) nguo yenye matundu au inayoonesha ndani; (c) suruali za kuning’inia chini ya makalio; (d) suruali, sketi au blauzi za kubana; (e) gauni au sketi yenye mpasuo mrefu kupita kiasi; (f) nguo inayoacha tumbo, kiuno, matiti, kifua na mgongo wazi; (g) kaptura au sketi ambayo haifuniki mapaja akiwa amekaa; (h) aina yoyote ya vipedo au pedo-pusha; (i) nguo inayobana mwili; (j) nguo inayofunika uso; (k) hereni za masikio au za pua kwa mwanafunzi wa kiume; (l) nguo inayoonyesha nguo ya ndani; (m) pajama au nguo za kulalia zinapovaliwa nje ya bweni; (n) kofia kuvaliwa darasani, ofisini, maktaba, kwenye kikao, maabara au kwenye mkutano wowote rasmi; (o) nguo yenye picha au kaulimbiu isiyostahili au lugha isiyo na staha au ya matusi; (p) mtindo wa nywele usiofaa kwa wanaume; na (q) aina yoyote ya uvaaji ambao afisa wa Chuo ataona haufai. 10 Tangazo la Serikali Na. 365 (Linaendelea) Kanuni za Nidhamu kwa Wanafunzi Makosa yanayohusiana na malazi - 6 Verify source ↗
Makosa ya kinidhamu yanayohusiana na malazi
AI-assisted research summary: Sectioni hii inaorodhesha makosa ya kinidhamu ya mabweni na inalenga tabia ambazo mwanafunzi hapaswi kufanya.
6. Makosa ya kinidhamu yanayohusiana na malazi yatajumuisha- (a) kupangisha chumba katika mabweni ya Chuo au malazi mengine yaliyokodiwa au kutambuliwa na Chuo kwa mtu mwingine; (b) kuishi kwenye bweni la Chuo au malazi mengine yaliyokodiwa au kutambuliwa na Chuo pasipo uhalali; kutumia majengo ya mabweni kwa ajili ya matukio ya kijamii bila kupata kibali cha Mshauri wa Wanafunzi au afisa Ustawi wa Jamii; (c) (d) kuchangia chumba na mwanafunzi wa (e) (f) jinsia tofauti; kupika chakula bwenini pasipo kibali cha maandishi kutoka kwa Mshauri wa Wanafunzi au afisa Ustawi wa Jamii; kuingilia au kuhamisha samani au vifaa vya aina yoyote kutoka bwenini bila ruhusa ya Mshauri wa Wanafunzi au afisa Ustawi wa Jamii; (g) kutumia baraza, dirisha au ukuta kwa ajili ya kuanika nguo au ufuaji wa aina yoyote; (h) kuingiza bwenini friji, mashine ya kukausha nywele, jokofu au kifaa chochote cha kupikia pasipo kibali cha maandishi kutoka kwa Mshauri wa Wanafunzi au afisa Ustawi wa Jamii; kuondoka bila kukabidhi vifaa vya malazi kwa afisa mwenye mamlaka; kumzuia afisa wa Chuo au mtu yeyote aliyeidhinishwa kuingia chumbani kwa ajili ya ukarabati, ukaguzi au shughuli nyingine kama ilivyoamuriwa; (i) (j) (k) kutumia vifaa vya muziki na vyombo vingine vinavyotoa sauti bwenini na kwa wakazi usumbufu kusababisha wengine; ulevi, au uvutaji wa sigara bwenini; na (l) 11 Tangazo la Serikali Na. 365 (Linaendelea) Kanuni za Nidhamu kwa Wanafunzi (m) kuwakaribisha wageni wa jinsia tofauti bwenini baada ya saa nne usiku. Kumfukuza mwanafunzi bwenini Uharibifu au upotevu wa mali ya Chuo - 7 Verify source ↗
Mshauri wa Wanafunzi atakuwa na mamlaka ya
AI-assisted research summary: Mshauri wa Wanafunzi ana mamlaka ya kumfukuza mwanafunzi kutoka chumba cha bweni kwa muda akisubiri uamuzi wa Kamati ya Nidhamu kwa Wanafunzi au rufaa, ikiwa ipo.
7. Mshauri wa Wanafunzi atakuwa na mamlaka ya kumfukuza mwanafunzi kwenye chumba cha bweni kwa muda wakati akisubiri uamuzi wa Kamati ya Nidhamu kwa Wanafunzi au rufaa kama ipo. - 8 Verify source ↗
Endapo uharibifu au upotevu wa mali ya Chuo
AI-assisted research summary: Ikiwa mali ya Chuo imeharibika au kupotea na mhusika hajulikani, wanafunzi wote waliokuwapo wakati tukio lilipotokea wanachangia gharama za kukarabati au kubadili mali hiyo.
8. Endapo uharibifu au upotevu wa mali ya Chuo umesababishwa na mwanafunzi ambaye utambulisho wake haujulikani, gharama za kukarabati au kubadili mali hiyo zitachangiwa na wanafunzi wote waliokuwepo wakati wa uharibifu au upotevu huo ukitokea. Haki ya kuvunja mkataba wa upangaji - 9 Verify source ↗
Chuo kitakuwa na haki ya kuvunja mkataba wa
AI-assisted research summary: Chuo has the right to end the tenancy agreement without notice, and the boarding fee is not refunded when the student transfers, postpones studies, is suspended, or is expelled.
9. Chuo kitakuwa na haki ya kuvunja mkataba wa upangaji bila kutoa notisi na ada ya bweni haitarejeshwa pale mwanafunzi atakapohama, atakapoahirisha masomo, atakaposimamishwa, au kufukuzwa masomo. SEHEMU YA TATU MASHARTI YANAYOHUSIANA NA MGAHAWA NA JIKO Zuio la kuingia jikoni
Part
SEHEMU YA TATU
- 10 Verify source ↗
Zuio la kuingia jikoni
AI-assisted research summary: Hiki ni kichwa cha kifungu kuhusu “Zuio la kuingia jikoni” ndani ya Kanuni za Nidhamu kwa Wanafunzi.
10. Zuio la kuingia jikoni. 1 Tangazo la Serikali Na. 365 (Linaendelea) Kanuni za Nidhamu kwa Wanafunzi SEHEMU YA NNE MASUALA YA KITAALUMA NA MAWASILIANO - 10 Verify source ↗
(1) Mwanafunzi haruhusiwi kuingia jikoni
AI-assisted research summary: Students may not enter the restaurant kitchen or remove items from the cafeteria area without permission; complaints about cafeteria services must be sent in writing and the Students’ Advisor must take appropriate action after receiving them.
10.-(1) Mwanafunzi haruhusiwi kuingia jikoni kwa mtoa huduma za mgahawa bila ruhusa ya mtoa huduma au Mshauri wa Wanafunzi au Afisa Ustawi wa Jamii. (2) Huduma ya mgahawa itakuwa katika maeneo yaliyopangwa kwa ajili ya huduma hiyo na mwanafunzi haruhusiwi kuchukua chombo au kitu chochote kutoka mgahawani au eneo lolote ndani au nje ya Chuo bila ruhusa ya mtoa huduma. (3) Ukosoaji au malalamiko au maoni kuhusu huduma za mgahawa yatapelekwa kwa Serikali ya Wanafunzi wa Chuo cha Elimu ya Biashara kwa maandishi na nakala yake kuwasilishwa kwa Mshauri wa Wanafunzi. (4) Baada ya kupokea maoni au malalamiko kwa mujibu wa masharti ya kanuni ndogo ya (3), Mshauri wa Wanafunzi atachukua hatua stahiki. 12 Tangazo la Serikali Na. 365 (Linaendelea) Kanuni za Nidhamu kwa Wanafunzi SEHEMU YA NNE MASUALA YA KITAALUMA NA MAWASILIANO Kuripoti chuoni Kutokuwepo chuoni TS Na. 927 la 2023 Mawasiliano rasmi Taarifa ya vikao
Part
SEHEMU YA NNE
- 15 Verify source ↗
Huduma za Maktaba
AI-assisted research summary: Hii ni kichwa cha kifungu kuhusu Huduma za Maktaba na Sehemu ya Tano kuhusu Kamati ya Nidhamu na mamlaka yake.
15. Huduma za Maktaba. SEHEMU YA TANO KAMATI YA NIDHAMU NA MAMLAKA YAKE - 11 Verify source ↗
(1) Wanafunzi wote watatakiwa kuripoti
AI-assisted research summary: Students must report to the college at the start of each semester, and a student admitted to a special program may not change programs without the college’s written permission.
11.-(1) Wanafunzi wote watatakiwa kuripoti tarehe chuoni mwanzoni mwa kila muhula kwa iliyopangwa na Chuo. (2) Mwanafunzi ambaye amepata udahili wa Chuo na amesajiliwa kwenye programu maalumu hataruhusiwa kubadili programu ambayo amesajiliwa bila idhini ya maandishi ya Chuo kwa kwa mujibu wa sheria zilizopo. - 12 Verify source ↗
(1) Ruhusa ya kutokuwepo chuoni kwa sababu
AI-assisted research summary: Ruhusa ya kutokuwepo chuoni kwa kukosa masomo au kazi ya kitaaluma lazima iombwe kwa maandishi kupitia kwa Mkuu wa Idara ya Taaluma, na kwa Mkurugenzi wa Taaluma au wa Kampasi, huku nakala ikienda kwa Mshauri wa Wanafunzi au afisa Ustawi wa Jamii.
12.-(1) Ruhusa ya kutokuwepo chuoni kwa sababu yoyote inayohusisha kukosa vipindi vya masomo au kazi yoyote ya kitaaluma itaombwa kwa maandishi kwa Mkurugenzi wa Taaluma au Mkurugenzi wa Kampasi kupitia kwa Mkuu wa Idara ya Taaluma husika na kupeleka nakala kwa Mshauri wa Wanafunzi au afisa Ustawi wa Jamii. (2) Masharti ya kanuni ndogo ya (1), hayataathiri matakwa ya Kanuni za Mitihani za Chuo. - 13 Verify source ↗
Mawasiliano yoyote rasmi kwenda nje ya
AI-assisted research summary: Official communications leaving the college by a student or the student government must go through the Student Advisor or the social welfare officer.
13. Mawasiliano yoyote rasmi kwenda nje ya Chuo yanayofanywa na mwanafunzi au Serikali ya Wanafunzi wa Chuo cha Elimu ya Biashara kuhusu suala lolote linalohusu maslahi ya wanafunzi au Chuo kwa ujumla yatapitia kwa Mshauri wa Wanafunzi au afisa Ustawi wa Jamii. - 14 Verify source ↗
Vikao, mkutano, semina au kusanyiko lolote
AI-assisted research summary: A student meeting, seminar, or other gathering with an outside university authority about university matters must be preceded by three days’ written notice to the Principal or Campus Director.
14. Vikao, mkutano, semina au kusanyiko lolote baina ya mwanafunzi na mamlaka ya nje ya Chuo ambapo masuala ya Chuo yatajadiliwa ni lazima litanguliwe na taarifa ya maandishi ya siku tatu kabla ya tukio husika kwenda kwa Mkuu wa Chuo au Mkurugenzi wa Kampasi ikionesha nia ya kufanya tukio hilo, ikitaja mamlaka ya nje, mambo yatakayojadiliwa, muda na mahali pa tukio hilo. Huduma za - 15 Verify source ↗
(1) Huduma za Maktaba chuoni zitatolewa
AI-assisted research summary: Chuo lazima itoe huduma za maktaba kwa wanafunzi katika saa maalumu za kazi zilizoainishwa na Chuo. Mwanafunzi anayekopa kitabu, gazeti, nyaraka au kifaa cha maktaba lazima akitunze, akilinde, na akirudishe bila kuharibika kwa tarehe iliyowekwa au iliyokubaliwa.
15.-(1) Huduma za Maktaba chuoni zitatolewa 13 Tangazo la Serikali Na. 365 (Linaendelea) Kanuni za Nidhamu kwa Wanafunzi Maktaba kwa wanafunzi kwa saa maalumu za kazi kama Chuo kitakavyoainisha. jarida, (2) Mwanafunzi atakayeazima kitabu, gazeti, nyaraka yoyote au kifaa cha Maktaba ya Chuo atawajibika binafsi kukitunza, kukilinda na kukirejesha bila kuharibiwa kwa tarehe iliyotajwa au iliyokubaliwa kurejesha. SEHEMU YA TANO KAMATI YA NIDHAMU NA MAMLAKA YAKE Kuanzishwa kwa Kamati ya Nidhamu kwa Wanafunzi
Part
SEHEMU YA TANO
- 16 Verify source ↗
Kuanzishwa kwa Kamati ya Nidhamu kwa Wanafunzi
AI-assisted research summary: This section is about establishing a student discipline committee.
16. Kuanzishwa kwa Kamati ya Nidhamu kwa Wanafunzi. - 18 Verify source ↗
Majukumu ya Kamati ya Nidhamu kwa Wanafunzi
AI-assisted research summary: Kichwa hiki kinaonyesha kuwa kifungu kinahusu majukumu ya Kamati ya Nidhamu kwa wanafunzi.
18. Majukumu ya Kamati ya Nidhamu kwa Wanafunzi. - 20 Verify source ↗
Uamuzi wa Kamati ya Nidhamu kwa Wanafunzi
AI-assisted research summary: This section is titled “Decision of the Disciplinary Committee for Students.”
20. Uamuzi wa Kamati ya Nidhamu kwa Wanafunzi. SEHEMU YA SITA TARATIBU ZA MASHAURI YA KINIDHAMU - 16 Verify source ↗
(1) Kunaanzishwa Kamati itakayojulikama
AI-assisted research summary: Kamati ya Nidhamu kwa Wanafunzi inaanzishwa, na sheria inaweka wajumbe wake.
16.-(1) Kunaanzishwa Kamati itakayojulikama kama Kamati ya Nidhamu kwa Wanafunzi. (2) Kamati ya Nidhamu kwa Wanafunzi itaundwa na wajumbe wafuatao: (a) Mkuu wa Usimamizi wa Rasilimali Watu atakuwa Kampasi ambaye kwenye Mwenyekiti; (b) mtu mmoja aliyeteuliwa na Chama cha Wafanyakazi Wanataaluma kutoka miongoni mwa wanachama wake; (c) wanafunzi wawili mmoja wa kike na mmoja wa kiume walioteuliwa na Serikali ya Wanafunzi wa Chuo cha Elimu ya Biashara; (d) Mkuu wa udahili au mwakilishi wake (e) mwakilishi ambaye atakuwa Katibu; kutoka mwanafunzi anayeshtakiwa anatoka; na (f) mwakilishi kutoka Kitengo cha Huduma za Kisheria chuoni au mfanyakazi yeyote mwenye taaluma ya sheria. idara ambayo Ushirikishwaji wa mtu mwingine Majukumu ya Kamati ya - 17 Verify source ↗
(1) Kamati ya Nidhamu kwa Wanafunzi
AI-assisted research summary: Kamati ya Nidhamu kwa Wanafunzi inaweza kumualika mtu yeyote kuhudhuria kikao chake ikihitajika; mtu aliyealikwa hana haki ya kupiga kura.
17.-(1) Kamati ya Nidhamu kwa Wanafunzi inaweza kumualika mtu yeyote kuhudhuria kikao chake endapo italazimu. (2) Kwa kuzingatia kanuni ndogo ya (1), mtu aliyealikwa hatakuwa na haki ya kupiga kura. - 18 Verify source ↗
Kamati ya Nidhamu kwa Wanafunzi itakuwa
AI-assisted research summary: Kamati ya Nidhamu kwa Wanafunzi ina majukumu ya kupokea, kusikiliza, kuanzisha na kushughulikia masuala ya kinidhamu ya wanafunzi.
18. Kamati ya Nidhamu kwa Wanafunzi itakuwa na majukumu yafuatayo: 14 Tangazo la Serikali Na. 365 (Linaendelea) Kanuni za Nidhamu kwa Wanafunzi Nidhamu kwa Wanafunzi (a) kupokea na kujadili suala la kinidhamu la mwanafunzi yeyote kama litakavyowasilishwa na Mshauri wa Wanafunzi au mtu mwingine yeyote aliyeteuliwa kwa madhumuni hayo; (b) kumwita na kumhoji mwanafunzi yeyote au mtu mwingine, na kudai ushahidi unaohusiana na tuhuma husika; (c) kuanzisha mashauri ya kinidhamu kwa mwanafunzi yeyote chini ya Kanuni hizi; (d) kutoa adhabu stahiki kwa mwanafunzi kwa kosa lililothibitika chini ya Kanuni hizi; (e) kushauri Chuo na kutoa mapendekezo kuhusu masuala ya kinidhamu ya wanafunzi; na (f) kufanya mambo mengine yoyote kwa ajili ya kudumisha na kuhimiza nidhamu miongoni mwa wanafunzi wa Chuo. Vikao vya Kamati - 19 Verify source ↗
(1) Kamati ya Nidhamu kwa Wanafunzi
AI-assisted research summary: The Disciplinary Committee for Students may convene meetings whenever needed; half of the members make a quorum; majority decisions control; and the chair has a casting vote if votes are tied.
19.-(1) Kamati ya Nidhamu kwa Wanafunzi itakuwa na mamlaka ya kuitisha vikao wakati wowote itakapohitajika. (2) Nusu ya wajumbe itaunda akidi katika kikao cha Kamati ya Nidhamu kwa Wanafunzi. (3) Uamuzi wa wajumbe walio wengi waliohudhuria kikao utachukuliwa kuwa uamuzi wa Kamati ya Nidhamu kwa Wanafunzi. kwenye kupiga kura na (4) Endapo itatokea kura kulingana, Mwenyekiti wa kikao atakuwa na kura ya turufu. Uamuzi wa Kamati ya Nidhamu ya Wanafunzi - 20 Verify source ↗
Mwenyekiti wa Kamati ya Nidhamu kwa
AI-assisted research summary: The Chair of the Students’ Disciplinary Committee must inform the Principal or Campus Director about the committee’s decision.
20. Mwenyekiti wa Kamati ya Nidhamu kwa Wanafunzi atamjulisha Mkuu wa Chuo au Mkurugenzi wa Kampasi kuhusu uamuzi wa Kamati. SEHEMU YA SITA TARATIBU ZA MASHAURI YA KINIDHAMU Taarifa kutolewa kwa maandishi
Part
SEHEMU YA SITA
- 27 Verify source ↗
Uamuzi wa Kamati
AI-assisted research summary: Section 27 is titled “Uamuzi wa Kamati” and appears under “SEHEMU YA SABA RUFAA” (Part Seven: Appeal).
27. Uamuzi wa Kamati. SEHEMU YA SABA RUFAA - 21 Verify source ↗
(1) Kosa
AI-assisted research summary: Breaches of these rules must first be reported in writing to the relevant welfare advisor/officer, who will handle the matter administratively or refer it to the student discipline committee if needed.
21.-(1) Kosa la kuvunja Kanuni hizi litaripotiwa kwanza kwa maandishi kwa Mshauri wa Jamii ambaye Wanafunzi au afisa Ustawi wa lolote 15 Tangazo la Serikali Na. 365 (Linaendelea) Kanuni za Nidhamu kwa Wanafunzi atashughulikia kosa hilo kiutawala au ikibidi, atapeleka shauri hilo mbele ya Kamati ya Nidhamu kwaa Wanafunzi. (2) Endapo mwanafunzi hakuridhika na hatua za kiutawala zilizochukuliwa na Mshauri wa Wanafunzi au afisa Ustawi wa Jamii, atamwomba kwa maandishi Mshauri wa Wanafunzi au afisa Ustawi wa Jamii husika apeleke shauri hilo mbele ya Kamati ya Nidhamu kwa Wanafunzi; na Mshauri wa Wanafunzi au afisa Ustawi wa Jamii atatakiwa kutekeleza. Uchunguzi wa awali Hati ya Mashtaka kusomwa. - 22 Verify source ↗
(1) Baada ya
AI-assisted research summary: Baada ya taarifa ya kinidhamu, Mshauri wa Wanafunzi au afisa Ustawi wa Jamii lazima afanye uchunguzi wa awali, kisha aandae na amkabidhi mwanafunzi anayetuhumiwa notisi na hati ya mashtaka; mwanafunzi huyo lazima ajibu kwa maandishi ndani ya siku 3 za kazi.
22.-(1) Baada ya za kinidhamu kuripotiwa, Mshauri wa Wanafunzi au afisa Ustawi wa Jamii atafanya uchunguzi wa awali wa tuhuma hiyo. tuhuma (2) Baada ya uchunguzi wa awali kufanyika na kuonekana kwamba kuna tuhuma za kujibu, Mshauri wa Wanafunzi au afisa Ustawi wa Jamii- (a) ataandaa na kusaini notisi na hati ya mashtaka dhidi ya mwanafunzi anayetuhumiwa; (b) ataandaa ushahidi wa tuhuma husika; na (c) atampatia mwanafunzi anayetuhumiwa notisi na hati ya mashtaka inayohitaji utetezi kwa maandishi. (3) Mwanafunzi anayetuhumiwa atawasilisha utetezi wake ndani ya siku tatu za kazi tangu kupokea notisi na hati ya mashtaka. - 23 Verify source ↗
(1) Wakati wa kuanza kwa shauri
AI-assisted research summary: The disciplinary secretary must read the charge and ask the accused student to answer it; if the student admits the offence, a confession form must be completed and punishment follows.
23.-(1) Wakati wa kuanza kwa shauri la kinidhamu, Katibu atasoma shtaka, na kumtaka mwanafunzi mtuhumiwa kujibu kosa analotuhumiwa kama ni kweli au sio kweli. (2) Endapo Mwanafunzi amekiri kutenda kosa, atatakiwa kujaza Fomu ya kukiri kosa kama ilivyoainishwa katika Jedwali la Kwanza na ataadhibiwa ipasavyo. (3) Endapo mwanafunzi mtuhumiwa hayupo, na alipewa na kupokea notisi na hati ya shitaka ipasavyo, Kamati ya Nidhamu kwa Wanafunzi itaendelea kusikiliza shauri hilo bila mwanafunzi mtuhumiwa kuwepo na 16 Tangazo la Serikali Na. 365 (Linaendelea) Kanuni za Nidhamu kwa Wanafunzi kuendelea kuamua ipasavyo. (4) Endapo shauri hilo litaamuliwa kulingana na masharti ya kanuni ndogo ya (3), mwanafunzi mtuhumiwa atachukuliwa kuwa ameacha kutumia haki yake ya kusikilizwa, na kutetea shauri lake mbele ya Kamati ya Nidhamu kwa Wanafunzi. - 24 Verify source ↗
(1) Mlalamikaji atatoa maelezo juu ya shauri
AI-assisted research summary: The complainant must explain the case and may need to provide evidence or witnesses. The disciplinary committee must let the accused student question the complainant and any witness present. The accused student has the right to defend themself, give evidence, and bring a witness if present. Lawyers or other representatives may not represent the accused under these rules.
24.-(1) Mlalamikaji atatoa maelezo juu ya shauri husika na kutoa ushahidi au kuleta mashahidi pale itakapobidi. (2) Kamati ya Nidhamu kwa Wanafunzi itatoa fursa kwa mwanafunzi anayetuhumiwa kumuuliza maswali mlalamikaji na shahidi wake, ikiwa yupo. (3) Mwanafunzi mtuhumiwa atakuwa na haki ya kujitetea, kutoa ushahidi, na kumleta shahidi, ikiwa yupo. (4) Wakili au mwakilishi yeyote haruhusiwi kumwakilisha mtuhumiwa chini ya Kanuni hizi. - 25 Verify source ↗
(1) Kamati ya Nidhamu kwa Wanafunzi
AI-assisted research summary: The Student Discipline Committee may call any witness and may take evidence orally, in writing, or electronically; if evidence is taken orally, it must be put in writing.
25.-(1) Kamati ya Nidhamu kwa Wanafunzi inaweza kuita shahidi yeyote kutoa ushahidi ipasavyo. (2) Ushahidi unaweza kuchukuliwa na Kamati ya Nidhamu kwa Wanafunzi kwa mdomo, maandishi, au kielektroniki isipokuwa kwamba, endapo ushahidi wa mdomo utachukuliwa, utawekwa katika maandishi. Ushahidi Kuwaita mashahidi Kukiri kosa - 26 Verify source ↗
Endapo mwanafunzi mtuhumiwa amekiri
AI-assisted research summary: If an accused student has confessed, the rules in regulation 23(2) must be followed.
26. Endapo mwanafunzi mtuhumiwa amekiri kosa, masharti ya kanuni ya 23 (2) yatafuatwa. Uamuzi wa Kamati - 27 Verify source ↗
Uamuzi wa Kamati ya Nidhamu kwa
AI-assisted research summary: Kamati ya Nidhamu kwa Wanafunzi lazima itoe uamuzi ndani ya siku saba za kazi baada ya shauri la kinidhamu kuhitimishwa.
27. Uamuzi wa Kamati ya Nidhamu kwa Wanafunzi utatolewa ndani ya siku saba za kazi kutoka tarehe ya kuhitimishwa kwa shauri la kinidhamu. SEHEMU YA SABA RUFAA Kuanzishwa kwa Kamati ya Rufaa ya Nidhamu kwa Wanafunzi
Part
SEHEMU YA SABA
- 28 Verify source ↗
Kuanzishwa kwa Kamati ya Rufaa ya Nidhamu kwa Wanafunzi
AI-assisted research summary: This provision establishes a student disciplinary appeal committee.
28. Kuanzishwa kwa Kamati ya Rufaa ya Nidhamu kwa Wanafunzi. - 31 Verify source ↗
Uamuzi wa Rufaa
AI-assisted research summary: Kifungu hiki kina kichwa cha "Uamuzi wa Rufaa" katika kanuni za nidhamu kwa wanafunzi.
31. Uamuzi wa Rufaa. 2 Tangazo la Serikali Na. 365 (Linaendelea) Kanuni za Nidhamu kwa Wanafunzi - 32 Verify source ↗
Uamuzi wa Kamati ya Rufaa ya Nidhamu kwa Wanafunzi
AI-assisted research summary: Section 32 is titled “Uamuzi wa Kamati ya Rufaa ya Nidhamu kwa Wanafunzi” and appears under Part Eight, “Adhabu” (Punishment).
32. Uamuzi wa Kamati ya Rufaa ya Nidhamu kwa Wanafunzi. SEHEMU YA NANE ADHABU - 28 Verify source ↗
(1) Kunaazishwa Kamati
AI-assisted research summary: A student discipline appeals committee is established and its members are listed.
28.-(1) Kunaazishwa Kamati rufaa itakayojulikana kama Kamati ya Rufaa ya Nidhamu kwa Wanafunzi. ya (2) Kamati ya Rufaa ya Nidhamu kwa Wanafunzi 17 Tangazo la Serikali Na. 365 (Linaendelea) Kanuni za Nidhamu kwa Wanafunzi itaundwa na wajumbe wafuatao: (a) Mwenyekiti wa Kamati ya Bodi ya Uongozi inayosimamia masuala ya wanafunzi au mjumbe yeyote wa Bodi ya Uongozi au Mkurugenzi wa Kampasi ambaye atakuwa Mwenyekiti; (b) Mkurugenzi wa Huduma za Msaada wa Kitaaluma ambaye atakuwa Katibu; (c) mjumbe mmoja atakayeteuliwa na Mkuu wa Chuo; (d) mwanafunzi mmoja atakayeteuliwa na Serikali ya Wanafunzi wa Chuo cha Biashara; (e) mjumbe mmoja atakayeteuliwa kutoka nje ya Chuo mwenye uzoefu katika masuala ya wanafunzi kutoka taasisi za elimu ya juu; (f) mwakilishi kutoka kitengo cha Huduma za Sheria ndani ya Chuo ambaye hakuwa sehemu ya Kamati ya Nidhamu kwa Wanafunzi kuhusu rufaa husika. Majukumu ya Kamati ya rufaa - 29 Verify source ↗
Kamati ya Rufaa ya Nidhamu kwa Wanafunzi
AI-assisted research summary: Kamati ya Rufaa ya Nidhamu kwa Wanafunzi inapokea na kuamua rufaa dhidi ya uamuzi wa Kamati ya Nidhamu, na pia inashauri Chuo kuhusu masuala ya nidhamu ya wanafunzi.
29.Kamati ya Rufaa ya Nidhamu kwa Wanafunzi itakuwa na majukumu yafuatayo: (a) kupokea na kujadili rufaa iliyowasilishwa kupinga uamuzi wa Kamati ya Nidhamu kwa Wanafunzi; (b) kutoa uamuzi stahiki kwa mujibu wa Kanuni hizi juu ya rufaa iliyowasilishwa; (c) kushauri Chuo na kutoa mapendekezo kuhusu masuala ya kinidhamu ya wanafunzi; na (d) kufanya masuala mengine yoyote kwa lengo la kudumisha na kuhimiza nidhamu miongoni mwa wanafunzi. Rufaa - 30 Verify source ↗
(1) Upande wowote ambao haujaridhika na
AI-assisted research summary: Mtu asiye ridhika na uamuzi wa Kamati ya Nidhamu kwa Wanafunzi anaweza kukata rufaa ndani ya siku saba za kazi, na rufaa lazima iwe ya maandishi na iwe na sababu. Rufaa za kukiri kosa kwa ujumla haziruhusiwi isipokuwa kuhusu kiwango au uhalali wa adhabu.
30.-(1) Upande wowote ambao haujaridhika na uamuzi wa Kamati ya Nidhamu kwa Wanafunzi chini ya Kanuni hizi unaweza kukata rufaa kwa Kamati ya Rufaa ya Nidhamu kwa Wanafunzi kupitia kwa Mkuu wa Chuo au Mkurugenzi wa Kampasi ndani ya siku saba za kazi 18 Tangazo la Serikali Na. 365 (Linaendelea) Kanuni za Nidhamu kwa Wanafunzi kutoka tarehe ya kupokea uamuzi wa Kamati ya Nidhamu kwa Wanafunzi. (2) Bila kujali masharti ya kanuni ndogo ya (1), rufaa haitaruhusiwa endapo mkata rufaa alikiri kutenda kosa na kutiwa hatiani kwa kukiri huko mbele ya Kamati ya Nidhamu kwa Wanafunzi isipokuwa kama ni kuhusu kiwango au uhalali wa adhabu. (3) Mkuu wa Chuo au Mkurugenzi wa Kampasi atakuwa na mamlaka ya kukataa kwa maandishi rufaa yoyote iliyowasilishwa nje ya siku saba za kazi tangu kupokea uamuzi wa Kamati ya Nidhamu kwa Wanafunzi. (4) Rufaa itakayowasilishwa mbele ya Kamati ya itakuwa kwa Rufaa ya Nidhamu kwa Wanafunzi maandishi na itaweka sababu ya rufaa hiyo. (5) Rufaa yoyote chini ya Kanuni hizi inaweza isipokelewe endapo haijaambatishwa na wasilisho la maandishi kuunga mkono rufaa hiyo kwa kuzingatia mojawapo ya sababu zifuatazo: (a) Kamati ya Nidhamu kwa Wanafunzi haikuundwa ipasavyo; (b) hakukuwa na ushahidi wa kutosha wa kumtia hatiani mkata rufaa; (c) kulikuwa na uvunjaji wa kanuni ya haki ya msingi; (d) kukiri kwa mkata rufaa kulikuwa na utata; na (e) kiwango au uhalali wa adhabu. (6) Kamati ya Rufaa ya Nidhamu kwa Wanafunzi itakutana ndani ya saa ishirini na nane za kazi kutoka tarehe ya kupokea rufaa. (7) Kamati ya Rufaa ya Nidhamu kwa Wanafunzi inaweza kumualika mtu yeyote kuhudhuria kikao chake endapo italazimika, isipokuwa kwamba katika kufanya maamuzi mtu huyo hatakuwa na haki ya kupiga kura. (8) Akidi ya kikao cha Kamati ya Rufaa ya Nidhamu kwa Wanafunzi itakuwa nusu ya wajumbe wake halali. Uamuzi wa rufaa - 31 Verify source ↗
(1) Adhabu yoyote iliyotolewa na Kamati ya
AI-assisted research summary: Adhabu ya Kamati ya Nidhamu kwa Wanafunzi inaendelea kuwa halali hadi rufaa iamuliwe vinginevyo; Kamati ya Rufaa huamua rufaa kwa kuzingatia kumbukumbu, na mkata rufaa hahitaji kuhudhuria kusikilizwa.
31.-(1) Adhabu yoyote iliyotolewa na Kamati ya Nidhamu kwa Wanafunzi itaendelea kuwa halali mpaka 19 Tangazo la Serikali Na. 365 (Linaendelea) Kanuni za Nidhamu kwa Wanafunzi Uamuzi wa Kamati ya Rufaa ya Nidhamu kwa Wanafunzi Adhabu pale rufaa, ikiwa ipo, itaamuliwa vinginevyo. (2) Kamati ya Rufaa ya Nidhamu kwa Wanafunzi itatoa uamuzi wa rufaa kwa kuzingatia kumbukumbu za Kamati ya Nidhamu kwa Wanafunzi. (3) Wakati wa kusikilizwa kwa rufaa haitakuwa lazima kwa mkata rufaa kuhudhuria. - 32 Verify source ↗
(1) Katika kuamua rufaa iliyowasilishwa chini
AI-assisted research summary: Kamati ya Rufaa ya Nidhamu kwa Wanafunzi ina mamlaka ya kuthibitisha, kubadili, au kubatilisha uamuzi wa Kamati ya Nidhamu kwa Wanafunzi, na uamuzi wake lazima utolewe ndani ya siku 10 za kazi na uwe wa mwisho.
32.-(1) Katika kuamua rufaa iliyowasilishwa chini ya Kanuni hizi, Kamati ya Rufaa ya Nidhamu kwa Wanafunzi itakuwa na mamlaka ya kuthibitisha, kubadili, au kubatilisha uamuzi wa Kamati ya Nidhamu kwa Wanafunzi. (2) Uamuzi wa Kamati ya Rufaa ya Nidhamu kwa Wanafunzi utatolewa ndani ya siku kumi za kazi kutoka tarehe ya kuhitimishwa kwa shauri la rufaa. (3) Uamuzi wa Kamati ya Rufaa ya Nidhamu kwa Wanafunzi utakuwa ndiyo uamuzi wa mwisho. SEHEMU YA NANE ADHABU
Part
SEHEMU YA NANE
- 34 Verify source ↗
Makosa ya jinai
AI-assisted research summary: This provision is a section heading for “Makosa ya jinai” within Part Nine, “MASHARTI MENGINEYO.”
34. Makosa ya jinai. SEHEMU YA TISA MASHARTI MENGINEYO - 33 Verify source ↗
(1) Baada ya kuthibitika kwa kosa lolote chini
AI-assisted research summary: Mamlaka husika lazima itoe adhabu iliyo kwenye Jedwali la Pili baada ya kosa kuthibitika, au itumie kusimamishwa masomo hadi mwaka mmoja au kufukuza chuo pale adhabu haijaainishwa; inaweza pia kutoa adhabu nyingine kulingana na mazingira ya kosa.
33.-(1) Baada ya kuthibitika kwa kosa lolote chini ya Kanuni hizi, Mamlaka husika itatoa adhabu kama ilivyoainishwa katika Jedwali la Pili. (2) Endapo adhabu haijaelezwa katika Kanuni hizi kwa kosa lolote la kinidhamu, Mamlaka husika itatoa adhabu ya kusimamishwa masomo kwa muda usiozidi mwaka mmoja au kumfukuza Chuo. (3) Bila kujali masharti ya kanuni hii, Mamlaka husika inaweza kutoa adhabu nyingine yoyote tofauti na adhabu zilizoainishwa katika Jedwali la Pili kulingana na mazingira na ukubwa wa kosa. Makosa ya jinai - 34 Verify source ↗
(1) Kosa lolote la jinai chini ya sheria yoyote,
AI-assisted research summary: A student’s criminal offense is treated as a disciplinary offense under these rules, and disciplinary action will be taken. An officer may also report the offense to the relevant authority for further legal action.
34.-(1) Kosa lolote la jinai chini ya sheria yoyote, lililofanywa na mwanafunzi, litachukuliwa kuwa kosa la kinidhamu chini ya Kanuni hizi na hatua za kinidhamu zitachukuliwa ipasavyo. (2) Bila kujali masharti ya kanuni ndogo ya (1), 20 Tangazo la Serikali Na. 365 (Linaendelea) Kanuni za Nidhamu kwa Wanafunzi Matumizi ya sheria nyingine za Chuo Mwanafunzi kurejea Chuo baada ya kusimamishwa. Usalama maeneo ya Chuo Mshauri wa Wanafunzi au Afisa Ustawi wa Jamii anaweza, pamoja na hatua za kinidhamu zilizochukuliwa, kuripoti kosa la jinai kwa mamlaka husika kwa hatua zaidi za kisheria. SEHEMU YA TISA MASHARTI MENGINEYO
Part
SEHEMU YA TISA
- 35 Verify source ↗
Matumizi ya sheria nyingine za Chuo
AI-assisted research summary: Section title: use of other College laws.
35. Matumizi ya sheria nyingine za Chuo. - 36 Verify source ↗
Mwanafunzi kurejea Chuo baada ya kusimamishwa
AI-assisted research summary: This provision is about a student returning to college after being suspended.
36. Mwanafunzi kurejea Chuo baada ya kusimamishwa. - 37 Verify source ↗
Usalama maeneo ya Chuo
AI-assisted research summary: Section 37 is titled “Usalama maeneo ya Chuo”; the provided excerpt mainly contains headings for the student discipline regulations.
37. Usalama maeneo ya Chuo. 3 Tangazo la Serikali Na. 365 (Linaendelea) Kanuni za Nidhamu kwa Wanafunzi SHERIA YA CHUO CHA ELIMU YA BIASHARA, (SURA YA 315) _______ KANUNI _______ (Zimetengenezwa chini ya kifungu cha 14(1)) KANUNI ZA NIDHAMU KWA WANAFUNZI ZA MWAKA 2024 SEHEMU YA KWANZA MASHARTI YA UTANGULIZI Jina - 35 Verify source ↗
(1) Kanuni hizi zitasomwa pamoja na Sheria
AI-assisted research summary: These regulations must be read together with the Act and other existing college regulations.
35.-(1) Kanuni hizi zitasomwa pamoja na Sheria na kanuni nyingine za chuo zilizopo. - 36 Verify source ↗
Mwanafunzi yeyote anayerudi kuendelea na
AI-assisted research summary: A student returning to continue studies at the college after a suspension must bear all consequences of that suspension.
36. Mwanafunzi yeyote anayerudi kuendelea na masomo katika Chuo baada ya kusimamishwa chini ya Kanuni hizi, atawajibika na athari zote zitokanazo na kusimamishwa kwake. - 37 Verify source ↗
(1) Mwanafunzi ataonesha kitambulisho
AI-assisted research summary: Mwanafunzi lazima aoneshe na kuvaa kitambulisho chake anapohitajika, na anaweza kuhitajika kufanya hivyo maeneo yote ya Chuo.
37.-(1) Mwanafunzi ataonesha kitambulisho katika maeneo yote wakati wote atakapotakiwa kufanya hivyo na afisa aliyeidhinishwa. (2) Mwanafunzi atatakiwa kuonesha na kuvaa kitambulisho chake wakati wote akiwa katika maeneo ya Chuo. (3) Lango kuu la Chuo au njia nyingine za kuingia Chuo zitafungwa saa 6:00 usiku hadi saa 11:30 alfajiri. (4) Chuo hakitawajibika na uangalizi na usalama wa mali yoyote ya mwanafunzi. 21 Tangazo la Serikali Na. 365 (Linaendelea) Kanuni za Nidhamu kwa Wanafunzi __________________ JEDWALI LA KWANZA __________________ (Limetengenezwa chini ya kanuni ya 23(2)) FOMU YA KUKIRI KOSA Mimi (Jina la mwanafunzi mtuhumiwa), mwenye Namba ya Usajili …………………ninaelewa kuwa kukiri kwangu hakukusababishwa na ushawishi, tishio wala ahadi ya aina yoyote ile. Kuwa, kukiri kwangu ni kwa hiari, na kuwa kunaweza kutumika kama ushahidi dhidi yangu mbele ya Kamati ya Nidhamu kwa Wanafunzi au Kamati ya Rufaa ya Nidhamu kwa Wanafunzi au mbele ya Mahakama. Kwa kuongezea, nimefahamishwa kuhusu haki zangu zote kwa mujibu wa Kanuni za Nidhamu za Wanafunzi za mwaka 2024. Maelezo ya kukiri kosa …………………………………………………………................... ……………………………………………………………………………………………… ……………………………………………………………………………………………… ……………………………………………………………………………………………… ……………………………………………………………………………… ……………………………………………………………………………………………… ……………………………………………………………………………………………… ……………………………………………………………………………………………… ……………………………………………………………………………… ……………………………………. …………………….. Saini ya mwanafunzi mtuhumiwa tarehe ya kukiri kosa 22 Tangazo la Serikali Na. 365 (Linaendelea) Kanuni za Nidhamu kwa Wanafunzi _______________ JEDWALI LA PILI ________________ (Limetengenezwa chini ya kanuni ya 33(1)) ADHABU KWA MAKOSA YA KINIDHAMU KANUNI 4 (a) 4 (b) 4 (c) 4 (d) 4 (e) lolote lililokodishwa KOSA LA KINIDHAMU Mwenendo au una ambao unafanya uwezekano wa kusababisha uharibifu au vurugu kwa mtu au mali yoyote ndani ya Chuo ikizingatiwa kuwa, kitendo hicho kimefanywa na mwanafunzi dhidi ya mwanafunzi mwingine au afisa Chuoni au eneo au linalotambuliwa rasmi na Chuo. Kutumia nguvu au vurugu au vitisho dhidi kumshambulia mwanafunzi ya mwenzake au afisa wa Chuo au mtu yeyote ndani ya Chuo au eneo lolote lililokodishwa au linalotambuliwa rasmi na Chuo. Kitendo au mwenendo ambao unaweza kuzuia au kuvuruga uendeshaji wa shughuli ya kitaaluma, kiutawala au uchaguzi Kuharibu, kuvuruga au kuteketeza mali ya Chuo au Matumizi yasioidhinishwa ya, au kuingilia, mfumo wowote wa kiteknolojia, umeme au huduma zingine za Chuo. 4 (f) Kumiliki mali ya Chuo bila ruhusa 4(g) 4 (h) Kukataa au kushindwa kutii amri halali au maelekezo yaliyotolewa na afisa yeyote wa Chuo au amri kutoka kwa chombo chochote husika cha Chuo. Kutoa taarifa ya uongo kwa kujua. ADHABU Mwanafunzi atapewa onyo kali au kusimamishwa masomo kwa muda usiozidi mwaka mmoja na ataagizwa kulipa fidia kwa thamani ya mali iliyoharibika. Mwanafunzi atasimamishwa masomo kwa muda usiopungua mwaka mmoja au kufukuzwa. atasimamishwa Mwanafunzi masomo kwa muda usiozidi mwaka mmoja wa masomo. Mwanafunzi atasimamishwa masomo kwa mwaka mmoja, na fidia kwa ataagizwa kulipa thamani ya mali iliyoharibika. Mwanafunzi atasimamishwa masomo kwa muda usiozidi miezi sita, na ataagizwa kulipa fidia kwa thamani ya mali iliyoharibika au kuingilia huduma. Kutoa onyo kali na kumwagiza mwanafunzi kurudisha mali hiyo ikiwa na hali nzuri. Iwapo mali iliyorudishwa haitakuwa na hali nzuri, mwanafunzi atatakiwa kutoa fidia kwa mali aliyoharibu. kali Kutoa au mwanafunzi kumsimamisha masomo kwa muda usiozidi miezi sita. au Kutoa kumsimamisha masomo mwanafunzi kwa muda usiozidi miezi mitatu. onyo onyo kali 4(1) (i) Kushindwa au kukataa kuhudhuria kikao Kutoa onyo kali au 23 Tangazo la Serikali Na. 365 (Linaendelea) Kanuni za Nidhamu kwa Wanafunzi 4 (j) 4 (k) 4 (l) 4 (m) 4(1) (n) 4 (o) 4 (p) 4 (q) 4 (r) 4 (s) 4 (t) kilichoitishwa na chombo chochote chenye mamlaka kwa njia ya mdomo au maandishi. Kuzuia au kuingilia kwa makusudi kazi au mashauri yanayoendeshwa na afisa yeyote mwenye mamlaka au chombo chochote chenye mamlaka cha Chuo. Kukataa au kushindwa kutoa ushahidi mbele ya Kamati ya Nidhamu kwa Wanafunzi au chombo kingine chochote chenye mamlaka Kukataa au kushindwa kuheshimu na kutekeleza hukumu, uamuzi au adhabu halali iliyotolewa na afisa yeyote au chombo kingine chochote chenye mamlaka. Matumizi ya lugha ya kashfa, matusi, chafu au ya kitisho baina ya wanafunzi au afisa au mwanajumuiya yeyote wa Chuo. kitendo au lililokodishwa au inaweza Kutenda kwa namna ambayo kushawishi au kuchochea vurugu miongoni mwa wanafunzi, iwe ndani ya Chuo au eneo lolote linalotambuliwa rasmi na Chuo. chochote Kufanya kitakachosababisha kinachoweza kumsababishia madhara ya kimwili au kisaikolojia mwanafunzi mwingine, au afisa au mwanajumuiya yeyote wa Chuo. au au Kupiga kuwahamasisha wanafunzi au watu wengine kupiga kelele au kufanya usumbufu wa aina yoyote kwenye majengo ya Chuo au majengo yoyote yaliyokodiwa. Kuunda au kuanzisha kikundi cha wanafunzi kisichoruhusiwa kinaweza kusababisha kuvunja umoja au kuleta vurugu. au kuitisha kwa Kuandaa, kushiriki makusudi mkutano au kikao kinyume na sheria. kusumbua ambacho kelele Kuchochea na kushiriki katika ghasia, mgomo, kususia madarasa au vurugu zozote au uchochezi wowote. Kushawishi wanafunzi kugomea lolote. jambo 24 mwanafunzi kumsimamisha masomo kwa muda usiozidi miezi sita. Kumsimamisha mwanfunzi kwa mwaka mmoja. masomo kali onyo au Kutoa kumsimamisha masomo mwanafunzi kwa muda usiozidi miezi mitatu. Kumsimamisha mwanafunzi masomo kwa muda usiozidi mwaka mmoja au kumfukuza mwanafunzi. au Kutoa kumsimamisha masomo mwanafunzi kwa muda usiozidi miezi sita. au Kutoa kumsimamisha masomo mwanafunzi kwa muda usiozidi miezi sita. onyo onyo kali kali kali onyo au Kutoa kumsimamisha masomo mwanafunzi kwa muda usiozidi mwaka mmoja. Kutoa onyo kali au kusimamisha masomo kwa muda usiopungua miezi mitatu. kali kali onyo onyo au Kutoa kumsimamisha masomo mwanafunzi kwa muda usiozidi miezi sita. au Kutoa kumsimamisha masomo mwanafunzi kwa muda usiozidi miezi sita. Kumsimamisha mwanafunzi masomo kwa muda usiozidi mwaka mmoja Onyo kali au kusimamisha masomo mwanafunzi kwa kuda usiopungua miezi sita. Tangazo la Serikali Na. 365 (Linaendelea) Kanuni za Nidhamu kwa Wanafunzi 4 (u) 4 (v) 4 (w) 4 (x) 4(y) 4 (z) 4 (aa) Kuitisha au kufanya Baraza la Wanafunzi bila ruhusa. Kupanga na kushiriki kwenye maandamano yasiyo halali. Kumwalika kiongozi wa serikali au wa kisiasa, mgeni rasmi, mshereheshaji, au mtu yeyote kutoka nje ya Chuo bila kupata ruhusa kutoka kwa Mshauri wa Wanafunzi au yeyote mwenye mamlaka. Kusambaza kwa maandishi au mdomo matamko ya kashfa kwa watu wengine. afisa mwingine Uzembe au ubadhilifu wa fedha za Serikali ya Wanafunzi au chama, klabu, au kikundi chochote cha wanafunzi kinachotambulika. Kiongozi wa Serikali ya Wanafunzi wa Chuo cha Elimu ya Biashara kuingia mkataba na mtu yeyote kinyume na Katiba ya Serikali ya Wanafunzi. Kukusanya fedha kwa ulaghai au kupokea fedha kwa udanganyifu kutoka kwa wanafunzi wenzake au mtu mwingine yeyote. 4 (bb) Kushindwa kulipa fidia kwa uharibifu au upotevu wa mali ya Chuo. 4 (cc) 4(dd) au eneo Kubeba silaha bila ruhusa au kibali ndani ya lolote majengo ya Chuo lililokodishwa au linalotambuliwa rasmi na Chuo. Wizi unaofanyika katika majengo ya Chuo au au linalotambuliwa rasmi na Chuo. lililokodishwa lolote eneo 4 (ee) Kughushi waraka au kusambaza waraka wa uongo au kuwasilisha waraka wa kughushi. 25 onyo au kali Kutoa kumsimamisha mwanafunzi masomo kwa muda usiopungua miezi sita. Kumsimamisha masomo mwanafunzi kwa muda usiozidi mwaka mmoja kali onyo Kutoa kumsimamisha mwanafunzi usiopungua miezi mitatu. kwa au masomo muda kali kwa onyo au masomo muda Kutoa kumsimamisha mwanafunzi usiopungua miezi mitatu. Kumsimamisha masomo mwanafunzi kwa mwaka mmoja fedha na atatakiwa kurejesha zilizofanyiwa ubadhirifu. au deni Kumsimamisha masomo mwanafunzi kwa muda usiozidi miezi sita na binafsi atawajibika kwa madai yatakayolimbikizwa chini ya huo mkataba. masomo Kumsimamisha mwanafunzi kwa mwaka mmoja na atatakiwa kurejesha fedha alizokusanya kwa ulaghai au udanganyifu. masomo Kumsimamisha mwanafunzi muda usiopungua miezi mitatu na atatakiwa kulipa fidia. Kutoa kumsimamisha mwanafunzi usiopungua miezi mitatu. masomo Kumsimamisha muda mwanafunzi usiopungua miezi na mwanafunzi atatakiwa kurudisha au kulipa thamani ya mali hiyo. Kumsimamisha kwa mwanafunzi usiopungua miezi sita. au masomo muda masomo muda onyo kwa kwa kwa kali sita Tangazo la Serikali Na. 365 (Linaendelea) Kanuni za Nidhamu kwa Wanafunzi Kosa ambalo linavunja Sheria ya Serikali Mtandao. Kumfukuza mwanafunzi. Kutumia dawa zozote haramu au sumu ya aina yoyote kwa mwanafunzi mwenyewe au mwanafunzi mwenzake au mtu mwingine yeyote. Kosa ambalo linavunja Sheria ya Makosa ya Kimtandao, chochote na Kitendo mwanafunzi ndani au nje ya Chuo na kupelekea kuharibu taswira ya Chuo. kinachofanywa Kuendesha mkutano uchaguzi nje ya muda uliopangwa. au kampeni ya 4 (kk)(i) hadi (x) Unyanyasaji wa kingono. 4(ll) Kutoa au kupokea rushwa ya Ngono 4 (mm) Kujifanya mtu mwingine chochote na Kitendo mwanafunzi akikusudia kuonesha ushiriki au utii wake kwa chama cha siasa. kinachofanywa Kushawishi au kuchochea wanafunzi kugomea mihadhara, mitihani ya vitendo au kazi yoyote ya kitaaluma. Kushindwa kusoma taarifa au matangazo kwenye ubao wa matangazo, mfumo wa habari wa wanafunzi, au tovuti ya Chuo au namna au itakayotumika, kushindwa kufuata maelekezo husika. Kosa ambalo linavunja Sheria ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya. nyingine 4 (ff) 4 (gg) 4 (hh) 4 (ii) 4 (jj) 4(nn) 4 (oo) 4 (pp) 4 (qq) 4(1) (rr) 4 (ss) Kumsimamisha mwanafunzi usiopungua miezi kumfukuza. Kumfukuza mwanafunzi. kwa masomo muda au sita kali kwa onyo onyo au masomo muda Kutoa kumsimamisha mwanafunzi usiopungua miezi mitatu. au Kutoa kali masomo kumsimamisha mwanafunzi kwa muda usiozidi miezi sita. Kutoa kumsimamisha kwa mwanafunzi usiopungua miezi sita. Kumsimamisha masomo mwanafunzi kwa muda wa mwaka mmoja au kumfukuza. au masomo muda onyo kali kali kwa onyo masomo Kumsimamisha mwanafunzi muda usiopungua mwaka mmoja au kumfukuza. au Kutoa kumsimamisha masomo mwanafunzi kwa muda usiozidi miezi sita. Kutoa onyo kali au kumsimamisha masomo mwanafunzi kwa muda usiozidi mwaka mmoja au Kutoa kumsimamisha masomo mwanafunzi kwa muda usiozidi miezi mitatu. onyo kali Kumfukuza mwanafunzi. masomo masomo masomo muda Kosa ambalo linavunja Sheria ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa. Kumfukuza mwanafunzi. Kuingilia pasipo uhalali mchakato wa uchaguzi wa Serikali ya Wanafunzi. Kumsimamisha mwanafunzi kwa usiopungua miezi sita. 26 Tangazo la Serikali Na. 365 (Linaendelea) Kanuni za Nidhamu kwa Wanafunzi 4 (tt) 4 (uu) 4 (vv) 4(ww) Kuunda au kuanzisha chama, klabu au kikundi cha wanafunzi bila ruhusa kutoka kwa Mshauri wa Wanafunzi, afisa Ustawi wa Jamii au chombo kingine chochote chenye mamlaka. au Kushindwa kitambulisho cha uanafunzi kufanya hivyo na afisa mwenye mamlaka. kuonesha kukabidhi inapotakiwa Kutokupitisha kwa Mshauri wa Wanafunzi au afisa Ustawi wa Jamii mawasiliano yoyote rasmi ya kwenda nje ya Chuo kwa mwanafunzi yeyote au kiongozi wa Serikali ya Wanafunzi ya Chuo cha Elimu ya Biashara. Kushindwa kurejesha mkopo au deni baina ya wanafunzi au mtu mwingine yeyote. kali onyo au Kutoa kumsimamisha masomo mwanafunzi kwa muda usiozidi miezi mitatu. kali onyo au Kutoa kumsimamisha masomo mwanafunzi kwa muda usiozidi miezi mitatu. Kutoa au masomo kumsimamisha mwanafunzi kwa muda usiozidi miezi mitatu. onyo kali kali onyo au Kutoa kumsimamisha masomo mwanafunzi kwa muda usiozidi miezi mitatu na kurejesha mkopo au deni. ADHABU KWA MAKOSA YA KINIDHAMU YANAYOHUSIANA NA UVAAJI WA MAVAZI WA WANAFUNZI KANUNI 5 (a) hadi (q) KOSA LA NIDHAMU Mwanafunzi yeyote atakayevunja Kanuni ya 5 (1) (a) hadi (q). ADHABU atazuiwa (a) Mwanafunzi kuingia kwenye majengo ya Chuo au majengo yoyote yaliyopangwa na Chuo; (b) Mwanafunzi kuingia kwenye ofisi za Chuo, kumbi za mihadhara au madarasa, maktaba, maabara na mikusanyiko yote rasmi; au atazuiwa (c) Mwanafunzi atasimamishwa masomo kwa muda usiozidi miezi mitatu. ADHABU KWA MAKOSA YA KINIDHAMU YANAYOHUSIANA NA MALAZI KANUNI 6 (a) 6 (b) 6 (c) KOSA LA NIDHAMU Kupangisha chumba katika mabweni ya Chuo au malazi mengine yaliyokodiwa au kutambuliwa na Chuo kwa mtu mwingine Kuishi kwenye bweni la Chuo au malazi mengine yaliyokodiwa au kutambuliwa na Chuo pasipo uhalali. Kutumia majengo ya mabweni kwa ajili ya matukio ya kijamii bila kupata kibali cha Mshauri wa Wanafunzi au afisa ustawi wa jamii. ADHABU Kumwondoa mwanafunzi bwenini bila kumrudishia malipo ya pango. Kulipa 30% ya malipo ya mwaka ya pango na kufukuzwa bwenini au malazi husika Kumwondoa mwanafunzi bwenini bila kumrejeshea malipo ya pango. 27 Tangazo la Serikali Na. 365 (Linaendelea) Kanuni za Nidhamu kwa Wanafunzi 6 (d) 6 (e) 6 (f) 6 (g) 6 (h) 6 (i) 6 (j) 6 (k) 6 (l) Kuchangia chumba na mwanafunzi wa jinsi tofauti Kupika chakula bwenini pasipo kibali cha maandishi kutoka kwa Mshauri wa Wanafunzi au afisa ustawi wa jamii. Kuingilia au kuhamisha samani au vifaa vya aina yoyote kutoka bwenini bila ruhusa ya Mshauri wa Wanafunzi au afisa ustawi wa jamii. Kutumia baraza, dirisha au ukuta kwa ajili ya kuanika nguo au ufuaji wa aina yoyote. friji, mashine ya Kuingiza bwenini kukausha, friza au kifaa chochote cha kupikia pasipo kibali cha maandishi kutoka kwa Mshauri wa Wanafunzi au afisa ustawi wa jamii. Kuondoka bila kumkabidhi vifaa vya malazi kwa afisa mwenye mamlaka. Kumzuia afisa wa Chuo au mtu yeyote aliyeidhinishwa kuingia chumbani kwa ajili ya ukarabati, ukaguzi au shughuli nyingine kama iliyoamuriwa. Kutumia vifaa vya muziki na vyombo sauti bwenini na vingine vinavyotoa kusababisha kwa wakazi wengine. Ulevi au uvutaji wa sigara kwenye bwenini usumbufu 6 (m) Kuwakaribisha wageni wa jinsia tofauti bwenini baada ya saa nne usiku. Kumwondoa mwanafunzi bwenini bila kumrejeshea malipo ya pango. Kumwondoa mwanafunzi bwenini bila kumrejeshea malipo ya pango. au Kutoa kumsimamisha masomo mwanafunzi kwa muda usiozidi miezi mitatu.na atatakiwa kulipa kwa uharibifu au upotevu wowote wa kifaa au samani hiyo. onyo kali Kutoa onyo kali. Kumfukuza mwanafunzi bwenini bila kumrudishia malipo ya pango. Kutoa onyo kali na kumwagiza mwanafunzi kukabidhi vifaa vya malazi. Kumfukuza mwanafunzi bwenini bila kumrudishia malipo ya pango. Kutoa onyo kali au kumfukuza mwanafunzi kwenye chumba bila kumrudishia malipo ya pango. kutoka Kutoa onyo kali au kumfukuza kwenye mwanafunzi chumba bila kumrudishia malipo ya pango. Kutoa onyo kali au kumfukuza mwanafunzi katika chumba bila kumrudishia malipo ya pango. ADHABU KWA MAKOSA YA KINIDHAMU YANAYOHUSIANA NA MGAHAWA NA JIKO KANUNI 10(1) KOSA LA NIDHAMU Kuingia jikoni kwa mtoa huduma za mgahawa bila ruhusa ya mtoa huduma au Mshauri wa Wanafunzi au afisa ustawi wa jamii. ADHABU Kutoa onyo kali au kumsimamisha masomo mwanafunzi kwa muda usiozidi miezi mitatu. 28 Tangazo la Serikali Na. 365 (Linaendelea) Kanuni za Nidhamu kwa Wanafunzi 10(2) au kitu chombo Kuchukua chochote kutoka mgahawani au eneo lolote ndani au nje ya Chuo ya Chuo bila cha mtoa huduma, Mshauri wa Wanafunzi au afisa ustawi wa jamii. Kutoa onyo kali au kumsimamisha masomo mwanafunzi kwa muda usiozidi miezi mitatu.na mwanafunzi atatakiwa kurudisha vyombo au vitu hivyo vikiwa na hali nzuri au kulipa fidia kwa uharibifu wowote. Dar es Salaam, 23 Aprili, 2024 WINEASTER S. ANDERSON Mwenyekiti wa Bodi ya Uongozi 29
Part
SEHEMU YA KWANZA
- 1 Verify source ↗
Kanuni hizi zitajulikana kama Kanuni za
AI-assisted research summary: This provision says these rules will be known as the 2024 Student Discipline Rules.
1. Kanuni hizi zitajulikana kama Kanuni za Nidhamu kwa Wanafunzi za Mwaka 2024. Matumizi - 2 Verify source ↗
Kanuni hizi zitatumika kwa wanafunzi wa Chuo
AI-assisted research summary: Kanuni hizi zinatumika kwa wanafunzi wa Chuo cha Elimu ya Biashara.
2. Kanuni hizi zitatumika kwa wanafunzi wa Chuo cha Elimu ya Biashara. Tafsiri - 3 Verify source ↗
Katika Kanuni hizi, isipokuwa kama muktadha
AI-assisted research summary: This section defines key terms used in the student discipline regulations.
3. Katika Kanuni hizi, isipokuwa kama muktadha utahitaji vinginevyo- “afisa aliyeidhinishwa” maana yake ni afisa yeyote wa Chuo aliyeidhinishwa kutekeleza majukumu ya Chuo; “afisa Ustawi wa Jamii” maana yake ni afisa anayefanya kazi katika ofisi ya Mshauri wa Wanafunzi au Kurugenzi ya Huduma za Wanafunzi; “Baraza la Wanafunzi” maana yake ni mkutano mkuu wa wanafunzi unaowahusisha wanafunzi wote wa Chuo au wanafunzi katika kampasi husika; “Bodi ya Uongozi” maana yake ni Bodi ya Uongozi wa Chuo cha Elimu ya Biashara; “kosa la kinidhamu” maana yake ni kosa lililokatazwa chini ya Kanuni hizi; “mabweni” maana yake ni majengo ya Chuo au makazi yaliyokodiwa kwa ajili ya malazi ya wanafunzi; “Mkurugenzi wa kampasi” maana yake ni mkuu wa usimamizi wa kampasi husika isipokuwa kampasi 4 Tangazo la Serikali Na. 365 (Linaendelea) Kanuni za Nidhamu kwa Wanafunzi kuu; “Mshauri wa Wanafunzi” maana yake ni afisa anayesimamia masuala na huduma za wanafunzi na inajumuisha Mkurugenzi wa Huduma za Wanafunzi; “mwanafunzi” maana yake ni mtu aliyesajiliwa kikamilifu na Chuo kufanya programu yoyote ya kitaaluma; Sura ya 315 “Sheria” maana yake ni Sheria ya Chuo cha Elimu ya Biashara; na “silaha” maana yake silaha ya moto, kisu, panga, rungu, kipande cha chuma na nyingine za aina hiyo. Makosa ya kinidhamu SEHEMU YA PILI MAKOSA YA KINIDHAMU
Provision text is displayed from LexChat’s stored statute record. Use the official source links to verify amendments, commencement, and current legal force.
Ask AI about this statute
Kanuni za Nidhamu kwa Wanafunzi za Mwaka 2024
Sign in to ask AI about this statute
Sign in to start authenticated, citation-grounded statute research.
Sign in