KANUNI ZA KUDUMU YA HALMASHAURI YA WILAYA YA HAI YA MWAKA 2024
Sehemu hii ina kichwa cha tafsiri na inaonyesha kuwa ni sehemu ya pili kuhusu mikutano ya halmashauri.
AI-assisted research synopsis — verify against the official legal text below.
- Jurisdiction
- Tanzania
- Instrument
- Regulation
- Citation
- KANUNI ZA KUDUMU YA HALMASHAURI YA WILAYA YA HAI YA MWAKA 2024
- Version
- Undated source snapshot
- Language
- sw
- Official source
- View official record ↗
Statute overview
About this statute
Sehemu hii ina kichwa cha tafsiri na inaonyesha kuwa ni sehemu ya pili kuhusu mikutano ya halmashauri. Section 10 is titled “Akidi katika mikutano ya Halmashauri” and appears in Part Three on meeting procedures. Section 11 concerns the election of the Chairperson and Vice Chairperson of the Council. This section is titled “Uongozaji wa mkutano wa Halmashauri.” This section is titled “Kumbukumbu ya mahudhurio” (attendance register/record).
Search within this statute
Search all stored provisions in this version.
Legal text
Provisions of KANUNI ZA KUDUMU YA HALMASHAURI YA WILAYA YA HAI YA MWAKA 2024
Showing 138 of 138
- 2 Verify source ↗
Tafsiri
AI-assisted research summary: Sehemu hii ina kichwa cha tafsiri na inaonyesha kuwa ni sehemu ya pili kuhusu mikutano ya halmashauri.
2. Tafsiri. SEHEMU YA PILI MIKUTANO YA HALMASHAURI
Part
SEHEMU YA PILI
- 10 Verify source ↗
Akidi katika mikutano ya Halmashauri
AI-assisted research summary: Section 10 is titled “Akidi katika mikutano ya Halmashauri” and appears in Part Three on meeting procedures.
10. Akidi katika mikutano ya Halmashauri. SEHEMU YA TATU TARATIBU ZA MIKUTANO - 3 Verify source ↗
(1) Mkutano wa kwanza wa kawaida wa
AI-assisted research summary: The council’s first ordinary meeting must be held every three months and after election results are announced; the director must convene it, present a report, and the council members must discuss it without reversing the decision made.
3.-(1) Mkutano wa kwanza wa kawaida wa Halmashauri utafanyika mara moja kila baada ya miezi mitatu, na utafanyika mahali, tarehe na katika muda kama utakavyokuwa umepangwa katika kalenda ya mikutano ya Halmashauri. (2) Mkutano wa kwanza wa kawaida wa Halmashauri utafanyika baada ya Tume ya Uchaguzi kutangaza matokeo ya uchaguzi wa Madiwani wa Kata. (3) Uteuzi wa Madiwani wa viti maalumu utafanyika baada ya Mkurugenzi kuitisha mkutano uliorejewa chini ya kanuni ndogo ya (1), ndani ya siku thelathini kuanzia tarehe ya matokeo ya uchaguzi wa madiwani wa kata na uteuzi wa madiwani wa viti maalumu yanapotangazwa na Tume ya Uchaguzi. (4) Ajenda za mkutano chini ya kanuni ndogo ya (1) zitajumuisha uchaguzi wa Mwenyekiti, Makamu Mwenyekiti na Wajumbe wa Kamati za Kudumu za Halmashauri. (5) Katika Mkutano wa kwanza wa kawaida wa Halmashauri, Mkurugenzi wa Halmashauri atawasilisha taarifa ya kumbukumbu ya uamuzi wa utekelezaji wa shughuli za Halmashauri zilizofanyika katika kipindi ambacho Baraza la Madiwani lilivunjwa. (6) Baada ya kupokea taarifa chini ya kanuni ndogo ya (4), wajumbe wa Baraza wataijadili bila kubatilisha uamuzi uliofikiwa. Utaratibu wa uchaguzi - 4 Verify source ↗
Uchaguzi wa Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti
AI-assisted research summary: The election of the Chairperson and Vice Chairperson must be by secret ballot.
4. Uchaguzi wa Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti utafanyika kwa kupiga kura za siri na upigaji wa kura utafanyikia sehemu ya faragha umbali usiopungua mita tano kutoka kwa msimamizi wa uchaguzi na mpigaji kura atachukua karatasi ya kupiga kura kutoka kwa msimamizi wa uchaguzi. 7 Kanuni za Kudumu ya Halmashauri ya Wilaya ya Hai Tangazo la Serikali Na. 612 (Linaendelea) Mkutano maalumu wa Halmashau ri - 5 Verify source ↗
(1) Wajumbe wa Halmashauri wasiopungua
AI-assisted research summary: Sehemu hii inaweka utaratibu wa kuitisha mkutano maalumu wa Halmashauri na hatua za kushughulikia hoja ya kumuondoa Mwenyekiti.
5.-(1) Wajumbe wa Halmashauri wasiopungua theluthi moja ya wajumbe wote wanaweza kuwasilisha kwa Mwenyekiti maombi ya kufanya mkutano maalumu wa Halmashauri kwa barua. (2) Baada ya kupokea maombi chini ya kanuni ndogo ya (1), Mwenyekiti anaweza kuitisha mkutano maalumu wa Halmashauri ndani ya siku ishirini na moja baada ya kupokea maombi ya maandishi yaliyosainiwa na wajumbe wasiopungua theluthi moja. (3) Endapo Mwenyekiti hataitisha mkutano maalumu wa Halmashauri ndani ya siku saba baada ya kupokea maombi chini ya kanuni ndogo ya (1), theluthi mbili ya wajumbe waliotia saini na kuwasilisha maombi kwa Mkurugenzi wanaweza kuitisha mkutano huo maalumu mara moja. (1) (4) Endapo ajenda ya mkutano chini ya kanuni ndogo ya inahusu kumuondoa madarakani Mwenyekiti, mkutano huo utaitishwa na Mkurugenzi baada ya kupokea maombi yaliyosainiwa na wajumbe wa Halmashauri wasiopungua theluthi mbili ya wajumbe wote. (5) Baada ya Mkurugenzi kupata taarifa ya mkutano wa kujadili ajenda ya kumuondoa madarakani Mwenyekiti, Mkurugenzi atamtaarifu Mwenyekiti tuhuma na sababu za kutaka kuondolewa katika nafasi hiyo na kumtaka aandae utetezi ndani ya siku tano baada ya kupokea tuhuma hizo. (6) Ndani ya siku tatu baada ya kupokea maelezo ya utetezi kutoka kwa Mwenyekiti, Mkurugenzi atawasilisha kwa Mkuu wa Mkoa tuhuma pamoja na maelezo ya utetezi. (7) Ndani ya siku tano baada ya kupokea taarifa, Mkuu wa Mkoa ataunda timu ya uchunguzi ambayo itakuwa na wajumbe wasiopungua watatu na wasiozidi watano. (8) Timu ya uchunguzi itakamilisha uchunguzi ndani ya siku kumi na nne na kuwasilisha taarifa hiyo kwa Mkuu wa Mkoa. (9) Baada ya Mkuu wa Mkoa kupata taarifa ya timu ya uchunguzi atairudisha taarifa hiyo kwa Mkurugenzi wa Halmashauri ambaye ndani ya siku kumi na nne ataiwasilisha kwenye kikao cha Baraza kwa ajili ya uamuzi. (10) Endapo Mwenyekiti hataridhika na uamuzi wa 8 Kanuni za Kudumu ya Halmashauri ya Wilaya ya Hai Tangazo la Serikali Na. 612 (Linaendelea) Baraza, atakata rufaa kwa Waziri kuhusiana na utaratibu uliotumika kumuondoa madarakani na si vinginevyo. Utaratibu wa kuwasilish a rufaa TS Na. 263 la 1995 - 6 Verify source ↗
(1) Utaratibu utakaotumika kuwasilisha na
AI-assisted research summary: Special meeting notice must be given at least 24 hours before the meeting, and no other business may be discussed except the budget meeting.
6.-(1) Utaratibu utakaotumika kuwasilisha na kushughulikia rufaa iliyowasilishwa na Mwenyekiti utakuwa kama ulivyoainishwa katika Taratibu za Kumwondoa Madarakani Mwenyekiti za Halmashauri ya Wilaya. (2) Taarifa ya Mkutano maalumu itatolewa angalau saa ishirini na nne kabla ya Mkutano. (3) Shughuli nyingine yoyote haitajadiliwa katika ile Mkutano Maalumu wa Halmashauri iliyoelezwa kwenye taarifa ya kuitishwa kwa Mkutano huo. isipokuwa Mkutano wa bajeti - 7 Verify source ↗
Mkutano wa bajeti utafanyika kwa siku mbili
AI-assisted research summary: The budget meeting is to be held for two consecutive days, two months before the end of the financial year.
7. Mkutano wa bajeti utafanyika kwa siku mbili mfululizo miezi miwili kabla ya mwaka wa fedha kumalizika na masuala yafuatayo yatajadiliwa: (a) utekelezaji wa mipango na bajeti ya mwaka uliopita; na (b) mipango na bajeti ya mwaka unaofuata. Mkutano wa mwaka - 8 Verify source ↗
(1) Mkutano wa mwaka wa Halmashauri
AI-assisted research summary: The council must hold its annual meeting at the date, place, and time set in its meeting calendar, and the Director convenes it after consulting the Chairperson.
8.-(1) Mkutano wa mwaka wa Halmashauri utafanyika tarehe, mahali na muda utakaopangwa na Halmashauri katika kalenda ya mikutano na utaitishwa na Mkurugenzi baada ya kuwasiliana na Mwenyekiti wa Halmashauri. (2) Mikutano yote ya Baraza itapangwa na Baraza la Madiwani kwa kuzingatia ratiba ya Vikao vya Bunge ili kuwezesha wabunge kuhudhuria Mikutano ya Baraza la Madiwani. (3) Endapo Mkutano wa Baraza utaitishwa wakati wa Vikao vya Bunge, Mkurugenzi atamjulisha mbunge husika kuhusu kikao hicho ili ahudhurie. (2) Mkutano wa kwanza wa uchaguzi wa Mwenyekiti, Makamu Mwenyekiti na wajumbe wa Kamati utaongozwa na Katibu Tawala wa Wilaya na Mkurugenzi wa Halmashauri atakuwa Katibu. (3) Katika mkutano wa kawaida wa mwaka, Halmashauri itajadili masuala yafuatayo: (a) kumchagua Makamu Mwenyekiti, 9 Kanuni za Kudumu ya Halmashauri ya Wilaya ya Hai Tangazo la Serikali Na. 612 (Linaendelea) Taarifa ya mkutano Akidi katika mikutano ya Halmashau ri (b) kuteua wajumbe wa kamati za kudumu; (c) kujadili taarifa ya utendaji na uwajibikaji wa Halmashauri kwa mwaka uliopita; na (d) kupitisha ratiba ya vikao vya Halmashauri na Kamati za Halmashauri. - 9 Verify source ↗
(1) Mkurugenzi atatoa taarifa ya mkutano kwa
AI-assisted research summary: Mkurugenzi lazima atume taarifa ya mkutano kwa maandishi kwa kila mjumbe angalau siku 7 kabla, na aambatanishe nyaraka au kumbukumbu muhimu.
9.-(1) Mkurugenzi atatoa taarifa ya mkutano kwa maandishi kwa kila mjumbe katika muda usiopungua siku saba akieleza mahali, siku na saa ya mkutano unaokusudiwa na masuala yatakayojadiliwa katika mkutano huo. (2) Taarifa ya mkutano itaambatana na nyaraka au kumbukumbu muhimu zitakazotumika katika mkutano huo. (3) Isipokuwa kwa idhini ya Mwenyekiti au ya idadi tatu ya wajumbe robo ya wajumbe waliohudhuria mkutano, shughuli hazitafanyika katika Mkutano wa Halmashauri isipokuwa shughuli zilizotajwa katika mwaliko wa mkutano huo. isiyopungua - 10 Verify source ↗
(1) Mkutano wa kawaida wa Halmashauri
AI-assisted research summary: This section sets quorum rules for council meetings and requires the Director to adjourn and reconvene a meeting if quorum is not reached.
10.-(1) Mkutano wa kawaida wa Halmashauri hautafanyika idadi ya wajumbe isiyopungua nusu ya wajumbe wote waliohudhuria na kujiandikisha kwenye daftari la mahudhurio. isipokuwa kama kutakuwa na (2) Akidi katika mkutano Maalumu wa Halmashauri itakuwa ni theluthi mbili ya wajumbe wote wa Halmashauri na itahesabiwa wakati wa ufunguzi wa Mkutano. (3) Akidi katika mkutano wa kawaida wa mwaka na mkutano wa kwanza wa Halmashauri itakuwa theluthi mbili ya wajumbe wote wa Halmashauri. (4) Endapo wajumbe waliohudhuria Mkutano hawatafikia akidi ya Mkutano, Mkurugenzi ataahirisha Mkutano huo na kuuitisha tena ndani ya siku saba na iwapo idadi yoyote ya wajumbe akidi haitatimia waliohudhuria na Mkurugenzi atamjulisha Waziri uwepo kwa hali hiyo. tena, itatengeneza ya Mkutano akidi 10 Kanuni za Kudumu ya Halmashauri ya Wilaya ya Hai Tangazo la Serikali Na. 612 (Linaendelea) Uchaguzi wa Mwenyekit i na Makamu Mwenyekit i wa Halmashau ri SEHEMU YA TATU TARATIBU ZA MIKUTANO
Part
SEHEMU YA TATU
- 11 Verify source ↗
Uchaguzi wa Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri
AI-assisted research summary: Section 11 concerns the election of the Chairperson and Vice Chairperson of the Council.
11. Uchaguzi wa Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri. - 12 Verify source ↗
Uongozaji wa mkutano wa Halmashauri
AI-assisted research summary: This section is titled “Uongozaji wa mkutano wa Halmashauri.”
12. Uongozaji wa mkutano wa Halmashauri. - 13 Verify source ↗
Kumbukumbu ya mahudhurio
AI-assisted research summary: This section is titled “Kumbukumbu ya mahudhurio” (attendance register/record).
13. Kumbukumbu ya mahudhurio. 1 Kanuni za Kudumu ya Halmashauri ya Wilaya ya Hai Tangazo la Serikali Na. 612 (Linaendelea) - 14 Verify source ↗
Kuruhusu watu na vyombo vya habari katika mkutano ya
AI-assisted research summary: The section is about allowing people and the media to attend a Halmashauri meeting.
14. Kuruhusu watu na vyombo vya habari katika mkutano ya Halmashauri. - 22 Verify source ↗
Hoja zinazoweza kutolewa bila taarifa
AI-assisted research summary: This section concerns leave that may be issued without notice.
22. Hoja zinazoweza kutolewa bila taarifa. - 28 Verify source ↗
Uhuru wa Kutoa mawazo wakati wa majadiliano
AI-assisted research summary: Kifungu hiki kinaeleza uhuru wa kutoa mawazo wakati wa majadiliano.
28. Uhuru wa Kutoa mawazo wakati wa majadiliano. - 31 Verify source ↗
Mwaliko kwa wasiokuwa wajumbe kushiriki na kuzungumza kwenye
AI-assisted research summary: This section is about inviting non-members to take part in and speak at council meetings.
31. Mwaliko kwa wasiokuwa wajumbe kushiriki na kuzungumza kwenye vikao vya Halmashauri. - 33 Verify source ↗
Mihtasari ya Halmashauri kupelekwa kwa Mkuu wa Wilaya na Mkuu
AI-assisted research summary: This section concerns council summaries being sent to the District Commissioner and the Regional Commissioner.
33. Mihtasari ya Halmashauri kupelekwa kwa Mkuu wa Wilaya na Mkuu wa Mkoa. - 37 Verify source ↗
Uhalali wa majadiliano ya Halmashauri
AI-assisted research summary: This section concerns the validity of council discussions.
37. Uhalali wa majadiliano ya Halmashauri. - 38 Verify source ↗
Uwezo wa Halmashauri kujigeuza kuwa Kamati ya Halmashauri
AI-assisted research summary: Section title about the Halmashauri’s power to turn itself into the full council committee.
38. Uwezo wa Halmashauri kujigeuza kuwa Kamati ya Halmashauri nzima. - 39 Verify source ↗
Hoja zinazohusu watumishi wa Halmashauri
AI-assisted research summary: Kifungu hiki kinahusu watumishi wa Halmashauri.
39. Hoja zinazohusu watumishi wa Halmashauri. - 41 Verify source ↗
Uahirishaji wa vikao
AI-assisted research summary: Kichwa hiki kinaonyesha kuwa sehemu hii inahusu uahirishaji wa vikao katika Kamati.
41. Uahirishaji wa vikao. SEHEMU YA NNE KAMATI - 11 Verify source ↗
(1) Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti
AI-assisted research summary: The Halmashauri members elect the Chairperson and Vice Chairperson by secret ballot, and a vacant post must be filled within 60 days.
11.-(1) Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti watachaguliwa na wajumbe wa Halmashauri. (2) Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti watachaguliwa miongoni mwa wajumbe wa Halmashauri kwa kura ya siri itakayopigwa na kila mjumbe kwenye eneo la faragha litakalotengwa umbali usiopungua mita tano kutoka mahali alipokaa msimamizi wa uchaguzi. (3) Mjumbe kabla ya kwenda sehemu ya faragha kwa ajili ya kupiga kura, atapewa karatasi ya kupigia kura na msimamizi wa uchaguzi kutoka kwenye chombo maalumu kitakachowekwa mbele ya msimamizi wa uchaguzi, na kwenda moja kwa moja kupiga kura yake kwenye sehemu ya faragha. (3) Mtu atakayepata zaidi ya nusu ya kura zilizopigwa atatangazwa kuwa Mwenyekiti au Makamu Mwenyekiti. (4) Endapo wakati wa kumchagua Mwenyekiti au Makamu Mwenyekiti jina moja pekee limependekezwa, wajumbe watapiga kura ya siri ya “ndiyo” au “hapana” na iwapo kura za “ndiyo” zitazidi asilimia hamsini ya kura zote zilizopigwa, mgombea atatangazwa kuwa Mwenyekiti au Makamu Mwenyekiti. (5) Endapo kura za “hapana” zitazidi asilimia hamsini ya kura zote zilizopigwa, la mgombea mwingine litapendekezwa kwa njia na utaratibu uliotumika hapo awali. jina (6) Endapo kura zitalingana, uchaguzi utarudiwa kwa mara ya pili na iwapo baada ya kurudia uchaguzi, kura zimelingana, Baraza litaamua kugawana muda wa kuwa madarakani kwa wagombea hao ambao kura zao zimelingana. (7) Endapo itatokea nafasi wazi ya Mwenyekiti au Makamu Mwenyekiti, Halmashauri itamchagua Mwenyekiti au Makamu Mwenyekiti ndani ya siku sitini tangu nafasi hiyo ilipoachwa wazi. 11 Kanuni za Kudumu ya Halmashauri ya Wilaya ya Hai Tangazo la Serikali Na. 612 (Linaendelea) Uongozaji wa mkutano wa Halmashau ri - 12 Verify source ↗
(1) Mkutano wa Halmashauri utaongozwa na
AI-assisted research summary: Kanuni hii inaweka nani aongoze mkutano wa Halmashauri, mavazi ya mikutano, marufuku ya mavazi fulani, na ratiba ya Mwenyekiti kufika ofisini.
12.-(1) Mkutano wa Halmashauri utaongozwa na iwapo Mwenyekiti hayupo, Makamu Mwenyekiti au Mwenyekiti. (2) Endapo Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti hawapo, au hawawezi kuongoza mkutano, mjumbe yeyote atachaguliwa na wajumbe kutoka miongoni mwa wajumbe waliohudhuria kwa ajili ya kuongoza mkutano huo. (3) Wajumbe watakapokuwa ndani ya ukumbi wa mikutano wa Halmashauri watavaa mavazi maalumu yaliyochaguliwa na kushonwa kwa ajili hiyo. (4) Endapo vazi maalumu lililochaguliwa na Halmashauri ni joho litavaliwa juu ya vazi la mjumbe, na iwapo Halmashauri haina joho mjumbe atavaa vazi la heshima. (5) Mavazi ya kidini, jinzi, kofia zisizohusiana na mkutano na sare za chama cha siasa haziruhusiwi kuvaliwa wakati wa mikutano ya Halmashauri na vikao vya Kamati za Kudumu za Halmashauri. (6) Vazi rasmi la Mwenyekiti, Mkurugenzi na Makamu Mwenyekiti litaonesha rangi za bendera ya taifa na mazao yanayolimwa kwa wingi katika eneo la Halmashauri kadri Halmashauri itakavyoona inafaa. (7) Masharti ya kanuni ndogo ya (6) hayataathiri majoho ambayo yamekuwa yakitumika kabla ya kuwekwa masharti ya kanuni ndogo hiyo. (8) Endapo katika mkutano huo Halmashauri itajigeuza kuwa Kamati, wajumbe watavua majoho. (9) Endapo Baraza litajigeuza kuwa Kamati, taratibu za kuendesha kikao cha Kamati zitatumika na kikao hicho kitakuwa cha siri. (10) Madaraka au jukumu lolote la Mwenyekiti kuhusiana na uendeshaji wa mikutano linaweza kutekelezwa na mtu anayeongoza Mkutano huo. (11) Halmashauri itatenga siku mbili kila wiki kwa ajili ya Mwenyekiti kufika ofisini na kutekeleza majukumu yafuatayo: (a) kusikiliza matatizo ya wananchi; (b) kupata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi kuhusu uendeshaji wa shughuli za Halmashauri ikiwa ni 12 Kanuni za Kudumu ya Halmashauri ya Wilaya ya Hai Tangazo la Serikali Na. 612 (Linaendelea) pamoja na masuala ya ununuzi; (c) kusaini mikataba mbalimbali ya Halmashauri; na (d) kushughulikia masuala ambayo Mkurugenzi ataona yanahitaji kushughulikiwa au kutekelezwa na Mwenyekiti. Kumbuku mbu ya mahudhuri o - 13 Verify source ↗
(1) Kila mjumbe anayehudhuria Mkutano au
AI-assisted research summary: Members attending a council meeting or committee must sign the attendance register before attending. A councillor must not do unrelated activities in council offices and must carry out duties there when council or committee meetings require it, or when called to do government duties.
13.-(1) Kila mjumbe anayehudhuria Mkutano au Kamati yoyote ya Halmashauri anatakiwa kuweka saini yake kwenye rejesta ya mahudhurio inayotunzwa na Mkurugenzi kwa ajili hiyo kabla ya kuhudhuria mkutano huo. (2) Diwani hatafanya shughuli ambazo hazihusiani na Halmashauri au Serikali katika ofisi za Halmashauri. (3) Bila kujali kanuni ndogo ya (2), Diwani atatekeleza majukumu yake katika ofisi za Halmashauri iwapo kutakuwa na mikutano ya Baraza au Kamati ambayo Diwani ni mjumbe au pale atakapoitwa kutekeleza majukumu ya Serikali. Kuruhusu watu na vyombo vya habari katika mikutano ya Halmashau ri - 14 Verify source ↗
(1) Mikutano ya Halmashauri itakuwa wazi kwa
AI-assisted research summary: Halmashauri meetings must be open to the public and media, and the council must announce the time and place of the meeting.
14.-(1) Mikutano ya Halmashauri itakuwa wazi kwa watu wote pamoja na vyombo vya habari. (2) Halmashauri itatangaza kwa umma muda na sehemu ambayo mkutano utafanyika. (3) Tangazo la mkutano uliorejewa chini ya kanuni ndogo ya (1) litawekwa sehemu inayoonekana kwa urahisi ndani ya eneo la Halmashauri siku tatu kabla ya Mkutano, na iwapo Mkutano umeitishwa muda mfupi zaidi muda wa kuitisha Mkutano huo. Utaratibu wa shughuli za mikutano
Part
SEHEMU YA NNE
- 43 Verify source ↗
Mwenyekiti wa Halmashauri kuwa mjumbe wa Kamati zote
AI-assisted research summary: Mwenyekiti wa Halmashauri anatakiwa kuwa mjumbe wa Kamati zote.
43. Mwenyekiti wa Halmashauri kuwa mjumbe wa Kamati zote - 44 Verify source ↗
Uwezo wa Kamati
AI-assisted research summary: Section heading: Committee powers.
44. Uwezo wa Kamati. 2 Kanuni za Kudumu ya Halmashauri ya Wilaya ya Hai Tangazo la Serikali Na. 612 (Linaendelea) - 52 Verify source ↗
Mahudhurio katika mikutano ya Kamati
AI-assisted research summary: Section title about attendance at committee meetings.
52. Mahudhurio katika mikutano ya Kamati. - 53 Verify source ↗
Mtoa hoja kualikwa kwenye mkutano wa Kamati
AI-assisted research summary: The mover of the motion is to be invited to the committee meeting.
53. Mtoa hoja kualikwa kwenye mkutano wa Kamati. - 54 Verify source ↗
Waalikwa wasiokuwa wajumbe kuhudhuria na kushiriki katika
AI-assisted research summary: Waalikwa wasiokuwa wajumbe wanaweza kuhudhuria na kushiriki katika mikutano ya Kamati.
54. Waalikwa wasiokuwa wajumbe kuhudhuria na kushiriki katika mikutano ya Kamati. - 55 Verify source ↗
Mahudhurio ya umma na vyombo vya h abari kwenye mikutano ya
AI-assisted research summary: This section concerns public attendance and media at committee and subcommittee meetings.
55. Mahudhurio ya umma na vyombo vya h abari kwenye mikutano ya Kamati na KamatiNdogo. - 56 Verify source ↗
Athari za nafasi wazi kwenye Kamati
AI-assisted research summary: Section title about the effects of a vacant position on a committee.
56. Athari za nafasi wazi kwenye Kamati. - 58 Verify source ↗
Kanuni za Kudumu kutumika katika mikutano ya Kamati
AI-assisted research summary: Standing orders apply in committee meetings.
58. Kanuni za Kudumu kutumika katika mikutano ya Kamati. - 59 Verify source ↗
Upigaji kura kwenye mikutano ya Kamati
AI-assisted research summary: Kifungu hiki kinahusu upigaji kura kwenye mikutano ya Kamati.
59. Upigaji kura kwenye mikutano ya Kamati. - 62 Verify source ↗
Kutunza siri za majadiliano ya Kamati na Kamati Ndogo
AI-assisted research summary: This provision concerns keeping committee and subcommittee discussions confidential.
62. Kutunza siri za majadiliano ya Kamati na Kamati Ndogo. - 63 Verify source ↗
Mwenyekiti wa Kamati kujiuzulu wadhifa
AI-assisted research summary: Sehemu hii inahusu kujiuzulu kwa Mwenyekiti wa Kamati kutoka wadhifa wake.
63. Mwenyekiti wa Kamati kujiuzulu wadhifa. - 64 Verify source ↗
Kujiuzulu ujumbe wa Kamati na kujazwa kwa nafasi iliyowazi
AI-assisted research summary: Section 64 is titled “Resignation of committee members and filling a vacant position.”
64. Kujiuzulu ujumbe wa Kamati na kujazwa kwa nafasi iliyowazi. SEHEMU YA TANO UNUNUZI WA VIFAA, UPATIKANAJI WA HUDUMA NA UJENZI - 42 Verify source ↗
(1) Halmashauri katika mkutano wake wa mwaka
AI-assisted research summary: Halmashauri lazima itumie mkutano wake wa mwaka kuteua wajumbe wa kamati za kudumu, na kila mjumbe wa Halmashauri awe kwenye angalau kamati moja.
42.-(1) Halmashauri katika mkutano wake wa mwaka itateua wajumbe wa Kamati za Kudumu zifuatazo ambazo zitakuwa na idadi ya wajumbe, ukimwondoa Mwenyekiti wa Halmashauri isipokuwa katika Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango, kama ilivyoainishwa hapa chini au kama itakavyorekebishwa na Halmashauri mara kwa mara: Isipokuwa katika kuteua wajumbe wa Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango, Mwenyekiti na Mkurugenzi watazingatia uwiano wa uwakilishi wa vyama katika Halmashauri. 29 Kanuni za Kudumu ya Halmashauri ya Wilaya ya Hai Tangazo la Serikali Na. 612 (Linaendelea) Kamati Idadi ya Wajumbe Akidi (a) Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango (b) Kamati ya Uchumi,Ujenzi na Mazingira (c) Kamati ya Elimu, Afya na Maji (d) Kamati ya Maadili ya Madiwani (e) Kamati ya Kudhibiti Ukimwi 10 10 11 4 5 5 5 6 2 3 (2) Kila Mjumbe wa Halmashauri atakuwa mjumbe wa angalau Kamati moja ya kudumu. (3) Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango itakuwa na wajumbe wafuatao: (a) Mwenyekiti wa Halmashauri ambaye atakuwa Mwenyekiti; (b) Makamu Mwenyekiti; (c) Mbunge au Wabunge wanaowakilisha Majimbo katika Halmashauri; wa Majimbo la eneo (d) Wenyeviti wa Kamati za Kudumu za Halmashauri; na (e) wajumbe wengine wawili watakaopendekezwa na Mwenyekiti na kupigiwa kura na Baraza la Halmashauri ambapo mmoja kati yao atakuwa mwanaume. wasiozidi (4) Halmashauri yenye Madiwani wasiozidi ishirini, idadi ya wajumbe wa Kamati wa Fedha itakuwa kama ilivyooainishwa chini ya kanuni ndogo ya 41(2). (5) Bila kuathiri masharti ya kanuni ndogo ya (2), Halmashauri yenye idadi ya Madiwani wanaozidi ishirini na wasiozidi thelathini na tano, wajumbe wa Kamati ya Fedha watakuwa kama ilivyoainishwa chini ya kanuni ya 41(2) pamoja na wajumbe wengine wawili watakaotokana na orodha itakayopendekezwa na Mwenyekiti na kupigiwa kura na Baraza la Halmashauri ambapo mmoja kati yao atakuwa mwanamke. (6) Bila kuathiri masharti ya kanuni ndogo za (2), (3) na (4) Halmashauri yenye idadi ya Madiwani wanaozidi thelathini na tano na zaidi, wajumbe wa Kamati ya Fedha 30 Kanuni za Kudumu ya Halmashauri ya Wilaya ya Hai Tangazo la Serikali Na. 612 (Linaendelea) watakuwa kama ilivyooneshwa chini ya kanuni 41(2) pamoja na wajumbe wengine wanne watakaotokana na orodha itakayopendekezwa na Mwenyekiti na kupigiwa kura na Baraza la Halmashauri ambapo wawili kati yao watakuwa wanawake. (7) Wajumbe wa Kamati za Kudumu watashika nafasi zao kwa muda wa mwaka mmoja na wataendelea kushika nafasi hizo mpaka mkutano wa mwaka wa Halmashauri unaofuata: Isipokuwa wajumbe waliochaguliwa kwenye mkutano wa kwanza baada uchaguzi mkuu watashika nyadhifa zao kwa muda uliobaki kumaliza mwaka wa Fedha ambapo uchaguzi utafanyika tena. (8) Halmashauri inaweza wakati wowote kuvunja na kuunda upya Kamati ya Kudumu iliyoteuliwa kwa mujibu wa Kanuni hizi za Kudumu, endapo kufanya hivyo kutakuwa ni kwa manufaa ya Halmashauri. (9) Halmashauri haitaunda Kamati ya Kudumu mpya zaidi ya Kamati zilizotajwa chini ya kanuni ya 41(1), isipokuwa baada ya kuomba na kupata idhini ya maandishi kutoka kwa Waziri. (10) Maombi ya Halmashauri kuanzisha Kamati mpya ya Kudumu yanapaswa kukidhi masuala yafuatayo: (a) upekee wa majukumu yanayoombewa kuundiwa Kamati ya Kudumu mpya na majukumu hayo yawe hayawezi kutekelezwa na Kamati za Kudumu zilizopo na zilizotajwa chini ya kanuni ndogo ya 41(1); (b) gharama za uendeshaji wa Kamati hiyo kwa mwaka; na (c) kuundwa kwa Kamati ya Kudumu mpya ni hitaji la lazima na ni kipaumbele cha Halmashauri na jamii kwa ujumla. (11) Kamati yoyote itakayoundwa na Halmashauri bila idhini ya Waziri itakuwa batili na maamuzi yake yote yatakuwa batili. Mwenyekit i wa Halmashau - 43 Verify source ↗
Mwenyekiti wa Halmashauri atakuwa mjumbe
AI-assisted research summary: The Council Chairperson is a member of all standing committees of the Council.
43. Mwenyekiti wa Halmashauri atakuwa mjumbe wa Kamati zote za Kudumu za Halmashauri. 31 Kanuni za Kudumu ya Halmashauri ya Wilaya ya Hai Tangazo la Serikali Na. 612 (Linaendelea) ri kuwa mjumbe wa Kamati zote Uwezo wa Kamati Kamati za pamoja - 44 Verify source ↗
Kamati zote za Halmashauri zitawasilisha taarifa
AI-assisted research summary: Kamati zote za Halmashauri lazima ziwasilishe taarifa zao kwa Halmashauri.
44. Kamati zote za Halmashauri zitawasilisha taarifa zao kwa Halmahauri, na hatua hazitachukuliwa kutekeleza uamuzi wowote wa Kamati yoyote mpaka hapo taarifa ya Kamati husika itakapowasilishwa na kukubaliwa na Halmashauri, isipokuwa pale ambapo idhini ya kuchukua hatua imekasimiwa kwa Kamati. - 45 Verify source ↗
(1) Halmashauri
AI-assisted research summary: Halmashauri zinaweza kukubaliana kuunda Kamati ya pamoja kwa maslahi ya pamoja, na zinaweza kuikabidhi baadhi ya madaraka au kazi ndani ya mipaka iliyowekwa.
45.-(1) Halmashauri inaweza kukubaliana na Halmashauri nyingine kuteua Kamati ya pamoja kutoka kwa wajumbe wao kwa madhumuni yoyote yale ambayo wana maslahi ya pamoja, na Halmashauri hizo zinaweza kukasimu kwa Kamati hiyo ya pamoja, kutegemea masharti na mipaka itakayowekwa kama watakavyoona inafaa, madaraka au kazi ya Halmashauri zinazohusiana na madhumuni yaliyozifanya ziunde Kamati ambazo Halmashauri haziruhusiwi kukasimu. isipokuwa shughuli hiyo, (2) Muundo, muda wa kazi wa wajumbe wake na mipaka ya eneo ambamo Kamati hiyo ya pamoja itafanya kazi, itapangwa na Halmashauri zinazoiteua. (3) Kamati ya pamoja haitaingia katika gharama zozote zaidi ya zile ambazo zimeidhishwa na mamlaka iliyoteua Kamati hiyo. Kukasimu madaraka kwenye Kamati - 46 Verify source ↗
(1) Kwa mujibu wa kanuni ndogo ya (2) pamoja
AI-assisted research summary: Halmashauri inaweza kukasimu baadhi ya kazi kwa Kamati, lakini haiwezi kukasimu baadhi ya madaraka maalum yaliyotajwa.
46.-(1) Kwa mujibu wa kanuni ndogo ya (2) pamoja na masharti mengine ambayo Halmashauri itaona yanafaa, Halmashauri inaweza kukasimu kwa Kamati uwezo wa kutekeleza kazi yoyote kwa niaba yake. (2) Halmashauri haitakasimu kwa Kamati yoyote uwezo wa- (a) kutengeneza Sheria Ndogo; (b) kuweka na kutoza kodi; (c) kuidhinisha makadirio ya mapato na matumizi ya Halmashauri; (d) kutoza ada na ushuru; (e) kuidhinisha mpango na bajeti wa Halmashauri; 32 Kanuni za Kudumu ya Halmashauri ya Wilaya ya Hai Tangazo la Serikali Na. 612 (Linaendelea) (f) kuingia mikataba mbalimbali ikiwa ni pamoja na mikataba ya kukopa; na (g) kupitisha mpango wa utoaji huduma. (3) Kazi za kila Kamati ya Kudumu ya Halmashauri ni kama zilivyoainishwa katika Jedwali la Kwanza. (4) Halmashauri inaweza kusitisha au kurekebisha uamuzi wa kukasimu madaraka yoyote kwa Kamati, lakini usitishaji au urekebishaji huo hautaathiri suala lolote lililofanywa kutokana na uamuzi wowote uliochukuliwa kihalali na Kamati. (5) Shughuli yoyote iliyotekelezwa na Kamati kutokana na kukasimiwa majukumu kwa mujibu wa Kanuni hizi za Kudumu imefanywa au kutekelezwa na Halmashauri. itatambuliwa kuwa Kamati Ndogo Mikutano ya Kamati - 47 Verify source ↗
(1) Kamati yoyote au Kamati ya pamoja inaweza
AI-assisted research summary: A committee or joint committee may appoint a subcommittee, but it must not delegate its executive powers to that subcommittee.
47.-(1) Kamati yoyote au Kamati ya pamoja inaweza kuteua Kamati Ndogo miongoni mwa wajumbe wake kadiri itakavyoona inafaa kwa ajili ya kuchunguza na kutoa taarifa kuhusu suala lolote, lakini Kamati haitakasimu madaraka yake ya kiutendaji kwa Kamati Ndogo yoyote. (2) Idadi ya wajumbe wa Kamati Ndogo pamoja na muda watakaotumikia vitaamuliwa na Kamati iliyoteua Kamati Ndogo hiyo. (3) Mwenyekiti wa Kamati atakuwa mjumbe wa Kamati Ndogo yoyote kwa mujibu wa wadhifa wake isipokuwa kama atamfahamisha Mkurugenzi kwa maandishi kuwa hatakuwa mjumbe wa Kamati hiyo. (4) Kila Kamati Ndogo inaweza kumteua mmoja wa wajumbe wake kuwa Mwenyekiti wa Kamati Ndogo husika. - 48 Verify source ↗
(1) Mkutano wa kwanza wa Kamati utaitishwa na
AI-assisted research summary: Mkurugenzi lazima aitishe mkutano wa kwanza wa Kamati ndani ya mwezi mmoja baada ya Kamati kuteuliwa, wajumbe wapewe taarifa yenye ajenda angalau siku moja kabla, na idadi ya Kamati isizidi ile iliyowekwa na Waziri.
48.-(1) Mkutano wa kwanza wa Kamati utaitishwa na Mkurugenzi ndani ya mwezi mmoja baada ya Kamati kuteuliwa na baada ya hapo kulingana na ratiba ya mikutano kama itakavyoidhinishwa na Halmashauri. (2) Taarifa ya angalau siku moja yenye ajenda za kikao itatolewa kwa wajumbe kabla ya mkutano wa Kamati. (3) Idadi ya Kamati haitazidi idadi iliyowekwa na Waziri kwa mujibu wa kifungu cha 75(3) cha Sheria. 33 Kanuni za Kudumu ya Halmashauri ya Wilaya ya Hai Tangazo la Serikali Na. 612 (Linaendelea) Mwenyekit i wa Kamati Mkutano maalumu wa Kamati Ajenda za Kamati Mahudhuri o katika mikutano ya Kamati - 49 Verify source ↗
(1) Katika kikao cha kwanza baada ya Mkutano
AI-assisted research summary: Kamati huchagua mwenyekiti wake katika kikao cha kwanza baada ya Mkutano wa Mwaka, na kwa kawaida uchaguzi hufanywa kwa kura ya siri ya wengi isipokuwa Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango; nafasi ikibaki wazi, Mkurugenzi hujulisha wajumbe na uchaguzi huwekwa wa kwanza kwenye ajenda ya kikao kijacho.
49.-(1) Katika kikao cha kwanza baada ya Mkutano wa Mwaka wa Halmashauri na kabla ya kuendelea na itamchagua shughuli yoyote nyingine, kila Kamati Mwenyekiti wa Kamati kwa mwaka unaohusika. (2) Mwenyekiti wa Kamati, isipokuwa Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango, atachaguliwa kwa kura ya siri ya wajumbe walio wengi kwa kupiga kura ya siri kwenye eneo la faragha litakalotengwa na Mkurugenzi kwa ajili hiyo. atakuwa (3) Mwenyekiti wa Halmashauri Mwenyekiti wa Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango. (4) Endapo nafasi ya Mwenyekiti wa Kamati itakuwa wazi katika kipindi cha mwaka husika, Mkurugenzi atatoa taarifa kwa wajumbe wote wa Kamati kuwa katika kikao kijacho cha kawaida cha Kamati husika dondoo ya kumchagua Mwenyekiti wa Kamati kwa kipindi cha mwaka kilichosalia itakuwa ya kwanza katika ajenda. - 50 Verify source ↗
(1) Mkutano maalumu wa Kamati utaitishwa
AI-assisted research summary: A special committee meeting must be convened when two-thirds of committee members request it in writing and give reasons.
50.-(1) Mkutano maalumu wa Kamati utaitishwa baada ya theluthi mbili ya wajumbe wa Kamati kuomba kwa maandishi kuwa mkutano huo ufanyike na kueleza sababu. (2) Taarifa ya mkutano maalumu wa Kamati itaonesha shughuli itakayofanyika katika mkutano huo maalumu na suala lolote halitajadiliwa katika mkutano huo. jingine - 51 Verify source ↗
Mjumbe wa Kamati atakuwa na haki ya
AI-assisted research summary: Mjumbe wa Kamati ana haki ya kuwekewa hoja zake kwenye ajenda ya Kamati akitoa taarifa angalau siku nne kabla ya tarehe ya kikao.
51. Mjumbe wa Kamati atakuwa na haki ya kuwekewa hoja zake kwenye ajenda ya Kamati iwapo atatoa taarifa angalau siku nne kabla ya tarehe ya kikao. - 52 Verify source ↗
(1) Mjumbe wa Kamati ya Kudumu au Kamati
AI-assisted research summary: Member of a standing committee or subcommittee who missed a subcommittee meeting may not send another person to represent them, and a council member may not attend a committee meeting unless invited.
52.-(1) Mjumbe wa Kamati ya Kudumu au Kamati Ndogo, ambaye ameshindwa kuhudhuria Mkutano wa Kamati Ndogo, hataruhusiwa kutuma mtu mwingine kumwakilisha kwenye Mkutano wa Kamati au Kamati Ndogo (2) Mjumbe wa Halmashauri hatakuwa na haki ya kuhudhuria kikao chochote cha Kamati au Kamati Ndogo ambamo yeye si mjumbe, isipokuwa kama Kamati au Kamati Ndogo inayohusika imemualika kuhudhuria, na hatakuwa na haki ya kupiga kura au kudai posho kwa 34 Kanuni za Kudumu ya Halmashauri ya Wilaya ya Hai Tangazo la Serikali Na. 612 (Linaendelea) Mtoa hoja kualikwa kwenye mkutano wa Kamati Waalikwa wasiokuwa wajumbe kuhudhuria na kushiriki katika mikutano ya Kamati Mahudhuri o ya umma na vyombo vya habari kwenye mikutano ya Kamati na Kamati Ndogo Athari za nafasi wazi kwenye Kamati kuhudhuria mkutano huo wa Kamati au Kamati Ndogo. - 53 Verify source ↗
Mjumbe wa Halmashauri anayewasilisha hoja
AI-assisted research summary: A council member who submits a motion sent to committee is entitled to be notified of the committee meeting and, if attending, to be allowed to speak on the motion.
53. Mjumbe wa Halmashauri anayewasilisha hoja ambayo imepelekwa kwenye Kamati atapewa taarifa ya Mkutano wa Kamati ambamo hoja yake imepagwa kujadiliwa na ikiwa atahudhuria atapewa nafasi ya kuzungumzia hoja hiyo. - 54 Verify source ↗
Mwenyekiti wa Kamati, Kamati ya Pamoja au
AI-assisted research summary: Mwenyekiti wa Kamati au Kamati ya Pamoja/ndogo anaweza kumwalika mtu yeyote kuhudhuria, kuzungumza, au kushiriki kwenye mkutano baada ya kushauriana na wajumbe; mtu aliyealikwa hana haki ya kupiga kura.
54. Mwenyekiti wa Kamati, Kamati ya Pamoja au Kamati Ndogo baada ya kushauriana na wajumbe wa Kamati, Kamati ya Pamoja na Kamati Ndogo, anaweza kumwalika mtu yeyote kuhudhuria na kuzungumza kwenye Mkutano kuhusu suala lolote au kushiriki kwa namna yoyote isipokuwa mtu huyo kwenye kikao atakayealikwa hatakuwa na haki ya kupiga kura. cha Kamati, - 55 Verify source ↗
Majadiliano katika Kamati, Kamati ya Pamoja au
AI-assisted research summary: Committee, joint committee, and subcommittee discussions are not open to the public or the media unless the Council resolves to allow them to attend.
55. Majadiliano katika Kamati, Kamati ya Pamoja au Kamati Ndogo hayatakuwa wazi kwa umma na vyombo vya habari, isipokuwa kwa azimio la Halmashauri linaloruhusu umma na vyombo vya habari vihudhurie. - 56 Verify source ↗
(1) Endapo inatokea nafasi wazi kwenye Kamati,
AI-assisted research summary: If there is a vacancy in the Committee, it may keep working until the vacancy is filled; the replacement member serves the remaining term, and the committee’s acts or decisions are not invalidated by certain appointment defects, vacancies, or walkouts intended to block a decision.
56.-(1) Endapo inatokea nafasi wazi kwenye Kamati, Kamati ya Pamoja au Kamati Ndogo, Kamati itaendelea kutekeleza shughuli zake licha ya kuwepo kwa nafasi wazi hiyo au mpaka nafasi hiyo au itakapojazwa, kwa njia ya uchaguzi au uteuzi. (2) Mjumbe atakayejaza nafasi wazi chini ya kanuni ndogo ya (1), atashika nafasi hiyo kwa kipindi kilichosalia cha mjumbe ambaye nafasi yake imekuwa wazi. (3) Uhalali wa kitendo chochote au maamuzi ya mkutano wowote wa Kamati hayataathiriwa kutokana na hitilafu katika uteuzi wa mjumbe aliyeshika nafasi hiyo au nafasi hiyo kuachwa wazi na mjumbe au wajumbe kuamua kutoka kwenye kikao kwa lengo la kukwamisha suala linalotaka kutolewa maamuzi na Kamati hiyo. 35 Kanuni za Kudumu ya Halmashauri ya Wilaya ya Hai Tangazo la Serikali Na. 612 (Linaendelea) Akidi kwenye mikutano ya Kamati - 57 Verify source ↗
Endapo wajumbe waliohudhuria mkutano
AI-assisted research summary: Ikiwa mkutano hauna akidi, Mkurugenzi lazima aahirishe mkutano na kuuita tena ndani ya siku saba. Mkutano ukikosa akidi tena, wajumbe wowote waliopo watatosha na mkutano utaendelea kuwa halali, na Mkurugenzi lazima amjulisha Waziri.
57. Endapo wajumbe waliohudhuria mkutano hawatafikia akidi ya mkutano, Mkurugenzi ataahirisha mkutano huo na kuuitisha tena mkutano ndani ya siku saba na endapo akidi haitatimia tena, idadi yoyote ya wajumbe waliohudhuria itatengeneza akidi ya mkutano ambapo mkutano huo utaendelea na utakuwa halali na Mkurugenzi atamjulisha Waziri kuwepo kwa hali hiyo. Kanuni za Kudumu katika mikutano ya Kamati - 58 Verify source ↗
(1) Kanuni ya 16
AI-assisted research summary: When a member speaks in a committee meeting, the member must sit, and the member may speak more than twice on the matter being discussed.
58.-(1) Kanuni ya 16 itatumika kuhusiana na mikutano ya Kamati za Halmashauri kwa kuzingatia marekebisho yanayohitajika. (2) Mjumbe anapozungumza katika Mkutano wa Kamati atakaa na anaweza kuzungumza zaidi ya mara mbili juu ya suala linalojadiliwa. Upigaji kura kwenye Mikutano ya Kamati - 59 Verify source ↗
(1) Masuala yote yanayoletwa mbele ya Kamati
AI-assisted research summary: Masuala yote mbele ya Kamati huamuliwa kwa wingi wa kura za wajumbe waliopo na wanaopiga kura; ikiwa kura zitasawazika, mwenyekiti wa kikao hupata kura ya uamuzi.
59.-(1) Masuala yote yanayoletwa mbele ya Kamati yataamuliwa kwa wingi wa kura za wajumbe waliohudhuria na kupiga kura kwenye mkutano husika. (2) Endapo kura zitalingana, mtu anayeongoza kikao husika atakuwa na kura ya uamuzi. Muhtasari ya Kamati - 60 Verify source ↗
(1) Muhtasari wa kila Kamati, Kamati ya pamoja
AI-assisted research summary: Committee minutes must list attendees and absentees, be signed at the next meeting by the chair, and signed minutes are accepted as evidence unless there is evidence of error.
60.-(1) Muhtasari wa kila Kamati, Kamati ya pamoja au Kamati Ndogo, utajumuisha majina ya wajumbe waliohudhuria na wasiohudhuria, na utasainiwa kwenye mkutano unaofuata na mtu aliyeongoza mkutano na muhtasari uliosainiwa hivyo, kama hakuna ushahidi wa kuwa una makosa, utapokelewa kwa ushahidi bila uthibitisho zaidi. (2) Hoja au mjadala hautaendeshwa kuhusiana na muhtasari wa Kamati isipokuwa kuhusu usahihi wa suala lolote linalohusu usahihi litatolewa kwa hoja. Kufikiriwa upya maamuzi - 61 Verify source ↗
Pale ambapo suala lililowasilishwa limeamuliwa
AI-assisted research summary: A matter decided under rule 55 cannot be discussed again in the same committee meeting unless supported by two-thirds of the members present and voting.
61. Pale ambapo suala lililowasilishwa limeamuliwa kwa mujibu wa kanuni ya 55, suala hilo halitaanza kujadiliwa upya katika mkutano huo wa Kamati isipokuwa kama hoja hiyo inaungwa mkono na theluthi mbili ya wajumbe waliohudhuria na kupiga kura. 36 Kanuni za Kudumu ya Halmashauri ya Wilaya ya Hai Tangazo la Serikali Na. 612 (Linaendelea) Kutunza siri za majadilian o ya Kamati na Kamati Ndogo Mwenyekit i wa Kamati kujiuzulu wadhifa Kujiuzulu ujumbe wa Kamati na kujazwa kwa nafasi iliyowazi - 62 Verify source ↗
Mjumbe wa Kamati au Kamati Ndogo hatafichua
AI-assisted research summary: Mjumbe wa Kamati au Kamati Ndogo hapaswi kufichua mambo yaliyowasilishwa au kujadiliwa bila ruhusa, na pia hapaswi kuzungumza kwenye Kamati Ndogo hadi hatua ya suala hilo ikamilike au taarifa itolewe.
62. Mjumbe wa Kamati au Kamati Ndogo hatafichua suala lolote lililowasilishwa au kujadiliwa kwenye Kamati au Kamati Ndogo bila ruhusa ya Kamati hiyo, au kuzungumza kwenye Kamati Ndogo mpaka hapo Kamati au Kamati Ndogo kwenye Halmashauri au itakapokuwa imekamilisha utekelezaji wa suala hilo. itakapokuwa imetoa taarifa hiyo - 63 Verify source ↗
Mwenyekiti wa Kamati anaweza kujiuzulu
AI-assisted research summary: The Committee Chairperson may resign by giving a signed written notice to the Director.
63. Mwenyekiti wa Kamati anaweza kujiuzulu wadhifa wake kwa kutoa taarifa ya maandishi aliyoisaini na kuiwasilisha kwa Mkurugenzi. - 64 Verify source ↗
(1) Mjumbe yeyote wa Kamati anaweza
AI-assisted research summary: A committee member may resign by giving a signed written notice to the Director.
64.-(1) Mjumbe yeyote wa Kamati anaweza kujiuzulu wadhifa wake kwa kutoa taarifa ya maandishi aliyoisaini na kuiwasilisha kwa Mkurugenzi. (2) Nafasi inayotokana na kujiuzulu kwa Mjumbe itajazwa na Halmashauri katika kikao chake cha kawaida baada ya tarehe ya kujiuzulu kwa mjumbe. SEHEMU YA TANO UNUNUZI WA VIFAA, UPATIKANAJI WA HUDUMA NA UJENZI Taratibu za uagizaji Sheria Na. 10 ya 2023
Part
SEHEMU YA TANO
- 66 Verify source ↗
Kumbukumbu za majadiliano yanayohusu uagizaji
AI-assisted research summary: This section is titled “Records of discussions concerning import.”
66. Kumbukumbu za majadiliano yanayohusu uagizaji. - 71 Verify source ↗
Diwani au afisa kutokuwa na maslahi kwenye mikataba
AI-assisted research summary: Section heading about a councilor or officer not having an interest in contracts.
71. Diwani au afisa kutokuwa na maslahi kwenye mikataba. 3 Kanuni za Kudumu ya Halmashauri ya Wilaya ya Hai Tangazo la Serikali Na. 612 (Linaendelea) SEHEMU YA SITA POSHO KWA WAJUMBE - 65 Verify source ↗
(1) Uagizaji wa mali, huduma na ujenzi katika
AI-assisted research summary: Halmashauri lazima zifuate Sheria ya Ununuzi wa Umma na kanuni zake wakati wa uagizaji wa mali, huduma na ujenzi; pia kutakuwa na bodi ya zabuni ya kusimamia shughuli hizo.
65.-(1) Uagizaji wa mali, huduma na ujenzi katika Halmashauri utazingatia Sheria ya Ununuzi wa Umma na kanuni zake. (2) Kutakuwepo na bodi ya zabuni ambayo imeanzishwa kwa mujibu wa Kanuni za Bodi ya Zabuni (Uanzishwaji na Mwenendo) za Serikali za Mitaa na ambayo itasimamia shughuli zote za uagizaji katika Halmashauri. (3) Muhtasari wa bodi ya zabuni utapaswa kuwasilishwa kwenye kikao kinachofuata cha Halmashauri baada ya muhtasari huo kujadiliwa na kupitishwa na Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango. Kumbuku mbu za majadilian o yanayohus - 66 Verify source ↗
(1) Bodi ya zabuni ya Halmashauri itaweka
AI-assisted research summary: Bodi ya zabuni ya Halmashauri lazima iweke taratibu za kumbukumbu za majadiliano ya ununuzi zenye taarifa za msingi zilizoainishwa katika kifungu hiki.
66.-(1) Bodi ya zabuni ya Halmashauri itaweka taratibu za kumbukumbu ya majadiliano yanayohusu ununuzi zikiwa na angalau taarifa zifuatazo: (a) maelezo mafupi kuhusu vitu, ujenzi au huduma 37 Kanuni za Kudumu ya Halmashauri ya Wilaya ya Hai Tangazo la Serikali Na. 612 (Linaendelea) u uagizaji zinazotarajiwa kutolewa na sababu iliyosababisha bodi kuitisha zabuni; (b) majina na anuani ya wazabuni waliowasilisha zabuni, maelezo kuhusu sifa au ukosefu wa sifa za wazabuni waliowasilisha zabuhi zao; (c) bei au msingi wa upangaji wa bei na muhtasari wa masharti mengine muhimu ya kila zabuni na ya kila mkataba wa uagizaji wa mali, huduma na ujenzi; (d) muhtasari wa tathmini na mlinganisho wa zabuni pamoja na upendeleo uliokuwepo katika tathmini hiyo; (e) ikiwa zabuni zilikataliwa tamko kuhusu uamuzi huo na sababu za uamuzi huo; basi kuhusu (f) ikiwa utaratibu mwingine wa kupata vitu au huduma mbalimbali ya utaratibu wa zabuni ndio uliotumika, sababu tamko zilizoifanya bodi iamue kutumia utaratibu huo mwingine; (g) ikiwa zabuni ilikataliwa kwakuwa mzabuni alitoa, alikubali kutoa moja kwa moja au kwa njia isiyo ya moja kwa moja, kwa mtumishi wa sasa au wa zamani wa Halmashauri, bakshishi ya aina yoyote, ahadi ya kumwajiri au kitu chochote kinachohusiana na ajira au chenye thamani, kama hamasisho kwa utendaji au uamuzi au utaratibu wa kutumia, tamko kuhusu suala hilo; (h) katika upataji wa huduma, sababu na hali iliyoifanya bodi kuchagua utaratibu wa kutumia katika upataji wa huduma; (i) katika upataji wa vitu au huduma ambao Bodi imeamua kudhibiti ushiriki kwa misingi ya Taifa, Mkoa au Wilaya, tamko kuhusu sababu na hali iliyofanya Bodi kudhibiti ushiriki huo; (j) katika upataji wa vifaa na huduma kwa kuwaomba watoaji kutoa mapendekezo yao moja kwa moja tamko la sababu na hali iliyofanya bodi kuamua kutumia utaratibu huo; na (k) muhtasari wa maombi yoyote ya ufafanuzi 38 Kanuni za Kudumu ya Halmashauri ya Wilaya ya Hai Tangazo la Serikali Na. 612 (Linaendelea) kuhusu mchujo wa zabuni au nyaraka za zabuni na majibu yaliyotolewa pamoja na muhtasari wa marekebisho yoyote yaliyofanywa katika nyaraka hizo. (2) Sehemu ya kumbukumbu zilizotajwa kwenye kanuni ndogo za (1)(a) na (b) zitatolewa, kama zikiombwa, kwa mtu yeyote baada ya zabuni kutangazwa, kufunguliwa na kukubaliwa, au baada ya kusimamishwa kwa taratibu za uagizaji bila ya kuingia katika mkataba wa uagizaji. (3) Sehemu ya kumbukumbu zilizoelekezwa katika kanuni ndogo ya (1)(c) hadi (g) kama itaombwa, itatolewa kwa wazabuni waliowasilisha zabuni baada ya zabuni kukubaliwa au baada ya kusitishwa bila kuingia kwenye mkataba wa utoaji wa vitu au huduma. (4) Isipokuwa kama itaelekezwa hivyo na mahakama yenye mamlaka na kutegemeana na masharti ya maelekezo hayo, Bodi haitatoa habari- (a) kama utoaji huo wa habari- (i) (ii) (iii) (iv) (v) utakuwa kinyume cha Sheria; utazuia utekelezaji wa Sheria; hautakuwa na maslahi kwa Umma; utahatarisha maslahi halali ya kibiashara ya wahusika; au utazuia ushindani halali. (b) habari zinazohusu uchambuzi, tathmini na ulinganisho wa zabuni pamoja na bei mbali ya muhtasari ulioelezwa kwenye kanuni ndogo ya (1)(e). (5) Mara baada ya zabuni kujadiliwa na Bodi, Katibu ili makubaliano ya atamjulisha mzabuni aliyefanikiwa nyaraka za mkataba yaweze kufikiwa. (6) Nakala za mihutasari zitapelekwa kwa siri kwa kila mjumbe wa Bodi, Mkurugenzi Mkuu wa Kitengo cha Uhasibu na Fedha, Mkuu wa Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani na Mkuu wa Divisheni husika kwa taarifa na kumbukumbu. (7) Kila mzabuni ambaye hakufanikiwa atajulishwa na akiomba sababu za kutokubaliwa kwa zabuni yake atapewa sababu. (8) Bodi ya zabuni kwa kuzingatia masharti ya 39 Kanuni za Kudumu ya Halmashauri ya Wilaya ya Hai Tangazo la Serikali Na. 612 (Linaendelea) Kanuni za uagizaji itaandaa taarifa ya mwenendo na maamuzi ya zabuni zilizoitishwa na kuwasilishwa kwenye mkutano wa kawaida wa Halmashauri kupitia Kamati ya Kudumu husika. Uzuiaji wa rushwa Sura ya 329 - 67 Verify source ↗
Katika mkataba wowote wa maandishi,
AI-assisted research summary: Katika mkataba wa maandishi, Halmashauri ina haki ya kusitisha mkataba na kudai fidia ikiwa mkandarasi au mtu anayefanya kazi kwa niaba yake anahusishwa na rushwa ya kutoa au kuahidi zawadi/upendeleo kama kishawishi au malipo ya upendeleo.
67. Katika mkataba wowote wa maandishi, yatawekwa maneno ambayo yataonesha kuwa Halmashauri itakuwa na haki kusitisha mkataba na kumdai mkandarasi malipo ya fidia kutokana na kusimamishwa kwa mkataba iwapo mkandarasi atabainika kuwa ameahidi kutoa au ametoa au amekubali kutoa kwa mtu yeyote zawadi yoyote au upendeleo wa aina yoyote kama kishawishi au zawadi kwa kufanya au kumpendelea au kutomkubali mtu yeyote kuhusiana na mkataba na Halmashauri au kama vitendo hivyo vitakuwa vimefanywa na mtumishi yeyote aliyeajiriwa naye au kwa niaba yake iwe mkandarasi anafahamu au hafahamu anatenda kosa chini ya Sheria ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa. Usimamizi wa mikataba - 68 Verify source ↗
(1) Mkurugenzi wa Halmashauri atawajibika
AI-assisted research summary: Mkurugenzi wa Halmashauri lazima asimamie na kufuatilia mikataba vizuri; mkataba wa upataji vitu hauwezi kubadilishwa baada ya kusainiwa isipokuwa masharti maalum yatimizwe; malipo ya mwisho na ya salio yana masharti ya kusubiri.
68.-(1) Mkurugenzi wa Halmashauri atawajibika katika usimamiaji na ufuatiliaji mzuri wa mikataba. (2) Mkataba wa upataji vitu hautabadilishwa kwa ile baada ya kutiwa saini na pande namna yoyote zinazohusika isipokuwa kama mabadiliko hayo- (a) ni kwa faida ya Halmashauri na hayailetei hasara kwa Halmashauri; (b) yamethibitishwa na bodi ya zabuni ya Halmashauri; na (c) upande mwingine unaafiki. (3) Malipo ya mwisho hayatafanywa mpaka mkataba mzima utakapokuwa umekamilika kutokana na kuridhika kwa Halmashauri kulingana na vipengele vya mkataba unaohusika. (4) Malipo ya fedha za salio hayatalipwa mpaka ipite miezi sita na kazi isiwe na kasoro. Uvunjaji wa mkataba - 69 Verify source ↗
Pale ambapo mkataba uliotiwa lakiri au muhuri
AI-assisted research summary: Mkurugenzi lazima awasiliane mapema iwezekanavyo na Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango ikiwa mkandarasi hajafuata mkataba uliotiwa lakiri au muhuri na Halmashauri.
69. Pale ambapo mkataba uliotiwa lakiri au muhuri na Halmashauri haukufuatwa na mkandarasi, ikiwa ni kimsingi, pamoja usiokuwa wa ucheleweshaji na 40 Kanuni za Kudumu ya Halmashauri ya Wilaya ya Hai Tangazo la Serikali Na. 612 (Linaendelea) Rejesta ya mikataba Diwani au afisa kutokuwa na maslahi katika mikataba Mkurugenzi atashauriana mapema iwezekanavyo na Kamati ya Fedha ,Uongozi na Mipango kwa kuzingatia taratibu zilizowekwa kwenye mkataba, hatua muafaka za kuchukua na kumfahamisha mkandarasi juu ya uamuzi. - 70 Verify source ↗
(1) Mkurugenzi atatunza maelezo yote ya
AI-assisted research summary: Mkurugenzi lazima aweke maelezo yote ya mikataba kwenye rejesta ya mikataba na afanye ulinganifu wa malipo halisi na yaliyoidhinishwa.
70.-(1) Mkurugenzi atatunza maelezo yote ya mikataba kwenye rejesta ya mikataba na atafanya ulinganifu wa malipo halisi na yale yaliyoidhinishwa. (2) Taarifa ya matumizi yote ya ziada itapelekwa kwenye bodi ya zabuni ikiambatana na maelezo kutoka kwa Mkurugenzi. - 71 Verify source ↗
(1) Endapo Diwani au afisa wa Halmashauri ana
AI-assisted research summary: A councillor or council officer with a financial interest in a matter being discussed at a council or committee meeting must declare it at the start and not take part in the discussion or vote.
71.-(1) Endapo Diwani au afisa wa Halmashauri ana maslahi ya kifedha ya moja kwa moja au vinginevyo katika mkataba wowote, mkataba unaopendekezwa au suala lolote, na yupo kwenye Mkutano wa Halmashauri au Kamati ambapo mkataba huo, au mkataba unaopendekezwa au suala lingine lolote linajadiliwa, atatangaza suala hilo mara mkutano utakapokuwa umeanza na hatashiriki wala kuwepo katika majadiliano au kupiga kura kuhusu suala linalohusu mkataba au mkataba unaopendekezwa au suala lingine lolote ambalo ana maslahi nalo. (2) Kanuni hii haitatumika kuhusiana na maslahi katika mkataba au suala lingine ambalo mjumbe au afisa wa Halmashauri ana maslahi nalo kama mlipa kodi au mkazi katika eneo lililo katika himaya ya Halmashauri. (3) Diwani atahesabika kuwa na maslahi ya moja kwa moja katika mkataba au suala lingine endapo- (a) yeye au mtu aliyemchagua ni mjumbe wa kampuni au chombo kingine au anayo hati ya hisa katika au imependekezwa iingie katika mkataba au anao uhusiano wa kifedha katika suala linalojadiliwa; au kampuni ambayo itaingia (b) yeye ni mbia au ameajiriwa na mtu ambaye mkataba unafanywa naye, au utakuwa chini yake, au anao uhusiano wa kifedha wa moja kwa moja katika suala linalojadiliwa au kuzungumzwa. (4) Katika kanuni hii maslahi ya moja kwa moja na 41 Kanuni za Kudumu ya Halmashauri ya Wilaya ya Hai Tangazo la Serikali Na. 612 (Linaendelea) yasiyo ya moja kwa moja ya mwanandoa au ndugu wa familia kama inafahamika kwa mjumbe wa Halmashauri yatachukuliwa kuwa ni maslahi ya moja kwa moja au yasiyo ya moja kwa moja. (5) Taarifa ya jumla itakayotolewa kwa Mkurugenzi na Diwani au afisa wa Halmashauri kuhusiana naye, mkewe, mumewe au ndugu yake kwamba ana maslahi ya moja kwa moja au yasiyo ya moja kwa moja katika mkataba unaokusudiwa au suala lingine na akieleza aina ya maslahi itachukuliwa, isipokuwa pale atakapoondoa taarifa hiyo, kuwa ametoa taarifa inayojitosheleza juu ya maslahi yake kuhusiana na suala ambalo limo katika mjadala. (6) Mkurugezi ataandika taarifa za watu wenye maslahi waliotoa taarifa chini ya kanuni ndogo ya (1) na taarifa yoyote iliyomo katika kanuni ndogo ya (5) itakuwa wazi kwa ukaguzi saa za kazi. (7) Halmashauri inaweza baada ya kupata kibali cha Waziri, kuondoa kizuizi chini ya Kanuni hizi kinachoifanya ishindwe wakati wowote kufanya mkutano pale ambapo idadi ya wajumbe wenye maslahi ni kubwa mno kiasi cha kukwamisha shughuli za Halmashauri au itakuwa ni kwa maslahi ya wakazi wa Halmashauri kuondoa kikwazo hicho. (8) Katika Kanuni hizi za Kudumu, ndugu wa familia watachukuliwa kuwa ni pamoja na baba, mama, mtoto, kaka, au dada na wanandoa wao. SEHEMU YA SITA POSHO KWA WAJUMBE Aina za posho
Part
SEHEMU YA SITA
- 73 Verify source ↗
Posho iwapo Mkutano umeahirishwa
AI-assisted research summary: Kifungu hiki kinahusu posho wakati mkutano umeahirishwa.
73. Posho iwapo Mkutano umeahirishwa. SEHEMU YA SABA MABADILIKO KWENYE KANUNI ZA KUDUMU - 83 Verify source ↗
Taratibu za kutengeneza Sheria ndogo
AI-assisted research summary: Sehemu hii inaonyesha kuwa inaeleza taratibu za kutengeneza Sheria ndogo.
83. Taratibu za kutengeneza Sheria ndogo. - 86 Verify source ↗
Diwani kutembelea maeneona miradi ya maendeleo
AI-assisted research summary: This section concerns a councillor visiting development areas and projects.
86. Diwani kutembelea maeneona miradi ya maendeleo. - 90 Verify source ↗
Uteuzi wa wajumbe kwenye taasisi za nje
AI-assisted research summary: Section 90 is about appointing members to external institutions.
90. Uteuzi wa wajumbe kwenye taasisi za nje. - 92 Verify source ↗
Wimbo wa Taifa, dua au sala ya kuiombea Halmashauri
AI-assisted research summary: This section states the title of the standing orders and says they set procedures for how the council will conduct meetings and its activities, based on good governance principles.
92. Wimbo wa Taifa, dua au sala ya kuiombea Halmashauri. 4 Kanuni za Kudumu ya Halmashauri ya Wilaya ya Hai Tangazo la Serikali Na. 612 (Linaendelea) SHERIA YA SERIKALI ZA MITAA (MAMLAKA ZA WILAYA), (SURA YA 287) KANUNI ZA KUDUMU (Zimetengenezwa chini ya kifungu cha 70(1)) KANUNI ZA KUDUMU ZA HALMASHAURI YA WILAYA YA HAI ZA MWAKA 2024 SEHEMU YA KWANZA MASHARTI YA UTANGULIZI KWA KUWA Kaulimbiu ya Halmashauri ya Wilaya ya Hai ni kuendesha shughuli kwa namna inayozingatia demokrasia, ufanisi, tija, ushirikishwaji, uwazi na uwajibikaji; NA KWA KUWA jukumu la Halmashauri ni kuimarisha demokrasia katika ngazi zote na kutoa huduma kwa wananchi kwa kuzingatia ufanisi, usawa, haki na kwa namna inayochochea maendeleo ya maeneo yaliyo chini ya mamlaka ya Halmashauri kwa kuwashirikisha wananchi; NA KWA KUWA madhumuni ya Kanuni za Kudumu ni kuweka utaratibu wa namna Halmashauri itakavyoendesha mikutano na shughuli zake kwa kuzingatia misingi ya utawala bora; SASA BASI, Kanuni za Kudumu hii zinaweka masharti yafuatayo: - 72 Verify source ↗
(1) Wajumbe wa Halmashauri watalipwa posho
AI-assisted research summary: Council members are to be paid allowances, and the council must cover medical costs if a member is sick or injured while working.
72.-(1) Wajumbe wa Halmashauri watalipwa posho mbalimbali kama itakavyopendekezwa na Halmashauri na kuidhinishwa na Waziri. (2) Posho zifuatazo zitalipwa kwa wajumbe wa Halmashauri: (a) posho ya usafiri; (b) posho ya kuhudhuria kikao; (c) posho ya madaraka; (d) posho ya kujikimu; (e) posho ya mwezi; na 42 Kanuni za Kudumu ya Halmashauri ya Wilaya ya Hai Tangazo la Serikali Na. 612 (Linaendelea) (f) kiinua mgongo. (3)Endapo mjumbe wa Halmashauri ataugua au ataumia wakati akifanya kazi, gharama za matibabu yake zitalipwa na Halmashauri. Posho iwapo mkutano utaahairish wa - 73 Verify source ↗
(1) Endapo Mkutano wa Halmashauri au Kamati
AI-assisted research summary: A member who comes to an adjourned Council or Committee meeting may be entitled to specified payments, but attendance allowance is not paid in that situation.
73.-(1) Endapo Mkutano wa Halmashauri au Kamati utaahirishwa kwa sababu ya kukosekana kwa akidi, mjumbe aliyefika kwa ajili ya kuhudhuria mkutano ulioahirishwa atastahili malipo yaliyoainishwa katika kanuni ya 81(2)(a) na (d) iwapo wamelazimika, bila kukusudia, kulala njiani au kwenye makao makuu ya Halmashauri. (2) Malipo ya posho ya kuhudhuria kikao hayatafanyika katika hali ya hiyo. SEHEMU YA SABA MABADILIKO KWENYE KANUNI ZA KUDUMU Kusitisha utumiaji wa Kanuni za Kudumu Marekebis ho na mabadiliko ya Kanuni hizi za Kudumu Kanuni za Kudumu kutolewa kwa wajumbe Kutafsiri
Part
SEHEMU YA SABA
- 74 Verify source ↗
Kusitisha utumiaji wa Kanuni za Kudumu
AI-assisted research summary: Kifungu hiki kinahusu kusitisha utumiaji wa Kanuni za Kudumu.
74. Kusitisha utumiaji wa Kanuni za Kudumu. - 75 Verify source ↗
Marekebisho na mabadiliko ya Kanuni za Kudumu
AI-assisted research summary: Kifungu hiki ni kichwa kinachohusu marekebisho na mabadiliko ya Kanuni za Kudumu.
75. Marekebisho na mabadiliko ya Kanuni za Kudumu. - 76 Verify source ↗
Kanuni za Kudumu kutolewa kwa wajumbe
AI-assisted research summary: Kanuni za Kudumu zinatolewa kwa wajumbe.
76. Kanuni za Kudumu kutolewa kwa wajumbe. - 77 Verify source ↗
Kutafsiri Kanuni za Kudumu
AI-assisted research summary: This section is titled “Kutafsiri Kanuni za Kudumu” and appears under Part Eight, “Ziara za Wajumbe.”
77. Kutafsiri Kanuni za Kudumu. SEHEMU YA NANE ZIARA ZA WAJUMBE - 74 Verify source ↗
(1) Kanuni yoyote inaweza kusitishwa kwa
AI-assisted research summary: The Council may suspend a regulation by a two-thirds resolution of members present, on an urgent motion without notice, but not if that suspension would make the Council act unlawfully or fail to do something required by law.
74.-(1) Kanuni yoyote inaweza kusitishwa kwa azimio lililoungwa mkono na theluthi mbili za wajumbe waliohudhuria mkutano wa Halmashauri kwa hoja iliyopendekezwa bila taarifa kwa madhumuni ya kuwezesha shughuli yoyote ishughulikiwe na iliyofafanuliwa Halmashauri kama suala la dharura au lenye manufaa. ili (2) Halmashauri haitasitisha matumizi ya kanuni yoyote kama kusitisha huko kutasababisha kufanya jambo ambalo jambo limezuiliwa na Sheria au kutofanya linalotakiwa kufanywa chini ya Sheria yoyote. - 75 Verify source ↗
Halmashauri inaweza kubadilisha, kuongeza,
AI-assisted research summary: Halmashauri inaweza kubadilisha, kuongeza, kurekebisha au kutengua Kanuni hizi za Kudumu ikiwa azimio lake linaungwa mkono na theluthi mbili ya kura za wajumbe na baada ya kupata idhini ya Waziri.
75. Halmashauri inaweza kubadilisha, kuongeza, kurekebisha au kutengua Kanuni hizi za Kudumu kwa azimio lililoungwa mkono na theluthi mbili ya kura za wajumbe baada ya kupata idhini ya Waziri. - 76 Verify source ↗
Nakala
AI-assisted research summary: Mkurugenzi lazima ampe kila mjumbe nakala iliyochapishwa ya Kanuni hizi za Kudumu.
76. Nakala iliyochapishwa ya Kanuni hizi za Kudumu itatolewa na Mkurugenzi kwa kila mjumbe. - 77 Verify source ↗
Uamuzi wa Mwenyekiti kuhusu maana ya
AI-assisted research summary: Kanuni zinasema matumizi ya Kanuni hizi au mwenendo wa Mkutano wa Halmashauri haviwezi kupingwa wakati wa mkutano wowote wa Halmashauri.
77. Uamuzi wa Mwenyekiti kuhusu maana ya 43 Kanuni za Kudumu ya Halmashauri ya Wilaya ya Hai Tangazo la Serikali Na. 612 (Linaendelea) Kanuni ya Kudumu matumizi ya Kanuni hizi au mwenendo wa Mkutano wa Halmashauri hautapingwa wakati wa Mkutano wowote wa Halmashauri. SEHEMU YA NANE ZIARA ZA WAJUMBE Ziara za wajumbe
Part
SEHEMU YA NANE
- 78 Verify source ↗
Ziara za wajumbe
AI-assisted research summary: Hii ni kichwa cha kifungu kuhusu ziara za wajumbe.
78. Ziara za wajumbe. SEHEMU YA SITA MASHARTI MENGINEYO - 78 Verify source ↗
(1) Wajumbe wa Halmashauri wanaweza kwenda
AI-assisted research summary: Wajumbe wa Halmashauri wanaweza kufanya ziara za mafunzo tu ikiwa zimepangwa kwenye mpango na bajeti ya Halmashauri, na Halmashauri lazima ikague masharti kabla ya kuruhusu ziara.
78.-(1) Wajumbe wa Halmashauri wanaweza kwenda ili mradi ziara hizo ziara mbalimbali za mafunzo zimeainishwa kwenye mpango na bajeti ya Halmashauri: Isipokuwa kwa ziara ambazo gharama zake hazihusiani na bajeti ya Halmashauri wajumbe watafanya ziara hizo kwa mujibu wa ratiba ya mpango huo. (2) Bila kuathiri masharti ya kanuni ndogo ya (1) Halmashauri kabla ya kuruhusu kufanyika kwa ziara itahaikikisha kwamba- (a) shughuli ya ziara hiyo inafanana na shughuli zinazofanywa na Halmashauri; (b) ziara hiyo itafanyika baada ya kupata kibali cha Mkuu wa Mkoa; (c) wajumbe wanakitu cha kwenda kuonesha kule wanakokwenda kujifunza; (d) ziara zinazofanyika nje ya Mkoa zihusishe wadau mbalimbali wa Halmashauri kutegemeana na ziara husika; (e) ziara iwe na matunda yanayoonekana; (f) wajumbe walioshiriki kwenye ziara warejeapo wanatakiwa kuandaa na kuwasilisha taarifa ya maandishi kwa Halmashauri kuhusu masuala mapya na ya msingi waliyojifunza na kuweka utaratibu mzuri wa kuyatekeleza kwenye Kata zao na Halmashauri; na (g) ziara zitafanywa kwa kuzingatia walengwa na mahitaji kama itakavyokubalika na Halmashauri. SEHEMU YA TISA MASHARTI MENGINEYO Kiapo na
Part
SEHEMU YA KWANZA
- 1 Verify source ↗
Kanuni hizi zitajulikana kama Kanuni za Kudumu
AI-assisted research summary: This provision states the short title of the regulations.
1. Kanuni hizi zitajulikana kama Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Hai za Mwaka 2024. - 2 Verify source ↗
Katika Kanuni hizi, isipokuwa kama muktadha
AI-assisted research summary: This section defines key terms used in the by-law, unless the context requires otherwise.
2. Katika Kanuni hizi, isipokuwa kama muktadha utahitaji vinginevyo- “afisa wa serikali za mitaa” maana yake ni mtu ambaye- (a) ameajiriwa au yupo katika utumishi wa Mamlaka 5 Jina Tafsiri Kanuni za Kudumu ya Halmashauri ya Wilaya ya Hai Tangazo la Serikali Na. 612 (Linaendelea) (b) anashika ya Serikali za Mitaa; na au menejimenti; kukaimu katika nafasi ya “fujo” maana yake ni kitendo chochote kinachoweza kufanywa na mjumbe au mshiriki wa kikao cha Halmashauri au Kamati ya Kudumu ambacho ni taratibu za uendeshaji wa vikao kinyume na kinachoweza kuvuruga kikao; “Halmashauri” maana yake ni Halmashauri ya Wilaya ya Hai; “Kamati” inapotumika kuhusiana na- (a) Halmashauri au Mamlaka ya Mji Mdogo maana yake ni Kamati iliyoanzishwa au iliyoteuliwa na Halmashauri au Mamlaka ya Mji Mdogo chini ya Sheria; na (b) Kata maana yake ni Kamati ya Maendeleo ya Kata; “Kamati Ndogo” maana yake ni Kamati Ndogo iliyoteuliwa na Kamati; “Mamlaka ya Mji Mdogo” maana yake ni kama ilivyotafsiriwa kwenye Sheria; “Mkurugenzi” maana yake ni Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Hai au afisa yeyote aliyeteuliwa kutekeleza majukumu ya Mkurugenzi; “mjumbe” maana yake ni kama ilivyotafsiriwa kwenye Sheria; “Mwenyekiti”- (a) ikiwa ni Halmashauri maana yake ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Hai, na inajumuisha Makamu Mwenyekiti wakati anatekeleza majukumu ya Mwenyekiti kwa mujibu wa Sheria Ndogo hii; (b) ikiwa ni Kamati, Bodi au Kamati Ndogo maana yake ni Mwenyekiti wa Kamati, Bodi au Kamati Ndogo; (c) ikiwa ni bodi ya zabuni, maana yake ni Mwenyekiti wa Bodi ya Zabuni; “Sheria” maana yake ni Sheria ya Serikali za Mitaa (Mamlaka za Wilaya); na 6 Sura ya 287 Kanuni za Kudumu ya Halmashauri ya Wilaya ya Hai Tangazo la Serikali Na. 612 (Linaendelea) Mkutano wa kawaida wa Halmashauri “Waziri” maana yake ni Waziri mwenye dhamana ya masuala ya serikali za mitaa. SEHEMU YA PILI MIKUTANO YA HALMASHAURI
Part
sehemu ambayo mkutano utafanyika.
- 15 Verify source ↗
(1) Utaratibu wa shughuli katika kila mkutano wa
AI-assisted research summary: This provision sets the order of business for ordinary council meetings and allows the council to change that order for urgent reasons.
15.-(1) Utaratibu wa shughuli katika kila mkutano wa kawaida wa Halmashauri utakuwa kama ifuatavyo isipokuwa kama Halmashauri, kutokana na sababu za dharura, itaamua kubadili utaratibu wa shughuli za mikutano: (a) Mwenyekiti akiongozwa na Katibu ataingia ukumbini baada ya mratibu wa vikao kutoa ishara maalumu kuashiria kuwa Mwenyekiti anaingia ukumbini na wajumbe watasimama na kukaa kimya mpaka pale Mwenyekiti atakaporuhusu wajumbe kukaa; (b) mkutano utaanza kwa sala au dua itakayosomwa 13 Kanuni za Kudumu ya Halmashauri ya Wilaya ya Hai Tangazo la Serikali Na. 612 (Linaendelea) na Mwenyekiti; (c) endapo Mwenyekiti au Makamu Mwenyekiti hawatakuwepo, wajumbe watachagua mjumbe mmoja miongoni mwao kuongoza kikao; (d) baada ya sala au dua kusomwa Mkurugenzi na Mwenyekiti wa Halmashauri watajibu maswali ya papo kwa papo kutoka kwa wajumbe wa Baraza la madiwani kwa utaratibu na mpangilio kama ilivyooneshwa katika Kanuni hii; (e) kupokea na kujadili taarifa za kata kutoka kwa madiwani wa kata husika; (f) kujadili suala lolote linalotakiwa kushughulikiwa kabla ya shughuli nyingine yoyote kwa mujibu wa Sheria; (g) kupokea taarifa yoyote inayopaswa kupokelewa kisheria kabla ya shughuli nyingine yoyote; (h) kusoma au kuthibitisha muhtasari wa mkutano wa kawaida wa Halmashauri uliopita na mikutano yoyote maalumu ya Halmashauri iliyofanyika baada ya mkutano huo wa kawaida, iwapo nakala za mihtasari imesambazwa kwa kila mjumbe kabla au wakati wa kupeleka taarifa ya kuhudhuria mkutano, mihtasari hiyo itachukuliwa kuwa imesomwa; (i) kupokea taarifa yoyote ambayo Mwenyekiti atapenda itolewe kwa Halmashauri; (j) kujibu maswali kwa mujibu wa kanuni ya 21 ya Kanuni hizi; (k) kumalizia shughuli yoyote mkutano wa kawaida uliopita; iliyobaki katika (l) kupokea na kushughulikia taarifa za Kamati za Halmashauri kutoka kwa wenyeviti wa kamati ambao watahusika kujibu maswali ya wajumbe kuhusiana na kazi za Kamati husika; (m) kupokea na kujadili taarifa kutoka kwa Mkurugenzi wa Halmashauri; (n) kuidhinisha utiaji lakiri katika hati; (o) kushughulikia binafsi hoja zinavyopokelewa; na kulingana na 14 Kanuni za Kudumu ya Halmashauri ya Wilaya ya Hai Tangazo la Serikali Na. 612 (Linaendelea) (p) kushughulikia masuala mengine yaliyooneshwa katika taarifa ya Mkutano. (2) Halmashauri inaweza, katika Mkutano wowote wa kawaida, kubadili utaratibu wa hoja za mazungumzo ili kutoa kipaumbele kwa shughuli yoyote ambayo kwa maoni ya Mwenyekiti ina uharaka wa pekee, isipokuwa mabadiliko hayo hayatabadilisha mpangilio wa shughuli zilizotajwa katika kanuni ndogo ya 13(1(a), (b) na (c) ya kanuni hii. Kuthibitish a muhtasari - 16 Verify source ↗
(1) Katibu ataandika muhtasari wa kikao kwa
AI-assisted research summary: The secretary must prepare meeting minutes with specified details, the minutes must be corrected, confirmed, signed, and stored in a special register, and copies or parts may be provided on request and payment of an approved fee.
16.-(1) Katibu ataandika muhtasari wa kikao kwa na kuzingatia majina wasiohudhuria, jina la mtoa hoja, aliyeunga mkono hoja, mabadiliko ya hoja kwa ufupi, ushauri uliotolewa na azimio lililofikiwa. ya wajumbe waliohudhuria (2) Muhtasari utarekebishwa, utathibitishwa na utasainiwa na Mwenyekiti wa Mkutano na kutunzwa katika rejesta maalumu ya muhtasari. utasomwa, (2) Baada ya muhtasari kusomwa au kuchukuliwa kuwa umesomwa Mwenyekiti atauliza swali “Je Muhtasari tarehe…… wa Mkutano wa Halmashauri wa saini kama mwezi…………. Mwaka……..umewekwa kumbukumbu sahihi?”. (3) Hoja na majadiliano yatafanyika ili kubaini usahihi wa muhtasari wa kikao. lolote (3) Endapo wajumbe hawajauliza swali kuhusiana na muhtasari, watathibitisha muhtasari huo na Mwenyekiti ataweka saini katika muhtasari huo. (4) Muhtasari wa kikao utasainiwa na wajumbe wote waliohudhuria kikao. (5) Mihtasari ya Halmashauri itakuwa wazi kwa ajili ya kukaguliwa na wajumbe na umma wakati wote kwa utaratibu utakaokubaliwa na Halmashauri na kwamba mtu yeyote anaweza kupewa sehemu ya muhtasari huo kama akiomba na baada ya kulipa ada kama itakavyoidhinishwa na Halmashauri. Hoja za Mwenyekit i - 17 Verify source ↗
(1) Mwenyekiti kwa nafasi yake anaweza
AI-assisted research summary: Mwenyekiti anaweza kuwasilisha hadi hoja tatu kwa nafasi yake, na pia ana haki ya kuwasilisha hoja kama mjumbe kwa taratibu za kawaida.
17.-(1) Mwenyekiti kwa nafasi yake anaweza kuwasilisha hoja zisizozidi tatu. (2) Bila kuathiri kanuni ndogo ya (1), Mwenyekiti 15 Kanuni za Kudumu ya Halmashauri ya Wilaya ya Hai Tangazo la Serikali Na. 612 (Linaendelea) ana haki ya kuwasilisha hoja kama mjumbe kwa taratibu za kawaida. Taratibu za majadilian o - 18 Verify source ↗
(1) Mtoa hoja
AI-assisted research summary: This section limits how long people may speak in council meetings and sets rules for who may speak, when, and under what permission.
18.-(1) Mtoa hoja atahutubia Mkutano wa Halmashauri kwa dakika zisizozidi kumi. (2) Endapo mtoa hoja anahitaji kuongezewa muda ataomba idhini kwa Hamashauri. (3) Wajumbe wengine pamoja na mtoa hoja watapewa dakika zisizozidi tano za kuzungumza. (4) Mjumbe anaruhusiwa kuzungumza mara moja katika hoja yoyote ile isipokuwa kwa hoja inayowasilishwa bila mjadala. (5) Mtoa hoja atakuwa na haki ya kuzungumza kwa muda usiozidi dakika tano wakati wa kujibu hoja na muda huo utaanza kuhesabika atakapoanza kuchangia au kujibu. (6) Mratibu wa vikao atatoa ishara maalumu kumjulisha mtoa hoja kuwa muda wake umeisha na mjadala juu ya hoja hiyo utafungwa. (7) Utaratibu wa kuhesabu muda uliorejewa chini ya kanuni hii utatumika pia kwa mjumbe yeyote atakayepewa muda wa kuchangia hoja na mara tu baada ya kujibu, mjadala juu ya hoja utafungwa. (8) Mjumbe yeyote aliyechangia hoja hawezi kutoa au kuunga mkono marekebisho, ila marekebisho yakitolewa na kuungwa mkono, mjumbe aliyekwishazungumza katika hoja ya awali anaweza kuzungumza kwenye hoja iliyorekebishwa kwa muda usiozidi dakika tatu. (9) Endapo wajumbe wawili au zaidi watasimama kwa wakati mmoja kuzungumza, mjumbe atakayetajwa na Mwenyekiti ndiye atakayepewa nafasi kwanza. (10) Bila kuathiri masharti ya kanuni ndogo ya (9), Mwenyekiti atahakikisha nafasi ya kuchangia inatolewa kwa uwiano unaofaa miongoni mwa wawakilishi wote wa Madiwani walioomba kuchangia hoja hiyo. anapozungumza atasimama na (11) Mjumbe mazungumzo yake atayaelekeza kwa Mwenyekiti tu. (12) Mjumbe anapozungumza hatakatizwa, isipokuwa kama kuna suala linalohusiana na utaratibu. 16 Kanuni za Kudumu ya Halmashauri ya Wilaya ya Hai Tangazo la Serikali Na. 612 (Linaendelea) (13) Bila kuathiri kanuni ndogo ya (8), mjumbe mwenye nia ya kutoa taarifa kuhusu utaratibu atapewa nafasi ya kuzungumza. (14) Mjumbe anaposimama kutoa taarifa kuhusu utaratibu, mjumbe anayezungumza atakaa hadi hoja ya utaratibu imeamuliwa na Mwenyekiti, isipokuwa kama anasimama kumweleza Mwenyekiti kuhusu suala la utaratibu. itakapokuwa (15) Mwenyekiti- (a) ataamua utaratibu wa mikutano ya Halmashauri; na (b) atazuia fujo na kuhakikisha kuwa uamuzi wake katika kusimamia usalama unatekelezwa mara moja. (16) Mwenyekiti akisimama wakati wa majadiliano, mjumbe anayezungumza au aliyesimama atakaa na mjumbe yeyote hatasimama hadi Mwenyekiti atakapokaa. (17) Mjumbe hatabaki amesimama wakati ambapo mjumbe mwingine anawasilisha kwa Mwenyekiti. (18) Mkurugenzi wa Halmashauri atajibu swali lolote atakaloulizwa na Mwenyekiti kuhusiana na shughuli zinazoendelea kwenye Mkutano. (19) Bila kujali kanuni ndogo ya (18), Mkurugenzi wa Halmashauri anaweza kudai haki ya kukataa kujibu swali kwa msingi wa kwamba jibu linaweza kumweka hatiani, kuvunja uaminifu wake au kumuhusisha yeye kama mtetezi mahakamani. (20) Mtu hataruhusiwa kuhutubia katika mkutano wa Halmashauri kwa ajili yake mwenyewe, au kwa niaba ya watu wengine walio kwenye ujumbe wa watu isipokuwa kwa idhini ya Halmashauri iliyotolewa kwa azimio. (21) Idhini iliyotolewa chini ya kanuni ndogo ya (20) haitatolewa isipokuwa kama mtu anayetaka kuhutubia Halmashauri atakuwa amempa Mkurugenzi au afisa aliyeruhusiwa naye, taarifa ya maandishi inayoelezea suala linalotarajiwa kujadiliwa ndani ya siku tisa kabla ya mkutano wa Halmashauri ambao anatarajia kuomba idhini na taarifa hiyo kubandikwa kwenye mbao za matangazo za Halmashauri. 17 Kanuni za Kudumu ya Halmashauri ya Wilaya ya Hai Tangazo la Serikali Na. 612 (Linaendelea) Fujo zinazosababi shwa na wajumbe (22) Watu zaidi ya wawili hawatakuwa na haki ya kuhutubia Halmashauri kwa uwakilishi na nafasi ya ujumbe haitazidi watu watano. (23) Kiwango cha juu cha muda wa kuzungumza na Halmashauri ikiwa ni pamoja na muda wa kusoma risala hakitazidi dakika kumi. - 19 Verify source ↗
(1) Katika Mkutano wowote wa Halmashauri
AI-assisted research summary: Katika mkutano wa Halmashauri, Mwenyekiti anaweza kuchukua hatua dhidi ya mjumbe anayevuruga au kudharau kanuni za mkutano.
19.-(1) Katika Mkutano wowote wa Halmashauri ikiwa mjumbe wa Halmashauri ataonesha kukosa heshima au kudharau Kanuni za Kudumu za Halmashauri kwa kuzuia kwa makusudi shughuli za Halmashauri zisiendelee au vinginevyo, Mwenyekiti kwa madaraka aliyonayo, atatoa maelekezo juu ya suala hilo kwa kumtaja jina mtu aliyefanya vitendo hivyo. (2) Endapo baada ya kutajwa jina mjumbe ataendelea kudharau madaraka ya Mwenyekiti, Mwenyekiti ataliomba Baraza kuahirisha shughuli za mkutano na Mwenyekiti atatafakari suala hilo na anaweza kuagiza yafuatayo: (a) mjumbe atolewe nje ya mkutano wa Halmashauri na kuzuiwa kuhudhuria vikao vitatu mfululizo pamoja na haki zake zote; au (b) mjumbe azuiliwe kuhudhuria vikao vitatu mfululizo na kupoteza haki zake zinazohusiana na vikao hivyo. (3) Endapo kutatokea fujo kubwa katika mkutano wowote wa Halmashauri, Mwenyekiti anaweza kama ataona ni muhimu kufanya hivyo, kuahirisha mkutano bila majadiliano, swali au kusimamisha mkutano kwa muda atakaoona unafaa. Fujo zinazosaba bishwa na umma - 20 Verify source ↗
(1) Endapo mtu yeyote kati ya watu
AI-assisted research summary: The Chairperson may warn a meeting attendee who disturbs the Council meeting, direct that person to be removed, and order people removed if there is disorder in the meeting area.
20.-(1) Endapo mtu yeyote kati ya watu waliohudhuria mkutano wa Halmashauri atavuruga Mkutano wa Halmashauri, Mwenyekiti atamuonya mtu huyo aache kufanya hivyo. (2) Endapo mtu huyo ataendelea kuvuruga mkutano, Mwenyekiti ataelekeza mtu huyo atolewe kwenye chumba cha Mkutano. (3) Endapo kutakuwa na vurugu katika sehemu 18 Kanuni za Kudumu ya Halmashauri ya Wilaya ya Hai Tangazo la Serikali Na. 612 (Linaendelea) Hoja na marekebish o ya hoja yoyote ya chumba cha Mkutano kinachotumiwa na watu, Mwenyekiti ataagiza watu waondolewe katika eneo hilo. - 21 Verify source ↗
(1) Taarifa ya kila hoja,
AI-assisted research summary: Hoja za Halmashauri lazima ziletwe kwa maandishi yaliyosainiwa na kuwasilishwa kwa Mkurugenzi angalau siku nne kabla ya mkutano unaofuata, isipokuwa hoja za chini ya kanuni ya 15.
21.-(1) Taarifa ya kila hoja, isipokuwa hoja iliyowasilishwa chini ya kanuni ya 15, itawasilishwa kwa maandishi yaliyowekwa saini na Diwani au Madiwani waliotoa taarifa, na itapelekwa kwa Mkurugenzi angalau siku nne kabla ya Mkutano wa Halmashauri unaofuata. (2) Baada ya taarifa iliyorejewa katika kanuni ndogo ya (1) kupokelewa, Mkurugenzi ataiandika kwenye daftari kwa kuainisha tarehe na namba kwenye daftari kadri hoja zilivyowasilishwa. (3) Daftari lililorejewa chini ya kanuni ndogo ya (2) litakuwa wazi kukaguliwa na mjumbe yeyote wa Halmashauri. (2) Mkurugenzi ataonesha katika taarifa ya kila Mkutano wa Halmashauri hoja zilizowasilishwa na kadri zilivyopokelewa isipokuwa kama Diwani aliyetoa hoja hiyo ameeleza kwa maandishi kuwa anataka kuitoa katika Mkutano utakaofanyika baadaye, au baada ya kuwasilisha ameifuta hoja hiyo kwa maandishi. (3) Endapo hoja ambayo imeoneshwa katika taarifa ya Mkutano haiwezi kutolewa na Mjumbe aliyewasilisha taarifa au mjumbe mwingine yeyote kwa niaba yake, hoja idhini ya hiyo, Halmashauri, na itachukuliwa haitawasilishwa tena bila ya kutoa taarifa upya. imeahirishwa kwa isipokuwa kama imeondolewa kama inahusu suala (4) Endapo hoja iliyorejewa chini ya kanuni ndogo ya linalohusiana na Kamati baada ya (3) kupendekezwa na kuungwa mkono, hoja hiyo itapelekwa bila majadiliano kwenye Kamati ambayo Halmashauri itaelekeza ili iweze kushughulikiwa na kuandaliwa taarifa. (5) Kila hoja iliyowasilishwa inapaswa kuwa na uhusiano na ndani ya mamlaka ya Halmashauri. (6) Marekebisho ya hoja yaliyopendekezwa na kuungwa mkono yanaweza kuondolewa kwa ridhaa ya wajumbe wa Halmashauri walio wengi waliopo katika mkutano. (7) ambapo marekebisho Pale hoja ya 19 Kanuni za Kudumu ya Halmashauri ya Wilaya ya Hai Tangazo la Serikali Na. 612 (Linaendelea) yamethibitishwa, hoja ya msingi iliyorekebishwa itatolewa na Mwenyekiti kama ndiyo hoja ya msingi ambayo nayo inaweza kufanyiwa marekebisho. (8) Endapo marekebisho ya hoja hayajakubaliwa, marekebisho mengine yanaweza kupendekezwa. (9) Kwa idhini ya Mwenyekiti, marekebisho zaidi ya moja yanaweza kutolewa kwa wakati mmoja mbele ya Mkutano wa Halmashauri, lakini kila marekebisho ya namna hii yatatolewa moja baada ya jingine kufuatana na jinsi mapendekezo hayo yalivyotolewa. (10) Marekebisho hayatachukuliwa kuwa sahihi kama yatakuwa sawa na kuikataa hoja moja kwa moja au kama si marekebisho ya hoja ya msingi inayokusudiwa kurekebisha. (11) Marekebisho ambayo hayakutolewa taarifa, hayatapendekezwa hoja inayozungumzwa kuendelea kwa nusu saa, isipokuwa kwa mujibu wa sharti hili, taarifa ya idadi yoyote ya marekebisho inaweza kutolewa. ya mjadala wa baada (12) Hoja ya kufuta azimio itapitishwa na wajumbe wasiopungua theluthi mbili ya wajumbe wote. (13) Hoja ya kuzingatia taarifa ya Kamati, kuidhinisha majadiliano au mapendekezo ya Kamati inaweza kutolewa na Mwenyekiti wa Kamati husika au mjumbe yeyote wa Kamati husika kwa niaba yake. (14) Mjumbe yeyote ambaye hajachangia katika mjadala wa hoja au kutoa marekebisho, anaweza kupendekeza Halmashauri iendelee na shughuli inayofuata. (15) Endapo hoja ya kuendelea na shughuli inayofuta imetolewa hoja hiyo inaweza kuzingatiwa baada ya hoja kupendekezwa na kuungwa mkono. (15) Hoja inapotolewa, itaamuliwa bila marekebisho au mjadala, na iwapo ikikubaliwa, shughuli iliyokatizwa na azimio hilo haitaendelea kujadiliwa katika kikao hicho. (16) Hoja ya kupendekeza kuendelea na shughuli inayofuata haitatolewa zaidi ya mara moja katika mjadala wa suala lolote. (14) Baada ya mjadala kuhusu hoja kuendelea kwa muda usiopungua nusu saa, Mjumbe ambaye hajachangia 20 Kanuni za Kudumu ya Halmashauri ya Wilaya ya Hai Tangazo la Serikali Na. 612 (Linaendelea) Hoja zinazoweza kutolewa bila taarifa katika majadiliano anaweza kuomba idhini ya kutoa hoja “kwamba suala lililo mbele yetu sasa liamuliwe” na kama idhini hiyo itatolewa kwa kukubaliwa na si chini ya Wajumbe watano, hoja “kwamba suala lililo mbele yetu sasa liamuliwe” itawasilishwa mara moja, na kama ikiafikiwa, mtoa hoja ya msingi anaweza kuzungumza kwa dakika zisizozidi tano, na baada ya hapo swali au maswali yaliyo mbele ya Halmashauri yatafanyiwa uamuzi. (15) Hoja “kwamba suala lililo mbele yetu sasa liamuliwe” haitatolewa zaidi ya mara moja katika mjadala lolote hadi hapo mjadala unaoendelea kuhusu utakapokuwa umeendelea kwa angalau nusu saa tangu kuwekwa mbele ya Mkutano hoja ya aina hiyo ilipopendekezwa awali. jambo - 22 Verify source ↗
Hoja zifuatazo zinaweza kutolewa bila taarifa
AI-assisted research summary: Motions listed here may be brought without notice.
22. Hoja zifuatazo zinaweza kutolewa bila taarifa: (a) kumchagua Mwenyekiti wa Mkutano iwapo hoja hiyo imetolewa; (b) usahihi wa muhtasari, kufunga mkutano, kuahirisha mkutano, utaratibu wa mkutano, au suala linalofuata; (c) kuteua Kamati au wajumbe wa Kamati, au wawakilishi katika taasisi za nje, kunakotokana na suala lililotaarifiwa katika wito wa mkutano; (d) kukubali taarifa, mapendekezo na maazimio ya Kamati yanayotokana na taarifa au mapendekezo hayo; (e) kutoa idhini ili kuondoa hoja; (f) kusahihisha hoja; (g) kuongeza muda wa hotuba; (h) utenguaji wa suala lililotajwa katika taarifa ya kuitisha mkutano; (i) kusimamisha Kanuni za Kudumu; (j) kutokusikilizwa au kuondolewa kwa mjumbe katika mkutano; (k) kumwomba mjumbe abaki Mkutanoni; na (l) kutoa idhini ya Halmashauri pale ambapo idhini inatakiwa kwa mujibu wa Kanuni za Kudumu hizi. 21 Kanuni za Kudumu ya Halmashauri ya Wilaya ya Hai Tangazo la Serikali Na. 612 (Linaendelea) Haki ya kujibu - 23 Verify source ↗
(1) Mtoa hoja ana haki ya kujibu maswali wakati
AI-assisted research summary: The motion mover has a right to answer questions when debate on the motion is being closed, before the vote or before a motion to adjourn is moved.
23.-(1) Mtoa hoja ana haki ya kujibu maswali wakati wa kufunga mjadala unaohusu hoja hiyo, kabla ya hoja kupigiwa kura au kabla ya hoja kutolewa “kwamba kikao kiahirishwe”. (2) Mjumbe anayetumia haki yake ya kujibu hataanzisha hoja nyingine mpya. (3) Baada ya kutolewa kwa jibu ambalo linahusiana na kanuni hii, uamuzi utafikiwa bila majadiliano zaidi. Maswali Maswali ya papo kwa papo - 24 Verify source ↗
(1) Mjumbe anaweza kumuuliza Mwenyekiti wa
AI-assisted research summary: A member may ask the committee chair a question, and the question must be answered without debate.
24.-(1) Mjumbe anaweza kumuuliza Mwenyekiti wa lolote kuhusu muhtasari wa Kamati swali Kamati uliofikishwa mbele ya Halmashauri. (2) Kila swali litaulizwa na kujibiwa bila majadiliano. (3) Maswali yatajibiwa na Mwenyekiti wa Kamati na mjumbe anayeuliza maswali hayo hatanyimwa haki yake ya kujadili hoja ambayo maswali hayo yanarejewa au kutoa hoja ya marekebisho. (4) Pale ambapo swali la maandishi limeelekezwa kwa Mwenyekiti wa Kamati na taarifa inayotakiwa imo katika mojawapo ya mihtasari ya Halmashauri kuonesha sehemu ya muhtasari ambapo taarifa hiyo imeoneshwa, kutachukuliwa ni jibu la kutosha. dakika
Part
sehemu ya muhtasari ambapo taarifa hiyo imeoneshwa,
- 25 Verify source ↗
(1) Katika Mkutano wa kawaida Halmashauri,
AI-assisted research summary: Wajumbe wanaotaka kuuliza maswali ya papo kwa papo lazima wajiorodheshe kwa Mwenyekiti siku moja kabla, na kila mjumbe anaruhusiwa swali moja tu.
25.-(1) Katika Mkutano wa kawaida Halmashauri, zitatengwa na Mkurugenzi wa Halmashauri kujibu maswali ya papo kwa papo kutoka kwa wajumbe kabla ya kuanza shughuli za kawaida za Mkutano wa Halmashauri. kwa Mwenyekiti thelathini (2) Wajumbe wenye nia ya kumuuliza Mkurugenzi na Mwenyekiti maswali ya papo kwa papo watatakiwa kujiorodhesha kwa Mwenyekiti siku moja kabla ya Mkutano wa Halmashauri. (3) Mjumbe kwa ambaye Mwenyekiti siku moja kabla atahesabika kuwa amechelewa, na hataruhusiwa kumuuliza Mkurugenzi au Mwenyekiti swali la papo kwa papo. hatajiorodhesha (4) Kabla ya kuanza kwa kipindi cha maswali ya 22 Kanuni za Kudumu ya Halmashauri ya Wilaya ya Hai Tangazo la Serikali Na. 612 (Linaendelea) papo kwa papo Mwenyekiti atataja majina ya wajumbe waliojiorodhesha kuuliza maswali ya papo kwa papo na idadi ya maswali. (5) Mwenyekiti ataweka utaratibu ambao ataona unafaa na kuridhiwa na wajumbe wa namna bora ya kuendesha kipindi cha maswali ya papo kwa papo. (6) Mjumbe hataruhusiwa kuuliza zaidi ya swali moja la papo kwa papo. (7) Wajumbe wanaweza kuuliza maswali kwenye maeneo muhimu yafuatayo (a) uendeshaji wa jumla wa Halmashauri; (b) uwekezaji wa miradi ya maendeleo; (c) mipango kimkakati ya ya Halmashauri kuwaondolea wananchi umaskini; (d) mipango ya baadaye ya maendeleo ya Halmashauri; (e) usimamizi na utekelezaji wa mipango na bajeti kwa mwaka husika; (f) utoaji wa huduma za jamii kama vile elimu, afya, maji, barabara na madaraja; (g) hifadhi ya mazingira na utunzaji wa vyanzo vya maji; (h) usalama wa chakula, raia na mali zao; na (i) utawala bora na utatuzi wa kero za wananchi. (8) Baada ya kujibiwa kwa swali, muuliza swali atapewa fursa ya kuuliza swali moja tu la ufafanuzi na maswali yatajibiwa bila mjadala. (9) Mwenyekiti ana uwezo wa kuruhusu au kukataa swali lolote la papo kwa papo ambalo litaonekana linahitaji takwimu au utafiti zaidi au swali ambalo linalenga kumdhalilisha Mwenyekiti au mjumbe yeyote wa Baraza na uamuzi wake utakuwa wa mwisho. (10) Mwenyekiti atakuwa na uwezo wa kutojibu swali la papo kwa papo iwapo swali hilo litaonekana linahitaji litaonekana tafiti au kumdhalilisha Mwenyekiti au mjumbe wa Baraza. takwimu zaidi au (11) Baada ya nusu saa kumalizika, kipindi cha maswali ya papo kwa papo kitamalizika na kuruhusu shughuli nyingine za kikao kuendelea. 23 Kanuni za Kudumu ya Halmashauri ya Wilaya ya Hai Tangazo la Serikali Na. 612 (Linaendelea) Taarifa za Kamati Taarifa kutoka kwenye Kata - 26 Verify source ↗
(1) Kila Kamati au Kamati ya pamoja
AI-assisted research summary: Kamati au kamati ya pamoja lazima itoe taarifa ya majadiliano kuhusu utekelezaji wa majukumu yake, muhtasari unaohitaji idhini utumwe mapema kwa wajumbe, na baadhi ya vipengele vinaweza kutengwa kabla ya kuwasilishwa.
26.-(1) Kila Kamati au Kamati ya pamoja iliyoteuliwa chini ya Kanuni hii itatoa, katika mojawapo ya vikao viwili vya Halmashauri iliyoteua Kamati, Kamati ya pamoja au Kamati Ndogo, taarifa ya majadiliano yanayohusiana na utekelezaji majukumu iliyokasimiwa, baada ya kutoa taarifa kwa Halmashauri. (2) Muhtasari wa Kamati unaohitaji idhini ya Halmashauri, na taarifa zozote zinazohusiana na muhtasari huo, zinazoonekana kustahili, zitapelekwa kwa kila mjumbe wa Halmashauri angalau siku saba kabla ya mkutano wa Halmashauri. (3) Mwenyekiti wa Kamati, au mjumbe mwingine wa Kamati kwa niaba yake, wakati wa kupendekeza kuidhinishwa kwa muhtasari wa Kamati, anaweza kusema kuwa hakusudii kuwasilisha kipengele fulani vya muhtasari huo kwa lengo la kupata idhini ya Halmashauri. (4) Mjumbe yeyote hataweza kukizungumzia kipengele kilichorejewa chini ya kanuni ndogo ya (3), na muhtasari utawasilishwa bila kipengele hicho iwapo kipengele cha aina hiyo kitaondolewa na taarifa itatolewa kwenye mkutano unaofuata. (5) Baada ya kupokea taarifa ya Kamati, Halmashauri itaeleza iwapo hatua zilizochukuliwa na Kamati husika zimekubaliwa na mapendekezo yaliyo kwenye taarifa hiyo yatatekelezwa na Mkurugenzi atakuwa ameelekezwa ipasavyo. - 27 Verify source ↗
(1) Kila Kata itawasilisha taarifa za utekelezaji
AI-assisted research summary: Kila Kata lazima iwasilishe taarifa ya utekelezaji kwenye mkutano wa Halmashauri; kwa kawaida Diwani wa Kata ndiye anayeisoma, na kuna utaratibu wa mbadala ikiwa hayupo.
27.-(1) Kila Kata itawasilisha taarifa za utekelezaji katika mkutano wa Halmashauri ulioitishwa chini ya kanuni hii. (2) Taarifa za utekelezaji kutoka katika Kata zitawasilishwa na Diwani wa Kata husika, au iwapo Diwani hayupo, taarifa hiyo itawasilishwa na Diwani wa Viti Maalumu anayeishi katika Kata hiyo na iwapo Diwani wa Viti Maalumu hayupo, Mwenyekiti atamtaarifu mapema Diwani yeyote ili ajiandae kuwasilisha taarifa hiyo. (3) Taarifa zifuatazo zitawasilishwa: (a) taarifa ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo itajumuisha ujenzi wa katika Kata ambayo 24 Kanuni za Kudumu ya Halmashauri ya Wilaya ya Hai Tangazo la Serikali Na. 612 (Linaendelea) madarasa, nyumba za walimu, matundu ya vyoo, maabara, viwanja vya michezo, vituo vya afya, zahanati, madaraja, barabara, mashamba darasa, ofisi za vijiji, kata na tarafa, idadi ya watu na vizazi; (b) taarifa zinazohusu hali ya Kata ambazo zitajumuisha: (i) maendeleo ya elimu katika Kata kuhusiana na uandikishaji wa watoto wenye umri wa kwenda shule, ufundishaji, utoro, hali ya mahudhurio, mimba mashuleni, ukaguzi na uratibu wa shule; hali ya majanga ya kibinadamu kama vile mlipuko wa magonjwa, mafuriko, njaa na hali ya uhalifu na vifo; (ii) (iv) (iii) maendeleo ya kilimo, mifugo na uvuvi itajumuisha ambayo upatikanaji wa wataalamu, zana za kisasa na pembejeo za kilimo, mifugo na uvuvi; uimarishaji wa dhana ya uzalendo na utaifa kwa kuhamasisha vijana kuanzisha na kujiunga na vikundi vya vijana, wagani, kazi na mafunzo ya jeshi la akiba, ulinzi shirikishi na polisi jamii; (c) taarifa ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo na taarifa ya hali ya Kata inayopaswa kujumuisha taarifa za shughuli za kiuchumi, taarifa ya mavuno ya mazao ya chakula na biashara pamoja na taarifa ya utunzaji wa mazingira na vyanzo vya maji. (4) Mkurugenzi wa Halmashauri atahakikisha taarifa kutoka kwenye Kata, zinaandaliwa na kuwasilishwa na Diwani wa Kata hiyo kwenye Baraza la Madiwani ili ipitiwe na kuchambuliwa kwa nia ya kupata hoja zitakazowasilishwa katika vikao vya Kamati husika na kutoa mrejesho. 25 Kanuni za Kudumu ya Halmashauri ya Wilaya ya Hai Tangazo la Serikali Na. 612 (Linaendelea) (5) Mwasilishaji wa taarifa atatakiwa kuelezea mafanikio yaliyopatikana, changamoto zilizojitokeza na mbinu za kukabiliana nazo. (6) Mbinu za kukabiliana na changamoto zinapaswa kuwekewa malengo na muda maalumu wa kuzitatua. (7) Taarifa za mapokeo ya fedha na matumizi yake zitakazokuwa zimeandaliwa na afisa mtendaji wa Kata, zitawasilishwa pamoja na miradi iliyotekelezwa na gharama zake. (8) Baada ya taarifa kutoka kwenye Kata kupokelewa na Halmashauri, itaainisha kuwa taarifa hizo zimeidhinishwa na mapendekezo yaliyomo kwenye taarifa yatatekelezwa na Halmashauri, na Kata kupewa taarifa ya utekelezaji wa majukumu hayo. - 28 Verify source ↗
Katika mikutano ya Halmashauri wajumbe
AI-assisted research summary: Wajumbe wa Halmashauri wanaweza kutoa mawazo wakati wa majadiliano katika mikutano ya Halmashauri, na uhuru huo hauwezi kuhojiwa nje ya mkutano huo.
28. Katika mikutano ya Halmashauri wajumbe watakuwa huru kutoa mawazo wakati wa majadiliano na uhuru huo hautaweza kuhojiwa katika mahakama yoyote au mahali popote nje ya mkutano wa Halmashauri. - 29 Verify source ↗
(1) Pale ambapo kulingana na maoni ya
AI-assisted research summary: A member who makes a defamatory statement may be required to withdraw it and apologize in writing within 7 days, and refusal can lead to suspension for three consecutive council meetings.
29.-(1) Pale ambapo kulingana na maoni ya Mwenyekiti au mtu yeyote anayeongoza mkutano, kauli inatolewa na mjumbe inayokashifu mtu yeyote, Mwenyekiti atamtaka mjumbe aliyetoa kauli hiyo kufuta kauli yake na kumwomba msamaha mtu aliyekashifiwa kwa maandishi ndani ya siku saba tangu kauli hiyo ya kashfa ilipotamkwa. (2) Endapo mjumbe aliyetoa kauli za kashfa atakataa kufuta kauli yake na kuomba msamaha kwa maandishi kama ilivyoainishwa katika kanuni ndogo (1), Mwenyekiti au mtu anayeongoza mkutano, atamsimamisha mjumbe huyo kuhudhuria vikao vitatu mfululizo vya Halmashauri. (3) Mjumbe aliyesimamishwa kwa mujibu wa kanuni ndogo (2) atapoteza haki zake zote ikiwa ni pamoja na posho, nauli, upendeleo na kinga kwa muda wote wa kusimamishwa kwake. - 30 Verify source ↗
(1) Masuala
AI-assisted research summary: Mambo ya mkutano wa Halmashauri huamuliwa kwa kura za wengi; kura zikifanana, mwenyekiti au msimamizi wa mkutano hupiga kura ya ziada; na kwenye hoja ya kutokuwa na imani au kumwondoa mwenyekiti, kura hupigwa kwa siri.
30.-(1) Masuala na kupendekezwa katika mkutano wowote wa Halmashauri yataamuliwa kulingana na wingi wa kura za wajumbe yaliyojadiliwa yote 26 Uhuru wa kutoa mawazo wakati wa majadilian o Kauli za kashfa Maamuzi ya mikutano ya Kanuni za Kudumu ya Halmashauri ya Wilaya ya Hai Tangazo la Serikali Na. 612 (Linaendelea) Halmashau ri waliohudhuria mkutano huo, na ikitokea kura za wajumbe zikalingana, Mwenyekiti au mjumbe yeyote mwingine anayeongoza mkutano, atapiga kura ya turufu mbali ya kura ya kawaida. suala (2) Endapo linahusu kutokuwa na imani au kumwondoa Mwenyekiti madarakani, itakavyoamuliwa na au Halmashauri, kura zitapigwa kwa siri. linalopigiwa kura lingine kama lolote suala Mwaliko kwa wasiokuwa wajumbe kushiriki na kuzungumz a kwenye vikao vya Halmashau ri Mihtasari ya kata na vijiji Mihtasari ya Halmashau ri kupelekwa kwa Mkuu wa Wilaya na Mkuu wa Mkoa - 31 Verify source ↗
Mwenyekiti, baada ya kushauriana na wajumbe,
AI-assisted research summary: The Chairperson may invite anyone to attend, present a matter, or participate in any Council meeting after consulting members. Invitees and Council department heads may attend but cannot vote.
31. Mwenyekiti, baada ya kushauriana na wajumbe, anaweza kumwalika mtu yeyote kuhudhuria na kuwasilisha suala lolote, au kushiriki kwa njia yoyote, katika mkutano wowote wa Halmashauri lakini mwalikwa huyo hatakuwa na haki ya kupiga kura katika mkutano huo. (2) Wakuu wa Idara za Halmashauri watahudhuria mikutano yote ya Halmashauri lakini hawatakuwa na haki ya kupiga kura katika mikutano hiyo. - 32 Verify source ↗
Mkurugenzi wa Halmashauri atahakikisha
AI-assisted research summary: The Council Director must make sure all summaries from the listed local meetings are reviewed and analyzed, so points can be presented in the relevant committee meetings and feedback given properly.
32. Mkurugenzi wa Halmashauri atahakikisha mihtasari yote ya Kamati za Maendeleo ya Kata, Halmashauri za Vijiji na Mikutano Mikuu ya Vijiji inapitiwa na kuchambuliwa kwa nia ya kupata hoja zitakazowasilishwa katika vikao vya Kamati husika na kutoa mrejesho ipasavyo. - 33 Verify source ↗
(1) Mihtasari ya Halmashauri itawasilishwa kwa
AI-assisted research summary: Council minutes must be sent to the District Commissioner and Regional Commissioner within 7 days after the Council Director certifies them; those officials may receive copies on request and may not change or cancel Council decisions.
33.-(1) Mihtasari ya Halmashauri itawasilishwa kwa Mkuu wa Wilaya na Mkuu wa Mkoa wa Halmashauri husika ndani ya siku saba baada ya kuthibitishwa na Mkurugenzi wa Halmashauri. (2) Mkuu wa Wilaya na Mkuu wa Mkoa wanaweza kupewa, wakiomba, nakala ya mihtasari au sehemu ya mihtasari ya Kamati za Kudumu na Kamati nyingine. (3) Mkuu wa Wilaya na Mkuu wa Mkoa hawatabadilisha, hawatabatilisha au hataagiza kubadilisha au kubatilisha uamuzi wa Halmashauri. Hoja kuhusu matumizi - 34 Verify source ↗
Hoja yoyote isiyotokana na mapendekezo au
AI-assisted research summary: Hoja isiyotoka kwa Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango na yenye athari za kuongeza matumizi au kupunguza mapato huahirishwa bila mjadala hadi mkutano wa kawaida unaofuata.
34. Hoja yoyote isiyotokana na mapendekezo au taarifa ya Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango na ambayo, kama itaongeza matumizi au kupunguza mapato yaliyo chini ya usimamizi wa Kamati ikikubaliwa, 27 Kanuni za Kudumu ya Halmashauri ya Wilaya ya Hai Tangazo la Serikali Na. 612 (Linaendelea) yoyote, au itasababisha matumizi ya Kamati ya Kudumu, baada ya kupendekezwa au kuungwa mkono, itaahirishwa bila majadiliano mpaka mkutano wa kawaida wa Halmashauri unaofuata na Kamati yoyote inayohusika na hoja hiyo itafikiria iwapo utoaji wa taarifa kuhusu athari za kifedha za pendekezo hilo. - 35 Verify source ↗
(1) Taarifa ya Kamati
AI-assisted research summary: Mjumbe yeyote anaweza kupiga kura juu ya mapendekezo yaliyomo katika taarifa iliyowasilishwa chini ya kanuni ndogo ya (1).
35.-(1) Taarifa ya Kamati itawasilishwa katika Halmashauri, kwa ajili ya- (a) kupokelewa na kujadiliwa kipengele kimoja baada ya kingine; na (b) kukubaliwa na wajumbe. (2) Mjumbe yeyote anaweza kupiga kura kwenye mapendekezo yaliyomo katika taarifa iliyowasilishwa chini ya kanuni ndogo ya (1). (3) Taarifa iliyorejewa chini ya kanuni ndogo ya (1), itawasilishwa mbele ya mkutano na kupokelewa ikiwa na marekebisho au bila marekebisho. - 36 Verify source ↗
Taarifa ya Kamati iliyopokelewa na Halmashauri
AI-assisted research summary: A received committee report is treated as approved, and its recommendations must be implemented by the Council Director.
36. Taarifa ya Kamati iliyopokelewa na Halmashauri itamaanisha kuwa hatua zilizochukuliwa na Kamati iliyowasilisha taarifa hiyo zimeidhinisha na mapendekezo yaliyo kwenye taarifa yatatekelezwa na Mkurugenzi wa Halmashauri. - 37 Verify source ↗
Uhalali wa majadiliano kwenye Halmashauri
AI-assisted research summary: Uhalali wa majadiliano kwenye Halmashauri hauathiriwi na nafasi wazi ya mjumbe au dosari katika uchaguzi au uteuzi wa wajumbe wa Kamati au maafisa wake.
37. Uhalali wa majadiliano kwenye Halmashauri hautaathiriwa na nafasi yoyote wazi ya mjumbe, dosari zozote zilizo katika uchaguzi au uteuzi wa wajumbe wa Kamati au maafisa wake. - 38 Verify source ↗
Halmashauri inaweza kujigeuza kuwa Kamati ya
AI-assisted research summary: Halmashauri inaweza kujigeuza kuwa Kamati ya Halmashauri, na baada ya hapo taratibu za vikao vya Kamati za Kudumu zitatumika.
38. Halmashauri inaweza kujigeuza kuwa Kamati ya Halmashauri, na mara baada ya kujigeuza, taratibu za kuendesha vikao vya Kamati za Kudumu zitatumika. - 39 Verify source ↗
Endapo litajitokeza suala lolote katika kikao cha
AI-assisted research summary: Masuala yanayohusu uteuzi, uhamisho/kuinuliwa cheo, au hoja za watumishi kuhusu kufukuzwa kazi, mishahara, mazingira ya kazi, au utendaji wao wa jumla yatashughulikiwa katika Kamati ya Halmashauri nzima.
39. Endapo litajitokeza suala lolote katika kikao cha cheo, kupandishwa linalohusu uteuzi, Halmashauri 28 Kupokelew a kwa taarifa za Kamati Kuidhinish wa kwa taarifa ya Kamati Uhalali wa majadilian o ya Halmashau ri Uwezo wa Halmashau ri kujigeuza kuwa Kamati ya Halmashau ri nzima Hoja zinazohusu watumishi Kanuni za Kudumu ya Halmashauri ya Wilaya ya Hai Tangazo la Serikali Na. 612 (Linaendelea) wa Halmashau ri kufukuzwa kazi, mishahara au mazingira ya kazi au utendaji kazi kwa ujumla wa mtumishi yeyote wa Halmashauri, suala hilo litajadiliwa katika Kamati ya Halmashauri nzima. Ushiriki wa umma Uahirishaji wa vikao Kamati za Kudumu - 40 Verify source ↗
(1) Mtu yeyote ambaye ni mkazi katika eneo la
AI-assisted research summary: Residents in the council area may attend council meetings to present a motion if they give written notice to the Director and the Director approves; they may also be invited to attend committee or subcommittee meetings before a decision is made on matters they have a specific view on.
40.-(1) Mtu yeyote ambaye ni mkazi katika eneo la Halmashauri anaweza kuhudhuria kikao cha Halmashauri kwa nia ya kuwasilisha hoja mbele ya Halmashauri, baada ya kutoa taarifa ya maandishi kwa Mkurugenzi, na Mkurugenzi akimkubalia kufanya hivyo. (2) Mtu yeyote ambaye ni mkazi wa eneo la Halmashauri anaweza kualikwa kuhudhuria kikao cha Kamati au Kamati Ndogo kabla uamuzi haujafanyika kuhusu masuala ambayo ana maoni mahsusi. - 41 Verify source ↗
(1) Kwa kuzingatia masharti ya kanuni ndogo ya
AI-assisted research summary: The Council must not adjourn a meeting until all agenda items have been discussed and decided; if quorum is not met, the members present must adjourn and arrange another meeting under this rule.
41.-(1) Kwa kuzingatia masharti ya kanuni ndogo ya (2) na kanuni ndogo ya 17(2), Halmashauri haitaahirisha mkutano hadi dondoo zote za ajenda ya mkutano huo zitakapojadiliwa na kutolewa uamuzi. (2) Pale ambapo katika mkutano wowote wa Halmashauri haikutimia, wajumbe waliopo wataahirisha mkutano na utaratibu wa kuitisha mkutano mwingine utafanyika kwa kuzingatia masharti ya kanuni hii. akidi SEHEMU YA NNE KAMATI
Part
SEHEMU YA TISA
- 79 Verify source ↗
Kila Diwani kabla ya kushika wadhifa wake
AI-assisted research summary: Diwani must take an oath and file a written conflict-of-interest declaration before taking office and before the first council meeting.
79. Kila Diwani kabla ya kushika wadhifa wake 44 Kanuni za Kudumu ya Halmashauri ya Wilaya ya Hai Tangazo la Serikali Na. 612 (Linaendelea) kukubali wadhifa kama Diwani na kabla ya Mkutano wa kwanza wa Halmashauri- Majukumu ya Diwani (a) ataapa kiapo kama kilivyooainishwa katika Fomu Na.1 ya Jedwali la Pili na kitasimamiwa na Hakimu Mkazi au Hakimu wa Wilaya; na (b) atatoa tamko la udhibiti wa mgongano wa lililoandikwa kwa maslahi kwa maandishi Mkurugenzi suala kutekeleza linalohusiana na shughuli za kibiashara, mali, na kadhalika kama lilivyoainishwa katika Fomu Na.2 ya Jedwali la Pili. akiahidi - 80 Verify source ↗
(1) Diwani atakuwa na majukumu yafuatayo
AI-assisted research summary: A councillor (Diwani) must stay close to voters, attend council and committee meetings, meet citizens at least once a month, report back to voters, share expertise in discussions, join development activities, and follow national interests, laws, and ethics.
80.-(1) Diwani atakuwa na majukumu yafuatayo: (a) kuwa karibu na wapiga kura na kupata ushauri wa yanayotarajiwa katika masuala wananchi kujadiliwa kwenye Halmashauri; (b) kutoa maoni na mapendekezo ya wananchi kwa Halmashauri; (c) kuhudhuria mikutano ya Halmashauri na ya Kamati au Kamati Ndogo ambamo yeye ni mjumbe; (d) kutenga angalau siku moja kila mwezi kukutana na wananchi katika eneo lake la uchaguzi; (e) kutoa taarifa kwa wapiga kura kuhusu maamuzi hatua jumla ya zilizochukuliwa kuondoa matatizo yaliyowahi kuelezwa na wakazi wa eneo lake la uchaguzi; ya Halmashauri na Halmashauri na (f) kuchangia ujuzi na uzoefu wake katika majadiliano yanayofanyika katika mikutano ya Halmashauri na Kamati za Halmashauri; na (g) kushiriki katika shughuli za pamoja za maendeleo katika eneo lake la uchaguzi na katika eneo zima la Halmashauri. (2) Katika kutekeleza wajibu wake Diwani atazingatia- (a) maslahi ya Taifa na wananchi katika eneo la Halmashauri; (b) Katiba, Sheria na Kanuni; na 45 Kanuni za Kudumu ya Halmashauri ya Wilaya ya Hai Tangazo la Serikali Na. 612 (Linaendelea) (c) Kanuni za Maadili ya Madiwani, Mwongozo juu ya mahusiano ya Madiwani na Watumishi na miiko mingine. Nafasi wazi - 81 Verify source ↗
(1) Kiti cha mjumbe wa Halmashauri kitakuwa
AI-assisted research summary: Kiti cha mjumbe wa Halmashauri huweza kuwa wazi ikiwa mojawapo ya hali zilizoorodheshwa itatokea, na Waziri atatangaza nafasi wazi baada ya kuarifiwa kwa maandishi na Mwenyekiti.
81.-(1) Kiti cha mjumbe wa Halmashauri kitakuwa wazi iwapo- (a) mjumbe atafariki; (b) mjumbe anakubali ajira kama mtumishi wa Halmashauri; (c) mjumbe kwa mujibu wa Sheria yoyote anatangazwa kuwa hana akili timamu; (d) mjumbe yuko chini ya hukumu ya kifo au kifungo kinachozidi miezi sita kilichotolewa kwake na mahakama; (e) mjumbe kwa mujibu wa Sheria yoyote anatamkwa kuwa anapoteza sifa za kuendelea kuwa mjumbe; (f) mjumbe atakoma kuwa mwanachama wa chama cha siasa kilichompendekeza kuwa mgombea wa kiti cha udiwani; (g) mjumbe amepatikana na kosa chini ya Kanuni za Maadili ya Madiwani na adhabu ya kosa alilotenda ni pamoja na kumwondoa mjumbe madarakani; (h) mjumbe amepoteza ujumbe kwa mujibu wa kanuni ya 71(2); (i) mjumbe amehukumiwa kwa kosa la kutotaja maslahi yake; (j) mjumbe amejiuzulu kutoka kwenye kiti chake; (k) Halmashauri imevunjwa na kuathiri mipaka ya majimbo ya uchaguzi; (l) uchaguzi wa mjumbe umetangazwa kuwa batili; au (m) bila sababu ya kuridhisha au bila idhini au kibali cha maandishi cha Mwenyekiti, mjumbe anakosa kuhudhuria mikutano mitatu ya kawaida inayofuatana ya Halmashauri au Kamati ambapo yeye ni mjumbe. (2) Waziri atatangaza nafasi wazi pale 46 Kanuni za Kudumu ya Halmashauri ya Wilaya ya Hai Tangazo la Serikali Na. 612 (Linaendelea) atakapojulishwa na Mwenyekiti wa Halmashauri kwa maandishi kwamba nafasi ipo wazi kwa kuzingatia masharti ya kifungu cha 42(1) cha Sheria. Kutokuwep o kwa wajumbe Taratibu za kutengeneza Sheria ndogo - 82 Verify source ↗
(1) Halmashauri
AI-assisted research summary: The council may allow a member to miss meetings for up to 10 months if the member wants to go outside the United Republic. If a member is outside the country for more than 10 months, the council seat becomes vacant.
82.-(1) Halmashauri idhini ya kutokuwepo katika mikutano kwa muda usiozidi miezi kumi kwa mjumbe yeyote anayetaka kwenda nje ya Jamhuri ya Muungano. inaweza kutoa (2) Pale ambapo mjumbe kwa sababu yoyote ile amekuwa nje ya nchi kwa muda unaozidi miezi kumi kiti chake cha udiwani kitachukuliwa kuwa wazi. - 83 Verify source ↗
(1) Pale ambapo Halmashauri
AI-assisted research summary: The Council must give public notice before making bylaws, consider objections, route the draft through the Regional Commissioner and Minister, and publish any bylaw in the Government Gazette before it starts.
83.-(1) Pale ambapo Halmashauri inakusudia kutengeneza Sheria Ndogo itatoa tangazo kwa wakazi wa eneo husika kuhusu kusudio hilo katika namna ambayo itahakikisha kuwa watakaoathirika na Sheria Ndogo inayokusudiwa kutengenezwa wanafahamu vilivyo na au kuwaomba wanaopenda kutoa pingamizi mapendekezo yao kwa maandishi katika muda uliowekwa. (2) Pale ambapo baada ya muda wa taarifa malalamiko kumalizika yaliyowasilishwa, au hakuna mtu yeyote aliyetoa pingamizi linalokubalika mbele ya Halmashauri, Halmashauri itaendelea kutengeneza Sheria Ndogo ikizingatia malalamiko na mapingamizi yaliyotolewa. pingamizi hakuna lolote au (3) Sheria Ndogo, zikishatengenezwa na Halmashauri zitapelekwa kwa Mkuu wa Mkoa ambapo Halmashauri husika imo ili aweze kuzitolea maoni yake na kisha kuziwasilisha kwa Waziri. (4) Waziri anaweza kuidhinisha, kukubali au kukataa kuidhinisha Sheria Ndogo au kutoa au kusimamisha kibali chake kwa kutoa masharti atakayoyaeleza na anaweza baada ya kutoa idhini yake, kupanga tarehe ya kuanza kutumika kwa Sheria Ndogo hizo. (5) Waziri anaweza, kabla ya kuidhinisha Sheria Ndogo zenye athari kwenye maeneo yaliyotengwa au maeneo maalumu au kwa Sheria nyingine yoyote, kushauriana na Waziri anayehusika na Sheria husika au na suala lililotengenezewa Sheria Ndogo kadiri itakavyokuwa. 47 Kanuni za Kudumu ya Halmashauri ya Wilaya ya Hai Tangazo la Serikali Na. 612 (Linaendelea) Ukaguzi wa nyaraka Uanzishwaji wa bodi ya huduma Sura ya 287 Diwani kutembelea maeneo, na miradi ya maendeleo (6) Sheria Ndogo yoyote iliyotengenezwa na Halmashauri itatangazwa kwenye Gazeti la Serikali kabla ya kuanza kutumika. - 84 Verify source ↗
(1) Mjumbe anaweza kwa madhumuni ya
AI-assisted research summary: Mjumbe anaweza kukagua waraka uliopitishwa na Kamati ya Halmashauri kwa ajili ya kutekeleza wajibu wake, na anaweza kupewa nakala ikiwa zinapatikana na ameomba. Hata hivyo, hawezi kukagua au kuomba nakala ya waraka unaohusu suala ambalo ana maslahi nalo kwa mujibu wa sheria.
84.-(1) Mjumbe anaweza kwa madhumuni ya kutekeleza wajibu wake kama mjumbe na si vinginevyo kukagua waraka wowote ambao umejadiliwa na Kamati ya Halmashauri na kama nakala zinapatikana anaweza kupewa akiomba nakala kwa madhumuni hayo hayo. (2) Mjumbe hatakagua kwa makusudi au kutaka apewe nakala ya waraka wowote unaohusu suala ambalo yeye ana maslahi nalo kwa mujibu wa Sheria. (3) Kanuni hii haitamzuia Mkurugenzi kuzuia kukaguliwa kwa waraka wowote ambao umezuiliwa kutolewa kwa mujibu wa Sheria yoyote au kanuni zilizotengenezwa chini ya Sheria hizo. - 85 Verify source ↗
(1) Halmashauri inaweza kwa mujibu wa kifungu
AI-assisted research summary: Halmashauri inaweza kuunda Bodi ya Huduma kwa hati rasmi itakayochapishwa kwenye Gazeti la Serikali, ikiwa inaona inafaa kufanya hivyo.
85.-(1) Halmashauri inaweza kwa mujibu wa kifungu cha 88 cha Sheria kwa madhumuni ya kutekeleza kazi zake katika eneo lililo chini ya mamlaka yake, kuunda Bodi ya Huduma kwa hati rasmi iliyotangazwa kwenye Gazeti la Serikali, kama itakavyoona inafaa kufanya hivyo. (2) Bodi ya Huduma iliyotajwa katika kanuni ndogo ya (1) itawajibika moja kwa moja kwenye Halmashauri kupitia Kamati ya Kudumu husika na itatekeleza kazi zake kama ilivyofafanuliwa katika hati inayoianzisha. - 86 Verify source ↗
(1) Mjumbe wa Halmashauri
AI-assisted research summary: Mjumbe wa Halmashauri anaweza kutembelea miradi au maeneo ya maendeleo, lakini haruhusiwi kutoa maelekezo au maagizo ya kitaalamu akiwa eneo la mradi.
86.-(1) Mjumbe wa Halmashauri anaweza kutembelea eneo au miradi ya maendeleo inayotekelezwa kwa niaba ya Halmashauri na anaweza kutuma taarifa kwa Mkurugenzi akieleza sababu za matembezi yake ili aweze kupangiwa wataalamu wa mradi au shughuli husika kwa ajili kupata maelekezo ya kitaalamu. (2) Mjumbe wa Halmashauri anapotembelea shughuli au miradi ya maendeleo inayotekelezwa kwa niaba ya Halmashauri hataruhusiwa kutoa maelekezo au maagizo ya kitaalamu akiwa kwenye eneo la mradi. (3) Baada ya Diwani kutembelea maeneo au majengo kama ilivyoainishwa kwenye kanuni ndogo ya (1), anaona 48 Kanuni za Kudumu ya Halmashauri ya Wilaya ya Hai Tangazo la Serikali Na. 612 (Linaendelea) kuna umuhimu wa kutoa maoni au mang’amuzi yake juu ya matembezi hayo atafanya hivyo kwa kuwasilisha maoni au mang’amuzi yake kwa Mkurugenzi ambaye atafanyia kazi au kuyapeleka kwa afisa anayesimamia kazi husika kwa utekelezaji. (4) Endapo maoni au mang’amuzi ya Diwani hayawezi kufanyiwa kazi na Mkurugenzi au afisa mhusika, atamshauri Diwani kupeleka maoni na mang’amuzi yake kwa Kamati ili yachunguzwe zaidi na kuamuliwa. inayohusika (5) Kamati za Kudumu za Halmashauri, zinaweza kutembelea miradi ya maendeleo au shughuli yoyote inayotekelezwa kwa niaba ya Halmashauri na ambayo inahusu Kamati husika ili mradi katika kutembelea miradi hiyo Kamati itaongozana na wataalamu wa mradi au shughuli husika ili kupata maelekezo ya kitaalamu. (6) Kamati ya Kudumu itatembelea miradi au shughuli za maendeleo kabla ya kikao cha Kamati ambacho kitajadili mradi au shughuli hiyo. (7) Kamati ya fedha imekasimiwa madaraka ya kutembelea miradi yote ya Halmashauri. - 87 Verify source ↗
Lakiri ya Halmashauri itatunzwa kwa usalama na
AI-assisted research summary: The council seal must be kept safely and locked in a cabinet at the Director’s office.
87. Lakiri ya Halmashauri itatunzwa kwa usalama na kufungiwa katika kasiki kwenye Ofisi ya Mkurugenzi. - 88 Verify source ↗
(1) Lakiri ya Halmashauri haitagongwa katika
AI-assisted research summary: Lakiri ya Halmashauri haipaswi kuwekwa kwenye hati kabla ya kuidhinishwa kwa azimio la Halmashauri; pia lazima ishuhudiwe au ithibitishwe na viongozi waliotajwa.
88.-(1) Lakiri ya Halmashauri haitagongwa katika hati yoyote mpaka ugongwaji huo uidhinishwe na azimio la Halmashauri kukubaliwa kwa zabuni, ununuzi, uuzaji, upangishaji au uchukuaji wa mali yoyote, utoaji wa hati yoyote ya ukopeshaji fedha, uwasilishaji wa madai yoyote, uwekaji wa viwango vya kodi, uingiaji kwenye mkataba, kutengeneza Sheria Ndogo, au hati yotote iliyo rasmi ambayo kwa mujibu wa Sheria au kanuni yoyote inahitaji kuwekwa lakiri ya Halmashauri. (2) Lakiri itashuhudiwa au kuthibitishwa na Mwenyekiti au Makamu Mwenyekiti na Mkurugenzi, na hati zilizowekwa lakiri zitasainiwa na Mwenyekiti au Makamu Mwenyekiti, kadiri itakavyokuwa. 49 Uhifadhi wa lakiri ya Halmashauri Uwekaji wa muhuri kwenye nyaraka Kanuni za Kudumu ya Halmashauri ya Wilaya ya Hai Tangazo la Serikali Na. 612 (Linaendelea) Uandikishaji wa anuani - 89 Verify source ↗
(1) Mjumbe atakuwa na wajibu katika kikao cha
AI-assisted research summary: Mjumbe lazima awape Mkurugenzi taarifa ya maandishi kuhusu anuani yake ya kudumu ya kupokelea taarifa katika kikao cha kwanza baada ya uchaguzi.
89.-(1) Mjumbe atakuwa na wajibu katika kikao cha kwanza cha Halmashauri, baada ya uchaguzi kutoa taarifa ya maandishi kwa Mkurugenzi juu ya anuani yake ya kudumu ya kupokelea taarifa. (2) Taarifa zilizopelekwa kwa kutumia anuani iliyoandikishwa zitachukuliwa kama ndiyo sahihi na inatosheleza kwa matumizi yote. (3) Endapo mjumbe atatoa taarifa ya maandishi kwa Mkurugenzi kuwa angependa taarifa ya mikutano ya Halmashauri iwe inatumwa kwake kwa kutumia anuani atakayoitaja kwenye taarifa hiyo ambayo ni tofauti na ile katika kanuni ndogo ya (1), taarifa yoyote itakayoachwa au itakayotumwa kwa njia ya posta kwa kutumia anuani hiyo itachukuliwa kuwa inatosha kwa ajili ya kutoa taarifa inayotakiwa kwa mujibu wa Kanuni hizi za Kudumu. Uteuzi wa wajumbe kwenye taasisi za nje - 90 Verify source ↗
(1) Katika Mkutano wa kwanza, Halmashauri
AI-assisted research summary: Katika mkutano wa kwanza, Halmashauri lazima itoe wawakilishi wake kwenye Bodi na taasisi za nje; mjumbe huyo lazima ampe Mkurugenzi taarifa kuhusu shughuli zinazohusu sera na maslahi ya Halmashauri na wakazi, na Mkurugenzi achukue hatua zinazofaa.
90.-(1) Katika Mkutano wa kwanza, Halmashauri itateua wawakilishi wake kwenye Bodi na Taasisi za nje ambazo Halmashauri inastahili kuwakilishwa. (2) Mjumbe anayeiwakilisha Halmashauri kwenye Bodi na Taasisi za nje, atawasilisha kwa Mkurugenzi taarifa kuhusu shughuli za Bodi au Taasisi zinazogusa sera, maslahi ya Halmashauri na wakazi wake kiujumla, na Mkurugenzi atachukua hatua zifaazo. Kumwondo a Mwenyekiti madarakani - 91 Verify source ↗
(1)
AI-assisted research summary: Halmashauri inaweza kumwondoa Mwenyekiti madarakani kwa azimio la theluthi mbili ya wajumbe, ikiwa kuna sababu fulani kama matumizi mabaya ya nafasi, rushwa, kushindwa kutekeleza majukumu, mwenendo mbaya, au ulemavu unaomzuia kutekeleza majukumu.
91.-(1) Halmashauri kumwondoa Mwenyekiti madarakani kwa azimio litakaloungwa mkono na theluthi mbili ya wajumbe kutokana na sababu yoyote kati ya zifuatazo: inaweza (a) kutumia nafasi yake vibaya; (b) kushiriki katika vitendo vya rushwa; (c) kushindwa kutekeleza majukumu yake; (d) mwenendo mbaya au ukosefu wa adabu; au (e) ulemavu wa kimwili au kiakili kwa kiasi cha kumfanya kushindwa kutekeleza majukumu yake kama Mwenyekiti. (2) Hoja au sababu itakayotolewa itatimiza masharti yafuatayo: (i) iwe na tuhuma mahsusi yenye ushahidi wa 50 Kanuni za Kudumu ya Halmashauri ya Wilaya ya Hai Tangazo la Serikali Na. 612 (Linaendelea) kutosha; na (ii) iwe imetolewa maelezo kamili na yenye kueleweka kuhusu tuhuma zinazohusika. (3) Kwa madhumuni ya kumwondoa Mwenyekiti madarakani, kwa sababu zozote zilizoainishwa chini ya kanuni ndogo ya taratibu (1), Halmashauri zilizotolewa katika taratibu za kumwondoa Mwenyekiti zilizotangazwa na Waziri kwenye Gazeti la Serikali kwa mujibu wa Sheria. itatumia - 92 Verify source ↗
Kabla ya kuanza kwa Mkutano wa Halmashauri
AI-assisted research summary: Before a Council meeting begins, the national anthem must be sung and then a dua or prayer for the Council is to follow as set out in the Third Schedule.
92. Kabla ya kuanza kwa Mkutano wa Halmashauri utaimbwa wimbo wa Taifa na kufuatiwa na dua au sala ya kuiombea Halmashauri kama ilivyoainishwa katika Jedwali la Tatu. - 93 Verify source ↗
Kanuni za Kudumu ya Halmashauri ya Wilaya ya
AI-assisted research summary: This provision says the Hai District Council standing regulations have been repealed.
93. Kanuni za Kudumu ya Halmashauri ya Wilaya ya Hai zimefutwa. Wimbo wa Taifa, dua au sala ya kuiombea Halmashau ri Kufutwa kwa Kanuni TS Na. 112 la 2017 ____________________ JEDWALI LA KWANZA _____________________ (Limetengenezwa chini ya kanuni ya 46(3)) HADIDU ZA REJEA ZA KAMATI ZA KUDUMU ZA HALMASHAURI ZA WILAYA Madhumuni ya jumla
Part
JEDWALI LA KWANZA
- 1 Verify source ↗
Kuishauri Halmashauri kutengeneza malengo yanayozingatia matakwa ya Wilaya na
AI-assisted research summary: The council should be advised to set goals that reflect district needs and take appropriate steps to achieve them.
1. Kuishauri Halmashauri kutengeneza malengo yanayozingatia matakwa ya Wilaya na kuchukua hatua ambazo zitaonekana zinafaa ili kufikia malengo yaliyokusudiwa. - 2 Verify source ↗
Kuishauri Halmashauri kufanya maamuzi juu ya sera muhimu
AI-assisted research summary: Provision kuhusu kuishauri Halmashauri kufanya maamuzi juu ya sera muhimu.
2. Kuishauri Halmashauri kufanya maamuzi juu ya sera muhimu. - 3 Verify source ↗
Kuishauri Halmashauri kufanya maamuzi juu ya utoaji wa huduma kulingana na
AI-assisted research summary: This provision says decisions on service delivery should be based on the resources available to the council.
3. Kuishauri Halmashauri kufanya maamuzi juu ya utoaji wa huduma kulingana na rasilimali walizo nazo. - 4 Verify source ↗
Kuiwezesha Halmashauri kutengeneza taratibu zitakazoongoza utendaji wa Kamati,
AI-assisted research summary: Halmashauri inawezeshwa kutengeneza taratibu za kuongoza utendaji wa Kamati, Kamati Ndogo, na watumishi ili watimize wajibu wao.
4. Kuiwezesha Halmashauri kutengeneza taratibu zitakazoongoza utendaji wa Kamati, Kamati Ndogo, na ule wa watumishi ili watimize wajibu wao. - 5 Verify source ↗
Kufanya mapitio yatakayowezesha Halmashauri kuamua
AI-assisted research summary: This section concerns a review meant to help the Halmashauri decide whether to increase, reduce, privatize, or involve stakeholders in providing services.
5. Kufanya mapitio yatakayowezesha Halmashauri kuamua juu ya kuongeza, kupunguza, kubinafsisha au kuwashirikisha wadau katika utoaji wa huduma. 51 Kanuni za Kudumu ya Halmashauri ya Wilaya ya Hai Tangazo la Serikali Na. 612 (Linaendelea) - 6 Verify source ↗
Kuhakikisha kuwa miundo na taratibu za utendaji wa Halmashauri zinazingatia
AI-assisted research summary: Miundo na taratibu za utendaji wa Halmashauri zinapaswa kuzingatia ufanisi, uthabiti na tija ili kufikia malengo yake.
6. Kuhakikisha kuwa miundo na taratibu za utendaji wa Halmashauri zinazingatia ufanisi, uthabiti na tija katika kufikia malengo ya Halmashauri. - 7 Verify source ↗
Kuiwezesha Halmashauri kujenga mahusiano imara kati yake na Serikali kuu,
AI-assisted research summary: This provision sets out the responsibilities of several Halmashauri committees, including finance, education, HIV/AIDS, and economy/construction/environment committees.
7. Kuiwezesha Halmashauri kujenga mahusiano imara kati yake na Serikali kuu, Serikali zingine za Mitaa na umma kwa ujumla. A. Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango: Majukumu ya jumla: Kamati hii inawashirikisha wenyeviti wa Kamati zote za Kudumu na itakutana kila mwezi mara moja. Aidha, madaraka ya Kamati hii ni kama ya Kamati nyingine za Kudumu na hivyo hairuhusiwi kisheria kufanya kazi au majukumu ya Kamati zingine za Kudumu. Kwa ujumla, majukumu yake ni pamoja na kusimamia na kudhibiti ukusanyaji wa mapato na matumizi ya mali za Halmashauri kupitia vikao vyake. Majukumu Maalumu ya Kamati: (i) (ii) (iii) (iv) (v) (vi) (vii) (viii) (ix) (x) (xi) (xii) (xiii) (xiv) Kuweka mikakati na kupendekeza uongezaji wa mapato; kuwasilisha mapendekezo ya Bajeti na mpango wa maendeleo kwenye Halmashauri ili kuidhinishwa na Halmashauri; kusimamia utunzaji wa hesabu za fedha ikiwa ni pamoja na uhakiki wa mali za Halmashauri, ukusanyaji wa mapato, kufuta madeni, na kuomba vibali maalumu kwa matumizi yanayohitaji kibali cha Waziri mwenye dhamana ya Serikali za Mitaa; kufikiria na, pale inapowezekana, kupendekeza kwenye Halmashauri masuala yanayohusu Sheria Ndogo na utendaji katika ngazi za chini za Halmashauri; kupokea na kuzingatia mapendekezo ya kubadili matumizi ya mafungu ya fedha yaliyopo katika makisio yaliyoidhinishwa na kuyapeleka katika Halmashauri; kuratibu mapendekezo kutoka kwenye Kamati nyingine kuhusu matumizi ya kawaida na miradi na kuyawasilisha kwenye Halmashauri; kufikiria na kupendekeza kwenye Halmashauri mikopo yote ya Halmashauri; kutoa mapendekezo ya vitega uchumi kwa madhumuni ya kuongeza mapato kwa mujibu wa Sheria ya Fedha za Serikali za Mitaa, Sura ya 290; kupokea na kujadili taarifa za wakaguzi wa fedha na mali na kupendekeza hatua za kuchukuliwa kutokana na maelekezo na maoni ya wakaguzi kwa mujibu wa Sheria ya Fedha za Serikali za Mitaa, Sura ya 290; Kusimamia na kudhibiti matumizi ya fedha za Halmashauri, kwa kuzingatia taratibu zilizowekwa na Waziri na taratibu nyingine zitakazowekwa na Halmashauri; Kupitia marekebisho yote yaliyopendekezwa hususani taratibu za fedha, ikiwa ni pamoja na mapitio ya mara kwa mara yanayohusu thamani ya fedha ambapo kanuni mbalimbali za ununuzi ya mali na vifaa hutumika; Kufikiria na kupendekeza mabadiliko ya viwango vya kodi, ada na ushuru mbalimbali, vinavyotolewa na Halmashauri; Kufikiria mapendekezo ya Bajeti na Mipango ya Maendeleo ya kila Kamati ya Kudumu na kuiwasilisha kwenye Halmashauri ili kupata idhini; Kushughulikia tofauti ya mapato na matumizi katika bajeti yote na kupendekeza hatua stahiki ya kuchukua kuondoa mapungufu katika mapato au ziada ya matumizi; 52 Kanuni za Kudumu ya Halmashauri ya Wilaya ya Hai Tangazo la Serikali Na. 612 (Linaendelea) (xv) (xvi) (xvii) (xviii) (xix) (xx) (xxi) (xxii) (xxiii) (xxiv) (xxv) (xxvi) (xxvii) (xxviii) (xxix) (xxx) (xxxi) (xxxii) (xxxiii) (xxxiv) (xxxv) (xxxvi) Kufikiria mapendekezo yote yanayohusu matumizi makubwa ya fedha kabla hayajawasilishwa kwenye Halmashauri ili kupata idhini; Kupokea mahesabu ya mwaka ya Halmashauri na kuhakikisha taarifa ya mahesabu ya mwaka inawasilishwa kwa wakati kwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali; Kupitia na kuidhinisha mpango wa ununuzi wa Halmashauri kwa kuzingatia mpango wa Bajeti uliopitishwa na Halmashauri; Kupitia taarifa ya kila robo mwaka kuhusu ununuzi iliyowasilishwa na afisa masuuli; Kusimamia utekelezaji wa mikataba ya Halmashauri kwa kukagua miradi inayotekelezwa na vifaa vilivyopokelewa; Kumwelekeza Mkurugenzi kufanya ununuzi au ukaguzi wa huduma au vifaa vilivyonunuliwa ili kupata thamani halisi, itafanyika hivyo endapo itadhihirika kwamba, maelezo yaliyotolewa kuhusu manunuzi ya vifaa au huduma hayaridhishi; Kuidhinisha majina ya wajumbe wa bodi ya zabuni na bodi nyingine kwa mujibu wa Sheria husika; Kushughulikia orodha ya wadaiwa wote itakayokayowasilishwa kwenye Kamati na kutoa mapendekezo ya hatua za kuchukua; Kupendekeza njia na taratibu za kuondosha vifaa chakavu; Uondoshaji wa vifaa unaweza kufanyika kwa njia ya kuuza au kuviteketeza; Kujadili na kupitia taarifa za fedha za kila mwezi na kila robo mwaka; Kupendekeza kwa Halmashauri hatua za kuchukua kuhusu kufuta madeni ya Halmashauri; Kushughulikia Sera kuhusu kukopa na uwekezaji; Kujadili na kupendekeza mabadiliko ya viwango vya kodi, ada na ushuru mbalimbali vinavyotozwa na Halmashauri; Kubuni na kupendekeza mpango wa kuanzisha na kuendeleza uhusiano na Halmashauri nyingine; Kurekebisha na kusimamia makusanyo na matumizi ya mapato ya vijiji na miji midogo kwa mujibu wa Sheria; kuteua wakaguzi wa fedha au mali za Serikali za Vijiji kwa mujibu wa Sheria ya Fedha za Serikali za Mitaa; Kujadili na kutoa mapendekezo ya hatua za kuchukuliwa kuhusu mambo yote ya yanayohusu masuala ya ajira na kinidhamu ya wafanyakazi na watumishi; Kujadili na kutoa mapendekezo kuhusu masuala yanayohusu nyumba za Halmashauri; Kupokea na kutoa uamuzi juu ya mapendekezo ya watumishi wanaokwenda masomoni; Kujadili na kupendekeza masuala yote yanayohusu maslahi ya jumla ya watumishi, ikiwa ni pamoja na mikopo, nyumba, usafiri, matibabu, rambirambi na motisha nyinginezo; Kupitisha mapendekezo ya kuthibitisha watumishi kazini baada ya kumaliza kipindi cha majaribio kulingana na miundo husika ya utumishi; na kupendekeza Sheria Ndogo za Halmashauri. 53 Kanuni za Kudumu ya Halmashauri ya Wilaya ya Hai Tangazo la Serikali Na. 612 (Linaendelea) B: Kamati ya Elimu, Afya na Maji: Majukumu ya Jumla Kushughulikia masuala yote yanayohusu afya ya jamii, elimu na huduma za maji. Kamati hii pia itashughulikia masuala yanayohusiana na jitihada za wananchi vijijini kujiletea maendeleo yao kwa kutumia mbinu mbalimbali ikiwa ni pamoja na kushauri, kushawishi, kuzindua, kuelimisha na kushirikisha wananchi hao hasa katika kutayarisha, kutekeleza, kusimamia na kutathmini mipango yao ya maendeleo. Majukumu Maalumu ya Kamati: (i) (ii) (iii) (iv) (v) (vi) (vii) (viii) (ix) (x) (xi) (xii) (xiii) (xiv) (xv) (xvi) kuandaa mipango madhubuti ya maendeleo ya upanuzi na ujenzi wa hospitali, vituo vya afya na zahanati; kuandaa mipago ya maendeleo ya upanuzi na ujenzi wa shule za awali na msingi na elimu ya watu wazima kwa mujibu wa Sheria ya Elimu, Sura ya 353; kupendekeza mipango ya ujenzi au upanuzi wa vituo,viwanja, majengo na mazingira ya burudani, starehe, mapumziko na michezo; kuamua juu ya masuala yanayohusu uhifadhi wa masuala ya kale na mandhari mbalimbali zenye sura nzuri; kuandaa na kuratibu njia bora juu ya uhifadhi wa nyaraka muhimu kwa ajili ya kumbukumbu na kuzihifadhi kwa mujibu wa Sheria ya Serikali za Mitaa (Mamlaka za Wilaya) Sura ya 287; kupendekeza njia bora juu ya uhifadhi wa sanaa mbalimbali za ufundi na za maonesho kwa mujibu wa Sheria ya Serikali za Mitaa (Mamlaka za Wilaya), Sura ya 287; kupendekeza matumizi mazuri ya lugha ya Taifa; kupendekeza namna ya malezi ya vijana ili waweze kuwa wazalishaji katika Taifa; kusimamia uanzishaji wa uendelezaji wa vikundi vya jamii na vya hiari vya wananchi katika Halmashauri kwa mujibu wa sera ya maendelo ya jamii; kusimamia na kuhakiki maeneo ya misitu, mapori, na mbuga zilizotengwa kama hifadhi ya mamlaka ya Serikali za Mitaa; kupendekeza na kufanya tathmini ya uendelezaji wa mabonde, mito na mabwawa; kubuni na kupendekeza namna ya kudhibiti moto; kubuni na kupendekeza mikakati ya utumiaji wa nishati mbadala, kuzuia ukataji miti hovyo, na kuhimiza upandaji miti kwa wingi; kuhakikisha kwamba ukaguzi wa majengo unafanyika mara kwa mara; kupendekeza mipango madhubuti ya ujenzi wa barabara vijijini na wilayani kwa ujumla; na kupendekeza Sheria Ndogo zinazohusu Kamati hii. 54 Kanuni za Kudumu ya Halmashauri ya Wilaya ya Hai Tangazo la Serikali Na. 612 (Linaendelea) C: Kamati ya Kudhibiti Ukimwi Majukumu ya Kamati: (a) kushirikisha wadau tofauti katika maeneo husika ili kuongeza uchangiaji wa mawazo au nyenzo, usimamizi, uratibu na utekelezaji wa kazi za Tume ya Kudhibiti UKIMWI; (b) kusimamia uundaji wa Kamati zote za kudhibiti UKIMWI; (c) kupendekeza na kuchambua hali ya UKIMWI au Mipango na utekelezaji wake na kufikisha katika ngazi husika kwa hatua zaidi; (d) kutathmini hali ya UKIMWI katika eneo lake kuhusu- idadi ya waathirika, wagonjwa, yatima, wajane; kasi ya maambukizi; (i) (ii) (iii) mazingira maalumu yanayochangia maambukizi; na (iv) uelewa wa wananchi juu ya janga hili; (e) Kuweka mipango madhubuti ya kudhibiti UKIMWI; (f) kuweka mikakati madhubuti ya kuhakikisha kila mtoto aliyefikia umri wa kwenda shule anafanya hivyo; (g) kuweka mikakati madhubuti ya njia bora za kuchangia baadhi ya huduma za elimu na afya; (h) kubuni na kupendekeza njia bora za kuzuia na kudhibiti magonjwa ya milipuko; na (i) kupendekeza Sheria Ndogo zinazohusu Kamati hii. D: Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira: Majukumu ya jumla: Kamati hii itashughulikia masuala ya uzalishaji mali ikiwemo kilimo, mifugo, viwanda, madini na Biashara. Aidha itashughulikia pia miundombinu na suala zima la mendeleo ya Ardhi na hifadhi ya mazingira. Majukumu Maalumu ya Kamati: (i) (ii) (iii) (iv) (v) (vi) kupendekeza kwa Halmashauri mipango ya kupanua biashara na jinsi ya kukusanya mapato yatokanayo na upanuzi huo; kupendekeza mipango ya matumizi ya ardhi katika eneo la Halmashauri; kusimamia matumizi ya nguvu kazi ya jamii; kuandaa mipango madhubuti ya maendeleo ya upanuzi wa kilimo katika Halmashauri; kusimamia na kuhakiki miradi ya ujenzi wa masoko, minada, majosho na vituo vya mifugo; na kushughulikia uanzishaji na uendelezaji wa vyama vya ushirika kwa mujibu wa Sheria ya Vyama vya Ushirika, Sura ya 211. 55 Kanuni za Kudumu ya Halmashauri ya Wilaya ya Hai Tangazo la Serikali Na. 612 (Linaendelea) ____________ JEDWALI LA PILI _____________ (Limetengenezwa chini ya kanuni ya 79(a) na (b)) JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA KIAPO CHA DIWANI Fomu Na. 1 Mimi …………………………………………….. naapa au nathibitisha kwa dhati kwamba nitaitumikia Halmashauri ya Wilaya ya Hai kwa wadhifa wangu wa Udiwani na kwamba nitahifadhi, nitalinda na kutetea, Katiba ya Jamhuri ya Muungano, Sheria za Tanzania, Maadili ya Madiwani na Kanuni za Kudumu ya Halmashauri kama ilivyowekwa kwa mujibu wa Sheria na kwamba nitaitumikia Halmashauri ya Wilaya ya Hai kwa uaminifu, kwa uwezo na moyo wangu wote. (Ewe Mwenyezi Mungu nisaidie). Kiapo au Tamko hili limetolewa hapa:………………………….…………… Na…………………………………………………………………………….. Leo tarehe…………………… Mwezi wa…………………..Mwaka.………. Saini ……………………….….. Mbele ya:…………………….………………….. Jina:……………………………………………… Wadhifa:….…..…………………………………. Saini:….………………………………………… Anuani……….…………………………………. JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA TAMKO LA UDHIBITI WA MGONGANO WA MASLAHI Fomu Na.2 Mimi………………………………………….natamka kwa dhati kwamba, katika utekelezaji wa shughuli zangu kama kiongozi sitafanya suala au shughuli yoyote ambayo italeta mgongano wa maslahi katika shughuli za kibiashara, mali na kadhalika na kuifuata Kanuni za Kudumu za Halmashauri na Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma. Ninakiri kwamba yote niliyotamka ni kweli na kweli tupu pia ninafahamu kuwa mgongano wa kimaslahi ni ukiukwaji wa Kanuni za Kudumu za Halmashauri na Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma na hatua za kisheria zinaweza kuchukuliwa dhidi yangu iwapo nitakiuka. (Ewe Mwenyezi Mungu nisaidie) 56 Kanuni za Kudumu ya Halmashauri ya Wilaya ya Hai Tangazo la Serikali Na. 612 (Linaendelea) Tamko hili limetolewa hapa:…………………………….………… Na:………………………………………………………………….. Leo tarehe…………………… Mwezi wa………….Mwaka………. Saini…………………………………………………………………. Mbele ya: Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Hai Jina:…………………………………………………………………. Saini:………………………………………………………………… Anuani: S.L.P 27, HAI. Fomu Na. 3 JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA TAMKO LA VIONGOZI WA UMMA KUHUSU RASILIMALI NA MADENI (Kwa mujibu wa vifungu vya 9 na 11 vya Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma) Mimi……………………………………………………………..……………………………… … Anuani:……………………baada ya kuchaguliwa au kuteuliwa na kuapishwa katika wadhifa wa…….……....................tarehe…………mwezi…………….Mwaka ….….Ninatamka rasmi na kwa moyo mnyofu kwamba hadi sasa nina rasilimali na madeni yafuatayo: (1). Fedha taslimu, amana katika benki au taasisi ya fedha: (taja namba ya akaunti, benki au taasisi ya fedha na kiasi) ………………………………………………………………………………………………… ………………………………………………………………………………………………… ………… (2). Hawala za Hazina na dhamana nyingine maalumu: ………………………………………………………………………………………………… ………………………………………………………………………………………………… ………… (3). Faida ya akiba, mafungu ya mgawanyo wa faida zinazotokana na hisa n.k: …………………………………………………………………………………………………. …………………………………………………………………………………………………. (4). Nyumba au majengo ya kupangisha, (taja mahali yalipo na ukubwa wa eneo): ………………………………………………………………………………………………… ………………………………………………………………………………………………… 57 Kanuni za Kudumu ya Halmashauri ya Wilaya ya Hai Tangazo la Serikali Na. 612 (Linaendelea) * Rasilimali zinazotakiwa ni pamoja na zifuatazo, ambazo ni zako binafsi, za mume au mke au watoto wadogo wasiooa au kuolewa wa kiongozi wa umma. (a) fedha taslimu na amana katika benki au taasisi nyingine ya fedha; (b) hawala za hazina na dhamana nyingine maalumu zinazotolewa au kudhaminiwa na Serikali au vyombo vya Serikali; (c) faida itolewayo na fedha iliyowekwa akiba benki, chama cha ujenzi au taasisi nyingine ya fedha; (d) mgao wa fedha kutokana na fungu la rasilimali ya kampuni au hisa za kiongozi wa umma katika kampuni au shirika lolote; (e) maslahi katika chombo cha biashara kisichokuwa na mkataba na Serikali, na kisichokuwa na kisichotawala amana zinazouzwa bayana na vyombo vya umma; (f) mashamba ya kibiashara; (g) mali halisi zisizohamishika ambazo si rasilimali zisizotakiwa kutajwa; na (h) rasilimali zinazoleta faida, ambazo si rasilimali zisizotakiwa kutajwa na ambazo zinamilikiwa kwa mbali. (5). Mashamba ya kibiashara, mifugo, madini n.k: ………………………………………………………………………………………………… ………………………………………………………………………………………………… ………………………………………………………………………………………………… ……………… (6). Magari na aina nyingine za usafiri wa kibiashara: ………………………………………………………………………………………………… ………………………………………………………………………………………………… ………………………………………………………………………………………………… (7). Mashine za kusaga nafaka, viwanda na shughuli nyingine za kibiashara au mitambo:……………………………………………………………………………………… ………………………………………………………………………………………………… ………………………………………………………………………………………………… (8). Rasilimali nyingine anapenda kutaja:…………………………………………………………………………………………… …………………………………………………………………………………………………... …………………………………………………………………………………………………... (9)Madeni:………………………………………………..…………………………………… ………………………………………………………………………………………………… ………………………………………………………………………………………………… ……………… ambayo kiongozi wa umma au maslahi Tamko hili linatolewa na kusainiwa mbele yangu: 58 Kanuni za Kudumu ya Halmashauri ya Wilaya ya Hai Tangazo la Serikali Na. 612 (Linaendelea) …………………………………………………………. na (mtoa tamko)……………………………………… ninayemfahamu binafsi, au aliyetambulishwa kwangu na…… ……………………………………………………………………… ambaye ninamfahamu leo tarehe Mtoa tamko Mwezi wa ………………………………………………………. Saini……………………………………………………………... Wadhifa:……………………………………………………….. Anuani:………………………………………………………... …………………………………………………………………. (Tamko hili lazima litolewe mbele ya Kamishna wa Viapo) KWA: KAMISHINA WA MAADILI, SEKRETARIETI YA MAADILI, S.L.P 13341, DAR ES SALAAM. 59 Kanuni za Kudumu ya Halmashauri ya Wilaya ya Hai Tangazo la Serikali Na. 612 (Linaendelea) _________________ JEDWALI LA TATU _________________ (Limetengenezwa chini ya kanuni ya 92) DUA AU SALA YA KUIOMBEA HALMASHAURI Ewe MWENYEZI MUNGU Mtukufu, Muumba wa Mbingu na Dunia umeweka katika Dunia Serikali za Wanadamu ili haki yako itendeke. Twakuomba, uibariki Halmashauri yetu ya Wilaya ya Hai idumishe Uhuru, Umoja, Haki na Amani. Uwajalie viongozi wetu wa Halmashauri hekima, afya njema na maisha marefu ili pamoja na wanaowashauri wadumishe utawala bora. Utuongezee hekima na busara sisi Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Hai na utupe uwezo wa kujadili kwa dhati, mambo yatakayoletwa mbele yetu leo, ili tufanye maamuzi sahihi yenye manufaa kwa watu wote na ustawi wa Halmashauri yetu. Mungu Ibariki Tanzania AMINA. 60 Kanuni za Kudumu ya Halmashauri ya Wilaya ya Hai Tangazo la Serikali Na. 612 (Linaendelea) Lakari ya Halmashauri ya Wilaya ya Hai iligongwa katika sheria ndogo kufutia Azimio la Mkutano wa Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya Hai uliofanyika katika ukumbi wa Halmashauri tarehe 12 Mwezi, Mei, 2022. Lakari hii iligongwa mbele ya:- DIONIS M. MYINGA, Mkurugenzi mtendaji, Halmashauri ya Wilaya, Hai EDMUND RUTARAKA Mwenyekiti, Halmashauri ya Wilaya,Hai NAKUBALI, L.S Dodoma, MOHAMED OMARY MCHENGERWA, 30 Januari, 2024 Waziri wa Nchi Or-Tamisemi, 61
Provision text is displayed from LexChat’s stored statute record. Use the official source links to verify amendments, commencement, and current legal force.
Ask AI about this statute
KANUNI ZA KUDUMU YA HALMASHAURI YA WILAYA YA HAI YA MWAKA 2024
Sign in to ask AI about this statute
Sign in to start authenticated, citation-grounded statute research.
Sign in