SHERIA NDOGO YA ADA NA USHURU YA HALMASHAURI YA MJI GEITA YA MWAKA 2024
Sheria Ndogo hii inaitwa Sheria Ndogo ya Ada na Ushuru ya Halmashauri ya Mji Geita ya Mwaka 2024.
AI-assisted research synopsis — verify against the official legal text below.
- Jurisdiction
- Tanzania
- Instrument
- Regulation
- Citation
- SHERIA NDOGO YA ADA NA USHURU YA HALMASHAURI YA MJI GEITA YA MWAKA 2024
- Version
- Undated source snapshot
- Language
- sw
- Official source
- View official record ↗
Statute overview
About this statute
Sheria Ndogo hii inaitwa Sheria Ndogo ya Ada na Ushuru ya Halmashauri ya Mji Geita ya Mwaka 2024. This by-law applies throughout the area of Geita Town Council. This section defines key terms used in the by-law, including fees, permits, the Council, authorized officers, and agents. Halmashauri lazima itoze ada au ushuru kwa vibali, leseni na huduma zilizoainishwa, na malipo ya ada au ushuru yafanywe kabla au wakati wa kupokea huduma. Mtu anayestahili kulipa ada au ushuru chini ya sheria ndogo hii lazima alipe kwa viwango vilivyoainishwa humo.
Search within this statute
Search all stored provisions in this version.
Legal text
Provisions of SHERIA NDOGO YA ADA NA USHURU YA HALMASHAURI YA MJI GEITA YA MWAKA 2024
Showing 44 of 44
- 1 Verify source ↗
Sheria Ndogo hii itajulikana kama Sheria Ndogo
AI-assisted research summary: Sheria Ndogo hii inaitwa Sheria Ndogo ya Ada na Ushuru ya Halmashauri ya Mji Geita ya Mwaka 2024.
1. Sheria Ndogo hii itajulikana kama Sheria Ndogo ya Ada na Ushuru ya Halmashauri ya Mji Geita ya Mwaka 2024. Matumizi - 2 Verify source ↗
Sheria Ndogo hii itatumika katika eneo lote la
AI-assisted research summary: This by-law applies throughout the area of Geita Town Council.
2. Sheria Ndogo hii itatumika katika eneo lote la Halmashauri ya Mji Geita. Tafsiri - 3 Verify source ↗
Katika Sheria Ndogo hii, isipokuwa kama
AI-assisted research summary: This section defines key terms used in the by-law, including fees, permits, the Council, authorized officers, and agents.
3. Katika Sheria Ndogo hii, isipokuwa kama muktadha utahitaji vinginevyo: “ada” maana yake ni malipo yanayolipwa kwa Halmashauri kwa ajili ya vibali au leseni mbalimbali zitolewazo na Halmashauri; “Afisa Mwidhiniwa” maana yake ni Afisa yeyote la aliyeteuliwa na Mkurugenzi kwa kusimamia utekelezaji wa Sheria Ndogo hii; “bidhaa” maana yake ni kitu chochote kinachouzwa sokoni, gulioni, mnadani, dukani au sehemu nyingine yoyote iliyoruhusiwa; lengo “chombo cha usafiri” maana yake ni gari la abiria au mizigo, bajaji, pikipiki; mkokoteni, baiskeli, punda au ng’ombe; “mtambo wa kuchenjulia dhahabu (Carbon in Pulp)” maana yake ni mtambo wa kuchenjulia dhahabu skimu ya uchenjuaji ulioboreshwa zaidi ya unaotumika kuchenjulia dhahabu kutoka katika udongo wenye kudhaniwa kuwa na dhahabu ambao 1 Sheria Ndogo ya Ada Na Ushuru ya Halmashauri ya Mji Geita Tangazo la Serikali Na.668 (Linaendelea.) huwekwa kwenye matenki kuchanganywa na maji, chokaa, na sumu sayanaidi; “Halmashauri” maana yake ni Halmashauri ya Mji Geita; “kibali” maana yake ni idhini au ruhusa ya maandishi inayotolewa na Halmashauri; “kituo cha mabasi” Maana yake ni eneo maalum lililotengwa na Halmashauri kwa madhumuni ya kupakia na kuteremsha abiria na mizigo ya abiria; “machinjio” maana yake ni sehemu iliyotengwa na Halmashauri kwa ajili ya kuchinjia wanyama na kuanika ngozi; “madini ya ujenzi” maana yake ni tarazo, moramu, udongo, kifusi, kokoto, mawe, mchanga, chokaa na madini mengine yanayotumika katika ujenzi; “minara” maana yake ni kifaa kinachopokea na kusafirisha mawasiliano ya simu au redio isipokuwa minara inayotumika kuongoza vyombo vya usafiri; “mifugo” inajumuisha ng’ombe, mbuzi, kondoo, kuku na aina yoyote ya wanyama ambao kwa kawaida hufugwa katika eneo la Halmashauri; “masoko”, “magulio” au “minada” maana yake ni maeneo maalumu na Halmashauri kwa ajili ya biashara ya kuuza na kununua bidhaa au huduma kwa kuzingatia taratibu zilizowekwa na Halmashauri; yaliyotengwa kumilikiwa na kwa “meza” au “kizimba” maana yake ni kitu au kifaa kinachotambulika alama kinachotumika kuwekea bidhaa za biashara katika soko au eneo lililoidhinishwa na Halmashauri; “maegesho” maana yake ni sehemu yoyote iliyotengwa na Halmashauri kwa ajili ya kuegesha vyombo vya usafiri; namba au “mazao mchanganyiko” maana yake ni mazao yote yanayotokana na shughuli za kilimo; “Mkurugenzi” maana yake ni Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Geita au Afisa yeyote aliyeteuliwa kutekeleza majukumu ya Mkurugenzi; “mwalo” maana yake ni muundo mbinu wa wachimbaji wadogo wa kukamatia dhahabu kwa kutumia madini ya zebaki ambao umejengwa kwa saruji, 2 Sheria Ndogo ya Ada Na Ushuru ya Halmashauri ya Mji Geita Tangazo la Serikali Na.668 (Linaendelea.) Utozaji wa ada au ushuru kuzungushiwa mfereji wenye naironi na kuwekewa uzio madhubuti ili kuzuia uchafuzi wa mazingira; “uchenjuaji” maana yake ni mfumo wa kutenganisha dhahabu kutoka katika mchanga, udongo au madini mengine; “ushuru” maana yake ni tozo inayotozwa na Halmashauri kwa shughuli au huduma mbalimbali zinazofanywa katika eneo la Halmashauri; “Wakala” maana yake ni mtu binafsi, kikundi, taasisi au kampuni iliyoteuliwa kukusanya ushuru kwa niaba ya Halmashauri chini ya Sheria Ndogo hii. - 4 Verify source ↗
(1) Halmashauri itatoza ada au ushuru kwa ajili
AI-assisted research summary: Halmashauri lazima itoze ada au ushuru kwa vibali, leseni na huduma zilizoainishwa, na malipo ya ada au ushuru yafanywe kabla au wakati wa kupokea huduma.
4.-(1) Halmashauri itatoza ada au ushuru kwa ajili ya vibali, leseni na huduma mbalimbali zinazotolewa na la Halmashauri kama Kwanza. ilivyoainishwa katika Jedwali (2) Kwa kuzingatia masharti ya kanuni ndogo ya (1), ushuru unaotozwa chini ya Sheria Ndogo hii utalipwa kwa Halmashauri au Wakala wa Halmashauri kwa kadri Halmashauri itakavyoelekeza. (3) Kwa kuzingatia masharti ya kanuni ndogo ya (1), ada zinazotozwa chini ya Sheria Ndogo hii zitalipwa kwa Halmashauri. (4) Malipo ya ada au ushuru yatalipwa kabla au wakati wa kupokea huduma inayotozwa ada au ushuru chini ya Sheria Ndogo hii. Wajibu wa kulipa ada au ushuru - 5 Verify source ↗
Mtu yeyote anayestahili kulipa ada au ushuru kwa
AI-assisted research summary: Mtu anayestahili kulipa ada au ushuru chini ya sheria ndogo hii lazima alipe kwa viwango vilivyoainishwa humo.
5. Mtu yeyote anayestahili kulipa ada au ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hii atatakiwa kulipa ada au ushuru huo kwa kuzingatia viwango vilivyoainishwa katika Sheria Ndogo hii. Muda wa kukusanya ada au ushuru - 6 Verify source ↗
(1) Muda wa kukusanya ada au ushuru utakuwa
AI-assisted research summary: Ada au ushuru hukusanywa ndani ya saa za kawaida, lakini Halmashauri au Wakala anaweza kukusanya baada ya muda huo katika maeneo yanayofanya kazi saa 24; malipo yanaweza kuwa ya kila siku au ya kila mwezi kwa makubaliano, na malipo yanapaswa kupewa stakabadhi ya kielektroniki.
6.-(1) Muda wa kukusanya ada au ushuru utakuwa ni kuanzia saa kumi na mbili kamili asubuhi hadi saa kumi na mbili kamili jioni. (2) Bila kuathiri masharti ya kanuni ndogo ya (1), Halmashauri au Wakala anaweza kukusanya ada au ushuru baada ya muda ulioainishwa kupita katika maeneo ambayo huduma au biashara inafanyika kwa saa ishirini na nne. (3) Malipo ya ada au ushuru yatafanyika kila siku au 3 Sheria Ndogo ya Ada Na Ushuru ya Halmashauri ya Mji Geita Tangazo la Serikali Na.668 (Linaendelea.) itakayokubalika kwa mwezi au kwa namna yoyote kulingana na makubaliano yatakayowekwa kati ya Halmashauri na mlipa ada au ushuru. (4) Malipo ya ada au ushuru yanayotozwa kwa mujibu wa Sheria Ndogo hii yatalipwa kwa Halmashauri au Wakala na kutolewa stakabadhi ya kielektroniki ya Halmashauri kama kielelezo cha malipo yaliyofanyika. Uzingatiaji wa masharti ya usafirishaji Sura ya 413 - 7 Verify source ↗
Kila mmiliki wa pikipiki atazingatia vigezo na
AI-assisted research summary: Kila mmiliki wa pikipiki lazima azingatie vigezo na masharti ya usafirishaji yaliyowekwa katika sheria iliyotajwa.
7. Kila mmiliki wa pikipiki atazingatia vigezo na masharti ya usafirishaji yaliyoainishwa katika Sheria ya Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri Ardhini. Masharti maalumu kwa usafirishaji - 8 Verify source ↗
(1) Kila mmiliki wa pikipiki au bajaji inayofanya
AI-assisted research summary: Wamiliki wa pikipiki au bajaji zinazobeba abiria lazima zisajili vyombo kwa Halmashauri, na dereva haruhusiwi kuegesha bila kibali.
8.-(1) Kila mmiliki wa pikipiki au bajaji inayofanya biashara ya kusafirisha abiria atasajili chombo hicho kwa Halmashauri. (2) Pikipiki iliyosajiliwa chini ya kanuni ndogo ya la itapangiwa eneo maalumu na Halmashauri (1) kuegeshwa wakati wa kufanya biashara. (3) Kila mmiliki wa pikipiki inayofanya biashara ya kusafirisha abiria atawajibika kukata leseni ya kuendesha abiria. Sura ya 168 (4) Mtu yeyote anayeendesha pikipiki ya kusafirishia abiria, pamoja na kuheshimu masharti mengine ya Sheria ya Usalama Barabarani, atawajibika pia kuhakikisha maalumu inayomtambulisha kama dereva wa pikipiki ya abiria. kwamba anavaa sare (5) Ni marufuku kwa dereva kuegesha pikipiki au bajaji katika eneo ambalo hajapewa kibali na Halmashauri kuegesha. Ushuru wa pikipiki na bajaji - 9 Verify source ↗
Halmashauri itatoza ushuru kwa dereva wa
AI-assisted research summary: Halmashauri inatoza ushuru kwa madereva wa pikipiki na bajaji wanaofanya biashara kila siku katika eneo la maegesho lililotengwa na Halmashauri.
9. Halmashauri itatoza ushuru kwa dereva wa pikipiki na bajaji zote zinazofanya biashara kila siku katika eneo la maegesho lililotegwa na Halmashauri. Uchimbaji wa madini ya ujenzi - 10 Verify source ↗
(1) Mtu yoyote anayekusudia kuchimba madini
AI-assisted research summary: Anyone who wants to mine building minerals within the Halmashauri must apply for and obtain a permit from the Halmashauri.
10.-(1) Mtu yoyote anayekusudia kuchimba madini ya ujenzi ndani ya Halmashauri atapaswa kuomba na kupata kibali cha kuchimba madini ya ujenzi kutoka Halmashauri kama ilivyoainishwa kwenye Jedwali la Pili. (2) Kibali kinachotolewa chini ya Sheria Ndogo hii kitaeleza aina ya madini ya ujenzi yanayochimbwa na eneo 4 Sheria Ndogo ya Ada Na Ushuru ya Halmashauri ya Mji Geita Tangazo la Serikali Na.668 (Linaendelea.) yatakapochimbwa. Maeneo yanayoruhusi na yasiyoruhusiw a kuchimba madini ya ujenzi Ushuru wa maegesho ya malori Ushuru wa mazao mchanganyiko - 11 Verify source ↗
(1) Halmashauri itatenga na kutangaza maeneo
AI-assisted research summary: The council must designate and publicize areas where construction minerals may be mined, and miners must follow environmental conservation laws.
11.-(1) Halmashauri itatenga na kutangaza maeneo yanayoruhusiwa kuchimba madini ya ujenzi. (2) Mchimbaji yeyote wa madini ya ujenzi atatakiwa kuzingatia sheria za hifadhi ya mazingira. itasimamisha (3) Halmashauri za uchimbaji iwapo itathibitisha kuwa uchimbaji unaofanywa unasababisha uharibifu wa mazingira na uchimbaji unafanyika katika maeneo yafuatayo: (a) maeneo ya hifadhi; (b) maeneo ya mito au umbali wa mita 60 kando ya shughuli mito na vyanzo vya maji; (c) maeneo yaliyo karibu na makazi ya watu; (d) maeneo ya hifadhi ya barabara; na (e) maeneo ambayo yametajwa katika sheria yeyote kuwa hayafai kwa shughuli ya uchimbaji wa madini ya ujenzi. - 12 Verify source ↗
(1) Halmashauri itatoza ushuru wa maegesho
AI-assisted research summary: Halmashauri inatoza ushuru wa maegesho kwa malori yote ya mizigo yanayofanya kazi katika eneo lake, na mmiliki wa lori la mizigo ndiye anayewajibika kulipa.
12.-(1) Halmashauri itatoza ushuru wa maegesho kwa ajili ya malori yote ya mizigo yanayofanya kazi katika eneo la Halmashauri. (2) Kila mmiliki wa lori la mizigo atawajibika kulipa ushuru na kuruhusiwa kufanya kazi katika eneo la Halmashauri - 13 Verify source ↗
(1) Halmashauri itaweka utaratibu wa kutoza
AI-assisted research summary: Halmashauri must set a procedure to levy a 3% tax on mixed produce sold through designated primary cooperatives, and buyers must pay before transport.
13.-(1) Halmashauri itaweka utaratibu wa kutoza ushuru wa mazao mchanganyiko yatakayouzwa katika vyama vya ushirika vya msingi ambavyo vitateuliwa na kutangazwa na Mkurugenzi. (2) Ushuru wa mazao mchanganyiko utatozwa kwa kiasi cha 3% ya bei ya kuuzuia, na utalipwa na mnunuzi kabla ya kusafirisha mazao na haki ya kudai na kupewa stakabadhi kwa malipo aliyofanya na stakabadhi. (3) Mazao yatapaswa kusafirishwa katika gari la mizigo lililoidhinishwa na kutambuliwa kwa mujibu wa Sheria Ndogo hii. (4) Mkulima anayesafirisha mazao anapaswa kuwa na barua ya utambulisho kutoka kwa Afisa Mtendaji wa Kijiji anacholimia na mazao hayo yatapaswa kusafirishwa 5 Sheria Ndogo ya Ada Na Ushuru ya Halmashauri ya Mji Geita Tangazo la Serikali Na.668 (Linaendelea.) na mkulima mwenyewe kutoka sehemu moja kwenda sehemu nyingine ndani au nje ya Halmashauri. (5) Ni marufuku kwa mnunuzi kununua na au ujazo kusafirisha mazao yaliyojazwa usioruhusiwa kwa mujibu wa Sheria za nchi. rumbesa Ukusanyaji wa madeni Uteuzi Wakala wa
Part
sehemu nyingine ndani au nje ya Halmashauri.
- 14 Verify source ↗
(1) Halmashauri inaweza kukusanya ushuru kwa
AI-assisted research summary: The local authority may collect unpaid fees or tax through court action and by seizing and selling movable property, subject to court approval and notice rules.
14.-(1) Halmashauri inaweza kukusanya ushuru kwa njia ya Mahakama endapo mtu binafsi, kikundi, taasisi au kampuni itashindwa kulipa ada au ushuru kwa muda uliokubaliwa. (2) Bila kuathiri masharti ya kanuni ndogo ya (1), Halmashauri inaweza kukusanya madeni ya ushuru kwa njia ya kukamata au kushikilia mali zinazohamishika za mdaiwa zenye thamani sawa na deni la ushuru pamoja na gharama za kukamata. (3) Baada ya kipindi cha siku thelathini kupita tangu kukamatwa kwa mali za mdaiwa, Halmashauri itakuwa na mamlaka ya kuziuza kwa njia ya mnada baada ya kupata idhini ya Mahakama. (4) Endapo mali zilizokamatwa zinaweza kuharibika kwa haraka, Halmashauri itakuwa na uwezo wa kuziuza kabla hazijaharibika baada ya kupata idhini ya Mahakama. (5) Bila kuathiri masharti ya kanuni ndogo ya (3) na (4), kabla ya Halmashauri kuuza mali yoyote iliyokamatwa, Mkurugenzi atatoa taarifa ya siku saba kwa mdaiwa na umma juu ya kusudio la kuuza mali hizo. (6) Halmashauri haitawajibika kwa hasara yoyote itakayotokea wakati wa kukusanya madeni au kwa mali itakayokamatwa na kushikiliwa na Halmashauri, isipokuwa kama hasara hiyo itakuwa imesababishwa kwa uzembe wa watumishi wa Halmashauri au Wakala. - 15 Verify source ↗
(1) Halmashauri itakuwa na mamlaka ya kuteua
AI-assisted research summary: The council may appoint an agent to collect fees or taxes on its behalf. An appointed agent must collect and receive the fees or taxes in the assigned area and at the rates set in the by-laws, use an electronic system, and submit all collections under the agency agreement.
15.-(1) Halmashauri itakuwa na mamlaka ya kuteua Wakala kwa mujibu wa Sheria Ndogo hii, kukusanya ada au ushuru kwa niaba yake. (2) Wakala atakayeteuliwa kwa mujibu wa kanuni ndogo ya (1) atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya na kupokea ada au ushuru kwa niaba ya Halmashauri katika eneo alilopangiwa na kwa viwango vilivyoainishwa katika Sheria 6 Sheria Ndogo ya Ada Na Ushuru ya Halmashauri ya Mji Geita Tangazo la Serikali Na.668 (Linaendelea.) Mamlaka ya Afisa Mwidhiniwa Makosa Ndogo hii; (b) kukusanya ada au ushuru kwa kutumia mfumo wa kielektroniki na kuwasilisha makusanyo yote kwa kuzingatia masharti ya mkataba wa uwakala alioingia na Halmashauri. - 16 Verify source ↗
(1) Bila kuathiri masharti yaliyoainishwa katika
AI-assisted research summary: Afisa Mwidhiniwa anaweza kuingia katika eneo, jengo au chombo cha usafiri kwa madhumuni ya kukusanya ada au ushuru, kufanya tathmini, au kushughulikia masuala ya ada, ushuru, leseni au kibali; kuna muda wa kawaida wa saa 12 asubuhi hadi saa 12 jioni, na pia ruhusa ya kuingia baada ya muda huo katika maeneo yanayofanya huduma au biashara saa 24.
16.-(1) Bila kuathiri masharti yaliyoainishwa katika Sheria Ndogo hii, Afisa Mwidhiniwa anaweza kuingia katika eneo, jengo au chombo cha usafiri kuanzia saa kumi na mbili kamili asubuhi hadi saa kumi na mbili kamili jioni kwa nia ya kukusanya ada au ushuru, kufanya tathmini au kufanya jambo lolote linalohusu ada, ushuru, leseni au kibali kwa mujibu wa Sheria Ndogo hii. (2) Afisa Mwidhiniwa anaweza kuingia katika eneo, jengo au chombo cha usafiri baada ya muda ulioainishwa katika kanuni ndogo ya (1) kupita katika maeneo ambayo huduma au biashara inafanyika kwa saa ishirini na nne. - 17 Verify source ↗
Mtu yeyote atakuwa ametenda kosa endapo
AI-assisted research summary: Mtu yeyote anaweza kutenda kosa akikwepa kulipa ada au ushuru, akitoa taarifa za uongo, akitumia nyaraka za kughushi, au akizuia maafisa kutekeleza majukumu yao.
17. Mtu yeyote atakuwa ametenda kosa endapo- (a) atashindwa, atadharau, atakwepa au atakataa kulipa ada au ushuru au kutekeleza agizo lolote alilopewa na Halmashauri kwa mujibu wa Sheria Ndogo hii; (b) atamshawishi mtu au kundi la watu kukwepa au kukataa kulipa ada au ushuru; (c) atamzuia Mkurugenzi, Afisa Mwidhiniwa au Wakala kutekeleza majukumu yake kwa mujibu wa Sheria Ndogo hii; (d) atatumia nyaraka za kughushi kwa nia ya kujipatia manufaa yatokanayo na ukusanyaji wa ada au ushuru ndani ya Halmashauri. (e) atashindwa kutoa taarifa sahihi au atatoa taarifa za uongo kwa Halmashauri au Wakala kuhusu huduma zinazohitaji kulipiwa ada au ushuru; (f) atashindwa kuweka kumbukumbu, vitabu, hesabu au maelezo yoyote yatakayohitajika na Halmashauri; (g) atatengeneza, ataidhinisha atatayarisha, kutengeneza au atatunza nyaraka za uongo kwa nia ya kujipatia manufaa yatokanayo na 7 Sheria Ndogo ya Ada Na Ushuru ya Halmashauri ya Mji Geita Tangazo la Serikali Na.668 (Linaendelea.) ukusanyaji wa ada au ushuru ndani ya Halmashauri; au (h) atatumia chombo usafiri kusafirishia bidhaa ambayo haijalipiwa ushuru au ada. chochote cha Adhabu Kufifilisha kosa - 18 Verify source ↗
Mtu yeyote atakayetiwa hatiani kwa kutenda
AI-assisted research summary: Mtu anayepatikana na hatia kwa kosa chini ya Sheria Ndogo hii anaweza kupewa faini, kifungo cha jela, au vyote kwa pamoja.
18. Mtu yeyote atakayetiwa hatiani kwa kutenda kosa kinyume na Sheria Ndogo hii atawajibika kulipa faini ya kiasi kisichopungua shilingi laki mbili na kisichozidi shilingi milioni moja au kifungo kisichopungua miezi kumi na mbili na kisichozidi miezi ishirini na nne au adhabu zote kwa pamoja. - 19 Verify source ↗
Mkurugenzi atakuwa na uwezo wa kufifilisha
AI-assisted research summary: Mkurugenzi anaweza kufifilisha kosa kwa kumtoza mkosaji shilingi 200,000 ikiwa mkosaji anakiri kosa kwa hiari, yuko tayari kujaza fomu maalumu ya Jedwali la Tatu, na kulipa ada au ushuru anaodaiwa.
19. Mkurugenzi atakuwa na uwezo wa kufifilisha kosa kwa kumtoza mtu yeyote aliyetenda kosa kwa mujibu wa Sheria Ndogo hii kiasi cha shilingi laki mbili endapo mkosaji atakiri kosa kwa hiari na kuwa tayari kujaza fomu maalumu iliyoainishwa katika Jedwali la Tatu na kulipa ada au ushuru anaodaiwa. Kufutwa kwa Sheria Ndogo TS Na. 371 la 2018 - 20 Verify source ↗
Sheria Ndogo za Ada na Ushuru za Halmashauri
AI-assisted research summary: The Geita Town Council 2018 fees and charges bylaw is repealed, and the text lists fee schedules for crops, parking, cultural/sport permits, and meat inspection/slaughter charges.
20. Sheria Ndogo za Ada na Ushuru za Halmashauri ya Mji Geita Mwaka 2018 zinafutwa. 8 Sheria Ndogo ya Ada Na Ushuru ya Halmashauri ya Mji Geita Tangazo la Serikali Na.668 (Linaendelea.) ____________ JEDWALI LA KWANZA ___________ (Limetengenezwa chini ya kanuni ya 4(1)) SEHEMU YA KWANZA USHURU WA MAZAO MCHANGANYIKO Zao Kiwango kwa Tshs Na 1 2 3 Viazi Kabichi Karoti 4 Matunda 5 6 Vitunguu maji Nyanya 7 Mchele ya ya ya ya ya ya ya bei bei bei bei bei bei 3% ya kununulia 3% ya kununulia 3% ya kununulia 3% ya kununulia 3% ya kununulia 3% ya kununulia ya 3% kununulia 3% ya bei ya kununulia 3% ya bei ya kununulia 3% ya bei ya kununulia Tsh. 102,000/= kwa mwaka 500/= kwa siku bei 8 Mahindi/Alizeti/Mtama/Mpunga 9 Pamba 10 Zao jingine lolote litakalolimwa na kuuzwa katika mamlaka ya Halmashauri 11 Kibali cha kununua mazao 12 Ushuru wa Samaki 13 Ushuru wa Pumba na Mashudu 500/= kwa gunia SEHEMU YA PILI USHURU WA MAEGESHO KWA MAENEO YALIYOTENGWA KWA AJILI YA MAEGESHO YA VYOMBO VYA USAFIRI AU ABIRIA (STENDI) Na 1 Chombo cha usafiri Pikipiki iliyosajiliwa kwa biashara katika maeneo yaliyopangwa Teksi 2 Lori chini ya tani 7/pick up 3 4 Lori zaidi ya tani 7 basi kubwa 5 Magari mengine yasiyo ya biashara 6 Ushuru wa kituo cha mabasi au stendi Ushuru wa maegesho 500/= kwa siku 1000/= kwa siku 2,000/= kwa siku 5,000/= kwa siku 500/= kwa siku a) Mabasi makubwa ya abiria 20 3,000/= kwa safari hadi 30 b) Mabasi madogo 2,000/= kwa safari 9 Sheria Ndogo ya Ada Na Ushuru ya Halmashauri ya Mji Geita Tangazo la Serikali Na.668 (Linaendelea.) c) Teksi d) Pikipiki e) Bajaji f) Gari nyingine g) Mabasi makubwa ya abiria 1,000/= kwa siku 500/= kwa siku 1,000/= kwa siku 500/= kwa siku 4,000/= kwa siku zaidi ya 30 SEHEMU YA TATU ADA YA KUENDESHA SHUGHULI ZA UTAMADUNI NA MICHEZO Na 1 2 Ada/Ushuru Kibali cha ngoma za jadi Kibali cha kuchezesha disko, maonesho ya bendi, sanaa na maonesho Kibali cha kuchezesha michezo ya kubahatisha Play station 3 4 5 Mechi za Halmashauri mpira katika uwanja wa mpira 6 Michezo ya pool table, fete Kibali cha mechi za mpira 7 Uuzaji wa dawa za asili na tiba mbadala 8 Kibali cha kufanya huduma ya tiba mbadala 9 10 Mashindano ya urembo 11 Burudani za Taasisi / Kampuni 12 Matangazo ya Promosheni 13 Kusajili vikundi vya Sanaa 14 Ada ya usajili kuwa mshehereshaji (MC) au mpiga muziki (DJ) 15 Ada ya usajili wa studio ya kurekodi mziki usiokuna na filamu 16 Ada ya usajili wa mawakala/wasambazaji wa kazi ya sanaa 17 Ada ya maabara ya sanaa (Label) 18 Ushuru wa upambaji kumbi za sherehe na mikutano 19 Kibali cha usajili wa ukumbi wa watu wasiozidi 350 20 Kibali cha usajili wa ukumbi wenye kukaa watu 351 hadi 550 21 Kibali cha usajili wa ukumbi wenye kukaa watu 551 hdi 750 22 Kibali cha usajili wa ukumbi wenye kukaa watu 751 na kuendelea 23 Ushuru wa mshehereshaji (MC) au mpiga muziki (DJ), mpiga picha za video (Video Shooter) 24 Matangazo ya vipaza sauti 10 Kiwango 50,000/= kwa siku 25,000/= kwa onesho kwa siku kwa 30,000/= Kwa mwezi 10,000/= kwa mwezi 10% ya mapato ya kila mechi 10,000/= kwa mwezi 10,000/= kwa mwezi 10,000/= kwa mwezi 150,000/= Shilingi mwaka 100,000/= kwa tukio 50,000/= kwa tukio 50,000/= kwa mkazi wa Halmashauri 100,000/= kwa siku kwa asiye mkazi wa Halmashauri 25% ya gharama ya usajili wa kibali cha BASATA 25% ya gharama ya usajili wa kibali cha BASATA 25% ya gharama ya usajili wa kibali cha BASATA 25% ya gharama ya usajili wa kibali cha BASATA 25% ya gharama ya usajili wa kibali cha BASATA 20,000/= kwa siku/ Tukio 25% ya gharama ya usajili wa kibali cha BASATA 25% ya gharama ya usajili wa kibali cha BASATA 25% ya gharama ya usajili wa kibali cha BASATA 25% ya gharama ya usajili wa kibali cha BASATA 15,000/= kwa tukio siku kwa 25,000/= kwa mkazi wa halmashauri 50,000/= kwa siku kwa asiye kuwa mkazi wa Halmashauri Sheria Ndogo ya Ada Na Ushuru ya Halmashauri ya Mji Geita Tangazo la Serikali Na.668 (Linaendelea.) 25 Kibali cha sherehe (harusi, kuzaliwa na pongezi) 26 Ada za kumbi za starehe/burudani 27 Kibali cha kuonesha sinema, video, picha, jongefu, 50,000/= kwa tukio 30,000/= kwa siku 10,000/= kwa siku Mpira wa miguu 28 Kibali cha kuchukua/kupiga picha mnato na jongefu 29 Nyongeza ya tozo katika huduma na shughuli za Bodi ya Filamu 30 Matangazo ya vipaza sauti eneo la stendi ya mabasi 10,000/= kwa siku 25% ya fedha Bodi ya Filamu Kwa mujibu wa mkataba inayolipwa SEHEMU YA NNE ADA YA UKAGUZI WA NYAMA NA USHURU WA UCHINJAJI/MACHINJIO, UKAGUZI WA NYAMA NA MABUCHA. Na 1 2 3 4 5 6 7 Ada/Ushuru Ada ya ukaguzi wa nyama kwa kila ng’ombe atakayechinjwa Ushuru wa machinjio wa nyama kwa kila ng’ombe atakayechinjwa Ushuru wa ukaguzi wa nyama kwa kila kondoo, na mbuzi atakayechinjwa Ushuru wa machinjio kwa kila mbuzi/kondoo Ushuru wa machinji ya nyama kwa kila nguruwe Ushuru wa ukaguzi wa nyama ya nguruwe Ushuru wa bucha ya Ng’ombe, Mbuzi, Nguruwe na Kondoo Kiwango 1,500/= 15,500/= 1,000/= 4,000/= 3% ya mapato toka kwa mwenye chinjio 800/= kila nguruwe Tsh. 10,000/= kwa mwezi SEHEMU YA TANO ADA YA KUKODI MALI ZA HALMASHAURI. Na Huduma
Part
SEHEMU YA TANO
- 1 Verify source ↗
Kukodi ukumbi wa Halmashauri kwa ajili ya vikao,
AI-assisted research summary: The provision states a fee range for renting the Halmashauri hall for meetings and ceremonies.
1. Kukodi ukumbi wa Halmashauri kwa ajili ya vikao, Kiwango cha Tsh. 100,000/= hadi 1,000,000/= mikutano na sherehe - 2 Verify source ↗
Kukodi Gari: Magari ya kunyonyea maji machafu
AI-assisted research summary: Kichwa hiki kinahusu kukodi magari ya kunyonyea maji machafu ya vyoo katika maeneo ya biashara na makazi.
2. Kukodi Gari: Magari ya kunyonyea maji machafu katika vyoo kwenye maeneo ya biashara Magari ya kunyonya maji machafu katika vyoo kwenye makazi - 6 Verify source ↗
Kuweka kontena la biashara eneo la Halmashauri
AI-assisted research summary: Section 6 concerns placing a business container in a council area.
6. Kuweka kontena la biashara eneo la Halmashauri - 9 Verify source ↗
Kusoma nyaraka za wazi za Halmashauri
AI-assisted research summary: Kifungu hiki kinahusu kusoma nyaraka za wazi za Halmashauri.
9. Kusoma nyaraka za wazi za Halmashauri - 10 Verify source ↗
Kutumia maktaba ya Halmashauri
AI-assisted research summary: Sehemu hii ina jedwali la ada na ushuru mbalimbali za Halmashauri kwa huduma, vibali, masoko, minada, afya, madini ya ujenzi na vibali vya ujenzi.
10. Kutumia maktaba ya Halmashauri Shilingi 100,000/= kwa kila safari moja Shilingi 50,000/= kwa kila safari moja Shilingi 1,000,000/= kwa saa nane Shilingi 300,000/=kwa siku Kwa mujibu wa mkataba Shilingi 300,000/= kwa mwaka kwa kila kontena 100,000/= kwa siku 10,000/= kwa mwezi 1,000/= kwa siku moja 1,000/= kwa siku moja SEHEMU YA SITA ADA YA PANGO LA VIBANDA VYA BIASHARA. Na 1 Pango Vibanda vinavyozunguka stendi au soko Kiwango kwa Tshs. Zitapangwa kutokana na Zabuni zitakavyoshindaniwa na kwa mujibu wa mkataba 11 Sheria Ndogo ya Ada Na Ushuru ya Halmashauri ya Mji Geita Tangazo la Serikali Na.668 (Linaendelea.) 2 Ushuru wa meza au kizimba sokoni 500/= kwa siku SEHEMU YA SABA ADA YA KUPIMA AFYA ZA WAHUDUMU, WANAFUNZI NA WAFANYAKAZI Ada ya Huduma 5,000/ kwa kila muhudumu kwa miezi 6 Huduma Kusajiliwa na kupima afya kwa wahudumu wa kulala nyumba za wageni, vinyozi katika saluni za kike na kiume, hoteli, migahawa, wauzaji wa bucha, zahanati, mama na baba lishe, wauza matunda, baa, glosari, pombe za kienyeji, wafanyakazi katika sehemu za kuokea mikate na wahudumu katika mashine za nafaka Kupima afya kwa wanaojiunga na vyuo, jeshi na shule za sekondari Kupima afya kwa wanaotaka kuajiriwa 5,000/= 5,000/= Na 1 2 3 SEHEMU YA NANE USHURU WA MINADA YA MIFUGO NA MAZAO YA MIFUGO (Ulipwe na mnunuzi) Na 1 Ng’ombe Ushuru wa Mifugo 2 Mbuzi/Kondoo 3 Kuku/Kanga/Bata 4 5 6 Nguruwe na Punda Ushuru wa mikokoteni ya wanyama kazi Ushuru wa ngozi za Ng’ombe/Mbuzi/Kondoo 7 Mama lishe au wauzaji wa vileo au nyama choma au vyombo vya nyumbani au wauza nguo za dukani au mitumba au viatu au wafanyabiashara wengine mnadani Vibali vya kusafirisha ngozi a) Ng’ombe au Punda b) Mbuzi au Kondoo au Nguruwe 8 9 Kusafirisha pembe, nyeti za ng’ombe dume, mifupa na damu itokanayo na mifugo Kiwango kwa kila kila kwa 4,000/= ng’ombe mnyama 1,000/= Mnyama 2,000/= kwa kila tenga la (Kuku/Kanga/Bata 5-20) 4,000/= kwa kila tenga la (Kuku/Kanga/Bata 21- 30) 2,000/= Nguruwe 20,000/= kwa mwaka 10,000/= kwa idadi ya ngozi kuanzia 100 hadi 1000 2,000/= kila siku kwa kila 10,000/= 5,000/= 40,000/= kwa kibali 10 Muandaaji pembe, nyeti za ng’ombe dume, mifupa na damu Alipe leseni ya biashara itokanayo na mifugo 11 Leseni ya mkokoteni wa wanyamakazi 20,000/= kwa mwaka SEHEMU YA TISA ADA YA KUOGESHA MIFUGO 12 Sheria Ndogo ya Ada Na Ushuru ya Halmashauri ya Mji Geita Tangazo la Serikali Na.668 (Linaendelea.) Aina ya Mifugo Na 1 Ng’ombe/Punda 2 Mbuzi/ Kondoo 3 Mifugo ya kufuga sio kwa chakula Kiwango 150/= kwa kila mmoja 100/= kwa kila mmoja 100/= kwa kila mmoja SEHEMU YA KUMI USHURU WA MADINI YA UJENZI. Uzito wa gari Na 1 Mchanga M3 1 - 2.5 2 Mchanga M3 2.6 – 4 Mchanga M3 10 Kokoto M3 1 - 2.5 Kokoto M3 2.6 na Zaidi 3 4 5 Mawe M3 1-2.5 6 Mawe M3 2.6 hadi M3 10 7 Matofali M3 1-2.5 8 Kibali cha eneo la kuchimba madini ujenzi Kila M3 inayoongezeka kutoka M3 10 katika madini ya ujenzi 9 Kiwango 1,500/= kwa siku 5,000/= kwa kila safari 10,000/= kwa kila safari 3,500/= kwa kila safari 10,000/= kwa kila safari 3,000/= kwa siku 8,000/= kwa kila safari 5,000/= kwa kila safari 100,000/= kwa mwaka 1,000/= kwa safari SEHEMU YA KUMI NA MOJA USHURU WA MCHANGA WENYE MADINI Uzito wa gari Na 1 M3 1-2.5 2 M3 4 3 M3 5-7 4 M3 8 –na kuendelea 5 Ushuru wa mfuko wa mchanga/mawe wa madini (kiroba) kutoka katika eneo la uchimbaji/eneo la leseni lililopo ndani ya Halmashauri Kila M3moja ya mchanga wa madini itakayosafirishwa nje ya eneo la Halmashauri italupiwa ushuru 6 Kiwango 2,500/= kwa kila safari 5,000/= kwa kila safari 10,000/= kwa kila safari 15,000/= kwa kila safari 2,000/= kwa kila kiroba 2,000/= SEHEMU YA KUMI NA MBILI USHURU WA MAGARI YANAYOINGIA KATIKA MAGULIO, MASOKO NA MINADA. Na Aina ya gari Kiwango Gari la mizigo lisilozidi M3 3 Gari la mizigo linalozidi M3 3 1 2 3 Magari mengineyo 1,000/= kwa siku ya gulio au soko 2,000/= kwa siku ya gulio au soko 500/= kwa kila moja 4 5 kununulia Kibali cha chakavu/plastiki cha Kibali chakavu/plastiki kuanzia M3 1 kusafirisha vyuma 10,000/= kwa mwezi vyuma 10,000/= kwa safari SEHEMU YA KUMI NA TATU ADA YA VIBALI VYA UJENZI 13 Sheria Ndogo ya Ada Na Ushuru ya Halmashauri ya Mji Geita Tangazo la Serikali Na.668 (Linaendelea.) ENEO LA KATI LA MJI (CBD) ENEO KARIBU NA CBD PEMBEZONI MWA MJI (NEXT TO CBD) N A UKUB WA WA JENG O (mita za mraba UJAZO WA JUU UJAZ O WA KATI 1 1-25 sqm 2 26-50 30,000 sqm 40,000 3 51 - 75 sqm 50,000 4 76 - 100 sqm 5 101 - 125 sqm 6 126 - 150 sqm 7 151 - 175 sqm 8 176 - 200 sqm 9 201 - 225 sqm 226 - 250 sqm 251 - 275 sqm 276 - 300 sqm Zaidi ya 300 sqm 1 0 1 1 1 2 1 3 60,000 70,000 80,000 90,000 100,000 110,000 120,000 150,000 200,000 250,000 35,00 0 45,00 0 55,00 0 65,00 0 75,00 0 85,00 0 95,00 0 105,0 00 115,0 00 130,0 00 175,0 00 220,0 00 300,0 00 UJA ZO WA NCH INI 30,0 00 40,0 00 50,0 00 60,0 00 70,0 00 80,0 00 90,0 00 100, 000 110, 000 120, 000 150, 000 175, 000 300, 000 UJAZ O WA JUU UJAZ O WA KATI 10,000 20,000 30,000 40,000 50,000 60,000 70,000 80,000 90,000 15,00 0 25,00 0 35,00 0 45,00 0 55,00 0 65,00 0 75,00 0 85,00 0 95,00 0 100,00 0 105,0 00 110,00 0 115,0 00 120,00 0 130,0 00 150,00 0 200,0 00 UJA ZO WA NCH INI 20, 000 30,0 00 40,0 00 50,0 00 60,0 00 70,0 00 80,0 00 90,0 00 100, 000 110, 000 120, 000 150, 000 250, 000 UJA ZO WA NCH INI 40,0 00 50,0 00 60,0 00 70,0 00 80,0 00 90,0 00 100, 000 110, 000 120, 000 150, 000 200, 000 250, 000 350, 000 UJAZ O WA JUU UJAZ O WA KATI 25,00 0 35,00 0 45,00 0 55,00 0 65,00 0 75,00 0 85,00 0 95,00 0 105,0 00 115,0 00 125,0 00 160,0 00 250,0 00 20,00 0 30,00 0 40,00 0 50,00 0 60,00 0 70,00 0 80,00 0 90,00 0 100,0 00 110,0 00 120,0 00 150,0 00 200,0 00 14 Sheria Ndogo ya Ada Na Ushuru ya Halmashauri ya Mji Geita Tangazo la Serikali Na.668 (Linaendelea.)
Part
SEHEMU YA KUMI NA TATU
- 15 Verify source ↗
Majengo maalum kana shule/zahanati
AI-assisted research summary: Section 15 mentions special buildings, schools, or dispensaries and lists the amount 200,000.
15. Majengo maalum kana shule/zahanati 200,000 - 16 Verify source ↗
Kibali cha kuzungusia mabati wakati wa kujenga
AI-assisted research summary: This provision appears to refer to a permit for surrounding or covering with sheet metal during construction, with a charge of 500/= per meter.
16. Kibali cha kuzungusia mabati wakati wa kujenga 500/= mita - 17 Verify source ↗
Ada ya maombi ya viwanja
AI-assisted research summary: There is an application fee for plots of 20,000/= per form.
17. Ada ya maombi ya viwanja 20,000/= kwa fomu - 18 Verify source ↗
Kibali cha ujenzi wa uzio
AI-assisted research summary: Kibali cha ujenzi wa uzio ni 1,000/= kwa kila mita.
18. Kibali cha ujenzi wa uzio 1,000/= kwa mita - 19 Verify source ↗
Kibali cha ukarabati majenzi (renovation)
AI-assisted research summary: This section lists a renovation permit amount of 100,000-500,000/=.
19. Kibali cha ukarabati majenzi (renovation) 100,000-500,000/= - 20 Verify source ↗
Maombi ya mabadiliko ya matumizi kutoka makazi
AI-assisted research summary: Hii inaonyesha ombi la mabadiliko ya matumizi kutoka makazi kwenda makazi ya biashara, na inataja kiasi cha 100,000/=.
20. Maombi ya mabadiliko ya matumizi kutoka makazi 100,000/= kuwa makazi ya biashara - 21 Verify source ↗
Maombi ya mabadiliko ya matumizi kutoka makazi
AI-assisted research summary: A request to change use from residential to service trade industry is listed with a fee of 150,000/=.
21. Maombi ya mabadiliko ya matumizi kutoka makazi kuwa viwanda vya huduma (service trade industry) 150,000/= - 22 Verify source ↗
Maombi ya mabadiliko ya matumizi kutoka biashara
AI-assisted research summary: This section concerns applications to change use from business to residential, mentioning 150,000/=.
22. Maombi ya mabadiliko ya matumizi kutoka biashara 150,000/= kwenda makazi - 23 Verify source ↗
Maombi ya mabadiliko ya matumizi ya ardhi
AI-assisted research summary: Maombi ya mabadiliko ya matumizi ya ardhi yanaonyesha kiasi cha 200,000/= kwa mabadiliko kutoka biashara/makazi kwenda matumizi mengine.
23. Maombi ya mabadiliko ya matumizi ya ardhi 200,000/= kutokabiashara/makazi kwenda matumizi mengine - 25 Verify source ↗
Ada ya ukaguzi wa viwanja vya ujazo wajuu, kati na
AI-assisted research summary: Hii inaeleza ada ya ukaguzi wa viwanja vya makazi na biashara vilivyopimwa na kampuni au mpima binafsi.
25. Ada ya ukaguzi wa viwanja vya ujazo wajuu, kati na chini vya makazi na biashara vilivyopimwa na kampuni au mpima binafsi - 26 Verify source ↗
Ada ya ukaguzi wa viwanja vya taasisi na viwanda
AI-assisted research summary: Inspection fees for surveyed institutional and industrial plots are set according to Ministry of Lands guidelines, with amounts stated as 30,000 and 100,000 per plot.
26. Ada ya ukaguzi wa viwanja vya taasisi na viwanda vilivyopimwa na kampuni au mpima binafsi Kwa kufuata miongozo ya Wizara ya Ardhi 30,000/= kwakila kiwanja 100,000/= kwakila kiwanja - 27 Verify source ↗
Ada ya kurudisha mipaka (beacons)
AI-assisted research summary: This section sets a fee for restoring boundary beacons.
27. Ada ya kurudisha mipaka (beacons) 175,000-250,000/= SEHEMU YA KUMI NA NNE KODI, ADA YA VIBALI VYA UJENZI WA JENGO LILILOPO UPIMAJI NA USAFISHAJI WA VIWANJA, MINARA, REDIO NA RNNINGA Na. Aina ya Jengo 1 2 3 Nyumba ya kuishi Nyumba ya biashara Ghorofa 1 Kwa kila kibali 25,000/= 50,000/= 200,000/= 4 5 6 7 8 9 Kiwanda, bohari, ghala Ada ya kukaguwa kiwanja kidogo (High Density) Nyumba biashara na kuishi Ada ya kukagua kiwanja cha kati (Medium density) Ada ya kukagua kiwanja kikubwa (Low density) Ada ya kukagua kiwanja kikubwa zaidi (super low density) 200,000/= 10,000/= 70,000/= 20,000/= 50,000/= 70,000/= 10 Kibali cha kuzungusha mabati wakati wa kujenga 11 Ada ya maombi ya viwanja 12 Kibali cha kusimika mnara wasimu 500 kwa mita moja 20,000/= kwa fomu 2,000,000/= kwa mwaka 15 Sheria Ndogo ya Ada Na Ushuru ya Halmashauri ya Mji Geita Tangazo la Serikali Na.668 (Linaendelea.) 13 Ada ya mnara wa simu wenye booster 14 Ada ya mnara wa simu usio na booster 15 Kibali cha ujenzi wa ukumni wa sinema 2,500,000/= kwa mwaka 2,000,000/= kwa mwaka 150,000/= mpira/starehe 16 Kibali cha ujenzi wa Taasisi mbalimbali kama shule, 150,000/= vyuo na Ofisi ambazo sio ghorofa 17 Kibali cha ujenzi wa kiwanda kikubwa 18 Kibali cha ujenzi wa kiwanda cha kati/kidogo 19 Kibali cha ujenzi wa sikimu ya uchenjuaji (CIP, Illussion, Vat each plant) 20 Kibali cha ujenzi wa ghala/bohari 21 Kibali cha ujenzi wa majengo ambayo hayajatajwa pamoja na marekebisho ya ujenzi 500,000/= 100,000/= 100,000/= 100,000/= Inategemea na aina ya jengo 22 Nukuu ya bei kwa kila fomu 23 Ada ya kiwanda cha uchenjuaji wa dhahabu (Vat 5,000/= 3,000,000/=kwa mwaka leaching Plant) 24 Ada ya kiwanda cha uchenjuaji dhahabu (Vat 3,600,000/= kwa mwaka leaching plant) chenye tanki zaidi ya 15 25 Ada ya kiwanda cha ujenjuaji (Carbon in pulp, 5,000,000/= illusion) 26 Kibali cha ujenzi wa mwalo 27 Kibali cha kusimika karasha 28 Ushuru wa ghara la kuhifadhia nafaka 29 Ada ya ukaguzi wa mazingira wa ujenzi wa sikimu 100,000/= 100,000/= 50,000/= kwa mwaka 300,000/= ya uchenjuaji (illusion na CIP) 30 Ada ya kufanya ukaguzi wa mazingira ya eneo la 50,000/= ujenzi wa mialo na makarasha 31 Kila ghorofa inayoongezeka kutoka ghorofa ya 1 32 Kibali cha kubadilisha matumizi ya ardhi ya makazi 100,000/= 300,000/= kwenda biashara 33 Kibali cha kubadilisha matumizi ya ardhi ya makazi 400,000/= kwenda viwanda 34 Kibali cha kubadilisha matumizi ya ardhi ya 300,000/= biashara kwenda makazi 35 Kibali cha kubadilisha matumizi ya ardhi ya matumizi kwenda makazi/biashara/viwanda mengine 300,000/= 36 Kodi ya viwanda vingine tofauti na viwanda vya 1,000,000/= kwa mwaka uchenjuaji madini 37 Ada ya urasimishaji 38 Ada ya kuzingira/majukwaa kwa muda usiozidi mwaka mmoja 100,000 kwa kila kiwanja isizidi 150,000/= 5,000/= kwa kila futi za mraba SEHEMU YA KUMI NA TANO USHURU WA MAZAO YA MISITU YA HALMASHAURI. Aina ya zao kiwango Ushuru wa gunia la mkaa lenye uzito usiozidi kg 50 Ushuru wa nguzo za miti kwa kila nguzo 3% ya bei kwa kila gunia 1,000/= Na. 1 2 16 Sheria Ndogo ya Ada Na Ushuru ya Halmashauri ya Mji Geita Tangazo la Serikali Na.668 (Linaendelea.) 3 4 5 6 7 8 9 Ushuru wa lita 1 ya asali Ushuru waNta Kg 1 Ushuru wa gogo Fito M3 1-10 Fito M3 11 Ushuru wa mbao 1 Ushuru wa banzi 400/= 500/= 2,000/= 2,000/= 5,000/= 500/= ubao laini 1,500/= ubao mgumu 200/= 10 Ushuruwa kuni kwa kila ujazo wa mita moja 1,500/= 11 Ada ya usajili wa biashara ya mazao ya misiti 5% ya ada inayolipwa Serikali Kuu Na. 1 2 Na. 1 SEHEMU YA KUMI NA SITA USHURU WA MAKARASHA YA MARUDIO. Huduma kiwango Ushuru wa makarasha Ushuru wa mialo 20,000/= kwa mwezi 20,000/= kwa mwezi SEHEMU YA KUMI NA SABA ADA YA USAJILI WA VIKUNDI. Aina ya kikundi kiwango Usajili wa vyama, vikundi au asasi za kiraia (CSOs/CBOs) 20,000/= SEHEMU YA KUMI NA NANE USHURU WA MABANGO NA. MAELEZO ADA (KWA TSHS.) 1 Mabango yasiyo na mwanga 15,000/= kwa futi ya mraba 2 Mabango yenye mwanga 18,000/= kwa futi ya mraba 3 Mabango yenye kuta 4 Mabango ya kielekroniki 5 Magari ya matangazo 6 Matangazo kwenye Kituo cha mauzo I. Mabango yasiyo na mwanga II. Mabango yenye mwanga 7 Kila tangazo la biashara kwa matangazo ya awali 100 15,000/= kwa futi mraba 20,000/= kwa futi ya mraba 15,000/= kwa futi ya mraba 15,000/= kwa futi ya mraba 18,000/= kwa futi ya mraba 100,000/= 8 Matangazo ya biashara au Promosheni kwa siku 55,000/= Kwa kila tangazo jingine lenye matangazo ya jumla 100 au sehemu 55,000/= 17 Sheria Ndogo ya Ada Na Ushuru ya Halmashauri ya Mji Geita Tangazo la Serikali Na.668 (Linaendelea.) 9 Matangazo ya mabango yanayoelekeza sehemu za huduma kijamii zinazopatikana katika Shule, Zahanati, Hospitali Hakuna Ada 10 Magari yaliyobandikwa matangazo ya bidhaa 4,000/= wanazozalisha SEHEMU YA KUMI NA TISA ADA ZA UTUPAJI TAKA NGUMU KWENYE JAA LA TAKA, UBOMOAJI NA UONDOAJI WA MABAKI YA VIFAA VYA UJENZI NA UKUSANYAJI TAKA KATIKA KAYA, MAJENGO YA BIASHARA NA TAASISI ZA WATU BINAFSI Ada za utupaji taka ngumu kwenye jaa la taka Na 1 2 Kiasi cha Taka Chini ya tani moja kwa safari Zaidi ya tani moja kwa safari Kiwango 40,000/= 50,000/= Ubomoaji na uondoaji wa mabaki ya vifaa vya ujenzi Na 1 Eneo kwa mita ya Ujazo Mita moja ya mraba Kiwango 5,000/= Na Aina ya Biashara 1 2 3 4 5 Ukusanyaji taka katika kaya, Majengo ya biashara na Taasisi za watu binafsi. Viwango vya ada 2,000/= kwa mwezi 3,000/= kwa mwezi 5,000/= kwa mwezi 15,000/= kwa mwezi 10,000/= kwa mwezi 6 7 8 9 Makazi (kaya) Mgahawa mdogo Mgahawa wa kati Mgahawa mkubwa Nyumba ya kulala wageni yenye vyumba vya bei ya chini ya shilingi 10,000/= Nyumba ya kulala wageni yenye vyumba vya bei ya kuanzia shilingi 10,000/= hadi 20,000/= Nyumba ya kulala wageni yenye vyumba vya bei ya kuanzia shilingi 20,000/= hadi 50,000/= Nyumba ya kulala wageni yenye vyumba vya bei ya kuanzia shilingi 50,000/= hadi 100,000/= Nyumba ya kulala wageni yenye vyumba vya bei ya kuanzia shilingi 100,000/= hadi 200,000/= Kiwanda kikubwa Kiwanda cha kati Kiwanda kidogo Zahanati binafsi (Taka zisizo hatarishi) Kituo cha Afya binafsi (Taka zisizo hatarishi) Hospitali binafsi Hospitali ya rufaa 10 11 12 13 14 15 16 17 Wauza mbao 18 Wapasua mbao 19 20 21 22 23 Fundi seremala wakubwa Fundi seremala wa kati Fundi seremala wadogo Fundi chuma Karakana kubwa 18 15,000/= kwa mwezi 20,000/= kwa mwezi 50,000/= kwa mwezi 100,000/= kwa mwezi 200,000/= kwa mwezi 100,000/= kwa mwezi 20,000/= kwa mwezi 10,000/= kwa mwezi 15,000/= kwa mwezi 25,000/= kwa mwezi 30,000/= kwa mwezi 5,000/= kwa mwezi 10,000/= kwa mwezi 25,000/= kwa mwezi 10,000/= kwa mwezi 5,000/= kwa mwezi 5,000/= kwa mwezi 50,000/= kwa mwezi Sheria Ndogo ya Ada Na Ushuru ya Halmashauri ya Mji Geita Tangazo la Serikali Na.668 (Linaendelea.) Karakana ya kati Karakana ndogo Duka la jumla Duka kubwa (Super Market) Duka la kati (Rejareja) Duka dogo (rejereja) Shule ya Msingi ya Bweni (Binafsi) Shule ya msingi ya Kutwa (binafsi) Shule ya Sekondari kutwa (Binafsi) Shule ya Sekondari Bweni (Binafsi) Duka dogo la chakula Duka la kati la chakula Duka kubwa la chakula Baa kubwa Baa ya kati Baa ndogo (Grocery) Klabu ya siku Kumbi za Sherehe Duka la kuuza nyama na samaki Duka la dawa (Jumla) Duka la dawa (Rejareja) Dobi mdogo Fundi wa vifaa vya umeme Fundi kushona kwa kila cherehani Saluni Kituo cha kuuza mafuta kikubwa (Petrol Station) Kituo cha kuuza mafuta cha kati (Filling Station) Stoo Ghala Taasisi za kidini Taasisi zisizo za kidini Klabu ya pombe ya asili Kituo cha michezo Uwanja wa michezo 24 25 26 27 28 29 30 31 32 33 34 35 36 37 38 39 40 41 42 43 44 45 46 47 48 49 50 51 52 53 54 55 56 57 58 Washona viatu 59 60 61 62 63 64 65 66 67 68 69 Mashine za kusaga ndogo 70 Mashine za kusaga kubwa 71 Viwanda vya simu 72 Wauza barafu 73 Wauza mkaa wa jumla 74 Wauza mkaa wa rejareja Stoo za mkaa Duka la kuuza magari Nyumba za video/Sinema Gereji kubwa ya magari Gereji ya kati ya magari Gereji ndogo ya magari Gereji ya pikipiki Gereji ya baiskeli Sehemu kubwa za kuoshea magari Sehemu ndogo za kuoshea magari 19 20,000/= kwa mwezi 10,000/= kwa mwezi 20,000/= kwa mwezi 30,000/= kwa mwezi 10,000/= kwa mwezi 5,000/= kwa mwezi 10,000/= kwa mwezi 5,000/= kwa mwezi 10,000/= kwa mwezi 20,000/= kwa mwezi 5,000/= kwa mwezi 10,000/= kwa mwezi 20,000/= kwa mwezi 50,000/= kwa mwezi 20,000/= kwa mwezi 10,000/= kwa mwezi 50,000/= kwa mwezi 50,000/= kwa mwezi 10,000/= kwa mwezi 20,000/= kwa mwezi 10,000/= kwa mwezi 1,000/= kwa mwezi 5,000/= kwa mwezi 1,000/= kwa mwezi 5,000/= kwa mwezi 50,000/= kwa mwezi 20,000/= kwa mwezi 5,000/= kwa mwezi 25,000/= kwa mwezi 10,000/= kwa mwezi 50,000/= kwa mwezi 2,000/= kwa mwezi 20,000/= kwa mwezi 10,000/= kwa mwezi 1,000/= kwa mwezi 10,000/= kwa mwezi 50,000/= kwa mwezi 5,000/= kwa mwezi 50,000/= kwa mwezi 20,000/= kwa mwezi 10,000/= kwa mwezi 10,000/= kwa mwezi 5,000/= kwa mwezi 10,000/= kwa mwezi 5,000/= kwa mwezi 5,000/= kwa mwezi 10,000/= kwa mwezi 3,000/= kwa mwezi 5,000/= kwa mwezi 10,000/= kwa mwezi 5,000/= kwa mwezi Sheria Ndogo ya Ada Na Ushuru ya Halmashauri ya Mji Geita Tangazo la Serikali Na.668 (Linaendelea.) Vizimba sokoni 75 76 Wauza Ngozi Ofisi 77 Dahalia 78 200 kwa siku 5,000/= kwa siku 5,000/= kwa mwezi 20,000/= kwa mwezi SEHEMU YA ISHIRINI ADA NA USHURU WA HUDUMU NYINGINE Na 1 Adhabu ya papo kwa papo kw mifugo inayokamatwa kwa kuzurura ovyo; a) Ngombe au punda b) Nguruwe c) Mbuzi na Kondoo 5,000/= kwa kila mmoja 3,000/= kwa kila mmoja 2,000/= kwa kila mmoja 2 Ushuru wa kuhifadhi wanyama waliokamatwa kwa kuzurura ovyo: d) Ngombe au punda e) Nguruwe a) Mbuzi na Kondoo 3 4 5 6 Ushuru wa huduma ya maghala na vinu vya kusaga na kukoboa mpunga na mahindi Ushuru wa nyumba za kulala wageni Ada za utambuzi wa mifugo na uwekaji kitanda Ada ya kibali cha mlipuko wa mawe 3,000/= kwa kila mmoja kwa siku 2,000/= kwa kila mmoja kwa siku 1,000/= kwa kila mmoja kwa siku 25,000/= kwa mwaka 10% kwa kila kitanda Kulingana na mwongozo wa wizara 50,000/= kwa kibali SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJA ADA NA USHURU WA KUPAKIA NA KUSHUSHA BIDHAA MBALIMBALI Na 1 Aina ya bidhaa Bidhaa ujenzi ya ya Bidhaa chakula za Bidhaa Vinywaji (Beverages) Bidhaa za matumizi ya nyumbani Vifaa vinavyotumia umeme 2 3 4 5 Gari ujazo (Ukubwa wa Tani) Gharama za Ushuru (Shilingi za Tanzania) Tani 1 hadi Tani 5.9 Tani 6 hadi Tani 10.9 Tani 11 hadi Tani 15.9 Tani 15 na zaidi Tani 1 hadi Tani 5.9 Tani 6 hadi Tani 10.9 Tani 11 hadi Tani 15.9 Tani 15 na zaidi Tani 1 hadi Tani 5.9 Tani 6 hadi Tani 10.9 Tani 11 hadi Tani 15.9 Tani 15 na zaidi Tani 1 hadi Tani 5.9 Tani 6 hadi Tani 10.9 Tani 11 hadi Tani 15.9 Tani 15 na zaidi Tani 1 hadi Tani 5.9 Tani 6 hadi Tani 10.9 Tani 11 hadi Tani 15.9 Tani 15 na zaidi 20 5,000/= 8,000/= 10,000/= 12,000/= 3,000/= 5,000/= 8,000/= 10,000/= 3,000/= 5,000/= 8,000/= 10,000/= 3,000/= 5,000/= 8,000/= 10,000/= 3,000/= 5,000/= 8,000/= 10,000/= Sheria Ndogo ya Ada Na Ushuru ya Halmashauri ya Mji Geita Tangazo la Serikali Na.668 (Linaendelea.) Tani 1 hadi Tani 6.9 Tani 7 hadi Tani 15 Tani 15 na zaidi za ya na Tani 1 hadi Tani 5.9 Tani 6 hadi Tani 10.9 Tani 11 hadi Tani 15.9 Tani 16 na zaidi Tani 1 hadi Tani 5.9 Tani 6 hadi Tani 10.9 Tani 11 hadi Tani 15.9 Tani 16 na zaidi Tani 1 hadi Tani 5.9 Tani 6 hadi Tani 10.9 Tani 11 hadi Tani 15.9 Tani 16 na zaidi Gunia 6 7 Bidhaa mafuta magari, mitambo gesi Vyuma chakavu 8 Mazao mchanganyiko ya kilimo 9 Mazao ya Maliasili 10 Bidhaa, mazao kilimo maliasili ya na 10,000/= 20,000/= 25,000/= 5,000/= 10,000/= 15,000/= 20,000/= 3,000/= 5,000/= 8,000/= 10,000/= 3,000/= 5,000/= 8,000/= 10,000/= 500/= Tenga Dumu/Ndoo ya Lita 20 Box 500/= 500/= 500/= SEHEMU YA ISHIRINI NA MBILI ADA YA USHURU WA MEZA KATIKA MASOKO YETU Na Ushuru 1 Ushuru wa Meza 2 Tozo ya Usafi Jumla Kiasi 300 200 500 21 Sheria Ndogo ya Ada Na Ushuru ya Halmashauri ya Mji Geita Tangazo la Serikali Na.668 (Linaendelea.) _____________ JEDWALI LA PILI ______________ (Limetengenezwa chini ya kanuni ya 10(1) FOMU YA MAOMBI YA KIBALI CHA UCHIMBAJI WA MADINI YA UJENZI
Part
JEDWALI LA PILI
- 1 Verify source ↗
Section 1
AI-assisted research summary: This line labels the applicant’s name field.
1. Jina la mwombaji…………………………………………………………… - 2 Verify source ↗
Anwani ya mwombaji………………………………………………………
AI-assisted research summary: This line asks for the applicant’s address, phone number, and email.
2. Anwani ya mwombaji……………………………………………………….. Simu…………………………………….. barua pepe………………………………….. - 3 Verify source ↗
Aina ya madini yanayoombewa kibali………………………………………
AI-assisted research summary: Section heading about the type of minerals requiring a permit.
3. Aina ya madini yanayoombewa kibali……………………………………… - 4 Verify source ↗
Eneo linaloombewa kibali
AI-assisted research summary: This section is a form field for describing the area for which a permit is requested.
4. Eneo linaloombewa kibali: i. ii. iii. Mahali/Kitongoji………………………kijiji/mtaa……………………kata…… …........................... Ukubwa wa eneo ……………………………………………………... Nambari ya leseni ya mchimbaji mwombaji …………………………. - 5 Verify source ↗
Muda wa kibali
AI-assisted research summary: This section is a permit-duration label listing the permit issue date, start date, and end date.
5. Muda wa kibali: Tarehe ya kutolewa kwa kibali………………………… Mwanzo wa kibali……………………………………… Mwisho wa kibali………………………………………. - 6 Verify source ↗
Masharti ya jumla ya kibali
AI-assisted research summary: Mwombaji lazima aambatishe mpango wa mazingira na mpango wa uchimbaji, afanye uchimbaji ndani ya saa zilizoainishwa, na ahakikishe ushuru wa Halmashauri unalipwa.
6. Masharti ya jumla ya kibali: i. ii. iii. iv. Mwombaji awasilishe mpango wa usimamizi wa mazingira katika eneo analotaka kuchimba Mwombaji awasilishe mpango wa uchimbaji wa madini husika Kazi ya kuchimba itafanyika kati ya saa moja na nusu (1:30) asubuhi hadi saa kumi na mbili kamili (12:00) jioni Mwombaji atalazimika kuhakikisha ushuru wa Halmashauri unalipwa kwa mujibu wa Sheria Ndogo za Halmashauri - 7 Verify source ↗
Masharti mahususi kwa mwombaji
AI-assisted research summary: Sehemu hii inaonyesha fomu ya masharti maalum kwa mwombaji na fomu ya kukiri kosa, bila kujaza masharti maalum kwenye maandishi yaliyotolewa.
7. Masharti mahususi kwa mwombaji: i. ii. iii. iv. ………………………………………………………………………. ………………………………………………………………………. ………………………………………………………………………. ………………………………………………………………………. Jina la anayetoa kibali …………………………………………………………….. Sahihi………………… Wadhifa wa mtoa kibali…………Tarehe ………………. 22 Sheria Ndogo ya Ada Na Ushuru ya Halmashauri ya Mji Geita Tangazo la Serikali Na.668 (Linaendelea.) _____________ JEDWALI LA TATU _______________ (Limetengenezwa chini ya kanuni ya 19) FOMU YA KUKIRI NA KUFIFILISHA KOSA Mimi ....................................................................................................nakiri KWA HIARI YANGU MWENYEWE mbele ya........................................................... ambaye ni Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Geita kwamba arehe ..........ya Mwezi .................. Mwaka................ nilitenda kosa kwa kukiuka masharti ya kanuni ya ……..ya Sheria Ndogo ya Ada na Ushuru ya Halmashauri ya Mji Geita ya Mwaka 2024. Kwa Mamlaka aliyopewa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Geita, niko tayari kulipa kiasi cha ada au ushuru na faini ninayodaiwa. NATHIBITISHA KWAMBA MAELEZO HAPO JUU NI YA KWELI NA NIMEYATOA MIMI MWENYEWE KWA HIARI YANGU KADRI YA UFAHAMU WANGU Leo Tarehe ......................ya Mwezi ................................Mwaka ……............. Jina: ........................................................... Saini: ......................................................... MBELE YA: Jina……..................................................... Wadhifa: .................................................. . Saini: ......................................................... Tarehe: ....................................................... 23 Sheria Ndogo ya Ada Na Ushuru ya Halmashauri ya Mji Geita Tangazo la Serikali Na.668 (Linaendelea.) Lakiri ya Halmashauri ya Wilaya ya Geita imegongwa kwenye Sheria Ndogo hizi kufuatia Azimio lililopitishwa katika Mkutano wa Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Mji Geita uliofanyika tarehe 29/8/2023 na kushuhudiwa Lakiri hiyo ikigongwa mbele ya:- YEFRED EDSON MYENZI, Mkurugenzi, Halmashauri ya mji, Geita MHE. COSTANTINE MORANDI MTANI, Mwenyekiti, Halmashauri ya mji, Geita NAKUBALI, MOHAMED OMARY MCHENGERWA, Waziri wa Nchi-OR-TAMISEMI L.S Dodoma, 20 Juni, 2024 24
Provision text is displayed from LexChat’s stored statute record. Use the official source links to verify amendments, commencement, and current legal force.
Ask AI about this statute
SHERIA NDOGO YA ADA NA USHURU YA HALMASHAURI YA MJI GEITA YA MWAKA 2024
Sign in to ask AI about this statute
Sign in to start authenticated, citation-grounded statute research.
Sign in