Sheria Ndogo ya Afya, Usafi na Hifadhi ya Mazingira ya Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji ya Mwaka 2024
This section gives the short title of the by-law: the Kigoma Ujiji Municipal Council Health, Sanitation and Environmental Conservation By-law, 2024.
AI-assisted research synopsis — verify against the official legal text below.
- Jurisdiction
- Tanzania
- Instrument
- Regulation
- Citation
- Sheria Ndogo ya Afya, Usafi na Hifadhi ya Mazingira ya Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji ya Mwaka 2024
- Version
- Undated source snapshot
- Language
- sw
- Official source
- View official record ↗
Statute overview
About this statute
This section gives the short title of the by-law: the Kigoma Ujiji Municipal Council Health, Sanitation and Environmental Conservation By-law, 2024. This by-law applies throughout the entire area of the Kigoma/Ujiji Municipal Council authority. This section defines key terms used in the by-law, including waste fees, pollution fees, the authorized officer, the Council, residents, waste generators, and environmental pollution. Halmashauri lazima itenge maeneo ya malisho, njia za mifugo, ifanye sensa na kutoa kadi za mifugo, ijenge majosho, ipe elimu ya ufugaji bora, itoe chanjo kwa kushirikiana na wafugaji, na idhibiti uzururaji wa mifugo na wanyama. Kila mfugaji lazima afuate masharti ya Halmashauri kuhusu malisho, njia za kupitisha mifugo, usajili, chanjo, mafunzo, na matumizi ya majosho; pia hairuhusiwi kukata miti kwa lengo la kufukuza mbung’o.
Search within this statute
Search all stored provisions in this version.
Legal text
Provisions of Sheria Ndogo ya Afya, Usafi na Hifadhi ya Mazingira ya Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji ya Mwaka 2024
Showing 52 of 52
- 1 Verify source ↗
Sheria Ndogo hii itajulikana kama Sheria
AI-assisted research summary: This section gives the short title of the by-law: the Kigoma Ujiji Municipal Council Health, Sanitation and Environmental Conservation By-law, 2024.
1. Sheria Ndogo hii itajulikana kama Sheria Ndogo ya Afya, Usafi na Hifadhi ya Mazingira ya Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji ya Mwaka 2024. Matumizi - 2 Verify source ↗
Sheria Ndogo hii itatumika katika eneo lote la
AI-assisted research summary: This by-law applies throughout the entire area of the Kigoma/Ujiji Municipal Council authority.
2. Sheria Ndogo hii itatumika katika eneo lote la Mamlaka ya Halmashauri ya Manispaa Kigoma/Ujiji. Tafsiri - 3 Verify source ↗
Katika Sheria Ndogo hii, isipokuwa kama
AI-assisted research summary: This section defines key terms used in the by-law, including waste fees, pollution fees, the authorized officer, the Council, residents, waste generators, and environmental pollution.
3. Katika Sheria Ndogo hii, isipokuwa kama utahitaji vinginevyo: “ada ya kuondoa taka” maana yake ni malipo yanayolipwa kwa Halmashauri kwa ajili ya huduma ya kuzoa taka. “ada ya uchafuzi wa mazingira” maana yake ni malipo yanayotakiwa kulipwa kwa Halmashauri na kampuni, viwanda, kikundi, mtu binafsi au taasisi ambazo shughuli zao zinasababisha uchafuzi wa mazingira; . “Afisa Mwidhiniwa” maana yake ni Afisa yeyote la aliyeteuliwa na Mkurugenzi kwa lengo kusimamia utekelezaji wa Sheria Ndogo hii; 1 Sheria Ndogo ya Usafi Na Hifadhi ya Mazingira ya Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji Tangazo La Serikali Na. 212 (Linaendelea) Sura 191 “ardhi tengwa” maana yake ni sehemu ya ardhi ambayo imetengwa maalum kwa ajili ya hifadhi ya mazingira; “Baraza” maana yake ni Baraza la Taifa la Hifadhi na lililoundwa kwa Usimamizi wa Mazingira mujibu wa Sheria ya Usimamizi wa Mazingira; “bioanuwai” maana yake ni tofauti kati ya viumbe hai kutoka vyanzo vyote ikiwa ni pamoja na mifumoikolojia ya nchi kavu, mifumoikolojia ya majini na ikolojia changamani ambayo ni sehemu ya mifumoikolojia hiyo; “chanzo cha maji” maana yake ni eneo lolote ambalo limetengwa kwa ajili ya kuwa chanzo cha maji kwa matumizi ya jamii ikiwemo visima, mito, yote vijito chemchemi, yanayopatikana maji; na maeneo “chombo cha taka ngumu” maana yake ni chombo maalum kwaajili ya kuhifadhia taka ngumu kwenye kaya, shughuli za kiuchumi na maeneo ya wazi; “choo bora” maana yake ni choo chochote cha maji chenye sakafu inayosafishika, banda imara la kudumu, limeezekwa, lina mlango imara, bomba la kutolea hewa chafu na lenye mfuniko kwenye tundu la choo na shimo salama na safi kwa ajili ya kutupa kinyesi na mkojo wa binadamu, lililojengwa kwa vifaa vya kudumu; “dampo”maana yake ni eneo la kuteketezea taka; “elimu ya mazingira” maana yake ni elimu itakayohusu mchakato wa kutambua sifa na kufafanua dhana ya mazingira ili kuboresha taaluma na mtizamo muhimu kwa ajili ya kuelewa na kukubali uhusiano kati ya binadamu, utamaduni na hali hai inayomzunguka; “eneo la hifadhi’’ maana yake ni maeneo ya milima, maeneo ya vyanzo vya maji, hifadhi ya 2 Sheria Ndogo ya Usafi Na Hifadhi ya Mazingira ya Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji Tangazo La Serikali Na. 212 (Linaendelea) misitu, miteremko na maeneo mengine ambayo yatatangazwa na Halmashauri kuwa ni maeneo ya hifadhi; “Halmashauri” maana yake ni Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji; “hifadhi ya mazingira” maana yake ni utunzaji endelevu wa ardhi; mimea, hewa, viumbe hai na visivyo hai na vyanzo vya maji vinavyozingatia masharti na maelekezo na Afisa Mwidhiniwa chini ya Sheria ya Ndogo hii au Sheria nyingine yoyote; yatakayotolewa “huduma” maana yake ni kuondoa na kuteketeza taka za viwandani, biashara, majumbani na sehemu nyinginezo ambazo zinazalisha taka; “jengo la biashara” maana yake jengo lolote lililojengwa na kuidhinishwa na Halmashauri kwa ajili ya kufanya biashara iliyokusudiwa; “kaya” maana yake mtu mzima anayejitegemea mwanamke au mwanaume, na mtoto au watoto inayoishi aidha kwenye nyumba nzima au ndani ya chumba kimoja kwenye eneo la Halmashauri; “kero au chukizo” maana yake ni kitu chochote ambacho kipo katika hali yoyote iwe kinatumika, kimewekwa, kimejengwa, au ni kichafu kiasi cha kusababisha: (a) hatari kwa viumbe na maisha ya binadamu; (b) harufu mbaya au harufu ya kuudhi au kuleta kinyaa; (c) kuzaliana kwa wadudu hatari kama vile inzi, sisimizi, panya, nyoka, nyuki, mende, kunguni au viumbe wengine hatari; “kibali” maana yake ni idhini ya maandishi inayotolewa na Halmashauri kwa mujibu wa Sheria Ndogo hii; “kikundi cha mazingira” maana yake ni kikundi 3 Sheria Ndogo ya Usafi Na Hifadhi ya Mazingira ya Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji Tangazo La Serikali Na. 212 (Linaendelea) chochote cha watu kilichosajiliwa kufanya usafi na usimamizi wa mazingira na udhibiti wa uharibifu wa mazingira katika maeneo ya Halmashauri; “kizimba cha taka” maana yake ni eneo maalum lililotengwa na Halmashauri kwa ajili ya kuhifadhi taka ngumu; “kituo cha maji machafu” maana yake ni sehemu maalumu iliyotengenezwa kwa ajili ya ukaguzi wa mfereji ambao una mfuniko usioruhusu hewa kutoka; “kuchakata taka” maana yake ni kuzichambua, kuzitenganisha na kuzibadili kuwa kitu kingine chenye manufaa kwa jamii; “mabwawa ya maji taka” maana yake ni mabwawa yaliyojengwa kwa madhumuni ya kuhifadhi na kutakasa maji taka yanayotokana na kuosha vyombo, kutoka vyooni, kutoka bafuni, kufua nguo, kuosha nywele au shughuli zozote za nyumbani na viwanda; “maeneo ya shughuli za kiuchumi” ni maeneo maalumu yaliyotengwa na Manispaa kwaajili ya shughuli za uzalishaji mali na kuingiza kipato. “maeneo ya wazi” ni maeneo yanayomilikiwa na Manispaa ya Kigoma Ujiji na hayajaendelezwa. “maeneo nyeti” maana yake ni maeneo oevu, mitelemko ya milima, misitu au maeneo maalumu yaliyotengwa kwa minajili ya misitu au bustani. “mfumoikolojia” maana yake ni elimumwendo changamani ya jamii za mimea, wanyama, vijiumbe na mazingira yao vikiwemo vitu visivyo hai; “maji” ina maana swa kama ilivyotafsiriwa katika Sheria ya Usimamizi wa Mazingira; “maji taka” ina maana swa kama ilivyotafsiriwa katika 4 Sura 191 Sura 191 Sheria Ndogo ya Usafi Na Hifadhi ya Mazingira ya Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji Tangazo La Serikali Na. 212 (Linaendelea) Sheria ya Usimamizi wa Mazingira; “mazalia ya wadudu” maana yake ni sehemu ambayo wadudu hufanya mazalio au kuishi kwa minajiri ya kufanya mzunguko wa maisha na baadae huleta maadhara kwa binadamu; Sura 323 “mazao ya misitu” maana yake ni kama ilivyotafsiriwa katika Sheria ya Misitu na ni pamoja na kitu chochote kinachopatikana au kuzalishwa pamoja na miti, mazao yanayoota kupatikana msituni, ambao ni pamoja na mianzi, magamba, mkaa, kuni, miti, fito, mbao, mbegu za miti, nta, asali, utaa, matunda, upapi, majani ya kulalia wanyama, majani, mizizi, gundi, utomvu, maranda, matete, kamba, makuti (mawale), nyuzi za wanyama, mimea (miti) na kitu chochote chenye uhai kitakachotangazwa katika gazeti la Serikali kuwa ni zao la misitu; kisicho uhai na au Sura ya 191 “mazingira” ina maana sawa kama ilivyotafsiriwa katika Sheria ya Usimamizi wa Mazingira; “mfugaji” maana yake ni mtu yeyote anaejishughulisha na ufugaji mifugo katika eneo la Halmashauri; “mifugo” maana yake ni ng’ombe, punda, nguruwe, mbuzi, mbwa, kondoo au kuku na wanyama wengine wote wafugwao majumbani; “misitu” maana yake ni eneo la ardhi ambalo limefunikwa angalau kwa asilimia 10 na miti, uoto wa asili au uliopandwa, au asilimia 50 au zaidi ya vichaka na miti inayoota au ambayo itajumuisha na yote ya misitu ya hifadhi ambayo itatangaza chini ya sheria za misitu na mazao yote ya misitu ikijumuisha majani na nyasi ndani ya eneo la Halmashauri; “mkazi” maana yake ni mtu yeyote anayeishi katika eneo la Halmashauri na ambaye ana kaya au 5 Sheria Ndogo ya Usafi Na Hifadhi ya Mazingira ya Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji Tangazo La Serikali Na. 212 (Linaendelea) anaishi katika kaya au taasisi iliyopo katika eneo la Halmashauri; “Mkurugenzi” maana yake ni Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji au afisa yeyote aliyeteuliwa kutekeleza majukumu ya Mkurugenzi chini ya Sheria Ndogo hii; “mzalishaji wa taka ngumu” maana yake ni mtu yeyote, kaya, taasisi, biashara au kiwanda ambaye katika kutekeleza shughuli zake za kila siku huzalisha taka ngumu; “mtandao wa maji taka” maana yake mfumo wa bomba kuu lililojengwa kwa madhumuni ya kupokea na kusafirisha taka miminika toka kwenye mifereji ya maji na kuyapeleka kwenye mabwawa ya maji taka au baharini; “mzalishaji wa maji taka” maana yake mtu, shirika, kiwanda au taasisi ambapo shughuli zake kwa namna yoyote ile huzalisha maji taka; “pipa la taka” maana yake ni chombo chochote chenye mfuniko kinachoweza kuhifadhi taka ngumu zinazozalishwa majumbani, sehemu za biashara, maofisini ili zisisambae na kuchafua mazingira; “sehemu ya kufulia” maana yake ni eneo au jengo au chumba maalum kilichotengwa kwa ajili ya kuoshea au kufulia nguo; Sura ya 191 “taka” ina maana sawa kama ilivyotafsiriwa katika Sheria ya Usimamizi Mazingira; “taka za biashara” maana yake ni aina yoyote ya taka ambazo hupatikana au hutokana na shughuli mbalimbali za kibiashara; “Taka gesi” maana yake ni hewa chafu, moshi, joto, au harufu ambayo inaweza kuleta madhara kwa Binadamu, mazingira, na viumbe hai wengine; “taka miminika” maana yake maji yaliyokwisha tumika au chafuliwa kwa namna yoyote ile ambayo 6 Sheria Ndogo ya Usafi Na Hifadhi ya Mazingira ya Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji Tangazo La Serikali Na. 212 (Linaendelea) yanajumuisha maji machafu toka chooni, bafuni, jikoni, viwandani, maji yaliyooshewayo vyombo, maji yaliyofuliwa nguo, kuosha nywele, kuoshea vyakula na yaliyopigiwa deki na kutoka kwenye taasisi mbalimbali; Sura ya 191 “taka ngumu” ina maana sawa kama ilivyo katika Sheria ya Usimamizi Mazingira; “taka za majumbani” maana yake mabaki ya vyakula, maganda ya matunda, majivu, nguo chakavu, karatasi za aina mbalimbali, kinyesi cha mifugo, taka za bustani na vitu vingine ambavyo baada ya kuvitumia hutupwa; sawa kama za viwandani” ilivyotafsiriwa katika Sheria ya usimamizi wa Mazingira; ina maana “taka Sura ya 191 Sura ya 191 “uchafu hatari” maana yake ni kama ilivyotafsiriwa katika Sheria ya Mazingira ; “uchafuzi wa mazingira” maana yake hali ya kusababisha mabadiliko hasi ya hali ya hewa, na uoto wa asili, au uwepo wa kelele au kero za aina yeyote, harufu mbaya, uwepo wa taka za aina yoyote, ambapo unasababisha hali ya hatari kwa afya binadamu na viumbe hai wengine; “ukaguzi wa mazingira” maana yake ni tathmini yenye inayofanyika lengo, utaratibu, kumbukumbu, vipindi maalumu kwa madhumini ya kufahamu ni kwa kiasi gani mpangilio wa kimazingira, usimamizi na maandalizi yanavyofanywa katika kuhifadhi na kulinda mazingira; “ufugaji endelevu” maana yake ufugaji unaofuata taratibu kwa mujibu wa sheria ya mifugo; “ufugaji wa ndani” maana yake ni ufugaji wa mifugo ndani ya nyumba, banda au zizi ndani ya eneo lililoruhusiwa na Halmashauri; “vitu hatari” maana yake ni kama ilivyotafsiriwa katika 7 Sura ya 191 Sheria Ndogo ya Usafi Na Hifadhi ya Mazingira ya Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji Tangazo La Serikali Na. 212 (Linaendelea) Sheria ya Mazingira ; “wakala” maana yake ni mtu binafsi, kikundi, taasisi au kampuni iliyoteuliwa kukusanya ada na ushuru kwa niaba ya Halmashauri chini ya Sheria Ndogo hii. Wajibu wa Halmashauri SEHEMU YA PILI UFUGAJI
Part
SEHEMU YA PILI
- 4 Verify source ↗
(1) Halmashauri itakuwa na wajibu wa
AI-assisted research summary: Halmashauri lazima itenge maeneo ya malisho, njia za mifugo, ifanye sensa na kutoa kadi za mifugo, ijenge majosho, ipe elimu ya ufugaji bora, itoe chanjo kwa kushirikiana na wafugaji, na idhibiti uzururaji wa mifugo na wanyama.
4.-(1) Halmashauri itakuwa na wajibu wa- (a) kutenga maeneo maalum kwa ajili ya shughuli za malisho ndani ya eneo la Halmashauri; (b) kutenga njia maalum ya kupitisha mifugo kwenda na kurudi malishoni au minadani; (c) kufanya sensa ya mifugo na kutoa kadi za mifugo na elimu ya ufugaji bora kwa jamii; (d) kujenga majosho ya mifugo kwa kushirikiana na wananchi; (e) kutoa elimu ya ufugaji bora kwa jamii ili kuongeza tija; (f) kutoa chanjo kwa kushirikiana na wafugaji ili mifugo magonjwa yanayoambukiza ya na kudhibiti yasiyoambukiza binadamu; na (g) kudhibiti uzururaji holela wa mifugo na wanyama katika Halmashauri kwa mujibu wa Sheria. Wajibu wa mfugaji - 5 Verify source ↗
Kila mfugaji chini ya Sheria Ndogo hii
AI-assisted research summary: Kila mfugaji lazima afuate masharti ya Halmashauri kuhusu malisho, njia za kupitisha mifugo, usajili, chanjo, mafunzo, na matumizi ya majosho; pia hairuhusiwi kukata miti kwa lengo la kufukuza mbung’o.
5. Kila mfugaji chini ya Sheria Ndogo hii atatakiwa- (a) kufuga na kulisha mifugo katika maeneo ya malisho yaliyopangwa na Halmashauri; (b) kupitisha mfugo au mifugo yake katika njia zilizopangwa na kutengwa na Halmashauri; 8 Sheria Ndogo ya Usafi Na Hifadhi ya Mazingira ya Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji Tangazo La Serikali Na. 212 (Linaendelea) (c) kuwa na kadi ya mfugo au mifugo itakayoonyesha idadi na aina ya mifugo aliyonayo; (d) kupeleka mfugo au mifugo katika josho kama atakavyoagizwa na Halmashauri; (e) kuchangia gharama za ukarabati wa josho kama sehemu ya mchango wake, pale itakapobidi kufanya hivyo, na kwa gharama itakayopendekezwa na Halmashauri; (f) kupeleka mfugo au mifugo yake katika vituo itakavyoamriwa na vya Halmashauri, na atalipia chanjo hiyo kama atatakiwa kufanya hivyo; chanjo kama (g) kuchangia gharama za uboreshaji wa maeneo ya malisho yaliyotengwa na Halmashauri; (h) kuweka alama kwenye mfugo au mifugo yake na katika viungo vya mfugo au mifugo vinavyopendekezwa ili kutoharibu zao la ngozi; (i) kuhudhuria mafunzo ya ufugaji kama atakavyohitajiwa na Halmashauri; (j) kutokata miti kwa lengo la kufukuza mbung’o; na (k) kusajili mfugo au mifugo katika rejista ya Kijiji, kuogesha mfugo au mifugo katika majosho kama ratiba itakavyopangwa. Taratibu za Ufugaji - 6 Verify source ↗
(1) Wafugaji wote watatakiwa kuzingatia
AI-assisted research summary: Wafugaji lazima wafuate masharti ya sheria ndogo hii, wapeleke mifugo machinjioni au kwenye huduma husika, na wafunge mbwa wao kwa nyakati zilizoelezwa.
6.-(1) Wafugaji wote watatakiwa kuzingatia masharti ya kufuga kama yalivyo katika Sheria Ndogo hii. (2) Kila mfugaji atatakiwa kupeleka mfugo au mifugo yake machinjioni au mahali huduma hiyo inapopatikana na mtu yeyote hataruhusiwa kuchinja mfugo au mifugo mahali pengine popote ambapo sio machinjio isipokuwa kwa kutoa taarifa kwa Afisa 9 Sheria Ndogo ya Usafi Na Hifadhi ya Mazingira ya Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji Tangazo La Serikali Na. 212 (Linaendelea) Kudhibiti mifugo inayozurura ovyo Mwidhiniwa na atalazimika kulipia gharama za machinjio kwa kuzingatia viwango vilivyoainishwa katika Sheria ndogo hii. (3) Mtu yeyote hataruhusiwa kununua, kuuza au kufanya Biashara ya kubadilishana aina yoyote ya mifugo katika eneo lolote la Halmashauri isipokuwa kwenye minada au magulio yaliyotengwa kwa shughuli hiyo. (4) Mfugaji atawajibika kumfungia mbwa wake kuanzia saa kumi na mbili kamili asubuhi mpaka saa nne kamili usiku na atamfungulia kuanzia saa nne kamili usiku na kumfungia saa kumi na mbili kamili asubuhi. - 7 Verify source ↗
(1)Halmashauri itakamata mfugo au mifugo
AI-assisted research summary: Halmashauri lazima ikamate mifugo inayozurura ovyo ndani ya eneo lake, na inaweza kuiuza kwa mnada baada ya siku saba na idhini ya Mahakama ikiwa mmiliki hajatokea kuichukua.
7.-(1)Halmashauri itakamata mfugo au mifugo yoyote itakayoonekana inazurura ovyo katika eneo la Halmashauri. (2) Mfugo wowote utakaokamatwa mahali pasipostahili utalipiwa faini ya Shilingi elfu ishirini kwa kila mfugo baada ya kulipia gharama hizo mfugaji atarudishiwa mfugo wake. (3) Endapo mfugo uliokamatwa hautachukuliwa na mmiliki ndani ya kipindi cha siku saba tangu kukamatwa, Halmashauri itakuwa na haki ya kuuza kwa mnada mfugo huo baada ya kupata idhini ya Mahakama, na fedha zitakazopatikana zitarejeshwa kwa mmliki wa mfugo huo baada ya kutoa faini inayodaiwa, gharama za kuhifadhi mfugo, gharama ya Mahakama na gharama ya mnada. (4) Bila kuathiri aya ndogo ya (2), Halmashauri kabla ya kuuza mfugo huo kwa mnada itamjulisha mmliki na umma juu ya kusudio hilo. (5) Endapo mifugo atakufa, Halmashauri haitawajibika na ulipaji wa gharama zozote isipokuwa kama kifo hicho kitakuwa kimesababishwa na uzembe wa watumishi wa Halmashauri. au mfugo 10 Sheria Ndogo ya Usafi Na Hifadhi ya Mazingira ya Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji Tangazo La Serikali Na. 212 (Linaendelea) Taratibu za Kilimo Marufuku SEHEMU YA TATU KILIMO NA UHIFADHI WA ARDHI
Part
SEHEMU YA TATU
- 8 Verify source ↗
Mtu yeyote atakayetaka kuendesha shughuli
AI-assisted research summary: Anyone who wants to carry out agricultural activities in the Council area must follow the agricultural procedures issued by the Council, in accordance with the relevant law.
8. Mtu yeyote atakayetaka kuendesha shughuli za kilimo katika Halmashauri atatakiwa kuzingatia taratibu za kilimo kama zitakavyotolewa na Halmashauri kwa kuzingatia sheria husika. - 9 Verify source ↗
(1) Mtu yeyote hatoruhusiwa kulima katika
AI-assisted research summary: Mtu yeyote haruhusiwi kulima kwenye miteremko au karibu na vyanzo vya maji, kutumia ardhi kinyume na matumizi ya kilimo yaliyoidhinishwa, kuchoma shamba bila kibali maalum, au kutupa mabaki ya viuatilifu kwenye maji; Halmashauri lazima isimamie shughuli za kilimo.
9.-(1) Mtu yeyote hatoruhusiwa kulima katika miteremko, au karibu na vyanzo vya maji au kandokando ya mito au mabwawa na maziwa au kufanya litakalo haribu hifadhi ya mazingira. jambo lolote (2) Ni marufuku kwa mtu yeyote kutumia ardhi kinyume na matumizi ya kilimo kama ilivyopangwa na kuidhinishwa na Halmashauri. (3) Ni marufuku kwa mtu yeyote kusafisha shamba kwa ajili ya kilimo kwa njia ya kuchoma moto isipokuwa kwa kibali maalum kutoka Halmashauri. (4) Kibali kitakachotolewa chini ya Sheria Ndogo hii kitakuwa cha maandishi na kitaonyesha jina la mwenye kibali, tarehe na eneo analotaka kuchoma moto. (5) Muda unaotakiwa kuchoma moto chini ya Sheria Ndogo hii ni kuanzia Saa kumi na mbili kamili asubuhi hadi Saa nne kamili asubuhi. (6) Ni wajibu wa Halmashauri kusimamia shughuli za kilimo na kuhakikisha kuwa wanazuia kilimo cha kuhamahama na kuhimiza kilimo cha mzunguko. (7) Ni marufuku kwa mtu yeyote kutupa mabaki ya vifungashio vya viuatilifu au kusafisha vipulizi au kumwaga mabaki ya viuatilifu katika chanzo cha maji au mto. 11 Sheria Ndogo ya Usafi Na Hifadhi ya Mazingira ya Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji Tangazo La Serikali Na. 212 (Linaendelea) Wajibu wa kulinda vyanzo vya maji Kulinda eneo la hifadhi Uchafuzi wa vyanzo vya maji SEHEMU YA NNE HIFADHI YA VYANZO VYA MAJI
Part
SEHEMU YA NNE
- 10 Verify source ↗
(1) Halmashauri itawajibika, kusimamia na
AI-assisted research summary: Halmashauri lazima isimamie na kulinda vyanzo vya maji, ichukue hatua za kisheria dhidi ya waharibifu au wasioshiriki uhifadhi bila sababu ya msingi, na watu hawaruhusiwi kumiliki eneo la chanzo cha maji.
10.-(1) Halmashauri itawajibika, kusimamia na kulinda vyanzo vya maji. (2) Halmashauri itachukua hatua kali za kisheria dhidi ya mtu yeyote atakayeharibu chanzo cha maji au kushindwa kushiriki katika shughuli za kuhifadhi vyanzo vya maji bila sababu ya msingi. (3) Itakuwa ni wajibu wa Halmashauri na jamii husika kupanda miti isiyonyonya maji katika vyanzo vya maji kwa kuzingatia maelekezo ya Afisa Misitu. (4)Mtu yeyote hataruhusiwa kumiliki eneo la chanzo cha maji. - 11 Verify source ↗
Mtu yeyote hataruhusiwa kulima au kukata
AI-assisted research summary: Mtu yeyote haruhusiwi kulima, kukata miti, kuchunga mifugo, au kufanya kitendo chochote kinachoharibu chanzo cha maji na hifadhi ya mazingira ndani ya mita 60 kutoka chanzo cha maji.
11. Mtu yeyote hataruhusiwa kulima au kukata miti au kuchunga mifugo katika umbali wa mita 60 kutoka chanzo cha maji au kufanya jambo lolote linaloharibu kwa namna yoyote chanzo cha maji na hifadhi ya mazingira. - 12 Verify source ↗
(1) Mtu yeyote hatoruhusiwa
AI-assisted research summary: Mtu yeyote haruhusiwi kupeleka maji machafu kwenye vyanzo vya maji au kuweka kitu chenye sumu kwenye maji yanayotumiwa na watu au viumbe hai.
12.-(1) Mtu yeyote hatoruhusiwa- (a) kuelekeza mabomba ya maji machafu kwenye mito, mabwawa, ziwa, visima, mifereji, chemchemi au sehemu yoyote ambayo ni chanzo cha maji kwa ajili ya matumizi ya binadamu na wanyama au viumbe vingine vilivyo hai. (b) kuweka kitu chochote chenye sumu ndani ya maji ambayo yanatumiwa na binadamu au kiumbe chochote hai SEHEMU YA TANO HIFADHI YA MISITU 12 Sheria Ndogo ya Usafi Na Hifadhi ya Mazingira ya Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji Tangazo La Serikali Na. 212 (Linaendelea) Kuchoma au Kusababisha moto Uvunaji miti Wajibu wa kupanda miti
Part
SEHEMU YA TANO
- 13 Verify source ↗
(1) Mtu yeyote hataruhusiwa kuchoma au
AI-assisted research summary: Watu hawaruhusiwi kuchoma au kusababisha moto katika misitu ya Halmashauri; wananchi lazima wazime moto unaoonekana kuwaka katika eneo hilo.
13.-(1) Mtu yeyote hataruhusiwa kuchoma au la iliyoko eneo kusababisha moto katika misitu Halmashauri. (2) Ni wajibu wa kila mwananchi kuzima moto ambao utaonekana kuwaka katika eneo la Halmashauri yenye kuleta viashiria vya hatari. (3) Kila mkazi wa eneo hilo atawajibika kushiriki katika zoezi la kuzima moto endapo atatakiwa kufanya hivyo, kama atashindwa kushiriki katika zoezi la kuzima moto bila sababu ya msingi atakuwa ametenda kosa. - 14 Verify source ↗
(1)Mtu yeyote hataruhusiwa
AI-assisted research summary: Mtu yeyote hapaswi kukata au kuvuna miti bila kibali au ukiwa ni miti iliyohifadhiwa; na mtu anayetaka kuvuna kwa mkaa, mbao au kuni lazima awe na eneo lililoidhinishwa na alipe ada ya uvunaji.
14.-(1)Mtu yeyote hataruhusiwa- (a) kukata miti katika eneo la Halmashauri kwa ajili ya matumizi ya aina yoyote bila kupata kibali; au (b) kuvuna miti ambao umehifadhiwa kwa ajili ya viumbe maalumu ambao ni rasilimali ya Taifa. katika msitu (2) Halmashauri itatakiwa kuhakiki kama miti inayovunwa imekomaa na inafaa kwa ajili ya matumizi. (3) Mtu yoyote anaetaka kuvuna miti kwa ajili ya kuchoma mkaa, mbao au kuni atatakiwa kuwa na eneo maalum lililoidhinishwa na Halmashauri kwa ajili ya kazi hiyo na atatakiwa kulipa ada ijulikanayo kama ada ya uvunaji miti kwa kiwango kilichoainishwa kwenye Jedwali.
Part
Jedwali.
- 15 Verify source ↗
Itakuwa ni wajibu wa
AI-assisted research summary: Wakazi ndani ya eneo la Halmashauri na wamiliki wa majengo ya makazi au biashara lazima wapande na watunze miti katika maeneo yao.
15. Itakuwa ni wajibu wa: (a) kila mkazi ndani ya eneo la Halmashauri, kupanda na kutunza miti katika eneo lake, makazi au mashamba shamba yake, anayoyamiliki; (b) kila mmiliki wa jengo la makazi au biashara, kutunza na kupanda miti katika eneo lake. 13 Sheria Ndogo ya Usafi Na Hifadhi ya Mazingira ya Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji Tangazo La Serikali Na. 212 (Linaendelea) Tathimini ya athari kwa mazingira na jamii Uhifadhi wa mazingira ya mto/bwawa na udhibiti wa rasilimali zake - 16 Verify source ↗
(1) Miradi yote inayotekelezwa ndani ya
AI-assisted research summary: Projects in the council area must not proceed without an environmental impact assessment, and project proponents must pay the council 10% of the environmental impact assessment cost as an inspection and supervision fee.
16.-(1) Miradi yote inayotekelezwa ndani ya Halmashauri haitaaendelezwa bila kufanyiwa tathmini ya athari ya mazingira. (2) Kila mpendekezaji wa mradi atawajibika kulipa Halmashauri asilimia kumi ya gharama ya tathimini ya athari za mazingira kama ada ya ukaguzi na usimamizi wa mradi husika. - 17 Verify source ↗
Mtu yeyote hataruhusiwa
AI-assisted research summary: Mtu yeyote haruhusiwi kutumia njia fulani za uvuvi, kuvulia kwenye baadhi ya maeneo ya maji, kuvua bila leseni, au kutumia chombo cha uvuvi kisicho na usajili na leseni.
17. Mtu yeyote hataruhusiwa- (a) kutumia uvuvi wa juva, baruti, sumu au mkuki; (b) kuvulia nyavu kwenye maji mafupi au kwenye miamba; (c) kuvua, kuokota, kuchukua au kufanya kitendo chochote kwenye maeneo tengefu ya samaki isipokuwa kwa kibali maalum cha Halmashauri; (d) kuvua samaki bila kuwa na leseni ya uvuvi; na (e) kutumia chombo cha uvuvi kisichokuwa na namba za usajili pamoja na leseni ya chombo hicho. Usafi na hifadhi ya Ziwa Tanganyika - 18 Verify source ↗
(1) Halmashauri
AI-assisted research summary: Halmashauri lazima iandae utaratibu wa kutunza na kusafisha fukwe na mialo; pia watu hawaruhusiwi kufanya shughuli kadhaa katika maeneo hayo na kandokando ya Ziwa Tanganyika bila kufuata masharti yaliyotajwa.
18.-(1) Halmashauri itaweka utaratibu wa kutunza na kusafisha fukwe na mialo katika maeneo ya pwani ya Ziwa Tanganyika. (2) Mtu yoyote hataruhusiwa- (a) kufanya shughuli za biashara katika maeneo fukwe na mialo bila kibali cha ya Halmashauri; (b) kutiririsha maji machafu au Kemikali au mafuta au kutupa taka ya aina yoyote katika maeneo fukwe au ndani ya Ziwa Tanganyika; (c) kuosha magari au pikipiki au mitambo ya za Ziwa aina yoyote katika fukwe 14 Sheria Ndogo ya Usafi Na Hifadhi ya Mazingira ya Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji Tangazo La Serikali Na. 212 (Linaendelea) Tanganyika ; (d) kulima, kuosha vyombo vya majumbani, kufua, au kufanya shughuli zote za isipokuwa zinazohusiana na kibinadamu uvuvi ndani ya mita 60 kutoka kingo za Ziwa Tanganyika. (e) kuvua samaki, kwa kutumia mabomu, kemikali au mbinu zisizoruhusiwa kisheria; (f) kuchimba mchanga au udongo kwenye maeneo ya fukwe au maeneo yaliyomo ndani ya mita sitini kutoka katika kingo ya ziwa; au (g) kufanya shughuli yoyote itakayoathiri au inayoweza kuathiri mazingira na usalama wa Ziwa Tanganyika, samaki na viumbe wengine hai. SEHEMU YA SITA USIMAMIZI WA TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA Usafi wa mazingira
Part
SEHEMU YA SITA
- 19 Verify source ↗
Kila mkazi au mfanyabiashara anayemiliki
AI-assisted research summary: Wamiliki wa nyumba au maeneo ya biashara lazima waweke maeneo yao safi na kudumisha udhibiti wa taka, mifereji na vyoo.
19. Kila mkazi au mfanyabiashara anayemiliki jengo au eneo la biashara atahahakisha kwamba- (a) majani yanayozunguka makazi yanakatwa kuondolewa katika eneo lake lote; lake au au kupaliliwa na jengo (b) taka ngumu zote ikiwa ni pamoja na mifuko ya plastiki zitakusanywa, kuhifadhiwa na kupelekwa katika eneo lililoruhusiwa na Halmashauri; (c) maji taka yanaelekezwa ndani ya mfumo wa maji taka; (d) anaboresha na kupaka rangi jengo lake kila inapochakaa; (e) ana choo kilicho bora na kisafi wakati wote; (f) anashiriki siku ya usafi ya Jumamosi ya kila mwisho wa mwezi; 15 Sheria Ndogo ya Usafi Na Hifadhi ya Mazingira ya Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji Tangazo La Serikali Na. 212 (Linaendelea) (g) anaondoa uchafu ikiwemo mchanga, majani, nyasi au vitu vingine vinavyofanana na hivyo katika mfereji wa maji ya mvua inayomzunguka au kupita kando ya nyumba yake au eneo la biashara yake, kiwanja chake na kuhakikisha mifereji hiyo inakuwa safi wakati wote; ambacho (h) hakuna mkusanyiko wa maji machafu, takataka au kitu chochote cha majimaji au kigumu kuathiri upitishaji wa maji ya mvua na hivyo kuruhusu kuwepo kwa mazalia ya mbu au wadudu wengine wenye madhara kwa afya ya binadamu na mazingira kwa ujumla; kinaweza (i) anafanya uchambuzi wa taka; (j) ana chombo imara chenye mfuniko kwa ajili kuhifadhia kabla hazijachukuliwa kwa ajili ya kwenda kutupwa katika eneo lilotengwa kwa ajili ya kuhifadhi taka; ngumu taka (k) anatunza na kuhifadhi vyombo vya na vinavyowekwa taka kuhifadhia Halmashauri; na Ada ya uzoaji taka (l) kwa mfanyabiashara wa wa matunda au miwa, ana chombo maalumu cha kuhifadhia maganda au mabaki ya matunda. - 20 Verify source ↗
(1) Kutakuwa na ada ya uzoaji taka ambayo
AI-assisted research summary: Halmashauri lazima kutoza ada ya uzoaji taka, na mzalishaji wa taka lazima alipe kila tarehe 30 ya mwezi kwa Afisa Mwidhiniwa.
20.-(1) Kutakuwa na ada ya uzoaji taka ambayo itatozwa na Halmashauri kwa lengo la kufanikisha utekelezaji wa shughuli za usimamizi wa mazingira kama ilivyoainishwa kwenye Jedwali la Kwanza. (2) Ada ya uzoaji taka italipwa kila tarehe 30 ya kila mwezi ndani ya mwezi husika na italipwa kwa Afisa Mwidhiniwa ambaye atatoa stakabadhi ya malipo kwa njia ya kieletroniki na atajaza katika rejista ya 16 Sheria Ndogo ya Usafi Na Hifadhi ya Mazingira ya Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji Tangazo La Serikali Na. 212 (Linaendelea) wazalishaji taka. Kutiririsha maji taka Taka za viwanda (3) Endapo mzalishaji wa taka atashindwa kulipia gharama ya huduma ya uzoaji taka kwa kipindi cha miezi miwili mfululizo Halmashauri itamchukulia hatua za kisheria ikiwa ni pamoja na kufikishwa mahakamani. - 21 Verify source ↗
(1) Mtu yeyote hataruhusiwa kutiririsha au
AI-assisted research summary: Mtu yeyote haruhusiwi kumwaga au kuachilia maji taka mahali pasiporuhusiwa; viwanda vinavyozalisha maji taka lazima viwe na miunganisho au mifereji/mabwawa ya kuyahifadhi; na mmiliki wa nyumba lazima awe na karo la kuhifadhi na alisonyeshe maji taka likijaa.
21.-(1) Mtu yeyote hataruhusiwa kutiririsha au kumwaga au kuruhusu au kusababisha kutiririsha au kumwaga maji taka barabarani, uchochoroni kwenye mifereji, mtoni, kwenye vyanzo vya maji au sehemu yoyote isiyotengwa kwa ajili ya kuhifadhi maji taka. (2) Kila kiwanda kinachozalisha maji taka kitakuwa na wajibu wa kuhakikisha kuwa kinaunganisha maji taka au kujenga mifereji na mabwabwa kwa ajili ya kuhifadhi maji taka. (3) Kila mmiliki wa nyumba anatakiwa kuhakikisha kuwa ana karo la kuhifadhi maji taka na atawajibika kunyonya maji taka pale karo la kuhifadhi linapojaa na itakuwa ni marufuku kwa mtu yeyote kuacha karo kujaa na kutiririsha maji taka barabarani au sehemu yoyote isiyoruhusiwa.
Part
sehemu yoyote isiyoruhusiwa.
- 22 Verify source ↗
(1) Ni wajibu wa kila mwenye kiwanda
AI-assisted research summary: Kila mwenye kiwanda lazima ahakikishe taka, vumbi, moshi na uchafu mwingine havisababishi madhara au kero kwa watu na viumbe hai wengine.
22.-(1) Ni wajibu wa kila mwenye kiwanda kuhakikisha kuwa taka kama vile vumbi, maganda, moshi na taka nyingine zinazoweza kuleta kero au adha kwa ujumla haziwafikii wala hazileti madhara kwa binadamu na viumbe hai wengine. (2) Ni wajibu wa kila mwenye kiwanda kuhakikisha marufuku kuwa kiwanda chochote hakitoi au kusababisha kutoa uchafu wa aina yoyote, maji machafu au harufu mbaya, vumbi au kelele na kusababisha kero kwa wakazi. Taka hatarishi - 23 Verify source ↗
Mtu yeyote, wakala au taasisi haitaruhusiwa
AI-assisted research summary: Mtu yeyote, wakala au taasisi hawezi kuendesha uchomaji wa taka hatarishi bila kibali cha Halmashauri.
23. Mtu yeyote, wakala au taasisi haitaruhusiwa kuendesha shughuli za uchomaji wa taka hatarishi bila 17 Sheria Ndogo ya Usafi Na Hifadhi ya Mazingira ya Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji Tangazo La Serikali Na. 212 (Linaendelea) ya kupata kibali kutoka Halmashauri. Ukusanyaji na uzoaji wa taka katika maeneo yenye mkusanyiko wa watu wengi - 24 Verify source ↗
(1) Halmashauri
AI-assisted research summary: Halmashauri must supervise waste collection and removal in markets, institutions, business areas, and other crowded places, with waste collected at designated places and handled by type.
24.-(1) Halmashauri itasimamia shughuli za ukusanyaji na uzoaji wa taka kutoka katika maeneo ya masoko, asasi, maeneo ya biashara, na maeneo mengine yenye watu wengi ambapo taka zitakusanywa sehemu maalum na kuzolewa kulingana na aina ya taka husika. (2) Shughuli za ukusanyaji, uzoaji, urejelezaji na taka zinaweza kufanywa na kadiri au wakala wake tena wa kwa utumiaji Halmashauri watakavyokubaliana. Taka za hospitali - 25 Verify source ↗
Ukusanyaji, uhifadhi na uteketezaji wa taka
AI-assisted research summary: Hospital waste and expired medicines must be collected, stored, and destroyed according to procedures set by law, regulations, and health-service guidelines.
25. Ukusanyaji, uhifadhi na uteketezaji wa taka za hospitali na dawa zilizofikia ukomo wa matumizi utafanyika kutokana na taratibu zilizowekwa na Sheria, Kanuni na miongozo mbalimbali ya utoaji wa huduma za afya. Udhibiti wa taka gesi - 26 Verify source ↗
Halmashauri itadhibiti uzalishwaji wa taka
AI-assisted research summary: Halmashauri must control waste-gas production by setting aside special construction areas away from homes, educating on house design with enough ventilation space, and banning use of manure inside homes for cooking fuel.
26. Halmashauri itadhibiti uzalishwaji wa taka gesi kwa- (a) kutenga maeneo maalum ya ujenzi wa taka gesi eneo viwanda vinavyozalisha lililopo mbali na Makazi ya watu; (b) kutoa elimu ya ujenzi wa nyumba za makazi zenye nafasi wazi za kutosheleza kuingiza na kutoa hewa na kupiga marufuku matumizi ya samadi ndani ya nyumba kama nishati ya kupikia. Wachuuzi wa miwa, matunda na mboga mboga - 27 Verify source ↗
(1) Itakuwa ni wajibu wa kila Mchuuzi wa
AI-assisted research summary: Wachuuzi wa miwa, matunda au mbogamboga lazima wawe na chombo maalum cha kuhifadhia maganda au mabaki ya bidhaa zao, na biashara ya bidhaa hizo hairuhusiwi pembeni mwa barabara au maeneo yasiyoruhusiwa.
27.-(1) Itakuwa ni wajibu wa kila Mchuuzi wa miwa, matunda au mbogamboga kuhakikisha kuwa ana chombo maalum cha kuhifadhia maganda au mabaki ya bidhaa zake. (2) Mtu yeyote hataruhusiwa kufanya biashara ya miwa, matunda au mbogamboga pembeni mwa barabara au katika maeneo yasiyoruhusiwa. 18 Sheria Ndogo ya Usafi Na Hifadhi ya Mazingira ya Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji Tangazo La Serikali Na. 212 (Linaendelea) Udhibiti wa Taka zinazozalishwa kutoka katika vyombo vya usafiri Chukizo au kero Huduma ya maeneo ya kutupa taka - 28 Verify source ↗
(1) Watumiaji wa vyombo vya usafiri binafsi
AI-assisted research summary: Watu wanaotumia au waliomo ndani ya vyombo vya usafiri hawaruhusiwi kutupa taka au kitu chochote nje; taka zitawekwa ndani ya chombo cha kuhifadhia taka kilicho kwenye chombo husika.
28. (1) Watumiaji wa vyombo vya usafiri binafsi au vya umma hawataruhusiwa kutupa taka nje ya vyombo wanavyotumia na taka zote zitawekwa kwenye chombo cha kuhifadhia taka kilichomo kwenye chombo husika. (2) Mtu yeyote akiwa ndani ya gari au mabasi, au chombo chochote cha usafiri hataruhusiwa kutupa nje kitu chochote au taka. - 29 Verify source ↗
(1) Mtu yeyote hataruhusiwa kuweka au
AI-assisted research summary: Mtu yeyote haruhusiwi kuweka, kujenga, au kutelekeza kitu kinachoweza kusababisha kero, uchafu, madhara, kelele, au magonjwa, na pia haruhusiwi kuweka mtambo, mashine, gari, pikipiki, au chombo kingine kinachochafua hewa kwa moshi mzito au mwingi.
29.-(1) Mtu yeyote hataruhusiwa kuweka au kujenga au kutelekeza kitu chochote kinachoweza kusababisha kero au kilicho katika hali ya uchafu ambacho kinaweza kusababisha- (a) madhara kwa maisha ya Binadamu, Wanyama au viumbe hai wengine; (b) adha, kero, chukizo au kelele kwa watu wengine; au (c) magonjwa. (2) Mtu yeyote hataruhusiwa kuweka mtambo au mashine au gari, pikipiki au chombo chochote kinachoweza kuchafua hewa kwa kutoa moshi mzito au mwingi unaosababishwa na uchakavu wa chombo chenyewe. itatenga, - 30 Verify source ↗
(1) Halmashauri
AI-assisted research summary: Halmashauri must build and run solid-waste collection points, may use an agent or partnership for incineration/recycling areas, and residents, owners, or tenants of residential and business areas must pay collection fees set by Halmashauri.
30.-(1) Halmashauri itajenga na kuendesha vitu vya kukusanyia taka ngumu (collection points) maeneo ya kutunza taka kwa muda kabla ya kusafirisha kwenda dampo au dampo la kisasa au eneo la kurejelesha. (2) Halmashauri inaweza kumpa wakala au kuingia ubia katika kujenga na kuendesha maeneo ya kuteketezea au kurejelesha taka ngumu. (3) Wamiliki au wapangaji au wakazi wa maeneo ya makazi na biashara watalipia ada ya ukusanyaji na taka ngumu kwa mujibu wa viwango uzoaji 19 Sheria Ndogo ya Usafi Na Hifadhi ya Mazingira ya Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji Tangazo La Serikali Na. 212 (Linaendelea) vitakavyowekwa na kutangazwa na Halmashauri. Zuio la kufanya shughuli katika madampo - 31 Verify source ↗
Mtu yeyote, taasisi au kikundi hakitaruhusiwa
AI-assisted research summary: Mtu, taasisi, au kikundi haipaswi kufanya shughuli yoyote kwenye maeneo yaliyotengwa kwa kukusanya taka, isipokuwa kama ina kibali maalum kutoka Halmashauri.
31.Mtu yeyote, taasisi au kikundi hakitaruhusiwa kufanya shughuli yoyote katika maeneo yaliyotengwa kwa ajili ya kukusanyia taka isipokuwa kwa kibali maalum kitakachotolewa na Halmashauri. Uhifadhi maji taka - 32 Verify source ↗
(1)Kila mmiliki wa nyumba atahakikisha
AI-assisted research summary: House owners must have a wastewater storage tank and empty it when it becomes full. No one may release wastewater or feces into storm drains, swamps, or other unauthorized flowing water, especially during rain.
32.-(1)Kila mmiliki wa nyumba atahakikisha kuwa ana karo la kuhifadhi maji taka na atawajibika kunyonya maji taka pale karo linapojaa. (2) Mtu yeyote hataruhusiwa kufungulia na kutiririsha maji taka au kinyesi kutoka chooni au sehemu yoyote wakati wa mvua au wakati wowote kwenye mifereji ya maji ya mvua, mabonde au maji yoyote sehemu yanayotembea isiyoruhusiwa. nyingine au Wajibu wa kuwa na choo na kukitumia Vyoo vya umma
Part
sehemu yoyote wakati wa mvua au wakati wowote
- 33 Verify source ↗
(1) Kila mmiliki wa nyumba au mpangaji
AI-assisted research summary: Mmiliki wa nyumba au mpangaji lazima ahakikishe nyumba ina choo safi na imara, pamoja na sehemu ya kunawia mikono yenye maji safi na sabuni ya kimiminika.
33.-(1) Kila mmiliki wa nyumba au mpangaji atahakikisha kwamba- (a) nyumba yake ina choo safi, imara kwa matumizi ya wakazi wa nyumba hiyo; na (b) anaweka sehemu maalum ya kunawia mikono ikiwa na maji safi na sabuni maalum ya kimiminika. (2) Choo kinatakiwa kijengwe umbali wa mita sitini kutoka chanzo chochote cha maji.
Part
sehemu maalum ya kunawia
- 34 Verify source ↗
(1) Halmashauri inaweza kujenga choo cha
AI-assisted research summary: Halmashauri inaweza kujenga choo cha umma au kuruhusu wengine kukijenga katika maeneo inayoona yanafaa; vyoo vinavyojengwa chini ya sheria ndogo hii lazima viwe vya kudumu.
34.-(1) Halmashauri inaweza kujenga choo cha umma au kumruhusu mtu binafsi, vikundi vya watu au taasisi kujenga vyoo vya umma katika maeneo ambayo Halmashauri itaona inafaa. (2) Vyoo vitakavyojengwa kwa mujibu wa Sheria Ndogo hii vitatakiwa kiwe cha kudumu na- (a) matundu yasiyopungua mawili wanawake na mawili kwa wanaume; kwa (b) mfumo madhubuti wa maji na uwepo wa 20 Sheria Ndogo ya Usafi Na Hifadhi ya Mazingira ya Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji Tangazo La Serikali Na. 212 (Linaendelea) maji ya kutosha yaliyo safi na salama; (c) kuwepo na chombo cha kuhifadhia maji ya akiba; (d) kuwepo kwa bafu ya wanaume na wanawake; (e) kuwepo na sehemu ya haja ndogo kwa wanaume; na (f) kuwepo na chombo maalumu chenye mfuniko cha kuhifadhia taka zisizoweza kusukumwa na maji. Vyoo vya muda katika mikusanyiko - 35 Verify source ↗
Ni wajibu wa mtu yeyote, kikundi au taasisi
AI-assisted research summary: Mtu, kikundi au taasisi inayokusanya watu kwa mkutano, sherehe au mkusanyiko lazima ijenge au iweke vyoo vya muda ikiwa eneo halina choo cha kudumu, na iombe idhini kutoka Halmashauri.
35. Ni wajibu wa mtu yeyote, kikundi au taasisi yenye lengo la kukusanya watu kwa madhumuni ya mkutano au sherehe au mkusanyiko wowote kuweka au kujenga vyoo vya muda endapo eneo hilo hakuna choo cha kudumu na atatakiwa kuomba idhini kutoka Halmashauri. Vyoo katika majengo ya biashara - 36 Verify source ↗
Kila mmiliki wa jengo la biashara atatakiwa
AI-assisted research summary: Mmiliki wa jengo la biashara lazima ajenge vyoo vinavyokubalika kwa ajili ya wateja wake.
36. Kila mmiliki wa jengo la biashara atatakiwa kujenga vyoo vyenye viwango vinavyokubalika chini ya Sheria Ndogo hii kwa ajili ya matumizi ya wateja wake kwa kuzingatia jinsi zote. Udhibiti wa ubebaji kokoto, mawe na mchanga - 37 Verify source ↗
Mtu yeyote atakayesafirisha mawe, mchanga
AI-assisted research summary: Anyone transporting stones, sand, or gravel in a council area must cover the transport container.
37. Mtu yeyote atakayesafirisha mawe, mchanga au kokoto katika eneo la Halmashauri atahakikisha kuwa chombo anachotumia kusafirisha kimefunikwa ili kuzuia kumwagika na kuchafua mazingira. Mabaki ya ujenzi - 38 Verify source ↗
Mtu yeyote hataruhusiwa kubomoa au
AI-assisted research summary: Mtu yeyote haruhusiwi kubomoa au kusababisha kubomoka kwa jengo au sehemu ya jengo bila kutoa taarifa ya maandishi kwa Halmashauri siku 7 kabla.
38. Mtu yeyote hataruhusiwa kubomoa au kusababisha kubomoka kwa jengo au sehemu ya jengo bila kutoa taarifa ya maandishi kwa Halmashauri siku saba kabla ya kubomoa jengo. Maegesho na matengenezo ya magari na mitambo - 39 Verify source ↗
(1) Matengenezo ya magari, pikipiki na
AI-assisted research summary: Mtu yeyote haruhusiwi kuegesha gari bovu, kufanya matengenezo, au kuosha magari/pikipiki/mitambo kwenye barabara, hifadhi ya barabara, njia za waenda kwa miguu, mitaa, maeneo ya wazi, kando ya mito au maziwa, au sehemu nyingine ambazo hazijatengwa kwa shughuli hizo.
39.-(1) Matengenezo ya magari, pikipiki na mitambo yatatakiwa kufanyika katika karakana, gereji au maeneo maalum yaliyoruhusiwa na Halmashauri. 21 Sheria Ndogo ya Usafi Na Hifadhi ya Mazingira ya Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji Tangazo La Serikali Na. 212 (Linaendelea) Udhibiti wa wadudu waharibifu na waenezao magonjwa Usafi wa machinjio na maduka ya nyama Siku ya usafi wa mazingira (2) Mtu yeyote hatoruhusiwa kuegesha gari bovu, au kufanya matengenezo, au kuosha gari, pikipiki, au mtambo wowote kwenye eneo la Barabara, hifadhi ya Barabara, njia ya waenda kwa miguu, mtaa, maeneo ya wazi, kando ya mito au maziwa, au eneo lolote ambalo halikutengwa kwa shughuli za aina hizo. - 40 Verify source ↗
(1) Kila mmiliki wa nyumba au jengo lolote
AI-assisted research summary: Owners of houses or buildings must prevent standing water, wastewater, garbage, or other breeding places for harmful insects, and anyone planning to spray insecticide or pesticide must give written notice to the council.
40.-(1) Kila mmiliki wa nyumba au jengo lolote atahakikisha kuwa hakuna mkusanyiko wa maji yaliyotuama, maji machafu, takataka, au kitu kingine chochote kinachoweza kuruhusu kuwepo kwa mazalia ya mbu au wadudu wengine wenye madhara ya afya binadamu. (2) Mtu yeyote anayetaka kupulizia dawa ya kuua wadudu au wanyama waharibifu katika nyumba, jengo au mahali popote atalazimika kutoa taarifa ya maandishi kwa Halmashauri. - 41 Verify source ↗
(1) Halmashauri itafanya ukaguzi wa mara
AI-assisted research summary: Halmashauri must regularly inspect slaughterhouses and ensure hygiene and sanitation requirements are met. Butcher and fish shop workers must operate in clean premises and wear clean white clothing with their heads covered.
41.-(1) Halmashauri itafanya ukaguzi wa mara kwa mara katika machinjio na kuhakikisha kuwa machinjio zimetengenezwa kwa kiambaza cha saruji, mifugo inachinjwa katika machinjio hizo, upatikanaji wa huduma ya maji safi, na kutengwa maeneo maalumu ya kukusanyia taka. (2) Wahudumu wa bucha za nyama na samaki watatakiwa kufanya biashara katika bucha zilizo katika hali ya usafi na watatakiwa kuvaa nguo safi nyeupe na kufunika vichwa kwa kofia. - 42 Verify source ↗
(1) Halmashauri
AI-assisted research summary: Halmashauri lazima itenge siku maalum ya usafi wa mazingira, na kila mtu aendelee kufanya usafi wa kila siku katika eneo lake.
42.-(1) Halmashauri itatenga siku maalum itakayojulikana kuwa ni siku ya usafi wa mazingira ambapo watu wote watashiriki katika kufanya usafi wa maeneo ya umma na makazi. (2) Siku hii inaweza kutumika kama siku maalum ya kutoa elimu ya usafi na mazingira kwa umma na kutoa tuzo kwa mtu yeyote, taasisi au Asasi 22 Sheria Ndogo ya Usafi Na Hifadhi ya Mazingira ya Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji Tangazo La Serikali Na. 212 (Linaendelea) Uwezo wa kukagua Uanzishwaji wa Vikundi Jamii Ilani ya kujenga au kurekebisha choo Ilani ya kuondoa kero ambayo imeshiriki vyema katika usafi na utunzaji wa mazingira. (3) Bila kuathiri masharti ya aya ndogo ya (1), kila mtu ataendelea kutekeleza wajibu wa kufanya usafi wa kila siku katika eneo lake. - 43 Verify source ↗
(1) Afisa Mwidhiniwa atakuwa na uwezo wa
AI-assisted research summary: Afisa Mwidhiniwa anaweza kuingia katika jengo lolote wakati wa saa za kazi au wakati wowote inapohitajika kwa ukaguzi maalumu, na Mkurugenzi anaweza kuamuru kufungwa kwa biashara au jengo lisilokaguliwa au lililokiuka masharti ya afya.
43.-(1) Afisa Mwidhiniwa atakuwa na uwezo wa kuingia katika jengo lolote wakati wowote wakati wa saa za kazi na wakati wowote inapotakiwa kufanyika kwa ukaguzi maalumu kukagua utekelezaji wa Sheria Ndogo hii. (2) Mkurugenzi atakuwa na uwezo wa kuagiza kufungwa kwa biashara yoyote au jengo ambalo halijakaguliwa au lililokaguliwa na kukutwa limekiuka kanuni na masharti ya afya. itakuwa na - 44 Verify source ↗
Halmashauri
AI-assisted research summary: Halmashauri lazima ihamasishe uundaji na utambuzi wa vikundi vya jamii ili viweze kufanya udhibiti wa taka ngumu na usafi wa mazingira, baada ya kuingia mkataba na Halmashauri.
44. Halmashauri la kuhamasisha uundaji wa vikundi jamii na kuvitambua ili kuviwezesha kufanya shughuli za udhibiti wa taka ngumu pamoja na usafi wa mazingira baada ya kuingia mkataba na Halmashauri. jukumu - 45 Verify source ↗
Endapo katika ukaguzi wa afya itagundulika
AI-assisted research summary: If a health inspection finds that a house has no toilet, the toilet is full, or it is unfit for human use, the authorized officer must issue a notice to the owner or occupier.
45. Endapo katika ukaguzi wa afya itagundulika kuwa nyumba yoyote haina choo au choo kilichopo kimejaa au hakifai kwa matumizi ya binadamu, Afisa Mwidhiniwa atatoa ilani kama ilivyoainishwa katika Jedwali la Pili kwa mmiliki wa nyumba au mpangaji akiainisha masharti ya kurekebisha hali hiyo.
Part
Jedwali la Pili kwa mmiliki wa nyumba au mpangaji
- 46 Verify source ↗
(1) Endapo Afisa Mwidhiniwa atagundua
AI-assisted research summary: Ukaguzi ukibaini kero, Afisa Mwidhiniwa lazima ato e ilani ya siku 7 kwa mhusika aondoe kero; mtu anayeshindwa kutekeleza masharti ya ilani atakuwa ametenda kosa.
46.-(1) Endapo Afisa Mwidhiniwa atagundua kuwa eneo alilokagua lina kero yoyote atatoa ilani ndani kama ilivyoainishwa katika Jedwali la Tatu ya siku saba kwa mmiliki wa nyumba, mpangaji, mtumiaji au mtu yeyote anayehusika akimtaka kuondoa kero hiyo. (2) Mtu yeyote atakayeshindwa kutekeleza masharti ya ilani aliyopewa ndani ya muda ulioainishwa 23 Sheria Ndogo ya Usafi Na Hifadhi ya Mazingira ya Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji Tangazo La Serikali Na. 212 (Linaendelea) kwenye ilani atakuwa ametenda kosa. Uteuzi wa wakala - 47 Verify source ↗
(1) Halmashauri itakuwa na mamlaka ya
AI-assisted research summary: Halmashauri inaweza kuteua wakala wa kukusanya ada; wakala aliyeteuliwa lazima akusanye na kuwasilisha ada kwa masharti ya Sheria Ndogo na mkataba wake.
47.-(1) Halmashauri itakuwa na mamlaka ya kuteua wakala wa kukusanya ada kwa niaba yake kwa mujibu wa Sheria Ndogo hii. (2) Wakala atakayeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hii - Halmashauri, (a) atakuwa na wajibu wa kukusanya, kwa niaba ya mbalimbali zinazohusiana na afya, usafi na usimamizi wa mazingira, katika eneo lake alilopangiwa na kwa viwango vilichoidhinishwa chini ya Sheria Ndogo hii; ada (b) atakusanya ada kwa kutumia mfumo wa kielekitroniki na kuwasilisha makusanyo yote kwa kuzingatia masharti ya mkataba wa uwakala alioingia na Halmashauri; na (c) Atatekeleza majukumu yake kwa kuzingatia masharti ya mkataba. SEHEMU YA SABA MAKOSA NA ADHABU Makosa
Part
SEHEMU YA SABA
- 48 Verify source ↗
Mtu yeyote atakuwa ametenda kosa iwapo
AI-assisted research summary: Mtu yeyote anatenda kosa akitupa au kumwaga taka/uchafu, kuchafua maeneo, kuingilia afisa mwidhiniwa, kufanya shughuli au matumizi yaliyoorodheshwa bila kibali, au kuharibu maeneo ya maji na misitu.
48. Mtu yeyote atakuwa ametenda kosa iwapo- (a) atatupa taka au uchafu wowote au kuacha takataka au uchafu kwenye nyumba, kiwanja, mfereji wa maji ya mvua, barabara au eneo linalopakana na nyumba yoyote au ardhi yoyote au karibu na maeneo ya nyumba au mahali popote pasipotengwa kwa shughuli hiyo. (b) atamzuia au kujaribu atamshawishi mtu au kundi la watu kumzuia Afisa Mwidhiniwa asitekeleze wajibu wake chini ya Sheria Ndogo hii; kumzuia au 24 Sheria Ndogo ya Usafi Na Hifadhi ya Mazingira ya Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji Tangazo La Serikali Na. 212 (Linaendelea) (c) atamwaga taka barabarani, mtaro wa maji ya mvua, uchochoroni, au mahali popote hadharani lolote katika lisiloruhusiwa; eneo au (d) atatiririsha maji machafu barabarani au katika eneo la nyumba ya jirani; (e) ataacha nyumba anayoishi au kumiliki au kufanyia shughuli zake katika hali ya uchafu yenye kuleta kero au chukizo; (f) ataacha chombo cha usafiri katika hali ya uchafu; (g) ataendesha shughuli za viwanda katika maeneo ya wazi, makazi, barabarani, uchochoroni, au katika maeneo yasiyotengwa kwa shughuli hizo bila kuzingatia taratibu za mipango miji; (h) ataenda haja ndogo au kubwa hovyo barabarani, uchochoroni, upenuni; (i) atafanya biashara ya kuosha gari, pikipiki au mtambo wowote katika eneo la makazi, eneo la wazi au eneo ambalo halikutengwa kwa lake shughuli hiyo au kuruhusu eneo kutumika kwa shughuli za kuosha vyombo vya moto ambayo hayakutengwa kwa shughuli hizo bila kupata kibali rasmi kutoka Halmashauri; katika maeneo (j) ataingiza mfugo au mifugo katika eneo la Halmashauri bila kibali; (k) atasafirisha mfugo au mifugo bila kuwa na kibali; (l) atalisha mfugo au mifugo katika maeneo yasiyoruhusiwa; (m) atavua samaki kwa kutumia sumu au nyavu zenye matundu madogo (kokoro); (n) ataharibu chanzo cha maji au kushindwa 25 Sheria Ndogo ya Usafi Na Hifadhi ya Mazingira ya Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji Tangazo La Serikali Na. 212 (Linaendelea) kushiriki katika shughuli za kuhifadhi vyanzo vya maji atakuwa ametenda kosa. (o) atabainika kuwa ameweka sumu ya aina yoyote kwa namna yoyote ambayo inaathiri maisha ya binadamu na viumbe hai wengine ambao ni rasilimali ya Taifa atakuwa ametenda kosa. (p) atafyeka nyasi, kung’oa vichaka na kung’oa visiki kwenye misitu bila kibali; (q) atachunga mifugo kwenye eneo lolote iliyohifadhiwa kama lililopandwa miti, bustani ya miti, msitu ya asili au iliyopandwa kwa ajili ya hifadhi; (r) atakata miti au kuchungia mifugo kwenye iliyopandwa kwa ajili ya kuzuia miti mmomonyoko wa udongo au kinga upepo; (s) atabandua magome ya miti kwa ajili ya kutengeneza vilindo, mzinga na vitu vingine bila ya kuwa na kibali; au (t) atalima au kukata miti katika vyanzo vya maji, milima, kando ya njia, makorongo na sehemu nyingine zozote zinazohifadhiwa ili kupunguza mmomonyoko wa udongo. Adhabu
Part
sehemu nyingine zozote zinazohifadhiwa ili
- 49 Verify source ↗
Mtu yeyote atakayekiuka masharti ya Sheria
AI-assisted research summary: Anyone who breaches the by-law commits an offence and, if convicted, can be fined up to 300,000 shillings, imprisoned for up to 12 months, or both.
49. Mtu yeyote atakayekiuka masharti ya Sheria Ndogo hii atakuwa ametenda kosa na akipatikana na hatia atatozwa faini isiyozidi shilingi laki tatu au kifungo kisichozidi miezi kumi na mbili jela au vyote kwa pamoja. kufililisha kosa - 50 Verify source ↗
Mkurugenzi atakuwa na uwezo wa kufililisha
AI-assisted research summary: Mkurugenzi anaweza kumtoza mkosaji Shilingi laki mbili ili kufililisha kosa, ikiwa mkosaji anakiri kosa, anakamilisha fomu maalum ya Jedwali la Nne, na analipa ada au ushuru unaodaiwa.
50. Mkurugenzi atakuwa na uwezo wa kufililisha kosa kwa kumtoza mtu yeyote aliyetenda kosa kwa mujibu wa Sheria Ndogo hii kiasi cha Shilingi laki mbili endapo mkosaji atakiri kosa na kuwa tayari kujaza 26 Sheria Ndogo ya Usafi Na Hifadhi ya Mazingira ya Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji Tangazo La Serikali Na. 212 (Linaendelea) fomu maalum iliyoainishwa katika Jedwali la Nne na kulipa ada au ushuru anaodaiwa. ______________ JEDWALI LA KWANZA __________________ (Limetengenezwa chini ya aya ya 20(1)) ADA YA KUZOA TAKA Namba. Aina ya biashara Viwango vya Ada
Part
JEDWALI LA KWANZA
- 24 Verify source ↗
Section 24
AI-assisted research summary: This section lists monthly fees for different types of premises and businesses.
24. 5,000/= kwa mwezi Makazi (Kaya) 10,000/= kwa mwezi Mgahawa mkubwa 10,000/= kwa mwezi Zahanati (taka zisizo hatari) 15,000/ kwa mwezi Kituo cha afya (taka zisizo hatari) 30,000/= kwa mwezi Hospitali 70,000/= Kwa mwezi Hospitali ya rufaa 20,000/= kwa mwezi Kiwanda cha kuuza mbao 5,000/= kwa mwezi Fundi seremala 5,000/= kwa mwezi Fundi chuma 20,000/= kwa mwezi Karakana 20,000/= kwa mwezi Kiwanda kidogo 200,000/= kwa mwezi Kiwanda kikubwa 20,000/= kwa mwezi Duka la jumla Duka la rejereja/huduma 5,000/= kwa mwezi Shule ya Msingi ya Bweni (binafsi) 20,000/= kwa mwezi 10,000/= kwa mwezi Shule ya msingi ya kutwa (binafsi) 15,000/= kwa mwezi Shule ya Sekondari ya kutwa (binafsi) Shule ya Sekondari ya Bweni (binafsi) Kituo cha kulelea watoto 30,000/= kwa mwezi 5,000/= kwa mwezi Kituo cha kutunzia watu wenye mahitaji maalum Duka dogo la chakula Duka kubwa la chakula Baa Klabu ya usiku 5,000/= kwa mwezi 5,000/= kwa mwezi 10,000/= kwa mwezi 10,000/= kwa mwezi 20,000/= kwa mwezi 27 Sheria Ndogo ya Usafi Na Hifadhi ya Mazingira ya Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji Tangazo La Serikali Na. 212 (Linaendelea) - 50 Verify source ↗
Section 50
AI-assisted research summary: Sehemu hii inaonyesha ada/ushuru wa kila mwezi kwa biashara mbalimbali na mifano ya ilani za kutaka kujenga choo au kuondoa kero. Inataja pia kuwa kushindwa kutekeleza maelekezo ya ilani kunaweza kusababisha hatua kali za kisheria.
50. Kumbi za Sherehe Duka la kuuza nyama na samaki 30,000/= kwa mwezi 10,000/= kwa mwezi Duka la dawa (Jumla na Rejareja) Duka la dawa (Rejareja) Kiwanda kidogo kwa trip zisizozidi 4 kwa mwezi Dobi mdogo Dobi mkubwa Fundi wa vifaa vya umeme Fundi kushona kwa kila cherehani Saluni Kituo cha kuuza mafuta Stoo Ghala 20,000/= kwa mwezi 10,000/= kwa mwezi 50,000/= Kwa mwezi 2,000/= kwa mwezi 10,000/= kwa mwezi 5,000/= kwa mwezi 3,000/= kwa mwezi 10,000/= kwa mwezi 30,000/= kwa mwezi 5,000/= kwa mwezi 30,000/= kwa mwezi Hoteli: (a) ya kitalii (b) ya kawaida (c) nyumba ya kulala wageni 100,000/= kwa mwezi 50,000/= kwa mwezi 20,000/= kwa mwezi 100,000/= kwa mwezi 2,000/= kwa mwezi 10,000/= kwa mwezi 5,000/= kwa mwezi 20,000/= kwa mwezi 2,000/= kwa mwezi 1,000/= kwa mwezi 10,000/= kwa mwezi 5,000/= kwa mwezi 20,000/= kwa Mwezi 10,000/= kwa mwezi 100,000/= kwa mwezi 3,000/= kwa kila muhudumu kila baada ya miezi mitatu (Guest house) Taasisi kilabu ya pombe ya asili Dahalia Kituo cha michezo Uwanja wa michezo Washona viatu: Katikati ya mji Pembezoni mwa mji Stoo za mkaa Mama lishe/Baba lishe Duka la kuuza Magari Vituo vya kuoshea magari Mashamba makubwa ya maua, kahawa na mazao mengine. Kupima afya Wahudumu wa Migahawa, Hotel, Nyumba za kulala wageni, shule, Baa na Vilabu vya pombe; 28 Sheria Ndogo ya Usafi Na Hifadhi ya Mazingira ya Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji Tangazo La Serikali Na. 212 (Linaendelea) ___________ JEDWALI LA PILI ____________ (Limetengenezwa chini ya aya ya 45)(2)) ILANI YA KUJENGA CHOO Ilani hii imetolewa kwa mujibu wa aya ya 45 cha Sheria Ndogo ya Usafi na Hifadhi ya Mazingira) ya Halmashauri ya Manispaa Kigoma/Ujiji, ya Mwaka 2024. SEHEMU ‘A’ Ndugu…………………........wa Mtaa/Kijiji…………Kata ya…………Unaarifiwa kwamba katika ukaguzi uliofanyika Tarehe……mwezi………..mwaka….Katika nyumba yako ya Biashara/kuishi/kutolea Huduma ya …………………….. iliyopo katika eneo la ………………katika Kitongoji/Mtaa*………. Kijiji cha……………Kata ya…………. Imekutwa haina choo/ choo kimejaa/kimeharibika* hivyo unaamriwa kutekeleza mambo yafuatayo:- (1) …………………………………………………………………………… (2) …………………………………………………………………………… SEHEMU ‘B’ Unapewa muda wa siku thelathini (30) tu tangu siku ya kupokea ilani hii kutekeleza maelekezo yote yaliyoelezwa katika sehemu ‘A’ ya Ilani hii, SEHEMU ‘C’ Ukaguzi wa utafanyika tarehe………………. endapo utashindwa kutekeleza maelekezo ndani ya muda uliopewa Halmashauri itakuchukulia hatua kali za kisheria bila kukupa taarifa nyingine. utekelezaji wa maelekezo kuthibitisha uliyopewa .................................................... JINA: Afisa Muidhiniwa. IMETOLEWA NA:- Jina: ............................ Sahihi: ....................... Wadhifa: ................... Tarehe:...................... IMEPOKELEWA NA:- Jina: ............................. Sahihi: .......................... Wadhifa: ....................... Tarehe: ......................... 29 Sheria Ndogo ya Usafi Na Hifadhi ya Mazingira ya Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji Tangazo La Serikali Na. 212 (Linaendelea) _______________ JEDWALI LA TATU ________________ Limetengenezwa chini ya aya ya 46(1) ILANI YA KUONDOA KERO Ilani hii imetolewa kwa mujibu wa Sheria Ndogo za (Afya, usafi na Hifadhi ya mazingira ) za Halmashauri ya Manispaa Kigoma/Ujiji ,2024. SEHEMU “A” Ndugu .................................................... wa S.L.P ..................................unaarifiwa kwamba katika ukaguzi wa ....................................................... uliofanyika tarehe..............mwezi wa ................................... ......................... katika nyumba yako ya ...........................mwaka Biashara/kuishi/kutolea huduma/ kiwanja .......................................... kumekutwa machukizo/kero/Uchafu kama ifuatavyo:- 1)................................................................ 2) ............................................................... 3) ................................................................ iliyopo eneo la SEHEMU “B” Kwa ilani hii unaamuriwa kurekebisha /kuondoa/kusafisha kwa:- 1)................................................................ 2) ............................................................... 3) ................................................................ SEHEMU “C” Unapewa muda wa siku .......... tangu siku ya kupokea ilani hii, unatakiwa kutekeleza yote yaliyoelezwa katika sehemu “B” ya ilani hii , kushindwa kwako kutekeleza ndani ya muda uliopewa Halmashauri italazimikakukuchukulia hatua kali za kisheria bila kulazimika kukupa taarifa nyingine. .................................................... JINA: Afisa Muidhiniwa. IMETOLEWA NA:- Jina: ............................ Sahihi: ....................... Wadhifa: ................... Tarehe:...................... IMEPOKELEWA NA:- Jina: ............................. Sahihi: .......................... Wadhifa: ....................... Tarehe: ......................... 30 Sheria Ndogo ya Usafi Na Hifadhi ya Mazingira ya Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji Tangazo La Serikali Na. 212 (Linaendelea) ______________ JEDWALI LA NNE _______________ (Limetengenezwa chini ya aya ya 50) KUFILILISHA KOSA kwamba mnamo Mimi…………………………………………. nakiri KWA HIARI YANGU MWENYEWE mbele ya …………………………ambaye ni Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa tarehe……………ya mwezi……………..Mwaka Kigoma/Ujiji ……………………….nilitenda ya la ………………………cha Sheria Ndogo ya (Usafi na Hifadhi ya Mazingira) ya Halmashauri ya Manispaa Kigoma/Ujiji ya Mwaka 2024. Kwa mamlaka aliyopewa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa Kigoma/Ujiji. niko tayari kulipa kiasi cha Ada au Ushuru ninayodaiwa pamoja na faini. kukiuka masharti kosa aya ya NATHIBITISHA KWAMBA MAELEZO HAPO JUU NI YA KWELI NA NIMEYATOA KWA HIARI YANGU KADRI YA UFAHAMU WANGU Leo Tarehe…ya Mwezi……………Mwaka……. Jina…………………………………..….. Saini…………………………………..…. Mbele ya: Jina…………………………………………. wadhifa……………………………………… Saini……..………………………………….. Tarehe: …………………………………….. Dodoma, ……………., 2024 MOHAMED OMARY MCHENGERWA Waziri wa Nchi - Ofisi ya Rais (Tawala za Mikoa Na Serikali za Mitaa 31 Sheria Ndogo ya Usafi Na Hifadhi ya Mazingira ya Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji Tangazo La Serikali Na. 212 (Linaendelea) Lakiri ya Halmashauri ya Manispaa ya Kigoma ujiji imebandikwa kwenye Sheria Ndogo hizi kufutia azimio lililopitishwa katika kikao cha Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji kilichofanyika Tarehe 04 mwezi 10 Mwaka 2022 MWANTUM H. MGONJA Mkurugenzi Halmashauri ya Mji Mafinga REGNANT Z. KIVINGE Mwenyekiti Halmashauri ya Mji Mafinga NAKUBALI L.S Dodoma, MOHAMED OMARY MCHENGERWA 31 Januari, 2024 Waziri wa Nchi- Ofisi ya Rais (Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa) 32 Sheria Ndogo ya Usafi Na Hifadhi ya Mazingira ya Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji Tangazo La Serikali Na. 212 (Linaendelea) 33
Provision text is displayed from LexChat’s stored statute record. Use the official source links to verify amendments, commencement, and current legal force.
Ask AI about this statute
Sheria Ndogo ya Afya, Usafi na Hifadhi ya Mazingira ya Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji ya Mwaka 2024
Sign in to ask AI about this statute
Sign in to start authenticated, citation-grounded statute research.
Sign in