Sheria Ndogo za Vibali vya Ujenzi za Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga za Mwaka 2024
These By-Laws are to be cited as the Mwanga District Council Building Permits By-Laws, 2024.
AI-assisted research synopsis — verify against the official legal text below.
- Jurisdiction
- Tanzania
- Instrument
- Regulation
- Citation
- Sheria Ndogo za Vibali vya Ujenzi za Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga za Mwaka 2024
- Version
- Undated source snapshot
- Language
- sw
- Official source
- View official record ↗
Statute overview
About this statute
These By-Laws are to be cited as the Mwanga District Council Building Permits By-Laws, 2024. Sheria Ndogo hizi zinatumika katika maeneo yote yaliyo ndani ya mamlaka ya Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga, lakini hazihusishi ujenzi wa majengo ya Serikali au ya Mashirika ya Umma. This section defines key terms used in the by-laws, including fee, authorized officer, council, residential building, commercial building, permit, and director. Mtu haruhusiwi kuanza ujenzi au shughuli zinazohusiana na ujenzi ndani ya Halmashauri bila kibali halali cha ujenzi. An Authorized Officer may enter any premises where construction is taking place to check whether the construction has a permit from the Council, subject to the by-law conditions.
Search within this statute
Search all stored provisions in this version.
Legal text
Provisions of Sheria Ndogo za Vibali vya Ujenzi za Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga za Mwaka 2024
Showing 9 of 9
- 1 Verify source ↗
Sheria Ndogo hizi zitajulikana kama Sheria
AI-assisted research summary: These By-Laws are to be cited as the Mwanga District Council Building Permits By-Laws, 2024.
1. Sheria Ndogo hizi zitajulikana kama Sheria Ndogo za Vibali vya Ujenzi za Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga za Mwaka 2024. - 2 Verify source ↗
Sheria Ndogo hizi zitatumika katika maeneo
AI-assisted research summary: Sheria Ndogo hizi zinatumika katika maeneo yote yaliyo ndani ya mamlaka ya Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga, lakini hazihusishi ujenzi wa majengo ya Serikali au ya Mashirika ya Umma.
2. Sheria Ndogo hizi zitatumika katika maeneo yote yaliyopo katika mamlaka ya Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga na hazitahusisha Ujenzi wa Majengo ya Serikali au Mashirika ya Umma. Tafsiri - 3 Verify source ↗
Katika Sheria Ndogo hizi isipokuwa kama
AI-assisted research summary: This section defines key terms used in the by-laws, including fee, authorized officer, council, residential building, commercial building, permit, and director.
3. Katika Sheria Ndogo hizi isipokuwa kama muktadha utahitaji vinginevyo- “Ada” maana yake fedha kinakachotozwa na Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga; kiwango cha ni “Afisa Mwidhiniwa” maana yake ni afisa wa Halmashauri aliyeidhinishwa na Mkurugenzi kusimamia utekelezaji wa Sheria Ndogo hizi; “Halmashauri” maana yake ni Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga; “jengo la makazi” maana yake ni jengo kwa madhumuni ya shughuli na huduma zisizo za“jengo la biashara” maana yake ni jengo kwa madhumuni ya biashara na shughuli zote zinazoambatana na biashara; kibiashara; “Kibali” maana yake ni ruhusa au ridhaa ya maandishi kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga; na 1 Sheria Ndogo za Vibali vya Ujenzi za Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga Tangazo la Serikali Na.222 (Linaendelea.) Masharti ya ujenzi Uwezo wa kuingia Faini na adhabu “Mkurugenzi” maana yake ni Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga ikijumuisha afisa yoyote wa Halmashauri anayekaimu wadhifa wa Mkurugenzi. - 4 Verify source ↗
(1) Ni marufuku Mtu kuanza ujenzi au
AI-assisted research summary: Mtu haruhusiwi kuanza ujenzi au shughuli zinazohusiana na ujenzi ndani ya Halmashauri bila kibali halali cha ujenzi.
4.-(1) Ni marufuku Mtu kuanza ujenzi au shughuli zozote zinazoambatana na ujenzi ndani ya mamlaka ya Halmashauri bila kupata kibali halali cha ujenzi husika kutoka Halmashauri na Maombi ya kibali cha Ujenzi ni kama yalivyoainishwa katika Jedwali la Pili. (2) Kibali cha ujenzi kitatolewa kwa kuzingatia ramani ya jengo husika kama itakavyowasilishwa katika Halmashauri na mhusika wa ujenzi. (3) Kibali cha ujenzi hakitatolewa kwa Mwombaji wa kibali mpaka atakapokuwa amelipa ada kama ilivyoainishwa katika Jedwali la Kwanza. - 5 Verify source ↗
Bila kuathiri masharti yaliyowekwa na Sheria
AI-assisted research summary: An Authorized Officer may enter any premises where construction is taking place to check whether the construction has a permit from the Council, subject to the by-law conditions.
5. Bila kuathiri masharti yaliyowekwa na Sheria Ndogo hizi, Afisa Mwidhinishwa atakuwa na mamlaka ya kuingia katika kiwanja chochote ambacho ujenzi unafanyika kwa nia ya kujiridhisha kama ujenzi huo umepata kibali kutoka Halmashauri. - 6 Verify source ↗
(1) Mkurugenzi atakuwa na uwezo wa
AI-assisted research summary: Mkurugenzi anaweza kutoza faini kwa mtu anayekiuka masharti ya Sheria Ndogo hizi. Pia, mtu anayejenga bila kibali cha Halmashauri lazima abomoe ujenzi huo kwa gharama zake mwenyewe.
6.-(1) Mkurugenzi atakuwa na uwezo wa kumtoza faini mtu ambaye atabainika kukiuka masharti ya Sheria Ndogo hizi. (2) Mtu atakayebainika kuanza au kuendeleza ujenzi bila ya kibali cha ujenzi kutoka Halmashauri, atawajibika kubomoa ujenzi huo kwa gharama zake mwenyewe. (3) Bila ya kuathiri aya ndogo 1 na 2 ya aya hii, mtu atakayekiuka au kuvunja masharti ya Sheria Ndogo hizi atakuwa ametenda kosa na akipatikana na hatia atatozwa faini isiyopungua shilingi laki mbili na isiyozisi shilingi Milioni Moja au kifungo kisichopungua miezi kumi na mbili na kisichozidi miezi ishirini na nne, au adhabu zote mbili kwa pamoja. Wajibu wa Halmashauri - 7 Verify source ↗
Halmashauri itakuwa na wajibu wa kulipa fidia
AI-assisted research summary: Halmashauri lazima ilipe fidia kwa hasara inayosababishwa na Afisa Mwidhiniwa au afisa mwingine wa Halmashauri wakati wa kutekeleza Sheria Ndogo hizi, ikiwa hasara hiyo imetokana na uzembe au kitendo cha makusudi.
7. Halmashauri itakuwa na wajibu wa kulipa fidia kwa hasara yoyote itakayosababishwa na Afisa Mwidhiniwa au Afisa yoyote wa Halmashauri kutokana 2 Sheria Ndogo za Vibali vya Ujenzi za Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga Tangazo la Serikali Na.222 (Linaendelea.) na uzembe au kwa makusudi wakati wa utekelezaji wa Sheria Ndogo hizi. Kufifilisha Kosa - 8 Verify source ↗
Mkurugenzi atakuwa na uwezo wa kufifilisha
AI-assisted research summary: The Mkurugenzi may compound an offense by charging TZS 200,000 if the offender confesses and is ready to complete the specified form in the Third Schedule.
8. Mkurugenzi atakuwa na uwezo wa kufifilisha kosa kwa kumtoza mtu aliyetenda kosa chini ya Sheria Ndogo hizi kiasi cha shilingi laki mbili endapo mkosaji atakiri kosa na kuwa tayari kujaza fomu maalum iliyoainishwa katika Jedwali la Tatu. 3 Sheria Ndogo za Vibali vya Ujenzi za Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga Tangazo la Serikali Na.222 (Linaendelea.) _____________ JEDWALI LA KWANZA ___________ (Limetengenezwa chini ya aya ya 4(3)) ADA YA UJENZI Namba Aina ya Jengo Ada ya Ukaguzi Ada ya Kibali 1
Part
JEDWALI LA KWANZA
- 2 Verify source ↗
Section 2
AI-assisted research summary: Fomu ya kibali cha ujenzi inaweka masharti ya kibali: mpata kibali anatakiwa kupanda angalau miti mitano, kufuata sheria zote na kukubali ukaguzi wa Mhandisi wa Ujenzi wa Wilaya.
2. 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 Ghorofa 1 Ghorofa 2 na kuendelea Ghala au Bohari Kituo cha Mafuta Nyumba za Makazi Nyumba za Makazi na Biashara Uzio wa Sengenge Uzio wa Ukuta 50,000 50,000 50,000 50,000 20,000 30,000 10,000 20,000 Minara ya Mawasiliano 200,000 10,000 50,000 Marekebisho ya Jengo Majengo ya Shule au Taasisi Binafsi Majengo mengine ambayo hayakutajwa hapo juu i)Jengo dogo ii) Jengo Kubwa 100,000 150,000 100,000 200,000 30,000 50,000 25,000 40,000 300,000 30,000 200,000 20,000 100,000 30,000 200,000 4 Sheria Ndogo za Vibali vya Ujenzi za Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga Tangazo la Serikali Na.222 (Linaendelea.) __________ JEDWALI LA PILI __________ (Limetengenezwa chini ya aya ya 4(1)) SEHEMU YA KWANZA FOMU YA MAOMBI YA KIBALI CHA UJENZI TAARIFA FUPI YA MWOMBAJI Jina la Mwombaji ……………………………………………………. Anuani ……………, ………………… Namba ya Simu ………………………….. Barua pepe …………………………………………… AINA YA JENGO LINALOTARAJIWA KUJENGWA Jengo linalojengwa (Ghorofa/Kawaida/Uzio/Ukuta/Marekebisho (taja)………................................ Kama Ghorofa (taja ngapi) ………………. Ramani ipo (ndiyo/hapana) ……………... (ni muhimu iwepo na iambatanishwe na fomu ya maombi) Saini ya mwombaji ………………………………………….. Jina la mwombaji ……………………………………………. Angalizo-Gharama za maombi ya Kibali cha Ujenzi hazitarejeshwa hata kama mwombaji atakuwa amekosa kuidhinishiwa maombi yake. MAHALI ANAPOTAKA KUJENGA MWOMBAJI (ajaze afisa wa serikali) Mtaa/kijiji …………………………….. Kata ………………………………….. Namba ya simu ya Afisa Mtendaji Mtaa/Kijiji/Kata ………………………… Eneo limepimwa/halijapimwa ……………………………. Mhuri na Saini………………………………………………………… Jina la Afisa Mtendaji ………………………………………………… 5 Sheria Ndogo za Vibali vya Ujenzi za Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga Tangazo la Serikali Na.222 (Linaendelea.) SEHEMU YA PILI FOMU YA MAONI YA KIBALI CHA UJENZI Maombi ya Ndugu ……………………………………………………… Fomu Na. ……………….. Maoni ya Kitaalamu Mkaguzi wa Majengo, (toa maoni ya kitaalamu apewe/asipewe. Na kama asipewe kwa nini) ……………………………………………………………………… Jina ……………………………….Saini……………Tarehe …/…/20… Afisa Ardhi, (toa maoni ya kitaalamu apewe/asipewe. Na kama asipewe kwa nini) …………………………………………………………………………… Jina ……………………………Saini……… Tarehe …../…../20..….. Mpima Wilaya, (toa maoni ya kitaalamu apewe/asipewe. Na kama asipewe kwa nini) …………………………………………………………………………… Jina ……………………………Saini……………Tarehe …../..…/20..… Afisa Mipango Miji, (toa maoni ya kitaalamu apewe/asipewe. Na kama asipewe kwa nini) …………………………………………………………………………… Jina …………………………Saini……………Tarehe …../..…/20..… Afisa afya, …………………………………………………………………………… Jina …………………………Saini……………Tarehe …../..…/20..… (toa maoni ya kitaalamu apewe/asipewe. Na kama asipewe kwa nini) Maoni yamepokelewa kwa Mhandisi leo Tarehe …/…/20..… Jina …………………………………………..Sahihi…………………… Kibali ………. S/N MDC …………/20….. 6 Sheria Ndogo za Vibali vya Ujenzi za Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga Tangazo la Serikali Na.222 (Linaendelea.) ____________ SEHEMU YA TATU _____________ KIBALI CHA UJENZI Kibali kinatolewa kwa Ndugu. ………………………………….......... Kibali Na. ……………kimeidhinishwa na Kamati ya Mipango miji na Mazingira katika kikao cha Tarehe ……../………/20…… Kujenga Nyumba ya kawaida/Uzio/Kufanya marebisho/Nyumba ya Ghorofa……………… (taja idadi na aina ya matumizi) ……………… Katika kiwanja Na……….. Kitalu…………kilichopo.…………………… Kulingana na Ramani zilizoambatanishwa pamoja na masharti yote yaliyoambatana na Kanuni ya Ujenzi Unatakiwa Upande Miti isiyopungua mitano ya matunda au kivuli katika kiwanja chako katika Harakati za kuboresha Mazingira. Pia utafuata Sheria zote ikiwa ni pamoja na kukaguliwa na Mhandisi wa Ujenzi wa Wilaya kwa hatua zote za Ujenzi. Kibali hiki kitadumu kwa muda Miaka mitatu ya Ujenzi, na ndani ya Miezi sita unatakiwa uwe umeanza kuendeleza/kujenga kuanzia Tarehe ya kibali kilipotolewa. Vinginevyo kibali hiki kitakuwa BATILI Kibali kimetolewa leo Tarehe …………/…………/20…………. Saini …………………………………. MKURUGENZI MTENDAJI HALAMASHAURI WILAYA YA MWANGA Nakala; Afisa Mtendaji Kata ……………………….. 7 Sheria Ndogo za Vibali vya Ujenzi za Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga Tangazo la Serikali Na.222 (Linaendelea.) ____________ JEDWALI LA TATU _____________ (Limetengenezwa chini ya aya ya 8) FOMU YA KUKIRI NA KUFIFILISHA KOSA Mimi ……………………………………………………… nakiri KWA HIARI YANGU MWENYEWE mbele ya …………………………………………. ambaye ni Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga, kwamba mnamo tarehe …… ya mwezi ……. Mwaka …… nilitenda kosa la kukiuka masharti ya Sheria Ndogo ya Vibali vya Ujenzi ya Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga ya Mwaka, 2024. Kwa Mamlaka aliyopewa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga, niko tayari kulipa kiasi cha Ada au Ushuru ninaodaiwa pamoja na faini badala ya kushtakiwa Mahakamani. NATHIBITISHA KWAMBA MAELEZO HAPO JUU NI YA KWELI NA NIMEYATOA MIMI MWENYEWE KWA HIARI YANGU KADRI YA UFAHAMU WANGU Leo tarehe…………. Jina……………………………….. MBELE YANGU: Jina: ……………………………………..…………… Saini ………………………….……………………… Wadhifa: ……………………………………………… Tarehe ………………………………………………… ya Mwezi…………..… Mwaka ……………. Saini……………………… 8 Sheria Ndogo za Vibali vya Ujenzi za Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga Tangazo la Serikali Na.222 (Linaendelea.) Lakiri ya Halmashauri ya Manispaa ya Mwanga imebandikwa kwenye Sheria Ndogo hizi kufuatia azimio la mkutano wa Baraza la Halmashauri ya ya Wilaya ulioitishwa na kufanyika tarehe 1/3/2023, mbele ya:- MWAJUMA A. NASOMBE, Mkurugenzi mtendaji, Halmashauri ya Wilaya, Mwanga MHE. DR.SALEHE R. MKWIZU, Mwenyekiti, Halmashauri ya Wilaya, Mwanga L.S NAKUBALI, Dodoma, MOHAMED OMARY MCHENGERWA, 30 Januari, 2024. Waziri wa Nchi OR-Tamisemi 9
Provision text is displayed from LexChat’s stored statute record. Use the official source links to verify amendments, commencement, and current legal force.
Ask AI about this statute
Sheria Ndogo za Vibali vya Ujenzi za Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga za Mwaka 2024
Sign in to ask AI about this statute
Sign in to start authenticated, citation-grounded statute research.
Sign in