AI-assisted research summary: Mipango kina kwa eneo lililoainishwa kwenye Jedwali lazima iandaliwe na ihifadhiwe na Mkurugenzi wa Mipango Miji pamoja na Mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya Bariadi.
3. Mipango kina katika eneo lililoainishwa kwenye Jedwali itaandaliwa na kuhifadhiwa kwa Mkurugenzi wa Mipango Miji na Mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya Bariadi. _______ JEDWALI ________ (Limetengenezwa chini ya aya ya 2) Eneo la urasimishaji lipo ndani ya mipaka ifuatayo:- “Unaanzia kwenye alama ya mpaka ya upimaji namba GLY1 yenye majira – nukta 620599.31MS, 9725022.99KZ; baada ya hapo mpaka unaelekea Kaskazini - Magharibi katika uelekeo wa KZ347057’33”MG kwa umbali wa kilomita 0.91 hadi kwenye alama ya mpaka ya upimaji namba GLY2 yenye majira – nukta 620411.44MS, 9725903.76KZ; baada ya hapo mpaka unaelekea Kaskazini - Mashariki katika uelekeo wa KZ55020’51”MS kwa umbali wa kilomita 1.7 hadi 1 Amri ya Kurasimisha Makazi Yasiyopangwa Eneo la Gilya Tangazo la Serikali Na. 733 (Linaendelea) kwenye alama ya mpaka ya upimaji namba GLY3 yenye majira – nukta 621788.20MS, 9726855.39KZ; baada ya hapo mpaka unaelekea Mashariki katika uelekeo wa KS92044’59”MS kwa umbali wa kilomita 1.02 hadi kwenye alama ya mpaka ya upimaji namba GLY4 yenye majira – nukta 622806.92MS, 9726806.46KZ; baada ya hapo mpaka unaelekea Kusini - Mashariki katika uelekeo wa KS127056’56”MS umbali wa kilomita 0.57 hadi kwenye alama ya mpaka ya upimaji namba GLY5 yenye majira – nukta 623253.61MS, 9726458.11KZ; baada ya hapo mpaka unaelekea Kusini – Magharibi katika uelekeo wa KS204053’55”MG kwa umbali wa kilomita 1.24 hadi kwenye alama ya mpaka ya upimaji namba GLY6 yenye majira – nukta 622731.29MS, 972533.8KZ; baada ya hapo mpaka unaelekea Kusini katika uelekeo wa KS164097’15”MG 2 Amri ya Kurasimisha Makazi Yasiyopangwa Eneo la Gilya Tangazo la Serikali Na. 733 (Linaendelea) kwa umbali wa kilomita 0.603 hadi kwenye alama ya mpaka ya upimaji namba GLY7 yenye majira – nukta 622888.05MS, 9724749.63KZ; baada ya hapo mpaka unaelekea Kusini - Magharibi kwa kufuata uelekeo wa mto Kidamlida hadi ulipoanzia.” Dodoma, 14 Agosti, 2024 DEOGRATIUS JOHN NDEJEMBI Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi 3