Sheria Ndogo ya Afya, Lishe na Usimamizi wa Mazingira ya Halmashauri ya Manispaa ya Tabora ya Mwaka 2024
This section states the short title of the by-law.
AI-assisted research synopsis — verify against the official legal text below.
- Jurisdiction
- Tanzania
- Instrument
- Regulation
- Citation
- Sheria Ndogo ya Afya, Lishe na Usimamizi wa Mazingira ya Halmashauri ya Manispaa ya Tabora ya Mwaka 2024
- Version
- Undated source snapshot
- Language
- sw
- Official source
- View official record ↗
Statute overview
About this statute
This section states the short title of the by-law. This bylaw applies throughout the entire area of Tabora Municipal Council. This section mainly defines terms used in the by-law, such as fees, officials, permits, residents, owners, and waste. Halmashauri has power to manage sanitation, health, and environmental activities, educate the public, appoint or contract others to help, inspect compliance, take legal action, and issue rules or directions. Halmashauri inapaswa kutoza ada ya taka kwa biashara, huduma mbalimbali, na makazi kulingana na viwango vilivyo kwenye Jedwali la Kwanza na Jedwali la Pili.
Search within this statute
Search all stored provisions in this version.
Legal text
Provisions of Sheria Ndogo ya Afya, Lishe na Usimamizi wa Mazingira ya Halmashauri ya Manispaa ya Tabora ya Mwaka 2024
Showing 68 of 68
- 1 Verify source ↗
Sheria Ndogo hii itajulikana kama Sheria
AI-assisted research summary: This section states the short title of the by-law.
1. Sheria Ndogo hii itajulikana kama Sheria Ndogo ya Afya, Lishe na Usimamizi wa Mazingira ya Halmashauri ya Manispaa ya Tabora ya Mwaka 2024. Matumizi - 2 Verify source ↗
Sheria Ndogo hii itatumika katika eneo lote la
AI-assisted research summary: This bylaw applies throughout the entire area of Tabora Municipal Council.
2. Sheria Ndogo hii itatumika katika eneo lote la Mamlaka ya Halmashauri ya Manispaa ya Tabora. Tafsiri - 3 Verify source ↗
Katika Sheria Ndogo hii, isipokuwa kama
AI-assisted research summary: This section mainly defines terms used in the by-law, such as fees, officials, permits, residents, owners, and waste.
3. Katika Sheria Ndogo hii, isipokuwa kama muktadha utahitaji vinginevyo- “ada” maana yake ni malipo yanayolipwa kwa Halmashauri kwa ajili ya huduma, vibali au leseni zitolewazo na Halmashauri; “adha” maana yake ni hali yoyote mbaya yenye kuleta madhara juu ya afya ya watu kwa ujumla; “afya” maana yake ni hali timilifu ya kimwili, kiakili na kijamii na wala sio kutokua na ugonjwa au 1 Sheria Ndogo ya Afya, Lishe Na Usimamizi wa Mazingira ya Halmashauri ya Manispaa Tabora Tangazo La Serikali Na. 320 (Linaendelea) Sura ya 428 ulemavu; “afisa afya” maana yake ni afisa afya yeyote aliyesoma na kufaulu sayansi ya mazingira na kusajiriwa chini ya Sheria ya Usajili wa Wataalamu wa Afya ya Mazingira; “afisa lishe” maana yake ni afisa yeyote wa Halmashauri aliyesoma na kufaulu sayansi ya lishe ya binadamu kutoka chuo kinachotambuliwa na Serikali; “afisa mtendaji wa kijiji/mtaa” maana yake ni afisa mtendaji wa kijiji au mtaa aliyeajiriwa ndani ya Manispaa ya Tabora; “Afisa Mwidhiniwa” maana yake ni afisa yeyote wa Umma atakayeteuliwa na Halmashauri kusimamia utekelezaji wa Sheria Ndogo hii; “chakula” maana yake ni kitu chochote kinacholiwa au kunyweka na binadamu isipokuwa dawa, hii ni pamoja na- (a) kitu kinachotumika katika chochote matengenezo ya chakula; (b) kitu chochote kinachoongeza ladha ya chakula; (c) kitu chochote kinachobadili rangi ya chakula kama vile binzari na vingine vinavyofanana na hivi; “chanzo cha maji” maana yake ni eneo lolote ambalo limetunzwa kwa ajili kua chanzo cha maji kwa matumizi ya jamii; “choo cha umma” maana yake ni choo kilichojengwa na Halmashauri au wakala wake au mtu binafsi au kampuni kwa matumizi ya umma na kuthibitishwa na Halmashauri pamoja na Baraza la Afya la mazingira; “eneo la wazi” maana yake ni eneo lililo chini ya kufanyia na matumizi Halmashauri shughuli limekatazwa haihusiani ambayo ambalo 2 Sheria Ndogo ya Afya, Lishe Na Usimamizi wa Mazingira ya Halmashauri ya Manispaa Tabora Tangazo La Serikali Na. 320 (Linaendelea) Sura ya 99 yaliyokusudiwa; “Halmashauri” maana yake ni Halmashauri ya Manispaa ya Tabora; “hati ya usafi” maana yake ni hati itakayotolewa na Afisa Mwidhiniwa inayothibitisha kukaguliwa kwa maeneo yote yaliyotajwa katika Sheria Ndogo hii kulingana na Sheria ya Afya ya Umma na kanuni zake; “hifadhi ya mazingira” maana yake ni utunzaji endelevu wa ardhi, mimea, hewa, viumbe hai na visivyo hai na vyanzo vya maji kwa kuzingatia masharti ya Sheria ndogo hii au sheria nyingine zinazohusu mazingira; “jengo la biashara” maana yake ni lolote lililojengwa na kuidhinishwa na Halmashauri kwa ajili ya kufanya shughuli za biashara; jengo Sura ya 191 “kaya” maana yake ni familia ya watu akiwemo baba, mama, mtoto au watoto na mtu mwingine yeyote anayeishi na familia hiyo, au watu wanaokaa katika nyumba moja au ndani ya chumba kimoja na kuishi kama familia na kula chungu kimoja au mtu yeyote anayeishi peke yake katika chumba au nyumba; “kelele” maana yake ni kero isababishwayo na sauti ambayo kwa asili inakataliwa au ile ambayo inaweza kusababisha athari mbaya kwa afya ya binadamu au mazingira, sauti ya aina hii pia inaweza kubainishwa na kamati ya taifa na viwango kwa mujibu wa Sheria ya Usimamizi wa mazingira; “kero” au chukizo” maana yake ni kitu chochote ambacho kipo katika hali yoyote iwe kinatumika, kimewekwa, kimejengwa, au ni kichafu kiasi cha kusababisha - 3 Sheria Ndogo ya Afya, Lishe Na Usimamizi wa Mazingira ya Halmashauri ya Manispaa Tabora Tangazo La Serikali Na. 320 (Linaendelea) (a) hatari kwa viumbe na maisha ya binadamu. (b) harufu mbaya au harufu ya kuudhi au kuleta kinyaa (c) kuzaliana kwa wadudu na wanyama hatari kama vile inzi, mende, sisimizi, panya, nyoka, nyuki, kunguni au viumbe wengine hatari; “kibali” maana yake ni idhini ya maandishi inayotolewa na Halmashauri kwa mujibu wa sheria ndogo hii; “kuchakata yake taka” maana kuchambua, kuzitenganisha, kuzibadilisha na kuwa kitu kingine au kutoa zao jingine lenye manufaa kwa jamii; ni “kuvuna miti” maana yake ni kufyeka, kukata au kung’oa miti au visiki katika misitu; “mabwawa ya maji taka” maana yake mabwawa yaliyojengwa kwa madhumuni ya kuhifadhi na kuchakata maji taka yanayotokana na kuosha vyombo, kutoka vyooni, kutoka bafuni, kufua nguo, kuosha nywele au shughuli zozote za nyumbani, taasisi mbalimbali; viwandani kwenye na “madini ya ujenzi” yanajumuisha aina zote za madini ya Sura ya 123 ujenzi yaliyoainishwa katika Sheria ya Madini; Sura ya 323 “maji taka” maana yake maji yenye mchanganyiko wa kinyesi, mkojo, na maji kutoka masinki ya kuogea, kutema mate na kunawia mikono, pamoja na maji yenye mchanganyiko wa vitu vingine vyenye asili ya kemikali au visivyo na kemikali; “mazao ya misitu” maana yake ni kama ilivyotafsiriwa chini ya Sheria ya Misitu; “mazingira” maana yake ni masuala yote yanayohusisha maumbile halisi yawazungukao binadamu ikiwa ni pamoja na hewa, ardhi, maji, tabia ya nchi, sauti, radha, vijiumbe, hali za mwanga, harufu, 4 Sheria Ndogo ya Afya, Lishe Na Usimamizi wa Mazingira ya Halmashauri ya Manispaa Tabora Tangazo La Serikali Na. 320 (Linaendelea) kibaiolojia za wanyama na mimea, rasilimali za kitamaduni na masuala ya uchumi jamii na inahusisha mazingira asilia na binadamu na yaliyoundwa jinsi na yanavyoingiliana; binadamu na “mgahawa wa nje ya jengo” maana yake ni shughuli zote za uuzaji wa chakula na vinywaji zinazofanyika katika sehemu ya nje ya la mgahawa au hoteli; jengo maalum “mifugo” maana yake ni wanyama wote wafugwao na binadamu kama vile mbwa, ng’ombe, punda, nguruwe, mbuzi, kondoo na kuku; “misitu” maana yake ni eneo la ardhi ambalo limefunikwa angalau kwa asilimia 10 na miti, uoto wa asili au uliopandwa, au asilimia 50 au zaidi ya vichaka na miti inayoota au ambayo itajumuisha na yote ya misitu ya hifadhi ambayo itatangaza chini ya sheria za misitu na mazao yote ya misitu ikijumuisha majani na nyasi ndani ya eneo la Halmashauri; “mkaguzi wa mazingira” maana yake ni afisa aliyepewa dhamana ya ukaguzi wa mazingira kama ilivyoainishwa katika Sheria ya Usimamizi wa Mazingira; “mkazi” maana yake ni mtu yeyote anayeishi katika eneo la Halmashauri na ambaye ana kaya au anaishi katika kaya au taasisi iliyopo katika eneo la Halmashauri; Sura ya 191 “Mkurugenzi” maana yake ni Mkurugenzi wa Halmashauri ya Tabora pamoja au Afisa yeyote wa umma atakayeteuliwa kutekeleza majukumu ya Mkurugenzi; “mmiliki” maana yake ni mtu yeyote ambaye ana miliki ardhi, sehemu za starehe, nyumba za kulala 5 Sheria Ndogo ya Afya, Lishe Na Usimamizi wa Mazingira ya Halmashauri ya Manispaa Tabora Tangazo La Serikali Na. 320 (Linaendelea) wageni, nyumba za kuuzia vyakula, kumbi za starehe, mpangaji, wakala wa mpangishaji wa nyumba au jengo na makazi yoyote ndani ya eneo la Halmashauri; “mzalishaji wa taka” maana yake ni mtu yeyote, kaya, katika taasisi, kutekeleza shughuli zake huzalisha taka ngumu; biashara, kiwanda ambaye “pipa la taka” maana yake ni chombo chochote chenye mfuniko kinachoweza kuhifadhi taka ngumu zinazozalishwa majumbani, sehemu za biashara, maofisini ili zisisambae na kuchafua mazingira; “taka” maana yake ni kitu chochote ambacho baada ya kukitumia hakina thamani kwa wakati huo na uwepo wake unaweza kusababisha chukizo la kiafya na kuhatarisha afya ya jamii; katika eneo hilo “taka ngumu” maana yake ni kitu chochote ambacho kinaoza au kutooza baada ya kutumika; “taka za viwandani” maana yake ni taka maji au taka ngumu zitokanazo na shughuli za viwandani; “tathmini ya athari kwa mazingira” maana yake ni uchunguzi wa hatua unaofanywa kubaini iwapo programu, shughuli, au mradi utakuwa na madhara kwenye mazingira; “utapiamlo” maana yake ni hali ya kupungua au kuzidi kwa baadhi ya virutubishi mwilini ambapo husabisha lishe duni au unene uliozidi “utapiamlo mkali” maana yake ni aina ya utapia mlo uliokithiri ambapo mtu huwa na upungufu mkubwa au kuzidi kwa kiwango kikubwa kwa baadhi ya virutubishi mwilini; “wakala” maana yake ni mtu binafsi au kikundi cha watu, kampuni, taasisi au shirika aliyeteuliwa kusimamia utekelezaji wa Sheria Ndogo hii; 6 Sheria Ndogo ya Afya, Lishe Na Usimamizi wa Mazingira ya Halmashauri ya Manispaa Tabora Tangazo La Serikali Na. 320 (Linaendelea) “Waziri” maana yake ni Waziri mwenye dhamana ya serikali za mitaa. SEHEMU YA PILI WAJIBU WA HALMASHAURI KATIKA USIMAMIZI WA AFYA, USAFI NA MAZINGIRA Uwezo wa Halmashauri
Part
SEHEMU YA PILI
- 4 Verify source ↗
Halmashauri itakuwa na uwezo wa
AI-assisted research summary: Halmashauri has power to manage sanitation, health, and environmental activities, educate the public, appoint or contract others to help, inspect compliance, take legal action, and issue rules or directions.
4. Halmashauri itakuwa na uwezo wa- (a) kusimamia utekelezaji wa shughuli za usafi, afya na mazingira; (b) kutoa elimu kwa wananchi kuhusu umuhimu wa kuzingatia kanuni za afya, usafi na kutunza mazingira; (c) kuteua mtu yeyote, wakala, kikundi, taasisi kutekeleza shughuli za usimamizi wa afya, usafi na mazingira kwa niaba ya Halmashauri kwa mujibu wa Sheria Ndogo hii; (d) kufanya ukaguzi ili kubaini endapo kanuni za afya, usafi na utunzaji wa mazingira zinazingatiwa ndani ya eneo la Halmashauri; (e) kuchukua hatua za kisheria dhidi ya mtu anayekiuka Sheria Ndogo hii au sheria nyingine inayohusiana na afya, usafi na usimamizi wa mazingira zilizotungwa na Bunge; (f) kutunga kanuni, miongozo au kutoa maelekezo yatakayosaidia na kulinda usimamizi wa mazingira ndani ya eneo la Halmashauri; na afya, usafi (g) kuingia mkataba na mtu yeyote, taasisi au kampuni kutelekeza shughuli za usimamizi wa afya, usafi na mazingira kwa niaba ya Halmshauri katika eneo ndani ya Halmashauri. 7 Sheria Ndogo ya Afya, Lishe Na Usimamizi wa Mazingira ya Halmashauri ya Manispaa Tabora Tangazo La Serikali Na. 320 (Linaendelea) Ada ya uzoaji taka Uteuzi wa Wakala Wajibu wa Wakala - 5 Verify source ↗
(1) Katika
AI-assisted research summary: Halmashauri inapaswa kutoza ada ya taka kwa biashara, huduma mbalimbali, na makazi kulingana na viwango vilivyo kwenye Jedwali la Kwanza na Jedwali la Pili.
5.-(1) Katika utekelezaji wa usimamizi wa mazingira, Halmashauri itatoza ada ya taka kwa biashara na huduma mbalimbali kama ilivyoainishwa katika Jedwali la Kwanza. kufanikisha (2) Halmashauri itatoza ada ya taka katika makazi kwa kiwango kilichoainishwa katika Jedwali la Pili. - 6 Verify source ↗
Halmashauri itakuwa na mamlaka ya kuteua
AI-assisted research summary: Halmashauri ina mamlaka ya kuteua wakala wa kukusanya ada.
6. Halmashauri itakuwa na mamlaka ya kuteua wakala wa kukusanya ada kwa mujibu wa Sheria Ndogo hii. - 7 Verify source ↗
Wakala aliyeteuliwa chini ya kanuni ya 6
AI-assisted research summary: Wakala aliyeteuliwa chini ya kanuni ya 6 lazima akusanye ada kwa niaba ya Halmashauri, atumie mfumo wa kielektroniki, awasilishe makusanyo yote, na atekeleze masharti ya mkataba wa uwakala.
7. Wakala aliyeteuliwa chini ya kanuni ya 6 atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya ada kwa niaba ya Halmashauri katika eneo alilopangiwa na kwa kiwango kilichoidhinishwa chini ya Sheria Ndogo hii; (b) kukusanya ada kwa kutumia mfumo wa kielektroniki na kuwasilisha makusanyo yote kwa kuzingatia masharti ya mkataba wa uwakala alioingia na Halmashauri; na (c) kutekeleza masharti ya mkataba. SEHEMU YA TATU USAFI WA MAZINGIRA Wajibu wa kufanya usafi wa mazingira
Part
SEHEMU YA TATU
- 8 Verify source ↗
Mkazi, mfanyabiashara au mmiliki wa jengo au
AI-assisted research summary: Residents, business operators, and building or business-area owners must keep their premises clean, manage waste and drainage, maintain toilets and lighting, and avoid stagnant water or other materials that can block rainwater flow or breed pests.
8. Mkazi, mfanyabiashara au mmiliki wa jengo au eneo la biashara atahakikisha- (a) majani yanayozunguka jengo lake yanakatwa au kupaliliwa katika eneo lote kuanzia mwanzo wa mipaka ya barabara ya mbele ya nyumba yake au eneo lake; (b) taka ngumu zote ikiwa ni pamoja na mifuko ya kuhifadhiwa na lililoruhusiwa na plastiki zinakusanywa, kupelekwa katika eneo 8 Sheria Ndogo ya Afya, Lishe Na Usimamizi wa Mazingira ya Halmashauri ya Manispaa Tabora Tangazo La Serikali Na. 320 (Linaendelea) Halmashauri; (c) maji taka yanaelekezwa ndani ya mfumo wa maji taka; (d) anaboresha na kupaka rangi ya jengo lake kila inapochakaa; (e) ana choo kilicho bora na kisafi wakati wote; (f) anashiriki siku ya usafi ya Jumamosi ya kila mwisho wa mwezi; (g) anaondoa uchafu ikiwemo mchanga, majani, nyasi au vitu vingine vinavyofanana na hivyo katika mifereji ya mvua inayomzunguka au kupita kando ya nyumba yake au eneo la biashara yake, kiwanja chake na kuhakikisha mifereji hiyo inakuwa safi wakati wote; ya maji (h) anaweka taa yenye mwanga nje ya jengo analoishi au analotumia kwa shughuli yoyote na atatakiwa kuiwasha wakati wa usiku; na (i) hakuna mkusanyiko wa maji, maji machafu, taka au kitu chochote cha majimaji au kigumu ambacho kinaweza kuathiri upitishaji wa maji ya mvua na hivyo kuruhusu uwepo wa mazalia ya mbu au wadudu wengine wenye madhara kwa afya ya binadamu na mazingira kwa ujumla. Biashara ya miwa na matunda - 9 Verify source ↗
Mfanyabiashara wa matunda au miwa
AI-assisted research summary: Mfanyabiashara wa matunda au miwa lazima awe na chombo maalumu cha kuhifadhia maganda au mabaki ya matunda, na upuliziaji dawa bila cheti na kibali ni marufuku.
9. Mfanyabiashara wa matunda au miwa atahakikisha kuwa ana chombo maalumu cha kuhifadhia maganda au mabaki ya matunda. Marufuku ya upuliziaji dawa bila cheti na kibali - 10 Verify source ↗
Mtu yeyote hataruhusiwa kuendesha biashara
AI-assisted research summary: Mtu yeyote haruhusiwi kuendesha biashara ya upuliziaji dawa au kuua wadudu/wanyama waharibifu bila cheti cha taaluma kinachotambuliwa na Serikali, na maandishi pia yanataja kibali kutoka Halmashauri.
10. Mtu yeyote hataruhusiwa kuendesha biashara ya upuliziaji dawa au biashara ya kuuwa wadudu au wanyama waharibifu katika nyumba au mahali popote bila kuwa na cheti cha taaluma kinachotambuliwa na Serikali 9 Sheria Ndogo ya Afya, Lishe Na Usimamizi wa Mazingira ya Halmashauri ya Manispaa Tabora Tangazo La Serikali Na. 320 (Linaendelea) Matengenezo ya magari, pikipiki, mitambo na kuegesha magari mabovu na awe amepata kibali kutoka Halmashauri. - 11 Verify source ↗
(1) Matengenezo ya magari, pikipiki na
AI-assisted research summary: Matengenezo ya magari, pikipiki na mitambo yanapaswa kufanyika tu katika karakana, gereji au maeneo yaliyoruhusiwa baada ya kupata kibali rasmi kutoka Halmashauri; watu wote pia hawaruhusiwi kutengeneza, kuegesha magari mabovu, au kufanya biashara ya kuosha katika maeneo yasiyotengwa.
11.-(1) Matengenezo ya magari, pikipiki na mitambo yatatakiwa kufanyika kwenye karakana, gereji au maeneo yaliyoruhusiwa baada ya kupata kibali rasmi kutoka Halmashauri. (2) Mtu yeyote haruhusiwi- (a) kutengeneza gari, pikipiki au mtambo wowote katika eneo la makazi, eneo la wazi au eneo ambalo halikutengwa kwa shughuli hiyo; (b) kuegesha magari mabovu kwenye njia ya miguu, mtaa, uchochoro, mtaro, maeneo ya wazi au barabarani na kusababisha adha kwa wakazi au watumiaji wa njia hiyo; (c) kufanya biashara ya kuosha gari, pikipiki au mtambo wowote katika eneo la makazi, eneo la wazi au eneo ambalo halikutengwa kwa shughuli hiyo au kuruhusu eneo lake kutumika kwa shughuli za kuosha vyombo vya moto katika maeneo ambayo hayakutengwa kwa shughuli hizo bila kupata kibali rasmi kutoka Halmashauri. Udhibiti wa ubebaji kokoto, mawe na mchanga - 12 Verify source ↗
(1) Mtu yeyote anayesafirisha mawe, mchanga
AI-assisted research summary: People transporting stones, sand, or gravel in the Council area must cover the transport container to prevent spilling and pollution. Anyone may not mine construction minerals without a mining permit.
12.-(1) Mtu yeyote anayesafirisha mawe, mchanga au kokoto katika eneo la Halmashauri atahakikisha kuwa chombo anachotumia kusafirisha kimefunikwa ili kuzuia kumwagika na kuchafua mazingira. (2) Mtu yeyote hataruhusiwa kuchimba madini ya ujenzi bila kuwa na kibali cha madini. Ufuaji wa nguo - 13 Verify source ↗
Mtu yeyote anayefanya biashara ya kufua nguo
AI-assisted research summary: Anyone running a garment-washing business must get a cleanliness certificate before starting the business.
13. Mtu yeyote anayefanya biashara ya kufua nguo atatakiwa kupata hati ya usafi kabla ya kuanza biashara hiyo. 10 Sheria Ndogo ya Afya, Lishe Na Usimamizi wa Mazingira ya Halmashauri ya Manispaa Tabora Tangazo La Serikali Na. 320 (Linaendelea) USIMAMIZI WA MAZINGIRA SEHEMU YA NNE Wajibu wa kulinda na kutunza vyanzo vya maji
Part
SEHEMU YA NNE
- 14 Verify source ↗
(1) Halmashauri itakuwa na wajibu wa
AI-assisted research summary: Halmashauri lazima ilinde vyanzo vya maji na ichukue hatua za kisheria, huku watu wote wakizuiwa kufanya vitendo mbalimbali vinavyoharibu au kuchafua vyanzo vya maji.
14.-(1) Halmashauri itakuwa na wajibu wa- (a) kusimamia na kulinda vyanzo vya maji; (b) kuchukua hatua kali za kisheria dhidi ya mtu yeyote atakayeharibu chanzo cha maji, kuchafua chanzo cha maji au kushindwa kushiriki katika shughuli za kuhifadhi vyanzo vya maji bila sababu ya msingi; na (c) kupanda miti isiyonyonya maji katika vyanzo vya maji kwa kuzingatia maelekezo ya kitaalamu. (2) Mtu yeyote hataruhusiwa- (a) kunawa, kuoga, kufua nguo au kunywesha mifugo karibu au kwenye chanzo cha maji kama vile chemchemi, kisima au chanzo kingine chochote cha maji; (b) kujenga boma la mifugo karibu au kuruhusu mkojo au maji machafu kutoka katika boma la mifugo kuelekea kwenye au karibu na chanzo cha maji kinachotumika kwa matumizi ya binadamu; (c) kufuga mifugo ya aina yoyote bila kibali cha Halmashauri, kuacha mifugo au kusababisha mifugo kuzurura ovyo mitaani, barabarani au kuchungwa kwenye eneo lolote lisiroruhusiwa; (d) kuanzisha na kufanya shughuli za aina yoyote ndani ya mita 60 ya maeneo yote oevu na chepechepe kama vile mto na maeneo yote kama ukanda wa kijani; (e) kulima, kukata miti au kuchunga mifugo katika umbali wa mita 60 toka vyanzo vya maji au kujenga au kufanya jambo lolote linaloharibu 11 Sheria Ndogo ya Afya, Lishe Na Usimamizi wa Mazingira ya Halmashauri ya Manispaa Tabora Tangazo La Serikali Na. 320 (Linaendelea) kwa namna yoyote chanzo cha maji na hifadhi ya mazingira; (f) kumiliki eneo la chanzo cha maji cha asili isipokuwa Halmashauri; (g) kuelekeza mabomba ya maji machafu kwenye mito, mabwawa, ziwa, visima, mifereji, chemchemi au sehemu yoyote ambayo ni chanzo cha maji kwa ajili ya matumizi ya binadamu na wanyama au viumbe vingine vilivyo hai; (h) kuunganisha maji ya mvua na maji taka au kutapisha choo na kutiririsha vinyesi vya mifugo au binadamu kwenye chanzo cha maji au mfereji wa maji ya mvua; na (i) kuweka kitu chochote chenye sumu kwenye chanzo cha maji ambayo yanatumiwa na binadamu au kiumbe hai. - 15 Verify source ↗
(1) Mtu yeyote hataruhusiwa
AI-assisted research summary: People may not burn in council areas, burn waste there, or prepare farms by burning. If a major fire occurs, the local leader must warn residents and mobilize them to help extinguish it, and residents must help when required.
15.-(1) Mtu yeyote hataruhusiwa- (a) kuchoma moto kwa namna yoyote ile katika eneo lolote la Halmashauri; (b) kuchoma taka ndani ya eneo la Halmashauri; au (c) kuandaa shamba kwa njia ya kuchoma moto. (2) Endapo moto mkubwa utatokea katika eneo la Halmashauri, kiongozi wa eneo husika atawajibika kutoa ishara ya hatari kwa kutumia njia iliyozoeleka na kuhamasisha wakazi wa eneo hilo kwenda kuzima moto huo. (3) Kila mkazi wa eneo hilo atawajibika kushiriki katika zoezi la kuzima moto endapo atatakiwa kufanya hivyo na kama atashindwa kushiriki katika zoezi la kuzima moto bila sababu za msingi atakuwa ametenda kosa. 12 Kuchoma au kusababisha moto Sheria Ndogo ya Afya, Lishe Na Usimamizi wa Mazingira ya Halmashauri ya Manispaa Tabora Tangazo La Serikali Na. 320 (Linaendelea) Uchafuzi wa anga hewa kwa moshi Ukataji miti Wajibu wa kupanda miti Uhifadhi na utunzaji bustani za Halmashauri Ushirikishaji - 16 Verify source ↗
Mtu yeyote, mfanyabiashara, hospitali, taasisi,
AI-assisted research summary: People and certain businesses must not pollute the air by releasing smoke that can harm humans, plants, or living things. Tree cutting in the council area needs permission, the council must check whether harvested trees are mature and suitable, and harvesting trees in the protected forest is not allowed.
16. Mtu yeyote, mfanyabiashara, hospitali, taasisi, kaya, jengo au shughuli za viwanda haziruhusiwi kuchafua anga hewa kwa kuachilia moshi angani unaoweza kuleta madhara kwa binadamu, mimea na viumbe hai. 17-.(1) Mtu yeyote hataruhusiwa kukata miti katika eneo la Halmashauri kwa ajili ya matumizi ya aina yoyote bila kibali. (2) Halmashauri itahakiki kama miti inayovunwa imekomaa na inafaa kwa ajili ya matumizi. (3) Mtu yeyote hataruhusiwa kuvuna miti katika msitu ambao umehifadhiwa kwa ajili ya viumbe maalumu ambao ni rasilimali ya Taifa. (4) Mtu yeyote anayetaka kuvuna miti kwa ajili ya kuchoma mkaa, mbao au kuni atatakiwa kuwa na eneo maalumu lililoidhinishwa na Halmashauri kwa ajili ya kazi hiyo. - 18 Verify source ↗
(1) Kila mkazi ndani ya eneo la Halmashauri
AI-assisted research summary: Residents in the council area must plant and care for trees on their homes or farms; owners of residential or business buildings must also plant and care for trees as listed in the Third Schedule; and no one may cut trees without a council permit.
18.-(1) Kila mkazi ndani ya eneo la Halmashauri atatakiwa kupanda na kutunza miti katika eneo lake la makazi au shamba analomiliki. (2) Kila mmiliki wa jengo la makazi au biashara atawajibika kutunza na kupanda miti katika eneo hilo kama ilivyoainishwa katika Jedwali la Tatu. (2) Mtu yeyote hataruhusiwa kukata miti isipokuwa kwa kibali cha Halmashauri. - 19 Verify source ↗
Mtu yeyote hataruhusiwa kufanya biashara
AI-assisted research summary: Mtu yeyote haruhusiwi kufanya biashara au kujenga chochote katika eneo la bustani zote za Halmashauri.
19. Mtu yeyote hataruhusiwa kufanya biashara yoyote au kujenga kitu chochote katika eneo la bustani zote za Halmashauri. - 20 Verify source ↗
Mkurugenzi anaweza kutoa kibali kwa mtu
AI-assisted research summary: Mkurugenzi anaweza kutoa kibali kwa mtu au taasisi kwa shughuli za kuboresha bustani, eneo la wazi, au kusimamia uhifadhi na usimamizi wa mazingira.
20. Mkurugenzi anaweza kutoa kibali kwa mtu 13 Sheria Ndogo ya Afya, Lishe Na Usimamizi wa Mazingira ya Halmashauri ya Manispaa Tabora Tangazo La Serikali Na. 320 (Linaendelea) wa jamii katika uhifadhi na utunzaji wa mazingira yeyote, taasisi, kikundi binafsi au asasi ya kiraia, ndani ya Halmashauri katika ngazi ya mtaa, kata au wilaya katika kuboresha bustani, eneo la wazi, kusimamia uhifadhi na usimamizi wa mazingira. Tathimini ya athari kwa mazingira na jamii Udhibiti wa kelele kwa shughuli mbalimbali za kijamii Makosa yanayotokana na uharibifu wa misitu - 21 Verify source ↗
Miradi yote
AI-assisted research summary: Projects carried out within the council area must not be developed unless they undergo an environmental impact assessment.
21. Miradi yote inayotekelezwa ndani ya Halmashauri haitaaendelezwa bila kufanyiwa tathmini ya athari ya mazingira. - 22 Verify source ↗
Mtu yeyote hataruhusiwa kusababisha au
AI-assisted research summary: Anyone is not allowed to create or trigger excessive noise, including music, factory noise, generators, or anything else, unless an authorized officer gives permission.
22. Mtu yeyote hataruhusiwa kusababisha au kufungulia kelele kupita kiasi iwe muziki, kelele za kiwanda, jenereta au kitu kingine chochote bila kibali cha afisa mwidhiniwa. - 23 Verify source ↗
Mtu yeyote atakuwa anatenda kosa ikiwa
AI-assisted research summary: Mtu yeyote anatenda kosa akifanya mojawapo ya vitendo vilivyoorodheshwa bila kibali au kwa kushindwa kushiriki kuzima moto.
23. Mtu yeyote atakuwa anatenda kosa ikiwa- (a) atachoma au kusababishia moto misitu bila ya kibali; (b) atashindwa kushiriki katika kuzima moto; (c) atavuna mazao ya miti katika misitu iliyohifadhiwa bila kibali; (d) atachoma mkaa au kukata kuni bila kibali; (e) atafyeka nyasi au kung’oa visiki kwenye misitu bila kibali; (f) atachunga mifugo kwenye lolote lililopandwa miti au misitu iliyohifadhiwa kama bustani ya mtu; eneo (g) atakata miti au kuchungia mifugo kwenye miti iliyopandwa kwa ajili ya kuzuia mmomonyoko wa udongo au kinga upepo; (h) atabandua magome ya miti kwa ajili ya kueneza vilindo, mzinga na vitu vingine bila kuwa na vibali; au (i) atalima au kukata miti katika vyanzo vya maji, milima, kando ya njia, makorongo na sehemu 14 Sheria Ndogo ya Afya, Lishe Na Usimamizi wa Mazingira ya Halmashauri ya Manispaa Tabora Tangazo La Serikali Na. 320 (Linaendelea) nyingine zozote zinazohifadhiwa ili kupunguza mmomonyoko wa udongo. SEHEMU YA TANO USIMAMIZI WA AFYA YA MAZINGIRA Usalama wa maji ya kunywa
Part
SEHEMU YA TANO
- 24 Verify source ↗
Kila mkazi ana wajibu wa kuhakikisha
AI-assisted research summary: Kila mkazi lazima ahakikishe maji ya kunywa ni safi na salama kwa kuyachemsha, bila kujali chanzo chake.
24. Kila mkazi ana wajibu wa kuhakikisha kwamba maji yanayotumika kwa kunywa ni safi na salama kwa kuyachemsha bila kujali yametoka kwenye chanzo gani cha maji. Usalama wa maji ya visima - 25 Verify source ↗
Kila mmiliki wa kisima ana wajibu wa
AI-assisted research summary: Every well owner must make sure the well water is tested so it is safe to use.
25. Kila mmiliki wa kisima ana wajibu wa kuhakikisha maji ya kisima yamepimwa ili yawe salama kwa matumizi. Utengenezaji, na uuzaji wa vyakula - 26 Verify source ↗
Mtu yeyote hataruhusiwa kutengeneza,
AI-assisted research summary: Mtu yeyote haruhusiwi kutengeneza, kupika, kuchemsha au kuuza chakula bila kuzingatia masharti na kanuni za afya na kupata kibali cha Afisa Afya wa Halmashauri.
26. Mtu yeyote hataruhusiwa kutengeneza, kuchoma, kupika, kuchemsha au kuuza chakula cha aina yoyote mahali popote au kwenye nyumba mpaka bila kuzingatia masharti na kanuni za afya na kupata kibali kutoka kwa Afisa Afya wa Halmashauri. Uuzaji wa vyakula vilivyopikwa - 27 Verify source ↗
Kila mtu anayeendesha biashara ya vyakula
AI-assisted research summary: Wanaoendesha biashara ya vyakula vya kupikwa au kukaangwa lazima wahakikishe vyakula vinahifadhiwa kwenye sanduku la mbao safi lenye kioo ili kuzuia inzi, vumbi na wadudu hatari.
27. Kila mtu anayeendesha biashara ya vyakula vya kupikwa au kukaangwa ana wajibu wa kuhakikisha kwamba vyakula hivyo vinahifadhiwa kwenye sanduku lililotengenezwa kwa mbao safi na kuwekwa kioo kuzuia inzi, vumbi na wadudu waletao madhara kwa afya ya binadamu. Usalama wa vyakula - 28 Verify source ↗
(1) Mtu yeyote hataruhusiwa kuuza vyakula
AI-assisted research summary: People may not sell uncooked food placed on the ground, and uncooked food sold must be placed on a table.
28.-(1) Mtu yeyote hataruhusiwa kuuza vyakula visivyopikwa kwa kuviweka chini. (2) Mtu anayeuza vyakula visivyopikwa atapaswa kuviweka juu ya meza. (3) Mtu yeyote hataruhusiwa kupanga vyakula nje ya duka la vyakula. 15 Sheria Ndogo ya Afya, Lishe Na Usimamizi wa Mazingira ya Halmashauri ya Manispaa Tabora Tangazo La Serikali Na. 320 (Linaendelea) Uzuiaji wa shughuli mbalimbali wakati wa magonjwa ya mlipuko Ukamataji wakati wa zuio - 29 Verify source ↗
Afisa Mwidhiniwa anaweza kutoa amri ya
AI-assisted research summary: An official may order activities to stop if the activity may spread an epidemic disease or harm human life.
29. Afisa Mwidhiniwa anaweza kutoa amri ya kuzuia shughuli yoyote isifanyike kama vile utengenezaji wa vyakula, pombe, mijumuiko, sherehe na mikusanyiko yoyote kwa kutangaza kwa njia ya kipaza sauti, maandishi au kupitia vyombo vya habari endapo atakuwa na sababu ya kuamini kwamba shughuli hiyo inaweza kusababisha kuenea kwa magonjwa ya mlipuko au kuleta athari kwa maisha ya binadamu. - 30 Verify source ↗
(1) Halmashauri itakuwa na mamlaka ya
AI-assisted research summary: Halmashauri inaweza kumkamata mtu anayekiuka zuio la kuuza vyakula wakati wa janga la mlipuko, na inaweza kuharibu vyakula vinavyoharibika kwa haraka vilivyokamatwa.
30.-(1) Halmashauri itakuwa na mamlaka ya kumkamata mtu yeyote ambaye atakaidi amri ya zuio la kufanyika kwa shughuli ya uuzaji wa vyakula wakati wa magonjwa ya mlipuko. (2) Endapo mtu aliyekamatwa alikuwa anauza vyakula ambavyo vinaharibika kwa haraka Halmashauri itaharibu vyakula hivyo. (3) Bila kuathiri kanuni ndogo ya (1) na (2), endapo vyakula vilivyokamatwa vitakuwa haviharibiki kwa haraka, Halmashauri la kuvihifadhi hadi mwisho wa amri ya zuio. itakuwa na jukumu Machinjio na maduka ya nyama (4) Halmashauri haitahusika na gharama zozote zitakazotokea kutokana na uharibifu isipokuwa kama uharibifu huo utakuwa umesababishwa kwa uzembe wa afisa wa Halmashauri au wakala. - 31 Verify source ↗
(1) Kila mmiliki wa duka la kuuza nyama ana
AI-assisted research summary: Wamiliki wa maduka ya nyama lazima wahakikishe duka lina miundombinu na vifaa vya usafi vilivyotajwa, na wauzaji wa nyama lazima wavae mavazi meupe na wapimwe afya kila baada ya miezi sita.
31.-(1) Kila mmiliki wa duka la kuuza nyama ana wajibu kuhakikisha kwamba duka lake- (a) ni jengo la kudumu lililosakafiwa kwa kuweka sakafuni na ukutani marumaru nyeupe hadi urefu wa futi 6 kutoka usawa wa sakafu; (b) lina maji safi na misumeno ya kukatia nyama; (c) lina kabati ya vioo na jokofu la kuhifadhia nyama na sehemu za mizani; 16 Sheria Ndogo ya Afya, Lishe Na Usimamizi wa Mazingira ya Halmashauri ya Manispaa Tabora Tangazo La Serikali Na. 320 (Linaendelea) (d) lina pipa la kuhifadhia takataka;na (e) lina mavazi maalumu kwa ajili ya kuendeshea biashara ikiwemo aproni, mabuti meupe na kofia. (2) Muuzaji yeyote wa nyama atatakiwa kuvaa vazi jeupe pamoja na aproni nyeupe na atapaswa kuwa anapima afya kila baada ya miezi sita. Uchinjaji na uuzaji wa nyama mahali pasiporuhusiwa - 32 Verify source ↗
Mtu yeyote hataruhusiwi kuchinja au kuuza
AI-assisted research summary: Mtu yeyote haruhusiwi kuchinja au kuuza nyama ya aina yoyote nje ya machinjio au maduka ya nyama, au katika maeneo ambayo Halmashauri haijaruhusu.
32. Mtu yeyote hataruhusiwi kuchinja au kuuza nyama ya aina yoyote katika maeneo yasiyokuwa machinjio au maduka ya nyama au katika maeneo yasiyoruhusiwa na Halmashauri. Uendeshaji wa biashara ya nyumba za kulala wageni na hosteli - 33 Verify source ↗
(1) Kila mmiliki wa nyumba za kulala wageni
AI-assisted research summary: Wamiliki wa nyumba za kulala wageni, hosteli, au nyumba za biashara lazima wapate kibali cha Halmashauri kabla ya kuanza biashara.
33.-(1) Kila mmiliki wa nyumba za kulala wageni na hosteli au nyumba ya biashara ana wajibu wa kuhakikisha anapata kibali kutoka Halmashauri kabla ya kuanza biashara. (2) Endapo mmiliki wa nyumba ya kulala wageni, hosteli au nyumba ya biashara hajakidhi masharti ya kiafya, Halmashauri inaweza kuzuia kibali cha kuendesha biashara ya nyumba ya kulala wageni, hosteli au nyumba ya kulala hadi mmiliki atakapokuwa amekidhi masharti yaliyotolewa na Halmashauri. Mahitaji ya nyumba ya kulala wageni na hosteli - 34 Verify source ↗
Kibali cha kuendesha biashara ya nyumba ya
AI-assisted research summary: Kibali cha kuendesha nyumba ya kulala wageni, mgahawa, hoteli au hosteli hutolewa tu baada ya Halmashauri kujiridhisha kuwa majengo yanatimiza masharti ya usafi, miundombinu, vifaa vya usalama na huduma za matumizi.
34. Kibali cha kuendesha biashara ya nyumba ya kulala wageni, mgahawa, hoteli au hosteli kitatolewa baada ya Halmashauri kujiridhisha kuwa katika majengo hayo kuna- (a) mwanga na hewa ya kutosha; (b) nafasi na vifaa ama samani za kutosha; (c) mfumo wa kuaminika wa uondoshaji wa maji taka na taka ngumu; (d) usafi wa jumla wa jengo na vifaa vyake; (e) vyoo na mabafu kwa ajili ya watumiaji wa 17 Sheria Ndogo ya Afya, Lishe Na Usimamizi wa Mazingira ya Halmashauri ya Manispaa Tabora Tangazo La Serikali Na. 320 (Linaendelea) jinsi zote; (f) vifaa vya zima moto; (g) tanki la kuhifadhia maji safi; (h) vyoo na bafu vilivyosakafiwa kwa vigae au marumaru na kuta zake zimewekwa vigae kiasi cha futi sita kutoka usawa wa sakafu. (i) jozi zaidi ya mbili za mashuka, foronya za mito na magodoro kwa kila kitanda na ziwe na rangi isiyoficha uchafu; (j) sehemu maalumu ya kufulia na kuanikia nguo; na (k) stoo na chumba cha kubadilishia nguo kwa ajili ya wafanyakazi. Upimaji wa afya - 35 Verify source ↗
Kila mfanyakazi wa hoteli, gereji, saluni,
AI-assisted research summary: Wafanyakazi wa maeneo yaliyotajwa lazima wapime afya kila baada ya miezi sita katika kituo cha Serikali au kituo cha afya kilichoteuliwa na Halmashauri.
35.- Kila mfanyakazi wa hoteli, gereji, saluni, kiwanda, wazoa taka, choo cha umma, mgahawa, baa, bucha, sehemu ya kuokea mikate, nyumba ya kulala wageni, mfagiaji wa barabara au duka la kuuzia pombe ana wajibu wa kupima afya kila baada ya miezi sita katika kituo cha Serikali au kituo cha afya kilichoteuliwa na Halmashauri. Mamlaka ya kukagua - 36 Verify source ↗
Afisa Mwidhiniwa atakuwa na mamlaka ya
AI-assisted research summary: Afisa Mwidhiniwa ana mamlaka ya kuingia katika jengo lolote wakati wa saa za kazi au wakati wa ukaguzi maalumu ili kukagua utekelezaji wa Sheria Ndogo hii.
36. Afisa Mwidhiniwa atakuwa na mamlaka ya kuingia katika jengo lolote wakati wowote wakati wa saa za kazi na wakati wowote inapotakiwa kufanyika kwa ukaguzi maalumu kwa madhumuni ya kukagua utekelezaji wa Sheria Ndogo hii. Kufungwa kwa jengo la biashara lisilokidhi masharti ya afya - 37 Verify source ↗
Afisa Mwidhiniwa atakuwa na mamlaka ya
AI-assisted research summary: Afisa Mwidhiniwa anaweza kuagiza kufungwa kwa biashara au jengo ambalo halijakaguliwa au limekaguliwa na kubainika kukiuka masharti ya afya.
37. Afisa Mwidhiniwa atakuwa na mamlaka ya kuagiza kufungwa kwa biashara yoyote au jengo ambalo halijakaguliwa au lililokaguliwa na kukutwa limekiuka kanuni na masharti ya afya. 18 Sheria Ndogo ya Afya, Lishe Na Usimamizi wa Mazingira ya Halmashauri ya Manispaa Tabora Tangazo La Serikali Na. 320 (Linaendelea) Ada ya ukaguzi wa afya - 38 Verify source ↗
Halmashauri itatoza ada ya ukaguzi wa afya
AI-assisted research summary: Halmashauri inatoza ada ya ukaguzi wa afya inayolipwa kila mwaka kabla ya mwombaji kupewa leseni ya biashara.
38. Halmashauri itatoza ada ya ukaguzi wa afya ambayo italipwa kwa mwaka kabla ya mwombaji kupewa leseni ya biashara ambayo viwango vyake vitakuwa kama vilivyoainishwa katika Jedwali la Pili. Muda wa kulipa ada - 39 Verify source ↗
(1) Ada ya ukaguzi wa afya italipwa kila
AI-assisted research summary: Ada ya ukaguzi wa afya lazima ilipwe kila mwanzo wa mwaka wa fedha wa Halmashauri, yaani Julai.
39.-(1) Ada ya ukaguzi wa afya italipwa kila mwanzo wa mwaka wa fedha wa Halmashauri, yaani mwezi Julai. (2) Mtu yeyote atakayeshindwa kulipa ada katika kipindi cha miezi miwili baada ya mwaka wa fedha kuanza atawajibika kulipa kiwango hicho pamoja na adhabu ya asilimia hamsini ya kiwango anachodaiwa. Udhibiti wa utupaji wa taka SEHEMU YA SITA UDHIBITI WA TAKA NGUMU
Part
SEHEMU YA SITA
- 40 Verify source ↗
(1) Mtu yeyote haruhusiwi kutupa taka ovyo
AI-assisted research summary: Mtu yeyote na watumiaji wa vyombo vya usafiri hawaruhusiwi kutupa taka ovyo; taka zitatupwa kwenye maeneo au vyombo vilivyotengwa.
40.-(1) Mtu yeyote haruhusiwi kutupa taka ovyo katika maeneo ya makazi, biashara, mifereji ya maji ya mvua, hifadhi ya barabara au mahali popote pasipotengwa kwa ajili ya kutupa taka. (2) Watumiaji wa vyombo vya usafiri binafsi au vya umma hawaruhusiwi kutupa taka nje ya vyombo wanavyotumia na taka zote zitawekwa kwenye chombo cha kuhifadhia taka kilichomo kwenye chombo cha usafiri husika. (3) Mtu yeyote au mkazi ana wajibu wa kuhakikisha kwamba anatupa uchafu au taka katika vyombo maalumu vilivyowekwa kwa ajili ya kutunzia taka katika maeneo maalumu yaliyotengwa. Wajibu wa kuwa na pipa la taka - 41 Verify source ↗
(1) Kila mmiliki wa nyumba, mpangaji au
AI-assisted research summary: House owners, tenants, and businesses must keep a strong covered container for storing solid waste, and residents must care for and keep waste containers placed by the council.
41.-(1) Kila mmiliki wa nyumba, mpangaji au mfanyabiashara ana wajibu wa kuhakikisha kuwa ana chombo imara chenye mfuniko kwa ajili ya kuhifadhia 19 Sheria Ndogo ya Afya, Lishe Na Usimamizi wa Mazingira ya Halmashauri ya Manispaa Tabora Tangazo La Serikali Na. 320 (Linaendelea) taka ngumu kabla hazijachukuliwa kwa ajili ya kwenda kutupwa katika eneo lililotengwa kwa ajili ya kuhifadhi taka. (2) Kila mmiliki wa nyumba, mpangaji au mfanyabiashara ana wajibu wa kuhakikisha kuwa ana chombo imara chenye mfuniko kwa ajili kuhifadhia taka ngumu na kinatumika kwa kazi hiyo na anakitunza na kukilinda. (3) Kila mkazi au mtu yeyote ana wajibu wa taka kutunza na kuhifadhi vyombo vya kuhifadhia vinavyowekwa na Halmashauri. Uanzishwaji wa Vikundi Jamii Uhifadhi wa maji taka itakuwa na - 42 Verify source ↗
Halmashauri
AI-assisted research summary: Halmashauri lazima kuhamasisha uundaji na utambuzi wa Vikundi Jamii ili viweze kufanya udhibiti wa taka ngumu na usafi wa mazingira, baada ya mkataba na Halmashauri.
42. Halmashauri la kuhamasisha uundaji wa Vikundi Jamii na kuvitambua ili kuviwezesha kufanya shughuli za udhibiti wa taka ngumu pamoja na usafi wa mazingira baada ya kuingia mkataba na Halmashauri. jukumu - 43 Verify source ↗
(1) Kila mmiliki wa nyumba anatakiwa
AI-assisted research summary: Mmiliki wa nyumba lazima awe na njia ya kuhifadhi maji taka na ayanyonye yanapojaa. Pia, mtu yeyote haruhusiwi kumwaga maji taka au kinyesi kutoka chooni au sehemu nyingine kwenye mifereji ya maji ya mvua, mabonde, maji yanayotembea, au maeneo mengine yasiyoruhusiwa.
43.-(1) Kila mmiliki wa nyumba anatakiwa kuhakikisha kuwa ana karo la kuhifadhi maji taka na atawajibika kunyonya maji taka pale karo linapojaa. (2) Mtu yeyote haruhusiwi kufungulia na kutiririsha maji taka au kinyesi kutoka chooni au sehemu yoyote wakati wa mvua au wakati wowote kwenye mifereji ya maji ya mvua, mabonde au maji yanayotembea au sehemu nyingine yoyote isiyoruhusiwa. Kutiririsha maji taka - 44 Verify source ↗
Mtu yeyote haruhusiwi kutiririsha au
AI-assisted research summary: Anyone must not discharge or direct water from toilets, bathrooms, washing, or dishwashing into any place not designated to store wastewater.
44. Mtu yeyote haruhusiwi kutiririsha au kuelekeza maji kutoka vyooni, bafuni, karoni, baada ya kufua au kuosha vyombo kwenda sehemu yoyote isiyotengwa kuhifadhi maji taka. Taka za viwanda - 45 Verify source ↗
(1) Kiwanda chochote hakiruhusiwi kutoa au
AI-assisted research summary: Factories must not release pollution, wastewater, bad smells, dust, or noise that causes nuisance, and factory owners must ensure such waste does not reach people or other living things or cause harm.
45.-(1) Kiwanda chochote hakiruhusiwi kutoa au kusababisha kutoa uchafu wa aina yoyote, maji machafu, 20 Sheria Ndogo ya Afya, Lishe Na Usimamizi wa Mazingira ya Halmashauri ya Manispaa Tabora Tangazo La Serikali Na. 320 (Linaendelea) Kaya au jengo la biashaara kulipa ada ya uzoaji taka harufu mbaya, vumbi au kelele na kusababisha kero kwa wakazi wa eneo la Halmashauri. (2) Kila mwenye kiwanda ana wajibu wa kuhakikisha kuwa taka kama vile vumbi, maganda, moshi na takataka nyingine zinazoweza kuleta kero au adha kwa ujumla haziwafikii wala hazileti madhara kwa binadamu na viumbe hai wengine. - 46 Verify source ↗
(1) Halmashauri itatoza ada ya uzoaji taka
AI-assisted research summary: Halmashauri lazima itozeshe ada ya uzoaji taka, na ada ya kila mwezi ilipwe kwa Afisa Mwidhiniwa ifikapo tarehe 30 ya kila mwezi.
46.-(1) Halmashauri itatoza ada ya uzoaji taka kutoka kwa kila kaya, mwenye jengo la biashara au taasisi yoyote. (2) Ada ya kila mwezi italipwa kila tarehe 30 ya kila mwezi ndani ya mwezi husika na italipwa kwa Afisa Mwidhiniwa ambaye atatoa stakabadhi ya malipo kwa njia ya kieletroniki yatakayolipwa na atajaza katika rejista ya wazalishaji taka. (3) Endapo mzalishaji wa taka atashindwa kulipia gharama ya huduma ya uzoaji taka kwa kipindi cha miezi miwili mfululizo Halmashauri itamchukulia hatua za kisheria ikiwa ni pamoja na kufikishwa mahakamani. (4) Bila kuathiri kanuni ya 16 cha Sheria Ndogo hii ni marufuku kwa mtu yeyote, kampuni, wakala au taasisi kuendesha shughuli za uchomaji wa taka hatarishi bila kupata kibali kutoka Halmashauri. SEHEMU YA SABA UJENZI NA MATUMIZI YA VYOO Wajibu wa kuwa na choo na kukitumia
Part
SEHEMU YA SABA
- 47 Verify source ↗
(1) Kila mmiliki wa nyumba au mpangaji ana
AI-assisted research summary: Mmiliki wa nyumba au mpangaji lazima ahakikishe nyumba ina choo safi na imara, na pia kuweka eneo maalumu la kunawa mikono lenye maji safi na sabuni ya kimiminika.
47.-(1) Kila mmiliki wa nyumba au mpangaji ana wajibu wa kuhakikisha kwamba nyumba yake ina choo safi na imara kwa matumizi ya wakazi wa nyumba hiyo. (2) Kila mmiliki wa nyumba au mpangaji ana wajibu wa kuweka sehemu maalumu ya kunawa mikono yenye maji safi na sabuni ya kimiminika. 21 Sheria Ndogo ya Afya, Lishe Na Usimamizi wa Mazingira ya Halmashauri ya Manispaa Tabora Tangazo La Serikali Na. 320 (Linaendelea) Umbali wa kujenga choo - 48 Verify source ↗
Choo chochote kinapaswa kujengwa umbali
AI-assisted research summary: Anything must be built at least 60 meters from any water source used for domestic use.
48. Choo chochote kinapaswa kujengwa umbali wa mita sitini kutoka chanzo chochote cha maji kinachotumika kwa matumizi ya nyumbani. Vyoo vya umma - 49 Verify source ↗
(1) Halmashauri inaweza kujenga choo cha
AI-assisted research summary: Halmashauri inaweza kujenga choo cha umma au kuruhusu wengine wajenge, na vyoo vinavyojengwa chini ya sheria hii lazima viwe vya kudumu na viwe na vifaa vilivyoainishwa.
49.-(1) Halmashauri inaweza kujenga choo cha umma au kumruhusu mtu binafsi, vikundi vya watu au taasisi kujenga choo cha umma katika maeneo ambayo Halmashauri itaona inafaa. (2) Vyoo vitakavyojengwa kwa mujibu wa Sheria Ndogo hii vitatakiwa kuwa vya kudumu na viwe na- (a) matundu yasiyopungua mawili kwa wanawake na mawili kwa wanaume; (b) mfumo madhubuti wa maji na uwepo wa maji ya kutosha yaliyo safi na salama; (c) chombo cha kuhifadhia maji ya akiba; (d) bafu ya wanaume na wanawake; (e) sehemu ya haja ndogo kwa wanaume; na (f) chombo maalumu chenye mfuniko cha kuhifadhia taka zisizoweza kusukumwa na maji. Vyoo vya muda katika mikusanyiko - 50 Verify source ↗
Mtu yeyote, kikundi au taasisi yenye lengo la
AI-assisted research summary: Watu, vikundi au taasisi zinazoandaa mkutano, sherehe au mkusanyiko lazima ziweke au zijenge choo cha muda ikiwa eneo halina choo cha kudumu, na ziombe idhini kutoka Halmashauri.
50. Mtu yeyote, kikundi au taasisi yenye lengo la kukusanya watu kwa madhumuni ya mkutano, sherehe au mkusanyiko wowote ina wajibu wa kuweka au kujenga choo cha muda endapo eneo hilo hakuna choo cha kudumu na itatakiwa kuomba idhini kutoka Halmashauri. Vyoo katika majengo ya biashara - 51 Verify source ↗
Kila mmiliki wa jengo la biashara atatakiwa
AI-assisted research summary: Every business building owner must build acceptable toilets for customers, taking both genders into account.
51. Kila mmiliki wa jengo la biashara atatakiwa kujenga vyoo vyenye viwango vinavyokubalika chini ya Sheria Ndogo hii kwa ajili ya matumizi ya wateja wake kwa kuzingatia jinsi zote. Ilani ya - 52 Verify source ↗
Endapo katika ukaguzi wa afya itagundulika
AI-assisted research summary: Kama ukaguzi wa afya unaonyesha nyumba haina choo, choo kimejaa, au hakifai kwa matumizi ya binadamu, Afisa Mwidhiniwa lazima amtoe ilani mmiliki au mpangaji ili kurekebisha hali hiyo.
52. Endapo katika ukaguzi wa afya itagundulika 22 Sheria Ndogo ya Afya, Lishe Na Usimamizi wa Mazingira ya Halmashauri ya Manispaa Tabora Tangazo La Serikali Na. 320 (Linaendelea) kujenga au kurekebisha choo kuwa nyumba yoyote haina choo au choo kilichopo kimejaa au hakifai kwa matumizi ya binadamu, Afisa Mwidhiniwa atatoa ilani kwa mmiliki wa nyumba au mpangaji akiainisha masharti ya kurekebisha hali hiyo. Kufungwa kwa jengo - 53 Verify source ↗
Bila kuathiri masharti ya kanuni ya 54,
AI-assisted research summary: Halmashauri inaweza kuamuru nyumba au jengo lisilo na choo au lenye choo kisichofaa kwa matumizi lisitumike kwa makazi au biashara hadi litakaporekebishwa.
53. Bila kuathiri masharti ya kanuni ya 54, Halmashauri inaweza kuamuru nyumba au jengo lisilo na choo au lenye choo kisichofaa kwa matumizi lisitumike kwa shughuli za makazi au biashara hadi hapo hali hiyo itakapokuwa imerekebishwa. Ilani ya kuondoa kero - 54 Verify source ↗
(1) Endapo Afisa Mwidhiniwa atagundua
AI-assisted research summary: If the authorized officer finds a nuisance in an inspected area, the officer must give notice within seven days requiring its removal. Anyone who fails to comply with the notice terms within the stated time commits an offence.
54.-(1) Endapo Afisa Mwidhiniwa atagundua kuwa eneo alilokagua lina kero yoyote, atatoa ilani ndani ya siku saba kwa mmiliki wa nyumba, mpangaji, mtumiaji au mtu yeyote anayehusika akimtaka kuondoa kero hiyo. (2) Mtu yeyote atakayeshindwa kutekeleza masharti ya ilani aliyopewa ndani ya muda ulioainishwa kwenye ilani atakuwa anatenda kosa. Eneo maalumu la uvutaji sigara - 55 Verify source ↗
(1) Mtu yeyote haruhusiwi kuvuta sigara
AI-assisted research summary: No one may smoke in open areas or in gatherings of people, and owners of certain business, entertainment, sports, and public/private office buildings must set aside a smoking area and provide an ashtray container.
55.-(1) Mtu yeyote haruhusiwi kuvuta sigara kwenye eneo la wazi au kwenye mikusanyiko ya watu. (2) Kila mwenye jengo la biashara za baa, hoteli, mgahawa, kumbi za starehe, viwanja vya michezo na burudani, ofisi za umma na binafsi anatakiwa kutenga eneo maalumu la kuvutia sigara na kuweka chombo cha kuhifadhia majivu na vichungi vya sigara. Ukaguzi wa afya - 56 Verify source ↗
Halmashauri kupitia afisa afya ya mazingira
AI-assisted research summary: Halmashauri, kupitia afisa afya ya mazingira, lazima ifanye ukaguzi wa afya katika maeneo yote ya makazi, biashara, au shughuli ndani ya eneo lake.
56. Halmashauri kupitia afisa afya ya mazingira itafanya ukaguzi wa afya kwenye maeneo yote ya makazi, biashara au shughuli yoyote yaliyopo katika eneo la Halmashauri. 23 Sheria Ndogo ya Afya, Lishe Na Usimamizi wa Mazingira ya Halmashauri ya Manispaa Tabora Tangazo La Serikali Na. 320 (Linaendelea) SEHEMU YA NANE WAJIBU WA HALMASHAURI KATIKA USIMAMIZI WA LISHE Wajibu wa Halmashauri ya kijiji au mtaa
Part
SEHEMU YA NANE
- 57 Verify source ↗
(1) Halmashauri ya kijiji au Mtaa itakuwa na
AI-assisted research summary: Halmashauri ya kijiji au mtaa lazima kushirikiana na wataalamu wa afya na lishe, kusambaza taarifa za lishe, kupeleka watoto wachanga wenye utapiamlo mkali kwenye huduma za afya, na kusaidia mahudhurio ya kliniki na mipango ya mlo wa mchana shuleni.
57.-(1) Halmashauri ya kijiji au Mtaa itakuwa na wajibu wa- (a) kushirikiana na wataalamu wa afya na lishe kutoa elimu inayohusiana na masuala ya lishe kwa wananchi; (b) kuhakikisha taarifa zote zinazohusiana na lishe na kufanyiwa zinajadiliwa, zinabandikwa kwenye mbao za matangazo katika Ofisi za kijiji au mtaa husika; siku lishe ya inaadhimishwa kwa kila robo mwaka katika mtaa au kijiji; (c) kuhakikisha uamuzi afya na (d) kuhakikisha watoto wote chini ya miaka mitano wanaogundulika kuwa na utapiamlo mkali wanapelekwa katika vituo vya kutolea huduma za afya kwa ajili ya matibabu; (e) kuhakikisha watoto wote chini ya miaka mitano wanahudhuria kliniki kulingana na tarehe iliyopangwa na mtoa huduma za afya; (f) kuhimiza wajawazito kuhudhuria kliniki kwa muda wote wa ujauzito; na (g) kuhakikisha kila shule inakuwa na utaratibu maalumu wa kuwawezesha watoto kupata mlo wa mchana shuleni. Wajibu wa wataalamu wa afya na lishe - 58 Verify source ↗
(1) Mtaalamu wa afya na lishe atakuwa na
AI-assisted research summary: Mtaalamu wa afya na lishe lazima atekeleze majukumu ya elimu ya lishe, utambuzi wa watoto wenye utapiamlo, kutoa taarifa kwenye vikao vya kijiji, na kutoa rufaa kwa watoto wenye utapiamlo.
58.-(1) Mtaalamu wa afya na lishe atakuwa na wajibu ufuatao: (a) kutembelea kaya na kutoa elimu inayohusu masuala ya lishe; (b) kufanya utambuzi wa watoto wenye utapiamlo katika mtaa au kijiji; 24 Sheria Ndogo ya Afya, Lishe Na Usimamizi wa Mazingira ya Halmashauri ya Manispaa Tabora Tangazo La Serikali Na. 320 (Linaendelea) (c) kutoa taarifa ya masuala ya lishe katika vikao vya Halmashauri ya kijiji; (d) kumpa rufaa mtoto mwenye utapiamlo kwenda kituo wanachotolea huduma za afya; na (e) kufanya utambuzi wa hali ya lishe kwa watoto chini ya miaka mitano. Wajibu wa mzazi au mlezi - 59 Verify source ↗
Kila mzazi au mlezi katika kila kaya atakuwa
AI-assisted research summary: Kila mzazi au mlezi katika kila kaya lazima ahakikishe watoto na mjamzito wanapata huduma na ufuatiliaji wa afya na lishe ulioorodheshwa hapa.
59. Kila mzazi au mlezi katika kila kaya atakuwa na wajibu ufuatao: (a) kuhakikisha mtoto chini ya miaka mitano anapelekwa kliniki; (b) kuhakikisha mtoto au mjamzito anapewa chakula cha virutubisho kadiri ya maelekezo ya mtaalamu wa lishe au mhudumu wa afya ngazi ya jamii; (c) kuhakikisha mtoto mwenye utapiamlo anapelekwa kwenye kituo cha kutolea huduma za afya kupatiwa matibabu ya utapiamlo; (d) kuhakikisha usafi na usalama wa mji unatekelezwa katika kata; (e) kuhakikisha mtoto anapewa matone ya nyongeza ya vitamini “A” na dawa za minyoo kwa kadiri ya maelekezo ya mtaalamu wa afya; na (f) kuhakikisha mjamzito anahudhuria kliniki muda wote wa ujauzito. Kamati ya Lishe ya Halmashauri - 60 Verify source ↗
Kutakuwa na Kamati ya Lishe ya Halmashauri
AI-assisted research summary: This section establishes the Council Nutrition Committee and lists its members, including the District Commissioner as chair and the Council Director as secretary.
60. Kutakuwa na Kamati ya Lishe ya Halmashauri yenye wajumbe wafuatao: (a) Mkuu wa Wilaya ambaye atakuwa mwenyekiti wa kamati; (b) Mkurugenzi wa Halmashauri ambaye atakuwa katibu wa kamati; 25 Sheria Ndogo ya Afya, Lishe Na Usimamizi wa Mazingira ya Halmashauri ya Manispaa Tabora Tangazo La Serikali Na. 320 (Linaendelea) (c) Afisa Utumishi wa Halmashauri; (d) Mweka Hazina wa Halmashauri; (e) Mganga Mkuu wa Halmashauri; (f) Afisa Lishe wa Halmashauri; (g) Watendaji wa Kata zote zilizomo ndani ya Halmashauri; na (h) wadau wa maendeleo wanaofanya kazi eneo la Halmashauri. Wajibu wa Kamati ya Lishe ya Halmashauri - 61 Verify source ↗
Kamati ya Lishe ya Halmashauri itakuwa na
AI-assisted research summary: Kamati ya Lishe ya Halmashauri lazima ifanye tathmini ya shughuli za lishe, ihakikishe utekelezaji wa shughuli za ngazi ya mtaa au kijiji, na kuratibu vikao vya tathmini vya kila robo mwaka pamoja na kuwasilisha taarifa kwa Kamati ya Lishe ya Mkoa.
61. Kamati ya Lishe ya Halmashauri itakuwa na wajibu wa- (a) kufanya tathimini ya utekelezaji wa shughuli za lishe ndani ya Halmashauri; shughuli (b) kuhakikisha kuwa zinazopaswa kutekelezwa katika ngazi ya mtaa au kijiji zinatekelezwa; na Maeneo ya kutolea huduma ya lishe Makosa (c) kuratibu na kuhakikisha kuwa vikao vya tathmini ya lishe katika ngazi ya Halmashauri vinafanyika kila robo mwaka na taarifa inawasilishwa katika Kamati ya Lishe ya Mkoa. - 62 Verify source ↗
Mtaalamu wa afya na lishe atatoa huduma ya
AI-assisted research summary: A health and nutrition professional must provide nutrition services in every household and health facility, or in any other area that is specified.
62. Mtaalamu wa afya na lishe atatoa huduma ya lishe katika kila kaya na kituo cha kutolea huduma za afya au eneo lolote litakaloainishwa. - 63 Verify source ↗
Mtu yeyote atakuwa anatenda kosa endapo
AI-assisted research summary: This section makes it an offence for anyone to do any of the listed acts, including blocking an authorized officer, dumping waste in public places, selling or preparing food in improper places, washing vehicles in unauthorized areas without a permit, and growing crops over 30 cm in the listed wards.
63. Mtu yeyote atakuwa anatenda kosa endapo- (a) atamzuia au kujaribu kumzuia au atamshawishi mtu au kundi la watu kumzuia Afisa Mwidhiniwa asitekeleze wajibu wake chini ya Sheria Ndogo hii; (b) atamwaga taka barabarani, katika mtaro wa maji ya mvua, uchochoroni au mahali popote hadharani au katika eneo lolote lisiloruhusiwa; 26 Sheria Ndogo ya Afya, Lishe Na Usimamizi wa Mazingira ya Halmashauri ya Manispaa Tabora Tangazo La Serikali Na. 320 (Linaendelea) (c) ataendesha biashara ya pombe ndani ya nyumba ya makazi; (d) atatiririsha maji machafu barabarani au katika eneo la nyumba ya jirani; (e) ataosha magari, kufua, kunywesha mifugo na kukoroga dawa za mimea ndani ya mito, mabwawa, lambo au ndani ya chanzo cha maji au kisima kinachotumika kwa matumizi ya binadamu; (f) atapika vyakula pembezoni mwa barabara au nje ya majengo mengine; (g) atauza vyakula maeneo yasiyo rasmi au kushindwa kuhifadhi chakula kwenye kabati safi lililofunikwa na lenye kioo; (h) atafanya matengenezo ya magari, pikipiki au mitambo katika maeneo ya wazi, makazi, barabarani, uchochoroni au katika maeneo yasiyotengwa bila kwa kuzingatia taratibu za mipango miji; shughuli hizo (i) atavuta sigara hadharani, mahali pa jumuiya au kwenye vyombo vya usafiri; (j) atatema mate ovyo au kutema mate barabarani au mahali pa jumuiya; (k) ataacha nyumba anayoishi, anayomiliki au anayofanyia shughuli zake katika hali ya uchafu yenye kuleta kero au chukizo; (l) ataacha chombo cha usafiri katika hali ya uchafu; (m) ataendesha shughuli za viwanda katika maeneo barabarani, uchochoroni au katika maeneo yasiyotengwa kwa shughuli hizo bila kuzingatia taratibu za mipango miji; ya wazi, makazi, (n) ataanzisha au kufungua karakana katika 27 Sheria Ndogo ya Afya, Lishe Na Usimamizi wa Mazingira ya Halmashauri ya Manispaa Tabora Tangazo La Serikali Na. 320 (Linaendelea) majengo, majumba au maeneo ya makazi; (o) ataenda haja ndogo au kubwa barabarani, uchochoroni, upenuni au mahali popote ambapo si chooni; (p) atafanya biashara ya kuosha gari, pikipiki au mtambo wowote katika eneo la makazi, eneo la wazi au eneo ambalo halikutengwa kwa shughuli hiyo au kuruhusu eneo lake kutumika kwa shughuli za kuosha vyombo vya moto katika maeneo ambayo hayakutengwa kwa shughuli hizo bila kupata kibali kutoka Halmashauri; (q) atafanya mikusanyiko wakati wa mlipuko wa idhini ya magojwa ya kuambukiza bila Halmashauri; au (r) atapanda mazao yenye urefu wa kuzidi sentimita thelathini katika kata ya Cheyo, Ipuli, Kidongo Chekundu, Kiloleni, Isevya, Kanyenye, Kitete, Mbugani, Ng’ambo, Gongoni, Chemchem, Mapambano na Mwinyi. Tambukareli, Mpela, Adhabu Kufifilisha kosa - 64 Verify source ↗
Mtu yeyote atakayepatikana na hatia kwa
AI-assisted research summary: Anyone found guilty of violating this by-law may be fined up to 300,000 shillings, imprisoned for up to 12 months, or receive both penalties.
64. Mtu yeyote atakayepatikana na hatia kwa kukiuka masharti ya Sheria Ndogo hii atawajibika kulipa faini isiyozidi shilingi laki tatu au kutumikia kifungo kisichozidi miezi kumi na mbili au adhabu zote mbili. - 65 Verify source ↗
Mkurugenzi atakuwa na uwezo wa kufifilisha
AI-assisted research summary: Mkurugenzi anaweza kufifilisha kosa kwa kutoza faini mtu aliyekiuka Sheria Ndogo hii, lakini si zaidi ya shilingi laki mbili, ikiwa mkosaji anakiri kwa hiari na yuko tayari kujaza fomu maalumu ya Jedwali la Nne.
65. Mkurugenzi atakuwa na uwezo wa kufifilisha kosa kwa kumtoza faini mtu yeyote aliyetenda kosa kinyume cha Sheria Ndogo hii, kiasi kisichozidi shilingi laki mbili iwapo mkosaji atakiri kosa kwa hiari na kuwa tayari kujaza fomu maalumu iliyoanishwa kwenye Jedwali la Nne. 28 Sheria Ndogo ya Afya, Lishe Na Usimamizi wa Mazingira ya Halmashauri ya Manispaa Tabora Tangazo La Serikali Na. 320 (Linaendelea) Kufutwa kwa Ts Na. 361 la 2015
Part
Jedwali la Nne.
- 66 Verify source ↗
Sheria Ndogo za (Usafi wa Mazingira) za
AI-assisted research summary: Sheria ndogo za usafi wa mazingira za Manispaa ya Tabora za mwaka 2015 zimefutwa, na jedwali linaweka ada za kila mwezi za uzaji wa taka kwa aina mbalimbali za makazi na biashara.
66. Sheria Ndogo za (Usafi wa Mazingira) za Halmashauri ya Manispaa ya Tabora za mwaka 2015 zimefutwa. _____________ JEDWALI LA KWANZA ______________ (Limetengenezwa chini ya aya ya 5(1)) Namba 1 2 3 4 5 6 ADA YA UZOAJI WA TAKA Aina ya Makazi Nyumba za ghorofa usanifu wa kawaida(Kwa kaya) Nyumba za chini(kwa kaya) Nyumba mpya za ghorofa usanifu wa kawaida Nyumba mpya za ghorofa usanifu wa kisasa Nyumba ya pekee(Bungalow) Nyumba ya pekee yenye nyumba za huduma (Villa) Kipato cha chini kwa mwezi 2,000 2,000 3000 5,000 5000 8000 Namba Aina ya mzalishaji wa taka 8 9 10 Hostel (kwa mpangaji /mkazi ) Hostel (kwa chumba) Nyumba ya kulala wageni OFISI Kiwango cha ada kwa mwezi Kipato cha chini 500 2000 10000 • Ofisi - 1 – 10 wafanyakazi • Ofisi – 11 – 50 wafanyakazi • Ofisi – 51 – 100 wafanyakazi • Ofisi – 101 – zaidi ya wafanyakazi BENKI 10,000 15,000 20,000 50,000 29 Sheria Ndogo ya Afya, Lishe Na Usimamizi wa Mazingira ya Halmashauri ya Manispaa Tabora Tangazo La Serikali Na. 320 (Linaendelea) 11 12 13 14 15 16 17 18 19 20 21 22 23 24 25 26 27 28 29 30 31 32 33 34 Tawi la Benki ya biashara Duka la kubadilishia fedha Ofisi za ATM Ofisi za luku (Tanesco) Ofisi za luku(wakala) Mawakala wa fedha kwa mitandao ya simu na benki VYAKULA NA VINYWAJI Sehemu ya kutengenezea chai na vitafunwa Cafe/Restaurant Duka la vyakula na vinywaji Baa( pombe, vinywaji baridi na vitafunwa) Mama na baba lishe Taka zinazotokana na Biashara ya Mgahawa wa nje ya Majengo Vibanda vya chips Baa na mgahawa/jiko Baa na nyumba ya kulala wageni Baa, nyumba ya wageni na Ukumbi wa starehe Baa na ukumbi wa starehe Baa, Ukumbi wa starehe na mgahawa Ukumbi wa starehe Watu 01 hadi 300 Watu 301hadi750 20,000 20,000 20,000 12,000 51,000 15,000 10,000 10,000 10,000 10,000 5,000 10,000 5000 5,000 20,000 10,000 10,000 10,000 70,000 80,000 Duka la kuuza Ice Cream 10,000 HOTELI 10 Vyumba
Part
Sehemu ya kutengenezea chai na vitafunwa
- 101 Verify source ↗
Na kuendelea
AI-assisted research summary: Section 101 lists fee amounts for different business and service categories.
101- Na kuendelea BUCHA YA NYAMA NA SAMAKI WABICHI DUKA ( JUMLA NA REJA REJA) Vyakula/Bidhaa mchanganyiko Duka la Nguo Vifaa vya umeme au simu (Electronic phone, 30 30,000 50,000 50,000 50,000 60,000 70,000 80,000 90,000 5,000 10,000 5,000 8,000 Sheria Ndogo ya Afya, Lishe Na Usimamizi wa Mazingira ya Halmashauri ya Manispaa Tabora Tangazo La Serikali Na. 320 (Linaendelea) 35 36 37 38 39 40 41 42 43 44 45 46 47 48 49 50 51 52 53 54 55 56 57 58 59 60 61 62 62(a) 62(b) phone accessories and electrical appliances) Vifaa vya ujenzi Hardware/ Machinery Vitabu/ Shajala Urembo/ Vipodozi Duka la Samani (Furniture and Machinery) Vinywaji na Pombe Kali (beverages and liquor stores) Taka zinazotokana na ghala la kuhifadhia bidhaa (Store ) Vipuri na Vifaa (Spare parts and tools) Duka la Vifaa Chakula KARAKANA NA VIWANDA Fundi Seremala Karakana ya Chuma (Metal W/ shops) Karakana ya Magari (Motor Garage) Karakana ya pikipiki (motocycle gerage) Sonara na uhunzi wa vito (Jewerly and Black Smith) Shughuli za Vioo (Glass Works)/ Shughuli za Alminium Mchapishaji Stoo Mashine ya Mbao kwa ujazo wa mita moja (saw mill per meter cubic) VIWANDA VIDOGO NA VIKUBWA Kwa tani moja ya taka kwa ujazo mkubwa Kwa ujazo wa mita moja cubic meter Umeme na Matengenezo ya Elektroniki (Electronical anad Electronic repair) Magurudumu na Matengenezo BIASHARA NDOGO NA NYINGINEZO Fundi Cherehani Seremala Fundi viatu Saluni ya Nywele Dobi Genge kwa meza moja Biashara ya juisi ya miwa Wauza matunda na juisi nyinginezo Wafanyabiashara wadogo wasio na maeneo maalum. 31 15,000 5,000 5,000 10,000 5,000 10,000 10,000 10,000 10,000 10,000 20,000 15000 5000 10,000 20,000 20,000 15,000 25,000 25,000 10,000 10,000 5,000 5,000 2,000 5,000 5,000 2,000 10,000 5,000 500 kwa siku Sheria Ndogo ya Afya, Lishe Na Usimamizi wa Mazingira ya Halmashauri ya Manispaa Tabora Tangazo La Serikali Na. 320 (Linaendelea) 63 64 65 66 67 68 69 70 71 72 73 74 3,000 Huduma za Internet HUDUMA ZA AFYA (TAKA ZISIZOKUWA ZA HATARI) Duka la dawa baridi Duka la Dawa Rejareja (Retail Pharmacy) Duka la Vifaa vya Maabara Maabara ya Vipimo Zahanati Kituo cha Afya Dawa asilia Hospitali Kliniki Hospitali ya Rufaa TAASISI ZA MAFUNZO Kituo cha kulelea watoto, Shule ya Sekondari, Shule ya Msingi na Vyuo vya Kutwa 8,000 5,000 3,000 3,000 8,000 5,000 5,000 10,000 10,000 40,000 - 201 Verify source ↗
500 Wanafunzi
AI-assisted research summary: The excerpt appears to list student-number bands and a figure of 75 for non-government boarding schools and colleges.
201- 500 Wanafunzi 501-1,000 Wanafunzi 1001- na kuendelea 75 Shule na Vyuo vya Bweni zisizo za serikali - 201 Verify source ↗
500 Wanafunzi
AI-assisted research summary: This provision lists local fee amounts for different activities and services, including a monthly household fee of Shilingi 3,000 and tree-planting minimums by area category.
201- 500 Wanafunzi 501-1,000 Wanafunzi 1001- na kuendelea VITUO VYA MAFUTA Kituo kikubwa cha Mafuta(Pump 6+) Kituo kidogo cha Mafuta (pump 1-5) Kituo cha Mafuta ya taa Kituo cha Kuuzia gesi Kibanda cha Kuuzia mkaa (Kikubwa) Kibanda cha Kuuzia Mkaa (Kidogo gunia 1- 10) Msikiti au Kanisa bila ya kuwa na shughuli nyingine za Kibiashara Msikiti au Kanisa ukiwa na shughuli nyingine za Kibiashara HUDUMA NYINGINEZO Jumba la Starehe/ Klabu/cassino/night clubs Ofisi za ulinzi Tax kwa siku Daladala kwa siku Lori la Mizigo kwa siku Minara ya simu na mawasiliano mengine TAKA ZENYE UJAZO MKUBWA 32 76 77 78 79 80 81 82 83 84 85 86 87 88 89 15,000 30,000 30,000 80,000 40,000 50,000 150,000 80,000 100,000 15,000 20,000 30,000 40,000 30,000 20,000 50,000 50,000 5000 200 500 1000 8,000 Sheria Ndogo ya Afya, Lishe Na Usimamizi wa Mazingira ya Halmashauri ya Manispaa Tabora Tangazo La Serikali Na. 320 (Linaendelea) 90 91 92 93 94 95 96 97 98 99 Taka za Bustani kwa Mita Mraba Moja Taka za Viwandani kwa Tani Taka za Masoko kwa Tani kwa Mita mraba Ghala (Godown) kwa mwezi Duka la Vifaa vya Muziki kwa mwezi Duka la CD na Cassette kwa mwezi Bahati nasibu kwa mwezi Taka za Biashara kwa Tripu (Super market, hyper market na nyinginezo) Taka za Uvunjaji wa Jengo kwa tani moja (Demolition Debris per ton) Kituo cha Kuchakata Taka (Recycling Center Plant) kwa mwezi 5,000 20,000 25,000 30,000 20,000 5,000 5,000 40,000 20,000 10,000 _____________ JEDWALI LA PILI _______________ (Limetengenezwa chini ya kanuni ya 5(2)) Kaya moja kiwango kwa mwezi Shilingi 3,000 _____________ JEDWALI LA TATU _______________ (Limetengenezwa chini ya kanuni ya 18(2)) UPANDAJI MITI KWA KUZINGATIA MAENEO Ujazo wa juu Ujazo wa kati Ujazo wa chini Miti isiyo pungua 2 Miti isiyo pungua 4 Miti isiyo pungua 5 _____________ JEDWALI LA NNE ______________ (Limetegenezwa chini ya kanuni ya 65) 33 Sheria Ndogo ya Afya, Lishe Na Usimamizi wa Mazingira ya Halmashauri ya Manispaa Tabora Tangazo La Serikali Na. 320 (Linaendelea) FOMU YA KUKIRI NA KUFIFILISHA KOSA Mimi …………………………………. nakiri KWA HIARI YANGU MWENYEWE mbele ya ………………………………. ambaye ni Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Tabora, kwamba mnamo tarehe ………… ya mwezi…………. Mwaka ……… nilitenda kosa la kukiuka masharti ya kanuni ya ……………ya Sheria Ndogo ya Afya, Lishe na Usimamizi wa Mazingira ya Halmashauri ya Manispaa ya Tabora ya Mwaka 2024. Kwa Mamlaka aliyopewa Mkurugenzi wa Halmashauri, Niko tayari kulipa kiasi cha ada ninaodaiwa pamoja na faini. NATHIBITISHA KWAMBA MAELEZO HAPO JUU NI YA KWELI NA NIMEYATOA MIMI MWENYEWE KWA HIARI YANGU KADRI YA UFAHAMU WANGU. Leo tarehe …………………..ya Mwezi …………… Mwaka ………………… Jina: ……………………………... Saini: ……………………………. MBELE YANGU: Jina: …………………………………… Wadhifa: ………………………………. Saini: ………………………………….. Tarehe: ………………………………... 34 Sheria Ndogo ya Afya, Lishe Na Usimamizi wa Mazingira ya Halmashauri ya Manispaa Tabora Tangazo La Serikali Na. 320 (Linaendelea) Lakari ya Halmashauri ya Manispaa ya Tabora imegongwa kwenye Sheria Ndogo hii kufutia Azimio lililopitishwa katika Mkutano wa Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Manispaa ya Tabora uliofanyika tarehe 12 mwezi 05 Mwaka 2023 na kushuhudiwa lakari hiyo ikigongwa mbele ya;- ELIAS MAHWAGO KAYANDABILA Mkurugenzi wa Manispaa Halmashauri ya Manispaa ya Tabora MHE. RAMADHANI S. KAPELA Mstahiki Meya Halmashauri ya Manispaa Tabora / L.S NAKUBALI Dodoma, MOHAMED OMARY MCHENGERWA (MB) 20 February, 2024 Waziri wa Nchi- Ofisi ya Rais (Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa) 35
Provision text is displayed from LexChat’s stored statute record. Use the official source links to verify amendments, commencement, and current legal force.
Ask AI about this statute
Sheria Ndogo ya Afya, Lishe na Usimamizi wa Mazingira ya Halmashauri ya Manispaa ya Tabora ya Mwaka 2024
Sign in to ask AI about this statute
Sign in to start authenticated, citation-grounded statute research.
Sign in