Sheria Ndogo ya Ada na Ushuru ya Halmashauri ya Manispaa ya Tabora ya Mwaka 2024
This by-law is titled the Tabora Municipal Council Fees and Taxes By-Law, 2024.
AI-assisted research synopsis — verify against the official legal text below.
- Jurisdiction
- Tanzania
- Instrument
- Regulation
- Citation
- Sheria Ndogo ya Ada na Ushuru ya Halmashauri ya Manispaa ya Tabora ya Mwaka 2024
- Version
- Undated source snapshot
- Language
- sw
- Official source
- View official record ↗
Statute overview
About this statute
This by-law is titled the Tabora Municipal Council Fees and Taxes By-Law, 2024. This subsidiary law applies throughout the entire area of Tabora Municipal Council. This section defines key terms used in the by-law, including fee, permit, council, director, transport vehicle, market, stand, and agent. Halmashauri inatoza ada au ushuru kwa leseni na huduma za vibali, na malipo yafanywe kwa Halmashauri au wakala wake kwa wakati na namna iliyoelekezwa. A person who must pay a fee or tax under this bylaw must pay it at the rates set in the bylaw.
Search within this statute
Search all stored provisions in this version.
Legal text
Provisions of Sheria Ndogo ya Ada na Ushuru ya Halmashauri ya Manispaa ya Tabora ya Mwaka 2024
Showing 138 of 138
- 1 Verify source ↗
Sheria Ndogo hii itajulikana kama Sheria Ndogo ya
AI-assisted research summary: This by-law is titled the Tabora Municipal Council Fees and Taxes By-Law, 2024.
1. Sheria Ndogo hii itajulikana kama Sheria Ndogo ya Ada na Ushuru ya Halmashauri ya Manispaa ya Tabora ya mwaka 2024. Matumizi - 2 Verify source ↗
Sheria Ndogo hii itatumika katika eneo lote la
AI-assisted research summary: This subsidiary law applies throughout the entire area of Tabora Municipal Council.
2. Sheria Ndogo hii itatumika katika eneo lote la Halmashauri ya Manispaa ya Tabora. Tafsiri - 3 Verify source ↗
Katika Sheria Ndogo hii, isipokuwa kama muktadha
AI-assisted research summary: This section defines key terms used in the by-law, including fee, permit, council, director, transport vehicle, market, stand, and agent.
3. Katika Sheria Ndogo hii, isipokuwa kama muktadha utahitaji vinginevyo- “ada” maana yake ni malipo yanayolipwa kwa Halmashauri leseni zinazotolewa na kwa ajili ya vibali au Halmashauri; “Afisa Mwidhiniwa” maana yake ni afisa yeyote aliyeteuliwa na Mkurugenzi kwa lengo la kusimamia utekelezaji wa Sheria Ndogo hii; “chombo cha usafiri” maana yake ni chombo chochote kinachotumika kusafirisha mtu, watu au mizigo kutoka sehemu moja kwenda nyingine isipokuwa baiskeli, mkokoteni au wanyama wanaotumika kusafirisha watu au mizigo; “Halmashauri” maana yake ni Halmashauri ya Manispaa ya Sheria Ndogo ya Ada Na Ushuru ya Halmashauri ya Manispaa ya Tabora Tangazo La Serikali Na. 321 (Linaendelea) Sura ya 212 Tabora; “kampuni” maana yake ni taasisi iliyosajiliwa chini ya Sheria ya Kampuni; “kibali” maana yake ni idhini au ruhusa ya maandishi inayotolewa na Halmashauri; “machinjio” maana yake ni iliyotengwa na Halmashauri kwa ajili ya kuchinjia wanyama na kuanika ngozi; sehemu “madini ya ujenzi” maana yake ni tarazo, moramu, udongo, kifusi, kokoto, mawe, mchanga, chokaa na madini mengine yanayotumika katika ujenzi; “matangazo ya biashara” yanajumuisha ishara, alama, maneno au kitu chochote chenye kuashiria kuijulisha jamii juu ya uwepo wa shughuli za kuuza na kununua; “Mkurugenzi” maana yake ni Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Tabora au afisa yeyote aliyeteuliwa kutekeleza majukumu ya Mkurugenzi; “mnada” maana yake ni sehemu iliyotengwa na Halmashauri kwa ajili ya kuendesha shughuli za kuuza na kununua mifugo na bidhaa; “soko” maana yake ni eneo lililotengwa na linalomilikiwa na Halmashauri kwa matumizi ya soko; “stendi” maana yake ni eneo maalumu lililotengwa au kujengwa na Halmashauri kwa ajili ya kupakia na kushusha abiria au mizigo: “usajili wa vyombo vya usafiri” maana yake ni utaratibu uliowekwa na Halmashauri wa kuorodhesha na kutambua idadi ya vyombo vya usafiri vinavyofanya biashara ndani ya mamlaka ya Halmashauri; “ushuru” maana yake ni tozo inayotozwa na Halmashauri kwa shughuli au huduma mbalimbali zinazofanywa katika eneo la Halmashauri; na “wakala” maana yake ni mtu binafsi, kikundi, taasisi au kampuni iliyoteuliwa kukusanya ushuru kwa niaba ya Halmashsuri chini ya Sheria Ndogo hii. Utozaji wa ada au ushuru
Part
sehemu moja kwenda nyingine isipokuwa baiskeli,
- 4 Verify source ↗
(1) Halmashauri itatoza ada au ushuru kwa ajili ya
AI-assisted research summary: Halmashauri inatoza ada au ushuru kwa leseni na huduma za vibali, na malipo yafanywe kwa Halmashauri au wakala wake kwa wakati na namna iliyoelekezwa.
4.-(1) Halmashauri itatoza ada au ushuru kwa ajili ya leseni na huduma mbalimbali zinazotolewa na vibali, Sheria Ndogo ya Ada Na Ushuru ya Halmashauri ya Manispaa ya Tabora Tangazo La Serikali Na. 321 (Linaendelea) Halmashauri kwa kuzingatia viwango vilivyoanishwa katika Jedwali la Kwanza. (2) Kwa kuzingatia masharti ya kanuni ndogo ya (1), ushuru unaotozwa chini ya Sheria Ndogo hii utalipwa kwa Halmashauri au wakala wa Halmashauri kwa kadri Halmashauri itakavyoelekeza au kama ulivyoainishwa kwenye Jedwali la Kwanza. (3) Malipo ya ada au ushuru yatalipwa kabla au wakati wa kupokea huduma inayotozwa ada au ushuru chini ya Sheria Ndogo hii. (4) Malipo ya ada au ushuru yatafanyika kila siku au kwa mwezi au kwa namna yoyote itakayokubalika kulingana na makubaliano yatakayowekwa kati ya Halmashauri na mlipa ada au ushuru. (5) Malipo ya ada au ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hii yatalipwa kwa Halmashauri au wakala na kutolewa stakabadhi ya kielektroniki ya Halmashauri kama kielelezo cha malipo yaliyofanyika. Wajibu wa kulipa ada au ushuru
Part
Jedwali la Kwanza.
- 5 Verify source ↗
Mtu anayestahili kulipa ada au ushuru kwa mujibu
AI-assisted research summary: A person who must pay a fee or tax under this bylaw must pay it at the rates set in the bylaw.
5. Mtu anayestahili kulipa ada au ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hii atatakiwa kulipa ada au ushuru huo kwa kuzingatia viwango vilivyoainishwa katika Sheria Ndogo hii. Muda wa kukusanya ada au ushuru Ukusanyaji wa madeni - 6 Verify source ↗
(1) Muda wa kukusanya ada au ushuru utakuwa ni
AI-assisted research summary: Ada au ushuru hukusanywa kuanzia saa 12 asubuhi hadi saa 12 jioni; baada ya hapo, afisa aliyeidhinishwa au wakala anaweza kukusanya kwa kibali maalumu kutoka kwa Mkurugenzi.
6.-(1) Muda wa kukusanya ada au ushuru utakuwa ni kuanzia saa kumi na mbili asubuhi hadi saa kumi na mbili kamili jioni. (2) Bila kuathiri masharti ya kanuni ndogo ya (1), afisa aliyeidhinishwa au wakala kwa kibali maalumu kutoka kwa Mkurugenzi anaweza kukusanya ada au ushuru baada ya muda ulioainishwa. - 7 Verify source ↗
(1) Halmashauri inaweza kukusanya ada au ushuru
AI-assisted research summary: Halmashauri may recover unpaid fees or taxes through court, seizure, and sale of the debtor’s movable property, with court approval and a seven-day notice before sale.
7.-(1) Halmashauri inaweza kukusanya ada au ushuru kwa njia ya Mahakama endapo mtu, kikundi, taasisi au kampuni itakuwa imeshindwa kulipa ada au ushuru kwa muda uliokubaliwa. (2) Bila kuathiri masharti ya kanuni ndogo ya (1), Halmashauri inaweza kukusanya madeni ya ushuru kwa njia ya kukamata au kushikilia mali za mdaiwa zinazohamishika Sheria Ndogo ya Ada Na Ushuru ya Halmashauri ya Manispaa ya Tabora Tangazo La Serikali Na. 321 (Linaendelea) zenye thamani sawa na deni la ushuru pamoja na gharama za kukamata. (3) Baada ya kipindi cha siku thelathini kupita tangu kukamatwa kwa mali za mdaiwa, Halmashauri itakuwa na mamlaka ya kuziuza kwa njia ya mnada baada ya kupata idhini ya Mahakama. (4) Endapo mali zilizokamatwa zinaweza kuharibika kwa haraka, Halmashauri itakuwa na mamlaka ya kuziuza kabla hazijaharibika baada ya kupata idhini ya Mahakama. (5) Bila kuathiri masharti ya kanuni ndogo ya (3) na (4), Mkurugenzi atatoa taarifa ya siku saba kabla ya kuuza mali iliyokamatwa kwa mdaiwa na umma kuhusu kusudio la kuuza mali hizo. (6) Halmashauri ya Manispaa ya Tabora haitawajibika kwa hasara yoyote itakayotokea wakati wa kukusanya madeni au kwa mali itakayokamatwa au kushikiliwa na Halmashauri, isipokuwa kama hasara hiyo itakuwa imesababishwa kwa uzembe wa watumishi wa Halmashauri au wakala. Uteuzi wa wakala - 8 Verify source ↗
(1) Halmashauri itakuwa na mamlaka ya kuteua
AI-assisted research summary: Halmashauri inaweza kuteua wakala wa kukusanya ada au ushuru, na wakala aliyeteuliwa lazima akusanye, apokee, na awasilishe makusanyo kulingana na masharti yaliyotajwa.
8.-(1) Halmashauri itakuwa na mamlaka ya kuteua wakala kwa mujibu wa Sheria Ndogo hii, kukusanya ada au ushuru kwa niaba yake. (2) Wakala aliyeteuliwa kwa mujibu wa kanuni ndogo ya (1) atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya na kupokea ada au ushuru kwa niaba ya Halmashauri katika eneo alilopangiwa na kwa viwango vilivyoainishwa katika Sheria Ndogo hii; na (b) kukusanya ada au ushuru kwa kutumia mfumo wa kielektroniki na kuwasilisha makusanyo yote kwa kuzingatia masharti ya mkataba wa uwakala alioingia na Halmashauri. Mamlaka ya afisa aliyeidhinishwa - 9 Verify source ↗
Bila kuathiri masharti mengine ya Sheria Ndogo hii,
AI-assisted research summary: Afisa aliyeidhinishwa anaweza kuingia katika eneo, jengo au chombo cha usafiri wakati wa saa 12 asubuhi hadi saa 12 jioni kwa ajili ya kukusanya ada au ushuru, kufanya tathmini, au kufanya jambo linalohusu ada, ushuru, leseni au kibali chini ya Sheria Ndogo hii.
9. Bila kuathiri masharti mengine ya Sheria Ndogo hii, afisa aliyeidhinishwa anaweza kuingia katika eneo, jengo au chombo cha usafiri kuanzia saa kumi na mbili kamili asubuhi hadi saa kumi na mbili kamili jioni kwa nia ya kukusanya ada lolote au ushuru, kufanya tathmini au kufanya jambo Sheria Ndogo ya Ada Na Ushuru ya Halmashauri ya Manispaa ya Tabora Tangazo La Serikali Na. 321 (Linaendelea) linalohusu ada, ushuru, leseni au kibali kwa mujibu wa Sheria Ndogo hii. Makosa - 10 Verify source ↗
Mtu yeyote atakuwa anatenda kosa endapo
AI-assisted research summary: This section makes it an offence for anyone to avoid or obstruct payment of fees or taxes, give false information, fail to keep required records, or make or use false documents for benefit.
10. Mtu yeyote atakuwa anatenda kosa endapo- (a) atashindwa kulipa ada au ushuru kwa mujibu wa Sheria Ndogo hii; (b) atamshawishi mtu au kundi la watu kukwepa au kukataa kulipa ada au ushuru; (c) atamzuia Mkurugenzi, afisa aliyeishinishwa au wakala kutekeleza majukumu yake kwa mujibu wa Sheria Ndogo hii; (d) atatoa taarifa za uongo kwa Halmashauri au wakala kuhusu huduma zinazohitaji kulipiwa ada au ushuru; (e) atashindwa kuweka kumbukumbu, vitabu, hesabu au maelezo yoyote yatakayohitajika na Halmashauri; (f) atadharau, atakaidi au kukataa kulipa ada au ushuru au kutekeleza agizo lolote alilopewa na Halmashauri kuhusiana na ulipaji wa ada au ushuru chini ya Sheria Ndogo hii; au (g) atatengeneza, au atatayarisha ataidhinisha utengenezaji au utunzaji wa nyaraka za uongo kwa nia ya kujipatia manufaa yatokanayo na ukusanyaji wa ada au ushuru ndani ya Halmashauri. Adhabu Kufifilisha kosa - 11 Verify source ↗
Mtu akitiwa hatiani kwa kutenda kosa kinyume cha
AI-assisted research summary: A person convicted of the offence under this by-law is liable to a fine, imprisonment, or both.
11. Mtu akitiwa hatiani kwa kutenda kosa kinyume cha faini ya kiasi Sheria Ndogo hii atawajibika kulipa kisichopungua shilingi laki mbili na kisichozidi shilingi milioni moja au kifungo kisichopungua miezi kumi na mbili na kisichozidi miezi ishirini na nne au vyote kwa pamoja. - 12 Verify source ↗
Mkurugenzi atakuwa na uwezo wa kufifilisha kosa
AI-assisted research summary: Mkurugenzi anaweza kufifilisha kosa kwa kumtoza mkosaji shilingi 200,000 ikiwa anakiri kosa, analipa ada au ushuru unaodaiwa, na yuko tayari kujaza fomu maalumu ya Jedwali la Pili.
12. Mkurugenzi atakuwa na uwezo wa kufifilisha kosa kwa kumtoza mtu yeyote aliyetenda kosa chini ya Sheria Ndogo hii kiasi cha shilingi laki mbili endapo mkosaji atakiri kosa na kulipa ada au ushuru unaodaiwa na kuwa tayari kujaza fomu maalumu iliyoainishwa katika Jedwali la Pili. Sheria Ndogo ya Ada Na Ushuru ya Halmashauri ya Manispaa ya Tabora Tangazo La Serikali Na. 321 (Linaendelea) Kufuta TS. Na 359 la 2015 - 13 Verify source ↗
Sheria Ndogo ya Ada na Ushuru ya Halmashauri
AI-assisted research summary: This section says the Tabora Municipal Council Fees and Taxes By-laws of 2015 have been repealed.
13. Sheria Ndogo ya Ada na Ushuru ya Halmashauri ya Manispaa ya Tabora ya 2015 imefutwa. ___________ JEDWALI LA KWANZA ____________ (Limetegenezwa chini ya kanuni ya 4(1))
Part
JEDWALI LA KWANZA
- 1 Verify source ↗
ADA YA VIBALI VYA UJENZI
AI-assisted research summary: This section appears to be a fee schedule for building permits, with columns for number, type, and amount in shillings.
1. ADA YA VIBALI VYA UJENZI Namba Aina Kiwango (Shilingi) - 9 Verify source ↗
Section 9
AI-assisted research summary: This section lists permit or installation fees for different building types and activities.
9. Majengo ya Makazi 400 Kwa kila mita ya mraba Majengo ya Biashara 1,000 kwa kila mita ya mraba Kituo cha Mafuta 2,000,000/= Taasisi, Makanisa au msikiti, shule 1,000 kwa kila mita moja ya mraba binafsi Viwanda 1,000 kwa kila mita moja ya mraba Kuongeza jengo Asilimia 50 ya gharama za kibali cha awali Kubadili jengo Asilimia 50 ya gharama za kibali cha awali Mnara (installation fee) 2,000,000/= - 10 Verify source ↗
Section 10
AI-assisted research summary: Land for communication towers is priced at 500,000/= per month.
10. Kupangisha Ardhi kwa matumizi ya 500,000/= kwa mwezi minara ya mawasiliano - 11 Verify source ↗
Section 11
AI-assisted research summary: Ada ya TZS 500 kwa kila mita ya ujenzi wa uzio wa muda.
11. Ujenzi wa uzio wa muda 500/= kwa kila mita moja kwa muda wa Sheria Ndogo ya Ada Na Ushuru ya Halmashauri ya Manispaa ya Tabora Tangazo La Serikali Na. 321 (Linaendelea) - 14 Verify source ↗
Section 14
AI-assisted research summary: Hii sehemu ina orodha ya ada: uzio wa kudumu wa makazi ni 800/= kwa kila mita, uzio wa kudumu wa biashara ni 1,000/= kwa kila mita, na maombi ya uwekaji wa bango ni 5,000/= kwa kila futi ya ujazo kwa mwaka.
14. miezi 12 Ujenzi wa uzio wa kudumu (makazi) 800/= kwa kila mita moja Ujenzi wa uzio wa kudumu (biashara) 1,000/= kwa kila mita moja Maombi ya uwekaji wa bango 5,000/= kwa kila futi moja ya ujazo kwa (installation fee) mwaka - 15 Verify source ↗
Section 15
AI-assisted research summary: A fee of 3,000 per square meter is stated for use of road area in a buffer zone for non-permanent buildings.
15. Pango la kutumia eneo la barabara 3,000 kwa kila mita moja ya Mraba kwa (Buffer zone) kwa majengo yasiyo ya kila mwezi kudumu - 16 Verify source ↗
Section 16
AI-assisted research summary: Open spaces for non-permanent and movable buildings are charged at Tsh 4,000 per square metre per month.
16. Kupangisha maeneo ya wazi (open Tsh.4,000/= kwa kila mita moja ya mraba spaces) kwa majengo yasiyo ya kudumu kwa kila mwezi na yanayohamishika - 17 Verify source ↗
Section 17
AI-assisted research summary: The provision states an inspection fee of 20,000 for construction stages, applying to all construction stages.
17. Ada ya ukaguzi wa hatua za ujenzi 20,000 kwa hatua zote za ujenzi - 2 Verify source ↗
ADA YA KUANDAA MICHORO YA MIPANGOMIJI
AI-assisted research summary: This section lists the fees for preparing urban planning drawings.
2. ADA YA KUANDAA MICHORO YA MIPANGOMIJI Namba Aina ya mchoro Gharama (Shilingi) - 1 Verify source ↗
Section 1
AI-assisted research summary: The text refers to preparing a new neighborhood map and gives a rate of 5% of the map-preparation cost.
1. Kuandaa mchoro mpya (neighbourhood) Asilimia 5 ya gharama ya kuandaa mchoro - 2 Verify source ↗
Section 2
AI-assisted research summary: The text refers to a 5% amount linked to the cost of preparing a plan for regularization.
2. Kuandaa mchoro wa urasimishaji Asilimia 5 ya gharama ya kuandaa mchoro - 3 Verify source ↗
Section 3
AI-assisted research summary: The provision says to amend the charge to 100,000 for each parcel.
3. Kurekebisha mchoro 100,000 kwa kila kiwanja - 3 Verify source ↗
ADA NA VIBALI VYA KUBADILISHA MATUMIZI YA ARDHI
AI-assisted research summary: Inaonyesha ada na vibali vya kubadilisha matumizi ya ardhi pamoja na jedwali la matumizi, matumizi yanayoombwa na kiwango (shilingi).
3. ADA NA VIBALI VYA KUBADILISHA MATUMIZI YA ARDHI. Namba Matumizi Matumizi yanayoombwa Kiwango (shilingi) Sheria Ndogo ya Ada Na Ushuru ya Halmashauri ya Manispaa ya Tabora Tangazo La Serikali Na. 321 (Linaendelea) - 5 Verify source ↗
Section 5
AI-assisted research summary: Kifungu hiki kinaonyesha viwango vya malipo kwa aina tofauti za makazi na biashara.
5 . Makazi pekee Makazi na biashara 150,000/= Makazi pekee Makazi zaidi ya moja (apartment) 200,000/= Makazi pekee Shule,Hosteli,Zahanati na huduma 250,000/= nyinginezo za jamii Makazi pekee Hoteli 200,000/= Makazi, biashara , Kituo cha mafuta 500,000/= makazi na biashara - 6 Verify source ↗
Section 6
AI-assisted research summary: This section lists 300,000/= for supermarkets or shopping malls under the residential/business category.
6 . Makazi na biashara (Maduka makubwa) 300,000/= Super Market/Shooping Mall - 9 Verify source ↗
Section 9
AI-assisted research summary: The provision lists amounts of 200,000/= and 100,000/= for different property/use categories.
9 . Makazi pekee Viwanda 200,000/= Makazi pekee Ghala (Yard/Godown) 200,000/= Biashara Makazi 100,000/= - 10 Verify source ↗
Section 10
AI-assisted research summary: Ada ya uhakiki wa matumizi/Official Search ni 50,000/= kwa kila kiwanja.
10. Ada ya uhakiki wa Matumizi yoyote 50,000/= kwa kila kiwanja umiliki kiwanja au shamba (Official Search) - 4 Verify source ↗
ADA YA KUFANYA UTHAMINI
AI-assisted research summary: This section is a table heading for assessing land-use categories and the amount per plot.
4. ADA YA KUFANYA UTHAMINI Namba Aina ya matumizi ya kiwanja Kiasi kwa kila kiwanja - 3 Verify source ↗
Section 3
AI-assisted research summary: Hii sehemu inaonyesha ada/ushuru tofauti kwa makazi pekee, makazi na biashara, na biashara pekee.
3. Makazi Pekee Makazi na Biashara Biashara pekee 100,000/= 150,000/= 200,000/= Sheria Ndogo ya Ada Na Ushuru ya Halmashauri ya Manispaa ya Tabora Tangazo La Serikali Na. 321 (Linaendelea) - 5 Verify source ↗
ADA YA KUFANYA UPIMAJI ARDHI
AI-assisted research summary: This section concerns land surveying fees, with amounts listed by land-use type and per square metre.
5. ADA YA KUFANYA UPIMAJI ARDHI Namba Aina Ya Matumizi Ya Kiwanja Kiasi Kwa Kila Mita Ya Mraba - 4 Verify source ↗
Section 4
AI-assisted research summary: The provision lists amounts for different property/use categories and a boundary-verification amount of 50,000/= per plot.
4. Makazi Pekee Makazi na Biashara Biashara pekee 400/= 500/= 600/= Kuomba kuhakikiwa mipaka ya 50,000/= kwa kila kiwanja kiwanja - 6 Verify source ↗
ADA YA UPIMAJI WA AFYA
AI-assisted research summary: This section is titled “Health examination fee.”
6. ADA YA UPIMAJI WA AFYA Namba Ada husika Kiwango cha Ada. - 1 Verify source ↗
Section 1
AI-assisted research summary: A health screening form/fee of 5,000/= applies every six months for hotel workers and certain food and drink businesses.
1. Fomu ya maombi ya kupima 5,000/= kila baada ya miezi sita afya kwa watumishi wa hoteli, mama/baba lishe, nyumba za kulala wageni, sehemu za vinywaji bucha na maduka ya vyakula na vinywaji. - 7 Verify source ↗
USHURU WA MACHINJIO
AI-assisted research summary: This section is a table heading for slaughter tax, listing number, animal type, tax rate, and quantity.
7. USHURU WA MACHINJIO Namba Aina ya Mnyama Kiwango Idadi cha Ushuru. - 3 Verify source ↗
Section 3
AI-assisted research summary: The text lists amounts per animal: cattle at 5,000/= and goats and sheep at 2,000/= each.
3. Ng’ombe 5,000/= Kwa kila mnyama Mbuzi, kondoo 2,000/= Kwa kila mnyama Nguruwe - 5 Verify source ↗
000/=
AI-assisted research summary: Ada ya 5,000/= inatajwa kwa kila nguruwe.
5.000/= Kwa kila nguruwe Sheria Ndogo ya Ada Na Ushuru ya Halmashauri ya Manispaa ya Tabora Tangazo La Serikali Na. 321 (Linaendelea) - 5 Verify source ↗
Section 5
AI-assisted research summary: This section lists fees: 500 for each chicken, duck, turkey, or guinea fowl, and fees for animal hides of 500 per cow/donkey and 300 per goat/sheep.
5. Kuku/bata/bata mzinga/kanga 500 Kwa kila mmoja Ngozi za Wanyama; (a) Ng’ombe/punda (b) Mbuzi/ kondo 500/= 300/= Kwa kila ng’ombe/punda Kwa kila mbuzi/kondoo - 8 Verify source ↗
ADA YA KULAZA MIFUGO INAYOZURULA
AI-assisted research summary: Section 8 appears to set out a fee schedule for keeping wandering livestock.
8. ADA YA KULAZA MIFUGO INAYOZURULA Namba Mfugo Kiwango Ushuru Idadi - 1 Verify source ↗
Section 1
AI-assisted research summary: The text sets 5,000/= per animal per day for cattle and donkeys.
1. Ng’ombe, Punda 5,000/= Kwa kila mfugo mmoja kwa siku moja. - 2 Verify source ↗
Section 2
AI-assisted research summary: The provision states a charge of 2,500/= for each goat or sheep for one day.
2. Mbuzi, kondoo 2,500/= Kila mbuzi au kondoo mmoja kwa siku moja - 3 Verify source ↗
Section 3
AI-assisted research summary: The text states 5,000/= per pig per day.
3. Nguruwe 5,000/= Kila nguruwe mmoja kwa siku moja - 9 Verify source ↗
ADA NA USHURU WA KURUHUSU KUINGIZA WANYAMA NA NYAMA
AI-assisted research summary: This section is titled about tax for allowing the import of animals and meat slaughtered outside the council area.
9. ADA NA USHURU WA KURUHUSU KUINGIZA WANYAMA NA NYAMA ILIYOCHINJWA NJE YA HALMASHAURI Namba Aina Kiwango cha Idadi Ushuru - 2 Verify source ↗
Section 2
AI-assisted research summary: The provision states fees for bringing in meat and livestock, including TZS 5,000 for any meat/livestock and TZS 10,000 for cattle; it also mentions horses and donkeys that have not been paid a permit.
2. Kuingiza nyama yoyote 5,000 Kwa kila mfugo Kuingiza Ng’ombe, 10,000/= Kwa kila mfugo Farasi na punda ambaye hajalipiwa kibali - 3 Verify source ↗
Section 3
AI-assisted research summary: This section sets a charge of 5,000/= per animal for importing pigs.
3. Kuingiza Nguruwe 5,000/= Kwa kila mfugo Sheria Ndogo ya Ada Na Ushuru ya Halmashauri ya Manispaa ya Tabora Tangazo La Serikali Na. 321 (Linaendelea) - 10 Verify source ↗
ADA YA UKAGUZI WA MAZAO MENGINE YA MIFUGO
AI-assisted research summary: Section 10 is titled as a fee/tax schedule for other livestock products and shows columns for item number, product type, and fee amount.
10. ADA YA UKAGUZI WA MAZAO MENGINE YA MIFUGO. Namba Aina ya zao Kiasi cha ushuru - 1 Verify source ↗
Section 1
AI-assisted research summary: The text mentions 25/= per liter in relation to cow milk and goat milk, but the rule is fragmentary.
1. Maziwa ya Ng’ombe na 25/= kwa kila Lita moja Mbuzi - 4 Verify source ↗
Section 4
AI-assisted research summary: Hii aya inaonyesha viwango vya malipo kwa ngozi, kwato za wanyama, na pembe za wanyama.
4. Ngozi aina zote 200/= kwa kila moja Kwato za wanyama 500/= kwa kila kilo moja Pembe za wanyama 500/= kwa kila kilo moja - 11 Verify source ↗
ADA YA HUDUMA NYINGINE ZINAZOHUSU MIFUGO
AI-assisted research summary: This section is a heading for other livestock-related services and a table of service types and amounts in Tanzanian shillings.
11. ADA YA HUDUMA NYINGINE ZINAZOHUSU MIFUGO Namba Aina ya huduma Kiwango (Tshs) - 1 Verify source ↗
Section 1
AI-assisted research summary: There is a 50,000 TZS establishment fee per livestock dip per year.
1. Ada ya kuanzisha 50,000/= kwa kila josho kwa mwaka josho la mifugo. - 3 Verify source ↗
Section 3
AI-assisted research summary: A slaughterhouse fee of 100,000 is stated for each year.
3. Kuchanja wanyama Kwa mujibu wa mongozo wa Serikali Ada ya machinjio 100,000 kwa mwaka binafsi - 12 Verify source ↗
USHURU WA MADINI YA UJENZI
AI-assisted research summary: Kifungu hiki kinaonyesha jedwali la ushuru wa madini ya ujenzi, likiwa na vichwa vya safu kuhusu namba, aina ya madini, na kiwango cha ushuru.
12. USHURU WA MADINI YA UJENZI Namba Aina ya madini Kiwango cha Ushuru - 1 Verify source ↗
Section 1
AI-assisted research summary: Mchanga unatozwa 1,000/= kwa kila mita moja ya ujazo (M3).
1 . Mchanga 1,000/= Kwa kila mita moja ya ujazo (M3) Sheria Ndogo ya Ada Na Ushuru ya Halmashauri ya Manispaa ya Tabora Tangazo La Serikali Na. 321 (Linaendelea) - 8 Verify source ↗
Section 8
AI-assisted research summary: This section lists prices for several materials, mostly per cubic meter, and one price per 25 kg.
8. Kokoto Mawe Udongo 1,800/= Kwa kila mita moja ya ujazo (M3) 1,800/= Kwa kila mita moja ya ujazo (M3) 1,000/= Kwa kila mita moja ya ujazo (M3) Molam/changalawe 1,800/= Kwa kila mita moja ya ujazo (M3) Vumbi la kokoto 2,000/= Kwa kila mita moja ya ujazo (M3) Tofali Chokaa 1,800/= Kwa kila mita moja ya ujazo (M3) 500/= Kwa kilo 25 - 13 Verify source ↗
USHURU WA KUPAKIA NA KUSHUSHA MAZAO NA BIDHAA MBALIMBALI
AI-assisted research summary: Kifungu hiki kina kichwa cha ushuru wa kupakia na kushusha mazao na bidhaa mbalimbali, pamoja na vichwa vya jedwali kuhusu aina ya bidhaa, gari, ujazo na gharama za ushuru.
13. USHURU WA KUPAKIA NA KUSHUSHA MAZAO NA BIDHAA MBALIMBALI Namba Aina ya bidhaa Gari ujazo Gharama za ushuru (ukubwa wa tani) - 1 Verify source ↗
Section 1
AI-assisted research summary: The text refers to construction goods and a weight range of 1 to 5,000 tonnes.
1. Bidhaa za Ujenzi Tani 1 hadi Tani 5,000/= - 10
AI-assisted research summary: The provision appears to list monetary amounts linked to tonnage ranges, including 15,000/= and 25,000/=, but the wording is fragmented.
10.9 Tani 11hadi 15.9 15,000/= Tani 15 na zaidi. 25,000/= - 2 Verify source ↗
Section 2
AI-assisted research summary: This section mentions food products and a quantity range of 1 ton to 5,000 tons.
2. Bidhaa za chakula Tani 1 hadi Tani 5,000/= - 10
AI-assisted research summary: Hii inaonyesha ada/ushuru kwa viwango vya tani, ikijumuisha 15,000/= kwa tani 11 hadi 15.9 na 25,000/= kwa tani 15 na zaidi.
10.9 Tani 11hadi 15.9 15,000/= Tani 15 na zaidi. 25,000/= Sheria Ndogo ya Ada Na Ushuru ya Halmashauri ya Manispaa ya Tabora Tangazo La Serikali Na. 321 (Linaendelea) - 3 Verify source ↗
Section 3
AI-assisted research summary: The text lists beverages and a numeric range, but it does not clearly state a rule.
3. Bidhaa za vinywaji Tani 1 hadi Tani 5,000/= (beverages) - 4 Verify source ↗
Section 4
AI-assisted research summary: Inataja bidhaa za matumizi ya nyumbani na kipimo cha tani 1 hadi 5,000/=.
4. Bidhaa za matumizi ya Tani 1 hadi Tani 5,000/= nyumbani - 5 Verify source ↗
Section 5
AI-assisted research summary: The text mentions equipment and electricity, with a range from 1 to 5,000/=.
5. Vifaa vinavyotumia Tani 1 hadi Tani 5,000/= umeme - 6 Verify source ↗
Section 6
AI-assisted research summary: Inaweka viwango vya malipo kwa bidhaa za mafuta kulingana na uzito wa tani.
6. Bidhaa za Mafuta ya Tani 1 hadi tani 6.9 10,000/= magari, mitambo na gesi Tani 7 hadi tani 15 20,000/= Zaidi ya Tani 15 30,000/= - 7 Verify source ↗
Section 7
AI-assisted research summary: Scrap metal fees are listed by tonnage band, with higher amounts for larger quantities.
7. Vyuma Chakavu Tani 1-5.9 5,000/= Tani 6-10.9 10,000/= Tani 11-15.9 15,000/= Sheria Ndogo ya Ada Na Ushuru ya Halmashauri ya Manispaa ya Tabora Tangazo La Serikali Na. 321 (Linaendelea) Tani 16 na Zaidi 25,000/= - 8 Verify source ↗
Section 8
AI-assisted research summary: Mazao Mchanganyiko yanaonekana kuwa na kiwango cha malipo kinachoongezeka kulingana na tani.
8. Mazao Mchanganyiko ya Tani 1-5.9 5,000/= Kilimo Tani 6-10.9 10,000/= Tani 11-15.9 15,000/= Tani 16 na Zaidi 25,000/= - 9 Verify source ↗
Section 9
AI-assisted research summary: The provision lists charges for different tonnage bands of mazao ya maliasili.
9. Mazao ya Maliasili Tani 1-5.9 5,000/= Tani 6-10.9 10,000/= Tani 11-15.9 15,000/= Tani 16 na Zaidi 25,000/= - 10 Verify source ↗
Section 10
AI-assisted research summary: The provision lists items including goods, agricultural produce, natural resources, and container/package sizes or quantities such as 1000, 500 liters, 20, and 500.
10. Bidhaa, mazao ya kilimo Gunia na maliasili na Tenga 1000 1000 Dumu/ndoo la lita 500 20 Box 500 - 14 Verify source ↗
USHURU WA VYOMBO VYA USAFIRI KATIKA STENDI ZA MABASI NA
AI-assisted research summary: This section is titled as a charge on transport vehicles at bus and daladala stands.
14. USHURU WA VYOMBO VYA USAFIRI KATIKA STENDI ZA MABASI NA DALADALA. Namba Aina ya Gari/huduma Kiwango cha Ushuru - 4 Verify source ↗
Section 4
AI-assisted research summary: This provision lists fees for trips based on passenger numbers and a daily fee for a private car.
4. Abiria 1-18 2,000/=kwa kila safari Abiria 1-42 4,000/=kwa kila safari Abiria 1 -52 au zaidi. 5,000/= kwa kila safari Gari binafsi 1000 kwa siku Sheria Ndogo ya Ada Na Ushuru ya Halmashauri ya Manispaa ya Tabora Tangazo La Serikali Na. 321 (Linaendelea) - 9 Verify source ↗
Section 9
AI-assisted research summary: This section lists daily charges for taxis, bajaji, pikipiki, advertising on a vehicle, and vehicle storage/parking.
9. Taxi Bajaji Pikipiki 500 kwa siku 500 kwa siku 500 kwa siku Ada ya matangazo 2,000 kwa kila chombo cha usafiri kwa siku Kulaza chombo cha 5,000/= kwa siku kwa kila chombo cha usafiri usafiri - 10 Verify source ↗
Section 10
AI-assisted research summary: Kuingia stendi kunaonekana kuwa na gharama ya 300 kwa kila mtu kwa safari bila tiketi.
10. Kuingia stendi kwa 300 kwa kila mtu kwa safari asiye na tiketi - 15 Verify source ↗
USHURU WA KUPAKI GARI KATIKA MAENEO YALIYOAINISHWA
AI-assisted research summary: This section is about parking charges for vehicles in designated areas, with amounts shown by vehicle capacity, per day, and per hour.
15. USHURU WA KUPAKI GARI KATIKA MAENEO YALIYOAINISHWA Namba. Uwezo wa gari Kiasi kwa siku Kiasi kwa saa 1 - 5 Verify source ↗
Section 5
AI-assisted research summary: Hii inaorodhesha ada za magari au mizigo kulingana na uzito wa tani.
5. Tani 3 hadi tani 6 2,000/= Tani 7 hadi tani 14 5,000/= Tani 15 hadi tani 30 8,000/= Zaidi ya tani 30 10,000/= Gari ndogo chini ya tani 1,000/= 3 1,000 2,000 4,000 5,000 500 - 16 Verify source ↗
USHURU WA VYOO VYA UMMA
AI-assisted research summary: This section is about public toilet charges and a table listing number, service type, and amount.
16. USHURU WA VYOO VYA UMMA Namba aina ya huduma Kiasi - 1 Verify source ↗
Section 1
AI-assisted research summary: The text mentions a fee or amount of 300/= in Tabora Municipal Council by-laws on fees and levies.
1. haja ndogo 300/= Sheria Ndogo ya Ada Na Ushuru ya Halmashauri ya Manispaa ya Tabora Tangazo La Serikali Na. 321 (Linaendelea) - 3 Verify source ↗
Section 3
AI-assisted research summary: Kuna bei zilizoorodheshwa kwa “Kuoga (Full package)” za 300/= na 1,500/=.
3. haja kubwa Kuoga (Full package) 300/= 1,500/= - 17 Verify source ↗
ADA YA KUPANGISHA VYUMBA VYA KULALA WAGENI NA NYUMBA
AI-assisted research summary: Kichwa cha kifungu kinaonyesha ada ya kupangisha vyumba vya kulala wageni na nyumba binafsi, kwa kiasi kinachohesabiwa kwa siku.
17. ADA YA KUPANGISHA VYUMBA VYA KULALA WAGENI NA NYUMBA BINAFSI Namba Aina ya Huduma Kiasi kwa Siku - 3 Verify source ↗
Section 3
AI-assisted research summary: The section lists market-price treatment for large and standard rooms, and mentions privately rented houses at 5% of rental tax for Tanzanian citizens.
3. Vyumba vikubwa Kwa bei ya soko Vyumba vya kawaida Kwa bei ya soko Nyumba binafsi zilizopangishwa kwa 5% ya kodi ya upangishaji raia wa Tanzania - 4 Verify source ↗
Section 4
AI-assisted research summary: Sehemu hii inataja 10% ya kodi ya upangishaji kwa raia wa kigeni kuhusu nyumba binafsi zilizopangishwa.
4. Nyumba binafsi zilizopangishwa kwa 10% ya kodi ya upangishaji raia wa kigeni - 18 Verify source ↗
ADA YA KUPANGISHA NA KUKODISHA MALI ZA HALMASHAURI
AI-assisted research summary: This section is about rent and lease charges for council property.
18. ADA YA KUPANGISHA NA KUKODISHA MALI ZA HALMASHAURI Namba Aina ya pango Ada ya Pango - 7 Verify source ↗
Section 7
AI-assisted research summary: This section lists local government fees and charges for housing, halls, business stalls, offices, vehicles, and equipment.
7. Nyumba ya kuishi Kwa bei ya soko Ukumbi wa Halmashauri (HQ) Tsh. 700,000 kwa siku Ukumbi nyingine za Halmashauri Tsh. 200,000 kwa siku Vibanda vya biashara Kwa mujibu wa mkataba Vyumba vya ofisi Kwa mujibu wa mkataba Magari ya Halmashaur Kwa mujibu wa mkataba Mitambo Kwa mujibu wa mkataba Sheria Ndogo ya Ada Na Ushuru ya Halmashauri ya Manispaa ya Tabora Tangazo La Serikali Na. 321 (Linaendelea) - 8 Verify source ↗
Section 8
AI-assisted research summary: Section 8 refers to land surveying equipment according to the contract.
8. Vifaa vya upimaji wa ardhi Kwa mujibu wa mkataba - 19 Verify source ↗
ADA ZA VIBALI VYA MICHEZO, UTAMADUNI NA SANAA
AI-assisted research summary: Hii ni jedwali la ada/ushuru kwa vibali vya burudani, michezo, utamaduni na sanaa.
19. ADA ZA VIBALI VYA MICHEZO, UTAMADUNI NA SANAA. Namba aina ya burudani/mchezo ada/ushuru muda (Shilingi) - 1 Verify source ↗
Section 1
AI-assisted research summary: Tamasha permit fees are charged per day, with different amounts depending on whether there is admission and possible advertising wording.
1. Kibali cha Tamasha; Ada zote ni kwa siku. Lisilo na kiingilio 50,000/= Lenye kiingilio 150,000/= Lenye kiingilio na 200,000/= matangazo - 4 Verify source ↗
Section 4
AI-assisted research summary: This section lists fees for registering arts groups, getting a conference permit, and registering stalls used to show films or football.
4. Usajili wa vikundi vya Sanaa 50,000/= Kwa usajili. Kibali cha kongamano 50,000= Kwa siku Usajili wa vibanda vya 100,000/= Kwa Mwaka kuonesha filamu (movie), mpira au vyote kwa pamoja - 5 Verify source ↗
Section 5
AI-assisted research summary: Kibali cha kuweka mashine kinaonekana kuwa na gharama ya 100,000/= kwa kila mashine, kwa kipindi cha miezi sita.
5. Kibali cha kuweka mashine / 100,000/= Kwa kila mashine kwa miezi Michezo ya Kubahatisha sita (6) (bonanza) - 7 Verify source ↗
Section 7
AI-assisted research summary: Hii kifungu kinaweka ada za vibali: 50,000/= kwa kila mashine/meza ya mchezo wa pool kwa mwaka, na 20,000/= kwa kibali cha tamasha kwa siku ya maonesho ya biashara.
7. Kibali cha Mchezo wa pool 50,000/= Kwa kila mashine/meza kwa table Mwaka Kibali cha tamasha la 20,000/= Kwa siku maonesho (biashara) - 8 Verify source ↗
Section 8
AI-assisted research summary: Kibali cha bahati nasibu kinaonekana kutozwa 20,000/= kwa siku kwa eneo moja ndogo ndogo (fete).
8. Kibali cha bahati nasibu 20,000/= Kwa siku katika eneo moja ndogo ndogo (fete) Sheria Ndogo ya Ada Na Ushuru ya Halmashauri ya Manispaa ya Tabora Tangazo La Serikali Na. 321 (Linaendelea) - 12 Verify source ↗
Section 12
AI-assisted research summary: This provision lists fees for several event-related services and venues, including 10,000/=, 15,000/=, and 20,000/= amounts per event.
12. Mshehereshaji 10,000/= Kwa tukio Mpambaji wa ukumbi wa 10,000/= Kwa tukio burudani (harusi, sherehe za jikoni, sherehe za kuaga binti na nyinginezo) Mtoa burudani (DJ) 15,000/= Kwa tukio Kumbi mbalimbali za 20,000/= Kwa tukio moja kwa siku sherehe, burudani, mikutano, kongamano na matukio mbalimbali - 13 Verify source ↗
Section 13
AI-assisted research summary: Mpishi wa vyakula anaonekana kutozwa 10,000/= kwa tukio moja kwa siku kwa matukio ya mikutano, burudani na sherehe mbalimbali.
13. Mpishi wa vyakula kwenye 10,000/= Kwa tukio moja kwa siku. matukio ya mikutano, burudani na sherehe mbalimbali - 16 Verify source ↗
Section 16
AI-assisted research summary: The provision lists charges of 10,000/= for a moving/sticky image item, 50,000/= for a public auction, and 50,000/= for wedding ceremonies held in a hall, each per event per day.
16. Picha jongevu na mnato 10,000/= Kwa tukio moja kwa siku Mnada wa hadhara 50,000/= Kwa tukio moja kwa siku. Sherehe za Harusi za 50,000/= Kwa tukio moja kwa siku ukumbini - 17 Verify source ↗
Section 17
AI-assisted research summary: Wedding ceremonies are charged 20,000/= for one event per day at home.
17. Sherehe za Harusi za 20,000/= Kwa tukio moja kwa siku nyumbani - 18 Verify source ↗
Section 18
AI-assisted research summary: Ada ya matangazo ni 100,000/= kwa siku moja.
18. Ada ya Matangazo ya 100,000/= Kwa siku moja. biashara na promosheni - 19 Verify source ↗
Section 19
AI-assisted research summary: Ada ya matangazo inaonekana kuwa ya 50,000/= kwa siku moja.
19. Ada ya Matangazo yasiyo ya 50,000/= Kwa siku moja. biashara - 21 Verify source ↗
Section 21
AI-assisted research summary: Hii sehemu inaweka ada ya TZS 30,000 kwa siku moja ya kukodi kiwanja cha michezo, na TZS 20,000 kwa kila tukio kwa siku kwa kuuza bidhaa au kutoa huduma kwenye matukio ya mikutano, burudani na sherehe mbalimbali.
21. Kukodi kiwanja cha michezo 30,000/= Kwa siku Moja. Kuuza bidhaa/ kutoa huduma 20,000/= Kwa tukio moja kwa siku kwenye matukio ya Sheria Ndogo ya Ada Na Ushuru ya Halmashauri ya Manispaa ya Tabora Tangazo La Serikali Na. 321 (Linaendelea) Mikutano, Burudani na sherehe mbalimbali. - 23 Verify source ↗
Section 23
AI-assisted research summary: Inaonyesha ada ya kibali cha mganga wa jadi ni 500,000/= kwa mwaka, na kuuza dawa za asili ni 10,000/= kwa mwezi.
23. Kibali cha Mganga wa jadi 500,000/= Kwa mwaka Kuuza dawa za asili 10,000/= Kwa mwezi - 24 Verify source ↗
Section 24
AI-assisted research summary: Ada ya salon ya kike ya kila mwaka ina viwango vitatu: ya juu, ya kati, na ya chini.
24. Ada ya salon ya kike ya 200,000/= Kwa mwaka kiwango cha juu Ada ya salon ya kike ya 100,000/= Kwa mwaka kiwango cha kati Ada ya salon ya kike ya 50,000/= Kwa mwaka kiango cha chini - 25 Verify source ↗
Section 25
AI-assisted research summary: Inaonyesha ada ya salon ya kiume kwa mwaka: kiwango cha juu, kati, na cha chini.
25. Ada ya salon ya kiume ya 100,000/= Kwa mwaka kiwango cha juu Ada ya salon ya kiume ya 50,000/= Kwa mwaka kiwango cha kati Ada ya salon ya kiume ya 20,000/= Kwa mwaka kiango cha chini - 27 Verify source ↗
Section 27
AI-assisted research summary: Hii inaonyesha ada za kibali: 10,000/= kwa tukio kwa ngoma za asili na 30,000/= kwa tukio kwa muziki/disco la kiingilio.
27. Kibali cha ngoma za asili 10,000/= Kwa tukio Kibali cha kupiga muziki 30,000/= Kwa tukio (disco) la kiingilio - 28 Verify source ↗
Section 28
AI-assisted research summary: Kibali cha matangazo kwa biashara inayotumia kipaza sauti ni 5,000/= kwa mwezi.
28. Kibali cha matangazo ya 5,000/= Kwa mwezi biashara kwa kutumia kipaza sauti - 29 Verify source ↗
Section 29
AI-assisted research summary: This provision states a monthly amount of 10,000/= for “kuingiza/kurusha miziki.”
29. Kuingiza/kurusha miziki 10,000/= Kwa mwezi - 20 Verify source ↗
ADA YA HUDUMA ZA MZANI
AI-assisted research summary: Kifungu hiki kina kichwa cha ada za huduma za mzani na kinaanza jedwali la kiasi cha ada.
20. ADA YA HUDUMA ZA MZANI Sheria Ndogo ya Ada Na Ushuru ya Halmashauri ya Manispaa ya Tabora Tangazo La Serikali Na. 321 (Linaendelea) Namba Huduma kiasi cha ada (Shilingi) - 3 Verify source ↗
Section 3
AI-assisted research summary: Hii inaweka ada za kupima uzito wa gari kulingana na kiwango cha uzito.
3. Kupima uzito wa gari zaidi ya tani 21 15,000/= Gari lenye uzito wa kati ya tan 11 -20 10,000/= Gari lenye uzito kati ya tan 0 hadi tan 10 7,000/= - 21 Verify source ↗
USHURU WA KITUO CHA KUOSHA VYOMBO VYA USAFIRI
AI-assisted research summary: This section is titled as a fee for a vehicle-washing station and sets out columns for station location and amount.
21. USHURU WA KITUO CHA KUOSHA VYOMBO VYA USAFIRI Namba Eneo kilipo kituo Kiasi - 1 Verify source ↗
Section 1
AI-assisted research summary: Ada ya maombi ya kibali ni 100,000/= kwa Kata za Mpera na Ipuli, na 50,000/= kwa Kata nyingine.
1. Ada ya maombi ya kibali cha 100,000/= kwa maeneo ya Kata za Mpera, Ipuli, kuanzisha kituo cha kuoshea Cheyo, Kitete, Mbugani, Ng’ambo, Kidongo magari (car wash) Chekundu, Mwinyi, Kanyeye, Chemchem, Mapambano, Kiloleni, Gongoni, Isevya, Mtendeni na Tambukaleli 50,000/= kwa maeneo ya Kata zinazobakia - 22 Verify source ↗
USHURU WA VIWANDA VYA TOFALI
AI-assisted research summary: Hii ni kichwa cha jedwali la ushuru wa viwanda vya tofali; haionyeshi sheria mahususi kwenye maandishi yaliyotolewa.
22. USHURU WA VIWANDA VYA TOFALI Namba Aina ya tozo Kiwango cha tozo - 1 Verify source ↗
Section 1
AI-assisted research summary: An application permit fee of 100,000/= is required to establish a factory for making bricks and decorative bricks for business.
1. Ada ya maombi ya kibali cha 100,000/= kwa mkupuo kuanzisha kiwanda cha kutengeneza tofali na tofali za mapambo kwa ajili ya biashara - 23 Verify source ↗
USHURU WA KITUO CHA KUTENGENEZA SAMANI
AI-assisted research summary: This section introduces the furniture factory levy schedule.
23. USHURU WA KITUO CHA KUTENGENEZA SAMANI Sheria Ndogo ya Ada Na Ushuru ya Halmashauri ya Manispaa ya Tabora Tangazo La Serikali Na. 321 (Linaendelea) Namba Aina ya Tozo Kiwango cha Tozo - 1 Verify source ↗
Section 1
AI-assisted research summary: Ada ya maombi ya kibali ni 50,000/= kwa mwaka kwa kuanzisha karakana ya kutengeneza samani.
1. Ada ya maombi ya kibali cha 50,000/= kwa mwaka kuanzisha karakana ya kutengeneza samani - 24 Verify source ↗
USHURU WA MAZAO YA MALIASILI
AI-assisted research summary: This section is a tariff table heading for natural resource crops, with columns for number, crop type, and charge rate.
24. USHURU WA MAZAO YA MALIASILI Namba Aina ya zao Kiwango cha Tozo - 9 Verify source ↗
Section 9
AI-assisted research summary: Hii sehemu inaorodhesha bei za bidhaa na vipimo mbalimbali, ikiwemo mkaa, mbao, asali, nta, nguzo na gogo.
9. Mkaa Kuni Mbao Asali Nta Mabanzi 2,000/= kwa gunia 1,000/= kwa mita moja ya ujazo (M3) 5% ya bei ya kununulia kwa kila ubao 2,000/= kwa chombo chenye ujanzo wa lita 20 500/= kwa kilo 300/= kwa banzi Nguzo (aina zote) 500/= kwa nguzo Gogo Fito 2,000/= kwa kila gogo 1,000/= kwa mzigo mmoja - 11 Verify source ↗
Section 11
AI-assisted research summary: The text states a charge of 1,000/= per bag for charcoal.
11. Chenga za Mkaa 1,000/= kwa gunia Sheria Ndogo ya Ada Na Ushuru ya Halmashauri ya Manispaa ya Tabora Tangazo La Serikali Na. 321 (Linaendelea) - 25 Verify source ↗
USHURU WA MAZAO MCHANGANYIKO
AI-assisted research summary: This provision is a table heading for the tax on mixed crops/products, with columns for item number, type of crop, and tax amount.
25. USHURU WA MAZAO MCHANGANYIKO Namba aina ya mazao ushuru (Shilingi) - 4 Verify source ↗
Section 4
AI-assisted research summary: Hii sehemu inaweka viwango vya ushuru/vifungo kwa mazao na bidhaa fulani: 3% ya bei ya kununulia kwa ujazo unaozidi tani moja, TSh 1,000 kwa gunia la mashudu/pumba/mabaki ya mazao, na TSh 1,000 kwa tenga la matunda mchanganyiko.
4. Mazao ya chakula Mazao ya biashara Asilimia 3% ya bei ya kununulia kwa ujazo unaozidi tani moja Asilimia 3% ya bei ya kununulia kwa ujazo unaozidi tani moja Ushuru wa mashudu, pumba na mabaki ya 1,000/= kwa gunia mazao Ushuru wa matunda mchanganyiko 1,000/= kwa tenga moja - 26 Verify source ↗
USHURU WA GEREJI
AI-assisted research summary: This section is titled “USHURU WA GEREJI” and indicates a table for garage tax/charges and their rates.
26. USHURU WA GEREJI Namba Aina ya Tozo Kiwango cha tozo - 3 Verify source ↗
Section 3
AI-assisted research summary: There are fees for opening a car garage, opening a motorcycle garage, and a monthly levy for motorcycle garages.
3. Ada ya maombi ya kibali cha kuanzisha 50,000/= kwa mkupuo kwa eneo moja gereji ya magari Ada ya kuanzisha gereji ya pikipiki 25,000 kwa mkupuo kwa eneo moja Ushuru wa gereji za pikipiki 10,000/= kwa mwezi - 27 Verify source ↗
USHURU WA CHUMA CHAKAVU
AI-assisted research summary: This section is a table heading for the levy on scrap iron, with columns for number, type of levy, and levy rate.
27. USHURU WA CHUMA CHAKAVU Namba Aina ya Tozo Kiwango cha tozo - 1 Verify source ↗
Section 1
AI-assisted research summary: A permit application fee of 50,000 TZS is charged as a lump sum for an area used to establish or renew a one-year scrap metal buying station.
1. Ada ya maombi ya kibali cha 50,000/= kwa mkupuo kwa eneo kuanzisha/ kuhuisha kituo cha moja kwa mwaka kununulia chuma chakavu Sheria Ndogo ya Ada Na Ushuru ya Halmashauri ya Manispaa ya Tabora Tangazo La Serikali Na. 321 (Linaendelea) - 3 Verify source ↗
Section 3
AI-assisted research summary: Magari ya tani 3 hadi 5 hulipa 30,000/= kwa kila tripu; magari ya zaidi ya tani 5 hulipa 50,000/= kwa kila tripu.
3. Gari lenye ukubwa wa tani 3 hadi 5 30,000/= kwa gari kwa tripu Gari lenye ukubwa wa zaidi ya tani 5 50,000/= kwa gari kwa tripu - 28 Verify source ↗
ADA YA USAJILI WA KIKUNDI CHA KIJAMII (CBO)
AI-assisted research summary: This section is titled “Registration fee for a community-based organisation (CBO)” and introduces a fee table.
28. ADA YA USAJILI WA KIKUNDI CHA KIJAMII (CBO) Namba Aina ya tozo Kiwango cha tozo - 2 Verify source ↗
Section 2
AI-assisted research summary: Ada ya usajili ni 20,000/= kwa mkupuo mmoja, na ada ya kikundi ni 20,000/= kwa mwaka.
2. Ada ya usajili 20,000/= kiwa mkupuo mmoja Ada ya kikundi 20,000/= kwa mwaka - 29 Verify source ↗
USHURU WA SAMAKI, DAGAA NA MAZAO MENGINE YA MAJINI
AI-assisted research summary: This section is titled “USHURU WA SAMAKI, DAGAA NA MAZAO MENGINE YA MAJINI” and begins a table listing item number, type of product, and amount per basket/bucket.
29. USHURU WA SAMAKI, DAGAA NA MAZAO MENGINE YA MAJINI Namba Aina ya zao Kiasi kwa tenga/ndoo moja - 8 Verify source ↗
Section 8
AI-assisted research summary: Hii ni jedwali la ada/ushuru kwa baadhi ya mazao ya samaki na viumbe wa majini, likiweka kiasi cha shilingi kwa kila bidhaa iliyoorodheshwa.
8. Samaki wabichi Samaki wakavu Dagaa wakavu/gunia Furu Dagaa wabichi Uduvi Konokono (Shilingi) 1000 1000 1000 1000 1000 1000 1000 Mazao mengine ya ziwani au bwawa 20 au mito au malambo Sheria Ndogo ya Ada Na Ushuru ya Halmashauri ya Manispaa ya Tabora Tangazo La Serikali Na. 321 (Linaendelea) - 30 Verify source ↗
ADA YA KUSAJILI VYOMBO VYA MOTO VINAVYOTOA HUDUMA
AI-assisted research summary: Sehemu hii inaonyesha jedwali la ada/tozo za usajili wa vyombo vya moto vinavyotoa huduma.
30. ADA YA KUSAJILI VYOMBO VYA MOTO VINAVYOTOA HUDUMA Namba. Ujazo wa chombo Kiasi cha tozo - 8 Verify source ↗
Section 8
AI-assisted research summary: Section 8 lists annual fees for different vehicle types and parking registration fees for motorcycle parking areas.
8. Pikipiki za magurudumu mawili 5,000/= kwa mwaka Pikipiki za magurudumu matatu za abiria 10,000/= kwa mwaka Pikipiki za magurudumu matatu za 10,000/= kwa mwaka mizigo Taxi za kubeba abiria 15,000/= kwa mwaka Magari ya mizigo chini ya tani 3 20,000/= kwa mwaka Magari ya mizigo zaidi ya tani 3 30,000/= kwa mwaka Ada ya usajili wa egesho la pikipiki za 50,000/= kwa kila egesho kwa mwaka magurudumu mawili Ada ya usajili wa egesho la pikipiki za 100,000/= kwa kila egesho kwa mwaka magurudumu matatu - 31 Verify source ↗
USHURU WA KUINGIZA BIDHAA SOKONI
AI-assisted research summary: Sehemu hii ina kichwa cha ushuru wa kuingiza bidhaa sokoni na inaonyesha safu za taarifa za aina ya bidhaa, ushuru kwa siku, na kipimo cha shilingi.
31. USHURU WA KUINGIZA BIDHAA SOKONI Namba Aina ya bidhaa Ushuru kwa Siku Kipimo (Shilingi). - 4 Verify source ↗
Dagaa
AI-assisted research summary: Lists Dagaa prices of 1,000.00 and 1,500.00, with quantities described as tenga and gunia.
4. Dagaa 1,000.00 Kwa tenga 1,500.00 Kwa gunia - 5 Verify source ↗
Viazi mviringo
AI-assisted research summary: Round potatoes are charged 1,000.00 per bag.
5. Viazi mviringo 1,000.00 Kwa gunia Sheria Ndogo ya Ada Na Ushuru ya Halmashauri ya Manispaa ya Tabora Tangazo La Serikali Na. 321 (Linaendelea) - 13 Verify source ↗
Viuongo vya mboga
AI-assisted research summary: This provision lists “Viuongo vya mboga” and a price of 1,000.00 per tenga.
13. Viuongo vya mboga 1,000.00 Kwa tenga - 16 Verify source ↗
Bidhaa nyinginezo
AI-assisted research summary: Other goods are priced at 1,000.00 per sack.
16. Bidhaa nyinginezo 1,000.00 kwa gunia - 32 Verify source ↗
USHURU WA SOKO
AI-assisted research summary: This section is a market levy table with columns for number, type of levy, and amount.
32. USHURU WA SOKO Namba Aina ya tozo Kiasi cha tozo - 3 Verify source ↗
Section 3
AI-assisted research summary: Hii inaorodhesha ada/ushuru wa kila mwezi kwa kupangisha kizimba, kizimba cha kuku, na mama/baba lishe.
3. Ushuru wa kupangisha kizimba 15,000 kwa mwezi Kizimba cha kuku 20,000/= kwa mwezi Ushuru wa mama/baba lishe 10,000 kwa mwezi - 33 Verify source ↗
ADA YA MAOMBI YA ZABUNI MBALIMBALI ZA HALMASHAURI
AI-assisted research summary: This section is about the application fee for multi-tender municipal bids.
33. ADA YA MAOMBI YA ZABUNI MBALIMBALI ZA HALMASHAURI Namba Aina ya chanzo Kiasi (Shilingi) Sheria Ndogo ya Ada Na Ushuru ya Halmashauri ya Manispaa ya Tabora Tangazo La Serikali Na. 321 (Linaendelea) - 9 Verify source ↗
Section 9
AI-assisted research summary: The section lists several services or activities, each paired with 100,000/=.
9. Ukusanyaji wa mapato 100,000/= Ujenzi wa barabara 100,000/= Ukusanyaji na uondoshaji wa 100,000/= taka ngumu Kukarabati na kujenga maduka 100,000/= Vioski na vizimba vya umma Kurekebisha mali za 100,000/= Halmashauri (magari na majengo) Ukaguzi na upimaji wa viwanja. 100,000/= Uendeshaji vyoo vya umma 100,000/= Uendeshaji wa vioski vya 100,000/= Halmashauri Huduma elekezi / mshauri 100,000/= (Consultancy services) - 12 Verify source ↗
Section 12
AI-assisted research summary: This provision lists amounts for shop/stall rental, building construction, and non-consultancy services.
12. Upangishaji Maduka / Vizimba 50,000/= Ujenzi wa majengo 100,000/= Huduma zisizohitaji ushauri wa 100,000/= kitaalamu (non-consultancy services) - 13 Verify source ↗
Section 13
AI-assisted research summary: This section provides a form for admitting an offence under the Tabora Municipal Council fees and levies bylaw.
13. Maeneo mengine ambayo 100,000/= hayajatajwa Sheria Ndogo ya Ada Na Ushuru ya Halmashauri ya Manispaa ya Tabora Tangazo La Serikali Na. 321 (Linaendelea) ___________ JEDWALI LA PILI ___________ (Limetegenezwa chini ya kanuni ya 12) FOMU YA KUKIRI NA KUFIFILISHA KOSA Mimi ........…………………………………. nakiri KWA HIARI YANGU MWENYEWE mbele ya ………………………………. ambaye ni Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Tabora, kwamba mnamo tarehe ………… ya mwezi…………. Mwaka ……… nilitenda kosa la kukiuka masharti ya kanuni ya ……………cha Sheria Ndogo ya Ada na Ushuru ya Halmashauri ya Manispaa ya Tabora ya Mwaka 2024. Kwa Mamlaka aliyopewa Mkurugenzi wa Halmashauri, niko tayari kulipa kiasi cha ada au ushuru ninaodaiwa pamoja na faini. NATHIBITISHA KWAMBA MAELEZO HAPO JUU NI YA KWELI NA NIMEYATOA MIMI MWENYEWE KWA HIARI YANGU KADRI YA UFAHAMU WANGU. Leo tarehe …………………..ya Mwezi …………… Mwaka ………………… Jina: ……………………………... Saini: ……………………………. MBELE YANGU: Jina: …………………………………… Wadhifa: ………………………………. Saini: ………………………………….. Tarehe: ………………………………... Sheria Ndogo ya Ada Na Ushuru ya Halmashauri ya Manispaa ya Tabora Tangazo La Serikali Na. 321 (Linaendelea) Lakari ya Halmashauri ya Manispaa ya Tabora imegongwa kwenye Sheria Ndogo hii kufutia Azimio lililopitishwa katika Mkutano wa Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Manispaa ya Tabora uliofanyika tarehe 12 mwezi 05 Mwaka 2023 na kushuhudiwa lakari hiyo ikigongwa mbele ya;- ELIAS MAHWAGO KAYANDABILA Mkurugenzi wa Manispaa Halmashauri ya Manispaa ya Tabora MHE. RAMADHANI S. KAPELA Mstahiki Meya Halmashauri ya Manispaa Tabora NAKUBALI L.S Dodoma, MOHAMED OMARY MCHENGERWA (MB) 20 Februari, 2024 Waziri wa Nchi- Ofisi ya Rais (Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa)
Provision text is displayed from LexChat’s stored statute record. Use the official source links to verify amendments, commencement, and current legal force.
Ask AI about this statute
Sheria Ndogo ya Ada na Ushuru ya Halmashauri ya Manispaa ya Tabora ya Mwaka 2024
Sign in to ask AI about this statute
Sign in to start authenticated, citation-grounded statute research.
Sign in