KANUNI ZA UWINDAJI WA KITALII ZA MWAKA 2024
Read the stored legal text, review its version and status evidence, or ask LexChat a question grounded in exact provisions.
- Jurisdiction
- Tanzania
- Instrument
- Regulation
- Citation
- KANUNI ZA UWINDAJI WA KITALII ZA MWAKA 2024
- Version
- Undated source snapshot
- Language
- sw
- Official source
- View official record ↗
Statute overview
About this statute
This page preserves the statute’s identified version, provision structure, official source link, and stored legal text for reading and research.
Search within this statute
Search all stored provisions in this version.
Legal text
Provisions of KANUNI ZA UWINDAJI WA KITALII ZA MWAKA 2024
Showing 1 of 1
- document Verify source ↗
Document text
Tangazo la Serikali Na. 780 (Linaendelea) Kanuni za Uwindaji wa Kitalii TANGAZO LA SERIKALI NA. 780 la tarehe 30/8/2024 SHERIA YA UHIFADHI WA WANYAMAPORI, (SURA YA 283) _________ KANUNI _________ (Zimetengenezwa chini ya kanuni ya 121(a) na (f)) KANUNI ZA UWINDAJI WA KITALII ZA MWAKA 2024 MPANGILIO WA KANUNI SEHEMU YA KWANZA MASHARTI YA UTANGULIZI Kanuni Jina 1. 2. Jina. Tafsiri. SEHEMU YA PILI UTARATIBU WA MAOMBI NA UGAWAJI WA KITALU 3. Utengaji wa vitalu vya uwindaji. 4. Vigezo vya kutenga kitalu cha uwindaji. 5. Upangaji wa madaraja ya vitalu vya uwindaji. 6. Kipindi cha umiliki wa kitalu cha uwindaji. 7. Kugawa kitalu cha uwindaji. 8. Utaratibu wa mnada wa kielektroniki wa kitalu cha uwindaji. 9. Utangazaji wa vitalu vya uwindaji. SEHEMU TATU MASHARTI NA MAZUIO KUHUSIANA NA VITALU VYA UWINDAJI 10. Ada ya kitalu. 11. Kamati ya ushauri ya mgao wa wanyamapori. 12. Utoaji wa mgao wa wanyamapori. 13. Maombi ya kibali cha utalii wa uwindaji. 1 Tangazo la Serikali Na. 780 (Linaendelea) Kanuni za Uwindaji wa Kitalii 14. Mtazamaji. 15. Masharti ya utalii wa uwindaji. 16. Ombi la kufutwa kibali cha uwindaji. 17. Kibali kitakachorejeshwa. 18. Ada ya mnyamapori. 19. Matumizi na udhibiti wa mgao wa wanyamapori. 20. Mchango kwa jamii. 21. Tathmini ya utendaji wa kampuni ya uwindaji. 22. Masharti ya kuhamisha kitalu cha uwindaji. 23. Kurejesha kitalu cha uwindaji. 24. Kufutwa kwa umiliki. 25. Mamlaka ya afisa mwidhiniwa. 26. Leseni ya mwindaji bingwa. 27. Usafirishaji wa nyara nje ya nchi. SEHEMU NNE MASHARTI YA JUMLA 28. Kosa la kukiuka kiwango kilichowekwa. 29. Adhabu ya jumla. 30. Rufaa. 31. Kufutwa. 2 Tangazo la Serikali Na. 780 (Linaendelea) Kanuni za Uwindaji wa Kitalii SHERIA YA UHIFADHI WA WANYAMAPORI, (SURA YA 283) __________ KANUNI ________ (Zimetengenezwa chini ya kanuni ya 121(a) na (f)) KANUNI ZA UWINDAJI WA KITALII ZA MWAKA 2024 Jina Tafsiri MPANGILIO WA KANUNI SEHEMU YA KWANZA MASHARTI YA UTANGULIZI 1. Kanuni hizi zitajulikana kama Kanuni za Utalii wa Uwindaji za Mwaka 2024. 2. Katika Kanuni hizi isipokuwa kama muktadha utahitaji vinginevyo- “ada ya kitalu” maana yake ni kiasi cha fedha kinacholipwa kwa ajili ya pango la kitalu cha uwindaji; “ada ya mnyama” maana yake ni bei ya mnyama aliyewindwa au kujeruhiwa na mtalii wa uwindaji; “ada ya mtazamaji” maana yake ni kiasi cha fedha kinacholipwa na mtazamaji kupitia kampuni ya uwindaji kutazama shughuli za uwindaji; “ada ya mwindaji bingwa” maana yake ni kiasi cha fedha kinacholipwa na mwindaji bingwa kwa madhumuni ya kumruhusu kuongoza mtalii wa uwindaji nchini; “ada ya uhifadhi” maana yake ni kiasi cha fedha kinacholipwa na mteja wa uwindaji kwa siku za ziada zilizotumiwa katika kitalu cha uwindaji; “afisa mwidhiniwa” maana yake ni ile iliyotafsiriwa chini ya Sheria; “Bodi” maana yake ni Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania; “Jumuiya iliyoidhinishwa” itakuwa na maana sawa na iliyotafsiriwa chini ya Sheria; “kampuni ya uwindaji” maana yake ni kampuni ya biashara iliyosajiliwa, kutengewa kitalu cha uwindaji na Waziri na kupewa cheti cha kufanya shughuli za 3 Tangazo la Serikali Na. 780 (Linaendelea) Kanuni za Uwindaji wa Kitalii utalii wa uwindaji; “kifurushi cha safari” maana yake ni orodha ya wanyama watakaowindwa na idadi ya siku zilizoainishwa katika safari ya uwindaji; “kitalu cha uwindaji” maana yake ni eneo lenye wanyamapori ambalo limeainishwa au kutengwa na kuthibitishwa na Mkurugenzi kwa ajili ya Utalii wa Uwindaji; “leseni ya mwindaji bingwa” maana yake ni leseni inayotolewa kwa mwindaji bingwa baada ya kukidhi matakwa ya sheria; Sura ya 283 “Mkurugenzi” maana yake ni Mkurugenzi wa Wanyamapori aliyeteuliwa chini ya Sheria; “mtazamaji” maana yake ni mtu anayefuatana na mtalii wa uwindaji katika safari ya uwindaji kwa lengo la utazamaji tu na hashiriki katika kuwinda; “mwindaji bingwa” maana yake mtu anayemiliki leseni inayomruhusu bingwa ya mwindaji halali kumwongoza mtalii wa uwindaji; “safari ya uwindaji” maana yake ni safari inayofanywa na mtalii wa uwindaji kwa ajili ya uwindaji wa wanyamapori katika kipindi cha mapumziko; “Sheria” maana yake ni Sheria ya Uhifadhi wa Sura ya 283 Wanyamapori; “utalii wa uwindaji” maana yake ni uwindaji wa kuchagua mnyamapori ndani ya kitalu cha uwindaji kwa ajili ya burudani au kupata nyara na inajumuisha uwindaji wa michezo na utalii wa uvuvi; “uwindaji wa nyara” maana yake ni uwindaji wa kuchagua mnyamapori kwa ajili ya pembe, pembe ya ndovu, jino la ngiri au nguruwe, mfupa, kucha, kwato, ngozi, nyama, nywele, manyoya au sehemu yoyote ya mnyama; “wanyama muhimu” maana yake ni orodha maalum ya reptilia, mamalia na ndege; na “Waziri” maana yake ni Waziri mwenye dhamana na wanyamapori. SEHEMU YA PILI UTARATIBU WA MAOMBI NA UGAWAJI WA KITALU CHA UWINDAJI Utengaji wa vitalu vya 3.-(1) Mkurugenzi atatenga maeneo katika Mapori 4 Tangazo la Serikali Na. 780 (Linaendelea) Kanuni za Uwindaji wa Kitalii uwindaji ya Akiba, Mapori Tengefu, na maeneo ya Jumuiya ya Hifadhi za wanyamapori na maeneo mengine nje ya maeneo yaliyohifadhiwa kuwa vitalu vya uwindaji na atatoa cheti kilichoainishwa katika Jedwali la Kwanza. (2) Utengaji wa vitalu vya uwindaji katika Maeneo ya Jumuiya ya Hifadhi za Wanyamapori utazingatia Mpango wa Usimamizi wa Rasilimali wa Kanda au Mpango wa Usimamizi wa Jumla wa Eneo la Jumuiya ya Hifadhi ya Wanyamapori husika. (3) Mkurugenzi kabla ya kutenga kitalu cha uwindaji katika eneo lilio nje ya maeneo ya Hifadhi atashauriana na mamlaka ya eneo husika. Vigezo vya kutenga kitalu cha uwindaji 4. Ikiwa Mkurugenzi anakusudia kutenga kitalu cha fulani, atazingatia kuwa eneo uwindaji katika eneo linalopendekezwa linakidhi vigezo vifuatavyo: (a) uwepo wa rasilimali za wanyamapori kwa ajili ya utalii wa uwindaji endelevu; (b) uwepo wa aina mbalimbali za spishi za wanyamapori na makazi yao; (c) linafikika kwa maana ya muonekano wa eneo na maendeleo ya miundombinu; (d) uwezekano wa kurejea kwa wanyamapori baada ya uwekezaji kwa muda fulani; (e) mipaka ya cha uwindaji kitalu kinachopendekezwa kimewekwa mipaka ya majira nukta ya Global Positioning System na kuelezwa kwa alama za sura ya nchi au alama za kudumu inavyoweza kutumia; na zinazoonekana kadri (f) ukubwa wa eneo ni kilomita za mraba 200 isipokuwa ikiwa kitalu cha uwindaji kimetengwa ndani ya Eneo la Jumuiya ya Hifadhi ya Wanyamapori ambalo ukubwa wake utaamuliwa katika Mpango wa Usimamizi wa Jumla au Mpango wa Usimamizi wa Rasilimali wa Kanda kadri inavyoweza kuwa, na kwamba ukubwa wa juu wa eneo utaamuliwa na matokeo ya eneo kwa mijibu wa vigezo vilivyoainishwa katika kanuni hii. Upangaji wa madaraja ya vitalu vya 5.-(1) Mkurugenzi atapanga madaraja ya vitalu vilivyotengwa katika kanuni ndogo ya (3) kwa kuzingatia vigezo vilivyoainishwa katika Sehemu A ya Jedwali la Pili. 5 Tangazo la Serikali Na. 780 (Linaendelea) Kanuni za Uwindaji wa Kitalii uwindaji (2) Mkurugenzi atapanga vitalu vya uwindaji katika madaraja matatu kwa mujibu wa matokeo ya Daraja la Wastani wa Alama ya kila kitalu yaliyokokotolewa kutokana na vigezo vilivyoainishwa katika Sehemu B ya Jedwali la Pili kama ifuatavyo: (a) Daraja la I litajumuisha vitalu vya uwindaji vyenye matokeo ya Daraja la Wastani wa Alama kuanzia 3.1 hadi 3.6; (b) Daraja la II litajumuisha vitalu vya uwindaji vyenye matokeo ya Daraja la Wastani wa Alama kuanzia 2.4 hadi 3.0; na (c) Daraja la III litajumuisha vitalu vya uwindaji vyenye matokeo ya Daraja la Wastani wa Alama kuanzia 1.7 hadi 2.3. Kipindi cha umiliki wa kitalu cha uwindaji 6.-(1) Muda wa umiliki wa kitalu cha uwindaji utakuwa kama ifuatavyo: (a) ikiwa ni kitalu cha daraja la i, miaka kumi; (b) ikiwa ni kitalu cha daraja la ii, miaka kumi; na (c) ikiwa ni kitalu cha daraja la iii, miaka kumi na tano. (2) Muda wa umiliki wa kitalu cha uwindaji kilichoainishwa chini ya kanuni ndogo ya (1), utaanza tarehe ya utolewaji wa cheti cha ugawaji wa kitalu cha uwindaji. (3) Kampuni ya uwindaji itaacha kufanya shughuli na kuachia kitalu cha uwindaji mwishoni mwa muda wa umiliki. 7. Waziri baada ya kupokea ushauri wa Kamati ya Ushauri wa Ugawaji wa Vitalu vya Uwindaji iliyoanzishwa chini ya Sheria, atagawa kitalu cha uwindaji kwa mwombaji kwa kutumia mnada wa kielektroniki au zabuni. 8.-(1) Waziri atatangaza vitalu vya uwindaji vilivyowazi na kuwaalika waombaji kushiriki katika mnada wa kielektroniki kwa kuchapisha maelezo ya kitalu cha uwindaji pamoja na sifa za waombaji wanaostahili kama ilivyoainishwa katika Kanuni hizi. (2) Makampuni ya uwindaji yanayotarajia kushiriki katika mnada wa kielektroniki yatatakiwa ndani ya siku thelathini kuanzia tarehe ya tangazo, kufanya maombi kwa njia ya kieletroniki kwa namna iliyoainishwa katika Jedwali la Tatu. 6 Kugawa kitalu cha uwindaji Utaratibu wa mnada wa kielektronik i wa kitalu cha uwindaji Tangazo la Serikali Na. 780 (Linaendelea) Kanuni za Uwindaji wa Kitalii (3) Baada ya kumalizika kipindi cha maombi, Mkurugenzi kwa idhini ya Waziri atafungua mnada wa kilektroniki wa kitalu cha uwindaji ambao utadumu kwa siku saba tangu ufunguliwe. (4) Baada ya kufungwa kwa mnada Mkurugenzi atatoa matokeo kwa makampuni ya uwindaji yaliyoshiriki mnada na kuitaka kampuni iliyoshinda kulipa malipo ya awali ya asilimia ishirini na tano ya bei ya kitalu ndani ya siku mbili za kazi. (5) Baada ya malipo ya awali chini ya kanuni ndogo (4) Mkurugenzi atafanya uhakiki wa kampuni ya uwindaji iliyoshinda kwa mujibu wa Kanuni hizi. (6) Baada ya uhakiki, Mkurugenzi atawasilisha taarifa ya mnada wa kielektroniki pamoja na mapendekezo yake katika Kamati ya Ushauri wa Ugawaji wa Vitalu vya Uwindaji kwa ajili ya mapitio na kumshauri Waziri. (7) Waziri anaweza, baada ya kuzingatia ushauri uliotolewa chini ya kanuni ndogo ya (6)- (a) kukubali mapendezo na kutoa barua ya tuzo kwa kampuni ya uwindaji iliyoshinda kitalu cha uwindaji yenye masharti ya kulipa asilimia sabini na tano iliyobakia ndani ya siku kumi na nne kuanzia tarehe ya barua hiyo; au (b) kukataa mapendekezo na kutoa taarifa kwa kampuni ya uwindaji iliyoshinda na kutoa sababu ya uamuzi huo. (8) Endapo kampuni ya uwindaji iliyoshinda mnada nafasi ya kwanza imelipa kiasi kilichobaki cha asilimia sabini na tano ya bei ya mnada- (a) Mkurugenzi na kampuni ya uwindaji iliyoshinda mnada nafasi ya kwanza watasaini mkataba kwa lengo la kutumia rasilimali za wanyamapori; na (b) Waziri atatoa Cheti cha Ugawaji wa Kitalu cha ilivyoainishwa katika Uwindaji kwa namna Jedwali la Kwanza. (9) Endapo kampuni ya uwindaji iliyoshinda mnada nafasi ya kwanza itashindwa kulipa asilimia sabini na tano ndani ya siku kumi na nne kama ulivyoainishwa katika kanuni ndogo ya 7(a), Waziri anaweza- (a) kufuta barua ya tuzo ya kitalu cha uwindaji; na (b) kutorudisha asilimia ishirini na tano iliyokwisha kulipwa; (c) kutoa maelekezo kwa Mkurugenzi kutangaza ikiwa hakuna kampuni upya mnada husika 7 Tangazo la Serikali Na. 780 (Linaendelea) Kanuni za Uwindaji wa Kitalii aliyofikia bei ya kitalu; au (d) kuidhinisha utoaji wa kitalu kwa kampuni ya uwindaji iliyoshinda mnada nafasi ya pili na kufikia bei ya kitalu yenye masharti ya kulipa- (i) asilimia ishirini na tano ya bei ya kitalu ndani ya siku mbili za kazi; na (ii) asilimia sabini na tano iliyobakia italipwa ndani ya siku kumi na nne kuanzia tarehe ya malipo ya asilimia ishirini na tano ya bei ya kitalu. (10) Kwa kuzingatia masharti ya kanuni ndogo ya (9) Waziri atatoa barua ya tuzo kwa kampuni ya uwindaji iliyoshinda mnada nafasi ya pili iliyofikia bei ya kitalu baada ya kulipa asilimia ishirini na tano ya bei ya kitalu. (11) Endapo kampuni ya uwindaji iliyoshinda mnada nafasi ya kwanza itashindwa kulipa asilimia ishirini na tano ndani ya siku mbili za kazi, Waziri anaweza- (a) kuifungia kutoshiriki mnada wa kitalu cha uwindaji kwa miaka mitano; na (b) kumuorodhesha katika rejista ya waharibifu wa zoezi la mnada. (12) Endapo katika mnada huo, hakuna kampuni iliyofikia bei ya kitalu, Waziri atatoa maelekezo kwa Mkurugenzi kutangaza upya mnada husika. (13) Endapo kampuni ya uwindaji iliyoshinda mnada nafasi ya pili ilifikia bei ya kitalu, Waziri ataidhinisha kitalu hicho kwa kampuni iliyoshinda mnada nafasi ya pili kwa masharti ya kulipa- (i) asilimia ishirini na tano ya bei ya kitalu ndani ya siku mbili za kazi; na (ii) asilimia sabini na tano iliyobakia italipwa ndani ya siku kumi na nne kuanzia tarehe ya malipo ya asilimia ishirini na tano ya bei ya kitalu. (14) Kwa kuzingatia masharti ya kanuni ndogo ya (13) Waziri atatoa barua ya tuzo kwa kampuni ya uwindaji iliyoshinda mnada nafasi ya pili iliyofikia bei ya kitalu baada ya kulipa asilimia ishirini na tano ya bei ya kitalu cha uindaji. Utaratibu wa zabuni kwa vitalu vya uwindaji 9.-(1) Mkurugenzi atatangaza kitalu cha uwindaji kilicho wazi na kualika waombaji kuomba kitalu kwa njia ya zabuni. (2) Kabla ya kutangaza vitalu vya uwindaji vilivyo wazi, Kamati ya Ushauri wa Ugawaji wa Vitalu vya 8 Tangazo la Serikali Na. 780 (Linaendelea) Kanuni za Uwindaji wa Kitalii Uwindaji itapendekeza thamani ya soko ya vitalu hivyo kwa ajili ya kuidhinishwa na Waziri. (3) Tangazo litaainisha muda na mahali ambapo waombaji watawasilisha maombi yao. (4) Maombi ya kitalu cha uwindaji chini ya kanuni ndogo ya (1) yatafanyika kwa namna iliyoainishwa katika Jedwali la Tatu. (5) Mkurugenzi ndani ya siku kumi na nne baada ya kupokea maombi yoyote, atayasajili na kukiri kuyapokea. (6) Mkurugenzi atawasilisha maombi yote aliyopokea kwa Kamati ya Ushauri wa Ugawaji wa Vitalu vya Uwindaji iliyoanzishwa chini ya Sheria kwa ajili ya kujiridhisha na sifa za waombaji na kumshauri Waziri kugawa kitalu cha uwindaji kwa kampuni yenye bei ya juu zaidi ambayo ni sawa au zaidi ya thamani ya soko. (7) Waziri, baada ya kupokea ushauri kutoka kwa Kamati ya Ushauri wa Ugawaji wa Vitalu vya Uwindaji, anaweza kuidhinisha bei ya zabuni ya juu zaidi iliyopendekezwa na Kamati ya Ushauri wa Ugawaji wa Vitalu vya Uwindaji. (8) Baada ya idhini ya Waziri, Mkurugenzi atawasilisha maamuzi ya Waziri kwa waombaji na kumtaka muombaji aliyeshinda kulipa bei ya kitalu iliyoidhinishwa ndani ya siku kumi na nne kuanzia tarehe alipowasilisha maamuzi kwa waombaji hao. (9) Baada ya malipo kamili ya bei ya kitalu- (a) Mkurugenzi na mshindi wa zabuni watasaini mkataba kwa lengo la kutumia rasilimali za wanyamapori; na (b) Waziri atatoa Cheti cha Ugawaji wa Kitalu cha ilivyoainishwa katika Uwindaji kwa namna Jedwali la Kwanza. 10.-(1) Mtu hatapewa kitalu cha uwindaji isipokuwa ni kampuni iliyosajiliwa Tanzania na mojawapo ya malengo yake ni utalii wa uwindaji. (2) Maombi yaliyofanywa chini ya kanuni za 8 na 9 yatawasilishwa kwa Mkurugenzi yakiambatishwa na- (a) katiba ya Kampuni ya Utalii wa Uwindaji; (b) cheti cha usajili wa kampuni; (c) cheti cha utambulisho wa mlipa kodi au namba ya usajili wa kodi ya ongezeko la thamani; (d) cheti cha uthibitisho wa mlipa kodi; (e) ada ya maombi isiyorejeshwa kama 9 Sifa za kupewa kitalu cha uwindaji na uhakiki wa mwombaji Tangazo la Serikali Na. 780 (Linaendelea) Kanuni za Uwindaji wa Kitalii ilivyoainishwa katika Jedwali la Nne na nyaraka nyingine kama itakavyoainishwa kwenye tangazo. (3) Katika uhakiki wa mwombaji chini ya kanuni za 8 na 9, Mkurugenzi atazingatia yafuatayo: (a) kampuni ina angalau mwajiriwa mmoja mwandamizi katika ngazi ya utawala mwenye elimu na uzoefu wa miaka mitatu katika uhifadhi wa wanyamapori Tanzania; (b) kampuni inakidhi kiwango cha chini cha hisa na masharti mengine kama ilivyoainishwa katika Sheria; (c) andiko likionyesha maelezo ya biashara, muundo wa utumishi, mtaji, wateja wanaolengwa, masoko, mchanganuo wa fedha na matarajio ya mapato; la biashara (d) kumbukumbu nzuri kuhusiana na ulipaji wa ada na uzingatiaji wa Sheria kwa waendeshaji waliopo; (e) sifa nzuri kutoka kwa mdhamini na kumbukumbu safi za biashara; (f) kumbukumbu safi za uzingatiaji ulipaji wa kodi ya Serikali na malipo mengine ya kisheria; (g) ikiwa ni kampuni ya uwindaji inayomilikwa na watanzania, uthibitisho wa- (i) eneo la ofisi linalofaa kuendesha biashara ya uwindaji; (ii) magari aina ya pick up yenye 4WD yasiyopungua mawili yenye hali nzuri, yaliyosajiliwa kwa jina la kampuni na kukaguliwa na mamlaka husika; (iii) uthibitisho wa vifaa vya mawasiliano vyenye kuaminika; (iv) angalau mahema sita; (v) majokofu mawili na friji mbili; na (vi) vitanda na samani zingine za lazima: Isipokuwa kwamba, kampuni mwombaji inaweza kuwasilisha Dhamana ya Benki au udhamini wa kiasi cha shilingi milioni mia nne badala ya vifaa vilivyoainishwa katika aya ya (h) kama uthibitisho wa kununua vifaa ndani ya miezi mitatu baada ya kupewa kitalu cha uwindaji. (h) ikiwa ni kampuni ya uwindaji ya kigeni au kampuni ambayo haimilikiwi kwa asilimia 100 na raia wa watanzania uthibitisho wa- (i) eneo la ofisi linalofaa kwa kuendesha 10 Tangazo la Serikali Na. 780 (Linaendelea) Kanuni za Uwindaji wa Kitalii biashara ya uwindaji; (ii) kuwa biashara imesajiliwa na Kituo cha Uwekezaji Tanzania; (iii) magari ya pick up yenye 4WD yasiyopungua matano yaliyo katika hali nzuri, yamesajiliwa kwa jina la kampuni na kukaguliwa na mamlaka husika; (iv) vifaa vya mawasiliano vya kuaminika; (v) angalau mahema kumi na mbili; (vi) majokofu matano na friji tano; na (vii) vitanda na samani zingine za muhimu: Isipokuwa kwamba, kampuni muombaji inaweza kuwasilisha Dhamana ya Benki au udhamini wa kiasi cha shilingi bilioni moja na milioni mia nne badala ya vifaa hapo juu kama uthibitisho wa kununua vifaa ndani ya miezi mitatu baada ya kupewa kitalu cha uwindaji. (3) Bila kujali masharti ya kanuni ndogo (1), Mkurugenzi, akilazimika na kwa madhumuni ya kuthibitisha nyaraka, anaweza kumtaka muombaji kuwasilisha nakala halisi za nyaraka zilizorejewa katika kanuni ndogo (1). SEHEMU TATU MASHARTI NA MAZUIO KUHUSIANA NA VITALU VYA UWINDAJI Ada ya kitalu 11.-(1) Ada ya kitalu cha uwindaji itakuwa- (a) kiwango cha juu cha fedha ikiwa ni kitalu cha uwindaji kilichotolewa kwa njia ya mnada wa kielektroniki; na (b) kiwango cha mwisho kilichokubalika na Kamati Jumuiya ya Ugawaji wa Vitalu iliyoidhinishwa ikiwa kitalu cha uwindaji kimetolewa kwa njia ya zabuni au kwa njia nyingine ya ushindani. au (2) Ada ya kitalu iliyorejewa chini ya kanuni ndogo ya (1) italipwa kila mwaka kabla au tarehe ya kukabidhiwa kitalu cha uwindaji. (3) Ikiwa mtu anashindwa kulipa ada ya kitalu iliyoainishwa katika kanuni ndogo (1)- (a) atalipa malipo ya ziada ya asilimia tano juu ya ada ya kitalu; na (b) hatoruhusiwa kufanya shughuli yoyote ya uwindaji katika kitalu cha uwindaji; 11 Tangazo la Serikali Na. 780 (Linaendelea) Kanuni za Uwindaji wa Kitalii (4) Bila kujali masharti ya kanuni ndogo ya (3) kampuni ya uwindaji itakayoshindwa kulipa ada ya kitalu kwa miezi minne cheti chake cha kupewa kitalu kitafutwa. Kamati ya Ushauri ya Mgao wa Wanyamapori 12.-(1) Kutakuwa na Kamati ya Ushauri ya Mgao wa Wanyamapori ambayo itamshauri Mkurugenzi upangaji wa mgao wa wanyamapori na mapitio ya mgao ya wanyamapori. (2) Kamati itajumuisha wajumbe saba wafuatao wenye elimu na ujuzi katika masuala yanayohusu usimamizi wa wanyamapori, ambao wanateuliwa na Waziri: (a) Mwenyekiti; (b) Afisa mwandamizi Wanyamapori; kutoka Idara ya (c) Afisa mtafiti mwandamizi kutoka Taasisi ya Utafiti wa Wanyamapori Tanzania; (d) Afisa mwandamizi kutoka Hifadhi ya Taifa Tanzania; (e) Afisa mwandamizi kutoka Mamlaka ya Uhifadhi ya Eneo la Ngorongoro; na (f) wawakilishi wawili kutoka Taasisi ya Elimu ya juu Idara ya Wanyamapori au Zoolojia. (3) Mkuu wa Idara ya Utalii na Huduma za Biashara kutoka Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania atakuwa Katibu wa Kamati. (4) Mjumbe wa Kamati atahudumu kwa kipindi cha miaka mitatu isipokuwa kama ataondolewa kwenye nafasi hiyo na atakuwa na sifa za kuteuliwa tena kwa kipindi kingine cha miaka mitatu. Utoaji wa mgao wa wanyamapo ri 13.-(1) Mkurugenzi kwakushauriana na Kamati ya Ushauri ya Mgao wa Wanyamapori, ataweka kiwango cha chini cha mgao wa wanyamapori katika kitalu cha uwindaji kwa mwaka husika. (2) Mkurugenzi baada ya kupokea ushauri kutoka kwa Kamati ya Ushauri ya Mgao wa Wanyamapori atatoa mgao wa wanyamapori watakaowindwa kwa kila kampuni ya uwindaji kabla ya msimu wa uwindaji kuanza. (3) Kampuni ya uwindaji- (a) haitapunguza wanyamapori iliyoidhinishiwa baada ya kuanza shughuli za uwindaji; au mgao wa (b) haitazidisha kiasi cha mgao wa wanyamapori ulioidhinishiwa katika kitalu husika. 12 Tangazo la Serikali Na. 780 (Linaendelea) Kanuni za Uwindaji wa Kitalii Maombi ya kibali cha utalii wa uwindaji 14.-(1) Mtu hatafanya shughuli za utalii wa uwindaji isipokuwa kama amepata kibali cha utalii wa uwindaji kutoka kwa Mkurugenzi. (2) Maombi ya kibali cha utalii wa uwindaji yaliyorejewa chini ya kanuni ndogo (1) yatafanywa kwa kutumia Fomu iliyoainishwa katika Jedwali la Tano. Iwapo Mkurugenzi ataridhia maombi yaliyofanywa katika kanuni ndogo (2) atatoa kibali cha utalii wa uwindaji kwa mwombaji kama ilivyoainishwa katika kifungu cha 43 cha Sheria. (3) (4) Mkurugenzi kwa kuzingatia kanuni ndogo ya (3) anaweza kutoa kibali mwombaji kama iliyoainishwa katika Jedwali la Sita. (5) Muda na ada ya kibali cha utalii wa uwindaji itakuwa kama ilivyoelezwa kwenye kifurushi cha safari kilichoainishwa katika Sehemu B ya Jedwali la Nne. (6) Bila kujali kanuni ndogo ya (5), Mkurugenzi kabla ya muda wa maombi kuisha anaweza kuongeza muda usiozidi siku thelathini. (7) Kibali cha uwindaji kilichotolewa chini ya kanuni hii- (a) hakitahamishika kwenda kwa kampuni nyingine; na (b) kitatumika katika kitalu husika kinachomilikiwa na kampuni yenye kibali hicho. (8) Mtu yeyote ambaye atawasilisha taarifa za uongo wakati wa kuomba kibali au leseni, anatenda kosa na akitiwa hatiani atawajibika kulipa faini isiyopungua shilingi milioni moja na isiyozidi milioni tano au kifungo kisichopungua mwaka mmoja na kisichozidi miaka mitatu au vyote. Mtazamaji 15. Mwindaji wa kitalii anaweza kuambatana na iwapo atalipa ada ya mtazamaji kama mtazamaji ilivyoainishwa katika Sehemu F ya Jedwali la Nne: Isipokuwa kwamba, mtazamaji mwenye umri chini ya miaka kumi na nane anatakiwa kuambatana na mzazi au mlezi wake. Masharti ya utalii wa uwindaji 16.-(1) Uwindaji utafanyika kati ya muda wa mawio na machweo. (2) Kampuni ya uwindaji itafanya shughuli za uwindaji ndani ya kitalu cha uwindaji ilichopewa kwa kipindi cha umiliki kilichoainishwa katika Cheti cha 13 Tangazo la Serikali Na. 780 (Linaendelea) Kanuni za Uwindaji wa Kitalii Kupewa Kitalu cha Uwindaji na Mkataba husika. (3) Bila kujali kanuni ndogo (2), Mkurugenzi anaweza- (a) baada ya malipo ya ada iliyoainishwa katika Sehemu D ya Jedwali la Nne, kuidhinisha makubaliano ya kufanya uwindaji baina ya makampuni na kutoa kibali cha uwindaji kwa makampuni husika kama ilivyoainishwa katika Jedwali la Sita kwa kuzingatia kwamba uwindaji huo ni kwa madhumuni ya- (i) kumwezesha mteja wa uwindaji kupata spishi zisizopatikana katika kitalu cha uwindaji alichopewa; (ii) kutatua vikwazo vya ratiba katika kitalu cha uwindaji husika; (iii) kuongeza thamani ya nyara; (b) kutoa kibali cha uwindaji wa ndege kwa kampuni kwenye maeneo uwindaji yanayomilikiwa na watu binafsi, baada ya kampuni hiyo- ya (i) kuthibitisha umiliki wa ardhi na kulipa ada ya kibali cha kuwinda ndege kama ilivyoainishwa katika Sehemu B ya Jedwali la Nne; au (ii) kuwasilisha kwa Mkurugenzi nakala ya hati ya makubaliano kati ya kampuni na mmiliki wa ardhi, ikiwa kampuni hiyo sio mmiliki wa ardhi husika na kulipa ada ya kibali kama kuwinda ilivyoainishwa katika Sehemu B ya Jedwali la Nne: ndege cha Isipokuwa kwamba kibali cha uwindaji wa ndege kinachotolewa chini ya kanuni ndogo ya 3(b) kitatolewa katika umbali usiopungua kilomita moja kutoka maeneo ya makazi ya watu. (4) Kampuni ya uwindaji itahakikisha kwamba watu walioidhinishwa na Mkurugenzi pekee wanashiriki katika shughuli za uwindaji wakati wa kifurushi cha safari chochote. (5) Mtu hataruhusiwa kuingia au kukaa katika kitalu idhini ya maandishi kutoka kwa cha uwindaji bila Mkurugenzi. (6) Mkurugenzi iliyoidhinishwa au itahakikisha mwindaji wa kitalii anaambatana na afisa Jumuiya 14 Tangazo la Serikali Na. 780 (Linaendelea) Kanuni za Uwindaji wa Kitalii aliyeidhinishwa wakati wa shughuli za uwindaji. (7) Kwa kuzingatia kanuni ndogo ya (6), mwindaji wa kitalii ambaye hana leseni ya mwindaji bingwa chini ya Kanuni hizi, ataambatana na mwindaji bingwa mwenye leseni ipasavyo. (8) Mwindaji bingwa anapaswa- (a) mara baada ya kuwinda au kujeruhi mnyamapori kujaza na kusaini rejista iliyoainishwa katika Jedwali la Saba; (b) kujaza fomu ya kurudi safari ya kuwinda simba iliyoainishwa katika Jedwali la Nane; na (c) kuhakikisha fomu katika kipengele (a) na (b) zimejazwa, kusainiwa na kuwasilishwa kwa Mkurugenzi. (9) Kwa madhumuni ya kanuni hii “uwindaji baina ya makampuni” maana yake ni kampuni moja ya uwindaji kufanya uwindaji kitalu kinachomilikiwa na kampuni nyingine. uwindaji katika cha Ombi la kufutwa kibali cha uwindaji Kibali kitakach orejesh wa 17.-(1) Kampuni ya utalii wa uwindaji inaweza wakati wowote kabla ya tarehe ya kuanza safari ya uwindaji kuwasilisha kwa maandishi maombi ya kufutwa kwa kibali cha uwindaji kwa Mkurugenzi. (2) Mkurugenzi anaweza mara baada ya kupokea maombi ya maandishi kutoka kampuni ya uwindaji na kabla ya tarehe ya kuanza safari ya uwindaji kufuta kibali cha uwindaji ikiwa- (a) kuna uthibitisho wa kufutwa kwa safari ya uwindaji kutoka kwa mwindaji; na (b) asilimia kumi na tano ya ada iliyolipwa itabakia kama ada ya kufuta kibali na kiasi kilichobakia kitatumika kulipia ada zingine zilizoainishwa chini ya Kanuni hizi kadri kampuni ya uwindaji itakavyoelekeza. 18.-(1) Kampuni iliyopewa kibali cha uwindaji chini ya Kanuni hizi, ndani ya siku thelathini baada ya kuisha kwa muda wa matumizi ya kibali cha uwindaji, itarejesha kibali kwa Mkurugenzi au afisa mwidhiniwa kinachoambatana na orodha ya wanyamapori waliowindwa na nyara kama ilivyoainishwa katika Jedwali la Tisa. (2) Kampuni ya Uwindaji itakayoshindwa kuzingatia kanuni ndogo (1), itatakiwa kulipa malipo ya ziada ya asilimia tano ya ada ya kibali. 15 Tangazo la Serikali Na. 780 (Linaendelea) Kanuni za Uwindaji wa Kitalii Ada ya mnyamapori Matumizi na udhibiti wa mgao wa wanyamapo ri Mchango kwa jamii 19.-(1) Kampuni ya uwindaji, ndani ya siku ishirini na nane baada ya kutolewa kwa ankara na namba ya malipo, italipa ada ya mnyamapori kama ilivyoainishwa katika Jedwali la Kumi. (2) Kampuni ya uwindaji itakayoshindwa kulipa ada ya mnyama iliyoainishwa katika kanuni hii, itatakiwa kulipa tozo ya asilimia tano ya ada ya mnyama. (3) Bila kujali kanuni ndogo ya (2) Mkurugenzi hatashughulikia maombi ya kibali cha uwindaji kwa kampuni ya uwindaji iliyoshindwa kulipa ada ya wanyamapori ndani ya siku thelathini. (4) Baada ya malipo ya ada ya wanyamapori, Mkurugenzi atasajili nyara na kutoa cheti cha umiliki wa nyara. (5) Mkurugenzi atataifisha nyara ikiwa kampuni itashindwa kuendana na masharti ya Kanuni hizi. 20.-(1) Kampuni ya uwindaji iliyopewa kitalu cha uwindaji itatumia angalau asilimia 40 ya wanyamapori maalum walioainishwa katika Jedwali la Kumi na Moja katika mgao wake wa wanyamapori iliyopewa katika kitalu husika. (2) Endapo kampuni ya uwindaji itashindwa kukidhi matakwa ya kanuni ndogo ya (1) itatakiwa kulipa tofauti ya asilimia 40 ya ada ya wanyamapori maalum. (3) Endapo kampuni ya uwindaji haijatumia kabisa mgao wake wa wanyamapori itatakiwa kulipa asilimia 100 ya thamani ya mgao wa wanyamapori maalum. 21.-(1) Mmiliki wa cheti cha kitalu cha uwindaji, kila mwaka, atalipa kiasi kisichopungua milioni kumi na tatu na laki tatu kwa Mkurugenzi kama mchango wa utekelezaji wa miradi ya maendeleo ya jamii. (2) Kiasi kilichoainishwa chini ya kanuni ndogo ya (1) kitalipwa kwa Mkurugenzi kila mwaka kabla au tarehe ya kupewa kitalu cha uwindaji. (3) Kampuni ya uwindaji ambayo itashindwa kulipa mchango kwa jamii kama ilivyoainishwa katika kanuni ndogo ya (1) itatakiwa kulipa mchango wa jamii pamoja na malipo ya ziada ya asilimia 5 ya malipo ya mchango kwa jamii. Tathmini ya utendaji wa 22.-(1) Kutakuwa na tathmini ya utendaji kwa kila 16 Tangazo la Serikali Na. 780 (Linaendelea) Kanuni za Uwindaji wa Kitalii kampuni ya uwindaji mwaka kwa kampuni ya uwindaji iliyopewa kitalu cha uwindaji itakayozingatia vigezo vifuatavyo: (a) kukidhi matakwa ya matumizi ya mgao wa wanyamapori kwa mujibu wa kanuni ya 20; (b) uchangiaji katika uboreshaji wa miundombinu na ulinzi wa mazingira ndani ya kitalu chake cha uwindaji; (c) uchangiaji katika oparesheni za kuzuia ujangili au kupambana na shughuli nyingine yoyote haramu inayohusu uhifadhi wa wanyamapori; (d) uwepo wa kumbukumbu za kampuni kuhusiana na usafirishaji wa nyara nje ya nchi; (e) kukidhi matakwa ya uchangiaji wa miradi ya jamii; (f) ulipaji wa ada za kitalu kwa wakati na tozo nyingine zilizoainishwa kisheria; na (g) uzingatiaji wa Sheria na Kanuni hizi. (2) Tathmini ya utendaji ya mwaka iliyorejewa katika kanuni ndogo (1), itafanywa na- (a) Mkurugenzi kwa kampuni za uwindaji chini ya Kanuni hizi; na (b) Mkurugenzi kwa uwindaji zilizopewa kitalu katika maeneo ya Jumuiya ya Hifadhi za Wanyamapori. kampuni za (3) Taarifa ya tathmini ya utendaji ya mwaka itawasilishwa kwa Waziri kwa ajili ya- (a) tathmini ya jumla ya utendaji wa kampuni ya uwindaji; na (b) maamuzi ya muendelezo wa kipindi cha umiliki. Masharti ya kuhamisha kitalu cha uwindaji 23.-(1) Kampuni ya uwindaji haitahamisha haki ya matumizi ya kitalu cha uwindaji iliyopewa, isipokuwa kama kampuni hiyo imepata ridhaa ya maandishi ya Waziri. (2) Kampuni ya uwindaji inayotarajia kuhamisha kitalu cha uwindaji itamjulisha Mkurugenzi kwa maandishi. (3) Taarifa iliyoainishwa chini ya kanuni ndogo (2) itaambatishwa na- (a) uthibitisho wa malipo ya ada ya maombi ya kuhamisha kitalu kama ilivyoainishwa katika Sehemu A ya Jedwali la Nne; (b) taarifa za kina za kampuni kuhamishiwa kitalu cha uwindaji; ya (c) uthibitisho wa malipo inayotarajiwa tozo zote 17 Tangazo la Serikali Na. 780 (Linaendelea) Kanuni za Uwindaji wa Kitalii zilizoainishwa; (d) cheti cha uthibitisho wa mlipa kodi kwa kila kampuni; na (e) makubaliano yote ya uhamishaji wa kitalu cha uwindaji. (4) Mkurugenzi baada ya kupokea maombi ya kuhamisha kitalu cha uwindaji kama ilivyoainishwa katika kanuni ndogo ya (2) na kwa kuzingatia masharti ya Kanuni hizi, atafanya uhakiki wa kampuni inayokusudiwa kuhamishiwa kitalu. (5) Mkurugenzi baada ya kufanya uhakiki wa maombi ya kuhamisha kitalu cha uwindaji, atawasilisha taarifa ya uhakiki na mapendekezo yake kwa Kamati ya Ushauri wa Ugawaji wa Vitalu vya Uwindaji kwa ajili ya mapitio na kumshauri Waziri. (6) Waziri kwa kuzingatia ushauri chini ya kanuni ndogo ya (5) anaweza kukubali au kukataa maombi ya kuhamisha kitalu. (7) Waziri akiridhia ombi la uhamishaji wa kitalu, atatoa cheti cha Kugawa Kitalu cha Uwindaji kwa kipindi kilichobaki kwa kampuni ya uwindaji kwa kuzingatia masharti yafuatayo: (a) malipo ya ada ya kuhamisha kitalu kama ilivyoainishwa katika Sehemu A ya Jedwali la Nne; (b) uwasilishwaji wa makubaliano yaliyosainiwa ya uhamishaji wa kitalu cha uwindaji; na (c) atarejesha cheti cha kupewa kitalu cha uwindaji. (7) Kwa madhumuni ya kanuni hii, “kuhamisha kitalu cha uwindaji” maana yake ni kuhamisha haki ya matumizi ya kitalu cha uwindaji kutoka kampuni moja kwenda kwa anayehamishiwa na inajumuisha mazingira ambayo hisa zilizo nyingi katika kampuni ya uwindaji zinahamishwa kwenda kwa mtu mwingine. (8) Kampuni ya uwindaji ambayo itakiuka kanuni hii inatenda kosa na ikitiwa hatiani itawajibika kwa faini isiyopungua shilingi milioni tano na isiyozidi milioni kumi. Kurejesha kitalu cha uwindaji 24.-(1) Kampuni ya uwindaji inayotarajia kurejesha kitalu cha uwindaji kabla wa matumizi yake kuisha itatoa notisi ya maandishi ya kurejesha kitalu kwa Waziri miezi mitatu kabla tarehe ya kufanya malipo ya ada ya kitalu. (2) Waziri, ndani ya siku kumi na nne toka tarehe ya kupokea notisi- 18 Tangazo la Serikali Na. 780 (Linaendelea) Kanuni za Uwindaji wa Kitalii (a) ataridhia maombi ya kurejeshwa kwa kitalu cha uwindaji kwa kuzingatia kwamba kampuni ya uwindaji imelipa madeni yote inayodaiwa; na (b) atatoa barua ya kuridhia ombi la urejeshwaji wa kitalu. (3) Kampuni ya uwindaji itakayoshindwa kukidhi masharti ya kanuni ndogo (1) itawajibika kulipa ada ya kitalu cha uwindaji kwa mwaka husika. Kufutwa kwa umiliki 25. Waziri anaweza muda wowote kabla ya kumalizika kwa muda wa uwindaji, kufuta umiliki wa kitalu cha uwindaji ikiwa kuna ushahidi wa kutosha kwamba mtu aliyepewa kitalu cha uwindaji- (a) ameshindwa kukamilisha suala au muunganiko wa masuala yanayotakiwa kuzingatiwa na Waziri; (b) alitoa taarifa za uongo au zisio sahihi kwenye maombi ya kitalu cha uwindaji; (c) amekutwa na hatia ya kosa chini ya Sheria; (d) ameshindwa kulipa ada za lazima au madeni mengine anayotakiwa kulipa kuhusiana na kitalu cha uwindaji; (e) amekodisha kitalu cha uwindaji alichopewa; au (f) amehamisha kitalu cha uwindaji kinyume na Kanuni hizi. Mamlaka ya afisa mwidhiniwa 26. Afisa mwidhiniwa muda wowote anaweza kuingia kitalu cha uwindaji chochote kwa madhumuni ya kutekeleza jukumu lake lolote au kutekeleza mamlaka au hadhi aliyopewa chini ya Sheria. Leseni ya mwindaji bingwa 27.-(1) Mtu hatamwongoza mteja wa uwindaji wakati wa safari ya uwindaji isipokuwa kama ana leseni ya mwindaji bingwa iliyotolewa na Mkurugenzi chini ya Kanuni hizi. (2) Mtu yeyote anayetarajia kuwa mwindaji bingwa atawasilisha maombi rasmi kwa Mkurugenzi kwa kujaza Fomu iliyoanishwa katika Jedwali la Kumi na Mbili. (3) Mkurugenzi kabla ya kutoa cheti cha mwindaji bingwa, atahakikisha kwamba mwombaji ana- (a) sifa zilizoainishwa chini ya Sheria; (b) amefaulu mtihani wa mwindaji bingwa wa daraja aliloomba; na (c) amelipa ada ya mwindaji bingwa kama 19 Tangazo la Serikali Na. 780 (Linaendelea) Kanuni za Uwindaji wa Kitalii ilivyoainishwa katika Sehemu C ya Jedwali la Nne. (4) Kwa kuzingatia kanuni ndogo ya 3(b) Mkurugenzi atateua timu kwa ajili kutahini waombaji wa uwindaji bingwa. (5) Mkurugenzi baada ya kujiridhisha kwamba mwombaji amekidhi matakwa yaliyoainishwa chini ya leseni ya mwindaji bingwa kama kanuni hii, atatoa ilivyoainishwa katika Jedwali la Kumi na Tatu. (6) Leseni ya mwindaji bingwa itakuwa halali kwa miaka miwili na itakuwa katika madaraja yafuatayo: (a) Daraja A ambalo litamruhusu mmiliki kusimamia uwindaji wa wanyama wote; na (b) Daraja B ambalo litamruhusu mmiliki kusimamia uwindaji wa wanyama wasio hatari. (7) Mwindaji bingwa ataruhusiwa kuwaongoza wawindaji wasio zidi wawili ndani ya safari ya uwindaji: (8) Isipo kuwa kwamba, kwa mwindaji wa ndege au uvuvi wa michezo mwindaji bingwa anawezakusimamia wawindaji waiozidi wa nne. (9) Mkurugenzi anaweza kufuta leseni ya mwindaji bingwa na kumzuia kufanya maombi ya leseni nyingine kwa kipindi cha miaka mitatu endapo atajiridhisha mwindaji bingwa- (a) ametoa taarifa za uongo ili kupata leseni hiyo; au (b) ametenda kosa chini ya Sheria. 28.-(1) Kampuni ya uwindaji itasafirisha nje ya nchi nyara zote zilizowindwa na zitakazoitajika kusafirishwa ndani ya msimu wa uwindaji na ndani ya miezi kumi na nane baada ya msimu wa uwindaji kuisha. (2) inashindwa Ikiwa kampuni ya uwindaji kusafirisha nyara chini ya kanuni ndogo ya (1), itatakiwa kutoa taarifa ya hali ya nyara kwa Mkurugenzi kila robo mwaka. (3) Endapo kampuni ya uwindaji inashindwa kutoa taarifa kama ilivyoainishwa katika kanuni ndogo (2) kwa robo mwaka tatu mfululizo itatakiwa kulipa malipo ya ziada ya 5% ya thamani ya nyara zilizowindwa. (4) Mwindaji anayetarajia kuhamisha umiliki wa nyara kwa madhumuni ya kusafirisha kwenda nje ya nchi kwa mwindaji au kampuni nyingine atatakiwa kulipa ada ya maombi ya kuhamisha kiasi cha shilingi za kitanzania laki sita. 20 Usafirishaji wa nyara nje ya nchi Tangazo la Serikali Na. 780 (Linaendelea) Kanuni za Uwindaji wa Kitalii Kosa la kukiuka kiwango kilichowek wa SEHEMU NNE MASHARTI YA JUMLA 29.-(1) Mkurugenzi ataweka viwango vya ubora na ukubwa wa nyara za utalii wa uwindaji. (2) Bila kuathiri kanuni ndogo (1), mtu hatawinda- (a) tembo ambaye jino lake moja lina uzito chini ya kilogramu 20 au lina urefu chini ya sentimita. 160; (b) chui ambaye urefu wake kuanzia kweye ncha ya pua hadi mwisho wa mkia ni chini ya sentimita. 130; na (c) mamba ambaye urefu wake kuanzia ncha ya pua hadi ncha ya mkia ni chini ya sentimita. 300. (3) Mwindaji bingwa yeyote ambaye anamwongoza mteja kuwinda kwa kukiuka masharti ya kanuni hii anatenda kosa na akitiwa hatiani atawajibika kulipa faini ya shilingi milioni tano. (4) Mtu atakayewinda simba mwenye umri chini ya miaka sita anatenda kosa na akitiwa hatiani atawajibika- (a) ikiwa simba anayewindwa ana umri wa miaka minne au mitano, faini ya shilingi milioni tano na atarauhusiwa kusafirisha nyara nje ya nchi; (b) ikiwa simba aliyewindwa ni chini ya umri wa miaka minne- (i) kulipa faini ya shilingi milioni tano kwa mara ya kwanza ya utendaji wa kosa; (ii) kulipa faini ya shilingi milioni tano kwa mara ya pili ya utendaji wa kosa; au (iii) kulipa faini ya shilingi milioni tano kwa mara ya tatu ya utendaji wa kosa. (5) Ikiwa simba aliyewindwa ni chini ya umri wa miaka minne, Mkurugenzi atatoza faini iliyoainishwa katika kanuni ndogo ya (4) na atataifisha nyara iliyowindwa. (6) Mkurugenzi anaweza kusimamisha leseni ya mwindaji bingwa kwa kipindi cha miaka mitatu endapo atajiridhisha mwindaji bingwa amekiuka masharti ya Kanuni hizi kwa kutenda kosa mara tatu kwa kipindi cha miaka mitatu mfululizo. Adhabu ya jumla 30. Mtu ambaye anakiuka masharti ya Kanuni hizi 21 Tangazo la Serikali Na. 780 (Linaendelea) Kanuni za Uwindaji wa Kitalii ambapo hakuna adhabu mahsusi iliyoainishwa, anatenda kosa na akitiwa hatiani atawajibika kulipa faini isiyopungua shilingi milioni tatu na isiyozidi milioni tano au kifungo kisichopungua mwaka mmoja na kisichozidi miaka mitano au vyote kwa pamoja. Rufaa 31.-(1) Mtu ambaye hajaridhika na uamuzi wa Mkurugenzi chini ya Kanuni hizi atawasilisha rufaa kwa Waziri ndani ya siku thelathini kuanzia siku ya uamuzi. (2) Waziri baada ya kupokea rufaa iliyowasilishwa chini ya kanuni ndogo (1) atatoa uamuzi ndani ya siku arobaini na tano. Kufutwa 32.-(1) [Kanuni za Uwindaji wa Kitalii za mwaka TS Na. 414 la 2015 2015 zimefutwa.] (2) Bila kujali kufutwa kulikofanywa chini ya kanuni ndogo ya (1) kitu chochote kilichofanyika au kitendo kilichotokea au kinachochukuliwa kufanyika au kibali, cheti, leseni yoyote chini ya kanuni zinazofutwa itachukuliwa kufanyika au kutolewa, kadri itakavyokuwa chini ya masharti ya Kanuni hizi. 22 Tangazo la Serikali Na. 780 (Linaendelea) Kanuni za Uwindaji wa Kitalii ________________ JEDWALI LA KWANZA ________________ JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA CHETI CHA UGAWAJI WA KITALU CHA UWINDAJI (Limetengenezwa chini ya kanuni 3(1)) kutolewa kilipotolewa Sehemu :……………………..………………………………………………………… …………….. Tarehe ya :……………………..………………………………….……………………… ………………. Tarehe ya kumaliza muda wa matumizi (inategemea uzingatiaji wa kanuni) ………….……………………… Imetolewa kwa: ………………………………………………………..………………………… ……………………. Jina la kampuni na anuani: ………………………………………..…………………………… Maelezo ya mipaka ya kitalu cha uwndaji ………………………………………………………………………...……… ………………….… ……………………...………………………….……………………………… …………………………………………...………………………….… ……………………………………………… Masharti maalum yanayoambatana na kitalu au vitalu vya uwindaji …………………………………………………………………..……………… …………………….. …………………………………………………………………..……………… ……… Saini ya Waziri na mhuri wa ofisi 23 Tangazo la Serikali Na. 780 (Linaendelea) Kanuni za Uwindaji wa Kitalii ____________ JEDWALI LA PILI ____________ (Limetengenezwa chini ya kanuni ya 5(1)) _____________ A. MAELEZO YA VIGEZO KWA AJILI YA KUTENGA MADARAJA YA VITALU VYA UWINDAJI Alama Vigezo Aina za spishi Ndani ya Pori la Akiba (GR) na karibu na Hifadhi ya Taifa (NP) au Eneo la Mamlaka ya Ngorongoro (NCA) Kuenea kwa makazi Umbali kutoka kiwanja cha ndege kilicho jirani Umbali kutoka kitalu hadi majiji ya kuingilia au kutokea; Dar es Salaam na Arusha Kufikika kwa barabara – umbali hadi barabara kuu iliyo jirani Maji ya wanyamapori Shughuli za kibinadamu Wingi wa spishi zinazowindwa ikilinganishwa na bei ya leseni katika TZS Wingi wa spishi zinazowindwa ikilinganishwa na thamani ya siku za safari A 4 Juu B 3 C 2 D 1 Uzito Kati Chache Hakuna 5 Kinapakana na hifadhi ya taifa na/au eneo la Mamlaka ya Ngorongoro Ndani ya GR au kinapakana na/au vitalu vingine vya uwindaji Kinapakana na GR lakini haijazungukwa na GR Aina kuu 4 Aina kuu 3 Aina kuu 2 Imesima ma peke yake na/ au kitalu kilichojit enga Aina kuu 1 Ndani ya kitalu < km 20 km 20 – 40 > km 40 Ndani ya km 300 km km 300- 600 km 600- 1000 > km 1000 5 4 2 2 Inagusa kitalu au inakatisha kitalu Mengi ya kudumu na msimu Si zaidi ya km 20 Chanzo kimoja cha kudumu km 20-50 > km 50 3 Msimu pekee Hakuna 4 <10% 10-20% 21-50% >50% >41 thamani iliyopangwa 38-41 33-37 > 113 100-113 85-99 <33 <85 4 4 3 GPA= Jumla ya Wastani wa Alama ÷ Jumla ya Uzito (= 105 ÷ 34 = 3.088) 24 Tangazo la Serikali Na. 780 (Linaendelea) Kanuni za Uwindaji wa Kitalii Kumbuka: Alama za Daraja = (uzito wa kigezo) X (alama za kigezo cha kitalu) Thamani ya kitalu A = 4, B= 3, C = 2 and D = 1 B. ALAMA ZA GPA KWA AJILI YA MADARAYA VYA VITALU VYA UWINDAJI (Zimejikita katika umbali sawa katika uwiano wa kiwango cha chini na cha juu wa alama B) Daraja Kiwango cha juu cha GPA Kiwango cha chini cha GPA I II III 3.6 3.0 2.3 3.1 2.4 1.7 25 Tangazo la Serikali Na. 780 (Linaendelea) Kanuni za Uwindaji wa Kitalii ____________ JEDWALI LA TATU ____________ (Limetengenezwa chini ya kanuni za 8(2) na 9(4)) FOMU YA MAOMBI YA KITALU CHA UWINDAJI Jina la kampuni: 1. ………………………………………………….………………………………… …… 2. Anuani ya Eneo Kuu la biashara: ……………………………………………………………………….. (a) (b) Anuani ya posta: 3. ………………………………………………………………..………………… ………………… (c) Namba ya simu: ………………………………………………………...………………………… ……… (d) Namba ya faksi: ………………………………………………………………………..………… ………… (e) Barua pepe: ……………………..………….. Tovuti: ………...…………….………………………………………… (f) hadhi yake kama ni ofisi, gereji, stoo nk.: …………………………………………………………… Linakopatikana eneo lingine (eleza kama unalimiliki au umekodisha na Majina kamili ya mmiliki (wamiliki) au mwanahisa (wanahisa) wa 4. Kampuni na asilimia zao za hisa: …………………………………………………………...……………………… ……… …………………………………………………………...……………………… ……… …………………………………………………………...……………………… ……… …………………………………………………………...……………………… ……… 5. namba 4 hapo juu): ................................................................................................................................. ................................................................................................................................. ................................................................................................................................. ................................................................................................................................. ................................................................................................................................. ................................................................. 6. Majina kamili ya Wakurugenzi wa Kampuni na taaluma zao: ................................................................................................................................. ................................................................................................................................. ................................................................................................................................. Umri, nchi ya kuzaliwa na utaifa wa sasa (wa watu waliotajwa katika 26 Tangazo la Serikali Na. 780 (Linaendelea) Kanuni za Uwindaji wa Kitalii ................................................................................................................................. ................................................................................................................................. ................................................................. 7. kudumu: (Ambatisha karatasi nyingine kutoa maelezo hapo juu) 8. Jina, sifa, uzoefu na utaifa wa wawindaji bingwa wenye ajira za Maelezo ya kitalu/vitalu vya uwindaji unavyoomba: Na. Jina la kitalu cha uwindaji Daraja Eneo kijiografia la Uzoefu ndani ya Tanzania au mahali pengine Mapat o ya moja kwa moja kwa TAWA Kodi iliyolip wa TRA 1. 2. 3. 4. 5. 6. 7. 9. Orodhesha taarifa za magari na vifaa ulivyonunua au uthibitisho wa uwezo wa kifedha kupata vifaa vyote muhimu na zana kwa madhumuni ya kuendesha uwindaji. ……………………………………...…………………………………………… ……… 10. …………………………...……………………………………………………… ……… Onesha chanzo chako na wingi wa wateja wako: 11. ………………………………………….……………………… Watanzania wangapi unatarajia kuajiri na katika nafasi zipi Programu ya kuajiri wawindaji bingwa, mameneja na watumishi wa 12. maeneo mengine: …………………………………………………………………………………… …………………………………………………………………………………… …. 13. Orodha ya wadhamini na mawasiliano yao: (a) (b) (c) …………………………………..……………………………………… …………………………………..……………………………………… …………………………………..……………………………………… 14. ...………… Tarehe ………………. Ada ya maombi iliyolipwa …..……………………… risiti ya EFD Na. UTHIBITISHO 27 Tangazo la Serikali Na. 780 (Linaendelea) Kanuni za Uwindaji wa Kitalii MIMI/SISI ninathibitisha kwamba maelezo hapo juu ni ya kweli kwa kila hali na kampuni hii itaheshimu na kutii Sheria za Wanyamapori za Tanzania. Kwamba hatudaiwi na Idara ya Wanyamapori au ada yoyote ya Serikali. Saini: ………………………..………..…. Tarehe: ………….………na Muhuri wa Ofisi ___________ JEDWALI LA NNE __________ (Limetengenezwa chini ya kuanuni za 10(2)(e), 15, 16(3)(a)(b)(iii), 23(3)(a), 23(7)(a) na 27(3)(c)) _______ ADA (TZS) A: ADA YA KITALU NA. AINA YA ADA ADA (TZS) 1 2 3 5 6 Maombi ya kitalu cha uwindaji Daraja la I kwa kila daraja Maombi ya kitalu cha uwindaji Daraja la II kwa kila daraja Maombi ya kitalu cha uwindaji Daraja la III kwa kila daraja Ada ya maombi ya kuhamisha kitalu cha uwindaji 14,000,000 5,300,000 2,700,000 2,700,000 Ada ya kuhamisha kitalu cha uwindaji 20% ya ada ya kitalu ya mwaka NA KIFURUSHI CHA SAFARI IDADI YA SIKU ADA (TZS) B: ADA YA KIBALI 1. 2. 3. 4. 5. 6. Regular Major Premium Uwindaji wa ndege katika kitalu cha uwindaji 10 14 21 Uwindaji wa ndege katika ardhi binafsi Uvuvi wa kitalii 4,000,000 8,000,000 11,930,000 270,000 kwa mwindaji kwa siku 140,000 kwa mwindaji kwa siku 270,000 kwa mvuvi mmoja, kwa siku moja kwa samaki kumi. C: ADA YA MWINDAJI BINGWA NA. AINA YA ADA 1. 2. 3. Leseni Mtihani Leseni iliyopotea TZS RAIA ASIYE RAIA 1,590,000 270,000 140,000 5,300,000 1,330,000 140,000 28 Tangazo la Serikali Na. 780 (Linaendelea) Kanuni za Uwindaji wa Kitalii D: ADA YA KIBALI BAINA YA MAKAMPUNI NA KIFURUSHI CHA SAFARI 1. 2. 3. Kwa mtu mwenye kifurushi cha regular Kwa mtu mwenye kifurushi cha major Kwa mtu mwenye kifurushi cha premium KIASI (TZS) 1,500,000 1,500,000 1,500,000 E: Ada ya uhifadhi kwa mwindaji kwa siku: TZS 270,000 F: Ada ya mtazamaji kwa mtamazaji kwa siku: TZS 140,000 29 Tangazo la Serikali Na. 780 (Linaendelea) Kanuni za Uwindaji wa Kitalii __________ JEDWALI LA TANO __________ JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII MAMLAKA YA USIMAMIZI WA WANYAMAPORI TANZANIA _______ (Limetengenezwa chini ya kanuni ya 14(2)) _______ FOMU YA MAOMBI YA KIBALI CHA UTALII WA UWINDAJI Taarifa za Kampuni Jina la Kampuni Anuani Jina la mtu wa kuwasliiana naye Maelezo ya Mteja Jina la Mteja (Kamili) Namba ya pasi ya kusafiria Kazi Namba ya Simu Barua pepe: Barua pepe: U mri Jins ia Uraia Sehe mu ilipo tole wa Anuani ya barua pepe 30 Kanuni za Uwindaji wa Kitalii Tangazo la Serikali Na. 780 (Linaendelea) Maelezo ya Safari ya Uwindaji Daraja la leseni ya PH Namba ya leseni ya PH Majina ya Mwindaji Bingwa Jina la kitalu/vitalu vya uwindaji ambapo uwindaji unafanyika 1 2 3 4 5 Kifurushi cha Safari (chagua moja) Regular (Siku 10) Premium (siku 21) Maj or (sik u14) Siku za ziada Tare he Kuan zia Hadi U wi nd aji nd eg e Maelezo ya silaha Ai na Calibr e Mak e Maker’ s No Na. ya kibali cha kuingiza nchini Sehemu kilipotole wa Tarehe ilipotole wa 1 2 3 4 Orodha ya Watazamaji (Awe na miaka 6 na kuendelea) Na Jin a Umri Urai a Na. ya pasi ya kusafiria Na. siku Hadi tarehe Kuan zia tarehe 1 2 3 31 Tangazo la Serikali Na. 780 (Linaendelea) Kanuni za Uwindaji wa Kitalii 4 5 6 7 Ninathbitisha kwamba maelezo hapo juu ni sahihi kwa uelewa wangu na ninathibitisha kwamba ninaelewa matakwa ya Sheria ya Uhifadhi wa Wanyamapori, Sura 283 na kanuni zake. Tarehe:…………………………. ……………… ……………………… Jina, Saini na muhuri wa Ofisi ya mwombaji 32 Tangazo la Serikali Na. 780 (Linaendelea) Kanuni za Uwindaji wa Kitalii _____________ JEDWALI LA SITA ______________ JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII MAMLAKA YA USIMAMIZI WA WANYAMAPORI TANZANIA _______ (Limetengenezwa chini ya kanuni ya 14(4)) _______ KIBALI CHA UTALII WA UWINDAJI Namba ya Kibali cha Uwindaji wa Nyara ……….. Hakihamishiki Kituo ………………………..Tarehe ya kuanza …………… Tarehe ya mwisho ……………….Tarehe ya kurudisha ……………… Safari………………………. Kifururshi ………………………………………………… Siku za ziada…………………………… Kibali hiki cha uwindaji kimetolewa kwa…………………………………. wa (anuani) ………………………. [Namba ya pasi ya kusafiria]…………….ya………………[Jina la nchi] ………………ambaye anamiliki (silaha): 1. Aina …………. Calibre ……...Makers No. …… Namba ya kibali cha kuingiza nchini. ..… Sehemu kilipotolewa ….... 2. Aina …………. Calibre ………Makers No. ……. Namba ya kibali cha kuingiza nchini. ……… Sehemu kilipotolewa …… 3. Aina …………. Calibre ………Makers No. ……. Namba ya kibali cha kuingiza nchini. ……… Sehemu kilipotolewa …… 4. Aina …………. Calibre ………Makers No. ……. Namba ya kibali cha kuingiza nchini. ……… Sehemu kilipotolewa …… Tarehe ………………… kinamruhusu kuwinda wanyama/ndege/samaki hapa chini katika [Jina la kitalu/vitalu vya uwindaji] kinachomilikwa na ……………………….[Jina la kampuni ya uwindaji]. kimetolewa …………………. ………….na 33 Tangazo la Serikali Na. 780 (Linaendelea) Kanuni za Uwindaji wa Kitalii Vitalu vya ziada ………………..[Jina la Kitalu/ vitalu vya uwindaji ]. Orodha ya Wanyama Na. Jina la Spishi Idadi kwa spishi …………….. Saini ya mwenye kibali cha uwindaji …………….. Saini ya afisa anayetoa na mhuri wa ofisi Orodha ya Watazamaji (Wawe na umri wa miaka 6 na zaidi) Na. Jina Umri Uraia Namba ya pasi ya kusafiria Namba ya siku Kuanzia tarehe HADI 1 2 3 4 5 1. Kibali cha uwindaji lazima kirejeshwe kwa Mkurugenzi ndani ya siku 30 za kumalizika kwa kibali cha uwindaji. 2. Kibali hiki hakimruhusu mwenye nacho kukamata wanyama, kuwa na umiliki wa wanyamapori hai au kuendesha biashara ya nyara ya wanyamapori hai. 3. Idadi ya juu ya wanyama isizidishwe bila idhini ya maandishi ya Mkurugenzi. 4. Mwindaji lazima apate Cheti cha Umiliki wa Nyara zote anazotaka kutunza au kuhamisha. 5. Mwindaji Bingwa anayefanya safari lazima abebe leseni yake ya PH wakati wote wa safari. 6. Kwa silaha onyesha rifle nzito kushinda zote au upinde na mshale ikiwa ni mnyama mkubwa au short gun ikiwa ni ndege au nyiginezo ikiwa ni samaki. 7. Mwindaji bingwa anayefanya safari lazima achukue vipimo vyote na/au uzito na kuurekodi katika data sheet itakayotolewa punde baada ya mnyama kupigwa risasi na mzoga wake. 34 Tangazo la Serikali Na. 780 (Linaendelea) Kanuni za Uwindaji wa Kitalii __________ JEDWALI LA SABA ___________ (Limetengenezwa chini ya kanuni ya 16(8)(a)) __________ REJESTA YA WANYAMA WALIOUA AU KUJERUHIWA Jina la mteja: …………………………………………………………………………….…………… Jina la Kampuni ya Uwindaji: …………………………………………………………………………. Namba ya Kibali cha Utalii wa Uwindaji: …………………………………………………………………...………. Jina la Mwindaji Bingwa: ………………………………………………………………………… …………………………………………………..………………. Namba ya Leseni ya Mwindaji Bingwa: Spishi Silaha iliyotumika Eneo/sehemu alipowindwa Tarehe Muda Maoni Jinsia Majira nukta ya GPS Urefu wa pembe au Mnyama au Uzito ………………………............ Saini ya mteja wa uwindaji ……………………….. Saini ya Mwindaji Bingwa .…………………….… Saini ya Afisa Wanyamapori Mfawidhi UTHIBITISHO Sisi, tuliosaini hapo juu tunathibitisha kwamba rejesta ya mnyama aliyewindwa ikijumuisha aliyejeruhiwa ni kumbukumbu sahihi ya wanyama wote waliouwa au kujeruhi wakati wa uhalali wa kibali cha uwindaji. ………………………............ Saini ya mteja wa uwindaji ……………………….. Saini ya Mwindaji Bingwa .…………………….… Saini ya Afisa Wanyamapori Mfawidhi 35 Tangazo la Serikali Na. 780 (Linaendelea) Kanuni za Uwindaji wa Kitalii ___________ JEDWALI LA NANE ___________ (Limetengenezwa chini ya kanuni ya 16(8)(b)) FOMU YA TATHMINI YA UWINDAJI WA SIMBA - BAADA YA SAFARI - JAZA FOMU HII HUJAZWA KWA KILA SAFARI YA UWINDAJI WA SIMBA Tarehe (mwezi/mwaka): Eneo la Uwindaji: Kampuni ya Uwindaji: Mwindaji Bingwa: Jina la mteja na uraia (hiari): Namba ya kibali cha Uwindaji: SABABU YA SAFARI Aina ya safari (Idadi ya siku za uwindaji): Siku 21 Nyingi ne: Je, umetafuta kwa ufanisi Simba wa kuwinda wakati wa safari? Ndio Hapana Idadi ya siku za uwindaji zinazofaa: Idadi iliyokadiriwa ya kilomita zitakazotumika wakati wa safari: Kwa gari Kwa miguu Jumla + = Idadi ya simba walioonekana wakiwa peke yao wakati wa safari: Idadi ya makundi ya simba yaliyoonekana wakati wa safari: Idadi ya simba kwa ujumla 36 Kanuni za Uwindaji wa Kitalii Tangazo la Serikali Na. 780 (Linaendelea) walioonekana wakati wa safari Waliokoma a (peke yao + katika kundi): Du me Jike Vijana M t o t o Jumla + + + = Idadi ya nyara za simba zilizoonekana wakati wa safari: 37 Tangazo la Serikali Na. 780 (Linaendelea) Kanuni za Uwindaji wa Kitalii Tarehe ya kuvunwa: Siku ngapi zilihitajika kwa ajili ya kuvuna simba? Eneo walipovunwa (GPS in decimal degrees): GPS S: GPS E: Umri wa simba kwa kukadiria: Hali ya simba aliyevunwa: Wembamba Majeraha Mitego MAONI: 38 Tangazo la Serikali Na. 780 (Linaendelea) Kanuni za Uwindaji wa Kitalii __________ JEDWALI LA TISA ___________ (Limetengenezwa chini ya kanuni ya 18(1)) __________ ORODHA YA NYARA Jina na Anuani ya mgeni……………………… Jina na Anuani ya kampuni………………… Tarehe za safari………………………… ……… Jina na anuani ya mwindaji…………………………….. Leseni ya Mwindaji na tarehe ya kutolewa…………………. Shipping Instructions…………………………… ………. N a. Jin a la spis hi Ain a ya nya ra Ki asi Ilipo wind wa Ta g N o. Tar ehe ya ku win da Ma oni Mzi ngo wa kita ko cha pem be Uref u wa pem be au mny ama au uzito Up ana wa pe mb e N a. y a u sa jil i En eo Ha ti ilip oto le wa Na. ya Hat i ya Ku mili ki Nya ra Ta re he ya ku tol ew a Ha ti ……………………… … Saini ya Mwindaji Bingwa …………………………….. Saini ya Mgeni Mwindaji …………………… .. Saini ya Mhifadhi Wanyamapori ZINGAT IA 1. Safu zijazwe katika herufi kubwa kwa usahihi. 2. Nakala halisi kwa Afisa Wanyamapori wa Wilaya/Afisa Mwidhiniwa, nakala ya pili kwa mgeni mwindaji. 39 Tangazo la Serikali Na. 780 (Linaendelea) Kanuni za Uwindaji wa Kitalii ________ JEDWALI LA KUMI ______ JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA (Limetengenezwa chini ya kanuni ya 19(1)) ADA YA MNYAMA INAYOLIPWA KWA AJILI YA UWINDAJI WA KITALII A. MAMALIA NA. JINA LA KIINGEREZA 1. 2. 3. 4. Aardvark Aardwolf Abbot’s duiker African elephant- at least one tusk weighing between 20kg and 25Kg or measuring not less than 160 cm African Elephant – at least one tusk weighing between 25.1 Kg and 30kg or not less than 160cm 5. African Elephant – at least one tusk weighing 30kg and above or not less than 160cm JINA LA KISWAHILI Muhanga Fisi wa Ankole Mindi Tembo JINA LA KISAYANSI Orycteropus afer Proteles cristattus Cephalophus spadix Loxodonta Africana ADA (TZS) 960,000 1,120,000 800,000 53,000,000 Tembo Loxodonta Africana 32,000,000 Tembo Loxodonta Africana 27,000,000 6. African Savanna Hare Sungura Lepus victoriae 60,000 (Scrub Hare) 7. Cape Hare 8. Baboon Olive 9. Baboon Yellow 10. Banded Mongoose 11. Bat-eared fox 12. Black & White Colobus Monkey 13. Black backed jackal 14. Black Mangabey Lepus capensis Sungura Nyani Mwekundu Papio anubis Nyani Njano Nguchiro Mbweha masikio Mbega mweusi na Mweupe Bweha shaba Babakoto Papio cynocephalus Mungos mungo Otocyon megalotis Colobus spp Canis mesomelas Lophocebus atterimus Cephalophus monticola Cercopithecus mitis Redunca redunca Synceris caffer caffer Equus burchelli Tragelophus scriptus Tragelophus scriptus omatus Potamochoerus porcus Felis caracal Civettictis civetta Alcelaphus buselaphus cokei Sylvicapra grimmia 60,000 270,000 270,000 160,000 670,000 1,600,000 530,000 1,600,000 670,000 270,000 1,200,000 6,650,000 2,650,000 1,860,000 1,590,000 930,000 400,000 530,000 2,650,000 670,000 2,120,000 800,000 960,000 4,500,000 Kobus ellipsiprymnus 2,120,000 Kuro (singisingi) Kobus defassa Digidigi (Suguya) Madoqua kirkii Potto Perodicticus potto edwardii Taurotragus oryx 15. Blue duiker Ndimba 16. Blue monkey 17. Reedbuck Bohor 18. Buffalo African Cape 19. Burchell’s Zebra 20. Bushbuck Maasai 21. Bushbuck Chobe Kima Tohe ndope Nyati Pundamilia Mbawala (Pongo) Mbawala (Pongo) 22. Bushpig Nguruwe mwitu 23. Caracal 24. Civet cat 25. Hartebeest Coke’s 26. Common duiker 27. Common waterbuck 28. Defassa waterbuck 29. Dikdik Kirk’s 30. Edwards Potto Simba mangu Fungo Kongoni Nsya (Nogorombwe) Kuro-ngogoro 31. Eland Pofu (Mbunju) 40 Kanuni za Uwindaji wa Kitalii Tangazo la Serikali Na. 780 (Linaendelea) NA. JINA LA KIINGEREZA JINA LA KISWAHILI 32. Four-toed hedgehog 33. Genet 34. Gerenuk 35. Giant Forest Hog JINA LA KISAYANSI Erinaceus albiventris Genetta genetta Litocranius walleri Kalunguyeye Kanu Swala twiga Nguruwe mkubwa Hylochoerus 36. Golden jackal (Common Bweha dhahabu Jackal) 37. Grant’s gazelle 38. Greater bush baby Swala granti Komba 39. Greater kudu Tandala mkubwa 40. Ground Pangolin 41. Hippopotamus Kakakuona Kiboko 42. Impala East African Swala pala 43. Impala Southern Swalapala Jumping hare/springhare 44. 45. Klipspringer Kamendegere Mbuzi mawe 46. Leopard 47. Lesser galago 48. Lesser kudu Chui Komba Tandama mdogo 49. Hartebeest Lichteinstein’s Konzi 50. Lion 51. Marsh Mongoose Simba (dume tu) Nguchiro 52. Mountain Reedbuck 53. Nile Crocodile 54. Nyasa Wildebeest 55. Oribi Common 56. Oryx Fringed Eared 57. Otter 58. Patas (Red) Monkey 59. Porcupine crested 60. Puku 61. Pygmy antelope (Suni) 62. Ratel (Honey badger) 63. Red Colobus Monkey 64. Red duiker (harveys red) Tohe milima Mamba Nyumbu kusi (Nyasi) Taya Choroa Fisi maji Kima Mwekundu Nungunungu Sheshe Paa (Suni) Nyegere Mbega Mwekundu Funo (Mbatuka) 65. Roan antelope 66. Roberts Gazelle 67. Rock hyrax 68. Sable antelope Common 69. Sable Antelope Roosevelt Korongo Swala Roberti Pimbi (kwaga) Palahala Palahala 70. Serval cat 71. Shape’s Grysbok 72. Side stripped jackal 73. Sitatunga East Africa 74. Southern Reedbuck 75. Spotted hyaena 76. Steinbuck Mondo Dongoro Shapi Bweha mraba Nzohe Tohe kusi Fisi madoa (kingungwa) Dondoro 41 meinertzhagen Canis aureus Gazella grantii Galago crassicaudatus Tragelaphus strepsiceros Smutsia teminnakii Hippopotamus amphibius Aepyceros melampus rendili Aepyceros melampus melampus Pedetes capensis Oreotragus oreotragus Panthera pardus Galago senegalensis Tragelaphus imberbis Alcelaphus buselaphus lichteinsteinii Panthera leo Herpestes/Atilax paludinosus Redunca furvorufula Crocodylus niloticus Connochaetes taurinus Taurinus Ourebia ourebi Oryx gazelle Aonyx /Lutra spp Erythrocebs patas Hystrix cristata Kobus vardoni Nesotragus moschatus Melivora capensis Colobus badius/ Piliocolobus spp Cephalophus natalensis Hippotragus equinus Gazella robertsi Heterohyrax brucei Hippotragus niger Hippotragus niger roosevelti Felis serval Raphicerus sharpie Canis adustus Tragelaphus spekei Redunca arundinum Crocuta crocuta Raphicerus campestris ADA (TZS) 265,000 530,000 8,480,000 1,180,000 530,000 1,590,000 480,000 5,300,000 2,600,000 3,980,000 795,000 530,000 200,000 1,860,000 11,930,000 400,000 8,480,000 1,730,000 18,600,000 160,000 2,120,000 4,510,000 1,730,000 670,000 9,280,000 450,000 320,000 400,000 2,120,000 795,000 795,000 960,000 795,000 9,280,000 1,860,000 270,000 9,280,000 9,280,000 530,000 930,000 530,000 7,950,000 1,060,000 1,060,000 670,000 Kanuni za Uwindaji wa Kitalii Tangazo la Serikali Na. 780 (Linaendelea) NA. JINA LA KIINGEREZA 77. Striped hyaena 78. Thomson Gazelle 79. Topi JINA LA KISWAHILI Fisi Miraba Swala tomi Nyamera 80. Tree hyrax Pelele (wibari) 81. Velvet monkey 82. Warthog Tumbili Ngiri 83. White nosed Monkey Kima puti 84. White tailed Mongoose 85. White-beared wildebeest Karambago Nyumbu kidevu 86. Wild cat 87. Zorilla Kimburu Kicheche JINA LA KISAYANSI Hyaena hyaena Gazella thomsonii Damaliscuss korrigun jimela Dendrohyrax arboreaus Cercopithecus aethiops Phacochoerus aethiopicus Cercopithecus nictitaus Ichneumia albicauda Connochaetes taurimus albojubatus Felis lybica Ictonyx striatus ADA (TZS) 1,860,000 1,330,000 2,120,000 265,000 265,000 800,000 480,000 160,000 1,730,000 530,000 400,000 42 Tangazo la Serikali Na. 780 (Linaendelea) Kanuni za Uwindaji wa Kitalii JINA LA KIINGEREZA ENGLI African Broadbill African Darter African finfoot B: NDEGE JINA LA KISWAHILI Kijogoo – Shamba Mbizi Kikwiri – mtoni African jacana Kibilinzi African pitta African Pochard Pita Bata Jicho jekundu African Skimmer Ndege Msumeno NA. 1. 2. 3. 4. 5. 6. 7. 8. 9. 10. 11. 12. 13. 14. 15. 16. 17. 18. 19. 20. 21. 22. 23. 24. 25. 26. 27. 28. 29. Avocet Babblers Barbets Bee-eaters Bishops Bittern Black - necked Grebe Black faced Sandgrouse Black- winged Stilt Bulbuls Buntings Buzzard Canaries Cattle Egret Chats Chestunut- bellied sandgrouse Common Quil Coqui Francolin Coucals Coursers Crakes Crested francolin JINA LA KISAYANSI Smithornis capensis Anhinga rufa Podica senegalensis Actophilornis africanus Pitta angolensis Netta erythrophthalma Rhynchops Flavirostrills Recurvirostra avosetta Phylloscopus spp Trachyphonus spp, Lybius spp Pogoniulus spp Merops spp Euplectes spp Ardeide Kitwitwi donopindo Zogoyogo Zuwakulu Kinega Kweche Kijimbimsitu Kiwizi shingo nyeusi Pediceps nigricolis Firigogo Usomweusi Pterocles decoratus Sholwe Kibarabara Shakivale Chiriku Yangeyange Kitwitwi kichacheupe Himantopus himantopus Andropadus spp, Emberiza spp Buteo spp Serinus spp Bubulcus ibis, Egretta spp Cercomella spp, Cossypha spp Pterocles exustus Kiruwiji Firigogo Tumbo jekundu Kituitui Kwale mdogo Tipitipi Gawa Kiluwiri Kwale kishungi Coturnix coturnix Francolinus coqui Centropus spp Rhinoptilus spp Crex crex Francolinus leuacascepus Cercococcyx spp Chrysococcya spp Cuculus spp, Clamator spp Dicrurus spp ADA (TZS) 110,000 160,000 140,000 80,000 110,000 40,000 140,000 140,000 80,000 70,000 110,000 70,000 140,000 70,000 60,000 140,000 80,000 70,000 860,000 70,000 265,000 120,000 60,000 40,000 60,000 140,000 80,000 70,000 60,000 140,000 110,000 30. Cuckoos Kekeo 31. Drongos Mlamba 43 Kanuni za Uwindaji wa Kitalii Tangazo la Serikali Na. 780 (Linaendelea) 32. Eagles Tai 33. Egyption goose Bata bukini 34. 35. 36. 37. Emerald spotted wood dove Pugi (kituku) Falcon & Kestrel Finches Flycatchers Kozi Bwerenda Chechele 38. Giant Petrel Mlinzi Mkuu 39. 40. 41. Go- awaybirds Great crested Grebe Great white Pelican Shorobo Kiwizi- ushungi Mwari 42. Greater Flamingo Heroe Mkubwa Circaetus spp, Terathopius spp Alopochen aegyptiacus Turtur chalcospilos Falco spp Lagonosticta spp Ficedula spp, Melaenornis spp, Terposiphone spp Macronestes giganteus Corythaixoides spp Podiceps cristatus Pelecanus onocrotalus Phoenicopterus ruber Treron calva Numida meleagris Ardeola spp, Ardea spp Indicator spp Upupa spp, Phoeniculus spp Bycanistes spp, Tockus spp Bostrychia spp Ceryle spp, Alcedo spp, Halcyon spp Milvus spp, Elanus spp Sarkidiornis melanotis Ardeotis kori Mirafra spp, Calandrella spp Eupodotis spp Phoeniconaias minor Tachybaptus ruficollis Phalacrocorax africanus Agapornis spp 870,000 80,000 80,000 770,000 40,000 80,000 140,000 230,000 70,000 320,000 590,000 80,000 610,000 140,000 140,000 40,000 860,000 80,000 140,000 110,000 140,000 270,000 390,000 140,000 770,000 80,000 960,000 70,000 960,000 590,000 70,000 160,000 190,000 Green Pigeon Grey Crowned Crane Gulls Hamerkop Harlequin Quail Hawks Helmeted guineafowl Heron Ninga Taji (Korongo– Taji) Balearica regulorum Larus spp Scopus umbretta Coturnix delegorguei Accipiter spp Shakwe Fundichuma Kituitui- Tambo Kipanga Kanga Korongo 43. 44. 45. 46. 47. 48. 49. 50. 51. 52. Honeyguide Hoopoes Kiongozi Hudihudi 53. Hornibills Hondohondo 54. 55. Ibis Kingfishers 56. Kite Kwarara Kichi Mwewe 57. Knob Billed Goose Bata Domokifundo 58. 59. 60. 61. Kori Bustard Larks Tandawala Mkubwa Kipozamataza Lesser Bustards Lesser Flamingo Tandawala wadogo Heroe Mdogo 62. Little Grebe Kiwizi mdogo 63. Long-tailed Commorant Mnandi Mkiamrefu 64. Lovebirds Kwaru 44 Tangazo la Serikali Na. 780 (Linaendelea) Kanuni za Uwindaji wa Kitalii 65. Morning Dove Kuyu jichonjano 66. Mousebirds Pasa 67. 68. 69. 70. 71. 72. 73. 74. 75. Namaqua dove Nightjars Orioles Osprey Owl Ostrich Oxpeckers Parrots Pink- backed Pelican 76. Plovers 77. 78. 79. 80. Quelea Rails Red – knobbed Coot Red necked spurfowl 81. Red-eyed dove 82. Ring- necked Dove 83. 84. 85. Rollers Sand Partridge Sandpipers 86. Scimitarbill 87. Secretary Bird 88. 89. 90. 91. 92. Seedeater Shrikes Snipes Sparrows Spoonbill 93. Spur winged goose 94. Starlings Pugi kombamwiko Mbawaraji Naiwa Kuho (Furukombe) Bundi Mbuni Shashi Kasuku Mwari Ndoero Streptopelia decipients Colius spp, Urocolius spp Oena capensis Caprimulgus spp Oriolus spp Pandion haliaeetus Tyto spp, Bubo spp, Otus spp Struthio camelus Buphagus spp Poicephalus spp Pelecanus rufescens Vanellus spp, Charadrius spp Quelea spp Ralus caerulescens Tetete mdogo Francolinus afer Kweleakwelea Kiluwiri maji Kikiwiri domokifundo Fulica cristata Kereng’ende shingo nyekundu Tetere mdogo Chole Kwale Kitwitwi Streptopelia sermitoquata Streptopelia capicola Coracias spp Ammoperdix heyi Tringa spp, Calidris spp Domomundu mweusi Phoeniculus cyanomelus Sagittariu serpentarius Serinus spp Lanius spp Rostratula benghalensis, Gallinoga spp Mpasuambegu Mbwigu Sululu Karani Chigi Korongo domokijiko Bata bukini bawakijani Kuzi Lonchura spp Platalea spp Plectropterus gambensis Cinnyricinclus spp, Cosmopsarus spp, Lamprotornis spp Ptilopachus petrosus Ciconia ciconia Mysctria ibis, Ephippiorhynchus senegallensis, 80,000 110,000 80,000 310,000 40,000 770,000 310,000 2,650,000 80,500 190,000 320,000 80,000 30,000 70,000 70,000 40,000 80,000 80,000 140,000 40,000 140,000 140,000 900,000 70,000 110,000 80,000 40,000 390,000 80,000 80,000 40,000 800,000 95. Stone Partridge Kwale 96. Storks Korongo 45 Tangazo la Serikali Na. 780 (Linaendelea) Kanuni za Uwindaji wa Kitalii 97. 98 Sunbirds Swallows/ Martin Chozi Mbayuwayu 99. 100 101 102 Swiffs Terns Thicknees Thrushes Teleka Buabua Chekehukwa Kurumbiza Leptoptilos crumeniferus Nectarinia spp Hirundo spp, Riparia spp, Delichon spp Apus spp Sterna spp Burhinus spp Cichladusa spp, Monticola spp 40,000 80,000 80,000 140,000 80,000 120,000 103 Tits Chambombe Parus spp, 70,000 104 105 106 Trogons Turacos Vultures Mdiria Shorobo Tumbusi 107 Vulturine guineafowl Kalolo tumbusi 108 Wagtails Kiluwiluwi Anthoscopus spp Apoloderma spp Tauraco spp Gyps spp, Necrosyrtes, Torgos spp Torgos spp Acryllium vulturinun Macromyx spp, Motacilla spp 80,000 230,000 860,000 80,000 110,000 109 Warblers 110 Wattled Crane 111 Waxbills Shoro Korongo usomwekundu Njiri Acrocephalus spp 80,000 Grus carunculatus 610,000 Cyptospiza spp, 40,000 112 Weavers 113 White eyes 114 White faced whistling duck Bata kichwa cheupe Kwera Kinengenenge Estrilda spp Ploceus spp Zosterops spp Dendrocygna viduata 115 White- breasted Cormorant Mnandi kifua cheupe Phalacrocorax 116 Whydahs 117 Woodpeckers 118 Yellow necked spur fowl Kitongo Kigong’ota Keren’gende shingo njano lucidus Vidua spp Campethera Spp Francolinuxs afer 70,000 70,000 80,000 160,000 70,000 110,000 70,000 40,000 119 Yellow throated sandgrouse Firigogo Koonjano Pterocles gutturalis 60,000 NA. JINA LA KIINGEREZA ENGLI Boomslang 1. C: REPTILIA JINA LA KISWAHILI Nyoka JINA LA KISAYANSI Dispholidus typhus ADA (TZS) 230,000 46 Tangazo la Serikali Na. 780 (Linaendelea) Kanuni za Uwindaji wa Kitalii 2. Chameleons Vinyonga Chamaeleo spp 3. Cobra Koboko Naja spp 4. Crocodile Nile Mamba 5. Common Egg Eater Nyoka 6. Geckos Mijusi 7. Green & Black Mamba Koboko Crocodilus niloticus Dasypeltis scabra Lygodactylus spp Hemidactylus spp Dendroaspis spp 8. Green snakes Nyoka wa kijani Philothamnus spp 9. Lizard 10. Nile Monitor 11. Python 12. Sand boa 13. Terrapins 14. Tortoises Mijusi Kenge Chatu Kasa Kobe Agama spp Gerrhosaulus spp Varanus niloticus Python spp Eryx colubrinus Pelomedusa spp Geochelone spp, Malacocherusspp 70,000 230,000 4,500,000 230,000 70,000 200,000 200,000 70,000 700,000 800,000 190,000 200,000 80,000 47 Tangazo la Serikali Na. 780 (Linaendelea) Kanuni za Uwindaji wa Kitalii ________________ JEDWALI LA KUMI NA MOJA _________________ JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA (Limetengenezwa chini ya kanuni za 20(1)) ORODHA YA WANYAMA MUHIMU SN ENGLISH NAME 8. 9. 10. 11. 12. 13. 14. 15. 16. 17. 18. 19. 20. 21. 22. 23. 24. 25. 26. 27. 28. 29. 30. 31. 32. 33. 34. 35. 36. Buffalo (1ST, 2nd and 3rd) Burchell’s Zebra Bushbuck Bushpig Coke’ Hartebeest Common waterbuck Eland Defassa waterbuck Gerenuk Grant’s gazelle Greater kudu Hippopotamus Impala Klipspringer Lesser kudu Lichteinstein’s hartebeest Mountain reedbuck Wildebeest Oribi Oryx Puku Roan antelope Sable antelope Sitatunga Southern Reedbuck Spotted hyaena Thomsom Gazelle Topi Warthog SCIENTIFIC NAME Syncerus caffer caffer Equus burchellis Tragelophus scriptus Potamochoerus porcus Alcelophus buselaphus cokei Kobus ellipsiprymnus Taurotragus oryx Kobus defassa Litocranius walleri Gazella grantii Tragelaphus strepsiceros Hippopotamus amphibious Aepyceros melampus Oreotragus oreotragus Traelphus imberis Alcelaphus buselaphus lichteinsteinii Redunca furvorufula Connochaetes taurinus albojubatus, Connochaetes taurinus johnstoni, Connochaetes taurinus mearnsi Ourebia ourebi Oryx gazelle Kobus vardoni Hippotragus equines Hippopotagus niger Tragelaphus spekei Redunca arundinum Crocuta cricyta Gazella thomsonii Damaliscus korrigun jimela Phacochoerus aethiopicus ORODHA YA WANYAMA Na. Kiingereza Jina la Kisayansi Kiasi Eneo atakapowindw a (ikiwa tofauti na kibali mama) 48 Tangazo la Serikali Na. 780 (Linaendelea) Kanuni za Uwindaji wa Kitalii Na. Kiingereza Jina la Kisayansi Kiasi Eneo atakapowindw a (ikiwa tofauti na kibali mama) Baboon Yellow 1 Baboon Olive 2 Buffalo African cape 3 Bushbuck Chobe 4 Bushbuck Masai 5 Bushpig 6 Caracal 7 Civet African 8 9 Crocodile Nile 10 Dikdik Kirk's 11 Duiker Abbott's 12 Duiker Common 13 Duiker Harvey's red Eland Livingstones 14 Eland Paterson's 15 Elephant African 16 17 Fox Bat eared 18 Gazelle Grant's 19 Gazelle Robert's 20 Gazelle Thomson's 21 Genet Blotched 22 Genet Common 23 Gerenuk 24 Grysbock Sharpe's 25 Hare Scrub 26 Hare Cape 27 Hartebeest Coke's 28 Hartebeest Lichteinstein's 29 Hippo 30 Hyaena Spotted 31 Hyaena Striped 32 33 Impala East African Impala Southern Jackal Common Jackal Side striped Jackal Sliver backed 34 35 36 37 Klipspringer 38 Kudu Greater 39 Kudu Lesser Leopard 40 41 Lion 42 Mongoose Banded 43 Mongoose White tailed 44 Monkey Blue 45 Monkey Velvet 46 Oribi Common Papio Anubis Papio cynocephalus Syncerus caffer caffer Tragelaphus scriptus omatus Tragelaphus scriptus delameri Potamochoerus larvatus Caracal caracal Civettictis civetta Crocodilus niloticus Madoqua kirkii kirkii Cephalophas spadix Sylvicapra grimmia abyssinicus Cephalophas natalensis Tragelaphus oryx livingstoni Tragelaphus oryx pattersonius Loxodonta Africana Otocyon megalotis Nanger granti granti Nanger granti robertsi Eudorcas thomsonii Genetta tigrina Genetta genetta Litocranius walleri walleri Raphicerus sharpie Lepus capensis Lepus saxatilis Alcelaphus buselaphus cokii Alcelaphus buselaphus lichtensteinii Hippopotamus amphibius Crocuta crocuta Hyaena hyaena dubbah Aepyceros melampus rendili Aepyceros melampus melampus Canis aureus Canis adustus Canis mesomelas Oreotragus oreotragus Tragelophus strepsiceros bea Tragelaphus imberbis Panthera pardus pardus Panthera leo Mungos mungo Ichneumia albicauda Cercopithecus mitis Chlorocebus pygerythrus Ourebia ourebi ourebi 49 Tangazo la Serikali Na. 780 (Linaendelea) Kanuni za Uwindaji wa Kitalii Na. Kiingereza Jina la Kisayansi Kiasi Eneo atakapowindw a (ikiwa tofauti na kibali mama) 47 Oryx Fringed eared 48 Ostrich Oryx beisa calotis Struthioformes camelopardalus Hystrix cristata Kobus vardonii Pythin sebae Porcupine Crested Puku Python Rock Ratel (Honey Badger) Mellivora capensis Reedbuck Bohor Reedbuck Mountain (Chandler's) Reedbuck Southern (Common) Roan Antelope Redunca arundinum Redunca redunca wardi Redunca fulvorufula chandleri Hippotragus equinus langheldi Hippotragus niger roosevelti Hippotragus niger kirkii Sable Antelope Roosevelt Sable Antelope Common Serval Cat Sitatunga East African Tragelaphus spekii spekii Steinbuck Suni (Pygmy Antelope) Topi Raphicerus campestris Neotragus moschatus Leptailurus serval 49 50 51 52 53 54 55 56 57 58 59 60 61 62 Damaliscus lunatus jimela Phacochoerus africanus Kobus ellipsiprymnus ellipsiprymnus Kobus ellipsiprymnus defassa Felis sylvestris lybica Connochaetes taurinus albojubatus Connochaetes taurinus johnstoni Connochaetes taurinus mearnsi Equus quagga bruchelli Ictonyx striatus 63 64 Warthog 65 Waterbuck Common 66 Waterbuck Defassa 67 Wildcat 68 Wildebeest Eastern White bearded 69 Wildebeest Western White bearded 70 Wildebeest Nyasa Zebra Burchell's Zorilla Francolin 71 72 73 Dove 74 Duck 75 76 Geese 77 Guineafowl Pigeon 78 Sandgrouse 79 Spurfowl 80 Ninathibitisha kwamba maelezo hapo juu ni sahihi kwa uelewa wangu na ninathibitisha kwamba ninaelewa matakwa ya Sheria ya Uhifadhi wa Wanyamaporim, Sura 283 na kanuni zake. 50 Kanuni za Uwindaji wa Kitalii Tangazo la Serikali Na. 780 (Linaendelea) Tarehe: …………………………. ……… KUMBUKA: ……………………………… Jina na Sahihi ya mwombaji na mhuri wa ofisi Maombi ya kibali yaambatane na nakala ya pasi ya kusafiria ya mteja na mtazamaji na nakala ya kibali cha kuingiza silaha nchini iliyoshuhudiwa na wakili. 51 Tangazo la Serikali Na. 780 (Linaendelea) Kanuni za Uwindaji wa Kitalii _____________ JEDWALI LA KUMI NA MBILI _____________ (Limetengenezwa chini ya kanuni ya 27(2)) FOMU YA MAOMBI YA LESENI YA MWINDAJI BINGWA ____________ Bandika picha MUHIMU: TAFADHALI WEKA √ KWENYE KISANDUKU HUSIKA MAOMBI MAPYA KUHUISHA LESENI IMEPOTEA 1. MAELEZO BINAFSI MAELEZO nafasi atika JINA Jina la ukoo: Jina la kwanza: Jina la kati: Jinsia: Uraia: Picha ya pasipoti ya mwondaji: (ambatisha iliyotolewa) Namba za simu za mezani; Namba za simu za mkononi: Ofisi: Makazi: Faksi: Barua pepe Tarehe na mahali alipozaliwa Sanduku ya Posta Anuani ya Biashara Maelezo ya Pasi ya kusafiria Tarehe ya kuzaliwa Uwezo wa lugha 2. MAELEZO YA MWAJIRI (kwa raia hiari/kwa asiye raia lazima) JINA (a) Jina la Kampuni: (b) Anunai ya eneo kuu la biashara (c) Sanduku la Posta: (d) Namba za simu: (e) Namba ya faksi: (f) Barua pepe: (g) Tovuti: MAELEZO 52 Kanuni za Uwindaji wa Kitalii Tangazo la Serikali Na. 780 (Linaendelea) (h) Linakopatikana eneo lingine 3. MAFUNZO YA KOZI HUSIKA YALIYOKAMILIKA Tarehe na muda Taasisi ya Mafunzo 4. UZOEFU WA MAFUNZO KWA VITENDO Aina ya uzoefu Tarehe na muda Mawasiliano ya mtu wa kuwasiliana naye 5. SIFA ZA KITAALUMA Tuzo Mwaka Modul i 1. 2. 3. 4. Mwaji ri 1. 2. 3. 4. Jina la Taasisi ya Elimu 1. 2. 3. 4. 6. DARAJA LA LESENI ILIYOOMBWA 1. Daraja A …………………. 2. Daraja B …………………………….. JINA 7. ADA YA MAOMBI KIASI (TSHS) Leseni mpya Kuhuisha leseni Leseni iliyopotea Tarehe: UTHIBITISHO: Mimi ………………………………. nathibitisha leo ……………mwezi………. 20 …... kwamba ni mtu ninayeomba leseni ya mwindaji bingwa na ninazo sifa zilizotajwa na kwamba taarifa nilizotoa ni kweli na sahihi kwa kadri ya uelewa na imani yangu. …………………………….. Sahihi ………………………… Tarehe KWA MATUMIZI YA OFISI PEKEE Ada ya maombi Imelipwa kwa ajili ya: Leseni mpya: Kuhuisha leseni: Leseni iliyopotea: Leseni imetolewa/imekataliwa ……………..…………………… …... Kiasi (TZS) Na. leseni …………………………………………….. 53 Tangazo la Serikali Na. 780 (Linaendelea) Kanuni za Uwindaji wa Kitalii Imetolewa tarehe ………………………..………….. Daraja ………………………………………… Ada imelipwa paid: …………………………………… … Jinan a Saini : .………………………………………………………………………… Risiti ya EFD na: ……………………………………………. 1. 2. 3. Ambatisha nakala ya taarifa zote muhimu pale zinapohitajika. Ambatisha nakala za vyeti vya taaluma, vyeti vya mafunzo nk. husika zilizoshuhudiwa na Wakili. Ikiwa ni kuhuisha leseni au leseni iliyopotea jaza sehemu 1 na 2 pekee. _____________ JEDWALI LA KUMI NA TATU _____________ (Limetengenezwa chini ya kanuni ya 27(5)) JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII MAMLAKA YA USIMAMIZI WA WANYAMAPORI TANZANIA LESENI YA MWINDAJI BINGWA PICHA YA MMILIKI Jina la Mwindaji Bingwa: Uraia: Namba ya Hati ya Kusafiria: Jina la Kampuni: Anuani ya Kampuni: Na. PHL: 54 Tangazo la Serikali Na. 780 (Linaendelea) Kanuni za Uwindaji wa Kitalii Daraja la Leseni ya PH: Nathibitisha kuwa mwenye leseni hii ambaye picha na saini yake inaonekana ni mwindaji bingwa. Ana uwezo na ameidhinishwa chini ya Sheria ya Uhifadhi wa Wanyamapori, Sura 283 na Kanuni za Uwindaji wa Kitalii kuongoza wawindaji wa kitalii. ………………………………………. Jina na Saini ya Mkurugenzi …………………………..………. Saini ya Mmiliki wa leseni Halali kuanzia: Hadi Kumbuka: Leseni hii siyo halali isipokuwa ina lakiri ya Mkurugenzi iliyogongwa juu ya picha ya pasipoti. Leseni hii ni mali ya Mkurugenzi ikimaliza muda, kufutwa au ikipotea na kupatikana irejeshwe kwa Mkurugenzi. Dodoma, ……………….., 2024 PINDI HAZARA CHANA Waziri wa Maliasili na Utalii 55
Provision text is displayed from LexChat’s stored statute record. Use the official source links to verify amendments, commencement, and current legal force.
Ask AI about this statute
KANUNI ZA UWINDAJI WA KITALII ZA MWAKA 2024
Sign in to ask AI about this statute
Sign in to start authenticated, citation-grounded statute research.
Sign in