Kanuni za biashara ya Nyara za Mwaka 2024
These regulations are called the Kanuni za biashara ya Nyara za Mwaka 2024.
AI-assisted research synopsis — verify against the official legal text below.
- Jurisdiction
- Tanzania
- Instrument
- Regulation
- Citation
- Kanuni za biashara ya Nyara za Mwaka 2024
- Version
- Undated source snapshot
- Language
- sw
- Official source
- View official record ↗
Statute overview
About this statute
These regulations are called the Kanuni za biashara ya Nyara za Mwaka 2024. This section gives the meanings of key terms used in the Regulations. A person intending to do trophy ব্যবস? must apply to the Director for a trophy business licence, complete the form, and pay the application fee. Mkurugenzi lazima amjulishe mwombaji anapokubali au kukataa maombi; mwombaji hulipa ada ndani ya siku 30 baada ya kujulishwa, na leseni hutolewa baada ya malipo. Biashara ya nyara bila leseni ni kosa. A trophy business license is valid for three years from the date it is issued, and it may be renewed after expiry using the specified form and renewal fee.
Search within this statute
Search all stored provisions in this version.
Legal text
Provisions of Kanuni za biashara ya Nyara za Mwaka 2024
Showing 65 of 65
- 1 Verify source ↗
Kanuni hizi zitajulikana kama Kanuni za
AI-assisted research summary: These regulations are called the Kanuni za biashara ya Nyara za Mwaka 2024.
1. Kanuni hizi zitajulikana kama Kanuni za biashara ya Nyara za Mwaka 2024. - 2 Verify source ↗
Katika Kanuni hizi, isipokuwa kama muktadha
AI-assisted research summary: This section gives the meanings of key terms used in the Regulations.
2. Katika Kanuni hizi, isipokuwa kama muktadha utahitaji vinginevyo: “afisa mwidhiniwa” maana yake ni mtumishi wa umma aliyeteuliwa na Mkurugenzi kwa mujibu wa Sheria ya Utumishi wa Umma kwa madhumuni ya Kanuni hizi. leseni” maana yake ni afisa wanyamapori aliyeteuliwa na Mkurugenzi kuwa afisa mtoa leseni kwa madhumuni ya Kanuni hizi; “afisa “bidhaa” maana yake ni kitu chochote kilichotengenezwa kutokana na sehemu ya nyara ambayo haijumuishi taswira za wanyamapori, ngozi nzima za wanyamapori au kipande iliyochakatwa au ambayo haijachakatwa; “daktari wa mifugo” maana yake ni daktari wa mifugo wa cha ngozi “eneo Serikali aliyeidhinishwa na Mamlaka husika. la kutunzia” maana yake ni eneo ambalo wanyamapori hutunzwa kwa muda kusubiri kutolewa nje ya nchi au kuingizwa kwenye maeneo ya ufugaji wanyamapori na inajumuisha eneo la kutunzia ndege, vizimba au maeneo kama hayo; 1 Tangazo la Serikali Na.884 (Linaendelea.) Kanuni Za Biashara ya Nyara “Mkurugenzi” atakuwa na maana sawa na iliyotafsiriwa chini ya Sheria “Kiongozi wa kimila” maana yake ni mtu ambaye anatambulika katika jamii yake kama kiongozi mkuu na kusajiliwa na Mamlaka husika; “kituo cha karantini” maana yake ni sehemu au kituo cha kutunzia wanyamapori kwa muda kabla ya kutolewa nje ya nchi au baada ya kuwasili kutoka nje ya nchi au eneo lingine kwa lengo la ukaguzi wa afya kabla ya kuwapeleka katika maeneo ya utunzaji ili kuzuia kusambaa kwa magonjwa; “Mamlaka” maana yake ni Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania; “ meno machonge yaliyochomoza” maana yake ni meno ya ngiri na nguruwe pori; “mnyamapori wa mapambo” maana yake ni mnyamapori afugwaye na kutunzwa katika nyumba za makazi, taasisi au eneo lolote ambalo wanyamapori hao watakuwa wanatunzwa; “ nyara ambayo haijaorodheshwa chini ya CITES ” maana yake ni nyara ambayo haijaorodheshwa katika Mkataba wa Kimataifa wa kudhibiti Biashara ya Wanyamapori na Mimea iliyo hatarini kutoweka wa mwaka 1973; “nyara iliyotengenezwa” maana yake ni bidhaa iliyotengenezwa kwa kutumia nyara au sehemu ya nyara. “Nyara za Serikali” itakuwa na maana kama ilivyotafsiriwa chini ya Sheria; “ukamataji” maana yake ni kitendo chochote kinacholenga kuchukua mnyamapori, kiota au yai; na “Sheria” maana yake Sheria ya Uhifadhi Wanyamapori; “Waziri” itakuwa na maana kama ilivyotafsiriwa chini ya Sheria. Tangazo la Serikali Na.135 la mwaka 2014 Sura 283 2 Tangazo la Serikali Na.884 (Linaendelea.) Kanuni Za Biashara ya Nyara SEHEMU YA PILI UTARATIBU WA MAOMBI NA UTOAJI WA LESENI YA BIASHARA YA NYARA Maombi ya leseni ya biashara ya Nyara
Part
SEHEMU YA PILI
- 3 Verify source ↗
(1) Raia wa
AI-assisted research summary: A person intending to do trophy ব্যবস? must apply to the Director for a trophy business licence, complete the form, and pay the application fee.
3.-(1) Raia wa Jamhuri ya Muungano anayekusudia kufanya biashara ya nyara, isipokuwa kwa maombi yaliyopo chini ya kanuni ya 21, atawasilisha maombi ya Leseni ya biashara ya Nyara kwa Mkurugenzi kwa kujaza fomu na kulipa ada ya maombi kama iliyoainishwa katika Jedwali la Kwanza. (2) Maombi yatawasilishwa kwa Mkurugenzi yakiambatana na- (a) nakala ya cheti cha usajili wa biashara kwa mtu ambaye anajitegemea; (b) nakala ya cheti cha usajili wa kampuni na katiba ya mwombaji ikiwa muombaji ni mtu kwa mujibu wa sheria; (c) nakala ya leseni ya biashara kutoka Mamlaka husika; (d) nakala ya Namba ya Mlipa Kodi; (e) nakala ya usajili wa kodi ya ongezeko la thamani ikiwa inahusika; (f) nakala ya cheti cha uthibitisho wa kutodaiwa kodi; na (g) pendekezo la mradi au mpango wa biashara unaohusiana na biashara inayopendekezwa na uthibitisho wa mtaji. (3) Bila kujali kanuni ndogo (2), Mkurugenzi anaweza ikiwa ni muhimu na kwa madhumuni ya kuthibitisha uhalali wa nyaraka, kumtaka mwombaji kuwasilisha nakala halisi za nyaraka zilizoanishwa chini ya kanuni ndogo (2). (4) Mkurugenzi baada ya kupokea maombi, atasajili maombi hayo na kuyafanyia uchambuzi ili kujiridhisha endapo muombaji - (a) ana uthibitisho wa uwepo wa eneo la kutunzia wanyamapori kwa muda lililothibitishwa au maeneo mengine stahiki kwa uendeshaji wa biashara yake kwa mujibu wa CITES au mwongozo uliotolewa na Mkurugenzi; na (b) hajawahi kutiwa hatiani chini ya Sheria 3 Tangazo la Serikali Na.884 (Linaendelea.) Kanuni Za Biashara ya Nyara Utoaji wa leseni ya biashara ya Nyara Muda wa leseni ya biashara ya nyara (5) Baada ya uchambuzi Mkurugenzi anaweza kukubali au kukataa maombi. - 4 Verify source ↗
(1) Endapo Mkurugenzi atakubali maombi,
AI-assisted research summary: Mkurugenzi lazima amjulishe mwombaji anapokubali au kukataa maombi; mwombaji hulipa ada ndani ya siku 30 baada ya kujulishwa, na leseni hutolewa baada ya malipo. Biashara ya nyara bila leseni ni kosa.
4.-(1) Endapo Mkurugenzi atakubali maombi, atamjulisha muombaji ambaye atatakiwa kulipa ada ya Leseni ya biashara ya nyara kama ilivyoainishwa katika Jedwali la Pili ndani siku thelathini kutoka tarehe ya kujulishwa. (2) Baada ya malipo ya ada chini ya kanuni ndogo (2), Mkurugenzi atatoa Leseni ya biashara ya nyara kama ilivyoainishwa katika Jedwali la Tatu. (3) Endapo maombi yatakataliwa Mkurugenzi atamjulisha muombaji sababu za kukataliwa kwa maombi yake. (4) Mtu atakayefanya biashara ya nyara bila ya leseni ya biashara ya nyara atakuwa ametenda kosa.
Part
Jedwali la Pili ndani siku thelathini kutoka tarehe ya
- 5 Verify source ↗
(1) Leseni ya biashara ya nyara itakuwa halali
AI-assisted research summary: A trophy business license is valid for three years from the date it is issued, and it may be renewed after expiry using the specified form and renewal fee.
5.-(1) Leseni ya biashara ya nyara itakuwa halali kwa muda wa miaka mitatu kuanzia tarehe ya kutolewa. inaweza (2) Leseni ya biashara ya nyara kuhuishwa baada ya muda wake kuisha kwa kujaza fomu iliyoainishwa katika Jedwali la Nne na kulipia ada ya uhuishaji kama ilivyoainishwa katika Jedwali la Kumi na Mbili. (3) Maombi ya kuhuisha leseni ya biashara ya nyara chini ya kanuni ndogo ya (2) yataambatishwa na: (a) taarifa ya utekelezaji wa biashara ya nyara leseni tarehe ya kuanzia inayomaliza muda wake hadi mwisho ya matumizi ya leseni hiyo; na tarehe ya kutolewa kwa (b) nakala ya cheti cha uthibitisho wa mlipa kodi. Taarifa ya mabadiliko - 6 Verify source ↗
Mmiliki wa leseni ya biashara ya nyara
AI-assisted research summary: Mmiliki wa leseni ya biashara ya nyara lazima amjulishe Mkurugenzi kwa maandishi kuhusu mabadiliko yoyote ya taarifa alizowasilisha wakati wa maombi.
6. Mmiliki wa leseni ya biashara ya nyara atamjulisha Mkurugenzi kwa maandishi kuhusu mabadiliko yoyote ya taarifa alizowasilisha wakati wa maombi ndani ya siku thelathini tangu tarehe ya mabadiliko. 4 Tangazo la Serikali Na.884 (Linaendelea.) Kanuni Za Biashara ya Nyara SEHEMU YA TATU MASHARTI YA LESENI NA KUFUTWA KWA LESENI YA BIASHARA YA NYARA Masharti ya leseni ya biashara ya nyara
Part
SEHEMU YA TATU
- 7 Verify source ↗
(1) Mmiliki wa leseni ya biashara ya nyara
AI-assisted research summary: Mmiliki wa leseni ya biashara ya nyara lazima afuate masharti ya kufanya biashara, kuhifadhi nyara, kuweka leseni wazi, na kuwasilisha taarifa na kumbukumbu kwa Mkurugenzi.
7.-(1) Mmiliki wa leseni ya biashara ya nyara atapaswa- (a) kutokufanya biashara yoyote au kuingia kwenye mauziano yanayohusiana na aina yoyote ya nyara kinyume na Kanuni hizi; (b) kuwasilisha kwa Mkurugenzi taarifa ya mwaka ya utekelezaji; (c) kufanya biashara katika jengo au eneo lililoainishwa kwenye leseni au eneo lingine lolote lililoidhinishwa kwa maandishi na Mkurugenzi; (d) kuhifadhi au kutunza nyara ndani ya eneo lililoidhinishwa na Mkurugenzi; (e) kutenga chumba cha biashara kwa ajili ya kufanyia biashara ya nyara ikiwa jengo hilo linatumika kwa biashara nyingine, isipokuwa, sharti hili halihusiani na biashara ya nyamapori; (f) kuweka leseni ya biashara ya nyara kwenye eneo la wazi na linaloonekana ndani ya sehemu ya jengo la biashara; na (g) kuweka na kutunza kitabu cha kumbukumbu sahihi ya mauziano ya nyara kama ilivyoainishwa katika Jedwali la Tano na kukiwasilisha kwa Mkurugenzi kila robo mwaka. (h) endapo nyara iliyotengenezwa, kuwa na cheti cha nyara iliyotengenezwa kama ilivyo katika Jedwali la Kumi na Nne na kufanya malipo ya ada kama yalivyoainishwa katika Jedwali la Kumi na Mbili. anafanya biashara ya Kufuta au kusitisha leseni ya biashara ya Nyara
Part
sehemu ya jengo la biashara; na
- 8 Verify source ↗
Mkurugenzi anaweza kufuta au kusitisha leseni
AI-assisted research summary: Mkurugenzi anaweza kufuta au kusitisha leseni ya biashara ya nyara kabla ya muda wake kuisha, na anaweza pia kuamuru kutaifishwa kwa nyara na kubatilishwa kwa nyaraka zinazohusiana.
8. Mkurugenzi anaweza kufuta au kusitisha leseni ya biashara ya nyara wakati wowote kabla ya tarehe ya mwisho wa matumizi yake, endapo mmiliki wa leseni - 5 Tangazo la Serikali Na.884 (Linaendelea.) Kanuni Za Biashara ya Nyara (a) atatoa taarifa za uongo wakati wa maombi ya leseni ya biashara ya nyara (b) atatiwa hatiani chini ya Sheria; (c) atashindwa kulipa ada stahiki au deni lingine lolote linalohusiana na Leseni ya biashara ya nyara; (d) atahamisha isivyo halali kwa mtu mwingine leseni ya biashara ya nyara aliyopewa; na (e) atashindwa kuzingatia masharti ya leseni kwa mujibu wa Kanuni hizi. (2) Endapo Mkurugenzi atakusudia kufuta au kusitisha leseni ya biashara ya nyara atalazimika kumpa mmiliki wa leseni notisi na kumtaka kutoa sababu ndani ya siku 14, kwanini leseni hiyo isifutwe au kusitishwa (3) Mkurugenzi anaweza, baada ya kuzingatia sababu zilizowasilishwa na mwenye leseni chini ya kanuni ndogo ya (2), kufuta au kusitisha leseni. (4) Endapo leseni yoyote itafutwa kwa mujibu wa kanuni hii Mkurugenzi ataamuru - (a) kutaifishwa kwa nyara; na (b) kubatilisha nyaraka yoyote inayohusiana na nyara. - 9 Verify source ↗
(1) Mmiliki wa leseni ya biashara ya nyara
AI-assisted research summary: Mmiliki wa leseni ya biashara ya nyara anaweza kuomba kwa maandishi kusalimisha leseni kabla haijaisha, na Mkurugenzi ataidhinisha ombi hilo ikiwa masharti yaliyotajwa yametimizwa.
9.-(1) Mmiliki wa leseni ya biashara ya nyara anaweza, wakati wowote kabla ya muda wa leseni kuisha, kuwasilisha ombi la kusalimisha leseni yake kwa maandishi kwa Mkurugenzi. (2) Mkurugenzi, baada ya kuzingatia ombi chini ya kanuni ndogo ya (1), ataidhinisha ombi hilo kwa kuzingatia masharti yafuatayo kama Mmiliki wa leseni: (a) amelipa ada zote anazodaiwa; (b) amekabidhi nyaraka zote zinazoambatana na leseni; (c) amesalimisha nyara zote zinazohusiana na leseni; na (d) amelipa ada ya kusalimisha leseni kama ilivyoanishwa kwenye Jedwali la Kumi na mbili, 6 Kusalimisha leseni ya biashara ya nyara Tangazo la Serikali Na.884 (Linaendelea.) Kanuni Za Biashara ya Nyara SEHEMU YA NNE UINGIZAJI WA NYARA NDANI YA NCHI NA UTOAJI WA NYARA NJE YA NCHI Uingizaji wa nyara ndani ya nchi na utoaji wa nyara nje ya nchi.
Part
SEHEMU YA NNE
- 10 Verify source ↗
(1) Mtu hataruhusiwa kuingiza ndani ya nchi
AI-assisted research summary: A person may not import trophies into the country or export them without a trophy import/export certificate, and imports or exports must use authorized customs stations.
10.-(1) Mtu hataruhusiwa kuingiza ndani ya nchi au kutoa nyara nje ya nchi bila cheti cha kuingiza au kutoa nyara. (2) Bila kuathiri masharti ya kanuni ndogo ya (1), mtu hataingiza ndani ya nchi au kutoa nyara nje ya nchi isipokuwa forodha vituo vilivyoidhinishwa na Mamlaka husika. kupitia kwa vya Cheti cha kutoa nyara nje ya nchi Masharti ya utoaji wa cheti cha kutoa nyara nje ya nchi na kuingiza nyara ndani ya nchi. Kutoa nje ya nchi nyara zilizopatikana kupitia vyanzo vingine tofauti na utalii wa uwindaji. - 11 Verify source ↗
Mtu hataruhusiwa kutoa nje ya nchi nyara
AI-assisted research summary: Mtu haruhusiwi kutoa nje ya nchi nyara ambazo hazijaorodheshwa chini ya CITES, isipokuwa akiwa na cheti kutoka kwa Mkurugenzi na baada ya kulipa ada husika.
11. Mtu hataruhusiwa kutoa nje ya nchi nyara ambayo haijaorodheshwa chini ya CITES isipokuwa kwa cheti cha kutoa nyara nje ya nchi kutoka kwa Mkurugenzi katika fomu iliyoainishwa katika Jedwali la Sita na baada ya kufanya malipo ya ada iliyoainishwa katika Jedwali la Kumi na Mbili. - 12 Verify source ↗
(1) Mkurugenzi kabla ya kutoa cheti cha kutoa
AI-assisted research summary: Before issuing an export or import certificate for nyara, the Director must require the applicant to submit documents showing lawful acquisition. The Director may also issue one certificate for a single shipment of two or more nyara, and an export certificate is valid for 60 days unless a longer period is stated.
12.-(1) Mkurugenzi kabla ya kutoa cheti cha kutoa nyara nje ya nchi au kuingiza ndani ya nchi, atamtaka muombaji kuwasilisha nyaraka zinazoonyesha kwamba alipata nyara husika kihalali. (2) Pale ambapo nyara mbili au zaidi zinakusudiwa kutolewa nje ya nchi au kuingizwa ndani ya nchi kama shehena moja Mkurugenzi anaweza kutoa cheti kimoja cha kuingiza au kutoa nyara nje ya nchi katika shehena hiyo. (3) Cheti cha kutoa nyara nje ya nchi kitakuwa halali kwa muda wa siku sitini kuanzia tarehe ya kutolewa isipokuwa pale ambapo muda mrefu zaidi umebainishwa katika cheti hicho. - 13 Verify source ↗
(1) Nyara
AI-assisted research summary: Trophies obtained from sources other than hunting tourism may not be exported unless the price difference is paid.
13.-(1) Nyara iliyopatikana kupitia vyanzo vingine tofauti na utalii wa uwindaji haitatolewa nje ya nchi isipokuwa baada ya kulipa tofauti ya bei kati ya nyara zilizopatikana kwa vyanzo vingine na bei ya nyara zilizopatikana kwa utalii wa uwindaji. Isipokuwa kwamba, utoaji nje ya nchi wa bidhaa zilizotengenezwa kutokana na sehemu ya nyara zitalipiwa 5% ya tofauti kati ya bei ya nyara zilizopatikana kwa vyanzo vingine tofauti na utalii wa uwindaji. 7 Tangazo la Serikali Na.884 (Linaendelea.) Kanuni Za Biashara ya Nyara Cheti cha kuingiza nyara ndani ya nchi - 14 Verify source ↗
Mtu hataruhusiwa kuingiza ndani ya nchi
AI-assisted research summary: A person may not import a trophy not listed under CITES unless they have the Director’s import certificate in the prescribed form and pay the specified fee.
14. Mtu hataruhusiwa kuingiza ndani ya nchi nyara ambayo haijaorodheshwa chini ya CITES isipokuwa kwa cheti cha kuingiza nyara ndani ya nchi kutoka kwa Mkurugenzi katika fomu iliyoainishwa katika Jedwali la Saba na baada ya kufanya malipo ya ada iliyoainishwa katika Jedwali la Kumi na Mbili Ukaguzi wa nyara Cheti cha afya cha kutoa mnyamapori hai nje ya nchi au kuingiza ndani ya nchi.
Part
Jedwali la Saba na baada ya kufanya malipo ya ada
- 15 Verify source ↗
Mkurugenzi, kabla ya kutoa cheti cha kutoa
AI-assisted research summary: Before issuing a certificate for exporting or importing trophies, the Director must inspect the trophies and complete the trophy inspection form.
15. Mkurugenzi, kabla ya kutoa cheti cha kutoa nyara nje ya nchi au kuingiza nyara ndani ya nchi, atakagua nyara iliyoombewa cheti na kujaza fomu ya ukaguzi wa nyara kama ilivyoainishwa katika Jedwali la Nane - 16 Verify source ↗
(1) Mnyamapori hai hataingizwa ndani ya
AI-assisted research summary: Mnyamapori hawezi kuingizwa au kutolewa nje ya nchi isipokuwa muombaji amewasilisha uthibitisho wa afya na chanjo, pamoja na cheti cha afya.
16.-(1) Mnyamapori hai hataingizwa ndani ya nchi au kutolewa nje ya nchi isipokuwa muombaji: (a) amewasilisha kwamba, mnyamapori huyo ana afya nzuri na amepatiwa chanjo zote stahiki; na uthibitisho (b) amewasilisha cheti cha afya cha mnyamapori huyo. Kituo cha karantini - 17 Verify source ↗
(1) Mtu anayeingiza mnyamapori hai kutoka
AI-assisted research summary: Anayeingiza au kutoa mnyama pori hai lazima amweke karantini akisubiri ukaguzi wa Afisa Mifugo, na mnyama aliyeumwa au anayeshukiwa kuwa mgonjwa aendelee kubaki karantini hadi cheti cha afya kitolewe.
17.-(1) Mtu anayeingiza mnyamapori hai kutoka nje ya nchi au kutoa mnyamapori hai nje ya nchi atamuweka mnyamapori huyo kwenye kituo cha karantini akisubiri ukaguzi wa afya wa Afisa mifugo. (2) Mnyamapori au anayeshukiwa kuambukizwa ugonjwa atawekwa kwenye kituo cha karantini hadi Afisa mifugo atakapotoa cheti cha afya kwa mnyamapori huyo. aliyeambukizwa (3) Pale ambapo mnyamapori aliyeambukizwa na hawezi kutibiwa au kupona ndani ya miezi mitatu ataondoshwa kwa mujibu wa Sheria ya Baraza la Mifugo au kama Mkurugenzi atakavyoelekeza; na (4) Mnyamapori hatowekwa katika kituo cha karantini kwa muda usiozidi miezi mitatu bila kibali cha maandishi cha Mkurugenzi. Nyara iliyo safarini - 18 Verify source ↗
Endapo nyara itasafirishwa kupitia Tanzania
AI-assisted research summary: Nyara inayosafirishwa kupitia Tanzania Bara lazima iwasilishwe kwenye kituo cha forodha kwa ukaguzi kabla ya kuendelea na safari.
18. Endapo nyara itasafirishwa kupitia Tanzania Bara itawasilishwa katika kituo cha forodha husika kwa ajili ya ukaguzi na kutoa idhini ya kuendelea na safari. 8 Tangazo la Serikali Na.884 (Linaendelea.) Kanuni Za Biashara ya Nyara (2) Bila kuathiri masharti ya kanuni ndogo ya (1), kabla ya kutoa idhini ya kuendelea na safari, Mkurugenzi atajiridhisha endapo nyara hiyo ilipatikana kihalali. (3) Endapo nyara inayosafirishwa ni mnyamapori hai na atashukiwa kuwa na ugonjwa wakati wa ukaguzi kwa kushirikiana na Mamlaka husika, itaelekezwa mmiliki kumuweka mnyamapori huyo katika kituo cha karantini kwa gharama zake mpaka atakapo ruhusiwa kuendelea na safari au kurejeshwa katika nchi alipotoka. SEHEMU YA TANO UPATIKANAJI WA NYARA KWA AJILI YA ELIMU, BURUDANI NA UTAMADUNI Maombi ya leseni ya biasharai ya nyara kwa madhumuni ya elimu, burudani na utamaduni
Part
SEHEMU YA TANO
- 19 Verify source ↗
(1) Mtu anayekusudia kupata nyara kwa
AI-assisted research summary: A person seeking to obtain nyara for education, entertainment, or cultural purposes must apply for a business licence from the Authority, using the specified form and paying the prescribed application fee.
19.-(1) Mtu anayekusudia kupata nyara kwa madhumuni ya elimu, burudani na utamaduni ataomba leseni ya biashara ya Nyara kwa Mamlaka kwa kujaza fomu iliyoainishwa katika Jedwali la Tisa na kulipa ada ya maombi kama ilivyoainishwa katika Jedwali la Kumi na Mbili. (2) Mkurugenzi baada ya kupokea maombi yaliyowasilishwa chini ya kanuni ndogo ya (1), atachambua maombi hayo na anaweza kutoa leseni ikiwa tu muombaji: (a) ni raia wa Tanzania; (b) amesajiliwa na kupewa leseni na Mamlaka husika (c) amewasilisha barua ya mapendekezo kutoka kwa Afisa Mtendaji wa Kijiji au Kata wa eneo analofanyia shughuli zake; na (d) hajatiwa hatiani chini ya Sheria. Maombi ya Nyara kwa ajili ya shughuli za elimu, burudani na utamaduni - 20 Verify source ↗
Mmiliki wa leseni ya biashara ya Nyara chini
AI-assisted research summary: Mmiliki wa leseni ya biashara ya Nyara lazima awasilishe maombi kwa Mamlaka kwa kutumia fomu ya Jedwali la Tisa na kulipa ada ya maombi ya Jedwali la Kumi na Mbili.
20. Mmiliki wa leseni ya biashara ya Nyara chini ya kanuni ndogo ya (1), atawasilisha maombi ya nyara kwa Mamlaka kwa kujaza fomu iliyoainishwa katika Jedwali la Tisa na kulipa ada ya maombi kama ilivyoainishwa katika Jedwali la Kumi na Mbili. Usajili wa nyara kwa madhumuni ya elimu, burudani na utamaduni
Part
Jedwali la Tisa na kulipa ada ya maombi kama
- 21 Verify source ↗
(1) Mkurugenzi
AI-assisted research summary: Mkurugenzi lazima asajili nyara fulani, na anaweza kutoa cheti cha umiliki wa nyara baada ya masharti maalum kutimizwa.
21.-(1) Mkurugenzi zote zilizopatikana kwa madhumuni ya elimu, burudani na utamaduni. atasajili nyara 9 Tangazo la Serikali Na.884 (Linaendelea.) Kanuni Za Biashara ya Nyara Orodha ya Wanyamapori wa mapambo Upatikanaji wa nyara kwa wachakata Nyara na wamilki wa maduka yanayouza Nyara zilizotengenezwa Kuanzishwa kwa vituo vya kuuzia nyara (2) Katika kusajili nyara chini ya kanuni ndogo ya (1), Mkurugenzi atazingatia yafuatayo: (a) mtu huyo anamiliki leseni halali ya biashara ya Nyara; (b) nyara hiyo ilipatikana kihalali; na (c) mtu huyo amelipa ada husika zilizoanishwa chini ya Jedwali la Kumi na Mbili (3) Mkurugenzi anaweza, baada ya kujiridhisha na masharti chini ya kanuni ndogo ya (2), kutoa cheti cha umiliki wa nyara kama ilivyoainishwa katika Jedwali la Kumi na Tatu. - 22 Verify source ↗
Kwa muktadha wa Kanuni hii mnyamapori wa
AI-assisted research summary: For these Regulations, ornamental wildlife means the wildlife listed in Schedule Ten.
22. Kwa muktadha wa Kanuni hii mnyamapori wa mapambo ni wale waliyoainishwa katika Jedwali la Kumi - 23 Verify source ↗
(1) Wachakata Nyara na wamiliki wa
AI-assisted research summary: Wachakata Nyara na wamiliki wa maduka yanayouza Nyara wanaweza kupata nyara kutoka katika vituo vilivyoanzishwa chini ya kanuni ya 24 ikiwa wana leseni ya biashara ya Nyara na wamelipa ada zinazotajwa kwenye Jedwali la Kumi na Moja.
23.-(1) Wachakata Nyara na wamiliki wa maduka yanayouza Nyara wanaweza kupata nyara kutoka katika vituo vya kuuza nyara vilivyoanzishwa chini ya kanuni ya 24 ikiwa: (a) ana leseni ya biashara ya Nyara; na (b) amelipa ada zilizoainishwa chini ya Jedwali la Kumi na Moja la Kanuni hizi. - 24 Verify source ↗
(1) Mkurugenzi ataanzisha vituo vya kuuzia
AI-assisted research summary: Mkurugenzi lazima aanzishe vituo vya kuuzia nyara katika maeneo anayoyaona yanafaa, na watu wanaotaka kupata nyara kwa madhumuni yaliyoelezwa wanaweza kununua kutoka vituo vya Mamlaka. Bei ya nyara itaamuliwa na Jedwali la Kumi na Moja.
24.-(1) Mkurugenzi ataanzisha vituo vya kuuzia nyara katika maeneo anayoona yanafaa kwa madhumuni ya Kanuni hizi. (2) Mtu anayekusudia kupata nyara kwa madhumuni ya elimu, burudani, utamaduni, kuchakata nyara, kuuza nyara au bidhaa zinazotengenezwa na nyara anaweza kununua kutoka katika vituo vilivyoanzishwa na Mamlaka. zilizotengezwa (3) Bila kujali masharti ya kanuni ndogo ya (1) iliyotengezwa katika Mtu anaweza kununua nyara maduka ya nyara yaliyoanzishwa na Mamlaka. (4) Bei ya nyara chini ya kanuni hii itakuwa kama ilivyoainishwa katika Jedwali la Kumi na Moja. Uhamisho wa umiliki wa nyara - 25 Verify source ↗
Mtu hatahamisha umiliki wa nyara isipokuwa
AI-assisted research summary: Mtu hawezi kuhamisha umiliki wa nyara bila kibali cha maandishi kutoka kwa Mkurugenzi na kulipa ada iliyowekwa kwenye Jedwali la Kumi na Mbili.
25. Mtu hatahamisha umiliki wa nyara isipokuwa amepata kibali cha maandishi kutoka kwa Mkurugenzi na kulipa ada kama ilivyoainishwa chini ya Jedwali la Kumi na Mbili. 10 Tangazo la Serikali Na.884 (Linaendelea.) Kanuni Za Biashara ya Nyara SEHEMU YA SITA MASHARTI MENGINEYO Upatikaji wa Nyara kwa mtu ambaye siyo raia wa Tanzania Makosa na Adhabu Rufaa 26(1). Mtu ambaye siyo raia wa Tanzania anayekusudia kupata nyara atanunua kwa mfanyabiashara mwenye leseni ya biashara ya Nyara (2) Mtu aliyepata nyara chini ya kanuni ndogo ya (1) na anakusudia kusafirisha nyara hizo nje ya nchi atapaswa kuzingatia masharti ya Kanuni ya 12. (3) Bila kuathiri kanuni ndogo ya (1) mtu aliyenunua nyara kutokana na vyanzo vingine ambavyo sio uwindaji wa kitalii atalazimika kuzingatia masharti ya kanuni ndogo ya 13(1).
Part
SEHEMU YA SITA
- 27 Verify source ↗
Mtu anayekiuka masharti ya Kanuni hizi
AI-assisted research summary: A person who violates these Regulations commits an offence and, if convicted, faces a fine of at least one million, imprisonment of at least six months, or both.
27. Mtu anayekiuka masharti ya Kanuni hizi anatenda kosa na akitiwa hatiani, ataadhibiwa kwa kulipa faini isiyopungua milioni moja au kifungo kisichopungua miezi sita ama vyote kwa pamoja. - 28 Verify source ↗
(1) Mtu ambaye hajaridhika na uamuzi wa
AI-assisted research summary: A person dissatisfied with the Director’s decision may appeal to the Minister within 30 days, and the appeal must be in writing with reasons.
28.-(1) Mtu ambaye hajaridhika na uamuzi wa Mkurugenzi anaweza kukata rufaa kwa Waziri ndani ya siku thelathini tangu tarehe ya uamuzi huo. (2) Rufaa inayorejewa chini ya kanuni ndogo ya (1) itakuwa kwa njia ya maandishi ikieleza sababu za rufaa hiyo. (3) Waziri, ndani ya siku thelathini baada ya kupokea rufaa, atatoa uamuzi na kumtaarifu mrufani juu ya uamuzi uliotolewa. Kufutwa na mpito G.N. Na. 230 ya mwaka 2010 - 29 Verify source ↗
(1) Kanuni za biashara ya Nyara za Mwaka
AI-assisted research summary: The 2010 game trade regulations are repealed, but licenses, permits, certificates, or authorizations issued under the repealed regulations continue to be treated as issued under these regulations until they expire.
29.-(1) Kanuni za biashara ya Nyara za Mwaka 2010 zimefutwa. (2) Bila kujali masharti ya kanuni ndogo ya (1), leseni, kibali, cheti au ruhusa yoyote iliyotolewa chini ya Kanuni zilizofutwa itachukuliwa kuwa imetolewa chini ya Kanuni hizi mpaka itakapoisha muda wake. 11 Tangazo la Serikali Na.884 (Linaendelea.) Kanuni Za Biashara ya Nyara _______________ JEDWALI LA KWANZA _______________ (Limetengenezwa chini ya kanuni 3(1)) MAOMBI YA LESENI YA BIASHARA YA NYARA FW. Na. ……… BANDIKA PICHA HAPA
Part
JEDWALI LA KWANZA
- 1 Verify source ↗
Jina kamili la muombaji/Kampuni………………………………………………..……………
AI-assisted research summary: Sehemu hii inaomba jina kamili la muombaji au kampuni.
1. Jina kamili la muombaji/Kampuni………………………………………………..…………… - 6 Verify source ↗
Anuani ya biashara
AI-assisted research summary: The provision lists the business contact details and address information to be provided: business name, mobile phone, email, plot number, street/area, city/place, postal code, and fax.
6. Anuani ya biashara (i) S.LP…………………………...(ii) Simu ya mkononi……….……………….. (iii) Barua pepe ……………..…… (iv) Namba ya kiwanja..……..……………… (v) Mtaa/Eneo………………… ……(vi) Mji/Mahali ….………………………….. (vii) Msimbo wa posta……………… (viii) Nukushi………………………. - 7 Verify source ↗
Daraja la leseni ya biashara ya Nyara linaloombwa…………..………………………………
AI-assisted research summary: This section concerns the class of business licence for Nyara being applied for.
7. Daraja la leseni ya biashara ya Nyara linaloombwa…………..……………………………… - 8 Verify source ↗
Ukubwa wa (i) Kiwanda (m²)……………………………..… (ii) Chumba cha maonesho ya
AI-assisted research summary: This section lists size fields to be filled in for a factory, a trophy and by-products showroom, temporary wildlife holding area, wildlife health monitoring centre, and wildlife breeding area.
8. Ukubwa wa (i) Kiwanda (m²)……………………………..… (ii) Chumba cha maonesho ya nyara na bidhaa zinazotokana na nyara (m²)……………….……………………………………… (iii) Eneo la kutunzia wanyamapori kwa muda (hekta) …………………….(iv) Kituo cha kutunzia wanyamapori kwa ajili ya uangalizi wa afya (hekta) …………… (v) Eneo la kufugia wanyamapori (hekta)……………………………………………… - 9 Verify source ↗
Idadi ya viwanda ……../chumba cha maonesho ya nyara na bidhaa zinazotokana na
AI-assisted research summary: This section lists the types of premises or facilities covered: industries, trophy display rooms, stores, warehouses, temporary wildlife holding areas, wildlife health-care holding centres, wildlife breeding areas, and any branches if present.
9. Idadi ya viwanda ……../chumba cha maonesho ya nyara na bidhaa zinazotokana na nyara……./stoo……../ Ghala……./ Eneo la kutunzia wanyamapori kwa muda……/ Kituo cha kutunzia wanyamapori kwa ajili ya uangalizi wa afya….…/ Eneo la kufugia wanyamapori…… / matawi (ikiwa yapo) - 10 Verify source ↗
Ikiwa ni kiwanda au duka kuu elezea kwa kina kuhusu matawi yake …………………………
AI-assisted research summary: If the business is a factory or a major store, it must explain its branches in detail.
10. Ikiwa ni kiwanda au duka kuu elezea kwa kina kuhusu matawi yake ………………………… …………………………………………………………………………………………………….. - 11 Verify source ↗
Chanzo cha nyara ……………………………….……………………………………………
AI-assisted research summary: Section heading: “Chanzo cha nyara” (source of booty).
11. Chanzo cha nyara ……………………………….…………………………………………….. ……………………………………………………………………………………………………. - 12 Verify source ↗
Aina nyingine ya biashara inayofanyika katika kiwanda /duka ………………………………
AI-assisted research summary: Kichwa hiki kinataja aina nyingine ya biashara inayofanyika katika kiwanda au duka.
12. Aina nyingine ya biashara inayofanyika katika kiwanda /duka ………………………………. ……………………………………………………………………………………………………. - 13 Verify source ↗
Kiwango cha mtaji utakaowekezwa kama ilivyoainishwa katika andiko la biashara………
AI-assisted research summary: This section refers to the amount of capital to be invested as specified in the business plan.
13. Kiwango cha mtaji utakaowekezwa kama ilivyoainishwa katika andiko la biashara……… 12 Tangazo la Serikali Na.884 (Linaendelea.) Kanuni Za Biashara ya Nyara - 14 Verify source ↗
Je, umeshawahi kunyimwa leseni ya biashara ya Nyara nchini Tanzania, au nchi
AI-assisted research summary: This text asks whether the person has ever been denied a Nyara business license in Tanzania or another country, and if so, to explain the reasons.
14. Je, umeshawahi kunyimwa leseni ya biashara ya Nyara nchini Tanzania, au nchi nyingine?....................................................ikiwa ndiyo, eleza sababu………………………….……………………………………………………………… ………………………………………………………………………………………………… ………………………………………………………………………………………………… - 15 Verify source ↗
Je, umeshawahi kufutiwa leseni uliyopatiwa chini ya Sheria ya sasa au Sheria iliyofutwa ya
AI-assisted research summary: Asks whether the person has ever had a licence cancelled under the current law, the repealed Tanzanian wildlife conservation law, or another country’s wildlife law.
15. Je, umeshawahi kufutiwa leseni uliyopatiwa chini ya Sheria ya sasa au Sheria iliyofutwa ya Uhifadhi wa Wanyamapori ya Tanzania au Sheria ya Wanyamapori ya nchi nyingine?................. Ikiwa ndiyo, Eleza sababu………………………………………………………………………….. ………………………………………………………………………………………………… - 16 Verify source ↗
Je, umeshawahi kutiwa hatiani kwa kosa kinyume na Sheria ya sasa au Sheria iliyofutwa ya
AI-assisted research summary: Fomu hii inauliza kama mwombaji amewahi kutiwa hatiani kwa kosa dhidi ya Sheria ya sasa au iliyofutwa ya Uhifadhi wa Wanyamapori ya Tanzania au sheria ya wanyamapori ya nchi nyingine, na inaonyesha ada za madaraja ya leseni za biashara ya nyara.
16. Je, umeshawahi kutiwa hatiani kwa kosa kinyume na Sheria ya sasa au Sheria iliyofutwa ya Uhifadhi wa Wanyamapori ya Tanzania au Sheria ya Wanyamapori ya nchi nyingine?.............. Ikiwa ndiyo, Eleza aina ya kosa/makosa…………………………………………………………… …………………………………………………………………………………………………… TAMKO Mimi …………………………………………………………. ninathibitisha kuwa taarifa nilizozitoa hapo juu ni sahihi na nimezitoa nikiwa na akili timamu na ninafahamu matakwa ya Sheria ya Uhifadhi wa Wanyamapori, Sura 283. ……………………………………. …………………………………… Saini ya mwombaji Tarehe KWA MATUMIZI YA OFISI TU MAPENDEKEZO: 1) Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya …………………………………………………………………… …………………………………………………………………… …………………………………………………………………… …………………………………………………………………… …………………………………………………………………… …………………………………………………………………… …………………………………… ………………………… Saini na muhuri Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya Tarehe MAAMUZI YA MKURUGENZI Maombi haya; 1) Yamekubaliwa ……………………………………..…………. 2) Yamekataliwa………………………………………………….. …………………………………….. …….. …………………………………….. Saini ya Mkurugenzi Tarehe 13 Tangazo la Serikali Na.884 (Linaendelea.) Kanuni Za Biashara ya Nyara ______________ JEDWALI LA PILI ________________ (Limetengenezwa chini ya kanuni ya 4(1)) ADA YA MADARAJA YA LESENI YA BIASHARA YA NYARA Daraja la leseni Maelezo 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16 17 18 19 20 21 22 23 24 25 26 Kushughulika na Biashara ya meno mazima ya kiboko au meno ya ngiri au vipande ambavyo havijachakatwa zaidi ya kuandaliwa kwa ajili ya kuhifadhiwa. Kushughulika na Biashara ya ngozi nzima za wanyamapori au vipande vya ngozi ambazo hazijachakatwa zaidi ya kuandaliwa kwa ajili ya kuhifadhiwa. Kung’arisha, kuchonga, kutengeneza au kuchakata kibiashara meno ya kiboko au meno ya ngiri na kuuza meno hayo au bidhaa inayotokana na meno hayo. Kukata, kutengeneza au kuchakata kibiashara ngozi zilizotengenezwa za chui, simba, mondo, au ngozi za paka wengine na kushughulika na bidhaa zinazotokana na ngozi hizo. Kukata, kutengeneza au kuchakata kibiashara ngozi zilizotengenezwa za wanyamapori na kushughulika na bidhaa zinazotokana na ngozi hizo. Biashara ya nyara zilizotengenezwa. Kusindika, kuweka kemikali za kuondoa manyoya ngozi za wanyamapori. Kuchakata kibiashara au kushughulika na mifupa ya wanyamapori, pembe au miguu na bidhaa zinazotokana na nyara hizo. Kuchakata kibiashara au kushughulika na mikia ya wanyamapori isipokuwa mikia ya tembo na faru na bidhaa zinazotokana na mikia hiyo. Huduma ya ugomboaji na uondoshaji wa nyara. Kushughulika na biashara ya ndege hai au waliokaushwa. Kushughulika na biashara ya wanyamapori hai jamii ya nyani. Kushughulika na biashara ya mamalia hai isipokuwa wanyamapori jamii ya nyani. Kushughulika na biashara ya wanyamapori hai jamii ya mijusi au waliokaushwa. Kushughulika na biashara ya wanyamapori hai wengine au waliokaushwa. Bustani ya wanyamapori. Shamba la ufugaji wa wanyamapori. Ranchi ya wanyamapori iliyo wazi. Ranchi ya wanyamapori yenye uzio. Kituo cha uangalizi wa afya ya wanyamapori. Eneo la kutunzia wanyamapori kwa muda maalum. Eneo la kufugia wanyamapori walio hatarini kutoweka. Eneo la kuzalisha wanyamapori. Eneo la matumizi mseto. Kituo cha kuuza nyamapori. Kushughulika na wanyamapori hai au Nyara nyingine kwa ajili ya shughuli za elimu, burudani na utamaduni 14 Ada (Tshs) 450,000 300,000 300,000 450,000 300,000 300,000 600,000 300,000 300,000 600,000 450,000 450,000 600,000 450,000 450,000 600,000 900,000 900,000 1,200,000 600,000 300,000 900,000 900,000 900,000 900,000 300,000 Tangazo la Serikali Na.884 (Linaendelea.) Kanuni Za Biashara ya Nyara Daraja la leseni 27 28 29 Maelezo Biashara ya Nyara kwa ajili shughuli ya kiongozi wa mila Kituo cha kulelea wanyamapori yatima. Kushughulika na biashara nyingine ya nyara zaidi ya zilizoainishwa katika daraja la (1) hadi daraja la (28) hapo juu kama itakavyoainishwa katika leseni. Ada (Tshs) 90,000 300,000 300,000 15 Tangazo la Serikali Na.884 (Linaendelea.) Kanuni Za Biashara ya Nyara _____________ JEDWALI LA TATU _______________ (Limetengenezwa chini ya kanuni ya 4(2)) LESENI YA BIASHARA YA NYARA HALISI (HAIHAMISHIKI) FW. Na…… Namba ya Leseni………………………………………………………………………….. Mahali ilipotolewa ………………………………………………………………………… Tarehe ya kutolewa …………………………………………………………………….......... Tarehe ya Mwisho ya Matumizi …………………………………………………………… Jina kamili la mfanyabiashara ……………………………………………………………… Anuani ya biashara: S.L.P ……………………………… Simu ya mezani……….……………….. Baruapepe ………………..………...Namba ya kiwanja… …………..…… Mtaa/Eneo ………………… .Mji/Eneo ….……………Nukushi……...……. Daraja la leseni na maelezo ya biashara……………………………………………………… ……………………………………………………………………………………………….. ……………………………………………………………………………………………….. ……………………………………………………………………………………………….. Ada iliyolipwa kwa maneno …………………………………………………………............ (Tsh:………………………………………………………………………………………) ……………………………………… ……………………………………………….. Saini ya mwenye leseni Saini ya afisa mtoa leseni na muhuri wa ofisi Terehe: ……………………………… Tarehe: …………………………………… 16 Tangazo la Serikali Na.884 (Linaendelea.) Kanuni Za Biashara ya Nyara ____________ JEDWALI LA NNE _____________ (Limetengenezwa chini ya kanuni 5(2) FW.Na……… FOMU YA MAOMBI YA KUHUISHA LESENI YA BIASHARA YA NYARA BANDIKA PICHA HAPA
Part
JEDWALI LA NNE
- 1 Verify source ↗
Jina kamili la muombaji/kampuni
AI-assisted research summary: A form field asks for the applicant/company’s full name.
1. Jina kamili la muombaji/kampuni …………………………………………………..…………… - 6 Verify source ↗
Anuani ya biashara
AI-assisted research summary: This section lists the business address details to be provided.
6. Anuani ya biashara (i) S.L.P ……………………………...(ii) Telephone(s)………….…………… (iii) Barua pepe …………………….…(iv) Namba ya kiwanja. …………..…… (v) Mtaa/Eneo………………………. ..(vi) Mji/Mahali……. ….………………… - 7 Verify source ↗
Daraja la leseni ya biashara ya nyara inayohuishwa……………………..……………………
AI-assisted research summary: Kichwa cha kifungu kinaonyesha daraja la leseni ya biashara ya nyara inayohuishwa.
7. Daraja la leseni ya biashara ya nyara inayohuishwa……………………..…………………… - 8 Verify source ↗
Namba ya leseni ya awali…………………………..mahali
AI-assisted research summary: This provision lists form fields for a prior license number, place of issue, date of issue, and expiry date.
8. Namba ya leseni ya awali…………………………..mahali ilipotolewa…………….………Tarehe ya kutolewa ……………………………..…………tarehe ya mwisho ya matumizi……………… - 9 Verify source ↗
Aina nyingine ya biashara inayofanyika katika
AI-assisted research summary: This provision is a heading about another type of business carried on in a factory or shop.
9. Aina nyingine ya biashara inayofanyika katika kiwanda/duka…………………………………… …………………………………………………………………………………………………… …………………………………………………………………………………………………… - 10 Verify source ↗
Je, umeshawahi kupatiwa leseni ya biashara ya Nyara chini ya Sheria ya sasa au Sheria
AI-assisted research summary: The text asks whether the person has ever been given a Nyara business licence under the current law, the repealed Tanzania wildlife conservation law, or another country’s wildlife law that was suspended or repealed.
10. Je, umeshawahi kupatiwa leseni ya biashara ya Nyara chini ya Sheria ya sasa au Sheria iliyofutwa ya Uhifadhi wa Wanyamapori ya Tanzania au Sheria ya Wanyamapori ya nchi nyingine ambayo ilisitishwa au kufutwa?.......................................... Ikiwa ndiyo, toa sababu………………………………………………………………………………………… ………………………………………………………………………………………………… ………………………………………………………………………………………………… ………………………………………………………………………………………………… - 11 Verify source ↗
Je, umeshawahi kutiwa hatiani kwa kosa kinyume na Sheria ya sasa au Sheria iliyofutwa ya
AI-assisted research summary: The form asks whether the applicant has ever been convicted of an offence against the current or former Tanzania Wildlife Conservation law or another country’s wildlife law, and asks for the type of offence if yes.
11. Je, umeshawahi kutiwa hatiani kwa kosa kinyume na Sheria ya sasa au Sheria iliyofutwa ya Uhifadhi wa Wanyamapori ya Tanzania au Sheria ya Wanyamapori ya nchi nyingine?………………………………Ikiwa ndiyo, Eleza aina ya kosa/makosa……………… …………………………………………………………………………………………………… …………………………………………………………………………………………………… …………………………………………………………………………………………………… TAMKO Mimi …………………………………………………………. ninathibitisha kuwa taarifa nilizozitoa hapo juu ni sahihi na nimezitoa nikiwa na akili timamu na ninafahamu matakwa ya Sheria ya Uhifadhi wa Wanyamapori, Sura 283. …………………………………………….. ………………………………………………… Saini ya mwombaji Tarehe KWA MATUMIZI YA OFISI TU MAPENDEKEZO: 1) Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya 17 Tangazo la Serikali Na.884 (Linaendelea.) Kanuni Za Biashara ya Nyara …………………………………………………………………… …………………………………………………………………… …………………………………………………………………… …………………………………………………………………… …………………………………………………………………… …………………………………………………………………… …………………………………………………… ………………………………. …………………………… Saini na muhuri wa Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya wilaya Tarehe MAAMUZI YA MKURUGENZI Maombi haya: Yamekubaliwa ………………………………………………………. Yamekataliwa ………………………………………………………….. ………………………………… …………………………………….. Saini ya Mkurugenzi Tarehe 18 Tangazo la Serikali Na.884 (Linaendelea.) Kanuni Za Biashara ya Nyara ______________ JEDWALI LA TANO _________________ (Limetengenezwa chini ya kanuni 7(1)(g) FW.Na………. FOMU YA USAJILI WA NYARA KWA WABIASHARA YA NYARA Aina ya nyara au bidhaa iliyotengenezwa………………………………………………………………. Imetoka wa……………………………………………………………………………………. Namba ukurasa……………………………………………………………………………………… Na Jina la Idadi ukurasa ya Maoni mnyama Tareh e Aina ya Nyara Mahali nyara ilipopatik ana Namb a ya kibali Namba ya Cheti ya kumiliki nyara zilizoteng enezwa Namba ya Cheti ya kumili ki nyara Zilizo uzwa Zilizo salia zilizo pokel ewa Jina la mkaguzi…………………………… Saini …………………………..Tarehe………………… 19 Tangazo la Serikali Na.884 (Linaendelea.) Kanuni Za Biashara ya Nyara ___________ JEDWALI LA SITA ____________ (Limetengenezwa chini ya kanuni (11)) FW.Na. ……… JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA CHETI CHA UTOAJI NYARA /KURUDIA KUTOA NYARA NJE YA NCHI HALISI (HAIHAMISHIKI) Na……………. Imetolewa kwa ………………………… wa (anuani) ………………………………… …………………………………………… … Hii ni idhini ya utoaji/kurudia utoaji Nyara zilizoainishwa hapa chini kwenda kwa……………………………………… …………………………………………… ……….…………………………………… ………….. (Jina na anuani) Tarehe ya kutolewa……………………………… Tarehe ya mwisho ya matumizi………………… Kwa madhumuni ya: ……….................................... …………………………………………………… …………………………………………………… …………………………………………………… …………………………………………………… Na. Aina ya Nyara Idadi Uzito (Kg) Daraja Alama ya Usajili Cheti au Idhini nyingine Aina Nam ba Maha li Ta reh e Kny:Mkurugenzi ………………………………………………….. Angalizo
Part
JEDWALI LA SITA
- 1 Verify source ↗
Uhalali wa matumizi ya Cheti hiki hautazidi siku 60 tangu tarehe ya kutolewa
AI-assisted research summary: The certificate may be used for no more than 60 days from the date it is issued.
1. Uhalali wa matumizi ya Cheti hiki hautazidi siku 60 tangu tarehe ya kutolewa. - 2 Verify source ↗
Cheti hiki lazima kiambatane na Nyara zilizoainishwa hapo juu kwa muda wote mpaka
AI-assisted research summary: This certificate must be attached to the specified trophies above for the stated period.
2. Cheti hiki lazima kiambatane na Nyara zilizoainishwa hapo juu kwa muda wote mpaka - 3 Verify source ↗
Section 3
AI-assisted research summary: Kibali cha kupeleka nyara nje ya nchi lazima kitolewe na Mkurugenzi wakati nyara hizo zinapotakiwa kutolewa nje ya nchi na zinalindwa na mkataba wa kimataifa uliotajwa.
3. nyara zitakapomfikia mmiliki. Ikiwa Nyara zinapotakiwa kutolewa nje ya nchi zinalindwa na Mkataba wa Kimataifa wa Kudhibiti Biashara ya Wanyamapori na Mimea iliyo Hatarini Kutoweka kibali cha utoaji Nyara nje ya nchi lazima kitolewe na Mkurugenzi 20 Tangazo la Serikali Na.884 (Linaendelea.) Kanuni Za Biashara ya Nyara ___________ JEDWALI LA SABA ____________ (Limetengenezwa chini ya kanuni ya 14) FW. Na………. JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA CHETI CHA KUINGIZA NYARA NCHINI HALISI (HAIHAMISHIKI) Na…………………. Imetolewa kwa ……………………………… Tarehe ya kutolewa………………………… wa (anuani)……………………………………. Tarehe ya mwisho kutumika……………… Hii ni idhini ya kuingiza Nyara zilizoorodheshwa hapa chini ………………………………………………… ………………………………………………… (jina na anuani) Kwa madhumuni ya: …………………………………………… ……………………………………………… ……………………………………………… ……………………………………………… ……………………………………………… Na Aina ya nyara Idadi Uzito (kg) Daraja Alama ya usajili au idhini nyingine Aina Namba Mahali Tarehe Saini ya msafirishaji Tarehe na muhuri wa afisa muidhinishaji Mkurugenzi ………………………… ………………. …………/…………./………. ………………………………… ……………….. Angalizo
Part
JEDWALI LA SABA
- 1 Verify source ↗
Uhalali wa matumizi ya cheti hiki hautazidi mwaka mmoja tangu tarehe ya kutolewa
AI-assisted research summary: This certificate may be used for no more than one year from the date it is issued.
1. Uhalali wa matumizi ya cheti hiki hautazidi mwaka mmoja tangu tarehe ya kutolewa. - 2 Verify source ↗
Cheti hiki lazima kiambatishwe na Nyara zilizoainishwa hapo juu kwa muda wote
AI-assisted research summary: This document must always be attached with the seals specified above.
2. Cheti hiki lazima kiambatishwe na Nyara zilizoainishwa hapo juu kwa muda wote - 3 Verify source ↗
Section 3
AI-assisted research summary: Ikiwa nyara za kuingiza nchini zinalindwa na mkataba wa kimataifa husika, kibali cha kuziingiza lazima kitolewe na Mkurugenzi.
3. mpaka Nyara zitakapomfikia mwingizaji/mmiliki. Ikiwa Nyara zinapotakiwa kuingizwa nchini zinalindwa na Mkataba wa Kimataifa wa Kudhibiti Biashara ya Wanyamapori na Mimea iliyo Hatarini Kutoweka kibali cha kuingiza nyara nchini lazima kitolewe na Mkurugenzi 21 Tangazo la Serikali Na.884 (Linaendelea.) Kanuni Za Biashara ya Nyara ______________ JEDWALI LA SABA _________________ (Limetengenezwa chini ya kanuni ya 14) FW. Na………. JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA CHETI CHA KUINGIZA NYARA NCHINI HALISI (HAIHAMISHIKI) Na…………………. Imetolewa kwa ……………………………… Tarehe ya kutolewa………………………… wa (anuani)………………………………………. Hii ni idhini ya kuingiza Nyara zilizoorodheshwa hapa chini ………………………………………………… ………………………………………………… (jina na anuani) Tarehe ya mwisho kutumika……………… Kwa madhumuni ya: …………………………………………… ……………………………………………… ……………………………………………… ……………………………………………… ……………………………………………… Na Aina ya nyara Idadi Uzito (kg) Daraja Alama ya usajili au idhini nyingine Aina Namba Mahali Tarehe Saini ya msafirishaji Tarehe na muhuri wa afisa muidhinishaji Mkurugenzi ……………………………… …………. …………/…………./ ……….. …………………………………… …………….. Angalizo - 4 Verify source ↗
Uhalali wa matumizi ya cheti hiki hautazidi mwaka mmoja tangu tarehe ya kutolewa
AI-assisted research summary: Use of this certificate cannot exceed one year from the date it was issued.
4. Uhalali wa matumizi ya cheti hiki hautazidi mwaka mmoja tangu tarehe ya kutolewa. - 5 Verify source ↗
Cheti hiki lazima kiambatishwe na Nyara zilizoainishwa hapo juu kwa muda wote
AI-assisted research summary: Cheti hiki lazima kiambatishwe na nyara zilizoainishwa hapo juu wakati wote.
5. Cheti hiki lazima kiambatishwe na Nyara zilizoainishwa hapo juu kwa muda wote - 6 Verify source ↗
Section 6
AI-assisted research summary: Ukibali cha kuingiza nyara nchini vinavyolindwa na mkataba wa kimataifa lazima kitolewe na Mkurugenzi.
6. mpaka Nyara zitakapomfikia mwingizaji/mmiliki. Ikiwa Nyara zinapotakiwa kuingizwa nchini zinalindwa na Mkataba wa Kimataifa wa Kudhibiti Biashara ya Wanyamapori na Mimea iliyo Hatarini Kutoweka kibali cha kuingiza nyara nchini lazima kitolewe na Mkurugenzi 22 Tangazo la Serikali Na.884 (Linaendelea.) Kanuni Za Biashara ya Nyara ________________ JEDWALI LA NANE __________________ (Imetengenezwa chini ya kanuni ya 15) WF.Na………… FOMU YA UKAGUZI WA NYARA
Part
JEDWALI LA NANE
- 1 Verify source ↗
Jina la
AI-assisted research summary: This section is for the applicant’s name.
1. Jina la muombaji..………………………………………………………………….………………. - 2 Verify source ↗
Namba ya kibali cha uwindaji……………………Tarehe ya
AI-assisted research summary: Hii ni taarifa ya fomu inayotaja namba ya kibali cha uwindaji na tarehe ya kutolewa.
2. Namba ya kibali cha uwindaji……………………Tarehe ya kutolewa...……………………..…… - 3 Verify source ↗
Namba ya ya kusafirisha nyara nje ya nchi /Namba ya ya kumiliki nyara /Namba ya Kibali
AI-assisted research summary: Section title about export, ownership, and permit numbers for trophies.
3. Namba ya ya kusafirisha nyara nje ya nchi /Namba ya ya kumiliki nyara /Namba ya Kibali - 4 Verify source ↗
Section 4
AI-assisted research summary: This section is a form for recording CITES-related details such as guest name, trophy type, quantity, remarks, place of issue, and date.
4. cha CITES………………………………..Tarehe ya kutolewa …………………………… Imetolewa (kituo) ………………………………………Tarehe…………....................................... Jina la Mgeni Aina ya Nyara Idadi Maoni Na. - 5 Verify source ↗
Section 5
AI-assisted research summary: This section is an application form for a trophy trade business licence.
5. Ukaguzi umefanywa na: Na Jina la Afisa Mhifadhi Saini Tarehe 1 2 3 4 Imeshuhudiwa na: ……………………………………….. ………...……….……….. …………….. (Mkurugenzi wa kampuni) (Saini) (Tarehe) 23 Tangazo la Serikali Na.884 (Linaendelea.) Kanuni Za Biashara ya Nyara _______________ JEDWALI LA TISA _________________ BANDIKA PICHA HAPA (Limetengenezwa chini ya kanuni 19(1), 20(1) na 22(1)) JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA FW. Na. ………. MAOMBI YA LESENI YA BIASHARA YA NYARA KWA AJILI YA UMILIKI WA WANYAMAPORI HAI WA MAPAMBO NA NYARA KWA AJILI YA SHUGHULI ZA ELIMU, BURUDANI, UTAMADUNI NA NYARA NYINGINE SEHEMU YA KWANZA: Taarifa za mwombaji. A. Ikiwa mwombaji ni mtu binafsi Jina la mwombaji………………………………………………………………………… Jina la kwanza Jina la kati Jina la ukoo Shughuli……………………………………………………….(ikiwa mwombaji ni mganga wa tiba asili/Chifu ambatisha uthibitisho wa shughuli unayofanya kutoka Mamlaka husika inayotambulika na Serikali ) Uraia: ………………….…………………………………………………………………… Namba ya kitambulisho cha Taifa.………………………… (ambatisha nakala) au ya kusafiria au Leseni ya udereva au barua ya utambulisho kutoka kwa Afisa Mtendaji wa Kijiji. Anuani: (i) S.L.P …………………………(ii) Msimbo wa posta……………………(ikiwa ipo) (iii) (iv) (vi) (vii) (viii) Mkoa …………………………(iv) Wilaya…………..………………………… Kata ………………………… (v) Mtaa/Kijiji……………………………….. Namba ya nyumba. ……………………………………………………(ikiwa ipo) Namba ya simu ya mkononi……………………………………………………… Barua pepe ……………………………………………………………(ikiwa ipo) Ikiwa muombaji ni Taasisi/kikundi B. Jina la Taasisi/kikundi……………………………………………………………………… Namba ya usajili………………………………………….. ………………………………. (ambatisha nakala ya cheti cha usajili/cheti cha usajili wa taasisi, namba ya utambulisho wa mlipa kodi, kitambulisho cha taifa/ za kusafiria za wakurugenzi wa taasisi pale inapohitaji) Anuani: (i) S.LP…………………… …………………………. (ii)Msimbo wa posta …………… (iii) Mkoa ……………………………………………..(iv) Wilaya ………………………. (v) Kata …………………………………. ……………(vi) Mtaa ………………………… (vii) Namba ya simu ya mezani …………………………………………………………… (viii) Barua pepe…………………………………………………………………………… 24 Tangazo la Serikali Na.884 (Linaendelea.) Kanuni Za Biashara ya Nyara SEHEMU YA PILI: Daraja la leseni ya biashara ya Nyara linaloombwa
Part
SEHEMU YA PILI: Daraja la leseni ya biashara ya Nyara linaloombwa
- 1 Verify source ↗
Daraja la leseni linaloombwa ……………………………………………………
AI-assisted research summary: An applicant for the licence must disclose any wildlife-related criminal offences and any wildlife permits or licences that were suspended, amended, or cancelled, if the answer is yes.
1. Daraja la leseni linaloombwa …………………………………………………… SEHEMU YA TATU: Taarifa za kukidhi matakwa ya Sheria (i) Je, umewahi kukutwa na kosa lolote la jinai linalohusiana na wanyamapori Tanzania au katika mamlaka nyingine? Ndiyo Hapana Ikiwa Ndiyo, tafadhali orodhesha na eleza aina ya makosa na nchi ambayo ulitenda kosa/makosa: ……………………………………………………………………………………………… ……………………………………………………………………………………………… …… (ii) Je umeshawahi kuwa na kibali au leseni inayohusiana na wanyamapori iliyositishwa, kubadilishwa au kufutwa? Ndiyo Hapana Ikiwa ndiyo, orodhesha aina ya kibali/leseni…………………………………………………. SEHEMU YA NNE: Aina na idadi ya Nyara zinazoombwa Na. Aina ya nyara
Part
SEHEMU YA NNE: Aina na idadi ya Nyara zinazoombwa
- 6 Verify source ↗
………………………………………
AI-assisted research summary: The applicant declares that the information given above is true and that they understand the Wildlife Conservation Act.
6. ………………………………………. Idadi/kiasi ……………………. ……………………. ……………………. ……………………. ……………………. ……………………. SEHEMU YA TANO: Madhumuni ya nyara inayoombwa Weka alama ya vema sehemu sahihi Ngoma Burudani Elimu Shughuli za viongozi wa mila Tiba ya jadi Mengineyo Fafanua ……………………………………………………………………………............................... ………………………………………………………………………………………………………… ………………………………………………………………………………………………………… ………………………………………………………………………………………………………… SEHEMU YA SITA: Tamko Mimi …………………………………………………………. ninathibitisha kuwa taarifa nilizozitoa hapo juu ni sahihi na nimezitoa nikiwa na akili timamu na ninafahamu matakwa ya Sheria ya Uhifadhi wa Wanyamapori, Sura 283. Saini ya muombaji/alama ya dole gumba …………………………Tarehe….………………..……... ________ JEDWALI LA KUMI ____________ (Limetengenezwa chini ya kanuni 25) 25 Kanuni Za Biashara ya Nyara Tangazo la Serikali Na.884 (Linaendelea.) Wanyamapori wa mapambo Jina la kiingereza Jina la kiswahili Tortoises Terrapins Kobe Kobe maji Primates (Baboon, vervet monkey, blue monkey) Nyani, ngedere na kima Ndege wote isipokuwa Mbuni Chatu Sungura Karunguyeye Nyoka asiye na sumu Na 1 2 3 4 5 6 7 Birds except Ostrich African rock python Hare/rabbit Hedgehog 8 Non venomous snake 26 Tangazo la Serikali Na.884 (Linaendelea.) Kanuni Za Biashara ya Nyara ___________________ JEDWALI LA KUMI NA MOJA _____________________ (Limetengenezwa chini ya Kanuni 23(b) na 24(3)) BEI YA NYARA ZITAKAZOUZWA KWA AJILI YA SHUGHULI ZA ELIMU, BURUDANI NA UTAMADUNI N a Aina ya Mnyamapor i A: Bei ya Ngozi nzima au robo tatu (75%) ya ngozi nzima Bei ya Ngozi (TZS) Bei ya Ngozi kwa robo tatu (75%) ya Ngozi nzima (TZS) Daraja kwanza la la Daraja pili 1,500,000 1,400,000 Daraja tatu la la Daraja nne 1,300,000 Daraja la kwanza 1,200,000 la Daraja pili 1,090,000 1,030,000 Daraja tatu la Daraja nne la 970,000 1 Simba 1,700,000 2 Nyumba 150,000 140,000 130,000 120,000 115,000 110,000 96,000 89,000 3 Chatu 69,000 60,000 60,000 55,000 50,000 47,000 44,000 42,000 4 Kakakuona 220,000 200,000 190,000 180,000 170,000 150,000 141,000 140,000 5 Mbuni 230,000 210,000 200,000 185,000 175,000 160,000 147,000 138,000 6 Kenge 10,000 6,000 5,000 4,500 4,300 4,000 3,700 3,500 7 Chui 1,050,000 950,000 890,000 830,000 770,000 670,000 660,000 621,000 8 Fisi 100,000 85,000 80,000 74,000 70,000 63,000 59,000 55,000 9 Nyati 600,000 520,000 490,000 460,000 430,000 390,000 370,000 350,000 10 Tandala mdogo 11 Mamba 12 Pofu 13 Ngiri 750,000 665,000 650,000 590,000 550,000 500,000 470,000 442,000 390,000 350,000 350,000 320,000 295,000 270,000 250,000 240,000 390,000 360,000 350,000 320,000 295,000 270,000 250,000 240,000 70,000 65,000 60,000 55,000 50,000 47,000 44,000 42,000 14 Twiga 3,500,000 3,100,000 3,000,000 2,800,000 2,600,000 2,400,000 2,200,000 2,100,000 15 Kiboko 340,000 310,000 295,000 276,000 260,000 250,000 220,000 210,000 16 Nyegere 70,000 65,000 60,000 56,000 52,000 47,000 44,000 42,000 17 Mbuzi mawe 18 Mondo 160,000 145,000 140,000 130,000 130,000 110,000 105,000 96,000 50,000 45,000 40,000 36,000 35,000 32,000 30,000 28,000 19 Kanu 50,000 42,000 40,000 36,000 35,000 33,000 29000 27,000 20 Mbuzi mawe 21 Swala pala 40,000 35,000 35,000 31,000 29,000 270,000 250,000 24,000 70,000 63,000 60,000 55,000 52,000 47,000 44,000 42,000 22 Nyani 25,000 21,000 20,0000 18,000 17,000 16,000 15,000 4,000 23 Karunguyey 25,000 21,000 20,000 18,000 17,000 16,000 15,000 14,000 e 24 Nyamela 190,000 170,000 160,000 150,000 138,000 125,000 118,000 110,000 25 Mbega 40,000. 36,000 34,000 32,000 30,000 27,000 26000 25,000 26 Wanyama wengine 10,000.00 9,000 8,500 8,000 7,500 6,700 6,300 6,000.00 27 1 2 3 6 7 8 9 Tangazo la Serikali Na.884 (Linaendelea.) Kanuni Za Biashara ya Nyara B: Bei ya nusu ngozi (50%), robo ngozi (25%) na chini ya robo ngozi Bei ya nusu ngozi (50%) (TZS) Bei ya robo ngozi (25%) (TZS) Bei ya chini ya robo ngozi (TZS) Na Aina ya Mnyama pori Daraja la pili Daraja la tatu Daraja la nne Daraja la kwanza 805,000 750,000 685,000 650,000 402,000 363,000 343,000 330,000 322,000 290,000 280,0 00 30,000 30,000 27,000 26,00 60,000 34,000 34,000 32,000 Daraja la kwanza Daraja la kwanza Daraja la nne Daraja la tatu Daraja la pili Daraja la pili Daraja la tatu Daraja la nne 270,00 0 24,000 Nyumbu 75,000 70,000 64,000 Simba Chatu 34,000 32,000 30,000 30,000 18,000 16,000 15,000 14,000 14,000 13,000 12,00 11,100 0 0 4 Kakakuo na 5 Mbuni 110,000 100,000 94,000 90,000 56,000 50,000 47,000 45,000 45,000 40,000 38,00 36,000 0 115,000 105,000 98,000 92,000 58,000 52,000 49,000 46,000 45,000 44,000 40,00 37,000 Kenge 3,000 2,600 2,400 2,300 1,500 1,300 1,300 1,200 1,150 0 1,100 1,000 950,00 10 Tandala mdogo Chui Fisi Nyati 0 46,000 42,000 40,000 520,000 470,000 440,000 420,000 259,000 235,000 220,000 210,000 207,000 187,000 180,0 00 36,000 23,000 21,000 220,000 19,000 18,500 17,000 160,0 00 290,000 260,000 250,000 230,000 144,000 130,000 125,000 120,00 115,000 104,000 100,0 00 370,000 340,000 320,000 294,000 184,000 170,000 160,000 150,000 148,000 150,000 130,0 00 79,000 79,000 75,000 70,00 170,00 0 150,00 0 95,000 120,00 0 65,000 11 Mamba 200,000 180,000 170,000 157,000 98,000 90,000 84,000 12 Pofu 200,000 180,000 170,000 156,400 98,000 90,000 84,000 79,000 79,000 75,000 70,00 65,000 0 13 Ngiri 35,000 32,000 30,000 28,000 18,000 16,000 15,000 14,000 13,000 12,000 11,70 11,500 0 0 14 Twiga 863,000 780,000 735,000 695,000 690,000 650,000 600,0 00 15 Kiboko 175,000 160,000 150,000 140,000 87,000 780,00 740,000 69,000 69,000 65,000 58,00 1,500,00 0 1,400,00 0 1,800,0 00 1,600,0 00 570,00 0 56,000 16 Nyegere 35,000 32,000 30,000 28,000 18,000 16,000 15,000 14,000 13,800 13,000 11,00 10,000 0 80,000 73,000 70,000 65,000 41,000 37,000 35,000 33,000 32,000 29,000 28,00 26,000 0 18 Mondo 23,000 21,000 20,000 19,000 12,000 11,000 10,000 9,500 9,200 0 9,000 8,000 7,500 19 Kanu 23,000 21,000 20,000 19,000 12,000 11,000 10,000 9,500 9,200 9,000 8,000 7,500 20 Fisi maji 20,000 18,000 17,000 16,000 10,000 9,000 8,500 7,900 7,800 7,500 7,000 6,500 35,000 32,000 30,000 28,000 18,000 16,000 15,000 14,000 13,000 12,500 12,00 11,000 22 Nyani 12,000 11,000 10,000 9,200 6,000 6,000 5,000 4,600 4,500 0 4,200 4,000 3,700 17 Mbuzi mawe 21 Swala pala 23 Karungu 12,000 11,000 10,000 9,200 5,800 5,200 5,000 4,600 4,500 4,200 4,000 3,700 yeye 24 Nyamela 92,000 83,000 80,000 74,000 46,000 42,000 37,000 36,900 35,000 34,000 32,00 30,000 25 Mbega 20,000 18,000 17,000 16,000 10,000 9,000 9,000 8,000 8,000 0 7,500 7,000 6,500 26 Wanyam a wengine 5,000 4,500 4,300 4,000 3,000 3,000 2,500 2,000 1,900 1,800 1,700 1,600 C: Bei ya fuvu la mnyamapori asiye na pembe lenye meno yote na robo tatu (75%) ya idadi ya meno yote Na Aina Bei ya fuvu lenye idadi ya meno yote (TZS) Bei ya fuvu lenye robo tatu (75%) ya idadi ya meno yote (TZS) Daraja la kwanza Daraja la tatu Daraja la pili Daraja la kwanza Daraja la kwanza Daraja la tatu ya Mnya mapori Simba 1 1,700,000 1,500,000 1,400,000 1,300,000 1,200,000 1,100,000 28 Tangazo la Serikali Na.884 (Linaendelea.) Kanuni Za Biashara ya Nyara 2 Chui 1,200,000 1,100,0000 1,000,000 1,200,000 1,100,000 1,000,000 3 Mamba 400,000 4 Punda milia 280,000 350,000 250,000 340,000 240,000 300,000 230,000 250,000 220,000 240,000 200,000 5 Kiboko 350,000 340,000 330,000 300,000 290,000 280,000 6 Nyani 100,000 7 Ngiri/n guruwe 8 Chatu 100,000 90,000 9 Kenge 50,000 90,000 90,000 80,000 45,000 80,000 80,000 75,000 40,000 70,000 70,000 70,000 35,000 65,000 65,000 65,000 34,000 60,000 60,000 60,000 33,000 10 Fisi 700,000 650,000 600,000 500,000 400,000 300,000 100,000 90,000 80,000 70,000 60,000 50,000 11 Wanya ma wengin e D: Bei ya fuvu la mnyamapori asiye na pembe lenye nusu (50%), robo (25%) na chini ya robo ya idadi ya meno yote Na Aina ya Mnya mapo ri Bei ya fuvu lenye chini ya robo ya idadi ya meno yote na lililovunjika taya ya juu au chini (TZS) Bei ya fuvu lenye robo (25%) ya idadi ya meno yote (TZS) Bei ya fuvu lenye nusu (50%) ya idadi ya meno yote (TZS) Daraja la kwanza 1,000,000 Daraja la pili 900,000 Daraja la tatu 800,000 Daraja la kwanza 700,000 Daraja la pili 600,000 Daraja la tatu 500,000 Daraja la kwanza 400,000 Daraja la pili Daraja la tatu 300,000 200,000 1 Simb a 2 Chui 4 3 Mam ba Pund amili a 5 Kibo ko 6 Nyani 900,000 800,000 700,000 600,000 500,000 400,000 300,000 200,000 100,000 500,000 400,000 300,000 200,000 100,000 90,000 80,000 70,000 60,000 400,000 300,000 200,000 100,000 90,000 80,000 70,000 60,000 50,000 900,000 800,000 700,000 600,000 500,000 400,000 300,000 200,000 100,000 90,000 80,000 70,000 60,000 50,000 40,000 30,000 20,000 10,000 7 Ngiri 90,000 80,000 70,000 60,000 50,000 40,000 30,000 20,000 10,000 8 Chatu 80,000 70,000 60,000 50,000 40,000 30,000 20,000 15,000 10,000 40,000 30,000 20,000 10,000 9,000 8,000 7,000 6,000 5,000 600,000 500,000 400,000 300,000 200,000 100,000 90,000 80,000 70,000 90,000 80,000 70,000 60,000 50,000 40,000 30,000 20,000 10,000 9 Keng e 10 Fisi 11 Wany ama wengi ne 29 Tangazo la Serikali Na.884 (Linaendelea.) Kanuni Za Biashara ya Nyara E: Bei ya fuvu lenye pembe iliyotokana na mnyamapori mzee mwenye urefu uliokithiri, aliyekomaa na kijana. N a. Aina ya mnyamapo ri Bei ya fuvu lenye pembe iliyotokana na mnyamapori mzee mwenye urefu uliokithiri (TZS) Bei ya fuvu lenye pembe iliyotokana na mnyamapori aliyekomaa (TZS) Bei ya fuvu lenye pembe iliyotokana na mnyamapori kijana (TZS) Daraja la kwanza Daraja la pili Daraja la tatu Daraja la kwanza Daraja la pili Daraja la tatu Daraja la kwanza Daraja la pili Daraja la tatu 1 Nyati 600,000 520,000 490,000 430,000 390,000 370,000 280,000 260,000 245,00 2 Wilde 150,000 140,000 130,000 120,000 100,000 95,000 70,000 60,000 50,000 3 Tandala mdogo 4 Pofu 740,000 660,000 630,000 550,000 490,000 470,000 370,000 330,000 310,000 400,000 350,000 330,000 290,000 260,000 250,000 200,000 180,000 170,000 5 Swalapala 70,000 62,000 60,000 50,000 40,000 35,000 30,000 25,000 20,000 6 Tandala mkubwa 7 Swala tomi 460,000 420,000 390,000 340,000 310,000 290,000 230,000 200,000 190,000 120,000 100,000 90,000 85,000 75,000 70,000 60,000 50,000 40,000 8 Nyamera 190,000 170,000 160,000 140,000 120,000 110,000 90,000 80,000 70,000 9 Digidigi 70,000 62,000 60,000 50,000 40,000 35,000 30,000 25,000 20,000 10 Kuro 190,000 170,000 160,000 140,000 120,000 110,000 90,000 80,000 70,000 11 Swala granti 12 Mbawala 140,000 130,000 120,000 100,000 90,000 80,000 70,000 60,000 50,000 160,000 150,000 140,000 120,000 100,000 90,000 80,000 70,000 60,000 13 Korongo 810,000 720,000 690,000 600,000 540,000 510,000 400,000 360,000 340,000 14 Palahala 810,000 720,000 690,000 600,000 540,000 510,000 400,000 360,000 340,000 15 Kongoni 150,000 140,000 130,000 120,000 100,000 90,000 80,000 70,000 60,000 16 Choroa 810,000 720,000 690,000 600,000 540,000 510,000 400,000 360,000 340,000 17 Wanyama pori wengine 20,000 15,000 12,000 11,000 10,000 9,000 7,000 6,000 5,000 F: Bei ya fuvu lenye pembe iliyovunjika ncha au iliyovunjika nusu au zaidi ya nusu Na. Aina ya mnyamapori Bei ya fuvu lenye pembe iliyovunjika ncha (TZS) Bei ya fuvu yenye pembe iliyovunjika nusu (50%) au zaidi ya nusu (TZS) Daraja la kwanza Daraja la pili Daraja la tatu Daraja la kwanza Daraja la pili Daraja la tatu 1 2 3 4 5 6 7 8 9 Nyati Nyumbu 140,000 130,000 120,000 115,000 110,000 100,000 50,000 40,000 35,000 30,000 25,000 20,000 Tandala mdogo 180,000 170,000 160,000 150,000 130,000 125,000 Pofu 100,000 90,000 80,000 Swalapala 30,000 25,000 20,000 Tandala mkubwa 120,000 100,000 90,000 Swala tomi Nyamera Digidigi 40,000 50,000 30,000 35,000 30,000 45,000 40,000 25,000 20,000 75,000 15,000 80,000 25,000 35,000 15,000 70,000 12,000 80,000 20,000 30,000 12,000 60,000 10,000 75,000 15,000 25,000 10,000 30 Tangazo la Serikali Na.884 (Linaendelea.) Kanuni Za Biashara ya Nyara 10 Kuro 11 Swala granti 12 Mbawala 50,000 50,000 50,000 40,000 35,000 40,000 35,000 40,000 35,000 30,000 30,000 30,000 25,000 25,000 25,000 20,000 20,000 20,000 13 Korongo 200,000 180,000 170,000 160,000 150,000 140,000 14 Palahala 200,000 180,000 170,000 160,000 150,000 140,000 15 Kongoni 50,000 40,000 35,000 30,000 25,000 20,000 16 Choroa 200,000 180,000 170,000 160,000 150,000 140,000 17 Wanyamapori wengine 10,000 9,000 8,000 7,000 6,000 5,000 Na. Aina ya mnyamapor i Bei (TZS) G: Bei ya pembe za wanyamapori Daraja la kwanza Daraja la pili Daraja la tatu 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16 17 Nyati Nyumbu Tandala mdogo Pofu Swalapala Tandala mkubwa Swala tomi Nyamera Digidigi Kuro Swala granti Mbawala Korongo Palahala Kongoni Choroa Wanyamap ori wengine 70,000 20,000 80,000 50,000 10,000 60,000 15,000 20,000 10,000 20,000 15,000 16,000 80,000 80,000 16,000 80,000 10,000 60,000 15,000 70,000 40,000 8,000 50,000 12,000 15,000 8,000 18,000 12,000 14,000 70,000 70,000 14,000 70,000 8,000 50,000 12,000 65,000 35,000 6,000 40,000 10,000 12,000 6,000 15,000 10,000 12,000 65,000 65,000 12,000 65,000 6,000 Na. Aina ya Mnyamapori Bei (TZS) H: Bei ya kwato za wanyamapori Daraja la kwanza Daraja la pili 1 Nyumbu 2 Nyati 3 4 Tandala mdogo Twiga 10,000.00 10,000.00 10,000.00 10,000.00 31 9,000.00 9,000.00 9,100.00 9,000.00 Tangazo la Serikali Na.884 (Linaendelea.) Kanuni Za Biashara ya Nyara 5 Swalapala 6 Nyamera 7 Wanyamapori wengine 6,000.00 6,000.00 6,000.00 5,000.00 5,000.00 5,000.00 I: Bei ya mifupa ya wanyamapori isipokuwa fuvu Bei (TZS) Na. Aina ya mnyamapo ri Daraja la kwanza Daraja la pili Daraja la tatu Daraja la nne 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16 17 18 19 20 21 22 23 24 25 Simba Nyumbu Chatu Kakakuona Mbuni Kenge Chui Fisi Nyati Tandala mdogo Mamba Pofu Ngiri Twiga Kiboko Nyegere Mbuzi mawe Mondo Kanu Fisi maji Swalapala Nyani Kalunguye ye Mbawala Wanyamap ori wengine 50,000 10,000 6,000 6,000 50,000 10,000 50,000 30,000 30,000 40,000 50,000 30,000 10,000 50,000 30,000 10,000 20,000 5,000 5,000 10,000 20,000 10,000 5,000 20,000 10,000 45,000 9,000 5,000 5,000 45,000 9,000 45,000 27,000 27,000 36,000 45,000 27,000 9,000 45,000 27,000 9,000 18,000 4,000 4,000 9,000 18,000 9,000 4,000 18,000 9,000 42,000 8,000 4,000 4,000 42,000 8,000 42,000 25,000 25,000 34,000 42,000 25,000 8,000 42,000 25,000 8,000 17,000 3,000 3,000 8,000 17,000 8,000 3,000 17,000 8,000 40,000 7,000 3,000 4,000 40,000 7,000 40,000 20,000 20,000 32,000 40,000 24,000 7,000 40,000 24,000 7,000 16,000 2,000 2,000 7,000 16,000 7,000 2,000 16,000 7,000 Aina mnyamapori ya Na. 1 2 Simba Chatu J: Bei ya kucha za wanyamapori Bei (TZS) Daraja la kwanza Daraja la pili Daraja la tatu Daraja la nne Daraja la tano 100,000 90,000 85,000 80,000 75,000 6,000 5,000 4,000 3,000 2,000 32 Tangazo la Serikali Na.884 (Linaendelea.) Kanuni Za Biashara ya Nyara 3 4 5 6 7 8 9 Chui Fisi 100,000 90,000 85,000 80,000 75,000 6,000 5,000 4,000 3,000 2,000 SMondo 5,000 4,000 3,000 2,000 1,000 Knu 5,000 4,000 3,000 2,000 1,000 Fisi maji 5,000 4,500 4,000 3,000 2,000 Nyani Wanyamapori wengine 5,000 4,000 3,000 2,000 1,000 5,000 4,000 3,000 2,000 1,000 Na. Aina ya nyara Bei (TZS) J: Bei ya manyoya, magamba, miiba, na meno ya wanyamapori 1 2 3 4 5 6 7 Manyoya ya mbuni (unyoya mmoja) Magamba ya Kakakuona (gamba moja) Miiba ya Nungunungu (mwiba mmoja) Turshes (tursh moja ) Meno ya kiboko (jino moja ) Makasha ya mayai ya Mbuni (kasha moja) Jino la Simba na Chui (jino moja) 500 10,000 1000 20,000 50,000 30,000 100,000 Na. Aina ya mnyamapor i K: Bei ya mikia ya wanyamapori Bei (TZS) Daraja kwanza Daraja la pili Daraja la tatu Daraja la nne 1 2 6 7 8 9 10 12 13 14 15 16 17 18 19 20 21 24 Simba 50,000 45,000 Nyumbu 30,000 27,000 Kenge 5,000 4,000 Chui Fisi Nyati Tandala mdogo Pofu 50,000 45,000 5,000 4,000 10,000 9,000 15,000 13,000 15,000 13,000 Ngiri 5,000 4,000 Twiga 40,000 36,000 Kiboko 40,000 36,000 Nyegere 5,000 4,000 Mbuzi mawe Mondo 5,000 4,000 5,000 4,000 Kanu 5,000 4,000 Fisi maji 5,000 4,000 Swalapala 10,000 9,000 Mbawala 10,000 9,000 33 42,000 25,000 3,000 42,000 3,000 8,000 12,000 12,000 3,000 34,000 34,000 3,000 3,000 3,000 3,000 3,000 8,000 8,000 40,000 24,000 2,000 40,000 2,,000 7,000 10,000 10,000 2,000 32,000 32,000 2,000 2,000 2,000 2,000 2,000 7,000 7,000 Tangazo la Serikali Na.884 (Linaendelea.) Kanuni Za Biashara ya Nyara 25 26 Mbega 5,000 4,000 3,000 2,000 Wanyamap ori wengine 5,000 Na. Bei (TZS) L: Bei ya mafuta yatokanayo na wanyamapori ya Aina mnyamapo ri Simba Chatu Chui Fisi Pundamilia Wanyamap ori wengine 1 2 3 4 5 6 Mililita 100 Mililita 80 Mililita 50 Mililita 25 Mililita 10 50,000 30,000 50,000 7,000 7,000 7,000 45,000 27,000 45,000 6,000 6,000 6,000 42,000 25,000 42,000 5,000 5,000 5,000 40,000 24,000 40,000 4,000 4,000 4,000 38,000 22,000 38,000 3,000 3,000 3,000 Na. Aina ya mnyamapori Bei (TZS) 1 Tembo 2 Simba 3 Fisi 4 Nsya 5 Wanyamapori wengine 10,000 8,000 5,000 3,000 5,000 34 Tangazo la Serikali Na.884 (Linaendelea.) Kanuni Za Biashara ya Nyara _________________ JEDWALI LA KUMI NA MBILI ____________________ (Limetengenezwa chini ya kanuni 5(2) 7(2), 9(2)(d), 7(h), 11,14, 19(1), 20, 21(2)(c),22(4) na 28)) AINA ZA ADA Na. 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 Aina za ada Maombi ya leseni ya biashara ya Nyara Maombi ya kuhuisha Leseni ya biashara ya Nyara Maombi ya Leseni ya biashara ya Nyara kwa ajili ya shughuli za elimu, burudani na utamaduni Maombi ya Leseni ya biashara ya Nyara kwa matumizi ya viongozi wa mila Cheti cha Utoaji Nyara nje ya nchi Cheti cha kuingiza nyara ndani ya nchi Cheti cha Nyara iliyotengenezwa Cheti cha kumiliki Nyara Uhamisho wa umiliki wa Nyara Kusalimisha Leseni ya Biashara ya Nyara Ada ya kufuta cheti cha aina yoyote Kiasi (TZS) 10,000 10,000 10,000 5,000 30,000 100,000 20,000 50,000 50,000 Asilimia 10 ya ada ya Leseni ya Biashara ya Nyara inayorejeshwa 30,000 35 Tangazo la Serikali Na.884 (Linaendelea.) Kanuni Za Biashara ya Nyara _____________ JEDWALI LA KUMI NA TATU ______________ (Limetengenezwa chini ya kanuni 21(3) na 22(4)) FW. Na………………. CHEI CHA KUMILIKI NYARA HALISI Kituo: ………………………….. Tarehe: …………………………. Amepewa (Jina)……………………………………………………………………………………….. Wa anwani……………………………………………………………………………………… ……. Ambaye anayo leseni au ruhusa nyingine Na……………….iliyotolewa (kituo)_.........................___________ Tarehe. …………………na (maelezo ya ruhusa nyingine) ………………………………………… Ambayo inampa haki kumiliki nyara zifuatazo:- Na Aina ya Mnyamap ori Aina ya Nyara Idadi Uzito Daraja Kilogramu Gramu Alama ya Usajili na namba …………… ….……………. Jina na Saini ya mwenye au wakala Mkurugenzi Angali zo
Part
JEDWALI LA KUMI NA TATU
- 3 Verify source ↗
Section 3
AI-assisted research summary: Uhamisho wa nyara zilizotajwa lazima uandikwe nyuma ya kibali, na vibali visivyo na muhuri rasmi na sahihi au vilivyo nakala/ vilivyofutika havitakubaliwa.
3. Mamlaka ya kutoa ya kumiliki Nyara yanatokana na leseni au cheti cha ruhusa. kilichoidhinishwa kuuwawa kwa mnyamapori huyo au idhini ya Mkurugenzi. Vibali visivyokuwa na muhuri rasmi na sahihi, nakala za vibali au vibali vilivyofutika havitakubaliwa. Uhamisho wowote wa Nyara zilizotajwa hapo juu lazima uandikwe nyuma ya kibali hiki. 36 Tangazo la Serikali Na.884 (Linaendelea.) Kanuni Za Biashara ya Nyara - 4 Verify source ↗
Section 4
AI-assisted research summary: Uhamisho wowote wa Nyara lazima upate kibali cha Mkurugenzi.
4. Uhamisho wowote wa Nyara ni lazima upate kibali cha Mkurugenzi. Na Tarehe Uhamisho wa Nyara TAARIFA ZA MHAMISHIWA NYARA Jina na Anwani Saini ya Mhamishaji Nyara Saini ya Mhamishiwa Nyara Uhamisho huu umeidhiniwa na : ………………………………… Mkurugenzi Jina na Anwani Saini ya Mhamishaji Nyara Saini ya Mhamishiwa Nyara Uhamisho huu umeidhinishwa na : …………………………………………. Mkurugenzi Jina na Anwani Saini ya Mhamishaji Nyara Saini ya Mhamishiwa Nyara Uhamisho huu umeidhinishwa : ……………………………….. Mkurugenzi Jina na anwani Saini ya Mhamishaji Nyara Saini ya Mhamishiwa Nyara Uhamisho huu umeidhinishwa na : ………………………………… Mkurugenzi 37 Tangazo la Serikali Na.884 (Linaendelea.) Kanuni Za Biashara ya Nyara ___________________ JEDWALI LA KUMI NA NNE _____________________ JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA CHETI CHA NYARA ILIYOTENGENEZWA (Limetengenezwa chini ya kanuni 7(h) HALISI Kituo …………………………………………………………………………………………………… Na. ………… ya wa Mfanyabiashara Jina la Mfanyabiashara ………………………………………………………………………… wa Anwani ………………………………………………………………………………….… Leseni ……………………………………….……………… ………………………………….. Mwenye ya Uandikishaji Nyara au idhini nyingineyo Nambari………………………………… Iliyotolewa (Kituo) ……………………………………Tarehe……………………………………………………….. Aina Idadi……………………………………………… Kitabu cha kuorodhesha nyara cha mfanyabiashara ukurasa………………….. Orodha Na. ………………………………………………………………………………………… ya Nyara………………………………………… Na……………………………….. Nambari kutolewa Tarehe Nyara ya ……………………………………….. ……………………………………………………. Sahihi ya Mwenye cheti Saini ya Afisa Mtoa cheti na Muhuri Rasmi …………………………………………… ………………………………………… Tarehe Tarehe Nyara iliyotajwa hapo juu imeuzwa/imehamishwa kwa- Jina: ………………………………… wa Anwani …………………………………………… kwa (bei ya) Tzs:…………………………………………………………. ………………………………… ……………………………… Saini ya Mhamishiwa Saini ya Mhamishaji/Mfanyabiashara ya Nyara Tarehe ……………… Tarehe………………………………………….. ANGALIZO: Inatumika Tanzania tu na isitumike kutolea Nyara nje. Dodoma, 10 Oktoba, 2024 PINDI HAZARA CHANA, Waziri wa Maliasili na Utalii 38
Provision text is displayed from LexChat’s stored statute record. Use the official source links to verify amendments, commencement, and current legal force.
Ask AI about this statute
Kanuni za biashara ya Nyara za Mwaka 2024
Sign in to ask AI about this statute
Sign in to start authenticated, citation-grounded statute research.
Sign in