Kanuni za Rufaa za Ununuzi wa Umma za Mwaka 2025
These regulations are called the Public Procurement Appeals Regulations, 2025.
AI-assisted research synopsis — verify against the official legal text below.
- Jurisdiction
- Tanzania
- Instrument
- Regulation
- Citation
- Kanuni za Rufaa za Ununuzi wa Umma za Mwaka 2025
- Version
- Undated source snapshot
- Language
- sw
- Official source
- View official record ↗
Statute overview
About this statute
These regulations are called the Public Procurement Appeals Regulations, 2025. Kanuni hizi zinatumika kwa uwasilishaji na ushughulikiaji wa rufaa, malalamiko au maombi yanayotokana na uamuzi, kitendo au kutokutenda kwa afisa masuuli wa taasisi nunuzi, au uamuzi wa Mamlaka kuhusu kufungiwa kwa mzabuni kushiriki zabuni za umma. This section defines key terms used in the procurement appeals regulations. Mzabuni yeyote anaweza kukata rufaa kwa Mamlaka ya Rufani ndani ya muda uliowekwa. Any bidder may file a complaint with the Appeals Authority.
Search within this statute
Search all stored provisions in this version.
Legal text
Provisions of Kanuni za Rufaa za Ununuzi wa Umma za Mwaka 2025
Showing 69 of 69
- 1 Verify source ↗
Kanuni hizi zitajulikana kama Kanuni za Rufaa
AI-assisted research summary: These regulations are called the Public Procurement Appeals Regulations, 2025.
1. Kanuni hizi zitajulikana kama Kanuni za Rufaa za Ununuzi wa Umma za Mwaka 2025. Matumizi Tafsiri Sura ya 410 - 2 Verify source ↗
Kanuni hizi zitatumika katika uwasilishaji na
AI-assisted research summary: Kanuni hizi zinatumika kwa uwasilishaji na ushughulikiaji wa rufaa, malalamiko au maombi yanayotokana na uamuzi, kitendo au kutokutenda kwa afisa masuuli wa taasisi nunuzi, au uamuzi wa Mamlaka kuhusu kufungiwa kwa mzabuni kushiriki zabuni za umma.
2. Kanuni hizi zitatumika katika uwasilishaji na ushughulikiaji wa rufaa, malalamiko au maombi yanayotokana na uamuzi, kitendo au kutokutenda kwa afisa masuuli wa taasisi nunuzi katika mchakato wa ununuzi wa bidhaa, kazi za ujenzi, huduma na uondoshaji mali za umma kwa njia ya zabuni au kutokana na uamuzi wa Mamlaka kuhusu kufungiwa kwa mzabuni kushiriki katika zabuni za umma. - 3 Verify source ↗
Katika Kanuni hizi, isipokuwa kama muktadha
AI-assisted research summary: This section defines key terms used in the procurement appeals regulations.
3. Katika Kanuni hizi, isipokuwa kama muktadha utahitaji vinginevyo- “hati ya shauri” itajumuisha hati ya rufaa, malalamiko au maombi itakayowasilishwa rasmi na mrufani, mlalamikaji au mleta maombi kwa Mamlaka ya Rufani kwa nia ya kupata nafuu za kisheria; “Katibu Mtendaji” maana yake ni Mkurugenzi Mkuu na afisa masuuli wa Mamlaka ya Rufani aliyeteuliwa kwa mujibu wa kifungu cha 113 cha Sheria; “majibu ya hati ya shauri” maana yake ni wasilisho rasmi la majibu ya hati ya shauri linalowasilishwa na mrufaniwa, mlalamikiwa au mjibu maombi kwa ajili ya kujibu hoja zilizotolewa dhidi yake; 1 Tangazo la Serikali Na.65 (Linaendelea.) Kanuni Za Rufaa Za Ununuzi wa Umma ni maana “malalamiko” malalamiko yake yanayowasilishwa na mzabuni kwa mujibu wa masharti ya kifungu cha 112 (6) cha Sheria; “Mamlaka” maana yake ni Mamlaka ya Kudhibiti Ununuzi wa Umma iliyoainishwa katika kifungu cha 8 cha Sheria; “Mamlaka ya Rufani” maana yake ni Mamlaka ya Rufani ya Zabuni za Umma iliyoainishwa katika kifungu cha 112 cha Sheria; “maombi” maana yake ni wasilisho rasmi la kimaandishi au lisilo la kimaandishi linalowasilishwa na mleta maombi kwa Mamlaka ya Rufani kwa ajili ya kupata nafuu za kisheria; “mjumbe” maana yake ni mtu yeyote ambaye ameteuliwa kuwa mjumbe wa Mamlaka ya Rufani kwa mujibu wa kifungu cha 112 (2) cha Sheria; “mlalamikaji” maana yake ni mzabuni yeyote anayewasilisha malalamiko mbele ya Mamlaka ya Rufani; “mleta maombi” maana yake ni mzabuni au taasisi nunuzi yoyote inayoleta maombi kwa Mamlaka ya Rufani kwa ajili ya kutafuta nafuu za kisheria; “mrufani” maana yake ni mzabuni yeyote anayewasilisha rufaa mbele ya Mamlaka ya Rufani; “mzabuni” ina maana kama ilivyotafsiriwa kwenye Sheria; “mzabuni mwenye maslahi” maana yake ni mzabuni aliyetajwa katika notisi ya ushindi wa tuzo au anayetekeleza mkataba, anaweza kuathirika na maamuzi ya Mamlaka ya Rufani; ambaye “shauri” maana yake ni rufaa, malalamiko au maombi katika Mamlaka ya Rufani; “Sheria” maana yake ni Sheria ya Ununuzi wa Umma; na “rufaa” maana yake ni mchakato unaomuwezesha mzabuni ambaye hajaridhika na uamuzi, suala, kitendo au kutokutenda kwa afisa masuuli wa taasisi nunuzi au kufungiwa kwa mzabuni na Mamlaka kupata nafuu za kisheria; 2 Sura ya 410 Tangazo la Serikali Na.65 (Linaendelea.) Kanuni Za Rufaa Za Ununuzi wa Umma SEHEMU YA PILI RUFAA NA MALALAMIKO Rufaa
Part
SEHEMU YA PILI
- 4 Verify source ↗
Mzabuni yeyote anaweza kukata rufaa kwa
AI-assisted research summary: Mzabuni yeyote anaweza kukata rufaa kwa Mamlaka ya Rufani ndani ya muda uliowekwa.
4. Mzabuni yeyote anaweza kukata rufaa kwa Mamlaka ya Rufani- (a) ndani ya siku tano za kazi kutoka tarehe ya kupokea uamuzi wa afisa masuuli endapo hajaridhika na uamuzi, kitendo au kutokutenda kwa afisa masuuli wa taasisi nunuzi; au (b) ndani ya siku ishirini na moja kuanzia tarehe alipofahamu kuwepo kwa uamuzi wa Mamlaka wa kumfungia kushiriki katika zabuni za umma. Malalamiko - 5 Verify source ↗
Mzabuni
AI-assisted research summary: Any bidder may file a complaint with the Appeals Authority.
5. Mzabuni yeyote anaweza kuwasilisha malalamiko kwa Mamlaka ya Rufani- (a) ndani ya siku tano za kazi baada ya kumalizika kwa kipindi ambacho afisa masuuli alipaswa kutoa uamuzi kwa mujibu wa Sheria; au (b) ndani ya siku tano za kazi kutoka tarehe ambayo mzabuni alipata ufahamu wa kuanza kutekelezwa kwa mkataba wa ununuzi au uondoshaji mali au muda ambao mzabuni alipaswa kuanza kutekelezwa kwa mkataba wa ununuzi au uondoshaji mali. ufahamu wa kupata Sababu za rufaa au malalamiko - 6 Verify source ↗
Rufaa au malalamiko yatatokana na sababu
AI-assisted research summary: Rufaa au malalamiko yanaweza kutegemea sababu zilizoorodheshwa, ikiwemo zabuni kukubaliwa au kuenguliwa, masharti yasiyokubalika, mwenendo usiokubalika wa zabuni, au uamuzi wa taasisi nunuzi.
6. Rufaa au malalamiko yatatokana na sababu yoyote kati ya zifuatazo: (a) kukubaliwa au kuenguliwa kwa zabuni; (b) kusudio la kutoa mkataba au mkataba ulioingiwa; (c) ujumuishaji wa masharti yasiyokubalika katika nyaraka za zabuni; (d) mchakato au mwenendo wa zabuni usiokubalika; (e) uamuzi, kutenda au kutokutenda kwa taasisi nunuzi; (f) kufungiwa kwa mzabuni kushiriki katika zabuni za umma; 3 Tangazo la Serikali Na.65 (Linaendelea.) Kanuni Za Rufaa Za Ununuzi wa Umma (g) kukataliwa kwa zabuni zote pasipokuwa na sababu za msingi; au (h) sababu nyingine yoyote kwa mujibu wa Sheria. Uwasilishaji wa rufaa au malalamiko - 7 Verify source ↗
(1) Rufaa au malalamiko yatawasilishwa kwa
AI-assisted research summary: Rufaa au malalamiko lazima yawasilishwe kwa hati inayotakiwa na, kwa kawaida, kwa njia ya mfumo wa kielektroniki wa ununuzi wa umma kwa Mamlaka ya Rufani, isipokuwa Mamlaka ya Rufani iagize vinginevyo.
7.-(1) Rufaa au malalamiko yatawasilishwa kwa hati ya rufaa au malalamiko kama ilivyoainishwa katika PPAA Fomu Na. 1 ya Jedwali la Kwanza. (2) Rufaa au malalamiko yatawasilishwa kwa Mamlaka ya Rufani kwa njia ya mfumo wa kielektroniki wa ununuzi wa umma isipokuwa pale ambapo Mamlaka ya Rufani itaelekeza vinginevyo. Hati ya rufaa au malalamiko - 8 Verify source ↗
(1) Hati ya rufaa au malalamiko itapaswa kuwa
AI-assisted research summary: Hati ya rufaa au malalamiko inapaswa kuwa na taarifa na nyaraka maalum, na Mamlaka ya Rufani inaweza kuagiza nyaraka za ziada.
8.-(1) Hati ya rufaa au malalamiko itapaswa kuwa na taarifa zifuatazo: (a) taarifa binafsi za mrufani au mlalamikaji; (b) maelezo mafupi kuhusu rufaa au malalamiko; (c) sababu za rufaa au malalamiko; (d) orodha au vielelezo nyaraka vitakavyowasilishwa mbele ya Mamlaka ya Rufani; ya (e) nafuu zinazoombwa; na (f) taarifa za watakaohudhuria katika rufaa au malalamiko. (2) Kwa kuzingatia masharti ya kanuni ndogo ya (1), rufaa au malalamiko itaambatishwa na nyaraka zifuatazo: (a) nakala ya uamuzi wa afisa masuuli wa taasisi nunuzi, kama upo; na (b) nyaraka zote zilizoainishwa katika kanuni ndogo ya (1) (d). (3) Bila kuathiri masharti ya kanuni ndogo ya (1) na (2), Mamlaka ya Rufani inaweza kuamuru mhusika yeyote katika rufaa au malalamiko kuwasilisha nyaraka yoyote inayoweza kuwa muhimu katika kuamua rufaa au malalamiko ambayo yameletwa mbele yake. Kuongeza muda - 9 Verify source ↗
(1) Maombi ya kuongezewa muda wa
AI-assisted research summary: Maombi ya kuongezewa muda wa kuwasilisha rufaa au malalamiko nje ya muda lazima yawasilishwe kwa Mamlaka ya Rufani ndani ya siku 4 za kazi, na yatumie PPAA Fomu Na. 2.
9.-(1) Maombi ya kuongezewa muda wa kuwasilisha rufaa au malalamiko nje ya muda yatawasilishwa kwa Mamlaka ya Rufani ndani ya siku 4 Tangazo la Serikali Na.65 (Linaendelea.) Kanuni Za Rufaa Za Ununuzi wa Umma tano za kazi kutoka tarehe ambayo mleta maombi alitakiwa kuwasilisha rufaa au malalamiko yake. (2) Maombi chini ya kanuni hii yatawasilishwa kwa kutumia PPAA Fomu Na. 2 kama ilivyoainishwa katika Jedwali la Kwanza. SEHEMU YA TATU TARATIBU ZA JUMLA ZA KUSHUGHULIKIA MASHAURI Lugha ya Mamlaka ya Rufani
Part
SEHEMU YA TATU
- 10 Verify source ↗
Lugha itakayotumiwa na Mamlaka ya Rufani
AI-assisted research summary: Mamlaka ya Rufani lazima itumie Kiswahili au Kiingereza, na amri au uamuzi wake lazima uwe katika Kiswahili au Kiingereza.
10. Lugha itakayotumiwa na Mamlaka ya Rufani itakuwa ni kiswahili au kiingereza na amri au uamuzi wa Mamlaka ya Rufani utakuwa katika lugha ya kiswahili au kiingereza. Usikilizwaji wa shauri - 11 Verify source ↗
(1) Shauri
AI-assisted research summary: The Appellate Authority chooses the method for hearing a case; hearings may be based on oral or written submissions.
11.-(1) Shauri linaweza kusikilizwa kwa uwasilishwaji wa hoja kwa njia ya mdomo au maandishi. (2) Bila kuathiri kanuni ndogo ya (1), Mamlaka ya Rufani itachagua njia ambayo itatumika kusikiliza shauri. Akidi - 12 Verify source ↗
(1) Akidi ya vikao vya Mamlaka ya Rufani
AI-assisted research summary: The Appeal Authority panel must have at least three members, with rules for appointing an acting chair and for tie-breaking votes.
12.-(1) Akidi ya vikao vya Mamlaka ya Rufani itakuwa na angalau wajumbe watatu. (2) Iwapo mwenyekiti wa Mamlaka ya Rufani hayupo- (a) kutokana na sababu ya utekelezaji wa majukumu mengine, atateua mmoja wa wajumbe kukaimu nafasi yake; au (b) kutokana na sababu zingine zozote, wajumbe wanaounda jopo katika kila kikao watateua mmoja wao kuwa mwenyekiti. (3) Katika kikao cha shauri, uamuzi wa wajumbe walio wengi utachukuliwa kuwa ndiyo uamuzi wa Mamlaka ya Rufani: Isipokuwa kwamba, mjumbe anayetofautiana na uamuzi huo atapaswa kuandika uamuzi tofauti na sababu za uamuzi huo zitanakiliwa katika taarifa za mwenendo wa shauri. (4) Endapo idadi ya wajumbe ni shufwa na idadi ya wanaokubali na wanaopinga uamuzi inalingana, mwenyekiti atakuwa na kura ya turufu ikiwa ni nyongeza ya kura yake ya uamuzi. 5 Tangazo la Serikali Na.65 (Linaendelea.) Kanuni Za Rufaa Za Ununuzi wa Umma Marekebisho ya hati ya shauri Taarifa ya shauri na uwasilishaji wa majibu - 13 Verify source ↗
(1) Katibu Mtendaji anaweza kutoa maelekezo
AI-assisted research summary: Katibu Mtendaji anaweza kutoa maelekezo ya kurekebisha hati ya shauri kabla ya tarehe ya kusikilizwa, na mrufani, mlalamikaji au mleta maombi anaweza kurekebisha hati hiyo ndani ya siku mbili za kazi tangu iwasilishwe.
13.-(1) Katibu Mtendaji anaweza kutoa maelekezo ya kurekebisha hati ya shauri muda wowote kabla ya tarehe ya kusikilizwa kwa shauri. (2) Mrufani, mlalamikaji au mleta maombi anaweza kurekebisha hati ya shauri ndani ya siku mbili za kazi kutoka tarehe ya kuwasilishwa kwa hati hiyo. - 14 Verify source ↗
(1) Baada ya kupokelewa kwa shauri, Katibu
AI-assisted research summary: Katibu Mtendaji lazima ajulishe upande husika kuhusu shauri na aombe majibu ndani ya siku tano za kazi; washiriki wanaweza kuomba muda zaidi, Mamlaka ya Rufani inaweza kuongeza siku tatu za kazi, na majibu yasipowasilishwa kesi inaweza kusikilizwa upande mmoja na kuamuliwa.
14. (1) Baada ya kupokelewa kwa shauri, Katibu Mtendaji atamjulisha mrufaniwa, mlalamikiwa au mjibu maombi juu ya uwepo wa shauri dhidi yake na kumtaka kuwasilisha majibu ya hati ya shauri ndani ya siku tano za kazi kutoka siku ya kupokea taarifa ya shauri. (2) Mrufaniwa au mlalamikiwa atawasilisha hati ya majibu ya shauri na nyaraka zote muhimu au taarifa zinazohusiana na shauri husika kwa Mamlaka ya Rufani kwa kutumia PPAA Fomu Na. 3 kama ilivyoainishwa katika Jedwali la Kwanza. (3) Mjibu maombi atawasilisha hati ya majibu ya shauri na nyaraka zote muhimu au taarifa zinazohusiana na shauri husika kwa Mamlaka ya Rufani kwa kutumia PPAA Fomu Na. 4 kama ilivyoainishwa katika Jedwali la Kwanza. (4) Mrufaniwa, mlalamikiwa au mjibu maombi anaweza kuomba kwa Mamlaka ya Rufani kuongezewa muda wa kuwasilisha majibu ya hati ya shauri, kabla ya kuisha muda wa kuwasilisha majibu hayo. (5) Mamlaka ya Rufani inaweza kuongeza muda wa siku tatu za kazi kwa mrufaniwa, mlalamikiwa au mjibu maombi kuwasilisha majibu ya hati ya rufaa, malalamiko au maombi. (6) Endapo mrufaniwa, mlalamikiwa au mjibu maombi ameshindwa kuwasilisha majibu ndani ya muda ulioainishwa katika kanuni hii, Mamlaka ya Rufani itaendelea na shauri kwa kusikiliza upande mmoja na kutoa hukumu. Ruhusa ya kutosimamisha mchakato - 15 Verify source ↗
Kwa kuzingatia masharti ya kifungu cha 124
AI-assisted research summary: The appellant must submit the permit issued by the Appeals Authority allowing the process not to be suspended, subject to section 124(3).
15. Kwa kuzingatia masharti ya kifungu cha 124 (3) cha Sheria, mrufaniwa atatakiwa kuwasilisha kwa 6 Tangazo la Serikali Na.65 (Linaendelea.) Kanuni Za Rufaa Za Ununuzi wa Umma Mamlaka ya Rufani kibali cha kuruhusiwa kutosimamisha mchakato kilichotolewa na Mamlaka. Mzabuni mwenye maslahi kujiunga kuwa sehemu ya shauri
Part
sehemu ya
- 16 Verify source ↗
Mzabuni mwenye maslahi, ndani ya siku tano
AI-assisted research summary: An interested bidder may join a case as a party by giving notice on PPAA Form No. 5 within five working days after receiving the case file.
16. Mzabuni mwenye maslahi, ndani ya siku tano za kazi tangu kupokea hati ya shauri, anaweza kujiunga kuwa sehemu ya wahusika wa shauri kwa kutoa taarifa kwa kutumia PPAA Fomu Na. 5 kama ilivyoainishwa katika Jedwali la Kwanza. Kuunganisha mashauri Maoni ya kitaalamu Uwasilishaji wa hoja mpya Kuondolewa kwa shauri - 17 Verify source ↗
Mamlaka ya Rufani ikiona inafaa, inaweza
AI-assisted research summary: Mamlaka ya Rufani inaweza, ikiwa itaona inafaa, kuamuru mashauri mawili au zaidi yaunganishwe.
17. Mamlaka ya Rufani ikiona inafaa, inaweza kuamuru mashauri mawili au zaidi yaunganishwe. - 18 Verify source ↗
(1) Mamlaka ya Rufani inaweza kumuita mtu
AI-assisted research summary: Mamlaka ya Rufani inaweza kumwita mtu yeyote kutoa maoni ya kitaalamu ikiwa inaona maoni hayo ni muhimu kwa haki katika shauri lililo mbele yake, na lazima ilipe posho ya kujikimu na gharama ya usafiri kwa aliyeitwa.
18.-(1) Mamlaka ya Rufani inaweza kumuita mtu yeyote kutoa maoni ya kitaalamu iwapo inaamini kuwa maoni hayo ni muhimu kwa utoaji haki katika shauri lililoletwa mbele yake. (2) Wito chini ya kanuni hii utatolewa kwa kutumia PPAA Fomu Na. 6 kama ilivyoainishwa katika Jedwali la Kwanza. (3) Mamlaka ya Rufani italipa posho ya kujikimu na gharama ya usafiri kwa viwango vya Mamlaka ya Rufani kwa mtu atakayeitwa kwa mujibu wa kanuni hii.
Part
Jedwali la Kwanza.
- 19 Verify source ↗
Wakati wa usikilizaji wa shauri wahusika
AI-assisted research summary: Wakati wa kusikilizwa kwa shauri, wahusika hawapaswi kuwasilisha hoja mpya ambazo hazikuwepo awali, isipokuwa kama wamepewa ruhusa na Mamlaka ya Rufani.
19. Wakati wa usikilizaji wa shauri wahusika hawatawasilisha hoja mpya ambazo hazikuwepo awali ambapo katika hati wameruhusiwa na Mamlaka ya Rufani. isipokuwa pale shauri za - 20 Verify source ↗
(1) Mrufani, mlalalamikaji au mleta maombi
AI-assisted research summary: A case may be withdrawn from the Appeal Authority before a decision is made, but a fee applies if notice is given within three days before the hearing starts or before the decision.
20.-(1) Mrufani, mlalalamikaji au mleta maombi anaweza kutoa taarifa ya kuondoa shauri lake kwa Mamlaka ya Rufani muda wowote kabla ya uamuzi kutolewa: Isipokuwa kwamba, endapo mrufani, mlalamikaji au mleta maombi atatoa taarifa ya kuondoa shauri siku tatu kabla ya kuanza kusikilizwa kwa shauri lake au kabla ya uamuzi, atatakiwa kulipa ada iliyoainishwa katika Jedwali la Pili. (2) Taarifa ya kuondoa shauri chini ya kanuni hii itatolewa kupitia mfumo wa kielektroniki au nje ya mfumo wa kielektroniki kwa shauri lililosajiliwa nje ya mfumo. 7 Tangazo la Serikali Na.65 (Linaendelea.) Kanuni Za Rufaa Za Ununuzi wa Umma (3) Endapo shauri litaondolewa chini ya kanuni hii, Katibu Mtendaji atatuma kwa wahusika nakala ya taarifa ya kuondolewa kwa shauri na anaweza kuambatisha nyaraka yoyote inayohusiana na shauri hilo. SEHEMU YA NNE USIKILIZAJI WA SHAURI KWA UWASILISHAJI WA HOJA KWA NJIA YA MDOMO Notisi ya usikilizaji wa shauri - 22 Verify source ↗
Utaratibu wa uendeshaji wa mashauri mbele ya
AI-assisted research summary: Proceedings before the Appeal Authority must be simple and are not bound by technical conditions or mandatory judicial evidence rules.
22.Utaratibu wa uendeshaji wa mashauri mbele ya Mamlaka ya Rufani utakuwa rahisi na hautafungwa na masharti ya kiufundi au kanuni za lazima za ushahidi wa kimahakama. Kuhudhuria kwa mrufani, mlalamikaji au mleta maombi pekee - 23 Verify source ↗
Endapo mrufani, mlalamikaji au mleta maombi
AI-assisted research summary: Mrufani, mlalamikaji au mleta maombi anaweza kuomba shauri lisikilizwe upande mmoja ikiwa ni yeye pekee aliyefika na notisi imepokelewa ipasavyo lakini upande mwingine hakuja bila sababu za msingi.
23. Endapo mrufani, mlalamikaji au mleta maombi pekee amehudhuria katika muda na tarehe iliyopangwa kusikilizwa kwa shauri na imethibitika kwamba notisi ya ipasavyo na mrufaniwa, usikilizwaji mlalamikiwa au mjibu maombi lakini ameshindwa kuhudhuria bila sababu za msingi, mrufani, mlalamikaji au mleta maombi anaweza kuomba shauri lisikilizwe upande mmoja. ilipokelewa Kutengua uamuzi uliosikilizwa upande mmoja - 24 Verify source ↗
(1) Endapo uamuzi umetolewa baada ya shauri
AI-assisted research summary: A person affected by a decision made after a one-sided hearing may ask the Appeals Authority to cancel it within 5 days of service.
24.-(1) Endapo uamuzi umetolewa baada ya shauri kusikilizwa upande mmoja kwa mujibu wa kanuni ya 24, mrufaniwa, mlalamikiwa au mjibu maombi ndani ya siku tano kutoka tarehe ambayo uamuzi uliwasilishwa kwake 8 Tangazo la Serikali Na.65 (Linaendelea.) Kanuni Za Rufaa Za Ununuzi wa Umma anaweza kuiomba Mamlaka ya Rufani kutengua uamuzi huo. (2) Maombi chini ya kanuni hii yatawasilishwa kwa Mamlaka ya Rufani kwa kutumia PPAA Fomu Na. 8 kama ilivyoainishwa katika Jedwali la Kwanza. (3) Iwapo Mamlaka ya Rufani itaridhika kuwa kuna sababu za msingi ambazo zilimzuia mrufaniwa, mlalamikiwa au mjibu maombi kutohudhuria katika shauri, itatengua uamuzi uliotolewa kwa kusikiliza shauri upande mmoja na itapanga tarehe nyingine ya kusikiliza shauri pande zote. Kuhudhuria kwa mrufaniwa, mlalamikiwa au mjibu maombi pekee - 25 Verify source ↗
Endapo mrufaniwa, mlalamikiwa au mjibu
AI-assisted research summary: If only the respondent side attends a scheduled hearing and the hearing notice was properly received but the other side fails to attend without good reason, the appeal authority must dismiss the case.
25. Endapo mrufaniwa, mlalamikiwa au mjibu maombi pekee amehudhuria katika tarehe na muda uliopangwa kusikilizwa kwa shauri na imethibitika kwamba notisi ya usikilizwaji ilipokelewa ipasavyo na mrufani, mlalamikaji au mleta maombi lakini ameshindwa kuhudhuria bila sababu za msingi, Mamlaka ya Rufani itafuta shauri hilo. Wahusika kushindwa kuhudhuria katika shauri - 26 Verify source ↗
Endapo hakuna mhusika yeyote wa shauri
AI-assisted research summary: Mamlaka ya Rufani inaweza kufuta shauri ikiwa hakuna mhusika aliyehudhuria bila sababu ya msingi na wote walipata notisi ya tarehe na muda wa kusikilizwa.
26. Endapo hakuna mhusika yeyote wa shauri aliyehudhuria wakati wa kusikilizwa kwa shauri bila sababu ya msingi, na imethibitika kwamba wahusika wote walipokea notisi ya tarehe na muda wa kusikilizwa kwa shauri, Mamlaka ya Rufani inaweza kufuta shauri hilo. Maombi ya kurejesha shauri - 27 Verify source ↗
(1) Endapo shauri limefutwa kwa mujibu wa
AI-assisted research summary: If a case is dismissed under the cited rules, the appellant, complainant, or applicant may ask the Appeal Authority to reinstate it.
27.-(1) Endapo shauri limefutwa kwa mujibu wa kanuni ya 26 na 27, mrufani, mlalamikaji au mleta maombi anaweza kuiomba Mamlaka ya Rufani kurejesha shauri hilo. (2) Maombi chini ya kanuni hii, yatawasilishwa kwa Mamlaka ya Rufani ndani ya siku tano kutoka tarehe ambayo uamuzi wa kufuta shauri hilo uliwasilishwa kwa mrufani, mlalamikaji au mleta maombi kwa kutumia PPAA Fomu Na. 9 kama ilivyoainishwa katika Jedwali la Kwanza. (3) Iwapo Mamlaka ya Rufani itaridhika kuwa kuna sababu za msingi inaweza kutoa uamuzi wa kurejesha shauri. 9 Tangazo la Serikali Na.65 (Linaendelea.) Kanuni Za Rufaa Za Ununuzi wa Umma SEHEMU YA TANO USIKILIZAJI WA SHAURI KWA UWASILISHAJI WA HOJA KWA NJIA YA MAANDISHI Usikilizaji wa shauri kwa uwasilishaji wa hoja kwa njia ya maandishi Utaratibu wa uwasilishaji wa hoja kwa njia ya maandishi
Part
SEHEMU YA NNE
- 21 Verify source ↗
(1) Baada ya kukamilika kwa taratibu zote za
AI-assisted research summary: Baada ya hati za shauri kukamilika, Katibu Mtendaji anatakiwa kutoa notisi ya siku tano kwa wahusika; mpokeaji wa notisi lazima aikiri, na mhusika anaweza kujifuatisha na mtu au mtaalamu wakati wa usikilizaji kwa gharama yake.
21.-(1) Baada ya kukamilika kwa taratibu zote za kuwasilisha hati za shauri, Katibu Mtendaji atatoa notisi ya siku tano ya kusikilizwa kwa shauri kwa wahusika kwa kutumia PPAA Fomu Na. 7 kama ilivyoainishwa katika Jedwali la Kwanza. (2) Mzabuni au taasisi nunuzi ambayo imepokea taarifa ya kusikilizwa kwa shauri, itapaswa kukiri kupokea notisi hiyo. (3) Wakati wa usikilizaji wa shauri, mhusika anaweza, kwa gharama zake, kuambatana na mtu yeyote au mtaalamu ambaye atamuona ni muhimu katika kufafanua hoja za shauri. Utaratibu wa uendeshaji wa mashauri
Part
SEHEMU YA TANO
- 28 Verify source ↗
(1) Baada ya kukamilika kwa taratibu zote za
AI-assisted research summary: Katibu Mtendaji lazima atoe notisi kwa wahusika kwa kutumia PPAA Fomu Na.10 baada ya taratibu za kuwasilisha hati za shauri kukamilika.
28.-(1) Baada ya kukamilika kwa taratibu zote za kuwasilisha hati za shauri, Katibu Mtendaji atatoa notisi kwa wahusika kwa kutumia PPAA Fomu Na.10 kama ilivyoainishwa katika Jedwali la Kwanza kuwataarifu utaratibu wa kuwasilisha hoja zao kwa njia ya maandishi. (2) Uwasilishaji wa hoja kwa njia ya maandishi chini ya sehemu hii utafanyika kupitia mfumo wa kielektroniki au nje ya mfumo wa kielektroniki kwa shauri lililosajiliwa nje ya mfumo. - 29 Verify source ↗
(1) Mrufani, mlalamikaji au mleta maombi
AI-assisted research summary: Parties must file written submissions within 3 working days of notice, the Executive Secretary must send them to the other side, responses are due within 3 working days, and the original party may file a supplementary reply within 2 working days.
29.-(1) Mrufani, mlalamikaji au mleta maombi atatakiwa kuwasilisha hoja kwa njia ya maandishi ndani ya siku tatu za kazi kutoka tarehe ya kupokea notisi na Katibu Mtendaji atawasilisha mawasilisho hayo kwa mrufaniwa, mlalamikiwa au mjibu maombi . (2) Mrufaniwa, mlalamikiwa au mjibu maombi atatakiwa kuwasilisha majibu yake kwa maandishi dhidi ya hoja za mrufani, mlalamikaji au mleta maombi ndani ya siku tatu za kazi kutoka tarehe ya kupokea hoja za maandishi za mrufani, mlalamikaji au mleta maombi. (3) Mrufani, mlalamikaji au mleta maombi baada ya kupokea majibu ya hoja za maandishi atakuwa na haki ya kuwasilisha majibu ya nyongeza, kama yapo, ndani ya siku mbili za kazi kutoka siku ya kupokea majibu ya hoja kutoka kwa mrufaniwa, mlalamikiwa au mjibu maombi. Kushindwa kuwasilisha hoja kwa maandishi - 30 Verify source ↗
Endapo mrufani, mlalamikaji au mleta maombi
AI-assisted research summary: Iwapo mrufani, mlalamikaji au mleta maombi hakuwasilisha hoja zake kwa maandishi kwa tarehe iliyopangwa na inathibitika kwamba notisi ilipokelewa ipasavyo, Mamlaka ya Rufani inaweza kufuta shauri lake.
30. Endapo mrufani, mlalamikaji au mleta maombi ameshindwa kuwasilisha hoja zake kwa maandishi katika tarehe iliyopangwa na iwapo imethibitika kuwa notisi ilipokelewa ipasavyo, Mamlaka ya Rufani itafuta shauri lake. Maombi ya kurejesha shauri - 31 Verify source ↗
(1) Shauri lililofutwa kwa mujibu wa kanuni
AI-assisted research summary: Shauri lililofutwa chini ya kanuni ya 31 linaweza kuombwa lirejeshwe kwa kuwasilisha maombi kwa Mamlaka ya Rufani.
31.-(1) Shauri lililofutwa kwa mujibu wa kanuni ya 31 linaweza kurejeshwa kwa kuwasilisha maombi kwa Mamlaka ya Rufani. 10 Tangazo la Serikali Na.65 (Linaendelea.) Kanuni Za Rufaa Za Ununuzi wa Umma Kushindwa kuwasilisha majibu Kutengua uamuzi uliosikilizwa upande mmoja Uamuzi (2) Utaratibu wa maombi ya kurejesha shauri uliotumika chini ya kanuni ya 28 utatumika kwenye maombi chini ya kanuni hii pamoja na mabadiliko yanayofaa. - 32 Verify source ↗
Endapo mrufani, mlalamikaji au mleta maombi
AI-assisted research summary: If the written submissions have been filed, the other side has missed the scheduled response date, and notice was properly received, the Appeals Authority may decide the case based on only one side’s submission.
32. Endapo mrufani, mlalamikaji au mleta maombi amewasilisha hoja zake za maandishi na mrufaniwa, mlalamikiwa au mjibu maombi ameshindwa kuwasilisha majibu yake katika tarehe iliyopangwa na imethibitika kwamba notisi ilipokelewa ipasavyo, Mamlaka ya Rufani inaweza kuendelea kutoa uamuzi wa shauri kwa kuangalia wasilisho la upande mmoja. - 33 Verify source ↗
(1) Endapo uamuzi umetolewa kwa shauri
AI-assisted research summary: If a decision was made in a case heard ex parte under rule 24, the respondent or applicant may ask the Appellate Authority to set it aside.
33.-(1) Endapo uamuzi umetolewa kwa shauri lililosikilizwa upande mmoja chini ya kanuni ya 24, mrufaniwa, mlalamikiwa au mjibu maombi, anaweza kuiomba Mamlaka ya Rufani kutengua uamuzi huo. (2) Utaratibu wa maombi ya kutengua uamuzi wa shauri lililosikilizwa upande mmoja uliotumika kwenye kanuni ya 25 utatumika kwenye maombi chini ya kanuni hii pamoja na mabadiliko yanayofaa. SEHEMU YA SITA UAMUZI NA UTEKELEZAJI WAKE
Part
SEHEMU YA SITA
- 34 Verify source ↗
(1) Mamlaka ya Rufaa, itatoa uamuzi ndani ya
AI-assisted research summary: Mamlaka ya Rufaa lazima itoe uamuzi ndani ya siku tano za kazi baada ya kusikiliza shauri, na Katibu Mtendaji lazima atoe nakala ya uamuzi kwa wahusika wa shauri ndani ya siku tano za kazi kuanzia tarehe ya uamuzi.
34.-(1) Mamlaka ya Rufaa, itatoa uamuzi ndani ya siku tano za kazi baada ya kukamilisha usikilizaji wa shauri. (2) Uamuzi wa Mamlaka ya Rufani utakuwa kwa tarehe na maandishi na utasainiwa na kuwekwa mwenyekiti na wajumbe wote waliohudhuria kwenye shauri na utajumuisha yafuatayo: (a) maelezo mafupi ya hoja zilizowasilishwa; (b) hoja zinazobishaniwa; (c) uamuzi juu ya hoja zinazobishaniwa; (d) sababu ya uamuzi; na (e) nafuu itakayotolewa. (3) Mamlaka ya Rufani itatoa amri kwa ajili ya utekelezaji wa uamuzi wake. 11 Tangazo la Serikali Na.65 (Linaendelea.) Kanuni Za Rufaa Za Ununuzi wa Umma Maombi ya kukazia uamuzi Sura ya 33, Sura ya 5 (4) Katibu Mtendaji ndani ya siku tano za kazi kuanzia tarehe ya kutolewa kwa uamuzi, atatoa nakala ya uamuzi huo kwa wahusika wa shauri. - 35 Verify source ↗
(1) Mshindi wa tuzo anaweza kuwasilisha
AI-assisted research summary: The award winner may apply to the Appellate Authority within 14 days of the decision, and the Authority may then issue enforcement-related orders and notices.
35.-(1) Mshindi wa tuzo anaweza kuwasilisha maombi ya kukazia uamuzi kwa Mamlaka ya Rufani baada ya siku kumi na nne kutoka tarehe ya uamuzi. (2) Uwasilishaji wa maombi chini ya kanuni hii utafanyika kwa kutumia PPAA Fomu Na. 11 kama ilivyoainishwa katika Jedwali la Kwanza, na Mamlaka ya Rufani inaweza kutoa amri ya utekelezaji. (3) Notisi ya wito wa kufika mbele ya Mamlaka ya Rufani kutoa sababu kwa nini utekelezaji wa amri usifanyike dhidi ya mdaiwa, itatolewa kwa mdaiwa kwa kutumia PPAA Fomu Na. 12 kama ilivyoainishwa katika Jedwali la Kwanza na nakala itatumwa kwa mshindi wa tuzo. (4) Baada ya kusikiliza maombi chini ya kanuni hii, Mamlaka ya Rufani itatoa tuzo yenye taarifa zifuatazo: (a) namba ya shauri; (b) tarehe ya tuzo; (c) majina na maelezo ya wahusika wa shauri; na (d) maelezo ya madai na nafuu zilizotolewa. (5) Utekelezaji wa amri iliyotolewa na Mamlaka ya Rufani utafanyika kwa mujibu wa Sheria ya Mwenendo wa Mashauri ya Madai na Sheria ya Mwenendo wa Mashauri ya Serikali. SURA YA SABA MASHARTI MENGINEYO Ada Fomu
Part
Jedwali la Kwanza na nakala itatumwa kwa mshindi wa
- 36 Verify source ↗
Mamlaka ya Rufani itatoza ada kutokana na
AI-assisted research summary: Mamlaka ya Rufani lazima itoeza ada kwa huduma inazotoa kulingana na Jedwali la Pili.
36. Mamlaka ya Rufani itatoza ada kutokana na huduma inazozitoa kama ilivyoainishwa katika Jedwali la Pili. - 37 Verify source ↗
Fomu zitakazotumika chini ya Kanuni hizi
AI-assisted research summary: The forms to be used under these Rules are those set out in the First Schedule.
37. Fomu zitakazotumika chini ya Kanuni hizi zitakuwa kama zilivyoainishwa katika Jedwali la Kwanza. Mapitio ya Mahakama - 38 Verify source ↗
Mzabuni au taasisi nunuzi ambayo haijaridhika
AI-assisted research summary: Mzabuni au taasisi nunuzi isiyoridhika na uamuzi wa Mamlaka ya Rufani inaweza kuomba mapitio ya kimahakama katika Mahakama Kuu ndani ya siku 14 tangu uamuzi utolewe.
38. Mzabuni au taasisi nunuzi ambayo haijaridhika na uamuzi wa Mamlaka ya Rufani, ndani ya siku kumi na 12 Tangazo la Serikali Na.65 (Linaendelea.) Kanuni Za Rufaa Za Ununuzi wa Umma Sura ya 410 Kumbukumbu za mwenendo Kufutwa TS.Na. 411 la 2014 nne tangu tarehe ya kutolewa kwa uamuzi wa Mamlaka ya Rufani, inaweza kuomba mapitio ya kimahakama katika Mahakama Kuu kwa mujibu wa Sheria. - 39 Verify source ↗
Kumbukumbu za mwenendo wa shauri mbele
AI-assisted research summary: Rekodi za mwenendo wa shauri mbele ya Mamlaka ya Rufani zinapaswa kunakiliwa kwa matumizi ya Mamlaka ya Rufani na wajumbe au mtu mwingine aliyeidhinishwa.
39. Kumbukumbu za mwenendo wa shauri mbele ya Mamlaka ya Rufani zitanakiliwa kwa matumizi ya Mamlaka ya Rufani na wajumbe au mtu mwingine aliyeidhinishwa. - 40 Verify source ↗
Kanuni za Rufaa za Ununuzi wa Umma za
AI-assisted research summary: The 2014 Public Procurement Appeals Regulations are repealed.
40. Kanuni za Rufaa za Ununuzi wa Umma za Mwaka 2014 zinafutwa. 13 Tangazo la Serikali Na.65 (Linaendelea.) Kanuni Za Rufaa Za Ununuzi wa Umma _____________ JEDWALI LA KWANZA _____________ (Limetengenezwa chini ya kanuni ya 4) PPAA FOMU NA.1 KATIKA MAMLAKA YA RUFANI YA ZABUNI ZA UMMA INAYOKETI ………………. KATIKA SHAURI LA RUFAA/ MALALAMIKO NA. …………….. LA MWAKA …………………….. ………………………..…………………………. MRUFANI/MLALAMIKAJI KATI YA ..………………………………………… MRUFANIWA /MLALAMIKIWA NA HATI YA RUFAA/MALALAMIKO (Imetengenezwa chini ya kanuni ya 8(1))
Part
JEDWALI LA KWANZA
- 1 Verify source ↗
Section 1
AI-assisted research summary: The form asks the complainant/appellant to provide personal and business details, including name, business type, address, contact information, and tender number.
1. TAARIFA BINAFSI ZA MRUFANI/MLALAMIKAJI (a) Jina : …………………………………………………..…………….. (b) Aina ya Biashara: ………..…………………………………………. (c) Anwani ya Posta …………………………………………………… (d) Jiji, Manispaa, Mji, Wilaya ………………………….………………………. (e) Namba ya Simu .…………………………………………………… (f) Barua pepe …………………… (g) Namba ya Zabuni. …………………………………………….., kwa ajili ya ……………………………………………………... (taja aina ya Zabuni) 14 Tangazo la Serikali Na.65 (Linaendelea.) Kanuni Za Rufaa Za Ununuzi wa Umma - 2 Verify source ↗
Section 2
AI-assisted research summary: This section asks for brief details about an appeal or complaint, including the tender announcement date, bid opening date if any, and the date of the decision being appealed if any.
2. MAELEZO MAFUPI KUHUSIANA NA RUFAA/MALALAMIKO: (Kama nafasi iliyotengwa haitoshi unaweza kuongeza kurasa za nyongeza kadiri itakavyohitajika): (a) Tarehe ya kutangazwa zabuni /Mwaliko wa zabuni………………… (b) Tarehe ya ufunguzi wa zabuni (kama ipo) …………………………. (c) Tarehe ya uamuzi unaokatiwa rufaa (kama upo) …………………… - 3 Verify source ↗
Section 3
AI-assisted research summary: Hii sehemu ni ya kuandika sababu za rufaa au malalamiko; ukosefu wa nafasi unaweza kuongezewa kurasa za nyongeza.
3. SABABU ZA RUFAA/MALALAMIKO: (Kama nafasi iliyotengwa haitoshi unaweza kuongeza kurasa za nyongeza kadiri itakavyohitajika) ……………………………………………………………………………………….. ……………………………………………………………………………………….. ……………………………………………………………………………………….. - 4 Verify source ↗
Section 4
AI-assisted research summary: This section lists the documents or attachments to be submitted with an appeal or complaint.
4. MAMLAKA YA RUFANI ORODHA YA NYARAKA AU VIELELEZO VITAKAVYOWASILISHWA MBELE YA (Toa maelezo kwa kifupi kwa kila nyaraka au kielelezo kilichoambatishwa katika Hati ya Rufaa/Malalamiko kwa mtiririko wa matukio): Na. ya Kiambatisho Maelezo ya Kiambatisho Tarehe - 5 Verify source ↗
Section 5
AI-assisted research summary: Section 5 lists requested requirements/items, with four blank sub-items to be filled in.
5. NAFUU ZINAZOOMBWA (i) .………………………………………………………………….. (ii) …………………………………………………………………… (iii) …………………………………………………………………… (iv) …………………………………………………………………… 15 Tangazo la Serikali Na.65 (Linaendelea.) Kanuni Za Rufaa Za Ununuzi wa Umma - 6 Verify source ↗
Section 6
AI-assisted research summary: This section provides a form for requesting extra time to submit an appeal or complaint.
6. TAARIFA ZA WATAKAOHUDHURIA KATIKA RUFAA/MALALAMIKO Jina Wadhifa Anwani Imesainiwa leo tarehe……………mwezi ……………….. mwaka………. Jina ………………………………………. Wadhifa ………………………………….. Saini …………………………. (Saini ya Mrufani au Mwakilishi halali). KWA MATUMIZI YA OFISI TU: Imepokelewa na Mamlaka ya Rufani leo tarehe ………mwezi ……mwaka … saa ………. Jina :………………………………………Wadhifa:……………………….…. Saini…………………………....……Muhuri wa Ofisi……………………… 16 Tangazo la Serikali Na.65 (Linaendelea.) Kanuni Za Rufaa Za Ununuzi wa Umma PPAA FOMU NA. 2 KATIKA MAMLAKA YA RUFANI YA ZABUNI ZA UMMA INAYOKETI ………………. KATIKA SHAURI LA MAOMBI NA. …………….. YA MWAKA …………………….. KATI YA ………………………………………………………………….. MLETA MAOMBI NA …………..……………………………………………………… MJIBU MAOMBI MAOMBI YA KUONGEZEWA MUDA WA KUWASILISHA RUFAA/MALALAMIKO (Imetengenezwa chini ya kanuni ya 10(2)) - 1 Verify source ↗
Section 1
AI-assisted research summary: This section is a form asking the applicant to provide personal and contact details.
1. TAARIFA BINAFSI ZA MLETA MAOMBI (a) Jina :…………………………………………………..…………….. (b) Aina ya Biashara: ………..…………………………………………. (c) Anwani ya Posta …………………………………………………… (d) Jiji, Manispaa, Mji, Wilaya ………………………….………………………. (e) Namba ya Simu .…………………………………………………… (f) Barua pepe …………………… MAELEZO YA MAOMBI - 2 Verify source ↗
Section 2
AI-assisted research summary: Fomu hii hutumiwa kuomba Mamlaka ya Rufani iongeze muda wa kuwasilisha rufaa au malalamiko nje ya muda.
2. Mleta maombi tajwa alishiriki katika zabuni Na. …… kwa ajili ya ………….. (maelezo ya zabuni), iliyotangazwa na ………… (taasisi nunuzi) tarehe ..................(tarehe iliyotangazwa) na matokeo ya zabuni hiyo yaliwasilishwa kwa mleta maombi tarehe ……….. (tarehe ya kusudio la kutoa tuzo) anaomba kwa Mamlaka ya Rufani kuongezewa muda ili aweze kuwasilisha rufaa/malalamiko yake nje ya muda kwa sababu zifuatazo: - ………………………………………………………………………………………………………… ………………………………………………………………………………………………………… ………………………………………………………………………………………………………… ……………………………… 17 Tangazo la Serikali Na.65 (Linaendelea.) Kanuni Za Rufaa Za Ununuzi wa Umma Mleta maombi anaambatisha nyaraka/vielelezo vifuatavyo kuthibitisha sababu za maombi (kama vipo) (i)………………………….. (ii). …………………………. (iii). ………………................ Imesainiwa leo tarehe……………mwezi ……………….. mwaka………. Jina ………………………………………….. Wadhifa ……………………………………... Saini …………………………. (Saini ya mleta maombi au mwakilishi halali). KWA MATUMIZI YA OFISI TU: Imepokelewa na Mamlaka ya Rufani leo tarehe ………mwezi ……mwaka …… saa ………. Jina :………………………………………Wadhifa:……………………….…. Saini…………………………....……Muhuri wa Ofisi……………………… 18 Tangazo la Serikali Na.65 (Linaendelea.) Kanuni Za Rufaa Za Ununuzi wa Umma PPAA FOMU NA. 3 KATIKA MAMLAKA YA RUFANI YA ZABUNI ZA UMMA INAYOKETI ………………. KATIKA SHAURI LA RUFAA/MALALAMIKO NA. …………….. LA MWAKA …………….. KATI YA ……………………………………………… MRUFANI/MLALAMIKAJI NA …………………………..........................MRUFANIWA/MLALAMIKIWA HATI YA MAJIBU YA RUFAA/MALALAMIKO (Imetengenezwa chini ya kanuni ya 15(2)) - 1 Verify source ↗
Section 1
AI-assisted research summary: The form requests the bidder’s personal and business details, including name, business type, postal address, location, phone number, email, bid number, and the type of tender process used.
1. (a) Jina :…………………………………………………..…………….. TAARIFA BINAFSI ZA MRUFANIWA/MLALAMIKIWA (b) Aina ya Biashara: ………..…………………………………………. (c) Anwani ya Posta …………………………………………………… (d) Jiji, Manispaa, Mji, Wilaya ………………………….………………………. (e) Namba ya Simu .…………………………………………………… (f) Barua pepe …………………… (g) Namba ……………………………………………………....(taja aina ya zabuni) zabuni …………………………………………….., ya kwa ajili ya (h) Aina ya mchakato wa zabuni uliotumika……………………………….. - 2 Verify source ↗
Section 2
AI-assisted research summary: This section is a form asking for details about a procurement appeal or complaint, including key tender dates and the reasons for the appeal/complaint.
2. (Kama nafasi iliyotengwa haitoshi unaweza kuongeza kurasa za nyongeza kadiri itakavyohitajika): TAARIFA ZA RUFAA/MALALAMIKO: (a) (b) (c) tarehe………mwezi…….……mwaka………….. Tarehe ya kutangazwa zabuni /mwaliko wa zabuni………........ Tarehe ya ufunguzi wa zabuni (kama ipo) …………………… Tathmini ya zabuni ilifanyika kuanzia tarehe …… mwezi …... mwaka ……… hadi 19 Tangazo la Serikali Na.65 (Linaendelea.) Kanuni Za Rufaa Za Ununuzi wa Umma (d) (e) (f) (g) Tarehe ya kutoa kusudio la tuzo ya zabuni (kama ipo)…………………… Tarehe ya kutoa tuzo ya zabuni (kama ipo) ………………………………… Tarehe ya kumjulisha mshindi wa zabuni (kama ipo)……………………… Tarehe ya kusaini mkataba (kama ipo) ………………………………………… MAJIBU YA SABABU ZA RUFAA/MALALAMIKO: - 3 Verify source ↗
Section 3
AI-assisted research summary: If the space provided is not enough, you may add extra pages as needed and answer all issues set out in the appeal/complaint form.
3. (Kama nafasi iliyotengwa haitoshi unaweza kuongeza kurasa za nyongeza kadiri itakavyohitajika. Hakikisha unajibu hoja zote kama ilivyoainishwa katika hati ya rufaa/malalamiko) ………………………………………………………………………………………………………… ………………………………………………………………………………………………………… ………………………………………………………… - 4 Verify source ↗
Section 4
AI-assisted research summary: Orodha ya nyaraka au vielelezo vinavyowasilishwa mbele ya mamlaka ya rufani inaombwa, pamoja na maelezo mafupi kwa kila kiambatisho.
4. MAMLAKA YA RUFANI ORODHA YA NYARAKA AU VIELELEZO VITAKAVYOWASILISHWA MBELE YA (Toa maelezo kwa kifupi kwa kila nyaraka au kielelezo kilichoambatishwa kwa mtiririko wa matukio): Na. ya Kiambatisho Maelezo ya Kiambatisho Tarehe - 5 Verify source ↗
Section 5
AI-assisted research summary: This section lists four requested items, but the text shown does not state any substantive rule.
5. NAFUU ZINAZOOMBWA: (i)…….…………………………………………………………………… (ii)…………………………………………………………………………. (iii)…………………………………………………………………………. (iv)…………………………………………………………………………. - 6 Verify source ↗
Section 6
AI-assisted research summary: Hii ni fomu ya kutoa taarifa binafsi na maelezo ya mjibu maombi katika shauri la rufaa/malalamiko, na sehemu ya ofisi kwa ajili ya kupokea fomu.
6. TAARIFA ZA WATAKAOHUDHURIA KATIKA RUFAA/MALALAMIKO Jina Wadhifa Anwani Imesainiwa leo tarehe……………mwezi ……………….. mwaka………. Jina ………………………………………….. Wadhifa ………………………………….. Saini ………………………(Saini ya mrufaniwa/mlalamikiwa au mwakilishi). KWA MATUMIZI YA OFISI TU: Imepokelewa na Mamlaka ya Rufani leo tarehe ……mwezi ……mwaka …… saa ………. Jina :………………………………………Wadhifa:……………………….…. Saini…………………………....……Muhuri wa Ofisi……………………… 20 Tangazo la Serikali Na.65 (Linaendelea.) Kanuni Za Rufaa Za Ununuzi wa Umma PPAA FOMU NA. 4 KATIKA MAMLAKA YA RUFANI YA ZABUNI ZA UMMA INAYOKETI ………………. KATIKA SHAURI LA MAOMBI NA. ……….. LA MWAKA …………………….. KATI YA ………………………………………………………… MLETA MAOMBI NA …………………………................................................MJIBU MAOMBI HATI YA MAJIBU YA MAOMBI (Imetengenezwa chini ya kanuni ya 15(3)) TAARIFA BINAFSI ZA MJIBU MAOMBI Jina :…………………………………………………..…………….. Aina ya Biashara: ………..…………………………………………. Anwani ya Posta …………………………………………………… Jiji, Manispaa, Mji, Wilaya ………………………….………………………. Namba ya Simu .…………………………………………………… Barua pepe …………………… - 1 Verify source ↗
Section 1
AI-assisted research summary: Heading for application requirements.
1. (a) (b) (c) (d) (e) (f) MAJIBU YA MAOMBI: - 2 Verify source ↗
Section 2
AI-assisted research summary: If there is not enough space, additional pages may be added as needed, and all issues in the application form should be answered.
2. (Kama nafasi iliyotengwa haitoshi unaweza kuongeza kurasa za nyongeza kadiri itakavyohitajika. Hakikisha unajibu hoja zote kama ilivyoainishwa katika hati ya maombi) ………………………………………………………………………………………………………… ………………………………………………………………………………………………………… ………………………………………………………………………………………………………… ……… 21 Tangazo la Serikali Na.65 (Linaendelea.) Kanuni Za Rufaa Za Ununuzi wa Umma - 3 Verify source ↗
Section 3
AI-assisted research summary: This section is a form heading for listing documents or evidence to be submitted to the appeal authority.
3. MAMLAKA YA RUFANI ORODHA YA NYARAKA AU VIELELEZO VITAKAVYOWASILISHWA MBELE YA (Toa maelezo kwa kifupi kwa kila nyaraka au kielelezo kilichoambatishwa kwa mtiririko wa matukio): Na. ya Kiambatisho Maelezo ya Kiambatisho Tarehe - 4 Verify source ↗
Section 4
AI-assisted research summary: 4. NAFUU ZINAZOOMBWA: (v)…….…………………………………………………………………… (vi)…………………………………………………………………………. (vii)…………………………………………………………………………. (viii)………………………………………………………………………….
4. NAFUU ZINAZOOMBWA: (v)…….…………………………………………………………………… (vi)…………………………………………………………………………. (vii)…………………………………………………………………………. (viii)…………………………………………………………………………. - 5 Verify source ↗
Section 5
AI-assisted research summary: This form is for filing an appeal/complaint and recording the appellant’s details, signature, and receipt by the appeal authority.
5. TAARIFA ZA WATAKAOHUDHURIA Jina Wadhifa Anwani Imesainiwa leo tarehe……………mwezi ……………….. mwaka………. Jina ………………………………………….. Wadhifa ………………………………….. Saini ……………(Saini ya mleta maombi au mwakilishi). KWA MATUMIZI YA OFISI TU: Imepokelewa na Mamlaka ya Rufani leo tarehe ……mwezi ……mwaka …… saa ………. Jina :………………………………………Wadhifa:……………………….…. Saini…………………………....……Muhuri wa Ofisi……………………… 22 Tangazo la Serikali Na.65 (Linaendelea.) Kanuni Za Rufaa Za Ununuzi wa Umma PPAA FOMU NA.5 KATIKA MAMLAKA YA RUFANI YA ZABUNI ZA UMMA INAYOKETI ………………. KATIKA SHAURI LA RUFAA/MALALAMIKO NA. ……LA MWAKA …………………….. KATI YA ………………………………………………………MRUFANI/MLALAMIKAJI NA ...………………………………………………MRUFANIWA/MLALAMIKIWA NA ………………………….………………………MZABUNI MWENYE MASLAHI TAARIFA YA KUJIUNGA KWENYE RUFAA/MALALAMIKO (Imetengenezwa chini ya kanuni ya 17) - 1 Verify source ↗
Section 1
AI-assisted research summary: This section is a form for entering an interested bidder’s personal and business details and the reasons for an appeal.
1. TAARIFA BINAFSI ZA MZABUNI MWENYE MASLAHI (a) Jina : …………………………………………………..…………….. (b) Aina ya Biashara: ………..…………………………………………. (c) Anwani ya Posta …………………………………………………… (d) Jiji, Manispaa, Mji, Wilaya ………………………….………………………. (e) Namba ya Simu .…………………………………………………… (f) Barua pepe …………………… (g) Namba ………………………………………………... (taja aina ya zabuni) .…………………………………………….., zabuni ya kwa ajili ya (h) Aina ya mchakato wa zabuni uliotumika………………………………… SABABU ZA KUUNGANISHWA KWENYE RUFAA: - 2 Verify source ↗
Section 2
AI-assisted research summary: Sehemu hii inaeleza kuwa, iwapo nafasi haitoshi, kurasa za nyongeza zinaweza kuongezwa kadiri itakavyohitajika.
2. (Kama nafasi iliyotengwa haitoshi unaweza kuongeza kurasa za nyongeza kadiri itakavyohitajika. Hakikisha unajibu hoja zote kama zilivyoainishwa katika hati ya shauri ambazo zinaathiri maslahi yako) ………………………………………………………………………………………………………… ………………………………………………………………………………………………………… 23 Tangazo la Serikali Na.65 (Linaendelea.) Kanuni Za Rufaa Za Ununuzi wa Umma ………………………………………………………………………………………………………… ………………….………………………………… - 3 Verify source ↗
Section 3
AI-assisted research summary: This section asks the requester to list the requested items in order.
3. NAFUU ZINAZOOMBWA (taja kwa mtiririko) (i)…….………………………………………………………………………… (ii)………………………………………………………………………………. (iii)………………………………………………………………………………. (iv)………………………………………………………………………………. - 4 Verify source ↗
Section 4
AI-assisted research summary: Fomu hizi zinahusu taarifa na wito wa kuhudhuria mbele ya Mamlaka ya Rufani, na ruhusa ya kuleta nyaraka au kuandamana na mtu anayejua shauri.
4. TAARIFA ZA WATAKAOHUDHURIA KATIKA RUFAA/MALALAMIKO Jina Wadhifa Anwani Imesainiwa leo tarehe……………mwezi ……………….. mwaka………. Jina ………………………………………….. Wadhifa ………………………………….. Saini ……………(Saini ya mzabuni mwenye maslahi au mwakilishi). KWA MATUMIZI YA OFISI TU: Imepokelewa na Mamlaka ya Rufani leo tarehe ……….. mwezi ……… mwaka ……. Saa …………………………………. Jina ……………………………………………………. Wadhifa ……………………………… Saini ………………………………………… Muhuri wa Ofisi ……………….……………… 24 Tangazo la Serikali Na.65 (Linaendelea.) Kanuni Za Rufaa Za Ununuzi wa Umma PPAA FOMU NA. 6 KATIKA MAMLAKA YA RUFANI YA ZABUNI ZA UMMA INAYOKETI ………………. KATIKA SHAURI LA RUFAA/MALALAMIKO NA. …………….. YA MWAKA …………………….. KATI YA ………………………..…………………………………MRUFANI/MLALAMIKAJI NA ..…………………………………………………………… MRUFANIWA/MLALAMIKIWA WITO WA MTAALAMU (Imetengenezwa chini ya kanuni ya 19(2)) KWA: ………………………………………………………………………………………………………… ………………………………………………………………………………………………………… ………………………………………………… KWAKUWA uwepo wako kama mtaalamu wa ………………………….ni muhimu kwa Mamlaka ya Rufani katika kuamua shauri hili, unaombwa kufika mbele ya Mamlaka ya Rufani tarehe ……… mwezi……. mwaka ……… (weka eneo la kikao) ……… saa………. Unaruhusiwa kuja na nyaraka yoyote ambayo unadhani ni muhimu katika kuthibitisha maoni utakayoyatoa mbele ya Mamlaka ya Rufani. Imesainiwa na kutolewa na Mamlaka ya Rufani leo tarehe…… mwezi……. mwaka ………. Jina: ………………………..……… Wadhifa ……………………………. Saini: ……………………………….. Muhuri wa Ofisi………………...… UTHIBITISHO WA KUPOKEA WITO Jina: …………………………………………………………… Anwani: ………………………………………………………. Saini: ………………………………………………………… Wadhifa: ……………………………………………………. Tarehe: ……………………………………………………….. 25 Tangazo la Serikali Na.65 (Linaendelea.) Kanuni Za Rufaa Za Ununuzi wa Umma PPAA FOMU NA. 7 KATIKA MAMLAKA YA RUFANI YA ZABUNI ZA UMMA INAYOKETI ………………. KATIKA SHAURI LA ………….. RUFAA/MALALAMIKO/MAOMBI NA. …LA MWAKA ……… KATI YA ………………………… MRUFANI/MLALAMIKAJI/MLETA MAOMBI NA ……………………………… MRUFANIWA/MLALAMIKIWA/MJIBU MAOMBI NOTISI YA USIKILIZAJI WA SHAURI (Imetengenezwa chini ya kanuni ya 22(1)) Kwa: …………………………………………….……………………………………………..... (Jina na anwani) TAFADHALI POKEA TAARIFA kwamba shauri tajwa hapo juu, litasikilizwa na Mamlaka ya Rufani mnamo tarehe ……… mwezi…….. mwaka………. Saa ……. Unatakiwa kuhudhuria katika tarehe na muda uliyopangwa mbele ya Mamlaka ya Rufani na unaweza kuambatana na mtu ambaye anaufahamu wa kutosha juu ya shauri husika, kama yupo. Iwapo hutahudhuria wewe mwenyewe au mwakilishi wako uliyemuidhinisha kwa niaba yako, shauri linaweza kufutwa au kusikilizwa upande mmoja bila uwepo wako. Imesainiwa na kutolewa na Mamlaka ya Rufani leo tarehe……….. mwezi……. mwaka………. Jina: ………………………..…………………… Wadhifa ……………………………. Saini: ………………………………..…………… Muhuri wa Ofisi………………………………….. KUTHIBITISHA KUPOKEA WITO Jina: …………………………………………………………… Anwani: ………………………………………………………... Saini: ………………………………………………………..…. Wadhifa: ………………………………………………………. Tarehe: ………………………………………………………..… 26 Tangazo la Serikali Na.65 (Linaendelea.) Kanuni Za Rufaa Za Ununuzi wa Umma PPAA FOMU NA. 8 KATIKA MAMLAKA YA RUFANI YA ZABUNI ZA UMMA INAYOKETI ………………. KATIKA SHAURI LA MAOMBI NA. …………….. LA MWAKA …………………….. KATI YA ……………………………………………………… MLETA MAOMBI NA ……………………………..................................... MJIBU MAOMBI MAOMBI YA KUTENGUA UAMUZI WA UPANDE MMOJA (Imetengenezwa chini ya kanuni ya 25(2)) TAARIFA BINAFSI ZA MLETA MAOMBI Jina :…………………………………………………..…………….. Aina ya Biashara: ………..…………………………………………. Anwani ya Posta …………………………………………………… Jiji, Manispaa, Mji, Wilaya ………………………….………………………. Namba ya Simu .…………………………………………………… Barua pepe …………………… - 2 Verify source ↗
Section 2
AI-assisted research summary: Mleta maombi anaomba Mamlaka ya Rufani itengue uamuzi uliotolewa baada ya kusikiliza shauri upande mmoja, na aambatanishe nyaraka au vielelezo vinavyothibitisha sababu za maombi.
2. SABABU ZA MAOMBI YA KUTENGUA UAMUZI WA UPANDE MMOJA Mleta maombi tajwa hapo ni mrufaniwa, mlalamikiwa au mjibu maombi katika shauri Na……la mwaka…. kati ya ………………….. (mrufani/mlalamikaji/mleta maombi) dhidi ya …………………… (mrufaniwa/mlalamikiwa/mjibu maombi) anaiomba Mamlaka ya Rufani itengue uamuzi wake wa tarehe ………….. (weka tarehe ya uamuzi) uliotolewa kwa kusikiliza shauri upande mmoja kwa sababu zifuatazo: ……………………………………………………………………………………….. ……………………………………………………………………………………….. ……………………………………………………………………………………….. ………………………………………………………………………………………. Mleta Maombi anaambatisha nyaraka/vielelezo vifuatavyo kuthibitishisha sababu za maombi 27 Tangazo la Serikali Na.65 (Linaendelea.) Kanuni Za Rufaa Za Ununuzi wa Umma (kama vipo) (i)………………………. (ii)………………………. (iii)……………………… - 3 Verify source ↗
NAFUU ZINAZOOMBWA
AI-assisted research summary: This section is a form asking the applicant to state the relief sought and provide personal details for an appeal matter.
3. NAFUU ZINAZOOMBWA: (i)…………………………………………………………………… (ii)…………………………………………………………………… (iii)…………………………………………………………………… Imesainiwa leo tarehe……………mwezi ……………….. mwaka………. Jina ………………………………………….. Wadhifa ………………………………….. Saini …………………………. (Saini ya mleta maombi au mwakilishi). KWA MATUMIZI YA OFISI TU: Imepokelewa na Mamlaka ya Rufani leo tarehe ………mwezi ……mwaka … saa ………. Jina :………………………………………Wadhifa:……………………….…. Saini…………………………....……Muhuri wa Ofisi……………………… 28 Tangazo la Serikali Na.65 (Linaendelea.) Kanuni Za Rufaa Za Ununuzi wa Umma PPAA FOMU NA. 9 KATIKA MAMLAKA YA RUFANI YA ZABUNI ZA UMMA INAYOKETI ………………. KATIKA SHAURI LA MAOMBI NA. …………….. LA MWAKA …………………….. KATI YA …………………………………………………………………… MLETA MAOMBI NA …………………………………………………………………. MJIBU MAOMBI MAOMBI YA KUREJESHA SHAURI (Imetengenezwa chini ya kanuni ya 28(2)) TAARIFA BINAFSI ZA MLETA MAOMBI Jina :…………………………………………………..…………….. Aina ya Biashara: ………..…………………………………………. Anwani ya Posta …………………………………………………… Jiji, Manispaa, Mji, Wilaya ………………………….………………………. Namba ya Simu .…………………………………………………… Barua pepe …………………… - 3 Verify source ↗
Section 3
AI-assisted research summary: This section asks an applicant to state the reasons for requesting reinstatement of a case and to attach supporting documents.
3. SABABU ZA KUOMBA KUREJESHA SHAURI Mleta maombi tajwa ni mhusika katika shauri Na…la mwaka………. kati ya ………………….. dhidi ya ……………………. anaiomba Mamlaka ya Rufani kutengua uamuzi wake wa kufuta shauri ulitolewa tarehe ………….. (weka tarehe ya uamuzi). Sababu za maombi haya ni kama zifuatazo: ………………………………………………………………………………………………………… ………………………………………………………………………………………………………… ……………… Mleta Maombi anaambatisha nyaraka/vielelezo vifuatavyo kuthibitisha sababu za maombi 29 Tangazo la Serikali Na.65 (Linaendelea.) Kanuni Za Rufaa Za Ununuzi wa Umma (kama vipo) (i)………………………. (ii)………………………. (iii)……………………… NAFUU ZINAZOOMBWA: - 4 Verify source ↗
Section 4
AI-assisted research summary: Notisi hii inaweka ratiba ya uwasilishaji wa hoja za maandishi na majibu katika shauri linalosikilizwa na Mamlaka ya Rufani.
4. (i).………………………………………………………………… (ii)…………………………………………………………………… (iii)…………………………………………………………………… Imesainiwa leo tarehe……………mwezi ……………….. mwaka………. Jina ………………………………………….. Wadhifa ………………………………….. Saini…………………………. (Saini ya mleta maombi au mwakilishi). KWA MATUMIZI YA OFISI TU: Imepokelewa na Mamlaka ya Rufani leo tarehe ………mwezi ……mwaka … saa ………. Jina :………………………………………Wadhifa:……………………….…. Saini…………………………....……Muhuri wa Ofisi……………………… 30 Tangazo la Serikali Na.65 (Linaendelea.) Kanuni Za Rufaa Za Ununuzi wa Umma PPAA FOMU NA. 10 KATIKA MAMLAKA YA RUFANI YA ZABUNI ZA UMMA INAYOKETI ………………. KATIKA SHAURI LA RUFAA/MALALAMIKO/MAOMBI NA. …………….. LA MWAKA…………………….. ……………………………… MRUFANI/MLALAMIKAJI/MLETA MAOMBI KATI YA NA ………………………………… MRUFANIWA/MLALAMIKIWA/MJIBU MAOMBI NOTISI YA KUSIKILIZA SHAURI KWA NJIA YA MAANDISHI (Imetengenezwa chini ya kanuni ya 29(1)) Kwa: ……………………………….. ……………………………………… ……………………………………… (Jina na anwani) TAFADHALI POKEA TAARIFA kwamba shauri tajwa hapo juu, litasikilizwa na Mamlaka ya Rufani kwa njia ya maandishi. Hivyo Mrufani/Mlalamikaji/Mleta maombi unatakiwa kuwasilisha hoja zako za maandishi mnamo tarehe………………. Mrufaniwa/Mlalamikiwa/Mjibu maombi unatakiwa kuwasilisha majibu ya hoja kwa njia ya maandishi ndani ya siku tatu (3) za kazi tangu ulipopokea hoja za maandishi kutoka kwa Mrufani/Mlalamikaji/Mleta maombi. Mrufani/Mlalamikaji/Mleta maombi unaweza kuwasilisha majibu ya nyongeza kama yapo ndani ya siku mbili za kazi tangu kupokea majibu ya hoja. Mamlaka itafanya mapitio ya nyaraka mnamo tarehe …………………………. Imesainiwa na kutolewa na Mamlaka ya Rufani leo tarehe……….. mwezi……. mwaka………. Jina: ………………………..……… Wadhifa ……………………………. 31 Tangazo la Serikali Na.65 (Linaendelea.) Kanuni Za Rufaa Za Ununuzi wa Umma Saini: ……………………………….. Muhuri wa Ofisi………………...… KUTHIBITISHA KUPOKEA WITO Jina: …………………………………………………………… Anwani: ………………………………………………………... Saini: ………………………………………………………..…. Wadhifa: ………………………………………………………. Tarehe: ………………………………………………………..… 32 Tangazo la Serikali Na.65 (Linaendelea.) Kanuni Za Rufaa Za Ununuzi wa Umma PPAA FOMU NA. 11 KATIKA MAMLAKA YA RUFANI YA ZABUNI ZA UMMA INAYOKETI ………………. KATIKA SHAURI LA MAOMBI NA. …………….. LA MWAKA …………………….. (Yanayotokana na Shauri la Rufaa/Malalamiko Na. ………………………) KATI YA ……………………………… MLETA MAOMBI NA ………………………………… MJIBU MAOMBI MAOMBI YA KUKAZIA UAMUZI (Imetengenezwa chini ya kanuni ya 36(2)) Mimi, ………………………….. mshindi wa tuzo, ninaomba kukazia uamuzi kama inavyoainishwa hapa chini. Tarehe ya Tuzo kama Eleza rufaa/malalamiko tajwa imewasilishwa Mahakama Kuu kwa mapitio Eleza kama kuna malipo yaliyofanyika kiasi Eleza gharama rufaa/malalamiko zilitolewa, kama zipo cha za Taja kiasi halisi na riba inayodaiwa juu ya tuzo au nafuu nyingine iliyotolewa pamoja na kiasi cha tuzo kinzani kama kipo katika jedwali lifuatalo: Kiasi halisi pamoja na Riba Nafuu nyingine Kiasi chaTuzo Kinzani 33 Tangazo la Serikali Na.65 (Linaendelea.) Kanuni Za Rufaa Za Ununuzi wa Umma Namna ambayo mshindi wa tuzo anaomba utekelezaji ufanyike ………………………………………………………………………………………………………… ………………………………………………………………………………………………………… ………………………………………………………………………………… Imesainiwa leo tarehe……………mwezi ……………….. mwaka………. Jina ………………………………………….. Wadhifa ………………………………….. Saini …………………………. (saini ya Mmiliki wa tuzo au Mwakilishi). KWA MATUMIZI YA OFISI TU: Imepokelewa na Mamlaka ya Rufani leo tarehe ………mwezi ……mwaka … saa ………. Jina :………………………………………Wadhifa:……………………….…. Saini…………………………....……Muhuri wa Ofisi……………………… 34 Tangazo la Serikali Na.65 (Linaendelea.) Kanuni Za Rufaa Za Ununuzi wa Umma PPAA FOMU NA. 12 KATIKA MAMLAKA YA RUFANI YA ZABUNI ZA UMMA INAYOKETI ………………. KATIKA SHAURI LA MAOMBI NA. …………….. YA MWAKA …………………… KATI YA …....................................................................... MLETA MAOMBI NA …..............………………………………………………………. MJIBU MAOMBI WITO (Imetengenezwa chini ya kanuni ya 36(3)) Kwa: ………………………………………………..……………………………………………………… …………………………………………………… (Jina na anwani ya mdaiwa) Kwakuwa mleta maombi amewasilisha maombi ya kukazia uamuzi mbele ya Mamlaka ya Rufani kuhusu tuzo iliyotolewa katika shauri Na. …….. kati ya ………………….na ……………….. Hivyo unajulishwa Rufani tarehe……………………….saa………. (taja sehemu ya kikao) ……..……… ili kutoa sababu za kwanini amri ya kukazia uamuzi huo isitolewe dhidi yako. kufika mbele ya Mamlaka unatakiwa kwamba ya Imesainiwa na kutolewa na Mamlaka ya Rufani leo tarehe……….. mwezi ……. mwaka ………. Jina:………………………..……… Wadhifa ……………………………. Saini:……………………………….. Muhuri wa Ofisi………………...… Nakala: …………………….. (Mleta maombi) 35 Tangazo la Serikali Na.65 (Linaendelea.) Kanuni Za Rufaa Za Ununuzi wa Umma KUTHIBITISHA KUPOKEA WITO Jina: …………………………………………………………… Anwani: ………………………………………………………... Saini: ………………………………………………………..…. Wadhifa: ………………………………………………………. Tarehe: ……………………………………………………….. ____________ JEDWALI LA PILI ___________ (Limetengenezwa chini ya kanuni ya 37) Na Maelezo ya Ada
Part
JEDWALI LA PILI
- 3 Verify source ↗
Section 3
AI-assisted research summary: Orodha ya ada mbalimbali za maombi na uwasilishaji wa shauri imeorodheshwa.
3. Ada ya uwasilishaji wa Shauri Ada ya maombi ya kujiunga katika Shauri Ada ya maombi ya kutengua uamuzi uliotolewa kwa kusikiliza shauri upande mmoja Ada ya Maombi ya kurejesha Shauri Ada ya maombi ya kuongeza muda wa kuwasilisha Shauri Ada ya Maombi ya kuongeza muda wa kuwasilisha majibu ya Shauri Ada ya kufuta Shauri Ada ya Maombi ya kukazia hukumu - 8 Verify source ↗
Section 8
AI-assisted research summary: This provision lists fee amounts in Tanzanian shillings.
8. Kiwango cha Ada (TZS) 500,000 500,000 1,500,000 1,500,000 1,000,000 500,000 2,000,000 500,000 Dodoma, 30th Januari, 2025 MWIGULU LAMECK NCHEMBA MADELU, Waziri wa Fedha 36
Provision text is displayed from LexChat’s stored statute record. Use the official source links to verify amendments, commencement, and current legal force.
Ask AI about this statute
Kanuni za Rufaa za Ununuzi wa Umma za Mwaka 2025
Sign in to ask AI about this statute
Sign in to start authenticated, citation-grounded statute research.
Sign in