Sheria Ndogo ya Afya, Usafi na Usimamizi wa Mazingira ya Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam ya Mwaka 2024
This bylaw is titled the Dar es Salaam City Council Health, Sanitation and Environmental Management By-law, 2024.
AI-assisted research synopsis — verify against the official legal text below.
- Jurisdiction
- Tanzania
- Instrument
- Regulation
- Citation
- Sheria Ndogo ya Afya, Usafi na Usimamizi wa Mazingira ya Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam ya Mwaka 2024
- Version
- Undated source snapshot
- Language
- sw
- Official source
- View official record ↗
Statute overview
About this statute
This bylaw is titled the Dar es Salaam City Council Health, Sanitation and Environmental Management By-law, 2024. This bylaw applies throughout the area of the Dar es Salaam City Council authority. This section defines key terms used in the by-laws. Halmashauri ina wajibu wa kusimamia afya, usafi na usimamizi wa mazingira, kutoa elimu kwa wananchi, kuteua Wakala, kufanya ukaguzi, kuchukua hatua za kisheria kwa wanaokiuka, na kuandaa kanuni au miongozo ya kusaidia ulinzi wa afya na usafi. Watu wanaofanya biashara au huduma ya chakula lazima wapime afya kila baada ya miezi sita.
Search within this statute
Search all stored provisions in this version.
Legal text
Provisions of Sheria Ndogo ya Afya, Usafi na Usimamizi wa Mazingira ya Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam ya Mwaka 2024
Showing 64 of 64
- 1 Verify source ↗
Sheria Ndogo hii itajulikana kama Sheria
AI-assisted research summary: This bylaw is titled the Dar es Salaam City Council Health, Sanitation and Environmental Management By-law, 2024.
1. Sheria Ndogo hii itajulikana kama Sheria Ndogo ya Afya, Usafi na Usimamizi wa Mazingira ya Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam ya Mwaka 2024. - 2 Verify source ↗
Sheria Ndogo hii itatumika katika eneo lote la
AI-assisted research summary: This bylaw applies throughout the area of the Dar es Salaam City Council authority.
2. Sheria Ndogo hii itatumika katika eneo lote la Mamlaka ya Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. - 3 Verify source ↗
Katika Sheria Ndogo hii, isipokuwa kama
AI-assisted research summary: This section defines key terms used in the by-laws.
3. Katika Sheria Ndogo hii, isipokuwa kama muktadha utahitaji vinginevyo- “Afisa Mwidhiniwa” maana yake ni afisa yeyote aliyeteuliwa na Mkurugenzi kwa lengo la kusimamia utekelezaji wa Sheria Ndogo hii; “afya” maana yake ni hali timilifu ya kimwili, kiakili na kijamii; “chakula” maana yake ni kitu chochote kinachoweza kuliwa au kunyweka na binadamu isipokuwa dawa, na inajumuisha- (a) Kitu kinachotumika katika chochote matengenezo ya chakula; (b) kitu chochote kinachoongeza ladha ya chakula; au (c) kitu chochote kinachobadili rangi ya chakula kama binzari na vingine vinavyofanana na hivyo; “chanzo cha maji” maana yake ni eneo lolote ambalo limetengwa kwa ajili ya kuwa chanzo cha maji kwa matumizi ya jamii ikiwemo visima, mito, 1 Sheria Ndogo ya Afya, Usafi Na Usimamizi wa Mazingira ya Halmashauri ya Jiji la Dar Es Salaam Tangazo la serikali Na.1011 (Linaendelea.) chemchemi, vijito yanapopatikana maji; na maeneo yote “choo bora” maana yake ni choo chochote cha maji chenye sakafu inayosafishika, banda imara la kudumu, lililoezekwa, lenye mlango imara, bomba la kutolea hewa chafu na lenye mfuniko kwenye tundu la choo na shimo salama na safi kwa ajili ya kutupa kinyesi na mkojo wa binadamu; “eneo la utalii” maana yake ni maeneo ya vivutio yaliyopo katika eneo la Halmashauri ikiwemo na fukwe za bahari; “Halmashauri” maana yake ni Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam; “hifadhi ya mazingira” maana yake ni utunzaji endelevu wa ardhi, mimea, hewa, viumbe hai na visivyo hai na vyanzo vya maji; “jengo la biashara” maana yake ni jengo lolote lililojengwa na kuidhinishwa na Halmashauri kwa ajili ya kufanya biashara iliyokusudiwa; “kaya” maana yake ni baba, mama na mtoto au watoto au mtu yeyote aliyetimiza umri wa miaka kumi na nane anayeishi kwa kujitegemea; “kero” au “chukizo” maana yake ni kitu chochote ambacho kipo katika hali yoyote iwe kimejengwa au ni kinatumika, kimewekwa, kichafu kiasi cha kusababisha- (a) hatari kwa viumbe na maisha ya binadamu; (b) harufu mbaya au harufu ya kuudhi au kuleta kinyaa; au (c) kuzaliana kwa wadudu hatari kama vile nzi, mende, sisimizi, panya, nyoka, nyuki, kunguni au viumbe wengine hatari; “kuchakata taka” maana yake ni kuchambua, kutenganisha na kubadili taka kuwa kitu kingine chenye manufaa kwa jamii; “magonjwa ya mlipuko” maana yake ni magonjwa yanayotokea kwa muda mfupi ya kuambukiza na kuenea kwa haraka na kuathiri watu wengi ndani ya muda mfupi yanayoweza kutolewa amri ya 2 Sheria Ndogo ya Afya, Usafi Na Usimamizi wa Mazingira ya Halmashauri ya Jiji la Dar Es Salaam Tangazo la serikali Na.1011 (Linaendelea.) tahadhari, kupooza, kipindupindu, kuhara, surua na homa ya matumbo; Sura ya 191 “maji” maana yake ni kama ilivyotafsiriwa katika Sheria ya Usimamizi wa Mazingira; Sura ya 191 “maji taka” maana yake ni kama ilivyotafsiriwa katika Sura ya 191 “mazingira” maana yake ni kama ilivyotafsiriwa katika Sheria ya Usimamizi wa Mazingira; Sura ya 323 Sura ya 191 Sura ya 191 Sura ya 191 Sheria ya Usimamizi wa Mazingira; “mifugo” maana yake ng’ombe, punda, nguruwe, mbuzi, mbwa, kondoo au kuku na wanyama wengine wote wafugwao majumbani; “misitu” maana yake ni kama ilivyotafsiriwa katika Sheria ya Misitu; “mkazi” maana yake ni mtu yeyote anayeishi katika eneo la Halmashauri na ambaye ana kaya au anaishi katika kaya au taasisi iliyopo katika eneo la Halmashauri; “Mkurugenzi” maana yake ni Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam au afisa yeyote aliyeteuliwa kutekeleza majukumu ya Mkurugenzi chini ya Sheria Ndogo hii; “pipa la taka” maana yake ni chombo chochote chenye mfuniko kinachoweza kuhifadhi taka ngumu zinazozalishwa majumbani, sehemu za biashara, maofisini ili zisisambae na kuchafua mazingira; “taka” maana yake ni kama ilivyotafsiriwa katika Sheria ya Usimamizi wa Mazingira; “taka ngumu” maana yake ni kama ilivyotafsiriwa katika Sheria ya Usimamizi wa Mazingira; “taka za viwandani” maana yake ni kama ilivyotafsiriwa katika Sheria ya Usimamizi wa Mazingira; “wakala” maana yake ni mtu binafsi, kikundi, taasisi au kampuni iliyoteuliwa kukusanya ada na ushuru kwa niaba ya Halmashauri chini ya Sheria Ndogo hii. Wajibu wa Halmashauri - 4 Verify source ↗
Halmashauri itakuwa na wajibu wa
AI-assisted research summary: Halmashauri ina wajibu wa kusimamia afya, usafi na usimamizi wa mazingira, kutoa elimu kwa wananchi, kuteua Wakala, kufanya ukaguzi, kuchukua hatua za kisheria kwa wanaokiuka, na kuandaa kanuni au miongozo ya kusaidia ulinzi wa afya na usafi.
4. Halmashauri itakuwa na wajibu wa: (a) kusimamia utekelezaji wa shughuli za afya, usafi na usimamizi wa mazingira; 3 Sheria Ndogo ya Afya, Usafi Na Usimamizi wa Mazingira ya Halmashauri ya Jiji la Dar Es Salaam Tangazo la serikali Na.1011 (Linaendelea.) Upimaji wa afya Usafi wa mazingira (b) kutoa elimu kwa wananchi juu ya umuhimu wa kufuata kanuni za afya, usafi na kutunza mazingira; (c) kuteua Wakala kutekeleza shughuli za usimamizi wa afya, usafi na mazingira kwa niaba ya Halmashauri; Halmashauri kwa mujibu wa Sheria Ndogo hii; (d) kufanya ukaguzi ili kubaini endapo kanuni za afya, usafi na utunzaji wa mazingira zinazingatiwa ndani ya eneo la (e) kumchukulia hatua za kisheria mtu yeyote anayekiuka Sheria Ndogo hii au sheria nyingine inayohusiana na afya, usafi na usimamizi wa mazingira zilizotungwa na Bunge; na (f) kutengeneza kanuni , miongozo au kutoa maelekezo yatakayosaidia kulinda afya, usafi na usimamizi wa mazingira ndani ya eneo la Halmashauri; - 5 Verify source ↗
Section 5
AI-assisted research summary: Watu wanaofanya biashara au huduma ya chakula lazima wapime afya kila baada ya miezi sita.
5. Itakuwa ni wajibu kwa mtu yeyote anayejishughulisha na biashara au huduma ya chakula kupima afya kila baada ya miezi sita. zitakusanywa, - 6 Verify source ↗
Mtu yeyote anayemiliki au kutumia jengo au
AI-assisted research summary: Owners or users of undeveloped land, buildings, or business premises must keep the premises and nearby area clean and sanitary.
6. Mtu yeyote anayemiliki au kutumia jengo au eneo ambalo halijaendelezwa au eneo la biashara atakuwa na wajibu wa kuhakikisha kwamba: (a) majani yanayozunguka jengo lake au makazi au kupaliliwa na kuondolewa katika eneo yanakatwa lake lote; (b) taka ngumu zote ikiwa ni pamoja na mifuko ya na plastiki kupelekwa katika eneo na Halmashauri; (c) maji taka yanaelekezwa ndani ya mfumo wa maji taka; (d) kuboresha na kupaka rangi linapochakaa; (e) anakuwa na choo bora; (f) atashiriki siku ya usafi ya jumamosi ya kila mwisho wa mwezi; (g) anaondoa uchafu ikiwemo mchanga, majani, nyasi vitu vingine vinavyofanana na hivyo katika au lililoruhusiwa kuhifadhiwa lake kila jengo 4 Sheria Ndogo ya Afya, Usafi Na Usimamizi wa Mazingira ya Halmashauri ya Jiji la Dar Es Salaam Tangazo la serikali Na.1011 (Linaendelea.) au eneo ya mvua inayomzunguka au mfereji wa maji kupita kando ya nyumba yake la biashara yake, kiwanja chake na kuhakikisha mifereji hiyo inakuwa safi wakati wote; (h) hakuna mkusanyiko wa maji machafu, takataka au chochote cha majimaji au kigumu ambacho kitu kuathiri upitishaji wa maji ya mvua na kinaweza kuwepo kwa mazalia ya mbu au hivyo kuruhusu wadudu wengine wenye madhara kwa afya ya binadamu na mazingira kwa ujumla; (i) anafanya uchambuzi wa taka; (j) kuna chombo imara chenye mfuniko kwa ajili taka ngumu kabla hazijachukuliwa kwa kuhifadhia ajili ya kwenda kutupwa katika eneo lilotengwa kwa ajili ya kuhifadhi taka; (k) anatunza na kuhifadhi vyombo vya kuhifadhia taka Kutiririsha maji taka vinavyowekwa na Halmashauri; na (l) kuna chombo maalumu cha kuhifadhia maganda ya matunda, madafu, miwa, maembe, mafenesi au mabaki ya matunda. - 7 Verify source ↗
(1) Mtu yeyote hataruhusiwa kutiririsha au
AI-assisted research summary: Haramu kumwaga au kuacha maji taka yatiririke kwenye barabara, mifereji, mito, vyanzo vya maji, au maeneo yasiyotengwa; viwanda na wamiliki wa nyumba wana wajibu wa kuhifadhi maji taka kwa njia iliyoelezwa.
7.-(1) Mtu yeyote hataruhusiwa kutiririsha au kumwaga au kutapisha au kuruhusu au kusababisha kutiririsha au kumwaga au kutapisha maji taka barabarani, uchochoroni, kwenye mifereji, mtoni, kwenye vyanzo vya maji au sehemu yoyote isiyotengwa kwa ajili ya kuhifadhi maji taka. (2) Kila kiwanda kinachozalisha maji taka kuwa taka au kujenga mifereji na kitakuwa kinaunganisha maji mabwabwa kwa ajili ya kuhifadhi maji taka. na wajibu wa kuhakikisha (3) Kila mmiliki wa nyumba anatakiwa kuhakikisha kuwa ana karo la kuhifadhi maji taka na atawajibika kunyonya maji taka pale karo la kuhifadhi linapojaa na itakuwa ni marufuku kwa mtu yeyote kuacha karo kujaa na kutiririsha au kutapisha maji taka barabarani au sehemu yoyote isiyoruhusiwa. Utengenezaji na uuzaji vyakula - 8 Verify source ↗
Mfanyabiashara
AI-assisted research summary: Mfanyabiashara haruhusiwi kutengeneza, kupika, kuchemsha, kuchoma au kuuza chakula cha aina yoyote mahali popote au kwenye nyumba yoyote, isipokuwa kama amekamilisha masharti na kanuni za afya.
8. Mfanyabiashara hataruhusiwa kutengeneza, yeyote wa kuchoma, chakula kupika, 5 Sheria Ndogo ya Afya, Usafi Na Usimamizi wa Mazingira ya Halmashauri ya Jiji la Dar Es Salaam Tangazo la serikali Na.1011 (Linaendelea.) kuchemsha na kuuza chakula cha aina yoyote mahali popote au kwenye nyumba yoyote isipokuwa kama ametimiza masharti na kanuni za afya. - 9 Verify source ↗
(1) Mtu yeyote anayeendesha biashara ya
AI-assisted research summary: Watu wanaoendesha biashara ya vyakula vya kupika au kukaanga lazima wahifadhi vyakula hivyo kwenye sanduku safi lenye kioo ili kuzuia wadudu na uchafu. Pia ni marufuku kuuza vyakula visivyopikwa vikiwa vimewekwa chini au kupanga vyakula nje ya duka la vyakula.
9.-(1) Mtu yeyote anayeendesha biashara ya vyakula vya kupika au kukaanga atakuwa na wajibu wa kuhakikisha vyakula hivyo vinahifadhiwa kwenye sanduku safi lililowekwa kioo ili kuzuia nzi, vumbi na wadudu waletao madhara kwa afya ya binadamu. (2) Ni marufuku kwa mtu yeyote- (a) kuuza vyakula visivyopikwa vikiwa vimewekwa chini, vyakula vyote vitatakiwa kuwekwa juu ya meza; na (b) kupanga vyakula nje ya duka la vyakula. - 10 Verify source ↗
(1) Kila mkazi anapaswa kuhakikisha
AI-assisted research summary: Residents must make sure drinking water is clean and safe. Well owners must make sure well water is tested for safe human use.
10.-(1) Kila mkazi anapaswa kuhakikisha kwamba maji yote yanayotumika kwa kunywa ni safi na salama bila kujali yanatoka kwenye chanzo gani cha maji. (2) Kila mmiliki wa kisima atapaswa kuhakikisha maji ya kisima yamepimwa ili yawe salama kwa matumizi ya binadamu. - 11 Verify source ↗
Mkurugenzi anaweza kutoa amri ya kuzuia
AI-assisted research summary: Mkurugenzi anaweza kuzuia shughuli fulani au yoyote isifanyike ikiwa ana sababu ya kuamini inaweza kueneza magonjwa ya mlipuko na kudhuru maisha ya binadamu.
11. Mkurugenzi anaweza kutoa amri ya kuzuia shughuli yoyote isifanyike kama vile utengenezaji wa vyakula, pombe, mijumuiko, sherehe na mikusanyiko yoyote kwa kutangaza kwa njia ya kipaza sauti, maandishi au kupitia vyombo vya habari endapo atakuwa na sababu ya kuamini kwamba shughuli hiyo inaweza kusababisha kuenea kwa magonjwa ya mlipuko na kuleta athari kwa maisha ya binadamu. - 12 Verify source ↗
(1) Halmashauri itakuwa na mamlaka ya
AI-assisted research summary: Halmashauri inaweza kumkamata mtu anayekiuka zuio la kuuza vyakula wakati wa magonjwa ya mlipuko, na inaweza kuharibu vyakula vinavyoharibika haraka vilivyokamatwa.
12.-(1) Halmashauri itakuwa na mamlaka ya kumkamata mtu yeyote ambaye atakaidi amri ya zuio la kufanya shughuli ya uuzaji wa vyakula wakati wa magonjwa ya mlipuko. Uuzaji wa vyakula vilivyopikwa Usalama wa matumizi ya maji Uzuiaji wa shughuli wakati wa magonjwa ya mlipuko Ukamataji wakati wa zuio (2) Endapo mtu aliyekamatwa alikuwa anauza vyakula haraka, vinaharibika Halmashauri itaharibu vyakula hivyo. ambavyo kwa 6 Sheria Ndogo ya Afya, Usafi Na Usimamizi wa Mazingira ya Halmashauri ya Jiji la Dar Es Salaam Tangazo la serikali Na.1011 (Linaendelea.) Udhibiti wa ubebaji kokoto, mawe na mchanga Wajibu wa kuwa na choo na kukitumia Vyoo vya umma (3) Bila kuathiri masharti ya kanuni ndogo ya (1) na (2), endapo vyakula vilivyokamatwa vitakuwa haviharibiki kwa haraka, Halmashauri itakuwa na jukumu la kuvihifadhi hadi mwisho wa amri ya zuio. (4) Halmashauri haitahusika na gharama zozote zitakazotokana na ukamataji na uharibifu, isipokuwa kama uharibifu huo utakuwa umesababishwa kwa uzembe wa Afisa wa Halmashauri au wakala wake. - 13 Verify source ↗
Mtu yeyote atakayesafirisha mawe, mchanga
AI-assisted research summary: A person transporting stones, sand, or gravel in the municipal area must cover the transport vehicle/container to prevent spills and environmental pollution.
13. Mtu yeyote atakayesafirisha mawe, mchanga au kokoto katika eneo la Halmashauri atahakikisha kuwa chombo anachotumia kusafirisha kimefunikwa ili kuzuia kumwagika na kuchafua mazingira. - 14 Verify source ↗
(1) Kila mmiliki wa nyumba atakuwa na
AI-assisted research summary: Kila mmiliki wa nyumba lazima ahakikishe nyumba ina choo safi na imara, na anaweka eneo maalum la kunawia mikono lenye maji safi na sabuni ya kimiminika.
14.-(1) Kila mmiliki wa nyumba atakuwa na wajibu wa kuhakikisha kwamba: (a) nyumba yake ina choo safi, imara kwa matumizi ya wakazi wa nyumba hiyo; (b) anaweka sehemu maalum ya kunawia mikono ikiwa na (2) Choo kitajengwa umbali wa mita sitini kutoka chanzo chochote cha maji. maji safi na sabuni maalum ya kimiminika. - 15 Verify source ↗
Halmashauri inaweza kujenga choo cha
AI-assisted research summary: Halmashauri inaweza kujenga choo cha umma au kuruhusu wengine kujenga vyoo vya umma katika maeneo inayoona yanafaa.
15. Halmashauri inaweza kujenga choo cha umma au kumruhusu mtu binafsi, vikundi vya watu au taasisi kujenga vyoo vya umma katika maeneo ambayo Halmashauri itaona inafaa na vitatakiwe view vya kudumu na viwe na- (a) matundu yasiyopungua mawili kwa wanawake na mawili kwa wanaume; (b) mfumo madhubuti wa maji na uwepo wa maji ya kutosha yaliyo safi na salama; (c) kuwepo na chombo cha kuhifadhia maji ya akiba; (d) kuwepo kwa bafu ya wanaume na wanawake; (e) kuwepo na chumba maalumu cha kuvutia sigara; (f) kuwepo na sehemu ya haja ndogo kwa wanaume; na (g). kuwepo na chombo maalumu chenye mfuniko cha kuhifadhia taka zisizoweza kusukumwa na maji. 7 Sheria Ndogo ya Afya, Usafi Na Usimamizi wa Mazingira ya Halmashauri ya Jiji la Dar Es Salaam Tangazo la serikali Na.1011 (Linaendelea.) Vyoo vya muda katika mikusanyiko Vyoo katika majengo ya biashara Ilani ya kujenga au kurekebisha choo Ilani ya kuondoa kero Udhibiti utupaji wa taka - 16 Verify source ↗
Mtu yeyote, kikundi au taasisi yenye lengo
AI-assisted research summary: Watu, vikundi au taasisi zinazokusanya watu kwa mkutano, sherehe au mkusanyiko wowote lazima ziweke au zijenge vyoo vya muda ikiwa eneo halina choo cha kudumu na baada ya kuomba kibali kutoka Halmashauri.
16. Mtu yeyote, kikundi au taasisi yenye lengo la kukusanya watu kwa madhumuni ya mkutano au sherehe au mkusanyiko wowote kuweka au kujenga vyoo vya muda endapo eneo hilo hakuna choo cha kudumu baada ya kuomba kibali kutoka Halmashauri. - 17 Verify source ↗
Kila mmiliki wa jengo la biashara atatakiwa
AI-assisted research summary: Mmiliki wa jengo la biashara lazima ajenge vyoo vinavyokubalika kwa matumizi ya wateja wake, kwa kuzingatia jinsia zote.
17. Kila mmiliki wa jengo la biashara atatakiwa kujenga vyoo vyenye viwango vinavyokubalika chini ya Sheria Ndogo hii kwa ajili ya matumizi ya wateja wake kwa kuzingatia jinsia zote. - 18 Verify source ↗
Endapo katika ukaguzi wa afya itagundulika
AI-assisted research summary: If a health inspection finds a house has no toilet, a full toilet, or a toilet unfit for human use, the authorized officer must issue a notice to the owner or tenant.
18. Endapo katika ukaguzi wa afya itagundulika kuwa nyumba yoyote haina choo au choo kilichopo kimejaa au hakifai kwa matumizi ya binadamu, Afisa Mwidhiniwa atatoa ilani kwa mmiliki wa nyumba au mpangaji akiainisha masharti ya kurekebisha hali kama ilivyoainishwa kwenye Jedwali la Kwanza la Sheria Ndogo hii. - 19 Verify source ↗
(1) Endapo Afisa Mwidhiniwa atagundua
AI-assisted research summary: If the authorized officer finds a nuisance in an inspected area, the officer must issue a notice within seven days requiring the responsible house owner, tenant, user, or other concerned person to remove it.
19.-(1) Endapo Afisa Mwidhiniwa atagundua kuwa eneo alilokagua lina kero yoyote atatoa ilani ndani ya siku saba kwa mmiliki wa nyumba, mpangaji, mtumiaji au mtu yeyote anayehusika akimtaka kuondoa kero hiyo kama ilivyoainishwa kwenye Jedwali la Kwanza la Sheria Ndogo hii. (2) Mtu yeyote atakayeshindwa kutekeleza masharti ya ilani aliyopewa ndani ya muda ulioainishwa kwenye ilani atakuwa ametenda kosa. - 20 Verify source ↗
(1) Wamiliki wa vyombo vya usafiri vya
AI-assisted research summary: Wamiliki wa vyombo vya usafiri vya umma na binafsi lazima kuzuia kutupwa kwa taka nje ya vyombo vyao, na mtu yeyote haruhusiwi kutupa taka ovyo katika maeneo yasiyotengwa.
20.-(1) Wamiliki wa vyombo vya usafiri vya umma watalazimika kuweka vyombo vya kuhifadhia taka ili abiria wasitupe taka nje vyombo vya usafiri. (2) Wamiliki wa vyombo vya usafiri vya binafsi watahakikisha kuwa wenyewe au watu waliomo katika vyombo vyao hawatupi taka nje ya vyombo hivyo vya usafiri. (3) Mtu yeyote hataruhusiwa kutupa taka ovyo katika maeneo ya makazi, biashara, mifereji ya maji ya mvua, hifadhi ya barabara au mahali popote pasipotengwa kwa ajili ya kutupa taka. 8 Sheria Ndogo ya Afya, Usafi Na Usimamizi wa Mazingira ya Halmashauri ya Jiji la Dar Es Salaam Tangazo la serikali Na.1011 (Linaendelea.) Ukusanyaji Taka ngumu Ada ya uzoaji taka Eneo la kutupa taka (4) Mtu yeyote au mkazi atakuwa na wajibu wa kuhakikisha kwamba anatupa uchafu au taka katika vyombo maalum vilivyowekwa kwa ajili ya kutunzia taka katika maeneo maalum yaliyotengwa. - 21 Verify source ↗
(1) Halmashauri itawajibika kukusanya taka
AI-assisted research summary: Halmashauri lazima kukusanya taka ngumu kutoka maeneo ya kutunza taka ndani ya kila Kata, na hairuhusiwi kuweka uchafu wa maji maji au vitu vinavyoweza kulipuka kwenye pipa la taka.
21.-(1) Halmashauri itawajibika kukusanya taka ngumu kutoka katika maeneo ya kutunza taka kwa muda ulioainishwa katika kila Kata. (2) Taka ngumu zote zitakazokusanywa kwenye mapipa ya taka zitabaki kuwa mali ya mkazi au mmliki wa eneo lile mpaka zitakapokuwa zimefikishwa kwenye maeneo ya kutunza taka kwa muda au zitakapokuwa zimetolewa na Wakala kutoka katika eneo lake. (3) Haitaruhusiwa kuweka uchafu wenye asili ya maji maji kwenye pipa la taka au kitu chochote kinachoweza kulipuka na kusababisha madhara. - 22 Verify source ↗
(1) Kutakuwa na ada ya uzoaji taka ambayo
AI-assisted research summary: Halmashauri must charge a waste collection fee, set different rates based on income and residential area, and may take legal action if a waste producer does not pay for two consecutive months.
22.-(1) Kutakuwa na ada ya uzoaji taka ambayo itatozwa na Halmashauri kwa lengo la kufanikisha utekelezaji wa shughuli za usimamizi wa mazingira kama ilivyoainishwa kwenye Jedwali la Pili la Sheria Ndogo hii. (2) Ada ya uzoaji taka itatozwa kwa viwango tofauti kulingana na vipato na maeneo mbalimbali ya makazi kama yalivyoainishwa kwenye Jedwali la Tatu la Sheria Ndogo hii. (3) Iwapo mzalishaji wa taka atashindwa kulipia gharama ya huduma ya uzoaji taka kwa kipindi cha miezi miwili mfululizo Halmashauri itamchukulia hatua za kisheria ikiwa ni pamoja na kufikishwa mahakamani. - 23 Verify source ↗
(1) Halmashauri itakuwa na wajibu wa
AI-assisted research summary: Halmashauri lazima itenge, ianzishe, ijenge na iendeshe maeneo ya kutupa na kutunzia taka, isimamie vituo vya utaratibu wa uendeshaji, ikusanye taka, itoe huduma ya uzoaji taka kwa malipo, na ichukue gharama za utupaji taka kwa viwango vya Jedwali la Nne.
23.-(1) Halmashauri itakuwa na wajibu wa- (a) kutenga, kuanzisha, kujenga na kuendesha makuu ya kutupa taka na maeneo ya maeneo kutunza taka kwa muda; (b) kuanzisha na kusimamia vituo vya kuweka utaratibu wa uendeshaji; kukusanya taka na na (c) kutoa huduma ya uzoaji taka kwa malipo kutoka kwa wazalishaji wa taka hadi kwenye dampo. 9 Sheria Ndogo ya Afya, Usafi Na Usimamizi wa Mazingira ya Halmashauri ya Jiji la Dar Es Salaam Tangazo la serikali Na.1011 (Linaendelea.) Taka hatarishi Taka za viwanda (2) Halmashauri itatoza gharama za utupaji taka kwa mujibu wa viwango vilivyoainishwa katika Jedwali la Nne la Sheria Ndogo hii. - 24 Verify source ↗
Mtu yeyote, kampuni, wakala au taasisi
AI-assisted research summary: Mtu yeyote, kampuni, wakala au taasisi hairuhusiwi kuendesha uchomaji wa taka hatarishi bila kupata ushauri kutoka Halmashauri.
24. Mtu yeyote, kampuni, wakala au taasisi haitaruhusiwa kuendesha shughuli za uchomaji wa taka hatarishi bila ya kupata ushauri kutoka Halmashauri. - 25 Verify source ↗
(1) Kila mwenye kiwanda atakuwa na
AI-assisted research summary: Mwenye kiwanda lazima ahakikishe taka, vumbi, moshi na uchafu mwingine haviwafikii binadamu au viumbe hai na havileti madhara; kiwanda pia hakipaswi kutoa uchafu, maji machafu, harufu mbaya, vumbi au kelele zinazowasumbua wakazi.
25.-(1) Kila mwenye kiwanda atakuwa na wajibu wa kuhakikisha kuwa taka kama vile vumbi, maganda, moshi na taka nyingine zinazoweza kuleta kero au adha kwa ujumla haziwafikii wala hazileti madhara kwa binadamu na viumbe hai wengine. (2) Kiwanda chochote hakitaruhusiwa kutoa au kusababisha kutoa uchafu wa aina yoyote, maji machafu au harufu mbaya, vumbi au kelele na kusababisha kero kwa wakazi. Uhifadhi wa maji taka - 26 Verify source ↗
Kila mmiliki wa nyumba, kiwanda au eneo
AI-assisted research summary: Kila mmiliki wa nyumba, kiwanda au eneo la biashara anatakiwa kuwa na njia ya kuhifadhi maji taka, kuyanyonya yakijaa, kutoelekeza maji machafu sehemu zisizotengwa, na kuhakikisha kuna uunganishaji au miundombinu ya kuhifadhi maji taka.
26. Kila mmiliki wa nyumba, kiwanda au eneo la biashara anatakiwa- (a) kuhakikisha kuwa analo karo la kuhifadhi maji taka; (b) kunyonya maji taka pale karo linapojaa; (c) kutotiririsha, kutotapisha au kutoelekeza maji kutoka vyooni, bafuni, karoni au viwandani kwenda barabarani, uchochoroni, mtoni, kwenye vyanzo vya maji, maeneo ya wazi, kwenye mfereji wa maji ya mvua au sehemu yoyote isiyotengwa kuhifadhia maji taka; na (d) kuhakikisha kuwa anaunganisha maji taka au kujenga mifereji na mabwabwa kwa ajili ya kuhifadhi maji taka. Uchambuzi wa taka
Part
sehemu yoyote isiyotengwa kuhifadhia maji
- 27 Verify source ↗
(1) Taka zote zitachambuliwa kwa makundi
AI-assisted research summary: Taka zote lazima zipangwe katika makundi; taka hatarishi, zenye ncha kali, na taka za rejea zishughulikiwe kwa namna maalum kama ilivyoelekezwa.
27.-(1) Taka zote zitachambuliwa kwa makundi ya taka kadri Halmashauri itakavyoelekeza. (2) Taka zote zitapaswa kuchambuliwa sehemu zinakotoka katika makundi ya taka zenye madhara na zisizo na madhara ili kuwezesha utofauti katika usimamizi, usafirishaji na utupaji wake. 10 Sheria Ndogo ya Afya, Usafi Na Usimamizi wa Mazingira ya Halmashauri ya Jiji la Dar Es Salaam Tangazo la serikali Na.1011 (Linaendelea.) (3) Taka zote zilizo na madhara zitatunzwa kwenye chombo cha rangi nyekundu kilichowekewa alama ya “Taka hatarishi”. (4) Taka zote zenye ncha kali zitatunzwa au kuwekwa kwenye mifuko ya pekee na kuwekwa alama ya kutoa tahadhari inayosema “Hatari usifungue”. (5) Taka zote zinazohusiana na taka rejea zitachambuliwa na kuwekwa kwenye vyombo maalum vitakavyoelekezwa na Afisa Mwidhiniwa. Uanzishwaji wa Vikundi Jamii Wajibu wa kulinda vyanzo vya maji na eneo la hifadhi Uchafuzi wa vyanzo vya maji itakuwa na - 28 Verify source ↗
Halmashauri
AI-assisted research summary: Halmashauri lazima ihamasishe kuundwa na kutambua vikundi vya jamii ili viweze kufanya kazi za udhibiti wa taka ngumu na usafi wa mazingira, baada ya kuingia mkataba na Halmashauri.
28. Halmashauri la kuhamasisha uundaji wa vikundi jamii na kuvitambua ili kuviwezesha kufanya shughuli za udhibiti wa taka ngumu pamoja na usafi wa mazingira baada ya kuingia mkataba na Halmashauri. jukumu - 29 Verify source ↗
(1) Halmashauri itawajibika kusimamia,
AI-assisted research summary: Halmashauri lazima isimamie, ilinde na ihifadhi vyanzo vya maji; watu wote hawaruhusiwi kulima, kukata miti, kuchunga mifugo, au kumiliki eneo la chanzo cha maji katika hali zilizoelezwa.
29.-(1) Halmashauri itawajibika kusimamia, kulinda na kuhifadhi vyanzo vya maji. (2) Mtu yeyote hataruhusiwa kulima au kukata miti au kuchunga mifugo katika umbali wa mita sitini kutoka chanzo cha maji au kufanya jambo lolote linaloharibu kwa namna yoyote chanzo cha maji na hifadhi ya mazingira. (3) Halmashauri itachukua hatua kali za kisheria dhidi ya mtu yeyote atakayeharibu chanzo cha maji au kushindwa kushiriki katika shughuli za kuhifadhi vyanzo vya maji bila sababu ya msingi. (4) Halmashauri na jamii husika itakuwa ni wajibu wa kupanda miti isiyonyonya maji katika vyanzo vya maji kwa kuzingatia maelekezo ya wataalam. (5) Mtu yeyote hataruhusiwa kumiliki eneo la chanzo cha maji. - 30 Verify source ↗
Mtu hataruhusiwa
AI-assisted research summary: Mtu haruhusiwi kuelekeza maji machafu kwenye vyanzo vya maji, kuweka vitu vyenye sumu ndani ya maji yanayotumiwa, au kuchanganya maji ya mvua na maji taka/vinyesi kwenye vyanzo au mifereji ya maji ya mvua.
30. Mtu hataruhusiwa - (a) kuelekeza mabomba ya maji machafu kwenye mito, mabwawa, ziwa, visima, mifereji, chemchemi au sehemu yoyote ambayo ni chanzo cha maji kwa ajili ya matumizi ya binadamu na wanyama au viumbe vingine vilivyo hai; 11 Sheria Ndogo ya Afya, Usafi Na Usimamizi wa Mazingira ya Halmashauri ya Jiji la Dar Es Salaam Tangazo la serikali Na.1011 (Linaendelea.) (b) kuweka kitu chochote chenye sumu ndani ya maji ambayo yanatumiwa na binadamu au kiumbe chochote hai; au (c) kuunganisha maji ya mvua na maji taka au kutapisha choo na kutiririsha vinyesi vya mifugo au binadamu kwenye chanzo cha maji au mfereji wa maji ya mvua. Kuchoma au kusababisha moto Uvunaji miti - 31 Verify source ↗
(1) Mtu yeyote hataruhusiwa kuchoma au
AI-assisted research summary: People are not allowed to burn in the forest/council area, and every citizen must put out a fire seen burning in a dangerous council area.
31.- (1) Mtu yeyote hataruhusiwa kuchoma au la iliyoko eneo kusababisha moto katika misitu Halmashauri. (2) Ni wajibu wa kila mwananchi kuzima moto ambao utaonekana kuwaka katika eneo la Halmashauri yenye kuleta viashiria vya hatari. - 32 Verify source ↗
(1) Ni marufuku kwa mtu yeyote
AI-assisted research summary: It is prohibited for anyone to cut trees in the council area without council permission or to harvest trees preserved for special creatures. A person harvesting trees for charcoal, timber, or firewood must have a council-approved designated area and pay the environmental pollution fee.
32.-(1) Ni marufuku kwa mtu yeyote- (a) kukata miti katika eneo la Halmashauri kwa ajili ya matumizi ya aina yoyote bila kupata kibali kutoka Halmashauri; au (b) kuvuna miti ambao umehifadhiwa kwa ajili ya viumbe maalum ambao ni rasilimali ya Taifa. katika msitu (2) Halmashauri itatakiwa kuhakiki kama miti inayovunwa imekomaa na inafaa kwa ajili ya matumizi. (3) Mtu anaetaka kuvuna miti kwa ajili ya kuchoma mkaa, mbao au kuni atatakiwa kuwa na eneo maalum lililoidhinishwa na Halmashauri kwa ajili ya kazi hiyo na atatakiwa kulipa ada ijulikanayo kama ada ya uchafuzi wa mazingira kwa kiwango kilichoainishwa kwenye Jedwali la Tano la Sheria Ndogo hii. Wajibu wa kupanda miti - 33 Verify source ↗
Kila mmiliki wa jengo la makazi au biashara
AI-assisted research summary: Kila mmiliki wa jengo la makazi au biashara lazima kutunza na kupanda miti katika eneo lake lililoelezwa kwenye Jedwali la Sita.
33. Kila mmiliki wa jengo la makazi au biashara atawajibika kutunza na kupanda miti katika eneo lake kama inavyofafanuliwa katika Jedwali la Sita la Sheria Ndogo hii. Tathimini ya athari kwa mazingira - 34 Verify source ↗
(1) Miradi yote inayotekelezwa ndani ya
AI-assisted research summary: Miradi ndani ya Halmashauri haipaswi kuendelea bila tathmini ya athari ya mazingira, na mpendekezaji wa mradi lazima alipe Halmashauri asilimia 10 ya gharama ya tathmini hiyo.
34.-(1) Miradi yote inayotekelezwa ndani ya Halmashauri haitaendelezwa bila kufanyiwa tathmini ya athari ya mazingira. 12 Sheria Ndogo ya Afya, Usafi Na Usimamizi wa Mazingira ya Halmashauri ya Jiji la Dar Es Salaam Tangazo la serikali Na.1011 (Linaendelea.) Uhifadhi wa mazingira ya bahari na udhibiti wa rasilimali zake Usimamizi wa vivutio vya utalii vya Halmashauri Kibali cha kutumia eneo la utalii (2) Kila mpendekezaji wa mradi atawajibika kulipa Halmashauri asilimia kumi ya gharama ya tathmini ya athari ya mazingira kama ada ya ukaguzi na usimamizi wa mradi husika. - 35 Verify source ↗
Mtu hataruhusiwa
AI-assisted research summary: Mtu hapaswi kufanya vitendo kadhaa vya uvuvi vilivyokatazwa, ikiwemo kutumia baadhi ya njia za uvuvi, kuvua kwenye maji mafupi au miamba, kuingilia maeneo tengefu ya samaki bila kibali maalum cha Halmashauri, kuvua bila leseni, au kutumia chombo kisicho na usajili na leseni.
35. Mtu hataruhusiwa- (a) kutumia uvuvi wa juva, baruti, sumu au mkuki; (b) uvulia nyavu kwenye maji mafupi au kwenye miamba; (c) kuvua, kuokota, kuchukua au kufanya kitendo chochote kwenye maeneo tengefu ya samaki isipokuwa kwa kibali maalum cha Halmashauri; (d) kuvua samaki bila kuwa na leseni ya uvuvi; au (e) kutumia chombo cha uvuvi kisichokuwa na namba za usajili pamoja na leseni ya chombo hicho. - 36 Verify source ↗
Halmashauri
AI-assisted research summary: Halmashauri lazima isimamie, iboreshe na iendeshe vituo vya utalii inavyomiliki ndani ya eneo lake.
36. Halmashauri itakuwa na wajibu wa kusimamia, kuboresha na kuendesha vituo vya utalii inavyovimiliki vilivyopo katika eneo la Halmashauri. - 37 Verify source ↗
(1) Mtu yeyote anayetaka kutumia eneo la
AI-assisted research summary: Anyone wanting to use a tourism area must apply for a permit from the Council and pay the permit fee.
37.-(1) Mtu yeyote anayetaka kutumia eneo la utalii atatakiwa kuomba kibali kutoka Halmashauri kwa kuwasilisha barua ya maombi kwa Mkurugenzi kama ilivyoainishwa katika Jedwali la Saba la Sheria Ndogo hii. (2) Kibali hicho kitatolewa kwa mwombaji kupitia Afisa Mwidhiniwa na mwombaji atalipia ada ya kibali cha kutumia eneo la utalii. (3) Kibali masuala yafuatayo: kitakachotolewa kitajumuisha (a) kupasua magogo yaliyolala chini; (b) kufanya utafiti ndani ya msitu; 13 Sheria Ndogo ya Afya, Usafi Na Usimamizi wa Mazingira ya Halmashauri ya Jiji la Dar Es Salaam Tangazo la serikali Na.1011 (Linaendelea.) Kufuta kibali Ada za kutumia eneo la utalii Uteuzi wa Wakala (c) kuweka kambi ndani ya msitu; (d) kufanya ziara ya mafunzo ndani ya msitu; (e) kutundika mizinga ya nyuki; (f) kukagua na kurina asali; (g) kutafuta dawa za asili bila kudhuru viumbepori; (h) kufanya matambiko; na (i) kuchuma matunda, mboga za majani na uyoga. (4) Bila kuathiri masharti ya kanuni ndogo ya (2) Afisa Mwidhiniwa anaweza kutoa kibali kwa masuala mengine kwa kadri atakavyoona inafaa. - 38 Verify source ↗
(1) Afisa Mwidhiniwa anaweza kufuta kibali
AI-assisted research summary: Afisa Mwidhiniwa anaweza kufuta kibali cha kutumia eneo la utalii ikiwa mmiliki atakitumia kinyume na masharti yaliyowekwa.
38.-(1) Afisa Mwidhiniwa anaweza kufuta kibali cha kutumia eneo la utalii endapo mmiliki kibali hicho atakitumia kinyume na masharti yaliyowekwa. - 39 Verify source ↗
Halmshauri itatoza ada ya kutumia maeneo
AI-assisted research summary: Halmashauri must charge a fee for using tourist areas.
39. Halmshauri itatoza ada ya kutumia maeneo ya utalii kwa mujibu wa viwango vilivyoainishwa katika katika Jedwali la Nane la Sheria Ndogo hii. - 40 Verify source ↗
(1) Halmashauri itakuwa na mamlaka ya
AI-assisted research summary: The council may appoint an agent to collect fees or taxes on its behalf, and the appointed agent must collect them electronically, remit all collections, and follow the contract terms.
40.-(1) Halmashauri itakuwa na mamlaka ya kuteua Wakala wa kukusanya ada au ushuru kwa niaba yake kwa mujibu wa Sheria Ndogo hii. (2) Wakala atakayeteuliwa chini ya Sheria Ndogo hii atakuwa na wajibu wa- (a) kukusanya kwa niaba ya Halmashauri, ada au ushuru mbalimbali zinazohusiana na afya, usafi na usimamizi wa mazingira katika eneo lake alilopangiwa na kwa viwango vilivyoidhinishwa chini ya Sheria Ndogo hii; (b) kutumia mfumo wa kielektroniki katika kukusanya ada au ushuru na kuwasilisha makusanyo yote kwa kuzingatia masharti ya mkataba wa na uwakala Halmashauri; na alioingia (c) kuzingatia masharti ya mkataba wakati wa utekelezaji wa majukumu yake. 14 Sheria Ndogo ya Afya, Usafi Na Usimamizi wa Mazingira ya Halmashauri ya Jiji la Dar Es Salaam Tangazo la serikali Na.1011 (Linaendelea.) Makosa - 41 Verify source ↗
Mtu ambaye
AI-assisted research summary: Mtu yeyote haruhusiwi kufanya mojawapo ya vitendo vilivyoorodheshwa katika sehemu hii; kuyafanya ni kosa.
41. Mtu ambaye- (a) atatupa taka au uchafu wowote au kuacha takataka au uchafu kwenye nyumba, kiwanja, mfereji wa maji ya mvua, barabara au eneo linalopakana na nyumba yoyote au ardhi yoyote au karibu na maeneo ya nyumba au mahali popote pasipotengwa kwa shughuli hiyo. au au kujaribu atamshawishi mtu au kundi la watu kumzuia Afisa Mwidhiniwa asitekeleze wajibu wake chini ya Sheria Ndogo hii; (b) atamzuia kumzuia (c) atamwaga taka barabarani, mtaro wa maji ya mvua, uchochoroni, au mahali popote hadharani lolote katika lisiloruhusiwa; eneo au (d) ataendesha biashara ya pombe ndani ya nyumba ya makazi; (e) atatiririsha maji machafu barabarani au katika eneo la nyumba ya jirani; (f) atapika vyakula pembezoni mwa barabara au nje ya majengo mengine; (g) atauza vyakula maeneo yasiyo rasmi na kushindwa kuhifadhi chakula kwenye kabati safi lililofunikwa na lenye kioo; (h) ataacha nyumba anayoishi au kumiliki au kufanyia shughuli zake katika hali ya uchafu yenye kuleta kero au chukizo; (i) ataacha chombo cha usafiri katika hali ya uchafu; (j) ataendesha shughuli za viwanda katika maeneo ya wazi, makazi, barabarani, uchochoroni au katika maeneo yasiyotengwa kwa shughuli hizo bila kuzingatia taratibu za mipango miji; (k) ataenda haja ndogo au kubwa hovyo barabarani, uchochoroni, upenuni; 15 Sheria Ndogo ya Afya, Usafi Na Usimamizi wa Mazingira ya Halmashauri ya Jiji la Dar Es Salaam Tangazo la serikali Na.1011 (Linaendelea.) (l) atafanya biashara ya kuosha gari, pikipiki au mtambo wowote katika eneo la makazi, eneo la wazi au eneo ambalo halikutengwa kwa shughuli hiyo; (m) atafanya matengenezo ya magari, pikipiki na mitambo, katika maeneo ya wazi, makazi, barabarani, uchochoroni au katika maeneo yasiyotengwa kwa shughuli hizo bila kuzingatia taratibu za mipango miji; (n) ataendesha gari linalosababisha uchafuzi wa kutoa moshi mzito kwa mazingira unaoonekana; (o) atavua samaki kwa kutumia sumu au nyavu zenye matundu madogo; (p) ataharibu chanzo cha maji au kushindwa kushiriki katika shughuli za kuhifadhi vyanzo vya maji atakuwa; (q) ataweka sumu ya aina yoyote kwa namna yoyote inaathiri maisha ya binadamu na viumbe hai wengine ambao ni rasilimali ya Taifa; ambayo (r) atafyeka nyasi, kung’oa vichaka na kung’oa visiki kwenye misitu bila kibali; (s) atabandua magome ya miti kwa ajili ya kutengeneza vilindo, mzinga na vitu vingine bila ya kuwa na kibali; (t) atalima au kukata miti katika vyanzo vya maji, milima, kando ya njia, makorongo na sehemu nyingine zozote zinazohifadhiwa ili kupunguza mmomonyoko wa udongo; au (u) ataruhusu mhudumu yeyote kufanya kazi bila kupimwa afya yake, anatenda kosa.
Part
sehemu nyingine zozote zinazohifadhiwa ili
- 42 Verify source ↗
Mtu atakayetiwa hatiani kwa kutenda kosa
AI-assisted research summary: A person convicted of an offence under this bylaw is liable to a fine, imprisonment, or both.
42. Mtu atakayetiwa hatiani kwa kutenda kosa lolote kinyume cha Sheria Ndogo hii atawajibika kulipa faini ya kiasi kisichopungua shilingi laki tatu na kisichozidi au kifungo shilingi milioni moja kisichopungua miezi kumi na mbili na kisichozidi miezi ishirini na nne au vyote. 16 Adhabu Sheria Ndogo ya Afya, Usafi Na Usimamizi wa Mazingira ya Halmashauri ya Jiji la Dar Es Salaam Tangazo la serikali Na.1011 (Linaendelea.) kufifilisha kosa Kufutwa kwa TS. Na. 526 la 2019, na TS.Na.602 la 2019 na TS.Na.31 la 2017. - 43 Verify source ↗
Mkurugenzi atakuwa na uwezo wa
AI-assisted research summary: Mkurugenzi anaweza kufifilisha kosa kwa kumtoza mkosaji hadi shilingi 200,000 ikiwa mkosaji anakiri kwa hiari, anakubali kujaza fomu maalum ya Jedwali la Tisa, na kulipa ada au ushuru unaodaiwa.
43. Mkurugenzi atakuwa na uwezo wa kufifilisha kosa kwa kumtoza mtu yeyote aliyetenda kosa chini ya Sheria Ndogo hii kiasi kisichozidi shilingi laki mbili endapo mkosaji atakiri kosa kwa hiari na kuwa tayari kujaza fomu maalum iliyoainishwa katika Jedwali la Tisa la Sheria Ndogo hii na kulipa ada au ushuru anaodaiwa.
Part
Jedwali la Tisa la Sheria Ndogo hii na kulipa ada au
- 44 Verify source ↗
Sheria Ndogo ya Afya na Usimamizi wa
AI-assisted research summary: Three listed local environmental bylaws are repealed.
44. Sheria Ndogo ya Afya na Usimamizi wa Mazingira ya Halmashauri ya Manispaa ya Ilala ya mwaka 2019, na Sheria Ndogo ya Afya na Usimamizi wa Mazingira (Marekebisho) ya Halmashauri ya Manispaa ya Ilala ya mwaka 2019; na Sheria Ndogo ya Udhibiti Taka na Utunzaji wa Mazingira ya Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam ya Mwaka 2017 zinafutwa. 17 Sheria Ndogo ya Afya, Usafi Na Usimamizi wa Mazingira ya Halmashauri ya Jiji la Dar Es Salaam Tangazo la serikali Na.1011 (Linaendelea.) __________ JEDWALI LA KWANZA _________ (Limetengenezwa chini ya kanuni ya 18 na 19(1)) HALMASHAURI YA JIJI LA DAR ES SALAAM ILANI YA KUREKEBISHA AU KUONDOA KERO Ilani hii imetolewa kwa mujibu wa Sheria Ndogo ya Afya,Usafi na Usimamizi wa Mazingira ya Halmashauri ya Jiji La Dar es Salaam ya Mwaka 2024. ....................................................... SEHEMU “A” Ndugu .................................................... wa S.L.P ..................................unaarifiwa kwamba katika ukaguzi wa tarehe..............mwezi wa ...........................mwaka ......................... katika nyumba yako ya ................................... biashara au kuishi au kutolea huduma au kiwanja iliyopo eneo la .......................................... kumekutwa machukizo au kero au uchafu kama ifuatavyo:- 1)................................................................ 2) ............................................................... 3) ................................................................ uliofanyika SEHEMU “B” Kwa ilani hii unaamuriwa kurekebisha au kuondoa au kusafisha kwa:- 1)................................................................ 2) ............................................................... 3) ................................................................ SEHEMU “C” Unapewa muda wa siku .......... tangu siku ya kupokea ilani hii, unatakiwa kutekeleza yote yaliyoelezwa katika sehemu “B” ya ilani hii , kushindwa kwako kutekeleza ndani ya muda uliopewa Halmashauri italazimika kukuchukulia hatua kali za kisheria bila kulazimika kukupa taarifa nyingine. .................................................... JINA: Afisa Muidhiniwa IMETOLEWA NA:- Jina: ............................ Sahihi: ....................... Wadhifa: ................... Tarehe:...................... IMEPOKELEWA NA:- Jina: ............................. Sahihi: .......................... Wadhifa: ....................... Tarehe: ......................... 18 Sheria Ndogo ya Afya, Usafi Na Usimamizi wa Mazingira ya Halmashauri ya Jiji la Dar Es Salaam Tangazo la serikali Na.1011 (Linaendelea.) _____________ JEDWALI LA PILI _____________ (Limetengenezwa chini ya kanuni ya 22(1) ADA YA UZOAJI WA TAKA Namba Aina ya Makazi Kipato cha juu kwa mwezi Kipato Kati mwezi cha kwa Kipato chini mwezi cha kwa 1 2 3 4 5 6 (kwa NYUMBA Nyumba za ghorofa (Kwa kaya) Nyumba za chini kaya) Nyumba mpya za ghorofa usanifu wa kawaida Nyumba mpya za ghorofa usanifu wa kisasa Nyumba ya pekee Nyumba ya pekee yenye nyumba za huduma (Villa) 15,000 8,000 15,000 15,000 25,000 30,000 7,000 3,500 7,000 10,000 20,000 20,000 3,000 2,500 3,000 5,000 10,000 15,000 Namba Aina ya mzalishaji wa taka Kiwango cha ada/ushuru kwa mwezi Kipato cha juu Kipato cha 7 8 9 10 11 Penthouse Hostel (kwa mpangaji au mkazi) Hostel (kwa chumba) Nyumba ya kulala wageni 50,000 500 2,000 40,000 OFISI kati 40,000 500 2,000 30,000 Kipato cha chini 25,000 500 2,000 20,000 • Ofisi yenye wafanyakazi 1 – 10 • Ofisi yenye wafanyakazi 11 – 50 • Ofisi yenye wafanyakazi 51 – 100 • Ofisi yenye wafanyakazi 101 na zaidi 30,000 20,000 10,000 60,000 60,000 40,000 150,000 150,000 100,000 250,000 250,000 150,000 12 BENKI Tawi la Benki 150,000 150,000 150,000 19 Sheria Ndogo ya Afya, Usafi Na Usimamizi wa Mazingira ya Halmashauri ya Jiji la Dar Es Salaam Tangazo la serikali Na.1011 (Linaendelea.) 13 14 15 16 17 18 19 20 21 22 23 24 25 26 27 28 29 30 31 32 33 Duka la kubadilishia fedha Ofisi za ATM Ofisi za luku (Tanesco) Ofisi za luku (Wakala) Ofisi za Mawakala wa fedha, luku (Tanesco), na mitandao ya simu 100,000 100,000 100,000 50,000 30,000 100,000 100,000 100,000 50,000 30,000 100,000 100,000 100,000 50,000 30,000 na vyakula vinywaji zinazotokana VYAKULA NA VINYWAJI Sehemu ya kuuzia chai na vitafunwa Mgahawa Duka la vinywaji Baa (pombe, baridi na vitafunwa) Mama na baba lishe Taka na Biashara ya Mgahawa wa nje ya Majengo Vibanda vya chips Baa na mgahawa au jiko Baa na nyumba ya kulala wageni Baa, nyumba ya wageni na ukumbi wa starehe Baa na ukumbi wa starehe Baa, ukumbi wa starehe na mgahawa UKUMBI WA STAREHE Watu 01 hadi 50 Watu 51 hadi 300 Watu 301 hadi750 Watu 751 hadi 2000 Watu 2001 na kuendelea Duka la kuuza Ice Cream HOTELI 10 Vyumba
Part
Sehemu ya kuuzia chai na
- 101 Verify source ↗
Na kuendelea
AI-assisted research summary: Hii ni jedwali la ada/gharama za aina mbalimbali za biashara na huduma, zikiwemo baadhi za kulipwa kwa siku.
101- Na kuendelea BUCHA YA NYAMA NA SAMAKI DUKA REJA REJA) ( JUMLA NA 15,000 20,000 15,000 30,000 10,000 60,000 10,000 30,000 50,000 60,000 50,000 50,000 50,000 150,000 300,000 500,000 1,000,000 10,000 100,000 200,000 300,000 400,000 500,000 600,000 700,000 1,300,000 5,000 10,000 15,000 10,000 20,000 5,000 20,000 5,000 20,000 30,000 40,000 30,000 30,000 30,000 150,000 300,000 500,000 1,000,000 10,000 50,000 150,000 250,000 300,000 400,000 500,000 600,000 1,000,000 5,000 20,000 30,000 20,000 30,000 15,000 10,000 15,000 50,000 50,000 100,000 100,000 100,000 100,000 150,000 300,000 500,000 1,000,000 20,000 100,000 200,000 300,000 400,000 500,000 600,000 700,000 1,300,000 10,000 20 Sheria Ndogo ya Afya, Usafi Na Usimamizi wa Mazingira ya Halmashauri ya Jiji la Dar Es Salaam Tangazo la serikali Na.1011 (Linaendelea.) 34 35 36 37 38 39 40 41 42 43 44 45 46 47 48 49 50 51 52 53 54 55 56 57 58 59 60 61 62 63 64 65 66 Bidhaa Vyakula au mchanganyiko Duka la Nguo Vifaa vya umeme au simu Vifaa vya ujenzi Vitabu au Shajala Urembo au Vipodozi Duka la Samani Vinywaji na Pombe Kali Taka zinazotokana na ghala la kuhifadhia bidhaa Vipuri na Vifaa vya magari Duka la Vifaa vya muziki na kaseti Duka la Vitu vya Chakula Duka la baiskeli Duka la pikipiki Showrooms za magari KARAKANA Fundi Seremala Karakana ya Chuma Karakana ya Magari Sonara na uhunzi wa vito Shughuli za Vioo Shughuli za Alminium Mchapishaji Store Mashine ya Mbao kwa ujazo wa mita moja au 30,000 20,000 40,000 50,000 20,000 40,000 40,000 30,000 30,000 20,000 40,000 20,000 30,000 40,000 50,000 30,000 50,000 50,000 15,000 100,000 100,000 40,000 15,000 45,000 VIWANDA VIDOGO NA VIKUBWA Taka kwa ujazo wa cubic mita Matengenezo ya vifaa vya umeme Matengenezo ya matairi Magurudumu Matengenezo 40,000 100,000 45,000 na BIASHARA NDOGO NA NYINGINEZO Fundi Cherehani Seremala Fundi viatu Saluni ya Nywele Dobi Genge kwa meza moja Biashara ya juisi ya miwa 20,000 20,000 5,000 20,000 10,000 5,000 40,000 30,000 (a) Wauza matunda juisi na nyinginezo 21 15,000 10,000 30,000 40,000 10,000 30,000 30,000 20,000 20,000 10,000 30,000 20,000 20,000 20,000 50,000 20,000 30,000 30,000 10,000 50,000 30,000 30,000 15,000 25,000 15,000 15,000 50,000 10,000 10,000 3,000 10,000 5,000 3,000 30,000 20,000 10,000 5,000 20,000 30,000 5,000 20,000 20,000 10,000 10,000 10,000 20,000 10,000 10,000 10,000 50,000 10,000 20,000 20,000 5000 30,000 20,000 20,000 15,000 25,000 10,000 10,000 30,000 5,000 5,000 2,000 5,000 5,000 2,000 20,000 10,000 Sheria Ndogo ya Afya, Usafi Na Usimamizi wa Mazingira ya Halmashauri ya Jiji la Dar Es Salaam Tangazo la serikali Na.1011 (Linaendelea.) 67 68 69 70 71 72 73 74 75 76 77 78 79 80 81 82 83 84 85 86 87 88 89 90 (b) Wafanyabiashara wadogo wasio na maeneo maalum ---------- --------- 500 kwa siku Huduma za Internet 10,000 5,000 3,000 HUDUMA ZA AFYA (TAKA ZISIZOKUWA ZA HATARI) 30,000 Duka la dawa baridi 50,000 Duka la Dawa Rejareja Duka la dawa la jumla 100,000 Duka la Vifaa vya Maabara 40,000 20,000 Maabara ya Vipimo 50,000 Zahanati 20,000 Kituo cha Afya 50,000 Vituo vya tiba mbadala au asilia Duka la dawa asilia Hospitali Kliniki 20,000 40,000 70,000 30,000 10,000 30,000 10,000 30,000 10,000 100,000 20,000 20,000 100,000 30,000 10,000 30,000 50,000 20,000 5,000 15,000 5,000 15,000 5,000 100,000 10,000 Hospitali ya Rufaa 400,000 400,000 400,000 TAASISI ZA MAFUNZO Kituo cha kulelea watoto, Shule ya Sekondari, Shule ya Msingi na Vyuo vya Kutwa Wanafunzi 01-200 Wanafunzi 201- 500 Wanafunzi 501-1,000 Wanafunzi 1001 kuendelea Shule na Vyuo vya Bweni na 40,000 80,000 150,000 250,000 Wanafunzi 01-200 Wanafunzi 201- 500 Wanafunzi 501-1,000 Wanafunzi 1001 kuendelea 60,000 150,000 250,000 400,000 na VITUO VYA MAFUTA Kituo kikubwa cha Mafuta Kituo kidogo cha Mafuta Kituo cha Mafuta ya taa Kituo cha Kuuzia gesi Kibanda cha Kuuzia mkaa 100,000 50,000 20,000 20,000 20,000 30,000 50,000 100,000 250,000 60,000 150,000 200,000 300,000 100,000 50,000 20,000 15,000 20,000 15,000 30,000 80,000 250,000 60,000 150,000 150,000 300,000 100,000 50,000 20,000 10,000 20,000 HUDUMA NYINGINEZO Misikiti na Makanisa Nyumba ya Starehe au Klabu au cassino au night clubs Ofisi za ulinzi Teksi kwa siku 20,000 250,000 20,000 100,000 20,000 50,000 20,000 500 22 10,000 500 5000 500 Sheria Ndogo ya Afya, Usafi Na Usimamizi wa Mazingira ya Halmashauri ya Jiji la Dar Es Salaam Tangazo la serikali Na.1011 (Linaendelea.) 91 92 93 94 95 96 97 98 99 100 Vituo vya kushusha na kupakia mizigo Minara ya simu Taka za Bustani kwa Mita Mraba Moja Taka za Masoko kwa cubic mita Ghala Bahati nasibu Super Market 20,000 30,000 25,000 25,000 100,000 50,000 300,000 20,000 30,000 25,000 25,000 100,000 50,000 300,000 20,000 30,000 25,000 25,000 100,000 50,000 300,000 Mini SuperMarket 100,000 100,000 100,000 za Uvunjaji wa Taka Majengo kwa tani Kituo cha Kuchakata Taka 50,000 50,000 100,000 50,000 50,000 30,000 ______________ JEDWALI LA TATU _____________ (Limetengenezwa chini ya kanuni ya 22(2) MGAWANYO WA KATA KULINGANA NA KIPATO Namba Kanda “A” –Kipato cha juu Kanda “B”- Kipato cha Kati Kanda “C”-Kipato cha Chini
Part
JEDWALI LA TATU
- 22 Verify source ↗
Section 22
AI-assisted research summary: This section introduces a table of waste disposal charges for named areas in Dar es Salaam.
22. Upanga Mashariki Upanga Magharibi Kisutu Mchafukoge Gerezani Kivukoni Kariakoo Kinyerezi Kimanga Mchikichini Segerea Ilala Tabata Jangwani 23 Kipawa Kiwalani Pugu Gongo la mboto Majohe Kivule Ukonga Kitunda Chanika Msongola Vingunguti Bonyokwa Buyuni Kipunguni Kisukuru Liwiti Minazi Mirefu Mnyamani Pugu station Zingiziwa Mzinga Buguruni Sheria Ndogo ya Afya, Usafi Na Usimamizi wa Mazingira ya Halmashauri ya Jiji la Dar Es Salaam Tangazo la serikali Na.1011 (Linaendelea.) ____________ JEDWALI LA NNE ____________ (Limetengenezwa chini ya kanuni ya 23 (2)) GHARAMA ZA UTUPAJI TAKA Namba Chanzo Ujazo/kipimo Kiwango cha ada shilingi
Part
JEDWALI LA NNE
- 1 Verify source ↗
Section 1
AI-assisted research summary: Kifungu hiki kinataja taka za majumbani na tani zisizochambuliwa.
1. Taka za majumbani Tani zisizochambuliwa - 2 Verify source ↗
Section 2
AI-assisted research summary: Hiki kipande kinaonekana kuwa kichwa au lebo kuhusu taka za majumbani na tani zilizochambuliwa.
2. Taka za majumbani Tani zilizochambuliwa - 3 Verify source ↗
Section 3
AI-assisted research summary: Kifungu hiki kina kichwa kinachotaja taka za viwandani na sehemu za tani biashara.
3. Taka za Viwandani na sehemu za Tani biashara - 4 Verify source ↗
Section 4
AI-assisted research summary: Hii sehemu inaonyesha kuharibu mali zilizokwisha muda wa matumizi, na inaeleza kiwango cha chini ya tani moja.
4. Kuharibu mali zilizokwisha muda wa matumizi. Tani Chini ya tani Moja - 9 Verify source ↗
Section 9
AI-assisted research summary: Inaorodhesha aina za taka na baadhi ya vitengo/maelezo ya kiasi.
9. Taka zenye madhara isiyo madawa Kilo Kilo Taka ya madawa (Red/Blue bag) Kilo Taka za madawa yenye ncha kali na gesi (bio-medical) Taka za madawa- Vimiminika Taka za magurudumu ya magari Lita Kilo baiskeli, piki piki - 11 Verify source ↗
Kibali cha magari ya kusafirisha
AI-assisted research summary: Hii sehemu inaonyesha kichwa cha ada ya kibali cha magari ya kusafirisha na jedwali la viwango vya fedha.
11. Kibali cha magari ya kusafirisha Tani Gari taka 5,000/= 3,000/= 18,500/= 100,000/= 90,000/= 1,000/= 4,000/= 5,000/= 2,000/= 1,000/= 50,000/= 200,000/= _______________ JEDWALI LA TANO __________________ (Limetengenezwa chini ya kanuni ya 32(3) ADA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA Namba
Part
JEDWALI LA TANO
- 3 Verify source ↗
Section 3
AI-assisted research summary: The provision lists fees for certain wood/charcoal-related items, including 1,000 shillings per bag and 5,000 shillings per cubic meter.
3. Aina ya Chanzo Mkaa Mbao Kuni Kiwango cha Ada (Shilingi) 1,000 kwa gunia 5,000 kwa kila ujazo wa mita moja kwa kila ujazo wa mita moja 24 Sheria Ndogo ya Afya, Usafi Na Usimamizi wa Mazingira ya Halmashauri ya Jiji la Dar Es Salaam Tangazo la serikali Na.1011 (Linaendelea.) ________________ JEDWALI LA SITA _________________ (Limetengenezwa chini ya kanuni ya 33) UPANDAJI MITI Namba
Part
JEDWALI LA SITA
- 3 Verify source ↗
Section 3
AI-assisted research summary: Mwombaji wa kibali cha kutumia eneo la utalii anaweza kufanya shughuli zilizoidhinishwa baada ya kibali kuridhiwa na ada kulipwa, na anapaswa kufuata masharti ya kibali.
3. Aina ya Chanzo Ujazo wa Juu Ujazo wa kati Ujazo wa chini Idadi ya Miti Miti isiyo pungua 2 Miti isiyo pungua 4 Miti isiyo pungua 5 25 Sheria Ndogo ya Afya, Usafi Na Usimamizi wa Mazingira ya Halmashauri ya Jiji la Dar Es Salaam Tangazo la serikali Na.1011 (Linaendelea.) ____________ JEDWALI LA SABA ____________ (Limetengenezwa chini ya kanuni ya 37(1)) KIBALI CHA KUTUMIA ENEO LA UTALII Kibali hiki kimetolewa kwa Bw/Bi:…………………………….…………………………….……wa S.L.P………………,Dar es Salaam. Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam ameridhia Ndugu mtajwa lililopo…………………Mtaa eneo kutumia wa………………………Kata ya ………………… baada ya kulipia ada ya kibali. utalii hapo juu, la Mwombaji anaruhusiwa kufanya shughuli zifuatazo: …………………………………………………….………………………………………………… ….………………………………………………………….………………………………………… …………………………………………..katika eneo tarehe…………Mwezi……………..Mwaka…………….mpaka tarehe…….Mwezi……Mwaka…… hilo kuanzia TAMKO LA MWOMBAJI; MIMI…………………………………………………………nipo tayari kufuata masharti ya kibali hiki cha kutumia eneo la utalii na ninathibitisha kwa hiari yangu nimeelewa vema masharti ya kibali hiki. Jina: ………………………Saini …………………..Tarehe ………………… KWA MATUMIZI YA OFISI; Mwombaji amelipia Shilingi…….tarehe………mwezi……..Mwaka…………. (Ambatanisha stakabadhi ya malipo na fomu hii) Jina la Afisa aliyetoa kibali……………… Saini …………… Tarehe …………. Muhuri:……………………………………………. _____________ JEDWALI LA NANE _____________ (Limetengenezwa chini ya kanuni ya 39) ADA ZA KUTUMIA MAENEO YA UTALII Namba
Part
JEDWALI LA NANE
- 4 Verify source ↗
Section 4
AI-assisted research summary: Hii jedwali la ada/tozo za shughuli mbalimbali, ikiwemo mahema, matumizi ya vyombo na wanyama ndani ya msitu, uvuvi wa kimichezo, na kupiga picha kwa maharusi.
4. Aina ya Chanzo Tozo ya ukitaji wa mahema ndani ya eneo la Hifadhi kwa siku kwa hema moja Tozo ya kutumia mitumbwi, baiskeli, pikipiki, ndege ndogo, farasi na ngamia ndani ya msitu kwa masaa matatu kwa siku Tozo ya uvuvi wa kimichezo kwa kila samaki Tozo ya kupiga picha kwa maharusi 26 Kiwango cha Ada (Shilingi) 10,000.00 5,000.00 20,000.00 20,000.00 Sheria Ndogo ya Afya, Usafi Na Usimamizi wa Mazingira ya Halmashauri ya Jiji la Dar Es Salaam Tangazo la serikali Na.1011 (Linaendelea.) - 9 Verify source ↗
Section 9
AI-assisted research summary: This provision lists several tourism-related fees and charges, including amounts for camping, accommodation, vehicle hire, guiding, and fuel-based charges, with different amounts for Tanzanians and foreign nationals in some cases.
9. Tozo ya kukita mahema kwa maharusi kwa siku. Tozo ya uhifadhi kwa wanaolala katika eneo la Hifadhi kwa uhitaji wa mahema au nyumba za wageni Tozo ya ukodishaji wa pikipiki ya tairi tatu katika utalii wa ndani katikati ya Jiji kwa safari Tozo ya ukodishaji wa Basi kwa safari kwa kikundi Tozo ya kuongoza safari za wageni kwenye vivutio vilivyopo Jiji la Dar es Salaam kwa safari. 30,000.00 5,000.00 30,000.00 (kwa watanzania) 50,000.00 (kwa raia wa kigeni) Gharama ya mafuta jumlisha asilimia 70 ya gharama ya mafuta kwa watanzania Gharama ya mafuta jumlisha asilimia 90 ya gharama ya mafuta kwa raia wa kigeni 20,000.00 kwa Watanzania Dola za Kimarekani 20.00 Kwa raia wa kigeni - 10 Verify source ↗
Section 10
AI-assisted research summary: The provision sets entry fees for tourist attraction areas by age, with children under 5 free and ages 5 to 15 charged 1,000.00.
10. Tozo ya kiingilio kwenye maeneo ya vivutio vya utalii kwa watanzania (Shilingi) raia wa za kwa kigeni(Dola Kimarekani) (a) Umri chini ya miaka 5 Bure Bure (b) Umri kati ya miaka 5 na 15 1,000.00 - 5
AI-assisted research summary: The text mentions persons aged 16 and above and an amount of 3,000.00.
5.00 (c) Umri wa miaka 16 na zaidi 3,000.00 - 11 Verify source ↗
Section 11
AI-assisted research summary: This section sets a bench fee for research at 40,000.00.
11. Tozo nyinginezo (a) Tozo za tafiti (Bench fee) 40,000.00 - 50
AI-assisted research summary: This item sets a fee of 20,000.00 for motion-picture photography.
50.00 (b) Tozo za upigaji picha za mnato 20,000.00 - 20
AI-assisted research summary: There is a charge of 30,000.00 for motion picture filming.
20.00 (c) Tozo za upigaji picha mjongeo 30,000.00 - 40
AI-assisted research summary: The provision sets a fee of 50,000.00 for organizing a concert/event.
40.00 (d) Tozo za kufanya tamasha/tukio 50,000.00 - 12 Verify source ↗
Section 12
AI-assisted research summary: The provision mentions an approval fee for a Nyara permit and lists amounts of 10,000 and 20,000.
12. Ada ya kudhinisha kibali cha Nyara 10,000 20,000 - 13 Verify source ↗
Section 13
AI-assisted research summary: Ada ya kuidhinishiwa kibali cha mazao ya nyuki ni 5,000.
13. Ada ya kuidhinishiwa kibali cha mazao ya nyuki 5,000 27 Sheria Ndogo ya Afya, Usafi Na Usimamizi wa Mazingira ya Halmashauri ya Jiji la Dar Es Salaam Tangazo la serikali Na.1011 (Linaendelea.) _____________ JEDWALI LA TISA _____________ (Limetengenezwa chini ya kanuni ya 43) FOMU YA KUKIRI NA KUFIFILISHA KOSA Mimi…………………………………..………………………. nakiri KWA HIARI YANGU MWENYEWE mbele ya …………………………ambaye ni Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji La Dar es Salaam, kwamba mnamo tarehe…… ya mwezi…………….…..Mwaka ……….. nilitenda kosa la kukiuka masharti ya aya ya …………… ya Sheria Ndogo ya (Afya, Usafi na Usimamizi wa Mazingira) ya Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam ya Mwaka 2024. Kwa mamlaka aliyopewa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji La Dar es Salaam. niko tayari kulipa kiasi cha Ada au Ushuru ninayodaiwa pamoja na faini. NATHIBITISHA KWAMBA MAELEZO HAPO JUU NI YA KWELI NA NIMEYATOA KWA HIARI YANGU KADRI YA UFAHAMU WANGU Leo Tarehe…ya Mwezi……………Mwaka……. Jina…………………………………..….. Saini…………………………………..…. Mbele ya: Jina…………………………………………. wadhifa……………………………………… Saini……..………………………………….. Tarehe: …………………………………….. 28 Sheria Ndogo ya Afya, Usafi Na Usimamizi wa Mazingira ya Halmashauri ya Jiji la Dar Es Salaam Tangazo la serikali Na.1011 (Linaendelea.) Lakiri ya Jiji la Dar es Salaam imegongwa kwenye Sheria Ndogo hizi kufuatia Azimio lililopitishwa katika Mkutao wa Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam uliofanyika tarehe 6/3/2023 na kushuhudiwa Lakiri hiyo ikigongwa mbele ya:- JOMAARY MRISHO SATURA, Mkurugenzi wa Jiji, Halmashauri ya jiji, Dar es salaam MHE. OMARY KUMBILAMOTO, Msahiki meya, Halmashauri ya jiji, Dar es salaam L.S NAKUBALI, Dodoma, MOHAMED OMARY MCHENGERWA, 29 Agosti, 2024 Waziri wa Nchi OR-Tamisemi 29
Provision text is displayed from LexChat’s stored statute record. Use the official source links to verify amendments, commencement, and current legal force.
Ask AI about this statute
Sheria Ndogo ya Afya, Usafi na Usimamizi wa Mazingira ya Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam ya Mwaka 2024
Sign in to ask AI about this statute
Sign in to start authenticated, citation-grounded statute research.
Sign in