AI-assisted research summary: This notice announces the intended upgrade of Kibaha Town Council to Kibaha Municipal Council and lists the administrative areas and boundary description involved.
1. Halmashauri ya Mji Kibaha SEHEMU C. (Maeneo ya kiutawala ya Halmashauri inayopandishwa hadhi) HALMASHAURI YA MJI WA KIBAHA HALMASHAU RI Mji wa Kibaha Na. TARAF A Kibaha 1 Na. KATA Na. MTAA Na. KIJIJI Na KITONGOJ I 1 Pangani 1 Pangani 2 Mtakuja 3 4 Kidimu Lumumba 5 Mkombozi 6 7 Vikawe Bondeni Vikawe Shule 8 Miwale 2 Mailimoja 9 Mailimoja A 10 Uyaoni 11 Shuleni Mailimoja 12 Muheza 2 Notisi ya Kusudio la Kupandisha Hadhi Halmashauri ya Mji Kibaha Tangazo la Serikali Na.141 (Linaendelea.) HALMASHAU RI Na. TARAF A Na. KATA Na. MTAA Na. KIJIJI Na KITONGOJ I 3 Tangini 13 Tangini 14 Mailimoja B 15 Kilimahewa 16 Machinjioni 4 Tumbi 17 Mkoani A 18 Mkoani B 19 Boko temboni 20 Boko timiza 21 Mwanalugali A 22 Mwanalugali B 5 Picha ya ndege 23 Picha ya Ndege 24 Lulanzi 25 Muharakani 6 Sofu 26 Sofu 27 Msufini 28 Twendepam oja 7 Mkuza 29 Bungo 30 Kibondeni 31 Mkongoni 32 Mbwate 33 Mkuza 34 Mpakani 3 Notisi ya Kusudio la Kupandisha Hadhi Halmashauri ya Mji Kibaha Tangazo la Serikali Na.141 (Linaendelea.) HALMASHAU RI Na. TARAF A Na. KATA Na. MTAA Na. KIJIJI Na KITONGOJ I 8 Msangani 35 Kidenge 2 Kongow e 36 Msangani 37 Galagaza 38 Kumba 39 Kidenge B 40 Madina 9 Kibaha 41 Mwendapole A 42 Mwendapole B 43 Kwamfipa 44 Simbani 45 Kitende 10 Kongowe 46 Miembesaba A 47 Miembesaba B 48 Mwambisi 49 Bamba 50 Ungindoni 51 Kongowe 11 Viziwa 52 Viziwaziwa ziwa 53 Mikongeni 54 Sagale Kambini 55 Sagale Magengeni 12 Misugusug 56 Misugusugu u 4 Notisi ya Kusudio la Kupandisha Hadhi Halmashauri ya Mji Kibaha Tangazo la Serikali Na.141 (Linaendelea.) HALMASHAU RI Na. TARAF A Na. KATA Na. MTAA Na. KIJIJI Na KITONGOJ I 57 Miyomboni 58 Zogowale 59 Karabaka 60 Jonung'ha 61 Saeni 62 Vitendo 13 Visiga 63 Madafu 64 Miwaleni 65 Zegereni 66 Maili 35 67 Visiga Kati 68 Visiga B 69 Kichangani 14 Mbwawa 70 Mbwawa 71 Mkoleni 72 Miswe duka 73 Miswe chini 5 Notisi ya Kusudio la Kupandisha Hadhi Halmashauri ya Mji Kibaha Tangazo la Serikali Na.141 (Linaendelea.) SEHEMU D. (Maeneo ya kiutawala ya Halmashauri Mpya ya Manispaa) HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIBAHA HALMASHAURI Na. TARAFA Na. KATA Na. MTAA Manispaa ya Kibaha 1 Kibaha 1 Pangani 2 Mailimoja 1 2 3 4 5 6 7 8 9 Pangani Mtakuja Kidimu Lumumba Mkombozi Vikawe Bondeni Vikawe Shule Miwale Mailimoja A 10 Uyaoni 11 Shuleni Mailimoja 12 Muheza 3 Tangini 13 Tangini 14 Mailimoja B 15 Kilimahewa 16 Machinjioni 4 Tumbi 17 Mkoani A 18 Mkoani B 19 Boko temboni 6 Notisi ya Kusudio la Kupandisha Hadhi Halmashauri ya Mji Kibaha Tangazo la Serikali Na.141 (Linaendelea.) HALMASHAURI Na. TARAFA Na. KATA Na. MTAA 20 Boko timiza 21 Mwanalugali A 22 Mwanalugali B 5 Picha ya ndege 23 Picha ya Ndege 24 Lulanzi 25 Muharakani 6 Sofu 26 Sofu 27 Msufini 28 Twende pamoja 7 Mkuza 29 Bungo 30 Kibondeni 31 Mkongoni 32 Mbwate 33 Mkuza 34 Mpakani 8 Msangani 35 Kidenge 36 Msangani 37 Galagaza 38 Kumba 39 Kidenge B 40 Madina 9 Kibaha 41 Mwendapole A 7 Notisi ya Kusudio la Kupandisha Hadhi Halmashauri ya Mji Kibaha Tangazo la Serikali Na.141 (Linaendelea.) HALMASHAURI Na. TARAFA Na. KATA Na. MTAA 42 Mwendapole B 43 Kwamfipa 44 Simbani 45 Kitende 2 Kongowe 10 Kongowe 46 Miembesaba A 47 Miembesaba B 48 Mwambisi 49 Bamba 50 Ungindoni 51 Kongowe 11 Viziwa ziwa 52 Viziwaziwa 53 Mikongeni 54 Sagale Kambini 55 Sagale Magengeni 12 Misugusugu 56 Misugusugu 57 Miyomboni 58 Zogowale 59 Karabaka 60 Jonung'ha 61 Saeni 62 Vitendo 13 Visiga 63 Madafu 8 Notisi ya Kusudio la Kupandisha Hadhi Halmashauri ya Mji Kibaha Tangazo la Serikali Na.141 (Linaendelea.) HALMASHAURI Na. TARAFA Na. KATA Na. MTAA 64 Miwaleni 65 Zegereni 66 Maili 35 67 Visiga Kati 68 Visiga B 69 Kichangani 14 Mbwawa 70 Mbwawa 71 Mkoleni 72 Miswe duka 73 Miswe chini 9 Notisi ya Kusudio la Kupandisha Hadhi Halmashauri ya Mji Kibaha Tangazo la Serikali Na.141 (Linaendelea.) SEHEMU E. (Mipaka ya eneo la mamlaka ya Halmashauri ya Mji Kibaha) Kuanzia katika eneo ambapo barabara ya Dar es Salaam-Morogoro inavuka Mto Mpiji; kisha kuelekea kusini kando ya Mto Mpiji hadi alama ya upimaji KB6; kisha kuelekea magharibi kupitia alama zifuatazo KB7, KB8, ZO 895, ZO 907, VBP 12, ZO 905, ZO 923, ZO 922 hadi ZO 921; kisha kuelekea kaskazini-magharibi kando ya Mto Mlandizi hadi alama VBP10; kisha kuelekea kaskazini ikivuka Mto Kinyamwezi hadi alama ya upimaji ZO 906 ambapo barabara ya Morogoro inapita hadi alama ya ZO 992; kisha katika mwelekeo huo huo ikivuka Mto Kizota hadi alama ya upimaji ZO 928; kisha hadi alama ya ZO 929 ambapo barabara ya Ruvu-Bagamoyo inapita; kisha katika mwelekeo huo huo kando ya Mto Kizota hadi kuungana kwake na Mto Ruvu; kisha kuelekea kaskazini-mashariki kando ya Mto Ruvu hadi alama VBP1; kisha kuelekea kusini kando ya eneo la dimbwi la msimu hadi barabara ya Ruvu-Bagamoyo kwenye alama VBP2; kisha kuelekea mashariki ikifuata mpaka wa Hifadhi ya Msitu wa Ruvu Kaskazini hadi Mto Mpiji katika Kijiji cha Vikawe; kisha kuelekea kusini kando ya Mto Mpiji hadi mahali pa kuanzia ambapo barabara ya Dar es Salaam- Morogoro inapita. Dodoma, 11 Februari, 2025 MOHAMED OMARY MCHENGERWA, Waziri wa Nchi-OR-TAMISEMI 10