Kanuni Za Huduma Ndogo Za Fedha (Vikundi Vya Huduma Ndogo Za Fedha Vya Kijamii) za Mwaka 2020
This provision appears to list headings for names, application, interpretation, introductory conditions, and a second part on forming a community microfinance group.
AI-assisted research synopsis — verify against the official legal text below.
- Jurisdiction
- Tanzania
- Instrument
- Regulation
- Citation
- Kanuni Za Huduma Ndogo Za Fedha (Vikundi Vya Huduma Ndogo Za Fedha Vya Kijamii) za Mwaka 2020
- Version
- Undated source snapshot
- Language
- sw
- Official source
- View official record ↗
Statute overview
About this statute
This provision appears to list headings for names, application, interpretation, introductory conditions, and a second part on forming a community microfinance group. This section is about starting and registering a community microfinance group, including the initial meeting, interim committee duties, founding meeting duties, registration applications, and the group name. This provision is titled “Hati ya usajili” (registration certificate). Sehemu hii ina vichwa vinavyohusu rufaa dhidi ya kukataliwa usajili, rejesta ya vikundi vya huduma ndogo za fedha vya kijamii, kufutwa kwa usajili, kuanza shughuli za uendeshaji, na shughuli zinazoruhusiwa na zisizoruhusiwa. This section is about the management of a community small finance service group.
Search within this statute
Search all stored provisions in this version.
Legal text
Provisions of Kanuni Za Huduma Ndogo Za Fedha (Vikundi Vya Huduma Ndogo Za Fedha Vya Kijamii) za Mwaka 2020
Showing 49 of 49
- 3 Verify source ↗
Section 3
AI-assisted research summary: This provision appears to list headings for names, application, interpretation, introductory conditions, and a second part on forming a community microfinance group.
3. Jina. Matumizi. Tafsiri. SEHEMU YA KWANZA MASHARTI YA UTANGULIZI SEHEMU YA PILI UUNDAJI WA KIKUNDI CHA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA CHA KIJAMII
Part
SEHEMU YA PILI
- 7 Verify source ↗
Section 7
AI-assisted research summary: This section is about starting and registering a community microfinance group, including the initial meeting, interim committee duties, founding meeting duties, registration applications, and the group name.
7. Uanzishaji wa kikundi cha huduma ndogo za fedha cha kijamii. Mkutano wa awali. Kamati ya Muda na majukumu yake. Mkutano wa uanzishaji na majukumu yake. SEHEMU YA TATU USAJILI WA KIKUNDI CHA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA CHA KIJAMII Maombi ya usajili. Jina la kikundi cha huduma ndogo za fedha cha kijamii. - 4 Verify source ↗
(1) Kikundi cha huduma ndogo za fedha cha
AI-assisted research summary: A community microfinance group may be formed by united individuals, or by 10 to 50 people with aligned objectives.
4.-(1) Kikundi cha huduma ndogo za fedha cha kijamii kinaweza kuanzishwa na watu binafsi walioungana kwa lengo la kuendesha biashara ya huduma ndogo za fedha kwa mujibu wa masharti ya Sheria na Kanuni hizi. (2) Bila kuathiri kanuni ndogo ya (1) kikundi cha huduma ndogo za fedha cha kijamii kinaweza kuanzishwa na idadi ya watu kumi hadi hamsini walio na malengo yanayowiana kwa ajili ya shughuli za kikundi cha huduma ndogo za fedha cha kijamii. - 5 Verify source ↗
(1) Watu ambao wanakusudia kuanzisha
AI-assisted research summary: People intending to form a community microfinance group must convene a preliminary meeting to agree on the formation, objectives, and constitution of the group, and to choose an interim committee.
5.-(1) Watu ambao wanakusudia kuanzisha kikundi cha huduma ndogo za fedha cha kijamii wataitisha mkutano wa awali kwa madhumuni ya - (a) kujadili na kukubaliana kuhusu uanzishwaji, malengo na katiba ya kikundi; na (b) kuchagua kamati ya muda kwa ajili ya kuwezesha uanzishwaji wa kikundi. (2) Wajumbe wa mkutano wa awali watachukuliwa kuwa ni wanachama wa awali wa kikundi tarajiwa cha huduma ndogo za fedha cha kijamii. Kamati ya Muda na majukumu yake - 6 Verify source ↗
(1) Kamati ya muda iliyochaguliwa chini ya
AI-assisted research summary: The temporary committee elected under regulation 5 must carry out several tasks for forming the group and preparing for registration.
6.-(1) Kamati ya muda iliyochaguliwa chini ya kanuni ya 5 itakuwa na idadi ya wajumbe kama itakavyoamuliwa kwenye mkutano wa awali. (2) Majukumu ya kamati ya muda yatakuwa yafuatayo- (a) kupendekeza jina na malengo ya kikundi kinachoanzishwa; (b) kuandaa rasimu ya katiba ya kikundi ambayo, kwa kiwango cha chini itajumuisha masuala yaliyoainishwa kwenye Jedwali la Kwanza la Kanuni hizi; (c) kuorodhesha majina ya wanachama wa awali 6 Kanuni Za Huduma Ndogo Za Fedha (Vikundi Vya Huduma Ndogo Za Fedha Vya Kijamii) Tangazo la Selikali Na. 997 (Linaendelea.) Mkutano wa Uanzishaji na majukumu yake na kuchukua taarifa za mkutano wa awali; (d) kupendekeza muundo wa kikundi; (e) kuandaa au kupata nyaraka zote muhimu kwa madhumuni ya kutimiza vigezo vya usajili; (f) kufanya mkutano wa uanzishwaji wa kikundi; na (g) kufanya mkutano wa kwanza baada ya usajili wa kikundi. - 7 Verify source ↗
(1) Kutakuwa na mkutano wa uanzishaji wa
AI-assisted research summary: A temporary committee must arrange an inaugural meeting for founding members to start and register the group, and a mobiliser may assist and be directed during the process.
7.-(1) Kutakuwa na mkutano wa uanzishaji wa kikundi wa wanachama wa awali ambao utaandaliwa na kamati ya muda kwa madhumuni ya kuanzisha na kusajili kikundi cha huduma ndogo za fedha cha kijamii. (2) Mkutano wa uanzishaji utakaofanywa chini ya kanuni ndogo ya (1) unaweza kufanywa chini ya uongozi wa afisa aliyeidhinishwa au mhamasishaji na utakuwa na majukumu yafuatayo- (a) kupitisha jina na malengo ya kikundi yaliyopendekezwa; (b) kukubaliana kuhusu muundo wa kikundi kama ulivyopendekezwa na kamati ya muda; (c) kupendekeza majina ya viongozi wa kikundi; (d) kujadili na kuthibitisha rasimu ya katiba na nyaraka zingine zilizoandaliwa na kamati ya muda kwa madhumuni ya kuomba usajili wa kikundi; na (e) kuipatia kamati ya muda la kukamilisha nyaraka muhimu kwa ajili ya usajili na kuziwasilisha Benki au Mamlaka Kasimishwa. jukumu (3) Endapo wanachama wa awali au kamati ya muda imemhusisha mhamasishaji kwa madhumuni ya kusaidia uanzishwaji na usajili wa kikundi, majukumu ya mhamasishaji yatajumuisha- (a) kuandaa katiba na nyaraka zingine muhimu kwa ajili ya uanzishaji na usajili wa 7 Kanuni Za Huduma Ndogo Za Fedha (Vikundi Vya Huduma Ndogo Za Fedha Vya Kijamii) Tangazo la Selikali Na. 997 (Linaendelea.) kikundi; (b) kutoa mafunzo kwa wanachama wa awali ili kuwezesha mchakato wa uanzishaji na usajili; na (c) kutekeleza kama atakavyoelekezwa na wanachama wa awali au kamati ya muda kwa madhumuni ya uanzishaji na usajili wa kikundi. nyingine kazi (4) Majukumu ya mhamasishaji kwa madhumuni ya uanzishaji na usajili wa kikundi yatakoma mara tu usajili wa kikundi utakapokamilika; isipokuwa kama atahitajika kufanya shughuli zingine za uhamasishaji. SEHEMU YA TATU USAJILI WA KIKUNDI CHA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA CHA KIJAMII Maombi ya usajili
Part
SEHEMU YA TATU
- 11 Verify source ↗
Section 11
AI-assisted research summary: This provision is titled “Hati ya usajili” (registration certificate).
11. Hati ya usajili. 2 Kanuni Za Huduma Ndogo Za Fedha (Vikundi Vya Huduma Ndogo Za Fedha Vya Kijamii) Tangazo la Selikali Na. 997 (Linaendelea.) - 17 Verify source ↗
Section 17
AI-assisted research summary: Sehemu hii ina vichwa vinavyohusu rufaa dhidi ya kukataliwa usajili, rejesta ya vikundi vya huduma ndogo za fedha vya kijamii, kufutwa kwa usajili, kuanza shughuli za uendeshaji, na shughuli zinazoruhusiwa na zisizoruhusiwa.
17. Rufaa kwa kukataliwa usajili. Rejesta ya vikundi vya huduma ndogo za fedha vya kijamii. Kufutwa kwa usajili. SEHEMU YA NNE UENDESHAJI Kuanza shughuli za uendeshaji. Shughuli zinazoruhusiwa na zisizoruhusiwa. - 8 Verify source ↗
(1) Kikundi cha huduma ndogo za fedha cha
AI-assisted research summary: Kikundi cha huduma ndogo za fedha cha kijamii kinachotaka kufanya biashara lazima kiombe usajili kwa Benki au Mamlaka Kasimishwa kwa Fomu Na. 2.
8.-(1) Kikundi cha huduma ndogo za fedha cha kijamii ambacho kinakusudia kufanya biashara ya huduma ndogo za fedha kitatuma maombi ya usajili kwa Benki au kwa Mamlaka Kasimishwa kwa kutumia Fomu Na. 2 iliyoanishwa katika Jedwali la Pili la Kanuni hizi. (2) Maombi yaliyofanywa chini ya kanuni ndogo ya (1) yataambatishwa na vifuatavyo- (a) nakala mbili za katiba zilizosainiwa na wanachama wote; (b) nakala mbili za mihtasari ya mikutano ya na imesainiwa ambayo uanzishaji wanachama wote; (c) maazimio ya wanachama kuanzisha na kusajili kikundi cha huduma ndogo za fedha cha kijamii yatakayowasilishwa kupitia Fomu Na. 1 kama ilivyoanishwa katika Jedwali la Pili; (d) mapendekezo ya muundo wa kikundi na majina ya viongozi wanaopendekezwa na mwombaji; (e) orodha ya wanachama, kwa kuzingatia 8 Kanuni Za Huduma Ndogo Za Fedha (Vikundi Vya Huduma Ndogo Za Fedha Vya Kijamii) Tangazo la Selikali Na. 997 (Linaendelea.) Jina la kikundi cha huduma ndogo za fedha cha kijamii Maamuzi ya maombi ya usajili Hati ya usajili kwamba idadi ya wanachama inakidhi kanuni ya 4(2); (f) uthibitisho wa malipo ya michango ya wanachama wa awali; (g) barua ya utambulisho wa mwombaji kutoka mamlaka ya kata au ya kijiji; na (h) nyaraka au taarifa nyingine yoyote muhimu.
Part
SEHEMU YA NNE
- 22 Verify source ↗
Section 22
AI-assisted research summary: This section is about the management of a community small finance service group.
22. Utawala wa kikundi cha huduma ndogo za fedha cha kijamii. - 24 Verify source ↗
Section 24
AI-assisted research summary: Sehemu hii inaeleza ushirikiano na taasisi nyingine ndani ya mfumo wa ufuatiliaji na udhibiti wa ndani.
24. Ushirikiano na taasisi nyingine. SEHEMU YA TANO UFUATILIAJI NA UDHIBITI WA NDANI - 18 Verify source ↗
(1) Kikundi cha huduma ndogo za fedha cha
AI-assisted research summary: A registered community microfinance group must start operating within 3 months of registration. If it does not, the Bank or Commissioner may cancel the registration on 14 days’ written notice. An unhappy group may appeal within 30 days, to the Bank if the Commissioner decided, or to the Minister if the Bank decided.
18.-(1) Kikundi cha huduma ndogo za fedha cha kijamii kilichosajiliwa kitaanza kujiendesha ndani ya miezi mitatu kuanzia tarehe ya usajili. (2) Benki au Mamlaka Kasimishwa inaweza, kwa notisi ya maandishi ya siku kumi na nne, kufuta usajili wa kikundi cha huduma ndogo za fedha cha kijamii chochote ambacho kimeshindwa kuanza 12 Kanuni Za Huduma Ndogo Za Fedha (Vikundi Vya Huduma Ndogo Za Fedha Vya Kijamii) Tangazo la Selikali Na. 997 (Linaendelea.) kujiendesha kwa mujibu wa kanuni ndogo ya (1). (3) Kikundi cha huduma ndogo za fedha cha kijamii kilichosajiliwa ambacho hakijaridhika na maamuzi ya Benki au Mamlaka Kasimishwa chini ya kanuni ndogo ya (2) kinaweza, ndani ya siku thelathini kuanzia tarehe ya kupokea notisi ya maandishi- (a) ikiwa ni maamuzi ya Mamlaka Kasimishwa, kukata rufaa kwa Benki; au (b) ikiwa ni maamuzi ya Benki, kukata rufaa kwa Waziri. (4) Masharti ya kanuni ya 15 yanayohusiana na rufaa yatatumika kama yalivyo pamoja na marekebisho yoyote madogo stahiki. Shughuli zinazoruhusiwa na zisizoruhusiwa - 19 Verify source ↗
(1) Kwa kuzingatia kifungu cha 36 cha
AI-assisted research summary: Kikundi cha huduma ndogo za fedha cha kijamii kinaweza kufanya shughuli fulani za ukusanyaji wa michango na kutoa mikopo kwa wanachama, lakini hakiruhusiwi kufanya shughuli zilizoainishwa kama marufuku hapa.
19.-(1) Kwa kuzingatia kifungu cha 36 cha Sheria, shughuli zinazoruhusiwa kufanywa na kikundi cha huduma ndogo za fedha cha kijamii zitajumuisha yafuatayo: (a) kuhamasisha ukusanyaji wa michango kutoka kwa wanachama wake; (b) kutoa mikopo kwa wanachama wake; (c) kuhamasisha ukusanyaji fedha kwa ajili ya ustawi wa kijamii na kiuchumi kwa wanachama wake; na (d) shughuli zingine zozote zitakazoidhinishwa na Benki. (2) Kikundi cha huduma ndogo za fedha cha kijamii hakitaruhusiwa kufanya shughuli zifuatazo- akiba (a) kupokea kutoka kwa wasio wanachama; (b) kufungua tawi, wakala au kituo cha huduma; au (c) shughuli zingine zozote kama zitakavyoainishwa na Benki. Masharti ya uendeshaji - 20 Verify source ↗
(1) Bila kujali masharti yoyote katika
AI-assisted research summary: A registered social microfinance group must meet several operating requirements, including having a business address, keeping records, maintaining a bank or other financial account, reporting to the Bank or authorized authority, and following consumer protection principles.
20.-(1) Bila kujali masharti yoyote katika Kanuni hizi yanayomaanisha vinginevyo, kikundi cha huduma ndogo za fedha cha kijamii kilichosajiliwa kitapaswa- (a) kuwa na anuani ya mahali au eneo 13 Kanuni Za Huduma Ndogo Za Fedha (Vikundi Vya Huduma Ndogo Za Fedha Vya Kijamii) Tangazo la Selikali Na. 997 (Linaendelea.) wanalokutana kufanya biashara ya huduma ndogo za fedha; (b) kuendesha biashara ya huduma ndogo ya fedha kwa mujibu wa Sheria, Kanuni hizi na katiba ya kikundi; (c) kufungua na kuendesha akaunti ya benki au taasisi yoyote ya fedha au aina yoyote ya akaunti kwa ajili ya kuendesha shughuli zake; (d) kuwajibika kwa Benki au Mamlaka Kasimishwa; (e) kugawa faida au kulipa kwa wanachama wake kwa mujibu wa katiba yake; riba (f) kuweka na kutunza taarifa za kumbukumbu za msingi za fedha na taarifa zingine muhimu zinazohusu uendeshaji wake; (g) kuwezesha hesabu na kumbukumbu za fedha kufuatiliwa au kukaguliwa kama ilivyoanishwa kwenye Kanuni hizi; (h) kuweka na kutunza mihtasari ya mikutano, rejesta ya wanachama, nakala za katiba na kumbukumbu zingine muhimu; (i) kuteua mtu atakayewajibika na udhibiti wa fedha kama ndani wa masuala ya ilivyoainishwa katika Kanuni; (j) kuwasilisha taarifa na masuala mengine au Mamlaka ilivyoainishwa katika kwa Benki muhimu Kasimishwa kama Kanuni hizi; na (k) kuzingatia misingi ya kumlinda mtumiaji kwa mujibu wa Sheria na Kanuni hizi. (2) Benki au Mamlaka Kasimishwa inaweza kutoa waraka na miongozo kwa madhumuni ya kuwezesha utekelezaji wa masharti ya uendeshaji kwa mujibu wa kanuni ndogo ya (1). Uwasilishaji wa taarifa - 21 Verify source ↗
(1) Kikundi cha huduma ndogo za fedha cha
AI-assisted research summary: Kikundi cha huduma ndogo za fedha cha kijamii lazima kiwasilishe taarifa za msingi za fedha na taarifa nyingine muhimu kwa Benki au Mamlaka Kasimishwa kila robo mwaka.
21.-(1) Kikundi cha huduma ndogo za fedha cha kijamii kwa kila robo mwaka, kitawasilisha taarifa za kumbukumbu za msingi za fedha na masuala mengine 14 Kanuni Za Huduma Ndogo Za Fedha (Vikundi Vya Huduma Ndogo Za Fedha Vya Kijamii) Tangazo la Selikali Na. 997 (Linaendelea.) muhimu kwa Benki au Mamlaka Kasimishwa. (2) Taarifa zinazorejewa chini ya kanuni ndogo ya (1) zitawasilishwa kwa namna iliyoainishwa katika Jedwali la Tatu na kwa kiwango cha chini zitajumuisha yafuatayo- orodha (a) michango ya wanachama, michango iliyohamasishwa, ya mikopo, matumizi, mapato, mgawanyo wa ziada na mikopo ya kikundi; (b) kumbukumbu za idadi, mahudhurio na masuala husika ya mikutano iliyofanyika ndani ya robo mwaka; na (c) taarifa zingine muhimu kama zitakavyoweza au Mamlaka na Benki kuainishwa Kasimishwa. Utawala wa kikundi cha huduma ndogo za fedha cha kijamii
Part
SEHEMU YA TANO
- 26 Verify source ↗
Section 26
AI-assisted research summary: This section is titled “Monitoring” and “Appointment of an internal controller.”
26. Ufuatiliaji. Uteuzi wa mdhibiti wa ndani. SEHEMU YA SITA MASHARTI YA JUMLA Ubadilishanaji wa taarifa za mikopo. Kumtumia mhamasishaji. Kipindi cha mpito. Kuhama daraja kwa kikundi cha huduma ndogo za fedha cha - 25 Verify source ↗
(1) Benki au Mamlaka Kasimishwa itafanya
AI-assisted research summary: Benki au Mamlaka Kasimishwa lazima ifuatilie shughuli za vikundi vya huduma ndogo za fedha vya kijamii na inaweza, ikibaini mapungufu, kutoa ushauri au maagizo ya maandishi ya kuyarekebisha.
25.-(1) Benki au Mamlaka Kasimishwa itafanya ufuatiliaji endelevu wa uendeshaji wa vikundi vya huduma ndogo za fedha vya kijamii. (2) Benki au Mamlaka Kasimishwa, kwa madhumuni ya ufuatiliaji wa uendeshaji wa kikundi, itatekeleza wajibu ufuatao- (a) kupitia na kuchambua taarifa husika zilizowasilishwa na kikundi cha huduma ndogo za fedha cha kijamii; (b) kupitia na kuchambua malalamiko na migogoro iliyowasilishwa kwa Benki au Mamlaka Kasimishwa kwa madhumuni ya kuyapatia ufumbuzi; (c) kuvitembelea rasmi vikundi vya huduma ndogo za fedha vya kijamii ili kubaini utendaji kazi wake na uzingatiaji wa masharti ya Sheria na Kanuni hizi; na (d) kutekeleza majukumu itakavyoona inafaa. yoyote kama (3) Endapo Benki au Mamlaka Kasimishwa, katika kutekeleza majukumu yake chini ya kanuni ndogo ya (2) itabaini mapungufu, Benki au Mamlaka Kasimishwa inaweza, kwa maandishi kutoa ushauri au kukielekeza kikundi cha huduma ndogo za fedha cha kijamii, kurekebisha mapungufu hayo ndani ya siku ishirini na moja au kwa kipindi ambacho Benki au Mamlaka Kasimishwa itaona kinafaa. 17 Kanuni Za Huduma Ndogo Za Fedha (Vikundi Vya Huduma Ndogo Za Fedha Vya Kijamii) Tangazo la Selikali Na. 997 (Linaendelea.) Uteuzi wa mdhibiti wa ndani - 26 Verify source ↗
(1) Kikundi cha huduma ndogo za fedha cha
AI-assisted research summary: Kikundi cha huduma ndogo za fedha cha kijamii lazima kuteua mtu wa kufanya udhibiti wa ndani wa masuala ya kifedha na uendeshaji, na mtu huyo lazima awe mwadilifu na awe na angalau cheti cha sekondari.
26.-(1) Kikundi cha huduma ndogo za fedha cha kijamii, kupitia mkutano rasmi, kitateua mtu miongoni mwa wanachama au nje ya wanachama ambaye atakuwa na jukumu la udhibiti wa ndani wa masuala ya kifedha na uendeshaji. (2) Mtu aliyeteuliwa chini ya kanuni ndogo ya (1) atapaswa kuwa mtu mwenye uadilifu na ambaye ana angalau cheti cha elimu ya sekondari na atakuwa na majukumu yafuatayo- (a) kukagua na kupitia nyaraka zote husika ikijumuisha kumbukumbu za fedha, rejesta fomu za mikopo na ya wanachama, mihtasari ya mikutano ili kuhakikisha utekelezaji; (b) kuandaa taarifa ya nyaraka zilizokaguliwa au taarifa kwa kupitiwa na kuwasilisha wanachama; (c) kuhakikisha matokeo na mapendekezo yanayolenga kuboresha uendeshaji wa kikundi yametekelezwa ipasavyo; (d) kuhakikisha kwamba ushauri, amri au maelekezo yaliyotolewa na Benki au yametekelezwa Mamlaka Kasimishwa ipasavyo; (e) kuhakikisha nyaraka na taarifa zote ni sahihi na zinawasilishwa kwa Benki au Mamlaka Kasimishwa kwa wakati; (f) kuhakikisha kwamba kikundi cha huduma ndogo za fedha cha kijamii kimefuata masharti yote ya uendeshaji yalioainishwa chini ya kanuni ya 20; (g) kuhakikisha kuwa uendeshaji wa kikundi cha huduma ndogo za fedha cha kijamii ikijumuisha uhamasishaji wa michango ya wanachama, michango, utoaji wa mikopo na mgawanyo wa ziada unazingatia masharti ya Sheria, Kanuni hizi na katiba; (h) kuhakikisha kwamba kuna mgawanyo wa majukumu na wajibu miongoni mwa viongozi na wanachama; na 18 Kanuni Za Huduma Ndogo Za Fedha (Vikundi Vya Huduma Ndogo Za Fedha Vya Kijamii) Tangazo la Selikali Na. 997 (Linaendelea.) (i) kutekeleza majukumu mengine yoyote kama atakavyoelekezwa na wanachama au kwa mujibu wa katiba. (3) Mtu atakayeteuliwa chini ya kanuni ndogo ya (1)- (a) hatajihusisha na uendeshaji wa kikundi kama kuandaa kuidhinisha mikopo, na vile kumbukumbu, kutunza fedha za kikundi; kupokea michango Ubadilishanaji wa taarifa za mikopo Sura ya 197 (b) atahakikisha kwamba hakuna mgongano wa kimaslahi unaohusu majukumu yake ya uendeshaji au shughuli za kikundi; na (c) hatachaguliwa au kuteuliwa kuwa kiongozi wa kikundi wakati akitekeleza majukumu yake. SEHEMU YA SITA MASHARTI YA JUMLA
Part
SEHEMU YA SITA
- 32 Verify source ↗
Section 32
AI-assisted research summary: This section is a heading for general penalties and administrative measures under the microfinance regulations.
32. Adhabu za jumla. Hatua za kiutawala. __________ MAJEDWALI ___________ 3 Kanuni Za Huduma Ndogo Za Fedha (Vikundi Vya Huduma Ndogo Za Fedha Vya Kijamii) Tangazo la Selikali Na. 997 (Linaendelea.) TANGAZO LA SERIKALI Na. 678 Lililochapishwa 13/9/2019 SHERIA YA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA, (SURA YA 407) _______ KANUNI ________ (Zimetengenezwa chini ya kifungu cha 60 (1) na (2)) ________ KANUNI ZA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA (VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA VYA KIJAMII), 2019 Jina Matumizi Tafsiri Sheria Na. 10 ya Mwaka 2018 Sura 197 SEHEMU YA KWANZA MASHARTI YA UTANGULIZI - 27 Verify source ↗
(1) Kila kikundi cha huduma ndogo za fedha
AI-assisted research summary: Kila kikundi cha huduma ndogo za fedha cha kijamii lazima kitunza taarifa za mikopo za wanachama wake, ziwasilishwe na kubadilishwe kama Benki itaelekeza, na kuhakikisha wanachama wote wameridhia kwa maandishi.
27.-(1) Kila kikundi cha huduma ndogo za fedha cha kijamii kitaweka na kutunza taarifa za mikopo za wanachama wake kwa madhumuni ya kubadilishana taarifa kupitia taasisi ya ubadilishanaji wa taarifa za mikopo. (2) Taarifa ya mikopo chini ya kanuni hii itawasilishwa kwa taasisi ya ubadilishanaji wa taarifa za mikopo na kubadilishana kwa namna ambavyo itaelekezwa na Benki na kwa mujibu wa masharti ya Sheria na Sheria ya Benki Kuu ya Tanzania. (3) Kikundi cha huduma ndogo za fedha cha kijamii kitahakikisha kwamba wanachama wote wameridhia kwa maandishi kuruhusu kikundi kupata, kubadilishana au kuweka wazi taarifa zote za mikopo zinazohusu wanachama kwa wakopeshaji au taasisi ya ubadilishanaji wa taarifa za mikopo. (4) Kwa madhumuni ya kanuni hii, “taarifa za mikopo” maana yake ni taarifa zozote zikijumuisha taarifa zinazohusu utambulisho wa mtu, jina kamili, tarehe ya kuzaliwa, eneo la makazi, maeneo ya makazi ya awali, hali ya ndoa, jina la mwenza, sehemu ya kazi, 19 Kanuni Za Huduma Ndogo Za Fedha (Vikundi Vya Huduma Ndogo Za Fedha Vya Kijamii) Tangazo la Selikali Na. 997 (Linaendelea.) Kumtumia mhamasishaji Kipindi cha mpito Kuhama daraja kwa kikundi cha huduma ndogo za fedha cha kijamii sehemu za awali za kazi, mwenendo wa ulipaji, madeni yaliyopo, mali na maulizo ya historia ya mikopo au taarifa zinazohusu taasisi au biashara ambazo zitasaidia kutambua taasisi au taarifa za biashara zinazohusu usajili, kodi, wakurugenzi, utawala, madeni yaliyopo, mali, maulizo ya historia ya madeni na taarifa zingine za biashara.
Part
SEHEMU YA KWANZA
- 1 Verify source ↗
Kanuni hizi zitajulikana kama Kanuni za
AI-assisted research summary: These regulations are named the Microfinance Services (Community Microfinance Services Groups) Regulations, 2019.
1. Kanuni hizi zitajulikana kama Kanuni za Huduma Ndogo za Fedha (Vikundi vya Huduma Ndogo za Fedha vya Kijamii) za Mwaka 2019. - 2 Verify source ↗
Kanuni hizi zitatumika kwa watoa huduma
AI-assisted research summary: Kanuni hizi zinatumika kwa watoa huduma ndogo za fedha waliosajiliwa kutoa huduma katika Daraja la 4, kwa mujibu wa Sheria.
2. Kanuni hizi zitatumika kwa watoa huduma ndogo za fedha waliosajiliwa kutoa huduma katika Daraja la 4 kwa mujibu wa Sheria. - 3 Verify source ↗
Katika kanuni hizi, isipokuwa muktadha
AI-assisted research summary: This section defines key terms used in the regulations, including accounts, banks, approved officers, local government authorities, community microfinance groups, constitutions, contributions, and related institutions.
3. Katika kanuni hizi, isipokuwa muktadha ukihitaji vinginevyo- “Akaunti” maana yake ni akaunti ya benki au fedha za kielektroniki; “Sheria” maana yake ni Sheria ya Huduma Ndogo za Fedha; “afisa aliyeidhinishwa” maana yake ni mtu ambaye ameteuliwa katika nafasi hiyo na Mamlaka ya Serikali za Mitaa; “Benki” maana yake ni kama ilivyotafsiriwa chini ya Sheria ya Benki Kuu ya Tanzania; “kikundi cha huduma ndogo za fedha cha kijamii” maana yake ni kama ilivyotafsiriwa kwenye Sheria; “katiba” maana yake ni makubaliano ya maandishi 4 Kanuni Za Huduma Ndogo Za Fedha (Vikundi Vya Huduma Ndogo Za Fedha Vya Kijamii) Tangazo la Selikali Na. 997 (Linaendelea.) Sura. 287 na 288 yaliyopitishwa na kikundi cha huduma ndogo za fedha cha kijamii kwa mujibu wa Kanuni hizi; “taasisi ya ubadilishanaji wa taarifa za mikopo” maana yake ni taasisi mahsusi inayokusanya na kuuza taarifa za mikopo za watu binafsi na taasisi; “Mamlaka Kasimishwa” maana yake ni Mamlaka ya Serikali za Mitaa iliyokasimishwa na Benki kutekeleza majukumu na kuwa na mamlaka ya Benki kuhusiana na vikundi vya huduma ndogo za fedha vya kijamii kwa mujibu wa Sheria; “mkopo mdogo wa nyumba” maana yake ni mkopo au wenye dhamana usiyo na dhamana unaotolewa kwa kaya zilizopo maeneo ya vijijini au mjini ili kujenga au kukarabati au kuboresha nyumba; “wanachama wa awali” maana yake ni wanachama waliohusika kuanzisha kikundi; “Mamlaka ya Serikali za Mitaa” maana yake ni kama ilivyotafsiriwa chini ya Sheria ya Serikali za Mitaa (Mamlaka ya Wilaya) na Sheria ya Serikali za Mitaa (Mamlaka za Miji); “mwanachama” maana yake ni mtu ambaye ni mwanachama kwa mujibu wa katiba ya kikundi cha huduma ndogo za fedha cha kijamii kilichosajiliwa; “mtoa huduma ndogo za fedha” maana yake ni kama ilivyotafsiriwa kwenye Sheria; “Waziri” maana yake ni Waziri mwenye dhamana na masuala ya fedha; “mhamasishaji” maana yake ni mtu binafsi au taasisi iliyosajiliwa kwa ajili ya kuhamasisha na kuwezesha biashara ya huduma ndogo za fedha ikijumuisha uanzishaji, usajili na uendeshaji wa kikundi cha huduma ndogo za fedha cha kijamii; “michango” maana yake ni makusanyo ya fedha yaliyokubaliwa na wanachama wa kikundi ili kupata mtaji wa kikundi; “Daraja la 4” maana yake ni aina ya watoa huduma ndogo za fedha inayojumuisha kikundi cha huduma ndogo za fedha cha kijamii. 5 Kanuni Za Huduma Ndogo Za Fedha (Vikundi Vya Huduma Ndogo Za Fedha Vya Kijamii) Tangazo la Selikali Na. 997 (Linaendelea.) SEHEMU YA PILI UANZISHAJI WA KIKUNDI CHA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA CHA KIJAMII Uanzishaji wa kikundi cha huduma ndogo za fedha cha kijamii Mkutano wa awali
Part
Jedwali la Pili;
- 9 Verify source ↗
(1) Jina la kikundi cha huduma ndogo za
AI-assisted research summary: A proposed social microfinance group name for registration must be unique, include the words “Kikundi cha Huduma Ndogo za Fedha cha Kijamii,” and must not include the word “benki.”
9.-(1) Jina la kikundi cha huduma ndogo za fedha cha kijamii lililopendekezwa kwa madhumuni ya maombi ya usajili litakuwa la kipekee na litajumuisha maneno “Kikundi cha Huduma Ndogo za Fedha cha Kijamii”. (2) Bila kujali masharti ya kanuni ndogo ya (1) jina la kikundi cha huduma ndogo za fedha cha kijamii halitajumuisha neno “benki”. - 10 Verify source ↗
(1) Benki
AI-assisted research summary: Benki au Mamlaka Kasimishwa lazima ishughulikie na iamue maombi ya usajili ndani ya siku 14 baada ya kupokea nyaraka kamili. Ikiwa nyaraka hazijakamilika au zina makosa, inaweza kumtaka mwombaji akamilishe au asahihishe kabla ya kuamua.
10.-(1) Benki au Mamlaka Kasimishwa itapaswa, ndani ya siku kumi na nne baada ya kupokea nyaraka za maombi ya usajili zilizokamilika, kufanyia kazi maombi na kutoa maamuzi. (2) Pale ambapo Benki au Mamlaka Kasimishwa imepokea nyaraka ambazo hazijakamilika au zenye makosa kwa madhumuni ya usajili, Benki au Mamlaka Kasimishwa inaweza, kabla ya kuamua maombi hayo, kumtaka mwombaji- (a) kuwasilisha nyaraka au taarifa zilizokosekana; au (b) kurekebisha makosa hayo ili kukidhi vigezo vya usajili. - 11 Verify source ↗
(1) Benki au Mamlaka Kasimishwa, baada
AI-assisted research summary: Benki au Mamlaka Kasimishwa must register a community microfinance group and issue a registration certificate if the required criteria are met; if not satisfied with the application conditions, it must reject the application.
11.-(1) Benki au Mamlaka Kasimishwa, baada ya kujiridhisha kwamba vigezo vyote vimekamilika, itasajili kikundi cha huduma ndogo za fedha cha kijamii na kukipatia hati ya usajili; (2) Endapo Benki au Mamlaka Kasimishwa haijaridhika na utekelezaji wa masharti ya maombi, itakataa maombi ya usajili. (3) Hati ya usajili iliyotolewa chini ya kanuni ndogo ya (1) itakuwa kwenye Fomu Na. 3 kama 9 Kanuni Za Huduma Ndogo Za Fedha (Vikundi Vya Huduma Ndogo Za Fedha Vya Kijamii) Tangazo la Selikali Na. 997 (Linaendelea.) Kikao cha kwanza Kukataliwa kwa usajili ilivyoainishwa kwenye Jedwali la Pili la Kanuni hizi. (4) Hati ya usajili iliyotolewa chini ya Kanuni hizi itaanza kutumika kuanzia tarehe iliyotolewa na itaendelea kuwa halali hadi itakapofutwa na Benki au Mamlaka Kasimishwa. - 12 Verify source ↗
(1) Kamati ya muda itaitisha kikao cha
AI-assisted research summary: Kamati ya muda lazima iite kikao cha kwanza ndani ya mwezi mmoja baada ya kupokea hati ya usajili.
12.-(1) Kamati ya muda itaitisha kikao cha kwanza, ndani ya mwezi mmoja tangu kupokea hati ya usajili, kwa madhumuni ya- (a) kuwasilisha hati ya usajili kwa wanachama wa kikundi; (b) kuthibitisha viongozi waliopendekezwa au kuchagua viongozi wa kikundi kwa mujibu wa katiba; (c) kuvunja kamati ya muda; na (d) kujadili masuala mengine kama wanachama kama watakavyoona ilivyoainishwa kwenye katiba. inafaa au (2) Katika kikao cha kwanza, hakuna kanuni yoyote itakayomzuia mjumbe wa kamati ya muda kuchaguliwa kuwa kiongozi wa kikundi. - 13 Verify source ↗
(1) Benki au Mamlaka Kasimishwa inaweza
AI-assisted research summary: Benki au Mamlaka Kasimishwa inaweza kukataa kusajili kikundi cha huduma ndogo za fedha cha kijamii ikiwa hakijatimiza masharti ya maombi au hakijawasilisha taarifa au nyaraka sahihi. Ikikataa, lazima itoe notisi ya maandishi ndani ya siku 7 ikieleza sababu.
13.-(1) Benki au Mamlaka Kasimishwa inaweza kukataa kusajili kikundi cha huduma ndogo za fedha cha kijamii pale ambapo kikundi hicho kimeshindwa kufanya yafuatayo- (a) kukidhi masharti ya maombi ya usajili kama yalivyoainishwa kwenye kanuni ya 8 ya Kanuni hizi; au (b) kuwasilisha taarifa au nyaraka sahihi na stahiki zinazohitajika kwa ajili ya usajili. (2) Endapo Benki au Mamlaka Kasimishwa imekataa kusajili kikundi cha huduma ndogo za fedha cha kijamii, ndani ya siku saba kuanzia tarehe ya maamuzi hayo, itatoa notisi ya maandishi kwa kikundi ikielezea sababu za kukataa. Maombi rejea ya usajili - 14 Verify source ↗
Kikundi cha huduma ndogo za fedha cha
AI-assisted research summary: Kikundi cha huduma ndogo za fedha cha kijamii ambacho ombi lake la usajili limekataliwa kinaweza kukata rufaa.
14. Kikundi cha huduma ndogo za fedha cha kijamii ambacho maombi yake ya usajili yamekataliwa chini ya kanuni ya 13 kinaweza kuwasilisha maombi 10 Kanuni Za Huduma Ndogo Za Fedha (Vikundi Vya Huduma Ndogo Za Fedha Vya Kijamii) Tangazo la Selikali Na. 997 (Linaendelea.) Rufaa kwa kukataliwa usajili Rejesta ya vikundi vya huduma ndogo za fedha vya kijamii mapya baada ya kukamilisha mapungufu yaliyoonekana wakati wa maombi ya awali au mapitio yaliyofuata yamerekebishwa au kushughulikiwa vinginevyo. - 15 Verify source ↗
(1) Kikundi cha huduma ndogo za fedha cha
AI-assisted research summary: Kikundi cha huduma ndogo za fedha cha kijamii kinaweza kukata rufaa dhidi ya maamuzi fulani ndani ya siku 30 baada ya kupokea notisi ya maandishi.
15.-(1) Kikundi cha huduma ndogo za fedha cha kijamii ambacho hakijaridhishwa na maamuzi ya Benki au Mamlaka Kasimishwa chini ya kanuni ya 13 kinaweza, ndani ya siku thelathini, kuanzia tarehe ya kupokea notisi ya maandishi- (a) ikiwa ni maamuzi ya Mamlaka Kasimishwa, kukata rufaa kwa Benki; au (b) ikiwa ni maamuzi ya Benki, kukata rufaa kwa Waziri. (2) Rufaa iliyokatwa chini ya kanuni ndogo ya (1), itakuwa ya maandishi na itaelezea kwa uwazi yafuatayo- (a) kiini cha rufaa; (b) sababu za rufaa; na (c) masuala mengine yoyote muhimu. (3) Waziri ataamua rufaa kwa mujibu ya masharti ya Kanuni ya Huduma Ndogo za Fedha (Majukumu ya Waziri), 2019. (4) Kwa kuzingatia kanuni ndogo ya (1), Benki au Waziri, ndani ya siku sitini tangu tarehe ya kupokea maombi ya rufaa, ataamua rufaa hiyo. (5) Katika kuamua rufaa chini ya kanuni ndogo ya (3), Benki au Waziri anaweza kumtaka mkata rufaa kuwasilisha nyaraka au taarifa zozote muhimu ambazo zinajenga msingi wa rufaa yake. - 16 Verify source ↗
(1) Kwa kuzingatia kifungu cha 54 cha
AI-assisted research summary: Benki au Mamlaka Kasimishwa lazima iandae na itunze rejesta ya vikundi vya huduma ndogo za fedha vya kijamii.
16.-(1) Kwa kuzingatia kifungu cha 54 cha Sheria, Benki au Mamlaka Kasimishwa itaweka na kutunza rejesta ya vikundi vya huduma ndogo za fedha vya kijamii. (2) Rejesta inayotajwa katika kanuni ndogo ya (1) itakuwa na taarifa zifuatazo- (a) jina, anuani na mawasiliano ya kikundi; (b) majina na mawasiliano ya viongozi wa kikundi; (c) eneo la kutoa huduma; 11 Kanuni Za Huduma Ndogo Za Fedha (Vikundi Vya Huduma Ndogo Za Fedha Vya Kijamii) Tangazo la Selikali Na. 997 (Linaendelea.) Kufutwa kwa usajili (d) namba ya usajili; (e) tarehe ya usajili; (f) idadi ya wanachama; na (g) taarifa nyingine yoyote ambayo Benki au Mamlaka Kasimishwa itaona inafaa. - 17 Verify source ↗
(1) Benki au Mamlaka Kasimishwa, pale
AI-assisted research summary: The Bank or the Commissioner may cancel a registered community microfinance group’s registration if it fails the registration conditions or breaches the law or these Regulations. If that happens, the group must be given written notice explaining the reasons, and it may appeal within 30 days.
17.-(1) Benki au Mamlaka Kasimishwa, pale itakapojiridhisha kwamba kikundi cha huduma ndogo za fedha cha kijamii kilichosajiliwa kimeshindwa kutekeleza vigezo na masharti ya usajili, au kimekiuka masharti ya Sheria au Kanuni hizi, inaweza kufuta hati ya usajili na kuondoa jina la kikundi katika rejesta. (2) Endapo Benki au Mamlaka Kasimishwa imefuta usajili wa kikundi cha huduma ndogo za fedha cha kijamii, itakipatia kikundi notisi ya maandishi ambayo pamoja na mambo mengine, itaelezea sababu za maamuzi hayo. (3) Kikundi cha huduma ndogo za fedha cha kijamii ambacho hakijaridhishwa na maamuzi ya Benki au Mamlaka Kasimishwa chini ya kanuni ndogo ya (1) kinaweza, ndani ya siku thelathini kuanzia tarehe ya kupokea notisi ya maandishi- (a) ikiwa ni maamuzi ya Mamlaka Kasimishwa, kukata rufaa kwa Benki; au (b) ikiwa ni maamuzi ya Benki, kukata rufaa kwa Waziri. (4) Masharti ya kanuni ya 15 yanayohusiana na rufaa yatatumika kama yalivyo pamoja na marekebisho madogo stahiki. SEHEMU YA NNE UENDESHAJI Kuanza shughuli za uendeshaji
Part
Jedwali la Tatu na kwa kiwango cha chini zitajumuisha
- 22 Verify source ↗
(1) Kikundi cha huduma ndogo za fedha cha
AI-assisted research summary: Kikundi cha huduma ndogo za fedha cha kijamii lazima kiweke masuala ya utawala kwenye katiba yake na kiendeshe mikutano, uchaguzi, uwazi, na shughuli nyingine kwa utawala bora.
22.-(1) Kikundi cha huduma ndogo za fedha cha kijamii kitahakikisha masuala yote yanayohusu utawala wa kikundi yameainishwa katika katiba yake. (2) Kwa dhumuni la kuwa na utawala bora, kikundi cha huduma ndogo za fedha cha kijamii kitahakikisha- (a) kinaitisha mikutano ikiwemo mikutano ya kawaida na mikutano mikuu kwa namna ilivyoainishwa katika katiba yake; (b) kinachagua kidemokrasia viongozi wenye uadilifu kwa mujibu wa katiba yake; (c) kuna uwazi na uwajibikaji wa masuala yake kwa wanachama wake; na (d) kinatekeleza shughuli nyingine yoyote kwa madhumuni ya kuhakikisha kuna utawala bora. Kumlinda mlaji - 23 Verify source ↗
Kwa madhumuni ya kuzingatia misingi ya
AI-assisted research summary: Kila kikundi cha huduma ndogo za fedha cha kijamii lazima kiwe na taratibu za malalamiko na migogoro, elimu ya kifedha, uwazi wa masharti ya mikopo, kutoa taarifa kwa wanachama, kuwapa wanachama nakala ya katiba, na kulinda haki za wanachama.
23. Kwa madhumuni ya kuzingatia misingi ya kumlinda mlaji, kila kikundi cha huduma ndogo za fedha cha kijamii kitapaswa- (a) kuwa za na taratibu kushughulikia malalamiko na kutatua migogoro na kuteua mtu au watu kutoka miongoni mwa wanachama watakaoshughulikia malalamiko 15 Kanuni Za Huduma Ndogo Za Fedha (Vikundi Vya Huduma Ndogo Za Fedha Vya Kijamii) Tangazo la Selikali Na. 997 (Linaendelea.) na migogoro ya wanachama, ndani ya katiba yake; (b) kuwa na mfumo wa kutoa elimu ya kifedha kwa wanachama wake; (c) kuhakikisha kwamba vigezo na masharti ya mikopo au huduma zinazohusu mikopo ni ya wazi, haki, yanakubalika na yanalinda haki za wanachama; (d) kuweka wazi kwa wanachama zinazohusu mwenendo wa kikundi; taarifa (e) kuhakikisha kwamba kila mwanachama wa kikundi anaielewa katiba na anapewa nakala ya katiba; (f) kuhakikisha kwamba taratibu za kukusanya na kurejesha madeni zinalinda haki za wanachama; na (g) kufanya shughuli yoyote inayokusudiwa kulinda haki na maslahi ya wanachama wake. nyingine Ushirikiano na taasisi nyingine - 24 Verify source ↗
(1) Kikundi cha huduma ndogo za fedha
AI-assisted research summary: Kikundi cha huduma ndogo za fedha cha kijamii kinaweza kushirikiana na taasisi nyingine, lakini kikichukua mkopo lazima masharti ya mkopo yawe wazi na yakubaliwe na wanachama wote, mkopo usizidi mali za kikundi isipokuwa ukiwa na dhamana ya kutosha, na wanachama waelewe huduma za kifedha wanazopokea pamoja na hatari, gharama na faida.
24.-(1) Kikundi cha huduma ndogo za fedha cha kijamii kinaweza kushirikiana na taasisi zingine kwa madhumuni ya uendeshaji bora wa shughuli zake ikiwemo upatikanaji wa- (a) huduma za kifedha kutoka benki na taasisi za fedha ikiwa ni pamoja na mikopo na akaunti za benki; (b) misaada ya kifedha kutoka kwa asasi au taasisi zisizo za kifedha; na (c) elimu ya fedha na huduma zingine za uwezeshaji kutoka kwa asasi au taasisi husika. (2) Endapo kikundi cha huduma ndogo za fedha cha kijamii kinakusudia kupata mkopo kutoka kwa benki, taasisi ya fedha au taasisi nyingine yoyote, kitahakikisha kwamba- (a) vigezo na masharti ya mkopo ni ya wazi na yanakubalika na wanachama wote wa kikundi; na (b) mkopo hautazidi jumla ya mali za kikundi 16 Kanuni Za Huduma Ndogo Za Fedha (Vikundi Vya Huduma Ndogo Za Fedha Vya Kijamii) Tangazo la Selikali Na. 997 (Linaendelea.) isipokuwa kama mkopo huo una dhamana ambayo inaweza kufidia mkopo wote. (3) Endapo kikundi cha huduma ndogo za fedha cha kijamii kinapokea huduma ya kifedha kutoka benki, taasisi ya kifedha au taasisi nyingine yoyote inayotoa huduma ndogo za fedha kidigitali, kitahakikisha wanachama wake wana uelewa wa kutosha wa huduma inayotolewa ikiwemo vihatarishi, gharama na faida. SEHEMU YA TANO UFUATILIAJI NA UDHIBITI WA NDANI Ufuatiliaji
Part
sehemu za awali za kazi, mwenendo wa ulipaji, madeni
- 28 Verify source ↗
(1) Kikundi cha huduma ndogo za fedha cha
AI-assisted research summary: Kikundi cha huduma ndogo za fedha cha kijamii kinaweza kutumia mhamasishaji kwa kuhamasisha shughuli za kikundi, ikiwa mhamasishaji huyo amesajiliwa na Mamlaka ya Serikali za Mitaa. Mhamasishaji huyo hana haki za kipekee za kutoa huduma hizo kwa kikundi.
28.-(1) Kikundi cha huduma ndogo za fedha cha kijamii kinaweza kumtumia mhamasishaji kwa madhumuni ya kuhamasisha shughuli za kikundi na kwamba mhamasishaji kikundi amesajiliwa na Mamlaka ya Serikali za Mitaa kwa mujibu wa Kanuni za Huduma Ndogo za Fedha (Majukumu ya Waziri). kitahakikisha (2) Mhamasishaji atakayetumiwa chini ya kanuni ndogo ya (1) hatokuwa na haki za kipekee za kutoa huduma za uhamasishaji kwa kikundi. - 29 Verify source ↗
(1) Kwa mujibu wa kifungu cha 57 cha
AI-assisted research summary: A pre-existing microfinance services business group that does not meet registration requirements within 12 months must close its business and stop operating.
29.-(1) Kwa mujibu wa kifungu cha 57 cha Sheria, kikundi kilichokuwa kinaendesha biashara ya huduma ndogo za fedha kabla ya kuanza kutumika kwa Sheria na ambacho kinashindwa kutimiza masharti ya usajili ndani ya muda wa miezi kumi na mbili baada ya kuanza kutumika kwa Sheria kitafunga biashara na kukoma kuendesha biashara ya huduma ndogo za fedha. (2) Mtu yeyote atakayekwenda kinyume na Kanuni hizi atakuwa ametenda kosa na akipatikana na hatia ataadhibiwa kwa mujibu wa kifungu cha 16 cha Sheria. - 30 Verify source ↗
(1) Kikundi cha huduma ndogo za fedha cha
AI-assisted research summary: A community microfinance group may apply to move to another category if it meets the relevant criteria; it cannot apply unless it has given written notice of its intention and its members have decided to move under the group constitution.
30.-(1) Kikundi cha huduma ndogo za fedha cha kijamii kinaweza, kwa kutuma maombi na kufikia vigezo husika zilizoandaliwa chini ya Sheria au sheria nyingine yoyote, kwenda Daraja lingine. vilivyoainishwa kwenye kanuni (2) Kikundi cha huduma ndogo za fedha cha kijamii hakiwezi kuomba kuhamia daraja lingine kama ilivyoainishwa katika kanuni ndogo ya (1) isipokuwa- (a) kikundi hicho, kwa maandishi, kimeijulisha 20 Kanuni Za Huduma Ndogo Za Fedha (Vikundi Vya Huduma Ndogo Za Fedha Vya Kijamii) Tangazo la Selikali Na. 997 (Linaendelea.) Adhabu za jumla Hatua za kiutawala Benki au Mamlaka Kasimishwa nia ya kuhama kwake; na (b) wanachama wake wameamua kuhama kwa mujibu wa katiba ya kikundi. - 31 Verify source ↗
Mtu yeyote ambaye atakiuka masharti ya
AI-assisted research summary: Anyone who breaches these Regulations, where no penalty is otherwise specified, commits an offence and may face a fine, imprisonment, or both.
31. Mtu yeyote ambaye atakiuka masharti ya Kanuni hizi, pale ambapo adhabu haijaainishwa atakuwa ametenda kosa na atakapopatikana na hatia, atatakiwa kulipa faini isiyopungua shilingi milioni moja na shilingi milioni kumi au kifungo kisichopungua miezi mitatu na kisichozidi miaka miwili au vyote kwa pamoja. isiyozidi - 32 Verify source ↗
(1) Bila kuathiri adhabu zilizowekwa
AI-assisted research summary: Benki au Mamlaka Kasimishwa inaweza kuchukua hatua za kiutawala dhidi ya kikundi cha huduma ndogo za fedha cha kijamii kinachoshindwa kutekeleza masharti ya Sheria au Kanuni hizi.
32.-(1) Bila kuathiri adhabu zilizowekwa kwenye Sheria, pale ambapo kikundi cha huduma ndogo za fedha cha kijamii kimeshindwa kutekeleza masharti ya Sheria au Kanuni hizi, Benki au Mamlaka Kasimishwa inaweza kuchukua hatua za kiutawala kama itakavyoona inafaa kuhakikisha utekelezwaji wa masharti hayo. (2) Hatua za kiutawala zilizorejewa chini ya kanuni ndogo ya (1) zitajumuisha yafuatayo- (a) kusimamisha mgao wa ziada au faida unaofanywa kwa wanachama; (b) kusimamisha au kufuta usajili; (c) kuwasimamisha viongozi kutekeleza majukumu yao pale ambapo viongozi hao wamevunja masharti ya Sheria, Kanuni hizi au sheria nyingine yoyote; (d) kutoa onyo au amri ikikielekeza kikundi cha fedha cha kijamii huduma ndogo za kurekebisha mapungufu; na yoyote nyingine (e) hatua inayokusudia kuhakikisha kuna utekelezaji wa Sheria na Kanuni hizi. 21 Kanuni Za Huduma Ndogo Za Fedha (Vikundi Vya Huduma Ndogo Za Fedha Vya Kijamii) Tangazo la Selikali Na. 997 (Linaendelea.) _______ JEDWALI LA KWANZA _______ (Limeandaliwa chini ya kanuni ya 6(2)(b)) _______ MFANO WA KATIBA YA KIKUNDI CHA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA CHA KIJAMII Kwa mujibu wa kanuni ya 6 (2), katiba ya kikundi cha huduma ndogo za fedha cha kijamii kwa kiwango cha chini itajumuisha yafuatayo: 1 Jina, anuani ya mahali na mawasiliano 2 Sehemu ya biashara na eneo la uendeshaji 3 Malengo ya kikundi 4 Masuala ya uanachama yakijumuisha, michango ya uanachama, michango ya vipindi, kukubaliwa, haki, wajibu, kusimamishwa na kufutwa uanachama; 5 Masuala ya utawala yakijumuisha uongozi, muda, uchaguzi, majukumu ya viongozi, kufutwa na kusimamishwa kwa viongozi; 6 Mikutano ikijumuisha ya Kawaida, Maalum na Mikutano ya Mwaka; 7 Taratibu za mkutano zikijumuisha notisi, ajenda, akidi, mihtasari na maazimio; 8 Masuala ya uendeshaji yakijumuisha michango ya wanachama, shughuli zinazoruhusiwa kufanywa, taratibu za kuhamasisha ukusanyaji wa fedha na utoaji wa mikopo; 9 Mgawanyo wa ziada; 22 Kanuni Za Huduma Ndogo Za Fedha (Vikundi Vya Huduma Ndogo Za Fedha Vya Kijamii) Tangazo la Selikali Na. 997 (Linaendelea.) 10 Taarifa na utunzaji kumbukumbu zikijumuisha kuweka wazi taarifa za fedha na taarifa kwa wanachama na mamlaka husika kwa madhumuni ya uwazi; 11 Utaratibu wa kushughulikia malalamiko na migogoro kwa madhumuni ya kutatua migogoro; 12 Uvunjaji wa kikundi ikiwemo sababu na taratibu ; na 13 Mapitio na marekebisho ya katiba. 23 Kanuni Za Huduma Ndogo Za Fedha (Vikundi Vya Huduma Ndogo Za Fedha Vya Kijamii) Tangazo la Selikali Na. 997 (Linaendelea.) ___________ JEDWALI LA PILI ___________ Fomu Na.1 AZIMIO LA KUANZISHA KIKUNDI CHA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA CHA KIJAMII (Imeandaliwa chini ya kanuni ya 8(2)(c)) Sisi tulioweka saini kwenye mkutano uliofanyika tarehe …………………. mahali ……………… tumekubaliana na kuamua kuanzisha kikundi cha huduma ndogo za fedha cha kijamii kitachojulikana kwa jina la KIKUNDI CHA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA CHA KIJAMII CHA (Jina la Kikundi) …………………………………………………………. JINA LA MWANAKIKUNDI SAINI
Part
JEDWALI LA PILI
- 10 Verify source ↗
…………………………………… ……………………………………
AI-assisted research summary: Hii ni fomu ya maombi ya usajili wa kikundi cha huduma ndogo za fedha cha kijamii.
10. …………………………………… …………………………………… 24 Kanuni Za Huduma Ndogo Za Fedha (Vikundi Vya Huduma Ndogo Za Fedha Vya Kijamii) Tangazo la Selikali Na. 997 (Linaendelea.) Fomu Na.2 MAOMBI YA USAJILI WA KIKUNDI CHA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA CHA KIJAMII (Imeandaliwa chini ya kanuni ya 8(1)) KWA: GAVANA BENKI KUU YA TANZANIA S. L. P ……………………………. …….………………………………….. AU KWA: MAMLAKA KASIMISHWA S.L. P ………………………. ………………………………….. YAH: MAOMBI YA USAJILI WA KIKUNDI CHA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA CHA KIJAMII CHA …….………..…………...............(Jina la kikundi cha huduma ndogo za fedha cha kijamii) - 1 Verify source ↗
Section 1
AI-assisted research summary: The signatories apply to register the named proposed social microfinance service group under the Microfinance Services Act, 2018.
1. Sisi tulioweka saini, kwa niaba ya kikundi cha huduma ndogo za fedha cha kijamii kinachopendekezwa, tunaomba usajili wa kikundi tajwa hapo juu chini ya Sheria ya Huduma Ndogo za Fedha, 2018. - 2 Verify source ↗
Kwa mujibu wa kanuni ya 8(2), tunaambatisha maombi yetu pamoja na vifuatavyo
AI-assisted research summary: Maombi yanapaswa kuambatana na nyaraka zilizoorodheshwa chini ya kanuni ya 8(2).
2. Kwa mujibu wa kanuni ya 8(2), tunaambatisha maombi yetu pamoja na vifuatavyo: (a) (b) nakala mbili za katiba zilizosainiwa na wanachama wote; nakala mbili za mihtasari ya mkutano wa awali na mkutano anzilishi wa kikundi zilizosainiwa na wanachama wote; (c) Maazimio ya wanachama kuanzisha na kusajili kikundi cha huduma ndogo za fedha cha kijamii; (d) Muundo wa kikundi uliopendekezwa na majina ya viongozi waliopendekezwa; (e) Orodha ya wanachama wa awali na uthibitisho wa malipo ya michango ya uanachama; na (f) barua ya utambulisho kutoka ofisi ya Serikali ya Mtaa au kijiji. 25 Kanuni Za Huduma Ndogo Za Fedha (Vikundi Vya Huduma Ndogo Za Fedha Vya Kijamii) Tangazo la Selikali Na. 997 (Linaendelea.) - 3 Verify source ↗
Anuani ya kikundi au eneo la kufanyia biashara ya huduma ndogo za fedha
AI-assisted research summary: This section is about the address or location for a group or area used to carry on microfinance business.
3. Anuani ya kikundi au eneo la kufanyia biashara ya huduma ndogo za fedha; - 4 Verify source ↗
Tunatamka pia kwamba taarifa tulizozitoa hapo juu ikiwemo viambatisho ni sahihi, kwa
AI-assisted research summary: The signer declares that the information provided above, including attachments, is correct to the best of their knowledge and belief.
4. Tunatamka pia kwamba taarifa tulizozitoa hapo juu ikiwemo viambatisho ni sahihi, kwa kadri ya uelewa na imani zetu. JINA LA MWANAKIKUNDI SAINI - 1 Verify source ↗
……………………...…………
AI-assisted research summary: 1. ……………………...…………........ ……………..…….………...
1. ……………………...…………........ ……………..…….………... - 2 Verify source ↗
……………………...………..……
AI-assisted research summary: 2. ……………………...………..…….. ……………..……….……...
2. ……………………...………..…….. ……………..……….……... - 3 Verify source ↗
…………………..……...…………
AI-assisted research summary: 3. …………………..……...………….. ……………..…….………...
3. …………………..……...………….. ……………..…….………... - 4 Verify source ↗
…………………………………….. ……………………………
AI-assisted research summary: The text contains a registration certificate form for a community microfinance group and a quarterly financial information form.
4. …………………………………….. …………………………….. 26 Kanuni Za Huduma Ndogo Za Fedha (Vikundi Vya Huduma Ndogo Za Fedha Vya Kijamii) Tangazo la Selikali Na. 997 (Linaendelea.) Fomu Na.3 JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA _______ BENKI KUU YA TANZANIA/MAMLAKA KASIMISHWA HATI YA USAJILI (Imeandaliwa chini ya kanuni ya 11(3)) Na. ya Usajili. ……………………………. (MKOA/MSM/MWAKA/NA.) Hii ni kuthibitisha kwamba Kikundi cha Huduma Ndogo za Fedha cha Kijamii cha (Jina la Kikundi).…….………..………………………………………...… kilichopo (Mtaa / Kijiji) ………………………….…………. kimesajiliwa baada ya kukidhi masharti yaliyopo chini ya kifungu cha 28 cha Sheria ya Huduma Ndogo za Fedha, 2018. Tarehe………………mwezi………………………………………………… ………………………………………. SAINI 27 Kanuni Za Huduma Ndogo Za Fedha (Vikundi Vya Huduma Ndogo Za Fedha Vya Kijamii) Tangazo la Selikali Na. 997 (Linaendelea.) _______ JEDWALI LA TATU ______ (Limeandaliwa chini ya kanuni ya 21(2)) TAARIFA ZA MSINGI ZA FEDHA NA MASUALA MENGINE HUSIKA SEHEMU A: MAELEZO YA KIKUNDI Jina la Kikundi ………………………………………………………………………….. Namba ya Usajili………………………………………………………………………… Kijiji/Mtaa………………………………………………………………………………... Kata ………………………………………………………………………………………… Wilaya ………………………………………………………………………………………. Mkoa ………………………………………………………………………………………. Idadi ya Wanachama: ….……….. (Me)……………. (Ke)………………… SEHEMU B: IDADI YA MIKOPO KWA ROBO MWAKA INAYOISHIA ………………. Salio Anzia Wakati wa Robo Mwaka Salio Ishia Idadi ya Mikopo iliyotolewa kwa Wanaume Idadi ya Mikopo iliyotolewa kwa Wanawake Jumla SEHEMU C: THAMANI YA MIKOPO KWA ROBO MWAKA INAYOISHIA…………. Thamani ya mikopo iliyotolewa kwa Robo Mwaka Thamani ya Mkopo Uliolipwa wakati wa Robo Mwaka Salio Anzia (Kiasi kwa Sh.) Salio Ishia Thamani ya Mikopo 28 Kanuni Za Huduma Ndogo Za Fedha (Vikundi Vya Huduma Ndogo Za Fedha Vya Kijamii) Tangazo la Selikali Na. 997 (Linaendelea.) iliyotolewa kwa Wanaume Thamani ya Mikopo iliyotolewa kwa Wanawake Jumla SEHEMU D: MICHANGO YA WANACHAMA, MICHANGO NA MIKOPO YA KIKUNDI KWA ROBO MWAKA INAYOISHIA ……………………… Salio Anzia Wakati wa Robo Mwaka Salio Ishia Michango ya Wanachama Michango Mingine Jumla ndogo Mikopo ya kikundi Jumla SEHEMU E: TAARIFA YA MAPATO KWA ROBO MWAKA INAYOISHIA…………… Salio Anzia Robo Mwaka Salio Ishia Riba itokanayo na mikopo Mapato yatokanayo na shughuli za kiuchumi za kikundi Misaada Jumla ya Mapato Mgawanyo wa ziada 29 Kanuni Za Huduma Ndogo Za Fedha (Vikundi Vya Huduma Ndogo Za Fedha Vya Kijamii) Tangazo la Selikali Na. 997 (Linaendelea.) Matumizi mengine Jumla ya Matumizi Mapato halisi Imeandaliwa na…………………………………………………………. (Jina la kiongozi wa kikundi) Saini……………………………………… Tarehe ………………………………………………. Dar es Salaam, ………………, 2019 FLORENS LUOGA Gavana 30
Provision text is displayed from LexChat’s stored statute record. Use the official source links to verify amendments, commencement, and current legal force.
Ask AI about this statute
Kanuni Za Huduma Ndogo Za Fedha (Vikundi Vya Huduma Ndogo Za Fedha Vya Kijamii) za Mwaka 2020
Sign in to ask AI about this statute
Sign in to start authenticated, citation-grounded statute research.
Sign in