Kanuni Za Huduma Ndogo Za Fedha (Watoa Huduma Ndogo Za Fedha Wasiopokea Amana) za Mwaka 2020
This text only gives section headings for “Use,” “Interpretation,” the introductory provisions, and the licensing section.
AI-assisted research synopsis — verify against the official legal text below.
- Jurisdiction
- Tanzania
- Instrument
- Regulation
- Citation
- Kanuni Za Huduma Ndogo Za Fedha (Watoa Huduma Ndogo Za Fedha Wasiopokea Amana) za Mwaka 2020
- Version
- Undated source snapshot
- Language
- sw
- Official source
- View official record ↗
Statute overview
About this statute
This text only gives section headings for “Use,” “Interpretation,” the introductory provisions, and the licensing section. Sehemu hii inaorodhesha mada za uanzishwaji na uendeshaji wa watoa huduma ndogo za fedha wa Daraja la 2, ikiwemo leseni, ajira kwa asiye raia wa Tanzania, shughuli zinazoruhusiwa na zisizoruhusiwa, na hesabu/taarifa za fedha. Section heading on the duties of the board of directors or management body. This section is titled “Uwasilishaji wa taarifa za mapungufu” (submission of deficiency information). This section is headed as dealing with credit information exchange and hiring an internal auditor.
Search within this statute
Search all stored provisions in this version.
Legal text
Provisions of Kanuni Za Huduma Ndogo Za Fedha (Watoa Huduma Ndogo Za Fedha Wasiopokea Amana) za Mwaka 2020
Showing 120 of 120
- 3 Verify source ↗
Section 3
AI-assisted research summary: This text only gives section headings for “Use,” “Interpretation,” the introductory provisions, and the licensing section.
3. Jina. Matumizi. Tafsiri. SEHEMU YA KWANZA MASHARTI YA UTANGULIZI SEHEMU YA PILI UTOAJI WA LESENI
Part
SEHEMU YA PILI
- 16 Verify source ↗
Section 16
AI-assisted research summary: Sehemu hii inaorodhesha mada za uanzishwaji na uendeshaji wa watoa huduma ndogo za fedha wa Daraja la 2, ikiwemo leseni, ajira kwa asiye raia wa Tanzania, shughuli zinazoruhusiwa na zisizoruhusiwa, na hesabu/taarifa za fedha.
16. Uanzishwaji. Jina la mtoa huduma ndogo za fedha. Maombi ya leseni. Uadilifu wa wanahisa na mmiliki. Uwezo wa kifedha. Sehemu ya biashara. Tabia na uzoefu. Ushughulikiaji wa maombi. Kipindi cha mpito. Leseni. Kukataliwa ombi la kutoa leseni. Kuhamia Daraja la 1. Kuhamia Daraja la 2 kutoka daraja jingine. 2 Kanuni Za Huduma Ndogo Za Fedha (Watoa Huduma Ndogo Za Fedha Wasiopokea Amana) Tangazo la Serikali Na. 998 (Linaendelea.) SEHEMU YA TATU UENDESHAJI WA WATOA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA CHINI YA DARAJA LA 2 Uteuzi wa Watanzania. Uendeshaji wa mtoa huduma ndogo za fedha. Ajira kwa asiye raia wa Tanzania. Shughuli zinazoruhusiwa. Shughuli zisizoruhusiwa. Dhamana ya pesa taslimu, udhamini au akiba za lazima. Vitabu vya hesabu, kumbukumbu na mwaka wa fedha. Uandaaji na uwasilishaji wa hesabu. Uwazi wa taarifa za fedha - 4 Verify source ↗
Mtu anayekusudia kufanya biashara ya huduma
AI-assisted research summary: A person intending to do tier 2 small financial services business must register under the Companies Act or another relevant law; if the person is a private lender, they must instead register the business name as a sole proprietor under the Business Licences Act.
4. Mtu anayekusudia kufanya biashara ya huduma ndogo za fedha katika daraja la 2 atatakiwa- Sura ya 212 (a) kusajiliwa chini ya Sheria ya Makampuni au Sheria nyingine yoyote husika; au 6 Kanuni Za Huduma Ndogo Za Fedha (Watoa Huduma Ndogo Za Fedha Wasiopokea Amana) Tangazo la Serikali Na. 998 (Linaendelea.) Sura ya 213 (b) ikiwa ni mkopeshaji binafsi, kusajili jina la biashara kama mmiliki binafsi chini ya Sheria ya Leseni za Biashara. Jina la mtoa huduma ndogo za fedha - 5 Verify source ↗
Jina la biashara la mtoa huduma ndogo za fedha
AI-assisted research summary: Mtoa huduma ndogo za fedha wa daraja la 2 lazima ajumuishe angalau neno moja lililotajwa katika jina la biashara.
5. Jina la biashara la mtoa huduma ndogo za fedha chini ya daraja la 2 litajumuisha miongoni mwa maneno yafuatayo “huduma ndogo za fedha”, “fedha”, “huduma za fedha”, “mikopo” au “mikopo midogo”. Maombi ya leseni - 6 Verify source ↗
(1) Mtu ambaye anakusudia kufanya biashara ya
AI-assisted research summary: An intending class 2 microfinance service provider must apply for a licence from the Bank.
6.-(1) Mtu ambaye anakusudia kufanya biashara ya huduma ndogo za fedha kama mtoa huduma ndogo za fedha chini ya daraja la 2 atatakiwa kuomba leseni Benki. (2) Kwa kuzingatia kanuni ndogo ya (1), maombi ya leseni yatatakiwa kuwa kama yalivyoainishwa katika Jedwali la Kwanza. (3) Maombi yaliyorejewa chini ya kanuni ndogo ya (1) yatatakiwa kusainiwa na mwombaji au mtia saini aliyeidhinishwa na mwombaji na yataambatishwa na- (a) ada ya maombi isiyorudishwa ya kiasi cha shilingi laki tano kwa taasisi au kampuni; (b) ada ya maombi isiyorudishwa ya kiasi cha shilingi laki tatu kwa mkopeshaji binafsi; (c) nyaraka na taarifa zilizoorodheshwa katika Jedwali la Pili; na (d) nyaraka au taarifa yoyote itakayohitajika. (4) Maombi yaliyofanywa na mtoa huduma wa kigeni yatatakiwa, pamoja na matakwa yaliyoorodheshwa chini ya kanuni ndogo ya (3), kujumuisha- (a) mpango wa mafunzo unaoonesha muda maalum wa kutoa ujuzi na utaalamu wa huduma ndogo za fedha kwa wafanyakazi wa Kitanzania; na (b) mpango wa kurithisha uongozi na mikakati inayoonesha utaratibu, muda na maudhui ya namna Kitanzania watakavyoshika nafasi za juu za uongozi wa mtoa huduma ndogo za fedha. wafanyakazi wa Uadilifu wa wanahisa na mmiliki
Part
SEHEMU YA TATU
- 17 Verify source ↗
Majukumu ya bodi ya wakurugenzi au chombo cha usimamizi
AI-assisted research summary: Section heading on the duties of the board of directors or management body.
17. Majukumu ya bodi ya wakurugenzi au chombo cha usimamizi. - 31 Verify source ↗
Section 31
AI-assisted research summary: This section is titled “Uwasilishaji wa taarifa za mapungufu” (submission of deficiency information).
31. Uwasilishaji wa taarifa za mapungufu. - 36 Verify source ↗
Section 36
AI-assisted research summary: This section is headed as dealing with credit information exchange and hiring an internal auditor.
36. Idhini ya kubadilishana taarifa za mikopo. Kukodi mkaguzi wa ndani. SEHEMU YA NNE SHUGHULI ZA UKOPESHAJI - 17 Verify source ↗
(1) Mtoa huduma ndogo za fedha chini ya daraja
AI-assisted research summary: Mtoa huduma ndogo za fedha wa daraja la 2, isipokuwa wakopeshaji binafsi, anatakiwa kuwa na bodi ya wakurugenzi au chombo cha usimamizi.
17.-(1) Mtoa huduma ndogo za fedha chini ya daraja la 2, isipokuwa wakopeshaji binafsi, atatakiwa kuwa na bodi ya wakurugenzi au chombo cha usimamizi. (2) Bodi ya wakurugenzi au chombo cha usimamizi vilivyotajwa chini ya kanuni ndogo ya (1) vitatakiwa, pamoja na majukumu mengine, kuwajibika kwa yafuatayo- (a) kumteua mtendaji mkuu; (b) kuidhinisha mipango na mikakati ya biashara; (c) kuidhinisha sera za mikopo, ukwasi, utunzaji wa taarifa, rasilimali watu na sera zingine; (d) kufuatilia mwenendo na utendaji wa menejimenti; (e) kuweka na kusimamia mgawanyo ulio wazi wa majukumu na uwajibikaji; na (f) kuhakikisha kwamba mtoa huduma ndogo za fedha anazingatia Sheria na kanuni zote husika. Uteuzi wa Watanzania - 18 Verify source ↗
Mtoa huduma ndogo za fedha chini ya daraja la 2
AI-assisted research summary: Mtoa huduma ndogo za fedha chini ya daraja la 2 lazima ateue angalau Watanzania wawili katika Bodi ya Wakurugenzi.
18. Mtoa huduma ndogo za fedha chini ya daraja la 2 atateua angalau Watanzania wawili katika Bodi ya Wakurugenzi. Uendeshaji wa mtoa huduma ndogo za fedha - 19 Verify source ↗
Mtoa huduma ndogo za fedha chini ya daraja la
AI-assisted research summary: Mtoa huduma ndogo za fedha wa daraja la 2 lazima awe na menejimenti inayotekeleza majukumu ya udhibiti, uadilifu, taarifa na kufuata sheria.
19. Mtoa huduma ndogo za fedha chini ya daraja la 2, atatakiwa kuwa na menejimenti ambayo itatakiwa, pamoja na majukumu mengine, kuwa na wajibu ufuatao- (a) kutekeleza mikakati kwa namna vinavyoendana ambayo na inapunguza mikakati hiyo; vihatarishi (b) kuhakikisha kuwa kuna ufanisi katika udhibiti wa ndani na viwango vya juu vya uadilifu; 11 Kanuni Za Huduma Ndogo Za Fedha (Watoa Huduma Ndogo Za Fedha Wasiopokea Amana) Tangazo la Serikali Na. 998 (Linaendelea.) Ajira kwa asiye raia wa Tanzania (c) kuhakikisha kuwa uwajibikaji na mipaka ya mamlaka imewekwa wazi; (d) kuhakikisha kuwa mifumo ya uendeshaji na taarifa ni madhubuti, inaaminika na inarahisisha mawasiliano; (e) kutunza kumbukumbu sahihi za fedha na kutayarisha taarifa za fedha kwa wakati; (f) kutayarisha na kuwasilisha taarifa za usimamizi kwa wakati; (g) kutekeleza mapendekezo yaliyoainishwa katika taarifa za ukaguzi wa nje na ukaguzi wa ndani na maelekezo yaliyotolewa na Benki; na (h) kuhakikisha kuwa Sheria, Kanuni, sera na taratibu zinazingatiwa. - 20 Verify source ↗
(1) Mtoa huduma ndogo za fedha, hataajiri mtu
AI-assisted research summary: A microfinance service provider may not hire or renew the contract of a non-Tanzanian unless it first gets Bank approval.
20.-(1) Mtoa huduma ndogo za fedha, hataajiri mtu asiye raia wa Tanzania au kuhuisha mkataba wowote wa mtu huyo isipokuwa pale ambapo ameomba na kupata idhini ya Benki. (2) Kwa kuzingatia kanuni ndogo ya (1), idadi ya wasio raia wa Tanzania ambao wameajiriwa katika taasisi haitakiwi kuzidi watano wakati wowote. (3) Bila kujali kanuni ndogo ya (2), Benki inaweza, pale ambapo imepokea maombi kutoka kwa mtoa huduma ndogo za fedha, kuidhinisha mtu wa ziada asiye raia wa Tanzania, kwa kuzingatia yafuatayo - (a) kuna changamoto ya upatikanaji wa Watanzania wenye sifa kwa nafasi inayopendekezwa; (b) ugumu wa kazi na majukumu yanayotakiwa kutekelezwa; (c) idhini iliyotolewa na Kituo cha Uwekezaji Tanzania; (d) hali ya dharura ambayo inaweza kuruhusu mtu wa ziada; na (e) muda ambao mtu huyo anategemewa kukaa katika taasisi na kutoa ujuzi kwa Watanzania. Shughuli zinazoruhusiw a - 21 Verify source ↗
Mtoa huduma ndogo za fedha anaruhusiwa
AI-assisted research summary: Mtoa huduma ndogo za fedha anaruhusiwa kufanya aina mbalimbali za shughuli za mikopo, akaunti, bima, uwekezaji, na wakala wa benki, pamoja na shughuli nyingine zitakazoruhusiwa na Benki.
21. Mtoa huduma ndogo za fedha anaruhusiwa kufanya shughuli zozote kati ya zifuatazo- 12 Kanuni Za Huduma Ndogo Za Fedha (Watoa Huduma Ndogo Za Fedha Wasiopokea Amana) Tangazo la Serikali Na. 998 (Linaendelea.) (a) kutoa mikopo ya huduma ndogo za fedha kwa watu binafsi, vikundi, taasisi ndogo, ikijumuisha dhamana ya huduma ndogo za fedha; (b) kutoa mikopo midogo ya nyumba kwa watu binafsi; (c) kutoa huduma ya ugawaji wa mikopo itokanayo na programu za Serikali, wakala, vikundi na watu binafsi; (d) kutunza na kuendesha aina mbalimbali za akaunti katika benki na taasisi za fedha nchini Tanzania; (e) kuendesha huduma ndogo za karadha, huduma ndogo za fedha zinazohusu ununuzi wa vifaa kwa mkopo na utaratibu wa kukopesha kwa ubia na usimamizi wa miradi ya mikopo; (f) kutoa ushauri wa kitaalamu kwa wateja kuhusu uwekezaji katika biashara ndogo; kutoa ushauri wa uendeshaji, masoko, kiufundi na kiutawala kwa wateja; (g) kutoa huduma ndogo za bima kama wakala wa makampuni ya bima; (h) uwekezaji wa mitaji; (i) wakala wa benki; na (j) shughuli nyingine yoyote kama itakavyoruhusiwa na Benki. Shughuli zisizoruhusiwa - 22 Verify source ↗
Isipokuwa pale ambapo imeruhusiwa na Benki,
AI-assisted research summary: Mtoa huduma ndogo za fedha mwenye leseni haruhusiwi kufanya shughuli zilizoorodheshwa, isipokuwa Benki ikiruhusu.
22. Isipokuwa pale ambapo imeruhusiwa na Benki, mtoa huduma ndogo za fedha mwenye leseni haruhusiwi kufanya shughuli yoyote kati ya zifuatazo- (a) kupokea aina yoyote ya amana kutoka kwa umma; (b) biashara ya kubadili fedha za kigeni; (c) uendeshaji wa biashara ya kimataifa; (d) undeshaji wa biashara ya udhamini; (e) kadi za mkopo na malipo; (f) maagizo ya malipo na utumaji wa fedha; (g) biashara yoyote mbali na kutoa bidhaa na huduma za kifedha kwa wateja wake; na (h) shughuli zingine zozote kama zitakavyoainishwa na Benki. 13 Kanuni Za Huduma Ndogo Za Fedha (Watoa Huduma Ndogo Za Fedha Wasiopokea Amana) Tangazo la Serikali Na. 998 (Linaendelea.) Dhamana ya pesa taslimu, udhamini au akiba za lazima - 23 Verify source ↗
(1) Mtoa huduma ndogo za fedha anayepokea
AI-assisted research summary: Mtoa huduma ndogo za fedha anapopokea fedha za dhamana/udhamini/amana ya lazima lazima afungue akaunti tofauti, asizitumie kwa kukopesha au shughuli nyingine, na azirudishe kwa mkopaji baada ya mkopo kulipwa. Mkopeshaji binafsi haruhusiwi kupokea fedha hizo kama dhamana au amana.
23.-(1) Mtoa huduma ndogo za fedha anayepokea dhamana ya pesa taslimu, udhamini wa pesa taslimu, udhamini wa bima ya mkopo au amana za lazima, atatakiwa kufungua akaunti tofauti kwa madhumuni ya kutunza pesa yote taslimu iliyopokelewa kama dhamana, udhamini au amana ya lazima. (2) Kwa kuzingatia kanuni ndogo ya (1), pesa zote taslimu zilizopokelewa hazitatumika na mtoa huduma ndogo za fedha kwa ajili ya kukopesha au kwa shughuli nyingine yoyote na zitarudishwa kwa mkopaji baada ya kumaliza kurejesha mkopo wake. (3) Bila kuathiri masharti ya kanuni zilizotangulia, mkopeshaji binafsi hatapokea dhamana ya pesa taslimu, udhamini wa pesa taslimu, udhamini wa bima ya mkopo au amana za lazima. Vitabu vya hesabu, kumbukumbu na mwaka wa fedha - 24 Verify source ↗
(1) Mtoa huduma ndogo za fedha atatunza vitabu
AI-assisted research summary: Mtoa huduma ndogo za fedha lazima atunze vitabu sahihi vya hesabu na kumbukumbu za shughuli zake, na mwaka wake wa fedha unaanza 1 Januari na kuisha 31 Disemba.
24.-(1) Mtoa huduma ndogo za fedha atatunza vitabu vya hesabu vilivyo sahihi na kumbukumbu nyingine kuhusu shughuli zake, ambazo zinatosheleza kuonesha na kuelezea miamala na hali yake ya kifedha. (2) Vitabu vya hesabu na kumbukumbu zilizorejewa chini ya kanuni ndogo ya (1) zitatakiwa- (a) kueleza kwa ufasaha miamala yote, ikiwemo maombi na miamala yote ya mikopo; (b) kuwezesha hali ya kifedha ya mtoa huduma ndogo za fedha kujulikana kwa usahihi wakati wowote; (c) kuruhusu taarifa za fedha kuandaliwa kwa wakati ; na (d) kujumuisha za msingi nyaraka zitatunzwa ili kuonesha taarifa za - (i) jumla ya fedha zote zilizopokelewa na kutumika na masuala yanayohusu mapato na matumizi yaliyofanyika; ambazo (ii) mauzo na manunuzi yote na miamala mingine; na (iii) mali na madeni ya mtoa huduma ndogo za fedha . 14 Kanuni Za Huduma Ndogo Za Fedha (Watoa Huduma Ndogo Za Fedha Wasiopokea Amana) Tangazo la Serikali Na. 998 (Linaendelea.) (3) Mwaka wa fedha wa mtoa huduma ndogo za fedha utaanza tarehe 1 Januari na kukoma tarahe 31 Disemba ya kila mwaka. Uandaaji na uwasilishaji wa hesabu - 25 Verify source ↗
Kila mtoa huduma ndogo za fedha atatakiwa,
AI-assisted research summary: Kila mtoa huduma ndogo za fedha lazima kila mwaka aandae hesabu na aziwasilishe Benki pamoja na nakala zilizokaguliwa na taarifa ya ukaguzi ndani ya miezi minne baada ya mwaka wa fedha kuisha.
25. Kila mtoa huduma ndogo za fedha atatakiwa, katika kila mwaka wa fedha, kuandaa hesabu na ndani ya miezi minne kuanzia mwisho wa mwaka wa fedha za mwaka kuwasilisha Benki, nakala zilizokaguliwa na taarifa ya ukaguzi. za hesabu Uwazi wa taarifa za fedha Mkaguzi wa ndani - 26 Verify source ↗
(1) Kwa kuzingatia kifungu cha 42 cha Sheria,
AI-assisted research summary: Mtoa huduma ndogo za fedha lazima aweke wazi nakala za taarifa za hesabu za mwaka wa fedha zilizokaguliwa katika sehemu ya biashara.
26.-(1) Kwa kuzingatia kifungu cha 42 cha Sheria, kila mtoa huduma ndogo za fedha ataweka wazi katika sehemu yake ya biashara nakala za taarifa za hesabu za mwaka wa fedha zilizokaguliwa karibuni. (2) Taarifa za fedha zilizokaguliwa zilizorejewa chini ya kanuni ndogo ya (1) zitatakiwa- (a) kujumuisha mizania, taarifa za mapato na matumizi, taarifa ya mtiririko wa fedha na taarifa za mabadiliko ya mtaji; (b) kuoneshwa kwa dhahiri katika sehemu kuu ya biashara na matawi na maeneo yoyote inapotolewa huduma kwa umma; na (c) kuoneshwa kwa mwaka mzima.
Part
SEHEMU YA NNE
- 45 Verify source ↗
Section 45
AI-assisted research summary: Sehemu hii inaorodhesha mada za mkopo na usimamizi wa watoa huduma ndogo za fedha.
45. Uwasilishaji wa sababu za kukataliwa maombi ya mkopo. Dhamana ya mkopo. Urejeshaji wa mkopo. Urekebishaji wa masharti ya mkopo. Uainishaji wa makundi na tengo la mikopo. 3 Kanuni Za Huduma Ndogo Za Fedha (Watoa Huduma Ndogo Za Fedha Wasiopokea Amana) Tangazo la Serikali Na. 998 (Linaendelea.) SEHEMU YA TANO USIMAMIZI WA WATOA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA - 37 Verify source ↗
(1) Kila mtoa huduma ndogo za fedha ataandaa
AI-assisted research summary: Kila mtoa huduma ndogo za fedha lazima aandae sera ya ukopeshaji, na sera hiyo iwe na vipengele vya chini vilivyotajwa na ipitiwe angalau mara moja kila baada ya miaka mitatu.
37.-(1) Kila mtoa huduma ndogo za fedha ataandaa sera ya ukopeshaji kulingana na Sheria na Kanuni hizi. (2) Sera iliyorejewa chini ya kanuni ndogo ya (1), kwa kiwango cha chini, itajumuisha yafuatayo- (a) taratibu za ukopeshaji na utunzaji kumbukumbu; (b) masharti ya kupata mkopo; (c) aina za mikopo na dhamana zinazokubalika; (d) ukomo wa mkopo ukijumuisha kiwango cha juu cha mkopo kwa kila mkopaji na kwa aina ya mkopo; (e) vigezo na masharti ya mkopo kama viwango vya riba, ada na tozo na kipindi cha kurejesha; (f) utaratibu wa kuidhinisha mkopo; (g) ukomo wa mkopo ukilinganishwa na thamani ya dhamana; (h) tathmini ya uwezo wa mkopaji kurejesha mkopo; (i) vigezo na masharti ya mikopo kwa maafisa na waajiriwa wa mtoa huduma ndogo za fedha; (j) masharti ya udhamini wa mkopo; (k) ufuatiliaji na tathmini ya ubora wa mikopo; (l) kipindi kinachotolewa kabla ya kuanza kurudisha mkopo, kama kipo; (m) utaratibu wa ukusanyaji na ufuatiliaji wa 19 Kanuni Za Huduma Ndogo Za Fedha (Watoa Huduma Ndogo Za Fedha Wasiopokea Amana) Tangazo la Serikali Na. 998 (Linaendelea.) Maombi ya mikopo mikopo; (n) vigezo na taratibu za kurekebisha masharti ya mikopo; (o) muda unaotumika kushughulikia mkopo baada ya kupokea maombi ya mkopo yaliyokamilika; (p) vigezo na taratibu za kuidhinisha na kuruhusu kufuta mikopo isiyolipika; na (q) fomu husika zinazotumika kwa ajili ya maombi ya mkopo. (3) Sera iliyorejewa chini ya kanuni ndogo ya (1), itapitiwa angalau mara moja ndani ya miaka mitatu. - 38 Verify source ↗
(1) Kila ombi la mkopo litajazwa katika fomu
AI-assisted research summary: Fomu ya maombi ya mkopo lazima ijazwe katika fomu inayotolewa na mtoa huduma ndogo za fedha husika, na mwombaji lazima atoe idhini na tamko vinavyoruhusu taarifa zake za mkopo kutolewa.
38.-(1) Kila ombi la mkopo litajazwa katika fomu iliyotolewa na mtoa huduma ndogo za fedha husika na itaonesha kwa kiwango cha chini yafuatayo- (a) jina kamili; (b) tarehe ya kuzaliwa au tarehe ya usajili; (c) eneo la makazi au sehemu ya biashara; (d) kazi au aina ya biashara; (e) madhumuni ya mkopo; (f) sekta ya uchumi; (g) kiasi cha mkopo kilichoombwa; (h) dhamana itakayotolewa; (i) hali ya ndoa; (j) idadi ya wategemezi; (k) sehemu ya ajira; (l) kipato cha sasa; (m) matumizi na mali; (n) mikopo mingine inayodaiwa ; na (o) taarifa zingine zitakazohitajika. (2) Bila kuathiri kanuni ndogo ya (1), fomu ya maombi ya mkopo itakuwa na sharti linalomtaka mwombaji kutoa idhini na tamko litakalowezesha taarifa zake za mkopo kutolewa kulingana na masharti ya Sheria na Kanuni hizi. Mkataba wa mkopo - 39 Verify source ↗
(1) Mtoa huduma ndogo za fedha atashughulikia
AI-assisted research summary: A microfinance provider must handle loan applications under its lending policy and may enter a loan agreement only if the borrower meets the loan conditions and can repay.
39.-(1) Mtoa huduma ndogo za fedha atashughulikia maombi ya mkopo kwa mujibu wa sera ya ukopeshaji na ataingia mkataba wa mkopo na mkopaji, endapo ataridhika kuwa mkopaji anakidhi masharti ya mkopo na ana uwezo wa 20 Kanuni Za Huduma Ndogo Za Fedha (Watoa Huduma Ndogo Za Fedha Wasiopokea Amana) Tangazo la Serikali Na. 998 (Linaendelea.) kurejesha. (2) Mkataba wa mkopo unaorejewa chini ya kanuni ndogo ya (1) kwa kiwango cha chini utajumuisha yafuatayo- (a) kiasi cha mkopo; (b) kiwango cha riba cha kawaida au kilichotajwa kwa mwaka; (c) ada zote zingine zinazotozwa; (d) kiwango halisi cha riba cha mwaka kinachojumuisha ada zote zitakazotozwa; (e) jedwali la marejesho ya mkopo linalojumuisha idadi ya marejesho, jumla ya kiasi cha kila rejesho kinachoonesha mkopo halisi, riba na ada tofauti, na tarehe ya kila rejesho; (f) jumla ya malipo yote mpaka mkopo wote utakapokuwa umelipwa; (g) njia ya kukokotoa kiwango cha riba; (h) adhabu ya ucheleweshaji malipo; (i) ada ya kukusanya mkopo, tozo au gharama; (j) notisi ya kuonesha maslahi katika dhamana iliyotumika kudhamini mkopo; (k) sahihi ya mkopaji na mtoa huduma ndogo za fedha; na (l) kuweka wazi masuala itakavyoelekezwa na Benki. yoyote kama Uwasilishaji wa sababu za kukataliwa maombi ya mkopo Dhamana ya mkopo - 40 Verify source ↗
Endapo maombi ya mkopo yamekataliwa, mtoa
AI-assisted research summary: If a loan application is refused, the microfinance service provider must tell the applicant why within seven days.
40. Endapo maombi ya mkopo yamekataliwa, mtoa huduma ndogo za fedha, ndani ya siku saba, atamueleza mwombaji sababu za kukataa maombi hayo. - 41 Verify source ↗
(1) Mtoa huduma ndogo za fedha anaweza
AI-assisted research summary: Mtoa huduma ndogo za fedha anaweza kuchukua na kuuza dhamana ya mkopo, lakini lazima atunze rejesta ya dhamana na aheshimu masharti ya notisi, uthamini, na bei ya mauzo.
41.-(1) Mtoa huduma ndogo za fedha anaweza kuchukua dhamana kwa ajili ya kudhamini mkopo. (2) Mtoa huduma ndogo za fedha atatunza rejesta iliyohuishwa ya dhamana zote zilizotolewa kwa ajili ya kudhamini mikopo. (3) Mtoa huduma ndogo za fedha hataruhusiwa kuuza mali yoyote iliyowekwa rehani, isipokuwa pale ambapo siku sitini zimepita tangu notisi ya maandishi imetolewa kwa mkopaji ikimtaka kulipa deni la mkopo lililosalia. 21 Kanuni Za Huduma Ndogo Za Fedha (Watoa Huduma Ndogo Za Fedha Wasiopokea Amana) Tangazo la Serikali Na. 998 (Linaendelea.) (4) Kwa dhamana tofauti na nyumba, mtoa huduma ndogo za fedha hataruhusiwa kuuza dhamana hiyo, isipokuwa pale ambapo notisi ya kutosha imetolewa kama ilivyoainishwa katika mkataba wa mkopo, ikimtaka mkopaji kulipa deni la mkopo lililosalia. (5) Mtoa huduma ndogo za fedha anaweza kuuza dhamana iliyotolewa na mkopaji kwa njia ya mnada wa hadhara au mkataba binafsi. (6) Kabla ya kuuza dhamana, mtoa huduma ndogo za fedha atamteua mtathmini anayejitegemea aliyesajiliwa ili kutathmini thamani ya dhamana ikiuzwa kwa shuruti au kwa bei ya soko. (7) Kwa kuzingatia kanuni ndogo ya (6), mtoa huduma ndogo za fedha hataruhusiwa kuuza dhamana kwa bei ya chini ya thamani ya shuruti katika minada miwili ya awali, isipokuwa kama dhamana haikuuzika katika minada miwili ya awali kwa thamani ya juu zaidi ya thamani ya shuruti. (8) Mapato yatokanayo na mauzo ya dhamana yatatumika kama ifuatavyo- (a) kulipa pesa zote zinazodaiwa katika mkopo; (b) kurudisha gharama halisi zinazoendana na uuzwaji; zilizotumika na (c) kama kuna salio lolote litalipwa kwa mkopaji. - 42 Verify source ↗
(1) Kwa marejesho yote yaliyopokelewa kutoka
AI-assisted research summary: A microfinance service provider must credit repayments to the borrower’s account on the day they are made, and apply each repayment first to interest, then fees and other charges, and finally to principal.
42.-(1) Kwa marejesho yote yaliyopokelewa kutoka kwa mkopaji, mtoa huduma ndogo za fedha atayaingiza katika akaunti ya mkopaji kwa tarehe ambayo marejesho yalifanywa. (2) Kiasi cha rejesho kilichorejewa chini ya kanuni ndogo ya (1) kitatengwa kwanza kwa ajili ya gharama zozote za riba ya mkopo zilizopo, kisha ada na gharama zozote zinazodaiwa kwenye mkopo na mwisho kumalizia deni lolote la mkopo halisi. (3) Mkopaji ana haki, bila kutoa notisi ya awali na bila kupewa adhabu na mtoa huduma ndogo za fedha, ya kurejesha mkopo kabla ya kumalizika kwa mkopo huo aidha wote au kwa ili kupunguza kiasi halisi kinachodaiwa, gharama za riba na ada zinazodaiwa. sehemu 22 Urejeshaji wa mkopo Kanuni Za Huduma Ndogo Za Fedha (Watoa Huduma Ndogo Za Fedha Wasiopokea Amana) Tangazo la Serikali Na. 998 (Linaendelea.) (4) Kwa kuzingatia kanuni ndogo ya (3), pale ambapo mkopo wote umerejeshwa kabla ya kumalizika muda wake, mkopaji hataamrishwa kulipa riba kwa ajili ya kipindi kilichokuwa kimebaki kufikia mwisho wa mkopo. Urekebishaji wa masharti ya mkopo - 43 Verify source ↗
Kwa kuzingatia sera ya ukopeshaji, mtoa huduma
AI-assisted research summary: Mtoa huduma ndogo za fedha anaweza kurekebisha masharti ya mkopo, ikiwemo rejesho au vipindi vya malipo, kumsaidia mkopaji aliye na shida ya fedha.
43. Kwa kuzingatia sera ya ukopeshaji, mtoa huduma ndogo za fedha anaweza kurekebisha masharti ya mkopo ikiwemo kiasi cha rejesho au vipindi vya malipo kwa ajili ya kumsaidia mkopaji anayekabiliwa na matatizo ya mzunguko wa fedha au shida ya kifedha. Mikopo iliyochelewesh wa kulipwa - 44 Verify source ↗
(1) Mkopo wenye tarehe maalumu ya rejesho
AI-assisted research summary: The provision says certain loans are treated as fully overdue when required payments are unpaid.
44.-(1) Mkopo wenye tarehe maalumu ya rejesho utachukuliwa kama umecheleweshwa wote ikiwa sehemu ya rejesho au malipo yanayodaiwa kimkataba hayajalipwa. (2) Mikopo inayolipwa kwa awamu itachukuliwa awamu yeyote kuwa yote inayotakiwa kulipwa, haijalipwa kwa siku moja au zaidi. imecheleweshwa ikiwa (3) Mkopo wa kikundi utachukuliwa kuwa wote umecheleweshwa pale ambapo mwanachama yeyote wa kikundi ameshindwa kulipa na kiasi kinachotakiwa kurejeshwa hakijalipwa na wanachama wengine wa kikundi. Uainishaji wa makundi na tengo la mikopo - 45 Verify source ↗
(1) Mtoa huduma ndogo za fedha atagawanya
AI-assisted research summary: Mtoa huduma ndogo za fedha lazima zigawanye mikopo kwa makundi ya ucheleweshaji wa kurejesha na zitumie viwango vya chini vya tengo vilivyoainishwa.
45.-(1) Mtoa huduma ndogo za fedha atagawanya mikopo kulingana na siku za ucheleweshwaji wa kurejesha kama ifuatavyo- Idadi ya siku zilizocheleweshwa Makundi Siku 0 mpaka 5 Siku 6 mpaka 30 Siku31 mpaka 60 Siku 61 mpaka 90 Zaidi ya siku 90 Ndani ya muda Angalizo Chini ya kiwango Mashaka Hasara 23 Kanuni Za Huduma Ndogo Za Fedha (Watoa Huduma Ndogo Za Fedha Wasiopokea Amana) Tangazo la Serikali Na. 998 (Linaendelea.) (2) Kiwango cha chini cha tengo la mikopo kitakuwa kulingana na Jedwali lifuatalo- Makundi Ndani ya muda Angalizo Chini ya kiwango Mashaka Hasara Tengo Asilimia moja Asilimia tano Asilimia ishirini na tano Asilimia hamsini Asilimia mia (3) Mtoa huduma ndogo za fedha atagawanya siku kulingana ya mikopo midogo ilivyocheleweshwa kurejeshwa kama ifuatavyo- nyumba na Idadi ya siku zilizocheleweshwa Siku 91 mpaka 180 Siku 180 mpaka360 Siku 361 na kuendelea Makundi Chini ya kiwango Mashaka Hasara (4) Viwango vya chini vya tengo kwa ajili ya mikopo midogo ya nyumba itakuwa kulingana na jedwali lifuatalo- Mgawanyo Chini ya kiwango Mashaka Hasara Tengo Asilimia ishirini na tano Asilimia hamsini Asilimia mia moja (5) Salio la mkopo wote utakuwa karisaji hata kama malipo ambayo hayakulipwa ni ya riba pekee. SEHEMU YA TANO USIMAMIZI WA WATOA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA Kiwango cha chini cha mtaji
Part
SEHEMU YA TANO
- 47 Verify source ↗
Section 47
AI-assisted research summary: This section refers to a minimum liquidity level for assets.
47. Kiwango cha chini cha ukwasi wa mali. - 52 Verify source ↗
Section 52
AI-assisted research summary: Kichwa cha kifungu kinaashiria mada za uwasilishaji wa taarifa, kutwaa usimamizi, na ukomo wa usimamizi katika muktadha wa kulinda mlaji na uwazi katika utoaji wa mkopo.
52. Uwasilishaji wa taarifa. Kutwaa usimamizi. Ukomo wa usimamizi SEHEMU YA SITA KUMLINDA MLAJI Uwazi katika utoaji wa mkopo. - 46 Verify source ↗
(1) Mtoa huduma ndogo za fedha chini ya Daraja
AI-assisted research summary: Mtoa huduma ndogo za fedha Daraja la 2 lazima aanze biashara akiwa na mtaji wa angalau shilingi milioni 20, na Benki inaweza kuweka kiwango cha juu zaidi.
46.-(1) Mtoa huduma ndogo za fedha chini ya Daraja la 2 ataanza biashara na kuhakikisha wakati wote ana kiwango cha chini cha mtaji cha shilingi milioni ishirini au kiwango cha juu kama Benki itakavyoainisha. 24 Kanuni Za Huduma Ndogo Za Fedha (Watoa Huduma Ndogo Za Fedha Wasiopokea Amana) Tangazo la Serikali Na. 998 (Linaendelea.) (2) Bila kuathiri kanuni ndogo ya (1), Benki inaweza kuhitaji kiwango kikubwa zaidi ya kile cha chini cha mtaji ikiona kwamba kuna uwezekano kwa mtoa huduma ndogo za fedha - (a) kupata hasara itakayopelekea upungufu wa mtaji; (b) kuna viashiria hatarishi vikubwa; (c) ana kiwango cha juu au kiasi kikubwa cha mali zisizokuwa na ubora; au (d) anakuwa kwa haraka bila kuwa na kiwango cha kutosha cha mtaji na udhibiti wa vihatarishi. (5) Pale ambapo mtoa huduma ndogo za fedha ameshindwa kukidhi masharti ya kiwango cha chini cha mtaji kwa mujibu wa kanuni ndogo ya (1), mtoa huduma huyo, ndani ya siku thelathini, atatakiwa kuwasilisha Benki mpango wa kukuza mtaji. (6) Mpango wa kukuza mtaji chini ya kanuni ndogo ya (5) utatakiwa angalau kuwa na yafuatayo- (a) jedwali lenye ukomo wa muda linaloonesha hatua zitakazochukuliwa na uongozi kuongeza mtaji ili cha mtaji cha kufikia kinachotakiwa; kiwango chini (b) kiwango cha mtaji kitakachofikiwa mwishoni mwa kila robo mwaka; na (c) taarifa nyingine yoyote itakayohitajika na Benki. (7) Pale ambapo mtoa huduma ndogo za fedha atashindwa kufikia kiwango cha chini cha mtaji na ameshindwa kuwasilisha au kutekeleza mpango wa kuongeza mtaji, Benki inaweza kuchukua hatua za kiutawala kama itakavyoona inafaa. Kiwango cha chini cha ukwasi wa mali - 47 Verify source ↗
(1) Mtoa huduma ndogo za fedha atakuwa muda
AI-assisted research summary: A microfinance service provider must keep liquid assets at all times at least equal to 5% of total assets.
47.-(1) Mtoa huduma ndogo za fedha atakuwa muda wote na kiwango cha chini cha ukwasi wa mali kisichopungua asilimia tano ya jumla ya mali. (2) Kwa madhumuni ya kanuni hii, “ukwasi wa mali” unajumuisha- (a) noti na sarafu ambazo ni pesa halali katika Jamhuri ya Muungano; (b) amana zilizo katika benki au kwa watoa huduma ndogo za fedha; 25 Kanuni Za Huduma Ndogo Za Fedha (Watoa Huduma Ndogo Za Fedha Wasiopokea Amana) Tangazo la Serikali Na. 998 (Linaendelea.) Ukaguzi (c) dhamana za serikali za muda mfupi na mrefu ambazo zinaweza kuuzwa kwenye soko na kuuzwa Benki; na (d) mali zingine zozote ambazo Benki itaziainisha. - 48 Verify source ↗
(1) Benki, katika kutekeleza mamlaka yake ya
AI-assisted research summary: Benki lazima ikague mtoa huduma ndogo za fedha na nyaraka zake; inaweza pia kutuma nakala ya taarifa ya ukaguzi kwa viongozi husika, na bodi lazima ichukue hatua za kurekebisha mapungufu.
48.-(1) Benki, katika kutekeleza mamlaka yake ya ukaguzi chini ya Sheria, itafanya ukaguzi wa mtoa huduma taarifa na nyaraka ndogo za zilizowasilishwa Benki na zinazopatikana kwa kuzuru ofisi yake. fedha kwa kupitia (2) Ukaguzi unaorejewa chini ya kanuni ndogo ya (1) utajumuisha yafuatayo- (a) kuhakikisha mtoa huduma ndogo za fedha anazingatia sheria, kanuni, sera na taratibu zote za uendeshaji; (b) kukagua uendeshaji na hali ya fedha ya mtoa huduma ndogo za fedha; (c) kutathmini ufanisi wa udhibiti wa ndani; (d) kuchambua taarifa za mara kwa mara zilizowasilishwa na mtoa huduma ndogo za fedha Benki; na (e) masuala mengine kama itakavyoamuliwa na Benki. (3) Baada ya kukamilisha ukaguzi chini ya kanuni ndogo ya (1), Benki inaweza kuandaa na kupeleka nakala ya taarifa ya ukaguzi kwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi, mmiliki au meneja wa mtoa huduma ndogo za fedha. (4) Bodi ya Wakurugenzi ya mtoa huduma ndogo za fedha itahakikisha kwamba hatua mahsusi zinachukuliwa kushughulikia mapungufu na kasoro zilizojitokeza katika taarifa. (5) Taarifa ya ukaguzi iliyoandaliwa na Benki itakuwa ni ya siri. Malipo gawio ya - 49 Verify source ↗
(1) Kwa kuzingatia kifungu cha 37 cha Sheria,
AI-assisted research summary: Mtoa huduma ndogo za fedha wa Daraja la 2 analipa gawio, riba na mgao mwingine kama ulivyoainishwa kwenye nyaraka zake, lakini haruhusiwi kufanya hivyo ikiwa malipo hayo yatafanya ashindwe kukidhi kiwango cha chini cha mtaji.
49.-(1) Kwa kuzingatia kifungu cha 37 cha Sheria, mtoa huduma ndogo za fedha chini ya Daraja la 2 atalipa gawio, riba na aina nyingine ya mgao kama ilivyoainishwa katika MEMARTS, katiba au nyaraka zozote muhimu za 26 Kanuni Za Huduma Ndogo Za Fedha (Watoa Huduma Ndogo Za Fedha Wasiopokea Amana) Tangazo la Serikali Na. 998 (Linaendelea.) mtoa huduma ndogo za fedha. (2) Bila kujali kanuni ndogo ya (1), mtoa huduma ndogo za fedha chini ya Daraja la 2 hatalipa gawio, riba na aina nyingine ya mgao kama malipo au mgao huo utasababisha mtoa huduma ndogo za fedha kushindwa kukidhi vigezo vya kiwango cha chini cha mtaji kwa mujibu wa Kanuni hizi. Uwasilishaji wa taarifa - 50 Verify source ↗
Mtoa huduma ndogo za fedha atawasilisha Benki
AI-assisted research summary: Mtoa huduma ndogo za fedha lazima awasilishe Benki taarifa za mara kwa mara.
50. Mtoa huduma ndogo za fedha atawasilisha Benki taarifa za mara kwa mara kwa muundo na vipindi kama itakavyoainishwa na Benki. Kutwaa usimamizi - 51 Verify source ↗
(1) Benki inaweza kutwaa usimamizi wa mtoa
AI-assisted research summary: Benki inaweza kuchukua usimamizi wa mtoa huduma ndogo za fedha katika hali fulani, na gharama za usimamizi hulipwa na mtoa huduma huyo.
51.-(1) Benki inaweza kutwaa usimamizi wa mtoa huduma ndogo za fedha ambaye katika uendeshaji wake anapokea dhamana ya bima ya mkopo kwa njia ya fedha taslimu au dhamana ya fedha pale ambapo- (a) Benki inaona kwamba mtoa huduma ndogo za fedha hatoweza - (i) kuwa katika hali nzuri ya kifedha; (ii) kujiendesha kwa mujibu wa misingi na taratibu sahihi za utawala na uhasibu; (iii) kuzingatia sera sahihi za udhibiti wa vihatarishi na (iv) kuzingatia maelekezo yaliyotolewa na Benki. (b) mtoa huduma ndogo za fedha anayeshindwa kuzingatia sharti la kuwa na kiwango cha chini cha mtaji kama ilivyoainishwa kwenye Kanuni hizi; (c) leseni ya mtoa huduma ndogo za fedha imefutwa; (d) kuendelea kwa biashara ya mtoa huduma ndogo za fedha itaathiri maslahi ya wateja; au (e) mtoa huduma ndogo za fedha anaendesha biashara ya huduma ndogo za fedha kinyume cha Sheria. (2) Baada ya kutwaa usimamizi chini ya kanuni ndogo ya (1), Benki inaweza kutumia huduma za watu binafsi kusimamia mtoa huduma ndogo za fedha, pale ambapo Benki itaona kwamba kufanya hivyo ndiyo njia 27 Kanuni Za Huduma Ndogo Za Fedha (Watoa Huduma Ndogo Za Fedha Wasiopokea Amana) Tangazo la Serikali Na. 998 (Linaendelea.) Ukomo wa usimamizi bora, ya ufanisi na yenye gharama nafuu. (3) Gharama za usimamizi wa mtoa huduma ndogo za fedha kwa kipindi cha usimamizi zitalipwa na mtoa huduma ndogo za fedha husika. (4) Katika kipindi cha usimamizi, hakuna mali yoyote ya mtoa huduma ndogo za fedha itakayoshikiliwa au kuhusishwa na dai la umiliki, isipokuwa dai la umiliki lililowekwa na Benki. (5) Kwa mujibu wa kifungu cha 35 (2) cha Sheria, mtu aliye na mkataba na mtoa huduma ndogo za fedha hataondolewa wajibu wake kwa kigezo kwamba usimamizi wa mtoa huduma ndogo za fedha uko chini ya Benki. - 52 Verify source ↗
(1) Usimamizi wa Benki utakoma pale ambapo
AI-assisted research summary: Bank supervision ends when the microfinance provider improves financially and operationally or after six months, whichever comes first; the Bank may extend that six-month period, and must order insolvency if improvement still has not happened by the end of the period or extension.
52.-(1) Usimamizi wa Benki utakoma pale ambapo mtoa huduma ndogo za fedha ataonesha hali ya kuimarika kifedha na kiuendeshaji au ndani ya miezi sita, chochote kitakachoanza. (2) Benki inaweza kuongeza kipindi cha miezi sita kilichorejewa chini ya kanuni ndogo ya (1) pale ambapo hali ya kifedha na uendeshaji ya mtoa huduma ndogo za fedha haijaimarika. (3) Benki itatakiwa, pale ambapo hali ya kifedha na uendeshaji ya mtoa huduma ndogo za fedha haijaimarika baada ya kuisha miezi sita, au kipindi kilichoongezwa na Benki chini ya kanuni ndogo ya (2), kuamuru ufilisi kwa mujibu wa sheria inayohusika. SEHEMU YA SITA KUMLINDA MLAJI Uwazi katika utoaji wa mkopo
Part
SEHEMU YA SITA
- 54 Verify source ↗
Mfumo wa utatuzi wa malalamiko na migogoro
AI-assisted research summary: Kifungu hiki kinaweka mfumo wa utatuzi wa malalamiko na migogoro.
54. Mfumo wa utatuzi wa malalamiko na migogoro. - 58 Verify source ↗
Section 58
AI-assisted research summary: The text lists topics including transparency for loan guarantors, collecting or tracking loans, financial education, and compliance with consumer-protection rules.
58. Uwazi kwa wadhamini wa mikopo. Kukusanya au kufuatilia mikopo. Elimu ya fedha. Uzingatiaji wa Kanuni za kumlinda mlaji. SEHEMU YA SABA KANUNI ZA JUMLA - 53 Verify source ↗
Mtoa huduma ndogo za fedha atahakikisha uwazi
AI-assisted research summary: Mtoa huduma ndogo za fedha lazima aweke wazi aina ya huduma zake na kuhakikisha mkataba wa mkopo ni rahisi kusomeka, unaeleweka, na una masharti ya usawa yanayolinda haki za mkopaji.
53. Mtoa huduma ndogo za fedha atahakikisha uwazi na kuweka bayana aina ya huduma zake kwa kuhakikisha kwamba, mkataba wa mkopo- (a) unasomeka na umeandikwa kwa lugha rahisi na inayoeleweka; na (b) una vigezo na masharti yaliyo wazi, ya usawa na yanayolinda haki za mkopaji. Mfumo wa - 54 Verify source ↗
(1) Kila mtoa huduma ndogo za fedha anapaswa
AI-assisted research summary: Kila mtoa huduma ndogo za fedha lazima awe na mfumo wa kushughulikia malalamiko na migogoro ya wateja, na aoneshe taarifa husika kwa uwazi katika maeneo ya biashara na matawi.
54.-(1) Kila mtoa huduma ndogo za fedha anapaswa 28 Kanuni Za Huduma Ndogo Za Fedha (Watoa Huduma Ndogo Za Fedha Wasiopokea Amana) Tangazo la Serikali Na. 998 (Linaendelea.) utatuzi wa malalamiko na migogoro. kuwa na mfumo wa utatuzi malalamiko na migogoro ya wateja walau ukijumuisha - (a) namna ambavyo lalamiko litawasilishwa; (b) kuanzishwa kwa dawati au kuteua afisa anayeshughulikia malalamiko; (c) kipindi maalum cha kutatua migogoro na kutoa mrejesho. (2) Kila mtoa huduma ndogo za fedha atahakikisha kwamba mfumo wa utatuzi malalamiko na migogoro ya wateja na taarifa za mawasiliano husika zinazojumuisha namba za simu au barua pepe zinaoneshwa kwa dhahiri katika sehemu kuu ya biashara na matawi na sehemu zingine zinapotolewa huduma kwa umma. (3) kuwekwa wazi kunakorejewa chini ya kanuni ndogo ya (2) kutaoneshwa kwa Kiswahili au Kiswahili na Kiingereza kwa pamoja. Uwazi kwa wadhamini wa mikopo - 55 Verify source ↗
Mtoa huduma ndogo za fedha atampa mdhamini
AI-assisted research summary: A microfinance provider must give the guarantor a clear written statement about the guaranteed loan.
55. Mtoa huduma ndogo za fedha atampa mdhamini taarifa ya wazi ya maandishi, ikionesha wajibu wake katika mkopo alioudhamini na taarifa hiyo itajumuisha - Kukusanya au kufuatilia mikopo (a) jina na anwani ya mtoa huduma ndogo za fedha; (b) namba ya mkopo; (c) jina la mkopaji; (d) kiasi cha mkopo; (e) tarehe mkopo ulipotolewa; na (f) sahihi ya mdhamini. - 56 Verify source ↗
(1) Kwa kuzingatia kifungu cha 51 cha Sheria,
AI-assisted research summary: Mtoa huduma ndogo za fedha lazima akusanye au kufuatilia mkopo kwa mujibu wa sera ya mkopo na atoe notisi ya maandishi ya siku 14 kabla ya kuanza; pia hana ruhusa ya kutumia unyanyasaji, vitisho, lugha ya fedheha, au taarifa za uongo katika ukusanyaji wa deni.
56.-(1) Kwa kuzingatia kifungu cha 51 cha Sheria, mtoa huduma ndogo za fedha atakusanya au kufuatilia mkopo kutoka kwa mkopaji kwa mujibu wa taratibu za makusanyo zilizoainishwa kwenye sera ya mkopo. (2) Kwa madhumuni ya kuhakikisha kwamba taratibu za kukusanya au kufuatilia deni la mkopo zinazingatia misingi ya kumlinda mlaji, mtoa huduma ndogo za fedha atatakiwa - (a) kutoa notisi ya maandishi ya siku kumi na nne kwa mkopaji kabla ya utaratibu wa kukusanya au kufuatilia deni haujaanza; (b) kutomnyanyasa, kutomtukana au kumkandamiza 29 Kanuni Za Huduma Ndogo Za Fedha (Watoa Huduma Ndogo Za Fedha Wasiopokea Amana) Tangazo la Serikali Na. 998 (Linaendelea.) mkopaji, mdhamini au mtu yeyote katika ukusanyaji au ufuatiliaji wa deni; (c) kutomtisha au kutumia nguvu au njia zisizo halali katika kukusanya au kufuatilia deni; (d) kutotumia lugha ya fedheha au isiyofaa; (e) kutotumia maelezo au njia za uongo, udanganyifu au potovu kama vile - (i) kutoa taarifa ya uongo ya mhusika, kiwango, kiasi, au hadhi ya kisheria ya deni lolote; (ii) kutoa maelezo au matokeo ya uongo kwamba mhusika ni wakili au mawasiliano yoyote yaliyofanywa yametoka kwa wakili; (iii) kutishia kuchukua hatua yoyote ambayo kukusudiwa au haiwezi kuchukuliwa kuchukuliwa kisheria; na (iv) kufanya mawasiliano au kutishia kufanya mawasiliano na mtu yeyote kuhusu taarifa za mkopo ambazo zinajulikana ni za uongo. (3) Mtoa huduma ndogo za fedha hatakusanya riba, ada, tozo, au gharama isipokuwa kama zimeainishwa katika mkataba wa mkopo. (4) Mtoa huduma ndogo za fedha anaweza kumtumia mkusanya madeni kukusanya au kufuatilia mkopo kutoka kwa mkopaji endapo mkusanya madeni huyo - (a) ana leseni chini ya sheria husika; (b) anakusanya au kufuatilia madeni kwa kuzingatia masharti ya kanuni ndogo ya (2) na (3); na (c) anazingatia sheria husika zinazohusu ukusanyaji madeni. Elimu ya fedha - 57 Verify source ↗
(1) Mtoa huduma ndogo za fedha atatoa elimu ya
AI-assisted research summary: Mtoa huduma ndogo za fedha lazima awape wateja wake elimu ya fedha inayojumuisha angalau mada zilizoorodheshwa kama bidhaa na huduma, masharti ya mikopo, usimamizi wa fedha, na akiba.
57.-(1) Mtoa huduma ndogo za fedha atatoa elimu ya itajumuisha fedha kwa wateja wake ambayo walau yafuatayo - (a) sifa muhimu za bidhaa na huduma zitolewazo; (b) vigezo na masharti ya mikopo; (c) usimamizi wa mtiririko wa fedha; (d) utunzaji wa kumbukumbu; (e) maamuzi ya masuala ya fedha; (f) usimamizi wa utumiaji na ulipaji wa mikopo; 30 Kanuni Za Huduma Ndogo Za Fedha (Watoa Huduma Ndogo Za Fedha Wasiopokea Amana) Tangazo la Serikali Na. 998 (Linaendelea.) (g) mpango wa biashara; (h) umuhimu wa kuweka akiba; na (i) masuala mengine yoyote yanayoonekana ni muhimu. (2) Elimu ya fedha iliyorejewa chini ya kanuni ndogo ya (1) inaweza kutolewa kupitia- (a) vikao vya mtu mmoja mmoja; (b) vipeperushi na vijarida; (c) mafunzo; (d) warsha; (e) kongamano; (f) vyombo vya habari kama vile runinga, redio, magazeti na mitandao ya kijamii; (g) tovuti mahsusi; (h) vikao vya ushauri nasaha; na (i) njia nyingine yoyote kama itakavyoonekana inafaa. Uzingatiaji wa Kanuni za kumlinda mlaji - 58 Verify source ↗
Bila kujali sharti lolote ya Kanuni hizi, mtoa
AI-assisted research summary: A Class 2 small financial services provider must follow consumer protection laws in financial matters, even if the Regulations would otherwise say something different.
58. Bila kujali sharti lolote ya Kanuni hizi, mtoa huduma ndogo za fedha wa Daraja la 2 atazingatia sheria za kumlinda mtumiaji wa huduma hizo katika masuala ya fedha. SEHEMU YA SABA KANUNI ZA JUMLA Kupanda hadhi kwa mkopeshaji binafsi kuwa kampuni
Part
SEHEMU YA SABA
- 61 Verify source ↗
Section 61
AI-assisted research summary: This section concerns the conversion of a private lender into a company, administrative steps, and appeals.
61. Kupanda hadhi kwa mkopeshaji binafsi kuwa kampuni. Hatua za kiutawala. Rufaa. ___________ MAJEDWALI ___________ 4 Kanuni Za Huduma Ndogo Za Fedha (Watoa Huduma Ndogo Za Fedha Wasiopokea Amana) Tangazo la Serikali Na. 998 (Linaendelea.) TANGAZO LA SERIKALI Na. 679 Limechapishwa Tarehe 13/9/2019 SHERIA YA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA, (SURA YA 407) ______ KANUNI _______ (Zimetungwa chini ya kifungu cha 60) ____________ KANUNI ZA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA (WATOA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA WASIOPOKEA AMANA), 2019 SEHEMU YA KWANZA MASHARTI YA UTANGULIZI Jina - 59 Verify source ↗
Mkopeshaji binafsi mwenye orodha ya mikopo
AI-assisted research summary: A private lender whose loan portfolio exceeds TZS 200 million or whose borrowers exceed 100 must establish a company and operate as an institution.
59. Mkopeshaji binafsi mwenye orodha ya mikopo yenye thamani inayozidi shilingi za Kitanzania milioni mia mbili au idadi ya wakopaji wanaozidi mia moja, atatakiwa kuanzisha kampuni na kujiendesha kama taasisi. Hatua za kiutawala - 60 Verify source ↗
(1) Bila kuathiri adhabu na hatua zilizoainishwa
AI-assisted research summary: Benki inaweza kuchukua hatua za kiutawala dhidi ya mtoa huduma ndogo za fedha anapokiuka Sheria, Kanuni au maelekezo, ikiwemo kuzuiwa gawio, matawi mapya, shughuli za ukopeshaji/uwekezaji, kufutwa leseni, onyo, kusimamishwa, au adhabu ya fedha.
60.-(1) Bila kuathiri adhabu na hatua zilizoainishwa chini ya Sheria, Benki inaweza kumchukulia mtoa huduma ndogo za fedha yeyote mojawapo ya hatua za kiutawala zifuatazo iwapo kutakuwa na ukiukwaji wa Sheria, Kanuni au maelekezo- (a) kuweka zuio la kutangaza au kulipa gawio; (b) kuweka zuio la kufungua au kuanzisha matawi mapya; 31 Kanuni Za Huduma Ndogo Za Fedha (Watoa Huduma Ndogo Za Fedha Wasiopokea Amana) Tangazo la Serikali Na. 998 (Linaendelea.) (c) kusitisha shughuli za ukopeshaji na uwekezaji; (d) kufuta leseni; (e) kutoa onyo rasmi kwa mkurugenzi, mwajiriwa au mmiliki; (f) kumsimamisha mkurugenzi au mwajiriwa au mmiliki aliyekiuka kuendelea kushikilia nafasi; (g) kumuondolea mkurugenzi au mwajiriwa au mmiliki sifa ya kuendelea kushikilia cheo au nafasi yoyote katika taasisi yoyote iliyo chini ya usimamizi wa Benki; (h) adhabu ya kulipa fedha kitakachoamuliwa na Benki kisichopungua shilingi laki tano na kisichozidi shilingi milioni tano; na kiasi cha Rufaa Tangazo la Serikali Na. 575 ya 2019 (i) hatua zingine zozote za kiutawala kama Benki itakavyoelekeza. (2) Hatua iliyorejewa katika kanuni ndogo ya (1) (a) zinahusu wakurugenzi, maafisa au waajiriwa wa taasisi inayojihusisha na shughuli za huduma ndogo za fedha. - 61 Verify source ↗
(1) Mtu yeyote ambaye hajaridhishwa na uamuzi
AI-assisted research summary: Mtu asiye ridhika na uamuzi wa Benki anaweza kukata rufaa kwa Waziri ndani ya siku 21.
61.-(1) Mtu yeyote ambaye hajaridhishwa na uamuzi wa Benki anaweza, ndani ya siku ishirini na moja kuanzia tarehe ya kutolewa uamuzi kukata rufaa kwa Waziri. (2) Kwa kuzingatia kanuni ndogo ya (1), rufaa itapaswa kuwa na yafuatayo- (a) kiini cha rufaa; (b) sababu za rufaa; na (c) taarifa nyingine yoyote husika kama itakavyohitajika na Waziri. (3) Waziri ataamua rufaa kwa mujibu wa masharti ya Kanuni ya Huduma Ndogo za Fedha (Majukumu ya Waziri), 2019. 32 Kanuni Za Huduma Ndogo Za Fedha (Watoa Huduma Ndogo Za Fedha Wasiopokea Amana) Tangazo la Serikali Na. 998 (Linaendelea.) _______ JEDWALI LA KWANZA _______ (Limetungwa chini ya kanuni ya 6(2)) ________ Gavana, Benki Kuu ya Tanzania, S.L.P 2939, Dar es Salaam, TANZANIA. YAH: MAOMBI YA LESENI YA KUENDESHA BIASHARA YA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA CHINI YA DARAJA LA 2 Ndugu, leseni ya Mimi/Sisi, nilioweka/tulioweka saini hapo chini, ninaleta/tunaleta maombi ya kuanzisha/kuendesha biashara ya huduma ndogo za fedha nchini Tanzania itakayojulikana kama ____________________________________ ya biashara yatakuwa_______________________________ ambayo makao makuu yake Pamoja na maombi haya, mimi/sisi ninawasilisha/tunawasilisha nyaraka zilizoainishwa katika orodha iliyoambatishwa. Mimi/Sisi nathibitisha/tunathibitisha kwamba taarifa zote zilizotolewa katika nyaraka hizo ni sahihi kwa kadri ya ufahamu na imani yangu/yetu. Mimi /Sisi ninaidhinisha/tunaidhinisha Benki Kuu ya Tanzania na yoyote kati ya wakala wake au watumishi wake kufanya uchunguzi au kupata taarifa yoyote kutoka kwenye chanzo chochote kwa madhumuni ya kubaini usahihi wa taarifa zinazohusu maombi haya au kutathmini umuhimu wa maombi. Pamoja na maombi haya naambatisha/tunaambatisha uthibitisho wa malipo ya shilingi laki tano/laki tatu kama ada ya maombi. Wako mtiifu, ………………………….. Sahihi ya Mwombaji au Afisa aliyeidhinishwa 33 Kanuni Za Huduma Ndogo Za Fedha (Watoa Huduma Ndogo Za Fedha Wasiopokea Amana) Tangazo la Serikali Na. 998 (Linaendelea.) ______ JEDWALI LA PILI ________ (Limetungwa chini ya kanuni ya 6(3)(c)) _________ Orodha ya nyaraka A. Kwa waombaji wote
Part
SEHEMU YA KWANZA
- 1 Verify source ↗
Kanuni hizi zitajulikana kama Kanuni za Huduma
AI-assisted research summary: These rules are titled the Microfinance Services Regulations (Non-deposit-taking Microfinance Service Providers), 2019.
1. Kanuni hizi zitajulikana kama Kanuni za Huduma Ndogo za Fedha (Watoa Huduma Ndogo za Fedha Wasiopokea Amana), 2019. Matumizi - 2 Verify source ↗
Kanuni hizi zitatumika kwa watoa huduma ndogo
AI-assisted research summary: These rules apply to small financial service providers in Class 2.
2. Kanuni hizi zitatumika kwa watoa huduma ndogo za fedha walio katika Daraja la 2. Tafsiri Sura ya 407 Sura ya 197 - 3 Verify source ↗
Katika Kanuni hizi, isipokuwa muktadha ukihitaji
AI-assisted research summary: This section defines key terms used in the Regulations, unless the context requires otherwise.
3. Katika Kanuni hizi, isipokuwa muktadha ukihitaji vinginevyo- “Sheria ” maana yake ni Sheria ya Huduma Ndogo za Fedha; “Benki” maana yake itakuwa kama ilivyotafsiriwa katika Sheria ya Benki Kuu ya Tanzania; “mtaji” maana yake ni mali ya wanahisa au wamiliki wa kudumu iliyo katika mfumo wa hisa za kawaida zilizotolewa na kulipwa na hisa za upendeleo, misaada kwa ajili ya mtaji, akiba na limbikizo la ziada; “kampuni ya mikopo” maana yake ilivyotafsiriwa katika Sheria; itakuwa kama “taasisi ya ubadilishanaji wa taarifa za mikopo” maana yake ni taasisi mahsusi inayokusanya na kuuza taarifa za mikopo za watu binafsi na taasisi; 5 Kanuni Za Huduma Ndogo Za Fedha (Watoa Huduma Ndogo Za Fedha Wasiopokea Amana) Tangazo la Serikali Na. 998 (Linaendelea.) “mkopeshaji wa kidijitali” maana yake ni mtoa huduma ndogo za fedha anayetoa huduma za mikopo kuanzia kushughulikia maombi, kuidhinisha, kutoa na kurejesha mkopo kwa njia za mtandao; “taasisi ya fedha” maana yake itakuwa kama ilivyotafsiriwa katika Sheria; “mtoa huduma wa kigeni” maana yake ni mtoa huduma ndogo za fedha aliyesajiliwa Tanzania na ambaye wengi wa wamiliki wake au wanahisa ni wageni; “mtu” maana yake ni mtu binafsi au taasisi au kampuni; “mkopo mdogo wa nyumba” maana yake ni mkopo usio na dhamana au wenye dhamana unaotolewa kwa kaya zilizopo maeneo ya vijijini au mjini ili kujenga au kukarabati au kuboresha nyumba; “mkopeshaji binafsi” maana yake ni mtu aliyepewa leseni ya kufanya biashara ya huduma ndogo za fedha za kukopesha fedha kwa mujibu wa Sheria; “MEMARTS” maana yake kanuni na miongozo ya uendeshaji wa kampuni; “Waziri” maana yake ni Waziri mwenye dhamana ya masuala ya fedha; “mmiliki” maana yake ni mtu binafsi anayemiliki biashara ya huduma ndogo za fedha ya kukopesha fedha; “mwanahisa mkubwa” maana yake ni mmiliki au mwanahisa anayemiliki hisa zenye haki ya kupiga kura zisizopungua asilimia tano katika daraja la 2; “daraja la 2” maana yake ni aina ya watoa huduma ndogo za fedha wanaojumuisha makampuni ya kukopesha, mashirika ya kifedha, kampuni za mikopo midogo ya nyumba, wakopeshaji binafsi na wakopeshaji wa kidijitali. wasiopokea amana SEHEMU YA PILI UTOAJI WA LESENI Uanzishwaji
Part
Jedwali la Pili; na
- 7 Verify source ↗
Benki itazingatia historia ya wanahisa au mmiliki
AI-assisted research summary: The bank must consider the history of proposed shareholders or the owner, and the applicant’s financial capacity, business sector, character, and business experience when assessing reputation and integrity.
7. Benki itazingatia historia ya wanahisa au mmiliki wanaopendekezwa, katika kutathmini sifa na uadilifu wa 7 Kanuni Za Huduma Ndogo Za Fedha (Watoa Huduma Ndogo Za Fedha Wasiopokea Amana) Tangazo la Serikali Na. 998 (Linaendelea.) Uwezo wa kifedha Sehemu ya biashara Tabia uzoefu na mwombaji katika shughuli zake za biashara zilizopita na za sasa.
Part
Sehemu ya
- 8 Verify source ↗
(1) Benki itafanya tathmini ya uwezo wa kifedha
AI-assisted research summary: Benki lazima itathmini uwezo wa kifedha wa mwombaji na ijiridhishe kuwa umiliki wa mtoa huduma ndogo za fedha hautokani na fedha zilizokopwa.
8.-(1) Benki itafanya tathmini ya uwezo wa kifedha wa mwombaji. (2) Uwezo wa kifedha wa mwombaji utapimwa kwa- (a) thamani halisi ya mali; (b) kiwango cha mtaji kama kilivyooneshwa kwenye mizania; au (c) uwezo wa upatikanaji wa msaada wa kifedha endapo mtoa huduma ndogo za fedha atahitaji ongezeko la mtaji. (3) Benki itajiridhisha kwamba umiliki wa mtoa huduma ndogo za fedha hautokani na fedha zilizokopwa. - 9 Verify source ↗
(1) Kila mtoa huduma ndogo za fedha chini ya
AI-assisted research summary: Microfinance service providers under tier 2 must have a business premises with a specific address, clearly display the business name there, and get Bank approval before opening, moving, or closing the premises.
9.-(1) Kila mtoa huduma ndogo za fedha chini ya daraja la 2- (a) atapaswa kuwa na sehemu ya biashara yenye anuani maalum, kwa ajili ya kufanya biashara yake ya huduma ndogo za fedha; na (b) ataonesha kwa uwazi jina lake la biashara katika sehemu ya biashara. (2) Mtoa huduma ndogo za fedha anayekusudia kufungua, kuhamisha au kufunga sehemu anayofanyia biashara atatakiwa kuomba na kupata idhini ya Benki kabla ya kufanya hivyo. (3) Mtoa huduma ndogo za fedha ambaye atashindwa kuzingatia matakwa ya kanuni hii atakuwa ametenda kosa.
Part
sehemu ya biashara.
- 10 Verify source ↗
(1) Benki itafanya tathmini ili kujiridhisha kama
AI-assisted research summary: Benki lazima itathmini ulinganifu wa waliopendekezwa kwa Bodi, Mtendaji Mkuu, au mmiliki wa mtoa huduma ndogo za fedha, na inaweza pia kuwahoji.
10.-(1) Benki itafanya tathmini ili kujiridhisha kama wajumbe wa Bodi na Mtendaji Mkuu waliopendekezwa au mmiliki wa mtoa huduma ndogo za fedha tarajiwa wana sifa zinazofaa na stahiki kulingana na vigezo vilivyoainishwa katika Jedwali la Tatu. (2) Bila kuathiri kanuni ndogo ya (1), Benki itafanya tathmini ya wajumbe wa Bodi, Mtendaji Mkuu waliopendekezwa au mmiliki kuhusu uzoefu na uwezo wao wa kuendesha biashara ya huduma ndogo za fedha. (3) Benki inaweza kufanya usaili wa mjumbe wa 8 Kanuni Za Huduma Ndogo Za Fedha (Watoa Huduma Ndogo Za Fedha Wasiopokea Amana) Tangazo la Serikali Na. 998 (Linaendelea.) Ushughulikia ji wa maombi Kipindi cha mpito Bodi aliyependekezwa, Mtendaji Mkuu alipendekezwa au mmiliki na kuhoji kuhusu utendaji kazi uliopita, sifa na ujuzi. (4) Kwa madhumuni ya kuwezesha tathmini iliyorejewa katika kanuni hii, mjumbe wa Bodi aliyependekezwa, Mtendaji Mkuu aliyependekezwa na mmiliki watajaza dodoso lilioainishwa katika Jedwali la Nne la Kanuni hizi. - 11 Verify source ↗
(1) Benki itatakiwa, ndani ya siku sitini baada ya
AI-assisted research summary: Benki lazima ishughulikie maombi kamili ndani ya siku 60 na, ikiridhika, itoe leseni; inaweza pia kuomba nyaraka zinazokosekana na kufanya ukaguzi kabla ya kutoa leseni.
11.-(1) Benki itatakiwa, ndani ya siku sitini baada ya kupokea maombi yaliyokamilika, kushughulikia maombi hayo na endapo ikiridhika, itatoa leseni. (2) Pale ambapo Benki itakuwa imepokea nyaraka za leseni ambazo hazijakamilika, kabla ya maombi ya kushughulikia maombi hayo itamtaka mwombaji - (a) kuwasilisha taarifa au nyaraka zinazokosekana au za nyongeza; na (b) kusahihisha au kurekebisha mapungufu yanayohusu maombi ya leseni. (3) Pale ambapo mwombaji ameshindwa kukidhi masharti ya utoaji wa leseni, Benki itayakataa maombi hayo. (4) Kabla ya kutoa leseni, Benki inaweza kufanya ukaguzi wa sehemu ya biashara, vifaa vya mawasiliano, mifumo ya uhasibu na udhibiti wa ndani wa mtoa huduma ndogo za fedha. - 12 Verify source ↗
(1) Kwa mujibu wa kifungu cha 57 cha Sheria,
AI-assisted research summary: Mtu aliyeendesha biashara ya huduma ndogo za fedha kabla ya sheria kuanza kutumika lazima afunge biashara na kuacha kufanya shughuli hiyo ikiwa hatatimiza masharti ya leseni ndani ya miezi 12.
12.-(1) Kwa mujibu wa kifungu cha 57 cha Sheria, mtu aliyekuwa akiendesha biashara ya huduma ndogo za fedha kabla ya kuanza kutumika kwa Sheria na ambaye atashindwa kukidhi masharti ya leseni ndani ya miezi kumi na mbili baada ya kuanza kutumika kwa Sheria atatakiwa kufunga biashara na kuacha kuendesha biashara ya huduma ndogo za fedha. (2) Mtu ambaye atakiuka kanuni hii atakuwa ametenda kosa na pale atakapopatikana na hatia ataadhibiwa kwa mujibu wa kifungu cha 16 cha Sheria. Leseni - 13 Verify source ↗
(1) Pale ambapo vigezo na masharti ya utoaji wa
AI-assisted research summary: Benki lazima itoe leseni kwa mtoa huduma ndogo za fedha wakati masharti ya utoaji wa leseni yametimizwa.
13.-(1) Pale ambapo vigezo na masharti ya utoaji wa leseni vimetimizwa, Benki itatoa leseni kwa mtoa huduma 9 Kanuni Za Huduma Ndogo Za Fedha (Watoa Huduma Ndogo Za Fedha Wasiopokea Amana) Tangazo la Serikali Na. 998 (Linaendelea.) ndogo za fedha yenye mfano uliooneshwa katika Jedwali la Tano la Kanuni hizi. (2) Leseni iliyotolewa itabaki kuwa halali isipokuwa itasitishwa au kufutwa kwa utaratibu pale ambapo ulioainishwa katika Sheria. (3) Leseni iliyotolewa chini ya Kanuni hizi itafikia ukomo kama mtoa huduma ndogo za fedha atashindwa kuanza biashara ndani ya miezi sita kuanzia tarehe ya kutolewa kwa isipokuwa pale ambapo Benki imeongeza muda huo kwa maandishi. leseni, - 14 Verify source ↗
(1) Benki inaweza kukataa kutoa leseni pale
AI-assisted research summary: Benki inaweza kukataa kutoa leseni ikiwa mwombaji hajakidhi masharti au ametoa taarifa za uongo au za kupotosha.
14.-(1) Benki inaweza kukataa kutoa leseni pale ambapo- (a) mwombaji ameshindwa kukidhi vigezo na masharti ya leseni yaliyoanishwa; au (b) mwombaji ametoa taarifa za uongo au za kupotosha. (2) Pale ambapo Benki imekataa kutoa leseni, itatakiwa ndani ya siku saba kuanzia tarehe ya uamuzi huo kumtaarifu mwombaji kwa maandishi na kumueleza sababu za kukataa. (3) Mwombaji ambaye maombi yake yamekataliwa anaweza kuomba upya, kama mapungufu yaliyopelekea kukataliwa kwa maombi ya awali yameshughulikiwa na kusahihishwa. - 15 Verify source ↗
Mtoa huduma ndogo za fedha anaweza kuhama
AI-assisted research summary: Mtoa huduma ndogo za fedha anaweza kuomba na kukidhi vigezo ili kuhama kutoka daraja la 2 kwenda daraja la 1.
15. Mtoa huduma ndogo za fedha anaweza kuhama kutoka daraja la 2 kwenda daraja la 1, baada ya kutuma maombi na kukidhi vigezo vilivyoainishwa katika Kanuni za Benki na Taasisi za Fedha (Shughuli za Huduma Ndogo za Fedha), 2014. - 16 Verify source ↗
(1) Mtoa huduma ndogo za fedha anayekusudia
AI-assisted research summary: A microfinance service provider seeking to move to tier 2 must meet the listed conditions, submit approving board/member resolutions, and satisfy the minimum capital requirement.
16.-(1) Mtoa huduma ndogo za fedha anayekusudia kuhamia daraja la 2 atatakiwa- (a) kukidhi masharti yaliyoainishwa chini ya kanuni ya 6; (b) kuwasilisha maazimio ya Bodi ya Wakurugenzi au wanachama yaliyoidhinisha kuhama daraja; na (c) kukidhi kiwango cha chini cha mtaji kama 10 Kukataliwa ombi la kutoa leseni Kuhamia Daraja la 1 Tangazo la Serikali Na.298 la mwaka 2014 Kuhamia Daraja la 2 kutoka daraja jingine Kanuni Za Huduma Ndogo Za Fedha (Watoa Huduma Ndogo Za Fedha Wasiopokea Amana) Tangazo la Serikali Na. 998 (Linaendelea.) kilivyoainishwa katika Kanuni hizi. (2) Benki inaweza kumuelekeza mtoa huduma ndogo za fedha wa daraja la 2 kuhamia daraja la 1 pale inapojiridhisha kuwa mtoa huduma huyo anakidhi vigezo vya kuhama. SEHEMU YA TATU UENDESHAJI WA WATOA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA CHINI YA DARAJA LA 2 Majukumu ya bodi ya wakurugenzi au chombo cha usimamizi
Part
sehemu yake ya biashara nakala za taarifa za hesabu za
- 27 Verify source ↗
(1) Mtoa huduma ndogo za fedha atateua
AI-assisted research summary: Mtoa huduma ndogo za fedha lazima ateue mkaguzi wa ndani. Mkaguzi huyo lazima awe na sifa za chini zilizotajwa, awajibike kwa bodi au mmiliki, na ripoti yake iwe na hoja, mapendekezo na majibu ya menejimenti.
27.-(1) Mtoa huduma ndogo za fedha atateua mkaguzi wa ndani kutathmini utoshelevu na ufanisi wa udhibiti wa ndani, udhibiti wa vihatarishi na mifumo ya utawala. (2) Mkaguzi wa ndani aliyeteuliwa chini ya kanuni ndogo ya (1) atatakiwa, kwa kiwango cha chini, kuwa na stashahada ya uhasibu au sifa inayofanana na hiyo na awe na uzoefu wa angalau mwaka mmoja katika fani husika. (3) Mkaguzi wa ndani atawajibika kwa bodi ya wakurugenzi au mmiliki. (4) Taarifa ya mkaguzi wa ndani itakuwa na hoja za ukaguzi, mapendekezo na majibu ya menejimenti. (5) Majukumu ya mkaguzi wa ndani yatajumuisha- (a) kuhakiki fedha wakati wowote bila kutoa taarifa; 15 Kanuni Za Huduma Ndogo Za Fedha (Watoa Huduma Ndogo Za Fedha Wasiopokea Amana) Tangazo la Serikali Na. 998 (Linaendelea.) (b) usuluhisho wa akaunti ya benki; (c) usuluhisho kati ya salio la leja kuu na salio la leja ndogo; (d) kukagua majalada ya mikopo kwa lengo la kuhakiki uzingatiaji wa sera, taratibu, kanuni na Sheria; (e) uhakiki wa mali na uwekezaji wa mtoa huduma ndogo za fedha; (f) kukagua utoshelevu wa matengo ya hasara itokanayo na mikopo isiyolipika; (g) kukagua uzingatiaji wa sera na taratibu; (h) kukagua uzingatiaji wa Sheria na sheria nyingine husika; (i) kutathmini utaratibu na ukamilifu wa mihutasari na uwajibikaji wa uongozi kwa bodi ya wakurugenzi na kamati nyingine; (j) kutathmini uwezo wa mfumo wa taarifa; (k) kutathmini kuaminika usahihi na kwa kumbukumbu za hesabu na taarifa za fedha; (l) kubaini iwapo na maelezo yanayowasilishwa Benki ni sahihi na hutolewa kwa wakati; taarifa (m) kubaini iwapo utaratibu wa uhasibu na mifumo ya udhibiti inatosheleza; (n) kuhakiki utekelezaji na utunzaji wa mifumo ya udhibiti wa ndani iliyowekwa na uongozi; (o) kuhakikisha kuwa hoja zote za ukaguzi wa ndani na nje na mapendekezo yanatekelezwa; (p) kuandaa mpango wa ukaguzi wa mwaka; na (q) kutathmini ufanisi wa matumizi ya rasilimali. Kukodi mkaguzi wa ndani - 28 Verify source ↗
Mtoa huduma ndogo za fedha anaweza kukodi
AI-assisted research summary: Mtoa huduma ndogo za fedha anaweza kukodi huduma ya ukaguzi wa ndani kutoka kwa kampuni ya ukaguzi iliyosajiliwa ikiwa kampuni hiyo inafanya ukaguzi wa ndani kwa mujibu wa Kanuni hizi.
28. Mtoa huduma ndogo za fedha anaweza kukodi huduma ya ukaguzi wa ndani kutoka kwa kampuni ya ukaguzi iliyosajiliwa endapo, kampuni hiyo ya ukaguzi inafanya kazi za ukaguzi wa ndani kwa mujibu wa Kanuni hizi. Mkaguzi wa nje - 29 Verify source ↗
(1) Hesabu za mtoa huduma ndogo za fedha
AI-assisted research summary: Mtoa huduma ndogo za fedha lazima zikaguliwe angalau mara moja kwa mwaka na mkaguzi wa nje aliyesajiliwa na Bodi ya Taifa ya Uhasibu na Ukaguzi na aliyechaguliwa na mtoa huduma. Haziruhusiwi kukaa bila mkaguzi wa nje kwa zaidi ya siku 90; mkaguzi wa nje pia haruhusiwi kufanya ukaguzi ikiwa ana uhusiano na maafisa/wafanyakazi au ni mwanahisa, mwanachama, mbia, au mkurugenzi wa mtoa huduma.
29.-(1) Hesabu za mtoa huduma ndogo za fedha zitakaguliwa angalau mara moja kwa mwaka na mkaguzi 16 Kanuni Za Huduma Ndogo Za Fedha (Watoa Huduma Ndogo Za Fedha Wasiopokea Amana) Tangazo la Serikali Na. 998 (Linaendelea.) mwenye uwezo na aliyesajiliwa na Bodi ya Taifa ya Uhasibu na Ukaguzi, na ambaye ameteuliwa na mtoa huduma ndogo za fedha. (2) Mtoa huduma ndogo za fedha hataruhusiwa kukaa bila mkaguzi wa nje kwa zaidi ya siku tisini kuanzia tarehe nafasi hiyo ilipoanza kuwa wazi. (3) Bila kuathiri matakwa ya kanuni ndogo ya (1), mkaguzi wa nje hatafanya ukaguzi wa nje kwa mtoa huduma ndogo za fedha kama mkaguzi huyo- (a) ana mahusiano na maafisa au waajiriwa wa mtoa huduma ndogo za fedha ; au (b) ni mwanahisa, mwanachama, mbia au mkurugenzi wa mtoa huduma ndogo za fedha . - 30 Verify source ↗
Mkaguzi wa nje anaweza kumhoji afisa au
AI-assisted research summary: An external auditor may interview current or former officers or employees of a microfinance service provider to get information needed for the relevant audit.
30. Mkaguzi wa nje anaweza kumhoji afisa au mwajiriwa yeyote aliyepo au wa zamani wa mtoa huduma ndogo za fedha ili kupata taarifa muhimu kwa ajili ya ukaguzi husika. - 31 Verify source ↗
Mkaguzi wa nje atatakiwa kutoa taarifa kwa
AI-assisted research summary: Mkaguzi wa nje lazima aripoti kwa Benki mara moja akigundua ukiukwaji mkubwa, kosa la jinai la udanganyifu au kutokuwa na uaminifu, au hasara zinazosababisha upungufu wa mtaji.
31. Mkaguzi wa nje atatakiwa kutoa taarifa kwa Benki mara tu, wakati anaendelea na ukaguzi, atagundua- (a) ukiukwaji mkubwa au kutokuzingatiwa kwa masharti ya Sheria, Sheria ya Kupambana na Utakasishaji wa Fedha Haramu, au Kanuni hizi; (b) kosa lolote la jinai linalohusu udanganyifu au kutokuwa na uaminifu lililotendwa na mtoa huduma ndogo za fedha au viongozi wake au waajiriwa; na Mkaguzi wa nje kuwafikia waajiriwa Uwasilishaji waTaarifa za mapungufu. (c) hasara zozote ambazo zimesababisha mtoa huduma ndogo za fedha kuwa na upungufu wa mtaji. zilizopatikana Uwasilishaji wa taarifa ya ukaguzi - 32 Verify source ↗
(1) Baada ya kukamilika kwa ukaguzi, mkaguzi
AI-assisted research summary: After the audit is completed, the external auditor must meet with the board members or the small finance service provider to present the audit report and discuss financial condition and needed improvements. The internal auditor must follow up the issues to ensure audit corrections and recommendations are carried out within a reasonable time after the report is received.
32.-(1) Baada ya kukamilika kwa ukaguzi, mkaguzi wa nje atakutana na wajumbe wa bodi au mtoa huduma ndogo za fedha ili kuwasilisha taarifa ya ukaguzi na kujadili hali ya fedha na hatua zinazohitajika kuchukuliwa ili kuboresha uendeshaji wa mtoa huduma ndogo za fedha. (2) Mkaguzi wa ndani atafuatilia hoja zote za ili kuhakikisha marekebisho ukaguzi na mapendekezo 17 Kanuni Za Huduma Ndogo Za Fedha (Watoa Huduma Ndogo Za Fedha Wasiopokea Amana) Tangazo la Serikali Na. 998 (Linaendelea.) Kubadilisha mkaguzi wa nje Kipindi cha mkaguzi wa nje Uwasilishaji wa taarifa za mikopo Tangazo la Serikali Na. 416 la 2012 yanafanywa ndani ya muda muafaka kuanzia siku taarifa ilivyopokelewa na mtoa huduma ndogo za fedha. - 33 Verify source ↗
Mtoa huduma ndogo za fedha hataruhusiwa,
AI-assisted research summary: Mtoa huduma ndogo za fedha hawezi kumbadilisha mkaguzi wa nje wakati ukaguzi unaendelea bila idhini ya maandishi kutoka Benki.
33. Mtoa huduma ndogo za fedha hataruhusiwa, wakati zoezi la ukaguzi linaendelea, kumbadilisha mkaguzi wa nje bila idhini ya maandishi kutoka Benki. - 34 Verify source ↗
(1) Mkaguzi wa nje hatamkagua mtoa huduma
AI-assisted research summary: Mhakiki wa nje haipaswi kukagua mtoa huduma mdogo wa fedha mmoja kwa zaidi ya miaka mitatu mfululizo, na anaweza kurudia ukaguzi baada ya miaka miwili tangu ukaguzi wa mwisho.
34.-(1) Mkaguzi wa nje hatamkagua mtoa huduma ndogo za fedha mmoja kwa zaidi ya miaka mitatu mfululizo. (2) Kwa kuzingatia masharti ya kanuni ndogo ya (1), mkaguzi wa nje anaweza kurudia jukumu la kumkagua mtoa huduma ndogo za fedha baada ya miaka miwili kupita tangu ukaguzi wa mwisho kufanyika. - 35 Verify source ↗
(1) Mtoa huduma ndogo za fedha, baada ya kujua
AI-assisted research summary: Mtoa huduma ndogo za fedha lazima atoe na kuwasilisha taarifa za mikopo kwa Taasisi ya Ubadilishanaji wa Taarifa za Mikopo, na atumie taarifa hizo anapotoa mkopo, kwa kufuata kanuni husika.
35.-(1) Mtoa huduma ndogo za fedha, baada ya kujua utambulisho sahihi wa wakopaji, atatoa taarifa kamili kwa Taasisi ya Ubadilishanaji wa Taarifa za Mikopo kuhusu mikopo yote iliyotolewa kwa kila mkopaji, kwa namna ambayo Benki itaainisha. (2) Mtoa huduma ndogo za fedha atawasilisha taarifa za mikopo kila mwezi kwa Taasisi ya Ubadilishanaji wa Taarifa za Mikopo ikionesha mikopo yote, iliyopo na mipya, iliyotolewa kwa wateja. (3) Mtoa huduma ndogo za fedha atatumia taarifa za mikopo kutoka Taasisi ya Ubadilishanaji wa Taarifa za Mikopo atoapo mkopo kama Kanuni za Benki Kuu ya Tanzania (Taasisi za Ubadilishanaji wa Taarifa za Mikopo) zinavyoelekeza. (4) Mtoa huduma ndogo za fedha atatoa taarifa za mikopo zilizokamilika, sahihi na kwa muda muafaka. (5) Bila kuathiri masharti ya kanuni hii, mtoa huduma ndogo za fedha atazingatia masharti ya Kanuni za Taasisi za Ubadilishanaji wa Taarifa za Mikopo zilizotolewa na Benki Kuu ya Tanzania. (6) Katika kanuni hii, “taarifa za mikopo” maana yake ni taarifa zozote zikijumuisha taarifa zinazohusu utambulisho wa mtu, jina kamili, tarehe ya kuzaliwa, eneo la makazi, maeneo ya makazi ya awali, hali ya ndoa, jina la mwenza, sehemu ya kazi, sehemu za awali za kazi, tabia ya 18 Kanuni Za Huduma Ndogo Za Fedha (Watoa Huduma Ndogo Za Fedha Wasiopokea Amana) Tangazo la Serikali Na. 998 (Linaendelea.) ulipaji, madeni yaliyopo, mali na maulizo ya historia ya mikopo au taarifa zinazohusu taasisi au biashara ambazo zitasaidia kutambua taasisi au taarifa za biashara zinazohusu usajili, kodi, wakurugenzi, utawala, madeni yaliyopo, mali, maulizo ya historia ya madeni na taarifa zingine za biashara. Idhini ya kubadilishana taarifa za mikopo - 36 Verify source ↗
Mtoa huduma ndogo za fedha atahakikisha
AI-assisted research summary: Mtoa huduma ndogo za fedha lazima ahakikishe wakopaji wote wamekubali kwa maandishi kabla ya taarifa zao zote za mikopo kupatikana, kubadilishwa, au kufichuliwa kwa wakopeshaji au taasisi za ubadilishanaji wa taarifa za mikopo.
36. Mtoa huduma ndogo za fedha atahakikisha kwamba wakopaji wote wameridhia kwa maandishi mtoa huduma ndogo za fedha kupata, kubadilishana au kuweka wazi kwa wakopeshaji au Taasisi za Ubadilishanaji wa Taarifa za Mikopo taarifa zote za mikopo zinazohusu wakopaji. SEHEMU YA NNE SHUGHULI ZA UKOPESHAJI Sera ya ukopeshaji
Part
JEDWALI LA PILI
- 1 Verify source ↗
Barua ya maombi kama ilivyoainishwa katika Jedwali la Kwanza
AI-assisted research summary: The application letter is as specified in the First Schedule.
1. Barua ya maombi kama ilivyoainishwa katika Jedwali la Kwanza. - 2 Verify source ↗
Hundi ya benki au nyaraka nyingine yoyote inayokubalika na Benki inayothibitisha malipo ya
AI-assisted research summary: A bank slip or another document acceptable to the Bank may be used to prove payment of fees.
2. Hundi ya benki au nyaraka nyingine yoyote inayokubalika na Benki inayothibitisha malipo ya ada. - 3 Verify source ↗
Uthibitisho wa chanzo na upatikanaji wa mtaji wa mwombaji
AI-assisted research summary: This section concerns proof of the source and access to the applicant’s capital.
3. Uthibitisho wa chanzo na upatikanaji wa mtaji wa mwombaji. - 4 Verify source ↗
Nakala zilizothibitishwa za vyeti vya taaluma na utaalam vya wajumbe wa Bodi na Mtendaji
AI-assisted research summary: This section refers to certified copies of professional and expertise certificates for board members and the chief executive officer.
4. Nakala zilizothibitishwa za vyeti vya taaluma na utaalam vya wajumbe wa Bodi na Mtendaji Mkuu. - 5 Verify source ↗
Nakala ya mizania iliyokaguliwa hivi karibuni, taarifa ya mapato na matumizi na mtiririko wa
AI-assisted research summary: This provision refers to a recent audited balance sheet, an income and expenditure statement, and a cash flow statement for a microfinance service provider.
5. Nakala ya mizania iliyokaguliwa hivi karibuni, taarifa ya mapato na matumizi na mtiririko wa fedha wa mtoa huduma ndogo za fedha. - 6 Verify source ↗
Nakala iliyothibitishwa ya cheti cha Namba ya Mlipa Kodi (TIN)
AI-assisted research summary: A certified copy of the TIN certificate is required.
6. Nakala iliyothibitishwa ya cheti cha Namba ya Mlipa Kodi (TIN). - 7 Verify source ↗
Nakala iliyothibitishwa ya Hati Safi ya Kodi
AI-assisted research summary: This provision refers to a certified copy of a tax clearance document.
7. Nakala iliyothibitishwa ya Hati Safi ya Kodi. - 9 Verify source ↗
Uthibitisho wa idhini ya mamlaka ya usimamizi wa biashara kutoka nchi husika kama
AI-assisted research summary: If the applicant is a foreign citizen, they must provide proof of approval from the business supervisory authority of the relevant country.
9. Uthibitisho wa idhini ya mamlaka ya usimamizi wa biashara kutoka nchi husika kama mwombaji ni raia wa kigeni. - 10 Verify source ↗
Tamko kwamba fedha itakayotumika kuwekeza haikupatikana kwa njia ya jinai au haihusiki
AI-assisted research summary: This provision says the investment funds must be declared as not obtained through crime or linked to criminal activity.
10. Tamko kwamba fedha itakayotumika kuwekeza haikupatikana kwa njia ya jinai au haihusiki na shughuli yoyote ya kijinai. - 11 Verify source ↗
Uthibitisho wa uraia wa kila mwanahisa na mkurugenzi aliyependekezwa, Mtendaji Mkuu na
AI-assisted research summary: Hii sehemu inaeleza uthibitisho wa uraia kwa kila mwanahisa, mkurugenzi aliyependekezwa, Mtendaji Mkuu na mkopeshaji binafsi, pamoja na nyaraka za msingi zinazoweza kujumuisha wasifu binafsi, nakala iliyothibitishwa ya passport, Kitambulisho cha Taifa au Cheti cha Kuzaliwa, na picha mbili ndogo za hivi karibuni.
11. Uthibitisho wa uraia wa kila mwanahisa na mkurugenzi aliyependekezwa, Mtendaji Mkuu na mkopeshaji binafsi. Hii inajumuisha wasifu binafsi, nakala ya kusafiria (passport) iliyothibitishwa, ambayo imebeba taarifa binafsi au Kitambulisho cha Taifa au Cheti cha Kuzaliwa na picha mbili ndogo za hivi karibuni. B. Kwa taasisi Pamoja na nyaraka zilizoorodheshwa katika kipengele A hapo juu, taasisi itawasilisha nyaraka zifuatazo- - 1 Verify source ↗
Nakala iliyothibitishwa ya cheti cha usajili wa kampuni
AI-assisted research summary: A certified copy of the company registration certificate.
1. Nakala iliyothibitishwa ya cheti cha usajili wa kampuni. - 2 Verify source ↗
Nakala iliyothibitishwa ya MEMART, katiba au utaratibu wa uendeshaji
AI-assisted research summary: Inahusu nakala iliyothibitishwa ya MEMART, katiba, au utaratibu wa uendeshaji.
2. Nakala iliyothibitishwa ya MEMART, katiba au utaratibu wa uendeshaji. - 3 Verify source ↗
Maazimio ya Bodi yanayoidhinisha maombi ya leseni
AI-assisted research summary: The Board’s resolutions approve license applications.
3. Maazimio ya Bodi yanayoidhinisha maombi ya leseni. - 4 Verify source ↗
Pale panapohitajika, orodha ya wanahisa au wajumbe wa Bodi na Mtendaji Mkuu
AI-assisted research summary: Inapotakiwa, kifungu hiki kinataja orodha ya wanahisa au wajumbe wa Bodi na Mtendaji Mkuu.
4. Pale panapohitajika, orodha ya wanahisa au wajumbe wa Bodi na Mtendaji Mkuu. - 5 Verify source ↗
Pale panapohitajika, taarifa ya kumbukumbu za mkopo kwa kila mwanahisa muhimu au
AI-assisted research summary: Where necessary, credit record information is to be handled for each significant shareholder, board member, and chief executive officer.
5. Pale panapohitajika, taarifa ya kumbukumbu za mkopo kwa kila mwanahisa muhimu au mjumbe wa Bodi na Mtendaji Mkuu. - 6 Verify source ↗
Pale panapohitajkika, nakala zilizothibitishwa za hati safi ya kodi kwa mwombaji,
AI-assisted research summary: When required, the applicant, major shareholder, board member, and chief executive officer must provide certified copies of tax clearance certificates.
6. Pale panapohitajkika, nakala zilizothibitishwa za hati safi ya kodi kwa mwombaji, mwanahisa mkubwa au mjumbe wa Bodi na Mtendaji Mkuu. . - 7 Verify source ↗
Nakala zilizothibitishwa za marejesho ya mwaka ya hivi karibuni ya mtoa huduma ndogo
AI-assisted research summary: Mkopeshaji binafsi lazima awasilishe nyaraka zinazotakiwa, pamoja na nyaraka zilizoorodheshwa katika kipengele A.
7. Nakala zilizothibitishwa za marejesho ya mwaka ya hivi karibuni ya mtoa huduma ndogo za fedha. C. Kwa wakopeshaji binafsi Pamoja na nyaraka zilizoorodheshwa katika kipengele A hapo juu, mkopeshaji binafsi atawasilisha nyaraka zifuatazo- - 1 Verify source ↗
Nakala iliyothibitishwa ya cheti cha jina la biashara
AI-assisted research summary: This section refers to a certified copy of a business name certificate.
1. Nakala iliyothibitishwa ya cheti cha jina la biashara. - 2 Verify source ↗
Taarifa za Mikopo kutoka Taasisi za Ubadilishanaji wa Taarifa za Mikopo
AI-assisted research summary: This section is a heading about credit information from credit reference institutions.
2. Taarifa za Mikopo kutoka Taasisi za Ubadilishanaji wa Taarifa za Mikopo. 34 Kanuni Za Huduma Ndogo Za Fedha (Watoa Huduma Ndogo Za Fedha Wasiopokea Amana) Tangazo la Serikali Na. 998 (Linaendelea.) ______ JEDWALI LA TATU _____ (Limetungwa chini ya kanuni ya 10(1)) ______ VIGEZO VYA KUBAINI SIFA NA UZOEFU UNAOHITAJIKA KWA WAJUMBE WA BODI YA WAKURUGENZI NA WATENDAJI WAANDAMIZI WA MTOA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
Part
JEDWALI LA TATU
- 1 Verify source ↗
Kwa lengo la kubaini sifa na maadili ya watu wanaopendekezwa kuwa wajumbe wa Bodi
AI-assisted research summary: Bank must consider specified qualifications and ethical qualities when assessing people proposed as Board members or the Chief Executive.
1. Kwa lengo la kubaini sifa na maadili ya watu wanaopendekezwa kuwa wajumbe wa Bodi au Mtendaji Mkuu kwa mujibu wa Kanuni hizi, Benki itazingatia sifa zifuatazo - (a) kiwango cha elimu; (b) tabia kwa ujumla; (c) ustadi wa taaluma na umahiri. - 2 Verify source ↗
kwa madhumuni na bila ya kuathiri ujumla wa masharti ya aya ya(1), Benki inaweza
AI-assisted research summary: Benki inaweza kukagua historia ya mwenendo na shughuli za mtu anayehusika na biashara au masuala ya fedha ili kuthibitisha sifa fulani.
2. kwa madhumuni na bila ya kuathiri ujumla wa masharti ya aya ya(1), Benki inaweza kuangalia historia ya mwenendo na shughuli ya mtu anayehusika na biashara au masuala ya fedha na hususan kwa lengo la kuthibitisha iwapo mtu huyo- (a) Amewahi kufilisika; (b) alikuwa mkurugenzi au katika nafasi ya mtendaji mwandamizi wa taasisi ambayo imefilisiwa au iko chini ya ufilisi au usimamizi wa kisheria; (c) ametenda kosa au amepatikana na hatia kwa kosa la udanganyifu au kosa lingine lolote lenye kiashiria cha kutokuwa mwaminifu; au (d) amekiuka masharti ya sheria yoyote iliyotungwa kwa lengo la kulinda Umma dhidi ya upotevu wa fedha kutokana na kutokuwa mwaminifu au kutokuwa na uwezo au kuwa na vitendo viovu vinavyohusu utoaji wa huduma za benki, bima, uwekezaji au huduma zingine za kifedha. - 3 Verify source ↗
Vigezo vingine vyovyote ambavyo Benki itaainisha mara kwa mara
AI-assisted research summary: Dodoso lazima lijazwe na viongozi waliotajwa, majibu yote yatolewe kwa usahihi, na taarifa za uongo zinaweza kusababisha maombi kukataliwa au sifa kuondolewa.
3. Vigezo vingine vyovyote ambavyo Benki itaainisha mara kwa mara. 35 Kanuni Za Huduma Ndogo Za Fedha (Watoa Huduma Ndogo Za Fedha Wasiopokea Amana) Tangazo la Serikali Na. 998 (Linaendelea.) ______ JEDWALI LA NNE _____ (Limetungwa chini ya kanuni ya 10(4)) ______ DODOSO KWA WAKURUGENZI NA MTENDAJI MKUU WA WATOA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA CHINI YA DARAJA LA 2 Sehemu ya kwanza: Maelekezo ya kujaza dodoso (i) (ii) (iii) (iv) (v) (vi) (vii) Dodoso hili litapaswa kujazwa katika nakala mbili na kila mkurugenzi na Mtendaji Mkuu wa Mtoa Huduma Ndogo za Fedha. Majibu ya maswali yote yatapaswa KUCHAPWA au kuandikwa kwa WINO na katika HERUFI KUBWA. Maswali yote yanapaswa kujibiwa. Pale ambapo Mwombaji anaamini kwamba swali halimhusu, Mwombaji atapaswa kuandika “HALIHUSIKI”. Kama nafasi ya kujibu swali ni ndogo, maelezo ya ziada yanaweza kuwekwa katika kurasa itakayoambatishwa na iainishwe kama majibu ya mwendelezo kwa kuandika namba ya swali. Tarehe zote zijazwe kwa mfumo huu: Siku / Mwezi / Mwaka Tafadhali hakikisha kwamba majibu na taarifa zote ni za kweli na sahihi. Kushindwa kufanya hivyo ni kosa la jinai na linaweza kuifanya Benki kukataa maombi au kumuondolea sifa mkurugenzi au Mtendaji Mkuu kwa msingi wa kwamba ametoa taarifa za uongo na zisizo sahihi. Nyaraka zifuatazo zitawasilishwa Benki kuhusu kila mkurugenzi na Mtendaji Mkuu aliyependekezwa, pamoja na nyaraka zingine ambazo Benki inaweza kuzihitaji- (a) Nakala zilizothibitishwa za cheti cha taaluma na utaalam; (b) Nakala ya kitambulisho cha Taifa cha Tanzania au kurasa za hati ya kusafiri ambazo zina taarifa binafsi ikiwemo picha, uraia, tarehe na mahali pa kuzaliwa na aliyetoa hati ya usafiri; Picha mbili ndogo zilizothibitishwa za kufaa kutumika katika hati ya kusafiri; na Taarifa ya wadhamini wawili ambao si ndugu watakaothibitisha tabia njema, uadilifu na utendaji kazi. (c) (d) 36 Kanuni Za Huduma Ndogo Za Fedha (Watoa Huduma Ndogo Za Fedha Wasiopokea Amana) Tangazo la Serikali Na. 998 (Linaendelea.) Sehemu ya pili: Taarifa binafsi
Part
Sehemu ya pili: Taarifa binafsi
- 1 Verify source ↗
Section 1
AI-assisted research summary: This section lists name fields for a microfinance service provider: surname, first name, and middle name.
1. Jina la mtoa huduma ndogo za fedha Jina la ukoo Jina la kwanza Jina la kati - 5 Verify source ↗
Una majina mengine yoyote
AI-assisted research summary: The provision asks whether you use any other names.
5. Una majina mengine yoyote unayotumia? - 8 Verify source ↗
Nafasi utakayohudumu kwa
AI-assisted research summary: Kichwa cha kifungu kinaonyesha mada ya nafasi utakayohudumu kwa mtoa huduma ndogo za fedha, lakini maandishi yaliyotolewa hayajaweka kanuni mahususi.
8. Nafasi utakayohudumu kwa mtoa huduma ndogo za fedha - 9 Verify source ↗
Namba ya Kitambulisho cha
AI-assisted research summary: Sehemu hii inaomba kuwekewa alama na kujazwa namba ya kitambulisho, na kuambatisha nakala iliyothibitishwa ya leseni ya udereva au kitambulisho cha mpiga kura inapofaa.
9. Namba ya Kitambulisho cha Taifa na/au Kitambulisho cha Mpiga Kura na/au Namba ya leseni ya udereva. Tafadhali weka alama ya vema na uweke namba ya utambulisho hapo nakala chini. Ambatisha iliyothibitishwa ya leseni ya udereva na au Kitambulisho cha Mpiga Kura kama itakavyofaa. - 10 Verify source ↗
Utaifa: Elezea namna ulivyopata
AI-assisted research summary: Fomu inaomba ueleze jinsi ulivyopata utaifa wako, kama ni kwa kuzaliwa, kuandikishwa au kwa ndoa.
10. Utaifa: Elezea namna ulivyopata utaifa, mfano kwa kuzaliwa, kwa kuandikishwa au kwa ndoa. utaifa wa Kama kujiandikisha au ndoa, onesha utaifa uliopita. umepata Namba ya Kitambulisho cha Taifa □ Namba ya Kitambulisho cha Mpiga Kura □ Namba ya Leseni ya Udereva □ Kuzaliwa □ Kujiandikisha □ Ndoa □ - 11 Verify source ↗
Tafadhali ambatisha nakala iliyothibitishwa ya kitambulisho cha Taifa cha Tanzania
AI-assisted research summary: Attach a certified copy of the Tanzania national identity card, or the pages of a travel document showing specified personal details.
11. Tafadhali ambatisha nakala iliyothibitishwa ya kitambulisho cha Taifa cha Tanzania. Au kurasa za hati ya kusafiri ambazo zinaeleza taarifa binafsi ikiwemo picha, uraia, tarehe na mahali pa kuzaliwa na aliyetoa hati ya kusafiri. - 12 Verify source ↗
Orodhesha hapo chini anwani zako za makazi na ofisi. Na kama una anwani nyingine kwa
AI-assisted research summary: Taja anwani yako ya makazi na ofisi, na uonyeshe pia anwani nyingine zozote ulizokuwa nazo katika kipindi cha miaka 5 iliyopita pamoja na tarehe husika.
12. Orodhesha hapo chini anwani zako za makazi na ofisi. Na kama una anwani nyingine kwa kipindi cha miaka 5 iliyopita ioneshe na tarehe husika. Tarehe Anwani ya makazi Anwani ya ofisi Kitalu/Kiwanja Na.………… Mtaa……………… Anwani…………. Wilaya/Mji…………… Jiji………………………… Nchi…………………… Kitalu/Kiwanja Na. ………… Mtaa……………… Anwani…………. Wilaya/mji…………… Jina la Taasisi….. Kitalu/Kiwanja Na.………… Mtaa……………… Anwani…………. Wilaya/Mji…………… Jiji………………………… Nchi…………………… Jina la Taasisi Kitalu /KiwanjaNa.………… Mtaa……………… Anwani…………. 37 Kanuni Za Huduma Ndogo Za Fedha (Watoa Huduma Ndogo Za Fedha Wasiopokea Amana) Tangazo la Serikali Na. 998 (Linaendelea.) Jiji………………………… Nchi…………………… Kitalu/Kiwanja Na.………… Mtaa……………… Anwani…………. Wilaya/Mji…………… Jiji………………………… Nchi…………………… Wilaya/Mji…………… Jiji………………………… Nchi…………………… Jina la Taasisi….. Kitalu/Kiwanja Na.………… Mtaa……………… Anwani…………. Wilaya/Mji…………… Jiji………………………… Nchi…………………… Sehemu ya tatu: Sifa za taaluma
Part
Sehemu ya tatu: Sifa za taaluma
- 13 Verify source ↗
Maelezo ya kina ya sifa za kitaaluma na mwaka ambao zimepatikana. (Mfano. Cheti,
AI-assisted research summary: Watu wanaowasilisha sifa za kitaaluma wanapaswa kuwasilisha nakala zilizothibitishwa za vyeti halisi.
13. Maelezo ya kina ya sifa za kitaaluma na mwaka ambao zimepatikana. (Mfano. Cheti, Astashahada, Shahada, Shahada ya uzamili, nk.). Tafadhali wasilisha nakala za vyeti halisi zilizothibitishwa zinazohusu sifa za kitaaluma. Sifa Taasisi ya elimu / taasisi iliyotoa cheti Mwaka 38 Kanuni Za Huduma Ndogo Za Fedha (Watoa Huduma Ndogo Za Fedha Wasiopokea Amana) Tangazo la Serikali Na. 998 (Linaendelea.) Sehemu ya nne: Sifa za kitaalam
Part
Sehemu ya nne: Sifa za kitaalam
- 14 Verify source ↗
Maelezo ya kina ya utaalam (Mfano. CPA, TIOB, ACA, ACCA, ACIB nk…) na mwaka
AI-assisted research summary: This section asks for detailed professional qualifications and the year obtained, and requests certified copies of the original certificates.
14. Maelezo ya kina ya utaalam (Mfano. CPA, TIOB, ACA, ACCA, ACIB nk…) na mwaka uliopatikana. Tafadhali wasilisha nakala za vyeti halisi zilizothibitishwa zinazohusu sifa za kitaalam. Namba ya uanachama Sifa za Kitaalam Mwaka Sehemu ya tano: Uanachama katika Bodi za Kitaalam
Part
Sehemu ya tano: Uanachama katika Bodi za Kitaalam
- 15 Verify source ↗
Maelezo ya kina ya uanachama wa sasa katika Bodi yoyote ya wataalam husika, maelezo ya
AI-assisted research summary: This section lists the details to be recorded about current membership in any relevant professional board, including contact details, registration year, member number, membership type, and membership status.
15. Maelezo ya kina ya uanachama wa sasa katika Bodi yoyote ya wataalam husika, maelezo ya kina ya mawasiliano na mwaka wa kusajiliwa (Mfano. taasisi za wakurugenzi, Taasisi ya Uongozi nk…) Namba ya mwanachama Jina na mawasiliano ya Bodi ya Wataalam Aina ya uanachama (mfano Mshiriki, Mwanachama) Mwaka wa usajili Hadhi ya uanachama (mfano. hai au asiyo hai) 39 Kanuni Za Huduma Ndogo Za Fedha (Watoa Huduma Ndogo Za Fedha Wasiopokea Amana) Tangazo la Serikali Na. 998 (Linaendelea.) Sehemu ya sita: Historia ya ajira
Part
Sehemu ya sita: Historia ya ajira
- 16 Verify source ↗
Anza na kazi au ajira yako ya sasa, tafadhali orodhesha kazi na ajira zote. Kama ni ajira binafsi
AI-assisted research summary: Mtu anayejaza fomu lazima aorodheshe kazi na ajira zake zote za sasa, na akiitwa ajira binafsi aonyeshe “AJIRA BINAFSI”.
16. Anza na kazi au ajira yako ya sasa, tafadhali orodhesha kazi na ajira zote. Kama ni ajira binafsi onesha “AJIRA BINAFSI” (Zingatia: Benki inaweza kuomba taarifa kutoka kwa waajiri wa zamani.) Jina / Anwani ya mwajiri Aina ya Biashara Wadhifa Tarehe Asilimia ya umiliki (kwa waliojiajiri tu) Jina la Taasisi …………… Kitalu/Kiwanja Namba………… Mtaa……………… Anwani…………. Wilaya/mji…………… Jiji………………………… Nchi…………………… Jina la Taasisi…………… Kitalu/Kiwanja Namba………… Mtaa……………… Anwani…………. Wilaya/Mji…………… Jiji………………………… Nchi…………………… Jina la taasisi…. Kitalu/Kiwanja Namba………… Mtaa……………… Anwani…………. Wilaya/Mji…………… Jiji………………………… Nchi…………………… 40 Kanuni Za Huduma Ndogo Za Fedha (Watoa Huduma Ndogo Za Fedha Wasiopokea Amana) Tangazo la Serikali Na. 998 (Linaendelea.) Sehemu ya Saba: Ukurugenzi
Part
Sehemu ya Saba: Ukurugenzi
- 17 Verify source ↗
Anza na ukurugenzi wa sasa, tafadhali orodhesha ukurugenzi uliopitia
AI-assisted research summary: Hii sehemu inaelekeza kuanza na ukurugenzi wa sasa na kuorodhesha ukurugenzi uliopitia, pamoja na jina la kampuni, aina ya biashara, namba ya usajili, nchi ya usajili, na tarehe.
17. Anza na ukurugenzi wa sasa, tafadhali orodhesha ukurugenzi uliopitia Jina la Kampuni Aina ya biashara ya Kampuni Namba ya Usajili Nchi ya usajili Tarehe - 18 Verify source ↗
Umewahi kuhusishwa katika mashtaka yoyote?
AI-assisted research summary: Fomu inauliza kama mtu amewahi kuhusishwa katika mashtaka yoyote, na kama ndiyo, aeleze hukumu na maelezo kamili ya masuala yanayohusika.
18. Umewahi kuhusishwa katika mashtaka yoyote? Ndiyo Hapana Kama ndiyo, Toa maelezo ya hukumu. Kama moja ya majibu ya maswali ya kuanzia namba 21 hadi 32 ni “Ndiyo”, tafadhali toa maelezo kamili katika karatasi nyingine ukionesha kwa usahihi namba ya swali ambayo maelezo hayo yanahusika. Tafadhali zingatia kwamba hakuna ukomo wa muda wa kutoa maelezo ambayo unatakiwa kuyatoa. Taarifa yoyote inayohusu kupatikana na hatia na maelezo mengine lazima yatolewe. - 19 Verify source ↗
Je umewahi kuwa mkurugenzi, Mtendaji Mkuu au afisa wa kampuni
AI-assisted research summary: The provision asks whether a person has ever been a director, CEO, or officer of a company, partnership, or unregistered entity that has applied for certain licences from another authority, whether the application was approved or refused.
19. Je umewahi kuwa mkurugenzi, Mtendaji Mkuu au afisa wa kampuni yoyote, ubia au taasisi ambayo haijasajiliwa na ambayo imewahi kuomba leseni ya kufanya biashara ya huduma ndogo za fedha au biashara inayofanana na hiyo kutoka kwa mamlaka nyingine (mfano. bima, fedha, mikopo ya nyumba, mikopo ya karadha, nk.), bila kujali kama maombi yalikubaliwa au kukataliwa. - 20 Verify source ↗
Je, umewahi kwa wakati wowote kutiwa hatiani kwa kosa la jinai?
AI-assisted research summary: The form asks whether the person has ever been convicted of a criminal offence.
20. Je, umewahi kwa wakati wowote kutiwa hatiani kwa kosa la jinai? Kama ndiyo, toa maelezo ya kina ya mahakama iliyokutia hatiani, kosa na adhabu uliyopewa na tarehe uliyotiwa hatiani. Ndio □ Hapana □ Ndiyo □ Hapana□ - 21 Verify source ↗
Je, umewahi kuwa katika uchunguzi na Serikali, taasisi ya kitaalam
AI-assisted research summary: Asks whether the person has ever been under investigation by the Government, a professional body, or a supervisory authority while serving as a director, chief executive, or officer of any company, partnership, or unregistered body.
21. Je, umewahi kuwa katika uchunguzi na Serikali, taasisi ya kitaalam au usimamizi ukiwa mkurugenzi, Mtendaji Mkuu au afisa wa kampuni yoyote, ubia au taasisi ambayo haijasajiliwa? Ndiyo □ Hapana □ Ndio □ 41 Kanuni Za Huduma Ndogo Za Fedha (Watoa Huduma Ndogo Za Fedha Wasiopokea Amana) Tangazo la Serikali Na. 998 (Linaendelea.) - 22 Verify source ↗
Je, umewahi kuwa chini ya uchunguzi wa kinidhamu?
AI-assisted research summary: The text asks whether someone has ever been under disciplinary investigation.
22. Je, umewahi kuwa chini ya uchunguzi wa kinidhamu? - 23 Verify source ↗
Je, umewahi kusimamishwa kazi au kutakiwa kujiuzulu katika ofisi
AI-assisted research summary: Hii ni swali linalouliza kama mtu amewahi kusimamishwa kazi au kuambiwa ajiuzulu katika ofisi yoyote.
23. Je, umewahi kusimamishwa kazi au kutakiwa kujiuzulu katika ofisi yoyote? - 24 Verify source ↗
Je, umewahi kufukuzwa kazi katika ofisi yoyote au kuzuiliwa
AI-assisted research summary: This asks whether a person has ever been dismissed from any office or barred from doing professional work.
24. Je, umewahi kufukuzwa kazi katika ofisi yoyote au kuzuiliwa kufanya kazi za kitaalam? - 25 Verify source ↗
Je, umewahi kuondolewa sifa ya kufanya kazi kama mkurugenzi wa
AI-assisted research summary: Inauliza kama mtu amewahi kuondolewa sifa ya kuwa mkurugenzi au kushughulikia masuala ya kampuni, ubia, au taasisi isiyosajiliwa.
25. Je, umewahi kuondolewa sifa ya kufanya kazi kama mkurugenzi wa kampuni, au kuwa katika uongozi au kushughulikia masuala ya kampuni, ubia au taasisi isiyosajiliwa? - 26 Verify source ↗
Je, umewahi kutangazwa na mahakama kuwa umefilisika, au
AI-assisted research summary: Asks whether a person has been declared bankrupt, is in negotiations with creditors, is currently in insolvency proceedings, or has any related pending legal case.
26. Je, umewahi kutangazwa na mahakama kuwa umefilisika, au kuingia katika majadiliano na wadai, au kwa sasa uko katika taratibu za ufilisi? Je, una taarifa zozote kuhusu shauri la kisheria linaloendelea kuhusiana na masuala hayo? - 27 Verify source ↗
Je, umewahi kushindwa kulipa mkopo wa benki au taasisi ya fedha
AI-assisted research summary: This asks whether you have ever failed to repay a loan from a bank, financial institution, or other lending institution.
27. Je, umewahi kushindwa kulipa mkopo wa benki au taasisi ya fedha au taasisi yoyote ya ukopeshaji? - 28 Verify source ↗
Je, umewahi kushindwa kutimiza kulipa deni kwa muda unaotakiwa
AI-assisted research summary: This asks whether a debtor has failed to pay a debt on time under a court order.
28. Je, umewahi kushindwa kutimiza kulipa deni kwa muda unaotakiwa kama mdaiwa kwa mujibu wa amri ya mahakama? - 29 Verify source ↗
Je, umewahi kuhukumiwa na mahakama katika shauri la madai kwa
AI-assisted research summary: This provision asks whether you have ever been convicted by a court in a civil case for fraud or misconduct involving an institution, company, members, or an unregistered entity.
29. Je, umewahi kuhukumiwa na mahakama katika shauri la madai kwa kosa la udanganyifu au mwenendo mbaya kwa taasisi au kampuni au dhidi ya wanachama husika wakati wa uanzishwaji au uendeshaji wa kampuni yoyote, ubia au taasisi ambayo haijasajiliwa? - 30 Verify source ↗
Je, kuna kampuni yoyote, ubia au taasisi ambayo haijasajiliwa
AI-assisted research summary: Inauliza kama umewahi kuhusika kama mkurugenzi, Mtendaji Mkuu au afisa wa kampuni, ubia au taasisi isiyo sajiliwa ambayo ililazimika kusitisha shughuli kisheria, kufanya makubaliano na wadai, au kuacha biashara kabla ya wadai kulipwa kikamilifu.
30. Je, kuna kampuni yoyote, ubia au taasisi ambayo haijasajiliwa ambayo umejihusisha nayo kama mkurugenzi, Mtendaji Mkuu au afisa imelazimika kukoma kisheria au imefanya makubaliano au taratibu na wadai au kuacha kufanya biashara pale ambapo wadai wake hawajalipwa au hawajalipwa madai yao yote? - 31 Verify source ↗
Wakati wa kutekeleza majukumu yako, Je, unaweza kufanyia kazi
AI-assisted research summary: The applicant must tell the Bank about any changes to previously submitted information while serving as a director or chief executive officer, and must do so within 21 days of learning of the change.
31. Wakati wa kutekeleza majukumu yako, Je, unaweza kufanyia kazi maelekezo au maagizo ya mtu mwingine yeyote? Hapana □ Ndiyo □ Hapana □ Ndiyo □ Hapana □ Ndiyo □ Hapana □ Ndiyo □ Hapana □ Ndiyo □ Hapana □ Ndiyo □ Hapana □ Ndiyo□ Hapana □ Ndiyo □ Hapana □ Ndiyo □ Hapana □ 42 Kanuni Za Huduma Ndogo Za Fedha (Watoa Huduma Ndogo Za Fedha Wasiopokea Amana) Tangazo la Serikali Na. 998 (Linaendelea.) Sehemu ya Nane: Wadhamini Eleza Jina, anwani na kazi za watu wawili ambao sio ndugu, watakaothibitisha tabia njema, uadilifu na utendaji kazi ambao Benki inaweza kuwaomba taarifa zinazohusu tabia na wasifu wako 43 Kanuni Za Huduma Ndogo Za Fedha (Watoa Huduma Ndogo Za Fedha Wasiopokea Amana) Tangazo la Serikali Na. 998 (Linaendelea.) TAMKO LA MWOMBAJI Mimi, ....................................................................................................... nathibitisha yafuatayo: Dodoso hili lina kurasa……………., ambapo kila moja nimeweka sahihi. Maudhui ya tamko hili ni ya kweli kwa kadri ya ufahamu na imani yangu. Nafahamu kwamba endapo taarifa zozote nilizowasilisha si za kweli, nitawajibika kwa kushtakiwa. Natamka kwamba kadri ninavyoendelea kuwa mkurugenzi au mtendaji mkuu wa taasisi, nitaijulisha Benki kuhusu mabadiliko yoyote, ambayo yanaathiri ukamilifu au usahihi wa taarifa zilizowasilishwa na mimi mapema iwezekanavyo, lakini kwa hali yoyote katika kipindi kisichozidi siku 21 kuanzia siku nilipoyafahamu mabadiliko hayo. Ninafahamu na ninaelewa maudhui ya tamko hili. Nina/sina* pingamizi la kuchukua kiapo hiki. Ninachukulia kiapo hiki kwamba kinaweza kutumiwa kunitia/kutonitia hatiani kutokana na dhamira yangu. _________________________ SAHIHI YA MWOMBAJI Ninathibitisha kwamba maelezo hapo juu yametolewa na mimi na kwamba muapaji anathibitisha kwamba ana ufahamu na uelewa wa maudhui ya maelezo haya. Maelezo haya yametolewa kwa kiapo mbele yangu, ya mtoa mahali.............................................tarehe ............mwezi .......mwaka.......................... imewekwa mbele yangu sahihi kiapo na __________________________________ KAMISHNA WA VIAPO JINA KAMILI: __________________________________________ ANWANI: ______________________________________________ * futa ambacho hakihusiki 44 Kanuni Za Huduma Ndogo Za Fedha (Watoa Huduma Ndogo Za Fedha Wasiopokea Amana) Tangazo la Serikali Na. 998 (Linaendelea.) Orodha Ifuatayo ni orodha iliyotolewa kuwasadia waombaji ili kuhakikisha taarifa zote zinazohitajika na Benki zimewasilishwa Je dodoso kikamilifu? la maswali binafsi limejazwa Nakala iliyothibitishwa za ukurasa wa hati ya usafiri au kitambulisho cha taifa, ambacho kina taarifa binafsi ikiwemo picha, utaifa, tarehe na mahali pa kuzaliwa na mamlaka iliyotoa hati ya usafiri au kitambulisho cha taifa cha Tanzania. Nakala mfuko wa jamii na /au kadi ya mpiga kura iliyothibitishwa ya kitambulisho cha Nakala za sifa za kitaaluma Nakala zinazoeleza sifa za kitaalam Nakala ya uanachama katika Bodi za wataalam Taarifa za kazi za zamani Orodha ya ukurugenzi (kama inahusika) □ □ □ □ □ □ □ □ 45 Kanuni Za Huduma Ndogo Za Fedha (Watoa Huduma Ndogo Za Fedha Wasiopokea Amana) Tangazo la Serikali Na. 998 (Linaendelea.) ___________ JEDWALI LA TANO __________ (Limetungwa chini ya kanuni ya 13(1)) LESENI NA.: MSP2- BENKI KUU YA TANZANIA LESENI YA KUENDESHA BIASHARA ZA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA Imetolewa chini ya kifungu cha 21 cha Sheria ya Huduma Ndogo za Fedha, 2018 LESENI hii imetolewa kwa……………………………………… (Jina la Mtoa Huduma Ndogo za Fedha) wa …………………………………………………… (Anwani) na inaidhinisha taasisi husika kuendesha au kufanya biashara za huduma ndogo za fedha Tanzania Bara kama Taasisi ya Mtoa Huduma Ndogo za Fedha Isiyopokea Amana chini ya Daraja la 2. Leseni hii inatolewa kwa kuzingatia masharti ya Sheria ya Huduma Ndogo za Fedha, 2018 pamoja na masharti yaliyoainishwa katika barua yenye kumbukumbu Na………………….………ya tarehe……………................... Imetolewa leo tarehe ……………….………. mwaka……………………………. GAVANA …………………………………. Dar es Salaam, ………………., 2019 FLORENS LUOGA Gavana 46
Provision text is displayed from LexChat’s stored statute record. Use the official source links to verify amendments, commencement, and current legal force.
Ask AI about this statute
Kanuni Za Huduma Ndogo Za Fedha (Watoa Huduma Ndogo Za Fedha Wasiopokea Amana) za Mwaka 2020
Sign in to ask AI about this statute
Sign in to start authenticated, citation-grounded statute research.
Sign in