Kanuni za Kudumu za Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Part 2 of 3 · provisions 201–400
Section 3 lists headings for names, use, and interpretation under Part Two on the management of parliamentary business.
AI-assisted research synopsis — verify against the official legal text below.
- Jurisdiction
- Tanzania
- Instrument
- Regulation
- Citation
- Kanuni za Kudumu za Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
- Version
- Undated source snapshot
- Language
- sw
- Official source
- View official record ↗
- Complete work
- View statute overview
Statute overview
About this statute
Section 3 lists headings for names, use, and interpretation under Part Two on the management of parliamentary business. This text is a contents listing for Section 8, showing topics such as the Speaker, Deputy Speaker, chairpersons, their duties, and the election of the Speaker, Deputy Speaker, and chairpersons. Section 11 is titled “Uchaguzi wa Naibu Spika” (election of the Deputy Speaker). Section heading for the Deputy Speaker's oath. This text is a section heading and does not state any rule.
Search within this statute
Search all stored provisions in this version.
Legal text
Provisions of Kanuni za Kudumu za Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Showing 200 of 480
Part
SEHEMU YA TATU
- 8 Verify source ↗
Kamati zinazotekeleza Majukumu yake kwa Faragha……………
AI-assisted research summary: Section heading: “Kamati zinazotekeleza Majukumu yake kwa Faragha” (committees carrying out their duties privately).
8. Kamati zinazotekeleza Majukumu yake kwa Faragha…………… 120 - 9 Verify source ↗
Utoaji wa Taarifa baada ya Kikao cha Kamati………..................... 121
AI-assisted research summary: Kichwa cha sehemu hii kinahusu utoaji wa taarifa baada ya kikao cha kamati.
9. Utoaji wa Taarifa baada ya Kikao cha Kamati………..................... 121 SEHEMU YA NNE UKIUKWAJI WA MASHARTI YA MWONGOZO - 8 Verify source ↗
Kamati za Sekta Mtambuka ……………………………………
AI-assisted research summary: Section 8 is titled “Kamati za Sekta Mtambuka.”
8. Kamati za Sekta Mtambuka ……………………………………... - 9 Verify source ↗
Majukumu ya Kamati ya Bajeti ………………………………
AI-assisted research summary: Hii ni orodha ya vichwa vya sehemu/majukumu ya kamati za kudumu za Bunge, si kanuni yenye wajibu maalum unaoelezwa hapa.
9. Majukumu ya Kamati ya Bajeti ……………………………… 10 Majukumu ya Kamati ya Masuala ya UKIMWI ………………… 11 Majukumu ya Kamati ya Sheria Ndogo.......................................... 12 Majukumu ya Kamati ya Uwekezaji ya Mitaji ya Umma............... 127 127 128 128 128 SEHEMU YA NNE KAMATI ZA KUDUMU ZA BUNGE ZINAZOSIMAMIA MATUMIZI YA FEDHA ZA UMMA - 9 Verify source ↗
(1) Kutakuwa na Uchaguzi wa Spika utakaofanyika kwa
AI-assisted research summary: This provision sets the procedure for electing the Speaker, including who may nominate candidates, when nominations must be sent, and who presides over the election.
9.-(1) Kutakuwa na Uchaguzi wa Spika utakaofanyika kwa mujibu wa masharti ya Ibara ya 86(1) ya Katiba kwa utaratibu uliowekwa katika Nyongeza ya Kwanza ya Kanuni. (2) Chama cha Siasa kitakuwa na haki ya kupendekeza jina moja la Mbunge wa Chama hicho ambaye atakuwa mgombea wa nafasi ya Spika kwa mujibu wa Katiba. (3) Majina ya wagombea wasio Wabunge yatawasilishwa na Vyama husika kwa Tume ya Taifa ya Uchaguzi siku tano kabla ya uchaguzi na Tume itayachambua na kisha kuyawasilisha majina ya wagombea wenye sifa kwa Katibu siku mbili kabla ya uchaguzi. (4) Uchaguzi wa Spika utafanyika katika Kikao cha Kwanza cha Mkutano wa Bunge Jipya mara baada ya Katibu kusoma Tangazo la Rais na kikao hicho kujigeuza kuwa Mkutano wa Uchaguzi wa Spika au katika kikao kinachofuata cha Mkutano wowote wa Bunge mara baada ya Kiti cha Spika kuwa wazi. (5) Uchaguzi wa Spika utasimamiwa na Mwenyekiti ambaye atatoka miongoni mwa Wabunge ambao wamekuwa Wabunge mfululizo kwa muda mrefu na asiye mgombea wa nafasi ya Spika baada ya kuombwa na Katibu kuongoza kikao cha uchaguzi wa Spika. (6) Kwa madhumuni ya kanuni hii, “Chama cha Siasa” maana yake ni chama cha siasa kilichoandikishwa kikamilifu kwa mujibu wa Sheria ya Vyama vya Siasa. - 10 Verify source ↗
(1) Mara baada ya uchaguzi wa Spika kukamilika na muda
AI-assisted research summary: Before the Speaker takes office, the Speaker must be called to the House and sworn in, with different oath-handling requirements depending on religious belief.
10.-(1) Mara baada ya uchaguzi wa Spika kukamilika na muda wa Spika kuapishwa kuwadia, Mwenyekiti atamwita Spika ajongee mbele ya Bunge ili aape viapo vilivyowekwa kwa mujibu wa Sheria na Kanuni. (2) Wakati wa kuapa, Spika anayeamini kuwa kuna Mungu, atalazimika kushika Biblia au Kuran au kitabu kingine kitakatifu kinachotambuliwa na imani ya dini yake. (3) Iwapo Spika haamini kuwa kuna Mungu, hatashika Biblia au Kuran au kitabu chochote kitakatifu wala kutamka maneno “Ewe Mwenyezi Mungu nisaidie,” bali atalazimika kuinua mkono wake wa kuume juu. 7 Tangazo la Serikali Na. 626 (linaendelea) Kanuni Za Kudumu Za Bunge (4) Kabla ya kushika madaraka yake, Spika ataapa mbele ya Bunge Kiapo cha Uaminifu na Kiapo cha Spika vitakavyokuwa na maneno yafuatayo:- Kiapo cha Uaminifu: “Mimi, …………. naapa kwamba, nitakuwa mwaminifu kwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kuitumikia kwa moyo wangu wote na kwamba nitaihifadhi, nitailinda na kuitetea Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa mujibu wa Sheria iliyowekwa. Ewe Mwenyezi Mungu, nisaidie.” Kiapo cha Spika: “Mimi, …………., naapa kwamba, nitaitumikia vyema na kwa moyo thabiti Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika kazi zangu kama Spika wa Bunge, na katika kutimiza wajibu wa cheo hicho nitawatendea haki watu wote kwa mujibu wa Katiba, Kanuni za Bunge, na Sheria, Mila na Desturi za Jamhuri ya Muungano na kwa vyovyote vile sitatoa siri za Bunge. Ewe Mwenyezi Mungu nisaidie.” (5) Baada ya Spika kuapishwa atakalia kiti chake na kutoa hotuba fupi ya shukrani kwa Bunge na kisha ataliahirisha Bunge hadi wakati mwingine atakaoutaja ambapo shughuli za kuapisha Wabunge wote kiapo cha Uaminifu zitaanza. Uchaguzi wa Naibu Spika - 11 Verify source ↗
(1) Kutakuwa na uchaguzi wa Naibu Spika wa Bunge
AI-assisted research summary: Naibu Spika wa Bunge anachaguliwa kwa wakati na utaratibu ulioainishwa na Katiba na Kanuni.
11.-(1) Kutakuwa na uchaguzi wa Naibu Spika wa Bunge katika nyakati zilizowekwa na Ibara ya 86(2) ya Katiba na utaratibu uliowekwa katika Nyongeza ya Kwanza ya Kanuni. (2) Uchaguzi wa Naibu Spika utafanyika katika Mkutano wa Kwanza wa Bunge Jipya, au mapema iwezekanavyo baada ya wakati huo au katika kikao cha kwanza cha Bunge mara baada ya nafasi ya Naibu Spika kuwa wazi, au mapema iwezekanavyo baada ya kikao hicho. (3) Uchaguzi wa Naibu Spika utaendeshwa kwa utaratibu ule ule unaotumika kumchagua Spika, isipokuwa kwamba, Mbunge hawezi kushiriki katika uchaguzi wa Naibu Spika iwapo hajaapa Kiapo cha Uaminifu. Kiapo cha Naibu Spika - 12 Verify source ↗
(1) Mbunge yeyote atakayechaguliwa kuwa Naibu Spika,
AI-assisted research summary: Mbunge aliyechaguliwa kuwa Naibu Spika lazima aapishwe na Spika mbele ya Bunge kabla ya kushika madaraka yake.
12.-(1) Mbunge yeyote atakayechaguliwa kuwa Naibu Spika, kabla ya kushika madaraka yake, ataapishwa na Spika mbele ya Bunge Kiapo cha Naibu Spika. 8 Tangazo la Serikali Na. 626 (linaendelea) Kanuni Za Kudumu Za Bunge (2) Wakati wa kuapa, Naibu Spika anayeamini kuwa kuna Mungu, atalazimika kushika Biblia au Kuran au kitabu kingine kitakatifu kinachotambuliwa na imani ya dini yake. (3) Iwapo Naibu Spika haamini kuwa kuna Mungu, hatashika Biblia au Kuran au kitabu chochote kitakatifu wala kutamka maneno“Ewe Mwenyezi Mungu nisaidie,” bali atalazimika kuinua mkono wake wa kuume juu. (4) Kiapo cha Naibu Spika kitakuwa na maneno yafuatayo: “Mimi, …………., naapa kwamba, nitaitumikia vema na kwa moyo thabiti Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika kazi zangu kama Naibu Spika wa Bunge, na katika kutimiza wajibu wa cheo hicho nitawatendea haki watu wote kwa mujibu wa Katiba, Kanuni za Bunge na Sheria, Mila na Desturi za Jamhuri ya Muungano na kwa vyovyote vile sitatoa siri za Bunge. “Ewe Mwenyezi Mungu nisaidie.” Uchaguzi wa Wenyeviti wa Bunge - 13 Verify source ↗
(1) Wenyeviti wa Bunge waliotajwa katika kanuni ya 7
AI-assisted research summary: Wabunge huchagua Wenyeviti wa Bunge kutoka miongoni mwa Wenyeviti na Makamu Wenyeviti wa Kamati za Kudumu, kwa utaratibu ulioelezwa na kifungu hiki.
13.-(1) Wenyeviti wa Bunge waliotajwa katika kanuni ya 7 watachaguliwa na Wabunge kutoka miongoni mwa Wenyeviti na Makamu Wenyeviti wa Kamati za Kudumu za Bunge. (2) Wenyeviti wa Bunge watachaguliwa na Wabunge kwa nyakati zifuatazo:- (a) katika Mkutano wa Bunge utakaofanyika baada ya Kamati za Bunge kuundwa au mapema zaidi baada ya wakati huo; na (b) baada ya Kiti cha Mwenyekiti wa Bunge kuwa wazi kwa sababu yoyote isiyohusiana na Bunge kuvunjwa. (3) Uchaguzi wa Wenyeviti wa Bunge utafanyika kwa kuzingatia jinsi na pande za Muungano na kwa kufuata utaratibu kwamba: (a) Kamati ya Uongozi itapendekeza majina ya Wabunge wasiozidi sita na karatasi ya kura itakuwa na majina ya Wabunge hao; (b) kila Mbunge atapiga kura kwa kuchagua majina matatu katika karatasi ya kura; na (c) wagombea watatu watakaopata kura nyingi kuliko wenzao ndio watakuwa wamechaguliwa kuwa Wenyeviti wa Bunge. 9 Tangazo la Serikali Na. 626 (linaendelea) Kanuni Za Kudumu Za Bunge (4) Wenyeviti wa Bunge waliochaguliwa kwa mujibu wa masharti ya fasili ya (1), watashika madaraka yao kwa muda ambao wataendelea kuwa Wenyeviti au Makamu Wenyeviti wa Kamati zao za Kudumu za Bunge mpaka mwisho wa Mkutano unaofuata mara baada ya Mkutano wa Kumi wa Bunge, ambao ndio hukamilisha nusu ya kwanza ya maisha ya Bunge, utakaofanyika baada ya kuchaguliwa kwao, lakini wanaweza kuchaguliwa tena kuwa Wenyeviti wa Bunge katika kipindi cha pili kilichobaki cha maisha ya Bunge kwa kipindi kinachohusika iwapo watachaguliwa tena kuwa Wenyeviti wa Kamati za Kudumu za Bunge. SEHEMU YA NNE UCHAGUZI WA WABUNGE WANAOKWENDA KATIKA VYOMBO VINGINE VYA UWAKILISHI NA WAJUMBE WA BUNGE LA AFRIKA MASHARIKI Uchaguzi wa Wabunge wanaokwend a kwenye vyombo vingine vya uwakilishi - 5 Verify source ↗
(1) Inapofika wakati wa uchaguzi wa Spika au Naibu
AI-assisted research summary: Parties intending to take part in the Speaker or Deputy Speaker election must submit one candidate name to the Clerk. The candidate or a national party officer must then deliver the nomination to the Clerk in Dodoma before 10:00 p.m. on nomination day.
5.-(1) Inapofika wakati wa uchaguzi wa Spika au Naibu Spika, Chama chochote cha Siasa chenye kusudio la kushiriki kwenye uchaguzi huo kitawalisha kwa Katibu wa Bunge jina moja tu la ama Mbunge wa Chama hicho au la mtu mwingine yeyote wa Chama hicho mwenye sifa za kuwa Mbunge kuwa mgombea wake. (2) Mgombea mhusika au Ofisa wa ngazi ya kitaifa wa Chama kilichompendekeza, atawasilisha jina la mgombea huyo kwa Katibu ambaye ndiye Msimamizi wa Uchaguzi. (3) Jina la mgombea huyo linatakiwa limfikie Katibu Ofisini kwake Dodoma, kabla ya saa kumi jioni ya siku ya uteuzi. SEHEMU YA NNE MASHARTI YA MGOMBEA UCHAGUZI Masharti kwa mgombea Sura ya 343
Part
SEHEMU YA NNE
- 10 Verify source ↗
Ukiukwaji wa Kanuni
AI-assisted research summary: This text is a heading for “Ukiukwaji wa Kanuni” and does not state any rule or requirement.
10. Ukiukwaji wa Kanuni...................................................................... 122 _________ NYONGEZA YA NANE ___________ KAMATI ZA KUDUMU ZA BUNGE (Chini ya Kanuni ya 137) __________ SEHEMU YA KWANZA KAMATI ZA KUDUMU ZISIZO ZA SEKTA 1123 - 13 Verify source ↗
Kamati za Kudumu za Bunge zinazosimamia Matumizi ya Fedha
AI-assisted research summary: Section 13 refers to standing committees of Parliament overseeing public expenditure.
13. Kamati za Kudumu za Bunge zinazosimamia Matumizi ya Fedha 129 za Umma …….. - 14 Verify source ↗
Majukumu ya Kamati ya Hesabu za Serikali …………………
AI-assisted research summary: This section is headed “Responsibilities of the Government Accounts Committee,” but no specific rule text is provided here.
14. Majukumu ya Kamati ya Hesabu za Serikali ………………… - 15 Verify source ↗
Majukumu ya Kamati ya Hesabu za Serikali za Mitaa …………
AI-assisted research summary: This section is about the duties of the local government accounts committee.
15. Majukumu ya Kamati ya Hesabu za Serikali za Mitaa ………… - 16 Verify source ↗
Msingi wa Kazi za Kamati ya Hesabu za Serikali na Kamati ya
AI-assisted research summary: Sehemu hii inaonyesha msingi wa kazi za Kamati ya Hesabu za Serikali na Kamati ya Hesabu za Serikali za Mitaa.
16. Msingi wa Kazi za Kamati ya Hesabu za Serikali na Kamati ya 129 129 Hesabu za Serikali za Mitaa ………............................................... 130 xvii Tangazo la Serikali Na. 626 (linaendelea) Kanuni Za Kudumu Za Bunge 1 Tangazo la Serikali Na. 626 (linaendelea) Kanuni Za Kudumu Za Bunge KATIBA YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA YA MWAKA, 1977 (SURA YA 2) __________ KANUNI __________ [Zimetungwa chini ya Ibara ya 89] __________ KANUNI ZA KUDUMU ZA BUNGE, TOLEO LA JUNI, 2020 __________ SEHEMU YA KWANZA UTANGULIZI Jina - 14 Verify source ↗
Uchaguzi wa Wabunge wanaokwenda katika vyombo
AI-assisted research summary: Uchaguzi wa Wabunge wanaokwenda katika vyombo vingine ufanywe kwa kuzingatia, kadri iwezekanavyo, uwiano wa vyama vilivyopo Bungeni, uwakilishi wa jinsia, na pande zote mbili za Muungano, kwa kufuata kanuni za uchaguzi zilizo kwenye Nyongeza ya Pili.
14. Uchaguzi wa Wabunge wanaokwenda katika vyombo vingine ambavyo kwa mujibu wa mikataba inayounda vyombo hivyo vinatakiwa viwe na wawakilishi wa Bunge utafanywa kwa kuzingatia, kwa kadri iwezekanavyo, uwiano wa idadi ya Wabunge wa Vyama vya Siasa vyenye uwakilishi Bungeni, uwakilishi wa jinsi na pande mbili za Muungano, kwa kuzingatia utaratibu wa kanuni za uchaguzi wa Wabunge hao uliowekwa katika Nyongeza ya Pili ya Kanuni hizi. Uchaguzi wa Wajumbe wa Bunge la Afrika Mashariki - 15 Verify source ↗
Uchaguzi wa Wajumbe wa Bunge la Afrika Mashariki
AI-assisted research summary: Uchaguzi wa Wajumbe wa Bunge la Afrika Mashariki ufanyike kwa kuzingatia uwiano wa vyama vya siasa, uwakilishi wa jinsia, na pande mbili za Muungano, kwa kufuata utaratibu uliowekwa kwenye Nyongeza ya Tatu.
15. Uchaguzi wa Wajumbe wa Bunge la Afrika Mashariki utafanyika kwa kuzingatia, kwa kadri iwezekanavyo, uwiano wa idadi ya Wabunge wa Vyama vya Siasa vyenye uwakilishi Bungeni, uwakilishi wa jinsi na pande mbili za Muungano kwa kuzingatia utaratibu wa Uchaguzi uliowekwa katika Nyongeza ya Tatu ya Kanuni hizi. Nafasi ya Uwakilishi kuwa Wazi Sura ya 296 Taarifa ya Kukosa Sifa ya Kuwa Mjumbe - 16 Verify source ↗
Nafasi ya uwakilishi wa Bunge katika chombo kingine cha
AI-assisted research summary: Uwakilishi wa Bunge katika chombo kingine huwa wazi ikiwa Mbunge anayeshikilia nafasi hiyo ataadhibiwa na Bunge kwa mujibu wa Sheria ya Kinga, Madaraka na Haki za Bunge au kanuni za 84 na 85.
16. Nafasi ya uwakilishi wa Bunge katika chombo kingine cha uwakilishi itakuwa wazi iwapo Mbunge anayeshikilia nafasi hiyo ataadhibiwa na Bunge kwa mujibu wa Sheria ya Kinga, Madaraka na Haki za Bunge au kanuni ya 84 na 85 ya Kanuni hizi. - 17 Verify source ↗
Kwa madhumuni ya utekelezaji wa ibara ya 52 ya Mkataba
AI-assisted research summary: Spika lazima amwambie Spika wa Bunge la Afrika Mashariki kwamba Mjumbe amekoma kuwa Mjumbe, na Mjumbe huyo anapaswa kuacha kiti chake.
17. Kwa madhumuni ya utekelezaji wa ibara ya 52 ya Mkataba wa Kuanzishwa Jumuiya ya Afrika Mashariki wa mwaka 1999, Spika atamtaarifu Spika wa Bunge la Afrika Mashariki kuwa Mjumbe wa Bunge hilo amekoma kuwa Mjumbe na anapaswa kuacha kiti chake kwa mujibu wa Mkataba huo na Katiba. 10 Tangazo la Serikali Na. 626 (linaendelea) Kanuni Za Kudumu Za Bunge Bunge kumrejesha au kumsima- misha Mbunge au Mjumbe - 18 Verify source ↗
(1) Bila kuathiri masharti ya mikataba inayounda vyombo
AI-assisted research summary: Spika anaweza kumuita au kumrejesha Mbunge au Mjumbe katika hali fulani, na jina lake lipelekwe kwa kamati husika.
18.-(1) Bila kuathiri masharti ya mikataba inayounda vyombo vya uwakilishi, Spika anaweza kumuita au kumrejesha Mbunge au Mjumbe ikiwa: (a) imethibitishwa kuwa ameshindwa kutekeleza majukumu yake kutokana na ugonjwa; (b) amekuwa na mwenendo usiofaa na unaodhalilisha hadhi ya nafasi anayoitumikia; au (c) ameshindwa kuzingatia na kutetea maslahi ya Taifa wakati anapotekeleza majukumu yake. (2) Spika atapeleka jina la Mbunge au Mjumbe aliyemuita au kumrejesha kwa mujibu wa fasili ya 1(b) au (c) kwenye Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge ili Kamati hiyo ifanyie kazi na kulishauri Bunge ipasavyo. (3) Wakati Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge inashughulikia shauri kwa mujibu wa fasili ya (2), Mbunge au Mjumbe huyo, isipokuwa kama Spika ataelekeza vinginevyo, itachukuliwa kuwa amesimamishwa kutekeleza majukumu katika chombo cha uwakilishi hadi uamuzi wa shauri lake utakapotolewa. (4) Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge itashughulikia shauri hilo na ikithibitika kuwa Mbunge au Mjumbe husika ametenda kosa inaweza kulishauri Bunge liazimie kama ifuatavyo: (a) kumpa onyo; au (b) kumuondoa kwenye nafasi anayoitumikia. (5) Bunge linaweza kuzingatia ushauri mwingine wowote utakaotolewa na Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge kuhusu hatua nyingine yoyote ambayo Mbunge au Mjumbe huyo anastahili kuchukuliwa. Kujaza Nafasi iliyo Wazi - 19 Verify source ↗
Mara baada ya nafasi ya Mbunge au Mjumbe kuwa wazi
AI-assisted research summary: If a seat for a Member or Representative becomes vacant, Parliament must hold an election to fill it.
19. Mara baada ya nafasi ya Mbunge au Mjumbe kuwa wazi kwa mujibu wa Kanuni, Bunge litafanya uchaguzi wa kujaza nafasi hiyo kwa kuzingatia utaratibu uliowekwa na Sehemu hii. SEHEMU YA TANO VIONGOZI WENGINE KATIKA UENDESHAJI WA SHUGHULI ZA BUNGE Kiongozi wa Shughuli za Serikali Bungeni - 6 Verify source ↗
(1) Mtu yeyote anaweza kuteuliwa kugombea
AI-assisted research summary: A person may be nominated to contest election as Speaker or Deputy Speaker if they meet all candidate requirements. A candidate may withdraw in writing before voting starts; the Clerk then removes the name from the ballot.
6.-(1) Mtu yeyote anaweza kuteuliwa kugombea kuchaguliwa kuwa Spika au Naibu Spika iwapo tu atakuwa ametimiza masharti yote ya kuwa mgombea wa nafasi hizo, kama yalivyotajwa katika Sheria ya Uchaguzi. (2) Mgombea yeyote anaweza kumtaarifu Katibu kwa maandishi kwamba anajitoa kugombea, kabla ya shughuli za kupiga kura kuanza Bungeni, na Katibu atalifuta jina la mgombea huyo katika karatasi za kura. 93 Tangazo la Serikali Na. 626 (linaendelea) Kanuni Za Kudumu Za Bunge (3) Endapo itatokea mgombea amejitoa wakati karatasi za zimekwishaandaliwa, Katibu atalitaarifu uchaguzi zikiwa Bunge kuhusu kujiondoa huko na hivyo Wabunge wapige kura kwa wagombea waliobaki, na ikitokea kuwa kura imepigwa kwa mgombea ambaye amejitoa kwa mujibu wa fasili hii, kura hiyo itahesabika kuwa imeharibika. SEHEMU YA TANO UTARATIBU WA KUPIGA KURA Kumpigia kura mgombea mmoja Utaratibu wa kupiga kura
Part
SEHEMU YA KWANZA
- 1 Verify source ↗
Kamati za Kudumu zisizo za Sekta …………………
AI-assisted research summary: This section is titled “Kamati za Kudumu zisizo za Sekta.”
1. Kamati za Kudumu zisizo za Sekta ………………….............. - 2 Verify source ↗
Muundo na majukumu ya Kamati ya Uongozi …………………
AI-assisted research summary: Sehemu hii inataja muundo na majukumu ya Kamati ya Uongozi.
2. Muundo na majukumu ya Kamati ya Uongozi …………………. 123 - 3 Verify source ↗
Muundo wa Majukumu ya Kamati ya Kanuni za Bunge ………… 124
AI-assisted research summary: Sehemu hii inaonyesha kichwa cha kipengele kuhusu muundo wa majukumu ya Kamati ya Kanuni za Bunge.
3. Muundo wa Majukumu ya Kamati ya Kanuni za Bunge ………… 124 - 4 Verify source ↗
Majukumu ya Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge … 124
AI-assisted research summary: Sehemu hii ina kichwa cha kifungu kuhusu majukumu ya Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge.
4. Majukumu ya Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge … 124 SEHEMU YA PILI KAMATI ZA KUDUMU ZA BUNGE ZA SEKTA - 1 Verify source ↗
Kanuni hizi zitaitwa Kanuni za Kudumu za Bunge, Toleo la
AI-assisted research summary: This provision says the rules are called the Standing Orders of Parliament, June 2020 edition.
1. Kanuni hizi zitaitwa Kanuni za Kudumu za Bunge, Toleo la Juni, 2020. Matumizi - 2 Verify source ↗
(1) Bila ya kuathiri masharti ya Katiba, Kanuni hizi
AI-assisted research summary: Kanuni hizi zinatumika kwa masuala ya utaratibu wa shughuli za Bunge, isipokuwa pale masharti ya Katiba yanapoguswa.
2.-(1) Bila ya kuathiri masharti ya Katiba, Kanuni hizi zitatumika kwa mambo yote yanayohusu utaratibu wa uendeshaji wa Shughuli za Bunge. (2) Iwapo jambo au shughuli yoyote haijawekewa masharti katika Kanuni hizi, Spika ataamua utaratibu wa kufuata katika jambo au shughuli hiyo kwa kuzingatia Katiba, Sheria nyingine za nchi, Kanuni nyingine zilizopo, maamuzi ya awali ya Maspika wa Bunge, pamoja na mila na desturi za uendeshaji bora wa Shughuli za Bunge na uamuzi huo utaingizwa katika Kitabu cha Maamuzi ili kuongoza mwenendo wa baadaye wa uendeshaji wa Shughuli za Bunge. Tafsiri - 3 Verify source ↗
Katika Kanuni hizi, isipokuwa kama maelezo yatahitaji
AI-assisted research summary: This section defines key terms used in the parliamentary rules.
3. Katika Kanuni hizi, isipokuwa kama maelezo yatahitaji vinginevyo:- “Akidi” ni idadi ya Wabunge inayoruhusu kufanya maamuzi ya Bunge kwa mujibu wa kanuni za 90, 91 na 92 za Kanuni hizi; “Azimio” ni tamko au uamuzi wa Bunge kuhusu hoja mahsusi; “Bendera” ni Bendera rasmi ya Bunge ambayo ina rangi ya bluu iliyoiva katika umbo la mstatili na yenye umbo dogo la bendera ya Taifa ndani yake katika pembe juu ya upande wa kushoto na Siwa, chini kukiwa na utepe wenye maneno “Bunge la Tanzania”; 1 Tangazo la Serikali Na. 626 (linaendelea) Kanuni Za Kudumu Za Bunge Sura ya 1 Sura ya 1 Sura ya 296 Sura ya 2 “Bunge” ni Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania lililoanzishwa kwa mujibu wa Ibara ya 62 ya Katiba; “Bunge Jipya” ni Mkutano wa Kwanza wa Bunge ulioitishwa na Rais kwa mujibu wa Ibara ya 90(1) ya Katiba baada ya kutangazwa matokeo ya Uchaguzi Mkuu; “Chama” ni Chama cha Siasa chenye uwakilishi Bungeni; “Gazeti” ni Gazeti la Serikali ya Jamhuri ya Muungano kama lilivyotafsiriwa katika Sheria ya Tafsiri ya Sheria; “Hoja” ni pendekezo linalotolewa na Serikali, Kamati au Mbunge ili lipate uamuzi wa Bunge; “Jamhuri ya Muungano” ni Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kama ilivyotafsiriwa kwenye Sheria ya Tafsiri ya Sheria; “Kamati” ni Kamati yoyote ya Bunge iliyoundwa kwa mujibu wa Kanuni hizi; “Kamati ya Bunge Zima” ni Kikao cha Wabunge wote wanapokaa kama Kamati wakati wa: (a) kupitisha Muswada wa Sheria; (b) kujadili taarifa ya Kamati Maalumu ya Uchunguzi kuhusu mashtaka dhidi ya Rais au Makamu wa Rais; (c) kujadili hoja ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu; au (d) kujadili hoja ya kumwondoa madarakani Spika au Naibu Spika. “Kamati Maalum” ni Kamati iliyoundwa na Spika kwa mujibu wa kanuni ya 144; “Kamati ya Matumizi” ni kikao cha Wabunge wote wanapokaa kama Kamati kushughulikia Makadirio ya Matumizi ya Fedha za Serikali; “Kamati ya Mipango” ni kikao cha Wabunge wote wanapokaa kama Kamati katika Mkutano wa kujadili na kushauri kuhusu mapendekezo ya mpango wowote wa muda mrefu au wa muda mfupi unaokusudiwa kutekelezwa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano; “Kambi Rasmi ya Walio Wachache Bungeni” ni Kambi inayoundwa na Vyama vyenye Wabunge Wachache Bungeni, kwa mujibu wa masharti ya kanuni ya 21 ya Kanuni hizi; “Katiba” ni Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977; “Katibu” ni Katibu wa Bunge aliyetajwa katika Ibara ya 87 ya Katiba na inajumuisha pia mtumishi mwingine yeyote wa Bunge aliyeidhinishwa kutekeleza kazi yoyote ya Katibu; “Kikao cha Bunge”ni kikao cha siku moja kinachoanza kwa kusomwa Dua na kumalizika kwa kuahirisha Bunge hadi siku itakayotajwa; 2 Tangazo la Serikali Na. 626 (linaendelea) Kanuni Za Kudumu Za Bunge aliyeteuliwa “Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Walio Wachache Bungeni” ni au kuchaguliwa na Wabunge Mbunge wanaounda Kambi Rasmi ya Walio Wachache Bungeni ili kuwa Kiongozi wa Kambi hiyo na inajumuisha Naibu Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Walio Wachache Bungeni; “Kiongozi wa Shughuli za Serikali Bungeni” ni Waziri Mkuu kama ilivyoainishwa katika Ibara ya 52(2) ya Katiba; “Kitabu cha Maamuzi” ni kumbukumbu za maamuzi mbalimbali ya Spika kuhusu suala lolote la utaratibu Bungeni; “Madaraka ya Bunge” ni haki na madaraka ya Bunge kama yalivyofafanuliwa katika Ibara ya 100 ya Katiba na katika Sheria ya Kinga, Madaraka na Haki za Bunge; “Maeneo ya Bunge” inajumuisha Ukumbi wa Bunge, sehemu zote za majengo zilipo kumbi, ofisi za Bunge, sehemu za ndani ya Ukumbi wa Bunge, bustani, eneo wazi linalomilikiwa au kutengwa kwa matumizi ya Bunge na inajumuisha maeneo yote yaliyorejewa kwenye tafsiri ya maeneo ya Bunge kwa mujibu wa Sheria ya Kinga, Madaraka na Haki za Bunge; “Maisha ya Bunge” ni muda wote unaoanzia tarehe ambapo Bunge Jipya limeitishwa na Rais kukutana kwa mara ya kwanza baada ya Uchaguzi Mkuu na kuishia tarehe ya kuvunjwa kwa Bunge kwa ajili ya kuwezesha Uchaguzi Mkuu mwingine wa kawaida kufanyika kama ilivyotafsiriwa na Ibara ya 65 ya Katiba; “Mbunge” ni mtu aliyechaguliwa au aliyeteuliwa kwa mujibu wa Ibara ya 66 ya Katiba kuwa mjumbe wa Bunge la Jamhuri ya Muungano; “Mkutano wa Bunge” ni mfululizo wa vikao vya Bunge, kuanzia kikao cha kwanza hadi cha mwisho; “Mgeni” ni mtu yeyote ambaye si Rais, Mbunge, Katibu au mtumishi yeyote na ambaye hatekelezi kazi rasmi zinazohusu Bunge; “Mnadhimu wa Chama kinachounda Serikali” ni Mbunge aliyeteuliwa na Chama cha Siasa kinachounda Serikali kwa ajili ya kuratibu na kusimamia maslahi na nidhamu ya Wabunge wa Chama au Kambi hiyo Bungeni; “Mnadhimu wa Kambi Rasmi ya Walio Wachache Bungeni” ni Mbunge aliyechaguliwa au aliyeteuliwa na Kambi Rasmi ya Walio Wachache Bungeni kwa ajili ya kuratibu na kusimamia maslahi na nidhamu ya Wabunge wa Kambi hiyo Bungeni; 3 Sura ya 296 Sura ya 296 Sura ya 115 Tangazo la Serikali Na. 626 (linaendelea) Kanuni Za Kudumu Za Bunge “Mpambe wa Bunge” ni mtumishi wa Ofisi ya Bunge anayetekeleza majukumu yaliyoainishwa katika kanuni ya 26 ya Kanuni hizi; “Msemaji wa Kambi Rasmi ya Walio Wachache” ni Mbunge aliyeteuliwa na Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Walio Wachache Bungeni kuwa Msemaji Mkuu wa Kambi ya Walio Wachache Bungeni kwa moja ya Wizara za Serikali; “Mwenyekiti” ni Mbunge aliyechaguliwa kuongoza Shughuli za Bunge na pia ina maana ya Spika, Naibu Spika au Mbunge mwingine anapokuwa anaongoza Kamati ya Bunge Zima, Kamati ya Matumizi au Kamati ya Mipango na inajumuisha Mbunge yeyote anayeongoza Kamati iliyoundwa kwa mujibu wa Kanuni au Mkutano wa Uchaguzi wa Spika; “Naibu Spika” ni Mbunge aliyetajwa kuwa Naibu Spika wa Bunge kwa mujibu wa Ibara ya 85 ya Katiba na kuchaguliwa kwa mujibu wa kanuni ya 11 ya Kanuni hizi; “Naibu Waziri” ni Mbunge aliyeteuliwa na Rais kuwa Naibu Waziri kwa mujibu wa Ibara ya 55(2) na (3) ya Katiba; “Ombi” ni wasilisho mahsusi linaloletwa Bungeni na Mbunge kwa niaba ya watu kwa mujibu wa kanuni ya 40 ya Kanuni hizi; “Orodha ya Shughuli” ni mpangilio mahsusi wa Shughuli za Bunge katika kila kikao cha Bunge; “Rais” ni mtu aliyechaguliwa kushika Kiti cha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kama ilivyoelekezwa katika Ibara ya 33 ya Katiba; fedha unaoisha, hatua “Randama” ni kitabu kinachofafanua majukumu yaliyopangwa kutekelezwa katika fungu husika, fedha zilizoidhinishwa kwa mwaka wa iliyofikiwa katika utekelezaji na inajumuisha fedha zilizotengwa na majukumu yaliyopangwa kutekelezwa katika mwaka wa fedha unaofuata; “sheria ndogo” ni amri, tamko la kisheria, taarifa ya kisheria na kanuni mbalimbali kama ilivyotafsiriwa na Sheria ya Tafsiri ya Sheria; “Shughuli Binafsi” ni shughuli zinazowasilishwa Bungeni na Kamati ya Kudumu ya Bunge au Mbunge; “Shughuli za Serikali” ni Shughuli zinazowasilishwa Bungeni na Waziri au Mwanasheria Mkuu wa Serikali; “Siwa” ni rungu la dhahabu linalotumika kama kielelezo cha mamlaka ya Bunge ambalo hubebwa na Mpambe wa Bunge akimtangulia Spika wakati wa kuingia na kutoka kwenye Ukumbi wa Bunge kabla na baada ya kikao cha Bunge; 4 Tangazo la Serikali Na. 626 (linaendelea) Kanuni Za Kudumu Za Bunge Sura ya 115 “Spika” ni Spika wa Bunge aliyetajwa katika Ibara ya 84 ya Katiba na kuchaguliwa kwa mujibu wa kanuni ya 9 ya Kanuni hizi; “Taarifa Rasmi za Bunge” ni taarifa za majadiliano ya Bunge au Kamati zilizoandaliwa kwa mujibu wa kanuni ya 169 ya Kanuni hizi; “Tume” ni Tume ya Utumishi wa Bunge iliyoanzishwa kwa mujibu wa Sheria ya Uendeshaji Bunge; “Waziri” ni Mbunge aliyeteuliwa na Rais kuwa Waziri wa Serikali kwa mujibu wa Ibara ya 55 ya Katiba; na “Wimbo wa Taifa” ni Wimbo wa Taifa wa Jamhuri ya Muungano. SEHEMU YA PILI UONGOZI WA SHUGHULI ZA BUNGE Spika - 1 Verify source ↗
Kanuni hizi zitaitwa Kanuni za Uchaguzi wa Spika na
AI-assisted research summary: These rules are called the Rules for the Election of the Speaker and Deputy Speaker.
1. Kanuni hizi zitaitwa Kanuni za Uchaguzi wa Spika na Naibu Spika. Matumizi - 2 Verify source ↗
Kanuni hizi zitatumika katika mchakato wa Uchaguzi wa
AI-assisted research summary: These regulations apply to the process for electing the Speaker and Deputy Speaker.
2. Kanuni hizi zitatumika katika mchakato wa Uchaguzi wa Spika na Naibu Spika. Tafsiri Sura ya 2 - 3 Verify source ↗
Katika Kanuni hizi,
AI-assisted research summary: This section defines key terms used in these regulations, including the nomination body, Clerk, candidate, election manager, vacancy, nomination day, Deputy Speaker, Speaker, and the election.
3. Katika Kanuni hizi, isipokuwa pale maelezo yatakapohitaji vinginevyo:- “Chombo cha Uteuzi” ni Chama kinachopendekeza mgombea au wagombea wake; “Katibu” ni Katibu wa Bunge aliyetajwa katika Ibara ya 87 ya Katiba na inajumuisha pia mtumishi mwingine yeyote wa Bunge aliyeidhinishwa kutekeleza kazi yoyote ya Katibu; “Mgombea” ni mtu aliyejitokeza au aliyependekezwa na Chama cha Siasa kuwa mgombea wa uchaguzi; “Msimamizi wa Uchaguzi” ni mtu ambaye kwa mujibu wa Kanuni hizi amepewa mamlaka ya kuendesha na kusimamia Uchaguzi; “Nafasi” ni nafasi wazi ya Spika, iliyotokea ama kutokana na kuvunjwa kwa Bunge au kutokana na nafasi itokeayo kwa nasibu; “Nafasi ya nasibu” ni nafasi wazi ya uwakilishi wa Wabunge isiyotokana na kuvunjwa kwa Bunge; “Siku ya uteuzi” ni siku ambayo imetangazwa na msimamizi wa uchaguzi kwamba ndiyo siku ya mwisho ya kupokea majina ya wagombea; 92 Tangazo la Serikali Na. 626 (linaendelea) Kanuni Za Kudumu Za Bunge “Naibu Spika” ni Naibu Spika wa Bunge aliyetajwa katika Ibara ya 85 ya Katiba; “Spika” ni Spika wa Bunge aliyetajwa katika Ibara ya 84 ya Katiba; na “Uchaguzi” ni Uchaguzi wa Spika au Naibu Spika. SEHEMU YA PILI MSIMAMIZI WA UCHAGUZI Uendeshaji na usimamizi wa Uchaguzi
Part
SEHEMU YA PILI
- 5 Verify source ↗
Kamati za Kudumu za Sekta ……………………………………
AI-assisted research summary: Section 5 is titled “Kamati za Kudumu za Sekta” (standing sector committees).
5. Kamati za Kudumu za Sekta …………………………………….. - 6 Verify source ↗
Kamati na Shughuli za Wizara …………………………………
AI-assisted research summary: Section title only: “Kamati na Shughuli za Wizara.”
6. Kamati na Shughuli za Wizara ………………………………….. - 7 Verify source ↗
Majukumu ya jumla ya Kamati za Sekta ………………………
AI-assisted research summary: This section is a heading for the general duties of sector committees in Part Three.
7. Majukumu ya jumla ya Kamati za Sekta ……………………… 125 125 126 xvi Tangazo la Serikali Na. 626 (linaendelea) Kanuni Za Kudumu Za Bunge SEHEMU YA TATU KAMATI ZA SEKTA MTAMBUKA - 4 Verify source ↗
Spika atakuwa ndiye Kiongozi wa Bunge na atatekeleza
AI-assisted research summary: The Speaker is the leader of Parliament and must carry out the Speaker’s duties according to the Constitution, the law, and these rules.
4. Spika atakuwa ndiye Kiongozi wa Bunge na atatekeleza majukumu yake kwa mujibu wa Katiba, Sheria na Kanuni hizi. Mamlaka ya Spika - 5 Verify source ↗
(1) Katika kutekeleza majukumu yake yaliyotajwa katika
AI-assisted research summary: The Speaker must follow these parliamentary rules and, if they do not give guidance, rely on the Constitution and related parliamentary sources. The Speaker also enforces the rules, may require immediate correction of violations, and handles complaint procedures and temporary presiding arrangements.
5.-(1) Katika kutekeleza majukumu yake yaliyotajwa katika Ibara ya 84 ya Katiba, Spika ataongozwa na Kanuni hizi na pale ambapo Kanuni hazikutoa mwongozo, basi Spika atafanya kazi kwa kuzingatia Katiba, Sheria nyingine za nchi, Kanuni nyingine zilizopo, maamuzi ya awali ya Maspika wa Bunge, pamoja na mila na desturi za Mabunge mengine yenye utaratibu wa kibunge unaofanana na utaratibu wa Bunge la Tanzania. (2) Spika atatilia nguvu Kanuni zote za Bunge, na Mbunge yeyote anaweza kusimama mahali pake na kumwarifu Spika kuwa Mbunge fulani amekiuka Kanuni. (3) Spika anaweza kumtaka Mbunge yeyote anayekiuka Kanuni hizi kujirekebisha mara moja. (4) Mbunge yeyote ambaye hataridhika na uamuzi wa Spika anaweza, ndani ya siku moja tangu uamuzi unaolalamikiwa kutolewa, kuwasilisha kwa maandishi malalamiko na sababu za kutoridhika kwake kwa Katibu wa Bunge ambaye atawasilisha malalamiko hayo kwa Spika. (5) Spika ataitisha Kikao cha Kamati ya Kanuni za Bunge kwa ajili ya kushughulikia uamuzi unaolalamikiwa. (6) Pale ambapo uamuzi unaolalamikiwa utakuwa umetolewa na Spika, Naibu Spika ataongoza kikao cha Kamati kitakachoitishwa na Spika kushughulikia malalamiko dhidi ya uamuzi uliotolewa na Spika. 5 Tangazo la Serikali Na. 626 (linaendelea) Kanuni Za Kudumu Za Bunge Majukumu ya Naibu Spika (7) Spika anaweza wakati wowote bila kutoa taarifa rasmi kwa Bunge kumtaka Naibu Spika au Mwenyekiti wa Bunge kuongoza Shughuli za Bunge. (8) Bila ya kuathiri masharti ya Katiba na ya Kanuni hizi, wakati wowote ambapo Spika hayupo Bungeni au kwa sababu nyingine yoyote hawezi kutekeleza madaraka au majukumu ya Spika, basi madaraka au majukumu ya Spika yatatekelezwa na Naibu Spika. (9) Endapo Spika, Naibu Spika na Wenyeviti wa Bunge wote hawapo, Wabunge watamchagua mmoja wa Wenyeviti wa Kamati za Kudumu za Bunge kuendesha Shughuli za Bunge kufuatana na utaratibu uliowekwa na Kanuni. - 6 Verify source ↗
(1) Naibu Spika aliyetajwa katika Ibara ya 85(1) ya Katiba,
AI-assisted research summary: Naibu Spika lazima afanye kazi kwa mujibu wa Katiba na Kanuni, na anaweza kumtaka Mwenyekiti wa Bunge aongoze shughuli za Bunge. Mwenyekiti wa Bunge hutekeleza madaraka au majukumu ya Spika na Naibu Spika wanapokuwa wote hawapo au hawawezi kutekeleza majukumu yao.
6.-(1) Naibu Spika aliyetajwa katika Ibara ya 85(1) ya Katiba, atachaguliwa kwa mujibu wa kanuni ya 11 kutoka miongoni mwa Wabunge na kushika madaraka yake kwa mujibu wa masharti ya Katiba na Kanuni. (2) Naibu Spika atakuwa msaidizi wa Spika katika kuliongoza Bunge na atatekeleza majukumu yake kwa mujibu wa Kanuni. (3) Bila ya kuathiri masharti ya Katiba na ya Kanuni, wakati wowote ambapo Spika na Naibu Spika wote hawapo Bungeni au kwa sababu nyingine yoyote, hawawezi kutekeleza madaraka au majukumu yao, basi madaraka au majukumu hayo yatatekelezwa na Mwenyekiti wa Bunge. (4) Naibu Spika anaweza wakati wowote, bila kutoa taarifa rasmi kwa Bunge, kumtaka Mwenyekiti wa Bunge kuongoza Shughuli za Bunge. Wenyeviti wa Bunge na majukumu yao - 7 Verify source ↗
Kutakuwa na Wenyeviti watatu wa Bunge ambao wataongoza
AI-assisted research summary: Bunge litakuwa na Wenyeviti watatu wanaoongoza vikao vya Bunge chini ya utaratibu na maelekezo ya Spika au Naibu Spika kwa mujibu wa Kanuni.
7. Kutakuwa na Wenyeviti watatu wa Bunge ambao wataongoza vikao vya Bunge kwa utaratibu na maelekezo ya Spika au Naibu Spika kwa mujibu wa Kanuni. Uadilifu kwa Kiongozi wa Bunge - 8 Verify source ↗
Kwa kuzingatia matakwa na masharti yaliyowekwa na kiapo
AI-assisted research summary: Spika lazima aongoze shughuli za Bunge na kufanya maamuzi kwa haki, uadilifu na bila upendeleo, na hafungwi na msimamo au makubaliano ya kamati ya chama cha siasa.
8. Kwa kuzingatia matakwa na masharti yaliyowekwa na kiapo cha kazi zake na kwa madhumuni ya utoaji wa maamuzi na uendeshaji wa Shughuli za Bunge kwa haki na bila upendeleo, Spika:- (a) ataendesha shughuli za Bunge na kutoa maamuzi kwa haki, uadilifu na bila chuki wala upendeleo wowote, kwa kuongozwa na Katiba, Sheria za nchi, Kanuni, Kanuni nyingine zilizopo, maamuzi ya maspika wa Bunge waliotangulia na pia kwa kuzingatia uzoefu pamoja na mila na desturi za mabunge mengine yanayofuata utaratibu wa kibunge unaofanana na unaofuatwa na Bunge la Tanzania; na 6 Tangazo la Serikali Na. 626 (linaendelea) Kanuni Za Kudumu Za Bunge (b) hatafungwa na msimamo utakaowekwa au makubaliano yatakayofikiwa na Kamati yoyote ya Chama cha Siasa kinachowakilishwa Bungeni. SEHEMU YA TATU UCHAGUZI WA SPIKA, NAIBU SPIKA NA WENYEVITI WA BUNGE Uchaguzi wa Spika Sura ya 258 Kiapo cha Spika - 4 Verify source ↗
Isipokuwa kama imeelezwa vinginevyo, uchaguzi wa
AI-assisted research summary: Uchaguzi wa Spika na Naibu Spika unaendeshwa na kusimamiwa na Katibu wa Bunge, isipokuwa kama kuna maelezo mengine, na kwa kufuata utaratibu wa Kanuni za Bunge na Kanuni hizi.
4. Isipokuwa kama imeelezwa vinginevyo, uchaguzi wa Spika na Naibu Spika utaendeshwa na kusimamiwa na Katibu wa Bunge, kwa mujibu wa utaratibu uliowekwa na Kanuni za Bunge pamoja na Kanuni hizi. Kuwasilisha majina ya wagombea SEHEMU YA TATU KUWASILISHA JINA LA MGOMBEA
Part
SEHEMU YA TANO
- 20 Verify source ↗
(1) Waziri Mkuu atakuwa Kiongozi wa Shughuli za
AI-assisted research summary: Waziri Mkuu ndiye Kiongozi wa Shughuli za Serikali Bungeni, na akihudhuria kwa zaidi ya siku moja akiwa hayupo Bungeni, lazima amteue Waziri mwingine kuwa kiongozi wa muda.
20.-(1) Waziri Mkuu atakuwa Kiongozi wa Shughuli za Serikali Bungeni kwa mujibu wa Ibara ya 52(2) ya Katiba. (2) Endapo Waziri Mkuu hatakuwepo Bungeni kwa kipindi kinachozidi siku moja, basi atamteua Waziri mwingine kuwa Kiongozi wa muda wa Shughuli za Serikali Bungeni. 11 Tangazo la Serikali Na. 626 (linaendelea) Kanuni Za Kudumu Za Bunge Kambi Rasmi ya Walio Wachache Bungeni Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Walio Wachache Bungeni Uteuzi wa Wanadhimu wa vyama Bungeni - 21 Verify source ↗
Wabunge wa Vyama vyenye Wabunge Walio Wachache
AI-assisted research summary: Wabunge wa vyama vya wachache bungeni wanaweza kuunda Kambi Rasmi ya Walio Wachache Bungeni ikiwa ni angalau asilimia 12.5 ya wabunge wote.
21. Wabunge wa Vyama vyenye Wabunge Walio Wachache Bungeni wanaweza kuunda Kambi Rasmi ya Walio Wachache Bungeni iwapo idadi yao itakuwa si chini ya asilimia kumi na mbili na nusu ya Wabunge wote. - 22 Verify source ↗
(1) Kutakuwa na Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Walio
AI-assisted research summary: This provision sets who may choose the parliamentary minority leader and deputy leader, and requires the minority leader to appoint members as principal spokespersons to government ministries.
22.-(1) Kutakuwa na Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Walio Wachache Bungeni ambaye atachaguliwa chini ya utaratibu ulioainishwa kwenye fasili za Kanuni hii zinazofuata. (2) Chama chenye Wabunge Wachache Bungeni hakitakuwa na haki ya kuchagua Kiongozi wa Walio Wachache Bungeni, isipokuwa tu kama kina idadi ya Wabunge wasiopungua asilimia kumi na mbili na nusu ya Wabunge wote. (3) Chama chenye haki ya kumchangua Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Walio Wachache Bungeni kinaweza pia kuchagua Naibu Kiongozi wa Kambi hiyo. (4) Endapo kutakuwa na Vyama vyenye Wabunge Wachache zaidi ya kimoja ambavyo kila kimoja kina Wabunge asilimia kumi na mbili na nusu au zaidi, basi Chama chenye idadi kubwa zaidi ya Wabunge kuliko vingine ndicho kitakuwa na haki ya kuchagua Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Walio Wachache Bungeni, lakini, ikiwa kutakuwa na vyama viwili au zaidi vyenye idadi sawa ya Wabunge ambao ni zaidi ya asilimia kumi na mbili na nusu, Wabunge wa vyama vinavyohusika watachagua Kiongozi wa Walio Wachache Bungeni chini ya utaratibu watakaokubaliana wenyewe. (5) Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Walio Wachache Bungeni atateua Wabunge wa Kambi hiyo ambao watakuwa wasemaji wakuu wa Kambi hiyo kwa Wizara zilizopo za Serikali. - 23 Verify source ↗
(1) Chama kinachounda Serikali na Chama chenye haki ya
AI-assisted research summary: Certain parliamentary parties must appoint whips and assistant whips, and represented political parties in Parliament may make party rules for better running their parliamentary affairs.
23.-(1) Chama kinachounda Serikali na Chama chenye haki ya kuchagua Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Walio Wachache Bungeni, vitateua Wanadhimu wa vyama hivyo Bungeni ambao watajulikana kwa jina la Mnadhimu wa Serikali na Mnadhimu wa Kambi Rasmi ya Walio Wachache Bungeni. (2) Vyama hivyo vitateua pia Wanadhimu Wasaidizi ambao idadi yao itaamuliwa na Vyama vyenyewe. (3) Mnadhimu wa Chama Kinachounda Serikali atakuwa kiungo cha mawasiliano kati ya Kiongozi wa Shughuli za Serikali Bungeni na Wabunge wa Chama kinachounda Serikali na Mnadhimu wa Kambi Rasmi ya Walio Wachache Bungeni atakuwa ni kiungo cha mawasiliano kati ya Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Walio Wachache Bungeni na Wabunge wa Walio Wachache Bungeni. 12 Tangazo la Serikali Na. 626 (linaendelea) Kanuni Za Kudumu Za Bunge (4) Vyama vya Siasa vyenye uwakilishi Bungeni vinaweza kutunga Kanuni za Vyama kwa ajili ya Uendeshaji bora wa shughuli za Vyama hivyo Bungeni. SEHEMU YA SITA KATIBU WA BUNGE NA SEKRETARIETI YA BUNGE Katibu wa Bunge na majukumu yake - 7 Verify source ↗
Endapo hadi kufikia saa kumi jioni ya siku ya uteuzi
AI-assisted research summary: If only one candidate has been submitted by 10 p.m. on election day, that candidate is put to a Yes/No vote and, if they get more Yes votes than No votes, the Election Supervisor declares them elected Speaker or Deputy Speaker.
7. Endapo hadi kufikia saa kumi jioni ya siku ya uteuzi kutakuwa na jina moja tu lililowasilishwa kwa Msimamizi wa Uchaguzi, mgombea huyo atapigiwa kura ya “Ndiyo” au iwapo atapata kura nyingi za “Ndiyo” “Hapana”, na atatangazwa na Msimamizi wa Uchaguzi kuwa amechaguliwa kuwa Spika au Naibu Spika. - 8 Verify source ↗
Endapo wamependekezwa wagombea wawili au
AI-assisted research summary: If there are two or more candidates, the Speaker or Deputy Speaker election follows set voting steps, including secret ballots, replacement of spoiled ballots, and supervised counting.
8. Endapo wamependekezwa wagombea wawili au zaidi, uchaguzi utafanyika kwa kufuata utaratibu ufuatao:- (a) Kabla ya kikao cha Bunge cha kumchagua Spika au Naibu Spika kuanza, Katibu ataandaa karatasi za kura ya wagombea wote zitakazoonesha majina waliopendekezwa na wakati wa kupiga kura atatoa karatasi moja tu ya kura kwa kila Mbunge; (b) Kila Mbunge atapiga kura ya siri kwa kuweka katika karatasi ya kura alama ya “V” katika mraba pembeni mwa jina la mgombea anayemtaka awe Spika au Naibu Spika, na ataitumbukiza karatasi hiyo katika sanduku la kura; (c) Mbunge ambaye kabla ya shughuli za uchaguzi kumalizika atakosea katika kuweka alama kwenye karatasi za kura ataruhusiwa kumrudishia Katibu karatasi hiyo, na papo hapo Katibu ataifuta na kuiharibu kisha kumpa Mbunge huyo karatasi nyingine; (d) Baada ya Katibu kuridhika kwamba Wabunge wote waliomo Bungeni wamepiga kura na kutumbukiza karatasi zao za kura kwenye masanduku ya kura, masanduku yote yatakusanywa na kuwekwa mahali panapoonekana na baada ya hapo masanduku hayo ya kura yatapelekwa kwenye chumba maalum na kura hizo zitahesabiwa chini ya usimamizi wa wawakilishi walioteuliwa na wagombea, mmoja kwa kila mgombea; na 94 Tangazo la Serikali Na. 626 (linaendelea) Kanuni Za Kudumu Za Bunge Matokeo ya uchaguzi (e) Endapo zoezi hili la uchaguzi litaendeshwa kwa mfumo wa elektroniki wa upigaji kura basi upigaji na uhesabuji kura utakuwa wa papo kwa papo na matokeo yake yatakuwa halali. SEHEMU YA SITA MATOKEO YA UCHAGUZI
Part
SEHEMU YA SITA
- 24 Verify source ↗
(1) Katibu wa Bunge kama alivyotajwa kwenye Ibara ya
AI-assisted research summary: Katibu wa Bunge must carry out a wide set of parliamentary administration tasks, including attending meetings, keeping records, preparing official reports, advising on bills and treaties, and safeguarding parliamentary documents and facilities.
24.-(1) Katibu wa Bunge kama alivyotajwa kwenye Ibara ya 87(1) ya Katiba, atawajibika kuhakikisha utekelezaji bora wa Shughuli za Bunge na kwa madhumuni hayo:- (a) atahudhuria au atawakilishwa katika vikao vyote vya Bunge na vikao vya Kamati; (b) atawajibika kuweka kumbukumbu zinazotakiwa ziwekwe kwa mujibu wa Kanuni; (c) atatayarisha Taarifa Rasmi za majadiliano ya Bunge kwa mujibu wa Kanuni; na (d) atatayarisha siku hadi siku, Kitabu cha Shughuli za Bunge na kukihifadhi Ofisini kwake, kikiwa kinaonesha:- (i) maagizo yote yaliyotolewa na Bunge; (ii) shughuli zote zilizopangwa kufanywa siku yoyote ya baadaye; na (iii) taarifa zote za maswali na hoja zilizokubaliwa na Spika. (2) Pamoja na majukumu yaliyoainishwa katika fasili ya (1), majukumu mengine ya Katibu yatakuwa ni: (a) kutoa ushauri wa kisheria kuhusu Miswada yote ya Sheria inayowasilishwa Bungeni; (b) kuchambua Miswada ya Sheria inayowasilishwa Bungeni na kuwasaidia Wabunge kupata uelewa sahihi wa Miswada hiyo; (c) kutoa ushauri kwa Bunge kupitia Kamati ya Kanuni za Bunge kuhusu marekebisho yoyote yanayohitajika kufanyika katika Kanuni za Kudumu za Bunge; (d) kutoa huduma za ushauri wa kisheria kwa Kamati za Bunge na Wabunge kila atakapohitajika kufanya hivyo; (e) kusaidia kuandaa Miswada Binafsi ya Sheria ya Kamati au Wabunge na Hoja Binafsi za Wabunge; (f) kuchambua mikataba yote ya Kimataifa iliyowasilishwa 13 Tangazo la Serikali Na. 626 (linaendelea) Kanuni Za Kudumu Za Bunge Bungeni kwa ajili ya kuridhiwa na Bunge kwa mujibu wa masharti ya Ibara ya 63(3) (e) ya Katiba, na kutoa ushauri wa kisheria kwa Bunge, Kamati za Bunge na Wabunge kuhusu mikataba husika; (g) kusaidia Wabunge kutayarisha marekebisho ya Muswada wa Sheria unaowasilishwa Bungeni; (h) kuhakikisha kuwa Muswada wowote wa Sheria uliopitishwa na Bunge unachapishwa kama ulivyopitishwa na Bunge na kuwasilishwa kwa Rais kwa ajili ya kupata kibali chake; na (i) kushughulikia masuala yote ya sheria yatakayopelekwa kwake na Spika. (3) Katibu atawajibika kutunza Kitabu cha Maamuzi ya Spika, Kitabu cha Shughuli, Taarifa Rasmi, Miswada ya Sheria na Hati nyingine zilizowasilishwa Bungeni, na Mbunge au Mtu yeyote anaweza kukagua kumbukumbu hizo wakati wowote unaofaa kwa kufuata utaratibu utakaowekwa na Spika. (4) Katibu ataweka kumbukumbu za maamuzi ya mara kwa mara ya Spika kuhusu masuala ya utaratibu Bungeni. (5) Katibu atawajibika kuhakikisha kuwa, Ukumbi wa Mikutano ya Bunge na mazingira yake, huduma kwa Wabunge na vifaa vingine vinavyohusika na Shughuli za Bunge, viko katika hali inayofaa kuliwezesha Bunge kutekeleza wajibu wake ipasavyo. - 25 Verify source ↗
(1) Bila ya kuathiri masharti ya Ibara ya 88 ya Katiba,
AI-assisted research summary: Ofisi ya Bunge lazima iwe na Sekretarieti, na Katibu wa Bunge ndiye mkuu wa Sekretarieti hiyo.
25.-(1) Bila ya kuathiri masharti ya Ibara ya 88 ya Katiba, Sheria ya Uendeshaji Bunge na Kanuni hizi kuhusu uwekaji wa nafasi na ngazi za utumishi, Ofisi ya Bunge itakuwa na Sekretarieti itakayoundwa na Idara, Sehemu na Vitengo mbalimbali kwa namna na idadi ambayo itaiwezesha kutoa huduma bora na kamilifu kwa Bunge, Wabunge na Kamati za Bunge. (2) Katibu wa Bunge atakuwa Kiongozi wa Sekretarieti ya Bunge kwa mujibu wa Ibara ya 88(3) ya Katiba. (3) Bila ya kuathiri masharti yaliyotangulia ya Kanuni hii, na Makatibu Wasaidizi wa Bunge, kwa idadi na ngazi mbalimbali kadri itakavyoamuliwa na Tume. (4) Kutakuwepo na watumishi wengine wa Bunge ambao nyadhifa, kazi na idadi yao vitaamuliwa na Tume. Sekretarieti ya Bunge Sura ya 115 Mpambe wa Bunge - 26 Verify source ↗
Kutakuwa na Mpambe wa Bunge ambaye atatekeleza
AI-assisted research summary: Parliamentary attendant must carry out parliamentary tasks and follow instructions from the Speaker, Deputy Speaker, Chairperson, or Clerk.
26. Kutakuwa na Mpambe wa Bunge ambaye atatekeleza shughuli mbalimbali za Bunge kwa kufuata maagizo atakayopewa na Spika, Naibu Spika, Mwenyekiti au Katibu, kwa kadri itakavyokuwa. 14 Tangazo la Serikali Na. 626 (linaendelea) Kanuni Za Kudumu Za Bunge Majukumu ya Mpambe wa Bunge - 27 Verify source ↗
(1) Pamoja na kutekeleza shughuli mbalimbali kwa
AI-assisted research summary: Mpambe wa Bunge anasimamia usalama na utulivu wa maeneo ya Bunge, anaweza kutoa maagizo kwa wahudumu wakati wa vikao, na anaweza pia kuagiza askari waliokabidhiwa kazi za Bunge.
27.-(1) Pamoja na kutekeleza shughuli mbalimbali kwa mujibu wa masharti ya kanuni ya 26, Mpambe wa Bunge:- (a) atasimamia masuala yote ya ulinzi na usalama wa ofisi, mali, vifaa na majengo yote ya Bunge; (b) atahakikisha utulivu na amani katika sehemu wanayokaa wageni na atawawekea utaratibu maalum wa kuingia na kutoka Bungeni; na (c) atamtangulia Spika, akiwa amebeba Siwa, wakati Spika anapoingia ukumbini kabla ya kikao na anapotoka kwenye Ukumbi wa Mikutano ya Bunge baada ya kikao kuisha. (2) Kwa madhumuni ya utekelezaji bora wa majukumu yake wakati wa vikao vya Bunge, Mpambe wa Bunge anaweza kutoa maagizo anayoona yanastahili kutolewa kwa wahudumu wa Bunge, na wahudumu hao watawajibika kutekeleza maagizo hayo. (3) Mpambe wa Bunge atawajibika kuratibu na kushauri juu ya usalama wa Ukumbi, majengo na vyumba vyote vya Bunge na pia sehemu zote za majengo yote yanayotumiwa na Bunge au Kamati za Bunge au Wabunge au watumishi wa Bunge. (4) Mpambe wa Bunge atakuwa na uwezo wa kutoa maagizo kwa askari mwingine yeyote aliyekabidhiwa kutekeleza majukumu kwenye Ukumbi wa Bunge na mazingira yake au kwenye majengo, vyumba au sehemu nyingine zinazotumiwa kwa ajili ya kutekeleza shughuli za Bunge kwa mujibu wa Kanuni hizi. SEHEMU YA SABA MIKUTANO NA VIKAO VYA BUNGE Mkutano wa Kwanza wa Bunge - 9 Verify source ↗
(1) Mgombea atakuwa amechaguliwa kuwa Spika au
AI-assisted research summary: Uchaguzi wa Spika au Naibu Spika unashinda kwa kupata zaidi ya nusu ya kura za Wabunge wote; ikiwa hakuna mshindi, kura hurudiwa kwa wagombea walioongoza, na hali ya kutokupata mshindi inaweza kumfanya Mwenyekiti au Spika apige kura ya uamuzi.
9.-(1) Mgombea atakuwa amechaguliwa kuwa Spika au Naibu Spika iwapo atapata zaidi ya nusu ya kura za Wabunge wote na iwapo hakutakuwa na mgombea aliyepata zaidi ya nusu ya kura hizo, uchaguzi utarudiwa lakini ni wagombea wawili tu waliopata kura nyingi zaidi ndio watakaopigiwa kura, na katika hatua hiyo, mgombea atakayepata kura nyingi zaidi atatangazwa kuwa mshindi. (2) Endapo wagombea wawili au zaidi watapata kura sawa katika nafasi ya mwanzo basi wagombea hao tu ndiyo watakaopigiwa kura na mgombea atakayepata kura nyingi zaidi atakuwa ndiye mshindi. (3) Iwapo wagombea wawili au zaidi watapata kura sawa katika nafasi ya pili na yule wa kwanza hajapata zaidi ya nusu ya kura zilizopigwa, basi wagombea hao wawili pamoja na yule wa kwanza ndio watakaopigiwa kura na mgombea atakayepata kura nyingi zaidi atakuwa ndiye mshindi. (4) Endapo awamu ya pili ya upigaji kura itashindwa kumpata mshindi, basi Mwenyekiti au Spika atapiga kura yake ya uamuzi ili mshindi apatikane. (5) Mara baada ya mshindi kupatikana, Katibu atamtangaza Spika au Naibu Spika aliyechaguliwa na Mwenyekiti au Spika atasitisha Mkutano wa uchaguzi na kutaja muda ambao Spika au Naibu Spika ataapishwa. _________ 95 Tangazo la Serikali Na. 626 (linaendelea) Kanuni Za Kudumu Za Bunge _________ NYONGEZA YA PILI _________ KANUNI ZA UCHAGUZI WA WABUNGE WANAOKWENDA KWENYE VYOMBO VINGINE VYA UWAKILISHI (Chini ya Kanuni ya 14) _________ SEHEMU YA KWANZA UTANGULIZI Jina Matumizi
Part
SEHEMU YA SABA
- 28 Verify source ↗
(1) Mkutano wa Kwanza wa Bunge Jipya utafanyika
AI-assisted research summary: Rais anatakiwa kutangaza mahali, tarehe, na saa ya Mkutano wa Kwanza wa Bunge Jipya kupitia tangazo kwenye Gazeti.
28.-(1) Mkutano wa Kwanza wa Bunge Jipya utafanyika mahali, tarehe na saa ambayo Rais atatamka kupitia tangazo litakalochapishwa katika Gazeti wakati akiitisha Mkutano wa Bunge Jipya. (2) Bila ya kuathiri masharti ya Kanuni hizi kuhusu kuanza, kusitishwa au kuahirishwa kwa vikao vya Bunge, Mkutano wa Kwanza wa Bunge utaendelea kwa muda wowote ambao utahitajika kwa ajili ya kutekeleza na kukamilisha Shughuli zote za Mkutano wa Kwanza wa Bunge Jipya. Shughuli za Mkutano wa Kwanza wa Bunge - 29 Verify source ↗
Shughuli za Mkutano wa Kwanza wa Bunge Jipya
AI-assisted research summary: The first sitting of the new Parliament must follow the listed sequence of business, including reading the President’s summons, electing the Speaker and Deputy Speaker, oaths, and related motions and opening formalities.
29. Shughuli za Mkutano wa Kwanza wa Bunge Jipya zitakuwa kama ifuatavyo:- (a) Kusomwa Tangazo la Rais la kuitisha Bunge; (b) Uchaguzi wa Spika; 15 Tangazo la Serikali Na. 626 (linaendelea) Kanuni Za Kudumu Za Bunge (c) Kiapo cha Spika; (d) Dua, Wimbo wa Taifa na Wimbo wa Jumuiya ya Afrika Mashariki; (e) Kiapo cha Uaminifu kwa Wabunge wote; (f) Hoja ya kuthibitisha uteuzi wa Waziri Mkuu; (g) Uchaguzi wa Naibu Spika; (h) Ufunguzi rasmi wa Bunge Jipya utakaofanywa na Rais; (i) Hoja ya kujadili Hotuba ya Rais; na (j) Shughuli yoyote ambayo Bunge litaona inafaa kushughulikiwa kwa wakati huo. Kiapo cha Uaminifu kwa Wabunge - 30 Verify source ↗
(1) Kwa kuzingatia Ibara ya 68 ya Katiba, kila Mbunge,
AI-assisted research summary: Mbunge lazima aapishwe na Spika kabla ya kushiriki shughuli za Bunge; Spika pia huwapisha wabunge wanaochaguliwa au kuteuliwa baada ya Uchaguzi Mkuu.
30.-(1) Kwa kuzingatia Ibara ya 68 ya Katiba, kila Mbunge, kabla ya kuanza kushiriki katika shughuli za Bunge, ataapishwa na Spika mbele ya Bunge Kiapo cha Uaminifu. (2) Bila ya kujali masharti ya fasili ya (1), endapo Mbunge atachaguliwa au kuteuliwa baada ya Uchaguzi Mkuu, Spika atamwapisha katika: (a) kikao chochote cha Bunge iwapo kuna Mkutano wa Bunge; au (b) eneo litakalopangwa na Spika iwapo hakuna Mkutano wa Bunge unaoendelea na baadaye Spika atatoa taarifa Bungeni kwenye Kikao cha Kwanza cha Mkutano wa Bunge unaofuata. (3) Wakati wa kuapa, Mbunge anayeamini kuwa kuna Mungu, atalazimika kushika Biblia au Kuran au kitabu kingine kitakatifu kinachotambuliwa na imani ya dini yake. (4) Iwapo Mbunge haamini kuwa kuna Mungu, hatashika Biblia au Kuran au kitabu chochote kitakatifu au kutamka maneno, “Ewe Mwenyezi Mungu nisaidie,” bali atalazimika kuinua mkono wake wa kuume juu. (5) Kiapo cha uaminifu cha Mbunge kitakuwa na maneno yafuatayo: “Mimi, ………..., naapa kwamba, nitakuwa mwaminifu kwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kuitumikia kwa moyo wangu wote na kwamba nitaihifadhi, nitailinda na kuitetea Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa mujibu wa Sheria iliyowekwa. Ewe Mwenyezi Mungu, nisaidie.” 16 Tangazo la Serikali Na. 626 (linaendelea) Kanuni Za Kudumu Za Bunge Kuthibitisha Uteuzi wa Waziri Mkuu - 31 Verify source ↗
(1) Baada ya shughuli ya kuwaapisha Wabunge kukamilika,
AI-assisted research summary: After MPs are sworn in, the Speaker must allow the President’s messenger to enter and deliver the President’s report, read it, and name the MP proposed as Prime Minister.
31.-(1) Baada ya shughuli ya kuwaapisha Wabunge kukamilika, Spika atatoa fursa kwa Mpambe wa Rais au mtu mwingine aliyetumwa na Rais kuingia ukumbini kwa lengo la kumkabidhi Spika Taarifa ya Rais inayotaja jina la Mbunge ambaye Rais anampendekeza kuthibitishwa na Bunge kuwa Waziri Mkuu. (2) Spika, baada ya kupokea Taarifa ya Rais iliyowailishwa chini ya fasili ya (1), ataisoma Taarifa hiyo na kulitaja jina la Mbunge anayependekezwa na Rais kuthibitishwa na Bunge kuwa Waziri Mkuu. (3) Baada ya Spika kutaja jina la Mbunge anayependekezwa, Mwanasheria Mkuu wa Serikali atatoa hoja ya kuliomba Bunge lithibitishe uteuzi wa Mbunge husika kuwa Waziri Mkuu. (4) Baada ya kuthibitisha uteuzi wa Waziri Mkuu, Bunge litamchagua Naibu Spika. (5) Iwapo Bunge litakataa kumthibitisha Waziri Mkuu, Spika atamjulisha Rais kuhusu uamuzi huo wa Bunge. Ufunguzi rasmi wa Bunge Jipya - 32 Verify source ↗
(1) Baada ya uchaguzi wa Naibu Spika, Spika atalitangazia
AI-assisted research summary: After the Deputy Speaker is elected, the Speaker must announce when and where the President will address and formally open the new Parliament, and may adjourn Parliament business or a sitting until then.
32.-(1) Baada ya uchaguzi wa Naibu Spika, Spika atalitangazia Bunge mahali, siku, tarehe na saa ambayo Rais atalihutubia na kulifungua rasmi Bunge Jipya na baada ya Tangazo hilo, Spika anaweza:- (a) kuahirisha Shughuli za Bunge hadi wakati huo; au (b) kuahirisha Kikao cha Bunge hadi siku na saa atakayoitaja. Mikutano ya kawaida ya Bunge (2) Rais atakapowasili katika viwanja vya Bunge, atapokelewa na Spika akifuatana na Waziri Mkuu na atakaribishwa kulihutubia na kisha kulifungua Rasmi Bunge Jipya. (3) Baada ya hotuba ya Rais, Waziri Mkuu atatoa hoja ya kuahirisha Bunge hadi siku, tarehe, mahali na saa atakayoitaja. - 33 Verify source ↗
(1) Isipokuwa kama itaelekezwa vinginevyo, kila Mkutano
AI-assisted research summary: Parliament meetings are generally held in Parliament House, Dodoma; the Speaker may change a meeting date for national interest, and the national and East African Community anthems must be played and sung at the first and last session of each meeting.
33.-(1) Isipokuwa kama itaelekezwa vinginevyo, kila Mkutano wa Bunge utafanyika katika Ukumbi wa Bunge Dodoma. (2) Wimbo wa Taifa na Wimbo wa Jumuiya ya Afrika Mashariki zitapigwa na kuimbwa katika kila kikao cha kwanza na cha mwisho kwa Mikutano yote ya Bunge kufuatana na utaratibu utakaowekwa na Bunge. (3) Bila ya kuathiri masharti yanayofuata ya Kanuni hii, kila Mkutano isipokuwa Mkutano wa Kwanza wa Bunge Jipya, utaanza tarehe itakayotajwa na Bunge. (4) Endapo manufaa ya Taifa yatahitaji kuwa Bunge lisikutane tarehe ile iliyowekwa kwa Mkutano utakaofuata, bali likutane tarehe ya mbele zaidi au ya nyuma zaidi, basi Spika anaweza, kuliita Bunge likutane tarehe hiyo ya mbele zaidi au nyuma zaidi. 17 Tangazo la Serikali Na. 626 (linaendelea) Kanuni Za Kudumu Za Bunge Muda wa Vikao vya Bunge (5) Iwapo Bunge litatakiwa kukutana tarehe ya mbele zaidi kuliko tarehe iliyotangazwa awali, basi tarehe hiyo mpya haitakuwa mbele zaidi ya siku kumi na nne kutoka tarehe iliyotangazwa hapo awali. - 34 Verify source ↗
(1) Vikao vya Mikutano ya Bunge, isipokuwa Kikao cha
AI-assisted research summary: This provision sets when parliamentary sittings start and end, and gives the Speaker power to suspend or adjourn proceedings in specified situations.
34.-(1) Vikao vya Mikutano ya Bunge, isipokuwa Kikao cha Kwanza cha Mkutano wa Kwanza wa Bunge Jipya, vitaanza saa tatu kamili asubuhi, ila tu, kama Bunge litaamua vinginevyo. (2) Bunge litakutana hadi saa saba kamili mchana ambapo Spika atasitisha shughuli yoyote itakayokuwa inafanyika hadi saa kumi na moja kamili jioni, isipokuwa kama Spika akiona inafaa, Bunge linaweza kuendelea kukutana kwa muda usiozidi dakika thelathini au kusitishwa wakati wowote kabla ya saa saba kamili mchana bila kulihoji Bunge, au Kamati ya Bunge Zima, au Kamati ya Matumizi, au Kamati ya Mipango ili kukamilisha shughuli zilizobaki. (3) Hoja ya kubadilisha nyakati za vikao itatolewa na Waziri na itaamuliwa kama hoja nyingine yoyote na haitahitaji kutolewa taarifa. (4) Bunge litaendelea kukaa hadi saa moja na dakika arobaini na tano usiku wakati ambapo Spika atasitisha shughuli na kuliahirisha hadi kesho yake au siku nyingine atakayoitaja. (5) Iwapo Shughuli zilizopangwa kwa siku hiyo zimemalizika kabla ya saa moja na dakika arobaini na tano usiku, Spika ataliahirisha Bunge bila kuhoji, lakini iwapo zimesalia dakika kumi kabla ya kufikia muda wa kuahirisha Kikao na Bunge, au Kamati ya Bunge Zima, au Kamati ya Matumizi, au Kamati ya Mipango bado haijamaliza shughuli zake, Spika anaweza kuongeza muda, kwa kadri atakavyoona inafaa, bila kulihoji Bunge au Kamati ya Bunge Zima au Kamati ya Matumizi ili kukamilisha shughuli zilizobaki. (6) Iwapo wakati wa kusitisha shughuli umefika na Spika atakuwa analihoji au yupo karibu kulihoji Bunge, basi hatasitisha shughuli mpaka hoja iwe imeamuliwa. (7) Baada ya hoja kuamuliwa, Waziri atatoa hoja ya kuahirisha Kikao cha Bunge hadi kesho yake au siku nyingine itakayotajwa. (8) Endapo Spika atakuwa amepokea taarifa ya Mbunge yeyote anayetaka kutoa maelezo binafsi, basi Spika hataliahirisha Bunge bali ataongeza muda usiozidi dakika thelathini bila ya kulihoji Bunge ili kutoa nafasi kwa Mbunge huyo aweze kutoa maelezo yake, isipokuwa kwamba, maelezo hayo sharti yawe yameandikwa na kuwasilishwa kwa Spika angalau siku moja kabla hayajatolewa na Mbunge kama yalivyowasilishwa. anayehusika atalazimika kuyasoma 18 Tangazo la Serikali Na. 626 (linaendelea) Kanuni Za Kudumu Za Bunge (9) Baada ya kusitisha Shughuli za Bunge, hakuna Shughuli nyingine yoyote itakayofanywa katika kikao hicho na Spika ataliahirisha Bunge hadi kesho yake au siku nyingine itakayotajwa. (10) Endapo majadiliano yoyote katika Bunge au katika Kamati ya Bunge Zima yatasitishwa na Spika kwa mujibu wa masharti ya Kanuni hii, wakati yatakaporudiwa katika Bunge au katika Kamati, yataendelezwa kuanzia hapo yalipositishwa na Mbunge yeyote ambaye hotuba yake ilikatizwa na Spika atakuwa na haki ya kuendelea na maelezo yake katika marudio ya mjadala huo na endapo Mbunge hakuitumia haki yake hiyo, basi atahesabiwa kuwa alikuwa amemaliza hotuba yake. (11) Bila ya kuathiri masharti ya Kanuni hii, wakati Spika anapotaka kuliahirisha Bunge, wakati huo unaweza kutumiwa kama fursa kwa Mbunge yeyote kutaka ufafanuzi utolewe na Waziri juu ya jambo lolote lililo chini ya madaraka ya Waziri huyo au kuanzisha mjadala juu ya jambo lolote la dharura kwa idhini ya Spika, isipokuwa kwa jambo ambalo haliwezi kujadiliwa bila hoja maalumu kutolewa kwanza kwa ajili hiyo. (12) Jambo lolote haliwezi kuwasilishwa na kujadiliwa kwa mujibu wa Kanuni hii, isipokuwa tu kama Mbunge amewasilisha kwa Spika Taarifa ya maandishi siyo chini ya saa ishirini na nne kabla ya kutolewa kwa jambo hilo Bungeni akieleza kwa ufupi msingi wa jambo analotaka kuzungumzia. (13) Jumla ya dakika zisizozidi thelathini zitatumika kwa mtoa hoja kuwasilisha Bungeni hoja yake pamoja na majadiliano na maamuzi ya Bunge kwa hoja husika. (14) Iwapo dakika thelathini zitapita tangu Spika alipotaka kuliahirisha Bunge chini ya fasili ya (7) na ya (10) ya kanuni hii, basi Spika atasitisha majadiliano yanayoendelea. (15) Iwapo shughuli zote zilizopangwa kwa ajili ya kikao hazijamalizika, Spika atalihoji Bunge kuhusu hoja ya kuahirisha kikao cha Bunge na baada ya hoja hiyo kuafikiwa, atakiahirisha kikao hicho hadi kikao kinachofuata ambacho, kama Bunge halikuamua vinginevyo, kitakuwa ni siku itakayofuata, isipokuwa tu kama itakuwa ni siku ya Jumamosi, Jumapili au siku ya mapumziko. Kuahirisha Bunge - 35 Verify source ↗
(1) Kila Mkutano wa Bunge utafungwa kwa kuliahirisha
AI-assisted research summary: Mkutano wa Bunge unaahirishwa ili kufungwa, na baada ya baadhi ya hatua za Spika, Katibu na Kiongozi wa Shughuli za Serikali Bungeni, shughuli za kikao hufuata mpangilio uliowekwa.
35.-(1) Kila Mkutano wa Bunge utafungwa kwa kuliahirisha Bunge hadi Mkutano utakaofuata. (2) Endapo Shughuli zote zilizowekwa kwenye Orodha ya Shughuli ya Mkutano zimekamilika, Katibu atatoa taarifa Bungeni kuhusu kukamilika kwa shughuli hizo kwa maneno yafuatayo: 19 Tangazo la Serikali Na. 626 (linaendelea) Kanuni Za Kudumu Za Bunge “Mheshimiwa Spika, kwa mujibu wa kanuni ya 35(2) ya Kanuni za Kudumu za Bunge, Toleo la ….naomba kutoa taarifa kwamba shughuli zote zilizowekwa kwenye Orodha ya Shughuli za Mkutano wa … wa Bunge sasa zimemalizika.” (3) Baada ya Taarifa ya Katibu kutolewa, Kiongozi wa Shughuli za Serikali Bungeni atatoa hoja ya kuahirisha Bunge itakayotaja siku, tarehe, mahali na saa ambapo Mkutano unaofuata utaanza. (4) Mara tu baada ya Bunge kupitisha hoja ya kuahirisha Mkutano wa Bunge, Wimbo wa Taifa na Wimbo wa Jumuiya ya Afrika Mashariki zitapigwa na kuimbwa kwa mujibu wa utaratibu uliowekwa na Bunge. SEHEMU YA NANE SHUGHULI ZA BUNGE Mpangilio wa Shughuli za Bunge 36-(1) Rais anaweza kulihutubia Bunge siku yoyote ambayo Bunge linakutana na wakati mwingine wowote kwa mujibu wa Ibara ya 91 ya Katiba. (2) Wakati wa kuanza Kikao cha Kwanza cha Mkutano wowote wa Bunge baada ya Wimbo wa Taifa na Wimbo wa Jumuiya ya Afrika Mashariki kupigwa na kuimbwa na Dua kusomwa au kwa vikao vinavyofuata, Dua pekee kusomwa na Spika kukalia kiti chake:- (a) kama Spika amepata taarifa kuwa Rais anakusudia kulihutubia Bunge siku hiyo, Spika atalitangazia Bunge ni wakati gani Rais atafanya hivyo; (b) wakati uliopangwa kwa ajili ya Rais kulihutubia Bunge utakapofika, Spika atampokea Rais na kumkaribisha alihutubie Bunge; na (c) baada ya hotuba ya Rais, Spika anaweza ama kusitisha kikao kwa muda ili amsindikize Rais au kuliahirisha Bunge hadi siku nyingine itakayotajwa. (3) Baada ya kushauriana na Kamati ya Uongozi, Spika atatenga muda kwa ajili ya kujadili hotuba ya Rais. (4) Shughuli za Bunge zitaendeshwa kwa mpangilio ufuatao:- (a) kuwaapisha Wabunge wapya Kiapo cha Uaminifu; (b) taarifa ya Rais; (c) taarifa ya Spika; (d) kuwasilisha maombi; 20 Tangazo la Serikali Na. 626 (linaendelea) Kanuni Za Kudumu Za Bunge (e) hati za kuwasilisha Bungeni; (f) maswali kwa Waziri Mkuu; (g) maswali ambayo taarifa zake zimetolewa; (h) hoja za kuahirisha shughuli ili kujadili mambo muhimu ya dharura; (i) kauli za Mawaziri; (j) maelezo binafsi ya Mbunge; (k) mambo yanayohusu haki za Bunge, ikiwa ni pamoja na kuzifanyia mabadiliko Kanuni za Bunge; (l) shughuli za Serikali; (m) hoja au taarifa za Kamati; (n) hoja binafsi za Wabunge; na (o) shughuli yoyote ambayo Bunge kushughulikiwa kwa wakati huo. litaona inafaa (5) Bila ya kuathiri masharti mengine ya Kanuni hii na baada ya kushauriana na Kamati ya Uongozi, katika kila Mkutano wa Bunge Spika atatenga muda mahususi kwa ajili ya Bunge kushughulikia Hoja Binafsi na Miswada ya Kamati na Miswada Binafsi ya Wabunge kama itakuwepo. (6) Shughuli za Bunge katika kila kikao zitatekelezwa kwa kufuata Orodha ya Shughuli za siku hiyo au kwa kufuata utaratibu mwingine ambao Spika ataagiza ufuatwe kwa ajili ya uendeshaji bora wa shughuli za Bunge. Dua ya kuiombea Nchi yetu na Bunge
Part
SEHEMU YA NANE
- 37 Verify source ↗
(1) Katika kila kikao cha Bunge, Spika au Kiongozi wa
AI-assisted research summary: At each parliamentary sitting, the Speaker or the leader opening the day’s sitting must read a prayer for the country and Parliament before starting scheduled business.
37.-(1) Katika kila kikao cha Bunge, Spika au Kiongozi wa Bunge anayefungua Kikao cha siku, kabla ya kukalia Kiti cha Spika, atasoma Dua ya kuiombea nchi na Bunge kabla ya kuanza kwa Shughuli za Bunge zilizopangwa. (2) Dua ya kuiombea nchi na kuliombea Bunge itakuwa na maneno yafuatayo:- “Ewe MWENYEZI MUNGU Mtukufu, Muumba Mbingu na Dunia, umeweka katika Dunia Serikali za Wanadamu na Mabunge ya Mataifa ili haki yako itendeke. Twakuomba, uibariki nchi yetu idumishe uhuru, umoja, haki na amani, umjalie Rais wetu hekima, afya njema na maisha marefu ili pamoja na wanaomshauri, wadumishe utawala bora. Utuongezee hekima na busara, sisi Wabunge wa Bunge hili la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na utupe uwezo wa kujadili kwa dhati, mambo yatakayoletwa mbele yetu leo, ili tufanye maamuzi sahihi yenye manufaa kwa watu wote na ustawi wa nchi yetu. Amina.” 21 Tangazo la Serikali Na. 626 (linaendelea) Kanuni Za Kudumu Za Bunge Taarifa ya Rais Taarifa ya Spika Kuwasilisha Ombi na taarifa ya Ombi - 38 Verify source ↗
(1) Taarifa ya Rais, kama ipo, itasomwa na Spika
AI-assisted research summary: Kama ipo, Taarifa ya Rais lazima isomwe na Spika, na Spika anaweza kusitisha shughuli za Bunge ili kuruhusu taarifa hiyo isomwe.
38.-(1) Taarifa ya Rais, kama ipo, itasomwa na Spika. (2) Kila inapowezekana, taarifa ya Rais itasomwa Bungeni kwa kufuata mpangilio wa Shughuli za Bunge, lakini Spika anaweza, wakati wowote, kusitisha shughuli za Bunge kwa madhumuni ya kuwezesha taarifa hiyo isomwe. - 39 Verify source ↗
(1) Spika atatoa taarifa Bungeni kuhusu Miswada yote
AI-assisted research summary: Spika must report to Parliament on all bills passed in the previous session, including whether the President approved them or made another decision. Spika may also give other reports in any session if he considers it appropriate.
39.-(1) Spika atatoa taarifa Bungeni kuhusu Miswada yote iliyopitishwa na Bunge katika Mkutano wake uliotangulia, yaani kama imekubaliwa na Rais au kama Rais ametoa uamuzi mwingine. (2) Spika anaweza kutoa taarifa nyingine yoyote katika kikao chochote kadri atakavyoona inafaa. - 40 Verify source ↗
(1) Mbunge yeyote anaweza kuwasilisha Bungeni ombi
AI-assisted research summary: Mbunge anaweza kuwasilisha ombi Bungeni, lakini lazima aripoti ombi hilo kwa Katibu kwa maandishi angalau siku mbili za kazi kabla ya Mkutano; pia kuna masharti ya maelezo ya kuambatanisha na vizuizi kwa ombi linalomhusu Mbunge mwenyewe au linalohusu fedha.
40.-(1) Mbunge yeyote anaweza kuwasilisha Bungeni ombi kuhusu jambo lolote kwa niaba ya watu wanaotoa ombi hilo, na ombi hilo halitawasilishwa Bungeni mpaka kwanza taarifa ya ombi hilo iwe imetolewa kwa maandishi na kupokelewa na Katibu si chini ya siku mbili za kazi kabla ya Mkutano ambapo ombi hilo linakusudiwa kuwasilishwa. (2) Ombi lolote linaweza kuwasilishwa Bungeni na Mbunge, likionesha jina la Mbunge anayeliwasilisha. (3) Mbunge anayewasilisha ombi atatoa maelezo mafupi ya kutambulisha watu wanaotoa ombi hilo, idadi yao, saini zilizoambatanishwa kwenye ombi hilo, madai ya msingi yaliyomo, na madhumuni ya ombi hilo. (4) Baada ya kutimiza masharti ya fasili ya (3) ya kanuni hii, Mbunge anayewasilisha ombi anaweza kutoa hoja kwamba, Bunge lijadili ombi hilo, isipokuwa kwamba hoja hiyo haitahitaji kutolewa taarifa na inaweza kuamuliwa bila mjadala wowote. (5) Mbunge yeyote hataruhusiwa kuwasilisha ombi linalomhusu yeye mwenyewe au ambalo yeye amelitia saini yake au ambalo linakiuka masharti yanayohusiana na utaratibu wa kutunga Sheria kuhusu mambo ya fedha. Masharti kuhusu Ombi - 41 Verify source ↗
Ombi lolote halitawasilishwa Bungeni isipokuwa tu kama
AI-assisted research summary: A petition may not be submitted to Parliament unless the Speaker is satisfied it meets the listed requirements.
41. Ombi lolote halitawasilishwa Bungeni isipokuwa tu kama Spika ataridhika kuwa limezingatia masharti yafuatayo:- (a) limeandikwa katika lugha ya Kiswahili au Kiingereza; (b) limeandikwa kwa lugha fasaha na ya heshima; na (c) limehitimishwa kwa maelezo ya jumla kuhusu madhumuni ya ombi hilo. Kuwasilisha Nakala ya Ombi - 42 Verify source ↗
Nakala ya ombi itawasilishwa na Mbunge kwa Katibu si
AI-assisted research summary: Mbunge lazima awasilishe nakala ya ombi kwa Katibu angalau siku mbili za kazi kabla ya kuwasilishwa Bungeni.
42. Nakala ya ombi itawasilishwa na Mbunge kwa Katibu si chini ya siku mbili za kazi kabla ya siku ya kuwasilishwa Bungeni. 22 Tangazo la Serikali Na. 626 (linaendelea) Kanuni Za Kudumu Za Bunge Hati za kuwasilisha Bungeni Maswali kwa Waziri Mkuu - 43 Verify source ↗
(1) Hati inaweza kuwasilishwa Bungeni wakati wa Kikao
AI-assisted research summary: Section 43 says certain people may present bills and related documents to Parliament, some documents must be laid and distributed, and some motions and debates are handled without notice or debate.
43.-(1) Hati inaweza kuwasilishwa Bungeni wakati wa Kikao cha Bunge na:- (a) Waziri; (b) Mwanasheria Mkuu wa Serikali; (c) Kamati yoyote ya Bunge; au (d) Mbunge yeyote. (2) Nakala za matoleo yote ya Gazeti pamoja na Nyongeza zake zilizochapishwa tangu kikao cha mwisho cha Mkutano wa Bunge uliopita, zitawasilishwa Bungeni na Waziri na kugawiwa kwa Wabunge. (3) Hati zote zitawasilishwa Bungeni bila kutolewa hoja yoyote kwa ajili hiyo. (4) Baada ya hati kuwasilishwa Bungeni, Waziri, Mwanasheria Mkuu wa Serikali au Mbunge, anaweza kutoa hoja kwamba Bunge lijadili hati hiyo. (5) Hoja inayotolewa kwa mujibu wa Kanuni hii haitahitaji kutolewa taarifa na itaamuliwa bila ya mabadiliko au mjadala wowote. (6) Hoja ya kujadili hati iliyowasilishwa Bungeni ikikubaliwa, itashughulikiwa kwa kufuata Mpangilio wa Shughuli za Bunge. (7) Taarifa zinazowasilishwa Bungeni na Kamati yoyote ya Kudumu, Kamati Teule, Taarifa ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali pamoja na Mapendekezo ya Matumizi ya Nyongeza ya Fedha zitatengewa muda wa kujadiliwa Bungeni bila hoja kutolewa. (8) Taarifa ambazo Sheria inaelekeza ziwasilishwe Bungeni zitajadiliwa na Kamati husika za Kudumu za Bunge. (9) Mjadala unaweza kuzingatia kila jambo lililomo katika hati, isipokuwa kama Spika, kwa kuzingatia uendeshaji bora wa shughuli za Bunge, ataamua vinginevyo. - 44 Verify source ↗
(1) Waziri Mkuu anaweza kuulizwa maswali na Mbunge
AI-assisted research summary: This section sets out Prime Minister’s Question Time: any Member of Parliament may ask the Prime Minister questions, subject to parliamentary question rules and the Sixth Schedule guide.
44.-(1) Waziri Mkuu anaweza kuulizwa maswali na Mbunge yeyote ambayo yatazingatia masharti kuhusu maswali ya Bunge pamoja na Mwongozo uliowekwa na Nyongeza ya Sita ya Kanuni hizi. (2) Maswali atakayoulizwa Waziri Mkuu hayatakuwa na taarifa ya awali kama maswali mengine. (3) Kipindi cha Maswali kwa Waziri Mkuu kitakuwa kila siku ya Alhamisi na hakitazidi dakika thelathini. (4) Waziri Mkuu anaweza kutumia Kipindi cha Maswali kwa Waziri Mkuu kutoa taarifa au ufafanuzi kuhusu suala lolote linalohusiana na shughuli za Serikali na lenye maslahi kwa umma kwa muda usiozidi dakika kumi, ikifuatiwa na maswali ya 23 Tangazo la Serikali Na. 626 (linaendelea) Kanuni Za Kudumu Za Bunge Maswali na taarifa ya Maswali Wabunge kwa dakika ishirini kuhusu taarifa yake au masuala mengine yoyote ya Serikali. (5) Iwapo siku hiyo, kwa sababu maalum, Waziri Mkuu hatakuwepo Bungeni hakutakuwa na maswali kwa Waziri Mkuu. (6) Pamoja na kutawaliwa na masharti kuhusu maswali ya Bunge yaliyowekwa na Kanuni hizi, maswali kwa Waziri Mkuu yatatawaliwa pia na Mwongozo uliowekwa na Nyongeza ya Sita ya Kanuni hizi. (7) Maswali kwa Waziri Mkuu yatafuatiwa na maswali mengine kwa Mawaziri kwa dakika sitini wakati wa Vikao vya Kawaida vya Bunge na kwa dakika thelathini wakati wa Mkutano wa Bunge la Bajeti, kama yatakavyokuwa yamepangwa kwenye Orodha ya Shughuli ya siku hiyo. - 45 Verify source ↗
(1) Kwa madhumuni ya utekelezaji bora wa masharti ya
AI-assisted research summary: This provision sets rules for Parliamentary Questions: questions should be brief, the question notice must be filed in writing at least 21 days before the next meeting, and oral answers are normally given in Parliament.
45.-(1) Kwa madhumuni ya utekelezaji bora wa masharti ya Ibara ya 63(2) na (3) (a) ya Katiba, kutakuwa na Kipindi cha Maswali Bungeni ambapo, Waziri anaweza kuulizwa maswali kuhusu masuala yoyote ya umma au jambo lingine lolote ambalo linasimamiwa na Wizara yake, na vilevile Mbunge yeyote anaweza kuulizwa maswali kuhusu mambo yoyote anayohusika nayo kutokana na kuteuliwa na Bunge kushughulikia mambo hayo. (2) Maswali yanayoulizwa kwa mujibu wa Kanuni hii yatakuwa mafupi kwa kadri inavyowezekana na kila swali litahusu jambo moja tu mahsusi. (3) Taarifa ya swali itatolewa kwa maandishi na itapelekwa na kumfikia Katibu si chini ya siku ishirini na moja kabla ya tarehe ya Mkutano unaofuata kuanza. (4) Taarifa zote za maswali zitaingizwa kwenye Kitabu cha Shughuli za Bunge kuonesha kuwa zimepokelewa na maswali yote yaliyopangwa kujibiwa yatawekwa kwenye Orodha ya Shughuli za siku inayohusika. (5) Waziri aliyeulizwa swali atatoa jibu lake papo hapo wakati wa kipindi cha Maswali. (6) Endapo swali halikujibiwa siku hiyo kwa sababu ya muda wa maswali kumalizika, litapangiwa nafasi ya kujibiwa siku nyingine katika Mkutano huo, kama swali hilo lilipangwa kujibiwa siku ambayo Mkutano wa Bunge unaahirishwa, swali hilo linaweza kupangwa kujibiwa katika Mkutano unaofuata. (7) Kwa madhumuni ya fasili ya (1), endapo swali lililoulizwa limeelekezwa kwa Mbunge, basi kwa idhini ya Spika, Mbunge ambaye swali limeelekezwa kwake atapewa fursa ya kujibu swali hilo. 24 Tangazo la Serikali Na. 626 (linaendelea) Kanuni Za Kudumu Za Bunge (8) Maswali yatajibiwa Bungeni kwa mdomo na endapo Mbunge mwenye swali hayupo Bungeni kuuliza swali lake, na Spika hakutoa ruhusa kwa swali hilo kuulizwa na Mbunge mwingine, basi Waziri aliyeulizwa swali atapeleka kwa Katibu jibu la maandishi naye Katibu ataliingiza jibu hilo kwenye Taarifa Rasmi. (9) Katika hali ya kawaida, Mbunge haruhusiwi kuuliza zaidi ya maswali manne yanayohitaji majibu ya mdomo katika Mkutano mmoja wa Bunge. (10) Endapo kwa maoni ya Spika, swali lililoulizwa na Mbunge siyo la sera na majibu yake ni marefu au linahitaji takwimu, basi litajibiwa kwa maandishi na litaorodheshwa kwenye Orodha ya Shughuli na kuonyesha kwamba limejibiwa kwa maandishi na Wabunge wote watagawiwa nakala. swali hilo (11) Bila ya kuathiri masharti ya fasili ya (5), swali aliloulizwa linaweza kujibiwa na Waziri mwingine au Waziri yeyote Mwanasheria Mkuu wa Serikali. (12) Maswali yote katika Mkutano mmoja yatapewa namba zinazofuatana kwa mfululizo na namba zilizotolewa kwa kila swali zitaingizwa kwenye Kitabu cha Shughuli za Bunge. (13) Maswali yote ambayo yamepangwa kujibiwa katika Kikao kimoja, yanaweza kuwekwa pamoja kwenye Orodha ya Shughuli na kujibiwa kwa zamu kadri itakavyooneshwa kwenye Orodha ya Shughuli. (14) Bunge linapovunjwa, maswali yote ambayo hayakuwahi kujibiwa katika uhai wa Bunge hilo yatatenguka. - 46 Verify source ↗
(1) Spika, kwa kuzingatia uendeshaji bora wa shughuli za
AI-assisted research summary: Spika anaweza kuweka siku ya kila wiki kwa maswali ya Bunge; Mbunge anayepanga kuuliza swali lazima aliwasilishe siku moja kabla, na kwa ruhusa ya Spika anaweza kuuliza swali moja la nyongeza.
46.-(1) Spika, kwa kuzingatia uendeshaji bora wa shughuli za Bunge, anaweza kuteua siku moja katika juma ambapo Wabunge lolote watapewa nafasi ya kuuliza maswali kuhusu lililojitokeza mapema linaloihusu jamii. jambo (2) Mbunge anayekusudia kuuliza swali atawasilisha swali lake siku moja kabla ya siku ya kuuliza swali. (3) Mbunge anayeuliza swali anaweza, kwa ruhusa ya Spika, kuuliza swali moja la nyongeza linaloendana na swali la msingi. (4) Maswali yaliyowasilishwa kwa mujibu wa fasili ya (2) na hayakupata fursa ya kujibiwa Bungeni, majibu yake yatawasilishwa kwa Mbunge husika kwa maandishi. (5) Masharti mengine kuhusu utaratibu wa maswali yaliyoainishwa katika Kanuni yatazingatiwa katika utekelezaji wa masharti ya kanuni hii. 25 Maswali kuhusu jambo lililojitokeza mapema Tangazo la Serikali Na. 626 (linaendelea) Kanuni Za Kudumu Za Bunge Masharti kuhusu Maswali ya Bunge - 47 Verify source ↗
Swali lolote la Bunge halitaruhusiwa kuulizwa Bungeni
AI-assisted research summary: A parliamentary question must not be asked in Bunge if it falls within any of the listed disallowed categories.
47. Swali lolote la Bunge halitaruhusiwa kuulizwa Bungeni kama:- (a) linakiuka Kanuni yoyote ya Bunge; (b) linashutumu tabia ya mwenendo wa Mtu yeyote ambaye tu kujadiliwa kwa hoja mwenendo wake unaweza maalumu; (c) linahitaji habari ambazo zinapatikana katika hati ambazo Mbunge anaweza kujisomea mwenyewe kama vile nakala za Sheria au maandiko ya kumbukumbu za kawaida; (d) limekusudiwa kupata maoni ya kisheria ya kinadharia au kutoa mapendekezo juu ya jambo la kubahatisha tu; (e) lina maelezo ya dhihaka, uongo, sifa zisizolazimu, au linatokana na habari za kubahatisha tu; (f) lina madhumuni ya kutoa habari, au linaulizwa kwa njia inayoonesha jibu lake au kutambulisha mkondo fulani wa maoni; (g) linahusu jambo zaidi ya moja na ni refu kupita kiasi; au (h) linamtaja mtu yeyote kwa jina au kutoa maelezo mahususi juu yake ila tu kama ni lazima ili kulifanya lieleweke. Kuondoa Swali - 48 Verify source ↗
Mbunge anayeuliza swali anaweza kuliondoa swali lake
AI-assisted research summary: Mbunge aliyouliza swali anaweza kuliondoa kabla halijajibiwa.
48. Mbunge anayeuliza swali anaweza kuliondoa swali lake wakati wowote kabla halijajibiwa:- (a) kwa kuwasilisha barua ya kufanya hivyo kwa Katibu iwapo siku iliyopangwa kwa swali hilo kujibiwa haijafika; au (b) iwapo swali husika tayari limewekwa kwenye Orodha ya lake Shughuli, kwa kusimama mahali pake linapoitwa wakati wa maswali na kutamka kuwa analiondoa swali lake na kueleza kwa kifupi sababu za kufanya hivyo. jina Jinsi ya Kuuliza Swali - 49 Verify source ↗
(1) Wakati swali linalohusika litakapofikiwa katika Orodha
AI-assisted research summary: When a question is reached in the business list, the Speaker calls the member who owns the question, or another member to ask it for them if they are absent.
49.-(1) Wakati swali linalohusika litakapofikiwa katika Orodha ya Shughuli, Spika atamwita Mbunge mwenye swali hilo au kama hayupo, Spika atamwita Mbunge mwingine yeyote aulize swali hilo kwa niaba ya Mbunge mwenye swali. (2) Mbunge atakayeitwa atasimama na kuuliza swali, pamoja na masahihisho (kama yapo), kwa kutamka maneno yafuatayo bila ya kuongeza jambo lingine lolote: “Naomba swali langu (atataja namba ya swali lake lililopo kwenye Orodha ya Shughuli) sasa lijibiwe.” 26 Tangazo la Serikali Na. 626 (linaendelea) Kanuni Za Kudumu Za Bunge Muda wa Maswali Maswali ya Nyongeza Maswali ya nyongeza yasiyo- ruhusiwa Maswali kujibiwa kikamilifu - 50 Verify source ↗
(1) Muda wa Maswali Bungeni utakuwa dakika tisini,
AI-assisted research summary: Muda wa Maswali Bungeni ni dakika 90, lakini ni dakika 60 katika Mkutano wa Bunge la Bajeti. Spika anaweza kuweka kikomo cha juu cha maswali katika Orodha ya Shughuli ambayo yanaweza kujibiwa ndani ya muda uliowekwa.
50.-(1) Muda wa Maswali Bungeni utakuwa dakika tisini, isipokuwa katika Mkutano wa Bunge la Bajeti, ambapo muda utakuwa dakika sitini. (2) Spika anaweza kuweka kiwango cha juu cha maswali yatakayowekwa katika Orodha ya Shughuli ambayo anaona yanaweza kujibiwa katika muda uliowekwa. - 51 Verify source ↗
(1) Maswali ya nyongeza yanaweza kuulizwa na Mbunge
AI-assisted research summary: Maswali ya nyongeza yanaweza kuulizwa na Mbunge, lakini kuna mipaka ya idadi na masharti fulani.
51.-(1) Maswali ya nyongeza yanaweza kuulizwa na Mbunge yeyote kwa madhumuni ya kupata ufafanuzi zaidi juu ya jambo lolote lililotajwa katika jibu lililotolewa. (2) Mbunge anayeuliza swali la msingi ataruhusiwa kuuliza maswali ya nyongeza yasiyozidi mawili na Mbunge yeyote atakayepewa nafasi ataruhusiwa kuuliza swali moja tu la nyongeza. (3) Kwa madhumuni ya Kanuni hii, swali ambalo litawekwa katika vifungu vya (a) na (b) litahesabiwa kuwa ni maswali mawili. (4) Isipokuwa kama Spika ataamua vinginevyo, Wabunge watakaouliza maswali ya nyongeza hawatazidi watatu kwa swali moja la msingi, na Mbunge hataruhusiwa kusoma swali lake. (5) Mbunge ambaye siyo muuliza swali la msingi akipata nafasi ya kuuliza swali la nyongeza na iwapo hataridhika na majibu ya Serikali anaweza kuleta swali la msingi kwa ajili hiyo. - 52 Verify source ↗
(1) Swali lolote la nyongeza linaloleta mambo yasiyotokana
AI-assisted research summary: Supplementary questions that introduce unrelated matters or violate the rules or procedures for asking questions must be rejected.
52.-(1) Swali lolote la nyongeza linaloleta mambo yasiyotokana linalokiuka masharti la msingi au au kuhusiana na swali yanayohusiana na taratibu za kuulizwa maswali litakataliwa. (2) Endapo Spika atakataa swali la nyongeza linalokiuka masharti ya Kanuni hizi, swali hilo halitajibiwa wala halitaoneshwa kwenye Taarifa Rasmi. - 53 Verify source ↗
(1) Waziri anayeulizwa swali atakuwa na wajibu wa
AI-assisted research summary: A minister must answer a question fully, may give the questioner a copy of the answer early in some cases, other ministers or the Attorney General may give supplementary answers, and the Speaker may require a better answer at a later sitting if the answer is not satisfactory.
53.-(1) Waziri anayeulizwa swali atakuwa na wajibu wa kulijibu swali hilo kwa ukamilifu kama lilivyoulizwa, isipokuwa kwamba, kama jibu linalohusika ni refu au lina takwimu nyingi, Waziri atampa Mbunge muuliza swali nakala ya jibu mapema baada ya kikao kuanza, kabla ya muda wa kujibu swali hilo haujafikiwa. (2) Endapo Mbunge muuliza swali atamwomba Waziri ampatie nakala ya jibu la swali lake kabla ya muda wa kujibu swali hili haujafikiwa basi Waziri anaweza kumpa Mbunge muuliza swali nakala ya jibu kama lilivyoombwa. (3) Waziri Mkuu au Waziri mwingine yeyote au Mwanasheria Mkuu wa Serikali anaweza kutoa majibu ya nyongeza kwa majibu yaliyotolewa na Waziri. 27 Tangazo la Serikali Na. 626 (linaendelea) Kanuni Za Kudumu Za Bunge Kuahirisha Shughuli za Bunge ili kujadili Jambo la Dharura Masharti ya jumla kuhusu Jambo la Dharura (4) Iwapo Spika ataridhika kuwa, swali la msingi au la nyongeza halijapata majibu ya kuridhisha, ataagiza lijibiwe kwa ufasaha zaidi katika kikao kingine cha Bunge. - 54 Verify source ↗
(1) Baada ya Muda wa Maswali kuisha, Mbunge yeyote
AI-assisted research summary: Mbunge anaweza, baada ya Muda wa Maswali kuisha, kuomba kuahirisha shughuli za Bunge ili kujadili jambo la dharura na muhimu kwa umma.
54.-(1) Baada ya Muda wa Maswali kuisha, Mbunge yeyote anaweza kutoa hoja kuwa Shughuli za Bunge kama zilivyooneshwa kwenye Orodha ya Shughuli ziahirishwe ili Bunge lijadili jambo halisi la dharura na muhimu kwa umma. (2) Hoja ya namna hiyo itakuwa ni maalumu na inaweza kutolewa wakati wowote hata kama majadiliano yatakuwa yanaendelea. (3) Hoja itatolewa na Mbunge kwa kusimama mahali pake na kuomba idhini ya Spika kutoa hoja ya kuahirisha Shughuli za Bunge kwa madhumuni ya kujadili jambo halisi la dharura na muhimu kwa umma. (4) Iwapo Spika ataridhika kwamba jambo hilo ni la dharura, halisi na lina maslahi kwa umma, basi ataruhusu hoja hiyo itolewe kwa muda usiozidi dakika tano na mjadala juu ya hoja hiyo utaendelea kwa muda ambao Spika ataona unafaa kwa kuzingatia mazingira ya suala linalojadiliwa. - 55 Verify source ↗
(1) Masharti ya jumla yafuatayo yatatumika vilevile kuhusu
AI-assisted research summary: This section limits urgent motions in Parliament and sets tests for when a matter counts as real, urgent, or of public interest.
55.-(1) Masharti ya jumla yafuatayo yatatumika vilevile kuhusu hoja ya kujadili suala la dharura:- (a) hoja hiyo haitaruhusiwa iwapo inahusu jambo ambalo kwalo taarifa ya hoja imekwisha kuwekwa kwenye Orodha ya Shughuli; (b) hoja zaidi ya moja katika kikao kimoja zenye kutaka kuahirisha Shughuli za Bunge kwa kutumia Kanuni hii hazitaruhusiwa; au (c) jambo ambalo litakuwa limejadiliwa katika hoja ya kuahirisha Shughuli za Bunge iliyotolewa kwa mujibu wa Kanuni hii, halitaletwa tena Bungeni katika Mkutano ambao uamuzi ulitolewa. (2) Jambo linaloletwa kwa hoja chini ya Kanuni hii litahesabiwa tu kuwa ni jambo halisi, iwapo:- (a) ni jambo mahususi; (b) halikuwekwa katika lugha ya jumla mno au lina mambo mengine mchanganyiko; (c) limetolewa kwa kutegemea habari za uhakika au habari halisi juu ya jambo hilo zinapatikana; au (d) halihusu mambo ya kinadharia. (3) Jambo linaloletwa kwa hoja chini ya kanuni hii litahesabiwa kuwa ni jambo la dharura, iwapo:- 28 Tangazo la Serikali Na. 626 (linaendelea) Kanuni Za Kudumu Za Bunge (a) athari zake ni dhahiri na linaweza kutokea wakati wowote; (b) limetokea siku hiyo au siku za karibuni na limeletwa bila kuchelewa; au (c) hakutatokea fursa ya kulijadili siku za karibuni kwa njia ya kawaida ya kushughulikia mambo ya Bunge. (4) Jambo lolote litahesabiwa kuwa ni lenye maslahi kwa umma iwapo utatuzi wake unategemea hatua zaidi kuliko zile za utekelezaji wa kawaida wa Sheria peke yake. - 56 Verify source ↗
(1) Waziri anaweza kutoa kauli Bungeni kuhusu jambo
AI-assisted research summary: Waziri anaweza kutoa kauli Bungeni kuhusu jambo la Serikali, kwa idhini ya Spika na ndani ya muda na masharti yaliyotajwa.
56.-(1) Waziri anaweza kutoa kauli Bungeni kuhusu jambo lolote linaloihusu Serikali. (2) Kauli inayotolewa kwa mujibu wa fasili ya (1) inaweza kutolewa kwa idhini ya Spika katika wakati unaofaa kufuatana na mpangilio wa Shughuli za Bunge na itahusu jambo mahususi, halisi na muda wa kusema utakuwa ni dakika zisizozidi thelathini, isipokuwa kwamba kauli hiyo haitajadiliwa. (3) Waziri mwenye kutoa kauli atawajibika kutoa nakala ya kauli yake kwa Wabunge wote wakati anapoiwasilisha Bungeni. - 57 Verify source ↗
(1) Mbunge yeyote anaweza, kwa idhini ya Spika kutoa
AI-assisted research summary: Mbunge anaweza kutoa maelezo binafsi Bungeni kwa idhini ya Spika.
57.-(1) Mbunge yeyote anaweza, kwa idhini ya Spika kutoa maelezo binafsi Bungeni yanayolenga kufafanua kuhusu jambo lolote linalomhusu na lililoifikia jamii. (2) Mbunge anayekusudia kutoa maelezo binafsi anapaswa kuwasilisha maelezo hayo mapema kwa Spika na akiruhusiwa, muda wa kusema utakuwa ni dakika zisizozidi kumi na tano, na maelezo hayo hayatakuwa na mjadala kuhusu jambo hilo. - 58 Verify source ↗
(1) Mbunge anayetaka kuwasilisha jambo ambalo anaamini
AI-assisted research summary: Mbunge anayetaka kuwasilisha jambo kuhusu haki za Bunge lazima alilete kwa wakati unaofaa na awaarifu Spika mapema; Spika akilikubali, Mbunge atasikilizwa na hoja yake itapewa kipaumbele.
58.-(1) Mbunge anayetaka kuwasilisha jambo ambalo anaamini linahusiana na haki za Bunge atafanya hivyo wakati unaofaa kufuatana na mpangilio wa Shughuli za Bunge uliowekwa na Kanuni hizi na atakuwa amemwarifu Spika mapema kuhusu kusudio lake hilo na jambo ambalo anataka kuliwasilisha. (2) Spika akimwita Mbunge anayetaka kuwasilisha jambo ambalo anaamini linahusiana na haki za Bunge, Mbunge huyo ataeleza kwa kifupi sababu zinazofanya aamini kwamba jambo analoliwasilisha linahusu haki za Bunge zilizotajwa kwenye Sheria ya Kinga, Madaraka na Haki za Bunge. (3) Endapo Spika ataamua kwamba jambo hilo linahusu haki za Bunge, basi atampa nafasi Mbunge husika kutoa hoja yake kisha hoja hiyo itapewa kipaumbele katika kupanga shughuli nyingine zote za kikao kinachohusika. 29 Kauli za Mawaziri Maelezo Binafsi ya Wabunge Masuala yanayohusu Haki Bunge za Sura ya 296 Tangazo la Serikali Na. 626 (linaendelea) Kanuni Za Kudumu Za Bunge (4) Mambo yanayohusu haki za Bunge yatawasilishwa kwa kufuata utaratibu uliowekwa katika Kanuni hizi na endapo wakati wa kikao chochote cha Bunge jambo lolote litazuka ghafla ambalo litaonekana linahusu haki za Bunge, shughuli zitasitishwa kwa madhumuni ya kuliwezesha jambo hilo kuwasilishwa na kuamuliwa, isipokuwa tu kama wakati huo kura inapigwa. Shughuli za Serikali Hoja zitakazotole wa Bungeni za Serikali - 59 Verify source ↗
(1) Shughuli
AI-assisted research summary: Shughuli za Bunge huanza wakati Spika anapomwita Waziri au Mwanasheria Mkuu wa Serikali katika hali iliyoelezwa, na baada ya hapo Mbunge binafsi haruhusiwi kuleta hoja ya kuahirisha au kuuliza swali.
59.-(1) Shughuli zitaanza wakati Spika atakapomwita Waziri au Mwanasheria Mkuu wa Serikali aliyetoa taarifa ya kuwasilisha Muswada au ya kutoa hoja Bungeni baada ya Katibu kusoma jambo linalohusika kwenye Orodha ya Shughuli. (2) Baada ya Spika kutoa wito huo, Mbunge yeyote binafsi hataruhusiwa kutoa hoja ya kuahirisha Shughuli za Bunge wala kuuliza swali. - 60 Verify source ↗
(1) Isipokuwa kama Kanuni hizi zimeagiza vinginevyo,
AI-assisted research summary: This section limits Parliament debates to listed business, lets a Minister or other MP move a matter for debate, sends some motions to committee first, and stops MPs from reopening matters already decided except as allowed by the Rules.
60.-(1) Isipokuwa kama Kanuni hizi zimeagiza vinginevyo, hakuna mjadala wowote utakaoendeshwa Bungeni ila tu kuhusu shughuli iliyoingizwa kwenye Kitabu cha Orodha ya Shughuli za Bunge na kuwekwa kwenye Orodha ya Shughuli za kikao hicho. (2) Bila ya kuathiri masharti ya Katiba na ya Kanuni hizi, Waziri au Mbunge mwingine anaweza, kwa kutoa hoja, kupendekeza kwamba, suala lolote lijadiliwe Bungeni na hoja hiyo itaamuliwa kwa mujibu wa masharti ya Kanuni hizi. (3) Isipokuwa kama Spika ataamua vinginevyo, kila hoja ambayo taarifa yake imekubaliwa itapelekwa kwanza kwenye Kamati inayohusika. (4) Endapo hoja itapelekwa kwenye Kamati inayohusika, Kamati hiyo itaanza kuifanyia kazi hoja hiyo mapema iwezekanavyo, na haitatolewa Bungeni mpaka Mwenyekiti wa Kamati hiyo atakapokuwa amemtaarifu Spika kwamba, Kamati imemaliza kuifanyia kazi hoja hiyo. (5) Kamati iliyopelekewa hoja kwa mujibu wa kanuni hii inaweza kufanya mabadiliko katika hoja hiyo kwa kushauriana na mtoa hoja. (6) Endapo hoja haikupelekwa kwenye Kamati na imewekwa kwenye Orodha ya Shughuli au kama ilipelekwa kwenye Kamati na Kamati hiyo imemaliza kuishughulikia na imewekwa kwenye Orodha ya Shughuli, hoja itawasilishwa na kuamuliwa Bungeni kwa kufuata masharti yafuatayo:- (a) baada ya hoja kutolewa na inapobidi kuungwa mkono, hoja hiyo itajadiliwa kwa ruhusa ya Spika; (b) mara baada ya mtoa hoja kuwasilisha hoja yake, Mwenyekiti wa Kamati iliyopelekewa hoja hiyo atatoa maoni ya Kamati; na 30 Tangazo la Serikali Na. 626 (linaendelea) Kanuni Za Kudumu Za Bunge Jinsi ya Kuwasilisha Hoja (c) kama hoja inayohusika ni hoja ya Serikali, Msemaji wa Kambi ya Walio Wachache atapewa nafasi ya kutoa maoni juu ya hoja hiyo na kama hoja inayohusika siyo ya Serikali, Msemaji wa Serikali atapewa nafasi ya kutoa maoni ya Shughuli za Serikali juu ya hoja hiyo, isipokuwa masharti ya fasili hii hayatahusu hoja za Kamati. (7) Baada ya mjadala kumalizika, Spika atawahoji Wabunge ili kupata uamuzi wa Bunge. (8) Mbunge yeyote hataruhusiwa kufufua jambo lolote ambalo Bunge lilikwisha kuliamua ama katika Mkutano uliopo au ule uliotangulia, wala kuwahisha shughuli ya Mkutano unaoendelea, isipokuwa kwa kufuata masharti ya Kanuni hizi au kuwahisha shughuli ambayo itazingatiwa katika Mkutano unaoendelea. - 61 Verify source ↗
(1) Bila ya kuathiri masharti ya Katiba au ya Kanuni hizi,
AI-assisted research summary: Mbunge yeyote anaweza kuwasilisha hoja ya kujadili jambo Bungeni, lakini hoja inayokiuka Katiba, Sheria au Kanuni, au inayotaka kurudisha jambo lililoamuliwa ndani ya miezi 12 iliyopita, haitakubaliwa isipokuwa kama inalenga kubadilisha uamuzi uliokwisha fanyika.
61.-(1) Bila ya kuathiri masharti ya Katiba au ya Kanuni hizi, Mbunge yeyote anaweza kupendekeza jambo lolote lijadiliwe Bungeni kwa kuwasilisha hoja, yaani kwa kutoa pendekezo lililokamilika ili lipate uamuzi wa Bunge. (2) Jambo lolote litakalowasilishwa kwa mujibu wa Kanuni hii litawekwa katika lugha ambayo italiwezesha Bunge kufanya uamuzi ambao ni bayana. (3) Isipokuwa kama itaelekezwa vinginevyo katika Kanuni hizi, mfumo wa maneno ya hoja inayowasilishwa Bungeni utakuwa kama ifuatavyo: - “KWA KUWA, .................................................. NA KWA KUWA, ............................................ KWA HIYO BASI, Bunge linaazimia kwamba ...” (4) Hoja ambayo kwa maoni ya Spika ina lengo la kutaka jambo ambalo lilikwisha amuliwa na Bunge katika kipindi cha miezi kumi na miwili iliyopita kabla ya kikao kinachoendelea lifikiriwe tena, haitakubaliwa na Spika, isipokuwa tu kama ni hoja ya kutaka uamuzi wa Bunge uliokwisha fanyika ubadilishwe. (5) Hoja yoyote inayokiuka masharti ya Katiba, Sheria au ya Kanuni hizi haitakubaliwa. Taarifa ya Hoja - 62 Verify source ↗
(1) Isipokuwa kama Kanuni hizi zitaruhusu vinginevyo au
AI-assisted research summary: Mbunge lazima atoe taarifa ya maandishi ya hoja mapema, aisaini, na aambatishe sababu na madhumuni; Spika anaweza kuzuia hoja inayokiuka Katiba, sheria au Kanuni za Bunge.
62.-(1) Isipokuwa kama Kanuni hizi zitaruhusu vinginevyo au kama Spika atatoa idhini yake kwa kutilia maanani udharura wa jambo lenyewe, hoja yoyote haitatolewa Bungeni mpaka taarifa ya 31 Tangazo la Serikali Na. 626 (linaendelea) Kanuni Za Kudumu Za Bunge hoja hiyo iwe imewasilishwa na kupokelewa na Katibu angalau siku moja ya kazi kabla ya Mkutano ambao hoja hiyo inakusudiwa kutolewa, na Mbunge anayetoa taarifa ya hoja ataambatisha maelezo kuhusu msingi na madhumuni ya hoja yake. (2) Taarifa ya hoja yoyote itatolewa kwa maandishi na itawekwa saini na Mbunge anayeitoa kabla ya kupokelewa na Katibu kufuatana na masharti ya Kanuni hizi. (3) Hoja zifuatazo zinaweza kutolewa bila taarifa:- (a) kutengua Kanuni yoyote kati ya Kanuni hizi; (b) kuahirisha Bunge au kuahirisha mjadala; (c) kutaka wageni waondoke Bungeni; (d) kutaka ombi lililowasilishwa Bungeni lijadiliwe; (e) kuahirisha Shughuli za Bunge zinazoendelea ili kujadili jambo la dharura; (f) kuhusu jambo lolote linalohusiana na haki za Bunge; na (g) kutaka Hati iliyowasilishwa Bungeni ijadiliwe. (4) Bila ya kujali masharti ya fasili ya (2) ya Kanuni hii, iwapo anayetoa taarifa ni Waziri au Mwanasheria Mkuu wa Serikali, taarifa hiyo itawekwa saini na Waziri anayehusika au Mwanasheria Mkuu wa Serikali, lakini hoja hiyo inaweza kuwasilishwa na Waziri mwingine yeyote au Naibu Waziri au Mwanasheria Mkuu wa Serikali. (5) Endapo hoja ambayo kwayo iliyotolewa haitajadiliwa katika Mkutano alioutaja mtoa hoja, basi taarifa ya hoja hiyo itatenguka lakini inaweza kutolewa tena katika Mkutano mwingine. taarifa (6) Isipokuwa tu kwa idhini maalum ya Spika, taarifa kuhusu jambo lolote linalohitaji taarifa itolewe kwa mujibu wa Kanuni hizi, lazima taarifa hiyo itolewe. (7) Hoja zitaingizwa kwenye Kitabu cha Shughuli mapema baada ya kupokelewa na Katibu na zitawekwa kwenye Orodha ya Shughuli ya kikao cha Bunge kulingana na maelekezo ya Spika. (8) Kila hoja itawekwa kwenye Orodha ya Shughuli ikiwa kama ilivyowasilishwa au kama ilivyofanyiwa marekebisho au mabadiliko ambayo Spika ataagiza yafanyike. (9) Spika hataruhusu hoja yoyote inayokiuka Katiba au Sheria au Kanuni za Bunge na Katibu atairudisha hoja hiyo pamoja na vielelezo vyake vyote kwa Mbunge mhusika na maelezo ya sababu za kukataliwa kwa hoja hiyo. (10) Iwapo Mbunge anapenda kufanya mabadiliko ya maneno aliyoyatumia katika hoja anayokusudia kuitoa, anaweza kufanya hivyo kwa kutoa taarifa ya kutaka kufanya mabadiliko angalau siku 32 Tangazo la Serikali Na. 626 (linaendelea) Kanuni Za Kudumu Za Bunge Utaratibu wa kujadili Hoja moja kabla ya siku ile ambapo hoja hiyo imepangwa kuwekwa kwenye Orodha ya Shughuli ili ijadiliwe. (11) Mbunge ambaye hakutoa taarifa ya kutaka kufanya marekebisho au mabadiliko katika hoja yake, anaweza kumuomba Spika afanye marekebisho au mabadiliko katika hoja hiyo wakati anawasilisha hoja yake bila ya kutoa taarifa. (12) Pamoja na kuwa taarifa ya kutaka kufanya marekebisho au mabadiliko itakuwa imetolewa, marekebisho au mabadiliko yoyote hayatakubaliwa kama, kwa maoni ya Spika, mabadiliko hayo yanabadilisha mambo ya msingi yaliyomo katika hoja au yanabadilisha makusudio au upeo wa hoja hiyo. - 63 Verify source ↗
(1) Mbunge atakapoitwa na Spika kutoa hoja, atasimama
AI-assisted research summary: This section sets the rules for moving, supporting, deferring, and debating motions in Parliament.
63.-(1) Mbunge atakapoitwa na Spika kutoa hoja, atasimama mahali panapohusika na kutoa hoja yake. (2) Hoja au marekebisho au mabadiliko ya hoja yoyote yatahitaji kuungwa mkono na Wabunge wasiopungua kumi na endapo hayataungwa mkono, hoja au marekebisho au mabadiliko hayo yatatenguka na Katibu ataweka kumbukumbu kwenye Taarifa Rasmi kwamba, kwa kuwa hoja au marekebisho au mabadiliko hayo hayakuungwa mkono, basi hayakujadiliwa. (3) Mbunge anaweza kuunga mkono hoja kwa kusimama tu mahali pake bila kusema lolote kuhusu hoja hiyo, kisha akakaa; lakini Mbunge aliyefanya hivyo bado atakuwa na haki ya kuizungumzia hoja hiyo hapo baadaye. itatenguka, (4) Iwapo hoja imewekwa katika Orodha ya Shughuli na Mbunge mtoa hoja anapoitwa na Spika anashindwa kuitoa, hoja hiyo isipokuwa kama kuna Mbunge mwingine aliyeidhinishwa na mtoa hoja, anaweza kuitoa kwa niaba yake au kama mtoa hoja ametoa taarifa ya kutaka kuiahirisha, hoja hiyo itaahirishwa. (5) Hoja inayohusu shughuli za Serikali inaweza kutolewa na Waziri au Mwanasheria Mkuu wa Serikali. (6) Hoja iliyotenguka yaweza kutolewa tena baadaye, baada ya taarifa mpya kutolewa kwa mujibu wa Kanuni hizi. (7) Ikiwa muda uliotengwa kujadili hoja umekwisha wakati Bunge liko kwenye Kamati ya Bunge Zima kujadili vifungu vya Muswada wa Sheria au katika Kamati ya Matumizi kujadili Makadirio ya Matumizi ya Serikali, basi Mwenyekiti, bila kulihoji Bunge, ataongeza muda kwa kadri atakavyoona inafaa kwa ajili ya kukamilisha kazi ya kupitisha Ibara za Muswada wa Sheria au mafungu ya fedha yaliyobaki. 33 Tangazo la Serikali Na. 626 (linaendelea) Kanuni Za Kudumu Za Bunge Kubadilisha Hoja - 64 Verify source ↗
(1) Hoja ikishatolewa ili iamuliwe inaweza kubadilishwa
AI-assisted research summary: Hoja iliyowasilishwa inaweza kubadilishwa kwa kuondoa, kubadilisha, au kuongeza maneno; mtoa hoja lazima ampe Katibu maelezo ya maandishi yaliyosainiwa kabla ya kutoa hoja.
64.-(1) Hoja ikishatolewa ili iamuliwe inaweza kubadilishwa kwa:- (a) kuondoa maneno fulani kwa ajili ya kuingiza maneno mengine; (b) kuondoa maneno fulani bila kuongeza maneno mengine; au (c) kuingiza au kuongeza maneno mapya. (2) Kabla ya kutoa hoja hiyo, mtoa hoja atamkabidhi Katibu maandishi yenye saini yake na yanayoonesha mabadiliko anayotaka yafanywe. (3) Kila badiliko linalopendekezwa sharti liwiane na hoja inayokusudiwa kufanyiwa mabadiliko na pia liungwe mkono na lisiingize jambo lolote ambalo, kwa maoni ya Spika, linaweza kuwasilishwa kwa hoja maalumu. (4) Badiliko lolote halitaruhusiwa kama, kwa maoni ya Spika, linapingana moja kwa moja na hoja ya msingi iliyotolewa. (5) Iwapo hoja ya mabadiliko inapendekeza kuondoa maneno fulani na kuingiza maneno mengine, basi mjadala juu ya suala la kufanya mabadiliko unaweza kuangalia kwa pamoja yale maneno yanayopendekezwa ambayo yanapendekezwa yaingizwe. yaondolewe maneno na Mabadiliko ya Hoja na Kuondoa Hoja (6) Iwapo hoja inapendekeza kuondoa au kuingiza maneno, mjadala utahusu tu uondoaji au uingizaji wa maneno mapya, kadri itakavyokuwa. (7) Hoja ya kufanya mabadiliko katika hoja nyingine ya mabadiliko sharti ihusiane na hoja ya kwanza ya mabadiliko na itatolewa, itajadiliwa na kuamuliwa kabla ya ile hoja ya kwanza ya mabadiliko kufanyiwa uamuzi. - 65 Verify source ↗
(1) Endapo Mbunge anapenda kupendekeza mabadiliko
AI-assisted research summary: A Member of Parliament may propose an amendment to a motion, and a motion may be withdrawn only under the stated procedure.
65.-(1) Endapo Mbunge anapenda kupendekeza mabadiliko yafanywe katika hoja kwa kufuata masharti ya Kanuni hizi, anaweza kutoa hoja yake ya kufanya mabadiliko wakati wowote baada ya hoja anayotaka kuibadilisha kutolewa, lakini kabla ya Bunge halijahojiwa liifanyie uamuzi. (2) Endapo kuna mapendekezo mawili au zaidi ya kubadilisha hoja moja, Spika atawaita watoa hoja hizo kwa kufuata mpangilio atakaoamua. (3) Iwapo mapendekezo yote ya mabadiliko yameamuliwa, Spika ataitoa tena hoja ya awali ili ijadiliwe kama itakavyokuwa imebadilishwa. (4) Hoja yoyote inaweza kuondolewa wakati wowote kabla hoja hiyo haijafikishwa Bungeni iwapo Mbunge mtoa hoja atatoa kwa Katibu, taarifa ya maandishi ya kuiondoa hoja hiyo. 34 Tangazo la Serikali Na. 626 (linaendelea) Kanuni Za Kudumu Za Bunge Nyakati za Mbunge kuzungumza Bungeni (5) Endapo hoja imefikishwa Bungeni, mtoa hoja anaweza tu kuiondoa hoja yake kwa kusimama mahali pake na kusema “Ninaomba ruhusa kuondoa hoja” na papo hapo Spika ataliuliza Bunge kama linaafiki hoja hiyo kuondolewa na inapotokea Wabunge walio wengi watakubali, Spika atasema “Hoja itakuwa idhini ya Bunge” na hoja hiyo inaondolewa kwa imeondolewa na Bunge litaendelea na shughuli inayofuata. SEHEMU YA TISA KANUNI ZA MAJADILIANO
Part
SEHEMU YA TISA
- 66 Verify source ↗
Kwa idhini ya Spika, Mbunge yeyote anaweza kusimama
AI-assisted research summary: Kwa idhini ya Spika, Mbunge yeyote anaweza kusimama na kuzungumza Bungeni katika hali zilizoorodheshwa.
66. Kwa idhini ya Spika, Mbunge yeyote anaweza kusimama na kuzungumza Bungeni katika nyakati zifuatazo:- (a) wakati wa kuchangia mjadala wa hoja yoyote iliyowasilishwa Bungeni ambayo Kanuni zinaruhusu ijadiliwe; (b) wakati anatoa hoja ili ijadiliwe; (c) wakati anawasilisha mabadiliko yoyote ya hoja; (d) wakati amesimama kutaka kuzungumzia jambo lolote linalohusu utaratibu; (e) wakati amesimama kuzungumzia jambo linalohusu haki za Bunge; (f) wakati wa kutoa hoja ya kuahirisha Shughuli za Bunge kwa madhumuni ya kujadili jambo la dharura na muhimu kwa Umma; (g) wakati wa kutoa Maelezo Binafsi; (h) wakati wa kuuliza au kujibu swali; au (i) wakati wa kutoa taarifa baada ya kupewa idhini ya Spika kufanya hivyo. Jinsi ya kupata nafasi ya kuzungumza Bungeni - 67 Verify source ↗
(1) Mbunge akitaka kuzungumza anaweza
AI-assisted research summary: This rule sets how an MP may get the floor and how debates are conducted in the House.
67.-(1) Mbunge akitaka kuzungumza anaweza:- (a) kumpelekea Spika ombi la maandishi; (b) kusimama kimya mahali pake; au (c) kubofya kitufe cha kuomba kuzungumza kilichopo kwenye mfumo wa Bunge mtandao. (2) Isipokuwa kwamba, Mbunge yeyote hataanza kuzungumza hadi aitwe na Spika ama kwa jina au wadhifa wake na kumruhusu kusema na wakati wa kusema ataelekeza maneno yake kwa Spika. (3) Mbunge akimaliza kutoa maelezo yake atakaa kwenye nafasi yake na hapo Spika atamwita Mbunge mwingine aliyempelekea ombi la maandishi au kama Spika hakupata ombi lolote la maandishi, basi Mbunge mwingine yeyote anayetaka 35 Tangazo la Serikali Na. 626 (linaendelea) Kanuni Za Kudumu Za Bunge kujadili hoja anaweza kusimama mahali pake na kusubiri Spika amwone. (4) Iwapo Wabunge wawili au zaidi watasimama wakati mmoja, Spika atamwita Mbunge atakayemwona kwanza. (5) Isipokuwa kama Spika ataelekeza vinginevyo, endapo maombi ya kuchangia hoja fulani yatakuwa mengi zaidi ya muda uliotengwa kwa hoja hiyo, Spika atatoa nafasi ya kwanza kwa Wabunge ambao: (a) hawajachangia katika hoja zilizotangulia kujadiliwa katika Mkutano unaoendelea; au (b) wamechangia mara chache. (6) Bila ya kuathiri masharti ya fasili ya (5), Spika atahakikisha kuwa, nafasi za kuchangia zinatolewa kwa uwiano unaofaa baina ya aina zote za Wabunge walioomba kuchangia hoja hiyo. (7) Masharti yaliyotangulia katika Kanuni hii, hayatamzuia Spika kutoa nafasi ya kuchangia kwa Mbunge mwingine yeyote iwapo ataona kuwa, taaluma au uzoefu fulani wa Mbunge huyo utaboresha hoja inayojadiliwa. (8) Mbunge hatasoma maelezo, isipokuwa, kwa madhumuni ya kutilia nguvu maelezo yake, anaweza kusoma dondoo kutoka kwenye kumbukumbu zilizoandikwa au kuchapishwa na anaweza pia kujikumbusha kwa kuangalia kwenye kumbukumbu alizoziandika. (9) Kila Mbunge atalisemea jambo ambalo liko katika mjadala tu na hatarudiarudia maneno yake au yale yaliyokwisha kusemwa na Wabunge wengine na iwapo itatolewa hoja ya kufanya mabadiliko katika hoja inayojadiliwa, mjadala sharti uwe juu ya hoja hiyo ya mabadiliko mpaka imalizike ndipo mjadala urudie kwenye hoja ya msingi. (10) Kila Mbunge atasema akiwa amesimama na atatoa maelezo yake kwa kutumia vyombo vilivyowekwa kwa madhumuni ya kutafsiri, kukuza na kurekodi sauti. (11) Kwa ruhusa ya Spika, Mbunge yeyote aliye na ulemavu au ugonjwa anaweza kuzungumza akiwa ameketi. (12) Endapo Spika atasimama wakati Waziri au Mbunge anatoa hotuba Bungeni au atakuwa amesimama mahali pake akisubiri kuanza kuzungumza, Waziri au Mbunge huyo ataketi mahali pake na Bunge litabaki kimya ili Spika aweze kutoa maelekezo au taarifa yake. (13) Mbunge hataruhusiwa kuzungumzia suala lililokuwa likijadiliwa baada ya Spika kuwahoji Wabunge na hoja hiyo kutolewa uamuzi. 36 Tangazo la Serikali Na. 626 (linaendelea) Kanuni Za Kudumu Za Bunge Kutozungum zia jambo ambalo lina maslahi binafsi ya kifedha (14) Mbunge yeyote anaweza pia kutoa maoni yake kwa maandishi na kumpelekea Waziri au Mbunge mtoa hoja inayohusika, wakati ambapo hoja inaendelea kujadiliwa. (15) Mtoa hoja atayakabidhi maoni hayo kwa Katibu ili yaweze kuingizwa katika Taarifa Rasmi za Bunge. (16) Katika mjadala wowote, Mawaziri watatajwa kwa majina ya nyadhifa zao na Wabunge watatajwa kwa kutumia neno “Mheshimiwa” kabla ya majina yao. - 68 Verify source ↗
(1) Wakati wa majadiliano Bungeni au kwenye Kamati
AI-assisted research summary: A member may not discuss a matter in Parliament or a committee if they have a personal financial interest in it unless they first disclose how they are involved and the extent of that interest.
68.-(1) Wakati wa majadiliano Bungeni au kwenye Kamati yoyote ya Bunge, Mbunge hataruhusiwa kuzungumzia jambo lolote ambalo yeye mwenyewe ana maslahi binafsi nalo ya kifedha, isipokuwa baada ya kusema jinsi anavyohusika nalo na kutaja kiwango cha maslahi hayo, na kwa sababu hiyo, itakuwa ni lazima kwa Mbunge yeyote anayetaka kuzungumzia jambo hilo Bungeni au kwenye Kamati yoyote ya Bunge, kusema kwanza jinsi anavyohusika na jambo hilo na kutaja kiwango cha maslahi ya kifedha aliyonayo kuhusiana na jambo hilo kabla ya kuanza kulizungumzia. (2) Kwa madhumuni ya Kanuni hii, Mbunge au mwananchi yeyote anaweza kumuarifu Spika, kwa maandishi, akitoa na ushahidi kuwa, Mbunge amezungumzia jambo ambalo ana maslahi nalo binafsi ya kifedha bila kusema jinsi anavyohusika nalo wala kutaja kiwango cha maslahi hayo. (3) Baada ya kupokea taarifa iliyowasilishwa kwake kwa mujibu wa fasili ya (2) ya kanuni hii, Spika ataipeleka taarifa hiyo kwenye Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge. (4) Baada ya kupokea taarifa kutoka kwa Spika chini ya fasili ya (3), Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge itaichunguza taarifa hiyo na kumpa Mbunge husika fursa ya kusikilizwa. (5) Endapo itadhihirika kwamba ni kweli Mbunge amezungumzia jambo ambalo ana maslahi nalo binafsi ya kifedha bila kusema jinsi anavyohusika nalo wala kutaja kiwango cha maslahi hayo, Kamati hiyo inaweza kulishauri Bunge kwamba, Mbunge huyo aadhibiwe kwa ukiukwaji wa masharti ya Kanuni hii kama ifuatavyo:- (a) (b) ikiwa hilo ni kosa lake la kwanza, asihudhurie vikao vya Bunge visivyozidi kumi; au ikiwa hilo ni kosa lake la pili au zaidi, asihudhurie vikao vya Bunge visivyozidi ishirini. (6) Bunge linaweza kuzingatia ushauri mwingine wowote uliotolewa na Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge 37 Tangazo la Serikali Na. 626 (linaendelea) Kanuni Za Kudumu Za Bunge kuhusu adhabu anayostahili kupewa Mbunge aliyekiuka masharti ya Kanuni hii. (7) Bunge linaweza kupitisha Azimio la kumwadhibu au kutomwadhibu Mbunge kwa kuzingatia ushauri wa Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge utakaotolewa chini ya fasili ya (5) na (6) ya kanuni hii. Muda wa kuzungumza Bungeni - 69 Verify source ↗
Isipokuwa kama imeelezwa vinginevyo kwenye Kanuni
AI-assisted research summary: This provision sets speaking time limits for MPs, ministers, committee presenters, opposition spokespeople, and members moving motions.
69. Isipokuwa kama imeelezwa vinginevyo kwenye Kanuni hizi:- (a) kila Mbunge anayejadili hoja, ataruhusiwa kuzungumza kwa muda usiozidi dakika kumi; (b) Waziri anayetoa hoja ataiwasilisha hoja yake kwa muda usiozidi dakika thelathini na wakati anahitimisha hoja yake atasema kwa muda usiozidi dakika thelathini; (c) Mwenyekiti anayewasilisha maoni ya Kamati atayawasilisha kwa muda usiozidi dakika thelathini; (d) Msemaji wa Kambi Rasmi ya Walio Wachache Bungeni anayewasilisha maoni ya Kambi hiyo atayawasilisha maoni hayo kwa muda usiozidi dakika kumi na tano; (e) Mwenyekiti anayetoa hoja ya Kamati ataiwasilisha hoja hiyo kwa muda usiozidi dakika thelathini na wakati anahitimisha hoja hiyo, atasema kwa muda usiozidi dakika thelathini; na (f) Mbunge anayetoa hoja binafsi ataiwasilisha hoja yake kwa muda usiozidi dakika thelathini na wakati wa kuhitimisha hoja yake atasema kwa muda usiozidi dakika thelathini. Kutosema uongo Bungeni - 70 Verify source ↗
(1) Bila ya kuathiri masharti ya Ibara ya 100 ya Katiba
AI-assisted research summary: Mbunge haruhusiwi kusema uongo Bungeni; lazima aamini kauli yake ni ya kweli na anaweza kulazimishwa kuthibitisha au kuifuta, na Spika anaweza kumsimamisha kuhudhuria vikao.
70.-(1) Bila ya kuathiri masharti ya Ibara ya 100 ya Katiba yanayolinda na kuhifadhi uhuru wa mawazo na majadiliano katika Bunge, ni marufuku kabisa kusema uongo Bungeni na kwa sababu hiyo, Mbunge yeyote anapokuwa akisema Bungeni ana wajibu wa kuhakikisha kwamba anatoa kauli au maelezo kuhusu jambo au suala ambalo yeye mwenyewe anaamini kuwa ni la kweli na siyo jambo la kubuni au la kubahatisha tu. yeyote (2) Mbunge akisema Bungeni hatachukuliwa kuwa anasema uongo iwapo anafanya rejea ya habari kuhusu jambo fulani lililotangazwa au lililoandikwa na vyombo vya habari. anapokuwa (3) Mbunge mwingine yeyote anaweza kusimama mahali pake na kutamka “kuhusu utaratibu” na baada ya kuruhusiwa na Spika, kudai kwamba, Mbunge aliyekuwa anasema kabla yake ametoa maelezo ya uongo kuhusu jambo au suala alilokuwa analisema Bungeni. 38 Tangazo la Serikali Na. 626 (linaendelea) Kanuni Za Kudumu Za Bunge (4) Mbunge anayetoa madai kwa mujibu wa fasili ya (3) ya kanuni hii atakuwa na wajibu wa kutoa na kuthibitisha ukweli kuhusu jambo au suala hilo kwa kiwango cha kuliridhisha Bunge. (5) Bila ya kuathiri masharti ya fasili zilizotangulia za kanuni hii, Spika au Mbunge mwingine yeyote, baada ya kutoa maelezo mafupi ya ushahidi unaotiliwa mashaka ya dhahiri kuhusu ukweli wa kauli au usemi au maelezo juu ya jambo au suala ambalo Mbunge amelisema Bungeni, anaweza kumdai Mbunge huyo atoe uthibitisho wa ukweli wa kauli au usemi au maelezo yake na kama atashindwa kufanya hivyo, afute kauli au usemi au maelezo yake hayo. (6) Mbunge aliyetakiwa kuthibitisha ukweli wa kauli au usemi au maelezo yake aliyoyatoa Bungeni, atawajibika kutoa uthibitisho huo kwa kiwango cha kuliridhisha Bunge, papo hapo au katika muda atakaopewa na Spika kwa ajili ya kufanya hivyo. (7) Endapo Mbunge aliyetakiwa kuthibitisha kauli au usemi au maelezo yake aliyoyatoa Bungeni atashindwa kufanya hivyo, anaweza kujirekebisha kwa kufuta kauli au usemi au maelezo yake hayo, papo hapo au katika muda atakaokuwa amepewa na Spika kwa ajili ya kuthibitisha kauli au usemi au maelezo yake. (8) Endapo hadi kufikia mwisho wa muda aliopewa, Mbunge aliyetakiwa kutoa uthibitisho wa ukweli wa kauli au usemi au maelezo yake aliyoyatoa Bungeni atakataa au atashindwa kutoa uthibitisho huo kwa kiwango cha kuliridhisha Bunge na kama atakataa kujirekebisha kwa kufuta kauli au usemi au maelezo yake, basi Spika atamwadhibu kwa kumsimamisha Mbunge huyo asihudhurie vikao vya Bunge visivyozidi kumi. (9) Endapo Mbunge mwingine yeyote ataona kwamba uongo uliosemwa na Mbunge huyo Bungeni ni mkubwa kiasi cha kuathiri heshima ya Bunge, anaweza kutoa hoja kwamba, Mbunge huyo:- (a) (b) ikiwa ni kosa lake la kwanza, asihudhurie vikao vya Bunge visivyopungua kumi au visivyozidi kumi na tano; au ikiwa ni kosa lake la pili au zaidi, asihudhurie vikao vya Bunge visivyopungua kumi na tano au visivyozidi thelathini. (10) Hoja ya aina hiyo inaweza kutolewa bila taarifa na itajadiliwa na kuamuliwa kwa utaratibu ufuatao:- (a) Mtoa hoja atatoa hoja yake; (b) Mbunge anayetuhumiwa kusema uongo Bungeni chini ya fasili ya (9) ya Kanuni hii, atapewa nafasi ya kujitetea; (c) Wabunge, kwa itakayoamuliwa na Spika idadi 39 Tangazo la Serikali Na. 626 (linaendelea) Kanuni Za Kudumu Za Bunge kulingana na muda uliopo, watachangia hoja hiyo kwa dakika zitakazopangwa na Spika; (d) Mtoa hoja atahitimisha hoja yake; (e) Mbunge anayetuhumiwa kusema uongo Bungeni au Mbunge mwingine yeyote anaweza kutoa maombi ya adhabu iliyopendekezwa kwa kosa la kusema uongo Bungeni au namna atakayoipendekeza; ipunguzwe kwa kiwango (f) Spika atawahoji Wabunge ili kupata uamuzi wa Bunge kuhusu ombi la kupunguziwa adhabu kama litatolewa na Mbunge anayetuhumiwa au Mbunge mwingine yeyote; na Iwapo pendekezo la kupunguziwa adhabu litakataliwa, basi Spika atalihoji Bunge ili kupata uamuzi kuhusu adhabu iliyopendekezwa na Mtoa hoja. (g) Mambo yasiyoruhusi wa Bungeni - 71 Verify source ↗
(1) Bila ya kuathiri masharti ya Ibara ya 100 ya Katiba
AI-assisted research summary: Mbunge lazima aepuke taarifa zisizo za kweli, mada zisizo kwenye mjadala, kauli za kudhalilisha au kuudhi, na vitendo vya ujeuri ndani ya Bunge.
71.-(1) Bila ya kuathiri masharti ya Ibara ya 100 ya Katiba yanayolinda na kuhifadhi uhuru wa mawazo na majadiliano katika Bunge, Mbunge:- (a) hatatoa ndani ya Bunge taarifa ambazo hazina ukweli; (b) hatazungumzia jambo ambalo haliko kwenye mjadala; (c) hatazungumzia jambo lolote ambalo linasubiri uamuzi wa Mahakama; (d) hatazungumzia jambo ambalo lilijadiliwa na kutolewa uamuzi kwenye Mkutano uliopo au uliotangulia; (e) hatazungumzia jambo ambalo halikuletwa rasmi kwa njia ya hoja mahususi; (f) hatazungumzia jambo ambalo linapinga uamuzi wowote uliofanywa na Bunge isipokuwa tu kwa kutoa hoja mahususi inayopendekeza kuwa uamuzi huo uangaliwe upya; (g) hatatumia jina la Rais kwa dhihaka katika mjadala, au kwa madhumuni ya kutaka kulishawishi Bunge kuamua jambo lolote kwa namna fulani; (h) hatazungumzia mwenendo wa Rais, Spika, Mbunge, Jaji, Hakimu yeyote anayeshughulikia utoaji wa haki, isipokuwa tu kama kumetolewa hoja mahsusi kuhusu jambo husika; (i) hatatoa lugha ya matusi au ishara inayoashiria matusi mwingine au mtu au kumsema vibaya Mbunge au mtu mwingine; (j) hatatumia lugha ya kuudhi au inayodhalilisha watu wengine; au hatafanya vitendo vya ujeuri au uchokozi. (k) 40 Tangazo la Serikali Na. 626 (linaendelea) Kanuni Za Kudumu Za Bunge (2) Mbunge yeyote anayeamini kuwa Mbunge mwingine amevunja au amekiuka masharti ya fasili ya (1) ya kanuni hii, atasimama mahali pake na kumwambia Spika “Kuhusu utaratibu” na atakaporuhusiwa na Spika kusema, atalazimika kutaja masharti ya Kanuni hii yaliyovunjwa au kukiukwa na Mbunge huyo mwingine, na kama Mbunge huyo mwingine atakuwa anasema wakati huo, atakaa chini kusubiri maelekezo na mwongozo wa Spika kuhusu jambo hilo. Kuzungumza zaidi ya mara moja - 72 Verify source ↗
(1) Isipokuwa tu kwa idhini ya Spika, Mbunge yeyote
AI-assisted research summary: Mbunge kwa kawaida haruhusiwi kuzungumza zaidi ya mara moja juu ya hoja, isipokuwa kwa idhini ya Spika au katika hali zilizoainishwa. Kuna pia vizuizi juu ya kusema baada ya kura kupigwa, na mtoa hoja ana haki ya kujibu.
72.-(1) Isipokuwa tu kwa idhini ya Spika, Mbunge yeyote hataruhusiwa kuzungumza zaidi ya mara moja juu ya hoja, ila tu kama:- (a) wakati huo Bunge liko kwenye Kamati ya Bunge Zima au Kamati ya Matumizi; (b) anatumia haki yake ya kujibu; au (c) anasema kuhusu utaratibu. (2) Mbunge ambaye amezungumza juu ya hoja anaweza kuzungumza tena juu ya hoja ya kufanya mabadiliko katika hoja aliyoisemea; na Mbunge amependekeza kufanya mabadiliko katika hoja ya awali, anaweza kuzungumza tena juu ya hoja ya awali baada ya mabadiliko kufanyika. ambaye (3) Mbunge mtoa hoja ya msingi au mtoa hoja ya kutaka kufanya mabadiliko katika hoja iliyokwisha kutolewa, atakuwa na haki ya kujibu kabla uamuzi juu ya hoja hiyo haujatolewa. (4) Wakati wa kujibu, mtoa hoja atapaswa kujibu mambo yale tu yaliyozungumzwa na Wabunge waliochangia hoja yake na hataruhusiwa kutoa maelezo yoyote mapya, isipokuwa kama maelezo hayo ni ya lazima kwa madhumuni ya kufafanua jambo lililochangiwa na Wabunge. (5) Mbunge yeyote hataruhusiwa kusema Bungeni baada ya Spika kuwahoji Wabunge na kura ya sauti ama ya kielektroniki au ya siri ya “Ndiyo” au “Siyo” au ya “kutokukubaliana” au kura ya uamuzi ya aina nyingine yoyote kupigwa, isipokuwa pale ambapo itaonekana kuwa kuna mashaka kuhusu matokeo ya kura kwa kufuata wingi wa sauti kwa mujibu wa fasili ya (5) ya kanuni ya 93 ya Kanuni hizi. Staha ndani ya Bunge - 73 Verify source ↗
(1) Wakati wa Vikao vya Bunge, Spika anapokuwa
AI-assisted research summary: During parliamentary sessions, MPs and guests must stand quietly and stay silent when the Speaker enters or leaves the chamber, and MPs must follow decorum rules during debate.
73.-(1) Wakati wa Vikao vya Bunge, Spika anapokuwa anaingia au kutoka katika Ukumbi wa Bunge, Wabunge na wageni wote waliopo kwenye Ukumbi huo watasimama kwa utulivu mahali pao na kubaki kimya hadi Spika atakapokuwa ameketi katika Kiti chake au atakapokuwa ametoka kwenye Ukumbi wa Bunge. 41 Tangazo la Serikali Na. 626 (linaendelea) Kanuni Za Kudumu Za Bunge (2) Wakati Bunge linaingia kwenye Kamati ya Bunge Zima au katika Kamati ya Matumizi, Wabunge na wageni wote waliopo kwenye Ukumbi wa Bunge watasimama kwa utulivu mahali pao na kubaki kimya ili kutoa heshima kwa mchakato wa Bunge kuingia kwenye Kamati ya Bunge Zima au kwenye Kamati ya Matumizi na baadaye Bunge kurejea. (3) Mbunge aliyepo Bungeni wakati wa mjadala atatakiwa:- (a) kuingia au kutoka kwenye Ukumbi wa Bunge kwa staha na atainamisha kichwa kuelekea kwa Spika au kufanya mkunjo wa magoti kwa heshima, kila mara Mbunge huyo atakapokuwa akienda au kutoka mahali pake; (b) kutulia na kukaa kwa heshima mahali pake, na hatatangatanga kwenye ukumbi wa Mikutano bila sababu; (c) kutopita kati ya Kiti cha Spika na Mbunge anayesema; (d) kutosoma kitabu chochote, gazeti au barua, isipokuwa kama vitu hivyo vinahusu shughuli za mjadala unaoendelea wakati huo; na (e) kuondoa mlio wa simu na kutozungumza na simu. Mamlaka ya Spika kukatiza majadiliano Kuhusu utaratibu - 74 Verify source ↗
(1) Spika anaweza kulihutubia Bunge wakati wowote na
AI-assisted research summary: Spika anaweza kulihutubia Bunge wakati wowote. Akiinuka na kuanza kuzungumza wakati wa mjadala, Mbunge anayezungumza au anayesubiri kuzungumza lazima aketi na Bunge libaki kimya.
74.-(1) Spika anaweza kulihutubia Bunge wakati wowote na yeyote kumkatiza Mbunge anaweza hiyo, ajili kwa anayezungumza. (2) Endapo Spika atasimama wakati wa mjadala, na kuanza kuzungumza, Mbunge yeyote ambaye atakuwa anazungumza wakati huo au ambaye atakuwa amesimama mahali pake akisubiri kuanza kuzungumza, ataketi mahali pake, na Bunge litabaki kimya ili Spika aweze kutoa maelekezo au taarifa yake. - 75 Verify source ↗
(1) Mbunge anaweza kusimama wakati wowote na kusema
AI-assisted research summary: Mbunge anaweza kuitisha suala la utaratibu wakati wowote, na Spika anaamua jinsi suala hilo litashughulikiwa.
75.-(1) Mbunge anaweza kusimama wakati wowote na kusema maneno “kuhusu utaratibu”, ambapo Mbunge yeyote ambaye wakati huo atakuwa anasema atanyamaza na kukaa chini na Spika atamtaka Mbunge aliyedai utaratibu ataje Kanuni au sehemu ya Kanuni iliyokiukwa. (2) Mbunge aliyedai utaratibu atalazimika kutaja Kanuni au sehemu ya Kanuni ya Bunge iliyokiukwa. (3) Baada ya kutaja Kanuni au sehemu ya Kanuni za Bunge iliyokiukwa, Mbunge aliyesimama kuomba kuhusu utaratibu, ataketi mahali pake kusubiri maelekezo na uamuzi wa Spika. (4) Spika anaweza, ama papo hapo kutoa uamuzi wake juu ya jambo la utaratibu lililotajwa au kuahirisha uamuzi ili alifikirie zaidi jambo hilo na kutoa uamuzi baadae au kutoa uamuzi na baadae kutoa sababu za uamuzi huo, vyovyote atakavyoamua. 42 Tangazo la Serikali Na. 626 (linaendelea) Kanuni Za Kudumu Za Bunge Mwongozo wa Spika Taarifa Uamuzi wa Spika kuhusu utaratibu na mwongozo Hoja ya kuahirisha Mjadala (5) Katika kufikia uamuzi wake, Spika anaweza kuitaka Kamati ya Kudumu ya Kanuni za Bunge au Kamati nyingine yoyote ya Bunge impe ushauri kuhusu jambo husika. (6) Mbunge aliyekuwa anazungumza wakati jambo la utaratibu lilipohojiwa anaweza kuendelea na hotuba yake baada ya Spika kutoa uamuzi juu ya jambo hilo.
Part
sehemu ya Kanuni ya Bunge iliyokiukwa.
- 76 Verify source ↗
Mbunge anaweza kusimama wakati wowote ambapo
AI-assisted research summary: Mbunge anaweza kusimama na kuomba Mwongozo wa Spika wakati hakuna Mbunge mwingine anayesema.
76. Mbunge anaweza kusimama wakati wowote ambapo hakuna Mbunge mwingine anayesema na kuomba “Mwongozo wa Spika” kuhusu jambo ambalo limetokea Bungeni mapema, ili Spika atoe ufafanuzi kama jambo hilo linaruhusiwa au haliruhusiwi kwa mujibu wa Kanuni na taratibu za Bunge na majibu ya Spika yatatolewa papo hapo au baadaye, kadri atakavyoona inafaa. - 77 Verify source ↗
(1) Mbunge yeyote anaweza kusimama mahali pake na
AI-assisted research summary: Mbunge anaweza kusimama na kusema “taarifa” kwa ruhusa ya Spika, na kupewa muda usiozidi dakika mbili kutoa taarifa au ufafanuzi.
77.-(1) Mbunge yeyote anaweza kusimama mahali pake na kusema “taarifa” na kwa ruhusa ya Spika, atatoa taarifa au ufafanuzi kwa muda wa dakika zisizozidi mbili kwa Mbunge anayesema, ambapo Spika atamtaka Mbunge anayesema aketi kusikiliza taarifa hiyo. (2) Mtoa taarifa atakapomaliza kutoa taarifa na kuketi, Spika atamuuliza Mbunge aliyekuwa akisema mwanzo kama anaikubali au haikubali taarifa hiyo kabla ya kumruhusu kuendelea kuchangia hoja. - 78 Verify source ↗
Uamuzi wa Spika kuhusu suala lolote la utaratibu,
AI-assisted research summary: The Speaker’s decision on any procedural matter, guideline, or information is final.
78. Uamuzi wa Spika kuhusu suala lolote la utaratibu, mwongozo au taarifa utakuwa ni wa mwisho. - 79 Verify source ↗
(1) Mbunge anayependa mjadala unaoendelea juu ya hoja
AI-assisted research summary: Mbunge anaweza kuomba mjadala uahirishwe, lakini lazima ataje mpaka lini na atoe sababu; Spika anaweza kukataa au kuwauliza Wabunge, na hakuna Mbunge anayoruhusiwa kubadilisha hoja hiyo.
79.- (1) Mbunge anayependa mjadala unaoendelea juu ya hoja yoyote uahirishwe hadi wakati wa baadaye, anaweza kutoa hoja “Kwamba mjadala sasa uahirishwe” na atataja mjadala huo uahirishwe hadi wakati gani na pia atalazimika kutoa sababu kwa nini anataka mjadala uahirishwe. (2) Kama Spika atakuwa na maoni kwamba kuwasilishwa kwa hoja hiyo ni kinyume cha uendeshaji bora wa shughuli za Bunge, atakataa kuitoa ili iamuliwe; vinginevyo, papo hapo atawahoji Wabunge juu ya hoja hiyo kadri atakavyoona inafaa. (3) Endapo hoja iliyowasilishwa haitapata kibali cha Bunge, mjadala kuhusu hoja iliyoko mbele ya Bunge utaendelea. (4) Mbunge yeyote hataruhusiwa kutoa hoja ya kufanya mabadiliko katika hoja iliyotolewa kwa mujibu wa kanuni hii. Hoja ya kufunga mjadala - 80 Verify source ↗
(1) Utaratibu utakaotumika kufunga mjadala ni kutoa hoja
AI-assisted research summary: A member may move closure of debate, but the Speaker may reject it in some cases.
80.-(1) Utaratibu utakaotumika kufunga mjadala ni kutoa hoja ya kufunga mjadala endapo bado kuna Wabunge wanaopenda 43 Tangazo la Serikali Na. 626 (linaendelea) Kanuni Za Kudumu Za Bunge kuzungumza juu ya jambo lililoko katika mjadala lakini muda uliotengwa umekwisha au endapo Bunge limewekewa kiwango cha juu cha muda wa kujadili hoja inayohusika na muda huo bado haujaisha. (2) Hoja ya kufunga mjadala inaweza kutolewa baada ya hotuba yoyote kukamilika au ikiwa Spika ataruhusu hoja ya kufanya mjadala, mara tu au muda mfupi baada ya hoja hiyo kutolewa ili iamuliwe. (3) Mbunge anayetoa hoja ya kufunga mjadala, anaweza kusimama mahali pake na kutoa hoja “Kwamba mtoa hoja sasa apewe nafasi ya kujibu”. (4) Endapo Spika ataona kuwa hoja ya kufunga mjadala inakiuka mwenendo bora wa Shughuli za Bunge au inavunja haki za Wabunge, basi ataikataa. (5) Endapo hoja “Kwamba mtoa hoja sasa apewe nafasi ya kujibu” itakubaliwa, mtoa hoja atajibu kama akipenda na baada ya hotuba ya kujibu kukamilika au kama mtoa hoja hapendi kujibu basi Spika atawahoji Wabunge ili kuamua hoja hiyo. Haki ya raia kujitetea na kujisafisha dhidi ya kauli zinazo- tolewa Bungeni - 81 Verify source ↗
(1) Bila ya kuathiri masharti ya Ibara ya 100 na 101 ya
AI-assisted research summary: Mtu asiye Mbunge anayelalamika kuhusu kauli au shutuma Bungeni anaweza kupeleka malalamiko kwa Spika ndani ya siku 14, na Spika akiridhika ayapeleke kwa Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge.
81.-(1) Bila ya kuathiri masharti ya Ibara ya 100 na 101 ya Katiba, mtu yeyote asiye Mbunge, ambaye atajisikia kuwa amepata athari hasi kutokana na kauli au maneno au shutuma zilizotolewa Bungeni kumhusu yeye binafsi, anaweza kupeleka malakamiko pamoja na maelezo yake ya kujitetea kwa Spika:- (a) yawe yameandikwa kwa lugha fasaha na ya heshima na jumla kuhusu yanahitimishwa kwa maelezo ya madhumuni yake; (b) yawe yamewasilishwa katika kipindi cha siku kumi na nne baada ya kauli au maneno yanayolalamikiwa kutolewa; (c) yawe yamewasilishwa na mtu binafsi ambaye ni raia wa Tanzania na hayajawasilishwa na au kwa niaba ya Kampuni, Shirika au Taasisi; (d) yaonyeshe wazi kuwa, kwa dhahiri mhusika aliathirika yeye binafsi kutokana na kauli au maneno au shutuma zilizotolewa Bungeni; (e) yaeleze kwa ufasaha ni jinsi gani mhusika amepata athari hasi, kama vile kuchafuliwa jina lake na heshima yake katika jamii au kuharibu sifa, mahusiano na ushirikiano wake na wengine au kazi yake anayoifanya katika jamii au kuingilia uhuru na maisha yake binafsi na familia yake isivyo halali kutokana na kauli au shutuma zilizotolewa Bungeni; na 44 Tangazo la Serikali Na. 626 (linaendelea) Kanuni Za Kudumu Za Bunge (f) yatoe ombi kwamba, endapo kwa utaratibu uliowekwa na Kanuni hizi yatakubalika, basi maelezo ya utetezi au ufafanuzi yaliyotolewa na mhusika kwa ajili ya kusafisha jina na kurejesha heshima yake yachukuliwe na Bunge kuwa ndiyo majibu sahihi ya kauli au shutuma zilizotolewa Bungeni. (2) Mara baada ya kupokea malalamiko yaliyowasilishwa kwake kwa mujibu wa fasili ya (1) ya kanuni hii na kujiridhisha kuwa malalamiko hayo yameandikwa katika lugha ya heshima na ya kistaarabu na yanatoa hoja mahsusi na ambayo si ya uzushi, uongo, uchochezi au chuki binafsi; na kwamba yanastahili kufikiriwa au kufanyiwa kazi na Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge, Spika atayapeleka malalamiko hayo kwenye Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge ili kuyatafakari na kulishauri Bunge. (3) Katika kuyafanyia kazi malalamiko yaliyopelekwa kwake na Spika kwa mujibu wa fasili ya (2) ya kanuni hii, Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge:- (a) (b) (c) (d) itakutana katika kikao cha faragha; inaweza kumhoji mtu aliyewasilisha malalamiko yake kwa Spika au Mbunge au Waziri aliyetoa Bungeni kauli au shutuma zinazolalamikiwa; haitajadili wala kutoa uamuzi kuhusu ukweli wa kauli au shutuma zilizotolewa Bungeni au ukweli wa maelezo yaliyotolewa kwenye malalamiko husika; na haitatangaza kwenye malalamiko husika wala mwenendo wa majadiliano yake kuhusiana na malalamiko husika. yaliyomo maelezo (4) Baada ya kukamilisha kazi yake, Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge itawasilisha Bungeni, taarifa ya uamuzi wake kuhusu malalamiko husika, pamoja na maelezo yote au sehemu ya maelezo ya malalamiko husika, kwa ajili ya kuridhiwa na Bunge. (5) Taarifa itakayowasilishwa Bungeni na Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge inaweza kupendekeza mojawapo ya yafuatayo:- (a) maelezo ya utetezi au ufafanuzi ya mlalamikaji, hiyo, kama yaingizwe kwenye Taarifa Rasmi za Bunge; au yalivyoelezwa kwenye taarifa (b) Bunge lisichukue hatua yoyote nyingine. 45 Tangazo la Serikali Na. 626 (linaendelea) Kanuni Za Kudumu Za Bunge SEHEMU YA KUMI AMANI NA UTULIVU BUNGENI Mamlaka ya Spika kusimamia utaratibu Utovu wa Nidhamu
Part
SEHEMU YA KUMI
- 82 Verify source ↗
(1) Spika atakuwa na wajibu wa kuhakikisha kuwa,
AI-assisted research summary: The Speaker must ensure good procedure is followed in Parliament, and the Speaker’s procedural decisions are final.
82.-(1) Spika atakuwa na wajibu wa kuhakikisha kuwa, utaratibu bora unafuatwa Bungeni, na uamuzi wa Spika kuhusu jambo lolote la utaratibu utakuwa ni wa mwisho. (2) Mbunge atakayekiuka utaratibu uliowekwa na Kanuni hizi anaweza papo hapo kutakiwa na Spika afuate utaratibu au Mbunge mwingine yeyote anaweza kusimama na kumfahamisha Spika kuhusu ukiukwaji wa utaratibu huo na katika kufanya hivyo, atalazimika kutaja kanuni iliyoweka utaratibu uliokiukwa. (3) Endapo Mbunge yeyote atatakiwa kuthibitisha ukweli wa jambo au suala alilolisema Bungeni na hadi kufikia mwisho wa muda aliopewa amekataa au ameshindwa kutoa uthibitisho huo, Spika anaweza kumsimamisha Mbunge huyo kuhudhuria vikao vya Bunge visivyozidi kumi. - 83 Verify source ↗
(1) Mbunge atakuwa ametenda kosa la utovu wa nidhamu
AI-assisted research summary: A Member of Parliament commits misconduct if they threaten force, breach the Speaker’s directions, or otherwise breach the Rules in a way the Speaker considers misconduct.
83.-(1) Mbunge atakuwa ametenda kosa la utovu wa nidhamu ikiwa- (a) atatishia kutumia nguvu dhidi ya Mbunge au mtu mwingine ndani ya Ukumbi wa Bunge au kwenye Kamati; (b) atakiuka maelekezo na mwongozo wa Spika uliotolewa chini ya kanuni ya 71(2); au (c) atakiuka Kanuni hizi kwa namna nyingine yoyote ambayo, kwa maoni ya Spika, ataona kuwa ni utovu wa nidhamu. (2) Endapo Mbunge atatenda kosa la utovu wa nidhamu kwa mujibu wa fasili ya (1), Spika anaweza:- (a) kumuonya Mbunge huyo na kumtaka ajirekebishe; (b) kumuamuru Mbunge huyo kutoka nje ya Ukumbi wa Bunge mara moja na abaki huko kwa muda wote uliosalia wa kikao; au (c) kumsimamisha kuhudhuria vikao visivyozidi kumi mfululizo. Utovu Mkubwa wa Nidhamu - 84 Verify source ↗
(1) Mbunge atakuwa ametenda kosa la utovu mkubwa wa
AI-assisted research summary: A Member of Parliament commits gross misconduct if they do any of the listed acts, and the Speaker and committee may trigger disciplinary action.
84.-(1) Mbunge atakuwa ametenda kosa la utovu mkubwa wa nidhamu ikiwa- (a) atapuuza uamuzi au maelekezo ya Spika au Mwenyekiti wa Kamati; (b) atasababisha vurugu zinazoweza kuvuruga shughuli za Bunge; (c) atafanya kosa ambalo alikwishawahi kuadhibiwa kwa mujibu wa kanuni ya 82 au kanuni ya 83; 46 Tangazo la Serikali Na. 626 (linaendelea) Kanuni Za Kudumu Za Bunge (d) atapiga kura zaidi ya mara moja kwenye hoja moja kinyume na Kanuni hizi; (e) atakataa kufafanua au kuondoa maneno yasiyo ya kibunge au atakataa kuomba radhi licha ya Spika kumtaka kufanya hivyo; (f) atadhihirisha au kutoa matamshi ya ubishi dhidi ya uamuzi wa kumsimamisha Mbunge mwingine kutohudhuria vikao; (g) atajaribu kutenda au atatenda kosa la utovu wa nidhamu wa namna yoyote wakati wa hotuba ya mgeni mashuhuri ndani ya Bunge; (h) atamshambulia Mbunge au mtu mwingine ndani ya Bunge au kwenye Kamati; (i) atajaribu kuvuruga au atavuruga msafara wa Spika unapoingia au unapotoka katika Ukumbi wa Bunge; (j) atatenda jambo ambalo kwa namna nyingine yoyote linashusha hadhi ya Bunge; au (k) atakiuka Kanuni hizi kwa namna nyingine yoyote ambayo, kwa maoni ya Spika, ataona kuwa ni utovu mkubwa wa nidhamu. (2) Spika anaweza kutaja jina la Mbunge ambaye ametenda kosa la utovu mkubwa wa nidhamu chini ya fasili ya (1) na kisha kupeleka jina hilo kwenye Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge ili Kamati hiyo ifanyie kazi shauri hilo na kulishauri Bunge ipasavyo. (3) Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge itashughulikia shauri hilo na ikithibitika kuwa Mbunge husika ametenda kosa inaweza kushauri kwamba:- (a) kiwa ni kosa lake la kwanza Mbunge huyo asihudhurie vikao vya Bunge visivyopungua kumi au visivyozidi kumi na tano; au (b) ikiwa ni kosa lake la pili au zaidi Mbunge huyo asihudhurie vikao vya Bunge visivyopungua kumi na tano au visivyozidi ishirini. (4) Bunge linaweza kuzingatia ushauri mwingine wowote utakaotolewa na Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge kuhusu adhabu anayostahili kupewa Mbunge aliyekiuka masharti ya Kanuni hii. (5) Adhabu yoyote itakayotolewa kwa Mbunge aliyekiuka masharti ya Kanuni hii itatolewa kupitia Azimio la Bunge ambalo litataja adhabu hiyo pamoja na sababu zake. (6) Kwa madhumuni ya Sehemu hii- (a) “matamshi yasiyo ya kibunge” ina maana ya kutumia maneno ambayo, kwa maoni ya Spika, yanaashiria 47 Tangazo la Serikali Na. 626 (linaendelea) Kanuni Za Kudumu Za Bunge ujeuri, kukosa adabu, matusi au kutozingatia utaratibu au desturi za kibunge; na (b) “mgeni mashuhuri” inajumuisha Rais au kiongozi mwingine yeyote aliyealikwa kuhutubia Bunge. - 85 Verify source ↗
(1) Mbunge atakuwa ametenda kosa la utovu wa nidhamu
AI-assisted research summary: Mbunge anaweza kuchukuliwa kuwa ametenda utovu wa nidhamu uliokithiri kwa vitendo vilivyoorodheshwa, na Spika lazima arekebishe jina lake kwa Kamati husika.
85.-(1) Mbunge atakuwa ametenda kosa la utovu wa nidhamu uliokithiri ikiwa- (a) atajaribu kumshambulia au kumshambulia Spika au mgeni mashuhuri; (b) atajaribu kuondoa au ataondoa siwa mahali pake ukumbini; (c) atatukana au kutoa ishara ya matusi dhidi ya Spika au mgeni mashuhuri; (d) atasababisha vurugu ambazo zitapelekea shughuli za Bunge kuahirishwa; (e) atavuruga msafara wa mgeni mashuhuri anapongia au kutoka ukumbini; (f) atarudia kutenda kosa ambalo alikwishawahi kuadhibiwa kwa mujibu wa kanuni ya 84; au (g) atakiuka Kanuni hizi kwa namna nyingine yoyote ambayo, kwa maoni ya Spika, ataona kuwa ni utovu wa nidhamu uliokithiri. (2) Spika atapeleka jina la Mbunge aliyetenda kosa la utovu wa nidhamu uliokithiri kwenye Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge ili Kamati hiyo ifanyie kazi shauri hilo na kulishauri Bunge ipasavyo. (3) Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge itashughulikia shauri hilo na ikithibitika kuwa Mbunge husika ametenda kosa inaweza kushauri kwamba Mbunge huyo asihudhurie Mikutano ya Bunge mfululizo isiyopungua miwili au isiyozidi mitatu. (4) Bunge linaweza kuzingatia ushauri mwingine wowote utakaotolewa na Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge kuhusu adhabu anayostahili kupewa Mbunge aliyekiuka masharti ya Kanuni hii au kuazimia kwamba shauri hilo lishughulikiwe kwa mujibu wa Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma. (5) Adhabu yoyote itakayotolewa kwa Mbunge aliyekiuka masharti ya kanuni hii itatolewa kupitia Azimio la Bunge ambalo litataja adhabu hiyo pamoja na sababu zake. Utovu wa Nidhamu Uliokithiri Sura ya 398 Amani na Utulivu kwenye Kamati - 86 Verify source ↗
(1) Pale ambapo Mbunge atakuwa kwenye Kamati
AI-assisted research summary: A committee chair must send an MP’s name to the Speaker if the MP, while in committee, commits an offence covered by rules 83, 84, or 85.
86.-(1) Pale ambapo Mbunge atakuwa kwenye Kamati na akatenda kosa lolote miongoni mwa makosa yaliyotajwa kwa mujibu wa kanuni ya 83, 84 au 85, Mwenyekiti wa Kamati atawasilisha jina la Mbunge huyo kwa Spika. 48 Tangazo la Serikali Na. 626 (linaendelea) Kanuni Za Kudumu Za Bunge (2) Mbunge ambaye jina lake litakawasilishwa kwa Spika kwa mujibu wa fasili ya (1), atachukuliwa kuwa ametenda kosa ndani ya Bunge na masharti ya kanuni ya 83, 84, au 85 yatazingatiwa. Amani na Utulivu Bunge linapokaa kama Kamati - 87 Verify source ↗
Ikiwa maneno au vitendo vya Mbunge vilivyoainishwa
AI-assisted research summary: Mbunge akisimamishwa au kufungwa, hupaswa kuondoka Bungeni na anaweza kulipwa nusu ya mshahara na posho; akihukumiwa kifungo, hapati mshahara wala posho wakati wa kifungo.
87. Ikiwa maneno au vitendo vya Mbunge vilivyoainishwa katika 83, 84 au 85, vimetokea wakati Bunge likiwa katika Kamati ya Bunge Zima, Kamati ya Matumizi au Kamati ya Mipango, basi Mwenyekiti atasitisha shughuli za Kamati kwa muda na Bunge litarejea ili kumpatia Spika fursa ya kutoa taarifa kwa Bunge kuhusu mwenendo wa Mbunge huyo na kuchukua hatua kwa mujibu wa Kanuni. Masharti kwa Mbunge aliyesimami- shwa kazi 88-(1) Mbunge aliyesimamishwa kazi atatoka katika Bunge na hataingia tena katika sehemu yoyote ya Ukumbi wa Bunge na maeneo ya Bunge kwa muda wote atakapokuwa amesimamishwa, na atalipwa nusu mshahara na nusu posho zinazoambatana na mshahara huo. (2) Masharti ya fasili ya (1) kuhusu malipo ya mshahara na posho yatatumika kwa Mbunge aliyewekwa mahabusu kwa kipindi chote atakachokuwa mahabusu. (3) Endapo Mbunge amehukumiwa na mahakama kutumikia adhabu ya kifungo kwa kosa lolote, Mbunge huyo hatalipwa mshahara wala posho zinazoambatana na mshahara kwa kipindi chote atakachokuwa anatumikia adhabu ya kifungo. Udhibiti wa fujo Bungeni - 89 Verify source ↗
(1) Kwa madhumuni ya kudhibiti fujo endapo itatokea
AI-assisted research summary: The Speaker may adjourn Parliament’s business or suspend a sitting temporarily to control disorder in the chamber.
89.-(1) Kwa madhumuni ya kudhibiti fujo endapo itatokea ndani ya Ukumbi wa Bunge na Spika ataona kuwa kuna haja ya kutumia nguvu, basi anaweza kuahirisha Shughuli za Bunge bila ya hoja yoyote kutolewa au kusitisha kikao kwa muda atakaoutaja ili fujo hiyo iweze kudhibitiwa na Mpambe wa Bunge. (2) Baada ya utulivu kurudia, Spika atalipeleka kwenye Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge suala ambalo lilisababisha kutokea kwa fujo ikiwa ni pamoja na jina la Mbunge au majina ya Wabunge waliohusika na fujo hiyo ili Kamati hiyo iweze kulishauri Bunge kuhusu adhabu inayostahili kutolewa. 49 Tangazo la Serikali Na. 626 (linaendelea) Kanuni Za Kudumu Za Bunge SEHEMU YA KUMI NA MOJA UHALALI WA SHUGHULI Akidi ya Vikao vya Bunge Uhalali wa maamuzi ya Bunge Uamuzi wa Bunge
Part
SEHEMU YA KUMI NA MOJA
- 90 Verify source ↗
(1) Akidi kwa kila kikao cha Bunge wakati wa kufanya
AI-assisted research summary: Kikosi cha kura ya maamuzi ya Bunge ni nusu ya Wabunge wote, isipokuwa kwa hoja za kubadilisha Katiba chini ya Ibara ya 98.
90.-(1) Akidi kwa kila kikao cha Bunge wakati wa kufanya maamuzi itakuwa ni nusu ya Wabunge wote, kama ilivyofafanuliwa katika Ibara ya 94 ya Katiba, isipokuwa kwamba, idadi hiyo haitahusu hoja kuhusu uamuzi wa kubadilisha masharti yoyote ya Katiba kwa mujibu wa Ibara ya 98 ya Katiba. (2) Mbunge yeyote aliyehudhuria anaweza kumjulisha Spika kwamba, Wabunge waliopo ni pungufu ya akidi inayohitajika kwa ajili ya shughuli inayoendelea. (3) Endapo Spika ataridhika kwamba ni kweli idadi ya Wabunge walio ndani ya Ukumbi wa Bunge ni pungufu ya akidi inayohitajika, basi atasimamisha Shughuli za Bunge kwa muda atakaoutaja na atamwagiza Katibu kupiga kengele. (4) Bunge litakaporudia baada ya wakati uliotajwa kukamilika, Spika atahakikisha kama idadi ya Wabunge waliopo inafikia akidi inayohitajika ili kuruhusu uamuzi kufanyika. (5) Endapo Spika ataridhika kwamba bado idadi ya Wabunge waliomo ndani ya Ukumbi wa Bunge haifikii akidi inayohitajika basi ataahirisha Shughuli za Bunge hadi muda mwingine atakao utaja. - 91 Verify source ↗
Shughuli za Bunge hazitakuwa batili kwa sababu tu
AI-assisted research summary: Shughuli za Bunge hazibatiliki kwa sababu tu kuna nafasi ya Mbunge iliyo wazi.
91. Shughuli za Bunge hazitakuwa batili kwa sababu tu kwamba nafasi yoyote ya Mbunge ipo wazi. - 92 Verify source ↗
(1) Bila ya kuathiri masharti ya Ibara za 46A, 50(3), 53A
AI-assisted research summary: Section 92 sets the voting procedure for motions in the House, including majority decision-making, the Speaker’s casting vote, counted votes on request, and the disqualification of votes where a member has a personal financial interest.
92.-(1) Bila ya kuathiri masharti ya Ibara za 46A, 50(3), 53A na 98 za Katiba, kila hoja itakayotolewa kwa ajili ya kupata uamuzi wa Bunge, itaamuliwa kwa kufuata wingi wa kura za Wabunge waliohudhuria na kupiga kura Bungeni. (2) Spika, wakati amekalia kiti cha Spika, hatakuwa na kura ya kawaida bali atakuwa na kura ya uamuzi endapo kura za “Ndiyo” na “Siyo” zitalingana. (3) Wakati mjadala kuhusu hoja unapomalizika, Spika atawahoji Wabunge ili kupata uamuzi juu ya hoja hiyo kama ilivyo au baada ya kufanyiwa marekebisho au mabadiliko, Spika kwanza atataka uamuzi wa wale wanaoafiki kwa kusema:- “Wale wanaoafiki waseme Ndiyo” na baadaye atataka uamuzi wa Wabunge wasioafiki kwa kusema:- “Wale wasioafiki waseme Siyo.” (4) Isipokuwa kama imeelekezwa vinginevyo katika Kanuni hizi, uamuzi juu ya mambo yote utapatikana kwa kufuata wingi wa sauti za Wabunge za “Ndiyo” au “Siyo” na Spika atatangaza 50 Tangazo la Serikali Na. 626 (linaendelea) Kanuni Za Kudumu Za Bunge matokeo ya kura kwa kusema “Naamini Walioafiki Wameshinda” au “Naamini Wasioafiki Wameshinda.” (5) Endapo itaonekana kuwa kuna mashaka kuhusu matokeo ya kura kwa kufuata wingi wa sauti kwa mujibu wa fasili ya (4) ya kanuni hii, Spika ataruhusu muda upite ili kutoa nafasi kuhakikisha uamuzi wa Bunge juu ya jambo hilo na kwa muda huo, ikiwa inaonekana kuwa kuna mashaka kuhusu matokeo ya kura, Mbunge yeyote anaweza kusimama na kusema “Kura zihesabiwe.” (6) Endapo hakuna Mbunge aliyeomba kura zihesabiwe, Spika atatoa kauli ya uamuzi wa mwisho kwa kusema “Walioafiki Wameshinda” au “Wasioafiki Wameshinda”, kulingana na hali itakavyokuwa. (7) Endapo Mbunge yeyote ataomba kura zihesabiwe, basi Spika ataamuru kura zihesabiwe ikiwa Wabunge wengine kumi au zaidi watasimama mara moja kuunga mkono maombi ya kura kuhesabiwa. (8) Endapo Spika ataamuru kura zihesabiwe, Katibu atapiga kengele ya kuwaita Wabunge kwa muda wa dakika moja na baada ya muda huo, Spika atamwagiza Katibu kumwita Mbunge mmoja mmoja kwa jina lake na kumuuliza anapiga kura yake upande gani na kurekodi kura hiyo. (9) Bila ya kuathiri masharti ya fasili zilizotangulia za kanuni hii, Mbunge yeyote atakayepiga kura juu ya jambo lolote ambalo yeye binafsi ana maslahi nalo ya kifedha atahesabiwa kuwa hakupiga kura. (10) Baada ya Katibu kukamilisha shughuli ya kuhesabu kura, atamjulisha Spika kuhusu kura zote za wanaoafiki, wasioafiki na wasiokuwa na upande wowote na Spika atatangaza matokeo ya hesabu hiyo ya kura. (11) Orodha kamili itaandaliwa ikionyesha namna kura zilivyopigwa na itarekodiwa katika Taarifa Rasmi kwa ajili ya kuweka kumbukumbu ya uamuzi wa Bunge. SEHEMU YA KUMI NA MBILI KUTUNGA SHERIA – MASHARTI YA JUMLA Utangazaji wa Miswada ya Serikali
Part
SEHEMU YA KUMI NA MBILI
- 93 Verify source ↗
(1) Kila Muswada wa Sheria utatangazwa kwenye Gazeti
AI-assisted research summary: Tangazo la Muswada wa Sheria lazima lifike kwa Katibu angalau siku 21 kabla ya kusomwa kwa mara ya kwanza, na Katibu atawagawia Wabunge nakala za miswada iliyochapishwa na kutangazwa Gazetini.
93.-(1) Kila Muswada wa Sheria utatangazwa kwenye Gazeti. (2) Tangazo la Muswada wa Sheria litatolewa na kumfikia Katibu katika muda usiopungua siku ishirini na moja kabla ya Muswada huo kusomwa Bungeni kwa Mara ya Kwanza, na litaonesha Muswada mzima, ikiwa ni pamoja na maelezo kuhusu sababu na madhumuni ya Muswada husika yaliyotiwa saini na Waziri au Mwanasheria Mkuu wa Serikali. 51 Tangazo la Serikali Na. 626 (linaendelea) Kanuni Za Kudumu Za Bunge (3) Muswada wowote wa Sheria wa Serikali wa dharura hautaingizwa kwenye shughuli za Bunge bila ya kuwa na hati iliyowekwa saini na Rais inayoeleza kuwa Muswada uliotajwa katika hati hiyo ni wa dharura. (4) Muswada huo utawasilishwa kwanza kwenye Kamati ya Uongozi ukiwa umeambatishwa na hati ya dharura ili Kamati hiyo iweze kujiridhisha iwapo Muswada husika wa sheria unastahili kuwasilishwa kwa dharura au la. (5) Iwapo Kamati ya Uongozi itaona kuwa Muswada wa Sheria wa Serikali uliowasilishwa kwa hati ya dharura haustahili kuwasilishwa kwa dharura, Kamati hiyo itaishauri Serikali ipasavyo. (6) Haitakuwa lazima kwa Waziri au Mwanasheria Mkuu wa Serikali kutoa taarifa ya Muswada wa Serikali ambao unakusudiwa iwapo Muswada huo umekwisha kuwasilishwa Bungeni kutangazwa kwenye Gazeti. (7) Katibu atagawa kwa kila Mbunge nakala ya kila Muswada wa Sheria kama ulivyochapishwa na kutangazwa kwenye Gazeti. - 94 Verify source ↗
(1) Bila ya kuathiri masharti ya Ibara ya 99 ya Katiba,
AI-assisted research summary: Kamati ya Kudumu ya Bunge au Mbunge anaweza kuwasilisha Muswada Binafsi wa Sheria Bungeni, lakini taarifa husika lazima ipelekwe kwa Katibu na iweke jina la muswada pamoja na madhumuni na sababu zake.
94.-(1) Bila ya kuathiri masharti ya Ibara ya 99 ya Katiba, Kamati yoyote ya Kudumu ya Bunge au Mbunge yeyote anaweza kuwasilisha Bungeni Muswada Binafsi wa Sheria. (2) Taarifa ya kuwasilisha Muswada Binafsi wa Sheria itapelekwa kwa Katibu na taarifa hiyo itaeleza jina la Muswada unaopendekezwa pamoja na madhumuni na sababu zake. (3) Baada ya taarifa kutolewa, Muswada Binafsi wa Sheria utatangazwa katika Gazeti kama ilivyo kwa Miswada ya Sheria ya Serikali, isipokuwa kwamba, madhumuni na sababu yatawekwa saini na Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge au Mbunge anayehusika. (4) Masharti kuhusu muda wa utangazaji wa Miswada ya Sheria yanaweza kuwekwa kando na kutenguliwa kwa hoja kutolewa na kuamuliwa kama kutawasilishwa Bungeni hati iliyowekwa saini na theluthi mbili ya Wajumbe wote wa Kamati kama ni Muswada wa Kamati na kwa Muswada wa Mbunge hati iliowekwa saini na Wabunge wasiopungua kumi inayoeleza kuwa Muswada Binafsi uliotajwa katika hati hiyo ni wa dharura. (5) Masharti ya kujadili hoja hii yatakuwa kama yalivyo kwa upande wa Miswada ya Sheria ya Serikali. Utaratibu kuhusu Miswada Binafsi Uwasilishaji wa Muswada 95-(1) Muswada wa Sheria wa Serikali utawasilishwa Bungeni na Waziri au Mwanasheria Mkuu wa Serikali. 52 Tangazo la Serikali Na. 626 (linaendelea) Kanuni Za Kudumu Za Bunge Muswada Kusomwa Mara ya Kwanza Muswada kupelekwa kwenye Kamati (2) Muswada Binafsi wa Sheria unaweza kuwasilishwa Bungeni na Mwenyekiti wa Kamati yoyote ya Kudumu ya Bunge au Mbunge. - 96 Verify source ↗
(1) Muswada wowote wa Sheria ambao umetangazwa
AI-assisted research summary: Gazetted bills may be introduced in Parliament for first reading, and the Clerk must read the bill’s long title at that stage.
96.-(1) Muswada wowote wa Sheria ambao umetangazwa kwenye Gazeti, unaweza kuwasilishwa Bungeni kufuatana na Orodha ya Shughuli ili Kusomwa Mara ya Kwanza na katika hatua hiyo Katibu atasoma jina refu la Muswada wa Sheria unaohusika bila hoja yoyote kutolewa kwa ajili hiyo. (2) Hakutakuwa na mjadala wowote wakati wa Muswada wa Sheria Kusomwa Mara ya Kwanza. - 97 Verify source ↗
(1) Spika atapeleka Muswada wa Sheria kwenye Kamati
AI-assisted research summary: The Speaker must send a bill to the relevant committee, which must start considering it as soon as possible.
97.-(1) Spika atapeleka Muswada wa Sheria kwenye Kamati inayohusika na Kamati itaanza kuujadili Muswada huo mapema iwezekanavyo. (2) Kamati iliyopelekewa Muswada itatoa matangazo au itatoa barua ya mwaliko kumwalika mtu yeyote afike kutoa maoni yake mbele ya Kamati hiyo kwa lengo la kuisaidia katika uchambuzi wa Muswada huo. (3) Bila ya kuathiri masharti ya Ibara ya 99 ya Katiba, Kamati iliyopelekewa Muswada itakuwa na uwezo wa kufanya marekebisho katika Muswada wa Sheria kwa kumshauri Waziri au Mbunge anayehusika na Muswada huo kufanya mabadiliko, vilevile Serikali itakuwa na uwezo wa kuishauri Kamati ya Kudumu ya Bunge kuhusu kufanya marekebisho au mabadiliko juu ya Muswada Binafsi. (4) Kabla Muswada wa Sheria uliofanyiwa mabadiliko haujawasilishwa Bungeni kwa ajili ya Kusomwa Mara ya Pili, utapelekwa kwenye Kamati inayohusika kwa madhumuni ya kuzingatia mabadiliko hayo. Taarifa ya Kamati Muswada Kusomwa Mara ya Pili - 98 Verify source ↗
(1) Kamati
AI-assisted research summary: Kamati ikimaliza kujadili Muswada wa Sheria, Mwenyekiti wake lazima amjulishe Spika kwa maandishi, na Spika ataagiza Muswada uingizwe kwenye Orodha ya Shughuli kwa ajili ya Kusomwa Mara ya Pili.
98.-(1) Kamati iliyopelekewa Muswada wa Sheria itakapokamilisha kuujadili Muswada huo Mwenyekiti wa Kamati atamjulisha Spika kwa maandishi kwamba, Kamati imemaliza kujadili Muswada husika. (2) Spika ataagiza Muswada huo uwekwe kwenye Orodha ya Shughuli kwa ajili ya Kusomwa Mara ya Pili. - 99 Verify source ↗
(1) Siku ambayo Muswada wa Sheria umepangwa kwenye
AI-assisted research summary: This section sets the procedure for a bill’s second reading, including who must lay documents before the House, what motions may be made, and when amendment lists must be filed.
99.-(1) Siku ambayo Muswada wa Sheria umepangwa kwenye Orodha ya Shughuli kwa ajili ya kusomwa Mara ya Pili:- (a) Waziri au Mwanasheria Mkuu wa Serikali au Mwenyekiti wa Kamati yenye Muswada binafsi au Mbunge mwenye Muswada binafsi ataweka Mezani maelezo kuhusu Muswada huo; 53 Tangazo la Serikali Na. 626 (linaendelea) Kanuni Za Kudumu Za Bunge (b) Mwenyekiti wa Kamati inayohusika au Mjumbe yeyote atakayeteuliwa kwa niaba yake ataweka Mezani nakala za Taarifa ya maoni ya Kamati kuhusu Muswada husika; na (c) Msemaji wa Kambi Rasmi ya Walio Wachache Bungeni anaweza kuweka Mezani nakala za Taarifa ya maoni ya Kambi hiyo kuhusu Muswada husika. (2) Hoja ya Muswada wa Sheria kusomwa Mara ya Pili itakuwa kama ifuatavyo:- “Kwamba, Muswada wa Sheria uitwao ……………... sasa usomwe Mara ya Pili.” au kadri itakavyokuwa; “Kwamba, Muswada wa Sheria uitwao …………... kama ulivyorekebishwa kwa mujibu wa jedwali la marekebisho au kama ulivyochapishwa upya, sasa usomwe Mara ya Pili.” (3) Haitakuwa halali katika hatua hii kuleta hoja ya kufanya mabadiliko katika hoja isipokuwa tu kwamba:- (a) mabadiliko bila kutoa sababu yanaweza kutolewa kwa kusema:- “Kwamba, Muswada huu usisomwe Mara ya Pili sasa na badala yake usomwe baada ya …. kuanzia …..”, na muda ambao Muswada huo unaokusudiwa hapo kusomwa utatajwa. (b) mabadiliko yenye kutoa sababu yanaweza kutolewa kwa kusema:- “Kwamba, Bunge hili likatae Muswada huu Kusomwa Mara ya Pili kwa sababu zifuatazo …….”, na hapo sababu za kupinga Muswada Kusomwa Mara ya Pili zitatajwa kwa ukamilifu. (4) Iwapo hoja itatolewa chini ya fasili ya 3(a) na (b) ya kanuni hii, Spika atalihoji Bunge ili kufikia uamuzi. (5) Mwenyekiti wa Kamati iliyopelekewa Muswada wa Sheria au Mjumbe mwingine wa Kamati aliyeteuliwa kwa ajili hiyo, atatoa maoni ya Kamati kuhusu Muswada husika. (6) Ikiwa Muswada wa Sheria unaohusika ni Muswada wa Serikali basi Msemaji wa Kambi ya Rasmi ya Walio Wachache 54 Tangazo la Serikali Na. 626 (linaendelea) Kanuni Za Kudumu Za Bunge atatoa maoni yake juu ya Muswada husika na endapo ni Muswada Binafsi au Muswada wa Kamati, basi msemaji wa Serikali atatoa maoni yake. (7) Mjadala wakati wa Muswada wa Sheria Kusomwa Mara ya Pili utahusu ubora na misingi ya Muswada huo tu. (8) Majadiliano juu ya hoja kuhusu Muswada kama yapo yatahusu maneno yanayohusiana na hoja tu. (9) Mbunge yeyote au Waziri anaweza, wakati wa mjadala huo, kumshauri Mtoa hoja afanye mabadiliko katika Muswada, ama mabadiliko ya jumla au yale atakayoyataja Mbunge. (10) Katika hatua hii iwapo mtoa hoja anataka kufanya marekebisho au mabadiliko katika Muswada wa Sheria kutokana na ushauri uliotolewa ama katika Kamati au wakati wa Muswada wa Sheria Kusomwa Mara ya Pili au kwa sababu nyingine yoyote, iwapo Muswada huo ni wa Serikali atamjulisha Mwanasheria Mkuu wa Serikali na iwapo Muswada husika ni wa Kamati au Binafsi atamjulisha Katibu. (11) Muswada wa Sheria uliochapishwa upya ukiwa na marekebisho au mabadiliko yanayokusudiwa kufanyika au Jedwali la Marekebisho au mabadiliko yanayokusudiwa kufanyika utagawiwa na Katibu kwa Wabunge. (12) Kamati iliyoshughulikia Muswada au Mbunge yeyote ambaye si mtoa hoja, mwenye Marekebisho ya Muswada husika, atawasilisha Jedwali la Marekebisho kwa Katibu wakati wowote kabla ya kuanza kwa kikao cha siku ambayo Muswada huo utapitishwa, isipokuwa kama Spika ataelekeza vinginevyo. - 100 Verify source ↗
(1) Endapo Muswada ulikwishasomwa Mara ya Pili na
AI-assisted research summary: The mover may ask the Speaker to send a bill back to the relevant committee before it goes to the Committee of the Whole House if a new issue has arisen.
100.-(1) Endapo Muswada ulikwishasomwa Mara ya Pili na haukuwa na mabadiliko, lakini kuna jambo au suala jipya limetokea na linahitaji kuzingatiwa, Mtoa hoja anaweza kumwomba Spika wakati wowote kabla Muswada haujapelekwa katika Kamati ya Bunge Zima kwamba, Muswada huo urejeshwe tena kwenye Kamati inayohusika. (2) Endapo Muswada wa sheria utapelekwa tena kwenye Kamati inayohusika, Mbunge yeyote ambaye wakati wa Muswada wa Sheria Kusomwa Mara ya Pili alimwomba mtoa hoja kufanya mabadiliko katika Muswada huo, anaweza kuhudhuria mkutano wa Kamati na kushiriki katika majadiliano, isipokuwa kwamba, Mbunge huyo hatakuwa na haki ya kupiga kura kuhusu uamuzi wowote wa Kamati hiyo. (3) Kamati itakutana mapema iwezekanavyo ili kujadili mabadiliko yaliyopendekezwa. 55 Kurejesha Muswada katika Kamati Tangazo la Serikali Na. 626 (linaendelea) Kanuni Za Kudumu Za Bunge Muswada katika Kamati ya Bunge Zima (4) Bila ya kuathiri masharti ya Ibara ya 99 ya Katiba, Kamati inayohusika itakuwa na mamlaka ya kufanya mabadiliko katika Muswada uliopelekwa kwake kwa mujibu wa Kanuni hii kwa:- (a) kumshauri Waziri, Kamati au Mbunge anayehusika na Muswada kufanya mabadiliko katika Muswada huo; au (b) kupitisha Azimio la kutoa Bungeni, taarifa maalumu kuhusu Muswada huo. (5) Baada ya Kamati kukamilisha kuujadili Muswada kwa mara ya pili, Muswada huo utapelekwa katika Kamati ya Bunge Zima. (6) Endapo Kamati iliyojadili Muswada kwa mara ya pili itaazimia kuwa taarifa maalumu juu ya Muswada huo itolewe Bungeni, basi Mwenyekiti wa Kamati atamjulisha Spika na taarifa hiyo itatolewa na Mwenyekiti au Mjumbe mwingine wa Kamati kwa niaba ya Mwenyekiti, kabla Muswada huo haujawasilishwa katika Kamati ya Bunge Zima. - 101 Verify source ↗
(1) Mtoa hoja au Mbunge mwingine anayekusudia
AI-assisted research summary: This section sets the procedure for proposing and debating amendments to a bill, including speaking order, time limits, Speaker control, and how the Committee of the Whole House handles the bill.
101.-(1) Mtoa hoja au Mbunge mwingine anayekusudia kuwasilisha mabadiliko katika Muswada unaojadiliwa, anaweza kumwomba Spika kwamba, hatua ya kuingia katika Kamati ya Bunge Zima iahirishwe hadi wakati atakaoutaja katika ombi lake na Spika atatoa uamuzi wake kadri atakavyoona inafaa. (2) Mabadiliko yote yaliyopendekezwa kufanyika katika Muswada wa Sheria sharti yawekwe katika Jedwali la Mabadiliko litakaloandaliwa kwa ajili hiyo na kugawiwa kwa Wabunge na katika kujadili na ama kuyapitisha au kutoyapitisha, vyovyote itakavyokuwa, mabadiliko hayo yatashughulikiwa kwa mpangilio utakaofuata na kwa kuzingatia mtiririko wa Ibara za Muswada wa Sheria unaohusika. (3) Kwa madhumuni ya Bunge kujadili na ama kupitisha au kutopitisha, mabadiliko yaliyopendekezwa, Mtoa hoja atapewa fursa ya kwanza kueleza mapendekezo yake kabla ya mabadiliko mengine yatakayokuwa yamependekezwa na Wabunge wengine. (4) Mabadiliko yoyote yaliyopendekezwa kufanyika katika Muswada wa Sheria na kuwekwa katika Jedwali la Mabadiliko hayataondolewa na Mtoa hoja, isipokuwa tu kwa idhini ya Spika. (5) Mtoa hoja anayependekeza mabadiliko kufanywa katika Muswada wa Sheria atawasilisha hoja yake ya mabadiliko hayo kwa muda wa dakika tano. (6) Endapo kuna mabadiliko mengine yamependekezwa kufanyika katika Jedwali la Mabadiliko, basi mabadiliko hayo yaliyopendekezwa awali na ambayo yamo katika Jedwali la hadi Mabadiliko hayatahesabiwa yameondolewa kwamba 56 Tangazo la Serikali Na. 626 (linaendelea) Kanuni Za Kudumu Za Bunge majadiliano juu ya mabadiliko hayo yatakapokuwa yamefikia mwisho au Waziri, Kamati ya Bunge au Mbunge aliyetoa mapendekezo yaliyomo katika Jedwali la Mabadiliko atakapoomba kwa Spika mapendekezo yake yaondolewe. (7) Mtoa hoja aliyependekeza mabadiliko yoyote kufanyika katika Muswada wa Sheria na mapendekezo hayo kuwekwa katika Jedwali la Mabadiliko atapewa nafasi ya kuwasilisha na kufunga hoja yake ya mabadiliko. (8) Baada ya Mtoa hoja kuhitimisha hoja yake ya mabadiliko, Spika atalihoji Bunge ili kupata uamuzi kuhusu hoja hiyo ya mabadiliko. (9) Muda wa kusema katika Kamati ya Bunge Zima kwa wachangiaji mbalimbali wanaounga mkono hoja ya kufanya mabadiliko utakuwa dakika tatu. (10) Kamati ya Bunge Zima itajadili na kupitisha au kufanya mabadiliko na kupitisha Muswada wa Sheria Ibara moja baada ya nyingine, isipokuwa kwamba, Mwenyekiti, akiona inafaa, anaweza kuihoji Kamati itoe uamuzi wake kwa sehemu moja yenye Ibara kadhaa au Ibara zote zilizomo katika sehemu moja ya Muswada. Taarifa baada ya Muswada Kusomwa Mara ya Pili
Part
Jedwali la Mabadiliko atapewa nafasi ya kuwasilisha na kufunga
- 102 Verify source ↗
(1) Baada ya Kamati ya Bunge Zima kukamilisha kazi ya
AI-assisted research summary: After the Committee of the Whole House finishes considering a bill, the mover must present the House with the required statement and then move the motion to adopt the bill.
102.-(1) Baada ya Kamati ya Bunge Zima kukamilisha kazi ya kupitia Muswada wa Sheria, Bunge litarejea na Mtoa hoja atatoa taarifa Bungeni kwa maneno yafuatayo:- “Kamati ya Bunge Zima imeupitia Muswada wa Sheria, Ibara kwa Ibara na kuukubali bila mabadiliko, naomba kutoa hoja.” au kama kuna mabadiliko yaliyofanywa kwa maneno yafuatayo:- “Kamati ya Bunge Zima imeupitia Muswada wa Sheria, Ibara kwa Ibara na imeukubali pamoja na marekebisho yaliyofanyika, naomba kutoa hoja” na kisha atatoa hoja:- “Kwamba, Muswada wa Sheria wa …………sasa ukubaliwe”, au kama kuna mabadiliko yaliyofanywa katika Muswada kwa maneno yafuatayo: - “Kwamba, Muswada wa Sheria wa …. Kama ulivyorekebishwa au kubadilishwa katika Kamati ya Bunge zima, sasa ukubaliwe.” 57 Tangazo la Serikali Na. 626 (linaendelea) Kanuni Za Kudumu Za Bunge (2) Hoja ya kupitisha Muswada wa Sheria ya Mabadiliko ya Katiba itaamuliwa kwa mujibu wa Ibara ya 98 ya Katiba, kwa sababu hiyo, kura zitapigwa kwa kuita jina la Mbunge mmoja mmoja katika hatua ya Muswada huo Kusomwa Mara ya Pili. Kuondoa Muswada Bungeni - 103 Verify source ↗
Mtoa hoja anayewasilisha Muswada wa Sheria anaweza
AI-assisted research summary: Mtoa hoja anayewasilisha Muswada wa Sheria anaweza kuutoa wakati wowote kabla ya Bunge kutoa uamuzi wake, ikiwa amemjulisha Spika.
103. Mtoa hoja anayewasilisha Muswada wa Sheria anaweza kuuondoa Muswada wakati wowote kabla ya Bunge kuhojiwa kutoa uamuzi wake, baada ya kutoa taarifa kwa Spika. Muswada Kusomwa Mara ya Tatu na kupitishwa na Bunge Ridhaa ya Rais na hifadhi ya Sheria Utaratibu wa Kusoma Miswada ya Sheria - 104 Verify source ↗
Baada ya Muswada wa Sheria Kusomwa Mara ya Tatu,
AI-assisted research summary: After a bill has been read for the third time, it is deemed passed by Parliament.
104. Baada ya Muswada wa Sheria Kusomwa Mara ya Tatu, utahesabika kuwa umepitishwa na Bunge. - 105 Verify source ↗
(1) Muswada kama ulivyopitishwa na Bunge, utatayarishwa
AI-assisted research summary: Katibu lazima aandae Muswada uliopitishwa na Bunge kwa kuingiza mabadiliko yote, awasilishe nakala moja kwa Rais mapema na nakala moja kwa Spika kwa taarifa, kisha ahifadhi nakala halisi ya Sheria iliyopata kibali cha Rais.
105.-(1) Muswada kama ulivyopitishwa na Bunge, utatayarishwa chini ya uangalizi na usimamizi wa Katibu kwa kuingiza mabadiliko yote yaliyofanyika na atawasilisha nakala moja ya Muswada huo kwa Rais mapema ili Rais atoe kibali chake kwa mujibu wa Ibara ya 97(1) ya Katiba na pia nakala moja kwa Spika kwa taarifa. (2) Nakala halisi ya Sheria iliyopata kibali cha Rais itahifadhiwa na Katibu. - 106 Verify source ↗
(1) Bunge halitashughulikia hatua zaidi ya moja kwa
AI-assisted research summary: Bunge halipaswi kushughulikia Muswada wa Sheria katika hatua zaidi ya moja katika Mkutano mmoja, isipokuwa masharti maalum yatimizwe au aina fulani za miswada zitumike.
106.-(1) Bunge halitashughulikia hatua zaidi ya moja kwa Muswada wowote wa Sheria katika Mkutano mmoja wa Bunge. (2) Bila ya kuathiri masharti ya fasili ya (1) ya kanuni hii, Bunge linaweza kushughulikia Muswada wa Sheria katika hatua zaidi ya moja endapo:- (a) hoja mahususi itatolewa kwamba Muswada huo ushughulikiwe katika hatua zaidi ya moja; (b) Spika ataridhika na hoja hiyo; na (c) Bunge litaafiki hoja hiyo kwa kupiga kura. (3) Masharti ya fasili ya (1) ya kanuni hii hayatatumika kwa Muswada wa Sheria ya Fedha, Muswada wa Matumizi ya Fedha na Muswada wowote unaowasilishwa kwa hati ya dharura. SEHEMU YA KUMI NA TATU UTARATIBU WA KURIDHIA MIKATABA YA KIMATAIFA Hoja ya kuridhia
Part
SEHEMU YA KUMI NA TATU
- 107 Verify source ↗
(1) Endapo Jamhuri ya Muungano imeingia mkataba wa
AI-assisted research summary: If Tanzania has entered an international treaty that must be ratified by Parliament, the responsible Minister or the Attorney General must submit a ratification motion to the Clerk with a copy of the treaty.
107.-(1) Endapo Jamhuri ya Muungano imeingia mkataba wa kimataifa ambao, kwa masharti yake, unahitaji kuridhiwa na Bunge 58 Tangazo la Serikali Na. 626 (linaendelea) Kanuni Za Kudumu Za Bunge Mkataba kwa mujibu wa masharti ya Ibara ya 63(3)(e) ya Katiba, Waziri husika au Mwanasheria Mkuu wa Serikali atawasilisha kwa Katibu hoja ya kuridhia Mkataba akiambatisha nakala ya Mkataba unaokusudiwa kuridhiwa. Spika kupeleka Hoja kwenye Kamati Taarifa ya Kamati Hoja kuwasilishw a Bungeni (2) Hoja itakuwa na maelezo kuhusu: - (a) jina la Mkataba na mwaka; (b) maudhui ya Mkataba; (c) wajibu wa nchi baada ya kujiunga; (d) uzingatiaji wa Katiba; (e) uzingatiaji wa sera za nchi; (f) manufaa pamoja na athari kama zipo, ambazo Tanzania itapata kutokana na Mkataba huo; (g) mapendekezo ya kutoridhia baadhi ya masharti iwapo Mkataba una masharti hayo; na (h) jambo lingine lolote lenye tija kwa Taifa. - 108 Verify source ↗
(1) Baada ya hoja hiyo kupokelewa kwa mujibu wa
AI-assisted research summary: Spika lazima apeleke hoja kwenye kamati husika baada ya kupokelewa kwa mujibu wa kanuni ya 107, na kamati inaweza/inalazimika kutoa tangazo au barua ya mwaliko kumwalika mtu yeyote kutoa maoni yake mbele yake.
108.-(1) Baada ya hoja hiyo kupokelewa kwa mujibu wa kanuni ya 107, Spika ataipeleka kwenye Kamati inayohusika kwa ajili ya kufanyiwa kazi. (2) Kamati iliyopelekewa hoja itatoa tangazo au barua ya mwaliko kumwalika mtu yeyote afike kutoa maoni yake mbele ya Kamati hiyo kwa lengo la kuisaidia katika uchambuzi wa Mkataba husika. - 109 Verify source ↗
(1) Kamati
AI-assisted research summary: Mwenyekiti wa Kamati lazima amjulisha Spika kwa maandishi kuwa Kamati imekamilisha kazi yake, kisha Spika aagize hoja hiyo iwekwe kwenye Orodha ya Shughuli kwa ajili ya kuwasilishwa na kujadiliwa Bungeni.
109.-(1) Kamati itakapokamilisha iliyopelekewa kushughulikia hoja hiyo Mwenyekiti wa Kamati atamjulisha Spika kwa maandishi kwamba Kamati imemaliza kazi yake. hoja (2) Baada ya kupokea taarifa, Spika ataagiza hoja hiyo iwekwe kwenye Orodha ya Shughuli kwa ajili ya kuwasilishwa na kujadiliwa Bungeni. - 110 Verify source ↗
(1) Siku ambayo hoja ya kuridhia mkataba imepangwa
AI-assisted research summary: Mtoa hoja lazima aweke mbele Bunge hoja ya kujadili na kupitisha Azimio la kuridhia Mkataba ulioorodheshwa, na Mkataba utatajwa kwa jina.
110.-(1) Siku ambayo hoja ya kuridhia mkataba imepangwa kwenye Orodha ya Shughuli, mtoa hoja atawasilisha hoja kwamba, Bunge lijadili na kukubali kupitisha Azimio la kuridhia Mkataba ambao atautaja kwa jina. (2) Hoja ya kuliomba Bunge kujadili na kupitisha Azimio la Bunge la kuridhia Mkataba itawasilishwa Bungeni kwa maneno yafuatayo: - “KWA KUWA, ………………. NA KWA KUWA, ………….... “KWA HIYO BASI, kwa mujibu wa masharti ya Ibara ya 63(3)(e) 59 Tangazo la Serikali Na. 626 (linaendelea) Kanuni Za Kudumu Za Bunge Majadiliano na Uamuzi wa Hoja ya Katiba, Bunge linaazimia kwamba, Mkataba wa (utatajwa kwa jina) uridhiwe.” - 111 Verify source ↗
(1) Majadiliano wakati wa kujadili hoja ya kuridhia
AI-assisted research summary: Majadiliano ya hoja ya kuridhia Mkataba yanapaswa kuzungumzia masharti ya mkataba husika, na baada ya majadiliano Spika humwita mtoa hoja ahitimishe kabla ya Bunge kufanya uamuzi.
111.-(1) Majadiliano wakati wa kujadili hoja ya kuridhia Mkataba yatahusu masharti ya mkataba husika. (2) Baada ya majadiliano kukamilika, Spika atamwita mtoa hoja kuhitimisha hoja yake kabla hajalihoji Bunge kupata uamuzi wake. (3) Uamuzi wa Bunge unaweza kuwa ni Azimio la: (a) kuridhia masharti yote ya Mkataba; (b) kuridhia baadhi ya masharti ya Mkataba iwapo Mkataba unaruhusu kufanya hivyo; au (c) kukataa kuridhia Mkataba husika. Hifadhi ya nakala ya Azimio - 112 Verify source ↗
Katibu atawasilisha Serikalini Azimio la Bunge kama
AI-assisted research summary: Katibu must submit the passed House resolution to the Government and keep a copy of it.
112. Katibu atawasilisha Serikalini Azimio la Bunge kama lilivyopitishwa na atahifadhi nakala ya Azimio hilo. UTARATIBU WA KUTUNGA SHERIA KUHUSU MAMBO YA FEDHA SEHEMU YA KUMI NA NNE Bunge kukaa kama Kamati ya Mipango
Part
SEHEMU YA KUMI NA NNE
- 113 Verify source ↗
(1) Kwa mujibu wa Ibara ya 63(3) (c) ya Katiba, Serikali
AI-assisted research summary: Serikali lazima iwasilishe mapendekezo ya Mpango wa Taifa Bungeni; Bunge pia linapaswa kujadili na kushauri kuhusu mapendekezo hayo katika mkutano wa Oktoba–Novemba kwa angalau siku tano, na mapendekezo yahusishwe na Kamati ya Bajeti kabla ya kuwasilishwa.
113.-(1) Kwa mujibu wa Ibara ya 63(3) (c) ya Katiba, Serikali itawasilisha Bungeni Mapendekezo ya Mpango wa Taifa wa muda mrefu ambao utajadiliwa mapema iwezekanavyo katika Mkutano wowote wa Bunge. (2) Bila ya kuathiri masharti ya fasili ya (1, Bunge katika Mkutano wake wa mwezi Oktoba – Novemba kila mwaka, isipokuwa kwa Mkutano wa Kwanza wa Bunge Jipya, kwa siku zisizopungua tano, litakaa kama Kamati ya Mipango kwa ajili ya kujadili na kushauri kuhusu Mapendekezo ya Mpango wa Taifa unaokusudiwa kutekelezwa na Serikali katika mwaka wa fedha unaofuata. (3) Katika Mkutano huo, Bunge pamoja na mambo mengine, litafanya shughuli zifuatazo:- (a) (b) kupokea, kujadili na kutoa maoni na ushauri kuhusu kuandaa Mpango na Bajeti ya mwongozo wa Serikali; kupokea, kujadili na kutoa maoni na ushauri kuhusu vyanzo vya mapato ya Serikali; na (c) kupokea, kujadili na kutoa maoni na ushauri kuhusu mapendekezo ya utekelezaji wa Mpango wa Serikali na vipaumbele kuhusu Mpango huo. (4) Kabla Mapendekezo ya Mpango wa Taifa unaokusudiwa kutekelezwa na Serikali kuwasilishwa Bungeni, mapendekezo hayo yatajadiliwa na Kamati ya Bajeti. 60 Tangazo la Serikali Na. 626 (linaendelea) Kanuni Za Kudumu Za Bunge (5) Mjadala kuhusu mapendekezo ya Mpango wa Taifa:- (a) utatanguliwa na maoni ya Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti iliyochambua mapendekezo hayo, na maoni ya Kambi Rasmi ya Walio Wachache Bungeni; (b) utaendelea kwa siku zisizopungua tano; na (c) utahitimishwa na Serikali kwa kutoa maelezo mafupi kwamba imepokea Maoni na Ushauri wa Bunge. (6) Mjadala wa Mapendekezo ya Mpango wa Taifa utahusu mambo ya jumla na Wabunge watachangia na kuishauri Serikali kuhusu Mapendekezo ya Utekelezaji wa sera za kiuchumi, za kifedha, za kodi na vipaumbele katika mpango wa Bajeti ya Serikali. - 114 Verify source ↗
Bunge halitashughulikia Muswada, hoja au ombi lolote
AI-assisted research summary: Bunge halipaswi kushughulikia Muswada, hoja au ombi fulani ikiwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali amethibitisha linaongeza au kubadilisha kodi, matumizi ya serikali, mishahara, marupurupu, masharti ya utumishi, au masuala ya pensheni na marupurupu ya wategemezi.
114. Bunge halitashughulikia Muswada, hoja au ombi lolote lililotolewa na Mbunge au Kamati ya Kudumu ya Bunge endapo Mwanasheria Mkuu wa Serikali atathibitisha kwamba, matokeo ya Muswada, hoja au ombi hilo yatakuwa ni:- (a) kuweka masharti yanayoanzisha au kuongeza kodi yoyote yanayoweza kuongeza kiwango cha matumizi ya fedha zitakazotolewa kutoka katika Mfuko Mkuu wa Hazina ya Jamhuri ya Muungano au yanayofuta au kupunguza deni lolote linalodaiwa kwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano; au (b) kubadilisha mishahara, marupurupu au masharti ya utumishi, ikiwa ni pamoja na likizo, usafiri na kupandishwa cheo kwa mtumishi yeyote wa umma au kufanya mabadiliko katika Sheria, Kanuni au taratibu zinazohusu pensheni, kiinua mgongo au marupurupu mengineyo ya mtumishi wa umma au ya mjane, watoto wanaomtegemea au wawakilishi wake. - 115 Verify source ↗
(1) Kila ifikapo tarehe kumi ya mwezi Machi kila mwaka,
AI-assisted research summary: Kila Wizara lazima itume kwa Katibu nakala za dondoo za makadirio ya mapato na matumizi na randama ifikapo 10 Machi kila mwaka, au siku ya kazi inayofuata ikiwa tarehe hiyo si ya kazi.
115.-(1) Kila ifikapo tarehe kumi ya mwezi Machi kila mwaka, kila Wizara itawasilisha kwa Katibu nakala za dondoo za vitabu vya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara kwa mwaka wa fedha unaofuata, pamoja na nakala za randama za Makadirio hayo kulingana na idadi ya Wajumbe wa Kamati, kwa ajili ya kuziwezesha Kamati za Bunge kufanya uchambuzi wa makadirio hayo. (2) Kwa mujibu wa fasili (1), iwapo tarehe kumi ya mwezi Machi itakuwa si siku ya kazi, uwasilishwaji huo utafanywa tarehe inayofuata ya siku ya kazi. 61 Masharti kuhusu Miswada, Hoja na maombi ya fedha Kuwasilish a dondoo na randama za vitabu vya Bajeti Tangazo la Serikali Na. 626 (linaendelea) Kanuni Za Kudumu Za Bunge Kuwasilisha mapendekezo ya mpango na Bajeti Kamati kukagua utekelezaji wa miradi na uchambuzi wa Bajeti - 116 Verify source ↗
(1) Tarehe kumi na moja ya mwezi Machi ya kila mwaka
AI-assisted research summary: Waziri wa mipango lazima aweke mapendekezo ya mpango wa mwaka ujao kwa Wabunge tarehe 11 Machi (au siku ya kazi inayofuata), na Waziri wa fedha awasilishe pia mapendekezo ya kiwango na ukomo wa Bajeti; wakati wa uwasilishaji hakuna mjadala, kisha Spika apeleke mapendekezo Kamati ya Bajeti.
116.-(1) Tarehe kumi na moja ya mwezi Machi ya kila mwaka au tarehe ya siku nyingine ya kazi inayofuata iwapo tarehe hiyo itakuwa si siku ya kazi, Waziri anayehusika na masuala ya mipango atawasilisha kwa Wabunge, mapendekezo ya Serikali ya mpango kwa mwaka wa fedha unaofuata. (2) Kwa mujibu wa fasili (1), siku hiyo pia, Waziri anayehusika na masuala ya fedha, atawasilisha kwa Wabunge, mapendekezo ya Serikali ya kiwango na ukomo wa Bajeti ya Serikali kwa mwaka wa fedha unaofuata. (3) Katika hatua ya uwasilishaji kwa mujibu wa fasili ya (1) na ya (2), hakutakuwa na mjadala wowote kuhusu mapendekezo ya mpango na kiwango cha ukomo wa Bajeti ya Serikali kwa mwaka wa fedha unaofuata. (4) Baada ya mapendekezo ya mpango na Bajeti ya Serikali kuwasilishwa kwa mujibu wa fasili ya (1) na (2), Spika atawasilisha mapendekezo hayo kwenye Kamati ya Bajeti ili yafanyiwe uchambuzi na Kamati hiyo itazishauri Kamati za Bunge za Kisekta pamoja na Serikali kuhusu mapendekezo hayo. - 117 Verify source ↗
(1) Baada ya kuwasilishwa kwa mapendekezo ya mpango
AI-assisted research summary: Kamati za Bunge za kisekta lazima zikague miradi ya bajeti, zichambue taarifa za utekelezaji, na zitoe mambo muhimu ya kibajeti kwa Spika; Kamati ya Uongozi na Serikali pia zina hatua maalum za mashauriano na majumuisho.
117.-(1) Baada ya kuwasilishwa kwa mapendekezo ya mpango na kiwango na ukomo wa Bajeti ya Serikali kwa mwaka wa fedha unaofuata kwa Wabunge, Kamati za Bunge za kisekta zitatembelea na kukagua utekelezaji wa miradi iliyotengewa fedha kwa mwaka wa fedha unaoisha, kwa siku zisizozidi saba. (2) Baada ya kutembelea miradi, Kamati za Bunge za Kisekta, kwa kipindi kisichozidi siku tisa, zitafanya vikao vya kuchambua taarifa za utekelezaji wa Bajeti za Wizara inazozisimamia kwa mwaka wa fedha unaoisha na kufanya ulinganisho kuhusu Makadirio ya Matumizi ya Serikali kwa mwaka wa fedha unaofuata. (3) Mara baada ya kukamilika kwa uchambuzi wa taarifa kwa mujibu wa fasili ya (2), Kamati za Kisekta zitaandaa masuala muhimu ya kibajeti yaliyojitokeza wakati wa kujadili utekelezaji wa Bajeti na kuyawasilisha kwa Spika ambaye, kwa kadri atakavyoona, inafaa atayapeleka katika Kamati ya Bajeti. (4) Siku moja kabla ya kufanya majumuisho kwa mujibu wa fasili ya (5), Kamati ya Uongozi itafanya kikao cha mashauriano na Kamati ya Bajeti kuhusu mambo muhimu yaliyojitokeza kwenye Kamati za Kisekta wakati wa kujadili utekelezaji wa Bajeti za Wizara kwa mwaka wa fedha unaoisha na Makadirio ya Matumizi ya Serikali kwa mwaka wa fedha unaofuata. 62 Tangazo la Serikali Na. 626 (linaendelea) Kanuni Za Kudumu Za Bunge Kujadili utekelezaji wa Bajeti za Wizara (5) Katika kipindi cha siku tatu kabla ya Mkutano wa Bajeti kuanza, na wakati Kamati za Bunge za Kisekta zikiendelea na shughuli zake, Serikali kwa kushauriana na Kamati ya Bajeti, itafanya majumuisho kuzingatia ushauri wa Kamati za Bunge za Kisekta kuhusu utekelezaji wa Bajeti za Wizara kwa mwaka wa fedha unaoisha, na maombi ya fedha kwa mwaka wa fedha unaofuata. (6) Baada ya Kamati ya Bajeti kushauriana na Serikali kwa mujibu wa fasili ya (5), Kamati ya Uongozi itafanya kikao na Kamati ya Bajeti kwa ajili ya kupata taarifa ya matokeo ya mashauriano kati ya Kamati hiyo na Serikali. - 118 Verify source ↗
(1) Katika Mkutano wa Bunge wa Bajeti utakaonza
AI-assisted research summary: Kanuni hii inaweka utaratibu wa mjadala wa Bajeti ya Bunge, ikiwemo uchambuzi wa kamati, uwasilishaji wa nyaraka za Waziri, mipaka ya muda wa hotuba na maoni, na marufuku ya maneno ya utangulizi au kutaja majina wakati wa mjadala.
118.-(1) Katika Mkutano wa Bunge wa Bajeti utakaonza mapema mwezi Aprili kwa kila mwaka, jumla ya siku zisizozidi hamsini na nane zitatengwa kwa ajili ya Bunge kujadili utekelezaji wa Wizara zote wa Bajeti kwa mwaka wa fedha unaoisha, pamoja na Makadirio ya Matumizi ya Serikali kwa mwaka wa fedha unaofuata. (2) Mjadala katika Bunge la Bajeti kwa kila mwaka utaanza na Hotuba ya Bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu, na kufuatiwa na Hotuba za Bajeti za Wizara nyingine zote, kwa utaratibu utakaopangwa na Spika, baada ya kushauriana na Kamati ya Uongozi. (3) Shughuli za Bajeti zitapewa nafasi ya kwanza kabla ya Shughuli nyingine yoyote, na zitawekwa kwanza kwenye Orodha ya Shughuli za kikao kila siku hadi pale zitakapokuwa zimemalizika, isipokuwa kama Bunge litaamua vinginevyo. (4) Kabla ya taarifa za utekelezaji na Makadirio ya Matumizi ya Wizara kujadiliwa Bungeni, zitachambuliwa na Kamati za Bunge za Kisekta, kwa utaratibu uliowekwa na kanuni ya 117(2), na pia katika Nyongeza ya Nane ya Kanuni hizi. (5) Siku ambayo Waziri amepangiwa kuwasilisha hoja ya Makadirio ya Wizara yake, Waziri, Mwenyekiti wa Kamati inayohusika au mjumbe yeyote atakayeteuliwa kwa niaba yake, na Msemaji wa Kambi Rasmi ya Walio Wachache Bungeni kwa Wizara husika Wataweka Mezani nakala ya taarifa zao kwa kuzingatia mpangilio wa Shughuli za Bunge. (6) Pamoja na kuwasilisha Mezani nakala ya Hotuba ya hoja ya Makadirio ya Wizara, Waziri atawasilisha pia nakala 10 za randama ya makadirio hayo, siku moja kabla ya siku ambayo Hotuba yake imepangwa kusomwa Bungeni. (7) Wakati utakapofika wa kuwasilisha Hotuba ya Bajeti ya Wizara inayohusika, hoja itatolewa kwa maneno yafuatayo: - 63 Tangazo la Serikali Na. 626 (linaendelea) Kanuni Za Kudumu Za Bunge “Kwamba sasa Bunge likubali kujadili na kupitisha Makadirio ya Matumizi ya Wizara yangu.” (8) Isipokuwa kwa Hotuba ya Bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu, muda wa Waziri anayewasilisha Hotuba ya Bajeti utakuwa ni dakika zisizozidi sitini. (9) Baada ya Waziri kuwasilisha Hotuba ya Bajeti kwa mujibu wa fasili (1), Mwenyekiti wa Kamati iliyopitia Makadirio husika na Msemaji wa Kambi Rasmi ya Walio Wachache Bungeni watatoa maoni yao kwa muda usiozidi dakika thelathini kila mmoja. (10) Wakati wa kujadili Makadirio ya Matumizi ya Wizara, muda wa Wabunge kuchangia utatolewa kulingana na uwiano wa idadi ya Wabunge kutoka katika kila Chama. (11) Idadi ya Wabunge watakaopewa nafasi ya kuchangia Makadirio ya Matumizi ya Wizara kwa mujibu wa fasili ya (10) itaamuliwa na Spika. (12) Mbunge anayejadili Makadirio ya Matumizi ya Wizara Isipokuwa ataruhusiwa kusema kwa muda usiozidi dakika kumi. za Vyama zinaweza kupendekeza kwa Spika kugawa muda huo kwa Wabunge wasiozidi wawili, mapema kabla ya mjadala huo kuanza. kwamba, Kambi (13) Endapo Spika ataona kuwa muda uliotengwa kwa ajili ya kujadili Bajeti ya Wizara inayohusika umekaribia kuisha, atafunga mjadala ili kumpatia Waziri Mtoa Hoja nafasi ya kujibu masuala yaliyoibuliwa wakati wa mjadala ndani ya muda wa dakika sitini. (14) Bila ya kuathiri masharti ya kanuni ya 175, maneno yoyote ya utangulizi, utambulisho, salamu za pole, pongezi au shukrani, pamoja na kutaja majina ya Wabunge waliochangia hoja havitaruhusiwa kwa Mbunge au Waziri wakati wa kujadili Hotuba ya Bajeti. - 119 Verify source ↗
Mjadala wa jumla kuhusu Makadirio ya Matumizi kwa
AI-assisted research summary: After the general debate on a ministry’s expenditure estimates ends, Parliament enters the Committee of Supply to approve the ministry’s estimates clause by clause.
119. Mjadala wa jumla kuhusu Makadirio ya Matumizi kwa Wizara utakapomalizika, Bunge litaingia katika Kamati ya Matumizi ili kupitisha Makadirio ya Wizara husika kifungu kwa kifungu. - 120 Verify source ↗
(1) Katika Kamati ya Matumizi, Mwenyekiti atawahoji
AI-assisted research summary: Katika Kamati ya Matumizi, Mwenyekiti anawahoji Wajumbe kuhusu kila kifungu cha Makadirio ya Matumizi; Mbunge anaweza kuomba ufafanuzi, lakini matumizi ya kifungu chenye mshahara wa Waziri yana masharti maalum, na muda wa kusema ni dakika tano.
120.-(1) Katika Kamati ya Matumizi, Mwenyekiti atawahoji Wajumbe kuhusu kifungu kimoja kimoja cha Makadirio ya Matumizi, na kila kifungu kitaafikiwa peke yake. (2) Mbunge yeyote anaweza kuomba ufafanuzi au maelezo zaidi katika Kifungu chochote cha Fungu linalohusika, wakati Kifungu hicho kitakapofikiwa na Kamati ya Matumizi. 64 Kamati ya Matumizi Mjadala katika Kamati ya Matumizi Tangazo la Serikali Na. 626 (linaendelea) Kanuni Za Kudumu Za Bunge Kubadilisha Makadirio katika Kamati ya Matumizi Hoja ya kuondoa shilingi kwenye Makadirio (3) Mbunge atakayeamua kutumia kifungu chenye mshahara wa Waziri, ataruhusiwa tu iwapo ataomba ufafanuzi wa suala mahsusi la sera na hatazungumzia zaidi ya jambo moja. (4) Kwa kuzingatia masharti ya fasili ya (3), Kamati za Vyama zitawasilisha kwa Spika majina ya Wabunge watakaoomba kupata ufafanuzi wa suala mahsusi la sera, na Spika atataoa nafasi kwa Wabunge kwa kuzingatia uwiano. (5) Muda wa kusema katika Kamati ya Matumizi kwa ajili ya kuomba au kutoa ufafanuzi hautazidi dakika tano. - 121 Verify source ↗
(1) Katika Kamati ya Matumizi, Mbunge yeyote
AI-assisted research summary: Mbunge yeyote katika Kamati ya Matumizi anaweza kuwasilisha hoja ya kufanya mabadiliko kwenye Makadirio ya Matumizi ya Serikali, mradi mabadiliko hayo hayasogezi madhumuni ya Fungu.
121.-(1) Katika Kamati ya Matumizi, Mbunge yeyote anaweza kutoa hoja ya kutaka kufanya mabadiliko katika Makadirio ya Matumizi ya Serikali iwapo mabadiliko hayo hayatabadili madhumuni ya Fungu. (2) Endapo hoja iliyotolewa kwa ajili ya kupunguza kifungu fulani katika Fungu lolote haijapitishwa, hoja nyingine bado inaweza kutolewa kwa madhumuni ya kupunguza kifungu kingine cha Fungu hilo hilo. - 122 Verify source ↗
(1) Kwa kuzingatia utaratibu wa majadiliano
AI-assisted research summary: Mbunge yeyote anaweza kuomba ufafanuzi, kutoa hoja ya kuondoa shilingi moja, na kuchangia hoja hiyo chini ya muda uliowekwa; Waziri anajibu, Spika huamua muda, na kura hupigwa ikiwa hoja inadumishwa.
122.-(1) Kwa kuzingatia utaratibu wa majadiliano uliowekwa na Kanuni hizi, Mbunge yeyote anaweza kuomba ufafanuzi au maelezo zaidi katika kifungu chochote cha Fungu linalohusika, wakati kifungu hicho kitakapofikiwa na Kamati ya Matumizi. (2) Mbunge yeyote anaweza kutoa hoja ya kuondoa shilingi moja katika kifungu chochote cha Fungu hilo. (3) Madhumuni ya hoja ya aina hiyo ni kumwezesha Mbunge aliyeitoa aweze kueleza kutoridhika kwake na utekelezaji wa jambo fulani mahsusi ambalo dhahiri linahusika na kifungu hicho. (4) Hoja ya aina hiyo itatolewa kwa muda usiozidi dakika tano. (5) Wabunge wanaweza kuchangia hoja ya kuondoa shilingi moja iliyoanzishwa kwa mujibu wa fasili ya (2) kwa muda usiozidi dakika tatu kila mmoja. (6) Waziri anayehusika atapewa nafasi ya kutoa majibu ya hoja hiyo. (7) Mbunge aliyetoa hoja ya kuondoa shilingi ndiye atakayefunga mjadala wa hoja hiyo. (8) Muda utakaotumiwa na Waziri na Mbunge kwa mujibu wa fasili ya (6) na (7) utaamuliwa na Spika. (9) Endapo Mbunge atashikilia hoja ya kuondoa shilingi moja katika kifungu hicho, basi kura itapigwa kwa kuhoji wanaoafiki na wasioafiki hoja hiyo. 65 Tangazo la Serikali Na. 626 (linaendelea) Kanuni Za Kudumu Za Bunge Kukamilika mjadala katika Kamati ya Matumizi Hotuba ya Bajeti ya Serikali Kusomwa Bungeni (10) Endapo hoja ya kuondoa shilingi moja katika kifungu chochote itakubalika, basi kifungu hicho kitakuwa kimepitishwa kikiwa pungufu ya hiyo shilingi moja. (11) Endapo hoja iliyotolewa kwa ajili ya kuondoa shilingi moja katika kifungu chochote cha Fungu linalohusika imekataliwa, hoja nyingine yenye madhumuni ya kuondoa shilingi moja katika kifungu kingine cha Fungu hilo hilo bado inaweza kutolewa. - 123 Verify source ↗
(1) Iwapo zimesalia dakika kumi kabla ya kufikia
AI-assisted research summary: The Chairman may extend sitting time by up to 30 minutes without consulting the Committee, and then must take the next procedural steps when the time limits are reached.
123.-(1) Iwapo zimesalia dakika kumi kabla ya kufikia muda wa kuahirisha kikao cha Bunge na Kamati ya Matumizi bado haijamaliza kupitisha mafungu, Mwenyekiti anaweza kuongeza muda usiozidi dakika thelathini bila kuihoji Kamati ili kukamilisha Shughuli ya kupitisha mafungu yaliyobaki. (2) Iwapo zimesalia dakika kumi kabla ya kumalizika muda ulioongezwa chini ya fasili ya (1) na Kamati bado haijamaliza kupitisha mafungu yote, Mwenyekiti atafunga mazungumzo yanayoendelea na papo hapo atawahoji Wajumbe kuhusu mafungu yaliyosalia, kama yapo. (3) Baada ya Kamati ya Matumizi kumaliza kazi ya kupitisha Makadirio ya Matumizi ya Wizara na Bunge kurudia, waziri mtoa hoja atatoa taarifa kwamba:- (a) “Mheshimiwa Spika, Bunge lako likikaa kama Kamati ya limekamilisha kazi zake”; na kuomba Matumizi kwamba: (b) “Taarifa ya Kamati ya Matumizi ikubaliwe na Bunge”; na atahitimisha kwa kusema: “Naomba kutoa hoja”. (4) Baada ya taarifa ya mtoa hoja, Spika atalihoji Bunge ili kupata uamuzi. - 124 Verify source ↗
(1) Baada ya Bunge kukamilisha mjadala wa Makadirio
AI-assisted research summary: This section sets the timetable and speakers for the Government Budget process in Parliament.
124.-(1) Baada ya Bunge kukamilisha mjadala wa Makadirio ya Wizara zote, ndani ya siku sita kabla ya Hotuba ya Bajeti Kusomwa Bungeni, Serikali kwa kushauriana na Kamati ya Bajeti itafanya majumuisho kwa ajili ya kuzingatia hoja zilizojitokeza wakati wa kujadili utekelezaji wa Bajeti za Wizara kwa mwaka wa fedha unaoisha, na Makadirio ya Matumizi ya Wizara hizo kwa mwaka wa fedha unaofuata. (2) Katika kipindi cha kufanya majumuisho kwa mujibu wa fasili ya (1), Bunge litaendelea na shughuli zake nyingine kama zitakavyokuwa zimepangwa na Spika baada ya kushauriana na Kamati ya Uongozi. (3) Wakati Serikali ikifanya majumuisho kwa mujibu wa fasili ya (1), Wajumbe wa Kamati ya Uongozi kwa nafasi zao, watakuwa wajumbe wa Kamati ya Bajeti. 66 Tangazo la Serikali Na. 626 (linaendelea) Kanuni Za Kudumu Za Bunge (4) Makadirio ya Fedha za Matumizi ya Serikali yatawasilishwa Bungeni na Waziri anayehusika na masuala ya fedha kwa Hotuba kuhusu Makadirio hayo itakayoitwa Hotuba ya Bajeti ya Serikali ambayo itasomwa Bungeni kabla ya tarehe ishirini ya mwezi Juni kila mwaka. (5) Muda wa kusoma Hotuba ya Bajeti ya Serikali utaamuliwa na Spika kadri atakavyoona inafaa. (6) Hoja ya kuwasilisha Makadirio hayo itakua katika maneno yafuatayo:- “Kwamba Bunge likubali kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha wa ...” (7) Siku ya kuwasilisha Bungeni Hotuba ya Bajeti ya Serikali, nafasi pia itatolewa kwanza kwa Waziri anayehusika na mipango au uchumi kutoa maelezo kuhusu hali ya uchumi kwa ujumla. (8) Hotuba ya Bajeti ya Serikali na ya Waziri anayehusika na mipango, zitafuatiwa na hotuba za Mwenyekiti wa Kamati ya Bajeti, na Msemaji wa Kambi Rasmi ya Walio Wachache Bungeni. (9) Muda wa kusoma maoni ya Kamati na ya Kambi Rasmi ya Walio Wachache Bungeni, utakuwa dakika zisizozidi thelathini kwa kila hotuba. - 125 Verify source ↗
(1) Mjadala kuhusu Hotuba ya Bajeti ya Serikali
AI-assisted research summary: The budget speech debate may last up to seven days, and each MP who speaks gets no more than ten minutes.
125.-(1) Mjadala kuhusu Hotuba ya Bajeti ya Serikali utaendelea kwa siku zisizozidi saba, ambapo dakika zisizozidi kumi zitatolewa kwa kila Mbunge anayetaka kuchangia Hotuba hiyo. (2) Katika hatua hii, majadiliano yatahusu mambo ya jumla kuhusiana na hali ya uchumi, na Mbunge yeyote hataruhusiwa kupendekeza mabadiliko katika Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali. Mjadala kuhusu Hotuba ya Bajeti Utaratibu wa kuidhinisha Makadirio ya Matumizi ya Serikali - 126 Verify source ↗
(1) Mjadala kuhusu Hotuba ya Bajeti ya Serikali
AI-assisted research summary: After the budget debate ends, the Speaker must ask Parliament to decide whether to approve or reject the Government Budget, and the decision must be made by open roll-call vote.
126.-(1) Mjadala kuhusu Hotuba ya Bajeti ya Serikali utakapomalizika, Spika atalihoji Bunge litoe Uamuzi wake wa kupitisha au kutokupitisha Bajeti ya Serikali ili kukidhi matakwa ya Ibara ya 90(2) (b) ya Katiba. (2) Uamuzi wa Bunge wa kupitisha au kutokupitisha Bajeti ya Serikali utafanywa kwa kupiga kura ya wazi kwa kuita jina la Mbunge mmoja mmoja. Muswada wa Fedha za Matumizi - 127 Verify source ↗
(1) Kabla ya tarehe 30 ya mwezi Juni kwa kila mwaka,
AI-assisted research summary: The Appropriation Bill must be submitted to Parliament and passed through all stages before 30 June each year, after Parliament has completed budget debate and passage.
127.-(1) Kabla ya tarehe 30 ya mwezi Juni kwa kila mwaka, baada ya Bunge kukamilisha kazi ya kujadili na kupitisha Bajeti 67 Tangazo la Serikali Na. 626 (linaendelea) Kanuni Za Kudumu Za Bunge ya Serikali kwa mwaka unaohusika, Muswada wa Sheria ya Fedha za Matumizi utawasilishwa Bungeni na kupitishwa mfululizo katika hatua zake zote. (2) Kwa madhumuni ya Kanuni hii, “Muswada wa Fedha za Matumizi” maana yake ni Muswada wa Sheria ya Fedha za Matumizi ya Serikali kwa mwaka wa fedha unaofuata. (3) Muswada wa Fedha za Matumizi hautapelekwa kwenye Kamati yoyote ya Kudumu wala Kamati ya Bunge Zima, na masharti kuhusu Miswada Kusomwa Mara ya Kwanza hayatatumika. (4) Muswada wa Fedha za Matumizi hautatangazwa kwenye Gazeti kabla haujawasilishwa Bungeni. - 128 Verify source ↗
(1) Baada ya Bunge kukamilisha kazi ya kupitisha
AI-assisted research summary: Baada ya Bunge kumaliza kupitisha Muswada wa Fedha za Matumizi, Muswada wa Sheria ya Fedha hujadiliwa na kupitishwa kwa kufuata masharti ya Sehemu ya Nane ya Kanuni hizi.
128.-(1) Baada ya Bunge kukamilisha kazi ya kupitisha Muswada wa Fedha za Matumizi, Muswada wa Sheria ya Fedha utajadiliwa na kupitishwa kwa kuzingatia mashati yaliyowekwa na Sehemu ya Nane ya Kanuni hizi. (2) Marekebisho au mabadiliko ya kupunguza kiwango cha kodi katika Ibara yoyote ya Muswada wa Sheria ya Fedha yatakayopendekezwa na Mbunge yeyote hayatakubaliwa iwapo hayatatoa mapendekezo mbadala yanayoziba pengo linalotokana na punguzo linalopendekezwa. - 129 Verify source ↗
Mapendekezo yoyote kwa ajili ya Matumizi ya
AI-assisted research summary: Proposals for supplementary government spending must be called Supplementary Estimates, sent to the Budget Committee, and follow the rules for annual government estimates.
129. Mapendekezo yoyote kwa ajili ya Matumizi ya Nyongeza ya Fedha za Serikali au kwa ajili ya kutoa fedha yoyote ya nyongeza zaidi ya Fedha za Matumizi ya Mwaka huo:- (a) yataitwa Makadirio ya Nyongeza ya Matumizi; (b) yatapelekwa kwenye Kamati ya Matumizi kufuatana na masharti ya Ibara ya 99 ya Katiba; na (c) yatafuata masharti ya Kanuni zinazohusu Makadirio ya Mwaka ya Matumizi ya Serikali. SEHEMU YA KUMI NA TANO KAMATI ZA BUNGE Muswada wa Sheria ya Fedha Makadirio ya matumizi ya Nyongeza Mkutano wa Wabunge wote
Part
SEHEMU YA KUMI NA TANO
- 130 Verify source ↗
(1) Kutakuwa na Mkutano wa Wabunge wote ambao
AI-assisted research summary: The Speaker may convene a meeting of all MPs, the meeting must discuss matters of interest to MPs, and its chair will be the Leader of Government Business in Parliament.
130.-(1) Kutakuwa na Mkutano wa Wabunge wote ambao unaweza kuitishwa na Spika siku moja kabla au wakati wa Mkutano wowote wa Bunge. (2) Mkutano wa Wabunge wote utajadili masuala yote yenye maslahi kwa Wabunge na utaipa Serikali fursa ya kutoa taarifa mbalimbali kwa Wabunge kuhusu hali ya nchi kwa ujumla. (3) Mwenyekiti wa Kikao cha Mkutano wa Wabunge wote atakuwa Kiongozi wa Shughuli za Serikali Bungeni. 68 Tangazo la Serikali Na. 626 (linaendelea) Kanuni Za Kudumu Za Bunge Kamati za Vyama vya Siasa Mikutano ya Kamati za Vyama vya Siasa Sura ya 296 Kamati ya Bunge Zima Akidi na Utaratibu katika Kamati ya Bunge Zima - 131 Verify source ↗
(1) Wabunge wa kila Chama cha Siasa kinachowakilishwa
AI-assisted research summary: Wabunge wa chama kilichowakilishwa Bungeni wanaweza kuunda Kamati ya Wabunge wa Chama; Wabunge wa kambi ya wabunge walio wachache pia wanaweza kuunda kamati yao chini ya masharti yaliyotajwa.
131.-(1) Wabunge wa kila Chama cha Siasa kinachowakilishwa Bungeni wanaweza kuunda Kamati ya Wabunge wa Chama kwa kuzingatia Katiba, Kanuni na Taratibu za Chama kinachohusika. (2) Endapo makubaliano yamefikiwa baina ya Vyama viwili au zaidi vyenye Wabunge Wachache vyenye idadi sawa ya Wabunge ambao ni zaidi ya asilimia kumi na mbili na nusu basi Wabunge wa Kambi ya Wabunge Walio Wachache wanaweza kuunda Kamati ya Wabunge wote wa Kambi ya Wabunge Walio Wachache. - 132 Verify source ↗
(1) Kamati za Vyama vya Siasa Bungeni zitajiwekea
AI-assisted research summary: Committee of political parties in Parliament must set its own procedures for carrying out its activities.
132.-(1) Kamati za Vyama vya Siasa Bungeni zitajiwekea utaratibu kwa ajili ya uendeshaji wa shughuli. (2) Majadiliano yote kwenye mikutano ya Kamati pamoja na mambo mengine yote yanayohusu Kamati hizo yatakuwa na hadhi, kinga na nafuu zote zinazotolewa kwa mujibu wa Sheria kuhusu majadiliano, kumbukumbu na mambo mengineyo ya Bunge na vikao vyake kwa mujibu wa masharti ya Ibara ya 100(1) na (2) ya Katiba na Sheria ya Kinga, Madaraka na Haki za Bunge. - 133 Verify source ↗
Kwa kufuata yaliyomo kwenye Orodha ya Shughuli au
AI-assisted research summary: The Speaker must leave the chair when it is time for the House to sit or when the House requires itself to go into Committee of the Whole, without any motion being put.
133. Kwa kufuata yaliyomo kwenye Orodha ya Shughuli au kwa mujibu wa Kanuni hizi, ukifika wakati wa Bunge au Bunge likihitajiwa kuingia katika Kamati ya Bunge Zima, Spika ataondoka kwenye Kiti chake bila hoja yoyote kutolewa. - 134 Verify source ↗
(1) Masharti ya kanuni ya 90 yatatumika kuhusu Kamati
AI-assisted research summary: This section sets the procedure for the Committee of the Whole House, including quorum handling, debate rules, speaking limits, adjournment motions, and when the Speaker or Chairman must act.
134.-(1) Masharti ya kanuni ya 90 yatatumika kuhusu Kamati ya Bunge Zima, ila tu kama idadi ya Wabunge waliohudhuria itakuwa bado haifikii nusu ya Wabunge wote baada ya kipindi kilichowekwa na kanuni ya 90(3), Mwenyekiti ataondoka kwenye Kiti, Bunge litarudia na Katibu atahesabu idadi ya Wabunge waliohudhuria na kama idadi yao itakuwa bado haifikii nusu ya Wabunge wote, basi Spika ataahirisha Bunge. (2) Kanuni za Bunge zinazohusu mwenendo wa Bunge zitatumika katika Kamati ya Bunge Zima, isipokuwa kwamba, katika Kamati hiyo:- (a) hoja ikitolewa haitahitaji kuungwa mkono; na (b) kwa idhini ya Mwenyekiti, Mjumbe anayetaka ufafanuzi anaweza kuzungumza mara mbili juu ya suala hilo. (3) Mjumbe yeyote anaweza kuchangia katika hoja ya kutaka ufafanuzi iliyoanzishwa kwa mujibu wa fasili ya (2) (b). (4) Muda wa kusema katika kuchangia hoja ya ufafanuzi hautazidi dakika tano. (5) Mjumbe yeyote anayetaka kutoa hoja kwamba majadiliano ya Kamati ya Bunge Zima yaahirishwe mpaka wakati 69 Tangazo la Serikali Na. 626 (linaendelea) Kanuni Za Kudumu Za Bunge mwingine, anaweza kutoa hoja hiyo wakati wowote, kwa maneno yafuatayo: “Kwamba Bunge lirejee ili mtoa hoja atoe taarifa kwa Bunge juu ya hatua iliyofikiwa na Kamati na kuomba ruhusa Kamati ikutane tena baadaye.” (6) Bunge litakaporejea, mtoa hoja atasimama mahali pake na kuliarifu Bunge kwamba Kamati ya Bunge Zima haijamaliza kushughulikia hoja iliyopelekwa kwake na kuliomba Bunge kukubali Kamati ikutane tena baadaye kuendelea na kazi yake. (7) Mara tu baada ya Waziri au Mbunge aliyehusika na shughuli zilizokuwa zikifanywa na Kamati kuliarifu Bunge kutokamilika kwa kazi yake, Spika atalitaarifu Bunge siku na wakati ambapo Kamati itaendelea na kazi yake. (8) Kamati ya Bunge Zima itafikiria mambo yale tu yatakayopelekwa na Bunge kwenye Kamati hiyo. (9) Kamati ya Bunge Zima inaweza kuamua, baada ya hoja kutolewa, kwamba shughuli iliyo mbele yake wakati huo irudishwe au ipelekwe kwenye Kamati ya Kudumu inayohusika. (10) Baada ya Kamati ya Bunge Zima kukamilisha shughuli zake, Mwenyekiti ataondoka kwenye Kiti na kurejea kwenye Kiti cha Spika ambapo Bunge litarudia. - 135 Verify source ↗
(1) Mbunge yeyote ambaye si Waziri au Mwanasheria
AI-assisted research summary: This section sets who may be appointed to parliamentary standing committees, who cannot be appointed to certain committees, and how the Speaker must make committee appointments.
135.-(1) Mbunge yeyote ambaye si Waziri au Mwanasheria Mkuu wa Serikali anaweza kuteuliwa kuwa Mjumbe wa Kamati yoyote ya Kudumu ya Bunge inayohusika na Kanuni hii; na Waziri mwenye dhamana ya jambo lolote linalopelekwa au kujadiliwa na Kamati, pamoja na Naibu Waziri aliyeteuliwa kumsaidia Waziri huyo, watakuwa wajumbe wa Kamati wakati Kamati itakapokuwa inashughulikia jambo hilo. (2) Bila ya kujali masharti ya fasili ya (1) ya kanuni hii, Mbunge yeyote ambaye ni Mkuu wa Mkoa au Mkuu wa Wilaya hatachaguliwa kuwa Mjumbe wa Kamati ya Hesabu za Serikali na Kamati ya Hesabu za Serikali za Mitaa. (3) Wajumbe wa Kamati zote watateuliwa na Spika kwa namna ambayo itawezesha kila Mbunge kuwekwa kwenye Kamati mojawapo. (4) Wajumbe walioteuliwa kwenye Kamati ya Kanuni za Bunge, Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge, Kamati ya masuala ya UKIMWI au Kamati nyingine kwa kadri Spika atakavyoona inafaa wanaweza pia kuteuliwa kuwa Wajumbe wa Kamati nyingine. 70 Muundo wa Kamati za Kudumu za Bunge Tangazo la Serikali Na. 626 (linaendelea) Kanuni Za Kudumu Za Bunge (5) Wakati wa kuteua Wabunge kuwa Wajumbe wa Kamati mbalimbali, Spika:- (a) atateua idadi ya Wabunge inayolingana kwa kila Kamati, isipokuwa kama imeelekezwa vinginevyo katika Kanuni hizi; (b) atazingatia aina zote za Wabunge na kuwateua Wabunge wa aina mbalimbali kwa kila Kamati, akiongozwa na kigezo cha asilimia ya kila aina ya Wabunge hao ilivyo Bungeni; (c) kwa kadri inavyowezekana, atayapa kipaumbele matakwa ya Wabunge wenyewe, lakini hatalazimika kutosheleza kila takwa au ombi; na (d) atazingatia haja kwa kila Kamati kuwa na Wabunge wenye uzoefu au ujuzi maalumu kuhusu kazi za Kamati hiyo. (6) Katibu atahakikisha kuwa Wabunge wote wanapewa jinsi walivyoteuliwa katika Kamati inayoonesha orodha mbalimbali. (7) Ujumbe katika Kamati za Kudumu za Bunge utadumu mpaka mwisho wa Mkutano wa Kumi wa Bunge ambao ni nusu ya kwanza ya maisha ya Bunge. (8) Bila ya kuathiri masharti ya fasili ya (7) ya kanuni hii, Mbunge yeyote anaweza kuteuliwa tena katika Kamati aliyokuwa anaitumikia katika nusu ya kwanza ya maisha ya Bunge. (9) Bila ya kuathiri masharti ya fasili ya (7) ya kanuni hii, Mbunge atakoma kuwa Mjumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge endapo atateuliwa kuwa Waziri au kuchaguliwa kuwa Spika au Naibu Spika. (10) Wajumbe wa kila Kamati watawachagua Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti kutoka miongoni mwao ambao kwa muda wote watakaokuwa Wabunge, wataendelea kushika nafasi hizo mpaka mwisho wa kipindi kilichotajwa katika fasili ya (7) ya kanuni hii, lakini wanaweza kuchaguliwa tena. (11) Wenyeviti wa Kamati za Bunge zinazosimamia matumizi ya fedha za Umma ambazo ni Kamati ya Hesabu za Serikali na Kamati ya Hesabu za Serikali za Mitaa watachaguliwa kutoka miongoni mwa Wajumbe wa Kamati hizo ambazo wanatoka katika Kambi Rasmi ya Walio Wachache Bungeni. Utaratibu katika Kamati za Kudumu za Bunge - 136 Verify source ↗
(1) Masharti ya kanuni hii yatatumika kwa Kamati zote za
AI-assisted research summary: This section sets rules for standing committees: who may chair meetings, how meetings are called, quorum, decision-making, public participation, reporting, and conflict-of-interest limits.
136.-(1) Masharti ya kanuni hii yatatumika kwa Kamati zote za Kudumu. (2) Mwenyekiti ataongoza vikao vyote vya Kamati na endapo Mwenyekiti hayupo kwenye kikao, Makamu Mwenyekiti 71 Tangazo la Serikali Na. 626 (linaendelea) Kanuni Za Kudumu Za Bunge ataongoza Shughuli za kikao hicho na ikiwa Mwenyekiti na hawapo, wajumbe waliohudhuria Makamu wake wote watamchagua mjumbe mmojawapo kutoka miongoni mwao kuongoza kikao hicho. (3) Kamati ya Kudumu itakutana kila inapoitwa na Spika, Naibu Spika au na Mwenyekiti wake baada ya kupata idhini ya Spika. (4) Mikutano ya kawaida ya Kamati za Kudumu itafanyika Dodoma, Dar es Salaam au Zanzibar. (5) Kila Kamati itafanya vikao vyake kwa kuzingatia bajeti ya Kamati husika ambayo imeidhinishwa kwa mwaka huo wa fedha. (6) Akidi ya mkutano wowote wa Kamati ya Kudumu itakuwa theluthi moja ya Wajumbe wote wa Kamati. (7) Mambo yote yatakayojadiliwa na Kamati yataamuliwa kwa kufuata maoni ya walio wengi kati ya Wajumbe wa Kamati waliohudhuria na kupiga kura. (8) Bila ya kuathiri masharti yaliyotangulia ya kanuni hii, kila Kamati itajiwekea utaratibu wake, na Kamati inaweza kuwaruhusu Wabunge ambao si Wajumbe wa Kamati au watu ambao si Wabunge kuhudhuria na kushiriki katika shughuli za Kamati, lakini hawatakuwa na haki ya kupiga kura. (9) Shughuli za kawaida za Kamati zitaendeshwa kwa uwazi ambapo Kamati itaalika wadau ili kupata maoni na ushauri wao kwa ajili ya kuboresha Muswada au jambo ambalo litakuwa linashughulikiwa na Kamati hiyo. (10) Bila ya kujali masharti ya fasili ya (9) ya kanuni hii, shughuli zote za Kamati zinazohusu kuandaa na kutoa mapendekezo ya kuwasilishwa Bungeni zitafanywa kwa faragha. (11) Maoni ya Kamati yatakuwa ni yale yaliyokubaliwa na wajumbe walio wengi na kuwasilishwa Bungeni na Mwenyekiti au Mjumbe mwingine. (12) Mjumbe yeyote wa Kamati hataruhusiwa kuzungumzia hadharani maoni ya Kamati kuhusu Muswada au jambo lolote litakalokuwa linashughulikiwa na Kamati kabla maoni hayo hayajawasilishwa rasmi Bungeni. (13) Mwanasheria Mkuu wa Serikali na au mwakilishi wake, atahudhuria kila mkutano wa kila Kamati ya Kudumu inapokuwa inachambua Muswada wa Sheria. (14) Kamati yoyote ambayo Spika atapeleka kwake kwanza Muswada au jambo lingine lolote, itahesabiwa kuwa ndiyo Kamati inayohusika kushughulikia Muswada huo au jambo hilo. (15) Itakuwa ni lazima kwa kila Kamati ya Kudumu ya Bunge kuwasilisha Bungeni taarifa ya mwaka ya shughuli zake kwa 72 Tangazo la Serikali Na. 626 (linaendelea) Kanuni Za Kudumu Za Bunge madhumuni ya kujadiliwa katika Mkutano wa mwisho kabla ya Mkutano wa Bajeti. (16) Taarifa inapowasilishwa Bungeni, ya Kamati itashughulikiwa kwa kufuata mpangilio wa Shughuli za Bunge. (17) Spika ataweka utaratibu wa kujadili taarifa za Kamati na endapo Kamati yoyote katika kutekeleza majukumu yake, itaona kuwa kuna mambo ya utekelezaji ambayo yanahitaji kurekebishwa, inaweza kutoa taarifa maalumu ya ushauri kwa Waziri mwenye dhamana juu ya mambo hayo ili Waziri aweze kuchukua hatua zinazostahili. (18) Kamati yoyote inaweza kuunda Kamati Ndogo kwa ajili ya utekelezaji bora wa shughuli zake, kadri itakavyoona inafaa na kila Kamati Ndogo itapangiwa kazi zake na Kamati ya Kudumu inayohusika. (19) Mjumbe wa Kamati yoyote hataruhusiwa kuzungumzia au kushughulikia jambo lolote lililofikishwa katika Kamati iwapo ana maslahi binafsi katika jambo hilo au idara hiyo isipokuwa anaweza kufanya hivyo baada ya kutaja jinsi anavyohusika na kiwango cha maslahi hayo. Kamati za Kudumu za Bunge - 137 Verify source ↗
(1) Kutakuwa na Kamati za Kudumu za Bunge kama
AI-assisted research summary: The provision states that Parliament will have standing committees listed in the Eighth Schedule, and that their structure and functions are set out there.
137.-(1) Kutakuwa na Kamati za Kudumu za Bunge kama zilivyoainishwa kwenye Nyongeza ya Nane ya Kanuni hizi. (2) Muundo na majukumu ya Kamati za Kudumu za Bunge yameainishwa kwenye Nyongeza ya Nane ya Kanuni hizi. Majukumu ya jumla ya Kamati za Kudumu za Bunge Utaratibu wa Kuunda Kamati Teule - 138 Verify source ↗
Mbali na majukumu ya msingi ambayo yameorodheshwa
AI-assisted research summary: Kamati yoyote inaweza kumshauri Spika ipewe majukumu ya nyongeza, na Spika anaweza pia kukabidhi Kamati jambo lolote analoona linafaa.
138. Mbali na majukumu ya msingi ambayo yameorodheshwa kwa kila Kamati ya Kudumu, Kamati yoyote inaweza kupendekeza kwa Spika ipewe majukumu ya nyongeza ambayo yatatajwa katika pendekezo hilo, na vilevile Spika anaweza kukabidhi jambo lingine lolote kwa Kamati yoyote kadri atakavyoona inafaa, kwa ajili ya kufanyiwa kazi na Kamati hiyo. - 139 Verify source ↗
(1) Kamati Teule inaweza kuundwa na Bunge kwa
AI-assisted research summary: Bunge linaweza kuunda Kamati Teule kwa madhumuni maalumu, na Mbunge anayepanga hoja hiyo lazima aipe Katibu taarifa ya maandishi; Bunge pia linapaswa kupeleka suala linalotokana na hoja hiyo kwenye Kamati Teule.
139.-(1) Kamati Teule inaweza kuundwa na Bunge kwa itakayotolewa na madhumuni maalumu kwa hoja mahsusi kuafikiwa. (2) Bila ya kuathiri masharti ya fasili ya (1) ya kanuni hii, baada ya kujadili hoja yoyote, Bunge linaweza kuunda Kamati Teule kwa madhumuni ya kushughulikia jambo lolote lililotokana na hoja hiyo kwa utaratibu ufuatao:- (a) iliyokuwa baada ya hoja ikijadiliwa kuamuliwa, Mbunge yeyote mwenye nia ya kutoa hoja chini ya kanuni hii anaweza kusimama mahali pake na kutoa taarifa ya mdomo kwamba anakusudia kutoa hoja ya kuunda Kamati Teule; na 73 Tangazo la Serikali Na. 626 (linaendelea) Kanuni Za Kudumu Za Bunge Akidi na utaratibu wa Vikao vya Kamati Teule Taarifa ya Kamati Teule (b) Mbunge ambaye anakusudia kutoa hoja ya kuunda Kamati Teule atawasilisha taarifa ya hoja yake kwa maandishi kwa Katibu na hoja hiyo itashughulikiwa wakati unaofaa kwa kuzingatia mpangilio wa shughuli kama ulivyoainishwa chini ya kanuni ya 36 (4). (3) Bunge litapeleka jambo linalotokana na hoja iliyokuwa ikijadiliwa Bungeni kwenye Kamati Teule. (4) Wajumbe wa Kamati Teule watateuliwa na Spika na watamchagua Mwenyekiti wa Kamati hiyo kutoka miongoni mwao. - 140 Verify source ↗
(1) Kila Kamati Teule itakuwa na Wajumbe wasiozidi
AI-assisted research summary: Kamati Teule lazima iwe na hadi wajumbe watano, iwe na akidi ya theluthi mbili, na vikao vyake na uongozi wake vifuatilie taratibu zilizoelezwa.
140.-(1) Kila Kamati Teule itakuwa na Wajumbe wasiozidi watano. (2) Akidi ya vikao vya Kamati Teule itakuwa ni theluthi mbili ya wajumbe wake. (3) Kamati Teule itafanya kikao chake cha kwanza mahali na saa atakayoamua Mwenyekiti na vikao vinginevyo vitafanyika kwa wakati na mahali popote itakapoamua. (4) Mwenyekiti ataongoza vikao vyote vya Kamati Teule, na iwapo Mwenyekiti hayupo katika kikao chochote, Wajumbe waliohudhuria watamteua mmoja wao kuwa Mwenyekiti wa kikao hicho. (5) Endapo kwa sababu yoyote Mjumbe yeyote wa Kamati Teule atashindwa kufanya kazi yake, Spika atamteua Mbunge mwingine kushika nafasi yake. (6) Majadiliano ya Kamati Teule yatahusu tu mambo yaliyopelekwa kwake na Bunge na yatakuwa ya wazi au siri kufuatana na Kamati itakavyoamua kulingana na masuala husika. - 141 Verify source ↗
(1) Kamati Teule itatoa taarifa Bungeni kuhusu maoni na
AI-assisted research summary: Kamati Teule lazima itoe taarifa Bungeni; inaweza pia kutoa taarifa maalum, na baadhi ya kumbukumbu za mkutano lazima ziandaliwe, zisainiwe, na ziambatishwe kwa taarifa hiyo.
141.-(1) Kamati Teule itatoa taarifa Bungeni kuhusu maoni na uchunguzi wake pamoja na kumbukumbu za ushahidi uliopokelewa na vilevile inaweza kutoa taarifa maalum juu ya mambo yoyote ambayo itaona yanafaa kuwasilishwa Bungeni. (2) Taarifa ya Kamati Teule itawasilishwa Bungeni na Mwenyekiti. (3) Iwapo baada ya hoja kutolewa, Bunge litaamua kujadili taarifa hiyo, hoja itakuwa ni kwa itakayotolewa Bungeni madhumuni ya kuliomba Bunge likubali mapendekezo yaliyomo katika taarifa hiyo. (4) Bunge linaweza kuamua vinginevyo kwa kutumia utaratibu wa kubadilisha hoja ambao umeelezwa katika kanuni ya 64 ya Kanuni hizi. (5) Katibu wa Kamati Teule ataweka kumbukumbu zinazoonesha majina ya Wajumbe waliohudhuria mikutano ya Kamati na maamuzi yaliyofanyika. 74 Tangazo la Serikali Na. 626 (linaendelea) Kanuni Za Kudumu Za Bunge Muundo wa Taarifa za Kamati Kamati ya Pamoja Kamati Maalum (6) Kumbukumbu zitakazowekwa kwa mujibu wa masharti ya fasili ya (5) ya kanuni hii zitawekwa saini na Mwenyekiti na Wajumbe wa Kamati na zitaambatishwa kwenye Taarifa ya Kamati na kuwasilishwa Bungeni pamoja na taarifa hiyo. - 142 Verify source ↗
Taarifa yoyote ya Kamati inayowasilishwa Bungeni
AI-assisted research summary: Taarifa ya Kamati inayowasilishwa Bungeni lazima iwe katika muundo uliowekwa.
142. Taarifa yoyote ya Kamati inayowasilishwa Bungeni itakuwa katika muundo ufuatao:- (a) Sehemu ya Utangulizi, ambayo itaonesha hadidu za rejea ambazo Kamati ilipewa; maelekezo yoyote yaliyotolewa kwa Kamati, njia au mbinu zilizotumika na Kamati katika kutekeleza majukumu yake, pamoja na mambo mengine kama yapo, ambayo yalijitokeza wakati wa uchunguzi; Sehemu ya Katikati, ambayo itatoa maelezo kamili kuhusu jambo au mambo yote yaliyofanyiwa Uchunguzi na Kamati; na (b) (c) Sehemu ya Mwisho, ambayo mapendekezo ya Kamati ya Bunge. itatoa maoni na
Part
Sehemu ya Katikati, ambayo itatoa maelezo kamili
- 143 Verify source ↗
(1) Bila ya kuathiri masharti mengine kuhusu muundo na
AI-assisted research summary: Spika anaweza kuunda Kamati ya Pamoja, kuitolea hadidu za rejea, na kuteua mwenyekiti wake; kamati hiyo lazima ifanye kazi kwa hadidu hizo, iwe na akidi ya theluthi moja ya wajumbe wa kila kamati inayoiunda, kisha iandae taarifa na kuiwasilisha kwa Spika.
143.-(1) Bila ya kuathiri masharti mengine kuhusu muundo na majukumu ya Kamati, Spika anaweza kuunda Kamati ya Pamoja itakayojumuisha Kamati za Bunge mbili au zaidi, kwa ajili ya kulifanyia kazi jambo ambalo, ataona linahitaji kufanyiwa kazi na Kamati ya Pamoja. (2) Kamati iliyoundwa kwa mujibu wa masharti ya fasili ya (1) itafanya kazi zake kwa kuzingitia hadidu za rejea zitakazotolewa na Spika, na itaongozwa na Mwenyekiti atakayeteuliwa na Spika. (3) Akidi ya Kikao cha Kamati itakuwa ni theluthi moja ya Wajumbe wa kila Kamati ya Bunge inayounda Kamati hiyo. (4) Baada ya Kamati kukamilisha kazi yake, Kamati itaandaa taarifa na kuiwasilisha kwa Spika ambaye ataifanyia kazi kwa namna atakavyoona inafaa. - 144 Verify source ↗
(1) Spika anaweza kuunda Kamati Maalum kwa lengo la
AI-assisted research summary: Spika anaweza kuunda Kamati Maalum, kuwateua wajumbe wake, kuipa hadidu za rejea, na kushughulikia taarifa yake baada ya kazi kukamilika.
144.-(1) Spika anaweza kuunda Kamati Maalum kwa lengo la kushughulikia jambo mahsusi. (2) Mwenyekiti na Wajumbe wa Kamati watateuliwa na Spika kutoka miongoni mwa Wabunge kwa kadri atakavyoona inafaa. (3) Kamati itatekeleza majukumu yake kwa kuzingatia hadidu za rejea zitakazotolewa na Spika. (4) Akidi ya kikao cha Kamati itakuwa ni nusu ya wajumbe wa Kamati. (5) Baada ya Kamati kukamilisha kazi, Kamati itaandaa taarifa na kuiwasilisha kwa Spika ambaye ataifanyia kazi kwa namna atakavyoona inafaa. 75 Tangazo la Serikali Na. 626 (linaendelea) Kanuni Za Kudumu Za Bunge SEHEMU YA KUMI NA SITA UTARATIBU WA KUMWONDOA RAIS MADARAKANI Taarifa ya Hoja ya kumwondoa Rais
Part
SEHEMU YA KUMI NA SITA
- 145 Verify source ↗
Mbunge yeyote anaweza kuwasilisha kwa Spika Taarifa
AI-assisted research summary: Mbunge yeyote anaweza kuwasilisha kwa Spika taarifa ya hoja ya kumshtaki Rais kwa madhumuni ya kumuondoa madarakani, chini ya masharti yaliyotajwa.
145. Mbunge yeyote anaweza kuwasilisha kwa Spika Taarifa ya Hoja ya Kumshtaki Rais kwa madhumuni ya kumwondoa Rais madarakani kupitia Azimio la Bunge kwa mujibu wa Ibara ya 46A ya Katiba ikiwa inadaiwa kwamba Rais:- (a) ametenda vitendo ambavyo kwa ujumla vinavunja Katiba Sura ya 398 au Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma; (b) ametenda vitendo vinakiuka maadili ambavyo yanayohusu uandikishwaji wa Vyama vya Siasa yaliyotajwa katika Ibara ya 20(2) ya Katiba; au Masharti ya Hoja ya kuunda Kamati Maalum ya Uchunguzi (c) amekuwa na mwenendo unaodhalilisha Kiti cha Rais wa Jamhuri ya Muungano; Isipokuwa kwamba, hoja ya namna hiyo haitatolewa, ndani ya miezi kumi na miwili tangu ilipotolewa na kukataliwa na Bunge. - 146 Verify source ↗
(1) Bunge halitajadili wala kushughulikia hoja ya
AI-assisted research summary: Bunge haliwezi kujadili hoja ya kumshtaki Rais isipokuwa taratibu maalum zifuatwe, ikiwemo taarifa iliyosainiwa na angalau asilimia 20 ya Wabunge, kuwasilishwa kwa Spika siku 30 kabla, na Spika kuruhusu uwasilishaji; kisha kura ya siri hupigwa bila mjadala.
146.-(1) Bunge halitajadili wala kushughulikia hoja ya kumshtaki Rais, isipokuwa tu kama:- (a) taarifa ya maandishi, iliyowekwa saini na kuungwa mkono na Wabunge wasiopungua asilimia ishirini ya Wabunge wote itatolewa; (b) taarifa hiyo itawasilishwa kwa Spika, siku thelathini kabla ya kikao ambacho hoja hiyo inakusudiwa kutolewa Bungeni; (c) taarifa hiyo pia itafafanua makosa aliyoyatenda Rais; na (d) taarifa hiyo vilevile itapendekeza kuwa, Kamati Maalumu ya Uchunguzi iundwe ili ichunguze mashtaka yaliyowasilishwa dhidi ya Rais. (2) Wakati wowote baada ya kupokea taarifa iliyowekwa saini na Wabunge na kujiridhisha kuwa masharti ya Katiba kwa ajili ya kuwasilisha hoja hiyo Bungeni yametimizwa, Spika atamruhusu mtoa hoja kuiwasilisha hoja hiyo Bungeni. (3) Hoja hiyo itakapowasilishwa Bungeni, Spika atalitaka Bunge, bila ya kufanya majadiliano yoyote, lipige kura ya siri ili kupata uamuzi juu ya hoja hiyo. 76 Tangazo la Serikali Na. 626 (linaendelea) Kanuni Za Kudumu Za Bunge Wajumbe wa Kamati Maalum ya Uchunguzi Utaratibu wa kazi ya Kamati Maalum ya Uchunguzi Sura ya 296 - 147 Verify source ↗
(1) Endapo hoja ya kumshtaki Rais itaungwa mkono na
AI-assisted research summary: A two-thirds parliamentary support threshold triggers the Speaker to announce the special investigation committee members for impeachment, and if Parliament passes the motion, the President is treated as absent from office until the Speaker informs the President of the resolution.
147.-(1) Endapo hoja ya kumshtaki Rais itaungwa mkono na Wabunge wasiopungua theluthi mbili ya Wabunge wote, Spika atatangaza majina ya wajumbe wa Kamati Maalum ya Uchunguzi, kwa kuzingatia masharti ya Ibara ya 46A (4) ya Katiba. (2) Kamati Maalum ya Uchunguzi itakuwa na wajumbe wafuatao: (a) Jaji Mkuu wa Jamhuri ya Muungano, ambaye atakuwa ndiye Mwenyekiti wa Kamati hiyo; (b) Jaji Mkuu wa Tanzania Zanzibar; na (c) Wajumbe saba walioteuliwa na Spika kwa kuzingatia uwiano wa uwakilishi baina ya Vyama vya Siasa vinavyowakilishwa Bungeni. (3) Endapo Bunge litapitisha hoja ya kuunda Kamati Maalum ya Uchunguzi, Rais atahesabiwa kuwa hayupo kazini, na kwa sababu hiyo, kazi na madaraka ya Rais yatatekelezwa kwa mujibu wa masharti ya Ibara ya 37(3) ya Katiba hadi Spika atakapomfahamisha Rais juu ya Azimio la Bunge kuhusiana na mashtaka yaliyotolewa dhidi yake. - 148 Verify source ↗
(1) Ndani ya siku saba baada ya Kamati Maalum ya
AI-assisted research summary: The Special Committee of Inquiry must examine the charges against the President within 7 days of being formed, give the President a chance to respond, and submit its report to the Speaker within 90 days at the latest.
148.-(1) Ndani ya siku saba baada ya Kamati Maalum ya Uchunguzi kuundwa, itakaa ichunguze na kuchambua mashtaka dhidi ya Rais na itampatia Rais fursa ya kujieleza na kujitetea kuhusu mashtaka yaliyotolewa dhidi yake kwa mujibu wa masharti na utaratibu uliowekwa na Sheria ya Kinga, Madaraka na Haki za Bunge na Kanuni hizi. (2) Mapema iwezekanavyo na kwa vyovyote vile katika muda usiozidi siku tisini, Kamati Maalum ya Uchunguzi itatoa taarifa yake kwa Spika. (3) Akidi ya mkutano wowote wa Kamati Maalum ya Uchunguzi itakuwa ni Mwenyekiti, Jaji Mkuu wa Tanzania Zanzibar na Wajumbe wengine wanne kutoka Bungeni. (4) Baada ya Spika kupokea taarifa ya Kamati Maalum ya Uchunguzi, taarifa hiyo itawasilishwa Bungeni kwa kufuata utaratibu uliowekwa na Kanuni hizi. Utaratibu katika Kamati ya Bunge Zima kuhusu mashtaka dhidi ya Rais - 149 Verify source ↗
(1) Endapo kwa mujibu wa Orodha ya Shughuli za Bunge
AI-assisted research summary: Bunge lazima ijadili taarifa ya Kamati Maalum ya Uchunguzi katika Kamati ya Bunge Zima na impa Rais fursa ya kujieleza na kujitetea. Bunge pia linaweza kumruhusu Mwenyekiti na mjumbe asiye Mbunge wa kamati hiyo kuwasilisha na kueleza uamuzi wa kamati.
149.-(1) Endapo kwa mujibu wa Orodha ya Shughuli za Bunge utafika wakati wa Bunge kujadili taarifa ya Kamati hiyo Maalum ya Uchunguzi, basi Bunge litaingia kwenye Kamati ya Bunge Zima ili kushughulikia taarifa hiyo na Bunge linaweza kumruhusu Mwenyekiti na mjumbe mwingine ambaye siyo Mbunge wa Kamati Maalum ya Uchunguzi kuwasilisha na kuelezea uamuzi wa Kamati yake kwenye Kamati ya Bunge Zima. 77 Tangazo la Serikali Na. 626 (linaendelea) Kanuni Za Kudumu Za Bunge Azimio la kumwondo a Rais (2) Baada ya taarifa ya Kamati Maalum ya Uchunguzi kuwasilishwa Bungeni, Bunge litaijadili taarifa hiyo na litampa Rais fursa ya kujieleza na kujitetea kuhusu mashtaka yaliyotolewa dhidi yake. - 150 Verify source ↗
(1) Baada ya kusikiliza utetezi wa Rais, Wabunge
AI-assisted research summary: After hearing the President’s defence, MPs vote by secret ballot on whether the charges are proved. If the charges are proved and supported by at least two-thirds of all MPs, the member who moved the impeachment must report back and move a resolution to remove the President. If the resolution passes, the Speaker informs the President and the inquiry chair, and the President must resign within three days. The President is not entitled to any pension if removed on these grounds.
150.-(1) Baada ya kusikiliza utetezi wa Rais, Wabunge watapiga kura ya siri ili kupata uamuzi wa Bunge iwapo mashtaka dhidi ya Rais yamethibitika au mashtaka hayo hayakuthibitika. (2) Baada ya Kamati ya Bunge Zima kukamilisha kazi zake na Bunge kurudia, Mbunge aliyetoa hoja ya kumshtaki Rais atatoa taarifa ya kukamilika kwa shughuli za Kamati ya Bunge Zima na endapo mashtaka dhidi ya Rais yatakuwa yamethibitika, kwa kuungwa mkono na kura za Wabunge wasiopungua theluthi mbili ya Wabunge wote, papo hapo atatoa hoja kwamba, Bunge lipitishe Azimio la kumwondoa Rais madarakani, kwa mujibu wa masharti ya Ibara ya 46A (5) ya Katiba. (3) Endapo Bunge litapitisha Azimio la kumwondoa Rais madarakani, Spika atawafahamisha Rais na Mwenyekiti wa Tume ya Uchunguzi juu ya Azimio hilo la Bunge na Rais atawajibika kujiuzulu katika kipindi cha siku tatu tangu Bunge lilipopitisha Azimio hilo. (4) Endapo Rais ataacha kushika kiti cha Rais kutokana na mashtaka dhidi yake kuthibitika na Bunge kupitisha Azimio la kumwondoa madarakani, Rais hatakuwa na haki ya kupata malipo yoyote ya pensheni. SEHEMU YA KUMI NA SABA UTARATIBU WA KUMWONDOA MAKAMU WA RAIS MADARAKANI Utaratibu wa kumwondo a Makamu wa Rais Madarakani lipitishe Azimio
Part
SEHEMU YA KUMI NA SABA
- 151 Verify source ↗
(1) Rais anaweza kuwasilisha Bungeni hati ya kuliomba
AI-assisted research summary: The President may submit a request to Parliament to remove the Vice President if the Vice President has stopped or failed to perform the Vice President’s duties. Any MP may move to remove the Vice President for constitutional, ethics, or misconduct grounds, but not within 12 months after a similar motion was rejected.
151.-(1) Rais anaweza kuwasilisha Bungeni hati ya kuliomba Bunge la kumwondoa Makamu wa Rais madarakani ikiwa Makamu wa Rais ameacha au ameshindwa kutekeleza kazi za Makamu wa Rais kwa mujibu wa Ibara ya 50(3) ya Katiba. (2) Bila ya kuathiri masharti ya fasili ya (1) ya kanuni hii, Mbunge yeyote anaweza kuwasilisha Bungeni hoja ya kutaka kumwondoa Makamu wa Rais madarakani ikiwa Makamu wa Rais:- (a) (b) ametenda vitendo ambavyo kwa ujumla vinavunja Katiba au Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma; ametenda vitendo vinavyokiuka maadili yanayohusu uandikishaji wa Vyama vya Siasa vilivyotajwa katika Sura ya 398 78 Tangazo la Serikali Na. 626 (linaendelea) Kanuni Za Kudumu Za Bunge (c) Ibara ya 20 (2) ya Katiba; au amekuwa na mwenendo unaodhalilisha Kiti cha Rais wa Jamhuri ya Muungano au Kiti cha Makamu wa Rais, Isipokuwa kwamba, hoja ya namna hiyo haitatolewa ndani ya miezi kumi na miwili tangu hoja ya namna hiyo ilipotolewa na kukataliwa na Bunge. Masharti ya hoja ya kuunda Kamati Maalum ya Uchunguzi - 152 Verify source ↗
(1) Bunge halitajadili wala kushughulikia hoja ya
AI-assisted research summary: Bunge halipaswi kujadili au kushughulikia hoja ya kumshtaki Makamu wa Rais mpaka masharti maalumu yatimizwe, ikiwemo taarifa iliyoandikwa na kusainiwa, kuungwa mkono na angalau asilimia 20 ya Wabunge, kuwasilishwa kwa Spika siku 30 kabla, na kueleza makosa pamoja na pendekezo la kuundwa kwa Kamati Maalumu ya Uchunguzi.
152.-(1) Bunge halitajadili wala kushughulikia hoja ya kumshtaki Makamu wa Rais isipokuwa tu kama:- (a) taarifa ya maandishi, iliyowekwa saini na kuungwa mkono na Wabunge wasiopungua asilimia ishirini ya Wabunge wote imetolewa; (b) taarifa hiyo itawasilishwa kwa Spika, siku thelathini kabla ya kikao ambapo hoja hiyo inakusudiwa kutolewa Bungeni; (c) taarifa hiyo pia itafafanua makosa aliyoyatenda Makamu wa Rais; na (d) taarifa hiyo pia itapendekeza kuwa, Kamati Maalumu ya ichunguze mashtaka Uchunguzi yaliyowasilishwa dhidi ya Makamu wa Rais. iundwe ili (2) Wakati wowote baada ya kupokea taarifa iliyowekwa saini na Wabunge na kujiridhisha kuwa masharti ya Katiba kwa ajili ya kuwasilisha hoja hiyo Bungeni yametimizwa, Spika atamruhusu mtoa hoja kuiwasilisha hoja hiyo Bungeni. (3) Hoja hiyo itakapowasilishwa Bungeni, Spika atalitaka Bunge, bila ya kufanya majadiliano yoyote, lipige kura ya siri ili kupata uamuzi juu ya hoja hiyo. Wajumbe wa Kamati Maalumu ya Uchunguzi - 153 Verify source ↗
(1) Endapo hoja ya kumshtaki Makamu wa Rais itaungwa
AI-assisted research summary: If at least two-thirds of all MPs support a motion to impeach the Vice President, the Speaker must announce the members of a Special Investigation Committee.
153.-(1) Endapo hoja ya kumshtaki Makamu wa Rais itaungwa mkono na Wabunge wasiopungua theluthi mbili ya Wabunge wote, Spika atatangaza majina ya wajumbe wa Kamati Maalum ya Uchunguzi, kwa kuzingatia masharti ya Ibara ya 46A(4) ya Katiba. (2) Kamati Maalum ya Uchunguzi itakuwa na wajumbe wafuatao:- (a) Jaji Mkuu wa Jamhuri ya Muungano ambaye atakuwa ndiye Mwenyekiti wa Kamati hiyo; (b) Jaji Mkuu wa Tanzania Zanzibar; na (c) Wajumbe saba walioteuliwa na Spika kwa kuzingatia uwiano wa uwakilishi baina ya vyama vya siasa vinavyowakilishwa Bungeni. (3) Endapo Bunge litapitisha hoja ya kuunda Kamati Maalum ya Uchunguzi, Makamu wa Rais atahesabiwa kuwa hayupo kazini, na 79 Tangazo la Serikali Na. 626 (linaendelea) Kanuni Za Kudumu Za Bunge Utaratibu wa kazi ya Kamati Maalum ya Uchunguzi Sura 296 Utaratibu katika Kamati ya Bunge Zima kuhusu mashtaka dhidi ya Makamu wa Rais Azimio la kumwondo a Makamu wa Rais Madarakani kwa sababu hiyo, kazi na madaraka ya Makamu wa Rais yatatekelezwa kwa mujibu wa masharti ya Ibara ya 37(3) ya Katiba hadi Spika atakapomfahamisha Makamu wa Rais juu ya Azimio la Bunge kuhusiana na mashtaka yaliyotolewa dhidi yake. - 154 Verify source ↗
(1) Ndani ya siku saba baada ya Kamati Maalumu ya
AI-assisted research summary: The Special Investigatory Committee must investigate the charges against the Vice President within seven days of being formed, give him a chance to respond, and report to the Speaker within ninety days. The Speaker must then present the report to Parliament.
154.-(1) Ndani ya siku saba baada ya Kamati Maalumu ya Uchunguzi kuundwa, itakaa ichunguze na kuchambua mashtaka dhidi ya Makamu wa Rais na itampatia Makamu wa Rais fursa ya kujieleza na kujitetea kuhusu mashtaka yaliyotolewa dhidi yake kwa mujibu wa masharti na utaratibu uliowekwa na Sheria ya Kinga, Madaraka na Haki za Bunge na Kanuni hizi. (2) Mapema iwezekanavyo na kwa vyovyote vile katika muda usiozidi siku tisini, Kamati Maalumu ya Uchunguzi itatoa taarifa yake kwa Spika. (3) Akidi ya mkutano wowote wa Kamati Maalumu ya Uchunguzi itakuwa ni Mwenyekiti, Jaji Mkuu wa Tanzania Zanzibar na Wajumbe wengine wanne kutoka Bungeni. (4) Baada ya Spika kupokea taarifa ya Kamati Maalumu ya Uchunguzi, taarifa hiyo itawasilishwa Bungeni kwa kufuata utaratibu uliowekwa na Kanuni hizi. - 155 Verify source ↗
(1) Endapo kwa mujibu wa Orodha ya Shughuli za
AI-assisted research summary: Bunge lazima lijadili taarifa ya Kamati Maalumu ya Uchunguzi katika Kamati ya Bunge Zima na kumpa Makamu wa Rais nafasi ya kujieleza; pia linaweza kuruhusu Mwenyekiti na mjumbe asiye Mbunge kuwasilisha na kuelezea uamuzi wa Kamati.
155.-(1) Endapo kwa mujibu wa Orodha ya Shughuli za Bunge utafika wakati wa Bunge kujadili taarifa ya Kamati hiyo Maalumu ya Uchunguzi, basi Bunge litaingia kwenye Kamati ya Bunge Zima ili kushughulikia taarifa hiyo na Bunge linaweza kumruhusu Mwenyekiti na mjumbe mwingine ambaye siyo Mbunge wa Kamati Maalumu ya Uchunguzi kuwasilisha na kuelezea uamuzi wa Kamati yake kwenye Kamati ya Bunge Zima. (2) Baada ya taarifa ya Kamati Maalumu ya Uchunguzi kuwasilishwa Bungeni, Bunge litaijadili taarifa hiyo na litampa Makamu wa Rais fursa ya kujieleza na kujitetea kuhusu mashtaka yaliyotolewa dhidi yake. - 156 Verify source ↗
(1) Baada ya kusikiliza utetezi wa Makamu wa Rais,
AI-assisted research summary: This section sets out the procedure for deciding whether allegations against the Vice President are proved, and for removing the Vice President from office if they are.
156.-(1) Baada ya kusikiliza utetezi wa Makamu wa Rais, Wabunge watapiga kura ya siri ili kupata uamuzi wa Bunge iwapo mashtaka dhidi ya Makamu wa Rais yamethibitika au mashtaka hayo hayakuthibitika. (2) Baada ya Kamati ya Bunge Zima kukamilisha kazi zake na Bunge kurudia, Mbunge aliyetoa hoja ya kumshtaki Makamu wa Rais atatoa taarifa ya kukamilika kwa shughuli za Kamati ya Bunge Zima na endapo mashtaka dhidi ya Makamu wa Rais yatakuwa yamethibitika, kwa kuungwa mkono na kura za Wabunge wasiopungua theluthi mbili ya Wabunge wote, papo hapo atatoa 80 Tangazo la Serikali Na. 626 (linaendelea) Kanuni Za Kudumu Za Bunge hoja kwamba, Bunge lipitishe Azimio la kumwondoa Makamu wa Rais madarakani, kwa mujibu wa masharti ya Ibara ya 46A (5) ya Katiba. (3) Endapo Bunge litapitisha Azimio la kumwondoa Makamu wa Rais madarakani, Spika atawafahamisha Rais, Makamu wa Rais na Mwenyekiti wa Tume ya Uchunguzi juu ya Azimio hilo la Bunge na Makamu wa Rais atawajibika kujiuzulu katika kipindi cha siku tatu tangu Bunge lilipopitisha Azimio hilo. (4) Endapo Makamu wa Rais ataacha kushika kiti cha Makamu wa Rais kutokana na mashtaka dhidi yake kuthibitika na Bunge kupitisha Azimio la kumwondoa madarakani, Makamu wa Rais, hatakuwa na haki ya kupata malipo yoyote ya pensheni. SEHEMU YA KUMI NA NANE HOJA YA KUTOKUWA NA IMANI NA WAZIRI MKUU Taarifa ya Hoja ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu
Part
SEHEMU YA KUMI NA NANE
- 157 Verify source ↗
(1) Mbunge yeyote anaweza kutoa taarifa ya maandishi
AI-assisted research summary: Mbunge yeyote anaweza kumpa Spika taarifa ya maandishi kuanzisha hoja ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu, lakini hoja hiyo inafungwa na masharti kadhaa ya muda, uungwaji mkono, na uthibitisho wa Spika.
157.-(1) Mbunge yeyote anaweza kutoa taarifa ya maandishi kwa Spika ya kutaka kuleta hoja ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu kwa mujibu wa Ibara ya 53A ya Katiba. (2) Hoja yoyote ya kutaka kupitisha Azimio la kura ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu haitatolewa Bungeni endapo:- (a) haina uhusiano na utekelezaji wa majukumu ya Waziri Mkuu yaliyoainishwa katika Ibara ya 52 ya Katiba; (b) hakuna madai kwamba Waziri Mkuu amevunja Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma; (c) haijapita miezi sita tangu alipoteuliwa; na (d) haijapita miezi tisa tangu hoja ya namna hiyo ilipotolewa Bungeni na Bunge likakataa kuipitisha. (3) Hoja ya kura ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu haitajadiliwa na Bunge isipokuwa tu kama:- (a) taarifa ya maandishi iliyowekwa saini na kuungwa mkono na Wabunge wasiopungua asilimia ishirini ya Wabunge wote itatolewa kwa Spika, siku zisizopungua kumi na nne kabla ya siku inayokusudiwa kuwasilishwa Bungeni; na (b) Spika ataridhika kuwa masharti ya Katiba kwa ajili ya kuleta hoja hiyo yametimizwa. (4) Hoja inayotolewa chini ya kanuni hii na iliyotimiza masharti ya Katiba, itawasilishwa Bungeni mapema iwezekanavyo na itaamuliwa kwa kura za siri. (5) Hoja ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu itapitishwa tu iwapo inaungwa mkono na Wabunge walio wengi. (6) Endapo hoja ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu 81 Tangazo la Serikali Na. 626 (linaendelea) Kanuni Za Kudumu Za Bunge Taarifa ya Hoja ya kumwondo a Spika Madarakani itapitishwa na Bunge kwa kupigiwa kura na Wabunge walio wengi, Spika atawasilisha Azimio hilo kwa Rais na mapema iwezekanavyo na kwa vyovyote vile ndani ya siku mbili tangu Bunge lilipopitisha Azimio hilo, Waziri mkuu atajiuzulu na Rais atamteua Mbunge mwingine kuwa Waziri Mkuu. SEHEMU YA KUMI NA TISA KUMWONDOA SPIKA AU NAIBU SPIKA MADARAKANI
Part
SEHEMU YA KUMI NA TISA
- 158 Verify source ↗
(1) Mbunge yeyote anayetaka kuwasilisha hoja ya
AI-assisted research summary: Mbunge anayetaka kumwondoa Spika lazima alete taarifa ya maandishi kwa Katibu; Katibu aipeleke kwenye Kamati husika; na Spika aondolewe tu kwa kura za siri zisizopungua theluthi mbili ya Wabunge wote.
158.-(1) Mbunge yeyote anayetaka kuwasilisha hoja ya kumwondoa Spika madarakani chini ya Ibara ya 84(7) (d) ya Katiba, atawasilisha taarifa ya maandishi ya kusudio hilo kwa Katibu akieleza sababu za kutaka kuleta hoja hiyo. (2) Mara tu baada ya kupokea taarifa ya maandishi ya kusudio la kumwondoa Spika kwenye madaraka, Katibu ataipeleka taarifa hiyo kwenye Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge kwa ajili ya kuijadili. (3) Endapo Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge itaridhika kuwa zipo tuhuma mahsusi dhidi ya Spika zinazohusu uvunjaji wa masharti ya Ibara ya 84(7) (a), (b), (e), (f), (g) na (h) ya Katiba, Sheria au Kanuni zinazoongoza shughuli za Bunge, basi Kamati hiyo itaidhinisha kuwa hoja hiyo ipelekwe Bungeni ili iamuliwe. (4) Naibu Spika, atakalia Kiti cha Spika wakati wa kujadili hoja ya kutaka kumwondoa Spika madarakani na Spika atakuwa na haki ya kujitetea wakati wa mjadala. (5) Spika atakuwa ameondolewa kwenye madaraka endapo zitapigwa kura zisizopungua theluthi mbili ya idadi ya Wabunge wote za kuunga mkono hoja hiyo na uamuzi wa Bunge utafanywa kwa kuzingatia kura za siri. (6) Spika anayetuhumiwa anaweza kujiuzulu nafasi yake kwa kutoa maelezo ya kujiuzulu kwake Bungeni kabla ya uamuzi juu ya hoja ya kumwondoa madarakani. Utaratibu wa kumwondoa Naibu Spika Madrakani - 159 Verify source ↗
(1) Utaratibu wa kumwondoa Naibu Spika madarakani
AI-assisted research summary: This section sets out the procedure for removing the Deputy Speaker, including notice to the Speaker, committee review, debate in Parliament, a two-thirds vote by all MPs, and a secret ballot.
159.-(1) Utaratibu wa kumwondoa Naibu Spika madarakani chini ya Ibara ya 85(4) (c) ya Katiba utakuwa kama ule wa kumwondoa Spika, isipokuwa tu taarifa ya kusudio la kumwondoa Naibu Spika madarakani inayoeleza sababu kamili za kuleta hoja hiyo, itapelekwa kwa Spika ambaye ataiwasilisha kwenye Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge kwa ajili ya kuijadili. (2) Endapo Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge itaridhika kuwa zipo tuhuma mahususi dhidi ya Naibu Spika 82 Tangazo la Serikali Na. 626 (linaendelea) Kanuni Za Kudumu Za Bunge zinazohusu uvunjaji wa Katiba, Sheria au Kanuni zinazoongoza Shughuli za Bunge, basi Kamati hiyo itaidhinisha kuwa hoja hiyo ipelekwe Bungeni ili iamuliwe. (3) Spika atakalia Kiti wakati wa kujadili hoja ya kutaka kumwondoa Naibu Spika madarakani na Naibu Spika atakuwa na haki ya kujitetea wakati wa mjadala. (4) Naibu Spika atakuwa ameondolewa kwenye madaraka endapo zitapigwa kura zisizopungua theluthi mbili ya idadi ya Wabunge wote za kuunga mkono hoja hiyo na uamuzi wa Bunge utafanywa kwa kuzingatia kura za siri. (5) Naibu Spika anayetuhumiwa anaweza kujiuzulu nafasi yake kwa kutoa maelezo ya kujiuzulu kwake Bungeni kabla ya uamuzi juu ya hoja ya kumwondoa madarakani. SEHEMU YA ISHIRINI WAGENI BUNGENI Ruhusa kwa wageni kuingia Bungeni
Part
SEHEMU YA ISHIRINI
- 160 Verify source ↗
(1) Wageni wanaweza kuruhusiwa kuingia kwenye
AI-assisted research summary: Guests may be allowed into the Parliament Chamber only in designated areas, and once inside they must follow the chamber rules.
160.-(1) Wageni wanaweza kuruhusiwa kuingia kwenye Ukumbi wa Mikutano ya Bunge katika sehemu yoyote ya Ukumbi huo ambayo itatengwa kwa ajili hiyo. (2) Wageni wakiwa ndani ya Ukumbi wa Mikutano ya Bunge watalazimika kufuata na kuzingatia masharti yafuatayo:- (a) watakaa kimya na kwa heshima watakapotoka nje ya Ukumbi huo; inayostahili hadi (b) wanapaswa wawe wamevaa mavazi ya heshima; (c) wataingia na kutoka Ukumbini kwa staha; (d) wasisome kitabu chochote, gazeti, barua au hati nyingineyo ambayo si Orodha ya Shughuli za Bunge; (e) wasiandike wala kurekodi jambo lolote linalozungumzwa, isipokuwa tu kama ni wawakilishi wa vyombo vya habari; inapolazimu kuzungumza, wasizungumze kwa sauti ya juu; (f) (g) wasivute sigara au kiko wakati wowote na mahali pengine ambapo pnatumiwa na watu wengine; (h) wazime simu au vifaa vingine vyovyote vya mawasiliano walivyonavyo; (i) wasipige picha wala kuingia na kamera au kifaa kingine chenye uwezo wa kupiga picha au kunasa sauti; (j) wasishangilie wala kuzomea; na 83 Tangazo la Serikali Na. 626 (linaendelea) Kanuni Za Kudumu Za Bunge (k) wasifanye jambo au kitendo chochote kinachoweza kuvuruga amani na utulivu Bungeni. (3) Spika anaweza kumwamuru mgeni yeyote aondoke kwenye Ukumbi wa Bunge endapo atavunja lolote kati ya masharti yaliyotajwa katika fasili ya (2) ya kanuni hii. Utambulisho wa wageni - 161 Verify source ↗
(1) Spika anaweza kuwatambulisha wageni wa kitaifa na
AI-assisted research summary: The Speaker may identify national and international guests in the Parliament Chamber, and may also identify other guests who were invited by Members, visited for training, or made a national contribution worthy of recognition.
161.-(1) Spika anaweza kuwatambulisha wageni wa kitaifa na kimataifa waliomo katika Ukumbi wa Bunge. (2) Spika anaweza kuwatambulisha wageni wengine ambao:- (a) wametembelea Bunge kwa mwaliko wa Wabunge; (b) wametembelea Bunge kwa ajili ya ziara za mafunzo; na (c) wametoa mchango wa kitaifa unaohitaji kuenziwa. Mamlaka ya kuwaondoa wageni Bungeni Ruhusa kwa Waandishi wa habari - 162 Verify source ↗
(1) Spika anaweza kuamuru wageni watoke nje ya sehemu
AI-assisted research summary: Spika anaweza kuondoa wageni na kufunga milango ya Ukumbi wa Mikutano ya Bunge; mtumishi wa Bunge haruhusiwi kumtoa mgeni ikiwa Katibu amemruhusu awe ndani.
162.-(1) Spika anaweza kuamuru wageni watoke nje ya sehemu yoyote ya Ukumbi na maeneo yake na anaweza kuamuru milango ya Ukumbi wa Mikutano ya Bunge ifungwe. (2) Endapo wakati wa kikao chochote Mbunge atatoa hoja kuwa wageni watoke nje, Spika atalihoji Bunge papo hapo na hoja itaamuliwa bila ya mjadala au mabadiliko yoyote, wakati wowote atakapoona inafaa kufanya hivyo. (3) Mtumishi yeyote wa Bunge hataruhusiwa kumtoa nje mgeni au kuagiza mgeni atolewe nje ya Ukumbi wa Bunge endapo Katibu amemruhusu mgeni huyo kuwa ndani ya Ukumbi wa Bunge. - 163 Verify source ↗
(1) Katibu anaweza kutoa ruhusa maalumu au ya jumla
AI-assisted research summary: Katibu anaweza kutoa au kuondoa ruhusa kwa mwakilishi wa chombo cha habari kuhudhuria vikao vya Bunge katika eneo lililotengwa.
163.-(1) Katibu anaweza kutoa ruhusa maalumu au ya jumla kwa mwakilishi wa chombo chochote cha habari kuhudhuria vikao vya Bunge katika sehemu ya Ukumbi wa Mikutano ya Bunge iliyotengwa kwa ajili hiyo. (2) Ruhusa yoyote kuwekewa masharti yafuatayo:- itakayotolewa na Katibu inaweza (a) chombo husika kitoe maombi rasmi; na (b) chombo husika kiteue Waandishi wenye sifa na maadili ya kuweza kuandika habari za Bunge. (3) Katibu anaweza wakati wowote kuondoa ruhusa aliyotoa kwa mwakilishi wa chombo chochote cha habari, iwapo chombo hicho kitatoa taarifa yoyote kuhusu Shughuli za Bunge ambayo inapotosha ukweli au vinginevyo inakiuka Kanuni, taratibu au haki za Bunge. (4) Masharti kuhusu utaratibu wa ukusanyaji na utoaji wa habari za Bunge na shughuli zake umeainishwa katika Nyongeza ya Saba ya Kanuni hizi. 84 Tangazo la Serikali Na. 626 (linaendelea) Kanuni Za Kudumu Za Bunge SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJA UKAAJI NDANI YA BUNGE Utaratibu wa kukaa kwa Wabunge, Watumishi na wageni Bungeni
Part
SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJA
- 164 Verify source ↗
Spika ataweka utaratibu maalumu wa ukaaji wa Wabunge
AI-assisted research summary: Spika must set a special seating arrangement for MPs inside Parliament.
164. Spika ataweka utaratibu maalumu wa ukaaji wa Wabunge ndani ya Bunge, bila kuathiri mpangilio ufuatao:- (a) Kiongozi wa Shughuli za Serikali Bungeni atakaa kiti cha kwanza akifuatiwa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Mawaziri, upande wa kulia wa Spika; (b) Kiongozi wa Kambi ya Rasmi ya Wabunge Walio Wachache atakaa kiti cha kwanza akifuatiwa na Wasemaji Wakuu wa Kambi Rasmi ya Walio Wachache upande wa kushoto wa Spika; (c) endapo hakuna Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Walio Wachache aliyechaguliwa na chama chenye haki ya kuchagua Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Walio Wachache Bungeni lakini Wabunge wa Kambi Rasmi ya Walio Wachache wapo, basi Wabunge hao watakaa upande wa kushoto wa Spika; (d) Wapambe wa Bunge, watumishi wa Bunge na watumishi wa Serikali wenye shughuli maalum katika Ukumbi wa Bunge, waandishi wa vyombo vya habari na wageni wengine watakaa sehemu ambazo zimetengwa kwa ajili yao; (e) wageni wa Wabunge na wageni wengine wanaweza kutengewa sehemu maalumu ya kukaa; na (f) wageni mashuhuri, Mabalozi na Viongozi wengine watakaa sehemu maalumu iliyotengwa kwa ajili ya wageni wa Spika. SEHEMU YA ISHIRINI NA MBILI USALAMA WA MAENEO YA BUNGE Utaratibu wa kuingia maeneo ya Bunge
Part
SEHEMU YA ISHIRINI NA MBILI
- 165 Verify source ↗
(1) Spika ataweka utaratibu wa kutoa vitambulisho
AI-assisted research summary: Spika must set the procedure for issuing IDs, and the Katibu must issue different IDs to listed Parliament-related persons and visitors.
165.-(1) Spika ataweka utaratibu wa kutoa vitambulisho kwa Wabunge, Watumishi wa Bunge, Watumishi wa Serikali na kwa Mtu mwingine yeyote anayeingia kwenye Ukumbi wa Bunge au maeneo mengine ya Bunge. (2) Katibu atatoa vitambulisho vya aina tofauti kwa ajili ya Wabunge, watumishi wa Bunge, watumishi wa Serikali, Waandishi wa habari na wageni wanaokaribishwa katika Ukumbi wa Bunge au maeneo mengine ya Bunge. 85 Tangazo la Serikali Na. 626 (linaendelea) Kanuni Za Kudumu Za Bunge Ukaguzi - 166 Verify source ↗
(1) Kutakuwa na utaratibu wa kumkagua mtu yeyote
AI-assisted research summary: Watu wanaoingia maeneo ya Bunge wanaweza kukaguliwa kwa kuzingatia staha, heshima, na tofauti ya jinsia. Mtu anayekataa kukaguliwa au kukabidhi kifaa kinachoonekana kuwa hatari hataruhusiwa kuingia.
166.-(1) Kutakuwa na utaratibu wa kumkagua mtu yeyote anayeingia katika maeneo ya Bunge kwa kuzingatia:- (a) staha na heshima; na (b) tofauti ya jinsia. (2) Endapo katika kufanya ukaguzi mtu yeyote atapatikana na kifaa ambacho kwa asili yake ni cha hatari, kifaa hicho atakiacha kwa walinzi waliopo mlangoni. (3) Mbunge, mtumishi au mgeni yeyote atakayekataa kukaguliwa au kukabidhi kitu chochote ambacho walinzi wataona kwamba ni cha hatari, hataruhusiwa kuingia ndani ya Ukumbi wa Bunge au maeneo ya Bunge. SEHEMU YA ISHIRINI NA TATU MENGINEYO Wajibu wa Mbunge kuhudhuria Vikao vya Bunge Lugha Rasmi Bungeni Taarifa Rasmi za Bunge
Part
SEHEMU YA ISHIRINI NA TATU
- 167 Verify source ↗
(1) Kuhudhuria vikao vya Bunge na Kamati zake ni
AI-assisted research summary: Every Member of Parliament must attend Parliament and committee meetings, and missing three consecutive meetings without written permission from the Speaker can lead to loss of office.
167.-(1) Kuhudhuria vikao vya Bunge na Kamati zake ni wajibu wa kwanza wa kila Mbunge. (2) Mbunge yeyote atakayeshindwa kuhudhiria Mikutano ya Bunge mitatu mfululizo bila ruhusa ya Spika iliyotolewa kwa maandishi, atapoteza Ubunge wake kwa mujibu wa Ibara ya 71(1) (c) ya Katiba na Spika ataiarifu Tume ya Uchaguzi. (3) Mbunge atakapokosa kuhudhuria nusu ya vikao vya Mkutano mmoja bila ya sababu ya msingi atapewa onyo. (4) Mbunge yeyote atakayeshindwa kuhudhuria vikao vya Bunge na Kamati zake kwa sababu maalumu atatakiwa kupata kibali cha Spika. (5) Kwa madhumuni ya fasili ya (4) ya kanuni hii, kibali kitatolewa katika Ofisi za Bunge za Dodoma au Dar es Salaam au Zanzibar. - 168 Verify source ↗
(1) Shughuli za Bunge zitaendeshwa katika lugha ya
AI-assisted research summary: Parliamentary business must be conducted in Swahili or English without translation, and a member should try to use both languages when speaking in Parliament.
168.-(1) Shughuli za Bunge zitaendeshwa katika lugha ya Kiswahili au Kiingereza, bila tafsiri ya lugha hizo kutolewa. (2) kutochanganya isipokuwa tu pale anaponukuu. Kwa kadri itakavyowezekana, Mbunge atajitahidi lugha zote mbili wakati anasema Bungeni, - 169 Verify source ↗
(1) Taarifa Rasmi za Majadiliano Bungeni, ikiwa katika
AI-assisted research summary: Official parliamentary debate records must be prepared under the Clerk of Parliament’s supervision and in line with the Speaker’s instructions. A member may correct typing errors in a copy of their speech, but must not change its meaning.
169.-(1) Taarifa Rasmi za Majadiliano Bungeni, ikiwa katika iliyotumiwa na msemaji, yakiwa ni maneno halisi lugha aliyoyatamka, itatayarishwa chini ya usimamizi wa Katibu wa Bunge kwa kufuata maagizo yatakayotolewa na Spika kwa ajili hiyo. 86 Tangazo la Serikali Na. 626 (linaendelea) Kanuni Za Kudumu Za Bunge Mavazi Rasmi (2) Mbunge aliyechangia Bungeni kwa kuzungumza atapewa nakala ya mchango wake mapema iwezekanavyo, ili aweze kusahihisha makosa ya uchapaji, kama yatakuwepo ila hataruhusiwa kubadilisha maana ya maneno aliyoyasema Bungeni. (3) Mbunge atakayefanya masahihisho kwa mujibu wa fasili ya (2) atarejesha masahihisho hayo kwa Katibu ndani ya saa ishirini na nne tangu alipopatiwa nakala, na ikiwa hatarejesha ndani ya muda huo itachukuliwa kuwa nakala hiyo haina masahihisho. - 170 Verify source ↗
(1) Mbunge anayeingia kwenye Ukumbi wa Bunge au
AI-assisted research summary: Members of Parliament must wear decent clothing that preserves dignity when entering the Parliament chamber or other parliamentary business areas.
170.-(1) Mbunge anayeingia kwenye Ukumbi wa Bunge au ukumbi mwingine wowote ambao kikao cha Kamati kinafanyika au maeneo mengine yoyote ambapo shughuli za Bunge zinafanyika, atawajibika kuvaa mavazi nadhifu na yenye kuhifadhi heshima yake, hadhi ya Bunge na utamaduni wa nchi, kama ilivyoainishwa katika Kanuni hii. (2) Vazi Rasmi kwa Spika na Naibu Spika wa Bunge litakuwa ni joho lenye kuonesha rangi za Bendera ya Taifa, Nembo ya Taifa na baadhi ya mazao makuu nchini, lililoshonwa maalumu kwa ajili hiyo, ambalo litavaliwa juu ya vazi lolote ambalo ni vazi rasmi kwa Wabunge. (3) Vazi rasmi kwa Wenyeviti wa Bunge litakuwa ni joho maalum lenye fito za rangi ya bendera ya Taifa ambalo litavaliwa juu ya vazi lolote rasmi. (4) Vazi rasmi kwa Wabunge litakuwa lolote kati ya yafuatayo:- (a) Kwa Wabunge Wanawake: (i) vazi lolote la heshima yaani ambalo si la kubana mwili, lisiloonesha maungo ambayo kwa mila na desturi za kitanzania hayapaswi kuoneshwa na ni refu kuvuka magoti; (ii) gauni la kitenge au blauzi inayovaliwa na kitenge au sketi ya rangi yoyote; (iii) kilemba cha kadri au mtandio; (iv) suti ya kike; au (v) vazi linalovaliwa wakati wa eda. (b) Kwa Wabunge Wanaume: (i) suti ya kiafrika au suti ya safari ya mikono mirefu au mifupi yenye ukosi au shingo ya mviringo na yenye fulana au bila fulana ndani, ya rangi moja, isiyokuwa na nakshi pamoja na au bila baraghashia; (ii) vazi la kimwambao yaani kanzu rasmi na nadhifu, koti, baraghashia na makubadhi au viatu; (iii) suti kamili ya kimagharibi ya rangi ya kadri 87 Tangazo la Serikali Na. 626 (linaendelea) Kanuni Za Kudumu Za Bunge isiyomeremeta; (iv) koti aina ya blazer na tai, pamoja na suruali yoyote ya (v) heshima; au tarbushi na kilemba cha Singasinga, au kilemba chochote kinachovaliwa kwa mujibu wa masharti ya imani au mila. (5) Vazi Rasmi la Katibu na Wasaidizi wake Bungeni litakuwa kama ifuatavyo:- (a) Kwa Katibu Mezani Wanaume:- suti kamili ya kimagharibi ya rangi nyeusi au bluu na shati jeupe na tai na joho maalum kwa Katibu Mezani. (b) Kwa Katibu Mezani Wanawake:- suti ya rangi nyeusi au ya bluu na shati jeupe na tai na joho maalum kwa Katibu Mezani. (c) Makatibu na Wahudumu watavaa mavazi maalum wakati wa shughuli maalum za Bunge. (6) Mpambe wa Bunge na Wasaidizi wake ndani ya Ukumbi wa Bunge watavaa mavazi rasmi ambayo yataamuliwa na Spika. (7) Spika anaweza kwa sababu maalumu, kumruhusu mtu yeyote anayehusika na Shughuli za Bunge kuvaa vazi lisilo rasmi. (8) Mbunge yeyote anaweza kutoa taarifa Bungeni iwapo Mbunge mwingine ataingia kwenye Ukumbi wa Bunge akiwa na mavazi yasiyoruhusiwa kwa mujibu wa Kanuni hii. (9) Spika atakaporidhika kuwa Mbunge aliyetolewa taarifa kwa mujibu wa fasili ya (8) ya Kanuni hii hajavaa mavazi rasmi ataamuru Mbunge huyo atoke nje ya Ukumbi wa Bunge. (10) Mbunge aliyetolewa nje kwa mujibu wa fasili ya (9) ya kanuni hii hataingia ndani ya Ukumbi wa Bunge hadi pale atakapokuwa amevaa mavazi rasmi. Bendera ya Bunge - 171 Verify source ↗
Kutakuwa na Bendera rasmi ya Bunge la Jamhuri ya
AI-assisted research summary: There is an official Parliament Flag for the Parliament of the United Republic of Tanzania.
171. Kutakuwa na Bendera rasmi ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania itakayoitwa Bendera ya Bunge, ambayo itakuwa na:- (a) umbo la mstatili na rangi ya bluu iliyoiva na pembeni itakuwa na umbo dogo la bendera ya Taifa ndani yake katika pembe ya juu upande wa kushoto; na (b) Siwa ya Bunge yenye rangi ya dhahabu, chini kukiwa na utepe wenye maneno“Bunge la Tanzania.” Utaratibu wa kupepea Bendera - 172 Verify source ↗
(1) Bendera ya Bunge
AI-assisted research summary: Bendera ya Bunge inapaswa kupepezwa katika maeneo yaliyotajwa na kwa saa maalum kila siku; Mbunge hapaswi kuipeperusha kwenye gari lake katika maeneo fulani au akiwa anatumia gari la kukodi au la kuazima.
172.-(1) Bendera ya Bunge itapepeza kwenye maeneo yafuatayo:- (a) Katika Ofisi za Bunge Dodoma, Dar es Salaam na Zanzibar; 88 Tangazo la Serikali Na. 626 (linaendelea) Kanuni Za Kudumu Za Bunge (b) Nje ya Ofisi ya Mbunge iliyopo Makao Makuu ya Mkoa, Wilaya na katika Jimbo la Uchaguzi; (c) Ndani ya Ofisi ya Mbunge juu ya meza anayofanyia kazi; na (d) Katika magari binafsi ya Wabunge ambapo Bendera hiyo itapepezwa ikiwa mbele upande wa kushoto wa gari la Mbunge wakati Mbunge mwenyewe anapokuwa ndani ya gari hilo, na akiwa anaendeshwa na dereva mwingine, siyo anapokuwa anaendesha mwenyewe. (2) Mbunge hatapepeza bendera kwenye gari lake awapo katika Mji wa Dodoma, Dar es Salaam na Zanzibar, na anapokuwa anatumia gari la kukodi au la kuazima. (3) Bila ya kuathiri masharti yaliyotangulia ya kanuni hii, bendera ya Bunge itapepezwa kuanzia saa kumi na mbili kamili asubuhi na kuteremshwa mara ifikapo saa kumi na mbili kamili jioni kila siku. (4) Bendera ya Bunge itaendelea kupepezwa katika gari la Mbunge baada ya saa 12:00 Jioni endapo anayepepeza bendera hiyo atakuwa safarini hadi pale atakapomaliza safari yake. - 173 Verify source ↗
Endapo Mbunge atafariki wakati Bunge likiwa katika
AI-assisted research summary: If a Member of Parliament dies while Parliament is in session, the Speaker must adjourn Parliament for that day to mourn.
173. Endapo Mbunge atafariki wakati Bunge likiwa katika shughuli zake, Spika ataahirisha shughuli za Bunge kwa siku hiyo kwa ajili ya maombolezo. - 174 Verify source ↗
(1) Kwa
AI-assisted research summary: Kwa idhini ya Spika, kanuni inaweza kutenguliwa kwa madhumuni maalum baada ya hoja kutoka kwa Waziri, Mwanasheria Mkuu wa Serikali, au Mbunge; hoja hiyo haihitaji taarifa, na maelezo yake lazima yaeleze madhumuni ya kutengua.
174.-(1) Kwa idhini ya Spika, kanuni yoyote inaweza kutenguliwa kwa madhumuni mahususi baada ya Waziri, Mwanasheria Mkuu wa Serikali au Mbunge yeyote kutoa hoja kwa ajili hiyo. Kuahirisha Shughuli za Bunge Mbunge anapofariki Kutengua Kanuni za Bunge (2) Hoja ya kutengua kanuni haitahitaji kutolewa taarifa. (3) Maelezo ya hoja ya kutaka kutengua kanuni yoyote itakuwa ni pamoja na maelezo kuhusu madhumuni ya kutaka kanuni hiyo itenguliwe. (4) Kanuni hiyo itatenguliwa kwa madhumuni yaliyokusudiwa tu na siyo kwa madhumuni mengine yoyote. Salamu za Pongezi na Pole - 175 Verify source ↗
(1) Endapo litatokea jambo lolote ambalo mhusika wake
AI-assisted research summary: The Speaker must give congratulations or condolences on behalf of Parliament in qualifying cases, and MPs may not do so afterward during debate. For the Government side, the Government business leader or a Minister may do it on the Government’s behalf, and Ministers may not repeat it afterward during debate.
175.-(1) Endapo litatokea jambo lolote ambalo mhusika wake au mwathirika wa jambo hilo anastahili kupewa pongezi au pole na Wabunge basi Spika atatoa pongezi au pole kwa mhusika au mwathirika wa jambo hilo kwa niaba ya Wabunge wote. (2) Baada ya Spika kutoa pongezi au pole kwa mhusika au mwathirika wa jambo lolote, kwa ajili ya kuokoa muda wa majadiliano, Mbunge yeyote hataruhusiwa kutoa pongezi au pole 89 Tangazo la Serikali Na. 626 (linaendelea) Kanuni Za Kudumu Za Bunge kwa mhusika au mwathirika wa jambo hilo wakati wowote wa majadiliano Bungeni. (3) Kwa upande wa Serikali, Kiongozi wa shughuli za Serikali Bungeni au Waziri yeyote kwa niaba yake atatoa pongezi au pole kwa mhusika au mwathirika wa jambo lolote kwa niaba ya Serikali. (4) Baada ya Kiongozi wa shughuli za Serikali Bungeni au Waziri yeyote kwa niaba yake kutoa pongezi au pole kwa mhusika au mwathirika wa jambo lolote, kwa ajili ya kuokoa muda wa majadiliano, Waziri yeyote hataruhusiwa kutoa pongezi au pole kwa mhusika au mwathirika wa jambo hilo wakati wowote wa majadiliano Bungeni. Mabadiliko katika Kanuni za Bunge - 176 Verify source ↗
(1) Bunge linaweza kupitisha Azimio la kufanya mabadiliko
AI-assisted research summary: Bunge linaweza kupitisha azimio la kubadilisha kanuni zake kwa mapendekezo ya Kamati ya Kanuni za Bunge.
176.-(1) Bunge linaweza kupitisha Azimio la kufanya mabadiliko katika Kanuni yoyote ya Bunge kutokana na mapendekezo ya Kamati ya Kanuni za Bunge. Kanuni kuanza kutumika (2) Mabadiliko yoyote ya Kanuni za Bunge yatawasilishwa Bungeni na Naibu Spika. (3) Spika, kwa kushauriana na Kamati ya Kanuni za Bunge, atakuwa na madaraka ya kuzifanyia marekebisho au mabadiliko Nyongeza za Kanuni hizi, kulingana na mahitaji ya wakati, kadri atakavyoona inafaa. - 177 Verify source ↗
(1) Mabadiliko yaliyopitishwa hayataanza kutumika
AI-assisted research summary: Amended changes do not take effect until they are published and inserted into the next volume of the Parliamentary Standing Orders.
177.-(1) Mabadiliko yaliyopitishwa hayataanza kutumika mpaka yatakapochapishwa na kuingizwa katika Toleo la Kanuni za Bunge litakalofuata. (2) Endapo Kanuni za Bunge zitafanyiwa mabadiliko, Spika ataagiza zichapishwe upya kwenye Gazeti kwa madhumuni ya kuingiza mabadiliko yaliyofanyika. (3) Nakala za Kanuni za Bunge zilizochapishwa kwa kufuata utaratibu uliofafanuliwa katika Kanuni hii zitahesabiwa kuwa nakala halisi za Kanuni za Kudumu za Bunge zilizofanyiwa mabadiliko. 90 Tangazo la Serikali Na. 626 (linaendelea) Kanuni Za Kudumu Za Bunge Kufutwa kwa Tangazo la Serikali Namba 56 la mwaka 2016 - 178 Verify source ↗
(1) Kanuni za Kudumu za Bunge, Toleo la Januari, 2016
AI-assisted research summary: The January 2016 Standing Orders of Parliament are revoked, but actions taken under them remain valid until changed, revoked, or otherwise ordered under these Rules.
178.-(1) Kanuni za Kudumu za Bunge, Toleo la Januari, 2016 zinafutwa. (2) Bila ya kujali masharti ya fasili ya (1) ya Kanuni hii jambo lolote, amri yoyote, uteuzi wowote, agizo au suala jingine lolote lililofanyika kwa mujibu wa Kanuni za Kudumu za Bunge, Toleo la Januari, 2016 halitakuwa batili na litaendelea kuwa halali hadi litakapobadilishwa, kufutwa au kuagizwa vinginevyo kwa mujibu wa Kanuni hizi. 91 Tangazo la Serikali Na. 626 (linaendelea) Kanuni Za Kudumu Za Bunge _________ NYONGEZA _________ NYONGEZA YA KWANZA _________ KANUNI ZA UCHAGUZI WA SPIKA NA NAIBU SPIKA [Chini ya Kanuni ya 9(1) na 11(3)] _________ SEHEMU YA KWANZA MASHARTI YA AWALI Jina
Provision text is displayed from LexChat’s stored statute record. Use the official source links to verify amendments, commencement, and current legal force.